annuur 1137

17
ISSN 0856 - 3861 Na. 1137 SHAWWAL, IJUMAA , AGOSTI 8-14, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu www.annuurpapers.co.tz Mapinduzi Daima hayana maana ikiwa hatuna Z’bar Mansour aonja ‘Sunna’ ya Dunni, Maalim Pole mpiganaji. Jussa ahimiza utulivu, amani  MANSOUR Yussuf Himid. ISMAIL Jussa. Tunahitaji afya, uwezo na nafasi kutekeleza nguzo y a Hijja. Rasilimali hizi Ametupa Allah tuzitumie Anavyotaka Yey e. Hakuna mwenye uhakika wa kuka mwakani. Majuto mjukuu, unangoja nini? Usimwendekeze sh etani (iblis). Karibuni Ahlu Sunna wal Jamaa kwa mipango mizuri na huduma bora. Gharama zote ni Dola 4,500. Wahi kulipa uitakase mali yako na uboreshe Hijj a yako. Tafadhali wasiliana nasi: Tanzania Bara: 0655/0765/0682/0777 - 462022; Zanzibar: 0777468018/0685366141 /0657606708. (13) AFYA, UWEZO, NA NAFASI. ‘Mujahidina’ John McCain! Al-Shabab adui, lakini ISIS wa Iraq rafki! Sheikh Kilemile, Sheikh Abu Idd, mna kazi  JOHN Sidney McCain. SHEIKH Mohamed Idd. Uk. 4 Kazi iliyokuwa ikifanywa na Israel Gaza - kuua watoto - Uk. 9  Semina ya Kimataifa kufanyika Chuo Kikuu cha Waislamu Moro Rais Shein, Bilal, wageni rasmi Kujadili Epistemolojia ya Kiislam Wasomi wa Kimataifa kushiriki PROF. Hamza Njozi.

Upload: zanzibariyetu

Post on 12-Oct-2015

725 views

Category:

Documents


1 download

TRANSCRIPT

  • ISSN 0856 - 3861 Na. 1137 SHAWWAL, IJUMAA , AGOSTI 8-14, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamuwww.annuurpapers.co.tz

    Mapinduzi Daima hayana maana ikiwa hatuna Zbar

    Mansour aonja Sunna ya Dunni, MaalimPole mpiganaji. Jussa ahimiza utulivu, amani

    MANSOUR Yussuf Himid. ISMAIL Jussa.

    Tunahitaji afya, uwezo na nafasi kutekeleza nguzo ya Hijja. Rasilimali hizi Ametupa Allah tuzitumie Anavyotaka Yeye. Hakuna mwenye uhakika wa kufi ka mwakani. Majuto mjukuu, unangoja nini? Usimwendekeze shetani (iblis). Karibuni Ahlu Sunna wal Jamaa kwa mipango mizuri na huduma bora. Gharama zote ni Dola 4,500. Wahi kulipa uitakase mali yako na uboreshe Hijja yako. Tafadhali wasiliana nasi: Tanzania Bara: 0655/0765/0682/0777 - 462022; Zanzibar: 0777468018/0685366141/0657606708.

    (13) AFYA, UWEZO, NA NAFASI.

    Mujahidina John McCain!Al-Shabab adui, lakini ISIS wa Iraq rafi ki!Sheikh Kilemile, Sheikh Abu Idd, mna kazi

    JOHN Sidney McCain.SHEIKH Mohamed Idd.

    Uk. 4Kazi iliyokuwa ikifanywa na Israel Gaza - kuua watoto - Uk. 9

    Semina ya Kimataifa kufanyika Chuo Kikuu cha Waislamu Moro

    Rais Shein, Bilal, wageni rasmiKujadili Epistemolojia ya KiislamWasomi wa Kimataifa kushirikiPROF. Hamza Njozi.

  • 2 AN-NUURSHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 8-14, 2014AN-NUUR

    S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.

    www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected] zetu zipo: Manzese Tip Top

    Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    Tahariri/Habari

    WA I S L A M U W i l a ya n i K i b a b a , w a m e t a k i w a kujishajihisha katika kutoa michango, sadaka na zaka ili kuharakisha mipango yao ya kimaendeleo chini ya kituo chao cha Darul Arqam Leaning Centre.

    Wito huo umeto lewa na Mudir wa kituo hicho, Muhamed Tundia, wakati akitoa ripoti kwa Waislamu juu ya maendeleo na mipango pamoja na mikakati yao katika sherehe za Idd hivi karibuni.

    A l i s e m a , Wa i s l a m u wanapaswa kutambua kuwa chanzo kikubwa cha uchumi katika Uislamu ni sadaka na zaka pamoja na kujitoa kikamilifu kwa nafsi zao na mali zao na kwamba, kufanya hivyo watapiga hatua kwa haraka.

    C h a n g a m o t o k u b wa kwetu katika kukamilisha mipango yetu ni uchumi, kwani kuna ugumu katika upatikanaji wa fedha kufikia malengo, hata hivyo lazima m u e l e we k u wa c h a n z o kikubwa cha uchumi katika Uislamu ni sadaka na zaka. Alisema Mudir Tundia.

    Alisema maendeleo yote yanayopangwa, utekelezaji wake unategemeana na

    Waislamu Kibaha wajipanga kwa maendeleo ya kijamii

    Walaani unyama wa Israel huko GazaNa Bakari Mwakangwale

    Waislamu wenyewe jinsi wa t a k a v y o a m u a k u t o a kwa wingi na kwa wakati ili mambo yaende haraka n a k w a m b a , v i o n g o z i wanatakiwa kuonyesha uadilifu kwa kusimamia k u h a k i k i s h a Wa i s l a m u wanafika pale walipokusudia.

    Akizungumzia maendeleo ya eneo lao la ardhi la Mwanalugali, Mudir Tundia a l i sema kwamba sua la hilo lilishafikishwa katika Halimashauri ya Mji (Kibaha)

    kwa lengo la kupata vibali ili liweze kufanywa kituo cha elimu.

    A l i s e m a e n e o h i l o l i m e s h a p i m w a n a Halmashauri ya Mji huo na kwamba hivi sasa linaitwa Boko Timiza (Block D, No. 103), na wapo mbioni kupata hati miliki na kukamilisha masuala ya RITA.

    Aliongeza kuwa ardhi waliyonayo, wameipata kupitia nguvu za Waislamu

    Mudir wa kituo Darul Arqam Leaning Centre, Muhamed Tundia.

    SIKU chache kabla ya kurejea vikao vya Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma, gumzo kubwa kwa Watanzania lilikuwa juu ya hatima ya Bunge hilo, kufuatia mpasuko m k u b w a u l i o t o k e a miongoni mwa wajumbe wa Bunge hilo, uliotokea k a t i k a m k u t a n o wa kwanza wa Bunge hilo kabla ya kuahirishwa kupisha vikao vya Bunge la Bajeti.

    Mpasuko uliotokana na hitilafu katika kujadili rasimu hususana katika kifungu kilichozungumzia muundo wa serikali katika m u u n g a n o , a m b a p o wabunge wanaounda kundi la Umoja wa Katiba ya Watanzania wanaunga m a p e n d e k e z o y a muundo uliopendekezwa katika katiba ambao ni serikali tatu, yaani ya Zanzibar, Tanganyika na ya Muungano. Lile la Wabunge wa CCM na washirika wao wanaojiita Ta n z a n i a K w a n z a , wakipinga mapendekezo katika eneo hilo, wakitaka muundo wa serikali mbili ubakie kama ulivyo katika katiba ya sasa.

    Kwa kifupi pamoja na mambo mengine, jambo hili la kihitilafiana katika muundo wa serikali katika muungano, ndio chimbuko la baadhi ya wajumbe kususia vikao vya Bunge hilo.

    Wakat i Bunge h i lo likirejea vikao vyake Agosti 5, wajumbe wa Upande wa UKAWA wameendelea kusimamia msimao wao wa kutoshiriki katika vikao vya Bunge hilo, hadi pale pendekezo muhimu la muundo wa serikali katika rasimu litakapoachwa kwa ajili ya kujadiliwa ili kuboresha na sikubadilisha kipengele hicho cha rasimu na kukifanya cha serikali mbili, kipengele ambacho kimeonekana kuwa msingi muhimu zaidi wa rasimu hiyo.

    Hata hivyo, wakati siasa za nchi hivi sasa zikitawaliwa na mijadala ya Rasimu ya Katiba Mpya, tayari yameibuka matukio mengine ambayo k wa m t a z a m o we t u , yanaonekana kuwa na

    Kesi ya Mansour, Sheikh Hadkuhamisha agenda ya Katiba?

    athari kwa kiasi fulani katika uga wa kisiasa nchini.

    Kwa kifupi tunaweza kusema kuwa gumzo kubwa kwa Watanzania kipindi hiki, ni kuhusu hatma ya hiyo Katiba Mpya inayojadiliwa huku kukiwa na mivutano na mpasuko mkubwa kati ya wajumbe wanaowakilisha wananchi na wananchi wenyewe.

    Kimsingi tunaweza kusema kwa jinsi hali ilivyo, suala la Katiba Mpya limeibua mzozo wa kisiasa hapa nchini. Mzozo ambao hai jafahamika suluhu yake kwa kuwa hakuna hatua zilizochukuliwa n a wa h u s i k a k u l e t a maafikiano, badala yake, wapo wanaoona bora liende ilimradi vikao vinaendelea kama ilivyopangwa.

    Hata hivyo, wakati kukiwa na mzozo wa kisiasa juu ya rasimu ya Katiba Mpya, tayari tumeshuhudia yakitokea matukio mengine, ambayo nayo yana mtizamo wa kisiasa pia.

    Tumeshuhudia Waziri wa zamani wa Serikali ya Zanzibar, Mansour Yusuph Himid, akifikishwa mahakamani Zanzibar akikabiliwa ma mashitaka ya kukutwa na bunduki na risasi.

    Tunakumbuka kwamba Bw. Mansour alifukuzwa u a n a c h a m a k a t i k a Chama cha Mapinduzi na kuvuliwa Ubunge kwa kudaiwa kukiuka taratibu na kanuni za chama.

    L a k i n i m u h i m u l i n a l o k u m b u k w a n i k w a m b a k w a k i a s i kikubwa Bw. Mansour alikuwa akipigia chapuo kudai serikali kamili ya Zanzibar ikiwa ni pamoja na muundo wa Muungano wa serikali tatu, sera ambayo ni kinyume na msimamo wa CCM

    K u s h i t a k i w a B w . Mansour kumezua gumzo na hisia za kisiasa hususan Zanzibar.

    H a l i k a d h a l i k a , kiongozo wa taasisi ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislam Zanzibar, Sheikh Farid Ahmed Hadi na wenzake 19 walikamatwa na kufikishwa kat ika mahakama ya Hakim Mkazi Kisutu jijini Dar es

    Salaam. wakikabiliwa na tuhuma za ugaidi.

    Tunakumbuka namna viongozi wa Jumuia ya Uamsho, walivyokuwa mstari wa mbele katika kuwahubiria Wanzanzibar juu ya Zanzibar huru yenye serekali yenye mamlaka k a mi l i . Ama k u h u su M u u n g a n o U a m s h o walikuwa wakipendekeza k u we p o m u u n d o wa muungano wa mkataba. Yaani serikali ya Zanzibar, Tanganyika na Muungano wa mkataba.

    Fikra hizi za uamsho z i l i w a i n g i z a k a t i k a m t a f a r u k u m k u b w a Z a n z i b a r , k i a s i c h a kukabiliwa mashitaka ya uchochezi na kusweka ndani kule Zanzibar kabla ya kuachiwa kwa dhamana na kushinda baadhi ya kesi zilizokuwa zikiwakabili.

    Katika kesi ya Safari hii ya akina Sheikh Had kudaiwa kuwaingiza watu nchini kufanya ugaidi, p a m o j a n a k w a m b a makosa yanayodaiwa kutenda yalihusu zaidi upande wa Zanzibar, eneo la pili la Muungano, lakini wameshi takiwa bara ,

    bila shaka kwa sheria za Jamhuri ya Muungano.

    Mara kadhaa tumezoea kuona panapotokea tukio linagusa idadi kubwa ya watu na hususan linapoihusisha serikali, kunakuwepo na dhana ya kuhamisha agenda katika jamii ya Watanzania.

    Kwamba linapokuwepo tukio l ina lo t ik i sa na kugusa hisia za wananchi wengi na likaihusu zaidi serikali, basi inaaminiwa kuwa huwa kunabuniwa tukio mbadala ambalo l i t a w a s h u g h u l i s h a wananchi na kusahau kufuatilia hatma ya tukio lililotangulia.

    Tu n a v y o o n a , k w a kuwepo kesi za akina Mansour na Sheikh Hadi, ambazo zinaridima wakati huu wa kufuatililia hatma ya muswada wa Katiba Mpya Bungeni huku baadhi ya wajumbe wakishiriki na wengine wakisusia, kunaweza kuleta dhana hii ya kuhamisha agenda kama tulivyozoea.

    H a t a h i v y o k w a msimamo walio nayo akina Mansour na Sheikh Hadi

    kuhusu masuala haya ya kisiasa, kesi zao zinaweza kuongeza hisia zaidi juu ya katiba mpya, muungano na Zanzibar huru.

    Tunasema hivi kwa mfano, wengi wanahoji i w e j e S h e i k h H a d i ashitakiwe bara badala ya Zanzibar? Bila shaka watahusisha mazingira haya na hitilafu za sasa za kisheria katika muungano. Kwa maana hiyo bado wat aende lea k uweka mawazo juu ya katiba mpya, ambayo kimsingi w a n a a m i n i i n a w e z a kuondoa hitilafu za namna hii kama itapita kama ilivyopendekezwa.

    Kwa maana nyingine, kesi ya Sheikh Hadi, hasa kwa kushitakiwa bara badala ya kule anakodaiwa kutenda kosa ambako nako kuna mahakama huru, k u n a w e z a k u o n g e z a hisia zaidi za wananchi hasa Zanzibar, kuhitajika z a i d i m u u n g a n o u n a o p e n d e k e z wa n a rasimu ya Katiba Mpya kuliko kutimia dhana ya kuhamisha agenda.

    Inaendelea Uk. 3

  • 3 AN-NUURSHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 8-14, 2014Habari

    WAISLAMU wameelezwa kuwa ni wajibu wao kuzihifadhi amali njema walizozichuma katika ibada ya mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani uliomalizika hivi karibuni.

    Wito huo umetolewa na Ustadhi Rashid Mponda, katika hotba yake ya ibada ya swala ya Ijumaa aliyoitoa wiki iliyopita katika Msikiti wa Sunni, Kibaha Maili Moja.

