hoja ya jussa maandamano - zanzibar yetu...issn 0856 - 3861 na. 997 rabbiul awwal 1433, ijumaa...

16
ISSN 0856 - 3861 Na. 997 RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 3 - 9, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu Maandamano makubwa kesho Ni ya kuihami Iran. Kupinga vikwazo, vita Muwekezaji Zanzibar adhalilisha wananchi Mahonda wapiga hodi Wizara ya Kilimo Shamhuna ashutumiwa kutupa wa-Donge Mshimba wa Kitope angalau atoa sauti Hoja ya Jussa yaibua mazito Safari ya Pinda, Shamhuna Brazil yashtukiwa Busara isipotumika, muungano hatarini Syria inahujumiwa RAIS wa Syria, Dkt. Bashar Al Assaad akimjulia hali mmoja wa maafisa wa jeshi aliyelazwa katika hospitali ya Shaheed Yousef al-Azmeh jijini Damascus baada ya kujeruhiwa na waasi. Ayatollah Seyed Ali Hoseyn Khamenei Mzee Mtwangi kapatia Uk. 12

Upload: others

Post on 02-Nov-2020

1 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: Hoja ya Jussa Maandamano - Zanzibar Yetu...ISSN 0856 - 3861 Na. 997 RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 3 - 9, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu Maandamano makubwa kesho

ISSN 0856 - 3861 Na. 997 RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 3 - 9, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

Sauti ya Waislamu

Maandamano makubwa kesho

Ni ya kuihami Iran. Kupinga vikwazo, vita

Muwekezaji Zanzibar adhalilisha wananchi

Mahonda wapiga hodi Wizara ya KilimoShamhuna ashutumiwa kutupa wa-DongeMshimba wa Kitope angalau atoa sauti

Hoja ya Jussa yaibua mazito

Safari ya Pinda, Shamhuna Brazil yashtukiwa Busara isipotumika, muungano hatarini

Syria inahujumiwa

RAIS wa Syria, Dkt. Bashar Al Assaad akimjulia hali mmoja wa maafisa wa jeshi

aliyelazwa katika hospitali ya Shaheed Yousef al-Azmeh jijini Damascus baada ya kujeruhiwa

na waasi.

Ayatollah Seyed Ali Hoseyn Khamenei

Mzee Mtwangi kapatia

Uk. 12

Page 2: Hoja ya Jussa Maandamano - Zanzibar Yetu...ISSN 0856 - 3861 Na. 997 RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 3 - 9, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu Maandamano makubwa kesho

2 AN-NUUR RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 3 - 9, 2012 TAHARIRI/HABARIAN-NUUR

S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786Cel: 0784 370 208, 0713 110148, 0755 260 087, DSM.

www.ipctz.org E-mail: [email protected] zetu zipo: Manzese Tip Top

Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

MAONI YETU ALLAH (SWT) anasema: “Na hatukumjaalia mwanadamu yeyote kabla yako kuwa na maisha ya milele. Basi je! Ukifa wewe, wao wataishi milele’’?.

“Kila nafsi itaonja mauti na tunakujaribuni kwa mtihani wa shari na kheri. Na kwetu sisi mtarejeshwa.’’ (21:34-35)

Mwanachuoni Shekhe Ally Muhsin Al-Bar’waan, ameifafanua aya hii kwa k u s e m a : “ E w e N a b i i hatukumjaalia mwanadamu yeyote kabla yako wewe aishi milele, hata ikawa h a o m a k a f i r i wa k a wa wanakutamania ufe wewe. Vipi wanakutamania mauti wewe na hali na wao vile vile watakufa kama wewe? Ukifa wewe, je, ndio wao watabakia kushinda wanadamu wote?

Kwa mujibu wa aya mbili hizi, tunajifunza yafuatayo. Kwanza kifo ni jambo la k imaumbi le . Jambo la lazima lisiloepukika. Kama ambavyo tumezaliwa, basi ni lazima wakati ukifika tufe. Kifo ni hatua ya nne katika zile hatua tano muhimu za maisha ya mwanadamu. Sambamba na hatua ya kifo ni hatua ya kupulizwa roho tumboni mwa mama, adhini, kiama.

J a m b o j i n g i n e tunalojifunza kupitia aya mbili hizi, nikuwa kifo hakizuiliki. Pamoja na jitihada za kibinadamu zinazofanywa na wanafamilia kwa ajili ya kunusuru maisha ya

NI hatari kubwa kwa serikali kuendelea kugharamia siasa zaidi kuliko watendaji na watalaamu katika utumishi wa umma na taasisi za huduma za kijamii.

Wa k a t i m g o m o w a madaktari na watumishi wa sekta ya afya kwa ujumla waki taka nyongeza ya mishahara yao, ambayo i n a e l e z wa k wa m b a n i kiduchu kulingana na kazi wanayoifanya, tayari zile p o s h o wa l i z o o n g e z wa wabunge kwa zaidi ya asil imia 100 zimedaiwa kuidhinishwa.

Shilingi 200,000 kutoka 70 ,000 z imeidhin ishwa kupewa wabunge ili wapate nafasi ya kukaa vizuri bungeni bila kuathiriwa na hali ngumu ya maisha na mfumuko wa bei wakiwa Dodoma.

Kama alivyoeleza Mbunge wa Kigoma Kaskazini Bw. Zitto Kabwe hivi karibuni, mazoea haya ya fedha za serikali kufadhili zaidi siasa, yanaweza kuwa kichocheo cha migomo zaidi nchini kwa kuwa wataalamu wetu watazidi kushawishika kudai malipo zaidi wakiamini kwamba fedha za kuwapa kuongeza vipato vyao zipo, lakini hawapewi kipaumbele k a m a w a n a v y o p e w a wanasiasa.

L a k i n i p i a t u n a o n a kwamba mazoea ya kuwapa zaidi kipaumbele wanasiasa kimalipo, yalijengeka kwa muda mrefu kiasi cha kuota mizizi ndani ya serikali.

Mazoea haya ndio moja ya sababu zinazowafanya wataalamu wetu wengi wa fani mbalimbali na hasa zile nyeti kama udaktari, kuzidi kuweka pembeni taaluma zao na kujiingiza kwenye siasa ili kupata kipato zaidi.

Tu n a a m i n i k w a m b a ki tendo cha kuridhiwa viwango vipya vya posho za wabunge wakati mgomo wa madaktari ukiendelea kurindima, kitachochea migomo zaidi kwa wataalamu wa fani nyingine, ambao n a o wa n a o n a k wa m b a wana umuhimu wa kupewa kipaumbele zaidi na serikali kuliko wanasiasa.

Wakati hili la madaktari halijamalizwa, kuna kila dalili walimu nao wakagoma au kuandamana. Tunaona kwamba hiz i posho za w a b u n g e z i t a c h a n g i a uharaka wa mgomo kwa

Serikali kujali zaidi maslahi ya wanasiasa ndio kichocheo cha migomo

watumishi hao . Tayar i Katibu Mkuu wa Shirikisho la vyama vya wafanyakazi nchini TUCTA, Nicholas Mgaya, naye amenukuliwa akitaka wafanyakazi wote nao waongezewe mishahara yao. Yote hayo ni matokeo ya kulazimisha posho za wabunge.

Bado kuna shida katika shirika huko TRL Pamoja na hayo, tunaona kwamba ingekuwa ni uamuzi wa busara kwa wenye mamlaka serikalini, kujenga mazoea ya kutatua mizozo ya watumishi mapema kabla ya athari kubwa kujitokeza.

Pamoja na hayo, tumezoe kuona migogoro mingi ya kimaslahi ya watumishi wa umma na hata wale wa sekta binafsi, ikichukua muda mrefu kutatuliwa. Vilevile watumishi hawa wamekuwa hawapati stahiki yao hadi kuzuke kwanza mzozo na serikali ndipo shida zao zitatuliwe. Hata inapofikiwa h a t u a y a k u t a t u l i w a m i z o z o h i i , m a d h a r a makubwa yanakuwa tayari yameshatokea.

Kwa bahati mbaya, mizozo kati ya watumishi na serikali inapotokea, wananchi ndio wanaoumia kama ilivyo hivi sasa katika mgomo wa madaktari. Wagonjwa w a n a t e s e k a , w e n g i n e wanapoteza maisha, wengine wa n a l a z i m i k a k we n d a hospitali binafsi ambazo huduma zake ni ghali.

Kwa namna hali ilivyo, tunaamini kabisa kwamba kama serikali itashindwa kuachana na utamaduni huu wa kutumia sehemu kubwa ya fedha zake kwa ajili ya kugharamia shughuli za siasa na wanasiasa, migomo na maandamano hayawezi kukoma hata yatakapotumika mabavu.

Kimant ik i tunaamini kwamba shughuli za siasa ndizo hasa kazi za wito ikilinganishwa na fani nyeti kama za udaktari, ualimu, polisi n.k.

Tukiepukana na utaratibu huu wa kuona wanasiasa ndio wenye meno ya kula na wengine wakidai stahiki zao ni wakorofi, hatutaweza kuepukana na maandamano ya mara kwa mara kwa watumishi wa serikali na wataalamu wetu.

Kila nafsi itaonja mautiNa Kaima Mwanjia mgonjwa, wakati mwingine

ni kwa kumuwekea mitungi ya oxygen itakayomuwezesha kupumua kwa wepesi, lakini bado haisaidii kama muda wa kuishi umekwisha. Kingine tunachojifunza kupitia aya hii ni kuwepo/kupatikana kwa ladha maalum ndani ya zoezi la kutolewa roho. Mu�i wa Pakistani marehemu Mohammed Shafi katika tafsiri yake ya Qur’an aliyoiita: Ma’riful Qur’an amekifafanua kipengele cha aya hii kwa kusema kwamba kila mtu atapata uchungu w akutolewa r o h o . Na Mtume (s.a.w) anasema: “Hakika mauti yana kilevi’’.

Hapana shaka k i lev i alicho kikusudia Mtume kupitia hadithi hii, ni ile hali ya maumivu na uchungu unaopatika katika kutolewa roho.

Tunajifunza pia kupitia aya mbili hizi katika kuwajaribu na kuhakiki ukweli wa imani zao, Allah (SWT) hutumia utaratibu wa kuwatia katika mitihani waja wake kwa kuwapa furaha na misiba. Kwamba je, watafurahi huku wakichunga mipaka ya Allah katika kufurahi kwao na kinyume chake.

Mtume anasema: “Ni ajabu iliyoje kwa jambo la Muumini, i k i m p a t a y e y e k h e r i , hushukuru na huwa kheri kwake, na yakimpata yeye madhara (shari) hushukuru, na pia huwa ni kheri kwake, na huikuti tabia hii ila kwa Muumini.’’

Katika hadithi iliyopokewa n a B i A i s h a [ R . a ] n a

kuthibit ishwa na Imam A h m a d , M t u m e [ s a w ] anasema: “Enyi watu! Yeyote atakayepatwa na msiba, basi ajifariji kwa kuufanya msiba wa Mtume kuwa ndio liwazo na rejeo lake kwa msiba uliompata kwani hakuna tena katika umati wangu baada ya kufa mimi atakayepatwa na msiba wenye machungu kuliko msiba wangu.”

Rejea majadiliano Sydna Abuu Bakar na Sydna Umar mara baada ya kupokea tarifa za kifo cha Mtume [saw] Sydna Umar akasema atakayesema Mtume amekufa nitamkata kichwa chake.

Angalizo: Ni kawaida na ni jambo la kisheria, kusimamishwa kwa swala kila baada ya kumalizika adhana. Ila kawaida hii hubadilika kwenye adhana anayofanyiwa mtoto mara baada ya kuzaliwa. Mtoto anapozaliwa huadhiniwa katika Sikio lake la kulia na hufanyiwa iqama katika Sikio lake la kushoto. Na mara baada ya kumalizika kwa adhana na iqama, hakuna Swala inayoswaliwa kwa muda huo!

Kwa upande mwingine, swala ya jeneza haina adhana wala iqama. Adhana na iqama yake vilitangulizwa tangu siku ya kuzaliwa mtoto.

Funzo kubwa tunalolipata kupitia angalizo hili la kisheria ni kwamba mwanadamu ajifahamu kwamba yeye ni marehemu mtarajiwa, wakati wowote ataondoka bila ya kupewa taarifa. Ai ya adhana wala iqama.

KATIKA hali isiyotarajiwa mtu mmoja aliyetambuliwa k u w a m i o n g o n i m w a waliopewa maeneo muhimu ya uwekezaji na uchumi, Zanzibar, amekiuka misingi ya maadili, hali iliyoibua h a s i r a m i o n g o n i m w a wananchi.

Muwekezaj i huyo ni yule aliyepewa Kiwanda mashuhuri cha asili nchini kilichoasisiwa na serikali ya Zanzibar kwa ajili ya uzalishaji wa sukari Mahonda kilichopo katika Jimbo la Donge, Wilaya ya Kaskazini B, Mkoa wa Kaskazini Unguja.

“Jambo linalotusikitisha zaidi ni kwamba tokea muwekezaji apewe eneo hilo miaka sita sasa, hajazalisha hata nusu kilo ya sukari”.

Al i l a lama mmoja wa Wananchi wa Shehia ya Mkataleni aliyeongozana na kundi la wenzake kwenda Wizara ya Kilimo, Mjni Unguja ambapo waliwasilisha kilio chao kwa mamlaka husika na pia kwa Waziri Mhe. Mansour

Muwekezaji Zanzibar adhalilisha wananchiNa Waandishi wetu,

ZanzibarYussuf Himid.

Lakini ukiacha kushindwa kuza l i sha sukar i kama ilivyotarajiwa, mwekezaji huyo anadaiwa kuwazuiya wananchi wanaozunguka kiwanda kulima mashamba yao akidai kuwa ni yake.

Wakilalamika wamesema k u w a i n a o n e k a n a mashamba yao ya mpunga yamejumuishwa na mashamba ya miwa ya kiwanda hicho kwa kupotosha mipaka katika utoaji wa kiwanda hicho.

Vinginevyo wanashindwa kujua mwekezaji huyo kutoka Tanzania Bara anapata wapi jeuri ya kutumia polis i kuwapiga na kuwazuiya kulima mashamba yao.

Uchunguzi wa mwandishi umebaini kuwa serikali ilishafanya uchunguzi na kugundua upotoshaji wa mipaka na kutaka mkataba wa mwekezaji huyo usitishwe na mipaka kuwekwa sawa.

Hata hivyo hadi sasa suala hilo halijashughulikiwa na wananchi wanazidi kupata taabu kwa kukosa kuzalisha chakula chao kwa v i le hawawezi kutumia mashamba

yao ya asili.Baadhi ya wananchi wa

Mahonda wanasema kuwa, huenda hali hii ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kushindwa kumaliza mgogoro huo huku vyombo vyake vya dola vikipiga wananchi wanaotetea haki yao, ndiyo inayompa jeuri mwekezaji huyo kudai kuwa Zanzibar hakuna viongozi.

Walicholalama wananchi hao ambao waliongozana makundi kwa makusudi kuwasilisha udhia wao huo, ni kwamba siyo tu kuwa mradi aliopewa muwekezaji huyo haujaleta tija ila hasara, bali pia umeleta usumbufu mkubwa pamoja na ufukara wa kupindukia, hali ambayo ni kinyume na azma ya serikali kuwapunguzia wananchi adha ya maisha kupitia kilimo na uzalishaji wa chakula cha kutosheleza nchini.

“Maisha yetu yanategemea kilimo tunaishi kwa kilimo sasa wanapokuja watu wa namna hii wanatuzuilia maisha yetu na tunabaki hatuna la kufanya

Inaendelea Uk. 3

Page 3: Hoja ya Jussa Maandamano - Zanzibar Yetu...ISSN 0856 - 3861 Na. 997 RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 3 - 9, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu Maandamano makubwa kesho

3RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 3 - 9, 2012 AN-NUURHABARI

Hoja ya Jussa yaibua mazitoKATIKA hali isiyotarajiwa, kumeibuka maswali mengi magumu juu ya namna umma ulivyopokea Ajenda ya Kuiongezea Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ukanda wa Bahari Kuu ‘Exclusive Economic Zone’ (EEZ).

Umma umepokea hali ya mijadala juu ya hoja hiyo kwamba inaweza kuleta makubwa yakiwamo kile k i l i c h o t a j wa k u d h i h i r i kwa azma ya kila upande wa Jamhuri ya Muungano, Tanzania Bara na Zanzibar, na zaidi juu ya Fungamano lao hilo la tangu Aprili, 1964.

Asili ya hali hiyo ni kama kwamba kuhusiana na Hoja ya Kujadili Jambo la Dharura aliyoiwasilisha Mwakilishi wa Jimbo la Mji Mkongwe, Bw. Ismail Jussa Ladhu ndani ya Baraza la Wawakilishi la Zanzibar lililoketi katika Ukumbi wake mpya uliopo maeneo ya Chukwani, nje kidogo ya Mji wa Unguja, mnamo Januari 23, 2012.

Kwa mujibu wa taarifa, tayari Baraza la Wawakilishi la Zanzibar limeipitisha Hoja hiyo na ili kuiwekea Maazimio kabla ya kutolewa Maamuzi yakiwamo ya kuwawajibisha baadhi ya Vigogo waliodaiwa kuashiria azma ya kuisaliti nchi ya Zanzibar .

