musoma vijijini · 2020. 4. 14. · 1 yaliyomo yaliyomo...

111
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA MBUNGE, JIMBO LA MUSOMA VIJIJINI UTEKELEZAJI WA ILANI YA UCHAGUZI YA CHAMA CHA MAPINDUZI (2015-2020) JULAI 7, 2019 (TAARIFA YA JANUARI 2016 - JUNI 2019)

Upload: others

Post on 20-Feb-2021

3 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

  • JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAOFISI YA MBUNGE, JIMBO LA MUSOMA VIJIJINI

    UTEKELEZAJI WA ILANI YA UCHAGUZI YA CHAMA CHA MAPINDUZI (2015-2020)

    JULAI 7, 2019

    (TAARIFA YA JANUARI 2016 - JUNI 2019)

  • 1

    YALIYOMO

    YALIYOMO .................................................................................. 1 1. UTANGULIZI ...................................................................... 5 2. UONGOZI NA MAWASILIANO JIMBONI ...................... 6 2.1 ZIARA ZA VIJIJINI ZA MBUNGE WA JIMBO ............... 6 2.2 WASAIDIZI WA MBUNGE WA JIMBO .......................... 7 2.3 MABARAZA YA WAZEE ................................................ 7 2.4 TOVUTI YA JIMBO .......................................................... 8 2.5 REDIO YA MTANDAONI (ONLINE RADIO) ................ 9 3. HUDUMA ZA JAMII ....................................................... 10 3.1 SEKTA YA ELIMU .......................................................... 10 3.1.1 UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA .................. 10 3.1.2 MICHANGO YA MBUNGE KWENYE UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA ........................................ 11 3.1.3 MICHANGO YA FEDHA ZA SERIKALI ..................... 13 3.1.4 MICHANGO YA MFUKO WA JIMBO ......................... 14 3.1.5 UJENZI WA SHULE SHIKIZI ........................................ 17 3.1.6 MICHANGO YA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI (NGOs) ...................................................... 18 3.1.6.1 PROJECT CONCERN INTERNATIONAL (PCI) .......... 18 3.1.6.2 EDUCATION QUALITY IMPROVEMENT PROGRAMME (EQUIP) ................................................. 19 3.1.6.3 EDUCATION PROGRAMME FOR RESULTS (EP4R) 20 3.1.6.4 BMZ ................................................................................. 21 3.1.7 UGAWAJI WA MADAWATI KWENYE SHULE

  •   

    2  

    ZA MSINGI ...................................................................... 23 3.1.8 UGAWAJI WA VITABU VYA SAYANSI NA KIINGEREZA .................................................................. 24 3.1.8.1 MGAO AWAMU YA KWANZA ................................... 24 3.1.8.2 MGAO AWAMU YA PILI .............................................. 25 3.1.8.3 MGAO AWAMU YA TATU .......................................... 26 3.1.8.4 MGAO AWAMU YA NNE ............................................. 27 3.2 SEKTA YA AFYA ........................................................... 28 3.2.1 VITUO VYA AFYA ........................................................ 29 3.2.2 KITUO CHA AFYA MURANGI .................................... 29 3.2.3 KITUO CHA AFYA MUGANGO .................................. 32 3.2.4 KITUO CHA AFYA NYAMBONO ................................ 32 3.2.5 ZAHANATI ZA SERIKALI ............................................. 33 3.2.6 ZAHANATI ZINAZOTOA HUDUMA ZA AFYA ........ 33 3.2.6.1 MICHANGO MINGINE YA MBUNGE WA JIMBO .... 35 3.2.7 ZAHANATI BINAFSI ..................................................... 36 3.2.8 ZAHANATI MPYA ZINAZOJENGWA NA WANAVIJIJI .................................................................... 37 3.2.9 UJENZI WA HOSPITALI YA WILAYA ....................... 38 3.2.10 MATIBABU KUTOKA KWA MADAKTARI BINGWA WA CHINA .................................................... 39 3.2.11 MAGARI YA KUBEBEA WAGONJWA (AMBULANCES) ............................................................ 41 3.2.12 MICHANGO YA MASHIRIKA YA UMMA ................. 44 4. HUDUMA ZA KIUCHUMI ............................................ 44 4.1 SEKTA YA KILIMO, UVUVI NA UFUGAJI ................ 44 4.1.1 KILIMO ............................................................................ 45 4.1.2 KILIMO CHA UMWAGILIAJI ...................................... 45  

  •   

    3  

    4.1.3 MRADI WA BONDE LA BUGWEMA .......................... 46 4.1.4 KILIMO CHA ALIZETI .................................................. 47 4.1.4.1 MITAMBO YA KUKAMUA MBEGU ZA ALIZETI .... 49 4.1.5 KILIMO CHA MIHOGO ................................................. 50 4.1.6 KILIMO CHA MTAMA .................................................. 51 4.1.7 UBORESHAJI WA ZANA ZA KILIMO ........................ 52 4.2 UVUVI ............................................................................. 53 4.3 UFUGAJI ......................................................................... 54 5. MIRADI YA MAJI, UMEME NA BARABARA ........... 54 5.1 MIRADI YA MAJI .......................................................... 54 5.1.1 MIRADI YA MAJI KWA MWAKA WA FEDHA 2018/2019 ........................................................... 54 5.1.2 MIRADI YA MAJI AMBAYO USANIFU UMEKAMILIKA ............................................................. 58 5.2 MRADI WA KUSAMBAZA UMEME VIJIJINI (REA) 58 5.3 MIRADI YA BARABARA ............................................. 60 5.3.1 UJENZI WA BARABARA YA LAMI (TANROADS) .. 60 5.3.2 MATENGENEZO YA BARABARA (TANROADS) ..... 60 5.3.3 BARABARA VIJIJINI (TARURA) ................................. 61 6. USAFIRI JIMBONI (MAGARI YA MBUNGE) ............ 62 7. UTUNZAJI WA MAZINGIRA ....................................... 63 8. MICHEZO NA UTAMADUNI ....................................... 64 8.1 KUDUMISHA NA KUKUZA UTAMADUNI ............... 64 8.2 MPIRA WA MIGUU ....................................................... 67 9. USHIRIKI KWENYE MASUALA YA KIJAMII ........... 69 10. KUSHIRIKIANA NA MADHEHEBU YA DINI............ 72 11. KUWAJENGEA VIJANA UWEZO NA UJUZI ............. 74 12. MICHANGO YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI

  •   

    4  

    ZA CHAMA .................................................................... 75 12.1 SEKRETARIETI YA WILAYA ..................................... 75 12.2 MICHANGO YA VIKAO VYA CHAMA NA JUMUIYA ZAKE ........................................................... 77 12.3 ZIARA ZA CHAMA NA JUMUIYA ZAKE ................. 78 12.4 CHAGUZI ZA CHAMA NA JUMUIYA ZAKE ............ 78 12.5. SHEREHE ZA CHAMA NA JUMUIYA ZAKE ............ 79 13. WAZALIWA WA VIJIJI VYA JIMBO LA MUSOMA VIJIJINI ....................................................... 81 14. KUJADILI NA KUTATHMINI MAENDELEO YA JIMBO ...................................................................... 83 15. HITIMISHO ................................................................... 85 16. SHUKRANI ................................................................... 86 17. KIAMBATANISHO NAMBA I .................................... 89  

  •   

    5  

    1. UTANGULIZI Jimbo la Musoma Vijijini lenye Jumla ya Kata 21, Vijiji 68, Vitongoji 374 na Wakazi takriban Laki Tatu (300,000) lina Vipaumbele Vikuu Vitano (5) ambavyo ni (i) Elimu, (ii) Afya, (iii) Kilimo (Uvuvi na Ufugaji), (iv) Mazingira, na (v) Michezo na Utamaduni. Haya yote yamo kwenye Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya Mwaka 2015 – 2020. Maji, Umeme, Barabara, Vyombo vya Usafirishaji na Mawasiliano ni nyenzo muhimu zinazotumika kufanikisha utekelezaji wa Miradi ya Vipaumbele hivyo vitano. Ukuaji na Uimarikaji wa Uchumi na Ustawi wa Wananchi wa Jimbo la Musoma Vijijini, ndilo lengo kuu la Vipaumbele hivyo vitano. Miradi ya Maendeleo ya Vipaumbele hivyo vitano na nyenzo zake inabuniwa na Wanavijiji kwa kushirikiana na Viongozi wao tokea ngazi ya Kijiji, Kata, Wilaya, Mkoa hadi Taifa. Miradi yote inayobuniwa na kutekelezwa inafuata utaratibu wa Serikali na Serikali huwa inaunga mkono Juhudi za Wanavijiji kwenye Vijiji vyote 68 vya Jimbo la Musoma Vijijini. Mbunge wa Jimbo, Profesa Sospeter Mwijarubi Muhongo anashirikiana kwa karibu sana na Wananchi na Viongozi wao wa ngazi mbalimbali kwenye Utekelezaji wa Miradi iliyopendekezwa na Wananchi wenyewe. Vilevile, Mbunge huyu wa Jimbo anashirikiana kwa karibu sana na Serikali na Viongozi wake wa ngazi zote kwenye Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo ya Jimbo la Musoma Vijijini. Taarifa hii inaeleza Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM (2015 - 2020) kwenye Jimbo la Musoma Vijijini kwa muda wa Miaka

  •   

    6  

    Mitatu na Nusu (Januari 2016 – Juni 2019). Vilevile, Taarifa hii inaonesha Michango mingi na mikubwa iliyotolewa na Mbunge wa Jimbo, Prof Sospeter Mwijarubi Muhongo kwenye Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM (2015 – 2020) ndani ya Jimbo la Musoma Vijijini. Kwa ujumla Ilani ya Uchaguzi ya CCM (2015 – 2020) inatekelezwa kwa Mafanikio Makubwa sana na hii inathibitisha jinsi ambavyo Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Uongozi wa Mheshimiwa Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli inavyowaletea Wananchi Maendeleo ya uhakika kwenye Jimbo la Musoma Vijijini.

    2. UONGOZI NA MAWASILIANO JIMBONI Uongozi bora daima unakuwa unayo mawasiliano mazuri ambayo ni muhimu sana kwa ajili ya Maendeleo Endelevu kwa Jamii husika. Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Mwijarubi Muhongo ameweka utaratibu mzuri wa kuwashirikisha Wananchi Vijijini kujitolea kuchangia Maendeleo yao kwa kushirikiana na Serikali yao kwa ngazi zote.

    2.1 ZIARA ZA VIJIJINI ZA MBUNGE WA JIMBO Ndani ya Miaka Mitatu na Nusu, Mbunge wa Jimbo, Prof Sospeter Mwijarubi Muhongo ametembelea Vijiji vyote 68 na Kata zote 21 zaidi ya mara tano na ziara zake zote ni za Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo ikiwa ni njia kuu ya Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM (2015 – 2020). Vilevile, Mbunge wa Jimbo, Prof Sospeter Mwijarubi Muhongo anatumia ziara hizi kupokea kero za Wananchi na kuzitatua na zingine kuzifikisha Serikalini.

  • 2.2 WHawa Vijiji MbunWananutendaMwijakazi kKompBando

    MbMuh

    2.3 MHaya yaliyoUham

    WASAIDIwanazuvyake vge wa Jnchi hukaji wa Warubi Mukama vilpyuta, (iio la muda

    unge wahongo (ku

    MABARAni Maba

    oundwa masishaji

    IZI WAunguka nvya kaziimbo bako hukoWasaidizuhongo ae (i) Pikii) Globa wa ma

    a Jimbo lulia) akiw

    wa

    AZA YAaraza yana Mbuwa Mae

    A MBUNndani yai, hivyo adala yako Vijijinzi hawaamewanukipiki nabal Positongezi.

    la Musomwatambua Jimbo

    A WAZEa Ushaurunge w

    endeleo k

     

    NGE WAa Vijiji v

    Wanancke Wasai kusikil

    a, Mbununulia Va Mafutationing S

    ma Vijijinulisha Wla Musom

    EE ri, Ushaa Jimbokatika V

    A JIMBOvyote 68chi hawaaidizi haliza keroge wa

    Vyombo na ya PikiSystem

    ni, Prof Wasaidizi

    ma Vijiji

    awishi, Uo ili kuijiji vyot

    O na kilaana haja

    awa ndioo zao. IJimbo, na Vifaaipiki ya (GPS),

    Sospeterwake kw

    ini

    Utamaduuboreshate 68 na

    a Msaidiza ya kumo wanawIli kurahProf So

    a vya kukila wik(iv) Sim

    r Mwijarwa Wana

    uni na Ma shughu

    Kata zo

      

    zi ana mfuata

    wafuata hisisha ospeter fanyia ki, (ii) mu na

    rubi anchi

    Maadili uli za ote 21.

