mipango, miradi na huduma za 2010 wilaya ya...

Download Mipango, Miradi na Huduma za 2010 Wilaya ya Mondulitanzania-idshuron.wikispaces.com/file/view/Monduli+Directory... · Mpango wa mkopo wa kuku wa kienyeji ... Mipango, miradi na huduma

If you can't read please download the document

Upload: habao

Post on 06-Feb-2018

385 views

Category:

Documents


68 download

TRANSCRIPT

  • 2010

    Kuzijengea Uwezo Asasiza Kijamii ili

    Kupunguza Umasikini

    Building Civil Society Capacity for

    Poverty Reduction

    Mipango, Miradi na Huduma za Wilaya ya Monduli

  • Mipango, miradi na huduma wilayani Monduli Ukurasa wa 2

    CONTENTS

    Shukrani ............................................................................................................................... 4

    Orodha kaw ajili ya mawasiliano wilayani ........................................................................... 5

    Utaratibu wa mchanganuo wa bajeti ya serikali na tarehe .................................................. 7

    Mipango ya serikali .............................................................................................................. 8

    Kilimo na ufugaji ...........................................................................................................................................................................9

    Programu ya maendeleo ya sekta ya kilimo ...................................................................... 9

    Elimu ................................................................................................................................................................................................ 10

    Programu ya Maendeleo ya elimu ya msingi................................................................... 10

    Programu ya maendeleo ya elimu ya sekondari.............................................................. 11

    Biashara .......................................................................................................................................................................................... 12

    Mafunzo ya biashara ndogo na zakati ............................................................................ 12

    Afya ................................................................................................................................................................................................... 13

    Mfuko Waafya ............................................................................................................... 13

    Tume ya kudhibiti ukimwi tanzania ................................................................................. 14

    Maendeleo Jamii ......................................................................................................................................................................... 15

    Mfuko wa maendeleo ya jamii ........................................................................................ 15

    Maendeleo Ya jamii na kusaidia kuhimiza ustawi wa jamii............................................... 16

    Maji .................................................................................................................................................................................................... 17

    Mradi Wa usambazaji wa maji safe na majitaka vijijini ..................................................... 17

    Kazi.................................................................................................................................................................................................... 18

    Programu ya usafirishaji ya serikali za mitaa .................................................................. 18

    Fedha za kulipia Matumizi ya barabara .......................................................................... 19

    Mipango ya taasisi zisizo za serikali .................................................................................. 20

    Elimu ................................................................................................................................................................................................ 21

    Maendeleo ya watoto .................................................................................................... 21

    Mipango wa utoaji wa chakula shuleni............................................................................ 22

    Mpano wa chakula wa umoja wa mataifa ....................................................................... 23

    Afya ................................................................................................................................................................................................... 24

    Watu wanaoishi na virus vya ukimwi .............................................................................. 24

  • Mipango, miradi na huduma wilayani Monduli Ukurasa wa 3

    Wanawake ..................................................................................................................................................................................... 25

    Taasisi ya maendeleo ya wanawake wakimasai ............................................................. 25

    Taasisi ya Maendeleo ya wanawake wakimasai ............................................................. 26

    Uwezeshaji kiuchumi ..................................................................................................... 27

    Haki za binadamu na jinsia ............................................................................................ 28

    Utoaji na urejeshaji wa mikopo kwa wanawake............................................................... 29

    Mpango wa mikopo ya ada ya shule .............................................................................. 30

    Mpango wa mkopo wa kuku wa kienyeji ......................................................................... 31

    Vijana ............................................................................................................................................................................................... 32

    Y Timu ya ushauri ya jamii (COCOTE) ........................................................................... 32

    Marejeo............................................................................................................................... 33

  • Mipango, miradi na huduma wilayani Monduli Ukurasa wa 4

    Shukrani

    Mwongozo huu umeandaliwa kwa ushirikiano kati ya Chuo kikuu cha Huron cha

    CANADA na Chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM) Tanzania, ambavyo vinafanya

    mradi wa majaribio wilayani Monduli tangu 2007. Mradi wa mwongozo wa sera,

    mipango na huduma Monduli ni sehemu ya mradi mkubwa unaoitwa kuzijengea uwezo

    asasi za kijamii ili kupunguza umaskini au Haki Shiriki katika Sera, ambazo zina lengo

    la kuziwezasha asasi za kiraia kushiriki katika kutengeneza sera na kusimamia taratibu

    husika katika kupunguza umaskini. Tunatoa shukrani zetu kwa watumishi wa serikali wa

    Wilaya ya Monduli kwa msaada na ushirikiano unaoendelea. Pia tunashukuru kwa

    taarifa mbalimbali walizotupa kuwezesha kutengeneza huu mwongozo kwa ajili ya

    wananchi.Aidha tunazishukuru Taasisi zisizokuwa za serikali kwa msaada wa utoaji

    Habari za miradi na mipango yao ambayo imeingizwa katika mwongozo

    huu.Tunatumaini mwongozo huu utakuwa wa manufaa katika kuongeza ufanisi wa

    upatikanaji wa taarifa na mipango ya serikali na mashirika yasiyo ya serikali, na

    huduma zitolewazo kwa wananchi wa Monduli.

    Mwongozo huu unaweza kutumika:

    1. Kuwasiliana na mamlaka za serikali za mitaa

    2. Kuandika barua ya kuomba taarifa za program au huduma kwa vijiji

    3. Kutengeneza bajeti za Halmashauri za vijiji kwa ajili ya kuombea fedha

    serikalini

    4. Kujua mipango na huduma ambazo zinaweza kutolewa kwa wananchi wa

    Monduli

    .

    Mradi huu unafadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Canada ( Canadian

    International Development Agency CIDA).