    Lengo la kufaradhishiwa funga ya Ramadhani limetajwa na Allah (s w), hivyo kama tumeshanufaika nalo, lililo mbele yetu sasa ni kuwajibika kuhifadhi amali njema ambazo tumezichuma ndani ya mwezi wa Ramadhani. Alisema Ust. Mponda.

    Alisema vitendo ambavyo Allah (sw) anavipenda ni vile ambavyo mja anadumu navyo, lakini kinyume chake wapo Waislamu ambao wamejiwekea utaratibu

    I M E E L E Z W A k u w a mmomonyoko wa maadi l i uliokithiri katika jamii unatokana na watu kushindwa kufuata mwenendo wa maelekezo ya Mwenyezi Mungu na Mtume wake.

    Hayo ya mebainishwa na Ustadhi Ally Omari, mapema wiki hii akizungumzia hali ya mmomonyoko wa maadili katika jamii na mwenendo wa tabia njema.

    Al isema, h iv i sasa jami i inahangaika kila kona kujaribu k u z u n g u m z i a s u a l a l a mmomonyoko wa maadili na kulitafutia ufumbuzi wake bila mafanikio.

    Mmomonyoko wa maadili unapojitokeza katika jamii ni d a l i l i z a k u o n ye s h a wa t u w a l i v y o s h i n d w a k u f u a t a mwenendo wa yale tuliyoelekezwa na Mwenyezi Mungu na Mtume wake. Alisema Ust.Omari.

    Ust.Omari, alisema maasi mara nyingi huwa hayana mwisho mzuri kwani Mwenyezi Mungu aliweza kuwashushia adhabu watu katika umma zilizopita kwa kukithirisha maswi.

    Al isema, ukiona sehemu ambapo maadili yameporomoka, basi ujue kuwa hao watu hawana msimamo kwa maana watakuwa wameiweka dini pembeni na kutumia akili zao ili kuweza kuendesha mwenendo wa maisha yao.

    Ust. Omari alisema, matokeo yake ndio huu mmomonyoko wa maadili uliokithiri ambao unatafutiwa dawa lakini mpaka sasa hakuna dalili ya kupatikana kwa dawa hiyo nje ya mafundisho ya Mtume (s a w).

    Ili kuikabili hali hii, alisema ni bora jamii ikajikita katika kuamrishana mema na kukatazana mambo mabaya.

    Alisema, tayari Mwenyezi Mungu ameeleza kwamba umma huu unacho kigezo chema kutoka kwake, lakini umma wenyewe umekuwa ukitafuta ufumbuzi wa kuondoa mmomonyoko wa maadili nje ya kigezo hicho.

    Kwa hiyo pale tunapodai kwamba tunatafuta dawa za maadili mema nje ya kumfuata Mtume Muhammad hayawezi kupatikana katika sekta nyingine yoyote bali nusra ni kurejea mafunzo yake kama ambavyo M w e n y e z i M u n g u a l i v y o amrisha. Alisema Ust. Omari.

    Waislamu waaswa wasiitupe RamadhaniNa Bakari Mwakangwale wa kufanya ibada kwa msimu,

    Ramadhani hadi Ramadhani au Idd mpaka Idd.

    Ust. Mponda, alisema yule ambaye a l ikuwa akiabudia R a m a d h a n i , m w e z i h u o umeshamalizika, haupo tena, ama yule ambaye alikuwa na yakini anamwabudia Allah (s w), basi ajue Mwenyezi Mungu yupo hai na wala hafi, hivyo hana budi kuendelea na ibada hata baada ya mwezi wa Ramadhani.

    Al isema kuwa Mwenyezi M u n g u a m e e l e z a l e n g o l a k u f u n g a s wa u m u , p a l e aliposema katika Quran kuwa amefaradhisha juu yao swaumu, kama walivyofaradhishiwa wale waliopita kabla yao, ili wapate kuwa wacha Mungu.

    Alisema kuwa endapo Muislamu alifunga swaumu, kwa kuzingatia lengo lake na kufuata vile alivyo elekeza Mtume (saw), kwa hakika mfungo huo utakuwa umemuacha katika ucha Mungu wa kweli.

    Ust. Mponda alisema kwa

    muda wa mwezi mmoja uliopita, Waislamu wamekuwa katika wema, wakisaidiana, wakiongea maneno mazuri, wakitoa sadaka na kusoma sana Qur an, hivyo akasema matendo hayo ambayo wametekeleza ndani ya mwezi wa Ramadhani hawana budi kuendelea nayo.

    Tuepukane na ile hali ya ibada za msimu na kuacha kufanya ibada hizo baada ya kukamilika kwa mwezi wa Ramadhani, wanaofanya hivyo ni sawa na wale ambao Allah anawataja kuwa wanafuata matamanio ya nafsi zao au wale walioamini kisha wakakufuru, watu wa namna hiyo watajieleza vipi mbele ya Allah (sw). Alihoji Ust. Mponda.

    Ramadhani imetufundisha, imetupa semina na kutudarasisha mambo mengi kabisa , yale tuliyoyapata sasa tuyafanyie kazi katika miezi mingine ili Allah akitufisha, tufe tukiwa katika ucha Mungu tuliokuwa nao ndani ya Ramadhani. Aliasa Ust. Mponda.

    Maadili mema yapo katika Dini

    Na Bakari Mwakangwale

    Waislamu Kibaha wajipanga kwa maendeleo ya kijamiiInatoka Uk. 2na wamekusudia kujenga vituo vya kutoa huduma mbalimbali za kijamii kama vile zahanati, shule za awali, msingi na sekondari na masomo ya dini.

    Tulichokusudia katika eneo hili ni kujengwa zahanati, shule za awali, msingi hadi sekondari (O-level, A-level) lakini pia kutakuwa na shule ya dini kuanzia hatua ya Iptidai hadi Thanawi. Alifafanua Mudir Tundia.

    Mudir huyo alibainisha kuwa milango ipo wazi kwa watu wenye ujuzi, ushauri na maarifa katika masuala mbalimbali katika kutekeleza malengo yao, kufika katika ofisi zao kutoa ushari wao ili kuweza kufikia mipango iliyokusudiwa.

    Aidha alisema kuwa Waislamu wa eneo hilo wamekusudia kujenga Misikiti mine na kwamba, mpaka sasa wameanza na miwili ambayo ipo katika hatua za awali na baadae wataendelea kujenga Misikiti mingine kupitia mifuko yao.

    Ujenzi wa Misikiti hiyo unatarajia kwenda sambamba na ujenzi wa madrasa katika kila Msikiti kwa ajili ya kutoa mafunzo kwa vijana wa Kiislamu katika maeneo husika, ili watoto hao wapate elimu ya Quran na ile ya awali (nursery).

    M u d i r T u n d i a , a l i s e m a zitakapoimarika shule za awali katika Misikiti yao, watakuwa na fursa nzuri ya kuandaa vijana wao na kuwaendeleza katika mpango wao wa kituo cha elimu, pale kitakapokamilika.

    Katika hatua nyingine, Mudir huyo alisema Waislamu wanaumia na kupata uchungu mkubwa kutokana na udhalimu na ukatili wa Israel dhidi ya Waislamu wa Gaza.

    Hali ilivyo ni kwamba watoto wadogo, kina mama na Waislamu kwa ujumla wanauawa kwa mabomu, unyama huo unafanyika kwa

    makusudi huku hata yale mazingatio ya vita yakiwa hayafuatwi. Alisema Mudir Tundia.

    Alisema, Waislamu hawana budi kuungana kuwaombea ndugu zao wa Gaza, kutokana na kukandamizwa na mikono ya Kizayuni.

    Akizungumzia hali ilivyo hivi sasa nchini, alisema Taifa limeingia katika

    fitna, kufuatia matatizo ya mabomu ambayo athari zake zimemkumba pia Sheikh wa Ansar Muslimu Youth tawi la Arusha na Moshi, Sheikh Soud, akiwa nyumbani kwake.

    Alisema Umma wa Kiislamu unalaani matukio hayo kwa kuwa ni katika mambo mabaya yasiyokubalika katika Uislamu.

    Semina MUMSEMINA ya Kimataifa juu ya epistemolojia (ufahamu) ya Kiislamu na ukuzaji mitaala, inatarajiwa kuanza kesho katika Chuo Kikuu cha Waislamu, Morogoro.

    Ikiandaliwa kwa pamoja kati ya Chuo Kikuu (MUM), na taasisi ya Kimataifa, The International Institute of Islamic Thought (IIIT), semina hiyo itawakutanisha wasomi bingwa wa Kiislamu katika Nyanja mbalimbali katika ngazi ya vyuo vikuu na taasisi nyingine za elimu ya juu.

    Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa n a M U M j a n a , s e m i n a h i y o itafunguliwa rasmi kesho mchana na Makamo wa Rais, Mheshimiwa Gharib Bilal na kufungwa siku ya Jumatatu na Rais wa Zanzibar, Mheshimiwa Ali Mohammed Shein.

    Miongoni mwa wazungumzaji wakuu katika semina hiyo wametajwa kuwa ni Dr. Ahmad Totonji kutoka IIIS, Riyadh, Saudi Arabia, Profesa Omar Hassan Kasule (Faculty of Medicine, King Fahad Medical City, Riyadh, KSA), Prof. Shaukat Abdulrazak, Dr. Salisu Shehu, Prof. Jurnalis Uddin, Dr. Mahmud Adesina, Dr. Nura M.Musa na YB. Dato Seri Anwar Ibrahim (President of Ke-Adilan Party and former Deputy

    Na Mwandishi Wetu Prime Minister of Malaysia).Wengine ni Prof. Ahmad Sengendo

    (Uganda), Dr. Ismail A. Musa, Dr. Sunus Iguda, Dr. Abuyaasir Mbwarali Kame, Dr. Aisha Garba, Dr. Oladosu-Uthman Habibat, Dr. Mariam Hamisi, Dr. Haider Pestamgy na Dr. Afis A.Oladosu.

    Wasomi na wazungumazaji hawa wanatoka katika nchi mbalimbali za Afrika, Asia na Uarabuni, zikiwemo N i g e r i a , U g a n d a , M s u m b i j i , Zimbabwe, Zambia, Afrika Kusini, Indonesia, Burundi, Kenya, Saudi Arabia, Malaysia, Sudan Kusini n.k.

    Wazungumzaji kutoka ndani ya nchi ni pamoja na Mkuu wa Chuo, Hajjat Mwatumu Malale, Makamo Mkuu wa Chuo, Prof. Hamza Mustafa Njozi, Prof. Mwajabu Possi, Prof. Hamisi Dihenga, Mr. Mnyero J.Ibnu Sheikh Gunda na Prof. Mussa J. Assad ambaye ni Mwenyekiti wa Baraza la Chuo, MUM.

    Taarifa zaidi zinafahamisha kuwa wakuu wa shule na taasisi za kielimu za Kiislamu nchini, ni katika jumla ya waalikwa wa semina hiyo ambapo inatarajiwa kuwa ufahamu watakaotoka nao wataweza kuboresha program zao za kuelimisha ummah wa Kiislamu.

  • 4 AN-NUURSHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 8-14, 2014Makala

    M O H A M E D E l B a r a d e i ameandika kitabu chake akikipa jina The Age of Deception: Nuclear Diplomacy in Treacherous Times..

    Akiwa Mkurugenzi mstaafu wa Tume ya Kimataifa ya Nishati ya Nyukilia-International Atomic Energy Agency (IAEA), humo anaonesha jinsi mambo mengi katika siasa za ulimwengu wa leo, zilivyotawaliwa na udanganyifu, propaganda na watu kupumbazwa wakidhani jambo fulani lipo hivi, kumbe sivyo kabisa. Mambo yapo kivingine kabisa. Anatoa mfano jinsi mataifa makubwa yalivyoghushi nyaraka kuonyesha kuwa Iran inatengeneza silaha za nyukilia ili ipatikane sababu ya kuiadhibu nchi hiyo.

    Waislamu wanapohimizwa kusoma, pamoja na kui jua Elimu ya Mwongozo na elimu ya mazingira, ni pamoja na kujua s iasa na ul imwengu unaowazunguka unavyokwenda. Wajue mazingira wanamoishi. Wajue siasa zake. Wawajue maadui zao pamoja na mbinu zao ili waweze kuweka mikakati munasibu ya kukabiliana nao.

    Ukizungumzia Waislamu kujielewa na kujua mazingira yanayowazunguka na kuwajua maadui zao, ni pamoja na kufahamu yanayotendeka hivi leo katika hizi zama za deception na proxy war. Kwa hakika itakuwa ni ujinga wa kutisha, kuwa hamnazo na kutokujitambua na kutotambua yanayojiri katika siasa za dunia ya leo, iwapo Muislamu atadhania kuwa maadhali yeye nia yake ni kupigana Jihad, basi hata akitumikia proxy war, itakuwa Jihad yake imesibu na itakuwa ni kwa faida ya Uislamu na atapata fungu lake kwa Mwenyezi Mungu. Mungu katuletea Mwongozo unaotufundisha pamoja na mambo mengine kuwajua maadui na mbinu zao. Kisha ametupa akili na akatuhimiza kuzitumia kwa kukariri mara kwa mara katika Quran, Hamuoni?, Hamfikiri?, Hamna akili? Kwa nini Mwenyezi Mungu atoe msisitizo huu?

    Yupo msomaji mmoja (0773 526 254) kaja na hoja. Anasema kuwa:

    Wapiganaji wa chini (foot soldiers) wanakuwa ni mujahidina kwa sababu wako kidhati kuleta sheria za Mungu japo wakuu wao ni agents (mawakala wa Marekani/makafiri). Ndivyo Uislamu unavyohukumu NIA yako si malengo ya mabeberu au lengo la agents.

    Lakini msomaji huyu huyu (0773 526 254) kaja na hoja nyingine, kuwa kamanda wa ISIS Ni Khalifah wa Waislamu kwa hiyo anayekataa kumtii kamanda wa ISIS ni halali kupigwa risasi kwa sababu kakataa kufuata amri ya khalifah.

    Mei 2013, Seneta wa Arizona (Republican) na Veteran wa vita

    Mujahidina John McCain!!!Al-Shabab adui, lakini ISIS wa Iraq rafiki!Sheikh Kilemile, Sheikh Abu Idd, mna kazi

    SHEIKH Mohammed Idd.

