maelezo mafupi kuhusu halmashauri...4 (ii) afya manispaa ya temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma...

42
1 SURA YA 1 1.0 MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI YA MANISPAA YA TEMEKE 1.1 ENEO Temeke ni mojawapo ya Halmashauri tano zinazounda Jiji la Dar es Salaam. Manispaa nyingine ni Ilala, Kinondoni, Ubungo na Kigamboni. Manispaa ya Temeke ina eneo la kilometa za mraba 240 na ukanda wa Pwani wa kilometa 5. Aidha ipo katika nyuzi 39 0 12’ – 39 0 33’ Mashariki na nyuzi 6 0 48 – 7 0 33 Kusini. Temeke ipo upande wa kusini mwa Jiji la Dar es Salaam ambapo kwa upande wa Mashariki inapakana na Bahari ya Hindi, Kusini inapakana na Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani na upande wa Kaskazini na Magharibi inapakana na Manispaa ya Ilala. 1.2 HALI YA HEWA Kwa ujumla Manispaa ya Temeke ina joto sana katika miezi ya Januari, joto hufikia nyuzi joto 35 0 C na miezi ya Juni hadi Agosti hufikia wastani wa nyuzi joto 25 0 C Halmashauri ya Manispaa ya Temeke hupata misimu miwili ya mvua. Mvua za vuli ambazo hunyesha miezi ya Oktoba hadi Novemba na mvua za Masika ambazo hunyesha miezi ya Februari hadi Mei. 1.3 IDADI YA WATU Kulingana na sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012, Manispaa ya Temeke ilikuwa na jumla ya watu 1,205,949 na Kaya 307,760. Kati yao wanaume walikuwa 587,857 na wanawake walikuwa 618,092. Hadi kufikia mwaka huu 2016, Manispa ya Temeke inakisiwa kuwa na watu wapatoa 1,443,629 na Kaya 368,416. Kati yao wanaume ni 703,718 na wanawake ni 739,912 1.4 UTAWALA MUUNDO WA KIUTAWALA Halmashauri ya Manispaa ya Temeke ina jumla ya Idara kumi na tatu (13) na vitengo sita (6). Kiutawala Manispaa ya Temeke imegawanyika kama ifuatavyo: Tarafa Kata Mitaa Majimbo ya uchaguzi 2 23 142 2 1.5 HALI YA UKUSANYAJI WA MAPATO Makusanyo ya Mapato yamekuwa yakiongezeka mwaka hadi mwaka kutokana na mikakati na malengo ya Halmashauri iliyojiwekea. Hii ni pamoja na kutoa elimu kwa walipa Kodi, ada na ushuru mbalimbali na matumizi ya mfumo wa GIS kwa ajili ya kukusanya takwimu za kodi za mabango na huduma za jiji.

Upload: others

Post on 03-Jan-2020

35 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

1

SURA YA 1

1.0 MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI YA MANISPAA YA TEMEKE

1.1 ENEO

Temeke ni mojawapo ya Halmashauri tano zinazounda Jiji la Dar es

Salaam. Manispaa nyingine ni Ilala, Kinondoni, Ubungo na Kigamboni.

Manispaa ya Temeke ina eneo la kilometa za mraba 240 na ukanda wa

Pwani wa kilometa 5. Aidha ipo katika nyuzi 39012’ – 39033’ Mashariki na

nyuzi 6048 – 7033 Kusini. Temeke ipo upande wa kusini mwa Jiji la Dar es

Salaam ambapo kwa upande wa Mashariki inapakana na Bahari ya

Hindi, Kusini inapakana na Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani na

upande wa Kaskazini na Magharibi inapakana na Manispaa ya Ilala.

1.2 HALI YA HEWA

Kwa ujumla Manispaa ya Temeke ina joto sana katika miezi ya Januari,

joto hufikia nyuzi joto 350 C na miezi ya Juni hadi Agosti hufikia wastani wa

nyuzi joto 250C Halmashauri ya Manispaa ya Temeke hupata misimu miwili

ya mvua. Mvua za vuli ambazo hunyesha miezi ya Oktoba hadi Novemba

na mvua za Masika ambazo hunyesha miezi ya Februari hadi Mei.

1.3 IDADI YA WATU

Kulingana na sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012, Manispaa ya

Temeke ilikuwa na jumla ya watu 1,205,949 na Kaya 307,760. Kati yao

wanaume walikuwa 587,857 na wanawake walikuwa 618,092. Hadi kufikia

mwaka huu 2016, Manispa ya Temeke inakisiwa kuwa na watu wapatoa

1,443,629 na Kaya 368,416. Kati yao wanaume ni 703,718 na wanawake ni

739,912

1.4 UTAWALA

MUUNDO WA KIUTAWALA

Halmashauri ya Manispaa ya Temeke ina jumla ya Idara kumi na tatu (13)

na vitengo sita (6).

Kiutawala Manispaa ya Temeke imegawanyika kama ifuatavyo:

Tarafa Kata Mitaa Majimbo ya uchaguzi

2 23 142 2

1.5 HALI YA UKUSANYAJI WA MAPATO

Makusanyo ya Mapato yamekuwa yakiongezeka mwaka hadi mwaka

kutokana na mikakati na malengo ya Halmashauri iliyojiwekea. Hii ni

pamoja na kutoa elimu kwa walipa Kodi, ada na ushuru mbalimbali na

matumizi ya mfumo wa GIS kwa ajili ya kukusanya takwimu za kodi za

mabango na huduma za jiji.

Page 2: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

2

Makusanyo halisi kwa kipindi cha kuanzia mwaka 2005 – Desemba 2016 ni

kama inavyoonekana hapo chini:-

MWAKA

LENGO LA

UKUSANYAJI UKUSANYAJI HALISI ASILIMIA

2005/2006 3,642,725,473.00 3,891,025,346.00 106.8

2006/2007 4,826,572,438.00 5,139,541,243.93 106.5

2007/2008 6,500,000,000.00 6,355,969,906.50 97.8

2008/2009 8,287,570,000.00 8,014,437,464.00 96.7

2009/2010 10,171,334,000.00 9,010,647,663.00 88.6

2010/2011 13,430,142,228.00 12,059,617,942.00 89.8

2011/2012 19,021,938,341.00 14,339,934,927.00 75.4

2012/2013 22,437,551,883.00 25,175,053,009.00 112.2

2013/2014 25,243,405,600.00 27,441,013,080.00 108.7

2014/2015 31,721,802,500.00 32,073,794,332.00 101.1

2015/2016 38,553,189,000.00 31,967,414,712.00 82.9

2016/2017 42,227,364,000.00 11,133,739,556.29 26.4

Makusanyo ya mwaka 2016/2017 hadi Disemba 2016.

1.6 UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA HALMASHAURI

1.6.1 HUDUMA ZA JAMII

(i) ELIMU

Halmashauri ya Manispaa ya Temeke ina jukumu la kutoa elimu kuanzia shule

za awali, msingi, Sekondari na Elimu ya watu Wazima. Aidha utoaji wa Elimu

kwa ujumla ni jukumu la Halmashauri, chini ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na

Serikali za Mitaa kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi.

Katika utekelezaji wa majukumu yake Halmashauri inao watendaji 17 katika

Idara ya Elimu ya Msingi (Makao makuu) 12 walimu na 9 wasio walimu.

(a) ELIMU YA AWALI

Halmashauri ya Manispaa ya Temeke ina shule/vituo vya awali 132 kati ya

hivyo 83 ni vya Serikali na 49 visivyo vya Serikali. Vituo vyote hivi vina jumla ya

wanafunzi 9601, kati yao wavulana ni 4346 na wasichana 5255, vituo vya

serikali vina jumla ya wanafunzi 7326 wakiwemo wavulana 3217 na

wasichana 4109 na vituo visivyo vya serikali vina jumla ya watoto 2275 kati yao

wavulana ni 1129 na wasichana 1146. Jumla ya walimu katika shule za awali ni

132 wanaume 26 na wanawake 106.

Page 3: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

3

(b) ELIMU YA MSINGI

Halmashauri ya Manispaa ya Temeke ina shule za Msingi zipatazo 127, kati ya

hizo 83 ni za Serikali, na 44 zisizo za Serikali. Ikiwa na jumla ya wanafunzi

172,002, wakiwemo wavulana ni 84,229, na wasichana ni 87,773. Idadi ya

Walimu ni 3,357 kati ya yao Wanaume ni 576 na Wanawake ni 2,781.

Jumla ya Walimu 126 wanajiendeleza katika hatua mbalimbali za Elimu ili

kuweza kuinua kiwango cha taaluma na kupanua uwezo wao kitaaluma.

Aidha kupitia mpango wa MWAKEM unaofadhiliwa na Wizara ya Elimu na

Mafunzo ya Ufundi, Chuo cha Ualimu Vikindu pamoja na Unicef walimu 520

kutoka katika shule 20 wameweza kusoma Moduli za masomo ya ujuzi,

Hisabati na English na kufaulu vizuri katika masomo hayo. Walimu wamepata

ujuzi mpya wa kufundisha kupitia mhamo wa Luwaza.

(c) ELIMU YA WATU WAZIMA

Halmashauri ya Manispaa inafanya juhudi ya kupunguza ujinga wa kutojua

kusoma na kuandika kwa watu wazima, Vijana na watoto waliokosa Elimu ya

Msingi kwa sababu moja au nyingine na pia kuwapatia stadi

zitakazowawezesha kuinua kiwango cha mapato ili waweze kujitegemea na

kujiajiri kupitia vikundi vya uzalishaji mali. Wapo jumla ya wanakisomo 67

walimu 17 na madarasa 10 ya kisomo chenye manufaa. Aidha kuna

madarasa ya MEMKWA yenye jumla ya wanafunzi 1301 walimu 50 na vituo

vipo 15.Utaratibu huu unawasaidia watu wazima na wale watoto waliokosa

elimu ya msingi MEMKWA kufuta ujinga kwa wasio jua kusoma, kuhesabu na

kuandika, kuwajengea uwezo wananchi kushiriki katika shughuli za uzalishaji

mali na kutambua haki zao za msingi katika jamii anamoishi na kuwajengea

uwezo wa kukaa pamoja kubuni miradi kulingana na mazingira yao.

(d) ELIMU YA SEKONDARI

Halmashauri ina jumla ya shule za Sekondari 26 za serikali na 35 zisizo za

serikali, zenye jumla ya wanafunzi 34,459 wakiwemo wavulana 16,124 na

wasichana 18,335 wanasoma katika shule za serikali na Wanafunzi 11,531

wanaosoma shule zisizo za Serikali, kati yao wavulana 6,286 na wasichana

5,245.

Ina jumla ya walimu 1285 katika shule za serikali wakiwemo Wanaume 440 na

wanawake 845 na Walimu wasio serikali 789 kati yao Wanaume 621

wanawake 168. Walimu wa masomo ya sayansi katika shule za sekondari za

serikali wapo 239 na wa masomo mengine wapo 1,046. Upo upungufu wa

walimu wa biashara 84 na masomo ya sayansi 274. Upungufu wa nyumba

za walimu 1,274, vyumba vya madarasa 290, na majengo ya utawala 18.

Page 4: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

4

(ii) AFYA

Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi

23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo 3 ni za Serikali

nazo ni Temeke, Rangitatu na Police barracks na Hospitali 2 ni za binafsi

nazo ni TOH na Walter Hospital, vituo vya afya 12, ambapo 2 ni vya Serikali

navyo ni Round table na Yombo vituka, na vilivyobaki 10 ni vya binafsi na

mashirika.

(iii) UKIMWI

Mapambano dhidi ya UKIMWI yameendelea kupewa kipaumbele ambapo

jumla ya vituo 66 vinatoa ushauri Nasaha (VCT), Aidha kuna Vituo 36

vinavyotoa huduma ya kupunguza maambukizi ya Virusi vya UKIMWI kutoka

kwa Mama kwenda kwa Mtoto.

(iv) MAJI

Wakazi wa Manispaa ya Temeke wanapata huduma ya maji kutoka katika

vyanzo vya Maji ya visima na Mtandao wa mabomba ya DAWASA, visima

virefu 232 na maji mengine kutoka katika chanzo cha Mto Kizinga kilichopo

Mtoni. Kati ya kata 23, kata 10 zina mitandao ya mabomba ya DAWASCO

na visima virefu(Tandika, Sandali, Azimio, Temeke, Keko,Chang’ombe,

Kurasini, Miburani, Mtoni na sehemu kidogo ya kata ya kijichi).

Aidha Kata 13 zinamahitaji halisi ya maji ni kiasi cha lita za ujazo 115.5

milioni kwa siku wakati kiasi halisi kinachopatikana ni lita za ujazo 75.2 milioni

kwa siku sawa na asilimia 65.28% tu ya mahitaji ya wakazi wa Manispaa ya

Temeke kwa matumizi ya aina zote, wakazi, Viwanda na shughuli nyingine

za kiuchumi na kijamii.

(v) USAFISHAJI

Kata zote 23 zinakadiriwa kuzalisha wastani wa tani 1,344 kwa siku, kwenye

makazi ya watu na tani 150 huzalishwa kila siku kwenye masoko, ambapo,

taka hizo huondolewa na magari ya Manispaa na magari ya kukodi ya

wakandarasi. Uwezo wa kuzoa taka wa magari ya halmashauri kwa

kushirikiana na wakandarasi na taasisi binafsi ni wastani wa tani 659 kwa

siku ambazo ni sawa asilimia 49% ya taka zinazozalishwa kila siku. Hivyo

bado kuna wastani wa tani 685 ambazo ni sawa na asilimia 51% ya taka

zinazozalishwa kwa siku hazikupata udhibiti rasmi.