    Dr. Arja Vainio-Mattila Prof. Benedict Mongula

    Associate Dean Lecturer and Professor

    Huron University College Institute for Development Studies

    University of Dar Es Salaam

  • Mipango, miradi na huduma wilayani Monduli Ukurasa wa 5

    ORODHA KAW AJILI YA MAWASILIANO WILAYANI

    NAME DEPARTMENT POSITION MOBILE

    Mlay Mkurugenzi Wa Wilaya 0784245719

    Ofisi ya Kamanda wa

    Wilaya

    Mahakama ya Wilaya

    Taasisi ya Kudhibiti

    Rushwa

    Gideon Kamara Kitengo cha Sheria Mwanasheria 0754438018

    Kilanga

    Mwangwala

    Meneja Ununuzi Afisa Ugavi 0715586965

    Eberhard Mbunda Maendeleo ya Kilimo na

    Mifugo na Ushirika

    Mkuu wa Idara 0784358050

    Ester Tarimo Maendeleo ya Kilimo

    Mifugo na Ushirika

    Afisa Ushirika 0784372102

    Twalib Mbasha Maendeleo ya Jamii Mkuu wa Idara 0784714453

    Joseph

    Rutabingwa

    Mipango, Takwimuna

    Udhibiti

    Mchumi 0719955280

    Godfrey Luguma Mipango ya Maendeleo Mtakwimu Msimamizi

    TASAF

    0756045323

    Nakaji Lukumay Ukaguzi wa shule Mkaguzi wa shule 0754831790

    George Lowassa Elimu,tamaduni na

    michezo

    Afisa Ugavi 0754745668

    Aron Moshi Fedha na Biashara Mhasibu 0784761980

    Laston Kilembe Kitengo cha ukaguzi wa

    Ndani

    Mkaguzi wa ndani 0784611822

    John Makundi Afya Mratibu wa Udhibiti wa

    UKUMWI (DAS)

    0754568817

    Eleana Mhalu Afya Mratibu wa Afya ya

    uzazi na watoto.

    0784978710

  • Mipango, miradi na huduma wilayani Monduli Ukurasa wa 6

    Ezadini Shoko Utawala Msimamizi wa office 0755563810

    Abdalah Magambo Fedha na Biashara Afisa Biashara 0713260817

    Natashoo Msuya Ardhi na mali asili Afisa 0712015695

    Ngikundael Mghase Huduma ya maendeleo

    ya Walimu

    Mkuu wa Idara 0754688298

    Joseph Makaidi Maji Mkuu wa Idara 0754388650

    Peter Shemahonge Kazi Mhandisi wa ujenzi 0784459092

  • Mipango, miradi na huduma wilayani Monduli Ukurasa wa 7

    UTARATIBU WA MCHANGANUO WA BAJETI YA SERIKALI NA TAREHE ZAKE

    K W A MW AK A 2010 , T ARE HEZA T ARAT IBU ZA M AOM BI YA MC HANGANGANUO W A BAJETI

    ZIM EBA DILIK A NA K UW A:

    Jamii

    Novemba/Disemba

    Jamii za Vigigi zitaandaa mchanganuo wa bajeti na kuziwailisha katika ya utendaji ya kata

    Kata

    Disemba

    Mwenyakiti na Maafisa watendaji watajumuisha bajeti toka katika kila jamii na kuziwasilisha wilayani

    Wilaya

    Januari/Februari

    Wakuu wa Idara watapitia bajeti na kuziwasilisha wizarani

    Wizara

    Machi

    Wizara itapitia bajeti na kutoa fungu kufuatana na Idara

    Wakuu wa Idara wataandika barua kwa kata husika kuelezea mira di itakayofanyika na tattibu mufimu za kuandaliwa na jamii husika

  • Mipango, miradi na huduma wilayani Monduli Ukurasa wa 8

    MIPANGO YA SERIKALI

  • Mipango, miradi na huduma wilayani Monduli Ukurasa wa 9

    KILIMO NA UFUGAJI

    PROGRAMU YA MAENDELEO YA SEKTA YA KILIMO

    Maelezo ya Programu/ mpango Fungu limetengwa katika sekta ya kilimo na ufugaji.

    Miradi inaweza kuhusisha mambo mengine lakini haifungwi na vitu kama utekelezaji wa miradi ya kuku, USIMILISHAJI/ UZALISHAJI WA mbegu bora za madume ya ngombe, udhibiti wa magonjwa ya mifugo, utengenezaji wa majosho, umwagiliaji, miundombinu, elimu ya mazao na mifugo.

    Mpango unahusisha kipengele cha kujenga uwezo, kama vile; mafunzo katika utekelezaji wa miradi, usimamizi na utunzaji fedha.

    Sifa zinazostahili za programu

    Fungu limetengwa kwa ajili ya vijiji 4-5 kwa mwaka

    Vijiji husika vitachaguliwa na wilaya kulingana na mahitaji na michanganuo ya

    miradi ya kijiji .

    Kijiji kinateuliwa na wilaya kulingana na mahitaji na mpango Mradi wake.

    Wilaya inatoa Kipaumbele kwa (1)Maendeleo ya mifugo

    (2)Umwagiliaji (3)Uzalishaji wa mazao

    Mafunzo kwa kila kijiji yatajumuisha vikundi vinne

    Msaada katidi usimamizi/ uendeshaji wa mradi

    Shilingi za Tanzania milioni 40 kwa uwekezaji.

    Shilingi za Tanzania milioni 5 kwa ajili ya kujenga uwezo

    Uwekezaji wa jumuiya na watu binafsi unaruhusiwa o Kiwango cha chini kwa mradi wa jumuiya ni asilimia 20 (kwa hali au mali) o Mradi kwa mtu binafsi ni asilimia 50 (lazima iwe fedha taslimu).

    Utaratibu wa Uombaji Mchanganuo wa ushirikiano baina ya serikali na jamii.

    Mchanganuo na bajeti unapaswa kuwasilishwa mwezi Novemba.

    Vijiji kupitia mipango yao ya O na OD watume maombi wilayani kupitia DPLO

    Anuani Dr Eberhard Mbunda,- Afisa Kilimo na Maendeleo ya Mifugo wa Wilaya

    Idara ya kilimo na Mifugo, S.L.P 1 Monduli, Tanzania

    Simu: 0784 35 80 50 [email protected]

    mailto:[email protected]

  • Mipango, miradi na huduma wilayani Monduli Ukurasa wa 10

    ELIMU

    PROGRAMU YA MAENDELEO YA ELIMU YA MSINGI

    Maelezo ya Programu/ mpango

    Fungu limetengwa kwa ajili ya sekta ya elimu wilayani Monduli.

    Programu inahusisha ununuzi wavitabu (40%), ujenzi wa miundo mbinu na

    ukarabati (20%), ununuzi wa vifaa kama karatasi, madaftali,penseli n.k (20%), kusaidia gharama za mitihani (10%) na gharama za utawala (10%)

    Sifa zinazostahili za programu

    Fedha zimetengwa kwa ajili ya wilaya ya Monduli.

