mikoa itakayofanya uchaguzi kwa sababu mbalimbali

2
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI UCHAGUZI WA UBUNGE NA UDIWANI ULIOAHIRISHWA TAREHE 25 OKTOBA, 2015 Tume ya Taifa ya Uchaguzi inawatangazia wananchi wote kuwa Uchaguzi wa Ubunge na Udiwani katika Jimbo na Kata ambazo hazikufanya Uchaguzi tarehe 25 Octoba 2015 kwa sababu mbalimbali isipokuwa kifo, Uchaguzi huu sasa utafanyika tarehe15 Novemba na tarehe 13 Decemba 2015. Jimbo na Kata zitakazo husika ni kama ifuatavyo: 15 Novemba 2015 Na . JIMBO MKOA 1. LULINDI MASASI DC MTWARA 15 Novemba 2015 Na KATA HALMASHAURI 1. KILOLENI URAMBO DC 2. MALAMBO NGORONGORO DC 3. NGARESERO 4. MIZIBAZIBA NZEGA DC 5. TONGI 6. LUDETE GEITA 7. BUKULA RORYA 8. BUPAMWA KWIMBA DC 9. MWAMBANI CHUNYA DC 10. ITEWE 11. MKOLA 12. MBUYUNI 13. ISEBYA MBOGWE DC 14. MATONGO BARIADI DC 15. MAJENGO KOROGWE DC 16. SONGWE KILINDI DC 17. MKONGOBAKI LUDEWA DC

Upload: misty-collins

Post on 02-Feb-2016

375 views

Category:

Documents


0 download

DESCRIPTION

UCHAGUZI WA UBUNGE NA UDIWANI ULIOAHIRISHWA TAREHE 25 OKTOBA, 2015

TRANSCRIPT

Page 1: Mikoa Itakayofanya Uchaguzi Kwa Sababu Mbalimbali

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

UCHAGUZI WA UBUNGE NA UDIWANI ULIOAHIRISHWA TAREHE 25 OKTOBA, 2015

Tume ya Taifa ya Uchaguzi inawatangazia wananchi wote kuwa Uchaguzi wa Ubunge na Udiwani katika Jimbo na Kata ambazo hazikufanya Uchaguzi tarehe 25 Octoba 2015 kwa sababu mbalimbali isipokuwa kifo, Uchaguzi huu sasa utafanyika tarehe15 Novemba na tarehe 13 Decemba 2015.

Jimbo na Kata zitakazo husika ni kama ifuatavyo:

15 Novemba 2015

Na.

JIMBO MKOA

1. LULINDI– MASASI DC MTWARA

15 Novemba 2015

Na

KATA HALMASHAURI

1. KILOLENI URAMBO DC2. MALAMBO NGORONGORO DC3. NGARESERO4. MIZIBAZIBA NZEGA DC5. TONGI6. LUDETE GEITA7. BUKULA RORYA8. BUPAMWA KWIMBA DC9. MWAMBANI

CHUNYA DC10

.ITEWE

11 MKOLA

Page 2: Mikoa Itakayofanya Uchaguzi Kwa Sababu Mbalimbali

.12

.MBUYUNI

13.

ISEBYA MBOGWE DC

14.

MATONGO BARIADI DC

15.

MAJENGO KOROGWE DC

16.

SONGWE KILINDI DC

17.

MKONGOBAKI LUDEWA DC

18.

MAHANJE MADABA DC

19.

KAGERA KIGOMA UJIJI

20.

MILEPA SUMBAWANGA

21.

RUJEWA MBARARI DC

22.

MAGAMBA MPANDA DC

23.

MKONGO GULIONI NAMTUMBO

24.

LISIMONJI

25.

SARANGA KINONDONI

13 Decemba 2015

Na

KATA HALMASHAURI

1. IPALA DODOMA DC2. NYAMILOLELWA GEITA DC

- Vituo vya kupigia Kura ni vile vilivyotumika wakati wa upigaji Kura za Urais Oktoba 25, 2015

- Vituo vitafunguliwa saa 1:00 asubuhi hadi saa 10:00 jioni.

Page 3: Mikoa Itakayofanya Uchaguzi Kwa Sababu Mbalimbali

- Wanaoruhusiwa kupiga Kura ni wale walio na kadi za Mpiga Kura na wamo katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.

NB: Kumbuka Uchaguzi katika Jimbo la Kijitoupele Zanzibar utafanyika baadaye.

IMETOLEWA NA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

Kailima,R.KMKURUGENZI WA UCHAGUZI