mpango wa ushiriki wa wadau - yapimerkezi.com.tr · mpango wa ushiriki wa wadau maandamano 2019...
TRANSCRIPT
The business of sustainability
Yapı Merkezi İnşaat ve San. A.Ş.
Hacı Reşit Paşa Sokak No: 4 Çamlıca
34676 İstanbul Turkey
www.ym.com.tr
Shirika la Reli la Tanzania(TRC)
Sokoine Drive/Railway Street,
P.O.Box 76959, Dar es Salaam
Tanzania
Mpango wa Ushiriki wa Wadau
04 Maandamano 2019
Namba ya Mradi.: 0453091
www.erm.com Toleo: 3.0 Namba ya Mradi.:0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019
Maelezo ya Nyaraka Maelezo yaliyowekwa hapa chini yameonyeshwa moja kwa moja katika ukurasa wa juu/wa kwanza
wa Nyaraka na katika sehemu ya chini ya kila ukurasa.
TAFADHALI KUMBUKA: Jedwali hili halipaswi kuondolewa katika Nyaraka hii.
Jina la Nyaraka Mpango wa Ushiriki wa Wadau
Jina dogo la Nyaraka
Namba ya Mradi. 0453091
Tarehe 04 Maandamano 2019
Toleo 3.0
Mwandishi Iulia Luta, Esmeralda Francisco
Mmiliki wa Nyaraka hii Shirika la Reli la Tanzania (TRC)
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page i
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
YALIYOMO
YALIYOMO
1. UTANGULIZI ........................................................................................................................ 1-1
1.1 Usuli...................................................................................................................................... 1-1 1.2 Maelezo (Wasifu) ya Mradi..................................................................................................... 1-2
1.2.1 Maelezo ya Jumla.................................................................................................. 1-2 1.2.2 Eneo lenye Ushawishi ........................................................................................... 1-5 1.2.3 Ratiba ya Mradi ..................................................................................................... 1-5
1.3 Ushirikishaji wa Wadau .......................................................................................................... 1-5
1.3.1 Wigo wa Mpango huu wa Ushiriki wa Wadau.......................................................... 1-6 1.3.2 Kanuni za Ushirikishaji wa Wadau .......................................................................... 1-6 1.3.3 Malengo ................................................................................................................ 1-7
2. MATAKWA/MAHITAJI YA USHIRIKI WA WADAU .............................................................. 2-8
2.1 Matakwa/Mahitaji ya Tanzania ............................................................................................... 2-8
2.1.1 Matakwa/Mahitaji ya Tanzania ya ushiriki wa wadau katika miradi ........................... 2-8 2.1.2 Matakwa ya Tanzania ya ushiriki wa umma wakati wa utwaaji wa ardhi ................... 2-8
2.2 Matakwa/Mahitaji ya Kimataifa ............................................................................................... 2-9
2.2.1 Matakwa/Mahitaji ya Viwango vya IFC .................................................................. 2-9 2.2.2 Muongozowa Benki ya Ulaya Katika Masuala ya Ujenzi na Maendeleo (EBRD) katika
Usimamizi wa Malalamiko .................................................................................... 2-11
3. MUHTASARI WA USHIRIKI WA WADAU HAPO AWALI................................................... 3-13
3.1 Ushiriki wakati wa tathmini ya athari za mazingira na masuala ya kijamii (ESIA) .................... 3-13 Shughuli za kampeni ya ushirikishaji wadau za TRC .......................................................................... 3-13 3.2 Shughuli za Ushirikishaji wadau za YM................................................................................. 3-14
4. WADAU WA MRADI .......................................................................................................... 4-15
4.1 Kuwatambua Wadau ........................................................................................................... 4-15
5. MBINU ZA KUSHIRIKISHA NA MPANGO WA SHUGHULI ............................................... 5-20
5.1 Maelezo ya jumla................................................................................................................. 5-20 5.2 Shughuli zinazoendelea za ushirikishaji katika kipindi chote cha uendeshaji wa Mradi ........... 5-22
5.2.1 Uhusiano na Jamii ............................................................................................... 5-22 5.2.2 Usimamizi wa Malalamiko .................................................................................... 5-23 5.2.3 Kudumisha Mpango wa Ushiriki wa wadau ( SEP) ................................................ 5-23 5.2.4 Kuendelea kutoa taarifa kwa jamii ........................................................................ 5-23 5.2.5 Ushirikishaji wa mamlaka za Serikali na vyombo vya habari .................................. 5-24
5.3 5-24
5.3.1 Awamu ya Kupanga na Ujenzi ............................................................................. 5-24 5.3.2 Uendeshaji .......................................................................................................... 5-25 5.3.3 Kukamilika kwa shughuli za uendeshaji na Kuhitimishwa kwa shughuli za Mradi wa
SGR .................................................................................................................... 5-25
5.4 Mpango Mkakati wa Ushirikishaji .......................................................................................... 5-26 5.5 Nyenzo za Ushirikishaji ........................................................................................................ 5-26
6. MAJUKUMU NA NGUVU KAZI .......................................................................................... 6-28
6.1 Majukumu kwa ajili ya ushirikishaji wa wadau ....................................................................... 6-28 6.2 Rasilimali kwa ajili ya ushirikishaji wa wadau ........................................................................ 6-28
6.2.1 Rasilimali za TRC ............................................................................................... 6-28 6.2.2 Rasilimali za YM .................................................................................................. 6-29
7. UTARATIBU WA KUTOA NA KUPOKEA MALALAMIKO ................................................. 7-31
7.1 Ufafanuzi na Utendaji Mzuri ................................................................................................. 7-31 7.2 Kusudi ................................................................................................................................. 7-31
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page ii
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
YALIYOMO
7.3 Wigo ................................................................................................................................... 7-31 7.4 Utaratibu wa Malalamiko ...................................................................................................... 7-31
7.4.1 Hatua 1: Upokeaji na usajili wa Malalamiko ................................................................. 7-32 7.4.2 Hatua ya 2: Kuchuja Malalamiko na Kutoa Kipaumbele .............................................. 7-33 7.4.3 Hatua 3: Uchunguzi/Upelelezi wa Malalamiko ............................................................ 7-33 7.4.4 : Ufumbuzi na Mrejesho kwa Mlalamikaji/Walalamikaji .................................................. 7-33 7.4.5 : Kufunga Malalamiko na kuboresha Hifadhi Data ........................................................ 7-34
8. UFUATILIAJI, UTHAMINISHAJI NA KURIPOTI ................................................................. 8-35
8.1 Maelezo ya Jumla ................................................................................................................ 8-35 8.2 Usimamizi waData ............................................................................................................... 8-35 8.3 Kutoa Taarifa kwa Wadau (Ripoti za Wadau) ........................................................................ 8-35
8.3.1 Taarifa/Ripoti za Ndani ........................................................................................ 8-35 8.3.2 Taarifa/Ripoti za Nnje .......................................................................................... 8-36
VIAMBATANISHO
KIAMBATANISHO A ORODHA YA WADAU
KIAMBATANISHO B FOMU YA MALALAMIKO YA MRADI
KIAMBATANISHO C MFANO WA FOMU YA KUORODHESHA MALALAMIKO
Orodha ya Majedwali
Jedwali1-1 Mikoa na Wilaya iliyopitiwa na Mradi wa SGR ........................................................... 1-2
Jedwali1-2 Maendeleo ya shughuli za Mradi mpaka mwishoni mwa mwezi Januari 2019(%) ...... 1-5
Jedwali1-3 Malengo ya Mpango wa Ushiriki wa Wadau .............................................................. 1-7
Jedwali 2-1 Viwango Vingine vya IFC Vinavyohusika ................................................................ 2-10
Jedwali4-1 Orodha ya Aina ya Wadau ...................................................................................... 4-16
Jedwali 5-1 Nyenzo za Kushirikisha Wadau .............................................................................. 5-26
Jedwali 6-1 Wajibu na Majukumu ya Kutekeleza Mpango wa Ushiriki wa Wadau ndani ya YM . 6-29
Orodha ya Ramani, Michoro na Vielelezo
Ramani1-1 Ramani ya Mikoa kuonyesha awamu za Mradi pendekezwa wa SGR, Awamu ya I na
Awamu ya II 1-4
Mchoro 5-1 Malengo ya Ushirikishaji wa Wadau na Shughuli kwa kila Awamu ya Mradi ............ 5-21
Kielelezo 7-1 Utaratibu wa Malalamiko katika Awamu ya Kabla ya Ujenzi na Katika Awamu ya
Ujenzi ........................................................................................................................................... 7-32
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page iii
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
YALIYOMO
Vifupisho
Jina Maelezo
AIDS Acquired Immune Deficiency Syndrome (Ukosefu wa kinga mwilini)
EBRD European Bank for Reconstruction and Development (Benki ya Ulaya ya masuala
ya Ujenzi na Maendeleo)
EIA Environmental Impact Assessment (Tathmini ya Athari za Mazingira)
EIS Environmental Impact Statement (Ripoti ya Tathmini ya Athari za Mzingira)
EMA Environmental Management Act (Sheria ya Usimamizi wa Mazingira)
EPC Engineering, Procurement and Construction (Uhandisi, Manunuzi na Ujenzi)
ESIA Environmental and Social Impact Assessment (Tathmini ya Athari za Mazingira na
Masuala ya Kijamii)
ESMP Environmental and Social Management Plan (Mpango wa Usimamizi wa Mazingira
na Masuala ya Kijamii)
EU European Union (Umoja wa Ulaya)
GLAC Guide to Land Acquisition (Muongozo wa Utwaaji wa Ardhi)
GoT Government of Tanzania (Serikali ya Tanzania)
HIV Human Immunodeficiency Virus (Virusi vya UKIMWI)
IFC International Finance Corporation (Shirika la Fedha la Kimataifa)
IPs Indigenous Peoples (Watu wa Asili)
MGR Meter Gauge Railway (Reli isiyokuwa ya Umeme)
NEMC National Environmental Management Council (Baraza la Taifa la Usimamizi wa
Mazingira)
NTS Non-Technical Summary (Muhtasari Tendaji)
RCAP Resettlement and Compensation Action Plan (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa
Makazi na Ulipaji wa Fidia)
RoW Right of Way (Njia ya Reli)
SEP Stakeholder Engagement Plan (Mpango wa Ushiriki wa Wadau)
SGR Standard Gauge Railway (Reli ya Treni ya Umeme)
TRC Tanzania Railway Corporation (Shirika la Reli la Tanzania)
YM Yapi Merkezi
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 1-1
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
YALIYOMO
1. UTANGULIZI
1.1 Usuli
Nyaraka hii ni Mpango wa Ushiriki wa Wadau (SEP) ulioandaliwa kwa ajili ya Mradi wa ujenzi wa reli
ya treni ya umeme ya Mwendokasi (SGR) kutoka kipande cha Dar es Salaam – Morogoro –
Makutopora (541 km), kutoka Dar es Salaam mpaka Mwanza kupitia Isaka (1,219 Km)
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (GoT) kupitia Shirika la Reli la Tanzania (TRC) inajenga Mradi wa reli ya treni ya umeme ya mwendokasi (SGR) kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza kando ya njia ya reli ya kati iliyopo sasa ambayo siyo ya umeme wala ya treni ya mwendo kasi (MGR). Hii itaruhusu kuendelea kwa shughuli za reli ya kati iliyopo sasa wakati wa ujenzi wa SGR.
Ujenzi, usimamizi na uendeshaji wa Mradi wa SGR ni mojawapo ya vioaumbele vya juu vya nchi ya
Tanzania ili kufungua fursa za kijamii na kiuchumi sehemu ya bara ya Tanzania na kati ya nchi
wanachama wa Jumuia ya Africa Mashariki (EAC).
Kampuni ya kituruki ya Yapi Merkez (YM) ilipewa mkataba na serikali ya Tanzania na TRC kama
wamiliki – kutoa huduma za uhandisi, ununuzi na ujenzi wa Mradi. Ujenzi ukishakamilika, Mradi
utakabidhiwa kwa TRC ambao watakuwa na jukumu la kuusimamia na kuuendesha.
Ufadhili wa Mradi
Ili kufadhili Mradi, Wizara ya Fedha ya Tanzania itachukua mkopo kutoka taasisi za fedha za kimataifa
ambazo sera zao za ukopeshaji zinahitaji Mradi ukidhi matakwa yote ya kanuni na sheria za Tanzania
pamoja na miongozo na viwango vya kimataifa vya mazingira na masuala ya kijamii , kama vile
matakwa ya IFC. Viwango hivi vya kimataifa vinaelekeza kuandaliwa kwa tathmini ya kina ya Athari za
Mazingira na masuala ya Kijamii (ESIA) kwa ajili ya Mradi.
Tathmini ya awali ya athari za mazingira na masuala ya kijamii pamoja na Mfumo wa ushiriki wa wadau
kwa ajili ya Mradi ilifanyika mwezi Mei 2018 na Chuo kikuu cha Ardhi. Kwa sasa, ripoti hii ya tathmini
inapitiwa na baraza la Taifa la usimamizi wa mazingira (NEMC) kwa ajili ya kuidhinishwa. Idhini na cheti
cha mazingira kinatarajiwa kutolewa mwishoni mwa mwezi Februari 2019.
Ili kuisaidia serikali kukidhi matakwa ya kimataifa ya wafadhili, YM walitoa kazi kwa kampuni ya ERM
kupitia ripoti ya tathmini ya athari za mazingira na masuala ya kijamii (ESIA) pamoja na mfumo wa
ushiriki wa wadau (SEF) ili kubainisha mapungufu yaliyopo katika ripoti hizi. Mapitio ya ripoti hizi
yalibainisha kwamba kuna mambo mbalimbali bado yanahitaji kufanyika ili kuboresha ripoti hizi na
kuzifanya zikidhi matakwa ya kimataifa ya wakopeshaji ikiwa ni pamoja na kuandaa Nyaraka nyingine
za nyongeza ili kuondoa mapungufu yaliyobainishwa:
Kuboresha tathmini ya awali ya athari za mazingira na masuala ya kijamii (ESIA) ili ikidhi
matakwa ya wakopeshaji;
Mpango wa Ushiriki wa Wadau (Nyaraka hii hapa) ili kubainisha kwa ufasaha wadau wa Mradi na
mpango wa baadae wa kushirikisha wadau ambao umepangwa;
Muhtasari tendaji wa tathmini ya athari za mazingira na masuala ya kijamii (NTS)
Mpango wa usimamizi wa mazingira na masuala ya kijamii pamoja na mpango wa ufuatiliaji
(ESMMP)
Mpango wa Uhamishaji Makazi ya Watu na Ulipaji wa Fidia (ESMMP);
Muongozo wa Zoezi la Utwaaji wa Ardhi na Ulipaji wa Fidia (GLAC)
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 1-2
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
YALIYOMO
Rasimu iliyoboreshwa ya tathmini ya athari za mazingira na masuala ya kijamii (ESIA), Muhtasari
tendaji (NTS), Mpango wa Ushiriki wa Wadau (SEP) na Mpango wa usimamizi wa mazingira na
masuala ya kijamii pamoja na mpango wa ufuatiliaji (ESMMP) zitawekwa wazi kwa umma kwa kipindi
cha muda wa siku 30. Maoni yatakayopokelewa katika kipindi hichi yatajumuishwa katika toleo la
mwisho la ripoti ya ESIA. Ripoti ya mwisho ya tathmini pamoja na ripoti nyingine za tathmini za ziada
zitaweka pia wazi kwa umma. Ripoti hizi zipo pia katika tovuti ya YM, chini ya sehemu mbili
zilizofafanuliwa kwa awamu za Mradi au Lots:
Sehemu iliyowekwa kwa ajili ya Lot 1:https://yapimerkezi.com.tr/En/Projects/Ongoing-
Projects/Dar-Es-Salaam-Morogoro-RAILWAY na
Sehemu iliyowekwa kwa ajili ya Lot 2:https://yapimerkezi.com.tr/En/Projects/Ongoing-
Projects/Morogoro-Makutupora-Railway.
Ripoti hizi zitakuwa pia katika tovuti ya TRC kama ilivyobainishwa hapa chini;
http://www.trc.co.tz/publications/10
Tovuti ya Swedish - Swedish Export Credit Agency (EKN) pia imetoa taarifa kuhusiana na Mradi
kupitia kiunganisho kifuatacho, https://www.ekn.se/en/what-we-do/sustainability/transactions-with-
environmental-and-social-impact-assessment/dar-es-salaam-to-dodoma-railway-tanzania/ na inatoa
kiunganisho cha kwenda kwenye ukurasa wa tovuti ya Yapi Merkezi ili kupata ripoti za ESIA.
Jukumu la mchakato wakuweka wazi kwa umma ripoti ya tathmini ya athari za mazingira na masuala
ya kijamii (ESIA) na shughuli stahiki za kushirikisha wadau ni la TRC. Hatahivyo, ingawa TRC watakuwa
wakiongoza mchakato huu, YP itasaidia shughuli stahiki zinazohitajika uli kuwathibitishia wakopeshaji
kwamba mchakato wa kuweka wazi ripoti ya ESIA umekidhi vigezo vya kimataifa.
1.2 Maelezo (Wasifu) ya Mradi
1.2.1 Maelezo ya Jumla
The proposed Dar es Salaam-Morogoro-Makutopora segment(refer to Ramani1-1) of the SGR will be
undertaken in the following two phases:
Kipande kilichopendekezwa cha Mradi wa SGR kutoka Dar es Salaam – Morogoro – Makutopora
(Rejea Ramani 1-1) ; ujenzi wake utafanyika kwa awamu mbili kama ifuatavyo:
Awamu ya kwanza au Lot 1 (Dar es Salaam mpaka Morogoro – 205 km), na
Awamu ya pili au Lot 2 (Morogoro mpaka Makutupora – 336 km).
Mradi utapita katika mikoa na wilaya kama zilivyowasilishwa katika Jedwali 1-1 hapa chini na utaenda
sambamba na reli ya kati iliyopo ambayo si ya umeme na treni ya mwendo kasi ambayo inaanzia Dar
es Salaam na kuishia mwanza kupitia isaka (1,231 km). Mradi utapita katika makao makuu ya mikoa
ya Dar es Salaam, Morogoro na Dodoma ambayo ndiyo itakuwa vituo vikubwa vya treni (Ramani 1.1).
Vituo vingine vidogo vya ziada pembezeno mwa njia ya Mradi ni pamoja na Dar es Salaam, Pugu,
Soga, Ruvu, Ngerengere, Morogoro,Mkata, Kilosa, Gulwe, Igunda, Dodoma, Bahi na Makutopora
(Ramani1-1).
SGR itaundwa kuwa na uwezo wa ekseli ya tani 35 na kasi ya kilomita 160 kwa lisaa (160km/h) kwa
treni ya abiria na kasi ya kilomita 120 kwa lisaa (120 km/h) kwa treni ya mizigo. Upana wa ndani wa reli
utakuwa milimita 1,435 (1,435mm ( 4ft 8⅟₂ ndani).