Mamlaka ya kuwajibisha watendaji hao wakiwamo Wakuu wa Wizara ya Maji, Ujenzi, Nishati, Ardhi na Makaazi, ya Zanzibar , si ya Baraza la Wawakilishi, bali maamuzi yanahusu Serikali Kuu na Baraza lake la Mapinduzi, ambalo kwa hapa ndilo Baraza la Mawaziri.

Kupitishwa kwa Hoja hiyo katika Baraza la Wawakilishi la Zanzibar, kunatoa fursa kwa Baraza la Mapinduzi kusitisha ule Mpango wa Kuiombea Tanzania nyongeza ya Mipaka ya Bahari Kuu, katika Umoja wa Mataifa, kama pendekezo rasmi lilivyowasilishwa hivi karibuni.

Kabla ya kuipitisha hoja hiyo Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi, wa pande zote, Chama tawala, Chama cha Mapinduzi, CCM pamoja na wa Chama cha Wananchi, CUF, walipendekeza hatua zaidi dhidi ya ukiukaji wa taratibu za kile walichoita maamuzi makubwa yanayoihusu nchi ya Zanzibar.

M i o n g o n i m w a mapendekezo hayo ni kutaka Rais ama Serikali Kuu ya Zanzibar, kumuwajibisha Waziri mwenye dhamana ya Nishati ya Zanzibar, Mhe. Ali Juma Shamhuna na wenzake, ndani ya Wizara hiyo.

Hi i n i baada ya k i le walichotaja Wajumbe hao upotoshaji, ukiukaji wa haki, heshima, hadhi, na maslahi

Na Waandishi wetu, Zanzibar

ya M s h i r i k a M k u u wa Muungano, kati ya Wawili, Zanzibar, katika maamuzi ya mambo yanayoihusu nchi.

Miongoni mwa hoja ni zile zilizochangiwa na Wajumbe mbali mbali wakiwamo, Mjumbe wa Viti Maalumu (CCM) , B i Asha Bakar Makame, Mwakilishi wa Jimbo la Kwamtipura Bw. Hamza Hassan Juma (CCM), na Mwakilishi wa Kuteuliwa na Rais, Bw. Ali Mzee Ali.

Kwa ujumla Waheshimiwa hao na wengi wengineo, walieleza nguvu ya Baraza hilo katika maamuzi ya kuwawajibisha wahusika wote wanaobainika kuisaliti Zanzibar, wakiwamo hawa wal iodaiwa kuburuzwa kinyemela katika Ajenda ya EEZ.

Miongoni mwa nguvu ya Baraza, ni kupiga kura ya kutokuwa na imani na serikali dhidi ya wote akiwamo pia Makamu wa Pili wa Rais ambaye ni Mtendaji Mkuu wa Serikali ndani ya Baraza, au Mkuu mwingine yeyote.

Wa j u m b e w a l i k u w a wakali juu ya ukimya wa Serikali ya Zanzibar juu ya EEZ, ingawa hatimaye ilikuja kubainika kwamba Visiwani hawakushirikishwa katika azimio hilo ; na kwamba sasa wanachosubiri ni hatua za k i tara t ibu kue lekea maamuzi.

Katika mengi yaliyoleta hoja ni pamoja na hisia za kuigeuza Hoja hiyo kuwa ya Mh. Jussa na siyo Azimio la Baraza,

hali ambayo imechukuliwa kama ni hujuma za makusudi au upotoshaji juu ya ukweli wa mambo na msimamo wa Zanzibar, katika suala la EEZ.

“ N a o n a k u n a n j a m a za makusudi za kujaribu kupotosha kutoka upande wa Tanzania Bara zikiongozwa na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makaazi Prof. Anna Tibaijuka”, alisema Jussa alipoongea na waandishi wa habari Ofisini kwake Vuga mjini hapa, katikati ya wiki.

Wanachohoji pia baadhi ya wadadisi ni kwa nini Tanzania Bara imewasilisha Ajenda hiyo muda mfupi baada ya kile kilichogunduliwa ushauri wa Watafiti wa Kuchimba Mafuta waliobainisha kuwa sehemu kubwa ya Petroli ya Ardhini ipo katika Ukanda wa Pwani unaoikaribia Zanzibar kuelekea Mipaka ya Bahari Kuu.

A i d h a , w a c h u n g u z i wamebaini udhaifu katika Mikataba ya Uchimbaji wa mafuta ambayo Tanzania Bara

imesaini hivi karibuni bila ya kuihusisha Zanzibar, siku chache baada ya Wawakilishi kulipinga pendekezo.

Wapo waliobaini kwamba haikuwa bure kwa Ziara ya Wa z i r i M k u u M h e . M i z e n g o P i n d a n c h i n i Brazil kumjumuisha Mhe. Shamhuna, ambako maongezi ya awali ya kuyakaribisha makamuni makubwa ya kuchimba mafuta kutoka huko, yalianza.

Wanacholalama wananchi na zaidi upande wa Zanzibar, ni kwamba Bara wameichukua hoja hiyo ya Baraza la Wawakilishi, kama ni ya Jussa binafsi, huku wakielewa tayari Zanzibar ni nchi, kwa mujibu wa Marekebisho ya Kumi ya Katiba, na pia hiyo ilikuja tu kukumbusha Maazimio yaliyokwishafikiwa tangu 2009, ya Zanzibar kukataa mashirikiano na Bara juu ya Nishati ya Mafuta; wakati ambao Waziri Kiongozi wa wakati huo, Mheshimiwa Shamsi Nahodha alilazimika ku iandik ia Jamhur i ya Muungano wa Tanzania, juu ya heshima na Nafasi ya Zanzibar katika Muungano.

Pamoja na majibizano, n a h a t u a z a h a p a n a pale, ambazo uchunguzi umebaini watendaji Wakuu wanaohusika na Kero za Muungano kuitana faragha, w a p e m b u z i w a n a h i s i busara isipotumika, na haki ikatendeka kwa mujibu wa sheria, muungano utakabiliwa na wimbi kubwa na utazidi kutikisika.

Muwekezaji Zanzibar adhalilisha wananchiInatoka Uk. 2kwa kusema kweli”, alisema mmoja wa wananchi hao aliyejitambulisha kwa jina la Hussein Kassim.

Pamoja na hayo matusi aliyoivurumisha muwekezaji huyo dhidi ya wananchi, jamii, na serikali ya Zanzibar, ni miongoni mwa mambo yaliyopelekea ghadhabu za wananchi hadi kufikia kusema hapana haja tena ya mtu huyo katika nchi hii.

“Alichotuudhi zaidi ni kuwatukana viongozi wa nchi hii matusi ambayo h a i s e m e k i a k i t wa m b i a mambo yasiyoelezeka hapa”, aliongeza malalamiko hayo Bw. Ahmed Suleiman.

W a k a t i w a n a n c h i wakijaribu kubainisha yale wasiyoyaridhia kutoka kwa muwekezaji huyo, miongoni mwao waliibuka wakisema, “anawatukana viongozi wetu bwana anatuudhi na kutudhalilisha kupita kiasi”.

“Katika mengi aliyosema kila mara utamsikia akisema nchi hii haina viongozi wacha tutafanya tutakavyo hapo ndipo alipotufikisha”, aliongeza Bi Rehema Nassor ambaye pia alijumuika katika msafara huo.

Kat ika mfulu l izo wa

lawama hizo, wananchi hao walimtaja Bwana Shamba Mkuu wa Bonde la Mahonda linalotumika sehemu yake kwa ajili ya Kiwanda hicho kilichomilikishwa sasa kwa muwekezaji mwenye asili ya Kiasia, kwamba baada ya kuona amekosa la kufanya aliamua kufungua kituo cha kuuzia ulevi (baa) katikati ya makaazi ya watu na kusababisha usumbufu mkubwa na hatimaye kuibua suitafahamu miongoni mwa wakazi wote Waislamu wa maeneo hayo.

“Ametuwekea kituo cha kuuza ulevi katikati ya makaazi yetu tulipolalamika n a k u w e k a p i n g a m i z i akatwambia tutakoma na kweli tukakoma”, alisema Mzee Juma Saleh ambaye aliendelea kuhadithia udhia wa namna wananchi hao walivyopata kisago cha polisi wa Kituo cha Mahonda kiliopo jirani na Kiwanda hicho.

Waliyemnyooshea kidole wananchi hao wa Mahonda ni pamoja na Muwakilishi wa Jimbo lao la Donge, Mhe Ali Juma Shamhuna na pia uongozi wote wa Wilaya ya Kaskazini Unguja wakisema umewasaliti.

“Hatumuoni Mbunge wala Muwakilishi na hata

hao Viongozi wa Wilaya hawana habari nasi kabisa wametusaliti adha yatupata siye”, walitamka wananchi hao pale walipokuwa wakimtegea sikio mwenzao Bi Asha Ali Mohamed aliyeambatana nao.

Kilio hiki cha Wananchi wa Mahonda kilifikia mbali hadi Mahakama Kuu na kisha ndani ya Baraza la Wawakilishi la Zanzibar, ambapo Muwakilishi wa Jimbo la Kitope Mhe Haji Makame Mshimba alilazimika kupaza sauti juu ya kadhia inayowasibu makhuluki hao.

Al isema yeye binafs i a l i l a z i m i k a k w e n d a kuwagomboa wananchi hao Mahakamani kwa kile kisingizio ambacho hakina kichwa wala miguu, raia wema wakitekeleza wajibu wa kujitafutia riziki za halali na kuitikia wito wa serikali yao wa kuongeza chakula kinachozalishwa ndani ya nchi na zaidi mpunga au mchele na hatimaye yakawakuta.

Muwakilishi huyo alitaka Wizara husika ifanyie kazi udhia huo au vinginevyo kutafuta ufumbuzi wa haraka wa kuwawekea wananchi mazingira ya ku j ipat ia riziki zao kupitia kilimo na

uzalishaji. Uchunguzi ulibaini kuwapo

hatua mbali mbali hapo kabla, ambapo baadhi ya Mawaziri waliwahi kufika hapo pamoja na Wajumbe wa Kamati za Baraza la Wawakilishi huku wengine wakipendekeza k w a m b a M u w e k e z a j i huyo aondoshwe kwani ameshindwa kazi atafutwe mwengine, ingawa kwa mujibu wa uoni wa wananchi, h a k u n a k i l i c h o e n d e l e a baadaye ila Vikosi vya Ulinzi vinavyowaibukia kila uchao kuwacharaza ama kuwatishia kwa mitutu ya bunduki, huku ‘mtukanifu huyo’ akiendelea kupeta.

Miongoni mwa wananchi wal ikar i r iwa wakisema kama serikali imepuuza udhia wao huo basi ieleweke k w a m b a w a k o t a y a r i “ k u u n g a n a n a we n z a o waliolala ndani ya Meli ya Mv Spice Islanders almuradi zama za kudhalil ishana zimekwisha”.

H a d i t u n a k w e n d a m i t a m b o n i , j u h u d i z a kumpata mwekezaji huyo kupata maoni yake kuhusu shutuma hizi anazorushiwa hazikufanikiwa.

Mheshimiwa Shamsi Nahodha

Page 4: Hoja ya Jussa Maandamano - Zanzibar Yetu...ISSN 0856 - 3861 Na. 997 RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 3 - 9, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu Maandamano makubwa kesho

4 AN-NUUR RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 3 - 9, 2012 HABARI

Maandamano makubwa keshoM A A N D A M A N O makubwa yanatarajiwa k u f a n y i k a k e s h o Jumamosi katika miji zaidi ya 50 duniani.

Maandamano hayo ni maalum kwa ajili ya kuwahami watu wa Iran kutokana na uharamia wanaofanyiwa na Marekani pamoja na nchi za Ulaya.

Kwa mujibu wa taarifa i l i yo t o l e wa m a p e m a wiki hii na waandalizi w a m a a n d a m a n o hayo, kibwagizo katika m a a n d a m a n o h a y o kitakuwa “No war, no sanctions, no intervention, no assassinations against Iran.”

K i b w a g i z o h i c h o kimebeba ujumbe wa waandamanaji ambao wanai taka Marekani , Ulaya na Israel kuacha mipango yao ya kihalifu ya kuiwekea vikwazo Iran.

Wanazitaka pia nchi hizo kuacha uharamia wao ama wa kushiriki moja kwa moja au kupitia vikundi vya kigaidi, kuihujumu Iran kwa vitendo vya kigaidi ikiwemo mauwaji ya watu mashuhuri na ulipuaji wa mabomu katika misikiti na sehemu mbalimbali yanayosababisha maafa kwa watu wasio na hatia.

K u f a n y i k a k w a maandamano hayo, ni kutekeleza maazimio ya kikao cha pamoja cha taasisi zenye makao yake Marekani zinazopinga ubeberu na vita (anti-imperialist and anti-war organizations) kilichofanyika Januari 17, 2012.

Taasisi zil izoshiriki kikao hicho na ambazo mpaka sasa zinaunga mkono maandamano hayo ni United National Anti-War Coalition (UNAC), the International Action Center (IAC), SI! Solidarity with Iran, Refugee Apostolic Catholic Church, Workers World Party, World Can’t Wait, American Iranian Friendship Committee, na Campaign Against Sanctions & Military Intervention in Iran (CASMII).

Nyingine ni ANSWER (Act Now to Stop War and End Racism), Antiwar.com, Peace of the Action, ComeHomeAmer ica .us , St. Pete for Peace, Women Against Military Madness ( WA M M ) , D e f e n d e r s for Freedom, Justice & Equality-Virginia, WESPAC

Na Mwandishi Wetu

Foundation, Peace Action Maine, Occupy Myrtle Beach, Minnesota Peace Action Coalition, Twin Cities Peace Campaign na Bail Out the People Movement (BOPM).

Wapo pia watu binafsi wanaoshiriki ambao ni pamoja na mwandishi D a v i d S w a n s o n , aliyeandika kitabu, “When the World Out lawed War.”

Mwingine ni mwandishi Phil Wilayto (In Defense of Iran: Notes from a U.S. Peace Delegation’s Journey through the Islamic Republic).

A m e t a j w a p i a m w a n a s h e r i a m k u u mstaafu wa Marekani William Ramsey Clark k w a m b a a n a u n g a mkono kufanyika kwa maandamano hayo.

Kwa pamoja taasisi hizo zinakubaliana kwamba ni uonevu kuiweka vikwazo Iran katika mafuta na benki zake.

Kwamba vikwazo hivyo vyenyewe ni vita dhidi ya Iran kabla hata hiyo hatua nyingine inayochochewa ya kuingia kijeshi.

Miongoni mwa miji mashuhuri inayotarajiwa kufanya maandamano k e s h o n i p a m o j a n a Washington DC, New York, Boston, Sea�le, Minneapolis, Detroit, Atlanta, Los Angeles na San Francisco.

Mingine ni Vancouver ( C a n a d a ) , D h a k a (Bangladesh), Oslo (Norway), Calcutta (India) na huko Ireland.

A k i e l e z e a h a t a r i y a m g o g o r o h u u

u n a o c h o c h e w a n a Marekani, Profesa Michel Chossudovsky anasema kuwa hii inaweza kuzaa Vita Kuu ya Tatu ya Dunia.

Anasema, Marekani inatafuta kila kisingizio i l imradi tu ipatikane sababu ya kufanya vita.

Profesa Chossudovsky ambaye ni Mkurugenzi wa taasisi ya Centre for Research on Globalization, anasema kuwa kutokana na propaganda inayopigwa kupitia vyombo vya habari, Wamarekani na Ulaya wamefikishwa mahali pa kuaminishwa kuwa Iran ni jinamizi la kutisha na lililosababu ya maovu yote ulimwenguni.

Katika hali hiyo, watu wanakosa ile akili huru ya

kufikiri na kuona kuwa kinachofanyika ni hujuma na uonevu kwa Iran.

B a a d a ya k u k o l e a propaganda hiyo, Michel Chossudovsky anasema: “what the United States wants now, including its allies, is some kind of a green light which will give a human face to a war.”

Kwamba inachohitaji sasa Marekani na washirika wake ni kisingizio cha kuingia kijeshi Iran (ikijua kuwa itapata uungwaji m k o n o k wa s a b a b u propaganda ishakamilisha kazi ya awali).

Michel Chossudovsky anasema kuwa hata kabla ya kuivamia rasmi kijeshi Iran, mambo yalivyo, tayari ni kana kwamba vita imeanza.

“This war has already started. There are drone attacks, there are special [American] forces inside Iran and there is financial warfare.”

Anasema akiongeza kuwa mpango wa kuipiga Iran iliwekwa mara tu baada ya kuvamiwa Iraq na kwamba maandalizi rasmi yalianza mwaka 2005.

Hata hivyo anaonya kuwa iwapo Marekani itaingia kijeshi Iran, vita hiyo inaweza kuiingiza C h i n a n a U r u s i n a hapo kutakuwa hakuna uwezekano wa kuzuiya tena maafa kama yale ya Vita Kuu ya Kwanza na ya Pili ya Dunia.

Maelezo na tahadhari hii ya Michel Chossudovsky, ilitangazwa na televisheni ya Urusi, Russia Today (RT) Januari 29, 2012.

