haraka%haraka%haina%baraka:mazoezi% …maana%ya%msamiati%huu! i) kushona! ii) kupima! iii)...

3
© Boston University LANGUAGE PROGRAM, 232 BAY STATE ROAD, BOSTON, MA 02215 www.bu.edu/Africa/alp [email protected] 617.353.3673 Haraka haraka haina Baraka: Mazoezi Zoezi la Kwanza: Toa maana ya msamiati huu i) Kushona ii) Kupima iii) Fundi nguo iv) Kubana v) Vitambaa vi) Kuharakisha Zoezi la Pili: Tunga sentensi kwa kutumia maneno katika swali la Kwanza Zoezi la Tatu: Chagua jibu lililosahihi; i) Kuluthumu na Amina walienda wapi? A: Walienda sokoni B:Walienda harusini C: Walienda kwa fundi nguo ii) Rafiki hawa wawili walitaka A: Kushonewa nguo B: Kupimwa nguo C: Kuchukua nguo iii) Kwanini Amina alitaka nguo yake ishonwe haraka? A: Alitaka apendeze zaidi ya rafikiye B: Aliona atachelewa harusini C: Alihitaji kuenda sokoni iv) Siku ya harusi ilipofika A: Amina alipendeza sana B: Kuluthumu alipendeza C: Nguo ya Amina haikumtosha vizuri

Upload: lammien

Post on 18-Jun-2018

305 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: Haraka%haraka%haina%Baraka:Mazoezi% …maana%ya%msamiati%huu! i) Kushona! ii) Kupima! iii) Fundinguo! iv) Kubana! v) Vitambaa! vi) Kuharakisha!! Zoezi%la%Pili:Tunga!sentensi!kwa!kutumia!maneno!katika!swali!la!Kwanza!!!

 

©  Boston  University  

LANGUAGE  PROGRAM,  232  BAY  STATE  ROAD,  BOSTON,  MA  02215  www.bu.edu/Africa/alp  

[email protected]  617.353.3673  

Haraka  haraka  haina  Baraka:  Mazoezi  

 Zoezi  la  Kwanza:  Toa  maana  ya  msamiati  huu  

i) Kushona  ii) Kupima  

iii) Fundi  nguo  

iv) Kubana  v) Vitambaa  

vi) Kuharakisha  

 Zoezi  la  Pili:  Tunga  sentensi  kwa  kutumia  maneno  katika  swali  la  Kwanza  

   

Zoezi  la  Tatu:  Chagua  jibu  lililosahihi;  

i) Kuluthumu  na  Amina  walienda  wapi?  A:  Walienda  sokoni  

B:Walienda  harusini  

C:  Walienda  kwa  fundi  nguo  ii) Rafiki  hawa  wawili  walitaka  

A:  Kushonewa  nguo  B:  Kupimwa  nguo  

C:  Kuchukua  nguo  

iii) Kwanini  Amina  alitaka  nguo  yake  ishonwe  haraka?  A:  Alitaka  apendeze  zaidi  ya  rafikiye  

B:  Aliona  atachelewa  harusini  C:  Alihitaji  kuenda  sokoni    

 

iv) Siku  ya  harusi  ilipofika    A:  Amina  alipendeza  sana  

B:  Kuluthumu  alipendeza  

C:  Nguo  ya  Amina  haikumtosha  vizuri    

Page 2: Haraka%haraka%haina%Baraka:Mazoezi% …maana%ya%msamiati%huu! i) Kushona! ii) Kupima! iii) Fundinguo! iv) Kubana! v) Vitambaa! vi) Kuharakisha!! Zoezi%la%Pili:Tunga!sentensi!kwa!kutumia!maneno!katika!swali!la!Kwanza!!!

 

  2  

v) Hii  si  mojawapo  ya  methali  inayoweza  kuelezea  kisa  hiki    

A:  Haraka  haraka  haina  Baraka  B:  Subira  huvuta  heri  

C:  Pole  pole  ndio  mwendo    

Zoezi  la  Nne:  Kweli    au  Si  kweli  

i)Amina  na  Kuluthumu  walishonewa  nguo  na  mpita  njia  ii)  Amina  alikuwa  na  haraka  ya  kwenda  sokoni  

iii)  Amina  alitaka  kuichukua  nguo  yake  siku  iliyofuata  

iv)  Fundi  hakushona  nguo  zote  mbili  vizuri  v)  Wanawake  walitaka  nguo  zishonwe  kwa  ajili  ya  kwenda  kilioni  

vi)  Methali  haraka  haraka  haina  Baraka  inakaribiana  sana  kimaana  na  Subira  huvuta  heri.        

 

Zoezi  la  5:  Kuandika  muhtasari  Andika  Muhtasari  wa  igizo  hili  kama  unamwadithia  mtu  mwingine.  

 

 Zoezi  la  6:  Kuelezea  maana  

Elezea  maana  ya  methali  hii  “haraka  haraka  haina  baraka”  kama  Ilivyotumika  katika  hadithi  hii.  

 

 Zoezi  la  7:  Kulinganisha  na  kutofautisha  

Linganisha  na  tofautisha  maana  ya  methali  hizi-­‐  subira  huvuta  heri  na  haraka  haraka  haina  Baraka  

 

Zoezi  la  8:  Jibu  Swali  hili  Taja  methali  au  msemo  wa  Kiingereza  unayofanana  na  methali  hii  

Unaweza  kuelezea  methali  hiyo  hutumikaje?  

 Zoezi  la  9:    Jibu  Swali  hili  

Page 3: Haraka%haraka%haina%Baraka:Mazoezi% …maana%ya%msamiati%huu! i) Kushona! ii) Kupima! iii) Fundinguo! iv) Kubana! v) Vitambaa! vi) Kuharakisha!! Zoezi%la%Pili:Tunga!sentensi!kwa!kutumia!maneno!katika!swali!la!Kwanza!!!

 

  3  

Andika  kisa  kifupi  kingine  ambacho  kinaweza  kuelezea  methali  “haraka  haraka  haina  Baraka”  

 Zoezi  la  10:    Jibu  swali  hili  

Jaribu  kuigiza  methali  hii    ili  kufanya  mazoezi    ya  kuongea  na  kukumbuka