nguvu yetu volume 10€¦ · mnufaika wa mradi kabla na baada ya mafunzo. sambamba na hilo, watu...

5
TUSONGE - UTANGULIZI Hili ni gazeti linaloonyesha mwenendo mzima TUSONGE kwa kipindi cha miezi mitatu (Jula 2017). Katika kipindi hiki, shirika limewe utekelezaji wa miradi mitatu (Mradi wa uchu binadamu na mradi wa kupinga ukatili na katika wilaya ya Siha (Kata ya Ivaeny na B Vijijini kata ya Mbokomu na kata ya Arusha mjini kata ya Msaranga, Boma mbuzi. inapenda kushirikisha wadau mbalimba maendeleo ya kazi za mradi kulingana na ki cha utekelezaji. Hii ni moja ya mbinu inayotumiwa na shirika la TUSONGE kw kupata maoni na ushauri katika kubores miradi zinazoendelea ndani na nje ya shirika. YALIYOFANYIKA KIPINDI CHA JULY-SE MRADI WA UCHUMI Katika kipindi hiki shirika lilifanya utafi kwa wanufaika wa sekta ya Maduk pamoja na watu wanaoishi na ulemavu k kujua uelewa wao wa awali kabla ya elim Zoezi hili ni muhimu sana kwani linasa mabadiliko kwa wepesi na kujua mnufaika wa mradi kabla na baada y Sambamba na hilo, watu wanaoishi n waliweza kueleza mahitaji yao ambayo wa kumbukumbu, mpango wa biashara fedha, utunzaji wa muda na namna ya biashara ya pamoja. Haya yote yaliweza utoaji wa elimu iliyolenga mahitaji m wanufaika wetu. Wanachama wa Sekta ya maduka wakiw kazi za makundi TOLEO LA 10 JULY-SEPTEMB - CDO a wa kazi za ai-Septemba eza kufanya umi, haki za a ukeketaji) Biriri), Moshi chini, Moshi TUSONGE ali kuhusu ipindi chake u shirikishi wa lengo la sha kazi za . EPTEMBA iti wa awali ka, Chakula kwa lengo la mu kutolea. aidia kupima historia ya ya mafunzo. na ulemavu ni utunzaji a, elimu ya a kuanzisha kurahisisha muhimu ya Shirika lilitoa elimu ya ujasir Msaranga ndani ya sekta wanufaika 96, kati yao (Mad kilimo na ufugaji 34 kwa Mahitaji maalum. Elimu h hamasa kubwa ndani ya jam wengi walijitokeza na kushiriki lengo la kuinuka kiuchumi. MRADI WA KUPINGA UKATI UKEKETAJI Kutokana na ongezeko la mat za utotoni, ubakaji, ulaw kuanzia ngazi ya familia had TUSONGE limeweza kushirikiana wakiwemo (viongozi wa dini, v kijiji na kata, waalimu, sekta jinsia katika kutoa elimu kuhus watoto, vijana na makundi ya maalum. Elimu hii ilitolewa (wanawake 65, wanaume mahitaji maalum 4 (Wanaw na watoto 35. Kwa lengo la kujenga uelewa wa na desturi kandamizi ndani imekuwa na mapokeo chanya chini kwani iligundulika kuwa wengi wahamiaji wenye tabia tofauti zilizo kinyume na m binadamu. Afisa Mradi wa uchum ujasiriamali na ubunif wa katika BA 2017 riamali katika jamii ya tatu kwa jumla ya duka 32, Chakula 30, a watu wanaoishi na hii imepokelewa kwa mii kwani wanufaika i kwenye mafunzo kwa ILI WA KIJINSIA NA tukio ya kikatili (ndoa witi na ukeketaji) di jamii, shirika la a na wadau mbalimbali viongozi wa serikali ya ya afya na dawati la su haki za wanawake, wanaoishi na mahitaji kwa wanufaika 135 e 31, watu wenye wake 2, wanaume 2) a kuondokana na mila ya jamii. Elimu hii katika kata ya Arusha ni eneo lenye watu a na tamaduni tofauti maadili na haki za mi akitoa elimu ya ifu katika biashara

Upload: others

Post on 23-Feb-2020

12 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

TUSONGE -

UTANGULIZI Hili ni gazeti linaloonyesha mwenendo mzima wa kazi za

TUSONGE kwa kipindi cha miezi mitatu (Julai2017). Katika kipindi hiki, shirika limeweza kufanya

utekelezaji wa miradi mitatu (Mradi wa uchumi, haki za

binadamu na mradi wa kupinga ukatili na ukeketaji) katika wilaya ya Siha (Kata ya Ivaeny na Biriri), Moshi

