hotuba ya waziri wa nchi---ofisi ya rais ......pia namshukuru mheshimiwa rais, kwa kuendelea...

165
1 HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA. KAPT (MST) GEORGE H. MKUCHIKA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA WA FEDHA 2019/20

Upload: others

Post on 10-Feb-2020

8 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

1

HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS,

MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA

UTAWALA BORA. KAPT (MST) GEORGE H.

MKUCHIKA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI

MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA

FEDHA KWA MWAKA WA FEDHA 2019/20

Page 2: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

2

A.UTANGULIZI

1. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba, kutokana

na taarifa iliyowasilishwa ndani ya Bunge lako Tukufu na

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na

Serikali za Mitaa iliyochambua bajeti ya Ofisi ya Rais, Ikulu

(Fungu 20 na 30), Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa

Umma (Fungu 33), Menejimenti ya Utumishi wa Umma

(Fungu 32), Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma

(Fungu 67), Tume ya Utumishi wa Umma (Fungu 94), Bodi ya

Mishahara na Masilahi katika Utumishi wa Umma (Fungu 09),

na Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa (Fungu 04).

Bunge lako Tukufu sasa lipokee na kujadili Mapitio ya

Utekelezaji wa Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha wa

2018/19 Aidha, naliomba Bunge lako Tukufu likubali

kupitisha Mpango wa Utekelezaji na Makadirio ya Fedha kwa

Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala

Bora kwa Mwaka wa Fedha wa 2019/20.

2. Mheshimiwa Spika, Awali ya yote, napenda kumshukuru

Mwenyezi Mungu kwa kutupatia uwezo wa kutekeleza

majukumu ya kuwahudumia wananchi. Pia namshukuru

Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa

Umma na Utawala Bora; Ninamuahidi kuwa nitatekeleza

wajibu wangu kwa ufanisi na uadilifu wa hali ya juu. Aidha,

nawashukuru wapiga kura wa Jimbo la Newala Mjini kwa

ujumla kwa kuendelea kunipa ushirikiano wakati wote

ninapoendelea kuwawakilisha. Vilevile, naishukuru familia

yangu ushirikiano wanaonipatia na kwa kuwa wavumilivu

ninapotekeleza majukumu ya taifa. Aidha, napenda

kumpongeza Dkt. Mary M. Mwanjelwa (Mb.) kwa kuteuliwa

kwake na pia namshukuru kwa kunisaidia katika kazi za kila

siku za kuiongoza ofisi yangu.

Page 3: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

3

3. Mheshimiwa Spika, Naomba kumpongeza Mwenyekiti wa

Kamati na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya

Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa kwa kuendelea na

nafasi zao. Pia, nawapongeza Wenyeviti na Makamu

Wenyeviti wa Kamati zote za Kudumu za Bunge kwa

kuchaguliwa na wanaoendelea katika nafasi zao zenye

dhamana ya kusimamia Kamati katika kuishauri Serikali na

kutoa mapendekezo mbalimbali ya kuboresha utendaji kazi.

Vilevile nawapongeza wajumbe wapya wa kamati yetu,

Mheshimiwa Ibrahim Hasanali Raza (Mb), Mwigulu Lameck

Nchemba (Mb), Njalu Saudi Silanga (Mb), Philipo Mulugo

(Mb) na Mheshimiwa Mansoor Hirani Shanif (Mb).

4. Mheshimiwa Spika, kwa namna ya pekee naishukuru

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa

chini ya Mwenyekiti wake Mheshimiwa Jasson Samson

Rweikiza,Mbunge wa Jimbo la Bukoba Vijijini na Makamu

wake Mheshimiwa Mwanne Ismail Mchemba, Mbunge wa

Viti Maalum Tabora kwa ushirikiano, maelekezo na ushauri

mzuri walioutoa wakati wa kupitia Taarifa ya Utekelezaji wa

Mpango na Bajeti ya Mwaka wa Fedha wa 2018/19 na

Mapendekezo ya Mpango wa Utekelezaji na Makadirio ya

Mapato na Matumizi ya fedha kwa Mwaka wa Fedha wa

2019/20. Maoni na ushauri wa Kamati hiyo yametuwezesha na

yataendelea kutuwezesha kutekeleza majukumu yetu kwa

ufanisi zaidi.

5. Mheshimiwa Spika, kwa namna ya pekee, naomba kutumia

nafasi hii kumpongeza Mheshimiwa Dkt. John Joseph Pombe

Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa

uongozi wake mahiri unaohimiza uadilifu, uwajibikaji,

uchapakazi na utendaji wenye matokeo katika Utumishi wa

Umma na usimamizi wa miradi mikubwa ya kimkakati kwa

Taifa. Pili, nampongeza Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan,

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa

Page 4: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

4

namna anavyomsaidia Mheshimiwa Rais katika utekelezaji wa

Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi.

6. Mheshimiwa Spika, Pia napenda kumpongeza

Mheshimiwa Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Serikali ya

Mapinduzi Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,

kwa uongozi wake shupavu na nia yake thabiti ya kuleta

maendeleo Zanzibar na kuimarisha Muungano, amani na

utulivu. Vilevile, nampongeza Mheshimiwa Balozi Seif Ali

Iddi, Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya

Zanzibar kwa kuendelea kuwatumikia wananchi wa Zanzibar

kwa ushupavu na uadilifu mkubwa.

7. Mheshimiwa Spika, napenda kuchukua fursa hii

kumpongeza Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa, Waziri

Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa kuendelea

kuwa nguzo muhimu ya utekelezaji, usimamiaji na uratibu wa

kazi za kila siku za Serikali na kuwa Kiongozi wa shughuli za

Serikali Bungeni. Aidha, napenda kumpongeza kwa uratibu

makini wa kufanikisha zoezi la Serikali kuhamia Dodoma hasa

ujenzi wa ofisi mpya kwenye Mji wa Serikali.

8. Mheshimiwa Spika, naomba nikupongeze wewe binafsi na

Naibu Spika, kwa kuliongoza Bunge letu Tukufu kwa busara

na hekima. Nawapongeza pia Wenyeviti wa Bunge kwa

umahiri na kazi nzuri wanayoifanya ya kukusaidia wewe

kuliongoza Bunge letu Tukufu.

9. Mheshimiwa Spika, Nawapongeza pia Mawaziri wote wa

Serikali ya Awamu ya Tano kwa mafanikio wanayoendelea

kuyapata katika utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM na

Dira ya Maendeleo ya Mwaka 2025. Kwa namna ya pekee,

nampongeza na kumshukuru Mheshimiwa Selemani Said Jafo

(Mb), Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na

Serikali za Mitaa, na Mheshimiwa Mwita Waitara (Mb) na

Page 5: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

5

Mheshimiwa Joseph Kandege (Mb) kwa ushirikiano wao

mkubwa wanaonipa katika utekelezaji wa majukumu ya Ofisi

ya Rais.

10. Mheshimiwa Spika, naomba kuchukua fursa hii

kuwapongeza Waheshimiwa Wabunge waliochaguliwa hivi

karibuni ambao ni Mheshimiwa Christopher Kajoro Chizza

kwa kuchaguliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Buyungu,

Mheshimiwa Julius Kalanga Laizer kwa kuchaguliwa kuwa

Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mheshimiwa Mwita

Mwikwabe Waitara kwa kuchaguliwa kuwa Mbunge wa

Jimbo la Ukonga, Mheshimiwa Timotheo Paul Mnzava kwa

kuchaguliwa kuwa Mbunge wa Korogwe Vijijini,

Mheshimiwa Zuberi Mohamed Kuchauka kwa kuchaguliwa

kuwa Mbunge wa Jimbo la Liwale, Mheshimiwa James

Kinyasi Millya kwa kuchaguliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la

Simanjiro, Mheshimiwa Joseph Michael Mkundi kwa

kuchaguliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Ukerewe,

Mheshimiwa Ryoba Chacha Marwa kwa kuchaguliwa kuwa

Mbunge wa Jimbo la Serengeti, Mheshimiwa Paulina Philip

Gekul kwa kuchaguliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Babati

Mjini, Mheshimiwa Abdallah Ally Mtolea kwa kuchaguliwa

kuwa Mbunge wa Jimbo la Temeke. Vile vile, kwa masikitiko

makubwa natoa pole kwa msiba wa Mheshimiwa Stephen

Hillary Ngonyani aliyekuwa Mbunge wa Korogwe Vijijini

kilichotokea tarehe 2 Julai, 2018. Tunaomba Mola aiweke

roho ya marehemu mahali pema peponi, Amina!

Page 6: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

6

11. Mheshimiwa Spika, naomba kuchukua fursa hii

kuwapongeza Mheshimiwa Joseph George Kakunda (Mb.)

kwa kuteuliwa kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara,

Mheshimiwa Japhet Ngailonga Hasunga (Mb.) kuteuliwa

kuwa Waziri wa Kilimo, Mheshimiwa Anjellah Kairuki (Mb.)

kwa kuteuliwa kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu

anayeshughulikia Uwekezaji, Mheshimiwa Doto Biteko (Mb.)

kwa kuteuliwa kuwa Waziri wa Madini, Mheshimiwa Balozi

Dkt. Augustine Philip Mahiga (Mb.) kwa kuteuliwa Kuwa

Waziri wa Katiba na Sheria, na Mheshimiwa Prof.

Palamagamba John Aidan Kabudi (Mb.) kwa kuteuliwa kuwa

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika

Mashariki. Mheshimiwa Mary Machuche Mwanjelwa (Mb.)

kuteuliwa kuwa Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,

Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,

Mheshimiwa Constantine John Kanyasu (MB) kuteuliwa kuwa

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mheshimiwa Mwita

Mwikwabe Waitara (Mb.) kuteuliwa kuwa Naibu Waziri Ofisi

ya Rais – TAMISEMI na Mheshimiwa Innocent Lugha

Bashungwa (Mb.) kuwa Naibu Waziri wa Kilimo, Wote hao

nawatakia mafanikio katika nafasi walizopewa na

Mheshimiwa Rais.

12. Mheshimiwa Spika, nawashukuru Balozi Mhandisi John

William Kijazi, Katibu Mkuu Kiongozi; Dkt Moses Kusiluka

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Ikulu; Dkt. Laurean J. Ndumbaro,

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa

Umma; Dkt Francis Michael, Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya

Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora;

Makamishna, Watendaji Wakuu wa Taasisi; Wakurugenzi na

Watumishi wote wa Ofisi ya Rais Ikulu na Menejimenti ya

Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa kazi nzuri

wanazozifanya katika kutekeleza majukumu yanayoiwezesha

Ofisi kufikia malengo yake, ikiwa ni pamoja na kukamilisha

Hotuba hii kwa wakati.

Page 7: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

7

13. Mheshimiwa Spika, kwa namna ya pekee napenda

kuzishukuru Nchi Wahisani na Washirika wa Maendeleo

ambao wamechangia jitihada zetu za kuleta maendeleo kwa

wananchi. Hivyo, nachukua fursa hii kuzishukuru na kuzitaja

nchi chache ambao ni:- Jamhuri ya Watu wa China, Japan,

Uingereza, India, Korea ya Kusini, Ujerumani, Canada,

Marekani, Sweden, Australia, Umoja wa Ulaya, Denmark,

Norway, Uholanzi, Finland, Uswisi, Indonesia, Brazil, Italia,

Malaysia, Misri, Pakistan, Singapore, Thailand, Ireland, Israel,

Kenya, Rwanda, Somalia, Afrika Kusini, Botswana,

Msumbiji, Malawi, Mali, Ghana, Ethiopia, Jamhuri ya

Kidemokrasia ya Kongo, Nigeria, Sierra Leone, Liberia, Ivory

Coast, Namibia, Niger, Togo, Zimbabwe, Trinidad & Tobago

na Ubelgiji. Vilevile, nawashukuru Mashirika ya Maendeleo

ya Kimataifa ambayo ni: Benki ya Maendeleo ya Afrika

(AfDB), Benki ya Dunia, OFID-OPEC Fund for International

Development, Mfuko wa Maendeleo ya Jamii wa Japan

(Japanese Social Development Fund), DfID, KOICA, GIZ,

DFATD, USAID, SIDA, UNDP, Jumuiya ya Madola,

DANIDA, NORAD,JICA, Mfuko wa Fedha wa Kimataifa

(IMF) na Taasisi ya Bill and Melinda Gates Foundation.

14. Mheshimiwa Spika, mwisho kabisa ninapenda kutoa

shukrani zangu za dhati kwa Watumishi wote wa Umma kwa

kutekeleza wajibu wao kwa ufanisi mkubwa. Uzalendo wao na

imani yao kwa Uongozi wa Serikali ya Awamu ya Tano

umewezesha Serikali kutekeleza majukumu yake ya

kuwahudumia wananchi, kwa ufanisi mkubwa.

15. Mheshimiwa Spika, naomba kulithibitishia Bunge lako

Tukufu kwamba, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa

Umma na Utawala Bora itaendelea kutekeleza maelekezo

yaliyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

kwa nyakati mbalimbali kuhusu kupunguza urasimu ili

kuongeza kasi ya utekelezaji, kubana matumizi na kurejesha

Page 8: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

8

nidhamu ya Serikali na Utumishi wa Umma kwa kuongeza

uwazi na kusimamia Sheria, Kanuni Miongozo na Taratibu za

uwajibikaji wa viongozi na watumishi wa umma ili

wawajibike kwa wananchi ambao ndio wateja na waajiri

wakuu wa watumishi wa umma. Vilevile, tunamuunga mkono

Mheshimiwa Rais katika vita dhidi ya rushwa, ubadhirifu wa

mali ya umma, ufisadi, uzembe, uvivu, ukiukwaji wa maadili

na watumishi hewa na wasio na sifa stahiki kwa

kuwawajibisha wanaodhihirika kujihusisha na vitendo hivyo.

Hatua anazoendelea kuchukua Mheshimiwa Rais zinatakiwa

kuungwa mkono na Bunge lako Tukufu pamoja na wale wote

wanaoitakia mema nchi yetu. Dhamira ya Mheshimiwa Rais

ya kuwa na Serikali inayowahudumia wananchi wa kawaida

itatimia kwa watumishi wa umma wote kufanya kazi kwa

weledi, juhudi, maarifa na uadilifu mkubwa. Tunaendelea

kusisitiza utoaji wa huduma bora, kwa haraka na kwa staha ili

kuwaondolea wananchi usumbufu.

16. Mheshimiwa Spika, kwa masikitiko makubwa natoa pole

kwa Watanzania wenzetu ,Viongozi na Watumishi wa umma

waliopoteza maisha yao kutokana na majanga mbalimbali

yaliyotokea katika kipindi hiki ikiwemo ajali za Magari kwa

watumishi wa umma waliofariki wakiwa kazini tunamuomba

Mwenyezi Mungu aziweke roho za marehemu mahali pema

peponi. Amina.

17. Mheshimiwa Spika, hotuba yangu itazungumzia maeneo

makuu mawili ambayo ni: Mapitio ya Utekelezaji wa Mpango

wa Mwaka wa Fedha wa 2018/19 pamoja na Mpango wa

Utekelezaji na Maombi ya Fedha kwa Mwaka wa Fedha wa

2019/20.

Page 9: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

9

MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA

MWAKA WA FEDHA 2018/19

18. Mheshimiwa Spika, utekelezaji wa Mpango na Bajeti

kwa Mwaka wa Fedha 2018/19 ulizingatia Dira ya Taifa ya

Maendeleo ya 2025, Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano

(2016/17 – 2020/21) na Ilani ya Uchaguzi ya Chama Tawala

ya mwaka 2015 Shughuli zilizotekelezwa na kila Taasisi ni

kama ifuatavyo:-

OFISI YA RAIS, IKULU NA TAASISI ZAKE

19. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha wa 2018/19,

Fungu: 20 Ofisi ya Rais, Ikulu ilidhinishiwa Shilingi

22,644,912,748 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida. Hadi

kufikia Machi, 2019 Shilingi 16,131,509,229 zilipokelewa na

kutumika.

20. Mheshimiwa Spika, ili kutekeleza majukumu yake, katika

Mwaka wa Fedha wa 2018/19, Ofisi ya Rais na Sekretarieti ya

Baraza la Mawaziri (Fungu 30) inayojumuisha Taasisi zilizo

chini ya Ikulu, iliidhinishiwa Shilingi 576,213,769,000. Kati

ya fedha hizo, Shilingi 401,158,280,000 kwa ajili ya Matumizi

ya Kawaida na Shilingi 175,055,489,000 kwa ajili ya Miradi

ya Maendeleo. Hadi kufikia Machi, 2019 Shilingi

427,830,330,741 zilipokelewa na kutumika. Kati ya fedha hizo

Shilingi 304,632,948,634 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida

na Shilingi 123,197,382,107 kwa ajili ya Miradi ya

Maendeleo. Yafuatayo ni maelezo kwa kila Taasisi:-

a. Ofisi ya Rais - Ikulu

21. Mheshimiwa Spika, Ofisi ya Rais, Ikulu imeendelea

kuongoza, kufuatilia na kusimamia utekelezaji wa shughuli za

Serikali. Katika kipindi cha mwezi Julai, 2018 hadi Machi,

2019, kazi zifuatazo zilitekelezwa:-

Page 10: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

10

(i) Huduma ziliendelea kutolewa kwa Mheshimiwa

Rais na familia yake.

(ii) Ushauri umeendelea kutolewa kwa Mheshimiwa

Rais kuhusu ratiba ya kila siku.

(iii) Ushauri umeendelea kutolewa kwa Mheshimiwa

Rais katika masuala ya Siasa, Uchumi, Jamii,

Sheria, Diplomasia na ushauri mwingine wowote

kwa lengo la kumsaidia Rais kufanya Uamuzi.

(iv) Mikutano 31 ya Sekretarieti ya Baraza la Mawaziri

ilifanyika, ambapo nyaraka 59 zilichambuliwa.

Mikutano 12 ya Kamati Maalum ya Makatibu

Wakuu (IMTC) ilifanyika na nyaraka 18

zilichambuliwa na ushauri kutolewa. Mikutano tisa

(9) ya kazi ya Makatibu Wakuu ilifanyika ambapo

mada 20 ziliwasilishwa na kujadiliwa. Mikutano

mitano (5) ya Baraza la Mawaziri ilifanyika ambapo

nyaraka 14 zilijadiliwa na kufanyiwa maamuzi.

Aidha, mikutano minne (4) ya Kamati ya Katiba na

Bunge ya Baraza la Mawaziri ilifanyika ambapo

miswada 16 ilijadiliwa;

(v) Kumbukumbu za mikutano ya Sekretarieti ya

Baraza la Mawaziri, Kamati Maalum ya Makatibu

Wakuu na Baraza la Mawaziri ziliandaliwa na

kusambazwa kwa wahusika kwa wakati. Aidha,

ufuatiliaji na tathmini ulifanyika na taarifa ya

utekelezaji wa Uamuzi wa Baraza la Mawaziri

iliandaliwa;

(vi) Mafunzo kwa Sekretarieti ya Baraza la Mawaziri

kuhusu utayarishaji na uwasilishaji wa Nyaraka za

Baraza la Mawaziri yalifanyika Dodoma kuanzia

tarehe 1 – 3 Februari, 2019;

Page 11: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

11

(vii) Mafunzo kwa Makatibu Wakuu na kwa

Wakurugenzi wa Sera na Mipango/ Waratibu wa

Shughuli za Baraza la Mawaziri Wizarani kuhusu

utayarishaji nuwasilishaji wa Nyaraka za Baraza

lamMawaziri yalifanyika Dodoma tarehe 15 –16

Februari, 2019 na 2 – 3 Machi, 2019;

(viii) Taarifa Jumuishi ya Robo Mwaka ya Utekelezaji wa

Mkakati wa Taifa Dhidi ya Rushwa Awamu ya Tatu

(NACSAP III) kutoka kwa Wizara, Taasisi za

Umma, Mikoa na Halmashauri kwa kipindi cha

Robo Mwaka inayoishia mwezi Septemba na

Desemba, 2018 ziliandaliwa;

(ix) Kikao cha kupitia kwa pamoja Mipango Kazi ya

Mkakati wa Taifa Dhidi ya Rushwa na Wizara/Sekta

za Kimkakati kilifanyika Dar es Salaam na Dodoma

tarehe 21 - 28 Septemba, 2018;

(x) Vikao vya Kamati ya Taifa ya Kitaalam ya Ushauri

ya Uratibu wa Utekelezaji wa Mkakati wa Taifa

Dhidi ya Rushwa Awamu ya Tatu (2017 - 2022)

vilifanyika tarehe 24 Agosti, 2018 na tarehe 26

Oktoba, 2018 Dar esSalaam;

(xi) Mafunzo yalitolewa kuhusu maudhui na usimamizi

wa utekelezaji wa Mkakati wa Taifa Dhidi ya

Rushwa, Awamu ya Tatu kwa Wakuu wa Mikoa na

Makatibu Tawala wa Mikoa tarehe 7 Desemba,

2018;

(xii) Wajumbe wa Kamati za Kudhibiti Uadilifu kwa

Mikoa nane (8) ya Geita, Njombe, Songwe, Katavi,

Manyara na Pwani; Wizara zote na Taasisi za

Umma walipatiwa mafunzo ya kuandaa mipango

kazi kutekeleza Mkakati wa Taifa Dhidi ya Rushwa

Page 12: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

12

mwezi Februari na Machi, 2019;

(xiii) Rufaa 124 za Watumishi wa Umma, Mamlaka za

Nidhamu na Waajiri zilichambuliwa na kutolewa

uamuzi na Rais na Katibu Mkuu Kiongozi ambapo

wahusika walijulishwa. Aidha, malalamiko 689 ya

Watumishi wa Umma na wananchi wengine

yalichambuliwa na kutolewa maelekezo;

(xiv) Ziara ya ufuatiliaji wa uzingatiaji wa Sheria na

maelekezo yanayotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi na

Mkuu wa Utumishi wa Umma zilifanyika katika

Mikoa ya Mbeya, Songwe, Njombe, Ruvuma, Mara na

Mwanza na Mamlaka za Serikali za Mitaa 42 za Mikoa

hiyo;

(xv) Kwa kushirikiana na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu

wa Serikali, Ofisi ilishiriki katika kutoa majibu na

ushahidi kwenye kesi za madai 14 zinazohusu

Watumishi wa Umma na wananchi wengine

zilizoko Mahakama Kuu zinazopinga uamuzi wa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania au

Katibu Mkuu Kiongozi; na

(xvi) Programu za Maboresho za Serikali za Mitaa

(LGRP), Maboresho katika Utumishi wa Umma

(PSRP) na Maboresho katika Sekta ya Sheria

(LSRP) ,zimekamilisha michakato ya kuandaliwa

upya kwa lengo la kuboresha mifumo na utendaji

kazi katika Utumishi wa Umma, Serikali za Mitaa

na Sekta ya Sheria.

b. TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA

RUSHWA (TAKUKURU)

22. Mheshimiwa Spika, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na

Rushwa imeendelea kutekeleza majukumu yake kwa

Page 13: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

13

kuzingatia Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Sura

ya 329. Majukumu hayo ni pamoja na kuelimisha umma

kuhusu athari za rushwa, kuchunguza tuhuma za makosa ya

rushwa, kuwafikisha watuhumiwa mbele ya vyombo vya

sheria na kuishauri Serikali kuhusu masuala mbali mbali ya

rushwa.

23. Mheshimiwa Spika, Matokeo ya juhudi zinazochukuliwa

na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

inayoongozwa na Mheshimiwa. Dkt. John Joseph Pombe

Magufuli katika kukabiliana na rushwa nchini zimeleta

mafanikio makubwa kwa kuongeza nidhamu na uwajibikaji

wa watumishi wa umma, kujengeka kwa uadilifu katika

biashara, ukusanyaji mapato na matumizi ya umma. Mafanikio

haya yameijengea Serikali msingi/uwezo mpana wa kukuza

uchumi na kuongeza kasi ya utoaji huduma za msingi kwa

wananchi wake.

24. Mheshimiwa Spika, Taarifa mbali mbali zinazotolewa na

Taasisi za Kimataifa na za Kitaifa kuhusiana na hatua

zinazochuliwa na Serikali katika mapambano dhidi ya

Rushwa zimedhihirisha Tanzania inapiga hatua kubwa katika

kudhibiti vitendo vya rushwa na ufisadi nchini.

25. Mheshimiwa Spika, Kiashiria cha Transparency

International (CPI) kimeonesha kuwa kwa mwaka 2018,

Tanzania imefanya vizuri kwa kiwango cha juu ya wastani

ukilinganisha na nchi nyingine za Kusini mwa Jangwa la

Sahara kwa kufikia kiwango cha asilimia 36 na kushika nafasi

ya 99 kati ya nchi 180 ikilinganishwa na nafasi ya 103 ya

mwaka 2017. Aidha, kwa kutumia kiashiria cha Mo Ibrahim,

kiashiria kinaonesha kuwa Tanzania ilipiga hatua katika

nyanja ya Utawala Bora kwa kupata asilimia 58.5

ikilinganishwa na asilimia 57.5 ya kiwango kilichofikiwa

mwaka 2016.

Page 14: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

14

26. Mheshimiwa Spika, Utafiti uliofanywa na

AFROBAROMETER mwaka 2014 ulionesha kuwa asilimia

66 ya waliohojiwa walisema kuwa kiwango cha rushwa

kimeongezeka. Hata hivyo, matokeo ya utafiti uliofanyika wa

mwaka 2017 yanaonesha kuwa asilimia 72 ya waliohojiwa

walisema kuwa kiwango cha rushwa kimepungua. Aidha,

matokeo ya utafiti uliofanywa na TWAWEZA mwaka 2017

nao umebainisha kuwa asilimia 85 ya wananchi waliohojiwa

walieleza kuwa rushwa imepungua ukilinganisha na asilimia

11 ya waliohojiwa mwaka 2014.

27. Mheshimiwa Spika, Katika kipindi cha mwezi Julai, 2018

hadi Machi, 2019 shughuli zifuatazo zilitekelezwa:-

(i) Uchunguzi wa majalada 170 ulikamilika na

kuwasilishwa kwa Mkurugenzi wa Mashtaka

kuombewa kibali. Majalada 107 kati ya yaliyopelekwa

kwa Mkurugenzi wa Mashtaka yalipata kibali cha

kuwafikisha watuhumiwa mahakamani. Aidha,

majalada mengine yanaendelea kufanyiwa kazi;

(ii) Kesi mpya 276 zilifunguliwa mahakamani katika

kipindi hiki na kufanya jumla ya kesi zilizoendeshwa

mahakamani kufikia 704. Kati ya kesi mpya

zilizofunguliwa mahakamani, kesi tano (5)

zilifunguliwa katika mahakama ya Rushwa na

Uhujumu Uchumi (Mahakama ya Mafisadi). Katika

kipindi hiki, kesi 253 ziliamuliwa mahakamani

ambapo kesi 101 watuhumiwa wake waliachiwa huru

na kesi 152 watuhumiwa wake walipatikana na hatia

na kuhukumiwa kifungo au kulipa faini. Aidha, kesi 40

ziliondolewa mahakamani kutokana na sababu

mbalimbali. Kesi 411 zinaendelea mahakamani;

Page 15: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

15

(iii) Utafiti wenye lengo la kuimarisha mifumo ya udhibiti

wa mianya ya rushwa umefanyika katika maeneo ya

kimkakati ya Jiji la Dar es Salaam ulifanyika kwa

kuichambua mifumo ya ukusanyaji wa mapato katika

Kituo Kikuu cha Mabasi Yaendayo Mikoani cha

Ubungo, ushuru unaotokana na maegesho ya magari,

Huduma ya usafiri kwa njia ya treni zinazoendeshwa

na TAZARA na TRC na udhibiti wa mianya ya rushwa

wakati wa maandalizi na usimamizi wa mitihani ya

kitaifa ya kidato cha pili na cha nne. Matokeo na

mapendekezo ya kuziba mianya ya rushwa katika

maeneo haya yamewasilishwa kwa Mamlaka husika ili

hatua stahiki zichukuliwe;

(iv) Kazi 255 za uchambuzi wa mifumo zilifanyika katika

sekta 24 na warsha/vikao 172 vya wadau kujadili

matokeo ya kazi za utafiti na uchambuzi wa mifumo

kwa lengo la kuweka mikakati ya kudhibiti rushwa

vilifanyika katika sekta 21. Aidha, kazi 343 za

ufuatiliaji wa utekelezaji wa maazimio yatokanayo na

mapendekezo ya uchambuzi wa mifumo zilifanyika;

(v) Miradi ya maendeleo 91 yenye thamani ya Shilingi

bilioni 706.2 ilifuatiliwa katika Sektaza Vipaumbele za

Maji, Ujenzi, Afya na Elimu. Kati ya miradi hiyo,

miradi sita (6) yenye thamani ya Shilingi bilioni 1.15

ilionekana kuwa na kasoro mbalimbali na inaendelea

kufanyiwa uchunguzi. Pia wananchi walielimishwa ili

kuimarisha usimamizi wa miradi ya maendeleo katika

maeneo yao. Aidha, Taasisi inaendelea na ufuatiliaji

wa Miradi 42 ya Ujenzi wa Hospitali za Wilaya yenye

thamani ya shilingi bilioni 63;

(vi) Shilingi milioni 977.92 ziliokolewa kutokana na

operesheni zilizofanywa na TAKUKURU na

Page 16: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

16

kurejeshwa serikalini kutokana na kudhibiti rushwa

katika eneo la ukusanyaji mapato ya Serikali, uzuiaji

wa malipo hewa na ukaguzi wa miradi ya maendeleo;

(vii) Elimu kuhusu athari za rushwa na juhudi za Serikali za

kuidhibiti ili kupata uungwaji mkono ilitolewa kupitia

njia mbalimbali zikiwemo semina 1,654, mikutano ya

hadhara 1,992, vipindi vya redio na Runinga 231

maonesho 168 na taarifa kwa umma 123 zilitolewa

kupitia vyombo vya habari. Aidha, habari/makala 315

ziliandaliwa kwa ajili ya wavuti na nakala za

machapisho 11,600 zilisambazwa

(viii) Vijana walio shuleni, vyuoni na ambao hawapo

shuleni walipatiwa elimu kuhusu rushwa na Klabu

mpya za wapinga rushwa 1,373 zilifunguliwa na 1,887

ziliimarishwa. Aidha, klabu rika 29 za vijana walio nje

ya mfumo wa elimu zilifunguliwa;

(ix) TAKUKURU kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi wako

katika Kampeni iliyopewa jina la UTATU

inayoshirikisha pande tatu yaani TAKUKURU, Jeshi

la Polisi na wadau/wananchi yenye lengo la kuzuia

vitendo vya rushwa kwenye eneo la Usalama

Barabarani;

(x) TAKUKURU imeendelea kutoa huduma ya kupokea

malalamiko na taarifa kutoka kwa wananchi kwa saa

24 ambapo wananchi 225,688 wameweza kuifikia

TAKUKURU kupitia simu namba 113 ambapo

walipata fursa ya kutoa maoni, ushauri, kuuliza

maswali na kutoa taarifa za vitendo vya rushwa;

(xi) Filamu ya BAHASHA iliyoandaliwa na TAKUKURU

kwa kushirikiana na Kampuni ya filamu ya Media for

Page 17: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

17

Development International (MfDI) kwa ufadhili wa

Ubalozi wa Uswisi na Ubalozi wa Uholanzi nchini

Tanzania ilizinduliwa. Uzinduzi wa filamu hii yenye

maudhui kuhusu mapambano dhidi ya rushwa na

maadili ulifanyika katika ukumbi wa Pius Msekwa

katika eneo la Bunge la Jamhuri ya Muungano wa

Tanzania ambapo mgeni rasmi alikuwa Spika wa

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,

Mheshimiwa Job Ndugai;

(xii) Elimu kwa umma imeendelea kutolewa kupitia

vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kubeba

agenda ya mapambano dhidi ya rushwa ambapo jumla

ya matangazo (graphics) matatu (3) na 11 (video spots)

yaliandaliwa na kusambazwa kupitia mitandao ya

kijamii (social media) ya TAKUKURU (Facebook,

Instagram na Twitter) na WhatsApp. Aidha,

TAKUKURU imepata usajili wa PCCB Online TV ili

kuwafikia wananchi wengi kwa gharama nafuu;

(xiii) Kazi ya kuimarisha mfumo wa TEHAMA ndani ya

TAKUKURU unaendelea ambapo wazabuni

wanaendelea kuunganisha Ofisi 58 za wilaya kwenye

mtandao wa Taasisi, kuboresha njia za mawasiliano

katika Mikoa 17 na kununua Kompyuta 78 ili

kurahisisha na kuwezesha mtiririko mzuri wa

majalada, takwimu na mawasiliano kutoka ngazi za

Wilaya, Mkoa na Makao Makuu; na

(xiv) Watumishi 198 walipatiwa mafunzo ili kuwajengea

uwezo wa kumudu majukumu kwa ufanisi.

c.TAASISI YA UONGOZI

28. Mheshimiwa Spika, Taasisi ya UONGOZI imeendelea

kusimamia malengo yake ya kuwa Kituo cha utaalam wa hali

Page 18: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

18

ya juu cha kuendeleza Viongozi Barani Afrika kwa kuanzia na

Tanzania, Ukanda wa Afrika Mashariki na hatimaye Afrika

kwa ujumla. Walengwa ni Viongozi Waandamizi waliopo na

wanaojitokeza wakiwemo wanasiasa, watumishi wa Serikali

na Mahakama.

29. Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha Mwaka wa Fedha

2018/19, kazi zifuatazo zimetekelezwa:-

(i) Programu ya Stashahada ya Uzamili ya Uongozi

iliyozinduliwa rasmi tarehe 21 Aprili,2017 iliendelea

kutekelezwa. Stashahada hii inalenga kuwajengea

viongozi uwezo wa kufanya uamuzi wa kimkakati,

kusimamia rasilimaliwatu na rasilimali nyingine na

kujenga sifa binafsi za kiongozi. Stashahada hii yenye

moduli 10 inatekelezwa kwa kushirikiana na Chuo

Kikuu cha Aalto kilichoko Helsinki, Finland. Katika

kipindi hiki, awamu ya pili ya mafunzo

inayojumuisha Maafisa Waandamizi 32 kutoka

Wizara, Taasisi na Mashirika ya Umma iliendelea

kutekelezwa. Moduli sita zinazohusu masuala ya

Uongozi wa matokeo; Ubunifu; Maendeleo Endelevu;

Uongozi wenye Maadili; Mawasiliano na Usimamizi

wa rasilimaliwatu zilitekelezwa;

(ii) Kozi saba (7) za muda mfupi zimetolewa kwa

Viongozi wa Umma 431 kwa lengo la kuimarisha

utendaji wao. Kozi hizi ni kwenye maeneo ya Uongozi

wa kimkakati; Utawala; Mitazamo na Dira; Kiongozi

Muadilifu; Uongozi Binafsi na Wenye Maadili;

Mapambano Dhidi ya Rushwa, Utawala Bora na

Uwajibikaji; Usimamizi wa Mipango yenye Matokeo;

na Huduma kwa wateja;

(iii) Mafunzo ya uongozi yalitolewa kwa Wajumbe wa

Page 19: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

19

Kamati tatu za Kudumu za Bunge ya Uongozi; Haki,

Maadili na Madaraka; na ya Utawala na Serikali za

Mitaa tarehe 16 Agosti, 25 – 26 na 30 Machi, 2019,

Zanzibar, Arusha na Dodoma;

(iv) Mafunzo ya kuwajengea uwezo Viongozi wa kisiasa

na watendaji wa Serikali katika ngazi za Mkoa na

Wilaya yalitolewa kwa Wakuu wa Mikoa na Makatibu

Tawala wa Mikoa,Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi

wa Mamlaka za Serikali za Mitaa. Mafunzo haya

yalilenga kuwajengea uwezo viongozi hawa katika

masuala ya Uongozi, Utawala Binafsi, Hisia na

Uhusiano Wenye Tija Kati ya Viongozi Watendaji na

Viongozi wa Kisiasa, Uwajibikaji, Majukumu na

Mipaka ya Kazi, Mawasiliano Fanisi, Usimamizi wa

Vihatarishi na Udhibiti wa Ndani, Ununuzi katika

Sekta ya Umma, Masuala ya Itifaki, Usalama wa

Serikali na Ulinzi na Usalama wa Taifa. Jumla ya

Viongozi 117 walipata mafunzo kwa mchanganuo

ufuatao: Wakuu wa Mikoa 26 na Makatibu Tawala 25;

na Wakuu wa Wilaya 27 na Wakurugenzi 39 wa

Mamlaka za Serikali za Mitaa walioteuliwa na

Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa

Tanzania miezi ya Julai na Agosti 2018. Wakuu wa

Wilaya na Wakurugenzi waliobaki walishapatiwa

mafunzo hayo;

(v) Kwa kushirikiana na Taasisi za ndani na nje ya Nchi,

makongamano nane (8) ya Kimataifa, Kikanda na

Kitaifa yalifanyika kwa lengo la kukutanisha viongozi

ili kubadilishana taarifa, maarifa na uzoefu na

kuwaongezea uelewa wa masuala ya Uongozi na

Maendeleo Endelevu. Jumla ya viongozi 586

walishiriki kutoka Tanzania na nchi mbalimbali ndani

Page 20: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

20

na nje ya Bara la Afrika. Mikutano ifuatayo

ilifanyika:-

(a) Kongamano la Kikanda la Viongozi wa Afrika

kuhusu “Namna ya Kupata Mitaji kwa ajili ya

Maendeleo Endelevu Afrika” lilifanyika tarehe 2 na

3 Agosti, 2018. Kongamano hili liliandaliwa kwa

kushirikiana na Taasisi ya Rais Mstaafu

Mheshimiwa Benjamin William Mkapa.