    Na Omar Msangi

    ya Vietnam, John Sidney McCain aliingia Syria kupitia mpaka wake na Uturuki akakutana na wapiganaji wa Kiislamu wakiwemo wale wa Al Nusrah na ISIS. Na alipokuja kuhojiwa baadae alisema kuwa ni kwa maslahi ya Marekani kwamba mujahidina ( j ihadists) hao wanasaidiwa kwa fedha, silaha na mafunzo na kila aina ya msaada kufikia malengo yao.

    B a a d h i ya v y o m b o v ya habari na wachambuzi wa siasa za Marekani, walishangaa na kuhoji, inakuwaje McCain na kwa maana hiyo, serikali ya Marekani kushirikiana na jihadists?-watu ambao kwao ni magaidi?

    Kwa kutumia k i s ing iz io cha ugaidi, Marekani ilivamia Afghanistan na kuuwa mamia ya maelfu ya Mujahidina kwa madai kuwa serikali ya Kiislamu

    inayoongozwa na Taliban, ni ya kigaidi. Marekani ikiitumia na kuiwezesha Ethiopia, ilivamia Somalia na kuondoa serikali ya Kiislamu ya Umoja wa Mahakama za Kiislamu kwa kisingizio kuwa ni ya kigaidi. Marekani imeunga mkono jeshi la Misri kuondoa madarakani serikali ya Mohammed Morsi kwa madai hayo hayo.

    Kama huo ndio msimamo wa serikali ya Marekani, leo inakuwaje isimame kusaidia ISIS kwa silaha na mafunzo ili isimamishe Khilafah Iraq na Syria? Al-Shabab adui, lakini Al Nusrah, rafiki!! Taliban na akina Morsi na Mullah Omar magaidi, lakini Islamic State of Iraq and Syria (ISIS) na kamanda wake Abu Bakr al-Baghdadi, rafiki!!!

    Kama Muislamu hutazami matukio yote haya akili yako ikatanabahi, unakuwa nyuma ya mawakala wa mabeberu unasema maadhali nia yako ni Jihad, nia yako ndiyo itatizamwa, hii iitwe nini?

    Suala kuwa ISIS imeanzishwa na inasaidiwa na Marekani, NATO na Israel zikishirikiana na Saudi Arabia na Qatar, si la paukwa pakawa (Tazama: Washingtons Hidden Agenda, Americas War on Terrorism zote zikiandikwa na Profesa Michel Chossudovsky. Tazama pia Daily Telegraph, June 12, 2014, Londons Daily Express na rejea nyingi tu zinazungumzia suala hili).

    Jambo hili limeandikiwa sana na ushahidi mwingi kutolewa. Aidha, ni kwa nini inafanyika hivyo, ikaelezwa pia kuwa kinachodaiwa kuwa ni Jihad ya kusimamisha Khilafah katika Iraq na Syria, hiyo ni agenda ya muda mrefu yenye malengo kadhaa. Moja ni kuleta machafuko katika eneo la Mashariki ya Kati ikihusisha Sunni na Shia.

    Wakati serikali ya Baghdad yenyewe imewekwa na Marekani na jeshi lake linaimarishwa na Marekani (US proxy government) itakuwa ikiuziwa silaha kali kali ili kupigana na ISIS, Islamic State of Iraq and al-Sham nao wanapewa silaha kutoka huko huko Washington. Kisha, acha wapigane na kuuwana wenyewe kwa wenyewe.

    Machafuko hayo yamepangwa pia kuwa yafikie lengo la kuigawa Iraq katika vinchi vitatu: A Sunni Islamist Caliphate, an Arab Shia Republic, and a Republic of Kurdistan.

    H i i i t a p e l e k e a k w a n z a urahisi wa kudhibiti na kuwa na kauli juu ya maeneo yenye mafuta na gesi katika nchi hiyo. Tunaambiwa kuwa hivi sasa tayari Kurdistan wanapeleka na kuuza mafuta Marekani na Israel bila kupitia serikali ya Iraq. Na hiyo imewezeshwa na kazi iliyofanywa na ISIS, japo mpango wenyewe haujakamilika bado, lakini wenye proxy war yao, wanaanza kuvuna walichopanda.

    Inaendelea Uk. 11

    Veteran wa vita ya Vietnam, John Sidney McCain.

    MOHAMED ElBaradei.

  • 5 AN-NUURSHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 8-14, 2014Habari za Kimataifa

    KAMANDA wa Jeshi la Marekani , Meja Jenerali Harold Greene, ameuliwa katika kambi ya Q a r g h a n c h i n i Afghanistani.

    Imeripotiwa kuwa Jenara l i Greene n i askari wa cheo cha juu jeshi la Marekani kuuliwa Afghanistan t ang u kuanza kwa operesheni za kijeshi dhidi ya Taliban nchini Afghanistan na pia akiwa ni askari wa cheo cha juu kuuliwa tangu vita vya Vietnam.

    Habari zinaeleza kuwa Jenerali Greene aliuliwa k a t i k a s h a m b u l i o lililofanywa na askari wa Afghan katika kambi i n a y o e n d e s h wa n a Uingereza jirani na mji wa Kabul, wamesema maofisa wa Marekani.

    K w a w a s t a n i askari 15, wawili wa Kiingereza na baadhi wa Marekani na Ujerumani n a A f g h a n i s t a n wamejheruhiwa katika shambulio hilo.

    Maofisa wamesema a s k a r i h u y o w a Afghanistan alifyatua risasi katika shambulio hilo, aliuliwa katika tukio hilo.

    J e n e r a l i G r e e n e alikuwa Makamu wa Kamanda Mkuu wa Combined Securi ty Transition Command, a k i h u s i k a k a t i k a maandalizi ya kuondoka

    Jenerali wa jeshi la Marekani auliwa Afghanistan

    Meja Jenerali Harold Greene.

    vikosi vya ushirika kufikia mwishoni mwa mwaka huu.

    Waandishi wa habari w a m e s e m a k u w a shambulio hilo limeibua m a s h a k a k u h u s u uwezo wa Nato kutoa mafunzo ya vikosi vya Afghanistan kabla ya vikosi vya Magharibi kuondoka.

    Pentagon wameelezea shambul io hi lo la ndani kuwani tishio la makusudi.

    Mtangazaji wa BBC, David Loyn alisema kuwa Wizara ya Ulinzi ya Ndani ya Afghanistan imethibit isha kuwa askari kadhaa wa kigeni wali jeruhiwa katika tukio hilo.

    T a a r i f a z a i d i zinadai kuwa askari huyo alikuwa askari aliyepokea mafunzi kwa miaka mitatu iliyopita, kimeeleza chanzo cha Wizara ya Ulinzi ya Afghan kilipoieleza BBC.

    Ulinzi umimarishwa katika hiyo ya kambi ya Qargha, i l iyopo Magharibi mwa mji wa Kabul baada ya kutokea tukio hilo.

    K a m a n d a m m o j a wa Afghanistan katika kikosi kil icho chini ya kambi ya maofisa wa jeshi la Uingereza, G e n G u l a m S a k h i , n i m i o n g o n i m wa waliojeruhiwa.

    WANAWAKE katika kambi ya wakimbizi iliyopo katikati mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati, wamelalamikia v i t e n d o v y a ukatili wa kijinsia wanavyofanyiwa na askari wa Umoja wa Afrika nchini humo.

    Mtandao wa habari w a A f r i c a T i m e , umeripoti habari hiyo ukiwanukuu wanawake hao ka t ika mj i wa Bambari, katikati mwa nchi hiyo wakilalamikia vitendo hivyo.

    I m e d a i w a k u w a

    Askari AU watuhumiwa kubaka wanawake A.Kati wasichana katika kambi hiyo wanakabiliwa na hali mbaya kutokana na vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia na maudhi wa n a y o f a n y i wa n a askari hao wa kikosi cha kul inda amani cha Umoja wa Afrika MISCA.

    K u f u a t i a h a l i h i y o , w a n a w a k e hao wameitaka AU kuwalinda kutokana na vitendo hivyo.

    Wa s i m a m i z i w a U m o j a w a A f r i k a ambao wanatazamiwa kuanza shughuli zao

    nchini humo mwezi S e p t e m b a m w a k a huu, wameonyesha kus ik i t i shwa kwao kutokana na hali hiyo.

    R i p o t i n y i n g i n e zinawataja wapiganaji wa Kikristo wa Anti-B a l a k a , k u wa n a o wanafanya vi tendo hivyo vya kikatili dhidi ya wanawake.

    Hivi karibuni Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) lilitangaza kuwa wakimbizi wa Kiislamu nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati bado wanakabiliwa na hali mbaya.(irib.iri)

    JAMHURI ya Kiislamu ya Iran, imeilalamikia Misri kwa kukataa kutoa kibali kwa n d e g e z a I r a n zenye misaada ya kibinadamu, kuingia Misri i l i kuweza kufikishwa misaada Palestina kwa ajili y a k u w a s a i d i a w a a d h i r i k a w a hujuma za Wazayuni katika Ukanda wa Gaza.

    N a i b u W a z i r i wa Mambo ya Nje wa Iran, Hussein-Amir Abdullahian,

    Misri yadaiwa kuzuia misaada kufika Gazaamesema kuwa ni jambo lisilostahili kwa Misri kuzuia misaada ya Iran inayojumuisha dawa na chakula, kwa aj i l i ya watu wanaodhulumiwa huko Gaza.

    Bw. Abdullahian, ametoa wi to kwa wahusika nchini Misri kuchukua hatua za haraka za kutoa kibali kwa ndege hizo za Iran, ziingie nchini humo ili misaada hiyo iwafikie Wapalestina haraka iwezekanavyo.

    Ameongeza kuwa hivi sasa kuna idadi kubwa ya majeruhi huko Gaza, wakiwemo watoto na wanawake ambao wanasubiri msaada wa ndege hizo za Iran, ili waweze kusafirishwa kwa ajili ya kupataka matibabu katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameelezea matumaini yake kuwa, Misr i itatekeleza wajibu wake wa kibinadamu, Kiislamu, kihistoria, na Kiarabu katika kukabiliana na jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel huko Gaza

    kwa kufungua kivuko cha mpakani cha Rafah haraka iwezekanavyo, i l i k u r a h i s i s h a upelekwaji misaada katika eneo hilo.

    Ikumbukwe kuwa Misri ndio nchi pekee ya Kiarabu yenye mpaka wa pamoja na Ukanda wa Gaza. Hata hivyo watawala wa Misri wamekuwa wakikataa kufungua mpaka huo hata pale kunapohitajika msaada w a d h a r u r a k w a wapalestina, ambao w a m e z i n g i r w a n a kuwekwa kifungoni na Israel.

    Hii ina maana kuwa hakuna kinachoingia wala kutoka Palestina hususan Gaza, bila idhini au ridhaa ya Israel.

    Wakati huo huo, Waziri wa Mambo y a N j e w a I r a n M o h a m m a d J a va d Zar i f , ametoa wito kwa nchi za Kiislamu kuanzisha kampeni ya kupeleka misaada ya dharura Ukanda wa Gaza.

    W a z i r i h u y o a m e ya s e m a h a y o katika mazungumzo ya simu na mwenzake wa Malaysia, Dato Seri Anifah Aman. (irib.ir)

  • 6 AN-NUURSHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 8-14, 2014Makala

    MANSOUR Yussuf Himid, ameungana na wanasiasa wengine wakongwe wa Zanzibar ambao yaliwakuta walipotofautiana na utawala.

    Mansour sasa anasota rumande hadi tarehe 18 Agosti kesi yake itakapotajwa tena baada ya kunyimwa dhamana.

    Mansour ambaye alikuwa Waziri katika SMZ na Mwakilishi wa jimbo la Kiembe samaki kupitia CCM, alifikishwa katika mahakama ya Mkoa Vuga, akikabiliwa na tuhuma za makosa matatu ikiwemo kukutwa na silaha, risasi na marisau.

    Mwendesha mashitaka Maulid Ali alidai mbele ya Hakimu K h a m i s R a m a d h a n i k u wa mtuhumiwa huyo mnamo Agosti 2, mwaka huu majira ya saa 7.18 huko nyumbani kwake Chukwani nje kidogo ya mji wa Zanzibar alikutwa na silaha aina ya pistol yenye namba F76172 W.

    Ikadaiwa kuwa hiyo ni kwenda kinyume na kifungu cha sheria no 6(3) na 34 (1) (2) cha sheria ya silaha na risasi No 2 ya mwaka 1991 sura ya 223 sheria ya Jamhuri ya Muungno wa Tanzania.

    Katika kosa la pili ikadaiwa kuwa Mansour alipatikana na

    Pole MansourJussa ahimiza utulivu

    Na Mwandishi Wetu

    risasi za moto 295 za pistol jambo ambalo pia ni ni kosa kisheria.

    Na kwamba, kosa la tatu ni kupatikana na marisau 112 ya bunduki aina ya short gurn

    (gobore) baada ya marisau 50 aliyotakiwa kuwa nayo kisheria.

    Mtuhumiwa Mansour aliyakana makosa yote hayo matatu.

    Hakimu aliyesikiliza kesi hiyo

    Khamis Ramadhani alisema kuwa makosa mawili ya mtuhumiwa yana dhamana lakini kosa la kukutwa na s i l aha ha l ina dhamana.

    Kwa aj i l i hiyo akaamuru m s h i t a k i w a k u r e j e s h w a rumande hadi Agosti 18 kesi hiyo itakapotajwa tena.

    Kufuatia kadhi hiyo, Katibu wa Kamati ya Maridhiano, Ismail Jussa, amewataka wananchi wa Zanzibar kuwa watulivu wakati suala hilo linashughulikiwa kisheria na kwa njia za amani.

    Nasaha na wito huo wa Jussa umekuja kufuatia minongono na mazungumzo mitaani miongoni mwa wananchi kuwa yote hayo yanamkuta Masour kutokana na msimamo wake juu suala la hadhi ya Zanzibar na muundo wa muungano.

    Mansour, ni kat ika wale wanaopigania Zanzibar huru kama nchi yenye mamlaka kamili, msimamo ambao unaonekana kutofautiana na ule wa CCM.

    K a t i k a s u a l a l a k a t i b a mpya, Mansour yupo na wale wanaopigania serikali tatu, msimamo ambao ndio pia wa Kamati ya Maridhiano.

    Wengine wanaotajwa kufikwa na majanga baada ya kutofautiana na msimamo wa Chama Tawala, ni viongozi wa Chama cha Wananchi, CUF, wakiwemo Maalim Seif Shariff Hamad, Juma Duni Haji na wengineo.

