annuur 1200

20
Kura yako haileti Fat’hi Makkah lakini muhimu Uk. 6 ISSN 0856 - 3861 Na. 1200 MUHARRAM 1437, IJUMAA , OKTOBA 23-29, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu Dakika za lala salama, Profesa asema... Kama ni fujo italeta Serikali, askari Raia watu wa amani hawataanzisha fujo Chonde Dr. Shein, amani Zanzibar! Wasiwasi, hofu imetanda kila kona Kauli yetu Ujinga wakati wa kwenda tu… Machozi ya Nyerere yametufundisha Pemba kufanya ‘kafara’ kesho Dua Mtambani, Lumumba leo MGOMBEA Urais (CHADEMA) Mhe. Edward Lowassa. MGOMBEA Urais (CCM) Dkt. John Magufuli. RAIS Jakaya Kikwete. RAIS wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein. ‘Isidingo’ ya Ponda, Uamsho yasubiri kuondoka Kikwete Profesa Nicholas Boaz Uk. 5 ANNUUR REAL.indd 1 10/22/2015 1:25:09 PM

Upload: zanzibariyetu

Post on 04-Jan-2016

1.085 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Kura yako haileti Fat’hi Makkah lakini muhimu

Uk. 6ISSN 0856 - 3861 Na. 1200 MUHARRAM 1437, IJUMAA , OKTOBA 23-29, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=

Sauti ya Waislamu

Dakika za lala salama, Profesa asema...

Kama ni fujo italeta Serikali, askari Raia watu wa amani hawataanzisha fujoChonde Dr. Shein, amani Zanzibar!Wasiwasi, hofu imetanda kila kona

Kauli yetuUjinga wakati wa kwenda tu…Machozi ya Nyerere yametufundisha

Pemba kufanya ‘kafara’ keshoDua Mtambani, Lumumba leo

M G O M B E A U r a i s (CHADEMA) Mhe. Edward Lowassa.

MGOMBEA Urais (CCM) Dkt. John Magufuli.

RAIS Jakaya Kikwete. RAIS wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein.

‘Isidingo’ ya Ponda, Uamshoyasubiri kuondoka Kikwete

Profesa Nicholas Boaz

Uk. 5

ANNUUR REAL.indd 1 10/22/2015 1:25:09 PM

2 AN-NUURMUHARRAM 1437, IJUMAA OKTOBA 23-29, 2015

Mafundisho ya Quran/Maarifa

Fethullah-Gulen“Na aliwaambia Mtume wao: Hakika alama ya ufalme wake ni kuwajilia na sanduku, ambalo ndani yake mna utulivu wa nyoyo zenu kutoka kwa Bwana wenu na mabaki katika vile ambavyo wameviacha watu wa Musa na watu wa Haroun hali ya kuwa linachukuliwa na malaika. Hakika katika hilo, pana alama kubwa kwenu ya ufalme wake – mkiwa ni wenye kuamini”. [Al-Baqarah 248]

K w a n z a k u n a p a s a kuyajuwa maana ya utulivu vizuri. Kwani utulivu: Tamko hilo linakuja kwa upande wa lugha kwa maana haya. Jitihada, upole, kuthibiti utulivu au kwa maana ya: alama au muujiza ambao unampumzisha binadamu maana: Muujiza ambao wakati anapouona binadamu kwa macho yake anauhisi kwa hisia yake na anahisi raha na utulivu katika roho yake maana: kwa hakika utulivu unaonekana kwa maonekano mbalimbali na una hali kubwa juu ya kuonekana katika sura mbalimbali.

Kwa hali yoyote ile kwa hakika yalikuwa masalia yenye kubarikiwa ambayo ya l i a c h wa n a M i t u m e wakubwa waliotangulia na nafsi zilikuwa zinapata katika masalia hayo upole na utulivu. Na wakati ulipokuwa utulivu ndani ya sanduku, kwa hakika sanduku lenyewe lilihesabiwa kuwa ni utulivu na ni nyenzo ya kupata Baraka. Lilihesabiwa hivyo kwa sababu malaika na wao ndiyo mashujaa wa tukio hili walilibeba, jambo ambalo lililipa sanduku hilo thamani kubwa sana kama ambavyo malaika walitukuza sanduku hili mfano wa utukuzo huu. Ni tangazo na ufahamamisho juu ya upeo wa thamani yake yenye kubarikiwa.

U t u l i v u u l i v y o t a j wa katika Qur’an na sunna ni muonekano wa nguvu za kimbinguni zenye sifa ya ki-akhera maana: kutoka katika ulimwengu wa ghaybu anautoa Mwenyezi Mungu kwa baadhi ya watu kwa hiyo hutoa chakula na nguvu kwa nyoyo na nuru kwa matakwa.

Baqara: 248Huenda ukaja utulivu huu ukiwa ni matokeo ya maombi ya wenye kunusuru dini ya Mwenyezi Mungu na huenda ukaja ghafla pasi na kutaka, bali kwa kuichunga h a l i m a a l u m u n a k wa kuifanyia upole hali hiyo. Maana huo utulivu ni neema na fadhila. Huizunguka siri mbalimbali kwa sifa ya kuwa anahisi mwenye kupewa na akaingia katika uhakika wake na mazingira yake kuhisi kwa mwenye kuingia katika ulimwengu mwingine na akauona. Na amesema baadhi yao katika maana ya malaika kwamba ni kushuka kwa malaika na wamesema wengine: hakika utulivu huo ni kuja viumbe wa kiroho wengine wasiyokuwa malaika kwa sababu haushuki utulivu, mahali popote isipokuwa hushuka neema ya Mwenyezi Mungu vile vile kushuka neema ya Mwenyezi Mungu huyabadilisha mazingira ya mahali pale kwenye mazingira yal iyota jwa. Utulivu kwa sifa ya kuwa lau yanashuka mauti mahali pale asingetikisika yule ambaye ameshukiwa na utulivu kiasi cha tindi ya kidole. Chukueni mfano wa jambo hili katika vita vya Khandaq ambavyo walitetemeshwa ndani yake waumini kutetemeshwa kukubwa sana na ambavyo walijinyonganyonga ndani yake waumini masiku mengi katika udhibiti wa chuma kwa sababu ya kufungiwa, isipokuwa wao pamoja na hayo, walibakia mashujaa walio imara. Chukueni mfano wa mashujaa wa “Uhud” ambao walishindana na kifo na wakashindana na tetemeko kubwa ambalo lilikitikisa kila kitu katika msingi wake. Havikuwa vita vya Uhudi ni jambo jepesi kabisa, kwani waliuliwa katika vita hivyo katika maswahaba mashuhuri sabini (70) wakiongozwa na Hamza (R.A.), isipokuwa wakati alipowasaidia wao M w e n y e z i M u n g u n a akawateremshia utulivu, walipiga kelele za simba na wakayafunga majeraha yao na wakasimama katika siku iliyofuatia katika vita hivyo kwa kutoka katika kikosi kipya mpaka baadhi yao walikuwa wanawabeba ndugu zao majeruhi ambao walitoka pomoja na wao na hali ya kuwa wao hawawezi kwenda kwa sababu ya majeraha yao, wakaanza kuwafuatia nyuma maadui na wakati Abou Sufyan alipolijuwa jambo hilo na akalihakikisha anahakikisha azma ya watu hawa juu ya kuwafuatia nyuma mpaka Makkah alifanya haraka kutoa amri kwa jeshi lake

kulitaka lirudi na likimbie k u e l e k e a M a k k a h k wa ajili asije akapotea nafasi ya ushindi mdogo ambao aliupata.

Kutokana na kuyaangalia manufaa ya utulivu ambayo tumeyataja hapo juu, kwa hakika ilikuwa kwa mtu anautaka utulivu kwa ajili ya nafsi yake au linautaka kundi kwa ajili yake. Kwa sababu hiyo tunamuona Mtume (s.a.w.) na swahaba zake watukufu wanaimba na hali ya kuwa wanachimba handaki nyuma kidogo ya kufika maadui na wanasema “Teremsha utulivu juu yetu”.

I s i p o k u w a u t u l i v u haushuki na haudhihiriki kwa kila mtu au kwa kila watu kwa sura hiyo hiyo kwani katika kushuka utulivu ambao tunaweza kuutolea taarifa kwamba: upole kutoka kwa Mwenyezi Mungu na msaada siku zote huchukuliwa kwa jicho la mazingatio hali ya mtu mmoja mmoja na makundi kwani ulijengeka utulivu kutoka vita vya Badr kwa malaika walivyoshuka katika uwanja wa vita. Ama utulivu ambao ulishuka juu ya Usaid Bin Hudhari na hali ya kuwa anasoma Qur’an, utulivu huo ulidhihirika katika sura ya kiwingu. Na ulijengeka utulivu ambao ulishuka juu ya moyo wa Mtume (s.a.w.) na hali ya kuwa yuko katika pango la Thaur pamoja na swahaba wake Abu Bakr, A-Swiddiq (r .a . ) kat ika sura ya utulivu, wa moyo na kutegemea kote juu ya Mwenyezi Mungu mtukufu pamoja na kero kubwa ambalo alikuwa nalo swahaba wake juu yake. Vivyo hivo ulidhihirika katika uhamaji katika sura ya kujiamini na utulivu katika moyo wa Ali (r.a.) ambaye alilala katika tandiko la Mtume (s.a.w.) na hali ya kuwa yeye anajuwa kwamba atakuwa shabaha ya panga zenye mfundo.

Ama wana wa Israeli ni juu yetu kabla ya kila kitu, kuithibitisha hakika ifuatayo nayo ni kwamba j a m b o k u b w a a m b a l o linawapambanua watu hawa ambao wanajulikana katika historia ni kwamba utulivu ulitolewa kwao kwa muundo unao kamatika kwa mikono na unaoonekana kwa macho. Yote hayo yamefanywa kwa kuzichunga hisia zao, na fikra zao na mambo yao pekee na maisha yao na mwenendo wao maalumu. Kwa maana kwamba ulitolewa kwao kwa muundo wenye kuhisiwa na wenye kuonekana.

(Imenukuliwa kutoka Kitabu: Miyangaza ya Qur’an katika mbingu ya hisia, cha Muhammad Fethullah Gullen kilichotafsiriwa kwa Kiswahili na Sheikh Suleiman Amran Kilemile)

Jee Unajua?

CHEMSHA BONGO NAMBA

Fatilia kuandama kwa mweziLeo ni Tarehe 9 Muharram (Mfungo 4) mwaka 1437 AH, sawa na tarehe 23 October 2015. Tumebakisha siku 20 kufikia Mfungo 5.

Uwanja wa Vijana: Jiongezee Maarifa

Jawabu Chemsha Bongo Namba 23

CHEMSHA BONGO: 24

1.Jee unatakiwa kufanya ibada ya Hijja (a) Kila mwaka. (ii) Mara moja (iii) Kila baada ya miaka miwili. Jawabu: Mara moja2.Nani aliomua Umaya Bin Khalaf? Jawabu: Bilali3.Masafa baina ya Jeedah na Madinah ni Kilomita 500, kilomita 396. Jawabu: 3964.Hijja imefaradhishwa mwaka gani wa Hijra? 10, 12, 15 AH. Jawabu: 105.Abraham alikuwa mtawala wa Yemen, Misri au Syria? Jawabu: Yemen6.Hijja inaanza tarehe ipi ya mfungo 3? Jawabu: 87.Siku iliyomuhimu kabisa ya Hijja ni ya tarehe ngapi mfungo 3? Jawabu: 98.Mahujaji wakitoka Arafa wanalala kwa usiku mmoja sehemu ipi? Jawabu: Muzdalifa9.Mawe mangapi kwa jumla hupigwa kwenye Jamaarat? 7, 21, 49 Jawabu: 4910.Mwezi gani ndio mwezi wa Hijja? Dhul Hijja, Dhul Qaada, Rabil Awal Jawabu: Dhul Hijja.

MASUALA1.Mola alimuamrisha afanye nini Mtume Nuh pale watu wake walipomkanya?2.Watu wa Madyana waliangamizwa kwa nini?3.Mtume Ebrahim alihukumiwa kufanywa nini?4.Mtume Yusuff aliishi katika nchi gani?5.Ndugu wa kiume wa Mtume Mussa akiitwaje?6.Nchi gani ina kina kirefu cha maporomoko ya maji?7.Mji mkuu wa Balize unaitwaje? 8.Nchi gani ina maziwa mengi?9.Bendera ya China ina nyota ngapi?10.Pesa ya Mongolia ina jina gani? Tugrik, Kirgin

1.Nchi zenye vikosi vya kupigiwa sifa kupambana na ugaidi pamoja na uharamia na kupigana kwa ufundi. Namba moja ni Kikosi cha SAS cha Uiengereza, kikifwatiwa na kikosi cha Navy SEALs cha Marekani, Delta Force cha Marekani, GSG cha Ujerumani, JW Groom cha Poland, SSG cha Pakistan, CIGN cha Ufaransa, Eko Cobe cha Austria, GIS cha Italy na Marcos cha nchini India. http://www.countryranker.com/countries-with-most-elite-special-forces-in-the-world/2.Thailand ndio nchi inayoongoza uzalishaji wa mpira duniani ikifwatiwa na nchi ya Indonesia, Malaysia, India na Vietnam http://www.countryranker.com/5-major-rubber-producing-countries/3.Nchi 7 tu nchini Afrika ndizo zimebakiwa na kuonekana kwa Simba zaidi ya 100 katika nchi zao. Botswana, Ethiopia, Kenya, Afrika ya Kusini, Tanzania, Zambia na Zimbabwe. Simba wanaonekana katika nchi 28 Barani Afrika. http://www.countryranker.com/countries-with-lions-in-the-world/4. China ndio nchi inayoongoza kwa kuzalisha umeme kutumia UPEPO ikifwatiwa na Marekani, Ujerumani, Uspani, India, Uiengereza, Utaliamo, Ufaransa, Canada na Denmark. http://www.countryranker.com/top-10-wind-energy-producing-countries-2013/5. Nchi kumi zenye uhaba wa maji? Somalia (1), Mauritania (2), Sudan (3), Niger (4), Iraq (5), Uzbekistan (6), Pakistan (7), Egypt (8), Turkmenistan (9) na Syria (10). http://www.globalresearch.ca/top-ten-countries-at-risk-of-water-shortages/19996

A C H O N G E J A H A Z I T E T E M E K O A R D H I B E L M O P A N S A U T I T U G R I K I A K I M A Y M I S R I B A N D A R I U K E N Y A R W A N D A G U V E N E Z U E L A C H I N H A R O U N U S A U S S R 5 6 7 C A N A D A I N D A K U C H O M W A M O T O S

M A R A M O J A J A M C B Y M I N A M A K K A 2 I E M A D I N A H Y A W L M M U Z D A L I F A H A E B A D R H A N D A K L N U M A R A L I N E M A N T I S A N A N E K Y L M F U N G O S I T A A I D H U L H I J J A N W 500 396 12AH 10

AH 8 9 1 7 2 49 54 M

ANNUUR REAL.indd 2 10/22/2015 1:25:20 PM

3 AN-NUURMUHARRAM 1437, IJUMAA OKTOBA 23-29, 2015

Habari

W A I S L A M U wametakiwa kushiriki katika zoezi la kupiga k u r a k e s h o k u t wa Oktoba 25, 2015, ikiwa ni hatua za awali za kuleta mabadiliko ya kimfumo kupitia mlango wa siasa.

Wito huo umetolewa na Imamu wa Masjid Islah Kigogo Kati, Jijini Dar es Salaam, Sheikh Mzee Ruga Mwinyikai, katika hotuba yake ya Swala ya Ijumaa wiki iliyopita.

Sheikh Mwinyikai ametoa witi huo kwa

Kapigeni kura JumapiliNa Bakari Mwakangwale Wa i s l a m u z i k i w a

zimesalia siku mbili t u i l i Wa t a n z a n i a waingie katika zoezi la kuwachagua viongozi wa Kitai fa , s iku ya Jumapili (Keshikutwa).

“Wakati Taifa letu litaingia katika zoezi la uchaguzi Mkuu wa Madiwani, Wabunge na Rais, Jumapili (Oktoba 25, 2015) ,Waislamu kama kundi la jamii tunayo kila sababu ya kushiriki kikamilifu katika zoezi hilo la uchaguzi kama hatua za za awali za kuleta mabadiliko ya kimfumo kupitia mlango wa Siasa.” Alisema Shkh

Mwinyikai.Alisema, Waislamu

wanapaswa kutumia fursa hiyo kuchagua v i o n g o z i w a t a k a o simamia haki na uadilifu katika jamii kwa manufaa ya watu wote.

Katika hatua nyingine S h e i k h M w i n y i k a i , a l isema mabadi l iko ya msimu ya mwaka m p ya wa K i i s l a m u (1437-Hijiriya), ni vyema yakawekewa mipango kazi ya muda mrefu na mfupi, sambamba na kufanya tathmini ya mafanikio na mapungufu kisha kuchukua hatua stahiki.

Kama ni fujo italeta Serikali, askari “Kama kuna mtu ataanzisha fujo, basi ni askari wenyewe na serikali yenyewe y a C h a m a c h a Mapinduzi.”

“Mimi siamini kuwa n i watu wenyewe wataanzisha fujo.”

Amesema Prof. Boaz akisisitiza kuwa raia wa Tanzania ni watu wa amani na wasiopenda f u j o , n a k a m w e hawawezi kuanzisha fujo, na kwamba iwapo fujo zitatokea, basi wa kubebeshwa lawama ni mamlaka husika.

Serikali ya Tanzania imetakiwa kuhakikisha kuwa amani na usalama vinakuwepo wakati na baada ya kupiga kura katika uchaguzi mkuu utakaofanyika nchini Tanzania tarehe 25 mwezi huu.

Wito huo umetolewa n a M h a d h i r i w a Mawasiliano na Sera katika Chuo Kikuu cha Maryland nchini Marekani , Profesa Nicholas Boaz katika mahojiano maalum na Swahilivilla.

Akizungumza na

Na Mwandishi Wetu m w a n d i s h i w e t u nyumbani kwake , Profesa Boaz ambaye a m e r e j e a n c h i n i Marekani hivi karibuni baada ya ziara yake Tanzania , a l i sema kuwa nchini Tanzania kuna joto kali sana n a v u g u v u g u l a mabadiliko.

”Kuna joto kali sana la uchaguzi. Kwa kweli naona watu wengi wanaitikia wito wa kutaka mabadiliko”, alisistiza profesa Boaz.

Alisema kuwa hali duni za wananchi k a t i k a n y a n j a mbalimbali za maisha baada ya miaka mingi ya utawala wa Chama C h a M a p i n d u z i (CCM), na miaka kumi ya utawala wa Rais Jakaya Kikwete, ndiyo iliyopelekea mwamko wa vuguvugu la kutaka mabadiliko.

“Baada ya muda mrefu wa CCM kuwa madarakani, na miaka kumi ya Rais Kikwete, basi watu wamepata mwamko kuwa maisha na maendeleo yao yamekuwa duni.”

“ K w a h i v y o

wa n a t a k a wa p a t e m a b a d i l i k o y a k i u o n g o z i n a kimtazamo juu ya namna ya kuweza k u wa s a i d i a wa t u hasa katika maswala ya kazi, afya, mambo ya shule na mambo mengine mengi”.

Aliyataja mambo hayo mengine kuwa ni suala la uhuru wa watu kujieleza na kuuliza juu ya kitu ambacho kinawakera.