Kongamano hili lilihudhuriwa na Viongozi 200

wakiwemo Rais Paul Kagame wa Rwanda, Marais

Wastaafu kutoka Tanzania, Somalia, Msumbiji,

Nigeria na Tunisia; Wakuu wa Taasisi za Kikanda

za SADC, EAC, UNECA, na AfDB;

wafanyabiashara, Wakuu wa Taasisi za Kiraia na

wasomi kutoka nchi 20;

(b) Mkutano wa Kitaifa juu ya “Nafasi ya Serikali ya

Mapinduzi ya Zanzibar katika Mageuzi ya

Kiuchumi na Kijamii” ulifanyika tarehe 9, Julai,

2018. Mkutano huu uliandaliwa kwa kushirikiana

na Wizara ya Fedha na Mipango ya Serikali ya

Mapinduzi Zanzibar na kuhudhuriwa na Viongozi

40;

(c) Kongamano la Kimataifa kuhusu “Mchango wa

Mashirika ya Umma katika Utekelezaji wa Ajenda

ya Viwanda Tanzania Bara” liliandaliwa kwa

kushirikiana na Ofisi ya Msajili wa Hazina tarehe

10 Julai, 2018. Kongamano hili lilihudhuriwa na

Viongozi 51 kutoka Mashirika ya Umma;

(d) Mkutano wa Kitaifa kuhusu “Kukuza na

Kuimarisha Uongozi na Viongozi Tanzania”

Page 21: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

21

uliandaliwa na kufanyika tarehe 2 Novemba, 2018

na kuhudhuriwa na viongozi 48 na viongozi wa

wanafunzi wa Vyuo Vikuu 10;

(e) Mkutano kuhusu “Rasilimali za Asili na Ujenzi wa

Viwanda: Je, Gesi inaweza kuchochea mabadiliko

ya kimuundo?” uliandaliwa kwa kushirikiana na

Taasisi ya Umoja wa Mataifa (UNU - WIDER) na

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Idara ya Uchumi)

tarehe 30 Novemba, 2018. Mkutano huo

ulihudhuriwa na washiriki 52;

(f) Mkutano kuhusu “Mipango kwa ajili ya Maendeleo:

Uzoefu kutoka Tume ya Mipango ya Jimbo la

Kerala, India” ulifanyika tarehe 9 Novemba, 2018

na kuhudhuriwa na Maafisa Mipango 57 kutoka

Serikalini na Taasisi za Serikali. Mkutano huu

ulifanyika kwa kushirikiana na Kavazi la Mwalimu

Nyerere;

(g) Mkutano wa Kitaifa juu ya “Sera Shirikishi katika

Menejimenti ya Uchumi” uliandaliwa kwa

kushirikiana na Taasisi ya REPOA tarehe 20

Desemba, 2018. Mkutano huu ulihudhuriwa na

wadau 28;

(h) Mkutano wa Kitaifa juu ya “Mapendekezo ya

Kanuni ya Madini ya Mwaka 2019 ya Kuanzisha

Masoko na Vituo vya Kuuza Madini” ulifanyika

kwa kushirikiana na Wizara ya Madini tarehe 11 na

12 Februari, 2018. Mkutano huu ulihudhuriwa na

viongozi wa Serikali, na wadau wa madini wapatao

100;

(vi) Vipindi saba (7) vya mahojiano na viongozi

Page 22: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

22

waandamizi na wataalam wa masuala ya Uongozi na

Maendeleo Endelevu viliandaliwa na kurushwa

kwenye runinga na kuwekwa kwenye tovuti ya Taasisi

ya UONGOZI na mitandao ya kijamii kwa lengo la

kubadilishana taarifa, maarifa na uzoefu. Vipindi hivi

vinaonyeshwa na kuonekana Bara zima la Afrika;

(vii) Tafiti inayohusu Uchumi wa Viwanda vya Kijani

iliendelea kufanyika; Maandalizi ya Tafiti tano(5)

zitakazofanyika kwa kushirikiana na Taasisi ya Umoja

wa Mataifa, UNU-WIDER, iliyoko Finland

yamekamilika;

(viii) Maandalizi ya chapisho linaloelezea maisha ya Rais

Mstaafu wa Awamu ya Tatu Mheshimiwa Benjamin

William Mkapa lilikamilika na liko kwenye hatua za

uchapishaji. Chapisho la Rais Mstaafu wa Awamu ya

Pili Mheshimiwa Ali Hassan Mwinyi linaendelea

kuandaliwa. Machapisho (memoirs) haya yanaelezea

maisha binafsi na michango ya Marais hawa Wastaafu

katika jamii, kabla, wakati na baada ya urais;

(ix) Jumla ya Machapisho manne (4) juu ya masuala ya

Uongozi na Maendeleo Endelevu yalitolewa; na

(x) Ushauri wa kitaalam ulitplewa kwa Wizara ya Sheria

na Katiba katika kuandaa Awamu ya pili ya Programu

ya Maboresho ya Sekta ya Sheria. Aidha, Taasisi

iliwezesha Tume ya Madini kutengeneza Mpango

Mkakati wake wa Mwaka 2018/19 – 2022/23.

d. MPANGO WA KURASIMISHA RASILIMALI NA BIASHARA ZA WANYONGE TANZANIA (MKURABITA)

30. Mheshimiwa Spika, Mpango wa Kurasimisha Rasilimali

na Biashara za Wanyonge Tanzania (MKURABITA)

Page 23: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

23

umeendelea kutekeleza Majukumu ya kuandaa na kusimamia

mfumo wa Kitaifa wa umiliki wa rasilimali na uendeshaji wa

Biashara nchini unaotambulika na kukubalika kisheria. Katika

kipindi cha Julai, 2018 hadi Machi, 2019. MKURABITA

imetekeleza kazi zifuatazo:-

(i) Wakulima 586 na viongozi 147 wa Vyama vya

wakulima wamejengewa uwezo wa kutumia Hati za

Haki Miliki za Kimila kupata Mitaji katika Benki na

Taasisi nyngine za Fedha katika Halmashauri za

Wilaya za Mvomero, Magu na Chamwino. Mafunzo

yaliyotolewa yamewezesha Wakulima 151 kufungua

akaunti katika benki. Aidha, katika kipindi cha

mafunzo Vyama viwili (2) vya Msingi vya Mazao na

Masoko (AMCOS) vilianzishwa katika Vijiji vya

Membe na Mahama Wilayani Chamwino;

(ii) Kwa kushirikiana na Halmashauri za Wilaya za

Singida na Njombe, Vituo viwili (2) vya Urasimishaji

wa Biashara (One Stop Formalization Centre)

vimeanzishwa katika Halmashauri ya Mji wa Njombe

na Manispaa ya Singida ambapo huduma muhimu za

utoaji leseni za biashara, utoaji wa Namba ya

Utambulisho wa Mlipa kodi (TIN), usajili wa jina la

biashara, huduma za benki na mifuko ya hifadhi ya

jamii zinapatikana sehemu moja. Aidha,

wafanyabiashara 1,527 wamepata mafunzo ya

urasimishaji na uendeshaji wa biashara. Katika kipindi husika Vituo vimesajili biashara 738 na wafanyabiashara 400 wamefungua akaunti katika benki kwa ajili ya kuweka akiba na kukopa fedha ili kujiongezea mitaji. Uanzishwaji wa Vituo vya Urasimishaji wa Biashara katika Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara, Geita na Jiji la Tanga unaendelea na utakamilika ifikapo Juni, 2019;

Page 24: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

24

(iii) Urasimishaji wa biashara katika Wilaya za Magharibi

A, Unguja na Mkoani, Pemba umeanza ambapo

wafanyabiashara 100 watapata mafunzo na kusajiri

biashara zao;

(iv) Kwa kushirikiana na Ofisi za Taifa za Takwimu

Tanzania Bara na Zanzibar, MKURABITA imefanya

utafiti kuhusu Sekta isiyo Rasmi nchini kwa lengo la

kubaini ukubwa na thamani ya Sekta isiyo Rasmi.

Taratibu za kutoa tarifa kwa umma juu ya matokeo ya

tathmini hiyo zinaandaliwa;

(v) Mkakati wa Mawasiliano umepitiwa kwa kushirikiana

na wataalam kutoka Wizara za Kisekta ili kuandaa

Mkakati mpya kwa lengo la kuongeza ufanisi katika

kufanya mawasiliano kwa Umma. Taasisi hizo ni Ofisi

ya Rais TAMISEMI, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya

Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Chuo cha

Utumishi wa Umma, Tume ya Mipango Zanzibar,

Wizara ya Viwanda na Biashara na Wizara ya Ardhi,

Nyumba na Maendeleo ya Makazi;

(vi) Mikakati mbalimbali imetekelezwa na MKURABITA

kwa lengo la kujitangaza kwa wadau ikiwemo:

Kuandaa na kurusha vipindi 51 vya redio na Runinga

ambavyo vimerushwa TBC na ZBC. Adha,

vipeperushi 4,000 vimesambazwa kwa wadau. Vilevile

ziara ya wanahabari watano (5) kutoka vyombo

mbalimbali vya habari imefanyika katika maeneo

ambayo urasimishaji umefanyika;

(vii) MKURABITA imeingia makubaliano na benki ya

National Microfinance Bank (NMB) kwa ajili ya

utekelezaji wa Miradi ya majaribio ya Mfuko

Endelevu wa Urasimishaji wa Wilaya. Utekelezaji

Page 25: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

25

umeanza katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa

ambapo Serikali imeweka fedha za dhamana katika

benki ya NMB ili kuziwezesha Halmashauri kukopa na

kuendesha shughuli za urasimishaji endelevu; na

(viii) Ufuatiliaji na tathmini ya utekelezaji wa shughuli za

urasimishaji umefanyika katika Halmashauri za

Wilaya za Urambo na Bariadi kwa Tanzania Bara ili

kuona mchango wa “Kituo Kimoja cha urasimishaji na

uendelezaji biashara” ambapo utekelezaji wa

urasimishaji biashara kwa kupitia Vituo

vilivyoanzishwa vya uendelezaji unarahisisha na

kuongeza ukusanyaji wa Mapato ya ada za leseni na

Kodi. Kwa upande wa Zanzibar, tathmini na ufuatiliaji

imefanyika katika Wilaya za Mjini Magharibi,

Kaskazini B, Kati, Wete na Chakechake.

e.MFUKO WA MAENDELEO YA JAMII (TASAF)

31. Mheshimiwa Spika, Mfuko wa Maendeleo ya Jamii

umeendelea kutekeleza Awamu ya Tatu kwa kuyapa

kipaumbele maeneo ya Ukuzaji wa uchumi na kupunguza

umaskini wa kipato; Kuinua ubora wa maisha na ustawi wa

jamii; na Utawala bora na uwajibikaji. Kazi zilizotekelezwa

katika kipindi cha Julai, 2018 hadi Machi, 2019 ni kama

ifuatavyo:

(i) Ruzuku ya jumla ya Shilingi bilioni 163.5

lihawilishwa kwa kaya maskini 1,007,588

zilizoandikishwa zenye jumla ya watu zaidi ya milioni

5 Tanzania Bara na Zanzibar katika

Vijiji/Mitaa/Shehia 9,835. Kaya hizo zimeweza kupata

ruzuku hiyo kwa masharti ya lishe, afya na elimu;

(ii) Mpango wa kutoa ajira za muda umetekeleza miradi

3,567 kutoka katika Vijiji, Mitaa na Shehia zipatazo

Page 26: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

26

2,590 ambapo kaya za walengwa 288,837 zilipata ajira

za muda katika Mamlaka za Serikali za Mitaa 42 na

Wilaya zote za Zanzibar. Miradi hiyo ina thamani ya

Shilingi bilioni 15.1. Miradi iliyotekelezwa ni pamoja

na ujenzi na ukarabati wa malambo ya maji, uanzishaji

wa vitalu vya miche ya miti, uchimbaji wa visima

vifupi, uboreshaji wa barabara, uhifadhi wa vyanzo

vya maji, na hifadhi ya mazingira. Aidha, watoa

huduma 152 wa ngazi ya jamii wamefundishwa namna

ya kusimamia miradi ya kutoa ajira za muda katika

Maeneo 19 ya Utekelezaji;

(iii) Uhakiki endelevu wa Kaya za Walengwa ili kubaini na

kuziondoa kaya zinazopoteza vigezo vya Mpango

uliendelea kufanyika. Katika kipindi cha Julai 2018

hadi Machi jumla ya kaya 4,840 zilibainika kupoteza

vigezo au sifa na kuondolewa katika Mpango kwa

sababu mbalimbali kama ifuatavyo:-

a. Kaya zilizokuwa na mwanakaya mmoja ambaye

alifariki au wote wamefariki ni hizi hutolewa

kila kipindi cha malipo;

b. Kaya zilizohamia Vijiji/Mitaa/Shehia ambapo

Mpango haujaanza kutekelezwa

ni 235. Kaya hizi huwa na fursa ya vya na

baadaye hutolewa kwenye Mpango;

c. Kaya ambazo hazikujitokeza mara mbili

mfululizo kupokea ruzuku na wakati wa

mzunguko wa tatu kuondolewa ni 3,774. Kaya

hizi hujifuta zenyewe kwenye Mpango au

kuondolewa;

d. Kaya ambazo baadhi ya wanakaya ni wajumbe

Page 27: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

27

wa Kamati za Usimamizi za Jamii, Halmashauri

za Vijiji/Kamati za Mitaa, viongozi na watendaji

ni 9. Kaya hizi huondolewa mara moja kwenye

Mpango baada ya kubainika.

(iv) Miradi 97 ya miundombinu ya elimu, afya na maji

yenye thamani ya Shilingi bilioni 4.4 inaendelea

kutekelezwa katika Halmashauri 16 za Mikoa ya

Arusha, Njombe, Tanga, Mtwara na Tabora. Aidha,

wawezeshaji wa ngazi ya Halmashauri na wajumbe wa

kamati za usimamizi za jamii walipewa mafunzo

kuhusu taratibu za utekelezaji na usimamizi wa miradi

katika maeneo yao;

(v) Mfumo wa malipo kwa Walengwa kwa njia za

kielektroniki (kupitia mitandao ya simu na Benki)

umeandaliwa na majaribio yamefanyika katika

Mamlaka ya Maeneo ya utekelezaji 16 ambayo ni; Jiji

la Arusha, Manispaa ya Ilala, Manispaa ya Kinondoni,

Manispaa ya Temeke, Halmashauri ya Bahi, Mpanda

Mji, Halmashauri ya Siha, Halmashauri ya Kilwa,

Halmashauri ya Bagamoyo, Halmashauri ya

Kisarawe,Manispaa ya Kigoma – Ujiji, Halmashauri

yaMkuranga, Manispaa ya Songea, Halmashauri ya

Urambo, Halmashauri ya Muheza, na Halmashauri

zote Unguja na Pemba kwa upande wa Zanzibar. Hadi

kufikia Machi, 2019 Walengwa 55,763 wamenufaika

na shilingi bilioni 16.2 zimelipwa kwa kutuma njia

hiyo;

(vi) Miongozo ya utekelezaji wa shughuli za kuweka akiba

na kukuza uchumi wa kaya ilikamilika na kuanza

kutumika. Jumla ya vikundi vya kuweka akiba 11,769

vyenye walengwa 151,821 vimeundwa katika

Mamlaka ya Maeneo ya Utekelezaji 44. Vikundi hivyo

Page 28: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

28

vimeweza kuweka jumla ya akiba ya shilingi bilioni 2

na kukopeshana shilingi milioni 802;

(vii) Mfumo wa Teknolojia, Habari na Mawasiliano

(TEHAMA) wa utunzaji wa kumbukumbu za

walengwa, uendeshaji na utoaji taarifa umeendelea

kuboreshwa na kuimarishwa. Aidha, Mfumo wa

kuwasilisha na kupokea malalamiko umekamilika na

umeanza kutumika katika maeneo yote ya utekelezaji

Mifumo ya TASAF imeunganishwa na mifumo

mingine ya kitaifa kama vile NIDA na Malipo

Mtandao (Government e-Payment Gateway). Aidha,

Kituo cha Huduma kwa Wateja kimeanzishwa TASAF

Makao Makuu;

(viii) Tathimini ya kupima matokeo na manufaa ya

utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini

imefanyika. Ofisi ya Taifa yaTakwimu kwa Tanzania

Bara na Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali kwa

Zanzibar zimekamilisha kazi ya kukusanya taarifa za

kiutafiti za Awamu ya Kati kutoka maeneo mbalimbali

(Midline survey). Kazi ya kuchambua taarifa hizo

imekamilika na imeonesha mafanikio katika kuboresha

maisha ya walengwa kama ifuatavyo:-

(a) Kupungua kwa kiwango cha umaskini uliokithiri

kwa kuongeza upatikanaji wa mahitaji ya msingi

katika kaya;

(b) Ongezeko la upatikanaji wa vyakula vya aina

mbalimbali ambavyo vinasaidia kuongeza uwezo

wa watoto kujifunza na watu wazima kufanya

kazi za uzalishaji;

(c) Ongezeko la uandikishwaji na mahudhurio ya

Page 29: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

29

watoto kutoka kaya masikini shuleni;

(d) Ongezeko la matumizi ya huduma za afya

miongoni mwa kaya za walengwa na

kuongezeka kwa mahudhurio kwenye vituo vya

kutolea huduma za afya kwa watoto wenye umri

kati ya miezi 0-24 kutoka Kaya Maskini;

(e) Kuongezeka kwa akiba na rasilimali za kaya

ambazo zinawezesha kaya kujikinga na majanga;

(f) Kuongezeka kwa shughuli za kilimo na

matumizi ya pembejeo ambazo zinaongeza tija

kwenye uzalishaji;

(g) Kuchochea uwekezaji katika shughuli zisizo za

kilimo na kuongeza ajira; na

(h) Kuboresha makazi ya Kaya.

(ix) Mapitio ya pamoja ya Timu ya Serikali na Washirika

wa Maendeleo kuhusu utekelezaji wa shughuli za

Mpango yamefanyika katika vipindi viwili , Oktoba

17 - 25, 2018 na Desemba 03 - 07, 2018. Taarifa zote

za mapitio zimeonesha utekelezaji wa Mpango

unaenda vizuri na unawasaidia Walengwa kuondokana

na umaskini na kuwajengea uwezo wa kiuchumi na

kuwaendeleza watoto katika afya na elimu bora;

(x) Maandalizi ya kipindi cha pili cha Mpango wa

Kunusuru Kaya Maskini (Productive Social Safety Net

PSSN II) yamekamilika na utekelezaji unatarajiwa

kuanzia Julai, 2019. Lengo kubwa likiwa ni kuwafikia

wananchi wote maskini katika Vijiji/Mitaa yote ya

Tanzania Bara na Shehia zote za Tanzania Zanzibar.

Utekelezaji wake utakuwa wa miaka mitano (5).

Page 30: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

30

Msisitizo mkubwa wa Serikali katika Kipindi cha Pili

ni Walengwa kufanya kazi zaidi na kujishughulisha na

shughuli za uzalishaji na kuongeza kipato; na

(xi) Ukaguzi wa ndani ulifanyika ili kuhakikisha kama

fedha zilitumika ipasavyo katika utekelezaji wa

Mpango wa TASAF Awamu ya Tatu kwa mwaka wa

fedha 2017/18. Ukaguzi ulifanyika TASAF Makao

Makuu pamoja na Maeneo yote 161 ya Utekelezaji.

Aidha, Wakaguzi wa nje kutoka Ofisi ya Taifa ya

Ukaguzi (NAO) walifanya ukaguzi wa uhawilishaji

fedha kwa walengwa, ununuzi, uendeshaji na thamani

ya fedha. Matokeo ya ukaguzi huo yalikuwa mazuri na

kuwezesha kupata hati safi.

f. MFUKO WA RAIS WA KUJITEGEMEA

32. Mheshimiwa Spika, Majukumu ya Mfuko wa Rais wa

Kujitegemea yameendelea kutekelezwa kupitia huduma ya

utoaji wa mikopo mbalimbali kwa wajasiriamali wadogo na

wa kati. Aidha, Huduma za ushauri na mafunzo ya kibiashara

yameendelea kutekelezwa. Baadhi ya kazi zilizotekelezwa

katika kipindi cha Julai, 2018 hadi Machi, 2019 ni kama

ifuatavyo:-

(i) Mikopo 2,556 yenye thamani ya Shilingi bilioni 2.05

ilitolewa kwa vijana waliohitimu mafunzo katika Vyuo

vya Ufundi Stadi vinavyotambuliwa na VETA na

SIDO na wanawake wajasiriamali katika Mikoa ya Dar

es Salaam, Pwani, Morogoro, Njombe na Lindi;

(ii) Walengwa 3,794 wa Mfuko walipata mafunzo ya

ujasiriamali wa namna ya kujitambua na taratibu za

mikopo ya Mfuko. Aidha, mafunzo kuhusu uendeshaji

wa miradi endelevu kwa wateja 1,337 yalitolewa;

(iii) Taratibu za awali za kufungua tawi Bukoba Vijijini

Page 31: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

31

zilifanyika;

(iv) Vituo vipya vya huduma Iringa Mjini na Urambo

Mjini vilifunguliwa mwezi Julai, 2018;

(v) Utafiti kuhusu huduma za mikopo kwa walengwa

kwenye Wilaya ya Bukoba, Wilaya ya Urambo na

Wilaya ya Kakonko ulifanyika na kubaini kuwa

utayari na uhitaji wa huduma za mikopo ni mkubwa na

hivyo ni fursa nzuri kwa Mfuko; na

(vi) Maofisa mikopo 30 walipata mafunzo ya utoaji

huduma na sera za mikopo.

OFISI YA RAIS, SEKRETARIETI YA MAADILI YA

VIONGOZI WA UMMA

33. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha wa 2018/19

Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma ilitengewa

Shilingi 11,511,874,000. Kati ya fedha hizo Shilingi

7,461,874,000 ni kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na

Shilingi 4,050,000,000 kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo.

Hadi kufikia Machi, 2019 Shilingi 4,683,239,577.21 Matumizi ya Kawaida zilipokelewa na kutumika. Kwa upande wa Miradi ya Maendeleo, Shilingi 1,030,744,696.91 zilipokelewa na kutumika. 34. Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha Julai, 2018 hadi

Machi, 2019 shughuli zifuatazo zilitekelezwa:-

(i) Malalamiko 146 ya ukiukwaji wa maadili dhidi ya

Viongozi wa Umma yalipokelewa na

kuchambuliwa. Kati ya malalamiko hayo,

malalamiko 100 yalihusu Sheria ya Maadili ya

Viongozi na malalamiko 46 hayakuhusu Sheria ya

Maadili ya Viongozi wa Umma. Malalamiko

ambayo si ya kisheria yanajumuisha maeneo ya

Page 32: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

32

migogoro ya ardhí, rushwa, jinai, nk. Uchunguzi

wa awali umefanyika kwa malalamiko yote

yanayohusu ukiukwaji wa Sheria ya Maadili ya

Viongozi wa Umma na walalamikaji kupewa

mrejesho. Kwa yale malalamiko ambayo

hayakuhusu ukiukwaji wa Sheria ya Maadili ya

Viongozi wa Umma walalamikaji walipewa ushauri

na mengine yalielekezwa kwenye Mamlaka

zinazohusika;

(ii) Jumla ya Viongozi wa Umma 13,945 ambao ni

sawa na asilimia 89 kati ya Viongozi 15,937

wamerejesha Fomu za Tamko la Rasilimali na

Madeni kwa kipindi kilichoishia tarehe 31

Desemba, 2018 ikilinganishwa na Viongozi 15,391

waliorejesha kipindi kama hicho mwaka Wengi wa

Viongozi ambao hawakurejesha Tamko kwa wakati

walitokea katika kanda za: Dar es Salaam (525);

Kusini (263) na Nyanda za Juu Kusini (225).

Viongozi walioshindwa kurejesha Matamko yao

kwa wakati wametumiwa barua za kukumbushwa

na wale ambao hawatatoa sababu za msingi za

kutorejesha kwa wakati watafikishwa katika Baraza

la Maadili;

(iii) Viongozi 2,000 walipangwa kuhakikiwa katika

mwaka wa fedha 2018/19. Awamu ya kwanza ya

uhakiki wa viongozi imehusisha viongozi 594 kati

ya 1,000 waliopangwa kuhakikiwa. Viongozi

waliosalia hawakuhakikiwa kutokana na sababu

mbalimbali ikiwemo uhaba wa fedha. Viongozi

walioonekana kuwa na tofauti au kasoro katika

matamko yao wametakiwa kutoa maelezo ya

kasoro au tofauti hizo na wale ambao hawatakuwa

Page 33: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

33

na maelezo yatakayoridhisha watafikishwa kwenye

Baraza la Maadili kwa uchunguzi wa kina;

(iv) Elimu kwa umma ilitolewa kwa viongozi na

watumishi wa Taasisi mbalimbali za umma juu ya

Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma (sura ya

398) ikijumuisha elimu kuhusu Hati ya Ahadi ya

Uadilifu. Jumla ya Viongozi wa Umma 1,945,

Watumishi wa Umma 6,673 na wananchi 10,852

walipatiwa elimu kuhusu Maadili ya Viongozi wa

Umma kupitia warsha na semina. Aidha, kupitia

vipindi vya Radio hususan zile za kijamii,

Sekretariati imerusha zaidi ya vipindi 80 kupitia

radio za: Planet FM (Morogoro), Safari FM

(Mtwara); Alternative FM (Dodoma) na Nuru FM

(Iringa). Radio hizi zinarusha kipindi cha maadili

mara moja kwa wiki kwa mwaka mzima. Vilevile,

vipindi vingine vilirushwa na Radio za: Uhai FM

na Voice of Tabora - VoT FM (Tabora); TBC Taifa

FM (Dar es Salaam); Arusha One FM (Arusha), na

Luki FM, Lulu FM, Highland FM, na Big Star FM

(Mbeya);

(v) Siku ya Maadili Kitaifa iliadhimishwa Kitaifa

Mkoani Dodoma tarehe 10 Desemba, 2018 kwa

kushirikiana na Taasisi za Serikali zinazosimamia

masuala ya utawala bora, uwajibikaji, haki za

binadamu, mapambano dhidi ya rushwa na maadili.

Maadhimisho ya Siku hii yalienda sambamba na

Sekretarieti kugawa vifaa kwa baadhi ya shule za

msingi na sekondari ambazo ni wanachama wa

Klabu za Maadili;

(vi) Jumla ya Viongozi Wakuu wa Kitaifa 63

Page 34: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

34

ikijumuisha Mawaziri na Makatibu Wakuu

walisaini Hati ya Ahadi ya Uadilifu wakati

walipoapishwa kushika nyadhifa mbalimbali ikiwa

ni moja ya eneo la kuwakumbusha Viongozi kuwa

waadilifu kwa kutimiza wajibu wao na kuepuka

mgongano wa masilahi. Aidha, wale ambao

hawajasaini Hati ya Ahadi ya Uadilifu wanaendelea

kupewa elimu juu ya umuhimu wa kusaini hati

hiyo;

(vii) Rasimu ya Kanuni za Maadili kwa ajili ya

utekelezaji wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa

Umma imeandaliwa na maoni ya wadau

mbalimbali yanaendelea kupokelewa ili kuboresha

kanuni husika;

(viii) Mdahalo wa Kitaifa kuhusu suala la Mgongano wa

Maslahi ulioshirikisha wadau mbalimbali

uliandaliwa na kufanyika mwezi Desemba,

Dodoma;

(ix) Ujenzi wa Ofisi za Sekretarieti ya Maadili Makao

Makuu Dodoma unaendelea na uko kwenye hatua

ya msingi; na

(x) Ujazaji Tamko la Rasilimali na Madeni kwa njia ya

mtandao upo katika hatua za kujenga mfumo

ambapo Kituo cha Kompyuta cha Chuo Kikuu cha

Dar es Salaam kinaandaa rasimu ya mwanzo ya

muundo wa mfumo.

Page 35: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

35

OFISI YA RAIS MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA

UMMA NA WAKALA ZILIZO CHINI YAKE

a.Menejimenti ya Utumishi wa Umma

35. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka wa fedha wa 2018/19,

Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma: Fungu 32

inayojumuisha Wakala zilizo chini yake iliidhinishiwa jumla

ya Shilingi 41,403,499,261.00 kwa ajili ya utekelezaji wa

Mpango wa mwaka. Kati ya fedha hizo, Shilingi

30,464,499,261.00 ziliidhinishwa kwa ajili ya 42

Matumizi ya Kawaida na Shilingi 10,939,000,000.00 kwa

ajili ya utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo, Hadi kufikia

mwezi Machi, 2019 kiasi cha Shilingi 28,934,685,773.36

zilikuwa zimepokelewa. Jumla ya Shilingi

28,934,685,773.36 zimetumika hadi Machi, 2019.

36. Mheshimiwa Spika, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya

Utumishi wa Umma pamoja na Wakala zake imeendelea

kutekeleza majukumu yake ya msingi ya kuhakikisha kuwa

Utumishi wa Umma unaendeshwa kwa kuzingatia misingi ya

Utawala Bora. Aidha, watumishi wa umma wanawajibika

kuwa wasikivu kwa wananchi, pale wanapotoa huduma

mbalimbali kwa kuzingatia Sera, Sheria, Kanuni na Taratibu

zilizowekwa.

37. Mheshimiwa Spika, Katika kipindi cha kuanzia Julai,

2018 hadi Machi, 2019 Ofisi ya Rais, Menejimenti ya

Utumishi wa Umma ilitekeleza shughuli zifuatazo:-

(i) Taasisi za Serikali zimejengewa uwezo wa

kuandaa nyaraka zinazozingatia utafiti (Evidence

Based Policy – EBP) pamoja na kuandaa Sera za

Kisekta zilizowianishwa ili kuondoa migongano

na urudufu wakati wa utekelezaji kwa kutumia

wajumbe wa timu ya Sera inayojumuisha

Page 36: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

36

wataalamu kutoka Serikalini waliopo katika

Wizara mbalimbali na ambao walifunzwa

ipasavyo;

(ii) Miundo 38 ya Maendeleo ya Utumishi

imehuishwa, kuwianishwa na kuoanishwa na

mishahara ya Watumishi wa Umma katika Taasisi

na Mashirika ya Umma;

(iii) Nyaraka za kiutumishi za kuanzishwa kwa Mfuko

wa Hifadhi ya Jamii wa Watumishi wa Umma

(PSSSF) zimeandaliwa. Vile vile, Tume ya

Madini, Hospitali ya Benjamini Mkapa, Taasisi

ya Utafiti wa Kilimo (TARI) na Taasisi ya Utafiti

wa Mifugo (TALIRI) nazo zilipata huduma;

(iv) Ufuatiliaji wa utekelezaji na ujumuishwaji wa

masuala ya Anuai za Jamii (Jinsia, UKIMWI na

Ulemavu) katika Taasisi za Umma 25

umefanyika;

(v) Mkutano wa ujumuishwaji wa masuala ya Jinsia

Mahala Pa Kazi umefanyika kwa Wakurugenzi

Wasaidizi wa Utawala na Rasilimaliwatu kutoka

Wizara 23, Ofisi ya Rais – Ikulu, Ofisi ya Waziri

Mkuu na Ofisi ya Makamu wa Rais.

(vi) Malalamiko 708 yanayotokana na ukiukwaji wa

Sheria, Kanuni, Taratibu na Miongozo

yamepokelewa. Kati ya hayo, malalamiko 515

sawa na asilimia 72 yalishughulikiwa na

yaliyobaki yanaendelea kushughulikiwa.

Malalamiko haya yanahusiana na masuala ya

upandishwaji vyeo, stahili za ajira,usitishwaji wa

ajira, mafao ya hitimisho la kazi, nidhamu, fidia

Page 37: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

37

ya kuumia na kufariki kazini. Vile vile, hoja 433

kuhusu uteuzi, mikataba ya ajira, uhamisho,

likizo bila malipo zimepokelewa ambapo hoja

405 sawa asilimia 94 zimejibiwa;

(vii) Ofisi imeshughulikia na kuwezesha utoaji wa

Vibali vya uhamisho 13,417, Kushikizwa

Kuazimwa 460 na Likizo Bila Malipo 216 kwa

watumishi na baina ya waajiri mbalimbali.

Aidha, Ofisi hii imesaidia kupatikana kwa

watumishi kwa njia ya uhamisho kwa Taasisi

mbalimbali. Taasisi hizo ni pamoja na NSSF,

PSSSF, Tume ya Madini, TASAC, Taasisi ya

Utafiti wa Kilimo Tanzania, Hospitali za Rufaa za

Mikoa (RRHs), ofisi ya wakili mkuu wa serikali

,ofisi ya Taifa ya mashitaka ,Ofisi ya

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Wakala ya Vyuo

vya Mafunzo ya Mifugo Tanzania (LITA);

(viii) Mapendekezo ya nafasi za uteuzi 1,332

yalipokelewa, kati ya hayo, 1,074 sawa na

asilimia 81 yalirejeshwa kwa waajiri baada ya

taratibu kukamilika. Aidha, vibali vya uteuzi 50

vilitolewa kwa nafasi za uongozi na mikataba ya

ajira 74 ilishughulikiwa;

(ix) Vikao Kazi vitatu (3) vilifanyika vilivyohusisha

Ofisi ya Rais na Waajiri kuhimiza utendaji kazi

wenye matokeo;

(x) Vibali vya ajira mpya na mbadala vyenye nafasi

41,698 kwa kada mbalimbali vimetolewa;

(xi) Watumishi wa Umma 27,439 wa Kada

mbalimbali walipandishwa vyeo;

Page 38: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

38

(xii) Madai ya malimbikizo ya Mishahara ya

Watumishi wa Umma 34,346 yenye thamani ya

Shilingi. 79,855,525,090.03 yamepokelewa kati

ya madai hayo madai ya watumishi wa Umma

12,663 yenye thamani ya Shilingi.

29,095,985,072.78 yamehakikiwa na

kuidhinishwa kwa ajili ya uhakiki wa mwisho wa

Wizara ya Fedha na Mipango kabla ya malipo.

Aidha, madai ya Watumishi wa Umma 21,683

yenye thamani ya Shilingi. 50,759,540,017.25

yanaendelea kuhakikiwa;

(xiii) Mafunzo ya namna ya kutumia Mfumo wa

Taarifa za Kiutumishi na Mishahara yametolewa

kwa maafisa Rasilimaliwatu 76 kutoka Wizara,

Idara zinazojitegemea, Sekretarieti za Mikoa na

Mamlaka za Serikali za Mitaa;

(xiv) Miundo na Mgawanyo wa Majukumu ya Wizara,

Idara zinazojitegemea, Wakala za Serikali na

Mashirika ya Umma ambapo jumla ya miundo na

mgawanyo wa majukumu 71 (Wizara 17, Idara

Zinazojitegemea 17, Wakala za Serikali 16 na

Mashirika ya Umma 21) imeidhinishwa na

kuanza kutumika;

(xv) Taasisi tano (5) zimewezeshwa kuandaa mahitaji

ya watumishi na Maelezo ya Kazi kwa ajili ya

kutekeleza majukumu na kazi za Miundo ya

Taasisi iliyoidhinishwa. Taasisi hizo ni Ofisi ya

Bunge, Tume ya Haki za Binadamu na Utawala

Bora, Wakala ya Vipimo (WMA), Mfuko wa

Bima ya Afya (NHIF), Ofisi ya Taifa ya

Page 39: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

39

Mashtaka na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB);

(xvii) Upatikanaji wa fursa za Mafunzo ya Watumishi

wa Umma 801 waliofadhiliwa na Washirika wa

Maendeleo uliratibiwa kwa nchi mbalimbali:

Jamhuri ya Korea (51), India (273), JICA (115),

China (277), Uholanzi (46) na Australia (39);

(xviii) Utekelezaji wa utoaji wa Mafunzo Elekezi kwa

waajiriwa wapya katika Utumishi wa Umma

kwenye Wizara, ulifuatiliwa na kubaini kuwa;

jumla ya watumishi 586 wamepatiwa mafunzo

elekezi kupitia Chuo cha Mahakama (23), Chuo

cha Utumishi wa Umma (515) na Chuo cha

Serikali za Mitaa- Hombolo (209);

(xix) Taasisi saba (7) zilijengewa uwezo wa namna ya

kufanya tathmini ya mahitaji ya mafunzo na

kuandaa Mipango ya Mafunzo. Taasisi hizo ni

Mamlaka ya Bandari Tanzania, Shirika la

Viwango Tanzania, Wizara ya Afya Maendeleo

ya Jamii, Jinsia Wanawake, Wazee na Watoto,

Chuo cha Maendeleo ya Jamii Tengeru, Tume ya

Maendeleo ya Ushirika Tanzania, Taasisi ya

Uhasibu Tanzania na Mamlaka ya Udhibiti wa

Ununuzi wa Umma;

(xix) Taasisi mbili zimewezeshwa kuandaa Mipango

ya Rasilimaliwatu ambazo ni Mahakama ya

Tanzania, na Baraza la Taifa la Uhifadhi wa

Mazingira (NEMC). Aidha, Ofisi imewezesha

Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma

kuandaa mpango wa kurithishana madaraka;

(xx) Usanifu wa mfumo wa Taarifa za Kiutumishi na

Page 40: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

40

Mishahara (HCMIS) umekamilika mwezi

Desemba, 2018. Ujenzi wa mfumo uliosanifiwa

unaendelea na unatarajia kukamilika mwezi Juni,

2019;

(xxi) Maandalizi ya uanzishwaji wa Vituo vya Huduma

Pamoja yamekamilishwa kwa kushirikiana na

wadau. Uanzishwaji wa Vituo hivyo utafanyika

Mwaka Fedha 2019/ 20;

(xxii) Maandalizi ya awali ya zoezi la tathmini ya

wataalamu wa TEHAMA yamefanyika na

kukamilika. Zoezi rasmi la tathmini litafanyika

Mwaka Fedha 2019/20;

(xxiii) Ufuatiliaji wa uzingatiaji wa Mwongozo wa

Serikali Mtandao ulifanyika kwa Taasisi zote za

Umma katika matumizi ya Intaneti, mitandao ya

kijamii na tovuti za Serikali;

(xxiv) Mpango Mkuu wa Utekelezaji wa Serikali

Mtandao (e-Government Master Plan)

umeandaliwa kwa hatua za awali;

(xxv) Maandalizi ya Programu ya Digital Tanzania

yaliratibiwa na sasa Programu ipo katika hatua za

mwishi kabla ya kuanza utekelezaji;

(xxvi) Utekelezaji wa Mfumo wa Mikataba ya Utendaji

Kazi serikalini umeidhinishwa na mwongozo

wake umesambazwa katika Taasisi za Umma 472

(Wizara 22, Idara zinazojitegemea 28, Wakala za

Serikali 29, Sekretarieti za Mikoa 26, Mamlaka

za Serikali za Mitaa 184 na mashirika ya Umma

183);

(xxvii) Taasisi za Umma zimejengewa uwezo kuhusu

Page 41: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

41

utekelezaji wa Mfumo wa Wazi wa

Mapitio na Tathmini ya Utendaji Kazi (OPRAS)

kwa watumishi wa Umma;

(xxviii) Kampeni za Maadili zimefanyika kwa kufanya

mafunzo ya Maadili ya Utendaji kwa

Menejimenti 31 za Taasisi za Umma;

(xxix) Uhamasishaji wa Ukuzaji wa Maadili

umeendelea kufanyika, watumishi 1,979 kutoka

taasisi 26 za umma wamepatiwa mafunzo ya

Maadili na Vipindi 30 vinavyohusu Ukuzaji wa

maadili katika Utumishi wa Umma

vimeandaliwa, kurekodiwa na kurusha vipindi

imetolewa na vituo vya redio nchini;

(xxx) Uhamasishaji wa Uadilifu katika Utumishi wa

Umma umefanyika katika wiki ya uadilifu na

kuhitimishwa Kitaifa tarehe 10/12/2018 kwa

kushirikiana na Taasisi zinazozimisha maadili

katika Utumishi wa Umma;

(xxxi) Ufuatiliaji wa uzingatiaji wa Maadili kwa mwaka

2018/2019 umefanyika katika Taasisi za Umma

20. Aidha matokeo ya Ufuatiliaji wa Uzingatiaji

wa Maadili kwa mwaka 2017/2018 yameonesha

kiwango cha uzingatiaji wa Maadili cha Taasisi

13 zilizofanyiwa ufuatiliaji kimefikia 75.5%

ambapo mashauri ya nidhamu 101 kati ya 133

yaliyoanzishwa yalikamilishwa;

(xxxii) Ufuatiliaji wa ushughulikiaji wa malalamiko ya

wananchi katika Taasisi 623 yaliyopokelewa

umeonyesha kuwa malalamiko 357 (57.3%)

yaliyoshughulikiwa;

Page 42: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

42

(xxxiii) Utekelezaji wa Ahadi za Uadilifu unaendelea

ambapo jumla ya watumishi 180,429 kutoka

taasisi 180 wamejaza Ahadi ya Uadilifu na taarifa

za watumishi hao kuweka katika Mfumo wa

Taarifa za Kiutumishi na Mishahara (HCMIS);

(xxxiv) Serikali kupitia Watumishi Housing

imekamilisha ujenzi wa nyumba 271 kwa ajili ya

kuuza katika Mkoa wa Dar-es- salaam (162),

Morogoro (50) na Mwanza (59) Wilaya ya Magu

eneo la Kisesa. Ujenzi wa nyumba 92 katika jiji la

Dodoma unaendelea. Aidha, nyumba 7 kwa ajili

ya jeshi la polisi katika wilaya mpya ya

Nyang’wale Mkoa wa Geita zilikamilika na zipo

tayari kukabidhiwa;

(xxxv) Huduma kwa viongozi wakuu wa kitaifa

wastaafu iliendelea kutolewa kwa mujibu wa

sheria.

b. Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC)

38. Mheshimiwa Spika, Chuo cha Utumishi wa Umma

Tanzania kilianzishwa ili kutoa mafunzo, ushauri, kufanya

utafiti tumizi na kutoa machapisho mbalimbali katika nyanja

za Uongozi, Menejimenti na Utawala. Aidha, Chuo

kinaendesha kozi za kitaaluma kwa ngazi za Cheti, Stashahada

na Shahada katika nyanja za Uhazili, Utunzaji Kumbukumbu,

Menejimenti ya Rasilimaliwatu, Utawala na Ununuzi ya

Umma. Chuo kinatekeleza majukumu hayo katika Kampasi

sita zilizoko kwenye Mikoa ya Dar es Salaam, Tabora,

Mtwara, Singida, Tanga na Mbeya. Katika kipindi cha Julai,

2018 hadi Machi, 2019 shughuli zifuatazo zimetekelezwa:

(i) Watumishi wa Umma 536 walipatiwa mafunzo ya

kujiandaa kufanya Mitihani ya Utumishi wa

Page 43: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

43

Umma hiyo ni sawa na asilimia 38 ya Watumishi

waliolengwa;

(ii) Watumishi wa Umma 1,980 wamepatiwa

Mafunzo yahusuyo Uongozi na Maendeleo;

pamoja na Manejimenti na Usimamizi wa Ofisi

katika Taasisi za umma, hiyo ikiwa ni sawa na

asilimia 58 ya lengo la mwaka;

(iii) Mafunzo ya Awali yalitolewa kwa Watumishi wa

Umma wapatao 515 sawa na asilimia 44 ya lengo

la mwaka, pia hamasa kwa waajiri ilitolewa kwa

waajili kuwasisitiza kupeleka watumishi kupata

mafunzo ya awali mara baada ya kuajiriwa;

(iv) Wanafunzi 9,793 walidahiliwa katika ngazi ya

Shahada ya Kwanza, Stashahada na Cheti, kwa

ajili ya mafunzo ya muda mrefu katika fani za

utunzaji wa kumbukumbu, uhazili, kompyuta,

utunzaji wa fedha za umma, na Menejimenti ya

Rasilimaliwatu, usimamizi wa ununuzi ya umma,

uongozi na utawala bora;

(v) Maandiko ya ushauri katika maeneo matano (5)

ya kitaalamu yameandaliwa na kuwasilishwa

kwa wateja. Aidha, shauri katika maeneo matatu

(3) ya kitaalam katika Menejimenti ya Utumishi

wa Umma ulitolewa;

(vi) Makala saba za kitaalamu katika Utumishi wa

Umma zimechapishwa katika majarida

mbalimbali ndani na nje ya nchi. Aidha, Jarida

moja la Chuo cha Utumishi wa Umma (TPSC

Journal) lipo katika hatua za uchapishaji;

(vii) Watumishi 165 wa Chuo cha Utumishi wa Umma

Page 44: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

44

wamewezeshwa kujenga uwezo katika taaluma

mbalimbali, kama ifuatavyo: Shahada ya uzamivu

11, Shahada ya uzamili 10 na mafunzo ya muda

mfupi watumishi 144;

(viii) Ujenzi wa jengo la ghorofa mbili (2) kwa awamu

ya pili ya jengo litakalotumika kwa ajili ya

madarasa, maktaba na ofisi katika Kampasi ya

Tabora umeendelea;

(ix) Mradi wa ukarabati wa jengo la Chuo lililopo

Dodoma utaanza hivi karibuni kwa kuwa taratibu

za kumpata Mkandarasi zimekamilika;

(x) Ukarabati wa mfumo wa umeme na kuweka

mfumo wa mawasiliano ya ndani ya

kielektroniki (LAN) katika majengo ya Kampasi

ya Dar es Salaam, ulifanyika na kukamilika kama

ulivyopangwa; na

(xi) Ukarabati wa Hostel za Kampasi ya Tabora,

ulifanyika na kukamilika kama ulivyopangwa.

c. Wakala ya Mafunzo kwa Njia ya Mtandao

(TaGLA)

39. Mheshimiwa Spika, Wakala ya Mafunzo kwa Njia ya

Mtandao (TaGLA) ina jukumu la kuwajengea uwezo

Watumishi wa Umma na Sekta binafsi kwenye maeneo

mbalimbali kwa kuratibu na kuendesha mafunzo na midahalo

maalum ya muda mfupi kwa kutumia Teknolojia ya Habari na

Mawasiliano ili kuhimili kasi ya mabadiliko ya utoaji wa

huduma kwa wananchi.

40. Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha kuanzia Julai,

2018 hadi Machi 2019 Wakala ya Mafunzo kwa Njia ya

Mtandao imetekeleza kazi zifuatazo:-

Page 45: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

45

(i) Mafunzo yametolewa kwa washiriki 1,060 kutoka

Wizara, Idara Zinazojitegemea, Wakala za

Serikali na sekta binafsi. Mafunzo haya

yalitolewa katika maeneo ya Uongozi, Utawala

Bora, Maadili, Anuai za Jamii, Mazingira,

Kupunguza Umaskini, Afya na Stadi za kazi;

(ii) Midahalo kumi 10 kwa mtandao wa video ndani

na nje ya Nchi imeratibiwa. Midahalo hii ni

pamoja na Majiji Endelevu, Magonjwa

Yasiyoambukiza na matumizi ya TEHAMA

Serikalini;

(iii) Mikutano ya kazi kwa njia ya video kwa Wizara,

Idara Zinazojitegemea, Wakala, Mashirika ya

Umma na Sekretarieti za Mikoa iliratibiwa. Jumla

wa watumishi 250 walishiriki katika wa mikutano

hii;

(iv) Mashauri manne (4) ya mahakama ya kesi

zilizohusisha mashahidi yaliratibiwa kutoka nje

ya nchi kwa njia ya video kutoka Marekani na

Uholanzi na kwa kushirikiana na Tume ya

Upatanishi na Usuluhishi (CMA);

(v) Kuongeza wigo wa huduma za Wakala kuwafikia

wateja 311 waliopo mikoani ikiwemo Arusha,

Mwanza na Morogoro;

(vi) Kuongeza ushirikiano na taasisi za ndani na nje

ya nchi katika kutoa mafunzo na midahalo ya

maendeleo, kwa mwaka huu tumeongeza taasisi

tano; na

(vii) Watumishi 21 wamepata mafunzo ya muda

mfupi ndani na nje ya Nchini, kati yao watumishi

Page 46: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

46

17 wamepata mafunzo ya usalama na zimamoto

mahali pa kazi, watumishi watatu (3) wamepata

mafunzo nje ya Nchi ili kuboresha utendaji kazi

na mtumishi mmoja (1) amepata mafunzo ya

kujiandaa kustaafu. Aidha, mtumishi mmoja (1)

anaendelea na mafunzo ya Shahada ya Uzamili

katika fani ya Usimamizi wa Rasilimaliwatu.

d. Wakala ya Serikali Mtandao (eGA)

41. Mheshimiwa Spika, Wakala ya Serikali Mtandao (eGA)

ina jukumu la kutekeleza Sera ya Teknolojia ya Habari na

Mawasiliano (TEHAMA) ya Mwaka 2016 katika Utumishi wa

Umma ili kuongeza ufanisi na uwajibikaji katika utoaji wa

huduma kwa wananchi. Aidha, Wakala ina jukumu la kuratibu

na kusimamia matumizi ya TEHAMA Serikalini ili

kuwezesha utoaji wa huduma bora kwa wananchi kwa

usalama, urahisi na kwa gharama nafuu.

42. Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha Julai, 2018 hadi

Machi, 2019, Wakala imetekeleza shughuli zifuatazo:-

(i) Wakala ikishirikiana na Wizara ya Fedha na

Mipango imefanikiwa kuongeza Taasisi za

Umma zilizounganishwa kwenye Mfumo wa

Kielektroniki wa Ukusanyaji Mapato ya Serikali

(GePG) kutoka Taasisi 28 zilizotolewa taarifa

kwenye bunge lililopita la bajeti mpaka Taasisi

355 zinazojumuisha TANESCO (LUKU), TRA,

TPA, EWURA;

(ii) Kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Dodoma,

ukamilishaji wa ukarabati wa Kituo Kidogo cha

Utafiti, Ubunifu na Maendeleo ya Serikali

Mtandao upo hatua za mwisho. Vile vile, mradi

Page 47: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

47

mkubwa wa kuwa na Kituo hicho unafanyiwa

maandalizi ya mwisho na fedha zimetengwa

katika bajeti ijayo;

(iii) Matumizi ya Mifumo na Miundombinu shirikishi

ya TEHAMA Serikalini yamesimamiwa na

kuboreshwa ili kuongeza ufanisi na usalama wa

taarifa za Serikali pamoja na kupunguza gharama

ya uhifadhi na uendeshaji wa mifumo ya Taasisi

za Serikali. Mifumo na Miundombinu hiyo ni

pamoja na Vituo Vikuu vya Kuhifadhi Mifumo

na Taarifa za Serikali (Government Data

Centres) kwa kuongeza Taasisi mpya 13 hivyo

kufanya jumla ya taasisi zilizohifadhi mifumo na

taarifa zao kufikia 43, Mfumo wa barua pepe

Serikalini (GMS) kwa kuongeza taasisi mpya 39

na kufanya jumla ya taasisi zilizounganishwa

kufikia 398, Mfumo wa Ofisi Mtandao (e-office)

kwa kuongeza taasisi mpya 15 na kufanya

jumla ya taasisi zilizounganishwa kufikia 48,

Mfumo wa kutoa huduma kwa Umma kupitia

simu za Mkononi (Government Mobile Platform

(GMP) kwa kuongeza taasisi mpya 24 na kufanya

jumla ya taasisi zilizounganishwa kufikia 146,

Mfumo wa vibali vya kusafiria nje ya nchi (e-

Vibali) kwa kuziunganisha jumla ya Taasisi 374;

(iv) Mafunzo ya utekelezaji wa Serikali Mtandao

yametolewa kwa Viongozi, Wasimamizi wa

TEHAMA na watumiaji wa huduma za Serikali

Mtandao kwa Taasisi za Umma 98 ili kuongeza

uelewa na uwezo wa Taasisi hizo katika kutumia

Page 48: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

48

TEHAMA, kuongeza ufanisi wa kiutendaji na

utoaji wa huduma kwa wananchi. Vile vile,

kilifanyika kikao kazi cha pili cha Serikali

Mtandao kilichofanyika Dodoma kwa lengo la

kujenga uwezo na ushirikiano katika matumizi ya

Serikali Mtandao ambapo walishiriki wadau 786;

(v) Ushauri wa kitaalam kwenye maeneo ya Serikali

Mtandao umetolewa kwa Taasisi za Umma 23 ili

kuhakikisha kwamba uwekezaji unaofanywa na

Serikali kwenye TEHAMA unatoa matokeo

yaliyokusudiwa. Aidha, msaada wa kiufundi

umetolewa kwa Taasisi za Umma 252 kupitia

Mfumo wa Kutoa Msaada na Huduma kwa

Wateja (Helpdesk System) unaopatikana saa

ishirini na nne (24/7);

(vi) Utekelezaji wa Serikali Mtandao umeendelea

kuratibiwa kwa kutoa viwango na miongozo ya

TEHAMA Serikalini ili kuondoa urudufu,

kupunguza gharama na kuongeza ubora wa

huduma zinazotolewa kwa umma na

kuhakikisha usalama wa mawasiliano. Vile vile,

Sheria ya Serikali Mtandao iko katika hatua za

mwisho za uidhinishaji Serikalini;

(vii) Mifumo mikubwa ya TEHAMA imetengenezwa

kwa Taasisi za Umma kwa lengo la kuboresha

utendaji kazi, kuboresha utoaji huduma kwa

umma, kurahisisha ukusanyaji wa mapato na

kuondoa mianya ya rushwa. Baadhi ya mifumo

iliyotengenezwa ni: Mfumo wa Tiketi za

Kieletroniki kwa Shirika la Reli Tanzania (TRC)

Page 49: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

49

na Kampuni ya Huduma za Meli (MSCL);

Mfumo wa kufanya hesabu za bei ya petrol kwa

Energy and Water Utilities Regulatory Authority

(EWURA); Mfumo wa kusajili wahandisi kwa

Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) na Mfumo

wa kufanya usajili wa wataalam wa ununuzi na

ugavi kwa Bodi ya Wataalam wa Ununuzi na

Ugavi (PSPTB);

(viii) Wataalam wa Wakala ya Serikali Mtandao 11

wamewezeshwa kupata mafunzo yanayotolewa

na Bodi mbalimbali za Kitaalam kwenye maeneo

ya usalama mtandao, miundombinu na

utengenezaji wa Mifumo. Vile vile watumishi 7

wamewezeshwa kupata mafunzo ya muda mrefu

katika ngazi ya Stashahada, Uzamili na Uzamivu.

Aidha watumishi 110 wamewezeshwa kupata

mafunzo ya muda mfupi ya ubobezi na umahiri

katika maeneo mbalimbali ya TEHAMA na

mengine ya kiutendaji; na

(ix) Ili kuwezesha Serikali kuweza kuwa na

mawasiliano ndani na nje ya Mji wa Serikali

Dodoma, Wakala imeanza ujenzi wa Kituo cha

Usaidizi wa Masuala ya Serikali Mtandao kwenye

eneo hilo. Kituo hiki kitakuwa kitovu cha

mawasiliano pamoja na kulinda usalama wa

mifumo na mitandao kwenye mji wa Serikali. SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA 43. Mheshimiwa Spika, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi

wa Umma (imeanzishwa kwa mujibu wa Kifungu 29 (1) cha

Sheria ya Utumishi wa Umma Sura 298.

Page 50: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

50

44. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha wa 2018/19 Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma ilitengewa Shilingi 3,641,184,299.24. Kati ya fedha hizo Shilingi 1,677,678,299.24 ni kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida, Shilingi 1,264,506,000 ni kwa ajili ya Mishahara na Shilingi 750,000,000 kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo. Hadi kufikia Machi 2019 Shilingi 957,703,699.24 za Matumizi ya Kawaida zilipokelewa na kutumika na Shilingi 735,375,000 zimetumika kulipia Mishahara. Kwa upande wa Miradi ya Maendeleo, Shilingi 122,360,000 zilipokelewa na kutumika. 45. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha wa 2018/19,

Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, imetekeleza

majukumu yafuatayo:-

(i) Ofisi ilipokea vibali 107 ambapo vibali vipya

vilikuwa 51 na vibali mbadala 56 kujaza nafasi

wazi 1,910 katika Taasisi 80. Ili kukamilisha hili,

jumla ya saili saba (7) zilifanyika na nafasi zote

zimejazwa. Kati ya nafasi hizo 1,910 zimejazwa

ambapo waajiriwa wanne (4) ni kutoka Zanzibar

ambapo mwanamme ni mmoja (1) na wanawake

ni watatu (3), vilevile kati ya waajiriwa hao

walemavu wa viungo ni wanne (04) kati ya hao

mwanaume ni mmoja (1) na wanawake ni watatu

(3);

(ii) Ofisi imeendelea kusimamia uendeshaji wa saili

katika Mamlaka za Serikali za Mitaa 32 na vyuo

vikuu saba (7) vya Umma nchini kwa kuzingatia

sheria, kanuni na taratibu za ajira. Jumla ya nafasi

wazi 1,758 zilitolewa na kati ya hizo nafasi 1,736

zimejazwa na nyingine 22 zinaendelea na

mchakato;

Page 51: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

51

(iii) Kuendelea kuimarisha utendaji kazi wa Taasisi

kwa kutumia TEHAMA; Kwa mara ya kwanza

ofisi imeweza kuendesha usaili kwa kutumia

teknolojia ya “Video Conference” kwa kuendesha

usaili Dar es Salaam na Msailiwa akiwa Mbeya.

Zoezi hili lilifanikiwa kwa asilimia mia moja.

(iv) Ofisi imekamilisha kujenga mfumo wa maombi

ya kazi kwa njia ya Kielektroniki ikiwa ni pamoja

na kukamilisha ujenzi wa mfumo wa kupanga

nafasi za kazi kwa waombaji waliofaulu kwenye

usaili wa ana kwa ana (Placement Management

Information System). Kukamilika kwa mfumo

huu kutapunguza muda wa usaili kutoka siku 52

za sasa hadi siku 45. Pia, wasailiwa watakuwa

wakipata taarifa kupitia akaunti zao kwa kila

hatua ya usaili mpaka kupangiwa kituo cha kazi.

Mwajiri pia ataweza kupata tarifa za waajiriwa

wapya ikiwa ni pamoja na vyeti vyake.

Maboresho haya yatawezesha mfumo kuweza

kubadilishana taarifa na Mfumo wa Taarifa za

Watumishi na Mishahara (HCMIS)

unaosimamiwa na OR-MUUB.

(v) Pia jitihada zinaendelea za kuunganisha mfumo

wa maombi ya kazi (recruitment portal) na

mifumo mingine ya wadau wa mchakato wa ajira

ambao ni NIDA, NECTA na UTUMISHI ili zoezi

la uhakiki wa taarifa za waombaji kazi liweze

kufanyika kwa njia ya kieletroniki;

(vi) Ofisi ya Sekretarieti ya Ajira iliyopo Zanzibar

imeendelea kuimarishwa na baadhi ya usaili wa

Page 52: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

52

mchujo umeendelea kufanyika Zanzibar ili

kupunguza gharama kwa wasailiwa kutoka

Zanzibar. Mathalani usaili wa mchujo wa TRA

ulifanyika Zanzibar;

(vii) Kanzidata ya taarifa za waliosailiwa na

kukubalika imeendelea kutunzwa kwa ajili ya

rejea na kama chanzo cha watumishi

wanaotakiwa. Vile vile taarifa za wahitimu wa

vyuo vikuu zimeendelea kuandaliwa na

kutunzwa;

(viii) Taarifa ya uhakiki wa vyeti vya elimu ya

Sekondari vya kidato cha nne, kidato cha sita na

elimu ya juu kwa wasailiwa imeandaliwa;

(ix) Tathmini ya utekelezaji wa Mkataba wa Utendaji

Kazi imefanyika ili ufanyiwe mapitio. Aidha,

mikutano mbalimbali na wadau imefanyika na

kupata maoni ya kuboresha utendaji kazi;

(x) Umefanyika utafiti kwa waajiri na wadau

mbalimbali ikiwa ni hatua ya kupata mrejesho wa

utekelezaji wa shughuli za uendeshaji wa

michakato ya ajira pamoja na utendaji kazi wa

ofisi; na

(xi) Ofisi imeendesha mikutano mitano (5) na

waandishi wa habari lengo likiwa ni kutoa taarifa

kwa Umma kuhusu utekelezaji wa majukumu

mbalimbali ya Taasisi.

OFISI YA RAIS, TUME YA UTUMISHI WA UMMA

46. Mheshimiwa Spika, Tume ya Utumishi wa Umma ni

Mamlaka ya Rufaa kwa Watumishi wa Umma dhidi ya

Uamuzi unaotolewa na mamlaka zao za nidhamu. Tume ni

Page 53: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

53

chombo REKEBU na inayo mamlaka na wajibu wa

kuhakikisha kuwa masuala ya Rasilimaliwatu katika Utumishi

wa Umma yanasimamiwa na kuendeshwa kwa kuzingatia

Sera, Sheria, Kanuni, Miongozo na Taratibu mbalimbali kama

inavyotolewa na Mamlaka. Wajibu huu wa Tume una lengo la

kuimarisha Utawala Bora unaozingatia matokeo. Katika

kutekeleza wajibu huu pamoja mambo mengine Tume

imeendelea kufanya ukaguzi wa Rasilimaliwatu kwa Mamlaka

za Ajira na Nidhamu.

47. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa fedha 2018/19,

Tume ya Utumishi wa Umma iliidhinishiwa kiasi cha Shilingi

4,403,479,000 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida. Kati ya

fedha hizo, Shilingi 1,919,493,000 zilikuwa za Mishahara na

Shilingi 2,483,986,000 zilikuwa za Matumizi Mengineyo.

Hadi kufikia Machi, 2019 kiasi cha Shilingi 2,917,064,635 za

Matumizi ya Kawaida zilikuwa zimetolewa na HAZINA. Kati

ya hizo Shilingi 1,211,987,549.94 zilikuwa kwa ajili ya

Mishahara na Shilingi 1,705,077,085.06 ni za Matumizi

Mengineyo.

48. Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha Julai, 2018 hadi

Machi, 2019 Tume ya Utumishi wa Umma imetekeleza

majukumu yafuatayo:-

(i) Ukaguzi wa kawaida umefanyika katika Taasisi

33 kati ya Taasisi 150 zilizopangwa kukaguliwa

katika Mwaka wa Fedha 2018/19;

(ii) Ukaguzi maalumu umefanyika katika Taasisi sita

(6);

(iii) Mikutano miwili (2) ya Tume imefanyika na

kutolea uamuzi rufaa 117 na malalamiko manne

(4) ya Watumishi wa Umma. Aidha Sekretarieti

ya Tume ilihitimisha malalamiko 313 ya

Page 54: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

54

Watumishi wa Umma;

(iv) Uelimishaji wadau kupitia maadhimisho ya Wiki

ya Maadili na Haki za Binadamu umefanyika;

(v) Taarifa ya Hali ya Utumishi wa Umma na

Utekelezaji wa Majukumu ya Tume ya Mwaka

2017/18 iliandaliwa na kuwasilishwa kwenye

mamlaka;

(vi) Huduma kwa Watumishi wa Tume wanaoishi na

VVU na UKIMWI imeendelea kutolewa; na

(vii) Watumishi 39 wa Tume wamewezeshwa kupata

mafunzo ya muda mrefu na mfupi ya kuongeza

ujuzi katika kada zao na Watumishi 77 kupata

mafunzo maalum ya Ukaguzi wa Rasilimali

Watu.

BODI YA MISHAHARA NA MASILAHI KATIKA

UTUMISHI WA UMMA

49. Mheshimiwa Spika, Bodi ya Mishahara na Masilahi

katika Utumishi wa Umma ina jukumu la kufanya mapitio ya

mara kwa mara na kupendekeza viwango vya mishahara na

masilahi mengine; na kuzishauri mamlaka kuhusu misingi ya

miundo ya mishahara katika Utumishi wa Umma.

50. Mheshimiwa Spika, Katika Mwaka wa fedha 2018/29,

Bodi iliidhinishiwa jumla ya Shilingi 1,652,435,000 kwa ajili

ya Matumizi ya Kawaida. Kati ya fedha hizo, Shilingi

1,012,817,000 zilikuwa kwa ajili ya Matumizi Mengineyo na

Shilingi 639,618,000 kwa ajili ya Mishahara ya Watumishi.

Hadi kufikia mwezi Machi 2019, Bodi imepokea jumla ya

Shilingi 832,178,368.38. Kati ya fedha hizo Shilingi 559,379,600 kwa ajili ya matumizi mengineyo na shilingi 272,798,768.38 kwa ajili ya mishahara.

Page 55: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

55

51. Mheshimiwa Spika, Katika kipindi cha Julai 2018 hadi

Machi 2019, Bodi imetekeleza majukumu yafuatayo:-

(i) Bodi imefanya Utafiti wa hali ya Masilahi katika

Utumishi wa Umma na mifumo ya upimaji

utendaji kazi. Utafiti huo umehusisha sampuli ya

taasisi 130 kati ya taasisi 474 ambazo

zimegawanyika katika makundi mbalimbali

zikiwemo Wizara, Sekretarieti za Mikoa,

Mamlaka za Serikali za Mitaa, Bunge,

Mahakama, Idara Zinazojitegemea, Wakala za

Serikali na Mashirika ya Umma. Takwimu

zimekusanywa, kuchambuliwa na rasimu ya

kwanza ya taarifa imeandaliwa;

(ii) Taarifa mbili za gharama za maisha zimeandaliwa

ambazo zitatumika kama msingi wa kukadiria

malipo ya kiwango cha mshahara wenye staha

kwa Watumishi wa Umma; na

(iii) Taarifa ya Tathmini ya Kazi na Uhuishaji wa

Madaraja katika Utumishi wa Umma ya mwaka

2015 hadi 2017, imewasilishwa katika ngazi ya

juu Serikalini mwezi Disemba 2018 kwa hatua

zaidi.

OFISI YA RAIS, IDARA YA KUMBUKUMBU NA

NYARAKA ZA TAIFA

52. Mheshimiwa Spika, kwa mujibu wa Sheria ya

Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa Na. 3 ya mwaka 2002,

Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa imepewa jukumu

la kusimamia na kuratibu utekelezaji wa Sera, Sheria, Kanuni,

Miongozo na Taratibu za utunzaji kumbukumbu na nyaraka

katika Taasisi za Umma. Aidha, Idara ina jukumu la

kusimamia utekelezaji wa Sheria ya Kuwaenzi Waasisi wa

Page 56: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

56

Taifa Na. 18 ya Mwaka 2004 katika kukusanya, kutunza na

kuhifadhi kumbukumbu na vitu vya Waasisi wa Taifa letu

(Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Sheikh Abeid Amani

Karume).

53. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka wa fedha 2018/2019,

Fungu 4: Ofisi ya Rais, Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za

Taifa, iliidhinishiwa jumla ya Shilingi 8,148,504,000. Kati ya

fedha hizo Shilingi 2,969,632,000 ni kwa ajili ya Matumizi ya

Kawaida na Shilingi 5,178,872,000 kwa Miradi ya Maendeleo.

Hadi kufikia Machi, Shilingi 1,575,186,000 zilipokelewa na

kutumika kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida ambapo Shilingi

725,245,500 kwa ajili ya Mishahara na Shilingi 818,366,000

kwa ajili ya Matumizi Mengineyo na Shilingi 31,575,000 kwa

Miradi ya Maendeleo.

54. Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha Julai, 2018 hadi

Machii, 2019 Idara ya Kumbukumbu imetekeleza shughuli

zifuatazo:-

(i) Mfumo wa utunzaji kumbukumbu za kiutendaji

umewekwa katika Taasisi za Umma 23 ambazo ni

Ofisi Binafsi ya Waziri Mkuu, Wakili Mkuu wa

Serikali, Mahakama Kuu Kanda ya Ziwa – Mwanza,

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika

Mashariki, Wizara ya Madini, Wizara ya Nishati,

Wizara ya Maliasili na Utalii, Tume ya Madini,

Mamlaka ya Bandari ya Tanzania (TPA), Mamlaka

ya Mapato Tanzania (TRA), Baraza la Michezo la

Taifa, Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI),

Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto (IJA),

Makumbusho ya Taifa, Wakala wa Majengo

Tanzania (TBA), Chuo Kikukuu cha Tiba na Sayansi

Shirikishi (MUHAS), Ofisi ya Mkemia Mkuu wa

Page 57: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

57

Serikali, Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA),

Bodi ya Kitaaluma ya Wahasibu na Wakaguzi

(NBAA), Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo,

Bohari Kuu ya Madawa (MSD), Chuo cha Mipango,

Wizara ya Maliasili na Utalii, Wizara ya Nishati na

Mamlaka ya Hifadhi za Taifa (TANAPA). Aidha,

Ukaguzi wa mifumo ya utunzaji kumbukumbu za

kiutendaji umefanyika katika Ofisi kumi na moja

(11) za Wakuu wa Mikoa ambayo ni Dodoma,

Morogoro, Pwani, Tanga, Lindi, Mtwara, Singida,

Tabora, Geita, Iringa na Kilimanjaro.

(ii) Maandalizi ya awali ya mikutano kazi na mafunzo

kwa watumishi wa umma kuhusu Sheria, Kanuni,

Taratibu na Miongozo ya utunzaji kumbukumbu na

nyaraka za Serikali yamefanyika. Mikutano na

mafunzo haya yatafanyika katika robo ya nne ya

mwaka wa fedha wa 2018/19;

(iii) Uwekaji wa mfumo wa kielektroniki wa masijala (e-

file management system) umefanyika katika Taasisi

za Umma saba (7). Taasisi hizo ni Wizara ya

Maliasili na Utalii, Wizara ya Madini, Tume ya

Utumishi wa Walimu (TSC), Ofisi ya Wakili wa

Serikali, Jiji la Dodoma, Bodi ya Wahasibu na

Wakaguzi (NBAA) na Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi,

Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu;

(iv) Ukaguzi wa mifumo na hali ya utunzaji wa

kumbukumbu katika Taasisi za Umma umefanyika

katika Taasisi za Umma 41ambazo ni Ofisi ya Rais,

Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala

Bora, Ofisi ya Makamu wa Rais, Ofisi ya Waziri

Page 58: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

58

Mkuu, TAMISEMI, Wizara Ujenzi Uchukuzi na

Mawasiliano, Wizara Viwanda na Biashara, Wizara

ya Katiba na Sheria, Tume ya Walimu, Chuo cha

Utumishi wa Umma (TPSC), Mikoa ya Geita, Iringa,

Morogoro, Dodoma, Kilimanjaro, Tanga, Mtwara,

Tabora na Pwani;Wizara ya Elimu, Sayansi,

Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi, Taasisi ya

Teknolojia Dar es Salaam (DIT), Hospitali ya Rufaa

ya Bukoba, Halmashauri za Wilaya za Kisarawe,

Kwimba, Sengerema, Kilolo, Busokelo, Makete na

Manispaa ya Jiji la Mbeya (MCC), Mfuko wa Rais

wa Kujitegemea, Mamlaka ya Uwanja wa Ndege wa

Julius Kambarage Nyerere, Benki ya Afrika (BOA),

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Shirika la

Reli Tanzania (TRC), Mamlaka ya Vitambulisho

Tanzania (NIDA), Ofisi ya Taifa ya Mashtaka

(DPP), Mamlaka ya Elimu ya Ufundi Tanzania

(VETA), Shirika la Viwango Tanzania (TBS),

Wakala wa Nyumba na Utafiti wa Ujenzi (NHBRA),

Wakala wa Elimu kwa Njia ya Mtandao (TaGLA),

Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Baraza la Michezo

Tanzania (BMT) na Tume ya Ushindani;

(v) Taasisi tatu (3) za umma zimewezeshwa kutengeneza

miongozo ya kutunza na kuteketeza kumbukumbu.

Taasisi hizo ni Mahakama ya Tanzania

(kumbukumbu za kiutawala); Mfuko wa Maendeleo

wa Jamii (TASAF) na Mfuko wa Fidia kwa

Wafanyakazi (WCF);

(vi) Taarifa, kumbukumbu na nyaraka zinazohusu

historia ya Nchi yetu kutoka Taasisi za Umma na

Page 59: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

59

watu binafsi zenye jumla ya majalada 2,805 yenye

umuhimu wa kudumu yamekusanywa kutoka katika

Mikoa nane (8) ambayo ni Kilimanjaro (754),

Morogoro (373), Dodoma (409), Singida (419),

Tabora (606), Ruvuma (80), Lindi (47) na Mtwara

(117);

(vii) Jumla ya majalada 256,445 ya mashauri

yaliyofungwa ya Mahakama ya Tanzania

yamechambuliwa na kuhamishiwa katika Kituo cha

Taifa cha Kumbukumbu Dodoma. Majalada hayo ya

mashauri yametoka katika Mahakama zifuatazo:

Mahakama ya Rufani (6,892); Mahakama Kuu

Kanda ya Dar es Salaam (31,628); Mahakama Kuu

Divisheni ya Biashara (2,798); Mahakama Kuu

Divisheni ya Ardhi (6,135); Mahakama Kuu

Divisheni ya Kazi (13,213); Mahakama ya Hakimu

Mkazi Kisutu (77,221); Mahakama ya Hakimu

Mkazi Kinondoni (31,000); Mahakama ya Hakimu

Mkazi Sokoine Drive (20,448); Mahakama ya

Wilaya ya Ilala (33,057); Mahakama ya Wilaya ya

Temeke (24,953) na Mahakama ya Wilaya ya

Kinondoni (9,100).

(viii) Jumla ya kumbukumbu za Waasisi wa Taifa 295

zilitambuliwa, ambapo 180 zilikusanywa. Aidha,

kazi ya” scanning” ya kumbukumbu hizo inaendelea

katika Maktaba ya Azimio la Arusha. Vile vile,

kumbukumbu 160 za Waasisi wa Taifa

zilizohifadhiwa idarani zimechambuliwa,

kuhakikiwa, kupangwa katika makundi na

kuhifadhiwa katika Maktaba ya Dar es Salaam kwa

Page 60: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

60

ajili ya kutumiwa na watafiti;

(ix) Uimarishaji wa mifumo ya kielektroniki katika

usimamizi wa taarifa, kumbukumbu na nyaraka za

Taifa kwa kuingiza kumbukumbu na nyaraka katika

mfumo wa kidijitali wa kuhifadhi Nyaraka (Digital

Records Management and Preservation System) ili

kurahisisha upatikanaji na kulinda nakala halisi

umefanyika. Jumla ya Mikataba 3,100 kutoka Wizara

ya Fedha na Mipango imefanyiwa” scanning”.

Aidha, mikataba 2,700 imefanyiwa uhakiki kwa ajili

ya kuingizwa kwenye mfumo wa kidijitali wa

kuhifadhi Nyaraka;

(x) Uhakiki wa kumbukumbu tuli umefanyika katika

Taasisi za Umma nne ambazo ni Wizara ya Ujenzi,

Mawasiliano na Uchukuzi (Uchukuzi), Wizara ya

Mambo ya Ndani ya Nchi na Wizara ya Maliasili na

Utalii na SUMATRA. Aidha, Idara imefanya

tathmini ya kumbukumbu za iliyokuwa Jumuiya ya

Afrika Mashariki;

(xi) Ujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu cha Kanda ya

Ziwa Mwanza umekamilika kwa asilimia 84 kwa

awamu ya kwanza, Mradi huu unatarajiwa

kukamilika katika awamu ya pili ya ujenzi ya mwaka

wa fedha 2019/20;

(xii) Ukarabati wa jengo la Idara lililopo Upanga Dar es

Salaam umekamilika kwa asilimia 90 kwa awamu

ya kwanza. Aidha, Idara imewasilisha viambatisho

Wizara ya Fedha na Mipango kwa ajili ya maombi

ya fedha ili kukamilisha ukarabati wa jengo na

kuanza utekelezaji wa kazi ya ukarabati wa Ghala la

Page 61: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

61

Taifa la kuhifadhi nyaraka;

(xiii) Utekelezaji wa Mipango ya hadhari ya kudhibiti na

kukabiliana na majanga kwenye Kituo cha Taifa cha

kumbukumbu na Ghala la Nyaraka la Taifa pamoja

na kuweka vifaa vya kudhibiti hali ya hewa kwenye

maghala ya kuhifadhia nyaraka umefanyika kwa

awamu ya kwanza kwa kumpata mshauri mwelekezi

kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu na tayari

ameshawasilisha Mpango kazi kwa ajili ya kuanza

utekelezaji wa kazi kamili; na

(xiv) Maandalizi ya awali ya kununua mitambo ya kupiga

picha nyaraka kwa ajili ya kuhifadhi kwenye mifumo

ili kulinda nakala halisi na kuweka urithi wa Taifa

yamefanyika kwa kutangaza zabuni.

C. MPANGO WA UTEKELEZAJI KWA MWAKA 2019/20 NA MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIWA 55. Mheshimiwa Spika, baada ya kutoa maelezo kuhusu

Mapitio ya Utekelezaji wa Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa

Fedha 2018/19, sasa naomba kutoa Mapendekezo ya Mpango

na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2019/20.

56. Mheshimiwa Spika, Mipango na Bajeti kwa Mwaka wa

Fedha 2019/20 kwa Mafungu yafuatayo 20; 30; 32; 33; 67; 94;

09 na 04 imeandaliwa kwa kuzingatia vipaumbele

vilivyoainishwa katika Ilani ya Uchaguzi ya Chama Tawala ya

Mwaka 2015, Mwongozo wa Taifa wa Kuandaa Mpango na

Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2019/20 - 2021/22 pamoja na

maeneo muhimu ya kuzingatiwa kama yalivyoainishwa na

Serikali ya Awamu ya Tano.

Page 62: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

62

57. Mheshimiwa Spika, Vile vile, Mipango na Bajeti kwa

Mwaka wa Fedha 2019/20 imezingatia utatuzi wa changamoto

katika utoaji huduma kwa umma kwa kadri inavyowezekana.

Kwa ujumla changamoto hizo ni kama ifuatavyo: Baadhi ya

ofisi za utoaji huduma kutokuwepo katika mikoa yote ya

Tanzania; Bado kumekuwepo na malalamiko kutoka kwa

wananchi juu upatikanaji wa huduma zitolewazo na Taasisi za

Umma, kuendelea kuwepo na kaya maskini, ushirikiano

mdogo wa wananchi katika suala la utoaji wa ushahidi

mahakamani dhidi ya watuhumiwa wa rushwa; kukosekana

kwa sheria ya kuwabana wahusika wanaoshindwa kutekeleza

ushauri wa TAKUKURU kuziba mianya ya rushwa katika

maeneo yao; na Mabadiliko ya TEHAMA yamekuwa yakiibua

changamoto katika upelelezi.

