zuia kusambaa kwa virusi vya korona (covid-19) · kwa maelezo yaliyosasishwa, nenda kwenye: c o v i...

1
www.coronavirus-sd.com Kwa maelezo yaliyosasishwa, nenda kwenye: C O V I D - 1 9 Ukiwa na maswali, ongea na mhudumu wako wa afya au piga 2-1-1 Tumua kifaa cha kufunika uso kama utatoka nyumbani. Epuka kushiriki vifaa vya matumizi ya kibibafsi nyumbani. Funika kukoa kwako au chafya kwa tishu, kisha itupe kwenye taka na unawe mikono. Epuka kugusa macho, kinywa na pua kwa mikono kama hujanawa. Nawa mikono yako au tumia vitakasa mikono mara kwa mara. Kaa nyumbani na jitenge kutoka kwa wengine nyumbani kama unaugua. Mara kwa mara, safisha na kung'arisha maeneo ya kuwekea vitu nyumani. Kaa umbali wa angalau futi 6 kati yako na wengine. COVID-19 ni ugonjwa unaoathiri kupumua unaosababishwa na virusi vya korona. Dalili zake ni pamoja na: Joto au Kibarid Kukohoai Matatizo ya Kupumua Uchovu Maumivu mwilini Kutokwa na kamasi Kufungana mapua Maumivu ya kichwa Maumivu ya koromeo Kupotelewa na ladha na mnuso Nenda kwa CDC.gov/coronavirus upate orodha kamilifu ya dalili. Ili kuzuia kusambaa kwa virusi hivi na kujikinga, fuata haya mapendekezo: ZUIA KUSAMBAA KWA VIRUSI VYA KORONA (COVID-19) Updated 6-2020

Upload: others

Post on 12-Jun-2020

1 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: ZUIA KUSAMBAA KWA VIRUSI VYA KORONA (COVID-19) · Kwa maelezo yaliyosasishwa, nenda kwenye: C O V I D-1 9 Ukiwa na maswali, ongea na mhudumu wako wa afya au piga 2-1-1 Tumua kifaa

www.coronavirus-sd.comKwa maelezo yaliyosasishwa, nenda kwenye:

COVID-19

Ukiwa na maswali, ongea na mhudumu wako wa

afya au piga 2-1-1

Tumua kifaa cha kufunika uso kama utatoka nyumbani.

Epuka kushiriki vifaavya matumizi ya

kibibafsi nyumbani.

Funika kukoa kwako au chafya kwa tishu, kisha itupe kwenye taka na

unawe mikono.

Epuka kugusa macho, kinywa na pua kwa mikono

kama hujanawa.

Nawa mikono yako au tumia vitakasa mikono

mara kwa mara.

Kaa nyumbani na jitenge kutoka kwa wengine nyumbani

kama unaugua.

Mara kwa mara, safisha na kung'arisha maeneo

ya kuwekea vitu nyumani.

Kaa umbali wa angalau futi 6 kati yako na

wengine.

COVID-19 ni ugonjwa unaoathiri kupumua unaosababishwa na

virusi vya korona.

Dalili zake ni pamoja na:Joto au Kibarid

KukohoaiMatatizo ya Kupumua

UchovuMaumivu mwilini

Kutokwa na kamasiKufungana mapuaMaumivu ya kichwa

Maumivu ya koromeoKupotelewa na ladha

na mnuso

Nenda kwa CDC.gov/coronavirus upate orodha kamilifu

ya dalili.

Ili kuzuia kusambaa kwa virusi hivi na kujikinga, fuata

haya mapendekezo:

ZUIA KUSAMBAA KWA VIRUSI VYA KORONA (COVID-19)

Updated 6-2020