ripoti ya ufuatiliaji na uwajibikaji kwa jamii (sam)sikika.or.tz/images/content/mp3/iramba report...

64
Halmashauri ya Wilaya ya Iramba – Singida Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)

Upload: others

Post on 07-Sep-2019

33 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-i-

Halmashauri ya Wilaya ya Iramba – Singida

Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)

Page 2: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani
Page 3: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)

Halmashauri ya Wilaya ya Iramba – Singida

Imeandaliwa na: Timu ya Sam2012

Page 4: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

Hatimiliki © 2013Shirika la Sikika, Haki zote zimehifadhiwaTarehe ya kuchapishwa 2013Imeandaliwa na Timu ya SAM Iramba na Shirika la Sikika Imechapishwa na: Digitall Ltd.

Page 5: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-i-

SHUKRANI

Ufuatiliaji wa uwajibikaji jamii ni shughuli pana na yenye mchakato mrefu ili kukamilika. Mwaka 2012 Sikika ilifanya ufuatiliaji wa uwajibikaji jamii katika wilaya tano (5) ambazo ni Iramba, Singida vijijini, Mpwapwa, Kondoa na Kiteto. Lengo la shughuli hii ni kufuatilia uwajibikaji wa viongozi kwa wananchi na kufuatilia kama wanawajibika na kuwajibisha viongozi hao.

Katika kufanikisha kazi hii wadau walihusika na bila wao pengine isingekamilika kikamilifu. Tunapenda kutoa shukrani zetu za dhati kwa timu ya SAM ya wilayaya Iramba iliyokuwa na wajumbe 18. Mchango wao katika hili, umewezesha kazi kukamilika vizuri. Pia tunapenda kushukuru viongozi wa Halmashauri ya Iramba, kipekee shukrani za dhati kwa Mkuu wa Wilaya, Mh. Yahya Nawanda kwa ushirikiano wake tangu mwanzo mpaka mwisho. Mganga Mkuu wa Wilaya na Katibu wa Afya wa Wilaya tunawashukuru kwa kutoa ushirikiano wao na kutupa taarifa pale zilipohitajika. Vilevile tunapenda kushukuru wafanyakazi wote wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba kwa utayari wao pale ambapo timu ya PSAM ya wilaya ilipohitaji msaada wao.

Aidha, tunapenda kushukuru madiwani wote wa Iramba kwa kuonesha ushirikiano mkubwa, hasa wale ambao timu ilitembelea kata zao, na watendaji wote wa kata na vijiji vya Iramba kwa ushirikiano wao.

Shukrani pia ziwafikie wafanyakazi wote wa Sikika kwa ushirikiano wao, tangu maandalizi mpaka kukamilika kwake, kipekee shukrani ziwaendee Tusekile Mwambetania, Chresensia Joseph, Hope Lyimo, Venance Maro na Norah N. Mchaki, kwa ushiriki wao kikamilifu katika ufanikishaji wa kazi hii kuanzia maandalizi hadi utekelezaji.

Ingawa si rahisi kumshukuru mmoja mmoja, lakini timu ya SAM Wilaya, inatambua mchango wa kila mmoja wa waliofanikisha kazi hii kwa namna moja au nyingine.

Page 6: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-ii-

YAlIYomoVifupisho ivShukrani 1Muhtasari 21. Utangulizi 4 1.1 Mchakato wa ufuatiliaji uwajibikaji jamii 5 1.2 Nyaraka za halmashauri zilizochambuliwa 7 1.3 Maeneo yaliyotembelewa na timu 7

2. Sehemu ya kwanza 7 2.1 Uundwaji wa timu 7

3. Sehemu ya pili 8 3.1 Mafunzo na uchambuzi wa nyaraka mbalimbali za 8 kwa timu ya uwajibikaji jamii 3.2 Mpango mkakati na mgawanyo wa rasilimali 8 (mpango mkakati, cchp NMtf) 3.2.1 Usimamizi wa matumizi •Masualayaliyobainikanamapendekezo 3.2.2 Usimamizi wa utendaji •Masualayaliyobainikanamapendekezo 3.2.3 Usimamizi wa uadilifu •Masualayaliyobainikanamapendekezo 3.2.4 Usimamizi wa uwajibikaji •Masualayaliyobainikanamapendekezo

4. Sehemu ya tatu 50 4.1 Mrejesho wa ripoti na majibu kutoka mamlaka ya wilaya

5. Sehemu ya nne 52 5.1 Mkutano wa hadhara na wananchi

6. Sehemu ya tano 54 6.1 changamoto na tuliyojifunza

7. Sehemu ya sita 55 7.1 hitimisho na mapendekezo

Page 7: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-iii-

oRoDHA YA VIFUPISHoBOQ Bid of Quotes (Makadirio ya Mzabuni)cAG controller and Auditor General – Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za serikalicchp council comprehensive health plan – Mpango kabambe wa Afya wa halmashaurichf community health fund – Mfuko wa Afya ya JamiichMt timu ya Afya ya Utawala wa halmashauricMt timu ya utawala ya halmashaurictc counseling and testing centre -Vituo vya ushauri Nasaha na UpimajiDMO DistrictMedicalOfficer–MgangaMkuuwaWilayaIcEScR International convention for Eco – Social and cultural Rights-Azimio la kimataifa juu ya haki za kiuchumi, kijamii na kiutamaduni.MMAM Mpango wa Maendeleo ya Afya ya MsingiMSD Medical Store Department – Bohari kuu ya dawa ya taifaO & OD Opportunity and Obstacle for Development – fursa na vikwazo vya maendeleopMtct prevention of Mother to child transmission (Kuzuia maam bukizi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto)SAM Social Accountability and Monitoring - (Ufuatiliaji wa Uwajibikaji Jamii)tAcAIDS tanzania commission for AIDS – tume ya kudhibiti UKIMWItAMISEMI tawala za Mikoa na Serikali za MitaaTBA TraditionalBirthAttendants–WakungawaJadiVct Voluntary counseling and testing ( hduma ya Kupima na ushauri nasaha) VEO VillageExecutiveOfficer–AfisaMtendajiwaKijijiVVU Virusi vya UkimwiWAVIU WanaoishinaVirusivyaUKIMWIWDC WardDevelopmentCommittee–KamatiyamaendeleoyaKata3U’S Uthibitisho, Uhalalisho na Ufafanunuzi

Page 8: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-iv-

mUHTASARI

Katika wilayaya Iramba Sikika ilianza kwa kukutana na Baraza la Madiwani wa Wilaya ya Iramba tarehe 25 Oktoba, 2012. Nia ikiwa ni kuitambulisha Sikika (maana shirika hilo ndipo lilikuwa linaanza kutekeleza shughuli zake wilayani humo) na kuwajulisha waheshimiwa azma yao ya kufanya uwajibikaji jamii pamoja na wananchiwa wilayaya Iramba. Vilevile, tarehe 26 Oktoba, 2012 Sikika ilifanya mkutano na wadau wa sekta ya afya ikiwa na lengo la kuwatambulisha kazi za shirika na lengo lake la kutekeleza mchakato wa uwajibikaji jamii pamoja na wanajamii katika sekta ya afya ndani ya wilayaya Iramba.

Mikutano hii yote ilifunguliwa na Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Mh. Yahya Nawanda. Uwasilishwaji wa mada ulifuatiwa na kipindi cha majadiliano ambacho kilihusisha maswali na majibu.

Tarehe 29 Oktoba, 2012 hadi 16 Novemba, 2012 mafunzo ya Uwajibikaji Jamii yalianza kwa timu ya SAM ya wilaya. Mafunzo hayo yaligawanyika katika sehemu tatu.

Sehemu ya kwanza ilikuwaya mafunzo ya kinadharia ambapo timu ya SAM ilipitishwa katika mafunzo ya mchakato mzima wa SAM, yaani zile hatua tano na umuhimu wa kila hatua katika mchakato mzima. Sehemu ya pili ya utekelezaji wa ufuatiliaji wa Uwajibikaji Jamii ni uchambuzi wa nyaraka za taarifa na bajeti ya afya ya wilaya.

Kwa mfano CCHP, Mpango Mkakati wa Afya wa Wilaya, ripoti za utekelezaji, ripoti ya Mkaguzi wa Mahesabu. Sehemu ya tatu ya Utekelezaji wa Uwajibikaji Jamii ilikuwa ni kutembelea maeneo husika kwa ajili ya kuthibitisha uhalisia wa taarifa zilizo kwenye nyaraka.

Baada ya kazi hiyo katika sehemu hizo tatu, timu ya uwajibikaji jamii iliandaa taarifa na kufanya mrejesho katika kikao kilichojumuisha wakuu wa idara (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani ya Huduma za Jamii, Mkurugenzi na Mkuu wa Wilaya.Timu ilisoma taarifa ya uchambuzi na changamoto katika vituo vya afya na baadaye Mkuu wa Wilaya kuwataka wenye mamlaka (CHMT na CMT) kutolea majibu changamoto

Page 9: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-v-

zilizowasilishwa na timu;baadhi ya changamoto zilitolewa majibu, kwani Kaimu Mganga Mkuu aliahidi kushughulikia suala la matibabu ya wazee,uuzwaji wa kadi za kliniki na kupeleka mizani katika vituo vya kutolea huduma za afya.

Mwisho,timu ya uwajibikaji jamii iliandaa mkutano wa hadhara katika kata ya Shelui, ili kutoa mrejesho kwa wananchi kuhusu nini kimeibuliwa katika vituo vyao vya afya.Baada ya kazi ya uwajibikaji jamii, wananchi walikuwa na maswali machache ikiwa ni pamoja na kutaka viongozi wao wa kata watoe majibu kuhusu pesa zilizochangishwa kwa ujenzi wa zahanati na baadaye pesa hizo kuliwa kinyemela bila wananchi kupewa taarifa juu ya matumizi ya hizo fedha.

Majibu yaliyotolewa na Diwani wa Kata hiyo, Bw. Kinota baada ya Kaimu Mtendaji kushindwa kujibu, alisema fedha hizo zilitumika kununua vifaa vya ujenzi na zingine kumlipa fundi wa ujenzi aliyefariki dunia kwa bahati mbaya kabla hajamaliza kazi.

Page 10: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-1-

1. UTANGULIZI

KazinzimayaUfuatiliajiwaUwajibikajiJamiikatikaHalmashauriyaWilayaya Iramba,iliratibiwa na kusimamiwa na shirika lisilo la Serikali la Sikika, linalofanya kazi zake za ushawishi na utetezi juu ya utawala bora katika sekta ya afya.

DirayaShirika ni hudumabora za afyakwaWatanzaniawote naDhamirani kuhakikisha usawa na upatikanaji huduma bora za afya kwa kutathmini mifumo ya afya na uwajibikaji katika ngazi zote za Serikali. Sikika inafanya kazi katika wilaya 10 zinazopatikana katika mikoa minne.

Mpwapwa na Kondoa katika mkoa wa Dodoma, Singida Vijijini na Iramba katika mkoa wa Singida, Simanjiro na Kiteto katika mkoa wa Manyara, Ilala, temeke na Kinondoni katika mkoa wa Dar es Salaam na Kibaha katika mkoa wa pwani.Malengo makuu manne ya shirika ni:

1. Kukuza ufanisi katika bajeti ya sekta ya afya, uwazi na uwajibikaji katika ngazi zote za Serikali kuu na Serikali za mitaa/vijiji.

2. Kuongeza kasma inayotengwa kwa ajili ya kuimarisha rasilimali watu katika sekta ya afya, mgawanyo wenye uwiano na uzingatiaji wa maadili ya taaluma.

3. Kuongeza uwepo na upatikanaji wa dawa na vifaa tiba katika ngazi zote za utoaji huduma za afya.

4. Kukuza uwajibikaji katika usimamizi wa rasilimali na shughuli za UKIMWIkatikangazizotezaSerikalikuunamitaa/vijiji.

Ripoti hii ni majumuisho ya mchakato mzima wa Ufuatiliaji wa Uwajibikaji Jamii (UUJ) kuanzia hatua za awali za kikao cha madiwani, cha wadau, kuundwa kwa timu ya SAM, mafunzo kwa timu ya SAM, kazi nzima ya Ufuatiliaji wa Uwajibikaji Jamii hadi uwasilishaji wa ripoti hii.

WilayayaIrambanimojakatiyawilayatanozamkoawaSingida,inaukubwawa kilometa za mraba 7,900 na jumla ya watu 439,172 kwa mujibu wasensa ya watu na makazi ya mwaka 2002, imegawanyika katika tarafa saba ,kata 26 na vijiji 126. Ina majimbo mawili ya uchaguzi ambayo ni IrambaMagharibi na Iramba Mashariki,. Shughuli kuu za kiuchumi kwa wakazi wa wilaya hii ni kilimo,ufugaji vikifuatiwa na uvuvi na uchimbaji mdogo wa madini.

Page 11: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-2-

Hali ya Afya Iramba

Kwa mujibu wa Mpango Mkakati waAfya waWilaya ya Iramba (CCHP2010/11),Wilaya ina hospitali moja, vituo vya afya vinne na zahanati 57.Lakini ina changamoto kubwa ya miundombinu ya barabara na kuna umbali mrefu kati ya kijiji kimoja hadi kingine, hivyo kusababisha fedha nyingi kutumika kununua mafuta ya gari, kwani mzunguko wa usambazaji dawa hugharimu zaidi ya lita 2,200 za mafuta. pia upungufu wa rasilimali fedha na rasilimali watu (watumishi wa afya) ni changamoto nyingine inayozorotesha utoaji huduma za afya.