Vijijini kata ya Mbokomu na kata ya Arusha chini, Moshi mjini kata ya Msaranga, Boma mbuzi. TUSONGE

inapenda kushirikisha wadau mbalimbali kuhusu

maendeleo ya kazi za mradi kulingana na kipindi chake cha utekelezaji. Hii ni moja ya mbinu shirikishi

inayotumiwa na shirika la TUSONGE kwa lengo la kupata maoni na ushauri katika kuboresha kazi za

miradi zinazoendelea ndani na nje ya shirika.

YALIYOFANYIKA KIPINDI CHA JULY-SEPTEMBA MRADI WA UCHUMI � Katika kipindi hiki shirika lilifanya utafiti wa awali

kwa wanufaika wa sekta ya Maduka, pamoja na watu wanaoishi na ulemavu kwa lengo la

kujua uelewa wao wa awali kabla ya elimu kutolea. Zoezi hili ni muhimu sana kwani linasaidia kupima

mabadiliko kwa wepesi na kujua historia ya

mnufaika wa mradi kabla na baada ya mafunzo. Sambamba na hilo, watu wanaoishi na ulemavu

waliweza kueleza mahitaji yao ambayo wa kumbukumbu, mpango wa biashara, elimu ya

fedha, utunzaji wa muda na namna ya kuanzisha

biashara ya pamoja. Haya yote yaliweza kurahisisha utoaji wa elimu iliyolenga mahitaji muhimu ya

wanufaika wetu.

Wanachama wa Sekta ya maduka wakiwa katika kazi za makundi

TOLEO LA 10 JULY-SEPTEMBA

- CDO

Hili ni gazeti linaloonyesha mwenendo mzima wa kazi za

TUSONGE kwa kipindi cha miezi mitatu (Julai-Septemba shirika limeweza kufanya

utekelezaji wa miradi mitatu (Mradi wa uchumi, haki za

binadamu na mradi wa kupinga ukatili na ukeketaji) katika wilaya ya Siha (Kata ya Ivaeny na Biriri), Moshi

Vijijini kata ya Mbokomu na kata ya Arusha chini, Moshi Msaranga, Boma mbuzi. TUSONGE

inapenda kushirikisha wadau mbalimbali kuhusu

maendeleo ya kazi za mradi kulingana na kipindi chake cha utekelezaji. Hii ni moja ya mbinu shirikishi

inayotumiwa na shirika la TUSONGE kwa lengo la ka kuboresha kazi za

miradi zinazoendelea ndani na nje ya shirika.

SEPTEMBA

utafiti wa awali

ka, Chakula pamoja na watu wanaoishi na ulemavu kwa lengo la

kujua uelewa wao wa awali kabla ya elimu kutolea. oezi hili ni muhimu sana kwani linasaidia kupima

mabadiliko kwa wepesi na kujua historia ya

mnufaika wa mradi kabla na baada ya mafunzo. hilo, watu wanaoishi na ulemavu

waliweza kueleza mahitaji yao ambayo ni utunzaji wa kumbukumbu, mpango wa biashara, elimu ya

fedha, utunzaji wa muda na namna ya kuanzisha

Haya yote yaliweza kurahisisha aji muhimu ya

� Shirika lilitoa elimu ya ujasiriamali katika jamii ya Msaranga ndani ya sekta tatu kwa jumla ya

wanufaika 96, kati yao (Maduka 32,

kilimo na ufugaji 34 kwa watu wanaoishi na

Mahitaji maalum. Elimu hii imepokelewa kwa

hamasa kubwa ndani ya jamii kwani wanufaika wengi walijitokeza na kushiriki kwenye mafunzo kwa

lengo la kuinuka kiuchumi.

MRADI WA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA NA

UKEKETAJI

Kutokana na ongezeko la matukio ya kikatili

za utotoni, ubakaji, ulawiti kuanzia ngazi ya familia hadi jamii, shirika la

TUSONGE limeweza kushirikiana na wadau mbalimbali

wakiwemo (viongozi wa dini, viongozi wa serikali ya kijiji na kata, waalimu, sekta ya afya na dawati la

jinsia katika kutoa elimu kuhusu haki za wanawake, watoto, vijana na makundi ya wanaoishi na mahitaji

maalum. Elimu hii ilitolewa kwa wanufaika 135

(wanawake 65, wanaume 31, watu wenye mahitaji maalum 4 (Wanawake 2, wanaume 2)

na watoto 35.