OFISI YA RAIS, IKULU NA TAASISI ZAKE

a.Ikulu

58..Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2019/20 Ofisi ya Rais,

Ikulu imepanga kutekeleza kazi zifuatazo:-

(i) Kutoa huduma kwa Mhe Rais na familia yake;

(ii) Kutoa huduma za ushauri kwa Rais katika maeneo

ya Uchumi, Siasa, Masuala ya Jamii, Sheria,

Mawasiliano na Habari kwa Umma, Uhusiano wa

Kikanda, Kimataifa na maeneo mengine;

(iii) Kuratibu utekelezaji wa Mkakati wa Taifa Dhidi ya

Rushwa Awamu ya Tatu kwa kushirikisha wadau

wa Sekta ya Umma na Sekta Binafsi;

(iv) Kuratibu, kuandaa na kushiriki mikutano 60 ya

Sekretarieti ya Baraza la Mawaziri, mikutano 40 ya

Kamati Maalum ya Makatibu Wakuu (IMTC) na

mikutano 20 ya Baraza la Mawaziri;

(v) Kuandaa mkutano wa tathmini wa mwaka kati ya

Page 63: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

63

Waratibu wa Shughuli za Baraza la Mawaziri wa

Wizara, Sekretarieti ya Baraza la Mawaziri na

wadau wengine;

(vi) Kutoa mafunzo kuhusu utayarishaji na uwasilishaji

wa Nyaraka za Baraza la Mawaziri na uchambuzi

wa sera kwa Maofisa wa Sekretarieti ya Baraza la

Mawaziri na Waratibu wa Shughuli za Baraza la

Mawaziri wa Wizara;

(vii) Kufanya ufuatiliaji wa utekelezaji wa Mkakati wa

Taifa Dhidi ya Rushwa Awamu ya Tatu (NACSAP

III) na Programu za Maboresho katika ngazi za

Wizara, Mikoa na Serikali za Mitaa;

(viii) Kuandaa Taarifa za Utekelezaji wa Mkakati wa

Taifa Dhidi ya Rushwa Awamu ya Tatu za Robo

mwaka na Mwaka. Aidha, mfumo wa Ufuatiliaji na

Tathmini wa utekelezaji wa Mkakati wa Taifa Dhidi

ya Rushwa Awamu ya Tatu (NACSAP III)

utatengenezwa;

(ix) Kupokea, kupitia na kuchambua rufaa na

malalamiko ya watumishi wa umma na wananchi;

(x) Kuendesha mikutano miwili (2) ya Watendaji na

Maafisa wa Serikali kuhusu utaratibu wa

kushughulikia malalamiko na rufaa pamoja na

kufuatilia utekelezaji wa maagizo mbalimbali ya

Katibu Mkuu Kiongozi;

(xi) Kuratibu na kuendesha mikutano nane (8) ya uratibu

wa Maboresho kwa Makatibu Wakuu na Waratibu

wa Programu za Maboresho kwa lengo la

kuimarisha usimamizi, uongozi na umiliki wa

mchakato wa Maboresho katika Sekta ya Umma

Page 64: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

64

nchini;

(xii) Kuratibu na kusimamia Miradi ya Maendeleo ya

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), Mpango

wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za

Wanyonge Tanzania (MKURABITA) na Mfuko

wa Rais wa Kujitegemea;

(xiii) Kuendelea na uboreshaji wa Ikulu ya Chamwino; na

(xiv) Kukarabati majengo ya Ikulu Ndogo za Mwanza,

Arusha, Mbeya, Zanzibar, Lushoto na nyumba mbili

(2) za wafanyakazi Tabora.

b.TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA

RUSHWA (TAKUKURU)

59. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2019/20,

TAKUKURU imepanga kutekeleza kazi zifuatazo:-

(i) Kuendelea na ukamilishaji wa uchunguzi wa

majalada ya tuhuma za rushwa unaoendelea pamoja

na tuhuma mpya zitakazojitokeza;

(ii) Kuendelea na uendeshaji wa kesi 416 zinazoendelea

na mpya zitakazofunguliwa Mahakamani;

(iii) Kuhuisha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na

Rushwa Na. 11 ya mwaka 2007;

(iv) Kufanya utafiti wa msingi kuhusu hali ya rushwa

nchini, utafiti na udhibiti wa mianya ya rushwa

katika uendeshaji na usimamizi wa Mamlaka za

Serikali za Mitaa pamoja na utafiti wa mianya ya

rushwa katika usimamizi wa maliasili;

(v) Kufanya uchambuzi wa mifumo katika sekta na

idara mbalimbali katika ngazi ya mikoa na wilaya;

(vi) Kuweka mikakati kwa kushirikiana na wadau ili

kudhibiti mianya ya rushwa na kufanya ufuatiliaji

Page 65: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

65

wa utekelezaji wa mikakati hiyo;

(vii) Kufuatilia matumizi ya fedha za Umma katika

utekelezaji wa miradi ya maendeleo ili kuhakikisha

utekelezaji wake unazingatia thamani halisi ya

fedha;

(viii) Kutekeleza Mkakati wa Mawasiliano wa

TAKUKURU ili kujenga uwezo na uelewa kuhusu

rushwa na ufisadi na juhudi za Serikali katika

kupambana na rushwa kwa makundi mbalimbali

katika jamii kwa kutumia njia mbalimbali za

mawasiliano kuyashawishi makundi haya kuunga

mkono na kushiriki katika mapambano dhidi ya

rushwa nchini;

(ix) Kutumia njia za mawasiliano za kimkakati kulifikia

kundi la vijana ili washiriki katika shughuli

zinazowajenga kimaadili na kushiriki kupambana na

rushwa ili kuwa na jamii inayochukia rushwa;

(x) Kutumia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii

kubeba agenda ya mapambano dhidi ya rushwa ili

kuushirikisha Umma katika mapambano hayo;

(xi) Kujenga majengo ya ofisi za TAKUKURU katika

Mikoa na Wilaya;

(xii) Kujenga nyumba ya Makazi ya Naibu Mkurugenzi

Mkuu - Dodoma na Mkuu wa TAKUKURU Wilaya

ya Chato;

(xiii) Kujenga karakana kwa ajili ya kutengeneza magari

ya Taasisi ili kupunguza gharama za uendashaji

zinazotumika katika kutengeneza magari hayo;

(xiv) Kuimarisha mfumo wa TEHAMA katika Taasisi ili

kurahisisha na kuwezesha mtiririko mzuri wa

Page 66: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

66

majalada, takwimu na mawasiliano kutoka ngazi za

wilaya, mkoa na makao makuu; na

(xv) Kutoa mafunzo ya weledi kwa watumishi ili

kuongeza ufanisi.

c.TAASISI YA UONGOZI

60. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2019/ Taasisi ya

UONGOZI imepanga kutekeleza kazi zifuatazo:-

(i) Kutoa mafunzo ya “Stashahada ya Uzamili ya

Uongozi” (Post Graduate-Diploma in Leadership),

kwa lengo la kuwajengea uwezo Viongozi katika

maeneo ya kufanya Uamuzi wa kimkakati,

kusimamia rasilimaliwatu na rasilimali nyingine na

kuimarisha sifa binafsi za kiongozi;

(ii) Kutekeleza Programu ya kuwajengea uwezo

wataalam wa Wizara na Taasisi za Serikali kuhusu

majadiliano ya mikataba yenye thamani kubwa;

(iii) Kutoa mafunzo ya muda mfupi kwa lengo la

kuwajengea uwezo Viongozi katika maeneo ya

Uongozi na Maendeleo Endelevu, kutokana na

mahitaji na maombi ya walengwa. Kozi 13

zitatolewa;

(iv) Kuandaa mikutano miwili (2) ya kimataifa na

kikanda; na tisa (9) ya kitaifa katika masuala ya

Uongozi na Maendeleo Endelevu;

(v) Kuandaa vipindi vya Runinga 12

vitakavyoshirikisha viongozi waandamizi na

wataalam mbalimbali ndani na nje ya Nchi, juu ya

Uongozi na Maendeleo Endelevu. Vipindi hivi

vitarushwa kwenye runinga, tovuti na mitandao ya

kijamii na kuonekana katika Bara zima la Afrika;

Page 67: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

67

(vi) Kufanya utafiti kwenye maeneo 11 kuhusu masuala

ya Uongozi na Maendeleo Endelevu;

(vii) Kutoa ushauri wa kitaalam katika maeneo

yanayohusu masuala ya Uongozi naMaendeleo

Endelevu pale utakapohitajika; na

(viii) Kuendelea kuratibu na kuwezesha timu za Kitaifa za

Majadiliano ya Mikataba yenye thamani kubwa,

kulingana na uhitaji.

d.MPANGO WA KURASIMISHA RASILIMALI NA

BIASHARA ZA WANYONGE TANZANIA

(MKURABITA)

61. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2019/ MKURABITA

imejipanga kutekeleza kazi zifuatazo:

(i) Kuanzisha Vituo vitano (5) vya Urasimishaji

Biashara ili kuwawezesha wafanyabishara kupata

huduma muhimu sehemu moja (1) katika

Halmashauri za Wilaya Tano (5) za Kahama,

Tabora, Nyamagana, Songea na Babati. Aidha,

mafunzo ya kurasimisha na kuendesha biashara

yatatolewa kwa wafanyabishara 5,000 kwa lengo la

kuwawezesha kusajili biashara zao;

(ii) Kuanzisha Kituo cha urasimishaji wa biashara

Zanzibar, katika Manispaa ya Mjini, Mkoa wa

Magharibi ili kuwawezesha wafanyabiashara kupata

huduma muhimu sehemu moja ambapo

wafanyabiashara 1,000 watapata mafunzo na

kusajili biashara zao;

(iii) Kutoa mafunzo kuhusu fursa na matumizi bora ya

Hati za Haki Miliki za Kimila kwa wakulima 800

waliorasimisha ardhi zao na viongozi 80 wa vyama

Page 68: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

68

vya wakulima katika Halmashauri za Wilaya nne

(4) za Butiama, Muleba, Moshi na Kilosa;

(iv) Kukamilisha urasimishaji wa ardhi mjini katika

Halmashauri za Miji ya Morogoro, Tunduma,

Babati, Iringa, Arusha, Njombe na Miji Midogo ya

Tandala na Ikonda Tanzania Bara. Kwa upande wa

Zanzibar, urasimishaji wa ardhi mjini utafanyika

Chakechake na Unguja Mjini. Jumla ya Hati Milki

6,500 zitaandaliwa na kutolewa;

(v) Kukamilisha uandaaji na utoaji Hati za Hakimiliki

za Kimila 11,766 kwa wananchi katika

Halmashauri za Wilaya za Rufiji, Musoma,

Butiama, Chamwino, Nyang’wale, Makete,

Mpwapwa, Bukoba Vijijini na Newalaza Tanzania

Bara. Aidha, urasimishaji wa ardhi vijijini

utafanyika katika eneo la Chanjamjawiri Wilaya ya

Chakechake Pemba na Mahonda Wilaya ya

Kaskazini B Unguja ambapo Hati Miliki 2,000

zitaandaliwa na kutolewa;

(vi) Kukamilisha ujenzi wa Masijala za Ardhi za Vijiji

katika Halmashauri za Wilaya saba ambazo ni

Chamwino (vijiji 2), Itigi (kijiji 1), Mbarali (kijiji1),

Mbinga (kijiji 1), Mpwapwa (kijiji 1), Mvomero

(kijiji 1), na Nachingwea (vijiji 3). Aidha, ujenzi wa

Masjala za Ardhi za vijiji viwili utaanza katika

Halmashauri ya Wilaya ya Newala;

(vii) Kuendelea na urasimishaji wa Wachimbaji Wadogo

wa Madini katika maeneo ya Mkoa wa Geita;

(viii) Kwa kushirikiana na TAMISEMI, MKURABITA

itaratibu na kufuatilia utekelezaji wa Miradi ya

Page 69: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

69

majaribio ya Mfuko Endelevu wa Urasimishaji wa

Wilaya katika Manispaa ya Iringa na Halmashauri

ya Wilaya ya Njombe;

(ix) Kufanya Ufuatiliaji na Tathmini ya Utekelezaji wa

shughuli za Urasimishaji katika Halmashauri za

Mufindi, Itigi, Morogoro, Njombe, Mbarali na

Rungwe ili kufuatilia utekelezaji wa Mapendekezo

ya Maboresho ya sheria za ardhi na biashara katika

Wizara za Kisekta;

(x) Kufuatilia utekelezaji wa mapendekezo ya

maboresho ya sheria za ardhi na biashara katika

Wizara za Kisekta; na

(xi) Kuandaa vipindi 20 vya redio na Runinga kuhusu

utekelezaji wa Shughuli za urasimishaji Tanzania

Bara na Zanzibar.

e.MFUKO WA MAENDELEO YA JAMII (TASAF)

62. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2019/20 TASAF

imejipanga kutekeleza kazi zifuatazo:

(i) Kufanya utambuzi na uandikishaji wa kaya maskini

katika maeneo ya Vijiji 4,408, Mitaa 1,189 na

Shehia 96 ambazo hazikufikiwa katika Awamu ya

Kwanza ya Mpango. Zoezi hili linategemea

kuzifikia kaya za walengwa zipatazo 355,000;

(ii) Kufanya maandalizi ya zoezi la kutambua hali za

ustawi wa maisha ya walengwa wa Mpango wa

kunusuru Kaya Maskini iwapo zimeboreka. Zoezi

hili litatoa fursa ya kuwaondoa wale watakaobainika

kuwa sio maskini tena kwa vigezo vitakavyotumika

kupitia utaratibu wa wazi utakaoandaliwa na

kukubalika na wadau wote;

Page 70: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

70

(iii) Kuhawilisha ruzuku kwa kaya maskini zote

zilizoandikishwa kwa kuzingatia utaratibu mpya wa

Kipindi cha Pili cha Mpango. Malipo yatafanyika

katika vipindi vya mizunguko sita (6) ya kila miezi

miwili (2) kwa kufuata kalenda ya malipo katika

Halmashauri zote za Tanzania Bara na Zanzibar

(Unguja na Pemba);

(iv) Kutoa ajira za muda kwa jumla ya kaya za

walengwa 292,188 ambazo zitahusika katika

utekelezaji wa miradi 2,640 ya kutoa ajira za muda

itakayoibuliwa na jamii. Walengwa hawa watatoka

katika Halmashauri 44 pamoja na Unguja na Pemba;

(v) Kuendeleza utekelezaji wa Mkakati na Miongozo ya

Kuweka Akiba na Kuwekeza Katika maeneo ya

utekelezaji. Wawezeshaji 1,440 katika Halmashauri

72 watapatiwa mafunzo ya kuunda vikundi endelevu

vya kuweka akiba kwa kaya za walengwa. Jumla ya

vikundi 247,840 vya walengwa vitaundwa, kupewa

mafunzo na vitendea kazi;

(vi) Miradi 134 ya afya, elimu, maji, ujasiriamali na

barabara za vijijini itatekelezwa chini ya Mpango

wa Kuendeleza Miundombinu katika Halmashauri

134. Wawezeshaji 804 watapewa mafunzo juu ya

namna ya kutekeleza na kusimamia miradi. Aidha,

miradi 160 itatekelezwa katika Halmashauri 13 za

Mikoa ya Arusha na Njombe kupitia program

inayofadhiliwa na Taasisi ya Maendeleo ya Mataifa

Yanayozalisha Mafuta kwa Wingi Duniani (OPEC);

(vii) Kuhamasisha Mamlaka zote 187 za utekelezaji

kuingia kwenye mfumo wa malipo ya walengwa

Page 71: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

71

kwa njia ya Kielektroniki (kupitia mitandao ya simu

na Benki). Njia hii ya malipo itawezesha fedha

kutumwa moja kwa moja kwa mlengwa na kumfikia

kwa haraka ambapo gharama za uendeshaji

zitapungua kwa kiasi kikubwa;

(viii) Kuimarisha mifumo ya TEHAMA ya utunzaji wa

kumbukumbu za walengwa, uendeshaji na utoaji wa

taarifa ili kuwezesha utekelezaji wa shughuli za

Mpango hususan kuimarisha mawasiliano kati ya

maeneo ya utekelezaji na TASAF Makao Makuu

Dodoma;

(ix) Kujenga uwezo wa watumishi katika ngazi

mbalimbali za utekelezaji ikiwa ni pamoja na

TASAF Makao Mkuu, Mikoa, Halmashauri na jamii

ili kuweza kusimamia na kutekeleza shughuli za

Mpango kwa ufanisi;

(x) Kuimarisha usimamizi, ufuatiliaji na tathmini za

shughuli za Mpango pamoja na matumizi ya

rasilimali ili kuongeza ufanisi na uwajibikaji katika

ngazi zote za utekelezaji wa Mpango;

(xi) Kufanya mapitio ya pamoja baina ya Timu ya

Serikali na Wadau wa Maendeleo kuhusu

maendeleo ya utekelezaji wa shughuli za Mpango

wa Kunusuru Kaya Maskini; na

(xii) Kufanya maandalizi ya tathmini ya Mpango kwa

awamu ya mwisho (End line Survey) ili kubaini

matokeo ya Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini

katika kupunguza umaskini kwa walengwa.

Page 72: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

72

f. WAKALA YA NDEGE ZA SERIKALI

63. Mheshimiwa Spika, Wakala ya Ndege za Serikali ambayo

ulikuwa chini ya Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano

ilianzishwa rasmi tarehe 17 Mei, 2002 kwa mujibu wa Sheria

ya Wakala za Serikali Sura 245. Aidha kwa sasa Wakala

imehamishwa kutoka Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na

Mawasiliano kwenda Ofisi ya Rais, Ikulu tarehe 23 Aprili,

2018 kwa Tangazo la Serikali Namba 252 (GN 252) la tarehe

8 Juni, 2018. Wakala ina jukumu la kutoa huduma ya usafiri

wa anga kwa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa

Tanzania na Viongozi wengine Wakuu wa Kitaifa. Wakala

ilianzishwa ili kuboresha huduma na kuimarisha usalama wa

usafiri wa ndege kwa viongozi wanaotumia huduma hizo.

Aidha, Wakala imeongezewa jukumu lingine la kuratibu kwa

niaba ya Serikali, ununuzi wa ndege, kuzikodisha kwa

Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) na kusimamia mikataba

ya ukodishwaji wa ndege hizo.

64. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2019/20 Wakala ya

Ndege za Serikali umepanga kutekeleza kazi zifuatazo:-

(i) Kutoa huduma ya usafiri wa anga kwa viongozi

wakuu wa kitaifa;

(ii) Kusimamia mikataba ya ukodishaji wa ndege kwa

Kampuni ya Ndege ya Taifa (ATCL);

(iii) Kufanya matengenezo na ununuzi wa vipuri vya

ndege za Serikali;

(iv) Kufanya ukarabati wa karakana ya ndege za

Serikali;

(v) Kulipia gharama za bima za ndege;

(vi) Kugharamia uendeshaji wa Ofisi na kulipia gharama

za mafuta ya ndege; na

(vii) Kutoa mafunzo kwa wanahewa yanayohusu

uhuishaji wa leseni zao.

Page 73: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

73

65. Mheshimiwa Spika, ili kutekeleza Mpango wa Mwaka wa

Fedha wa 2019/20, Fungu 20 Ofisi ya Rais, Ikulu inaomba

Shilingi 23,144,913,000 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida.

Aidha, Fungu 30 Ofisi ya Rais na Sekretarieti ya Baraza la

Mawaziri inaomba Shilingi 564,312,423,717 kwa ajili ya

Matumizi ya Kawaida na Miradi ya Maendeleo. Kati ya fedha

hizi, Shilingi 410,123,039,000 ni Matumizi ya Kawaida na

Shilingi 154,189,384,717 kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo.

MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA WAKALA ZILIZO CHINI YAKE

a.Menejimenti ya Utumishi wa Umma

66. Mheshimiwa Spika, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya

Utumishi wa Umma katika mwaka wa fedha 2019/20

itaendelea kutekeleza majukumu yake ya msingi ya

kuhakikisha kuwa Utumishi wa Umma unaendeshwa kwa

kuzingatia misingi ya utawala bora na kwamba Sera, Sheria,

Kanuni na Taratibu mbalimbali za Utumishi wa Umma

zinazingatiwa. Aidha, Watumishi wa Umma wanawajibika na

kuwa wasikivu kwa wananchi wanapotoa huduma mbalimbali.

67. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2019/20 Ofisi ya Rais,

Menejimenti ya Utumishi wa Umma imepanga kutekeleza kazi

zifuatazo:-

(i) Kuzijengea uwezo Taasisi mbalimbali za Serikali

katika kuandaa Sera zinazozingatia utafiti (Evidence

Based and Coherent Policy) pamoja na kuandaa

Sera za Kisekta zilizowianishwa ili kuondoa

migongano na urudufu wakati wa utekelezaji.

(ii) Kufanya mapitio ya Sheria na Miongozo mbalimbali

ya kiutumishi katika Utumishi wa Umma kwa lengo

la kuboresha utendaji kazi.

(iii) Kuhuisha miundo ya Maendeleo ya Utumishi,

Page 74: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

74

kuwianisha na kuoanisha mishahara katika Utumishi

wa Umma kwa kuzingatia matokeo ya zoezi la

Tathmini ya Kazi.

(iv) Kufanya ufuatiliaji kwa kutumia mfumo maalum

“framework” na kuhamasisha ujumuishwaji wa

masuala ya Anuai za Jamii katika Utumishi wa

Umma ili kutoa huduma bora kwa wananchi.

(v) Kuandaa Mwongozo wa ujumuishwaji wa masuala

ya Jinsia Mahala Pa kazi katika Utumishi wa

Umma;

(vi) Kutoa miongozo ya kuimarisha Menejimenti ya

Utumishi Umma kupitia Nyaraka za Kiutumishi;

(vii) Kushughulikia mahitaji ya vibali vya uhamisho,

kushikizwa, kuazimwa na likizo bila malipo kwa

watumishi na baina ya waajiri mbalimbali katika

Utumishi wa Umma;

(viii) Kuendelea kupokea na kushughulikia mapendekezo

ya nafasi za uteuzi, mikataba ya ajira na vibali vya

kukaimu nafasi za uongozi kadili maombi hayo

yatakavyokuwa yanawasilishwa na waajiri

mbalimbali;

(ix) Kuelimisha Watumishi wa Umma na Waajiri

kuhusu umuhimu wa kupunguza malalamiko ya

wateja na kushughulikia ipasavyo malalamiko

yanayowasilishwa;

(x) Kusimamia ajira za Watumishi wa Umma ambapo

katika mwaka wa fedha 2019/20 Serikali inatarajia

kuajiri watumishi wapya 44,807 wa kada ya Elimu

(13,526), Afya (9,467), Kilimo, Mifugo na Uvuvi

nafasi (2,141) Jeshi la Polisi (3,725), Magereza

Page 75: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

75

(685), Jeshi la Zimamoto na Uhamiaji (500) na

Hospitali za Mashirika ya Kidini na hiari (1,262).

Aidha, Serikali inatarajia kuajiri watumishi 13,002

wa kada nyinginezo wakiwemo wahadhiri wa vyuo

vikuu vya umma nchini. Vile vile, watumishi

290,625 wa kada mbalimbali watapandishwa vyeo

kulingana na maelekezo yatakayotolewa;

(xi) Kuchambua na kuhakiki madai ya malimbikizo

ya mishahara ya Watumishi wa Umma 21,683

yenye thamani ya Shilingi 50,759,540,017.25 na

kuchukua hatua ipasavyo;

(xii) Kuendelea na uidhinishaji wa taarifa za Kiutumishi

na Mishahara kwenye Orodha ya Malipo ya

Mishahara;

(xiii) Kufanya uhakiki wa watumishi kwenye Sekretarieti

za Mikoa ili kuhakikisha kunakuwa na matumizi

bora ya Rasilimaliwatu katika Utumishi wa Umma;

(xiv) Kuhakikisha kuwa taarifa za watumishi zinakuwa

sahihi na kuboresha taarifa za kiutumishi na

mishahara kupitia HCMIS;

(xv) Kuhuisha miundo na mgawanyo wa Majukumu ya

Taasisi za Umma 100 zikiwemo Ofisi/Wizara

Zinazojitegemea, Wakala za Serikali na Mashirika

ya Umma na kuziwasilisha kwa Mheshimiwa Rais

kwa ajili ya kupata idhini ya utekelezaji; - Lengo

likiwa ni kuongeza ufanisi katika utoaji huduma

pamoja na kupunguza ukubwa na matumizi ya

Serikali ili fedha zitakazopatikana zielekezwe

kwenye miradi ya maendeleo;

(xvi) Kuwezesha taasisi zitakazopata idhini ya utekelezaji

Page 76: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

76

wa Miundo kuandaa Mahitaji ya Watumishi na

Maelezo ya Kazi ili kupata uwiano mzuri katika

kutekeleza majukumu ya Taasisi husika;

(xvii) Kuzijengea Uwezo Idara Zinazojitegemea,

Sekretarieti za Mikoa, Mamlaka za Serikali za

Mitaa, na Wakala za Serikali kuhusu uimarishaji wa

mifumo ya Ufuatiliaji na Tathmini;

(xviii) Kuboresha michakato ya utoaji huduma na

kuimarisha usimamizi wa Mifumo na Viwango vya

Utendaji Kazi kwa kufanya ufuatiliaji pamoja na

kutoa ushauri wa kitaalam katika Taasisi za Serikali

ili kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma kwa

wananchi;

(xix) Kukamilisha ujenzi wa mfumo mpya wa HCMIS,

kutoa mafunzo kwa watumiaji na kuusambaza

katika taasisi za Serikali;

(xx) Kuendelea kuratibu uanzishwaji wa vituo vya

HUDUMA PAMOJA kwa ajili ya kutolea Huduma

za Serikali sehemu moja;

(xxi) Kufanya tathmini na kuwajengea uwezo wataalamu

wa TEHAMA katika taasisi za Serikali ili

kuwawezesha kujenga, kusimamia na kuendeleza

mifumo ya TEHAMA ya Serikali;

(xxii) Kuendelea kufuatilia uzingatiaji wa mwongozo wa

kusimamia utekelezaji wa Serikali Mtandao ya

Mwaka 2017 katika taasisi za Serikali;

(xxiii) Kukamilisha maandalizi ya Mpango Mkakati wa

Taifa wa utekelezaji wa Serikali Mtandao;

(xxiv) Kuratibu maandalizi ya Kanuni mbalimbali za

utekelezaji wa Sheria inayotungwa ya Serikali

Page 77: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

77

Mtandao;

(xxv) Kuendelea kuratibu maandalizi na utekelezaji wa

Programu ya Digital Tanzania;

(xxvi) Kujenga uelewa wa Viongozi wa Kisiasa na Kisera

katikaTaasisi za Umma, Menejimenti na watumishi

kuhusu Mikataba ya Utendaji Kazi Serikalini;

(xxvii) Kuziwezesha Taasisi za Umma kuandaa na

kutekeleza Mikataba ya Utendaji Kazi;

(xxviii) Kufanya ufuatiliaji wa utekelezaji wa Mfumo wa

Wazi wa Mapitio na Tathmini ya Utendaji Kazi

(OPRAS) kwenye Taasisi za Umma;

(xxix) Kutoa huduma kwa Viongozi Wakuu wa Kitaifa

(Wastaafu 11 na wajane 5) kwa mujibu wa sheria;

(xxx) Kuanza utekelezaji wa Programu ya Maboresho

katika Utumishi wa Ummakwenye maeneo ya

matokeo ya Motisha na Uwajibikaji; Michakato ya

Utoaji Huduma na Menejimenti ya Rasimaliwatu;

(xxxi) Kutoa mafunzo kwa Watumishi wa Umma

wanaotarajiwa kustaafu mwaka 2019/20 ili

kuwaandaa kwa maisha ya baada ya kustaafu kwa

mujibu wa sheria katika Utumishi wa Umma;

(xxxii) Kuendelea kuratibu fursa za mafunzo yanayotolewa

na wafadhili wa Serikali na Washirika wa

Maendeleo kwa mwaka 2019/20;

(xxxiii) Kuwezesha Taasisi tano (5) za Umma kuandaa

Mipango ya Rasilimaliwatu, Mipango ya Mafunzo

na Urithishanaji wa madaraka;

(xxxiv) Kufanya Ufuatiliaji wa Uzingatiaji wa Maadili

katika Sekretariati za Mikoa (2), Mamlaka za

Serikali za Mitaa (10) na Taasisi nyingine za Umma

Page 78: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

78

(5);

(xxxv) Kufanya Kampeni za Kimaadili katika menejimenti

za Taasisi za Umma 30;

(xxxvi) Kushiriki katika Maadhimisho ya Siku ya Uadilifu

Kitaifa;

(xxxvii) Kuhamasisha Uzingatiaji wa Maadili kupitia

Vyombo vya Habari;

(xxxviii) Kufanya Ufuatiliaji wa Uzingatiaji wa Maadili

katika Taasisi za umma 35; na

(xxxix) Kukamilisha Mapitio ya Kanuni za Maadili ya

Utendaji katika Utumishi wa na kujenga uelewa wa

Kanuni hizo kwa Wadau.

(xl) Kupitia Watumishi Housing miradi ya ujenzi

nyumba 500 katika mikoa mbalimbali itatekelezwa,

ambapo nyumba 300 zitajengwa jijini Dodoma;

(xli) Serikali kupitia Watumishi Housing imepewa fedha

na Benki ya Dunia vifaa vya kisasa kwa ajili ya

upimaji ardhi vyenye thamani ya shilingi Bilioni

1.5; vifaa hivyo vitatumika kutoa huduma ya

upimaji ardhi kwa bei nafuu katika wilaya

mbalimbali kwa lengo la kuwezesha upatikanaji wa

ardhi iliyoendelezwa kwa bei nafuu;

b. Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC)

68. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2019/20

Chuo kinatarajia kutekeleza malengo yafuatayo:

i) Kutoa mafunzo ya kujiandaa kufanya Mitihani ya

Utumishi wa Umma kwa watumishi wa Umma 970;

ii) Kutoa mafunzo ya Uongozi na Maendeleo,

Menejimenti na Usimamizi wa Ofisi kwa

Watumishi wa Umma 3,370;

Page 79: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

79

iii) Kutoa Mafunzo ya Awali katika Utumishi wa

Umma kwa Watumishi wa Umma 1,720;

iv) Kutoa mafunzo ya muda mrefu kwa washiriki

9,980 katika fani za Utunzaji wa Kumbukumbu,

Uhazili, Kompyuta, Utunzaji wa Fedha za Umma,

na Menejimenti ya Rasilimaliwatu, Usimamizi na

Ununuzi wa Umma, Uongozi na Utawala Bora;

v) Kutoa ushauri katika maeneo mbalimbali 11 ya

kitaalamu kwa Taasisi za Umma;

vi) Kufanya utafiti wa aina sita (6) katika maeneo

yanayolenga kuboresha Utumishi wa Umma;

vii) Kuandaa machapisho mbalimbali kama vile

majarida na makala za kitaalamu katika Utumishi

wa Umma katika nyanja za Uongozi, Menejimenti

na Utawala;

viii) Kuwezesha mafunzo ya muda mrefu kwa watumishi

25 wa Chuo cha Utumishi wa Umma katika ngazi za

Shahada ya Uzamivu (13) na Shahada ya Uzamili

(12);

ix) Kuendelea na awamu ya pili ya ujenzi wa jengo la

ghorofa mbili (2) litakalotumika kwa ajili ya

madarasa, maktaba na ofisi katika Kampasi ya

Tabora; Kuandaa michoro ya usanifu majenzi

(architectural design) kwa ajili ya mradi wa ujenzi

wa majengo ya Kampasi ya Dodoma katika eneo la

Mtumba;

xi) Kufanya Ukarabati wa majengo ya Hostel katika

Kampasi ya Tabora;

xii) Kuweka “Paving Blocks” katika eneo la nje –

Kampasi ya Mtwara; na

Page 80: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

80

xiii) Kutafuta eneo kwa ajili ya ujenzi wa Kampasi ya

Tanga.

c. Wakala ya Mafunzo kwa Njia ya Mtandao (TaGLA)

69. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2019/20,

Wakala ya Mafunzo kwa Njia ya Mtandao imepanga

kutekeleza kazi zifuatazo:-

(i) Kuwezesha watumishi wa umma na sekta binafsi

kutumia miundombinu na mtandao wa Wakala

kujenga uwezo wa utendaji kazi kwa kutoa

mafunzo kwa Washiriki 2,800 katika maeneo ya

Uongozi, Utawala Bora, Maadili, Anuai za Jamii,

Mazingira, Kupunguza Umaskini, TEHAMA, Afya

na stadi za utendaji kazi;

(ii) Kuongeza ushirikiano na taasisi za ndani na nje ya

Nchi ili kutoa mafunzo kwa kutumia teknolojia za

kisasa na kwa gharama nafuu;

(iii) Kuboresha vitendea kazi ili viweze kuweka

mazingira rafiki na kuongeza uwezo wa kutoa

huduma bora zinazoendana na ukuaji wa mahitaji;

(iv) Kukamilisha maandalizi kwa ajili ya kujenga ofisi

za Wakala Dodoma;

(v) Kuratibu mafunzo na mikutano ya kazi ya Wizara

mbalimbali, Sekretarieti za Mikoa, Mamlaka za

Serikali za Mitaa, Idara Zinazojitegemea, Wakala

za Serikali na shirika ya Umma kwa kutumia

huduma ya daraja-video na kutoa ushauri wa

kitaalamu;

(vi) Kukuza mtandao wa Wakala kikanda ili kuwafikia

wateja kwa urahisi; Kujenga uwezo wa watumishi

wa Wakala ili kukidhi ongezeko la wateja na

Page 81: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

81

mabadiliko ya haraka katika teknolojia;

(vii) Kufanya utafiti na majaribio ya teknolojia rafiki

katika nyanja za mawasiliano ya video na mafunzo

na kuziboresha.

d. Wakala ya Serikali Mtandao (eGA)

70. Mheshimiwa Spika, Katika kipindi cha mwaka wa fedha

cha 2019/20, Wakala ya Serikali Mtandao inatarajia

kutekeleza kazi zifuatazo:-

(i) Kutoa msaada wa kiufundi na kujenga uwezo wa

Taasisi za Umma katika kutengeneza na kuboresha

mifumo ya ukusanyaji mapato na maduhuli ili iweze

kusomana na mfumo mkuu wa kielektroniki wa

ukusanyaji wa mapato serikalini (GePG);

(ii) Kuimarisha taratibu za kiusalama kwa Mifumo na

miundombinu ya TEHAMA Serikalini;

(iii) Kufanya utafiti, kuhamasisha ubunifu na maendeleo

ya Serikali Mtandao kupitia Kituo cha Utafiti,

Ubunifu na Maendeleo ya Serikali Mtandao cha

muda kilichopo Chuo Kikuu cha Dodoma. Vile vile

kujenga kituo kikubwa cha kuratibu shughuli hizo;

(iv) Kuongeza uwezo wa Miundombinu Shirikishi ya

Serikali Mtandao kwa Taasisi zote za Serikali, hii ni

pamoja na kuendelea kusambaza Miundombinu ya

Mtandao wa Serikali (GovNet), Ujenzi wa mfumo

utakaowezesha mifumo mbalimbali ya TEHAMA

Serikalini kubadilishana taarifa (Information

Exchange Platform), Mfumo mkubwa kwa ajili ya

kuhifadhi data za Serikali kwa pamoja (Government

Data Central Repository or Government Data

Warehouse (GDW), Miundombinu ya Pamoja ya

Page 82: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

82

Kuhifadhi mifumo ya Serikali Mtandao

(Government Cloud). Aidha, Kituo cha kusimamia

mawasiliano ya Serikali Ihumwa kitaimarishwa;

(v) Kusimamia na kuboresha matumizi ya Mifumo na

Miundombinu Shirikishi ya TEHAMA Serikalini ili

kuongeza ufanisi na usalama wa taarifa za Serikali

pamoja na kupunguza gharama ya uhifadhi na

uendeshaji wa mifumo ya Taasisi za Umma.

Mifumo na Miundombinu hiyo ni pamoja na

Mfumo wa barua pepe Serikalini (GMS), Mfumo

wa Ofisi Mtandao (e- office), Mfumo wa kutoa

huduma kwa Umma kupitia simu za Mkononi

(Government Mobile Platform (GMP), Mfumo wa

Vibali vya kusafiria nje ya nchi (e-Vibali) na

Mfumo wa Tovuti za Serikali (Government Website

Framework);

(vi) Kutoa mafunzo ya Serikali Mtandao kwa Viongozi,

Wasimamizi wa TEHAMA na watumiaji wa

huduma za Serikali Mtandao kwa Taasisi za Serikali

140 ili kuongeza uelewa na uwezo wa Taasisi za

Umma katika kutumia TEHAMA, kuongeza ufanisi

wa kiutendaji na utoaji wa huduma kwa wananchi;

(vii) Kutoa ushauri wa kitaalam na msaada wa kiufundi

kwenye maeneo ya TEHAMA kwa Taasisi 50 za

umma ili kuhakikisha kwamba uwekezaji

unaofanywa na Serikali kwenye TEHAMA unazaa

matokeo yaliyokusudiwa;

(viii) Kufuatilia na kusimamia matumizi ya viwango vya

ubora wa mifumo ya TEHAMA ya kimkakati na ya

kisekta kwa kutumia Viwango na Miongozo ya

Page 83: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

83

TEHAMA ili kuondoa urudufu, kupunguza gharama

na kuongeza ubora wa huduma zinazotolewa kwa

umma na kuhakikisha usalama wa mawasiliano;

(ix) Kujenga uwezo wa wataalam wake ambapo

watumishi 50 watapatiwa mafunzo ya ubobezi

kwenye maeneo ya usalama, miundombinu na

utengenezaji wa Mifumo. Watumishi 10 watapatiwa

mafunzo ya muda mrefu na watumishi 150

watapatiwa mafunzo ya muda mfupi katika

maeneo mbalimbali ya kiutendaji; na

(x) Kukamilisha kituo cha Usaidizi wa Masuala ya

Serikali Mtandao kwenye mji wa Serikali, Ihumwa,

kwa kuweka vifaa vinavyoimarisha mawasiliano

kwenye mji huo pamoja na kulinda usalama wa

mifumo na mitandao ya mawasiliano.

71. Mheshimiwa Spika, ili kutekeleza Mpango wa mwaka wa

fedha 2019/20 kwa ufanisi, Fungu Ofisi ya Rais, Menejimenti

ya Utumishi wa Umma inaomba kiasi cha Shilingi

72,572,322,000. kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na Miradi

ya Maendeleo. Kati ya fedha hizi, Shilingi 31,512,322,000, ni

kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na Shilingi 41,060,000,000

kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo.

SEKRETARIETI YA MAADILI YA VIONGOZI WA

UMMA

72. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha wa 2019/20,

shughuli zilizopangwa kutekelezwa ni kama ifuatavyo:

(i) Kuendelea kupokea Matamko ya Viongozi wa

Umma kuhusu Rasilimali na madeni yanayopaswa

kutolewa kwa mujibu wa Sheria ya Maadili ya

Viongozi wa Umma;

Page 84: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

84

(ii) Kuendelea kupokea na kushughulikia malalamiko

na taarifa za ukiukwaji wa Maadili kwa mujibu wa

Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma kutoka

kwa wananchi;

(iii) Kuchunguza tuhuma za ukiukwaji wa Sheria ya

Maadili ya Viongozi wa Umma dhidi ya Viongozi

wa Umma;

(iv) Kufanya uhakiki wa matamko ya Rasilimali na

Madeni kwa Viongozi wa Umma 2,000;

(v) Kuratibu na kuwezesha utekelezaji wa majukumu ya

Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma;

(vi) Kutoa elimu kwa Viongozi wa Umma na Wananchi

kwa ujumla kuhusu Sheria ya Maadili ya Viongozi

wa Umma na Hati ya Ahadi ya Uadilifu;

(vii) Kuandaa taarifa ya mwaka ya utekelezaji wa

shughuli za Sekretarieti na kuiwasilisha kwa

Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa

Tanzania;

(viii) Kuanzisha na kuendeleza Klabu za Maadili katika

shule na vyuo nchini;

(ix) Kuendelea na ujenzi wa ofisi ya Sekretarieti ya

Maadili ya Viongozi wa Umma ya Makao Makuu

Dodoma; na

(x) Kuendelea na mchakato wa kutumia mfumo wa

ujazaji wa fomu za matamko ya rasilimali na

madeni kwa viongozi wa umma kwa njia ya

mtandao (online application) baada ya kukamilika

kwa Mfumo wa Kielektroniki wa Menejimenti ya

Taarifa za Kimaadili (Ethics Management

Information System – EMIS).

Page 85: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

85

73. Mheshimiwa Spika, katika kutekeleza majukumu yake

kwa Mwaka wa Fedha wa 2019/20 Fungu 33: Ofisi ya Rais,

Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma inaomba

kuidhinishiwa Shilingi 9,999,945,000. kwa ajili ya Matumizi

ya Kawaida na Miradi ya Maendeleo. Kati ya fedha hizi,

Shilingi 7,382,075,000 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na

Shilingi 2,617,870,900 kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo.

SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI

WA UMMA

74. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha wa 2019/20,

Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma,

imepanga kutekeleza majukumu yafuatayo:-

(i) Kusimamia na kuendesha michakato ya ajira ili

kuwezesha waajiri kupata watumishi wenye sifa

zinazotakiwa kwa mujibu wa miundo ya utumishi

husika;

(ii) Kushiriki kama Wataalam waalikwa kwenye usaili

unaoendeshwa na Taasisi zinazotumia Sheria

zilizokasimiwa kwa Taasisi husika;

(iii) Kuendelea kuimarisha Ofisi ya Sekretarieti ya Ajira

iliyopo Zanzibar kurahisisha michakato ya ajira kwa

ajira za Muungano;

(iv) Kuendelea kuimarisha Ofisi za kanda ikiwemo Ofisi

ya Dar es salaam baada ya kuhamia Dodoma;

(v) Kuhamisha watumishi wa ofisi kutoka Dar es

Salaam kuja Makao Makuu Dodoma;

(vi) Kufanya utafiti kwa waajiri na wadau mbalimbali

ikiwa ni hatua ya kupata mrejesho wa utekelezaji wa

shughuli za uendeshaji wa michakato ya ajira

pamoja na utendaji kazi wa ofisi;

(vii) Kuendelea kuimarisha utendaji kazi wa Taasisi kwa

Page 86: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

86

kutumia TEHAMA.

(viii) Kuboresha mifumo ya uendeshaji wa usaili kwa

kutumia mbinu za kisasa, ikiwemo matumizi ya

“psychometric test”; na

(ix) Kutoa taarifa na elimu kwa Umma ili kukuza

uelewa kuhusu shughuli zinazotekelezwa na

Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma;

75. Mheshimiwa Spika, katika kutekeleza majukumu yake

kwa mwaka wa fedha wa 2019/20 Fungu 67: Ofisi ya Rais,

Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inaomba

kuidhinishiwa Jumla ya Shilingi 2,376,443,000 kwa ajili ya

Matumizi ya Kawaida.

