annuur 1175b.pdf

20
Hakuna ugaidi Misikitini wala katika Makanisa yetu WAZIRI wa Uchukuzi, Samwel Sia IGP Ernest Mangu. Walimu, Masheikh wakamatwa kinyemela Sheikh Kundecha atoa angalizo kwa Chikawe Miaka 2 ‘NO’ dhamana kwa Ponda, Kwanini? SHEIKH Kundecha. SHEIKH Ponda. ISSN 0856 - 3861 Na. 1175 RAJAB 1436, IJUMAA , MEI 1-7, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu facebook: [email protected] AHLU SUNNA WAL JAMAA HAJJ AND UMRA TRUST Allah Ameagiza tuelimishane kuhusu Hijja, ikieleweka, tutakwenda kutoka kila Mkoa, Wilaya na Tarafa. Waislamu tuhimizane; na matajiri watumie mali zao kuhakikisha matakwa haya ya Mola wao yanatimia. Muda unakwisha! Gharama zote kwa Hijja ni Dola 4,500. Umra ya Ramadhani ni Dola 2,300. Karibuni Ahlu Sunna Wal Jamaa kwa huduma nzuri na uongozi bora. Wasiliana nasi: Tanzania Bara: 0765462022;0782804480; 0717224437. Zanzibar: 0777468018; 0777458075; 0777845010. (8)KILA ENEO LIPELEKE MAHUJAJI Sitta ahofia Sultani mwenye madevu Zanzibar Adai Dar es Salaam hakutakalika Unguja itakuwa chaka la Al-Shabab Afafanua Suala la Mahakama ya Kadhi Soma Uk. 10 MUHAMMED Al-Busaid aliyewahi kuwa Sultan wa Zanzibar. HAMUD bin Mohammed aliyewahi kuwa Sultan wa saba wa Zanzibar.

Upload: annurtanzania

Post on 15-Jan-2016

3.348 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: ANNUUR 1175b.pdf

Hakuna ugaidi Misikitini wala katika Makanisa yetu

WAZIRI wa Uchukuzi, Samwel Sitta

IGP Ernest Mangu.

Walimu, Masheikh wakamatwa kinyemela

Sheikh Kundecha atoa angalizo kwa ChikaweMiaka 2 ‘NO’ dhamana kwa Ponda, Kwanini?

SHEIKH Kundecha. SHEIKH Ponda.

ISSN 0856 - 3861 Na. 1175 RAJAB 1436, IJUMAA , MEI 1-7, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=

Sauti ya Waislamufacebook: [email protected]

AHLU SUNNA WAL JAMAA HAJJ AND UMRA TRUST

Allah Ameagiza tuelimishane kuhusu Hijja, ikieleweka, tutakwenda kutoka kila Mkoa, Wilaya na Tarafa. Waislamu tuhimizane; na matajiri watumie mali zao kuhakikisha matakwa haya ya Mola wao yanatimia. Muda unakwisha! Gharama zote kwa Hijja ni Dola 4,500. Umra ya Ramadhani ni Dola 2,300. Karibuni Ahlu Sunna Wal Jamaa kwa huduma nzuri na uongozi bora. Wasiliana nasi: Tanzania Bara: 0765462022;0782804480; 0717224437.Zanzibar: 0777468018; 0777458075; 0777845010.

(8)KILA ENEO LIPELEKE MAHUJAJI

Sitta ahofia Sultani mwenye madevu ZanzibarAdai Dar es Salaam hakutakalikaUnguja itakuwa chaka la Al-ShababAfafanua Suala la Mahakama ya Kadhi

Soma Uk. 10

MUHAMMED Al-Busaid aliyewahi kuwa Sultan wa Zanzibar.

HAMUD bin Mohammed aliyewahi kuwa Sultan wa saba wa Zanzibar.

Page 2: ANNUUR 1175b.pdf

2 AN-NUURRAJAB 1436, IJUMAA MEI 1 - 7, 2015

AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam

Tahariri/Habari

HIVI karibuni, Waziri wa Uchukuzi Samuel Sitta, alisema nia ya serikali ya k u t a k a k u r u h u s u Mahakama ya Kadhi Kisher ia , i l ikuwa ni kutaka baadhi ya taratibu na kanuni za Kiislamu juu ya ndoa, talaka, mirathi na wakfu, yapate nguvu ya kisheria yanapoamuliwa kidini.

Waziri Sitta alinukuliwa aki toa ufafanuzi huo kufuatia swali aliloulizwa na mmoja wa Watanzania wanaoishi Uingereza, wakati wakati wa ziara yake nchini humo.

M a j i b u y a S i t t a yanakwenda sambamba na mfano huu, kwamba iwapo taasisi ya Kiislamu kwa kutumia utaratibu wa kidini, imetoa maamuzi au hukumu juu ya jambo lililotatiza pande mbili za Waislamu kama vile talaka, mirathi au waqfu, basi uamuzi huo rasmi wa kidini utambuliwe na sheria za nchi.

Kwamba kama jambo hilo litatambuliwa, basi isiwepo sheria nyingine k a t i k a n c h i a m b a y o itakwenda kinyume na taratibu hizo za dini husika, ikaja kuvunja uamuzi ule halali wa kidini uliofuata taratibu zote za maamuzi ya kidini na kuja na uamuzi tofauti.

Kwa hiyo suala hapo ni kutambua maamuzi kisheria tu, ili kuondoa mkanganyiko kwa waumini husika kimaamuzi katika mambo yao ya kiibada.

Kwa maana hiyo, Waziri Sitta alimaanisha kuwa ilikuwa nia ya serikali kutambua ndoa, talaka, mirathi, wakfu, malezi nk. ili kupata nguvu ya kisheria katika mamlaka au dola, i l i kuepusha mkanganyiko kwamba maamuzi yanayotolewa kwa mujibu wa kanuni na taratibu za dini, halafu m a h a k a m a z a k i n c h i zinakuja zinayatengua.

Kwa mfano, kama ndoa i m e f u n g wa K i i s l a m u baina ya Muislamu mke

Kutambua kisheria taratibu za Kiislamu:

Ukali wote wa akina Mbatia ulikuwa wa nini?

na Muis lamu mume, yakatokea matatizo na wanandoa wakaamuliwa na vyombo halali vya kidini kwa mujibu wa taratibu halali za kidini, basi mhusika yeyote kati ya wanandoa hao, asiwe na upenyo wa kutumia sheria nyingine kutengua maamuzi ya kidini.

Bila shaka ni dhuluma kubwa, ndoa iliyokuwa imefungwa kidini kwa kufuata taratibu za dini, halafu ikija katika talaka au mirathi ya wana ndoa hao, wanahukumiwa na sheria iliyo nje ya Uislamu.

Tumeona kwa Wakristo h a l i n i t o f a u t i . K wa mfano ndoa ya Kikristo ambayo inatambuliwa ni ya mke mmoja, hata sheria za mahakama nazo zinatambua hivyo na maamuzi hayafanyiki nje ya utaratibu huo wa kanisa.

Kimsingi kul ikuwa hakuna shida yoyote kwa kutambuliwa Mahakama y a K a d h i a m b a y o i l i shabainishwa wazi kwamba maamuzi yake hayahusiani na masuala ya kijinai.

Wakati wa semina ya kujadili jambo hili, tuliona baadhi ya wabunge ambao huwa wanaonekana kama ni wazalendo kindakindaki na waliojaa mahaba ya u t a i f a . Tu l i s h a n g a a k u o n a wa b u n g e h a o ndio waliokuwa vinara wa kukataa kutambuliwa kanuni na taratibu hizi za Kiislamu.

Kwa mfano, Mhe. James Mbatia kwa muda mrefu amekuwa akijipambanua kuwa mtetezi wa haki za kijamii, anayejali maslahi ya taifa, tulishangaa akiwa kinara wa kupinga jambo hili kwa hoja za udini, maaskofu kutohusishwa n.k.

Tunajiuliza, udini hapa upo wapi? Mbona haijawa udini kutambuliwa ndoa ya Kikristo ya mke mmoja. P e n g o a u M a l a s u s a aulizwe, wao wanahusika vipi na sheria za Kiislamu?

Human Rights Defender imetoa tunzo kwa watu watatu akiwemo Mwandishi wa Habari Salma Said kutoka Zanzibar kutokana na ujasiri wake wa kusimamia haki za wanawake, watoto na watu wenye ulemavu.

Salma ametajwa pia kuwa na msimamo madhubuti u s i o t e t e r e k a l i c h a y a kukabi l iana na v i t i sho mbali mbali hasa wakati wa k u p i t i s h wa K a t i b a Inayopendekezwa.

Salma amepewa tunzo hiyo akitambuliwa mchango wake na kutajwa kama ni mwanamke jasiri asiyeogopa vitisho wakati akitimiza majukumu yake ya kazi licha ya mbinu na mambo mbali mbali anayofanyiwa ikiwemo kutishiwa maisha yake.

K w a m b a , a m e w e z a kuonesha ujasiri mkubwa wakati wote na hata wakati wa upigaji kura ya kupitisha Katiba iliyopendekezwa Dodoma.

“ S a l m a S a i d l e o h i i t u n a m k a b i d h i t u n z o kutokana na ujasiri wake, Salma amekuwa mwanamke j a s i r i a s i y e t e t e r e k a , asiyeogopa na anayesimamia kile anachokiamini. Wengi wetu tumeshuhudia kazi zake na ujasiri wake mkubwa katika kusimamia na kutetea haki za walemavu, haki wa wanawake na haki za watoto bila ya woga licha ya c h a n g a m o t o m b a l i mbali ambazo amekuwa akikabiliana nazo wakati akitekeleza majukumu yake, lakini hakurudi nyuma katika utetezi hivyo, leo Human Rights Defender kwa kutambua mchango wake huo tunamkabidhi tunzo hii kwa kutambua mchango wake

Human Rights Defender yampa tunzo Salma Said

Na Mwandhishi Wetu katika taifa hili la Tanzania”, alisema Afisa Mawasiliano Mariagoreth Charles.

Salma Said aliyetishiwa kuuawa baada ya kuonyesha m s i m a m o wa k u k a t a a shinikizo la kukubaliana na muundo wa Muungano wa serikali mbili wakati wa Bunge Maalumu la Katiba ambapo alipiga kura ya HAPANA kwa kuikataa katiba hiyo yote ambayo alisema haina maslahi na Zanzibar na wananchi wake.

Kitendo cha Salma kupiga kura ya HAPANA kilimjengea uhasama na chuki dhidi ya wale wale walioiunga mkono katiba hiyo ambapo baadhi yao walimfuata na kumtukana matusi ya nguoni huku wengine wakimtishia maisha, lakini hakurudi nyuma alishikilia msimamo wake.

Salma alisema, pamoja na vitisho ambavyo bado a m e e n d e l e a k u k u t a n a navyo mpaka sasa kutoka kwa baadhi ya wabunge wa lililokuwa Bunge la Katiba, b a d o m s i m a m o w a k e utaendelea kuwa palepale.

A i d h a , a l i s e m a v i t a iliyopo kwa sasa imehamia kwenye harakati za Baraza la Katiba la Zanzibar ambalo l inaendesha e l imu kwa Wazanzibari kuhusu Katiba Inayopendekezwa.

“Mimi ni mjumbe wa Baraza la Katiba na kwa sasa hawapendi kuona tukielimisha ukweli wa Katiba hiyo na badala yake wanataka kueleza mazuri tu. Hilo tumesema haliwezekani.”

We n g i n e wa l i o p o k e a tunzo hiyo, ni David Kafulila na Maanda Ngoifiko wa asasi ya kiraia, inayotetea haki za binadamu ya PWC kutoka Loliondo, wilayani Ngorongoro.

K w a m u j i b u w a

THIRD-Coalition, vigezo vilivyotumika kuwapata washindi hao vilizingatia mazingira ya kazi na hali h a t a r i s h i a l i y o k u t a n a nayo mshindi wa tuzo h i y o , i k i wa m o t a a r i f a zilizokusanywa kupitia ripoti za matukio ya ukiukwaji wa haki za binadamu kwa mwaka jana wa 2014.

Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR- Mageuzi), David Kafuli la naye amepewa tunzo hiyo kufuatia sakata la uchotwaji wa fedha katika Akaunti ya Tegeta Escrow uliohusisha uchotwaji wa Sh306 bilioni kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

K a t i k a s a k a t a h i l o , mawaziri wawili walipoteza nyadhifa zao pamoja na Mwanasheria Mkuu wa Serikali baada ya Ripoti ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali kuwahusisha na sakata hilo.

Maofisa wengine kadhaa wa Serikali wamesimamishwa au kufunguliwa mashitaka kutokana na kuhusika kwao kwenye ufisadi huo.

Tuzo aliyopewa Kafulila na Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu unaounganisha asasi za kiraia zinazotetea haki za binadamu (THIRD-Coalition), ni moja kati ya tuzo tatu zilizotolewa kwa Watanzania walioonyesha ujasiri katika kutetea haki za binadamu nchini.

“Nimepata u jas ir i na k u a m i n i k wa m b a s i k o peke yangu katika vita hii, nashukuru kupata tuzo hii, lakini nashukuru zaidi ushirikiano nilioupata na naamini sipo peke yangu”, alisema Kafulila.

Naye Maanda Ngoifiko a m b a y e t u n z o y a k e ilipokewa kwa niaba, alisema anashukuru kwa taasisi hiyo kutambua mchango wake.

Mwandishi wa Habari Salma Said akipokea tuzo

Page 3: ANNUUR 1175b.pdf

3 AN-NUURRAJAB 1436, IJUMAA MEI 1 - 7, 2015

Habari

Sitta ahofia Sultani mwenye madevu ZanzibarALIYEKUWA Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Mheshimiwa Samwel Sitta, amesema kuwa i w a p o m u u n g a n o utavunj ika , inaweza kutokea vita kubwa ya kidini.

Sitta alidai kuwa hiyo ni kwa sababu Zanzibar inaweza kuwa ‘chaka’ la Al-Shabaab na hivyo kuifanya hata Dar es Salaam isikalike.

Amesema, Zanzibar ‘ikikata kamba’ na kuwa nchi huru, inaweza kutafuta raf iki wa nje ambaye ataifundisha mambo ya siasa kali na kwa upande mwingine kuwachagiza Waislamu wa Tanganyika kukosana na wananchi wenzao Wakristo.

“Waislamu wa Bara amkeni…”, anasema Sitta kuwa Zanzibar kunaweza k u wa n a t e l e v i s h e n i ambazo toka alifajiri mpaka watu wanalala, zitakuwa zinawachochea Waislamu wa Bara kufarakana na Wakristo.

M h e s h i m i w a S i t t a ambaye pia ni Waziri wa Uchukuzi, ameyasema hayo wakati akiongea na Watanzania wanaoishi Uingereza alipokutana nao hivi karibuni akiwa ziarani nchini humo.

Swali la msingi kwa Waziri Sitta kutoka kwa mmoja wa Watanzania hao lilikuwa ni kwa nini serikali inaogopa kuweka kura ya maoni wananchi w a k a a m u a i w a p o wanautaka muungano au la na wa namna gani.

Ni katika kujibu swali hilo, Sitta akafafanua kuwa suala hilo haliwezi k u a c h i w a w a n a n c h i kuamua akisema itakuwa inatisha kuona Zanzibar ikiwa na “Noti yake (fedha) yenye picha ya mfalme mwenye madevu.”

Akisherehesha j ibu lake Sitta alisema kuwa haitashangaza Zanzibar kuwa kichaka cha Al-S h a b a a b n a k wa m b a huenda ‘magaidi’ hao wa k a t u m i a m a r o k e t i kuipiga Dar es Salaam wakiwa huko huko bila hata kupanda boti na kuja Dar.

N i k wa h o f u h i y o a k a s e m a , n i l a z i m a muungano ulindwe kwa namna yoyote.

A k a h i t i m i s h a k w a k u s e m a k u w a i l i

Na Mwandishi Wetu kuepuka vita kubwa ya kidini ambayo inaweza kutokea iwapo muungano utavunjika, basi ni bora watu wajifunze namna ya kuishi pamoja, lakini s io kufikir ia kuvunja muungano.

Kwa upande mwingine S i t t a a l i s e m a k u w a Zanzibar inanufaika sana na muungano akigusia suala la umeme kuwa inategemea Bara na lau muungano ukiwa haupo, Bara inaweza kuzima umeme wake visiwani ikajikuta guizani.

H a t a h i v y o , kinachogomba na kama ilivyojitokeza katika Bunge la Katiba, sio kuwa na muungano au la, bali aina ya muungano.

K u h u s u s u a l a l a Mahakama ya Kadhi ,

Mheshimiwa Samwel Sitta alisema kuwa hoja ya serikali ilikuwa kuzifanya s h e r i a z a K i i s l a m u z i t a m b u l i k e k a m a ambavyo zile za Kikristo zinatambuliwa kiserikali na Mkristo haweza kwenda kuzipinga mahakamani.

Akitoa mfano wa ndoa alisema kuwa, ndoa ya Kikristo inatambulika kisheria kuwa ni ya mke mmoja.

Kwa hiyo, hata mtu akioa mke wa pili, ndoa hiyo haitatambuliwa na mke huyo wa pili hawezi kudai haki ya kuwa mke na akasikilizwa kisheria.

Lakini akasema, kwa Waislamu ni tofauti. Leo Waislamu wakihukumiana katika ndoa, mirathi , t a laka na mambo ya wakfu, maamuzi yao

hayatambuliki kisheria. Na kama mmoja wao

akienda mahakamani, yaliyoamuliwa Kiislamu hutenguliwa.

Ni kwa sababu hiyo, serikali ilitaka Waislamu nao sheria yao katika ndoa, talaka, mirathi na wakfu, itambulike kama zile za Wakristo.

Wa k a t i h u o h u o , Wazir i Samweli S i t ta amewashutumu viongozi wa dini ambao hutumia vibaya nia njema ya serikali pamoja na misamaha ya kodi kufanya ufisadi.

Akasema, hivi sasa kuna viongozi wa kidini kupitia jukwaa la Wakristo hufanya kazi za kisiasa huku wengine wakitumia kisingizio cha uchungaji k u f a n ya b i a s h a r a ya madawa ya kulevya.

Akitoa mfano akasema kuwa hivi sasa kuna wachungaji wamekamatwa huko Brazil wakiwa na madawa ya kulevya na wanasubiri hukumu.

Akasema, wachungaji hao walienda huko kwa kisingizio cha kwenda k w e n y e s e m i n a y a kichungaji.

A i d h a , a k a s e m a kuwa kuna wachungaji wamekutwa na mamia ya mabilioni ya pesa, huku ikiwa haijulikani wanafanya biashara gani au wamezipata wapi pesa hizo.

A k a t o a m f a n o w a M c h u n g a j i J o s e p h a t Gwajima, ambaye amesema kuwa amekutwa akiwa na bilioni 260 pamoja na helkopta 2.

M TA N Z A N I A R a s h i d Makungu, aliyekuwa akiishi na kufanya kazi nchini Afrika Kusini, ameuliwa kwa kuchomwa kisu usiku wa Jumamosi kuamkia Jumapili wiki iliyopita, huko Port Elizabeth Afrika ya Kusini.

Taarifa kutoka katika f a m i l i a y a m a r e h e m u imeeleza kuwa, kijana wao Rashid Makungu, ambaye amekuwa akiishi kwa miaka mingi Afrika Kusini, aliuliwa muda mfupi tu baada ya kuzungumza na mama yake kwenye simu.

A k i z u n g u m z a k w a masik i t iko huku aki l ia kwa uchungu, mama wa Marehemu Bi. Amina Nassor, alisema siku hiyo ya Jumamosi aliyouliwa, mwanae Rashid alimpigia simu majira ya saa 8:00 usiku na kuongea naye.

Alisema ni kama vile alikuwa akimuaga kwani aliongea naye sana usiku huo akimsihi arejee nyumbani Tanzania ili kupisha vurugu za chuki zilizokuwa zikiendelea huko Afrika Kusini.

Alisema lakini mwanaye naye alizidi kumtoa wasiwasi kuhusu usalama wake huko aliko, baada ya kuhisi katika mazungumzo yao kwamba yeye (mama Rashid) alikuwa na wasiwasi sana kuhusu usalama wake kufuatia taarifa za kukithiri vurugu huko

Mtanzania auawa Afrika KusiniAlichomwa kisu. Maiti kuwasili leo

Na Azza Ally Ahmed Afrika ya Kusini. “Usiku ule nilimsihi sana

mwanangu arudi nyumbani Tanzania, lakini yeye alizidi kunitia moyo kuwa huko anakokaa katika kitongoji cha Nezna hakuna vurugu”. Alisema Bi. Amina.

Bi. Amina aliongeza kuwa baada ya kumaliza kuongea, aliagana na mwanaye kwa kumhakikishia mama yake kuwa asiwe na wasiwasi juu yake.

Hata hivyo mama huyo wa marehemu alisema ilipofika majira ya saa 11:00 alfajri siku ya Jumapili, alipokea simu kutoka Afrika Kusini akiambiwa kuwa mwanaye amechomwa kisu na kufariki m u d a m f u p i b a a d a ya kufikishwa hospitalini.

Baadae ndipo zilipokuja taarifa kwamba mtuhumiwa a l i y e t e n d a k o s a h i l o amejisalimisha polisi na mpaka sasa anashikiliwa na polisi wa Afrika Kusini kwa mahojiano zaidi.

Taarifa zinaeleza kuwa baada ya kuj isa l imisha mtuhumiwa wa mauaji, mwili wa marehemu ulifanyiwa tena uchunguzi ili kujua sababu za kuchomwa kisu na kusababisha kifo chake.

Awali mwili wa marehemu ulitarajiwa kuwasili siku ya Jumatano wiki hii, lakini kutokana na taarifa kwamba uchunguzi ulikuwa bado haujakamilika hasa baada ya kupatikana taarifa za

kujitokeza mtuhumiw huyo, sasa mwil i unatara j iwa kuwasili siku ya Ijumaa (leo) na mazishi yanatarajiwa kufanyika huko Mwembe Yanga, Tandika Jijini Dar es salaam siku hiyo hiyo.

M a r e h e m u R a s h i d Makungu alioa huko Afrika Kusini ambako ameacha mke na mtoto mmoja.

Hata hivyo kuna taarifa nyingine kwamba kuna Watanzania wengine watatu, ambao majina yao bado hatujafanikiwa kuyapata, ambao nao wamedaiwa kuuliwa huko.

Awali taarifa zilisema kuwa miili ya Watanzania hao ingepakiwa ndege moja kwa ajili ya kuletwa nchini pamoja na marehemu Rashid Makungu, ambapo ilitarajiwa kuwasil i nchini siku ya Jumatano wiki hii kwa ajili ya mazishi.

M p a k a s a s a b a d o haijafahamika kama maiti za Watanzania hao watatu nayo itawasili Ijumaa pamoja na mwili wa Makungu au la.