    UKOMBOZI wa kweli wa wa n a n c h i u t a a n z a k wa m a b a d i l i k o m a k u b w a yatayosimamia haki, usawa, ihsani na uadilifu hususan katika vyombo vya sheria na vile vinavyobeba dhamana ya usa lama wa ra ia na wananchi wake. Huwezi kuuita ukombozi ikiwa bado wananchi hawako huru kimawazo, na wanapothubutu kusema ya moyoni hukuzwa, yakapewa wito maalum wa kuwakomoa.

    Siasa za aina hii zimekuwa zikiendeshwa visiwani kwa muda mrefu, bila ya kutazama athari ya bomu la chuki l ina lokuzwa. Muungano nao pia na tuseme ukweli, haukuwahi kusimamia haki h a s a k wa wa n a n c h i wa visiwani wenye maoni tafauti. Nathubutu kwa ushahidi mkubwa kusema kwamba taasisi ya muungano iliojengwa kwa heshima na udugu wa Kiafrika, imejidhatiti katika kufitinisha na kuwakingia kifua pande zinazokwenda kinyume na haki badala ya kusimamia usawa na heshima ya wote.

    Tutazame namna machafuko

    Muungano huu pia hausimamii haki za WazanzibariNa Mwandishi Maalum ya kis iasa yal ikuzwa na

    kulindwa na nani kama si taasisi ya muungano inayoonekana kwenda kinyume na matakwa ya heshima na haki kwa wote na usimamizi madhubuti uadilifu wa uongozi kwa wananchi na nchi. Haya yameanza tokea wakati wa Mwalimu, mfano mdogo tu ushahidi uliopo wa namna Kassim Hanga alivyodhalilishwa hadharani na Mwalimu kwa kuwa tu na mtazamo kinyume na wengine. Dhambi ya fitna, udhalilishaji, uhasama wa kukuzwa na kukomoana itaendelea kuwa chanzo cha kuzima maendeleo ya nchi na uhuru wa kweli wa wananchi. Upande mmoja huwezi kuilaumu sana taasisi ya m u u n g a n o k wa v i l e muundo wenyewe uliopo ni wa kimaslahi zaidi. Pande moja ikitegemea ubabe wa muungano kuwalinda na kuendelea kibri cha kuzima ukuwaji wa haki na usawa, na mwengine ukifaidika na utulivu wa siasa za msingi wa mabadiliko wenye asili ya visiwani ambao unaweza kutumika katika induced effect kwa upande wa bara. Hili naliamini sana kama ndio sababu kuu ya kusisitiza status quo inabaki kama ilivyo kwa

    vile Mwalimu aliweza kwa miaka na dahri kuzima hisia zote za mabadiliko na kuzipa nguvu za kipekee fikra za Mwenyekiti kiasi ya kwamba kumpinga ni dhambi. Ukuwaji w o w o t e wa d e m o k r a s i a vis iwani , au mabadi l iko makubwa ya kimaendeleo visiwani yatakuwa ni chachu k u b wa ya m u a m k o wa wananchi na mabadiliko ya utawala.

    H a t u t a w e z a a b a d a n kusimamia mageuzi makubwa yenye tija kwa wananchi bila ya mabadiliko makubwa sana katika vyombo vya sheria na usalama nchini. Na kipindi hichi cha sasa ndio kinachozidi kunipa ari ya kuamini hakuna yeyote miongoni mwetu aliye huru kwa vile tu vyombo vya kusimamia haki, heshima na uadilifu wa mwananchi bado vimejengwa katika misingi mikuu ya kikoloni yenye ajenda ya kuzima maoni huru na haki ya kuzungumza bila ya jitihada za kukomolewa.

    Nasikitishwa na wengi ambao wamelibeba hili la kukamatwa kwa Mansour kama kielelezo cha furaha yao kwa mtu ambae ninaamini kilichomponza ni kimoja tu: imani yake kwa katiba ya nchi inayompa

    uhuru wa fikra na matamshi. Mazingira yote ya kukamatwa kwake yana misingi mikubwa ya kuwa mstari wa mbele katika kuhuisha mabadiliko yanayoweza kutoa afweni kwa wananchi wa pande zote mbili. Narudia tena kwamba siasa za namna hii zitatumaliza kwa vile chuki ya vizazi vinavyoona dhulma kwa wazee wao haitamaliza, na kwa namna ya mgawanyiko wa kiitikadi hususan visiwani, tutaendelea kuwa katika gurudumu la kukomoana, kutiana ndani na kudhalilishana huku tukisahau kwamba mwisho wa yote tutasimama mbele ya hakimu wa haki na kujibu tuhuma za dhulma tunazozitenda.

    H a k u n a k a t i y e t u asiyefahamu umuhimu wa sote kuwa chini ya sheria za nchi, lakini tunapoanza kutafuta sababu za kuwekana ndani kwa makusudi na kunyimana hata haki ya dhamana kwa watuhumiwa, basi tutaendelea kuishi katika giza totoro ambalo halitachaguwa nani atakefuatia katika kadhia ya dhulma. Leo hii sitashangaa kuona mkono mrefu zaidi wa kukomoana na nongwa za kijahilia zikishika hatamu kiasi kwamba visasi

    Inaendelea Uk. 7

    MANSOUR Yussuf Himid akishuka katika gari la Polisi na baadaye kupandishwa kizimbani kujibu tuhuma zinazomkabili.

  • 7 AN-NUURSHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 8-14, 2014

    UTABIRI wangu katika siku ya sherehe za Muungano tarehe 26 Aprili 2009 kwenye ukumbi wa Taasisi, Zanzibar kwa wajumbe wa kongamano li l i lokuwa limeandaliwa na Jumuiya ya Uamsho na kuendeshwa chini ya uwenyekiti wa Muhammad Yussuf, ulikuwa ni huu na ambao bado naamini ulikuwa sahihi:

    Sasa tul ipo, kwa maoni yangu, ni katika hatua ya pili ya mapinduzi, ambapo mfumo mkongwe wa Muungano usio na maslahi kwa Zanzibar unaelekea kuporomoka. Kawaida kipindi hichi ni matokeo ya kupotea kwa uongozi (leadership vacuum) ndani ya kundi la watawala, a m b a p o m g a w a n y i k o wa makundi humfanya kila mmoja kutenda vyake. Mara nyingi hatua hi i hai f ikiwi mpaka ajitokeze kiongozi anayejiona kuwa mwanamageuzi kutaka kuunusuru mfumo mkongwe; na akafeli. Turgot na Necker walijaribu kuunusuru ufalme wa Ufaransa kabla ya mwaka 1798 na Stolpyin akafanya jaribio kama hilo nchini Urusi kabla ya Vita vya Kwanza vya Dunia, lakini wote walishindwa (Khan & McNiven, 1990).

    Huwa ni wakati ambapo, kutokana na mtikisiko wake, mfumo mkongwe huwa kama tayari umeshakufa kitambo, lakini kwa kuwa watu wanaothubutu kuyathibi t isha maut i yake hawajatokea, basi huendelea kuwepo tu ukiendea upepo na kudura ya Mungu. Nabii Suleiman (A.S) alifariki siku nyingi, lakini watumishi wake wakaendelea kutumika wakidhani bosi wao amekaa kitini akiwasimamia, hadi mchwa alipokuja kuila fimbo yake. Kuna watu waliojuwa kuwa Awamu ya Tatu ya Serikali ya Ufaransa imeshakufa tangu mwaka 1934, lakini maziko yake yalikuja kufanywa mwaka 1940.

    Wazo ninalojaribu kuliwasilisha kwenu hapa ni kwamba, kuna siku yale yale matakwa ya Wazanzibari, kama yalivyoelezwa kupitia Ripoti za Tume za Jaji Nyalali na Jaji Kisanga, ndiyo yatakayoiongoza Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wala sio Katiba hizi zilizopo sasa; na viashiria vya utabiri huo vimeanza kujengeka sasa.

    Changamoto iliyo mbele yetu kwa sasa ni ukweli kwamba hatua za tatu, nne na tano zinakuja kwa kasi na, yumkini, hatuna matayarisho mazuri kuzikabili. Kwa mfano, hatua ya tatu, ambayo ni ya kuharibika kwa mahusiano makongwe, kwa mintarafu ya kuharibika kwa muundo wa sasa wa Muungano, ina matatizo yake. Mojawapo ni kwamba, wenye maslahi na mahusiano haya hivi sasa, watajitahidi kutumia nguvu zao za ziada kuzuia yasiharibike. Na ingawa, kutokana na matakwa ya kiwakati hawataweza kufanya hivyo, lakini kama ilivyo kawaida

    Mapinduzi Daima hayana maana ikiwa hatuna Zanzibar

    Mohammed Ghassani

    ya mti mkubwa unapoanguka, husababisha maafa kwa pale u n a p o n g o k e a ( p a n a w e z a kuchimbika shimo kubwa) na kule unakoangukia (unaweza kuelemea nyumba au wapita njia na kuwajeruhi kama si kuwatoa roho zao).

    Wakati huu ambapo mahusiano makongwe baina ya Syria na Lebanon yanaharibika, kwa mfano, ni Lebanon ndiyo inayoonekana

    kulipia gharama za kipindi hiki kwa wale wanaharakati wake walio mstari wa mbele katika kusaidia maharibiko hayo, kukabiliwa na vitendo vya kigaidi vinavyoaminika kusimamiwa na kuongozwa na Syria ndani ya ardhi ya Lebanon.

    Lakini mara tu kipindi hiki kinapoanza, hutanguliwa haraka sana na kipindi cha ujenzi wa mahusiano mapya. Huu ni

    mfano wa ujenzi wa nyumba mpya juu ya kongwe, ambapo mwenye nyumba huendelea kujenga nyumba mpya, huku yeye akiwemo ndani. Huvunja kiambaza kimoja kwanza na kusimamisha kipya mahala pa kilichovunjwa, kabla hajakwenda kat ika kiambaza chengine. Ingawa huweza kuchukua muda mrefu kwa nyumba kukamilika, kutegemea na uwezo wa kifedha, kiufundi na mazingira ya ujenzi; lakini ni staili ya ujenzi ambayo ina faida moja kubwa: hakuna wakati ambapo mwenye nyumba analazimika kulala nje, hata kama katika kipindi cha ujenzi huwa hakai katika makaazi mazuri sana.

    Hapo ndipo, kwa maoni yangu, nchi hii inapoelekea. Muungano huu utaingia kwenye kuvunjika na kuundika kwa wakati mmoja, yaani tunakwenda katika kipindi ambacho hatutasema kuwa hatuna Muungano moja kwa moja, lakini pia hatutakuwa na Muungano huu.

    Mwisho tutaingia kwenye kuimarisha mahusiano mapya tutakayoyajenga; maana ukweli ni kwamba Zanzibar na Tanganyika, bali pamoja na mataifa mengine ya karibuni, yataendelea kuwa katika mahusiano dumu daima. Lakini tafauti na sasa, mahusiano yajayo kwa sababu ya mapinduzi haya, yatakuwa na sura nyengine na matakwa mengine.

    H a t a h i v y o , t u z i n d u k e Wazanzibari, kwamba jambo pekee linaloweza kutufikisha hapo ni moja tu, nalo ni mkono mmoja kuyashikilia Mapinduzi yetu na mwengine kuishikilia Zanzibar yetu. Yaani isiwe tu Mapinduzi Daima, lakini iwe pia Zanzibar Daima; maana Mapinduzi Daima hayana maana ikiwa hatuna Zanzibar!

    RAIS wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein (kulia) akisalimiana na Masheikh visiwani humo.

    Makala

    Muungano huu pia hausimamii haki za WazanzibariInatoka Uk. 6vitaendelezwa na kupasiana kwa wengine na kuzidisha nuksi inayoitawala nchi kwa kukosa msimamo wa haki na uadilifu.

    N a s i k i t i k a s a n a k w a yanayomkuta Mheshimiwa Mansour na jinsi gani dhamira mbovu, chuki na hasada imebebwa na baadhi wakifikiri wanaweza kuzima nuru ya maisha ya mwengine. Si mara ya kwanza kulalamikia maafa ya sheria tulizorithishwa na wakoloni, tulianza wakati wa kukamatwa kwa masheikh k wa v i l e t u m a o n i ya o yaliudhi wengine, na baya zaidi walisekwa ndani kwa muda na hadi hii leo bado hakuna mashitaka dhidi yao. Ninaamini katika misingi ya demokrasia pana inayotoa uhuru wa maoni na kuwa na sheria thabiti inayotumika

    kwa uadilifu hata makosa yanapotokea, hushughulikiwa tena kwa haki na usawa kwa wote.

    Sitaki kukata tamaa na kiu ya mabadiliko nyumbani, kwa vile hilo pekee litasimama kama ishara ya ushindi kwa madhalimu wa ihsani, haki na uadilifu kwa wananchi. Nina hakika ya faraja kubwa baada ya dhiki na misukosuko ya aina hii si ya kwanza kwa wapigania mabadiliko na haki ya kuishi kwa heshima na usawa.

    N i n a m u o m b e a d u w a Mheshimiwa Mansour na wengine wote waliotoswa katika mahabusu huku kwa misingi tu ya kunyima haki zao za kuishi kwa heshima ya ubinaadamu. Ninawaombea duwa Mungu akupeni nguvu za kutokubal i kuyumba katika misimamo thabiti ya

    haki, heshima na usawa, na kukufanyeni kuwa mashindi wa mabadiliko tunayoyataka ya uhuru wa kweli kwa wananchi wote. Umma unayaona yote yanayoendelea kutendwa na umma uko na wale wenye kusimama na ukweli hata katika kipindi kigumu cha maisha yao.

    Natudia tena ni vigumu kuzima ari ya waliojitolea kuhuisha mabadiliko, na baada ya dhiki ni faraji. Iko siku historia itawatazama wote mashujaa waliosimama na maoni ya umma kuhuisha mabadiliko yatayojenga uhuru wa kweli wa wananchi wote.

    Niimani yangu pia kuwa kwa hakika mahakama itatenda haki katika tuhuma zinazomkabili Mansour nikiamini kuwa hicho ni chombo huru cha kutoa haki.

  • 8 AN-NUURSHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 8-14, 2014Makala

    Maandamano Washington DC Agosti 2 kuilani Israel kwa unyama wake GazaMaandamano Washington DC Agosti 2 kuilani Israel kwa unyama wake Gaza

  • 9 AN-NUURSHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 8-14, 2014MakalaEye on the prize - Free Palestine, John Rees akizungumza mbele ya ubalozi wa Israel, London, ametoa wito kufanyika maandamano ya makubwa ya aina yake kesho Jumamosi Agosti 9.

