ripoti ya ufuatiliaji na uwajibikaji kwa jamii (sam)sikika.or.tz/images/content/mp3/iramba report...
TRANSCRIPT
-i-
Halmashauri ya Wilaya ya Iramba – Singida
Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)
Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)
Halmashauri ya Wilaya ya Iramba – Singida
Imeandaliwa na: Timu ya Sam2012
Hatimiliki © 2013Shirika la Sikika, Haki zote zimehifadhiwaTarehe ya kuchapishwa 2013Imeandaliwa na Timu ya SAM Iramba na Shirika la Sikika Imechapishwa na: Digitall Ltd.
-i-
SHUKRANI
Ufuatiliaji wa uwajibikaji jamii ni shughuli pana na yenye mchakato mrefu ili kukamilika. Mwaka 2012 Sikika ilifanya ufuatiliaji wa uwajibikaji jamii katika wilaya tano (5) ambazo ni Iramba, Singida vijijini, Mpwapwa, Kondoa na Kiteto. Lengo la shughuli hii ni kufuatilia uwajibikaji wa viongozi kwa wananchi na kufuatilia kama wanawajibika na kuwajibisha viongozi hao.
Katika kufanikisha kazi hii wadau walihusika na bila wao pengine isingekamilika kikamilifu. Tunapenda kutoa shukrani zetu za dhati kwa timu ya SAM ya wilayaya Iramba iliyokuwa na wajumbe 18. Mchango wao katika hili, umewezesha kazi kukamilika vizuri. Pia tunapenda kushukuru viongozi wa Halmashauri ya Iramba, kipekee shukrani za dhati kwa Mkuu wa Wilaya, Mh. Yahya Nawanda kwa ushirikiano wake tangu mwanzo mpaka mwisho. Mganga Mkuu wa Wilaya na Katibu wa Afya wa Wilaya tunawashukuru kwa kutoa ushirikiano wao na kutupa taarifa pale zilipohitajika. Vilevile tunapenda kushukuru wafanyakazi wote wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba kwa utayari wao pale ambapo timu ya PSAM ya wilaya ilipohitaji msaada wao.
Aidha, tunapenda kushukuru madiwani wote wa Iramba kwa kuonesha ushirikiano mkubwa, hasa wale ambao timu ilitembelea kata zao, na watendaji wote wa kata na vijiji vya Iramba kwa ushirikiano wao.
Shukrani pia ziwafikie wafanyakazi wote wa Sikika kwa ushirikiano wao, tangu maandalizi mpaka kukamilika kwake, kipekee shukrani ziwaendee Tusekile Mwambetania, Chresensia Joseph, Hope Lyimo, Venance Maro na Norah N. Mchaki, kwa ushiriki wao kikamilifu katika ufanikishaji wa kazi hii kuanzia maandalizi hadi utekelezaji.
Ingawa si rahisi kumshukuru mmoja mmoja, lakini timu ya SAM Wilaya, inatambua mchango wa kila mmoja wa waliofanikisha kazi hii kwa namna moja au nyingine.
-ii-
YAlIYomoVifupisho ivShukrani 1Muhtasari 21. Utangulizi 4 1.1 Mchakato wa ufuatiliaji uwajibikaji jamii 5 1.2 Nyaraka za halmashauri zilizochambuliwa 7 1.3 Maeneo yaliyotembelewa na timu 7
2. Sehemu ya kwanza 7 2.1 Uundwaji wa timu 7
3. Sehemu ya pili 8 3.1 Mafunzo na uchambuzi wa nyaraka mbalimbali za 8 kwa timu ya uwajibikaji jamii 3.2 Mpango mkakati na mgawanyo wa rasilimali 8 (mpango mkakati, cchp NMtf) 3.2.1 Usimamizi wa matumizi •Masualayaliyobainikanamapendekezo 3.2.2 Usimamizi wa utendaji •Masualayaliyobainikanamapendekezo 3.2.3 Usimamizi wa uadilifu •Masualayaliyobainikanamapendekezo 3.2.4 Usimamizi wa uwajibikaji •Masualayaliyobainikanamapendekezo
4. Sehemu ya tatu 50 4.1 Mrejesho wa ripoti na majibu kutoka mamlaka ya wilaya
5. Sehemu ya nne 52 5.1 Mkutano wa hadhara na wananchi
6. Sehemu ya tano 54 6.1 changamoto na tuliyojifunza
7. Sehemu ya sita 55 7.1 hitimisho na mapendekezo
-iii-
oRoDHA YA VIFUPISHoBOQ Bid of Quotes (Makadirio ya Mzabuni)cAG controller and Auditor General – Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za serikalicchp council comprehensive health plan – Mpango kabambe wa Afya wa halmashaurichf community health fund – Mfuko wa Afya ya JamiichMt timu ya Afya ya Utawala wa halmashauricMt timu ya utawala ya halmashaurictc counseling and testing centre -Vituo vya ushauri Nasaha na UpimajiDMO DistrictMedicalOfficer–MgangaMkuuwaWilayaIcEScR International convention for Eco – Social and cultural Rights-Azimio la kimataifa juu ya haki za kiuchumi, kijamii na kiutamaduni.MMAM Mpango wa Maendeleo ya Afya ya MsingiMSD Medical Store Department – Bohari kuu ya dawa ya taifaO & OD Opportunity and Obstacle for Development – fursa na vikwazo vya maendeleopMtct prevention of Mother to child transmission (Kuzuia maam bukizi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto)SAM Social Accountability and Monitoring - (Ufuatiliaji wa Uwajibikaji Jamii)tAcAIDS tanzania commission for AIDS – tume ya kudhibiti UKIMWItAMISEMI tawala za Mikoa na Serikali za MitaaTBA TraditionalBirthAttendants–WakungawaJadiVct Voluntary counseling and testing ( hduma ya Kupima na ushauri nasaha) VEO VillageExecutiveOfficer–AfisaMtendajiwaKijijiVVU Virusi vya UkimwiWAVIU WanaoishinaVirusivyaUKIMWIWDC WardDevelopmentCommittee–KamatiyamaendeleoyaKata3U’S Uthibitisho, Uhalalisho na Ufafanunuzi
-iv-
mUHTASARI
Katika wilayaya Iramba Sikika ilianza kwa kukutana na Baraza la Madiwani wa Wilaya ya Iramba tarehe 25 Oktoba, 2012. Nia ikiwa ni kuitambulisha Sikika (maana shirika hilo ndipo lilikuwa linaanza kutekeleza shughuli zake wilayani humo) na kuwajulisha waheshimiwa azma yao ya kufanya uwajibikaji jamii pamoja na wananchiwa wilayaya Iramba. Vilevile, tarehe 26 Oktoba, 2012 Sikika ilifanya mkutano na wadau wa sekta ya afya ikiwa na lengo la kuwatambulisha kazi za shirika na lengo lake la kutekeleza mchakato wa uwajibikaji jamii pamoja na wanajamii katika sekta ya afya ndani ya wilayaya Iramba.
Mikutano hii yote ilifunguliwa na Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Mh. Yahya Nawanda. Uwasilishwaji wa mada ulifuatiwa na kipindi cha majadiliano ambacho kilihusisha maswali na majibu.
Tarehe 29 Oktoba, 2012 hadi 16 Novemba, 2012 mafunzo ya Uwajibikaji Jamii yalianza kwa timu ya SAM ya wilaya. Mafunzo hayo yaligawanyika katika sehemu tatu.
Sehemu ya kwanza ilikuwaya mafunzo ya kinadharia ambapo timu ya SAM ilipitishwa katika mafunzo ya mchakato mzima wa SAM, yaani zile hatua tano na umuhimu wa kila hatua katika mchakato mzima. Sehemu ya pili ya utekelezaji wa ufuatiliaji wa Uwajibikaji Jamii ni uchambuzi wa nyaraka za taarifa na bajeti ya afya ya wilaya.
Kwa mfano CCHP, Mpango Mkakati wa Afya wa Wilaya, ripoti za utekelezaji, ripoti ya Mkaguzi wa Mahesabu. Sehemu ya tatu ya Utekelezaji wa Uwajibikaji Jamii ilikuwa ni kutembelea maeneo husika kwa ajili ya kuthibitisha uhalisia wa taarifa zilizo kwenye nyaraka.
Baada ya kazi hiyo katika sehemu hizo tatu, timu ya uwajibikaji jamii iliandaa taarifa na kufanya mrejesho katika kikao kilichojumuisha wakuu wa idara (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani ya Huduma za Jamii, Mkurugenzi na Mkuu wa Wilaya.Timu ilisoma taarifa ya uchambuzi na changamoto katika vituo vya afya na baadaye Mkuu wa Wilaya kuwataka wenye mamlaka (CHMT na CMT) kutolea majibu changamoto
-v-
zilizowasilishwa na timu;baadhi ya changamoto zilitolewa majibu, kwani Kaimu Mganga Mkuu aliahidi kushughulikia suala la matibabu ya wazee,uuzwaji wa kadi za kliniki na kupeleka mizani katika vituo vya kutolea huduma za afya.
Mwisho,timu ya uwajibikaji jamii iliandaa mkutano wa hadhara katika kata ya Shelui, ili kutoa mrejesho kwa wananchi kuhusu nini kimeibuliwa katika vituo vyao vya afya.Baada ya kazi ya uwajibikaji jamii, wananchi walikuwa na maswali machache ikiwa ni pamoja na kutaka viongozi wao wa kata watoe majibu kuhusu pesa zilizochangishwa kwa ujenzi wa zahanati na baadaye pesa hizo kuliwa kinyemela bila wananchi kupewa taarifa juu ya matumizi ya hizo fedha.
Majibu yaliyotolewa na Diwani wa Kata hiyo, Bw. Kinota baada ya Kaimu Mtendaji kushindwa kujibu, alisema fedha hizo zilitumika kununua vifaa vya ujenzi na zingine kumlipa fundi wa ujenzi aliyefariki dunia kwa bahati mbaya kabla hajamaliza kazi.
-1-
1. UTANGULIZI
KazinzimayaUfuatiliajiwaUwajibikajiJamiikatikaHalmashauriyaWilayaya Iramba,iliratibiwa na kusimamiwa na shirika lisilo la Serikali la Sikika, linalofanya kazi zake za ushawishi na utetezi juu ya utawala bora katika sekta ya afya.
DirayaShirika ni hudumabora za afyakwaWatanzaniawote naDhamirani kuhakikisha usawa na upatikanaji huduma bora za afya kwa kutathmini mifumo ya afya na uwajibikaji katika ngazi zote za Serikali. Sikika inafanya kazi katika wilaya 10 zinazopatikana katika mikoa minne.
Mpwapwa na Kondoa katika mkoa wa Dodoma, Singida Vijijini na Iramba katika mkoa wa Singida, Simanjiro na Kiteto katika mkoa wa Manyara, Ilala, temeke na Kinondoni katika mkoa wa Dar es Salaam na Kibaha katika mkoa wa pwani.Malengo makuu manne ya shirika ni:
1. Kukuza ufanisi katika bajeti ya sekta ya afya, uwazi na uwajibikaji katika ngazi zote za Serikali kuu na Serikali za mitaa/vijiji.
2. Kuongeza kasma inayotengwa kwa ajili ya kuimarisha rasilimali watu katika sekta ya afya, mgawanyo wenye uwiano na uzingatiaji wa maadili ya taaluma.
3. Kuongeza uwepo na upatikanaji wa dawa na vifaa tiba katika ngazi zote za utoaji huduma za afya.
4. Kukuza uwajibikaji katika usimamizi wa rasilimali na shughuli za UKIMWIkatikangazizotezaSerikalikuunamitaa/vijiji.
Ripoti hii ni majumuisho ya mchakato mzima wa Ufuatiliaji wa Uwajibikaji Jamii (UUJ) kuanzia hatua za awali za kikao cha madiwani, cha wadau, kuundwa kwa timu ya SAM, mafunzo kwa timu ya SAM, kazi nzima ya Ufuatiliaji wa Uwajibikaji Jamii hadi uwasilishaji wa ripoti hii.
WilayayaIrambanimojakatiyawilayatanozamkoawaSingida,inaukubwawa kilometa za mraba 7,900 na jumla ya watu 439,172 kwa mujibu wasensa ya watu na makazi ya mwaka 2002, imegawanyika katika tarafa saba ,kata 26 na vijiji 126. Ina majimbo mawili ya uchaguzi ambayo ni IrambaMagharibi na Iramba Mashariki,. Shughuli kuu za kiuchumi kwa wakazi wa wilaya hii ni kilimo,ufugaji vikifuatiwa na uvuvi na uchimbaji mdogo wa madini.
-2-
Hali ya Afya Iramba
Kwa mujibu wa Mpango Mkakati waAfya waWilaya ya Iramba (CCHP2010/11),Wilaya ina hospitali moja, vituo vya afya vinne na zahanati 57.Lakini ina changamoto kubwa ya miundombinu ya barabara na kuna umbali mrefu kati ya kijiji kimoja hadi kingine, hivyo kusababisha fedha nyingi kutumika kununua mafuta ya gari, kwani mzunguko wa usambazaji dawa hugharimu zaidi ya lita 2,200 za mafuta. pia upungufu wa rasilimali fedha na rasilimali watu (watumishi wa afya) ni changamoto nyingine inayozorotesha utoaji huduma za afya.
Idara ya Afya imeweka mkakati wa kuboresha huduma za afya na kukabiliana na magonjwa yanayosababisha vifo wilayani ambayo ni:
Magonjwa ya kuambukiza UKIMWI, malaria na kifua kikuu (tB), kwa kutoa mafunzo kwa watumishi zaidi ya 20, ili kuboresha utoaji huduma na kuzuia maambukizi ya magonjwa haya.
Vifo vya mama namtoto vinavyotokea, mara nyingi kutokana na akina mama kupenda kuzalia majumbani kwa wakunga wa jadi wasio na mafunzo yakutosha,piaumbaliwakufikakituochahudumayaafyanaukosefuwamiundombinurafiki.
Katika kukabiliana na changamoto hii, Idara ya Afya inakusudia kuimarisha huduma ya dharura ya mama na mtoto na uzazi wa mpango, kwa kutenga kiasi cha fedha na kuimarisha mawasiliano kati ya vituo vya afya na hospitali ya wilaya.
Magonjwa yasiyo ya kuambukiza yanatokea mara kwa mara kutokana na WilayakuwakaribunaMlimaSekenkenabarabaraiendayoMwanza,hivyowilaya imejipanga kutoa huduma ya dharura muda wote,kutokana na ajali na kiwewe. Mkakati huu umejumuisha pia magonjwa ya moyo, kisukari na ya akili.
1.1 Mchakato wa Ufuatiliaji wa Uwajibikaji Jamii (SAM)Ufuatiliaji wa Uwajibikaji Jamii ni mchakato wa kufuatilia uwajibikaji wa watoa huduma na wenye mamlaka katika kuhakikisha upatikanaji wa haki za binadamuzakijamiinakiuchumiunafikiwa,kutokananarasilimalizilizopo.