OFISI YA RAIS, TUME YA UTUMISHI WA UMMA

76. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2019/20,

Tume imepanga kutekeleza majukumu yafuatayo:-

(i) Kufanya Ukaguzi wa kawaida katika Taasisi 150 na

Ukaguzi Maalum katika Taasisi 10 kuangalia

uzingatiaji wa Sheria, Kanuni, Taratibu na

Miongozo ya usimamizi wa Rasilimaliwatu katika

Utumishi wa Umma;

(ii) Kufanya mikutano minne (4) ya kisheria ya Tume

kujadili na kutolea uamuzi rufaa, malalamiko,

taarifa za ukaguzi na masuala mengine ya

kiutumishi kadri yatakavyopokelewa;

(iii) Kuhuisha Miongozo ya Tume ya uzingatiaji wa

masuala ya Ajira na Nidhamu na kuisambaza kwa

Waajiri, Mamlaka za Ajira na Nidhamu;

(iv) Kuelimisha Taasisi za Umma na Watumishi wa

Umma kuhusu majukumu ya Tume na utekelezaji

wa Sheria, Kanuni, Taratibu na Miongozo ya

Page 87: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

87

Utumishi wa Umma kupitia, ziara za Makamishna,

vikao vya kazi, vyombo vya habari, machapisho na

Tovuti;

(v) Kuandaa Taarifa ya Hali ya Utumishi wa Umma na

Utekelezaji wa Majukumu ya Tume kwa kipindi cha

mwaka wa fedha wa 2018/19 na kuiwasilisha kwa

Rais;

(vi) Kutoa huduma kwa watumishi wa Tume wanaoishi

na VVU na UKIMWI; na

(vii) Kutoa elimu kwa watumishi wa Tume kuhusu VVU,

UKIMWI, magonjwa sugu yasiyoambukiza na

mapambano dhidi ya rushwa.

77. Mheshimiwa Spika, ili kutekeleza Mpango wa Mwaka wa

Fedha 2019/20, Fungu 94: Ofisi ya Rais, Tume ya Utumishi

wa Umma inaomba kuidhinishiwa jumla ya kiasi cha Shilingi

4,889,606,000 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida.

BODI YA MISHAHARA NA MASILAHI KATIKA

UTUMISHI WA UMMA

78. Mheshimiwa Spika, kwa kipindi cha mwaka wa fedha

wa 2019/20, Bodi ya Mishahara na Masilahi katika Utumishi wa Umma (Fungu 09) inatarajia kutekeleza majukumu kama ifuatavyo:-

(i) Kufanya utafiti wa hali ya mishahara na masilahi

katika vyombo vya ulinzi na usalama ambavyo ni

Polisi, Magereza, Uhamiaji, Zimamoto na Jeshi la

Ulinzi la Wananchi wa Tanzania ili kushauri namna

bora ya kutoa motisha kwa kuzingatia viwango

stahiki vya kuongeza ufanisi katika kazi za vyombo

hivyo; na

(ii) Kuandaa taarifa nne (4) za gharama za maisha kama

Page 88: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

88

msingi wa kukadiria kiwango cha mshahara wenye

staha; taarifa hizi zinawezesha kushauri kuhusu

kiwango cha mshahara unaoendana na gharama za

maisha.

79. Mheshimiwa Spika, Ili kutekeleza mpango huu wa

mwaka 2019/20, Fungu 09: Bodi ya Mishahara na Masilahi

katika Utumishi wa Umma inaomba kutumia jumla ya Shilingi

1,474,241,000 kwa ajili ya matumizi ya kawaida.

OFISI YA RAIS, IDARA YA KUMBUKUMBU NA

NYARAKA ZA TAIFA

80. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha wa 2019/20, Ofisi ya Rais, Idara ya Kumbukumbu

na Nyaraka za Taifa itatekeleza shughuli zifuatazo:- (i) Kukusanya taarifa na machapisho mbalimbali

yanayohusu historia ya Nchi yetu kutoka Taasisi za

Umma na watu binafsi;

(ii) Kufanya ukarabati wa nyaraka zilizohifadhiwa

katika Ghala Kuu la Nyaraka na zile zinazotarajiwa

kukusanywa na Idara;

(iii) Kuimarisha mifumo ya kielektroniki katika

usimamizi wa taarifa, kumbukumbu na nyaraka za

Taifa kwa kuhifadhi kumbukumbu na nyaraka

katika teknolojia ya kisasa kwa kuingiza taarifa

katika mifumo ya kidijitali ya kuhifadhi

kumbukumbu na nyaraka (Digital Records and

Archives Management and Preservation Systems) ili

kurahisisha upatikanaji na kulinda nakala halisi;

(iv) Kuweka na kuhuisha mifumo ya utunzaji wa

kumbukumbu katika Wizara, Idara Zinazojitegemea

na Wakala za Serikali na Mamlaka za Serikali za

Page 89: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

89

Mitaa ili kuongeza ufanisi na tija katika utoaji wa

huduma Serikalini;

(v) Kujenga uwezo wa Taasisi za Umma katika

usimamizi wa kumbukumbu na nyaraka za Serikali

kwa kuandaa mikutano kazi kwa Menejimenti za

Taasisi za Umma na mafunzo kazi kwa Waratibu na

Watunza kumbukumbu kuhusu Sheria, Kanuni,

Taratibu na Miongozo ya utunzaji wa taarifa,

kumbukumbu na nyaraka za Serikali;

(vi) Kufanya tathmini (appraisal) ya kumbukumbu tuli

za Taasisi za Umma zilizohifadhiwa katika Kituo

cha Taifa cha Kumbukumbu Dodoma ili kubaini

zenye umuhimu wa kuendelea kuhifadhiwa na zile

ambazo umuhimu wake umekoma ili kuteketezwa

kwa mujibu wa Sheria;

(vii) Kukagua, kuchambua na kuhamisha kumbukumbu

tuli kutoka katika Taasisi za Umma kwenda Kituo

cha Taifa cha Kumbukumbu;

(viii) Kusaidia Taasisi za Umma kutengeneza Miongozo

ya kuhifadhi na kuteketeza kumbukumbu;

(ix) Kutambua, kukusanya, kutunza na kuhifadhi

kumbukumbu na vitu vya Waasisi waTaifa;

(x) Kutoa elimu kwa wananchi kuhusiana na umuhimu

wa utunzaji na uhifadhi wa kumbukumbu na

nyaraka;

(xi) Kuimarisha uwezo wa utendaji wa Watumishi wa

Idara;

(xiii) Kuanzisha na kuimarisha Vituo vya Kanda kwa lengo

la kuongeza uwezo wa Idara katika ukusanyaji na

utunzaji wa kumbukumbu na nyaraka kwenye Kanda

Page 90: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

90

husika.

(xiv) Kuendelea kuratibu na kuhamisha kumbukumbu na

nyaraka za Taasisi za Umma zinazohamia Makao

Makuu Dodoma.

(xv) Kuendeleza ukarabati wa jengo la Idara lililopo Dar es

Salaam na ukarabati wa Ghala la Taifa la kuhifadhi

nyaraka (National Repository); na

(xv) Kuendeleza ujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu katika

Kanda ya Ziwa Mwanza.

81. Mheshimiwa Spika, ili kutekeleza Mpango wa mwaka wa

fedha wa 2019/20, Fungu 04: Ofisi ya Rais, Idara ya

Kumbukumbu na Nyaraka inaomba kuidhinishiwa jumla ya

Shilingi 4,774,066,000 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na

Miradi ya Maendeleo. Kati ya fedha hizi, Shilingi

2,774,066,000 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na Shilingi

2,000,000,000 kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo.

D. MAJUMUISHO

82. Mheshimiwa Spika, Ofisi yangu ndiyo inayohusika na

uwezeshaji wa maamuzi ya juu ya nchi sambamba na

Menejimenti ya Utumishi wa Umma ambayo wote ni

mashahidi kuwa ni mtambuka kwa taasisi zote za Umma. Vile

vile, wote tunajua jinsi ambavyo Utumishi wa Umma ulivyo

nguzo muhimu katika uendeshaji wa Nchi na hivyo kutoa

mchango mkubwa sana katika maendeleo ya nchi

inayodhamiria kuwa na uchumi wa Watanzania wa kipato cha

kati ifikapo mwaka 2025. Aidha, maendeleo hayo

yanatarajiwa kupatikana kwa kuimarisha uchumi wa viwanda

kama inavyowekwa wazi katika Mpango wa Pili wa

Maendeleo wa Miaka Mitano.

Page 91: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

91

83. Mheshimiwa Spika, Ofisi yangu itaendelea kuimarisha

uwezeshaji wa vyombo vinavyosaidia kwenye maamuzi ya

nchi, usalama na kuimarisha vita dhidi ya rushwa. Maadili

kwa viongozi wote na watumishi wa umma yanatarajiwa

kuchangia ipasavyo kwenye nchi kupata tija ya rasilimaliwatu

na rasilimalifedha kwa kuwa na matumizi yenye tija wakati

wote ya rasilimali hizo. Kati ya mambo ambayo Serikali

itayapa kipaumbele ni usimamizi thabiti wa maeneo hayo.

84. Mheshimiwa Spika, Serikali kwa ujumla inafanya

maboresho ya kisekta na mtambuka, wajibu wa Ofisi yangu

itakuwa ni kuhakikisha maboresho yanayofanywa katika nchi

yetu hayana urudufu na yanaleta tija katika Utumishi wa

Umma na kuchochea maendeleo. Aidha, itahakikisha

kunakuwepo na utawala bora ulio imara kuanzia ngazi ya juu

hadi chini ya uongozi. Katika kuimarisha uwazi Ofisi yangu

itahakikisha wananchi wanapata taarifa sahihi kuhusu Uamuzi

wa Serikali kuhusu masuala mbalimbali.

85. Mheshimiwa Spika, kwa nchi yetu na kwa mujibu wa

miundo na mgawanyo wa majukumu kwa mawaziri,

utekelezaji kwa ujumla unajumuisha, Ofisi ya Rais Ikulu;

Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala

Bora; Ofisi ya Rais, Tume ya Utumishi wa Umma; Ofisi ya

Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma; Ofisi ya

Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma; Ofisi ya

Rais, Bodi ya Mishahara na Masilahi katika Utumishi wa

Umma; na Ofisi ya Rais, Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa.

86. Mheshimiwa Spika, Mipango na Bajeti kwa Mafungu

niliyoyataja yamezingatia vipaumbele vya Serikali ya Awamu

ya Tano kwenye eneo la kuimarisha utendaji kazi wa Utumishi

wa Umma na kuifanya nchi yetu iondokane na matumizi

mabaya ya rasilimali fedha, ukiukwaji wa maadili ya uongozi

Page 92: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

92

na kupunguza urasimu usio wa lazima katika utoaji huduma na

hivyo kuongeza tija katika kutekeleza masuala yenye masilahi

mapana kwa Taifa letu.

87. Mheshimiwa Spika, Bajeti ya Mafungu yote yaliyo chini

ya Ofisi ya Rais, Ikulu na Ofisi ya Rais, Menejimenti ya

Utumishi wa Umma na Utawala Bora imelenga kuwa na

Utumishi wa Umma unaotoa huduma bora kwa haraka na

staha, kuzingatia Katiba, Sera, Sheria, Kanuni, Miongozo na

taratibu ili kujenga imani zaidi kwa wananchi. Katika

kuendana na wakati jitihada zaidi zitawekwa kwenye kujenga

uwezo na mifumo ya kimenejimenti na utoaji huduma

ikiwemo matumizi sahihi na salama ya fursa zinazopatikana

katika utoaji huduma kwa TEHAMA ndani ya Serikali.

88. Mheshimiwa Spika, baada ya kueleza kwa kina

utekelezaji wa majukumu kwa Mwaka wa Fedha wa 2018/19

na Mipango na Bajeti ya Ofisi ya Rais, Ikulu na Ofisi ya Rais,

Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa

Mwaka wa Fedha wa 2019/20, sasa naomba kuwasilisha rasmi

mapendekezo ya maombi yetu kwa Mwaka wa Fedha 2019/20

kwa muhtasari kama ifuatavyo:-

a. Fungu 20: Ofisi ya Rais, Ikulu

i.Matumizi ya Kawaida Sh. 23,144,913,000

Jumla Sh. 23,144,913,000

b.Fungu 30: Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Baraza la Mawaziri

i. Matumizi ya Kawaida Sh. 410,123,039,000

ii. Matumizi ya Miradi ya

Maendeleo Sh. 154,189,384,717

Jumla Sh. 564,312,423,717

c. Fungu 32: Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

i. Matumizi ya Kawaida Sh. 31,512,322,000

ii. Matumizi ya Miradi ya

Maendeleo Sh. 41,060,000,000

Page 93: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

93

Jumla Sh 72,572,322,000

d. Fungu 33: Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi

wa Umma

i.Matumizi ya Kawaida Sh. 7,382,075,000

ii. Matumizi ya Miradi ya

Maendeleo Sh. 2,617,870,900

Jumla Sh 9,999,945,900

e. Fungu 67: Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika

Utumishi wa Umma

i.Matumizi ya Kawaida Sh. 2,376,443,000

Jumla Sh. 2,376,443,000

f. Fungu 94: Ofisi ya Rais, Tume ya Utumishi wa Umma i. Matumizi ya Kawaida Sh. 4,889,606,000

Jumla Sh. 4,889,606,000

g.Fungu 09: Ofisi ya Rais, Bodi ya Mishahara na

Masilahi katika Utumishi wa Umma

i. Matumizi ya Kawaida Sh. 1,474,241,000

Jumla Sh 1,474,241,000

h.Fungu 04: Ofisi ya Rais, Idara ya Kumbukumbu na

Nyaraka za Taifa

i.Matumizi ya Kawaida Sh. 2,774,066,000

Matumizi ya Miradi ya

Maendeleo Sh. 2,000,000,000

Jumla Sh. 4,774,066,000

89. Mheshimiwa Spika na Waheshimiwa Wabunge, Jumla

kuu ya Bajeti ninayoomba kwa mafungu yote yaliyo chini ya

Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala

Bora kwa mwaka 2019/20, ni kama ifuatavyo:-

Page 94: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

94

Jumla kuu - Matumizi ya Kawaida Sh. 483,676,705,000

Jumla kuu - Matumizi ya

Miradi ya Maendeleo Sh. 199,867,255,617

Jumla kuu kwa Mafungu yote Sh. 683,543,960,617

90. Mheshimiwa Spika na Waheshimiwa Wabunge,

mwisho naomba kuwasilisha maombi haya ili muweze

kuyajadili na kuyaidhinisha.

Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja.

Kapt. (Mst) George H. Mkuchika (Mb.)

WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS

(MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA

UTAWALA BORA)

Page 95: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

95

KIAMBATISHO NA. 1

TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA

TWAKIMU ZA UCHUNGUZI KWA KIPINDI CHA JULAI, 2018 – MACHI, 2019

MAELEZO JUL’18 AUG’18 SEP’18 OCT’18 NOV’18 DEC’18 JAN’19 FEB’19 MACH’ 19 JUMLA Malalamiko Yaliyopokelewa 644 687 709 855 752 655 839 708 503 6,352

Majalada Yaliyofunguliwa 113 103 116 127 163 102 170 120 211 1,225

Majalada yaliyokamilika 43 41 42 55 68 58 63 57 63 490

Majalada Yanayoendelea na Uchunguzi 1,928 1,849 1,947 1,867 1,973 1,989 1,998 2,025 1,619 1,619

Majalada Yaliyofungwa 23 17 11 21 25 52 30 115 9 303

Majalada Yaliyopelekwa kwa DPP 22 13 41 9 24 9 21 1 30 170

Majalada yaliyorudi na kibali cha DPP 16 10 8 16 21 15 7 3 11 107

Majalada Yaliyohamishiwa Idara Nyingine za Serikali

9 0 3 6 6 2 8 4 6 44

Hatua za Kinidhamu/Kiutawala 7 3 3 5 2 1 2 10 7 40

Kesi Mpya Zilizofikishwa Mahakamani 27 31 24 29 35 42 27 43 18 276

Kesi Zinazoendelea Mahakamani 411 408 402 407 383 387 355 416 411 411

Kesi Zilizoshinda 15 16 11 21 20 20 19 11 19 152

Kesi Zilizoshindwa 11 9 11 13 12 23 10 9 3 101

Kesi Zilizoondolewa Mahakamani 10 5 4 7 0 6 2 5 1 40

Thamani ya Fedha Iliyookolewa (Tshs) 166,578,235 48,984,271 79,280,696 65,928,600 48,800,604 294,089,231 87,806,375 133,709,984 52,745,448 977,923,446

Page 96: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

96

Kiambatisho Na. 2

UHAWILISHAJI FEDHA KWA WALENGWA KWA MAENEO YOTE YA UTEKELEZAJI

PAMOJA NA FEDHA ZA USIMAMIZI NGAZI YA MKOA, HALMASHAURI, KATA, KIJIJI/MTAA/SHEHIA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI 2018 HADI MACHI 2019

ENEO LA UTEKELEZAJI

IDADI YA VIJIJI/ MITAA/ SHEHIA

IDADI YA KAYA MALIPO KWA WALENGWA

MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA KIJIJI/ MTAA/ SHEHIA

MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI

YA MKOA

MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA WILAYA NA KATA

JUMLA YA FEDHA KILA

HALMASHAURI

MALIPO YA AJIRA ZA MUDA

WILAYA KATA

IDADI YA MIRADI

MALIPO KWA WALENGWA

ARUSHA

Arusha 45 9107 1,187,652,000 18,000,000 5,400,000 47,194,860 2,700,000 1,260,946,860

Arusha Mjini 70 4664 620,428,000 28,000,000 8,400,000 55,539,800 4,200,000 716,567,800

Karatu 39 7420 1,058,560,000 15,600,000 4,680,000 49,947,180 2,340,000 1,131,127,180

Longido 27 5641 762,420,000 10,800,000 3,240,000 57,202,680 1,620,000 835,282,680

Meru 47 5485 691,032,000 18,800,000 5,640,000 48,154,320 2,820,000 766,446,320

Monduli 31 5864 844,180,000 12,400,000 3,720,000 56,798,080 1,860,000 918,958,080

Ngorongoro 31 5727 809,044,000 12,400,000 3,720,000 76,098,640 1,860,000 903,122,640

Jumla Ndogo 290 43908 5,973,316,000 116,000,000 34,800,000 390,935,560 17,400,000 6,532,451,560

DAR ES SALAAM

Ilala 72 4787 691,608,500 28,800,000 8,640,000 56,680,100 4,320,000 790,048,600

Kinondoni 114 7032 1,012,508,000 45,600,000 13,680,000 75,634,120 6,840,000 1,154,262,120

Temeke 120 8753 1,226,450,000 48,000,000 14,400,000 78,797,460 7,200,000 1,374,847,460

Jumla Ndogo 306 20572 2,930,566,500 122,400,000 36,720,000 211,111,680 18,360,000 3,319,158,180

DODOMA

Bahi 37 7900 959,760,000 14,800,000 4,440,000 55,714,420 2,220,000 1,493,622,420 57 548,667,373

Chamwino 50 17793 2,100,950,000 20,000,000 6,000,000 71,216,220 3,000,000 3,307,627,220 191 1,329,308,083

Page 97: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

97

ENEO LA UTEKELEZAJI

IDADI YA VIJIJI/ MITAA/ SHEHIA

IDADI YA KAYA MALIPO KWA WALENGWA

MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA KIJIJI/ MTAA/ SHEHIA

MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI

YA MKOA

MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA WILAYA NA KATA

JUMLA YA FEDHA KILA

HALMASHAURI

MALIPO YA AJIRA ZA MUDA

WILAYA KATA

IDADI YA MIRADI

MALIPO KWA WALENGWA

Chemba 42 4925 634,632,000 16,800,000 5,040,000 62,454,600 2,520,000 721,550,100

Dodoma Mjini 73 6326 763,117,700 29,200,000 8,760,000 63,263,180 4,380,000 1,100,981,780 125 279,039,471

Kondoa 84 10066 1,304,389,000 33,600,000 10,080,000 76,830,080 5,040,000 2,432,150,280 151 1,204,061,823

Kongwa 43 7877 1,054,140,000 17,200,000 5,160,000 53,992,340 2,580,000 1,133,072,340

Mpwapwa 57 5931 719,951,000 22,800,000 6,840,000 69,572,460 3,420,000 1,188,784,860 88 439,956,294

Jumla Ndogo 386 60818 7,536,939,700 154,400,000 46,320,000 453,043,300 23,160,000 11,377,789,000 612 3,801,157,388

GEITA

Bukombe 42 5060 754,360,000 16,800,000 5,040,000 64,553,440 2,520,000 843,273,440

Chato 71 7667 1,131,980,000 28,400,000 8,520,000 63,662,760 4,260,000 1,236,822,760

Geita 94 8186 1,268,792,000 37,600,000 11,280,000 82,827,500 5,640,000 1,406,139,500

Geita Mjini 40 4642 708,232,000 16,000,000 4,800,000 44,561,940 2,400,000 775,993,940

Mbogwe 60 4318 634,682,600 24,000,000 7,200,000 56,647,200 3,600,000 906,758,000 96 217,007,672

Nyang'hwale 40 3086 461,604,000 16,000,000 4,800,000 46,000,440 2,400,000 530,804,440

Jumla Ndogo 347 32959 4,959,650,600 138,800,000 41,640,000 358,253,280 20,820,000 5,699,792,080 96 217,007,672

IRINGA

Iringa 82 8080 1,078,464,000 32,800,000 9,840,000 114,332,000 4,920,000 1,240,356,000

Iringa Manispaa 98 2894 405,828,000 9,600,000 11,760,000 54,961,770 5,880,000 488,029,770

Kilolo 70 6176 721,120,000 28,000,000 8,400,000 80,128,560 4,200,000 841,848,560

Mufindi 95 7627 890,660,000 38,000,000 11,400,000 84,081,280 5,700,000 1,489,484,780 183 552,218,126

Jumla Ndogo 345 24777 3,096,072,000 108,400,000 41,400,000 333,503,610 20,700,000 4,059,719,110 183 552,218,126

KAGERA

Biharamulo 50 6922 926,152,000 20,000,000 6,000,000 66,440,400 3,000,000 1,021,592,400

Bukoba 64 8061 1,032,128,000 25,300,000 7,590,000 56,351,000 3,795,000 1,125,164,000

Bukoba Manispaa 45 3124 440,472,000 18,000,000 5,400,000 44,221,960 2,700,000 510,793,960

Page 98: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

98

ENEO LA UTEKELEZAJI

IDADI YA VIJIJI/ MITAA/ SHEHIA

IDADI YA KAYA MALIPO KWA WALENGWA

MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA KIJIJI/ MTAA/ SHEHIA

MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI

YA MKOA

MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA WILAYA NA KATA

JUMLA YA FEDHA KILA

HALMASHAURI

MALIPO YA AJIRA ZA MUDA

WILAYA KATA

IDADI YA MIRADI

MALIPO KWA WALENGWA

Karagwe 54 8975 1,217,228,000 21,600,000 6,480,000 61,824,420 3,240,000 1,310,372,420

Kyerwa 54 7848 1,142,156,000 21,600,000 6,480,000 54,815,500 3,240,000 1,228,291,500

Missenyi 50 5800 759,788,000 20,000,000 6,000,000 53,740,500 3,000,000 842,528,500

Muleba 109 14577 1,960,364,000 43,600,000 13,080,000 81,599,320 6,540,000 2,105,183,320

Ngara 52 7748 1,044,232,000 20,800,000 6,240,000 55,922,000 3,120,000 1,495,015,800 90 438,154,667

Jumla Ndogo 478 63055 8,522,520,000 190,900,000 57,270,000 474,915,100 28,635,000 9,638,941,900 90 438,154,667

KATAVI

Mlele 28 2593 329,320,000 11,200,000 3,360,000 49,166,316 1,680,000 394,726,316

Mpanda 21 2063 272,393,300 8,400,000 2,520,000 36,687,546 1,260,000 430,756,946 30 131,549,192

Mpanda Mji 19 1886 234,633,600 7,600,000 2,280,000 28,397,730 1,140,000 350,986,330 19 92,430,115

Nsimbo 13 1001 118,576,000 5,200,000 1,560,000 24,767,454 780,000 150,883,454

Jumla Ndogo 81 7543 954,922,900 32,400,000 9,720,000 139,019,046 4,860,000 1,327,353,046 49 223,979,307

KIGOMA

Buhigwe 36 8086 972,516,000 14,400,000 4,320,000 43,966,440 2,160,000 1,037,362,440

Kakonko 32 7427 969,676,000 12,800,000 3,840,000 44,129,920 1,920,000 1,032,365,920

Kasulu 42 8145 1,080,124,000 16,800,000 5,040,000 62,197,040 2,520,000 1,166,681,040

Kasulu Mji 22 4845 596,324,000 8,800,000 2,640,000 36,178,880 1,320,000 645,262,880

Kibondo 40 9694 1,278,469,300 16,000,000 4,800,000 77,220,000 2,400,000 1,933,074,300 124 665,800,783

Kigoma 32 5070 784,172,000 12,800,000 3,840,000 68,220,000 1,920,000 870,952,000

Kigoma Manispaa 49 10045 1,379,708,000 19,600,000 5,880,000 48,420,560 2,940,000 1,456,548,560

Uvinza 25 3776 558,252,100 10,000,000 3,000,000 62,556,180 1,500,000 739,068,180 40 124,657,691

Jumla Ndogo 278 57088 7,619,241,400 111,200,000 33,360,000 442,889,020 16,680,000 8,881,315,320 165 790,458,474

KILIMANJARO

Hai 43 3901 492,948,000 17,200,000 5,160,000 45,391,480 2,580,000 563,279,480

Moshi 93 7218 841,008,000 37,200,000 11,160,000 69,578,000 5,580,000 964,526,000

Page 99: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

99

ENEO LA UTEKELEZAJI

IDADI YA VIJIJI/ MITAA/ SHEHIA

IDADI YA KAYA MALIPO KWA WALENGWA

MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA KIJIJI/ MTAA/ SHEHIA

MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI

YA MKOA

MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA WILAYA NA KATA

JUMLA YA FEDHA KILA

HALMASHAURI

MALIPO YA AJIRA ZA MUDA

WILAYA KATA

IDADI YA MIRADI

MALIPO KWA WALENGWA

Moshi Manispaa 35 1463 197,696,000 14,000,000 4,200,000 29,227,638 2,100,000 247,223,638

Mwanga 48 3428 441,836,000 19,200,000 5,760,000 52,244,000 2,880,000 521,920,000

Rombo 43 5146 626,668,000 17,200,000 5,160,000 46,950,540 2,580,000 698,558,540

Same 59 8100 1,027,340,000 23,600,000 7,080,000 67,005,540 3,540,000 1,128,565,540

Siha 24 1846 264,728,000 9,600,000 2,880,000 37,891,840 1,440,000 316,539,840

Jumla Ndogo 345 31102 3,892,224,000 138,000,000 41,400,000 348,289,038 20,700,000 4,440,613,038

LINDI

Kilwa 58 5410 619,211,400 23,200,000 6,960,000 91,647,000 3,480,000 1,023,596,500 81 335,309,930

Lindi 88 8883 990,827,500 35,200,000 10,560,000 83,201,500 5,280,000 1,125,069,000

Lindi Manispaa 30 2452 273,344,000 12,000,000 3,600,000 39,754,500 1,800,000 330,498,500

Liwale 46 2910 336,345,300 18,400,000 5,520,000 48,751,362 2,760,000 495,475,962 62 100,556,781

Nachingwea 69 5390 587,223,700 27,600,000 8,280,000 72,101,500 4,140,000 699,345,200

Ruangwa 52 6162 679,140,000 20,800,000 6,240,000 59,253,840 3,120,000 768,553,840

Jumla Ndogo 343 31207 3,486,091,900 137,200,000 41,160,000 394,709,702 20,580,000 4,442,539,002 143 435,866,710

MANYARA

Babati 63 11147 1,618,544,000 25,200,000 7,560,000 66,516,000 3,780,000 1,721,600,000

Babati Mji 21 1055 136,380,000 8,400,000 2,520,000 19,565,454 1,260,000 168,125,454

Hanang 43 4867 764,264,000 17,200,000 5,160,000 52,882,640 2,580,000 842,086,640

Kiteto 39 5688 723,908,000 15,600,000 4,680,000 76,629,300 2,340,000 823,157,300

Mbulu 77 4794 716,904,000 30,800,000 9,240,000 68,289,260 4,620,000 829,853,260

Simanjiro 41 3825 537,224,000 16,400,000 4,920,000 76,133,730 2,460,000 637,137,730

Jumla Ndogo 284 31376 4,497,224,000 113,600,000 34,080,000 360,016,384 17,040,000 5,021,960,384

MARA

Bunda 71 6198 787,540,000 28,400,000 8,520,000 63,706,600 4,260,000 892,426,600

Butiama 44 7031 969,424,000 17,600,000 5,280,000 49,114,000 2,640,000 1,044,058,000

Page 100: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

100

ENEO LA UTEKELEZAJI

IDADI YA VIJIJI/ MITAA/ SHEHIA

IDADI YA KAYA MALIPO KWA WALENGWA

MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA KIJIJI/ MTAA/ SHEHIA

MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI

YA MKOA

MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA WILAYA NA KATA

JUMLA YA FEDHA KILA

HALMASHAURI

MALIPO YA AJIRA ZA MUDA

WILAYA KATA

IDADI YA MIRADI

MALIPO KWA WALENGWA

Musoma 34 5387 797,184,000 13,600,000 4,080,000 41,891,800 2,040,000 858,795,800

Musoma Manispaa 30 2396 340,492,000 12,000,000 3,600,000 37,997,340 1,800,000 395,889,340

Rorya 52 7079 912,728,000 20,800,000 6,240,000 52,360,000 3,120,000 995,248,000

Serengeti 57 3423 505,036,000 22,800,000 6,840,000 79,647,440 3,420,000 617,743,440

Tarime 66 5552 775,552,000 26,400,000 7,920,000 57,248,640 3,960,000 871,080,640

Jumla Ndogo 354 37066 5,087,956,000 141,600,000 42,480,000 381,965,820 21,240,000 5,675,241,820

MBEYA

Chunya 57 9801 1,281,976,000 22,800,000 6,840,000 123,060,000 3,420,000 1,438,096,000

Ileje 50 4315 499,884,000 20,000,000 6,000,000 53,891,200 3,000,000 582,775,200

Kyela 67 4835 610,500,000 26,800,000 8,040,000 56,921,440 4,020,000 706,281,440

Mbarali 75 10541 1,278,516,000 30,000,000 9,000,000 96,562,860 4,500,000 1,418,578,860

Mbeya 105 9495 1,135,520,000 42,000,000 12,600,000 79,274,880 6,300,000 1,275,694,880

Mbeya Jiji 128 5501 734,772,000 16,000,000 15,360,000 83,745,000 7,680,000 857,557,000

Mbozi 81 9260 1,185,864,000 32,200,000 9,660,000 69,990,920 4,830,000 1,302,544,920

Momba 51 6225 770,956,000 23,200,000 6,120,000 62,381,320 3,060,000 865,717,320

Rungwe 118 6045 750,764,000 47,000,000 14,100,000 84,344,700 7,050,000 1,071,913,100 146 202,622,286

Jumla Ndogo 732 66018 8,248,752,000 260,000,000 87,720,000 710,172,320 43,860,000 9,519,158,720 146 202,622,286

MOROGORO

Gairo 42 6887 946,228,000 16,800,000 5,040,000 47,888,760 2,520,000 1,018,476,760

Kilombero 53 7405 894,488,000 21,200,000 6,360,000 84,520,980 3,180,000 1,009,748,980

Kilosa 88 6692 929,852,000 35,200,000 10,560,000 101,754,040 5,280,000 1,251,502,840 108 202,865,450

Morogoro 100 11688 1,492,284,000 40,000,000 12,000,000 117,320,000 6,000,000 1,667,604,000

Morogoro Manispaa 164 2889 403,248,000 14,400,000 19,680,000 56,345,730 9,840,000 503,513,730

Mvomero 73 7498 911,832,000 29,200,000 8,760,000 74,294,420 4,380,000 1,028,466,420

Ulanga 47 4835 637,300,000 18,800,000 5,640,000 87,592,500 2,820,000 752,152,500

Page 101: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

101

ENEO LA UTEKELEZAJI

IDADI YA VIJIJI/ MITAA/ SHEHIA

IDADI YA KAYA MALIPO KWA WALENGWA

MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA KIJIJI/ MTAA/ SHEHIA

MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI

YA MKOA

MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA WILAYA NA KATA

JUMLA YA FEDHA KILA

HALMASHAURI

MALIPO YA AJIRA ZA MUDA

WILAYA KATA

IDADI YA MIRADI

MALIPO KWA WALENGWA

Jumla Ndogo 567 47894 6,215,232,000 175,600,000 68,040,000 569,716,430 34,020,000 7,231,465,230 108 202,865,450

MTWARA

Masasi 97 10550 1,151,682,000 38,800,000 11,640,000 77,656,440 5,820,000 1,600,767,440 128 378,645,699

Masasi Mji 39 2773 321,821,100 15,600,000 4,680,000 43,223,220 2,340,000 456,248,020 46 82,396,819

Mtwara Manispaa 36 1291 167,544,000 14,400,000 4,320,000 23,260,638 2,160,000 250,421,238 47 46,538,356

Mtwara Vijijini 99 9988 1,197,412,000 39,600,000 11,880,000 77,676,080 5,940,000 1,645,719,780 134 376,294,189

Nanyumbu 56 7412 843,596,000 22,400,000 6,720,000 62,896,220 3,360,000 1,351,737,120 77 495,897,928

Newala 97 5377 545,036,900 38,800,000 11,640,000 72,031,220 5,820,000 1,021,849,420 131 418,715,328

Tandahimba 88 7140 783,048,000 35,200,000 10,560,000 68,331,520 5,280,000 1,132,815,120 120 276,798,489

Jumla Ndogo 512 44531 5,010,140,000 204,800,000 61,440,000 425,075,338 30,720,000 7,459,558,138 682 2,075,286,809

MWANZA

Ilemela Manispaa 69 3896 529,372,000 27,600,000 8,280,000 55,058,700 4,140,000 624,450,700

Kwimba 86 9056 1,349,488,000 34,400,000 10,320,000 70,755,960 5,160,000 1,470,123,960

Magu 55 5594 815,884,000 21,900,000 6,570,000 52,282,200 3,285,000 899,921,200

Misungwi 60 8792 1,454,268,500 24,000,000 7,200,000 57,466,460 3,600,000 1,829,602,860 59 340,079,268

Nyamagana Manis 73 5695 760,156,000 29,200,000 8,760,000 56,621,420 4,380,000 859,117,420

Sengerema 106 14490 1,998,544,000 42,400,000 12,720,000 79,279,220 6,360,000 2,139,303,220

Ukerewe 55 6321 890,856,000 22,000,000 6,600,000 49,920,720 3,300,000 972,676,720

Jumla Ndogo 504 53844 7,798,568,500 201,500,000 60,450,000 421,384,680 30,225,000 8,795,196,080 59 340,079,268

NJOMBE

Ludewa 54 3171 404,316,000 21,600,000 6,480,000 56,412,954 3,240,000 492,048,954

Makambako Mji 30 2293 286,384,000 12,000,000 3,600,000 37,297,230 1,800,000 341,081,230

Makete 71 3803 455,068,000 28,400,000 8,520,000 66,189,040 4,260,000 563,321,390

Njombe 44 4554 509,124,000 17,600,000 5,280,000 52,807,520 2,640,000 587,451,520

Njombe Mji 44 3409 428,200,000 17,600,000 5,280,000 53,065,080 2,640,000 506,785,080

Page 102: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

102

ENEO LA UTEKELEZAJI

IDADI YA VIJIJI/ MITAA/ SHEHIA

IDADI YA KAYA MALIPO KWA WALENGWA

MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA KIJIJI/ MTAA/ SHEHIA

MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI

YA MKOA

MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA WILAYA NA KATA

JUMLA YA FEDHA KILA

HALMASHAURI

MALIPO YA AJIRA ZA MUDA

WILAYA KATA

IDADI YA MIRADI

MALIPO KWA WALENGWA

Wanging'ombe 66 4705 516,540,000 26,400,000 7,920,000 62,465,600 3,960,000 617,285,600

Jumla Ndogo 309 21935 2,599,632,000 123,600,000 37,080,000 328,237,424 18,540,000 3,107,973,774

PWANI

Bagamoyo 67 10237 1,131,040,500 26,500,000 7,950,000 76,335,880 3,975,000 1,581,309,280 92 403,080,961

Kibaha 45 4496 510,793,300 18,000,000 5,400,000 47,915,480 2,700,000 833,993,080 65 299,371,333

Kibaha Mji 40 2058 284,992,000 16,000,000 4,800,000 43,534,440 2,400,000 351,726,440

Kisarawe 49 1941 263,160,000 19,600,000 5,880,000 39,188,862 2,940,000 382,465,962 58 62,109,169

Mafia 23 1591 205,892,000 9,200,000 2,760,000 28,448,730 1,380,000 247,680,730

Mkuranga 77 4644 646,760,000 30,800,000 9,240,000 65,278,000 4,620,000 756,698,000

Rufiji 65 5235 735,244,000 26,000,000 7,800,000 85,480,000 3,900,000 858,424,000

Jumla Ndogo 366 30202 3,777,881,800 146,100,000 43,830,000 386,181,392 21,915,000 5,012,297,492 214 764,561,462

RUKWA

Kalambo 66 4546 689,204,000 26,400,000 7,920,000 68,326,460 3,960,000 795,810,460

Nkasi 54 5340 846,124,000 21,600,000 6,480,000 74,677,760 3,240,000 952,121,760

Sumbawanga 66 5097 802,172,000 26,400,000 7,920,000 67,359,240 3,960,000 907,811,240

Sumbawanga Mjini 94 5863 885,740,000 37,600,000 11,280,000 69,001,460 5,640,000 1,009,261,460

Jumla Ndogo 280 20846 3,223,240,000 112,000,000 33,600,000 279,364,920 16,800,000 3,665,004,920

RUVUMA

Mbinga 107 10047 1,400,356,000 42,800,000 12,840,000 84,341,600 6,420,000 1,546,757,600

Namtumbo 42 5556 807,664,000 16,800,000 5,040,000 102,116,100 2,520,000 934,140,100

Nyasa 50 4706 681,560,000 20,000,000 6,000,000 56,028,400 3,000,000 766,588,400

Songea 45 5777 749,204,000 18,000,000 5,400,000 82,233,980 2,700,000 1,177,040,180 97 383,851,629

Songea Manispaa 53 4868 633,076,000 21,200,000 6,360,000 48,953,040 3,180,000 712,769,040

Tunduru 88 13842 1,608,796,000 35,200,000 10,560,000 113,174,360 5,280,000 2,716,870,560 171 1,133,958,624

Jumla Ndogo 385 44796 5,880,656,000 154,000,000 46,200,000 486,847,480 23,100,000 7,854,165,880 268 1,517,810,252

SHINYANGA

Kahama Mji 45 3890 656,527,800 18,000,000 5,400,000 47,534,620 2,700,000 826,969,420 54 116,304,441

Kishapu 78 5924 868,980,000 31,200,000 9,360,000 69,778,680 4,680,000 983,998,680

Msalala 64 5635 859,316,000 25,600,000 7,680,000 59,379,900 3,840,000 955,815,900

Shinyanga Manispaa 40 3909 552,756,000 16,000,000 4,800,000 43,120,700 2,400,000 619,076,700

Sinyanga 82 8761 1,236,516,000 32,800,000 9,840,000 69,856,320 4,920,000 1,353,932,320

Ushetu 51 4333 645,404,000 20,400,000 6,120,000 60,992,140 3,060,000 735,976,140

Jumla Ndogo 360 32452 4,819,499,800 144,000,000 43,200,000 350,662,360 21,600,000 5,475,769,160 54 116,304,441

SIMIYU

Page 103: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

103

ENEO LA UTEKELEZAJI

IDADI YA VIJIJI/ MITAA/ SHEHIA

IDADI YA KAYA MALIPO KWA WALENGWA

MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA KIJIJI/ MTAA/ SHEHIA

MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI

YA MKOA

MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA WILAYA NA KATA

JUMLA YA FEDHA KILA

HALMASHAURI

MALIPO YA AJIRA ZA MUDA

WILAYA KATA

IDADI YA MIRADI

MALIPO KWA WALENGWA

Bariadi 73 11638 1,780,032,000 29,200,000 8,760,000 71,148,900 4,380,000 1,893,520,900