  • MabarSerika

    Mbun

    2.4 TOIli kupVijijinJimboUlimwVijijin(WebmTovutSaragawww.

    raza hayali

    nge wa Jim(kushot

    OVUTI panua Wni, Prof kwa aj

    wengu mni. Katikmaster) ai hii ilizana, Kmusoma

    ya yanaf

    mbo la Mto) akizun

    YA JIMWigo wa

    Sospeterili ya ku

    mzima kuka kitenambaye zinduliwKata yavijijini.o

    fanya k

    Musoma Vingumza na

    MBO Mawasi

    r Mwijauwajulis

    uhusu kango hikini Msaid

    wa rasmi ya Nyaor.tz

     

    kazi zake

    Vijijini, Pra Wazee w

    iliano, Marubi Musha Wanzi za Mai yupo dizi mwtarehe 7

    ambono

    e bila k

    rof Sospetwa Maba

    Mbunge uhongo

    nanchi waendeleoMtenda

    wingine w7 Mei 2

    na

    kuingilia

    ter Mwijaaraza ya K

    wa Jimbamefung

    wa Jimboo ya Jimbaji Mkuwa Mbun2016 kat

    Anuani

    a Mihim

    arubi MuhKata 21

    bo la Mugua Tovoni, Nchbo la Mu

    uu wa Tnge wa Jtika Kiji yake

      

    mili ya

    hongo

    usoma vuti ya hini na usoma Tovuti Jimbo. iji cha e ni:

  • Wana

    2.5 REMawakuwaeza Ma(MVO

    nchi wa Tukio la

    EDIO Yasiliano yeleza Miraendeleo

    OVN)

    Mu

    Kijiji ch Uzinduz

    YA MTAya aina hradi inay

    o. Jina l

    uonekano

    ha Saragazi wa To

    ANDAONhii ya Reyotekelezake ni M

    o wa Mu

     

    ana, Katvuti ya J

    NI (ONLedio ya Kzwa JimbMusoma

    usoma Vij

    ta ya NyaJimbo la

    LINE RAKisasa huboni na s

    a Vijijini

    ijijini On

    ambono Musoma

    ADIO) uwafikiashughulii Online

    nline Red

    wakishu

    a Vijijini

    a Wanani nyingine Voice

    dio

      

    uhudia i

    nchi na ne zote

    News

  •   

    10  

    3 HUDUMA ZA JAMII Huduma bora za Jamii ni nyenzo muhimu katika kuondoa umasikini na kuharakisha Maendeleo ya Wananchi. Katika kipindi cha Miaka Mitatu na Nusu (Januari 2016 - Juni 2019), Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Mwijarubi Muhongo, chini ya Uongozi wa Chama Cha Mapinduzi, ameendeleza jitihada zake za kuhakikisha kwamba Wananchi wanashirikiana kwa hali na mali na Serikali yao katika Uboreshaji wa Huduma za Kijamii Vijijini mwao. 3.1 SEKTA YA ELIMU Jimbo la Musoma Vijijini lina Jumla ya Shule za Msingi 111 za Serikali (Government Primary Schools) na Shule 3 za Binafsi (Private Primary Schools). Pia Jimbo linazo Sekondari 18 za Serikali (Government Secondary Schools) na Shule 2 za Binafsi (Private Secondary Schools). Mbunge wa Jimbo, Profesa Sospeter Mwijarubi Muhongo kwa kushirikiana na Wananchi wote wamejiwekea MIPANGO ya kujenga na kuboresha Miundombinu ya Elimu kwenye Jimbo lao. Mipango hiyo inahusu: 3.1.1 UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA Kutokana na upungufu mkubwa wa Vyumba vya Madarasa unaopelekea mrundikano wa Wanafunzi Madarasani na wengine kusomea chini ya miti, Mbunge wa Jimbo anahamasisha Wananchi Vijijini kujitolea kujenga Vyumba Vipya vya Madarasa. Yeye mwenyewe anachangia fedha zake na vilevile Mfuko wa Jimbo (Fedha za Serikali) na Halmashauri ya Wilaya (Own Source) wanachangia ujenzi huu.

  • Mbun(wa ta

    MaKome,Mchele

    3.1.2 MVYUMMbunMICHkutum

    (i)

    (ii) H

    Kwa mashuSaruji Ofisi z21 na

    nge wa Jimatu kushotdarasa na Kata ya e akifuati

    MICHAMBA VYge wa

    HANGO mia njia m

    KugawMsingi

    KwendHarambeupande

    uleni, Mbkwa ajil

    za WalimVijiji vy

    mbo la Mto) akishia Ofisi 5 Bwasi. K

    iwa na MH

    ANGO YYA MADJimbo, YAKE

    mbili (2):wa Saruji

    na Sekoda kwenee wa Ugabunge wli ya Ujemu katikyote 68.

    Musoma Viriki kwenza Walim

    Kushoto nMwenyekitiHii ilikuw

    YA MBUDARASProf SoBINAF

    : na Mab

    ondari nye Shul

    awaji wawa Jimboenzi wa za Shule z

     

    Vijijini Pronye Shughmu katika i Diwani i wa Halma tarehe 2

    UNGE KSA ospeter SI kwen

    bati moja

    le za M

    a Vifaa o amegawzaidi ya Vza Msing

    of Sospethuli ya UjS/M Komwa Kata

    mashauri20/2/201

    KWENYE

    Mwijarunye Ujen

    a kwa m

    Msingi n

    vya Ujwa JumlVyumbagi na Sek

    ter Mwijajenzi wa

    me B iliyoya Nyegi

    i, Mhe Ch7

    E UJEN

    ubi Muhnzi wa M

    moja kwe

    na Seko

    jenzi mola ya Mia 196 vyakondari k

    arubi MuhVyumba 1

    oko Kijiji cina Mhe Mharles Ma

    NZI WA

    hongo aMadarasa

    enye Shu

    ondari k

    oja kwa fuko 5,8a Madarkwa Kat

      

    11 

    hongo 10 vya cha Majira agoma.

    ametoa a kwa

    ule za

    kupiga

    moja 884 ya asa na ta zote

  • MichaVijijinUkura

    UsMbu

    inao

    Shugh

    na Ue

    Musom

    yapata

    Madar

    ango ya ni imeaiasa wa 89

    sambazajunge wa nesha Vi

    huli ya U

    ezekaji

    ma Vijiji

    ayo 3,22

    rasa na O

    Mbungeinishwa 9 – 110.

    ji wa MifJimbo k

    Viongozi w

    Ujenzi wa

    wa Vyu

    ini, Prof

    20 ili ku

    Ofisi za W

    e wa Jimkwenye

    fuko 5,88kwenye Swa Kata

    a Vyumb

    umba vy

    f Sospete

    uezeka z

    Walimu k

     

    mbo kupie Kiamb

    84 ya SaShule za M

    ya KabeSaruji

    ba vya M

    ya Mada

    er Mwija

    aidi ya

    katika Sh

    itia HARbatanisho

    aruji iliyoMsingi negi wakik

    Madarasa

    arasa. M

    arubi Mu

    Maboma

    hule za M

    RAMBEEo Namb

    otolewa Jna Sekonkabidhiw

    a ilikwen

    Mbunge

    uhongo a

    a 59 ya

    Msingi n

    E anazoa I kili

    Jimboni dari. Pi

    wa Mifuk

    nda samb

    wa Jim

    ligawa M

    Vyumb

    na Sekon

      

    12 

    ozipiga ichopo

    na icha ko ya

    bamba

    mbo la

    Mabati

    ba vya

    ndari.

  • ShugShu

    kutokawa

    3.1.3 MMbali WadaumikubMsingfedha Halmana yenSerikaVijijinHalmaMkuru

    ghuli ya ule ya Ma kwenyeakiwa ka

    MICHAya mic

    u wenginbwa ya Fgi za Ser

    na hudashauri ynyewe inali za Msni. Orodashaauri ugenzi M

    UezekajMsingi Eta

    e Fedha atika hatu

    ANGO Ychango yne wa M

    Fedha kurikali 11duma nya Wilaynatoa fedsingi na dha ya M

    yetu inaMtendaji

    ji wa Vyuaro baadza Mfukua za mw

    YA FEDHya Wana

    Maendeleupitia Baj1 na Sek

    nyingine ya ya Mudha na huSekondaMatumiz

    apatikanawa Halm

     

    umba Vinda ya kup

    ko wa Jimwisho za

    HA ZA Sanchi Vo, Serikajeti zakekondari

    za Serusoma yeuduma nari zilizozi ya Fa kwenyemashauri

    nne (4) vpokea ju

    mbo. Pichukamilis

    SERIKAijijini, Mali inaen

    e za kila zote 18 rikali kienye Jimnyingine po ndani

    Fedha zae Ofisi zi.

    vya Madaumla ya Mha inaonshaji wa

    ALI Mbunge ndelea kuMwaka.za Serik

    ila mwambo la Mu

    kwenyei ya Jimba Serikaza Mkuu

    arasa kaMabati 1nesha Maa kazi hiy

    wa Jimutoa mic Shule zkali zinaaka. Viusoma V Shule zbo la Mu

    ali na zwa Wila

      

    13 

    atika 144 afundi yo.

    mbo na hango

    zote za apokea levile,

    Vijijini zote za usoma ile za aya na

  • M

    NGU

    3.1.4 MFedha

    matum

    yote y

    Jimbo

    Katika

    wa Jim

    kwa k

    walite

    kukara

    Majengo yushirika

    UVUKAZ

    MICHAa za Mfu

    mizi ya

    ya Uchag

    la Ucha

    a Awam

    mbo la M

    kushirikia

    enga kia

    abati Shu

    ya Shulea wa FedZI za Wan

    ANGO Yuko wa J

    miradi n

    guzi nchi

    aguzi.

    u ya Kw

    Musoma

    ana na K

    asi cha

    ule 2 za M

    ya Msindha za Senanchi kw

    N

    YA MFUJimbo n

    na shugh

    ini. Mwe

    wanza ya

    a Vijijin

    Kamati ya

    Shiling

    Msingi k

     

    ngi Kurukerikali, zkwenye KNyegina.

    UKO WAi fedha

    huli za

    enyekiti

    a Fedha

    i, Prof S

    a Mfuko

    gi 27,50

    kama ifu

    kerege yza MbungKijiji cha .

    A JIMBOzinazoto

    Maende

    wa Mfu

    za Mfuk

    Sospeter

    huo na W

    00,000/=

    uatavyo:

    yaliofadhge wa JimKuruker

    O olewa na

    eleo kwe

    uko huu n

    ko wa Ji

    r Mwijar

    Wananch

    za M

    hiliwa kwmbo, na rege, Ka

    a Serikal

    enye Ma

    ni Mbun

    imbo, M

    rubi Muh

    hi kwa p

    Mfuko hu

      

    14 

    wa

    ata ya

    li kwa

    ajimbo

    nge wa

    Mbunge

    hongo

    pamoja

    uo ili

  •   

    15  

    Ukarabati wa Vyumba 3 vya Madarasa ya Shule ya Msingi

    Nyetasho, Kijiji cha Nyambono, Kata ya Nyambono, Tsh

    20,000,000/=

    Ukarabati wa Vyumba 2 vya Madarasa na Ofisi Shule ya

    Msingi Mabui Merafuru, Kijiji cha Mabui Merafuru, Kata ya

    Musanja, Tsh 7,500,000/=

    Majengo ya Vyumba vya Madarasa katika Shule Mpya ya Sekondari

    ya Kata ya Busambara inayojengwa kwa Michango ya Fedha za Wananchi (+ NGUVUKAZI), Mbunge wa Jimbo, Mfuko wa Jimbo,

    Halmashauri na TAMISEMI (Wizara)

    MICHANGO yote hiyo ILIYOAINISHWA hapo juu imewezesha

    Jimbo la Musoma Vijijini kujenga Vyumba VIPYA 450 vya

    Madarasa; Vyumba 350 vikiwa kwenye Shule za Msingi na 100

    kwenye Shule za Sekondari. Haya ni MAFANIKIO makubwa ya

    kujivunia.

  • Orodhzinazo

    (i) (ii) (iii)(iv)(v) (vi)(vii(vii(ix)

    Vyu(DanJimb

    tar

    ha hapoojengwa

    Dan MBusam

    ) Nyasau) Kigera

    Nyegin) Ifulifu) Seka, Ki) Nyang

    ) Busam

    umba vyan Mapigabo Prof Srehe 22 A

    S

    o chinina zinaz

    Mapiganombara, Ka

    ungu, Kaa, Kata yna, Kata , Kata yaKata ya N

    g’oma, Kmba, Kata

    a Madaraano MemSospeter April, 20Sekondar

    i inaonzotarajiw

    o Memorata ya Buata ya Ifua Nyakaya Nyeg

    a IfulifuNyamran

    Kata ya Ma ya Etar

    asa ya Shmorial Se

    Mwijaru19. Mich

    ri ya Kata

     

    nesha Swa kujeng

    rial Seconusambarulifu

    atende gina

    ndirira Mugangoro

    hule ya Secondaryubi Muhhango yaa ya Bus

    Shule zgwa:-

    ndary Sca

    Sekondary School)ongo ali

    a ujenzi wsambara

    za Seko

    chool, Ka

    ri ya Kat) ambayoiweka Jiwwake ni khapo ju

    ondari

    ata ya Bu

    ta ya Bugo Mbungwe la Mskama ile u

      

    16 

    Mpya

    ugoji

    goji ge wa singi ya

  •   

    17  

    3.1.5 UJENZI WA SHULE SHIKIZI Kutokana na msongamano wa Wanafunzi kwenye Vyumba vya

    Madarasa ya Shule za Msingi, umbali mrefu wa Wanafunzi

    kutembea kwenda Vijiji vya jirani kupata Elimu ya Msingi, baadhi

    ya Vijiji vimeamua kujenga Shule zake za Msingi na wameanza kwa

    kujenga Shule Shikizi ambazo hapo baadae zitapanuliwa na kuwa

    Shule za Msingi kamili zenye Darasa la Awali hadi la Saba (Awali –

    VII).

    Wananchi Vijijini kwa kushirikiana na Serikali na Mbunge wa Jimbo

    wanajenga Shule Shikizi ambazo hadi sasa zinafikia 10 na nyingine

    zimekamilika zipo tayari kupokea Wanafunzi. Shule hizo ni:

    (i) Buraga Mwaloni, Kjiji cha Buraga, Kata ya Bukumi (ii) Mwikoko, Kijiji cha Chitare, Kata ya Makojo (iii) Gomora, Kijiji cha Musanja, Kata ya Musanja (iv) Egenge, Kijiji cha Busamba, Kata ya Etaro (v) Kihunda, Kijiji cha Kamguruki, Kata ya Nyakatende (vi) Binyago, Kijiji cha Kabegi, Kata ya Ifulifu (vii) Ziwa, Kijiji cha Mwiringo, Kata ya Busambara (viii) Rwanga, Kijiji cha Kasoma, Kata ya Nyamrandirira (ix) Karusenyi, Kijiji cha Mikuyu, Kata ya Nyamrandirira (x) Kaguru, Kijiji cha Bugwema, Kata ya Bugwema (xi) Buanga, Kijiji cha Buanga, Kata ya Rusoli

  •   

    18  

    3.1.6 MICHANGO YA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI (NGOs) Serikali inashirikiana na Mashirika yasiyokuwa ya Kiserikali

    ambayo yanapata fedha kutoka nchi za nje zinazoshirikiana na nchi

    yetu kwenye nyanja mbalimbali za Uchumi na Maendeleo.

