imeidhinishwa na tume ya kongamano kuu. imechapishwa na … · 2020-01-23 · cu inakuza...

56
Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na kusambazwa na Jumba la Uchapishaji la Muungano wa Methodisti.

Upload: others

Post on 10-Jul-2020

3 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa nakusambazwa na Jumba la Uchapishaji la Muungano wa Methodisti.

Page 2: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

Ripoti (Habari)

Buka la 1

Kijitabu cha Wajumbe

Barua kutoka kwa Tume juuya Conférence Générale. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 4

Buka la 2, Sehemu ya 1

Comité ya Kanisa na JamiiRipoti ya Bodi Kuu ya Kanisa na Jamii . . . . . . . . . 125Ripoti ya Muda wa Miake Minne ya Hazine ya UKIMWI Ulimwenguni ya Methodiste Unie . . 129Ripoti ya Conseil Générale ya Kanisa na Jamii juu Marekebisho Kannuni ya Jamii. . . . . . 130Kanuni za Kijamii za Muungano wa Kimethodiste zenye Ziirekebishwa. . . . . . . . . . . 133Pendekezo ya Kutengeneza Sheriya, Comité 1. . . . 156Pendekezo ya Kutengeneza Sheriya, Comité 2. . . . 198Pendekezo ya Kutengeneza Sheriya, Comité 3. . . . 263

Comité ya Sheria ya Conférence Ripoti ya Comité ya Masomo na Mamulaka . . . . . 297Pendekezo ya Kutengeneza Sheriya . . . . . . . . . . . . 304

Comité ya Sheria ya UfuasiRipoti ya Bodi Kuu ya Ufuasi (Huduma za Ufuasi wa d/b/a) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 379Services za Uagizaji wa Huduma katika UMC . . . 384Kuimarisha Kanisa Nyeusi kwa 21st Siècle. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 385Mpango wa Kina wa Wamarekani Asilia . . . . . . . . 390Pendekezo ya Kutengeneza Sheriya . . . . . . . . . . . . 394

Comité ya Sheria ya Usimamiaji FedhaRipoti ya Baraza Kuu la Fedha na Utawala . . . . . . 427Ripoti ya Retraite ma Faida ya afya (Wespath) . . . 468

Muhtasari wa Ripoti ya Kwanza: Maeleao Jumla. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 468Ripoti Kwanza: Muhutasari ya Agence . . . . . 470Ripoti Pili: Mabadiliko Kulingana na Mabadiliko ya Aheria za Mitaa . . . . . . . . . 474Muhtasari wa Ripoti ya Tatu: Madeni yaFaida ya Muda Murefu ya Dhehebu (Confessionnelleb). . . . . . . . . . . . . . . . . . . 475Ripoti ya Tatu: Madeni ya Faida ya Muda Murefu ye Dhehebu (Confessionnelle) . . . 477Muhtasari wa Ripoti ya Inne: Rufaa kutoka kwa Conference Générale ya 2016 487Ripoti Ine: Rufaa kutoka kwa Conference Générale ya 2016 . . . . . . . . . . 489

Jumba la Uchapishaji la Muungano wa Methodisti (UMPH) Rezime ya Ripoti . . . 492Jumba la Uchapishaji la Muungano wa Methodisti (UMPH) Ripoti ya Quadrennial 494Ripoti ya Cantiques za Muungano wa Methodiste . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 502Pendekezo ya Kutengeneza Sheriya . . . . . . . 504

Buka la 2, Sehemu ya 2

Comité ya Sheria ya Utawala wa UtaratibuImetumwa kwa Upendo: Uelewa wa Muungano wa Methodiste za Kanisa . . . . . . . . . 589Pendekezo ya Kutengeneza Sheriya . . . . . . . . . . . . 616

Comité ya Sheria ya Utawala JumlaRipoti ya ufupisho kwa Mukutano Mukuu na Table ya Uunganisho. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 629Ripoti ya Table ya Uunganisho kwa Mukutano Mukuu. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 631Pendekezo ya Kutengeneza Sheriya . . . . . . . . . . . . 636

Comité ya Sheria ya Kuu ya Mawaziri wa Kimataifa Ripoti ya muhtasari wa Bodi Kuu ya Mawaziri wa Kimataifa. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 661Ripoti ya Bodi Kuu ya Huduma za Kimataifa . . . . 663Ripoti ya Mupango ya Huduma ya Lugha ya ba Américain Asiatique. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 682Ripoti juu ya Mupango ya Huduma ya Kikoreen . . 687Ripoti kuhusu Mupango ya Kitaifa ya Ministere Hispanique/Latino. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 692Ripoti kuhusu mupango wa uduma ku wakazi ba bisiwa Pacific . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 700Pendekezo ya Kutengeneza Sheriya . . . . . . . . . . . . 703

Kamati ya Kuduma juu ya Konganmano Kuu la Maeneo ya Kati

Ripoti ya Kamati ya Kudumu juu ya Mambo ya Mukutano Mukuu. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 725Brouillon ya Kitabu Kuu kya Adabu 2020 . . . . . . . 731Pendekezo ya Kutengeneza Sheriya . . . . . . . . . . . . 815

Comité ya Sheria ya Tume IndépendanteConseil ya Uwongozi wa Maaskofu mu Ministeres Oecuméniques ya Kushirikiana . . . . 825

Kiambatisho A: Ripoti ya quadrennat ya Commission ya Pan-Methodiste . . . . . . . . 830Kiambatisho B: Zawadi kwa Ulimwengu: Banafanya kazi ya Buponyaji ya Ukosefu Kanisa Episcopale na Kanisa Methodiste Unie Pendekezo ya Bushirika Kamili . . . . 835

586 DCA ya mapema

Page 3: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

Ripoti (Habari) 587

Ripoti ya Quadrennat ya Commission Generaleya Kumbukumbu na Historia . . . . . . . . . . . . . . . . . 842

Ripoti ya Kituo Patrimoine ya Methodiste yaafro-américaine . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 844

Ripoti ya Tume Kuu juu ya Dini na Race . . . . . . . . . . 846Ripoti ya Tume Kuu ya Mawasiliano ya Methodist

(Mawasiliano ya Methodiste Unie). . . . . . . . . . . . . 849Ripoti ya Commission Generale ya Hadhi na

Jukumu la Wanawake . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 851Ripoti ya banamuke Methodiste Unie . . . . . . . . . . . . . 853Ripoti ya Commission Mukubwa ya Banaume

Bamethodiste Unis . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 856Ripoti ya Kituo kya JUSTPEACE juu ya

Upatanishi na Ubadilishaji ya Vita wala Conflit. . . 858Pendekezo ya Kutengeneza Sheriya . . . . . . . . . . . . . . 859

Comité ya Sheria ya Utawala ya Mahakama (Tribunale)Pendekezo ya Kutengeneza Sheriya . . . . . . . . . . . . . . 915

Comité ya Sheria ya Kanisa la LocalePendekezo ya Kutengeneza Sheriya . . . . . . . . . . . . . . 941

Comité ya Sheria ya Elimu ya Juu na UsimamiziRipoti ya conseil general ya Elimu ya Juu na

ya ministere. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 949Ripoti ya Ushirika wa Shule za Kitheolojia

za Muungano wa Methodiste Unie . . . . . . . . . . . . . 952Ripoti ya Universite ya Afrika. . . . . . . . . . . . . . . . . . . 954Rapport ya conference centrale ya mufuko

ya ya fundisho ya theologie . . . . . . . . . . . . . . . . . . 956Pendekezo ya Kutengeneza Sheriya . . . . . . . . . . . . . . 958

Comité ya Huduma yenye IliwekwaRipoti ya Utafiti wa Ripoti ya Tume ya

Huduma. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 1003Buaminifu Takatifu: Cadre ya Kitheolojia kwa

Huduma yenye Iliwekwa katika Kanisa yaMuungano wa Methodiste . . . . . . . . . . . . . . . . . . 1005

Pendekezo ya Kutengeneza Sheriya . . . . . . . . . . . . . 1020

Buka la 3

Ripoti ya Baraza Kuu juu ya Fedha na Utawala . . . 1065

Page 4: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

949

Kuwatayarisha Viongozi kwa Kanisa Muhimu la Kote Ulimwenguni

Bodi Kuu ya Elimu ya Juu na Huduma (GBHEM) in-awaalika, kubawezesha, na kusaidiya viongozi wachungaji na washirika ambao ni baaminifu na fanisi ku mikutano ya waumini na ulimwengu. GBHEM inajumuisha ministere ya elimu na formation ya leadership mu tradition ya Wesleyan na Methodiste Unie, na inawatukiya viongozi wa kikristo benye bameumbiwa na muchakato wa engagement intellectuel, ya kiroho na ya tabia, na development ya uongozi.

Contexte ya simu

GBHEM inakuwa na mazingira ya nguvu ya ufahamu wa contexte ya appel na vocation yenye ina encourager viongozi wagunduzi na ba membres ba clergé kugundua, kudai, nak-ufanyikiwa ndani ya uduma na utume wa Mungu ku kanisa, académie na ulimwengu.

Ufikiaji Elimu

Ma viongozi laïcs nawa clergé biko formés mu tradition Wesleyan na Methodiste Unie (MU) kupitiya njiya yetu ya zaidi taasisi elfu moya Afrika, Asia, Bulaya, na Amerika ya Kusini. Ndani ya Etats Unis, zetu 13 UM masomo za theologie; 92 masomo, collèges na universités zenye ziko nahusiano na UM, na 520 uduma za collègiaux ziko divers, zinapanula upatikanaji ku elimu na inatayarisha génération ya viongozi benye banafuata ku connexion yote ya dunia.

Kushirikiana na uduma ya Ufuasi, Muradi ya Lecteur Electronique ya GBHEMinapana fursa nafuu yenye inaweza patikana kupata bitabu, bitabu bya référence, bibilia, na ma rasilimali za Wesleyman mu luga ya Anglais, Français, Es-pagnol na Portugais. Ba professeurs na banafunzi ba institus makumi mbili na makumi tatu za elimu ya Juu za thelogie zenye ziko na usiano na UM mu Afrika, Amerika Kusini, na Asia zinatumikisha izi rasilimali.

Ofisi ya Deni na Udhamini wa Bourses inapana zaidi ya mipango ya deni na udhamini wa kimasomo na kutunzana 6 million ya dollars katika usaidizi wa kifedha kila mwaka ku banafunzi wa shahada ya kwanza na theologique. Kutoka 2016, tumepana 16,5 millions ya dollars ku banafunzi 8.796

benye bamejiunga na Semainres pale Etats-Unis. Asilimia makumi ine ya benye banapokeya bametambulishiwa wa mbari/kabila.

Hazina ya Elimu ya Kihuduma (MEF) inasaidia shule makumi tatu za kitheolojia za UM nchini Marekani na mi-pango ya elimu ya kitheolojia ya Kozi ya Masomo ku bazee, mashemasi, na wachungaji wa ndani. MEF pia inagaramiya Conseils za Uduma zeneye ziko chargés na kuajiri na elimu ya clergé na inafanya mupango ya uduma ya GBHEM.

Kuimarisha tena na kusaidiya viongozi wa clergé

Uduma ya GBHEM ina encourager batu kusikiya, ku-gundua na kujibu wito ya Mungu.

Uchunguzi na Safari ya Kuelekeya Ministere yenye Ilipangiwa usomi uwongoza mamia ya banafunzi tafauti kuzingatiya uongozi ya kanisa. Kuitwa ni rasilimali yenye aina gharama inapatikana ku viongozi ba makanisa ya mitaa kusaidiya batoto, vijana na vijana bakubwa kum-buwa mito yabo.

Ministere ya ufanisi 360 ™ (EM360 ™) inatokana na recherche ya kina ya juu ya sifa zenye ba clergé banaitaji kufanyikiwa ndani ya ministere. Utaratibu ya formation ya EM360 inasaidiya clergé, congregations na ministeres ze-nye ziko nahusiano katika kufikiya mukutano na malengo ya kanisa na objectif ya uduma. Tangu 2016, EM360 imepanda kutoka tathmini ya awali ya kichungaji kuwa ni pamoya na modules za ma candidats ba uduma, banafunzi banye bame-andikishwa mu cours ya masomo, bashimamizi ba wilaya.

Iyi Muchakato ya tathmini ya mwaka ya munane (EYA), uliotumwa GC2016, ni shirikiano kati ya GBHEM, viongozi wa mukutano wa mwaka na Wespath. Kutumisha rasilimali na mufumo za EM360, EYA inasaidiya clergé kua-mua objectifs ya misingi na etapes zenyezinaitajika kukidhi. Système inaleta musaada na uwajibikaji wakati clergé itaku-tana na inapana ripoti ya objectifs zao na malengo ku muku-tano ya kila mwaka. EYA na EM360 zinatumika pamoya ili kuunda malezi ya clergé wakati yote ya uduma.

Kushughulikiya mahitaji yanayoibuka mu njia za ubuni-fu, mupya ya Centre ya Mazoezi ya Uchungaji Jumui-shi (CIPP) inajumuisha programme ya elimu ya uchungaji ya clinique iliyoidhinishwa, Utangulizi wa mafunzo ya

2017-2020 ripoti ya Quadrennial ya conseil general ya Elimu ya Juu na ya ministere

Elimu ya Juu na UsimamiziMUKUTANO MUKUU LA KANISA WA UMOJA WA METHODISTI

Buku la 2 Nashville, Tennessee

Page 5: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

950 DCA ya mapema

aumônerie ndani ya conferences centrales, na njia mupya za usimamizi wa kuonesha.

Kutosha formation theologique ya muktadha, GBHEM imeendeleza ushirika mupya ya ku cours ya elimu: Viongozi wa ministériel COS wa muda-mufupi wa Missouri, satellite ya mupya ya Amerindien COS, luga ya Portugais COS, na mukutano ya Bururundi COS. GBHEM inashirikiana na con-ferences centrales na hatua za misheni kupanula usaidizi kwa Conseils ya Ministeres iliamuliwa na viongozi wa wachunga-ji katika unganisho, na kutowa mafunzo ya BOM na uwongo-zi huko Eurasia, Afrika, na Asia.

Shirika la Kuidhinisha la Muungano wa Methodiste (UMEA) linahalalisha stakabadhi, kuwatetea na kuwasaidia wachungaji walioidhinishwa katika huduma zaidi ya kibam-bazi ya kanisa. Ivi sasa, 1.650 membres clergé banafanya kazi na UMEA (1.431 wameidhinishwa; 392 wamepitishwa kidi-ni). UMEA inaongoza développement mufumo ya ya maom-bi ya kushirikiana na wanachama wa Commission Pan-Meth-odiste na formation ya aumônerie ku conferences centrales.

Kuimarisha Elimu za juu zenye zinahusiana na Methodiste

Hazina ya Chuo Kikuu cha Afrika inaunga mukono mission muhimu ya Chuo Kikuu cha Afrika (AU). Kwa sasa, wanafunzi 1.800 wameandikishwa kwa muda kamili katika chuo cha karibu na mji wa Mutare, Zimbabwe. Zaidi ya 9.400 graduats biko na transformer Afrique kwa kutumika mu fasi za maana za uongozi. Ufadhili wa uaminifu unaohusishwa umesababisha upeanaji wa kudumu wa zaidi ya 77 millions des dollars na ku iwezesha chuo kikuu kuzidi malengo yake ya 50 millions des dollars ku kampenye ya uwekezaji zaidi katika maendeleo ya kitaaluma na miundombinu.

Jumuiya ya Kimataifa ya Shule za Methodiste, Maso-mo, na Vyuo Vikuu (IAMSCU) zina encourager ushirikiano, kubadilishana, na musaada kati ya taasisi zaidi ya elfu moja zinazohusiana na institus ya Methodiste ulimwenguni. IAMS-CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za kielimu kote ulim-wenguni. Tangu 2016, GBHEM imetosha 241 udhamini wa kimataifa kwa wanafunzi waliojiunga katika taasisi za IAMS-CU kupitiya Programme ya Ruzuku na Bourse (GRASP).

Association ya kitaifa ya Shule na Vyuo vya UMC (NASCUMC) inatengeneza programme na kuimarisha hu-siano wa kiellimu kupitiya unganisho ya UM katika taasisi za NASCUMC za U.S zina udumiya karibu banafunzi elfu mia tatu kila mwaka. Hivi karibuni, NASCUMC ilishirikiana na taasisi za dada kule Japan, iliandaa mupango wa Bomba la Uongozi kupanula bwawa la viongozi benye biko qualifié kutumikiya taasisi za Methodiste, na kuunda jukwaa ya fedha la pamoya la mipango ya chuo kikuu.

Hazina ya Elimu ya Ulimwengu ya Methodist ya Uen-delezaji Uongozi (MGEFLD) inatosha usaidizi ya kiufundi, udhamini wa kimasomo, na mafunzo ya uchangishaji ya fed-

ha. MGEFLD imeanzisha Kiti ya Uongozi, Elimu na Maende-leo (LEAD) kule Afrika, Asia, Bulaya, Amerika ya Kusini, na Amerika ya Kaskazini kukuza mitindo bora ya uongozi kwa misingi ya “maono ya pamoya, majukumu, na gharama.”

Hazina ya Chuo cha Weusi inasaidia vyuo na vyuo vi-kuu kumi na moya vya kihistoria vinavyohusiana na UM na kuonyesha jitihada endelevu ya Kanisa ya ufikiaji na uweze-shaji kupitiya elimu ya juu. Izi instituts zinaendelesha recher-che, kutunza vifaa, na kutengeneza mazingira ya kubalea bana-funzi zaidi ya elfu kumi na tano, nombre ya mukubwa muabo ni generation ya kwanza ya banafunzi kuenda ku universite.

Na alama tatu na ctalogue kubwa ya vitabu, GBHEM Kuchapisha husaidiyaa ku engager na kukomala maisha ya kielimu ya UMC. Uchapishaji wa GBHEM ni membre wa As-sociation ya Presses ya Vyombo na Habari ya Chuo Kikuu na majina zake hutambuliwa mara kwa mara na Tuzo za Saddlebag.

Uzima Uliyoamka: Muwongozo wa Semaines 8 ku Ustawi ya Wanafunzi inabafundisha, inabaongoza, na kushughulikia afya ya mwanafunzi na uzima kwa njiya ya utunzaji wa ma-zoezi uliothibitishwa kupunguza mikazo, kuboresha ujuzi wa umakini, na kusaidia kujenga uhusiano muzuri. Programme rahisi lakini ya mukubwa, inayowezesha na ba ministres ba vyuo vikuu, aumôniers, na taaluma ya maisha ya wanafunzi, inasaidiya wanafunzi wanaopambana na changamoto za leo kujenga résistance, kupata furaha, na kuunganisha na ulim-wengu karibu yabo

Sénat universitaire, kikundi kilichochaguliwa kya wata-alamu wa elimu ya juu, kwa pamoya kuamua ni masomo gani, vyuo vikuu, vyuo vikuu, na masomo za theologie zin-atimiza vigezo vya kuorodhesha kama taasisi zilizohusishwa na Kanisa ya Methodiste Unie. Conseil na ushauri ya Sénat na jukumu ya pamoya inalinga uhusiano ya kanisani kuhu-su taasisi zenye ziko na uhusiano na UM. Senat ina promeut chombo yaku kaguwa aina ya Senat kubaudumiya taassisi za Methodiste kupitiya Afrika yote.

Hatua ya Conference generale

Pata ripoti kamili kuhusu izi hatuwa ku www.gbhem.org/GC20.

Kama mienendo ya sasa ikiendeleya, UMC itakumbana na upungufu wa wazee teule wenye mafunzo ya kuhudumi-ya mikutano ya waumini ya ndani kufikia mwaka ya 2032. Hazina ya Juhudi za Clergé Vijana ya 7 million de dollar, inayopeanwa na GBHEM na iliyoundwa “kuongeza idadi ya wachungaji wachanga miongoni mwa kongamano za kiut-awala”, ilibatunza bapokeaji makumi sabu na sita wa ruzuku na ikaongezea uwekezaji mara mbili mu kipindi ya miaka ya miaka ya 2013-2016 na ruzuku makumi saba na mbili mu 2017-2020 na mara mbili uwekezaji katika utambuzi wa kazi kwa kuhamasisha bapokeaji ba ruzuku kupata fedha za ziada.

Imeshimamiwa na GBHEM, ile 10 million de dollars Hazina ya Elimu Theologique ya Kongamano Kuu in-aendeshwa na tume inayoitwa Baraza ya Maaskofu. Ile Com-

Page 6: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

Elimu ya Juu na Usimamizi 951

mission inakutana kila mwaka kukaguwa mapendekezo ya ruzuku ya kukuza elimu theologique katika conferences cen-trales. Tangu 2016, CCTEF imetosha 232 ruzuku kufadhili bourses za masomo, maendeleo ya kitivo, cours za masomo, na kuboresha bibliotheque, na imeongeza uwekezaji wake mara mbili kutoka quadriennat ya awali.

GBHEM, Wespath Faida na investissement, na Associa-

tion ya Kitaifa ya Methodiste Unie Misingi ya Njiya ya Mu-ungano walishirikiana kulomba investissement ya 1 millions des dollars kutoka kwa Lilly Endowment Inc. kushughuliki-ya changamoto za kifedha zenye zinawakabili clergé. Ubora katika leadership ya clergé inapunguza deni ya masomo ya seminaire na inaongoza hesabu za kifedha ku ba candidats ba ministere waliowekwa rasmi.

Page 7: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

952 DCA ya mapema

Seminaire rasmi kumi tatu za UMC zimejitoleya sana ku UMC na kuunda biongozi bake kufanya banafunzi ba Yesu Kristo ku mabadiliko ya ulimwengu. Recherche kamili ya masomo zetu ilikamilishwa iyi mwaka na Rev. Dr. Dan Alishire, mukurugenzi mwenzake wa Methodiste Unie na mukurugenzi mutendaji mukubwa aliye staafu ivikaribuni wa Association ya Masomo Theologique (ATS). Shirika yenye iko nabashirika na bashirika ba zaidi ya semainires 270 mu Etats-Unis na Canada, ATS ni moya organismes ya vibali tatu yenye inshikiliya masomo theologique za UMC kumi na tatu kujibika kuwajibika ku biwango bya yulu zaidi mu masomo theologique, na Dr. Aleshire ni mu moya ya viongozi banao-heshimika mu masomo theologique. Ripoti yote kamili inapa-tikana ku www.gbhem.org/GC20.

Chama ya Methodiste Unie Masomo Theologique (AUMTS) kiliagiza iyi recherche ku seminaire kumi na tatu za UMC kushugulikiya maswali tatu:

1. Wapi mahali kumi na tatu ya ya masomo ya UMC katika mufumo mukubwa ya écosystème ya masomo theologique mu Etats-Unis, pamoya na masomo ma-kumi tatu na munane zenye zinajulikana na senat ya universitaire ya ministere ya masomo ya Methodiste Unie?

2. Nini uimara ya mufumo gani ya taasisi kumi na tatu zenye ziko na musaada rasmi kutoka ku Mufuko ya Masomo ya Ministere (MEF) wa Kanisa ya Method-iste Unie?

3. Ni nini muchango gani yenye seminaire ya UMC ina-tosha ku bashuhuda na ministere ya UMC?

AUMTS iliagiza iyi ripoti kwa sehemu kusaidiya denom-ination kuelewa muzuri siye ni nani na tunafanya nini mu masomo ya yulu na muktaba ya denomination ndani yenye masomo zetu kumi na tatu zinafanya kazi. Tulikuwa nataka piya mutazamo ya inje ya masomo kufafanua nguvu zetu, uzaifu yetu na mahitaji yetu katika kulalamikiya kanisa ku buaminifu sasa na siku zenye zinakuya.

Mu chapitre tafauti, ripoti inaelekeza, historiya na con-texte theologique ya masomo ya UMC, masomo kumi na tatu rasmi kama systeme theologique ya ya masomo ya UMC, izi masomo kumi natatu ziko instituts za kibinafsi, na seminaire makumi tatu na munane zaidi za Senat Univer-site ya UMC ilipitishwa kubale benye banatafuta kuweke-wa muudno mu UMC, na masomo theologique ya Kikristo ya Marekani. Utafiti piya ilipatiya données kifedha ku kila masomo, pamoya na michango ya MEF kutoka kwa UMC. Rippoti inamaliza na matokeo yenye iliyoibuka kutoka kwa uchambuzi.

Hitimisho muhimu ya kadhaa:

1. Theologie na ethos ya kina ya Wesleyan inazunguru-ka camous ya seminaires tatu rasmi. Ngizi Aleshire anasema, “Izi masomo ni Wesleyan mu mifupa zabo. . . .” Tunafundisha karibu 60 pourcent ya (kimusingi U.S.) banafunzi ba UMC baliojiunga na programme mukuu ya shahada ya divinite bakitafuta buwekaji mu UMC, na karibu 60 pourcent ya bote (hasa U.S.) ordinands balisomeya ku masomo zetu. Pamoya ya facultés zetu ni jumla ya 46 pourcent ya UMC (na 60 pourcent Wesleyan), na tumepeana kazi ku 52 pourcent ya balimu ba UMC mu semaire zote za U.S. Zile makumi tatu na munane zenye Senat ya Univer-site imeidhinishwa pamoya na seminaires ziko tu 9 pourcent ya faculte ya UMC. Ibada ya Chapel katika masomo zetu zina incarner mila ya Methodiste na ku-tafakari anuwai mazeozi ya litirujiya ya UMC. Alish-ere alisema, “Masomo kumi na tatu . . . ziko Method-iste Unie omnipresent . . . Ethos inaweza fundishwa, bila shaka, lakini ya maan zaidi, ni ‘imeshikiwa’—kubeba kutoka ku mutu kwa mutu.”

2. Kama mila ya Wesleyan, izi seminaire kumi na tatu piya zinajotoleya kujisifu œcuménique katika mawazo na mazoezi, kufundisha banafunzi kutoka safu nyingi ya denomination.

3. Izi kumi na tatu zinatengeneza biongozi ba siku za mbele, apana ba zamani. Mwili za banafunzi betu jumla ni mbali ni biyana na zaidi ya iyo rangi yabo iko diverse kuliko ya UMC. Nusu ya banfunzi ba UMC ni banamuke. Tumejitoleya sana ku haki ya rangi na usawa ya banamuke. Kihistoriya tulianzisha kazi zakuwezesha usawa ya rangi na kuingiza kamili banamukena tunaendeleya kufanya vile leo. Siye ku butaratabu na kushauku tunashiriki na kasaidiya aina mupya za ministere kila siku.

4. Izi masomo kumi na tatu ziko diverse mu njiya za mingi, pamoya kwamba wao kutafakari kamili uta-fauti theologique ya UMC. Kila masomo iko na aina yake yenyewe ya bitendo na utaalam, lakini zote kumi na tatu zimejitoleya kwa kutengeneza banafunzi ba Yesu Kristo ku mabadiliko ya ulimwengu. Kupotiya programme zabo za Ph.D, mingi ya zile kumi na tatu zinafundisha balimu ba siku za mbele benye batayal-isha sio tu UMC na seminaires zengine, lakini piya colleges na universite zenye ziko na uhusiano na UMC kila fasi mu Dunia.

2017-2020 Ripoti ya Quadrenniale ya Ushirika wa Shule za Kitheolojia za Muungano wa Methodiste Unie

Page 8: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

Elimu ya Juu na Usimamizi 953

5. Kwa jumla, izi seminaire kumi na tatu zinatosha rasilimali mingi zaidi kuliko zenye balipokeya kupi-tiya mugawo ya kila mwaka MEF. Iyi yakwa dhahiri sana ku bourses zenye tupatiya banafunzi; uwongozi yenye balimu betu banotosha mu kanisa za mutaa, conference ya kila mwaka, kiwanja na agence denom-inationales ya kitaifa na kimataifa; ruzuku ya Cours ya Utafiti ya denomination. Katika Kujadili na MEF, Aleshire alisema kwamba “seminaire kumi na tatu za Methodiste Unie zinaleta montant kubwa ya rasilima-li ya kifedha kutoka zaidi ya denomination kulipa ku matayarisho ya clergé na biongozi laics ba Methodiste Unie kutoka Etats-Unis. Na[ba] natosha chanzo ya pili ya mukubwa ya fedha juu ya matayarisho ya clergé wa Methodiste Unie kutoka inje ya U.S. [iyo ni ya pili tu ku Conference Theologique Centrale ya Fedha ya Elimu]. . . . Nishirika gani ingine ya Methodiste Unie inarudisha ku jumla faida ya mukubwa ku investisse-ment.”

6. MEF ni unganisho muhimu ya nyenzo yenye semi-naire kumi na tatu rasmi na banafunzi bake biko na denomination. Tunajivuniya kujitoleya ku kihistori-ya kwa MEF kama moya indacateur muhimu ya ku-jitoleya kwa UMC ku muchungaji aliyeelimishwa. Ni chanzo muhimu ya musaada ku shule, bila am-bayo bengine bangelikuwa mu hatari kubwa sana ya kifedha. Zaidi ya hayo, kupoteza ao kupunguziwa ku nguvu katika MEF kupitiya musingi wa kiuchumi ku banafunzi ambao banatafuta umati, na kuongeza ugumu wabo wa kifedha na deni. Ku jumla, Aleshire anahitimisha kuwa “Masomo mingi zinaweza kupata njiya yabo ku hatima ya kiuchuma yenye ni pamoya na kupunguza mapato ya MEF, lakini mufuko wa de-nomination ufadhili una thamani zaidi yake. Kuwepo kwake inaimarisha biunganisho na kukosekana kuna-sababisha hiyi miunganisho, na miunganisho zaifu in-aweza kuwa nguvu zaidi kushinda kushinda mapato yenye ilipunguziwa.”

7. Kuko seminaire zamingi? Utafiti inasema labda, lak-ini labda sio. Sababu mingi lazima zi zingatiwe kwa

kujibiya iyi swali, na zinaongelewa ndani ripoti ya Aleshire. Anabainisha, ata vile, kwamba ku mufufano, UMC iko na seminaire chache kuliko denomination ingine ya kiprotestant. Zote kumi na tatu ziko uzaifu mukubwa wa strsse ya kifedha na miaka kumi yenye imepita bamepunguza balimu, bafanya kazi, na benye habiko matumizi ya bourse (pamoya na upungufu fu-lani wa mali katika miliki yabo), wakati yote ku ubuni-fu mutaala na bufundishaji. Kwa mufano, karibu bote banatosha kujifunza ku mutandao ku njia moya ao yengine.

8. Siye tuko regulariser sana, na matokeo yenye tunazal-isha inaendeleya kusomwa na kupimiwa na siye peke na badhamini betu. Kama institus ya masomo ya yulu yenye inatumikiya kanisa, tunakaribusha uchambuzi ya uangalifu na muhimu wa kile kienye tunafanya, njo sababu tuliamuru ule recherche.

9. Kama mila ya Wesleyan ifanyiwa na batu ba mingi na instituts kupita mu UMC, aksante kwa Mungu! Izi seminaire, ata vile, na balinzi ba “akili ya kiroho” ya imani ya Wesleyan kupitiya balimu benye banahaki-kisha na kujadili maana ya theologie ya Wesleyan na historiya nani amefundisha kizazi ya baministre ba UMC, piya kupitiya mukusanyo ya bibliotheque am-bayo inaonesha histoire ya mawazo na maisha ya Wes-leyan. Izi masomo kumi na tatu “zinakumbuka nini balipatiwa zamani, . . . jaribu mawazo ya zamani mu contexte ya hali halisi ya sasa, . . . determiner uwezo ya badaaye, na . . . fanya zote tatu mbele ya banafunzi benye batasababisha kuendeleya ku kazi ya kanis.”

AUMTS itatafuta kupata ufahamu zaidi kutoka ku iyi ripoti kamili. Tutatumiya, pamoya na yote yenye tunajifunza kupitiya miunganisho yetu pana mu kanisa, kuboresha sadaka zetu za kibinafsi ya elimu thoelogique njotuweze kuhudumiya kanisa na ulimwengu ambayo tumeitiwa kuhudumiya. Mbinu inatosha urithi mukubwa ya elimu theologique yenye inajibu contextes za wakati na anuwai. AUMTS ilijitoleya kuhudumi-sha iyo urithi ya kihistoriya na uwazi wa tabia kubadilika kwa sababu ya ministere ya ufanisi zaidi karibu dunia yote.

Page 9: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

954 DCA ya mapema

Ilianzishiwa na haua ya Conference Generale mu mwaka ya 1988, Afrika Unversite ni ministere yenye inakuwa ya haki na evangelisme ya Kanisa ya Methodiste Unie yenye iko na histoire muhimu, buwajibikaji, na athari.

Ku inuliwa mu mission ya Kanisa Methodiste Unie—kufanya banafunzi ba Yesu Kristo ku madiliko ya ulimwen-gu—Afrika Universite inabapa viongozi kwa buanafunzi bwa maana na kutumikiya ndani na zaidi ya denomination. Kupiti-ya mission yabo ya muchango, AU inasaidiya Communautés za kiafrika kupata buzoefu ku imani, amani, maisha endelevu, usalama ya chakula, na afya tele.

Na investissement tabithi, lengo endelevu juu ya ush-iriki wa madiliko wa kujitoleya ku uhusiano ya ulimwen-gu, Kanisa ya Methodiste Unie inacheza jukumu muhimu mu mageuzi yenye inaendeleya na bufanisi ya ministere ya Afrika University.

Maana

Kutoka Kufungula mu mwaka wa 1992, Afrika Univer-site imeubika kukuwa jiwe ya taasisi ya musingi Methodiste Unie yenye iko na uhusiano na masomo ya juhudi ya yulu mu bara ya Afrika. Kupitiya Afrika Univerite, Kanisa ya Methodiste Unie inatosha utukufu ya ubora wa hali ya yulu, kutosha kufikiya kupitiya boursec kwa banafunzi benye ha-bana uwezo ya kifedha kama ma yatima na bakimbizi, na inakuza kihalali biongozi wenye musingi wenye bitendo. Programme zenye zivunjika ku amani na utawala; buhami-aji; buraia; na bulinzi ya bakimbikzi; sayansi ya afya; haki ya batoto na masomo ya batoto; ushimamizi ya secteur ya umma; na mali ya akili imeifanya Afrika Universite institut ya chuguo ya banafunzi na kuongezeka ku idadi ya bashiri-ka ba kimatafa.

Biyana kutoka mataifa zaidi ya makumi mbili na tisa biko napata mazoezi ya leadership nakupata ujuzi wa kitaa-lam mu masomo tatu—Afya, Kilimo, na Seyance ya Nature; Biashara, Amani, Uongozi, na Utawala; na Seyance ya Ki-jamii,Theologie, Ubinadamu na Elimu. Zaidi ya banafunzi ba college eflu moya na mia munane mara mingi ba generation ya kwanza banajiandikisha ku Afrika Universite kila mwaka na abo njo lengo ya musingi ya instittu. Lakini, kama mbinu zote za Methodisme Uni barani Afrika na vipaumbele za communauté za ba Afrika zinakomala na kubalisha, lazima pia institut zenye zina batumikiya nazo.

Mu 2016, Afrika Universite ilianza kutekeleza mabadi-liko ya musingi kugulikiya mahitaji yenye inaibuka na ku-tumiya fursa ya mupya:

• Afrika Universite ilirekebisha programme zako za li-cense ya kwanza kujumuisha recherche na buwekezaji

ya masomo ya ndani ya zaidi ya mwaka moya ku lengo yakuongeza utayari wa fasi ya kazi ku ba graduat.

• Faculte ya theologie, yenye inafanya kazi kama sem-inaire traditionnel, ilibadilishiwa kukuwa Institut ya Theologie na Masomo ya Kidini (ITRS). ITRS inajaribu programme mupya ya shahada ya budocteur ku balimu theologique mu Afrika kwa kushirikiana na Nyumba ya Cambridge Wesley na kufanya kazi juu ya chaguzi za mafunzo mupya ku baumini ba kanisa na aumôniers militaires mu Afrika.

• Centre ya innovation ya campus, i5Hub, zenye zilian-zishiwa mu mwaka 2018 kusaidiya bafanya bisharia banapoendelesha biashara na bidhaa mupya na uduma. i5Hub ijavuniya orodha yenye inawezekana ya bashiri-ka na projets mu maendeleo. Kama mutazamo ya biya-na wakiafrika inabidilika kutoka kutafuta kazi mupaka kutengeneza kazi, Afrika Universite iko muzuri kuende-lesha maendeleo ya biashara.

Uwajibikaji

Afrika University imeegemeya musaada wa ukarimu ya Kanisa Methodiste Unie kukomala na endelevu ya ministere. Musaada ya Methodistes Unies—inayotambuliwa kupitiya Zawadi Maalum za Uduma za Ulimwenguni tangu mwaka 1988, na kampeni iliyoisha hivi karibuni ya 50 million dol-lars ya Afrika Universite—inithibitisha imani ya mukubwa ya kanisa juu ya dhamira ya mission ya Afrika Universite. Zawa-di ku kampeni ilipita lengo ya 50 million dollars na ilitosha fedha ku ufundishaji na recherche. Kutowa kwa muda mure-fu, na kujitoleya kwa batu binafsi mikusanyiko, wilaya, na conferences ya kila mwaka zimesaidiya Afrika Universite ku-tambua uwezo ya dhamani ya kudumu ya zaidi ya 78 million dollars, kujenga vifaa bya kudumu,campus yenye haina deni, na instosha boursesna usaidizi wa kifedhayenye inakaribiya 70 pourcent ya banafunzi bake.

Universite anafurahiya sana vile makutaniko ya Method-iste Unie ili investir mu Mufuko ya Afrika University (AUF) ugawaji ya 100 pourcent. Mufuko za AUF zingaramiya rasili-mali za kusoma katika bibliotheque na laboratoires za Afrika Unversite, inasaidiya mishahara, na bifaa za usambazaji (cou-rant, mayi) na mahitaji yengine ya kufanya kazi. Ina wakilisha 17.2 pourcent ya bajeti ya kila mwaka ya institut 12 millions dollar na ni muhimu ku afyya ya kifedha yenye inaendelea. AUF pia inaruhusu Africa Universite kuhakikishia marafiki na wafuasi benye bame investir mu projets za mutaji, biti bya kizazi, na moya kwa moya ao majuzi ya bourses yenye 100 pourcent ya kila dollar yenye balipatiyana inatumika ngizi baliipangiya.