Busega 41 3915 562,444,000 16,400,000 4,920,000 45,634,880 2,460,000 631,858,880

Itilima 66 6537 1,048,064,000 26,400,000 7,920,000 65,890,600 3,960,000 1,152,234,600

Maswa 80 10374 1,612,816,000 32,000,000 9,600,000 69,244,840 4,800,000 1,728,460,840

Meatu 69 4848 771,556,000 27,600,000 8,280,000 79,066,580 4,140,000 890,642,580

Jumla Ndogo 329 37312 5,774,912,000 131,600,000 39,480,000 330,985,800 19,740,000 6,296,717,800

SINGIDA

Ikungi 56 8120 1,026,672,000 22,400,000 6,720,000 72,919,140 3,360,000 1,132,071,140

Iramba 50 5859 676,644,100 20,000,000 6,000,000 58,294,380 3,000,000 1,118,359,280 94 425,803,019

Manyoni 61 7693 1,006,752,000 24,400,000 7,320,000 130,119,160 3,660,000 1,172,276,460

Mkalama 43 6073 789,785,900 17,200,000 5,160,000 51,471,540 2,580,000 1,407,366,740 74 650,163,652

Singida 40 7778 1,041,624,300 16,000,000 4,800,000 48,176,000 2,400,000 1,627,335,500 57 617,925,023

Singida Mjini 28 2826 370,340,500 11,000,000 3,300,000 38,072,800 1,650,000 590,529,100 39 199,632,469

Jumla Ndogo 278 38349 4,911,818,800 111,000,000 33,300,000 399,053,020 16,650,000 7,047,938,220 264 1,893,554,558

TABORA

Igunga 54 5782 879,928,000 21,600,000 6,480,000 67,115,360 3,240,000 978,363,360

Kaliua 54 7382 1,084,304,000 21,600,000 6,480,000 90,079,300 3,240,000 1,205,772,300

Nzega 102 7751 1,130,376,000 40,800,000 12,240,000 90,427,360 6,120,000 1,279,963,360

Sikonge 46 4071 637,808,000 18,400,000 5,520,000 84,889,500 2,760,000 749,377,500

Tabora Manispaa 118 4521 655,780,000 47,200,000 14,160,000 79,923,140 7,080,000 804,143,140

Urambo 44 3890 546,688,000 17,600,000 5,280,000 58,197,100 2,640,000 630,405,100

Uyui 73 5675 845,349,600 29,200,000 8,760,000 88,909,580 4,380,000 1,248,224,580 102 326,332,189

Jumla Ndogo 491 39072 5,780,233,600 196,400,000 58,920,000 559,541,340 29,460,000 6,896,249,340 102 326,415,086

TANGA

Page 104: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

104

ENEO LA UTEKELEZAJI

IDADI YA VIJIJI/ MITAA/ SHEHIA

IDADI YA KAYA MALIPO KWA WALENGWA

MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA KIJIJI/ MTAA/ SHEHIA

MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI

YA MKOA

MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA WILAYA NA KATA

JUMLA YA FEDHA KILA

HALMASHAURI

MALIPO YA AJIRA ZA MUDA

WILAYA KATA

IDADI YA MIRADI

MALIPO KWA WALENGWA

Handeni 54 7175 1,003,222,100 21,600,000 6,480,000 65,649,460 3,240,000 1,226,843,360 101 152,160,141

Handeni Mji 40 2855 392,056,000 16,000,000 4,800,000 44,233,140 2,400,000 459,489,140

Kilindi 67 6224 886,352,000 26,800,000 8,040,000 71,133,820 4,020,000 996,345,820

Korogwe 80 7066 957,000,000 32,000,000 9,600,000 67,976,220 4,800,000 1,071,376,220

Korogwe Mjini 24 2841 373,276,000 9,600,000 2,880,000 35,302,540 1,440,000 422,498,540

Lushoto 146 9985 1,247,244,000 58,400,000 17,520,000 114,652,080 8,760,000 1,446,576,080

Mkinga 57 4521 579,668,000 22,800,000 6,840,000 56,510,880 3,420,000 669,238,880

Muheza 90 6853 844,324,000 36,000,000 10,800,000 67,704,520 5,400,000 964,228,520

Pangani 35 3902 505,896,000 14,000,000 4,200,000 44,211,440 2,100,000 570,407,440

Tanga 88 5256 706,600,000 35,200,000 10,560,000 64,479,080 5,280,000 822,119,080

Jumla Ndogo 681 56678 7,495,638,100 272,400,000 81,720,000 631,853,180 40,860,000 8,649,123,080 101 152,160,141

ZANZIBAR

Pemba 78 14169 2,089,805,000 0 0 159,400,680 0 2,668,670,480 86 503,947,224

Unguja 126 18111 2,676,343,500 0 0 235,627,260 0 3,401,309,560 142 587,894,216

204 32280 4,766,148,500 0 0 395,027,940 0 6,069,980,040 228 1,091,841,440

JUMLA KUU 9,835 1,007,680 134,859,078,100 3,737,900,000 1,155,330,000 10,562,755,164 577,665,000 163,497,472,314 3,567 15,143,406,000

Page 105: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

105

KIAMBATANISHO NA 3

TAASISI ZILIZOUNGANISHWA KATIKA MFUMO WA BARUA PEPE WA SERIKALI (GMS)

Na. TAASISI

1. ACCOUNTANT GENERAL’S OFFICE

2. ATTORNEY GENERAL’S CHAMBERS

3. AGRICULTURAL INPUTS TRUST FUND

4. AMANA REGIONAL REFERRAL HOSPITAL

5. ARCHITECT QUANTITY REGISTRATION BOARD

6. ARDHI UNIVERSITY-TABORA

7. ARUSHA REGION

8. AGENCY FOR THE DEVELOPMENT OF EDUCATIONAL MANAGEMENT (ADEM)

9. ARUSHA CITY COUNCIL

10. AGRICULTURAL SEED AGENCY

11. PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT

12. AIR TANZANIA COMPANY LIMITED (ATCL)

13. TANZANIA AIRPORTS AUTHORITY (TAA)

14. ARUSHA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY

15. MINISTRY OF WATER

16. BABATI DISTRICT COUNCIL

17. BABATI MUNICIPAL COUNCIL

18. BARIADI DISTRICT COUNCIL

19. BAGAMOYO DISTRICT COUNCIL

20. BAHI DISTRICT COUNCIL

21. BARIADI TOWN COUNCIL

22. NATIONAL ARTS COUNCIL OF TANZANIA – BASATA

23. BUCHOSA DISTRICT COUNCIL

24. BUHIGWE DISTRICT COUNCIL

25. BUKOBA DISTRICT COUNCIL

Page 106: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

106

Na. TAASISI

26. BIHARAMULO DISTRICT COUNCIL

27. BUKOBA MUNICIPAL COUNCIL (BMC)

28. BUKOMBE DISTRICT COUNCIL

29. BUNDA DISTRICT COUNCIL

30. BUNDA TOWN COUNCIL

31. BUNDA WATER SUPPLY AND SEWARAGE AUTHORITY

32. BUSEGA DISTRICT COUNCIL

33. BUTIAMA DISTRICT COUNCIL

34. BUSOKELO DISTRICT COUNCIL

35. NATIONAL ARTS COUNCILS

36. BUSINESS REGISTRATIONS AND LICENSING AGENCY (BRELA)

37. BUKOMBE DISTRICT COUNCIL

38. PARLIAMENT OF TANZANIA

39. CAPITAL DEVELOPMENT AUTHORITY

40. CEREALS AND OTHER PRODUCE BOARD OF TANZANIA – CPB

41. CHALINZE WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY

42. CHALINZE DISTRICT COUNCIL

43. CHAMWINO DISTRICT COUNCIL

44. CHATO DISTRICT COUNCIL

45. CHEMBA DISTRICT COUNCIL

46. CHUNYA DISTRICT COUNCIL

47. COMMISSION FOR MEDIATION AND ARBITRATION

48. MINISTRY OF HEALTH, COMMUNITY DEVELOPMENT, GENDER, ELDERLY AND CHILDREN

49. COMMAND AND STAFF COLLEGE DULUTI

50. DAR ES SALAAM RAPID TRANSPORT

51. DAR ES SALAAM WATER AND SEWERAGE AUTHORITY

52. DAR ES SALAAM WATER AND SEWAGE COOPERATION

53. DAR ES SALAAM CITY COUNCIL

54. DRILLING AND DAM CONSTRUCTION AGENCY

Page 107: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

107

Na. TAASISI

55. DAR ES SALAAM MARITIME INSTITUTE

56. DRUG CONTROL AND ENFORCEMENT AUTHORITY

57. DODOMA REGIONAL COUNCIL

58. DODOMA MUNICIPAL COUNCIL

59. DEEP SEA FISHING AUTHORITY

60. DODOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (DUWASA)

61. e-GOVERNMENT AGENCY

62. EXPORT PROCESSING ZONES AUTHORITY .

63. ETHICS SECRETARIAT

64. ENGINEERS REGISTRATION BOARD

65. TANZANIA FIRE AND RESCUE FORCE

66. GAIRO DISTRICT COUNCIL

67. GEITA DISTRICT COUNCIL

68. GEITA TOWN COUNCIL

69. GOVERNMENT PROCUREMENT SERVICES AGENCY (GPSA)

70. GEOLOGICAL SURVEY OF TANZANIA

71. GEOLOGICAL SURVEY OF TANZANIA (GST)

72. MINISTRY OF INFORMATION, CULTURE, ARTS & SPORTS

73. HANANG‘ DISTRICT COUNCIL

74. HANDENI DISTRICT COUNCIL

75. MINISTRY OF FINANCE AND PLANNING

76. IFAKARA TOWN COUNCIL

77. PRESIDENT’S OFFICE – STATE HOUSE

78. IKUNGI DISTRICT COUNCIL

79. ILEMELA DISTRICT COUNCIL

80. ILEJE DISTRICT COUNCIL

81. ILALA MUNICIPAL COUNCIL

82. MINISTRY OF HOME AFFAIRS, IMMIGRATION DEPARTMENT

83. ICT COMMISSION

Page 108: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

108

Na. TAASISI

84. INSTITUTE OF JUDICIAL ADMINISTRATION (IJA)

85. IRAMBA DISTRICT COUNCIL

86. IRINGA REGION

87. IRINGA DISTRICT COUNCIL

88. IRINGA MUNICIPAL COUNCIL

89. IRINGA URBAN WATER SUPPLY & SANITATION AUTHORITY (IRUWASA)

90. ITILIMA DISTRICT COUNCIL

91. ITIGI DISTRICT COUNCIL

92. JAKAYA KIKWETE CARDIAC INSTITUTE

93. THE JUDICIARY OF TANZANIA

94. PRIME MINISTER’S OFFICE, LABOUR, YOUTH EMPLOYMENT AND PERSONS WITH DISABILITY

95. KAGERA REGION

96. KAHAMA DISTRICT COUNCIL

97. KAHAMA TOWN COUNCIL

98. KAHAMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY

99. KAKONKO DISTRICT COUNCIL

100. KALIUA DISTRICT COUNCIL

101. KALAMBA DISTRICT COUNCIL

102. KARAGWE DISTRICT COUNCIL

103. KARATU DISTRICT COUNCIL

104. KASULU DISTRICT COUNCIL

105. KATAVI REGION

106. KIBAHA DISTRICT COUNCIL

107. KIBITI DISTRICT COUNCIL

108. KIBONDO DISTRICT COUNCIL

109. KIBAHA TOWN COUNCIL

110. KIBAHA EDUCATION CENTRE

111. KIGAMBONI MUNICIPAL

112. KIGOMA REGION

Page 109: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

109

Na. TAASISI

113. KILIMANJARO REGION

114. MINISTRY OF AGRICULTURE

115. KILOLO DISTRICT COUNCIL

116. KILOMBERO DISTRICT COUNCIL

117. KINONDONI MUNICIPAL COUNCIL

118. KISARAWE DISTRICT COUNCIL

119. KITETO DISTRICT COUNCIL

120. KONDOA TOWN COUNCIL

121. KONDOA DISTRICT COUNCIL

122. KONGWA DISTRICT COUNCIL

123. KOROGWE DISTRICT COUNCIL

124. KOROGWE TOWN COUNCIL

125. KIGOMA URBAN WATER SUPPLIES AND SEWERAGE (KUWASSA)

126. KIGOMA DISTRICT COUNCIL

127. KIGOMA UJIJI MUNICIPAL COUNCIL

128. KWIMBA DISTRICT COUNCIL

129. KILINDI DISTRICT COUNCIL

130. KYERWA DISTRICT COUNCIL

131. LINDI DISTRICT COUNCIL

132. KILOSA DISTRICT COUNCIL

133. KILWA DISTRICT COUNCIL

134. KINONDONI MUNICIPA COUNCIL

135. KISARAWE DISTRICT COUNCIL

136. KISHAPU DISTRICT COUNCIL

137. LIWALE DISTRICT COUNCIL

138. LONGIDO DISTRICT COUNCIL

139. KYELA DISTRICT COUNCIL

140. MINISTRY OF LANDS, HOUSING & HUMAN SETTLEMENT

141. LINDI MUNICIPAL COUNCIL

Page 110: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

110

Na. TAASISI

142. LAW REFORM COMMISSION

143. LUDEWA DISTRICT COUNCIL

144. MANYARA REGION

145. MADABA DISTRICT COUNCIL

146. MINISTRY OF MINERALS

147. MIKOCHENI AGRICULTURAL RESEARCH INSTITUTE

148. MASASI DISTRICT COUNCIL

149. MAFIA DISTRICT COUNCIL

150. MAGU DISTRICT COUNCIL

151. MASASI TOWN COUNCIL

152. MASWA DISTRICT COUNCIL

153. MBEYA REGION

154. MBEYA MUNICIPAL COUNCIL

155. MBEYA CITY COUNCIL

156. MBINGA DISTRICT COUNCIL

157. MBINGA TOWN COUNCIL

158. MERU DISTRICT COUNCIL

159. MBOZI DISTRICT COUNCIL

160. MBULU DISTRICT COUNCIL

161. MBULU TOWN COUNCIL

162. MISENYI DISTRICT COUNCIL

163. MISUNGWI DISTRICT COUNCIL

164. MKALAMA DISTRICT COUNCIL

165. MKINGA DISTRICT COUNCIL

166. MKURANGA DISTRICT COUNCIL

167. MINISTRY OF EAST AFRICAN CO-OPERATION.

168. MINISTRY OF HEALTH, COMMUNITY DEVELOPMENT, GENDER, ELDERLY AND CHILDREN

169. MEATU DISTRICT COUNCIL

170. TANZANIA METEOROLOGICAL AGENCY

Page 111: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

111

Na. TAASISI

171. CENTRE FOR AGRICULTURAL MECHANIZATION AND RURAL TECHNOLOGY

172. TANZANIA AIRPORTS AUTHORITY

173. MINISTRY OF LIVESTOCK AND FISHERIES

174. NATIONAL ECONOMIC EMPOWERMENT COUNCIL

175. MINISTRY OF INDUSTRY AND TRADE

176. MLELE DISTRICT COUNCIL

177. MWALIMU NYERERE MEMORIAL ACADEMY

178. MINISTRY OF NATURAL RESOURCES AND TOURISM

179. MINISTRY OF DEFENCE AND NATIONAL SERVICES

180. MAKAMBAKO TOWN COUNCIL

181. MINISTRY OF COMMUNICATION, SCIENCE AND TECHINOLOGY

182. MAKETE DISTRICT COUNCIL

183. MALINYI DISTRICT COUNCIL

184. MANYONI DISTRICT COUNCIL

185. MARA REGION

186. MARINE PARK INSTITUTE

187. MINISTRY OF HOME AFFAIRS

188. MUHIMBILI ORTHOPAEDIC INSTITUTE

189. MONDULI DISTRICT COUNCIL

190. MOMBA DISTRICT COUNCIL

191. MOROGORO REGION

192. MOROGORO MUNICIPAL COUNCIL

193. MOROGORO DISTRICT COUNCIL

194. MOSHI DISTRICT COUNCIL

195. MOSHI MUNICIPAL COUNCIL

196. MINISTRY OF INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT

197. MPANDA MUNICIPAL COUNCIL

198. MPANDA DISTRICT COUNCIL

199. MINISTRY OF ENERGY AND MINERALS

Page 112: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

112

Na. TAASISI

200. MINISTRY OF COMMUNICATION, SCIENCE AND TECHNOLOGY

201. MTWARA URBAN WATER AND SANITATION AUTHORITY

202. MTWARA REGION

203. MBARALI DISTRICT COUNCIL

204. MPIMBWE DISTRICT COUNCIL

205. MPWAPWA DISTRICT COUNCIL

206. MSALALA DISTRICT COUNCIL

207. MTWARA MIKINDANI MUNICIPAL COUNCIL

208. MAFINGA DISTRICT COUNCIL

209. MULEBA DISTRICT COUNCIL

210. MUHEZA DISTRICT COUNCIL

211. MFINDI DISTRICT COUNCIL

212. MUSOMA MUNICIPAL COUNCIL

213. MUSOMA DISTRICT COUNCIL

214. MVOMERO DISTRICT COUNCIL

215. MWANGA DISTRICT COUNCIL

216. MWANZA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY

217. MWANZA REGION

218. MWANZA CITY COUNCIL

219. NACHINGWEA DISTRICT COUNCIL

220. NAMTUMBO DISTRICT COUNCIL

221. NANYAMBA TOWN COUNCIL

222. NANYUMBU DISTRICT COUNCIL

223. NATIONAL BOARD OF ACCOUNTANTS AND AUDITORS (NBAA)

224. UNESCO NATIONAL COMMISSION OF TANZANIA( NATCOM)

225. NATIONAL CONSTRUCTION COUNCIL

226. NATIONAL COLLEGE OF TOURISM

227. NATIONAL DEFENCE COLLEGE

228. NATIONAL ENVIRONMENT MANAGEMENT COUNCIL (NEMC)

Page 113: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

113

Na. TAASISI

229. NATIONAL FOOD RESERVE AGENCY

230. NGARA DISTRICT COUNCIL

231. NATIONAL HOUSING AND BUILDING RESEARCH AGENCY (NHBRA)

232. NATIONAL IRRIGATION COMMISSION

233. MINISTRY OF FOREIGN AFFAIRS AND INTERNATIONAL CO-OPERATION (MOFAIC)

234. NSIMBO DISTRICT COUNCIL

235. NEGLECTED TROPICAL DISEASES CONTROL PROGRAMME

236. NEWALA DISTRICT COUNCIL

237. NEWALA TOWN COUNCIL

238. NATIONAL ELECTORAL COMMISSION (NEC)

239. NATIONAL FISHERIES QUALITY CONTROL LABORATORY

240. NATIONAL RECORDS AND ARCHIVE MANAGEMENT DEPARTMENT

241. NZEGA DISTRICT COUNCIL

242. NZEGA TOWN COUNCIL

243. OCEAN ROAD CANCER INSTITUTE

244. NGORONGORO DISTRICT COUNCIL

245. NJOMBE DISTRICT COUNCIL

246. NJOMBE TOWN COUNCIL

247. NJOMBE REGION

248. NKASI DISTRICT COUNCIL

249. NATIONAL LAND USE PLANNING COMMISSION (NLUPC)

250. NEGRECTED TROPICAL DIESEASE PROGRAM

251. NYASA DISTRICT COUNCIL

252. REGISTRAR OF POLITICAL PARTIES

253. OCCUPATIONAL SAFETY AND HEALTH (OSHA)

254. PRIME MINISTER’S OFFICE

255. PANGANI DISTRICT COUNCIL

256. CENTER FOR FOREIGN RELATION

257. PRESIDENT OFFICE PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT

Page 114: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

114

Na. TAASISI

258. PUBLIC SERVICE COMMISSION

259. PHARMACY COUNCIL OF TANZANIA

260. PROCUREMENT AND SUPPLIES PROFESSIONAL AND TECHNICIAN BOARD (PSPTB)

261. PUBLIC REMUNERATION SECRETARIET

262. PWANI REGION

263. ROMBO DISTRICT COUNCIL

264. RORYA DISTRICT COUNCIL

265. RUANGWA DISTRICT COUNCIL

266. RUFIJI DISTRICT COUNCIL

267. RUKWA REGION

268. RUVUMA REGION

269. SUGAR BOARD OF TANZANIA

270. SAME DISTRICT COUNCIL

271. SENGEREMA DISTRICT COUNCIL

272. SERENGETI DISTRICT COUNCIL

273. MINISTRY OF JUSTICE AND CONSTITUTIONAL AFFRS

274. SHINYANGA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY

275. SHINYANGA REGION

276. SHINYANGA DISTRICT COUNCIL

277. SHINYANGA MUNICIPAL COUNCIL

278. SIHA DISTRICT COUNCIL

279. SIMANJIRO DISTRICT COUNCIL

280. SIKONGE DISTRICT COUNCIL

281. SIMIYU REGION

282. SINGIDA REGION

283. SINGIDA DISTRICT COUNCIL

284. SINGIDA MUNICIPAL CCOUNCIL

285. TANZANIA SISAL BOARD (TSB)

286. SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

Page 115: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

115

Na. TAASISI

287. SONGEA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY

288. STATE MINING CORPORATION

289. TABORA REGION

290. TABORA MUNICIPAL COUNCIL

291. TANZANIA COMMISSION FOR AIDS (TACAIDS)

292. TANZANIA LIVESTOCK RESEARCH INSTITUTE

293. PRESIDENT‘S OFFICE - REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

294. TANDAHIMBA DISTRICT COUNCIL

295. TANGA REGION

296. TANGA URBAN WATER SUPPLY & SEWERAGE AUTHORITY

297. TANZANIA NATIONAL ROADS AGENCY

298. TANZANIA NATIONAL PARKS (TANAPA)

299. TARIME DISTRICT COUNCIL

300. TANZANIA SOCIAL ACTION FUND

301. TANZANIA WILDLIFEAUTHORIATY

302. TANZANIA BUILDING AGENCY

303. TANZANIA BUREAU OF STANDARDS

304. TANZANIA MILK BOARD

305. ANTI-DRUG COMMISSION

306. TEMEKE MUNICIPAL COUNCIL

307. TANZANIA ELECTRICAL, MECHANICAL AND ELECTRONICS SERVICES AGENCY (TEMESA)

308. TANZANIA FOOD AND DRUGS AUTHORITY

309. TANZANIA GEOTHERMAL DEVELOPMENT COMPANY LIMITED (TGDC)

310. TANZANIA INSURANCE OMBUDSMAN (TIO)

311. TANZANIA MEAT BOARD

312. TANZANIA NATIONAL BUSINESS COUNCIL

313. TANZANIA TOBACCO BOARD

314. TANZANIA OFFICIAL SEED CERTICATION INSTITUTE (TOSCI)

Page 116: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

116

Na. TAASISI

315. TANZANIA PORTS AUTHORITY

316. TANZANIA PEOPLE DEFENCE FORCE

317. TANZANIA REGIONAL IMMIGRATION TRAINING ACADEMY(TRITA)

318. TANZANIA RAILWAY COMPANY

319. TEACHERS SERVICE COMMISSION

320. TUNDURU DISTRICT COUNCIL

321. UBUNGO MUNICIPAL COUNCIL

322. MINISTRY OF TRANSPORT

323. UNIVERSAL CUMMUNICATION SERVICES ACCESS FUND (UCSAF)

324. ULANGA DISTRICT COUNCIL

325. UONGOZI INSTITUTE

326. TANZANIA COOPERATIVE DEVELOPMENT COMMISSION

327. PRESIDENT’S OFFICE - PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE

328. WORKERS COMPENSATION FUND

329. WATER DEVELOPMENT AND MANAGEMENT INSTITUTE (WDMI)

330. WEIGHTS AND MEASURES AGENCY

331. RUNGWE DISTRICT COUNCIL

332. SMALL INDUSTRIES DEVELOPMENT ORGANISATION, TANZANIA (SIDO)

333. TANZANIA PUBLIC SERVICE COLLEGE

334. MINISTRY OF HEALTHY, COMMUNITY DEVELOPMENT, GENDER, ELDERLY AND CHILDREN (MOHCDGEC)

335. NATIONAL SPORTS COUNCIL

336. JUDICIAL SERVICE COMMISSION

337. TANZANIA NATIONAL SERVICE (JKT)

338. TANZANIA PATIENT RECRUITING AGENCY (TPRA)

339. TANZANIA WILDLIFE RESEARCH INSTITUTE (TAWIRI)

340. TROPICAL PESTICIDES RESEARCH INSTITUTE (TPRI)

341. HAI DISTRICT COUNCIL

342. TANZANIA VETERINARY LABORATORY AGENCY

Page 117: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

117

Na. TAASISI

343. MBEYA REFERAL HOSPITAL

344. NATIONAL BOARD OF ACCOUNTING AND AUDIT (NBAA)

345. SUMBAWANGA REFERAL HOSPITAL

346. TANZANIA SHIPPING AGENCIES CORPORATION (TASAC)

347. TANZANIA INDUSTRIAL RESEARCH AND DEVELOPMENT ORGANISATION (TIRDO)

348. LUSHOTO DISTRICT COUNCIL

349. DODOMA REGIONAL REFERAL HOSPITAL

350. PRESIDENTIAL TRUST FUND

351. FOREST INDUSTRIES TRAINING INSTITUTE (FITI)

352. KAHAMA SHINYANGA WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY

353. GEITA REGIONAL

354. MASASI NACHINGWEA WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY

355. OFFICE OF SOLICITOR GENERAL

356. TABORA DISTRICT COUNCIL

357. TABORA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY (TUWASA)

358. NYANGHWALE DISCTRICT COUNCIL

359. NATIONAL PROSECUTION SERVICES OFFICE

360. DAR-ES-SALAAM INSTITUTE OF TECHNOLOGY (DIT)

361. PROPERTY AND BUSINESS FORMALIZATION PROGRAM (MKURABITA)

362. LOCAL GOVERNMENT TRAINING INSTITUTE (LGTI)

363. TANZANIA FERTILIZER REGURATORY AUTHORITY (TFRA)

364. NACHINGWEA WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY (MANAWASA)

365. BUKOBA WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY ( BUWASA )

366. DAR ES SALAAM INSTITUTE OF TECHINOLOGY – MWANZA CAMPUS

367. DAR ES SALAAM INSTITUTE OF TECHINOLOGY – MYUNGA CAMPUS

368. TANZANIA COMMUNICATIONS REGULATORY AUTHORITY (TCRA)

369. TANZANIA INSTITUTE OF EDUCATION (TIE)

370. TANZANIA TREE SEED AGENCY (TTSA)

Page 118: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

118

Na. TAASISI

371. LINDI REGIONAL ADMINISTRATIVE SECRETARIAT (RAS – LINDI)

372. MAFINGA TOWN COUNCIL

373. TANZANIA AGRICULTURAL RESEARCH INSTITUTE (TARI)

374. ARTS AND CULTURE INSTITUTE (TASUBA)

375. TANZANIA CIVIL AVIATION AUTHORITY(TCAA)

376. VOCATIONAL EDUCATION AND TRAINING AUTHORITY (VETA)

377. SINGIDA URBAN WATETR SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY(SUWASA)

378. SUMBAWANGA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY(SUWASA-RUKWA

379. MPANGO WA KURASIMISHA RASILIMALI NA BIASHARA TANZANIA (MKURABITA)

380. NATIONAL INSTITUTE FOR MEDICAL RESEARCH

381. PETROLEUM BULK PROCUREMENT AGENCY (PBPA)

382. SINGIDA MUNICIPAL COUNCIL

383. MAKAMBAKO URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY (MAKUWASA)

384. LUSHOTO DISTRICT COUNCIL

385. MUSOMA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY(MUWASA

386. NEWALA TOWN COUNCIL

387. ZANZIBAR PORT COOPERATION

388. MEDICAL COUNCIL OF TANGANYIKA

389. ARCHITECS ENGINEERS AND QUANTITY SURVEYORS REGISTRATION BOARD OF ZANZIBAR

390. FISHERIES EDUCATION AND TRAINING AGENCY (FETA)

391. MBARALI DISTRICT COUNCIL

392. TANZANIA BRODCASTING COOPORATION (TBC)

393. ILEJE DISTRICT COUNCIL

394. SONGWE DISTRICT COUNCIL

395. INSTITUTE OF FINANCE MANAGMNT(IFM)

396. LINDI URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY(LUWASA)

397. NATIONAL BUREAU OF STATISTICS(NBS)

398. CO-OPERATIVE AUDIT AND SUPERVISION CORPORATION (COASCO)

Page 119: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

119

KIAMBATANISHO NA 4

TAASISI ZILIZOUNGANISHWA KATIKA MFUMO OFISI MTANDAO e-

OFFICE)

Na. TAASISI

1 UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM (UDSM )

2 MINISTRY OF HEALTH, COMMUNITY DEVELOPMENT, GENDER, ELDERLY AND CHILDREN

3 MUHIMBILI UNIVERSITY OF HEALTH AND ALLIED SCIENCES (MUHAS)

4 SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE (SUA)

5 MINISTRY OF FOREIGN AFFAIRS AND EAST AFRICA COOPERATION

6 BANK OF TANZANIA (BOT)

7 MINISTRY OF AGRICULTURE

8 TANZANIA REVENUE AUTHORITY

9 TANZANIA CIVIL AVIATION AUTHORITY (TCAA)

10 TANZANIA BUREAU OF STANDARDS (TBS)

11 MUHIMBILI NATIONAL HOSPITAL (MNH)

12 MINISTRY OF FINANCE AND PLANNING

13 UNIVERSITY OF DODOMA (UDOM)

14 PRESIDENT'S OFFICE - REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

15 TANZANIA FOOD AND DRUGS AUTHORITY (TFDA)

16 ARDHI UNIVERSITY (ARU)

17 MZUMBE UNIVERSITY (MU)

18 MINISTRY OF INDUSTRY, TRADE AND INVESTMENT

19 NELSON MANDELA AFRICAN INSTITUTE OF SCIENCE AND TECHNOLOGY (NMAIST)

20 AIR TANZANIA COMPANY LIMITED (ATCL)

21 NATIONAL INSTITUTE FOR MEDICAL RESEARCH (NIMR)

22 TANZANIA POLICE FORCE (TPF)

23 TANZANIA NATIONAL ROAD AGENCY (TANROADS)

24 TANZANIA PORTS AUTHORITY( TPA )

25 TANZANIA PETROLEUM DEVELOPMENT CORPORATION ( TPDC )

26 DAR ES SALAAM UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION (DUCE)

27 OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA (OUT)

28 DAR-ES-SALAAM INSTITUTE OF TECHNOLOGY (DIT)

29 TANZANIA COMMUNICATION REGULATORY AUTHORITY (TCRA)

Page 120: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

120

Na. TAASISI

30 IMMIGRATION SERVICES DEPARTMENT

31 TANZANIA COMMISSION FOR SCIENCE AND TECHNOLOGY (COSTECH)

32 MINISTRY OF EDUCATION, SCIENCE AND TECHNOLOGY

33 TANZANIA BROADCASTING CORPORATION (TBC)

34 MINISTRY OF WATER

35 JAKAYA KIKWETE CARDIAC INSTITUTE (JKCI)

36 MINISTRY OF WORKS, TRANSPORT AND COMMUNICATION (TRANSPORT)

37 KINONDONI MUNICIPAL COUNCIL

38 TANZANIA ATOMIC ENERGY COMMISSION (TAEC)

39 TANZANIA TELECOMMUNICATION COMPANY LIMITED (TTCL)

40 MUHIMBILI ORTHOPAEDIC INSTITUTE (MOI)

41 ILALA MUNICIPAL COUNCIL

42 MINISTRY OF ENERGY

43 NATIONAL BUREAU OF STATISTICS (NBS)

44 OCEAN ROAD CANCER INSTITUTE (ORCI)

45 TANZANIA METEOROLOGICAL AGENCY (TMA)

46 MINISTRY OF LIVESTOCK AND FISHERIES (FISHERIES)

47 MINISTRY OF INFORMATION, CULTURE, ARTS AND SPORTS

48 TANZANIA INVESTMENT CENTRE (TIC)

49 NATIONAL INSURANCE CORPORATION (T) LIMITED (NIC)

50 MEDICAL STORES DEPARTMENT (MSD)

51 UBUNGO MUNICIPAL COUNCIL

52 MINISTRY OF WORKS, TRANSPORT AND COMMUNICATION (WORKS)

53 NATIONAL AIDS CONTROL PROGRAM (NACP)

54 TANZANIA AIRPORT AUTHORITY (TAA)

55 TANZANIA INSTITUTE OF EDUCATION (TIE)

56 TEMEKE MUNICIPAL COUNCIL

57 MINISTRY OF NATURAL RESOURCES AND TOURISM

58 MINISTRY OF HEALTH - COMMUNITY DEVELOPMENT

59 MBEYA UNIVERSITY OF SCIENCE AND TECHNOLOGY

60 NATIONAL EXAMINATION COUNCIL OF TANZANIA (NECTA)

61 MINISTRY OF LIVESTOCK AND FISHERIES (LIVESTOCK)

62 MBEYA ZONAL REFERRAL HOSPITAL

63 TANZANIA SHIPPING AGENCIES CORPORATION (TASAC)

64 TANZANIA RAILWAY CORPORATION (TRC)

65 TANZANIA NATIONAL PARKS (TANAPA)

66 PRESIDENT'S OFFICE - PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD

Page 121: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

121

Na. TAASISI

GOVERNANCE

67 THE INSTITUTE OF FINANCE MANAGMENT (IFM)

68 MWALIMU NYERERE MEMORIAL ACADEMY (MNMA)

69 TANZANIA STANDARD (NEWSPAPERS) LIMITED (TSN)

70 MKWAWA UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION (MUCE)

71 PRIME MINISTER'S OFFICE - LABOUR, YOUTH, EMPLOYMENT AND PERSONS WITH DISABILITY

72 EXPORT PROCESSING ZONES AUTHORITY (EPZA)

73 TANZANIA RURAL AND URBAN ROADS AGENCY (TARURA)

74 MINISTRY OF WORKS, TRANSPORT AND COMMUNICATION (COMMUNICATION)

75 TANGA CITY COUNCIL

76 MOSHI CO-OPERATIVE UNIVERSITY

77 DODOMA MUNICIPAL COUNCIL

78 SURFACE AND MARINE TRANSPORT REGULATORY AUTHORITY (SUMATRA)

79 NATIONAL ELECTROL COMMISSION (NEC)

80 GOVERNMENT CHEMIST LABORATORY AUTHORITY (GCLA)

81 TANZANIA VETERINARY LABORATORY AGENCY (TVLA)

82 TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA)

83 PRIME MINISTER'S OFFICE - POLICY AND PARLIAMENTARY AFFAIRS

84 PUBLIC SERVICE SOCIAL SECURITY FUND (PSSSF)

85 OCCUPATIONAL SAFETY AND HEALTH AUTHORITY (OSHA)

86 TANZANIA COMMISSION FOR UNIVERSITIES (TCU)

87 SMALL INDUSTRIES DEVELOPMENT ORGANIZATION (SIDO)

88 TANGA RAS

89 TANZANIA TRADE DEVELOPMENT AUTHORITY (TANTRADE)

90 KIGOMA REGION

91 MOROGORO RAS

92 KILIMANJARO AIRPORT DEVELOPMENT COMPANY LIMITED (KADCO)

93 COLLEGE OF BUSINESS EDUCATION (CBE)

94 DAR ES SALAAM MARITIME INSTITUTE (DMI)

95 MINISTRY OF LANDS, HOUSING AND HUMAN SETTLEMENTS DEVELOPMENTS

96 EASTERN AFRICA STATISTICAL TRAINING CENTRE

97 NATIONAL INSTITUTE OF TRANSPORT (NIT)

98 TANZANIA POSTAL BANK

99 TANZANIA INSURANCE REGULATORY AUTHORITY (TIRA)

100 e-GOVERNMENT AGENCY (eGA)