    Yakiitwa, National D e m o n s t r a t i o n f o r Gaza, maandamano hayo yatakayoanza saa sita mchana (12 Noon), yataanzia BBC Portland Place kuelekea

    Hyde Park kupitia mbele ya ubalozi wa Marekani.

    Kama msemaji wa taasisi ya Stop the War Coalition, John Rees anasema, No excuses, hakuna dharura.

    Ni lazima kila mtu kushiriki maandamano hayo, i l i kuyafanya kuwa makubwa kuliko maandamano yoyote yaliyowahi kufanyika Uingereza.

    K a t i k a k u f a n y a taratibu za kuwawezesha watu wengi kushiriki, watu binafsi na taasisi mbalimbali zimetakiwa kuandaa taratibu za usafiri kuwatoa watu kutoka kona zote za Uingereza kuwaleta katika maandamano hayo ya London.

    A i d h a , w a t u

    Gaza inakuhitaji

    Maandamano ya karne keshoHakuna kukosa. Hakuna dharuraFika ukiwa mzima au mgonjwaFika tulani pamoja ushenzi wa Israel

    wametakiwa kusambaza ujumbe na taarifa za m a a n d a m a n o h a y o k w a w a t u m i j i n i , vijijini, sehemu za kazi, mashambani, shuleni na vyuoni.

    N o e x c u s e s . O n Saturday 9 August we need to fill the streets of London with a huge outcry at the carnage being perpetrated by Israel, with the support of David Cameron and his government.

    A n a s e m a R e e s , akimaanisha kuwa hakuna dharura itakayokubaliwa kwani maandamano ya kesho yanatakiwa kujaza mitaa ya London kupaza kilio dhidi ya ukatili na ushenzi (Israel's barbaric onslaught) unaofanywa na Israel, ikiungwa mkono na Waziri Mkuu, David Cameroon na serikali yake.

    Anaongeza akisema kuwa siku 25 zimeshuhudia jeshi la Israel linalotajwa kushika nafasi ya tano kwa umahiri duniani, likifanya kazi ya kuchinja raia 1,800 wa Gaza wengi wao wakiwa watoto na wanawake huku ikiacha majeruhi 9000.

    H o s p i t a l i , s h u l e , mitambo ya umeme, na miundo mbinu mingine imeangamizwa. Watu h a wa n a p a k we n d a , hawana pa kukimbilia kwa sababu wamefungiwa by Israel and Egypt's inhumane siege.

    Gaza inakuhitaji. Ni kesho Jumamosi Agosti 9. Pamoja na maandamano y a L o n d o n , m i j i mbalimbali ulimwenguni wa t a a n d a m a n a p i a (si jui Dar, Mwanza, A r u s h a , Z a n z i b a r , Tanga???????).

    Sema utakuwepo kuungana na wenzako kusema, uhalifu wa Israel dhidi ya binadamu ukome. Sema utakuwepo kuungana na wenzako kuonyesha mshikamano na watu wa Gaza.

  • 10 AN-NUURSHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 8-14, 2014

    K U H A M A S I S H A m a j e s h i kupigana ndiyo njia pekee i n a y o w e z a k u t u m i wa n a watawala wa nchi za Waislamu k a t i k a k u k a b i l i a n a n a maangamizi ya watu wasio na hatia yanayoendelea kwenye ukanda wa Gaza. Kinyume cha hivyo, ni kuwasaliti ndugu zetu wa Palestina. Maangamizi makubwa ya raia kama yale, yanahitaji nguvu za kijeshi kuyakomesha, badala ya vikao, maandamano na matamko ya kulaani!

    Ukisema maneno kama hayo, baadhi ya watu wenye makengeza ya akili, wanaweza kukuona ni mtu wa vurugu unayeshabikia shari badala ya kheri. Lakini ukweli siku zote unasimama wenyewe kama ukweli , na porojo zinabaki kuwa porojo! Maangamizi ya Wapalestina wasio na hatia yanayofanywa na majeshi ya Israel kwenye ukanda wa Gaza, hayawezi kukomeshwa kwa "mazungumzo ya amani", bali nguvu za kijeshi!

    Huwa nawashangaa sana watawala wa nchi za Waislamu, wakiunganishwa na Jumuiya ya 'Arab League' wanapoishia kulaani tu maangamizi ya Wapalestina yanayofanywa na Mayahudi bila ya kuchukua hatua za kijeshi zinazofaa. Watawala hawa wanahisi wametimiza wajibu wao, kwa kuitaka dunia kukomesha maangamizi ya Wapalestina yanayofanywa na mayahudi!

    Wa i s l a m u u l i m w e n g u n i wanatambua kwamba watawala h a w a h a w a , w a n a p e l e k a wanajeshi chini ya bendera ya Umoja wa Mataifa, mahali popote ulimwenguni, kwenye operesheni za kulinda amani, ikiwa ni utekelezaji wa amri ya Marekani. Lakini wanapoambiwa k u w a k o m b o a n d u g u z a o Waislamu,wanaoangamizwa na

    Majeshi yahitajika Gaza siyo porojo!Na Said Rajab makafiri, wanajitia uzito katika ardhi. Hata Mwenyezi Mungu pia

    anawashangaa:"Enyi mlioamini! Mna nini

    mnapoambiwa "Nendeni (kupigana) kwa ajili ya dini ya Mwenyezi Mungu"Mnajitia uzito katika ardhi? Je, mmekuwa radhi na maisha ya dunia kuliko ya Akhera"? Qur(9:38).

    Ni jambo la wazi kabisa, Qiblah cha watawala hawa wa nchi za Waislamu, ambazo zina nguvu kubwa za kijeshi, ni Washington na wala siyo Kaabah. Na nyoyo zao zimeungana zaidi na makafiri wa Magharibi kuliko ndugu zao Waislamu. Ndiyo maana hawana msaada wowote kwa Wapalestina, licha ya uwezo mkubwa walionao. Wao ni maajenti tu wa CIA na Mossad!

    Maangamizi yanayowakumba Waislamu wa Palestina, huku dunia nzima ikiwa upande wa waangamizaji, yanapaswa

    k u wa k u m b u s h a Wa i s l a m u ulimwenguni kote, kwamba wao ni taifa lisilo na dola (a nation without state). Ili kuweza kujilinda kutokana na maangamizi kama haya yanayofanyika Gaza, Waislamu wanahitaji kuwa na dola yao wenyewe.

    Wiki ya nne sasa, Israel imekuwa ikiangusha mabomu mazito katika baadhi ya maeneo ya Gaza kutokea angani, ardhini na majini, kwa kizingizio cha kuwashambulia wapiganaji wa Hamas, lakini maiti tunazoshuhudia kupitia picha za televisheni ni za wanawake, watoto wadogo na watu wengine wasio na hatia. Mpaka mwishoni mwa wiki iliyopita, zaidi ya Wapalestina 1600 walishauliwa na maelfu wengine kujeruhiwa.

    Waislamu wa Gaza wamekuwa wakikabiliana na maangamizi hayo kwa ujasir i mkubwa, wakiwa peke yao bila ya msaada wowote unaohitajika, kutoka

    Inaendelea Uk. 12

    Makala

  • 11 AN-NUURSHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 8-14, 2014Makala

    Mujahidina John McCain!!!Inatoka Uk. 4La kuzingatia hapa ni kuwa wakati msomaji wetu 0773 526254 anadai kuwa hawa wapiganaji foot solidiers (mujahidina wasiojitambua) wanapigana Jihad kwa sababu ya nia zao, kwa akina MacCain hawa ni terrorists. Ni foot soldiers of the Western military alliance ambao baada ya kumaliza vita waliyotumwa, watajikuta hakuna walichoambulia zaidi ya kuwatia Waislamu wa maeneo husika katika tabu na machafuko yasiyo na kikomo.

    Lakini jingine linalotazamiwa kupatikana ni kuikokota Iran, nayo iingine katika mgogoro huu kwa lengo la kuwasaidia marafiki Shia. Ikinasa katika mtego huu, itakuwa ndio mwanzo wa kudhoofika Iran, nayo kubakia kama chui wa karatasi kama ilivyomalizwa Pakistan, nchi iliyofikia kuwa na nyukilia, lakini sasa imefanywa kuwa takataka tupu.

    Hata hivyo wachambuzi wa mambo wanasema kuwa Iran, sio wajinga. Wanafahamu kuwa huu ni mchezo wa Marekani. Kwamba hawa ISIS sio wapiganaji huru wala sio mujahidina kwa maana ya hiyo wanavyojitangaza. Ila ni:

    Terrorist proxy controlled by the CIA. It is a creation of US intelligence. It is a US intelligence asset, an instrument of non-conventional warfare.

    Na kwa hiyo, wanapiga hesabu zao vizuri. Wameweka kando ile kauli yao ya awali kuwa watashirikiana na Marekani katika kukabiliana na kitisho cha ISIS.

    Ukibaraka na utumiwaji huu wa ISIS, unaelezwa pia na mkuu wa Idara ya Usalama wa Saudi Arabia, Prince Bandar bin Sultan bin Abdulazia bin Saud ambaye katika kuishawishi Urusi isimuunge mkono Bashar Assad, alikwenda Moscow kukutana na Rais Vladmir Putin. Katika mazungumzo yao akampa Putin biashara nono ya mamilioni ya dola-kwamba Saudi Arabia ingenunua silaha toka Urusi za mamilioni ya dola. Lakini pia akasema kuwa wao ndio wanaowadhibiti hao mujahidina na kwamba mwisho wa yote watatumika tu, ila malengo yatakayotimia sio hayo yanayoelezwa na ISIS.

    Hata hivyo inaelezwa kuwa kwa kuwa Putin naye ana masilahi yake, aliona masilahi ya Urusi hayapo katika kukubaliana na mpango wa Marekani kupitia Saudi Arabia, akamtimua Prince Bandar bin Sultan bin Abdulazia bin Saud ofisini kwake, katika Kremlin. Tazama: (Saudi Prince Bandar back in action in Riyadh. , Bandar ibn Israel na Bandar Bush Buys Votes for War on

    Rais Vladmir Putin wa Russia.Syria)

    Msomaji wetu 0773 526254, anasema kuwa Muis lamu akikataa kuunga mkono sheria za Mungu na akikataa kutambua dola ya Kiislamu hukumu yake ni kupigwa risasi na kuuwawa.

    Kwa nini baadhi ya Waislamu wanauwawa (na ISIS)?, Jawabu ni kuwa hawataki kumtii Khalifa. Kama ni hivyo, basi ni haki yao kupigwa risasi. Anasema msomaji 0773 526254.

    Kisha anahi t imisha kwa kusema: Wakumfanyia dawah ni kafiri ila Muislamu ukiyakataa hayo auwawe.

    Anachosema huyu bwana ni kuwa mfano jaaliya mazingira kama ya Zanzibar, Muislamu yeyoye kama hafanyi ibada, labda haswali, hafungi, hana kauli nzuri na jirani zake, anafanya ghishi katika biashara, basi huyu hakuna tena fadhakkir kwake wala kumuelimisha arejee katika twaa ya Allah. Hukatwa shingo ama kupigwa risasi. Huuliwa. Kama ni nasaha watapewa Wakristo, makomunisti na waabudu mizimu (na wale wa mwaka kogwa) kama wapo!

    Jingine analosema ni kuwa akiibuka Abu Dawd kutokea huko atokako Kahama na kudai kuwa yeye ni Khalifah, basi hakuna kuhoji, ukimpinga ana haki ya kukuuwa. Akitokea Abu Yasir kutoka Kirando, Rukwa au Nungwi, nakudai kuwa yeye

    Khalifah, ukimpinga, haki yako kuuliwa!!!

    Kwa uoni kama huo, ndio anasema kuwa Abu Bakr al-Baghdadi na wapiganaji wake wa ISIS, wana haki ya kufanya mauwaji wanayofanya Iraq na Syria hivi sasa kwa sababu wanaouliwa ni wale wanaompinga Khalifah al-Baghdadi!

    Nafikiri hapa niseme mambo matatu: Moja ni kuwa hii ni kielelezo cha upotoshaji na mkorogo (confusion) uliopo ndani ya jamii ya Waislamu. Na hili litaendelea kutugharimu kama hakutakuwa na juhudi za makusudi na za kina za kujinasua katika kuchanganyikiwa huku. Na hakuna njia ya mkato. Elimu.

    Pili, nadhani hii ni kipimo pia cha mafanikio cha maadui wa Uislamu katika kuhamisha vita iwe ni miongoni mwa Waislamu w e n y e w e k w a w e n y e w e halikadhalika kuwa askari mahiri wa kupigana proxy war kwa faida ya mabeberu.

    (Tazama: 1. Genesis Of Islamic Radicalism: The US Textbook Project That Taught Afghan Children Terror, 2. The CIA's "Operation Cyclone" - Stirring The Hornet's Nest Of Islamic Unrest, 3. Americas Jihad and Counter-jihad in Afghanistan and Pakistan)

    Tatu ni kuwa kwa hakika tuna dhima kubwa na hasa Masheikh wetu, akina Sheikh Kilemile, Muharami Doga, Maalim Ally

    Bassaleh, Kundecha, Mohammed Idd Abu Idd, Salim Barahiyani, na wengineo, mbele ya Mungu.

    Kwa muktadha wa makala yangu ya leo mimi niseme jambo moja tu. Kwa mtu mwenye akili na anayefuata taratibu za kawaida tu za binadamu asiye mvivu wa kufikiri, baada ya kuibuka kamanda al Baghdadi, anatakiwa kujiuliza, ni nani huyu Baghdadi aliyeibuka na kudai anapigana Jihad? Ametokea wapi? Pana ukweli gani wa anayoyasema?

    Alipoibuka al-Baghdad kama kamanda wa ISIS, aliyekuwa mkuu wa gereza la Bucca-Camp Bucca (ambalo lilikuwa kambi ya Marekani - U.S. detention camp in Iraq), Col. Kenneth King, alijuliza imekuwaje? Katika kujiuliza anasema anakumbuka kuwa huyu bwana siku anaachiwa katika gereza hilo alimuaga akimwambia I will see you guys in New York.

    N i f a f a n u e . A l - B a g h d a d i wakati Marekani imevamia Iraq mwaka 2003, a l ikuwa miongoni mwa maafisa katika serikali ya Saddam Hussein aliyekamatwa na kuwekwa katika kambi ya Marekani ya Bucca. Wakati wenzake wakipelekwa Guantanamo na magereza mengine, yeye akaachiwa. Na siku mkuu wa kambi hiyo alipopewa amri ya kumwachia, anasema j a m a a a l i m p u n g i a m k o n o akimwambia See you guys in New York.