Idara ya Afya imeweka mkakati wa kuboresha huduma za afya na kukabiliana na magonjwa yanayosababisha vifo wilayani ambayo ni:

Magonjwa ya kuambukiza UKIMWI, malaria na kifua kikuu (tB), kwa kutoa mafunzo kwa watumishi zaidi ya 20, ili kuboresha utoaji huduma na kuzuia maambukizi ya magonjwa haya.

Vifo vya mama namtoto vinavyotokea, mara nyingi kutokana na akina mama kupenda kuzalia majumbani kwa wakunga wa jadi wasio na mafunzo yakutosha,piaumbaliwakufikakituochahudumayaafyanaukosefuwamiundombinurafiki.

Katika kukabiliana na changamoto hii, Idara ya Afya inakusudia kuimarisha huduma ya dharura ya mama na mtoto na uzazi wa mpango, kwa kutenga kiasi cha fedha na kuimarisha mawasiliano kati ya vituo vya afya na hospitali ya wilaya.

Magonjwa yasiyo ya kuambukiza yanatokea mara kwa mara kutokana na WilayakuwakaribunaMlimaSekenkenabarabaraiendayoMwanza,hivyowilaya imejipanga kutoa huduma ya dharura muda wote,kutokana na ajali na kiwewe. Mkakati huu umejumuisha pia magonjwa ya moyo, kisukari na ya akili.

1.1 Mchakato wa Ufuatiliaji wa Uwajibikaji Jamii (SAM)Ufuatiliaji wa Uwajibikaji Jamii ni mchakato wa kufuatilia uwajibikaji wa watoa huduma na wenye mamlaka katika kuhakikisha upatikanaji wa haki za binadamuzakijamiinakiuchumiunafikiwa,kutokananarasilimalizilizopo.

Page 12: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-3-

Ufuatiliaji wa Uwajibikaji Jamii unaweka jukumu kwa wanajamii kuwawajibisha watoa huduma au wenye mamlaka, ili kuhakikisha wanasimamia rasilimali za umma ipasavyo, na pia inaweka jukumu kwa wenye mamlaka kuwajibika kwa wananchi.

Mchakato wa ufuatiliaji wa uwajibikaji jamii una hatua tano;

1. Mipango na Mgawanyo wa Rasilimali2. Usimamizi wa Matumizi3. Usimamizi wa Utendaji4. Usimamizi wa Uadilifu5. Uangalizi

Sikika katika utekelezaji wa majukumu yake, hutumia hatua tano za mchakato wa Uwajibikaji Jamii katika kufuatilia na kuhakikisha, kuwa wenye mamlaka au watoa huduma, wanatekeleza majukumu yao kama inavyoelekezwa kwenye sheria na miongozo, hasa kwenye sekta ya afya.

MfUMO WA UWAJIBIKAJI JAMII

Page 13: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-4-

Septemba 2012, Sikika ilianza utekelezaji wa mchakato wa uwajibikaji jamii katika ngazi ya jamii kwenye baadhi yaWilaya ambazoSikika inatekelezashughuli zake, ambazo ni pamoja naKiteto, Mpwapwa, Singida Vijijini, Kondoa na Iramba. Ripoti hii inatoa tathmini ya kaziya Uwajibikaji Jamii iliyofanyika Iramba.

1.2 Nyaraka za Halmashauri Zilizochambuliwa.Nyaraka za halmashauri zilizochambuliwa katika kazi ya Uwajibikaji Jamii Iramba, ni pamoja na Mpango Kabambe wa Afya wa Wilaya,Taarifa zaUtekelezaji za Idara ya Afya, MtEf, taarifa ya Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali, Mpango Mkakati wa halmashauri zote zikiwa na taarifa za mwaka 2010/2011.

1.3 Maeneo Yaliyotembelewa na timuMaeneo yaliyotembelewa na timu ni zahanati za umma 13 ambazo ni Kidaru, Mpambala, Nkalakana, Shelui, Urughu, Usure, Mbelekesi, Kikonge, Kiselya, Milade, Kyengena na vituo vinne vya afya,vya Mgongo,Ndago, Mkalama na KinyambulinahospitalimojayaWilayayaKiomboi.

2. SEHEMU YA KWANZA

2.1.Uundwaji wa timu ya Uwajibikaji Jamii.

timu ya uwajibikaji jamii iliundwa kutokana na makundi ya kijamii kwa kutumia mbinu shirikishi, ambapo washiriki wawili kutoka kila kata kwenye kata tano walichaguliwa na wanajamii wenzao katika mikutano ya kijami ina kuunda idadi ya washiriki 10, katika mkutano wa madiwani wawakilishi wawili kutoka kundi la madiwaniwalichaguliwa na kujiunga na timu ya Uwajibikaji Jamii, pia wa wa kilishi wa dini ya kikristo (Mchungaji) na mwakilishi wa dini ya kiislamu.

Wengine ni mwakilishi kutoka Idara yaAfya wa Halmashauri, mwakilishikutokaOfisiyaMkurugenzi,mwakilishimmojakutokakwawatuwanaoishinavirusivyaUKIMWI(WAVIU),piamwakilishimmojakutokakatikakundila walemavu na wawakilishi kutoka kata za Iramba, walichaguliwa katika mkutano wa wadau waAfya. Makundi haya yaliunda timu yaWilaya yaUwajibikaji Jamii ambayo ilifanya mchakato katika wilayaya Iramba. timu ilikuwa na wajumbe 18 na wakufunzi wanne.

Page 14: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-5-

3. SEHEMU YA PILI

3.1 Mafunzo na Uchambuzi wa nyaraka za halmashuri kwa timu ya Uwajibikaji Jamiitarehe 29 Oktoba 2012 hadi 16 Novemba 2012, mafunzo ya Uwajibikaji Jamii yalianza kwa timu ya Uwajibikaji Jamii. Mafunzo hayo yaligawanyika katika sehemu tatu. Sehemu ya kwanza ikiwa ni ya mafunzo ya kinadharia, ambapo timu ya Uwajibikaji Jamii ilipitishwa katika mafunzo ya mchakato mzima wa Uwajibikaji Jamii, yaani zile hatua tano-Mipango na Mgawanyo wa Rasilimali, Usimamizi wa Matumizi, Usimamizi wa Utendaji, Usimamizi wa Uadilifu na Uangalizi- na umuhimu wa kila hatua katika mchakato mzima.

Sehemu ya pili ya utekelezaji wa UUJ ilikuwa ni uchambuzi wa nyaraka za taarifa na bajeti ya afya ya wilaya. Kama vile Mpango Mkakati wa Afya wa Wilaya,ripotizautekelezaji,ripotiyaMkaguziwaHesabu.Sehemuyatatuya kazi ya UUJ ilikuwa ni kutembelea maeneo husika kuthibitisha uhalisi wa taarifa zilizo kwenye nyaraka. Na ufuatao ni uchambuzi wa nyaraka za halmashauri kwa timu ya Uwajibikaji Jamii

3.2 Mpango Mkakati na Mgawanyo wa Rasilimali (Mpango mkakati, CCHP na MTEF)Timu ilipitiaMpangoMkakatiwaWilayaya Irambawamwaka2006/2007hadi 2010/2011 na kuangalia makadirio ya bajeti ya miaka mitano, malengo, utekelezaji na muda wa utekelezaji.

PiatimuilipitiaMpangoKabambewaAfyawaWilaya(CCHP)nakuangaliahalihalisiyaafyayaWilaya,idadiyarasilimaliwatu,idadiyamagonjwanawastani wa wagonjwa kwa siku katika vituo na hospitali, shughuli za kiuchumi zawakaziwaWilaya,idadiyavituovyaafya,idadiyawafanyakaziwaafya,dawa na vifaa tiba.

pia ilipitia bajeti ya Idara ya Afya (imepanga kutumia kiasi gani na itakitumiaje na kutimiza vipaumbele gani), mchanganuo halisi wa bajeti (matumizi yasiyo ya lazima). Na rasilimali zinazotumiwa na idara ya Afya, mfano magari, pikipiki za magurudumu matatu (bajaj), magari ya wagonjwa na pikipiki za magurudumu mawili.

Page 15: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-6-

Uchambuzi katika nyaraka hizi (Mpango Mkakati na Mgawanyo wa Rasilimali (Mpango mkakati, cchp na MtEf), zilionesha kuwa kutokana na mpango mkakatiwaafyawaWilayakwamwakawafedha2010/11,wilayainaupungufuwa rasilimali watu mkubwa kulingana na mahitaji, kwa mfano kwa mwaka wa fedha 2010/11 hospitali ya wilaya ilikuwa na upungufu wa asilimia 54.4, il hali kwa upande wa mahitaji ya vituo vya afya, kulikuwa na upungufu wa asilimia 76.9 na kwa upande wa zahanati, kulikuwa na uhaba wa asilimia 53. hali hii inaonesha utoaji wa huduma za afya unaweza kudorora, kutokana na ukosefu wa rasilimali watu. Jedwali lifuatalo linaonesha jumla ya watoa huduma kwa mwaka wa fedha 2010/11:

Hali halisi ya rasilimali watu

Wanaohitajika Waliopo pungufu Asilimia

Hospitali ya Wilaya 191 104 87 54.5

Vituo vya afya 104 80 24 76.9

Zahanati 200 106 94 53.0

1

Ili huduma za afya ziweze kutekelezwa ipasavyo, kunahitajika rasilimali watu wenye ujuzi na uwezo wa kutosha, ili kutoa huduma yenye tija kwa jamii.

3.2.1 Usimamizi wa Matumizi timu ya SAM iliangalia fedha zilizotengwa kwa ajili ya Idara ya Afya na kuangalia imepanga kutumia kiasi gani na itatumiaje na kutimiza vipaumbele na vyanzo vya fedha hizo.

• Masuala yaliyobainika na Mapendekezo

Fedha zilizotengwa kwa ajili ya Idara ya Afya katika Wilaya ya Irambazimeongezeka kwa asilimia 0.9 kutoka shilingi bilioni 3.9 zilizotengwa kwa mwakawa fedha2009/10hadikufikia shilingibilioni4.02kwamwakawafedha 2010/11. Jedwali lifuatalo linaonesha kiasi kilichotengwa kwa mwaka wa fedha 2009/10 na pia kwa mwaka wa fedha 2010/11 pamoja na vyanzo vya fedha:

1 CCHP 2010/11

Page 16: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-7-

Vyanzo vya fedha Wilayani Iramba

Chanzo cha fedha 2009/10 2010/11

Block Grants-PE 1,731,230,560.00 1,347,212,880.00

-OC 347,298,000.00 359,197,000.00

LGCDG – 70,000,000.00

Health basket funds 815,874,000.00 838,329,400.00

MAMM 407,805,660.00 378,565,000.00

MoSHW-MSD 322,080,000.00 431,066,720.00

TUNAJALI 132,560,000.00 –

Council funds 2,000,000.00 20,000,000.00 Capitalization of hospital pharmacies 10,000,000.00 15,000,000.00

Cost sharing 36,000,000.00 40,000,000.00

Community health Fund 172,000,000.00 365,420,558.00

National health Insurance 12,000,000.00 160,000,000.00

Total 3,988,848,220.00 4,024,791,558.001

1

Uwepo na upatikanaji wa dawa na vitendea kazi, ni jambo muhimu ili kutoa huduma bora na stahiki kwa wagonjwa. Uchambuzi wa cchp umeonesha kuwa halmashauri imekuwa ikitumia fedha kwa kununulia dawa na vifaa tiba kutokaWizarayaAfyanaUstawiwaJamii,kwakupitiaBohariKuuyaDawa(MSD) na pia halmashauri imekuwa ikitumia fedha zake za ndani kama vile makusanyo ya Mfuko wa Jamii (chf) ili kununulia dawa na vifaa tiba.

Jedwali hapo chini linaonesha kiasi cha fedha zilizotengwa kwa ajili ya dawa na vifaa tiba na kiasi kilichotumika. Kwa ujumla inaonekana kuwa halmashauri kupitia Idara ya Afya imetumia fedha nyingi kununua dawa na vitendanishi kuzidi malengo iliyojiwekea. hivyo, ni jambo la kupongeza, kwa kuwa halmashauri imeweza kujizatiti ili kukabiliana na upungufu wa dawa na vifaa tiba, katika vituo vya kutolea huduma za afya.

Page 17: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-8-

Dawa na vifaa tiba Vituo vya afya Zilizoletwa Zilizotumika tofauti ya

zilizopangwa na zilizotumika

Zilizopangwa

Hospitali ya Wilaya 342,466,951.94 342,466,951.94 (258,399,028.94) 84,067,923.00

Vituo vya afya 159,754,718.16 159,754,718.16 (122,865,918.16) 36,888,800.00

Zahanati 168,711,176.76 168,711,176.76 110,555,543.24 279,266,720.00

Global fund 58,005,000.00 58,005,000.00 (13,005,000.00) 45,000,000.00

Tunajali-ndago 10,872,870.00 10,872,870.00 29,500,000.00 40,372,870.00

3.2.2 Usimamizi wa UtendajiBaada ya kupitia na kuchambua taarifa za utekelezaji za Idara ya Afya, timu ya Uwajibikaji Jamii ilitembelea maeneo husika ili kuthibisha taarifa ambazo zilipatikana kwenye nyaraka hizo. timu ilipendekeza maeneo 18ambayo ni vituo vya afya,zahanati na hospitali kutembelewa. pia timu ya Uwajibikaji Jamii iliainisha vitu na mambo yatakayoangaliwa na kuhakikishwa katika vituo vya kutolea huduma ya afya ambayo ni; uwepo wa wanachama kwenye chf, kuangalia maendeleo ya ujenzi auukarabati wa majengo na thamani ya fedha katika ujenzi auukarabati huo.

pia uwepo wa sanduku la maoni na ubao wa matangazo, kama idadi ya watoa huduma ya afya wanatosheleza kwa idadi na kada, kama vifaa tiba na vitendanishi vinatosheleza, kama dawa zinapatikana muda wote, au kwa asilimia kubwa, uwepo wa mfumo baridi wa kuhifadhia dawa, ufanyaji kazi wa nishati ya umemejua, uwepo wa vifaa vya utakasaji na ufanyaji kazi wake, uwepowakamati za afyanaUKIMWInaupatikanajiwahudumazaVCT na ctc.