Ripoti ya 2017-2020 Quadrennial ya Universite ya Afrika

Page 10: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

Elimu ya Juu na Usimamizi 955

Buwajibikaji wa fedha na buwekezaji ya busara ni bipa-umbele vikuu ku Conseil ya Bakurugenzi ba Afrika Universite na ku baraza yake mukubwa ya ba executif, inaongozewa na Professeur Munashe Furusa, Chansela/Mkurugenzi Mtendaji. Miaka ine yenye imepita, Conseil ya AU na bashimamizi ba-kubwa juhudi, pamoya na michango ya maendeleo ya institut ya Ofisi ya Maendeleo ya Afrika Universite, imesababisha kuhalalisha shughuli za institut, bajeti bora, na invstissement ya ma nyumba mupya, vifaa vya burudani, na teknolologie ya habari na mawasiliano. Matokeo ni pamoya mafundisho yali-yoimarishwa na kujifunza na ubora ulioimarishwa ku maisha ya banafunzi, faculté, na bafanyakazi.

Athari

Kuanza kwa instituts makumi mbili na sita, Mu Juin 2020, inatarajiwa kumaliza inapiga muhimu hatua ya bagrad-uats elfu kumi. Na taux ya diplomation ya 97 pourcent na zaidi ya 94 pourcent ya ba alumni bake kufanya kazi mu con-tinent, Athari za Africa Universite zinaonekana na zinakoma-la kila wakati.

Alumni ba Afrika Universite bamepatiwa jukumu ya ute-kelezaji na ushimamizi na buangalizi ya muhimu yenye iko na uhusiano na Methodiste Unie mipango na projets ya maende-leo katika episcopale kumi na tatu maeneo yaliyoenea katika inchi makumi mbili na sita katika Afrika Kusini ya Sahara. Idadi ya mukubwa ya bagraduats ba Africa Unversite ni ba missionaire benye banatumika chini ya Agence ya Ministere ya Ministeres ndani ya Afrika, Bulaya, Asia, na Amrika ya Kusini. Ba graduats banakamata mafasi muhimu za kiwango ya ofisi ya episcopal nakutumika kama ma rais ba seminaire/universite, faculté, na bashimamiaji ba idadi yenye inakomala ya institut ya masomo ya Methodiste Unie mu Afrika.

Zaiidi ya mipangiliyo denominationel, ba graduats ba Afrika Unversity banazindua biashara mupya, kuanzisha mashirika ya hisani na ya uduma, kuwakilisha na kuteteya maeneo kama biongozi benye balichaguliwa, na kufanya

utafiti muhimu. Bahitimu ba AU banatafutiwa, na athari zabo zinahisiwa katika serikali, biashara, na asasi za kiraia barani Afrika.

Kuangaliya Mbele

Hali ya kukomala mu Kanisa Methodiste Unie, kwa kuzingatiya statistique ya GCFA, inaonesha kama wengi ya Methodistes Unis ba mupya biko mu Afrika ya Kati na Afrika ya Magharibi. Ukuaji wa haraka barani Afrika inaleta jukumu generale kwa Kanisa ku hakikisha kama “Damu ya Method-iste Unie” inakomala na uadilifu na ku muktadha husika mu njiya ndani ya communautés mupya za kuabudu.

Kuongeza investissement mu Afrika Unversity juu ya quadrennium yenye inafuata inawakilisha nafasi ya kushangala fursa kwa Kanisa Methodiste Unie kubakiya kushiriki katika kuleya biongozi benye mabega zabo zina angaliwa kwa siku za mbele za Methodisme ya Afrika na Afrika kwa ujumla itapumuzika zaidi ya siecle tano zenye zinakuya. Iko na uwezo ya kutosha ukweli wa kuungan-ishiwa mupya na muzuri.

Africa Universite inabaliya “Ndoto ya kuungana, ya Methodiste Unie ulitimiya.” Pamoya, kama kanisa ya ulim-wenguni, Methodistes Unies iliona nakuleta mafanikio kwa Universite ya Afrika muzima. Ukweli ya Afrika Unversite ni ushuhuda kwa buaminifu katika kuishi kikamilifu ndani ya Maneno ya Mungu. “Iyi ni kazi ya Mungu; ni ya ajabu mu macho yetu” (Psalm 118:23).

Kupitiya musaada yake ya Afrika Unversite, Kanisa il-ionesha maadili yake katika njiya ya mukubwa. Thamani ya Africa Unversite kama chanzo ya ba clergé na biongozi laïcs ba AfriKa benye bana tengeneza bafuasi ba Yesu Kris-to ku mabadiliko ya Ulimwengu haijafananishwa. Zaidi ya ile, kupitiya Africa Unversite, batu ba mupya katika maneo baniitwa kupokeya kanuni za kijamii, maadili, na mission ya Methodisme Unie kama musingi yabo ya jasiri ya bushuhuda ya kibinafsi na uduma.

Page 11: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

956 DCA ya mapema

Mukutano mukubwa ya 2016 iliongezeka maradufu kiasa ya 10 millionn de dollars ku kipindi ya mwaka 2017-2020 ku sababu iligundua athari ya mifuko ya kati ya fundisho ya the-ologie ya mikutano (CCTEF) juu formation ya viongozi pas-torale mu mikutano kubwa ya Afrika, Asia, na Europe. Tume ya CCTEF inashukuru kwa iyi ufadhili iliongezeka, yenye iliwezesha mukutano kubwa kupanula mipango na innova-tions mu formations ya mafunzo theologique na maendeleo ya uongozi.

Wakati Mukutano Kubwa ilikubali 10 million de dol-lars mu mwaka ya 2016, juu ufadhili, Baraza ya mukubwa ya Finance na Administration (GCFA) ilitarajiya mufuko ya utowaji ya Udumu Duniani ilipe karibu 90 pourcent. Kwa vile, tume ilitosha 2 million des dollars ku ba candidats mu 2017-2019. Lakini, GCFA inatarajiya kama franga zenye zitapatikana mu 2020 zitapunguzika mu paka 1,5 millions des dollars ku sababu kupunguziwa kwa mgawanyiko ya re-cettes.

Chini ya buongozi bwa Askofu Pedro Torio na musaada ya ya Conseil kubwa ya Elimu ya Yulu na wizara (GBHEM), ba membres ba ile tume balikutana kila mwaka ku examiner na ku attibuer wagombeaji ma bourses ku roho ya kuhajibika pamoya na kujitoleya ku maendeleo ya elimu ya theologie na fromation pastorale na ku kukuza miongozo yenye viwango ya uhabikaji ya bakeaji ba bourses ndani ya conferences cen-trales yote ya barani mu Afrika, Asia na Bulaya. Commision inaendeleya kutumikisha comités za uchunguzi regionales kutoka kila Conference Centrale ku revoir na kurecommander tuzo ku bagombeaji benye biko qualifiés.

Katika nusu ya kwanza ya quadriennat, Commission il-itosha ruzuku 154 ziliongozewa uwezo ya viongozi mu mis-sion ya uwanja, kukuza ressources ya mazingira naku soutenir innovations mu matieres ya elimu na uduma, yakuwezesha mipango na mazoea na ya kukawa.

Resultat na Athari ya Mupango CCTEF

CCTEF inaathiri directement maisha ya clergé na ya vi-ongozi wa kanisa benye biko bashirika ndani ya elimu ya theologie nadani ya conferences centrale. Athari kama hizi zinawezesha kanisa kusonga mbele katika kufanya banafun-zi ba Yesu Kristo ku tranformation ya ulimwengu. Baada ya cycles mbili za programme ya CCTEF, qualité ya elimu ya theologie mu conferences centrales iliboresha sana katika maeneo saa vile kufundisha, recherche, uundaji ya ressourc-es, na mitandao.

Pia, nombre ya ma professeurs wa theologie benye biko bien éduqués, wachungaji, na viongozi wa kanisa sana sana

banamuke ba membres ba clerg, benye bana beneficier na hizi juhudi ziliongozeka sana. CCTEF ilisaidiwa kuendelesha ed-ucation ya theologicale ndani ya conferences centrale kwa ku renforcer taasisi theologique, kuunda mitandao ndani ya izi shule, na kuongezeya ufikiaji wa education theologique.

Commission inaongeza izi mifano ya athari ya CCTEF ndani ya domaines ine:

Ujenzi wa uwezo

• Musaada ku programmes za kusoma na kuendelea for-mation theologique ilisababisha ongezeko ya wachun-gaji benye balifunzwa kutoka asilimia 50 na 90 katika Conference za mingi za kila mwaka mu Afrique, pam-oya na ongezeko ya nombre mukubwa ya banamuke ba membres ba clergé, na muongezeko ya 95 pourcent ya nombre ya membre ya clergé ya ba chungaji équipés kule inchi ya Philippines.

• Kwa upande ya Seminaire theologique ya Moscou, fedha za maendeleo ya bibliothèques ilisaidiya kupita inspection ya gournement, wakati institutions zengine independantes zilipoteza licences za masomo Russie.

• Croissance ya formation ndani ya inchi imesababisha mafundisho ya ziada mu instituts za theologie za inchi zabo badala ya yaku bakiya bulaya baada yaku kuwa formés mu inchi zengine.

• Uwezo yenye iliyorejelewa katika vikundi za ufundis-haji ya agano pamoya na ushirika yenye ulio eneya na ministere na engagements na maskini kupitiya micro-finance na moyens yakuendelesha maisha kule Philip-pines.

Maendeleo ya elimu ya mazingira ya elimu na ressources.

• Kutosha fedha zakutengeneza materiels na literature theologique mu lugha za kienyeji inapatiyana kufikiya zaidi elimu theologique na ressources na ina encourager viongozi wa kichungaji kupanula uduma ku bengine.

• Ma événements kama Consultation ya banamuke ba clergé ya UM Africaine na banamuke bakufundisha banamuke kuwezesha naku equiper banamuke ba clergé kufanyikiwa na kutafuta njiya ya kuéquilibrer respons-abilités yabo na ya ministeres yabo.

• Vifaa za kupakaliya zenye zilipewa na gramme ya E-Reader ku conference centrales zinabapatiya bana-funzi bupatikaniji mukubwa ya bitabu theologique na ressources, ata kama habana ufikiaji ku bibliothèque yenye iko bien équipée.

Rapport quadrennal 2017-2020 ya conference centrale ya mufuko ya ya fundisho ya theologie

Page 12: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

Elimu ya Juu na Usimamizi 957

Mipango mipya na bunifu

• Fedha ya CCTEF ilisaidiya kuongeza literature ya Methodiste ku Bibliothèque digitale ya dunia ya theolo-gie na ya œcuménisme (www.methodist-studies.world), yenye inaweza patikana mu dunia yote.

• Programme modulaires zakujifunza mutandaoni Bulaya na Eurasie, na Union Theologique Seminaire Hybrid ya Mutandaoni ya masomo kule Philippines, inafanya elimu theologique na mafundisho ipatikane kubatu ba mingi.

• Programme ya Ulimwengu Chaplaincy Mafundisho ilotosha aumoniers ndani ya Afrika na maarifa na ujuzi wakudumu katika kiwanja iyi malaam ya aumoniers.

• Uduma ya radio zenye zilirejelewa za kusini mwa Phil-ippines zilifunula banafunzi wa kichungaji service pub-lic ya ushuhuda ya injili na temoignage ya Evangile na defense za kijamii ya UMC.

Kujitegemea

• Musahada ya CCTEF ya mufuko ya dotation juu ya elimu theologique ku conferences centrales inachangi-

ya ku soutien ya muda murefu ya elimu theologique mu conferences centrales.

• Exigence ya muchango ya eneo la angalau 10% ku mi-radi yoyote yenye encourager ilipewa huhimizi kumiliki na jukumu mu ile miradi.

• Kutumikisha muundo “fundisha-mukufunzi” ina aki-kisha kupatikana ku uongozo ya muda murefu ku pro-gramme ya elimu theologique.

Kama Kanisa ya Methodiste Unie ndani ya mikutano mingi ya za conferences centrales iendeleye kukuwa, itaji ya elimu bora, contxtuelle na yaku kukawiya inakuwa nayo pia. Mbali na kuwezesha viongozi pastoraux mu communautés lo-cales, elimu ya ali ya yulu ya theologique inawezesha mazu-ngumuzo ya interculturel kati ya dénomination yetu na zaidi. Iyi commission inasherekeya athari na tafauti ambayo Kanisa ya Methodiste Unie imefanya mu maisha za batu na minis-teres ya bachungaji na communautés mupaka ku CCTEF. Kwa ujasiri huo, tume iliamua kutuma lalamiko kwa Con-ference Generale ya Mwaka wa 2020 ili kuweka upya idhini yabo ya 10 million de dollar ku Hazina ya Elimu Theologique ya Conference Centrale, kupitiya Mufuko ya Ushirikiano ya Huduma ya Ulimwengu. Huduma Iliwekwa

Page 13: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

958 DCA ya mapema

Marekebisho yanayopendekezwa ya Kitabu kya Adabu¶45.

Namba ya Maombi: 20277-HS-¶45-C-G; Brooks, Lonnie - Anchorage, AK, Etats-Unis.

Vuta Matérial Historique

Kurekebisha ¶ 45 ngizi imeoneshwa inafata:¶ 45. Article ya I.—Kutakuwa na kuendelezaji ya epis-

copat ndani ya Kanisa ya Muugano wa Methodist ya kama mpango, uwezo, ma privilege, na makazi kama ikoamo sasa ndani ya Kanisa ya Muungano wa Methodist na ndani ya Mu-ungano wa Kanisa ya Evangelique ya madungu mu izo mam-bo yote ambayo banakubaliana na yanaweza kuchukuliwa kuwa sawa; na tofauti kati ya haya ma episcopat ya kihistoria inaonekana kuwa imeunganishwa na kuunganishwa na kati-ka huu Mpango wa Umoja na Katiba ya Kanisa Methodiste Unie na kitendo zenye zilichukuliwa kulingana na ile juu ya uwezekano ya surveillance ya kufanana na épiscopat inaku-wa cree na kuanzishwa ya, ndani, na kwa bale benye ambao sasa na batakuwa mu uongozi ya episcpat na kushimamiya kupitiya, maaskofu ba Kanisa ya Methodiste Unie; na épisco-pat yenye imeshimamiya itakuwa na nguvu, ma privilege, na majukumu kama vile imewekwa hapa.

Mutazamo:Iyi ondowa habari muhimu ya kihistoriya ambayo haina

fasi ya mutazamo mu busara yenye iko actif sasa na ina con-trôler Katiba ya Kanisa.

¶45.

Namba ya Maombi: 20278-HS-¶45-C-G; Berggren, Ken - Calhoun, KY, Etats-Unis.

Mapitiyo 2 ya Rika wa Askofu: Marekebisho Constitutionnel ya Kusaidiya

Rekebisha ¶ 45; baada “imewekwa apa,” ongezeya: Ofi-si ya askofu ni privilège haiko haki. Inaweza kupoteya mu michakato haiziko za mahakama zilianzishwa na Conference Générale.

Mutazamo:Paragraphe 16.5 inaruhusu kushimamisha maaskofu ni

inacceptabilité. Hakuna muchakato ya mahakama ingeli de-terminer inacceptabilité. Bengine bado banapinga mapitio ya rika ya kila mwaka kusema maaskofu biko na haki ya audi-ence. Iyi mabadiliko inajibu ile pingamizi. Maaskofu benye bataona ofisi kama haki banaweza poteza bunyenyekevu yenye inahitajika ku

¶45.

Numero ya Maombi: 20680-HS-¶45-C-G; Brooks, Lonnie - Anchorage, AK, États-Unis.

Episcopat ya Régionalisation—Katiba

Rekebishaha ¶ 27 kwa kuingiza ¶ 27.3 mupya yenye itasoma ngizi inafata:

¶ 27.3 Kutoshaa musaada, kifedha na vinginevyo, maas-kofu benye banahudumiya mu mamlaka ao ku retraite baada ya kuhudumiya mule.

Marekebisho ¶ 45 ngizi inafata:¶ 45. Article ya I.—Kutakuwa na kuendelezaji ya epis-

copat ndani ya Kanisa ya Muugano wa Methodist ya kama mpango, uwezo, ma privilege, na makazi kama ikoamo sasa ndani ya Kanisa ya Muungano wa Methodist na ndani ya Mu-ungano wa Kanisa ya Evangelique ya madungu mu izo mam-bo yote ambayo banakubaliana na yanaweza kuchukuliwa kuwa sawa; na tofauti kati ya haya ma episcopat ya kihistoria inaonekana kuwa imeunganishwa na kuunganishwa na katika huu Mpango wa Umoja na Katiba ya Muungano wa Kani-sa ya Methodist na action zenye zilichukuliwa kulingana na hayo juu ya uwezekano ya surveillance ya kufanana na épis-copat inakuwa cree na kuanzishwa, ndani, na kwa bale am-bao sasa na batakuwa maaskofu wa Kanisa ya Muungano wa Methodist; , na épiscopat yenye imesemwa itakuwa na nguvu, ma privilege, na majukumu kama vile imewekwa hapa.

Rekebisha ¶ 49 kama ifuatavyo:¶ 49. ArticleV.—Maaskofu batakuwa na ushimamizi ya

résidentiel na présidentiel mu conferences juridictionnelles ao centrales yenye balichaguliwa, muradi kwamba akuna askofu mwenye iko na haku ushimamizi résidentiel na présidentiel wakati askofu imeachwa kutoka ile responsabilité na asko-fu wa conference juridictionnelle ao centrale kwa sababu ya kupunguza mu nombre ya maaskofu résidentiels benye biko actifs. Maaskofu benye bameacha iyi responsabilité bataku-wa na haki ya retraite ngizi imewekwa na Conference Gen-erale ao kwa kuteuwa ku hudumu mu kanisa locale na asko-fu mwenye iko actif mu ile conference ku hiari ya uteuzi ya askofu.ao ku yenye bamekuwa transferer. Maaskofu banawe-za kuhamishwa kutoka mamlaka moya hadi yengine kwa ajili ya usimamizi wa urais na makazi chini ya masharti yafuatayo: (1) mahakama ambayo inapokea askofu kwa uhamisho kuto-ka kwenye mamlaka yengine inaweza kuhamishia mahaka-mani ama mahakama ya tatu mu moya wa maaskofu wake ambaye anaweza kuhamishwa, ili idadi iliyohamishwa na kila mahakama itakabiliwa na idadi iliyohamishwa; ama (b) ma-hakama inaweza kupokea askofu kutoka mamlaka nyingine na kuhamisha mwanachama wa chuo chake cha maaskofu. (2) Hakuna mchungaji atatumiwa isipokuwa mwenye tilo

Page 14: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

Elimu ya Juu na Usimamizi 959

specialement iko na permission. (3) Hakuna askofu atastahili kuhamishwa isipokuwa askofu atatumikia quadriennat moya katika mamlaka ambayo alichagua askofu kwenye ufisadi. (4) Uhamisho huo bote inahitaji idhini na wengi wa banachama wa sasa na wa kupiga kura wa kamati za mamlaka kwenye maaskofu ya mamlaka zinazohusika.94 Baada ya taratibu zilizo juu zimefuatwa, askofu anayehamisha huwa mwana-chama wa Chuo. kupokea maaskofu na itakuwa chini ya ku-kamatwa kwa nyumba na mkutano huu wa mamlaka.

Askofu anaweza kuteuliwa na Baraza ya Maaskofu kwa huduma ya urais ama huduma ya muda katika mamlaka isipokuwa yule aliyechagua askofu, isipokuwa kwamba ombi hilo inafanywa na wengi wa maaskofu ndani ya mamlaka ya huduma iliyopendekezwa.

Katika kesi ya urgence katika mamlaka yoyote ama mku-tano mkuu kwa njia ya kifo au ulemavu wa askofu au sababu zengine, Baraza ya Maaskofu inaweza kumpa Askofu kutoka mamlaka yengine ama mkutano mkuu kwa kazi ya mamla-ka hiyo ama mkutano mkuu, pamoya na idhini ya maaskofu wengi wa mamlaka hiyo ama mkutano mkuu.

Mutazamo:Episcopat imefanya kazi angalau kila regionale kama

ngizi ilikuwa ulimwenguni tangu buumbaji ya systemes ju-ridictionnelle. Akuna askofu mwenye amekuwa transféré kati ya juridiction baada ya élection. Isitoshe, tafauti theologiques regionales inafanya iyi etape muhimu kama kanisa inapashwa kuwa na bahati yoyote ku unite organique.

¶47.

Namba ya Maombi: 20678-HS-¶47-C-G; Brooks, Lonnie - Anchorage, AK, États-Unis.

Umiliki Limite ya Maaskofu na Uhusiano ya Maaskofu benye biko mu Retaite—Katiba

Rekebisha ¶¶ 47, 48, na 50 kama zenye zenye zilionesh-wa zinafata:

¶ 47. Article ya III.—Kutakuwa na Conseil ya Maasko-fu yenye itakuwa compose na maaskofu residentiel bote ba Kanisa Methodiste Unie. Conseil itakutana angalau mara moya kwa mwaka na kupanga mupango wa kusimamia na ku-endelesha interets ya temporels na kiroho ya Kanisa yote na kutekeleza sheria, kanuni, na majukumu yenye iliwekwa na kuagizwa na Mkutano Mkuu na kulingana na masharti yenye iliwekwa katika Mpango huu wa Umoya. Ile neno residentiel itaeleweka ku indiquer bale maaskofu benye hbaya enda mu retraite na benye mandat ya ofisi haiya expirer.

¶ 48. Article ya IV.—Maaskofu residentiel ba kila confer-ence juridictionnelle na centrale ya kuunganisha bata consti-

tué ma College ya Maaskofu, na iyo shule ita arrange mupan-go ya affaires za supervision ya mukutano ya kila mwaka, conference missionaire, na mission pamoya na territoires husika.

¶ 50. Article VI.—wachungaji wote wenye wako active na wa mepumzika, kwa evangelical umoja wa wandugu mu kanisa na Methodist kwa muda union Niku completé itakuwa wachungaji wa Kanisa Methodiste Unie.

Maaskofu ba Kanisa Methodiste Unie benye balicha-guliwa na juridictions, maaskofu actifs ba Kanisa Brethren Evangelique Unie ku wakati ya union, na m Maaskofu benye balichaguliwa na conferences ya juridictions—na centrales ya Kanisa Methodiste Unie itakuwa na maisha ya umiliki ya masharti ya ofisi ngizi imekuwa determiner na Conference Generale, muradi kwamba mandat yenye ilianzishwa itakuwa sawa ku maaskofu bote. Kila askofu mwenye alichaguliwa na conference centrale ya Kanisa ya Methodiste itakuwa na mamlaka sawa na conference centrale ambayo inamchagua askofu alisema ata determiner.

Askofu yoyote mwenye iko ku retraite wakati iko mu statut residentiel akama askofu ataendeleya kukuwa askofu. Lakini askofu kama ule atakuwa mwanachama mu confer-ence ya kila mwaka yenye amechaguwa ye peke na ruhusa ya askofu rais na hatakuwa na wanachama mu College ya Maaskofu ao mu Conseil ya Maaskofu. Askofu mwenye iko mu retraite atakuwa na nguvu zote, majukumu, na privilèges ya muzee mwengine kama mwenye iko ku retraite wakati tu atabakiya mu mushimamo mzuri.

Mutazamo:Umiliki ya maisha haiambatane na hali alisi ya maende-

lewo ya binadamu na interaction. Responsabilité ku kanisa na mabadiliko kwa maaskofu banadai uchunguzi ikuwe ku masharti yenye iko limiter. Isitoshe, wanachama ya maasko-fu benye biko retraite banapashwa kurejeya ku conference ya kila mwaka. Na maaskofu bote ba kanisa banapashwa kuku-wa na mandat moya ya ofisi.

¶49.

Namba ya Maombi: 20279-HS-¶49-C-G; Berggren, Ken - Calhoun, KY, Etats-Unis.

Juridiction kwa Bashirika ba Conférence Centrale

Rekebisho ¶ 49 kwa kuongezeya: ¶ 49. Article ya V.—Mahakama na mikutano kuu zitaten-

geneza ushirikiano kila quadriennat. Iyi ushirikiano inazun-guruka kila quadriennat kulingana na calendrier:

Page 15: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

960 DCA ya mapema

Mwaka 2024 Magharibi - Bulaya Kaskazini na Eurasie Kaskazini-Kati - Kongo Kaskazini mashariki - Ujerumani Kusini mashariki - Afrika Magharibi Kusini-Kati - Ufilipino Bulaya ya Kati na Kusini - AfrikaMwaka 2028 Magharibi - Afrika Kaskazini-Kati - Bulaya Kaskazini na Eurasie Kaskazini mashariki - Kongo Kusini mashariki - Ujerumani Kusini-Kati - Afrika Magharibi Phillines – Bulaya ya Kati na Kusini Mwaka 2032

Magharibi - Bulaya ya Kati na KusiniKaskazini-Kati - Afrika Kaskazini mashariki - Bulaya Kaskazini na Eurasie Kusini mashariki - Kongo Kusini-Kati - Ujerumani Afrika Magharibi - Philippines Mwaka 2036 Magharibi - Ufilipino Kaskazini-Kati - Bulaya ya Kati na Kusini Kaskazini mashariki - Afrika Kusini mashariki - Bulaya Kaskazini na Eurasie Kusini-Kati - Kongo Ujerumani – Africa MagharibiMwaka 2040 Magharibi - Afrika Magharibi Kaskazini-Kati - Ufilipino Kaskazini mashariki - Bulaya ya Kati na Kusini Kusini mashariki - Afrika Kusini-Kati - Bulaya Kaskazini na Eurasie Kongo - UjerumaniMwaka 2044 Magharibi - Ujerumani Kaskazini-Kati - Afrika Magharibi Kaskazini mashariki - Ufilipino Kusini mashariki - Bulaya ya Kati na Kusini Kusini-Kati - Afrika Bulaya ya Kaskazini na Eurasie - KongoMwaka 2048 Magharibi - Kongo Kaskazini-Kati - Ujerumani Kaskazini mashariki - Afrika Magharibi Kusini mashariki - Ufilipino Kusini-Kati - Bulaya ya Kati na Kusini Afrika – Bulaya Kaskazini na EurasieMwaka 2052 Magharibi - Bulaya Kaskazini na Eurasie Kaskazini-Kati - Kongo Kaskazini mashariki - Ujerumani

Kusini mashariki - Afrika Magharibi Kusini-Kati - Ufilipino Bulaya ya Kati na Kusini - AfrikaMaaskofu benye balichaguliwa mu conference jurid-

ictionnelle batatumiwa ku conference centrale ya mushiri-ka wabo na maaskofu benye balichaguliwa mu conference centrale batatumiwa ku conference juriidictionnelle ya mushirika wabo isipokuwa habaya unganishwa na juridic-tion ya ile quadrennat. Conferences centrales bila mushiri-ka juridictionnel inaweza shirikiana na conference yengine yenye haiyasajiliwa, ao banaweza chaguwa maaskofu babo benyewe.

Conferences juridictionnelles zitakutana wakati moya kama bashirikiana babo banadumisha uhusinano kupitiya ba-rua pepe na njiya zengine za mawasiliano ya pale pale kama vile vidéoconférence kupitiya mutandawo. Mamlaka ita-chukua gharama ya uhusiano wa umeme.

Maaskofu hufanya usimamizi wa makazi na urais ka-tika mikutano ya mamlaka au kati ambayo wanachaguliwa ama ambayo wanatumwa ama ambayo bamehamishiwa. Maaskofu banaweza kuhamishwa kutoka mamlaka moya hadi yengine kwa ajili ya usimamizi wa urais na maka-zi chini ya masharti yafuatayo: (1) Transfert ya maaskofu inaweza kulingana na njiya mbili: (a) mahakama ambayo inapokea askofu kwa trnasfert kutoka kwenye juridiction yengine inaweza kuhamishia mahakamani ama mahakama ya tatu mu moya wa maaskofu wake ambaye anaweza ku-hamishwa, ili idadi iliyohamishwa na kila mahakama itak-abiliwa na idadi iliyohamishwa; ao (b) mahakama inaweza kupokeya askofu kutoka juridiction nyingine na kuhamisha mwanachama wa chuo chake cha maaskofu. (2) Hakuna mchungaji atatumiwa isipokuwa mwenye tilo speciale-ment iko na permission. (3) Hakuna askofu anayeweza kuhamishiwa isipokuwa askofu ametumikia quadrennium katika juridiction yenye ilichaguliwa ao alipokeya askofu katika Episcopat. (4) Hizi Uhamisho zote zinahitaji kibali na wengi wa wanachama wa sasa na wa kupiga kura wa kamati za mamlaka kwenye jimbo la mamlaka husika. Baa-da ya taratibu zilizo juu zimefuatiwa, askofu aliyehami-sha atakuwa mwanachama wa Chuo cha Maaskofu cha kupokea na atakuwa chini ya mgawo wa makazi na mkuta-no huo wa mamlaka.

Askofu anaweza kuteuliwa na Halmashauri ya Maas-kofu kwa ajili ya urais ama huduma zingine ya muda katika mamlaka nyingine kuliko aliyechagua ama alipokea Askofu, isipokuwa kwamba ombi hilo linafanywa na wengi maaskofu kutoka kwa mamlaka ya huduma iliyopendekezwa.

Katika kesi ya urgence katika mamlaka yoyote ama mku-tano mkuu kwa njia ya kifo au ulemavu wa askofu au sababu zengine, Baraza ya Maaskofu inaweza kumpa Askofu kutoka mamlaka yengine ama mkutano mkuu kwa kazi ya mamla-ka hiyo ama mkutano mkuu, pamoya na idhini ya maaskofu wengi wa mamlaka hiyo ama mkutano mkuu.

Page 16: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

Elimu ya Juu na Usimamizi 961

Mutazamo:Ushirikiano unaimarisha uhusiano ndani ya kanisa la

dunia. Izi marekebisho radicaux zanauliza maaskofu kuongo-za kanisa kwa ufahamu na acceptance. Maaskofu batakuwa missionnaires na ministres interculturelskufundisha kwa mu-fano ngizi ya kupenda atakama kutakuwa barrières culturelles na idéologiques kote. Kutuma na kupokeya maaskofu itaone-sha tuna valoriser umoja yetu.

¶50.

Namba ya Maombi: 20280-HS-¶50-C-G; Plasterer, George - Clearwater, FL, Etats-Unis.

Limite ya Mandat ya Maaskofu

Rekebisha ¶ 50 ngizi inafata:¶ 50. Article VI.—Maaskofu bote benye biko actifs

na benye biko mu retraite, ba Kanisa Evangélique Unie ya Brethren Methodiste Unie wakati umoja itamalizika bataku-wa na maaskofu ba Kanisa Methodiste Unie.

Maaskofu wa Kanisa ya Methodiste benye balichaguli-wa na juridictions, maaskofu actifs ba Kanisa Evangélique ya Bretheren Unis wakati ya umoja, na maaskofu benye balichaguliwa na juridictions ya Kanisa Methodiste Unie mbele ya 2024 bakuwa na mandat ya maisha. Kuanza mu 2024, kila uchaguzi ya mupya ya maaskofu mu conferences juridictionnelles ao centrales ya kanisa Methodiste Unie ita-kuwa kuchaguwa bazee ku mandat moya yenye haiko zaidi ya miaka kumi na mbili (12) ao mupaka banafika miaka yenye Conférence Générale ili spécifié kukuwa ya retraite, yoyote yenye itakuya kwanza. Iyi mandat haiwezi ongeze-wa. Hakuna mutu mwenye amechaguliwa ku épiscopat mu ao baada ya mwaka 2024 anaweza kutolewa tena mu ofisi. Maaskofu bote benye balichaguliwa mbele ya 2024 bataku-wa na kiwango ya umiliki yabo ngizi ilianishwa mu Ki-tabu kya Adabu, règles muhimu ya conférence centrale, na sheriya ya kanisa yengine ku wakati ya uchaguzi yabo ya mwisho. Bale benye balichaguliwa ku ofisi ya askofu ndani ao baada ya mwaa 2024, banamaliza mandat yabo mu ofisi, na banabakiya bakishimama muzuri habatabakoya kukuwa bajumbe ba Conseil ya Maaskofu, lakini batakuwa bajumbe ba clergé ba conference ya kila mwaka yenye balikuwa ba-jumbe wakati ya uchaguzi yabo ya kwanza kama askofu (ao conference successeur yoyote yenye inafaa)na batafuraiya haki na privilèges yoyote ya muzee mwenye iko nu uhusia-no kamili, isipokuwa kwamba banaweza kubakiya na titre ya askofu kama signe ya heshima ku huduma yabo. Con-férence Générale piya inaweza kutunga mipango maalum ya retraite ya faida ya bazamani na maaskofu benye biko ku retraite na banabakiya kushimama muzuri.

Kila askofu aliyechaguliwa na conference centrale ya Kanisa ya Methodiste atakuwa na mamulaka sawa na con-ference centrale yenye ambayo inamuchagua askofu alisema ataamua.94

Mutazamo:Iyi ombi inaongeza responsabilité na équité wakati ina-

onesha tradition fondamanentale yetu ni imani kwamba bazee na maaskofu ni utaratibu moya. Mika kumi na mbili (12) in-aweza ruhusu wakati kiasi ya kuvoyager, na kutengeneza fasi zaidi ya uongozi mupya yenye inapatika. Kukaza maaskofu kukimbiya kwa kuchaguliwa tena inaweza kuwa politiser bila kusaidiya na kuandamana

¶50.

Namba ya Maombi: 20281-HS-¶50-C-G; Wilson, John - Pittsburgh, PA, Etats-Unis wa Conference ya Kila Mwaka ya Pennsylvanie Magharibi.

Mandat ya Elections ya Maaskofu Ulimwenguni

Anzisha marekebisho ku Katiba ya kanisa yetu, 2016 Ad-abu, ili njo sehemu ya ¶ 50 (p. 41) yenya ambayo sasa ina-soma:

Maskofu ba Kanisa Methodiste, balichaguliwa na jurid-ictions, maaskofu benye biko actifs ba Kanisa Evangélique Unie ya Brethren wakati ya ile umoja, na maaskofu benye balichaguliwa na Kanisa Methodiste Unie batakuwa mandat ya maisha. Kila askofu mwenye alichaguliwa na conference ya Kanisa Methodiste atakuwa na mandata kama conference centrale batamuchaguwa na batakuwa bameamuwa.

ili rekebishwa kwa substitutionmbele ya kusoma: Maaskofu ba titulaires mu mushimamo muzuri batakuwa

na haki ya muda wa huduma yenye balichaguliwa ya mwisho. Maaskofu batachaguliwa kila miaka ine. Maaskofu

benye balichaguliwa ba mupya batatumika kuanziya mandat ya yenye haiko chini ya miaka 4 ao zaidi ya miaka 8, na possi-bilité ya buchaguzi zaidi ku quadriennales. Durée ya mandat ya kwanza, na maximum ya mandat cumulatif juu ya huduma épiscopal, itakuwa prérogative ya conference régionale kuch-aguwa maaskofu bake benye balichaguliwa.

Maaskofu batabakiya na statut ya muzee mwenye aliteu-liwa kupitiya wakati yabo ya huduma ndani ao inje ya rôle épiscopal. Titre ya heshima “askofu” inaweza bakiya kati ya bale benye bamemaliza mandats zabo za huduma mu mushi-mamo muzuri.

Mutazamo:Inabakiya mu katiba ya dénomination yetu kifungu ya

normes mbili, maisha automatique ya ya mandat ya maasko-fu ba États-Unis na muda ya épiscopat ku ulimwengu yote.

Page 17: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

962 DCA ya mapema

Karibu conferences centrales zote, pamoya na conferences zenye zinaonesha kukomala muhimu ya kufanya banafunzi, inakubali standards fulani ya mandat ya épiscopat.

¶50.

Namba ya Maombi: 20282-HS-¶50-C-G; Fordham, Rita - Dalton, GA, Etats-Unis.

Limite ya Mandat ya Maaskofu

Rekebisha ¶ 50 ngizi inafata: ¶ 50. Article VI.—Maaskofu bote benye biko actifs

na benye biko mu retraite, ba Kanisa Evangélique Unie ya Brethren Methodiste Unie wakati umoja itamalizika bataku-wa na maaskofu ba Kanisa Methodiste Unie.

Maaskofu wa Kanisa ya Methodiste benye balichaguli-wa na juridictions, maaskofu actifs ba Kanisa Evangélique ya Bretheren Unis wakati ya umoja, na maaskofu benye balicha-guliwa na juridictions ya Kanisa Methodiste Unie mbele ya 2024 bakuwa na mandat ya maisha. Kuanziya mwaka 2024, uchaguzi yote ya mupya ya askofu mu conferences juridic-tionnelles na ya centrales ya kanisa Methodiste Unie itakuwa kuchaguwa bazee ku mandat moya yenye haiko zaidi ya muda ya miaka kumi na mbili (12) ao mupaka bafikiye mwaka ya Conference Générale iko na mandat spécifique ya retraite, yoyote yenye inakuya mapema. Iyi mandat haiwezi ongeze-wa. Hakuna mutu mwenye amechaguliwa ku épiscopat mu ao baada ya mwaka 2024 anaweza kutolewa tena mu ofisi. Maaskofu bote benye balichaguliwa mbele ya 2024 bataku-wa na kiwango ya umiliki yabo ngizi ilianishwa mu Kitabu kya Adabu, règles muhimu ya conférence centrale, na sheriya ya kanisa yengine ku wakati ya uchaguzi yabo ya mwisho. Bale benye balichaguliwa kwa ofisi ya askofu mu ao baada ya mwaka 2024, kumaliza muda yabo mu ofisi, na habatabakiya kushimama muzuri kama bashirika ba Conseil ya Maasko-fu, lakini batakuwa bajumbe ba clergé ba conference ya kila mwaka yenye balikuwa bashirika wakati ya uchaguzi yabo ya kwanza kama askofu (ao ya yoyote mwenye anafaa kukuwa successeur wa conference) na atafurahiya haki na privilèg-es yoyote ya bazee mu uhusiano kamili, isipokuwa kwamba banaweza kuhifadhi titre ya heshima ya askofu kama signe ya heshima kwa huduma yabo. Conférence Générale piya in-aweza kutunga mipango maalum ya retraite ya faida ya ba-zamani na maaskofu benye biko ku retraite na banabakiya kushimama muzuri.

Mutazamo:Iyi inaongeza responsabilité na équité wakati inaonesha

tradition fondamanentale yetu ni imani kwamba bazee na maaskofu ni utaratibu moya. Mika kumi na mbili (12) in-aweza ruhusu wakati kiasi ya kuvoyager, na kutengeneza fasi

zaidi ya uongozi mupya yenye inapatika. Kukaza maaskofu kukimbiya kwa kuchaguliwa tena inaweza kuwa politiser bila kusaidiya na kuandamana yabo

¶125.