Akijibu swali iwapo kweli wananchi wa Tanzania wamepata m w a m k o w a m a b a d i l i k o a u wanaimba tu nyimbo za wanasiasa, Bwana Boaz alisema:

“ H u w e z i k u i n g i a a k i l i n i mwa watu kuwajua n i n i wa n a k i t a k a . Lakini ukiona watu w a n a k u s a n y i k a wakasema wanataka mabadiliko, kuna kitu gani cha kuuliza zaidi ya hicho?”

Alidadisi msomi huyo na kuongeza, “huu n i ushahid i kuwa watu wanataka mabadiliko ya kweli.”

A i d h a a l i s e m a kuwa, wimbi hilo la mabadiliko linatokana n a h a l i y a w a t u k u k a t a t a m a a n a ahadi zinazotolewa na viongozi wa CCM wakati wakitafuta ridhaa ya wananchi kuingia madarakani na badala yake hali za maisha kuendelea kuwa duni.

Al iutolea mfano u t a wa l a wa R a i s K i k w e t e a m b a y e aliingia madarakani akiwa na ari mpya, nguvu mpya na milo m i t a t u k wa s i k u , lakini baada ya miaka kumi ya utawala wake ukuwaji wa uchumi umebakia palepale.

“ K u n a t a k w i m u zinaonesha waziwazi, alipoingia Kikwete 2 0 0 5 k u c h u k u a madaraka aliukuta u c h u m i u k i wa n i asilimia 0.7, kwa miaka kumi, huo uchumi umebakia palepale, na watu hawapati h a t a n u s u m l o ” , a l i f a f a n u a m s o m i huyo na kusisitiza “Watu wameamka, hawadanganyiki tena na mambo ya zamani ya kubebwa tu na Chama. Watu sasa hivi wanaangalia jinsi ya kuboresha maisha yao na kulinda mustakbali wa watoto wao.”

M t a a l a m u h u y o aliendelea kufafanua kuwa kumekuweko na takwimu za kupotosha kuhusu ni chama gani kitashinda uchaguzi,

hata hivyo alisema:“Mimi nikiwa kama

Mhadhiri na mtaalamu w a M a w a s i l i a n o n a S e r a , h u w a nayaangalia mambo yanavyokwenda kwa kutumia njia inayoitwa O b s e r v a t i o n a l Research Method.”

Ali fafanua ibara hiyo ya kitaalamu kwa kusema, “Naangalia mikusanyiko ya watu anapokuwepo Lowassa n a a n a p o k u w e p o Magufuli. Kwa hiyo, unaweza kutazama kwa hiyo tu bila hata takwimu”.

K wa m u j i b u wa u t a a l a m u h u o , P r o f e s a B o a z anahisi kuwa upepo mwanana unapulizia upande wa vyama vinavyojumuika chini ya m wa m v u l i wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).

Pia alidokeza kuwa takwimu zenyewe zinabashiria ushindi kwa UKAWA.

“ K u n a t a k w i m u k u t o k a s e r i k a l i n i z i n a s e m a k u w a asilimia baina ya 60 hadi 74 ya wapigakura wote ni vijana wenye umri kati ya miaka 18 hadi 40. Na katika hao kuna uwezekano m k u b w a v i j a n a kuipigia kura UKAWA kuliko CCM”.

Alifafanua msomi huyo na kuongeza, “ k wa h i y o i k i wa mambo yatakwenda vizuri bila ubabaishaji,

Inaendelea Uk. 13

RAIS Kikwete akiwa na Marais wastaafu Mzee Mwinyi na Benjamin Mkapa.

ANNUUR REAL.indd 3 10/22/2015 1:26:00 PM

4 AN-NUURMUHARRAM 1437, IJUMAA OKTOBA 23-29, 2015

ZIKIWA imesalia siku moja kabla ya kufanyika kwa uchaguzi wa Rais, Wabunge, Wawakilishi, Masheha na Madiwani nchini, ni muhimu kwa kila mwananchi kujua jukumu lake katika kipindi hiki muhimu. Tunasisitiza kwa faida ya taifa letu, kwamba Watanzania wenye sifa ya kupiga kura na waliojiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura, kusitisha kwa dharura shughuli zao siku ya Jumapili ili kwenda kupiga kura kumchagua kiongozi w a n a y e o n a k u w a ataleta tija ya kimaisha katika Taifa letu.

M s i s i t i z o h u u n i k w a k u w a h i i n i haki ya kikatiba kwa Mtanzania aliyetimiza sifa husika, kumchagua kiongozi wake au hata kuchagul iwa kuwa kiongozi.

Wakati tukielekea kupiga kura, tunatakiwa kutambua kwamba nchi inapokuwa chini ya u t a wa l a m z u r i , kila mtu atafurahia bila kujali kuwa yeye ni tajiri au masikini, mkulima au mfanyakazi, m j a s i r i a m a l i mkereketwa wa chama nk.

Matunda ya utawala bora hayajali misingi ya dini wala kabila, wala rangi au kada, watu wote watakuwa sawa na wenye furaha ya uhuru!

L a k i n i n c h i i t a k a p o k u wa c h i n i ya utawala mbovu, unaoendekeza ubinafsi, u b a g u z i , u t a w a l a usiofuata na kuheshimu sheria zake yenyewe, u t a wa l a u s i o k u wa na mipango mizuri ya k i u t e n d a j i k wa m a s l a h i ya u m m a , wa t u wa k i e n d e l e a k u d h u l u m i w a n a uonewa na wachache wakifaidi kwa mgongo

wa umma, nchi hiyo itaendelea kuwa na watu masikini wanaoishi kwa matumaini tu.

Kwa maana hiyo, njia kuu ya kuhakikisha kuwa nchi inapata utawala bora ni kwa wananchi wake kushiriki k i k a m i l i f u k a t i k a uchaguzi kwa kupiga k u r a , k u m c h a g u a kiongozi ambaye wana matumaini naye. Kwa msingi huo, tunaona kuwa ni muhimu sana Jumapili hii wananchi wakatumia fursa iliyopo kuamua mustakabali wa maisha yao kwa miaka mitano ijayo.

Kwa sasa tuweke pembeni ushabiki wa kisiasa na kushangilia m b w e m b w e z a w a g o m b e a . Tu w e washangiliaji baada ya uchaguzi kwisha. Kwenye siasa hakuna ushindi mdogo, mshindi hupatikana hata kwa kura moja. Ni jukumu lako ndugu msomaji kushiriki kikamilifu kupiga kura Jumapili.

Wagombea wenye nia ya dhati ya kuwatumikia wananchi, waadilifu n a we n ye h o f u ya Mungu watachaguliwa k u t o k a n a n a k u r a halali za Watanzania walioamua kupiga kura.

W e n g i w a t a k a o j i t o k e z a kumchagua mgombea yeyote atakayepita, huyo ndiye atakayekuwa ni chaguo la Watanzania. Hatudhani kuwa kuna m a n t i k i k w a m t u ambaye hakupiga kura, baadae aje kulalama k u wa R a i s f u l a n i , Mbunge fulani au diwani fulani alikuwa hatufai, t a n g u a c h a g u l i w e hatujamuona jimboni.

B i l a s h a k a h i c h o kitakuwa ni sawa na kilio cha samaki, machozi kubebwa na maji! Ni muhimu basi kupiga kura ili tuwe na hakika

wa yule tunayempenda kuwa Mbunge, Rais au Diwani wetu.

Hivyo tunatoa wito k w a Wa t a n z a n i a , Jumapili jitokezeni kwa wingi wenu kwenda vituoni asubuhi na mapema, kupiga kura kwa kuamini kuwa kwa

njia hiyo, tunaweza k u l e t a m a b a d i l i k o chanya katika nchi yetu.

Kuchagua viongozi katika jamii yetu ya Kitanzania ni suala la kuamua mustakabali wa kuongozi wa Taifa letu.

T u n a m u o m b a M w e n y e z i M u n g u

baada ya kupiga kura, atupatie viongozi bora, watakaokuwa na utu na uchungu na hali za maisha ya Watanzania.

H a y a s h i m e Watanzania tuamke. Tukapige kura siku ya Jumapili ya Uchaguzi Mkuu.Kapigeni kura Jumapili

Tahariri

AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam

Ni wazi sasa Sheikh Ponda Issa, aliyeingia ‘mahabusu’ wakati wa Kikwete, atasalia kuwa mfungwa asiye hukumiwa hadi Rais huyo wa nne atakapomaliza muda wake.

Hiyo ni kutokana na kesi yake kuendelea kuwa tamthilia isiyojulikana mwisho wake, baada ya Mahakama ya Mjini Morogoro kuiahirisha tena hadi hapo Novemba 18, 2015.

Taarifa za kuahirishwa k w a h u k u m u h i y o zilitolewa Jumatatu wiki hii katika Mahakama hiyo na kuuacha umma wa Kiislamu ukipigwa na butwaa na kuilinganisha kesi hiyo na tamthilia maarufu ya ‘Isidingo’ y e n y e m u e n d e l e z o us io jul ikana mwisho wake.

Kwa mujibu wa Hakimu Mfawidhi wa Mahakama hiyo Marry Moyo, alieleza M a h a k a m a n i h a p o kuwa shauri hilo namba 128/2013 la Sheikh Ponda Issa Ponda na Jamhuri ya Muungano, imeahirishwa hadi Novemba 18, 2015.

Na kwamba mtuhumiwa (Sheikh Ponda) ataendelea kubaki mahabusu.

Akitoa ufafanuzi juu ya kuahi r i shwa kwa hukumu ya Sheikh Ponda, iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu na Waislamu, Hakimu Moyo, alisema hatua hiyo imetokana na kushindwa kukamilisha kuiandika hukumu hiyo kutokana na afya yake kutokuwa sawa sawa.

Sheikh Ponda kusota hadi Kikwete ang’okeNa Mwandishi Wetu,

MorogoroHukumu hiyo inafuatia

kukamilika kwa mashahidi wa pande zote kutoa ushahidi wao baada ya Mahakama kuona Sheikh Ponda ana kesi ya kujibu.

Hata hivyo, pamoja na Mahakama kupokea ushahidi wa mashahidi wa upande wa mashitaka n a u l e w a u t e t e z i , hukumu hiyo imeshindwa kutolewa kwa wakati kama ilivyotarajiwa.

Akizungumza baada kuahirishwa kwa kesi hiyo, msemaji wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Rajab Mussa Katimba, amesema Waislamu wanasikitika kuahirishwa shauri hilo kwa sababu zisizo na msingi.

Katimba al iyekuwa a k i z u n g u mz a n a An nuur, nje ya viwanja vya Mahakama hiyo, alisema hatua hiyo ni mwendelezo wa vyombo vya maamuzi vya Serikali kushindwa kusimamia haki, haswa l inapokuwa ni suala linalowahusu Waislamu nchini.

Alisema, pamoja na kesi hiyo kuchukua muda mrefu huku Sheikh Ponda akiwa ndani, haoni sababu za msingi kwa kushindwa kutolewa hukumu yake ambayo kesi ya msingi ishakamilika kwa mujibu wa sheria.

Katimba alisema ni hamu ya Waislamu na wapenda amani kujua nini maamuzi ya Mahakama, iwe ni kuachiwa huru au kuhukumiwa kisha (Wais lamu) wajue la kufanya kuliko kuliweka shauri hilo katika sura ilivyo sasa.

Amesema, tokea Agosti

19, 2013, alipofunguliwa k e s i , S h e i k h P o n d a , ambaye ni Katibu wa Jumuiya na Taasisi za K i i s l a m u Ta n z a n i a , hajawahi kupata dhamana licha ya kukamatwa kisha kusomewa mashitaka akiwa na jeraha la risasi, kutokana na Serikal i kufungia dhamana yake.

N a e A m i r J u m a Ramadhan, ambaye ni Imamu wa Masjid Taqwa, Mwananyamala, Jijini Dar es Salaam, akizungumzia hali hiyo, alisema hatua hiyo inaongeza hasira kwa umma wa Kiislamu wakiamini kuwa kadhia y a S h e i k h P o n d a , haiendeshwi kwa misingi ya sheria na haki.

“Kwa kweli ni jambo a m b a l o l i n a o n g e z a hasira kwa Waislamu na kuona namna dhulma inavyoendelea dhidi ya Masheikh wao.” Alisema Imamu Ramadhani.

Pamoja na hali hiyo, I m a m R a m a d h a n i , akawanasihi Waislamu nchini kuwa na subra na kukataa kuchokozeka hususani katika kipindi hiki cha kuelekea katika uchaguzi Mkuu, badala yake hasira zao wazielekeze katika sanduku la kura.

A i d h a , u m a t i w a Waislamu waliohudhuria M a h a k a m a n i h a p o , wakiwa na matumaini na Mahakama hiyo kuamua mustakabali wa kiongozi wao, siku hiyo (Jumatatu) wamesema hawana la kufanya zaidi ya kuelekeza hasira zao Oktaba 25, 2015, kwa ajili ya kufanya maamuzi ya kuchagua viongozi ambao wanahisi wataiongoza nchi kwa kufuata misingi ya haki na sheria.

ANNUUR REAL.indd 4 10/22/2015 1:26:01 PM

5 AN-NUURMUHARRAM 1437, IJUMAA OKTOBA 23-29, 2015

Habari

S a s a n i wa z i k u wa hatma ya kesi na hali za Masheikh wa Uamsho na ile ya Sheikh Ponda Issa Ponda, haitajulikana mpaka ije serikali mpya na Rais mpya.

Hata hivyo, bado si jambo la kutabirika iwapo m a j a a l i wa ya o b a d o yatakuwa mikononi mwa mazingira yaliyotawaliwa na sera na Ilani ya CCM au mabadiliko yatakuwa yameingia.

Hilo litaamuliwa na wapiga kura s iku ya Jumapili kesho kutwa, Oktoba 25, 2015 sawa na Muharram 11, 1437H mwaka wa Kiislamu.

Kutokana na kesi za M a s h e i k h h a o k u wa za muda mrefu bila ya kujulikana hatma yao lini, zimekuwa zikifananishwa na tamthilia maarufu ya Afrika Kusini ‘The Isidingo’ ambayo, si rahisi kwa sasa kujua ilikoanzia wala itakapomalizikia.

Kufuatia kupuunzwa kilio cha muda mrefu cha Waislamu kutaka Masheikh hao watendewe haki kwa mujibu wa Katiba na Sheria za nchi, leo Ijumaa itafanyika Dua kumlilia na kumshitakia Mwenyezi Mungu Mtenza nguvu, halikadhalika kuomba amani itawale katika kipindi hiki cha uchaguzi.

Akitoa taarifa hiyo, A m i r i wa S h u r a ya Maimamu Sheikh Mussa Kundecha amesema kuwa pamoja na kuiombea nchi amani, waumini watatumia fursa hiyo kumwomba Mwenyezi Mungu ajalie wapatikane v i o n g o z i w e m a n a waadilifu.

S h e i k h K u n d e c h a a m e s e m a k u wa d u a hiyo maalum itafanyika mara baada ya swala ya Ijumaa katika msikiri wa Mtambani, Kinondoni, jijini Dar es Salaam.

D u a k a m a h i y o itafanyika pia Zanzibar k a t i k a v i wa n j a v ya Lumumba ambapo swala ya Alasiri itaswaliwa hapo hapo uwanjani.

Taairifa ya Jumuiya ya Maimamu Zanzibar imesema kuwa, uzoefu unaonyesha kuwa kipindi cha uchaguzi hufanyika vitendo vya uvunjifu wa amani na kwa hiyo wa m e o n a n i v y e m a kuleta dua kumwomba M w e n y e z i M u n g u aepushie kwa mbali balaa la vurugu.

‘Isidingo’ ya Ponda, UamshoNa Mwandishi Wetu

Akitoa taarifa hiyo K a t i b u wa J U M A Z A Sheikh Muhidini Zuberi amesema kuwa JUMAZA haifungamani na chama chochote cha siasa na ala dua hiyo haikushawishiwa na kiongozi yeyote wa kisiasa, hivyo akawataka Waislamu wote kuhudhiria bila kujali vyama vyao.

Akisisitiza umuhimu wa dua hiyo, Sheikh Muhidini amesema kuwa baadhi ya wanasiasa wamekuwa wakitoa matamshi ambayo kwa hakika yanaashiria shari tupu.

Kwa upande wa Pemba dua zitafanyika katika maeneo mbalimbali huku wananchi wakihimizwa kufunga, hasa ikizingatiwa kwamba huu ni Muharram.

Ikasisitizwa kuwa kwa watakaoweza wafunge Alhamisi (jana) mpaka Jumapili, ikiwa ndani yake watapata Sunna ya Ashura na waikusudie kama ‘maombi maalum’ na kafara la kuondoa balaa (kupata kiongozi mbaya), bali wapate kiongozi m w e m a a t a k a y e j a l i mas i lah i ya nch i na wananchi.

Wa k a t i h u o h u o , wananchi wa Zanzibar wamekuwa wakilalamikia hali waliyoita ya utovu wa adabu na ‘kumwaga radhi’ hadharani unaofanywa na baadhi ya wafuasi na mashabiki wa Chama Cha Mapinduzi, CCM.

“ H i v i h a w a j a p a t a ushindi hali ipo hivi, kama watashinda balaa lake litakuwaje?”

Anahoji mama mmoja akielezea picha za hovyo z inazorushwa kat ika mitandao ya kijamii na katika simu zikionyesha mashabiki hao wa CCM wanavyomwaga radhi hadharani.

Baadhi ya picha hizo z i l i z o p i g w a w a k a t i mgombea urais wa CCM John Pombe Magufuli alipofanya mkutano Mnazi Mmoja wiki iliyopita, wanaonekana wanawake

wakipandisha juu gauni zao na kuinama huku wakiacha ‘tupu’ zao wazi zikisitiriwa tu na nguo ya ndani.

“Huku ni kuitafutia nchi laana, kwani kuonyesha mapenzi na CCM ndio k u f a n ya l a a n a h i z i ? Hawa ni wake za watu au wameokotwa kutoka wapi? Wana akili zao timamu au wanapewa ulevi kwanza ndio watoke kweda katika mikutano?”

Alihoji mama huyo akiongea na wenzake wakiwa wanaonyeshana picha hizo.

N i k u t o k a n a n a kusambaa kwa picha h i z o c h a f u , a m b a z o hazikutarajiwa kupigwa n a w a n a w a k e w a Kizanzibari, baadhi ya Masheikh wamewaomba v i o n g o z i w a C C M , Zanzibar, kuzuiya vitendo hivyo vya laana maana likija balaa kutokana na uovu huo, hautawasibu watenda uovu huo pekee au CCM, bali litawakumba Wazanzibari wote.

WAISLAMU wametakiwa kujenga utara t ibu wa kumiliki ardhi ya kutosha kwa ajili ya matumizi m b a l i m b a l i i k i w e m o kujiendeleza kiuchumi na kielimu ili kuepukana na dhana ya utegemezi.

Wito huo umetolewa mwishoni mwa wiki iliyopita na Msitahiki Meya wa Mji wa Morogoro Amiri Nondo, katika semina ya ukumbusho wa kutoa Zakka na Umuhimu wake, i l iyoandaliwa na Taasisi ya ‘Ukumbusho wa Zakka’ (TAUZAMO), iliyopo Mjini Morogoro.

Nondo amesema, ni vyema Waislamu kuiunga mkono Taasisi hiyo na kutafakari wapi Zakka hiyo itapatikana pamoja na kuhifadhiwa ikizingatiwa kuwa taasisi hiyo bado ni changa.

Akitoa Elimu ya Zakka, maana, faida na hasara zake kwa asiyetoa, Sheikh Abdallah Mkang’ambe, amesema ni wajibu, faradhi na muhimu kutoa Zakka, kwani ni amri ya Mola wao na njia ya kuinua Uchumi na kuwezesha ustawi wa jamii.