K w a u p a n d e mwingine, walimwengu w a n a t a h a d h a r i s h w a wasilitizame suala hili kama tatizo la Iran pekee. Kwanza wanakumbushwa kwamba, uwezekano m k u b wa n i k wa m b a shutuma inazobebeshwa Iran, ni urongo mtupu.

L a k i n i h a t a k a m a baadhi ya madai yakiwa ni kweli, wanaotoa madai na shutuma dhidi ya Iran si wakweli.

Unatolewa mfano jinsi walivyoleta kisingizio cha kupambana na ugaidi wakasababisha maafa makubwa Afghanistan na Iraq.

“The precedent of “the war on terror” - a campaign during which the US occupied

Inaendelea Uk. 8

Ayatollah Sayyed Ruhollah Musavi Khomeini,

Page 5: Hoja ya Jussa Maandamano - Zanzibar Yetu...ISSN 0856 - 3861 Na. 997 RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 3 - 9, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu Maandamano makubwa kesho

5RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 3 - 9, 2012 AN-NUURHABARI ZA KIMATAIFA

Sasa Marekani imetangaza nia yake kuingia Nigeria kijeshi.

K i s i n g i z i o k a m a ilivyokuwa ikitarajiwa ni mashambulizi ya Boko Haram.

Katika masiku ya hivi karibuni, hasa baada ya serikali ya Rais Goodluck J o n a t h a n k u k a b i d h i masua la ya usa lama wa Nigeria kwa CIA na Mossad, mashambulizi yanayodaiwa kufanywa n a B o k o H a r a m yameongezeka katika kiwango cha kutisha.

Hata hivyo, baadhi ya wachambuzi wa mambo w a m e s e m a k u w a , mashambulizi hayo ni ya kupanga, yaani “False Flag Terror Operations” i l i kupata k is ingiz io kwa mataifa yenye uchu wa mafuta ya nchi hiyo kuingia.

Taar i fa za uhakika z i n a o n y e s h a k u w a kumekuwa na makundi mengi ya kihalifu ambayo yamekuwa yaki fanya m a u wa j i n a u h a l i f u wakijiita kuwa ni Boko Haram.

W a m e w a h i p i a kukamatwa wahal i fu waliovalia kama Waislamu lakini Wakristo wakilipua makanisa, nao wakijfanya kuwa ni Boko Haram.

Wachambuzi wa mambo walishawahi kusema kuwa makundi haya ya kihalifu yamekuwa yakifadhiliwa na kutumiwa na makachero wanaotumikia mabeberu ili kufanya uhalifu kusingizia Boko Haram.

Ni baada ya kuzidi kwa matukio haya ya kihalifu yanayopachikwa u-Boko Haram, sasa Marekani inatangaza nia ya kuingia kijeshi Nigeria kupambana na Boko Haram hao.

Hatua hii ya Marekani ya kutangaza nia yake ya kuingia kijeshi nchini Nigeria imelalamikiwa vikali na kutajwa kuwa ni uingiliaji wa wazi wa mambo ya ndani ya nchi hiyo.

Bwana Nii Akuetteh, mchambuzi wa masuala ya kisiasa barani Afrika ameiambia televisheni ya Press TV kwamba uingiliaji kama huo wa kijeshi utaleta maafa makubwa nchini Nigeria.

Mchambuzi huyo pia amesema kuwa, iwapo M a r e k a n i i t a a m u a kutekeleza azma yake ya kuivamia kijeshi Nigeria,

Marekani yatangaza nia kuingia kijeshi NigeriaKichocheo ni Boko Haram, mafuta

ni wazi kuwa mbali ya kuharibu hali ya ndani ya Nigeria, hatua hiyo itaisababishia matatizo makubwa pia Marekani ndani na nje ya Nigeria.

Ikulu ya Marekani, White House, ilikuwa imetangaza kuwa inafikiria uwezekano wa kuingia kijeshi katika maeneo yenye utajiri wa mafuta nchini Nigeria.

Nia hiyo ya Washington imepata nguvu baada ya viongozi wa serikali ya Marekani kudai kuwa matatizo ya Nigeria ni matatizo ya Marekani.

Matamshi hayo ya viongozi wa Marekani yanatia nguvu madai k u w a , k u a n z i s h w a mashambulizi ya makundi kama Boko Haram, kuna lengo la kutoa mwanya wa kuingiliwa kijeshi Nigeria na madola ya kigeni.

Ikiwa ni sehemu ya serikali ya Nigeria kutatua mzozo wa kigaidi wa Boko Haram na kukabiliana na changamoto za kiusalama nchini humo na ukanda wa nchi za Magharibi kwa ujumla, imeelezwa kwamba Nigeria imeridhia pendekezo la Marekani la kuangalia kuchukua hatua mpya za kiusalama, ikiwa ni agenda mbadala chini ya kile kinachoitwa Tu m e ya p a m o j a ya Kitaifa kati ya Nigeria na Marekani (US-Nigeria Bi-National Commission BNC), iliyoundwa katika kipindi cha miaka miwili

iliyopita.Kwa mujibu wa mtandao

wa The Sun Publishing, chini ya mkakati huo mpya wa kiusalama, kiongozi wa ngazi za juu wa Jeshi la Marekani anatafufua mazungumzo kati ya Marekani na Nigeria kipindi hiki jijini Abuja na mjadala mkubwa utakuwa ni juu ya Boko Haram na mzozo wa mapato ya mafuta katika ukanda wa Delta.

Hilo l imebainishwa hivi karibuni na balozi wa Nigeria katika Umoja wa Mataifa, Prof. Adebowale A d e f u ye , wa k a t i wa m k u t a n o w a k e n a wawekezaji na watendaji wa sekta binafsi nchini Marekani chini ya mwavuli wa kile walichokiita kuwa ni Influential Corporate Council on Africa, CCA, jijini Washington DC na kujadili maendeleo ya Nigeria, hasa kufuatia mashambulizi ya Boko Haram na mzozo wa mapato ya mafuta nchini humo.

Balozi huyo wa Nigeria alifahamisha kuwa wakati Nigeria inafungua milango ya misaada ya kimataifa katika suala la Boko Haram, kwasababu ya shutuma za kigaidi.

“Tunapata misaada muhimu kutoka kwa rafiki zetu bila kuingilia uhuru wetu wa kufanya mambo”. Alieleza balozi huyo.

Alisema i l ikuwa ni Marekani iliyotoa wazo

la kuwepo masuala la usalama likiwa ndio lengo kuu la BNC, badala ya Tume hiyo kuwa sehemu tu ya masuala yanayohusiana na Niger Delta.

Wachunguzi wa masuala

ya kiusalama wanaeleza kwamba lengo kubwa la kupanua majukumu ya Tume hiyo ya pamoja ni kutoa fursa ya Marekani kujiingiza katika suala la kupambana na Boko Haramu, mwanya ambao utawapa nafasi nzuri ya kuingia kijeshi nchini Nigeria kutekeleza azma hiyo.

Hivi karibuni, tayari A d e f u y e a l i k u t a n a n a w a t e n d a j i w a ser ikal i ya Marekani w a n a o s h u g h u l i k i a masuala ya Afrika (US State Department Bureau on African Affairs) kuelezea masuala ya mzozo wa mapato ya mafuta na mashambulizi ya Boko Haram na kupitia hatua za serikali ya Nigeria ilizochukua.

Hali kadhalika balozi huyo pia alikutana na kitengo cha biashara cha Marekani (US Chamber o f C o m m e r c e ) j i j i n i Washington DC kwa ajili ya kujadiliana masuala hayo hayo ya mapato ya mafuta na Boko Haram. (Habari hii imeandikwa kutokana na taaifa za Press TV)

INAWATANGAZIA WAISLAMU WOTE KUWA NAFASI ZA MASOMO BADO ZIPO KATIKA SHULE ZETU ZA: SEKONDARI (KUJIUNGA FORM ONE) PRIMARY (KUJIUNGA GRADE ONE) CHEKECHEAUSAILI KWA WANAFUNZI UNAFANYIKA KILA JUMAMOSIPIA WANAOTAKA KUHAMIA NAFASI BADO ZIPOSHULE IPO MASJID NNUUR SINZAUSAFIRI UPO KWA WANAFUNZI WA NURSERY NA PRIMARY.

KWA MAWASILIANO: 0713-819391 AU 0713-220567

WABILLAHT TAWFIIQ

UONGOZI

LUQMAN ISLAMIC SEMINARY

Page 6: Hoja ya Jussa Maandamano - Zanzibar Yetu...ISSN 0856 - 3861 Na. 997 RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 3 - 9, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu Maandamano makubwa kesho

6 AN-NUUR RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 3 - 9, 2012 Habari/Tangazo

Syria inahujumiwaBaraza la Usalama la U m o j a w a M a t a i f a l i l i k u s u d i a k u m p a Rais wa Syria Bashar El Assad siku 15 kuachia madaraka kama hatua ya awali ya kufikia k i l e k i n a c h o t a k i w a na Marekani ‘regime change’. Wakati huo huo, nchi za Morocco na Qatar zikidaiwa kuwakilisha n c h i z a K i a r a b u , zimewekwa mstari wa mbele katika kutafuta kile kinachoonekana kuwa ‘ruhusa’ ya Umoja wa Mataifa kuingilia mgogoro wa Syria kijeshi kama ilivyokuwa Libya.

A k i z u n g u m z a n a baadhi ya vyombo vya habari vya Marekani (CBS) hivi karibuni kiongozi wa Qatar (Amir) Sheikh Hamad bin Khalifa Al Thani, amesema kuwa anaona ni jambo linalofaa na la haraka kupeleka jeshi Syria, akidai kuwa hiyo itazuiya mauwaji yanayoendelea nchini humo.

S h e i k h H a m a d n i kiongozi wa kwanza katika viongozi wa nchi za Kiarabu kutamka hadharani akihimiza Syria kuvamiwa kijeshi ili kumuondoa madarakani Rais Bashar al-Assad kama alivyoondolewa Gadhafi.

Sheikh Hamad bin Khalifa Al Thani katika mahojiano yake na CBS a l i tamba kuwa yeye anapigania haki za watu na kwa hiyo humfanya kuwa mtu muhimu katika nchi za Kiarabu.

Itakumbukwa kuwa Qatar ilikuwa nchi ya kwanza (pekee) kuungana na NATO kuipiga Libya na nchi pekee ya Kiarabu ambayo ilitumika kutoa mafunzo kwa waasi wa Libya.

Katika hali ya kawaida ilitarajiwa kuwa baada ya kuona yaliyotokea Libya na jinsi watu wa Libya wanavyoteseka hivi sasa na zaidi baada ya ukweli kuanza kufichuka kwamba hapakuwa na maandamano ya amani Libya bali uasi. Na baada ya kushuhudia maangamizi, mauwaj i na uhar ibu uliofanywa na majeshi ya NATO kule Libya, basi angalau nchi za Kirabu zingepata fundisho. Lakini la kushangaza baadhi yao ndio hao wanaungana tena na Marekani kuitaka maangamizi kama yale yaliyofanywa katika miji ya Sirte yafanywe tena

Na Omar Msangi

Damascus.Ukiacha Libya, nchi za

Kiarabu na hasa Morocco, Saudi Arabia, Kuwait na Qatar, zilitakiwa kuzingatia yaliyojiri Iraq. Kwamba k wa n z a , p a l i t u m i k a u r o n g o wa k u w e p o silaha za maangamizi. Pili , kwa urongo huo mamilioni ya watu wasio na hatia waliuliwa, miji na miundombinu yake ikiangamizwa.

K wa h a t u a h i i ya Qatar kujipa ushenga wa NATO na Marekani kuingia Syria, je, ilifurahia sana yale yaliyowakuta Waarabu wenzake wa Fallujah, Kirkuk, Haditha na Baghdad?

K w a m u j i b u w a utafiti uliofanywa na kuchapishwa na taasisi mbalimbali za kimataifa ikiwemo ile ya Uingereza, B r i t i s h p o l l i n g f i r m Opinion Research Business (ORB), wananchi wa Iraq waliouliwa kutokana na uvamizi wa Marekani ni takriban 1,220,580. Hawa ni katika wale waliouliwa n a m a b o m u k u t o k a a n g a n i , wa l i o p i g wa r i s a s i , w a l i o f u k i w a wakiwa ha i nyumba zao zilipoangamizwa na wale waliovamiwa pale Haditha wakiwa wamelala wakaamshwa na kisha kupigwa risasi na kufa.

Kabla ya hapo watoto wachanga/wadogo zaidi ya milioni moja wa Iraq walikufa (japo taasisi ya Umoja wa Mataifa inayohudumia watoto-United Nations Children Fund, inakis ia kuwa waliokufa ni 500,000).

Lakusikitisha ni kuwa badala ya kusikit ika, alipohojiwa kuhusu maafa haya al iyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Madeleine Albright, alijibu kwa kifupi akisema, “the price is worth it.”

Akimaanisha kuwa kuuliwa watoto hao milioni moja (na wale 1,220,580) ni halali. Kwamba mauwaji hayo si ‘bei’ ghali sana m a a d h a l i M a r e k a n i imevuna ilichotaka Iraq.

Kwa upande wa Libya inakisiwa kuwa NATO imeuwa zaidi ya watu 30,000. Imeangamiza miji na hivi sasa wananchi wa Libya hawana amani tena waliyokuwa nayo huko nyuma. Je, haya ndiyo ‘Sheikh’ wa Qatar a n a yo t a k a ya wa k u t e Waarabu wenzake wa Syria?

Qur’an huwa ina msemo wake, inauliza “hamna akili?” “Hamtafakari?” “ H a m u o n i ? ” “Hamzingatii?”

L a k i n i k a m a h o j a ni ubinadamu, kama hoja ni kutetea uhai wa watu wanaouliwa Syria, viongozi wa Qatar na Morocco wangejiuliza, mbona Marekani na nchi za Ulaya hazionekani k u s h u g h u l i s h w a n a mamia kwa maelfu ambao mpaka sasa wameshauliwa Bahrain na Yemen?

Mara nyingi baadhi ya viongozi wa nchi za Kiarabu na Afrika wamekuwa wakipenda kufanya wanayoagizwa na Washington ili wapate kupendwa na kupendeza

kwa wale waliokalia White House. Hii pengine ni kwa kuwaogopa kwa mabavu yao au kwa kutaka tu utukufu kutoka kwao. Kwa vyovyote itakavyokuwa Qur’an inasema:

“Wanasema: Tukirejea Madina mwenye utukufu zaidi bila shaka atamfukuza a l i y e m n y o n g e . N a Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye utukufu-Yeye, na Mtume wake , na waumini. Lakini wanafiki hawajui. Enyi mlioamini! Yasikusahaulisheni mali yenu, wala watoto wenu, kumkumbuka Mwenyezi Mungu. Na wenye kufanya hayo, ndio waliopata hasara.” (63:8-9)

Nini kinaendelea Syria?

“What Is Really Going On In Syria?” Anajiuliza mwandishi Boris Dolgov baada ya kutembelea Syria mara mbili akiwa katika ujumbe wa kimataifa uliokwenda Syria Agosti 2011 na Januari 2012. Baada ya ziara hiyo, B o r i s a n a s e m a , k wa kadiri alivyochunguza na kuona yanayoendelea Syr ia ik i l inganishwa na yanayoandikwa na k u t a n g a z w a k a t i k a vyombo vya habari, pamoja na yale yanayodaiwa na Marekani na NATO; ni wazi kuwa kuna agenda ya siri ambayo haisemwi. K w a m b a M a r e k a n i na wenzake wa Ulaya imedhamiria kumuondoa madarakani Rais Bashar El-Assad na kwa sababu h i y o w a n a o n g o p a , wanachochea mgogoro na

wanawasaidia waasi.Anasema, ukitizama

mambo yanavyokwenda S y r i a j a m b o m o j a linajitokeza waziwazi: kwamba, kadiri harakati za makundi ya kigaidi z i n a v yo z i d i , n d i v yo w a n a n c h i w a S y r i a wanavyozidi kumuunga mkono Rais wao Bashar A s s a d . K w a h i y o , kinachoendelea Syria, s i o m a a n d a m a n o ya wananchi wasiomtaka Assad. Bal i kama ni maandamano makubwa, basi ni maandamano ya kumuunga mkono Assad. Kwa upande wa wanaoitwa wapinzani, wanachofanya ni kushambulia na kuuwa raia na askari.

Makundi haya ya kigaidi ambayo ndiyo huungwa mkono, kusaidiwa na kutetewa na Marekani na Ulaya, yamekuwa yakishambulia vituo vya polisi, kambi za jeshi, wakilipua reli, mabomba ya mafuta na kuuwa watu wasio na hatia.

Katika mji wa Homs, magaidi hawa wameuwa wanasayansi mashuhuri watano na kuchoma shule. Toka Machi 2011 shule 9 0 0 z i m e s h a c h o m wa n a m a g a i d i h a w a wanaotetewa na Marekani ndani ya Baraza la Umoja wa Mataifa. Wameuwa pia walimu 30 katika harakati za kuchoma shule. Hii yote ni katika kufanya nchi isitawalike na kuwachochea wananchi waje juu kutaka Rais Bashar Assad ang’oke.

Katika jiji la Damascus ndipo ambapo magaidi h a w a w a m e f a n y a uharamia wa kutisha ambapo Desemba 23, 2011 walishambulia jengo la Idara ya Usalama (state security service) kwa gari lililojazwa mabomu. Katika shambulio hilo waliuliwa watu 44 na wengine 150 kujeruhiwa.