    Fedha zimeelekezwa kwa kila shule kulingana na idadi ya wanafunzi na kiwango

    cha uhitaji Msaada katidi usimamizi/ uendeshaji wa mradi

    Fedha zinazokadiriwa kuwa shilingi za milioni 133 zitafadhiliwa na Serikali Kuu

    Utaratibu wa Uombaji

    Fungu litagawiwa shuleni na Afisa mtendaji wa Wilaya mara tu fedha zitakapopokelewa kutoka serikalini

    Anuani

    George Lowasai

    Afisa Usambazaji

    Idara ya Elimu

    S.L.P 1,

    Monduli, Tanzania

    Simu: 0754 745 668

  • Mipango, miradi na huduma wilayani Monduli Ukurasa wa 11

    ELIMU

    PROGRAMU YA MAENDELEO YA ELIMU YA SEKONDARI

    Maelezo ya Programu/ mpango

    Ufadhili upo kwa ajili ya sekta ya elimu wilaya ya Monduli

    Upangaji wa programu unahusu, ununuzi wavitabu (40%), ujenzi wa miundo mbinu na ukarabati (20%), ununuzi wa vifaa kama karatasi, madaftali, penseli n.k

    (20%), kusaidia gharama za mitihani (10%) na gharama za utawala (10%). Sifa zinazostahili za programu

    Fedha zipo kwa ajili ya wilaya ya Monduli

    Fedha zimeelekezwa kwa kila shule kulingana na idadi ya wanafunzi na kiwango

    cha uhitaji

    Msaada katidi usimamizi/ uendeshaji wa mradi

    Kiasi cha fedha kinachokadiriwa shilingi bilioni 1.9 kitafadhiliwa na serikali kuu

    Utaratibu wa Uombaji

    Fungu litagawiwa shuleni na na Afisa mtendaji wa Wilaya mara tu fedha

    zitakapopokelewa kutoka serikalini

    Anuani

    George Lowasa - Afisa ununuzi na ugavi

    Idara ya Elimu

    S.L.P 1 Monduli, Tanzania

    Simu 0754- 745668

  • Mipango, miradi na huduma wilayani Monduli Ukurasa wa 12

    BIASHARA

    MAFUNZO YA BIASHARA NDOGO NA ZAKATI

    Maelezo ya Programu/ mpango

    Mafunzo ya serikali juu ya sera ya biashara ndogondogo

    Mafunzo kuhusu usmamizi wa fedha na vyanzo vya pesa kwa biashara

    ndogondogo.

    Mafunzo kuhusu masoko na namna ya kuongeza ubora wa mazao

    Vyanzo vya masoko./utafutaji wa masoko

    Sifa zinazostahili za programu

    Kata 2 3 zitachaguliwa na Idara ya viwanda, biashara na masoko ili kupata mafunzo kila mwaka

    Maafisa watendaji kata na maafisa watendaji wa vijijikatika kata zilizochaguliwa watatafuta watu wanaofanya kazi katika sekta tofauti

    wahudhurie mafunzo ya biashara

    Msaada katidi usimamizi/ uendeshaji wa mradi

    Taratibu za marejesho ya mkopo zimeandaliwa na taasisi itakayotoa mkopo.

    Mafunzo yatatolewa na serikali kuu, LGCDG

    Udhamini wa pesa kwa biashara ndogo ndogo utatolewa na mabenki, Pride

    Africa, WEDAC,KIDO Utaratibu wa Uombaji

    Barua zitasambazwa kwenye vijiji kwa ajili ya kutoa taarifa za kuanza kwa mafunzo.

    Kanun I na sheria zitategemea taasisi itakayotoa mkopo

    Anuani

    Mr. Abdalah Magambo Afisa Biashara Idara ya Viwanda Biashara na Masoko S.L.P. 1 Monduli Namba ya ofsini: 2538084

    Simu: 0713 260 817 [email protected]

  • Mipango, miradi na huduma wilayani Monduli Ukurasa wa 13

    AFYA

    MFUKO WAAFYA

    Maelezo ya Programu/ mpango

    Uwezeshaji wa afya kwa ujumla wilaya ya Monduli

    Uwezeshaji wa pesa utasaidia miundombinu katika sekta ya afya, madawa,

    usambazaji wa madawa, mafunzo n.k

    Sifa zinazostahili za programu

    Fedha zimetengwa kwa ajili ya maendeleo ya sekta ya afya Msaada katidi usimamizi/ uendeshaji wa mradi

    Uwezeshwaji wa kifedha unakaribia shilingi bilioni moja

    Utaratibu wa Uombaji

    Mchanganuo wa maombi unaoshirikisha serikali na jamii

    Mchanganuo uwasilishwe na bajeti mwezi wa kumi na moja

    Anuani:

    Dr. Eleana Mhalu Msimamizi wa Afya ya uzazi na watoto wachangar Idara ya Afya S.L.P 1 Monduli, Tanzania

    Simu : 0784978710

  • Mipango, miradi na huduma wilayani Monduli Ukurasa wa 14

    AFYA

    TUME YA KUDHIBITI UKIMWI TANZANIA

    Maelezo ya Programu/ mpango

    Uwezeshwaji wa kifedha upo tayari kwa ajili ya vikundi vya watu wanaoishi na

    virusi vya ukimwi ili kutengeneza miradi ya kujiongezea kipato.

    Miradi inapaswa kuwa ya malengo mbalimbali kwa mfano: Ufugaji wa

    mbuzi/ngombe kama chanzo cha kipato kwa ajili ya kupata msaada wa madawa kupitia uuzaji wa mifugo na usambazaji bnafsi wa maziwa.

    Mradi unapaswa kueleza namna utakavyoweza kuzuia kuenea kwa ugonjwa wa ukimwi.

    Mpango unaweza kuhusisha o Mafunzo o Motisha kupitia filamu o Kusaidia vikundi vya michezo ya kuigiza o Kusaidia kwa kuwapa mali/ vitu, watoto walio katika mazingira magumu au

    waliotengwa

    Sifa zinazostahili za programu

    Pesa zimetengw kwa ajili ya watu wenye virusi vya UKIMWI

    Waombaji wanatakiwa wawe katika vikundi vya watu 10 -15

    Msaada katidi usimamizi/ uendeshaji wa mradi

    Uwezeshwaji wa kifedha unaanzia shilingi milioni 15-30 kwa kikundi

    Utaratibu wa Uombaji Vikundi vinapaswa viwe vya watu wanaotambulika kuwa na virusi vya ukimwi.

