njia ya msalabajinsi.wdfiles.com/local--files/file:njia-ya-msalaba/njia...ni damu tupu na vidonda, /...

19
Nyimbo na Sala za Ibada ya Njia ya Msalaba Katoliki.ackyshine.com

Upload: others

Post on 07-Mar-2020

139 views

Category:

Documents


5 download

TRANSCRIPT

Page 1: NJIA YA MSALABAjinsi.wdfiles.com/local--files/file:njia-ya-msalaba/NJIA...Ni damu tupu na vidonda, / Machozi, machozi yamfumba macho. Kwa Simoni heri ya kweli, Mimi pia YESU nisaidie,

Nyimbo na Sala za Ibada ya Njia ya Msalaba

Katoliki.ackyshine.com

Page 2: NJIA YA MSALABAjinsi.wdfiles.com/local--files/file:njia-ya-msalaba/NJIA...Ni damu tupu na vidonda, / Machozi, machozi yamfumba macho. Kwa Simoni heri ya kweli, Mimi pia YESU nisaidie,

Umekosa nini we YESU, Kushtakiwa bure kwa Pilato

Wenye kustahili hukumu, Si wewe, si wewe BWANA, ni sisi.

Page 3: NJIA YA MSALABAjinsi.wdfiles.com/local--files/file:njia-ya-msalaba/NJIA...Ni damu tupu na vidonda, / Machozi, machozi yamfumba macho. Kwa Simoni heri ya kweli, Mimi pia YESU nisaidie,

Ole Msalaba huo mzito, Apagazwa mwana mpenzi wa MUNGU.

Mwili waenea mateso, / Alipa, alipa madhambi yetu

Page 4: NJIA YA MSALABAjinsi.wdfiles.com/local--files/file:njia-ya-msalaba/NJIA...Ni damu tupu na vidonda, / Machozi, machozi yamfumba macho. Kwa Simoni heri ya kweli, Mimi pia YESU nisaidie,

Ona Muumba mbingu na nchi, Yupo chini mzigo wamwelemea,

Na mtu kiumbe chake kwa ukali, Ampiga, ampiga bila huruma

Page 5: NJIA YA MSALABAjinsi.wdfiles.com/local--files/file:njia-ya-msalaba/NJIA...Ni damu tupu na vidonda, / Machozi, machozi yamfumba macho. Kwa Simoni heri ya kweli, Mimi pia YESU nisaidie,

Huko njiani we MARIA, Waonaje hali ya mwanao,

Ni damu tupu na vidonda, / Machozi, machozi yamfumba macho.

Page 6: NJIA YA MSALABAjinsi.wdfiles.com/local--files/file:njia-ya-msalaba/NJIA...Ni damu tupu na vidonda, / Machozi, machozi yamfumba macho. Kwa Simoni heri ya kweli, Mimi pia YESU nisaidie,

Kwa Simoni heri ya kweli, Mimi pia YESU nisaidie,

Kuchukua mzigo wa ukombozi, Kuteswa, kuteswa pamoja nawe.

Page 7: NJIA YA MSALABAjinsi.wdfiles.com/local--files/file:njia-ya-msalaba/NJIA...Ni damu tupu na vidonda, / Machozi, machozi yamfumba macho. Kwa Simoni heri ya kweli, Mimi pia YESU nisaidie,

Uso wa YESU Malaika, Betlehemu walikuabudu,

Bahati yake Veronika, Kupangusa, kupangusa Mfalme wa Mbingu.

Page 8: NJIA YA MSALABAjinsi.wdfiles.com/local--files/file:njia-ya-msalaba/NJIA...Ni damu tupu na vidonda, / Machozi, machozi yamfumba macho. Kwa Simoni heri ya kweli, Mimi pia YESU nisaidie,

Wakimvuta huku na huku, Wauaji wanamchokesha bure,

Chini wanamtupa bado kwa nguvu, Aibu, aibu yao milele.

Page 9: NJIA YA MSALABAjinsi.wdfiles.com/local--files/file:njia-ya-msalaba/NJIA...Ni damu tupu na vidonda, / Machozi, machozi yamfumba macho. Kwa Simoni heri ya kweli, Mimi pia YESU nisaidie,

Wanawake wa Israeli, Msilie kwa sababu hiyo,

Muwalilie hao kwa dhambi, Upanga, upanga ni juu yao.