Kwa lengo la kujenga uelewa wa kuondokana na mila na desturi kandamizi ndani ya jamii. Elimu hii

imekuwa na mapokeo chanya katika kata ya Arusha

chini kwani iligundulika kuwa ni eneo lenye watu wengi wahamiaji wenye tabia na tamaduni tofauti

tofauti zilizo kinyume na maadili na binadamu.

Afisa Mradi wa uchumi akitoa elimu ujasiriamali na ubunifu katika biashara

Wanachama wa Sekta ya maduka wakiwa katika

SEPTEMBA 2017

elimu ya ujasiriamali katika jamii ya Msaranga ndani ya sekta tatu kwa jumla ya

Maduka 32, Chakula 30,

kwa watu wanaoishi na

. Elimu hii imepokelewa kwa

hamasa kubwa ndani ya jamii kwani wanufaika jitokeza na kushiriki kwenye mafunzo kwa

MRADI WA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA NA

Kutokana na ongezeko la matukio ya kikatili (ndoa

za utotoni, ubakaji, ulawiti na ukeketaji) kuanzia ngazi ya familia hadi jamii, shirika la

TUSONGE limeweza kushirikiana na wadau mbalimbali

wakiwemo (viongozi wa dini, viongozi wa serikali ya kijiji na kata, waalimu, sekta ya afya na dawati la

jinsia katika kutoa elimu kuhusu haki za wanawake, atoto, vijana na makundi ya wanaoishi na mahitaji

Elimu hii ilitolewa kwa wanufaika 135

(wanawake 65, wanaume 31, watu wenye mahitaji maalum 4 (Wanawake 2, wanaume 2)

Kwa lengo la kujenga uelewa wa kuondokana na mila kandamizi ndani ya jamii. Elimu hii

imekuwa na mapokeo chanya katika kata ya Arusha

chini kwani iligundulika kuwa ni eneo lenye watu wengi wahamiaji wenye tabia na tamaduni tofauti

maadili na haki za

Afisa Mradi wa uchumi akitoa elimu ya ujasiriamali na ubunifu katika biashara

Kwa kuheshimu mbinu shirikishi, elimu hiyo ilitolewa

kwa njia ya semina, mikutano na klabu mashuleni ili kujenga uelewa kuhusu haki za binadamu pamoja na

jinsi ya kukabiliana na matukio ya kikatili yatayojitokeza katika jamii ikiwa ni pamoja na kutoa taarifa kwenye

vyombo husika kama vile dawati la jinsia, Mahakama na wadau mbalimbali.

Kwa kuhakikisha utekelezaji wa elimu iliyotolewa, shirika liliweza kuunda timu ya ufuatiliaji shirikishi

(wanawake 2 na wanaume 3) ndani ya jamii na kuwaelimisha namna ya kukusanya taarifa

zinazoonyesha matokeo baada ya mafunzo. Hii itasaidia

uendelevu na umiliki wa mradi kwa jamii.

TUSONGE - CDO

Toleo la 10 ���� July-Septemba 2017

Viongozi wa dini na serikali wakipata elimu ya jinsi ya kupinga ukatili na ukeketaji – Kata ya Arushachini

Mshiriki mwenye mahitaji maalumu akiwasilisha

Kwa kuheshimu mbinu shirikishi, elimu hiyo ilitolewa

kwa njia ya semina, mikutano na klabu mashuleni ili kujenga uelewa kuhusu haki za binadamu pamoja na

kikatili yatayojitokeza katika jamii ikiwa ni pamoja na kutoa taarifa kwenye

vyombo husika kama vile dawati la jinsia, Mahakama na

Kwa kuhakikisha utekelezaji wa elimu iliyotolewa, shirika liliweza kuunda timu ya ufuatiliaji shirikishi (watu 5

ndani ya jamii na namna ya kukusanya taarifa

zinazoonyesha matokeo baada ya mafunzo. Hii itasaidia

MRADI WA UELIMISHAJI HAKI ZA

Kwa kipindi cha mwezi wa saba hadi wa tisa,

kumekuwa na kazi za uelimishaji jamii

matumizi ya Kitabu cha Mwongozo kwenye

uelimishaji haki za binadamu. Lengo la warsha hizi ndani ya jamii ni: Kuimarisha uwezo wa wanajamii

katika uelimishaji haki za binadamu na kuzingatia utumiaji wa mbinu shirikishi.