S h e i k h M k a n g ’a m b e akasema kuwa umaskini uliopo kwenye jamii ya Waislamu unatokana na kuacha kuitekeleza kwa vitendo nguzo hiyo.

“ U i s l a m u u m e k u wa dhalili kutokana na umma kusahau kuitekeleza nguzo hii ya Zakka, baadhi ya watu wanajiona hawahusiki na nguzo hii wakiwemo w a k u l i m a . ” A l i s e m a Mkang’ambe.

Aidha, katika semina hiyo iliyoandaliwa na Taasisi mpya ya Ukumbusho wa Zakka mkoani hapa (TAUZAMO), sheikh huyo alitaja baadhi ya faida za Zakka kuwa ni pamoja na kukuza na kutia Baraka mali ya mtoaji.

“Kwa mujibu wa Qur’an tukufu, Zaka ikitolewa ki ikhilaswi, mali ya mtoaji hupata ulinzi wa Mwenyezi

Toeni ZakkahNa Mwandishi Wetu,

MorogoroMungu pamoja na kuwa na Baraka.” Aliongeza.

Naye Katibu Mkuu wa TAUZAMO, Ustaadh Kombo Hussein Nkumilwa, licha ya kubainisha malengo ya Taasisi hiyo ikiwa ni pamoja

na kuizindua jamii juu ya utekelezaji wa nguzo hiyo ya tatu, amesema Taasisi yake ina lengo la kuitumia nguzo ya Zakka ili kuunganisha Waislamu kuwa kitu kimoja.

Nashika kalamu yangu, naingia uwanjani, Kuwaeleza wenzangu, yalonisibu moyoni, Tasaidiwa na Mungu, kuwaeleza mwandani, Oktoba ishin na tano, shime kura tupigeni.

Wananchi amkeni, Oktoba imefika, Na tujihakikisheni, tusijengia mashaka, Kura nayo tupigeni, tusije kufedheheka, Oktoba ishin na tano, shime kura tupigeni.

Mwaka huu kwa hakika, dhulma tuondoeni, Wasije wakamuweka, yule tusombaini, Tusije kuhangaika, kutwa kucha majiani, Oktoba ishi na tano, shime kura tupigeni.

Misuli na suruali, hivyo vya muda sikia, Tutajakukosa wali, na mchuzi wa bamia, Kwa kumkosa jabali, tulokwisha dhamiria, Oktoba ishin na tano, shime kura tupigeni.

Lazima muwe makini, siku ya kura tambuwa, Msiingie mitini, kura zikaja -ibiwa, Mubaki hadi jioni, mshindi kumtambuwa, Oktoba ishin na tano, shime kura tupigeni.

Chama nitachochagua, lazima kiwe cha haki, Kisije kuwaumbua, mkaja kutaharuki, Na wengine kuugua, hali ugumu ikibaki, Oktoba ishin na tano, shime kura tupigeni.

Chama kisicho na dira, wala mwema usukani, Hicho hakina busara, tatutia mashakani, Tutaja kula hasara, tutapofika mwakani, Oktoba ishin na tano, shime kura tupigeni.

Nani wa kumchagua, bila shaka tamuona, Ni wewe unomjua, hakika yuko bayana, Haki ataitetea, bila ya kubaguana, Oktoba ishin na tano,shime kura tupigeni.

Nimesema kwa mapana, hapa ninaishilia, Ninamuomba rabana, mwanga kutuangazia, Nawakumbusha vijana, haki yenu kutumia, Oktoba ishin na tano, shime kura tupigeni.

Ummul Jamilah,

Uchaguzi ukingoniSHEIKH Ponda Issa Ponda

ANNUUR REAL.indd 5 10/22/2015 1:26:02 PM

6 AN-NUURMUHARRAM 1437, IJUMAA OKTOBA 23-29, 2015

Ni katika muendelezo wa makala zetu kuhusiana na suala zito kabisa l a u c h a g u z i z i k i wa zimesalia siku mbili tu. Makala yangu ya leo inaweza kuwa ndio risala ya mwisho kwa Wa i s l a m u Ta n z a n i a k u h u s u u c h a g u z i mkuu wa mwaka huu unaotazamiwa kufanyika hapo Oktoba 25, 2015. Hii ndiyo siku ambayo ‘mwenye nacho atapata kingi zaidi na asiyekuwa nacho atakosa kabisaaa’. Ukweli ndio huo. Baada ya tarehe 25 Oktoba, 2015 hatutashughulishwa na habari ya mafuriko ya Lowassa wala Magufuli vyovyote itakavyokuwa.

Katika moja ya makala tulizokwishazisoma, ni ile ya kura yangu nimpe nani! Nilitamani sana kurudia maudhui hii baada ya safari ndefu ambayo imeweza kuibua mazito tusiyotaraji kuyasikia. Lakini pia makala ya marufuku mkorogo kwa wagombea nayo ingefaa iwe na sehemu ya kwanza na ya pili. Katika makala nyingi zinazohusiana na uchaguzi, tumeona ni kwa jinsi gani wagombea wanavyotumia uwongo kama daraja la kufikia azma zao zilizojificha.

Mchakato wa uchaguzi wa mwaka huu umekuwa na hamasa na mwitikio w a k i p e k e e k a b i s a kuwahi kutokea katika historia ya Tanzania. Wananchi ama raia wengi wa Tanzania wanataka mabadiliko kutokana na kuchoshwa na mfumo wa chama k i l i chopo m a d a r a k a n i , C C M . Hata hivyo, kiuhalisia wenye kuyahitaji zaidi n i Wa i s l a m u k u l i k o makundi jamii mengine yote yanayojinadi kutaka mabadiliko. Kwa upande wa Waislamu, shauku hii ya kupatikana mabadiliko ni kubwa na inapewa msukumo na madhila wanayopata ndugu zetu waliopo magerezani. Na kwa kuwa, katika vinara wanaowania Uraisi, wapo walioahidi kutatua kero hizi zinazowasumbua na kuwakera Waislamu, basi ndio imekuwa chachu ya kuyatamani mabadiliko haya yatokee kwa kiasi cha kufumba na kufumbua. Na mimi ni katika watu walioshawishika pamoja na kujua uwongo wa hawa watu.

A i d h a , k w a w a l e wasomaji wa gazeti la

Kura yako haileti Fat’hi Makkah lakini muhimuNa Juma Jumanne

an-nuur toleo nambari 1198 la Oktoba 9-15, 2015 ndani ya ukurasa wa 9, bila shaka wamekutana na makala yenye anuani: “ Dr. Shein afichua siri yake na Maalim Ikulu”. Mwanzo k a b i s a m wa m a k a l a hiyo, yal isomeka pia maneno yafuatayo; ‘Kile kitendawili ni kwanini Maalim Seif Shariff Hamad alipiga kimya bila kugusia suala la masheikh wa Uamsho, sasa kimeteguka’. Kimetegukaje? Anaendelea k u s e m a m w a n d i s h i k w a m b a , M a a l i m naye anahusika katika kukamatwa masheikh hawa, kuletwa bara na kuendelea kushikiliwa rumande bila ya dhamana huku malalamiko ya masheikh hao kudai wal i fanyiwa v i tendo vibaya yakiangukia sikio la uziwi. Unashangaa nini? Wewe si ulisoma makala hii, mbona unaonekana kushtuka, habari ndiyo hiyo!???

Nani mkweli? Dr. Magufuli au Dr. Shein?

Kosa wanalodaiwa kufanya masheikh hawa kwa mujibu wa Dr. Shein ni kufanya vurugu, tofauti na madai ya Magufuli kwamba hawa masheikh ni magaidi! Katika moja ya kampeni zake, Dr. John Magufuli alishajiisha k w a m b a n i k w e l i masheikh hawa ni magaidi na hivyo wanastahiki kubaki huko waliko. Leo anaibuka Dr. Shein na ‘kumwaga radhi’, kwamba Masheikh zetu sio magaidi b a l i ‘ v u r u g u ’ n d i z o zilizowaponza. Kwa kuwa tunatofautiana uelewa kama nil ivyotangulia kusema, hata vipimo vya kupimia mambo mbali

mbali pia vinatofautiana. Jambo linaweza likawa na sura mbili kwa sababu ya vipimo vilivyotumika kupimia kutokuwa na mahusiano. Mimi nasema najenga, lakini anakuja m t u n a k u n i a m b i a mbona unabomoa? Na anayebomoa, anajinadi kwamba anajenga. Kabla hatujaendelea mbele, mnasemaje kuhusu watu hawa wawili, nani mkweli? Jibu unalo mwenyewe.

Ikiwa huu ndio ukweli wa mambo, leo mtaniambiaje na siasa hizi za kwetu za kudanganywa kila wakati? Kwa kipimo tu cha kawaida, hamuoni kama ugali una mafungamano m a k u b w a m n o n a siasa? Hamuoni kama wanasiasa wetu wanasema wasiyoyatenda? Lakini pengine nirudie swali moja nililowahi kuuliza kwenye moja ya makala yangu, kwamba kura yangu nimpe nani? Kura yangu nimpe nani ambaye atanihakikishia usalama wa dini yangu, wazazi wangu, masheikh zangu na ndugu zangu waislam? Mwisho kabisa, najiuliza mwenyewe kwamba inafaa kweli kuuliza maswali haya ama kumlaumu mtu (kiongozi wa siasa)? Alhamdulillah jibu ninalo mwenyewe! Inafaa kuuliza maswali haya pamoja na kulaumu ikiwa mimi na wewe tumefanya moja….m b i l i … . t a t u k a t i k a kumuandaa huyu mtu n a k u m f i k i s h a h a p o alipo. Ikiwa amejipeleka mwenyewe, tusitegemee chochote kutoka kwake. Amechagua siasa kama ajira yake ili ajihakikishie k u w a t u m b o l a k e

halipungukiwi shibe. Tunayempigia kampeni

kumbe naye anahusika, l a k i n i l e o a n a d a i atatusaidia! Kwa kuwa tunataka mabadil iko, ningepennda Maalim akanushe au athibitishe madai haya. Na kama kweli anahusika atangaze wazi kwamba hatarudia, ‘alitenzwa tu nguvu’.

Hivi kama kweli Maalim anahusika katika hili, ni kweli anapata usingizi vizuri kabisa nyumbani kwake? Anakula chakula, anakunywa, na mambo mengine yote kwa amani kabisa? Mwandishi mmoja wa kitabu kinachoitwa; “ V O Y A G E F R O M DARKNESS TO LIGHT”, anasema anashangazwa na watu wanaokwenda Misri kuona mwili wa Firauni na kuishia tu kufurahia kuona watu wa ‘karne zote’, wanaishia t u k u p i g wa b u t wa a bila kupata mazingatio aliyokusudia Allaah (swt). Nakushauri Maalim Seif ufunge safari ukaone mwili wa Firauni lakini usiishie kushangaa na kufurahia tu. Mazingatio ndio muhimu. Unawezaje k u k a a k i m y a m u d a wote huu hali ya kuwa ndugu zako wanateseka? Unatoa wapi ujasiri wa kutudanganya wakati na wewe umeshiriki dhulma hii kubwa? Undugu wetu wa Kiislamu uko wapi? Undugu wa Kiislamu midomoni…!

Naye Dr. Shein anaona amefanya uungwana kwa kumwaga mboga, baada ya mwenzake kumwaga ugal i? Ki l ichomtuma kutamka maneno haya ni huruma au ‘jeuri ya

watafanya nini?’ Suala hapa sio kuwa waliamua pamoja na Maalim. Hoja ni je, waliloamua ni sahihi? Ni haki? Ni katika sheria na utawala bora? Ni dhulma au sio dhulma? Masheikh walioko Segerea, wanaadhibiwa kwa kosa gani? Hili ndio suala. ‘Sio sikuamua mwenyewe, tulikaa na Maalim’!

K w a k u m a l i z i a niseme kwamba, hebu turejee maisha ya Mtume M u h a m m a d ( s a w ) tangu kupewa utume mpaka kufikia kilele cha mafanikio. Kushushwa suratul Kafiruun kuna mazingatio makubwa sana tunaweza kupata lakini kwa uchaguzi wa mwaka huu niseme tu kwamba tumechelewa. K u b w a t u k a e c h i n i tufikirie namna nzuri ya kuishi katika mazingira yaliyojaa shubuha kila kona. Tusifikiri nusra yetu itapatikana kwa njia ya ‘siasa’, wala kushinda k wa c h a m a k i n g i n e msifananishe na Fat’h Makkah! Hii siyo njia aliyotumia Mtume (saw). Njia ya kunengua, kukata viuno, muziki, push ups, mwenye mbuzi mmoja atakuwa na kumi!! Ni muhali dua kukubaliwa kwa mazingira kama haya.

T u k a p i g e k u r a tukitambua kuwa hata kama yatakuja mabadiliko ya n a y o l i l i wa , k we t u haitakuwa Fat’hi Makkah. Bado tuna safari ndefu. Lakini safari ni hatua pia. Huenda kura yetu ikaleta wepesi katika safari yetu au ikaifanya kuwa ngumu zaidi.

Wabillah Tawfiiq!!Juma Jumanne.

WAGOMBEA Urais wa CCM , Dkt. John Magufuli (Jamhuri) kushoto na Dkt. Ali Mohamed Shein (Zanzibar)

Makala

ANNUUR REAL.indd 6 10/22/2015 1:26:03 PM

7 AN-NUURMUHARRAM 1437, IJUMAA OKTOBA 23-29, 2015

J U M A P I L I h i i ya Oktoba 25, 2015, ni siku ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania ambapo Watanzania wanapiga kura kumchagua Rais wa awamu ya tano wa serikali ya Jamhuri ya M u u n g a n o wa Tanzania, Wabunge na Madiwani. Kule Z a n z i b a r n a k o wanamchagua Rais wa Serikali ya Zanzibar, W a w a k i l i s h i n a Masheha. Katika sura ya Muungano, huu ni uchaguzi mkuu wa tano, tangu kurejeshwa mfumo wa vyama vingi vya siasa nchini mwaka 1992.

K w a k a w a i d a Uchaguzi Mkuu nchini hufanyika kila baada ya kipindi cha miaka mitano kwa mujibu wa sheria, chini ya Ibara namba 65 (1) na 65(2) za Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977.

Kazi ya kiongozi wa nchi wanayemhitaji Watanzania wa leo, ni kubuni na kusimamia shughuli za serikali kwa lengo la kuboresha maisha ya wananchi. Kujenga mazingira ambayo yatawawezesha Watanzania kupata mafaniko ya kiuchumi na kuhakikisha amani na usalama wa raia na nchi yao kwa ujumla.

Na kazi ya Watanzania ni kumpigia kura yule wanayedhani kwamba anaweza akat imiza lengo lao hilo.

K w a u j u m l a W a t a n z a n i a w a n a s h a u k u y a k u m p a t a k i o n g o z i atakayewahakikishia ustawi wa maisha yao na nchi yao. Hii ndio sababu ya kuwa na Ilani ya uchaguzi.

W a t a n z a n i a w a n a i n g i a k a t i k a Uchaguzi Mkuu Oktoba

Nasaha kuelekea Uchaguzi Mkuu JumapiliNa Shaban Rajab

25, huku kukiwa na mvutano mkubwa kati ya wagombea wawili walio mstari wa mbele kuwania Urais. Wakati John Pombe Magufuli anate tea rekodi ya zaidi ya miaka 50 na sera za chama tawala, Chama cha Mapinduzi (CCM), mpinzani wake mkubwa ambaye ni mshika bendera wa chama cha upinzani cha CHADEMA chini ya mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi ( U K AWA) , E d wa r d N g o y a i L o w a s s a , anasisitiza kuwa huu ni wakati wa mabadiliko na kuwekwa mtazamo mpya kwa taifa.

M u o n e k a n o w a wagombea hao ambao ndio wenye ushindani mkubwa, ndio jambo kubwa linaloleta tofauti katika uchaguzi wa mwaka huu. Lowassa, a m b a y e a l i a n z a kuwavutia watu wengi kwa nafasi ya Urais kabla ya kufarakana na CCM, ameendelea kufanya hivyo hata baada ya kujiunga na CHADEMA ndani ya UKAWA.

Kimtazamo, wengi bado wanaonekana kumkubali kwamba ndiye mtu awezaye k u l e t a m a b a d i l i k o yanayotakiwa nchini kutokana na tabia yake

ya kuwa na misimamo isiyotetereka na kufanya maamuzi anayoamini ndio sahihi bila woga.

Kwa upande wake, Maguful i amekuwa anajulikana kupitia vyombo vya habari kama mtendaji mzuri wa s e r i k a l i a k i wa Waziri katika Wizara mbalimbali alizowahi kuziongoza.

Pamoja na kwamba kuna vyama vingine a m b a v y o n a v y o v i m e s i m a m i s h a w a g o m b e a k a t i k a kinyang'anyiro cha urais, wabunge na Madiwani, ambao wanaendelea kupaza sauti zao kupiga kampeni kuzungumzia mambo yanayowagusa wananchi na kueleza n i n i wa n g e l i f a n ya wakipewa ridhaa, lakini vinaonekana kukabiliwa na kazi ngumu mno katika kupata idadi kubwa ya wafuasi kama ilivyo kwa CCM na CHADEMA.

K w a u j u m l a , Tanzania inakabiliwa na changamoto nyingi na kuzitaja zote katika m u d a m f u p i w a kampeni za uchaguzi ni jambo lisilowezekana. Lakini n i jambo la faraja kuwa wagombea wote wanaonekana kuwa makini kuhusu mateso na matarajio ya

wananchi.Hata hivyo, kuna

mashaka ya wapiga kura juu ya ahadi za kampeni k w a m b a h u e n d a zisitimizwe. Awamu zilizopita za utawala wa nchi zinakumbukwa kwa ahadi ambazo hazikutekelezwa na kwa hawaida, visingizio na sababu hazikosekani.

Wananchi ni vema tukaanza sasa kujiuliza kabla ya kupiga kura kesho kutwa kama w a n a y e m c h a g u a atawavusha kutoka hapo walipo na kuwaingiza katika nafuu yoyote au ni yale yale ya ahadi hewa.

M a a n a n i k w a k u f a n ya h i v y o t u , ndipo watakapo kuwa na uwezo wa kufanya u a m u z i s a h i h i wa kukipa kura zao wakati wa uchaguzi.

Ili wananchi waweze kuwa na fikra huru wakati wa kupiga kura zao, basi wasiruhusu k u f u a t a m a o n i a u ushawishi wa baadhi ya vyombo vya habari, wahafidhina wa vyama vya siasa, makundi mengine kama taasisi za kidini zinazofungamana na itikadi za vyama au serikali, ambayo mara n y i n g i y a m e k u w a y a k i t u m i k a i l i kuwashawishi wananchi kwa malengo ya kisiasa.

Jambo la msingi na lenye mant ik i kwa Watanzania, wakienda kupiga kura, wafikiri kwa makini kuhusu matatizo ya msingi yanayowakabili kama vile, ukosefu wa ajira na mazingira ya kujiajiri, u g u m u wa k u p a t a huduma za msingi na za lazima kama matibabu, kusomesha watoto , maji, miundo mbinu, nishati nk. na watizame kama wanayemtarajia k u m c h a g u a a n a mkakati wowote wa

kushughulikia matatizo hayo, ukiachilia mbali kuyaondoa kabisa.

Wananchi wakat i w a n a e l e k e a v i t u o v y a k u p i g a k u r a wanapaswa kuelewa kwamba, jukumu la kwanza kabisa la serikali yoyote ulimwenguni ni kushughulikia mambo tuliyotaja hapo awali kama inavyofafanua Ibara ya 8 (1)(b) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambayo inaelekeza wazi kwamba, "Lengo kuu la serikali litakuwa ni ustawi wa wananchi."