1.6.2 HUDUMA ZA KIUCHUMI

(i) KILIMO

Halmashauri ya manispaa ya Temeke , sekta ya kilimo imekuwa ndio

msingi mkubwa wa kukuza kipato na chakula kwa familia na jamii kwa

ujumla, zaidi ya kaya 6118 zenye wakulima 11270 wanajishughulisha na

kilimo kwenye eneo la hekta 1000. Mazao yanayolimwa ni mpunga, hekta

Page 5: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

5

250, mhogo hekta 20, mboga na matunda 450.hivyo asilimia kubwa ya

chakula katika maeneo ya mjini kinaingizwa kutoka nje ya mkoa.

Uzalishaji wa mboga unachangia zaidi ya asilimia 75 ya mboga zote

zinazoliwa katika halmashauri yetu. Huduma za ugani zinafanyika kwa

kutoa ushauri kwa wakulima na mashine za kusaga, masoko na maghala

ya chakula

(ii) MIFUGO

Manispaa ya Temeke ina jumla ya Ng’ombe wa maziwa 3281, Ng’ombe

wa kienyeji 592, mbuzi wa maziwa 104 mbuzi wa kienyeji 5,205 na kondoo

402 na aina zingine za Mifugo kama vile kuku wa mayai 127,298 na kuku

wa nyama 186,796. Huduma za ugani zinazotolewa ni pamoja na ushauri

kuhusu ufugaji bora, uzuiaji na matibabu dhidi ya magonjwa mbalimbali

ya mifugo.

(iii) MISITU

Halmashauri inalo jukumu la Kutoa elimu ya hifadhi ya Mali asili na

upandaji miti wa aina mbalimbali, ikiwemo Miti ya kiasili, Mbao,

Mapambo, Uvuvi na Maua. Aidha Serikali iliweka Lengo la kupanda miti

1,500,000 kwa mwaka. Hivyo miti hiyo hupandwa kwa kushirikiana na

Wadau wa mazingira katika Shule, Polisi, Jeshi, katika vyanzo vya maji,

mabondeni, mashambani, maeneo ya wazi, kandokando ya barabara

kuu, makazi, NGO’s na wananchi.

(iv) UVUVI

Eneo la bahari la Manispaa ya Temeke liko katika kata za Kurasini, Mtoni

na Kijichi. Shughuli zinazofanyika hasa kwenye eneo lenye Mikoko ni

ukusanyaji na fugaji wa Kaa, Kamba na mazao mengine ya baharini

kama Simbi.

Aidha ufugaji wa Samaki aina ya Perege na Kambare hufanyika katika

kata zote za Temeke ambapo kuna jumla ya mabwawa 22 yanayotumika

kwa ufugaji huu.

(v) NYUKI

Halmashauri ina majukumu ya kutoa elimu, ushauri na kuhamasisha

wananchi katika zao la ufugaji nyuki kwa njia bora na ya kisasa kulingana

na ubora wa maeneo. Aidha Halmashauri inalo jukumu la kuhamasisha

uhifadhi wa Misitu ambayo ni chanzo cha upatikanaji wa mazao ya

Nyuki.

(vi) WANYAMAPORI

Halmashauri inalo majukumu ya kuwalinda wananchi dhidi ya wanyama

wakali na waharibifu wa mazao pamoja na mali zingine zinazotumika

kwaajili ya kulinda Wanyama pori.

Page 6: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

6

(vii) BARABARA NA MIFEREJI

Halmashauri ya Manispaa ya Temeke ina mtandao wa barabara zenye

urefu wa km. 409.92 Kati ya hizo km.98.42 ni za lami, km. 221.25 ni za

changarawe na km 349.9 ni za udongo. Barabara zilizopo chini ya

Halmashauri ni km. 847.3 na zilizo chini ya Mkoa ni km. 259.

Mgawanyo wa barabara hizo ni kama ilivyo kwenye jedwali.

Na Kiwango Aina ya Barabara (km)

Lami Changarawe Udongo Jumla

1 Barabara kuu 32 - - 32

2 Barabara za Mkoa 57 100 70 227

3 Barabara za Wilaya 80.3 387.1 197.9 665.3

4 Barabara za Vijiji - 100 82 182

Jumla 169.3 587.1 349.9 1106.3

(viii) MIPANGO MIJI

Halmashauri inalojukumu la kuboresha makazi kwa kupima viwanja vipya

na kumalizia upimaji wa viwanja 4,806 kati ya viwanja 5,000

vilivyokusudiwa kupimwa.

Kuendelea kuandaa Michoro ya Mipangomiji ili kuongeza upimaji wa

viwanja na kuboresha maeneo ya makazi. Kwa upande wa maeneo ya

umma, Idara inaendelea kupima maeneo hayo ambapo jumla ya

maeneo 31 yamepimwa. Zoezi la uthamini wa maeneo mbalimbali

umefanyika ili kuwezesha ulipaji wa fidia za maeneo mbalimbali.

(ix) USHIRIKA

Halmashauri ya Manispaa inalojukumu la kuhakikisha Ushirika wa aina

mbalimbali unakua na kuongezeka kama inavyoonyeshwa katika

jedwali hapa chini:

Na. Aina ya Vyama Idadi ya Vyama

2009/10 2010/11 2011/12 2012/13 2013/14 2014/15 2015/16

1 Vyama vya mazao 23 24 24 24 25 25 20

2 Vyama vya akiba na

Mikopo

138 150 167 200 209 212 212

3 Vyama vya Viwanda 6 6 6 6 9 9 6

4 Vyama vya Ushirika

wa Nyumba

3 3 5 4 6 6 5

5 Vyama vya Ushirika

wa Wafugaji

2 2 2 2 2 2

6 Vyama vya Ushirika

wa Huduma

24 25 34 2 40 40

7 Vyama vya Uvuvi 2 2 2 2 2 2

Page 7: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

7

Pia kuhakisha kuwa Vyama vya ushirika wa Akiba na Mikopo (SACCOS)

vinaongezeka mwaka hadi mwaka. Aidha mitaji ya wanachama pia

inaongezeka sambamba na ukuaji wa ongezeko la vyama vya ushirika

wa Akiba na Mikopo.

(x) USTAWI WA JAMII

Halmashauri ya Manispaa ya Temeke kwa kupitia kitengo cha ustawi wa

Jamii inalojukumu la;

Kutoa huduma ya matunzo kutoka kwa wazazi wao

Kusimamia Vituo vya kulelea watoto wadogo mchana na

kuhakikisha vinapatiwa usajilil

Kuhakikisha Watoto wanaokinzana na sheria wanafanyiwa

marekebisho ya tabia katika kituo cha marekebisho ya tabia

makangarawe

Kuhakikisha Kesi za watoto wahanga wa ukatili zinasikilizwa

na hukumu kutolewa

Kuhakikisha Wazee na watu wenye ulemavu wanasaidiwa na

kupatiwa huduma za kujikimu na kutambua watoto

wanaoishi katika mazingira hatarishi wametambuliwa na

kupatiwa huduma.

(xi) SEKTA ISIYO RASMI

Halmashauri inakadiriwa kuwa na wafanyabiashara ndogo ndogo katika

Sekta Isiyo Rasmi. Hivyo shughuli zao huziendesha katika maeneo

yasiyokubalika.

Halmashauri ya Manispaa inalo jukumu la kuboresha maisha yao ili

kuongeza kipato na waondokane na umaskini kwa kufanya yafuatayo;

i. Kuboresha maeneo rasmi ya kufanya biashara ya TAZARA, Rangi

Tatu Kata ya Charambe, Tandika karibu na Kituo kidogo cha

Polisi Kata ya Tandika, Masoko ya Temeke Stereo, Madenge,

Mtoni kijichi, Yombo vituka na Toa ngoma

ii. Kutoa elimu ya biashara kwa machinga na kuwaelimisha

walengwa ambao sio rasmi kurasimisha biashara zao.

iii. Kuendelea kuboresha masoko ya Temeke Stereo, Tandika,

Mangaya, Mbagala Rangitatu, Toa ngoma, Yombo vituka na

Mtoni kijichi. ili kuweka mazingira bora kwa wafanyabiashara

wadogo wadogo.

iv. Kuanzisha eneo jipya la soko la Malela - Toangoma.

1.7 MAENEO MTAMBUKA

(i) MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA

Halmashauri inalo jukumu la kusimamia Mkakati wa Mapambano dhidi ya

Rushwa.

Page 8: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

8

Shughuli zifuatazo zinafanyika katika mkakati huo;

1. Kutekeleza mpango wa mapambano dhidi ya rushwa, Halmashauri

inalojukumu la kusimamia uwazi na uwajibikaji kuanzia ngazi ya mitaa

hadi Halmashauri.

2. Kutoa elimu kuhusu sheria mpya ya rushwa imetolewa kwa maafisa

watendaji wa kata 23 na wa mitaa 142.

3. Watumishi waendelee kuelimishwa kuhusu uvaaji wa vitambulisho

wakati wote wawapo kazini.

4. Kuendelea kutoa mafunzo kwa wafanyakazi wa Idara ya Afya,

maafisa watendaji kata na mitaa, madiwani ,idara za halmashauri

kama idara za fedha,uhandisi mitambo , ujenzi, wahudumu na askari.

5. Kuendelea kufuatilia na kusimamia utekelezaji wa mkakati wa

mapambano ya rushwa kwenye maeneo yote ya Halmashauri

6. Kufanya vikao vya kutatua kero za wananchi kila robo mwaka.

(ii) HALI YA UMASKINI

Umaskini unaweza kutafsiriwa kuwa ni hali inayomzuia mtu kuishi maisha

yanayoridhisha. Hali hii inatokana na ukosefu wa nyenzo na uwezo wa

kumudu maisha na inajidhihirisha kwa vigezo mbalimbali kama vile

utapiamlo, ujinga, maradhi, mazingira machafu, vifo vya watoto na

wanawake wajawazito, mavazi na makazi duni, matumizi ya teknolojia

duni uharibifu wa mazingira, ukosefu wa ajira, elimu duni, uhamiaji mjini

kiholela na mawasiliano duni.

Umaskini katika Manispaa ya Temeke unatokana na mambo yafuatayo:

Ongezeko kubwa la watu ambalo ni wastani wa asilimia 4.6 kwa

mwaka, kwa sehemu kubwa likichangiwa na uhamiaji mkubwa

kutoka mikoani.

Mtandao hafifu wa barabara.

Uhaba wa miundombinu imara wa kibiashara

Halmashauri itatumia vipaumbele vilivyoainishwa hapo juu kama mkakati

wa kufikia malengo ya kuondoa umaskini.

(iii) MASUALA YA KIJINSIA

Halmashauri ya Manispaa ya Temeke imeweka viashiria katika kuyapatia

ufumbuzi matatizo ya wanawake na wanaume na haki zao katika

huduma za Afya, Elimu, Maji na ajira. Wanawake wengi wamekuwa

wanaishi katika mazingira magumu na umaskini uliokithiri ukilinganisha na

wanaume. Mchakato wa bajeti hii katika ngazi mbalimbali umechambua

utoaji wa huduma na mipango ya maendeleo kwa kuainisha suala la

usawa wa kijinsia na haki za kibinadamu kwa wanawake.

Suala la jinsia ni la mtambuka lenye malengo mahsusi ya usawa wa

kijinsia ambayo yameainishwa katika sekta za Afya, Elimu, Maji, Sekta

isiyorasmi na ajira ambapo mambo muhimu yanayozingatiwa katika

Bajeti ni pamoja na :

Page 9: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

9

Kuimarisha huduma za maji kwa kuchimba visima

Kuongeza idadi ya zahanati na huduma ya mama na mtoto ili

kupunguza vifo vya wajawazito vinavyotokana na kutopata

huduma kwa karibu

Kuboresha Masoko na kutengeneza maeneo maalum ili kuongeza

nafasi za kufanyia biashara hasa kwa akina mama na vyama

Taasisi za utoaji wa mikopo uweke riba nafuu ili wakina

mama,vyama na wazee waweze kunifaika na mikopo hiyo

Page 10: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

10

SURA YA 2

2.0 UPEMBUZI WA MWELEKEO WA HALMASHAURI

2.1 SERA NA MIONGOZO

Halmashauri ya Manispaa ya Temeke imeandaa Bajeti yake ya mwaka

2017/2018 ikiwa ni hatua ya utekelezaji wa Dira ya maendeleo ya Taifa ya

mwaka 2025. Uandaaji wa mpango na bajeti ya matumizi ya mwaka

2017/2018 umezingatia sera mbalimbali za Serikali ikiwemo mkakati wa

Taifa wa kuondoa umaskini na kukuza uchumi (MKUKUTA II), Malengo ya

Maendeleo endelevu (SDGs), Ilani ya chama Tawala ya 2015 – 2020,

Mpango wa Maendeleo wa Taifa awamu ya pili miaka mitano 2016/2017

– 2020/2021 na Mpango Mkakati wa Halmashauri 2016/2017 – 2020/2021

kama nyenzo muhimu za kiutekelezaji katika kufikia maendeleo.

Mchakato wa maandalizi ya Bajeti na Mpango wa Maendeleo

umeshirikisha ngazi zote za Halmashauri ikiwa ni pamoja na kupokea

mapendekezo ya mipango iliyoibuliwa katika ngazi za Mitaa na kujadiliwa

na Kamati za Maendeleo za Kata zote 23 za Halmashauri ya Manispaa ya

Temeke. Miradi ya Fursa na Vikwazo katika Maendeleo kutoka katika

Kamati za Maendeleo ya Kata imejumuishwa baada ya kuchambuliwa

na kuainishwa kulingana na vipaumbele kisekta na kiidara kwa kuzingatia

uwezo wa kifedha Kitaifa wa Halmashauri yenyewe.