Mashirika 17 yaliyopata elimu ya Kitabu mnamo mwezi Mei, 2017 yameweza kuchagua washiriki katika

jamii za Njoro Sokoni, Njoro Viwandani zilizopo Moshi Mjini pamoja na Akeri iliyopo Tengeru na

mafunzo kwa mfumo wa warsha ambapo zimefikia

hatua ya utekelezaji au kuchukua hatua ya kuelimisha jamii katika maswala yanayogusa jamii. Kazi hizo

zitafanywa na wanajamii wenyewe waliopata mafunzo. Njia hii huwasaidia kumiliki mchakato,

kuongeza ufahamu na kumudu uelimishaji haki za

binadamu ndani ya jamii zao.

Wanajamii waliopata mafunzo wanapitishwa katika hatua tano za Kitabu cha Muongozo wa uelimishaji

haki za binadamu ambazo ni:- 1. Kuchunguza Hamasa

2. Kuchunguza Muktadha

3. Kulenga mabadiliko na kuwek

4. Kuchukua hatua

5. Ufuatiliaji na tathmini Mashirika yamefanikiwa kuwapitisha wanajamii katika

hatua tatu za Kitabu ambapo ziliweza kuwasaidia

kupanga hatua kulingana na swala la uvunjaji haki za binadamu lililokithiri ndani ya jamii zao. Kata ya Ak

Arusha imeamua kulenga swala la ushiriki wa wanawake katika maamuzi. Kata za Njoro Viwandani

na Sokoni zimeamua kutoa elimu katika swala la Ukatili wa Kingono dhidi ya watoto.

Mbinu Shirikishi katika utoaji elimu ya haki za binadamu ni muhimu kwani huwapa fursa wanajamii

kutoa mawazo na michango yao katika mijadala, na pia kutafakari kwa kina maswala yanayogusa jamii

zao na baadaye kupanga mikakati na mipango ya utatuzi wa maswala ya haki za binadamu kwa pamoja.

Hivyo kusaidia kuimarisha utendaji kazi

iliyomo ndani ya jamii na kuchangia kuleta mabadiliko.

jinsi ya Kata ya Arushachini

Mshiriki mwenye mahitaji maalumu akiwasilisha

UELIMISHAJI HAKI ZA BINADAMU

Kwa kipindi cha mwezi wa saba hadi wa tisa,

kumekuwa na kazi za uelimishaji jamii juu ya

Kitabu cha Mwongozo kwenye

uelimishaji haki za binadamu. Lengo la warsha hizi ndani ya jamii ni: Kuimarisha uwezo wa wanajamii

haki za binadamu na kuzingatia

Mashirika 17 yaliyopata elimu ya Kitabu mnamo mwezi Mei, 2017 yameweza kuchagua washiriki katika

jamii za Njoro Sokoni, Njoro Viwandani zilizopo Moshi Mjini pamoja na Akeri iliyopo Tengeru na kutoa

mafunzo kwa mfumo wa warsha ambapo zimefikia

hatua ya utekelezaji au kuchukua hatua ya kuelimisha jamii katika maswala yanayogusa jamii. Kazi hizo

zitafanywa na wanajamii wenyewe waliopata mafunzo. Njia hii huwasaidia kumiliki mchakato,

amu na kumudu uelimishaji haki za

Wanajamii waliopata mafunzo wanapitishwa katika hatua tano za Kitabu cha Muongozo wa uelimishaji

Kulenga mabadiliko na kuweka mipango

Mashirika yamefanikiwa kuwapitisha wanajamii katika

hatua tatu za Kitabu ambapo ziliweza kuwasaidia

kupanga hatua kulingana na swala la uvunjaji haki za binadamu lililokithiri ndani ya jamii zao. Kata ya Akeri,

Arusha imeamua kulenga swala la ushiriki wa wanawake katika maamuzi. Kata za Njoro Viwandani

na Sokoni zimeamua kutoa elimu katika swala la Ukatili wa Kingono dhidi ya watoto.

Mbinu Shirikishi katika utoaji elimu ya haki za uwapa fursa wanajamii

kutoa mawazo na michango yao katika mijadala, na pia kutafakari kwa kina maswala yanayogusa jamii

zao na baadaye kupanga mikakati na mipango ya utatuzi wa maswala ya haki za binadamu kwa pamoja.