Page 122: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

122

Na. TAASISI

101 DAR RAPID TRANSIT (DART)

102 SOCIAL SECURITY REGULATORY AUTHORITY (SSRA)

103 TANZANIA INDUSTRIAL RESEARCH AND DEVELOPMENT ORGANIZATION (TIRDO)

104 TANZANIA DRUGS CONTROL AND ENFORCEMENT AUTHORITY

105 TANZANIA CENTRE FOR FOREIGN RELATIONS

106 BENJAMIN MKAPA HOSPITAL

107 TIB DEVELOPMENT BANK LIMITED

108 BUKOBA DISTRICT COUNCIL

109 TANZANIA COMMISSION FOR AIDS

110 NGORONGORO CONSERVATION AREA AUTHORITY

111 TANZANIA FOOD AND NUTRITION CENTRE (TFNC)

112 ARUSHA INTERNATIONAL CONFERENCE CENTRE

113 ARUSHA TECHNICAL COLLEGE

114 BUSINESS REGISTRATIONS AND LICENSING AGENCY (BRELA)

115 DAR ES SALAAM CITY COUNCIL

116 TANZANIA PRISONS SERVICE

117 KILIMANJARO RAS

118 ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

119 KIBAHA TOWN COUNCIL

120 TANZANIA TOURISM BOARD

121 MBEYA REGION

122 MWANZA CITY COUNCIL

123 FAIR COMPETITION COMMISSION (FCC)

124 SIMIYU RAS

125 MINISTRY OF HOME AFFAIRS

126 MOROGORO MUNICIPAL COUNCIL

127 KIGAMBONI MUNICIPAL COUNCIL

128 MARA REGION

129 COPYRIGHT SOCIETY OF TANZANIA (COSOTA)

130 LUSHOTO DISTRICT COUNCIL

131 TANZANIA FIRE AND RESCUE FORCE

132 TANZANIA COOPERATIVE DEVELOPMENT COMMISSION (TCDC)

133 TANZANIA GOVERNMENT FLIGHT AGENCY (TGFA)

134 KISARAWE DISTRICT COUNCIL

135 COLLEGE OF AFRICAN WILDLIFE MANAGEMENT (MWEKA)

136 TREASURY REGISTRAR (TR)

137 ARUSHA CITY COUNCIL

Page 123: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

123

Na. TAASISI

138 PUBLIC PROCUREMENT REGULATORY AUTHORITY (PPRA)

139 NATIONAL ECONOMIC EMPOWERMENT COUNCIL

140 MKINGA DISTRICT COUNCIL

141 PWANI RAS

142 DODOMA REGION

143 WORKERS COMPENSATION FUND (WCF )

144 HIGHER EDUCATION STUDENT'S LOANS BOARD (HESLB)

145 BAHI DISTRICT COUNCIL

146 MVOMERO DISTRICT COUNCIL

147 WEIGHT AND MEASURES AGENCY (WMA)

148 NATIONAL BOARD OF ACCOUNTANTS AND AUDITORS (NBAA)

149 LOCAL GOVERNMENT TRAINING INSTITUTE (LGTI)

150 TIB CORPORATE BANK LIMITED

151 LIWALE DISTRICT COUNCIL

152 MWANZA REGION

153 MIREMBE MENTAL HEALTH HOSPITAL (MMHH)

154 TANZANIA ZAMBIA RAILWAY AUTHORITY (TAZARA)

155 NATIONAL SPORTS COUNCIL

156 MOROGORO DISTRICT CONCIL

157 BUGANDO MEDICAL CENTRE

158 NATIONAL SWAHILI COUNCIL (BAKITA)

159 GAMING BOARD OF TANZANIA

160 MANYARA REGION

161 ROAD FUND BOARD (RFB)

162 MOSHI MUNICIPAL COUNCIL

163 MBEYA CITY COUNCIL

164 NATIONAL HEALTH INSURANCE FUND (NHIF)

165 ARUSHA REGION

166 DAR ES SALAAM RAS

167 TANZANIA EDUCATION AUTHORITY (TEA)

168 INSTITUTE OF RURAL DEVELOPMENT PLANNING

169 KILOMBERO DISTRICT COUNCIL

170 MISUNGWI DISTRICT COUNCIL

171 TARIME DISTRICT COUNCIL

172 LINDI MUNICIPAL COUNCIL

173 KARATU DISTRICT COUNCIL

174 KONGWA DISTRICT COUNCIL

175 KILOSA DISTRICT COUNCIL

Page 124: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

124

Na. TAASISI

176 NATIONAL SOCIAL SECURITY FUND ( NSSF )

177 TANZANIA WILDLIFE RESEARCH INSTITUTE

178 MULEBA DISTRICT COUNCIL

179 KAGERA REGION

180 RUVUMA RAS

181 BABATI TOWN COUNCIL

182 MASWA DISTRICT COUNCIL

183 TANZANIA ENGINEERING AND MANUFACTURING DESIGN ORGANIZATION (TEMDO)

184 SIMANJIRO DISTRICT COUNCIL

185 BAGAMOYO COLLEGE OF ARTS (TASUBA)

186 TANZANIA OFFICIAL SEED CERTIFICATION INSTITUTE (TOSCI)

187 TARIME TOWN COUNCIL

188 TANZANIA COTTON BOARD (TCB)

189 TANZANIA WILDLIFE MANAGEMENT AUTHORITY (TAWA)

190 VOCATIONAL EDUCATION AND TRAINING AUTHORITY (VETA)

191 BAGAMOYO DISTRICT COUNCIL

192 IRINGA RAS

193 SAME DISTRICT COUNCIL

194 FISHERIES EDUCATION AND TRAINING AGENCY (FETA)

195 TANZANIA FOREST RESEACH INSTITUTE (TAFORI)

196 KITETO DISTRICT COUNCIL

197 HANDENI DISTRICT COUNCIL

198 SINGIDA MUNICIPAL COUNCIL

199 INSTITUTE OF ADULT EDUCATION (IAE)

200 ROMBO DISTRICT COUNCIL

201 ARUSHA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY

202 PETROLEUM UPSTREAM REGULATORY AUTHORITY (PURA)

203 MUSOMA DISTRICT COUNCIL

204 NATIONAL COLLEGE OF TOURISM

205 MOSHI DISTRICT COUNCIL

206 IRINGA MUNICIPAL COUNCIL

207 MAGU DISTRICT COUNCIL

208 GOVERNMENT PROCUREMENT SERVICES AGENCY (GPSA)

209 TABORA REGION

210 CAPITAL MARKETS AND SECURITIES AUTHORITY (CMSA)

211 NATIONAL DEVELOPMENT CORPORATION (NDC)

212 TANZANIA FORESTRY SERVICES AGENCY

Page 125: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

125

Na. TAASISI

213 UNESCO NATIONAL COMMISSION OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

214 MONDULI TEACHERS COLLEGE

215 PUBLIC SERVICE COMMINISION (PSC)

216 IKUNGI DISTRICT COUNCIL

217 TANZANIA ELECTRICAL,MECHANICAL AND ELECTRONICS SERVICES AGENCY (TEMESA)

218 MTWARA MIKINDANI MUNICIPAL COUNCIL

219 GEITA REGION

220 KIBONGOTO HOSPITAL

221 ENGINEERS REGISTRATION BOARD (ERB)

222 ARUSHA DISTRICT COUNCIL

223 TANZANIA PUBLIC SERVICE COLLEGE

224 CONTRACTORS REGISTRATION BOARD (CRB)

225 KWIMBA DISRTRICT COUNCIL

226 SONGWE RAS

227 NATIONAL IDENTIFICATION AUTHORITY (NIDA)

228 MWANZA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY

229 UKEREWE DISTRICT COUNCIL

230 NATIONAL COUNCIL FOR TECHNICAL EDUCATION (NACTE)

231 CHAMWINO DISTRICT COUNCIL

232 MERU DISTRICT COUNCIL

233 GEITA TOWN COUNCIL

234 TANZANIA AGRICULTURAL DEVELOPMENT BANK LIMITED

235 TANZANIA GLOBAL LEARNING AGENCY (TAGLA)

236 SHINYANGA REGIONAL REFERRAL HOSPITAL

237 HAI DISTRICT COUNCIL

238 PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT

239 MAKAMBAKO TOWN COUNCIL

240 GAIRO DISTRICT COUNCIL

241 ITILIMA DISTRICT COUNCIL

242 UNIVERSAL COMMUNICATION SERVICES ACCESS FUND (UCSAF)

243 MWANGA DISTRICT COUNCIL

244 KAHAMA TOWN COUNCIL

245 TANZANIA TOBACCO BOARD (TTB)

246 WATUMISHI HOUSING COMPANY

247 KARAGWE DISTRICT COUNCIL

248 MKURANGA DISTRICT COUNCIL

Page 126: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

126

Na. TAASISI

249 MINISTRY OF MINERALS

250 LIVESTOCK TRAINING AGENCY

251 PHARMACY COUNCIL OF TANZANIA

252 PUBLIC SERVICE REMUNERATION BOARD (PSRB)

253 TANZANIA FERTILIZER REGULATORY AUTHORITY (TFRA)

254 BUSEGA DISTRICT COUNCIL

255 WATER MANAGEMENT INSTITUTE

256 NATIONAL HOUSING CORPORATION (NHC)

257 NATIONAL CONSTRUCTION COUNCIL (NCC)

258 TABORA MUNICIPAL COUNCIL

259 MASASI DISTRICT COUNCIL

260 BUKOBA MUNICIPAL COUNCIL

261 KALIUA DISTRICT COUNCIL

262 OFFICE OF THE REGISTRAR OF POLITICAL PARTIES

263 IRINGA WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY

264 BABATI DISTRICT COUNCIL

265 SELF MICROFINANCE FUND

266 PROCUREMENT AND SUPPLIES PROFESSIONALS AND TECHNICIANS BOARD

267 TANZANIA COFFEE BOARD

268 IFAKARA TOWN COUNCIL

269 KYERWA DISTRICT COUNCIL

270 KATAVI REGION

271 BUKOMBE DISTRICT COUNCIL

272 TUNDUMA TOWN COUNCIL

273 TANZANIA FERTILIZER COMPANY (TFC)

274 SHINYANGA MUNICIPAL COUNCIL

275 LUDEWA DISTRICT COUNCIL

276 ULANGA DISTRICT COUNCIL

277 RORYA DISTRICT COUNCIL

278 KOROGWE TOWN COUNCIL

279 PANGANI DISTRICT COUNCIL

280 ILEJE DISTRICT COUNCIL

281 NATIONAL LAND USE PLANNING COMMISSION

282 USHETU DISTRICT COUNCIL

283 NGORONGORO DISTRICT COUNCIL

284 LINDI REGION

285 CHEMBA DISTRICT COUNCIL

Page 127: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

127

Na. TAASISI

286 MUFINDI DISTRICT COUNCIL

287 SONGEA TEACHERS' COLLEGE

288 SUGAR BOARD TANZANIA (SBT)

289 MARINE SERVICES COMPANY LIMITED (MSCL)

290 MOROGORO TEACHERS COLLEGE

291 SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

292 FAIR COMPETITION TRIBUNAL (FCT)

293 TANZANIA NATIONAL BUSINESS COUNCIL

294 SIHA DISTRICT COUNCIL

295 TUNDURU DISTRICT COUNCIL

296 TANZANIA GEMOLOGICAL CENTRE (TGC)

297 TANZANIA MERCANTILE EXCHANGE (PLC)

298 MUSOMA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY

299 MTWARA REGION

300 KAKONKO DISTRICT COUNCIL

301 MPANDA MUNICIPAL COUNCIL

302 MPANDA DISTRICT COUNCIL

303 MWALIMU JULIUS K. NYERERE UNIVERSITY OF AGRICULTURE AND TECHNOLOGY (MJNUAT)-BUTIAMA

304 NACHINGWEA DISTRICT COUNCIL

305 NJOMBE RAS

306 ITIGI DISTRICT COUNCIL

307 NATIONAL FOOD RESERVE AGENCY (NFRA)

308 MKALAMA DISTRICT COUNCIL

309 MINERAL RESOURCES INSTITUTE

310 MAFINGA TOWN COUNCIL

311 MAFIA DISTRICT COUNCIL

312 KISHAPU DISTRICT COUNCIL

313 MARANGU TEACHER COLLEGE

314 KIBAHA EDUCATION CENTRE

315 MBULU TOWN COUNCIL

316 KIBAHA DISTRICT COUNCIL

317 MBINGA DISTRICT COUNCIL

318 MUHEZA DISTRICT COUNCIL

319 NGARA DISTRICT COUNCIL

320 BUTIAMA DISTRICT COUNCIL

321 SINGIDA DISTRICT COUNCIL

322 CEREALS AND OTHER PRODUCE BOARD

Page 128: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

128

Na. TAASISI

323 STATE MINING CORPORATION (STAMICO)

324 BUNDA DISTRICT COUNCIL

325 TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY

326 TANDAHIMBA DISTRICT COUNCIL

327 TABORA TEACHERS COLLEGE

328 SHINYANGA RAS

329 CENTRE FOR AGRICULTURAL MECHANIZATION AND RURAL TECHNOLOGY (CAMARTEC)

330 PUBLIC PROCUREMENT APPEALS AUTHORITY (PPAA)

331 KILWA DISTRICT COUNCIL

332 RECORDS AND ARCHIVES MANAGEMENT DEPARTMENT (RAMD)

333 PATANDI TEACHER’S TRAINING COLLEGE NORTHERN ZONE

334 RUKWA RAS

335 ARCHITECTS AND QUANTITY SURVEYORS REGISTRATION BOARD (AQSRB)

336 KIGOMA UJIJI MUNICIPAL COUNCIL

337 WAREHOUSE RECEIPTS REGULATORY BOARD (WRRB)

338 KALAMBO DISTRICT COUNCIL

339 KONDOA DISTRICT COUNCIL

340 IRINGA DISTRICT COUNCIL

341 NATIONAL ARTS COUNCIL (BASATA)

342 KIBONDO DISTRICT COUNCIL

343 KASULU TOWN COUNCIL

344 GEITA DISTRICT COUNCIL

345 KAHAMA SHINYANGA WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY

346 CHATO DISTRICT COUNCIL

347 KONDOA TOWN COUNCIL

348 IGUNGA DISTRICT COUNCIL

349 MEATU DISTRICT COUNCIL

350 RUFIJI DISTRICT COUNCIL

351 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL

352 PRESIDENT'S OFFICE - STATE HOUSE

353 NYASA DISTRICT COUNCIL

354 NYANG'HWALE DISTRICT COUNCIL

355 KARIAKOO MARKET CORPORATION

356 SIKONGE DISTRICT COUNCIL

357 TABORA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY (TUWASA)

358 TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNTANCY

Page 129: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

129

Na. TAASISI

359 SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

360 SINGIDA REGIONAL SECRETARIAT

361 NJOMBE TOWN COUNCIL

362 NEWALA DISTRICT COUNCILL

363 MANYONI DISTRICT COUNCIL

364 MASASI TOWN COUNCIL

365 MALINYI DISTRICT COUNCIL

366 LONGIDO DISTRICT COUNCIL

367 URAMBO DISTRICT COUNCIL

368 MBEYA DISTRICT COUNCIL

369 MBOZI DISTRICT COUNCIL

370 MUSOMA MUNICIPAL COUNCIL

371 MPWAPWA DISTRICT COUNCIL

372 TAX REVENUE APPEALS TRIBUNAL

373 TANZANIA DAIRY BOARD

374 KOROGWE DISTRICT COUNCIL

KIAMBATANISHO NA 5

JUMLA YA TAASISI ZILIZOUNGANISHWA NA KUTUMIA DAWATI LA KUTOA HUDUMA KWA WATEJA (HELPDESK SYSTEM)

Na. JINA LA TAASISI YA UMMA

1 ACCOUNTANT GENERAL (ACGEN)

2 AGENCY FOR THE DEVELOPMENT OF EDUCATIONAL MANAGEMENT (ADEM)

3 AGRICULTURAL INPUTS TRUST FUND (AGITF)

4 AIRTANZANIA COMPONY LIMITED (ATCL)

5 ARCHITECT‘S AND QUANTITY SURVEYORS REGISTRATION BOARD (AQRB)

6 ARDHI INSTITUTE TABORA (ARITA)

7 ARDHI UNIVERSITY (ARU)

8 ARUSHA CITY COUNCIL

9 ARUSHA DISTRICT OUNCIL

10 ARUSHA REGIONAL AND ADMINISTRATIVE SECRETARIAT

11 ARUSHA URBAN SUPPLY AND SEWEREGE AUTHORITY (AUWSA)

Page 130: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

130

Na. JINA LA TAASISI YA UMMA

12 ATTORNEY GENERAL‘S CHAMBERS (AGC)

13 BABATI DISTRICT COUNCIL

14 BABATI TOWN COUNCIL

15 BAGAMOYO DISTRICT COUNCIL

16 BAHI DISTRICT COUNCIL

17 NATIONAL ARTS COUNCIL TANZANIA (NACT)

18 BARIADI DISTRICT COUNCIL

19 BARIADIDISTRICT COUNCIL TOWN COUNCIL

20 BOKOBA MUNICIPAL OUNCIL

21 BUHIGWE DISTRICT COUNCIL

22 BUKOBA DISTRICT COUNCIL

23 THE NATIONAL ASSEMBLY OF TANZANIA

24 BUSINESS REGISTRATION AND LICENCING AGENCY (BRELA)

25 BUTIAMA DISTRICT COUNCIL

26 CAPITAL MARKET AND SECURITY AUTHORITY (CMSA)

27 CEREALS AND OTHER PRODUCE BOARD OF TANZANIA (CPB)

28 CHALINZE DISTRICT COUNCIL ( CHALINZE.GO.TZ)

29 CHALINZE WATER SUPPLY AND SEWEREGE AUTHORITY

30 CHATO DISTRICT COUNCIL

31 CHUNYA DISTRICT COUNCIL

32 MINISTRY OF HEALTHY, COMMUNITY DEVELOPMENT, GENDER, ELDERLY AND CHILDREN (MOHCDGEC) COMMUNITY DEVELOPMENT

33 DAR ES SALAAM CITY COUNCIL

34 DAR ES SALAAM MARINE INSTITUTE (DMI)

35 DAR ES SALAAM RAPID TRANSPORT (DART)

36 DAR ES SALAAM UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION (DUCE)

37 DAR ES SALAAM WATER AND SEWERAGE COOPERATION (DAWASCO)

38 DAR ES SALAAM WATER AND SEWEREGE AUTHORITY (DAWASA)

39 DEEP SEA FISHING AUTHORITY (DFSA)

40 DODOMA REGIONAL AND ADMNISTRATIVE SECRETARIAT (RAS DODOMA)

41 DODOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWEREGE ATHORITY (DUWASA)

42 DRILLING AND DAM CONSTRUCTION AGENCY (DDCA)

Page 131: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

131

Na. JINA LA TAASISI YA UMMA

43 EAST AFRICA STATISTICAL TRAINING INSTITUTE

44 ENGINEERING REGISTRATION BOARD

45 ETHICS SECRETARIAT

46 EXPORT PROCESSING ZONES AUTHORITY (EPZA)

47 TANZANIA FIRE AND RESCUE FORCE

48 GAIRO REGIONAL AND ADMINISTRATIVE SECRETARIATE

49 GEITA DISTRICT COUNCIL

50 GEOLOGICAL SURVEY OF TANZANIA

51 GOVERNMENT PROCUREMENT SERVICE AGENCY

52 HANANG DISTRICT COUNCIL

53 HANDENI DISTRICT COUNCIL

54 HANDENI TOWN COUNCIL

55 HIGHER EDUCATION STUDENT‘S LOAN BOARD (HESLB)

56 IFAKARA TOWN COUNCIL

57 IKUNGI DISTRICT COUNCIL

58 ILALA MUNICIPAL COUNCIL

59 ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

60 MINISTRY OF HOME FFAIR (IMMIGRATION DEPARTMENT)

61 INSTITUTE OF ACCOUNTANCY ARUSHA

62 INSTITUTE OF JUDICL ADMINISTRATION

63 IRAMBA DISTRICT COUNCIL

64 IRINGA DISTRICT COUNCIL

65 IRINGA REGIONAL AND ADMINISTRATIVE SECRETARY (RAS-IRINGA)

66 IRINGA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY (IRUWASA)

67 ITILIMA DISTRICT COUNCIL

68 JAKAYA KIKWETE CARDIAC INSTITUTE (JKCI)

69 THE JUDICIARY OF TANZANIA

70 KALAMBO DISTRICT COUNCIL

71 KALIUA DISTRICT COUNCIL

72 KARAGWE DISTRICT COUNCIL

73 KARATUDISTRICT COUNCIL

74 KASULU TOWN COUNCIL

Page 132: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

132

Na. JINA LA TAASISI YA UMMA

75 KATAVI REGIONAL AND ADMINISTRATIVE SECRETARY (RAS KATAV

76 KIBAHA EDUCATION CENTRE

77 KIBAHA TOWN COUNCIL

78 KIGOMA REGIONAL AND ADMINISTRATIVE SECRETARY (RAS KIGOMA)

79 KIGOMA DISTRICT COUNCIL

80 KIGOMA UJIJI MUNICIPAL COUNCIL

81 KILIMANJARO REGIONAL AND ADMINISTRATIVE SECRETARY (RAS KILIMANJARO)

82 KILINDI DISTRICT COUNCIL

83 KILOLO DISTRICT COUNCIL

84 KILOMBERO DISTRICT COUNCIL

85 KINONDONI MUNICIPAL COUNCIL

86 KISARAWE DISTRICT COUNCIL

87 KISHAPU DISTRICT COUNCIL

88 KITETO DISTRICT COUNCIL

89 KONGWA DISTRICT COUNCIL

90 KOROGWE DISTRICT COUNCIL

91 KWIMBA DISTRICT COUNCIL

92 KYERWA DISTRICT COUNCIL

93 MINISTRY OF LANDS, HOUSING AND HUMAN SETTLEMENT (LANDTENURE SUPPORT PROGRAM ( LANDTENURE.GO.TZ) )

94 LAW REFORM COMMISSION

95 LINDI MUNICIPAL COUNCIL

96 LONGIDO DISTRICT COUNCIL

97 LUDEWA DISTRICT COUNCIL

98 MADABA DISTRICT COUNCIL

99 MAFIA DISTRICT COUNCIL

100 MAGU DISTRICT COUNCIL

101 MAKETE DISTRICT COUNCIL

102 MANYARA REGONAL ADMINISTRATIVE SECRETARY (RAS MANYARA)

103 MANYONI DISTRICT COUNCIL

104 MARA REGIONAL AND ADMINISTARIVE SECRETARY (RAS MARA)

105 THE MARINE PARKS AND RESERVES UNIT

Page 133: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

133

Na. JINA LA TAASISI YA UMMA

106 MASASI DISTRICT COUNCIL

107 MASASI REGIONAL AND ADMINISTRATIVE SECRETARY (RAS MASASI)

108 MASASI TOWN COUNCIL

109 MASWA DISTRICT COUNCIL

110 MBEYA CITY COUNCIL

111 MBEYA DISTRICT COUNCIL

112 MBEYA REGIONAL AND ADMINISTRATIVE SECRETARY (RAS MBEYA)

113 MBINGA TOWN COUNCIL

114 MBOZID ISTRICT COUNCIL

115 MBULU DISTRICT COUNCIL

116 MEATU DISTRICT COUNCIL

117 MEDIAL STORE DEPARTMENT

118 MERU DISTRICT COUNCIL

119 MIKOCHENI AGRICULTURAL RESEARCH INSITUTE (MARI)

120 MIKOCHENI RESEARCH INSTITUTE

121 MINISTRY OF DEFENCE AND NATIONAL SERVICE (MODANS)

122 MINISTRY OF EAST AFRICAN COOPERATION (MEAC)

123 MINISTRY OF EDUCATION, SCIENCE AND TECHNOLOGY (MEST)

124 MINISTRY OF FOREIGN AFFAIRS

125 MINISTRY OF HOME AFFAIRS

126 MINISTRY OF INDUSTRY TRADE AND INVESTMENTS (MITI)

127 MINISTRY OF LANDS, HOUSING AND HUMAN SETTLEMENT DEVELOPMENT (MLHHSD)

128 MINISTRY OF NATURAL RESOURCES AND TOURISM (MNRT)

129 MINISTRY OF WORK, TRANSPORT AND COMMUNICATIONS (MWTC)

130 MINISTY OF FINANCE AND PLANNING (MoFP)

131 MISSENYI DISTRICT COUNCIL

132 MISUNGWI DISTRICT COUNCIL

133 MKALAMA DISTRICT COUNCIL

134 MKINGA DISTRICT COUNCIL

135 MKURANGA DISTRICT COUNCIL

136 MONDULI DISTRICT COUNCIL

137 MOROGORO MUNICIPAL COUNCIL

Page 134: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

134

Na. JINA LA TAASISI YA UMMA

138 MOROGORO REGIONAL AND ADMINISTATIVE SECRETARY (RAS MOROGORO)

139 MOROGORO URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (MORUWASA)

140 MOSHI DISTRICT COUNCIL

141 MOSHI MUNICIPAL COUNCIL

142 MPANDA DISTRICT COUNCIL

143 MPIMBWE DISTRICT COUNCIL

144 MTWARA DISTRICT COUNCIL

145 MTWARA REGIONAL AND ADMINISTRATIVE SECRETARY (RAS MTWARA)

146 MTWARA URBAN WATER AND SEWERAGE AUTHORITY (MTUWASA)

147 MTWARA MIKINDANI MUNICIPAL COUNCIL

148 MUFINDI DISTRICT COUNCIL

149 MUHEZA DISTRICT COUNCIL

150 MUHIMBILI NATIONAL HOSPITAL

151 MUHIMBILI ORTHOPAEDIC INSTITUTE (MOI)

152 MUHIMBILI UNIVERSITY OF HEALTH AND ALLIED SCEINCE (MUHAS)

153 MUSOMA DISTRICT COUNCIL

154 MUSOMA MUNICIPAL COUNCIL

155 MWALIMU NYERERE MEMORIAL ACADEMY

156 MWANGA DISTRICT COUNCIL

157 MWANZA CITY COUNCIL

158 MWANZA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (MWAUWASA)

159 NANYAMBA TOWN COUNCIL

160 NANYUMBU DISTRICT COUNCIL

161 NATIONAL AUDIT OFFICE

162 NATIONAL BOARD OF ACCOUNTANTS AND AUDITORS (NBAA)

163 NATIONAL COLLEGE OF TOURISM

164 UNESCO NATIONAL COMMISSION OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA (NATCO

165 NATIONAL CONSTRUCTION COUNCIL (NCC)

166 NATIONAL DEFENSE COLLEGE (NDC)

167 NATIONAL ECONOMIC EMPOWERMENT COUNCIL (NEEC)

Page 135: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

135

Na. JINA LA TAASISI YA UMMA

168 NATIONAL ELECTORAL COMMISSION (NEC)

169 NATIONAL ENVIRONMENT MANAGEMENT COUNCIL (NEMC)

170 NATIONAL FISH QUALITY CONTROL LABORATORY (NFQCLAB)

171 NATIONAL FOOD RESERVE AGENCY (NFRA)

172 NATIONAL HOUSING AND BUILDING RESEARCH AGENCY (NHBRA)

173 NATIONAL INSTITUTE OF TRANSPORT (NIT)

174 NATIONAL LAND USE PLANNING COMMISION (NLUPC)

175 NATIONAL SPORTS COUNCIL (NSC)

176 NEGLECTED TROPICAL DISEASES CONTROL PROGRAMME (NTDCP)

177 NEWALA DISTRICT COUNCIL

178 NGARA DISTRICT COUNCIL

179 NGORONGORO CONSERVATION AREA AUTHORITY

180 NGORORNGORO DISTRICT COUNCIL

181 NATIONAL IDENTIFICATION AUTHORITY (NIDA)

182 NJOMBE DISTRICT COUNCIL

183 NKASI DISTRICT COUNCIL

184 NATIONAL RECORDS AND ARCHIVES. MANAGEMENT DEPARTMENT

185 NYASA DISTRICT COUNCIL

186 NZEGA DISTRICT COUNCIL

187 NZEGA TOWN COUNCIL

188 OCCUPATIONAL SAFETY AND HEALTH AUTHORITY (OSHA)

189 OCEAN ROAD CANCER INSTITUTE (ORCI)

190 OFFICE OF THE REGISTRAR OF POLITICAL PARTIES (ORPP)

191 TREASURY REGISTRAR OFFICE (TRO)

192 PANGANI DISTRICT COUNCIL

193 PHARMACY COUNCIL OF TANZANIA

194 PLANNING COMMISSION

195 PRIME MINISTER’S OFFICE (PMO)

196 PROCUREMENT AND SUPPLIES PROFESSIONALS AND TECHNICIANS BOARD (PSPTB)

197 PUBLIC SERVICE PENSION FUND (PSPF)

198 PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT (PSRS)

199 PUBLIC SERVICE REMUNERATION BOARD (PSRB)

Page 136: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

136

Na. JINA LA TAASISI YA UMMA

200 PUBLIC SEVIRVICE COMMISION (PSC)

201 PWANI REGIONAL AND ADMINISRATIVE SECRETARY (RAS PWANI)

202 ROMBO DISTRICT COUNCIL

203 RUVUMA REGIONAL AND ADMINISTRATIVE SECRETARY (RAS RUVUMA)

204 SAME DISTRICT COUNCIL

205 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL

206 SERENGETI DISTRICT COUNCIL

207 SHINYANGA MUNICIPAL COUNCIL

208 SHINYANGA REGIONAL AND ADMINISTRATIVE SECRETARY (RAS-SHINYANGA)

209 SHINYANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (SHUWASA)

210 SIHA DISTRICT COUNCIL

211 SIKONGE DISTRICT COUNCIL

212 SIMIYU REGIONAL AND ADMINISTRATIVE SECRETARY (RAS-SIMIYU)

213 SINGIDA REGIONAL AND ADMINISTRATIVE SECRETARY (RAS-SINGIDA)

214 TANZANIA SISAL BOARD (TSB)

215 SOCIAL SECURITY REGULATORY AUTHORITY (SSRA)

216 SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

217 SONGEA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHOURITY (SOUWASA)

218 SONGWE DISTRICT COUNCIL

219 STATE MINING CORPORATION (STAMICO)

220 SUMBAWANGA DISTRICT COUNCIL

221 SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

222 TABORA DISTRICT COUNCIL

223 TABORA MUNICIPAL COUNCIL

224 TABORA REGIONAL AND ADMINISTATIVE SECRETARY (RAS TABORA)

225 PRESIDENT‘S OFFICE REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT (PO-RALG)

226 TANDAHIMBA DISTRICT COUNCIL

227 TANGA CITY COUNCIL

228 TANGA REGIONAL AND ADMINISTRATIVE SECRETARY (RAS TANGA)

229 TANGA URBAN WATER AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA)

Page 137: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

137

Na. JINA LA TAASISI YA UMMA

230 TANZANIA TRADE DEVELOPMENT AUTHORITY (TANTRADE)

231 TANZANIA AIRPORTS AUTHORITY (TAA)

232 TANZANIA BUILDING AGENCY (TBA)

233 TANZANIA BUREAU OF STANDARDS (TBS)

234 TANZANIA COMMISSION FOR AIDS (TACAIDS)

235 TANZANIA DAIRY BOARD (TDB)

236 TANZANIA DRUG CONTROL COMMISSION

237 TANZANIA EDUCATION AUTHORITY

238 TANZANIA ENGINEERING AND MANUFATURING DESIGN ORGANIATION (TEMDO)

239 TANZANIA FOOD AND DRUGS AUTHORITY (TFDA)

240 TANZANIA FOOD AND NUTRITION CCENTRE (TFNC)

241 TANZANIA FOREST SERVICES AGENCY (TFSA)

242 TANZANIA GEOTHERMAL DEVELOPMENT COMPANY (TGDC)

243 TANZANIA GLOBAL LEARNING AGENCY (TAGLA)

244 TANZANIA GOVERNMENT FLIGHT AGENCY (TGFA)

245 TANZANIA INDUSTRIAL RESEARCH AND DEVELOPMENT ORGANIZATION (TIRDO)

246 TANZANIA INSURANCE OMBUDSMAN

247 TANZANIA LIVESTOCK RESEARCH INSTITUTE (TALIRI)

248 TANZANIA MEAT BOARD

249 TANZANIA METEOROLOGICAL AGENCY (TMA)

250 TANZANIA NATIONAL BUSINESS COUNCIL

251 TANZANIA NATIONAL PARKS (TANAPA)

252 TANZANIA OFFICIAL SEED CERTICATION INSTITUTE (TOSCI)

253 TANZANIA PEOPLE‘S DEFENCE FORCE (TPDF)

254 TANZANIA RAILWAYS LIMITED (TRL)

255 TANZANIA REGIONAL IMMIGRATION TRAINING ACADEMY (TRITA)

256 TANZANIA ROADS AGENCY (TANROADS)

257 TANZANIA RURAL AND URBAN ROADS AGENCY (TARURA)

258 TANZANIA SOCIAL ACTION FUND (TASAF)

259 TANZANIA WILDLIFE AUTHORITY (TAWA)

260 TANZANIA WILDLIFE RESEARCH INSTITUTE (TAWIRI)

Page 138: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

138

Na. JINA LA TAASISI YA UMMA

261 TARIME DISTRICT COUNCIL

262 TARIME TOWN COUNCIL

263 BAGAMOYO COLLEGE OF ARTS (TASUBA)

264 TEACHER‘S SERVICE COMMISION (TSC)

265 TEMEKE MUNICIPAL COUNCIL

266 TANZANIA ELECTRICAL, MECHANICAL AND ELECTRONICS SERVICES AGENCY (TEMESA)

267 THE NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA. (NECTA)

268 THE NATIONAL MUSEUM OF TANZANIA (NMT)

269 TANZANIA TOBACCO BOARD (TTB)

270 UBUNGO MUNICIPAL COUNCIL

271 ULANGA DISTRICT COUNCIL

272 UNIVERSAL COMMUNICATION SERVICES ACCESS FUND (UCSAF)

273 UONGOZI INSTITTE

274 TANZANIA COOPERATIVE DEVELOPMENT COMMISSION (TCDC) (USHIRIKA.GO.TZ)

275 VICE PRESIDENT’S OFFICE, REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT AUTHORITIES)

276 WAKF AND TRUST COMMISSION (WTC)

277 WATER DEVELOPMENT &MANAGEMENT INSTITUTE (WDMI)

278 WORKERS COMPESATION FUND ( WCF)

279 WEIGHTS AND MEASURES AGENCY (WMA)

280 MINISTRY OF HEALTH, COMMUNITY DEVELOPMENT, GENDER, ELDERLY AND CHILDREN

281 MINISTRY OF INFORMATION, CULTURE AND SPORTS

282 MINISTRY OF CONSTITUTIONAL AND LEGAL AFFAIRS

283 PRIME MINISTER‘S OFFICE, LABOUR, YOUTH, EMPLOYMENT AND PERSONS WITH DISABILITY

284 MINISTRY OF AGRICULTURE

285 MINISTRY OF MINERALS

286 MINISTRY OF WATER

287 MINISTRY OF WORKS, TRANSPORT AND COMMUNICATIONS (COMMUNICATION)

288 MINISTRY OF LIVESTOCK AND FISHERIES

289 MINISTRY OF ENERGY

Page 139: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

139

Na. JINA LA TAASISI YA UMMA

290 MINISTRY OF WORKS, TRANSPORT AND COMMUNICATIONS (TRANSPORT)

291 PRESIDENT’S OFFICE PUBLIC SERVICES MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE

292 TABORA DISTRCICT COUNCIL

293 IGUNGA COUNCIL

294 URAMBO DISCTRICT COUNCIL

295 GEITA DISCTRICT COUNCIL

296 MBOGWE DISCTRICT COUNCIL

297 NYANGHWALE DISCTRICT COUNCIL

298 NATIONAL PROSECUTION SERVICE

299 MOROGORO REGIONAL ADMINISTRATIVE SECRETARY (RAS MOROGORO)

300 URAMBO DISCTRICT COUNCIL

301 BUSEGA DISTRICT COUNCIL

302 NJOMBE DISTRICT COUNCIL

303 ZANZIBAR BUSINESS AND PROPERTY REGISTRATION AGENCY

304 MVOMERO DOSTRICT COUNCIL

305 DRUG CONTROL AND ENFORCEMENT AUTHORITY

306 CHAMWINO DISTRICT COUNCIL

307 TANZANIA SHIPING AGENCIES COOPERATION (TASAC)

308 OFFICE OF SOLICITOR GENERAL

309 SONGWE REGIONAL ADMINISTRATIVE SECRETARY (RAS-SONGWE)

310 TANZANIA POSTAL BANK (TPB)

311 LINDI REGIONAL ADMINISTRATIVE SECRETARY (RAS LINDI)

312 NELSON MANDELA AFRICAN INSTITUTE OF SCIENCE AND TECHNOLOGY (NM-AIST)

313 TANZANIA BROADCASTING CORPORATION (TBC)

314 MWANZA RAS

315 LIWALE DISTRICT COUNCIL

KIAMBATANISHO NA 6

TAASISI ZILIZOUNGANISHWA KATIKA MFUMO WA SIMU KWA NJIA YA

MTANDAO (GOVERNMENT MOBILE PLATFORM SYSTEM)

Page 140: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

140

Na TAASISI

1 MINISTRY OF FOREIGN AFFAIRS AND EAST AFRICA CO-OPERATION

2 NATIONAL AUDIT OFFICE (NAO)

3 BUSINESS REGISTRATIONS AND LICENSING AGENCY (BRELA)

4 NGORONGORO CONSERVATION AREA AUTHORITY (NCAA)

5 TANZANIA NATIONAL ROADS AGENCY (TANROADS)

6 PARASTATALS PENSION FUND (PPF)

7 SUMBAWANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (SUMBAWANGA UWASA)

8 SURFACE AND MARINE TRANSPORT AUTHORITY (SUMATRA)

9 MWANZA URBAN WATER AND SEWERAGE AUTHORITY (MWUWASA)

10 EXPORT PROCESSING ZONES AUTHORITY (EPZA)

11 TANZANIA INSURANCE REGULATORY AUTHORITY (TIRA)

12 NATIONAL HOUSING BUILDING RESEARCH AGENCY (NHBRA)

13 DAR ES SALAAM RAPIT TRANSIT AGENCY (DART)

14 DODOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (DUWASA)

15 TANZANIA COMMUNICATIONS REGULATORY AUTHORITY (TCRA)

16 PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT (PSRS)

17 MOROGORO URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY (MORUWASA)

18 TANZANIA POLICE FORCE (TPF)

19 ARDHI INSTITUTE TABORA (ARITA)

20 NATIONAL SOCIAL SECURITY FUND (NSSF)

21 OCCUPATIONAL HEALTH AND SAFETY AUTHORITY (OSHA)

22 PUBLIC SERVICE PENSIONS FUND (PSPF)

23 LINDI URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY

24 REGISTRATION, INSOLVENCY AND TRUSTEESHIP AGENCY (RITA)

25 DRUG CONTROL COMMISSION (DCC)

26 MINISTRY OF OF CONSTITUTION AND LEGAL AFFAIRS (MCLA)

27 NATIONAL HEALTH INSURANCE FUND (NHIF)

28 TANZANIA COMMISSION FOR UNIVERSITIES (TCU)

29 DAR ES SALAAM STOCK EXCHANGE (DSE)

30 TANZANIA BUREAU OF STANDARDS (TBS)

31 TANZANIA FOOD AND DRUGS AUTHORITY (TFDA)

32 PREVENTION AND COMBATING OF CORRUPTION BUREAU (PCCB)

33 IRINGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (IRUWASA)

34 MINISTRY OF AGRICULTURE, FOOD SECURITY AND CO-OPERATIVES

35 LOCAL AUTHORITY PENSIONS FUND (LAPF)

36 WEIGHT AND MEASURES AGENCY (WMA)

Page 141: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

141

Na TAASISI

37 NATIONAL ELECTORAL COMMISSION (NEC)

38 MINISTRY OF HOME AFFAIRS (MHA)

39 TANZANIA TRADE DEVELOPMENT AUTHORITY (TANTRADE)

40 MINISTRY OF HEALTH, COMMUNITY DEVELOPMENT, GENDER, ELDERLY AND CHILDREN

41 MINISTRY OF FINANCEAND PLANNING (MoFP)

42 MINISTRY OF WATER

43 NATIONAL IDENTIFICATION AUTHORITY (NIDA)

44 MBEYA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (MUWASA)

45 ARCHITECTS AND QUANTITY SURVEYORS REGISTRATION BOARD (AQSRB)

46 PRESIDENT‘S OFFICE - PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE

47 TANZANIA METEOROLOGICAL AGENCY (TMA)

48 TANZANIA BUILDING AGENCY (TBA)

49 MINISTRY OF HOME AFFAIRS (IMMIGRATION DEPARTMENT)

50 TANZANIA NATIONAL PARKS (TANAPA)

51 WATER DEVELOPMENT AND MANAGEMENT INSTITUTE (WDMI)

52 EASTERN AFRICA STATISTICAL TRAINING CENTRE (EASTC)

53 JUDICIAL SERVICE COMMISSION

54 NATIONAL BUREAU OF STATISTICS (NBS)

55 STATE MINING CORPORATION (STAMICO)

56 TANZANIA TOURIST BOARD (TTB)

57 TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA-UWASA)

58 NATIONAL ECONOMIC EMPOWERMENT COUNCIL (NEEC)

59 PUBLIC PROCUREMENT REGULATORY AUTHORITY (PPRA)

60 MARINE SERVICES COMPANY LIMITED (MSCL)

61 ENERGY AND WATER UTILITIES REGULATORY AUTHORITIES (EWURA)

62 VOCATIONAL EDUCATION AND TRAINING AUTHORITY (VETA)

63 TANZANIA PUBLIC SERVICE COLLEGE (TPSC)

64 BANK OF TANZANIA (BOT)

65 NATIONAL HOUSING CORPORATION (NHC)

66 AGENCY FOR THE DEVELOPMENT OF EDUCATIONAL MANAGEMENT(ADEM)

67 MINISTRY OF LANDS, HOUSING AND HUMAN SETTLEMENTS DEVELOPMENTS

68 DAR ES SALAAM CITY COUNCIL (DCC)

69 SONGEA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (SOUWASA)

70 KINONDONI HOSPITAL

71 NATIONAL INSURANCE CORPORATION (NIC)

Page 142: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

142

Na TAASISI

72 GOVERNMENT PROCUREMENT SERVICE AGENCY (GPSA)

73 TANZANIA PORTS AUTHORITY (TPA)

74 TANZANIA GOVERNMENT CHEMISTRY LABORATORY AGENCY (GCLA)

75 TANZANIA BROADCASTING CORPORATION (TBC)

76 TANZANIA TELECOMMUNICATIONS COMPANY LIMITED (TTCL)

77 MOSHI URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY

78 e-GOVERNMENT AGENCY

79 KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA)

80 MINISTRY OF COMMUNITY DEVELOPMENT, GENDER AND CHILDREN

81 MEDICAL STORE DEPARTMENT (MSD)

82 MINISTRY OF WORKS, TRANSPORT AND COMMUNICATION (WORKS)

83 MUHEZA DESIGNATED DISTRICT HOSPITAL

84 SOCIAL SECURITY REGULATORY AUTHORITY (SSRA)

85 MTWARA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY

86 TANZANIA INVESTMENT CENTER (TIC)

87 MINISTRY OF WORKS, TRANSPORT AND COMMUNICATION(TRANSPORT)

88 ARUSHA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY (AUWSA)

89 TANZANIA SOCIAL ACTION FUND (TASAF)

90 TANZANIA REVENUE AUTHORITY (TRA)

91 MUHIMBILI ORTHOPAEDIC INSTITUTE (MOI)

92 MINISTRY OF INFORMATION, YOUTH, CULTURE AND SPORTS

93 PHARMACY COUNCIL OF TANZANIA

94 OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA

95 TANZANIA PEOPLE DEFENCE FORCE (TPDF)

96 HIGHER EDUCATION STUDENT LOAN BOARD (HESLB)

97 SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE (SUA)

98 UNIVERSITY OF DODOMA (UDOM)

99 SHINYANGA MUNICIPAL COUNCIL

100 MISUNGWI DISTRICT COUNCIL

101 ILALA MUNICIPAL COUNCIL

102 MWANGA DISTRICT COUNCIL

103 CHALINZE WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY(CHALIWASA)

104 THE JUDICIARY OF TANZANIA

105 DAR ES SALAAM WATER AND SEWERAGE CORPORATION (DAWASCO)

106 PROCUREMENT AND SUPPLIES PROFESSIONALS AND TECHNICIANS BOARD (PSPTB)

107 SINGIDA URBAN WATER AND SANITATION AUTHORITY

108 THE PARLIAMENT OF TANZANIA

Page 143: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

143

Na TAASISI

109 JAKAYA KIKWETE CARDIAC INSTITUTE (JKCI)

110 TANZANIA LIVESTOCK RESEARCH INSTITUTE (TALIRI)

111 TANZANIA ELECTRIC SUPPLY COMPANY LIMITED

112 ARUSHA REGIONAL COMMISIONER

113 ARUSHA TECHNICAL COLLEGE

114 WORKERS COMPENSATION FUND (WCF)

115 SHINYANGA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY (SHUWASA)

116 MOROGORO REGIONAL SECRETARY (RAS MOROGORO)

117 OCCUPATIONAL HEALTH AND SAFETY AUTHORITY (OSHA)

118 PRESIDENT‘S OFFICE REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

119 MINISTRY OF NATURAL RESOURCE AND TOURISM

120 MZUMBE UNIVERSITY

121 NATIONAL COUNCIL FOR TECHNICAL EDUCATION (NACTE)

122 ARDHI UNIVERSITY

123 ETHICS SECRETARIET

124 MUHIMBILI NATIONAL HOSPITAL (MNH)

125 COLLEGE OF BUSSINESS ADMINISTRATION (CBE)

126 KAHAMA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY (KUWASA)

127 MAKAMBAKO URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY (MAKAMBAKO UWASA)

128 TANZANIA FIRE AND RESCUE FORCE

129 MUHIMBILI NATIONAL HOSPITAL

130 TANZANIA NURSING AND MIDWIFERY COUNCIL (TNMC)

131 COLLEGE OF BUSINESS EDUCATION (CBE)

132 TABORA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY (TUWASA)

133 MUSOMA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY MUWASA

134 KAHAMA SHINYANGA WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KASHWASA)

135 CONTRACTORS REGISTRATION BOARD (CRB)

136 SHINYANGA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY (SHUWASA)

137 KAHAMA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY

138 SINGIDA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY (SUWASA)

139 TANZANIA FERTILIZER REGULATORY AUTHORITY

140 TEMEKE MUNICIPAL COUNCIL

141 PRESIDENT OFFICE, REVOLUTIONARY COUNCIL-ZANZIBAR

142 BUKOBA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY

Page 144: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

144

Na TAASISI

143 KINONDONDI MUNICIPAL COUNCIL

144 SENGEREMA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY

145 MASASI-NACHINGWEA WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY

146 MEDICAL COUNCIL OF TANGANYIKA

KIAMBATANISHO NA 7

TAASISI ZILIZOUNGANISHWA KATIKA MFUMO WA KUSIMAMIA

MIFUMO YA TEHAMA SERIKALINI (GOVERNMENT ICT PORTIFORIO

SYSTEM (GIP)

Na.