Wakati maiti za Watanzania hao zikiwa mbioni kurejeshwa nchini kwa maziko, hivi karibuni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe, alisema hakuna Mtanzania aliyepoteza maisha katika vurugu zilizosababishwa na chuki dhidi ya wageni nchini Afrika Kusini.

Bw. Membe alidai kuwa Watanzania wanaoshi huko Afrika Kusini, wanaweza kunusurika kwa kutaja kwa wao ni Watanzania.

A l i s e m a p a m o j a n a kwamba hakuna Watanzania

waliopoteza maisha kwa sababu ya vurugu za chuki kwa wageni, lakini wapo Watanzania watatu waliokufa nchini humo kwa sababu nyinginezo.

M e m b e a l i w a t a j a waliofariki kuwa ni Rashid Jumanne, ambaye alisema alikuwa jambazi na aliuawa kilomita 90 kutoka mji wa D u r b a n a k i wa k we n ye harakati za unyang’anyi.

A l i m t a j a M t a n z a n i a mwingine kuwa anaitwa Athuman China, ambaye alisema kijana huyo aliuawa kwa kuchomwa kisu ndani ya gereza la West Hill.

Waziri Membe alifafanua kuwa China alifanya kosa la j inai la kufungwa na wakati alipokuwa gerezani, zikatokea fujo za wafungwa na huyo kuchomwa kisu na wafungwa wenzake na kufariki.

Ally Mohamed alikuwa ni kijana wa tatu kufa akiwa Afrika Kusini.

Membe alisema kijana huyo alikuwa amelazwa katika hospitali moja huko Johanesberg kwa maradhi ya kifua kikuu.

Hata hivyo alisema kijana huyo tayari mwili wake ulishawasilishwa nchini mapema kwa maziko.

Waziri Membe alisema aliwasiliana na Waziri wa Usalama wa Afrika Kusini, David Mahlobo, ambaye alimthibitishia kuwa hakuna Mtanzania yoyote aliyekufa.

Aidha alisema alimwita balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini ili aeleze zaidi madhara yaliyojitokeza kwa Watanzania waishio Afrika Kusini.

Page 4: ANNUUR 1175b.pdf

4 AN-NUURRAJAB 1436, IJUMAA MEI 1 - 7, 2015

Walimu, Masheikh wakamatwa kinyemelaS H E I K H M u s s a K u n d e c h a a m e s e m a kuwa kuna kamatakamata inaendelea kinyemela a m b a p o M a s h e i k h w a n a k a m a t w a n a haijulikani wanakofichwa kwani hawafikishwi mahakamani.

A i d h a a m e s e m a , sambamba na hilo, kuna Madrasa zimefungwa viki tolewa vis ingizio mbalimbali.

K a t i k a h a l i h i y o akasema kuwa Waislamu watalazimika kwenda kwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Mheshimiwa M a t h i a s C h i k a we i l i wakapate ufafanuzi.

Akitangaza hatua hiyo mbele ya waandishi wa habari, Aprili 29, 2015, katika Hoteli ya Travetail, Magomeni Jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu (T), Alhaj Mussa Kundecha, alisema mpaka sasa Wais lamu wapo kwenye subira, wakisubiri kauli ya Serikali.

“Tupo kwenye subira kama Waislamu, lakini mpaka ifikapo 15 Mei, ikiwa masuala haya hayajatolewa maelezo wala ufumbuzi kutoka Serikalini, tutafanya maandamano makubwa ya amani kwenda kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi ili atupe ufumbuzi na undani wa suala hili.” Alisema Alhaj Kundecha.

Alisema, taarifa walizo nazo kutoka Mikoani ni kwamba Mjini Dodoma, jumla ya Madrasa tatu zimefungiwa, Mtwara Madrasa tano, Kilimanjaro mbili na Kagera moja.

Lakini, alisema Jijini Dar es Salaam, baadhi ya Walimu wa Madrasa wamelazimika kuzifunga Madrasa zao baada ya k u f u a t w a u s i k u w a manane majumbani mwao na kuhojiwa kwa vitisho na Jeshi la Polisi.

Hata hivyo, Alihaj i Kundecha, alisema mpaka sasa wanaendelea kupokea taarifa za kamatakama ya Maustadhi wa Madrasa katika mikoa mbalimbali, lakini pia wanaendelea kufuatilia vijana (Walimu w a M a d r a s a ) w a o waliokamatwa na Polisi.

Alisema, kutokana na hali hiyo iliyoambatana na ukimiya wa Serikali, i n a w e z e k a n a Wa z i r i akawa amebanwa na kazi

Na Bakari Mwakangwale nyingi akashindwa kutoa maelezo, hivyo akasema Masheikh watapanga muda kwenda kuonana naye baada ya kufuata taratibu zote za kisheria.

Alhaj Kundecha alisema Ser ika l i inaona tabu gani, kuita viongozi wa Kiislamu, wakakaa pamoja na kuwaeleza wasi wasi au kitu wanacho kiona kuwa ni tofauti katika mafundisho yatolewayo na Madrasa hizo, ili wao (Masheikh) wakaweza k u l i t o l e a u f a f a n u z i jambo hilo, kuliko hatua wanazozichukua hivi sasa.

Alisema, sambamba na kufungiwa kwa vituo hivyo vya Kiislamu, lakini pia Jeshi la Polisi limekuwa likiendesha operesheni ya kuwakamata Mashekh na Walimu, bila kutoa maelezo yanayo eleweka.

Alisema, Masheikh n a W a l i m u h a o wamekamatwa kwa muda na kushikiliwa na Jeshi kwa muda mrefu lakini Mahakani hawapelekwi na wala hawajulikani wapi walipo akahoji “huu sasa ni utawala gani wa kisheria.”

“ H i v i t u n a v y o zungumza baadhi yao bado wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa sababu ya kufundisha Qur an tu. Lakini pia kamata kamata hii imekuja na sura nyingine tofauti , wengi wanao kamatwa wamekuwa wakihamishwa kutoka kituo kimoja kwenda kituo kingine, jambo ambalo l inasababisha usumbufu kwa viongozi wao na ndugu zao pia wanapohitaji kufuatilia i l i k u j u a m a t a t i z o yanayowakabili”. Alisema Alhaj Kundecha.

A l i s e m a , w a k a t i operesheni hiyo ikiendelea, u k i s i k i l i z a s a b a b u zinazotolewa wanadai ni kuhusu Uislamu na Madrasa zao au Misikiti pamoja na elimu ya dini inayofundishwa humo, kauli ambazo zinatoa taswira kwa umma wa Kiislamu kuwa kuna nia mbaya dhidi yao.

Alisema, maelezo ya Jeshi la Polisi kwamba limegunduia kuwa kuna usomeshwaji unaokiuka sheria katika vituo hivyo (Madrasa), jambo ambalo halina maana badala yake waeleze tatizo ni nini.

Akasema, madai ya kufundisha kinyume cha

sheri au nje ya utaratibu wa sheria wa dini ya Kiislamu katika anuani ya Madrasa, ndiyo yanayowapa tabu Waislamu na kujaribu kuangalia nyuma yake kuna nini.

Alisema, dhana ya elimu ya dini kupitia Madrasa zilizopo majumbani, ni kongwe katika ustawi wa Uislamu na Waislamu na ndio asili ya mfumo w a U i s l a m u k a t i k a kufundishwa kwake, toka wakati wa Mtume Muhammad (s a w) mpaka hivi sasa.

Lakini pia akasema, Waislamu wanashangazwa na hatua hiyo wakizingatia Katiba ya nchi kwamba Serikali haina dini na wananchi wake ndio wenye dini, akahoji vipi Serikali isiyo na dini inajuaje taratibu nzuri za kufundisha Uislamu ilihali haina Dini.

“Inataka kifundishwe k i t u g a n i n a k a t i k a utaratibu gani na wakati si dini yake, sisi tunaamini kupitia Katiba ya nchi kuwa kazi na jukumu la kufundisha dini linabaki juu ya wanadini wenyewe katika mfumo wa dini husika.” Alisema Alhaj Kundecha.

Alisema, operesheni h i y o y a k u k a m a t a Masheikh na kuzifungia Madrasa, inakiuka haki za binadamu, haki za kikatiba na utu, lakini pia ni uchochezi dhidi ya Waislamu au wananchi ili wautazame Uislamu katika jicho baya.

A l i s e m a , h i y o n i kutokana na tuhuma k wa m b a , v i t u o v ya Madrasa vinaendesha mafunzo ya Ugaidi jambo ambalo l inasababisha kutengeneza chuki baina ya Waislamu na Wakristo ili waamini kuwa yapo maandalizi yanayopangwa kupitia Madrasa hizo dhidi yao.

A l h a j i K u n d e c h a , alisema propaganda hizo zinazo enezwa kwamba Waislamu wanafundishana mafunzo ya kigaidi ilihali ‘washenga’ wa suala hilo hawabainishi ni mafunzo ya namna gani badala yake wanatia hofu wananchi bila sababu za msingi.

A l i s e m a , k a t i k a mwendelezo huo wa Propaganda za ‘Mafunzo ya Ugaidi’ kwa Waislamu, ilielezwa kuwa kuna Shule ya Kiislamu Ukerewe,

Mwanza inafundisha mafunzo ya Kigaidi.

“Baada ya taarifa hizo vyombo vyote vya kisheria vya usalama vilifuatilia shule hiyo, vikabaini hakukuwa na ugaidi wowote unaofundishwa pale, zaidi ilikuwa ni propaganda tu. Lakini kufuatia taarifa na tuhuma zile Waislamu waliingia k a t i k a m s u k o s u k o mkubwa na kuwavurugia kabisa mambo yao” . Alisema Alhaj Kundecha.

Aidha Alhaj Kundecha, alisema wakati viongozi wa Serikali wakisema, Madrasa zipo kinyume c h a s h e r i a , k wa m b a hazizasaj i l iwa, lakini p i a i k u m b u k e k u wa hakuna sera wala sheria inayotamka kwamba Madrasa ya dini inasajiliwa ikiwa imetimiza vitu gani.

Alisema, kisingizio kingine kinachoelezwa na Serikali ni kwamba Madrasa au vituo hivyo vina hali duni.

L a k i n i a k a h o j i , n i mara ngapi imebainika miongoni mwa Shule za Serikali hazina vyoo, wanafunzi wanajisaidia v i k a n i n a d a r a s a n i wanafunzi wanakaa chini katika vumbi lakini mbona Serikali haijazifungia na kuwakamata Wakuu wa Shule hizo?

Katika hatua nyingine, Alhaj Kundecha alisema ni kunyimwa kwa dhamana k w a M a s h e i k h n a Waislamu wanaokamatwa

kwa tuhuma ambazo zinastahili dhamana kama ambavyo wanapokutwa na mashitaka viongozi wasio kuwa waislamu.

“ M u i s l a m u a n a kasoro gani katika nchi hii , ikiwa tatizo hilo hilo ambalo akilifanya A s k o f u , M c h u n g a j i , linakuwa halina tatizo k u p a t i wa d h a m a n a , lakini tatizo la namna hiyo hiyo likifanywa na Sheikh inakuwa ni tatizo kubwa na hata kunyimwa dhamana.” Alisema na kuhoji Alhaj Kundecha.

Mathalani a l isema, Sheikh Ponda, kwa muda sasa yupo ndani si kwa sababu ya amri yoyote ya Mahakama, kwa kuwa zinaeleza wazi kwamba haz ina p ingamiz i l a dhamana kwa Sheikh Ponda.

Isipokuwa, al isema pingamizi linatoka kwa DPP, kwamba hataki Sheikh Issa Ponda, apewe dhamana, na mpaka sasa ana zaidi ya miaka miwili yupo ndani, akinyimwa dhamana kwa anuani ya uchochezi.

“Ni uchochezi gani a m b a o h a u j a w a h i kufanywa au kutamkwa na viongozi wa dini nyingine na kuonekana Sheikh Ponda, amefanya jambo jipya kabisa la uchochezi na kusababisha kunyima haki yake ya dhamana kwa miaka miwili sasa”. Alisema na kuhoji Alhaj Kundecha.

SHEIKH Ponda Issa Ponda.

Habari

Page 5: ANNUUR 1175b.pdf

5 AN-NUURRAJAB 1436, IJUMAA MEI 1 - 7, 2015

Habari za Kimataifa

W A K A T I n d e g e z a k i v i t a z a S a u d i Arabia zikiendeleza m a s h a m b u l i z i ya k e nchini Yemen, Jumatatu wiki hii maelfu ya raia wa nchi hiyo wamemiminika barabarani mjini Sana'a, wakilaani mwendelezo wa hujuma wa Taifa hilo kubwa la Kiarabu dhidi ya Yemen.

Maandamano hayo y a l i y o w a s h i r i k i s h a v i o n g o z i w a a s a s i mbalimbali nchini Yemen, yalipewa kauli mbiu ya 'Tuko Pamoja Kupinga Uadui wa Saudia na Marekani.'

Viongozi mbalimbali walitoa hotuba kali dhidi ya utawala wa Aal- Saud n a k u s i s i t i z a k u wa, Wayemen pekee ndio watakaoamua mustakbali wa taifa lao kinyume na mashinikizo ya Riyadh.

Waandamanaji hao pia wamepinga a ina yoyote ya mazungumzo au mapatano na Saudia kufuatia mashambulizi hayo.

Hayo yanajiri huku idadi ya waath i r ika waliouawa kutokana na mashambulizi hayo ikifikia watu 3,512 na wengine 6,000 kujeruhiwa.

Kwa mujibu wa Taasisi ya Kute tea Haki za Binadamu nchini Yemen, watoto 492 na wanawake 209 ni miongoni mwa watu waliouawa katika mashambulizi hayo ya Saudia na washirika wake.

Ripoti hiyo ilieleza kuwa maelfu ya nyumba za raia pia zimeharibiwa vibaya katika mashambulizi hayo.

Hata hivyo taarifa ya DW imenukuu kwamba wakati maelfu ya raia wakiendelea kupoteza maisha na makazi yao k u h a r i b i wa , Wa z i r i wa Mambo ya Nje wa Yemen, Riyadh Yaseen ametoa mwito kwa nchi za Kiarabu za ghuba kuingilia kati ki jeshi kuwazuia wanamgambo wa Houthi kusogea mbele.

Tayari Saudi Arabia imesema hatua mwafaka zitachukuliwa kuilinda kanda hiyo dhidi ya kile ilichokiita mabavu ya washirika wa Iran yaani wa-Houthi.

H a t u a h i y o y a Waziri Yaseen inaweza ikazitumbukiza zaidi nchi hiyo katika mgogoro wa kuwania madaraka ambao unazidi kutanuka.

W a z i r i h u y o

Maelfu waandamana Yemen kulaani ukatili wa Saudiaakizungumza mapema wiki hii na gazeti la al-Sharq al Awsat, alitoa wito wa nchi sita za Baraza la Ushirikiano wa eneo la Ghuba kuingilia kati kijeshi mgogoro huo ili kuwashinda wahouthi.

Aidha Waziri huyo a l i toa kaul i kwamba ameshautaarifu Umoja wa Mataifa pamoja na Jumuiya ya Kimataifa juu ya ulazima wa kutengwa e n e o l i s i l o k u b a l i wa ndege kuruka, pamoja na kuzuiwa matumizi ya n d e g e z a k i j e s h i kwenye v iwanja vya ndege vinavyodhibitiwa na wanamgambo wa Kihouthi.

Wa n a m g a m b o w a Houthi waliudhibiti mji mkuu Sana’a tangu mwezi Septemba, hilo likiwa ni pigo kubwa kwa serikali ambayo inashuhudia mpasuko mkubwa ndani ya jeshi.

Kundi hili awali lilikuwa likigawana madaraka na Rais Manour Hadi ,lakini akalivunja Bunge mwezi uliopita.

Saudi Arabia na nchi nyingine jirani za Kiarabu zinaitazama hatua hiyo ya kutwaa madaraka k a m a m a p i n d u z i n a zinaamini kuwa, Iran inajaribu kujenga himaya yake katika kanda hiyo kwa kuyaunga mkono makundi yenye silaha yanayoegemea upande wake.

Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia, Mwanamfalme Saud bin al-Faisal Saud ameonya akiwa mjini Riyadh kwamba, Iran inajaribu kujenga chuki za kimadhebeu katika kanda hiyo na kusema nchi za Ghuba za Kiarabu zitachukuwa hatua kumuunga mkono Rais Hadi.

Kwa upande mwingine Wa z i r i w a M a m b o ya nje wa Uingereza P h i l l i p H a m m o n d , aliyekuwa pamoja na al-Faisal Saud katika mkutano na waandishi wa habari, alirudia wito wa kuyataka makundi yote yanayopingana, wakiwemo Wahouthi kushiriki mazungumzo ya amani nchini Saudi Arabia.

Alinukuliwa akisema, “Msimamo wa Uingereza uko wazi kabisa katika kumuunga mkono Rais Hadi, serikali halali ya Yemen na uhalali wa dola la Yemen. Lakini hili sio suala tunaloweza kuliamulia peke yetu. Tutashirikiana na Saudi Arabia na washir ika

wake wa nchi za Baraza la Ushirikiano la Ghuba, M a r e k a n i , U f a r a n s a n a J u m u i a n y i n g i n e zinazohusika, kupitia kile kinachoitwa marafiki wa Yemen ambacho sisi ni mwenyekiti mwenza”.

Bw. Hammond alisema Uingereza na washirika wa k e wa n a j a d i l i a n a kuhusu hatua ya kuchukua.Yote haya yamejitokeza katika wakati ambapo bado mapigano yamekuwa yakiendelea kushuhudiwa,

ambapo wanamgambo wa Kihouthi walikuwa wakipambana vikali na makundi hasimu upande wa Kusini na katikati ya Yemen kuanzia Jumatatu.

W a l i o s h u h u d i a wa m e r i p o t i k wa m b a wapiganaji wa Kihouthi wakiungwa mkono na v i t e n g o k a d h a a v ya wanajeshi , wal ikuwa wa k i p a m b a n a v i k a l i na wapiganaji kutoka makabila ya mkoa wa Taiz, ambayo yanamuunga

mkono Rais Hadi.Mapigano pia yalizuka

kat i ya Wahouthi na wanamgambo wa kikabila kat ika mikoa ya Al -Bayda na Mareb, ambako iliripotiwa kuwa kiasi watu 15 waliuawa.

Jumapi l i wahouthi waliuteka mji wa Taiz ambao ni mji wa tatu kwa ukubwa nchini Yemen, hatua i l iyowashtuwa wapinzani wa kundi hilo. Dw/irib.

POLISI nchini Uganda i l iwaokoa watoto 24 kutoka kwenye kambi inayoaminika kuwa ya mafunzo ya kijeshi ya waasi wa kundi la Allied Democratic Forces-ADF, la nchini Uganda.

Watoto hao inasemekana kuwa wana umri kati ya miaka 2 na 15, na polisi walisema wana ushahidi wa video kuthibithisha k wa m b a wa to t o h a o wamekuwa wakipatiwa mafunzo ya vita.

Ripoti ya mwandishi Kennes Bwire wa Uganda inasema kwamba watoto hao walivalishwa mavazi ya Kiislam ya hi jab, tarabush na kanzu katika makazi yao yal iyopo Mpoma, katika wilaya ya

Polisi Uganda waokoa watoto 24 wakipatiwa mafunzo ya vita

Mkono nje kidogo ya jiji la Kampala huko Mashariki mwa Uganda.

Hata hivyo pamoja na watoto hao kukutwa wamevalishwa mavazi ya Kiislamu, lakini safari hii hawakuhusishwa na makundi ya al Shaabab a u a l Q a e d a k a m a ilivyozoeleka.

Msemaj i wa po l i s i nchini Uganda, Fred Enanga, alisema kuna ushahidi wa picha za video zinazoonyesha watoto hao wakipatiwa mafunzo yanayoaminika kufanywa na kundi la waasi la ADF la nchini Uganda.

“Tulifanikiwa kuwaokoa w a t o t o w a c h a n g a wa l i o k u wa wa k i i s h i maisha ya kuhuzunisha,

malezi mabovu katika mazingira machafu na hata kulishwa vibaya”. Alinukuliwa akisema Bw. Enanga.

Wa k a t i h u o h u o walimu wa watoto hao wa l i o t a m b u l i k a k wa m a j i n a ya At h u m a n Naluwoga na Abdurashid Mbazira, walikamatwa na wanaripotiwa kuwa ni wanachama wa kundi la uasi la ADF. Mafunzo ya l ikuwa yaki to lewa kwenye nyumba mbili zilizojengwa kwa matope zilizokuwa zikitumika k a m a m a d a r a s a n a mabweni kwa wavulana 12 na wasichana 12.

Polisi nchini Uganda hivi sasa inawatafuta wazazi wa watoto hao. VOA

WANANCHI wa Yemen wakiwa na moja ya majeruhi wa vita vinavyoendelea nchini humo.

Page 6: ANNUUR 1175b.pdf

6 AN-NUURRAJAB 1436, IJUMAA MEI 1 - 7, 2015

Makala

Inaendelea Uk. 7

D I N I y e t u t u k u f u i n a t u f u n d i s h a k u m s a i d i a n d u g u yako anapodhulumu a u k u d h u l u m i w a . Maana yake umsaidie nduguyo asidhulumu wa l a a s i d h u l u m i we . Kwa upana zaidi pia umsaidie nduguyo katika kufanikisha lililo zuri, na kumkosoa, kumpa nasaha na kumkanya kwa uzuri anapokosea. Hili huhusisha pia akikosea katika kutowa hukmu juu ya qadhia au jambo fulani.

Gazeti la An-nuur la Ijumaa ya tarehe 24, Aprili, 2005 katika tahariri yake chini ya mada: “Suala l a Ye m e n : Wa i s l a m u tunajigaragaza katika tope” mhariri alitamka k u p o k e a u j u m b e wa mkononi kutoka kwa msomaji wa gazeti hilo wenye lengo la kuhalalisha uvamizi wa dhulma wa Ufalme wa Saudia Arabia na Washirika wake nchini Yemen. Msomaji aliyetuma ujumbe huo alihalalisha uvamizi huo kwa hoja kuwa kinachotendwa na Ufalme wa Saudia kuivamia Yemen ni kuwatia adabu waasi na

Kuangazia kwa kina ‘Tahariri’ ya Gazeti la An-nnurNa Masoud Msellem

kurejesha utawala wa asili wa Yemen. Baada ya waasi kunyakuwa utawala halali wa awali. Kwa mujibu wa msomaji huyo kitendo hicho cha Saudia na washirika wake, ni kwa mujibu wa Hadithi ya Mtume SAAW inayosema:

“ Wa t a k a p o p a t i w a ba’aya makhalifa wawili, basi muuweni wa pili kati

yao”Awali , nimpongeze

mhariri wa Gazeti la An nuur kwa majibu yake sahihi kukosoa msimamo batil na hatari wa msomaji aliyetuma ujumbe ule. Lak in i l az ima n ik i r i kuwa, majibu ya mhariri hayakugusa roho ya hoja iliyowasilishwa na msomaji huyo. Licha ya

kuwa mhariri kwa suala hili amesibu katika majibu yake.