    Mkuu huyo wa gereza anasema kuwa hakuelewa kauli hii ilikuwa na maana gani. Lakini baada ya kuibuka ISIS na Baghdadi akiwa ndio kamanda, huku misaada na silaha zikitoka Marekani, anasema ndio sasa anapata picha na kuelewa maana ya ile see you guys in New Yok.

    Kanuni ya msingi ya Kiislamu inatuambia kuwa zinapotufikia habar i , tuchunguze tus i j e tukawadhuru watu kwa ujinga. Leo anaibuka mtu anakwambia anapigania Jihad, lakini Jihad yenyewe inaonekana kuwa na mkono wa Marekani, Mayahudi na NATO, wewe badala ya kuchunguza ukajua ukweli wa mambo, unasema kuwa foot soldiers watalipwa kwa nia yao! Unashawishi watu wanakwenda wakidhani wanapigania Khilafah, katika kufanya hivyo, wanauwa watu wasio na hatia na wao wenyewe wanajiangamiza na kuuangamiza Uislamu.

    Hii akili gani! Uislamu toka awali ungekuwa umepokewa na watu walio na ufahamu wa chini kiwango hiki, hapana shaka wasingeweza kukabiliana na vitimvi vya Makuraishi na Mayahudi na usingetufikia hivi leo.

  • 12 AN-NUURSHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 8-14, 2014

    Majeshi yahitajika Gaza siyo porojo!Inatoka Uk. 10kwa Waislamu wenzao duniani. Watu wa Gaza wamebeba roho zao mkononi. Wengi wao wamekufa shahidi na mamia kutiwa vilema.

    N d e g e z a a d u i z i n a f a n ya d o r i a z a kiusalama kwenye anga la Gaza, kwa uhuru mkubwa bila ya hofu yoyote ya k u t u n g u l i w a , w a l a kukabiliana na ndege nyingine ya kuisumbua. M a j e s h i ya n c h i z a Waislamu zilizo jirani na Gaza, ambayo yana silaha bora za kisasa, hayawezi kuwasaidia kijeshi ndugu zao wa Gaza. Watawala wa nchi zao wamewatiwa pini. Ndege zao za kivita, vifaru na zana nyingine ni kwa ajili ya maonyesho tu na mapambo!

    Ndiyo maana ndege za Mayahudi ziko huru kuvinjari anga la Palestina na kuangusha mabomu m a h a l i wa n a p o t a k a bila ya hofu yoyote ya kutunguliwa. Nani wa kuzuia hujuma zao dhidi ya raia wasio na hatia!?

    Watawala wa nchi za Waislamu duniani wamefanya kosa kubwa pale walipokubali suala la Palestina kuhamishwa kutoka kuwa suala la Kiislamu na kugeuzwa kuwa suala la Waarabu, na baadaye kuwa suala la Wapalest ina. Sasa nao wamesimama kama watazamaji tu wasio na upande katika mgogoro wa Palest ina, ambao unawahusu moja kwa moja kama Waislamu!

    Wakati adui anapofanya maangamizi ya watu wasio na hatia, kama ilivyo sasa katika mauaji ya Gaza, watawala hawa wanaziangalia tu ndege za wavamizi wa Kiyahudi z i n a v y o u a r a i a w a Palestina, miili ya ndugu zao Waislamu waliouawa i k i s h a z i k w a , n d i y o wanaanza mashindano ya kuonyesha huzuni zao, kwa kutoa matamko yasiyo na tija ya kulaani maangamizi hayo!

    K a m a w a l i v y o mabeberu wa Magharibi, n a o w a n a k i m b i l i a "mazungumzo ya amani", yenye lengo la 'kutafuta' n j i a ya k u k o m e s h a m a a n g a m i z i h a y o , kama vile suluhisho la mzozo huo halifahamiki! Mabeberu wa Magharibi, Umoja wa Mataifa na 'Arab League' hawawezi kuleta ufumbuzi wa maangamizi ya Gaza. Wao ni sehemu ya tatizo hilo.

    I n a s h a n g a z a s a n a kuona watawala wa

    nchi za Waislamu, nao wakihangaika kulipeleka suala la kuangamizwa ndugu zao wa Gaza, k w e n y e B a r a z a l a Usalama la Umoja wa M a t a i f a , wa k i t a f u t a a z i m i o l a k u u n g wa mkono Palestina, kutoka kwa nchi wanachama wa Baraza hilo, ambazo ndizo zilizounda dola ya Kiyahudi, na kuisaidia kwa hali na mali, kupora ardhi tukufu za Palestina! Hiyo ni akili gani!?

    Jawabu linalohitajika k w e n y e m a u a j i yanayoendelea ya Gaza l i n a j u l i k a n a . I s r a e l i n a t u m i a v i s i n g i z i o hewa na udanganyifu. Tunajua wanaohofia sana ushirikiano wa makundi ya Wapalestina ya Hamas na Fatah. Hiyo ndiyo sababu ya maangamizi wa n a y o f a n ya G a z a , na wala siyo kutekwa na kuuawa kwa vijana w a K i y a h u d i k a m a w a n a v y o l a z i m i s h a . Suluhisho la jambo hilo siyo vikao wala mikutano mirefu ya majadiliano.

    Wais lamu dunian i wanapaswa kutanabahi kwamba mgogoro wa Palestina unawahusu na ufumbuzi wake uko mikononi mwao kama umma. Mabeberu wa Magharibi hawawezi k u l e t a u f u m b u z i . N i m a t a p e l i t u , wanaochezesha akili za walimwengu, kwa lengo la kuhamisha mazingatio yao kutoka kwenye kiini halisi cha mzozo huo.

    W a k i s h a t a m b u a hilo, ndipo Waislamu watakapoweza kutekeleza kikamilifu maelekezo ya Mwenyezi Mungu Mtukufu, kuhusu maadui h a t a r i w a n a o v a m i a maeneo yao, kwa lengo la kuwaangamiza, kama vile inavyofanyika Gaza:

    " P i g a n e n i n a o , M w e n y e z i M u n g u awaadhibu kwa mikono yenu, na awafedheheshe na akunusuruni juu yao, na avipoze vifua vya Waislamu (vifurahi)" Qur(9:14)

    Hivi ndivyo msaada k wa wa t u wa G a z a u n a v y o t a k i wa u we . Na hivyo ndiyo j insi y a k u k a b i l i a n a n a maangamizi ya wasio na hatia Gaza. Na ndivyo M w e n y e z i M u n g u atakavyovipoza vifua vya waja wake wema. Matamko ya kuilaani Israel peke yake hayasaidii sana. Na mazungumzo yasiyokwisha ya amani ni geresha tu ya kuendeleza d h u l m a d h i d i y a Wapalestina!

    Ni majeshi tu ndiyo yanayoweza kuwalinda raia wasio na hat ia , d h i d i y a m a j e s h i mingine ya uvamizi yanayokalia kimabavu nchi yao. Nchi za Kiarabu zinazoizunguka Palestina, zina nguvu za kutosha za kijeshi kuzikomboa ardhi zote za Wapalestina zilizoporwa na Mayahudi na kukomesha unyanyasaji huu wa raia wa Palestina.

    Kuna zaidi ya wanajeshi milioni mbili Waislamu katika eneo la Mashariki ya Kati, wanaotumia zaidi ya Dola za Kimarekani bilioni 100 kwa mwaka, kwa ajili ya kununulia silaha. Misri peke yake ina zaidi ya ndege 200 za kivita, aina ya F - 16 na askari wapatao 450,000.

    Sasa kama mna nguvu kubwa ya kijeshi kama hiyo, lakini hamuwezi kuitumia kumpiga adui yenu, basi ninyi ndiyo mnakuwa walinzi halisi wa adui huyo na wala siyo mataifa ya Magharibi! I wa p o n c h i h i z o z a Waislamu zitaishambulia I s r a e l n a k u i w e k e a mzingo (siege), kama vile Israel inavyofanya Gaza, unadhani mataifa ya Magharibi, yakiongozwa na Marekani yatakimbilia UN na kutoa matamko ya kulaani tu!? Nina hakika wa t a p e l e k a m a j e s h i na kuingia vitani i l i kuwanusuru ndugu zao!

    U f u m b u z i w a kudumu wa maangamizi y a W a p a l e s t i n a yanayoendelea Gaza uko mikononi mwa umma wa Kiislamu. Siyo Jumuiya ya Kimataifa wala nchi za Kiarabu. Nchi za Kiarabu z ik i s imama kama Waislamu, ndipo zinapoweza kuwanusuru ndugu zao wa Gaza. Uislamu una suluhisho la migogoro kama hiyo.

    A l h a m d u l i l l a h , tumeshuhudia Waislamu duniani na wapenda a m a n i u l i m we n g u n i kote, wakiungana kihisia na watu wa Gaza katika kipindi hiki kigumu, kupitia maandamano yao, misaada ya kibinadamu na kauli zao za kuilaani I s r a e l . W a t u h a o wanaonekana kuwa tayari kuchukua hatua zaidi za kuwanusuru Wapalestina kuliko maneno, lakini nao hawana uwezo , kama walivyo watu wa Gaza. Hili jambo linahusu utawala na majeshi, siyo raia wa kawaida.

    12 MAKALA/Mashairi

    WATU zaidi ya 20,000 waliandamana na kupita m b e l e ya I k u l u ya Marekani, White House, Washington DC kupinga mauwaji yanayofanywa na Israel huko Gaza.

    Free Palestine, let Gaza live, watu walipaza sauti mbele ya White House, Jumamosi iliyopita.

    20,000 waandamana Washington kulani Israel

    Y a k i a n d a l i w a n a k u o n g o z w a n a Washington-based anti-war coalition ANSWER, ikishirikiana na taasisi nyingine kama Council o f American- Is lamic Relations, American-Muslim Alliance, New Yo r k M u s l i m L e g a l Fund of America na Islamic Circle of North America, yalikusanya waandamanaji kutoka miji na majimbo mbalimbali ya Amerika.

    Israel has terrorized the region and world since 1948. Stop genocide in Gaza. Free Palestine.

    Yalisomeka baadhi ya mabango yaliyokuwa y a m e b e b w a n a waandamanaji.

    M w a n d a m a n a j i Thomas, akibeba bango l i l i l o a n d i k wa : F r e e Palestine, let Gaza live, alisema:

    The diversity in this square shows the great desire for justice and compassion toward the humanitarian crisis in Gaza.

    A k i m a a n i s h a kuwa ule mkusanyiko uliowajumuisha watu wa kada mbalimbali, dini na mataifa mbalimbali, unathibitisha kilio cha wengi na huruma ya wengi, kutaka haki kwa

    wananchi wa Gaza.Obama, responsible for

    massacre. Stop all U.S. aid to Israel. Ni ujumbe katika mabango mengine.

    Waandamanaji walipita pia mbele ya ofisi za gazeti la The Washington Post, ambalo walilishutumu kuwa lina msimamo wa kumpendelea na kuwa

    upande (pro-Israeli editorial policy) wa dhalimu Israel.

    We protest the editorial vision of the Washington Post, which continues to promote Israeli occupation and apartheid policies that are the root of the conflict. Shame on you!

    Walipaza sauti baadhi y a w a a n d a m a n a j i walipofika langoni mwa ofisi za gazeti hilo likiwa l inalindwa na askari wenye silaha kali.

    K i l i chovut ia za id i katika maandamano hayo ni uwepo wa Mayahudi wakiwa na mabango yao yakisema:

    Judaism rejects the Zionist Israeli State and its atrocities.

    K w a m b a d i n i y a K i ya h u d i ( J u d a i s m ) inapinga Uzayuni na unyama unaofanywa na Israel.

    T h e I s r a e l i s t a t e has been perpetrating genocide against the P a l e s t i n i a n s w h i c h Judaism would never accept.

    Alisema mwandamanaji wa Kiyahudi rabbi David Fieldman akimaanisha kuwa serikali ya Israel i m e k u w a i k i f a n y a mauwaji ya kuangamiza k w a W a p a l e s t i n a jambo ambalo Uyahudi haulikubali.

  • 13 AN-NUURSHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 8-14, 2014MAKALAALLAH (sw) amemuumba mwanadamu katika umbile bora zaidi , amempa aki l i inayomtofautisha na mnyama na akampa maarifa ya kutengeneza mavazi.

    Allah (sw) anasema. Enyi wanadamu, hakika

    tumekuteremshieni nguo zifichazo tupu zenu na nguo za mapambo, na nguo za utawa ndizo bora. Hayo ni ishara za Allah (sw) ili watu wapate kukumbuka.

    Enyi Wanadamu, shetani (Ibilisi) asikutieni katika matatizo kama alivyowatoa wazee wenu katika pepo, akawavua nguo zao ili kuwaonyesha tupu zao. Hakika yeye pamoja na kabila lake wanakuoneni, hali ya kuwa wao hamuwaoni. Bila shaka sisi tumewajaalia mashetani kuwa marafiki wa wasioamini. (Aaraf: 26-27).

    Watukufu Waislamu, watu wengi wataingizwa motoni kwa kumfuata kwao Ibilisi na kufuata matamanio ya nafsi zao. Ibilisi amekula njama kuwapoteza wanadamu kwa kuwashawishi wavue nguo zao na waende uchi, ili wachukiwe na Allah (sw), kama yeye alivyochukiwa na waingizwe motoni pamoja na yeye. Na ni njia hiyo aliyoitumia kuwapoteza wazee wetu Adam na Hawa.

    Basi Allah (SW), anatuonya tusimfanye shetani ndiyo kipenzi chetu tukapotea. Allah (sw) anasema, (Hali ya kuwa Allah sw) ameliongoa kundi moja na kundi jingine limethibitikiwa na upotofu. Kwa hakika waliwafanya mashetani kuwa walinzi wao badala ya Allah (sw) na wanadhani kuwa wameongoka. (Aaraf: 30).

    Muislamu asi je akadhani kwamba yeye bado hajajaaliwa kufanya mema, au Allah (sw) ndiye alivyomtaka apotee, ila kila aliyepotea amejitakia mwenyewe upotofu kwa kumfuata shetani na amepotoka kwa hiari yake, kwani amepewa akili na uhuru wa kuchagua haki au batili. Na mtu akifanya maasi mwisho wake atajiona yuko sawa, ndiyo leo wanawake wanaokwenda uchi, wote hao wanajiona wameendelea sana na wanakwenda na wakati, hasara yao duniani na akhera.

    Makureishi walikuwa wanatufu Alkaaba uchi na walijiona wako sahihi. Allah (sw) akasema, Sema ni nani aliyeharamisha mapambo ya Allah (sw), ambayo amewatolea waja wake. Na (nani aliyeharamisha) vitu vizuri katika vyakula? Sema vitu hivyo amewahalalishia Waislamu (hapa) katika maisha ya dunia, (na) vitakuwa vyao peke yao siku ya kiama. Namna hivi, tunazieleza aya kwa watu wajuao. (Aaraf:32).