• Masuala yaliyobainika na mapendekezo

Yafuatayo ni mambo yaliyobainika katika vituo vya kutolea huduma vilivyotembelewa na Sikika na timu ya Uwajibikaji Jamii kwa ajili ya kuthibitisha taarifa zilizo kwenye nyaraka:

ZAHANATI YA KIDARU

Mfuko wa Afya wa Jamii (chf) una wanachama takribani 372 ambao wako hai na wanapata huduma kupitia Mfuko huo.

Page 18: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-9-

Wanatumiamfumowanishatiyaumemejuakatikazahanati,ilawakatiwamawingu nishati hiyo huleta shida, hivyo kuwalazimu kutumia karabai.

Wanatoa huduma ya VCT na kuna huduma tembezi ya CTC, ambayohutolewa mara moja kwa mwezi.

hakuna chumba maalumu cha kutolea ushauri nasaha, bali wanatumia chumba ambacho kinatumika kwa uzazi wa mpango.

Kuna wahudumu watatu katika zahanati, ambao hawatoshelezi. Mahitaji ni wahudumu wanane hivyo kuna upungufu wa watoa huduma watano.

Jaa la uchafu wa zahanati lipo na kwa ajili ya kondo la nyumapia lipo.hakuna sanduku la maoni na badala yake hupelekwa kwenye Kamati ya

Afya ya kituo.hakuna ubao wa matangazo, bali hubandikwa kwenye ukuta.Upatikanaji wa dawa upo kwa muda mwingi na dawa huletwa na MSD na

ukitokea upungufu huagizwa kutoka wilayani.Kamati ya Afya ya kituo iko hai na inakutana mara moja kwa mwezi.Mfumo baridi wa kuhifadhi dawa upo na mara nyingi unatumia nishati ya

umemejua, ikitokea haifanyi kazi, hutumia mitungi ya gesi.Nyumba za watumishi hazitoshelezi. Zipo ambazo hazijakamilika na

haijulikani ujenzi utakamilikalini, maana sasaumesimama.Utakasaji wa vyombo hufanyika kwa kuchemshwa kwenye jiko la mafuta

ya taa,ambayo huletwa kutoka hospitali ya wilaya, yakiisha hununuliwa kwa fedha za Mfuko wa Bima ya Afya (NhIf) wa wafanyakazi wa kituo.

Kamati za UKIMWI za kijiji na kata hazipokutokana na kukosauwezeshwaji.

MAONI YA WANANCHI:Wananchiwanaridhishwanahudumainayotolewanawatumishiwaafya

wa kituo. Mfano; mgonjwa akizidiwa, watumishi hupiga simu wilayani na garilawagonjwahufikaharaka.

CHANGAMOTO:WananchihawaonifaidayaCHFmaanafedhainayokusanywahaiwasaidii

lolote, bali fedha yote inapelekwa halmashauri.Nyumba za watumishi hazina choo wala bafu.

Page 19: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-10-

KutokuwapokwakamatizaUKIMWI.Utawala na Afya vinapaswa kutenganishwa, maana nyumba ya Ofisa

Mtendaji wa Kata imejengwa ndani ya eneo la zahanati. Eneo la zahanati halijatengwa kisheria, kwa hiyo kuna mwingiliano kati ya Utawala na Afya.

Katika ujenzi wa kituo cha afya, boma limekamilika miaka mitatu iliyopita. halmashauri inatakiwa ione umuhimu wa kusaidia wananchi kumalizia hatua za mwisho za ujenzi.

Kuna ukosefu wa dripu za maji

Nyumba hii iko ndani ya eneo la zahanati ya Kidaru, lakini anaishi WEO na ina mgogoro

Page 20: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-11-

MAPENDEKEZOtimu inapendekeza kuwapo mifumo wa utoaji maoni kama vile sanduku la maoni, pia ubao wa matangazo uwekwe na kubandikwa pamoja na taarifa zingine za mapato na matumizi. Aidha, kuna haja ya kuwapo mipaka kati ya majengo ya Utawala na zahanati, kwani mwingiliano huo hukwamisha utoaji hudumaborazaafya.NivemakuanzishakamatizaUKIMWIkwenyesehemuzote zilizogundulika kukosa kamati hizo.

ZAHANATI YA MPAMBALA

Shimo la taka limejaa na la kutupa kondo la nyumapia halipo,hivyo wanatupa chooni.

hakuna ukarabati uliofanyika, ila kulikuwa na ujenzi wa wodi ambao umekamilika, ila bado jengo halijakabidhiwa kwasababu vyoo na masinki havijakamilika na wakati wa makadirio ya bajeti kuna vitu havikujumuishwa, hivyo kusababisha upungufu washilingi 500,000. hii imesababishajengo kuvamiwa na popo na nyuki, kiasi kwamba timu ya pSAM ilishindwa kuingia ndani ya jengo kuangalia maendeleo ya ujenzi.

Walipokeashilingi21,500,000kwaajiliyaujenzi.

hakuna chumba maalumu cha ushauri nasaha, bali wanatumia chumba chochote kinachokuwa wazi wakati huo.

HudumazaCTChazitolewikituonibaliWAVIUwanazifuataMkalama.

Watoa huduma wako wawili, mhudumu tiba mmoja, na muuguzialiyesajiliwa mmoja. Kuna upungufu wa watoa huduma sita.

Kwa siku zahanati inahudumia wagonjwa kati ya 25 na30.

huduma ya chf ipo na inawateja takribani 200.

hakuna sanduku la maoni wala ubao wa matangazo.

Nyumba za watumishi zipo (ngapi) kwa muundo wa nyumba mbili katika moja.

Wanasetiyavifaavyakuzalishia.

Wanatumiaumemewanishatiyajuaambaoulikuwambovukwatakribanimwaka ila sasa umetengemaa.

Page 21: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-12-

Mfumo wa dawa baridi upo na unafanya kazi naikitokea umemejua haufanyi kazi hutumia mitungi ya gesi.

Kamati ya afya ya kituo ipo na inafanya kazi na hukutana mara moja kwamwezi.

Utakasaji vifaa hufanyika kupitia uchemshaji kwa ‘jiko la Mchina’,ambapo mafuta ya taa huletwa kutoka hospitali ya wilaya, nayakiisha hununuliwa kwa fedha za Mfuko wa Bima ya Afya wa wafanyakazi wa kituo.

Mwaka huu mtumishi mmoja alihudhuria mafunzo ya pMtct kwa siku nne,namwingineakaendakwenyemafunzoya‘HospitalikuwaRafikiwaMtoto’

WanatumiadeterminetukupimaUKIMWIhawanaUNIGOLD

MAONI YA WANANCHIKauli za wahudumu si nzuri kwa wagonjwa,na husababisha wagonjwa

kufuata huduma mahali pengine. Mfano, zahanati ya chemchemi.Wajawazitowakichelewakufikaklinikizaidiyasikuwalizopaswakufika,

wahudumu huwanyima huduma mpaka mwezi unaofuata.Mudawakuanzakutoahudumahuanzamapema,lakini ifikaposaanane

hukatizwa, na huduma kusitishwa.

CHANGAMOTOUpungufu wa watumishi.Viti vya kukalia wagonjwa.Meza hazitoshi.Usafirihakuna,hivyoinakuwavigumukufanyaziarazamatibabuvijijini.hakuna maabara, hivyo wagonjwa/wateja wengi hulazimika kwenda

kwenye hospitali ya shirika la dini kupata vipimo.Dawa hazipatikani muda wote, hivyo wananchi wengi huenda kupata

huduma kwenye kituo cha Mishengwa ambapo vyoo, masinki na chemba za vyoo havijakamilika.

chumba cha kutolea huduma za chanjo kimeharibika, hivyo kinahitaji ukarabati.

Page 22: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-13-

MAPENDEKEZOtimu inapenda kuona watoa huduma wanafuata maadili ya kazi kwa kutumia lugha rafiki kwa wananchi. Makadirio ya bajeti ya ujenzi yafanywe kwaumakini na mkandarasi ili kuepusha michango ya kushitukiza kwa wananchi baadaye, kwani inafanya kuchelewesha muda wa ujenzi kukamilika.

Kuna umuhimu wa kuwapo vipimo vya magonjwa ili kupunguza mzigo kwa wananchi kufuata huduma kwenye hospitali binafsi, kwani ni gharama kubwa, hasa kwa wananchi wenye kipato cha chini, kumudu huduma za hospitali binafsi. Aidha, timu inapendekeza kuanzishwa kwa mifumo ya utoaji maoni kama vile sanduku la maoni,iwepo ili kuwapa fursa wananchi kutoa maoni yao.

KITUO CHA AFYA MKALAMAKituo kinahudumia zaidi ya wagonjwa 40 kwa siku.Kinatoa huduma ya ctc na kina kipimo cha cD4.hakuna sanduku la maoni wala ubao wa matangazo.Kuna shimo la kutupa taka na kondo la nyuma.Mfuko wa chf uko hai na una wanachama takribani 200.Wahudumuwaafyaniwanane,wauguziwatatu,msaidizimmojawamaabara,

mganga mmoja, wahudumu wawili wa tiba na bwana afya mmoja. Kuna upungufu wa watoa huduma saba.

Nyumba za watumishi hazitoshi, zipo sita na ni za chini ya kiwango.Watoa huduma wamepatakuhudhuria mafunzo na warsha zihusuzo

UKIMWI,TB,ART.Wanatumianishatiya juaambayo imekuwahaifanyikazikwamwakana

nusu sasa.Wanatumiajikolamafutayataakutakasiavifaavyakuzalishia.hakuna chumba maalumu cha ushauri nasaha kutokana na uhaba wa vyumba.Mfumo baridi wa kuhifadhi dawa upo na unafanya kazi kwa kutumia mitungi

ya gesi.Dawa zinapatikana muda mwingi na kunapotokea upungufu,huagizwa

kutoka wilayani nahuletewa haraka.Kamati ya afya ya kituo iko hai na inakutana mara moja kwa mwezi.WanapimaUKIMWIkwakutumiadetermine kwa kuwa hawana UNIGOLD.Vifaa tiba vinatosheleza.

Page 23: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-14-

MAONI YA WANANCHIUkosefu wa mlinzi wa kituo. hii husababisha watoa huduma za afya

kushindwa/kuogopa kutoa huduma usiku.Kauli mbaya za watoa huduma kutokana na kulemewa na majukumu.WanachangiaCHFlakiniwakatimwinginehawapatidawa.WanapolipiaCHFyapapokwahapohawapewistakabadhiyamalipo.Kunaubaguzikatikautoajihuduma.Watoahudumawanawapakipaumbele

watu wanaofahamiana nao.Maabara inatoa huduma vizuri.

CHANGAMOTOKutokana na tatizo la nishati ya jua, inakuwa ngumu kutoa huduma makini

ya upimaji wa cD4 kwa maana mashine inabidi ikachajiwe Ibaga.Wanasetimojayavifaavyauzalishaji.Gari la wagonjwa halipona wanapaswa kuwa nalo ila liko wilayani.Kuna upungufu wa watoa huduma za afya.HakunakamatizaUKIMWI.Nishati ya jua haifanyi kazi, hivyo mashine ya cD4 kwenda kuchajiwa

mbali kutoka kituoni huchelewesha/huzorotesha huduma kwa watumiaji wa kifaa hicho.

Kipimo cha CD4 kituo cha afya Mkalama

Mfumo wa sola wa kituo cha afya cha Mpalama licha ya kuwa na uwezo mdogo pia haufanyi ka kazi mwaka mzima

Page 24: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-15-

MAPENDEKEZOTimu inapendekeza Serikali ya kijiji iweke uzio ili kulinda mali zilizokwenye kituo cha afya, pia

watumishi wa afya wazingatie maadili ya kazi na kuacha kutoa huduma kwa upendeleo. Kuangalia uwezekano wa kupata nishati mbadala ili kuongeza ufanisi katika utoaji huduma za afya.

KITUO CHA AFYA CHA KINYAMBULIUjenzi wa sehemu ya wagonjwa wa nje fedha zilizotolewa ni shilingi

19,541,025.Mwaka 2009/2010 walipewa fedha za ujenzi kwa ajili ya jengo la OpD,

nyumba ya watumishi mbili katika moja. Bado vyoo havijakamilika, nyumba za watumishi, jengo kwa ajili ya huduma ya mama na mtoto na nyumba ya kulaza maiti navyo havijakamilika.

Shilingi milioni 116 zimeshatumika kwa ujenzi wa kituo hicho ambapo shilingi 25, 654,300 zilitokana na nguvu za wananchi; shilingi 17,485,700 michango ya fedha taslimu ya wananchi; shilingi 64,000,000 zilitoka wilayani na shilingi 2,300,000 zilitoka kwa wahisani. fedha zilikuwa zinatumwa kwa awamu, kuanzia mwaka 2008 hadi 2011. Mpango wa ujenzi ulikuwa ni wa kati ya mwaka 2008 na mwaka 2015.

hawana nishati ya umeme bado. Umemejua ndio ulikuwa katika harakati za kuunganishwa.

Mfuko wa chf uko hai na una wanachama 430 hai.Watoa huduma wako wanne na kuna upungufu wa watoa huduma 11.

Wauguziwawili,mfanyakaziwamaabarayukommojana BwanaAfyapia mmoja.