    Mchanganuo wa mradi uwasilishwe na bajeti mwezi wa kumi na moja.

    Vijiji viwasilishe mipango wilayani

    Anuani:

    John P. Makundi-Msimamizi wa Udhitibi wa Ukimwi wa Wilaya (Kwa masuala ya kiafya)

    Idara ya Afya

    S.L.P 1 Monduli- Tanzania

    Namba ya simu ya kiganjani-0754-568817

    Twalib Mbasha Afisa MAENDELEO ya jamii wa Wilaya (Kwa masuala ya kijamii) Ofisi ya Maendeleo ya jamii

    S.L.P 1 Monduli

    0784714453 Muhimu: Ndg. Makundi anaratibu masuala ya kiafya kuhusu udhibiti wa Ukimwi kupitia Hospitali ya

    Wilaya na Twalib Mbasha anahusika na masuala ya jamii kuhusu udhibiti wa ukimwi kupitia jamii. Pia

    anawajibika kutengeneza vikundi na kuendeleza ujasiriamali na maendeleo ya kiuchumi ya vikundi.

  • Mipango, miradi na huduma wilayani Monduli Ukurasa wa 15

    MAENDELEO JAMII

    MFUKO WA MAENDELEO YA JAMII

    Maelezo ya Programu/ mpango

    Uwezeshwaji wa kifedha upo kwa ajili ya miradi ya kijamii katika sekta mbalimbali.

    Miradi inaweza kuhusisha mambo mbalimbali lakini haifungwi katika mambo yanayohusu ujenzi wa miundo mbinu katika sekta ya elimu, miradi ya uongezaji kipato katika sekta ya kilimo na mifugo, ufugaji wa nyuki, ufugaji wa mbuzi n.k.

    Sifa zinazostahili za programu

    Fedha zipo kwa vikundi 10 au zaidi

    Kikundi kinapaswa kitambuliwe na kijiji kama ni cha watu walio katika mazingira magumu au waliotengwa na huduma za kijamii (mfano wanawake, wazee,

    wasiojiweza n.k.) Msaada katidi usimamizi/ uendeshaji wa mradi

    Mkopo hadi kiasi cha shilingi 500,000/= utasimamiwa kupitia mkutano wa baraza la kijiji

    Mafunzo ya ina mbili yatatolewa: mafunzo kwa kamati ya usimamizi wa mradi na mafunzo ya ujasiliamali kwa kikundi.

    Hivi sasa kuna mpango mpya ujulikanao kama Accelerated Food SecurityP rogram (AFSP) unaoendelea

    Utaratibu wa Uombaji

    Mchanganuo wa mradi na bajeti inapaswa katika kipindi kitakachotajwa

    Mchanganuo wa mradi unapaswa kuelezea viwango vya wizara vinavyohusiana na mradi.

    Kumbukumbu za mkutano wa kijiji uliokichagua kikundi unapaswa kuambatanishwa

    Anuani:

    Godfrey G. Luguma- Mtakwimu na msimamizi wa mfuko wa Hifadhi ya Maendeleo Idara ya Mipango ya Maendeleo

    S. L. P 1 Monduli, Tanzania

    Namba ya simu ya kiganjani- 0756-045323

  • Mipango, miradi na huduma wilayani Monduli Ukurasa wa 16

    MAENDELEO YA JAMII

    MAENDELEO YA JAMII NA KUSAIDIA KUHIMIZA USTAWI WA JAMII

    Maelezo ya Programu/ mpango

    Ushiriki wa jamii katika shughuli za maendeleo

    Ukusanyaji wa taarifa na kupanga mipango kuanzia ngazi za chini

    Shughuli za kuongeza kipato kwa wanawake na vijana

    Kuboresha huduma na kupunguza mambukizi ya Ukimwi

    Upatikanaji wa huduma za Ustawi wa jamii kwa vikundi vinavyoishi katika

    mazingira magumu Sifa zinazostahili za programu

    Fedha zimepangwa kusaidia yatima, wanaoishi na virusi vya ukimwi na wajane

    Msaada maalumu kwa vikundi vya watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi pamoja

    na vikundi vya wajane Msaada katidi usimamizi/ uendeshaji wa mradi

    Uwezeshaji kifedha unaanzia shilingi za Tanzania milioni 10 30

    Utaratibu wa Uombaji

    Mchanganuo wa mradi kwa ushirikiano baina ya serikali na jamii

    Mchanganuo wa mradi uwasilishwe na bajeti mwezi wa kumi na moja

    Anuani:

    Twalib Mbasha Afisa MAENDELEO ya jamii wa Wilaya

    Ofisi ya Maendeleo ya jamii

    S.L.P 1 Monduli

    0784714453

  • Mipango, miradi na huduma wilayani Monduli Ukurasa wa 17

    MAJI

    MRADI WA USAMBAZAJI WA MAJI SAFE NA MAJITAKA VIJIJINI

    Maelezo ya Programu/ mpango

    Mpango wa usambazaji maji safi na maji taka vijijini ni moja kati ya vitu vine

    vilivyomo kwenye mpango wa maendeleo wasekta ya maji ( vingine ni: usambazaji wa maji safi na maji taka mjini, usimamizi wa maliasili maji na kujenga uwezo

    Mpango utaendeshwa mwaka 2006 -2025 ukianzia na vijiji 10 wilayani Monduli.

    Ufadhili mkubwa wa ujenzi wa njia za mabomba ya maji

    Mafunzo ya elimu juu ya Afya na mazingira yakihusisha elimu ya maji safi kwenye masoko, vilabu na shule.

    Ujenzi wa vyoo vya mfano vitakavyotumiwa kama aina ya vyoo vinavyopaswa kujengwa.