Jedwali1-1 Mikoa na Wilaya iliyopitiwa na Mradi wa SGR
Awamu za ujenzi wa SGR Mikoa Wilaya
Awamu ya I Dar es Salaam Ilala
Pwani Kisarawe
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 1-3
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
YALIYOMO
Kibaha
Morogoro Morogoro Rural
Morogoro Urban
Awamu ya II Morogoro Morogoro Urban
Mvomero
Kilosa
Dodoma Mpwapwa
Dodoma Rural
Chamwino
Singida Manyoni
Chanzo: Yapi Merkezi, 2019
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 1-4
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
YALIYOMO
Ramani1-1 Ramani ya Mikoa kuonyesha awamu za Mradi pendekezwa wa SGR, Awamu ya I na Awamu ya II
www.erm.com Toleo3.0 Namba ya Mradi.:0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 1-5
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
1.2.2 Eneo lenye Ushawishi
Eneo lenye ushawishi, kwa lengo la shughuli za ushirikishaji wadau linafafanuliwa kama eneo ndani ya
mita 500 membezoni mwa njia ya reli (mita 250 pembezoni mwa kila upande wa reli ya kati). Hizi mita
500 zinafafanuliwa kwa kuzingatia kwamba, athari nyingi, ikiwa ni pamoja na athari katika ardhi,
zitatokea ndani ya hizi mita 500 kwani makazi mengi yaliyofanyiwa uchunguzi yapo karibu na ardhi
wanayoyumia kwa kilimo. Katika baadhi ya maeneo makazi yanaweza yakawa mbali kabisa nnje ya
mita hizi 500 lakini bado wana mashamba ya kilimo ndani ya mita hizi 500. Kwasababu hiyo basi, eneo
lenye ushawishi kwa kawaida huongezwa ili kujumuisha jamii hizo zilizoathirika katika ushikishaji kama
wadau.
1.2.3 Ratiba ya Mradi
Shughuli za ujenzi waMradi wa SGR zitafanyika katika awamu mbili:
Awamu ya 1: “Kipande cha Dar es Salaam - Morogoro” (205 km); Ujenzi unatarajiwa kufanyika
kati ya kipindi cha kuanzia mwezi Februari 2017 mpaka mwezi Novemba 2019;
Awamu ya 2: “Kipande cha Morogoro - Makutupora ” (336 km) ; Ujenzi unatarajiwa kufanyika kati
ya kipindi cha kuanzia mwezi Machi 2018 mpaka Februari 2021.
Jedwali1-2hapa chini huonyesha maendeleo ya shughuli ya ujenzi mpaka mwishoni mwa mwezi
Januari 2019.
Jedwali1-2 Maendeleo ya shughuli za Mradi mpaka mwishoni mwa mwezi Januari 2019(%)
Shughuli/Kazi
Lot 1 (Dar es Salaam mpaka Morogoro –
205 km)
Lot 2 (Morogoro mpaka
Makutupora – 336 km)
Maendeleo
Halisi (%)
KM 0 - 20
Maendeleo
Halisi (%)
KM 20 - 80
Maendeleo
Halisi (%)
KM 80 - 202
Maendeleo
Halisi (%)
KM 202 -
350
Maendeleo
Halisi (%)
KM 350 -
535
Kabla ya Ujenzi
Maandalizi 96 100 100 51 10
Ujenzi wa kambi 96 100 100 54 12
Ujenzi
Usafishaji wa njia 10 96 57 47 22
Kazi za ardhini
(Shughuli za kukata
na kijaza)
8 71 35 24 1
Kazi za ufuatiliaji
/Track works
Not started 31 Not started Not started Not started
Shughuli za
usimikaji umeme
Not started 10 Not started Not started Not started
Ukabidhi Not started Not started Not started Not started Not started
Chanzo: ERM, Januari 2019, kutokana na taarifa kutoka YM
1.3 Ushirikishaji wa Wadau
TRC wana jukumu la kushirikisha wadau na kusimamia malalamiko kuhusiana na Mradi. Wakati wa
kipindi cha kabla ya ujenzi na wakati wa ujenzi , YP itawasaidia TRC katika mchakato wa kuwashirikisha
wadau kwa kina pamoja na mashauriano na wadau kwani suala hili ni la muhimu sana katika mafanikio
ya maendeleo ya Mradi. YM imejikita katika dhana ya uwazi, utoaji taarifa kabla na kuwashirikisha
wadau katika ushiriki wake wote ndani ya Mradi wa SGR. Baada ya kukamilika kwashughuli za ujenzi
www.erm.com Toleo3.0 Namba ya Mradi.:0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 1-6
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
KM 350 - 535
wa Mradi na msaada uliotolewa katika hii awamu, TRC wataendelea na huu mchakato wa ushirikishaji
wa wadau katika kipindi kilichobaki cha maisha ya Mradi.
1.3.1 Wigo wa Mpango huu wa Ushiriki wa Wadau
Mpango huu wa Ushiriki wa Wadau umejikita katika miongozo ya Kimataifa, kwa mfano, Kitabu cha
Shirika la Fedha la Kimataifa (IFC) cha muongozo wa kuwashirikasha wadau kwa kampuni zinazofanya
biashara katika masoko yanayokuwa, Muongozo wa Benki ya Ulaya kwa shuguli za ujenzi na
maendeleo (EBRD) wa kusimamia malalamiko. Kwa kuongezea, mpango huu wa ushiriki wa wadau
unajijenga katika Mpango wa Ushiriki wa Wadau na taratibu za kushughulikia Malalamiko zilizoandaliwa
na YM kwa ajili ya Mradi mwezi Mei 2018.
Mpango huu wa Ushiriki wa Wadau, una lengo la kujumuisha shughuli nyingi za kuwashirikisha wadau
zinazohitajika kwa ajili ya Mradi kwa Lot 1 na Lot 2, ikijumuisha:
Shuhuli za ushirikishaji katika awamu ya utwaaji wa ardhi (hasa kwa Lot 2);
Utoaji wa taarifa ya ripoti ya ESIA;
Ushirikishaji wakati wa ujenzi wa Mradi
Mpango huu wa Ushiriki wa wadau ni “Nyaraka inayoishi” ambayo inahitaji kuboreshwa kadri Mradi
unavyoendelea, kwa mfano;
Wadau wapya wa Mradi wanapobainishwa;
Maelezo zaidi yanapopatikana ya njia za ushirikishanaji wanazozikubali wadau;
rasilimali zaidi zinahitajika kwa ajili ya kutekeleza Mpango wa kushirikisha wadau (SEP)
mabadiliko ya majukumu ya utekelezaji au kukaimishwa
Mpango huu wa ushiriki wa wadau haujajumuisha ushirikishaji wakati wa awamu ya uendeshaji na
ukabidhi shaji. Mipango tofauti ya ushirikishaji itahitaji kuandaliwa na TRC kadri Mradi utakavyokuwa
unaendelea katika awamu hizi.
1.3.2 Kanuni za Ushirikishaji wa Wadau
TRC inaelewa kwamba ushirikishaji thabiti wa wadau na mashauriano na umma ni kitu cha muhimu
kwa mafanikio ya maendeleo ya Mradi na wanaamini katika dhana ya uwazi, utoaji taarifa kabla na
kuwashirikisha wadau katika kipindi chote cha mzunguko wa maisha ya Mradi.
Kanuni muhimu zinazowaongoza wamiliki waMradi katika kuwashirikisha wadau katika Mradi huu ni:
Kuwa wazi na bayana kwa wadau, kuwashirikisha katika njia ya uwazi na kutoa taarifa stahiki
kuhusiana na mambo mbalimbali;
kuwajibika na utayari wa kukubali majukumu kama raia mwadilifu na kuwajibika kwa athari
zitokanazo na shughuli za Mradi;
kuwa na mahusiano na wadau ambayo yamejikita katika uaminifu na kujitolea kufanya kazi kwa
pamoja na kwa uaminifu
Kuheshimu maslahi, maoni na matarajio ya wadau
Kufanya kazi kwa ushirikiano na kushirikiana na wadau kutafuta suluhisho linalofikia maslahi ya
pamoja;
Kuwa msikivu na kutoa mrejesho kwa wadau katika muda muafaka;
Kuwa mwajibikaji na utayari wa kutoa taarifa pale ambapo kuna uhitaji wa taarifa au mabo
masuala ya muhimu, kujaribu kudhibiti hatari kabla hazijatokea kwa kutoa fursa ya majadiliano;
Kushirikisha wadau kiasi kwamba wajihisi wametendewa haki na masuala yao yamezingatiwa
kwa usawa;
www.erm.com Toleo3.0 Namba ya Mradi.:0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 1-7
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
KM 350 - 535
kuwa jumuishi na uwezo wa kufikika na wadau, ikiwa ni pamoja na vikundi vya watu wachache
na wale waliopo katika mazingira hatarishi ili wajihisi wanaweza kushiriki, kupokea, na kuelewa
taarifa na pia kusikika.
1.3.3 Malengo
Malengo makuu ya kuandaa na kutekeleza Mpango wa Ushiriki wa wadau yameorodheshwa katika
Jedwali1-3 hapa chini
Jedwali1-3 Malengo ya Mpango wa Ushiriki wa Wadau
Malengo Dhana/Mantiki
Kutambua wadau husika
wa Mradina vitu
vihusianavyo na Mradi
Kuwatambua na kuwagawa katika makundi watu binafsi au taasisi ambazo
zinaweza kuathiriwa na Mradi na vitu vinavyohusiana na Mradi au kuwa na athari
kwa namna Mradi unavyotekelezwa, kwa kuzingatia kwamba hili ni zoezi endelevu
ambalo linaweza kubadilika katika kipindi chote cha maendeleo ya Mradi
Kusambaza taarifa
stahiki za Mradi katika
njia ya uwazi
Kuhakikisha kwamba wadau, hasa wale wanaoathiriwa moja kwa moja na Mradi
pendekezwa wana taarifa zote stahiki ambazo zipo kwa ajili yao ili kuwawezesha
kutoa maoni na kupanga kwa ajili ya baadae.Hii inasaidia kupunguza kiwango cha
kutokuwa na uhakika pamoja na wasiwasi. Taarifa zinapaswa kuwapa nafasi
waathiriwa kuelewa athari muhimu, hatari na faida na njia ambayo ni ya uwazi ni
muhimu katika kufikia lengo hili.
Kuunda ushirika ili
kukuza ushirikiano
muhimu kati ya pande
zote
Kuendeleza ushirikiano wa kuaminiana kati ya Mradi na wadau ili kukuza
mwingiliano mzuri na kuepuka pale inapowezekana , migogoro isiyo ya muhimu
inayotokana na tetesi au taarifa zisizo za ukweli. Kubainisha mifumo ya kiutawala
na michakato ya kushughulika na migogoro pamoja na malalamiko inawapa nafasi
waendelezaji wa Mradi pamoja na wakandarasi kuelewa vizuri mawazo na matarajio
ya wadau na hivyo basi kutoa fursa ya kuongeza thamani ya Mradi kwa wadau wa
ndani ya nchi.
Kurekodi na
kushughulikia maoni ,
mawazo na
mapendekezo ya umma
Kurekodi masuala ya wadau, mawazo na mapendekezo ili kutoa nafasi ya umuhimu
wa maamuzi kuhusiana na Mradi kuweza kufuatiliwa na kueleweka.Kumbukumbu
zilizorekodiwa, husaidia pia wakati wa kupitia upya na ukaguzi wa Mradi, katika
kubainisha mambo mbalimbali ya pamoja ambayo yanaweza kuhitaji
kushughulikiwa kwa pamoja na katika kufuatilia ushirikishaji wa watu walioathiriwa.
Kusimamia matarajio ya
Wadau.
Matarajio, hasi na chanya yanaweza yakawa hayaendani na uhalisia wa Mradi.
Kuhakikisha kwamba matarajio yanakuwa katika ngazi halisi; (Mfano katika
masuala ya ajira, utoaji wa miundombinu ya kijamii, maendeleo ja jamii, na
usumbufu) huzuia ukatishaji tama na kuwachanganya watu walioathiriwa moja kwa
moja na shughuli za Mradi katika hatua za baadae za uendelezaj wa Mradi na hivyo
basi kuzuia uwezekano wa kutokea kwa migogoro na wadau.
Kutimiza matakwa ya
nchi na ya kimataifa ya
ushirikishaji
Kuzingatia sheria na matakwa ya nchi na ya kimataifa kunaweza kuzuia ucheleweshaji
wa Mradina vile vile huchangia upatikanaji wa leseni ya kijamii/kukubalika na jamii kwa
Mradi na kujenga uaminifu thabiti katika ushirikiano na wadau.
www.erm.com Toleo3.0 Namba ya Mradi.:0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 2-8
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
KM 350 - 535
2. MATAKWA/MAHITAJI YA USHIRIKI WA WADAU
2.1 Matakwa/Mahitaji ya Tanzania
2.1.1 Matakwa/Mahitaji ya Tanzania ya ushiriki wa wadau katika miradi
Ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, matakwa ya mashauriano na wadau yanaongozwa na
sera pamoja na sheria za nchi .
Kulingana na Sheria ya Tanzania ya Usimamizi wa Mazingira (EMA, Namba 20 ya mwaka 2004) na
Sheria ya Tathmini ya Athari za Mazingira (EIA) na kanuni za Ukaguzi wa Mazingira (Namba 349 za
mwaka 2005), Mradi pendekezwa wa SGR unaangulia katika kundi “A” la Miradi ambayo inapaswa
kufanyiwa tathmini ya kina ya athari za mazingira. Kifungu cha kwanza cha Sheria ya Usimamizi wa
mazingira (EMA) kinaeleza kwamba miradi ya usafirishaji na miundombinu (9. Usafirishaji na
Miundombinu, (iii) Ujenzi wa reli mpya na upanuzi wa reli ziliyopo ) ni lazima kufanyiwa tathmini ya
athari za mazingira (EIA)
Kanuni za Tanzania za Tathmini ya Athari za Mazingira (EIA) na Ukaguzi wa Mazingira za mwaka
2005, ni sheria kuu ndani ya Tanzania zinazofafanua mchakato wa kushirikisha wadau wakati wa
utekelezaji wa Mradi. Sehemu 1 ya Kanuni, Kifungu cha 17 (Ushiriki waumma) inamhitaji mwendelezaji
waMradi kutafuta maoni ya mtu yeyote ambaye anaathiriwa au anaweza kuathiriwa na Mradi. Kifungu
hichi kinaeleza zaidi kwamba, katika kutafuta maoni ya umma, mambo yafuatayo yanapaswa kufanywa:
Kuutangaza Mradi pamoja na athari/hasara na faida zake kwa;
- Kuweka matangazo katika maeneo muhimu ya umma karibu na eneo la Mradi tarajiwa ili
kuwajulisha waathiriwa wa Mradi pamoja na jamii;
- Kutoa tangazo kuhusiana na Mradi pendekezwa kwa wiki mbili mfululizo katika gazeti ambalo
linapatikana karibu nchi nzima;
- Kutoa tangazo la taarifa ya Mradi kwa lugha ya Kiswahili na kingereza katika redio ambayo
inasikika karibu nchi nzima walau mara moja kwa wiki kwa kipindi cha wiki mbili;
Ikiwezekana, fanya mkutano wa hadhara na pande iliyoathiriwa na wanajamii kuelezea Mradi na
faida zake, na kupokea maoni yao watakayotoa kwa njia ya mdomoau maandishi;
Hakikisha kwamba taarifa stahiki zimetumwa walau wiki moja kabla ya mkutano na kwamba
ukumbi na muda wa mkutano unawafaa wanajamii waliosthiriwa pamoja na pande nyingine
zinazohusika; na
Hakikisha kwamba, mratibu mwenye sifa stahiki anateuliwa ili kupokea na kurekodi maoni yote
yanayotolewa kwa njia ya mdomo na maandishi na tafsiri yoyote ya maoni yote yanayotolewa
wakati wa mikutano.
Siku hizi, njia mpya na ya haraka ya mawasiliano hutumika (kwa mfano, simu za mkononi) kuujulisha
umma. Kwa ujumla, mikutano hupangwa kupitia uongozi wa kijiji isipokuwa kama Mradi unachukua
nchi nzima na mikutano ni katika ngazi ya kitaifa.
Kulingana na Sheria ya Usimamizi wa Mazingira (EMA, 2004), mchakato wa kuipitia ripoti ya tathmini
ya athari unapaswa pia kufanyika kwa kushirikisha umma. Katika mazingira haya basi, ripoti zote
zinazohusiana na Mradi, nyaraka na maandishi yaliyowasilishwa yanahitaji kuwekwa wazi wakati wa
kipindi cha mapitio mpaka kipindi hichi cha mjadala wa umma kitakapokamilishwa.
2.1.2 Matakwa ya Tanzania ya ushiriki wa umma wakati wa utwaaji wa ardhi
Sheria ya Utwaaji wa Ardhi ya mwaka 1967 ni sheria kuu inayosimamia utwaaji wa ardhi ndani ya
Tanzania. Sehemu ya 3 na 4 ya sheria inampa mamlaka Raisi kutwaa ardhi katika eneo lolote kwa
kuzingatia kwamba ardhi hiyo inahitajika kwa manufaa ya umma kama vile kwa matumizi ya ujumla ya
www.erm.com Toleo3.0 Namba ya Mradi.:0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 2-9
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
KM 350 - 535
serikali, matumizi ya ujumla ya umma, Mradi wowote wa serikali, kuendeleza huduma za kijamii au
maendeleo ya maendeleo ya kibiashara ya aina yeyote.
Sheria ya ardhi ya mwaka 1967 (Sehemu ya 5 mpaka 18) inatoa muongozowa kufwata pale ambapo
kuna ulazima wa kutwaa ardhi. Ukijumuisha, taarifa kutolewa kwa pande zote zenye maslahi au wote
wanaodai kuwa na maslahi katika ardhi hiyo (Sehemu 6); Uchunguzi wa ardhi ili kuthibitisha ubora wake
kwa lengo linalokusudiwa, taarifa kwa mmiliki/wamiliki wa ardhi kuwajulisha juu ya maamuzi ya kutwaa
ardhi yao; na malipo ya fidia kwa wale watakao kuwa wameathiriwa.
Kwa kuongezea, Sheria zinazoongoza utwaaji wa ardhi na ulipaji wa fidia kwa Tanzania ni:
Sheria ya ardhi ya mwaka 1999 – inatoa muongozo wa kisheria kwa aina mbili za ardhi ya
Tanzania: Ardhi ya jumla(General Land) na Ardhi iliyohifadhiwa (Reserved Land).
Sheria ya Ardhi ya Vijiji ya mwaka 1999 –inatoa maelezo juu ya usimamizi wa ardhi ya Vijiji.
Lengo la sheria hii ni kutambua na kulinda haki za kimila katika ardhi kwa jamii za vijijini.
Sheria ya Ardhi ya Vijiji ya mwaka 1999 na Sheria ya Ardhi ya mwaka 1999, zinafafanua namna ya
kusikiliza, kuishughulikia na kwenda mbele zaidi mogogoro kuhusiana na masuala ya ardhi. Kulingana
na matakwa ya sheria za Tanzania, wananchi lazima washiriki katika kufanya maamuzi juu ya mambo
yanayohusiana na umiliki wao wa ardhi. (Sera ya nchi ya Ardhi na Sheria ya Ardhi ya mwaka 1999).
Hata hivyo, viwango vya kimataifa (IFS Ps 5) zinahijaji mchakato wa kina zaidi wa ushirikishaji zaidi ya
uliobainishwa na sheria za ndani ya nnchi, sambamba na mwendelezo wa ushirikishaji katika zoezi
zima la uhamishaji wa makazi ya watu.