Wakafanya shambulio jingine hapo Januari 6, 2012 katika mtaa wenye watu wengi na harakati nyingi ambapo shambulio la bomu liliuwa watu 26 na kujeruhi 60.

Kufuatia mashambulizi h a y o , y a l i f a n y i k a maandamano makubwa ya kumuunga mkono Rais Assad na kuwalani wapinzani na magaidi. M a a n d a m a n o h a y o yali fanyika kwa siku kadhaa mfululizo katika miji yote mikubwa ikiwemo Damascus, Aleppo, Homs, Hama, Daraa na Deir az Zor.

Inaendelea Uk. 7

Page 7: Hoja ya Jussa Maandamano - Zanzibar Yetu...ISSN 0856 - 3861 Na. 997 RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 3 - 9, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu Maandamano makubwa kesho

7RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 3 - 9, 2012 AN-NUURMakala/

Syria inahujumiwaInatoka Uk. 6

“During our stay in Syria we could move around the city freely and speak with people as we liked but we did not see any single anti-governmental rally.”

Anasema mmoja wa wajumbe wa kimataifa wa l i o t e m b e l e a S y r i a akimaanisha kuwa katika muda wote waliokaa Syria, hawakupata kushuhudia maandamano ya kupinga serikali.

Anasema, katika baadhi ya wakati Rais Assad alihutubia waandamanaji na kwamba ule mwamko na ushangiliaji wa kumuunga mkono, ulionekana wazi kuwa unatoka katika nyoyo za wananchi na wala sio jambo la kupangwa.

“Allah, Syria, Bashar!” (“Allah, Syria va Bashar bas!”). Ni katika vibwagizo m a s h u h u r i k a t i k a maandamano hayo.

Kama ni kuzungumzia upinzani, Syria kuna v y a m a k a d h a a v y a u p i n z a n i v i k i l e n g a kuking’oa madarakani chama cha Baath. Maarufu katika vyama hivyo ni Syrian Social Nationalist Party. Pamoja na upinzani wake, lakini mmoja wa viongozi wa chama hicho, Iliah Saman anasema kuwa mgogoro katika Syria unachochewa na kukuzwa na Marekani, Uingereza, Ufaransa na Israel ambazo zinataka kumng’oa Rais Assad na kisha kuigawa nchi hiyo katika mapande matano.

C h a m a k i n g i n e c h a u p i n z a n i n i S e c u l a r D e m o c r a t i c S o c i a l M o v e m e n t k i n a c h o o n g o z wa n a Nabil Feysal, ambaye ni mpinzani mkubwa wa siasa na mfumo wa Ki is lamu. Pamoja na

hicho kuna Popular Will Party kinachoongozwa na Profesa Qadri Jamil.

Hata hivyo, pamoja na ukweli kwamba awali vyama hivi vi l ikuwa vikiendesha harakati za kumpinga Rais Assad, l a k i n i k u t o k a n a n a

kuibuka kwa makundi h a y a y a k i g a i d i yanayoungwa mkono na Marekani ambayo yamefanya mauwaji na uharibifu mkubwa; hata hawa wapinzani sasa wanamuunga mkono Rais Assad.

Ukweli zaidi juu ya hali ya Syria, unasimuliwa katika kile kisa cha mwandishi wa habari Giles Jacquier wa kituo cha televisheni cha Ufaransa, France-2 TV, kilichotokea Januari 11, 2012. Kabla hajafariki Giles Jacquier alisimulia kuwa baada ya kuzunguka sana Damascus bila ya kuona maandamano ya kumpinga Assad, alishauriwa aende mji wa Homs. Akiwa na wenzake kutoka Uholanzi na Uswiss, nako kila alipofanya uchunguzi na kuongea na watu, aliona kuwa wote wanamuunga mkono Rais Assad. Na hakupata kuona watu wakiandamana kumpinga japo wachache.

Akiwa katika harakati za kuwatafuta wapinzani, ndipo alikutwa na maafa baada ya kujeruhiwa vibaya magadi waliposhambulia mahali alipokuwa ambapo watu wanane waliuliwa.

“Commenting the tragic death of the French reporter Mother Agnes Mariam, who is the prior of the St James Catholic Cathedral in Damascus, said that there is

no protesting opposition in Syria but only bandits who are killing people.”

H i y o n i k a u l i y a mtumishi wa Kanisa, Mama Agnes Mariam akisema kuwa, kilichopo S y r i a n i m a j a m b a z i wanaouwa watu wasio na hatia, wala sio wapinzani wanaofanya maandamano kama inavyodaiwa.

Jambo la kusikitisha ni kuwa upo ushahidi kama ulivyonukuliwa n a w a c h u n g u z i w a kimataifa waliotembelea Syria unaoonyesha kuwa kituo cha televisheni cha Qatar, Al jazeera, kimekuwa kikighushi picha katika komputa na kisha kusingizia kuwa n i m a a n d a m a n o y a wapinzani.

“Qatari channel Al Jazeera, in order to broadcast a report on mass anti-governmental rallies in Syria made a fake footage with the help of computer editing using dozens of atmosphere players and decoration of Syrian streets, a kind of “Hollywood village”. (Boris Dolgov)

H a y a n d i y o yanayofanywa na Aljazeera katika kuihujumu Syria. Ni kwa kutumia taarifa hizi za kughushi, ‘Sheikh’ wa Qatar anataka Marekani n a N AT O w a i n g i e Damascus wakafanye kile walichowazawadia wananchi wa Libya!

Hapana shaka ni kwa kujua ukweli huu, China na Urusi zimekataa kusikia Azimio lolote la kumtia kitanzi Rais Hafez Assad.

Iran kusimamisha uuzaji mafuta Ulaya Inatoka Uk. 15

huo wa kununua mafuta ya Iran hautoanza kutekelezwa kabla ya mwezi Julai mwaka huu.

Nchi za Ulaya ni watumiaji wa takribani asilimia 18 ya mafuta ghafi ya Iran.

Wasiwasi juu ya athari zitakazopatikana kutokana na ususiaji wa mafuta ya Iran, umeenea hadi katika kikao cha Davos cha Jukwaa la Uchumi Duniani (WEF).

Afisa Mkuu Mtendaji wa shirika la mafuta la TOTAL la Ufaransa, Christophe de Margerie, alisema katika siku ya kwanza ya kikao hicho kwamba vikwazo vipya vya Umoja wa Ulaya havitokuwa na athari kwa Iran.

Bw. Margerie alinukuliwa akisema kwamba kuweka v ikwazo vya kununua mafuta ya Iran, ni sawa na kusema kwamba wameamua kuacha kununua mafuta kwa Iran lakini mafuta ya

nchi hiyo yatapata wanunuzi wengine.

K w a m i a k a k a d h a a sasa Matai fa makubwa ya Magharibi yanajaribu kutumia sera za vikwazo, vitisho na kutoa shinikizo kwa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA, ili utoe ripoti za kubuni na kuzusha tuhuma zisizo na mamtiki lengo likiwa ni kuizuia Iran isiendelee na shughuli zake za amani za nyuklia na urutubishaji wa uranium kwa ajili ya kuzalisha nishati inayohitajika katika viwanda na matanuri ya nyuklia.

Kuibebesha Iran matakwa yasiyo ya kimantiki ni ukiukaji wa wazi wa haki za nchi nyengine katika suala la nishati ya nyuklia pamoja na vipengele vya mkataba wa kuzuia uundaji na uenezaji wa silaha za nyuklia NPT.

Hali hii inakuwa wakati ambapo nchi zinazoeneza propaganda ya sumu dhidi ya Iran na kupitisha maazimio

ya kuiwekea v ikwazo , wenyewe ndio vinara wa ukiukaji mkubwa wa NPT.

Inaelezwa kwamba kwa miaka kadhaa sasa, nchi hizo zimekuwa zikizalisha na kulundika si chini ya mabomu na vichwa atomiki elfu 27 vinavyohatarisha amani ya dunia, na wala haziko tayari kutekeleza makubaliano ya kutokomeza silaha hizo angamizi.

Ni kwa msaada wa baadhi ya nchi hizo hizo; utawala wa Kizayuni pia umeweza kumiliki silaha za nyuklia na kuwa mmiliki pekee wa silaha hizo hatari katika Mashariki ya Kati, ambazo ni tishio kwa amani ya eneo hilo na ulimwengu kwa ujumla.

Hata hivyo pamoja na hayo, hakuna hatua yoyote inayochukuliwa na jamii ya kimataifa kukabiliana na vitisho na mikataba ya kilaghai ya dola nyingine z inazomi l ik i s i laha za nyuklia.

Kamati ya Uongozi wa Sherehe za Maulid ya Kuzaliwa kwa Mtume wetu Mohammad (s.a.w) iliyo chini ya Mwenyekiti Bi Aisha Sururu ( Mwanaharakati wa Kiislam) Upande wa Wanawake, Wanawatangazia wanawake wote, wa Kiislamu, pia kamati inachukua Fursa hii kukualika Rasmi kuhudhuria Sherehe za Maulid ya Kuzaliwa Mtume wetu Muhamad (S.a.W), sherehe hizo zitafanyika Mwezi Kumi na Moja (11) Mfungo Sita 1433h Sawa na 05/02/2012 siku ya Jumapili katika Ukumbi wa Diamond Jubilee kuanzia Saa 3:00 Asubuhi hadi saa 10 Alasir Inshaalah.

Tangazo hili limetolewa na Mwanaharakati Maarufu na Mpenda Maendeleo ya Waislamu na Jamii nzima kwa Ujumla Shime wanawake Wakiislam Mnakaribishwa nyote Inshaalah.

Atakae pata taarifa hizi amwaarifu na mwenzie.

MwenyekitiBi Aisha Sururu.

Maulid!! Maulid!!

RAIS wa Syria, Dkt. Bashar Al Assaad

Page 8: Hoja ya Jussa Maandamano - Zanzibar Yetu...ISSN 0856 - 3861 Na. 997 RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 3 - 9, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu Maandamano makubwa kesho

8 AN-NUUR RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 3 - 9, 2012 Makala

Maandamano makubwa keshounder dubious pretexts Iraq and Afghanistan at the costs of thousands of lives – must also be kept in mind.”

A n a t o a n a s a h a mwandishi Leonid Savin katika makala yake ya hivi karibuni “War Against Iran is Underway: The Conundrum of Iran.”

Akihitimisha makala yake hiyo Leonid anasem:

“Ages ago, the White House sanctioned subversive activities against various parts of the the Iranian administration, including the Guardians of the Islamic Revolution. Former CIA operative Phillip Giraldi writes that the US and Israeli agents have been active in Iran for quite some time and are responsible for the epidemic of the Stuxnet virus and the series of assassinations of Iranian nuclear physicists. The groups within Iran which aligned themselves with the country’s foes are the People’s Mujahedin of Iran, the Baluchistan-based separatist Jundallah whose leader Abdolmajid Rigi was arrested in February, 2010 by the Iranian security forces and admi�ed to cooperating with the CIA, and the Kurdish Free Life of Kurdistan.” (Tazama pia, Philip Giraldi. Washington’s Secret Wars. 08 December 2011.

Ufupi anachoainisha m wa n d i s h i n i k u wa wakati Marekani ikijifanya kiranja wa kupambana na ugaidi duniani, imekuwa ikiifanyia vitendo vya

kigaidi Iran.I m e k u wa i k i f a n ya

hivyo kwa kuvifadhili na kuviwezesha vikundi vya kigaidi kama Jundallah.

Anasema pia kuwa makachero wa Marekani na Israel wamekuwa wakihusika moja kwa moja na vitendo vya mauwaji dhidi ya wanasayansi

wa I r a n p a m o j a n a kupandikiza virusi vya stuxnet.

Stuxnet virus, ni virusi ambavyo vinashambulia program za komputa na inasemekana kuwa kuna aina iliandaliwa rasmi na makachero na kuelekezwa kwa Iran katika jitihada za kuvuruga utaalamu wake

wa nyukilia.Kwa mujibu wa taarifa

zilizochapishwa katika Wi k i p e d i a , t h e f r e e encyclopedia, wataalamu wa Iran na wale mabingwa wa kimataifa wa utaalamu wa usalama wa komputa wanaamini kuwa ‘Stuxnet’ ni hujuma iliyoelekezwa Iran ili kuvuruga program zake za nyukilia.

Inaelezwa kuwa toka kirusi hicho kivamie Iran, uwezo wa kinu cha Natanz, umeporomoka kwa zaidi ya asilimia 30.

Z a i d i y a h a p o pamekuwa pakitokea a ja l i ( s e r i ous nuc l ear accident) hali iliyopelekea kujiuzulu mkuu wa taasisi inayoshughulika na nguvu za atomiki (Iran’s Atomic Energy Organizat ion) , Gholam Reza Aghazadeh.

Akizungumzia suala hilo hapo Novemba 29, 2010, Rais Mahmoud Ahmadinejad alisema k u w a m a a d u i wamefanikiwa kupenyeza virusi katika maabara ya nyukilia katika kinu cha Natanz na kusababisha uharibifu mkubwa.

Siku hiyo hiyo Rais Mahmoud Ahmadinejad alipohutubia taifa na kutoa taarifa hiyo kwa mara ya kwanza, wanasayansi wawili wa nyukilia (nuclear scientists) walishambuliwa jirani na Chuo Kikuu cha Shahid Beheshti, Tehran, mmoja akauliwa.

Hao ni Majid Shahriari ( q u a n t u m p h y s i c i s t ) ambaye aliuliwa kwa shambulio la bomu katika gari.

Wa p i l i a l i k u w a

Fereydoon Abbasi, afisa wa ngazi za juu katika Wizara ya Ulinzi ambaye alijeruhiwa vibaya.

Januari 2010, Profesa mwingine wa nyukilia katika Chuo Kikuu cha Tehran aliuliwa katika shambulio la bomu katika gari yake.

Na juzi hapa 11 Januari, 2012, Mkurugenzi wa kinu cha kurutubisha nyukil ia cha Natanz, Mostafa Ahmadi Roshan, akauliwa.

Wachunguzi wa mambo ya ukachero na siasa za kimataifa wanasema kuwa kufanyika kwa mauwaji haya ni kielelezo kuwa waliounda kirusi cha ‘Stuxnet’ wanajua kuwa mashambulizi hayo ya virusi pekee hayatoshi kwani Iran ina wataalamu wa kuweza kupambana navyo na baadae kuweka programu za kung’amua na kupambana na virusi kabla havijaleta madhara.

Muhimu hapa kama i n a v y o e l e z w a n a mwandishi Leonid Savin ni kuwa wanaoishambulia Iran kwa virusi na kuuwa wanasayansi wake ni majasusi wa Marekani na Israel.

Ni katika kulitambua h i l o , w a a n d a a j i w a maandamano ya kesho wanahimiza walimwengu k u j i t o k e z a k u p i n g a u h a r a m i a h u u k w a sababu si tu kwamba Iran inaonewa, lakini uovu huu ukiachwa kuendelea, kesho itafanyiwa tena nchi nyingine.

Kwa nini Iran inaandamwa?

Inatoka Uk. 4

JUMAMOSI ya kesho Februari 4, 2012 imeitwa ni “Day of Action: No Sanctions, No War Against Iran!” Yaani s iku ya kupinga vikwazo na vita dhidi ya Iran.

M a a n d a m a n o h a yo yaliyoandaliwa na taasisi z i n a z o p i n g a v i t a z a Marekani yanawataka w a t u w o t e k u t o k a mata i fa na nchi zote kuungana katika kupaza sauti, kulani na kupinga hatua zinazochukuliwa na Marekani pamoja na Jumuiya ya Ulaya kuiwekea vikwazo Iran huku nchi hizo zikiandaa mikakati ya kuipiga nchi hiyo kijeshi.

“The National Day of Action on Saturday, February 4,… demand: “No War on Iran, No

Na Omar Msangi

Sanctions, No Intervention, No Assassinations.”

Inasema sehemu ya taarifa ya waandaaji wa maandamano hayo ikitoa wito kwamba huu ni wakati wa walimwengu kusimama k u p i n g a u h a r a m i a inaofanyiwa Iran.

Ikifafanua, taarifa hiyo inasema kuwa Marekani inaongoza harakati za kutaka kuiondoa serikali iliyo madarakani Iran hivi sasa (regime change) na kwamba Jumuiya ya Ulaya nayo inapigia chapuo mpango huo kutokana na hatua yake ya kuiwekea Iran vikwazo katika mafuta na benki kuu yake. Kwamba hatua hii ya Umoja wa

Ulaya na zile hatua nyingine z i n a c h o c h u k u l i wa n a Marekani zitadhoofisha na kuharibu uchumi wa Iran na kuwatia katika taabu wananchi wasio na hatia.

H a y o y a k i e n d e l e a katika uwanja wa uchumi, waandaaji wa maandamano wanasema kuwa kumekuwa na vitendo vya kiharamia a m b a p o wa n a s a ya n s i mashuhuri wamekuwa wakiul iwa na hujuma za aina mbalimbali zote zikilenga kuidhoofisha Iran. Na hayo yote yakifanyika, meli za kivita za Marekani zikiwemo zile za kubeba ndege za kivita, hazichezei mbali na eneo la bahari jirani na Iran.