Ma j ibu ya mhar i r i yamejikita zaidi katika mifano badala ya kuijibu h u k m u y a k i s h a r i a kwa muj ibu wa hoja iliyowasilishwa. Mifano ya uhalisia aliyoitoa mhariri ni sahihi na mizuri lakini huingia katika daraja ya

hoja saidizi (corroborating arqument). Kwa sababu hoja msingi ya msomaji ni kuwa uvamizi ule umetendwa kutokana na agizo la Mtume SAAW linalopatikana katika Hadithi.

Hapa ndipo nakusudia kusaidia kutoa ufafanuzi zaidi wa hoja iliyoletwa na msomaj i . Hadithi aliyoleta msomaji huyo iko mbingu na ardhi na wala haihusiani kabisa na muktadha huu. Hadithi inachokisema ni suala la Khalifah, yaani mtawala halali wa Kiislamu. Nayo inagusia nukta hizi:

1 . N j i a p e k e e y a kumchaguwa mtawala wa Kiislamu/Khalifah ni kwa kumpatia ba’aya. Baada ya yeye na dola aliyosimamisha kutimiza vipimo kamili vya kisheria.

2 . M t a wa l a m k u u wa Kiislamu/ Khalifah anapaswa kuwa mmoja tu.

3. Kwa kuwa Khalifah ni mmoja tu , yoyote a t a k a e j i t a n g a z i a a u kutangazwa ukhalifah. Basi huwa ni muasi na ni wajibu kupigwa vita.

Y e m e n h a i k u w a ikitawaliwa na Khalifah,

Tumepokea ujumbe na makala kutoka kwa wasomaji wetu wawili na pengine tunukuu ujumbe huo kabla ya kutoa ufafanuzi. Msomaji anasema:

“A s s a l a a m a l a i k u m . Naitwa Hamza nawausieni A n n u u r m u m u o g o p e Allah, duniani tunapita na msidhani Waislamu wa sasa ni wajinga hatujaenda shule. Gazeti la wiki hii (iliyopita) uk. 2 mnasema d e m o k r a s i a n i s h u r a . Huu ni uongo mnapoteza umma kwa kalamu zenu na neema mlizojaaliwa na Allah. Demokrasia ni neno la Kigiriki demo ni watu, krasia ni utawala. Demokrasia ni utawala wa watu na si shura. Mfumo huu ulianza baada ya mapinduzi ya Ufaransa 1789-1815. Hii ni shirk. Mtawala wa watu ni Allah surat N nas Maliki N nas. Acheni kumzulia mtume uongo mfumo huu haukuwepo wakati wa uhai wake. Msichanganye politics na democracy vitu viwili tofauti.” (Huyo ni msomaji 0714 75 05 21)

Msomaji wetu mwingine kaandika makala ambayo tumeiweka pia.

Pengine ambalo tunaweza kusema hapa ni kuwa kwa

Uoni finyu kiasi hiki, hautufikishi popotemtizamo finyu kama huu, hakuna namna ambayo Uislamu na Qur’an yenyewe pamoja na mafundisho ya Mtume (s.a.w) yangekuwa n i ya wa k a t i w o t e n a yasiyofungwa na mipaka ya jiografia.

Katika mitaala yetu hii ambayo imeathiriwa na ukoloni, tuliambiwa katika h is tor ia kuwa mtu wa kwanza kuvumbua mlima Kilimanjaro ni Johannes Rebmann. Lakini haina maana kuwa Kilimanjaro haikuwepo mpaka alipokuja Mzungu huyo. Lakini pia haina maana kuwa wazee wa Kichaga walikuwa hawana macho ya kuuona mlima huo.

Kuwa neno demokrasia kama linavyofahamika leo limetoholewa kutoka kwa Wagiriki, haina maana kuwa katika jamii nyingine na kabla ya hayo mapinduzi ya Ufaransa, na hata kabla ya kuja Mtume (s .a .w) hawakuwa na mfumo wa kushauriana katika mambo na kutoa fursa ya watu kutoa mawazo yao. Ni kweli, neno demokrasia lilikuwa

halifahamiki kabisa katika jamii za Wamakonde, Wapare, watu wa Nepal, Uhindini na kwingineko. Lakini haina maana kuwa katika jamii hizo hapakuwa na mfumo wa kuwapa watu uhuru wa kutoa mawazo na kuamua mambo. Ambao ndio msingi wa maelekezo kwa Mtume kuambiwa ‘Shauriana’ nao katika mambo.

Iwe unaita demokrasia au Shura, lakini msingi wa neno ni kwamba watu kupata fursa ya kutoa mawazo yao, kuwa na uhuru wa kuamua katika mambo yao katika jamii.

Katika mambo ambayo yamechangia pa kubwa kuufanya umma huu uwe duni kwa namna hii tuliyo leo, ni kufika mahali tukaona kuwa utumiaji wa akili hauna maana. Watangulizi wetu, walifanya kazi kubwa kufanya tafiti, kuandika vitabu na kufanya mengi ya kielimu. Leo Masheikh wetu wamebaki wakipiga maktaima wakifanya Sherhe za vitabu badala ya kuandika vitabu vinavyoendana na wakati wa leo. Dhana/

m a w a z o ( c o n c e p t s ) zinatakiwa zichambuliwe na zitiwe katika matumizi ya ulimwengu wa leo, sio kubaki katika maf’hum na matumizi ya zama za kale katika jamii zilikoibukia. Hoja hapa itakuwa kwamba katika kushauriana huko, katika kutoa uhuru wa mawazo, msikiuke Sheria za Mwenyezi Mungu, sio kuwa neno mnalotumia halina asili ya Kiarabu.

Katika Qur’an Mtume anapoambiwa ‘ashauriane’ na waumini, wafuasi wake, hawashauriani Waswali au wasiswali, kutekeleza au kutokutekeleza amri za Mwenyezi Mungu. Kama ni kushauriana, watashauriana namna ya kutekeleza kwa mfano namna ya kuweka utaratibu wa kukusanya Zaka, kuweka mipango na kanuni za huduma za kijamii na kiuchumi na masuala mengine ya kijamii. Maadhali baraza hiyo ya ushauri imekuja kwa jina la Shura katika Lungha ya Kiarabu, haina maana wengine Baraza ya namna hiyo hiyo wasio

Waarabu wakiita Baraza la Wawakilishi, Bunge, Seneti au Congress, ni haram. Kama ambavyo huwezi kuitisha S h u r a k u j a d i l i , i wa p o mtekeleze amri ya Mungu au la, sisi tukiita ‘Shura’ yetu kuwa ni Mkutano Mkuu, kwa nini iwe haram muda wa kuwa hatujadili jambo la kumuasi Mungu.

K a t i k a N i g e r i a , kuna Maj imbo ambayo yanatawaliwa kwa ‘Shariah’, iwe ni kamili au nusunusu, lakini wanadai kuwa kuna Shariah. Lakini jaalia hata kama kwa mfano itatokea Jimbo moja katika Majimbo ya Marekani, likawa na Waislamu wengi na wakafikia mahali pa kuwa na utawala wa Kiislamu. Ili iwe utawala huo ni wa Kiislamu, si lazima mpaka wamwite kiongozi wao Khalifah au Amir. Kama watakuwa na Rais, Gavana, Liwali, Waziri Mkuu, majina hayo ya kivyeo yatategemea lugha na utamaduni wa mahal i . Muhimu kwao n i k u h a k i k i s h a k u w a wanaongozwa kwa mujibu wa Uislamu. Na kwa maana hiyo hiyo, vyombo vyao vya kuendesha mambo si lazima kubeba msamiati wenye asili ya Kiarabu.

Lakini jingine ni kuwa Inaendelea Uk. 7

RAIS Barack Obama wa Marekani (kushoto) akiwa na Mfalme wa Saudi Arabia.

Page 7: ANNUUR 1175b.pdf

7 AN-NUURRAJAB 1436, IJUMAA MEI 1 - 7, 2015

Makala

Kuangazia kwa kina ‘Tahariri’ ya Gazeti la An-nnurInatoka Uk. 6na kwa hivyo hakuna mwenye haki au mamlaka y a k u i v a m i a k w a kisingizio hicho. Ajabu iliyoje! Ufalme wa Saudia unajipachika mamlaka hayo kiuwongo ilhali ndio dola iliyoshiriki kikamilifu kuivunja dola ya mwisho ya Kiislamu ya Khilafah Uthmania. Na haya ya leo ni matokeo ya mabalaa mengi baada ya kuvunjwa kwake.

Kimsingi vita vya Yemen sio vita vya kukabiliana na waasi wala kumrejesha mtawala wa asili kama inavyodaiwa. Hivyo ni visingizio tu. Kwa kuwa waasi hao wamekuwapo kitambo na wamekuwa wakifanya ukatili wao kwa muda mrefu. Na pia sio vita vya kimadhehebu. Saudia na Iran wanapotekeleza baadhi ya ajenda ikiwa mazingira yanaruhusu, hutumia visingizio vya madhehebu. Na ikiwa hayaruhusu, huyatupilia m b a l i m a d h e h e b u

Uoni finyu kiasi Inatoka Uk. 6kama katika Shura, kiongozi hawajibiki kufuata maoni ya washauri wake, na matumizi ya akili hayatakiwi, basi kusingekuwa na sababu Mtume kuamrishwa ‘Shura’. K i n a c h o a m u a u s h a u r i uchukuliwe au la ni uzito na kufaa kwa hoja inayotolewa ikilinganishwa na nyingine katika jambo linalojadiliwa, baada ya kuwa halijakikuka Aya au Hadithi. Ambalo litatupiliwa kwa mbali mara moja, ni lile linalokiuka amri ya Mwenyezi Mungu.

Wa u m i n i M s i k i t i n i wanapochagua Imamu wao na kuweka uongozi wa Msikiti kulingana na vigezo vinavyokubalika katika Uislamu, ule ni uongozi wa waumini katika Msikiti ule kwa ajili ya kuongoza na kuwahudumia waumini. Tofauti na kwamba anakuwa mtu mmoja kuamua bila ya ridhaa ya waumini au kuongoza kwa kujali masilahi yake sio kuangalia masilahi ya waumini wake. Sasa kama utaratibu huo utaitwa kuwa ni demokrasia, haiwezi kuwa haramu eti kwa sababu Abraham Lincoln aliwahi kusema kuwa:“Democracy is the rule of the people by the people for the people”.

Ni kwel i , watu ndio wanaoweka ‘watawala’ kwa ajili ya kuongoza watu. Hoja hapo ni kuwa je, ataongoza kwa kufuata ile kanuni iliyokuja katika Nisai: 59?

Msomaji wetu anasema kuwa katika Shura si lazima anayeshauriwa kukubali rai za wengi, lakini pia ha ihus ish i masuala ya sheria. Ni kweli kabisa. Lakini inategemea, hizo rai za wengi zimeegemea wapi katika manufaa kulingana na ukweli na mazingira yaliopo au vinginevyo. Waliwahi kujitokeza watu hapa, wakapiga kelele juu ya kurejea serikali ya Tanganyika wakijiita G55. Kutokana na hali ya kisiasa wakati ule, jambo lile lingefika Bungeni, l ing ep i t a . A l i chofanya Nyerere ni kuwazima kwa kuleta hoja kuwa ‘Serikali tatu sio Sera ya CCM.’

L a k i n i h a t a h i i l e o i n a p o a n d a l i wa K a t i b a Mpya, inaonekana walio wengi wanataka Mfumo wa Muungano wa Serikali Ta t u , l a k i n i wa t a wa l a wametia ngumu. Ni vivyo hivyo, hawawezi kukutana Wawakilishi pale Chukwani wakajadili hoja ya kuvunja Sher ia , mfano waseme kuanzia sasa ‘ujambazi’ ruhsa.

Kwa hiyo hoja hapa, sio kuita kikao Shura, Bunge, Baraza la Wawakilishi au Seneti, hoja sio msamiati uwe Shura au Demokrasia. M n a we z a k u k a a k a m a

Bunge, lakini mkazingatia kuwa mnachojadili hakikiuki h u k u m u z a M we n ye z i Mungu. Ile kuwa hamjatumia neno la Kiarabu, Shura, haifanyi iwe kikao chenu ni haramu.

Mtume (s.a.w) aliweka Katiba ya Madina. ‘Madina Charter’ (The Charter of Medina (Mīthāq al-Madīnah), au the Constitution of Medina (Dastūr al-Madīnah). Hoja ya msingi hapa ni kuwa lazima pawe na kanuni za msingi na sheria mama ya kuongoza jamii. Ndio maana Mtume (s.a.w) akaweka Katiba ya Madina. Hakusema Qur’an inatosha. Qur’an inabaki kuwa Mwongozo.

Unaweza kusema kuwa Katiba ya Mtume ilitokana na Wahay, sawa, lakini leo hatuwezi kuichukua i le ‘Dastūr al-Madīnah’ tukaitumia kama ilivyo katika mazingira yetu ya Tanzania yalivyo hivi leo. Mtume akiwa na madaraka kama kiongozi wa Dola, aliweka Katiba ambayo ilizingatia haki, wajibu na mambo mengine ya Waislamu an wasio kuwa Waislamu, wakiwemo Mayahudi katika jamii hiyo.

Leo tunaishi katika Dola ambayo sio ya Kiislamu huku tukitamani siku moja

tufike huko. Hatuishi hewani wala katika ulimwengu wa kufikirika. Lazima kuwe na kanuni za kutufanya tuishi pamoja kwa kuzingatia tofauti zetu za kikabila na kiimani, mahitaji yetu kwa pamoja kama jamii na yale mahususi kwa jamii fulani. Kanuni hizo iwe utaita Katiba au ‘Dastur Tanzania’, lazima ziwepo.

L a m s i n g i n i w e w e kuhakikisha kuwa Katiba hiyo haitumiki kukutoa katika Uislamu wako. Sasa wewe iite ya kikafiri, haifai lakini lazima itakuwepo. We we k a t a a k u s h i r i k i kuiandaa, lakini lazima itakuwepo.

Sasa hapa ni kuchagua, ushiriki na uhakikishe kuwa hayaingizwi mambo ya kuwakwaza Waislamu katika Dini yao au ukae pembeni, ubakie ukiimba ukafiri, ukafiri, lakini kuimba kwako huko hukutakuwa na msaada wowote kwa Waislamu na hata wewe mwenyewe. Kama Mtume (s.a.w) alikaa na makafiri wakaweka mkataba wa Hudaibiyah, Mtume akahakikisha kuwa hakiwepo kipengele cha kukwaza Da’wah yake kuelekea katika kusimama Dola ya Kiislamu, leo utasemaje ni ukafiri Waislamu wa Tanzania na Wakristo wa Tanzania kukaa pamoja kuweka kanuni za namna ya kuishi pamoja. Kama katika

Hudaibiyah, Mtume (s.a.w) al iruhusu kuwepo kwa vipengele vilivyoonekana kuwafurahisha makafiri, ili makubaliano ya amani yafikiwe na apate uhuru wa kufanya Da’wah, vipi leo iwe haramu Muislamu wa Tanzania kukaa na Mkristo wa Tanzania kuweka taratibu za kuishi, ita Katiba au vyovyote, muhimu waishi pamoja muda wa kuwa Katiba hiyo haitamtoa katika Uislamu wake!

Kuna watu walikuwa wanakuja na hoja kuwa aliyekuwa Rais wa Misri, M o h a m m e d M o r s i aliondolewa madarakani kwa sababu hakufuata hatua za Kiislamu kupata ura is . Al i fuata n j ia za kikafiri, demokrasia. Lakini unajiuliza, Talabani nao waliingia kwa demokrasia! Umoja wa Mahakama za Kiislamu, kule Somalia, nao waliingia madarakani kwa kupigiwa kura? Mbona leo hawapo.

Tukiishi katika mawazo na ulimwengu wa kufikirika, wala haitatusaidia kitu. Tunaishi Tanzania hii na ulimwengu huu huu wa utandawazi wa kizazi cha dijitali. Akili lazima itumike tunaishi vipi na tunakabiliana vipi na changamoto za ulimwengu huu kufikia lengo letu la kuumbwa kama Makhalifah wa Allah. (Mhariri)

katika utekelezaji wa ajenda zao. Kwa mfano, Iran haikuingia vitani kupambana na Marekani ilipovamiwa Iraq, jirani tu na nchi yake huku ikiwa na yaqini kuwa watakaokufa pia ni mashia wengi. Aidha, Iran ilifunga mipaka yake na Afghanistan wakati

Marekani ilipovamia nchi hiyo ilhali ikitambua wazi kuwa Afghanistan ina idadi kubwa ya mashia.

N a S a u d i a m i f a n o yake ni lukuki haina ghera wala shauku ya k u t e t e a m a d h e h e b u wala dini kwa ujumla. Kimsingi kuna ukibaraka, na moja ya agenda ni

kuchapuza ugomvi wa kimadhehebu kwa Umma wa Kiislamu. Kwa hivyo dola moja hukaa huku, na dola nyengine kukaa kule ili kuwagombanisha Waislamu kimadhehebu ili Umma huu uangamizwe kwa karata hiyo. Mabeberu wamegundua karata ya kimadhehebu ina faida

kubwa katika kuangamiza Umma huu na kufikia malengo yao kiulaini.

Sehemu yangu ya pili ya makala hii nitagusia kwa ufafanuzi nukta nyengine zilizogusiwa ndani ya tahariri hiyo kuhusu suala la Demokrasia na Katiba.

Kwa kuanzia, tunasema demokrasia sio shura. Tafsiri hiyo ni ya kimakosa k i lugha na k iwaqia / hali halisi. Demokrasia ni istilahi ya kigeni na sio ya Kiislamu ambayo m a k u s u d i o ya k e n i watu kufanya maamuzi kuzingatia wingi wao na kwa mujibu wa akili zao. Na kamwe katika maamuzi h a y o h a k u z i n g a t i w i wahyi. Amma shura ni istilahi ya Kiislamu nayo ni kushauriana. Lakini s h a r i a y a K i i s l a m u ikaifunga shura katika mambo ya mubaha na ya kimbinu zisizohitajia fani za kiufundi tu, mambo ambayo hayapingani na sharia. Mifano aliyotoa

Inaendelea Uk. 13

UHARIBIFU unaoendelea kuikumba nchi ya Yemen kutokana na vita.

Page 8: ANNUUR 1175b.pdf

8 AN-NUURRAJAB 1436, IJUMAA MEI 1 - 7, 2015

Makala

K I L A s i f a n j e m a zinamstahiki Mwenyezi M u n g u , S w a l a n a Amani zimfikie Mtume Muhammad (s.a.w.) na Jamaa zake.

H o t u b a n y i n g i zinazotolewa kwenye Swala ya I jumaa kwa baadhi ya misikiti hivi leo (ila nadra), hazina maudhui ya kufungua Waislamu akili zao, bali k i t u k i n a c h o f a n y i k a a m a k u wa s h a w i s h i /kuwalingania kuwa ni washabiki wa Sheikh, Imamu au na taasisi/m a d h e h e b u . N a s i o k u w a f a h a m i s h a /kuwafafanulia habari ( k a d h i a ) z i n a z o g u s a mustakabal i wao wa k id in i kwenye j ami i na sio kuwasadikisha, kukanusha au kuchochea kwa kuelekezea jambo linalotakiwa kufanywa na Waumini, ili kujikwamua kwenye matatizo yao ya kiuchumi, kisiasa, kitamaduni na ustawi wa jamii.

Kwa mujibu wa mafunzo ya Uis lamu, Hotuba za Swala ya Ijumaa, ni s e h e m u ya K h a t i b u wa swala hiyo, kutoa maelekezo na kuonyesha njia ya kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazokwamisha ustawi wa kuweza Kusimamisha Uislamu katika Jamii.

J a m i i ya K i i s l a m u inawajibika kufahamu k w a m b a H o t u b a zinazotolewa kwenye Swala ya Ijumaa nk. Ni sehemu ya kuzungumzia mustakabali wa kimaisha k w e n y e u s t a w i w a kidini na ki jamii. Na n i m a h a l i a m b a p o Muislamu huonyeshwa na kufahamishwa matatizo yake yapo wapi? Na mahali anapokosea na imesababishwa na jambo gani? Na njia au namna gani ya kutatua tatizo hilo.

Mathalani, hivi sasa nchi inakabiliwa na Kadhia tete ya kuwepo kwa Mahakama ya Kadhi, Kura ya Maoni juu ya Katiba Mpya ya Nchi, kamata kamata inayofanyiwa baadhi ya Waislamu, ambao wana ushawishi katika jamii ya Kiislamu na kufunguliwa mashitaka ya Ugaidi/uchochezi, kukithiri kwa ajali za barabarani, Sera Mpya ya Elimu, migomo ya wafanyabiashara kwa kufunga maduka, madawa

ya kulevya nk. Kadhia zote hizi zinagusa mustakabali wa Waislamu, uwe ni kidini na kijamii.

K a d h i a z o t e h i z i zinastahiki kuzungumzwa k w e n y e H o t u b a z a Swala ya Ijumaa, na sio kuwaachia wanasiasa peke yao kuzizungumzia kwa mujibu wa mtizamo wao wa kisiasa, bali kwa vile makhatibu ni viongozi wa jamii ya Kiislamu ambao wana ushawishi, kadhia yoyote inayoj i tokeza kwenye jamii, inayogusa Mustakabali wa Waislamu kidini na kijamii, wao wanapaswa kuizungumzia na kuifafanua, pamoja na kutoa maelekezo kwa Waislamu ni kitu gani cha kufanya ili kunusuru mafundisho/maelekezo ya kidini na ustawi wao wa kijamii.

H i i n i h a k i y a o makhatibu (walinganizi) ya kidini na ki jamii . Nayo ni: Ni katika njia ya kuamrishana mema na kukatazana mabaya.

A m e s e m a A l l a a h (Subhaanahu wa Ta‟ala):

“ M m e k u wa U m m a bora utokanao na watu mnaamrishana mema na mnakatazana mabaya na mnamwamini Allah” (Suratul Al-Imran 3:110).

“Sema: hii ndio njia yangu nalingania kwa Allah kwa ujuzi mimi na yule aliyenifuata na ametakasika Allah na Kila Upungufu nami si katika washirikina”. (Suratul Yusuf 12:108)

Ni katika njia moja wapo ya kuzuia Munkari. Amesema Mtume (S.A.W.): “Atakayeona miongoni mwenu ovu lolote aliondoe kwa mkono wake, na kama hataweza basi kwa ulimi wake, na kama hataweza basi aliondoe kwa moyo wake (alichukie) na hali hii (kuchukia kwa moyo) ni udhaifu mkubwa wa imani”. (Muslim)

Ni katika njia ya kuzuia maovu ili watu wasiendelee kuyafanya kwani kuachwa wakiendelea kuyafanya madhara yake yatawasibu na wengineo wasiofanya maovu.