2.2 Matakwa/Mahitaji ya Kimataifa
2.2.1 Matakwa/Mahitaji ya Viwango vya IFC
Viwango vya Shirika la Fedha la Kimataifa (IFC PS) katika katika uendelezaji wa mazingira na jamii
vinazingatiwa kama msingi wa utendaji mzuri wa kusimamia mazingira na masuala ya kijamii kwa
maendeleo ya sekta binafsi. Viwango vya IFC vinamhitaji mwendelezaji waMradi kushirikisha jamii
iliyoathiriwa na shughuli za Mradi kwa kutoa taarifa, kufanya mashauriano na kuhakikisha wadau
wanashiriki katika namna ya kuzingatia hatari na athari za Mradi kwa jamii.
Viwango vya IFC hujumuisha miongozo maalumu katika kuwashirikisha wadau wakati wa awamu ya
maandalizi na wakati wote wa shughuli za Mradi.
Matakwa ya kushirikisha wadau yameorodheshwa katika Kiwango (PS 1): Tathmini na Usimamizi wa
hatari na athari za kimazingira na Kijamii. Matakwa muhimu ya mashauriano na utoaji wa taarifa kwa
kipindi chote cha maisha ya Mradi zimewekwa kwa muhtasari katika Sanduku 2-1.
Sanduku 2-1Muhtasari wa Kiwango Namba 1 cha IFC (IFC PS 1)
Uchambuzi wa Wadau na Mpango wa Kuwashirikisha
Ushirikishaji wa wadau ni mchakato endelevu ambao unaweza kujumuisha katika namna ya utofauti mambo yafuatayo: Uchambuzi wa wadau na uwekaji wa mipango, utoaji na usambazaji wa taarifa, mashauriano na ushiriki, mfumo wa kupokea na kutatua malalamiko na kuendelea kutoa taarifa kwa wadau walioathiriwa.
Utoaji wa Taarifa Sahihi za Mradi
Kuwapatia wadau walioathiriwa na shughuli za Mradi njia ya kupata taarifa stahiki (i) Lengo, aina na ukubwa wa Mradi, (ii) muda wa shughuli za Mradi zilizopendekezwa, (iv) mchakato unaokusudiwa wa kushirikisha wadau na (v) mfumo wa kupokea na kushughulikia malalamiko.
Mashauriano
Mashauriano yatafanyika kwa kuzingatia kiwango cha athari za Mradi na yanapaswa: (i) kuanza mapema na kuendelea katika kipindi cha Mradi (ii) yazingatie taarifa zilizotolewa awali za Mradi na taarifa za Mradi zinazoweza kupatikana kwa urahisi (iii) Zingatia ushirikishaji kwa wale ambao wameathiriwa moja kwa moja (iv)
www.erm.com Toleo3.0 Namba ya Mradi.:0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 2-10
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
KM 350 - 535
Kusiwe na muingiliano kutoka nnje na misukumo ya nnje (v) Wezesha ushiriki wenye maana (vi) Weka kumbukumbu ya mashauriano.
Mashauriano ya kuhabarisha na Ushiriki
Kwa miradi yenye uwezekano wa kuwa na athari kubwa kwa wadau, fanya mchakato wa mashauriano ya kuhabarisha na ushiriki wa wadau. Inapaswa kujumuisha, majadiliano ya kina kubadilishana mawazo na taarifa na mashauriano ambayo yamepangiliwa vizuri kuruhusu kila mdau ashiriki, itakayopelekea Mradi kujumuisha mawazo ya wadau katika mchakato wa kufanya maamuzi katika mambo ambayo yanawaathiri moja kwa moja, kama vile njia za kuzuia zilizopendekezwa, ushirikishaji wa faida na fursa, na mambo yanayotekelezwa. Mchakato unapaswa kurekodiwa hasa njia ambazo zimechukuliwa ili kuepuka au kupunguza hatari na athari kubwa kwa wadau.Wadau wanapaswa kuhabarishwa kuhusu namna ambavyo mawazo yao yamezingatiwa.
Mawasiliano ya Nnje
Implement and maintain a procedure for external communications that includes methods to (i) receive and register external communications from the public; (ii) screen and assess the issues raised and determine how to address them; (iii) provide, track, and document responses, if any; and (iv) adjust the management program, as appropriate. In addition, clients are encouraged to make publicly available periodic reports on their environmental and social sustainability.
Tekeleza na dumisha taratibu za mawasiliano ya nnje ambazo hujumuisha njia ya (i) Kupokea na kusajili mawasiliano ya nnje kutoka kwa umma, (ii) Chambua na fanya tathmini ya jambo hilo lililotolewa na fanya maamuzi ya namna ya kulishughulikia (iii)Toa, fuatilia na rekodi mrejesho, kama upa; na (iv) rekeisha mpango wa kusimamia kama inavyotakiwa. Kwa kuongezea; wamiliki wa Mradi wanahimizwa kuweka wazi kwa umma, ripoti za kila msimu za uendelevu wa mazingira na masuala ya kijamii.
Mfumo wa kupokea malalamiko kutoka kwa Wadau Walioathiriwa na Kuyashughulikia
Anzisha mfumo wa kupokea malalamiko na kuwezesha ufumbuzi wa maoni na malalamiko ya wadau walioathiriwa kuhusu utendaji wa wamiliki wa Mradi katika suala la mazingira na jamii.
Kuendelea kutoa Taarifa kwa Wadau Waliothiriwa
Toa ripoti za kila msimu kwa wadau walioathiriwa ambazo zinaelezea maendeleo na utekelezaji wa Mpango Mkakati wa Mradi juu ya masuala ambayo yanahusu hatari zinazoendelea au athari kwa wadau walioathiriwa na kwa mambo ambayo mchakato wa mashauriano au mfumo wa kupokea malalamiko umebainisha kama ni wasiwasi/wazo la hao wadau. Viwango vya utendaji vinaelekeza kwamba, baada ya kumalizika kwa mchakato wa tathmini ya athari za mazingira, mashauriano na utoaji wa taarifa lazima uendelee kwa kipindi chote cha mzunguko wa maisha ya Mradi (Awamu ya ujenzi na Uendeshaji)
Viwango vya utendaji vya IFC (IFC PSs) pia vina mahitaji ya ushiriki na mashauriano na wadau ili
kusimamia athari maalumu kama zinavyoelezewa katika Viwango vingine vya utendaji katikaJedwali
2-1; Mpango huu wa Ushiriki wa wadau (SEP) pia umezingatia mahitaji haya ya ziada:
Jedwali 2-1 Viwango Vingine vya IFC Vinavyohusika
Viwango Mambo muhimu yaliyomo
Kiwango cha utendaji namba
2 (PS2): Nguvu kazi na
Mazingira ya Kufanyia Kazi
Inatambua kuwa, shughuli za kukuza uchumi kupitia utengenezaji wa ajira na
uzalishaji wa kipato lazima ziwe na usawa kwa kulinda haki za msingi za
wafanyakazi.
Inatambua kuwa, usimamizi mzuri wa mahusiano ya wafanyakazi pamoja na
mazingira salama na ya afya ya ufanyaji kazi yanaweza kuongeza ufanisi na
uzalishaji.Kwa hiyo basi, inahitaji ushirikishanaji kati ya wamiliki wa Mradi na
wafanya kazi wao pamoja na mfumo wa kuwasilisha malalamiko.
Ingawa nguvu kazi (Wafanyakazi) wamebainishwa katika mpango huu wa
ushiriki wa wadau kama wadau muhimu wa Mradi, ishirikishaji na usimamizi
wa malalamiko yao upo nnje ya wigo wa mpango huu, upo mpango wa tofauti
wa kusimamia masuala yao
Kiwango cha utendaji namba
4 (PS 4): Afya ya Jamii,
Usalama na Ulinzi
Inatambua kwamba, shughuli za Mradi, vifaa na miundombinu huleta faida
kwa jamii ikijumuisha ajira, huduma na fursa za maendeleo ya uchumi.Hata
hivyo Mradi unaweza ukaongeza uwezekano wa jamii kuwa katika hali ya
hatari.
www.erm.com Toleo3.0 Namba ya Mradi.:0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 2-11
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
KM 350 - 535
Viwango Mambo muhimu yaliyomo
Pale ambapo shughuli za Mradi zinaleta hatari ya kuwa na athari kubwa katika
afya, usalama na ulinzi kwa jamii, wamiliki wa Mradi wanapaswa kuweka wazi
taarifa stahiki (ikijumuisha taarifa za Mpango Mkakati), katika namna iliyo
sahihi, kwa upande ulioathiriwa na mamlaka za serikali ili waweze kuelewa
aina na kiasi cha hatari hizo.
Kiwango cha utendaji namba
5 (PS 5): Utwaaji wa Ardhi na
Uhamishaji wa makazi ya
watu usioepukika.
Inatambua kwamba shughuli za utwaaji wa ardhi na kuzuia kutumia ardhi
kutokana na shughuli za Mradi inaweza ikawa na athari kubwa kwa jamii na
watu wanaotumia hiyo ardhi.
Pale ambapo Mradi utaathiri jamii ya eneo hilo, waendelezaji wa Mradi
watafanya mashauriano ya kuhabarisha na kushirikisha watu na jamii
iliyoathiriwa katika kufanya maamuzi yanayohusiana na uhamishaji
Kiwango cha utendaji namba
6 (PS 6): Uhifadhi wa Viumbe
hai na Usimamizi endelevu wa
Rasilimali
Inatambua kwamba kulinda na kuhifadhi viumbe hai ni muhimu katika
kuyafikia maendeleo endelevu.
Pale ambapo Mradi unaweza kuleta athari kwa maeneo yaliyohifadhiwa
kisheria au katika makazi maalumu ya viumbe hai, mashauriano na
mamlaka husika, wataalamu na jamii lazima yafanyike.1
Kiwango cha utendaji namba
7 (PS 7): watu wa Asili
Inatambuwa watu watu wa asili kama kundi la tofauti katika jamii, na mara
nyingi ni miongoni mwa makundi yaliyosahaulika na yaliyo katika mazingira
hatarishi. Mara nyingi, hali zao za kiuchumi, kijamii na kisheria zinazuia uwezo
wao wa kulinda haki zao, maslahi yao na matakwa yao katika ardhi, rasilimali
za asili na za utamaduni na inaweza kuwazuia uwezo wao wa kushiriki katika
maendeleo na kufaidika pia.
Pale ambapo Mradi una athari kwa watu wa asili, mwendelezaji wa mradi
ataanzisha na kuendeleza mahusiano endelevu yanayozingatia mashauriano
ya kuhabarisha na ushiriki wa watu wa asili kwa kipindi chote cha mzunguko
wa maisha ya Mradi. Zaidi ya hayo, mwendelezaji wa Mradi atahakikisha kuna
ushirikishaji huru, wa mapema na kupata ridhaa kutoka kwa jamii ya watu wa
asili walioathiriwa na shughuli za Mradi.
Kiwango cha utendaji namba
8 (PS 8): Urithi wa Utamaduni
Inatambua umuhimu wa urithi wa utamaduni kwa vizazi vya sasa na vya
baadae na ipo thabiti na makubaliano yahusuyo ulinzi wa urithi wa dunia wa
utamaduni na mali asili.
Pale ambapo urithi wa utamaduni unaweza athiriwa na shughuli za Mradi
(Kwa mfano, makaburi) , waendelezaji wa Mradi watafanya mashauriano na
jamii pamoja na mamlaka husika za nchi zenye majukumu ya kuhifadhi hayo
maeneo.
Chanzo: Imekusanywa na ERM, Januari 2019
2.2.2 Muongozowa Benki ya Ulaya Katika Masuala ya Ujenzi na Maendeleo (EBRD) katika Usimamizi wa Malalamiko
Muongozo wa Benki ya Ulaya Katika Masuala ya Ujenzi na Maendeleo (EBRD) katika Usimamizi wa
Malalamiko unachukuliwa kama msingi wa utendaji mzuri katika suala la kufafanua mfumo wa kupokea
na kushughulikia malalamiko . Maelezo ya muongozo huu, yanabainisha kwamba, kushughulikia
malalamiko, ni muhimu kwa mkakati wa ushirikiano wa wadau thabiti na, kwa uwazi, kwa mafanikio ya
utekelezaji wa mradi. Maelezo ya muongozo huu yanaelezea jinsi mchakato wa malalamiko unapaswa
kuanzishwa, kukiwa pia na nguvu kazi kwa ajili ya kushugulika na mfumo huu wa kupokea na
kushughulikia malalamiko pamoja na mipangilio iliyowekwa na mwendelezaji wa Mradi katika
kudumisha usiri na kuzingatia muda uliofafanuliwa kwa ajili ya kutatua malalamiko.
1Mradi hauathiri eneo lolote la hifadhi ya kisheria au makazi maalumu ya viumbe hai
www.erm.com Toleo3.0 Namba ya Mradi.:0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 2-12
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
KM 350 - 535
Muda uliobainishwa katika muongozo kama utendaji mzuri ni siku 7 za kukubali malalamiko na siku 30
za kuyatafutia ufumbuzi. Maelezo ya muongozo pia yanatoa njia nzuri ya kiolezo cha fomu ya
malalamiko na maktaba ya taarifa, orodhesha aina ya taarifa za kujaza katika zana hizi na jinsi
malalamiko yanavyoweza kusimamiwa kwa ujumla.
www.erm.com Toleo3.0 Namba ya Mradi.:0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 3-13
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
KM 350 - 535
3. MUHTASARI WA USHIRIKI WA WADAU HAPO AWALI
3.1 Ushiriki wakati wa tathmini ya athari za mazingira na masuala ya kijamii (ESIA)
Kama sehemu ya tathmini za athari za mazingira na masuala ya kijamii (ESIA), Mfumo wa Ushiriki wa
Wadau (SEF) ulijumuishwa kama Kiambatanisho E.
Maandalizi ya tathmini yalihusisha ushiriki wa jamii na wadau kupitia utoaji wa taarifa za Mradi na
mashauriano na wadau wa mikoa na wilaya na wanajamii katika vijiji na mitaa. (angalia Kipengele
1.6.2.2 cha ripoti ya ESIA). Zifuatazo ni shughuli kuu za mashauriano zilizofanyika kwa ajili ya tathmini
ya athari za mazingira na masuala ya kijamii:
Kubainisha wadau muhimu kama sehemu ya kuandaa Mfumo wa awali wa Kushirikisha Wadau
(Kiambatanisho E kwenye ripoti ya ESIA)
Mashauriano kwa lengo la kukusanya taarifa halisi za kiuchumi na kijamii na viongozi wa serikali
za mitaa ikijumuisha maafisa wa kata na vijiji kwa Lot 1 - Pugu, Soga, Ngerengere na Lot 2 -
Mkata, Gulwe, Bahi, Kintiku, Zuzu na Makutopora1;
Kufanya uchunguzi katika kaya kumi na tano katika kila makazi yaliyofanyiwa uchunguzi;
Kufanya majadiliano katika vikundi vya makundi ya aina tofauti katika jamii: viongozi wa kata,
vikundi vya kiuchumi, wazee wenye ushawishi, vikundi binafsi vya kusaidiana, viongozi wa
michezo, walimu, vikundi vya kujiingizia kipato, wafugaji, wakulima, wanawake, walemavu na
wafanyabiashara;
Mikutano ya hadhara ya mashauriano katika makazi 10 yaliyofanyiwa uchunguzi: Lot 1 -
Ngerengere, Soga na Pugu na Lot 2 - Makutupora, Kinkintu, Bahi, Zuzu, Ihumwa, Mkata,
Msamvu.Muhtasari wa masuala yaliyobainishwa wakati wa hii mikutano yamebainishwa katika
jedwali 5.2 Kipengele cha 5.2 cha ripoti ya ESIA. Mada zenye maslahi kwa jamii zilijumuisha:
- utwaaji wa ardhi na fidia;
- usalama wa umma;
- ajira;
- kuathirika na virusi vya UKIMWI na UKIMWI na magonjwa mengine yanayosambazwa kwa
njia ya ngono;
- Usimamizi wa taka ngumu na taka maji wakati wa ujenzi na uendeshaji;
- Mifereji, mafuriko na masimbi/matope ya mto;
- uondoaji wa miundombinu na mifumo ya huduma za kijamii ndani ya njia ya reli;
- kuongezeka kwa msongamano;
- utoaji wa huduma
Shughuli za kampeni ya ushirikishaji wadau za TRC
Kufuatia shughuli za ushirikishaji wadau zilizofanyika kwenye zoezi la tathmini ya athari za mazingira
na masuala ya kijamii (ESIA) , TRC na YM kwa pamoja walifanya kampeni ya kuwahabarisha wanajamii
kuhusu Mradi na mambo yanayohusiana na utekelezaji wake. Kampeni ilijumuisha mikutano kuanzia
Dar es Salaam mpaka Makutopora na zilimalizika mwezi mei 2018 na ilifuatiwa na mikutano ndani ya
mkoa wa Morogoro mwezi Agusti 2018.
1Kata nyingine na vijiji vimeathiriwa pia na Mradi; Lakini sampuli yake tu kama ilivyoorozeshwa hapo juu vilijumuishwa katika
wigo wa ushiriki wa wadau
www.erm.com Toleo3.0 Namba ya Mradi.:0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 3-14
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
KM 350 - 535
Mfano wa mikutano ya kampeni za kuongeza ufahamu kwa Lot 1 ilijumuisha kuongea na watu
wanaokadiriwa kuwa 940 kotoka vijiji vya Chibwe, Chimwaga na Igandu(kata yaIgandu), wafanyakazi
wa reli katika stesheni za Dodoma, Kintinku naMakutupora(wilaya ya Manyoni ) na Bahi .
Kwa kuongezea, TRC pia wanafanya mashauriano na jamii kama inavyotakiwa na sheria za Tanzania
katika mchakato wa kutwaa ardhi na kuondoa miundombinu mbalimbali ndani ya njia ya reli. Zaidi ya
mashauriano na jamii, TRC pia imekuwa ikishirikisha mamlaka mbalimbali na kufanya mashauriano ya
pamoja pale inapohitajika. Moja ya mfano wa mazingira hayo rejea mchakato wa uhamishaji wa
makaburi yaliyobainishwa kuwa ndani ya njia ya reli.
3.2 Shughuli za Ushirikishaji wadau za YM
YM imefanya shughuli mbalimbali za kushirikisha wadau pamoja na mashauriano ili kuongeza
ufahamu kuhusu Mradi na pia kutoa mafunzo ya usalama. Shughuli zifuatazo zilifanyika:
mikutano ya pamoja na TRC ili kuongeza ufahamu wa wanajamii kuhusu Mradi;
mafunzo ya usalama kwa jamii wakati wa ujenzi (mfano katika vijiji vya Kimamba, Mafuru,
Mkadage villages na Mkwatanindani ya Kilosa mjini);
ufahamu kuhusu Viruso vya UKIMWI na mafunzo ya uzazi wa mpango;
elimu ya mazingira;
shughuli za misaada ya kijamii kama sehemu ya uwajibikaji kwa jamii kwa jamii zilizoathiriiwa na
shughuli za Mradi;
mikutano ya kila mwezi na jamii ili kujadili malalamiko kuhusiana na Mradi na kuwapa mrejesho
juu ya maendeleo ya mradi na mchakato wa kushughulikia malalamiko.