Numero ya Maombi: 20651-HS-¶125-G; Carter, Kenneth - Washington, DC, États-Unis wa Conseil ya Maaskofu. Kem-per, Thomas – Atlanta, GA, Etats-Unis wa Conseil General ya Ministeres ya Ulimwengu.

Makanisa Methodistes zenye Zinaungana

Marekebisho ¶ 125 kama venye inafuata:¶125. Methodistes Unis kote mu ulimwengu zimefungi-

wa pamoya. . . . Mu muunganisho ya agano yenye tunaunga na kukamata kila moya responsable ku buaminifu ya buana-funzi na mission. Kwa kushikilia pamoya yenye inaunganisha umoja na uhuru ya quartier, tunatafuta kutangaza na kuingi-za injili ku njiya zenye ziko responsable ku contexte culturel maalum yetu na jamii wakati inadumisha “mutandwo muhimu ya uhusiano ya interratif” (¶ 132). Wakati ile ile, tunaka kud-hibitisha na kusherekeya uhusiano, agano, na ushirikiano na maknisa autonomes, zenye zinaungana autonomes Method-iste, unies yenye inahusiana, na concordat (¶¶ 570-574) kama vile bashirika bengine mu familiya za Kikristo Wesleyennes na œcuméniques. . . .

(Yenye ilibakiya ya ile paragraphe yenye inafata bila kurekebishwa)

Rekebisha ¶ 227 ngizi inafata:¶ 227. Mwanachama mwenye anadai wa Kanisa Metho-

diste Unie, wa Kanisa Methodiste Unie autonome yenye ina-husiana Methodiste ao kanisa unie, ao ya kanisa Methodiste yenye iko na makubaliano concordat na Kanisa Methodiste, . . . .

(Yenye ilibakiya ya ile paragraphe yenye inafata bila kurekebishwa)

Rekebisha ¶ 344.1 c) ngizi inafata:c) Bazee, bashirika associés, na bale benye biko na li-

cence ya kichungaji ya ministere mu huduma chini ya Con-seil Général ya Ministeres za Ulimwengu inaweza kuteuliwa ku ministeres yenye iko lister mu a) na b) pale yulu. Ban-weza kupatiwa huduma ao mu conferences za kila mwaka ao conferences centrales, ao na zenye zimeungana makanisa autonomes Methodistes, huru makanisa zenye zinajiongoza, makanisa zenye zinatoka ku union ya Makanisa Methodistes na mashirika zengine, institutions za utume, ao ministeres de-nominationelles na œcuméniques. . . .

Rekebisha ¶ 423 ngizi inafata:¶ 423. Conference ya Maaskofu wa Kimethodiste—Kun-

aweza kuwa na conference ya maaskofu ba Methodiste, ina-jumuisha maaskofu bote benye balichaguliwa na conferences

Page 18: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

Elimu ya Juu na Usimamizi 963

juridictionnelles na centrales na askofu mu moya ao directeur général wakutoka kila ushirika affiliés ya autonomes Metho-diste yenye inajitengemeya ao Unie ya kanisa, ambayo itaku-tana kwa wito wa Baraza ya Maaskofu baada ya kushauriana na bashiriki bengine wa conference ya maaskofu Methodistes. Garama ya kusafiri na zengine za maaskofu ba makanisa unies ao Methodiste autonomes zenye zinahusiana ku mukutano ya Conference ya Maaskofu Methodistes italipiwa juu ya musingi moya kama ile maaskofu ba Kainsa Methodiste Unie.

Rekebisha ¶ 433 ngizi inafuata:¶ 433. Umoja wa Methodisti—1. Conseil ya Kimataifa

ya Bamethodiste—a) Kanisa Methodiste Unie ni mushiriki ya Conseil ya Kimataifa ya Methodiste, mutangulizi wa kanisa yake ya Methodiste na Unie Evangelique ya Bandugu bame-kuwa bashirika ya banachama wa organe kama hiyo. Bara-za ni njia muhimu kwa uhusiano wa Muungano wa Metho-diste na makanisa zengine ya Kimethodiste na makanisa ya Kimethodiste yenye inajitegemea, makanisa ya Kimethodist yenye iko affiliées yenye inajitegemea, makanisa autonomes ya muungano yenye iko affiliées yenye ilikuwa sehemu ya Kanisa Methodiste Unie ao denominations zake za utangulizi, na makanisa zengine yenye patrimoine Wesleyen.

b) Kila kanisa ya Methodiste yenye iko affiliée yenye ni autonome na kila kanisa ya unie affiliée yenye ni mushiriki wa Conseil ya Kimataifa ya Methodiste inaweza kuchagula ku-peleka bajumbe ku Conférence Générale ao kwa Conseil ngizi imependekezwa mu ¶ 570.2, .3 ya Kimataifa ya Methodiste (kupokeya kutoka Fond Mukubwa ya Utawala allocation ya us-afiri na kwa indemnité kwa hiyo moja ya evenement mbili kati-ka quadriennat). Lakini akuna kanisa kama ile yenye inastahili kutuma bujumbe ku garama ya Mufuko Mukubwa ya Utawala ku Conseil Methodiste ya Ulimwengu na Conference Generale.

Rekebisha ¶ 560 ngizi inafata:¶ 560. Autorisation—Conferences za kila mwaka, con-

ferences ya muda ya kila mwaka, conferences missionnaires, na missions inje ya Etats-Unis zenye haziko inclus mu con-ferences centrales ao mu territoire yenye iko affilier auto-nomesMethodiste ao unie makanisa na zenye, kwa sababu geographique, luga, politique, ao considerations zengine, ziko na iterets sawa zeyenye zinaweza kuhudumiwa muzu-ri ku vile, inaweza kupanga mu conferences centrales ngizi imetoshwa mu ¶ 540.1.21.

. . . .Rekebisha Sehemu ya V titre ngizi inafata:Sehemu ya V, Makanisa Methodistes Unies, zenye ni

Affiliées Autonomes Makanisa Methodistes, Makanisa Unies zenye ziko Affiliées, Makanisa za Agano, Makanisa za Concordat

Rekebisha ¶ 507.2 ngizi inafata:2. Affiliées autonomes Makanisa Methodistesa) Kanisa Methodiste yenye yenye inajishimamiya

yenye mu etablissement ya Kanisa Methodiste Unie ao moya ya bashirika bake (Kanisa Evangelique la Kanisa la Kiinjili

na Kanisa la Methodist ao batangulizi babo) imesaidiya na yenye inakubaliana kwa heshima na imeingiya mu Aganno ya Uhusiano (kuanziya kutoka 1968 hadi 1984) ao Sheriya ya Kupanga (angaliya ¶ 573) na Kanisa Methodiste Unie.

b) Kila kanisa Methodiste autonome itakuwa na haki ya bajumbe bawili, clergé mu moya na laïc mu moya, ku Conference Generale ya Kanisa Methodiste Unie kulingana na ¶ 433.1b. Batastahili haki na privilèges zote za bajumbe, pamoya na buanachama ku comités, isipokuwa haki ya kupi-ga kura. Kanisa kama ile yenye iko na zaidi ya banachama 70.000 batakuwa na haki ku mujumbe mu mya. Au moins moya kwa bale bajumbe tatu anapashwa kuwa mwanamuke. Askofu ao rais wa makanisa affiliée ya Kimethodise zenye ni autonomes anaweza kualikiwa na Conseil ya Maaskofu ku Conférence Générale.

Rekebisha ¶ 570.4a ngizi inafata:4. Makanisa za Aganoa) Kanisa Methodiste yenye ni autonome, kanisa Meth-

odiste yenye ni affiliée autonome, kanisa unie yenye affiliée, ao yengine kanisa ya Kikristo yenye imeingiya mu uhisiano ya gano na Kanisaa Methodiste kupitiya Sheriya ya Agano ngizi imesemwa mu ¶ 573.

Marekebisho ¶ 571 kama venye inafuata:¶ 571. Makanisa Methodistes Autonome, Affiliée Auto-

nome Makanisa Methodiste, na Makanisa Affiliée Unie—1. Certificats za ushirika ya kanisa zilipatiwa na clergé mu moya ya kanisa yenye ilikubaliwa na clergé mu kanisa yengine.

. . . .3. Mupango ya kutembeleya inaweza kupangwa kwa

pande zote na Baraza ya Maaskofu kwa kushirikiana na uon-gozi sawa wa kanisa ya Methodiste yenye autonome, kanisa affiliée ya Methodiste yenye ni autonome, na/ao kanisa unie affiliée.

. . . .Rekebisha ¶ 572, pamoya titre yake, ngizi inafata:Kukuwa Methodiste Autonome, Affiliée Autonome

Methodiste,ao Kanisa Methodiste Unie Affiliée kutoka Con-ferences centrales

¶ 572. Wakati conferences ya inje ya Etats-Unis yenye ni sehemu ya Kanisa Methodiste Unie inatamani kukuwa Methodistes autonomes, affiliées autonomes Methodistes, ao affiliées kanisa unie, kupitishwa inapashwa kwanza kukuwa securiser kutoka conference centrale yenye inahusika na iyi buamuzi kubadilishwa na conferences za kila mwaka ndani ya conference centrale na kura ya majorité ya deux-tiers za jumla na conferences za kila mwaka.

1. Conference itatayarisha rekordi ya kihistoriya na masababu kwa nini kujiunga na/ao autonomie inahitaka na itashaurianan na Comité ya Kudumu juu Mambo za Confer-ence Centrale (¶ 2201) juu ya procédures za kujiunga na/ao autonomie.

2. Comité ya Kudumu juu ya Mambo ya Conference centrale na conferences batahusika batakubaliana juu ya ku

Page 19: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

964 DCA ya mapema

confesses kwa imani na katiba ya kanisa mupya. Izi zitatayar-ishwa ku buangalifu na zitakubaliwa na conferences.

3. Matayarisho yake ya Adabu ni responsabilité ya con-ference yenye inataka kujiunga na/ao autonomie.

4. Baada ya kupendekezwa na Comité ya Kudumu juu ya Mambo ya Conference Centrale, wakati mahitaji yote ya kinidhamu ya uhusiano affiliées na/ao uhuru imefikiwa, Con-férence Générale kupitiya kitendo kyenye kinawezesha ita-kubali na kutosha ruhusa kwa conference zenye zinahusika kukuwa Bamethodiste autonomes, Methodiste affiliées auto-nomes, ao kanisa ya muungano affiliées.

5. Kisha mukutano ya kati yenye inahusika itakutana, ku-tangaza uhusiano yenye iko kati ya Kanisa ya Muungano wa Methodiste na mikutano(s) zenye zilihusika kufutwa, na kuji-panga bupya kama Methodiste autonome, Methodiste affiliée ya autonome, ao kanisa affiliée ya muungano kulingana na ki-tendo kyenye kiliwezeshwa na Conférence Générale. Kama-ti ya Kudumu juu ya Mambo ya Mukutano ya Kati itasaidia katika hii processus na, wakati mipango itakamilika, itaripoti ku Conseil ya Maaskofu. Proclamation ya statut ya affilié na/ao uhuru basi itakuwa sinye na rais wa Baraza ya Maaskofu na katibu wa Conférence Générale.

6. Mupango ya ushirikiano itatengenezwa kulingana na ¶ 571.4.

Rekebisha ¶ 573.1 ngizi inafata:¶ 573.1. Uhusiano ya makubalino, yenye éléments zime-

pitishwa na Conférence Générale ya 1992 mu hatuwa yenye imeitwa “Sheriya ya Makubaliano Kati ya Makanisa za Ki-kristo na Kanisa Methodiste Unie” inaweza kuanzishwa kati ya makanisa Methodistes autonomes, affiliées autonomes Makanisa Methodistes, makanisa unies affiliées, ao yengine makanisa za Kikristo na Kanisa Methodiste Unie.

Marekebisho ¶ 1314.2.c) ngizi inafata:c) Maendeleo na ushirikiano ya uhusiana ya kudumu na

ushiriki ya mission yenye inajumuisha kushiriana ya fursa na rasilimali, kujuwana na kushirikiana. Iyi ni pmaoya na kudumisha na kukamilisha ya muunganisho ya uhusiano na conferences centrales; makanisa autonomes, affiliées auto-nomes Methodistes, na unies, organismes ecclésiastiques za kanisa.

Mutazamo:Valuers za UMC muunganisho yake ya ulimwengu, uhu-

siano missionnaires na makanisa zenye aziko UMC. Juu ya kushugulikiya utumuzi yenye aikubaline na confus ya “auto-nomes” kwa kutaja izi uhusiano zengine, iyi maombi inazimi-sha “autonomes” na inaongezeya mabadiliko zengine mbili zenye zina clarifier; maombie yenye iko na uhusiano yenye inazimisha “Kanisa Methodiste Autonomes.”

¶401.

Namba ya Maombi: 20283-HS-¶401-G; Berggren, Ken - Calhoun, KY, Etats-Unis.

Mapitiyo ya Rika ya Askofu 1

Rekebisha ¶ 401 kwa kuongeza: ¶ 401. Kazi—Kazi ya mushimamizi wa district mu Kani-

sa Methodiste Unie inaikala mu ofosi ya askofu na inapanula hadi ku mushimamizi wa district, na mwenye iko na respons-abilités tafauti na ya pamoya. Mission ya kanisa ni kufanya banafunzi ba Yesu Kristo ku mabadiliko ya ulimwengu (an-galiya Sehemu IV, Sehemu ya I). Tangu wakati za mitume, batu fulani baliteauliwa na bame aminiwa na ma kazi fulani za kushimamiya. Kusudi ya kushimamiya ni kuandaa kanisa mu ministere yake ya kufanya banafunzi. Bale benye bameshima-miya banabeba responsabilité ya musingi ya kuagiza maisha ya kanisa. Ni kazi yabo kuwezesha kanisa ya benye bameku-sanyika kuabudu na kueneza injili kwa buaminifu. Piya ni kazi yabo kurahisisha kuanzisha structures na mikakati za kubapa batu ba Kikristo huduma mu kanisa na mu ulimwengukwa jina ya Yesu Kristo na kusaidiya uduma mu mission. Ni kazi yabo, kama vile, kuangaliya kwamba maneno yote, ya kidun-ia na ya kiroho, zimeshimamiwa mu manière yenye ni njiya na ufahamu ya ulimwengu ku umakini na kuelewa wakati inabakiya kutambuwa na kuaminifu ya mandat ya kanisa. Uongozi rasmi mu Kanisa Methodiste Unie, yenye ambayo iko mu izi ofisi zenye zinashimamiya, ni sehemu intégran-te ya mufumo ya ministere itinérant na inahitaji kupitishwa na kanisa yote (¶ 16.5). Iyi idhini itaoneshwa kwa kura ya confiance ya kila mwaka na maaskofu benyewe. Kila askofu atalomba kushikiliya ofisi ya maaskofu benye balikuwa actifs bata piga kura. Mu miaka wakati maaskofu banachaguliwa, kupiga kura itafanyiwa baada ya conference juridictionnel-lena centrale lakini mbele ya maaskofu ba mupya batakuwe consécrés. Processus inaweza kufanyiwa électroniquement kupitiwa na barua pepe ao njiya yengine ya mawasiliano bila présence ya physique ya maaskofu bote. Uthibitisho ya trois-quarts ya maaskofu benye bko actifs batahitajika kuchunga ofisi ya askofu.

Mutazamo:Maaskofu bana athirika kanisa yote haiko tu juridiction

yenye ilibachaguwa. Iyi inaongoza ku qualifications ya askofu na kuunga mukono kanisa yote yenye ilisemewa na collègues babo wakati ya revision ya rika ya kila mwaka. ¶16.5 inaruhu-su kukataliwa kwa maaskofu juu ya “inefficacité na inaccept-abilité.” Maaskofu benye biko actif kama banaweza kuamuwa inacceptabilité.

Page 20: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

Elimu ya Juu na Usimamizi 965

¶402.

Namba ya Maombi: 20284-HS-¶402; Delmore, Sean - Laba-non, NH, Etats-Unis.

Ministère Spécial, Haiko Agizo ya Kujitenga

Rekebisha ¶ 402 ngizi inafata:Ministère Spécial, Haiko Agizo ya Kujitenga—Ofisi za

askofu na mushimamizi wa district ziko mu Kanisa Method-iste Unie kama ministeres fulani. Maanskofu banachaguliwa na bashimamizi ba district banateuliwa kutoka kwa groupe ya bazee benye baliteuliwa kukuwa ba ministres mu Service ba Utumishi, Neno, Sakramenti, na Utaratibu na pale basi banashiriki mu ministere ya Kristo, katika kushiriki ukuhani wa kifalme iko na mizizi ya kimitume (1 Petero 2-9; Yohana 21:15-17; Matendo 20:28; 1 Petro 5:2-3; 1 Timotheo 3:1-7). Bashimamizi ba district banateuliwa kutoka mu groupe ya clerge mu uhusiano kamili.

Mutazamo:Kama bashimamizi ba district banafanya kazi “kukuza

programmes za ministere na mission yenye inapanula ush-uda wa Kristo ndani mu ulimwengu” (¶ 419.1), ma diacres banaweza, wakati zengine, kukuwa na zawadi na compétenc-es kutumika kama bashimamizi ba district.

¶402.

Namba ya Maombi: 20285-HS-¶402-G; Williams, Alice - Orlando, FL, États-Unis.

Diacres benye Banafaa kuwa Askofu

Rekebisha Kitabu kya Adabu ¶ 402 ngizi inafata:. . . Maaskofu balichaguliwa na bashimamizi ba dis-

trict baliteuliwa kutoka ile groue ya bazee na diacres benye bameteuliwa kukuwa ba ministres ba Service, neno, Sakra-menti, na Agizo na kwa vile kushiriki mu ministere ya Kristo, . . .

Mutazamo:Intention yetu ya makusudi ku mission na ministere

itafaidika kutoka ku maono na utalaam ya bote bazee na ma diacres kuongoza ministeres divers na congrégations ya UMC. Tumebarikiwa kukuwa na ma diacres benye biko na utawala, kiroho, na zawadi ya utume na sifa zenye zinahi-tajika ku

¶403.

Namba ya Maombi: 20286-HS-¶403; Delmore, Sean - Laba-non, NH, Etats-unis. Maombi 1 Sawa

Rôle ya Maaskofu na Bashimamizi ba District

Rekebisha ¶ 403 ngizi inafata:Rôles ya Maaskofu na Bashimamizi ba District—Maas-

kofu na bashimamizi ni bazeebatu ba clergé mu uhusiano ka-mili.

[Zingatiya paragraphe yote ngizi iliandikiwa.]

Mutazamo:Kama bashimamizi ba district banafanya kazi “kukuza

programmes za ministere na mission yenye inapanula ush-uda wa Kristo ndani mu ulimwengu” (¶ 419.1), ma diacres banaweza, wakati zengine, kukuwa na zawadi na compétenc-es kutumika kama bashimamizi ba district.

¶403.

Namba ya Maombi: 20287-HS-¶403-G; Williams, Alice - Orlando, FL, États-Unis.

Diacres benye Banafaa kuwa Askofu na Mushimamizi

Rekebisha Kitabu kya Adabu ¶ 403 ngizi inafata:Maaskofu na bashimamizi ni bazee ao ma diacres mu

uhusiano kamili.1. Maaskofu banachaguliwa kutoka bazee na ma diacres

ba kanisa na bamewekwa kando juu ya ministere ya uongo-zi wa batumishi, supervision générale na ushimamizi wa ile dénomination banatumikiya.

Mutazamo:Rôle ya diacre inaendeleya ku évoluer kwa kueleweka

na complexité na dénomination yetu amebarikiwa kukuwa na diacres benye biko na uongozi, utawala kiroho, na utume zawadi yenye inahitajika kuongoza UMC kama maaskofu na bashimamizi.

¶403.

Namba ya Maombi: 20289-HS-¶403-G; Eckert, Jerry - Port Charlotte, FL, Etats-Unis.

Kazi ya Musingi ya Cabinets

Rekebisha kwa Kuongeza ku ¶ 403:¶ 403. Rôle ya Maaskofu na Bashimamizi—. . . . 3. Pamoya askofu na bakubwa ba district banafanya cabi-

Page 21: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

966 DCA ya mapema

net ya nominations. Yulu ya yote, kazi yabo ya musingi baada ya kulinganisha muchungaji na kanisa nikubasaidiya bote ku-fanyikiwa pamoya.

Mutazamo:Iyi kazi ya musingi, kusaidiya bachungaji na makanisa

kukuwa effectif, kufanyikiwa mu match yab (yenye ambayo haiko muzuri kila wakati banapenda) ina sahabuliwa mbio sana mu doruba ya kartasi ya utawala na appel sirène ya am-bition mu kanisa mukubwa. Fanya iyi na kanisa itaishi!

¶403.

Numero ya Maombi: 20681-HS-¶403-G; Brooks, Lonnie - Anchorage, AK, Etats-Unis.

Episcopat ya Regionalisation—Butekelezaji

Vitendo vyote vifuatavyo vitakuwa vya nguvu ikiwa, wakati na tu kama marekebisho yaliyopendekezwa ya Katiba ya Kanisa ya Methodiste Unie katika ombi iliyoambatishwa itathibitishwa na Baraza ya Maaskofu.

Rekebisha ¶¶ 403, 404, 406, 407, 408, 409, 410, 413, 414, 415, 422, 440, 450, 512, 524, 548, 614, 619, 621, 805, 806, 808, 810, 818, 1806, 2501, 2702, na 2712 ngizi iko in-diquer inafata:

¶ 403.1.c) A dira kwa ajili ya Kanisa. Wajibu wa askofu ni kuongoza Kanisa nzima kudai utume wake kufanya wa-fuasi wa Kristo Jésus kwa ajili ya mageuzi ya ulimwengu. Askofu huongoza kutambua, msukumo, kuendeleza mikaka-ti, kuandaa, kutekeleza na kutathmini mafanikio ya utume wa Kanisa. Kufanya kazi kwa ushirikiano na Baraza la Maasko-fu, uongozi wa Baraza la mawaziri na walei na wakleri wa mkutano wa kila mwaka, na washiriki wanaojiita wa Kanisa, askofu awataka kanisa nzima kusogelea maono ya kushiriki Kristo na ulimwengu katika utimilifu wa utume wetu, ufuasi mwaminifu na “bora zaidi njia” ya kuwa watu wa Kristo ka-tika ulimwengu.

. . .f) . . . Askofu ana gabulaka na bengine Maaskofu ufuatil-

iaji kanisa nzima kupitia Baraza ya Maaskofu . . .¶ 404. Misimamo kwa Maeneo ya Uaskofu—1. Katika kongamano za kati nje ya Marekani, idadi ya

maaskofu actif na waliopewa mahali itaamuliwa na kila con-ference centrale. kwa msingi wa uwezekanoi wa misheni, kama ilivyopitishwa na Kongamano Kuu kwa pendekezo la Kamati ya Kudumu ya Masuala ya Kongamano la Kati. Kabla ya kupendekeza mabadiliko katika idadi ya maeneo ya uasko-fu, Kamati ya Kudumu ya Masuala ya Kongamano la Kati:

a) fikiriya izi vigezo kwa kufata vipaumbele:

(1) nombre ya conferences za masitaka na nombre ya ma clergé benye biko bado actifs mu maeneo[153] épiscopal-es[154];

(2) taille geographique ya maeneo épiscopales, yenye in-apimwa na maile/muraba ya km, na nombre ya maeneo ya wakati na mataifa;

(3) structure ya maeneo za épiscopales, zenye zimepim-wa na nombre ya ma conferences za kila mwaka, na ushirika ya jumla ya kanisa, na ma missions za maeneo za épiscopales.

b) fanya analyse zaidi ya contexte na uwezekano mis-sionnaire ya mabadiliko mu maeneo za épiscopales.

2. Katika mamulaka idadi ya baaskofu ambo wako actif na wanaishi kule itajulikana kwa kila conference ya jurisdic-tionelle. kwa kulingana na yanayofata:

a) Kila juridiction iko na bashirika 300.000 ao bachache batakuwa banashiriki ku maaskofu ba tano na kila juridiction yenye iko bashiriki ba kanisa zaidi ya 300.000 batashiriki kwa askofu mu moya wa zaidi kwa kila bashirika ba kanisa zaidi ya 300.000 ao sehemu yake mukubwa.

b) Kama idadi ya wajumbe wa kanisa katika mamlaka itapungua kwa asilimia kumi chini ya idadi ya wajumbe wa kanisa ambao hapo awali walikuwa na haki ya mamlaka kwa idadi ya maaskofu, basi idadi ya maaskofu ambayo itakuwa kuwa na haki itaamua juu ya msingi wa mahitaji ya utume, kama ilivyoidhinishwa na Mkutano Mkuu juu ya mapende-kezo ya Kamati ya Usimamizi kuhusu Kamati ya Uaskofu Ulimwenguni, iliyotolewa hata hivyo alisema kuwa mamlaka itakuwa na haki ya chini ya idadi ya maaskofu ambayo itaku-wa na haki chini ya paragraphe ndogo a) hapo juu. Itakuwa kwa mahakama inayohusika, kupitia Kamati yake ya Uasko-fu, kuomba marekebisho ya mahitaji yake ya utume kwa uba-guzi na, bila ya ombi hilo, hakuna wajibu kwa sehemu ya Kamati ya Usimamizi kuhusu Kamati ya Uaskofu Ulimwen-guni kuchunguza ubaguzi huo au kutoa ripoti juu ya ubaguzi huo kwa Mkutano Mkuu. Katika hali yoyote hakutakuwa na kikwazo chochote katika Mkutano Mkuu wa Mkutano wa ku-tenda kwa kutokuwepo kwa mapendekezo hayo au kukataa mapendekezo yoyote ambayo yanaweza kupokewa.

¶ 406.3. Misheni Maalumu—Baraza la Maaskofu wa-naweza, kwa idhini ya askofu, na kwa idhini ya kamati ya mkutano mahakama au kati kwenye huadhimisha, mpangie mmoja wa wanachama wake kwa mwaka mmoja na jukumu maalum la Kanisa kuchukuliwa muhimu vya kutosha kwa ajili ya ustawi wa jumla. Kanisa. Katika tukio hili, askofu atakuwa kutolewa kutoka majukumu ya Urais ndani ya eneo la Baraza la Maaskofu kwa muhula huo. Askofu mwengine ama maaskofu, mwenye iko active ama mstaafu, na si lazima kutoka sawa iliyodumu ama kati mkutano, itakuwa itajwe na Baraza la Maaskofu juu ya mapendekezo ya Chuo kya Maas-kofu wa mamlaka wanaohusika na kudhani majukumu ya Urais wakati wa muda huo. Katika tukio ambalo askofu zaidi ya mstaafu mu moya hupewa kazi ya kutimiza majukumu ya urais katika sehemu moya ya uaskofu, mamlaka ya Hazina ya

Page 22: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

Elimu ya Juu na Usimamizi 967

Uaskofu itawajibika tu kwa tofauti kati ya pension kulipwa maaskofu benye balistaafu na mshahara wa askofu mu moya anayefanya kazi. Kazi hii inaweza kuwa upya kwa mwaka wa pili na kura ya theluthi mbili ya Halmashauri ya Maaskofu na kura nyingi za kamati ya mamlaka au katikati ya maaskofu na idhini ya askofu na Chuo cha Maaskofu husika. Askofu aliyechaguliwa ataendelea kupata mshahara wa kawaida na msaada.

¶ 407. Nafasi katika Ofisi ya Askofu—nafasi katika ofi-si ya Askofu inaweza kutokea kwa sababu ya kifo, kustaafu (¶ 408.1,. 2. 3), kujiuzulu (¶ 408.4), utaratibu wa mahakama (¶ 2712), conge ya kukosa (¶ 410.1), ama conge ya magonjwa (¶ 410.4). Katika kazi ya askofu kwa usimamizi wa urais wa eneo la maaskofu imekamilika na sababu yoyote hapo juu, nafasi hiyo itajazwa na Baraza ya Maaskofu juu ya uteuzi wa maaskofu wenye kazi wa Chuo kya Maaskofu kya mamlaka ama mkutano mkuu yenye inahusika . . .

¶ 408.1.d) Kama, hata vile, askofu mstaafu anapokea mojawapo ya majukumu ya Kanisa, ya Baraza ya Fedha na Usimamizi, baada ya kushauriana na Baraza ya maaskofu, ba-taweka kiwango kya juu kilichowekwa na Mkutano Mkuu juu ya mapendekezo ya Baraza Kuu ya Fedha na Utawala kwa gharama za fidia inayotokana na mamlaka ya Hazina ya Epis-copal ambapo Askofu ni mwanachama wa Chuo cha Maasko-fu: (1) jukumu maalamu lenye uhusiano wa moja kwa moja na uwajibikaji kwa Conseil ya Baaskofu, au (2) jukumu kwa shirika jumla au taasisi ya masomo ya juu ya Kanisa Metho-diste Unie. Kazi ya maaskofu waliostaafu kwenye taasisi za elimu ya juu zinazohusiana na Kanisa la Umoja wa Methodist lazima liwe na jitihada za taasisi, huduma isiyozidi umri wa lazima wa kustaafu wa taasisi.

Kama askofu anapewa taasisi ya jumla ama taasisi ya elimu ya juu inayohusiana na Kanisa ya Muungano wa Meth-odist, ile taasisi ama taasisi ya elimu ya juu ya Kanisa ya Mu-ungano wa Methodist italipa 50% ya fidia iliyoanzishwa na Kanisa ya Muungano wa Methodist. GCFA kwa nafasi hii. Wakala ama taasisi ya elimu ya juu itawajibikia gharama zote za uendeshaji na usafiri za askofu zinazohusiana na kazi ile.

Kizuizi cha kazi yoyote maalum itakoma baada ya askofu kufikia umri wa kustaafu kwa wahudumu wote waliowekwa rasmi (¶ 358.1) ama atafanya kazi hiyo, kyokyote kinakuya kwanza, isipokuwa bale maaskofu benye balistaafu benye balichaguliwa na Baraza ya Maaskofu banaendelea kupokea fidia kwa ajili ya ujumbe huu maalum wakati wote wa ofisi zabo. Hakuna mgawo wa mamlaka, mkutano mkuu, mkutano wa kila mwaka, au shirika isiyo ya Muungano wa Methodist itastahili fidia ya ziada kutoka kwa Hazina ya Episcopal chini ya masharti ya hii paragraphe. Hadhi ya askofu mstaafu aliye kwenye kazi maalumu itakuwa, kwa dhumuni la makazi na mafao mengine, ile ya askofu mstaafu.

. . .

¶408.2.b) Ustaafu wa Mtaalamu—Askofu ambaye ametumikia angalau miaka minane katika jimbo la maas-kofu anaweza kuomba kustaafu kwa sababu za kitaaluma na anaweza kustaafu na kamati ya mkutano ya kati kuhusu uaskofu juu ya mapendekezo ya Chuo cha Maaskofu. Askofu kama hiyo watapata pensheni zao kama ilivyoelezwa katika ¶ 408.2 (a). Kama chombo kya kuajiri kinatoa ama kinapa-tikana kwa bafanyakazi wa bima ya afya, askofu anayesta-afu chini ya utoaji huu atakuwa bima chini ya mpango huu, kwamba askofu atakiwa kulipa malipo ya hii, na mamlaka ya Hazina ya Uaskofu hayatachukua wajibu wa baadaye wa kutoa bima ya afya kwa askofu au familia ya askofu. . . .

. . .¶ 408.3.b) Askofu, kwa sababu za afya, anaweza kustaafu

kati ya vikao bya mkutano wa mamlaka ama katikati ya kura ya kura ya theluthi mbili ya kamati ya mkutano wa kati ya utawala juu ya mapendekezo ya asilimia moya ya banacha-ma wa Chuo kya Maaskofu. Askofu anayehusika, kwa ombi, atakuwa na haki ya kuchunguza hali yake ya afya na timu ya uchunguzi wa kitaalamu kabla ya kuingilia kati na Chuo cha Maaskofu husika. Taarifa juu ya hatua ya kujiondoa inapaswa kufanywa na rais na katibu wa kamati ya mkutano wa mam-laka au katikati ya maaskofu kwenda kwa katibu wa Bara-za wa Chuo ya Maaskofu na mweka hazina wa mamlaka ya Hazina ya Uaskofu. Rufaa kutoka kwa hatua hii inaweza ku-fanywa kwa Halmashauri ya Sheria na masharti ya ripoti yan-ayotumika kama ilivyoelezwa mwaka ¶ 2716. Katika makao makuu haya, askofu atapokea pensheni kwa kiasi ambacho inaruhusiwa na Mpango wa Usalama wa Kustaafu wa Kanisa au Mpango wa Pensheni ya Dunia (ama, katika hali yoyote, mpango wa pension ama mradi za pension),kama moya ama nyingine inaweza kuomba.

¶ 409.1. . . . Hata hivyo, wakati askofu mstaafu aliyeteu-liwa na Baraza Chuo ya Maaskofu eneo tupu ya Baraza la Maaskofu au sehemu ya eneo chini ya masharti ya ¶¶ 409.3, 410.1 ama 410.3, askofu kwamba wanaweza kufanya kazi kama askofu katika ufanisi wa uhusiano.

¶ 410. Conge—1. Kuondoka—Askofu wanaweza kupati-wa kuondoka haki kwa miezi sita, kwa kushauriana na mkoa kwenye huadhimisha kamati na idhini ya Chuo ya Maasko-fu, na kamati ya mamulaka au conference centrale juu ya episcopale, na kamati ya utendaji ya Baraza la Maaskofu. Wakati ya periode yenye conge itakuwa imekubaliwa, asko-fu ataachiliwa kutoka kwa majukumu yote ya kiaskofu, na askofu mwengine aliyechaguliwa na kamati ya Utendaji ya Baraza Chuo ya Maaskofu ataongoza katika eneo ya maasko-fu. Mshahara na faida nyingine zitaendelea kupitia Hazina ya Uaskofu kama ilivyoandaliwa na mamlaka.

. . .

Page 23: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

968 DCA ya mapema

3. Sabato—Askofu ambaye amehudumu kwa angalau miaka miwili na nusu wanaweza kupata kuhesabia wa zaidi ya mwaka kwa ajili ya mpango wa kujifunza au upya kwa mashauriano na mkoa kwenye huadhimisha kamati na idhini ya Chuo ya Maaskofu, na kamati ya mamulaka au conference centrale juu ya episcopale, na kamati ya utendaji ya Baraza la Maaskofu. Wakati ya periode ambayo congé sabbatique itakuwa imekubalika, Maaskofu batatolewa kwa majuku-mu ya urais katika eneo ya Maaskofu na Maaskofu bengine moya ama zaidi banateuliwa na Baraza Chuo ya Maaskofu kuchukua kazi ya urais. Askofu atapokea mshahara one-half na, pale inapowezekana, makazi posho kwa ajili ya kipindi cha idhini.

4. Kuondoka juu ya Matibabu—Maaskofu ambao kuto-kana na matatizo ya afya, hawawezi kwa muda kufanya kazi kamili, kupata kuondoka kwa sababu halali kwa miezi sita kwa wengi, kwa kushauriana na kamati ya mkoa juu ya epis-copacy na kwa idhini ya Chuo ya Maaskofu, na kamati ya mamulaka au conference centrale juu ya episcopale, na ka-mati ya utendaji ya Baraza la Maaskofu. Wakati ya periode yenye conge itakuwa imekubaliwa, askofu ataachiliwa ku-toka kwa majukumu yote ya kiaskofu, na askofu mwengine aliyechaguliwa na kamati ya Utendaji ya Baraza Chuo ya Maaskofu ataongoza katika eneo ya maaskofu. Mshahara na faida nyingine zitaendelea kupitia Hazina ya Uaskofu kama ilivyoandaliwa na mamlaka. Kama baada ya miezi sita kip-indi ni juu ya askofu ni bado haiwezi kufanya kazi kamili kutokana na afya kudhoofika, ulemavu faida kupitia pro-gramu ya faida zinazotolewa kwa askofu lazima kutumika kwa ajili ya.

¶ 413.3.d) (iii) Gharama zote zinazohusiana na hatua zilizochukuliwa kwa mujibu ya paragraphe ya (ii), hapo juu zitalitwa na Hazina ya Episcopale na mahakama au mkutano ambayo askofu ni mwanachama wa Chuo cha Maaskofu.

¶ 414.8. Kukuza na kusaidia ushahidi kiinjili ya Kanisa nzima.

¶ 415.6. Kuweka maaskofu wakfu; kuamuru wazee na madikoni; kuwaagiza wajumbe, watumishi wa nyumbani, na wamishonari; na kuona kwamba majina ya watu walioagiz-wa na wakfu wameingia kwenye majarida ya mkutano huo na kwamba sifa hizi zinawasilishwa kwa watu hawa. Kama huduma hizi ni matendo ya Kanisa zima, n Nakala na vichwa inapaswa kutumika katika fomu kupitishwa na mkutano mkuu.

¶ 422. Kamati ya Maaskofu—1. Maaskofu, ingawa ali-chaguliwa na ililodumu na kati mikutano, huchaguliwa waan-damizi mkuu wa kanisa nzima.

. . .

4. Baraza la Maaskofu unaweza mpangie mmoja wa ban-achama bake kutembelea eneo jingine Baraza ya Maaskofu ama kuhusiana na Kanisa la Methodisti. Wakati unapewa kazi ile, askofu atajulikana kama envoyeé wa kamati yao, na wakati batamulomba askofu wa nafasi ile wala layisi wa apo, anaweza kuwa mkubwa wa ba askofu yote.

¶ 440. Makuta—Makuta kwa ajili ya huduma za kidini na zenye haziko za kidini za Kanisa zitatolewa na Baraza ya Maaskofu katika moya ama zaidi ya wazi wazi katika ombi ya bajeti ya Hazina ya Episcopale Utawala Mkuu katika maom-bi ya bajeti ya Mkutano Mkuu.

¶ 450. Makuta—Kwa kushirikiana na Baraza ya Maas-kofu, Kamati ya Imani na Utaratibu itapendekeza bajeti yake kama sehemu ya Hazina ya Episcopale Utawala Mkuu, kupi-tishwa na Mkutano Mkuu.

Futa ¶ 512 kwa ukamilifu yake.Futa ¶ 524.3.f) kwa ukamilifu yake.¶ 548. Maaskofu katika uhusiano na kustaafu—1.