-3-
Ufuatiliaji wa Uwajibikaji Jamii unaweka jukumu kwa wanajamii kuwawajibisha watoa huduma au wenye mamlaka, ili kuhakikisha wanasimamia rasilimali za umma ipasavyo, na pia inaweka jukumu kwa wenye mamlaka kuwajibika kwa wananchi.
Mchakato wa ufuatiliaji wa uwajibikaji jamii una hatua tano;
1. Mipango na Mgawanyo wa Rasilimali2. Usimamizi wa Matumizi3. Usimamizi wa Utendaji4. Usimamizi wa Uadilifu5. Uangalizi
Sikika katika utekelezaji wa majukumu yake, hutumia hatua tano za mchakato wa Uwajibikaji Jamii katika kufuatilia na kuhakikisha, kuwa wenye mamlaka au watoa huduma, wanatekeleza majukumu yao kama inavyoelekezwa kwenye sheria na miongozo, hasa kwenye sekta ya afya.
MfUMO WA UWAJIBIKAJI JAMII
-4-
Septemba 2012, Sikika ilianza utekelezaji wa mchakato wa uwajibikaji jamii katika ngazi ya jamii kwenye baadhi yaWilaya ambazoSikika inatekelezashughuli zake, ambazo ni pamoja naKiteto, Mpwapwa, Singida Vijijini, Kondoa na Iramba. Ripoti hii inatoa tathmini ya kaziya Uwajibikaji Jamii iliyofanyika Iramba.
1.2 Nyaraka za Halmashauri Zilizochambuliwa.Nyaraka za halmashauri zilizochambuliwa katika kazi ya Uwajibikaji Jamii Iramba, ni pamoja na Mpango Kabambe wa Afya wa Wilaya,Taarifa zaUtekelezaji za Idara ya Afya, MtEf, taarifa ya Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali, Mpango Mkakati wa halmashauri zote zikiwa na taarifa za mwaka 2010/2011.
1.3 Maeneo Yaliyotembelewa na timuMaeneo yaliyotembelewa na timu ni zahanati za umma 13 ambazo ni Kidaru, Mpambala, Nkalakana, Shelui, Urughu, Usure, Mbelekesi, Kikonge, Kiselya, Milade, Kyengena na vituo vinne vya afya,vya Mgongo,Ndago, Mkalama na KinyambulinahospitalimojayaWilayayaKiomboi.
2. SEHEMU YA KWANZA
2.1.Uundwaji wa timu ya Uwajibikaji Jamii.
timu ya uwajibikaji jamii iliundwa kutokana na makundi ya kijamii kwa kutumia mbinu shirikishi, ambapo washiriki wawili kutoka kila kata kwenye kata tano walichaguliwa na wanajamii wenzao katika mikutano ya kijami ina kuunda idadi ya washiriki 10, katika mkutano wa madiwani wawakilishi wawili kutoka kundi la madiwaniwalichaguliwa na kujiunga na timu ya Uwajibikaji Jamii, pia wa wa kilishi wa dini ya kikristo (Mchungaji) na mwakilishi wa dini ya kiislamu.
Wengine ni mwakilishi kutoka Idara yaAfya wa Halmashauri, mwakilishikutokaOfisiyaMkurugenzi,mwakilishimmojakutokakwawatuwanaoishinavirusivyaUKIMWI(WAVIU),piamwakilishimmojakutokakatikakundila walemavu na wawakilishi kutoka kata za Iramba, walichaguliwa katika mkutano wa wadau waAfya. Makundi haya yaliunda timu yaWilaya yaUwajibikaji Jamii ambayo ilifanya mchakato katika wilayaya Iramba. timu ilikuwa na wajumbe 18 na wakufunzi wanne.
-5-
3. SEHEMU YA PILI
3.1 Mafunzo na Uchambuzi wa nyaraka za halmashuri kwa timu ya Uwajibikaji Jamiitarehe 29 Oktoba 2012 hadi 16 Novemba 2012, mafunzo ya Uwajibikaji Jamii yalianza kwa timu ya Uwajibikaji Jamii. Mafunzo hayo yaligawanyika katika sehemu tatu. Sehemu ya kwanza ikiwa ni ya mafunzo ya kinadharia, ambapo timu ya Uwajibikaji Jamii ilipitishwa katika mafunzo ya mchakato mzima wa Uwajibikaji Jamii, yaani zile hatua tano-Mipango na Mgawanyo wa Rasilimali, Usimamizi wa Matumizi, Usimamizi wa Utendaji, Usimamizi wa Uadilifu na Uangalizi- na umuhimu wa kila hatua katika mchakato mzima.
Sehemu ya pili ya utekelezaji wa UUJ ilikuwa ni uchambuzi wa nyaraka za taarifa na bajeti ya afya ya wilaya. Kama vile Mpango Mkakati wa Afya wa Wilaya,ripotizautekelezaji,ripotiyaMkaguziwaHesabu.Sehemuyatatuya kazi ya UUJ ilikuwa ni kutembelea maeneo husika kuthibitisha uhalisi wa taarifa zilizo kwenye nyaraka. Na ufuatao ni uchambuzi wa nyaraka za halmashauri kwa timu ya Uwajibikaji Jamii
3.2 Mpango Mkakati na Mgawanyo wa Rasilimali (Mpango mkakati, CCHP na MTEF)Timu ilipitiaMpangoMkakatiwaWilayaya Irambawamwaka2006/2007hadi 2010/2011 na kuangalia makadirio ya bajeti ya miaka mitano, malengo, utekelezaji na muda wa utekelezaji.
PiatimuilipitiaMpangoKabambewaAfyawaWilaya(CCHP)nakuangaliahalihalisiyaafyayaWilaya,idadiyarasilimaliwatu,idadiyamagonjwanawastani wa wagonjwa kwa siku katika vituo na hospitali, shughuli za kiuchumi zawakaziwaWilaya,idadiyavituovyaafya,idadiyawafanyakaziwaafya,dawa na vifaa tiba.
pia ilipitia bajeti ya Idara ya Afya (imepanga kutumia kiasi gani na itakitumiaje na kutimiza vipaumbele gani), mchanganuo halisi wa bajeti (matumizi yasiyo ya lazima). Na rasilimali zinazotumiwa na idara ya Afya, mfano magari, pikipiki za magurudumu matatu (bajaj), magari ya wagonjwa na pikipiki za magurudumu mawili.
-6-
Uchambuzi katika nyaraka hizi (Mpango Mkakati na Mgawanyo wa Rasilimali (Mpango mkakati, cchp na MtEf), zilionesha kuwa kutokana na mpango mkakatiwaafyawaWilayakwamwakawafedha2010/11,wilayainaupungufuwa rasilimali watu mkubwa kulingana na mahitaji, kwa mfano kwa mwaka wa fedha 2010/11 hospitali ya wilaya ilikuwa na upungufu wa asilimia 54.4, il hali kwa upande wa mahitaji ya vituo vya afya, kulikuwa na upungufu wa asilimia 76.9 na kwa upande wa zahanati, kulikuwa na uhaba wa asilimia 53. hali hii inaonesha utoaji wa huduma za afya unaweza kudorora, kutokana na ukosefu wa rasilimali watu. Jedwali lifuatalo linaonesha jumla ya watoa huduma kwa mwaka wa fedha 2010/11:
Hali halisi ya rasilimali watu
Wanaohitajika Waliopo pungufu Asilimia
Hospitali ya Wilaya 191 104 87 54.5
Vituo vya afya 104 80 24 76.9
Zahanati 200 106 94 53.0
1
Ili huduma za afya ziweze kutekelezwa ipasavyo, kunahitajika rasilimali watu wenye ujuzi na uwezo wa kutosha, ili kutoa huduma yenye tija kwa jamii.
3.2.1 Usimamizi wa Matumizi timu ya SAM iliangalia fedha zilizotengwa kwa ajili ya Idara ya Afya na kuangalia imepanga kutumia kiasi gani na itatumiaje na kutimiza vipaumbele na vyanzo vya fedha hizo.
• Masuala yaliyobainika na Mapendekezo
Fedha zilizotengwa kwa ajili ya Idara ya Afya katika Wilaya ya Irambazimeongezeka kwa asilimia 0.9 kutoka shilingi bilioni 3.9 zilizotengwa kwa mwakawa fedha2009/10hadikufikia shilingibilioni4.02kwamwakawafedha 2010/11. Jedwali lifuatalo linaonesha kiasi kilichotengwa kwa mwaka wa fedha 2009/10 na pia kwa mwaka wa fedha 2010/11 pamoja na vyanzo vya fedha:
1 CCHP 2010/11
-7-
Vyanzo vya fedha Wilayani Iramba
Chanzo cha fedha 2009/10 2010/11
Block Grants-PE 1,731,230,560.00 1,347,212,880.00
-OC 347,298,000.00 359,197,000.00
LGCDG – 70,000,000.00
Health basket funds 815,874,000.00 838,329,400.00
MAMM 407,805,660.00 378,565,000.00
MoSHW-MSD 322,080,000.00 431,066,720.00
TUNAJALI 132,560,000.00 –
Council funds 2,000,000.00 20,000,000.00 Capitalization of hospital pharmacies 10,000,000.00 15,000,000.00
Cost sharing 36,000,000.00 40,000,000.00
Community health Fund 172,000,000.00 365,420,558.00
National health Insurance 12,000,000.00 160,000,000.00
Total 3,988,848,220.00 4,024,791,558.001
1
Uwepo na upatikanaji wa dawa na vitendea kazi, ni jambo muhimu ili kutoa huduma bora na stahiki kwa wagonjwa. Uchambuzi wa cchp umeonesha kuwa halmashauri imekuwa ikitumia fedha kwa kununulia dawa na vifaa tiba kutokaWizarayaAfyanaUstawiwaJamii,kwakupitiaBohariKuuyaDawa(MSD) na pia halmashauri imekuwa ikitumia fedha zake za ndani kama vile makusanyo ya Mfuko wa Jamii (chf) ili kununulia dawa na vifaa tiba.
Jedwali hapo chini linaonesha kiasi cha fedha zilizotengwa kwa ajili ya dawa na vifaa tiba na kiasi kilichotumika. Kwa ujumla inaonekana kuwa halmashauri kupitia Idara ya Afya imetumia fedha nyingi kununua dawa na vitendanishi kuzidi malengo iliyojiwekea. hivyo, ni jambo la kupongeza, kwa kuwa halmashauri imeweza kujizatiti ili kukabiliana na upungufu wa dawa na vifaa tiba, katika vituo vya kutolea huduma za afya.
-8-
Dawa na vifaa tiba Vituo vya afya Zilizoletwa Zilizotumika tofauti ya
zilizopangwa na zilizotumika
Zilizopangwa
Hospitali ya Wilaya 342,466,951.94 342,466,951.94 (258,399,028.94) 84,067,923.00
Vituo vya afya 159,754,718.16 159,754,718.16 (122,865,918.16) 36,888,800.00
Zahanati 168,711,176.76 168,711,176.76 110,555,543.24 279,266,720.00
Global fund 58,005,000.00 58,005,000.00 (13,005,000.00) 45,000,000.00
Tunajali-ndago 10,872,870.00 10,872,870.00 29,500,000.00 40,372,870.00
3.2.2 Usimamizi wa UtendajiBaada ya kupitia na kuchambua taarifa za utekelezaji za Idara ya Afya, timu ya Uwajibikaji Jamii ilitembelea maeneo husika ili kuthibisha taarifa ambazo zilipatikana kwenye nyaraka hizo. timu ilipendekeza maeneo 18ambayo ni vituo vya afya,zahanati na hospitali kutembelewa. pia timu ya Uwajibikaji Jamii iliainisha vitu na mambo yatakayoangaliwa na kuhakikishwa katika vituo vya kutolea huduma ya afya ambayo ni; uwepo wa wanachama kwenye chf, kuangalia maendeleo ya ujenzi auukarabati wa majengo na thamani ya fedha katika ujenzi auukarabati huo.
pia uwepo wa sanduku la maoni na ubao wa matangazo, kama idadi ya watoa huduma ya afya wanatosheleza kwa idadi na kada, kama vifaa tiba na vitendanishi vinatosheleza, kama dawa zinapatikana muda wote, au kwa asilimia kubwa, uwepo wa mfumo baridi wa kuhifadhia dawa, ufanyaji kazi wa nishati ya umemejua, uwepo wa vifaa vya utakasaji na ufanyaji kazi wake, uwepowakamati za afyanaUKIMWInaupatikanajiwahudumazaVCT na ctc.
• Masuala yaliyobainika na mapendekezo
Yafuatayo ni mambo yaliyobainika katika vituo vya kutolea huduma vilivyotembelewa na Sikika na timu ya Uwajibikaji Jamii kwa ajili ya kuthibitisha taarifa zilizo kwenye nyaraka:
ZAHANATI YA KIDARU
Mfuko wa Afya wa Jamii (chf) una wanachama takribani 372 ambao wako hai na wanapata huduma kupitia Mfuko huo.
-9-
Wanatumiamfumowanishatiyaumemejuakatikazahanati,ilawakatiwamawingu nishati hiyo huleta shida, hivyo kuwalazimu kutumia karabai.
Wanatoa huduma ya VCT na kuna huduma tembezi ya CTC, ambayohutolewa mara moja kwa mwezi.
hakuna chumba maalumu cha kutolea ushauri nasaha, bali wanatumia chumba ambacho kinatumika kwa uzazi wa mpango.
Kuna wahudumu watatu katika zahanati, ambao hawatoshelezi. Mahitaji ni wahudumu wanane hivyo kuna upungufu wa watoa huduma watano.
Jaa la uchafu wa zahanati lipo na kwa ajili ya kondo la nyumapia lipo.hakuna sanduku la maoni na badala yake hupelekwa kwenye Kamati ya
Afya ya kituo.hakuna ubao wa matangazo, bali hubandikwa kwenye ukuta.Upatikanaji wa dawa upo kwa muda mwingi na dawa huletwa na MSD na
ukitokea upungufu huagizwa kutoka wilayani.Kamati ya Afya ya kituo iko hai na inakutana mara moja kwa mwezi.Mfumo baridi wa kuhifadhi dawa upo na mara nyingi unatumia nishati ya
umemejua, ikitokea haifanyi kazi, hutumia mitungi ya gesi.Nyumba za watumishi hazitoshelezi. Zipo ambazo hazijakamilika na
haijulikani ujenzi utakamilikalini, maana sasaumesimama.Utakasaji wa vyombo hufanyika kwa kuchemshwa kwenye jiko la mafuta
ya taa,ambayo huletwa kutoka hospitali ya wilaya, yakiisha hununuliwa kwa fedha za Mfuko wa Bima ya Afya (NhIf) wa wafanyakazi wa kituo.
Kamati za UKIMWI za kijiji na kata hazipokutokana na kukosauwezeshwaji.
MAONI YA WANANCHI:Wananchiwanaridhishwanahudumainayotolewanawatumishiwaafya
wa kituo. Mfano; mgonjwa akizidiwa, watumishi hupiga simu wilayani na garilawagonjwahufikaharaka.
CHANGAMOTO:WananchihawaonifaidayaCHFmaanafedhainayokusanywahaiwasaidii
lolote, bali fedha yote inapelekwa halmashauri.Nyumba za watumishi hazina choo wala bafu.