Orodha ya shughuli za ushirikishaji wadau zilizofanywa na TRC imejumuishwa kama Kiambatanisho
A cha Mpango huu wa Ushiriki wa Wadau.
www.erm.com Toleo3.0 Namba ya Mradi.:0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 4-15
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
KM 350 - 535
4. WADAU WA MRADI
4.1 Kuwatambua Wadau
Wadau waliobainishwa na kutambuliwa mpaka sasa ni pamoja na taasisi na watu binafsi ambao
wanaweza kuathiriwa kwa namna moja au nyingine (athari hasi au chanya) na Mradi au wanaweza
kuwa na athari juu ya jinsi mradi unavyotekelezwa.
Wadau waliotambuliwa na kujumuishwa katika shughuli za ushirikishaji wanakidhi moja ya vigezo
vifuatavyo:
Wana maslahi na Mradi
Wanaweza wakaathirika na mradi au wana ushawishi katika Mradi (hasi au chanya); au
Wanaweza wakatoa maoni juu ya mambo na masuala yanayohusiana na Mradi.
Wadau wamewasilishwa katika Jedwali4-1 ikiwa ni pamoja na maelezo ya uhusiano wao na Mradi.
Taarifa hii imetolewa ili kuzingatia njia zinazofaa za kutoa habari na kushauriana na makundi
mbalimbali. Orodha ya wadau, ikiwa ni pamoja na maelezo ya mawasiliano, imejumuishwa katika
Kiambatanisho B cha Mpango huu wa Ushiriki wa Wada
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 4-16
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
KM 350 - 535
Jedwali4-1 Orodha ya Aina ya Wadau
Ngazi Kundi la Wadau Uhusiano na Mradi Wadau
Taifa ■ Serikali ya Tanzania
■ Mamlaka za Taifa za Udhibiti
■ Wizara Muhimu
■ Mashirika na Taasisi za Serikali
Serikali ina jukumu la kuanzisha sera, kutoa vibali na idhini nyingine kwa
ajili ya Mradi, na kufuatilia na kuhakikisha Sheria za Tanzania
Zinazingatiwa katiika ngazi zote za mzunguko wa maisha ya Mradi
Mamlaka za Taifa za Udhibiti
■ Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC)
■ Ofisi ya Makamu wa Raisi – Kitengo cha Mazingira
Wizara Muhimu na Idara za Wizara
■ Wizara ya Kazi, Usafirishaji na Mawasiliano
■ Wizara ya Nishati
■ Wizara ya Madini
■ Wizara ya Kilimo
■ Wizara ya Maliasili na Utalii
■ Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto
■ Wizara ya maji
■ Wizara ya Mifugo na Uvuvi
Shirika La Utekelezaji la Taifa
Shirika la Reli la Tanzania (TRC)
Mashirika, Mamlaka, Taasisi
na idara
Mashirika binafsi yaiyofadhiliwa na serikali kwa ajili ya
kusimamia shughuli maalumu.
Mashirika, Mamlaka, Taasisi na Idara zinaweza kuwa na ardhi au mali
nyingine yeyote ambayo inaweza kuathiriwa na Mradi.TANESCO ni
wamiliki wa njia ya kupitisha umeme na mtandao wa umeme ambao
Mradi utaunganishwa.
Maabara ya Mkemia wa Serkali (GCLA)
Shirika la Umeme la Tanzania (TANESCO)
Mamlaka ya Usalama na Afya Kazini (OSHA)
Shirika la Barabara la Tanzania (TANROADS)
Mamlaka ya Bonde la Mto Wami/Ruvu
Mamlaka ya Udhibiti wa Safari za Majini na Nnchi Kavu (SUMATRA)
Taasisi ya Uthibitishaji Mbegu ya Tanzania(TOSCI)
Shirika la Huduma za Misitu (TFS)
Taasisi ya Utafiti wa wanyama Pori ya Tanzania (TAWIRI)
Hifadhi za Taifa (TANAPA)
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA)
Shirika la Simu la Tanzania Tanzania (TTCL)
Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA)
Serikali za Mikoa na Serikali
za Mitaa
■ Mamlaka ya Serikali za Mikoa Secretarieti ya mkoa wana jukumu la kutekeleza sheria, na kuandaa
mipango na sera katika ngazi ya mkoa. Hii inajumuisha kutoa ruhusa
ya kutwaa ardhi na kuhamisha
Sekretarieti ya mkoa wa Dar es Salaam
Sekretarieti ya mkoa wa Pwani
Sekretarieti ya mkoa wa Morogoro
Sekretarieti ya mkoa wa Dodoma
Sekretarieti ya mkoa wa Singida
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 4-17
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
KM 350 - 535
Ngazi Kundi la Wadau Uhusiano na Mradi Wadau
Engineers Registration Board (ERB)
Contractors Registration Board (CRB)
Wilaya na Manispaa ■ Mamlaka za serikali za Wilaya
■ Mamlaka za serikali za Mitaa
Uongozi wa wilaya/Manispaa pia wana mamlaka katika jukumu la
kuhamisha makazi ya watu
Kwa kuongezea, wilaya na manispaa pembezonii mwa reli ya SGR
zitaathirika na shughuli za Mradi na watahitaji kuhabarishwa kuhusu
maendeleo na mipango katika maeneo yao, kuzingatia shughuli za
mradi katika uandaaji wao wa sera, usimamizi pamoja na majukumu na
kazi nyingine
Manispaa ya Ilala
Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe
Halmashauri ya Wilaya ya kibaha
Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze
Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro Vijijini
Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro Mjini
Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero
Halmashauri ya Wilaya ya kilosa
Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
Halmashauri ya Wilaya/Manispaa ya Dodoma
Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino
Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni
Mamlaka za Vijiji na Kata ■ Wawakilishi wa serikali za Vijiji na Kata
■ Kamati za mali asili za Vijiji
Viongozi wa kata na vijiji (Watendaji wa kata na vijiji) ni wawakilishi wa
wananchi katika ngazi ya vijijij na kata.Hawa ni viongozi muhimu katika
ngazi za chini. Mikutano katika ngazi hii itafuata miongozo ya kata na
vijiji na inapaswa kufanyika baada ya mawasiliano ya kutosha ndani ya
jamii ili kuheshimu mifumo ya kisiasa na kijamii
Uongozi katika ngazi ya kata na vijiji ambao ulijumuishwa katika eneo lenye ushawishi
(ndani ya mita 250) kutoka kwenye reli au wale wenye ardhi/misitu ndani ya eneo la mita
250 ni:
■ Watendaji wa kata (WEO)
■ Watendaji wa Vijiji (VEO)
■ Wazee wa vijiji na mabarasa ya watu wenye makazi yalioathirika
■ Kamati za mali asili za kijiji
Jamii au Makazi ■ Jamii zilizoathirika na Mradi ndani ya mita 250 katika kila pande kutoka katikati mwa reli
■ Wamiiki wa ardhu na watumiaji
■ Wanajamii wanaotumia njia za kupita ili kupata mali asili zilizopo karibu
■ Miundombinu ya kijamii/umma pamoja na huduma
Kaya na jamii ambazo zinaweza kuathirika moja kwa moja au kwa
namna ingine na shughuli za mradi pendekezwa. Hii inajumuisha watu
wanaoishi katika ardhi iliyoathiriwa na Mradi kupitia utwaaji wa ardhi au
kwa athari za kimazingira na kijamii, na watu wengine ambao
hutembelea au hutumia malighafi ambazo zinzweza kuwa zimeathiriwa
na shughuli za Mradi.
Wadau muhimu ni wamiliki wa ardhi na watumiaji wa ardhi.Jamii hizi
zinahitaji kushirikishwa kuhusu athari za Mradi katika awamu ya ujenzi
na uendeshaji.Kaya zinazomiliki ardhi watahitaji kufahamishwa kuhusu
mpango wa kuchukua ardhi na kipi cha kutokufanya katika ardhi,
kushiriki katika kukamilisha makubaliano kuhusu ulipaji fidia na
urudishaji upya wa shughuli za kujipatia riziki na kuwa na jukumu la
kumiliki matokeo ya utekelezaji wa hizi taratibu.
Mkoa wa Dar es Salaam:
Kata katika wilaya ya Temeke: Sandali, Changombe, Keko, Kurasini, Temeke
Katika katika wilaya Ilala: Ukonga, Kipawa, Gerezani, Gongolamboto, Kivukoni, Kiwalani,
Mchafukoge, Vingunguti
Kata katika wilaya Kinondoni: Kibamba
Mkoa wa Pwani:
Kata katika wilaya ya Kisarawe:Kisarawe, Kiluvya, Vihingo
Kata katika wilaya ya Kibaha:Soga, Janga, Ruvu,Kwala, Magindu
Mkoa wa Morogoro:
Kata katika wilaya ya Morogoro vijijini: Kidugalo, Ngerengere, Mikese, Mkambalani
Kata katika wilaya ya Morogoro mjini: Kingolwira, Bigwa, Kihonda, Msamvu, Lukobe
Kata katika wilaya ya Mvomero: Mzumbe and Melela
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 4-18
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
KM 350 - 535
Ngazi Kundi la Wadau Uhusiano na Mradi Wadau
Kata katika wilaya ya Kilosa: Chanzuru, Mabwerebwere, Kimamba 'A', Mkwatani, Mbumi,
Kasiki, Magomeni, Masanze, Kidete
Mkoa wa Dodoma:
Kata katika wilaya ya Mpwapa:Gode, Kimagai, Ving'hawe, Mazae, Chunyu
Kata katika wilaya ya Dodoma vijijini:Gandu, Handali, Msamalo, Ibihwa, Kigwe, Chikola,
Mpamantwa, Bahi
Kata ndani ya Dodoma mjini:Kikombo, Mtumba, Dodoma Makulu, Tambukareli, Kilimani,
Kikuyu South, Mkonze, Zuzu,Ihumwa.
Mkoa wa Singida :
Kata katika wilaya ya Manyoni: Kintinku, Makanda, Maweni
Watu/makundi yaliyo hatarini Makundi yaliyo hatarini katika eneo la tathmini Makundi yaliyo hatarini yanaweza kuathiriwa na mradi kwa sababu ya
ulemavu wao, nafasi yao ya kijamii na kiuchumi, elimu ndogo, ukosefu
wa ajira au nafasi ya kuwa na ardhi.
Njia sahihi za ushirikishaji zitatumika ili kuhakikisha makundi haya
yanapata taarifa stahiki kuhusiana na mradi na wanashiriki kikamilifu.
Makundi yaliyo hatarini katika eneo la tathmini/Mradi yanajumuisha:
■ Makundi ya kikabila, Mfano Wamasai
■ Wazee (zaidi ya miaka 60)
■ Wanawake na wasichana
■ Vijana wanaume wasio na ajira/wanaume watu wazima
■ Yatima au kaya zinazosimamiwa na mayatima
■ Watoto
■ Watu wenye ulemavu
■ Watu wanaoishi na magonjwa ya muda mrefu, kwa mfano Virusi vya UKIMWI na UKIMWI
■ Vijana
Asasi za Kiraia ■ Mashirika ya kijamii (CBOs)
■ Jamii au ushirika mwingine
■ Taasisi za utafiti na elimu
Mashirika yenye maslahi ya moja kwa moja na Mradi na masuala yake
ya kimazingira na kijamii na ambayo yana uwezo wa kutoa ushawishi
katika mradi moja kwa moja au kupitia maoni ya umma.
Mashirika hayo yanaweza pia yakawa na taarifa muhimu na ufahamu
na yanaweza kuwa wabia katika Mradi katika maeneo yenye maslahi
ya pamoja kama vile utekelezaji wa uwekezaji katika jamii
■ Mashirika ya kijamii (CBO) katika kila wilaya
■ Jamii au Ushirika katika kata na vijiji
■ Taasisi ya Teknolojia ya Reli ya Tanzania (TIRTEC)
Mashirika Yasiyo ya Serikali
(NGOs)
■ Kimataifa
■ Kitaifa
■ Katika mitaa
Mashirika yasiyo ya serikalia (NGOs) yenye maslahi tofauti katika
mradi na masuala yake ya kimazingira na kijamii na yenye uwezo wa
kutoa ushawishi katika Mradi moja kwa moja au kupitia maoni ya
umma. Mashirika haya yanaweza pia yakawa na taarifa muhimu na
ufahamu juu ya mambo ya ndani na ya kimataifa yanayoibuliwa na
Mradi. Mashirika yasiyo ya kiserikali ya kimataifa yanajumuisha taasisi
zilizopo hapa Tanzania na zile ambazo zipo nnje ya Tanzania zenye
maslahi na Mradi. Zinajumuisha NGOs za kimataifa , mashirika ya
mataifa na mashirika ya kimataifa.
Mashirika yasiyo ya kiserikali ya ndani ya nnchi na ya kimataifa yanayopatikana katika eneo
la utafiti ni :
■ Mashirika yasiyo ya kiserikali ya kimataifa na makundi ya hatakati
■ Aga Khan Foundation (Tanzania)
■ IUCN
■ CARE
■ Tanzania Forest Conservation Group
■ WWF (Regional Ofisi ya kanda kwa Africa / WWF Tanzania)
■ Birdlife International (Tanzania)
■ African Wildlife Foundation (AWF)
Makundi mengine yenye
maslahi:
■ Vyombo vya habari
■ Wasimamizi wa sheria Vyombo vya habari katika ngazi ya manispaa na mitaa vitakuwa na
kiwango kikubwa cha ushawishi kuhusiana na Mradi na vinaweza
kushawishi mtazamo wa wadau kuhusiana na Mradi
Wabia muhimu wa
kibiashara
■ Wakandarasi
■ Wasambazaji na watoa huduma
■ Biashara nyingine zinazofanya kazi katika jamii
■ Benki za kitaifa na kimataifa
Taasisi, biashara na watu binafsi wenye maslahi ya moja kwa moja na
Mradi; Kwa mfano kuendesha biashara au kutoa huduma kwenye
Mradi
■ Wakandarasi: Yaate (Ulipuaaji), Nitro (usambazaji wa vilipuaji), Kama Steel, Guruka Kwala (Usafirishaji wa taka hatarishi), Mwanza Environmental Symphathisizers (chuma chakavu), Puma energy
■ Wabia: Mota Engil, KORAIL
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 4-19
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
KM 350 - 535
Ngazi Kundi la Wadau Uhusiano na Mradi Wadau
■ Wengineo ■ Benki
■ Biashara katika eneo la utafiti/mradi
Wadau waliobainishwa hapo juu wamechambuliwa kulingana na ushawishi wao na uhusika wao katika Mrad
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 5-20
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
KM 350 - 535
5. MBINU ZA KUSHIRIKISHA NA MPANGO WA SHUGHULI
5.1 Maelezo ya jumla
Mpango huu wa Ushiriki wa Wadau (SEP) umeundwa hasa kwa kwa ajili ya shughuli za awamu ya
kabla ya ujenzi na baada ya ujenzi. Kwa kipindi kirefu cha uendeshaji wa SGR (miaka 100) na uondoaji
hapo baadae, YM itaukabidhi Mradi kwa TRC, ambaye ni Mmiliki wa Mradi. Kabla ya kuanza kwa kila
awamu hizi, TRC wataboresha Mpango huu wa Ushiriki wa Wadau ili kuelezea shughuli zilizopangwa
za ushiriki. Mchoro 5.1 hapa chini unawasilisha malengo ya ujumla ya ushiriki wawadau katika maisha
yote ya Mradi.
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 5-21
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
KM 350 - 535
Mchoro 5-1 Malengo ya Ushirikishaji wa Wadau na Shughuli kwa kila Awamu ya Mradi
Chanzo: ERM, 2019
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 5-22
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
MBINU ZA KUSHIRIKISHA NA MPANGO WA SHUGHULI
Mipango maalumu na shughuli za ushirikishwaji zitakuwa za muhimu katika kila awamu ya Mradi
(Awamu ya maandalizi, ujenzi, uendeshaji na awamu ya ufungaji/ukabidhishaji). Hatahivyo, baadhi ya
shughuli zitakuwa endelevu kwa kipindi chote cha Mradi na hivyo kufanana katika awamu tofauti tofauti
za Mradi. Shughuli ambazo zitakuwa zinatekelezwa katika kipindi chote cha Mradi zimewasilishwa
katika sehemu 5.2 hapa chini. Sehemu 5.3 inawasilisha kazi maalumu za ushiriki wa wadau ambazo
zitakuwa zinafanyika katika kila awamu ya Mradi.
5.2 Shughuli zinazoendelea za ushirikishaji katika kipindi chote cha uendeshaji wa Mradi
5.2.1 Uhusiano na Jamii
Mahusiano na jamii zilizoathiriwa, kama ilivyowasilishwa katika sehemu 3.3, yataendelea kudumishwa
katika kipindi chote cha Mradi. Hii itawezesha timu ya Mradi kuanzisha mahusiano na wanajamii,
kuwahabarisha kuhusiana na maendeleo ya Mradi na athari zake, kuchukua mawazo yao na ushauri
wao na kufafanua njia stahiki za kuzuia na kupunguza athari. Maendeleo ya mahusiano na jamii,
itaruhusu kupata maoni ya jamii katika masuala mbalimbali kama vile Afya ya Jamii, Usalama na Ulinzi,
Utwaaji wa ardhi na uhamishaji wa makazi, masuala ya kiutamaduni na mengineyo. Makundi
mbalimbali ya kijamii yaliyotambuliwa pembezoni mwa Mradi watashirikishwa kwa kina kwa kuzingatia
viwango vya kimataifa. Mahusiano stahiki na jamii yatachangia kubainisha mapema na kusimamia
hatari zozote za Mradi pamoja na kupata leseni ya kijamii (Kukubalika kwa Mradi na Jamii)
TRC itahakikisha kuwa timu ya Maafisa uhusiano na Jamii inawashirikisha wanajamii katika mipango
na utekelezaji wa shughuli za uhamishaji wa makazi na uhuishaji wa shughuli za kujikimu za wanajamii.
YM itahakikisha inakuwa na timu ya Maafisa uhusiano na Jamii ili kusimamia shughuli za ushirikishaji
wa wanajamii na wadau isipokuwa kwa shughuli za ushirikishaji zinazohusiana na utwaaji wa ardhi na
ulipaji wa fidia. YM tayari wameshateua Maafisa jamii 8 ambao wapo chini ya uratibu wa Mratibu mmoja
wa masuala ya kijamii na wanachukua hatua ya kuteua maafisa wengine wawili wa jamii. Maafisa jamii
wana jukumu la kuunganisha Mradi na Wanajamii.
Maafisa uhusiano wa YM na Mratibu wa Jamii wataendelea na ushirikiano pamoja na kuwasaidia
wataalamu wa jamii wa TRC ili kuhakikisha kwamba ushiriki wa wadau unatekelezwa kwa ufanisi na
kwa matakwa ya kimataifa.