    Utunzanji wa mazingira kwa upandaji miti

    Ujenzi wa mabwawa na mabomba

    Sifa zinazostahili za programu

    Fedha zimetengwa kwa vijiji 10 katika Wilaya ya Monduli kulingana na uhitaji

    mkubwa

    O na OD imemaliza kutathmini mahitaji ya vijiji

    Vijiji visivyo na fursa nyingine ya kupata ,ufadhili, vitapewa kipaumbele

    Msaada katidi usimamizi/ uendeshaji wa mradi

    Bajeti iliyoandaliwa hivi karibuni (2010)

    Mafunzo yaliyomo kwenye gharama za mradi

    Utaratibu wa Uombaji

    Mchanganuo wa mradi kwa ushirikiano baina ya serikali na jamii

    Mchanganuo wa mradi uwasilishwe na bajeti mwezi wa kumi na moja

    Anuani:

    Joseph. E Makaidi.- Mhandisi wa Maji wa Wilaya

    Idara ya Maji

    S. L. P 1 Monduli, Tanzania

    Simu: 0754 388650

    [email protected]

  • Mipango, miradi na huduma wilayani Monduli Ukurasa wa 18

    KAZI

    PROGRAMU YA USAFIRISHAJI YA SERIKALI ZA MITAA

    Maelezo ya Programu/ mpango

    Fedha zipo kwa ajili ya ukarabati na uboreshaji wa barabara.

    Sifa zinazostahili za programu

    Fedha zipo kwa ajili ya wilaya ya Monduli

    Msaada katidi usimamizi/ uendeshaji wa mradi

    Kiasi cha fedha kinachokadiriwa shilingi milioni 32 kimetengwa na serikali kuu

    Utaratibu wa Uombaji

    Mchanganuo wa mradi kwa ushirikiano baina ya serikali na jamii

    Mchanganuo wa mradi uwasilishwe na bajeti mwezi wa kumi na moja

    Anuani:

    Peter Shenyahonge- Mhandisi wa idara ya Kazi

    Idra ya Kazi

    S. L. P 1 Monduli, Tanzania

    Simu: 0784-459092

  • Mipango, miradi na huduma wilayani Monduli Ukurasa wa 19

    KAZI

    FEDHA ZA KULIPIA MATUMIZI YA BARABARA

    Maelezo ya Programu/ mpango

    Fedha zimetengwa kwa ajili ya sekta ya ujenzi ya wilaya ya Monduli

    Mkazo umewekwa kwenye ujenzi wa barabara kati ya vijiji ili kurahisisha masuala ya usafiri

    Sifa zinazostahili za programu

    Fedha zimetengwa kwa ajili ya wilaya ya Monduli Msaada katidi usimamizi/ uendeshaji wa mradi

    Fedha zinazokadiliwa shilingi milioni 275 zitatolewa na serikali kuu

    Utaratibu wa Uombaji

    Mchanganuo shirikishi kati ya serikali na Jamii

    Mchanganuo wa mradi uwasilishwe na bajeti mwezi Novemba

    Anuani:

    Peter Shenyahonge-Idara ya Kazi na Uhandisi wa Barabara

    Idara ya Kazi

    S.L.P 1 Monduli,Tanzania

    Simu : 255784 459 092

  • Mipango, miradi na huduma wilayani Monduli Ukurasa wa 20

    MIPANGO YA TAASISI ZISIZO ZA SERIKALI

  • Mipango, miradi na huduma wilayani Monduli Ukurasa wa 21

    ELIMU

    MAENDELEO YA WATOTO

    Monduli Pastoralist Development Initiative (MPDI) Maelezo ya Prgramu/ mpango

    Msisitizo umewekwa katika kukuza uwezo wa jamii utunzaji wa watoto na maendeleo yao

    Kutumia rasilimali za ndani kuendesha makongamano na mafunzo kwa ajili ya kuinua maendeleo na elimu juu ya watoto na jinsi ya kuendesha ECD kwa kasi

    Mpango wa chanjo wa kila mwezi utakaoratibiwa na vituo vya ECD

    Kuwepo na kituo cha Rasilimali katika kila makao makuu

    Sifa zinazostahili za programu

    Jamii za kimasai katika Kata ya Sepeko

    Msaada katidi usimamizi/ uendeshaji wa mradi

    Miundombinu za asili na malighafi zinazopatikana ndani ya Jamii

    Rasilimali ya mafunzo na ujuzi zitatolewa na MPDI

    Utaratibu wa Uombaji

    Wasiliana na makao makuu

    Anuani

    Mikakati ya maendeleo ya wafugaji wa Monduli(MPDI)

    Msimamizi,Mr/Ndugu Sanare 253855

    Afisa wa Mpango/Programu;Mr/Ndugu Nkinde 0784 317609

    S.L.P 176 Monduli,Tanzania Email: [email protected], [email protected], [email protected]

    mailto:[email protected]

  • Mipango, miradi na huduma wilayani Monduli Ukurasa wa 22

    ELIMU

    MIPANGO WA UTOAJI WA CHAKULA SHULENI

    Komolonik Integrated Development Organization (KIDO)

    Maelezo ya Prgramu/ mpango

    Mkazo umewekwa katika kukabiliana na upungufu wa chakula katika shule za Awali na za msingi ambapo sukari, mchele, maharage, mahindi, chumvi, maziwa na mafuta ya kupikia vitatolewa

    Sifa zinazostahili za programu

    Usaidizi utatolewa kwa kuzingatia tathmini ya mahitaji iliyofanywa na KIDO

    Msaada katidi usimamizi/ uendeshaji wa mradi

    Usaidizi wa chakula umepangwa na KIDO na mradi unafadhiliwa na Marekani

    Utaratibu wa Uombaji

    Wale wote watakaopenda kujumuishwa kwenye tathmini itakayofuata ya mahitaji wawasiliane na mkurugenzi mtendaji

    Flora Bashumika-Mkurugenzi Mtendaji

    Idara/Taasisi

    S.L.P 30,Monduli,Tanzania

    Simu/Nukushi:+255(27) 2538403

    Simu ya Kiganyani:+255 754 566990 [email protected]

  • Mipango, miradi na huduma wilayani Monduli Ukurasa wa 23

    ELIMU

    MPANO WA CHAKULA WA UMOJA WA MATAIFA

    Chakula Cha UN Mashuleni.