Kwa siku kituo kinahudumia wagonjwa kati ya 30 na 40.hakuna sanduku la maoni wala ubao wa matangazo.Wanatumia jiko lamafuta ya taa kutakasia vifaa vya tiba.Halmashauri

huwapa lita 20 za mafuta ya taa kila baada ya muda fulani, ambapo kama yatakuwa yamekwisha, huchangishana wenyewe kwa ajili ya kuyanunua.

Kamati ya Afya ya Kituo inafanya kazi na inakutana mara moja kwa mwezi.Shimo la taka lipo ila la kutupa kondo la nyumahalipo, huwa wanatupa

chooni.

Page 25: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-16-

hawana ctc wala Vct, na hakuna kipimo cha cD4, inabidi waagizwe kwenda Ikungi.

hakuna chumba maalumu cha ushauri nasaha.Seti ya vifaa vya kuzalishia zipotatu.

MAONI YA WANANCHIMalipo ya papo kwa papo kutotolewa stakabadhi .pamoja na kutozwa malipo ya papo kwa hapo na chf bado wakienda

kituoni hawapewi dawa - kamili (dozi).Baadhiyawatoahudumahawajalimudawakazi,wakatimwingihufika

kituoni kwa kuchelewa.

CHANGAMOTO hakuna gari la wagonjwa, kipo ‘kibajaji’ ambacho hakikidhi haja.Kuna upungufu wa vifaa tiba.Ushiriki mdogo wa jamii katika shughuli za maendeleo ya jamii hasa

ujenzi.HakunakamatiyaUKIMWIyakatanakijiji.Uhaba wa maji.Kuna ukosefu wa dripu za maji.

Baada ya kutembelea kituo cha afya cha Kinyambuli na kuzungumza na watendaji, timu ya SAM ilipata fursa ya kuzungumza na wananchi kupitia mkutano wa hadhara, ambapo Sikika ilitambulisha shughuli zake kwa wananchi na kueleza kwa ufupi maana ya Uwajibikaji Jamii. Vilevile, mwito ulitolewa kwa wananchi kuwajibika na kuwajibisha viongozi wao.

Wananchiwalipewanafasiyakuelezeachangamotozinazowakabili,ambapokati ya mambo waliyoeleza ni kuomba viongozi wao kupewa mafunzo ya namna ya kuwa kiongozi bora na pia waliomba kupelekewa mrejesho pindi Sikika itakapomaliza kufanya mchanganuo wa taarifa ilizopata katika mchakato wa UUJ.

Page 26: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-17-

MAPENDEKEZOtimu inataka watoa huduma wazingatie muda wa kazi, pia Mganga Mfawidhi wa Kituo aagize dawa za kutosha kabla akiba iliyopo haijaisha, ili kuepuka kukosekana dawa kituoni na kukwamisha huduma. Kuwepo na sanduku la maoni na ubao wa matangazo ili kushirikisha wananchi kusimamia huduma za afya kijijini.

KITUO CHA AFYA MSIUKituo cha afya bado kipo katika hatua ya ujenzi.Gharama yote ya ujenzi ni shilingi 80,000,000 ambapo mpaka sasa

zimetumika shilingi milioni 65. Vifaa vyote muhimu vimenunuliwa na vipo stoo kwa ajili ya matumizi. fedha zilianza kutolewa kwa awamu mwaka 2010/2011.

Shilingi milioni 16 zimetoka kwa wananchi; shilingi milioni 49 kwaMMAM na shilingi milioni 5 zimetokana na nguvu za wananchi.

Ujenzi unatarajia kukamilika mwaka 2014.timu ilikuta kuta zina nyufa hata kabla jengo halijakamilika na katika

kuhoji majibu yaliyotolewa ni kuwa kamati ya ujenzi haikupata ushauri wa namna ya kuepuka nyufa katika ujenzi.

Nyumba za watumishi bado hazijaanza kujengwa.KamatiyaUKIMWIyakataiponainakutanamaramojandaniyamiezi

mitatu kutokana na upungufu wa posho za wajumbe.WakaziwaeneohilowanapatahudumakatikavituovyaNkunginaHydom.Ujenzi wa sehemu ya uzazi na watoto uligharimu shilingi milioni 29,937.50.

Vitasa vimeng’oka katika kituo cha afya cha Kinyambuli muda mfupi baada ya kukamilika kujegwa

Page 27: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-18-

CHANGAMOTOWananchihawatoimichangokutokananakulemewamaanakunamiradi

ya ujenzi wa sekondari tatuKukaa kwa muda mrefu kwa vifaa vya ujenzi kunasababishauharibifu.

Jengo la kituo cha afya cha Msiu lina nyufa kabla hata ujenzi kumalizika kama inavyoonekana

Ufa sakafuni kabla ujenzi kukamilika

Ufa ukutani kabla ujenzi kukamilika

Mifuko ya saruji imetoboka baada ya kukaa kwa muda

mrefu

Vioo vimepasuka vikiwa bado ghalani

Page 28: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-19-

MAPENDEKEZOtimu ya Uwajibikaji Jamii inapendekeza vifaa vya ujenzi vinunuliwe na kutumika badala ya kukaa muda mrefu na kupoteza hadhi ya matumizi kama vioo na mifuko ya saruji vilivyoharibikakwa kukaa muda mrefu bila kutumika.

ZAHANATI YA NKALAKALAUtaratibu wa ujenzi uliopo ni wa nyumba ya wahudumu wa afya. fedha

zilizotolewa ni shilingi milioni 37 kwa ajili ya ujenzi wa jengo la zahanati; mwaka 2009/2010 fedha zilitolewa na tASAf.

Mfuko wa chf uko hai na una wanachama 640.Wanatumianishatiyajuanainafanyakazi.Mfumo wa baridi wa kuhifadhi dawa upo na unatumia nishati ya gesi.hakuna sanduku la maoni wala ubao wa matangazo.Watoahudumawakowatatu;mkungammoja,wauguziwasaidiziwawili;

kuna upungufu wa watoa huduma wawili.Wanasehemuyakuchomeatakanashimolakutupakondolanyumalipo.Nyumba ya watumishi iko moja.Dawa zinatosheleza.Kamati ya Afya ya kituo iko hai na hukutanamara moja kwa mwezi.HakunakamatizaUKIMWI.WanatoahudumayaVCT.LakinihakunahudumayaCTC.hakuna chumba maalumu cha kutolea ushauri nasaha.

CHANGAMOTO:Wanapokeawagonjwawengizaidiyauwezo; takribaniwagonjwa30na

40 kwa siku.Maji ni tatizo.hakuna wodi ya akina mama, wanatumia vyumba vidogo.Vitanda vya kuzalia, kimoja ni kizima na kingine kibovu ambacho

hakitoshelezi.Matundu ya choo cha zahanati ni makubwa na hakuna matundu ya

kupitishia hewa nje, na kuna upungufu wa choo kimoja.Watumiahudumawakituoniwengi,kituokinapaswakupandishwahadhi

kuwa cha afya.

Page 29: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-20-

Kuna upungufu wa nyumba vinnevya watumishi.

Kuna upungufu wa vitendea kazi.Dawa hazitoshelezi kutokana na

idadi kubwa ya wagonjwa wanaopata huduma kituoni.

MAPENDEKEZOtimu inapendekeza kuwapo mifumo ya kutolea malalamiko kama vile sanduku la maoni, pia ubao wa matangazo na kubandikwa taarifa za mapato na matumizi. Aidha, tunashauri kuchukuliwa hatua ili kutatua matatizo yaliyo ndani ya uwezo wa ngazi ya kijiji na zahanati.

KITUO CHA AFYA MGONGOUkarabati /ujenzi ulifanyika siku nyingi kuanzia mwaka 2005 hadi mwaka

2008. Ukarabati ukafanyika mwaka 2009/2010 kwenye OpD, wodini, vyooni, katika nyumba ya watumishi na mochari.

Mfumo wa chf uko hai na una wanachama 1,200.Kamati ya afya ya kituo iko hai na wanakutana mara moja kwa mwezi na

wanashirikishwa katika ufunguzi wa dawa.KamatizaUKIMWIhazipo.WanatoahudumayaCTC.hakuna sanduku la maoni wala ubao wa matangazo. Matangazo hubandikwa

ukutani, lakini hata hivyo hawabandiki taarifa za mapato na matumizi.Watumishiwaafyani tisa.OfisaKlinikimmoja,OfisaKlinikiMsaidizi

mmoja, Muuguzi aliyesajiliwa mmoja, wahudumu tiba watatu, wasaidizi wamaabarawawili,BwanaAfyammoja,muuguzimmojanaOfisaAfyaMsaidizi mmoja. Kuna upungufu wa watoa huduma sita.

Mfumo baridi wa kuhifadhi dawa upo, ila umeme ukikatika inabidi wazime nawapelekezikahifadhiweNdago.Wanazipelekakwagharamazao.

Wanatumianishatiyajuaingawamarakwamarahuwainagomakufanyakazi.

Shimo la choo la zahanati ya Nkalakala ni kubwa hata mtu mzima anaweza

kutumbukia

Page 30: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-21-

Wanatumiajikikutakasiavifaatibaauwakatimwinginejikolamafutayataa ambapo huyanunua kwa fedha za Mfuko wa Bima ya Afya.

Wanavitandavyakuzaliaviwilinavifaavyakuzalishiasetimbili.Lakiniakina mama inabidi waje na mabeseni wakati wa kujifungua, kwa ajili ya usalama zaidi.

WanapimaUKIMWIkwakutumiadetermine na UNIGOLD.hakuna chumba maalumucha kutolea ushauri nasaha, hii inatokana na

uhaba wa vyumba.Shimo la kuchomea taka lipo na la kutupia kondo la nyuma lipo pia.Kipimo cha cD4 kipo na kinafanya kazi.

MAONI YA WANANCHIKauli za watoa huduma si nzuri.Wajawazitowakipotezakadizaklinikihupaswakulipiashilingi5,000ili

kupata nyingine.Wakati mwingine nishati ya jua huleta tatizo, hivyo kulazimu watoa

huduma kutumia tochi wanapozalisha akina mama.

CHANGAMOTOhakuna gari la wagonjwa.Upungufu wa nyumba za watumishi. Ziko mbili katika mfumo wa mbili

kwa moja. Kuna upungufu wa nyumba sita.Kituo kinahudumia wagonjwa wengi kuliko uwezo wake. hii husababisha

upungufu wa dawa.Upungufu wa watoa huduma.Kituo hakina mabenchi ya kutosha kukalia wagonjwa.Kuna upungufu wa meza kwa ajili ya kuwekea vifaa.Ukosefu wa posho kwa watoa huduma kwenye ctc maana tUNAJALI

inalipa watoa huduma wawili tu.Vitendanishi havitoshi.Eneo la kituo kukosa uzio.Ukosefu wa mlinzi wa kituo na kusababisha watoa huduma kushindwa

kutoa huduma usiku.Ukosefu wa nishati ya umeme kwenye nyumba za watumishi.

Page 31: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-22-

posho za likizo hazitolewi kwa watumishi kwa muda mwafaka.Uhudhuriaji wa semina na mafunzo hufanyika na wahudumu hao hao kila

mara.KamatizaUKIMWIhazipomaanahazijapatakuundwa.Jengo la mocharilinatumika kama stoo.hakuna dawa za mochari. mortuary

MAPENDEKEZO:

timu inasisitiza suala la kadi za kliniki kuuzwa lifanyiwe kazi mara moja na liishe, kwani kadi hizo zinatakiwa zitolewe bure. Sanduku la maoni liwekwe na taarifa za mapato na matumizi na taarifa zingine zibandikwe kwenye ubao wa matangazo ili wananchi wapate kuelewa kinachoendelea kaktika utoaji huduma.

ZAHANATI YA SHELUIMfuko wa chf upo na unafanya kazi na una takribani wanachama 330.Kamati ya afya ya kituo ipo na inakutana mara moja kwa mwezi.Sanduku la maoni hakuna. Ubao wa matangazo hakuna.Watumishi ni watano:. Bwana afya mmoja, Msaidizi maabasa mmoja,

wauguzi wasaidizi wawili na muuguzi aliyesajiliwa mmoja. nurse enrolled1. Kuna upungufu wa watumishi watano.

WanatumianishatiyaumemewaGridiyaTaifa.Unapokatikawanatumiamafuta ya taa ambayo huyanunua kwa fedha za Mfuko wa Bima ya Afya.

Wanamashineyakutakasianawanatumiajikipia.Dawa zinatosheleza.Shimo la taka lipo na la kutupa kondo la nyumalipo pia.Ujenzi wa vyoo ulifanyika kwenye nyumba za wauguzi na zilitumika

shilingi 767,000.WanapimaUKIMWIkutumiadetermine.huduma ya ushauri nasaha inatolewa, lakini hakuna chumba maalumu

kwa ajili hiyo.hawatoi huduma za Vtc kutokana na upungufu wa vitendanishi. Mara

chache (kama mara moja ndani ya miezi sita) kunakuwa na kliniki tembezi.

Page 32: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-23-

KamatiyaUKIMWIyakataikohainainakutanamaramojakwamwezi,lakini kamati za vijiji hazifanyi kazi kutokana na kukosa posho za vikao.

Kituo kinahudumia wastani wa wagonjwa 30 kwa siku na wazazi wanaopata huduma ni wastani wa 30 kwa mwezi.

Vifaa vya kuzalishia vipo jozi mbili.

MAONI YA WANANCHIWajawazito wanauziwa kadi za kliniki kwa shilingi 2,000. Na malipo

yakifanyika hawapewi stakabadhi. Na wakijifungua wanalipa kuanzia shilingi 5,000 hadi shilingi 10,000 za huduma waliyopewa.