-10-
KutokuwapokwakamatizaUKIMWI.Utawala na Afya vinapaswa kutenganishwa, maana nyumba ya Ofisa
Mtendaji wa Kata imejengwa ndani ya eneo la zahanati. Eneo la zahanati halijatengwa kisheria, kwa hiyo kuna mwingiliano kati ya Utawala na Afya.
Katika ujenzi wa kituo cha afya, boma limekamilika miaka mitatu iliyopita. halmashauri inatakiwa ione umuhimu wa kusaidia wananchi kumalizia hatua za mwisho za ujenzi.
Kuna ukosefu wa dripu za maji
Nyumba hii iko ndani ya eneo la zahanati ya Kidaru, lakini anaishi WEO na ina mgogoro
-11-
MAPENDEKEZOtimu inapendekeza kuwapo mifumo wa utoaji maoni kama vile sanduku la maoni, pia ubao wa matangazo uwekwe na kubandikwa pamoja na taarifa zingine za mapato na matumizi. Aidha, kuna haja ya kuwapo mipaka kati ya majengo ya Utawala na zahanati, kwani mwingiliano huo hukwamisha utoaji hudumaborazaafya.NivemakuanzishakamatizaUKIMWIkwenyesehemuzote zilizogundulika kukosa kamati hizo.
ZAHANATI YA MPAMBALA
Shimo la taka limejaa na la kutupa kondo la nyumapia halipo,hivyo wanatupa chooni.
hakuna ukarabati uliofanyika, ila kulikuwa na ujenzi wa wodi ambao umekamilika, ila bado jengo halijakabidhiwa kwasababu vyoo na masinki havijakamilika na wakati wa makadirio ya bajeti kuna vitu havikujumuishwa, hivyo kusababisha upungufu washilingi 500,000. hii imesababishajengo kuvamiwa na popo na nyuki, kiasi kwamba timu ya pSAM ilishindwa kuingia ndani ya jengo kuangalia maendeleo ya ujenzi.
Walipokeashilingi21,500,000kwaajiliyaujenzi.
hakuna chumba maalumu cha ushauri nasaha, bali wanatumia chumba chochote kinachokuwa wazi wakati huo.
HudumazaCTChazitolewikituonibaliWAVIUwanazifuataMkalama.
Watoa huduma wako wawili, mhudumu tiba mmoja, na muuguzialiyesajiliwa mmoja. Kuna upungufu wa watoa huduma sita.
Kwa siku zahanati inahudumia wagonjwa kati ya 25 na30.
huduma ya chf ipo na inawateja takribani 200.
hakuna sanduku la maoni wala ubao wa matangazo.
Nyumba za watumishi zipo (ngapi) kwa muundo wa nyumba mbili katika moja.
Wanasetiyavifaavyakuzalishia.
Wanatumiaumemewanishatiyajuaambaoulikuwambovukwatakribanimwaka ila sasa umetengemaa.
-12-
Mfumo wa dawa baridi upo na unafanya kazi naikitokea umemejua haufanyi kazi hutumia mitungi ya gesi.
Kamati ya afya ya kituo ipo na inafanya kazi na hukutana mara moja kwamwezi.
Utakasaji vifaa hufanyika kupitia uchemshaji kwa ‘jiko la Mchina’,ambapo mafuta ya taa huletwa kutoka hospitali ya wilaya, nayakiisha hununuliwa kwa fedha za Mfuko wa Bima ya Afya wa wafanyakazi wa kituo.
Mwaka huu mtumishi mmoja alihudhuria mafunzo ya pMtct kwa siku nne,namwingineakaendakwenyemafunzoya‘HospitalikuwaRafikiwaMtoto’
WanatumiadeterminetukupimaUKIMWIhawanaUNIGOLD
MAONI YA WANANCHIKauli za wahudumu si nzuri kwa wagonjwa,na husababisha wagonjwa
kufuata huduma mahali pengine. Mfano, zahanati ya chemchemi.Wajawazitowakichelewakufikaklinikizaidiyasikuwalizopaswakufika,
wahudumu huwanyima huduma mpaka mwezi unaofuata.Mudawakuanzakutoahudumahuanzamapema,lakini ifikaposaanane
hukatizwa, na huduma kusitishwa.
CHANGAMOTOUpungufu wa watumishi.Viti vya kukalia wagonjwa.Meza hazitoshi.Usafirihakuna,hivyoinakuwavigumukufanyaziarazamatibabuvijijini.hakuna maabara, hivyo wagonjwa/wateja wengi hulazimika kwenda
kwenye hospitali ya shirika la dini kupata vipimo.Dawa hazipatikani muda wote, hivyo wananchi wengi huenda kupata
huduma kwenye kituo cha Mishengwa ambapo vyoo, masinki na chemba za vyoo havijakamilika.
chumba cha kutolea huduma za chanjo kimeharibika, hivyo kinahitaji ukarabati.
-13-
MAPENDEKEZOtimu inapenda kuona watoa huduma wanafuata maadili ya kazi kwa kutumia lugha rafiki kwa wananchi. Makadirio ya bajeti ya ujenzi yafanywe kwaumakini na mkandarasi ili kuepusha michango ya kushitukiza kwa wananchi baadaye, kwani inafanya kuchelewesha muda wa ujenzi kukamilika.
Kuna umuhimu wa kuwapo vipimo vya magonjwa ili kupunguza mzigo kwa wananchi kufuata huduma kwenye hospitali binafsi, kwani ni gharama kubwa, hasa kwa wananchi wenye kipato cha chini, kumudu huduma za hospitali binafsi. Aidha, timu inapendekeza kuanzishwa kwa mifumo ya utoaji maoni kama vile sanduku la maoni,iwepo ili kuwapa fursa wananchi kutoa maoni yao.
KITUO CHA AFYA MKALAMAKituo kinahudumia zaidi ya wagonjwa 40 kwa siku.Kinatoa huduma ya ctc na kina kipimo cha cD4.hakuna sanduku la maoni wala ubao wa matangazo.Kuna shimo la kutupa taka na kondo la nyuma.Mfuko wa chf uko hai na una wanachama takribani 200.Wahudumuwaafyaniwanane,wauguziwatatu,msaidizimmojawamaabara,
mganga mmoja, wahudumu wawili wa tiba na bwana afya mmoja. Kuna upungufu wa watoa huduma saba.
Nyumba za watumishi hazitoshi, zipo sita na ni za chini ya kiwango.Watoa huduma wamepatakuhudhuria mafunzo na warsha zihusuzo
UKIMWI,TB,ART.Wanatumianishatiya juaambayo imekuwahaifanyikazikwamwakana
nusu sasa.Wanatumiajikolamafutayataakutakasiavifaavyakuzalishia.hakuna chumba maalumu cha ushauri nasaha kutokana na uhaba wa vyumba.Mfumo baridi wa kuhifadhi dawa upo na unafanya kazi kwa kutumia mitungi
ya gesi.Dawa zinapatikana muda mwingi na kunapotokea upungufu,huagizwa
kutoka wilayani nahuletewa haraka.Kamati ya afya ya kituo iko hai na inakutana mara moja kwa mwezi.WanapimaUKIMWIkwakutumiadetermine kwa kuwa hawana UNIGOLD.Vifaa tiba vinatosheleza.
-14-
MAONI YA WANANCHIUkosefu wa mlinzi wa kituo. hii husababisha watoa huduma za afya
kushindwa/kuogopa kutoa huduma usiku.Kauli mbaya za watoa huduma kutokana na kulemewa na majukumu.WanachangiaCHFlakiniwakatimwinginehawapatidawa.WanapolipiaCHFyapapokwahapohawapewistakabadhiyamalipo.Kunaubaguzikatikautoajihuduma.Watoahudumawanawapakipaumbele
watu wanaofahamiana nao.Maabara inatoa huduma vizuri.
CHANGAMOTOKutokana na tatizo la nishati ya jua, inakuwa ngumu kutoa huduma makini
ya upimaji wa cD4 kwa maana mashine inabidi ikachajiwe Ibaga.Wanasetimojayavifaavyauzalishaji.Gari la wagonjwa halipona wanapaswa kuwa nalo ila liko wilayani.Kuna upungufu wa watoa huduma za afya.HakunakamatizaUKIMWI.Nishati ya jua haifanyi kazi, hivyo mashine ya cD4 kwenda kuchajiwa
mbali kutoka kituoni huchelewesha/huzorotesha huduma kwa watumiaji wa kifaa hicho.
Kipimo cha CD4 kituo cha afya Mkalama
Mfumo wa sola wa kituo cha afya cha Mpalama licha ya kuwa na uwezo mdogo pia haufanyi ka kazi mwaka mzima
-15-
MAPENDEKEZOTimu inapendekeza Serikali ya kijiji iweke uzio ili kulinda mali zilizokwenye kituo cha afya, pia
watumishi wa afya wazingatie maadili ya kazi na kuacha kutoa huduma kwa upendeleo. Kuangalia uwezekano wa kupata nishati mbadala ili kuongeza ufanisi katika utoaji huduma za afya.
KITUO CHA AFYA CHA KINYAMBULIUjenzi wa sehemu ya wagonjwa wa nje fedha zilizotolewa ni shilingi
19,541,025.Mwaka 2009/2010 walipewa fedha za ujenzi kwa ajili ya jengo la OpD,
nyumba ya watumishi mbili katika moja. Bado vyoo havijakamilika, nyumba za watumishi, jengo kwa ajili ya huduma ya mama na mtoto na nyumba ya kulaza maiti navyo havijakamilika.
Shilingi milioni 116 zimeshatumika kwa ujenzi wa kituo hicho ambapo shilingi 25, 654,300 zilitokana na nguvu za wananchi; shilingi 17,485,700 michango ya fedha taslimu ya wananchi; shilingi 64,000,000 zilitoka wilayani na shilingi 2,300,000 zilitoka kwa wahisani. fedha zilikuwa zinatumwa kwa awamu, kuanzia mwaka 2008 hadi 2011. Mpango wa ujenzi ulikuwa ni wa kati ya mwaka 2008 na mwaka 2015.
hawana nishati ya umeme bado. Umemejua ndio ulikuwa katika harakati za kuunganishwa.
Mfuko wa chf uko hai na una wanachama 430 hai.Watoa huduma wako wanne na kuna upungufu wa watoa huduma 11.
Wauguziwawili,mfanyakaziwamaabarayukommojana BwanaAfyapia mmoja.
Kwa siku kituo kinahudumia wagonjwa kati ya 30 na 40.hakuna sanduku la maoni wala ubao wa matangazo.Wanatumia jiko lamafuta ya taa kutakasia vifaa vya tiba.Halmashauri
huwapa lita 20 za mafuta ya taa kila baada ya muda fulani, ambapo kama yatakuwa yamekwisha, huchangishana wenyewe kwa ajili ya kuyanunua.
Kamati ya Afya ya Kituo inafanya kazi na inakutana mara moja kwa mwezi.Shimo la taka lipo ila la kutupa kondo la nyumahalipo, huwa wanatupa
chooni.
-16-
hawana ctc wala Vct, na hakuna kipimo cha cD4, inabidi waagizwe kwenda Ikungi.
hakuna chumba maalumu cha ushauri nasaha.Seti ya vifaa vya kuzalishia zipotatu.
MAONI YA WANANCHIMalipo ya papo kwa papo kutotolewa stakabadhi .pamoja na kutozwa malipo ya papo kwa hapo na chf bado wakienda
kituoni hawapewi dawa - kamili (dozi).Baadhiyawatoahudumahawajalimudawakazi,wakatimwingihufika
kituoni kwa kuchelewa.
CHANGAMOTO hakuna gari la wagonjwa, kipo ‘kibajaji’ ambacho hakikidhi haja.Kuna upungufu wa vifaa tiba.Ushiriki mdogo wa jamii katika shughuli za maendeleo ya jamii hasa
ujenzi.HakunakamatiyaUKIMWIyakatanakijiji.Uhaba wa maji.Kuna ukosefu wa dripu za maji.
Baada ya kutembelea kituo cha afya cha Kinyambuli na kuzungumza na watendaji, timu ya SAM ilipata fursa ya kuzungumza na wananchi kupitia mkutano wa hadhara, ambapo Sikika ilitambulisha shughuli zake kwa wananchi na kueleza kwa ufupi maana ya Uwajibikaji Jamii. Vilevile, mwito ulitolewa kwa wananchi kuwajibika na kuwajibisha viongozi wao.
Wananchiwalipewanafasiyakuelezeachangamotozinazowakabili,ambapokati ya mambo waliyoeleza ni kuomba viongozi wao kupewa mafunzo ya namna ya kuwa kiongozi bora na pia waliomba kupelekewa mrejesho pindi Sikika itakapomaliza kufanya mchanganuo wa taarifa ilizopata katika mchakato wa UUJ.
-17-
MAPENDEKEZOtimu inataka watoa huduma wazingatie muda wa kazi, pia Mganga Mfawidhi wa Kituo aagize dawa za kutosha kabla akiba iliyopo haijaisha, ili kuepuka kukosekana dawa kituoni na kukwamisha huduma. Kuwepo na sanduku la maoni na ubao wa matangazo ili kushirikisha wananchi kusimamia huduma za afya kijijini.
KITUO CHA AFYA MSIUKituo cha afya bado kipo katika hatua ya ujenzi.Gharama yote ya ujenzi ni shilingi 80,000,000 ambapo mpaka sasa
zimetumika shilingi milioni 65. Vifaa vyote muhimu vimenunuliwa na vipo stoo kwa ajili ya matumizi. fedha zilianza kutolewa kwa awamu mwaka 2010/2011.
Shilingi milioni 16 zimetoka kwa wananchi; shilingi milioni 49 kwaMMAM na shilingi milioni 5 zimetokana na nguvu za wananchi.
Ujenzi unatarajia kukamilika mwaka 2014.timu ilikuta kuta zina nyufa hata kabla jengo halijakamilika na katika
kuhoji majibu yaliyotolewa ni kuwa kamati ya ujenzi haikupata ushauri wa namna ya kuepuka nyufa katika ujenzi.
Nyumba za watumishi bado hazijaanza kujengwa.KamatiyaUKIMWIyakataiponainakutanamaramojandaniyamiezi
mitatu kutokana na upungufu wa posho za wajumbe.WakaziwaeneohilowanapatahudumakatikavituovyaNkunginaHydom.Ujenzi wa sehemu ya uzazi na watoto uligharimu shilingi milioni 29,937.50.
Vitasa vimeng’oka katika kituo cha afya cha Kinyambuli muda mfupi baada ya kukamilika kujegwa
-18-
CHANGAMOTOWananchihawatoimichangokutokananakulemewamaanakunamiradi
ya ujenzi wa sekondari tatuKukaa kwa muda mrefu kwa vifaa vya ujenzi kunasababishauharibifu.