Miradi ya jamii

Mpango wa mwaka 2017/2018 umeshirikisha ngazi zote za chini za Serikali

za Mitaa kwa kutumia mfumo na taratibu za fursa na vikwazo kwa

Maendeleo (O & OD).

Mchakato wa O & OD katika jamii huanza kwa kuzipatia mamlaka za

Serikali za Mitaa ngazi ya chini (LLGAS) takwimu za upangaji mipango

(IPFs) na miongozo ya uandaaji mipango ya maendeleo na Bajeti ya

mwaka. Zoezi hili hufanyika baada ya timu ya Menejimenti ya

Halmashauri kuzijadili IPFs na miongozo husika na baadaye kuzituma kwa

LLGAs.

Ili kufanikisha mchakato wa O & OD Halmashauri hutuma wawezeshaji wa

Kata (WF) kila kata ambako hujumuika na Kamati za Maendeleo ya Kata

katika kuchambua mapendekezo ya Miradi na mipango ya Jamii

(Community Development Plans - CDPs) hatua hii hufanyika kati ya mwezi

Desemba na Januari. Mipango kata yenye Miradi ya Mipango ya Jamii

(CDPs) huwasilishwa Manispaa na kujadiliwa na Timu ya Menejimenti ya

Halmashauri. Katika kikao hiki wakuu wa Idara huchangia kwa kuzingatia

taaluma husika, sera za kisekta na miongozo ya kitaifa.

Page 11: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

11

Kwa mwaka wa fedha wa 2017/2018 jumla ya Miradi 230 iliyoibuliwa na

jamii iliwasilishwa kutoka mamlaka za Serikali za Mitaa ngazi ya chini

(LLGA).

2.1.1 SERA NA MIONGOZO ILIVYOZINGATIWA KATIKA BAJETI YA MWAKA

2017/2018

Mpango wa maendeleo na Bajeti ya mwaka 2017/2018 umeandaliwa

kwa kuzingatia mwongozo wa uandaaji wa Bajeti kutoka Serikali Kuu, Sera

na Malengo yaliyoainishwa katika Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka

2015 - 2020, Dira ya maendeleo ya Taifa – 2025 na maagizo ya viongozi

wa kitaifa. Sera hizi zimezingatiwa katika mpango huu kama ifuatavyo:

Mwongozo wa uandaaji mipango na bajeti

Uandaaji wa bajeti hii umezingatia Mwongozo wa kuandaa Mpango na

Bajeti wa 2016/2017 katika utekelezaji wa mpango wa Maendeleo wa

Taifa awamu ya pili wa miaka mitano 2016/2017 – 2020/2021 kutoka

Wizara ya fedha (HAZINA) toleo la Novemba, 2016. Mambo muhimu

yalijitokeza katika mwongozo huu ni:

Mabadiliko ya mfumo wa bajeti kutoka bajeti inayozingatia

rasilimali na kuwa bajeti inayo zingatia fursa zilizopo

Mpango unaozingatia viashiria vya MKUKUTA II

Muundo wa taasisi zinazosimamia mfumo wa bajeti zikiwa na

majukumu mbalimbali zimeainishwa kama ifuatavyo:

Wizara ya Fedha na uchumi

Wizara,Wakala wa serikali kuu,sekretarieti za mikoa na serikali za

mitaa

MKUKUTA II

Katika eneo hili bajeti imezingatia Mpango wa Kukuza Uchumi na

Kupunguza Umaskini (MKUKUTA II) – ukiwa na maeneo makuu matatu

kama yanavyoainishwa hapa chini:

1.Kujenga Uchumi ulio imara na kupunguza umaskini katika jamii,

2.Kuboresha na kuimarisha huduma za jamii na kuinua hali za maisha ya jamii na

3. Utawala bora na Uwajibikaji.

Page 12: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

12

Katika bajeti ya mwaka 2017/2018 Halmashauri imezingatia maelekezo

mbalimbali ya viongozi wa Kitaifa yaliyomo katika hotuba ya Rais, Mh.

John Pombe Magufulii inayohusisha kubana matumizi yasiyo ya lazima,

kuinua mapato ya Serikali ili kutoa huduma bora kwa wananchi wa

Tanzania.

2.1.2 WADAU WA MANISPAA YA TEMEKE NA MATARAJIO YAO

Manispaa ya Temeke inalo jukumu kubwa la msingi la kutoa huduma za

kiuchumi na kijamii kwa wakazi wake, ili kutekeleza jukumu hilo Manispaa

inashirikiana na wadau mbalimbali ambao hutoa mchango wao ili

kuboresha huduma zinazotolewa kwa wakazi wa Temeke. Aidha wadau

hawa wanayo matarajio yao kutokana na huduma zitolewazo na

Manispaa kama inavyoainishwa hapa chini.

JINA LA

MDAU

MATARAJIO YA MDAU TOKA

MANISPAA

MATOKEO YA KUTOTIMIZA

MATARAJIO YAKE

KIPAUMBELE

Serikali Kuu 1. Kuzingatia taratibu na sheria

zinazotolewa na Serikali.

2. Mahusiano mazuri na wadau

wengine.

3. Utawala Bora na uwajibikaji

mzuri

4. Mipango mizuri

inayotekelezeka

1. kuchelewa kufika kwa

fedha kama

inavyopangwa

2. Kutopata msaada

toka kwa wadau

waliopo

Juu

Sekretarieti

ya Mkoa

1. Kuzingatia na kutekeleza

ushauri unaotolewa

2. Uwajibikaji na utawala bora

3. Utoaji huduma bora kwa jamii

1. Upungufu wa rasilimali

fedha

juu

Wafadhili 1. Kuzingatia makubaliano

yaliyopo kwenye mkataba

2. Mahusiano mazuri kiutendaji

3. Misaada kuwafikia walengwa

4. Mazingira mazuri ya kuvutia

wafadhili

1. Kuhamisha ufadhili wao

2. Kutofikia malengo

yaliyowekwa

3. Kusitisha misaada

4. Kuhamisha misaada

Kati

CBO/NGO’s 1. Mazingira mazuri yanayofaa

kufanyia kazi

2. Kupewa msaada pale

inapohitajika

1. Kushindwa kukamilisha

malengo

2. Kuacha kuwekeza

3. Kupunguza misaada

Kati

Page 13: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

13

JINA LA

MDAU

MATARAJIO YA MDAU TOKA

MANISPAA

MATOKEO YA KUTOTIMIZA

MATARAJIO YAKE

KIPAUMBELE

3. Mahusiano mazuri katika

kutoa huduma

4. Tatatibu za uwazi na ukweli

katika kazi

5. Kutimiza makubaliano

kwenye mikataba

kwa walengwa

4. Kutokuwa wazi katika

utendaji wao

Watumishi 6. kuwepo kwa mazingira

mazuri ya kufanyia kazi

7. Stahili za watumishi

kuboreshwa

1.Kuchelewa kupatiwa

stahili zao kwa wakati

2. kutotimiza malengo

ipasavyo

juu

Wananchi 1. Huduma Bora

2. Utawala Bora na Uwazi

3. Kiwango cha Kodi/Ushuru

kinachowiana na kipato

chao

4. Sheria zinazolinda maslahi

yao

5. Ushirikishwaji katika mipango

na maamuzi yanayowahusu

6. Uwiano katika huduma

zitolewazo na Manispaa

1. Malalamiko mengi

2. Kushindwa kuchangia

maendeleo

3. Kukwepa kulipa kodi

4. Uvunjaji wa Sheria wa

makusudi

5. Kutotimiza wajibu wao

katika kuleta

maendeleo

Kati

2.1.3 FURSA NA VIKWAZO KWA MAENDELEO

Manispaa ya Temeke inao uwezo na fursa mbalimbali ambazo zikitumika

vizuri zitasaidia kuinua kiwango cha maisha ya wakazi wake. Uchambuzi

wa hali halisi umebainisha kuwepo kwa Fursa na Vikwazo vifuatavyo:

(i) FURSA

1. Miundo mbinu bora ya majengo na Ofisi za Watendaji wa

makao Makuu na Kata

2. Mtandao mzuri wa mawasiliano ya barabara na makampuni

ya simu

3. Nguvu kazi ya kutosha kuweza kufanya kazi za maendeleo

4. Uongozi unaozingatia uwazi na uwajibikaji

5. Ardhi ya kutosha kwa ajili ya uendelezaji wa Kilimo,uwekezaji

na makazi

6. Kuwepo kwa makampuni, taasisi na NGO’s nyingi zinazosaidia

kutoa huduma kwa wananchi

7. Mahusiano mazuri na wadau wanaochangia maendeleo ya

wakazi kwa ujumla wake

Page 14: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

14

8. Fukwe za bahari kwa ajili ya kuendeleza utalii.

(ii) VIKWAZO

Pamoja na uwezo na fursa zilizopo kwenye Manispaa ya Temeke,

bado kiwango cha kufikia malengo yanayowekwa si cha kuridhisha

kutokana na changamoto na vikwazo vifuatavyo:

1. Kutofikiwa kwa malengo ya ukusanyaji mapato kwenye baadhi

ya vyanzo vya Manispaa unaosababisha upungufu wa rasilimali

fedha, wataalam, zana za kitaalam

2. Ongezeko kubwa la watu ambalo halilingani na huduma zilizopo

3. Uharibifu wa mazingira

4. Kutofikia malengo ya utendaji kazi kutokana na bajeti finyu

5. Milipuko ya magonjwa ya Kipindupindu, kuhara na kuenea kwa

ugonjwa wa UKIMWI

6. Hali ya umaskini katika jamii na kupanda kwa gharama za bei za

huduma kwa wakazi

Uchambuzi wa hali halisi ya utoaji huduma na utekelezaji wa majukumu

mbalimbali umebaini masuala muhimu na changamoto mbalimbali

zinazohitaji ufumbuzi kwa kuchukua hatua muafaka zitakazisaidia kuleta tija

na maendeleo endelevu kwa wananchi wa Temeke, ikiwemo:

i. Kuimarisha utawala bora kwa kuhimiza uwazi wa uwajibikaji

ii. Kuongeza na kukarabati miundombinu ya huduma za jamii, Elimu,

maji na Afya

iii. Kuimarisha ukusanyaji wa mapato

iv. Kuongeza na kuinua kiwango cha mtandao wa biashara

v. Kuimarisha shughuli za Mipango miji, kusimamia makazi na

upatikanaji wa viwanja

vi. Kuimarisha huduma za ugavi za kilimo/mifugo na upatikanaji wa

zana za kilimo, mbolea, madawa na mbegu bora kwa wakati

vii. Kuimarisha sekta isiyorasmi na kuwezesha upatikanaji wa ajira kwa

vijana na wanawake.

Page 15: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

15

SURA YA 3 3.0 DIRA (VISION)

“Wakazi wa Manispaa ya Temeke kuwa na maisha bora.”

3.1 DHAMIRI (MISSION)

“Halmashauri ya Manispaa ya Temeke inachukua jukumu la kufanikisha

maisha bora kwa wakazi wote kwa kutoa huduma bora za kijamii na

kiuchumi.”

3.2 MALENGO (OBJECTIVES)

A. Huduma ya Ukimwi imeboreka na maambukizi mapya yamepungua

B. Uboreshaji, uendelezaji na utekelezaji kikamilifu mpango wa Taifa

kupambana na rushwa kuimarika.

C. Upatikanaji na ubora wa huduma endelevu za jamii umeimarika.

D. Idadi na ubora wa huduma za kiuchumi na miundombinu zimeimarika.

E. Utawala bora na huduma za kiutawala katika ngazi zote umeimarika.

F. Usimamizi na hifadhi ya maliasili na mazingira umeboreka

G. Huduma ya dharura na usimamizi wa majanga umeboreka

Vipaumbele vya Halmashauri Kwa mwaka 2017/2018

Halmashauri ya Manispaa ya Temeke kwa mwaka wa Fedha wa 2017/2018

imedhamiria kutekeleza majukumu yake kwa kuweka vipaumbele katika

maeneo yafuatayo:

Elimu

Kuboresha utoaji huduma ya elimu ya msingi na sekondari katika ngazi

zote kwa kuongeza maabara, vyumba vya madarasa, madawati,

shule mpya, jengo la kidato cha V na VI na matundu ya vyoo

Kuboresha mazingira ya watumishi wa elimu ikiwa ni pamoja na ujenzi

wa makazi bora ya walimu.

Kilimo, Mifugo na Uvuvi

Kuongeza uwezo wa uzalishaji wa mazao ya kilimo, mifugo na uvuvi.

Kuboresha mfumo wa upatikanaji wa masoko ya mazao ya

kilimo,mifugo, uvuvi na usindikaji wa mazao hayo

Kuboresha miundombinu ya umwagiliaji na upatikanaji wa huduma za

ugani na pembejeo.

Page 16: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

16

Barabara

Kuboresha miundombinu na mtandao wa usafiri kwa kujenga na

kukarabati barabara, madaraja na vivuko.

Afya

Kuboresha huduma za kinga na tiba kwa kujenga/kukarabati

miundombinu na kutoa nyezo za kutolea huduma za afya katika ngazi

zote.

Kuwajengea uwezo kwa kutoa mafunzo kwa wataalam wa afya.