Maafisa jamii watapewa mafunzo ili kuwa na ufahamu na masuala ya wadau na matakwa ya kimataifa
ya ushirikishaji wa wadau, kama ilivyobainishwa katika Mpango wa ushiriki wa Wadau, kuwa na uelewa
na kuwahabarisha watu kuhusu Mradi, ratiba ya ujenzi, hatua za ushirikishaji na shughuli zingine za
Mradi. Kwa kuongezea, Maafisa jamii watapewa mafunzo ili kuisaidia TRC katika kusimamia
uthaminishaji wa ardhi na mchakato wa ulipaji wa fidia, ili kutoa msaada kwa timu ya TRC ya utwaaji
wa ardhi na ulipaji wa fidia pale itakapohitajika katika kuwashirikisha waathiriwa wa utwaaji wa ardhi
na kutoa taarifa za mchakato wa mbeleni.
Kwa maeneo yote ambapo mchakato wa utwaaji wa ardhi umeshafanyika, Maafisa jamii watatoa
msaada katika ushirikishaji unaohusiana na shughuli za uhuishaji wa shughuli za kujikimu za kijamii na
usimamizi wa malalamiko.
TRC watafanya shughuli za ushirikishaji wa wadau wakati wa awamu zote za Mradi kwa kuzingatia
masuala ya:
Utwaaji wa ardhi, uhamishaji wa makazi na uhuishaji wa shughuli za kujikimu za wanajamii
wakati wa awamu ya kupanga;
Athari zihusianazo na masuala ya ujenzi na hatua za usimamizi wakati wa ujenzi;
Kipindi cha mpito cha YM kuhusika na Mradi na kuanza kwa shughuli za uendeshaji;
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 5-23
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
MBINU ZA KUSHIRIKISHA NA MPANGO WA SHUGHULI
Athari zinazohusiana na shughuli za uendeshaji na hatua za usimamizi wakati wa uendeshaji;
Athari za ufungaji wa Mradi ikijumuisha upunguzaji wa wafanyakazi na njia stahiki za kupunguza
athari wakati wa ufungaji wa mradi.
Mahusiano na jamii yatajengwa kupitia muendelezo wa vikao vya mara kwa mara kati ya jamii na TRC
na maafisa jamii wa YM. Mikutano hiyo kwa sasa imekuwa ikifanyika katika kila kipindi cha mwezi
mmoja na maafisa jamii wa YM – angalia Sehemu 3.3.
5.2.2 Usimamizi wa Malalamiko
Mfumo wa kupokea malalamiko utatekelezwa kwa ajili ya Mradi, kama ilivyoelezwa katika sehemu ya
7 ya Mpango huu wa Ushiriki wa Wadau. Zaidi, wakati wa upangaji na awamu ya ujenzi, mfumo wa
kupokea malalamiko utahitajika kusambazwa zaidi na kutangazwa kwa wanajamii ili kuhakikisha
kwamba watu wanafahamu namna ambayo wanaweza kuwasilisha mawazo yao na mambo
yanayojulikana kwa timu za Mradi. Hili litakuwa ni jukumu la maafisa jamii ambao TRC watawateua kwa
ajili ya Mradi, wakisaidiwa na maafisa jamii wa YM. Malalamiko kuhusiana na utwaaji wa ardhi na fidia
itakuwa ni wajibu wa TRC kuyasimamia. Wakati wa kabla ya ujenzi na wakati wa ujenzi, malalamiko
kuhusiana na shughuli za ujenzi yatasimamiwa na YM kupitia Mratibu wake wa masuala ya kijamii na
maafisa jamii waliowekwa katika kila eneo. Mratibu wa masuala ya kijamii wa YM atafanya kazi kwa
ukaribu na mtaalamu wa masuala ya kijamii wa TRC (Timu ya pamoja ya kufanya kazi – Angalia
sehemu 6.2.3) kupitia malalamiko na kuhakikisha yanaingizwa katika hifadhi data ya malalamiko na
kuyashughulikia kwa wakati.
Mfumo wa kupokea malalamiko utakuwa ukipitiwa mara kwa mara ili kuhakikisha kwamba unapokea
kwa usahihi na kuyashughulikia malalamiko ya wanajamii na unafaa kwa lengo lililokusudiwa. Pale
ambapo shughuli za ujenzi zitakuwa zimekamilika, YM itakabidhi majukumu ya kupokea na
kushughulikia malalamiko kwa TRC kwa awamu ya uendeshaji na uhitimishaji wa Mradi.
Mfumo wa kupokea malalamiko utaruhusu wanajamii na wadau wengine kushughulikia malalamiko
yahusianayo na mambo mbalimbali kama vile afya ya jamii, usalama na ulinzi, utwaaji wa ardhi na
uhamishaji wa makazi, masuala ya kitamaduni na mengineyo.
Malalamiko yanayohusiana na wafanyakazi na mazingira ya kufanyia kazi (Kama mahitaji ya IFC PS
2) hayajajumuishwa ndani ya Mpango huu wa Ushiriki wa wada (SEP). Hili litashughulikiwa chini ya
hatua maalumu za tofauti zitakazoandaliwa kwa ajili ya kushughulikia malalamiko ya wafanyakazi wa
Mradi.
5.2.3 Kudumisha Mpango wa Ushiriki wa wadau ( SEP)
Mpango wa Ushiriki wa Wadau ni “Nyaraka inayoishi” . Mpango huu utakuwa unaboreshwa mara kwa
mara kutokana na matokeo ya shughuli za ushiriki wa wadau zinazofanywa na timu ya Mradi (Orodha
kamili ya ushirikishaji wa zamani imehifadhiwa). Vivyo hivyo, kadri wadau wapya wanapobainishwa,
orodha ya wadau (Kiambatanisho A cha Mpango huu wa Ushiriki wa wadau) pia itaboreshwa na Timu
ya Pamoja ya Ufanyaji Kazi (Angalia Sehemu ya 6 ). Mpango wa shughuli za ushirikishaji utatumika
kwa maendeleo ya Mradi na utaonyesha mabadiliko yoyote ya muhimu katika muundo wa Mradi na
utekelezaji wake.
TRC wataboresha zaidi Mpango huu wa Ushirik wa Wadau, kabla ya kuanza kwa awamu za uendeshaji
na usitishaji wa Mradi. Katika mazingira haya, shughuli za ushirikishaji zitafafanuliwa kwa kuzingatia
njia za ushirikishaji wadau na matokeo ya ushirikishaji wa wadau katika kipindi kilichopita.
5.2.4 Kuendelea kutoa taarifa kwa jamii
Kutakuwa na muendelezo wa utoaji wa taarifa kwa jamii ili kuwahabarisha juu ya maendeleo ya Mradi
na mada husika zitakuwa kama vile:
malalamiko yaliyopokelewa na mchakato wa kuyasimamia;
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 5-24
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
MBINU ZA KUSHIRIKISHA NA MPANGO WA SHUGHULI
Hatua za usimamizi zilizotekelezwa baada ya kupokea malalamiko au taarifa kupitia mashauriano
na jamii/mamlaka juu ya mada kama vila afya ya jamii, usalama na ulinzi, mambo ya utamaduni,
uhamishaji wa makazi na uhuishaji wa shughuli za jamii za kujikimu;
Mambo waliyojifunza kutokana na uzoefu uliopita ili kupunguza au kusimamia usumbufu/athari
kwa jamii;
Misaada ya kijamii iliyotolewa wakati wa kipindi cha utoaji wa taarifa.
Matakwa mengine ya ziada ya utoaji wa taarifa yamejumuishwa katika sehemu ya 8.
5.2.5 Ushirikishaji wa mamlaka za Serikali na vyombo vya habari
TRC wataendelea na shughuli za ushirikishaji zilizowasilishwa katika sehemu 3.2, ikijumuisha
ushirikishaji wa mamlaka mbalimbali kwa ajili ya utoaji wa vibali na uhamishaji wa vitu (Kama vile
makaburi na vitu vingine vya dini). Katika mazingira haya haya, TRC itaendelea kufuatilia taarifa
zinazotolewa na vyombo vya habari kuhusiana na Mradi na kuwashirikisha wadau hawa katika kutoa
taarifa za Mradi na kutoa taarifa za maendeleo ya Mradi kwa wadau wa nnje.
Sehemu zifuatazo zinaelezea kazi maalumu za ushirikishaji wa wadau katika awamu zifuatazo za
Mradi.
5.3
5.3.1 Awamu ya Kupanga na Ujenzi
Ushirikishaji kwa ajili ya kutoa taarifa ya ESIA
Shughuli za ujenzi kwa Miradi iliyo katika mpangilio wa mstari hazifanyiki kila mahali kwa wakati mmoja.
Miundombinu ya Miradi iliyo katika mpangilio wa mstari ikiwa ni pamoja na SGR inajengwa kwa awamu
katika maeneo tofauti ya mpangilio wake. Kwa sasa shughuli za ujenzi zinafanyika kwa sehemu zote
mbili za Lot 1 na Lot 2 na shughuli za ushirikishaji wa wadau zilizoorodheshwa katika sehemu hii
zitafanyika kwa sehemu zote mbili za mpangilio wa njia ya reli.
TRC itasaidiwa na YM kuunganisha timu ya kutoa taarifa ya ESIA na kuhakikisha kuwa taarifa ya ESIA
imetolewa kwa njia ambayo kiutamaduni na kitaalam inapokelewa na kila kundi la wadau. Taarifa hii
itawasilisha hasa shughuli za Mradi na athari zake kwa lugha isiyokuwa ya kitaalamu kwa jamii ili
kuhakikisha kuwa inaelewa kikamilifu. Maoni ya wadau yaliyokusanywa wakati wa kutoa taarifa ya ESIA
yataonekana katika Ripoti ya Mashauriano ambayo itakuwa sehemu ya ESIA ya mwisho. Zaidi ya hayo,
maoni yaliyopatikana yatazingatiwa katika ripoti ya mwisho ya ESIA.
Ushirikishaji maalumu utafanywa na YM ili kuwahabarisha wadau kuhusiana na tafiti za kijiolojia,
usafirishaji wa mataruma, na mahusiano na wasambazaji na wakandarasi katika maeneo ambayo
ujenzi umepangwa kuanza.
Wadau watahabarishwa juu ya aina ya kazi, idadi ya wafanyakazi katika eneo la ujenzi na muda wa
kazi pamoja na usumbufu utakaojitokeza katika barabara za wanajamii kutokana na shughuli za ujenzi,
usambazwaji wa huduma mara kwa mara na matumizi ya rasilimali yaliyopangwa katika eneo hilo.
Shughuli za ushirikishaji zitakuwa na lengo la kutambua maoni ya watu, kutambua hatari za mradi katika
hatua za awali kabisa na kubainisha njia za pamoja za kupunguza au kusimamia. Kwa kuongezea, YM
wataendeleza shughuli zilizowasilishwa katika sehemu 3.3, katika kutoa elimu ili kuongeza uelewa wa
jamii kuhusiana na hatari za kiusalama wakati wa ujenzi.
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 5-25
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
MBINU ZA KUSHIRIKISHA NA MPANGO WA SHUGHULI
5.3.2 Uendeshaji
Baada ya kukamilika kwa shughuli za ujenzi, pale ambapo ukabidhishaji wa Mradi utakuwa
umekamilika, majukumu ya kuendesha na kudumisha mradi wa SGR yatahamishiwa TRC . Majukumu
ya kimkataba ya YM na Serikali ya Tanzania pamoja na TRC yanaishia na ukamilishaji wa ujenzi na
ukabidhishaji na YM hawatakuwa na jukumu lingine katika kipindi kirefu cha awamu ya uendeshaji .
(Reli imeundwa kuhudumu kwa kipindi kinachokadiriwa kuwa miaka 100). TRC watakuwa na jukumu
la kuandaa na kutekeleza mpango maalumu wa ushirikishaji wa wadau na mfumo wa utaratibu wa
kupokea malalamiko kwa ajili ya awamu ya uendeshaji. Hatahivyo, inatarajiwa kwamba kabla ya kipindi
cha mpito hakijaanza, YP watatoa mafunzo wa kuwajengea uwezo TRC. Sehemu hii ya chini
inawasilisha maelezo ya jumla ya shughuli za ushirikishaji zinazotarajiwa ambazo zitafanywa na TRC.
Ushirikishaji Unaohusiana na Shughuli za Mpito kwenda katika Uendeshaji
Wakati wa kipindi cha mpito kuelekea uendeshaji, YM watakabidhi majukumu ya shughuli zote za
ushirikishaji kwa TRC. Kabla ya kipindi cha mpito hakijamalizika, TRC na YM kwa pamoja watawapa
taarifa wadau wote juu ya mabadiliko ya majukumu wakati wa shughuli maamumu za ushirikishaji.
Taarifa watakazoshirikishwa wadau zitajumuisha, njia za kuwasiliana na TRC, ikijumuisha kutoa
malalamiko, na mchakato wa namna ambavyo TRC watakuwa wanashirikisha jamii pale ambapo
kutakuwa na ulazima wa kufanya matengenezo katika njia ya reli.
Ushirikishaji kwa ajili ya kuandaa Mpango wa usimamizi wa Uendeshaj
Kabla ya kuanza uendeshaji, TRC watafanya shughuli za ushirikishaji ili kuhabarisha juu ya maandalizi
ya Mpango wa Usimamizi wa Uendeshaji (Mfano, Mpango wa Afya ya jamii, Usalama na Ulinzi – IFC
PS 4). TRC watahakikisha kuwa maoni ya jamii yanajumuishwa ili kuweka mipango stahilki ya
usimamizi wa shughuli za uendeshaji na kupunguza athari.
5.3.3 Kukamilika kwa shughuli za uendeshaji na Kuhitimishwa kwa shughuli za Mradi wa SGR
Kukamilika na kufungwa kwa shughuli za Mradi unatazamiwa kutokea baada ya miaka 100 kutoka sasa
na hivyo kuhusisha kiwango kukubwa cha yasiyojulikana kuhusu mahitaji ya ushirikishaji ambao
utakuwa stahiki kwa kipindi hicho. Kabla ya kwenda kwenye awamu ya ufungaji, TRC wataandaa
Mpango Maalumu wa Ushiriki wa Wadau kwa kuzingatia sheria zitakazokuwepo kwa wakati huo.
Kwasasa inatarajiwa kwamba, taarifa chache zinazohitajika zitajumuisha:
Aina na ratiba ya kazi za ufungaji
Kuondoa na kupanga vifaa; na
Matumizi ya baadae yanayofaa ya vituo vya reli.
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 5-26
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
MBINU ZA KUSHIRIKISHA NA MPANGO WA SHUGHULI
5.4 Mpango Mkakati wa Ushirikishaji
Programu ya shughuli za ushirikishaji itaandaliwa, ukijumuisha hatua za kusimamiwa na TRC, na
kusaidiwa na YM za kuwashirikisha wadau kabla ya shughuli za ujenzi na wakati wa ujenzi. Hatua hizi
zitakuwa zikitekelezwa ili kufikia malengo ya Mradi, kushughulikia mawazo na maoni yao, na vile vile
kutekeleza njia za kupunguza athari hasi na kuchochea faida katika mfumo wa usimamizi wa Mradi.
Kadri Mradi unavyoendelea kutoka katika awamu ya upangaji kwenda katika awamu ya ujenzi (Hasa
kwa lot 2), Mpango huu wa Ushiriki wa Wadau utahitajika kupitiwa katika kila kipindi na kuboreshwa
kwa kuzingatia mrejesho na mambo waliyojifunza kutokana na ushirikishaji uliopita. Hili litakuwa ni
jukumu la timu ya pamoja ya kufanya kazi. (angalia sehemu ya 6)
Shughuli zinazofuata za ushirikishaji wa wadau katika kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka 2019
zitajumuisha utoaji wa taarifa ya ESIA, shughuli za ushirikishaji zinazoendelea kama ilivyobainishwa
katika sehemu 5.3
5.5 Nyenzo za Ushirikishaji
Ili kufanikisha utekelezaji wa mwendelezo fanisi wa ushirikishaji wa wadau, nyenzo zilizoorodheshwa
katika Jedwali 5-1 hapa chini zitakuwa za muhimu katika awamu zote za Mradi. Maudhui na ujumbe
vinapaswa kupitiwa upya na kuidhinishwa na timu ya Mradi kabla ya kuzisambaza kwa wadau.
Jedwali 5-1 Nyenzo za Kushirikisha Wadau
Nyenzo Maelezo
Vipeperushi vya Taarifa
ya Mradi Project (PIL)
Vipeperushi vya taarifa/maelezo ya Mradi vitaandaliwa katika lugha ya Kingereza
na Kiswahili na kusambazwa katika awamu ya kabla ya ujenzi wakati wa
ushirikishaji wa kutoa taarifa za ESIA. Vipeperushi vitatoa maelezo ya Mradi
uliopendekezwa, ratiba ya Mradi, programu za ushirikishanaji na ratiba, maelezo
ya mawasiliano ya maafisa uhusiano na taarifa juu ya mfumo wa kuwasilisha
malalamiko.
Kadri Mradi unavyoendelea, Nyaraka hii itakuwa ikipitiwa na kuboreshwa kadri
inavyolazimika ili kuhakikisha usahihi wa taarifa katika muda wowote.
Muongozo wa
Upatikanaji wa Ardhi na
Ulipaji wa Fidia
Muongozo wa upatikanaji wa ardhi na ulipaji wa fidia utaandaliwa kwa lugha ya
Kiswahili na Kingereza.Itakuwa ni vipeperushi vinachowasilisha hatua muhimu za
mchakato wa utwaaji wa ardhi na ulipaji wa fidia, ambavyo vitasambazwa wakati
wa shughuli za ushirikishaji wadau katika awamu ya kipindi cha kabla ya
ujenzi.Muongozo huu utaelezea hatua muhimu za mchakato (Kulingana na sheria
za nnchi lakini pia hatua za ziada kulingana na viwango vya kimataifa), ratiba,
maelezo ya mawasiliano ya timu ya utwaaji ardhi na ulipaji wa fidia na taarifa juu ya
mfumo wa kuwasilisha malalamiko.
Kadri mchakato unavyoendelea, vipeperushi tofauti vitaandaliwa kuboresha habari
kuhusiana na maendeleo ya utekelezaji wa mchakato wa utwaaji wa ardhi na ulipaji
wa fidia na uboreshaji wa shughuli za wanajamii za kijipatia riziki.
Ubao wa Matangazo Mbao za matangazo zitawekwa katika sehemu ya kuingilia katika eneo la kufanyia
kazi la mradi na katika meneo mengine yaliyokubaliwa katika kila eneo lenye makazi
ya watu, maeneo yanayoweza kufikiwa na wanajamii, na kuborshwa mara kwa
mara.
Mbao za matangazo zitasaidia kama nyenzo ya kusambaza taarifa.Kwa mfano,
zitabainisha maelezo ya mawasiliano ya Mradi, taarifa za maendeleo ya ujenzi,
taarifa za upitaji wa magari makubwa ya mashine, taarifa za ajira na vile vile majibu
ya maswali yanayoulizwa mara kwa mara.Taarifa za maradi zinapaswa kuwa kwa
lugha ya kingereza na Kiswahili.Pale inapowezekana, ramani au msaada wa
muonekano zitatumika kuboresha ufikiwaji wa taarifa.
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 5-27
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
MBINU ZA KUSHIRIKISHA NA MPANGO WA SHUGHULI
Nyenzo Maelezo
Matangazi ya Redio Matumizi ya redio za ndani kwa ajili ya mawasiliano na wadau yanapaswa
kuvumbuliwa.Matangazo ya redio za ndani yanaweza kutumika kuhabarisha wadau
kuhusiana na Mradi na vile vile kutoa taarifa ya ratiba ya kutoa taarifa ya ESIA kwa
wanajamii.
