uponyaji. - endtime.net filewa mungu na nguvu za wokovu. tukiimarishwa na nukuu zifuatazo kutoka kwa...

Post on 25-Sep-2019

153 Views

Category:

Documents

3 Downloads

Preview:

Click to see full reader

TRANSCRIPT

UPONYAJI.Balialijeruhiwakwamakosayetu,Alichubuliwakwamaovuyetu;Adhabuyaamaniyetuilikuajuuyake,Nakwakupigwakwakesisitumepona.(Isaya53:5,)

Kunamengisanasikuhizi.Watukuteseka,wenginewanakanza,wenginemagonjwayamoyo,arthiritis,shongonamaumivuyamgongo,kichwanamatatizoyafigo,pumu,mishipa,ugonjwawamifupakuzidikuendeleanakadhalika.

Piawatuwanatesekakwanjiazenginezokamauhabawapesa,chakula,baadhiyaokusumbuliwanawenginekuwachiniyakujitegemea.Kunawaleambaohukataliwakatikamaduarayamarafikinawanauelewautofautiwaimaniyaokulikowenginewaimaninyingine.

Elimuikionekanakuwajuu,matokeoni,wanawezakuwekwachiniyakudhulumiwanafamilia,marafikinamamlakaaumahalipakazi.Hawakubaliwijinsiwalivyo,wanatamanikuwahurunakufurahialakinimazingirahayawaruhusu.Wenginewamekuaweziauwasanii,dhamirambayanawanakubaliwa.Je!jamiiinafanyaninikwamatesohaya.Wagangahutoaudanganyifuwenyedawazasumu,dawahizihuingizamaumivu,unyongonyevunamagonjwamengi.Piahupunguzamasomoyaonavidongevibayasanavyakudhuru.Wenginewengiwemefungwa.Ikiwawatuhawawezikujitegemeamahalipaajiraaumamlaka,labdabasikuonekanakamawatuwasiowezanakaribunihiviwanajikuta

kwenyejangalamagonjwayaakiliaukwendakatikaulemavukablayawakati.

Mwizinamsaniiwanahukumiwakifungogerezani.Walakinidawa,sindano,ulemavuauhukumuzajelahuyatatuahizotatizo?Je!Watuhupatamazurikwatibayaainahii?

Tunaishikatikajamiibandianayenyemikazo,mavutano,usingizinawengiwanatambuakwambalazimatujitokelezekatikajamiihiibandianakwauasilia.Tunawezakurejeshaafyazetukulekwenyemsaadawatibarahisizaasilikama,HEWASAFI,JUA,KUWAnaKIASI,PUMZIKO,ZOEZI,CHAKULAchaAFYA,MAJInaKUMWANINMUNGU.Hizindizotibazakwelizauponyajiwauzima.

Hatahivyokunaugonjwammojaambaodawazaasilihaziwezikuponya,naonidhambi.MuumbaametuwekeasheriazakekumirahisiilisisikwakuzifuatatuwenauhusianomzurikwaMungunawenzetu.Tunafanyadhambikwakuzivunjaamrihizi.Bibiliainasemakuwa‘’dhambiniuasiwasheria”nakwamba‘’mshaharawadhambinimauti”(1Yohana3:4,Warumi6:23).Bibliainasema‘’kilaatendayedhambinimtumwawadhambi.”(Yohana8:34)

Sisitukochiniyalaanayasheriatunapoitendadhambi“kwasababuwotewamefanyadhambi,nakupungukiwanautukufuwaMungu.’’(Warumi3:23)

Yesualikujakutuokoakutokakwalaanayasheria.Alifanyakilakituilituwezekuwahurunawenyefuraha;ambayeyeyemwanzoalikuwayunanamnayaMungu;balialijifanyakuwa

hanautukufu,akajinyenyekeshaakawaanamfanowawanadamunaakajakwaumbokamamwanadamuilikutuokoanalaanayadhambi.’’Basi,kwakuwawatotowameshirikidamunamwili,yeyenayevivyohivyoalishirikiyayohayo.’’(Waebrania2:14)

AnapaswakupataushindiambapoAdamunaHawawalianguka.Yesualifanyahivyobibiliainavyosema.Kwahivyo,kwakilakitualikuwaamefanywakufananananduguzakeiliawemkuuwahurumanamwaminifukatikamamboyanayohusuMungu,akafanyaupatanishokwaajiliyadhambizawatu.Kwakuwayeyemwenyeweamejaribiwa,anawezakuwasaidiawalewanaojaribiwa(Waebrania2:17,18)lakiniYesualikuwakatikavituvyotekamasisilakinibiladhambi(Waebrania4:15)

YesuniMwokoziwetukwasababualijaribiwakatikamamboyotekamasisilakinibiladhambinaakatoamaishayakekwaajiliyetu.Basihebutujekwaujasirikwenyekitichaenzichaneema,ilituwezekupatarehemananeemayakusaidiawakatiwamahitaji(Waebrania4:16)TayaritunaonakwambaYesundiyejibukwakupitiakwaketunawezakuponywakutokakatikadhambi.NabiiIsayaanaelezeauponyajihuukwanjiahii.

Hakikayeyeamebebamajerahayetu,akachukuahuzunizetu,hatahivyotunamuonayeyealipigwa,piaalijeruhiwakwamakosayetu,alisulubiwakwamakosayetu,adhabuyaAmaniyetuilikuajuuyake,naKwakupigwakwaketunapona.