Kituo hakitoi baadhi ya huduma za uzazi wa mpango. Mfano vijiti.hawana mizani ya kupimia watoto. Inabidi mama apande kwenye mzani

akiwa amebeba mtoto kisha amshushe mtoto apime uzito wake ndipo wajue uzito wa mtoto. Na hiyo mizani ni mbovu, inapaswa kwanza itikiswe ndipo itumike. hili limekuwapo kwa miaka mitatu sasa.

Wagonjwawanapokujamudawowotewanapokewa na kupewa hudumavizuri.

CHANGAMOTOWanamahitajiyakituochaafyamaanaeneolinawatuwengi.Kituo hakina mganga kuanzia mwaka 2008.Kituo kinahudumia wagonjwa wengi kuliko uwezo.Upungufu wa nyumba za watoa huduma.Upungufu wa watoa huduma.Kukosekana gari la wagonjwa katika kituo cha Mgongo. Uletwaji wa dawa ambazo hazikuagizwa kutoka MSD hivyo kusababisha

wao kwenda wilayani kuzibadilisha.Shimo la taka halijachomwa.UkosefuwafedhakwenyekamatizaUKIMWI.UkosefuwamafunzokwenyekamatiyaUKIMWI.

Page 33: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-24-

MAPENDEKEZOTimu inaomba uongozi waWilaya uchukulie hatua watumishi wanaokiukamaadili ya kazi kwa kuuza kadi za kliniki na kutoza fedhaakina mama wanaojifungua, kwani huduma hizi zinapaswa zitolewe bure.

ZAHANATI YA URUGHUKunaMfuko wa chf wenye wanachama hai 600.Kituo cha afya bado kipo katika hatua ya ujenzi, ambao ulianza mwaka

2008. Jumla ya bajeti ya ujenzi wa kituo cha afya ni shilingi 178,608,650. Iliyokwishatumika ni shilingi 115,677,950. Serikali kuu ilichangia shilingi 33,804,000. Mchango wa jamii ni shilingi 38,376,950. Nguvu kazi ni shilingi 43,000,000.

Ujenzi wa nyumba za watumishi uligharimu shilingi 33,884,000.Kamati ya afya ya kituo ipo na inakutana mara moja kwa mwezi. pia

hushiriki katika ufunguaji wa dawa zinapoletwa na MSD.hakuna sanduku la maoni wala ubao wa matangazo.Kuna watumishi watatuna upungufu wa watatu. Muuguzi mmoja, Msaidizi

tiba mmoja na Bwana Afya mmojaNyumba ya watumishi ipo moja iliyo katika muundo wa mbili kwa moja.Wanatumianishatiyajuaambayoninzimaisipokuwanyakatizamawingu

husumbua.Mfumo wa baridi upo na unafanya kazi, wakati umemejua

ukisumbua,hutumia mitungi ya gesi.Wanafanyautakasajiwavifaatibakwakuchemshakwenyejikolamafuta

ya taa, ambapo fedha ya mafuta ya taa hutoka kwenye Mfuko wa Bima ya Afya kwa wafanyakazi.

KamatizaUKIMWIzipoilahazifanyikazikutokananaukosefuwaposho.Kitanda cha kuzalishia kipo kimoja na seti ya vifaa vya kuzalishia ni mbili.Kwa siku kituo kinahudumia wastani wa wagonjwa 30.Upatikanaji wa dawa ni wa kutosha muda mwingi na kunapotokea upungufu,

huagiza kutoka hospitali ya wilaya,ambako huletewa mara moja.WanapimaUKIMWIkwakutumiadetermine.Wanatoahudumayaushaurinasaha,ilahakunachumbamaalumukwaajili

hiyo.

Page 34: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-25-

HudumayaCTChaitolewi,WAVIUwanakwendaNdagokuipata.Shimo la kuchomea taka lipo, ila la kutupia kondo la nyumahalipo ilaliko

katika hatua ya ujenzi, kwa sasa wanatupa chooni.Watumishihawajapatakuhudhuriamafunzotangumwaka2009.

MAONI YA WANANCHIhuduma huanza kwa kuchelewa saa tano asubuhi.Wajawazito wasipohudhuria kliniki kwa tarehe waliyopangiwa,

wanapokwenda mwezi unaofuata, hunyang’anywa kadi mpaka walipie shilingi 5,000 ndipo huarejeshewa kadi zao.

Watumishi wa afya wawe wavumilivu katika kupokea maelezo kwawagonjwa wasioelewa lugha ya taifa/Kiswahili

huduma ya uzazi wa mpango iboreshwe na kupatikana kwa wakati.Baadhi ya wahudumu wa afya wana kauli mbaya kwa wagonjwa.

CHANGAMOTOKuna uhaba wa vitendanishi.Kuna upungufu wa watoa huduma.Kuna upungufu wa nyumba za watumishi.Watoahudumahawanamafunzotangumwaka2009.Kutomalizika kwa ujenzi kutokana na masuala ya kisiasa.Kutoona umuhimu wa kumalizia hatua ya ujenzi wa kituo cha afya.

MAPENDEKEZOtimu inataka huduma ya mama na mtoto na kliniki zitolewe bure, kwani hazipaswi kuuzwa. Aidha,timu ya SAM inasisitiza utendaji wa kamati za UKIMWIuangaliweilikuboreshahudumazaUKIMWI.Ujenziwakituochaafya ukamilike.

KITUO CHA AFYA NDAGOKituo kinatoa huduma za ctc.KamatizaUKIMWIzipolakinihazifanyikazi.Kituo hakina kipimo cha cD4.

Page 35: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-26-

Ujenzi wa chumba cha upasuajiulianza mwaka 2011 Desemba na umekamilika na vifaa vyote vipo, isipokuwa hakifanyi kazi kutokana na kukosekanamfumo wa maji ambao unahitaji kuunganishwa na Serikali. Ujenziuligharimushilingimilioni47najengolimegharimiwanaWakfuwa Mkapa.

Mfuko wa chf upo na una wanachama takribani 689.Kamati ya afya ya kituo inafanya kazi na hukutana mara moja kwa mwezi.Sanduku la maoni halipo.Kuna ubao wa matangazo.Vitanda vya kuzalishia ni viwili, na seti ya vifaa vya kuzalishia ni tatu.Kuna watumishi tisa. Wauguzi watano, Msaidizi wa maabara mmoja,

wasaidizi tiba wawili, Mganga mmoja. Kuna upungufu wa watoa huduma sita.

Nyumba za watumishi ni nne- nakuna upungufu wa nyumba sita.Wanatumiamfumobaridiwakuhifadhiadawa,umemeukikatikawanatumia

gesi.Dawa zinapatikana muda mwingi, ukitokea upungufu wanaagiza kutoka

hospitali ya wilayaambako huletewa haraka.Mashimo ya kuchomea taka na kutupia kondo la nyumayapo.Idadi ya wagonjwa wanaohudumiwa na kituo kwa siku ni 50.Kuna chumba maalumucha kutolea ushauri nasaha.WanapimaUKIMWIkwakutumiadetermine.Wanamgangamtaalamu,ambayehujakilaIjumaakutoahudumayaakina

mama na watoto.Vitanda vinatosha na vyandarua pia vipo vya kutosha.

MAONI YA WANANCHIWahudumuwanakaulinzuri.Akina mama wakipoteza kadi hutozwa shilingi 1,000 nakupewa nyingine.

Page 36: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-27-

CHANGAMOTOhakunagari la wagonjwa. Bajaji iliyoletwa haifanyi kazi kwa mwaka sasa.Upungufu wa nyumba za watumishi.Upungufu wa watumishi.Nyumba za watumishi zinahitaji ukarabati.Ukosefuwausafiri.Uelewa mdogo wa wanajamii kuhusu kujifungulia kwenye kituo cha afya,

wengi hujifungulia majumbani.Uhaba wa vipimo na vitendanishi.Kuna tatizo la maji.Ukosefu wa bwana afya na mlinzi.Kituo hakina uzio.

MAPENDEKEZOtimu inapendekeza kuwapo vitendanishi vya kutosha, ili kwezesha upatikanaji wa huduma bora za afya, pia tatizo la maji lishughulikiwe na mamlaka husika.

ZAHANATI YA USURE

Mfuko wa chf uko hai na una wanachama takribani 150.Kamati ya afya ya kituo ipo na inafanya kazi, wajumbe wanakutana mara

moja kwa mwezi.KamatiyaUKIMWIyakataipoilayakijijinihakuna,naufanyajikaziwake

ni wa kusuasua.hakuna ubao wa matangazo wala sanduku la maoni.Kuna watumishi wawili. Muuguzi mkunga mmoja na Mhudumu muuguzi

mmoja. Kuna upungufu wa watoa huduma watatu.Kwa siku wanahudumia wagonjwa 35.Nyumba za watumishi zipo na zinatosheleza na kwa sasa ipo moja kwa

muundo wa mbili kwa moja. Mfumo wa nishati ya jua upo na unafanya kazi.Wanatumiamfumo baridi unaotumia gesi.Dawa zinapatikana muda mwingi, ila kuna wakati walikaa miezi miwili

bila dawa.

Page 37: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

Wanatakasavifaakwajikolamafutayataa.Wanakitandakimojachakuzalishia,nasetimojayavifaavyakuzalishia.Shimo la taka lipo ila la kondo la nyumasi imara.WanapimaVVUkwakutumiadetermine,hawanaUNIGOLD.hakuna chumba cha ushauri nasaha.Ujenziwa nyumba yawatumishimwaka 2009/2010.Walipewa shilingi

milioni 31. Ujenzi ulikamilika mwaka 2010.hakuna maabara.

MAONI YA WANANCHIhuduma zimeboreshwa. Mfano:dawa zinapokuwapo kituoni wanapewa,

na zikimalizika wanapewa taarifa pia.Kuna wazee 33 waliochaguliwa ambao wako kwenye umri wa kupata

matibabu bure na wanapewa matibabu bure.Wajawazitowanaopotezakadihutozwashilingi1,000ilikupatanyingine.

CHANGAMOTOUpungufu wa watumishi.Ukosefu wa maabara.Mara nyingi dawa kucheleweshwa.Ukosefu wa kituo cha afya.Upungufu wa vitanda vya kupumzikia

wagonjwa.Uzio kwa ajili ya zahanati.Upungufu wa meza kwa ajili ya kuweka vifaa.hakuna mizani kwa ajili ya kupima watoto.Mabati yanavuja, hasa kwenye chumba cha

umemejua. hii ni kutokana na kutokarabati kituo kwa muda mrefu.

Ukosefu wa chumba cha ushauri nasaha.

Vifaa tiba kwenye zahanati ya Usure vimehifadhiwa sakafuni, juu ya kashana

kwenye kiti kutokana na ukosefu wa meza kama inavyoonesha.

Page 38: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-29-

MAPENDEKEZOtimu inapendekeza kuwapo na makabati ya kuhifadhi dawa na vifaa tiba, kuwapo na sanduku la maoni na ubao wa matangazo, ili wananchiwapate kujua yanayojiri katika utoaji huduma za afya.

ZAHANATI YA MBELEKESEMfuko wa chf upo na una wanachama 350.KamatizaUKIMWIhazikohai.Sanduku la maoni hakuna wala ubao wa matangazo.Kuna watumishi wawili; muuguzi mmoja, mkunga mmoja na upungufu wa

watoa huduma watano.Kwa siku kituo kinahudumia wagonjwa 30.Nyumba za watumishi ziko tatu, kwa sasa zinatosha.Wanatumia nishati ya jua ambayo inafanya kazi kwa kusuasua ila

wameshatoa taarifa wilayani.Wanatumiamfumobaridiambaounawezeshwanamitungiyagesi.Wana kitanda kimojacha kuzalishia na kimoja kibovu. Pia, vifaa vya

kuzalishia zipo seti mbiliShimo la kuchomea taka liko chini ya kiwango, na la kutupa kondo la

nyumalipo.Ushiriki wa watumishi kwenye semina upo ila mdogo.WanapimaUKIMWIkwakutumiadetermine.hakuna chumba maalumucha kutolea ushauri nasaha.

MAONI YA WANANCHI:huduma inayotolewa kituoni ni nzuriDawa zikiisha, huchukuamuda kuletwa zingine.chf hulipwa kwa awamu. Mfano, anaweza akalipa shilingi 2,000

naanapokwenda kituoni kwa matibabu humalizia shilingi 3,000.

Page 39: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-30-

CHANGAMOTO:Ukosefu wa kituo cha afya.Upungufu wa watoa huduma.Ukosefuwausafirikwenyekituo,hivyokusababishawatoahudumakukodi

pikipiki kwa fedha zao wanapokwenda kutoa chanjo nje ya kituo.Ushirikishwajihafifuwawatoahudumakwenyeseminanamafunzo.Watumishihawapewimalipoyadharura.Dawakuchelewakufikawanapoagizakwahatamieziminne.Nishati ya jua kutokuwa thabiti, kwani mara nyingi ni mbovu.Ukosefu wa nishati ya umeme kwenye nyumba za watoa huduma.Gharama ya umaliziaji wa nyumba za watumishi ni shilingi milioni 28.2,

ambao unapaswa kukamilika mwaka (2012?)

MAPENDEKEZOtimu inapendekeza kuwapo mifumo thabiti ya umemejua na kufanyiwa marekebisho pale tu inaposhindwa kufanya kazi. Vilevile, vinunuliwe vifaa tiba vyenye ubora, kwani picha ya kitanda hicho hapo juu kimefungwa ubao kikiwa bado kipya. Suala la ucheleweshwaji dawa na vifaa tiba liwasilishwe kwa ngazi husika kutatua tatizo hilo.Pia kamati za UKIMWI ziwezeshwekiutendaji ili kufikisha huduma hii muhimu kwa wananchi na kupunguzachangamotozinazotokananaUKIMWI.

