damu ya agano la milele - isob-bible. · pdf filevifungu vyote vya biblia vimetolewa kutoka...

Download Damu ya Agano la Milele - isob-bible. · PDF fileVifungu vyote vya Biblia vimetolewa kutoka The Holy Bible ... inasema, ―Misingi ya mji huo ilipambwa kwa kila aina ya kito cha thamani

If you can't read please download the document

Upload: hadien

Post on 24-Feb-2018

1.358 views

Category:

Documents


462 download

TRANSCRIPT

  • 1

    Damu ya Agano la Milele

    Haki ya kumiliki 2002 na Larry Chkoreff

    Haki zote zimehifadhiwa.

    Toleo la Kiswahili 2010

    Kimetafsiriwa na kuchapishwa na:

    Cistern Materials Translation & Publishing Center, Nairobi,

    Kenya

    Barua pepe: [email protected]

    www.cisternmaterialscenter.com

    Kitabu hiki ni mali ya mwandishi. Kinaweza kuchapishwa

    tena, iwapo tu kitachapishwa chote, kwa ajili ya kukisambaza

    bure (bila malipo). Hairuhusiwi kukibadili au kukihariri kwa

    njia yoyote ile. Kikichapishwa tena ni lazima kiwe na tangazo

    la miliki.

    Mtindo 1.2 chapa ya Mei 2002

    Mtindo 1.5 2009

    Vifungu vyote vya Biblia vimetolewa kutoka The Holy Bible

    in Kiswahili Bi UV052 BST/BSK 2003 published by Bible

    Society of Kenya and Tanzania.

    Kimechapishwa na International School of the Bible-ISOB,

    Marietta, GA USA

    [email protected]

    www.isob-bible.org

  • 2

    Dibaji

    Katika 1 Wakorintho 1:18-2:5 Mtume Paulo alsima

    historia inadhihirisha kuwa hakuna mwanadamu aishiye

    duniani bila kukumbana na hali fulani ya mateso, ugumu na

    changamoto maishani, hata walio wafuasi wa Bwana Yesu.

    Kwa nini?

    Uasi dhidi ya Mungu ulidhihirika kupitia ukweli kuwa

    Adamu na Hawa hawakutumainia Neno la Mungu pekee bali

    akili zao wenyewe zilizowatenganisha na Mungu na

    kuwaletea laana.

    Miiba huwakilisha laana. Tulizaliwa chini ya laana za

    Adamu na wengi wetu wana laana za vizazi pia. Musa

    alipomsihi Mungu adhihirishe uhalisi wake, sehemu ya jibu

    lake inapatikana kwenye vifungu hivi na alizungumza kuhusu

    laana:

    Kisha BWANA akashuka katika wingu akasimama

    pamoja naye huko, akalitangaza jina lake, BWANA.

    BWANA akapita mbele ya Musa, akitangaza, BWANA,

    BWANA, Mungu mwenye huruma na neema, asiye mwepesi

    wa hasira, mwingi wa upendo na uaminifu, akidumisha

    upendo kwa maelfu, pia akisamehe uovu, uasi na dhambi,

    lakini haachi kuadhibu mwenye hatia, huwaadhibu watoto na

    watoto wao kwa ajili ya dhambi ya baba zao hata katika kizazi

    cha tatu na cha nne. Mara Musa akasujudu na kuabudu.

    Yesu alituonya sote kupitia mfano kuhusu mpanzi kuwa,

    hata Neno lake halina uwezo wa kutukomboa kutokana na

    laana iwapo hatushirikiani Naye. Pia alizungumza juu ya

  • 3

    Shukrani

    Ningependa kumshukuru mke wangu Carol kwa sababu ya

    msaada wake na kwa himizo lake ili niandike kitabu hiki.

    Craol alinitia changamoto ili niandike kitabu hiki Yesu

    aliishinda laana vipi? Kwa kuangikwa msalabani. Na amini

    kwamba tunashinda kwa njia hiyo tunapopitia kwenye

    dhoruba hizi. Tunabaini kuwa hazikuwa na mamlaka juu yetu,

    bali tunazitumia kubadili jalala zetu, miiba yetu, kuwa johari

    kwa ajili ya Ufalme wa Mungu.