Mrejesho kwa Wadau TRC na YM watatoa mrejesho wa Mradi kwa makundi mbalimbali ya wadau katika
muda muda uliokubalika.
Nyaraka ya Maswali na
Majibu
TRC na YM wataandaa nyaraka ya maswali na majibu kwa ajili ya matumizi ya
ndani ambazo zitasaidia kutoa majibu thabiti wakati wa ushirikishaji wa kawaida wa
jamii na mashauriano na wadau. Maswali na majibu ni nyenzo muhimu ya kusaidia
kudhibiti /kusimamia matarajio ya jamii (Mfano kama vile masuala ya ajira)
Orodha ya Ushiriki wa
Wadau
Timu ya pamoja ya kufanya kazi/maafisa uhusiano na jamii watadumisha orodha ya
ushiriki wa wadau ili kupanga na kufuatilia ushirikishaji unaohusiana na mipango
mbalimbali ya Mifumo ya usimamizi wa Mazingira na Masuala ya Kijamii (ESMS)
na shughuli za Mradi.
Hifadhi data ya Taarifa
ya Malalamiko ya Wadau
Timu ya pamoja ya kufanya kazi, itaratibu na kudumisha hifadhi ya malalamiko ya
wadau ili kurekodi na kufuatilia malalamiko na pia hali halisi ya utatuzi.Maafisa
uhusiano na jamii wataingiza malalamiko wanayopokea katika hafadhi data hii
ambapo TRC na YM wanaweza kuifungua na kusoma.
Ripoti za mara kwa mara zitakuwa zikitolewa katika hifadhi data hii na kuziwasilisha
kwa jamii kila mwezi kama sehemu ya jitihada zinazoendelea za kuwashirikisha
wadau taarifa mbalimbali wakati wa awamu ya kabla ya ujenzi na wakati wa ujenzi
na vile vile katika kuchochea uwazi.
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 6-28
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
MAJUKUMU NA NGUVU KAZI
6. MAJUKUMU NA NGUVU KAZI
6.1 Majukumu kwa ajili ya ushirikishaji wa wadau
Kwa ujumla, TRC kama mmiliki wa Mradi watakuwa na jukumu la kuhakikisha ushiriki wa wadau na
usimamizi wa malalamiko wakati wa kipindi chote cha Mradi. Ili kutekeleza Mpango huu kwa ufanisi,
YM wataisaidia TRC kwa nguvu kazi na mipango mbalimbali ili kutekeleza matakwa ya kimataifa katika
ushirikishaji wa wadau. Kwa mazingira haya, ushirikishaji wa pamoja na timu ya pamoja ya kusimamia
malalamiko itaanzishwa na kujumuisha TRC na YM ili kupanga na kuratibu shughuli za ushirikishaji.
Timu hii ya kufanya kazi kwa pamoja itakuwa na majukumu yafuatayo:
daima kuratibu mambo yote kuhusiana na utekelezaji wa Mpango wa Ushiriki wa Wadau
kulingana na viwango vya kimataifa vya wakopeshaji;
kupitia rasilimali zilizopo, kutambua na kuwasilisha mahitaji ya rasilimali za ziada zilizotolewa kwa
ajili ya shughuli za ushirikishaji wa wadau;
kutoa mafunzo kwa wafanyakazi walioajiriwa kuhusiana na viwango vya kimataifa vya
ushirikishaji wadau na usimamizi wa malalamiko;
kupitia hifadhi data ya malalamiko na kujadili kuhusiana na mchakato wa kutatua malalamiko
yaliyopokelew;
kudumisha uhusiano wa mara kwa mara na wafanyakazi walioko katika maeneo ya kufanya kazi
ili kutambua uwezekano wa kuwapo kwa hatari za Mradi katika hatua ya mwanzo;
mara kwa mara boresha orodha ya zamani ya ushiriki wa wadau (Kiambatisho A cha Mpango
huu wa Ushiriki wa Wadau);
Mara kwa mara boresha orodha ya wadau (Kiambatanisho B cha Mpango huu wa Ushiriki wa
Wadau);
Kuthibitisha Mpango wa Kushirikisha, kufafanua hatua za kina za ushirikishaji katika Mpango wa
Mwisho wa Ushirikishaji (Kiambatanisho C cha Mpango huu wa Ushiriki wa Wadau);
Kurekebisha mara kwa mara Mpango wa Dharura (Kiambatanisho C cha Mpango huu wa
Ushiriki wa Wadau) kadri Mradi unavyoendelea;
Majadiliano kila baada ya kumalizika kwa shughuli ya kuwashirikisha wadau ili kukubaliana juu ya
kila hatua inayohitaji ufuatiliaji na uratibu na idara nyingine kwa ajili ya utekelezaji;
kuratibu na kukubaliana juu ya maudhui ya taarifa za kutoa kwa wadau wa Mradi.
Timu ya kufanya kazi kwa pamoja itaundwa kwa kutumia rasilimali zilizopo ndani ya TRC na YM
ambazo zimewasilishwa katika sehemu ifuatayo. Timu ya pamoja ya kufanya kazi itaundwa na
mtaalamu wa masuala ya kijamii wa TRC na Mratibu wa masuala ya kijamii wa YM. Rasilimali za
nyongeza zilizopo ndani ya TRC na YM zitasaidia pia timu hii ya ufanyaji kazi wa pamoja kadri
itakavyohitajika.
6.2 Rasilimali kwa ajili ya ushirikishaji wa wadau
6.2.1 Rasilimali za TRC
Kuna idara ya masuala ya kijamii ndani ya TRC. Idara hii itakuwa na wajibu wa kutekeleza mpango wa
ushiriki wa wadau na mfumo wa kupokea malalamiko. Chini ya idara ya jamii, Ms. Catherine Mroso,
[email protected], ambaye ni Mtaalamu wa masuala ya Kijami ameteuliwa na TRC kuwa na
jukumu la kushirikisha wadau katika masuala ya utwaaji wa ardhi na ulipaji wa fidia.
TRC itahakikisha uwepo wa wafanyakazi wa kutosha ili kufanya shughuli za ushirikishaji wadau na
kusimamia malalamiko, hasa katika masuala yanayohusiana na uhamishaji wa makazi na uhuishaji wa
shughuli za kujikimu za wanajamii kulingana na matakwa ya wakopeshaji.
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 6-29
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
MAJUKUMU NA NGUVU KAZI
6.2.2 Rasilimali za YM
Sehemu hii ya Mpango wa Ushiriki wa Wadau (SEP) imeandaliwa juu ya utaratibu wa YM ambao tayari
upon a inalenga kutoa maelezo ya jumla ya wajibu na majukumu amabayo YM itatayarisha kwa ajili ya
ufanisi wa ushirikishaji wa wadau na ushughulikiaji wa malalamiko.
Katika kipindi cha kabla ya ujenzi na wakati wa ujenzi, Meneja wa YM katika kitengo cha Afya, Usalama
na Mazingira (HSE) atakuwa na wajibu na majukumu ya kusimamia na kutekeleza Mpango huu wa
Ushiriki wa Wadau. Meneja huyu atasaidiwa na Mratibu wa Masuala ya Kijamii na Timu ya Mahusiano
na Jamii (CLT) ambao watakuwa na wajibu na jukumu la kujenga na kudumisha mahusiano na wadau
kwa niaba ya YM.
Mratibu wa masuala ya Kijamii wa YM ni Ms. Evodia Mrengo [email protected]. Timu ya
mahusiano na jamii, chini ya Mratibu wa Masuala ya Kijamii wa YM kwa sasa inajumuisha wafanyakazi
8, wanaofahamika kama maafisa jamii, kama ifuatavyo:
Lot 1: Wanawake wawili na Mwanaume mmoja
Lot 2: Wanawake watatu na Wanaume wawili
Uthibitisho wa viongozi wa YM unasubiriwa kuhusu kuajiri maafisa uhusiano na jamii wengine wawili
kwa ajili ya Lot 2.
YM wamefafanua awamu zote mbili (Lot zote mbili) katika sehemu mbalimbali (Kwa kuzingatia
muunganiko) na kuhakikisha kuna afisa uhusiano katika kila sehemu kama inavyobainishwa hapa
chini:
Lot1:
- Sehemu ya İlala: Km 0-20;
- Sehemu ya Soga: Km 20-80;
- Sehemu ya Ngerengere : Km 80-200;
Lot 2:
- Sehemu ya Kilosa: Km 201-350;
- Sehemu ya Dodoma: Km 350-535.
Wajibu na Majukumu ambayo yatahitajika kwa ajili ya utekelezaji wa Mpango huu wa Ushiriki wa
Wadau yamewasilishwa katika Jedwali 6-1 hapa chini.
Jedwali 6-1 Wajibu na Majukumu ya Kutekeleza Mpango wa Ushiriki wa Wadau ndani ya YM
Majukumu Wajibu
Meneja wa Mradi – YM ■ Kuhakikisha maendeleo ya mawasiliano, uratibu na TRC na utekelezaji wa masharti waliyojiwekea kuhusiana na masuala ya ushirikishaji wa wadau na kushughulikia malalamiko.
■ Kupitia taratibu zilizopo za ushirikishaji wa wadau na mfumo wa uwasilishaji wa malalamiko na kuchochea mchakato wa kuboresha ili kuiunganisha na Mpango huu wa Ushiriki wa Wadau.
■ Kutoa nyongeza ya rasilimali watu na/au rasilimali za vifaa ili kuisaidia RTC katika kuhakikisha ufanisi wa utekelezaji wa ushirikishaji wa wadau na kushughulikia malalamiko.
■ Kufanya uratibu na Meneja wa YM wa kitengo cha Afya, Usalama na Mazingira katika mambo yanayohusiana na ushirikishaji wa wadau na kushughulikia malalamiko
■ Kufanya uratibu na Meneja wa YM wa kitengo cha Uhasibu na Uongozi wa TRC na kutoa mrejesho kwa wakopeshaji.
■ Kufanya uratibu na uongozi wa TRC kutokana na hatari zilizobainishwa kwa ajili ya Mradi kuhusiana na ushirikishaji wa wadau
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 6-30
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
MAJUKUMU NA NGUVU KAZI
Meneja wa Afya,
Usalama na Mazingira
- YM
■ Kuhakikisha maendeleo ya mawasiliano na Meneja wa Mradi kuhusiana na utekelezaji wa Mpango huu wa Ushiriki wa Wadau
■ Kuhakikisha utekelezaji na ufuatiliaji wa Mpango huu wa Ushiriki wa Wadau na taratibu zilizopo za YM
■ Kujadiliana mara kwa mara na Mratibu wa Masuala ya Kijamii kuhusu malalamiko yaliyowasilishwa
■ Kuongoza mchakato wa kuyatatua malalamiko yaliyopokelewa kwa kubainisha idara zinazopaswa kuyashughulikia malalamiko hayo na kama msaada wa nyongeza unahitajika.
■ Kuhakikisha timu ya YM ya Afya, Usalama na Mazingira pamoja na Timu ya uratibu wa masuala ya kijamii wanawasilisha kwa muda stahiki mada zilizokubaliwa
■ Kuhakikisha uwepo wa rasilimali kwa ajili ya utekelezaji wa masharti waliyojiwekea ya ushirikishaji wadau na kushughulikia malalamiko.
Mratibu wa Jamii –YM ■ Kupanga shughuli za ushirikishaji wa jamii na kuhakikisha zinatekelezwa kwa ufanisi na maafisa uhusiano (Kwasasa wakijulikana kama maafisa jamii katika taratiby za YM zilizopo) waliowekwa katika maeneo mbalimbali ya Mradi.
■ Kusimamia mchakato wa mfumo wa kupokea na kutatua malalamiko
■ Kuwasilisha kwa Meneja wa Afya, Usalama na Mazingira pamoja na Meneja wa Mradi mchakato wa ushiriki wa wadau na mchakato wa ufumbuzi wa malalamiko
■ Kuhudhuria vikao vya pamoja na wawakilishi wa TRC katika jamii zilizoathiriwa na shughuli za Mradi
■ Kukusanya pamoja ripoti za shughuli za ushirikishaji wadau zilizofanyika ili kusaidia utoaji wa taarifa za mara kwa mara kwa wadau
Maafisa uhusiano na
Jamii - CLOs (Kwa
sasa wanajulikana
kama maafisa jamii
katika taratibu zilizopo
za YM)
■ Kuongoza shughuli za ushirikishaji wadau zinazohitajika kwa ajili ya utekelezaji wa Mpango wa Ushiriki wa Wadau katika maeneo yao ya kazi.
■ Kukusanya na kurekodi malalamiko na kuyawasilisha katika idara husika kwa ajili ya kupatiwa ufumbuzi
■ Kutafuta mrejesho kutoka kwa wadau kuhusiana na jinsi ambavyo malalamiko yalivyotatuliwa
■ Kurekodi shughuli za ushirikishaji wadau katika maeneo yao ya uwajibikaji
■ Kuandaa ripoti ya mambo hatarishi na kuziwasilisha kwa Mratibu wa Masuala ya Kijamii
■ Kukusanya na kurekodi malalamiko yanayahusiana na utwaaji wa ardhi na ulipaji wa fidia na kuyawasilisha TRC kwa ajili ya kupatiwa suluhisho
■ Kusimamia/Kufuatilia na kuratibu shughuli mbalimbali na wakandarasi ili kuhakikisha wanazingatia Mpango huu wa Ushiriki wa Wadau
Mameneja ma
Wahandisi katika
maeneo ya ujenzi -
YM
■ Kukusanya malalamiko, kuyarekodi na kuwasilisha kwa maafisa mahusiano kwa ajili ya kupatiwa ufumbuzi
Chanzo: ERM,kutokana na taarifa zilizotolewa na YM, 2019
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 7-31
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
UTARATIBU WA KUTOA NA KUPOKEA MALALAMIKO
7. UTARATIBU WA KUTOA NA KUPOKEA MALALAMIKO
7.1 Ufafanuzi na Utendaji Mzuri
Muongozo wa IFC wa utendaji mzuri katika kushughulikia malalamiko kutoka kwa jamii iliyathiriwa na
shughuli za Mradi, unaelezea malalamiko kama: ( )
'... wasiwasi au malalamiko yaliyotolewa na mtu binafsi au kikundi ndani ya jamii zilizoathirika na
shughuli za kampuni. Masuala yote na malalamiko yanaweza kutokea kutokana na athari halisi au
inayojulikana kotokana na shughuli za kampuni, na zinaweza zikarekodiwa katika namna moja na
kushughulikiwa kwa utaratibu huo. '
Unaelezea mfumo wa uwasilishaji wa malalamiko katika nggazi ya Mradi kama:
‘…mchakato wa kupokea, kuthaminisha, na kushughulikia malalamiko yenye uhusiano na Mradi
kutoka katika jamii zilizoathiriwa katika ngazi ya kampuni au Mradi”
Utaratibu wa kupokea malalamiko ya jamii, unapaswa kusambazwa na kutangazwa kwa wadau, hasa
wakati wa awamu ya kabla ya ujenzi na wakati wa awamu ya ujenzi ili kuhakikisha kuwa maoni, maswali
na malalamiko yanapokelewa ipasavyo na kusajiliwa.
7.2 Kusudi
Utaratibu wa kupokea malalamiko ya jamii unamwezesha mdau yeyote kutoa malalamiko au
mapendekezo kuhusu namna ambavyo Mradi unatekelezwa. Malalamiko yanaweza kuwa kuwa
malalamiko maalumu kwa ajili ya uharibifu/hatari, wasiwasi juu ya shughuli za kila siku za Mradi, au
matukio au athari zinazoonekana.
Kusudi la mfumo wa utaratibu wa kupokea malalamiko ya jamii ni kutekeleza mchakato rasmi (wa
kutambua, kufuatilia, na kutatua) wa kusimamia malalamiko kotoka kwenye jamii na wadau wengine
wa ndani kwa utaratibu na njia ya uwazi ambayo yanaweza yakawa yanatokana na shughuli za Mradi.
7.3 Wigo
Taratibu za utoaji na upokeaji wa malalamiko zilizowasilishwa katika sehemu hii ya Mpango wa
Ushiriki wa Wadau, zinajijenga Taratibu za Ushiriki wa Wadau na Mfumo wa Upokeaji wa Malalamiko
ulioandaliwa na YM kwa ajili ya Mradi mwezi Mei 2018. Kulingana na taratibu zilizopo, wajibu wa
kusimamia malalamiko kwa kipindi cha kabla ya ujenzi na wakati wa ujenzi ni kama ifuatavyo:
Malalamiko yanayohusiana na Mradi kwa ujumla na masuala ya utwaaji wa ardhi pamoja na fidia
yapo chini ya TRC: Haya yataingizwa katika hifadhi data ya malalamiko na kufuatiliwa kwa ajili ya
ufumbuzi, kulingana na hatua zilizoorozeshwa katika Sehemu ya 7.4 na Timu ya Pamoja ya
Kufanya Kazi; na
Malalamiko yanayohusiana moja kwa mojana na shughuli za ujenzi (kama vile kelele, mitikisiko,
foleni, ulinzi, afya na usalama, ajira kwa wakazi, tabia za wakandarasi n.k) yapo chini ya wajibu
wa YM kuyasimamia ; malalamiko haya yataingizwa katika hifadhi data na kufuatiliwa kwa ajili ya
ufumbuzi, kulingana na hatua zilizoorozeshwa katika Sehemu 7.4 na Timu ya Pamoja ya Kufanya
Kazi.
7.4 Utaratibu wa Malalamiko
Utaratibu wa jumla wa malalamiko ya Mradi ambao utafuatwa wakati wa kipindi cha kabla ya ujenzi na wakati wa ujenzi ili kuzingatia viwango vya kimataifa, unaonyeshwa katika Kielelezo 7-1 hapo chini. Utaratibu huu unajijenga katika taratibu zilizopo ndani ya TRC na YM na kurasimisha baadhi ya hatua na muda uliopangwa. Kwa mfano, muda wakukirikupokelewa kwa malalamiko, kurasimisha mchakato wa kukubali suluhisho lililopendekezwa na kufuatilia usuluhishi kutoka nnje ikiwa mlalamikaji hajaridhika.
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 7-32
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
UTARATIBU WA KUTOA NA KUPOKEA MALALAMIKO
Kielelezo 7-1 Utaratibu wa Malalamiko katika Awamu ya Kabla ya Ujenzi na Katika Awamu ya Ujenzi
7.4.1 Hatua 1: Upokeaji na usajili wa Malalamiko
Wadau watakuwa na njia mbalimbali za kuwasilisha malalamiko yao, kama vile:
Kupitia viongozi wa jamii, ambao watayawasilisha kwa Maafisa Uhusiano na jamii;
Kupitia simu za Maafisa Uhusiano au za Mratibu wa Shughuli za Kijamii wa YM;
Kupitia mtandao na tovuti ya Mradi, pale zitakapokuwa zimeanzishwa na TRC, kwa msaada wa
YM kama utahitajika;
Kwa mtu binafsi katika kambi za ujenzi, kwa Maafisa Mahusiano wa YM au TRC;
Fomu ya Mradi ya Malalamiko kwa lugha ya Kiswahili na Kingereza imejumuishwa kama Kiambatanisho
D cha Mpango huu wa Ushiriki wa wadau
Malalamiko haya yanaweza kuwa hayajulikani na yanaweza kuwa katikamfumo malalamiko ya
mdomo au ya maandishina yanapaswa yote kushughulikiwa kwa usawa. Ujazaji wa malalamiko
unapaswa kufanywa rahisi kwa wanajamii wenye viwango tofauti vya elimu na fomu zinapaswa
kupatikana kwa urahisi na ziwe sawa kiutamaduni.