Hivyo kusaidia kuimarisha utendaji kazi wa mifumo

iliyomo ndani ya jamii na kuchangia kuleta

Uk. 5

UFUATILIAJI NA TATHMINI

MABADILIKO YALIYOJITOKEZA-MRADI WA UCHUMI

Katika sekta ya maduka, chakula na watu wanaoishi na

ulemavu, wanufaika wameonekana kuwa na mabadiliko kidogo kutokana na elimu kutolewa hivi karibuni, hivyo

wako kwenye hatua ya awali ya utekelezaji. Baadhi ya

mabadiliko hayo ni pamoja na ununuzi wa hisa, kuandaa

mpango wa biashara na kuanzisha biashara ya pamoja

ndani ya vikundi kwa lengo la kuinuka kiuchumi. Sambamba na hilo baadhi ya wanufaika wameweza

kumiliki na kusajili biashara zao kwa kuheshimu mifumo iliyotolewa na serikali.

UANZILISHI WA MRADI WA PAMOJA

Wanufaika wa mradi sekta ya chakula kata ya Msaranga

wameweza kuanzisha mradi wa pamoja wa kuuza na kununua bidhaa za nyumbani kama vile sabuni, mafuta,

mchele na sukari kwa lengo la kuboresha afya ya familia pamoja na kuongeza kipato cha kikundi cha sekta ya

chakula.

UTENGENEZAJI NA MATUMIZI YA MBOLEA YA

ASILI

katika sekta ya kilimo na ufugaji, wanufaika wa mradi wameendelea kuweka kwenye vitendo elimu iliyotolewa

kwa kuweza kutengeneza mbolea ya asili ambayo

imeonekana kuchangia ukuzaji wa mazao ya kilimo yasiyokuwa na madhara kwa afya ya binadamu.

KILIMO CHA UMWAGILIAJI

Baada ya elimu kutolewa kwa wanufaika wa sekta ya

kilimo na ufugaji, uelewa umeongezeka kuhusu kilimo cha umwagiliaji kwa kutumia mifereji, mito na

mabwawa ya asili yaliyopo kwenye jamii, kwani hapo awali wanufaika walikuwa wakitegemea mvua za

misimu ambapo kiwango cha mazao ya kilimo

hayakuwa yakikidhi mahitaji ya wanufaika pamoja na kuuza kwa lengo la kuingiza kipato. Hadi hivi sasa,

mazao yameongezeka kwa kiasi kikubwa pamoja na kuweza kulima zaidi ya mara mbili ndani ya mwaka

mmoja.

Bustani - kilimo cha umwagiliaji kata ya Biriri

UBUNIFU KATIKA BIASHARA UMEONGEZEKA

Wataalamu mbali mbali ambao wametumika kwa kiasi kikubwa katika kutoa elimu kwa wanufaika wa mradi.

Wadau hao ni pamoja na SIDO. Elimu hii imeweza

kuongeza ubunifu kwa wanufaika wa mradi kuhusu ujasiriamali wa kisasa ikiwa ni pamoja na ufungaji

wa bidhaa, usimamizi wa fedha, utunzaji wa muda, uboreshaji wa bidhaa, utafiti wa masoko, pamoja na

matumizi ya tecknologia kama vile simu. Hii inaonyesha kuwa elimu kwa jamii itakuwa endelevu

na itamilikiwa na jamii yenyewe kutokana na utayari

wa wanufaika wa mradi kujiendeleza kielimu kupitia

TUSONGE - CDO

Toleo la 9 ���� July-Septemba 2017

Uk. 3

Wanufaika wa mradi wa TUSONGE sekta ya

chakula wakiuza na kununua bidhaa za nyumbani

kupitia mradi wa pamoja-Kata ya Msaranga

Mnufaika wa mradi akiwa katika zoezi la kutengeneza mbolea ya asili baada ya mafunzo kata ya Msaranga

WANUFAIKA WA MRADI WAMEPATA ELIMU YA

FEDHA KUTOKA NMB

Katika kipindi hiki, wanufaika wa mradi wa kata ya

Msaranga, wamepata fursa ya kuelimishwa kuhusu

usimamizi wa fedha, matumizi na utunzaji wa fedha kwa lengo la kuinua kipato chao na pia kwa ajili ya matumizi

ya baadae.

Jamii iliyofundishwa imeweza kuwa na uelewa mkubwa

na kupata hamasa ya kufungua akaunti binafsi katika tawi hilo. Hii inaonyesha kuwa matumizi ya fedha yasiyo

ya lazima yatapungua kwa kiasi kikubwa kwa kuwa fedha zitatumika kwa malengo kusudiwa na kuhifadhiwa katika

hali ya usalama.