K a t i k a u c h a g u z i huu ndio tamati ya Wananchi kulalamika, bali ni muda wa kufanya m a a m u z i a m b a y o tunadhani yataondoa y a l e w a l i y o k u w a w a k i y a l a l a m i k i a . U c h a g u z i n d i o ushahidi wa kweli wa kuonyesha kwamba, madaraka ya kutawala kisiasa yanapatikana kutoka kwa wananchi na kwamba, viongozi w a n a o c h a g u l i w a , hupewa dhamana tu na wanapaswa kusimama na kuendesha mambo kwa mujibu wa matakwa ya wananchi.

U c h a g u z i n d i o n y e n z o p e k e e y a u m m a k u w a p i m i a viongozi waliopewa dhamana hapo kabla na kuwahukumu. Viongozi wa kuchaguliwa ni l a z i m a wa wa j i b i k e k w a w a n a n c h i , wakiwa wamefaulu n i m w a n a n c h i w a k u w a r u d i s h a madarakani. Wakiwa wa m e m a l i z a m u d a b i l a y a k u f a n y a h i v y o , w a n a n c h i w a s i w a r u d i s h w e madarakani.

Tufahamu tu kwamba uchaguzi wa safari hii unadhihirisha faida ya kuwa na vyama vingi vya siasa. Hali hii imewapa wananchi nafasi kubwa ya kuchagua. Lakini hiyo inahitaji pia kuwa makini zaidi.

MAKALA

MGOMBEA Urais - ACT Maendeleo, Mhe. Anna Mghwira.

M G O M B E A U r a i s - CHAUMMA, Mhe . Hashim Rungwe.

ANNUUR REAL.indd 7 10/22/2015 1:26:05 PM

8 AN-NUURMUHARRAM 1437, IJUMAA OKTOBA 23-29, 2015

Shura ya Maimamu, inawatangazia Waislamu wote kuhudhuria DUA, maalum ya kuuombea UCHAGUZI uwe wa amani na kuomba pia Mwenyezi Mungu ajaalie wapatikane viongozi wema na waadilifu.Dua itafanyika mara baada ya Swala ya Ijumaa (23/10/ 2015/ 9 Muharram 1437) katika Msikiti wa Mtambani, Kinondoni Jijini Dar es Salaam.

Dua, itaongozwa na Masheikh kutoka Taasisi mbalimbali za Kiislamu pamoja na Mahujaji.

Kny Amir wa Shura ya Maimam.Alhaj Shkh Mussa Kundecha.

SHURA YA MAIMAMU (T)

DUA! DUA! DUA!

Mwanamke daima ni lengo la mwanamume tangu alipoumbwa, naye ni binadamu mnyonge kimwili kwa sababu ya kubeba mimba na kuzaa na kunyonyesha. Kwa sehemu kubwa ndiye anayebeba majukumu ya ulezi wa watoto na familia kwa ujumla.

Mwanamke kabla ya zama hizi, alikuwa anakabiliwa na hali mbili tu katika jamii, ima awe ni kwa ajili ya kubeba m i m b a a u a n a l e t a watoto wachanga na kunyonyesha.

Mwanamke alikuwa, na bado katika baadhi ya jamiii anaendelea kuwa ni lengo la mwanamume kwa ajili ya haja za kimwili au ni kama chombo cha starehe kinachowindwa tu.

K w a u p a n d e mwingine unakuta mwanamke ni mtu wa kulaumiwa tu, hata kama kosa ni la mwanamume. Mwanamke amekuwa kiumbe anayeadhirika na matendo ya kutekwa au kubakwa. Hapo utakuta ni kwa sababu yeye amekaa katika hali ya kutamaniwa.

Hata anapoachwa, bado wa kulaumiwa anakuwa ni mwanamke kwa sehemu kubwa na hufanyiwa matendo ya kunyanyaswa, hasa katika jamii zisizosoma.

Wakat i mwingine hata vitabu na visa vitukufu, hutumika kumlaumu mwanamke na kumdhalilisha jinsia yake, kuwa yeye ndiye

Nafasi ya mwanamke katika kupiga vita ugaidi

Na: Sheikh Sayid Awadh Abdul-adhim

aliyempoteza baba yetu Adam hadi akala tunda la mti uliokatazwa na kwa sababu hiyo, ndio maana akafukuzwa peponi.

P i a M w a n a m k e amekuwa akielezwa kuwa yeye ni mpungufu wa akili na dini na ameruhusiwa mume kumpiga mkewe kwa kumfunza adabu, na wa p o wa n a o t u m i a nafasi hiyo, kigezo kuwa yeye ameelezwa kuwa ni miongoni mwa walio wengi motoni.

Baadhi ya dini na makabila humlazimisha mwanamke kurithiwa na mtu mwingine pale anapofiwa na mumewe.

Tunafahamu kwamba mwanamke katika visa vya Firauni, alikuwa aki j i to lea muhanga katika mto Nile siku ya sherehe na kwanini anazushiwa haya yote mwanamke kwa upande wa mwanamume?

N i n a a m i n i k u wa m a m b o h a ya ya n a s a b a b u k u u m b i l i , kwamba mwanamume t a n g u h i s t o r i a y a kale ni mtu mwenye nguvu ya mwili kuliko mwanamke, naye ni mrefu zaidi na viungo v ya k e n i v i k u b wa zaidi na mwanamke ni mnyonge vile vile kama tulivyosema hii ni kutokana na kubeba mimba na kuzaa. Pia kuna sababu nyingine y a k i n a f s i k w a mwanamke, nayo ni kwamba mwanamke ni alama ya kizazi na uzaaji, naye ni alama ya mapenzi na huruma, ama mwanamume yeye wakati mwingi huwa ni mkamilishaji tu wa idadi kwa upande wa wanawake.

Tangu mwanamke alipoanza kuchukua fungu lake la kielimu na kupata haki zake na kuanza kuingia katika soko la kufanya kazi kwa nguvu zote, sasa nafasi yake muhimu imeanza kuthaminiwa hasa nafasi yake katika kulea watoto katika

jamii, jambo ambalo ni jukumu kubwa katika kuifanikisha familia au kuipoteza.

Mwanamke mwenye el imu na mama wa familia, kwa sehemu kubwa yeye ndio alama ya mapenzi na upole. Wa k a t i m w i n g i n e a n a w e z a k u w a chanzo cha chuki pale atakapowalea watoto wake kwa namna ya kuwachukia wengine. Watoto ni wepesi sana kuiga wanachofunzwa na mama zao.

M w a n a m k e atakapowafundisha watoto wake tabia ya mapenzi kwa jirani na wenziwe shuleni, hata kama watatofautiana dini au utaifa au kipato kijamii, anapolelewa mtoto katika upendo h u u b a s i i t a k u w a vigumu kugeuka kuwa ni mvunja sheria na kuwa na chuki kiasi cha hata kuweza kuua wengine au kushambulia watu.

Huyo atakuwa ni mgonjwa anaumwa chuki kwa wengine kwa daraja la juu tu, na kwa kiasi chochote naye yupo tayari kuua mtu kwa gharama yeyote hata kama kwa kujiua yeye mwenyewe.

Ingekuwaje kama mama angemfundisha mtoto tangu udogo mambo ya kuwachukia watu na choyo, mambo ambayo bi la shaka yangemfanya kukua na kuingia katika kuua watu wasio na hatia.

Basi mama ndio jiwe la msingi na pia ni nguzo kuu ambayo inakuza fikra za kujitenga kwa watoto na tabia mbovu. N d i ye c h a n z o c h a malezi bora ambayo ni lazima yapatikane tangu utotoni hadi ujanani, wakati ambao hutengeneza akili za mtu hadi kufikia umri mwingine, mama ni shule ya kwanza ya nafsi.

Baba yeye halei bali hutoa huduma ya malezi kwa upande wa mama kwa kumfuatisha mama na kusimamia watoto. Baba hakai ndani ya nyumba kwa tabia ya kazi zake zinazomkabili, lakini mama yeye ndiye anayekaa na watoto k w a m u d a m r e f u hivyo basi, anaweza kuwapa mafunzo mema au mabaya na mtoto anaweza kuiga chuki au upendo kutoka kwa mama yake. Yote haya yanatokana na mama

mlezi na kwa kawaida h a t u we z i k u s a h a u malezi ya jamii kwa taasisi zetu zote kama vile shule, nyumba za ibada na wanahabari na utamaduni kwa namna zote.

Lakini taasisi hizi z i n a k u j a b a a d a ya k a z i ya m s i n g i ya malezi inayofanywa na mama. Mama anaweza kurekebisha athari kwa sifa za ukaribu katika nyoyo za watoto wao.

M w a n a m k e n i m w e n y e m a l e n g o kutokana na nguvu za kujitenga na ugaidi kama nilivyozungumza, ni wajibu kwa wanawake wote kuungana pamoja i l i wapate haki zao kwani kufanya hivyo ni ushindi wa uhakika juu ya ugaidi na kujitenga, na kwa mwanamke kuna ujumbe mara mbili

(1) U j u m b e wa k u j i t e n g a ye ye mwenyewe dhidi ya ugaidi

(2) U j u m b e w a kulea k izaz i k ipya k i takachopiga v i ta ugaidi.

Wabilahi Tawfiq

Makala

ANNUUR REAL.indd 8 10/22/2015 1:26:07 PM

9 AN-NUURMUHARRAM 1437, IJUMAA OKTOBA 23-29, 2015Makala

Inaendelea Uk. 10

Kutokana na muktadha wa mada hii ningependa k u a n z a n a n u k u u zifuatazo:

"Hii ndiyo jumla ya wajibu: Usitende kwa wengine yale ambayo y a n g e k u s a b a b i s h i a m a u m i v u e n d a p o yangefanywa kwako." ( U b r a h m a ( U h i n d u : Mahabharata 5: 1517)

"Lolote lile unalotaka watu watende kwako, nawe ufanye vivyo hivyo." (Ukristo: Mathayo 7:12)

"Hawi mmoja wenu n i m u u m i n i h a d i atakapompendelea ndugu yake kile anachokitaka yeye mwenyewe." – (Uislamu: Hadithi ya Mtume s.a.w)

"Usiumize wengine kwa njia ambazo wewe m w e n y e w e u n g e o n a zinaumiza." (Ubuddha: Udana Varga 5:18.)

" U n a c h o k i c h u k i a , usikifanye kwa wengine. H i y o n d i y o S h e r i a yenyewe, yaliyobaki ni ufafanuzi." (Uyahudi: Talmud, Shabbat 31:a)

"Kwa hakika hii ndiyo kanuni ya upendo na wema. Usi tende kwa wengine kile ambacho usingependa watende kwako .” (Ukonfus ia : Analekti 15:23.)

"Uone anachopata jirani yako kama ulichopata wewe mwenyewe, na anachopoteza jirani yako, kama kitu kilichopotea kwako." (Utao: T'ai Shag Kan Ying P'ien.)

"Nafsi pekee ni njema ambayo inajizuia kutenda

Hii ndiyo kauli yetuUjinga wakati wa kwenda tu…Machozi ya Nyerere yametufundishaTunashika neno la Abraham Lincoln

kwa mwingine chochote kisichokuwa chema kwake mwenyewe." (Uzoroastra: Dadistan-i-dinik 94:5.)

Panapo uhai na uzima, hakutakuwa na An nuur nyingine , i la ik i toka Tanzania itakuwa tayari na Rais mpya. Rais wa Awamu ya Kwanza ya CHADEMA/UKAWA au Rais wa Awamu ya Tano

ya CCM. Kwa sababu hiyo, tukiwa chombo cha Habari na Sauti ya Waislamu, kuna mambo tungependa kuyasema na mapema.

Moja ni kuwa uhai wa mtu, ubinadamu, utu, haki, heshma ya mtu, ni tunu kutoka kwa Mwenyezi Mungu muumba ambazo hazitegemei, taifa, kabila, dini wala mahali anakotoka mtu.

Pili, tunapozungumzia uzalendo wa kweli, ni ile hali ya mtu awe raia au kiongozi, ya kuweka masilahi ya nchi yake, taifa lake na watu wake, mbele kuliko masilahi yake binafisi na chama chake. Ukitizama nchi z o t e z i l i z o e n d e l e a , ukipitia historia ya nchi hizo, utakuta kwamba

walipita watu ambao walijitokeza na wakiona fahari kujitoa muhanga kuhakikisha kuwa nchi zao zinasonga mbele. Kinyume na hivyo, wapo watu na hasa viongozi wa kisiasa na wakuu wa vyombo vya dola, ambao wamegeuka kuwa wasaliti wa nchi zao, wakatumiwa na mataifa ya nje dhidi ya watu wao huku wakijiona kuwa ndio ‘wanapendwa’ na ‘wakubwa wa dunia’. M w i s h o wa y o t e n i kuangamiza nchi zao. Na hii ndiyo nukta, pamoja na mambo mengine , tunataka kuizungumzia k w a l e o k w a k i n a kidogo. Tunaizungumzia kwa sababu ya mambo y a l i y o i b u k a k a t i k a kampeni, hili likionekana kujitokeza.

A l i a n d i k a B w a n a Abdurahmani Kinana, a l i y e K a t i b u M k u u w a C C M k w a m b a k u w a c h a g u a w a t u ambao wametoa ahadi ya kuwaachia Masheikh walio ndani wakikabiliwa na tuhuma za ugaidi, n i sawa na kuifanya Tanzania kuwa lango na kiota cha magaidi. Hilo likadakwa na mgombea urais kupitia chama hicho Mheshimiwa John Pombe M a g u f u l i a l i p o k a z i a mada kwa kusema kuwa ‘ w a t u h u m i w a w a l e ni magaidi’ na lazima washughulikiwe.

K a t i k a u l i m we n g u wa leo wa vita dhidi ya

A b r a h a m L i n c o l n (February 12, 1809 – April 15, 1865) alikuwa Rais wa 16 wa Marekani. Akiingia Ikulu Machi 1861 mpaka a l i p o u l i w a A p r i l i 1865. Lincoln anatajwa k u w a m w a n a s i a s a wa Marekani aliyetoa m c h a n g o m k u b w a k a t i k a k u k o m e s h a utumwa katika nchi h i y o n a k u t a m b u a haki ya Weusi kama binadamu walioumbwa na Mwenyezi Mungu yule yule aliyewaumba Wa z u n g u . N a h i y o

Abraham Thomas Lincoln na haki za weusi Marekani

inatajwa kuwa sababu ya k u u l i wa k wa k e . Waliokula njama za kumuuwa wanatajwa kuwa ni wale waliokuwa wamechukizwa na siasa z a k e z a k u k o m e s h a u t u m w a n a k u t a k a kufanya Weusi kuwa na haki sawa Weupe mbele ya Katiba na sheria za nchi hiyo.

A b r a h a m L i n c o l n alipigwa risasi kichogoni Apri l i 14 , 1865, s iku y a I j u m a a K u u y a Pasaka (Good Friday), al iyemuuwa akita jwa

kuwa ni John Wilkes Booth ambaye alikuwa ni katika wale Wazungu wasio kuwa wanataka kitu kinaitwa uhuru wa watumwa au jambo lolote litakalo wapora haki yao ya kuchukua watumwa.

S i k u 1 2 b a a d a ya k u t e k e l e z a m a u wa j i hayo, Booth aliuliwa na polisi baada ya kukataa kujisalimisha alipokutwa kule Virginia alipokuwa amekimbilia kujificha. Wenzake wanne katika njama hizo za mauwaji,

Abraham Lincoln Rais wa 16 wa Marekani.

Inaendelea Uk. 10

MHE. Edward Lowassa Dkt. John Magufuli.

ANNUUR REAL.indd 9 10/22/2015 1:26:14 PM

10 AN-NUURMUHARRAM 1437, IJUMAA OKTOBA 23-29, 2015

Makala

Inaendelea Uk. 11

Hii ndiyo kauli yetuInatoka Uk. 9ugaidi iliyoasisiwa upya n a G e o r g e W B u s h , akisema hii ni “Crusade”, kwa bahati mbaya kabisa, imekuwa ikitizamwa ki-kurusedi hivyo hivyo. Kwa hiyo watu wanakuwa na mtizamo pogo. Wanakuwa na ‘prejudice’. Maadhali wanaolengwa, maadhali w a n a o t u h u m i w a n a maadhali wanaobamizwa ni Waislamu, basi kwa mt izamo ule u le wa kikurusedi, i le athari kwa nchi haionekani. K i n a c h o t i z a m w a n i kuwa wanaopigwa ni ‘Waislamu’. Waislamu nao wanagawika wanaona wanaopigwa ni ‘Waislamu siasa kali’, magaidi, sio sisi ‘Bakwata’ au Waislamu tusio magaidi. Na ndio maana unakuta baadhi ya Masheikh wanaibuka na fat’wa, utawasikia, hao sio Waislamu, wanautumia Uislamu vibaya!

Kwa viongozi wetu watakaoingia madarakani, wanasiasa na viongozi wa vyombo vyetu vya dola, pengine wangerejea historia ya hivi karibuni ya Nicaragua, Panama, Ecuador, El Salvador, Haiti, Argentina, Cuba, waone nini nchi hizo zilifanyiwa katika zile ‘Opera t i on Mongoose , Operation Northwoods’,

Cuban Project iliyoleta maafa ya Bay of Pigs n.k. Kama tunaona hii ni vita

dhidi ya ‘magaidi’ kwa maana ya ‘Waislamu’ kwa mtindo wa mpe mbwa

jina baya upate kumuuwa, tutizame na tujiulize, kwa nini Askofu Mkuu Óscar Arnulfo Romero y Galdámez wa El Salvador aliuliwa?

Kwa ‘mabeberu’ hawa tunaotaka tupendeze kwao kwa kuonyesha kuwa tunafanya vizuri katika Vita dhidi ya ugaidi, unaweza kusema Askofu Romero kwao alikuwa Ayman Mohammed Rabie al-Zawahiri au Mullah Omar. Alionekana adui.

Propaganda

J u m a t a n o ya w i k i iliyopita, Oktoba 14, 2015, Fox News walitangaza kuwa kuna majeshi ya Cuba yameingia Syria kumsaidia Rais Bashar Assad. Fox News ikasema kuwa chanzo cha habari yake ni watu ambao hawakupenda kutajwa majina yao kutoka Ikulu ya Marekani na Chuo Kikuu cha Miami, kitengo cha masomo juu ya masuala ya Cuba na Marekani (University of Miami's Institute for Cuban and Cuban-American Studies.)

Habari hizo zikadakwa

n a v y o m b o v i n g i n e vya habari kama ABC ikisisitizwa kuwa wa-Cuba wapo Syria kwa sababu ndio wataalamu wa kuweza kurusha ndege za kivita za Urusi ambazo Putin amempa Bashar. Na baada ya debe hilo, agenda ikaibukia White House. Ijumaa iliyopita katika kile kinachoitwa ‘White House briefing’, likagusiwa.

Ukisoma uchambuzi uliofanywa na mwandishi Matt Peppe katika makala yake aliyoipa jina “The Imaginary Cuban Troops in Syria”, kinachotokea hivi sasa ni kuwa kuna kiwewe London na Washington wakitafuta namna ya kusitisha mashambulizi ya Urusi dhidi ya magaidi wa IS. Magaidi ambao Marekani na Uingereza walikuwa katika ushirika wa kuwapiga toka mwaka jana kumbe waongo. IS ni watu wao wakiwatumia katika yao. Sasa kuingia Urusi, inawapiga kweli IS na hivyo punde tu itawaumbua Washington na London.