V i s i n g i z i o v i n a v y o t u m i w a n a Marekani kuihujumu Iran ni pamoja na madai ya kuwa na mpango wa kutengeneza silaha za nyukilia. Hata hivyo kama wanavyosema wachunguzi mbalimbali wa mambo, huu ni unafiki m k u b wa k wa s a b a b u wote wanoiandama Iran, kwa maana ya Marekani, Uingereza, Ufaransa na ‘kijana wao’ Israel, ndio mabwana wakubwa wa kutengeneza na kutumia silaha za nyukilia.

Kwamba angalau mpaka sasa Iran haijakuwa na silaha za nyukilia wakati Marekani imeshatengeneza na kutumia mabomu ya

nyukilia (nuclear warheads) 7,982 na mengine 2,700 yakiwa katika hifadhi (contingency stockpile).

Hii ikiwa na maana kuwa Marekani ina silaha kama hizo kiasi cha 10,600. Na inakisiwa kuwa kutoka mwaka 1951 hadi sasa Marekani imeshatengeneza jumla ya 67,500 “nuclear warheads”.

Kwa upande mwingine n i k u w a M a r e k a n i inayoishutumu Iran kwa m p a n g o wa n y u k i l i a hutumia zaidi ya tirilioni 7 kwa mwaka katika program zake za silaha za nyukilia.

Lakini Marekani hiyo hiyo ndio mfadhili mkubwa wa Israel ambapo mwaka 2011 iliipa dola bilioni 3 kwa ajili ya silaha. Israel inakisiwa kuwa na mamia

Inaendelea Uk. 9

Ayatollah Sayyed Ruhollah Musavi Khomeini,

Page 9: Hoja ya Jussa Maandamano - Zanzibar Yetu...ISSN 0856 - 3861 Na. 997 RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 3 - 9, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu Maandamano makubwa kesho

9RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 3 - 9, 2012 AN-NUURMakalaInatoka Uk. 8 Kwa nini Iran inaandamwa?ya silaha za nyukilia.

U n a f i k i z a i d i unaonyeshwa na ukweli kuwa wakati Iran inaruhusu wakaguzi wa kimataifa kukagua v inu vyake , Israel imekataa kutambua mamlaka ya “Nuclear Non-Proliferation Treaty” na imekataa pia kukaguliwa na wakaguzi wa kimataifa, I n t e r n a t i o n a l A t o m i c Energy Agency (IAEA). Hili hutasikia likisemwa na Marekani wala Umoja wa Ulaya na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

Ikijiona ndiyo yenye haki na hati miliki ya kuwa na silaha za nyukilia Mashariki ya Kati, mwaka 1981 Israel ilishambulia na kuharibu vinu vya nyukilia vya Iraq. Israel iliyapa mashambulizi hayo jina la “Operation Babylon”. Mwaka 2007 ikaendesha tena “Operation Orchard” a m b a p o i l i s h a m b u l i a maeneo iliyoyatuhumu kuwa na vinu vya nyukilia katika Syria.

Taarifa ya ANSWER, moja ya taasisi zinazoshiriki kuandaa maandamano inasema kuwa inachofanya Marekani hivi sasa ni kurejea historia yake ya ubabe na hujuma dhidi ya Iran. Kwamba miaka

sitini iliyopita Marekani na Uingereza ziliiwekea Iran vikwazo vya mafuta kufuatia hatua ya serikali ya Iran kudhibiti visima

vya mafuta ili mapato yawanufaishe wananchi wa Iran. Vikwazo hivyo vilipelekea kudhoofika kwa uchumi wa nchi hiyo na wakati huo huo

CIA wakaingia kati na kufanikisha mapinduzi. Mohammad Mossadegh akang’olewa madarakani akawekwa dikiteta na kibaraka Mohammad Rezā

Shāh Pahlavi. Hiyo ilikuwa mwaka 1953.

Kufuatia mapinduzi hayo, miaka takriban 25 iliyofuatia ilikuwa ya taabu kwa watu wa Iran ambapo vikosi maalum na vya siri vya Shah vya mateso na mauwaji viliuwa zaidi ya watu laki moja (100,000). Hayo yakifanyika kwa wananchi wa Iran, Marekani ilikuwa ikifaidi mafuta ikipora inavyotaka.

Vikwazo kama h iv i iliwahi kuwekewa pia Iraq ambapo inakisiwa kwamba watu zaidi ya milioni moja walikufa kwa njaa na kukosa matibabu. Hiyo ikawa kama maandalizi ya uvamizi wa 2003 ambao nao uliuwa watu takriban milioni mbili. Ni kutokana na rekodi hiyo, ANSWER wanasema kuwa ni wajibu kwa walimwengu kusimama kuihami Iran na kuwahami wananchi wa Iran na hiyo itakuwa ni kutimiza wajibu wao wa kibinadamu.

Baada ya utangulizi huo niseme kuwa mwaka huu Iran inaadhimisha miaka 33 ya Mapinduzi ya Kiislamu yaliyomng’oa madarakani dikiteta Mohammad Rezā Shāh Pahlavi, maarufu Shah. Miaka 33 si haba. Ni kipindi unachoweza kupima na

Inaendelea Uk. 10

Amana Bank Limited, b e n k i y a k w a n z a Tanzania inayofuata m i s i n g i y a S h a r i a kikamilifu imezindua huduma mpya ya akaunti ya akiba ya Hij ja ambayo ni ya kwanza katika soko la huduma za kibenki.

A k a u n t i h i i i n a yo j u l i k a n a k a m a Amana Bank Hajj Account ina lengo la kuwawezesha Waislamu kujiwekea akiba kwa ajili ya safari ya Hij ja inayofanyika kila mwaka katika mji mtukufu wa Makka.

Hij ja ni nguzo ya tano ya Uis lamu ambayo inawataka waumini wote wa dini ya Kiislamu wenye uwezo kwenda H i j j a a n g a l a u m a r a moja katika maisha yao. Amana Bank Hajj Account itawasaidia waumini wa dini ya Kiislamu kujiwekea

TAARIFA KWA UMMAAMANA BANK YAZINDUA AKAUNTI YA AKIBA YA HIJA

akiba kidogo kidogo na huku benki ikiwapatia gawio la faida la halali na ambalo litaiwezesha akiba kuongezeka hadi kufi kia kiwango kinachohitajika kwa ajili ya safari.

Akizungumzia akaunti hii, Mkurugenzi Mtendaji wa Amana Bank Dr. Idris Rashidi alisema “Akaunti ya akiba ya Hi j ja n i akaunti maalum ambayo itawawezesha wateja wetu na waumini wote wa dini ya Kiislamu kujiwekea akiba kwa ajili ya Hijja ambayo ni moja ya nguzo za Uislamu. Wateja wetu sasa wanaweza kupanga safari zao za Hij ja kwa utulivu na kwa uhakika kwani Amana Bank imedhamiria kuwawezesha kutimiza ndoto hiyo. Amana Bank i taendelea kuwaletea wateja wetu huduma mbalimbali pamoja na

kuboresha akaunti hii ya Hij ja kwa manufaa ya wateja wetu”.

Amana Bank imekuja na njia nzuri za kuwawezesha waumini wa dini ya Kiislamu kwenda kuhij i. K wa k u a n z i a m t e j a anapaswa kufahamu lini anataka kwenda kuhij i na gharama za safari.

Baada ya hapo mteja ataamua ni kiasi gani aweke akiba kila mwezi ili aweze kufi kia lengo.

Moja ya nidhamu za akaunti hii ya Hijja ni kwamba mteja ataweza kutoa fedha mara moja tu kwa mwaka. Na iwapo akiba imefi kia kiwango cha kwenda hijja, basi benki itamuarifu mteja.

Amana Bank imezindua huduma hii ili kuwapa tulizo, urahisi na pia kutoa nafasi kwa waumini wa Kiislamu kwenda

hi j ja mwaka wowote watakaoamua kwenda.

K wa m wa k a 2 0 1 2 , ibada ya Hij ja inatarajiwa kufanyika mwezi wa kumi. Kwa mteja anaetaka kufanya safari mwaka huu anatakiwa kuanza kuweka akiba kuanzia mwezi Februari mpaka mwezi oktoba ambapo ni sawa na miezi 9. Kwa mfano kama gharama zitakuwa ni Dola za Marekani 4000 mteja atatakiwa kuweka akiba ya dola za kimarekani 445 kila mwezi. Lakini k a m a m t e j a a n a t a k a kwenda Hij ja mwaka 2013, basi kiasi cha akiba anachotakiwa kuweka kila mwezi kitapungua.

Kuna faida mbalimbali ambazo mteja wa akaunti hii atapatiwa na benki ikiwemo mpango mzuri wa kuweka akiba pamoja na gawio zuri la faida la

halali. Wateja pia watapewa

taarifa ya mwenendo wa akaunti kila mwaka, semina za ibada ya Hij ja kutoka kwa wanazuoni mahiri nchini, taarifa ya akaunti ya kielectroniki kila mwezi, urahisi wa kuhamisha fedha kutoka akaunti moja kwenda nyingine ndani ya benki na pia wateja hawatakuwa na gharama zozote za kila mwezi.

Benki pia inawawezesha wateja kufungua akaunti kwa ajili ndugu, jamaa au marafi ki ambao mteja atapenda kuwafungulia akaunti. Kwa kupata taarifa zaidi wateja wanaweza kutembelea matawi ya benki ili kufahamu kuhusu akaunti zingine za benki.

Ukiwa na Amana Bank, uko katika njia sahihi.

Imetolewa2/2/2012

Page 10: Hoja ya Jussa Maandamano - Zanzibar Yetu...ISSN 0856 - 3861 Na. 997 RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 3 - 9, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu Maandamano makubwa kesho

10 AN-NUUR RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 3 - 9, 2012 MAKALA

Kwa nini Iran inaandamwa?Inatoka Uk. 9kujua iwapo mapinduzi hayo yamefanikiwa au la , pamoja na kuzi jua changamoto zinazoikabili nchi hiyo.

Hata hivyo, labda kabla ya kuangalia mafanikio ya mapinduzi ya Kiislamu Iran, ingekuwa vyema kutizama hi i ha l i inayoendelea hivi sasa ambapo Iran inaandamwa na kuonekana kama jinamizi la dunia. Ukiacha yaliyotangulia h u k o n y u m a , k a m a nilivyotangulia kueleza, hivi sasa kisingizio kikubwa ni unaodaiwa mpango wa Tehran kutengeneza silaha za nyukilia. Majuzi hapa nchi za Marekani na Umoja ya Ulaya zimeiwekea Iran vikwazo vya mafuta ikiwa ni juhudi za nchi hizo kuzidi kuitenga nchi hiyo kimataifa na kuiwekea shinikizo iachane na mpango wake wa nyukilia.

Kukabiliana na shutuma hizo, Iran imekuwa ikidai kuwa mpango wake si wa kutengeneza silaha, bali kwa matumizi ya kijamii na kibinaadamu kama vile kupata nishati ya umeme. Lakini haya ni madai ya kinafiki. Hebu tujaalie kuwa Iran ina mpango wa kutengeneza silaha za nyukilia, tatizo liko wapi? Marekani iliyo kinara wa kuishutumu Iran sio tu inazo silaha za nyukilia, lakini ishazitumia na inaendelea k u z i t u m i a n a k u l e t a maafa makubwa sehemu mbalimbali duniani. Rejea maafa ya “Li�le Boy” na “Fat Man”, mabomu ya atomiki yaliyodondoshwa Japan. ‘Li�le Boy’ lilidondoshwa Agosti 6, 19945 katika mji wa Hiroshima na kufuatiwa na ‘Fat Man’ lililodondoshwa Nagasaki Agosti 9 mwaka huo huo wa 1945. Rejea pia uvamizi wa Marekani pale Iraq na Afghanistan ambapo nchi hiyo inashutumiwa kutumia mabomu yenye v i c h wa v ya n y u k i l i a (depleted uranium). Hizo nchi za Umoja wa Ulaya na zenyewe zina silaha hizo na zinaendelea kuziboresha. Israel iliyomshirikia mkuu wa Marekani na Ulaya katika kuichagiza Iran, nayo ina silaha za nyukilia na inatumia mabomu yake yenye mionzi ya nyukilia kuwapiga Wapalestina. Sasa kosa la Iran lipo wapi? Cha ajabu kipi Iran nayo kuwa na nyukilia? Kama kwa kuwa na silaha za nyukilia kutaifanya Iran kujihakikishia usalama wake kutokana na njama za kizayuni na Marekani, shida ipo wapi? Kwani si

haki ya kila nchi kujilinda?Kwa hiyo mimi naona

wala Iran isingehangaika kujikosha kwamba haina mpango wa kutengeneza silaha za nyukilia. Kama kuwa na silaha za nyukila ni tatizo, basi wenye nazo waanze kwanza kuangamiza z a k wa o n a k u f u n g a maabara na viwanda vyao vya kutengeneza silaha hizo.

Kwa nini Iran? Kama nilivyotangulia

kusema nchi zote zenye k u i k a l i a k o o n i I r a n , zenyewe tayari zina silaha hizo. Swali ni je, kwa nini hazitaki Iran nayo kuwa na nyukilia? Mbona hata India na Pakistan wanazo? Sehemu ya jibu wanalo Wayahudi. Lakini kabla ya kusikiliza Wayahudi wanasemaje, jambo moja unaweza kulisema kwa uhakika. Ukifikia mahali pa kufanywa kibaraka, kikaragosi na mwanasesere wa kuchezeshwa kama mdoli kutoka Washington kama inavyofanywa Pakistan hivi leo, hata ukiwa na silaha za nyukilia haitaishughulisha Marekani na Israel. Tatizo ni pale utakapokuwa huru na kukataa kupokea amri na maelekezo ya ‘White House’. Hujuma inayofanyiwa Iran hivi leo likiwemo hili la sakata za nyukilia, ni moja ya gharama za kuwa huru, kuwa na msimamo

na kukataa kuwa kibaraka wa mazayuni na mtandao wao.

Tukirejea katika lile swali ambalo tumesema kuwa jawabu linapatikana Tel Aviv, viongozi wa serikali na wakuu wa kijeshi Israel wanasema kuwa ukiwa na Iran yenye nyukilia, utakuwa umemaliza jeuri ya Israel katika Mashariki ya Kati. Iran ikishakuwa na silaha za nyulia, itakuwa mwisho wa Mayahudi kuwachezea na kuwaonea Hamas na Hizbullah. Ufupi wa maneno, “Nuclear Iran makes hard to defeat Hamas and Hizbullah.” Hivi ndivyo anavyosema mtaalamu mmoja wa k i jeshi wa Israel.

Kwa mujibu wa taarifa iliyopatikana hivi karibuni na kuchapishwa na baadhi ya vyombo vya habari hapo Januari 24, 2012 Meja Generali Amir Eshel anasema kuwa kama Iran itaachwa iwe na silaha za nyukilia, basi itakuwa mwisho wa kuwabamiza Wapalestina na Walebanoni (wa Hizbullah).

Akiongea na waandishi wa habari jijini Yerusalem hapo Januari 17, 2012 – Maj. Gen. Eshel, ambaye ni mkuu wa mipango katika jeshi la Israel-Israel Occupation Force (IOF), anasema ni lazima hatua za haraka zichukuliwe kuhakikisha

k wa m b a I r a n h a i p a t i utaalamu wa kutengeneza silaha za nyukilia la sivyo mambo yatakuwa magumu kwa Israel.

Anachosema afisa huyu wa jeshi la Israel ni kuwa Iran kuwa na silaha za nyukilia sio tatizo la dunia, bali Israel ambayo inataka kuwa na kauli na ubabe wa kufanya itakavyo Mashariki ya Kati. Na inafanya hivyo hivi sasa kutokana na uwezo wa kijeshi ilio nao. Sasa akitokea mbabe mwingine wa kijeshi, itakuwa ni mchezo wa mafahali wawili kuwekeana kanuni za namna ya kuishi.

Hivi sasa Israel inafanya inavyotaka Gaza. Ikiamua kupora ardhi inapora, ikiamua kupiga makombora na kuuwa watu inauwa, hakuna anayeizuiya. Sasa wasiwasi wake ni kuwa Iran ikishakuwa na nguvu za kijeshi, haitaitizama tu Israel ikifanya uharamia huo. Itasimama upande wa wadhulumiwa Gaza na Lebanon kuwaambia “Mayahudi, shikeni adabu”, la sivyo zinapigwa.

Suala hili la Iran kuwa na silaha za nyukilia ni mwiba kooni kwa Israel na hivi sasa inahaha kuona kuwa hatua madhubuti zinachukuliwa. Kuhangaika kote anakohangaika Barack Obama na mikakati hii ya vikwazo vya Jumuiya

y a U l a y a k w a I r a n , inathibitisha tu jinsi nchi hizo zinavyotumiwa na Wayahudi kupepea agenda za Tel Aviv.

Itakumbukwa kwamba hivi karibuni mmoja wa mawaziri wa Israel (minister of strategic affairs) Moshe Yaalon alimkoromea Obama kwa kutokuchukua hatua za kijeshi dhidi ya Iran. Hata hivyo hiki kimekuwa k i t e n d a w i l i t a t a k wa Obama kwa sababu wakati anajua kwamba Mayahudi wanaweza kumkwamisha asipate urais kwa mara ya pili hapo Novemba, lakini pia akiingiza tena Marekani vitani baada ya Iraq na Afghanistan, inaweza kuwa ni kujitia kitanzi kitaifa na kimataifa. Yaweza kuwa sababu ya wananchi wa Marekani kutompa kura.