Sambamba na hilo katika mfumo wa sekta, wanufaika

waliweza kuhamasishwa kuhusu umuhimu wa kufungua akaunti ya pamoja na kuepuka kuhifadhi fedha katika

mazingira hatarishi.

Wanufaika wa mradi wa TUSONGE wakipata elimu kutoka taasisi ya fedha (NMB) kata ya Msaranga

NAFASI ZA AJIRA KWA JAMII

Wanufaika wa mradi wa TUSONGE wameweza kutoa

ajira kwa jumla ya watu 12 (wakiume 6, na wakike 6), kati ya hao, 6 wameajiriwa katika sekta ya duka, 4

wameajiriwa katika sekta ya kilimo na ufugaji na 2

katika sekta ya chakula.

Jambo hili limeonyesha uelewa wa wanufaika wa mradi

kuhusu kujikita katika biashara moja yenye kuleta faida

kuliko kufanya biashara nyingi zenye faida kidogo. Hii

imepelekea kutoa nafasi za ajira kwa jamii hususani vijana ambao wako mitaani bila shughuli yeyote.

Sambamba na hilo baadhi ya miradi ya pamoja iliyoanzishwa kutoka sekta ya kilimo na ufugaji imeweza

pia kutoa nafasi za ajira kwa lengo la kuboresha

utekelezaji wa mradi huo kwa ukaribu zaidi.

UELEWA KWA JAMII KUHUSU HAKI ZA WATU

WANAOISHI NA MAHITAJI MAALUMU

IMEONGEZEKA

Kutokana na ushiriki wa watu wenye mahitaji maalumu kwenye miradi ya TUSONGE, imesaidia jamii

na wadau mbalimbali wakiwemo viongozi wa dini

kuona umuhimu wa kuawashirikisha watu hao katika

shughuli za maendeleo, hii imepelekea hali ya

unyanyapaa na ubaguzi kupungua kwa kiasi kikubwa. Kwa kuthibitisha hili wanajamii wakishirikiana na

viongozi wa dini kata ya Msaranga waliweza kutoa eneo la kujenga banda la ufugaji wa kuku za mradi

wa pamoja kwa ajili ya kuboresha afya zao na kipato

kuongezeka.

MABADILIKO YA TABIA, ITIKADI, MITIZAMO,

TAMADUNI, MILA NA DESTURI KANDAMIZI

KATIKA JAMII:

Kutokana na elimu ya kupinga ukatili iliyotolewa katika jamii kata ya Ausha chini hivi karibuni, jamii

imeongeza uelewa mkubwa kuhusu athari zinazotokana na ukatili dhidi ya makundi ya

pembezoni kama vile wanawake, watoto na makundi ya watu waishio na mahitaji maalum. Hali hii

imeweza kujidhihirisha wazi kwa baadhi ya wanufaika

waliofundishwa na kuweza kutoa elimu kwa wengine kupitia mikutano mbalimbali na kuacha kuendelea

kufanya vitendo vya kikatili kwani vilikuwa na madhara makubwa sana kama vile vifo, ndoa za

utotoni na migogoro ndani ya familia.

UELEWA KUHUSU MAENEO YA KUTOLEA

TAARIFA ZINAZOHUSU UKATILI NA

UKEKETAJI UMEONGEZEKA MIONGONI

MWA WANAJAMII:

Kupitia ufuatiliaji na tathimini uliofanyika

katika jamii ya Arusha chini baada ya elimu ya

kupinga ukatili kutolewa, jumla ya kesi 5

zinazohusu ukatili zimeweza kuripotiwa

katika ofisi za kata na vijiji. Hii imethihirisha

kuwa elimu imeweza kuthaminiwa na

kufanyiwa kazi kama shirika linavyotarajia.

TULICHOJIFUNZA JULAI-SEPTEMBA, 2017

Katika kipindi hiki cha utekelezaji, shirika

limeweza kujifunza mambo mbalimbali

kutokana na kazi zilizofanyika katika jamii

kama ifuatavyo:

� Elimu ya fedha kwa wanufaika wa mradi

itasaidia kupunguza matumizi ya fedha

yasiyo ya lazima kwa kuhifadhi fedha bank

kwa usalama Zaidi.