Jengo la kituo cha afya cha Msiu lina nyufa kabla hata ujenzi kumalizika kama inavyoonekana
Ufa sakafuni kabla ujenzi kukamilika
Ufa ukutani kabla ujenzi kukamilika
Mifuko ya saruji imetoboka baada ya kukaa kwa muda
mrefu
Vioo vimepasuka vikiwa bado ghalani
-19-
MAPENDEKEZOtimu ya Uwajibikaji Jamii inapendekeza vifaa vya ujenzi vinunuliwe na kutumika badala ya kukaa muda mrefu na kupoteza hadhi ya matumizi kama vioo na mifuko ya saruji vilivyoharibikakwa kukaa muda mrefu bila kutumika.
ZAHANATI YA NKALAKALAUtaratibu wa ujenzi uliopo ni wa nyumba ya wahudumu wa afya. fedha
zilizotolewa ni shilingi milioni 37 kwa ajili ya ujenzi wa jengo la zahanati; mwaka 2009/2010 fedha zilitolewa na tASAf.
Mfuko wa chf uko hai na una wanachama 640.Wanatumianishatiyajuanainafanyakazi.Mfumo wa baridi wa kuhifadhi dawa upo na unatumia nishati ya gesi.hakuna sanduku la maoni wala ubao wa matangazo.Watoahudumawakowatatu;mkungammoja,wauguziwasaidiziwawili;
kuna upungufu wa watoa huduma wawili.Wanasehemuyakuchomeatakanashimolakutupakondolanyumalipo.Nyumba ya watumishi iko moja.Dawa zinatosheleza.Kamati ya Afya ya kituo iko hai na hukutanamara moja kwa mwezi.HakunakamatizaUKIMWI.WanatoahudumayaVCT.LakinihakunahudumayaCTC.hakuna chumba maalumu cha kutolea ushauri nasaha.
CHANGAMOTO:Wanapokeawagonjwawengizaidiyauwezo; takribaniwagonjwa30na
40 kwa siku.Maji ni tatizo.hakuna wodi ya akina mama, wanatumia vyumba vidogo.Vitanda vya kuzalia, kimoja ni kizima na kingine kibovu ambacho
hakitoshelezi.Matundu ya choo cha zahanati ni makubwa na hakuna matundu ya
kupitishia hewa nje, na kuna upungufu wa choo kimoja.Watumiahudumawakituoniwengi,kituokinapaswakupandishwahadhi
kuwa cha afya.
-20-
Kuna upungufu wa nyumba vinnevya watumishi.
Kuna upungufu wa vitendea kazi.Dawa hazitoshelezi kutokana na
idadi kubwa ya wagonjwa wanaopata huduma kituoni.
MAPENDEKEZOtimu inapendekeza kuwapo mifumo ya kutolea malalamiko kama vile sanduku la maoni, pia ubao wa matangazo na kubandikwa taarifa za mapato na matumizi. Aidha, tunashauri kuchukuliwa hatua ili kutatua matatizo yaliyo ndani ya uwezo wa ngazi ya kijiji na zahanati.
KITUO CHA AFYA MGONGOUkarabati /ujenzi ulifanyika siku nyingi kuanzia mwaka 2005 hadi mwaka
2008. Ukarabati ukafanyika mwaka 2009/2010 kwenye OpD, wodini, vyooni, katika nyumba ya watumishi na mochari.
Mfumo wa chf uko hai na una wanachama 1,200.Kamati ya afya ya kituo iko hai na wanakutana mara moja kwa mwezi na
wanashirikishwa katika ufunguzi wa dawa.KamatizaUKIMWIhazipo.WanatoahudumayaCTC.hakuna sanduku la maoni wala ubao wa matangazo. Matangazo hubandikwa
ukutani, lakini hata hivyo hawabandiki taarifa za mapato na matumizi.Watumishiwaafyani tisa.OfisaKlinikimmoja,OfisaKlinikiMsaidizi
mmoja, Muuguzi aliyesajiliwa mmoja, wahudumu tiba watatu, wasaidizi wamaabarawawili,BwanaAfyammoja,muuguzimmojanaOfisaAfyaMsaidizi mmoja. Kuna upungufu wa watoa huduma sita.
Mfumo baridi wa kuhifadhi dawa upo, ila umeme ukikatika inabidi wazime nawapelekezikahifadhiweNdago.Wanazipelekakwagharamazao.
Wanatumianishatiyajuaingawamarakwamarahuwainagomakufanyakazi.
Shimo la choo la zahanati ya Nkalakala ni kubwa hata mtu mzima anaweza
kutumbukia
-21-
Wanatumiajikikutakasiavifaatibaauwakatimwinginejikolamafutayataa ambapo huyanunua kwa fedha za Mfuko wa Bima ya Afya.
Wanavitandavyakuzaliaviwilinavifaavyakuzalishiasetimbili.Lakiniakina mama inabidi waje na mabeseni wakati wa kujifungua, kwa ajili ya usalama zaidi.
WanapimaUKIMWIkwakutumiadetermine na UNIGOLD.hakuna chumba maalumucha kutolea ushauri nasaha, hii inatokana na
uhaba wa vyumba.Shimo la kuchomea taka lipo na la kutupia kondo la nyuma lipo pia.Kipimo cha cD4 kipo na kinafanya kazi.
MAONI YA WANANCHIKauli za watoa huduma si nzuri.Wajawazitowakipotezakadizaklinikihupaswakulipiashilingi5,000ili
kupata nyingine.Wakati mwingine nishati ya jua huleta tatizo, hivyo kulazimu watoa
huduma kutumia tochi wanapozalisha akina mama.
CHANGAMOTOhakuna gari la wagonjwa.Upungufu wa nyumba za watumishi. Ziko mbili katika mfumo wa mbili
kwa moja. Kuna upungufu wa nyumba sita.Kituo kinahudumia wagonjwa wengi kuliko uwezo wake. hii husababisha
upungufu wa dawa.Upungufu wa watoa huduma.Kituo hakina mabenchi ya kutosha kukalia wagonjwa.Kuna upungufu wa meza kwa ajili ya kuwekea vifaa.Ukosefu wa posho kwa watoa huduma kwenye ctc maana tUNAJALI
inalipa watoa huduma wawili tu.Vitendanishi havitoshi.Eneo la kituo kukosa uzio.Ukosefu wa mlinzi wa kituo na kusababisha watoa huduma kushindwa
kutoa huduma usiku.Ukosefu wa nishati ya umeme kwenye nyumba za watumishi.
-22-
posho za likizo hazitolewi kwa watumishi kwa muda mwafaka.Uhudhuriaji wa semina na mafunzo hufanyika na wahudumu hao hao kila
mara.KamatizaUKIMWIhazipomaanahazijapatakuundwa.Jengo la mocharilinatumika kama stoo.hakuna dawa za mochari. mortuary
MAPENDEKEZO:
timu inasisitiza suala la kadi za kliniki kuuzwa lifanyiwe kazi mara moja na liishe, kwani kadi hizo zinatakiwa zitolewe bure. Sanduku la maoni liwekwe na taarifa za mapato na matumizi na taarifa zingine zibandikwe kwenye ubao wa matangazo ili wananchi wapate kuelewa kinachoendelea kaktika utoaji huduma.
ZAHANATI YA SHELUIMfuko wa chf upo na unafanya kazi na una takribani wanachama 330.Kamati ya afya ya kituo ipo na inakutana mara moja kwa mwezi.Sanduku la maoni hakuna. Ubao wa matangazo hakuna.Watumishi ni watano:. Bwana afya mmoja, Msaidizi maabasa mmoja,
wauguzi wasaidizi wawili na muuguzi aliyesajiliwa mmoja. nurse enrolled1. Kuna upungufu wa watumishi watano.
WanatumianishatiyaumemewaGridiyaTaifa.Unapokatikawanatumiamafuta ya taa ambayo huyanunua kwa fedha za Mfuko wa Bima ya Afya.
Wanamashineyakutakasianawanatumiajikipia.Dawa zinatosheleza.Shimo la taka lipo na la kutupa kondo la nyumalipo pia.Ujenzi wa vyoo ulifanyika kwenye nyumba za wauguzi na zilitumika
shilingi 767,000.WanapimaUKIMWIkutumiadetermine.huduma ya ushauri nasaha inatolewa, lakini hakuna chumba maalumu
kwa ajili hiyo.hawatoi huduma za Vtc kutokana na upungufu wa vitendanishi. Mara
chache (kama mara moja ndani ya miezi sita) kunakuwa na kliniki tembezi.
-23-
KamatiyaUKIMWIyakataikohainainakutanamaramojakwamwezi,lakini kamati za vijiji hazifanyi kazi kutokana na kukosa posho za vikao.
Kituo kinahudumia wastani wa wagonjwa 30 kwa siku na wazazi wanaopata huduma ni wastani wa 30 kwa mwezi.
Vifaa vya kuzalishia vipo jozi mbili.
MAONI YA WANANCHIWajawazito wanauziwa kadi za kliniki kwa shilingi 2,000. Na malipo
yakifanyika hawapewi stakabadhi. Na wakijifungua wanalipa kuanzia shilingi 5,000 hadi shilingi 10,000 za huduma waliyopewa.
Kituo hakitoi baadhi ya huduma za uzazi wa mpango. Mfano vijiti.hawana mizani ya kupimia watoto. Inabidi mama apande kwenye mzani
akiwa amebeba mtoto kisha amshushe mtoto apime uzito wake ndipo wajue uzito wa mtoto. Na hiyo mizani ni mbovu, inapaswa kwanza itikiswe ndipo itumike. hili limekuwapo kwa miaka mitatu sasa.
Wagonjwawanapokujamudawowotewanapokewa na kupewa hudumavizuri.
CHANGAMOTOWanamahitajiyakituochaafyamaanaeneolinawatuwengi.Kituo hakina mganga kuanzia mwaka 2008.Kituo kinahudumia wagonjwa wengi kuliko uwezo.Upungufu wa nyumba za watoa huduma.Upungufu wa watoa huduma.Kukosekana gari la wagonjwa katika kituo cha Mgongo. Uletwaji wa dawa ambazo hazikuagizwa kutoka MSD hivyo kusababisha
wao kwenda wilayani kuzibadilisha.Shimo la taka halijachomwa.UkosefuwafedhakwenyekamatizaUKIMWI.UkosefuwamafunzokwenyekamatiyaUKIMWI.
-24-
MAPENDEKEZOTimu inaomba uongozi waWilaya uchukulie hatua watumishi wanaokiukamaadili ya kazi kwa kuuza kadi za kliniki na kutoza fedhaakina mama wanaojifungua, kwani huduma hizi zinapaswa zitolewe bure.
ZAHANATI YA URUGHUKunaMfuko wa chf wenye wanachama hai 600.Kituo cha afya bado kipo katika hatua ya ujenzi, ambao ulianza mwaka
2008. Jumla ya bajeti ya ujenzi wa kituo cha afya ni shilingi 178,608,650. Iliyokwishatumika ni shilingi 115,677,950. Serikali kuu ilichangia shilingi 33,804,000. Mchango wa jamii ni shilingi 38,376,950. Nguvu kazi ni shilingi 43,000,000.
Ujenzi wa nyumba za watumishi uligharimu shilingi 33,884,000.Kamati ya afya ya kituo ipo na inakutana mara moja kwa mwezi. pia
hushiriki katika ufunguaji wa dawa zinapoletwa na MSD.hakuna sanduku la maoni wala ubao wa matangazo.Kuna watumishi watatuna upungufu wa watatu. Muuguzi mmoja, Msaidizi
tiba mmoja na Bwana Afya mmojaNyumba ya watumishi ipo moja iliyo katika muundo wa mbili kwa moja.Wanatumianishatiyajuaambayoninzimaisipokuwanyakatizamawingu
husumbua.Mfumo wa baridi upo na unafanya kazi, wakati umemejua
ukisumbua,hutumia mitungi ya gesi.Wanafanyautakasajiwavifaatibakwakuchemshakwenyejikolamafuta
ya taa, ambapo fedha ya mafuta ya taa hutoka kwenye Mfuko wa Bima ya Afya kwa wafanyakazi.
KamatizaUKIMWIzipoilahazifanyikazikutokananaukosefuwaposho.Kitanda cha kuzalishia kipo kimoja na seti ya vifaa vya kuzalishia ni mbili.Kwa siku kituo kinahudumia wastani wa wagonjwa 30.Upatikanaji wa dawa ni wa kutosha muda mwingi na kunapotokea upungufu,
huagiza kutoka hospitali ya wilaya,ambako huletewa mara moja.WanapimaUKIMWIkwakutumiadetermine.Wanatoahudumayaushaurinasaha,ilahakunachumbamaalumukwaajili
hiyo.
-25-
HudumayaCTChaitolewi,WAVIUwanakwendaNdagokuipata.Shimo la kuchomea taka lipo, ila la kutupia kondo la nyumahalipo ilaliko
katika hatua ya ujenzi, kwa sasa wanatupa chooni.Watumishihawajapatakuhudhuriamafunzotangumwaka2009.
MAONI YA WANANCHIhuduma huanza kwa kuchelewa saa tano asubuhi.Wajawazito wasipohudhuria kliniki kwa tarehe waliyopangiwa,
wanapokwenda mwezi unaofuata, hunyang’anywa kadi mpaka walipie shilingi 5,000 ndipo huarejeshewa kadi zao.
Watumishi wa afya wawe wavumilivu katika kupokea maelezo kwawagonjwa wasioelewa lugha ya taifa/Kiswahili
huduma ya uzazi wa mpango iboreshwe na kupatikana kwa wakati.Baadhi ya wahudumu wa afya wana kauli mbaya kwa wagonjwa.
CHANGAMOTOKuna uhaba wa vitendanishi.Kuna upungufu wa watoa huduma.Kuna upungufu wa nyumba za watumishi.Watoahudumahawanamafunzotangumwaka2009.Kutomalizika kwa ujenzi kutokana na masuala ya kisiasa.Kutoona umuhimu wa kumalizia hatua ya ujenzi wa kituo cha afya.
MAPENDEKEZOtimu inataka huduma ya mama na mtoto na kliniki zitolewe bure, kwani hazipaswi kuuzwa. Aidha,timu ya SAM inasisitiza utendaji wa kamati za UKIMWIuangaliweilikuboreshahudumazaUKIMWI.Ujenziwakituochaafya ukamilike.
KITUO CHA AFYA NDAGOKituo kinatoa huduma za ctc.KamatizaUKIMWIzipolakinihazifanyikazi.Kituo hakina kipimo cha cD4.
-26-
Ujenzi wa chumba cha upasuajiulianza mwaka 2011 Desemba na umekamilika na vifaa vyote vipo, isipokuwa hakifanyi kazi kutokana na kukosekanamfumo wa maji ambao unahitaji kuunganishwa na Serikali. Ujenziuligharimushilingimilioni47najengolimegharimiwanaWakfuwa Mkapa.
Mfuko wa chf upo na una wanachama takribani 689.Kamati ya afya ya kituo inafanya kazi na hukutana mara moja kwa mwezi.Sanduku la maoni halipo.Kuna ubao wa matangazo.Vitanda vya kuzalishia ni viwili, na seti ya vifaa vya kuzalishia ni tatu.Kuna watumishi tisa. Wauguzi watano, Msaidizi wa maabara mmoja,
wasaidizi tiba wawili, Mganga mmoja. Kuna upungufu wa watoa huduma sita.