TAASISI

1 AGENCY FOR DEVELOPMENT OF EDUCATION MANAGEMENT (ADEM)

2 AGRICULTURAL INPUTS TRUST FUND (AGITF)

3 NATIONAL COUNCIL FOR TECHNICAL EDUCATION (NACTE)

4 NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA (NECTA)

5 DAR ES SALAAM CITY COUNCIL

6 DAR ES SALAAM WATER SUPPLY AND SEWERAGE CORPORATION (DAWASCO)

7 DODOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (DUWASA)

8 e-GOVERNMENT AGENCY (e-GA)

9 ENGINEERS REGISTRATION BOARD (ERB)

10 GEPF RETIREMENT BENEFITS FUND

11 HANDENI DISTRICT COUNCIL

12 IRINGA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY (IRUWASA)

13 KAHAMA SHINYANGA WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY ( KASHWASA)

14 MEDICAL STORE DEPARTMENT (MSD)

15 TANZANIA PORTS AUTHORITY (TPA)

16 TANZANIA FOOD AND DRUGS AUTHORITY (TFDA)

17 TANZANIA NATIONAL PARKS (TANAPA)

18 TANZANIA REVENUE AUTHORITY (TRA)

Page 145: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

145

Na.

TAASISI

19 TANZANIA COMMUNICATIONS REGULATORY AUTHORITY (TCRA)

20 ENERGY AND WATER UTILITIES REGULATORY AUTHORITY (EWURA)

21 SURFACE AND MARINE TRANSPORT REGULATORY AUTHORITY (SUMATRA)

22 NATIONAL IDENTIFICATION AUTHORITY (NIDA)

23 MBEYA CITY COUNCIL

24 NATIONAL HEALTH INSURANCE FUND (NHIF)

25 MOROGORO REGION

26 MZUMBE UNIVERSITY

27 NATIONAL ECONOMIC EMPOWERMENT COUNCIL (NEEC)

28 NZEGA DISTRICT COUNCIL

29 OCCUPATIONAL SAFETY AND HEALTH AUTHORITY (OSHA)

30 PRESIDENT OFFICE- REGIONAL ADMINISTRATIVE AND LOCAL GOVERNMENT

31 PRESIDENT’S OFFICE-PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNMENT

32 PRIME MINISTER‘S OFFICE, LABOUR, YOUTH EMPLOYMENT AND PERSONS WITH DISABILITY

33 PUBLIC SERVICE COMMINISION (PSC)

34 ROMBO DISTRICT COUNCIL

35 ETHICS SECRETARIAT

36 SHINYANGA DISTRICT COUNCIL

37 SUMBAWANGA DISTRICT COUNCIL

38 TANZANIA AGRICULTURAL DEVELOPMENT BANK LIMITED (TADB)

39 TANZANIA AIRPORT AUTHORITY (TAA)

40 TANZANIA BUREAU OF STANDARDS (TBS)

41 TANZANIA ELECTRICAL MECHANICAL AND ELECTRONICS SERVICES AGENCY (TEMESA)

42 TANZANIA MEAT BOARD

43 TANZANIA METEOROLOGICAL AGENCY (TMA)

44 TANZANIA NATIONAL ROAD AGENCY (TANROADS)

45 TANZANIA SOCIAL ACTION FUND (TASAF)

46 TEMEKE DISTRICT COUNCIL

Page 146: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

146

Na.

TAASISI

47 TANZANIA TOBACCO BOARD (TTB)

48 TANZANIA COMMISSION FOR UNIVERSITIES (TCU)

49 GOVERNMENT PROCUREMENT SERVICES AGENCY (GPSA)

50 REGISTRATION INSOLVENCY AND TRUSTEESHIP AGENCY (RITA)

51 BUSINESS REGISTRATION AND LICENSING AGENCY (BRELA)

52 WEIGHT AND MEASURE AGENCY (WMA)

53 WORKERS COMPENSATION FUND (WCF)

54 MINISTRY OF COMMUNITY DEVELOPMENT, GENDER AND CHILDREN

55 MINISTRY OF LANDS, HOUSING AND HUMAN SETTLEMENTS DEVELOPMENTS

56 MINISTRY OF EDUCATION, SCIENCE AND TECHNOLOGY

57 MINISTRY OF FINANCE AND PLANNING

58 MINISTRY OF AGRICULTURE, LIVESTOCK AND FISHERIES (AGRICULTURE)

59 MINISTRY OF AGRICULTURE, LIVESTOCK AND FISHERIES (LIVESTOCK)

60 MINISTRY OF WATER

61 MINISTRY OF TOURISM AND NATURAL RESOURCES

62 MINISTRY OF HOME AFFAIRS

63 MINISTRY OF MINERALS

64 MINISTRY OF WORKS, TRANSPORT AND COMMUNICATIONS (TRANSPORT)

65 MINISTRY OF WORKS, TRANSPORT AND COMMUNICATIONS (CONSTRUCTION)

66 TANZANIA POSTS CORPORATION (TPC)

67 MINISTRY OF DEFENCE AND NATIONAL SERVICE (MODANS)

68 WORKERS COMPESATION FUND (WCF)

69 ARUSHA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY (AUWSA)

70 RELI ASSEST HOLDING COMPANY

71 TANZANIA GOVERNMENT CHEMISTRY LABORATORY AGENCVY (GCL)

72 TANZANIA POSTS CORPORATIONS (TPC)

73 PHARMACY COUNCIL OF TANZANIA

74 TANZANIA SHIPPING AGENCIES CORPORATION (TASAC)

75 TANZANIA WILDLIFE MANAGEMENT AUTHORITY (TAWA)

Page 147: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

147

KIAMBATANISHO NA 8

TAASISI ZILIZOWEZESHWA KUHIFADHI MIFUMO KWENYE VITUO VYA

KUHIFADHI TAARIFA NA MIFUMO YA SERIKALI (GOVERNMENT DATA

CENTRES)

Na. TAASISI

1 TANZANIA SOCAIL ACTION FUND (TASAF)

2 MUHIMBILI ORTHOPAEDIC INSTITUTE (MOI)

3 PRERSIDENT’S OFFICE - REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

4 NATIONAL HEALTH INSURANCE FUND (NHIF)

5 MINISTRY OF WATER

6 THE JUDICIARY OF TANZANIA

7 TANZANIA COMMISSION FOR UNIVERSITIES (TCU)

8 MINISTRY OF WORKS, TRANSPORT AND COMMUNICATION (WORKS)

9 ENERGY AND WATER UTILITIES REGULATORY AUTHORITY (EWURA)

10 SOCIAL SECURITY REGULATORY AUTHORITY (SSRA)

11 MINISTRY OF EDUCATION, SCIENCE AND TECHNOLOGY (ESMIS)

12 MEDICAL STORE DEPARTMENT (MSD)

13 WEIGHT AND MEASURES AGENCY (WMA)

14 PUBLIC PROCUREMENT REGULATORY AUTHORITY (PPRA)

15 TANZANIA LIVESTOCK RESERACH INSTITUTE (TALIRI)

16 SMALL INDUSTRIES DEVELOPMENT ORGANISATION (SIDO)

17 MINISTRY OF INDUSTRY, TRADE AND INVESTMENT

18 REGISTRATION INSOLVENCY AND TRUSTEESHIP AGENCY (RITA)

19 NATIONAL BUREAU OF STATISTICS (NBS)

20 WORKER’S COMPENSATION FUND (WCF)

21 ETHICS SECRETARIAT

22 GOVERNMENT PROCUREMENT SERVICES AGENCY (GPSA)

23 ARDHI INSTITUTE TABORA (ARITA)

24 OCEAN ROAD CANCER INSTITUTE (ORCI)

25 TROPICAL PPESTICIDS RESEARCH INSTITUTE (TPRI)

26 MINISTRY OF LIVESTOCK AND FISHERIES

27 ROADS FUND BOARD (RFB)

28 MINISTRY OF HEALTH, COMMUNITY DEVELOPMENT, GENDER, ELDERLY AND CHILDREN/CHAI

29 OFFICE OF THE INSPECTOR GENERAL

Page 148: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

148

Na. TAASISI

30 MINISTRY OF FINANCE AND PLANNING

31 TANZANIA PORTS AUTHORITY (TPA)

32 DAR ES SALAAM INSTITUTE OF TECHNOLOGY (DIT)

33 DAR ES SALAAM MARITIME INSTITUTE (DMI)

34 TANZANIA BROADCASTING CORPORATION (TBC)

35 PROCUREMENT AND SUPPLIES PROFESSIONALS AND TECHNICIANS BOARD (PSPTB)

36 TANZANIA FIRE AND RESCUE FORCE

37 TANZANIA FOOD AND DRUGS AUTHORITY (TFDA)

38 BANDARI COLLEGE

39 NATIONAL ECONOMIC EMPOWERING COUNCIL (NEEC)

40 TANZANIA INSURANCE REGULATORY AUTHORITY (TIRA)

41 MINISTRY OF CONSTITUTIONAL AND LEGAL AFFAIRS

42 NATIONAL COLLEGE OF TOURISM

43 PUBLIC SERVICE COMMISSION (PSC)

KIAMBATANISHO NA 9

MAJINA YA TOVUTI ZILIZOTENGENEZWA

Na. JINA LA TOVUTI

1 alat.go.tz

2 arusha.go.tz

3 arushacc.go.tz

4 arushadc.go.tz

5 arushamc.go.tz

6 babatidc.go.tz

7 babatitc.go.tz

8 bagamoyodc.go.tz

9 bahidc.go.tz

10 bariadidc.go.tz

11 bariaditc.go.tz

12 biharamulodc.go.tz

13 buchosadc.go.tz

14 buhigwedc.go.tz

Page 149: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

149

Na. JINA LA TOVUTI

15 bukobadc.go.tz

16 bukobamc.go.tz

17 bukombedc.go.tz

18 bumbulidc.go.tz

19 bundadc.go.tz

20 bundatc.go.tz

21 busegadc.go.tz

22 busokelodc.go.tz

23 butiamadc.go.tz

24 chalinzedc.go.tz

25 chamwinodc.go.tz

26 chatodc.go.tz

27 chembadc.go.tz

28 chunyadc.go.tz

29 dcc.go.tz

30 ddca.go.tz

31 dodoma.go.tz

32 dodomacc.go.tz

33 dodomacc2.go.tz

34 dsm.go.tz

35 gairodc.go.tz

36 geita.go.tz

37 geitadc.go.tz

38 geitatc.go.tz

39 haidc.go.tz

40 hanangdc.go.tz

41 handenidc.go.tz

42 handenitc.go.tz

43 ifakaratc.go.tz

44 igungadc.go.tz

45 ikungidc.go.tz

46 ilalamc.go.tz

Page 150: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

150

Na. JINA LA TOVUTI

47 ilejedc.go.tz

48 ilemelamc.go.tz

49 irambadc.go.tz

50 iringa.go.tz

51 iringadc.go.tz

52 iringamc.go.tz

53 itigidc.go.tz

54 itilimadc.go.tz

55 kagera.go.tz

56 kahamatc.go.tz

57 kakonkodc.go.tz

58 kalambodc.go.tz

59 kaliuadc.go.tz

60 karagwedc.go.tz

61 karatudc.go.tz

62 kasuludc.go.tz

63 kasulutc.go.tz

64 katavi.go.tz

65 kibahadc.go.tz

66 kibahatc.go.tz

67 kibitidc.go.tz

68 kibondodc.go.tz

69 kigambonimc.go.tz

70 kigoma.go.tz

71 kigomadc.go.tz

72 kigomaujijimc.go.tz

73 kilimanjaro.go.tz

74 kilindidc.go.tz

75 kilolodc.go.tz

76 kilomberodc.go.tz

77 kilomberotc.go.tz

78 kilosadc.go.tz

Page 151: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

151

Na. JINA LA TOVUTI

79 kilwadc.go.tz

80 kinondonimc.go.tz

81 kisarawedc.go.tz

82 kishapudc.go.tz

83 kitetodc.go.tz

84 kondoadc.go.tz

85 kondoatc.go.tz

86 kongwadc.go.tz

87 korogwedc.go.tz

88 korogwetc.go.tz

89 kwimbadc.go.tz

90 kyeladc.go.tz

91 kyerwadc.go.tz

92 lindi.go.tz

93 lindidc.go.tz

94 lindimc.go.tz

95 liwaledc.go.tz

96 longidodc.go.tz

97 ludewadc.go.tz

98 lushotodc.go.tz

99 madabadc.go.tz

100 maelezo.go.tz

101 mafiadc.go.tz

102 mafingadc.go.tz

103 mafingatc.go.tz

104 magudc.go.tz

105 makambakotc.go.tz

106 maketedc.go.tz

107 makuwasa.go.tz

108 malinyidc.go.tz

109 manyara.go.tz

110 manyonidc.go.tz

Page 152: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

152

Na. JINA LA TOVUTI

111 mara.go.tz

112 masasidc.go.tz

113 masasitc.go.tz

114 maswadc.go.tz

115 mbaralidc.go.tz

116 mbeya.go.tz

117 mbeyacc.go.tz

118 mbeyadc.go.tz

119 mbingadc.go.tz

120 mbingatc.go.tz

121 mbogwedc.go.tz

122 mbozidc.go.tz

123 mbuludc.go.tz

124 mbulutc.go.tz

125 meatudc.go.tz

126 merudc.go.tz

127 missenyidc.go.tz

128 misungwidc.go.tz

129 mkalamadc.go.tz

130 mkingadc.go.tz

131 mkurangadc.go.tz

132 mleledc.go.tz

133 mombadc.go.tz

134 mondulidc.go.tz

135 morogoro.go.tz

136 morogorodc.go.tz

137 morogoromc.go.tz

138 moshidc.go.tz

139 moshimc.go.tz

140 mpandadc.go.tz

141 mpandamc.go.tz

142 mpandatc.go.tz

Page 153: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

153

Na. JINA LA TOVUTI

143 mpimbwedc.go.tz

144 mpwapwadc.go.tz

145 msalaladc.go.tz

146 mtwara.go.tz

147 mtwaradc.go.tz

148 mtwaramikindanimc.go.tz

149 mufindidc.go.tz

150 muhezadc.go.tz

151 mulebadc.go.tz

152 musomadc.go.tz

153 musomamc.go.tz

154 mvomerodc.go.tz

155 mwangadc.go.tz

156 mwanza.go.tz

157 mwanzacc.go.tz

158 nachingweadc.go.tz

159 namtumbodc.go.tz

160 nanenanezima.go.tz

161 nanyambatc.go.tz

162 nanyumbudc.go.tz

163 newaladc.go.tz

164 newalatc.go.tz

165 ngaradc.go.tz

166 ngorongorodc.go.tz

167 njombe.go.tz

168 njombedc.go.tz

169 njombetc.go.tz

170 nkasidc.go.tz

171 nsimbodc.go.tz

172 nyanghwaledc.go.tz

173 nyasadc.go.tz

174 nzegadc.go.tz

Page 154: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

154

Na. JINA LA TOVUTI

175 nzegatc.go.tz

176 panganidc.go.tz

177 pwani.go.tz

178 rombodc.go.tz

179 roryadc.go.tz

180 ruangwadc.go.tz

181 rufijidc.go.tz

182 rukwa.go.tz

183 rungwedc.go.tz

184 ruvuma.go.tz

185 samedc.go.tz

186 sengeremadc.go.tz

187 serengetidc.go.tz

188 shinyanga.go.tz

189 shinyangadc.go.tz

190 shinyangamc.go.tz

191 sihadc.go.tz

192 sikongedc.go.tz

193 simanjirodc.go.tz

194 simiyu.go.tz

195 singida.go.tz

196 singidadc.go.tz

197 singidamc.go.tz

198 songeadc.go.tz

199 songeamc.go.tz

200 songwe.go.tz

201 songwedc.go.tz

202 sumbawangadc.go.tz

203 sumbawangamc.go.tz

204 tabora.go.tz

205 taboradc.go.tz

206 taboramc.go.tz

Page 155: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

155

Na. JINA LA TOVUTI

207 tamisemi.go.tz

208 tandahimbadc.go.tz

209 tanga.go.tz

210 tangacc.go.tz

211 tarimedc.go.tz

212 tarimetc.go.tz

213 temekemc.go.tz

214 tundumatc.go.tz

215 tundurudc.go.tz

216 ubungomc.go.tz

217 ukerewedc.go.tz

218 ulangadc.go.tz

219 urambodc.go.tz

220 ushetudc.go.tz

221 uvinzadc.go.tz

222 wangingombedc.go.tz

KIAMBATANISHO NA 10

TAASISI ZILIZOUNGANISHWA KATIKA MFUMO WA MALIPO YA SERIKALI

KWA NJIA YA MTANDAO (GOVERNMANE e-PAYMENT GATEWAY-GEPG)

Na. TAASISI

1 TEMEKE MUNICIPAL COUNCIL

2 TANZANIA ELECTRIC SUPPLY COMPANY LIMITED

3 MINISTRY OF ENERGY AND MINERALS

4 TANZANIA PORTS AUTHORITY

5 TANZANIA FOREST SERVICE AGENCY

6 MINISTRY OF LANDS, HOUSING AND HUMAN SETTLEMENTS DEVELOPMENT

7 IMMIGRATION SERVICES DEPARTMENT

8 TANZANIA NATIONAL PARKS

9 TANZANIA POLICE FORCE

10 DAR ES SALAAM WATER AND SEWERAGE CORPORATION

11 TANZANIA COMMUNICATIONS REGULATORY AUTHORITY

Page 156: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

156

Na. TAASISI

12 PMO - LABOUR, YOUTH, EMPLOYMENT AND PERSONS WITH DISABILITY

13 TANZANIA BUREAU OF STANDARDS

14 ENERGY AND WATER UTILITIES REGULATORY AUTHORITY

15 MEDICAL STORES DEPARTMENT

16 DODOMA CITY COUNCIL

17 TANZANIA REVENUE AUTHORITY

18 DAR RAPID TRANSIT AGENCY (BUS FARE TICKETING)

19 NATIONAL HOUSING CORPORATION

20 MAMLAKA YA MAJI NA USAFI WA MAZINGIRA JIJINI MWANZA

21 HIGHER EDUCATION STUDENTS LOANS BOARD

22 UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM

23 UNIVERSITY OF DODOMA

24 WEIGHTS AND MEASURES AGENCY

25 MINISTRY OF INDUSTRY,TRADE AND INVESTMENT

26 MINISTRY OF LIVESTOCK AND FISHERIES-FISHERIES

27 DODOMA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY

28 MINISTRY OF LIVESTOCK AND FISHERIES-LIVESTOCK

29 BUSINESS REGISTRATIONS AND LICENSING AGENCY

30 INSTITUTE OF FINANCE MANAGEMENT

31 OCCUPATIONAL SAFETY AND HEALTH AUTHORITY(OSHA)

32 MINING COMMISSION

33 WORKERS COMPENSATION FUND

34 GOVERNMENT CHEMIST LABORATORY AUTHORITY

35 TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY

36 TANZANIA BUILDINGS AGENCY

37 SURFACE AND MARINE TRANSPORT REGULATORY AUTHORITY

38 ARUSHA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY

39 TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNTANCY

40 ARDHI UNIVERSITY

41 ARUSHA CITY COUNCIL

42 SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE

43 MWANZA CITY COUNCIL

44 TANZANIA CIVIL AVIATION AUTHORITY

45 TANZANIA FOOD AND DRUGS AUTHORITY

46 NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA

47 REGISTRATION INSOLVENCY AND TRUSTEESHIP AGENCY

48 GEITA TOWN COUNCIL

49 MOSHI CO-OPERATIVE UNIVERSITY

Page 157: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

157

Na. TAASISI

50 MUHIMBILI NATIONAL HOSPITAL

51 THE OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA.

52 UBUNGO MUNICIPAL COUNCIL

53 JUDICIARY FUND

54 ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

55 KAHAMA TOWN COUNCIL

56 MBEYA CITY COUNCIL

57 CHALINZE DISTRICT COUNCIL

58 MINISTRY OF NATURAL RESOURCE AND TOURISM-TOURISM DIVISION

59 TANGA CITY COUNCIL

60 IRINGA URBAN WATER SUPPLY AUTHORITY

61 KINONDONI MUNICIPAL COUNCIL

62 TANZANIA ATOMIC ENERGY COMMISSION

63 NATIONAL BOARD OF ACCOUNTANTS AND AUDITORS

64 TANZANIA NATIONAL ROAD AGENCY

65 ILALA MUNICIPAL COUNCIL

66 TANZANIA FERTILIZER REGULATORY AUTHORITY

67 MKURANGA DISTRICT COUNCIL

68 GEITA DISTRICT COUNCIL

69 KIBAHA TOWN COUNCIL

70 INSTITUTE OF ACCOUNTANCY ARUSHA

71 MOSHI MUNICIPAL COUNCIL

72 INSTITUTE OF RURAL DEVELOPMENT PLANNING

73 TANZANIA RURAL AND URBAN ROADS AGENCY

74 MZUMBE UNIVERSITY

75 TUNDUMA TOWN COUNCIL

76 MBEYA UNIVERSITY OF SCIENCE AND TECHNOLOGY

77 MOSHI DISTRICT COUNCIL

78 TARIME DISTRICT COUNCIL

79 KARATU DISTRICT COUNCIL

80 KILOMBERO DISTRICT COUNCIL

81 MBARALI DISTRICT COUNCIL

82 TANZANIA RAILWAYS CORPORATION

83 MOROGORO MUNICIPAL COUNCIL

84 MISUNGWI DISTRICT COUNCIL

85 KALIUA DISTRICT COUNCIL

86 VOCATIONAL EDUCATION AND TRAINING AUTHORITY

87 MWANGA DISTRICT COUNCIL

Page 158: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

158

Na. TAASISI

88 MULEBA DISTRICT COUNCIL

89 MUFINDI DISTRICT COUNCIL

90 NJOMBE TOWN COUNCIL

91 KIGAMBONI MUNICIPAL COUNCIL

92 MUHIMBILI UNIVERSITY OF HEALTH AND ALLIED SCIENCES

93 MBEYA DISTRICT COUNCIL

94 SHINYANGA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY

95 MBINGA DISTRICT COUNCIL

96 PHARMACY COUNCIL OF TANZANIA

97 KILWA DISTRICT COUNCIL

98 KISHAPU DISTRICT COUNCIL

99 SINGIDA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY

100 HANANG DISTRICT COUNCIL

101 TANZANIA TREE SEED AGENCY

102 NATIONAL COUNCIL FOR TECHNICAL EDUCATION

103 TANZANIA VETERINARY LABORATORY AGENCY

104 USHETU DISTRICT COUNCIL

105 TANZANIA PUBLIC SERVICE COLLEGE

106 MEATU DISTRICT COUNCIL

107 THE MWALIMU NYERERE MEMORIAL ACADEMY

108 MBOZI DISTRICT COUNCIL

109 MISENYI DISTRICT COUNCIL

110 IRINGA MUNICIPAL COUNCIL

111 GOTHOMIS - MWANANYAMALA REGIONAL REFERRAL HOSPITAL

112 TABORA MUNICIPAL COUNCIL

113 ARUSHA TECHNICAL COLLEGE

114 KISARAWE DISTRICT COUNCIL

115 MAFINGA TOWN COUNCIL

116 RUNGWE DISTRICT COUNCIL

117 MPWAPWA DISTRICT COUNCIL

118 SINGIDA MUNICIPAL COUNCIL

119 MUHEZA DISTRICT COUNCIL

120 SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

121 MUSOMA MUNICIPAL COUNCIL

122 NGORONGORO DISTRICT COUNCIL

123 HAI DISTRICT COUNCIL

124 MAKAMBAKO TOWN COUNCIL

125 MPANDA DISTRICT COUNCIL

Page 159: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

159

Na. TAASISI

126 KONGWA DISTRICT COUNCIL

127 MINISTRY OF EDUCATION,SCIENCE AND TECHNOLOGY

128 MINISTRY OF AGRICULTURE

129 DAR ES SALAAM INSTITUTE OF TECHNOLOGY INSTITUTE OF ADULT EDUCATION E-GOVERNMENT AGENCY

130 BABATI DISTRICT COUNCIL

131 KILOLO DISTRICT COUNCIL

132 LOCAL GOVERNMENT TRAINING INSTITUTE

133 KYELA DISTRICT COUNCIL

134 SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

135 LIVESTOCK TRAINING AGENCY

136 ROADS FUND BOARD

137 SIKONGE DISTRICT COUNCIL

138 KILOSA DISTRICT COUNCIL

139 MPANDA TOWN COUNCIL

140 TENGERU INSTITUTE OF COMMUNITY DEVELOPMENT

141 MOROGORO URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY

142 MASWA DISTRICT COUNCIL

143 KASULU TOWN COUNCIL

144 SERENGETI DISTRICT COUNCIL

145 BUCHOSA DISTRICT COUNCIL

146 MTWARA/MIKINDANI MUNICIPAL COUNCIL

147 SHINYANGA MUNICIPAL COUNCIL

148 NZEGA DISTRICT COUNCIL

149 UYUI DISTRICT COUNCIL

150 ROMBO DISTRICT COUNCIL

151 BUNDA TOWN COUNCIL

152 TANZANIA AIRPORTS AUTHORITY

153 TANZANIA FIRE AND RESCUE FORCE

154 KIBAHA DISTRICT COUNCIL

155 NKASI DISTRICT COUNCIL

156 NATIONAL COUNCIL FOR TECHNICAL EDUCATION (NACTE)

157 IRINGA DISTRICT COUNCIL

158 KITETO DISTRICT COUNCIL

159 MVOMERO DISTRICT COUNCIL

160 SHINYANGA DISTRICT COUNCIL

161 MUSOMA WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY

162 MALINYI DISTRICT COUNCIL

Page 160: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

160

Na. TAASISI

163 KIBONDO DISTRICT COUNCIL

164 KARIAKOO MARKET CORPORATION

165 KAHAMA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY

166 MOSHI URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY

167 SONGWE DISTRICT COUNCIL

168 MAGU DISTRICT COUNCIL

169 CHUNYA DISTRICT COUNCIL

170 SIMANJIRO DISTRICT COUNCIL

171 MTWARA DISTRICT COUNCIL

172 BUKOBA MUNICIPAL COUNCIL

173 BUKOMBE DISTRICT COUNCIL

174 IKUNGI DISTRICT COUNCIL

175 URAMBO DISTRICT COUNCIL

176 KASULU DISTRICT COUNCIL

177 IGUNGA DISTRICT COUNCIL

178 LONGIDO DISTRICT COUNCIL

179 NJOMBE DISTRICT COUNCIL

180 KILINDI DISTRICT COUNCIL

181 BARIADI DISTRICT COUNCIL

182 ARUSHA DISTRICT COUNCIL

183 MERU DISTRICT COUNCIL

184 TABORA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY

185 IFAKARA TOWN COUNCIL

186 LUSHOTO DISTRICT COUNCIL

187 KYERWA DISTRICT COUNCIL

188 NZEGA TOWN COUNCIL

189 CHAMWINO DISTRICT COUNCIL

190 KWIMBA DISTRICT COUNCIL

191 HANDENI DISTRICT COUNCIL

192 BABATI TOWN COUNCIL

193 RUANGWA DISTRICT COUNCIL

194 MONDULI DISTRICT COUNCIL

195 UKEREWE DISTRICT COUNCIL

196 IMMIGRATION SERVICES DEPARTMENT ZANZIBAR

197 BARIADI TOWN COUNCIL

198 BAGAMOYO DISTRICT COUNCIL

199 ULANGA DISTRICT COUNCIL

200 SUMBAWANGA DISTRICT COUNCIL

Page 161: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

161

Na. TAASISI

201 DAR ES SALAAM MARITIME INSTITUTE

202 DAR ES SALAAM CITY COUNCIL

203 MOROGORO DISTRICT COUNCIL

204 WANGING'OMBE DISTRICT COUNCIL

205 TANDAHIMBA DISTRICT COUNCIL

206 LIWALE DISTRICT COUNCIL

207 KIGOMA/UJIJI MUNICIPAL COUNCIL

208 ITIGI DISTRICT COUNCIL

209 MPIMBWE DISTRICT COUNCIL

210 SAME DISTRICT COUNCIL

211 NGARA DISTRICT COUNCIL

212 KIBITI DISTRICT COUNCIL

213 CHEMBA DISTRICT COUNCIL

214 CHATO DISTRICT COUNCIL

215 MBINGA TOWN COUNCIL

216 BIHARAMULO DISTRICT COUNCIL

217 ITILIMA DISTRICT COUNCIL

218 MUSOMA DISTRICT COUNCIL

219 BUKOBA DISTRICT COUNCIL

220 KARAGWE DISTRICT COUNCIL

221 BUSEGA DISTRICT COUNCIL

222 MAKETE DISTRICT COUNCIL

223 MSALALA DISTRICT COUNCIL

224 TANZANIA LIBRARY SERVICES BOARD

225 RUFIJI DISTRICT COUNCIL

226 MANYONI DISTRICT COUNCIL

227 NELSON MANDELA AFRICAN INSTITUTE OF SCIENCE AND TECHNOLOGY

228 IRAMBA DISTRICT COUNCIL

229 MBULU DISTRICT COUNCIL

230 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL

231 GOVERNMENT PRINTER

232 BUSOKELO DISTRICT COUNCIL

233 NACHINGWEA DISTRICT COUNCIL

234 KOROGWE TOWN COUNCIL

235 BUNDA DISTRICT COUNCIL

236 MAFIA DISTRICT COUNCIL

237 STATE MINING CORPORATION

238 TANZANIA OFFICIAL SEED CERTIFICATION INSTITUTE

Page 162: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

162

Na. TAASISI

239 MKALAMA DISTRICT COUNCIL

240 BAHI DISTRICT COUNCIL

241 TANZANIA BROADCASTING CORPORATION

242 LINDI DISTRICT COUNCIL

243 MASASI TOWN COUNCIL

244 DAR RAPID TRANSIT AGENCY(OTHER SOURCES)

245 BUTIAMA DISTRICT COUNCIL

246 UVINZA DISTRICT COUNCIL

247 SIHA DISTRICT COUNCIL

248 LUDEWA DISTRICT COUNCIL

249 TUNDURU DISTRICT COUNCIL

250 NYANG'HWALE DISTRICT COUNCIL

251 LINDI MUNICIPAL COUNCIL

252 KALAMBO DISTRICT COUNCIL

253 MAGOMENI HEALTH CENTER

254 KOROGWE DISTRICT COUNCIL

255 NAMTUMBO DISTRICT COUNCIL

256 HANDENI TOWN COUNCIL

257 RORYA DISTRICT COUNCIL

258 KONDOA TOWN COUNCIL

259 NATIONAL IDENTIFICATION AUTHORITY

260 PRIVATE HOSPITAL ADVISORY BOARD

261 TARIME TOWN COUNCIL

262 CAPITAL MARKETS AND SECURITIES AUTHORITY

263 KONDOA DISTRICT COUNCIL

264 PANGANI DISTRICT COUNCIL

265 MKINGA DISTRICT COUNCIL

266 ILEJE DISTRICT COUNCIL

267 PROCUREMENT AND SUPPLIES PROFESSIONALS AND TECHNICIANS BOARD

268 TANZANIA WILDLIFE RESEARCH INSTITUTE

269 AMANA HOSPITAL

270 NEWALA TOWN COUNCIL

271 MARINE SERVICES COMPANY LIMITED

272 ARUSHA INTERNATIONAL CONFERENCE CENTRE

273 MINISTRY OF WATER

274 MOMBA DISTRICT COUNCIL

275 SINGIDA DISTRICT COUNCIL

276 MBOGWE DISTRICT COUNCIL

Page 163: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

163

Na. TAASISI

277 GAIRO DISTRICT COUNCIL

278 MAKAMBAKO UWASA

279 NATIONAL FISHERIES LABORATORY-NYEGEZI

280 SONGEA DISTRICT COUNCIL

281 MINISTRY OF HEALTH, COMMUNITY DEVELOPMENT, GENDER, ELDERLY AND CHILDREN-COMMUNITY DEVELOPMENT

282 TANZANIA COMMISSION FOR SCIENCE AND TECHNOLOGY

283 TANZANIA WILDLIFE MANAGEMENT AUTHORITY

284 MKWAWA UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION

285 MBULU TOWN COUNCIL

286 NANYUMBU DISTRICT COUNCIL

287 NYASA DISTRICT COUNCIL

288 TANZANIA INSURANCE REGULATORY AUTHORITY

289 PRIVATE HEALTH LABORATORIES BOARD

290 BUKOBA WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY

291 NSIMBO DISTRICT COUNCIL

292 NATIONAL ARTS COUNCIL OF TANZANIA – BASATA

293 MASASI DISTRICT COUNCIL

294 KIGOMA DISTRICT COUNCIL

295 MLELE DISTRICT COUNCIL

296 KILIMANJARO AIRPORTS DEVELOPMENT COMPANY

297 NATIONAL SWAHILI COUNCIL - BAKITA

298 BUHIGWE DISTRICT COUNCIL

299 TANZANIA LIVESTOCK RESEARCH INSTITUTE

300 NEWALA DISTRICT COUNCIL

301 BUMBULI DISTRICT COUNCIL

302 MINISTRY OF INFORMATION,CULTURE,ARTS AND SPORTS

303 MADABA DISTRICT COUNCIL

304 KAKONKO DISTRICT COUNCIL

305 COPYRIGHT SOCIETY OF TANZANIA

306 LIVESTOCK MULTIPLICATION UNIT MABUKI

307 NATIONAL ARTIFICIAL INSEMINATION CENTRE

308 GEOLOGICAL SURVEY OF TANZANIA

309 NATIONAL COLLEGE OF TOURISM

310 GEITA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY

311 AGENCY FOR THE DEVELOPMENT OF EDUCATIONAL MANAGEMENT ( ADEM )

312 SONGEA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY

313 NANYAMBA TOWN COUNCIL

Page 164: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

164

Na. TAASISI

314 OPTOMETRY COUNCIL OF TANZANIA

315 TANZANIA NURSING AND MIDWIFERY COUNCIL

316 MBEYA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY

317 KAHAMA SHINYANGA WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY

318 MTWARA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY

319 HEALTH LABORATORY PRACTITIONERS COUNCIL

320 TANZANIA INSTITUTE OF EDUCATION

321 ANTIQUITIES DIVISION

322 NATIONAL SPORTS COUNCIL

323 DAR ES SALAAM UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION

324 FISHERIES EDUCATION AND TRAINING AGENCY

325 LIVESTOCK MULTIPLICATION UNIT SAOHILL

326 VIKUGE PASTURE SEED FARM

327 TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO

328 NATIONAL MUSEUM OF TANZANIA

329 ENVIRONMENTAL HEALTH PRACTITIONER REGISTRATION COUNCIL

330 THE PUBLIC PROCUREMENT REGULATORY AUTHORITY

331 LIVESTOCK MULTIPLICATION UNIT NANGARAMO

332 LIVESTOCK MULTIPLICATION UNIT NGERENGERE

333 INTERNAL DRAINAGE BASIN WATER BOARD

334 RADIOLOGY AND IMAGING PROFESSIONAL COUNCIL

335 TROPICAL PESTICIDES RESEARCH INSTITUTE LANGWIRA PASTURE SEED PROJECT

336 TANZANIA COMMISSION FOR UNIVERSITIES

337 LIVESTOCK MULTIPLICATION UNIT KITULO

338 LAKE NYASA BASIN WATER BOARD

339 TREASURY REGISTRAR

340 PANGANI BASIN WATER BOARD

341 TANZANIA POSTS CORPORATION

342 MASASI-NACHINGWEA WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY

343 INSTITUTE OF SOCIAL WORK

344 LAKE RUKWA BASIN WATER BOARD

345 CHALINZE WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY

346 LINDI URBAN WATER AND SANITATION AUTHORITY

347 JAKAYA KIKWETE CARDIAC INSTITUTE

348 MWALIMU JULIUS K. NYERERE UNIVERSITY OF AGRICULTURE AND TECHNOLOGY

349 OCEAN ROAD CANCER INSTITUTE

350 ACCOUNTANT GENERAL'S DEPARTMENT

351 TANZANIA EDUCATION AUTHORITY

Page 165: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS ......Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

165

Na. TAASISI

352 TANZANIA PETROLEUM DEVELOPMENT CORPORATION

353 TANZANIA COFFEE BOARD

354 PRESIDENT'S OFFICE REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT ( HAWKERS' ID CARD )

355 BENJAMIN MKAPA HOSPITAL