Sasaswalini!Tunakubaliuponyajihuu?Nizawadiyabure,Je,tukotayarikuikubalihiizawadi?Uhusisheuponyaji

waMungunanguvuzawokovu.TukiimarishwananukuuzifuatazokutokakwanenolaMungu;kwahiimaana‘’Mungualiupendaulimwengu,hataakamutoamwanawewapekee,ilikilaamwaminiyeasipotee,baliawenauzimawamilele.”(Yohana3:16)

Hilindilopendo,sikwambasisitulimpendaMungu,balikwambayeyealitupendasisi,akamtumaMwanawekuwakipatanishokwadhambizetu.’(1Yohana4:10)Yesuakainukajuuasimwonemtu,ilayulemwanamke,akamwambia,Mama,wakowapiwashitakiwako?’Je!Hakunaaliyekuhukumu,kuwanahatia?Akasema,Hakuna,Bwana.Yesuakamwambia,Walamimisikuhukumu.Enendazako;walausitendedhambitena.’

(Yohana8:10,11).‘’YeyealiyenayeMwanaanaohuouzima;asiyenayeMwanawamunguhanahuouzima.”(1Yohana5:12).PetronaYohanawakamwambia‘’BasinyumbayoteyaIsiraelinawajueyakiniyakwambaMunguamemfanyaYesuhuyomliyemsulubishakuwaBwananaKristo.Walipoyasikiahayawakachomwamioyoyao,wakamwambiaPetronamitumewengine,‘Tutendeje,nduguzetu?’Petroakamwambia,‘TubunimkabatizwekilammojakwajinalakeYesuKristo,mpateondoleoladhambizenunanyimtapokeakipawachaRohoMtakatifu.’’(Matendo2:36-38)

‘’Tubunibasi,mrejee,ilidhambizenuzifutwe,zipatekujanyakatizakuburudishwakwakuwakokwakeBwana.’’(Matendo3:19)‘’Ikiwawatuwangu,walioitwakwajinalangu,watajinyenyekesha,kuomba,nakunitafutausowangu,nakuziachanjiazaombaya,basi,nitasikiatokambinguni,na

kuwasamehedhambiyao,nakuponyanchiyao.’’(2MamboyaNyakati7:14).‘’Eenafsiyangu,umhimidiBwana.Naam,vyotevilivyondaniyanguvilihimidijinalaketakatifu.Eenafsiyangu,umhimidiBwana,Akusamehemaovuyakoyote,Akuponyamagonjwayakoyote.’’(Zaburi103:1-3)

HuundioushinditoshanawakwelikwambatunapokeauponyajitukimwendeaYesunamizigoyetuyoteyadhambi.Inatupasakujinyenyekeza,kukiridhambizetunakutubu,nayeatatusamehemaovuyetunakututakasakutokakwaudhalimuwote.BasisisiniwenyehakikatikayeyenaneemakwaImani.

UponyajiNakukubalikaNaMungu

KutokananamaelezorahisiyaBibilia,jinsiYesualivyowaponyawagonjwa,tunawezakujifunzajambofulanijuuyakumwaminiyeyenakupokeamsamahawadhambi.HebutuigeukiehadithiyamtummojaaliyepoozahukoBethsaida.Maskinimtuhuyuhakuwanamsaada;hakuwanawakumtwaamiguuyakekwamiakathelathininaminane.Lakini,Yesuakamwambia,‘Simama,jitwikegodorolako,uendezako.’

Huendamgonjwahuyuangelisema,‘Bwanaikiwaumenifanyanipateuponyaji,nitalitiinenolako,baliyeyealiliamininenolaKristo.Aliaminikwambaalikuaamefungwanaakafanyajuhudimaramoja.Alipendaatembeenayeakatembea.

AlifanyahivyokwanenolaKristonaMunguakalitianguvuneonhilo.Inawezekanamwenyedhambikwahalihii.

Wawezakuzikiridhambizakozazamani,nakubadilimoyowakonakujitakasamwenyewe.MunguanaahidikufanyahayoyotekwaajiliyakokupitiaKristo.

Aminiahadihii.Utakubalidhambizako,nakujitoakwaMungunakumtumikia?Ikiwautafanyahivi;Munguatatimizanenolakekwako.Kamaumeaminiahadihii--aminikwambaumesamehewanakutakaswa.Je?Umefungwa?JinsiKristoalivyompayulemtualiyepoozauwezowakutembeapundetu,aliaminikwambaameponywa.Ukiaminini,hilinihakika.Usingojempakaujihisiumekamilika,lakinisema,”Ninaaminihivyo,siokwasababunirahisitu,lakinikwasababuMunguameahidi.

Yesuanasema,‘‘Yoyotemyaombayomkisali,amininiyakwambamtayapokea,nayoyatakuwayenu.”(Mariko11:24)Kunanjiayaahadihii-kwamba,tuombekulingananamapenziyaMungu.KwahivyonimapenziyaMungukututakasakutokakwadhambi,kutufanyawatotowakenakutuwezeshakuishimaishamatakatifu.Basitunawezakuombabarakahizi,nakuaminiyakwambatunazipokea,nakumshukuruMunguyakuwatumezipokea.NiwajibuwetukumwendeaYesunakutakaswa,nakusimamambeleyasheriabilaaibuaumajuto.”Basi,hakunahukumuyaadhabujuuyaowaliokatikaKristoYesu,ambaohawaenendikwakuufuatamwili,...balimamboyaroho.”(Warumi8:1,4)Kwahio.”Nanyimfahamukwambamlikombolewasikwavituviharibikavyo,kamavilefedhaaudhahabu,balikwadamuyathamani,kamayamwana-kondooasiyenahila,asiyenawaa,yaani,yaKristo.”(1Petero1:18,19.)Kupitiatendohili

rahisilakumuaminiMungu,RohoMtakatifuamezaliwamaishamapyamoyonimwako.WewenikamamtotoaliyezaliwakatikafamiliayaMungu,nayeanakupendakamaampendavyoMwanawe.