    Maelezo ya Prgramu/ mpango

    Mpango unajaribu kuzisambazia chakula shule za msingi za serkali zilizopo katika mikoa maalum

    Usambazaji wa chakula unafanywa na Umoja wa Mataifa kila baada ya miezi mitatu

    Sifa zinazostahili za programu

    Shule za msingi za mikoa ya Arusha,Dodoma na Manyara Msaada katidi usimamizi/ uendeshaji wa mradi

    Chakula kitasambazwa na umoja wa Mataifa Gharama za ziada zingine kama chumvi, mafuta ya kupikia na ulinzi

    wa chakula zinaweza kuombwa toka UN pia. Utaratibu wa Uombaji

    Wasiliana na idara ya Elimu

    Anuani

    George Lowassa-Supply and Logistic Officer

    Idara ya Elimu

    S.L.P 1 Monduli,Tanzania

    Simu: 0754 745668

  • Mipango, miradi na huduma wilayani Monduli Ukurasa wa 24

    AFYA

    WATU WANAOISHI NA VIRUS VYA UKIMWI

    Kanisa Kiinjili Kilutheri Tanzania Monduli (KKKT)

    Maelezo ya Prgramu/ mpango

    Kufanyakazi kwa ushirikiano na Hospital ya Monduli katika kutoa huduma za afya kwa wenye virus vya ukimwi (HIV/AIDS)

    Huduma za afya zinazotolewa ni pamoja na huduma za nyumbani, usafiri na kushawishi mahitaji ya huduma ya matibabu (kutoa elimu ya ukimwi kwa waathirika

    Elimu ya ufahamu juu ya virusi vya Ukimwi na Ukimwi (HIV/AIDS).

    Huduma ya usafiri kwenda na kutoka hospitali au kanisa kwa watu waliothoofika kiafya

    Sifa zinazostahili za programu

    Watu wenye virusi vya Ukimwi na Ukimwi Msaada katidi usimamizi/ uendeshaji wa mradi

    Msaada utazingatia mahitaji ya taasisi kulingana na uwezo wa kifedha

    Utaratibu wa Uombaji

    Wasiliana na msimamizi wa kujitolea

    Anuani

    Mr, Seti-Msimamizi wa kujitolea

    KKKT MONDULI

    Simu +255755 560 109

  • Mipango, miradi na huduma wilayani Monduli Ukurasa wa 25

    WANAWAKE

    TAASISI YA MAENDELEO YA WANAWAKE WAKIMASAI

    Maasai Women Development Organization (MWEDO) Maelezo ya Prgramu/ mpango

    Utoaji wa gharama za msingi za sekondari na vyuo kwa wasichana wa Kimasai.

    Kusaidia wanawake watu wazima katika kupata uelewa wa msingi kupitia mpango wa elimu ya watu wazima.

    Kuwaelimisha wazazi wa Kimaasai juu ya wajibu wao katika kuunga mkono na kuwalea watoto wa kike katika muda wao wa kupata elimu.

    Kuhakikisha kuwa kunakuwa na maendeleo endelevu ya elimu kwa kuanzisha Shule za Wanawake wa Kimaasai zinaanzishwa

    Sifa zinazostahili za programu Girls Access to Education Project:

    Kulenga umasikini wa rasilimali, watoto wa kike waliokosa elimu na wanawake

    Ufaulu wa wanafunzi wa kike katika shule za serikali

    Wasichana waliofaulu katika shule binafsi na ufaulu wa mitihani ya elimu ya watu

    wazima Adult Literacy Program:

    Uwezo wa kujifunza na kutumia maarifa wanayopata katika kuboresha kaya wanazotoka

    Uwezo wa kushirikisha wengine katika manufaa yanayotokana na elimu wanayoipata

    Msisitizo unawekwa wanawake wanachama wa vikundi vya MWEDO Msaada katidi usimamizi/ uendeshaji wa mradi

    Usaidizi wa ulipaji wa gharama za ada, matibabu, dharura, usafiri na shajala.

    Watu wazima waliopata mafunzo kutoa mafunzo kutoa mafunzo kwa watu

    wazima katika ngazi ya vijijini

    Utaratibu wa Uombaji

    Kupeleka maombi kupitia Kamati za Wilaya za Uchambuzi za za Mwedo (MWEDOs District Selection Committee)

    Mkataba uliosainiwa kati ya MWEDO na Vikundi vinavyoshughulika na usaidizi wa wasichana wa kimasai

    Anuani: Paul Wilson Programs Manager MWEDO

    S.L.P. 15240, Arusha, Simu: +255 27 254 4290

    Web: www.maasaiwomentanzania.org

  • Mipango, miradi na huduma wilayani Monduli Ukurasa wa 26

    WANAWAKE

    TAASISI YA MAENDELEO YA WANAWAKE WAKIMASAI

    Maasai Women Development Organization (MWEDO) Maelezo ya Prgramu/ mpango

    Kujenga uelewa wa program na mapambano dhidi ya HIV/AIDS

    Kutoa elimu kwa jamii ya kuzuia maambukizi na namna ya kuwatunza wogonjwa majumbani

    Kuwatambua washirika na wadau wengine katika mipango ya afya.

    Kuwaelimisha wakunga wa jadi na kuwaunganisha na vituo vya afya kwa ajili ya

    huduma za rufaa

    Kuweka mipango ya motisha kwa TBAs kwa kuwahudumia wajawazito

    wanaotarajia kujifungua

    Kuwawezesha wakunga kutembelea vijiji kila mara ili kuwajengea uwezo

    wakunga wa jadi ili kuboresha huduma wanazotoa

    Kuvisaidi vituo vya kupima maambukizi ya ukimwi na utoaji wa ushauri nasaa ili

    vitoe huduma kwa walengwa Sifa zinazostahili za programu

    Kutegemea na umasikini wa rasilimali, wasichana wa kimaasai waliokosa elimu kwa muda mrefu, wanawake, vijana na wanaume

    Uwezo wa kujifunza na kutumia ujuzi unaopatikana katika kuboresha maisha ya familia.

    Uwezo wa kuwashirikisha wengine katika ujuzi unaopatikana hasa wanawake

    wengine wa kimaasai

    Wajumbe wa vikundi vilivyopo chini ya MWEDO katika wilaya za Monduli,

    Longido, Simanjiro na Kiteto vitapewa kipaumbele zaidi

    Msaada katidi usimamizi/ uendeshaji wa mradi

    Msaada utatolewa kupitia kwa vikundi vilivyopata mafunzo utoaji wa elimu ya

    afya (peer health educators), watoaji wa matunzo majumbani (home based care givers), wanajamii wanaojitolea katika shughuli za afya na wanaojitolea katika shughuli jingine za kijamii

    Utaratibu wa Uombaji

    Wasiliana na Makao Makuu

    Contact Paul Wilson Programs Manager MWEDO

    S.L.P. 15240, Arusha

    Simu: +255 27 254 4290

    Web: www.maasaiwomentanzania.org

  • Mipango, miradi na huduma wilayani Monduli Ukurasa wa 27

    WANAWAKE

    UWEZESHAJI KIUCHUMI

    Maasai Women Development Organization (MWEDO) Maelezo ya Programu/ mpango

    Kuelimisha wanawake juu ya uanzishaji wa miradi yenye faida na namna ya kusimamia miradi hiyo.