Kuhahakikisha dawa na vitendanishi vinapatikana wakati wote katika

vituo vya kutolea huduma

USAFI NA MAZINGIRA

Kuongeza uwezo wa uzoaji taka kutoka tani 193,851 hadi tani 288,715

Kuimarisha udhibiti wa taka ngumu katika mitaa 97

Kuimarisha programu ya elimu jamii kuhusu usafi wa mazingira

Maji

Kuboresha uwezo wa upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama.

Mipango miji, Ardhi na maliasili

Kusimamia kikamilifu na Kuboresha matumizi ya maliasili.

kuboresha makazi bora kwa kupima na kuendeleza viwanja

Fedha

Kuimarisha ukusanyaji wa mapato ya ndani na uimarishaji na udhibiti

wa matumizi ya fedha za umma na utoaji wa elimu kwa walipa kodi

Kubuni, kusimamia na kuimarisha vyanzo vya Mapato ya Halmashauri

Kusimamia ipasavyo mfumo wa ukusanyaji mapato kwa njia ya

kielectroniki pamoja na mfumo wa uhasibu wa IFMS na epicor

Kuendelea kutekeleza majukumu yake kwa kuzingatia viwango vya

kiuhasibu vya kimataifa (IPSAS)

Uwekezaji

Kuimarisha programu ya uwekezaji katika maeneo yaliyoainishwa na

kuendelezwa.

Biashara

Kuboresha mazingira ya kufanyia biashara kwa kuboresha

miundombinu.

Kuimarisha programu ya uwekezaji na kuweka mazingira rafiki kwa

sekta binafsi katika uwekezaji.

Page 17: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

17

Raslimali watu na utawala

Kuimarisha programu ya mafunzo kwa watumishi

Kuimarisha utawala bora na uwajibikaji

Maeneo mtambuka

Kuzuia maambukizi mapya ya virusi vya UKIMWI kwa kutoa elimu

Kuboresha asasi zilizo katika mapambano dhidi ya maambukizi ya

virusi vya UKIMWI

Kuendelea kutoa elimu ya mapambano dhidi ya rushwa katika ngazi

zote katika Halmashauri

Kuimarisha masuala ya usafi na uboreshaji wa Mazingira

Kuimarisha huduma za dawati la jinsia.

Uhusiano

Kuendelea kutoa matangazo katika vyombo vya habari na vipaza

sauti mitaani

Kuandaa na kuchapisha jarida la Mafanikio ya utekelezaji wa Miradi na

vipeperushi

Kutoa matangazo juu ya ukusanyaji wa kodi na mapato mbalimbali.

Kurekodi nakala (documentaries) za miradi na kodi za mapato

mbalimbali.

Tehama

Kusimika mtandao wa internet katika majengo matatu ya Manispaa

(jengo la ujenzi, Elimu na ugavi)

Kuimarisha na kuboresha taarifa za kijeografia (Geodata) kwa shughuli

za GIS

Kufanya matengenezo pamoja na maboresho ya vifaa vyote vya

TEHAMA

Kuimarisha mifumo tisa (9) ya manispaa, LGRCIS, MOLIS, LAWSON,

EHMIS, EPICOR, PLANREP, PSSN AND GIS

Kuwajengea uwezo watumishi wa TEHAMA pamoja na watumiaji wa

kompyuta na mifumo

GIS

Kuboresha GIS katika utendaji kazi wake

Kuanisha anuani za makazi(post code) katika kata mbili

Kutambua vituo vya shule, barabara na zahanati kwa kutumia mfumo

wa Ramani

Kuwatambua walipa kodi wa leseni za biashara kwa kutumia mfumo wa

ramani

Page 18: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

18

3.3 SHABAHA

500A UTAWALA

Mpango wa mapambano dhidi ya rushwa katika kata 23 umewezeshwa na

kuimarishwa ifikapo 2020

Mazingira ya kazi yameboreshwa kwa watumishi 194 ifikapo 2020

Ushiriki wa wananchi katika kufanya maamuzi umeongezeka kutoka 60%

mpaka 80% ifikapo 2020

Maadhimisho 12 ya kitaifa yamefanyika ifikapo 2020

Halmashauri imetekeleza michango ya kisheria ifikapo 2020

500B UTUMISHI

Watumishi 398 watawezeshwa ifikapo 2020

Watumishi wenye sifa katika Halmashauri wameongezeka kutoka 7,850

mpaka 8,563 ifikapo 2020

500C OFISI YA MEYA

Mazingira ya kazi yameboreshwa kwa madiwani 49 ifikapo 2020

501A MAZINGIRA NA USAFISHAJI

Uwezo wa kukusanya taka kuongezeka kutoka tani 193,815 kufikia tani

288,815 kwa mwaka ifikapo 2020

Udhibiti wa Taka kuimarishwa katika mitaa 142 ifikapo 2020

Kuongeza uwezo wa kukusanya na kuhifadhi maji taka kwa Mita za ujazo

2100 ifikapo 2020

Kuongeza uwezo wa kuzoa taka toka 47% mpaka 75% kutokana na

kuboresha miundombinu ifikapo 2020

Kuwezesha watumishi wa idara ya usafi na mazingira kumudu maisha yao ya

kila siku ifikapo 2020

Elimu ya kitaaluma ya udhibiti wa mazingira imeimarika ifikapo 2020

Kuhakikikisha Taratibu na kanuni za kimazingira za Manspaa zinazingatiwa

ifikapo 2020

501B AFYA KINGA

Uboreshaji wa usimamizi wa usafi na afya ya mazingira kuimarika kutoka

68% hadi 75% ifikapo 2020

502A FEDHA NA BIASHARA

Kuboresha mazingira ya kufanyia kazi kwa watumishi 98 ifikapo 2020

Kuhakikisha sheria, taratibu na kanuni za fedha za Umma zinazingatiwa na

kufuatwa ifikapo 2020

Makusanyo ya Mapato ya ndani ya Halmashauri yanaongezeka kutoka

Page 19: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

19

Bilioni 40 mpaka Bilioni 50 ifikapo 2020

Kuboresha mazingira ya biashara kwa wafanyabiashara ifikapo 2020

Kuboresha mazingira ya biashara katika masoko ya Temeke ifikapo 2020

Kuboresha mazingira ya kazi kwa watumishi 18 ifikapo 2020

503A MIPANGO, SERA NA UFUATILIAJI

Bajeti na mipango bora ya maendeleo ya Halmashauri kuandaliwa ifikapo

2020

Kuwezesha miradi 10 ya maendeleo inayotekelezwa kwa kushiriana na

wafadhili ifikapo 2020

Maeneo 25 ya uwekezaji kutambuliwa katika kata 23 ifikapo 2020

Kuboresha mazingira ya kufanyia kazi kwa watumishi wa Idara ya Mipango,

Takwimu na ufuatiliaji ifikapo 2020

upembuzi na kuwasilishwa kwaajili ya kuhuisha hali ya kiuchumi ya Manispaa

ifikapo 2020

Takwimu za kiuchumi zitakusanywa katika Kata 23, zitafanyiwa upembuzi na

kuwasilishwa kwaajili ya kuhuisha hali ya kiuchumi ya Manispaa ifikapo 2020

505A MIFUGO

Mazingira ya kazi kwa watumishi 41 wa Mifugo na Uvuvi kuimarika ifikapo

2020

Taaluma kwa watumishi 41 kuimarika ifikapo 2020

Huduma za ugani kwa wafugaji 2000 kuimarika ifikapo 2020

Kuwezesha upatikanaji wa vitendea kazi kwa wazalishaji wa ngozi ifikapo

2020

Miundombinu ya mifugo katika kata 4 kuimarika ifikapo 2020

Huduma za ugani kuboreshwa kwa wafugaji 200 ifikapo 2020

505D UVUVI

Matumizi endelevu ya raslimali za uvuvi kuimarika ifikapo 2020

Huduma za ugani za uvuvi kuimarika ifikapo 2020

506A KILIMO, UMWAGILIAJI NA USHIRIKA

Mazingira ya kufanyia kazi kwa watumishi 42 wa idara ya kilimo kuboreshwa

ifikapo 2020

Kuwajengea uwezo wa kufanya kazi watumishi 42 wa idara ya kilimo ifikapo

Wakulima 26000 kutembelewa na maofisa ugani ifikapo 2020

Mafunzo ya kitaalamu kutolewa kwa wakulima 3000 yahusuyo uzalishaji wa

mazao ya bustani na mazao ya shambani ifikapo 2020

Miundo mbinu ya kilimo katika kata tano (5) kuboreshwa na kukarabatiwa

ifikapo 2020

Mafunzo ya kitaalamu kutolewa kwa wakulima 3000 yahusuyo uzalishaji wa

Page 20: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

20

mazao ya bustani na mazao ya shambani ifikapo 2020

Mazingira ya kufanyia kazi kwa watumishi 42 wa idara ya kilimo kuboreshwa

ifikapo 2020

Tahadhari ya majanga na magonjwa kutolewa katika kata 23 ifikapo 2020

506D USHIRIKA

Kutoa elimu ya biashara na menejimenti ya ushirika kwa vyama 60 vya

ushirika ifikapo 2020

Mazingira ya kufanyia kazi kwa watumishi 6 kwenye kitengo cha ushirika

ifikapo 2020

507A ELIMU MSINGI

Shule 83 za Msingi kusimamiwa ifikapo 2020

Madarasa 15 ya Elimu ya watu wazima kuimarishwa ifikapo 2020

"Mpango wa ndiyo ninaweza' katika Kata 23 Kuimarishwa ifikapo 2020

Mazingira ya kutendea kazi kwa watumishi 63 Kuimarishwa ifikapo 2020

Majengo ya Shule za Msingi kuongezeka kutoka 10642 hadi 10742 ifikapo

2020

Vifaa vya kufundishia na kujifunzia kwa shule 83 kutolewa ifikapo 2020

Samani katika shule za Msingi kuongezeka kutoka 40161 hadi 48141 ifikapo

2020

Haki za kiutumishi kwa Walimu 3548 kutolewa k wa shule za Msingi ifikapo

2020

Shule inayomjali mtoto katika kata 23 kuimarishwa ifikapo 2020

508A AFYA

Kupunguza maabukizi ya Ukimwi kutoka 5% hadi 3% ifikapo 2020

Maambukizi ya ugonjwa wa macho kupunguzwa kutoka 6% hadi 3% ifikapo

2020

Vifo vitokanavyo na ugonjwa wa kifua kikuu kupungua kutoka 15.5% hadi 7%

ifikapo 2020

Magonjwa ya akili kupunguzwa kutoka 2% hadi 1% ifikapo 2020

Vifo vya watoto chini ya umri wa miaka mitano kupungua toka13 hadi

7/1000 ifikapo 2020

Magonjwa ya minyoo kupunguzwa kutoka 7.5% hadi 5% ifikapo 2020

Uwezo wa usimamizi wa afya ya mazingira katika jamii kudhibitiwa na

kuimarishwa kutoka 48% hadi 68% ifikapo 2020

Uelewa wa jamii kuhusu ustawi wa jamii kuongezeka kutoka 20% hadi 75%

ifikapo 2020

Vifo vya akina mama wajawazito kupungua kutoka 175/100000 hadi

150/100000 ifikapo 2020

Ufahamu kuhusu afya na ustawi wa jamii kwenye ngazi ya jamii

unaongezeka kutoka 50% hadi 75% ifikapo 2020

Page 21: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

21

508A AFYA UTAWALA

Kiwango cha watoto wanaofariki mara baada ya kuzaliwa )Nepnatal

mortality rate) kimepungua kutoka 13/1000 mpaka 8/1000 ifikapo 2020

Kiwango cha vifo vya watoto chini ya umri wa miaka 5 vimepungua kutoka

13 mpaka 7/1000 ifikapo 2020

Uwezo wa kukabiliana na magonjwa ya dharula unaongezeka kutoka 50%

hadi 70% ifikapo 2020.