ZAHANATI YA KIKONGE

CHANGAMOTOWananchiwaliahidiwawakichangiaCHFwataruhusiwakupatamatibabu

popote ndani ya tarafa, kwa kutumia kadi hiyo hiyo, ila haifanyiki hivyo.hawapati vipimo, wanatoa tu maelezo na kupewa dawa. hii ni kutokana

na ukosefu wa maabara.Wazee badowanachangishwa gharama yamatibabu, huku sera ya afya

inawataka watibiwe bure.Upungufu wa watoa huduma ya afya, kwani wapo wawili tu, hivyo mmoja

akipata likizo hubaki mmoja ambapo naye akipata mwito kituo kinafungwa.

Page 40: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-31-

Watoahudumawanalughambayanahakunahudumanzurikwawateja.GarilawagonjwalakituochaNdagohalifikikutoahuduma.Watumishihukatizamudawakazi.

ZAHANATI YA KASELYAMfumo baridi upo na unatumia gesiWanasandukulamaoni.Dawa zinapatikana mara nyingi isipokuwa za watoto.Shimo la taka lipo, la kutupa kondo la nyuma pialipo la muda.huwa wanahudhuria mafunzo.

CHANGAMOTOUpungufu wa watumishi, zahanati ina wawili tu ambao ni wauguzi.Mfuko wa chf una wanachama wachache ikilinganishwa na idadi ya

wananchiwanaopata huduma kwenye kituo. Kuna wanachama 153 wakati kituo kinahudumia vijiji vitatu.

Nyumba za watumishi hazitatosha watoa huduma wakiongezeka.Akina mama wengi wanazalia majumbani.hawana nishati ya umemejua.Ukosefu wa kituo cha afya.hakuna maabara.halmashauri haijachangia upauaji wa kituo cha afya, tangu mwaka 2010

jengolimefikiahatuayakuezekwa.Vitanda vya kuzaliani viwili,na vifaa vya kuzalishia viko seti mbili.Zahanati ina ukosefu wa Mganga tangu mwaka 2009.Dawa huletwa kinyume na maombiiliyotolewa MSD.hakuna huduma ya Vtc ila kuna pMtct tu.Ukosefu wa uzio wa kituo.

Page 41: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-32-

MAPENDEKEZOtimu inatoa mwito wazee watibiwe bure kama sera ya afya inavyoeleza, kuwepo na vipimo vya afya ili kutoa huduma bora ya afya na vilevile wanachama wa chf wapate huduma kama walivyoahidiwa.

ZAHANATI YA MILADEZahanatiipokatikahatuayaujenzi,imefikiahatuayalenta.WanapatahudumakwenyezahanatiyaIgugunoiliyopokijijijirani.Ujenzi ulianza mwaka 2009/2010 na ulitarajiwa kukamilika mwaka2012

lakini bado haujakamilika. Jumla ya fedha iliyotolewa ni shilingi 16,744,000. Serikali kuu ilitoa shilingi 8,000,000, wananchiwalichangia fedha taslimu shilingi 1,810,000 na nguvu ya wananchini shilingi 6,550,000.

Kituo kinahudumia idadi ya watu 25,587 na wana zahanati moja.Wakatiwamasika ni changamoto kupata huduma ya afya,maanamito

inafurika.Wanasubiri Halmashauri itoe fedha ili kukamilisha ujenzi, maana

wananchiwameshamaliza sehemu yao.

CHANGAMOTOHakunausafiriwajumuia,ikitokeakunamgonjwa,inabidikukodipikipiki

au gari kwa gharama kubwa.Watotokutopewachanjokutokananaumbaliwakituochakutoleahuduma.Kuathiri uzalishaji maana mtu akiugua au kuuguza, muda mwingi

unatumikakufikazahanatiyaIguguno.Kukosekana kwa kituo cha kutolea huduma za afya katika kata yao

hurudisha nyuma shughuli za uzalishaji, maana milipuko ya magonjwa ikitokea,huchukua muda kuyadhibitikutokana na kukosekana kwa kituo cha huduma za afya karibu.

thamani ya fedha hailingani na kiwango cha kazi iliyofanyika.

Page 42: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-33-

MAPENDEKEZOTimu inaomba Halmashauri imalizieujenzi wa kituo cha afya, ili kufikishahuduma karibu na wananchina kuepusha matatizo ya kiafya hasa wakati wa masika,kwanimitohujaamaji.Watotowapewechanjokwakutumiahudumatembezi -ili kuepusha matatizo ya kiafya kwa kizazi kijacho.

KITUO CHA AFYA KYENGEGEKituo kipo katika hatua ya umaliziaji -ujenzi.

• Ujenzi ulianza Agosti 2008. Unachangiwa na vijiji vitatu vya Makunda, Mugundu na Kyengege.

1. Mwaka 2008/2009 lengo lilikuwa kukusanya shilingi 5,950,000 kutoka kwa wananchi, ila kiasi kilichokusanywa ni shilingi 1,461,000 tu sawa na 2.5%.

2. Mwaka 2009 lengo lilikuwa ni kukusanya shilingi 12,189,500 na zilizokusanywa ni shilingi 4,042,000 sawa na 33%.

3. Mwaka 2010 lengo lilikuwa ni kukusanya shilingi 5,405,000, makusanyohalisi yalikuwa shilingi 431,500 sawa na 8%.

4. Mwaka 2011 lengo likiwa ni kukusanya shilingi 5,525,000 lakini makusanyo halisi ni shilingi 1,860,600 sawa na 34%.

5. Mwaka 2012 lengo lilikuwa ni kukusanya shilingi 5,525,000 nahadiJuni makusanyo halisi yalikuwa ni shilingi 731,500.

• halmashauri ilitoa fedha kutoka kwenye Mfuko wa MMAM shilingi 33,884,000 tarehe 5, Mei, 2010.

• Walipokeashilingi200,000kutokakwaMkuuwaMkoa.

• WalipokeashilingimilionimojakutokaMfukowaJimboambazozilitumika kujenga nyumba ya Mganga.

• Jengo lilitarajiwa kuwa limekamilika mwaka2010 ila liko nyuma ya ratiba, hii ni kutokana na kusitisha ujenzi wa jengo la kituo cha afya na kuanza ujenzi wa nyumba ya Mganga.

CHANGAMOTOMaji ni shida, hivyo hata katika ujenzi, inawapasa kununua maji pipa moja

kwa shilingi 5,000.

Page 43: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-34-

Vijiji ni vitatu na miradi iko mingi, hivyo wananchiwanalemewa, maana wanashindwa kuchangia kwa bidii.

Mafundi wa eneo lao wanasumbua katika ujenzi, maana hawajitoleikwa moyo, hii husababishakutomaliza kazi kwa wakati uliokubaliwa, na hivyo kusababisha kuchukua wajenzi wa nje.

Utayari mdogo wa wananchikuchangia shughuli za maendeleo.

Hakuna usomaji wa taarifa za matumizi na mapato kutokana naWDCkuchelewa kukutana.

Viongozi kubadili matumizi ya michango ya ujenzi na kuyatumia kwa mambo mengine, hii hukatisha tamaa wananchiya kuchangia.

MAPENDEKEZOtimu inasisitiza taarifa zamapato na matumizi zitolewe na wananchiwapewe maelezo ya ufafanuzi uhalalisho na uthibitisho wa matumizi ya pesa pale wanapokataa taarifa ya matumizi.

HOSPITALI YA WILAYA KIOMBOIUkarabati wa paa na ukuta umefanyika ambao umegharimu zaidi ya shilingi

milioni 300 kwa mwaka 2010/11.

Kuna vitanda 180 na vyandarua 360 na kuna vyandarua vya akiba ambavyo idadi yake haikuweza kufahamika.

Kuna huduma ya ctc. Kuna kipimo cha cD4 ambacho kina uwezo wa kupima wastani wa watu 30kwa siku.

chumba cha ushauri nasaha kipo.

Kuna gari la wagonjwa moja ambalo lipo hospitali muda wote.

Kwa maelezo ya Mganga Mfawidhi wa hospitali, magari ya vituo vya afya vya Mgongo, Ndago na Mkalama yapo hospitalini, yalihamishwa kutoka vituo hivi vya afya kwa sababu ya ukosefu wa madereva. Maelezo haya ni tofautinayaKatibuwaAfyawaWilayaambayealiitaarifutimuyaSAMkuwa magari haya ni mabovu isipokuwa la kituo cha afya cha Kinyangiri, ambalo lipo Kinyangiri na linafanya kazi.

Page 44: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-35-

Kuna bodi ya afya ambayo iko hai na kila mwezi inakutana na hufanya vikao vya dharura endapo itatokea.

Kuna watumishi wa afya 315, pungufu ni 462, mahitaji ni 777. Idadi hii imejumuisha zahanati na vituo vyote vya kutolea huduma wilayani Iramba.

Nyumba za watumishi zipo, lakini hazitoshelezi, watumishi wengi wanaishi kwenye nyumba za kupanga.

Mafunzo na semina yanafanyika kuzingatia vigezo na umuhimu wa mafunzo kwa kitengo.

hakuna jiko wanatumia la muda. Ujenzi wa jiko upo katika mpango.

Sanduku la maoni na ubao wa matangazo vipo.

Mashine za kufua nguo hospitalini zipo tatu. mbilizinafanya kazi ila mojani mbovu.

Upatikanaji wa madawa unatosheleza

Vifaa tiba vipo, lakini havitoshelezi.

Utoaji huduma bure kwa wazee kuanzia umri wa miaka 60na watoto chini ya miaka mitano upo.

Kuna shimo la kutupia kondo la nyumana shimo la taka.

MAONI YA WANANCHIWaganga huchelewa kuhudumia wagonjwa. Mfano; mgonjwa anaweza

kufika kituoni na kukaa kwa saa 24 bila huduma ya matibabu akawaamepewa kitanda tu.

Mwananchimwenye kadi ya chf atambulike kwenye vituo vya kutolea huduma ya afya ndani ya wilayayake, kama ambavyo inapaswa kuwa.

CHANGAMOTOUpungufu wa watumishi unaosababishawatumishi kufanya majukumu

ambayo hayako ndani ya uwezo wao. Mfano; upungufu wa wataalamu wa maabara.

Upungufu wa nyumba za watumishi.

Upungufu wa vifaa tiba. Mfano; ukosefu wa mizani katika vituo vya afya na zahanati.

Page 45: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-36-

Wasaidizi wa wagonjwa kwenye hospitaliya wilaya Kiomboi wanapika chini ya mti.

Baada ya kukosa mahali pa kulala na kubadilisha nguo,

jiko la muda limegeuzwa mahali pa kulala wanaume

kwa wanawake, katika hosptali ya Kiomboi.

Vyumba na vitanda vya wajawazito havitoshelezi.

Uwezo mdogo wa kifedha unaosababisha miradi ya maendeleo ya afya kukwama. Mfano; zahanati na vituo vya afya vilivyo katika hatua ya ujenzi kushindwa kukamilika kwa muda kutokana na ukosefu wa fedha.

Vifaa wanavyoletewa kutoka MSD-havina ubora unaohitajika. hii husababishavifaa kuharibika mapema. Mfano; mizani na kifaa cha kupimia mapigo ya moyo.

chumba cha maabara ni kidogo hakitoshelezi.

Page 46: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-37-

MA

PEN

DE

KE

ZO

tim

u in

apen

deke

za v

ijeng

we

vyum

ba v

ya k

ulal

a w

asai

dizi

wa

wag

onjw

a na

jiko

la k

upik

ia. p

ia w

atum

ishi

wao

ngez

we

ili

kupu

nguz

a pe

ngo

kubw

a la

upu

nguf

u w

ao. A

idha

, ni m

uhim

u m

agar

i ya

wag

onjw

a ya

onge

zwe

ili k

urah

isis

ha u

patik

anaj

i hu

dum

a za

afy

awila

yani

.

3.2.

4 U

sim

amiz

i wa

Uw

ajib

ikaj

iK

atik

a ku

anga

lia n

i jin

si g

ani

uwaj

ibik

aji

unas

imam

iwa,

tim

u ya

Uw

ajib

ikaj

i Ja

mii

ilipi

tia U

cham

buzi

wa

ripo

ti ya

M

kagu

zi n

a M

dhib

iti M

kuu

wa

Hes

abuz

a Se

rika

li kw

a m

wak

a w

a fe

dha

2010

/1 k

ama

moj

a ya

vyo

mbo

vya

us

imam

izi n

a uw

ajib

ikaj

i.

taa

rif

a y

a m

dh

ibit

i na

mk

ag

uz

i mk

uu

wa

he

sab

u z

a s

er

ika

li k

wa

mw

ak

a

2010

/201

1 -h

OJa

z

iliz

Oib

ul

iwa

(ir

am

ba

)

S/N

Hoj

a ili

yoib

uliw

aK

iasi

hal

isi

kina

chop

asw

a ku

lipw

a(Sh

)

Am

bayo

bad

o ha

ijalip

wa

(Sh)

Mao

ni y

a M

kagu

ziM

asw

ali y

a tim

u ya

SA

M

1.M

kopo

hau

jare

jesh

wa

1,45

0,00

01,

450,

000

fedh

a ba

do h

azija

lipw

a na

Uta

wal

a un

apas

wa

kulip

a hi

li de

ni

Je, U

taw

ala

umes

halip

a hi

lo d

eni?

3U’s

. U

hala

lisho

,Usa

babi

sho

na

Ufa

fanu

zi2.