KwakuwasasaumejitoakwaYesu,usirudiukatangambalinaye,ilasikubaadayasikuusemehivi,”MiminiwaKristonanimejitoakwake.”naumuombeakujalierohowakenakukuhifadhikwaneemayake.KamanikwakujitoakwakokwaMungu,nakumuaminiuwemtotowake,basiyakupasakuishindaniyake.MtumePauloanasema“BasikamamlivyompokeaKristoYesu,Bwana,enendenivivyohivyokatikayeye.”Wakolosai2:6.WenginehuonekanakuhisikuwawanapaswakuthibitishiaBwanakuwawaohurekebikahatakablayakudaiMibarakayake.Kamahuwezikupingamaovu,RohowaKristohusaidiaudhahifuwawatu.Yesuanatupenda,njookwakekamasisiwenyedhambiwasionamsaadawakutegemea.

Tunawezakujanaudhaifuwetuwote,upumbavuwetunadhambizetukwakuangukamiguunipakekatikauongofu.Nikwautukufuwakeanatuzungukakatikasilahayaupendowakenakutufungamajerahayetu,kututakasakutokananauchafuwote.Hapandipomaelifuhushindwa,hawaaminikwambaYesuhusamehenafsi,mmojammoja.HawatumikiiMungukatikanenolake.

Nifursayawotekuzingatiamashartiyakujuawenyewekwambamsamahahupatikanakwakuwahurunakiladhambi.PiakuondoatuhumakwambaahadizaMungusiozamaanakwako.Hayanikwawahalifuwotewanaotubu.Nguvu

naneemazimetolewakwanjiayaKristokutuleteamalaikawahudumukwakilanafsiyakuamini.Hatahivyonikwaajiliyadhambihawawezikupatanguvu,usafinauadhilifukatikaYesuambayealikufakwaajiliyao.Anasubirikuwavuanguozaozilizowasababishakuchafuliwanadhambi,nakuvikwamavazimeupeyahakiawaagizayoiliwaishi.

Munguhatutendeisisikamaalivyowatendeawanaumewalewamwisho.Mawazoyakenimawazoyahurumanaupendo.Kwahurumanyingianasema,”Mtumbayanaaiachenjiayake,namtuasiyehakiaachemawazoyake,NaamrudieBwana,nayeatamrehemu;naarejeekwaMunguwetu,nayeatamsamehekabisa.’‘Nimeyafutamakosayakokamawinguzito,nadhambizakokamawingu”(Isaya55:7,44:22)”Maanamimisifurahiikufakwakeyeyeafaye,asemaBwanaMUNGU;basighairini,mkaishi,”(Ezekiel18:32)ShetaniyutayarikuibaahadizaMunguzenyeheri.Anatakakuchukuakilamwangawatumaininakilamwangawamiangakutokamoyoni,lakinisilazimatumruhusuafanyehivyo.Usisikilizemnenaji,lakinianasema,”Yesuamekufailinipatekuishi.Ananipenda,walahakutakanipotee…NinaBabawambingunimwenyehuruma,naingawabarakaalizonipazimeharibiwa,nitaondokanitakwendekwababayangunakumwambia,Baba,nimekosajuuyambingunambeleyako;sistahilikuitwamwanawako.Nifanyekamammojawawatumishiwako.’Nakwambia!jinsiMwanampotevualivyopokelewa,“Alipokuwaangalimbali,babayakealimwona,akamwoneahurumaakaendambioakamwangukiashingoniakambususana.’’(Luka15:18-20)

Lichayamfanohuu,haujafikiriahurumanamgusokamahuuulivyo;hurumaisiyokuwanamwishoyaBabawaMbinguni.Babaasemahivikupitianabiiwake,”Naamnimekupendakwaupendowamilele,ndiyomaananimekuvutakwafadhilizangu.”(Yeremia31:3)WakatimwanampotevualitangambalinanyumbaniyaBabayake,akaharibumaliyakekatikanchiyambali,moyowababaungalinaupendo;nakilatamaaikaamukanafsinimwakeiliamrudieMungu,aliomba,RohomtakatifuakimsihiamchocheerohowaupendowaBaba.MbeleyakokukiwanaahadinyingizaBibilia,unawezakutoanafsiyenyeshaka?Je!unawezakuaminikwamba,mwenyedhambiapendapokurejea,nakutamanikuondokakwenyedhambizake;Bwanahumzuiakabisakurudimiguunipakekwatoba.Lahasha!

Ondoawazokamahilikabisa.HakunajambokamahililinalowezakuizuiarohoyakomwenyewedhidiyamamboyakuvutiakamahayoyaBabayetuwaMbinguni.

Yeyeanachukiadhambilakiniwenyedhambianawapenda.Kristoalijitoamwenyewekamamtuwawoteambaowangewezakuokolewawawekielelezochaufalmewautukufu.NilughaganizaidiauBarakakatikazaburiingewezakutumiwakulikoaliyoichaguakuonyeshaupendowakekwetu?Asema”Jemwanamkeawezakumsahaumtotowakeanyonyaye,hataasimuhurumiemwanawatumbolake?Naamwanawezakusahau,lakinimimisitakusahauwewe”(Isaya49:15)