    Mashirika hayo ni: PCI, EQUIP, EP4R na BMZ

    3.1.6.1 PROJECT CONCERN INTERNATIONAL (PCI) Hili ni Shirika la Kimataifa la Maendeleo ya Jamii (PCI, Project

    Concern International). Shirika hili linajishughulisha na utoaji wa

    Mafunzo ya Kilimo kwa Wananchi walio katika Vikundi ndani ya

    Jimbo la Musoma Vijijini ambao baadae huanzisha kilimo cha

    mazao ya chakula kama vile mahindi, viazi lishe, mpunga, mtama,

    mihogo na mazao ya biashara likiwemo zao jipya la Alizeti kwa

    kutumia mbegu walizopewa na Mbunge wao wa Jimbo. Shughuli

    nyingine zinazofanywa na PCI ni ujenzi wa Vyoo vya Wanafunzi,

    Matenki ya kuvuna maji ya Mvua na utoaji wa vitabu kwa Shule za

    Msingi Jimboni.

    Wananchi wa Jimbo la Musoma Vijijini wanaendelea kushirikiana

    na Shirika la PCI ambalo moja ya malengo yake makuu ni kutoa

    chakula mashuleni kupitia Vikundi vya Wakulima hali ambayo

    inaongeza hamasa kwa Wanafunzi kuhudhuria masomo na hatimae

  • kufany

    kubwa

    Kvilivyo

    3.1.6.2PROGEQUIPMpangkuchanMatunMatenShikizMusomna WMadarmchankweny

    ya utoro

    a ya kupa

    Kikundi coanzishw

    2 EDUCGRAMMP (The go unaohngia uje

    ndu ya Vnki ya kuzi zinazoma Vijij

    Wafadhili rasa. Vilnga na mye Kijiji

    shuleni

    ata Elim

    cha Nguvwa na Sh

    ya ma

    CATIONME (EQU

    Educathusika nenzi wa Vyoo vyauvunia mojengwaini, wan

    wa EQlevile, W

    maji (NGhusika.

    upungu

    mu.

    vukazi amirika la Pahindi ku

    N QUALUIP) tion Qu

    na uboreVyumb

    a Wanafmaji ya ma MusomnashirikiaQUIP k

    WananchiGUVUKA

     

    e sana n

    mbacho nPCI Kijijutoka sha

    ITY IM

    uality Imshaji waba vya funzi na mvua kwma Vijijana na Skufanikisi wanajitAZI) ili

    na Wanaf

    ni Miongjini Buanambani m

    MPROVE

    mprovema MiundoMadarasWalimu

    wa Shuleini. Wa

    Serikali ysha ujentolea kukupungu

    funzi ku

    goni mwanga kikiwmwao

    EMENT

    ment Prombinu ysa, Ofisiu pamojae za Msananchi yao kupinzi wa somba muza ghar

    wa na h

    a Vikundwa na ma

    T

    rogrammya Elimui za Waa na ujensingi na wa Jim

    itia MradVyumba

    mawe, korama za

      

    19 

    amasa

    di avuno

    me) ni u kwa alimu, nzi wa Shule

    mbo la di huu a vya okoto, ujenzi

  • WananpamojinazozMirad

    Jenglililoje

    3.1.6.3Educa

    Kuling

    Shule

    Tekno

    Wilay

    Vyum

    mkono

    nchi na ja, wanazifanya kdi mingin

    go la Shuengwa na

    3 EDUCation Pro

    gana na M

    za Sekon

    olojia. J

    ya ya Mu

    mba vya

    o jitihad

    Viongoaishukurkwa kuwne ya Elim

    ule Shikiza Mradi

    CATIONogramme

    Matokea

    ndari nch

    imbo la

    usoma p

    Madara

    da za S

    zi ndaniru sana waunga mmu Jimb

    zi Egengwa EQU

    K

    N PROGe For Re

    a unaolen

    hini kote

    a Musom

    pia limen

    asa kwa

    Serikali

     

    i ya JimSerikal

    mkono kboni mwa

    ge, Kijiji UIP kwa

    Kijiji hich

    GRAMMesults (E

    nga kubo

    e chini y

    ma Vijij

    nufaika n

    Shule z

    na kup

    mbo la Mli yetu kwenye ao.

    cha Busakushirik

    ho

    ME FOR EP4R) n

    oresha ki

    a Wizara

    ijini kup

    na Mpan

    za Seko

    punguza

    Musoma kwa jitMiradi

    amba, Kkiana na

    RESULni Mpang

    iwango c

    a ya Elim

    pitia Ha

    ngo huu

    ndari. K

    gharam

    Vijijinitihada kya EQU

    Kata ya EWananc

    LTS (EPgo wa K

    cha Elim

    mu, Saya

    almashau

    u kwa ku

    Katika k

    ma za u

      

    20 

    i, kwa kubwa

    UIP na

    Etaro chi wa

    4R) Kulipa

    mu kwa

    ansi na

    uri ya

    ujenga

    kuunga

    ujenzi,

  • Wanan

    (NGU

    JengoMr

    3.1.6.4Mradi

    and C

    Elimu

    Mradi

    Bugw

    Nyam

    Vifaa

    kubeb

    nchi wa

    UVUKAZ

    o la VyumMradi wa L

    4 BMZ i wa BM

    ooperati

    u kwa Wa

    i huu n

    ema, Bu

    mbono, Ny

    vinavyo

    ea vifaa

    anajitolea

    ZI).

    mba VitaLipa Ku

    Sekon

    MZ (The

    on) wa U

    anafunzi

    ndani ya

    ukima,

    yamuran

    otolewa n

    a vya Sh

    a kusom

    atu vya Mtokana ndari Mki

    Federal

    Ujeruma

    i wenye U

    a Jimbo

    Bukumi

    ndirira na

    na Mradi

    hule, fim

     

    mba maw

    Madarasana Matokirira, Ka

    l Ministr

    ani unahu

    Ulemavu

    la Mu

    i, Bwasi

    a Suguti.

    i huu ni

    mbo nye

    we, koko

    a vilivyojkeo (EP4ata ya Ny

    ry of Ec

    usika na

    u katika

    usoma V

    i, Kiriba

    .

    madafta

    eupe kwa

    oto, mch

    ojengwa k4R) katikyegina

    conomic

    ugawaji

    Kata 10

    Vijijini.

    a, Mako

    ari, kalam

    a wenye

    hanga na

    kwa Fed

    ka Shule y

    Develop

    i wa Vifa

    zilizo kw

    Kata hi

    ojo, Mu

    mu, mab

    e ulemav

      

    21 

    a maji

    dha za ya

    pment

    aa vya

    wenye

    izo ni

    urangi,

    egi ya

    vu wa

  • macho

    vifaa v

    BMZ

    ulema

    Miong

    GROU

    (Buku

    Mbun

    BMZ

    kuwaw

    wengi

    ulema

    Ma

    o, baiske

    vingine

    wanahu

    avu kwa

    goni mw

    UP (Ka

    umi), MT

    ge wa J

    kuhak

    wezesha

    ine wae

    avu Jimbo

    akabidhia

    eli za wa

    wezeshi

    usika pia

    a ajili y

    wa Viku

    ata ya

    TAZAMO

    Jimbo la

    kikisha

    ki-uchum

    endelee

    oni.

    ano ya V

    atu weny

    i vikiwem

    a na uu

    ya kuwa

    undi hiv

    Kiriba),

    O (Mura

    Musom

    Mradi

    mi watu

    kuwasai

    Vifaa vya

    Nya

     

    ye ulema

    mo vifaa

    undaji w

    afadhili k

    vyo ni:

    JIBID

    angi) na U

    ma Vijijin

    huu

    wenye u

    idia na

    Elimu k

    amrandir

    avu, miw

    a vya ku

    wa Vikun

    katika M

    ERUSU

    DISHE (

    UPENDO

    ni anaen

    unaende

    ulemavu

    kuwaw

    kutoka BM

    rira

    wani, mig

    usaidia u

    ndi vya

    Miradi y

    ULI SH

    (Suguti),

    O (Bugw

    ndelea ku

    elea ku

    u na kuw

    wezesha

    MZ kwen

    guu band

    usikivu m

    a watu w

    ya uzali

    HIVYAW

    , USHI

    wema)

    ushirikia

    uwasaidia

    aomba W

    watu w

    nye Kata

      

    22 

    dia na

    mzuri.

    wenye

    ishajii.

    WATA

    IRIKA

    ana na

    a na

    Wadau

    wenye

    a ya

  • 3.1.7 UMSINKwa

    Musom

    Madaw

    JKT M

    zote 1

    Jimbo

    MbM

    Wanaikiwa

    UGAWANGI

    kipindi

    ma Vijij

    wati 8,00

    Mwanza.

    11 za Jim

    alitatua

    bunge waMuhongoafunzi kani ishara

    AJI WA

    cha Mi

    ijini, Pro

    00 aliyoy

    . Madaw

    mbo la M

    tatizo ku

    a Jimbo lo (wa pil

    atika Shua ya Uzin

    A MADA

    aka Mit

    of Sosp

    yatengen

    wati hayo

    Musoma

    ubwa la

    la Musomli kushot

    ule ya Msnduzi wa

    Jim

     

    AWATI K

    tatu na

    peter Mw

    neza kwa

    o aliyaga

    Vijijini.

    uhaba w

    ma Vijijito) akipesingi Ruka zoezi lamboni hu

    KWENY

    Nusu, M

    wijarubi

    a kutumi

    awa kwe

    Kwa w

    wa madaw

    ini Prof Sana mkokuba iliya Ugawajmo

    YE SHU

    Mbunge

    Muhon

    ia Kikosi

    enye Shu

    akati huo

    wati mas

    Sospeterono na myopo Kisiaji wa Ma

    ULE ZA

    wa Jim

    ngo ame

    i cha SU

    ule za M

    o, Mbun

    huleni.

    r Mwijarmmoja wa

    iwani RuMadawati

      

    23 

    mbo la

    egawa

    UMA -

    Msingi

    nge wa

    ubi a ukuba 8,000

  •   

    24  

    3.1.8 UGAWAJI WA VITABU VYA SAYANSI NA KIINGEREZA Ili kuwajengea Wanafunzi uwezo wa kujisomea, kuchambua mambo

    mbalimbali na kujiamini katika elimu waipatayo, Mbunge wa Jimbo

    la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Mwijarubi Muhongo aligawa bure

    vitabu vya Sayansi na Kiingereza kutoka Marekani na Uingereza.

    Hadi sasa Jumla ya Kontena 5 zenye vitabu vyenye thamani ya Dola

    za Kimarekani Milioni 2.5 vimeletwa na kugawiwa bure kwenye

    Shule zote za Msingi na Sekondari Jimboni. Vilevile, Shule za

    Binafsi za Sekondari na Msingi zimeomba na kugawiwa bure vitabu

    vya Mbunge wa Jimbo.

    3.1.8.1 MGAO AWAMU YA KWANZA

    Vitabu viligawiwa katika Viwanja vya Shule ya Sekondari Mkirira

    tarehe 22/01/2016 ambapo Shule 10 za Msingi zilizofanya vibaya

    katika Mitihani ya kuhitimu Darasa la VII zilipewa upendeleo wa

    kugawiwa vitabu vingi zaidi. Aidha, kila Shule hiyo ilipata Box 10

    na kila box ilikuwa na vitabu kati ya 20 na 30. Shule za Sekondari 20

    zilipata Box 20 na kila box ilikuwa na vitabu kati ya 15 na 20.