Kupunguza kazi ya maambukizi ya Ukimwi kutoka 5% hadi 3 ifikapo 2020

Kupungua kwa uhaba wa vifaa Tiba, uchunguzi , madawa, chanjo na

vitendanishi katika vituo vya vyote vya kutolea huduma za Afya kutoka 15%

hadi 35% ifikapo 2020

Kupungua kwa vifo vya akinamama wajawazito kutoka 134 hadi

125/100,000 ifikapo 2020

Kupungua kwa vifo vya watoto chini ya miaka mitano kutoka 7% hadi 6%

ifikapo 2020

Kuongezeka kwa uwezo wa kutoa huduma za majeruhi kutoka 30% hadi

55% ifikapo 2020

508B AFYA HOSPITALI

Kuboresha utoaji huduma katika kitengo cha kinywa na meno kutoka 60%

hadi 75% ifikapo 2020

Kupungua kwa idadi ya magonjwa ya macho kutoka 5% hadi 3% ifikapo

2020

Kuboreshwa kwa na uwezo wa kusimamia usafi wa mazingira katika vituo

vyote vya kutolea huduma za afya kutoka 60% hadi 75% ifikapo 2020

Kupungua kwa tatizo la miundo mbinu ya kutolea huduma za afya kutoka

30% hadi 25% ifikapo 2020

Kuongezeka kwa upatikanaji wa huduma za afya na jamii kwa walioko

kwenye mazingira magumu kutoka 35% hadi 38% ifikapo 2020

Kuongezeka kwa uwezo wa kutoa huduma za dharura kwa ngazi ya

hospitali kutoka 50% hadi 55% ifikapo 2020

Maambukizi ya UKIMWI kupunguzwa toka 5% hadi 3% ifikapo 2020

Upungufu wa madawa , vifaa na tiba katika vituo vya kutolea huduma ya

afya upunguzwe toka 35% hadi 15% ifikapo 2020

Vifo vinavyotokana na ujauzito vipunguzwe toka 134 kati ya wamama

100,000 hadi 125 kati ya wamama 100,000 ifikapo 2020

uwezo wa kutoa huduma ya magonjwa ya kisukari uongezwe kutoka 20%

mpaka 25% ifikapo 2020

kupunguzwa idadi ya wagonjwa wapya wa akili toka 1.5% mpaka1% ifikapo

2020

Upungufu wa miuondombinu upunguzwe toka 60% hadi 30% ifikapo 2020

Uwepo wa usafiri na usafirishaji uongezwe kutoka 10% hadi 100% ifikapo

2020

Page 22: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

22

508E AFYA ZAHANATI

Maambukizi ya virusi vya ukimwi kupungua kutoka 5% hadi 3% ifikapo 2020

Upungufu wa dawa muhimu,vitendanishi,vifaa tiba na chanjo kwa kiwango

cha kutoka 35% hadi 15% ifikapo 2020

Vifo vya wajawazito kupungua kutoka 134/100,000 hadi 125/100,000 ifikapo

2020

Vifo vya watoto walio chini ya miaka mitano kupungua kutoka 7 mpaka

6/1000 ifikapo 2020

Maambukizi dhidi ya malaria kupungua kutoka 4% hadi 1% ifikapo 2020

Vifo vitokanavyo na magonjwa ya moyo kupungua kutoka 18% hadi 16%

ifikapo 2020

Usafi wa mazingira katika vituo vya kutolea huduma kuimarika kutoka 25%

hadi 20% ifikapo 2020

Upungufu wa majengo ya kutolea huduma za afya kupungua kutoka 30%

hadi 25%) ifikapo 2020

Uwezo wa kudhibiti magonjwa ya mlipuko katika vituo vya tiba kuimarika

kutoka 50% hadi 55% ifikapo 2020

509A ELIMU SEKONDARI

Kuongeza uelewa wa mkakati wa kupambana na rushwa katika shule 26 za

sekondari za serikali ifikapo 2020

Kutoa stahili za utumishi kwa walimu 1285 wa shule za sekondari za serikali

ifikapo 2020

Kuweka mazingira vutivu ya kazi kwa watumishi 16 wa idara ya elimu

sekondari ifikapo 2020

Kuwezesha shule 61 za sekondari kutekeleza shughuli zake ifikapo 2020

Majengo ya shule za sekondari za serkali kuongezeka kutoka 1082 hadi 1164

ifikapo 2020

510A MAJI VIJIJINI

Miradi ya maji 40 kujengwa na kukarabatiwa katika Kata ifikapo 2020

Kuboresha usambazaji wa maji katika Kata 23 ifikapo 2020

Mazingira mazuri kwa watumishi 12 wa Idara ya maji kuboreshwa

ifikapo 2020

511A UJENZI UTAWALA

Kuwapatia stahiki watumishi 30 ifikapo 2020

Kuwapatia vitendea kazi na vifaa vya kazi watumishi 30 ifikapao 2020

511B BARABARA

Kufanya matengenezo ya kawaida ya barabara zenye urefu wa km 100

ifikapo 2020

Uboreshaji na matengenezo ya barabara zenye urefu wa km 109 ifikapo

2020

Page 23: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

23

511E MAJENGO

Uboreshaji wa majengo 3 ya Manispaa ifikapo 2020

512A ARDHI

Mazingira bora kwa watumishi 70 wa idara ya Mipangomiji kuimarika ifikapo

Maeneo yaliyopimwa ya umma na binafsi kuongezeka ifikapo 2020

Hati 15,000 na Leseni za Makazi 10,000 kuandaliwa ifikapo 2020

Uthamini wa mali na majengo kwa maeneo ya umma 400 na ya wananchi

100000 kufanyika ifikapo 2020

upimaji wa maeneo ya Makazi kwa maeneo ya pembezoni na mjini

kuboreka ifikapo 2020

Kusimamia uthibiti wa ukuaji wa mji katika manispaa ifikapo 2020

512F MALIASILI

Mazingira bora ya utendaji kazi yameimarishwa kwa watumishi 14 ifikapo

2020

Usimamizi na hifadhi ya maliasili na mazingira umeimarishwa katika kata 23

ifikapo 2020

Wanyama pori hatari kwa maisha na mali za binadamu wanadhibitiwa

katika kata 23 ifikapo 2020

514A SHERIA

Kuboresha mazingira ya kazi ya watumishi 33 ifikapo 2020

515A UKAGUZI WA NDANI

Kuboresha mazingira ya kazi kwa watumishi 9 ifikapo 2020

Kuhakikisha sharia, kanuni na taratibu za fedha zinafuatwa ifikapo 2020

Upatikanaji wa huduma kwa jamii unaboreshwa katika kata 23 ifikapo 2020

Kuboresha mazingira ya kazi kwa watumishi 9 wa kitengo cha ukaguzi wa

ndani ifikapo 2020

Kuhakikisha thamani halisi ya fedha inapatikana katika miradi

inayotekelezwa na Halmashauri ifikapo 2020

Kuwezesha Idara kutambua na kuorodhesha viashiria vya hatari na kuweka

njia za kupunguza athari zake katika utekelezaji wa mradi ifikapo 2020

516A UGAVI

Kuboreshwa mazingira ya kazi kwa watumishi 15 ifikapo 2020

517A UCHAGUZI

Ushiriki wa jamii katika uchaguzi kuongezeka kutoka 70% hadi 85% ifikapo

2020

518A TEKNOLOJIA HABARI NA MAWASILIANO (TEHAMA)

Mazingira bora ya utendaji kazi kwa watumishi wa TEHAMA Kuboreshwa

ifikapo 2020

Page 24: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

24

Uwezo wa kitaaluma ya kazi kwa watumishi wa TEHAMA Kuimarishwa ifikapo

2020

Kuhakikisha miundombinu na mifumo ya mawasiliano katika idara 13 na

vitengo 6 inapatikana ifikapo 2020

Huduma ya ICT na Miundombinu kuboreshwa ifikapo 2020

Mifumo ya Taarifa na Mawasiliano kuimarishwa ifikapo 2020

Kuboresha GIS na kuhakikisha upatikanaji wa Takwimu za Kigeografia ifikapo

2020

Matangazo 5850 kutolewa kutoka idara 13 na vitengo 6 ifikapo 2020

519A NYUKI

Mazingira bora ya utendaji kazi yameimarishwa kwa watumishi 3 ifikapo 2020

Usimamizi na hifadhi ya maliasili na mazingira umeimarishwa katika kata 23

ifikapo 2020

Segimenti MKUKUTA

527A MAENDELEO YA JAMII

Ushiriki wa wananchi katika miradi ya maendeleo kuimarishwa ifikapo 2020

Mipango ya UKIMWI ya Wilaya na Jamii kuimarika ifikapo 2020

Maambukizi ya HIV/AIDs kupunguzwa kutoka 5% hadi 3% ifikapo 2020

Miradi ya TASAF katika kata 23 kuimarishwa ifikapo 2020

Kuwezesha mazingira mazuri ya kufanyakazi kwa watumishi 50 wa

Maendeleo ya Jamii ifikapo 2020

Ushiriki wa wananchi katika miradi ya maendeleo kuimarishwa ifikapo 2020

Wanawake na vijana kushiriki katika shughuli za maendeleo kutoka katika

mitaa 142 ifikapo 2020

Usimamizi wa shughuli za maafa kuimarishwa katika mitaa 142 ifikapo 2020

Uelewa wa maswala ya afya na ustawi wa jamii kuimarika kwa kuongezeka

kutoka 60% mpaka 85% ifikapo 2020

527C USTAWI WA JAMII

Migogoro ya ndoa 500 kusuluhishwa na watoto kupata stahiki zao ifikapo

2020

mazingira ya utendaji kazi kwa watumishi 20 kuboreshwa ifikapo 2020

Marekebisho ya tabia za watoto 200 walio katika hatari ya kukinzana na

kukutana na sheria ifikapo 2020

Msaada wa kiuchumi na uangalizi kwa watoto 300 wanaoishi katika

mazingira hatarishi na familia zao ifikapo 2020

Msaada wa kiuchumi ,matibabu kutolewa kwa wazee 50 na watu wenye

ulemavu 50 ifikapo 2020

Omba omba 200 na watoto 100 wanaotumikishwa mtaani kuondolewa na

watoto kuwaunganisha na familia zao ifikapo 2020

Mfumo wa ulinzi na usalama kuimarishwa ifikapo 2020

Mfumo wa ulinzi na usalama wa mtoto kuboreka ifikapo 2020

Page 25: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

25

SURA YA 4

4.0 MAPITIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2015/2016 NA 2016/2017

(JULAI – DESEMBA 2016)

4.1 MAPATO

Halmashauri ilikisia kukusanya jumla ya Tshs. 191,278,229,307.00 ikiwa ni

makisio kwa mwaka 2016/2017. Kati ya makisio hayo vyanzo vya nje

vilikadiriwa kuingiza Tshs. 149,050,865,307.00 na vyanzo vya ndani vilikadiria

kuingiza Tshs. 42,227,364,000.00. Hadi kufikia mwezi Desemba 2016

Halmashauri ilikuwa imepokea jumla ya Tshs. 63,184,245,286.35 ikiwa ni asilimia

33.03% ya lengo la mapato kwa mwaka. Kati ya mapato hayo vyanzo vya

nje viliingizia Halmashauri yetu jumla ya Tshs. 52,050,505,730.06 sawa na

asilimia 34.92% ya lengo la mapato ya nje.Vyanzo vya ndani viliingiza Tshs.

11,133,739,556.29 ikiwa ni asilimia 26.37% ya lengo la mapato ya ndani kwa

mwaka.

MAPITIO YA MAKISIO YA MAPATO NA MAPATO HALISI YA HALMASHAURI KWA KIPINDI CHA

2014/2015 NA 2015/2016 ( JULAI - JANUARI 2016)

CHANZO CHA MAPATO

2015/2016 2016/2017

MAKISIO MAPATO HALISI

JUAIL. 2015 - JUNI 2016

MAKISIO MAPATO

HALISI JULAI – DESEMBA 2016

A. VYANZO VYA NDANI 38,553,189,000.00 31,967,411,712.00 42,227,364,000.00 11,133,739,556.29

B. VIANZIO VYA NJE:

RUZUKU:

Mishahara 75,596,716,815 73,175,620,071.00 52,890,445,047.00 44,159,207,404.70

Matumizi Mengineyo -(OC) 5,679,308,000 6,093,117,809.00 6,739,778,145.00 3,084,870,785.00

LGCDG –CAPITAL 3,337,574,000 0.00 3,001,144,123.00 0.00

Road Fund 6,674,475,000 1,689,661,389.28 5,782,580,000.00 1,561,988,397.92

SEDEP 88,627,000 0.00 200,000,000.00 0.00

RUZUKU YA MAJI (RWSSP ) 900,000,000 952,208,922.00 337,284,853.00 338,882,694.00

BASKET FUND 1,508,187,000 1,519,653,000.00 2,732,231,000.00 1,112,552,643.68

UNICEF 397,654,000 231,912,000.00 663,366,000.00 169,995,000.00

HIV/AIDS ( TACAID) 56,634,000 0.00 226,535,100.00

DMDP 3,229,126,165 0.00 72,909,132,167.00 0.00

WORLD BANK 636,536,087.00 636,536,087.00 0.00 0.00

MMAM 359,000,000.00 115,342,300.00 431,960,000.00 0.00

CDCF 130,885,000.00 130,885,000.00 142,943,972.00 185,435,000.00

DADPS 10,415,000.00 0.00 40,000,000.00 0.00

JUMLA VYANZO VYA NJE 97,968,601,980 88,252,622,896.28 149,050,865,307.00 52,050,505,730.06

JUMLA KUU YA MAPATO: 136,521,790,980 120,220,034,608.28 191,278,229,307.00 63,184,245,286.35

Page 26: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

26

TATHMINI YA MATUMIZI

Katika kipindi cha kuanzia mwezi Julai 2016 hadi mwezi Desemba 2016 Manispaa

ilitumia jumla ya Tshs 63,184,245,286.35 Kati ya fedha hizo Tshs. 44,159,207,404.70 ni

kwa ajili ya malipo ya Mishahara (P.E), Tshs. 3,084,870,785.00 matumizi mengineyo

(O.C) na Tshs. 2,256,845,022.92 zimetumika katika kutekeleza miradi ya Maendeleo

ikiwa ni Ruzuku kutoka Serikali kuu na Wafadhili. Vyanzo vya ndani (Own Source)

Manispaa imekusanya na kutumia jumla ya Tshs. 11,133,739,556.29. Kati ya hizo Tshs.

5,492,920,508.88 zimetumika kutekeleza miradi ya maendeleo, Tshs. 4,996,910,000.00

zimetumika kwa ajili ya matumizi mengineyo na Tshs. 643,909,047.41 kwa ajili ya

mishahara.

Changamoto katika ukusanyaji wa mapato yametokana na:

Baadhi ya wafanyabiashara kukwepa kwa makusudi kulipa kodi, ada na

ushuru mbalimbali.

Hamasa ndogo kwa wananchi ya kutochangia ama kulipa ada ya usafishaji

hivyo kusababisha halmashauri kubeba mzigo mkubwa wa gharama hizi.

Baadhi ya wafanyabiashara kuendelea kufanya biashara katika maeneo

yasiyo rasmi na kusababisha halmashauri kukosa mapato.

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kutokurejesha 30% ya

makusanyo yatokanayo na kodi ya pango la ardhi kwa wakati. Hivyo

kuisababishia Halmashauri kushindwa kutekeleza majukumu yake.