    Kitabu cha Ufunuo ndicho Maandiko yetu kuhusu ushindi

    kama utakavyosoma baadaye katika kitabu hiki. Ufunuo 21:19

    inasema, Misingi ya mji huo ilipambwa kwa kila aina ya kito

    cha thamani. Msingi wa kwanza ulikuwa wa yaspi, wa pili

    yakuti samawi, wa tatu kalkedoni, wa nne zamaridi.

    2006

  • 4

    Yaliyomo Utangulizi .7

    Sura ya 1 - Dini au Damu 14

    Sura ya 2 - Je! Ilianza na Adamu? . 21

    Sura ya 3 - Neema Kupitia Urithi... 30

    Sura ya 4 - Mengi Kuhusu Agano la Damu 37

    Sura ya 5 - Kaini na Abeli 49

    Sura ya 6 - Nuhu Alipata Neema. 61

    Sura ya 7 - Abramu Alipokea Neema 70

    Sura ya 8 - Neema na Agano la Damu 78

    Sura ya 9 - Maneno ya ushuhuda wako .. 92

    Sura ya 10 - Abramu na Agano la Damu. 113

    Sura ya 11 - Agano la Damu Huondoa Laana. 131

    Sura ya 12 - Je! Umekuwa Mtumwa. 142

    Sura ya 13 - Undani wa mahusiano... 147

    Sura ya 14 - Dhoruba maishani mwako 155

    Sura ya 15 Mfilisti wako ni nai? 149

    Sura ya 16 - Toka lodebari hadi Yerusalemu. 161

    Sura ya 17 - Agano la Damu Kusufdi lako 170

    Sura ya 18 - Roho Mtakatifu. 178

    Sura ya 19 - Damu ya Uponyaji .... 192

    Sura ya 20 - Simba wa Yuda . ..213

    Sura ya 21 - Isaya Sura ya 53 . 214

    Fahirisi A - Ustadi wa Mahusiano. 216

  • 5

    Utangulizi

    Je, umewahi kujipata katika hali iliyo kama moto

    maishani? Je maisha yana kusisimua? Mungu aliyeumba

    ulimwengu wote anataka kubadilishana mahali na wewe

    kupitia agano la damu.

    Danieli sura ya 3 ina hadithi ya mfalme Nebkedreza.

    Labda umewahi kuwa dhaifu kama muumini ulipowahi

    kujihisi kuwa yamfaa Mungu kukutendea muujiza. Ulisoma

    katika Maandiko kuwa anakupenda na ungetaka aonyeshe

    hivyo katika hali yako. Kwa kuweka chukulizi pamoja,

    uliuliza Mungu akutendee muujiza na

    ulitarajia akutendee. Mara nyingine

    atatenda, lakini wakati mwingine, hata

    unapohitaji sana hatendi.

    Tunaweza kujifunza kupitia mfano

    uliyoandikwa katika Yohana sura ya 6

    jinsi Yesu alivyowalisha zaidi ya watu

    5,000 kwa mikate mitano na samaki

    wawili kwa kufanya muujiza wa kuzijumlisha na kustaajabisha

    umati. Walimfikiria Yeye kuwa yule nabii aliyezungumziwa na

    Musa aliyeweza kuwa mana kutoka mbinguni. Yesu akijua

    kwamba walitaka kuja kumfanya awe mfalme wao, kwa nguvu,

    akajitenga nao akaenda milimani

    peke Yake. (Yohana 6:15).

    Wanafunzi walivuka

    ngambo ya bahari kwa dau yao,

    naye Yesu akatembea juu ya

    maji na wakawasili pamoja.

    Umati uliokuwa umelishwa

    ulimtafuta Yesu asubuhi

    iliyofuata ukitarajia kutendewa

    muujiza tena. Hatimaye

  • 6

    walimpata.

    Yesu akawajibu, Amin, amin nawaambia, ninyi

    hamnitafuti kwa kuwa mliona ishara na miujiza, bali kwa

    sababu mlikula ile mikate mkashiba. Msishughulikie chakula

    kiharibikacho, bali chakula kidumucho hata uzima wa milele,

    ambacho Mwana wa Adamu atawapa. Yeye ndiye ambaye

    Mungu Baba amemtia muhuri (Yohana 6:26,27).

    Yesu aliwahimiza wajitahidi kutenda mapenzi ya Mungu.