  • MbunMu

    SekonShz

    3.1.8.2Zoezi

    awamu

    ya Ms

    Shule

    Shule

    nge wa Juhongo (ndari MkShule zotezilizopata

    2 MGAOla ugaw

    u hii lili

    singi Kw

    111 za

    20 za Se

    Jimbo la (wa pili kkirira akie za Sekoa matoke

    O AWAMwaji wa v

    ifanyika

    wibara, K

    Msingi

    ekondari

    Musomakushoto) ikabidhi ondari Jieo mabay

    MU YAvitabu kw

    tarehe 0

    Kijijini K

    zilikabid

    kila moj

     

    a Vijijiniakiwa kvitabu vyimboni nya ya Mi

    A PILI wa Shule

    07/05/20

    Kwibara,

    dhiwa B

    ja ilikab

    i, Profesakatika Viwvya Sayanna kwa Sitihani ya

    e zote za

    016 katik

    , Kata y

    ox 10 k

    idhiwa B

    a Sospetwanja vynsi na K

    Shule za Ma Darasa

    a Msingi

    ka Viwa

    a Mugan

    kwa kila

    Box 15.

    ter Mwijaya Shule

    KiingerezaMsingi 1a la Saba

    i na Seko

    anja vya

    ngo. Jum

    Shule, w

      

    25 

    arubi ya

    a kwa 10 a

    ondari

    Shule

    mla ya

    wakati

  • MbMuhoShul

    3.1.8.3Mgao

    Wabun

    Musom

    vitabu

    vya Si

    Mkend

    Sayan

    wanne

    unge waongo (kule zote za

    Sh

    3 MGAOwa aw

    nge wot

    ma Vijij

    u Wabung

    iasa. Zoe

    do, Mus

    nsi na K

    e (4) nao

    a Jimbo lulia) akika Sekondhule ya M

    O AWAMwamu hii

    te wa M

    jini, Pro

    ge wote

    ezi hilo l

    soma Mj

    Kiingerez

    walipew

    la Musomkabidhi Vdari na MMsingi K

    MU YAi ulifany

    Mkoa wa

    of Sospe

    wa Mko

    lilifanyik

    ini. Jum

    za viliga

    wa vitabu

     

    ma VijijinVitabu vyMsingi zaKwibara,

    A TATUyika tare

    Mara a

    eter Mw

    oa wa Ma

    ka katika

    mla ya V

    awiwa.

    u katika

    ni, Prof ya Sayana JimbonKata ya

    ehe 20/0

    ambapo

    wijarubi

    ara na w

    a Viwanj

    Vitabu 25

    Vilevile

    mgao hu

    Sospeter

    nsi na Kini katika Mugang

    09/2016

    Mbunge

    Muhong

    a kutoka

    a vya Sh

    5,000 vy

    e, Viong

    uu.

    r MwijaringerezaViwanjago

    na ulihu

    e wa Jim

    go aliwa

    a Vyama

    hule ya M

    ya Masom

    gozi Wa

      

    26 

    rubi a kwa a vya

    usisha

    mbo la

    agawia

    a vyote

    Msingi

    mo ya

    astaafu

  • Mbukulia

    Profebaada

    3.1.8.4Mgao

    kuham

    wa Ma

    Msing

    Box 2

    Makta

    nayo

    kinach

    Resou

    nyingi

    nge wa Ja akitoa

    esa Sospea ya kuka

    aji

    4 MGAOhuu ulih

    masisha S

    aktaba z

    gi Etaro

    30 na Sh

    aba Mpy

    ilipewa

    hojulikan

    urce Cent

    i za maen

    Jimbo laShukran

    eter Mwiabidhiwaili ya Shu

    O AWAMhusisha S

    Shule zis

    zao. Mga

    ambapo

    hule 6 za

    ya ya Ki

    bure v

    na kama

    tre”, kin

    ndeleo Ji

    a Tarime ni kwa Mijarubi Ma Vitabu ule za Jim

    MU YAShule zil

    sizo na M

    ao huu ul

    o Jumla

    a Sekond

    ituo Cha

    vitabu v

    , “Mada

    nashirikia

    imboni.

     

    Vijijini, Mbunge wMuhongovya Shulmbo lake

    A NNE izo na M

    Maktaba

    lifanyika

    ya Shul

    dari zilika

    a Elimu

    vya Mbu

    raka Ny

    ana na O

    Mhe Johwa Jimboo (CCM) le za Mse la Tarim

    Maktaba.

    a zishaw

    a katika

    e 23 za

    abidhiwa

    cha Kan

    unge w

    yerere Lib

    Ofisi ya M

    hn Hecho la Muso

    wa pili kingi na Sme Vijiji

    Hii ikiw

    wishike n

    Viwanja

    Msingi

    a Box 12

    nisa Kat

    a Jimbo

    brary an

    Mbunge

    e (Chadeoma Vijijkushoto Sekondarini.

    wa ni mb

    na zianze

    a vya Sh

    zilikabi

    26.

    toliki Ny

    o. Kituo

    nd Comm

    kwa shu

      

    27 

    ema) ijini, mara ri kwa

    inu ya

    e ujezi

    ule ya

    idhiwa

    yegina

    o hiki

    munity

    ughuli

  • MbMuho

    huMa

    MbMuh

    Msingna

    3.2 SE

    Afya nna tijaWanan

    bunge waongo (ku

    uku akisoaktaba zi

    unge wahongo (kgi Rukuba Kiinger

    Wa

    EKTA Y

    nzuri na a. Kwa hnchi wa

    a Jimbo lushoto) aoma Oroditakazok

    a Jimbo lkushoto) ba (Kisiwreza kwaageni wa

    YA AFYA

    imara nhiyo, upaa Vijijini

    la Musomakiwa na dha ya S

    kabidhiwa

    la Musomakizindu

    wani). Maa ajili ya atakaotem

    A

    i muhimatikanaji i na zen

     

    ma VijijiWanafu

    Shule za Sa vitabu

    ma Vijijinua Jengo

    Maktaba hWanafu

    mbelea K

    mu sana kwa Hud

    nye gha

    ini Prof Sunzi wa SSekondavya Say

    ni, Prof o la Makthii ilijazwnzi, WalKisiwa c

    kwa utenduma za arama na

    Sospeter

    Shule ya Mari na Msyansi na K

    Sospetertaba katiwa Vitablimu, Waha Ruku

    ndaji wa Afya zi

    afuu ni

    r MwijarMsingi Esingi zenyKiingere

    r Mwijarika Shuleu vya Sa

    anakijiji nba

    kazi ulioilizo karimuhimu

      

    28 

    ubi Etaro nye eza

    rubi e ya

    ayansi na

    okuwa ibu na u kwa

  •   

    29  

    utendaji kazi mzuri wenye kuimarisha Uchumi na Ustawi wa Jamii zetu. Mbunge wa Jimbo, Prof Sospeter Mwijarubi Muhongo anaendelea kuwashawishi Wananchi waendelee kutekeleza Ilani ya CCM inayosema kila Kijiji kiwe na Zahanati moja na kila Kata moja iwe na Kituo cha Afya kimoja. Mbunge wa Jimbo, ameshirikiana na Serikali, Wananchi Vijijini, Madiwani, Wazaliwa wa Vijiji husika, baadhi ya Wafanyabiashara Vijijini na Wadau wengiine wa Maendeeo kwenye ujenzi na uboreshaji wa Miundombinu ya Afya Vijijini na kwenye baadhi ya Kata.

    3.2.1 VITUO VYA AFYA

    Jimbo la Musoma Vijijini lina Jumla ya Vituo viwili vya Afya

    vinavyotoa Huduma ambavyo ni: (i) Murangi na (ii) Mugango.

    Kituo kipya cha Afya cha Kata ya Nyambono kinaendelea kujengwa.

    Katika kuboresha na kuimarisha Miundombinu ya Vituo hivi,

    Mbunge wa Jimbo kwa kushirikiana na Serikali, Wananchi pamoja

    na Wadau wa Maendeleo amefanya mambo yafuatayo:

    3.2.2 KITUO CHA AFYA MURANGI Mbunge wa Jimbo amechangia Jumla ya Mifuko 400 ya Saruji,

    Mabati 50 kwa ajili ya ukamilishaji wa Jengo la Mama na Mtoto.

    Katika Jitihada hizo, Prof Sospeter Mwijarubi Muhongo kwa

    kushirikiana na Wadau mbalimbali ikiwemo Serikali ya Japan

    iliyochangia Jumla ya fedha za Kitanzania Shilingi Milioni 170,

    wamefanikiwa kupanua Kituo hiki. Fedha kutoka Serikali ya Japan

    zilitumika kujenga nyumba moja kubwa kwa ajili ya wafanyakazi

  • wawil

    na ch

    Serika

    Ubalo

    za ku

    mzuri

    Sehemcha A

    li (two in

    hoo cha

    ali ya Ja

    zi wa A

    ubebea w

    wa Mbu

    mu ya CAfya Mur

    n one), ki

    wagonj

    apan ilito

    Australia

    wagonjw

    unge wa

    Chumba crangi ba

    ichomea

    jwa che

    oa Gari l

    nchini u

    wa. Misa

    Jimbo n

    cha kutolaada ya k

     

    a taka, sh

    nye ma

    la Wago

    ulitoa vif

    ada yote

    a Wafad

    lea Hudukufanyiw

    kisasa

    himo la k

    atundu m

    onjwa (A

    faa tiba,

    e hii in

    dhili wa k

    uma ya Uwa mabor

    kutupa ko

    manne (4

    Ambulan

    magodo

    natokana

    ki-Matai

    Upasuajiresho ma

    ondo la n

    4). Vile

    nce) ya k

    oro na ba

    na uele

    fa.

    i katika Kakubwa n

      

    30 

    nyuma

    e vile,

    kisasa.

    aiskeli

    ewano

    Kituo na ya

  • BalMkuruYong170 u

    Maakitoa

    Sosp

    lozi wa Jaugenzi wa

    golo, wakiuliotolew

    atroni waa Shukrapeter Mw

    T

    apan nchia Halmasisaini Haa na Seri

    a Kituo cani kwa Mwijarubi Tiba kwa

    ini Tanzashauri ya ti za Mak

    ikali ya JaKijij

    cha Afya Mbunge Muhong

    a ajili ya

     

    ania, MheWilaya y

    kubalianoapan. Hiiijini Mura

    cha Murwa Jimb

    go (kushoa Kituo ch

    e Masaharya Musomo ya Msaai ilikuwa tangi

    rangi, Nbo la Musoto) baadha Afya M

    ru Yoshidma, Nduguada wa Shtarehe 10

    Ndugu Sasoma Vijda ya kupMurang

    da (kulia)u Flora Rhilingi Mi0 March 2

    bina Dajijini, Pr

    upokea Vi

      

    31 

    ) na Rajabu

    Milioni 2016,

    udi rofesa

    Vifaa

  • 3.2.3 KMbun

    Jumla

    Zahan

    Shilin

    Wanan

    kuhara

    M

    3.2.4 KKituo

    Nyam

    amech

    ukami

    inahita

    KITUO ge wa J

    ya Mifu

    nati ya M

    gi Milio

    nchi wa

    akisha na

    Moja ya M

    KITUO hiki kin

    mbono, W

    hangia M

    ilishaji w

    ajika.

    CHA Aimbo Pr

    uko 400

    Mugango

    oni 400

    a Kata y

    a kukam

    Majengo

    CHA Anajengw

    Wananch

    Mifuko

    wa Bom

    AFYA Mrof Sosp

    ya Saru

    o kuwa

    kwa aj

    ya Muga

    milisha uj

    o ya Kitu

    AFYA NYwa kwa

    i na Mb

    100 ya

    ma la Je

     

    MUGANGeter Mw

    uji kwa a

    Kituo c

    ili ya u

    ango zim

    enzi huu

    uo cha Af

    YAMBOmichang

    bunge w

    a Saruji

    engo la

    GO wijarubi M

    ajili ya u

    cha Afy

    ujenzi hu

    metoa mc

    u.

    fya cha K

    ONO go ya W

    wa Jimbo

    na No

    OPD. M

    Muhong

    ujenzi w

    ya. Serik

    uu. NGU

    chango

    Kata ya M

    Wazaliwa

    o. Mbun

    ondo 8

    Michang

    go amech

    a upanua

    kali ilich

    UVUKA

    mkubwa

    Mugango

    a wa Ka

    nge wa

    kwa aj

    go zaidi

      

    32 

    hangia

    aji wa

    hangia

    AZI za

    a sana

    o

    ata ya

    Jimbo

    ili ya

    bado

  • Hatua

    3.2.5 ZJimbo

    Serika

    Zahan

    3.2.6 ZZahan

    1. Z

    2. B

    3. B

    4. B

    5. B

    6. C

    7. E

    a ya Awa

    ZAHAN la Mus

    ali na Z

    nati mpya

    ZAHANnati 24 za

    Zahanati

    Bugunda

    Bukima,

    Busungu,

    Bwai, Kij

    Chitare, K

    Etaro, Kij

    ali ya Uje

    NATI ZAsoma Vij

    Zahanati

    a 13 zina

    NATI ZIa Serikal

    ya Bugo

    , Kijijini

    Kijijini B

    , Kijijini

    jijini Bw

    Kijijini C

    ijijini Eta

    enzi wa K

    A SERIKjijini kw

    4 za B

    ajengwa

    NAZOTi zinatoa

    oji, Kijiji

    i Bugund

    Bukima,

    i Busung

    wai Kwitu

    Chitare, K

    aro, Kata

     

    Kituo ch

    KALI wa sasa

    Binafsi

    na Wana

    TOA HUa Hudum

    i cha Bug

    da, Kata

    , Kata ya

    gu, Kata y

    ururu, K

    Kata ya M

    a ya Etar

    a Afya c

    lina jum

    zinazoto

    avijiji nd

    UDUMAma za Afy

    goji, Kat

    ya Bwas

    a Bukima

    ya Bulin

    Kata ya K

    Makojo

    ro

    ha Kata

    mla ya Z

    oa Hudu

    dani ya V

    A ZA AFya Vijijin

    ta ya Bug

    si

    a

    nga

    Kiriba

    ya Nyam

    Zahanati

    uma za

    Vijiji 13.

    FYA ni ni:

    goji

      

    33 

    mbono

    24 za

    Afya.