A m e s e m a A l l a a h (Subhaanahu wa Ta‟ala): “Na iogopeni adhabu ya (Allah ya hapa duniani) ambayo haitawasibu peke yao wale waliodhulumu n a f s i z a o m i o n g o n i mwenu (bali itawasibu h a t a w a l i o n y a m a z a wasiwakataze, bali na wengineo pia); na jueni kuwa Mwenyezi Mungu ni mkali wa kuadhibu”. (Suratul An-nfal 8:25)

Toka Nu‟umaan bin Bashiry (R.A) akisema: A m e s e m a M t u m e (S .A.W.) : “Mfano wa yule aliesimama katika mipaka ya Allah na yule alievuka mipaka yake ni mfano wa watu walioingia kwenye Safina kwa kupiga kura wakawa miongoni mwao juu ya ile Safina na wengine chini ikawa wale waliokuwa chini, wakitaka maji kuyafuata kwa kupitia kwa wale

wa juu, wakasema (Kwa k u s h a u r i a n a ) : k a m a tungetoboa hukuhuku c h i n i t u n g e y a p a t a maji bila ya kuwaudhi wenzetu walio juu, kama wataachwa na matakwa yao hayo wataangamia wote na kama wakizuiwa w a t a o k o k a w o t e ” . (Bukhari)

I l i dola iwe ipo ni s h a r t i k u w e p o n a mihimili mitatu: Serikali, Mahakama na Bunge. Kila muhimili mmoja unafanya kazi zake bila kuingiliwa na mwingine. Serikali ndio muhimili wenye dhamana ya kusimamia watu kwa kuhakikisha sheria zilizotungwa na Bunge zinatekelezwa na kufuatwa na ki la mtu anapata haki yake anayositahili.

Hivyo kwa kuwa serikali inaendeshwa na watu ambao sio “Massumini” ( K u l i n d wa n a A l l a h kutokutenda makosa), ni kuwa wanapatia na kukosea. Kwa hiyo wajibu wa makhat ibu kama viongozi wa Waislamu wana haki ya kuipongeza p a l e i n a p o p a t i a n a kuikosoa pale inapokosea. Katika kukosoa inatakiwa wachukue taadhari kubwa kwani endapo patafanyika kosa katika kufanya kazi hii inawezekana ikawa sababu ya kuharibu zaidi kuliko kutengeneza na kuleta Far’ka. Kukosoa ambako kumetak iwa kufanywa inatakiwa kadiri ya uwezo wetu Waislamu

wenye kul ingania i l i k u e p u k a k a b i s a n a sura ya kudhalil isha, k u f e d h e h e s h a , kushutumu, kubeza , kulaumiana, kuvunjiana heshima n.k. bali iwe imeegemea zaidi katika ukweli na kunasihi kwa kuzingatia heshma ya mtu.

Hatuna budi kuonyesha huruma na upendo kwa hawa tunao wakosoa na kutumia lugha nzuri na hekima (Ukweli, Namna, wakat i na mazingira ya sawasawa). Lakini itakuwa ni kutia doa jeusi kat ika jamii na kudhoofisha mshikamano wa kidugu na hatimaye kufarakanisha, endapo tutatumia jazba, chuki, hamaki, kuwafedheheshe na kuwavunjia heshima wanao tuongoza kwenye jamii.

Ni haki ya kikatiba. Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kifungu cha 18 (1): “ Bila kuathiri sheria za nchi, kila mtu yuko huru kuwa na maoni yoyote na kutoa mawazo yake, na kutafuta, kupokea na kutoa habari na dhana zozote kupitia chombo chochote bila ya kujali mipaka ya nchi, na ana uhuru wa mwasiliano yake kutokuingiliwa”.

L e n g o l a k i j a m i i . I k i w a Wa i s l a m u n i wana jamii mambo yote yanayofanywa katika jamii hii, yanatugusa yawe ni ya heri au shari kwa namna moja au nyingine. Na athari zake ni hivyo hivyo zitatugharimu moja kwa moja. Kwani kimaumbile binadamu hawezi kuishi maisha ya kipekee bila ya kufangamana na watu wengine. Yaani binadamu hawezi kuishi maisha kama vile yuko kwenye maisha ya “Bar‟zakh” (Maisha ya kaburini). Na kama nilivyotolea dalili ya Hadithi Nu‟umaan (R.A) hapo juu kwenye lengo la kidini. Hivyo Makhatibu wanayo haki na wajibu wa kuielimisha jamii kwa nasaha, ushauri, tahadhari, kuonya na wajibu kukemea maovu kwenye jamii. Ili wale wanaoendelea na wanaosaidia kubomoa Safina wawaidhike na kuacha kufanya hivyo ili tunusurike sote.

Wabbilah Tawfiq.(Makala hii imeandikwa

na: Abu Saumu, Kombo Hassani Kidumbu. E-Mail [email protected] Mob: 0714720965 M a h a l i : M i k a n j u n i -Tanga-Tz.

Hotuba za swala ya Ijumaa zifungue akili za Waislamu

Page 9: ANNUUR 1175b.pdf

9 AN-NUURRAJAB 1436, IJUMAA MEI 1 - 7, 2015Makala

HUJUMA Na Uzalendo Ni Misamiati Maarufu Katika Midani Ya Siasa Na Kwa Nchi Yetu Umaarufu U n a k u w a M k u b w a Kwa Sababu Tunacho Hadi Chama Kipya Cha Siasa Kinachojiita Act- Wazalendo. Kwa Ubaya Na Uzuri Wa Maneno Haya, Watu Huyatumia K a t i k a M a e n e o Mengi Ili Kushajiisha Wa n a y o y a s e m a N a K u y a f a n y a , L a k i n i Misamiati Hii Ni Maarufu Zaidi Katika Medani Ya Siasa Na Uchumi.

Katika Siasa Utasikia H a w a B w a n a N d i o Wazalendo Wa Nchi Hii, Na Katika Medani Ya Uchumi U t a s i k i a Wa h u j u m u Uchumi Watachukuliwa Hatua Kali.

Katika Makala Yangu Hii Naamua Kuyatumia M a n e n o H a y a K w a U m a a r u f u W a k e Unaotokana Na Uzito Wa Maneno Yenyewe Kutokana Na (Athari) Faida Ama Hasara Kubwa Zinazoweza Kutokea Au Kuachwa. Kwa Bahati Mbaya Maneno Haya Hayatumiki Sana Katika Maeneo Ya Ibada Kwa Sababu Huko Yapo Maneno Yake Na Kama Utayatumia M a n e n o H a ya M a r a Kwa Mara Yakasikika, U t a a m b i wa U n a a n z a Kuchanganya Dini Na Siasa, Japo Si Haramu Kufanya Hivyo Lakini Kwa Mazoea Ambayo Sijui Asili Yake Ni Wapi, Utaonekana Umefanya Dhambi Kubwa Kutumia Maneno Hayo Katika Maeneo Hayo.

Kwa Ufupi Na Kwa Ujumla, Hujuma (Sabotage) Ni Kufanya Au Kusema J a m b o K i n y u m e N a Utaratibu Unaokubalika Na Unaotakiwa Katika Jamii Husika, Sawa Iwe Mtu Kujifanyia Mwenyewe Au Kuwafanyia Wengine Iwe Kimataifa, Kitaifa, Kimkoa, Kiwilaya Au Kimtaa. Lugha Rahisi Kiislam Juu Ya Hujuma N i k u f a n y a M a m b o Kiunafiki.

U n a f i k i N i K a t i k a Tabia Mbaya Ambayo I n a p e k e a M a t e n d o Ya M t u K u k a t a l i wa , Kupata Mwisho Mbaya N a K u g h a d h i b i k i wa Na Mwenyezi Mungu (Subhanahuu Wataala)

Kwa Upande Wa Pili

Hujuma na uzalendo katika jicho la KiislamuNa Iddi Jengo

Uzalendo (Patriotism) Ni Kufanya Au Kusema J a m b o L i n a l o t a k i wa Katika Jamii Kwa Kufuata Utaratibu Unaokubalika Na Unaotakiwa Katika Jamii Husika, Sawa Iwe Mtu Kujifanyia Mwenyewe Au Kuwafanyia Wengine Iwe Kimataifa, Kitaifa, Kimkoa, Kiwilaya Au Kimtaa. Lugha Rahisi Kiislam Juu Ya Kufanya Mambo Kizalendo Ni Kufanya Kwa Ikhlas.

Ikhlasi Ni Katika Mhimili Wa Msingi Unaopelea (Aamali ) Matendo Ya Mtu Kukubaliwa Na Kupata Malipo Mema Kutoka Kwa Mwenyezi Mungu (Subhanahuu Wataala).

Hujuma Na Uzalendo Ni Tabia Ambazo Huandaliwa Kwa Mafunzo Rasmi Au Yasiyo Rasmi Na Iko Miiko Inayoweza Kudumisha Au Kuzorotesha Tabia Hizi. Kimsingi Muundo Ndio Unaozalisha Tabia Hizi Na Kuzipa Muelekeo Unaostahiki.

Mfano Rahisi Juu Ya Muundo Ni Kwamba U k i w a U n a e n d e s h a Baiskeli Ambayo Usukani Wake Umepinda Kwa Upande Wa Kushoto Itakulazimu Uibie Upande Wa Kulia Ili Uendane Na Muundo Ukifuta Muundo Wa Kupinda Kwa Baiskeli Itakusababishia Ajali. Kwa Hiyo Muundo Unataathira Kubwa Katika Kulifanya Jambo Liende Vizuri Au Liende Kombo.

K a t i k a M a i s h a Tu n a y o i s h i Tu n a y o Miundo Mingi, Miongoni Mwayo Maarufu Kwa

Zama Zetu Ni Muundo Wa Muungano, Ambao Umeibua Mjadala Mzito Katika Nchi Yetu. Mara Zote Muundo Ukiwa Mbovu, Basi Tabia Na Mwenendo Utakaoibuka Au U t a k a o Z a l i w a Utakuwa Mbovu Na Muundo Ukiwa Mzuri Basi Tabia Na Mwenendo Utakaoibuka Utakuwa Mzur i Na Imara Na Utadumu Kwa Muda Mrefu Kama Vigezo Vya Msingi Vitazingatiwa. Kwa Utaratibu Huo Hujuma Na Uzalendo Hutegemea Muundo Wa Wanajamii Umeundwaje?

Kudumu Kwa Muundo A u K u p o r o m o k a , Hutegemea Rasilimali Watu (Wazalendo Au Wahujumu), Rasilimali Watu Ndiyo Itawezesha Muundo Kudumu Hata Kama Muundo Huo Ni Mbovu. Muundo Unaweza Kuwa Mbovu, Lakini Kwa Kupata Rasilimali Watu Madhubuti Na Wakaamua Kuusimamia, Hupelekea Wanajamii Kulazimishwa K u u a m i n i K u wa N i Mzuri. Kinyume Chake Muundo Waweza Kuwa Mzuri Lakini Kwa Kukosa Rasilimali Watu Makini Na Madhubuti, Basi Muundo Huo Utadhoofika Na Kudumaa.

Si Hivyo Tu, Utapigiwa Chapua Na Kila Aina Ya Propaganda Kuusingizia Muundo Huo Kuwa Ni Mbovu Na Kwa Kuwa Jamii Yetu Inawatu Wengi Ambao Huwa Hawafikiri Vizuri, Hukosa Muda Wa Kuufanyia Uchunguzi

M u u n d o K w a H i y o Kuuhukumu Kwa Namna Ilivyo Ndivyo Au Sivyo.

Anayedumu Na Tabia Ya Kizalendo Huitwa Mzalendo Na Moja Ya Sifa Kubwa Ya Wazalendo Ni Kufanya Na Kusema Jambo Pasi Na Kujali Jamii Itamuonaje, Yeye Anafanya Maadhali Ni Jambo La Sawa Na Anal i fanya Wakati Wa Sawa Na Kwa Namna Ya Sawasawa. Mzalendo Huwa Hahofii Nini Kitampata. Kiislamu Tu n a s e m a U t a r a t i b u Wa Kufanya Mambo Kwa Namna Hiyo, Ndo Tunaita Umefanya Kwa Ikhlas Maana Unafanya Na Unatara j i Mal ipo Ya Hakika Kutoka Kwa Muumba Mbingu Na Ardhi.

Miongoni Mwa Mambo Ya n a y o c h o c h e a N a Kudumisha Uzalendo Ni Matarajio, Ukweli Na Subira. Subira, Ukweli Na Matarajio Ni Mambo Magumu Kiutekelezaji, L a k i n i N i M a m b o Yanayowezekana Kwa Kila Mwenye Nia Ya Dhati. Ni Magumu Kwa Sababu Huambatana Na Misukosuko Ya Muda Mrefu, Kama Qur’an Inavyotuhadithia.

“ ( H a p a n a S h a k a Tu t a k u j a r i b u n i K wa Chembe Ya Khofu, Na Njaa, Na Upungufu Wa Mali Na Watu Na Matunda. Na Wabashirie Wanao Subiri, Wale Ambao Ukiwasibu Msiba Husema: Hakika Sisi Ni Wa Mwenyezi Mungu, Na Kwake Yeye Hakika Tutarejea.

Hao Juu Yao Zitakuwa Baraka Zitokazo Kwa Mola Wao Mlez i Na Rehema. Nao Ndio Wenye Kuongoka. 2:155-157)”

K w a W a z a l e n d o , M a t e r i a l ( V i t u V y a Kimaada Kama Majumba, Magari N.K) Sio Jambo Lenye Ushawishi Mkubwa Wa Kubadili Malengo Yao Na Nia Zao. Kwao Material (Vitu Vya Kimaada Kama Majumba, Magari N.K) Wanavichukulia Kwamba Ni Means (Viwezeshaji) Vya Kuwezesha Kufikia Malengo,Kwao Vitu Sio Lengo Lenyewe.

K w a U p a n d e Wa Hujuma Anayedumu Na Tabia Hii Huitwa Mhujumu Na Moja Ya Sifa Yake Ni Kufanya Mambo I l i Ku j inufa i shayeye Binafsi Na Watu Wake Pasi Na Kujal i Jamii Anaiachaje, Maadhali Yeye Atanufaika Na Manufaa Haya Ya Mda Mfupi Yeye Hilo Halimshughulishi. Na Kauli Yake Huwa Nipotelea Mbali Liwalo Na Liwe. Lakini Tukumbuke Yeyote Anayepanda Gari Liloandikwa Potelea Mbali Kituo Anachoshushwa H u wa N i n g e j u a . N a Bora Ningejua Ya Hapa Duniani, Lakini Ningejua Ikiwa Tayari Tupo Katika Ulimwengu Wa Akhera (Maisha Baada Ya Kufa), Inakuwa Ni Hatari Zaidi Kwa Sababu Mazingira Ya Huko Yanakuwa Hayana Kuomba Msamaha Kama Ilivyo Hapa Duniani.

Kwa Upande Wa Hujuma Mambo Yanayochoche Na Kuhamasisha Hujuma Ni Matamanio, Uongo Na Kungojea.

“(Je! Umemwona Aliye Fanya Matamanio Yake Kuwa Ndiye Mungu Wake, Na Mwenyezi M u n g u A k a m w a c h a Apotee Pamoja Na Kuwa Ana Ujuzi, Na Akapiga Muhuri Juu Ya Masikio Yake, Na Moyo Wake, Na Akambandika Vitanga Machoni Mwake? Basi Nani Atamwongoa Huyo B a a d a Ya M we n ye z i Mungu? Hamkumbuki? 45:23.)”

“Na Isubirishe Nafsi Yako Pamoja Na Wanao M u o m b a M o l a Wa o Mlezi Asubuhi Na Jioni, Hali Ya Kuwa Wanataka Radhi Yake. Wala Macho Yako Yasiwaruke Kwa Kutaka Pambo La Maisha

Inaendelea Uk. 12

Page 10: ANNUUR 1175b.pdf

10 AN-NUURRAJAB 1436, IJUMAA MEI 1 - 7, 2015

MWAKA 2012 lilifanyika shambulio lililoitwa la kigaidi katika kanisa la COCIN (The Church of Christ in Nations (COCIN), formerly Church of Christ in Nigeria) kule Jos , katika J imbo la Plateau. Harakaharaka ikadaiwa kuwa msemaji wa Jama'atu Ahlis Sunna Lidda'awati wal-Jihad, maarufu, Boko Haram, w a m e k i r i k u f a n y a shambulio hilo la bomu la kujitoa muhanga. Taarifa za vyombo vya habari zikadai kuwa msemaji wa Boko Haram, Abul ‘Qaqa,’ amewaambia waandishi wa habari kwa njia ya simu na pia kutoa taarifa katika mtandao wa Boko Haram, akikiri kuwa pamoja na kushambulia kanisa hilo, pia wamechoma moto shule moja ya msingi ya serikali katika mji wa Maiduguri.

“We are responsible and it will continue, we must revenge killings of Muslims in Plateau State. Anybody that stands on our way must lower six feet to the ground. Our attacks have no distinction on any person, be him Muslim or infidel. For as long as they stand against us and our cause, their blood is legitimate to be shed. More of this will come beyond imagination."

Magazeti yalidai kuwa hiyo ni kauli ya Boko Haram ikidai kuwa wataendelea kufanya mashambulizi kutekeleza malengo yao na hawatajali kuwa wanauwa Mkristo au Muislamu ilimuradi tu wanamuona ni kikwazo katika malengo yao, damu yake kwao ni ‘halali’ kuimwaga.

Muda mfupi tu baada ya taarifa hizo, zikaibuka taarifa nyingine zikieleza kuwa walikamatwa vijana wa Kikristo wakihusishwa kulipua kanisa hilo.

“ C h r i s t i a n s c a u g h t attempting to bomb COCIN church in Bauchi.” (February 26, 2012Premium Times. Ta z a m a p i a : S h o c k e r : C h r i s t i a n s C a u g h t Attempting To Bomb Own Church In Bauchi.)

Vijana waliokamatwa walitajwa kwa majina ya Lamba Goma, Filibus D a n a s a , J o s h u a A l i , Danjuma Sabo, Joseph Audu, Simon Gabriel, Bulus Haruna, Yohanna Ishaya and Daniel Ayuba (who was the immediate past Secretary of PDP at Tilden Fulani Ward, Toro LGA, Bauchi State).

Hakuna ugaidi Misikitini wala katika Makanisa yetu

Kilichopo ni mikakati ya akina Karl PetersTelevisheni, Magazeti yetu ndiyo hatari…Sio akina Ummul-Kheir wala Mberesero

Na Omar Msangi

Lakini ukiacha hao waliokamatwa wakijaribu k u l i p u a , k u l i w a h i kufanyika shambulio hasa na ikadaiwa kuwa Boko Haram wamehusika na kwamba aliyefanya hivyo alikuwa kavaa sare za jeshi. Ikajengwa dhana

kuwa huenda kuna Boko Haram wapo ndani ya jeshi. Hata hivyo, baada ya uchunguzi, iligundulika k u w a w a l i o k u w a wamefanya shambulio hilo walikuwa ni waumini wa Kanisa husika. Jeshi la Nigeria likatoa taarifa

kuwa watu waliokamatwa wakidaiwa kuhusika na kulipua kanisa hilo, wal igundul ika kuwa ni waumini wa kanisa la COCIN. Alitajwa Mr. Adams Joseph Ashaba ambaye alidaiwa kuwa ni mlipuaji wa Boko Haram,

a l ikuwa ni muumini wa kanisa hilo na hata ndugu zake na viongozi wa kanisa walipohojiwa walimtambua.

“During interrogation, it was discovered that the a l leged suicide bomber who was lynched by the worshippers and in military uniform was the same Adams Joseph Ashaba. With this development, Reverend John D Harung and two other clergymen from the COCIN Headquarters were invited to HQ STF to ascertain that he was a member of their church and not a soldier as alleged”.

I l i s e m a t a a r i f a ya vyombo vya dola ikifafanua juu ya shambulio hilo lililodaiwa kufanywa na Boko Haram. (Tazama: Jos church attack: Suicide bomber, COCIN (Church) member –Defence HQ)

Matukio kama haya yalikuwa mengi sana miaka kadhaa nyuma wa k a t i i k i e n d e s h wa operasheni ya kusimika kitisho cha Boko Haram, Nigeria. Hii ni pamoja na lile tukio la kutumia picha ya maiti za watu walioungua katika ajali ya lori la mafuta Congo DRC, na kudai kuwa ni Boko Haram waliochoma Wakristo. Lakini pia ni pamoja na zile picha zilizotumika kusimika kitisho cha Al-Shabaab ambapo anaonekana mtu akichinjwa mwaka 2008 Mogadishu, picha hiyo hiyo ikatumiika mwaka 2012 na kudaiwa kuwa ni Boko Haram inachinja Mkristo. Kitisho kilipokubalika, t u m e s h u h u d i a n a tunaendeela kushuhudia yanayofanywa na Boko Haram!

Y u p o m w a n d i s h i m m o j a a k i j i n a s i b u kuwa ni “Mwandishi Mchambuaji”, kaandika makala ikiwa na kichwa cha habari “IGP Magu aanze operesheni ya ugaidi misikitini Dar”.

Nimejitahidi kuipitia makala hii mara kadhaa nione huo uchambuzi wake, lakini napenda kukiri kuwa sikuuona. Kilichofanyika ni kukariri yale yale ya BBC, CNN, Aljazeera, KTN na vyombo vyetu vya hapa nchini. Kwamba magaidi walipiga Septemba 11, walipiga Balozi za Marekani Dar na Nairobi, Westigate na sasa Garissa.

Alichofanya mwandishi h u y u n i k i l e k i l e k i l i c h o k w i s h a s e m wa

Inaendelea Uk. 11

Makala

PICHA juu na chini maiti za wanaodaiwa kuwa Magaidi walioshambulia Garisa.

Page 11: ANNUUR 1175b.pdf

11 AN-NUURRAJAB 1436, IJUMAA MEI 1 - 7, 201511 AN-NUUR

Hakuna ugaidi Misikitini wala katika Makanisa yetu

kuwa Al-Shabaab kutoka Somalia waliingia Garissa na kuuwa wanafunzi 148 na kwamba Ummul-Kheryr alikamatwa akielekea Somal ia kuj iunga na magaidi hao. Alichokariri mwandishi ni kile kile kwamba Rashid Charles Mberesero alikamatwa akiwa kaj i f icha chini ya k i tanda, wengine wanasema darini kule Garissa na mengine kama hayo.

Nil i tara j ia pengine katika tukio kama hili la Garissa mwandishi achambue atueleze, mji wa Garissa upo umbali gani kutoka mpakani na Somalia/Kenya. Taarifa za awali zilifahamisha kuwa magaidi hao waliingia na magari, hawakupita porini. Kutoka mpakani mpaka wanaingia mji wa Garissa na kisha chuoni, i l i k u wa j e g a r i h i y o isisimamishwe na polisi hata mara moja. Kutoka Moshi hadi Mwanga, mji wangu wa Wilaya, mnaweza kusimamishwa na askari zaidi ya mara tatu, sikwambii kwa barabara kama hiyo inayoingia kutoka mpakani mwa nchi ambayo ishatangazwa kuwa na matatizo. Lakini hilo tuliache.