Serikali kuu kuchelewa kutoa ruzuku upande wa miradi ya maendeleo. Hivyo

kukwamisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa wakati.

(i) Mkakati wa Ukusanyaji mapato:-

Halmashauri imejizatiti kuboresha ukusanyaji wa mapato kwa kufanya yafuatayo:-

Kuendelea kutumia mkondo wa kisheria pale uhiari wa kulipa kodi na ada

mbalimbali unapokosekana.

Halmashauri inaendelea kuhakikisha kila mfanyabiashara wa kila chanzo

anatambulika na kuingizwa kwenye mfumo wa Mapato (mrecom) ili

afuatiliwe na kulipa kodi /Ada /stahiki na kwa wakati.

Inapendekezwa kila kikao cha WDC kuwepo “Agenda” ya ushafishaji na

ulipaji Ada ya usafi na iwe ya kudumu na viongozi wa kuchaguliwa na

Page 27: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

27

watendaji kwenye maeneo yao ya utawala wahakikishe wanashiriki

kikamilifu kutoa hamasa kwa wananchi ili washiriki katika usafirishaji.

Halmashauri itaendelea kufuatilia urejeshwaji wa 30% kutoka wizara ya Ardhi,

nyumba na maendeleo ya makazi.

Kuendelea kuingiza takwimu za walipa kodi wapya na kuboresha takwimu za

walipa kodi waliopo kwenye mfumo wa GIS na MRECOM.

Kufanya ukaguzi wa walipa ushuru wa huduma (service levy) ili kubaini kama

wanalipa kiasi stahili.

Kuendelea kutumia mfumo wa kielotronik kwa kukusanya mapato katika

hospitali zetu za Halmashauri ya Temeke ili kuepuka uvujaji wa mapato ya

uchangiaji kwenye huduma za afya

4.2 MAPITIO YA UTEKELEZAJI MIRADI YA MAENDELEO KWA KIPINDI CHA KUANZIA

JULAI 2016 DESEMBA 2016

Katika mwaka wa fedha wa 2016/2017, Halmashauri ya Manispaa ya Temeke

ilipanga kutumia TShs. 113,088,888,173.00 kutekeleza Miradi ya Maendeleo.

Kati ya fedha hizo TShs 26,480,247,290.00 zinatokana na mchango wa

Halmashauri, TShs. 666,366,000.00 ni mchango wa Wafadhili na Tshs.

85,942,274,883.00 ni fedha za mifuko maalum.

Mchanganuo wa fedha hizo ni kama inavyoonekana katika jedwali lifuatalo

hapa chini:

NA. CHANZO CHA FEDHA KIASI CHA FEDHA ASILIMIA

1 Halmashauri 26,400,477,057.00 62.2

2 Ruzuku ya maendeleo (LGCDG) 3,001,144,123.00 7.97

3

Ruzuku ya Maendeleo ya Mifugo

(LDF) 40,000,000.00

0.02

4 Ruzuku ya maji 337,284,853.00 2.15

5 Mfuko wa barabara 5,782,580,000.00 15.95

6 Mfuko wa Maendeleo ya Jimbo 142,943,972.00 0.31

7 SEDP 200,000,000.00 0.21

Page 28: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

28

8 TASAF 3,180,000,000.00 0.14

9 Wafadhili (UNICEF) 663,366,000.00 0.95

10 MMAM - LOCAL 431,960,000.00 0.86

11 DMDP 72,909,132,168.00 7.72

12 Ruzuku ya Elimu (WORLD BANK) 0.00 1.52

Jumla 113,088,888,173.00 100.00

FEDHA ZILIZOPATIKANA NA KUTUMIKA HADI DESEMBA, 2016

Hadi kufikia Desemba, 2016, Kiasi cha Tshs. 10,771,700,246.88 sawa na asilimia 9.5

kimepatikana kwa ajili ya utekelezaji wa Miradi mbalimbali ya maendeleo. Kati ya

fedha hizo Halmashauri imechangia Tshs. 5,492,920,508.88 mifuko maalum

imechangia jumla ya Tshs. 5,278,779,738.00 na wafadhili 40,000,000.00.

Mchanganuo wa uchangiaji ni kama ifuatavyo:-

Fedha zilizopatikana hadi Desemba 2016

NA. MCHANGIAJI JULAI 2016 – DESEMBA 2016

1 Mchango wa Manispaa 5,492,920,508.88

2 Road Fund 1,888,325,178.00

3 BASKET FUND 683,057,750.00

4 UNICEF 40,000,000.00

5 RUZUKU YA MAJI 399,543,332.00

6 TASAF 1,223,811,000.00

7 LGCDG 2,222,807,000.00

8 CDCF 142,943,972.00

JUMLA 10,771,700,246.88

4.3 UTEKELEZAJI

Hali halisi ya utekelezaji wa malengo kwa kila sekta ni kama ifuatavyo;

(I) SEKTA YA ELIMU:

Halmashauri ya Manispaa ya Temeke ina jukumu la kutoa elimu kuanzia shule za

awali, msingi, Sekondari na Elimu ya watu Wazima. Aidha utoaji wa Elimu kwa

ujumla ni jukumu la Halmashauri, chini ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za

Page 29: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

29

Mitaa kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi. Katika utekelezaji

wa majukumu yake Halmashauri inao watendaji 17 katika Idara ya Elimu ya Msingi

(Makao makuu) 12 walimu na 9 wasio walimu.

(a) ELIMU YA AWALI

Katika sekta hii manispaa ya Temeke imepata mafanikio makubwa kwa upande wa

elimu ya awali na elimu ya msingi. Madarasa ya elimu ya awali yapo 49 hadi kufikia

desemba 2016, wakati idadi ya wanafunzi wa awali wameongezeka kutoka 1543

mwaka 2005 hadi 9601 mwaka 2016.

(b) ELIMU YA MSINGI

Sekta ya Elimu Msingi Katika kipindi cha 2016/2017 imefanikiwa kutengeneza

madawati 22,112 kwa gharama ya Tshs. 1,706,454,792.00, Ujenzi wa vyumba 54 vya

madarasa katika shule za Msingi za maji matitu, mbande, msufini, chamazi,Rufu,

mbagala annex na Rangi tatu, kwa gharama ya Tshs. 434,000,000.00, Umaliziaji wa

chumba 1 na Ukarabati wa vyumba 60 katika shule za msingi za maji matitu,

chamazi, mbande, chemchem, Mbagala kuu, msufini, upendo na kibasila, kwa

gharama ya Tshs. 68,1920,000.00. Hadi kufikia Desemba 2016 shule zipo 83

Aidha ina wanafunzi 138,809 hadi Desemba mwaka 2016. Nyumba za Walimu zipo

210, Walimu wa shule za Msingi 3548 hadi Desemba 2016.

Mafanikio haya yametokana na utekelezaji mzuri wa mpango wa MMEM. Aidha

vituo vya Elimu ya awali katika shule zisizo za Serikali vipo 49 hadi Desemba 2016,

Madarasa ya awali katika shule za Msingi za Serikali yapo 77 hadi Desemba 2016.

Jumla ya Walimu 126 wanajiendeleza katika hatua mbalimbali za Elimu ili kuweza

kuinua kiwango cha taaluma na kupanua uwezo wao kitaaluma. Aidha kupitia

mpango wa MWAKEM unaofadhiliwa na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi,

Chuo cha Ualimu Vikindu pamoja na Unicef walimu 520 kutoka katika shule 20

wameweza kusoma Moduli za masomo ya ujuzi, Hisabati na Kiingereza na kufaulu

vizuri katika masomo hayo. Walimu wamepata ujuzi mpya wa kufundisha kupitia

mhamo wa Luwaza.

Wanafunzi wanaofaulu mtihani wa kumaliza elimu ya msingi wanakuwa

wakichaguliwa kujiunga kidato cha kwanza kwa asilimia 100, Kwa kushirikiana na

Unicef pamoja na wananchi, Halmashauri imeweza kujenga matundu ya vyoo 27

pamoja na visima 11 katika shule za msingi 14

(c) ELIMU YA WATU WAZIMA

Halmashauri ya Manispaa inafanya juhudi ya kupunguza ujinga wa kutojua kusoma

na kuandika kwa watu wazima, Vijana na watoto waliokosa Elimu ya Msingi kwa

sababu moja au nyingine na pia kuwapatia stadi zitakazowawezesha kuinua

Page 30: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

30

kiwango cha mapato ili waweze kujitegemea na kujiajiri kupitia vikundi vya uzalishaji

mali. Wapo jumla ya wanakisomo 67 walimu 17 na madarasa 10 ya kisomo chenye

manufaa. Aidha kuna madarasa ya MEMKWA yenye jumla ya wanafunzi 1301

walimu 50 na vituo vipo 15.Utaratibu huu unawasaidia watu wazima na wale

watoto waliokosa elimu ya msingi MEMKWA kufuta ujinga kwa wasio jua kusoma,

kuhesabu na kuandika, kuwajengea uwezo wananchi kushiriki katika shughuli za

uzalishaji mali na kutambua haki zao za msingi katika jamii anamoishi na

kuwajengea uwezo wa kukaa pamoja kubuni miradi kulingana na mazingira yao.

(ii) ELIMU YA SEKONDARI

Sekta ya Elimu ina lengo la kuongeza nafasi za wanafunzi wanaojiunga na Elimu ya

Sekondari kufikia 100%. Pia Halmashauri imeendelea na ukarabati wa vyumba vya

madarasa 13 kwa gharama ya Tsh. 144,813,064.00 na ujenzi wa vyumba vya

madarasa 40 kwa gharama ya Tshs. 220,000,000.00 ambapo ni malipo ya awamu

ya kwanza.

Aidha Halmashauri imenunua madawati 3000 kwa gharama ya Tshs. 380,000,000.00

na tayari yamesambazwa katika shule za Sekondari.

Halmashauri ya Manispaa ya Temeke ina jumla ya shule za Sekondari 61, ikiwa shule

za Serikali 26 na zisizo za serikali 135.Jumla ya Wanafunzi 34,459 wakiwemo

wavulana 16,124 na wasichana 18,335 wanasoma katika shule za Serikali.

Wanafunzi wanaosoma shule zisizo za serikali ni 11,531 wakiwemo wavulana 6,286

na wasichana 5245. Wapo walimu 1285 katika shule hizo, wakiwemo wanaume 437

na wanawake 848. Walimu wa sayansi katika shule za sekondari ni 239 na wa

masomo mengine wapo 1046. Upo uoungufu wa walimu 358 kati yao wa masomo

ya sayansi ni 274 na masomo mengine ni 84. Pamoja na upungufu wa walimu pia

kuna upungufu wa nyumba za walimu 1274, vyumba vya madarasa 290 na

majengo ya utawala 18.

(iii) SEKTA YA MAJI

Katika kipindi cha mwaka 2016/2017 Halmashauri iliweka lengo la kupanua na

kuboresha huduma za maji katika kata 23 Hadi Desemba 2016

. Kazi zifuatazo zimefanyika:

Kuchimba visima virefu 15 katika kata za Kilakala, Chang’ombe, Mtoni,

Toangoma, Miburani, Azimio, Sandali, Tandika, Mbagala kuu, Mianzini,

Mbagala,Yombo Vituka (2) na Temeke (2).

Ujenzi wa miundombinu ya maji umefanyika katika kata 5 Toangoma,

Mianzini, Buza, Kurasini, Chang’ombe.

(iv) SEKTA YA AFYA:

Huduma za afya zimeendelea kuimarishwa na kuboreshwa, kwa mwaka

2016/2017 Halmashauri ilipanga kujenga na kukarabati vituo vya kutolea huduma

pamoja na kuongeza upatikanaji wa madawa na vifaa tiba ili kuboresha

huduma za afya. Hadi Desemba 2016 shughuli zifuatazo zimefanyika.

Page 31: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

31

Madawa na vifaa tiba vimeweza kupatikana katika vituo vyetu vya

kutolea huduma.

Idara ya afya iliweza kuweka dawa za kibailojia za kuangamiza mbu katika

kata 19 zenye mazalia ya mbu 2,542.

Katika kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu elimu emeendelea

kutolewa kwa kwa wananchi juu ya kujikinga na ugonjwa huo.

Huduma za afya mazingira katika jamii pia zimeendelea kutolewa.

Ujenzi wa zahanati ya Charambe umefanyika na unaendelea.

Ujenzi wa uzio katika zahanati ya Mbande umefanyika na kukamilika.

Umaliziaji wa uzio katika zahanati ya yombo Vituka umefanyika na

kukamilika.

Halmashauri imejenga gorofa moja kuongezea jengo la huduma za

Wazazi lenye uwezo wa vitanda 32 na wodi ya watoto wachanga.

Ukarabati sehemu ya malipo ya uanzishwaji wa huduma ya malipo kwa

njia ya mfumo wa kielektroniki (kwa kadi) umefanyika.