Nyumba za watumishi ni nne- nakuna upungufu wa nyumba sita.Wanatumiamfumobaridiwakuhifadhiadawa,umemeukikatikawanatumia
gesi.Dawa zinapatikana muda mwingi, ukitokea upungufu wanaagiza kutoka
hospitali ya wilayaambako huletewa haraka.Mashimo ya kuchomea taka na kutupia kondo la nyumayapo.Idadi ya wagonjwa wanaohudumiwa na kituo kwa siku ni 50.Kuna chumba maalumucha kutolea ushauri nasaha.WanapimaUKIMWIkwakutumiadetermine.Wanamgangamtaalamu,ambayehujakilaIjumaakutoahudumayaakina
mama na watoto.Vitanda vinatosha na vyandarua pia vipo vya kutosha.
MAONI YA WANANCHIWahudumuwanakaulinzuri.Akina mama wakipoteza kadi hutozwa shilingi 1,000 nakupewa nyingine.
-27-
CHANGAMOTOhakunagari la wagonjwa. Bajaji iliyoletwa haifanyi kazi kwa mwaka sasa.Upungufu wa nyumba za watumishi.Upungufu wa watumishi.Nyumba za watumishi zinahitaji ukarabati.Ukosefuwausafiri.Uelewa mdogo wa wanajamii kuhusu kujifungulia kwenye kituo cha afya,
wengi hujifungulia majumbani.Uhaba wa vipimo na vitendanishi.Kuna tatizo la maji.Ukosefu wa bwana afya na mlinzi.Kituo hakina uzio.
MAPENDEKEZOtimu inapendekeza kuwapo vitendanishi vya kutosha, ili kwezesha upatikanaji wa huduma bora za afya, pia tatizo la maji lishughulikiwe na mamlaka husika.
ZAHANATI YA USURE
Mfuko wa chf uko hai na una wanachama takribani 150.Kamati ya afya ya kituo ipo na inafanya kazi, wajumbe wanakutana mara
moja kwa mwezi.KamatiyaUKIMWIyakataipoilayakijijinihakuna,naufanyajikaziwake
ni wa kusuasua.hakuna ubao wa matangazo wala sanduku la maoni.Kuna watumishi wawili. Muuguzi mkunga mmoja na Mhudumu muuguzi
mmoja. Kuna upungufu wa watoa huduma watatu.Kwa siku wanahudumia wagonjwa 35.Nyumba za watumishi zipo na zinatosheleza na kwa sasa ipo moja kwa
muundo wa mbili kwa moja. Mfumo wa nishati ya jua upo na unafanya kazi.Wanatumiamfumo baridi unaotumia gesi.Dawa zinapatikana muda mwingi, ila kuna wakati walikaa miezi miwili
bila dawa.
Wanatakasavifaakwajikolamafutayataa.Wanakitandakimojachakuzalishia,nasetimojayavifaavyakuzalishia.Shimo la taka lipo ila la kondo la nyumasi imara.WanapimaVVUkwakutumiadetermine,hawanaUNIGOLD.hakuna chumba cha ushauri nasaha.Ujenziwa nyumba yawatumishimwaka 2009/2010.Walipewa shilingi
milioni 31. Ujenzi ulikamilika mwaka 2010.hakuna maabara.
MAONI YA WANANCHIhuduma zimeboreshwa. Mfano:dawa zinapokuwapo kituoni wanapewa,
na zikimalizika wanapewa taarifa pia.Kuna wazee 33 waliochaguliwa ambao wako kwenye umri wa kupata
matibabu bure na wanapewa matibabu bure.Wajawazitowanaopotezakadihutozwashilingi1,000ilikupatanyingine.
CHANGAMOTOUpungufu wa watumishi.Ukosefu wa maabara.Mara nyingi dawa kucheleweshwa.Ukosefu wa kituo cha afya.Upungufu wa vitanda vya kupumzikia
wagonjwa.Uzio kwa ajili ya zahanati.Upungufu wa meza kwa ajili ya kuweka vifaa.hakuna mizani kwa ajili ya kupima watoto.Mabati yanavuja, hasa kwenye chumba cha
umemejua. hii ni kutokana na kutokarabati kituo kwa muda mrefu.
Ukosefu wa chumba cha ushauri nasaha.
Vifaa tiba kwenye zahanati ya Usure vimehifadhiwa sakafuni, juu ya kashana
kwenye kiti kutokana na ukosefu wa meza kama inavyoonesha.
-29-
MAPENDEKEZOtimu inapendekeza kuwapo na makabati ya kuhifadhi dawa na vifaa tiba, kuwapo na sanduku la maoni na ubao wa matangazo, ili wananchiwapate kujua yanayojiri katika utoaji huduma za afya.
ZAHANATI YA MBELEKESEMfuko wa chf upo na una wanachama 350.KamatizaUKIMWIhazikohai.Sanduku la maoni hakuna wala ubao wa matangazo.Kuna watumishi wawili; muuguzi mmoja, mkunga mmoja na upungufu wa
watoa huduma watano.Kwa siku kituo kinahudumia wagonjwa 30.Nyumba za watumishi ziko tatu, kwa sasa zinatosha.Wanatumia nishati ya jua ambayo inafanya kazi kwa kusuasua ila
wameshatoa taarifa wilayani.Wanatumiamfumobaridiambaounawezeshwanamitungiyagesi.Wana kitanda kimojacha kuzalishia na kimoja kibovu. Pia, vifaa vya
kuzalishia zipo seti mbiliShimo la kuchomea taka liko chini ya kiwango, na la kutupa kondo la
nyumalipo.Ushiriki wa watumishi kwenye semina upo ila mdogo.WanapimaUKIMWIkwakutumiadetermine.hakuna chumba maalumucha kutolea ushauri nasaha.
MAONI YA WANANCHI:huduma inayotolewa kituoni ni nzuriDawa zikiisha, huchukuamuda kuletwa zingine.chf hulipwa kwa awamu. Mfano, anaweza akalipa shilingi 2,000
naanapokwenda kituoni kwa matibabu humalizia shilingi 3,000.
-30-
CHANGAMOTO:Ukosefu wa kituo cha afya.Upungufu wa watoa huduma.Ukosefuwausafirikwenyekituo,hivyokusababishawatoahudumakukodi
pikipiki kwa fedha zao wanapokwenda kutoa chanjo nje ya kituo.Ushirikishwajihafifuwawatoahudumakwenyeseminanamafunzo.Watumishihawapewimalipoyadharura.Dawakuchelewakufikawanapoagizakwahatamieziminne.Nishati ya jua kutokuwa thabiti, kwani mara nyingi ni mbovu.Ukosefu wa nishati ya umeme kwenye nyumba za watoa huduma.Gharama ya umaliziaji wa nyumba za watumishi ni shilingi milioni 28.2,
ambao unapaswa kukamilika mwaka (2012?)
MAPENDEKEZOtimu inapendekeza kuwapo mifumo thabiti ya umemejua na kufanyiwa marekebisho pale tu inaposhindwa kufanya kazi. Vilevile, vinunuliwe vifaa tiba vyenye ubora, kwani picha ya kitanda hicho hapo juu kimefungwa ubao kikiwa bado kipya. Suala la ucheleweshwaji dawa na vifaa tiba liwasilishwe kwa ngazi husika kutatua tatizo hilo.Pia kamati za UKIMWI ziwezeshwekiutendaji ili kufikisha huduma hii muhimu kwa wananchi na kupunguzachangamotozinazotokananaUKIMWI.
ZAHANATI YA KIKONGE
CHANGAMOTOWananchiwaliahidiwawakichangiaCHFwataruhusiwakupatamatibabu
popote ndani ya tarafa, kwa kutumia kadi hiyo hiyo, ila haifanyiki hivyo.hawapati vipimo, wanatoa tu maelezo na kupewa dawa. hii ni kutokana
na ukosefu wa maabara.Wazee badowanachangishwa gharama yamatibabu, huku sera ya afya
inawataka watibiwe bure.Upungufu wa watoa huduma ya afya, kwani wapo wawili tu, hivyo mmoja
akipata likizo hubaki mmoja ambapo naye akipata mwito kituo kinafungwa.
-31-
Watoahudumawanalughambayanahakunahudumanzurikwawateja.GarilawagonjwalakituochaNdagohalifikikutoahuduma.Watumishihukatizamudawakazi.
ZAHANATI YA KASELYAMfumo baridi upo na unatumia gesiWanasandukulamaoni.Dawa zinapatikana mara nyingi isipokuwa za watoto.Shimo la taka lipo, la kutupa kondo la nyuma pialipo la muda.huwa wanahudhuria mafunzo.
CHANGAMOTOUpungufu wa watumishi, zahanati ina wawili tu ambao ni wauguzi.Mfuko wa chf una wanachama wachache ikilinganishwa na idadi ya
wananchiwanaopata huduma kwenye kituo. Kuna wanachama 153 wakati kituo kinahudumia vijiji vitatu.
Nyumba za watumishi hazitatosha watoa huduma wakiongezeka.Akina mama wengi wanazalia majumbani.hawana nishati ya umemejua.Ukosefu wa kituo cha afya.hakuna maabara.halmashauri haijachangia upauaji wa kituo cha afya, tangu mwaka 2010
jengolimefikiahatuayakuezekwa.Vitanda vya kuzaliani viwili,na vifaa vya kuzalishia viko seti mbili.Zahanati ina ukosefu wa Mganga tangu mwaka 2009.Dawa huletwa kinyume na maombiiliyotolewa MSD.hakuna huduma ya Vtc ila kuna pMtct tu.Ukosefu wa uzio wa kituo.
-32-
MAPENDEKEZOtimu inatoa mwito wazee watibiwe bure kama sera ya afya inavyoeleza, kuwepo na vipimo vya afya ili kutoa huduma bora ya afya na vilevile wanachama wa chf wapate huduma kama walivyoahidiwa.
ZAHANATI YA MILADEZahanatiipokatikahatuayaujenzi,imefikiahatuayalenta.WanapatahudumakwenyezahanatiyaIgugunoiliyopokijijijirani.Ujenzi ulianza mwaka 2009/2010 na ulitarajiwa kukamilika mwaka2012
lakini bado haujakamilika. Jumla ya fedha iliyotolewa ni shilingi 16,744,000. Serikali kuu ilitoa shilingi 8,000,000, wananchiwalichangia fedha taslimu shilingi 1,810,000 na nguvu ya wananchini shilingi 6,550,000.
Kituo kinahudumia idadi ya watu 25,587 na wana zahanati moja.Wakatiwamasika ni changamoto kupata huduma ya afya,maanamito
inafurika.Wanasubiri Halmashauri itoe fedha ili kukamilisha ujenzi, maana
wananchiwameshamaliza sehemu yao.
CHANGAMOTOHakunausafiriwajumuia,ikitokeakunamgonjwa,inabidikukodipikipiki
au gari kwa gharama kubwa.Watotokutopewachanjokutokananaumbaliwakituochakutoleahuduma.Kuathiri uzalishaji maana mtu akiugua au kuuguza, muda mwingi
unatumikakufikazahanatiyaIguguno.Kukosekana kwa kituo cha kutolea huduma za afya katika kata yao
hurudisha nyuma shughuli za uzalishaji, maana milipuko ya magonjwa ikitokea,huchukua muda kuyadhibitikutokana na kukosekana kwa kituo cha huduma za afya karibu.
thamani ya fedha hailingani na kiwango cha kazi iliyofanyika.
-33-
MAPENDEKEZOTimu inaomba Halmashauri imalizieujenzi wa kituo cha afya, ili kufikishahuduma karibu na wananchina kuepusha matatizo ya kiafya hasa wakati wa masika,kwanimitohujaamaji.Watotowapewechanjokwakutumiahudumatembezi -ili kuepusha matatizo ya kiafya kwa kizazi kijacho.
KITUO CHA AFYA KYENGEGEKituo kipo katika hatua ya umaliziaji -ujenzi.
• Ujenzi ulianza Agosti 2008. Unachangiwa na vijiji vitatu vya Makunda, Mugundu na Kyengege.
1. Mwaka 2008/2009 lengo lilikuwa kukusanya shilingi 5,950,000 kutoka kwa wananchi, ila kiasi kilichokusanywa ni shilingi 1,461,000 tu sawa na 2.5%.
2. Mwaka 2009 lengo lilikuwa ni kukusanya shilingi 12,189,500 na zilizokusanywa ni shilingi 4,042,000 sawa na 33%.
3. Mwaka 2010 lengo lilikuwa ni kukusanya shilingi 5,405,000, makusanyohalisi yalikuwa shilingi 431,500 sawa na 8%.
4. Mwaka 2011 lengo likiwa ni kukusanya shilingi 5,525,000 lakini makusanyo halisi ni shilingi 1,860,600 sawa na 34%.
5. Mwaka 2012 lengo lilikuwa ni kukusanya shilingi 5,525,000 nahadiJuni makusanyo halisi yalikuwa ni shilingi 731,500.
• halmashauri ilitoa fedha kutoka kwenye Mfuko wa MMAM shilingi 33,884,000 tarehe 5, Mei, 2010.
• Walipokeashilingi200,000kutokakwaMkuuwaMkoa.
• WalipokeashilingimilionimojakutokaMfukowaJimboambazozilitumika kujenga nyumba ya Mganga.
• Jengo lilitarajiwa kuwa limekamilika mwaka2010 ila liko nyuma ya ratiba, hii ni kutokana na kusitisha ujenzi wa jengo la kituo cha afya na kuanza ujenzi wa nyumba ya Mganga.
CHANGAMOTOMaji ni shida, hivyo hata katika ujenzi, inawapasa kununua maji pipa moja
kwa shilingi 5,000.
-34-
Vijiji ni vitatu na miradi iko mingi, hivyo wananchiwanalemewa, maana wanashindwa kuchangia kwa bidii.
Mafundi wa eneo lao wanasumbua katika ujenzi, maana hawajitoleikwa moyo, hii husababishakutomaliza kazi kwa wakati uliokubaliwa, na hivyo kusababisha kuchukua wajenzi wa nje.
Utayari mdogo wa wananchikuchangia shughuli za maendeleo.
Hakuna usomaji wa taarifa za matumizi na mapato kutokana naWDCkuchelewa kukutana.
Viongozi kubadili matumizi ya michango ya ujenzi na kuyatumia kwa mambo mengine, hii hukatisha tamaa wananchiya kuchangia.
MAPENDEKEZOtimu inasisitiza taarifa zamapato na matumizi zitolewe na wananchiwapewe maelezo ya ufafanuzi uhalalisho na uthibitisho wa matumizi ya pesa pale wanapokataa taarifa ya matumizi.
HOSPITALI YA WILAYA KIOMBOIUkarabati wa paa na ukuta umefanyika ambao umegharimu zaidi ya shilingi
milioni 300 kwa mwaka 2010/11.
Kuna vitanda 180 na vyandarua 360 na kuna vyandarua vya akiba ambavyo idadi yake haikuweza kufahamika.
Kuna huduma ya ctc. Kuna kipimo cha cD4 ambacho kina uwezo wa kupima wastani wa watu 30kwa siku.
chumba cha ushauri nasaha kipo.