Mal

ipo

ya m

isha

hara

hew

a6,

603,

902

6,60

3,90

2h

alm

asha

uri i

napa

swa

kuha

kiki

sha

kuw

a fe

dha

ziliz

opot

ea z

inar

ejes

hwa

Je, h

izi f

edha

zim

elip

wa?

3U

’s

Page 47: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-38-

3.fe

dha

za c

hf

zina

pasw

a ku

reje

shw

a kw

enye

ak

aunt

i yak

e

25,0

00,0

0025

,000

,000

fedh

a zo

te z

inap

asw

a ku

reje

shw

a kw

enye

ak

aunt

i ya

ch

f

Je, h

izo

fedh

a zi

mel

ipw

a?

3U’s

4.fe

dha

za k

amis

heni

am

-ba

zo h

azija

lipw

a14

,770

,000

14,7

70,0

00h

alm

asha

uri i

jadi

li na

be

nki y

a N

MB

kuh

usu

nam

na y

a ku

reje

sha

ka-

mis

heni

hiz

o

Je, h

alm

asha

uri i

mef

ua-

tilia

hili

sual

a na

ben

ki y

a N

MB

? 3U

’s

5.M

akat

o ya

mis

haha

ra k

wa

kiw

ango

cha

juu

kulik

o in

avyo

pasw

a

--

hal

mas

haur

i hai

pasw

i ku

wap

a m

ikop

o w

afan

-ya

kazi

zai

di y

a vi

wan

go

vyao

hili

lim

efan

yiw

a ka

zi?

3U’s

6.M

isha

hara

am

bayo

hai

-ja

kusa

nyw

a17

,504

,172

1,68

5,84

6.91

hal

mas

haur

i ina

pasw

a ku

reje

sha

mis

haha

ra

amba

yo h

aija

kusa

nyw

a m

koan

i kup

itia

kwa

utaw

ala

wa

mko

a

Je, h

alm

asha

uri i

mer

eje-

sha

mis

haha

ra h

iyo?

3U

’s

7.fe

dha

za sa

fari

haz

ijar-

ejes

hwa

3,00

0,00

03,

000,

000

Walewoteam

baowali-

pew

a fe

dha

war

ejes

he,

na w

apew

e fa

ini y

a 5%

ya

fedh

a w

aliz

okuw

a w

anad

aiw

a ki

la m

moj

a,

na w

aam

bata

nish

e na

vi

elel

ezo

vya

usha

hidi

wa

mat

umiz

i ya

fedh

a w

al-

izok

uwa

wam

ekab

idhi

wa

Je, h

ayo

yalif

anyi

ka?

8.M

isaa

da il

iyot

olew

a kw

a aj

ili y

a vi

jiji

ipel

ekw

e vi

jijin

i

13,8

59,4

0813

,859

,408

Uon

gozi

wa

hal

mas

haur

i un

apas

wa

kupe

leka

fedh

a hi

zo k

wen

ye v

ijiji

husi

ka

Je, h

izo

fedh

a zi

mer

ejes

h-w

a?

3U’s

Page 48: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-39-

JUM

LA

YA

FE

DH

A A

MB

AYO

HA

LM

ASH

AU

RI I

NA

DA

IWA

NI 6

6,36

9,15

6.91

S/N

Hoj

a zi

lizoi

buliw

aH

atua

ya

utek

elez

aji

Cha

nzo

cha

udha

ifuM

aoni

ya

Mka

guzi

Mas

wal

i ya

timu

ya S

AM

9.

Uje

nzi w

a ki

band

a ch

a ku

chom

ea ta

kaU

jenz

i hau

jaan

za

-U

jenz

i huo

una

pasw

a ku

kam

ilish

wa

Je, u

jenz

i huo

um

efan

yika

? N

a uk

o ka

tika

hatu

a ga

ni?

10.

hal

mas

haur

i ina

sh-

indw

a ku

kusa

nya

map

ato

ya k

utos

ha y

a nd

ani.

Map

ato

ya n

dani

ni s

hi-

lingi

294

,579

,075

wak

ati

mat

umiz

i ya

hal

mas

haur

i ni

shili

ngi 2

0,18

0,05

1,00

0 am

bayo

ni 1

.5%

. hii

inam

aani

sha

kuw

a h

al-

mas

haur

i hai

wez

i kuj

itege

-m

ea b

ila k

upat

a m

saad

a ku

toka

serik

ali k

uu.

-K

utoa

inis

ha v

yanz

o vy

ote

vya

ndan

i vya

map

ato

Uon

gozi

wa

hal

-m

asha

uri u

napa

swa

kuai

nish

a vy

anzo

vyo

te

amba

vyo

vina

wez

a ku

iong

eza

hal

mas

haur

i m

apat

o

Je, k

una

vyan

zo

vipy

a am

bavy

o h

alm

asha

uri

imeg

undu

a am

-ba

vyo

vim

esai

dia

kuon

geza

map

ato

ya n

dani

?

11.

Kite

ngo

cha

ukag

uzi w

a nd

ani k

ukos

a uh

uru

bina

fsi

-U

was

ilish

aji d

haifu

wa

taar

ifa u

naof

anyw

a na

se

rikal

i za

mita

a.

hal

mas

haur

i ina

pasw

a ku

zing

atia

kw

amba

uw

asili

shaj

i sah

ihi w

a ta

arifa

una

fany

wa

na

kite

ngo

cha

ndan

i cha

uk

aguz

i. K

wa

mfa

no

kina

pasw

a ku

waj

ibik

a kw

a m

kagu

zi w

a nj

e na

B

araz

a la

Mad

iwan

i. pi

a, k

uwe

na u

kagu

zi

wa

kite

ngo

hiki

ili

kuep

uka

udha

ifu k

atik

a ut

enda

ji.

Je, k

una

hatu

a zo

-zo

te z

ilizo

chuk

uli-

wa

na h

alm

asha

uri

kuha

kiki

sha

kuw

a ki

naim

arik

a ka

tika

uten

daji?

Page 49: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-40-

JUM

LA

YA

FE

DH

A A

MB

AYO

HA

LM

ASH

AU

RI I

NA

DA

IWA

NI 6

6,36

9,15

6.91

S/N

Hoj

a zi

lizoi

buliw

aH

atua

ya

utek

elez

aji

Cha

nzo

cha

udha

ifuM

aoni

ya

Mka

guzi

Mas

wal

i ya

timu

ya S

AM

9.

Uje

nzi w

a ki

band

a ch

a ku

chom

ea ta

kaU

jenz

i hau

jaan

za

-U

jenz

i huo

una

pasw

a ku

kam

ilish

wa

Je, u

jenz

i huo

um

efan

yika

? N

a uk

o ka

tika

hatu

a ga

ni?

10.

hal

mas

haur

i ina

sh-

indw

a ku

kusa

nya

map

ato

ya k

utos

ha y

a nd

ani.

Map

ato

ya n

dani

ni s

hi-

lingi

294

,579

,075

wak

ati

mat

umiz

i ya

hal

mas

haur

i ni

shili

ngi 2

0,18

0,05

1,00

0 am

bayo

ni 1

.5%

. hii

inam

aani

sha

kuw

a h

al-

mas

haur

i hai

wez

i kuj

itege

-m

ea b

ila k

upat

a m

saad

a ku

toka

serik

ali k

uu.

-K

utoa

inis

ha v

yanz

o vy

ote

vya

ndan

i vya

map

ato

Uon

gozi

wa

hal

-m

asha

uri u

napa

swa

kuai

nish

a vy

anzo

vyo

te

amba

vyo

vina

wez

a ku

iong

eza

hal

mas

haur

i m

apat

o

Je, k

una

vyan

zo

vipy

a am

bavy

o h

alm

asha

uri

imeg

undu

a am

-ba

vyo

vim

esai

dia

kuon

geza

map

ato

ya n

dani

?

11.

Kite

ngo

cha

ukag

uzi w

a nd

ani k

ukos

a uh

uru

bina

fsi

-U

was

ilish

aji d

haifu

wa

taar

ifa u

naof

anyw

a na

se

rikal

i za

mita

a.

hal

mas

haur

i ina

pasw

a ku

zing

atia

kw

amba

uw

asili

shaj

i sah

ihi w

a ta

arifa

una

fany

wa

na

kite

ngo

cha

ndan

i cha

uk

aguz

i. K

wa

mfa

no

kina

pasw

a ku

waj

ibik

a kw

a m

kagu

zi w

a nj

e na

B

araz

a la

Mad

iwan

i. pi

a, k

uwe

na u

kagu

zi

wa

kite

ngo

hiki

ili

kuep

uka

udha

ifu k

atik

a ut

enda

ji.

Je, k

una

hatu

a zo

-zo

te z

ilizo

chuk

uli-

wa

na h

alm

asha

uri

kuha

kiki

sha

kuw

a ki

naim

arik

a ka

tika

uten

daji?

12.

Mga

wan

yo w

a m

amla

ka

unap

asw

a ku

fany

ika

na si

m

tu m

moj

a ku

idhi

nish

a m

alip

o yo

te k

ama

ili-

vyoe

lezw

a kw

enye

LA

fM

(199

7) O

rder

No.

10 (c

)

Kut

okan

a na

hilo

, sh

iling

i 7,0

00,0

00

zilia

ndal

iwa,

id

hini

shw

a na

ku

pitis

hwa

na m

tu

mm

oja

kiny

ume

na sh

eria

ya

fedh

a.

-M

gaw

anyo

wa

mad

a-ra

ka u

napa

swa

kuz-

inga

tiwa

na k

ufan

yika

.

Je, h

ili li

me-

fany

ika?

13.

Asi

limia

20

ya m

icha

ngo

inay

opas

wa

kure

jesh

wa

vijij

ini k

utok

a Se

rikal

i kuu

ha

ijare

jesh

wa

kwa

wan

an-

chi.

hak

una

hatu

a yo

yote

iliy

ochu

-ku

liwa

katik

a ku

reje

sha

fedh

a hi

zo.

Kia

si c

ha S

hilin

gi

108,

463,

113

hazi

jare

jesh

-w

a kw

a w

anan

chi.

hii

inas

abab

ishw

a na

uz

embe

wa

hal

mas

haur

i ku

reje

sha

hizo

fedh

a na

ku

zitu

mia

kw

a m

atum

izi

men

gine

.

hal

mas

haur

i iha

kiki

she

inar

ejes

ha fe

dha

am-

bazo

bad

o ha

zija

lipw

a sh

iling

i 73

, 292

,048

kw

enye

viji

ji hu

sika

na

kuj

enga

maz

oea

ya

kulip

a as

ilim

ia 2

0 pi

ndi

zina

poku

ja k

utok

a Se

ri-ka

li ku

u.

Je, f

edha

hiz

i zi

mes

hare

jesh

wa

au la

?

14.

fedh

a za

ch

f zi

met

umik

a kw

a m

atum

izi a

mba

yo si

sa

hihi

.

hak

una

hatu

a ili

yoch

ukul

iwa

katik

a ku

haki

kish

a fe

dha

zina

reje

sh-

wa.

Mw

ongo

zo w

a c

hf

wa

1999

una

toa

agiz

o ku

wa

fedh

a zo

te z

a c

hf

zina

taki

wa

kutu

mik

a kw

a m

atum

izi y

anay

ohus

u-m

oja

kwa

moj

a na

afy

a.

Laki

ni, k

una

fedh

a sh

i-lin

gi19

, 887

,128

.06

am-

bazo

zim

etum

ika

kiny

ume

na m

won

gozo

huo

.

Uon

gozi

wa

hal

-m

asha

uri u

haki

kish

e ku

wa

mw

ongo

zo w

a c

hf

unaz

inga

tiwa

na

kuto

him

iza

mat

umiz

i yo

yote

yas

iyo

muh

imu

katik

a M

fuko

wa

ch

f.

Je, h

izo

fedh

a zi

mer

ejes

hwa?

Je, u

le m

won

gozo

un

azin

gatiw

a?

Page 50: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-41-

15.

Uch

elew

eshw

aji w

a m

gao

wachakulakw

aWAV

IUK

ushi

ndw

a ku

bain

isha

w

anao

ishi

na

viru

si v

ya

UKIM

WIkwamuda

mw

afak

a ku

mes

abab

isha

-waokuchelewakuwafiki

-sh

ia c

haku

la.

cha

kula

m

aalu

mu

chen

ye th

aman

i ya

shili

ngi 6

1,86

8,35

0.

cha

kula

kili

chel

ewa

ku-

was

ilish

wa

kwa

wah

usik

a kw

a w

iki m

bili

hadi

nne

. (U

k57,

Let

ter

to M

anag

e-m

ent)

hal

mas

haur

i iha

kiki

-sh

e ka

bla

haija

nunu

a chakulakw

aWAV

IU

iwe

taya

ri in

a id

adi

yao,

ili p

indi

cha

kula

ki

napo

letw

a ki

gaw

iwe

mar

a m

oja

bila

kuc

he-

lew

a.

Je, h

ili li

me-

fany

ika?

16.

Daw

a zi

lizoh

arib

ika

kuto

-tu

pwa/

kuha

ribiw

aD

awa

zeny

e th

a-m

ani y

a sh

iling

i 1,

342,

400

zilik

u-w

a zi

meh

arib

ika

na h

ivyo

kut

o-fa

akw

a m

atum

izi

ya b

inad

amu.

hat

a hi

vyo,

hak

una

hatu

a ili

yoku

wa

imec

huku

liwa

na h

alm

asha

uri

kwa

ajili

ya

kuzi

tupa

auk

u-zi

chom

a ka

ma

inav

yoag

izw

a na

O

rder

No.

244

ya

LAFM

(199

7)

-Daw

a zi

ngin

e zi

li-to

lew

a na

MSD

kw

a h

alm

asha

uri b

ila w

ao

kuom

ba.