(v) SEKTA YA USAFI NA MAZINGIRA:

Katika kuinua kiwango cha usafi wa mji idara ya usafi na mazingira imelenga kwa

kipindi cha 2017/2018 kuongeza kiwango cha uzoaji na utupaji taka kutoka tai

193,815 sawa na 47% mpaka tani 211,632 sawa 75% ifikapo 2020

Kushirikisha jamii katika shughuli za usafi wa mazingira, kutoa elimu ya udhibiti

wa usafi wa mazingira, usafi wa barabara(kufyeka majani na kusafisha

mifereji ya wazi)

Kuhakikisha mitaa 142 inakuwa safi wakati wote

Kuondoa maji taka kwenye majengo ya Halmashauri

Kuandaa vikundi vya jamii vyakufanya usafi

Kuvihamasisha vikundi vya jamii kujua majukumu yao

Uondoshaji wa marundo ya taka kwa baadhi ya mitaa na vizimba,

Kusimamia shughuli za usafi wa mazingira,

Kuratibu shughuli za udhibiti wa athari za mazingira viwandani, maeneo

yenye vyanzo vya maji na maeneo ya wazi,

Ukarabati wa magari mabovu ya kubebea taka,

Kufanya usafi wa mazingira kwa kushirikiana na wananchi mara moja kwa

mwezi

(vi) SEKTA YA KILIMO

Halmashauri ya manispaa ya Temeke katika katika sekta ya kilimo kazi zilizofanyika

kuanzia julai hadi Desemba 2016

Kuandaa na kushiriki maonesho ya wakulima nanenane ya kanda ya mashariki

ambapo wakulima na wasindikaji 60,watumishi 28 pamoja na wadau wengine wa

Page 32: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

32

Halmashauri walishiriki. Aidha wakulima 365 walipata ushauri wa kitaalam. Maghala

138 na mashine za kukoboa na kusaga131 zimekaguliwa, wakulima na wadau 250

walipata mafunzo mbalimbali ya uzalishai na usindikaji wa mazao

(vii) MIFUGO

Juma ya watumishi 20, wafugaji na wavuvi 40 waliwezeshwa kuhudhuria maonesho

ya nanenane.

Jumla ya wafugaji na wavuvi 735 walipata mafunzo ya ufugaji bora wa wanyama

na samaki kwenye mabwawa. Jumla ya mbwa 3321, na paka 499 walipata chanjo

dhidi ya kichaa cha mbwa.

(viii) SEKTA YA UJENZI:

Kwa mwaka wa fedha 2016/2017 Halmashauri imepanga kutunza barabara

zenye urefu wa km 418. Hadi kufikia Desemba 2016 barabara zifuatazo zimefanyiwa

matengenezo:-

Ujenzi wa barabara ya Kijichi – Nasaco yenye urefu wa km 1,2, kazi zilizofanyika ,

Kuondoa udongo usiofaa m318799.8, kutifua na kushindilia (Scarification) m28100

Kuweka changarawe na kushindilia m34078.43, kuweka kokoto ( Crushed

aggregate) m31040, kuchimba m33635.5 kujenga mifereji ya maji ya mvua

m3358.7, kuweka waya (BRC mesh) kwa ajili ya ubora wa mfereji m2 2082 na

kujenga makalavati (600mm) m 126, (900mm) 9.9m, kumwaga lami nyepesi

m27127 uwekaji wa tabaka jipya la lami m3300.6, kujenga matuta kupunguza

mwendo kasi 4Nr, uwekaji wa alama za barabarani.

Matengenezo ya Barabara ya Rufu yenye urefu wa Km 1.3, kazi zilizofanyika ,

Kuchonga 1.3km, kuweka kifusi (Fill) m3481,kuweka changarawe na kushindilia

m3139, kujenga makalavati 6m (600mm) 13.8m (900mm), kuchimba M3100,

kutaka na kuondoa udongo usiofaa , kujenga mifereji ya maji ya mvua M2237

na kupanga mawe m3231.

Ujenzi wa mfereji wa Tambani kazi zilizofanyika Kuchimba m3238.2, kumwaga

zege m3282.85, kuweka nyavu za chuma kuimarisha zege la mfereji (BRC mesh)

m2558.

Matengenezo ya barabara za Ndunguru & Toangoma Masaki zenye urefu wa

km 2,kazi zilizofanyika, kwa kuchonga 1.73km, kuweka changarawe na

kushindilia m31959

Matengenezo ya barabara za Pazi, Nzasa Secondary na eneo la maegesho

soko Nzasa kazi zilizofanyika, kusafisha eneo m23575 kwa kuchonga 1.15km,

Page 33: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

33

kuweka kifusi (Fill) m3847.8, kuweka changarawe na kushindilia m3997.6, kujenga

makalavati 600mm m32, kuchimba (common Excavation) M3446 na kujenga

mifereji ya maji ya mvua M21309 na kujenga kivuko (drift) m3131.

Ujenzi wa Mfereji Evareth (Chang'ombe Barracks) , ukarabati wa kalavati la

Mwanamtoti kazi zilizofanyika Kujenga mfereji wa maji ya mvua kwa kuchimba ,

kufunga waya ,kuweka changarawe, kujenga mfereji, kusuka vikapu vya mawe,

kujenga kalavati

Matengenezo ya barabara za Lumo - Sigara, Kwa Limboa , Mwanagati na

Kidagaa zenye urefu wa km 5, ujenzi kalavati (Box) Buza kanisani (Sepeku) wa

mfereji Limboa kazi zilizofanyika, kuchonga, 3.3km, kuweka changarawe

m32137,42, kujenga mifereji m2 1596,07, kujenga kalavati Lm 65, kuchimba

m3884.1 , kupanga mawe m329.5 kumwaga zege m390.9, na kusuka chuma kg

5904

Mataengenezo ya barabara za Charambe post, Mangaya , Round table ,

Uzomboko – Kigugi, Machinjioni na Chamazi sekondari zenye urefu wa km 10.5

kuchonga 7.7km, kuweka changarawe m33284.8, kujenga mifereji m21230.60 na

kujenga kalavati (600mm) m12.

Matengenezo ya barabara za Mission - Mwanamtoti , Jeshi la wokovu , Kibonde

maji Tasafu dinspesary 9.5km kazi zilizofanyika, kuchonga 2.15km, changarawe

m3578, kujenga mifereji m21130, kujenga kalavati (600mm) M12 na kujenga

kivuko (drift) 2.

matengenezo ya barabara za Keko maendeleo, Lushoto , Kisiwani (sandali) ,

Mindu , Sandali CIUP zenye urefu wa km 7.2 kazi zilizofanyika, kuchonga 2.55km,

kuweka changarawe m31820.7 na kumwaga zegem3 63.75.

matengenezo ya barabara za Toangoma plot, Kibada , Kigamboni TBA Estate

na ungindoni 12km, kuchonga 8km, kuweka changarawe m31108, kujenga

mifereji m21139.81, kujenga kalavati 116m na kujenga vivuko 2

Matengenezo ya kawaida barabara za Dr Omary 4km, Temeke -Mbagala 3.5km,

Mgulani 1.5km, Chang'ombe 3km, Mbozi 2.1km, Taifa 1.5km, Mandela - Wailes

2km, Kurasini 2km,Mision - Kijichi- Zakhem 6.5km, Kichangani 3km,Mwembe

Madafu 2km, Mahunda 2.8km, Yombo 1.5km, Veternary 2km,Hospitali 0.5km,

Stereo roads 3km, Copper road, Evareth 0.8km, Bububu/Ruvuma 1km na Saza

1.5km kwa kuziba mashimo kwa lami m2 2540, kujenga matuta ya kupunguza

mwendo kasi na kuweka alama za tahadhari.

Page 34: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

34

(ix) UHUSIANO

Katika kipindi cha Julai 2016 mpaka Desemba 2016 kitengo cha Tehama – Sehemu

ya uhusiano kimeweza kufanya yafuatayo;

Mchapisho; Vipeperushi 2,500 vya Idara ya Mifugo, Kilimo, fedha na Uvuvi

vilichapishwa na kusambazwa.

Jarida la mafanikio ya awamu ya nne nakala 500

Mabango 5 ya nane nane na 2 ya Dira na dharura yalichapishwa

Makala; (Documentary) 3 moja yam bio za mwenge na mafanikio ya

kipindi cha Uongozi wa awamu ya nne, vilevile utekelezaji wa mradi wa

DMDP Mikutano ngazi za Mitaa

Matangazo: Matangazo 100, yalitolewa kupitia magazeti na Radio.

Matangazo 300 yalitolewa kupitia vipaza Sauti Mitaani kuhusu Afya, Maafa,

kodi na Sikukuu za kitaifa

Manunuzi

Manunuzi yaliyofanyika ni ununuzi wa Ipad 3, Computer 4 (Laptop) na

desktop 1 na printer 1

(x) TEHAMA

Kuongoza / upanuzi wa mifumo wa MRECOM kuwezesha utumike na Idara

ya Biashara

Kutoa mafunzo kwa maafisa Biashara juu ya utumiaji wa mfumo –

MRECOM

Kuongeza wigo wa mtandao wa mawasiliano (LAN & WAN) kuwezesha

upatikanaji wakati wote

Kuboresha na kusimamia mtandao wa simu (PBAX) kwa ajili ya

mawasiliano ya ndani ya Halmashauri na ya nje pamoja na FAX

Kusimika mtandao wa ndani wa mawasiliano (LAN) katika jengo la ardhi

Kuandaa usimikaji wa mtandao wa mapato “Lipa kwa kadi” Hospitali ya

Temeke

GIS

Upatikanaji wa Satelite image upya ya mwaka 2016

Uwekaji namba – Post code katika nyumba na Mitaa 17 ya Jimbo la

Temeke

Kuboresha kodi ya Majengo kwa kutumia ramani ili kuweza kuwatambua

na kuwafikia walipa kodi kwa urahisi

(xi) IDARA YA MAENDELEO YA JAMII, USTAWI WA JAMII NA VIJANA

Katika kipindi cha mwaka 2016/2017 Halmashauri ya Manispaa Temeke kupitia

Idara hii huhakikisha wananchi wake wanajiletea maendeleo na kustawisha familia

Page 35: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

35

zao. Ili kutimiza azma hii, idara kwa niaba ya Halmashauri huhamasisha wananchi

kuanzisha Vikundi vya kiuchumi vya Vijana, wanawake na vikundi mchanganyiko

kwa nia ya kuinua vipato vyao ili kujiletea maendeleo, hadi Desemba 2016

Halmashauri ina jumla ya vikundi 3,486 vyenye wanachama 24,495 vikundi 2,280

vya wanawake na vikundi 1,206 ni vya Mchanganyiko wa vijana na wanawake.

Pia makundi maalum kama wanawake, watoto, watu wenye ulemavu na wazee

hujengewa uwezo na kuwasaidia kwa kuwapa mitaji/mikopo.

(xii) UDHIBITI UKIMWI (TACAIDS)

Katika kipindi cha mwaka 2016/2017 Halmashauri ilikuwa na lengo la kupunguza

maambukizi mapya ya VVU na kutoa huduma kwa wagonjwa na kutoa huduma

na tiba kwa watu wanaoishi na VVU/Ukimwi. Katika kufika lengo hili shughuli

zifuatazo zimefanyika:

Mapambano dhidi ya UKIMWI yameendelea kupewa kipaumbele ambapo

jumla ya vituo 66 vinatoa ushauri Nasaha (VCT). Aidha kuna vituo 36 vinavyotoa

huduma ya kupunguza maambukizi yaVirusi vya UKIMWI kutoka kwa mama kwenda

kwa mtoto.

Vituo vinavyotoa dawa za kupunguza makali ya VVU vimeongezeka kutoka

vituo 2 mwaka 2006 hadi 53 mwaka 2016. Jitihada bado zinafanyika kuongeza

vituo zaidi ili kuweza kupunguza msongamano wa wagonjwa katika vituo

vinavyotoa huduma hii.

(xiii) MIRADI MAALUM YA WAFADHILI

Katika kipindi cha mwaka 2016/2017 Halmashauri ilitekeleza Programu Maalum

ambazo ni Programu ya UNICEF, SAVE THE CHILDREN na mradi wa uboreshaji wa

miundo mbinu katika maeneo yasiyopimwa (CIUP) na TASAF.

Idara ya Maendeleo ya Jamii imejikita katika:

Kuondoa umaskini na kuinua viwango vya maisha kwa kutoa mikopo ya

wanawake na vijana

Kuhamasisha jamii ili kuziwezesha kujiletea maendeleo

Kupunguza vifo kwa kuelimisha na kutoa misaada katika kupambana na janga

la ukimwi

Kutoa ushauri na kusaidia watu wanaopatwa na maafa

(xiv) MPANGO WA UHAI ULINZI NA MAENDELEO YA MAMA NA MTOTO (CSPD)

Halmashauri ya Manispaa ya Temeke imeendelea kutekeleza miradi mbalimbali

inayopata fedha kutoka Shirika la Kimataifa linaloshughulikia masuala ya watoto

Page 36: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

36

UNICEF. Miradi mbalimbali imekuwa ikitekelezwa katika Idara/ Sekta za Mipango na

Takwimu, Elimu, Afya na Mazingira, Maji na Ustawi wa Jamii.

Hadi Desemba 2016 Halmashauri imetekeleza huduma zifuatazo katika sekta

mbalimbali ambazo zinashiriki katika mpango huu.

(xv) MIPANGO NA TAKWIMU

Katika eneo hili kumefanyika ufuatiliaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo kwa

kuwashirikisha Maafisa na wadau husika. Jumla ya miradi ya maendeleo 187

imekaguliwa na Kamati ya Ushauri ya Wilaya – DCC na timu ya uandaaji wa Bajeti

ya Halmashauri wamepatiwa mafunzo juu ya MTEF, Kuahinisha vigezo vya ufuatiliaji

na tathmini pamoja na kutembelea miradi mbalimbali.

(xvi) AFYA MAZINGIRA

Katika eneo hili Halmashauri imetoa mafunzo mbalimbali kuhakikisha maeneo ya

Manispaa ya Temeke yanakuwa safi. Jumla ya waelimisha jamii (CORPS) 485,

wamepata mafunzo ya Afya na jinsi ya kujikinga na magonjwa ya kuambukiza.