AngalianinyimlionamashakanakutetemekakwamaanaYesuanaishikutuombea.AsanteMungukwaajiliyazawadi

yamwanaompendwa.Rohoanakualikahivileo“njookwakeYesukwamoyowakowote’’naunawezakudaiBarakazake.Unaposomaahadihiikumbukanimfanowaupendousionashakanawahuruma.Moyomzuriwaupendousionamwishounavutiwakwamwenyedhambinahurumaisiyonamipaka.“Katikayeyehuyo,kwadamuyake,tunaoukomboziwetu,msamahawadhambi.’’(Waefeso1:7)HilindilotumainikwambaMungundiyemsaidiziwako.Anatakakurejeshamabadilikoyaumbolakekwamwanadamu.Ukimkaribishakwakuungamanakutubuatakukaribiakwarehemanamsamaha.“Watotowanguwadogo,ninawaandikiahayailikwambamsitendedhambi.MtuakitendadhambitunayeMwombezikwaBaba,YesuKristomwenyehaki.Nayekipatanishokwadhambizetu;walasikwazetutu,balinakwadhambizaulimwenguwote.Nakatikahilitwajuayakuwatumemjuayeye,ikiwatunashikaamrizake.Yeyeasemaye,Nimemjua,walahazishikiamrizake,nimwongo,walakwelihaimondaniyake.Lakiniyeyealishikayenenolake,katikahuyoupendowaMunguumekamilikakwelikweli.Katikahilitwajuayakuwatumondaniyake.Yeyeasemayeyakuwaanakaandaniyake,imempasakuenendamwenyewevilevilekamayeyealivyoenenda.’’(1yohana2:1-6).

HatuwezikuzitunzasheriazaMungukwanguvuzetuwenyewe.TunapomkubaliYesunakumpokea,Rohomtakatifukatikamaishayetu,basitunaouwezowakusimamadhidiyamajaribuyapepowachafu.

Haleluyah!Bwanaahimidiwe!Jaribuhalikuwapataninyi,isipokuwalililokawaidayawanadamu;ilaMunguni

mwaminifu;ambayehatawaachamjaribiwekupitamwezavyo;lakinipamojanalilejaribuatafanyanamlangowakutokea,ilimwezekustahimili.’’(1Wakoritho10:13)Nasasawatotowadogo,kaenindaniyake,ilikusudi,atakapofunuliwa,mwenaujasiri,walamsiaibikembelezakekatikakujakwake.Kamamkijuayakuwayeyenimwenyehaki,jueniyakuwakilaatendayehakiamezaliwanayeye.’’(1Yohana2:28-29)Watotowadogo,mtunaasiwadanganye;atendayehakiyunahaki,kamayeyealivyonahaki.’’(1Yohana3:7).

“KilamtualiyezaliwanaMunguhatendidhambi,kwasababuuzaowakewakaandaniyake;walahawezikutendadhambi.KwasababuamezaliwakutokananaMungu.’’(1yohana3:9).

TunapatanguvuyakufanyahakiwakatiRohomtakatifuanakujakatikamaishayetu.Piakwamanenomengine,kwanza“kupokeahakiyake’’,pili“kukubaliwananeemakupitiaImani,nabaadayahaponguvuzakufanyahaki,Kwanjiahiitunawezakuwamashahidiwakewakuzaamatundayarohokatikamaishayetu.Hatahivyokulingananaahadiyake,tunatazamianambingumpyaambayohakiyakeinakaahumo.Kwahiyowapenziwangu,kwasababumnatazamiamambohayo,jitienimkapatikanekwaAmanikamilifu(2petro3:13-14)

KanunizaBibiliazaUponyajiKwawaleambaowanaorejeshaaukuifadhiafyazao,kunafundishokatikanenotakatifu,‘’Tenamsilewekwamvinyo,ambamomnauzinifu;balimjazweroho.”Waefeso

5:18.Siokwamsisimkoauusahaulifuuletwaonaupotovuauvichokoovisivyonaafya;siokwakufurahishauchuuliopunguaautamaandipoupatikaneuponyajiwakweliauburudikokwamwiliaunafsi.MiongonimwawagonjwakunawengiambaohawanaMungunahawanatumaini.Wanatesekakutokananahamuzisizoridhisha,tamaachafunakuhukumikadhamirizaowenyewe.Wanapotezamsimamowaokatikamaishahayanakutokuwanatumainilamaishayajayo.Hebuwanaowashugulikiawagonjwahawawasitumainiewala,wauminiwasiwenamatumainiyawangonjwakuwafaidiwagonjwahawakwakuwaruhusukwarahazamisisimko.Hizindiozimekuwalaanayamaishayao.Nafsiilionanjaa,nakiu,itaendeleakuwananjaanakiumradituipatekuridhishwa.WaleambaowanakunywakatikaChemichemiyayaanasazaubinafsiwanajidanganya.Hukoseakwakudhaniauchangamfuhuondionguvu,nawakatimsisimkounaisha,usukumiziwaounakoma,nakuachwabilakuridhikakudalilishwa.

Amaniyakudumu,pumzikolakwelilaroho,hasaunachanzokimoja.HiindioKristoalinenaaliposema,“Njoonikwanguninyinyotemsumbukaonawenyekulemewanamizigo,naminitawapumzisha.’’Mathayo11:28.“Amaninawaachieni;amaniyangunawapeni;niwapavyomimisivyokamaulimwenguutoavyo.’’Yohana14:27.AmanihiisiokituambachoYeyehutoapasipokuwanayeyemwenyewe.NikatikaKristotu,tunawezakuipatakwakumpokeaYeye.Kristondiyechemichemiyauzima.Kileambachowengiwanahitajinikuwanaelimusafikumhusu;wanahitajikuwawavumilivunawapole,tenawabidii,kufundishwajinsi

kiumbekizimakinawezakuwekwawazikwamawakalawauponyajiwambinguni.WakatimwangawajualaupendowaMunguunaangaza,vyumbavilivyotiwagizavyanafsi,uchovuusionapumziko,nakutotosheka,kutaishanashangwezakuridhishakutiajuhudinguvunaafyananguvukwamwili.

