madhara ya vitoboa-bua na viluwiluwi. bungua mtama...
TRANSCRIPT
Madhara ya Vitoboa-bua na viluwiluwi. Kuzuia• Kupandamapema• Kuondoa na kuchoma mabua ya msimu
uliopita• Kutumiambeguzenyeustahimilifu• Kutumia madawa ya kunyunyizia kama
vile aina ya chembechembe za Bulldockinayowekwakwenyemimeayaumriwawawiki4kuzuia“vitoboabua”
Waduduwaharibifuwamasukenapunjei) Sorghum midge (Contarina sorghicola)
Madhara huletwa na viluwiluwi wanaokulandani ya kiini cha mbegu punjena kuzuiaukuaji wa mbegu na kuleta mapepe yambegu
Kuzuia:• Upandajimapemanakwawakatimmojawa
mtamakwenyeeneokubwa• Mbeguborazamtama/auchotarazamtama
zinazostahimilimadhara• Matumizi ya madawa kama Endosulfan,
Ambush,MarshalauKarate.
Vichwa vilivyodhuriwa na Midge
Wadudu hifadhiWadudumuhimukatikamaghalayakuhifadhiamtamanikamabunguananondo.i) Bungua-mahindi ( Sitophilus zeamais) na
Bunguamtama-Sitophilusoryzae).Bunguana viluwiluwi huharibu mbegu na kuifanyaisiwenamatumiziyoyote.
(a) Bungua mpunga (b) Nondo wa punje – Viluwiluwi na nondo t
Kuzuia• Kuvunamapema• Kukaushakikamilifu• Kutumiamaghalayakuhifadhiayenyeubora
naambayoyanapitishahewavizuri• Kusafishaghalanakuwekadawawiki6kabla
yakuvuna.NyunyiziadawakamavileActellicSuper,Malathionaupyrethrumdust.
NdegeKunandegekamaqueleaquelea,vilenanjiwa.Kuzuia• Kupanda mapema mbegu zinazokomaa
wakatimmojakatikamaeneoyakaribukaribu.• Kutumia nyaya zamiali kama vile ribbons,
aluminumfoils,kanda.• Mikebe ya mawe iliyofungwa na kamba ili
kutoasautiwakatikambaikivutwa• Kuvunawakatiunaofaa• Kuharibumaeneoyakuzalianandege• Kutumiaainazamitamazenyeuchachu
Kilimo Bora cha Mtama
InternationalCropsResearchInstitutefortheSemi-Arid-Tropics
Kwa maelezo zaidi Dryland Cereals Program
ICRISAT-Nairobi, UN-Ave, Gigiri, Box 39063-00623, Nairobi-Kenya
KILIMO BORA CHA MTAMA Utangulizi
Mtamanizaolachakulanabiashara.Nizaomuhimu katika maeneo yanayokabiliwa
na ukame na pia sehemu ambazo udong unarutubayawastani.Utafitiwazaohiliumewezakutoa teknolojiambalimbaliambazozinawezakutumiwa ili kuongeza tija katika uzalishaji.Teknolojiahizizikokwenyeuwezowawakulimanakipeperushi hiki kinaelezeakilimobora chamtama
Utayarishaji wa shamba Tayarishashambailiudongouwelainikurahisishauotaji.Kamashambalimelimwanatrektainabidilipigweharonaikiwalimetayarishwakwajembela mkono, mabonge mabonge ya udongoyanatakiwayavunjwe
Kiasi cha mbegu Upandaji kwenye mistari pasipo kupungiziakunahitaji kilo 7hadi 8 kwahektanaupandajikwamashineunahitajikilo8hadi10kwahekta
UpandajiUnaweza kupanda kwenye vumbi kabla yamvua kunyesha, au wakati mvua zinapoanzaau,wakatimvuazimenyeshazakutosha.Kina:Kupandakwenyevumbicm5.0–6.0;Kupandakwenyeudongowenyeunyevucm2.5–4.0Nafasi:Sehemuzaunyevumwingi:60cmx20
cm(cm60katiyamstarinamstarinacm20katiyashinanashina);Maeneomakame:cm75xcm20aucm90xcm30
Mbolea: AinambalimbalizamboleanasamadizinatumikakuongezarotubayaudongoSamadi:Inatakiwaisambazwekwenyeshambanakulimiwachiniauiwekwekwenyemistarinakuchanganywa na udongo kabla ya kupanda.Kiasikilichopendekezwanitani5-10kwahektanaiwekwemwezimmojakablayakupanda.
MboleaKablayakupanda:MboleaainayaDAP,20:20:0,23:23:0katikakiwangochakilo20kgNna~20kiloP2O5kwaeka,iwekwewakatiwakupandanakablayakupandambegu.Top dressing: Kilo 20 N za mbolea aina yaUrea,CAN. Iwekwepemebenimwamimeanahakikisha inawekwa wakati kuna unyevu wakutoshawakuyeyushamboleavizuri
Palizi Palizi lifanyike mara mbili. Palizi la kwanzalifanyikewiki2-3baadayambegukuota.DawazakuuamaguguzinazowezakutumikaniainayaLassoauGesaprim(kablayakuota)na2,4D(baadayakuota)
Kupunguzia Mimeaipunguziweikiwanawiki3-4baadayakuotanaipunguziwewakatiudongounaunyevuwakutoshakupunguzamadharakwamimea.
Ukame na aina ya udongo Ukama ni moja wapo ya madhara makubwayanadhurumtamaunaotegemeamvua.Ukameunawezakutokeakablaaubaadayakuchanua.Madhara ya ukame yanaweza kuepukwa kwakupandamapemanakupandaaina zambeguzinazowahi au kuvumilia ukame au kutumiambinumbalimbalizakuhifadhimaji.
Wadudu Waharibifu:i) Inziwabua(Antherigonasoccata)Madhara yanatokea siku 7 hadi 30 baada yakuota.Viluwiluwiwanakulandaniyammeanakusababisha dalili za moyokufa (deadheart).Ucheleweshajikupandahuongezamadhara.
Picha 1a Inzi wa bua;1b Mmea mchanga ulioathiriwa
ii)Vitoboa-bua(StemborersChilopartellus)
Dalili ni vidirisha vidogo kwenye majanimachanga.Viluwiluwihutoboabuanamimeamichangainaonyeshamoyokufa(deadhearts).