Page 10: NJIA YA MSALABAjinsi.wdfiles.com/local--files/file:njia-ya-msalaba/NJIA...Ni damu tupu na vidonda, / Machozi, machozi yamfumba macho. Kwa Simoni heri ya kweli, Mimi pia YESU nisaidie,

Mwokozi sasa ni ya tatu, Waanguka chini ya msalaba,

Katika dhambi za uregevu, Nijue, nijue kutubu hima.

Page 11: NJIA YA MSALABAjinsi.wdfiles.com/local--files/file:njia-ya-msalaba/NJIA...Ni damu tupu na vidonda, / Machozi, machozi yamfumba macho. Kwa Simoni heri ya kweli, Mimi pia YESU nisaidie,

Muje Malaika wa Mbingu, Funikeni mwiliwe kwa huruma,

Vidonda vyake na utupu, Askari, askari wamemvua.

Page 12: NJIA YA MSALABAjinsi.wdfiles.com/local--files/file:njia-ya-msalaba/NJIA...Ni damu tupu na vidonda, / Machozi, machozi yamfumba macho. Kwa Simoni heri ya kweli, Mimi pia YESU nisaidie,

Hapo MKRISTO ushike moyo, BWANA wako alazwa msalabani,

Mara miguu na mikono, Yafungwa, yafungwa kwa misumari

Page 13: NJIA YA MSALABAjinsi.wdfiles.com/local--files/file:njia-ya-msalaba/NJIA...Ni damu tupu na vidonda, / Machozi, machozi yamfumba macho. Kwa Simoni heri ya kweli, Mimi pia YESU nisaidie,

YESU mpenzi nakuabudu, Msalabani unapohangaika,

Nchi yatetemeka kwa hofu, Na jua, na jua linafifia.

Page 14: NJIA YA MSALABAjinsi.wdfiles.com/local--files/file:njia-ya-msalaba/NJIA...Ni damu tupu na vidonda, / Machozi, machozi yamfumba macho. Kwa Simoni heri ya kweli, Mimi pia YESU nisaidie,

Mama MARIA mtakatifu, Upokee maiti ya Mwanao,

Tumemwua kwa dhambi zetu, Twatubu kwake na kwako.

Page 15: NJIA YA MSALABAjinsi.wdfiles.com/local--files/file:njia-ya-msalaba/NJIA...Ni damu tupu na vidonda, / Machozi, machozi yamfumba macho. Kwa Simoni heri ya kweli, Mimi pia YESU nisaidie,

Pamoja nawe kaburini, Zika dhambi na ubaya wa moyo,

YESU tuwe Wakristo kweli, Twakupa twakupa sasa mapendo.

Page 16: NJIA YA MSALABAjinsi.wdfiles.com/local--files/file:njia-ya-msalaba/NJIA...Ni damu tupu na vidonda, / Machozi, machozi yamfumba macho. Kwa Simoni heri ya kweli, Mimi pia YESU nisaidie,

Katika roho yangu BWANA, Chora mateso niliyokutesa,

Nisiyasahau madeni, Na kazi, na kazi ya kuokoka.

Page 17: NJIA YA MSALABAjinsi.wdfiles.com/local--files/file:njia-ya-msalaba/NJIA...Ni damu tupu na vidonda, / Machozi, machozi yamfumba macho. Kwa Simoni heri ya kweli, Mimi pia YESU nisaidie,
Page 18: NJIA YA MSALABAjinsi.wdfiles.com/local--files/file:njia-ya-msalaba/NJIA...Ni damu tupu na vidonda, / Machozi, machozi yamfumba macho. Kwa Simoni heri ya kweli, Mimi pia YESU nisaidie,
Page 19: NJIA YA MSALABAjinsi.wdfiles.com/local--files/file:njia-ya-msalaba/NJIA...Ni damu tupu na vidonda, / Machozi, machozi yamfumba macho. Kwa Simoni heri ya kweli, Mimi pia YESU nisaidie,

Imeandaliwa na: Melkisedeck Leon Shine

Copyright © All Rights Reserved, Ackyshine

Tembelea katoliki.ackyshine.com Kupata majarida mengine