    Allah (sw), amesema (Na Allah sw) amekufanyieni nguo zinazokukingeni na joto na (baridi na amekufanyieni) nguo za chuma zinazokukingeni katika vita vyenu. Namna hivi anakutimizieni neema zake ili mpate kutii. (Nahl: 81).

    Tunapata mafunzo kwamba Allah (sw) ndiye aliyetupa elimu ya kutengeneza nguo, magari, computer nk. ili tupate kuzidi kuwa watiifu kwake, kinyume chake kila tunaponeemeshwa, sisi ndio tunazidi kukufuru!

    Stara ya mwanamke Muislamu

    Mavazi ya wanawake.Allah (sw) anasema, Ewe

    Mtume! waambie wake zako na mabinti (watoto) wako na w a n a w a k e w a K i i s l a m u , wajiteremshie vizuri "Jalaabab", kufanya hivyo kutawapelekea upesi wajulikane (kuwa ni watu wa heshima ili) wasiudhiwe. Na Allah (sw) ni mwingi wa kusamehe na mwingi wa rehema. (Ahzab: 59).

    Aya hii imekuja kulazimisha wanawake wa Kiislamu wote kuvaa hijaab, ni wajibu kama ilivyo swala. La kushangaza ni kuona wanawake wengi wa Kiislamu wanapuuza fardhi hi i kwa makusudi, halafu wanategemea kupata pepo kwa kumuudhi huyo anayemiliki pepo hiyo.

    Allah (sw) anasema tena, "Na waambie waumini wanawake w a i n a m i s h e m a c h o y a o na wazilinde tupu zao, wala wasionyeshe uzuri wao isipo kuwa unao dhihirika. Na waangushe shungi zao juu ya vifua vyao, wala wasionyeshe mapambo yao, ila kwa waume zao, au baba zao, au baba wa waume zao, au watoto wao, au watoto wa waume zao, au kaka zao, au wana wa kaka zao, au wana wa dada zao, au wanawake wenzao, au iliyowamiliki mikono yao ya kuume, au wafuasi wanaume wasio na matamanio, au watoto ambao hawajajua mambo yaliyohusu uke. Wala wasipige chini miguu yao ili yajulikane mapambo waliyoyaficha. Na tubuni nyote kwa Allah (sw) enyi waumini, ili mpate kufanikiwa. (Nuur: 31)

    Aya zimekuja kulazimisha wanawake wa Kiislamu kuvaa buibui na shungi, na anasema Jabir (ra) kwamba aya hizi ziliteremshwa kwa wanawake waliokuwa wakienda kifua wazi, na miguu wazi wakionesha

    m a p a m b o ya o k wa wa t u , ambao si maharimu wao. Basi aya zinakataza kwa mwanamke kuonekana mwili wake ila uso na viganja vya mikono. Na wamekatazwa kujipamba na kutoka nje kuonesha mapambo yao kwa watu wa mbali, ila kwa watu waliotajwa kwenye aya. (Nuur:31).

    Wanachuoni wa Kiislamu wameorodhesha sharti za hijaab kama ifuatavyo: Nguo iwe ya halali Muislamu anatakiwa chumo lake liwe la halali lisitokane na zinaa, ulevi, kamari, wizi, riba, udanganyifu, kuuza vinyago, muziki na biashara za haramu. Allah (sw) amewahimiza Mitume pamoja na waumini wao kula rizki za halali na kuchuma halali, na Muislamu anayechuma chumo la haramu, basi dua na ibada zake nyingine hazitokubaliwa, kwani Allah (sw) ni mtakatifu, hakubali ila halali.

    Allah (sw) anasema, Enyi Mitume! Kuleni vyakula vizuri na fanyeni mema. Hakika Mimi ni mjuzi wa mnayoyatenda. (Muuminuun:51). Akasema tena Enyi mlioamini! Kuleni vizuri tulivyo kuruzukuni, na mumshukuru Allah (sw), ikiwa kweli mnamuabudu Yeye tu. (Baqarah:172).

    Amesimulia Abuu Hurayra (ra), kuwa Mtume (saw) amesema Allah (sw) ni mzuri hakubali ila vitu vizuri, na Allah (sw) amewaamrisha waumini mambo a l i y o w a a m r i s h a M i t u m e , aliposema Enyi Mitume! Kuleni vyakula vizuri na fanyeni mema. Hakika Mimi ni mjuzi wa mnayo yatenda.

    Akasema tena Enyi Mlioamini! Kuleni vizuri tulivyo kuruzukuni na mumshukuru Allah (sw) ikiwa kweli mnamuabudu Yeye tu kisha akataja mtu aliyesafiri masafa marefu mwenye manywele timtimu, aliyejaa vumbi anainua mikono yake mbinguni, akisema ewe Bwana ewe Bwana, na chakula chake ni haramu na nguo zake ni haramu na amekulia kwenye haramu vipi atakubaliwa?.(Muslim na Tirmidhy).

    Hadithi inahimiza kula halali na kuvaa nguo za halali na anayekula haramu na kuvaa nguo za haramu hatokubaliwa ibada zake.

    Nguo isitiri mwili mzima: Sharti jingine ni kwamba nguo yenyewe iwe ni Jalaabab, yaani guo zito, pana lenye kusitiri mwili mzima isipokuwa uso na viganja vya mikono. Hijaab ina sehemu mbili ukiacha nguo za ndani (sketi na blauzi n.k.), nje avae buibui pana lisilombana wala kuonyesha mikatiko ya mwili wala lisipasuliwe, halafu avae shungi litakalofunika uso na kuteremka mpaka kifuani chini ya matiti yake. Tofauti na vile vitambaa vinavyofunika kichwa tu na vikaitwa hijaab. Vitambaa hivi vivaliwe ndani kabla ya kuvaa shungi, Mtume (saw) alimwambia Bibi Asmaa (ra), Ewe Asmaa! Hakika mwanamke akishafikia kuwa na hedhi (akibaleghe) haisihi kwake aonekane (na mwanamme ajnabi) ila hapa na hapa, akaashiria uso wake

    na viganja vya mikono.(D4104 hadithi hii imedhaifishwa na Ghuthaymin na ikasahihishwa na Albany)

    Katika hadithi hii pia tunajifunza kwamba Bibi Asmaa (ra) alivaa nguo inayoonesha ndani, kwa hivyo haifai kuvaa nguo hiyo. Pia kuna hadithi nyingi zaidi zenye kuonesha kuwa wanawake wakati wa Mtume (saw) walijifunika mwili mzima ila macho tu kama alivyosimulia Ibn Abbas (ra) na kupokelewa na Bukhari (SB 4759).

    Aisha (ra) anasema kwenye Hija, wanawake walijifunika uso walipopitiwa na misafara ya wanaume. (Mj 1833).

    Wamehitilafiana Ulamaa katika suala la kuonekana uso, baadhi yao wanaona si lazima kufunika uso, na wengine wanaona ni lazima. Ama wanawake watakaonekana nywele, kwa kusukana nje, au kichwa au sehemu yoyote ya mwili ukiacha uso na viganja vya mkono, hao wako uchi kisheria na wanapata dhambi ya kukaa uchi.

    Amesimulia Abii Hurayra (ra) kuwa amesema Mtume (saw), makundi mawili ya watu ni watu wa motoni, sijawaona (katika wakati huu), watu wenye mijeledi kama mikia ya ngombe wanawapigia watu, na wanawake waliovaa nguo lakini wako uchi, wamejipamba na kujitakisha kwa wanaume, nao wanaume wanawafuata kwa machafu, katika vichwa vyao mna kama nundu ya ngamia iliyolala, hawatoingia peponi wala hawatonusa harufu yake, pamoja na kuenea harufu yake masafa kadha wa kadhaa (masafa ya meli hamsini elfu) (SM 2124).

    Hadithi inaonesha miujiza mikubwa ya Mtume (saw) kuwajua wale askari wanaopiga raia kwa marungu bila makosa. Na kuwajua wanawake ambao wanavaa nguo zenye kubana na kuonesha maumbile ya mwili, na wanaotoka nje wamejipamba kwa lipstick, piko, hina na nguo walizovaa ni za marembo marembo, na katika vichwa vyao, wana nundu ya ngamia, yaani nywele zilofungwa na kuwekwa help me, na kumfanya mwanamke awe na vichwa viwili kimoja cha kimaumbile na cha pili kama nundu ya ngamia, na hiyo ni dalili moja ya watu wa motoni. Nyengine ni kule kutoka nje wamejipamba na kuonesha mapambo yao kwa wanaume na kwenda kwa maringo, wakitikisha viuno vyao ili watakiwe na wanaume, wanaingia pia wanawake wanaokata viuno katika dufu na ngoma na miziki mbele ya wanaume, kwa hivyo wanenguaji wote ni watu wa motoni.

    Mtume wetu Muhammad (saw) alioneshwa watu hao wa motoni na Mola wake, kabla yeye kuwaona kwa macho, kwani wakati wake kulikuwa hakuna askari wapigao watu marungu bila kosa, wala wanawake wenye nundu za ngamia vichwani mwao, ndiyo kwanza sasa yanaenea hayo mahelp me, ila yeye aliyaeleza haya zaidi ya miaka elfu moja nyuma.

  • 14 AN-NUURSHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 8-14, 2014

    UKILITAMKA neno Srebrenica hapa Ulaya , na hasa kat ika sehemu za Balkan, mwili wa mtu husisimka. Hilo ni jina la mji, kaskazini mashariki ya Bosnia, ambalo linawaibisha watu wa Ulaya juu ya unyama uliofanyika ndani ya bara lao. July mwaka 1995 mauaji makubwa yalifanyika ndani na pembezoni mwa mji huo na yakachukuwa roho za zaidi ya Waislamu wa Bosnia 8,000, wengi wao wakiwa wanaume. Wauwaji walikuwa wanajeshi wa Kiserbia kutokea Bosnia wakiongozwa na Jenerali Ratko Mladic. Walishiriki wanamgambo kutokea Serbia na hata watu waliojitolea kutoka Urusi. Umoja wa Mataifa uliyaelezea mauaji hayo ya kiholela kuwa ni mabaya kabisa kuwahi kufanyika Ulaya tangu kumalizika Vita Vikuu vya Pili vya Dunia.

    Vi t a v ya B o s n i a v i l i k u wa vinaendelea wakati huo kutokana na kusambaratika kwa lililokuwa Shirikisho la Yugoslavia. April 1993 Umoja wa Mataifa ulitangaza kwamba Srebrenica ni Eneo la Usalama. Hata hivyo, July 1995 jeshi la Umoja huo, likiwakilishwa na wanajeshi 400 wa kuweka amani kutokea Uholanzi, liliwachia mji huo utekwe na Waserbia. Mbele ya macho ya wanajeshi wa Kiholanzi, na tena mchana kweupe, wanajeshi wa Kiserbia waliwatenganisha raia wa Kiislamu walio wanaume upande mmoja na wale wa kike upande mwingine. Hatima ya wanaume ilikuwa kupigwa risasi na kuzikwa vichakani ndani ya makaburi ya halaiki. Wengi wa wanawake walimalizikia kama mashine za ngono kuwaburudisha wanamgambo wa Kiserbia.

    Mwaka 2004 Mahakama ya Kimataifa ilioundwa na Umoja wa Mataifa kushughulikia kesi za uhalifu wa kivita katika Yugoslavia ilisema kilichofanyika Srebrenica ni mauaji ya kimbari, uhalifu chini ya sheria za kimataifa. Mahakama hiyo ilisema kwamba kuwahamisha kwa nguvu Wabosnia 25,000 hadi 30,000, wanawake, watoto na wazee, zoezi lililokwenda sambamba na mauaji hayo, ni ushahidi tosha juu ya nia ya kuuwa waliokuwa nayo maafisa wa juu wa jeshi la Waserbia wa Bosnia. Wenyewe Umoja wa Mataifa ulikiri kwa kusema kwamba japokuwa lawama kubwa ya mauaji hayo inawaangukia watu waliotenda pamoja na wale waliowasaidia na kuwalinda, hata hivyo, mataifa makubwa ni ya kulaumiwa pia kwa kushindwa kuchukuwa hatua zifaazo. Pia ilitajwa kwamba Umoja wa Mataifa ulifanya makosa makubwa ya kutochukuwa maamuzi barabara, hivyo maafa ya Srebrenica yatawasuta walimwengu na kuzibakisha hisia zao zikiugua.

    Orodha ya watu waliopotea Srebrenica ni 8,373 hadi July 2012, na kati ya hao 6,838 wameshatambuliwa kupitia vipimo vya uchunguzi wa kinasaba, DNA, uliofanyiwa mafupa yaliofufuliwa kutoka kwenye makaburi. Miili 6,066 imezikwa katika Uwanja wa Potocari ambako kila mwaka maelfu ya Wabosnia huenda

    Haki kwa mama wa wahanga wa SrebrenicaNa Othman Miraji

    hapo kuwaombea dua marehemu ndugu zao. Rais wa Serbia aliwahi kuomba radhi kwa mauaji hayo, lakini hajaenda umbali wa kuyaita kuwa ni ya kimbari.

    Licha ya karibu miaka 20 kupita sasa tangu kutokea mkasa huo, bado Ulaya inatembea na zimwi la Srebrenica, maafa yaliotoa picha ya udhaifu wa Umoja wa Mataifa kushindwa kuwa chombo cha kulinda usalama wa watu walio dhaifu.

    Wiki iliopita mahakama ya kiraia ya Uholanzi iliamuwa kwamba nayo serikali ya Uholanzi inabeba dhamana ya kuuliwa zaidi ya Waislamu wa Kibosnia 300. Ilitajwa kwamba nchi hiyo iliokuwa na kikosi chake katika jeshi la kuweka amani la Umoja wa Mataifa huko Bosnia, ni mshirika wa makosa pia kwa vile wanajeshi wake waliwaachia wanamgambo wa Kiserbia waingie katika kambi iliotengwa kuwalinda raia wa Kiis lamu wa Bosnia . Inasemekana Waislamu hao 300 walitaka ulinzi katika kambi hiyo walikokuwa wakikaa wanajeshi wa kulinda amani wa Uholanzi karibu na Potocari. Lakini badala ya kupewa ulinzi, Waholanzi waliwakabidhi raia hao kwa jeshi la Jenerali Mladic na kuuliwa.