Kuna gari la wagonjwa moja ambalo lipo hospitali muda wote.
Kwa maelezo ya Mganga Mfawidhi wa hospitali, magari ya vituo vya afya vya Mgongo, Ndago na Mkalama yapo hospitalini, yalihamishwa kutoka vituo hivi vya afya kwa sababu ya ukosefu wa madereva. Maelezo haya ni tofautinayaKatibuwaAfyawaWilayaambayealiitaarifutimuyaSAMkuwa magari haya ni mabovu isipokuwa la kituo cha afya cha Kinyangiri, ambalo lipo Kinyangiri na linafanya kazi.
-35-
Kuna bodi ya afya ambayo iko hai na kila mwezi inakutana na hufanya vikao vya dharura endapo itatokea.
Kuna watumishi wa afya 315, pungufu ni 462, mahitaji ni 777. Idadi hii imejumuisha zahanati na vituo vyote vya kutolea huduma wilayani Iramba.
Nyumba za watumishi zipo, lakini hazitoshelezi, watumishi wengi wanaishi kwenye nyumba za kupanga.
Mafunzo na semina yanafanyika kuzingatia vigezo na umuhimu wa mafunzo kwa kitengo.
hakuna jiko wanatumia la muda. Ujenzi wa jiko upo katika mpango.
Sanduku la maoni na ubao wa matangazo vipo.
Mashine za kufua nguo hospitalini zipo tatu. mbilizinafanya kazi ila mojani mbovu.
Upatikanaji wa madawa unatosheleza
Vifaa tiba vipo, lakini havitoshelezi.
Utoaji huduma bure kwa wazee kuanzia umri wa miaka 60na watoto chini ya miaka mitano upo.
Kuna shimo la kutupia kondo la nyumana shimo la taka.
MAONI YA WANANCHIWaganga huchelewa kuhudumia wagonjwa. Mfano; mgonjwa anaweza
kufika kituoni na kukaa kwa saa 24 bila huduma ya matibabu akawaamepewa kitanda tu.
Mwananchimwenye kadi ya chf atambulike kwenye vituo vya kutolea huduma ya afya ndani ya wilayayake, kama ambavyo inapaswa kuwa.
CHANGAMOTOUpungufu wa watumishi unaosababishawatumishi kufanya majukumu
ambayo hayako ndani ya uwezo wao. Mfano; upungufu wa wataalamu wa maabara.
Upungufu wa nyumba za watumishi.
Upungufu wa vifaa tiba. Mfano; ukosefu wa mizani katika vituo vya afya na zahanati.
-36-
Wasaidizi wa wagonjwa kwenye hospitaliya wilaya Kiomboi wanapika chini ya mti.
Baada ya kukosa mahali pa kulala na kubadilisha nguo,
jiko la muda limegeuzwa mahali pa kulala wanaume
kwa wanawake, katika hosptali ya Kiomboi.
Vyumba na vitanda vya wajawazito havitoshelezi.
Uwezo mdogo wa kifedha unaosababisha miradi ya maendeleo ya afya kukwama. Mfano; zahanati na vituo vya afya vilivyo katika hatua ya ujenzi kushindwa kukamilika kwa muda kutokana na ukosefu wa fedha.
Vifaa wanavyoletewa kutoka MSD-havina ubora unaohitajika. hii husababishavifaa kuharibika mapema. Mfano; mizani na kifaa cha kupimia mapigo ya moyo.
chumba cha maabara ni kidogo hakitoshelezi.
-37-
MA
PEN
DE
KE
ZO
tim
u in
apen
deke
za v
ijeng
we
vyum
ba v
ya k
ulal
a w
asai
dizi
wa
wag
onjw
a na
jiko
la k
upik
ia. p
ia w
atum
ishi
wao
ngez
we
ili
kupu
nguz
a pe
ngo
kubw
a la
upu
nguf
u w
ao. A
idha
, ni m
uhim
u m
agar
i ya
wag
onjw
a ya
onge
zwe
ili k
urah
isis
ha u
patik
anaj
i hu
dum
a za
afy
awila
yani
.
3.2.
4 U
sim
amiz
i wa
Uw
ajib
ikaj
iK
atik
a ku
anga
lia n
i jin
si g
ani
uwaj
ibik
aji
unas
imam
iwa,
tim
u ya
Uw
ajib
ikaj
i Ja
mii
ilipi
tia U
cham
buzi
wa
ripo
ti ya
M
kagu
zi n
a M
dhib
iti M
kuu
wa
Hes
abuz
a Se
rika
li kw
a m
wak
a w
a fe
dha
2010
/1 k
ama
moj
a ya
vyo
mbo
vya
us
imam
izi n
a uw
ajib
ikaj
i.
taa
rif
a y
a m
dh
ibit
i na
mk
ag
uz
i mk
uu
wa
he
sab
u z
a s
er
ika
li k
wa
mw
ak
a
2010
/201
1 -h
OJa
z
iliz
Oib
ul
iwa
(ir
am
ba
)
S/N
Hoj
a ili
yoib
uliw
aK
iasi
hal
isi
kina
chop
asw
a ku
lipw
a(Sh
)
Am
bayo
bad
o ha
ijalip
wa
(Sh)
Mao
ni y
a M
kagu
ziM
asw
ali y
a tim
u ya
SA
M
1.M
kopo
hau
jare
jesh
wa
1,45
0,00
01,
450,
000
fedh
a ba
do h
azija
lipw
a na
Uta
wal
a un
apas
wa
kulip
a hi
li de
ni
Je, U
taw
ala
umes
halip
a hi
lo d
eni?
3U’s
. U
hala
lisho
,Usa
babi
sho
na
Ufa
fanu
zi2.
Mal
ipo
ya m
isha
hara
hew
a6,
603,
902
6,60
3,90
2h
alm
asha
uri i
napa
swa
kuha
kiki
sha
kuw
a fe
dha
ziliz
opot
ea z
inar
ejes
hwa
Je, h
izi f
edha
zim
elip
wa?
3U
’s
-38-
3.fe
dha
za c
hf
zina
pasw
a ku
reje
shw
a kw
enye
ak
aunt
i yak
e
25,0
00,0
0025
,000
,000
fedh
a zo
te z
inap
asw
a ku
reje
shw
a kw
enye
ak
aunt
i ya
ch
f
Je, h
izo
fedh
a zi
mel
ipw
a?
3U’s
4.fe
dha
za k
amis
heni
am
-ba
zo h
azija
lipw
a14
,770
,000
14,7
70,0
00h
alm
asha
uri i
jadi
li na
be
nki y
a N
MB
kuh
usu
nam
na y
a ku
reje
sha
ka-
mis
heni
hiz
o
Je, h
alm
asha
uri i
mef
ua-
tilia
hili
sual
a na
ben
ki y
a N
MB
? 3U
’s
5.M
akat
o ya
mis
haha
ra k
wa
kiw
ango
cha
juu
kulik
o in
avyo
pasw
a
--
hal
mas
haur
i hai
pasw
i ku
wap
a m
ikop
o w
afan
-ya
kazi
zai
di y
a vi
wan
go
vyao
hili
lim
efan
yiw
a ka
zi?
3U’s
6.M
isha
hara
am
bayo
hai
-ja
kusa
nyw
a17
,504
,172
1,68
5,84
6.91
hal
mas
haur
i ina
pasw
a ku
reje
sha
mis
haha
ra
amba
yo h
aija
kusa
nyw
a m
koan
i kup
itia
kwa
utaw
ala
wa
mko
a
Je, h
alm
asha
uri i
mer
eje-
sha
mis
haha
ra h
iyo?
3U
’s
7.fe
dha
za sa
fari
haz
ijar-
ejes
hwa
3,00
0,00
03,
000,
000
Walewoteam
baowali-
pew
a fe
dha
war
ejes
he,
na w
apew
e fa
ini y
a 5%
ya
fedh
a w
aliz
okuw
a w
anad
aiw
a ki
la m
moj
a,
na w
aam
bata
nish
e na
vi
elel
ezo
vya
usha
hidi
wa
mat
umiz
i ya
fedh
a w
al-
izok
uwa
wam
ekab
idhi
wa
Je, h
ayo
yalif
anyi
ka?
8.M
isaa
da il
iyot
olew
a kw
a aj
ili y
a vi
jiji
ipel
ekw
e vi
jijin
i
13,8
59,4
0813
,859
,408
Uon
gozi
wa
hal
mas
haur
i un
apas
wa
kupe
leka
fedh
a hi
zo k
wen
ye v
ijiji
husi
ka
Je, h
izo
fedh
a zi
mer
ejes
h-w
a?
3U’s
-39-
JUM
LA
YA
FE
DH
A A
MB
AYO
HA
LM
ASH
AU
RI I
NA
DA
IWA
NI 6
6,36
9,15
6.91
S/N
Hoj
a zi
lizoi
buliw
aH
atua
ya
utek
elez
aji
Cha
nzo
cha
udha
ifuM
aoni
ya
Mka
guzi
Mas
wal
i ya
timu
ya S
AM
9.
Uje
nzi w
a ki
band
a ch
a ku
chom
ea ta
kaU
jenz
i hau
jaan
za
-U
jenz
i huo
una
pasw
a ku
kam
ilish
wa
Je, u
jenz
i huo
um
efan
yika
? N
a uk
o ka
tika
hatu
a ga
ni?
10.
hal
mas
haur
i ina
sh-
indw
a ku
kusa
nya
map
ato
ya k
utos
ha y
a nd
ani.
Map
ato
ya n
dani
ni s
hi-
lingi
294
,579
,075
wak
ati
mat
umiz
i ya
hal
mas
haur
i ni
shili
ngi 2
0,18
0,05
1,00
0 am
bayo
ni 1
.5%
. hii
inam
aani
sha
kuw
a h
al-
mas
haur
i hai
wez
i kuj
itege
-m
ea b
ila k
upat
a m
saad
a ku
toka
serik
ali k
uu.
-K
utoa
inis
ha v
yanz
o vy
ote
vya
ndan
i vya
map
ato
Uon
gozi
wa
hal
-m
asha
uri u
napa
swa
kuai
nish
a vy
anzo
vyo
te
amba
vyo
vina
wez
a ku
iong
eza
hal
mas
haur
i m
apat
o
Je, k
una
vyan
zo
vipy
a am
bavy
o h
alm
asha
uri
imeg
undu
a am
-ba
vyo
vim
esai
dia
kuon
geza
map
ato
ya n
dani
?
11.
Kite
ngo
cha
ukag
uzi w
a nd
ani k
ukos
a uh
uru
bina
fsi
-U
was
ilish
aji d
haifu
wa
taar
ifa u
naof
anyw
a na
se
rikal
i za
mita
a.
hal
mas
haur
i ina
pasw
a ku
zing
atia
kw
amba
uw
asili
shaj
i sah
ihi w
a ta
arifa
una
fany
wa
na
kite
ngo
cha
ndan
i cha
uk
aguz
i. K
wa
mfa
no
kina
pasw
a ku
waj
ibik
a kw
a m
kagu
zi w
a nj
e na
B
araz
a la
Mad
iwan
i. pi
a, k
uwe
na u
kagu
zi
wa
kite
ngo
hiki
ili
kuep
uka
udha
ifu k
atik
a ut
enda
ji.
Je, k
una
hatu
a zo
-zo
te z
ilizo
chuk
uli-
wa
na h
alm
asha
uri
kuha
kiki
sha
kuw
a ki
naim
arik
a ka
tika
uten
daji?
-40-
JUM
LA
YA
FE
DH
A A
MB
AYO
HA
LM
ASH
AU
RI I
NA
DA
IWA
NI 6
6,36
9,15
6.91
S/N
Hoj
a zi
lizoi
buliw
aH
atua
ya
utek
elez
aji
Cha
nzo
cha
udha
ifuM
aoni
ya
Mka
guzi
Mas
wal
i ya
timu
ya S
AM
9.
Uje
nzi w
a ki
band
a ch
a ku
chom
ea ta
kaU
jenz
i hau
jaan
za
-U
jenz
i huo
una
pasw
a ku
kam
ilish
wa
Je, u
jenz
i huo
um
efan
yika
? N
a uk
o ka
tika
hatu
a ga
ni?
10.
hal
mas
haur
i ina
sh-
indw
a ku
kusa
nya
map
ato
ya k
utos
ha y
a nd
ani.
Map
ato
ya n
dani
ni s
hi-
lingi
294
,579
,075
wak
ati
mat
umiz
i ya
hal
mas
haur
i ni
shili
ngi 2
0,18
0,05
1,00
0 am
bayo
ni 1
.5%
. hii
inam
aani
sha
kuw
a h
al-
mas
haur
i hai
wez
i kuj
itege
-m
ea b
ila k
upat
a m
saad
a ku
toka
serik
ali k
uu.
-K
utoa
inis
ha v
yanz
o vy
ote
vya
ndan
i vya
map
ato
Uon
gozi
wa
hal
-m
asha
uri u
napa
swa
kuai
nish
a vy
anzo
vyo
te
amba
vyo
vina
wez
a ku
iong
eza
hal
mas
haur
i m
apat
o
Je, k
una
vyan
zo
vipy
a am
bavy
o h
alm
asha
uri
imeg
undu
a am
-ba
vyo
vim
esai
dia
kuon
geza
map
ato
ya n
dani
?
11.
Kite
ngo
cha
ukag
uzi w
a nd
ani k
ukos
a uh
uru
bina
fsi
-U
was
ilish
aji d
haifu
wa
taar
ifa u
naof
anyw
a na
se
rikal
i za
mita
a.
hal
mas
haur
i ina
pasw
a ku
zing
atia
kw
amba
uw
asili
shaj
i sah
ihi w
a ta
arifa
una
fany
wa
na
kite
ngo
cha
ndan
i cha
uk
aguz
i. K
wa
mfa
no
kina
pasw
a ku
waj
ibik
a kw
a m
kagu
zi w
a nj
e na
B
araz
a la
Mad
iwan
i. pi
a, k
uwe
na u
kagu
zi
wa
kite
ngo
hiki
ili
kuep
uka
udha
ifu k
atik
a ut
enda
ji.
Je, k
una
hatu
a zo
-zo
te z
ilizo
chuk
uli-
wa
na h
alm
asha
uri
kuha
kiki
sha
kuw
a ki
naim
arik
a ka
tika
uten
daji?
12.
Mga
wan
yo w
a m
amla
ka
unap
asw
a ku
fany
ika
na si
m
tu m
moj
a ku
idhi
nish
a m
alip
o yo
te k
ama
ili-
vyoe
lezw
a kw
enye
LA
fM
(199
7) O
rder
No.
10 (c
)
Kut
okan
a na
hilo
, sh
iling
i 7,0
00,0
00
zilia
ndal
iwa,
id
hini
shw
a na
ku
pitis
hwa
na m
tu
mm
oja
kiny
ume
na sh
eria
ya
fedh
a.
-M
gaw
anyo
wa
mad
a-ra
ka u
napa
swa
kuz-
inga
tiwa
na k
ufan
yika
.