TUSONGE - CDO

Toleo la 10 ���� July-Septemba 2017

Uk. 4

TUSONGE - CDO

� Ushirikiano baina ya TUSONGE na viongozi wa

serikali unaongeza kuaminika kwa kazi za TUSONGE

kwa kuweza kushirikisha viongzi katika mipango, utekelezaji na tathimini ya kazi za mradi zilizofanyika.

� Uwepo wawanufaika wenye mahitaji maalumu katika mradi wa TUSONGE, umesaidia jamii iliyowazunguka

kuwathamini, kuwakubali pamoja na kuepuka

unyanyasaji na ukatili dhidi yao kutokana na elimu ya

haki za binadamu kutolewa.

� Mfumo wa utoaji wa elimu kwa njia ya sekta

umesaidia shirika pamoja na wanufaika wa mradi kupata fursa ya kushirikiana na wadau mbalimbali

� Watu wanaoishi na mahitaji maalumu wana uwezo

mkubwa wa kufikiri, kutekeleza, kufanya maamuzi

na kutoa ushauri katika shughuli za maendeleo ndani ya jamii.

� Uwepo wa watu wanaojitolea ndani ya shirika

imesaidia kuboresha shughuli zinazoendelea nadni na nje ya shirika hususani katika suala zima la

utunzaji wa muda, ubunifu, matumizi ya tecknologia

za mawasiliano na uongozi.

� Umoja na ushirikiano baina ya watumishi wa shirika la TUSONGE, umesaidia kurahisisha shughuli za

utekelezaji wa miradi ndani na nje ya shirika.

� Bidhaa zilizotengenezwa kupitia Miradi ya pamoja,

imesaidia kujenga uaminifu kwa walaji kuubora uliotumika.

FURSA TULIZOKUTANA NAZO KATIKA KIPINDI CHA UTEKELEJI

� Taasisi za kifedha katika jamii zinasaidia kuendeleza elimu ya usisimamizi na matumizi sahihi ya fedha

kwa wanufaika wa mradi.kwa mfano NMB, CRDB na AKIBA BENKI.

� Uwepo wa vituo vya maarifa na kujifunzia ndani ya

jamii vinasaiia muendelezo wa elimu ndani ya jamii

kwa kuwahusisha makuni yote bila kujali jinsia, umri, rangi , kabila na hali ya ulemavu.

� Wataalamu mbalimbali waliopo katika meneo ya mradi kusaidia shughuli zinazoendelea katika jamii

kwa kutoa elimu ya kitaalamu zaidi na hata

kutembelea baadhi ya miradi waliyoianzisha na

kutoa ushauri zaidi.

� Vyombo vya kusikiliza/kusadia maswala mbalimbali

ya kikatili kuanzia ngazi ya familia hadi jamii kuweza

kutumika ipasavyo kwa mfano; Familia, serikali ya

kijiji na kata, Dawati la jinsia na watoto.

Toleo la 9 ���� July -Septemba 2017

Uk. 5

Ushirikiano baina ya TUSONGE na viongozi wa

serikali unaongeza kuaminika kwa kazi za TUSONGE

kwa kuweza kushirikisha viongzi katika mipango, tathimini ya kazi za mradi zilizofanyika.

Uwepo wawanufaika wenye mahitaji maalumu katika mradi wa TUSONGE, umesaidia jamii iliyowazunguka

kuwathamini, kuwakubali pamoja na kuepuka

unyanyasaji na ukatili dhidi yao kutokana na elimu ya

Mfumo wa utoaji wa elimu kwa njia ya sekta

umesaidia shirika pamoja na wanufaika wa mradi kupata fursa ya kushirikiana na wadau mbalimbali

Watu wanaoishi na mahitaji maalumu wana uwezo

mkubwa wa kufikiri, kutekeleza, kufanya maamuzi

ushauri katika shughuli za maendeleo ndani

Uwepo wa watu wanaojitolea ndani ya shirika

imesaidia kuboresha shughuli zinazoendelea nadni na nje ya shirika hususani katika suala zima la

utunzaji wa muda, ubunifu, matumizi ya tecknologia

Umoja na ushirikiano baina ya watumishi wa shirika la TUSONGE, umesaidia kurahisisha shughuli za

utekelezaji wa miradi ndani na nje ya shirika.