    Lakini mahakama hiyo ilisema serikali ya Uhoanzi si dhamana wa moja kwa moja wa mauaji yote yaliotokea Srebrenica ambapo zaidi ya Waislamu 8,000 waliuliwa. Licha ya hayo, wanajeshi wa Kiholanzi walilaumiwa kwa kwenda kinyume na sheria na kuchangia kuwahamisha zaidi ya raia 300 kutoka jengo lao la kijeshi.

    Jumuiya ya Mama wa Watoto Wal ioul iwa Srebrenica ndio iliofungua kesi hiyo. Ilitaka serikali ya Uholanzi ibebeshwe dhamana moja kwa moja kwa kutekwa eneo hilo na wanamgambo wa Kiserbia na kuuliwa jamaa wa akina mama hao. Ilivokuwa mahakama hiyo haijaenda umbali wa kuyakuba madai

    yote, akina mama hao wamesema watakata rufaa mbele ya Mahakama ya Ulaya mjini Strassburg. Akina mama hao wanautaka Umoja wa Mataifa ubebeshwe pia dhamana juu ya mkasa huo.

    Mwaka jana Mahakama Kuu huko Uholanzi ilisema kikosi cha wanajeshi wa U h o l a n z i k i l i c h o k u we k o Srebrenica kinabeba dhamana ya kuuliwa wanaume watatu wa Kibosnia ambao walikataliwa kuingia katika kambi ya wanajeshi hao na baadae watu hao wakauliwa na Waserbia. Mwaka huu serikali ya Uholanzi imewafidia jamaa wa marehemu hao kwa kulipa Euro 20,000 kwa kila mtu mmoja aliyeuwawa.

    Hukumu iliotolewa The Hague wiki iliopita imezusha masuali kwa mabingwa wa sheria za kimataifa. Ina maana kwamba japokuwa mwanajeshi wa kuweka amani wa Umoja wa Mataifa atakuwa na kinga ya kutoshitakiwa kwa uhalifu kutokana na kibali ambacho Umoja wa Mataifa inacho, hata hivyo,

    serikali ya nchi ya mwanajeshi huyo inaweza kubebeshwa dhamana kwa kitendo cha mwanajeshi huyo. Kwa umbali gani tafsiri ya hukumu hii itakavotumiwa katika operesheni za kijeshi za Umoja wa Mataifa ni jambo la kungoja na kuona.

    Kuna hatari kwamba kutokana na hukumu hii, huenda hamna nchi yeyote isiokuwa na maslahi katika eneo la mzozo itakayokubali kutuma wanajeshi wake huko kulinda amani. Madola kama Marekani na Ujerumani yalikwepa kutuma wanajeshi wa kulinda amani nchini Bosnia. Na ingekuwa hakujapelekwa kabisa wanajeshi wa kulinda amani huko Bosnia wakati huo, bila ya shaka idadi ya watu ambao wangekufa katika vita hivyo ingekuwa kubwa zaidi. Raia wengi pia wangekufa kwa njaa. Kwa ufupi: ninavoona mimi ni kwamba kanuni za kimsingi za utu lazima ziwe juu ya ule muongozo uliowekewa operesheni ya kulinda amani. (Kwa hisani ya Othman Miraj)

    TANGAZOUnahitajika msaada kwa kijana (Mtoto) wa Kiislamu (miaka 14), aliye mlemavu wa miguu, kuendelezewa eneo lake la ardhi, kwa kiwango ama chumba kimoja au viwili.

    Eneo hilo lipo Potea, Kigamboni Jijini Dar es Salaam, alipewa na Muumini mmoja (Mama) wa Kiislamu, toka mwaka 2011, ikiwa ni Sadakatul-jaalia kwa kijana huyo baada ya kumuona.

    Mama mzazi wa kijana huyo, hana uwezo wa kuliendeleza eneo hilo. Ikiwa msaada huo utapatikana utaweza kumsaidia kukabiliana na changamoto ya kukidhi malengo yake ya kumpeleka katika masomo ya Dini, Mkoani Tanga.

    Kwa maelezo/msaada piga namba:- 0686 82 36 96, 0659 27 16 49.

    WAPALESTINA wakienda kuzika ndugu na jamaa zao kufuatia mashambulizi ya majeshi ya Israel huko Gaza. Je, Waziri Mkuu wa Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyau anaweza kufikishwa The Hegue kujibu tuhuma za mauaji ya raia wasio na hatia wa Kipalestina.

    MAKALA

  • 15 AN-NUURSHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 8-14, 2014MAKALA

    S E R A ya n c h i z a n j e ya Marekani hailengi kuzuia kuenea kwa Uislamu wa siasa kali. Kwa uhakika, ni kinyume chake. Kielelezo cha kukua kwa 'Uislamu wa siasa kali' wakati wa vita ya kiitikadi ya dunia katika iliyokuwa Urusi na Mashariki ya Kati inaendana na agenda iliyojificha ya Marekani. Inalenga zaidi uendelezaji na siyo kupambana na ugaidi wa kimataifa, kwa nia ya kutangua mifumo huru ya kitaifa na kuzuia kuenea kwa harakati za mabadiliko ya kijamii zinazolenga ukiritimba wa kiuchumi wa Marekani. Watawala jijini Washington wanaendelea kuunga mkono - kwa kutumia operesheni kificho za CIA - kukua kwa Uislamu wa kikereketwa, kote Mashariki ya Kati, katika iliyokuwa Urusi pamoja na nchini China na India.

    Kote katika nchi zinazoendelea, kukua kwa vikundi vya itikadi kali, za sehemu ndogo za jamii na ny inginezo , z inasa id ia kutimiza malengo ya Marekani. Makundi haya na yale yenye silaha yamekuzwa, hasa katika nchi ambazo taasisi za kitaifa zimeporomoka chini ya mzigo wa matakwa ya kurekebisha uchumi yaliyolazimishwa na shirika la fedha la kimataifa, IMF.

    Makundi haya ya kikereketwa ya n a c h a n g i a k u h a r i b u n a kuvuruga taasisi za kiraia.

    Ukereketwa wa Kiislamu unajenga migawanyiko ya kijamii na kikabila. Inapunguza uwezo wa wananchi kuungana kupambana na ukiritimba wa Marekani. Makundi haya au mikusanyiko, kama Taliban nchini Afghanistan, mara kadhaa huanzisha harakati dhidi ya 'Uncle Sam.' (mjomba wa Marekani, mfadhili wao) kwa njia ambayo haijengi hatari yoyote kwa maslahi mapana ya Marekani kiuchumi au kushikilia maeneo tofauti duniani.

    Kufuta historia ya Al Qaeda: Tangu Septemba 2001, historia ya Al Qaeda kimsingi imefutika. Uhusika wa serikali kadhaa za Marekani na 'mtandao wa kigaidi wa Kiislamu' ni nadra kutajwa. Vita kubwa katika Mashariki ya Kati na katika Asia ya Kati, inayosemekana ni 'dhidi ya ugaidi wa kimataifa,' ilianzishwa Oktoba 2001 na serikali ambayo ilikuwa inafuga ugaidi wa kimataifa kama agenda mojawapo ya sera ya nchi za nje. Kwa maneno mengine, sababu muhimu ya kuanzisha vita dhidi ya Afghanistan na Irak zimeundwa tu, kijanja. Wananchi wa Marekani wamedanganywa na kupotezewa mwelekeo kwa

    Agenda iliyofichika ya MarekaniNa Profesa Michel Chossudovsky

    JIMMY Carter, Rais wa zamani wa Marekani.

    makusudi na serikali yao. Uamuzi wa kuwadanganya wananchi wa Marekani ulichukulia hapo Septemba 11, 2001, saa chache baada ya shambulio la kigaidi dhidi ya majengo ya Kituo 'cha Biashara cha Kimataifa, Bila ushahidi wa kuyakinisha, Osama alikuwa tayari ametajwa kama 'mtuhumiwa mkuu.' Siku mbili baadaye, Septemba 13 - wakati uchunguzi wa FBI ndiyo kwanza unaanza - Rais Bush akaahidi "kuiongoza dunia kufikia ushindi."

    Wakati CIA inakubali kwa mbinde kuwa Al Qaeda ilikuwa ni 'amana ya kiinteligensia' wakati wa vita ya itikadi na Urusi, uhusiano halisi unasemekana kuanzia mbali, katika enzi zilizopita. Habari kuhusu Septemba 11 zinaelekea kusadiki kuwa uhusiano kati ya CIA na Al Qaeda ni wa kipindi cha vita vya Urusi na Afghanistan (vilivyoisha 1988). Mahusiano hayo yanaonekana kuwa yalikuwa ni tofauti na kuelewa kilichotokea Septemba 11 na 'Vita ya Dunia dhidi ya Ugaidi.' Hata hivyo miezi michache tu kabla ya Septemba 11, kulikuwa na ushahidi wa uhusiano wa karibu kati ya wanajeshi wa Marekani na makundi ya Al Qaeda yanayoshiriki mapambano nchini Macedonia.

    Ikiwa imefunikwa na mkondo wa historia ya hivi karibuni, nafasi ya CIA katika kuunga mkono na kuinua makundi ya kigaidi ya kimataifa wakati wa

    vita ya kiitikadi (Vita Baridi) na baada ya hapo, inaachwa pembeni au kupuuziwa na vyombo vya habari vya nchi za Magharibi. Kielelezo cha wazi cha uvurugaji wa habari kuanzia Septemba 11 ni dhana ya 'kujirudi,' ambako dhamana za ki inte l igensia (za ki jasusi) zinasemekana 'kuwarudi walioziunda kuwa kile tulichokiunda kinaturudia na kutupiga machoni.' Katika kuonyesha mfano wa mantiki iliyopinda, utawala wa Marekani na CIA vinaonyeshwa kama waathirika, wahanga wa hali hiyo:

    M b i n u z a h a l i y a j u u zilizofundishwa Mujahidina, na maelfu ya tani za silaha zilizopelekwa kwao na Marekani - na Uingereza - sasa vinazitesa nchi za Magharibi katika kile kinachoitwa 'kujirudia,' ambako mkakati wa kisera unawageukia wale walioutunga.

    Vyombo vya habar i vya Marekani, hata hivyo, vinakiri kuwa "kuingia kwa Taliban madarakani (mwaka 1996) kwa upande fulani kulitokana na Marekani kuwaunga mkono Mujahidina, kundi la Afghanistan la siasa kali, katika miaka ya 1980 wakati wa vita dhidi ya Urusi. Lakini pia inafuta ushawishi wa hoja zake na matamshi rasmi na kufikia tamati, kama wimbo, kuwa CIA imedanganywa na ujanja wa Osama. Ni kama mwana kwenda kinyume na baba yake.

    'Vita dhidi ya Ugaidi' baada ya Septemba 11: Dhana ya 'amana kujirudia' ni ya kutunga. CIA haikuwahi kuondoa mahusiano yake na 'mtandao wa Kiislamu wa siasa kali.' Kuna ushahidi wa kutosha kuwa Al Qaeda imebaki kuwa amana ya kijasusi inayofadhiliwa na Marekani. Al Qaeda inatajwa kama mhunzi wa Septemba 11 bila hata mara moja kutaja mahusiano yake ya kihistoria na CIA na taasisi ya kijasusi ya jeshi la Pakistan, ISI.

    Wakati Al Qaeda imeendelea kubaki chini ya udhibiti wa mashirika ya kijasusi ya Marekani, utawala wa Marekani umesisitiza muda wote kuwa 'adui huyu wa nje' atashambulia tena, kuwa 'Septemba 11 ya pili' itatokea kwingineko Marekani au katika nchi za Magharibi. "Kuna dalili kuwa mashambulio mengine siku za usoni yanaweza kushindana au kuzidi yale ya Septemba 11...

    Na ni wazi kuwa mji mkuu wa nchi na jiji la New York zitakuwa katika orodha yoyote ile ya mashambulizi mengine" (kwa mujibu wa Tom Ridge wakati wa Christmas, 2003).

    "Unajiuliza: Hivi ni hatari kiasi hicho? Ndiyo, unaweza kusema na kuweka rehani hata maisha yako. Watu hawafanyi hivyo kama siyo jambo la hatari kabisa," kwa mujibu wa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi Donald Rumsfeld, wakati huo huo.

    Taarifa za uhakika zinaonyesha kuwa Al Qaeda inaendelea na mipango yake ya kufanya s h a m b u l i o k u b wa n c h i n i Marekani katika juhudi za kuvuruga mpangilio wetu wa kidemokrasia. ....Hii ni habari ya kustua kuhusu wale ambao wanataka kututayarishia mabaya. Lakini kila siku tunaimarisha ulinzi wa nchi yetu." (Rais George W. Bush, Julai 2004)

    "Adui aliyeshambulia Septemba 11 amepasuka vipande na kupungua nguvu, lakini bado ana nguvu nyingi, akiwa na dhamira ya kutushambnulia tena," alisema aliyekuwa makamu wa rais Dick Cheney, Julai 2006.

    "Septemba 11 nyingine ingetoa sababu na nafasi ya kujibu mapigo dhidi ya walengwa kadhaa wanaofahamika," kwa mujibu wa ofisa wa Wizara ya Ulinzi ya Marekani, akizungumza na gazeti la Washington Post, Aprili 23, 2006.

    (Hii ni sehemu ya makala ya Profesa Michel Chossudovsky, aliyoipa jina Washingtons Hidden Agenda. Imefasiriwa kwa Kiswahili na Anil Kija)

  • 16 AN-NUURSHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 8-14, 201416 MAKALA

    Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works Limited, S.L.P. 4605 Dar es Salaam.

    AN-NUUR16 SHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 8-14, 2014

    Soma gazeti la

    AN-NUUR kila Ijumaa

    ZILE tuhuma juu ya watoto wa Kiislamu kat ika skul i ya Eden International S c h o o l , k u w a w a n a s o m e s h w a U t a t u , s a s a zimethibiti.

    Hata hivyo, watoto hao wameelezea masikitiko yao kuwa wakati Waislamu ndio wanaofanya idadi kubwa ya w a n a f u n z i w a skuli hiyo, hakuna somo la Maarifa ya Uislamu, wala mwalimu anayekuja k u w a s o m e s h a Uislamu.

    T a a r i f a y a Mrajis wa Elimu, Zanzibar imesema kuwa, uchunguzi uliofanyika skulini hapo umebaini kuwa

    Wanafunzi wasoma UtatuMwalimu wa Islamic hakuna

    Na Mwandishi Wetu watoto wa Kiislamu wanalazimishwa kusoma Ukr is to na kuvaa mavazi yasiyostahiki.

    Akizungumza na vyombo mbalimba