  •   

    34  

    8. Kiemba, Kijijini Kiemba, Kata ya Ifulifu

    9. Kigera Etuma, Kijijini Kigera Etuma, Kata ya Nyakatende

    10. Kiriba, Kijijini Kiriba, Kata ya Kiriba

    11. Kome, Kijijini Kome, Kata ya Bwasi

    12. Kurugee, Kijijini Buraga, Kata ya Bukumi

    13. Kwikuba, Kijijini Kwikuba, Kata ya Busambara

    14. Masinono, Kijijini Masinono, Kata ya Bugwema

    15. Mwiringo, Kijijini Mwiringo, Kata ya Busambara

    16. Nyakatende, Kijijini Kabegi, Kata ya Ifulifu

    17. Nyambono, Kijijini Saragana, Kata ya Nyambono

    18. Nyegina, Kijijini Nyegina, Kata ya Nyegina

    19. Rukuba, Kisiwani Rukuba, Kata ya Etaro

    20. Rusoli, Kijijini Rusoli, Kata ya Rusoli

    21. Seka, Kijijini Seka, Kata ya Nyamrandirira

    22. Suguti, Kijijini Kusenyi, Kata ya Suguti

    23. Tegeruka, Kijijini Mayani, Kata ya Tegeruka

    24. Wanyere, Kijijini Wanyere, Kata ya Suguti

  • Ziliyoj

    3.2.6.1Katikaamech

    (

    (

    (

    (

    (v

    Zahanatiengwa k

    Mbung

    1 MICHa kuborehangia M

    i) MifuMga

    ii) MifuMam

    iii) MifuMpy

    iv) Vifaajili

    v) Kug250,Zah

    i ya Kijijkwa michge wa Jim

    HANGO esha Zah

    MICHAN

    fuko 50 yanga (twfuko 100ma na Mfuko 50 yya ya Kigaa vya uya choo

    gharamia,000/= kanati mp

    ji cha Kighango yambo na W

    MINGIhanati zilNGO mba

    ya Sarujwo in one)0 ya Sar

    Mtoto, Zahya Sarujigera Etuujenzi (so cha Zaha samankwa ajili pya ya K

     

    igera Etu WanancWadau w

    INE YA lizotajwaalimbali

    ji kwa a) katika Z

    ruji kwahanati yai kwa aji

    uma ink, non

    hanati yani (viti,

    ya FundKijiji cha

    uma, Katchi, Wazwengine w

    MBUNGa hapo juambayo

    ajili ya uZahanatia ajili ya Bukimaili ya uka

    ndo, wava Masino, meza di wa kuMwiring

    ta ya Nyazaliwa wawa Maen

    GE WAuu, Mbuni pamo

    ujenzi wi ya Kuru

    ya ujenzia amilishaj

    vu na mono

    na kuutengenego

    akatendea Kijiji hndeleo

    A JIMBOunge wa oja na:

    wa Nyumugee i wa Wa

    ji wa Za

    mabomba

    ulipa Sheza sama

      

    35 

    e hicho,

    O Jimbo

    mba ya

    adi ya

    ahanati

    a) kwa

    hilingi ani) za

  • (v

    (v

    Darubwa MDerick

    Mbun

    kwa

    3.2.7 Z((

    ((

    vi) KukEtum

    vii) Kuk

    bini 2 hizMaendeleo

    k Nyaseb

    nge wa Jim

    Muuguzi

    ZAHANi) Bwaii) Mji

    Nyaiii) Mugiv) Rwa

    kabidhi Dma kabidhi D

    zi zimeomo na Mzbwa wa H

    mbo la M(

    wa Zaha

    NATI BIasi SDA,

    Wa Huakatende gango KManga KM

    Darubini

    Darubini

    mbwa nazaliwa wHospitali

    Musoma Vi(kulia) akanati ya K

    (

    NAFSI , Kijijini

    uruma –

    MT, KijMT, Kijij

     

    1 katika

    1 katika

    a Mbungwa Kijijii ya Uhu

    Vijijini, Prkikabidhi Kisiwa cha(kushoto)

    i Bwasi, Katolik

    ijini Nyaini Kaso

    a Zahana

    a Zahana

    ge wa Jimi cha Ruuru ya Jij

    rof SospetDarubinia Rukuba)

    Kata ya ki, Kijijin

    ang'oma,oma, Kat

    ati ya Kij

    ati ya Kis

    mbo kutousoli, Dajini Mwa

    ter Mwijai a, Ndugu J

    Bwasi ni Kakis

    , Kata yaa ya Nya

    jiji cha K

    siwani R

    oka kwa aktari Banza.

    arubi Muh

    Jovin Ma

    sheri, Ka

    a Muganamrandir

      

    36 

    Kigera

    Rukuba

    Mdau ingwa

    hongo

    afuru

    ata ya

    go rira

  •   

    37  

    3.2.8 ZAHANATI MPYA ZINAZOJENGWA NA WANAVIJIJI

    Baadhi ya Zahanati hizi (k.m Chirorwe, Maneke) tayari zimepokea michango ya fedha za Serikali.

    (i) Burungu, Kijijini Bukumi, Kata ya Bukumi

    (ii) Butata, Kijijini Butata, Kata ya Bukima

    (iii) Bwai Kwitururu, Kijijini Bwai Kwitururu, Kata ya Kiriba (iv) Chimati, Kijijini Chimati, Kata ya Makojo (v) Chirorwe, Kijijini Chirorwe, Kata ya Suguti

    (vi) Kakisheri, Kijijini Kakisheri, Kata ya Nyakatende (vii) Kurukerege, Kijijini Kurukerege, Kata ya Nyegina

    (viii) Kurwaki, Kijijini Kurwaki, Kata ya Mugango (ix) Maneke, Kijijini Maneke, Kata ya Busambara (x) Mkirira, Kijijini Mkirira, Kata ya Nyegina

    (xi) Mmahare, Kijijini Mmahare, Kata ya Etaro (xii) Nyasaungu, Kijijini Nyasaungu, Kata ya Ifulifu

    (xiii) Nyegina, Kijijini Nyegina, Kata ya Nyegina

    Ili kuharakisha ujenzi wa Zahanati mpya 13 zinazojengwa Jimboni, Mbunge wa Jimbo, Prof Sospeter Mwijarubi Muhongo tayari amechangia MICHANGO mbalimbali ikiwa ni pamoja na Saruji kati ya Mifuko 50 na 350 kwa kila Zahanati zote zinazojengwa kasoro mbili (2) tu ambazo bado zipo hatua za awali za matayarisho. Mbunge wa Jimbo pia amechangia Nondo 40 katika Zahanati ya Nyasaungu.

  • WaProfes

    Mbunna

    3.2.9 UWananJimbo

    nanchi wsa Sospe

    nge wa JiWananc

    UJENZInchi na la Muso

    wa Kijiji eter Mwij

    uezek

    imbo, Prchi wa K

    I WA HViongozoma Vij

    cha Kurjarubi Mkaji wa Z

    rof SospeKijiji cha

    Ujenzi w

    OSPITAzi wa ngijini, wa

     

    rwaki paMuhongo Zahanati

    eter MwijNyasaun

    wa Zahan

    ALI YA gazi mbaanaishuku

    amoja nawakiwa

    i ya Kurw

    ijarubi Mngu baadnati yao

    WILAYalimbali uru sana

    Mbunge kwenye waki

    Muhongoda ya Ha

    YA akiwem

    a Serikal

    e wa JimHaramb

    o akizungarambee

    o Mbunli yao ch

      

    38 

    mbo, bee ya

    gumza ya

    ge wa hini ya

  • UongoShilininayojSugutiwamekwa Jim

    M

    3.2.10WA CMbunuhusiakuwaomatibatano k K Z Z

    ozi wa gi bilionjengwa ki, Kata ykubalian

    mbo yuko

    Moja ya MKitongoj

    0 MATIBCHINA ge wa Jano wakomba Mabu kwa

    kama ifuaKituo chaZahanati Zahanati

    Rais Dkni 1.5 kkwenye

    ya Sugutina kuchao tayari k

    Majengo oji cha Kw

    BABU K

    Jimbo, Pke mzur

    Madaktaria Wanavatavyo: a Afya Mya Mugaya Nyak

    kt John kwa ajili

    Kitongoi. Wananangia Shikuchang

    ya HospKwikonero

    KUTOK

    Prof Sosi na Wi Bingwvijiji Jim

    Murangi, ango, Jukatende,

     

    Joseph i ya ujeoji cha nchi kupiilingi M

    gia ujenzi

    pital ya Wo, Kijijin

    KA KWA

    speter MWataalamuwa wa Cmboni. Hu

    Marchi ni 25-26Julai 22-

    Pombe enzi wa Kwikonitia Vionilioni 2i huu mu

    Wilaya inni Suguti

    A MADA

    Mwijarubiu wa C

    China kuuduma h

    6-7, 2016, 2016, -23, 201

    MagufuHospita

    ero, katngozi wakila Kiji

    uda ukiw

    nayojengi, Kata ya

    AKTARI

    i MuhonChina nautoa burhizo zim

    16,

    6,

    uli kwa ali ya Wika Kijij

    a Kata naiji na M

    wadia.

    gwa katika Suguti

    I BINGW

    ngo amea Serikalre hudum

    metolewa

      

    39 

    kutoa Wilaya ji cha

    a Vijiji Mbunge

    ka

    WA

    etumia li yao ma za a mara

  • Z Z

    Prof wa

    Dakta

    Zahanati Zahanati

    Muhongoaliowasili

    Zahan

    ari Bingw

    ya Nyamya Kwik

    o akiwatai Jimboni

    nati ya Mu

    wa kutokkwenye

    mbono, Mkuba, Me

    ambulishai kwa ajiliugango. H

    ka nchiniZahana

     

    Mei 7-8, ei 9-10, 2

    a Madaktai ya kutoaHii ilikuw

    i China ati ya Kij

    2017, 2017.

    ari Bingwa huduma

    wa tarehe

    akimchuniji cha K

    wa kutokaa za matib25-26/06

    nguza mKwikuba

    a nchini Cbabu katik6/2016

    toto mgo

      

    40 

    China ka

    onjwa

  • 3.2.11(AMBKwa k

    Sospet

    ya W

    kweny

    Kurug

    Nyaka

    Garlilikab

    1 MAGABULANCkipindi c

    ter Mwij

    Wagonjwa

    ye Zaha

    gee (Kat

    atende (K

    ri la kisabidhiwa n

    M

    ARI YA CES) cha Mia

    jarubi M

    a na kuy

    anati za

    ta ya B

    Kata ya I

    asa la Wana Mbun

    Mwijarubi

    KUBEB

    aka Mita

    Muhongo

    yagawa

    Vijiji v

    Bukumi),

    Ifulifu)

    Wagonjwange wa Ji Muhong

     

    BEA WA

    atu na N

    ameleta

    katika

    vya Ma

    , Mugan

    a la KituoJimbo la Mgo, tareh

    AGONJW

    Nusu, Mb

    a jumla y

    Kituo c

    sinono

    ngo (Ka

    o cha AfyMusomahe 10 Ma

    WA

    bunge w

    ya Maga

    ha Afya

    (Kata y

    ata ya M

    fya Muraa Vijijini achi, 201

    wa Jimbo

    ari Matan

    a Muran

    ya Bugw

    Mugang

    angi ambProf Sos

    16

      

    41 

    o, Prof

    no (5)

    ngi na

    wema),

    go) na

    balo speter

  • GaSospe

    MbMuMku

    ari la Waeter Mwij

    unge wahongo (kurugenzi

    katika

    agonjwaijarubi M

    imepan

    a Jimbo lkulia) aki wa HalmZahanat

    a lililokabMuhongonuliwa n

    la Musomkikabidhimashaurti ya Nya

     

    bidhiwa katika Z

    na kuwa K

    ma Vijijini Nyarakri ya Musakatende

    na MbunZahanatiKituo ch

    ni, Prof ka za Garsoma, Nd

    e iliyopo

    nge wa Ji ya Mugha Afya

    Sospeterri la Wag

    Ndugu FloKata ya

    Jimbo Prgango am

    r Mwijargonjwa kora YongIfulifu

      

    42 

    rof mbayo

    rubi kwa golo

  • MbuakikabBugw

    Ann

    MbM

    Halma

    wakiw

    unge wa bidhi Ga

    wema. Kuney akifu

    unge waMuhongoashauri yya Muso

    wakabidh

    Jimbo, Pari la Waulia ni Mkuatiwa na

    Mus

    a Jimbo lo (wa kwya Musooma, Dkhi Gari l

    Prof Sospagonjwa

    Mkuu wa Wa Mkurugsoma, Nd

    la Musomwanza kul

    ma, Ndukt. Vicentla Wagon

     

    peter Mwkatika ZWilaya ygenzi wa

    Ndugu Flo

    ma Vijijinlia) akifu

    ugu Florat Naano Anjwa la ZBukumi

    wijarubi Zahanati yya Musoma Halmasora Yong

    ni, Prof uatiwa naa YongolAnney (wZahanati

    Muhongya Masi

    ma, Dr Vshauri yagolo

    Sospetera Mkurulo na Mkwa pili ki ya Kuru

    go (kushonono, Ka

    Vincent Na Wilaya

    r Mwijarugenzi wakuu wa Wkushoto) ugee, Ka

      

    43 

    oto) ata ya

    Naano a ya

    rubi a

    Wilaya

    ata ya

  • 3.2.12Moja mikubNationtiba kaimechMugan

    Benki Kutok

    Rajab Benk

    4 HUD 

    4.1 SEMbunkushirameenuzalish

    2 MICHAya Ma

    bwa katiknal Micratika Zah

    hangia vngo.

    ya NMB ikka kushotoYongoro, M

    ki ya NMB Miradi na

    DUMA Z

    EKTA Yge wa rikiana nndelea khaji husu

    ANGO Yashirika ka kuinuofinancehanati zaitanda v

    kitoa vifaao ni MkurugMkuu wa WTawi la MUwajibika

    ZA KIU

    YA KILIJimbo,

    na Serikakuishirikusani ku

    YA MAambayo

    ua Maene Bank (Na Jimbo vitano n

    a tiba na vigenzi wa HWilaya ya M

    Musoma, Ndaji kwa Jam

    UCHUM

    IMO, UVProf S

    ali kupitikisha Jaupitia Kil

     

    SHIRIKo yamekdeleo yaNMB). Bla Muso

    na mago

    tanda vitanHalmashauMusoma, D

    dugu Sebasmii wa Ben

    MI

    VUVI NSospeteria Halmaamii kalimo, Uv

    KA YA Ukuwa yaa Jimbo Benki hiima Vijij

    odoro ka

    no kwenyeuri ya MusoDr Vincentstian Kayanki ya NMB

    NA UFUGr Mwijaashauri yatika kuvuvi na U

    UMMA akitoa mla Musoi imekuwini; kwa

    atika Kit

    e Kituo chaoma Vijijint Naano An

    aga pamojaB, Bi Lilian

    GAJI arubi Mya Wilayushiriki Ufugaji

    michangooma Vijijwa ikitoaa mfano, tuo cha

    a Afya Mugni, Ndugu Fnney, Mena na Menejn Kisamba

    Muhongoya ya Mu

    shughuili kuim

      

    44 

    o yao jini ni

    a vifaa NMB Afya

    gango. Frola eja wa ja wa

    a

    kwa usoma uli za

    marisha

  •   

    45  

    kipato cha kaya na cha mtu mmoja mmoja, kutoa AJIRA kwa Wanavijiji wakiwemo Vijana. 4.1.1 KILIMO

    Jimbo la Musoma Vijijini lina takribani Kaya 52,830, kati ya hizo Kaya zinazotegemea kilimo ni 42,264 ambayo ni sawa na Asilimia 80 ya Kaya zote. Kaya nyingine 10,566 ambayo ni sawa na Asilimia 20 zinajihusisha na shughuli nyingine za kiuchumi. Kwa hiyo, Sekta ya Kilimo ndiyo uti wa mgongo wa uchumi kwa wakazi wa Musoma Vijijini ambao wanajishughulisha na kilimo cha mazao mbalimbali yakiwemo:

    (i) Mazao ya chakula: mihogo, mtama, mahindi, mpunga, viazi vitamu, matunda na mbogamboga

    (ii) Mazao ya biashara: pamba, alizeti, mpunga, mahindi, mihogo, matunda na mbogamboga

    4.1.2 KILIMO CHA UMWAGILIAJI Sehemu ya Fedha za Mfuko wa Jimbo ya Mwaka 2015/2016, ilitumika kununua Vifaa vya Kilimo cha Umwagiliaji ambavyo viligawiwa bure kwenye VIKUNDI 15 vya Wakulima, wengi wao wakiwa Vijana. Pampu 15, mipira yake, na mbegu viligawiwa.