Maafisa Afya 75 wamepatiwa mafunzo juu ya usimamizi wa Afya na sheria ya usafi

wa mazingira na jinsi ya kuhimiza wanajamii kuitambua. Pamoja na kuwafundisha

maafisa Afya pia jumla ya mafundi waashi 135 kutoka Kata zote 30 wamepewa

mafunzo kuhusu ujenzi wa vyoo kwa gharama nafuu, wamefundishwa baba/mama

Lishe 195 juu ya uandaaji wa vyakula na usafi binafsi.

Walimu wa Afya mashuleni 120 walipatiwa mafunzo juu ya Afya na usafi wa

mazingira na kuunda vikundi vya wanafunzi 20 kwa ajili ya kufundishana wao kwa

wao.

(xvii) USTAWI WA JAMII

Wajumbe 153 ngazi ya Wilaya wamefundishwa sheria ya mtoto, timu ya ulinzi na

usalama ngazi ya kata na mtaa wajumbe 200 wamefundishwa juu ya kutoa

msaada wa kisaikolojia kwa watoto walioathirika na ukatili.

Vikao vya robo mwaka vimefanyika ngazi ya Wilaya kwa wajumbe 25 na kata

wajumbe 400

Uhamasishaji juu ya ulinzi na usalama kwa kutumia ngoma, maigizo umefanyika

kwa kata 4

Watoto 40 wamepata huduma ya matibabu na nauli.

Wazee na walemavu 10 walipewa fedha za kujikimu na vifaa vya viungo

Mama mmoja aliyejifungua watoto 3 alipewa fedha za kujikimu

(xviii) MIPANGO MIJI

Halmashauri ya Manispaa ya Temeke kuanzia tarehe 25/7/2016 ilichukua wathamini

wanafunzi wapatao 105 ili kusaidia kufanya uthamini wa majengo ili kutoza kodi ya

Page 37: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

37

majengo kwakuwa majengo mengi yalionekana kutozwa viwango mlingano ( flat

rate)

Wanafunzi hao waliweza kukagua majengo 93,000 ambayo Halmashauri itaweza

kukusanya zaidi ya Tshs. 3,000,000,000 kama kodi ya majengo kwa mwaka wa

fedha 2016/17

Maeneo yaliyotembelewa katika zoezi hili ni kata za chamazi yenye mitaa 10, kata

ya mianzini yenye mitaa 4, kata ya mbagala kuu yenye mitaa 10, kata ya mbagala

yenye mitaa 6, kata ya kilungule yenye mitaa 5, Kata ya kibonde maji yenye mitaa

5, kata ya Toa ngoma yenye mitaa 14 na kata ya charambe yenye mitaa 8.

MAENEO YA UMMA YALIYOFANYIWA UTHAMINI NA KULIPWA FIDIA

-Zahanati ya Buza

-S/msingi mbagala

- Ofisi ya kata kijichi

- Barabara ya Yombo vituka

Kulipa watumishi 6 wa kitengo cha leseni za makazi kama ushauri wa kitaalam

wa kuandaa leseni za makazi, kutoa nakala za kadi za ardhi, kupokea nyaraka za

mikopo, kuongeza muda wa umiliki,kuhamasisha umiliki, na kupokea maombi

mapya ya leseni.

(xix) UWEKEZAJI

Katika kipindi cha mwaka 2016/2017 Halmashauri ilipanga kuendeleza

maeneo 10 ya uwekezaji hadi Desemba 2016, shughuli zifuatazo zimefanyika:

Kufanya ziara katika maeneo ya uwekezaji

Umilikishaji maeneo ya uwekezaji

Kukamilisha mchakato wa zabuni katika maeneo ya uwekezaji

Mafunzo ya kamati ya uwekezaji

Upembuzi yakinifu (Feasibility study)

Kuandaa Sera ya uwekezaji na Sera ya mradi wa upimaji wa Viwanja

4.4 CHANGAMOTO

Pamoja na Halmashauri ya Manispaa ya Temeke kupata mafanikio makubwa

katika utoaji wa huduma kwa wananchi bado kumekuwepo na matatizo

mbalimbali yaliyojitokeza na hivyo kuathiri utendaji wa baadhi ya majukumu yake.

Baadhi ya matatizo hayo ni:

Page 38: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

38

Kuchelewa kupokelewa kwa fedha za ruzuku za Miradi ya Maendeleo na

matumizi ya kawaida kwa wakati au kutokupatikana kabisa kwa fedha hizo

kama zilivyoidhinishwa katika bajeti ya mwaka husika.

Ongezeko kubwa la idadi ya watu katika Halmashauri ya Wilaya ya Temeke

ambalo huletea ongezeko kubwa la mahitaji ya huduma za kijamii na

kiuchumi.

Kuongezeka kwa idadi kubwa ya watoto wanaojiunga na elimu ya

msingi/kuandikishwa darasa la kwanza.

Kutokurudishwa kwa kodi ya Ardhi kutoka Wizara ya Ardhi na makazi ambayo

inakusanywa na Halmashauri kwa niaba ya Wizara.

Uhaba wa maeneo ya upanuzi kwa ajili ya kutolea huduma ikiwemo maeneo

ya zahanati, elimu msingi na sekondari.

Upungufu mkubwa wa walimu wa sayansi katika shule za sekondari

Hospitali ya rufaa ya mkoa wa Temeke kutopatiwa ruzuku kulingana na

mahitaji hivyo kuendelea kuhudumiwa na Fedha za Halmashauri.

Mwitikio mdogo wa wananchi katika ulipaji wa Ushuru na kodi mbalimbali.

4.5 MIKAKATI

Kuweka msukumo mkubwa zaidi katika kuimarisha ushirikiano wa

wadau wote katika kupambana na umasikini hususani katika kutoa

elimu na mikopo mingi zaidi kwa sekta inayojiajiri ambayo ina uwezo

wa kutoa ajira kwa vijana wengi wa jinsia zote.

Kuhamasisha matumizi endelevu ya maliasili ikijumuisha matumizi

endelevu ya ardhi hasa uratibu wa maendeleo ya makazi

yasiyopimwa.

Kuboresha mbinu za ukusanyaji wa mapato na kodi mbalimbali zilizopo

kwa mujibu wa sheria.

Kusimamia na kuendeleza vikundi vya vijana wanawake, uratibu na

utekelezaji wa mikakati ya kupambana na vita dhidi ya UKIMWI, rushwa

na umaskini.

Uhamasishaji na uundaji wa vyama vya kuweka na kukopa makazini,

maofisini na viwandani kama silaha muhimu dhidi ya umaskini.

Page 39: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

39

Kuboresha mbinu za kushughulikia kero za wananchi kwa kuanzisha

dawati la upokeaji kero mbalimbali na kuzitafutia ufumbuzi.

Kuendeleza jitihada za kuhamasisha wananchi kushiriki katika

kutekeleza miradi ya maendeleo hasa ujenzi shule za Sekondari.

Kuendelea kuhamasisha wananchi ulipaji wa kodi na kuboresha

vyanzo vya mapato ya Halmashauri.

Kuhamasisha wananchi kutumia uzazi wa mpango.

Kuboresha makazi.

Kuongeza na kuboresha huduma za kijamii na kiuchumi .

Kuhamasisha wananchi kushiriki kikamilifu katika shughuli za maendeo.

Page 40: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

40

SURA YA 5

MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA KAWAIDA PAMOJA NA MIRADI YA

MAENDELEO KWA MWAKA 2017/2018

5.0 MAPATO:

Halmashauri ya Manispaa ya Temeke kwa mwaka 2017/2018 imekadiria

kukusanya na kupokea jumla ya TShs. 236,746,512,167.00 kutoka katika vyanzo

mbalimbali vya mapato ambapo jumla ya Tshs. 197,590,436,667.00 ni Ruzuku

kutoka Serikali Kuu, Jumla ya Tshs. 38,907,388,000.00 mapato yake yenyewe na

Wahisani wanatarajiwa kuchangia Tshs.248,687,500.00 kama inavyoonyesha katika

jedwali na. 1.

Jedwali Na. 1: Makadirio ya Mapato ya Halmashauri kwa mwaka 2017/2018

NA. CHANZO KIASI (TSHS) ASILIMIA

1 Mapato ya Manispaa (own source) 38,907,388,000 16.43

Jumla ndogo 38,907,388,000

Vyanzo vya nje:

2 Ruzuku - Mishahara na matumizi

mengineyo

103,090,104,500 43.54

3 Fedha za maendeleo - Mifuko

maalum

18,124,175,000 7.66

4 DMDP 76,376,157,167 32.26

Jumla Ndogo 197,590,436,667

5 Wahisani (UNICEF) 248,687,500 0.11

Jumla kuu 236,746,512,167 100

RUZUKU KUTOKA SERIKALI KUU

Halmashauri ya Manispaa ya Temeke kwa mwaka 2017/2018 inategemea kupata

Ruzuku kutoka Serikali Kuu jumla ya T.shs. 197,590,436,667.00 ambazo zitatumika

katika maeneo ya mishahara na utoaji wa huduma. Jedwali 2 lifuatalo

linaonyesha mchanganuo wa Ruzuku kutoka Serikali Kuu.

Page 41: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

41

Jedwali Na. 2: Ruzuku kutoka Serikali Kuu kwa mwaka 2017/2018:

Mishahara 100,939,169,000

Matumizi Mengineyo 2,150,935,500

Ruzuku ya Mifuko Maalum

Ruzuku ya Maendeleo (LGCDG) 2,160,610,000

Elimu bure shule za msingi 1,227,314,000

Elimu bure shule za sekondari 1,035,320,000

Mfuko wa maendeleo ya Jimbo 174,687,000

Mfuko wa barabara 6,431,400,000

Livestock Fund 10,415,000

Mfuko wa pamoja wa Afya 2,804,429,000

DMDP 76,376,157,167

Ada ya TASAF 3,180,000,000

Ruzuku ya maji 1,100,000,000

Jumla Mifuko Maalum 94,500,332,167

Jumla Ruzuku ya Serikali kuu 197,590,436,667

Wahisani (UNICEF) 248,687,500

Jumla kuu 197,839,124,167

WAHISANI

Halmashauri ya Manispaa ya Temeke kwa mwaka 2017/2018 inategemea kupata

fedha kutoka kwa wahisani mbalimbali jumla ya TShs. 248,687,500.00 ambazo

zitatumika katika kutekeleza miradi ya maendeleo. Wafadhili hao ni kama

inavyoonekana katika jedwali namba 3.

Jedwali Na. 3: Orodha ya Wahisani:

Na. Jina Kiasi

1 UNICEF 248,687,500.00

Jumla kuu 248,687,500.00

5.1 MATUMIZI:

Halmashauri ya Manispaa ya Temeke kwa mwaka 2017/2018 imekadiria

kutumia jumla ya Tshs. 236,746,512,167.00 katika maeneo ya Mishahara,

Matumizi mengineyo na Miradi ya maendeleo.

RUZUKU KUTOKA SERIKALI KUU:

Kwa mwaka 2017/2018 Halmashauri itatumia jumla ya TShs. 197,590,436,667.00

kutekeleza vipaumbele vya maendeleo na maeneo ya utoaji wa huduma, Kati ya

fedha hizo, TShs. 100,939,169,000.00 ni Mishahara ya watumishi na Kiasi cha TShs.

Page 42: MAELEZO MAFUPI KUHUSU HALMASHAURI...4 (ii) AFYA Manispaa ya Temeke ina vituo 117 vya kutolea huduma za afya kati ya hivi 23 ni vya Serikali na 94 ni vya binafsi. Kuna hospitali 5 ambapo

42

2,150,935,500.00 ni kwa ajili ya Matumizi Mengineyo. Halmashauri pia itatumia TShs.

94,500,332,167.00 ikiwa ni Ruzuku kutoka Serikali Kuu kupitia Mifuko Maalum.

Jumla ya matumizi kwa maeneo yakijumuisha matumizi ya kawaida, mifuko

maalum, Miradi ya Maendeleo ni kama yanavyoonekana katika Jedwali Na.4

lifuatalo.

Jedwali Na. 4: Mgawanyo wa Matumizi maeneo ya Ruzuku:

Na. Eneo la matumizi Kiasi (Tshs)

1 Mishahara ya Watumishi 100,939,169,000.00

2 Matumizi Mengineyo 2,150,935,500.00

3

Matumizi ya fedha za mifuko

maalum 94,500,332,167.00

JUMLA 197,590,436,667.00

MATUMIZI FEDHA ZA NDANI-(OWN SOURCE)

Halmashauri kwa kipindi cha mwaka 2017/2018 itatumia

Tshs. 38,907,388,000.00 kwa matumizi mengineyo, mishahara, miradi ya maendeleo

na uchangiaji(Cost sharing). Kati ya fedha hizo Tshs. 23,344,433,000.00 zitatumika

kutekeleza miradi ya maendeleo na Tshs 14,824,228,972.00 zitatumika katika

maeneo ya uendeshaji wa shughuli za ofisi na Tshs. 738,726,028.00 zitatumika katika

kulipa mishahara ya watumishi.

Jedwali Na. 5 Matumizi Fedha za Halmashauri(Own Source)

NA. MAELEZO KIASI (TSHS)

1 Matumizi mengineyo 14,824,228,972.00

2

Kuchangia Miradi ya

Maendeleo

23,344,433,000.00

3 Mishahara ya Watumishi 738,726,028.00

Jumla kuu: 38,907,388,000.00

MATUMIZI (WAHISANI)

Halmashauri kwa mwaka 2017/2018 itatumia jumla ya Tshs.248,687,500.00

kutoka kwa Wahisani wa UNICEF.