SisitukokatikaulimwenguwamatesoMagumu,majaribu,nahuzuni,hivivyotevyatungojeasisinjianikotekuingiamakaoyambinguni.Lakinikunaowengiambaohufanyamizigoyamaishakuwamizitomaradufukwakutazamiashidawakatiwote.Ikiwawatapatwanamasaibunayakwambamatatizoyaondiomagumukulikoyote,kwahivyowanauhakikayawaowanahitaji.Hivyowaohujileteaumaskiniwenyewenakuelekezalawamazotekwawotewanaowazunguka.Maishayaoyenyeweinakuwanimzigokwao.Nahaistahilikuwahivyo.Itagarimujuhudinyingisanakubadilimawazoyaoyasasa.Hatahivyomabadilikoyanawezakufanyika.Furahayao,yotekwamaishahayanamaishayajayo,inategemeawaokukazamawazoyaokwavituvyakufurahisha.Hebuwasiitazamepichayagiza,ambayonidhania,kwafaidaambazoMunguameziangazakatikamapitoyao,nazaidiyahayayote,yaleyasioonekananayamilele.

Kwakilajaribu,Munguametoamsaada.WakatiWaisraelkulejangwaniwalifikiamajimachunguyaMara,MusaalimliliaBwana.NayeBwanahakutoadawampya;Yeyealiitishakilichokuwamkononi.MumeaambaoYeyealiyouumbaulitupwakwenyechemichemikuyafanya

majiyawemasafinamatamu.Hilililipotimilika,watuwalikunywamajihayawakafarijika.Katikakilajaribu,ikiwatutamtafutaYeye,Kristoatatupamsaada.Machoyetuyatafunguliwailikupambanuaahadizauponyajizilizoandikwakatikanenolake.RohoMtakatifuatatufundishajinsiyakujitwaliakilabarakaambazozitakuwadawakwamasikitikoyetu.Kwakilanenouchunguambalolimewekwakwenyemidomoyetu,tutapatatawilauponyaji.

Haitupasikuruhusunataabuzawakatiujaonataabuzakenamatarajioyakeyasioridhibisha,kufanyamioyoyetuizimie.Magotiyetuhutetemeka,mikonoyetuhuninginiachini.“AuazishikenguvuZangu,’’asema“Naam,afanyeAmaninami;naatafanyaAmaninami.”Isaya27:5.WaleambaowanaosalimishamaishayaokwauongoziWakenakwaibadayakehawatawekwakatikanafsiambayohawajaandaliwa.Hatahaliyetuiweje,ikiwasisiniwatendajiwanenoLake,tunayemwelekeziwakutuongozanjiazetu;hatamatatizoyetuyaweje,tunayemshauriwahakika,hatahuzuni,msiba,auupweke,tunayerafikiatuhurumiaye.

Ikiwakwaujingawetutunakoseakatikamienendoyetu,Mwokozihatatuacha.Hatutahitajikujihisikuwatupekeyetu.Malaikanimarafikizetu.WafarijiambaoKristoaliahidikuwatumakwajinaLakeiliwakaepamojanasi.KwanjiainayoelekeaMjiwaMunguhakunamatatizoambayohawatayashindawalewanaomwaminiYeye.Hakunahatariambazohawawezikuziepuka.Hakunahuzuni,machungu,uchafuwakibinadamu,ambaohaujaandaliwadawa.

Hakunawenyehajayakujizuiawaowenyewekwamashakanakukatatamaa.Shetanianawezakukukujiawewenamashaurimabaya,“Haliyakohainamatumaini.Hauwezikukombolewa.“BalikunatumainikwakokatikaYesu.Munguhawezikutuambiatuyashindekwanguvuzetuwenyewe.AnatusihitukaribiesanaupandeWake.Hatayawematatizokazini,ambayoyanafinyiliachininafsinamwili,Yeyehutungojeatukutuwekahuru.

YeyealiyechukuaubinadamujuuyakeMwenyewe,anajuajinsiyakuhurumiamatesoyabinadamu.NiKristotuanayejuakilanafsi,namahitajiyapekeenamajaribuyanafsihiyo,piaanajuahalizoteambazohuchukizanakutiarohomashaka.Mkonowakeumenyoshwakatikawepesiwamasikitikokwakilamtotoanayeteseka.WalewanaoumiasanandiowalionahurumazamasikitikoYake.Yeyehuguzwana`hisiazamaovuyetu,naangependesisikuyawekeleamashakanashidazetumiguuniPakenakuziachapale.

Siojambolabusarakujijaliawenyewenakuchukuahisiazetu.Ikiwatutafanyahivyo,Yuleaduiatatuleteamatatizonamajaribuambayoyatalegezaimaniyetunakuangamizaujasiriwetu.Kuziruhusuhisiazetundiokukaribishamashakanakijiingizakwenyematatizosisiwenyewe.InatupasakuachakujiangaliawenyewekwakumtazamaYesu.Wakatimajaribuyanatuzidi,ampapomasumbufu,mashakanagizavinaonekanakuzungukanafsiyako,angaliamahalipamwishokuionanuru.TuliakatikaupendowaYesunakuwa

chiniyauangalifuwaulinziWake.Wakatidhambiinang’ang’anakukutawalamoyo,hatakuilemeanafsinakuwamzigokwadhamiri,akilikutandwanawingulakutoamini,kumbukayakwambaneemayaYesuyatoshakushindadhambinakuliondoagiza.TuingiapoushirikanamwokozihuwatunaliingiaeneolaAmani.