  • MbMuho

    KikunBwaskati

    4.1.3 MMradi

    ulionz

    unge waongo (ku

    Vikund

    ndi cha Nsi baada yVikundi

    MRADIi mkubw

    zishwa n

    a Jimbo lulia) akikdi 15 vya

    No Sweatya kuvun15 vilivy

    I WA BOwa wa Ki

    na Baba

    la Musomkabidhi PWakulim

    t No Swena matikyopokea

    Mfuk

    ONDE Llimo cha

    wa Tai

     

    ma VijijinPampu 1ma wa K

    eet kilichkiti maji sPampu zko wa Ji

    LA BUGa Umwag

    ifa, Hay

    ni, Prof 5, mipira

    Kilimo ch

    hopo Kijijshambanzilizonunimbo

    GWEMAgiliaji w

    yati Mw

    Sospetera yake n

    ha Umwa

    ijini Buguni mwao.nuliwa kw

    A wa Bonde

    walimu J

    r Mwijara mbegu

    agiliaji.

    unda, Ka. Hiki ni wa Fedh

    e la Bugw

    . K. Ny

      

    46 

    rubi u kwa

    ata ya moja

    ha za

    wema,

    yerere,

  •   

    47  

    unafufuliwa. Kilimo cha umwagiliaji kwenye Bonde la Bugwema

    lenye ukubwa wa Ekari 5,075 utakuwa wa ushirika kati ya

    Wanavijiji, Halmashauri na Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania

    (TADB).

    Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania itajenga miundombinu ya

    umwagiliaji kwa ajili ya Wananchi kufanya kilimo cha umwagiliaji

    ndani ya Bonde la Bugwema. Mazao yatakayozalishwa kwenye

    Bonde hili ni: mpunga, mahindi, vitunguu, dengu, alizeti na pamba.

    Aidha TADB itatoa vifaa vya Kilimo kwa Wakulima kwa

    Makubaliano ya Mkataba baina ya pande zote. Utaratibu wa

    kurejesha Mikopo utahakikisha unawanufaisha Wakulima

    watakaokuwa ndani ya Mradi huu. Pembejeo zitakazotolewa na

    TADB ni zana za kisasa za kilimo, mbegu na mbolea. Masoko na

    huduma nyingine pale zitakapokuwa zinahitajika, navyo vitatolewa

    na TADB.

    4.1.4 KILIMO CHA ALIZETI Licha ya zao la PAMBA kuwa zao la kibiashara kwa miaka mingi

    ndani ya Jimbo la Musoma Vijijini, uzalishaji wake umeshuka.

    Mbunge wa Jimbo, Prof Sospeter Mwijarubi Muhongo,

    amewashawishi Wakulima Jimboni kuanza kulima zao jipya la

    ALIZETI badala ya kutegemea zao la aina moja tu la Pamba.

  • ALIZE

    Jimbo

    kwa m

    kweny

    M

    M

    M

    Jumla

    9.66

    MbMuhoVince

    ETI ni z

    ni. Mbu

    misimu m

    ye Kata z

    Msimu w

    Msimu w

    Msimu w

    ya Mch

    unge waongo (waent Naan

    zao amb

    unge wa

    mitatu m

    zote 21 k

    wa 2016/2

    wa 2017/2

    wa 2018/2

    hango wa

    a Jimbo la pili kulno Anney

    M

    balo lina

    Jimbo, P

    mfululizo

    kama ifu

    2017: Kg

    2018: Kg

    2019: Kg

    a Mbung

    la Musomlia) akiway (kushot

    Mbegu za

     

    astawi v

    Profesa S

    o amega

    atavyo:.

    g 4,682 (

    g 4,974 (

    g 1,243 (

    ge wa Jim

    ma Vijijina na Mkto) wakaALIZET

    vizuri kw

    Sospeter

    awa bure

    (Tani 4.6

    (Tani 4.9

    (Tani 1.2

    mbo = K

    ni, Prof kuu wa Wti wa uzi

    TI Jimbon

    wenye m

    r Mwijar

    e mbegu

    68)

    97)

    24)

    Kg 9,656

    SospeterWilaya yainduzi wani

    maeneo m

    rubi Muh

    u za AL

    sawa na

    r Mwijara Musoma ugawaj

      

    48 

    mengi

    hongo,

    IZETI

    a Tani

    rubi ma, Dr aji wa

  • Mbun

    Wizar

    ALIZE

    Vionkatik

    4.1.4.1Ili kub

    Waku

    kukam

    mnyor

    Vijijin

    Saraga

    ya Mk

    ge wa J

    ra ya Ki

    ETI kwa

    ngozi mbka Shule y

    1 MITAboresha k

    lima, K

    mua mb

    roro mzi

    ni. Mitam

    ana. Aid

    koa wa M

    Jimbo, a

    ilimo am

    a Msimu

    balimbalya Msing

    AMBO Ykilimo ch

    Kampuni

    begu za

    ma wa k

    mbo hiy

    dha, Soko

    Mara ziki

    anatoa s

    mbayo il

    wa 2018

    li wa Sergi Busek

    Kata

    YA KUKha ALIZ

    2 za W

    ALIZE

    kilimo ch

    yo imeje

    o la ALI

    iwemo W

     

    shukrani

    litoa Jum

    8/2019

    rikali wakkela iliyopa ya Buk

    KAMUA ZETI na k

    Watu Bin

    ETI ili

    ha ALIZE

    engwa kw

    IZETI lin

    Wilaya za

    nyingi

    mla ya T

    kikagua po katika

    kumi

    MBEGkukifany

    nafsi zim

    kuonge

    ETI kwe

    wenye V

    napatika

    a Musom

    kwa Se

    Tani 10

    Shambaa Kijiji c

    U ZA Aya kuwa

    mefunga

    eza tham

    enye Jim

    Vijiji vy

    ana kwa

    ma, Butia

    erikali k

    za mbe

    a la ALIZcha Buse

    ALIZETIna mvut

    a Mitamb

    mani kw

    bo la Mu

    ya Kusen

    uhakika

    ama na B

      

    49 

    kupitia

    egu za

    ZETI ekela,

    I to kwa

    bo ya

    wenye

    usoma

    nyi na

    ndani

    Bunda.

  • MtamKa

    4.1.5 KMbali

    wame

    kwa m

    Vijijin

    bure M

    gunia

    M

    M

    mbo wa kata ya SuALIZET

    KILIMOya zao

    itikia wi

    matumizi

    ni, Prof

    Magunia

    lilikuwa

    Mwaka 2

    Mwaka 2

    kukamuauguti ukiTI inayol

    O CHA Mla mihog

    ito wa k

    ya chak

    Sospeter

    a 796 ya

    a na ping

    2016/201

    2017/201

    a mbegu ziwa tayarlimwa na

    MIHOGgo kuwa

    kupanua

    kula na b

    r Mwija

    a mbegu

    gili 1,000

    17: Gunia

    18: Gunia

     

    za ALIZEri kwa aj

    a Wanan

    GO a la chak

    a na kub

    iashara.

    arubi Mu

    ya mih

    0 na zime

    a 446

    a 350

    ETI katikjili ya kuchi wa M

    kula kiku

    boresha u

    Mbunge

    uhongo a

    hogo ain

    egawiwa

    ka Kijiji uzalisha MMusoma

    uu Jimbo

    uzalishaj

    e wa Jim

    amenunu

    a ya Mk

    a bure ma

    cha KusMafuta yVijijini.

    oni, Wak

    ji wa m

    mbo la Mu

    ua na ku

    kombozi

    ara mbili

      

    50 

    senyi, ya

    kulima

    mihogo

    usoma

    ugawa

    i. Kila

    i:

  • Wankwa a

    Mkulilililotu

    4.1.6 KKatika

    Mbun

    Wanan

    nanchi wajili ya k

    ima Masumia mbe

    KILIMOa kukab

    ge wa J

    nchi ku

    wa Kata ykulima na

    shuhuri wegu aina

    O CHA Mbiliana n

    Jimbo la

    shiriki k

    ya Nyegia kuzalis

    wa zao laa ya Mko

    ya

    MTAMAna tatizo

    a Musom

    katika u

     

    ina wakikha mbeg

    hilo.

    a mihogoombozi. Ha Murang

    A o la upu

    ma Vijij

    uboreshaj

    kabidhiwgu zaidi k

    o akipaliHapa ni Kgi.

    ungufu

    ini, ame

    ji wa k

    wa mbegkwa matu

    ilia shamKijijini M

    wa chak

    eendelea

    kilimo c

    gu za mihumizi ya

    mba la miMurangi

    kula Jim

    a kuham

    cha mtam  

    51 

    hogo eneo

    ihogo i, Kata

    mboni,

    masisha

    ma ili

  • kukab

    alipok

    Mbun

    kwa k

    misim

    F

    A

    MbMumm

    W

    4.1.7 UMbun

    Muhon

    kilimo

    iliana n

    kea mao

    ge wa J

    kugawa

    mu miwili

    Februari

    Agosti 20

    unge wauhongo (amoja wa WWananch

    UBOREge wa J

    ngo kup

    o wame

    a majira

    mbi ya

    imbo ali

    bure mb

    i kama if

    2017: K

    018: Kg

    a Jimbo l(aliyevaaWakulimhi katika

    ESHAJI Jimbo la

    itia vika

    epanga k

    a ya mv

    Wananc

    ilipokea

    begu za

    fuatavyo

    g 900 (T

    6,800 (T

    la Musom flana ny

    ma baadaKijiji ch

    WA ZAa Musom

    o mbalim

    kupungu

     

    vua zisiz

    chi ya k

    ombi hi

    mtama

    o:

    Tani 0.9)

    Tani 6.8)

    ma Vijijinyeupe - ka ya kukaha Nyaba

    ANA ZA ma Vijij

    mbali vy

    uza utum

    zotabirika

    kusaidiw

    ilo na ku

    kwa W

    ni, Prof katikati) abidhi mbaengere,

    KILIMini, Pro

    ya Wanan

    miaji w

    a. Mbun

    wa mbeg

    ulitekele

    Wakulima

    Sospeterakipeanabegu za Kata ya

    MO f Sospet

    nchi na W

    wa jemb

    nge wa

    gu za m

    eza kikam

    a Vijijin

    r Mwijara mkonomtama kMusanja

    ter Mwi

    Wataalam

    be la m

      

    52 

    Jimbo

    mtama.

    milifu,

    ni kwa

    rubi o na kwa a

    ijarubi

    mu wa

    mkono.

  •   

    53  

    Taratibu hizo ziinafanyika chini ya usimamizi wa Wataalamu wa

    Kilimo ngazi za Vijiji, Kata na Halmashauri kama ifuatavyo:

    TREKTA - Vyama vya Msingi vya Ushirika (AMCOS),

    Vikundi vya Wakulima na Wakulima binafsi wanashawishiwa

    waombe Mikopo ya Matrekta. Ofisi ya Kilimo ya Halmashauri

    inatoa ushauri kwa Wakopaji wa Matrekta.

    PLAU - Wakulima Vijijini wanashawishiwa waunde Vikundi

    vya kilimo vikiwajumuisha Wanavijiji wenye ng'ombe ili

    majembe (PLAU) ya kukokotwa na ng'ombe yatafutwe na

    kutolewa kwa mkopo. Mbunge wa Jimbo ndiye anayesimamia

    zoezi la upatikanaji wa PLAU zitakazohitajika.

    4.2 UVUVI

    Mbunge wa Jimbo, kwa kushirikiana na Mkuu wa Wilaya ya

    Musoma na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Musoma

    wameendelea kuwashirikisha Wananchi kwenye Uvuvi Bora

    unaozingatia Sheria, Kanuni na Miongozo ya Serikali.

    Mbunge wa Jimbo ameshiriki vikao kadhaa vilivyohusisha Wizara

    ya Mifugo na Uvuvi vilivyokuwa vikihusisha Wavuvi wanaotoka

    maeneo ya Ziwa Viktoria ili kujadili masuala mbalimbali yahusuyo

    Sekta ya Uvuvi. Pia, Mbunge wa Jimbo amefikisha Serikalini

  •   

    54  

    maombi ya Boti ya Doria ambayo ikipatikana itaboresha usalama wa

    Wavuvi wa Jimbo la Musoma Vjijini.