Mhuduma wenye aliyeteuliwa ambaye alitumikia muda ama sehemu ya muda wake kama askofu katika mkutano wa kati ambako muda wa askofu ulifanyika lazima, baada ya kustaafu kutoka kwa ufanisi wa uhusiano ndani ya idara hiyo, kupokea malipo kutoka wa Hazina ya Utawala Mkuu wa Episcopale kwa jumla kama Baraza Kuu ya Makuta na Utawala itaamua kwa miaka ambayo mhudumu aliyewekwa rasmi amewahi kuwa askofu.

¶614.1.b) Baraza itaelezea mkutano wa kila mwaka kati-ka kila kikao kya Hazina ya Maaskofu wa Mipango ya Mku-tano kwa mkutano wa kila mwaka chini ya mbinu iliyoidhin-ishwa na Mkutano Mkuu na itajumuisha katika bajeti yake iliyopendekezwa ya msaada wa wajumbe kiasi kya kuzingatia na hazina ya Mkuu Baraza ya Fedha na Utawala kama ina-vyohitajika ili kukabiliana na ushiriki huu.

¶619.1.a)(5) Mchungaji wa Mkutano kila mwezi ata-wasilisha kwa Mzina Hazina wa Baraza la Fedha na Utawala Mkuu kiasi ambacho kinapokea wakati wa mwezi kwa Mfu-ko Mkuu wa Utawala, Hazina ya Episcopale, Hazina ya Ush-irikiano wa Ushirikiano, Hazina ya Chuo cha Black, Hazina ya Elimu ya Waziri, zawadi maalum ya utumishi wa ulim-wengu, zawadi maalum zilizotarajiwa, sadaka maalum ya Di-manche ya Kanisa (¶ 262), wito maalum ya kanisa (¶ 819), na sababu zengine zote zenye hazieleweke.

¶ 621. Usambazaji Mgawanyiko—Kila mkutano wa kila mwaka itaonyesha mpango na utaratibu yenye itatumiwa kusambaza makuta(fedha) kwa ajili ya wilaya zake mbalim-bali na matumizi kwa Hazina ya Episcoplale msaada wa Maaskofu ya mamlaka ya kisheria, (¶ 817.1) kwa ajili ya msaada wa wasimamizi wa wilaya na wanaotafuta mkutano na kwa Mfuko fidia ya haki (¶ 625).

Page 24: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

Elimu ya Juu na Usimamizi 969

¶ 805.6. Msaada wa Makuta—a) Msaada wa makuta kutkoa kwa hazima generale za kanisa kwa kazi ya bara-za utatokw kwenye yafuatayo: (1) mgao mkubwa kutoka kwa Hazina ya Utawala Mkuu, kwa kiasi kilichowekwa na Mkutano Mkuu; (2) ada za kudumu dhidi ya Hazina ya Huduma ya Dunia, Hazina ya Episcopale, Hazina ya Ush-irikiano wa Ushirikiano na mfuko mwingine mkuu ambao Mkutano Mkuu unaweza kuidhinisha juu ya mapendekezo ya Baraza. Mashtaka zisizohamishika ni sawa na mapato ya mfuko.

¶ 806.1.a) Baraza itatoa mapendekezo kwa Mkutano Mkuu juu ya kiasi na usambazaji wa Hazina ya Episcopale na Hazina ya Utawala Mkuu, na, kwa kushauriana na Jed-wali ya Kuunganisha, fedha zingine za jumla zilizosamba-zwa.

¶ 808. Malipo ya Mkutano wa Fedha zilizogawany-wa—1. Hazina ya Baraza Kuu la Fedha na Utawala, angalau siku tisini kabla ya kikao cha kila mkutano wa kila mwaka au haraka iwezekanavyo, kumpeleka askofu msimamizi wa Mkutano Bodi ya Fedha na Utawala, na mweka hazina wa Mkutano taarifa ya mgao wa mkutano wa Hazina ya a Hudu-ma za Dunia, Hazina ya Utawala Mkuu, Hazina ya Uaskofu, Hazina ya Ushirikiano baina ya Makanisa, Hazina ya Elimu ya Kihuduma, Hazina ya Chuo cha Waafrika, Hazina ya Chuo Kikuu cha Afrika, na fedha nyingine yoyote ambayo inaweza kuwa inasambazwa na Mkutano Mkuu.

¶ 810. Ufafanuzi wa Fedha za Jumla—1. Maneno haz-ina ya jumla na hazina ya jumla ya kanisa, popote wanap-oonekana katika Kitabu kya Adabu, rejea: Hazina ya Huduma za Dunia; Hazina ya Utawala Mkuu; Hazina ya Episcopale; Hazina ya Ushirikiano baina ya Makanisa; Hazina ya Elimu ya Kihuduma; Hazina ya Chuo cha Waafrika, Hazina ya Chuo Kikuu cha Afrika; Zawadi maalum ya Huduma ya Dunia; Za-wadi za Jumla; Hazina ya Ushirika wa Dunia; Hazina ya Siku ya Mahusiano ya Binadamu; Hazina ya Siku ya Banafunzi ya Muungano wa Methodist; Hazina ya Jumapili ya UMCOR 16; Hazina ya Jumapili ya Amani na Haki; Hazina ya Juma-pili ya Huduma ya Wamarekani Asilia; Hazina ya Huduma ya Vijana; na fedha nyingine kama ambazo zinaweza kuanzish-wa na Mkutano Mkuu na zimeidhinishwa hasa na Mkutano Mkuu wa kuinuliwa kwa kanisa.

Futa ¶ 818, ikiwa ni pamoya na titre yake, kwa ukamilifu yake.

¶ 1806.12. Itakuwa ni uuzaji wa shirika kuu kati ya kanisa fedha za Kanisa kuu zifuatazo: Hazina ya Utumishi wa Dunia (¶ 812.1), Hazina ya Chuo Kikuu cha Afrika (¶ 806.2), Hazina ya Chuo cha Waafrika (¶ 815), Hazina ya Uaskofu (¶ 818.1), Hazina ya Utawala Mkuu (¶ 813), Hazina ya Ushirikiano wa Umoja wa Mataifa (¶ 819), Hazina ya Elimu ya Kihuduma (¶ 816), Siku ya Mahusiano ya Binadamu (¶¶ 824.1 na 263.1), Dimanche ya UMCOR (¶¶ 821, 824.2 na 263.2), Dimanche ya Ma huduma za ba Amérindiens (¶¶ 824.6 na 263.6), Di-manche ya Amani na Haki (¶¶ 824.5 na 263.5), Dimanche ya

Ushirika wa Dunia (¶¶ 824.4 na 263.3), Siku ya Mwanafunzi wa Muungano wa Methodist (¶¶ 824.3 na 263.4), Avance kwa Kristo na Kanisa yake (¶¶ 822 na 823), Zawadi maalum ya Huduma za Dunia (¶ 820), Dimanche ya Elimu ya Kikristo (¶ 265.1), Dimanche ya Msalaba wa Dhahabu (¶ 265.2), Di-manche ya Maisha ya Vijiji (¶ 265.3), Dimanche ya Uelewa wa Ulemavu (¶ 265.4), Hazina ya Huduma ya Vijana (¶ 1208), na fedha zote za Kanisa zima zinazoidhinishwa na Mkutano Mkuu, pamoya na rufaa yoyote ya dharura iliyoidhinishwa na Halmashauri ya Maaskofu na Baraza Kuu ya Fedha na Ut-awala (¶ 819).

¶ 2712.6. Askofu amesimama kutoka ofisi atakuwa na haki ya mpango wa msaada wa waiskofu wa Hazina ya Epis-copal iliyoanzishwa na mkutano wa mamlaka au katikati kwa ajili ya matibabu, nyumba, bodi na faida nyingine zinazohusi-ana. Askofu aliyeondolewa katika ofisi hayatakuwa na madai juu ya Hazina ya Uaskofu wa mkoa au katikati ya misaada ya misaada, isipokuwa kama ilivyoelezwa hasa na mkutano huo, kwa mshahara, makao, pensheni na mengine faida zinazohu-siana na tarehe ya kuondolewa kama ile.

Mutazamo:Episcopat imefanya kazi angalau kila regionale kama

ngizi ilikuwa ulimwenguni tangu buumbaji ya systemes ju-ridictionnelle. Akuna askofu mwenye amekuwa transféré kati ya juridiction baada ya élection. Isitoshe, tafauti theologiques regionales inafanya iyi etape muhimu kama kanisa inapashwa kuwa na bahati yoyote ku unite organique.

¶403.2.

Namba ya Maombi: 20288-HS-¶403.2; Delmore, Sean - La-banon, NH, Etats-Unis.

Rôle ya Bashimamizi ba District

Rekebisha ¶ 403.2 ngizi inafata:2. Bashimamizi ba district ni bazee batu ba clergé mu

uhusiano kamili balichaguliwa na askofu wa cabinet kama kupanula rôle ya bushimamizi wa askofu mu conference ya kila mwaka kupitiya disciplines moya na kulingana na re-sponsabilités yabo yenye iliwekewa mu Kitabu kya Adabu chini ya supervision ya askofu résident.

Mutazamo:Kama bashimamizi ba district banafanya kazi “kukuza

programmes za ministere na mission yenye inapanula ush-uda wa Kristo ndani mu ulimwengu” (¶ 419.1), ma diacres banaweza, wakati zengine, kukuwa na zawadi na compétenc-es kutumika kama bashimamizi ba district.

Page 25: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

970 DCA ya mapema

¶404.

Namba ya Maombi: 20290-HS-¶404-$-G; Kilpatrick, Joe Wesley - Tucker, GA, Etats-Unis. Maombi 1 Sawa

Ushimamiaji ya Fedha na Haki mu Mugawanyiko ya Maaskofu

Rekebisha ¶ 404 kwa kuvuta texte zote za sai na substi-tution yenye inafata:

¶ 404. Vifungu za Maeneo Épiscopales—1) Juu kuhimili paragraphes zengine zote, kutakuwa

maeneo épiscopales makumi sita na sita (66). Mabadiliko mu nombre yenye iligabuwa ku juridiction ao ku conference cen-trale itakuwa effectif kutoka 1 Septembre ikiwa kuko kupun-guziwa ya maeneo na itakuwa effectif 31 Décembre kwenye kuko ongezeko mu maeneo.

2) Ku makusudi za utume, maeneo épiscopales kumi na tatu (13) zitagabuliwa ku conferences centrales zenye zili-chaguliwa ngizi inafata: ku Conférence Centrale ya Kati na Kusini ya Bulaya, eneo moya (1), ku Conférence Centrale ya Ujerumani, eneo moya (1), ku Conférence Centrale ya Bulaya Kaskazini na Erasie, maneo mbili (2), ku Conférence Cen-trale ya Philippines, maeneo tatu (3), na Conférence Centrale ya sasa mu Afrika, maeneo episcopales sita (6), zenye zitaku-wa ine (4) ku Afrika u Sud Kati mbili (2) ku Afrika Mashariki Kati ikiwa kuko mugawanyiko ya sasa mu Conference Cen-trale ya Afrika.

3.a) Juridictions ya Etats-Unis, Conference Centrale ya Kongo, na Conference Centrale ya Afrika Magharibi zime-tengwa mu maeneo makumi tano na tatu (53) ma eneo épis-copales zenye zimebakiya. Ile bugawaji inastahili kuamuliwa kwa musingi sawa ya proportionnalité yenye ilihesabiliwa ku total ya batu ba clergé na ba laïcs benye baliwekewa pamoya na kuweka banachama ndani yake, kwa kutumiya nombre ya uanachama yenye ilitumika kugawanya bajumbe ku Con-férence Générale. Ili kufikiya nombre kamili ya maaskofu, ya sehemu mukubwa ya fractions yenye inabakiya baada ya arrondi ya kwanza inaweza iya kukuwa arrondie.

3.b) Hakutakuwa uchaguzi ya maaskofu ndani ya juri-diction ao conference centrale yenye kwa sasa iko na zaidi ya nombre yenye ilihesabiliwa ndani yaku hudumiya role ya ba actif, inafafanuliwa kama bale benye bamechaguliwa ku maisha benye biko chini ya miaka ya retraite. Wakati nombre ya maaskofu actif inafika chini ya nombre yenye ilihesabiliwa ndani mu, basi ilefasi yenye ilijitokelezeya itayalishwa. Lak-ini, nombre ya maeneo épiscopales inaweza pita kwa muda total ya makumi tano na tatu (53) yenye ili gabuliwa, na to-tal mukubwa ya makumi sita na sita (66), wakati inahitaji-ka kuheshimiya kujitoleya ku uchaguzi ya maisha ya askofu mwenye iko mu rôle actif.

18 Septembre 2019Joe Wesley KilpatrickLaïcs, Tucker Kwanza UMC, Tucker GA 30084404-964-3589 mobile [email protected]

Madhara ya kifedha (Implication ya kifedha):Kutumikisha garama ya maaskofu yenye ilichapishwa na

GCFA mu Ripoti No. 5 kutoka 2016 ADCA, page 618, tun-aweza hesabiya économies zenye zinafata.

Kupunguza kwa garama ya maaskofu 15 ba Etats-Unis: Maaskofu ba 15 bachache ku garama ya 329.750 dollars

kila, iko sawa na kupunguza kwa 4.946.250 dollarsKuongezeka ku garama ya Maaskofu 15 zaidi ba Afrika:15 maaskofu zaidi (batano tayari bamepangwa na Con-

férence Générale yenye imepita)Ku garama ya 232 500 dollars kila, iko sawa na kuongeza

garama ya 3.487.500 dollarsÉconomies nettees ku mwaka ya 1.458.500 dollarsÉconomies zaidi inaweza kutokeya ku niveau ya Epis-

copal ndani ya kupunguza maaskofu 15 mu Etats-Unis, kwa sababu kunaweza kuwa na kunguziwa sawa ku bafanya kazi ba Conference na garama zenye zinahusiana zenye haziya patikana na nombre yenye ilikuwa presenter na Ripoti No. 5 mu GCFA. Kama garama kama zinafikiya 175.000 dollars ku mwaka, ngizi bengine balipendekeza, basi économies ya ziada ya 2.625.000 dollars itapatikana.

Maeneo 53 zenye zilitengwa na sehemu ni: Kaskazini ya Kati 5, Kaskazini-Mashariki 5, Kusini Kati 8, Kusini Mashari-ki 12, Magharibi 1, Kongo ya Kati 14, Africa Magharibi 8.

Mutazamo:Kuhamishwa tena, inabadilisha maaskofu kumi na (15)

ku Afrika, inazingatiya uongozi ya yulu ya usawa mukubwa ya kijinsiya, mortalité ya mutoto, bumasikini, gouvernement mubaya, na infrastructures mubaya. Mugawanyo mission-naire, kutoka maaskofu kumi na mbili (12) hadi kumi na tatu (13), inafanyiwa ku conference centrales za kidogo. Zile zamukubwa zinakamatiwa sawa, kushiriki na kushiriki sawa

¶404.

Namba ya Maombi: 20291-HS-¶404; Holley, Del - Knox-ville, TN, États-Unis wa le Comité ya Masomo Juridic-tionnel.

Maombi Comité ya Masomo Juridictionnel #1—Idadi ya Maaskofu mu Juridiction

Page 26: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

Elimu ya Juu na Usimamizi 971

Rekebisha ¶ 404 kwa kuongeza na kuvuta yenye inafata:

¶ 404. Vifungu za Maeneo Épiscopales1. Mu conferences centrales, nombre ya maaskofu itaku-

wa determiner kwa musingi ya uwezo missionnaire, ngizi il-ipitishwa na Conference Générale kwa pendekezo ya Comité ya Permanent ku maneno ya Conference Centrale. Mbele ya kupendekeza mabadiliko mu nombre ya maeneo ya épisco-pales, Comité ya Permanent ya Masuala ya Conference Cen-trale ita:

a) fikiriya izi critères kwa kufata vipaumbele:(1) ya nombre ya conferences za masitaka na nombre ya

ma clergé benye biko actifs mu maeneo ya épiscopales;(2) taille geographique ya maeneo épiscopales, yenye in-

apimwa na maile/muraba ya km, na nombre ya maeneo ya wakati na mataifa;

(3) structure ya maeneo épiscopales, zenye zimepimiwa na nombre za conferences za kila mwaka, na ushirika ya jum-la ya kanisa, na ma missions za maeneo épiscopales.

b) fanya analyse zaidi ya contexte na uwezekano mis-sionnaire ya mabadiliko mu maeneo za épiscopales.

2. Mu juridictions, nombre ya maaskofu itakuwa deter-miner na musingi yenye inafata:

a) Kila juridiction iko na bashirika 300.000 ao bachache batakuwa banashiriki ku maaskofu ba tano. na kila juridic-tion yenye iko bashiriki ba kanisa zaidi ya 300.000 batashiriki kwa askofu mu moya wa zaidi kwa kila bashirika ba kanisa zaidi ya 300.000 ao sehemu yake mukubwa.

b) Ikiwa nombre ya bashirika itapunguza na 10 pourcent chini ya nombre ya bashirika ba kanisa yenye zamani ili-kuwa na haki ya juridiction ku nombre yake ya maaskofu, alafu Juridiction, kupitiya comité juridictionnel juu ya épis-copat, inaweza hitaji maaskofu zaidi imepita nombre yenye ilitolewa mu sous-paragraphe a) yulu; muradi, ata vile, kwamba mushahara na garama zaidi ya maaskofu, ilihesabi-wa kulingana na vifungo za ¶ 818 (Mufuko ya Episcopal), zitagawanywa ku conferences za kila mwaka ya juridiction kama zile. Ile nombre ya ziada maaskofu ku yenye itaku-wa na haki itaamuliwa kwa musingi ya mahitaji mission-naaire na uwezo ya kifedha ya conferences ya kila mwaka ya juridiction ya kusaidiya maaskofu zaidi, ngizi imetolewa mu Conference Générale kwa pendekezo ya Comité Inter-gouvernemental juu ya épiscopat, lakini inasemaka kwam-ba juridiction inatakuwa na haki ya kupatiwa haki chini ya sous-paragraphe a) yulu. Itakuwa responsabilité ya juridic-tion yenye ilikuwa affecter, kupitiya comité yake ya épis-copat, kutafuta considération ya mahitaji yake missionnaire ya exception maaskofu zaidi, na mu absence ya mahitaji kama ile, hakuta kuwa jukumu mu sehemu ya Comité Inter-gouvernemental Episcopat kuzingatiya excpetion kama ile-maaskofu zaidi ao kufanya ripoti yoyote ao kupendekeza ku exception kama ile maaskofu zaidi ku Conference Générale. Katika hali yoyote hakutakuwa na kikwazo chochote katika

Mkutano Mkuu wa Mkutano wa kutenda kwa kutokuwepo kwa mapendekezo hayo au kukataa mapendekezo yoyote ambayo yanaweza kupokewa. Kwa kuongezeya, vifungu za iyi paragraphe hazipashwi kutafsiriwa ku limiter mamula-ka ya conferences juridictionnelles ku determiner nombre, majina, na mipaka za confereces ya kila mwaka na mae-neo épiscopales (¶ 40) ao College ya Maaskofu ili kupanga mupango ya kusimamia épiscopales (¶ 48).

c)Kama juridiction, juu ya matokewo ya vifungu za iyi paragraphe, itakuwa na nombre ya maaskofu benye ilikuwa inastahili pale zamani kupunguza, basi kupunguziwa mu nombre ya maaskofu yenye ilikuwa inastahili itakuwa effectif kutoka 1 Septembre ya mwaka wa calendrier yenye amboyo ilisemewa kupunguziwa ilikuwa determiner na Conférence Générale. Wakati juridiction inahitaji changement mu nom-bre ya maaskofu ba ile juridiction, Comité Interjuridictionnel ya Episcopat, kwa kushauriana na comité juridictinnel ya épiscopat kwa juridiction zenye zilikua affectée, zitatengene-za calendrier ya kutekeleza numero ya mupya ya maaskofu. Comité Interjuridictionnel juu ya Episcopat itapendekeza calendrier, iliendelesha baada ya mashauriano, kupitishiwa na Conference Générale.

Mutazamo:Angaliya ripoti ya Comité ya MasomoJuridictionnelle

kwa mutazamo kamili—Iyi maombi inapendekeza mareke-bisho ku ¶ 404 yenye itaondowa formule mathematique ya kuhesabiya nombre ya massskfu actif ba kila juridiction, an-zisha nombre minimum ya maaskofu benye biko actif mu kila juridiction, na kuanzisha muchakato yenye ambayo juridic-tions zinaweza hitaji kuongeza

¶404.

Namba ya Maombi: 20292-HS-¶404-G; Byerman, Mary - Tampa, FL, Etats-Unis.

Usambazaji ya Beyi ya Chini ya Maaskofu

Rekebisha ¶ 404.2 ngizi inafata:¶ 404. Vifungu za Meneo Épiscopales—1. Mu conferences centrales, namba ya maaskofu . . .2. Mu juridictions, nombre ya maaskofu itakuwa deter-

miner na musingi yenye inafata: a) Kila juridiction iko na bashirika 300.000 ao bachache

batakuwa banashiriki ku maaskofu ba tano ine na kila juridic-tion yenye iko bashiriki ba kanisa zaidi ya 300.000 batashiriki kwa askofu mu moya wa zaidi kwa kila bashirika ba kanisa zaidi ya 300.000 ao sehemu yake mukubwa. Iyi itakuwa ef-fectif 1 Septembre 2020.

Page 27: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

972 DCA ya mapema

Mutazamo:Inatambuliwa sana kwamba nombre yetu ya sasa ya

maaskofu ba Etats-Unis haiko endelevu na lazima tukamate etapes za muhimu sana kuweka Mufuko yetu ya Episcopal mu harakati ya nguvu na mukubwa ya kifedha. Iyi inashu-gulikiya wasiwasi kama izi wakati inasambaza kupunguza sawa sawa mu jurididctions zote. Inafanya piya formule yake kukuwa sawa.

¶404.

Namba ya Maombi: 20293-HS-¶404-G; Fuller, Dan – Chenango Falls, NY, États-Unis.

Musingi ya Minimum ku Maaskofu ba États-Unis

Rekebisha ¶ 404.2a kwa KUONGEZEYA luga kama in-afata:

¶ 404. Vifungu za Maeneo Épiscopales—1. Mu conferences centrales, namba ya maaskofu . . .2. Mu juridictions, nombre ya maaskofu itakuwa deter-

miner na musingi yenye inafata: a) Kila juridiction iko na bashirika 300.000 ao bach-

ache batakuwa banashiriki ku maaskofu ba tano na kila juridiction yenye iko bashiriki ba kanisa zaidi ya 300.000 batashiriki kwa askofu mu moya wa zaidi kwa kila bashiri-ka ba kanisa zaidi ya 300.000 ao sehemu yake mukubwa. Zaidi ya ile, kila conference ya kila mwaka mu juridictions na bashirika ba makanisa chini ya 60.000 batahsiriki askofu mu moya na conference ya kila mwaka mu juridiction yake, ata kama iyi itakuwa inahitaji nombre total ya ya maaskofu mu ile juridiction kukuwa chini ya nombre yenye ilikuwa produit na formule yenye imepita. Conference juridtionnelle itakuwa responsable kwa kuamuwa détails ya ajustements yenye ku nombre, majina, na mipaka ya conferences yake ya kila mwaka na maeneo épiscopales, ndani ya limites za iyi paragraphe na vifungu zengine muhimu ya Adabu. In-apendekezwa kwamba économie yoyote yenye inatokana na mu nombre ya maaskofu ba ile juridiction kwa sababu ya zile vifungu zitumike kutosha ufadhili kwa maaskofu mu conferences centrales. (Inafanikiwa ikifika mwisho ya Con-ference Générale ya 2020.)

Mutazamo:Iyi inaweza shugulikiya tafauti mukubwa mu nombre

ya bashirika ba kanisa benye banahudumiwa na askofu mu moya wa juridiction (kuanziya chini ya 30.000 mupaka zaidi ya 350.000). Piya ingelileta buendelevu ya kifedha yenye in-ahitajika sana, kuhakikisha kiwango ya chini ya musaada ku kila eneo ya musingi ya kifedha ya épiscopale ya Etats-Unis yenye inaweza lipa askofu wake mwenyewe.

¶405.

Namba ya Maombi: 20294-HS-¶405-G; Eckert, Jerry - Port Charlotte, FL, Etats-Unis.

Kuendelesha Critères za Kuchaguwa Askofu

Rekebisha na Kuongeza ku ¶ 405 kama ya mupya .1 na ubadilishe numérotation ngizi inapashwa:

¶ 405. Critères ya, Kuchaguwa ya, Consécration ya Maaskofu—1. Critères—Mbele ya uteuzi yoyote ya épisco-pat, comités za épiscopat ya conference centrale ao juridic-tionnelle zita enumerer nguvu spécifiques ya maaskofu yenye ilitolewa mu Kitabu ya Adabu njoo bateuliwa bote bataku-wa na bahati yakuona mipaka za nguvu ya épiscopat na bale benye bana bachaguwa bataona zawadi na sifa ya bateuliwa kwa kuzingatiya ile mipaka. Zaidi, comités ya épiscopat in-afaa ku identifier zawadi na sifa zenye banatafuta ku asko-fu-muteule kufanya ministere mu juridtion yabo ao coference centrale funali.

Mutazamo:Juridictions zinapashwa kufafanuwa matarajio yabo ya

kitu yenye askofu anafanya na limites ya mamulaka ya maas-kofu. Tunapashwa kukuwa na limites juu ya maaskofu biko wazi kupunguza abus ya mamulaka. Liste kama ile inasaidiya kwa kuweka maelezo ya kazi pamoya kutoka ku Adabu na kutoka ku mahitaji

¶406.

Namba ya Maombi: 20679-HS-¶406-G; Brooks, Lonnie - Anchorage, AK, Etats-Unis.

Umiliki Limiter Kwa Maaskofu na Uhusinao ya Maaskofu ku Retraite—Butekelezaji

Ingiza ya mupya ¶ 406 na rekebisha yenye inaextster ¶ 409 ngizi ime indiqué. Renumeroter paragraphes zote ngizi inafaa.

¶ 406. Mandat ya Ofisi—Maaskofu benye balichaguliwa na conferences za juridictions na centrales zitakuwa na man-dat ya ofisi ya miaka munane, na askofu anaweza ku chagu-liwa tena kwa mandat moya zaidi ya miaka munane. Kama askofu amechaguliwa tena ngizi imeainishwa mu ¶ 407 kwa sababu ya nafasi yenye aiyatarajiwa mu ile ofisi, wakati yenye mandat ya maaskofu na mipaka itakuwa ngizi inafata, kyenye iyi kusudi ile quadrennat inaanza 01 Seeptembre ya mwaka yenye Conférence Générale itafanyiwa:

Page 28: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

Elimu ya Juu na Usimamizi 973

1. Kama angalau miezi makumi mbili zinabakiya mu ile qudrennat wakati ya élection, tena wakati ya mandat ya ofisi ya askofu itakuwa miaka ine plus montant ya wakati yenye alihudumu wakati quadriennale électorale.

2. Kama wakati ya chini ya miezi makumi mbili na ine inabakiya mu quadrennat ku wakati ya élection, kisha mandat ya ofisi ya askofu itakuwa miaka munane plus montant ya wakati yenye ailitumika mu wakati ya quadrennat ya élection.

3. Mu cas yenye iko chini ya §1. ao 2., askofu atakuwa anastahili ku election ya mandat moya zaidi ya miaka mu-nane. Lakini, akuna muzee mwenye amehudumu mwenye amehudumu angalu miaka munane kama askofu atastahili kwa etection tena kama askofu.

¶ 409. Status ya Maaskofu benye ni Retraités—Asko-fu mwenye ni retraité ni askofu wa kanisa mu heshima yote na anaendeleya kutumika kama mushiriki wa Conseil ya Maaskofu ku mujibu ya Katiba na vifungu zengine za Ada-bu. Maaskofu retraités batakuwa bashirika ba conference ya kila mwaka ya buchaguzi yabo ku idhini ya askofu mwenye anashimamiya.

1. Maaskofu retraités banaweza kushiriki mu Conseil ya Maaskofu na ma comités zake, lakini bila kura. Banaweza shimamiya vikao za conference ya kila mwaka, conference ya kila mwaka ya muda, ao mission kama bameulizwa na askofu mwenye amepatiwa ile conference, ao mu cas yenye asko-fu ana uwezo, na rais wa Collège ya Maaskofu mwenye iyi conference yenye inahusiana. Maaskofu benye biko mu re-traite benye balichaguliwa na Conseil ya Maaskofu banawe-za kutumika kama katibu exécutif na afisa wa œcuménique wa conseil. Mu hali ya urgence, yenye ambapo askofu rés-ident anashindwa kushimamiya, Collège ya Maaskofu ita-chaguwa askofu muzuri Mkuu anayestaafu ao mwenye iko mu retraite kushimamiya vikao za conference ya kila mwaka (¶ 48). Habawezi kufanya buteuzi ao kuongoza mu confer-ence centrale ao ya juridiction. Lakini, wakati askofu mwenye iko ku retraite ameteuliwa na Baraza na Collège ya Maaskofu eneo tupu ya Baraza ya Maaskofu ao sehemu ya eneo chini ya masharti ya ¶¶ 409.3, 410.1 ama 410.3, ule askofu anaweza kufanya kazi kama askofu residentiel mu ufanisi ya uhusiano.

Izi mabadiliko zenye zinatekelezwa zitakuwa effectve kama na wakati Conseil ya Maaskofu imecertifier kutekeleza ya kuwezesha mabadiliko mu Kati yenye ilitolewa mu maom-bi yengine.

Mutazamo:Umiliki ya maisha haiambatane na hali alisi ya maende-

lewo ya binadamu na interaction. Responsabilité ku kanisa na mabadiliko kwa maaskofu banadai uchunguzi ikuwe ku masharti yenye iko limiter. Isitoshe, wanachama ya maasko-fu benye biko retraite banapashwa kurejeya ku conference ya kila mwaka. Na maaskofu bote ba kanisa banapashwa kuku-wa na mandat moya ya ofisi.

¶408.

Namba ya Maombi: 20295-HS-¶408-G; Brooks, Lonnie - Anchorage, AK, Etats-Unis.

Retraite ya Bila Hiari ya Maaskofu

Rekebisha ¶ 408.3.a) ngizi imeoneshewa inafata:¶ 408.3. Retraite ya bila Hiari—a) Askofu anaweza ku-

wekwa mu uhusiano wa retraite bila kujali miaka na kura ya deux-tiers ya comité central ao juridictionnelle ya con-ference ya épiscopat kama, baada ya chini ya taarifa ya ma-siku makumi tatu ku maandishi inapatiwa askofu mwenye amekuwa affecter na audience ilifanyiwa, uhusiano kama imepatikana imeamuliwa na, na tu, comité yenye imeseme-wa kukuwa partie mu intérêts ya muzuri ya askofu na/ao kanisa. Iyi hatuwa inaweza ao haiwezi chukuliwa kwa sa-babu ya performance ya askofu, na kwa sababu ya hatuwa inapashwa kuseomewa wazi mu ripoti ya comité. Vifungu za ¶ 361.2 ya muchakato ya haki mu audiences ya muchakato ya utawala itatumika mu muchakato ya utawala. Avis yenye imeandikiwa inapshwa kupewa kwa mwenyekiti wa comi-té ya révision administrative ya conference juridictionnelle (¶ 539). Kitendo ya comité juu ya épiscopat ni mubaya, na sehemu ya ripoti ya comité juu ya épiscopat ku conference juridictionnelle ao centrale yenye inashugulikiya iyi kitendo ni taarifa tu kama avis yoyote yenye ilitolewa na comité ya révision ya utawala ya conference.

Mutazamo:Iyi inafanya wazi kuwa mamulaka ya kuamuwa ile hali

ni kwa intérêt ya kanisa na/ao askofu mu maamuzi juu ya retraite épiscopale kwa hiari inabakiya tu na comité juu ya épiscopat. Comité kama ile haipashwe kuuliziwa kukadiri uk-weli ya iyi stade.

¶408.

Namba ya Maombi: 20296-HS-¶408-G; Choi, Tom - Hono-lulu, HI, Etats-Unis.

Retraite ya Lazima ya Maaskofu

Rekebisha ¶ 408. Kuachisa kwa ofisi—Muzee mwenye anahudumu kama askofu mupaka wakati ya retraite atakuwa na status moya na askofu mwenye iko retraité.

1. Retraite ya Lazima—a) Askofu atakuwa retraité ikifi-ka 1er septembre ya kuafata kikao ya kawaida ya conference juridictionnelle kama anniversaire ya askofu ya miaka maku-mi sita na munane imefika mbele ya 1er juillet. Retraite ya lazima ku maaskofu ni miaka makumi saba na mbili. Can-didat épiscopal ao askofu mwenye iko bado actif hatakuwa mukubwe wa zaidi ya miaka makumi sita na munane ikifika

Page 29: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

974 DCA ya mapema

ao mbele ya 1 Septembre mu mwaka yenye conference juri-dictionnelle imefenyiwa. Date ya retaite ya askofu itakuwa 1 Septembre mu mwaka yenye conference juridictionnelle ime-fanyiwa. Iyi changement inaanza kutumika kabisa mwisho ya Conférence Générale ya 2020.

Mutazamo:Iyi sheriya inatosha mushimamo uthabiti zaidi na sheri-

ya za retraite ku bazee bote (¶ 357.1), pamoya na maaskofu, kulingana retraite ya miaka ya askofu badala ya kuzali ya askofu.

¶408.3.

Namba ya Maombi: 20297-HS-¶408.3; Lambrecht, Thomas - Spring, TX, Etats-Unis.

Responsabilité n°1 ya Conseil ya Maaskofu

Kurekebisha kwa kuongeza ¶ 408.3.c mupya:Kwa majorite ya kura za bale benye balikuwa na kupiga

kura, ba membres ba Conseil ya Maaskofu banaweza kuwe-ka askofu yeyote katika uhusiano wa ba retraités na ama bila consentement yabo na bila kujali miaka yabo kama iyo uhu-siano inapendekezwa na conseil ya comité ya mahusiano. Ba-jume ba conseil ya comité ya uhusiano na révision ya utawala habatapiga kura juu ya iyi maneno. Utaratibu ya muchakato wa haki katika mikutano ya utawala utafuatiwa katika utara-tibu wowote wa retriate (¶ 422.5). Avis yenye imeandikiwa piya itapatiwa na mwenyekiti wa comité ya révision ya ut-awala (¶ 422.6).

Mutazamo:Kuongeza kwa ¶¶ 408, 410, na 422 itaenda pamoya na

kutengeneza processus yenye ambayo Conseil ya Maasko-fu inaweza kuwa responsable, kulingana na marekebisho ya kikatiba ya ¶ 50 yenye ilitibitishwa mwaka wa 2017. Iyi pendekezo ni pamoya na uhakikisho ya processus ya haki na inawezesha mushimamo ya mukubwa ya usawa.

¶408.3c.

Numero ya Maombi: 20666-HS-¶408,3c; Zilhaver, Robert - Uniontown, PA, États-Unis.

Maombi ya Utunzi ku Conseil ya Maaskofu ku Kuwa na Utawala ya Mamulaka ya Uwajibikaji

Ongezeya sous-paragraphes ya mupya ku ile Kitabu kya Adabu:

¶ 408,3 c) Kwa kura nyingi za bale benye balikuwa na

kupiga kura, banachama ba Conseil ya Maaskofu banawe-

za kuweka askofu yeyote mu uhusiano ya retraite na ao bila

ridhaa yabo na bila kujali umri yabo ikiwa uhusiano huo un-

apendekezwa na comité ya mahusiano ya conseil. Utaratibu

ya processus ya haki katika audiences ya utawala utafuatiwa

katika utaratibu wowote wa kustaafu (¶ 422.5). Tahadhari il-

iyoandikwa pia inapashwa kutolewa kwa mwenyekiti wa ka-

mati ya ukaguzi ya utawala (¶ 422.6).

¶ 410.5 Kuondoka kwa Makusudi Congé ya Kutokuya—a)

Ku majorite ya kura ya bale benye balikuwa na kupigia kura,

ba membre ya Baraza ya Maaskofu banaweza kuwekea askofu

yeyote katika hali ya kuondoka bila kujali kama iyo uhusiano

inapendekezwa na conseil ya comité ya mahusiano. Utaratibu

wa processus ya haki katika audiences ya utawala utafuati-

wa katika utaratibu wowote wa kustaafu (¶ 422.5). Tahadhari

yenye iliandikiwa piya inapashwa kutolewa ku mwenyekiti

wa comité ya ukaguzi ya utawala (¶ 422,6).

b) Congé yenye aiko ya hiari bila malipo kwa kila siku

kunaweza kupitishwa na Baraza ya Maaskofu baada ya

ukaguzi na mapendekezo ya comité ya mahusiano ya con-

seil.

c) Wakati ya periode yenye congé imepatiwa, askofu ata-

achiliwa kutoka ku responsabilités yote ya kiaskofu, na asko-

fu mwengine mwenye alichaguliwa na comité ya Utendaji

ya Collège ya Maaskofu ataongoza mu eneo ya maaskofu.

Mushahara na faida yengine zinaweza kuendelezwa kupitiya

Mufuko ya Episcopal ku muda ya miezi sita.

¶ 422.5. Conseil ya Maaskofu itaanzisha kutoka ku ba

membres bake ba Comité ya Mahusiano ya conseil ya batu

angalau batatu benye batasikiya maombi ya congé ya bila

hiari ya kutokuwa, kustaafu bila ya bila hiari, kama inaweze-

kana kukuwa référé na Conseil ya Maaskofu ao maaskofu

saba yoyote benye biko actifs.

a) Wakati kuko mapendekezo ya mabadiliko ya hali ya

bila hiari yenye itakuwa référé ku comité ya mahusiano ya

conseil, Comité ya mahusiano ya conseil itafanya majad-

iliano ya kiutawala kufatiya masharti ya processus ya haki.

Conseil ya Maaskofu itaamuwa mutu kuwasilisha mapende-

kezo ku comité. Défendeur atapewa fursa ya kushughuliki-

ya mapendekezo ye pekee, ku maandiko, na ku musaada ya

mutu wa clergé ku uhusiano kamili, yenye ambaye atakuwa

na sauti. Mara kamati imesikia mtu aliyechaguliwa kuwak-

ilisha mapendekezo, défendeur, na bengine ngizi ilianishwa

na mwenyekiti wa comité, atatosha ripoti yake ku Conseil

ya Maaskofu. Conseil ya Maaskofu inaweza kuthibitisha ao

kubadili buamuzi ya comité.