AhadizaUponyaji

“BWANAhuzikomboanafsizawatumishiwake,NahakunammojawaoamwaminiyeYeyeatahukumiwa,”Zaburi34:22.“KwakumchaBWANAniujasiriimara,’NawatotoWakewatakuwanamahalipakimbilio.’’Mithali14:26.“Sayunialisema,YEHOVAameniachana,BWANAamenisahau,Je!mwanamkeawezakumsahaumtotowakeanyonyaye,Hataasimuhurumiemwanawewatumbolake?Naam,hawawawezakusahau,lakiniMimisitawasahau.Tazama,MiminimewachorakatikaviganjavyamikonoYangu.’’Isaya49:14-16ARV

“Usiogope,kwamaanamiminipamojanawe;usifadhaike,kwamaanamiminiMunguwako;nitakutianguvu;nitakutianguvu;nitakusaidia;Naam,nitakushikakwamkonowakuumewahakiYangu.’’Isaya41:10“EnyimliozaliwaNamitanguutotoni;MliochukuliwamimbaNamitangutumboni;HatauzeewenuMimindiyeYule;

Hatawakatiwamviwenunitawachukueni;Nitachukuwa,nanitawaokoeni.”Isaiya46:3-4

Hakuna la ziaida l iwezalo kuchangia utunzaj wa afya ya mwil i na nafsi kul iko ifanyavyo roho ya shukrani na masif io. Ni wajibu wa hakika kujizuia na huzuni, mawazo na hisia zisizoridhisha- wajibu sawa na huo wa kuomba. Ikiwa tunasafir i mbinguni,tutaendaje kama kundi la waombolezaji ,vi l io vya machungu na manunguniko nj ia kote hadi nyumbani mwa Baba? Wale wanaodai ni wakristo ambao daima ni kunungunika, na kuonekana kuwazia kuwa uchangamfu na unyemi ni dhambi, hawana dini ya kweli .Wale wanaochukulia anasa ya majonzi kwa yote yal io ya kusikit isha katika ul imwengu wa asi l i , wanaochagua kuyatazama majani yal iokauka kuliko kuyakusanya maua mazuri yal io hai,hawaoni uzuri katika vi lele vya mil ima ya fahari na kwenye mabonde i l iyovalishwa ki jani kibichi, wakifungia hisia zao sauti ya shangwe ambayo inazungumza nao kwa asi l i ,tamu na yenye mlio mzuri kwa sikio l is ikialo—hawa hawamo ndani ya Kristo. Wenyewe wanajikusanyia huzuni na giza,wakati wanastahil i wapate wangavu, hata jua la haki l ikizuka mioyoni mwao na uponyaji katika miale Yake. Maranyingiakiliyakoinawezamavundekwasababuyamaumivu.Basiusijaribukutafakari.UnajuakwambaYesuanakupenda.Anaelewaudhaifuwako.UnawezatukufanyamapenziYakekwakupumzikamikononimwake.

Nisheriayaasilikuwamawazonahisiazetuhutiwamoyonakupatanguvutunapozipeausemi.Wakatimaneno

yanaelezamawazo,nikwelivivyondivyomawazohufuatamaneno.IkiwatungalitoauonyeshozaidikwaImaniyetu,tungalishangiliazaidikwaBarakatulizonazohivisasa,-rehemanaupendoMkuuwaMungu,-inafaatuwenaImanizaidinafurahakuu.Hakunalughainayowezakuelezea,hakunawazolamwisholinalowezakufahamu,barakaambazomatokeoyakeyatokananakukubaliulewemanaupendowaMungu.Piahapadunianitunawezakuwanafurahakamamto,usioishamajiyake,kwasababuunazidishwanavijitovibubujikavyokutokakwaenziyaMungu.

BasiachenituelimishemioyonamidomoyetukunenasifazaMungukwamaanaupendoWakenimwingi.HebutuelimishenafsizetukutumainiakukaandaniyamwangaungaaotokamsalabawaKalwari.KamwetusisahaukwambasisiniwatotowaMfalmewambinguni,WananaBintiwaBwanawamajeshi.NifursayetukudumishautulivustarehekatikaMungu.

“AcheniamaniyaKristoitawalemioyonimwenu;….tenaiweninashukrani.”Wakolosai3:15.Kwakusahaumatatizonashidazetuwenyewe,hebutumsifuMungukwanafasiyakuishikwaajiliyautukufuwajinalake.AchabarakampyazakilasikumpyazichocheesifandaniyamioyoyetukamaamanayauangalifuwaupendoWake.Unapofunguamachoyakoasubuhi,mshukuruMungukwakukulindausikuwote.Mshukurukwaamaniyakemoyoni

mwako.Asubuhi,mchananausiku,basishukranikamamanukatoyakupendezaipandejuumbinguni.

Mtuatakapokuulizajinsiunavyojihisi,usijaribukuwaziajambolakusikitishakwausemiiliupatekuhurumiwa.Usizungumzieukosefuwakowaimani,nahuzuninamatesoyako.YuleMjaribuhufurahiasanakusikiamanenokamahayo.Unapoongeleahofuzamajonzi,huwaunamtukuzayeye.HatustahilikuishikwanguvukuuzaShetanikwakutushindasisi.Maranyinyihuwatunajitiawenyewemikononimwakekwakuzungumziajuuyanguvuzake.HebubadalayaketuzungumzienguvukuuzaMunguhatakushikanishamapenziyetuyotepamojanaYake.ElezeanguvuzaKristozisizonakifani,nakuzungumziautukufuWake.Mbinguyoteinapendezwanawokovuwetu.MalaikawaMungu,maelfunamaelfu,nakumielfumarakumielf,wamekabidhiwakuhudumiawaleambaowatakuwawaridhiwawokovu.Wanatulindadhidiyamaovunakuzisukumilianyumanguvuzagizaambazozinatafutakutuharibu.Je!hatunasababuyakushukurukilawakati,shukranihatawakatikunashidazilizowazikatikanjiazetu?

ImbeniZaburi

Hebusifanashukranizinenwekatikawimbo.Tunapojaribiwa,badalayakunongoneahisiazetu,hebukwaImanitumwinulieMunguwimbowashukrani.

TunakusifuWewe,EeMungu,kwaMwanawaupendowako,-KwaYesualiekufanasasaamepaajuu.