Bidhaa zilizotengenezwa kupitia Miradi ya pamoja,

imesaidia kujenga uaminifu kwa walaji kutokana na

FURSA TULIZOKUTANA NAZO KATIKA KIPINDI

Taasisi za kifedha katika jamii zinasaidia kuendeleza elimu ya usisimamizi na matumizi sahihi ya fedha

kwa wanufaika wa mradi.kwa mfano NMB, CRDB

wa vituo vya maarifa na kujifunzia ndani ya

jamii vinasaiia muendelezo wa elimu ndani ya jamii

kwa kuwahusisha makuni yote bila kujali jinsia,

Wataalamu mbalimbali waliopo katika meneo ya zinazoendelea katika jamii

aidi na hata

kutembelea baadhi ya miradi waliyoianzisha na

Vyombo vya kusikiliza/kusadia maswala mbalimbali

ya kikatili kuanzia ngazi ya familia hadi jamii kuweza

ipasavyo kwa mfano; Familia, serikali ya

kijiji na kata, Dawati la jinsia na watoto.

CHANGAMOTO TULIZOKUTANA NAZO NA

MIKAKATI ILIYOTUMIKA KUZITATUA

CHANGAMOTO MIKAKATI YA KUTATUA

Uhaba wa maji katika

maeneo ya mradi umeathiri ukuaji wa mazao

(mahindi, maharage na mboga za majani) ya

wanufaika katika miradi ya pamoja.

Tusonge imeweza

kuhamasisha jamii kuhusu umuhimu wa kuhifadhi maji

kupitia mifumo rahisi ya kama vile, visima kwaajili ya

umwagiliaji.

Baadhi ya wanufaika wamekuwa na uelewa mdogo kuhusiana na mradi

wa pamoja. Hii imepelekea baadhi ya maeneo ya mradi kushindwa kutimiza malengo yake kama

ilivyopangwa.

Shirika likishirikiana na maafisa kilimo na ufugaji limeendelea kutoa elimu zaidi

kuhusiana na faida za kuwa na mradi wa pamoja kwitawasaidia kuongeza kipato kwa haraka zaidi

Baadhi ya wanufaika

wamkuwa na matarajio hasi ya kupewa fedha na shirika kuliko elimu hii inaweza kuathiri uendelevu

wa mradi katika jamii.

Shirika limeendelea kufanya

kazi kwa ukweli na uwazi kuwa lina kazi ya kutoa elimu tuu na wala sio fedha (TUNATOA NYAVU WAENDE WAKAVUE SAMAKI)

HITIMISHO

Ushirikiano baina ya miradi mitatu ndani ya shirika

(mradi wa uchumi, Haki za binadamu na mradi wa kupinga ukatili) inasaidia hali ya uswa kwenye makundi

yote yaliyopo kwenye jamii na pia ongezeko la kipato linalokidhi mahitaji ya wanajamii wote hususani

wamawake, watoto, vijana na wanaoishi na mahitaji

maalumu.

JARIDA HILI LIMETOLEWA KWA UFADHILI

Mkate wa Dunia – Ujerumani

Kituo cha Haki za binadamu - Canada

MAONI, USHAURI TUMA KWA: MKURUGENZI MTENDAJI TUSONGE CDO P.O. Box 1326 – MOSHI Tel: 0272754158/ 0272752578 Mob.: 0769-475577 / 0679-573790 E-mail: [email protected] Website: www.tusongecdo.org

2017

CHANGAMOTO TULIZOKUTANA NAZO NA

MIKAKATI ILIYOTUMIKA KUZITATUA

MIKAKATI YA KUTATUA

Tusonge imeweza

kuhamasisha jamii kuhusu umuhimu wa kuhifadhi maji

kupitia mifumo rahisi ya kama vile, visima kwaajili ya

umwagiliaji.

Shirika likishirikiana na maafisa kilimo na ufugaji limeendelea kutoa elimu zaidi

kuhusiana na faida za kuwa na mradi wa pamoja kwani itawasaidia kuongeza kipato kwa haraka zaidi

Shirika limeendelea kufanya

kazi kwa ukweli na uwazi kuwa lina kazi ya kutoa elimu tuu na wala sio fedha (TUNATOA NYAVU WAENDE WAKAVUE SAMAKI)

Ushirikiano baina ya miradi mitatu ndani ya shirika

(mradi wa uchumi, Haki za binadamu na mradi wa upinga ukatili) inasaidia hali ya uswa kwenye makundi

yote yaliyopo kwenye jamii na pia ongezeko la kipato linalokidhi mahitaji ya wanajamii wote hususani

wamawake, watoto, vijana na wanaoishi na mahitaji

JARIDA HILI LIMETOLEWA KWA UFADHILI WA:

Kituo cha Haki za Canada

Foundation For Civil Society - Tanzania