Malalamiko yote yatakayokuwa yanapokelewa yatakuwa yanaelekezwa kwa timu ya Maafisa Uhusiano
na Jamii (CLOs) ambao watakuwa na jukumu la kuyajaza katika mfumo wa kuhifadhi malalamiko. Pale
ambapo Maafisa Uhusiano, wanaweza kutatua malalamiko hayo, watayatatua . Inakusudiwa kwamba,
malalamiko mengi, yataweza kutatuliwa kwa haraka kati ya Maafisa uhusiano, walalamikaji na timu ya
ujenzi.
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 7-33
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
UTARATIBU WA KUTOA NA KUPOKEA MALALAMIKO
Malalamiko yote yanayopokelewa, hata yale yanayopatiwa ufumbuzi wa haraka, yanapaswa kuingizwa
katika mfumo rasmi wa kurekodi malalamiko ili yaweze kufikiwa na timu ya pamoja ya kufanya kazi siku
yaliyopokelewa. Kuingizwa kwake katika mfumo, kutajumuisha, maelezo ya mlalamikaji (isipokuwa tu
kama hayajulikani) na maelezo ya malalamiko. TRC/YM shall acknowledge receipt of the complaint
within a standardised time period (ideally at reception) or within 5 days and explain to the complainant
the process including timelines of the remaining steps in the procedure.
TRC/YM wanapaswa kukiri kupokea malalamiko ndani ya muda wa kiwango uliowekwa, wakati wa
kuyapokea au baada ya siku tano na kumweleza mlalamikaji kuhusu mchakato ikiwa ni pamoja na
ratiba ya muda uliobaki katika utaratibu wa kushughulikia.
7.4.2 Hatua ya 2: Kuchuja Malalamiko na Kutoa Kipaumbele
Malalamiko yote yanayopokelewa yanapaswa kuchujwa/chambuliwana kupewa vipaumbele. Maafisa
uhusiano wa jamii watakuwa na jukumu la kusimamia mchakato wa kutatua malalamiko. Maafisa jamii
wataratibu mchakato huu na Mratibu wa masuala ya Kijamii/Timu ya Pamoja ya Kufanya Kazi na
wataamua aina ya uchunguzi kwa kuzingatia aina ya malalamiko na hatari yake kwa jamii. Hii inaweza
ikahitaji kupitia rekodi za matukio sawa na hilo, ushahidi wowote uliopo, nyaraka zinazoweza kusaidia
au taarifa.
Katika hatua hii, Afisa jamii anapaswa kuonyesha aina ya malalamiko ili kuamua hatua zinazohitajika
ili kupitia na kuchunguza malalamiko ambayo hayajatatuliwa. Kulingana na hali ya Malalamiko, idara
mbalimbali za YM na / au TRC zinaweza kuhitajika kushiriki na kuwasilisha suluhisho lao
wanalopendekeza kwa ajili ya malalamiko.
7.4.3 Hatua 3: Uchunguzi/Upelelezi wa Malalamiko
Kama ilivyo muhimi, Maafisa Uhusiano na jamii watapanga kupiga simu au kuwa na mkutano wa ana
kwa ana ili kuchunguza ushahidi wa malalamiko, kuthibitisha uhalali na uzito wa malalamiko. Kama ni
muhimu, kama malalamiko yanahusiana na eneo fulani la ujenzi, Afisa mahusiano ataandaa ukagizi
wa eneo hilo.
Afisa uhusiano atafanya kazi pamoja na wahusika wengine wa timu ya Mradi kuchunguza malalamiko
na kubainisha njia za kurekebisha au njia za kuzuia ili kushughulikia vizuri malalamiko.
Utatuzi wa malalamiko unaweza ukahitaji taarifa za ziada ili kuelezea hali halisi na/au kuboresha
mawasiliano kati ya mlalamikaji na TRC au YM au kuanzisha njia za kupunguza ili kuzuia kutokea kwa
tatizo.
Kwa upande wa malalamiko yanayohusiana na utwaaji wa ardhi na fidia, haya yataingizwa katika
mfumo wa kuhifadhi malalamiko (Hifadhi data ya malalamiko) na kushughulikiwa na TRC. Timu ya
Pamoja ya Kufanya Kazi itakuwa na jukumu la kupitia kila baada ya muda Hifadhi Data ya Malalamiko
na mchakato wa kusimamia malalamiko yalioingizwa katika mfumo huo.
7.4.4 : Ufumbuzi na Mrejesho kwa Mlalamikaji/Walalamikaji
Pale ambapo uchunguzi (upelelezi) wa malalamiko utakapokuwa umekamilika na/au mrejesho stahiki
utakapokuwa umepokelewa kutoka idara husika, afisa jamii anapaswa kuandaa mawasiliano rasmi kwa
ajili ya mlalamikaji/walalamikaji yakionyesha matokeo ya suluhisho la malalamiko yao. Afisa jamii
atawasilisha mrejesho, atahimiza makubaliano ya pamoja na kumuomba mlalamikaji akubaliane nayo.
Kama mlalamikaji hajaridhishwa na utatuzi uliofanyika, au hatua zilizokubaliwa za kurekebisha makosa,
mrejesho unapaswa kupitiwa upya na kama inafaa mabadiliko yafanyike kwa kuzingatia majadiliano
yoyote au mazungumzo.
Wakati wa kuandaa mrejesho kwa mlalamikaji, Afisa mahusiano atafanya yafuatayo:
atapiga picha au kukusanya ushahidi wowote ili kutengeneza rekodi thabiti ya malalamiko na
namna ambavyo yalitatuliwa;
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 7-34
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
UTARATIBU WA KUTOA NA KUPOKEA MALALAMIKO
atatengeneza rekodi ya masuluhisho, ikionyesha tarehe na muda uliotumika katika kutatua
malalamiko hayo na mfanyakazi anayehusika kuweka sahihi;
kufanya mkutano na mlalamikaji/walalamikaji ili kupata makubaliano ya pamoja ya kufunga
madai; na
kama jambo limetatuliwa kiasi cha mlalamikaji kuridhika, pata uthibitisho na uuhifadhi pamoja na
rekodi au nyaraka nyingine za kesi hiyo
Suluhisho la malalamiko linapaswa kutolewa kwa walalamikaji/mlalamikaji ndani ya mwezi mmoja
baada ya kupokea malalamiko.
Kama mlalamikaji hajaridhika na suluhisho lililotolewa, au matokeo ya hatua za kurekebisha
zilizokubaliwa, wanapaswa kuwa huru kupeleka malalamiko yao kwa kamati ya usuluhishi wa
malalamiko nnje ya mfumo wa kampuni wa kushughulikia malalamiko.
7.4.5 : Kufunga Malalamiko na kuboresha Hifadhi Data
Pale ambapo walalamikaji watakuwa wameridhika na mrejesho wa malalamiko yao, malalamiko hayo
maalumu yatahitimishwa na Afisa uhusiano wa jamii na hifadhi data itaboreshwa ipasavyo. Machapisho
yote ya malalamiko haya yatahifadhiwa na hatua za kurekebisha zitasasishwa/boreshwa dhidi ya
malalamiko
TRC na YM watahakikisha kwamba, malalamiko yote yaliyowasilishwa na wadau wa Mradi,
yanashughulikiwa bila upendeleo, kwa heshima na kwa siri. Kufanikisha hili, ikiwa ni muhimu, YM
itahakikisha uratibu stahiki na TRC.
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 8-35
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
UFUATILIAJI, UTHAMINISHAJI NA KURIPOTI
8. UFUATILIAJI, UTHAMINISHAJI NA KURIPOTI
8.1 Maelezo ya Jumla
Ili kurekodi shughuli na kutathmini ufanisi wa Mpango wa Ushiriki wa Wadau na shughuli za majadiliano
za kijamii. TRC na YM wataendelea na utekelezaji wa mchakato wa usimamizi na ufuatiliaji wa taarifa
ambao umeanza kuanzishwa chini ya Utaratibu wa Ushirikiano wa Wadau na Utaratibu Uwasilishaji wa
Malalamiko. Mchakato wa kusimamia taarifa/datautaandaliwa kama ilivyoorodheshwa hapa chini:
Kwa kuongezea, sehemu hii inajumuisha utaratibu wa kuripoti kwa wadau wa nnje kama hatua muhimu
ya kujenga mahusiano na wadau na kuchochea maelewano kati ya TRC/YM na umma.
8.2 Usimamizi waData
Shughuli za majadiliano ya kijamii zitarekodiwa/andikwa na kuhifadhiwa ili kufuatilia na kurejea rekodi
pale inapohitajika na kuhakikisha utoaji wa ahadi zilizotolewa kwa jamii. Maandiko na rekodi zifuatazo
za majadiliano ya wadau katika jamii zitatumika na kudumishwa katika kipindi cha maisha ya Mradi:
Hifadhi Data ya Ushirikishaji wa Wadau uliofanyika Zamani: Iliyotumika kuhifadhi, kuchambua, na
kuripoti kuhusu shughuli za majadiliano ya wadau. Itajumuisha maelezo ya taarifa ziliyowasilishwa,
maswali ya hadhira, majibu na hatua mbalimbali, na matokeo ya uthaminishaji wa mikutano.
Uwezekano wa kubadilisha orodha ya mikutano kutoka katika mfumo wa logi na kuiweka katika
mfumo wa hifadhi data utazingatiwa kutegemeana na changamoto ya Mradi, kufuatilia mara kwa
mara mikutano kwa kipindi chote cha maisha ya Mradi.
Orodha ya ahadi: iliyotumika kurekodi ahadi zilizotolewa kwa wadau mbalimbali.
Template za mihutasari ya mikutano: zilizotumikakukusanya mihutasari ya mikutano na
kuhifadhiwa pamoja na hifadhi data za ushiriki wa wadau
Orodha ya Wadau: Maboresho yanayoendelea ya orodha ya wadau (Kiambatanisho A cha
Mpango huu wa Ushiriki wa Wadau), ikijumuisha mawasiliano ya muhimu (Namba za simu,
anuani ya barua pepe n.k) kadri wadau wengine wanavyobainishwa.
Hifadhi data ya Malalamiko: itarekodi malalamiko yote yanayopokelewa, hatua za usimamizi na
kama imehitimishwa kwa namna ya kuridhisha.
Ufuatiliaji wa vyombo vya habari: ufuatiliaji wa habari zamagazeti na redio zinazohusiana na
Mradi
Rekodi zitakuwa zinapitiwa na timu ya pamoja ya ufanyaji kazi kwa kipindi cha robo mwaka ili
kuhakikisha kwamba rekodi zinatumika na kudumishwa. Ahadi na hatua zilizorekodiwa wakati wa
shughuli za ushirikishaji wa wadau nazo zitakuwa zinapitiwa mara kwa mara ili kuhakikisha
zinatekelezwa.
8.3 Kutoa Taarifa kwa Wadau (Ripoti za Wadau)
8.3.1 Taarifa/Ripoti za Ndani
Ripoti /taarifa zifuatazo za ndani zitaandaliwa:
Ripoti za mambo hatarishi: Ripoti zawiki au kila siku kwa vitu vya haraka na muhimu (Kwa mfano,
wasiwasi, malalamiko) au matukio muhimu ya asili. Ripoti hizi za masuala hatarishi zitaandaliwa
na Mratibu wa Masuala ya Kijamii na kutumwa kwa meneja Afya, Usalama na Mazingira, ambaye
atachukua hatua na/au kuongezea kama kuna ulazima. Utaratibu wa kupokea malalamiko
utahitaji kufafanua kiwango cha tukio la kuwasilishwa katika ripoti za mambo hatarishi pamoja na
muda unaotakiwa wa kuripoti.
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 8-36
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
UFUATILIAJI, UTHAMINISHAJI NA KURIPOTI
Ripoti za Maendeleo za kila Mwezi: Ripoti za ndani za kila mwezi za maendeleozitaandaliwa na
Timu ya Pamoja ya Kufanya Kazi kwa kushirikiana na Maafisa uhusiano na jamii. Ripoti hizi
zitaonyesha:
- Shughuli za majadiliano zilizofanyika: wadau waliokutana, mada muhimu zilizojadiliwa,
mawazo muhimu na matarajio, mambo yanayohitaji uangalizi wa haraka au mrejesho wa
haraka yaliyotolewa kuhusiana na shughuli za Mradi.
- Utaratibu wa kutoa malalamiko: ushiriki, malalamiko muhimu yaliyoripotiwa, muhtasari wa
maendeleo (hatua za kuchukua na kilichofanyika mpaka sasa);
- Mambo hatarishi kwa Mradi;
- Vikwazo (Mfano, rasilimali, mpangilio wa ndani)
- Vipaumbele vya mwezi unaofuata/robo
Ripoti hizi zitajadiliwa katika mikutano ya ndani ya mwezi ya idara ya Afya, Usalama na Mazingira kati
ya Mratibu waMasuala ya Kijamii, Meneja wa idara ya Afya, Usalama na Mazingira na Meneja Mradi
wa YP. Ripoti za maendeleo zitasambazwa kwa wadau wa ndani ya kampuni kama inavyopaswa.
8.3.2 Taarifa/Ripoti za Nnje
Mara baada ya kufanyika kwa mashauriano na wadau, kwa ujumla wadau wanataka kujua kipi kati ya
mapendekezo yao yamechukuliwa, ni njia zipi za kuzuia hatari au athari zitawekwa ili kushughulikia
maoni yao, na ni jinsi gani, kwa mfano athari za mradi zinafuatiliwa.
Ahadi zilizotolewa zitafuatiliwa, maendeleo yaliyofikiwa katika ahadi hizi yatakuwa yakiripotiwa katika
kila kipindi (Kwa mfano wakati wa mikutano ya kila mwezi na wawakilishi wa wananchi). Ripoti za nnje
itakuwa ni wajubu kwa wadau na zitakuwa ni majukumu ya Timu ya Pamoja ya Kufanya Kazi .
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
KIAMBATANISHO A ORODHA YA WADAU
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 1
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
Ngazi Kundi la Wadau Uhusiano na Mradi Wadau Mawasiliano
Kitaifa ■ Mamlaka za Udhibiti za Taifa
■ Wizara Muhimu
■ Mashirika ya Serikali na Taasisi
Serikali ina jukumu
la kuanzisha sera,
kutoa vibali na idhini
nyingine kwa ajili ya
Mradi, na kufuatilia
na kuhakikisha
Sheria za Tanzania
Zinazingatiwa katiika
ngazi zote za
mzunguko wa
maisha ya Mradi
Mamlaka za Udhibiti za
Taifa
■ Baraza la Usimamizi na Utunzaji wa Mazingira (NEMC)
■ Ofisi ya Makamu wa Raisi – Kitengo cha Mazingira
Baraza la Usimamizi na Utunzaji wa Mazingira,
Regent Estate Plot No. 29/30,
P.O. Box 63154 Dar es Salaam, Tanzania.
Simu: +255 22 2774852/4889; Mob. 0713608930
Email: [email protected]
Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Raisi,
Mtaa wa Makole , Jengo la LAPF, 7th Floor
P. O. Box 2502,
40406 Dodoma, Tanzania.
Simu. No. : + (255) 026 2329006
Email: [email protected] / [email protected]
Wizara Muhimu na Idara
za Wizara
■ Wizara ya Kazi, Usafirishaji na Mawasiliano
SEKTA YA KAZI
Katibu Mkuu
Tanzania Building Agency (TBA) House, 1st Floor, Moshi Street, P. o
Box 2888, 40470 Dodoma, TANZANIA.
Simu: +255 26 2322251
Email: [email protected]
SEKTA YA USAFIRISHAJI
Katibu Mkuu,
Tanzania Building Agency (TBA) House, 5 th Floor, Moshi Street,
P. o Box 638, 40470 Dodoma, TANZANIA
Simu: +255 26 2322703, 2322702
Email: [email protected]
■ Wizara ya Nishati Katibu Mkuu, Wizara ya Nishati
Kikuyu Avenue,
P.O. Box 2494,
40474 Dodoma,
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 2
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
Ngazi Kundi la Wadau Uhusiano na Mradi Wadau Mawasiliano
Simu: +255-26-2322018
Email: [email protected]
■ Wizara ya Madini Katibu Mkuu
Wizara ya Madini,
Kikuyu Avenue,
P.O Box 422,
40474 Dodoma,
Simu: +255 26230051, Fax: +255 26 2322282
Email: [email protected]
■ Wizara ya Kilimi Katibu Mkuu, Wizara ya Kilimo
Idara ya Utawala, Kilimo IV
P.O. Box 2182
Dodoma
Simu: +255 (026) 2321407/ 2320035
Email: [email protected]
■ Wizara ya Mali Asili na Utalii
Wizara ya Mali Asili na Utalii
Mtaa wa Kilimani ,
40472, Dodoma, Tanzania
Email: [email protected]
■ Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Block 11, P.O. Box 573, 40478 Dodoma, Tanzania.
Simu: +255 26 2963341/42/46
Email: [email protected]
■ Wizara ya Maji P.O. Box 456 Dodoma
Simu: 022 2450838/40-41/022 2450533
Email: [email protected]
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 3
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
Ngazi Kundi la Wadau Uhusiano na Mradi Wadau Mawasiliano
■ Wizara ya Mifugo na Uvuvi
Sekta ya Uvuvu
Simu: +255 26 2322612
Fax: +255 (0)22 2861908
Email Address: [email protected]
Sekta ya Mifugo
Simu: +255 26 2322610
Fax: +255 2861908
Email Address: [email protected]
Shirika la utekelezaji la
Taifa
Shirika la Reli la
Tanzania (TRC)
Mtaa wa Reli/Sokoine Drive
P.O Box 76959,
Dar es Salaam, Tanzania
Simu: +255 (0) 22 2112695
Mashirika, Mamlaka,
Taasisi na idara
yaiyofadhiliwa na
serikali kwa ajili ya
kusimamia shughuli
maalumu.
Mashirika, Mamlaka,
Taasisi na Idara
zinaweza kuwa na
ardhi au mali
nyingine yeyote
ambayo inaweza
kuathiriwa na
Mradi.TANESCO ni
wamiliki wa njia ya
kupitisha umeme na
mtandao wa umeme
ambao Mradi
utaunganishwa.
Maabara ya Mkemia wa
Serkali (GCLA)
Ofisi Kuu, Mkemia Mkuu wa serikali
5 Barack Obama drive,
P.O. Box 164, Dar es Salaam. Tanzania.
Simu: +255 22 2113383/4;
Email: [email protected]
Meneja wa Maabara ya Kanda ya Kati ,
P.O. Box 2925,
Dodoma. Tanzania.
Simu: +255 (26) 2351535
Email: [email protected]
Shirika la Umeme la
Tanzania (TANESCO),
TANESCO Makao Makuu
Plot No. 114, Block G, Dar es Salaam Road,
P.O.BOX 453 Dodoma, Tanzania.