TunakusifuWewe,EeMungu,kwaRohoWakowanuru,NaniametuonyeshaMwokoziwetu,nakutawanyausikuwetu.UtukufuwotenasifakwaMwanakondooaliyeuwawa,Aliyezichukuadhambizetuzote,naamesafishakilauchafu.UtukufunasifazotekwaMunguwaneemayote,

Ambayeametununua,nakututafutanakutuongozanjiazetu.Tuhuishetena;jazakilamoyokwaupendoWako;Herikilanafsiiwashwetenakwamotoutokaojuu.Itikio:

Halleluyah!Utukufuwako,Halleluyah!Amen;

Halleluyah!Utukufuwako,Tuishetena.Wimbonisilahaambayotunawezakutumiakilawakatidhidiyakukatatamaa.TunapofunguamoyokwamwangawajualauwepowaMwokozi,tutakuwanaafyanabarakaZake.“MshukuruBWANA,kwakuwanimwema,

Kwamaanafadhilizakenizamilele.NawasemehiviwaliokombolewanaBWANA,walealiowakomboanamkonowamtesi.

Mwambieni,mwimbienikwazaburi,Zitafakariniajabuzakezote.Jisifunikwajinalaketakatifu,NaufurahimoyowaowamtafutaoBwana,

“Maanahushibishanafsiyenyeshauku,Nanafsiyenyenjaahuijazamema.Waliokaakatikagizanauvuliwamauti,Wamefungwakatikataabunachuma;....WakamliliaBWANAkatikadhikizao,Akawaponyanashidazao.Aliwatoa

katikagizanauvuliwamauti,Akayavunjamafungoyao.NawamshukuruBWANAkwafadhilizake,Namaajabuyakekwawanadamu!”Nafsiyangu,kwaninikuinama,Nakufadhaikandaniyangu?UmtumainiMungu;Kwamaananitakujakumsifu,Aliyeafyayausowangu,NaMunguwangu.”Zaburi107:1,2,3,107:9-15;42:11,“Shukurunikwakilajambo;maanahayonimapenziyaMungukwenukatikaKristoYesu.”1Wathesalonike5:18

Amrihiinihakikishokwambapiamamboyanaonekanayokuwadhidiyetuyatatumikakwamanufaayetu.Munguhatuagizisisikushukurukwayaleyatakayotuadhiri.

“Bwananinuruyangunawokovuwangu,Nimwogopenani?BWANAningomeyauzimawangu,Nimhofunani?’’Katikasikuyataabuatanistirishabandanimwake;Atanistirikatikasitarayahemayake;…….

Naminitatoadhabihuzashangwehemanimwake;Nitaimbanaam,nitaziimbasifakwaBWANA.’’

NilimngojaBWANAkwasubira,Akaniinamiaakasikiakiliochangu.

Akanipandishatokashimolauharibifu.Ametiawimbompyakinywanimwangu,NdiosifazakeMunguwetu.Wengiwataonanakuogopa,NaowatamtumainiBWANA.

BWANAninguvuzangunangaoyangu;

Moyowanguumemtumaini,Naminimesaidiwa;Basi,moyowanguunashangilia,Nakwawimbowangunitamshukuru.’’Zaburi27:1,27:5,6RV,40:1-3,28:7

Mojawapoyavizuizivilivyohakikakwakuponakwawagonjwanikuelekezamawazoyaoyotekwaowenyewe.Wagonjwawengihujihisikuwakilamtuanapasakuwaoneahurumanakumsaidia,ilahaliyenyewanahitajinikutokujielekezeamawazoyaoyote,piawafikirienakuwajaliwengine.

Maranyingimaombihuwafarajakwawaathiriwa,waliojihurumia,waliovunjwamoyo;nahivyonisawa.

YatupasakuombayakwambaMunguamwagenurukatikamawazoyaliotiwagizanatuwezekuifarijimioyoiliosononeka.LakiniMunguhujibumaombiyawalewanaojitiakwenyenjiayamibarakaYake.Hukututoamaombikwahawawaliosononeka,tunapasakuwahimizawajaribukuwasaidiawalewalionauhitajizaidikuwalikowao.Nahapogizalitaondolewatokamioyonimwaowanapojaribukuwasaidianawengine.Tutafutapokufarijiwenginekwafarajatunafarijiwanayo,nasipiahufarijika,namibarakahiyohuturudiasisiwenyewe.

SurahioyahamsininananeyaIsayanidawakwaugonjwawamwilinanafsi.Ikiwatunatakaafyaboranafurahayakweliyamaishanishartikuzizoeasheriazilizopeanwakatikamaandikohaya.IbadainayokubaliwaNayekilawakati,namibarakayake,BWANAasema:

‘’Je!siyokuwagawiawenyenjaachakulachako,Nakuwaletamaskiniwaliotupwanjenyumbanikwako?

Umwonapomtualiyeuchi,umvikenguo;walausijifichenamtumwenyedamumojanawe?Ndiponuru

yakoitakapopambazukakamaasubuhi,naafyayakoitatokeamara;nahakiyakoitakutangulia;utukufuwaBWANAutakufuatanyumaakulinde.Ndipoutaita,naBWANAataitika;utalia,nayeatasema,Mimihapa.Kamaukiondoanira;isiwepokatiyako,walakunenamaovu;nakamaukimkunjuliamtumwenyenjaanafsiyako,nakuishibishanafsiiliyoteswa;ndiponuruyakoitakapopambazukagizani;nakiwichakokitakuwakamaadhuhuri.NayeBWANAatakuongozadaima,ataishibishanafsiyakomahalipasipokuwanamaji,nakuitianguvumifupayako;naweutakuwakamabustaniiliotiwamaji,nakamachemichemiambayomajiyakehayapungui.’’Isaya58:7-11Matendomemanimibarakamarambili,mtafaidikawotemtoajinampokeajiwotesawa.Ufahamuwakutendahakinimojawapoyadawaborakwamiilinaakili.Wakatiakiliikohurunakufurahikutokananahisiayajukumulililofanywavizurinaridhikokwakutoausemikwawengine,mvutouinuayofurahayamoyohuletamaishamapyakwamwilimzima.