    Alijua kuwasibisha tena kutakuwa jambo lisilo la kudumu,

    wala mahitaji yao hayatatimizwa ambayo yalijaa mioyoni

    mwao. Yesu anataka tufanikiwe. Yesu anatamani kutimiza

    mahitaji yetu, kutoka upande wa ndani hadi upande wa nje

    wala sio kutoka upande wa nje hadi ndani. Yesu akawajibu,

    Kazi ya Mungu ndiyo hii: Mwaminini Yeye aliyetumwa

    Naye (Yohana 6:29).

    Yesu alianzisha mazungumzo wasiyoyatarajia kwa kuwa

    alipenda kufanya hivyo. Yawezekana tunafikiri kuhusu

    mahitaji ya hapa duniani naye akabadilisha nathari yetu katika

    suala halisi.

    Baba zetu walikula mana jangwani, kama ilivyoandikwa,

    Aliwapa mikate kutoka mbinguni ili wale. Yesu

    akawaambia, Amin, amin, nawaambia, si Musa aliyewapa

    mikate kutoka mbinguni, bali Baba Yangu ndiye anawapa

    mkate wa kweli kutoka mbinguni. Kwa maana mkate wa

    Mungu ni yule ashukaye kutoka mbinguni na kuupa

    ulimwengu uzima. Wakamwambia, Bwana, kuanzia sasa

    tupatie huo mkate sikuzote. Yesu akawaambia, Mimi ndimi

    mkate wa uzima. Yeye ajaye Kwangu, hataona njaa kamwe na

    yeye aniaminiye, hataona kiu kamwe. (Yohana 6:31-35).

    Jibu lake lilistaajabisha. Wayahudi wakaanza

    kunung'unika kwa kuwa alisema, Mimi ndimi mkate

    ulioshuka kutoka mbinguni (Yohana 6:41).

    Pia aliwaingiza kwenye kina cha staajabu zake aliposema

    Mimi ni mkate wa uzima ule uliotoka mbinguni. Mtu ye yote

  • 7

    akiula mkate huu, ataishi milele. Mkate huu ni mwili wangu,

    ambao nitautoa kwa ajili ya uzima wa ulimwengu. (Yohana

    6:51). Ye yote alaye mwili wangu na kunywa damu yangu,

    atakaa ndani yangu nami nitakaa ndani yake. (Yohana 6:56).

    Yesu alikuwa akiwapa agano la damu katika Muumba

    wa vyote.

    Hiki ndicho atupacho mimi na wewe. Unaweza kukisia?

    Mungu mwenye uwezo na utakatifu, anajitoa kukupa nafasi

    wewe na mimi, watu wakosaji na walioumbwa! Alijua kuwa

    agano la damu lingewaunganisha watu hawa na kuwafanya

    wamoja ili wadumu ndani Yake Naye ndani yao. Alijua kuwa

    kumkubali kwao kungewatimizia mahitaji yao. Ungechagua

    nini, muujiza ulioweza kukuondolea matatizo ya kila siku, au

    dhabihu la damu na Mungu?

    Wengi wa wafuasi Wake waliposikia jambo hili

    wakasema, Mafundisho haya ni magumu. Ni nani awezaye

    kuyapokea? (Yohana 6:60).

    Yesu alisisitiza na kuyafanya mambo yaonekane magumu

    alipowauliza jinsi ambavyo wangekosewa iwapo

    hawangempata kula nyama Yake na kunywa damu Yake.

    Alikuwa akinena kuhusu kusulubiwa na kufufuka Kwake

    (Yohana 6:62). Ni hali ya kawaida kwa binadamu kutumaini

    miungu wanayoweza kuona.

  • 8

    Sura ya 1

    Dini au Damu

    Kwa maana mwili wangu ni

    chakula cha kweli na damu yangu

    ni kinywaji cha kweli. Ye yote

    alaye mwili wangu na kunywa

    damu yangu, atakaa ndani yangu

    nami nitakaa ndani yake. (Yohana

    6;55-56)

    Umewahi kunyimwa mujiza?

    Kama mwamini labda kulikuwana wakati mugumu

    maishani ulipo hisi ingekuwa sawa kwa Mungu kukupatia

    miujiza

    una soma kuhusu nguvu zake za kufanya miujiza katika

    bibilia. Unasoma ya kwamba anakupenda sasa unataka

    uionekane kwa katika hali yako.

    ukiweka haya mambo mawili pamoja unauliza miujiza

    kutoka kwa mungu na unatarajia tokapo.Wakati mwingine

    anafanya lakini mwingine mara mingi hafanyi.

    Tutaamini vipi? ako wapi mungu wakati