Hili la IS kuwa ‘vijana’ na askari wa miguu wa m a b e b e r u wa n a o d a i kupambana na ugaidi, wala sio jambo la kukisia tena. Kama alivyowahi kusema aliyekuwa Mkurugenzi wa

Abraham Thomas Lincoln na haki za weusi Marekani

Inatoka Uk. 9w a l i k a m a t w a n a kuhukumiwa kunyongwa.

Akizaliwa Hodgenville, Kentucky, Lincoln alikulia na kulelewa katika familia ya kidini akasoma na kuwa mwanasheria. Inaelezwa kuwa imani yake ya kidini ilichangia sana mtizamo wake juu ya utumwa na hivyo kufanya suala la uhuru wa watumwa kuwa agenda yake muhimu.

“I dislike slavery. I confess I hate to see the poor creatures hunted down, and caught, and carried back to their stripes.”

“As a nation, we began by declaring that "all men are created equal." We now practically read it "all men are created equal, except negroes." When the Know-Nothings get control, it will read "all men are created equal, except negroes, and foreigners, and catholics." When it comes to this I should prefer emigrating to some country where they make no

pretence of loving liberty— to Russia, for instance, where despotism can be taken pure, and without the base alloy of hypocrisy.”

Ni moja ya nukuu kutoka barua za Lincoln alizokuwa akiwaandikia marafiki zake juu ya bishara ya utumwa. Katika nukuu ya pili anaelezea unafiki uliokuwepo katika jamii ya Kimarekani ambapo katika katiba na sheria za nchi hiyo, wanatamka wazi kuwa ‘Binadamu wote ni sawa’, lakini kimatendo, wanaongeza “isipokuwa Weusi.”

Lincoln akasema, bora kuishi katika nchi kama Urusi ambayo kunaweza kuwa na siasa za kibabe, kidikiteta, bila demokrasia, lakini hakuna unafiki. Katika barua yake kwa Albert G. Hodges mwaka 1864, Lincoln akaongeza neno jingine akiwanasihi Wa z u n g u w e n z a k e , akasema:

Inaendelea Uk. 11

Abraham Lincoln (watatu kutoka kushoto) akiwa katika kikao cha kupitisha tamko la kuwaachia watumwa wote.

MAREHEMU Askofu Romero.

ANNUUR REAL.indd 10 10/22/2015 1:26:16 PM

11 AN-NUURMUHARRAM 1437, IJUMAA OKTOBA 23-29, 201511 AN-NUURMakala

Hii ndiyo kauli yetuInatoka Uk. 10Idara ya Usalama (Defence Intelligence Agency-DIA), Michael Flynn, ilikuwa ni uamuzi wa makusudi wa Marekani kuwa na kundi la ISIS ili kufanya kazi ya kuivuruga Syria n a k w a m b a k a t i k a mpango huo wa kuwa na ISIS, ilipangwa kuwa ‘Salafi’ hao wataanzisha ‘Dola feki’ ya Kiislamu ambayo itakuwa ni katika kukamilisha mkakati wa kuigawa Syria mapande mapande.

Taarifa moja ya DIA ya mwaka 2012 juu ya Syria na ISIS inasema:

“There is the possibility of establishing a declared or undec lared Sa la f i s t principal ity in eastern Syria… and this is exactly what the supporting powers to the opposition want, in order to isolate the Syrian regime.”

K w a m a e l e z o n a ufafanuzi zaidi msomaji anaweza kurejea:

1 . I S I S S e r v e s U S Geopolitical Interests. 2. The US is Not Actually Bombing ISIS. 3. The US is Continuing to Fund and Arm Terrorists. 4. Why Russia is Serious About Fighting Terrorism and the US Isn’t. Na Syria: R u s s i a n i n t e r v e n t i o n

exposes coalition lies. "The Terrorists R US"-By Felicity Arbuthnot.)

Katika moja ya matukio yaliyotikisa nchi hii katika hii inayoitwa vita dhidi ya ugaidi, ni lile la Amboni, ukiacha lile lililoteta maafa makubwa kuuliwa watu la Sitakishari. ‘Amboni’

iliambatana na habari katika baadhi ya vyombo vya habari wakionyeshwa w a t u w a l i o j i r e k o d i wa k i t a m b a k wa m b a wapo katika ‘Jihad’ na ndio wanaovamia vituo vya polisi kupora silaha za kufanyia ‘Jihad’ hiyo. Ambacho tulitarajia ni

k wa m b a wa l i o r u s h a v i d e o n a p i c h a z i l e w a g e k a m a t w a n a kufikishwa mahakamani kama al ivyokamatwa yule kijana anayedaiwa kusambaza ‘habari za uzushi’ kwamba Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange, kalishwa

sumu. Tulitaraji hivyo kwa sababu kwa utaalamu wa leo, hilo ni jambo jepesi sana kwa vyombo vya usalama. Lakini kimyaa!!!. P r o p a g a n d a h i y o imeachwa ibakie vichwani mwa watu na pengine iwe rejea ya matukio ‘yanayotarajiwa’ huko mbeleni.

Kwa nini inafanywa hivi? Hili ndio swali la kutisha na ndio hali ya kutisha kuliko hao w a n a o d a i w a k u w a magaidi.

Na propaganda hi i haikuanza leo. Bila shaka tutakuwa tunakumbuka yale madai kuwa mtoto wa shule ya msingi aliweza kupenya ngome ya ulinzi ya Ubalozi wa Marekani akiwa na kigeleni cha mafuta ya taa kwenda kulipua ubalozi huo. Na mtoto huyo akahusishwa na Msikiti wa Mtambani hal ikadhalika baadhi ya Masheikh. Yote hiyo ikilenga kukoleza kitisho cha ugaidi na kusimika katika akili za watu, ‘nani magaidi’!

Lakini tutakuwa pia tunakumbuka ile kauli ya a l iyekuwa Wazir i Mkuu, Fredrick Sumaye a m b a y e a n a p i g a n i a

Abraham Thomas Lincoln na haki za weusi Marekani

Inatoka Uk. 10"I am naturally anti-

slavery. If slavery is not wrong, nothing is wrong.”

Kwamba, kama yupo mtu a taona kwamba utumwa ni kitu kizuri, basi hakuna kitu kibaya duniani.

Na hapa ndio pengine na sisi tunapenda kuhoji. Viongozi wetu wa siasa wamekuwa wakikemea udini, upendeleo wa kidini na maneno kama hayo. Sasa tunauliza, kama MoU sio udini, basi msamiati u d i n i h a u n a m a a n a yoyote katika Tanzania. Chukua mfano mwingine, serikali ilitoa taarifa yake juu ya hoja ya Tanzania kujiunga na OIC kwamba imefanya uchunguzi na kuona kwamba jambo hilo lina manufaa kwa nchi wala halina matatizo yoyote. Ghafla msimamo wa serikali ukabadilika baada ya Waziri wake wa Mambo ya Nje kuitwa na Askofu Mkuu, Muadhama Polycarp Kadinali Pengo na kupewa msimamo wa Kanisa ambao sasa ndio msimamo wa serikali.

Suala la Mahakama ya Kadhi nalo ni hivyo hivyo. Kama alivyosema Lincoln kwamba kama utumwa sio jambo baya, basi hakuna jambo baya duniani. Na sisi tunauliza katika hili la udini hapa kwetu. Kama haya ya Membe na Kadinali Pengo sio udini, basi hakuna kingine tena kinachoweza kuitwa udini katika nchi hii. Na hili ni kama alivyosema Dr. John Sivalon kwamba ‘udini’ wa nchi hii umefikia mahali kwamba inakuwa vigumu kutofaut isha jambo ambalo ni sera na msimamo wa kanisa na lile la serikali.

H a t a h i v y o , k a m a vile mazingira ya udini yanavyoonekana kuwa magumu hapa nchini kutokana na ile “better c h a n c e ” wa l i y o p e wa Wakristo kwa muda mrefu, Lincoln alijua kuwa hali ya kisiasa na kijamii wakati ule isingeweza kuruhusu k u p i g w a m a r u f u k u b iashara ya utumwa wakati ule kwa mara moja. Kwa hiyo akatafuta namna

Inaendelea Uk. 12

Inaendelea Uk. 12

JENGO la kumbukumbu la Abraham Lincoln Washington DC, Marekani.

RAIS Barack Obama akitizama tamko la Licoln la kuwaachia huru watumwa lililopandikwa White House.

ANNUUR REAL.indd 11 10/22/2015 1:26:22 PM

12 AN-NUURMUHARRAM 1437, IJUMAA OKTOBA 23-29, 201512 MAKALA

Hii ndiyo kauli yetuInatoka Uk. 11k u r e j e a s e r i k a l i n i kupitia “Peoples” na “Mabadiliko”. Huyu mwaka 2000 alidai kuwa kulikuwa na magaidi (Waislamu) waliokuwa wamehitimu mafunzo ya ugaidi nje ya nchi na walikuwa wamerejea nchini tayari kwa kuanza kazi na akadai kuwa moja ya shabaha zao ni hospitali ya Muhimbili . Ikawa sababu ya kukamatwa na kufanywa aliyofanywa Mtaalamu na Dakitari Bingwa wa hospitali hiyo, Profesa Jahazi. Japo baadae Profesa Jahaz aliachiwa kwa sababu ilikuwa ni uzushi, lakini bado ipo katika rekodi inayoweza kurejewa baadae. Sumaye hajakanusha au kufafanua h a d h a r a n i k u w a al ichosema ki l ikuwa u w o n g o m t u p u . N a mambo mfano wa haya ni moja tu ya dalili kuwa ‘ tumevamiwa’ . Kuna jitihada za kutufanya k u wa m a wa k a l a wa kupandikiza kitisho hewa cha ugaidi nchini mwetu na kisha kutumiwa na mabeberu kuwahujumu watu wetu wenyewe na kuihujumu nchi sawia.

Na huo ni usaliti usio na shaka yoyote.

Ilipo salama yetu

Mwaka 2003 mwandishi John Pilger (Australian-British journalist) alifanya

utafiti na kuibuka na taarifa kwamba nchi za Marekani na Uingereza

kupitia taasisi zake za kikachero, CIA na SIS (Secret Intelligence Service, maarufu kama M16, wakisaidiana na wale wa Pakistan ISI (Inter-Services Inte l l igence) , walitoa mafunzo kwa ‘magaidi’ zaidi ya 100,000 waliopewa jina la ubatizo ‘Islamic militants’. Na hawa ndio walokuja kuitwa Al-Qaida. John Pilger anasema kuwa makamanda wa kundi hili la Al-Qaida walipewa mafunzo katika kambi za kijeshi na kikachero (CIA) nchini Marekani, akitaja zaidi ile ya Virginia (CIA camp) na kwamba mafunzo hayo yalifanyika kati ya mwaka 1986 na 1992.

Kwa hiyo anachosema John Pilger ni kuwa Al-Qaida hawa waliundwa na kuwezeshwa na nchi za Marekani na Ulaya kama mkakati wa kufikia malengo yao ya kibeberu k a t i k a A f g h a n i s t a n , Mashariki ya Kati na m a h a l i p e n g i n e p o . (Tazama: America enabled radical Islam: How the CIA, George W. Bush and many others helped create

Abraham Thomas Lincoln Inatoka Uk. 11

ya kuuondoa taratibu hata kufikia mahali pa kupendekeza kuwa watu waliokuwa na watumwa, kwa vile watapata hasara k i u c h u m i wa t a k a p o wapa uhuru watumwa wao, basi serikali iweke sheria na utaratibu wa kuwalipa fidia wenye watumwa (Compensated emancipation).

Hata hivyo, Wazungu wenzake hao wakapinga wakataka wapewe haki ya kwenda kutawala nchi za wasio Weupe-ikawekwa sera ya ‘Colonization for Freedmen’, iliyowezesha Wazungu kuwatawala na kuwatumikisha wasio Wazungu kule Panama, Colombia, Haiti n.k.

Kwa hili la ‘Compensated E m a n c i p a t i o n ’ , h a p a kwetu linatakiwa kuwa kinyume chake. Hebu wanasiasa wetu waanze na kutambua kwamba zipo pia kodi za Waislamu ambazo zinaingia katika Hazina ya Taifa ambayo ndiyo hiyo wanachota WATOTO wa Kiafrika muda mfupi baada ya tangazo

la kuachiwa huru watumwa nchini Marekani.Mtumwa akionyesha alama za mateso mgongoni aliyopata akiwa mikononi mwa Wazungu Marekani.Inaendelea Uk. 14

Inaendelea Uk. 14

RAIS wa Marekani, Barack Obama (kulia) akiwa na Waziri Mkuu wa Uingereza, David Cameroon.

ANNUUR REAL.indd 12 10/22/2015 1:26:26 PM

13 AN-NUURMUHARRAM 1437, IJUMAA OKTOBA 23-29, 2015

MAKALA

Kama ni fujo italeta Serikali, askari Inatoka Uk. 3basi kuna uwezekano mkubwa kwa UKAWA kuchukua nchi, lakini tarehe 25 mambo yatakuwa wazi.”

A k i j i b u h o j a kuhusu madai ya baadhi ya wadadisi w a n a o d a i k u w a viongozi wa CCM waliokihama chama hicho na kujiunga na kambi ya upinzani w a n a t u m i l i w a n a c h a m a t a wa l a kama vibaraka wa kudhofisha upinzani, Profesa Boaz aliiambia Swahilivilla:

“Watu wana uhuru wa kudadisi mambo au maoni, lakini watu wengine wanaweza k u p o t o s h a k i t u ambacho kinaonekana kina ukweli.”

Aliitupilia mbali h o j a h i y o k w a kusema, “Hayo ni mambo ambayo watu w a n a y a z u s h a n a hayaingii hata akilini”.

A l i e n d e l e a kufafanua, “Mimi nimetembelea sehemu mbalimbali Tanzania, mijini na vijijini, na unakuta kitu watu wanachokizungumzia ni mabadiliko.”

Alisisi t iza kuwa Watanzania wana kiu ya mabadiliko, n a k w a m b a k a t i y a w a t u k u m i wanaozungumza, saba wanataka mabadiliko.

“ U n a w e z a kuwakuta watu kumi, labda wawili au watatu w a n a z u n g u m z i a CCM, lakini saba w a n a z u n g u m z i a m a b a d i l i k o n a wanasema ni kwa n i n i w a n a t a k a mabadiliko.”

A i d h a a l i u s i f u mwamko wa wapiga kura kwa kuthamini na kuzilinda shahada zao za kupigia kura k ias i cha kuf ik ia kuziita “Vichinjio”

“Baadhi ya wakazi wa Zanzibar wameingiwa na hofu kias i cha kuwafanya waanze k u w e k a a k i b a y a chakula, mafuta ya taa na kila wakiwezacho kukiweka akiba.”

SINA dhamir i ya kutisha wala kuwatia watu hofu lakini kuna ile iitwayo “Kanuni” ya Murphy (Murphy’s Law) ambayo inanitisha. K a n u n i h i y o , k wa h a k i k a , s i s h e r i a wala si utaratibu. Ni m e t h a l i a u f u m b o lisemalo kwamba kila kinachoweza kwenda kombo, kitakwenda k o m b o . N a c h e l e a u t a b i r i h u o u s i j e ukawa wa kweli katika huu Uchaguzi Mkuu unaotukabili. Nalichelea

Chonde chonde Dr. Sheintunataka amani Zanzibar

Hofu imetanda. Wasiwasi kila konaWananchi wanaweka akiba ya vyakula

Na Ahmed Rajab h i l o k w a s a b a b u katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi huo, kuna mambo kadhaa yanayoweza kwenda kombo. Lililo kubwa miongoni mwayo ni amani. Ndio maana wenye kuona mbali haweshi kuwahimiza wadau wote wahakikishe kwamba amani na hali ya usalama itaendelea k u d u m u b a a d a ya kumalizika mchakato wa uchaguzi.

Miongoni mwa wadau wakubwa wa uchaguzi huu ni vyombo vya usalama (jeshi na polisi), Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC) na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZE) pamoja na vyombo vya habari vya umma vya Shirika la Utangazaji la Tanzania (TBC) na Shirika la Utangazaji la

Zanzibar (ZBC).T a a s i s i z o t e

h i z o , p a m o j a n a Mahakama, zinatakiwa ziendeshe shughuli zao zinazohusika na uchaguzi kwa njia za haki, bila ya upendeleo na b i la ya ser ika l i kuwatisha au kuwatia hofu wapigakura na wananchi, kwa jumla. Z is ipofanya h ivyo, uchaguzi huu utakuwa na dosari na hali hiyo inaweza ikavunja amani.

A m a n i n i m o j a y a s a b a b u k u b w a zinazoufanya uchaguzi huu uwe si muhimu kwa Tanzania tu, ambako wengi wanautegemea kwa mengi, lakini uwe muhimu pia kwa ukanda m z i m a w a A f r i k a Mashariki na hata nje

pale, lakini joto liko na watu wanataka mabadiliko.”

A k i j i b u s w a l i kuhusu malalamiko ya upinzani dhidi ya uadilifu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi ( N E C ) , P r o f e s a Boaz aliyapongeza m a b a d i l i k o yaliyofanywa na Tume hiyo likiwemo suala la matokeo yote ya uchaguzi kubandikwa v i t u o n i t a n g u ya Udiwani hadi Uraisi, pamoja na vyama vyote kuruhusiwa kuwa na mawakala wao ndani ya vituo vya kupigia kura.

“ N a f i k i r i h a y o ni mambo ambayo y a m e l e t a f a r a j a kuwa kuna uwazi, kwa sababu ukileta demokrasia vitu kama hivyo vinakuwa ni vya lazima, huwezi kufanya vitu kwa kujificha ficha.”

Hata hivyo, alielezea wasiwasi wake juu ya kauli ya Tume ya uchaguzi kwamba wananchi wakishapiga kura hawaruhusiwi kukaa eneo la vituo vya kupigia kura umbali wa mita 200, akisistiza kuwa hiyo ni haki ya wananchi kikatiba. “Lakini katika katiba limo hilo, mwaka 2005 watu walikaa.

Sasa hilo ni swali la NEC kulitatua. Kwa sababu ni haki na ndiyo njia ya uwazi kuona kweli kura zetu tumepiga, tunaziona.”

A l i e l e z e a k u wa raia wa Tanzania ni watu wa amani na wasiopenda fujo, na kamwe hawawezi kuanzisha fujo, na kwamba iwapo fujo zitatokea, basi wa kubebeshwa lawama ni mamlaka husika.

na kuzionesha wakati w a n a p o u l i z w a mikutanoni.

A l i w a t o l e a changamoto wale wote

wanaobeza vuguvugu la mabadiliko kwa kusema “Tusubir i tuone hiyo tarehe 2 5 t u o n e m a m b o

yatakuwaje, je kweli h a y o m a b a d i l i k o yanayozungumzwa yatatokea? Nafikiri l a b d a t u t a z a m e

RAIS wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein.

Inaendelea Uk. 15 Inaendelea Uk. 15

ANNUUR REAL.indd 13 10/22/2015 1:27:16 PM

14 AN-NUURMUHARRAM 1437, IJUMAA OKTOBA 23-29, 2015

MAKALA

YAILAHI ya KARIMU, niogoze shairini, Unijaze ILHAMU, na SAKINA ubongoni, Niweze jambo adhimu, kuwajuza ikhiwani, Mwezi ASHARA kaumu, ASHURA tuifungeni.

Ndugu zangu islamu, wa Bara na Visiwani, Nimeishika kalamu, lengo kukumbusheni, Juu ya hii swaumu, wengi tusoithamini, Mwezi ASHARA kaumu, ASHURA tuifungeni.