K a t i k a j u m l a y a c h a n g a m o t o k u b w a inayoikabili serikali ya Iran, ni kuwepo makundi pinzani ambayo hivi sasa yanatumia silaha kufanya mauwaji ya raia na zaidi wanajeshi na viongozi wa serikali. Moja ya makundi hayo ni Jundullah likiwa na maana ya Jeshi la Allah. Kwa jina jingine hawa Jundullah hujiita, People’s Resistance Movement of Iran (PRMI).

K u n d i h i l i a m b a l o l i m e f i k i a m a h a l i p a kupachikwa jina la ugaidi, kwamba ni moja ya makundi ya k i g a i d i l i m e k u wa likifanya mauwaji hasa hasa likilenga viongozi wa serikali na wanajeshi.

Katika matukio mabaya kabisa ya kigaidi kufanywa na Jundallah ni pamoja na lile walipouwa watu 22 na kuteka nyara wengine 7 katika mkoa wa Tasouki. Tukio hilo likafuatiwa na lile la 2007, ambapo Jundullah waliteka nyara watu 30 kule Sistan na Balouchestan na kuwapeleka Pakistan.

Mwaka huo huo Jundallah walivamia na kushambulia basi lililokuwa na wanajeshi wa kikosi maalum cha ulinzi-Islamic Revolution Guards Corps ( IRGC) ambapo waliuwa askari 11. Katika tukio jingine la Oktoba 2009 Jundallah w a l i s h a m b u l i a t e n a Sistan na Balouchestan na kuuwa watu 42 wakiwemo m a k a m a n d a wa j e s h i akiwemo Luteni Kamanda wa IRGC (Ground Force) Brigadier General Nourali Shoushtari.

Kwa mujibu wa taarifa zilizochapishwa katika jarida la Foreign Policy mwaka 2007/8, kundi hili la kigaidi la Jundallah na mengine ya kigaidi

Inaendelea Uk. 13

Page 11: Hoja ya Jussa Maandamano - Zanzibar Yetu...ISSN 0856 - 3861 Na. 997 RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 3 - 9, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu Maandamano makubwa kesho

11RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 3 - 9, 2012 AN-NUURMAKALA

NAMPA chamgamoto Mzee Halimoja aeleze ni akina nani waliingiza TA N U Pe r a m i h o n a M a s a s i . M t u m m o j a asingeweza kupigana vita ile peke yake. Nyerere hakuwa peke yake si Dar es Salaam wala huko vij ij ini alikosema Mzee Halimoja. Ta b u ya wa n a o t a k a k u m t u k u z a N ye r e r e peke yake kama Mzee Halimoja iko hapa. Wao hawawataki kabisa kusikia historia ya waliomtangulia Nyerere katika siasa au aliokuwanao pamoja bega kwa bega. Hamu yao kubwa ni kuwa historia ya uhuru wa Tanganyika ianze na kumalizikia k w a N y e r e r e . I w e itakavyokuwa mimi sina ugomvi na wao kila mtu ana uhuru wa mawazo yake hatulazimishani katika hilo. Jambo la kushangaza ni kuwa anapokuja mtu na maelezo mengine ya historia ya kudai uhuru hawa wenzetu wanaumwa sana. Ninachosema siku zote ni kuwa uhuru wa Tanganyika umepiganiwa kwa kiasi kikubwa sana na Waislamu na jambo l a k u s i k i t i s h a h a o walioupigania uhuru huo bega kwa bega na Nyerere hawatambuliwi na hawajapewa heshima na hadhi wanayostahili. H a ya n d i yo m a m b o mawili ambayo nimekuwa nikikisisitiza siku zote.

S a s a t u j e s u a l a l a mihadhara. Historia ya mihadhara ni ndefu na inahitaji makala maalum i l i k u i t e n d e a h a k i . Wachungaji walikuwa wakipita katika nyumba za Waislamu kuwahubiria wakumkubali Yesu ili waokoke. Hili limekuwa likifanyika kwa zaidi ya miaka mia sasa. Kuna kisa maarufu cha Sheikh Idrissa bin Saad na padre kutoka kanisa la Misheni Kota aliyekuwa akij a nyumbani k wa S h e i k h I d r i s s a kumuhubiria “Neno la Bwana.” Inasemekana Sheikh Idrissa alikuwa a k i m k a r i b i s h a h u y u mchungaji na akiagiza chai iletwe kwa jili ya mgeni wake na sheikh

Uhuru wa Tanganyika haukuletwa na Nyerere peke yakeNa Mohamed Said (19

Januari, 2012)akikaa kimya kumsikiliza hadi amalize mahubiri yake kisha wanaagana. Wanafunzi wa sheikh walikuwa wakikereka sana na hali ile lakini Sheikh Idrissa alikuwa akiwaeleza kuwa dini inahitaji ustahamilivu. K w a m u d a m r e f u sana mahubiri ya dini yalikuwa yakifanywa na Wakristo peke yao na kwa kweli mihadhara hiyo haikuwa na athari yoyote kwenye Uislamu. Matatizo yalianza pale Wa i s l a m u k u a n z i a miaka ya mwanzo 1990 nao walipoanza kutoka misikitini na kuutangaza U i s l a m u h a d h a r a n i wakitumia Biblia. Baada ya mihadhara hii huko Sumbawanga Wakristo 2 0 0 0 k u t o k a K a n i s a Katoliki walisilimishwa na Kagera Padri Yusufu Makaka wa Kanisa la Kilutheri Kagera yeye na wafuasi wake 3000 walisilimu na kuingia U i s l a m u . H o f u k u u iliingia katika kanisa na hawakuwa na pa kwenda i s i p o k u w a k u o m b a msaada wa seriakal i i l ihami kanisa l i s i j e likasambaratika. Kadinali O t u n g a w a K a n i s a Katol iki Kenya yeye alitoa ilani kwa kusema kuwa kanisa lipo katika hali ya kusambaratishwa endapo hatua za haraka hazitachukuliwa kulihami dhidi ya wahubiri wa Kiislam. Kufuatia matokeo haya mwaka 1989 Christian Council of Tanzania (CCT) iliionya serikali kuhusu wahubiri wa Kiislam. Mwaka 1993 Tanzania Episcopal Conference (TEC) ikatoa taarifa yenye vitisho kuwa endapo Waislamu hawataacha mahubi r i yao damu itamwagika. Mapadri walij aribu kupambana na wahubiri wa Kiislamu juu ya ulingo lakini walikuwa wanashindwa vibaya sana. Hilo ndilo lilowafanya wakimbilie kutoa vitisho na kutaka msaada wa ser ikal i kuwadhibi t i Waislamu. Mtokeo ya juhudi hizi za kanisa ni mauaji ya Mwembechai mwaka 1998. Hii ndiyo hal i ya mambo kwa mukhtasari.

Mzee Halimoja kaeleza

h a b a r i y a Wa a r a b u na utumwa. Hakuna wa kupinga hilo kuwa Waarabu walishiriki katika b iashara ya utumwa kama vile walivyoshiriki Wazungu na Waafrika. Hata hivyo ningependa kumzindua kuwa mbona kawataja Waarabu peke yao katika biashara hii? Kwani yeye hajui kuwa kulikuwa na biashara ya utumwa kupitia bahari ya Atlantic na meli moja ya kubeba watumwa ilikuwa ikiitwa “Jesus?” Mzee Halimoja kaeleza Waislamu kukosa chuo kikuu hadi walipopewa na Benjamin Mkapa. Kisa cha East African Muslim Welfare Society (EAMWS) n a k u p i g w a k w a k e marufuku na Nyerere ni katika mambo maarufu kwa Waislamu. Mzee Hal imoja anatonesha k i d o n d a . N y e r e r e aliihujumu jumuia hiyo ya Waislamu kwa kuwa ilikuwa ikijenga Chuo Kikuu. Mkapa akitumia gazeti la Nationalist , Martin Kiama akitumia Radio Tanzania, Geofrey Sawaya wa Jeshi la Polisi walikuwa washiriki wakuu wa katika kampeni ile dhidi ya EAMWS mwaka 1968 kama lilivyokuwa Kanisa Katol iki wakimtumia Nyerere. Hii ni mada ya kujitegemea Insha Allah

itakapopatikana nafasi tutazungumza kwa marefu na mapana yake.

Mwisho ningependa kumwekea Waislamu waliopata misukosuko wakati wa utawala wa N y e r e r e . N a f a n y a hivi kwa kuwa yeye a n a d a i W a i s l a m u hawakutaabishwa na Wa i n g e r e z a . U k we l i n i kuwa Waingereza n a W a t a n g a n y i k a waliendesha siasa za upole tofauti na Kenya. Matatizo kwa Waislamu na Uis lamu ya l iku ja baada ya uhuru mwaka 1961. Hawa wafuatao n d i y o w a l i o f u n g w a na Nyerere: Abdillah Schneider Plantan, Sheikh Abdulkarim Abdulwahid, M a a l i m Po p o S a l e h , Suleiman Masudi Mnonji, Ali Migeyo, Mu� i Sheikh Hassan bin Amir, Shariff Hussein Badawiy, Shariff Mwinyibaba , Shar i f f Adnan, Bi lal i Rehani Waikela, Sheikh Jumanne B ias , Maal im Matar, Abdalah Mwamba, Sheikh Hashim Haji Abdallah, Sheikh Nurdin Hussein, Salum Abdallah Popo (babu yake mwandishi), Sheikh Mzee Ali Comoriam, Sheikh Al Amin Ma� ah, Rajab Kiguu cha Mbuzi, Ahmed Rashad Ali na wengine wengi.

Juu ya hayo yote Tanzania

ni nchi huru watu wana uhuru wa kumpachika yeyote wampendae jina wanaloona linamwenea ama liwe “Baba wa Taifa,” “Baba wa Kanisa” nk. Mtu huwezi kuwa na ugomvi na mambo kama haya. Leo kuna maprofesa wala hawajauona mlango wa darasa na maprofesa hawajaenda mahakamani kuweka pingamizi wala we n y e s h a h a d a z a o hawajaonesha kukereka. Ukipenda unaweza hata kuwa Field Marshal na hakuna atakaekuuliza wapi ulipigana vita na katika jeshi lipi. Halikadhalika m t u a n a u h u r u w a kuamini historia yoyote aitakayo. Anaweza kudai kuwa TANU ilianzishwa na Nyerere mwaka 1954 na akaja mwingine akasema hilo haliwezekani na kama kuna mzalendo anaeweza kujinasibu na kuanzishwa kwa TANU basi marehemu A b d u l w a h i d S y k e s anastahili zaidi kwani baba yake ndiye aliyeasisi A f r i c a n A s s o c i a t i o n mwaka 1929 na kati ya 1930 hadi 1933 akajenga ofi si ya African Association New Street, nyumba ambayo TANU ilikuja kuzaliwa ndani yake mwaka 1954.

Siwezi kumjibu Mzee Halimoja kila alosema hapa tulipofi ka panatosha.

MWALIMU Julius Kambarage Nyerere (wa pili kutoka kulia)

Page 12: Hoja ya Jussa Maandamano - Zanzibar Yetu...ISSN 0856 - 3861 Na. 997 RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 3 - 9, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu Maandamano makubwa kesho

12 Barua/Shairi/MakalaAN-NUUR RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 3 - 9, 2012

Ndugu Mhariri,

N a m s h u k u r u M u n g u kuuona mwaka 2012. Pili nawapa pole wanafunzi wote waliofutiwa matokeo ya mtihani wa darasa la saba shule ya Mgulani Taifa na Unubini.

Kwa mujibu wa katiba ya nchi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, elimu ni haki ya msingi kwa Mtanzania. Na yeyote asababishaye Mtanzania kutopata elimu, huyo ni sawa na muuaji.

N i n a s i k i t i k a k u o n a wanafunzi waliohit imu

Walimu wakuu hawa Temeke hawafai elimu ya msingi shule ya Mgulani, Taifa na Unubini na nyinginezo kufutiwa matokeo yao huku walimu wakuu wa shule hizo hakiwa h a w a j a s h u g h u l i k i w a . Walimu hawa ni wauwaji wa taaluma za watoto wetu na wanastahili kuadhibiwa kwa kuvuliwa nyadhifa zao na kupewa barua za onyo.

Naupongeza mkoa wa Pwani kwa kuwashughulikia mapema wal imu wote

wa l i o v u r u n d a k a t i k a kusimamia mtihani huo. Nafahamu fika kuwa Baraza la Mitihani ni chombo makini, madhubuti na chenye dhamana ya kutenda haki kwa watahiniwa. Haingi i aki l ini kuona Kamati ya Shule ya Msingi Mgulani ikitapatapa, Wizara ya Elimu na Utamaduni kuomba suluhu kwa shule yao. Hoja hapa ni kuwavua uongozi walimu wakuu

wahusika na pili serikali kuangalia kama kuna namna ya kuwasaidia wanafunzi waliosababishiwa ukatili huu.

Kamati za shule zinapaswa kuelewa kwanza kiini cha tatizo, siyo kukimbilia kwenye vyombo vya habari k a n a k wa m b a B a r a z a la Mitihani na Wizara ya Elimu ni dhaifu hivyo katika maamuzi halali.

Mwisho naomba chombo

chenye dhamana na walimu wakuu hawa kuwavua haraka madaraka yao na kisha kuishauri serikali kuwasaidia wanafunzi waathirika. Tusipoziba ufa tutajenga ukuta. Walimu wakuu wa Mgulani Taifa, na Unubini ni watovu wa nidhamu na wamevunja viapo vyao walivyoapa siku ya semina ya usimamizi wa mtihani huo. Waadhibiwe.

Mpenda maendeleo wa Temeke

Ali Hamza Konde S.L.P 46343 Dar es Salaam.

Ndugu mhariri, NAANDIKA barua hii ndefu nikirejea barua ilioandikwa kwako Mhariri iliyobeba kichwa cha habari kilichosema, “Mwelekeo wa kujitia hasira kama wa Mtwangi hautusaidii sana.” Hii ilikuwa katika toleo namba 996 la Ijumaa Januari 27, 2012.

Binafsi nilishtushwa sana na barua hiyo kwa sababu ni wiki chache tu toka nisome moja ya makala ya Mzee Khalid Mtwangi na kisha mara baada ya kuisoma nikavuta kumbukumbu za makala zake za nyuma na kisha nikamuangalia kwenye picha yake ambayo huwa inawekwa pamoja na makala zake na ndipo nikaanza kutafakari kwamba Mzee huyu inaonesha wazi kuwa umri umekwenda na nilitafakari hivyo kwa kuwa mimi sijawahi kumuona zaidi tu ya kuangalia picha yake ambayo inaonesha kuwa ni mtu mwenye miaka mingi.

Nikawa natafakari zaidi kuwa sasa akiondoka Mzee huyu hazina kubwa ya elimu anayotupa sisi vijana wa Kiislamu katika gazeti hili ya kuweza kujitambua i l i k u we z a k u u p i n g a mfumokristo tutaipata wapi tena?

Sasa nilipoiona barua ile ilinifanya niache kuendelea kusoma vichwa vya habari na kuanza kuisoma barua hiyo. Lakini kabla ya kuanza kuisoma nikawa na vitu ninavyotafakari kichwani na kubwa zaidi ni kuhusiana na makala alioitoa Mzee Mtwangi katika gazeti la tarehe 20 Januari 2012, kichwa cha habari kikisema,”Fundi wa kukosea asiyefanya lolote.”

Nikawa nahisi kuwa huwenda wale wasomi aliowaelezea katika makala hiyo wameamua kujibu mapigo, sasa kwa kuwa Mzee Mtwangi alisema walikuwa ni ndugu zake kabla hata ya kusoma nikakimbilia chini kuangalia aliyeandika na kukuta kuwa ni Tatu Zubeda Mtwangi (Dr) hapo utata uliongezeka nikadhani huwenda alikuwa mmoja wa wanawake waliokuwemo kwenye RAV 4 alioilezea Mzee Mtwangi.

Mzee Mtwangi kapatiaHata Tatu Zubeda hajakosea pia

Baadaye nafsi yangu ikajirudi na kumdhania v izur i kuwa huwenda hakuwa miongoni mwao na wala hana undugu na Mzee Mtwangi ila tu ni miongoni mwa Waislamu walioguswa na makala ya Mzee Mtwangi na kuamua kutoa maoni yake na mimi wala sidhani kuwa ni jambo baya akiwa kama Muislamu tena msomi ana uhuru wa kufanya hivyo.

Baadaye nilirudi mwanzo na kuanza kuisoma barua ile na kuilewa vizuri. Kwa upande wangu jambo hilo halikuwa geni kwani mara nyingi hata tulipokuwa Chuoni wal ipokuwa wanakuja mashekhe mbalimbali na wakati mwingine kugusia mfumokristo au tukiwa tunajadiliana sisi wenyewe, walikuwepo baadhi ya wanafunzi wenye mtazamo kama wa Tatu Mtwangi na utawasikia wakisema tu mara mashekhe wanatupandisha jazba au Waislamu hatuna mipango n.k.