    4.3 UFUGAJI Serikali kupitia Halmashauri ya Wilaya ya Musoma imeboresha Sekta ya Ufugaji kwa kutoa Elimu kwa Wafugaji wa Jimbo la Musoma Vijijini kuhusu Ufugaji wa kuku wa nyama na mayai. Katika Halmashauri ya Musoma, Serikali imetoa madawa kwa ajili ya majosho manane (8) na kugawanywa katika majosho manne (4) ya Saragana, Bugwema, Mugango na Bugoji. Mbunge wa Jimbo, Prof Sospeter Mwijarubi Muhongo tayari amefikisha maombi mengine Serikalini ya kuongeza majosho na upatikanaji wa madawa ili kukidhi mahitaji ya Wafugaji na mifugo yao. Pia, Wananchi wamehamasishwa kuchanja mbwa na paka ili kuepuka magonjwa ya mapele ya ngozi, homa ya mapafu na kimeta.

    5. MIRADI YA MAJI, UMEME NA BARABARA Mbunge wa Jimbo ameendelea kuiomba Serikali kutekeleza Miradi ya Maji, Umeme na Barabara ndani ya Jimbo lao. Serikali imezidi kupiga hatua kubwa kufikisha huduma hizi kwa Wananchi huko Vijijini.

    5.1 MIRADI YA MAJI 5.1.1 MIRADI YA MAJI KWA MWAKA WA FEDHA 2018/2019 (i) MRADI WA BULINGA - BUSUNGU Mradi huu wenye Vijiji vitano (5) vya Bulinga, Bujaga, Busungu, Bukima na Kwikerege umegawanywa kwenye makundi mawili (2 Lots) ili kuharakisha utekelezaji wake kama ifuatavyo:

  • KundBulingajili yKata yCOMPbilionimwak

    MaMrad

    Kund

    Busuncha BBukimUtekevitatu Bukim

    di I (Lot ga - Buja kusamya BulinPANY Li). Mrad

    ka huu (2

    abomba ydi wa Bul

    di II (Lot

    ngu – BuBujaga nma (Katlezaji w(3) unae

    ma - Kw

    I) aga: Ma

    mbaza kwnga. MraLtd na ghdi huu 019)

    yanayoanlinga - B

    t II)

    ukima - na kusamta ya B

    wa Mradiendelea

    wikerege:

    aji yatachwenye Viadi huu uharama ulizindu

    ndaliwa Busungu u

    Kwikermbazwa Bukima) i wa usakwa kas: unagha

     

    hukuliwaijiji vya unatekelyake ni

    uliwa kw

    kwa ajilunaoteke

    rege: MaVijijini

    na Kwambazajisi ya kurarimu Sh

    a kutoka Bujaga ezwa naTsh. 1,8

    wenye M

    li ya usamelezwa k

    aji yatachBusung

    wikeregei wa maridhisha. hilingi 1

    Kijiji chna Bulin

    a Mkand812,675,0Mbio za

    mbazaji katika Ka

    hukuliwagu (Katae (Kataaji kwenMradi w, 022, 5

    ha Bujagnga, vyotdarasi M036 (Tsh

    a Mwen

    wa maji

    ata ya Bu

    a kutokaa ya Bula ya Runye Vijijwa Busu531, 876

      

    55 

    ga kwa te vya EDES h 1.81

    nge za

    wa ulinga

    a Kijiji linga), usoli). ji hivi

    ungu – 6 (Tsh

  • 1.02 bJV FA

    MojMrad

    (ii) MMradiSugutiunaen

    (iii) MVijiji v (iv) UKUELBaadaambaoMradi

    bilioni), uAU CON

    a ya Vitudi wa Maj

    RADI Wi huu utai, Kusendelea.

    MRADI Wvitakavy

    UPANULEKEA a ya kuko awali i huu sas

    unatekelNSTRUC

    uo 18 vyaji wa Bu

    WA WANahudumianyi, Wan

    WA MAyohudum

    UZI WABUSEK

    kamilika ulikuwasa unapa

    lezwa naTION L

    a kuchotulinga - B

    NYEREa Vijiji v

    nyere na

    AKOJO –miwa na M

    A MRAKELA

    kwa Ma unahudanuliwa

     

    a MkandTD.

    tea Maji Busungu Bulinga

    E vinne vyChirorw

    – CHITMradi hu

    ADI W

    Mradi wadumia Vkueleke

    darasi ED

    vikiendeunaotek

    ya Kata ywe. Utek

    ARE uu ni: Ma

    WA BUK

    a Maji wVijiji vya

    a Kijiji

    DM NET

    elea kujekelezwa k

    ya Sugukelezaji w

    akojo na

    KUMI

    wa Bukua Bukumcha Bus

    TWORK

    engwa kakatika Ka

    uti ambavwa Mrad

    Chitare.

    - BUR

    umi – Bmi na Bsekela. H

      

    56 

    K LTD

    atika ata ya

    vyo ni di huu

    .

    RAGA

    Buraga uraga,

    Hivyo,

  •   

    57  

    baada ya upanuzi huu kukamilika, Mradi utakuwa unahudumia Vijiji vitatu ambavyo ni: Bukumi, Buraga na Busekela, vyote vya Kata ya Bukumi.

    (v) MRADI WA BADEA (MUGANGO – KIABAKARI – BUTIAMA) Mradi huu wa Bomba la Maji safi na salama la kutoka Ziwa Viktoria (Mugango, Musoma Vijijini) hadi Wilaya ya Butiama (Kiabakari – Butiama) utaanza kutekelezwa mwaka huu (2019). Vijiji vya Kata za Mugango na Tegeruka vitakuwa vya kwanza kusambaziwa maji kutoka kwenye Bomba hili. Huu ni Mradi mkubwa na muhimu wenye thamani ya Shilingi bilioni sabini (Tsh 70 bilioni au US$ 30.69 million).

    (vi) MRADI WA MUWASA Maji yanayozalishwa na MUWASA kutoka Ziwa Viktoria kwa ajili ya Mji wa Musoma ni mengi mno na matumizi yake kwa sasa ni takribani 50% ya maji yanayozalishwa. Kwa hiyo, Serikali imeamua Vijiji vya Jimbo la Musoma Vijijini na Jimbo la Butiama visambaziwe maji hayo ya ziada. Kwa upande wa Jimbo la Musoma Vijijini, Vijiji vyote vya Kata za Etaro, Nyegina, Nyakatende na Ifulifu vitasambaziwa maji hayo na tayari Mradi unatekelezwa.

    (vii) MRADI WA MAZIWA MAKUU Vijiji thelathini na tatu (33) vya Jimbo la Musoma Vijijini vilivyoko

    karibu na Ziwa Viktoria, vimo kwenye Mradi huu. Usanifu

    umekamilika na Serikali inajipanga ianze utekelezaji wake.

  •   

    58  

    5.1.2 MIRADI YA MAJI AMBAYO USANIFU UMEKAMILIKA  

    (i) MRADI WA MIKUYU Katika utekelezaji wa Mradi huu, maji yatachukuliwa Kijijini Chumwi na kusambazwa kwenye Vijiji vinane (8) ambavyo ni Chumwi, Mikuyu, Mabui Merafuru, Nyambono, Saragana, Kanderema, Bugoji na Kaburabura.

    (ii) MRADI WA BUGWEMA Vijiji vitakavyohudumiwa na Mradi huu ni Bugwema, Masinono, Muhoji na Kinyang'erere, vyote vya Kata ya Bugwema. Miradi hii miwili ambayo usanifu wake umekamilika (Mradi wa Mikuyu na Mradi wa Bugwema), imewasilishwa Serikalini na Mbunge wa Jimbo anafuatilia upatikanaji wa fedha za utekelezaji wake. Vilevile, Mbunge wa Jimbo kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Musoma, amewasilisha Serikalini Ombi la Mradi wa Visima 20.

    5.2 MRADI WA KUSAMBAZA UMEME VIJIJINI (REA) Serikali kupitia Wakala wa Usambazaji wa Umeme Vijijini (REA) imepiga hatua kubwa ya usambazaji wa umeme katika Vijiji vya Jimbo la Musoma Vijijini ambapo hadi kufikia Juni 2019, Jumla ya Vijiji 63 kati ya Vijiji 68 tayari vimeshapata umeme. Pia jumla ya Vitongoji 149 kati ya Vitongoji 374 vimeshapatiwa umeme

    Hata hivyo, katika hatua ya utekelezaji wa Mradi wa REA III Awamu I, kwa upande wa Musoma Vijijini, Jumla ya Vijiji vinavyotakiwa kusambaziwa umeme ni 30, ambavyo tayari vimewashwa ni 7. Aidha Vijiji vinavyotarajiwa kuunganishiwa

  • umemKakishNishatSerikavitapa

    Waz

    Kijijin

    ute

    me kwa heri, Nyti, Mhe ali isemaatiwa um

    ziri wa N

    ni Nyaka

    kelezaji

    mwezi wyang’om

    Dkt Mayo Viji

    meme ifik

    Nishati, M

    tende, K

    wa Mrad

    wa Julaia, Kuruk

    Medard Kiji vyote

    kapo mw

    Mhe Dkt

    Kata ya N

    di wa Um

    Mus

     

    i 2019 kerege n

    Kalemanie 68, naakani (20

    Medard

    Nyakaten

    meme wa

    soma Vij

    ni vinnena Kigeri alirudia Vitong020).

    d Kalema

    de waka

    a REA III

    jijini

    e (4). Vra Etumia kusisigoji vya

    ani akiwa

    ati alipok

    II ndani y

    Vijiji hivma. Waziitiza ahake vyot

    asha ume

    kuwa akik

    ya Jimbo

      

    59 

    vyo ni iri wa adi ya e 374

    eme

    kagua

    o la

  •   

    60  

    5.3 MIRADI YA BARABARA 5.3.1 UJENZI WA BARABARA YA LAMI (TANROADS) Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Mwijarubi Muhongo kwa jitihada zake za kushirikiana na Serikali ya Awamu ya Tano, amekuwa akifuatilia kwa ukaribu sana Mradi huu wa Barabara ya Lami ya Musoma – Mugango – Makojo - Busekela. Hivyo, Jimbo la Musoma Vijijini limepiga hatua kubwa sana hasa ile ya kupata, "No Objection" kutoka Wizarani - yaani Wizara imeridhia Mradi huo utekelezwe. Mbunge wa Jimbo anafuatilia kila hatua ya matayarisho na anawasiliana na ngazi zote za Serikali. Ahadi ya Rais wetu, Mhe Dkt John Pombe Joseph Magufuli ya kujenga barabara hili la Kilomita 92 kwa kiwango cha lami imeanza kutekelezwa.

    5.3.2 MATENGENEZO YA BARABARA (TANROADS) Jimbo la Musoma Vijijini lina barabara mbili zinazohudumiwa na TANROADS ambazo ni Musoma - Mugango - Makojo - Busekela. Fedha za matengenezo ya kawaida zimeendelea kuwepo kwenye Bajeti za Serikali za kila Mwaka.

    Barabara ya pili ni ile ya Murangi – Bugwema – Manyamanyama (Bunda) ambayo imeendelea kuhudumiwa na TANROADS kwa matengenezo ya mara kwa mara. Barabara hii inapitika mwaka mzima.

  • MbunkuhakSerika

    5.3.3 BBarabBarabhizi ziMatenMbunikiwem

    NaiEdwincha Bu

    ge wa Jimkikisha kwalini kwa

    BARABara zoteara Vijijinatenge

    ngenezo ge wa Jmo ufuat

    bu Wazin Ngonyaukima (h

    M

    mbo anawamba ba mateng

    BARA VIe za Vijijini (TA

    enezwa nhayo ni Jimbo atiliaji wa

    ri wa Ujani (aliyhawapo pMusoma

    ashirikianbarabara genezo ya

    IJIJINI ijini kwRURA)

    na zinapipamoja

    anawasilia Bajeti y

    jenzi, Ucesimamapichani) – Muga

     

    na na TAkuu hizi

    ake.

    (TARUa sasa zna wana

    itika kwna ujenziana na yao (TAR

    chukuzi na) akizunkuhusu

    ango – M

    ANROADi za Jimb

    URA) zinahuduajitahidi

    wa urahiszi wa ma

    TARURRURA) n

    na Mawangumza nujenzi w

    Makojo - B

    DS kwa bo zinapa

    umiwa nkuhakik

    si kwa madaraja yRA kwandani ya

    asiliano, na Wana

    wa barabaBusekela

    karibu sata Bajet

    na Wakakisha bar

    mwaka myaliyohara karibua Serikali

    Mhe Injianchi wa ara ya laa

      

    61 

    ana ti

    ala wa rabara

    mzima. ribika.

    u sana i.

    inia Kijiji

    ami ya

  • 6. USAIli kurshughuMwijaJimboifuatav

    (i) KEna kuVijijin(ii) TIVijijinHalmawafan

    Gari (Prof

    AFIRI Jrahisishauli nyinarubi Muni kwa vyo:

    ENTA 1:toa usaf

    ni. IPA 1: Kni. ashauri n

    nya kazi w

    (KENTA)f Sospeter

    JIMBONa zoezi langine zauhongo a

    ajili y

    : Kwa ajifiri kwa

    Kufanya

    nayo wawake na

    ) iliyotolr Mwijar

    NI (MAGa usafirisa Jimbo,alinunua

    ya shugh

    ili ya usowenye

    shughul

    anatumiakwa shu

    lewa na Mrubi Muh

     

    GARI Yhaji wa v, Mbung MAGA

    huli za

    ombaji wmahitaji

    i za ujen

    a MAGAughuli za

    Mbungehongo kw

    YA MBUvifaa mbge wa J

    ARI mawMaende

    wa vifaa i ndani

    nzi ndani

    ARI hayake za uje

    e wa Jimbwa ajili y

    UNGE) balimbaliJimbo, P

    wili (2) neleo ya

    mbalimbya Jimb

    i ya Jimb

    ya kwa enzi na n

    bo la Muya shugh

    i vya ujeProf So

    na kuyakJimbo

    bali vya bo la Mu

    bo la Mu

    uhamishnyingine

    usoma Vihuli za Jim

      

    62 

    enzi na ospeter abidhi kama

    ujenzi usoma

    usoma

    ho wa ezo.