Je, h
ili li
me-
fany
ika?
13.
Asi
limia
20
ya m
icha
ngo
inay
opas
wa
kure
jesh
wa
vijij
ini k
utok
a Se
rikal
i kuu
ha
ijare
jesh
wa
kwa
wan
an-
chi.
hak
una
hatu
a yo
yote
iliy
ochu
-ku
liwa
katik
a ku
reje
sha
fedh
a hi
zo.
Kia
si c
ha S
hilin
gi
108,
463,
113
hazi
jare
jesh
-w
a kw
a w
anan
chi.
hii
inas
abab
ishw
a na
uz
embe
wa
hal
mas
haur
i ku
reje
sha
hizo
fedh
a na
ku
zitu
mia
kw
a m
atum
izi
men
gine
.
hal
mas
haur
i iha
kiki
she
inar
ejes
ha fe
dha
am-
bazo
bad
o ha
zija
lipw
a sh
iling
i 73
, 292
,048
kw
enye
viji
ji hu
sika
na
kuj
enga
maz
oea
ya
kulip
a as
ilim
ia 2
0 pi
ndi
zina
poku
ja k
utok
a Se
ri-ka
li ku
u.
Je, f
edha
hiz
i zi
mes
hare
jesh
wa
au la
?
14.
fedh
a za
ch
f zi
met
umik
a kw
a m
atum
izi a
mba
yo si
sa
hihi
.
hak
una
hatu
a ili
yoch
ukul
iwa
katik
a ku
haki
kish
a fe
dha
zina
reje
sh-
wa.
Mw
ongo
zo w
a c
hf
wa
1999
una
toa
agiz
o ku
wa
fedh
a zo
te z
a c
hf
zina
taki
wa
kutu
mik
a kw
a m
atum
izi y
anay
ohus
u-m
oja
kwa
moj
a na
afy
a.
Laki
ni, k
una
fedh
a sh
i-lin
gi19
, 887
,128
.06
am-
bazo
zim
etum
ika
kiny
ume
na m
won
gozo
huo
.
Uon
gozi
wa
hal
-m
asha
uri u
haki
kish
e ku
wa
mw
ongo
zo w
a c
hf
unaz
inga
tiwa
na
kuto
him
iza
mat
umiz
i yo
yote
yas
iyo
muh
imu
katik
a M
fuko
wa
ch
f.
Je, h
izo
fedh
a zi
mer
ejes
hwa?
Je, u
le m
won
gozo
un
azin
gatiw
a?
-41-
15.
Uch
elew
eshw
aji w
a m
gao
wachakulakw
aWAV
IUK
ushi
ndw
a ku
bain
isha
w
anao
ishi
na
viru
si v
ya
UKIM
WIkwamuda
mw
afak
a ku
mes
abab
isha
-waokuchelewakuwafiki
-sh
ia c
haku
la.
cha
kula
m
aalu
mu
chen
ye th
aman
i ya
shili
ngi 6
1,86
8,35
0.
cha
kula
kili
chel
ewa
ku-
was
ilish
wa
kwa
wah
usik
a kw
a w
iki m
bili
hadi
nne
. (U
k57,
Let
ter
to M
anag
e-m
ent)
hal
mas
haur
i iha
kiki
-sh
e ka
bla
haija
nunu
a chakulakw
aWAV
IU
iwe
taya
ri in
a id
adi
yao,
ili p
indi
cha
kula
ki
napo
letw
a ki
gaw
iwe
mar
a m
oja
bila
kuc
he-
lew
a.
Je, h
ili li
me-
fany
ika?
16.
Daw
a zi
lizoh
arib
ika
kuto
-tu
pwa/
kuha
ribiw
aD
awa
zeny
e th
a-m
ani y
a sh
iling
i 1,
342,
400
zilik
u-w
a zi
meh
arib
ika
na h
ivyo
kut
o-fa
akw
a m
atum
izi
ya b
inad
amu.
hat
a hi
vyo,
hak
una
hatu
a ili
yoku
wa
imec
huku
liwa
na h
alm
asha
uri
kwa
ajili
ya
kuzi
tupa
auk
u-zi
chom
a ka
ma
inav
yoag
izw
a na
O
rder
No.
244
ya
LAFM
(199
7)
-Daw
a zi
ngin
e zi
li-to
lew
a na
MSD
kw
a h
alm
asha
uri b
ila w
ao
kuom
ba.
-Baa
dhi y
a da
wa
zilip
ele-
kwa
kwa
hal
mas
haur
i w
akat
i bad
o m
uda
mfu
pi
wa
kuha
ribik
a.
hal
mas
haur
i ich
ukue
ha
tua
za h
arak
a ku
-wasiliananaW
izara
ya A
fya
ili k
uzic
hom
a/ha
ribu
daw
a zi
lizok
wi-
sha
mud
a w
ake
Je, h
ilo li
me-
fany
ika?
-42-
15.
Uch
elew
eshw
aji w
a m
gao
wachakulakw
aWAV
IUK
ushi
ndw
a ku
bain
isha
w
anao
ishi
na
viru
si v
ya
UKIM
WIkwamuda
mw
afak
a ku
mes
abab
isha
-waokuchelewakuwafiki
-sh
ia c
haku
la.
cha
kula
m
aalu
mu
chen
ye th
aman
i ya
shili
ngi 6
1,86
8,35
0.
cha
kula
kili
chel
ewa
ku-
was
ilish
wa
kwa
wah
usik
a kw
a w
iki m
bili
hadi
nne
. (U
k57,
Let
ter
to M
anag
e-m
ent)
hal
mas
haur
i iha
kiki
-sh
e ka
bla
haija
nunu
a chakulakw
aWAV
IU
iwe
taya
ri in
a id
adi
yao,
ili p
indi
cha
kula
ki
napo
letw
a ki
gaw
iwe
mar
a m
oja
bila
kuc
he-
lew
a.
Je, h
ili li
me-
fany
ika?
16.
Daw
a zi
lizoh
arib
ika
kuto
-tu
pwa/
kuha
ribiw
aD
awa
zeny
e th
a-m
ani y
a sh
iling
i 1,
342,
400
zilik
u-w
a zi
meh
arib
ika
na h
ivyo
kut
o-fa
akw
a m
atum
izi
ya b
inad
amu.
hat
a hi
vyo,
hak
una
hatu
a ili
yoku
wa
imec
huku
liwa
na h
alm
asha
uri
kwa
ajili
ya
kuzi
tupa
auk
u-zi
chom
a ka
ma
inav
yoag
izw
a na
O
rder
No.
244
ya
LAFM
(199
7)
-Daw
a zi
ngin
e zi
li-to
lew
a na
MSD
kw
a h
alm
asha
uri b
ila w
ao
kuom
ba.
-Baa
dhi y
a da
wa
zilip
ele-
kwa
kwa
hal
mas
haur
i w
akat
i bad
o m
uda
mfu
pi
wa
kuha
ribik
a.
hal
mas
haur
i ich
ukue
ha
tua
za h
arak
a ku
-wasiliananaW
izara
ya A
fya
ili k
uzic
hom
a/ha
ribu
daw
a zi
lizok
wi-
sha
mud
a w
ake
Je, h
ilo li
me-
fany
ika?
17.
Aki
ba k
ubw
a ya
vya
ndar
ua
imek
utw
a st
oo (
amba
vyo
havi
jaga
wiw
a). V
iliku
twa
vyan
daru
a 4,
811
amba
vyo
vilit
olew
a na
MED
A ta
ngu
Janu
ari 2
011.
Uze
mbe
wa
hal
mas
haur
i ka
tika
ugaw
aji v
yand
arua
hi
vyo
amba
vyo
vim
ekuw
a st
oo ta
ngu
Janu
ari 2
011.
Uko
sefu
wa
umak
ini w
a uo
ngoz
i wa
hosp
itali
ya
wila
yaka
tika
kupa
mba
na
na m
alar
ia
-hal
mas
haur
i iha
kiki
-sh
e ku
wa
mak
undi
m
aalu
mu
yam
eain
-is
hwa
na y
amep
ewa
vyan
daru
a.
-Uta
wal
a uh
akik
ishe
vy
anda
rua
vina
gaw
iwa
kwen
ye z
ahan
ati w
akat
i da
wa
ziki
pele
kwa.
-pia
, Uta
wal
a uh
akik
i-sh
e vi
tand
a vy
ote
vya
hosp
itali
visi
vyo
na
vyan
daru
a v
iwek
ewe
hara
ka.
Je, h
ivi v
yand
arua
zi
mes
hato
lew
a?
-43-
4. SEHEMU YA TATU
Mrejesho wa ripoti na majibu kutoka Mamlaka ya HalmashauriBaada ya timu ya Uwajibikaji Jamii kupata mafunzo, kuchambua nyaraka za mipango, utekelezaji na kutembelea vituo vya afya kwa ajili ya kuthibitisha yaliyoandikwa kwenye nyaraka na kupata hali halisi ya vituo vinavyotoa huduma ya afya, ikiwa ni pamoja na dawa na vifaa tiba, timu iliandaa mkutano kwa ajili ya kufanya mrejesho kwa kamati ya huduma za jamii na mamlaka ya halmashauri ya Iramba ikiwa ni wakuu waidara na kamati ya usimamizi wa AfyayaWilaya(CMTnaCHMT).
MgenirasmikatikamkutanohuowamrejeshoalikuwaniMkuuwaWilayayaIramba,Bw. Yahya Nawanda, na baada ya timu kusoma taarifa ya uchambuzi na hali ya vituo ikiwa ni pamoja na changamoto zilizokutwa katika vituo vya afya kama ilivyoelezwa hapo juu na matumizi mabaya ya fedha kama Mkaguzi Mkuu wa Serikali alivyoeleza, mamlaka ya halmashauri ilikuwa na haya ya kujibu kutokana na changamoto kutoka vituo vya afya zilizowasilishwa na timu ya uwajibikaji jamii.
1. Uhaba wa watumishi katika vituo vya afya: hili suala liko nje ya uwezo wao, ila wamejitahidi kupata watumishi. Ni vigumu kupata watumishi, maana hili ni suala la kitaifa.Wilaya ya Iramba niWilaya inayofanyavizuri katika ujenzi wa vituo vya afya, hivyo inawalazimu kugawa waliopo kwenye vituo vilivyopo. tatizo la watumishi litaendelea kuwapo mpaka hapo hatua muhimu zitakapochukuliwa na Serikali kuanzia kuongeza idadi ya vyuo ili kupata wahitimu weng. pia ni muhimu kuboresha mazingira ya kazi ili wakipangiwa wasisite kwenda katika vituo hivyo.
2. Kutoza kadi za kliniki kwa wajawazito na watoto: hilo ni kosa na ni udhaifu kwa vituo. Mjamzito, watoto na wazee, wanapaswa kutibiwa bure nasivinginevyo.AmetoajukumukwaWDCkushughulikiahilonakamatiza afya kufanya hilo.
3. Uchakavu wa majengo: Uwezo wa kukarabati majengo ni mdogo, wakipata fedha watakarabati maana wanategemea fedha ya MMAM, ambapo mwaka jana hawakuzipata..
-44-
4. Ukosefu wa magari ya wagonjwakatika vituo vya afya vilivyokuwa na magari hayokabla: Magari yote yamezeeka kasoro moja la wilayana moja la Utawala. hivyo wanategemea kufanya maombi maalumu Serikali kuu ili kununua gari.Magari mengi ni mabovu yako gereji.
5. Upungufu wa Dawa: Dawa zipo kwa wingi, waliokuwa wanakosa dawa ni uzembe wao, walikuwa hawafuatilii wilayani. Na kuna tatizo lililojitokeza ambapo mwezi wa sita MSD(Bohari ya Dawa) walikuwa wanafanya kazi ya kuhesabu dawa,vifaa tiba na vifaa, hiyo ilileta tatizo ila kwa sasa dawa zipo.
6. Kutofanya kazi kwa umemejua kwa muda mrefu katika vituo vya afya: Iramba imejitahidi kuweka umemejuakwenye vituo vyake vingi. tatizo linakuwa maji ya betri ya umemejuahayabadilishwi, na wakati wa mawingu husababisha zisifanye kazi. tutajitahidi kuweka umemejua kule kunakokosekana hela zikipatikana.
7. Upungufu na ubovu wa vifaa tiba:tunanunua vifaa kutoka MSD -ambapo vingi vinakuwa chini ya kiwango na hilo liko nje ya uwezo wetu, maana tunapaswa kununua kutoka MSD
8. Ukosefu wa ulinzi katika vituo vya afya: hili si suala la ajira yahalmashauri na la kila kijiji kuhakikisha kuwa wanaajiri mlinzi ili awalindie mali zao, hivyo ni jukumu la serikali ya kijiji kuhakiki vituo vilivyo katika maeneo yao.
9. Ubovu wa majengo na vifaa vingine kama milango.Kuna fedha za Bima ya Afya ambazo halmashauri imezipa mamlaka zahanati na vituo vya afya, kununua vifaa vidogokama vitasa na marekebisho madogo, hivyo kama kuna yanayojitokeza, huo ni uzembe wa kamati ya kituo husika.
10. Wazee kutotibiwa bure: Watahakikishakuwawazeewanatibiwaburenamasuala yao ya chf yanashughulikiwa.
11. Kukosekana kwa mizani hasa za watoto: Watahakikisha mizanizinapelekwa vituonikutatua shida hiyo.
12. Kukosekanasemina ya watoa huduma: Watahakikishawatoa hudumawanakwenda semina maana kutokwenda kunawakatisha tamaa ya kazi.
-45-
13. Jengo la zahanati kutoendana na thamani ya fedhazilizotumika katika ujenzi kituo cha afya cha Kinyambuli:Kinyambuli Walipewa fedhashilingi milioni88- kwa ajili ya kujenga jengo la wagonjwa wa nje (OpD). Kamati ya usimamizi haikuwa nzuri, ila hayo yalitokana na usimamizi wa kamati ya ujenzi kuwa mbovu. Baada ya kuona udhaifu, wameamua kubadili mfumo wa kutoa zabuni na wameamua fedha hazitatoka bila cheti cha mhandisi. hii itasaidia kutatua tatizo la usimamizi wa fedha za ujenzi.
14. Kukosekana kwa kamati za Ukimwi: Wana Kamati ya Ukimwi yaWilayanainafanyakaziyakuhakikishakuwakamatizaUkimwizavijijina kata zinafanya kazi pia, hivyo ni jukumu la kamati za kata zaUkimwi kuhakikisha kamati za vijiji zinafanya kazi na ni jukumu la serikali za vijiji na kata kushughulikia posho na utendaji kazi wa kamati hizo.
5. SEHEMU YA NNE
Mkutano wa nje na Wanachi Wilaya ya Iramba na YaliyoibuliwaMkutano wa nje kwa wanachi wa Iramba ulipangwa kufanyika tarehe 24 Novemba kwa ajili ya kutoa mrejesho wa uchambuzi uliofanywa na timu ya uwajibikaji jamii ya wilayalakini mkutano huo uliahirishwa kwa sababu mbali mbali na hatimaye ukafanyika tarehe 20 Desemba katika kata ya Shelui wilayani Iramba.