Katika kuchangia hili naunga mkono asilimia zote kuwa mashekhe huwa wakati mwingine wanatupandisha jazba. Siyo siri na katika makala za Mzee Mtwangi mimi kabla sijaanza kuuelewa mfumokristo vizuri, wakati mwingine nilikuwa nataka hata kulia. Na hilo wala sioni ubaya kwangu zaidi ya kunipa chachu kubwa ya kuja kuutumikia vyema Uislamu ili tuweze kuondokana na dhulma ya Wakristo dhidi yetu nchini Tanzania.

Ukisoma vizuri makala za namna hiyo nyingi utaona kuwa lengo kubwa la mwandishi ni kuwapa ufahamu Waislamu juu ya dhulma wanayoipata na kuwafanya nao waweze kujitambua. Na hilo kwa namna moja au nyingine wamefanikiwa iliobaki ni sisi walengwa kuyafanyia kazi na si kubaki kuwalaumu.

B inafs i makala h izo zimenisaidia sana kwani n i k i w a k a m a k i j a n a n i l i ye k u l i a M b e ya n a

kusoma shule ya msingi hadi sekondari katika mkoa huo uliojaa Wakristo na makanisa kibao, makala za namna hiyo ilikuwa kuzipata ni adimu. Kwa mara ya kwanza kuliona gazeti la AN-NUR kama nitakuwa sijakosea ilikuwa Tanga mwaka 2006 nilipofaulu kujiunga kidato cha tano Galanos High School. Na hapo ndipo nil ipoanza kusoma gazeti hilo kwa kuwa lilikuwa likipatikana kwa urahisi. Nikafahamu W a i s l a m u T a n z a n i a t u n a v y o d h u l u m i w a , n i k a m j u a N y e r e r e alivyokuwa adui mkubwa wa Uislamu. Lakini kabla ya hapo nilikuwa nikimpa heshima zote za ubaba wa Taifa na nakumbuka siku ya msiba wake, baba aliniambia kuwa mama yangu alikuwa akilia kwa jinsi alivyompenda akiamini Taifa limeondokewa na mtu muhimu sana. Lakini namshukuru Mola kupitia M a s h e k h e m b a l i m b a l i k w e n y e r e d i o , n a y e amemuelewa kuwa kumbe alikuwa adui mkubwa wa Uislamu na sasa hana hamu naye. Amebaki baba yangu ambaye yeye si mfuatiliaji wa kusikiliza redio wala kusoma magazeti ya Kiislamu na yeye ni miongoni mwa wale wasomi wanaoona madhila wanayopata Wais lamu n i k u t o k a n a n a k u wa walibweteka wenyewe na Nyerere wanamsingizia.

Nikirejea katika makala ya Mzee Mtwangi iliyotolewa maoni na Tatu Mtwangi, mimi binafsi niliielewa vizuri sana, na mtu mwingine huenda alikuwa anajiuliza iweje atupe stori yake na ndugu zake? Niliamini lengo kubwa lilikuwa ni kutupa somo vijana wasomi wa sasa ambao tumekuwa fundi wa kukosoa na kuwalaumu Mashekhe bila kufanya lolote. Na kusema kweli binafsi naona ujumbe alifikisha

na hata mimi alinigusa na hasa pale alipowauliza wanandugu hao kuwa ikiwa ni wanachama wa chama cha wanataaluma wa Kiislamu Tanzania (TAMPRO), ni lini walihudhuria kikao cha chombo hicho muhimu kinachojikita kwa ari zote kutafuta maendeleo ya Waislamu?

Swali hilo lilikuwa kama ananifungua mimi kuwa natakiwa kujiunga na chama hicho kwa kuwa mwaka jana nimebahatika kupata shahada ya Ujasiriamali katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ambapo naamini nikiitumia vyema elimu hii naweza kuwa m s a a d a m k u b wa k wa Waislamu tunaosumbuliwa na ugonjwa wa umasikini ambao tiba yake ni Ujasiriamali.

K a t i k a v i j a n a h a o aliowaelezea Mzee Mtwangi tupo baadhi yetu ambao kazi yetu ni kuswali tu msikitini na wala hatujishughulishi na kitu chochote hapo msikitini zaidi ya kutoa sadaka ya sh.100, 200 au 300 na zenyewe tunazitolea macho huku tukiwalaumu viongozi wa msikiti kuwa hawana mipango yoyote. Na ikitokea msikitini kuna ugomvi ndio kama unakuwa unawafukuza vijana hawa huku wengine wakisema kuwa ndio maana mi sipendi kuja kuswali katika msikiti huu. Badala ya wao kuingilia kati katika kutatua mzozo na kwa kuwa wao ni wasomi basi watakuwa na nafasi kubwa ya kusiki l izwa, na kwa hilo Mashekhe nawapongeza kwani wengi wao huwaheshimu sana Waislamu waliosoma.

Ndugu mhariri, Mzee Mtwangi alimalizia makala yake kwa swali alilouliza hivi, “Kweli watu kama hawa, vijana kama hawa wanaojiita

wasomi, wanaweza kuwa na haki ya kunikosoa mimi na Waislamu wengine kiasi kile?”

Mimi namwambia Mzee M t wa n g i k u wa k a m a walikuwa na lengo la kupata elimu zaidi kwa kutaka kukupa changamoto wakijua wewe ni mzee mwenye historia kubwa ya nchi hii na hivyo utawapa mambo mengi zaidi, basi walikuwa wana haki. Lakini ikiwa walikuwa hawana lengo hilo na kisha wanakubishia tu bila kuwa na vigezo vya msingi, basi nadhani hawakupaswa kufanya hivyo na hata kama wangekuwa wanataka kukukosoa, basi wangetumia busara zaidi kuliko kukusuta.

Ukisoma barua ya Tatu, hakuna hata pongezi kwa Mzee wetu Mtwangi kwa kazi anayoifanya kama vile hakuna la maana analofanya. Hata h ivyo n inaamini alikuwa ana lengo zuri tu la kutoa mtazamo wake huku akiwakumbusha waandishi wa makala mbalimbali kufanya utafiti, ambazo kama ni hasira basi hizo ndio hupandisha zaidi kwani unaweza kuambiwa mkoa una jumla ya zaidi ya wakuu wa shule za sekondari 100 halafu kati ya hao, Waislamu hawazidi hata 10.

K wa t a k w i m u h i z o kama kweli una uchungu na Uislamu kwa nini jazba isipande? Kwa kuwa unaona ni dhulma

y a w a z i . M i m i ninawaambia Mashekhe msikate tamaa na chukulieni hizo ni changamoto tu zenye kupita. Jueni vijana wa Kiislamu tunazidi kuzinduka kupitia makala zenu na mawaidha na Inshaallah ipo siku katika Tanzania hii Waislamu nasi tutakuwa juu na hakuna atakaethubutu kutuchezea.

N i n a wa o m b e a M o l a awape umri mrefu zaidi na awazidishie elimu ili nasi tuzidi kunufaika kutoka kwenu.

Wabillah Tawfiq, Hussein A. Mpangule Mhitimu UDOM

Page 13: Hoja ya Jussa Maandamano - Zanzibar Yetu...ISSN 0856 - 3861 Na. 997 RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 3 - 9, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu Maandamano makubwa kesho

13RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 3 - 9, 2012 AN-NUURMakala

Kwa nini Iran inaandamwa?Inatoka Uk. 10

yanayoleta vurugu Iran, limekuwa likiungwa mkono na kusaidiwa na Marekani.

Kiongozi mmoja wa kundi hilo Abdolhamid Rigi alipata kukiri wakati akiongea na waandishi wa habari kwamba Jundullah hufadhiliwa na Marekani. Akasema kuwa pamoja na kupewa mamia ya maelfu ya dola, lakini pia ni Marekani inayowaelekeza nini cha kufanya katika kuihujumu Iran ikiwa ni pamoja na kuuwa maofisa wa vyombo vya usalama.

“The United States created and supported Jundallah and we received orders from them… They (US officials) told us whom to shoot and whom not to. All orders came from them. They told us that they would provide us with everything we need like money and equipment.”

Alisema Abdolhamid Rigi kama alivyonukuliwa na vyombo vua habari Agosti 2009 akimaanisha kuwa Jundullah iliasisiwa na Marekani, inafadhiliwa na Marekani na ni Marekani inayotoa maelekezo hujuma gani ifanyike ndani ya Iran.

Inaeleza ripoti moja kwa mshangao kwamba inakuwaje ser ikal i ya Marekani kuwafadhil i watu ambao yenyewe inajua na ishasema kwamba wanahusika na mauwaji ya viongozi wa serikali ya Iran, wanawake pamoja na watoto.

Operation AjaxU t a r a t i b u h u u w a

kusaidia magaidi kuvuruga na kudhoofisha serikali ya Iran, haukuanza leo. Kama walivyosema ANSWER, M a r e k a n i i m e k u w a ikifanya uharamia huu kwa muda mrefu ambapo inaonyesha kuwa kwaka 1953, CIA walianzisha ‘ O p e r a t i o n A j a x ’ , iliyopelekea kupinduliwa R a i s a l i y e c h a g u l i w a kidemokrasia Muhammad M o s a d d e q . B a a d a ya m a p i n d u z i h a yo C I A ikamweka madarakani dikiteta Shah Mohammad Reza Pahlavi aliyeongoza kwa mkono wa chuma akitumia askari katili wa s ir i maarufu, SAVAK, ambao walikuwa wakipewa mafunzo na CIA pamoja na Mossad. Ukatili wa askari hawa unafananishwa na ule wa kile kikosi cha Manazi, ‘Nazi Gestapo’ wakati wa Vita Kuu ya Pili (World War II). Inaelezwa pia kwamba ilikuwa ni CIA waliokuwa wakimpa Shah na makachero wake watesaji orodha ya watu

waliotakiwa kuteswa au kuuliwa. Hawa ni wale walioonekana kuhatarisha masilahi ya Marekani kwa maana ya kupinga utawala wa Shah.

I l i p o i n g i a s e r i k a l i ya Kiis lamu baada ya mapinduzi yaliyoongozwa n a Aya t o l l a h S a y ye d Ruhollah Musavi Khomeini, M a r e k a n i i l i m g e u k i a Saddam Hussein na kumpa mpango wa kuidhoofisha Iran. Yakajengwa mazingira yaliyoibua vita kati ya nchi hizo mbili iliyodumu kwa miaka 8.

Katika vita hiyo, Iraq ilipata usaidizi kutoka Marekani ikiwa ni pamoja na wa kutumia silaha za kemikali. Hata hivyo kwa mujibu wa mwandishi George Crile, Marekani

h a i k u wa i m e k u s u d i a kuona Iraq inashinda vita na kuwa na nguvu zaidi ya Iran. Bali lengo lilikuwa kuzidhoofisha nchi zote mbili.

“We didn’t want either side to have the advantage. We just wanted them to kick the shit out of each other.”

Anasema afisa mmoja wa CIA Ed Juchniewicz, (Associate Deputy Director for Operat ions) kama alivyonukuliwa na Crile. Na ndio maana unaona mara tu baada ya vita, Marekani iliigeukia Iraq ambapo katika hatua ya awali watu zaidi ya 1,500,000 wengi wao wakiwa watoto walikufa kutokana na v ikwazo ilivyowekewa nchi hiyo na baadae tena kuvamiwa na kupigwa mamilioni ya watu kuuliwa na mpaka sasa hali

si shwari Baghdad.Katika kipindi cha George

Walker Bush, Marekani ikaja na “black operations” dhidi ya Iran. Hii ilijumuisha propaganda, kusambaza h a b a r i z a u r o n g o n a kuchochea migogoro ya kifedha. Lakini hiyo ikawa haitoshi. Ukaanzishwa m k a k a t i w a k u w a p a mafunzo na fedha makundi ya kigaidi ili kufanya fujo ndani ya Iran. Taarifa ya aliyekuwa Mkaguzi wa Umoja wa Mataifa (UN inspector) William Scott Ritter inaonyesha jinsi CIA walivyokuwa wakishirikiana na kundi la kigaidi la MEK (Mojahedin-e Khalq-e Iran) kulipua mabomu na kuuwa watu wasio na hatia.

T a a r i f a n y i n g i n e z inaelezea kwa urefu

jinsi ambavyo makundi ya kihalifu yalivyokuwa yakisaidiwa kuweka na kutekeleza mipango ya kuuwa makachero wa Idara ya Usalama ya Iran hii ikilenga kuleta machafuko na joto la kutaka kupindua serikali ya Dr. Mahmoud Ahmadinejad.

Japo serikali ya Marekani i m e k u wa i k i k a n u s h a kuhusika na makundi hayo ya kigaidi, lakini taarifa za kikachero zinazofichuliwa na vyombo vya habari zinathibit isha tuhuma hizo. Habari iliyoandikwa na Wi l l iam Lowther (Washington DC) na Colin Freeman katika gazeti la The Telegraph (Februari 25, 2007) inawanukuu makachero kadhaa wakithibit isha kuwa Marekani imekuwa na mkakati wa kuidhoofisha Iran kupitia vikundi vya kigaidi.

G a z e t i l i n a m n u k u u a f i s a m m o j a m s t a a f u wa serikali ya Marekani Fred Burton, (former US state department counter-terrorism agent) akisema kuwa mashambulizi na mauwaji yuanayofanyika I r a n y a n a w i a n a n a mpango wa Marekani k u t u m i a m a k u n d i ya waasi kuidhoofisha serikali ya Tehran na kuing’oa madarakani.

Dick Cheney wakati huo akiwa makamu wa Rais aliwahi kusema kuwa itakuwa kosa kubwa sana kuruhusu Iran kuwa na nguvu za nyukilia.

Swali ni je, kama Marekani ina nguvu za nyukilia, kwanini Iran nayo isiwe nazo kama ina utaalamu wa kuzipata. Nani kasema nyukilia kama utaalamu, ni haki ya Marekani na genge lake pekee?

Awali Marekani ilikuwa ikiishutumu Iran kwamba inafadhili magaidi wa kimataifa. Kwa rekodi hii ya kufadhili na kuwapa m a e l e k e z o J u n d u l l a h wanaolipua Misikiti na kuuwa watu wakiswali, Marekani inapata wapi mdomo wa kuishutumu Iran?

Nisema kwamba kama ni mafanikio, moja ya mafanikio makubwa ya Mapinduzi ya Kiislamu I r a n , n i n c h i k u wa n a m s i m a m o , k u wa huru na kukataa kuwa kibaraka wa kutumikia mabeberu. Yanayotokea hivi sasa ikiwa ni pamoja na hivi vikwazo vya mafuta vilivyotangazwa na Umoja wa Ulaya, ni bei ya mafanikio haya. Vinginevyo, nyukilia sio tatizo. Mbona hata India na Pakistan zina nyukilia lakini halijawa tatizo la Washington wala Umoja wa Ulaya!

Shah Mohammad Reza Pahlavi

Page 14: Hoja ya Jussa Maandamano - Zanzibar Yetu...ISSN 0856 - 3861 Na. 997 RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 3 - 9, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu Maandamano makubwa kesho

14 AN-NUUR RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 3 - 9, 2012 Tangazo

ISLAMIC PROPAGATION CENTRE

NAFASI ZA KIDATO CHA TANO – 2012/2013

Waislamu kote nchini mnatangaziwa nafasi za kidato cha Tano kwa shule zifuatazo:

• KIRINJIKO ISLAMIC SECONDARY SCHOOL – SAME – KILIMANJARO (BWENI TU)• NYASAKA ISLAMIC SECONDARY SCHOOL – MWANZA (BWENI TU• UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOO L – DAR ES SALAAM (BWENI TU)

1. Shule hizi ni za Kiislamu zenye lengo la kuwapa wanafunzi taaluma ya hali ya juu na malezi bora ya Kiislamu kwa gharama nafuu.2. Masomo yanayofundishwa ni Islamic knowledge, michepuo (Combinations) YOTE ya SAYANSI, ARTS, BIASHARA na COMPYUTA.3. Muombaji awe na Credit 3 au zaidi na angalau daraja ‘D’ katika somo la Elimu ya Dini ya Kiislamu. Ikiwa hakufanya mtihani wa somo hili, basi awe tayari kusoma program maalum ya Maarifa ya Uislamu atakapokuwa kidato cha tano.4. Mwisho wa kuchukua na kurudisha fomu ni tarehe 01/03/20125. Fomu za Maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi 10,000/= katika vituo vilivyoorodheshwa hapa chini.• Arusha - Msikiti wa sakina: 0754 96660• Kilimanjaro - Moshi: Msikiti wa Riadha – 0784 277755 - Same: Kirinjiko Islamic Secondary School: 0784 296424 - Juhudi studio/Restaurant-Same Mjini 0757013344• Tanga - Uongofu Bookshop: 0784 982525• Mwanza - Nyasaka Islamic Secondary School: 0784 232438 Ofisi ya IPC MWANZA-Mtaa wa Rufiji mwisho: 0754889330• Musoma - Shule ya Msingi Kamnyonge: 0754 067551• Kagera - Bukoba: Katoro Islamic Secondary School: 0754 523322• Shinyanga - Kahama –Ofisi ya Annur -0753993930• D’Salaam - Ubungo Islamic High School: 0754 260241 - Manzese –Ofisi ya Gazeti la Annur-0713110148/0777777372 - Temeke –Ofisi ya Islamic Ed. Panel-Mkabala na msikiti wa Nurulyakin-0787119531• Pwani - Ikwiriri Msikiti wa Taqwq:0787393199• Morogoro - Ofisi ya EKP- Msikiti wa Ijumaa Boma Road. Morogoro mjini-0712689258• Dodoma - Al-Hijra Nursery School: 0786 386767• Singida - Msikiti wa Kati – Ofisi ya Jawla – 0786 123246• Manyara - Babati: 0784406610/0784928039• Kigoma - Msikiti wa Mwanga mjini Kigoma: 0753 355224/0717317322 - Kibondo – Migano General Service: 0754 738654• Tabora - Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784 944566 - Nzega – Lillahi Nursery School: 0754 576922• Lindi - Wapemba Store: 0784 974041• Mtwara - Amana Islamic Secondary School: 0784 596707/0785777370• Songea - M.A. Kawanga mkabala na Msikiti wa Wilaya – 0713 249264• Mbeya - Msikiti wa Forest: 0713 200209• Rukwa - Sumbawanga: Semzango Stationary-0786830119• Iringa - Madrasatun-Najah: 0714677866• Pemba - Wete: Wete Islamic Education Centre: 0777 432331• Unguja - Madrasatul-Fallah: 0777 431580

6. Pia Fomu zinapatikana kwenye Tovuti: www.ipctz.org. Ikumbukwe kuwa watakaopata fomu kupitia tovuti (download) watatakiwa kuzilipia wakati wa kuzirejesha.