ASHURA tunu adhimu, SHUKRANI kwa MANANI, Kwa MADHULUMU kaumu, ya MUSA kwa FIRAUNI, Alokumbwa na HUJUMU, ya GHARIKA BAHARINI, Mwezi ASHARA kaumu, ASHURA tuifungeni.

ASHURA ni ikramu, kwa MUSA na WAUMINI, Walokuwa MADHULUMU, kwa SERA za FIRAUNI, Kumbukumbuye muhimu, kwa kuhuisha imani, Mwezi ASHARA kaumu, ASHURA tuifungeni.

ASHURA kuiheshimu, MAYAHUDI 'waliwini', Akawahoji MWALIMU, juu ya chake kiini, Akaahidi kaumu, kujaifunga mwakani, Mwezi ASHARA kaumu, ASHURA tuifungeni.

ASHURA ni ya KADIMU, si JADIDI wala NGENI, Tangu kale MUADHAMU, NIAYE alibaini, Kulikoni ISLAMU, SISI tusiithamini, Mwezi ASHARA kaumu, ASHURA tuifungeni.

ASHURA ni ya msimu, FUNGA hii tambueni, Kwawo wake uadimu, aula tuienzini, Twapaswa kujilazimu, SWAUMU kutoikhini, Mwezi ASHARA kaumu, ASHURA tuifungeni

ASHURA ni yako zamu, jinalo kulithamini, Dumisha dada nidhamu, kwa jina kutolikhini, Ni letu sote jukumu, ASHURA kuithamini, Mwezi ASHARA kaumu, ASHURA tuifungeni.

ASHURA yake nidhamu, ni sote tuwe fungani, Si sawa kujihujumu, kwa silaha maungoni, Tukimwaga zetu damu, ASHURA tumeikhini, Mwezi ASHARA kaumu, ASHURA tuifungeni.

ASHURA yangu kalamu, kuzidi haitamani, Beti ASHARA 'metimu, zatosha kukumbusheni, Mwezi KUMI MUHARAMU, LEO shime tufungeni, Mwezi ASHARA kaumu, ASHURA tuifungeni.

Abuu Nyamkomogi-Mwanza.

ENYI VIONGOZI-AHADI !!!Kutunga ninabtadi, kwa jina lake Karima,Mtekeleza ahadi, hapa na kesho kiyama,Aloamuru ahadi, kutimiza zilo njema,Mtaulizwa kiyama, kwa mliyotuahidi.

Wagombea sina budi, kuwaonya mlokama, Na lukuki kuahidi, kwa ilanizo za vyama, Mbivu na mbichi ahadi, kwa kuchelea kuzama, Mtaulizwa kiyama, kwa mliyotuahidi.

Msijidhani weledi, kwa kuuhadaa umma, Mbele ya Mola Wahidi, tambueni mmekwama, Kwa urongo kuahidi, atawabana kiyama, Mtaulizwa kiyama, kwa mliyotuahidi.

Ahadi ziloshtadi, kwenye kampeni za vyama, Na kutiwa tashdidi, na makadenu wa vyama, Imefika yake hadi, kesho zote zitakoma, Mtaulizwa kiyama, kwa mliyotuahidi.

CCM sina budi, kutaja CUF, CHADEMA, Ni ndefu sana idadi, japo vitatu kukoma, Wangoja mloahidi, mkayatimize umma, Mtaulizwa kiyama, kwa yote mloahidi.

Abuu Nyamkomogi-Mwanza.

TUFUNGE ASHURA !!!

Abraham Thomas Lincoln Inatoka Uk. 12pesa na kuwapa Wakristo kuimarisha hospitali na shule zao badala ya kujenga na kuboresha hospitali za umma za Wilaya, Mikoa na zile za rufaa za taifa. Halafu serikali ikitoka hapo, huwasifu iliowapa pesa kutoka Hazina ‘eti kwa kuisaidia’ serikali kutoa huduma za afya kwa wananchi ! Nani anasaidiwa hapa? Sasa serikali na wanaofaidi chini ya ‘Udini’ huu, wasije wakadhani kuwa Waislamu hawaoni.

Lincoln aliwahi kusema: "I never, in my life, felt more certain that I was doing right, than I do in signing this paper."

Hilo alitamka wakati akisaini ‘Emancipation Proclamation’. Kwamba k a t i k a m a i s h a ya k e h a k u w a h i k u f a n y a jambo akawa na uhakika kwamba jambo hilo ni la haki, ni la sawasawa, kama ilivyokuwa kuweka saini yake katika sheria ya kuwapa uhuru watumwa. Kwamba hakuwa na tone la shaka kabisa kwamba alikuwa akifanya jambo la sawasawa.

Sasa labda na s i s i Waislamu tuseme kuwa kama kuna jambo tulilo na uhakika nalo kwamba si la sawasawa, ni dhulma na ubaguzi, ni lile la MoU. Na lile la kuchukua pesa za serikali kuimarisha

hospitali za baadhi ya madhehebu za dini badala ya kujenga na kuboresha hospitali za umma.

Kama kuna jambo tuna uhakika nalo kwamba ni la sawasawa Waislamu kulifanya, basi ni kupigania haki zao na kuitaka serikali iache ubaguzi, dhulma na udini huu.

Lau atatokea kiongozi akaona dhulma hii na madai haya ya Waislamu n a a k a c h u k u a a z m a ya kuyashughul ik ia , analotakiwa kufahamu ni kuwa atakuwa anafanya jambo la sawasawa pasipo s h a k a y o y o t e , k a m a al ivyokuwa aki fanya Lincoln katika suala la watumwa Marekani.

Hii ndiyo kauli yetuInatoka Uk. 12ISIS.)

Sasa hiyo ndiyo Al Qaida ambayo wanasiasa wetu na wataalamu wetu wa usalama halikadhalika vyombo vyetu vya habari, k i la vinapoimbishwa wimbo wa Al Shabaab, h a wa i s h i k u t u a m b i a kuwa wana uhusiasno na Al Qaida. Al Qaida ambao aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza, aliwaelezea v i z u r i k a t i k a B u n g e la Uingereza (House of C o m m o n s ) a k i s e m a , “Lest we forget, the CIA gave birth to Osama Bin Laden and breastfed his organization throughout the 1980′s.”

Akichambua kauli ya Cook, mwandishi Garikai Chengu akasema:

“Former British Foreign Secretary Robin Cook told the House of Commons that Al Qaeda was unquestionably a p r o d u c t o f we s t e r n i n t e l l i g e n c e a g e n c i e s . Robin Cook explained that Al Qaeda, which literally means “the base” in Arabic, was originally the computer database of the thousands of Islamist extremists who were trained by the CIA and funded by the Saudis to defeat the Russians in Afghanistan. The Islamic State of Iraq and Syria (ISIS) used to have a different name: Al Qaeda in Iraq.” (Soma: Al Qaeda: The CIA’s Computer Data Base kama

ilivyonukuliwa kutoka Libya: From Africa’s Wealthiest Democracy, To US-NATO Sponsored Terrorist Haven.)

Ukiyazingatia haya, utaona kuwa salama yetu ipo kat ika kutambua ‘mchezo’ huu na danganya toto hii ya vita dhidi ya ugaidi. Wala sio katika zile chuki za ki-Crusade. Tu k i l i j u a h i l i , h a t a kama ni mashinikizo ya ‘wakubwa’, tutasimama kama nchi kujitetea, wala sio katika mtindo huu wa sasa ambapo tumefanywa kuwa mapande mapande-Wais lamu k ivyao na Wakristo kule. Na hata ndani ya Uislamu napo, t u n a i t a n a m a g a i d i wakati hali zetu wote mbele ya beberu sawa. Na la kufahamu hapa ni kuwa tukishapumbazwa tukatumika kusimika k i t i s h o c h a u g a i d i ikakubalika kwamba kipo, wala tusijidanganye kuwa tutakuwa na uwezo wa kupambana na magaidi. Tujifunze kutoka Nigeria. Amepambana Umaru Musa Yar'Adua mpaka akafa. Akaja Goodluck, haikuwa Goodluck kitu kwa Nigeria. Ameondoka amekuja Muhammadu B u h a r i , k i p i g o c h a Bok o Haram n i k i l e kile. Anayedaiwa kuwa kiongozi wa kundi hilo Abubakar Shekau anazidi kutamba na hakuna dalili ya kuteguliwa kitendawili

cha “Bring Back Our Girls”. Kwa nini? Ni vita hewa. Ni ‘hoax’, ‘Farud’.

Mfano wa ISM n a m o t a r e h e 2 4

Septemba, 2014, Waziri Mkuu wa Uingereza akihutubia Umoja wa Mataifa alisema kuwa Uingereza inapeleka ndege za kijeshi (kuungana na Marekani) kuwapiga magaidi wa ISIS, sasa IS. Ni mwaka sasa nguvu h i y o ya L o n d o n n a Washington, haijawafanya I S w a t e t e r e k e , b a l i k u o n e k a n a k u p a t a nguvu zaidi. Ila wiki moja ya mashambulizi ya Urusi , yanaelekea kuwasambaratisha kabisa IS na kuyapa nguvu mpya majeshi ya Syria. Ndio kiwewe hicho cha Fox News.

Lakini ukitaka kujua mchezo unaofanyika hapa, rejea ile taarifa ya Stephen Lendman akichambua taar i fa i l iyor ipot iwa kat ika gazet i la The Sunday Express kwamba kikosi maalum cha jeshi la Uingereza (BRITISH Specia l Forces) SAS, wanavaa kama wapiganaji wa ISIS, wakapeperusha bendera nyeusi ya IS ili kupambana ‘Jihadists’ hao. Hata hivyo, wakati Uingereza na wanaopiga propaganda wakida i

Inaendelea Uk.17

ANNUUR REAL.indd 14 10/22/2015 1:27:18 PM

15 AN-NUURMUHARRAM 1437, IJUMAA OKTOBA 23-29, 2015

MAKALA

Kama ni fujo italeta Serikali, askari Inatoka Uk. 13

“Kama kuna mtu ataanzisha fujo, basi ni askari wenyewe na serikali yenyewe y a C h a m a c h a Mapinduzi, na mimi siamini kuwa ni watu wenyewe wataanzisha fujo.”

Alisema Bwana Boaz kwa sauti ya kizalendo, na kudadisi.

“Kwani kuna ubaya gani, kuna kitisho gani, au CCM ina wasiwasi?”

Al i fu t i l i a mbal i m a d a i h a y o y a uwezekano wa kutokea fu jo kwa kusema kuwa viongozi wa upinzani wamekuwa wakiwahimiza wafuasi wao kutunza amani na utulivu kwa kusema “viongozi wao hao wa vyama vya upinzani w a m e w a a m b i a , mukimaliza kupiga k u r a k a e n i k u l e pembeni, tulieni.”

Aidha , a l ikar i r i lawama zake kwa vyombo vya ulinzi na usalama na rais Kikwete mwenyewe k w a k u s h i n d w a kuyakemea mambo h a y o n a k w e n d a kinyume na katiba.

“ F u j o Ta n z a n i a ikianza, kwa kweli itakuwa imeanzishwa na askari na yeye rais wa Jamhuri ya Ta n z a n i a a m b a ye alitakiwa hivyo vitu avikemee sana, na kwamba afuate hiyo ka t iba , h i i nd iyo maana ya sheria.”

Alitoa dukuduku lake na kuwa “Hili ndilo tatizo tulilonalo Ta n z a n i a , s h e r i a zinakuwa hazifuatwi.”

H a l k a d h a l i k a Profesa Boaz alitoa n a s a h a k wa r a i s Kikwete kuwaheshimu wapiga kura ambao ndio waliomwingiza madarakani madala

ya kutumia kauli za vitisho.

“Yeye Kikwete muda wake umekwisha,

mimi nadhani angekaa akatulia, aache tena haya mambo ya kusema P o l i s i w a t a f a n y a

mambo ambayo watu hawayataki.”

Al ie lezea imani yake kuwa Tume ya

uchaguzi i taweza kurekebisha kasoro zote kabla ya siku ya uchaguzi.

“Kwa hiyo mimi n a o n a t u s u b i r i mpaka Jumamosi , w a t u w a t a k u w a wameli tatua, kwa sababu watu ni haki y a o k u t a z a m a ” , alisema Bwana Boaz na kuhoji “Kwani kuna ulazima wakake nyumbani?

P r o s e s a B o a z a l i m a l i z i a k w a kutoa nasaha kwa Wa t a n z a n i a w o t e wenye haki ya kupiga kura kujitokeza kwa wingi kupia kura na kumchagua mtu wanayemtaka kwa njia za amani bila woga ili kuendeleza sifa ya Tanzania kama nchi ya amani.

“Kwa hiyo mimi nahisi watu wakapige k u r a k wa a m a n i w a c h a g u e m t u wanayemtaka, na siyo kununuliwa na mtu yoyote au kufanya jambo jengine lolote.”

Itafaa kukumbusha kuwa kumekuweko na hali ya sintofahamu miongoni mwa wadau wa kis iasa nchini Tanzania kufuatia k a u l i i l i y o t o l e wa na NEC pamoja na Rais Jakaya Kikwete kwamba wananchi wakishapiga kura hawaruhusiwi kukaa eneo la vituo vya kupigia kura umbali wa mita 200.

Hali hiyo imepelekea baadhi ya wanasiasa wa upinzani kufungua k e s i m a h a k a m n i anaitaka mahakama itamke kama ni halali kwa Rais na Tume ya Uchaguzi (NEC) k u z u i a wa n a n c h i kukaa kwa utulivu umbali huo ama la.

Chonde chonde Dr. Sheintunataka amani ZanzibarInatoka Uk. 13ya mipaka ya eneo hilo. Kwa muda mrefu, taifa hili limekuwa likijinata kwamba ni la aina ya pekee katika sehemu hii ya Afrika kwa kuwa limeepukana na majanga m e n g i ya l i y o v u n j a amani katika takriban nchi zote zilizo jirani nalo.

Hadi sasa Tanzania imekuwa mfano wa kisiwa cha amani katika bahari iliyochafuka, licha ya ghasia na mauaji yaliyotokea Zanzibar wakati wa Mapinduzi ya Januari 1964 na katika chaguzi zilizopita. Hofu iliyopo ni kwamba safari hii, ghasia na machafuko yanaweza yakaikumba na Bara.

Dalili ziko wazi. Siku mbili hizi wakazi wa Bara nao wamekuwa wakiionja shubiri ya vyombo vya dola kama walivyozoea wenzao wa Zanzibar. Wananchi wameingiwa na woga kuwaona wanajeshi

waliovaa sare wakiwa wanafanya mazoezi karibu na makazi yao.

Kwa Zanzibar hayo si mageni. Licha ya k u t a h a d h a r i s h w a , m a r a k w a m a r a , kwamba wayafanyayo hayaashirii mema na huenda yakachangia katika uvunjwaji wa amani katika kipindi hiki nyeti cha uchaguzi, bado wakuu wa jeshi na polisi wanaendelea kujifanya kama wana masikio mafu.

Kwa mintarafu ya hayo, tamko lililotolewa Jumamosi iliyopita na Baraza la Taifa la Asasi za Kira ia (AZAKI) limetolewa wakati ndio. Tamko hilo limevitaka vyombo vya dola viache kutumia vitisho, nguvu na s i laha za kivi ta kat ika kipindi hiki kinachokaribia siku ya uchaguzi.

K wa u p a n d e wa Zanzibar kuna hofu k u b wa ya k u z u k a f u j o . A i d h a , k u n a

tetesi kwamba njama z i n a a n d a l i w a z a k u h e s a b u k u r a z a u r a i s wa Z a n z i b a r kisiri siri. Tetesi hizi zimevuja kutoka vikao vya ndani vya Chama Cha Mapinduzi (CCM-Z a n z i b a r ) i n g a w a mawakala wa chama hicho wameambiwa katika mikutano yao kwamba kura zo te zitahesabiwa pamoja katika kila kituo cha kupigia kura.

Wa s i wa s i u l i o p o u n a t o k a n a n a yanayosemwa faraghani na baadhi ya viongozi wa C C M - Z a n z i b a r k wamb a wat a ing ia wenyewe kuhesabu kura za urais na, kwa hivyo, watahakikisha kwamba angalau ushindi wa urais utakuwa wao.

Inawezekana kwamba hao wakuu wa CCM-Zanzibar wanajaribu kut iana moyo kwa vile wanaona mambo yamewakalia vibaya.

Inaendelea Uk. 16

MAALIM Seif Sharif Hamad (kushoto) na Mhe. Edward Lowassa.

ANNUUR REAL.indd 15 10/22/2015 1:27:24 PM

16 AN-NUURMUHARRAM 1437, IJUMAA OKTOBA 23-29, 2015

MAKALA

Inatoka Uk. 15 Chonde chonde Dr. Sheintunataka amani Zanzibar

Si siri tena kwamba h a w a a m i n i a n i n a wanatuhumiana kwa usaliti.

K w a m u j i b u w a habari tunazopashwa na wanaohudhur ia vikao vya ndani vya CCM-Zanzibar, woga u m e w a v a a . K i l a mmoja anaogopa asije akatuhumiwa kuwa ni msaliti . Matokeo ni kwamba siku hizi baadhi yao wanaogopa kuhudhuria vikao hivyo wasije wakarushiwa shutuma hizo.

Shutuma zenyewe ni kwamba baadhi ya wakereketwa wanajiita CCM mchana lakini usiku wanageuka na wanakuwa wafuasi wa Chama cha Wananchi (CUF) au wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).

Kwa muda mrefu, lawama hizi zilikuwa zikifichwa na zikitolewa c h i n i k w a c h i n i l a k i n i z i l i c h o m o z a hadharani mwanzoni mwa wiki i l iyopita k w e n y e m k u t a n o u l i o f a n y wa M we r a na uliohudhuriwa na wahusika wa kampeni ya uchaguzi ya Wilaya ya Mjini Magharibi.

Mmoja wa viongozi waliohudhuria mkutano huo anatajwa kuwa n i Wa z i r i m m o j a mwandamizi wa wizara nyeti Zanzibar (jina linahifadhiwa).

Yaliyojiri hayasemeki. Y a l i p o r o m o k a m a t u s i n a h a l a f u wajumbe wakaanza k u t i a n a m a k o n d e . S o k o m o k o l i l i a n z a baadhi ya wajumbe w a l i p o w a t u h u m u w e n z a o a m b a o h a w a k u h u d h u r i a m k u t a n o k u wa n i wasaliti . Waliotiana n g u m i w a l i k u w a makatibu wawili wa m a j i m b o n i . M m o j a akiwafichua “wasaliti” n a m w e n g i n e akiwahami.

K a t i b u m m o j a (jina linahifadhiwa), a n a y e s i f i k a k w a upole na ustaarabu w a k e , a l i w a h a m i w a l i o s h u t u m i w a akisema kwamba yeye haziamini shutuma hizo. Kuna waliomhamakia kwa matamshi yake na mmoja wao akamvamia na kumpiga ngumi. I s i toshe , wakaanza

kumtuhumu kuwa naye pia ni msaliti na kwamba yeye na hao aliowatetea “wamenunuliwa” na kina Mansour Yusuf Himidi, aliyefukuzwa CCM na ambaye sasa ni mgombea wa uwakilishi kwa niaba ya CUF.

Kadhalika, wajumbe wa mkutano huo wa Mwera walilaumiana kuhusu uchapakazi. Kwa hakika, katika mikutano yao ya siri, v iongozi wa CCM-Zanzibar wamekuwa waki laumiana sana kuhusu suala hilo na wakiwalaumu zaidi wale wagombea wao wa uchaguzi ambao ama hawayapitii majimbo yao au wakiyapitia basi huwa wanawatukana wapiga kura.