    Kuwaelimisha na kuwaongoza wanawake juu ya uanzishaji wa vikundi vya uchumi vyenye ufanisi

    Kusaidia vikundi kutengeneza mkakati wa masoko wenye kuzingatia ulinganifu na kupitia vituo vya biashara

    Kuelimisha zaidi vikundi vya wanawake juu ya namna ya kubuni na uzalishaji wa bidhaa ambazo zinaweza kupata soko

    Kujenga mfumo mzuri wa ufuatiliaji kwa kushirikiana na vikundi vya wanawake ambavyo vinazalisha kwa ajili ya kuuza katika vituo vya masoko

    Kujenga mnyororo wa manufaa ya uzalishaji katika miradi ya mbuzi na kuku wa kienyeji na kuwajengea uwezo wa kuendeleza mnyororo huo wa manufaa kutokana na miradi hiyo

    Kujaribu kuangalia uwezekano wa kuwaunganisha na kusaidia katika kujenga na kutekeleza mnyororo wa faida katika miradi ta mbuzi na kuku wa kienyeji

    Kujenga mkakati madhubuti wa masoko kwa ajili ya miradi ya mbuzi na kuku wa kienyeji

    Sifa zinazostahili za programu

    Itazingatia zaidi umasikini wa rasilimali, na maendeleo duni ya wanawake wa Kimaasai

    Uwezo wa kujifunza na kutumia maarifa anayopata kwa ajili ya kuboresha maisha ya kaya

    Itaangalia zaidi wanawake ambao ni wanachama wa vikundi vya MWEDO katika eneo la mradi: Monduli, Longido, Simanjiro na Kiteto

    Msaada katidi usimamizi/ uendeshaji wa mradi

    Msaada wa kuanzisha/kuendeleza shughuli yenye faida ambao ni kati ya Shilingi za kitanzania 1,500,000 na 3,500,000.

    Msaada huu unapatikana kupitia kituo rasmi cha kibiashara cha wanawake wa kimaasai (Established Maasai Women Fair Trade Centre)

    Utaratibu wa Uombaji Kuwasiliana na makao makuu ya mradi

    Kuwasilisha maombi kupitia MWEDOs District Selection Committees

    Uwepo wa mkataba uliosainiwa kati ya MWEDO na kikundi kinachoshughulika na maendeleo ya wasichana wa kimaasai

    Contact Paul Wilson - Programs Manager MWEDO

    S.L.P. 15240, Arusha

    Simu: +255 27 254 4290

    Web: www.maasaiwomentanzania.org

    http://www.maasaiwomentanzania.org/

  • Mipango, miradi na huduma wilayani Monduli Ukurasa wa 28

    WANAWAKE

    HAKI ZA BINADAMU NA JINSIA

    Maasai Women Development Organization (MWEDO) Maelezo ya Prgramu/ mpango

    Kuendesha Mafunzo juu ya haki za binadamu.

    Kushawishi mamlaka za serikali ili ziihusishe katika kusaidia wanawake kumiliki

    ardhi na umiliki wa mali nyingine.

    Kutafuta na kuongea na Mashirika ya haki za binadamu kuwasaidia wanawake

    wa Kimasai. Kuwajengea uwezo wanawake wakifugaji kueleza matatizo yao Kijamii na Kitaifa.

    Sifa zinazostahili za programu

    Imejikita katika umaskini wa rasmali,Focus on resource poor, underserved Maasai girls and women

    Walengwa ni wanawake wanachama wa vikundi vya MWEDO,katika maeneo ya mradi.(Longido,Monduli,Simanjiro na Kiteto).

    Msaada katidi usimamizi/ uendeshaji wa mradi

    Kupitia Uhamasishaji Wa kijamii,mafunzo na ushaishi.

    Ruzuku ya shillingza kitanzania!,500.000 zinaweza kutolewa kwa ajili ya kusaidia

    upimaji wa ardhi Utaratibu wa Uombaji

    Kijiji kitapitisha barua ya kikundi na kuituma makao makuu ya MWEDO Contact

    Paul Wilson Programs Manager MWEDO

    S.L.P. 15240, Arusha

    Simu: +255 27 254 4290

    Web: www.maasaiwomentanzania.org

  • Mipango, miradi na huduma wilayani Monduli Ukurasa wa 29

    WANAWAKE

    UTOAJI NA UREJESHAJI WA MIKOPO KWA WANAWAKE

    Women Empowerment and Development Agency (WEDAC) Maelezo ya Prgramu/ mpango

    Kutoa huduma ya kifedha kwa wanawake vijijini kupitia mikopo midogomidogo

    Kukuza na kusaidia wanawake vijijini katika kuanzisha na kutekeleza miradi ya uzalishaji na endelevu

    Kusaidia biashara za kilimo zinazoendeshwa na wanawake kwa kutoa msaada wa kiufundi na usaidizi

    Operating in Monduli, Longido, Mbulu, Hanang and Babati Districts

    Sifa zinazostahili za programu

    Rasilimali fedha zipo kwa vikudi vya wanawake walio watano watano au zaidi.

    Mikopo ya mtu mmoja mmoja unapatikana pia kwa udhamini wa mwajiri

    Msaada katidi usimamizi/ uendeshaji wa mradi

    Mkopo wa kuanzia ni shilling 500,000 unaotakiwa kurejeshwa ndani ya miezi sita

    Mkopo utakaofuatia unaweza kuongezeka hadi kufikia shilingi milioni 3 (3,000,000/=)

    Utaratibu wa Uombaji

    Wasiliana na Makao Makuu

    Kuwasilisha majibu ya hojaji Makao Makuu

    Kuwepo kwa mkataba mkataba uliosainiwa na Afisa wa kijiji (Mdhamini), kikundi (anachotoka mkopaji-collateral), and individual group members

    Anuani Raphael Ami Coordinator

    Women Empowerment and Development Agency (WEDAC) S.L.P 156 Monduli, Tanzania Namba ya ofisini: 253 8074