USIKOSE NAFASI HII ADHIMU – WAHI KUCHUKUA FOMU!

Wabillah Tawfiiq

MKURUGENZI

Page 15: Hoja ya Jussa Maandamano - Zanzibar Yetu...ISSN 0856 - 3861 Na. 997 RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 3 - 9, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu Maandamano makubwa kesho

15RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 3 - 9, 2012 AN-NUURHabari/Matangazo

Ijumaa 03/02/2012 Madina Wajibu na Msingi ya Daawa Sheikh Abdala Mohamed

Jumamosi 04/02/2012 Ndugumbi Magomeni - Kondoa Mimi ni mwito wa Baba yangu Ibrahim na Bushra ya ndugu yangu Issa Sheikh Muutamid Juma

Jumapili 05/02/2012 Islaah Kigogo kati E unajuwa nafasi ya Mtume Muhammad s.a.w katika kufikia lengo la kuumbwa kwako? Sheikh Yusuf Salim

Jumatatu 06/02/2012 Idrisa Utamaduni wa Kiislam Sheikh Mohamed Issa

Jumanne 07/02/2012 Idrisa Kumfuata mtume Muhammad s.a.w ni kielelezo cha kumpenda yeye Sheikh Taha Suleiman Bane

Jumatano 08/02/2012 Idrisa Hukmu ya Eda ya Kupotelewa na Mume Sheikh Hashim Ahmad Rusaganya

MihadharaWaandalizi Mihadhara wa Masjid Qiblatein wanawaalika Waislamu wote kuhudhuria Mihadhara ya kumbukumbu ya

Mazazi ya Mtume Muhammad ( S.a.w) katika Misikiti Mbalimbali mkoani DSM chini ya uenyekiti wa Maalimu Sheikh Ali Basalleh, kila siku Baada ya Sala ya Magharib kwa Mpango ufuatao.

Urusi yalaani Jumuia ya Kiarabu kuhusu SyriaInatoka Uk. 16Sheria ya Kimataifa .”

Z a i d i B w. L a v r o v alizishutumu nchi za Magharibi kwa kujifanya v i p o f u k u f u m b i a macho mashambulizi y a n a y o f a n y w a n a wapiganaji wa upinzani dhidi ya serikali ya Syria kwa jina la maandamano ya raia huku mataifa hayo yakiwauzia wapiganaji hao silaha .

“Wanakimbia swali la msingi: Kwanini tukae kimya wakati wafuasi wa upinzani wakifanya vitendo vyao dhidi ya majengo ya ser ikal i , hospitali, shule?”

A l i z i t a k a n c h i z a M a g h a r i b i k u t u m i a m a wa s i l i a n o ya o n a wapiganaji dhidi ya serikali ya Syria kuweka shinikizo la kuacha vurugu.

A l i s e m a k i t e n d o cha kuwauzia s i laha wapiganaji wanaopinga s e r i k a l i y a S y r i a hakikubaliki na zaidi kinachochea mapigano zaidi.”

Serikali ya Rais Assad imekuwa ikishutumu hali ya machafuko nchini humo inayosababishwa na magaidi na makundi yenye silaha ambayo inadaiwa kuchochewa na mataifa ya kigeni katika kuondoa usalama na amani ya Taifa hilo.

Iran kusimamisha uuzaji mafuta Ulaya Inatoka Uk. 16TEHRANBUNGE la Iran, Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu imetayarisha muswada wa sheria ambao utawezesha kupigwa marufuku uuzaji mafuta ya petroli katika nchi za Umoja wa Ulaya, ambazo hivi karibuni zimeiwekea Iran vikwazo vya mafuta.

Naibu Mwenyekiti wa Kamati ya Nishati katika Bunge la Iran Bw. Nasser Sudani, amesema muswada huo wa dharura una vipengele vinne.

B a a d h i ya wa b u n g e w a m e t a k a I r a n i p i g e marufuku uuzaji mafuta yake barani Ulaya kwa muda wa miaka mitano.

M u s w a d a h u o p i a unaishurutisha serikal i k u s i t i s h a u n u n u z i wa bidhaa katika nchi ambazo zimeiwekea Iran vikwazo.

I t a k u m b u k wa k u wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Ulaya walipasisha vikwazo kadhaa dhidi ya Iran katika kikao chao cha tarehe 23 mwezi huu huko mjini Brussels.

Naye Mkuu wa Shirika la Taifa la Mafuta la Iran Bw. Ahmad Qalebani, amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko tayari kusimamisha uuzaji wa mafuta yake kwa nchi za Ulaya.

Bw. Ahmad Qalebani, amesema hayo wakati wa kufunguliwa maonyesho ya tatu ya mafuta, gesi, mafuta ghafi na kemikali za petrol mjini Ahwaz, uliopo katika mkoa wa Khuzstan, Kusini Magharibi mwa Iran.

Alisema kuwa Iran hivi sasa iko tayari kuacha kuziuzia nchi za Ulaya mafuta yake na kuzingatia tu masoko yake ya mafuta ya hapo awali.

Bw. Qalebani amesema viwanda vya usafishaji mafuta vya sekta binafsi barani Ulaya vitaathirika vibaya kama Iran itasimamisha kuuza mafuta yake barani humo.

Amesema, India ni mmoja wa wanunuzi wakubwa na wa kutumainiwa wa mafuta ya Iran na kwamba, Iran ina nafasi maalumu kutokana na hatua yake ya kuzidhamini nishati nchi nyingi kubwa duniani hivyo umuhimu

wa nchi ya Iran hauwezi kupuuzwa.

Katika hatua nyingine, Shirika la Fedha la Kimataifa I M F , l i m e t o a r i p o t i inayolitahadharisha kundi la G20 kwamba, endapo Iran itasitisha kuuza mafuta yake kutokana na vikwazo vya Marekani na Umoja wa Ulaya, bei ya mafuta duniani inaweza kupanda kwa asilimia 20 hadi 30.

Ripoti hiyo iliyotolewa Jumatano iiliyopita imeeleza kuwa kuongezeka kwa shinikizo la nchi za Magharibi dhidi ya Iran kwa sababu ya shughuli za nyuklia za Tehran, ni tishio kwa uchumi wa dunia unaolegalega.

Katika ripoti yake IMF imesisitiza kuwa kuiwekea vikwazo vikubwa sekta ya mafuta ghafi ya Iran kuna maana ya kuondoa karibu mapipa milioni moja na nusu

ya mafuta ghafi kwa siku yanayosafirishwa na kuuzwa na Tehran katika soko la dunia.

Hal i h iyo inae lezwa k wa m b a h a k u n a n c h i nyengine inayozalisha mafuta yanayoweza kufidia pengo hilo katika hali ya sasa.

Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Ulaya walipitisha vikwazo kadhaa dhidi ya Iran katika kikao chao cha Januari 23 mwezi huu huko mjini Brussels.

V i k w a z o h i v y o vinajumuisha marufuku ya kununua mafuta ya Iran pamoja na bidhaa zinazotokana na mafuta.

Hata hivyo, kutokana na kuchelea taathira ya vikwazo hivyo kwa uchumi wa nchi za Magharibi, Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa ususiaji

Inaendelea Uk. 7

Kichwa cha habari hapo juu chahusika, Mimi ni Kijana yatima mwenye umri wa miaka 23. Nina mzazi mmoja (mama), baba alishafariki tangu mwaka 2002 kwa ugonjwa wa kifua kikuu. Awali nilikuwa nasaidiwa ada na Halmashauri ya Wilaya kipindi nasoma kidato cha kwanza hadi cha sita (2005-2011) huko Mkinga Tanga. Kwa sasa sina mfadhili kwani Halmashauri inawasaidia watoto wa sekondari tu.

Noamba mchango wenu kwa ajili ya kulipa ada ya Chuo cha Utumishi wa Umma (Kigamboni) - Kozi ya Records Management ngazi ya Diploma (miaka miwili).

Jumla ya ada kwa miaka miwili ni 2,030,000/= Mwaka mmoja ni Shs 1,015,000/=. Barua ya Afisa Mtendaji, barua za shuleni nilipokuwa nasoma na vyeti vya shule vimeambatanishwa pamoja na fomu ya kuchaguliwa kujiunga na chuo kwa uthibitisho.

Chuo kinafunguliwa tarehe 23/01/2012. Unaweza kuchangia chochote ulichojaaliwa kwa kutumia Akaunti zake zifuatazo: 4098100205 NMB, 0152300507700 CRDB au 0716 658289 (tigo pesa), 0765 747429 (m-pesa) au moja kwa moja chuoni kupitia Akaunti Na 01J1019909100 CRDB. Naomba unifafahamishe pindi utakapotuma kwa njia yeyote ile.

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu, Inshaalah Allah atawalipa kila la kheri.

SElPH MUSSA NGODAKwa mawasiliano zaidi piga simu 0716 658 289/0763 747 429.

Msaada wa kulipiwa Ada

Page 16: Hoja ya Jussa Maandamano - Zanzibar Yetu...ISSN 0856 - 3861 Na. 997 RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 3 - 9, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu Maandamano makubwa kesho

16 AN-NUUR RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 3 - 9, 2012

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.

AN-NUUR16 RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 3 - 9, 2012

USIKOSE KUSOMA AN-NUUR

KILA IJUMAA

MOSCOWWAZIRI wa Mambo ya Nje wa Urusi, Bw. Sergei Lavrov, amelaani uamuzi w a J u m u i y a y a Nchi za Kiarabu wa kusimamisha kazi za ujumbe wake nchini Syria, ikiwa ni siku chache baada ya Damascus kukubali

Urusi yalaani Jumuia ya Kiarabu kuhusu SyriaYasema kamwe haiwezi kuruhusu kuingilia kijeshi

k u d u m u w e n y e kura ya veto katika Baraza la Usalama la UN, Urusi inaweza kutumia kura hiyo ya turufu kat ika mapendekezo yoyote ambayo yataidhinisha k u i n g i l i a k i j e s h i mzozo wa Syria.

Waziri wa Mambo ya nje wa Urusi Sergey Lavrov amesema mapendekezo ya n c h i y a k e k w a Baraza la Usalama la U.N. juu ya vurugu zinazoendelea nchini Syria, yanayolenga k u w e k a w a z i m s i m a m o w a k e k wa m b a h a k u n a l i t a k a l o h a l a l i s h a nchi hiyo kuingiliwa kijeshi.

“ K a m a b a a d h i wanafikiria kutumia nguvu za ki jeshi k w a g h a r a m a zozote…tunaweza kuzuia kwa nguvu kutokea hilo”, Lavrov aliueleza mkutano wa waandishi wa habari jijini Moscow.

“ L a k i n i h e b u tuwaache wafanye juhudi zao kwa mujibu wa m a k u b a l i a n o yao. Hawataweza kukubaliwa na Baraza la usalama la UN”.

Urusi imekuwa mshirika mkubwa wa Syria tangu kipindi cha Muungano wa nchi za Soviet , wakati Syria ikiwa chini ya uongozi wa marehemu Hafez Assad, baba wa Rais wa sasa wa Syria Bashar al Assad.

Mpaka sasa kuna taarifa kwamba tayari taifa hilo limepeleka u l i n z i d h i d i y a utawala wa Syria ambapo imeahidi kuzuia aina zozote za mashambuilizi ya kijeshi dhihi ya nchi hiyo, ambapo yenyewe inashikilia m s i m a m o w a k e w a k u p a t i k a n a Inaendelea Uk. 5

kuuongezea muda ujumbe huo.

B w . L a v r o v a m e s e m a k u w a wa m e s h a n g a z wa kuona kuwa licha ya baada ya Syria kuafiki kuongeza muda wa kuwepo ujumbe huo

wa wasimamizi wa Jumuiya ya Kiarabu, b a a d h i y a n c h i hususan za eneo la Ghuba ya Uajemi, zimewaita nyumbani w a j u m b e w a k e waliokuweko katika ujumbe huo huko Syria.

A m e s e m a , Moscow ingependa kufahamu ni kwa nini Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeamua k u s i m a m i s h a wasimamizi wake nchini Syria.

Balozi wa Urusi kat ika Umoja wa Mataifa Bw. Vitaly Churkin, alielezea kusikitishwa kwake na rasimu ya nchi za Ulaya na Arab League iliyowasilishwa katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa dhidi ya Syria.

B w . C h u r k i n ameituhumu Jumuia ya K i a r a b u k wa kudhoofisha juhudi za kutafuta njia za kisiasa za kutatua mgogoro wa Syria.

W a k a t i h a y o yakiripotiwa, habari kutoka Syria zinaarifu kuwa magaidi wenye silaha wamewauwa w a n a j e s h i wasiopungua kumi wa Syria baada ya kulishambulia basi moja huko Kansafra, katika eneo la Jabal al Zuwiya Kaskazini M a g h a r i b i m w a n c h i h i yo . H a yo yamer ipot iwa na Taasisi ya Kusimamia Haki za Binadamu ya Syria.

A w a l i U r u s i i l i t a n g a z a w a z i k w a m b a i t a z u i a jaribio lolote kutoka nchi za Magharibi la kuitaka UN kuunga mkono matumizi ya kijeshi dhidi ya utawala wa Damascus, ambao unakabiliwa na shinikizo kubwa la kumaliza vurugu nchini humo.

Kauli hiyo ya Urusi ilielezwa kwamba ni moja ya matamko m a z i t o k u w a h i kuyatoa waziwazi juu ya hatua inazochukua dhidi ya utawala wa Rais Bashar Assad.

Ikiwa mmoja wa w a n a c h a m a w a

suluhu kwa njia ya mazungumzo.

Hadi sasa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeshindwa kukubalinaa juuya kuiwekea vikwazo Syria au kuivamia k i j e s h i k u o n d o a u t a w a l a u l i o p o kutokana na upinzani m k u b wa k u t o k a kwa Urusi na China, ambao ni wanachama w a k u d u m u w a Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na wamiliki wa kura ya veto.

M we z i O k t o b a mwaka jana, nchi zote hizo zilipiga kura ya veto dhidi ya mapendekezo ya nchi za magharibi z i l i z o k u w a z i k i o n g o z w a n a M a r e k a n i ambazo z i l ikuwa zikimshutumu Rais Assad na kutishia k u i w e k e a S y r i a vikwazo.

Waziri huyo wa Mambo ya Nje pia alizungumzia ripoti z i l i z o p o j u u y a kuwepo meli ya kijeshi ya Urusi iliyopeleka silaha Syria ambayo i n a d a i w a k u w a hatua hiyo imevunja m a k u b a l i a n o ya Umoja wa Ulaya ya kusafirisha silaha.

Akizungumzia hilo alisema kuwa Urusi haioni kama kuna haja ya kuelezea hilo au kuomba radhi.

Lavrov al isema U r u s i i m e k u w a ikifanya jitihada zake huku ik iheshimu kikamilifu sheria za Kimataifa na kamwe haiwezi kuongozwa na vikwazo au shEria z i l ivyowekwa na mataifa mengine.

“ H a t u k u v u n j a makubaliano yeyote ya kimataifa wala ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, t u n a c h o f a n ya n i biashara na Syria katika bidhaa ambazo hazi jakatazwa na

AmanaBank Hajj AccountKukusaidia kujiwekea akibaili kutimiza Hija yako

www.amanabank.co.tz

Benki ya kwanza Tanzania inayofuata Sharia kikamilifu

AmanaBank Hajj Savings Account ni akaunti maalum kwa ajili ya kukuwezesha kutimiza ndoto yako ya kukamilisha nguzo ya tano ya Uislam ambayo ni kwenda kuhiji Makkah.

�� ������������������������������������������������������������� Sharia.�� ���������������������������������� ���������������������� ������������������������������������������������������� � nyingine ndani ya benki. �� �������������������������������������������� ������������������������ ��������������������������������������������������� ������������������������������������������������������ �� ���������������������

��������������������������������������������������������������������Kwa maelezo zaidi tembelea matawi yetu sasa