Taarifa rasmi ya serikali ya Kenya ilifahamisha kuwa magaidi hao wanne waliuliwa katika tukio hilo. Watatu walipigwa risasi na mmoja alijilipua kwa bomu al i lokuwa amejivisha kifuani. Picha za maiti za watuhumiwa hao zikaonyeshwa.

“The slain terrorist is one of the four men who stormed the Garissa University College on Thursday morning and executed 148 people, mainly students before three of them were shot dead by police. The fourth one blew himself up.”

Habari ya mwanzo ndiyo hiyo ikidai kuwa ni gaidi mmoja alijilipua huku, watatu wakiuliwa na polisi kwa risasi. Lakini baadae serikali ya Kenya ikaja na taarifa mpya. Ikasema magaidi wote WANNE walijilipua walipopigwa risasi. Sikiliza:

Joseph Nkaissery, Kenya’s interior minister, confirmed that the gunmen had been strapped with explosives and blew up “like bombs” as they were shot by a special forces squad. All four died. (The Indian Express).

Kwa hiyo sio mmoja tena aliyejilipua, ni wote. Si unajua maiti iliyolipuliwa

na bomu? Sasa subiri. Hakuna hata picha moja

katika hizo zilizoonesha kulipuliwa na bomu. Iliyodaiwa kuwa ni ya gaidi aliyejilipua kwa bomu i l ikuwa nzima n a i k i o n ye s h a k u wa k i l i c h o d a i w a k u w a ni bomu halikulipuka. Fulana iliyodaiwa kuwa na mabomu ilikuwa nzima kabisa.

Lakini baadae katika hal i i l iyowashangaza wengi, maiti za waliodaiwa kuwa ni magaidi hao zilipitishwa mitaani ili wananchi wazione. Cha ajabu ni kuwa maiti hizo hazikuwa zile za awali. Wakati za awali zilikuwa nzima na zikiwa na nguo, zilizopitishwa mitaani, zilikuwa zimevuliwa nguo zikiwa zimeungua moto. Miili ilikuwa imebabuka katika hali ya kutisha. Kabla ya kutizama sura zao unaweza kujiuliza, k wa n i n i i l i a m u l i wa maiti zivuliwe nguo na kuchomwa moto? Lakini ukitizama sura, pia ni tofauti kabisa. Ni watu wengine sio wale wa awali waliodaiwa kuuliwa na maiti zao kuonyeshwa. Sasa hapa kuna maswali mengi ya kujiuliza.

Profesa Noam Chomsky akiongea katika televisheni moja ya Ujerumani, wiki iliyopita aligusa moja ya mbinu wanazotumia mabeberu kufanikisha mambo yao. Alisema kwa sasa ili waingie popote wanapotaka, wanatumia mikakat i ya kuunda maadui hewa kila mahali.

"There is always some invented enemy, which is about to destroy us, which we have to defend ourselves against."

Kwamba kila wakati anabuniwa adui, huyu anakuwa wa ndani na nje na ndiye anatumiwa kuhalalisha vita na kama kisingizio cha kuingia na kukaa popote wanapotaka kwa kisingizio cha kusaidia kukabiliana na magaidi. (Tazama: Media, NATO, ISIS, Free Trade Agreements & Humanity (2015 NEW)

Ukiitizama Nigeria, hebu rejea i l ikoanzia Boko Haram, kama vijana tu msikitini na mitaani wa s i o n a s i m e wa l a gobore. Leo unaambiwa kuwa wanafikia mahali pa kuteka kambi ya jeshi! Leo wanateka watoto wa shule 300, serikali na jeshi lake, polisi, usalama wa taifa na usaidizi wa CIA, FBI,

Inaendelea Uk. 13

Makala

Inatoka Uk. 10

PICHA juu maiti ya mmoja wa wanaodaiwa kuwa Magaidi walioshambulia Garisa.Picha chini maiti za magaidi hao zikitembezwa mitaani.

Page 12: ANNUUR 1175b.pdf

12 AN-NUURRAJAB 1436, IJUMAA MEI 1 - 7, 201512 MAKALA/MASHAIRI

Mei mosi kila mwaka, ni ada ulimwenguni, Umati kukutanika, kila kona duniani,Jinale hutambulika, 'WAFANYAKAZI' si geni, Timiza wako wajibu, ndipo hakiyo udai. Kalamu nimeishika, kwa nasaha kukupeni,'Workers' wa Tanganyika, na Zenji zipulikeni,Aula ni kuzishika, zitawafaa kazini,Timiza wako wajibu, ndipo hakiyo udai. La kwanza kuwajibika, kwa majukumu kazini,Ya msingi kuyashika, na ya ziada fanzeni, Rekodi mtaiweka, jambo hili 'mkiwini',Timiza wako wajibu, ndipo hakiyo udai. La thaniya kulishika, ni nidhamu makazini, Jambo hili kwa hakika, husuni bora kazini, Endapo litatoweka, natija i mashakani, Timiza wako wajibu, ndipo hakiyo udai. La tatu kujuhudika, pasi ajizi kazini,Kwa uvivu kujivika, mwashusha yenu thamani,Na uchumi kadhalika, kukua u mashakani, Timiza wako wajibu, ndipo hakiyo udai.

La nne lahitajika, ni ufanisi kazini, Kwa kazi kufanisika, ushindani 'mtawini', Wa ndani kwa uhakika, hata wa ughaibuni, Timiza wako wajibu, ndipo hakiyo udai. La tano wahitajika, uvumilivu kazini, La shari likikufika, usichachawe kazini, Hili ukikengeuka, hautadumu kazini,Timiza wako wajibu, ndipo hakiyo udai. La sita la kukumbuka, ni tathmini kazini, Kwa lengo uliloweka, uweze kulibaini, Endapo limefikika, au la ni kwanini,Timiza wako wajibu, ndipo hakiyo udai. La mwisho mwombe RABUKA, kazini akuauni, Uweze kusalimika, na ya kazi mitihani, Kwa DUA utaivuka, ni sahali kwa MANANI, Timiza wako wajibu, ndipo hakiyo udai. Beti kumi sitavuka, nisije kukuchosheni,Aula ni kuyashika, niliyokuusieni,Kaditama nimefika, kalamu naweka chini,Timiza wako wajibu, ndipo hakiyo udai. ABUU NYAMKOMOGI-MWANZA.

SIKU YA MEI MOSI(NASAHA KWA WAFANYAKAZI)

Inna lillahi wa inna, ilayhi rajiuna,Kauli ya Maulana, si yangu ninayenena,Misibani kuinena, katuamuru Rabbana,Poleni kwa maswaibu, ya kimbunga wana Panza.

Rambirambi waungwana, ada yao kupeana,Japo kwa neno kunena, la POLE kuliwazana,Adhimu na la maana, si dogo kwa Subhana,Poleni kwa maswaibu, ya kimbunga wana Panza.

Nami nanyi naungana, japo kwa POLE kunena,Wazee pamwe vijana, kadhalika hata wana,Aimi! Poleni sana, kwa janga la wiki jana,Poleni kwa maswaibu, ya kimbunga wana Panza.

Thuma akali naona, kunenanyi budi sina budi,Vyema tukakumbushana, Qadari ya Subhana,Kwa kuwa tumeiona, kwa macho yetu bayana,Poleni kwa maswaibu, ya kimbunga wana Panza.

Hatupaswi kulumbana, au hata kusonona,Akadirilo Rabbana, wa kuliepa hakuna,Maafa ya wiki jana, yote Qadariye Bwana,Poleni kwa maswaibu, ya kimbunga wana Panza.

Wapo wanaoikana, na hasa washirikina,Eti! Qadari hakuna, kwa vinywa vyao hunena,Chambilecho Maulana, kweli nadhari hawana,Poleni kwa maswaibu, ya kimbunga wana Panza.

Adayo kushikamana, leo kesho hata jana,Na ya upogo imana, ya ya Muumba kukana,Kwao bora ya insana, kuliko ya Maulana,Poleni kwa maswaibu, ya kimbunga wana Panza.Kwetu lisowezekana, sahali kwa Maulana,Si sawia kuikana, Qadariye Subhana,Apangalo Maulana, wa kupangua hakuna,Poleni kwa maswaibu, ya kimbunga wana Panza.

Nimwombe ajimaina, ya kheri kutakiana,Pamwe kuauniana, pasipo kubaguana,Sote wa Adamu wana, viumbe wa Subhana,Poleni kwa maswaibu, ya kimbunga wana Panza.

POLENI KWA KIMBUNGA (KISIWANI PANZA-ZANZIBAR)

Hujuma na uzalendo katika jicho la KiislamuInatoka Uk. 9Ya Dunia. Wala Usimt'ii Tuliye Mghafilisha Moyo Wake Asitukumbuke, Na Akafuata Matamanio Yake Yakawa Yamepita Mpaka 18:28”.

Upo Mfano Mmoja Ambao Unaweza Kutupa P i c h a N a K u e l e w a Zaidi Kuhusu Hujuma Na Uza lendo . Yupo Mchamungu Mmoja Wa Zamani Jina Lake Ni Muhammad Ibn Ismail Jina Maarufu Ni Imam Bukhari Ni Miongoni Mwa Wakusanyaji Wa H a d i t h i Z a M t u m e Muhammad (Rehma Na Amani Ziwe Juu Yake). Akiwa Katika Moja Ya Safari Zake Za Ukusanyaji Hadithi , Safari Moja Akiwa Ndani Ya Chombo Cha Ma j in i Ak i t ok a Sehemu Moja Kwenda Sehemu Nyingine Akiwa Ndani Ya Usafiri Akawa Amekaa Katika Siti Moja Na Abiria Mwenzake, Katika Mazungumzo Ya Hapa Na Pale Kila Mmoja A k a j a r i b u K u e l e z e a Maisha Ya Kwao Kiuchumi , Kisiasa Na Kijamii. Yule Bwana Akamuuliza Imam Bukhari Fedha Wa n a z o t u m i a H u k o Kwao. Imam Bukhari Akaamua Atoe Pochi Yake Kuonyesha Fedha Za Kwao, Kwa Kuwa Imamu Bukhari Alikuwa Ana Safari Ndefu, Alikuwa Na Fedha Nyingi Sana Kiasi Kwamba Yule Bwana Tamaa Ya Kupata Mali Bila Jasho Ikamuingia Na Kuhitaji Kupata Zile Fedha Za Imam Bukhari. Maamuzi Aliyoyachukua Ni Kuinuka Na Kwenda K u t o a Ta a r i f a K wa Waongozaji Wa Ile Jahazi, Ya Kwamba Amepotelewa Na Fedha Kiasi Kile Kile Al ichomuona Nacho Imam Bukhari . Wale Viongozi Ikawabidi Watoe Taarifa Juu Ya Upoteaji Wa Zile Fedha. Imam Bukhari Kwa Sababu Ya Uzalendo Wake Juu Ya Dini Yake Na Kazi Adhimu Ya K u k u s a n ya H a d i t h i Aliyokuwa Anaifanya, Ilimbidi Aitupe Kisiri

Ile Pochi Yake Ndani Ya Maji. Upekuzi Ukawa Unaendelea Lakini Yule Bwana Alikuwa Anasubiri Kwa Hamu Ifike Zamu Ya Kusachiwa Imamu Bukhari. Ilipofika Zamu Ya I m a m u B u k h a r i A k a s a c h i w a L a k i n i Hakukutwa Na Chochote Jambo Ambalo Yule B w a n a ( M h u j u m u ) Aliyesingizia Alikuwa Anatamani Awaambie Wamsachi Tena Lakini Alishindwa.

Mwisho Wa Safar i Imam Bukhari Akashuka , Kwa Haraka Yule Bwana Akamfuata Na Kuanza Kumuuliza Ilikuwaje. B i l a K u s i t a I m a m Bukhari Akamueleza A l i c h o k i f a n ya . Y u l e Bwana Hakuamini Ilibidi Amuombe Msamaha Imam Bukhari. Na Imam Bukhari Alimsamehe,

K w a M f a n o H u o Unauona Utofauti Baina Ya Imam Bukhari Mzalendo Wa Kweli Mwenye Subira, Matarajio Na Msimamia Ukweli, Na Yule Abiria Mwenzake (Mhujumu) Yale Matamanio Ya Nafsi Ya l impeleka Kutaka Kupata Kisicho Chake Kwa Njia Za Mkato.

Mara Nyingi Anaye Hujumu Huwa Na Tamaa Na Pia Huwa Na Hofu Ya Kugundulika Juu Ya Hujuma Yake, Kwa Hiyo Hutumia Propaganda K u t a k a K u h a l a l i s h a Analolisimamia. Bahati Mbaya Katika Ulimwengu Wetu Wa Sasa, Hujuma Ndo Jambo Limepewa Kipaumbele Japo Ina M a d h a r a M a k u b w a Kijamii. La Kusikitisha Kila Mtu Anasema Yeye Ni Mzalendo Mpaka Vyama Vinapewa Jina La Kizalendo Japo Ni Jambo Zuri Lakini Ni Kweli? Kilichopo Ni Kwamba Watu Wengi Katika Zama Zetu Wanasema Yale Wasiyoyatenda Na Kwa Wazalendo Wa Kweli Huo Ni Mwiko Na Nijambo La Hatari Mpaka Muumba M b i n g u N a A r d h i Analieleza Jambo Hilo

“(Enyi Mlio Amini! K wa N i n i M n a s e m a M s i y o Ya t e n d a ? N i Chukizo Kubwa Mbele

Ya Mwenyez imungu Kusema Msiyoyatenda, 61:2-3)”

Kipimo Cha Uzalendo Si Maneno Matupu Bali Ni Maneno Ya Kweli Ya l i y o a m b a t a n a N a Vitendo, Iwe Dhahiri Ama Siri.

Mara Zote Hujuma Na Uzalendo Huacha Athari Sawa Iwe Mbaya Au Nzuri , Miongoni Mwa Athari Za Hujuma Ni Aibu, Udhalili Na Athari Mbaya Zaidi Ni Ile Atakayoipata Mja Baada Ya Kuondoka Katika Ulimwengu Huu, Na Kwa Upande Wa Uzalendo Ni Kupata Ushindi Wa Hakika Na Kupata Furaha Ya Kweli Hapa Duniani Na Kesho Akhera.

K w a K u h i t i m i s h a Lazima Haya Mambo Tuyatazame Kwa Jicho La Tatu Na Tuyaangalie Kwa Werevu Mno Na Moja Ya Sifa Ya Mtu Mwerevu Ni Kuichunguza Nafsi Yake Katika Kila Analolifanya N a A n a f a n y a L i l e Ambalo Litamfaa Baada Ya Kuondoka Katika Ulimwengu Huu.

L a M u h i m u N i K u t a z a m a K i l a Tunalolifanya Litaacha Taathira Gani? Kwani Athari Ndo Kipimo Cha Uzuri Au Ubaya Wa Jambo Unalolifanya. Rejea Qur’an

“ ( H a k i k a S i s i Tunawafufua Wafu, Na Tunayaandika Wanayo Yatanguliza, Na Taathira Z a W a n a y o i a c h a Nyuma. Na Kila Kitu Tumekihifadhi Katika D a f t a r i A s l i L e n y e Kubainisha, 36;12)”

“(Kwani Hawatembei Katika Ardhi Wakaona J i n s i U l i v y o K u w a M w i s h o Wa Wa l i o Kuwa Kabla Yao? Hao Walikuwa Wamewazidi Hawa Kwa Nguvu Na Athar i Kat ika Nchi . Na Mwenyezi Mungu Aliwatia Mkononi Kwa Sababu Ya Madhambi Yao. Na Wala Hapakuwa Wa Kuwalinda Na Mwenyezi Mungu. 40:21)”

Wabillahit Tawfiiq(Iddi Jingo-0714135201

[email protected])

Page 13: ANNUUR 1175b.pdf

13 AN-NUURRAJAB 1436, IJUMAA MEI 1 - 7, 2015

MOSSAD, M-15/16 na kilio cha “Bring Back Our Girls”, inash indikana ku jua walipo na kuwaokoa! Hii inaingia akilini?

Tunaambiwa A-Shabaab wanatoka Somalia na gari iliyosheheni silaha wanaingia Nairobi na kwenda moja kwa moja We s t i g a t e S h o p p i n g C e n t r e , w a n a u w a w a t u w a n a o n d o k a h a w a k a m a t w i h u k u jengo limezingirwa na jeshi la nchi na vyombo vyote vya usalama vya ndani na nje! Hii inaingia akilini! Sasa tunaambiwa tena wameingia Garissa w a m e u w a , i l a n a o w a m e u l i w a l a k i n i zinatolewa maiti zenye utata kama huu ambao umewekwa wazi katika mitandao kwa mwenye k u a n d i k a h a b a r i z a uchambuzi aone.

Ukiyatizama haya na mengine mengi, lazima tukiri kuwa vita hii dhidi ya ugaidi imezungukwa na utata mkubwa na mazonge mengi. Kwa hivyo inatakiwa kuwa makini. Ila mambo mawili yapo wazi kabisa. Moja ni kuwa wale vijana wa Kikristo waliokamatwa wakilipua kanisa lao ili isingiziwe kuwa ni Boko Haram, huwezi kuwaita kuwa ni magaidi. Vi watu

kuna Jihad Somalia na wao mchango wao unatakiwa.

La pili lililowazi ni kuwa kama ni kuzungumzia watu hatari, basi ni waandishi wa habari wanaopepea kitisho hiki cha ugaidi. Hawa wamekuwa ndio ‘watumishi’ wakubwa wa mabeberu katika hii inayoitwa vita dhidi ya ugaidi. Wakati mwingine wanajifanya wasamaria wema na kuvitaka vyombo vya dola kuwa makini, lakini hawajiulizi, hivi Nigeria haikuwa makini. Hivi Kenya haipo makini! Hivi Marekani yenyewe haipo makini? Mbona hizi Boston Marathon Bombing haziishi?

La muhimu hapa sio kusaka magaidi Misikitini au Makanisani, lakini kuielewa hii vita dhidi ya ugaidi kwa undani na mapana yake na hivyo kuweka mikakati kuhakikisha kuwa vijana wetu hawapumbazwi na kuwa sababu ya kuipepea na kuweka mazingira ya kus imika k i t i sho h ik i . Tukisharuhusu ikakubalika k u wa k u n a m a g a i d i hatari nchini mwetu, wala tus i j idanganye kuwa tutakuwa na uwezo wa kupambana nao.

Lakini pia vyombo vyetu vya habari vijielewe. Vinatumika vibaya mno. Vijiulize, kwa masilahi ya nani?

waliotumiwa kupandikiza k i t i s h o c h a u g a i d i , ama kwa ujinga, kwa kupumbazwa kwa pesa au vyovyote ilivyokuwa.

Sasa ukiona kuwa hawa ndio magaidi na adui wa Nigeria, utakuwa umekosea pakubwa. Adui hapa wa kuhangaika naye

ni yule aliyewatumia kupandikiza kitisho cha ugaidi. Ni hivyo hivyo kwa hawa wakwetu huku wanaopumbazwa kuwa

Makala

Hakuna ugaidi Misikitini wala katika Makanisa yetu

Inatoka Uk. 11

Kuangazia kwa kina ‘Tahariri’ ya Gazeti la An-nnurInatoka Uk. 7mhariri wa kuchagua kula chakula gani siku ya Eid hiyo ni mfano wa shura na sio demokrasia. Aidha, Kiislamu shura katika mazingira mengi, kwa anayepewa rai hana ulazima wa kuchukuwa rai hiyo, hata kama itakuwa ni ya wengi tofauti na demokrasia.

A m e s e m a Mwanachuoni maarufu Ibn Taymiyah kat ika kitabu chake cha ‘Majmu’ Al -Fa tawa’ kwamba: m a j i n a ya m e g a w i k a katika mafungu matatu: -Majina yanayotambuliwa na Sheria ya Kiislamu yalioletwa kwetu khasa katika Qur’ani na Sunna kama ‘Sa la t [ swala] ’ n a ‘ z a k a t ’ . M a j i n a yanayotambuliwa katika lugha ya Kiarabu. Na majina yanayojulikanwa kwa mujibu wa mila na desturi za watumiaji.

Tamko la ‘Demokrasia’ si tamko la Sheria ya Kiislamu wala si tamko la lugha ya Kiarabu, bali

hujulikana maana yake na makusudio yake kwa mujibu wa waasisi wake. Kwa hivyo ni makosa makubwa yanayofanywa na baadhi ya Waislamu k u l i f a s i r i n e n o h i l i wapendavyo wao kinyume na tafsiri ya wenyewe ili kuihalalisha. Kwa mujibu wa wenye tamko hili, Demokrasia ni tamko la Kigiriki [Kiyunani] lililoundwa kwa maneno mawili yaani ‘demos’ lenye maana ya ‘watu’ na ‘kratos’ lenye maana ya ‘utawala’ au ‘mamlaka’. Linakusudiwa kuwa na maana ya ‘utawala wa watu’.

Akabainisha na kuweka wazi zaidi maana hii rais maarufu wa zamani wa Marekani, Abraham Lincoln aliposema:

“Democracy is the rule of the people by the people for the people”, yaani “Demokrasia ni utawala wa watu, uliowekwa na watu kwa ajili ya watu.”

Hii ikiwa na maana

kwamba watu wenyewe ndio chimbuko la nidhamu na kanuni zinazoendesha maisha yao. Kwa hivyo, wanadamu wana ubwana k a m i l i w a k u t u n g a nidhamu/kanuni zao za maisha bila ya kujifunga na Sheria za Mwenyezi Mungu katika demokrasia. Hii ndio maana halisi ya ‘demokrasia’ na waasisi wake wa asili ni Wagiriki, na ikahuishwa tena na Wamagharibi hususan baada ya Mapinduzi ya Ufaransa na yale ya Marekani mwishoni mwa karne 18 miladiya.

Inafaa pia ikumbukwe k w a m b a t a m k o ‘Demokrasia’ ni istilahi maalum, yaani ni neno au tamko lililopewa na kujengwa juu ya maana makhsusi iliyokusudiwa na wenyewe. Na mifano ya ist i lahi ipo mingi katika maisha yetu ya kila siku. Kwa mfano, katika Uislamu unapotaja istilahi ya ‘Swala’ maana

yake huwa n i ibada yenye sura maalum kama ilivyofafanuliwa na Sheria ya Kiislamu wala haizingatiwi maana ya kilugha wala ile ya zamani ya Waarabu. Na Uislamu umelipa tamko swala maana ya “ibada makhsusi yenye kuambatana na vitendo makhsusi, kwa utaratibu makhsusi na kwa muda makhsusi.”