Hali hiyo inaashiria kuwa ama wagombea hao wanajiamini bila y a k i a s i k w a m b a w a t a s h i n d a a u wamekwishasalim amri kwamba watashindwa. Wenye busara miongoni mwao wanawalaumu wenzao wenye kupita w a k i w a t u k a n a n a k u w a t i s h a w a t u pamoja na kuwakashifu wapinzani.

H i v y o v i t i s h o vinawafanya wakazi wa Zanzibar waamini kwamba pana njama

z i n a z o p i k w a n a wanaoshikilia mpini za kuanzisha fujo ili w a w e z e k u d h i b i t i mambo ambayo kwa sasa yanawaendea kombo. Baadhi ya wakazi hao wameingiwa na hofu kiasi cha kuwafanya waanze kuweka akiba ya chakula, mafuta ya taa na kila wakiwezacho kukiweka akiba.

Hii hofu ya kuzushwa f u j o k w a k u s u d i iligusiwa kwa hasira na Maalim Seif Sharif Hamad, Katibu Mkuu wa CUF, alipouhutubia mkutano wa kampeni yake ya kuwania urais wa Z a n z i b a r h u k o Fumba, Unguja. Alidai kwamba masanduku yaliyokuwa na sare za CCM yalionekana gat ini Pemba. Kwa bahati, moja lilianguka na zikatokeza sare za CUF. Tuhuma zake ni kuwa CCM inajiandaa kuanzisha fujo, lawama wa t u p i we C U F i l i uchaguzi uahirishwe.

Jumapi l i asubuhi wakereketwa wa CCM w e n y e k u a m i n i k a waliitwa kuonana na Rais Al i Mohamed Shein katika mkutano wa dharura uliofanywa katika tawi la Amani. Kwa mujibu wa mpashaji habari wetu, Shein

alizungumzia historia ya Zanzibar, kwa mtizamo wake, na namna chama cha zamani cha Afro-Shirazi Party (ASP) kilivyokuwa kikionewa k a t i k a c h a g u z i z a kabla ya Mapinduzi. I n a v y o o n e s h a n i k w a m b a a m a a k i w a t a y a r i s h a w a k e r e k e t w a w a CCM kwa matokeo ya kura yatavyokuwa au akitaka kuwatia moyo wayasambaze aliyokuwa akiyasema. Bahati mbaya, tunasikia kwamba hakuwa na jipya la kueleza. Badala ya kuwafunza historia sahihi, ikiwa mbaya au nzuri, aliwapoteza na kuwatia punju.

Wote walioalikwa, na tunasikia hawakuwa wengi, walikuwa na umri usiopindukia miaka 50. Kwa hivyo, si ajabu kwamba kuna miongoni m w a o w a l i o a m i n i wal iyoambiwa kwa s a b a b u h a w a u j u i ukweli. Swali ni kuwa wa n a o wa d a n g a n ya watawadaganya mpaka lini?

Kuna tofauti moja kubwa baina ya kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu na chaguzi zilizopita. Safari hii kila mgombea wa uchaguzi, toka wa urais, hadi wa

Bunge, wa Baraza la Wawakilishi (Zanzibar) na wa udiwani amekuwa akiahidi mengi. Kila mmoja anamshinda mwenzake; baadhi ya ahadi zao ni porojo zisizo na msingi; nyingine ni za kuwapumbaza walalahoi.

Lakini zipo ahadi wal izozi toa baadhi y a o z i n a z o i n g i a akil ini , zikifanyiwa kazi kikweli zinaweza zikatekelezeka. Mfano ni ile ahadi ya Maalim S e i f a l i y e w a a h i d i Wazanzibari kwamba endapo watamchagua Rais ataigeuza Zanzibar iwe “Singapore” ya A f r i k a M a s h a r i k i . Niliizungumzia ahadi h i y o w i k i c h a c h e zilizopita (“Maalim Seif na mikoba ya Lee Kuan Yew”, Raia Mwema, Toleo la423).

Jumamosi iliyopita kwa kutumia filamu “A j e n d a y a C U F kuigeuza Zanzibar kuwa Singapore” Maal im Seif aliizindua ajenda hiyo na kutoa maelezo zaidi juu ya hatua gani atazochukuwa kutimiza lengo hilo.

K u n a k u i g i z a n a . John Magufuli naye, mgombea urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), akaona si vibaya kumuiga Maalim Seif. Wiki iliyopita aliwaahidi wananchi wa Mwanza kwamba akichaguliwa Rais atalifanya jiji hilo liwe “Geneva ya Afrika”. Geneva ni mji mkuu wa Uswisi na linatajika kwa biashara hasa za saa za bei ghali, dawa na kampuni zenye kufanya utafiti wa kemikali.

Maguful i a l isema kwamba Mwanza ni jiji la uchumi kutokana jiografia yake lakini bado hakutoa maelezo ya hatua gani anazokusudia kuchukua kuligeuza Jiji la Mwanza ili liwe kama lile la Geneva.

T u k i j a a l i w a t u k a k u t a n a t e n a tutakuwa tushazijuwa m b i v u n a m b i c h i : n a n i w a s h i n d i n a nani walioshindwa. Tu n a c h o k i o m b a n i kwamba paweko amani na usalama kuanzia sasa, wakati wa upigaji kura na baada ya kutangazwa matokeo. Nawakilisha:

( M a k a l a h a y a yametolewa kwa hisani ya mwandishi Ahmed

RAIS wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein (kulia),Makamu wa kwanza wa Rais Maalim Seif Sharif Hamad (kushoto) na Makamu wa Pili wa Rais Balozi Idd Seif

ANNUUR REAL.indd 16 10/22/2015 1:27:33 PM

17 AN-NUURMUHARRAM 1437, IJUMAA OKTOBA 23-29, 2015

MAKALA/TANGAZO

Hii ndiyo kauli yetuInatoka Uk. 14kuwa SAS wanafanya hivyo kama mbinu za midani ili kuwashinda IS, lakini inaelezwa kuwa wanachofanya SAS hao ni kama walivyokuwa wakifanya askari wa n c h i h i y o k u l e I r a q a m b a p o w a l i k u w a wakilipua misikiti huku waki j i fanya kuwa ni ‘Masheikh wa Kisuni’ au Shia. Hiyo ikalipua mambano ya Mashia na Masuni Basra na miji mingine ya Iraq. (Tazama: C a u g h t r e d - h a n d e d : BRITISH UNDERCOVER OPERATIVES IN IRAQ. Ta z a m a p i a : B r i t i s h “Undercover Soldiers” Caught dr iv ing Booby Trapped Car)

Katika tukio hili, askari wa Uingereza, kikosi maalum kat ika I raq , walikamatwa wakiendesha gari lililojazwa mabomu wakitaka kul ibamiza katika jengo moja katika mtaa uliojaa watu wengi. Kwa bahati nzuri askari hao wawili waliwahiwa n a k u k a m a t w a wakafikishwa polisi na kuwekwa korokoroni kuhojiwa. Masaa kadhaa tu baada ya tukio hilo, U i n g e r e z a i l i a m u r u vikosi vyake vilivyokuwa I r a q k u va m i a k i t u o cha polisi walikokuwa wameshikiliwa askari hao, wakakibomolea kwa mbali, wakawachukua askari wao. (Taarifa ya Kamanda, Brigadier John Lorimer, kwa BBC News Septemba 20, 2005).

Hapana shaka serikali ya Uingreeza iliamuru jeshi lake kuvamia kituo cha polisi kwa sababu lau askari wale wangehojiwa, siri ingefichuka kwamba wao ndio wakivaa kanzu na vilemba kama Masheikh, n d i o w a n a t u m i w a kulipua mabomu halafu husingiziwa kuwa ni Sunni au Shia (Muslim Millitants) wanaojitoa muhanga. (Yawezekana na Nigeria kwa Boko Haram, mchezo ni huo huo.)

H i i n d i y o h a l i ya vita ya ugaidi popote inapoendeshwa duniani hivi sasa. Ni ‘fraud’ ni ‘hoax’. Hili Waislamu tunalijua.

Kwa bahat i mbaya wapo wanasiasa na wakuu wa vyombo vya dola

wamekuwa wakitumiwa na kujikuta wakiwa wasaliti wa nchi zao na watu wao, huku wakidhani, ama kwa ujinga tu, au kwa kuhiyari kuwa wasaliti kwa rupia ama manufaa

mengine, wakichakarika sana ili kujisajili kwamba wanapambana na magaidi, lakini mwisho wa yote, ni kuziangamiza nchi zao. Ndiko ilikofikshwa Pakistan, Yemen, Somalia,

Nigeria na wakati ule nchi za Latin Amerika.

N i m a t a r a j i o ye t u kwamba viongozi wetu watakaoingia madarakani, h a wa t a e n d e s h wa n a propaganda chafu za mabeberu wanaotumia ‘watu’ wao kupandikiza ugaidi na machafuko katika nchi hi i kama walivyowatumia wale askar i kule I raq. Na viongozi wetu wafahamu kuwa kama ilikuwa ujinga il ikuwa huko nyuma. H i v i s a s a wa n a n c h i washauelewa mchezo huu wa mabeberu. Na k a m a n i k u t u m i wa , bas i watakaotumiwa n i w a n a s i a s a n a watajulikana kutokana n a w a t a k a v y o k u w a w a k i p e l e k e s h w a n a mabeberu hao na wao wenyewe watakavyokuwa wakihangaika kujisajili kwa mabeberu kwa kuwatia kishindo wananchi na hasa Waislamu na Masheikh wao.

Hilo ndio zito kwa leo, maana ni la kuangamiza nchi. Na ukitaka kulijua

hilo, itizame Pakistan na Libya. Pakistan nchi ya nyukilia lakini ipo wapi leo! Libya kabla ya kupinduliwa Muammar Gadhafi, ilikuwa ni katika nchi zenye amani, utajiri ulionufaisha watu wake na iliyotulia. Mabeberu wanaotuimbisha ngonjera za ugaidi wa Al Shabaab na Al Qaida, wakasema Gadhafi dikiteta na gaidi, baadhi ya wananchi wa Libya wakameza chambo na ndoano hiyo. Leo Libya ipo wapi (Tazam: Libya: From Africa’s Wealthiest Democracy, To US-NATO Sponsored Terrorist Haven-By Garikai Chengu.)

Sasa kama ni ugaidi Ta n z a n i a , wa t a u l e t a w a n a s i a s a k a m a w a l i v y o t u m i w a w a l e w a n a s i a s a n a wanaharakati wa Libya kuisambaratisha nchi yao. Tanzania hakuna ugaidi na hakuna Mtanzania wa kuleta ugaidi katika nchi hii mbele ya macho ya Watanzania na vyombo vyao madubuti vya dola kama hawatumiwi na mabeberu na kama hakuna miongoni mwetu hasa wenye madaraka watakao hiyari kuwa wasaliti.

Katika nchi hii ukisikia wanasiasa wanakemea udini, hawakusudii kuhoji yaliyoandikwa kat ika Sivalon na kutafuta namna ya kuyarekebisha, wala ha iwashughul i sh i i le MoU baina ya serikali na Wakristo. W a n a c h o l e n g a n i k u wa t i s h a n a kuwazima wale wanao hoji ‘Udini’ huo wa wazi wa kuwapendelea W a k r i s t o . H i l i Waislamu wanalijua. Kama tutaita ni ujinga, basi ulikuwa wakati ule Mwalimu Nyerere a l ipo t oa machoz i mbele ya Waislamu kufuat ia kaul i ya S h e i k h S u l e i m a n Takadiri.

Sasa tunalotarajia ni kuwa viongozi w e t u w a t a k u w a w a u n g w a n a j a p o k i d o g o .

UdiniWa s i w a c h u k u l i e Waislamu kuwa ni ‘hamnazo’. Waamue tu kufanya kwa ‘jeuri’ wakienda na dhana ‘watafanya n in i” , lakini wasiwadhanie Waislamu wajinga kihivyo. Wanaona n a w a n a e l e w a k i n a c h o e n d e l e a . Wa t a m b u e k u w a kuna wananchi hapa, wana malalamiko ya muda mrefu. Basi wayatizame ukweli wake au vinginevyo, watafute namna ya kuyaendea.

Abraham Lincoln alikuwa kiongozi wa Marekani wakati kwa Wazungu, ‘utumwa u k i n o g a ’ . L a k i n i akawaambia wenzake, hali hiyo haiwezi kuwa ya kudumu. Lazima

watafute ufumbuzi kabla harakat i za Weusi kutafuta haki hazijalipuka kama Volkano.

J u z i h a p a L o u s F a r r a k h a n a m e w a k u m b u s h a W a m a r e k a n i wenzake kauli hiyo ya Lincoln. Lakini a n a w a k u m b u s h a w a k a t i y a m e s h a f a n y i k a mabadiliko makubwa ya kutambua haki za Weusi toka kauli ile ya Lincoln. Na Lincoln ni kat ika viongozi wa Marekani wanaoheshimika sana akiwa amejengewa k u m b u k u m b u maalum.

Abraham Lincoln, kama Wamarekani wenzake Wazungu, a l i o n j a t a m u y a k u w a t u m i k i s h a kitumwa binadamu wenzake. Lakini kwa upande mwingine

nafsi yake na Ukiristo w a k e u l i m s u t a kwamba wale ‘Weusi’ nao ni binadamu, w a m e u m b w a n a Mungu na wana roho na damu kama yeye.

S a s a , k a m a a l ivyosema Louis Farrakhan, wapo watu wamekuwa wakifaidi katika mfumo uliopo hivi sasa unaoruhusu MoU baina ya watu wa dini moja huku walipa kodi wengine wakiwekwa kando. Lakini hebu warejee vitabu vyao vitakatifu: Kwa nini wawatendee wengine mambo ambayo wao was ingependa kufanyiwa?

N a w a z i n g a t i e kuwa maumbile ya mwanadamu hayawezi kuruhusu hali hiyo kuwa ni ya kudumu. Bora kushika wosia wa Lincoln kuliko kwenda na ‘Crusade’ ya Bush na washirika wake.

KIONGOZI wa zamani wa Libya, Muammar Ghadafi

ANNUUR REAL.indd 17 10/22/2015 1:27:34 PM

18 AN-NUURMUHARRAM 1437, IJUMAA OKTOBA 23-29, 2015

MAKALA

Zanzibar ilikuwa ni kituo muhimu cha elimu ya dini ya Kiislamu hata pale Waislamu wa Afrika Kusini walipotanzwa juu ya suala zi to la kidini na kukosa wa kulisuluhisha suala hilo na kuamua kulipeleka suala hilo Makka, jawabu w a l i o p e w a n i k u w a walipeleke suala hilo Zanzibar watajibiwa kwa ufasaha na ukweli walipofikisha ugomvi waliokuwa nao ufumbuzi ukatolewa na aliofanya hivyo ni Sheikh Abubakar B a k a t h i r a m b a y e alikwenda Cape Town nchini Afrika Mashariki.

N i t a p o k u j a kumzungumza Sheikh Abubakar nitayaeleza yaliojiri hata akapelekwa huko Afrika Kusini.

Uwezo wa Masheikhe wa Zanzibar ulikuwa mkubwa na wa kupigiwa mfano, kwani wengi wa Masheikhe hao walikuwa wakisomesha na kuandika v i t a b u m b a l i m b a l i . Z a n z i b a r i l i k u wa n i kioo kwa yule atakaye kujitizama uwezo wake kielimu. Hayo yalishamiri katika kipindi cha karne ya 19 hadi katika miongo minne ya mwisho ya karne ya 20.

Walipita Masheikhe wakubwa wakubwa ambao wakitukuzwa kwa elimu, adabu na mwenendo m z u r i w a l i o k u w a n a o . M i o n g o n i m wa wanavyuoni waliokuwa maarufu zama hizo na kuacha athari kubwa baada ya kuondoka kwao, mmoja wao alikuwa ni Sheikhe Shauri Bin Haji Ashirazy mzaliwa wa Tumbatu. Tarekhe yake kamili ya kuzaliwa haijulikani lakini inaaminika kuwa alifariki tarehe 11 Mfungo Sita 1331 (8 Februari 1913).

Sheikhe Shauri alisoma k w a g w i j i a m b a y e alikusanya fani zote za elimu ya dini ya Kiislamu Sheikhe Muhidin Bin Abdallah Al-Kahtany.

Sheikhe Shauri Al-Shirazy (ii)

Na Ben Rijal

Sheikhe Shauri Al-Shirazy ni mmoja kati ya wasomi waliobahatika kusoma kwa Muhidin Bin Abdallah Al-Kahtany na alifanya kazi kubwa ya kuelimisha wanafunzi mbalimbali mjini na mashamba. Sheikhe Shauri hajaandikwa kama inavyostahiki, kuna maandishi machache sana ambayo yanamuelezea. Ili kuweza kuiandika makala haya ilinibidi kufanya safari na kufika Donge kuonana na vitukuu vya Sheikhe Shauri na kuweza kuyadondoa ya hapa na pale na kurudia kitabu cha Sheikhe Abdalla Saleh Farsy Baadhi ya Wanavyuoni wa Afrika Mashariki kilichoandikwa mwaka wa 1944.

K a t i y a w a n a f u n z i ambao Sheikhe Shauri alishirikiana nao kusoma kwa Sheikhe Muhidin wa l i k u wa n i S a y y i d Ahmed bin Salim, Sheikhe Abdul Aziz bin Abdul Ghany. Sheikhe Suleiman Hayat na wengineo ambao wote kati ya wanafunzi h a o wa l i k u j a k u t o a mchango mkubwa wa dini ya Kiislamu visiwani Zanzibar na nje ya mipaka yake.

Sheikh Shauri na Sheikhe Abdul Aziz bin Abdul Ghany walikamatana na Dhikiri na kila mmoja alikuwa na tarika yake akiifwata. Sheikhe Abdul Aziz bin Abdul Ghany inasemekana ndio aliotilia nguvu Tarika Qadiriya Afrika Mashariki. Tarika yake aliojitungia akaja kuita “Nuraniyya” na Sheikh Shauri Tarika yake aliita Kirama na ilikuwa ikidhikiriwa kwa kishindo.

Ukiyafwatilia maisha ya Sheikhe Shauri utakuta kuwa Sheikhe Shauri alipokuwa katika umri wa makamo aliondoka kwao Tumbatu na kuelekea mjini kuitafuta elimu kama tunavyosisitizwa na dini yetu ya Kiislamu kuwa tuitafute elimu popote. Hadithi ya Mtume (SAW)inaeleza : "Itafteni elimu hata China."

Huko nyuma elimu ya dini ya Kiislamu ilikuwa ipo mjini na mashamba, watu kutoka mashamba wakenda mjini kusoma na wanapofaulu walikuwa wanaanzisha darasa zao huko mashamba na ndipo Zanzibar ikiwa ni Unguja na Pemba ilipiga hatua kubwa ya elimu ya dini ya Kiislamu. Masheikhe walikuwa wengi na hata p a l e M a s h e i k h e h a o walipokuwa na tafauti baina yao, wal ikuwa wakiheshimiana pasi na kupapurana. Tutaona katika makala hizi huko mbele.