    Vijijini, mbo.

  • GariProf

    7. UTUKatikaMbunMuhonVincenVedasInitiatkwa aVijijinMICH

    i (TIPA) f Sospeter

    UNZAJa zoezi ge wa Jngo kwant Naan

    stus Mative (ND

    ajili ya kni na MitHE ya mi

    iliyotoler Mwijar

    JI WA Mzima l

    Jimbo laa kushiro Anneythayo nI), wamekupandwtaa ya Miti zaidi y

    ewa na Mrubi Muh

    MAZINGla kupama Musomrikiana ny, Mbun

    na Kikuneanzisha

    wa katikaMusoma Mya Milion

     

    Mbunge whongo kw

    GIRA mbana nma Vijijna Mkuunge wa Jndi cha a Mradi wa Vijiji Mjini. Mni kumi

    wa Jimbowa ajili y

    na mabini, Pro

    u wa WJimbo la

    Wana wa uotesvyote v

    Mradi huu(10).

    o la Musya shugh

    adiliko f Sospet

    Wilaya ya MusomNyanja

    shaji wa vya Jimbu unakus

    soma Vijhuli za Jim

    ya tabiter Mwia Musom

    ma MjiniDevelopmiche y

    bo la Musudia kuo

      

    63 

    ijini, mbo.

    ianchi, ijarubi ma Dr , Mhe pment

    ya miti usoma otesha

  • Mkuk

    Kumuupan

    8. MICMbunMuhonMusom 8.1 KUKwenywa JimVijiji.

    uu wa Wikatika zousoma ikndaji wa

    na

    CHEZOge wa Jngo amma kwen

    UDUMIye mipanmbo, am

    ilaya ya Moezi la upkiwa ni ismiti katimaeneo

    O NA UTJimbo la

    meendeleanye masu

    ISHA NAngo ya k

    meunda M

    Musomapandaji mshara ya ika maenya Taas

    TAMADa Musoma kushiruala ya M

    A KUKUkudumishMabaraz

     

    a, Dr Vinmiti katikUhamas

    neo mbalsisi za Se

    DUNI ma Vijijrikiana nMichezo

    UZA UTha na kukza ya W

    ncent Naka Shulesishaji wlimbali yerikali na

    ini, Prona Wanna Utam

    TAMADkuza utamazee kat

    ano Anne ya Msinwa Wanaya makaza za Bina

    f Sospetnanchi wmaduni.

    DUNI maduni wtika ngaz

    ney akishngi Bwainchi kus

    zi, mashaafsi

    ter Mwiwa Wilay

    wetu, Mzi ya Ka

      

    64 

    hiriki i shiriki amba

    ijarubi ya ya

    Mbunge ata na

  • MabarUshawkushawKata utamaVileviNGOMWaku MashiMbunzawadSospet

    MbMu

    Wil

    raza haywishi, Uwishi utzao. V

    aduni wetile, MbunMA za lima ya N

    indano yge wa Ji

    di na mtter Mwij

    unge wauhongo (laya wak

    yaliyofa

    ya yanajuUtamaduntekelezajVilevile, tu wa asinge wa JASILI

    NANEN

    ya KUPIimbo. Wtayarishajarubi M

    a Jimbo l(wa tatu kishuhudifanyika k

    ulikana ni na Mi wa M

    yanatoili. Jimbo am

    ya kilaNANE.

    IGA KAWashindi aji wake

    Muhongo.

    la Musomkushoto)ia Mashi

    katika Kij

     

    kama, “Maadili”.iradi ya a ushau

    meanzisha mwak

    ASIA nawa masambaye

    .

    ma Vijijin) akiwa nindano yjiji cha S

    “Baraza . Kazi Maende

    uri kwe

    ha mashika kushe

    ayo yaposhindanoe ni Mb

    ni, Prof na Viongya KwayaSuguti, ta

    la Wazeyake nieleo kweenye ud

    indano yeherekea

    o na yao yote habunge w

    Sospeter

    gozi mbaa na Ngoarehe 8/8

    ee la Usi kushauenye Vijdumishaj

    a KWAYa Sikuku

    alianzishwaya wanaa Jimbo

    r Mwijaralimbali woma za A8/2016.

      

    65 

    shauri, uri na jiji na ji wa

    YA na uu ya

    wa na apewa

    o, Prof

    rubi wa

    Asili

  • KikMash

    Kikwa

    kundi chaindano y

    ikundi chanza kati

    20

    a KIWAJya Shere

    ha Kwayika Mash016 katik

    JAKI kutohe za Na

    8

    a kutokahindano yka Kijiji c

     

    oka Kataanenane 8/8/2016

    a Kata yaya Nanecha Sugu

    a ya KiriKijijini S

    6

    a Bugoji enane yauti, Kata

    iba kikishSuguti. I

    kilishikaliyofanyi

    a ya Sugu

    hiriki katIlikuwa ta

    a nafasi yika Agosuti

      

    66 

    tika arehe

    ya st 8,

  • MweMag

    akika

    8.2 MMbun

    Muhon

    Miguu

    kuhak

    kupata

    Katika

    Wafad

    micha

    K

    k

    enyekiti wgoma (k

    abidhi za

    MPIRA Wge wa J

    ngo ni M

    u amba

    kikisha ti

    a ushindi

    a eneo

    dhili Wa

    ango aliy

    Kulipia k

    kwa wach

    wa Halmkushoto) aawadi kw

    Kup

    WA MIGJimbo la

    Mshiriki m

    apo am

    imu zetu

    i.

    hili, M

    akuu wa

    yotoa kwa

    kodi ya p

    hezaji.

    mashauriambaye p

    wa Washipiga Kasi

    GUU a Musom

    mzuri ka

    mekuwa

    u zinache

    Mbunge

    a Timu y

    a Timu h

    pango na

     

    i ya Wilaypia ni D

    indi wa kia tarehe

    ma Vijij

    atika ma

    akitoa

    eza katik

    wa Jim

    ya Biash

    hii ni:

    a kununu

    aya ya MDiwani wakwanza ke 31/12/2

    ini, Pro

    asuala ya

    micha

    ka mazin

    mbo ame

    hara Uni

    ua magod

    Musoma,Ma Kata ykatika M2016

    f Sospet

    a mchezo

    ango m

    ngira ya

    ekuwa n

    ited Ma

    doro, mit

    Mhe Chaya Mugan

    Mashindan

    ter Mwi

    o wa Mp

    mbalimba

    kuridhis

    ni mmo

    ra. Baad

    to na ma

      

    67 

    arles ngo no ya

    ijarubi

    ira wa

    ali ili

    sha na

    oja ya

    dhi ya

    ashuka

  • K K K

    Kwa ujezi kwMbali VijijinMashivipaji kuchundani

    Wachamb

    Kutoa moKununuaKuchang

    upande mwa timu

    na Timni anataraindano yna hatim

    ukuliwa nna nje ya

    hezaji wabayo ina

    otisha kwa chakulaia usafiri

    mwinginezote za V

    mu hiyo ajia kuunya vijanamaye kuna Timu a nchi.

    a Timu yashiriki L

    wa wacha cha waci wa wac

    e, MbunVijana kaya Bias

    nda Tima Vijijin

    uwa na hya Biash

    ya MpiraLigi kuu y

     

    ezaji na chezaji nchezaji n

    ge wa Jiatika Vijshara, M

    mu ya Jimni, Katanhazina khara Unit

    a wa Migya Tanza

    viongozna viongona viongo

    imbo amjiji vyote

    Mbunge wmbo la Mni hadi

    kubwa yated na tim

    guu ya Bania Bar

    i wote ozi wao ozi wa T

    mewahi kue 68 na mwa Jimb

    Musoma VJimbo ka vijana mu nying

    iashara ra (TPL),

    Timu

    utoa mipmashulenbo la MuVijijini kkwa kuc

    watakaogine kub

    United M, 2018/20

      

    68 

    pira na ni. usoma kupitia chagua oweza

    bwa za

    Mara 019

  •   

    69  

    9. USHIRIKI KWENYE MASUALA YA KIJAMII

    Mbunge wa Jimbo amekuwa mstari wa mbele katika kuguswa na kushirikiana na Jamii yake hasa katika matatizo mbalimbali kama ya maafa na misiba. Yafuatayo ni baadhi ya MATUKIO ambayo Mbunge wa Jimbo ameweza kuwafikia na kuwasaidia Wananchi Vijijini mwao: (i) Kutembelea na kuzipa pole familia 5 za Kijiji cha Kiemba

    zilizokumbwa na adha ya kubomokewa na nyumba na nyingine kuezuliwa mapaa. Mbunge wa Jimbo alichangia mabati, saruji na misumari kwa ajili ya kujenga nyumba zilizobomoka.

    (ii) Kuwapa pole waathirika wa kimbunga katika Kijiji cha Bukima, Kata ya Bukima na kutoa msaada wa mabati, mbao, saruji na misumari kwa familia moja ya mama mzee (mjane).

    (iii) Kuwatembelea waathirika wa mafuriko na kimbunga katika Vijiji vya Busekela, Bukumi, Rusoli, Buanga na Kastam ambapo alitoa msaada wa chakula kwa familia 11 za Kijiji cha Bukumi.

    (iv) Kuwapa pole waathirika wa mvua iliyoambatana na upepo mkali katika Kata ya Ifulifu. Alitoa msaada wa chakula kwa kaya zipatazo 45 ambazo nyumba zao ziliezuliwa na mazao kuharibika mashambani.

    (v) Kutoa msaada wa taa na chaja za simu zinazotumia Mionzi ya Jua kwa familia tatu zilizopata matatizo ya kimbunga Kijijini Kiemba.

  •   

    70  

    (vi) Kuwapa pole waathirika wa kimbunga Kijijini Kurukerege, Kata ya Nyegina na kutoa msaada kwa Mama Mjamzito aliyeangukiwa na ukuta na kumpatia msaada wa Tsh 200,000/= kwa ajili ya matibabu.

    (vii) Kutoa misaada ya sare za Shule kwenye Vijiji vya Seka, Wanyere, Murugee na mchango wa Ada kwa Familia zisizo na uwezo.

    (viii) Kuwapa pole waathirika wa kimbunga na kutoa msaada wa gharama za matibabu kwa waathirika wa mbwa mwenye kichaa katika Kijiji cha Masinono, Kata ya Bugwema.

    (ix) Kutoa rambirambi katika misiba mbalimbali ya viongozi wa Chama na Serikali na wananchi wengine.

    (x) Kutoa msaada wa gharama za matibabu kwa wagonjwa mbalimbali wasio na uwezo hasa wazee pale ilipowezekana.

    (xi) Kutoa msaada wa gharama za kilimo kwa familia zisizo na uwezo ili kuziongezea uwezo wa kupata chakula.

    (xii) Kutoa misaada ya usafiri na matengenezo ya vyombo vya usafiri kwa wazee na familia zenye watu wenye ulemavu.

    (xiii) Kutoa misaada ya kujikimu kwa wazee na familia mbalimbali zisizo na uwezo.

    (xiv) Kugharamia ujenzi wa nyumba ya familia ya watu wenye ulemavu wa ngozi Kijijini Kiriba.

  • Mbuakitoa

    Mbun(aliyevkwa m

    unge wa a maelek

    ya Joh

    nge wa Jimvaa fulanmoja ya fa

    Jimbo, Pkezo ya kuhnson Ny

    mbo la Ma ya kijan

    familia zil

    Prof Sospukamilisyeura (ka

    Musoma Vini katikatlizopatwa

    y

     

    peter Mwsha ujenzatikati al

    Vijijini, Prti) akikaba na maafya Ifulifu

    wijarubi zi wa nyuliyeshika

    rof Sospetidhi msaafa katika Ku

    Muhongumba ya a kinasa

    ter Mwijaada wa mKijiji cha

    go (kushokuishi fasauti)

    arubi Muhmabati na a Kabegi,

      

    71 

    oto) familia

    hongo saruji Kata

  • MbuMuho

    10. KUMbun

    Muhon

    mbalim

    Sikuku

    mwa

    Ramad

    (Wakr

    unge wa ngo akiw

    mar

    USHIRIge wa J

    ngo ame

    mbali w

    uu zao z

    Sikukuu

    dhan na

    risto)

    Jimbo lawa na bara baada

    IKIANAJimbo la

    ekuwa ak

    wakiwem

    zinazotam

    u hizo ni

    Sikuku

    a Musomaadhi ya a ya kuw

    A NA MAa Musom

    kiungana

    mo Waisl

    mbulika

    i pamoja

    ya Idd E

     

    ma VijijinWanancapatia ch

    ADHEHma Vijij

    a pamoja

    lamu na

    kwa mu

    a na Mfu

    El Fitr (W

    ni, Prof. chi wa Vijhakula c

    HEBU Yini, Pro

    a na Wa

    a Wakris

    ujibu wa

    fungo wa

    Waislam

    Sospeterijiji vya Kcha msaa

    A DINI f Sospet

    aumini w

    stu katik

    a imani z

    a Mwezi

    m), Pasak

    r MwijarKata ya Iada.

    ter Mwi

    wa Madh

    ka kuazi

    zao. Mio

    i Mtuku

    ka na Kri

      

    72 

    rubi Ifulifu

    ijarubi

    hehebu

    imisha

    ongoni

    ufu wa

    ismasi

  • WauMs

    Katikaameku F

    R N

    (W M

    mP

    umini wasikiti wa

    a Sikukuuwa akicFutari yRamadhaNg’ombeWaislam

    Mchele, mbalimbaPasaka na

    a Dini yaBusekela

    uu z