    Simu: 0784 635824 Email: [email protected] Website: www.wedac.org

    mailto:[email protected]://www.wedac.org/

  • Mipango, miradi na huduma wilayani Monduli Ukurasa wa 30

    WANAWAKE

    MPANGO WA MIKOPO YA ADA YA SHULE

    Women Empowerment and Development Agency (WEDAC) Maelezo ya Prgramu/ mpango

    Mpango utaanza Januari, 2010 Mkopo kamili wa ada ya shule utalipwa moja kwa moja kwa taasisi ya elimu inayohusika mwanzo wa muhula

    Sifa zinazostahili za programu

    Wanawake na watoto walio ndani ya eneo linalohudumiwa na WEDAC (wilaya na vijiji)

    Msaada katidi usimamizi/ uendeshaji wa mradi

    Mikopo kamili ya ada ya shule itatolewa na itatakiwa kulipwa katika kipindi cha miezi sita

    Utaratibu wa Uombaji

    Kuwasiliana moja kwa moja na Makao Makuu

    Anuani Raphael Ami Coordinator Women Empowerment and Development Agency (WEDAC)

    P.O. Box 156 Monduli, Tanzania Numba ya ofisini: 253 8074 Simu: 0784 635824 Email: [email protected] Website: www.wedac.org

  • Mipango, miradi na huduma wilayani Monduli Ukurasa wa 31

    WANAWAKE

    MPANGO WA MKOPO WA KUKU WA KIENYEJI

    Women Empowerment Development Agency (WEDAC)

    Maelezo ya Prgramu/ mpango

    Utaanza January, 2010

    Utaratibu wa mikopo kwa ajili ya kusimamia wazalishaji na wafugaji wa kuku wa kienyeji

    Wazalishaji wa kuku watapewa mkopo wa mienzi mitatu kwa ajili wa kuzalisha vifaranga na kuviuza kwa washirika wao wafugaji ambao kwa upande mwingine watapewa mkopo kwa ajili ya kununulia vifaranga ili kuwawezesha wazalishaji kulipa mkopo wao na kuendelea na mzunguko.

    Inashauriwa pia kujiingiza katika vyanzo vingine vya mapato.Mkopo unaweza kulipwa kwa kutumia njia nyingine yeyote ya biashara.

    Sifa zinazostahili za programu

    Wanachama wanawake wa WEDAC walio katika eneo la ufadhili la wilaya/Vijiji

    Msaada katidi usimamizi/ uendeshaji wa mradi

    Kiasi cha mkopo kitategemea na hali halisi na kitatakiwa kulipwa ndani ya kipindi cha miezi 3

    Utaratibu wa Uombaji

    Wasiliana na Makao makuu

    Anuani Raphael Ami Coordinator

    Women Empowerment and Development Agency (WEDAC) P.O. Box 156 Monduli, Tanzania Namba Ofisini: 253 8074

    Simu: 0784 635824 Email: [email protected] Website: www.wedac.org

  • Mipango, miradi na huduma wilayani Monduli Ukurasa wa 32

    VIJANA

    Y TIMU YA USHAURI YA JAMII (COCOTE)

    Community Counseling Team (COCOTE)

    Maelezo ya Prgramu/ mpango

    Maelekezo kuhusu masuala ya maisha kwa vijana,familia na jamii.

    Kipindi chakutoa taaarifa juu ya uelewa wa tabia mbalimbali kwa vijana utambuzi na utatuzi wa matatizo.

    COCOTE wanapenda kushirikiana na serikali katika vituo vya Ufundi

    Sifa zinazostahili za programu

    Wanaofanya kazi Arusha Monduli na Arumeru

    Msaada katidi usimamizi/ uendeshaji wa mradi

    Kuwezesha Warsha na semina

    Kuzuru na kutoa ushauri majumbani

    Utaratibu wa Uombaji

    Wasiliana na makao makuu kwa ajili ya kupanga namana ya kuandaa

    Ushauri,warsha na kuzuru majumbani.

    Contact Joscelyn P. Muna Director Community Counseling Team (COCOTE)

    P.O. Box 11105 Arusha, Tanzania Office Location: ACU Building Rm 210 Arusha Simu: 0754694937 Email: [email protected], [email protected]

  • Mipango, miradi na huduma wilayani Monduli Ukurasa wa 33

    MAREJEO

    Afya miundombinu, ugavi 13 utoaji wa chakula shuleni 22, 23 Barabara ujenzi mpya 19 ukarabati, uboreshaji 18 Elimu

    elimu ya watu wazima 25 elimu ya UKIMWI 26 maendeleo ya watoto 21

    mikopo ya ada ya shule 25,29,30 msaada wa elimu kwa wasichana wa maasai 25 msingi 10 sekondari 11 Kilimo/ Ufugaji

    Kuboresha uzalishaji wa mifugo, udhibiti wa magonjwa, elimu ya mazao 9 Kujenga uwezo, kusaidia umwagiliaji 9 udhibiti wa magonjwa, elimu ya mazao 9 mikopo midogo kwa ajili ya kuku 31 miradi ya kuongeza kipato 15

    msaada wa mifugo kwa wanawake 26

    Miradi ya jamii

    sekta mbalimbali 14, 15,16 vituo vya elimu ya maendeleo ya watoto, mafunzo 21

    Ujasiriamali kuongeza kipato kwa watu wanaoishi na

    virusi vya UKIMWI)14 mafunzo kwa biashara ndogo 11 mikopo midogo 29, 31 msaada kwa vikundi vya wanawake 27

    Misitu

    upandaji miti17 UKIMWI elimu 24, 26 huduma ya nyumbani, usafirishaji 24 huduma za VCT 26 kuongeza kipato 31 mafunzo kwa wakunga wa jadi 26 Mafunzo biashara ndogo, vyanzo vya masoko,

    usimamizi wa fedha 12 haki za binaadamu 28 kilimo 9 maji safi 17 ujasiriamali 27 utunzaji wa fedha, utekelezaji wa mradi,

    usimamizi 9 wakunga wa jadi 26 Magi

    mabomba, vyoo 17 ujenzi wa mabwawa 9 Wanawake

    elimu ya watu wazima 25 mikopo ya uzalishaji na utunzaji wa kuku 31

    miradi ya jamii 16 ujasiriamali wa vikundi 27 haki na sheria 28 mikopo midogo 29,31 mikopomya ada ya shule 15,29,30 msaada wa elimu 25,30

    Vijana semina /makongamano yanayohusu

    kuelimisha juu ya tabia, ushauri wa maisha 32