SikikakwakushirikiananaMkuuwaWilayakamaalivyoahidimwanzonikuwaataitisha mkutano wa nje ili Sikika na timu ya uwajibikaji jamii watoemrejesho kwa wananchi, baada ya mkutano wa kwanza kushindwa kufanyika,tulifanya maandalizi muhimu na kuandaa mkutano wa nje katika kata ya Shelui ambapo piaMkuuwaWilayaalipangakufanyaziarakatikakatahiyokuzungumzanawananchi na kusikiliza kero zao kwa mara ya kwanza. Mkuu waWilayaalitoa gari na Sikika ikagharimia mafuta na gharama zingine kama kuandaa mahemana viti kwa ajili ya mkutano, pia kuwasiliana na viongozi wa kata kuhakikisha mkutano unafanyika vizuri.
WafanyakaziwaSikikanatimuyauwajibikajijamiiyawilayailifikamapemaeneo lamkutanokuendeleanautaratibumwinginewakatiMkuuwaWilayaakisubiriwa atoke kijiji kingine alichotembelea asubuhi kuzungumzana wananchi.MkuuwaWilayanamsafarawakewalifikaSheluimchanatayari
-46-
kwamkutano,kwaniwananchiwengiwalikuwawameshafikakatikaeneo lamkutano.
Kabla ya kufungua mkutano wananchiwalipiga kelele za kuzomea kila wakati viongozi wa msafara wa Mkuu wa Wilaya waliposimama kujitambulisha,mfano aliposimama Kaimu Mtendaji wa Kata na Mkuu wa Kituo cha polisi na kusema ‘’shelui safi?’’ Wananchi walijibu “sio safi’’ hii ilionesha viongozi hawakuwa waadilifu na hivyo kutoelewana na wananchi.
Baadayakelelezawananchikuzidi,MkuuwaWilayaalifunguamkutanonakuomba Sikika na timu ya uwajibikaji jamii ya Iramba wafanye mrejesho kisha yeye na msafara wake wawewa mwisho kuzungumzana wananchi.
Timu ya SAM Iramba ikimsikiliza Mkuu wa Wilayatimu ya Sikika ilieleza kazi za Sikika kisha kukaribisha wajumbe wawili wa timu ya uwajibikaji jamii kusoma taarifa ya uchambuzi iliyoandaliwa na timu ya uwajibikaji jamii katika Idara ya Afya pamoja na majibu yaliyotolewa na mamlaka husika katika mkutano wa mrejesho na wadau wa afya wa wilaya ikiwani pamoja naKamati yaUsimamizi yaAfyayaWilayanaKamati yaUsimamizi ya halmashauri (chMt nacMt).
Baada yawajumbewa uwajibikaji jamii kusoma taarifa,MkuuwaWilayaaliomba wananchi wasiulize maswali wala majadiliano na badala yake, wampe nafasi yeye na msafara wake wazungumze kwanza, na kisha maswali na majadilianoyatajumuishwa.MkuuwaWilayanamsafarawakewalizungumziaukame na njaa inayoikumba wilaya, matatizo ya ardhi na kugusia kidogo masuala ya afya.
-47-
5.1 Maswali na Majadiliano Katika Mkutano wa Nje na WananchiMaswali mengi yaliyojadiliwa katika mkutano yalihusu matatizo ya ardhi, na unyanyasaji unaofanywa na polisi na afya, kwani kipindi cha maswali kilijumuishamamboyaliyozungumzwanamsafarawaMkuuwaWilayanamrejesho wa timu ya uwajibikaji jamii.Mmoja wawananchi aliuliza swali:
Bili kitundu mkazi wa Shelui:Alihoji kuhusu fedha shilingi milioni2.6 zilizochangwa na wananchiili kuanza kuchimba msingi wa kujenga kituo cha afya, lakini hakuna msingi uliochimbwa na hakuna mwananchia na yejua wapi hizo fedha zilikwenda.Katika kutolea ufafanuzi wa swali hilo, Kaimu Mtendaji wa Kata alisema yeye amekaimu ofisinahajuichochotekuhusufedhazilikokwenda..
Diwani waShelui alieleza kuwa fedhahizo zilizochangwa na wananchikwa ajili ya kuchimba msingi wa kujenga kituo cha afya na zililipwa kwa mtaalamu wa ujenzi ili achimbe msingi, lakini kumbe mtu huyo alikuwa mgonjwa na hivyo kufariki dunia na hizo fedhakabla ya kuchimba msingi, na zilizobaki zilinunua vifaa vingine vya ujenzi kama tangi la maji.
Mkuu waWilaya alitoa agizo kupelekewa stakabadhiza matumizi ya hizofedhaza wananchikwa ajili ya kuchimba msingi wa ujenzi wa kituo cha afya na kisha kufunga mkutano saa 12.00 jioni na watukutawanyika.
-48-
6. SEHEMU YA TANO
CHANGAMOTO NA TULIYOJIFUNZAchangamoto katika kutekeleza kazi ya uwajibikaji jamii zilianza kujitokeza tangukipindi cha maandalizi hadikuendesha mkutano wa hadhara kwa wananchi,kama vile:
KukosaushirikianokatikaOfisiyaMkurugenzikwanihakutakakabisakazihiyo ifanyike wilayani na kusema wakuu wa idara wako chini yake hivyo hatawaruhusu kushiriki mikutano ya wadau wa afya.
Upatikanaji wa nyaraka ni mgumu kwani Mkurugenzi, wakuu wa idara walitakiwa wasitoe waraka wowotekwa taasisi isiyo ya Serikali.
Ukosefuwabarabaraboranaumbalikatikakufikiavituovyaafya.
timu ilijifunza yafuatayo kutokana na kazi ya uwajibikaji jamii:
Wananchiwengihawajuihakizaozamsingi, lakiniwakipewaelimuyakutosha wanaweza kuleta mabadiliko katika sekta ya afya.
Njia sahihi ya kuwezesha kazi ya uwajibikaji jamii kutekelezeka ni kumhusishaMkuuwaWilaya.
Vituo vyote vilivyotembelewa, havijui bajeti ya kituo na hivyo taarifa za mapato na matumizi hazitolewi kwa wananchi, taarifa za mapato na matumizi zikitolewa kwa wananchizitajenga uhusiano mzuri na kuaminiana kati ya watoa huduma, watendaji wa Serikali na wananchina hivyo kushirikiana katika shughuli za maendeleo
Asilimia 20 ya chf hairudi kwenye vituo vya afya na hivyo kuzorotesha huduma za afya vijijini.
-49-
7. SEHEMU YA SITA
HITIMISHO NA MAONI YA TIMU YA SAMtimu ya pSAM kwa pamoja ingependa kuona kuwa changamoto na matatizo yanayozikabili sehemu za kutolea huduma zinafanyiwa kazi haraka, ili kutoa huduma za afya katika maeneo husika.
pia timu inapendekeza kuwapo mkakati mahususi wa kukamilisha ujenzi wa vituo vya afya na zahanati zilizojengwa kwa nguvu za wananchi,ili kuwatia moyo na kusogeza huduma za afya karibu nao.
Aidha, kutekeleza mapendekezo yaliyotelewa na timu ya SAM na ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa hesabu za Serikali, itachangia kwa kiasi kikubwa kuboresha huduma za afya katika maeneo husika. Ushirikishwaji wa jamii/wananchi ni muhimu ili kuwawezesha kutoa maoni yao katika maendeleo ya sektayaafyanaUKIMWI.
Wananchiwanahakiyakupatataarifazakiutendajiikiwanipamojanataarifaza mapato na matumizi, uwepo na kutokuwapo kwa dawa na vifaa tiba, ujenzi na upanuzi wa majengo na taarifa zote zilizo muhimu kwa wananchi kujua.
Uwepo wa mifumo thabiti ya utoaji malalamiko ni njia muhimu katika kuboresha huduma za afya, hivyo timu inapendekeza kuwapo masunduku ya maoni katika kila kituo na zahanati. pia uwepo wa mbao za matangazo na kubandika taarifa za mapato na matumizi na nyingine muhimu, upatikanaji wa taarifa kirahisi pamoja na uwazi katika masuala ya fedha kutajenga uhusiano mzuri na wananchi.
Vilevile kuna umuhimu wa nishati thabiti ya jua iwekwe kwenye maeneo yasiyo na umeme wa gridi ya taifa na pia ifanyiwe kazi pale inapoharibika, badala ya kukaa mwaka mzima bila kufanya kazi kwani inakwamisha utoaji wa huduma za afya kama mashine za cD4 na zingine nyingi.
TimuinapendekezakamatizaUKIMWIziundwekatikangazizote(kata,vijijina mitaa), ili kufikisha huduma hii muhimu kwa wananchi na kupunguzachangamotozinazotokananaUKIMWI.
Zaidi ya hayo, timu ya SAM inasisitiza umuhimu wakazi kama hili kufanyika mara kwa mara. hivyo, inashauri halmashauri kushirikiana na Sikika
-50-
kuwezesha timu iwe endelevu na iweze kufanya kazi ya SAM kwa idara zingine zote za halmashauri, kwa lengo la kufuatilia uwajibikaji kwa jamii, ili kufikiahakizabinadamunakukidhimahitajiyajamiikatikasektakamazaaffya na zinginezo.
Ili tuwe na maendeleo tunahitaji wananchi wenye afya bora na nguvu. Ni jukumu letu sote viongozi na wananchi kushirikiana kwa pamoja kuleta maendeleo ya wilaya yetu na nchi kwa pamoja na kuhakikisha fedha zilizotengwa kwa huduma za afya zinatumika ipasavyo na kuleta maendeleo yaliyokusudiwa.
-51-
Hotuba ya Mkuu wa Wilaya katika ufunguzi wa warsha ya kuhimiza Uwajibikaji wa Jamii
Wilayani Iramba
Ndugu wajumbe, katika mwaka wa fedha 2010/11 halmashauri ya Iramba ilikisia kutumia shilingi. bilioni 4 (4,024,791,558) kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya afya hapa wilayani. Fedha hizi zinatokana na michango ya wananchi kupitia Mfuko wa Afya ya Jamii,ruzuku kutoka Serikali kuu,na michango ya washirika wa maendeleo. Katika dhana nzima ya uwajibikaji kwa wananchi, inabidi tujiulize au wananchi wanapaswa kutuuliza yafuatayo:
1. Je, fedha hizi zilitumika kwa malengo yaliyokusudiwa?2. Je, utekelezaji wa miradi ulimalizika kwa muda uliokusudiwa?3. Je, huduma za afya na huduma zingine zimeboreshwa kutokana na
utekelezaji wa miradi hiyo?
Je, taarifa za upatikanaji wa rasilimali hizi pamoja na matumizi viko wazi kwa madiwani ambao ndio wawakilishi wa wananchi, na je ziko wazi kwa wananchi ambao kimsingi ndio walengwa wa rasilimali hizo?
Ushirikiano kwa Sikika tunatambua kuwa Sikika imeanza kufanya kazi katika wilaya yetu ya Iramba, hivyo basi, naomba tuwape ushirikiano wa kutosha ili waweze kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi na kuleta tija inayohitajika. Natoa rai kwa wakuu wa idara kushirikiana na Sikika pale wanapohitaji msaada.
Ndugu wakuu wa idara, ni matumaini yangu kuwa kaziiitakayofanya na Sikika kwa kushirikiana na baadhi yetu hapa, italeta mafanikio makubwa kwetu kwa sasa na hata siku za usoni. hivyo basi naelekeza wapewe taarifa watakazohitaji ambazo ziko ndani ya uwezo wa halmashauri. taarifa hizi ni pamoja na zifuatazo:
1. Mpango Mkakati wa halmashauri ili kujipima ni kwa kiwango gani tumeutekeleza
2. Bajeti ya halmashauri kwa mwaka wa fedha 2010/20113. Mpango Mkakati waAfya wa Wilaya (CCHP) na taarifa zake za
utekelezaji za mihula na mwaka mzima wa 2010/2011
-52-
4. taarifa za Mkaguzi wa Mahesabu (ndani na nje) taarifa za vikao vya Baraza la Madiwani, Kamati ya Maadili, Bodi ya Afya na taarifa zingine watakazohitaji kwenye mchakato wa mafunzo na uchambuzi
Rai kwa wadauNatoa pia rai kwa watendaji wote wakata na vijiji na kamati za usimamizi wa vituo vya huduma za afya, kutoa ushirikiano kwa timu itakayoundwa. Vile vile nitoe rai kwa viongozi wa dini kuhamasisha uwajibikaji katika nyanja zote na nipende kuwahimiza wananchi kutumia haki ya msingi ya kudai uwajibikaji, ikiwa ni pamoja na kutimiza wajibu wao pia wa kushiriki kikamilifu katika vikao ngazi ya jamii ili washiriki kwenye kuibua vipaumbele. Nitoe pia rai kwa Sikika kutekeleza shughuli zao kwa uadilifu ili mafunzo yatakayotolewa yawe na tija kwa wananchi wa Iramba.
HitimishoMwisho ni matumaini yangu kuwa sote kwa pamoja tutaendelea kutoa ushirikiano wa kutosha kwa wenzetu na timu yetu ya wilaya ya Iramba itakayoundwa na wadau wote hapa leo, ili kutekeleza majukumu tutakayowakabidhi.
Nakutakieni mafunzo yenye mafanikio. Ahsanteni kwa kunisikiliza.
-53-
VIAMBATANISHO:
TIMU YA SAM WILAYA YA IRAMBA
1) ALBERTS.MAKWALLA-Mwenyekiti
2) CHRESENSIACOSMASMWIMBWA-Katibu
3) DAUDI M. NJIKU
4) JOhN BENJAMEN MASEKI
5) EMMANUELPHILLEMONMWAMBU
6) APPOLOWILFREDNKANA
7) RODGERS hEMMERY KILLINGA
8) SAYUNIEDWARDMGABA
9) ELINEEMA SIMION MNGANZIA
10) DORcUS pEtER NAthAN
11) MONICASAULOSARWAT
12) fRANK pAtRIcE YEREMIA KItUNDU
13) JONAS N.MLUI
14) JENIEVA A. ShOMBE
15) ELIpENDO L.MKOMA
16) JUMA MOhAMED IKhALAh
17) MAGREth JOSEph MpUNO
18) NASOLWAERNESTAMOSSI
-54-
Sikika inafanya kazi kuhakikisha usawa katika
upatikanaji wa huduma bora za afya, kwa kutathimini
mifumo ya uwajibikaji katika ngazi zote za serikali.
Nyumba Na.69Ada Estate, KinondoniBarabara ya TunisiaMtaa wa WaverleyS.L.P 12183Dar es Salaam, Tanzania.
Nyumba Na. 340Mtaa wa KilimaniS.L.P 1970Dodoma, Tanzania.Simu: 0262321307Faksi: 0262321316
Simu: +255 22 26 663 55/57 Ujumbe mfupi: 0688 493 882Faksi: +255 22 26 680 15Barua pepe: [email protected]: www.sikika.or.tzBlog: www.sikika-tz.blogspot.comTwitter: @sikika1Facebook: Sikika Tanzania