Page 30: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

Elimu ya Juu na Usimamizi 975

b) Audiences ya Processus ya Haki—Kama sehemu ya agano takatifu yenye iko ndani ya bajumbe na organisation ya Kanisa Methodiste Unie, taratibu zenye zinafata zinawasil-ishwa ku kuchunga haki za batu binafsi na ku ulinzi ya Kanisa katika mikutano ya utawala. Utaratibu yenye iliwekwa katika hii paragraphe itafuatiwa wakati wowote Kamati ya mahusia-no ya halmashauri itakutana na processus ya ombi ya utawala na Baraza ya Maaskofu.

1) Katika buendeshaji yoyote ya utawala mwakilishi wa Conseil ya Maaskofu na defendeur (mutu mwenye hatuwa ya kujihusisha inaongozwa) atakuwa na haki ya kusikilizwa mbele ya hatuwa yoyote ya mwisho yenye itachukuliwa.

2) Avis ya audience yoyote itamshauri intimé sababu ya taratibu zenye zilipendekezwa kwa kina kya kutosha juu ya kuruhusu defendeur kutayarisha jibu. Taarifa itapewa aiko chini ya masiku makumi mbili mbele ya audience.

3) Defendeur atakuwa na haki ya kukuwa accompagné kwa audience na membre wa clergé mwenye mu uuganisho kamili, kulingana na vinfungu za adabu zenye zinafaa. Mutu wa clergé mwenye anaongoza na defendeur batakuwa na haki ya sauti.

4) Katika audience yoyote ya utawala,bila partie moya, bila kutokuwepo ya partie yengine, kujadili masuala ya musingi na banachama ba organe ya audience yenye inasu-biriwa. Maswali ya utaratibu zinaweza kuinuliwa na afisa mwenye anaongoza wa organe ya audience.

5) Defendeur atakuwa na ufikiaji, angalau masiku saba mbele ya audience ku rekodi zote zenye zinategemeya mu matokeo ya muchakato ya utawala.

6) Mu evenement yenye defendeur hawezi kuonekana ku ajili ya mahojiano ya usimamizi, anakatala barua pepe, anakatala kuwasiliana na askofu, ao ku upande yengine hawezi kujibiya maombi ya ushimamizi ao maombi kutoka ku comités za utawala rasmi, bile bitendo ao ile buingizaji haitatumiwa kama vile udhuru ya kuepuka ao kuchelewesha muchakato yoyote ya kanisa, na zile taratibu zinaweza kuen-deleya bila ushiriki ya ule mutu.

7) Mbele ya kuanza ya audience ya utawala na comité ya conseil ya uhusiano, askofu anaweza kuchaguwa kukuwa na procès. Iyi chaguwo inapashwa kufanyiwa kwa kuandika na kuwasilisha ku mwenyekiti wa comité wa conseil ya utawala mbele ya kuanza ya audience ya utawala. Ma utaratibu zime-tolewa ku mu ¶¶ 2707-2712.

8) Appel inaweza kufanyiwa chini ya vifungu ya ¶¶ 2718,3 na 2718,4

¶ 422,6. Conseil ya Maaskofu itaanzisha kutoka ku ban-achama bake comité ya ukaguzi ya utawala ya angalau batu batatu benye abiko banachama ba comité executif ao comité ya conseil ya uhusiano. Lengo yake ya pekee ni kuhakikisha kuwa taratibu za uadhibiti ku hatuwa yoyote ya kujihusisha yenye ilipendekezwa na comité ya conseil ya mahusiano ya inafata muzuri. Muchakato muzima ya utawala yenye inasa-babisha hatuwa ya mabadiliko ya hali ya askofu itarekebishwa

na comité ya ukaguzi ya utawala, na itasimulia matokeo yake ku Conseil ya Maaskofu mbele ya hatuwa yoyote ya Conseil ya Maaskofu. Comité ya ukaguzi ya utawala itajulisha parties za mchakato ya ukaguzi. Utaratibu ya audience muchakato ya haki ya utawala (¶ 422,5) inapashwa kufuatiwa na comi-té ya ukaguzi ya utawala. Mbele ya ripoti yake, ikiwa comi-té ina determiner kuwa makosa yoyote imetokeya, inaweza kupendekeza ku mutu sahihi ao organisme kwamba hatuwa itakamatiwa haraka juu ya kurekebisha hitilafu, uamuzi ya makosa ni yenye haiko, ao kuchukuwa hatuwa yengine.

Mutazamo:Iyi ombi inashugulikiya kanuni ya légalité yenye ilionge-

lewa mu JD 1366 na kurudishwa ku luga na utaratibu yenye ilitumika mbele ku 1996 Adabu kuleta muchakato ya utawala ya katiba ku Conseil. Iyi luga ilipatikana kufikiya kanuni ya légalité mu Buamuzi ya Conseil ya Mahakama 351 na ¶ 20

¶409.

Namba ya Maombi: 20299-HS-¶409-G; Williams, Alice - Orlando, FL, États-Unis.

Garama ya Maaskofu Retraités Wakati Ban-ashiriki mu Conseil ya Maaskofu

Rekebisha Kitabu kya Adabu ¶ 409 ngizi inafata:Askofu retraité ni askofu wa kanisa mu kila heshima na

anaendeleya kufanya kazi kama mwanachama wa Conseil ya Maaskofu kwa garama yabo peke kullingana na Katiba na vifungu zengine za Adabu. Kama askofu retraité ameuliziwa kujihusisha mu kazi (mufano. komité, conference, project, etc.) contrat itatolewa kazi yenye ilisema ni pamoya na kifun-gu ya compensation ya garama zenye zilipatikana.

Mutazamo:Maaskofu retraités biko bana alikwa ku kopesha ushiriki-

ano yabo ya mawazo na hekima ku kazi ya COB. Kwa nguvu ya kupunguza garama zenye ziliwekewa na dénomination, maaskofu biko mu retraite banahaguwa ku kujihusisha na mi-kutano ya COB banapashwa lipa garama zabo bamemupatiya contrat spécifique juhudi.

¶410.

Namba ya Maombi: 20298-HS-¶410; Lambrecht, Thomas - Spring, TX, Etats-Unis.

Responsabilité n°2 ya Conseil ya Maaskofu

Page 31: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

976 DCA ya mapema

Rekebisha kwa kuongeza ¶ 410.5 mupya:¶ 410.5. Kuondoka kwa Makusudi ya Kutokuya—a) Kwa

majorité ya kura ya bale benye balikuwa na kupigia kura, ba membre ba Conseil ya Maaskofu banaweza kuwekeya askofu yoyote katika hali ya kuondoka bila kujali kama ile uhusiano inapendekezwa na conseil ya comité ya mahusiano. Utaratibu wa mchakato wa haki katika kusikilizwa kwa utawala uta-fuatiwa katika utaratibu wowote wa kutokuwepo kutokuwepo (¶ 422.5). Avis yenye imeandikiwa piya inapashwa kupatiwa mwenyekiti wa comité ya ukaguzi ya utawala (¶ 422.6).

b) Kuondoka kwa hiari bila malipo kwa kila siku kun-aweza kupitishwa na Conseil ya Maaskofu baada ya ukaguzi na kupendekezwa na comité ya mahusiano ya baraza.

c) Wakati ya periode ya kuondoka nafasi imepeyanwa, askofu ataachiliwa kutoka kwa majukumu yote ya kiaskofu, na askofu mwengine aliyechaguliwa na Shule ya Maasko-fu ataongoza katika eneo ya episcopat. Mushahara na faida nyingine zinaweza endeleshwa kupitiya Mufuko ya Episcopal ku muda ya miezi sita.

Mutazamo:Kuongeza kwa ¶¶ 408, 410, na 422 itaenda pamoya na

kutengeneza processus yenye ambayo Conseil ya Maasko-fu inaweza kuwa responsable, kulingana na marekebisho ya kikatiba ya ¶ 50 yenye ilitibitishwa mwaka wa 2017. Iyi pendekezo ni pamoya na uhakikisho ya processus ya haki na inawezesha mushimamo ya mukubwa ya usawa.

¶413.

Namba ya Maombi: 20300-HS-¶413; Smith, Jeremy - Seat-tle, WA, Etats-Unis. Ombi 1 iliyo Sawia

YOTE INA APPARTIENT: Kurudisha Intégrité ya Muchakato ya

Résolution Episcopale ya Haki

Rekebisha ¶ 413.3 ngizi inafata:¶ 413.3.c. c) Jibu ya suprvision inaweza inclure processus yaku ta-

futa solution ya kweli yenye partis za batu zina saidiwa na msaidizi, mwenye hana wasiwasi, musaidizi wa parti ya tatu ao mediateur wakitafuta kufikia accord yakufuraisha par-tis zote. (Angaliya ¶ 362.1b.c). Batu benya biko approprie, tuki ongezea president wa College ya ba Eveques, wala ma secretaires kama plainte ina concerner president, banafa ku conclure na accord yenye bame andika yenye ina decrire ile processus, na accord yenye ina inclure mukataba ya confi-dentialité. Akuna jambo ambayo katika ile resolution ya aki inapatikana, ule plaignant atakua parti ya resolution ya pro-cessus na kila effort itafanikiwa njo plaignant aitike ku ile

resolution mbele ianze kutumika. Kama résolution imepati-kana, declaration yenye imeandikiwa pamoja na termes na conditions, zinafaa kukua signer na batu bote na batu bote ba sikilizane ku ma questions zenye batatosha ku batu bengine. Ile declaration yenye imeandikiwa itapitiliwa mutu mwneye iko en charge ya ile etape ya processus ya mesures conformes ku accord. Résolutions ya haki ita onesha kila mabaya na vile itashugulikiwa na kanisa na partis zengine kwa plaignant.

¶ 413.3.d.i, (d) (i) Kama jibu ya surveillance inaleta resultat yenye

ina malaza ile swali, eveque mwenye ameshimamia ile ile jibu ya surveillance na bale ba membres ba wili ba komite episcopal biko nomes mu processus ya kushimamia (¶ 413.3) bata fatilia realisation ya termes ya ile resolution. Kama itaku-wa reponse ya bashimamizi haipate resolution ya ile maneno, rais wala secretaire wa Masomo ya Maaskofu inaweza katala ile plainte ju haina base ku loi na kweli, na consentement ya Collège ya Maaskofu na comité ya episcopat, kupana sababu yenye bame andika, ma copies yenye bata weka mu dossier ya eveque na ku gabuliya ba plaignant, tuma ile maneno ku komite ya episcopat kama plainte yabu ongozi ku ¶ 413.3e, ao tuma ile maneno ku konseye ya kanisa ya buchunguzi ku ¶ 2704.1 ba tayarishe plainte mbele ya komite yenye inafata.

Mutazamo:Kwa sababu zote ziko mu mwili ya Kristo, iyi maom-

bi inatosha nguvu ya kupendeleya ku bale benye bamefan-ya plaintes. Kukamata iyi luga inarudisha confidentialité ya muchakato ya plaite na inathibitisha intégrité ya muchakato yenye ilikubaliwa na ma partis zenye zinahusika.

¶413.

Namba ya Maombi: 20301-HS-¶413-G; Lopez, Joseph - Seattle, WA, Etats-Unis. Maombi 2 Sawa

Ondowa Luga ya Mupango Traditionnelle

Rekebisha ¶ 413.3. c) Jibu ya supervision inaeza inclure processus ya

kutafuta azimio tu yenye batu bote batasaidiwa na media-teur mwenye iko impartial na atapana accord yenye iko sat-isfiasant ku kila mutu. (Angaliya ¶ 362.1b, c). Batu benya biko approprie, tuki ongezea president wa College ya ba Eveques, wala ma secretaires kama plainte ina concerner president, banafa ku conclure na accord yenye bame an-dika yenye ina decrire ile processus, na accord yenye ina inclure mukataba ya confidentialité.. Akuna jambo ambayo katika ile resolution ya aki inapatikana, ule plaignant atakua parti ya resolution ya processus na kila effort itafanikiwa njo plaignant aitike ku ile resolution mbele ianze kutumika.

Page 32: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

Elimu ya Juu na Usimamizi 977

Kama résolution imepatikana, declaration yenye imeandiki-wa pamoja na termes na conditions, zinafaa kukua signer na batu bote na batu bote ba sikilizane ku ma questions zenye batatosha ku batu bengine. Ile declaration yenye imeandik-iwa itapitiliwa mutu mwneye iko en charge ya ile etape ya processus ya mesures conformes ku accord. Résolutions ya haki ita onesha kila mabaya na vile itashugulikiwa na kanisa na partis zengine kwa plaignant.

d) i) Kama jibu ya surveillance inaleta resultat yenye ina malaza ile swali, eveque mwenye ameshimamia ile ile jibu ya surveillance na bale ba membres ba wili ba comité episcopal biko només mu muchakato ya kushimamiya (¶ 413.3) bata fatiliya realisation ya termes ya ile resolution. Kama itakuwa reponse ya bashimamizi haipate resolution ya iyo maneno, rais wala secretaire wa masomo ya maaskofu anaeza katala ile plainte ju haina base ku loi na kweli, na consentement ya masomo ya ba eveque na komite ya episcopasi, kupana sa-babu yenye bame andika, ma copies copy yenye bata weka mu dossier ya askofu na ku gabulia ba plaignant, tuma ile maneno ku comité ya episcopasi kama plainte yabu ongozi ku ¶ 413.3e, ao ku renvoyer ile maneno ku conseil ya kanisa ya buchunguzi ku ¶ 2704.1 ba tayarishe plainte mbele ya comité yenye inafata.

¶414.

Namba ya Maombi: 20302-HS-¶414-G; Brooks, Lonnie - Anchorage, AK, Etats-Unis.

Mikutano ya Wazi ya Kamati zenye Ziliundwa na Baraza ya Maaskofu

Kufuatia zenye zina exister ¶ 414.11 ingiza ¶ 414.12 mupya kama venye inafuata:

¶ 414.12 Baraza ya Maaskofu inaweza kwa hiari yake ku-kutana katika kikao kilichofungwa, hata hivyo, kwa roho ya uwazi yenye ilisemwa tena na Conférence Général, isipoku-wa kwa urgence imeonyeshwa na nature ya biashara yenye iko, vikao zitafunguliwa. Hii disposition yenye inaruhusu discrétion illimitée kwa kufungwa kwa mikutano ya Baraza ya Maaskofu haitatumika kwa mikutano ya kamati yenye il-iundwa na ao kwa Baraza ya Maaskofu ambayo inajumuisha bajumbe ao bashiriki ambao habiko maaskofu. Mikutano ya bodi kama hizo zitadhibitiwa na disposition ya mikutano ya wazi ya ¶ 722.

Mutazamo:Katika roho ya uwazi yenye ilidhibitishwa mara kwa

mara na Conférence Général, mikutano ya kamati yenye il-iundwa na ao kwa Baraza ya Maaskofu, kama vile Tume juu ya Njia ya Kuendelea Mbele, ambayo ni pamoya na bashiri-

ki mbali na maaskofu banapashwa kuwa chini ya disposition ya mikutano ya wazi tayari yenye ilitungwa na Conférence Général.

¶414.6.

Namba ya Maombi: 20303-HS-¶414.6; Carter, Kenneth - Washington, DC, Etats-Unis wa Conseil ya Maaskofu.

Rekebisha 414.6 juu ya Kutosha Maneno Zaidi ku Majukumu Oecuméniques na Ushirikiano ya

Maaskofu ba Methodiste Unie

Rekebisha ¶ 414.6 ngizi inafata:6. Kutosha ushirikiano na uongozi katika juhudi za umoja

wa Bakristo mu ministere, mission, na muundo na katika uta-futaji husiano zilizoimarishwa pamoja na jamii zingine hai za imani. Maaskofu ni mufano ya roho coopération œcuménique na kidini na anaongoza maeneo zabo katika kuanzisha uhu-siano ya amani, réconciliation, na kuelewana kupitiya mistari tafauti dénominationnelles na kidini.

Mutazamo:Maaskofu ba UMC bashirika ba musingi kati ya UMC

na ushirika zengine za Kikristo (¶ 431.2) pamoya organismes zengine za tradistions ya kidini. Iyi rôle inapashwa kutolewa ufafanuzi zaidi théologique kwa kufafanuwa responsabilités za askofu.

¶415.6.

Namba ya Maombi: 20304-HS-¶415.6-G; Dotson, Junius - Nashville, TN, Etats-Unis. Maombi 8 yenye iko Sawa

Kizazi kenye kinafuta UMC # 11— Rekebia Majukumu ya Episcopal

[Pia zimewakilishwa kama: YOTE INA APPARTIENT: Rudisha Mamlaka ya Conseil]

Marekebisho ¶ 415.6 kama venye inafuata:6. Kuweka maaskofu wakfu; kuamuru wazee na ma-

dikoni; kuwaagiza wajumbe, watumishi wa nyumbani, na wamishonari; na kuona kwamba majina ya watu walioagizwa na wakfu wameingia kwenye majarida ya mkutano huo na kwamba sifa hizi zinawasilishwa kwa watu hawa. Maasko-fu habaruhusiwe kuweka wakfu maaskofu benye banajishu-ghulisha na ushoga binafsi, hata kama bamechaguliwa rasmi na mukutano ya mamlaka ama mukutano ya kati. Maasko-fu habaruhusiwe kuwaagiza bale benye biko ba diacre ama rapport ya wazee kama Bodi ya Huduma yenye Imewekwa imeamua mtu yepeke iko homosexuel wa kujishughulisha

Page 33: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

978 DCA ya mapema

mwenyewe ama ameshindwa kudhibitisha kuwa alitimiza gizo ya kisheria uchunguzi, hata ikiwa huyo mtu amepende-kezwa na Bodi ya Huduma yenye Imewekwa na kupitish-wa na kikao kya wachungaji yaa mukutano wa kila mwaka. Maaskofu habaruhusiwe kuweka wakfu ba diacre ama wa-zee kama Bodi ya Huduma yenye Imewekwa imeamua mtu yekepe iko homosexuel wa kujishughulisha mwenyewe ama ameshindwa kudhibitisha kuwa alitimiza agizo ya uchunguzi wa kisheria, hata ikiwa huyo mtu amependekezwa na Bodi ya Huduma yenye Imewekwa na kupitishwa na kikao kya wa-chungaji yaa mukutano wa kila mwaka.

Kama hizi huduma ziko matendo ya kanisa zima, maan-dishi na rubriques zitatumika katika forme yenye imepitishwa na Conférence Général.

Mutazamo:¶ 33 inawapa nguvu wachungaji wa mukutano wa kila

mwaka kuamua ni nani mwenye anastahili kuteuliwa. Uwezo wa kuchagula maaskofu inahifadhiwa kwa bashiriki wa mi-kutano ya mamlaka na ya kati. Hizi haki hazipashwi kute-kelezwa kwa kuzuia matendo ya kujitolea, kuweka wakfu, ao kuamuru kwa bale benye banahukumiwa kuwa benye bali-hitimu kwa bale ambao

¶415.6.

Namba ya Maombi: 20305-HS-¶415.6-G; Thaarup, Jorgen - Copenhagen, Denmark.

Fuata Sheria za Kiraia na Contexte Œcuménique ya Nchi

Kitendo kyenye kilipendekezwa: Marekebisho ¶ Na. 415.6:

¶ 415.6. Kuweka maaskofu wakfu; kuamuru wazee na madikoni; kuwaagiza wajumbe, watumishi wa nyumbani, na wamishonari; na kuona kwamba majina ya watu walioagizwa na wakfu wameingia kwenye majarida ya mkutano huo na kwamba sifa hizi zinawasilishwa kwa watu hawa. Katika nchi ambazo contexte œcuménique haukubali mazoezi ya karani za ushoga, M maaskofu ni marufuku kutoka kwa wakfu wa maaskofu ambao ni batu wa jinsia moja, hata ikiwa bame-chaguliwa kwa haki na mukutano ya mamlaka ao wa kati. Katika nchi ambazo contexte œcuménique haikubali pratique ya clergé homosexuel, M maaskofu habaruhusiwe kuwaagiza bale benye biko ba diacre ama rapport ya wazee kama Bodi ya Huduma yenye Imewekwa imeamua mtu yekepe iko ho-mosexuel wa kujishughulisha mwenyewe ama ameshindwa kudhibitisha kuwa alitimiza agizo ya uchunguzi wa kisheria, hata ikiwa huyo mtu amependekezwa na Bodi ya Huduma yenye Imewekwa na kupitishwa na kikao kya wachungaji yaa mukutano wa kila mwaka. Katika nchi ambazo muktadha wa

kiakristo haukubali mazoezi ya karani za ushoga, M maasko-fu habaruhusiwe kuweka wakfu ba diacre ama wazee kama Bodi ya Huduma yenye Imewekwa imeamua mtu yekepe iko homosexuel wa kujishughulisha mwenyewe ama ameshind-wa kudhibitisha kuwa alitimiza agizo ya uchunguzi wa kishe-ria, hata ikiwa huyo mtu amependekezwa na Bodi ya Huduma yenye Imewekwa na kupitishwa na kikao kya wachungaji yaa mukutano

Mutazamo:UMC inapashwa kufuata msimamo wa madhehebu ze-

ngine kuu ya baandamanaji ambayo tunayo makubaliano ya œcuménique na katika contexte ya nchi na tamaduni za kanisa

¶416.5.

Namba ya Maombi: 20306-HS-¶416.5-G; Bergquist, Greg - Nashville, TN, États-Unis kwa Bodi Kuu ya Elimu ya Yulu na Huduma.

Ondoa Cours ya Rekodi ya Utafiti kutoka Tarati-bu za Uhamishaji wa Mukutano

Marekebisho ¶ 416.55. Kuhamisha, kwa ombi ya askofu mwenye anapokea

(¶ 347.1),bajumbe ya wachungaji wa mukutano moya wa kila mwaka kwa mwingine, . . . kwa bodi za conférence za huduma yenye iliamriwa, . . . maavis zenye ziliandikwa za uhamishaji wa banachama na wao mukutano ulisimamakati-ka Cours ya Utafiti ikiwa biko ba étudiants.

Mutazamo:Reference ya Cours ya Uchunguzi haifai katika hii para-

graphe kwa sababu hakuna vifungu katika Adabu kwa wa-chungaji wa hapa kuhamisha. Hii reference inahitaji kuon-dolewa.

¶416.7.

Numero ya Maombi: 20716-HS-¶416.7-G; Horton, David - Houston, TX, États-Unis.

Utambuzi Locale ya Huduma za Ndowa na Harusi

Ongeza sous-paragraphes za mupya baada ya ¶ 416.7:8. Askofu hataadibisha mutu wa clergé yoyote kwa kwa

kufanya, ao kuepuka kutoka kufanya, huduma ya ndowa ya jinsiya moya.

9. Askofu wala hataitaji kanisa locale yoyote kufanyiya ao kukatala kanisa locale kutoka kufanya huduma ya ndowa ya jinsiya moya juu ya mali yenye inamilikiwa na kanisa locale.

Page 34: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

Elimu ya Juu na Usimamizi 979

Mutazamo:Ruhusu makanisa locales kufanya huduma za harusi ya

jinsiya moya ku mali ya kanisa. Patiya batu bote ba clergé uhuru ya kufanyiya zamiri zabo wakati bamealikwa kushima-miya ku huduma yoyote ya ndowa, bila kujali sexualité.

¶417.

Namba ya Maombi: 20307-HS-¶417-G; Delmore, Sean - Labanon, NH, Etats-Unis. Ombi 1 Iliyo Sawia

Uteuzi na Attribution wa Basurintendants wa District

Kurekebisha ¶ 417 kama venye inafuata:¶ 417. Uteuzi na Attribution—Kwa kuwa surintendant wa

district ni nyongeza ya surintendant ya jumla, askofu atach-agua wazee bajumbe wa wachungaji katika uhusiano kamili kutumika kama bakurugenzi wa district.

[Hifadhi baki ya paragraphe kama venye iliandikwa]

Mutazamo:Msimamizi wa wilaya ni “mkakati mkuu wa kimisheni

wa wilaya. . . ,” Ikifanya kazi “kukuza mipango ya huduma na mission yenye inapanua ushuhuda wa Kristo ndani ya dunia” (¶ 246.5). Kama bale benye banasaidia kuvunja mission ya kanisa ndani ya dunia, ba diacres, pia, banaweza kutoa zawa-di zabo

¶418.

Namba ya Maombi: 20308-HS-¶418-G; Crump, Nita - Ma-con, GA, Etats-Unis.

Upanuzi wa Huduma ya Msimamizi wa District ya Miaka

Kurekebisha ¶ 418 kama venye inafuata:¶ 418. Mapungufu juu ya Miaka ya Huduma—Muda wa

kawaida kwa msimamizi wa district itakuwa hadi miaka sita, lakini hii inaweza kupanuliwa kwa zaidi ya miaka nane kwa discrétion ya askofu, kwa kushauriana na cabinet na kamati ya district juu ya usimamizi. Katika periode ya 2020-2024, juu ya kutoa utulivu katika uongozi, msimamizi wa district anaweza, kwa discrétion ya askofu, kwa kushauriana na cabi-net na kamati ya district juu ya usimamizi, kutumikia zaidi ya miaka nane mfululizo.

Hakuna msimamizi mwenye atahudumu kwa zaidi ya miaka nane katika miaka yoyote mfululizo, isipokuwa kati-ka periode ya 2020-2024. Hakuna mzee mwenye atahudumu

kama msimamizi wa district zaidi ya miaka kumi na nne. Kwa kuongeza, consideration itapewa nature ya usimamizi kama venye ilielezewa katika ¶ 401.

Mutazamo:Kuwa na fursa ya kupanua umiliki wa bakurugenzi wa

district itatoa mwendelezo wa uongozi wakati wa kipindi kya mpito.

¶418.

Namba ya Maombi: 20309-HS-¶418-G; Delmore, Sean - Labanon, NH, Etats-Unis.

Mapungufu ya Miaka ya Huduma

Kurekebisha ¶ 418 kama venye inafuata:Mapungufu juu ya Miaka ya Huduma—Muda wa kawaida

kwa msimamizi wa district itakuwa hadi miaka sita, lakini hii inaweza kupanuliwa kwa zaidi ya miaka nane kwa discrétion ya askofu, kwa kushauriana na cabinet na kamati ya district juu ya usimamizi.

Hakuna msimamizi mwenye atahudumu kwa zaidi ya miaka nane katika miaka yoyote mfululizo. Hakuna mzee mmoya atatumika kama msimamizi wa district zaidi ya mi-aka kumi na nne.

[Hifadhi baki ya paragraphe kama venye iliandikwa]

Mutazamo:Kama basimamizi wa district banafanya kazi “kukuza

mipango ya huduma na misheni yenye inapanua ushuhuda wa Kristo ulimwenguni” (¶ 419.1), mashemasi, nyakati nyingine, wanaweza kuwa na zawadi na ustadi unaohitajika kutumikia kama bakurugenzi wa district.

¶419.1.

Namba ya Maombi: 20310-HS-¶419.1; Carter, Kenneth - Washington, DC, Etats-Unis kwa Baraza ya Maaskofu.

Marekebisho ya 419.1 kwa Uwazi na Kutoa Ufafanuzi Zaidi kwa Wajibu wa Kiœcuméniques

na Interreligieuses wa Bakubwa ya District

Marekebisho ¶ 419.1 kama venye inafuata:1. Kanisa inatarajia, kama sehemu ya huduma ya basi-

mamizi, kwambadistrict msimamizi atakuwa chef stratège wa missionnaire ya district. naMsimamizi wa district atafanya kujitolea kutekeleza maadili ya kanisa, pamoya na jukumu ya kujumuisha, na modélisation, kufundisha, na kukuza ukarimu wa kutoa kwa Kikristo,. Msimamizi wa district atatoa uon-

Page 35: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

980 DCA ya mapema

gozi katika kutakakushirikiana kukuza umoja wa Kikristo na katika kukuzakiœcuménique, interreligieux, huduma za multiculturels, multiraciaux, na ushirika.; na kufanya kazi Kufanya kazi na batu kote mu kanisa, msimamizi wa district itaendeleza programu za huduma na mission yenye inapanula ushuhuda wa Kristo ndanib ya dunia.

Mutazamo:Paragraphe kwa ujumla haiko sawa na inahitaji kuhariri-

wa. Zaidi ya hayo, basimamizi wa district ya UMC ni nyonge-za ya biro ya juu ya msimamizi wa askofu (¶ 417). Kama hivyo, jukumu ya kiœcuménique na interreligieux na majuku-mu ya maaskofu wa Methodiste Unie inapashwa kupanuliwa waziwazi katika majukumu

¶419.12.

Numero ya Maombi: 20717-HS-¶419.12-G; Horton, David - Houston, TX, États-Unis.

Utambuzi Locale ya Huduma za Ndowa na Harusi

Ongeza sous-paragraphes za mupya baada ya ¶ 419.12:13. Mushimamizi hataadibisha mutu wa clergé yoyote

kwa kwa kufanya, ao kuepuka kutoka kufanya, huduma ya ndowa ya jinsiya moya.

14. Askofu wala hataitaji kanisa locale yoyote kufanyiya ao kukatala kanisa locale kutoka kufanya huduma ya ndowa ya jinsiya moya juu ya mali yenye inamilikiwa na kanisa lo-cale.

Mutazamo:Ruhusu makanisa locales kufanya huduma za harusi ya

jinsiya moya ku mali ya kanisa. Patiya batu bote ba clergé uhuru ya kufanyiya zamiri zabo wakati bamealikwa kushima-miya ku huduma yoyote ya ndowa, bila kujali sexualité.

¶422.

Namba ya Maombi: 20312-HS-¶422; Lambrecht, Thomas - Spring, TX, Etats-Unis.

Baraza ya Maaskofu Processus ya Uwajibikaji # 3

Kurekebisha kwa kuongeza kwa ¶ 422:¶ 422.2. Baraza ya Maaskofu biko basi expression ya ush-

irika na collective ya uongozi wa épiscopal katika kanisa na kupitia kanisa ndani ya dunia. Kanisa inategemeya Baraza ya Maaskofu kuongelesha kanisa na kutoka ndani ya kanisa kwa dunia na kupeyana uongozi katika jitihada za umoja wa Ki-kristu na mahusiano ya interreligieuses. Baraza ya Maaskofu

iko pia bodi ambayo ba membre yake binafsi banawajibika kwa kazi zabo, yote kama wasimamizi wa jumla na kama ma president na wakazi katika maeneo ya episcopale.

¶ 422.5. Baraza ya Maaskofu itaanzisha kutoka kwa ba membre yake kamati ya mahusiano ya baraza ya angalau batu tatu benye batasikia maombi ya kuondoka kwa kujihusisha bila kujitolea, kustaafu bila kujitolea, kama inavyoweza kuletwa na Baraza ya Maaskofu ama maaskofu saba yoyote benye biko actifs. Bajumbe wa kamati ya uhusiano wa baraza na kama-ti ya marekebisho ya utawala habatapiga kura juu ya rufaa ya maombi ya kuondoka kwa bila hiari ao kustaafu bila hiari.

a) Wakati kuna mapendekezo ya mabadiliko ya hali ya kuji-husisha yenye itakuwa refere kwa kamati ya mahusiano ya bara-za, kamati ya mahusiano ya baraza itafanya majadiliano ya kiut-awala kufuatia masharti ya processus ya haki. Halmashauri ya Maaskofu itaamua mtu kuwasilisha mapendekezo kwa kamati. Mhojiwa atapewa fursa ya kushughulikia mapendekezo kwa ki-binafsi, kwa maandishi, na kwa msaada wa mchungaji kwa uhu-siano kamili, ambaye atakuwa na sauti. Mara kamati imesikia mtu aliyechaguliwa kuwakilisha mapendekezo, mhojiwa, na wengine kama ilivyoainishwa na mwenyekiti wa kamati, atatoa ripoti yake kwa Baraza la Maaskofu. Halmashauri ya Maaskofu inaweza kuthibitisha au kubadili uamuzi wa kamati. Bajumbe wa kamati ya uhusiano ya baraza na kamati ya marekebisho ya utawala habatapiga kura juu ya suala ya kuthibitisha ao kubadili uamuzi. Baraza ya Maaskofu itamaanisha kamati ya uhusiano wa baraza askofu yeyote ambaye hataki kudhibitisha kwamba iko tayari kutekeleza, kutekeleza, na kutunza sheria ya Kitabu kya Adabu kwa jumla (kama venye inatumika kwa maaskofu), pamoya na lakini haiko limite kwa viwango bya ndoa na ujinsia na uteuzi na uteuzi wa batu benye banajifanya wa jinsia moja. Baraza ya Maaskofu itahitaji udhibitisho kama hiyo kwa maan-dishi kutoka kwa maaskofu bote benye balifanya kazi ndani ya siku makumi tatu (30) ya kuapishwa kwa Conférence Général kila quadriennat. Baraza ya Maaskofu pia itahitaji udhibitisho kama hiyo ya askofu yoyote mupya katika siku makumi sita (60) za uchaguzi wabo. Wakati kamati ya mahusiano ya baraza inapata matokeo mazuri ya kwamba askofu hajathibitisha vile, kamati ya mahusiano yabaraza itapendekeza kuondoka kwa ku-jiondoa ama kujihusisha bila kujitolea kwa Baraza ya Maaskofu baada ya kufanya processus ya haki.

b) Processus ya Usikilizaji wa Haki—-Kama sehemu ya agano takatifu iliyopo ndani ya bajumbe na shirika ya Kanisa ya Methodiste Unie, taratibu zifuatazo zinawasilishwa kwa kulinda haki za batu binafsi na kwa ulinzi wa kanisa kati-ka mikutano ya utawala. Utaratibu yenye iliwekwa katika hii paragraphe itafuatiwa wakati wowote kamati ya mahusiano ya baraza itakutana na processus ya ombi ya utawala na Bara-za ya Maaskofu.

Page 36: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

Elimu ya Juu na Usimamizi 981

1) Katika buendeshaji yoyote ya utawala mwakilishi wa Baraza ya Maaskofu na mhojiwa (mtu ambaye hatua ya kuji-husisha inaongozwa) atakuwa na haki ya kusikilizwa kabla ya hatua yoyote ya mwisho itachukuliwa.

2) Avis ya audience yoyote itamshauri intimé sababu ya taratibu zenye zilipendekezwa kwa kina kya kutosha juu ya kuruhusu intimé ku prepare jibu. Taarifa itapewa haiko chini ya siku makumi mbili (20) kabla ya kusikilizwa.

3) Intimé atakuwa na haki ya kukuwa accompagné kwa busikiliaji yoyote na membre ya wachungaji mwneye uugan-isho kamili, kwa mujibu wa masharti ya kisheria. Mchungaji anayeongozana na mhojiwa atakuwa na haki ya sauti.

4) Katika audience yoyote ya kiutawala,bila partie moya, bila kutokuwepo ya partie ingine, kujadili masuala ya msingi na wanachama wa kamati wa kusikia yenye inasubiri. Mas-wali ya utaratibu yanaweza kuinuliwa na afisa aliyeongoza wa bodi ya kusikia.

5) Mhojiwa atakuwa na ufikiaji, angalau siku saba (7) kabla ya kusikilizwa, kwa rekodi zote zinazotegemea katika matokeo ya processus ya utawala.

6) Katika cas ambayo mhojiwa hawezi kuonekana kwa ajili ya mahojiano ya usimamizi, anakatala barua, anakata-la kuwasiliana na askofu, ao kwa upande mwingine hawezi kujibu maombi ya usimamizi ao maombi kutoka kwa kamati za utawala rasmi, vitendo hivyo ao uingizaji huo haitatumi-wa kama vile udhuru wa kuepuka ao kuchelewesha processus yoyote ya kanisa, na taratibu kama hizo zinaweza kuendelea bila ushiriki wa huyo mtu. Bajumbe wa kamati ya uhusiano ya baraza na kamati ya marekebisho ya utawala habatapiga kura juu ya suala ya kuthibitisha ao kubadili uamuzi.

¶ 422.6. Baraza ya Maaskofu itaanzisha kutoka kwa ba-jumbe bake kamati ya ukaguzi wa utawala wa angalau batu tatu ambao habiko banachama wa kamati ya utendaji ama ka-mati ya mahusiano ya baraza. Bajumbe wa kamati ya mare-kebisho ya kiutawala habatapiga kura ya rufaa kwa kamati ya mahusiano ya baraza kwa kuondoka kwa bila hiari ao kusta-afu kwa bila hiari ao hatua zozote za Baraza ya Maaskofu zenye zinahusiana na jambo yoyote ambayo itakuja mbele ya kamati ya marekebisho ya kiutawala. Lengo lake pekee ni kuhakikisha kuwa taratibu za uadhibiti kwa hatua yoyote ya kujihusisha iliyopendekezwa na kamati ya mahusiano ya halmashauri inafuatwa vizuri. Mchakato mzima wa utawala unaosababisha hatua ya mabadiliko ya hali ya askofu utare-kebishwa na kamati ya ukaguzi wa utawala, na itasimulia ma-tokeo yake kwa Baraza la Maaskofu kabla ya hatua yoyote ya Baraza la Maaskofu. Kamati ya ukaguzi ya utawala itaju-lisha vyama vya mchakato wa ukaguzi. Utaratibu wa kusikia mchakato wa haki wa utawala (¶ 422.5) unapaswa kufuatiwa na kamati ya ukaguzi wa utawala. Kabla ya ripoti yake, ikiwa kamati inaamua kuwa kosa lolote limetokea, linaweza ku-pendekeza kwa mtu sahihi au mwili kwamba hatua itachuku-liwe haraka ili kurekebisha hitilafu, uamuzi wa kosa ni lisilo, au kuchukua hatua nyingine.

¶ 422.7. Mwisho wa processus, askofu anaweza kukata rufaa uamuzi wa kamati ya mahusiano ya mukutano, kamati ya marekebisho ya kiutawala, na Baraza ya Maaskofu juu ya maswali ya utaratibu katika processus ya kiutawala kwa Bara-za ya Mahakama kulingana na maagizo yenye iliorodheshwa katika ¶ 2718.4.

Mutazamo:Kuongeza kwa ¶¶ 408, 410, na 422 inaenda pamoya na

kutengeneza processus ambayo Baraza ya Maaskofu inaweza kuwajibika, kulingana na marekebisho ya kikatiba ya ¶ 50 yenye ilithibitishwa mwaka wa 2017. Hii pendekezo inaju-muisha uthibitisho wa processus ya haki na inawezesha uwi-ano mukubwa na usawa.

¶422.5.

Namba ya Maombi: 20313-HS-¶422.5; Wilson, John - Pitts-burgh, PA, Etats-Unis kwa Mukutano wa Kila Mwaka ya Ouest ya Pennsylvanie.