Kwa h ivyo , da ima ni tabia ya kila istilahi kuchukuliwa kwa maana ile ile iliyokusudiwa na wenye istilahi husika. Na ndio maana katika fani ya misingi ya Sheria za Kiislamu [Usul ul-Fiqh] kuna kanuni [qaida] i n a y o s e m a k wa m b a : “Hakuna mzozo katika istilahi” ikiwa na maana kwamba wahusika fulani w a k i k u b a l i a n a w a o wenyewe kwamba tamko fulani [istilahi] juu ya maana fulani, haiwezekani watu wengine kuibadilisha maana hiyo kinyume

na maana ya wenyewe walioikusudia.

K w a h i v y o , tusichanganye mambo, demokrasia iko kando na shura. Cha kuzingatia juu ya istilahi mbili hizi ni msingi uliosimamia kila moja. Demokrasia imesimama juu ya wingi na akili. Na shura si lazima anaeshauriwa kukubali rai za wengi lakini pia haihusishi masuala ya sheria.

Kuhusiana na nukta ya kuifananisha katiba ya kidemokrasia na Nyaraka ya katiba ya Mtume SAAW ndani ya Madina ni nje ya muktadha kwa namna tatu. Kwanza, Katiba ya Madina ni wahyi. Pili, Muongozo ule uliandikwa na kiongozi wa dola ya Kiislamu. Na tatu, kiongozi huyo alikuwa na dola yake na mamlaka kamili. Wapi na wapi katiba ya kidemokrasia kuifananisha na Sahifa ya Madina ?

Page 14: ANNUUR 1175b.pdf

14 AN-NUURRAJAB 1436, IJUMAA MEI 1 - 7, 2015

Makala

Na Ben Rijal

Na Ben Rijal

Mchango wa Waislmau katika maendeleo ya Dunia - 9

UWANJA WA VIJANA - JIONGEZEE MAARIFACHEMSHA BONGO namba 3

MAJIBU CHEMSHA BONGO NO:31.Hadithi kutokana na Abu Hurayrah r.a “kwamba

Mtume SAW amesema: Hatoingia Jannah isipokuwa nafsi………………….” Iliyoamini

2 Mtume Yaqub alikuwa na watoto wangapi pamoja na Myume Yusuff? 15, 11, 20./Jawabu: 11

3. Baada ya kumpinga Mtume Hud, Ummah huo uliangamizwa kwa upepo mkali kwa usiku wenye idadi ya siku 7 na siku 8, ulikuwa ni Umah wa Israel, Aad, Thamud. Jawabu: Aad

4. Quran imeteremeshwa kwa miaka 23, 43, 13./ Jawabu 23

5. Aya katika Qu’ran inayoelezea kuwa Uislamu ni dini iliyokamilika ni: Maidah aya 3, Nahal aya 89. Jawabu: Maidah aya 3

6. Miaka mingapi ya Ukhalifa was Syd Abubakar? Miaka 2 miezi 6, Miaka 12 miezi 7, Miaka 2 miezi 3. Jawabu: Miaka 2 miezi 3

7. Mwanamke wa kwanza kuishi duniani? Bibi Khadija, Asya, Bibi Hawa. Jawabu: Bibi Hawa

8.Mtume yupi aliowalingania watu wake kwa miaka 950? Saleh, Nuh, Ebrahim? Jawabu: Nuh

9. Mwanamke aliokufa Shahidi akiwa wa mwanzo; Bibi Fatma, Hafsa, Sumayya. Jawabu: Sumayya

10. Ami yake Mtume SAW Syd Hamzah aliuwawa katika vita vya: Uhud, Khandak, Badr. Jawabu: Uhud.

U N A P O Z I S O M A m a k a l a h i z i z a mchango wa Waislamu katika Maendeleo ya Dunia , u taona kama z inaj i re jea , l a k i n i k a m a utakuwa unasoma b a i n a ya m i s t a r i u t a f a h a m u k u w a ninayomzungumzia katika makala hizi ni tafauti ya mwengine.

Ibn al-Haytham, huyu ndio gwiji aliokuja kuzama na kuelewa juu ya muangaza na vipi mtu anaweza k u o n a . M w a l i m u wangu Maalim Abeid Marine nilipokuwa Form IV alinifundisha somo la mwangaza (light) katika Fizikia n a m a k a l a h i i nitamtunuku na kutaka amjue Ibn al-Haytham nje ya alivyomsoma Sir. Issac Newton.

U n a p o w a s o m a w a n a z u w o n i w a Kiislamu waliopita, utaona kila mmoja katoa mchango wake na kila mmoja anamwambia mwenzake nipishe, lakini kati ya wote hao, anayewekwa juu zaidi ni Ibn al-Haytham alioishi baina ya mwaka wa 965 hadi 1040.

Ibn a l Haytham alizaliwa katika mji wa Basra nchini Iraq. Aliishi katika Ukhalifa wa Bani Abass, alikuja miaka 100 baada ya kuas is iwa k ig inge cha elimu kilichokuja kujulikana kwa jina la Jengo la Hekima ambapo ta fs i r i za kisomi mbalimbali zikifanyika.

Ibn a l Haytham alijifunza Sayansi kwa magwiji wa wakati huo.

Ibn Al-HaythamUmahiri wake katika taaluma na kufanya ta f i t i a l i chagul iwa kuwa Meya wa mji wa Basra. Lakini juu ya k u p a t i wa k a z i hiyo, hakukumzuwia kuendelea kusoma na kufanya tafiti. Khulka ambayo imewaondoka wa s o m i we n g i wa miaka h i i ambapo akipewa cheo mtu iwe uwaziri, ubunge, u t ibabu, uhandis i , ukurugenzi, uwalimu, basi tena ile taaluma huwekwa pembeni na kujipweteka na kusahau taaluma aliojifunza na kuwa mwenye kuhubiri siasa. Lakini Ibn al-Haytham ilikuwa ni kinyume chake, kwani aliendelea kufanya tafiti na huku akishikilia cheo cha Umeya. Inafaa tufwate nyayo zake.

Ibn al Haytham jambo jengine ambalo lilikuwa h a l i m s h u g h u l i s h i , lilikuwa madhehebu na utengamano wa kimadhehebu, wakati wa uongozi wa al-Hakim huko Misr i ambao kiongozi wake a l i k u w a m w e n y e kufwata madhehebu ya Shia Ismaili akiwa h a k u b a l i a n i n a kiongozi wa Sunni wa Iraq lakini hakuwa na tafauti baina ya Shia na Usuni. Alimwalika Ibn al Haythim huko Misri kusaidia kufanya tafiti na kazi kubwa aliotakiwa kuifanya i l ik uwa n amna ya kuuzuwia mto Nile kwa kuwekea kingo.

I b n a l H a y t h a m aliifanya kazi aliotakiwa kwa kusafiri katika mto wa Nile hadi kwenye kingo zake na kuangalia wa p i p a n a p o we z a k u j e n g w a b w a w a ambalo alilipendekeza a l - H a k i m . I b n a l H a y t h a m a k a o n a kuwa ujuzi wa nyakati zake kwa jambo hilo halitowezekana. Kwa hio kwa kumjua Ibn al-Hakim ukali wake, na kutokubali kufanyiwa istihzai, Ibn al Haytham akajipa ugonjwa wa Uwandazimu kwani kwa kufanya hivyo

k u t a m u e p u s h a kuuliwa na kiongozi huyo aliokuwa hataki upuuzi lake lazima liwe. Uwazimu aliojipa ulimchongea kufungwa kifungo cha nyumbani k wa m i a k a 1 0 n a alifunguliwa kifungo hicho baada ya al-Hakim kufariki.

M i a k a y a k e y a kifungo cha nyumbani hakukaa bure kwani alipata utulivu mkubwa na wengi waliofungwa j e l a h u k o n y u m a w a l i w e z a k u p a t a utulivu kuanzia Mtume Yussuf, tuje kwa Abuu Hanifa, Ibn Taymiyah, Maulana Abula ala Maududi, Syd Qutub na wengi wengineo. Je la i l iwatul iza na kuzichemsha akili zao. Lakini sio jela za siku hizi hasa Afrika ukiwa na utulivu uliotoka nao nje ya jela, utapata upungwani utapoingia j e l a k w a i d h i l a l i zinazotolewa.

Ibn al-Haytham kwa hivo alijishughulisha k u t a k a k u j u a j u u ya muangaza, vipi unavyofanya kazi, vipi mwanadamu anaona na kwanini anaweza kuona vitu mbalimbali. Ingawa kufanya kwake huku tafiti kulikuwa ni Mapinduzi ya kisayansi n a m c h a n g o wa k e ulikuwa mkubwa mno katika maendeleo ya dunia.

Mbinu za KisayansiK a b l a ya I b n a l

Haytham, wajuzi wa sayansi hasa Wayunani wa l i k u wa wa k i t o a jawabu za kisayansi kwa kufikiria na kudhania a u k u s e m a j a m b o fulani limetokana na Mungu. Alikuwa ni mtu wa mwanzo aliopinga hoja hizo na akaamini lolote lile la kisayansi ni lazima ulihakikishe kwa kulifanyia utafiti na kupata jawabu yake kisha ndio likubalike. Na hii ndio mbinu iliobaki na kukubalika hadi hivi sasa.

Unaposoma vitabu vilivyoandikwa na watu wa Magharibi, somo la sayansi na mchango

Ibn Al-Haytham aliowavutia kina Einstein na Newton lakini hayumo kwenye ramani ya wanasayansi

U j u z i w a I s s a c Newton ulijengeka kutokana na Ibn al Haytham

w a k e m a r a z o t e huwataja Wayunani n a k u f w a t i w a n a magwijii kama Roger Bacon, Galilei na Issac Newton, ikiwa hao wote waliegemea na taaluma ya Ibn al-Haytham, ambaye mawazo yake n a u t h i b i t i s h o wa matokeo ya utafiti na kufanya majaribio kwa kupata jawabu ndio uliokuja kuwaongoza.

Katika kitabu chake alichokiita Muangaza au Buku la Mwangaza, alizipinga nadharia za Kiyunani ambazo z i k i a m i n i k u w a mwangaza unakuja nje ya macho, kisha hudunda kwenye kitu kisha hurejea kwenye m a c h o n d i o m t u anapoaweza kuona.

I b n a l - H a y t h a m alizama kwenye utafiti akiwa yupo kwenye kifungo cha nyumbani kuangalia mwangaza u n a v y o p e n y a n a u n a v y o p o t e a n a akaweza kuelezea vipi muangaza unavyoingia katika macho. Ile dhana ya “Pinhole camera” a l i k u w a m t u w a mwanzo kuijaribu na kuiandikia matokeo yake aliyafanya hayo i k i w a m i a k a 1 0 0 baadaye ndio kukaja kutengenezwa kamera ya kupigia picha. Ibn al Haytham alitaka kujua n a m n a m wa n g a z a unapotembea katika m a j i a u h e w a n a a k a j a k u e l e z e a n a m n a m a w i n g u yanavyobadili rangi, a l i we z a k u h e s a b u u k u b wa wa h e wa (atmosphere). Miaka

alfu baadaye kazi hio i k a j a k u we z e k a n a na kupanul iwa na kufanyiwa majaribio. Tafiti zake za kisayansi alizoziandika katika k i t a b u c h a k e c h a m w a n g a z a , n d i o i k a s a i d i a b a a d a ye katika nchi za Ulaya w a n a s a y a n s i w a o kutengeneza viyoo vya miwani, kiyoo cha

kuongezea ukubwa wa hati, darubini ya k u o e n e a m b a l i n a kamera za kupigia picha.

Ibn al-Haytahm alitoa m c h a n g o m k u b wa katika ilimu ya nyota. Aliweza kuitengua t a r a t i b u i l i o k u wa ikifwatwa ya Ptolematic

I L I Y O A M I N I

2 N 3 G Q A O M W V

A C 6 F W D E N X 1

B V A S Y A D B Y 1

2 K H A D I J A H U

C R Y 2 3 T S V Z T

M A I D A H A Y A 3

D N U H E A I K S

E F G N O W U H U D

P Q S U M A Y Y A R

Inaendelea Uk. 16

Page 15: ANNUUR 1175b.pdf

15 AN-NUURRAJAB 1436, IJUMAA MEI 1 - 7, 2015

Makala

UWANJA WA VIJANAJIONGEZEE MAARIFA

CHEMSHA BONGO NO: 4Weka duara kwenye jawabu ilio sawa, Jawabu

kamili wiki ijayo.

Majanga, matokeo na imaniNa Ben Rijal

Makala mbili mfululizo nitazungumzia juu ya majanga. Makala ya mwanzo itazungumzia majanga kwa jumla na makala ya pi l i nitajaribu kuangalia katika majanga na matokeo yake hali ya kiroho inakuwaje?

W a t a a l a m u w a n a t u f a h a m i s h a kuwa kuna aina mbili kuu za majanga, kuna majanga ya kimaumbile n a k u n a m a j a n g a y a n a y o c h a n g i w a n a m k o n o w a mwanadamu. Majanga ya kimaumbbile ni yale ambayo yanatokea bila ya mwanadamu kuwa ni sababu, ingawa wengine wanasema k u w a h a t a h a y a majanga ya siku hizi ya kimaumbile bado mkono wa mwanadamu unachagia kwa mfano wa majanga ya ukame unaosababishwa na kukosekana mvua, u k i a n g a l i a k w a undani, ni janga la k imaumbi le l ak in i kutokana na uchangiaji wa mwanadamu katika suala la mabadiliko ya tabianchi na uchocheaji wa uongezekaji wa g e s i z a n y u m b a n i (Green House Gasses) k u n a f a n ya b a a d h i ya maeneo duniani kukabiliana na mvua zenye kuleta mafuriko n a m a a f a w a k a t i m a e n e o m e n g i n e hupata ukame wa muda mrefu au kuendelea kuwa wanapata ukame wa mara kwa mara.

M a j a n g a y a kimaumbile

Haya huwa katika u m b i l e l a d u n i a , hewani au kuhusiana na maji. Mara nyingi husikia matokeo ya matetemeko ya ardhi (earthquake) kama hili tokeo la karibuni lilotokea nchini Nepal. Matetemeko ya ardhi y a m e k u w a m e n g i duniani. Matetemeko ya ardhi ardhini na matetemeko ya ardhi yanayotokea baharini mfano wa Tsunami. Matetemeko ya ardhi ni janga kubwa ambayo huathiri maisha, mali, miundo mbinu n.k. Ts u n a m i i l i o t o k e a mwaka wa 2004 na cheche zake kufikia hata huku maeneo ya kwetu katika ukanda wa Afrika

Tetemeko la ardhi nchini Haiti mwaka wa 2010

Tokeo la hivi Karibuni la tetemeko la ardhi nchini Nepal

Mashariki, lilihesabiwa kuwa ni janga la tatu kwa ukubwa kutokea duniani na lilichukua roho za watu 229,000 k wa m a r a m m o j a . K a t i k a m wa k a wa 2 0 1 1 Te t e m e k o l a a rdhi l i lokuwa na ukubwa wa kipimo cha Ritchr 9.0 huko Tohuku inakadiriwa kuchukua roho za watu 15,889 na watu kama 6,152 kujeruhiwa na watu wasiopungua 2 , 0 1 4 w a m e p o t e a hadi leo hawajulikani walipotelea wapi?

M wa k a wa 2 0 1 0 nchini Chile kulitokea t e t e m e k o l a a r d h i l i l ichukua roho za watu wasiopunguwa 525. Mwaka wa 2008 huko China katika mji wa Sichuan, tetemeko la ardhi l i l ichukua roho za watu 61,150. Matetemeko ya ardhi hutokea kwa sekunde tu lakini athari zake huwa ni kubwa mno.

MafurikoMafuriko hutokana

na mvua kubwa na maji kujaa na kwa kasi kubwa na kuvamia maeneo ya nchi athirika na kuharibu miundo mbinu ya barabara, njia za umeme, mabwawa ya kuzalishia umeme n.k. Katika majanga ya mafuriko ambayo b a d o ya m o k a t i k a k u m b u k u m b u

n a k u w a f a n y a w a n a h i s t o r i a kuyaandika na kutowa k u m b u s h o k w a wanadamu ni kama yafwatayo:

M a f u r i k o y a Johnstown yaliotokea mwaka wa 1889 na kuchukua roho za watu 2,200, mafuriko ya Huang He katika mto wa Njano katika mwaka wa 1931 inakisiwa kuwa zilipotea roho za watu baina ya watu 800,000 na 4,000,000, mafuriko y a l i o s a b a b i s h w a kufur ika kwa mto Yangtze nchini China yalisababisha watu mi l ion i 14 kukosa makazi, mafuriko ya Pakistan katika mwaka wa 2010 yaliathiri watu zaidi ya milioni 20 kwa njia mbalimbali. Sote tunayakumbuka mafuriko ya Msumbuji yalioandikwa hasa kwa kutokeo tokeo la ajabu la mzazi kujifungua juu ya paa la nyumba kuepuka kusombwa na maji, mafuriko hayo yaliizamisha nchi ya Msumbiji ya eneo lake k wa t h u l u t h i k wa kugubikwa na maji na kukadiriwa watu wasiopungua 465,000 kukosa makaz i na kuhitajia misaada ya kila aina.

VimbungaVimbunga ni kati ya

majanga ya kimaumbile

n a v i m b u n g a vinavyopiga athari zake ni kubwa mno. Vimbunga vya karibuni a m b a v y o v i l i l e t a athari kubwa mfano ni kimbunga Katrina kilichotokea Marekani, kimbunga cha mwaka wa 1970 Bhola cyclone n a k i l e k i m b u n g a kilichotokea mwaka wa 1780 na kuvivuruga visiwa vya Martinique, St. Eustatius na visiwa vya Barbados.

M a j a n g a yanayosababishwa na mwanadamu

Mbali na majanga ambayo hutokea kwa njia ya maumbile, hivi sasa kuna majanga m e n g i a m b a y o h u s a b a b i s h w a n a mwanadamu na athari zake nazo ni kubwa p a l e z i n a p o t o k e a . Majanga yanayotokea na kusababishwa na mwanadamu ni watu kukanyagana katika mkusanyiko mkubwa wa watu, matokeo ya ajali za viwandani, u m w a g i k a j i w a mafuta, miripuko ya nyuklia, vita na silaha zinazotumiwa n.k.

U v u j a j i wa g e s i katika kiwanda cha rangi nchini India mji wa Bhopal athari zake zipo hadi leo k u t o k a n a n a e n e o hilo liloathirika katika matokeo yake aidha watoto wanaozaliwa kuzaliwa na vilema na ardhi kukosa rutba na matokeo mengine ya Kimazingira. Kiwanda cha Union kilichopo Bhopal nchini India ni kwanda cha rangi kilichokosa viwango nchini Marekani badala yake kilihamishiwa nchini India, msiba ulitokea katika kiwanda cha Union Cabide m w a k a w a 1 9 8 4 , inakisiwa kuwa watu 500,000 waliathiriwa moja kwa moja na gesi hatari ya methyl isocyanate (MIC) na kemikali nyenginezo. Kutokana na takwimu za Serikali watu 2,259 walifariki mara tu tokeo lilipotokea, watu 3,787 walifariki kutokana na vifo vilivyosababishwa na maradhi mbalimbali kutokana na uvujaji huo wa gesi. Ilipofika mwaka wa 2006 Serikali ya India ilitoa takwimu nyengine zilioelezea kuwa watu ambao waliathirika kutokana na kuvuja kwa gesi na kemikali ni watu 5 5 8 , 1 2 5 , w e n g i n e wakiwa wameathirika lakini sio kwa kiwango kikubwa idadi yao

A H Z A B A Y A 3 7 F A R M H E L A T U E W A N N U H M D R A M B Q 1 0 3 L A T A A V I P W O 5 U Y R D C Y 2 6 9 8 D O G H F A B A N 5 S P H A P M R D O P A L J N M A U K 3 1 D M P J M A K K A I I 1.Taja katika Qur’an Sahaba aliyotajwa kwa jina katika

Sura ipi? Al-Ahzab 33:37, Al-Baqara 2:50, Al-Kahf 18:332. Siku ipi iliokaririwa sana katika Qu’ran? Ijumaa,

Qiyama, Ramadhani.3. Surah ya kwanza iliteremshwa katika mji gani?4. Inakisiwa Qu’ran imetafsiriwa kwa lugha ngapi

ikiwa Kiswahili ni lugha mojawapo? 50, 103, 855. Neno Allah limekaririwa mara ngapi katika Qu’ran?

2,698, 11, 5856. Mwezi gani wa mwaka uliotajwa katika Quran?

Ramadhan, DhulQada, Jamadul Thani.7. Katika Surah Rahman ni mara ngapi kalima « 'fabi

ayye aalahi rabbikuma tukazziban' limekaririwa? Mara 50, 125, 31

8. Ni nani aliozaliwa pasi kuwa na mama?9. Mtume yupi alikuwa na ujuzi wa Usaremala? Idriss,

Ebrahim, Nuh.10. Mtume gani alikuwa akisarifu vyuma? Suleiman,

Daud, Yahya. Jee unajua kuwa :1.Maana ya Uislamu ni Amani?2. Kazi za Mwanafalsafa maarufu wa Kiyunani

Aristotle zingepotea ingekuwa sio Waislamu waliokuja kuzitafsiri kutoka Kiyuani na kuzifasiri kwa Kiarabu, waliofanya kazi hio sio wengine ni Ibn Rushd na Ibn Sina.

3. Ingawa mara nyingu Uislamu hufanywa ndio Uarabu lakini inakadiriwa katika idadi ya Waislamu duniani ifikayo watu bilioni 1.6 ni asilimia 15% ndio waliokuwa ni Warabu kwa kabila.

4. Mji wa Bosnia uliokuwa katika nchi ya Yugoslavia iliosambaratika, inakadiriwa kuwa Waislamu zaidi ya 200,00 waliuliwa katika mauaji ya kimbari kutokana na imani yao ya dini ya Uislamu.

5. Idadi ya Waislamu nchini Marekani inakisiwa ni baina ya milioni 5 na 8 na kuna Misikiti 1,200. Ikiwa Unguja katika Mji Mkongwe peke yake ina Misikiti 51.

6. Edward W. Blyden ni msomi aliyetambulikana akiwa mwanaharakati aliyokuwa Muumini wa siasa za kijamaa. Katika mwaka wa 1889 aliyasema maneno haya katika Hotuba aliyoitoa mwaka wa 1889 “Sababu ya Waafrika kuchagua dini ya Uislamu kuliko Ukiristo ni kwasababu Quran inamlinda mtu Mweusi na makabila mengine kukandamizwa na Waarabu na Wazungu.”

7. Kuwa Imam Siraj Wahajj aliongoza sala kwa mara ya kwanza katika jumba la Baraza la Wakilishi huko Marekani na ndio Muislamu wa mwanzo kuweza kuongoza sala kwa waumini wafanyao kazi hapo.