Simu: (+255) 21944000/ (+255) 768 985 100
Email: [email protected]
Mamlaka ya Usalama na
Afya kazini (OSHA)
Ofisi ya OSHA - Dar es Salaam,
P.O Box 519, Dar es Salaam.
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 4
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
Ngazi Kundi la Wadau Uhusiano na Mradi Wadau Mawasiliano
Simu : +255-22-2760548/2760552
Ofisi ya OSHA Kanda ya Kati - Dodoma
Along Askari Road, P.O. BOX 1818, Dodoma
NAMBA YA KUPIGA BURE 0800110092
S : +2imu55 (0) 26 2320205
Wakala wa Barabara
Tanzania (TANROADS)
Jengo la Airtel, Floo ya 3, Makutano ya Barabara ya Ali Hassan
Mwinyi/Kawawa.
Simu: +255 22 2926001/6
Email: [email protected]
Ofisi za Bonde la Mto
Wami/Ruvu
PO Box 826, Morogoro
Simu +255 23 2614 748/3519
Email: [email protected]
Mamlaka ya udhibiti wa
usafiri wa Majini na Nchi
Kavu (SUMATRA)
Address : Mawasiliano House, Ali Hassan Mwinyi Road/Nkomo
Street
P.O Box 3093
Dar Es Salaam, Tanzania
Phone : 022- 2197500/022- 2197501
Fax : 022-2116697
Taasisi Rasmi ya
uthibitishaji Mbegu ya
Tanzania (TOSCI)
Taasisi Rasmi ya uthibitishaji Mbegu ya Tanzania (TOSCI)
Simu: +255 23 2600797
Email: [email protected]
Mji: Morogoro
Muwakilishi: T.Z. Maingu
Wakala wa Misitu wa
Tanzania (TFS)
Mpingo House, Ivory Room, Nyerere Rd, Dar Es Salaam, Tanzania
RE ROAD, DAR ES SALAAMP.O. BOX 40832, TANZANIA
Tel: +255 (0)22 2864249
Taasisi ya Utafiti wa
Wanyama Pori ya
Tanzania (TAWIRI)
Taasisi ya Utafiti wa Wanyama Pori ya Tanzania (TAWIRI)
Box 661, Arusha
Simu: +255 27 254 9571
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 5
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
Ngazi Kundi la Wadau Uhusiano na Mradi Wadau Mawasiliano
Email: [email protected]
Hifadhi za
Taifa(TANAPA)
Mkurugenzi Mkuu
Hifadhi za Taifa za Tanzania
P.O Box 3134, Arusha, Tanzania
Simu: +255 (0) 272 970 404 or +255 (0) 272 970 405 or +255 (0)
272 970 406 or +255 (0) 272 970 407
Email: [email protected]
Mamlaka ya Hali ya
Hewa Tanzania (TMA)
Barabara ya Morogoro, Ubungo Plaza ,3rd Floor
P.O Box 3056, Dar es Salaam
Simu: +255 22 2460706-8,
Email : [email protected]
Shirika la Simu la
Tanzania (TTCL)
TTCL,
EXTELCOMS HOUSE, SAMORA AVENUE
P. O. Box 9070, Dar es Salaam.
Simu: +255 22 214 2000
E-mail: [email protected]
Mamlaka ya Bandari ya
Tanzania (TPA)
Mamlaka ya Bandari ya Tanzania (TPA)
P.O Box 9184 Dar es salaam
Phone: +255 211 7816
Email: [email protected]
Serikali za Mikoa na
Mitaa
■ Mamlaka za serikali ngazi ya Mikoa
Secretarieti ya mkoa
wana jukumu la
kutekeleza sheria,
na kuandaa mipango
na sera katika ngazi
ya mkoa.Hii
inajumuisha kutoa
ruhusa ya kutwaa
ardhi na kuhamisha
Sekretarieti ya mkoa wa
Dar es Salaam
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa – Dar es Salaam,
PO Box 5429, Dar es Salaam, Tanzania.
Simu: +255 22 2203158/ +255 22 2203156
Email: [email protected]
Sekretarieti ya Mkoa wa
Pwani
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa – Pwani,
PO Box 30080, Kibaha
Simu: 023 2402287/2402500
Simu: 023 2402287/2402500
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 6
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
Ngazi Kundi la Wadau Uhusiano na Mradi Wadau Mawasiliano
concession and
physical
resettlement.
Sekretarieti ya Mkoa wa
Morogoro
Sekretarieti ya Mkoa wa
Dodoma
Regional Commissioners Office – Dodoma
Nyerere Road
PO Box: 914 Dodoma
Tel: +255 26 232 4343
Email: [email protected]
Sekretarieti ya Mkoa wa
Singida
Regional Commissioners Office – Singida
P O BOX 5, SINGIDA
Tel: 2502170, 2502089
Email: [email protected] and [email protected]
Bodi ya Usajili wa
Wahandisi (ERB)
Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) Jengo la Tetex(Floo ya 2 and 4) P.O.Box 14942 Dar es Salaam - Tanzania. Simu: +255 22 2122836/+255 22 2129087 Email: [email protected]
Bodi ya Usajili wa
Wakandarasi(CRB)
Makao Mahuu ya Bodi ya Usajili wa Wakandarasi (CRB)
P.O Box 13374,
Pamba Road
Tetex House, 3rd Floor
Tel: +255-22-2131169/2137962-3
E-mail:[email protected]
Wilaya & Manispaa ■ Mamlaka za serikali za Wilaya
■ Mamlaka za serikali za Mitaa
Uongozi wa
wilaya/Manispaa pia
wana mamlaka
katika jukumu la
kuhamisha makazi
ya watu
Kwa kuongezea,
wilaya na manispaa
Halmashauri ya
manispaa ya Ilala
Halmashauri ya Manispaa ya Ilala
Po Box 20950 Dar es Salaam, Tanzania
Simu: 2128800
Simu: +255752687564 /
Email: [email protected]
Halmashauri ya wilaya ya
Kisarawe
Barabara ya Bomani, Kisarawe
Anuani ya Posta : Box 28001 Kisarawe
Simu: +255 23 2401045
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 7
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
Ngazi Kundi la Wadau Uhusiano na Mradi Wadau Mawasiliano
pembezonii mwa reli
ya SGR zitaathirika
na shughuli za Mradi
na watahitaji
kuhabarishwa
kuhusu maendeleo
na mipango katika
maeneo yao,
kuzingatia shughuli
za mradi katika
uandaaji wao wa
sera, usimamizi
pamoja na
majukumu na kazi
nyingine
Email: [email protected],[email protected]
Halmashauri ya wilaya ya
Kibaha
HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBAHA
P.O BOX 30153
simu: +255 23240224
Simu: +255 0767520048
Email: [email protected]
Halmashauri ya wilaya ya
Chalinze
Halmashauri ya wilaya ya
Morogoro vijijini
Halmashauri ya wilaya ya
Morogoro Mjini
Halmashauri ya wilaya ya
Mvomero
Halmashauri ya wilaya ya
Kilosa
Halmashauri ya wilaya ya
Mpwapwa
P. O Box 12,
Simu: 255 26 2320122/2320
Simu: +255 784399016
Email: [email protected]
Halmashauri ya
wilaya/Manispaa ya
Dodoma
Mtaa wa CDA
PO Box 1249, DODOMA, TANZANIA
Simu: +255 26 232 4817
Email: [email protected]
Halmashauri ya wilaya ya
Chamwino
PO Box 1126, Chamwino, Dodoma
Simu: +255 26 296 1511
Email: [email protected]
Halmashauri ya wilaya ya
Manyoni
Po Box 60, Manyoni
Tel: +255 26 2540136
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 8
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
Ngazi Kundi la Wadau Uhusiano na Mradi Wadau Mawasiliano
Mobile: +255 712 028027
Email: [email protected]@manyonidc.go.tz
Mamlaka za kata na
Vijiji
■ Wawakilishi wa serikali za Vijiji na Kata
■ Kamati za mali asili za Vijiji
Viongozi wa kata na
vijiji (Watendaji wa
kata na vijiji) ni
wawakilishi wa
wananchi katika
ngazi ya vijijij na
kata.Hawa ni
viongozi muhimu
katika ngazi za chini.
Mikutano katika
ngazi hii itafuata
miongozo ya kata na
vijiji na inapaswa
kufanyika baada ya
mawasiliano ya
kutosha ndani ya
jamii ili kuheshimu
mifumo ya kisiasa na
kijamii
Uongozi katika ngazi ya
kata na vijiji ambao
ulijumuishwa katika eneo
lenye ushawishi (ndani
ya mita 250) kutoka
kwenye reli au wale
wenye ardhi/misitu ndani
ya eneo la mita 250 ni:
■ Watendaji wa kata (WEO)
■ Watendaji wa Vijiji (VEO)
■ Wazee wa vijiji na mabaraza ya watu wenye makazi yalioathirika
■ Kamati za mali asili za kijiji
Jamii au Makazi ■ Jamii zilizoathirika na Mradi ndani ya mita 250 katika kila pande kutoka katikati mwa reli
■ Wamiiki wa ardhu na watumiaji
■ Wanajamii wanaotumia njia za kupita ili kupata mali asili zilizopo karibu
Kaya na jamii
ambazo zinaweza
kuathirika moja kwa
moja au kwa namna
ingine na shughuli za
mradi pendekezwa.
Hii inajumuisha watu
wanaoishi katika
ardhi iliyoathiriwa na
Mradi kupitia utwaaji
wa ardhi au kwa
Mkoa wa Dar es
Salaam:
Kata katika wilaya ya
Temeke: Sandali,
Changombe, Keko,
Kurasini, Temeke
Katika katika wilaya
Ilala: Ukonga, Kipawa,
Gerezani, Gongolamboto,
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 9
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
Ngazi Kundi la Wadau Uhusiano na Mradi Wadau Mawasiliano
■ Miundombinu ya kijamii/umma pamoja na huduma
athari za kimazingira
na kijamii, na watu
wengine ambao
hutembelea au
hutumia malighafi
ambazo zinzweza
kuwa zimeathiriwa
na shughuli za
Mradi.
Wadau muhimu ni
wamiliki wa ardhi na
watumiaji wa
ardhi.Jamii hizi
zinahitaji
kushirikishwa
kuhusu athari za
Mradi katika awamu
ya ujenzi na
uendeshaji.Kaya
zinazomiliki ardhi
watahitaji
kufahamishwa
kuhusu mpango wa
kuchukua ardhi na
kipi cha kutokufanya
katika ardhi, kushiriki
katika kukamilisha
makubaliano kuhusu
ulipaji fidia na
urudishaji upya wa
shughuli za kujipatia
riziki na kuwa na
Kivukoni, Kiwalani,
Mchafukoge, Vingunguti
Kata katika wilaya
Kinondoni: Kibamba
Mkoa wa Pwani:
Kata katika wilaya ya
Kisarawe:Kisarawe,
Kiluvya, Vihingo
Kata katika wilaya ya
Kibaha:Soga, Janga,
Ruvu,Kwala, Magindu
Mkoa wa Morogoro:
Kata katika wilaya ya
Morogoro vijijini:
Kidugalo, Ngerengere,
Mikese, Mkambalani
Kata katika wilaya ya
Morogoro mjini:
Kingolwira, Bigwa,
Kihonda, Msamvu,
Lukobe
Kata katika wilaya ya
Mvomero: Mzumbe and
Melela
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 10
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
Ngazi Kundi la Wadau Uhusiano na Mradi Wadau Mawasiliano
jukumu la kumiliki
matokeo ya
utekelezaji wa hizi
taratibu.
Kata katika wilaya ya
Kilosa: Chanzuru,
Mabwerebwere,
Kimamba 'A', Mkwatani,
Mbumi, Kasiki,
Magomeni, Masanze,
Kidete
Mkoa wa Dodoma:
Kata katika wilaya ya
Mpwapa:Gode, Kimagai,
Ving'hawe, Mazae,
Chunyu
Kata katika wilaya ya
Dodoma vijijini:Gandu,
Handali, Msamalo,
Ibihwa, Kigwe, Chikola,
Mpamantwa, Bahi
Kata ndani ya Dodoma
mjini: Kikombo, Mtumba,
Dodoma Makulu,
Tambukareli, Kilimani,
Kikuyu South, Mkonze,
Zuzu,Ihumwa.
Mkoa wa Singida :
Kata katika wilaya ya
Manyoni: Kintinku,
Makanda, Maweni
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 11
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
Ngazi Kundi la Wadau Uhusiano na Mradi Wadau Mawasiliano
Makundi yaliyo
katika mazingira
hatarishi
Makundi hatarishi
katika eneo la tathmini:
Makundi yaliyo
hatarini yanaweza
kuathiriwa na mradi
kwa sababu ya
ulemavu wao, nafasi
yao ya kijamii na
kiuchumi, elimu
ndogo, ukosefu wa
ajira au nafasi ya
kuwa na ardhi.
Njia sahihi za
ushirikishaji
zitatumika ili
kuhakikisha makundi
haya yanapata
taarifa stahiki
kuhusiana na mradi
na wanashiriki
kikamilifu..
Makundi yaliyo hatarini katika eneo la tathmini/Mradi yanajumuisha:
■ Makundi ya kikabila, Mfano Wamasai
■ Wazee (zaidi ya miaka 60)
■ Wanawake na wasichana
■ Vijana wanaume wasio na ajira/wanaume watu wazima
■ Yatima au kaya zinazosimamiwa na mayatima
■ Watoto
■ Watu wenye ulemavu
■ Watu wanaoishi na magonjwa ya muda mrefu, kwa mfano Virusi vya UKIMWI na UKIMWI
■ Watu wenye ulemavu
■ Vijana
Asasi za Kiraia ■ Mashirika ya kijamii (CBOs)
■ Jamii au ushirika mwingine
Mashirika yenye
maslahi ya moja kwa
moja na Mradi na
masuala yake ya
■ Mashirika ya Kijamii katika kila wilaya
■ Jamii au Ushirika katika kata na vijiji
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 12
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
Ngazi Kundi la Wadau Uhusiano na Mradi Wadau Mawasiliano
■ Taasisi za utafiti na elimu
kimazingira na
kijamii na ambayo
yana uwezo wa
kutoa ushawishi
katika mradi moja
kwa moja au kupitia
maoni ya umma.
Mashirika hayo
yanaweza pia
yakawa na taarifa
muhimu na ufahamu
na yanaweza kuwa
wabia katika Mradi
katika maeneo
yenye maslahi ya
pamoja kama vile
utekelezaji wa
uwekezaji katika
jamii
■ Taasisi ya Teknolojia ya Reli ya Tanzania(TIRTEC)
Taasisi ya Teknolojia ya Reli ya Tanzania P.O. Box 321,
Tabora, Tanzania.
Simu: +255(0)262605630
Email: [email protected]
Mashirika Yasiyo ya
Serikali (NGOs)
■ Kimataifa
■ Kitaifa
■ Katika mitaa
Mashirika yasiyo ya
serikalia (NGOs)
yenye maslahi
tofauti katika mradi
na masuala yake ya
kimazingira na
kijamii na yenye
uwezo wa kutoa
ushawishi katika
Mradi moja kwa
moja au kupitia
maoni ya umma.
Mashirika haya
Mashirika yasiyo ya
kiserikali ya ndani ya
nnchi na ya kimataifa
yanayopatikana katika
eneo la utafiti ni :
■ Mashirika yasiyo ya kiserikali ya kimataifa na makundi ya hatakati
■ Aga Khan Foundation (Tanzania)
PO Box 125
Plot 37, Bara bara ya Haile Selassie
Dar es Salaam, TANZANIA
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 13
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
Ngazi Kundi la Wadau Uhusiano na Mradi Wadau Mawasiliano
yanaweza pia
yakawa na taarifa
muhimu na ufahamu
juu ya mambo ya
ndani na ya
kimataifa
yanayoibuliwa na
Mradi. Mashirika
yasiyo ya kiserikali
ya kimataifa
yanajumuisha taasisi
zilizopo hapa
Tanzania na zile
ambazo zipo nnje ya
Tanzania zenye
maslahi na Mradi.
Zinajumuisha NGOs
za kimataifa ,
mashirika ya mataifa
na mashirika ya
kimataifa.
Tel: (22) 2668651 / 2667923
E-mail: [email protected]
■ IUCN Floor 2 left wing, adjacent to French Embassy on Kilimani Street,
Kinondoni
P. O Box 13513,
Dar es Salaam, United Republic of Tanzania.
Tel: +255 22 2669084 -5
■ CARE CARE TANZANIA
P.O. Box 10242
Dar-es-Salaam
Tanzania
Simu: +255 22 2668 061
Email: [email protected]
■ Tanzania Forest Conservation Group
Plot 323, Msasani Village, Old Bagamoyo Road
PO Box 23410
Dar es Salaam, Tanzania
Tel / Fax: +255 22 2669007
■ WWF WWF Tanzania Country Office
Plot No. 350 Regent Estate Mikocheni, Dar es Salaam
Tanzania
Tel: +25522 270 0077/+255 22 277 5535
■ Birdlife International (Tanzania)
Contact: Emmanuel Mgimwa
Email: [email protected]
Simu: 0785402085
■ African Wildlife Foundation (AWF)
AWF Ifakara (Tanzania)
P.O. Box 277
Ifakara, Tanzania
Simu: +255 742 317 754
Email: [email protected]
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 14
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
Ngazi Kundi la Wadau Uhusiano na Mradi Wadau Mawasiliano
Makundi mengine
yenye maslahi:
■ Vyombo vya habari
■ Wasimamizi wa sheria
Vyombo vya habari
katika ngazi ya
manispaa na mitaa
vitakuwa na kiwango
kikubwa cha
ushawishi kuhusiana
na Mradi na
vinaweza kushawishi
mtazamo wa wadau
kuhusiana na Mradi
Wabia muhimu wa
kibiashara
■ Wakandarasi
■ Wasambazaji na watoa huduma
■ Biashara nyingine zinazofanya kazi katika jamii
■ Benki za kitaifa na kimataifa
■ Wengineo
Taasisi, biashara na
watu binafsi wenye
maslahi ya moja kwa
moja na Mradi; Kwa
mfano kuendesha
biashara au kutoa
huduma kwenye
Mradi
■ Wakandarasi: Yaate (Ulipuaaji), Nitro (usambazaji wa vilipuaji), Kama Steel, Guruka Kwala (Usafirishaji wa taka hatarishi), Mwanza Environmental Symphathisizers (chuma chakavu), Puma energy
■ Wabia: Mota Engil, KORAIL
■ Benki
■ Biashara katika eneo la utafiti/mradi
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
KIAMBATANISHO B: FOMU YA MALALAMIKO YA MRADI
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 1
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 2
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 3
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
KIAMBATANISHO C: MFANO WA FOMU YA KUORODHESHA MALALAMIKO
www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 1
MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU
Acknowledgement
date
Rapid
Response by
Associated Dpt/
Contractor/Third Party
Complaint
Owner
Proposed Resolution/Feedback to
Complainant
Preliminary
Resolution
Date
Satisfied with
Process
(yes/no)?
If no, why
not?
Conclusive
Resolution
Date
Satisfied with
Outcome
(yes/no)?
If no, why not?Closure
Date
24-Jan-13 XXX Exploration XXXX Provide compensation to complainant
The business of sustainability