Kushughulikia Kanuni ya Légalité: Maaskofu

Ongeza mupya ¶ 422.5.b.(vii) Kabla ya kuanza kwa usikilizaji wa kiutawala na kamati ya mahusiano ya bara-za, askofu anaweza kuchagula kuwa na mashtaka. Hii ch-aguo lazima ifanyike kwa maandishi na kuwasilishwa kwa mwenyekiti wa kamati ya mahusiano ya baraza kabla ya kuanza kwa usikilizaji wa kiutawala. Taratibu zinatolewa ka-tika ¶¶ 2707-2712.

Mutazamo:Hii sheria inazingatia kanuni ya légalité yenye ilitolewa

katika JD 1366 kwa kurejesha lugha na taratibu zenye zili-tumika kabla ya 1996 Adabu. Hii lugha ilipatikana kukidhi kanuni ya légalité katika Uamuzi ya Baraza ya Mahakama 351 na ¶ 20 ya Katiba.

¶423.1.

Namba ya Maombi: 20311-HS-¶423.1-G; Jones, Scott - Houston, TX, Etats-Unis.

Forme Mupya ya Umoja # 5

Marekebisho ¶ 423.1 kwa kuongeza sous-paragraphe ya 423.1

Mukutano ya Maaskofu wa Methodiste

Page 37: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

982 DCA ya mapema

1. Kama Kanisa yoyote ya Methodiste ya kujiongoza in-aundwa na kuondoka kwa mikutano moya ao zaidi ya kila mwaka kule Etats-Unis, Baraza ya Maaskofu itatafuta miku-tano ya kila wakati na maaskofu wa makanisa mupya yoyote kama hizo.

Mutazamo:Forme mupya ya Umoja inahifadhi umoja kadri venye

inawezekana wakati ikiruhusu expression mupya ya Meth-odisme kuishi kwa uaminifu na maoni tofauti juu ya ujinsia wa mwanadamu. Maaskofu kutoka kwa ma expression yote mupya banapashwa kuonyesha umoja yenye inaonekana na mupango wa mission ya pamoya.

¶424.3.

Namba ya Maombi: 20314-HS-¶424.3-G; Eckert, Jerry - Port Charlotte, FL, Etats-Unis.

Kubadilisha Uwajibikaji wa Basimamizi

Rekebisha kwa Kuondoa ya ¶ 424.3 na ubadilishe tena:¶ 424.3. Cabinet njo piya mwili yenye ndani basimamizi

ya districts binafsi banawajibika ku kazi yabo, zote majuku-mu za conference na za district.

Mutazamo:Cabinets raccourcissent ya malalamiko contre bajumbe

wabo kwa kubashugulikia chini ya hii paragraphe. Basima-mizi banapashwa kuonana na benzao kama mzee mwingine yeyote na haiko na groupe yenye inachagula mrithi wake mwenyewe.

¶425.

Namba ya Maombi: 20709-HS-¶425-G; Horton, David - Houston, TX, États-Unis.

Utambuzi Locale ya Bagombeya ku Clergé

Rekebisha ¶ 425:2. Uteuzi yenye inafanyiwa kote mu conference ku mis-

tari itahimizwa kama njiya ya kuunda mobilité na itinéraire ya wazi. comité juridictionnel juu ya ministere yenye ilicha-guliwa itashirikiana na maaskofu na cabinets mu kutosha in-formation juu ya busambazaji na mahitaji ndani ya juridic-tion. Bazee benye banafanya pratique ya batu homosexuelles na kudumu muzuri banaweza kuchaguliwa kote mu mistariza conferences za kila mwaka na ndani ya juridiction wakati askofu resident hawezi kupata uteauzi ndani ya conference ya kila mwaka, kwa sababu ya usalama na ustawi ya muzee.

Mutazamo:Inaruhusu conferences za kila mwaka kuamuwa ngizi

sexualité itatumika ku viwango za kuishi batakatifu ku ba-gombeya ba clergé. Inachunga ba clergé benye ni ba gays benye habawezi kuteuliwa ndani ya conference ya kila mwa-ka kwasababu ya kukosa uteuzi salama.

¶425.1.

Namba ya Maombi: 20315-HS-¶425.1-G; Lopez, Joseph - Seattle, WA, Etats-Unis.

Kujenga Kanisa ya Entièrement Inclusive

Marekebisho ¶ 425.1Jukumu—1. Wachangaji batateuliwa na askofu, ambaye

amepewa uwezo wa kufanya na kurekebisha ma nomination zote katika eneo ya episcopal ambayo mukutano wa kila mwa-ka iko sehemu. Nomination zinapashwa kufanyiwa kwa kuzin-gatiya zawadi na ushahidi wa neema ya Mungu ya bale benye baliteuliwa, kwa mahitaji, caractéristiques, na fursa za congré-gations na ma institutions, na kwa uaminifu ya kujitoleya ku itinéraire ya wazi. Itinéraire ya wazi inamaanisha kuchaguwa zinafanyiwa bila kuangaliya race, ethnie origine, genre, coleur, bulemavu, hali ya marriage, mwelekeo ya kijinsia, ao miaka, isipokuwa tu ku vifungu za retraite ya lazima. Mikutano za kila mwaka zinafaa, mu mafundisho zabo za comités za mahusia-no na bafanyakazi ba paroisses, itasisitiza kufungula hali ya itinérance na kutayarisha ma congrégations kupokeya mazawa-di na sifa za ba clergé benye bameteuliwa bila kuangaliya race, origine ethnique, jinsiya, rangi, bulemavu, hali ya mariage, condition ya kiuchumi, mwelekeo ya kijinsia, ao miaka. Wazo ya itinérance ni muhimu, na umakini attentive inapashwa ku-toshwa katika kuteuwa ba clergé na changamoto za physiques kwa majukumu na majukumu ambayo yanakidhi zawadi na sifa zabo. Kupitiya kufanya-kuchaguwa, hali ya maumbile ya système ya Methodiste Unie inaonekana.

¶431.

Namba ya Maombi: 20317-HS-¶431-G; Holbrook, Frank - Martin, TN, Etats-Unis.

Makubaliano ya Ushirika kamili ya Mupango wa Maoni ya Ushirika Kamili—Punda Neema # 2

ONGEZA MUPYA ¶ 431A kwa Adabu kama venye inafuata:

1. Msingi—Kutokana na conflit wa sasa ndani ya Kanisa ya Methodiste Unie, Mupango wa Neema Mbaya unakub-aliwa. Ni kusudi la Mpango wa Neema Wazi wa kuzidisha expression mupya ya Wesley yenye inaendana na msingi

Page 38: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

Elimu ya Juu na Usimamizi 983

wa kawaida wa Kanisa ya Methodiste Unie na kuwaruhusu bashiriki tofauti wa Kanisa ya Methodiste Unie baweze kui-shi katika hotuba yabo ya upendeleo wakati wa kutoa nee-ma kwa batoto bote wa Mungu. Ni kusudi zaidi ya Mupango wa Neema ya Wazi kuunda uhusiano kamili wa Ushirika na maneno kama haya ya Wesley. Mupango wa Neema ya Wazi ina paragraphe zifuatazo katika Kitabu kya Adabu: ¶¶ 248A, 431A-F, 673-680, 725, 1510, na 2553-2555.

2. Kutekelezwa kwa kupitishwa kwa Conférence Général ya 2020, Baraza ya Maaskofu itaingia Makubalia-no wa Ushirika kamili na kila Tafakari kamili ya Ushirika yenye inatambuliwa kama hiyo chini ya masharti ya ¶ 431E. Makubaliano ya Ushirika Kamili itatambua kuwa uhusiano iko kati ya Kanisa ya Methodiste Unie na kila Maonyesho ya Ushirika kamili na itajumuisha matakwa yenye inafuata: (1) tambua Kanisa ya Methodiste Unie na Maonyesho ka-mili ya Ushirika kama bashiriki wa moya, batakatifu, kani-sa katoliki, na ya kitume, mwili wa Kristo, kama venye il-ielezewa katika Maandiko Matakatifu na kukiri katika imani za kihistoria za kanisa; (2) tambua ukweli wa sacraments za kila mmoya na kukaribishana juu ya kushiriki katika Eu-charistie; (3) thibitisha uhalisi wa kila huduma ya Kikristo, na (4) atambue uhalali wa biro za kila mmoya wa huduma. Kwa kugundua uhalali wa biro za kila mmoya wa huduma, hata Kanisa ya Methodiste Unie ao Maonyesho ya Ushirika kamili haitalazimika kukubali kuhamishwa kwa mchungaji yoyote ao askofu; Kanisa ya Methodiste Unie na Expression ya Ushirika kamili itadumisha haki kamili ya kuamua sifa za uhamishaji wa wachungaji na maaskofu. Kwa kuongezea, Makubaliano ya Ushirika Kamili itafunga Kanisa ya Metho-diste Unie na Maoni ya Ushirika Kamili kutambua na kute-keleza Mikataba ya Ushirikiano wa Neema na Mikataba ya Urejesho wa Rehema yenye iliingia kwa kufuata ¶ 678, 679, na 680 ya Kitabu kya Adabu. Hakuna disposition ya ziada zenye zinaweza kutolewa kwa Makubaliano ya Ushirika Ka-mili. Makubaliano ya Ushirika Kamili itafunga Kanisa ya Methodiste Unie na Maonyesho ya Ushirika Kamili mupa-ka 31 Decembre, 2028, hiyo wakati itamalizika isipokuwa kupanuliwa na makubaliano ya pamoya ya Kanisa ya Meth-odiste Unie na ufafanuzi kamili wa Ushirika. Masharti ya hii paragraphe itatangulia, na haitapunguzwa, na disposition yoyote ya Adabu ambazo haziko ndani ya Katiba. Hii para-graphe itaanza kutumika mara moya baada ya kupitishwa kwa Conférence Général ya 2020 na itamalizika kwa kupit-ishwa kwa Conférence Général ya 2028.

Mutazamo:Hii ni paragraphe moja ya Mupango wa Neema ya Wazi

wa kuzidisha expression, ambayo ina jumla ya paragraphe makumi mbili (20) ya kuongezwa kwa Kitabu kya Adabu. Paragraphe makumi mbili ni ¶¶ 248A, 431A-F, 673-680, 725, 1510, na 2553-2555. Hii paragraphe inaelezea mahitaji ya

¶431.

Namba ya Maombi: 20318-HS-¶431-!-G; Holbrook, Frank - Martin, TN, Etats-Unis.

Intention Inakuwa Mupango wa Communion Kamili ya Expression—Neema Wazi # 3

ONGEZA MUPYA ¶ 431B kwa Adabu kama venye inafuata:

1. Vendredi ao mbele ya Vendredi, 29 Mai, 2021, entité inaweza kuwasilisha ombi ya Intention ya kutaka kuwa Ex-pression kamili ya Communion kwa kupeleka ombi ya ku-sudi ya Baraza ya Maaskofu. Ombi ya kusudi itasainiwa na wachungaji angalau makumi tano (50) ao askofu mmoya wa Kanisa ya Methodiste Unie. Ombi ya kusudi haitahitajika ku-endana na forme yoyote ile lakini itafahamisha kuwa Expres-sion Mupya yenye inapendekezwa, ikiwa imeundwa, itafikia viwango bya chini benye binafuata venye zinahitajika za Ex-pression kamili ya Ushirika.

a) Zingatia msingi wa imani, yenye iliwekwa katika Ex-pression Mupya ya Kitabu kya Adabu, ambayo ni pamoya na yenye inafuata: Imani ya Mitume, Articles za Dini na Con-fession ya Imani, Sheria za Jumla, nyimbo za Wesley na njia ya maisha inayojumuisha ambayo inajumuisha busimam-izi, imani na mukutano. Hata vile, busimamizi, ushirika, na mukutano haitahitajika kufuata viwango venye ziliainishwa ndani ya Kitabu kya Adabu kya Kanisa ya Methodiste Unie ; Expression Mupya atakuwa na haki ya kurekebisha kila moja ya mifumo hizo ya Wesile kwa kupitisha viwango vyake mwenyewe.

b) Ingiza Makubaliano wa Ushirika Kamili na Kanisa ya Methodiste Unie ambayo inajumuisha mahitaji ya ushirika kamili uliowekwa na ¶ 431A, na makubaliano kama hayo ita-faa kabisa mupaka 31 Decembre, 2028.

c) Ingiza Makubaliano wa Ushirikiano benye Neema am-bao itasimamia usaidizi wa kimission, msaada wa pension, na uthamini wa mali na mtazamo kwa kuhitaji Kanisa ya Metho-diste Unie na Maonyesho ya Ushirika kamili kutumia proces-sus na taratibu zenye ziliainishwa katika ¶¶ 431F, 1510, 2554, na 2555. na makubaliano kama hayo ya kuwa katika nguvu kamili na athari mupaka 31 Decembre, 2030.

d) Ingiza Makubaliano ya Azimio ya Mizozo ambayo in-ahitaji upatanishi na usuluhishi wa kufunga juu ya mabishano yote juu ya usuluhishi, maana, ao matumizi ya Makubaliano ya Ushirikiano wa Neema ao Makubaliano yoyote ya Rehe-ma ya makubaliano na makubaliano hayo kuwa katika nguvu kamili na athari mupaka 31 Decembre, 2030.

Hakuna mahitaji ya ziada itatakiwa katika ombi yoyote ya intention.

Page 39: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

984 DCA ya mapema

2. Ombi ya kusudi itawasilishwa kwa katibu mtenda-ji wa Baraza ya Maaskofu ama kwa kibinafsi, kwa barua, 29 Mai, 2021, saa 17h00 heure locale kwa biro résidence ya katibu mkuu. Isipokuwa kati ya siku makumi tatu (30) za kupokelewa kwa ombi na katibu mkuu, Baraza ya Maas-kofu inaamua na kusema, kwa maandishi, kwa msingi wa ombi ya kusudi, kwamba ombi ni ya kutosha kwa kutofaulu kwa kukutana na moya ao zaidi ya mahitaji ya mwenye ana-maliza basi ombi itatekelezwa. Hakuna Expression Mupya yenye ilipendekezwa itazuiliwa kutokana na kufungua ombi ya nyongeza ya wakati kwa intention kulingana na ukweli kwamba ombi ya hapo awali ilikataliwa kama yenye upun-gufu. Maombi yoyote yenye iliwasilishwa kwa wakati na ambayo haikutekelezwa na Baraza ya Maaskofu ifikapo 30 Juin, 2021, itachukuliwa kuwa imeidhinishwa. Entité yenye inakidhi mahitaji ya sifa inakuwa “Expression Mupya yenye iko Qualifie.”

3. Hakuna ifikapo 30 Juin, 2021, Baraza ya Maaskofu kupitia mwakilishi wake mwenye aliidhinishwa atatenda, kwa niaba ya Kanisa ya Methodiste Unie, Makubaliano ya Ushirika kamili wa Ushirika, Makubaliano ya Ushirikiano wa Neema, na Makubaliano ya Azimio ya Usuluhishi yenye iliandaliwa kufuatia ¶ 431C na zabuni ilisema makubaliano kwa kila Expression Mupya yenye iko Qualifie kwa kusudi ya kuruhusu onyesho jipya yenye ilihitimu kuingia mikataba baada ya idhini kupokelewa kutoka kwa mukutano wake wa kuandaa. Hakuna makubaliano kama hayo yatakayokuwa na ufanisi isipokuwa na mupaka Expression Mupya yenye iko Qualifie itatambuliwa kama Expression kamili ya Ushirika kwa kufuata ¶ 431E.

4. Masharti yote ya hii paragraphe itaanza kutumika mara moya baada ya kupitishwa kwa Conférence Général ya 2020 na itamalizika 31 Decembre, 2028. Masharti ya hii para-graphe itatangulia, na haitapunguzwa na, disposition yoyote ya Kitabu kya Adabu isipokuwa disposition ya Katiba.

Mutazamo:Hii ni paragraphe moja ya Mupango wa Neema ya Wazi

kwa kuzidisha expression ambazo ina paragraphe total ya 20 ya kuongezwa katika Kitabu kya Adabu. Paragraphe makumi mbili ni ¶248A, ¶¶431A-F, ¶¶673-680, 725, 1510 na ¶¶2553-2555. Hii paragraphe kwanza huanzisha mahitaji ya ombi la kusudi

¶431.

Namba ya Maombi: 20319-HS-¶431-$-G; Holbrook, Frank - Martin, TN, Etats-Unis.

Makubaliano kati ya Kanisa ya Methodiste Unie na Expression Kamili ya Communion—

Mupango ya Neema Wazi # 4

ONGEZA MUPYA ¶ 431C kwa Adabu kama ifuata-vyo:

1. Makubaliano kamili wa Ushirika—Baraza Kuu juu ya Makuta na Utawala imepewa dhamana ya kuandaa forme yenye ilisimamia Makubaliano wa Ushirika kamili yenye in-aambatana na masharti ya ¶ 431A ya kutumiwa na Kanisa ya Methodiste Unie na Expressions Mupya. Forme yenye il-ikadiriwa itajazwa na kuwasilishwa kwa Baraza ya Maaskofu mapema zaidi ya 1 Mai, 2021. Mwakilishi mwenye mamla-ka ya Baraza ya Maaskofu amepewa dhamana ya kutekeleza makubaliano ya hii forme kwa niaba ya Kanisa ya Method-iste Unie. Makubaliano ya Ushirika kamili itaanza kutumika mupaka 31 Decembre, 2028.

2. Ushirikiano benye Neema na Mikataba ya Rehema ya Marejesho.

a) Baraza Kuu ya Makuta na Utawala imepewa dhamana na kuelekezwa kuandaa forme ya Makubaliano wa Ushiriki-ano wa Neema yenye inajumuisha processus na processus yenye iliwekwa katika ¶¶ 431F, 1510, 2554 na 2555 kwa ku-tumiwa na Kanisa ya Muungano wa Methodist na Expression kamili ya Ushirika. Forme yenye ilikadiriwa itajazwa na ku-wasilishwa kwa Baraza ya Maaskofu mapema zaidi ya 1 Mai, 2021. Mwakilishi mwenye mamlaka ya Baraza ya Maaskofu amepewa dhamana ya kutekeleza makubaliano ya hii forme kwa niaba ya Kanisa ya Methodiste Unie. Forme yenye il-isimamishwa pia itapatikana kwa publique na kusambazwa kwa Bodi ya Mukutano ya Badhamini kwa kila mukutano wa kila mwaka. Makubaliano wa Ushirikiano wa Neema itaanza mupaka 31 Decembre, 2030.

3. Makubaliano wa Azimio ya MizozoBaraza Kuu ya Makuta na Utawala inaelekezwa na

kuidhinishwa kuandaa forme ya Makubaliano wa Azimio ya Usuluhishi ambayo inajumuisha processus na taratibu zenye ziliwekwa katika ¶¶ 431F, 1510, 2554, na 2555 kwa kutumi-wa na Kanisa ya Methodiste Unie na Expressions Kamili ya Communion hakuna kabla ya 30 Mai, 2021. Masharti ya makubaliano yatahitaji matumizi ya michakato iliyoanzish-wa na Makubaliano wa Azimio ya Usuluhishi katika mzozo yoyote yenye inahusisha (a)Kanisa ya Methodiste Unie na Maongezi ya Ushirika moja ao zaidi na (b) mzozo yoyote kati ya Maoni ya Ushirika Kamili. Masharti ya Makubaliano ya Azimio ya Usuluhishi itahitaji entités zenye zinahusika katika mzozo yoyote kushiriki sawa gharama na gharama za mpa-tanishi ao msuluhishi. Mwakilishi mwenye mamlaka ya Bara-za ya Maaskofu amepewa dhamana ya kutekeleza makubalia-no ya hii forme kwa niaba ya Kanisa ya Methodiste Unie. Makubaliano ya Azimio ya Mizozo itaanza kutumika mupaka 31 Decembre, 2032.

Page 40: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

Elimu ya Juu na Usimamizi 985

4. Isipokuwa imebainika vinginevyo, disposition zote za hii paragraphe zitaanza kutumika mara moja kwa kupitish-wa kwa Conférence Général ya 2020 na kumalizika kwa 31 Decembre, 2028. Masharti ya hii paragraphe itatangulia, na hayatapunguzwa na, vifungu vyovyote vya Kitabu kya Adabu isipokuwa disposition ya Katiba.

Mutazamo:Hii ni paragraphe moja ya Mupango wa Neema ya Wazi

wa kuzidisha expression, ambayo ina jumla ya paragraphe makumi mbili (20) ya kuongezwa kwa Kitabu kya Adabu. Paragraphe makumi mbili ni ¶ 248A, ¶¶ 431A-F, 3 ¶¶ 673-680, 725, 1510 na ¶¶ 2553-2555. Hii paragraphe inaidhinisha na

¶431.

Namba ya Maombi: 20320-HS-¶431-G; Holbrook, Frank - Martin, TN, Etats-Unis.

Mukutano ya Organisation ya Expression Mupya yenye iko qualifiée— Mupango ya Neema Wazi #5

ONGEZA MUPYA ¶ 431D kwa Adabu kama ifuata-vyo:

1. Kati ya kipindi ya kuanzia 1 Mai, 2022, hadi 30 Juin, 2022, kila Expression Mupya yenye iko qualifiée inaweza ku-fanya mukutano wa kuandaa kwa madhumuni ya kuanzisha expression mupya ya Methodisme. Kila mwakilishi mwenye alichaguliwa na caucus ya Expression Mupya yenye iko qual-ifiée katika mukutano wa kila mwaka ataonekana kuwa na sifa ya kutumika kama mwakilishi katika mukutano ya organisa-tion ya Expression Mupya yenye iko qualifiée na atateuliwa kama mwakilishi wa kupiga kura wa mukutano wa kuandaa. Mtu mwenye alichaguliwa kutumika kama mwakilishi wa mkutano wa kila mwaka anaweza kutumika kama mwakilishi tu katika mukutano wa kuandaa ya Expression Mupya yenye iko qualifiée ambao mtu huyo alichaguliwa.

2. Kila Expression Mupya yenye iko qualifiée inaweza kuweka bawakilishi zaidi kwa bale benye biko na Expres-sion Mupya yenye iko qualifiée za kufuzu kuwa na jukumu ya kuamua sifa zozote za, na idadi ya, bawakilishi bakubwa kwenye mukutano wa kuandaa. Expression Mupya yenye iko qualifiée inaweza kuchagua bawakilishi bakubwa ambao ni mukubwa zaidi kuliko bawakilishi benye balichaguliwa na mikutano ya kila mwaka ya Kanisa ya Methodiste Unie. Ex-pression Mupya yenye iko qualifiée inaweza kuchagua kama mwakilishi mukubwa kwa mukutano wa organisation wa mjumbe kwa mukutano ya kila mwaka ambao habakuchagu-liwa kama mwakilishi wa mukutano wa kila mwaka.

3. Expression Mupya yenye iko qualifiée itafanya maamuzi kwa kutumia michakato ya kidemokrasia lakini iko huru kuanzisha sheria zabo za ndani za mupangilio wa mu-kutano wa kuandaa. Juu ya kuwezesha kuandaa mikutano ya matumizi ya michakato ya kidemokrasia, mikutano kama hii inaweza kutumia njia mbadala za kiteknolojia kwa mikutano ya kibinafsi, pamoya na, lakini haiko mdogo, kwa sites mingi za kijiografia (pamoya na sitess za mbali zenye zinashiriki kupitia simulcast). Mikutano ya kupanga inaweza kutumia upigaji kura wa elektroniki (pamoya na upigaji kura wa elek-troniki wa mbali). Methode ya kupiga kura kama hiyo na taratibu zinweza kupatikana kwa Expression Mupya yenye iko qualifiée.

4. Kila mukutano wa kuandaa itakuwa huru kuanzisha yake Kitabu kya Adabu na bapiga kura bengi wa bawakilishi wa mukutano wa kila mwaka na bawakilishi bakubwa wana-piga kura kama nyumba moja. Expression Mupya yenye iko qualifiée itakuwa na haki ya kuchagua ikiwa na katiba na, ikiwa itakubaliwa, masharti ya katiba kama hiyo. Kila Ex-pression Mupya yenye iko qualifiée itakuwa na haki ya kuan-zisha taarifa zake za mafundisho, kuweka viwango byake mwenyewe bya ushirika wa kanisa, uwekaji, usimamizi, na mambo mengine yote ya adhabu na mafundisho. Bila kuja-li chochote katika hii sous-paragraphe, Expression Mupya yenye iko qualifiée ambayo inashindwa kupitisha vifungu bya kutosha kutimiza dhamira zilizoorodheshwa katika ¶ 431B kabla ya 30 Juin, 2022, itakoma kuwa Expression Mupya yenye iko qualifiée na haitastahili kupata faida ya hadhi kama Expressions Kamili wa Ushirika wala kutumia taratibu zenye zinapatikana kwa Expressions Kamil ya Communion. Mka-taba wa Ushirikiano wa Neema hauwezi kuajiriwa na kanisa la mtaa uliotafuta kujiunga na usemi wa Mbinu ambazo sio Maonyesho ya Ushirika kamili.

5. Masharti yote ya hii paragraphe itaanza kutumika mara moya baada ya kupitishwa kwa Conférence Général ya 2020 na itamalizika 31 Decembre, 2022. Masharti ya hii para-graphe itatangulia, na haitapunguzwa na, disposition yoyote ya Kitabu kya Adabu isipokuwa disposition ya Katiba.

Mutazamo:Hii ni paragraphe moja ya Mupango wa Neema ya Wazi

kwa kuzidisha expression ambazo ina paragraphe total ya 20 ya kuongezwa katika Kitabu kya Adabu. Paragraphe ma-kumi mbili ni ¶ 248A, ¶¶ 431A-F, ¶¶ 673-680, 725, 1510 na ¶¶ 2553-2555. Hii paragraphe inaweka limite mahitaji kwa shirika

¶431.

Namba ya Maombi: 20321-HS-¶431-!-G; Holbrook, Frank - Martin, TN, Etats-Unis.

Page 41: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

986 DCA ya mapema

Expression Kamili ya Ushirika— Mupango ya Neema Wazi # 6

ONGEZA MUPYA ¶ 431E kwa Adabu kama ifuata-vyo:

Hakuna kabla ya 1 Août, 2022, kila Expression Mupya yenye iko qualifiée kuwa Expression Kamili ya Ushirika itaweka makazi yake Kitabu kya Adabu Kuanzisha kupitish-wa kwa msingi wa kawaida, Makubaliano wa Ushirika Ka-mili yenye ilitekelezwa, Makubaliano wa Ushirikiano yenye Neema, na Makubaliano wa Azimio ya Mzozo na katibu mtendaji wa Baraza ya Maaskofu. Kitabu kya Adabu hivyo makao itakuwa kwa maandishi na kwa forme ya PDF ambayo inaweza kutumwa moja kwa moya kwa Internet. Hata kabla ya 15 Août, 2022, Baraza ya Maaskofu itathibitisha kwamba Maonyesho Mupya ya Kitabu kya Adabu inachukua msingi wa kawaida na kwamba Makubaliano wa Ushirika kamili, Makubaliano wa Ushirikiano wa Neema, na Makubaliano wa Azimio ya Mizozo imetekelezwa; Baraza ya Maaskofu iko huru kuanzisha utaratibu wabo wa ndani juu ya kuhakiki-sha uthibitisho kama hiyo. Baada ya uthibitisho kama hiyo, Baraza ya Maaskofu Expression Mupya yenye iko qualifiée kwamba ni Expression kamili ya Ushirika kabla ya 22 Août, 2022. Baraza ya Maaskofu itapanga kuwa na copies za kila Expression Kamili ya Communion ya Kitabu kya Adabu il-iyotumwa mtandaoni na inapatikana kwa publique kwa uk-aguzi na upakuaji kabla ya 22 Août, 2022. Masharti yote ya hii paragraphe itaanza kutumika mara moya baada ya kupi-tishwa kwa Conférence Général ya 2020 na itamalizika 31 Decembre, 2028. Masharti ya hii paragraphe itatangulia, na hayatapunguzwa na, vifungu vyovyote vya Kitabu kya Adabu isipokuwa disposition ya Katiba.

Mutazamo:Hii ni paragraphe moja ya Mupango wa Neema ya Wazi

kwa kuzidisha expression ambazo ina paragraphe total ya 20 ya kuongezwa katika Kitabu kya Adabu. Paragraphe maku-mi mbili ni ¶ 248A, ¶¶ 431A-F, ¶¶ 673-680, 725, 1510 na ¶¶ 2553-2525. Hii paragraphe inaweka utaratibu rahisi wa ku-hakikisha kuwa Waliohitimu

¶431.

Namba ya Maombi: 20322-HS-¶431-$-G; Holbrook, Frank - Martin, TN, Etats-Unis.

Hatua Brutes na Nettes ya Mission na Formule ya Bugabulaji wa Rasilimali za Kimission—

Mupango wa Neema Wazi# 7

ONGEZA MUPYA ¶ 431F kwa Adabu kama venye inafuata:

1. Kuanzia 1 Juillet, 2023, na kuendelea kila 1 Juillet

hadi 2027, kila Expression Kamili ya Ushirika itawasilisha na kuthibitisha jumla ya udhibitisho wa uanachama wake wa Mei 1 kwa Baraza Kuu juu ya Makuta na Utawala wa Kanisa ya Methodiste Unie. Kwa kila Expression Kamili ya Ushiri-ka, Baraza Kuu juu ya Makuta na Utawala itahesabu sehemu kubwa ya mission kwa kugawa jumla ya udhabiti wa Expres-sion Kamili ya Ushirika na jumla ya udhibitisho wa Kanisa ya Methodiste Unie ya Ukristo pamoja na maoni yote ya Ex-pression Kamili ya Ushirika kutoka 1 Mai ya mwaka wa kal-enda ya sasa. Sehemu ya jumla ya mssion itakuwa pourcent-age yenye ilihesabiwa kwa maeneo inne ya décimales. Kila sehemu ya mission kubwa ya Expression Kamili ya Ushirika itahesabiwa tofauti kwa kila mwaka kupitia 2028. Sehemu za mukubwa za mission zilizohesabiwa kwa 2027 zitatumika kwa Mwaka wa Fedha 2028 na kwa mahesabu yenye iliwe-kwa chini ya ¶ 2554. Kama Expression Kamili ya Ushirika ikishindwa kutoa udhibitisho wa jumla wa banachama bake kuanzia 1 Mai ya mwaka yoyote ya kalenda mu ama kabla ya 1 Juillet wa hiyo mwaka, Baraza Kuu juu ya Makuta na Utawala wa Kanisa ya Methodiste Unie itafanya makisio ya imani nzuri ya kukiri kabisa ushiriki wa Expression Kamili ya Ushirika na kadirio kama hiyo itatumika kwa mahesabu yote kwa kipindi husika.

2. Kupitia mwisho wa mwaka wa makuta ya Kanisa ya Methodiste Unie ya 2028, kila Expression Kamili ya Ushiri-ka itajitolea kulipa, kila mwaka wa fedha, jumla ya jukumu yabo ya mission ya vitu vifuatayo bya Bajeti ya Kanisa ya Methodiste Unie: a) hiyo sehemu ya Fonds ya Huduma ya Kimataifa yenye ilitumiwa kusaidia mikutano ya kati, ilisema sehemu yenye inahesabiwa na Baraza Kuu juu ya Makuta na Utawala lakini inaondoa kabisa makuta zote zenye zilitengwa kwa bodi hizo, tume, na institutions zenye ziliainishwa katika sous-paragraphe ya 3 ya hii paragraphe; b) hiyo sehemu ya Fonds ya Episcopal yenye inawakilisha mishahara, nyumba, na gharama za biro kusaidia maaskofu katika mikutano ya kati, ilisema sehemu ikiwa mahesabu na Baraza Kuu juu ya Makuta na Utawala; c) Fonds ya College ya Nyeusi; d) Fonds ya Université Africaines; e) Tume Kuu juu ya Hifadhi na His-toria; f) Fonds ya Administration Générale.

3. Kupitia mwisho wa mwaka wa makuta ya Kanisa ya Methodiste Unie ya 2024, kila Expression Kamili ya Ushiri-ka itajitolea kulipa, kila mwaka wa fedha, jumla ya jukumu yabo ya mission ya vitu vifuatayo bya Bajeti ya Kanisa ya Methodiste Unie: a) Bodi Kuu ya Kanisa na Jamii; b) Bodi Kuu ya Uanafunzi; c) Bodi Kuu ya Huduma za Kimataifa; d) Bodi Kuu ya Elimu ya Yulu na Huduma; e) Tume Kuu juu ya Mawasiliano; f) Banamuke wa Methodiste Unie; g) Tume Kuu juu ya Dini na Race; h) Tume kuu juu ya Hali na Jukumu ya Banamuke; na i) Tume Kuu juu ya Banaume wa Muunga-no ya Methodiste.

Page 42: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

Elimu ya Juu na Usimamizi 987

4. Mu 15 Juillet ya kila mwaka wa kalenda hadi 2028, Baraza Kuu ya Makuta na Utawala itatoa kila moya Expres-sion Kamili ya Ushirik na pourcentage kubwa ya kazi ya mission na facture ya jumla ya kila kipengee ya bajeti yenye ilihitajika chini ya hii paragraphe. Montant ya facture yenye ilichukuliwa hapa kama kiwango cha facture ya kimission na kitalipwa kamili na Maonyesho ya Ushirika kamili karibu na mwaka wa fedha wa Kanisa ya Methodiste Unie. Kuan-zia mwaka wa franga ya 2024 na kwa kila mwaka wa fran-ga kupitia 2028, kila Expression Kamili ya Ushirika italipa montant sawa na nusu ya facture ya dhamana ya mission ya mwaka ya makuta wa kabla ao 1 Juillet ya mwaka wa makuta; kiasi hicho kitahesabiwa kama malipo kwa facture ya mission yake ya mwaka wa sasa.

5. Kifungu “sehemu ya mission nette” itakuwa kiasi sawa na facture ya mission ya Expression Kamili ya Ushirika yenye ilionyeshwa na pourcentage halisi ya vitu vilivyokadiriwa ku-lipwa na benye banadai bashiriki wa Kanisa ya Methodiste Unie kwa mwaka ya franga. Sehemu ya mission nette ya kila Expression Kamili ya Ushirika itahesabiwa kila mwaka ya fedha kupitia 2028.

6. Masharti yote ya hii paragraphe itaanza kutumika mara moya baada ya kupitishwa kwa Conférence Général ya 2020 na itamalizika 31 Decembre, 2028. Masharti ya hii para-graphe itatangulia, na haitapunguzwa na, disposition yoyote ya Kitabu kya Adabu isipokuwa disposition ya Katiba.

Mutazamo:Hii ni paragraphe moja ya Mupango wa Neema ya Wazi

kwa kuzidisha expression ambazo ina paragraphe total ya 20 ya kuongezwa katika Kitabu kya Adabu. Paragraphe maku-mi mbili ni ¶ 248A, ¶¶ 431A-F, ¶¶ 673-680, 725, 1510 na ¶¶ 2553-2525. Hii paragraphe inaunda categories mbili za msaada wa kimission; hizo

¶431.

Namba ya Maombi: 20658-HS-¶431; Carter, Kenneth - Washington, DC, Etats-Unis wa Conseil ya Maaskofu.

Mettre à jour Jina ya Ofisi ya Umoja ya Kikristo na Uhusiano ya Kidini

Rekebisha ya ¶ 431.3 ngizi inafata:3. Ile Ofisi ya Umoja ya Kikristo na Uhusiano ya Kidini-

Comité ya Ushauri juu ya Uhusiano Oecuméniques na Kidini itashauriana na Conseil ya Maaskofu kwa kuanzisha miongo-zo ku utawala ya Mufuko ya Ushirikiano Interconfessionnelle (angaliya ¶ 814).

Marekebisho ¶ 437 kama venye inafuata:¶ 437. Kwa kutekeleza majukumu yake na juu kukuza na

kupanula ministere œcuméniques na interreligieux za kani-sa za Kanisa Methodiste Unie, Conseil ya Maaskofu itapok-eya contributing ya Ofisi ya Umoja wa Kikristo na Mahu-siano interreligieux Comité ya Ushauriabo juu ya Uhusiano Oecuméniques na interreligieuses (ACEIR).

Reakebisha ¶ 438 ngizi inafata:¶ 438. Uawanachama—Bajumbe ba OCUIR ACEIR

batachaguliwa na Conseil ya Maaskofu ngizi inafata: 1. Ile OCUIR ACEIR itaundwa na mbili ya bashirika ba

episcopal ngizi ilikuwa determiner na na Conseil ya Maasko-fu, pamoya na afisa œcuménique wa Coneil ya Maaskofu. Mu moya wa bashirika itakuwa wa kutoka conference centrale.

2. Mutu mu moya wa kutoka kila juridiction, mutu mu moya kutoka conferences centrale mu Bulaya, na mutu mu moya kutoka conference centrale kule mu Philippines. Asko-fu mwenye haiko afisa œcuménique atahesabiliwa kama mu moya wa batu munane. Kila conference centrale ao juridic-tionnelle itachaguwa bagombeya bawili, na Conseil ya Maas-kofu itachaguwa bashiriki kutoka mu iyi groupe ya bateule.

3. Imependekezwa kwamba ile conseil ya Maaskofu ihakikishe kwamba uwanachama ya batu ba Methodistes Unies ikuwe pamoya ya uwakilishi ethnique, biyana, biyana ba adultes, na banamuke, na minimum ya ba laïcs ba tano.

4. Ba shirika ba wili na sauti na kura kutoka Bashirika Oecuméniques Kamili ba Ushirika

5. Mukurygenzi na katibu wa Conseil ya Uongozi ya Timu Maaskofu juu ya Uhusiano Oecuméniques na Inter-religieuses, ao groupe yake successeur, batakuwa bashiri-ka benye habawezi kupiga kura ba Comité ya Uongozi ya OCUIR ACEIR.

Marekebisho ¶ 439 ngizi inafata:¶ 439. Bafanyakazi—1. Kutakuwa na afisa wa bafanyika-

zi œcuménique wa Kanisa Methodiste Unie wa kuchaguliwa na Conseil ya Maaskofu. Kazi ya OCUIR ACEIR itawezesh-wa na afisa wa bafanyakazi œcuménique mwenye atashima-miya kazi ya kila siku ya OCUIR ACEIR. Afisa wa bafanya-kazi atakuwa mushimamizi wa utawala na chef exécutif wa OCUIR ACEIR.

2. Bafanya kazi zaidi batachaguliwa mu nombre na juku-mu ngizi ilikuwa determiner na Conseil ya Maaskofu.

3. Afisa wa bafanyakazi oecumenique ataripoti ku afisa oecumenique wa Conseil ya Maaskofu. Bashirika bote bafa-nyakazi bataripoti ku na kuhudumu ku kufuraha ya afisa wa bafanya kazi oecumenique.