8. Usawa baina ya mwanamume na mwanamke katika Uislamu unafahamishwa katika Sura Al-Imran “Mola Mlezi wao, akayakubali maombi yao akajibu: Hakika sipotezi kazi ya mfanya kazi miongoni mwenu, akiwa mwanamume au mwanamke, kwani ni nyinyi kwa nyinyi. Basi walio hama, na walio tolewa makwao, na wakateswa katika Njia yangu, na wakapigana, na wakauliwa, kwa yakini Mimi nitawafutia makosa yao, na kwa yakini nitawaingiza katika Mabustani yanayo pita mito kati yake. Hayo ndiyo malipo yanayo toka kwa Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu kwake yapo malipo mema kabisa. Surat Al Imran 3:195.

9. Ijaaliwe Misahaf yote iangamizwe duniani kwa njia yoyote ile bado Qu’ran itabakia kuwepo duniani kwani ndio kitabu pekee kilichohifadhiwa kwa ghibu na watu wengi duniani.

10. Mtume Issa kwa Waislamu ni Mtume wala sio vyengine vyovyote vile na Waislamu wanampa hadhi sawa na Mitume wengine waliopita. Inaendelea Uk. 16

Page 16: ANNUUR 1175b.pdf

16 AN-NUURRAJAB 1436, IJUMAA MEI 1 - 7, 2015

Makala

I M E E L E Z WA k wa m b a familia katika kuwalea watoto ni muhimu sana.

Hayo yamezungumzwa na Masheikh na watoa mada katika kongamano lilizozungumzia nafasi ya jamii katika malezi ya watoto, lililoandaliwa na Chuo cha al Azhar Shariff tawi la Tanzania na kufanyika Zanzibar hivi karibuni.

Akianza kuwasilisha mada yake katika kongamano hilo, Mkurugenzi wa Chuo hicho cha Kiislamu cha Kimisri maarufu kama Markaz Chang`ombe, kilichopo jijini Dar es Salaam Sheikh Ahmad Ragab Al-Sheshtawi, alisema kuna haja kubwa ya familia kurejesha fikra zao katika muzi ya watoto, ili kuonyesha picha nzuri ya tabia ya Kiislamu katika malezi.

Sheikh Ahmad alisema f a m i l i a i n a wa j i b u wa kuwajengea watoto na vijana picha nzuri na sahihi ya Uislam na kuwa mfano bora na muonekano unaostahili katika nyumba na familia.

Alisema mambo hayo yana athari kubwa katika maisha ya motto, hivyo basi inatakikana kudhibiti kila kinachopandwa katika nafsi ya mtoto juu ya dini na mambo mazuri ya dini hii ya Uislam.

Kwa upande wa Sheikh Abubakar Suleiman, ambaye ni mwalimu wa al – Azhari Sharif aliwasilisha mada kuhusu mzazi kuwa mfano bora ndani ya nyumba. Al i sema jambo h i lo n i miongoni mwa vitu muhimu zaidi katika malezi ya watoto, kwa kuwa watoto wana tabia ya kuiga na kwa maana hiyo, kivuli cha wazazi wawili (baba na mama) watoto huiga toka kwao yaliyo mazuri na mabaya.

Sheikh huyo aliendelea kusema kuwa kama baba na mama wapo katika dini na wana tabia nzuri, hapo mtoto naye atajifunza kutoka kwao kuwa na mzuri, lakini ikiwa baba na mama ni wenye tabia mbaya, hapana shaka mtoto naye atalelewa kwa uharibifu na kuvuka mipaka. Sheikh Suleiman katika mada yake hiyo aliweka dalili toka katika Qur’an tukufu na Hadithi za Mtume zilizosahihi.

Naye Sheikh Thaabit N u m a n , M w e n y e k i t i wa Kitengo cha Fat ,wa Zanzibar aliwasilisha mada iliyozungumzia nafasi ya familia katika kumuandaa Muislamu.

Akifafanua katika mada yake hiyo, alisema kwamba familia ni sehemu kuu ya kujenga kizazi kipya na kuandaa na kuwapata raia wa nchi walio wema katika jamii.

Familia ni muhimu katika malezi ya watotoNa Azza ally Ahmed Alieleza kuwa ni wajibu

kwa walezi kuwalea watoto katika utamaduni wa malezi bora yatakayowasaidia kitabia na kimaisha kwa ujumla. Sheikh Numan alisisitiza kwamba maelekezo ya wazazi au walezi kwa watoto wao ni njia sahihi ya kuwaongoza katika makuzi yao.

Alisema familia ndio mazingira ya mwanzo ya kumfundisha mtu kuhusu m a j u k u m u a l i y o p e w a na Mwenyezi Mungu na kwamba, huo ndio uwanja w a m w a n z o a m b a o humuandaa mtu kuweza kutekeleza majukumu yake na kuiongoza jamii.

N a y e D k . A b d a l l a h D a r u we s h , a m b a ye n i mwalimu katika chuo cha al -Azkhar Chang’ombe jijini Dar, aliwasilisha mada iliyozungumzia suala la ubabe wa kifamilia na hatari zake kwa watoto.

Akifafanua juu ya somo hi lo , Sheikh Daruwesh alibainisha hatari ya ubabe wa kifamilia kwa mtoto na katika familia kwa ujumla. Alisema kuwa sehemu kubwa ya watoto wanaotoka nje ya maadili, ni matokeo ya kuwa waathirika wa kutendewa vibaya katika familia zao.

A l i s e m a w a z a z i wa n a p a s wa k u t a m b u a kwamba watoto wao ndani ya familia ni tegemeo lao na ni amana kwao.

A l i e n d e l e a k u s e m a kuwa pamoja na kwamba wa t o t o wa p o c h i n i ya wazazi wao, lakini wazazi hao hawawamiliki bali wao ni viumbe wa mwenyezi Mungu .

“ N a s i s i j i n s i t u t a k a v y o w a l e a n a k i l a t u t a k a l o wa f a n y i a tutaulizwa”, alisisitiza Dk. Daruwesh.

Alisema ikiwa wazazi watawafanyia wema katika malezi ya watoto wao, basi wapo watakao starehe kwa kheri zao kabla yao na kama watawalea vibaya watoto wao, watapata maafa kabla ya kujua hao watoto wenyewe.

Kwa upande wake Sheikh Swaleh bin Omar Kaabi, Mufti wa Zanzibar alikishukuru chuo cha Markaz hiyo ya Kimisri na Masheikh wake, kwa kuliandaa kongamano hilo visiwani humo.

Aliwaomba wachuo hao kuandaa makongamano kama hayo ya kielimu ili kuendelea kutoa el imu na ufahamu zaidi katika jamii, jambo ambalo alisema linaleta faida katika jamii inayowazunguka.

Al isema ni jambo la m u h i m u j a m i i i k a w a inazinduliwa mara kwa mara kuhusu umuhimu na ulazima wa malezi bora

kwa watoto, malezi yaliyo sahihi na mema kwa njia ya muongozo ili kupata maisha mazuri duniani na akhera.

Naye Sheikh Khamisi Gharib Khamisi , Naibu Mwenyekiti wa Kitengo cha Fat,wa Zanzibar akiwasilisha mada kuhusu hatari ya kupuuza malezi ya watoto.

Alisema kwamba miongoni m wa s a b a b u m u h i m u

ambazo husababisha watoto kutoka nje ya matendo mema na kuvuka kwao mipaka na kuharibika kwa tabia zao, ni matokeo ya familia kupuuza nafasi yao katika kuwalea watoto na kuwaongoza, iwe ni kwasababu ya ujinga au makusudi.

Al isema ki tendo cha wazazi kushughulishwa zaidi na mambo ya kidunia na

maslahi yao kuliko kuchunga watoto kinakwenda kinyume na ni mwenendo mbovu wa kimaisha.

Alisema hali kama hiyo huwafanya watoto kuwa kama yatima na hatimaye huangukia katika mikono ya watu wabaya na marafiki waovu na kuwageuza kuwa vifaa vya kuvunja na kufanya uharibifu katika jamii.

Ibn Al-HaythamInatoka Uk. 14ambayo ikielezea juu ya nyota na sayari zinavyozunguka na kufanya kazi, badala yake alikuja na maelezo yalio sawa kabisa juu ya nyota na sayari zinavyofanya kazi. Ilimu ya upigaji bao alifutwa kabisa kuwa sio sayansi na hakuwa akiamini kabisa kama bao husibu.

S i r , I s a a c N e w t o n aliathirika sana na kazi za Ibn al-Haytham, kwani Ibn al-Haytham alijifunza somo la Calculus ambalo ndio lilochangia kufanywa formula mbali za uhandisi tunaojivunia hivi sasa. Ibn al Haytham aliandika juu ya Kanuni inayoelezea kusogea kwa vitu (movement of bodies) ikiwa hivi sasa tunaambiwa ni ‘Newton Law of Motion.” Sir Issac Newton aliona tunda la “ a p p l e ” l i l i a n g u k a n a kujiuliza kwanini lisende juu na ndipo akajua kuwa

kuna nguvu ya mvutano “gravity”. Unaposoma kitabu cha mwangaza cha Ibn al-Haytham alikuwa tayari kishaelezea juu ya “Gravity” na soma kitabu chake uone kuwa baada ya yeye kufa kwa zaidi ya miaka 100 ndio akaja Sir, Issac Newton.

Ibn al-Haytham alipinga sana mambo ya kichawi na upigaji bao na aliweza kuandaa mpango wa kujua kuingia nyakati za Sala kwa kueleka Makka, aidha Ibn al-Haytham alifanya tafiti katika uga wa “psychology” kuweza kutumia muziki kuponya wanadamu na wanyama kwa baadhi ya maradhi.

K a m a w e n z a k e w a l i o m t a n g u l i a n a waliomfwatia, kazi zao nyingi zilipotea. Ibn al-Hytham aliandika vitabu 200 kati ya hivyo ni 50 tu ndio vilivyobaki na kufanyiwa kazi.

Ibn al Hatham akiishi

k i d a r we s h i , k a z i z a k e kutosifiwa ni kutokana na namna alivyokuwa akiishi. K a z i z a k e z i l i v y o k u j a kufanyiwa tafsiri kwa lugha ya Kilatino waliofanya kazi hizo wakalibadilisha jina lake na kumwita Alhazen mbinu iliotumiwa na watu wa Magharibi kuficha majina ya waliokuwa sio Wazungu kwa kuwa kila ujuzi uwe kwa Mzungu tu.

Inakubalika kuwa kazi zake alizozifanya ndizo zilochangia kuiweka Sayansi kuwa juu katika zama zetu hizi.

P i t i a r e j e a z i l i z o orodheshwa hapo chini kuweza kumfahamu zaidi Ibn al-Haytham. Makala ifwatayo itamzungumzia Ibn Zuhr aliokuwa tabibu na akifanya upasuaji alioandika kwa kina katika kitabu chake Al-Taisir Fil-Mudawat Wal-Tadbeer.

Rejea: Morgan, M. (2007). Lost History. Washington D.C. : National Geographic Society.

MajangaInatoka Uk. 15i l i f ik ia 38 ,478 na kuna waliopata vilema vya maisha idadi yao ilifikia watu 3,900.

Nishati ya mafuta ni muhimu kwa maisha ya mwanadamu kwani mafuta tangu kuvumbuliwa hadi hii leo yamekuwa yanapatikana katika nchi zilizokuwa kidogo kwa idadi duniani kwahio mafuta hubidi kusafirishwa kutoka nchi moja hadi nchi nyengine kwa njia ya baharini. Kumetokea ajali mbalimbali katika nyakati tofauti na kusababisha umwagikaji wa mafuta kwa wingi na kuathiri mfumo wa maisha katika bahari.

M o j a k a t i k a t o k e o kubwa l i l i tokea mwaka wa 1976 wakati meli ya Torrey Canyon iligonga m wa m b a n a k u m wa g a m a f u t a y a n a y o k i s i w a mageloni milioni 38 katika kisiwa cha Scilly, tokeo hili ni moja katika majanga makubwa yanayohesabiwa y a l i o s a b a b i s h w a n a mwanadamu. Aidha katika

mwaka wa 2000 nchini Brazil, bomba la kusafirishia m a f u t a l i l i p a s u k a nakumwaga mafuta mazito yanayokadiriwa kufikia ga loni 343 ,200 kat ika ghuba ya Guanabara . Huko Marekani katika mwaka wa 2000 mel i ya mafuta i jul ikanayo Westchester i l imwaga m a f u t a y a l i k a d i r i w a k u f i k i a k i wa n g o c h a galoni 567,000. Janga la umwagikaji wa mafuta ambalo l i l i shuhudiwa na watu wengi lilitokea Pak is tan wakat i mel i iliyopewa jina la Tasman Spirit ilipasuaka pande mbili ikiwa imeshatia nanga bandarini ilimwaga mafuta g h a f i ya n a y o k a d i r wa kufikia tani 28,000.

Majanga ya l io tokea viwandani na kusababisha athari kubwa la hivi karibuni ni lile tokeo la kiwanda cha nuklia cha Fukushima Daiichi nchini Japan, tokeo lilotokea mwaka wa 2011

lilikuwa ni tokea baya zaidi baada ya lile la Chernobyl liliotokea nchini Urusi.

Majanga ni mengi mno ambayo yanatokea kila siku. Kuna majanga madogo madogo ambayo athari zake nazo huwa ni ndogo na kuna majanga makubwa y e n y e a t h a r i k u b w a duniani. Majanga ambayo mengi yanayosababishwa na mwanadamu huweza kuzuilika lakini ukaidi wake mwanadamu na kukwepa taratibu alizoziweka yeye mwenyewe, ndio huchangia pakubwa kutokea a ja l i ambazo husababisha vifo, kuharibika kwa miundo mbinu na kuchangia hasara ambayo mataifa hushindwa baadaye kuyamudu.

Majanga yaliokuwa sio ya maumbile mara nyingi yanaweza kuepukika pale tu taratibu zilizowekwa katika nchi, kanda na duniani kama zitafwatwa.

Makala ya wiki ijayo, majanga yanapotokea na hali ya kiroho inatakiwa iweje?

Page 17: ANNUUR 1175b.pdf

17 AN-NUURRAJAB 1436, IJUMAA MEI 1 - 7, 2015

MAKALA/TANGAZO

UWEPESI wa nguzo ni miongoni mwa upendeleo wa sheria ya Kiislam. Kwa yakini mwenye kuzingatia katika dalili za Kiislam na makusudio ya sheria za Kiislam, atakuta kwamba uwepesi umezingatiwa kuwa ni moja ya vyanzo vikubwa ambavyo vimesimamia sheria hii.

Hivyo basi sheria yote ni nyepesi, hakuna uzito kwa namna yoyote , haikupatikana kusifika kwa mashaka au ugumu na wala haikusifika kwamba ipo kati na kati ya uwepesi na ugumu.

Na pale i l ipokuwa sheria ya Kiislamu kuwa ndio sheria ya mwisho kutoka mbinguni, ikawa hakuna budi iwe ni ya upendeleo kwa mambo maalum miongoni mwa sheria hii ambayo inafanya kukubalika kwa kuthibiti n a n i ya k u e n d e l e a kukubaliana na mambo ya kibinadamu popote pale alipo.

Pia inakubaliana katika zama zote na aina yoyote ya sheria hiyo na kuondoa ugumu katika nguzo zake na sheria zake. Na huu ni upendeleo wa sheria yetu tofauti na sheria nyingine zilizotangulia, ambazo amezidhamini Mwenyezi Mungu miongoni mwa vitendo vya kitamaduni, kwa yale yanayokubaliana na hali na sehemu ya umma husika uliojiwa na sheria hiyo.

Umepokelewa uwepesi katika kauli yake Mwenyezi M u n g u m t u k u f u . H a t a k i M w e n y e z i Mungu kukufanyieni kwenu miongoni mwa ugumu lakini anataka a k u t w a h a r i s h e n i (awasafisheni) ili atimize neema zake kwenu, i l i mpate kushukuru.

Na Sheikh Ahmad Ragab AL-Sheshtawi

Wepesi wa nguzo katika Uislamu

Na amesema tena, na hakufanya kwenu katika dini miongoni mwa ugumu mila ya baba y e t u ( I b r a h i m ) . N a amesema Mtume (saw) (Nimetumilizwa kwa dini nyepesi) na neno lake tena (wepesisheni na wala msitie uzito). Pia amesema tena, “wepesisheni wawili nyinyi na wala msitie uzito nyinyi”. Amesema tena, “hakika ya dini ni nyepesi na hatoitia yeyote ugumu isipokuwa itamshinda”.

N a a m e s e m a Mwenyezi Mungu na w a l e w a n a o m f u a t a Mtume asiyejua kusoma wala kuandika, ambaye wamemkuta ameandikwa katika taurati na Injili anawakataza mabaya na anawahalalisha yaliyo mazuri na anawaondolea magumu yao na minyororo waliyokuwa nayo.

Na maana ya kauli yake, “Na anawaondolea mazito yao na minyororo” kwamba Mtume (saw) amekuja na wepesi na m s a m a h a . N a w a l a haikusalimika sheria yoyote miongoni mwa sheria kutokana na uzito katika sheria zilizopita, mashaka na msimamo mkali na ugumu, hivyo basi ametufundisha Mwenyezi Mungu dua, nayo ni neno lake Mwenyezi Mungu (Mola wetu mlezi wala usitubebeshe sisi ugumu kama ulivyo wabebesha ambao waliopita kabla yetu. Mola wetu mlezi u s i t u b e b e s h e y a l e tusiyoyaweza).

M w e n y e z i M u n g u mtukufu hamlazimishi mja kwa lile asiloliweza

na hamlazimishi kitu kilichokuwa kigumu i s i p o k u w a h u l e t a Mwenyezi Mungu faraja na njia nyepesi.

Imesihi toka kwa Bin Abbas (ra) amesema, “Huo ndio msamaha na upana wa Uislam na hakuweka Mwenyezi Mungu ugumu bali ameweka toba na kafara, hakuna ugumu w o w o t e j a p o k u w a a m e w e k a u w e p e s i miongoni mwao. Inakuwa kwa toba na mengine inakuwa kwa kurudisha u l i c h o d h u l u m u k wa mwenyewe, hakuna katika dini ya Uislamu isipokuwa utapata njia iliyo nyepesi na kuepukana na adhabu, kama ilivyokuwa uwepesi wa sheria ya Kiislam na msamaha wake.

H a i k u s u d i w i kujipweteka binadamu na azipuuze nguzo za ibada, bali makusudio ni kuondoa mashaka ya dini yao ili isiwaingie machovu na uvivu katika nyoyo zao na ili waingie katika ibada kwa moyo mkunjufu, na muonekano wa tahafifu na kuondoa ugumu. Mwenyezi Mungu mtukufu hailazimishi nafsi isipokuwa lile inaloliweza kwa mipaka maalum.

Amesema Mwenyezi M u n g u m t u k u f u “hatumkalifishi mtu ila kwa kadri ya uwezo wake na haya yanawezekana“. S e h e m u y a a y a y a ( 1 5 2 ) a l - a n a a m . N a kutokuhukumiwa mtu aliyesahau na kukosea, na kuvumilia nafsi juu ya m p a k a k wa k i l e anachokiweza.

“Mwenyezi Mungu

haikalifishi nafsi yao yote ila yaliyo sawa na uwezo wake faida ya yale iliyoyachuma hiyo nafsi ni yake na hasara yake ni ya ile nafsi iliyoyachuma na husema, Mola wetu usitese kama tukisahau tukaacha yaliyo mema au tukikosa tukafanya mabaya.

M o l a w e t u n a usitubebeshe mzigo kama ulivyowabebesha wale waliokuwa kabla yetu, Mola wetu usitutwike t u s i y o y a w e z a n a utusamehe na utughufirie na uturehemu, wewe ndiye mlinzi wetu, basi tusaidie juu ya watu makafiri”. (286) al-bakarat.

P i a k u t o m u a d h i b u

yule al iyelazimishwa j a m b o h a t a y u l e aliyetamkishwa neno la ukafiri. “Anayemkufuru M w e n y e z i M u n g u baada ya Uislamu wake“ i n a m n g o j e a a d h a b u kubwa isipokuwa yule aliyeshurutishwa hali ya kuwa moyo wake umetua juu ya imani ya Uislamu wake. Lakini anayekifungulia ukafiri kifua chake, hao ghadhabu ya Mwenyezi Mungu iko juu yao na watu namna hiyo watapata adhabu kubwa”. 106 Annahli.

Na pale anapozidiwa ameruhusu Mwenyezi Mungu kula chakula k i l i c h o h a r a m i s h wa , yaani kilichokatazwa. “Yeye amekuharamishieni mzoga tu na damu na nyama ya nguruwe na k i l i c h o t a j i wa k a t i k a kuchinjwa kwake jina la asiyekuwa Mwenyezi Mungu, lakini aliyefikwa na dharura ya kula vitu hivi bila kutamani wala kupita kiasi, yeye hana dhambi, hakika Mwenyezi Mungu ni mwingi wa kusamehe na mwingi wa kusamehe” (173) Albakarah.

Kuondoa ugumu kwa walemavu na wagonjwa “si vibaya kwa kipofu wala si vibaya kwa kiguru wala si vibaya kwa mgonjwa wala kwenu kama mkila katika nyumba zenu au nyumba za ndugu zenu au nyumba za dada zenu au nyumba za ami zenu au nyumba za shangazi zenu au nyumba za wajomba zenu “sehemu ya aya (61) Annur”.

SHIRIKISHO LA WAISLAMU VIZIWI AFRIKA MASHARIKI (SHIWAVIAMA)

THE EAST AFRICA FEDERATION FOR THE DEAF MUSLIM (EAFDM) (TANZANIA, KENYA,

UGANDA, BURUNDI NA RWANDA

MsaadaShirikisho la Waislamu Viziwi Afrika Mashariki

(SHIWAVIAMA) Tawi la Tanzania wanaomba msaada wa gharama za pango la ofisi pamoja na vifaa vitendea kazi ili kuwezesha shirikisho hilo kuanza kufanya kazi zake kwa ufanisi zaidi.

Waislamu mnaombwa msaada wa kuchangia ili kuwawezesha hao ndugu zetu kutekeleza majukumu yao.

Kwa mwenye mchango wanaweza kutuma kwa kupitia Togo Pesa Namba 0717531154 au kwa njia ya Airtel Money Namba 0786284638

Ust Dotto Abdallah Said

Mwenyekiti SHIWAVIAMATawi la Tanzania.

Page 18: ANNUUR 1175b.pdf

18 AN-NUURRAJAB 1436, IJUMAA MEI 1 - 7, 2015

Makala

Itakuwa burashi yake n a k a t i k a k u k i p a k a maji ya dhahabu kitabu c h a u l i m we n g u , n a atakuwa mtumishi wa bustani katika bustani la mzunguko wa ardhi, na ni mfanyakazi chini ya maelekezo yake katika mambo yote ya dunia na raia yoyote au fikra yoyote kuhusu kwamba binadamu ni mwenye kumiliki au ni mwenyewe wa h a k i k a wa k i t u chochote, inahesabiwa ni kuvuka mpaka na ni ujinga.