Hebuwagonjwa,watafutekutoahurumakwawenginebadalayawaokuendeleakutakawahurumiwe.HebuupeanemizigoyaudhaifuwakonahuzuninamaumivukwaMwokozimwenyemwingiwahuruma.FunguamoyowakokwaupendoWake,nauwacheububujikekwawengine.Kumbukakuwawakowengiwenyemajaribuambayonimagumukuyabeba,majaribumagumukuyapinga,naunawezakufanyajambo,ilimizigoyaoiwe

miepesi.Toashukranikwamibarakaulionayo;onyeshauthamaniwamapokeounayoyepewanawengine.

FanyamoyowakoujaekwawingiwaahadizathamanizaMungu,iliutoekwenyehazinahii,manenoyatakayokuwafarajananguvukwawengine.Hayayatakuzingiranakuwanamazingiraambayoyatakuwamsaada,kwawotenahatawatuwajamiiyakonawengine.

Ikiwawalewanaotesekakutokananaafyambayawangesahauubinafsikwamasilahiyawengine;kamawangelitimizaagizolaBwanalakuwahudumiawalionauhitajizaidikulikowao,wangelitambuaukweliwaahadiyaunabii.‘'Ndiponuruyakoitakapopambazukakamaasubuhi,naafyayakoitatokeamara.’’

BarakazaHakika

Barakazahakika;Yesuniwangu!

Ee,maonjihayautukufuwakiungu’

Mridhiwawokovu,ununuziwaMungu,

UliozaliwanaRohoWake,kuoshwakwadamuYake.

Chorus

Hiinihadithiyangu,huundiyowimbowangu,

Namsifumwokoziwangusikunzima

Hiinihadithiyangu,huundiowimbowangu,

Nijitoaponihakika,furahanikamilifu,

Njozizaunyakuzikufunuliwambeleyangu.

Malaikawanashukakutokajuu

Miangwiyarehema,yanongonaupendo.

Nijitoaponihakika,yoteyametulia,

Katikamwokoziwangu,ninafurahanabarikiwa,

Kukeshanakungoja,natazamajuu,alijazwanawema

Najazwanawemawake,nimezakatikaupendowake.

Fanny.jCrosby.Yametokakwakitabu‘’HudumayaUponyaji’’naElenGWhitepg247-258

SisisotetunahitajiuponyajikutokakwaBwana!

NiYesupekeeanawezakutupahurumanauponyajihuuwakweli.Ilikuwakaziyakekutuokoanakilakitukinachoua.Anasema;RohowaBwanayujuuyangu,kwamaanaamenitiamafutakuwahubirimaskinihabarinjema.Amenitumakuwatangaziawafungwakufunguliwakwao,Navipofukupatakuonatena.Luka4:18

KunawatotowengiwaMunguambaoleohiiwanashambuliwanaShetani.Mashambuliziyakenimagumunamakali.MashambulizihayayanawezakujamojakwamojakutokakwaShetani,lakinipiakutokakwafamilia,marafiki,mamlakayaleonadini.

Inawezakuwalughambaya,kimwiliaukisaikolojia,nguvuyapombe,madawayakulevyapiayanaweza

kutumiwa,iliakiliyakawaidaiharibiwenainawezakuharibiwa.

KuvunjwamoyonagizavinawezakujajuuyetunakamawatotowotewaMunguwanashidwa,basiitakuwagiza.LakiniBwanahataruhusutuwenamajaribumakubwazaidikulikoyaletunayowezakuyashugulikia.TukimwitiaBwanaatatujibunakutuokoa.Ikiwatukokatikagizakubwanahatuwezikuonanjiayoyote,yeyeatatupamionziyamwangananguvutunayohitajiilikututetea.

Anavikosivyamalaikaambaowanawezakujakutusaidia.Yesuanatamanikutuwekahurunaudhalimuwadhambi,usisahaukwambamalaikaninguvuzaYesunanikubwakulikonguvuzapepo.

UsisahaukwambamalaikawaMunguniwenyenguvukulikomalaikawapepo.Yesuanasema,‘’Nimepewamamlakayotembinguninaduniani.’’Mathayo28:18.YeyehuwananguvukidogolakinihananguvuzotekamaMungumwenyenguvu,kamamuumbanaaliyeumbwatena.

TukiwakwaBwanakamamuumbanaaliyeumbatena,TukiwakwaBwanatunanguvunatunapogeuzamguukwamsalabaingawa,tukokatikagiza,atatupaAmanikamiliyaakili,ushindikamilinauhuru.

InatupasakufahamuhiliilituwenaImaninakishaatatupaAmani,nakupumzikandaniyake!Watotowanuruhuletanurugizanilakinihawatabakigizani.

Lazimaturuhusumwangakuangazagizani,KwafurahanakwaujasirikuwapawenginenurutuliopokeakutokakwaBwana.

WakatihuohuotunapaswakuonyeshahurumaNaKwawenginelazimatufanyekaziKwaupendousionaubinafsi.Kwawenginenitiba,hutoauponyaji.Je!WewenamimitupatekipimokikubwacharohowaMungunanguvukatikamaishayetu,ilituwewatumishiwawatumishiwenzetu.

Kwawalewaliokaribunasisituonyeshewema,hurumanaupendokwawote,awerafikiauadui.

Je!upendowaYesuutujazewoteilituwezekuifunuatabiayakekatikamaishayetunahivyokuwamashahidiwauzimakwaajiliyake!

Kwasalamuzakirafiki

AbelnaBentestruksnes.

top related