4. Bafanyakazi ba OCUIR ACEIR batakuwa positioner mu maeneo za kukuwa determiner na Conseil ya Maaskofu.

Rekebisha ¶ 441 ngizi inafata:¶ 441. Majukumu na Nguvu—Majukumu na nguvu za

OCUIR ACEIR zitapatiwa na Conseil ya Maaskofu.

Page 43: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

988 DCA ya mapema

Rekebisha ¶ 442.1 ngizi (TU KAMA MAOMBI YENGINE IMEREKEBISHWA ¶ 442 HAIKU PITISHWA. Iyi maombi yengine inatosha OCUIR kutoka ile paragraphe, yenye inaweza kufanya marekebisho chini yenye aiko ya muhimu);

¶ 442. Ushirika Kamili na Makanisa Zengine 1. Kukamilisha ile vision ya ushirika kamili kati ya Kani-

sa Methodiste Unie na Kanisa Evangelique Luthérienne kule Amerika, kutakuwa Commission ya Kuungana juu ya ELCA/UMC ku Ushirika Kamili. Ile commission itahudumu kazi zenye zinafata:

a) Kuratibu utekelezaji ya hatuwa yenye imekamatwa na makanisa mbili kupata ushirika kamili.

b) Kusaidiya mupango ya kujiunga ku mission. c) Kuwezesha mashauriano na kufanya buamuzi ya

kawaida kupitiya njiya zenye zinafaa mu mambo ya musingi yenye makanisa zinaweza kukabiliana pamoya mu futur.

d) Ripoti mara ku mara na inapashwa ku kila kanisa.Mwanachama wa Kanisa Methodiste Unie ya iyi ush-

irika itakuwa oecumenique afisa oecumenique wa Conseil ya Maaskofu na mutu laïc na membre clergé mu moya wa OCUIR ACEIR alichaguliwa na OCUIR ACEIR.

Kurekebisha ¶ 447.1 ngizi inafata:1. Ma uteuzi ku CFO itafanyiwa kwa kushauriana na

Comité Exécutif, na Conseil Général ya Masomo Mukub-wa na Ministere na Ofisi ya Umoja wa Kikristo na Uhusia-no InterreligieusesComité ya Kushauriana juu ya Uhusiano Oecuméniques na Interreligieux na ilitumiwa ku Conseil ya Maaskofu na ku Comité yabo yote juu ya Imani na Agizo ya kukaguliwa kwabo.

Rekebisha ¶ 571.4 ngizi inafata:4. Conseil ya Maaskofu, kwa kushauriana na Conseil

General ya Ministeres za Ulimwengu na Ofisi ya Umoja ya Kikristo na Uhusiano Intereligieuses Comité ya Utetezi juu ya Uhushiano Intereligiueses na Oecuméniques, itafanya kazi inje ya mipango za kushirikiana na izi makanisa. Conseil General ya Ministeres za Ulimwengu itatumika kama agent wa Kanisa ya Muungano wa Methodiste kwa mazungumzo ya kuendelea kuangalia buanzishaji ya ma priorites za mis-sion ikiwa na kumbukumbu maalum kwa maswala ya bafan-yikazi na fedha.

Rekebisha ¶ 642.2 ngizi inafata:2. Inapendekezwa kwamba structure ya iyi conference

ya kila mwaka itaundwa ya Methodistes Unies kutoka kila district (yenye inhusiana na ¶ 610.5), moya mwenye atakuwa mushimamizi wa district wa umoja ya Kikristo na uhusiano iinterreligiueses na atatumika kama mujumbe na ministere ya eneo ya kanisa locale juu ya umoja ya Kikristo na uhusiano interreligieuses. Bashirika zaidi banaweza kujumuisha batu kutoka Kanisa Methodiste Unie ao makanisa banachama ze-ngine za Kanisa Methodismoja ya Kristo kama ilitekelezwa na ile conference juu ya kuhakikisha utaalam oecumenique na kubadilishana na agences zengine. Batu laics kutoka Kanisa

Methodiste Ubie itadai bashirila ba makanisa locales. Bashiri-ka Ex officio ba structure ya conference ya kila mwaka ku umoja ya Kikristo na uhusiano interreligieuses itajumuisha baafisa ba conference oecumenique, kama bamechaguliwa, na Bamethodistes Unis bobote benye banashimamiya ndani ya mipaka za conference zenye ni bashirika ba yenye inafat: Ofisi ya Umoja ya Kikristo na Uhusiano Interreligieuses ya Conseil ya Maaskofu Comité ya mashaurina juu Uhusiano Oecumeniques na Interreligieuses, conseil ya yakushima-miya ya Conseil ya Kitaifa ya Makanisa za Kristo kule mu Etatss-Unis, Conseil Methodiste Ulimwenguni, bujumbe ya Methodiste Unie ku Assemblée ya Conseil Oecumenique ya ivi karibuni ku mukutano plénière ya Makanisa zenye ziko na umoja mu Kristo.

Rekebisha ¶ 705.1 ngizi inafata:1. Uteuzi na Conferences—a) Kila conference ya kila

mwaka na missionnaire kule mu Etats-Unis, kwa kupende-kezwa kutoka comité yenye iko composé na askofu na mu-jumbe wa conference generale na juridictionnelle, na kukuwa imeruhusu fursa ku buteuzi kutoka sakafu, batachaguwa batu benye batawasilishwa ku groupe juridictionnel. Comité ya uteuzi juridictionnel itachaguwa batu ku élection ya organes généraux za kanisa zenye zinafata: Jedwali ya Muunganisho; Conseil Général ya Kanisa na Jamii; Conseil Général ya Ufua-si, Conseil Général ya Ministeres za Ulimwengu; Conseil Général za Masomo ya Yulu na Ministere; Conseil Général ya Pension na Faida ya Afya; Nyumba Methodiste ya Edi-tion; Ofisi ya Kikristo ya Umoja na Uhusiano Oecuméniques na Interreligieuses Comité ya Kushauriana juu ya Uhusiano Oecuméniques; Commission Générale juu ya Mawasiliano; Commission Générale juu ya Dini na Kabila; na Commission Générale juu ya Hali na Rôle ya Banamuke. Conferences ju-ridictionnelles zinaweza kuamuwa kwamba batu benye bali-chaguliwa na conference za kila mwaka na missionnaires kule Etats-Unis kwa kujumuisha mu groupr juridictionnel habata-hudumu kama bajumbe ba comité ya uteuzi juridictionnel.

Rekebisha ¶ 705.5 kama venye inafuata:5. Agences Generales Zengine—a) Kila conference ju-

ridictionnelle itachaguwa bashirika kutoka groupe juridic-tionnel yenye ilichaguliwa na conferences za kila mwaka na missionnaires kule mu Etats-Unis (¶ 705.1) kwa kulingana na vifungu za banachama bale zile agences ngizi imeweke-wa mbele mu Kitabu kya Adabu: Conseil Général ya Pen-sion na Faida ya Afya (¶ 1502.1a), Nyumba ya Edition ya Methodiste Unie (¶ 1602), Ofisi ya Umoja ya Kikristo na Uhisino Interreligieuses Comité ya Kushauriana juu ya Uhusiano Oecuméniques na Intgieuses (¶ 437), Commission Générale ya Mawasiliano (¶ 1807), Commission Générale juu ya Hali na Rôle ya Banamuke (¶ 2104), na Commis-sion Générale juu ya Dini na Kabila (¶ 2003). Isipokuwa Consei Générale ya Pension na Faida ya Afya (¶ 1502.1) na Nyumba ya Edition ya Methodiste Unie (¶ 1602.1) nom-bre ya bashirika zaidi kuchaguliwa itatengwa na katibu wa

Page 44: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

Elimu ya Juu na Usimamizi 989

Conférence Générale njoo ngizi atahakikisha uwezekano ya kupanua kwamba ushirika ya kila agence yenye inaonesha wanachama ya mugawanyiko ya juridictions kulingana na wanachama clergé na laïcs bakiwa pamoya, kutosha bashiri-ka ba épiscopaux. Wakati ya buamuzi ya mugawanyiko ya sehemu, sehemu ya kidogo itashukiswa chini na sehemu mukubwa kupandishwa ku chiffre ya karibu, na hakutaku-wa nombre minimum ya bashirika zaidi benye batapatiwa ku juridiction. Ku kadiri yenye inawezekana, comité ya ku-teuwa itachaguwa kutoka groupe ya uteuzi juridictionnel ku élection ya batu kuyalisha fasi zaidi za ushirika kutoka ju-ridictions zabo kuhakikisha diversité kama ngizi ilianishwa mu ile Kitabu kya Adabu (¶ 705.4b).

Rekebisha ya ¶ 2201.3 ngizi inafata:3. Paragraphes Adabu bila kujali, bashirika zengine

bashirika banaweza kuhudumu ku tatu (3) ya mandats ya miaka ine na banaweza kuhudumu juu ya moya ya agence generale yengine. Comité ya kudumu itaundwa na askofu mu moja kutoka kila juridiction na kutoka ku kila confer-ence centrale yenye ilipatiwa jina na Conseil ya Maaskofu; waziri mmoja aliyeteuliwa na mjumbe mmoja kutoka kwa kila mamlaka na kutoka kwa kila mkutano mkuu ambao ni wajumbe wa Conférence Générale na yenye ilipewa jina na Conseil ya Maaskofu; conferences centrales na maeneo zaidi ya tatu ya episcopal zitaguwa bashirika ba ziada, benye baliwekwa ao bachungaji, hadi nombre jumla ya maeneo ya episcopal mu conference centrale; askofu mu moya, ministre mu moya mwenye aliteuliwa, na mujumbe mu moya benye ni bajumbe ba Conseil Général ya Ministeres Ulimwenguni na ametajwa na Conseil General ya Mawaziri Ulimwengu. Askofu wa conférence centrale mwenye alipatiwa ku Ofisi ya Umoja ya Kikristo na Uhusiano Interreligieuses Comité ya Kushauriana juu ya Uhusiano Eoecumeniques na Interre-ligieuses itakuwa piya mushirika ya iyi comité. Buangalifu maalum itapatiwa ku kushikiswa banamuke, laïcs, clergé, biyana, na biyana ba adultes. Mukurugenzi wa comité ataku-wa askofu wa conference centrale na atahudumu pia kama mushirika wa Jedwali ya Muunganisho. (Iyi sheriya itaan-za kutumika mara moya juu tu ya kitendo na Conférence Générale ku ushirika ya Comité ya Kudumu juu ya Mambo za Conference Centrale ku 2021-2024.)

Mutazamo:Kazi œcuménique ya UMC aifanyiwe tena na “ofisi” ya

kujitegemeya lakini inahifadhiwa chini ya Conseil ya Maas-kofu. Majina “OCUIR” na “Comité ya Kushimamiya ya OCUIR” haineshi iyi mabadiliko na haipashwe kukuwa mise a jour kuonesha role ya kushauriana ya iyi organisme karibu ya œcuménisme.

¶431.4.

Namba ya Maombi: 20316-HS-¶431.4-G; Lopez, Joseph - Seattle, WA, Etats-Unis.

Kujenga Kanisa ya Entièrement Inclusive

Marekebisho ¶ 431.44. Bawakilishi wa Muungano ya Methodiste kwa

mashirika ya kiœcuménique katika paragraphe zenye zin-afuata batachaguliwa na Baraza ya Maaskofu. Bawakilishi kama habo batajumuishwa katika suala ya jinsia, race na kabila, miaka, batu benye bulemavu, mwelekeo wa kijin-sia, hali ya uchumi, na region. Bawakilishi batafakari kuz-ingatia balance zenye zinatakiwa na Kanisa ya Methodiste Unie na shirika husika ya œcuménique. Kuzingatia itapewa batu benye balipewa jina ya mamlaka na bassin ya muku-tano ya kati (angalia ¶ 705.1.b, c). Wakati ba mandataires banahitajika kuchukua nafasi ya bawakilishi wa Muungano ya Bamethodiste ya shirika fulani ya œcuménique, respons-able wa œcuménique ya Baraza ya Maaskofu amepatiwa mamlaka ya kutaja bashirika kama habo. Kuzingatia itape-wa kwa Bamethodiste ya Muungano benye banaishi kati-ka eneo ya mukutano wa shirika ya œcuménique, na kwa ushiriki wa mjumbe. Majina ya bashirika itaripotiwa katika mukutano yenye ilifuata wa Baraza ya Maaskofu. Bawak-ilishi na bashirika kutoka Kanisa ya Methodiste Unie kwa groupe mbali mbali ya bafanyikazi wa mashirika yoyote ya kiœcuménique katika paragraphe zifuatazo batatajwa na af-isa wa œcuménique wa Baraza ya Maaskofu.

Mutazamo:Hii ombi inatafuta kuunda mwendelezo kupitia Kitabu

kya Abadu kwa roho ya ¶ 4 ya Article ya IV ya Katiba ya Kanisa ya Methodiste Unie. Kwa kuzingatia majibu ya hivi karibuni kwa Conférence Général, hii ombi ni pamoya na mwelekeo wa kijinsia. Na tuendelee kujenga kanisa am-bayo

¶434.2.

Namba ya Maombi: 20323-HS-¶434.2; Haley, Robert - Montvale, NJ, États-Unis.

Uangalizi wa Baraza ya Kitaifa ya Makanisa ya Kristo kule États-Unis

Ongeza sous-paragraphe baada ya ¶ 434.2a¶ 434.2a2. Mashirika za Kitaifa za Œcuménique oa Régio-

nales—a) Baraza ya Kitaifa ya Makanisa ya Kristo kule États-Unis—Kanisa ya Methodiste Unie ni mshiriki wa Baraza ya Kitaifa ya Makanisa ya Kristo kule États-Unis,

Page 45: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

990 DCA ya mapema

Mtangulizi wake wa Methodiste na Makanisa ya Kiévan-géliques ya Muungano wa Bandugu imekuwa bashirika ya mwili kama hiyo.

Taarifa za Baraza ya Kitaifa ya Makanisa ya Kristo kule États-Unis (NCC) zinaonyesha Kanisa ya Methodiste Unie (UMC). Hata hivyo, Kitabu kya Maazimio inasema kwam-ba Conférence Général tu ndio benye uwezo wa kuongea ama kutenda kwa jina ya UMC. Kwa hivyo ni msimamo wa UMC ambayo NCC haitahusika, ao kuingilia kati (pamoya na kuchapisha ama kusambaza taarifa), kampeni yoyote kwa niaba ya (ao kinyume na) mgombeaji yeyote ama mteule wa biro publique. Biro publique itachukuliwa kuwa ni pamoya na lakini haiko mdogo kwa yenye inafuata: biro ya serikali za mitaa, serikali na serikali; majaji kwa mahakama yoyote; serikali za mitaa na baraza ya huduma ya shirikisho; nafasi za ngazi ya baraza ya huduma; bodi za kupanga; bodi za ush-auri; biro za watekelezaji sheria. Kukosa kwa NCC kufuata kwa hiari ya hapo juu kunaweza kuchukuliwa kuwa sababu ya UMC kumaliza uanachama wake katika NCC. Bodi kuu ya UMC ya Kanisa na Jamii kila mwaka, katika mwezi wa Janvier, itaarifu NCC kwa maandishi, juu ya msimamo ile pale yulu.

Mutazamo:Kitabu kya Maazimio inasema, “Ni Conférence

Général tu yenye inaweza kusema ao kutenda kwa jina ya Kanisa ya Methodiste Unie.” Hata vile, Baraza ya Kitai-fa ya Makanisa ya Kristo kule États-Unis (NCC) inatoa matamshi ya publique, kwa madai ya kuwakilisha UMC. Uangalizi wa NCC

¶442.

Namba ya Maombi: 20324-HS-¶442; Carter, Kenneth - Washington, DC, Etats-Unis kwa Baraza ya Maaskofu.

Marekebisho ya Paragraphe ya 442 juu ya Kutafakari Gamme Kamili kabisa za Partenariats yetu Kamili wa Ushirika

Kurekebisha ¶ 442 kama venye inafuata:¶ 442. Ushirika Kamili na Makanisa Zengine 1. Kutimiza maono lengo ya ushirika kamili umoja yenye

inaonekana na ushirikiano katika mission kati ya Kanisa ya Methodiste Unie na Kanisa ya Kiinjili ya Kilutheri kule Amerique mshirika wake kamili wa ushirika, kutakuwa ama kuwe Tume ya Pamoya juu ya ELCA/UMC Ushirika Kamili Kamati ya Kuratibu iliyoanzishwa kwa kila uhusiano kamili wa ushirika, kama ilivyoainishwa katika maazimio husika ya kuanzisha uhusiano huo. Tume Kila kamati ya kuratibu atatoa kazi zifuatazo:

a) Kuratibu utekelezaji wa hatua zilizochukuliwa na pili makanisa kufanikisha ushirika kamili.

b) Saidia kupanga kwa pamoja kwa misheni. c) Kuwezesha kushauriana na kufanya maamuzi ya

kawaida kupitia njia sahihi katika mambo ya msingi ambayo makanisa inaweza kukutana pamoya katika siku zijazo.

d) Kama ilivyo ombi, kutoa rasilimali kuwezesha maso-mo ya pamoya, sala, na ibada kati ya makanisa.

d) e) Ripoti kila mara na ipasavyo kwa kila kanisa.Uanachama wa Methodiste Unie hii tume kamati kama

hizi itakuwa œcuménique œcuménique afisa wa Baraza ya Maaskofu ao proksi mwenye aliteuliwa, na moja kuweka-mtuna wachungaji mmoyamtu mwanachama wa OCUIR mwenye alichaguliwa na OCUIR kama jina yake na Baraza ya Maaskofu.

2. Katika cas kama hizo ambazo Kanisa ya Method-iste Unie imefunika makubaliano kamili ya ushirika kati ya makanisa mawili ao zaidi bashirika, kamati tofauti za kurati-bu zinaweza kuchanganya kazi ya kamati hizo kadhaa katika kamati moja ya kuratibu ya kimataifa, juu ya idhini ya Baraza ya Maaskofu na mashirika yenye inafaa ndani ya makanisa ya bashirika.

3. Kamati yoyote ya kuratibu inaweza kupendekeza kwa Baraza ya Maaskofu na miili yenye inafaa ndani ya makanisa bashirika kusimamishwa kwa mikutano zaidi ya kamati hiyo wakati kwamba inakusudia malengo ya kamati imekamilika. Baraza ya Maaskofu na bodi yenye inafaa katika kanisa yoy-ote ya bashirika inaweza kuunda kamati yoyote hiyo ya kurat-ibu kwani inaweza kuwa inafaa kuendeleza umoja na dhamira ya pamoja ya makanisa.

2. 4. Baraza ya Maaskofu itapokea ripoti za ushirikiano yenye inaendelea ya UMC katika mikutano ya kati ambayo iko katika communion kamili na Makanisa ya Kiluthériennes na madhehebu zengine juu ya kujifunza kutoka kwa kila mmoya ginsi ya “[kutoa] uongozi kuelekea lengo ya kuelewa, réconciliation, na umoja ndani ya kanisa—Kanisa ya Metho-diste Unie na kanisa ya universelle” (¶ 403.1e).

Mutazamo:Hii ombi inaleta istilahi za UMC kupatana na lugha

yenye inatumiwa na bapartenaires wa œcuméniques.. Kwa kuongezea, inaleta kubadilika katika kuitisha kamati za kura-tibu vile na kufungua fursa ya kupunguza idadi ya kamati kuu za kanisa kupitia kusimamishwa kwa muda kwa mikutano au kwa kuunganisha kamati kadhaa kuwa moja.

¶570.

Numero ya Maombi: 20645-HS-¶570-G; Carter, Kenneth - Washington, DC, États-Unis wa Conseil ya Maaskofu. Kem-per, Thomas Atlanta, GA, EtatsUnis wa Conseil Generalya Ministeres ya Ulimwengu.

Page 46: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

Elimu ya Juu na Usimamizi 991

Vuta Catégorie “Kanisa Methodiste Autonome” na Badilisha na Masharti Zaidi Précis

Rekebisha titre ‘Sehemu ya V’ ngizi inafata:Sehemu ya V. Makanisa Methodiste Autonomes,

Makanisa Methodiste Autonomes Affiliées, Makanisa Unies Affiliées, Makanisa za Agano, Makanisa za Concor-dat

Vuta ¶ 570.1, renumeroter sous-paragraphes zakufa-ta:

1. Makanisa Methodistes Autonomesa) Kanisa yenye inajishimamiya ya tradition Wesleyenne

na yenye inaweza ao haiwezi kuingiya mu Sheriya ya Agano na Kanisa Methodiste Unie.

b) Makanisa Methodistes Autonomes hazina haki ya ku-tuma bajumbe ku Conférence Générale ya Kanisa ya Metho-diste Unie.

Rekebisha ¶ 570.4 kama venye inafuata:4. Makanisa za Aganoa) Kanisa Methodiste autonome, Kkanisa Methodiste

autonome affiliée, kanisa unie affiliée, yengine Methodiste ao kanisa Wesleyenne, ao yengine kanisa Kikristo yenye imeingiya mu uhusiano ya agano na Kanisa Methodiste Unie kupitiya Sheriya ya Agano ngizi imekuwa decrit mu ¶ 573.

b) Kitendo kya Kuagana hai garantit kwamba makanisa ya kuagana zitastahiki bajumbe katika Conférence Générale ya Kanisa Methodiste Unie, ao kwa organisme sawa ya bashirika ba agano.

Rekebisha ¶ 571 ngizi inafata:¶ 571. Makanisa Methodiste Autonomes, Makanisa

Methodiste Autonomes Affiliées, na Makanisa Methodistes Affiliées, na makanisa banachama ba Conseil Methodiste ya Ulimwengu—1. Certificats za ushirika ya kanisa zilipatiwa na clergé mu moya ya kanisa yenye ilikubaliwa na clergé mu kanisa yengine.

2. Wakati mahitaji ya kanisa ya Methodiste kama ile ku huduma yake yenye iliwekewa imeteuliwa zinalinganishwa na zile za Kanisa Methodiste Unie, clergé banaweza kuku-wa transferer kati ya ma organismes ministériels zake zenye ziliainishwa muzuri na mikutano ya kila mwaka na provi-soire ya kila mwaka ya Kanisa ya Muungano wa Methodiste na ma ordination zabo zenye zinatambuliwa kuwa valable, kwa approbation na consentema ya maaskofu ao ba autorités bengine zenye ziliteuliwa zenye zinahusika katika kufuata ¶ 347.

3. Programme ya kutembeleyana inaweza kupangwa ku pande zote kuheshima na Conseil ya Maaskofu kwa kushirikiana na uongozi sawa wa kanisa Methodiste yenye ni autonome, kanisa autonome inayohusika, na/ao kanisa unie affiliée, na/ao Conseil ya kanisa Methodiste ya Ulim-wwengu.

4. Conseil ya Maaskofu, kwa kushauriana na Conseil General ya Ministeres za Ulimwengu na Biro ya Umoja wa Bakristo na Mahusiano ya Kidini, itafanya mipango ya ush-irikiano na zile makanisa. Conseil General ya Ministeres za Ulimwengu itatumika kama agent wa Kanisa ya Muungano wa Methodiste kwa mazungumzo ya kuendelea kuangalia buanzishaji ya ma priorites za mission ikiwa na kumbukumbu maalum kwa maswala ya bafanyikazi na fedha.

Rekebisha ¶ 572, pmaoya na titre yake, ngizi ina-fata:

Kukuwa Methodiste Autonome, Methodiste Autonome Affilié,ao Kanisa Unie Affiliée, ao kanisa yenye inajishima-miya ayo peke kutoka Conferences Centrales

¶ 572. Wakati conferences za inje ya États-Unis zenye ziko parties ya Kanisa Methodiste Unie inatamani kuwa Methodiste autonome, Kanisa Methodiste affiliée yenye ina-jitegemea, ao kanisa unie affiliée, ao kanisa yenye inajishima-miya, approbation ya kwanza itafikishwa kutoka conference centrale yenye inahusika na hii uamuzi kudhibitishwa na mi-kutano ya kila mwaka ndani mukutano mkuu kati ya deux tiers ya kura za jumla zenye zilpigwa na mikutano ya kila mwaka, na itaheshimiya disposition katika Kanuni za Con-férences Générale.

1. Conference itatayarisha rekedi ya kihistoriya na masa-babu juu ya nini muungano na/ao autonomie kujishimamiya ayo peke ililombwa na itashauriwa na Comité ya Kudumu juu ya Mambo za Conference Centrale (¶ 2201) juu ya utaratibu ku muunganisho na/ao autonomie.

2. Comité ya Kudumu juu ya Mambo ya Conference centrale na conferences batahusika batakubaliana juu ya ku confesses kwa imani na katiba ya kanisa mupya. Izi zitatayar-ishwa ku buangalifu na zitakubaliwa na conferences.

3. Matayarisho yake ya Adabu ni jukumu ya conference zenye zinatamani muunganisho na/ao autonomie zenye zina-jishimamiya.

4. Juu ya kupendekezwa na Comité ya Kudumu juu ya Mambo za Conference Centrale, wakati mahitaji zote za kuadibisha ku uhusiano na/ao autonomes yenye uhusiano ya kujishimamya ayo peke imekamilishwa, Conference Gener-ale kupitiya sheriya yenye inwezesha itapitisha ya na kupati-yan ruhusa ku conference yenye inahusika kukuwa Method-iste autonome, Methodiste autonome affiliée, ao kanisa unie affiliée, ao kanisa yenye inajishimamiya ayo peke.

5. Kisha conference centrale yenye inahusika itakutana, kutangaza uhusiano ya sasa kati ya Kanisa Methodiste Unie na conferences zenye zinahusika kuvutiwa, na kuzipanga tena kama Methodiste autonome, Methodiste autonome, ao kani-sa unie affiliée, ao kanisa yenye inajishimamiya ayo peke kwa kulingana na kitendo yenye inawezesha yenye ilipatiwa na Conférence Générale. Kamati ya Kudumu juu ya Mambo ya Mukutano ya Kati itasaidia katika hii processus na, wakati mipango itakamilika, itaripoti ku Conseil ya Maaskofu. Ku-tangaza statut ya affilié na/ao autonome yenye inajishimami-

Page 47: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

992 DCA ya mapema

ya ayo peke basi itakuwa signer tenna na rais wa Conseil ya Maaskofu na katiu wa Conférence Générale.

6. Mupango ya ushirikiano itatengenezwa kulingana na ¶ 571.4.

Kurekebisha ¶ 573.1 kama venye inafuata:¶ 573. 1. Uhusiano ya agano, yenye mambo zabo zili-

pitishwa na Conference Generale ya 1992 ku hatuwa yenye iliitwa “Kitendo ya Agano Kati ya Kikristo na Kanisa Meth-odiste Unie” inaweza kuanzishwa kati makanisa Method-iste autonome, makanisa Methodistes autonomes affiliées, makanisa affiliées unies, yengine Methodiste ao makanisa Wesleyennes, ao makanisa Methodiste zengine za Kikristo na Kanisa Methodiste Unie.

Mutazamo:Valeurs za UMC na uhusiano ya muunganisho mu mis-

sion na makanisa zenye aziko-UMC. Matumishi mingi za “autonomie” kwa kutaja zengine za izi uhusiano, ni ya ku-tatanisha. Kuondowa iyi kutatanisha, iyi maombi inavuta categorie “Kanisa Methodiste Autonome;” yenye inahusi-ana na maombi “Kanisa Methodiste Affiliée” vuta “auto-nome.”

¶637.3.

Namba ya Maombi: 20325-HS-¶637.3-G; Eckert, Jerry - Port Charlotte, FL, Etats-Unis.

Uwajibikaji wa Maaskofu

Rekebisha na kuongeza kwa ¶ 637.3 yenye inafuata:¶637.3. h) Juu ya kutathimini huduma ya askofu kila

mwaka, Kamati ya Episcopat ya Mukutano itatoa muundo ambao kila mjumbe wa mukutano wa kila mwaka anaweza kutoa maoni yake juu ya kazi ya askofu. Njia ya kutathmini efficacité ya askofu itakuwa kwa msingi wa kile kenye kina-tumiwa na mukutano wa kila mwaka kwa evaluation ya wa-chungaji bake (¶ 635.2q).

Mutazamo:Outils ya evaluation imeboresha sana tangu enzi za

mapema wakati wazo ilipoletwa ndani ya Adabu. Ni wakati wa bashiriki wa cabinet kukabiliana na forme ya evaluation sawa ambayo wachungaji banakabili. Maaskofu ni wazee na haiko juu ya evaluation yenye inafanana.

¶1405.

Namba ya Maombi: 20326-HS-¶1405-G; Bergquist, Greg - Nashville, TN, États-Unis kwa Bodi Kuu ya Elimu ya Yulu na Huduma.

Mise à jour ya Malengo ya GBHEM

Futa sasa ¶ 1405 ya sasa na badilisha na maandishi yenye inafuata

¶ 1405. Malengo—Malengo ya bodi itakuwa compose na malengo yote yenye ilipatiwa biro, division, na unite chini ya mamlaka yake:

1. Kutumikia mission ya Kanisa ya Muungano wa Meth-odistte kwa kukuza biongozi benye kanuni, baumini Bakristo na biongozi wa wachungaji kwa maisha ya kanisa, académie, na ulimwengu.

2. Kukuza wito ya culture, utambuzi wa vocationnel, na malezi ya kiroho ambayo inasaidia batu yote kugun-dua, kudai, na kufanikiwa katika wito wa Mungu kwa maisha yabo.

3. Kutumika kama basimamizi wa maisha ya intellectuel ya kanisa.

4. Kuhimiza na kusherehekea kuibuka na ukuaji katika dunia ya kielimu na huduma zenye zinahusiana na Method-iste, na kukuza ufikiaji wa institution za elimu zenye zinahu-siana na Methodiste Unie katika nivo zote.

5. Kutafsiri na kukuza valeur ya elimu na huduma yenye inahusiana na Methodiste; na kukuza uwepo wa Kikristo ka-tika institutions zenye zinahusiana na Kanisa ya Methodiste Unie.

6. Kuamuru Cours za Etudes ya ministériels profes-sionnels kwa kuingia systématique ndani ya huduma yenye licence na yenye iliwekwa. Cours ni pamoja na utofauti wa contextuel, lugha, na mahitaji ya bulemavu kwa malezi ya uongozi wa wachungaji.

7. Kuunda na kudumisha tathmini ya culture na evalua-tion ambayo ina normes za muzuri sana za masomo.

8. Kutoa huduma zenye zinakuza climat ya kukubalika na uwezeshaji ndani ya institutions zenye zinahusiana na Meth-odiste za elimu na huduma professionel zenye zinahusiana na kanisa kwa banamuke, batu wa rangi na kabila, na batu benye bulemavu; na kutetea kwa niaba ya haba batu katika maswali ya usawa na haki.

9. Kushirikiana na bodi zingine, mashirika, na tume za Kanisa ya Methodiste Unie kuimarisha uongozi kwa kanisa ya ulimwenguni kote.

10. Kusimamia uhusiano wa kisheria na wa kisheria na institution na huduma, na msimamizi wa rasilimali za kibinadamu, institutionnel, na matériel zenye zilipewa bodi.

¶1406.

Namba ya Maombi: 20327-HS-¶1406-G; Bergquist, Greg - Nashville, TN, États-Unis kwa Bodi Kuu ya Elimu ya Yulu na Huduma.

Page 48: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

Elimu ya Juu na Usimamizi 993

Mise à jour ya Majukumu ya GBHEM

Futa ¶ 1406 ya sasa na badilisha na maandishi yenye in-afuata

¶ 1406. Majukumu— Majukumu ya Bodi Kuu ya Elimu ya Yulu na Huduma itakuwa:

1. Kuanzisha na kukagua maono, mission, malengo, na mwelekeo strategique ya Bodi Kuu ya Elimu ya Yulu na Huduma na kutetea mission yake na maono yake ulimwen-guni kote kupitia unganisho ya Methodiste Unie.

2. Kutoa mwelekeo strategique kwa bafanyikazi na kuk-abidhi mamlaka kwa batendaji wa bodi kupitia usimamizi wa jumla wa usimamizi.

3. Kuamua politique na programe, kuanzisha malengo na ma priorite, mipango ya projet ya muda mrefu, na kutathmini programe na huduma za bodi.

4. Kuanzisha structures organisationnelles sahihi ndani ya bodi ya bakurugenzi na bafanyikazi kufikia malengo yenye iliwekwa, pamoja na uandishi wa sheria, maafisa wa ucha-guzi, na kuanzisha kamati.

5. Juu ya kuchagula, kusimamia, na kukagua katibu mkuu (¶ 713), na kujaza nafasi za kazi kwa mujibu wa ¶ 712.

6. Kuendeleza processus, outils, plateformes, na institu-tions zenye zinaunga mkono uongozi wa baumini na wachun-gaji kwa maisha ya kanisa, taaluma, na ulimwengu.

7. Kutafsiri, kukuza, na kusimamia mipango ya mikopo na bourse ya bodi.

8. Kuendeleza, kudumisha, na kutathmini viwango bya kuainishwa kwa watu binafsi kwa huduma ya vocationel.

9. Kutoa processus efficace ya evaluation wa institu-tion za elimu zenye zinahusiana na Methodiste Unie zenye zinajali ubora wa utendaji wabo na uadilifu wa misheni yabo.

10. Kukuza na kukuza uwezo wa interculturelles, intra-culturelles, na culturelles na mazungumzo katika maendeleo ya uongozi.

11. Kuendeleza na kudumisha uhusiano wa ushirika wa ulimwengu na bodi za Methodiste Unie, mashirika, tume, institution za kielimu, na structure za huduma; na vile vile na madhehebu zingine, na mashirika ya oecuméniques na ya interconfessionnelles kwa utekeleza-ji kamili wa malengo ya bodi na utimizo wa mipango ya Conférence Général.

12. Kutoa ushauri na mwongozo kwa associations pro-fessionel zenye zinahusiana na ushirika kwa kutimiza mission na maono ya bodi.

13. Kutoa mgawanyo wa fedha kwa taasisi na kwa mi-pango inayohusiana na bodi.

14. Kuendeleza uwekezaji wa masafa marefu, miradi ya kuongeza fedha, na mipango yenye inaleta mapato kulingana na mission ya kanisa ambayo itatoa, kwa kadri iwezekana-vyo, mtiririko endelevu ya rasilimali kwa elimu na huduma yenye inahusiana na Methodiste Unie katika Umoja. Bodi

itafuata miongozo ya uwekezaji yenye ilipitishwa na Con-férence Général.

15. Kusimamia mali na vifaa bya msimamizi kama am-bavyo zimepewa bodi na institution zenye zinahusiana na kudumisha na kutekeleza uaminifu wa kutosha na vifungu bya kurudi nyuma.

16. Kutoa msaada yenye inadhaniwa kuwa muhimu kwa agence kufanya kazi ya bodi.

¶1414.2.

Namba ya Maombi: 20328-HS-¶1414.2-G; Fuller, Dan - Chenango Falls, NY, Etats-Unis.

Uanachama wa Sénat ya Université ya Mageuzi

REKEBISHA ¶ 1414.2 kwa KUFUTA sehemu yote na KUONGEZA paragraphe ya mupya yenye inafuata ndani ya mahali pake:

1414.2. Senat itaundwa na bashiriki wa kupiga kura kumi na tano ambao, wakati wa uchaguzi wabo, batakuwa bashiriki wa Kanisa ya Methodiste Unie, batakuwa bamehu-sika kikamilifu katika kazi ya elimu, na ambao, kwa uamuzi wa Conférence Général, ni sababu ya msingi wa kitaaluma ao elimu yenye inastahili kwa kazi ya kukagua institutions za elimu. Uchaguzi ni wa quadriennat, isipokuwa katika hali ambako conflit ya interet inatokea kama matokeo ya maba-diliko ya ajira. Kwa nafasi kumi na tano, batatu batachaguli-wa na Bodi Kuu ya Elimu ya Yulu na Huduma, sita batacha-guliwa na Association ya Kitaifa ya Masomo na Colleges ya Kanisa ya Methodiste Unie, batatu batachaguliwa na Baraza ya Maaskofu, na batatu batachaguliwa kuteuliwa na Kama-ti ya Sheria ya Conférence Général ambayo inashughulikia Elimu ya Yulu. Kwa batu benye baliteuliwa na kila moya ya groupe hapo juu, tiers moja batakuwa maafisa bakuu wa institution za elimu zenye zinahusiana na Methodiste Unie na angalau tiers moja batakuwa batu ambao hawahusiani na institution ya elimu yenye inahusiana na Methodiste Unie. Uangalifu inapashwa kuzingatiwa kuwa banamuke, batu wa racial na kikabila, na bawakilishi kutoka college ya Beusi zenye zinavyohusiana na Etats-Unis na semina za kuhitimu bahitimu ni miongoni mwa balioteuliwa. Katika Conférence Général ambao majina ya hapo juu ilitangazwa, uteuzi wa ziada inaweza kufanywa kutoka sakafu. Hakutakuwa na ki-komo kwa namba ya nomination ambazo zinaweza kufany-wa kutoka sakafu. Bajumbe batachaguliwa na Conférence Général na bateule kumi na tano benye banapata namba kubwa zaidi ya kura batachaguliwa, na bashiriki yoyote benye batahitajika kwa kifo ao kujiuzulu kuchaguliwa na Sénat ya Universite kutoka kwa wateule waliobaki. Katibu mkuu wa Bodi Kuu ya Elimu ya Yulu na Huduma na makat-

Page 49: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

994 DCA ya mapema

ibu bakuu wa Divisions ya Elimu ya Yulu na Huduma yenye Imewekwa ya hiyo bodi batahudumu kama banachama wa zamani wa Sénat, kwa sauti lakini bila kura. Kutakuwa na mwakilishi mmoya wa bafanyikazi kwaa Sénat kutoka Bodi Kuu ya Huduma za Kimataifa, na sauti lakini bila kura, yenye ilipewa jina na katibu mkuu wa Bodi Kuu ya Hudu-ma za Kimataifa. Sénat, katika mukutano wake wa asili kila quadriennat, itachagua kama rais wake mwanachama am-baye hajashirikiana na institutions ya elimu yenye inahusi-ana na Methodiste Unie.

Hii processus itaanza kutumika mara moya na itatu-mika kuchagula Sénat mupya ya Universite kabla ya Con-férence Général ya 2020. Kama namba maalum za bateule hazikutolewa kwa Conférence Général ya 2020 kutoka kwa kila groupe ya kuteua, batajazwa na majina kutoka kwa sakafu.