Sheikhe Shauri alikuwa

kati ya wanafunzi wa Sheikhe Muhidin Bin Abdallah Al-Kahtany. Sheikhe Shauri alifika p a h a l a n d i p o k w a kujiendeleza na kujikuza katika uga wa dini ya Kiislamu, kwani Sheikhe Muhidin a l ikuwa na uwezo wa kutoa fatwa masala mbalimbali ya kidini na akisomesha f a n i m b a l i m b a l i z a elimu ya dini na hapo ndipo Sheikhe Shauri aliweza kuchota elimu ya kutosha. Ilikuwa kupita kwa Sheikhe Muhidin na kuambiwa umekubalika ilikuwa ni sawa kwa miaka hii umefuzu katika chuo kikuu chochote kile cha kidini.

Sheikhe Shauri alikaa kwa muda kujifunza kwa Sheikhe Muhidin akiwa anasoma fani mbalimbali za dini pamoja na lugha ya Kiarabu. Baada ya kuhitimu masomo yake na kukubalika kuwa sasa anaweza kudarasisha, Sheikhe Muhidin alimpa ruhusa mwanafunzi wake arudi shamba kwenda kusomesha kwa kufwata nyao za mwalimu wake. Sheikhe Shauri alifunga safari ya kurudi shamba lakini safari hii badala ya kurudia kwao Tumbatu a l i k o z a l i w a a l i t u a Donge. Maskani yake ya kwanza yalikuwa Donge Muwanda. Hapo aliweza kujinunulia shamba na kustakimu. Aliweka darsa kubwa iliyowavutia wengi ikawa watu walikuwa w a n a t o k a m a e n e o m b a l i m b a l i k w e n d a kusoma kwake na wengi wa wanafunzi walikuwa waki toka maeneo ya Kinyasini , Bumbwini na hata Tumbatu. Wote hao walikuwa wakifuatia darsa za Sheikhe huyu mashuhuri.

Mbali ya darsa za kila siku, vile vile Sheikhe Shauri alikuwa akiendesha darsa za wiki mtindo huu ni maarufu sana ambao

uliasisiwa Ukutani. Kuwa kunasomeshwa darsa za kila siku na kuna zile za wiki. Inaelezwa kuwa Sheikhe huyu akiimudu vilivyo kuitafsiri Qur’an na akitumia zaidi katika darasa zake za Qur’an kitabu cha “Jalaleyn”.

Mbali ya tafsiri ya Qurani aliyokuwa akisomesha, vilevile akisomesha vitabu mbalimbali kati ya hivyo ni Taajul Arusi cha Sheikhe Sakandri, Ulbati Sadik, Murshadi Awami, Ghaya na vyenginevyo ambao warithi wake wote nao walikuwa wakivisomesha n a v i n a e n d e l e a kusomeshwa hadi hii leo.

Sheikhe Shauri kuona k a z i y a k e i m e w e z a kutoa matunda akaona ni vyema ahamie Donge Msalani, kama alivyofanya a l i p o k u w a D o n g e Muwanda na hapo Donge M s a l a n i a l i j i n u n u l i a shamba ambalo ndilo lililokuwa likimuendesha maisha yake kutokana na mauzo ya mazao. Watu wa daraja za kina Sheikhe Shauri ni kati ya wale walioufahamu fika mwenendo wa Mtume Muhammad (S.A.W) wa mtu kupata riziki yake kwa jasho lake kinyume cha wale tuliokuwa nao zama hizi.

W a n a h i s t o r i a wanasimulia kuwa Donge Panga Maua ndio kilikuwa ni kituo cha mwisho cha Sheikhe Shauri. Sheikhe Shauri aliweka markaz kubwa hapo Donge Panga Maua na alipata wanafunzi wengi ambao baadaye walishika makamo yake. Kati ya hao ni Sheikhe Haji Bin Vuai Shirazy na Sheikhe Suleiman Ali. Hawa wawili walikuwa ni wazaliwa wa Donge. Aidha Sheikhe Ali bin Umar Shirazy alikuwa kati ya wanafunzi wake wakubwa akiwa hakuwa mzaliwa wa Donge.

Mbali ya darsa zake kuwalenga wanaume zaidi, Sheikhe Shauri aliweza kumuelimisha v ya k u t o s h a m k e we Mwana Alama ambaye naye alikuwa akidarasisha

wanawake wenzake na kuendeleza darasa kwa wanawake. Ilikuwa kwa mwanamke katika maeneo ya Kaskazini haikuwa na haja ya kwenda kuuliza k wa S h e i k h e S h a u r i kwani bibi huyu naye alikuwa akizimudu fani nyingi , ambapo kwa hivi sasa wanakosekana wanawake wa sampuli hiyo. Hata hivyo, masuala yakiwa mazito alikuwa akishauriana na mumewe.

Sheikhe Shauri aliwahi kuishi mjini kwa kipindi kifupi katika maeneo ya Mlandege ambapo hapo mkewe Mwana Alama a l i fanya kaz i kubwa kuwaelimisha kina mama wa maeneo ya mjini.

S h e i k h e S h a u r i a l i b a r i k i w a w a t o t o watano akiwemo Shadhili, Mohammed, Mahmond na wawili wakiwa wasichana. Shadhili Shauri Shirazi ni mmoja kati ya watoto wake ambaye alifanikiwa uzazi na kuzaa watoto saba akiwemo Haroun, Daud, Farasini, Shauri, Abdulsamad, Ziyabu na Khadija.

Kwa mujibu wa simulizi za uhakika , She ikhe Shauri Shadhili Shauri al Shirazy wengi wakipenda kumwita Sheikhe Shauri mdogo , k i j ana huyu aliweza kuelimika vya kutosha kutoka kwa baba yake Sheikhe Shadhili, na ndipo ukasibu ule msemo mtoto hufuata kisogo cha mzeee wake. Shauri mdogo alishika usukani naye baadaye akaziendeleza darsa alizozirithi kwa baba yake ambaye zinatokana na msingi aliouweka babu yake Sheikhe Shauri.

K u n a h a j a y a kushukuriwa Sheikhe Machano na Sheikhe Shamim bin Khamis ya kuendeleza elimu katika eneo la Donge ambayo mwanzil ishi wake ni Sheikhe Shauri. Pamoja na Masheikhe hawa wawili kuwa na shughuli nyingi mjini, hawakuitupa Donge na kukumbuka kuwa mtu kwao, ugeni sio kitu chema.

L e o D o n g e z i p o darsa, lakini sio kama zilivyokuwa zikiendeshwa siku za Sheikhe Shauri m we n ye we . J i t i h a d a zaidi zatakikana kwa upande wa Masheikhe na wanafunzi kwa kuweka misingi madhubuti ya kuiendeleza dini yetu na kuirejeshea Donge hadhi yake na Zanzibar kwa jumla.

Tunamuomba “Allah” atuwafikishie na hayo. “Ameen”

ANNUUR REAL.indd 18 10/22/2015 1:27:35 PM

19 AN-NUURMUHARRAM 1437, IJUMAA OKTOBA 23-29, 2015

TANGAZO

ISLAMIC PROPAGATION CENTREP.O. BOX 55105, Dar es Salaam; Phone: 022 2450069, 0784 267762, 0654 613086 Fax: 022 2450822, website:wwwipc.org.tz

Nafasi za kujiunga na Kidato cha I, 2016

ARUSHA: Ofisi ya Islamic Education Panel, Jambo Plastic, ghorofa ya 2 mkabala na Msikiti Mkuu wa Bondeni simu 0715 438676. KILIMANJARO: MOSHI: Msikiti wa Riadha simu 0686 938077, SAME: Juhudi Studio mkabala na Benki ya NMB Same simu 0757 013344. Kirinjiko Islamic Secondary School simu 0784 296424.TANGA: Twalut Islamic Centre – Mabovu Darajani simu 0713 014469/0768 087112. KOROGWE Shemea Shop: 0715 690008. LUSHOTO Mandia: 0782 257533. HANDENI Mafiga: 0782 105735.MWANZA: Nyasaka Islamic Secondary School simu 0717 417685/0786 417685. Ofisi ya Islamic Panel – Mtaa wa Rufiji mkabala na Msikiti wa Al-Amin simu 0714 097362.MUSOMA: Ofisi ya Islamic Education Panel Mtaa wa Karume, nyumba Na. 5 simu 0787 868611/0716 810002.SHINYANGA: Msikiti wa Majengo na Manispaa ya

Shinyanga Mjini simu 0768 895484/0655 608139. KAHAMA: Ofisi ya AN-NUUR karibu na Msikiti wa Ibadhi simu 0782 994738/0754 994738.DAR ES SALAAM: Ubungo Islamic High School simu 0687 820895.MOROGORO: Msikiti wa Ijumaa simu 0782 529263.DODOMA: Hijra Islamic Eng. Med Primary School simu 0718 661992.SINGIDA: Ofisi ya Islamic Education Panel karibu na Nuru Snack Hotel simu 0786 425838/0784 928039.MANYARA: Ofisi ya Islamic Education Panel Masjid Rahma simu 0784 491196.KIGOMA: Idhihari karibu na Msikiti wa Legeza Mwendo Mwanga simu 0717 383400/0754 569661. KIBONDO: Kibondo Islamic Nursery School simu 0784 442860. KASULU: Murubona Islamic Secondary School simu 0714 710802. Msikiti wa Mugera Mwandika simu 0763

945704/0714 717727.LINDI: Wapemba Store simu 0653 705627.MTWARA: Amana Islamic Secondary School simu 0787 231007.SONGEA: Kwa Kawanga karibu na Msikiti wa NURU simu 0713 249264. Mkuzo Islamic High School simu 0654 876317.MBEYA: Ofisi ya Islamic Education Panel Uhindini simu 0785 425319. Rexona Video mkabala na Mbeya RETCO simu 0713 200209/0785 425319.RUKWA: Sumbawanga: Ofisi ya Islamic Education Panel mkabala na shule ya Msingi Kizwite simu 0717 082073.TABORA: Kituo cha Kiislamu Isevya simu 0718 556355. NZEGA: Dr. Mbaga: 0784 576922.IRINGA: Ofisi ya Islamic Education Panel Masjid Hidaya simu 0714 522122.PEMBA: Kizimbani: Wete Islamic School simu 0777 870601.UNGUJA: Madrasatul-Fallah simu 0777 432331. Pand Book Shop: 0777 462056 karibu na uwanja wa Lumumba.MAFIA: Karibu na Msikiti Mkuu Ofisi ya Ust. Yusuph Ally: 0773 580703.

Wahi kuchukua fomu sasa

Shule hizi ni za Kiislamu zinazotoa taaluma na malezi bora kwa kuzingatia misingi na maadili ya Kiislamu.Shule hizi ni za BWENI na KUTWA za mchanganyiko wa wavulana na wasichana.Mwisho wa kurudisha fomu ni tarehe 31/10/2015. Fomu zinapatikana katika vituo vifuatavyo:

Kirinjiko Islamic High School - Same Mkuzo Islamic High School - SongeaAmbasha Islamic High School-Pemba

Nyasaka Islamic Sec. School - Mwanza Ubungo Islamic High School - Dar es SalaamWaislamu kote nchini mnatangaziwa nafasi za Kidato cha Kwanza 2016 kwa shule zifuatazo:

Ambasha Islamic High - Bweni tu - Pemba: 0777 870601/0786 573938 Kirinjiko Islamic Sec. Sch. - Bweni tu - Same: 0784 296424 Mkuzo Islamic High School - Bweni tu -Songea: 0654 876317/0783 079146 Nyasaka Islamic Sec. School - Bweni tu - Mwanza: 0786 417685/0713 749020 Ubungo Islamic High School - Kutwa na Bweni - DSM: 0687 820895/0716 960456

Mlete mwanao apate elimu na malezi bora ya kimwili, kiroho, na kiakili

ANNUUR REAL.indd 19 10/22/2015 1:27:38 PM

20 AN-NUURMUHARRAM 1437, IJUMAA OKTOBA 23-29, 2015

Ujumbe wa Hijra, MuharramNa Bakari Mwakangwale

20 MAKALA AN-NUUR20

Soma gazeti la AN-NUUR

KWA TSH 800/=kila Ijumaa

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Ltd, Dar es Salaam.

DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 2015

MUSLIM UNIVERSITY OF MOROGOROP.O. BOX 1031 Morogoro, Tanzania.

Tel: +255 23 2600256; Fax: +255 23 2600286 Website: www.mum.ac.tz, E-mail address: [email protected]

WA I S L A M U n c h i n i wametakiwa kusherekea mwaka mpya wa Kiislamu (1437) huku wakizingatia mafundisho ya hatua ya Mtume na Maswahaba zake kuhama kutoka Mji wa Makka na kuhamia Madina.

Wito huo umetolewa na Imamu wa Masjid Taqwa, Mwananyamala Jijini Dar es Salaam, Sheikh Juma Ramadhan, akiwahutubia Waislamu katika Ibada ya Swala ya Ijumaa, akiueleza Mwaka mpya wa Kiislamu 1437, Hijiria.

Imam Ramadhani alisema Tarehe ya Kiislamu ilianza kuhesabiwa pale Mtume Muhammad (s .a .w) na Waislamu walipohama (Hijra) kutoka katika Mji wa Makka na kwenda katika Mji wa Madina.

K w a u j u m l a I m a m Ramadhan, alisema kuna aina nyingi za Hijra, ambazo z i n a w e z a k u w a p a t i a W a i s l a m u t h a w a b u maradufu, kwa kuzingatia na kujifunza kupitia Hijra ya Mtume (s a w) wakati akiwa hai sambamba na maswahaba zake.

Akifafanua tukio hilo la Hijra, Imamu Ramadhan, alisema ni hali kamili ya usalama katika Uislamu, na kwamba inamuongezea M u s l a m u d a r a j a k wa kumjenga kutoka Muumini na kuwa ‘Mujaahid’ wa imani yake.

Alisema, kwa uzito wa jambo hilo ndio maana inaonekana katika Qur’ an, kuna aya nyingi zinataja neno imaan, Hijra na Jihadi mara kwa mara pamoja.

Akisherehesha Qur an (2:218) inayosema kuwa wale walioamini na wale waliohama na wakapigania ya Mwenyezi Mungu, alisema hiyo ni kuhama katika yote yaliyoharamishwa na kuingia katika yote yaliyo halali.

Imam Ramadhan, alisema naye Mtume (s a w) alipata kuulizwa na mmoja wa maswahaba wake, kuwa Je, Hijra gani iliyo bora?

Ambapo Mtume (s a w) alimjibu kuwa ni kuhama katika yale anayo yachukia Mola wake Mtukufu.

Aidha, alisema kutoka

kwa Mu’qil bin Yasaar (r.a) mbaye, amesema Ibada katika fitna ni kama Hijra. (Muslim).

Kwa maana hiyo akasema a n a p o j i k a z a m t u n a kujiepusha na fitna bila shaka atakuwa amepata fadhila za Hijra iliyokusudiwa, nao ni kama wakati huu walio nao sasa Waislamu nchini.

Alisema, kwa mujibu wa hadithi ya Mtume, ameeleza kwamba yule mwenye kuwapa amani Waislamu wenzake kwa ulimi wake na mikono yake na Muhajir ni yule mwenye kuhama (kujitenga) na yule aliyoyakaza Allah (s.w).

“Basi na tujiepushe na yote aliyoyakataza Allah (s.w) na kuzidisha ibada kwa wingi haswa katika miezi mitukufu kama hii au nyakati tukufu ambazo kwa neema za Allah (s.w) ametujaalia kuwa nazo zikitupitia mwaka mzima”. Alisema Imam Ramadhan.

Akawataka Waislamu k a t i k a m w a k a h u u kutathimini matendo yao ya mwaka uliopita (1436) kwa kurejea mahusiano yao na Allah (s.w), na kikubwa akasema ni kufanya kihamo kutoka katika yale yote waliyo mkosea Allah (s.w) na kurejea kwake na kumtaka msamaha wa dhati.

K w a m a a n a h i y o , a k a w a t a k a Wa i s l a m u kufanya Hijra za kimaadili kama vile kutoka katika kila aina ya shirki na kuingia katika Tawhid, kutoka katika ujinga na kuingia katika nuru ya elimu.

“Hijra kutoka katika faragha na kutumia wakati kwa ajili ya Allah (s.w), kutoka katika madhambi, upofu na kuingia katika Twaa ya Mola Mtukufu, Hijra kutoka kutengana, k u z o z a n a , k u p i g a n a , kuchukiana na kuingia katika umoja, usalama, maelewano na upendo.” Alisema Imam Ramadhan.

Imam Ramadhan, pia aliwataka Waislamu katika kipindi hiki cha kuelekea katika uchaguzi wa viongozi wa nchi wafanye Hijra ya mabadiliko.

Al i sema, Hi j ra h iyo izingatie dhulma, mateso na manyayaso dhidi yao hivyo wadhamirie kutoka katika utawala unao wadhulum na kuchagua viongozi wanaokusudia kufanya uadilifu kwa wananchi bila kujali itikadi ya vyama vyao au imani za dini zao.

Baadhi ya Waalimu wa chuo cha kiislamu Markazi Chang`ombe jijini Dar es salaam wakiwa katika picha ya pamoja na Masheikh mbali mbali katika kongamano lilozungumzia amani lililofanyika katika ukumbi wa mikutano chuoni hapo hivi karibuni.

EIGHTH GRADUATION CEREMONY FOR UNDERGRADUATE DEGREES DIPLOMA AND CERTIFICATES CONFERMENT 2015

The eighth graduation ceremony will be held at the campus of the Muslim University of Morogoro on SATURDAY, 14th November, 2015. The ceremony is expected to start at 2.00 pm and end at 5.30 pm.

Students eligible to attend the ceremony are undergraduates diploma and certificates students who successfully completed their studies in 2015.

Parents, relatives and guests of the students as well as interested members of the general public are welcome to attend the graduation ceremony at the playground. Guests are expected to dress modestly and decently. Lady guests attending the ceremony are advised to wear the hijab or any dress that does not expose the body other than the face, hands and feet.

All eligible students are requested to attend the occasion, regardless of whether or not they bring guests. However, they must inform the office of DVC (Academic) of their intent to participate in the ceremony NOT LATER THAN 6th November, 2015. For any enquiries call Public Relations Officer Mobile No: 0715 - 636905

Academic costumes (gowns, hoods and caps) are available for hire by the degree graduands starting from 6th to 13th November 2015.The University cashier’s office must receive from each of the participating students a bank pay in slip worth Tsh. 40,000 non refundable fee for hiring costumes and convocation.

This money should be paid into Muslim University of Morogoro Account no. 01J1013380601 CRDB Bank.

Graduands, who do not have costumes on, will not be allowed to participate in the Ceremony. Diploma and Certificates graduands will wear only Gowns and Caps. They will not wear HOODS.

Strictly, we shall not issue Academic costumes on the Graduation day. Each and every Graduand shall have his/her costumes between 6th and 13th November, 2015.

Graduands are required to bear in mind that the hired costumes shall have to be returned after the ceremony. A heavy fine will be imposed in case the costumes are damaged, or not returned in time. A hiring Contract Form will be provided for completion by those intending to hire the costumes.

For the safety of all participants and their guests, close-up picture taking and video recording near the stage is restricted.

REHEARSALSince the rehearsal is an integral part of the ceremony, all graduands who wish to attend

the graduation ceremony MUST attend the rehearsal which is scheduled on Saturday morning (14th November, 2015) at 8.30 a.m at the graduation site. Failure to attend rehearsals by graduands will result into such graduands being mentioned as graduating in absentia which implies they will not be officially presented to the guest of honor.

Certificates and transcripts of the graduands will not be given at the ceremony. These can be received at another convenient day from the Office of the DVC (Academic), starting early December 2015.

Ngaja M. MussaFor: DEPUTY VICE CHANCELLOR (ACADEMIC)

ANNUUR REAL.indd 20 10/22/2015 1:27:41 PM