K wa s a b a b u h i y o t u n a k u t a k w a m b a M w e n y e z i M u n g u m t u k u f u a n a s e m a : “Hakika mimi nitafanya” badala ya kusema “Hakika mimi nitaumba” maana ni kwamba yeye katika maudhui ya kuumba kwa kwanza alikishughulikia kitendo cha kuumba si kwa dhati yake, bali kwa upande wa sifa zake, kana kwamba kumfanya kuwa ni Khalifa ni ujenzi na muundaji wa daraja la pili, siyo la asili bali ni kwa niaba, kama mwangaliaji na msimamizi, maana ni kwamba yeye ameuweka kwake Ukhalifa huu si kama tabia ya kwanza katika kuumbwa kwake, bali ni kama sifa yenye kupatikana, mwa mtu ambaye anahakikisha katika nafsi yake masharti ya U k h a l i f a k a t i k a ardhi. Ni jambo lenye uwezekano kwamba moja ya mambo yenye kupatikana nyuma ya kusimama Malaika kwa kuuliza au kwa usahihi zaidi kutaka kujuwa ni kuogopea kuchanganyika mambo yenye kufanywa kwa niaba na yale yenye kufanywa kwa asi l i . Jambo hili la kujifunza majina, na kile ambacho amefundishwa Adam ( a . s . ) k i n a h e s a b i wa kimo katika nafasi ya kokwa na kimo katika nafasi ya mbegu. Kama z i l i v y o k u wa n a m n a zote za damu na asili mbalimbali zimetumbukia katika mgongo wake, kitakuwa kila ambacho amefundishwa ni kokwa na mbegu ya elimu zote na inakuwa kazi na jukumu la kuliendelea kokwa hilo na kulikuza na kulipanua l imetupwa mabegani mwa vizazi vijavyo.

K a m a a m b a v y o kunawezekana kuwa m a f u n d i s h o h a y o yalipatikana kwa wahyi a m b a o a l i u p e l e k a M w e n y e z i M u n g u kwa Mtume, vile vile

Mafundisho ya Qur’an-3HAKIKA mfano wa Ukhalifa huu ambao ameutoa Mwenyezi Mungu mtukufu kwa binadamu, kama ambavyo tunaweza kuuchukua juu ya msingi wa kwamba Mwenyezi Mungu mtukufu amempa binadamu haki ya kujiingiza kwa kiwango fulani na kwa kiasi fulani katika pande zote za ulimwengu na matukio, kunawezekana kuuchukua Ukhalifa huo vile vile na kuufasiri juu ya nafasi yake katika kuchaguliwa na kuathiri katika mahusiano kati ya watu na kati ya mataifa. Mfano wa hali hii ya kipekee na huku kupewa kwa upendeleo, kunamaanisha kumruhusu binadamu katika kufanya na kutenda katika kila kitu ambacho mkono wake unakifikia kwa niaba ya Mwenyezi Mungu na kwa jina lake na hali ya kuwa ni naibu wake.

kunawezekana kuwa kulipatikana kwa kutoa M w e n y e z i M u n g u m t u k u f u r a g h b a ya k u j i f u n d i s h a k a t i k a m a u m b i l e y a k e n a katika aswili yake na kiini chake kwa ajili ya kuyafikia mahitaji yake na kwamba hii raghba na maandalizi ya kiutume ya haraka na makubwa kwa ajili ya kujifundisha yalimuongoza kwenye kujifundisha majina na vile vyenye kuitwa kwa majina hayo vile vile.

Zaidi ya hapo jee , lilikuwa lengo la kile ambacho alifundishwa Adam (as.) ni kufikia kwenye maarifa haya k w a n j i a y a l u g h a yoyote katika lugha? Au kulikuwa katika ujumla wa maangalizo juu ya njia yenye kufikisha kwenye majina na vile vyenye kuitwa kwa majina hayo na katika hayo ni kufika kwa mwenye kumiliki kila kitu? Au kwa kumfundisha mahusiano ya l iyopo yaliyo wazi katika hayo na yaliyojificha katika ul imwengu wa vitu?

Ni sawa sawa ulikuwa mkusanyiko wa maarifa ya ulimwengu? Au yalikuwa majina ya malaika au majina ya binadamu, na vitu vyenye kuitwa, na makadirio yao na hatma yao.

“Hivi mnawaamrisha watu kufanya wema na hali mnaziacha nafsi zenu na hali ya kuwa nyinyi mnakisoma kitabu, hivi hamuelewi?”. [Al-Baqarah 44]

Pamoja na kwamba aya hii inawasemesha sehemu katika wana wa Israel kwa sura ya moja kwa moja, lakini ni kwamba aya hii inawasemesha Waisamu vile vile. Kwa sura hii ya Ishara na jambo ambalo linakusudiwa hasa ni kuzinduwa juu ya wajibu wa kupatikana umoja na kutovunjana kati ya yale yanayosemwa na yale yanayotendwa, kwa maana ya umoja katika maneno na matendo. Kwa sababu hiyo tunaona kwamba aya nyingine inaelezea maana haya kwa njia nyingine, inasema : “Kwa nini mnasema yale

ambayo hamyatendi?” [Assaf 2]

Ndiyo hali na maneno au kusema na kutenda ni lugha yenye pande mbili, kwa ajili ya kuinusuru haki na kuwakilisha, itakapozungumza hii lugha yenye sura mbili na maonekano mawili, kwa jina la haki na ikapiga kelele kwa hiyo haki taathira yake itakuwa kubwa sana. Kwa sababu kunapasa juu ya binadamu kuyatekeleza yale ambayo anawalingania kwenye hayo watu wengine na kusiwe na kuvunjana, kati ya maneno yake na matendo yake na kati ya hali yake inayoonekana na maelezo yake.

Imekuja katika athari k w a m b a M w e n y e z i M u n g u m t u k u f u alimwambia Mtume Issa (a.s.):

“ Ionye na fs i yak o kwanza iwapo nafsi yako itayakubali mawaidha, hapo wape (wengine) mawaidha yako. Na kama nafsi yako haikukubali, basi ona haya kwangu”.

K w a m s i n g i h u o

inapasa kuishi binadamu kufuatana na anavyoamini n a a a k i s i v i n a v ya ulimwngu wake wa ndani miongoni mwa fikra na hisia, itakuwa ni kitendo cha kuitakasa nafsi yake. Yule ambaye hasimami u s i k u n i j u u y a k e kutoizungumzia swala ya Tahajudi na aone haya kufanya hivyo. Na yule ambaye hawezi kuswali kwa unyenyekevu wote na kwa kujinyongesha na wala hatendi kwa adabu mbele za Mwenyez i Mungu mtukufu wala haimtishi na kuogopa – kumuogopa Mwenyezi Mungu, asizungumze kuhusu sifa kamili za swala. Na akitokuwa ni mwenye kujitoa muhanga kunapasa kutozungumza tamko moja kuhusu maudhui ya kuishi kwa ajili ya watu wengine. Kwa sababu Mwenyezi M u n g u m t u k u f u a m e f u n g a m a n i s h a k wa h e k i m a f u l a n i n g u v u y a k u a t h i r i yale yanayosemwa, na mfumo wa utendaji wa msemaji. Fikirieni vizuri vipi kwamba utetezi wa watu wangu juu ya Uislamu na majibu yao na kuugombea kwa Uislamu. Yote hayo yanabaki pasi na taathira yoyote. Bali tunaona baadhi ya watu hawa kwa sababu ya uchache wa ikhlasi yao wanajitoa katika mambo mengi ambayo walikuwa wanayatetea sambamba pamoja na fikra za baadhi ya wenye kupinga. Na anaweka wazi Sheikh wa Uislamu “Mustafa Swabry afanye haya kwa kauli yake hakika mifano ya watu hawa hawakuwa wenye ikhlasi katika yale ambayo wanayasema a u w a n a y o j i b u a u w a n a y o y a a n d i k a , miongoni mwa vitabu n a l a u w a n g e k u w a wana ikhlasi, wangeishi kufutana na wanavyosema na tusingeshuhudia huku kuyumba katika maisha yao”.

K w a s a b a b u h a wa k u we z a k u i s h i katika muungano mmoja k a t i ya m a n e n o n a matendo, ehee ni kama hivyo, wamezingazinga n a w a m e y u m b a n a wamewatumbukiza wale wanaowafuata katika shaka na katika matatizo.

Baadhi ya Masheikh na viongozi walio hudhuria semina ya maimamu katika chuo cha Kiislamu Markazi Changombe jijini Dar es salaam. (Picha kutoka Maktaba yetu)

Page 19: ANNUUR 1175b.pdf

19 AN-NUURRAJAB 1436, IJUMAA MEI 1 - 7, 2015

Makala ya Mtangazaji

RAMALLAH (Ma'an) -- P r i m e M i n i s t e r R a m i Hamdallah called on the international community to find a comprehensive solution to the Palestinian question Monday, as he received a parliamentary delegation from Germany in his office in Ramallah.

Hamdallah called on the international community to push towards a Palestinian State empty of settlements and with the West Bank, Gaza Strip and East Jerusalem geographically connected.

The prime minister was updating the delegation of German politicians on the latest polit ical and economic developments in Palestine, as well as recent Israeli violations against Palestinians.

He applauded Germany's support for the occupied Palestinian Territories and also for Gazan reconstruction, but called on Germany to increase pressure on Israel to cease violations against Palestinians, and to end the Israeli blockade of the Gaza Strip.

The German Foreign Office describes itself as having "a longstanding commitment to the Palestinian territories."

It adds: "The German Government is one of the largest bilateral donors, with support focusing on the areas of water, economic development, public safety (police), governance and education."

I n 2 0 1 3 , G e r m a n y

Hamdallah meets with German delegation in Ramallah

Prime Minister Rami Hamdallah.

contributed approximately $120 million to the occupied Palest inian Terr i tor ies , making it one of the largest contributors in the European Union, which gave about $875 million in total that year.

However, during last summer's Israeli offensive on the Gaza Strip, a group of 150 "German Middle East experts" signed an open letter to German government, criticizing "a negligent use of German tax money as well as a misguided approach towards development and democracy work."

The experts said that by not seeking "a fundamental change to the status quo"

in the occupied Palestinian Territories, development work had been "limited to short-term emergency aid."

They said that for progress to be made, it was "necessary to put an end to settlement policy in the West Bank and East Jerusalem, to boost the Palestinian presence in East Jerusalem and to lift the siege on Gaza."

The letter called on the German government "to vigorously work towards ending the Israeli occupation of the Palestinian Territories, and to make suggestions to both sides for a conflict resolution that are binding and in conformity with international law."

RAMALLAH (Ma'an) -- Senior PLO official Hanan Ashrawi on Friday marked Palestinian Prisoner's Day by demanding that Israel end its "captivity" of the Palestinian people under occupation.

"Today, we honor and express our solidarity with all Palestinians who have been and continue to be imprisoned in Israeli jails," she said in a statement.

" We c o m m e n d t h e i r steadfastness, courage and determination in defiance of Israel's military occupation and system of enslavement and apartheid."

S i n c e I s r a e l ' s 1 9 6 7 occupation of the West Bank, East Jerusalem and Gaza, over 800,000 Palestinians have been detained by Israel's military, while over 60 Palestinians have died in Israeli jails, the PLO says.

O v e r 7 0 p e r c e n t o f Palestinian families have had at least one relative detained at some point, according to the UN.

PLO: Israel must end captivity of Palestinian peopleFourteen Pales t in ian

MPs and 20 journalists are currently imprisoned by Israel, with over 450 Palestinians held without tr ia l for indeterminate periods under administrative detention.

"We call on all members of the international community to act on the basis of justice and human rights and bring Israel to compliance for its willful breach of the rights and lives of Palestinian political prisoners," Ashrawi added.

Late Thursday, President Mahmoud Abbas marked Palestinian Prisoner's Day by saying that any future peace agreement must free all Palestinian prisoners.

D u r i n g a t e l e v i s e d speech, Abbas emphasized t h a t c o n t i n u e d I s r a e l i policy regarding frequent detention of Palestinians is not conducive for creating a plausible environment for future peace.

"It is time for decision holders in Israel to realize that

jails, settlement, confiscating lands and withholding holding PA tax funds will only lead to more extremism and keep us from reaching what we seek, which is a just peace based on ending occupation."

Calling on the international community to support Palestinian prisoners with legal and humanitarian protection not afforded by the Israeli government, Abbas added that Israeli violations against prisoners have been well documented by UN

human rights organizations, and have been prepared to be presented at the International Criminal Court.

A c c o r d i n g t o b o t h international law and Israeli courts an individual cannot be detained for their political opinions.

Pa l e s t i n i a n p o l i t i c a l l e a d e r s a r e r o u t i n e l y arrested and detained as part of an ongoing Israeli effort to suppress Palestinian political processes, according to prisoners' rights group Addammeer.

JENIN (Ma'an) -- An 18-year-old Palestinian succumbed T u e s d a y t o w o u n d s sustained during clashes with Israeli forces late on Monday in al-Araqa village in western Jenin.

Palestinian security sources told Ma'an that Muhammad Murad Muhammad Mustafa Yahiya died early Tuesday in the Rafidia Governmental Hospital in Nablus from wounds he had sustained near the separation wall in al-Araqa.

Sources said that the teen had been shot with a live bullet by Israeli forces in his lower stomach.

He underwent surgery after his injury was reported as critical, but was pronounced dead Tuesday morning.

Locals in the al-Araqa village said that Israeli forces also detained two brothers before leaving the village, identified as brothers Ayman and Ahmed Yaqub Saleh Yahiya.

Muhammad Yahiya is the third Palestinian to be killed by Israeli forces in recent days, after another teenager was killed in East Jerusalem for allegedly running at Israeli police "wielding a knife," and a Palestinian man was shot dead in Hebron after he allegedly stabbed an Israeli soldier.

Palestinian teen killed by Israeli forces west of Jenin

Palestinian boys are seen in a makeshift bedroom at a UN-run school in Gaza (AFP/Mahmud Hams)

UNITED NATIONS (AFP) -- A United Nations inquiry blamed the Israeli military Monday for seven attacks on UN schools in Gaza that were used as shelters during the 2014 war.

"I deplore the fact that at least 44 Palestinians were killed as a result of Israeli actions and at least 227 injured at United Nations premises being used as emergency shelters," Secretary-General Ban Ki-moon said in a letter to the UN Security Council.

"It is a matter of the utmost gravity that those who looked to them for protection and who sought and were granted shelter there had their hopes and trust denied."

The UN chief, in presenting a summary of the report, vowed to "spare no effort to ensure that such incidents will never be repeated."

The board of inquiry investigated the attacks on the schools run by the UN Palestinian refugee agency UNRWA from July 8 to August 26 last year.

The Gaza war ended with an Egyptian-brokered truce after about 2,200 Palestinians, most of them civilians, and 73 Israelis, mostly soldiers, were killed.

UN: Israel responsible for Gaza shelter attacks

JERUSALEM (Ma'an) -- Israeli forces on Monday afternoon closed down parts of the eastern entrance of al-Issawiya vil lage with cement blocks.

Monitoring committee member Muhammad Abu al-Homos told Ma'an that Israeli forces closed parts of the main roads leading to the village in response to alleged rock-throwing and tire-burning.

Abu al-Homos said one of the officers informed him that the blocks were "to protect soldiers in the area."

Israeli forces close entrance of Jerusalem-area village

Page 20: ANNUUR 1175b.pdf

20 AN-NUURRAJAB 1436, IJUMAA MEI 1 - 7, 201520 MAKALA AN-NUUR

20 RAJAB 1436, IJUMAA MEI 1-7, 2015

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.

Tanzania Muslim Hajj Trust, uandikishaji unaendelea, gharama za Hijja ni US Dollar 4400, tarehe za Safari ni: 11 na 13 Septemba, kurudi 7 Oktoba, 2015.

Wahi kujiandikisha sasaKwa mawasiliano:+255 2221815770786 3838200713 764636

Safari ya Hijja Hijiria 1436

+255 222 1823700754 261910; 0717 0000650784 272723website-www.hajjtrust.or.tz

BARAZA Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu ( T ) l i m e w a s i l i s h a barua rasmi Serikalini kupinga Bakwata kuwa msemaji wa Waislamu katika masuala ya elimu na mambo mengine yahusuyo Waislamu Serikalini.

Taasisi za Elimu za Kiislamu, chini ya Baraza hilo, zimewasilisha barua hiyo kwa Katibu Mkuu Kiongozi, zikipinga kwa maandishi kuwakilishwa n a B a k w a t a k a t i k a mambo yao Serikalini, huku wakiitaka Serikali kutoifanya Bakwata kuwa ndio sauti ya mwisho ya Waislamu katika mambo yao mbalimbali.

Kat ika barua h iyo Serikal ini na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Taasisi hizo z i m e s e m a k i m s i n g i hakuna makubaliano baina ya Taasisi na Jumuiya za Kiislamu zilizo nje ya Bakwata kuwa Baraza hilo (Bakwata) liwe msemaji na mwakilishi wao katika mambo yanayowahusu Waislamu nchini.

“Hakuna makubaliano yoyote kati ya Bakwata na Taasisi nyingine za Kiislamu. Au wamiliki wa mashule na vyuo kuwa Bakwata ndiyo iwe msemaji wao Serikalini kwa suala hili la elimu na vivyo hivyo kwenye m a s u a l a m e n g i n e ya h u s u y o Wa i s l a m u Serikalini .” Imesema barua hiyo kwa Katibu Mkuu Kiongozi.

Itakumbukwa kuwa hivi karibuni, Jumuiya na Taasisi za Kiislamu zilipinga Bakwata kuwa mwakilishi na msemaji wao katika mchakato wa uandaaji wa muswada wa elimu wa mwaka 2015, pendekezo ambalo lilitolewa na Mameneja wa Shule na Vyuo visivyo vya Serikali (TAMONGSCO).

Ili kutia uzito msimamo huo, uliotolewa katika mkutano ulioshirikisha wadau wa elimu nchi nzima hivi karibuni, Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Sifuni M c h o m e , a l i wa t a k a kupinga kwa maandishi na kuwasilisha msimamo

Baraza Kuu lapinga uwakilishi wa Bakwata

Na Bakari Mwakangwale

huo katika Wizara yake.Barua hiyo, ambayo

An nuur inayo nakala yake, imeanisha sababu za kuipinga Bakwata kuwa mwakilishi pekee katika masuala ya Waislamu, k u w a b a r a z a h i o limesajiliwa chini ya RITA na Wizara ya Mambo ya Ndani, kama ambavyo t a a s i s i n y i n g i n e z a Kiislamu zilivyosajiliwa (RITA), kwa hiyo kisheria taasisi hizi zote ziko sawa.

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Sifuni Mchome.

Barua hiyo imeeleza kuwa Bakwata , kwa mujibu wa Katiba yake i m e j i a n i s h a n i k wa Waislamu wa madhehebu ya Shafi, wakati Tanzania kuna madhehebu mbali mbali , jambo ambalo l inat ia dosari kat ika uwakilishi wa Taasisi zingine.

Aidha, Barua hiyo ikaainisha zaidi kwamba katika medani ya elimu, Bakwata ha ina ha ta

Shule moja ya Msingi, ukiachilia mbali Shule za Sekondari zisizo zidi kumi nchi nzima, wakati kuna Taasisi zenye Shule zaidi ya kumi.

Ikasema, kuna Taasisi za Kiislamu zinazomiliki Shule zaidi ya moja, hivyo ikasisitiza barua hiyo kwamba BAKWATA, haina uzoefu kat ika usimamizi wa el imu ukilinganisha na Taasisi zingine.

“Ndugu Katibu Mkuu Kiongozi, kwa maana hiyo tunaitaka Serikali inapotaka kuwasiliana na Waislamu katika suala la el imu au masuala mengine yoyote yale, basi isiifanye Bakwata kuwa ndio sauti ya mwisho ya Waislamu Tanzania”.

“Wizara ya Elimu na wadau wengine wa elimu kama vile TAMONGSCO, wawe wanawasiliana na Bakwata kwa ajili ya Shule zake na Shule zisizokuwa za Bakwata, wawasiliane na Baraza Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania”.

B a r u a h i y o ikasema, Baraza hilo linaziunganisha Taasisi z o t e z a K i i s l a m u sizizokuwa za Bakwata, ambazo pia zimesajiliwa Serikalini na baadhi ya hizo (Taasisi) zina Shule na vyuo pia ni wanachama wa TAMONGSCO.

“ K u f a n y a h i v y o kutawezesha ushiriki mpana wa Taasisi za Kiislamu nje ya Bakwata a m b a z o z i n a m i l i k i Mashule na Vyuo na hivyo kuiwezesha Wizara na watendaji Serikalini kuwaf ik ia Wais lamu wengi kupitia Taasisi zao kinyume na ilivyo sasa ambavyo Bakwata tu ndiyo inahusishwa na kusababisha taarifa m u h i m u k u t o z i f i k i a Ta a s i s i n y i n g i n e . ” Imeanisha barua hiyo.

Baraza hilo la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu (T), limesema, uzoefu u n a o n e s h a k wa m b a mara nyingi watendaji wa Serikali huiona Bakwata k u wa n d i y o Ta a s i s i stahiki kuwasiliana nayo inapokuja kwenye mambo yanayowahusu Waislamu.

K A T I K A h a t u a y a kushtusha, Mahakama Kuu nchini Kenya imesalimu amri mbele ya shinikizo la watetezi wa vitendo vichafu vya ulawiti na usagaji na kusema kuwa, sasa watu wanaojihusisha na vitendo hivyo vya uasherati w a n a w e z a k u s a j i l i mashirika yao yanayodaiwa kuwa ni ya kutetea haki zao za kibinadamu.

M a j a j i w a t a t u

Mahakama Kenya yabariki chama cha mashogaw a M a h a k a m a h i y o wa m e i a m u r u B o d i ya K u s i m a m i a M a s h i r i k a yasiyo ya Kiserikali (NGOs) kulitambua na kulisajili shirika moja, ambalo awali Mahakama hiyo il izuia lisisajiliwe kwasababu za kimaadili na kidini.

Jopo la majaji hao watatu, I saac Lenaola , Mumbi Ngungi na George Odunga, limedai kuwa katiba ndio marejeo ya kila kitu nchini

Kenya na kwamba serikali h a i t a k i w i k u z i n g a t i a mafundisho ya kidini katika maamuzi yake ambayo kwa mujibu wa majaji hao, maamuzi hayo yananyima kundi fulani la watu uhuru wao.

U a m u z i h u o u m e c h u k u l i w a h u k u nchi za Magharibi zikiwa ndio vinara wa kukoleza mashinikizo kuzitaka nchi

za Afrika kutambua rasmi vitendo hivyo vichafu.

Dola za Magharibi mara kadhaa zimetishia kuzinyima nchi za Afrika misaada iwapo hazitatambua rasmi vitendo vya ulawiti na usagaji.

Hatua ya Mahakama Kuu ya Kenya imechukuliwa pia wakati huu wa kukaribia ziara ya Rais Barack Obama wa Marekani nchini Kenya, ambaye ni mtetezi mkubwa wa vitendo hivyo vichafu.

E-mail:[email protected]