Mutazamo:Karibu nusu ya banachama wa Sénat ya Universite ni ba-

tendaji bakuu wa institutions za elimu zenye zinahusiana na Methodiste Unie, na bengine banachukua nafasi kubwa ka-tika masomo kama hiyo. Hii inawasilisha conflit ya interet, kuzuia uwezo wa Sénat kwa kukagua hizi institutions kwa kweli. Hii ombi pia ingefanya Sénat zaidi mwakilishi wa Conférence Général.

¶1422.

Namba ya Maombi: 20329-HS-¶1422-G; Hardt, Philip - Glendale, NY, Etats-Unis. Ombi 1 Iliyo Sawia

Mkazo wa Kikristo wa Séminaires za UMC

Rekebisha ¶ 1422.3 kwa kuongeza sous-section ya mupya c na relouer sous-section venye inapashwa:

¶ 1422. Malengo—1. . . .2. . . .3. Masomo za Theolojia ya Kanisa ya Methodiste Unie

yenye iko situe mu Etats-Unis—a) Masomo za Theolojia ya Kanisa ya Methodiste Unie yenye iko situe mu Etats-Unis zinapatikana kuhudumia Kanisa ya Methodiste Unie, kimsin-gi mu Etats-Unis, lakini kwa kujali ushuhuda wa kanisa kote mu dunia nzima. Mbali na kujitolea kwabo kwa Muungano wa Methodisme, wabo pia huhudumia banafunzi wa dhehe-bu zingine katika kushuhudia uhusiano wa kiœcuménique ya Muungano wa Methodisme. . . .

b) . . .c) Kama institutions za Kikristo zenye zinahudumia mwi-

li wa Kikristo kwa ujumla na Kanisa ya Methodiste Unie en particulier, hizi masomo za theolojia hazitatoa kazi yoyote ya cours, programe ya diplome, ao certificat rasmi yenye iliund-wa kwa makusudi ya kipekee ya kufundisha biongozi wa dini

benye habiko wa Communaute ya imani ya Kikristo, ikiwa batabaki banastahili kupata msaada wa kifedha kwa gharama zabo za kufanya kazi kupitia Fonds ya Elimu ya Huduma. Bodi Kuu ya Elimu ya Yulu na Huduma itafuatilia kufuata hii maagizo.

c d) . . .d e) . . .

Mutazamo:Tunatafuta uhusiano mzuri na majirani zetu ambao ha-

biko Bakristo. Lakini ni faida, na uwakili duni wa rasilimali zetu chache, wakati seminaire zetu benyewe, ambazo tuna-fadhili, kukuza kikamilifu kuenea kwa dini ambazo zinakataa injili. Institution za kanisa zinastahili kutengwa kwa uaminifu kwa Kristo na mission yake kwetu.

¶1422.

Namba ya Maombi: 20331-HS-¶1422-G; LaSalle, Ann - Springs za Bahari, MS, Etats-Unis.

Kubadilika kwa Mkoa katika elimu ya Theolojia

REKEBISHA ¶ 1422 kwa KUONGEZEA sous-section ya mupay #6 kama venye inafuata:

6. Disposition zengine za kinidhamu bila kujali, mukuta-no yoyote ya kila mwaka itaruhusiwa, kwa msingi wa muda, kupitisha séminaires za ziada za théologiques ya diplômés Kwa bale benye baliorodheshwa na Sénat ya Université kul-ingana na sheria zifuatazo:

(a) Séminaire lazima ikuwe ndani ya 300km ya anga-lau kutanyiko mmoya ya mukutano wa kila mwaka, lazima idhibitishwe na shirika yenye inafaa ya elimu (kule États-Unis, Association ya Masomo ya Theolojia), lazima iwe na mshirika wa faculté mmoya ya Methodiste Unie, lazima itoe fursa kwa banafunzi wa Methodiste Unie kuchukua na kupokea deni kwa cours zote katika masomo ya diplômés théologiques inahitajika kwa bagombea wa Methodiste Unie kwa kuamuru na kuteua (¶ 324).

(b) Kura yenye ilipigwa na mukutano wa kila mwaka itakuwa ya kujadiliwa na inapashwa kutia ndani kuzingatia utangamano wa masomo na Biwango bya Mafundisho ya kanisa yetu na Kanuni za Kijamii.

(c) Kura itatanguliwa na fursa yenye ilipewa bawakilishi wa masomo kutoa uwasilishaji na kujibu maswali kutoka kwa bashiriki wa mukutano wa kila mwaka.

(d) Ikiwa masomo imeidhinishwa na mukutano wa kila mwaka, masomo itakuwa chaguo halali kwa bagombea wa wa-chungaji katika hiyo mukutano wa kila mwaka kwa miaka tano, isipokuwa hii idhini itaongezwa kwa hatua yenye inafuata ya mukutano wa kila mwaka ao Senat ya Universite. Kwa maku-sudi ya sheria ya kanisa, disposition zote zenye zinafaa katika

Page 50: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

Elimu ya Juu na Usimamizi 995

Adabu kuomba tu kwa masomo za theolojia zenye zilipitishwa na Senat ya Universsite, ndani ya kupitisha mukutano wa kila mwaka, pia zitatumika kwa masomo yenye iliidhinishwa.

(e) Ikiwa masomo imeidhinishwa na mukutano wa kila mwaka, basi askofu, cabinet, na Bodi ya mukutano ya Hudu-ma yenye Iliwekwa itakuwa na jukumu ya kufanya kazi kwa kushauriana na masomo juu ya kuhakikisha kwamba banafunzi wa Methodiste Unie banapewa nafasi za kutosha za kusaidia katika kuandaa huduma katika Kanisa ya Methodiste Unie.

Mutazamo:Senat ya Universite imefanya maamuzi yenye haikuwa

na marufuku katika kuzuia kabisa ambayo seminaire zetu zinaweza kuhudhuria. Hii imeumiza uwezo wetu wa kuajiri bahuduma bengi bapya benye biko na vipawa kama venye tunahitaji. Hii Ombi inaruhusu ubadilishaji yenye inahitajika sana, ndani ya ulinzi sahihi, kwa biongozi wa UMC ambao banajua vyema contexte yabo ya mahali pale.

¶1422.3.

Namba ya Maombi: 20330-HS-¶1422.3 - $ - G; Land, Robert - Amboy, IN, Etats-Unis.

Faculté ya Kikristo

Rekebisha ¶ 1422.3 kwa kuongeza sous-section ya mupya c na relouer sous-section venye inapashwa:

¶ 1422. Malengo—1. . . . 2. . . . 3. Masomo za Theolojia ya Kanisa ya Methodiste Unie

ziko situe katika U.S.A.—a) . . . b) . . .c) Baada ya 1 Janvier, 2022, batu yote benye baliajiriwa

bupya kwa faculté ya muda yote kwa hizi masomo za theo-lojia ambazo haziko sehemu ya universite pana batahitajika, kama sharti ya kupewa nafasi, kuthibitisha kwamba bote biko Bakristo baliojitolea ambao ni sehemu ya kanisa ya Kikristo ya utatu, na kwamba baada ya kuanza kazi kwa masomo bata-baki bamejitolea kwa imani ya Kikristo ya kihistoria na kuwa sehemu ya kanisa ya kitamaduni ya kitatu. Ikiwa masomo ya teolojia ya Methodiste Unie inaamini kuwa ni muhimu kwa mission yake ya kiinstitutionel kupewa exception kwa posi-tion fulani ya faculté, basi masomo inaweza kuomba Senat ya Universite ipatiwe exception. Senat ya Universite itajibu maombi kama hizo kwa wakati wa haraka na haitatoa ombi kama hiyo itasababisha zaidi ya 20 pourcent ya faculté nzima ya masomo kuwa batu benye baliajiriwa chini ya hii excep-tion ya disposition.

c d) . . . d e) . . .

Mutazamo:Ni muhimu kwa seminaires zetu kuwa na vitambulisho

wazi kama institutions za Kikristo zenye haziko za kawaida,

kutoa mazingira ya Kikristo yenye inaunga mkono kwa bana-funzi. Tarehe ya nyuma ya activation ingezuia hii kuathiri fac-ulté yoyote ya sasa, ao processus yoyote ya utaftaji ambayo tayari imeanza.

¶2500.

Namba ya Maombi: 20702-HS-¶2500-! - G; Dotson, Junius - Nashville, TN, États-Unis.

Génération yenye inakuya ya UMC #16— Ruzuku za Mazungumuzo ya Méthodisme

Kuongeza ya mpya ¶ 2556 ngizi inafata:¶ 2556. Ruzuku ku Mazungumuzo Denominationnelle ya

Mupya ya MéthodismeConférence Générale itaanzisha mu budget yake ya

2021-2024 montant ya kutumikisha ku ruzuku zenye inaweza kutosha ku mazungumuzo denominationnelles ya mupya ya Mthodisme yenye inabakiya mu ushiano oeucumenique ao ya agano na Kanisa Methodiste Unie. Izi ma ruzuku zinaonesha na kuheshimiya historiya ya ushirikiano ya kuchangiya na kuunga mukono mu mission na itasaidiya na transition ya ga-rama. Montant total ya mifuko yenye inapatika ku ma ruzuku kama zile itakuwa determiner na Conférence générale. Bitu zakuzingatiwa kwa ku determiner iyi montant inapashwa ku-jumuishwa lakini haiko limiter ku:

• nombre ya makanisa mu kila Mazungumuzo Denomi-nationnelle ya Methodisme

• nombre ya bashirika benye banadai ya zile makanisa• montants zenye zilitolewa ku conference ya kila mwaka

yenye inahusika ku malipo ya makuta za uteuzi ku jumla mu conferences juridictionnelles, ao Utawala General na Mufu-ko Episcopal mu conferences centrales ku zile makanisa mu mwaka fiscale yenye ilikamilika ivi karibuni.

Hakuna makuta zenye zilitumika ku iyi makusudi zenye zitalipiwa kutoka makuta zenye ziliwekewa na ba doneurs ao makuta chini ya buaminifu. Hakuna makuta zenye zil-itumika ku iyi makusudi italipiwa kutoka ku akiba yenye ilichaguliwa ao yenye ilitengwa ku ufadhili ya mipango ya pension ao faida ya matibabu ya ba retraités, wala malipo kama zile azistahili uwezo ya kutimiza majukumu zabo. Butunzaji itafanyiwa juu bahakikishe matumishi ya maku-ta zote zitaambatana na kusudi ya doeur. Ile mugawanyiko kama ya ruzuku ya makuta itashimamiwa na Conseil ya Maaskofu kama sehemu ya makubaliano œcuménique, na butetezi kutoka mediateur mutaalam, busaidizi ya utawala na conseil kutoka Conseil General juu ya Fedha na Utawala na agences zenine zenye inasaidiya zenye inaweza kusaidi-ya iyi muchakato.

Page 51: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

996 DCA ya mapema

Mutazamo:Rasilimali zinapashwa kupatiwa ku Mazungumuzo ya

Mupya Denominationnelle ya Methodisme yenye inaende-leya mu uhusiano œcuméniques. Iyi inaundaa mufumo ya

butembuzi zaidi ndani ya discernement ya groupe ya fedha ku mazungumuzo yote ya mupya. Conseil ya Maaskofu ina-pashwa kupatiyana bushimamizi na kupokeya muongozo na michango kutoka ku source ya anuwai.

Page 52: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

Elimu ya Juu na Usimamizi 997

Maombi 20642.

Numero ya Maombi: 20642-HS-NonDis- $; Holley, Del - Knoxville, TN, États-Unis wa Comité ya Masomo Juridic-tionnelle.

Mamombi ya Comité ya Masomo Juridictionnelle #5—Numero ya Maaskofu Actifs mu Juridictions

Kulinagana juu ya ripoti na mapendekezo ya Comité ya Masomo Juridictionnelle na hitaji ya kuruhusu wakati ku Comité juu ya Episcopat kujihusisha mu bukaguzi ya mahi-taji missionnaire na kifedha uweza ya kila juridiction yenye itakuwa sehemu ya determination ya nombre ya maaskofu ac-tifs mu juridictions zenye ziko autorisées ikifika Conférence Générale ya 2024, nombre ya maaskofu actifs benye biko autorisées kutumika mu kila juridiction wakati ya quadren-nat 2021-24 itakuwa numero moya ngizi ilikuwa autorisée na kitendo ya Conférence Générale ku quadrennat 2017-20; muradi, klakini, kwamba iyi sheriya aikusudiwe ku limite ya ile nguvu ya autorite ya juridiction yoyote ao Collège yake ya Maaskofu kupanga mupango ya bushimamizi ya épiscopale, kupanga conferences zake za kila mwaka na maeneo épis-copales, ao kupatiya maaskofu bake actifs mu njiya yenye inaruhusu maaskofu bachache kutumika kuliko nombre ya maaskofu bachache benye biko autorisées na iyi sheriya, ikiwa juridiction imechaguwa vile. Iyi sheriya aipashwe mu njiya yoyote ku limiter autorité ya kikatiba ya conferences juridictionnelles (¶ 40) ao Collèges za Maaskofu (¶ 48). Iyi sheriya itaanza kutumika tu mara moya juu ya kufunga ya Conférence Générale ya 2020.

Mutazamo:Angaliya ripoti ya Comité ya Masomo Juridictionnelle

ku mutazamo—Iyi maombi yenye aiko ya Adabu inapende-

keza kuweka nombre ya maaskofu benye actifs mu kila ju-ridiction ku qadrennat ya 2021-24 ku numero moya yenye iko autorisé na buamuzi ya Conférence Générale ya 2016 mu agizo ya kuruhusu comités juridictionnelles juu ya épiscopat na Collèges za Maaskofu kujihusisha

Maombi 20721.

Numero ya Maombi: 20721-HS-NonDis; Danker, Ryan - Arlington, VA, États-Unis.

Valoriser Sawa ba Professeeurs ba Séminaire Laïc

Conférence Générale inaelekeza Conseil Général ya Masomo ya Yulu na Ministere ku valoriser sawa zote semi-naire clergé na faculté ya seminaire laïc ku rang ya kawaida yenye biko bajumbe ba Kanisa Methodiste Unie, ao dénomi-nations Wesleyennes zengine, mu buwagawaji ya Makuta ya Ministériels za Masomo (MEF). Akuna tafauti mu bufafhili kupitiya MEF ku seminaires kumi na tatu (13) officiels za kanisa yenye itakuwa musingi juu ya statut ya clergé ao laïc ya faculté séminaire méthodiste de rang kawaida.

Mutazamo:Sehemu ya Ufadhili ya MEF yenye ilishimiwa na GB-

HEM kwa sasa ni musingi juu ya statut ya clergé ao laïcs bashirika ba faculté ya seminaire, yenye iko alouer ku zaidi ku faculté ya clergé kuliko ya ba laïcs. Ku valoriser faculté ya clergé mbele ya faculté ya ba laïcs inapunguza valeur ya kazi ya semainre ya faculté ya ba laïcs na ministere yabo mu kanisa.

Sheriya Inayopendekezwa ambayo si ya Kuweka Adabu

Page 53: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

998 DCA ya mapema

R2046.

Numero ya Maombi: 20530-HS-R2046-G; Bergquist, Greg - Nashville, TN, États-Unis wa Conseil Generale ya Masomo ya Yulu na Ministere.

Maadili ya Kingono kama Sehemu Muhimu ya Uundaji wa Uongozi wa Kihuduma

Kuweka à jour na Kupitisha Tena Résolution ya 2046Badilisha Résolution ya Sasa 2046 na texte yenye in-

afata:WAKATI, tangu 1996, Kanisa Methodiste imekama-

ta appel ku “masomo thelogiques zenye zinahusiana na Methodiste Unie kuleta mafundisho juu ya prevention na kukomesha ya bunyanyasaji ya sexuel, abus, na inconduites ndani ya uhusiano minsterielle” (2008 Kitabu kya Résolu-tions, p.139; 1996 Kitabu kya Résolutions, p. 131); na mal-gré efforts zenye zinaendeleya, izi tabiya zinaendeleya mu idadi épidémique,

WAKATI, mahitaji inaendeleya attention yenye inazin-gatiya ku: ethiques sexuels na kitaalam, yenye inahusiana ku fondations theologiques za bibiliya, na mazowezi ya bu-tanzaji ya kichungaji, na ile compétence mu izi dimensions ya experience ya binadamu na mu maendelewo ya kujifaha-mu iko muhimu mu formation ya uongozi ministeriel.

WAKATI, Conseils za Ministere yenye Iliteuliwa, cab-inets na uongozi episcopales, na conferences za kila mwaka ziko na jukumu ya kushimamiya michakato ku ministeres, supervision, mafundisho, na buwajibikaji, njo kwa vile laz-ima kuhakikisha viongozi ba ministere ya kushiriki mu ma-fundisho banapata ku rasilimali yenye inahimiza pratiques za afya, mipaka zenye zinafaa, na buwajibikaji yenye inafaa yenye inaendeleya ku sababu ya afya ya clergé, makanisa, na communautés.

Kwa vile, itakuwa resolu, kwamba Kanisa Methodiste Unie inaendelesha programme ya kujitayarisha minis-teriel kulingana na ethiques ya kitaalam, ethiqques sex-uelles, mipaka za afya, na butunzaji ya mwenyewe ngizi imeamuliwa na kifungo ya seminaire ya Methodiste Unie na Masomo ya Cours ya Kusomo. Na zile programmes ya bugombeyaji, na matayarisho zengine za fursa zenye zilipatiwa na conferences za kila mwaka na Conseil ya Ministere yenye Iliteuliwa ita incorporer mupango yenye inafikiya izi objectifs.

Objectifs—Viongozi Ministériels banaweza ku: 1. kuelewa mipaka za afya ya mutu kama njiya ya ku-

wezesha buaminifu yenye inahitajika ku ministere; 2. kutambuwa ethiques sexuelles mu ministere kama

mambo yenye inafaa kutumikisha nguvu na kuepuka abus badala mambo ya peke yake “moralité sexuelle”;

3. kuelewa matumisha yenye inafaa ya nguvu kama in-ahusiana ku consentement;

4. kuelewa umuhimu ya ethiques ya kitaalam, pamoya sera denominationnelles na maytajiyo ya mutu mwenyewe;

5. kujifunza rôle ya mahakama mu prevention reponse ku incondite sexuelle ya clergé;

6. kukuwa na ufahamu juu ya sexualité ya binadamu, sexualité ya mutu ye peke, na ngizi ya kushugulikiya sen-timents sexuels zenye zinaweza kutokeya ku bashirika na vice versa;

7. kufahamu ngizi buadilifu ya kijinsiya inachangiya bukamilifu ya kiroho na yenye ni muhimu ku formation ministerielle na afya binafsi;

8. kukuwa muzungumuzi wa maondiko na rasilimali theologiques ku bote yulu ya yengine.

Compétences—Bagombeya Ministeriels banapashwa: 1. pratique buchaguzi ya maisha ya ustawi na kazi/mai-

sha sawa; 2. kukuwa na ufahamu sexuel weyewe peke; 3. kukuwa comfortable kuongeleya mambo ya sexual-

ité; 4. kukuza compétences kuleta butunzaji ya kichungaji

na uongozi ya ibada juu ya mbambo za sexualité; 5. kujitoleya ku haki sexuel mu congrégation na mu

jamii kwa jumla. Maeneo za Contenu—Banafunzi batosoma: 1. nguvu ya theologie, privilèges na abus (pamoya su-

jets kama vile: jukumu fidiciaire ya ministere, dhana ya ethiques za kitaalam, kupigana ya intérêts; mupaka ya ust-wai; prédateurs na batangaji);

2. sexualité ya binadamu (pamoya sujets kama vile: uchumba, intimité, na balance ya kazi/maisha, mimba, controle kuzala, na kutosha mimba; pornographie na ob-jectivation ya batu; haya na abus, vulnérabilité na kujuwa; genetique, culturelle, na apsects ya jinsiya physioloque na sexualité);

3. inconduite sexuelle mu ministere (pamoya na sujets kama vile: abus ya mipaka; michakato za kufanya haki; kisi-ri; matumuzi mubaya ya mitandawo za jamii na mawasilia-no technologiques);

4. butunzaji ya kichungaji (pamoya na sujets kama vile: kutumika na ba victimes ba violence sexuelle na abus; transfert, uhusiano ya pande mbili; confidentialité na siri ya buwakili ya information; références);

5. Pratiques muzuri ya ministere (pamoya na sujets kama vile: usalama ya mutandawo, usalama sanctuaires [Joy T. Melton, Usalama sanctuaires: Kupunguza Risque ya

Résolutions Zinazopendekezwa

Page 54: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

Elimu ya Juu na Usimamizi 999

Abus ya Mutoto mu Kanisa, Nashville: Rasilimali ya Bufuasi, 1998]; mawasiliano ya afya, kujitunza kwa clergé; masomo sexuelle ya maisha yote; ministeres na bakosaji sexuels).

Iyi musingi ya matarajiyo ya kawaida italeta musingi ya matayarisho ku viongozi ministeriel mu Kanisa Methodiste Unie. mafundisho ya kawaida, ethiques zenye ziko mise a jour kwa sasa zinahitaji ku clergé ote chini ya buteuzi inawe-za kujenga juu ya iyi musingi yenye yenye ilishirikiwa badala ya kuanza na misingi za kila wakati (2008 Kitabu kya Réso-lutions, p.139). Comités za district za ministeres zilizowekwa na conseils za conferences za ministeres zenye ziliteuliwa zinapashwa kutarajiya bagombeya ba clergé ku kuwa na bu-fahama ya kufanya kazi na kuelewa ya iyi mambo ethiques ya kitaalam na sexualité mu ministere mbele ya kuteuliwa kuhudumiya kanisa. Mafundisho yenye iliendeleya ku clergé wakati ya résidence inaweza piya kujenga ku iyi musingi ya kawaida.

Ma séminaires na Conseil Général ya Masomo ya Yulu na Ministere (mu cas ya Cours ya Masomo) ita identifier mi-taala na fursa za mitaala za kila mwaka kutimiza izi objectifs.

R3125.

Numero ya Maombi: 20580-HS-R3125; Carter, Kenneth - Washington, DC, États-Unis wa Conseil ya Maaskofu.

Réviser na pitiya tena Résolution 3125, “Holo-causte ya Siku ya Ukumbusho (Yom HaShoah)”

Réviser na upitishe tena Résolution 3125 ngizi inafa-ta:

Mu miaka za ivi karibuni, communautés ya bayahudi zi-liheshimiya desturi ya kukumbuka mauwaji ya Holocauste (Shaoh) juu ya tarehe 27 Nisan ya calendrier ya Bayahudi. Iyi maadhimisho imekuwa njiya ya ya nguvu sana ya kufundisha batu juu ya iyi crime mubaya contre binadamu na kubahimiza kuwasilisha na violence zenye zinaweza kutokeya zenye zili-wekewa mu chuki ya kabila.

WAKATI, “mu XXe siècle kuko na aibu fulani kwa kush-indwa kufaulu ku makanisa za mingi kuchangamato za seraya gouvernements yenye ilikuwa responsable ku mauwaji yenye aiwezi kuongelewa ya Holocauste” (“Kujenga Uhusiano za Mupya mu Imani,” Kitabu kya Résolutions 2008); na

WAKATI, kulingana na ile ile document inazingatiya, “[ile] Kanisa ya Kikristo iko na jukumu mukubwa ya kureke-bisha mafundisho ya kihistoriya na theologique zenye zime-sababishwa na maoni za bongo ya Judisme na kuchangiya kuteswa na chuki ya Bayahudi”;

Kwa hivyo, iwe imesuluhishwa, kwamba Conférence Générale inaita Kanisa Methodiste Unie kujadili na kutubu ku bugumu yake mu “historiya murefu ya kuteswa kwa Baya-hudi” na kuuliza Ofisi ya Kikristo Umoja na Mahusiano ya

Kidini Conseil ya Maaskofu, Conseil Générale ya Makanisa na Jamii, na conference ya ministere ya niveau oeucumenique na interreligiueses kutoa msisitizo maalum wa kimfumo kwa mwamko wa Holocauste na kuandaa raslimali za kutumika mu makanisa locales, conferences ya kila mwaka, na Com-mission zabo za Mkutano juu ya Umoja wa Kikristo na Mas-wala ya Kiingiliano au miundo inayofanana ili kuwezesha yao makanisa zetu kufahamu zaidi juu ya Holocauste na ath-ari zake, na

Ikuwe resolu zaidi, kama ishara ya ushirika yetu na solidarité yetu na communauté ya Bayahudi, Conférence Générale inahimiza butunzaji ya Yom HaShoah, Holocauste ya Siku ya Ukumbusho kila wakati ya baridi (Tarehe ya Yom HaShoah inaweza kuhesabiwa kila mwaka kwa kutumikisha convertisseur ya tarehe ya Kiebrania.) mu makanisa locales za Methodistes Unies na inahimiza Ofisi ya Umoja ya Ki-kristo na Mahusiano ya Kidini Conseil ya Maaskofu, kwa kushirikiana na agences zengine za Kanisa Methodiste Unie, mu wakati ya kuongezeka anti-Semitisme, kufanya kazi ndani ya structure ya kanisa yetu kupata njiya za kusaidiya kazi contre ya anti-Semitisme mu Ulimwenguni leo na kuandaa rasilimali ku makanisa ya mahali kutumikisha kwa kutazama Yom HaShoah.

Tunendeleya kuomba ku neema ya Mumgu kuongeya mu jina ya Yesu contre bubaguzi ya rangi, chuki, ao crimes contre binadamu wakati na fasi yoyote yenye inatekelezwa.

Mutazamo:Na tensions ya ulimwengu yenye inaendeleya na ina-

ongezeka mu chuki na crimes contre minorités za kidini, ni muhimu kwa UMC kuendeleya kuonesha solidarité yake na communauté ya Bayahudu kati ya communautés zengine. Ku-tambuwa rasmi umuhimu ya Holocauste ya Siku ya Ukum-busho ni mazungumuzo moya ya kidogo ya iyi solidarité.

R4031.

Numero ya Maombi: 20578-HS-R4031-G; Bergquist, Greg - Nashville, TN, États-Unis wa Conseil Général ya Masomo ya Yulu na Ministere.

Mufuko ya Ulimwengu ya Masomo ya Methodiste ku Maendelewo ya Uongozi

Rudisha Résolution 4031 ngizi ilirekebishwa:MASOMO 4031. Mufuko ya Ulimwengu ya Masomo

ya Methodiste ku Maendelewo ya Uongozi Inathibitisha tena na Autorisation Tena ya Zawadi ya Huduma Maalum ya Ulimwengu—#05-06-04

WAKATI, Conférence générale ya 2004 ya Kanisa Meth-odiste Unie ilipitisha Mufuko ya Masomo ya Ulimwengu na ku autoriser Conseil Général ya Masomo ya Yulu na Minis-

Page 55: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

1000 DCA ya mapema

tere kutafuta 4 millions ya dollars chini ya Zawadi Maalum ya Huduma ya Ulimwenguni (# 05-06-04) wakati ya quadrennat ya 2005-2008 kwa makusudi ya kukuza generation ya mupya ya viongozi benye biko na kanuni za Kikristo yenye batahimi-za na kubadilisha watu wa ulimwengu, na kusababisha Kani-sa Methodiste Unie kukuwa kanisa ya kweli ulimwenguni kupitiya mutandawo ya ushirika wa masomo Methodistes, collèges, universités, na masomo theologique; na

WAKATI, Conseil Général ya Masomo ya Yuluna Minis-tere imekuwa ikihusika mu infrastructure na uwezo ya kujen-ga Methodiste Uni na masomo yenye inahusiana na masomo Methodistes, collèges, universités, na masomo theologique mu Afrika, Asie, Amerika Latine, na Etats-Unis; na

WAKATI, ku ombi ya Conseil Général ya Masomo ya Yulu na Ministere, Conseil General ya Fedha na Utawala, na Jedwali ya Muunganisho ya Kanisa Methodiste Unie, ilikub-ali mabadiliko ya jina kutoka “Mfuko wa Elimu ya Ulimwe-nguni” hadi “Mufuko ya Masomo ya Ulimwenguni ya Meth-odiste.” Maendeleo ya Uongozi ”mu Septembre ya 2006; na

WAKATI, maendelewo ya uongozi itaambatana kama moya ya maneno na mahitaji ya kanisa maarufu Kanisa Methodiste Unie na Mufuko ya Masomo ya Ulimwenguni ya Methodiste ku Maendelewo ya Uongozi ni njiya yenye iko na nguvu ya kuzinduliwa rasilimali za kuunganisha za Kanisa Methodiste Unie kushugulikiya shida yake ya uongozi na ku-unga mukono mission ya kanisa ulimwenguni; na

WAKATI, Conseil Général ya Masomo ya Yulu na Min-istere itatumika kama kiongozi ya programme ya conseil ku uongozi ya maendelewo; na

WAKATI, kuendeleya kuthibitisha tena resolution ya Mufuko ya Masomo ya Methodiste Unlimwenguni ku Uon-gozi ya Maendelewo na autoriser tena kuongezeya ya mupaka ku 4 millions ya dollars chini ya Zawadi ya Huduma Maalum Ulimwenguni na Conférence Générale ya 2012, ni muhimu sana kufanya ile mupango;

Kwa vile, itakuwa resolu, kwamba ile 2012 2020 Con-férence Générale ya Kanisa Methodiste Unie unathibitisha tena Mufuko ya Masomo ya Mafanikiyo ya Ulimwengu ku Uongo-zi ya Maendelewo ya Uwongozi na ina autoriser tena Conseil Generale ya Masomo ya Yulu na Ministere kuonggoza mupaka ku 4 millions ya dollars chini ya Zawadi Maalum ya Huduma ya Ulimwengu; wakati ya quadrennat 2013-2016; na

Itakuwa resolu zaidi, kwamba makuta yenye ilisemewa itainuliwa na kutawaliwa chini ya uongozi ya Conseil Gener-al ya Masomo ya Yulu na Ministere. ; na

Imekuwa resolu finalement, kwamba iyi résolution ilire-kodiwa mu Kitabu ya Résolutions ya Conférence Générale ya 2012.

Ilipigiwa kura na Conseil General ya Masomo ya Yulu na Ministere, mu Août 2011.

ILIPITISHWA MU 2008ILIREKEBISHWA NA KUPITISHWA TENA mu 2012RÉSOLUTION #4031, 2008 Kitabu kya Résolutions

R9999

Numero ya Maombi: 20644-HS-R9999-G; Carter, Kenneth - Washington, DC, États-Unis wa Conseil ya Maaskofu.

Résolution Kuthibitisha na Kutekeleza Uhusiano ya Ushirika Kamili na Kanisa Methodiste Epis-copale kule Etats-Unis ya Amerika na Kanisa

Methodiste Unie

Pitisha Résolution ngizi inafata:WAKATI, Yesu Kristo anatuita ku umoja njo kwamba

ulimwengu iweze kuamini; na WAKATI, Kanisa Episcopal na Kanisa Methodiste Unie

inashiriki patrimoine ya kawaida ya imani, buzazi ya kidini, na kujitoleya ku mission; na

WAKATI, “Zawadi ku ulimwengu: Bafanyakazi bezam-bo ku Buponaji ya Kukosa,” ripoti ya mazungumuzo ya bi-latéral ya UMC-TEC, inathibitisha kwamba hakuna kanisa yenye inagawanywa maneno ya doctrine kati ya makanisa zetu na inaelezeya muundo ya kutambulika na kubadilishana ku ministere yenye iliamuriwa;

Kwa vile, itakuwa resolu, kwamba ku hatuwa yenye in-afanan na Kanisa Episcopale, Kanisa Methodiste Unie ku vile inakamata mapendekezo ya “Zawadi ku Ulimwengu” kama makanisa zetu:

1) tukutane kama bashirika ba kanisa moya ku mwengini, takatifu, katoliki na ya kitume yenye injili imehubiriwa ku us-ahihi na kufundishwa; na kwamba mafundisho ya kimusingi ya kila kanisa yenye iliwekewa mu maandiko, kukiriwa mu imani za kihistoriya za ile kanisa, na kushuhudiwa mu docu-ment za kihistoriya za kihistoriya na kanuni za makanisa zetu, ni sawa na injili na inaendana bya kutosha;

2) tambua authenticité ya ubatizo ya kila mu moya na Ekaristi, na upitishe ukarimu ya kindani ku bashirika ba mwenzake;

3) kutambuwa authenticité ya ministeres zetu husika, pamoya na:

• ministere yenye ilipewa bashirika bote ba laïcs na makanisa na ubatizo;

• kila ordination yengine ya batu ku muchungaji/muzee na diacre;

• heshima ya kila mu moya na ministeres za kushima-miya mu ofisi ya askofu mwenye ameteuliwa (Episcopal) na consacrée (Methodiste Unie);

4) inajumuisha dhamira yetu kwamba huduma zetu za maaskofu ni halali na ni kweli, na kupanua na kukuza ush-irika wetu wa kiekumisheni, kwa kushiriki katika upendo wa kitume na marekebisho ya pande zote za episcopacies zetu kwa njia ifuatayo:

Page 56: Imeidhinishwa na Tume ya Kongamano Kuu. Imechapishwa na … · 2020-01-23 · CU inakuza uendelezaji wa elimu bora, yenye musingi wa tha-mani na inaongeza upatikanaji wa fursa za

Elimu ya Juu na Usimamizi 1001

• Kanisa ya Methodiste Unie ina ahidi kwamba, mu 1 Jan-vier ya mwaka unafata kuwekwa kwa makubaliano na kanisa yote mbili, wakfu ya maaskofu ba Methodiste Uni batajumui-sha maaskofu batatu angalau kutoka ku bashirika ba kawaida ba ushirika na Kanisa ya Episcopal. Mumoya wa aba maasko-fu batatu atakuwa akofu wa Kanisa Episcopale. Aba maasko-fu batakuwa pale na batashiriki mu kuweka mikono;

• Kanisa ya Episcopal ili ahidi kwamba, tarehe 1 Janvier ya mwaka unafata kuwekwa kwa makubaliano na kanisa yote mbili, maagizo na wakfu ya maaskofu ba Episcopal bataju-muisha maaskofu batatu angalau kutoka kwa bashirika ba kawaida ba ushirika na Kanisa Methodiiste Unie na ku askofu mumoya wa Methodiste Unie yupo. Aba maaskofu batakuwa pale na batashiriki mu kuweka mikono.

5) tambua kubadilika kamili na kurudiwa kwa wazee wote wa Wamethodist waliowekwa rasmi katika uhusiano kamili na mapadri wote waliowekwa katika Kanisa La Epis-copal, na madikoni wote wa Wamethodistu baliwekewa ka-tika uhusiano kamili na madikteta wote baliwwaeke kwenye Kanisa ya Episcopal, kila wakati bataalikwa;

6) kuidhinisha uanzishwaji wa tume ya pamoja inayojibi-ka kikamilifu kwa vyombo vya maamuzi vya makanisa haya mawili kwa:

• kuratibu butekelezaji ya izi résolutions; • kusaidiya kupanga pamoya ku utume; • Kusudi yake piya itakuwa kushirikiana, kuwezesha ku-

unga mukono na kushauriana na piya kufanya decision kupi-tiya njia sahihi mu mambo ya musingi ambayo makanisa zin-aweza kukutana ako mu futur; na

• ripoti ya kawaida na kila kanisa yenye inafaa;7) kushimamiya iyi commission ya pamoya ku: • panga liturujia yenye inafaa ya kusherehekeya bushiri-

ka kamili yenye ilisisiwa na iyi makubaliano, conforme na roho yenye inaweza mu iyi paragrapeiy ya 10 ya “Zawadi ku Ulimwengu”;

• Commission ya kuchangiwa itatumika na conseils ze-nye zinafaa comités, conseils, na bafanyakazi ba izi maki-nisa mbili zenye zina usika na maswala œcuméniques, ma-fundisho, buchungaji na liturgiques kama inaweza kutokeya, kila wakati banakubaliwa na ma organes sahihi za kufanya decision za izo kanisa mbili;

• kuunda bifaa za elimu ya pamoja na kuhimiza kuende-leya ku fursa za masomo kwa viongozi benye baliwekewa na wachungaji kuhusu ushirika kamili; na

• chunguza uwezekano na usahihi wa kuungana na kazi ya kamati kadhaa za pamoya/za kuratibu zenye ziko kati ya makanisa zetu na bashirika betu ba kawaida ba ushirika;

8) Kanisa Methodiste Unie na Kanisa Episcopal zilikuba-li kukuza na kudumisha ushirika wa kushirikiana na kushauri-ana na bengine kwa ku kukuza umoja na makanisa zengine na uhusiano wa karibu na tradition zingine za imani. Makubalia-no œcuméniques na yenye inahusiana yenye imeingiziwa na kanisa moya iliwakilishiwa mu iyi mabadiliko yengine ao kidini groupe aitaeleweka kuweka ao kuashiria uhusiano wowote rasmi na mwengine.

ZAIDIYAPALE,WAKATI, makusudi ya iyi makubaliano ya ushirika ni

kukuza bushuhuda publique ku umoja ya makanisa kupitiya bitendo zenye zinakunguvu ya mission ya kujiunga, minis-tere, ibada na huduma, na

WAKATI, Kanisa Methodiste Unie na Kanisa Episcopale ziko na uwakilishi tafauti geographique na juridiction ulim-wengu yote; na

WAKATI, kila moya ya makanisa ni mushirika ya ush-irika ulimwenguni yenye iko na autonomiena juridiction mu maeneo zabo geopraphique zenye zimefafanuliwa; na

WAKATI, akuna kanisa yenye inadai juriction ketenda inje ya mipaka zake geographiques za magistrats tafauti;

Itakuwa resolu zaidi, kwamba matumizi ya kweli ya iyi makubaliano ya ushirika kamili yenye inahusika tu mu mae-neo za organismes magistrats za makanisa zetu mbili yenye inaingiliana; na

Ikuwe resolu zaidi, kwamba Kanisa Methodiste inahimi-za conferences centrales zenye maeneo hazivuke na Kanisa Episcopale kufata mazungumuzo na ushirikiano oecumenique na zile ma organismes bashirika ba Ushirika ya Kianglican yenye iko mu eneo yabo.

Mutazamo:Iyi résolution ni tunda ya décennies za mazungumuzo

na kuonesha historiya ya kipekee ya iyi uhusiano. “Zawadi ku Ulimwengu,” ripoti kutoka comité ya mazungumuzo, ni ilijumuisha kama ‘ADDENDUM B’ mu ripoti quadriennal ya Uongozi ya Ministeres Oecuméniques na Intereligieuses yenye ilichapishwa mu ile