-Baa

dhi y

a da

wa

zilip

ele-

kwa

kwa

hal

mas

haur

i w

akat

i bad

o m

uda

mfu

pi

wa

kuha

ribik

a.

hal

mas

haur

i ich

ukue

ha

tua

za h

arak

a ku

-wasiliananaW

izara

ya A

fya

ili k

uzic

hom

a/ha

ribu

daw

a zi

lizok

wi-

sha

mud

a w

ake

Je, h

ilo li

me-

fany

ika?

Page 51: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-42-

15.

Uch

elew

eshw

aji w

a m

gao

wachakulakw

aWAV

IUK

ushi

ndw

a ku

bain

isha

w

anao

ishi

na

viru

si v

ya

UKIM

WIkwamuda

mw

afak

a ku

mes

abab

isha

-waokuchelewakuwafiki

-sh

ia c

haku

la.

cha

kula

m

aalu

mu

chen

ye th

aman

i ya

shili

ngi 6

1,86

8,35

0.

cha

kula

kili

chel

ewa

ku-

was

ilish

wa

kwa

wah

usik

a kw

a w

iki m

bili

hadi

nne

. (U

k57,

Let

ter

to M

anag

e-m

ent)

hal

mas

haur

i iha

kiki

-sh

e ka

bla

haija

nunu

a chakulakw

aWAV

IU

iwe

taya

ri in

a id

adi

yao,

ili p

indi

cha

kula

ki

napo

letw

a ki

gaw

iwe

mar

a m

oja

bila

kuc

he-

lew

a.

Je, h

ili li

me-

fany

ika?

16.

Daw

a zi

lizoh

arib

ika

kuto

-tu

pwa/

kuha

ribiw

aD

awa

zeny

e th

a-m

ani y

a sh

iling

i 1,

342,

400

zilik

u-w

a zi

meh

arib

ika

na h

ivyo

kut

o-fa

akw

a m

atum

izi

ya b

inad

amu.

hat

a hi

vyo,

hak

una

hatu

a ili

yoku

wa

imec

huku

liwa

na h

alm

asha

uri

kwa

ajili

ya

kuzi

tupa

auk

u-zi

chom

a ka

ma

inav

yoag

izw

a na

O

rder

No.

244

ya

LAFM

(199

7)

-Daw

a zi

ngin

e zi

li-to

lew

a na

MSD

kw

a h

alm

asha

uri b

ila w

ao

kuom

ba.

-Baa

dhi y

a da

wa

zilip

ele-

kwa

kwa

hal

mas

haur

i w

akat

i bad

o m

uda

mfu

pi

wa

kuha

ribik

a.

hal

mas

haur

i ich

ukue

ha

tua

za h

arak

a ku

-wasiliananaW

izara

ya A

fya

ili k

uzic

hom

a/ha

ribu

daw

a zi

lizok

wi-

sha

mud

a w

ake

Je, h

ilo li

me-

fany

ika?

17.

Aki

ba k

ubw

a ya

vya

ndar

ua

imek

utw

a st

oo (

amba

vyo

havi

jaga

wiw

a). V

iliku

twa

vyan

daru

a 4,

811

amba

vyo

vilit

olew

a na

MED

A ta

ngu

Janu

ari 2

011.

Uze

mbe

wa

hal

mas

haur

i ka

tika

ugaw

aji v

yand

arua

hi

vyo

amba

vyo

vim

ekuw

a st

oo ta

ngu

Janu

ari 2

011.

Uko

sefu

wa

umak

ini w

a uo

ngoz

i wa

hosp

itali

ya

wila

yaka

tika

kupa

mba

na

na m

alar

ia

-hal

mas

haur

i iha

kiki

-sh

e ku

wa

mak

undi

m

aalu

mu

yam

eain

-is

hwa

na y

amep

ewa

vyan

daru

a.

-Uta

wal

a uh

akik

ishe

vy

anda

rua

vina

gaw

iwa

kwen

ye z

ahan

ati w

akat

i da

wa

ziki

pele

kwa.

-pia

, Uta

wal

a uh

akik

i-sh

e vi

tand

a vy

ote

vya

hosp

itali

visi

vyo

na

vyan

daru

a v

iwek

ewe

hara

ka.

Je, h

ivi v

yand

arua

zi

mes

hato

lew

a?

Page 52: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-43-

4. SEHEMU YA TATU

Mrejesho wa ripoti na majibu kutoka Mamlaka ya HalmashauriBaada ya timu ya Uwajibikaji Jamii kupata mafunzo, kuchambua nyaraka za mipango, utekelezaji na kutembelea vituo vya afya kwa ajili ya kuthibitisha yaliyoandikwa kwenye nyaraka na kupata hali halisi ya vituo vinavyotoa huduma ya afya, ikiwa ni pamoja na dawa na vifaa tiba, timu iliandaa mkutano kwa ajili ya kufanya mrejesho kwa kamati ya huduma za jamii na mamlaka ya halmashauri ya Iramba ikiwa ni wakuu waidara na kamati ya usimamizi wa AfyayaWilaya(CMTnaCHMT).

MgenirasmikatikamkutanohuowamrejeshoalikuwaniMkuuwaWilayayaIramba,Bw. Yahya Nawanda, na baada ya timu kusoma taarifa ya uchambuzi na hali ya vituo ikiwa ni pamoja na changamoto zilizokutwa katika vituo vya afya kama ilivyoelezwa hapo juu na matumizi mabaya ya fedha kama Mkaguzi Mkuu wa Serikali alivyoeleza, mamlaka ya halmashauri ilikuwa na haya ya kujibu kutokana na changamoto kutoka vituo vya afya zilizowasilishwa na timu ya uwajibikaji jamii.

1. Uhaba wa watumishi katika vituo vya afya: hili suala liko nje ya uwezo wao, ila wamejitahidi kupata watumishi. Ni vigumu kupata watumishi, maana hili ni suala la kitaifa.Wilaya ya Iramba niWilaya inayofanyavizuri katika ujenzi wa vituo vya afya, hivyo inawalazimu kugawa waliopo kwenye vituo vilivyopo. tatizo la watumishi litaendelea kuwapo mpaka hapo hatua muhimu zitakapochukuliwa na Serikali kuanzia kuongeza idadi ya vyuo ili kupata wahitimu weng. pia ni muhimu kuboresha mazingira ya kazi ili wakipangiwa wasisite kwenda katika vituo hivyo.

2. Kutoza kadi za kliniki kwa wajawazito na watoto: hilo ni kosa na ni udhaifu kwa vituo. Mjamzito, watoto na wazee, wanapaswa kutibiwa bure nasivinginevyo.AmetoajukumukwaWDCkushughulikiahilonakamatiza afya kufanya hilo.

3. Uchakavu wa majengo: Uwezo wa kukarabati majengo ni mdogo, wakipata fedha watakarabati maana wanategemea fedha ya MMAM, ambapo mwaka jana hawakuzipata..

Page 53: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-44-

4. Ukosefu wa magari ya wagonjwakatika vituo vya afya vilivyokuwa na magari hayokabla: Magari yote yamezeeka kasoro moja la wilayana moja la Utawala. hivyo wanategemea kufanya maombi maalumu Serikali kuu ili kununua gari.Magari mengi ni mabovu yako gereji.

5. Upungufu wa Dawa: Dawa zipo kwa wingi, waliokuwa wanakosa dawa ni uzembe wao, walikuwa hawafuatilii wilayani. Na kuna tatizo lililojitokeza ambapo mwezi wa sita MSD(Bohari ya Dawa) walikuwa wanafanya kazi ya kuhesabu dawa,vifaa tiba na vifaa, hiyo ilileta tatizo ila kwa sasa dawa zipo.

6. Kutofanya kazi kwa umemejua kwa muda mrefu katika vituo vya afya: Iramba imejitahidi kuweka umemejuakwenye vituo vyake vingi. tatizo linakuwa maji ya betri ya umemejuahayabadilishwi, na wakati wa mawingu husababisha zisifanye kazi. tutajitahidi kuweka umemejua kule kunakokosekana hela zikipatikana.

7. Upungufu na ubovu wa vifaa tiba:tunanunua vifaa kutoka MSD -ambapo vingi vinakuwa chini ya kiwango na hilo liko nje ya uwezo wetu, maana tunapaswa kununua kutoka MSD

8. Ukosefu wa ulinzi katika vituo vya afya: hili si suala la ajira yahalmashauri na la kila kijiji kuhakikisha kuwa wanaajiri mlinzi ili awalindie mali zao, hivyo ni jukumu la serikali ya kijiji kuhakiki vituo vilivyo katika maeneo yao.

9. Ubovu wa majengo na vifaa vingine kama milango.Kuna fedha za Bima ya Afya ambazo halmashauri imezipa mamlaka zahanati na vituo vya afya, kununua vifaa vidogokama vitasa na marekebisho madogo, hivyo kama kuna yanayojitokeza, huo ni uzembe wa kamati ya kituo husika.

10. Wazee kutotibiwa bure: Watahakikishakuwawazeewanatibiwaburenamasuala yao ya chf yanashughulikiwa.

11. Kukosekana kwa mizani hasa za watoto: Watahakikisha mizanizinapelekwa vituonikutatua shida hiyo.

12. Kukosekanasemina ya watoa huduma: Watahakikishawatoa hudumawanakwenda semina maana kutokwenda kunawakatisha tamaa ya kazi.

Page 54: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-45-

13. Jengo la zahanati kutoendana na thamani ya fedhazilizotumika katika ujenzi kituo cha afya cha Kinyambuli:Kinyambuli Walipewa fedhashilingi milioni88- kwa ajili ya kujenga jengo la wagonjwa wa nje (OpD). Kamati ya usimamizi haikuwa nzuri, ila hayo yalitokana na usimamizi wa kamati ya ujenzi kuwa mbovu. Baada ya kuona udhaifu, wameamua kubadili mfumo wa kutoa zabuni na wameamua fedha hazitatoka bila cheti cha mhandisi. hii itasaidia kutatua tatizo la usimamizi wa fedha za ujenzi.

14. Kukosekana kwa kamati za Ukimwi: Wana Kamati ya Ukimwi yaWilayanainafanyakaziyakuhakikishakuwakamatizaUkimwizavijijina kata zinafanya kazi pia, hivyo ni jukumu la kamati za kata zaUkimwi kuhakikisha kamati za vijiji zinafanya kazi na ni jukumu la serikali za vijiji na kata kushughulikia posho na utendaji kazi wa kamati hizo.

5. SEHEMU YA NNE

Mkutano wa nje na Wanachi Wilaya ya Iramba na YaliyoibuliwaMkutano wa nje kwa wanachi wa Iramba ulipangwa kufanyika tarehe 24 Novemba kwa ajili ya kutoa mrejesho wa uchambuzi uliofanywa na timu ya uwajibikaji jamii ya wilayalakini mkutano huo uliahirishwa kwa sababu mbali mbali na hatimaye ukafanyika tarehe 20 Desemba katika kata ya Shelui wilayani Iramba.

SikikakwakushirikiananaMkuuwaWilayakamaalivyoahidimwanzonikuwaataitisha mkutano wa nje ili Sikika na timu ya uwajibikaji jamii watoemrejesho kwa wananchi, baada ya mkutano wa kwanza kushindwa kufanyika,tulifanya maandalizi muhimu na kuandaa mkutano wa nje katika kata ya Shelui ambapo piaMkuuwaWilayaalipangakufanyaziarakatikakatahiyokuzungumzanawananchi na kusikiliza kero zao kwa mara ya kwanza. Mkuu waWilayaalitoa gari na Sikika ikagharimia mafuta na gharama zingine kama kuandaa mahemana viti kwa ajili ya mkutano, pia kuwasiliana na viongozi wa kata kuhakikisha mkutano unafanyika vizuri.

WafanyakaziwaSikikanatimuyauwajibikajijamiiyawilayailifikamapemaeneo lamkutanokuendeleanautaratibumwinginewakatiMkuuwaWilayaakisubiriwa atoke kijiji kingine alichotembelea asubuhi kuzungumzana wananchi.MkuuwaWilayanamsafarawakewalifikaSheluimchanatayari

Page 55: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-46-

kwamkutano,kwaniwananchiwengiwalikuwawameshafikakatikaeneo lamkutano.

Kabla ya kufungua mkutano wananchiwalipiga kelele za kuzomea kila wakati viongozi wa msafara wa Mkuu wa Wilaya waliposimama kujitambulisha,mfano aliposimama Kaimu Mtendaji wa Kata na Mkuu wa Kituo cha polisi na kusema ‘’shelui safi?’’ Wananchi walijibu “sio safi’’ hii ilionesha viongozi hawakuwa waadilifu na hivyo kutoelewana na wananchi.

Baadayakelelezawananchikuzidi,MkuuwaWilayaalifunguamkutanonakuomba Sikika na timu ya uwajibikaji jamii ya Iramba wafanye mrejesho kisha yeye na msafara wake wawewa mwisho kuzungumzana wananchi.

Timu ya SAM Iramba ikimsikiliza Mkuu wa Wilayatimu ya Sikika ilieleza kazi za Sikika kisha kukaribisha wajumbe wawili wa timu ya uwajibikaji jamii kusoma taarifa ya uchambuzi iliyoandaliwa na timu ya uwajibikaji jamii katika Idara ya Afya pamoja na majibu yaliyotolewa na mamlaka husika katika mkutano wa mrejesho na wadau wa afya wa wilaya ikiwani pamoja naKamati yaUsimamizi yaAfyayaWilayanaKamati yaUsimamizi ya halmashauri (chMt nacMt).

Baada yawajumbewa uwajibikaji jamii kusoma taarifa,MkuuwaWilayaaliomba wananchi wasiulize maswali wala majadiliano na badala yake, wampe nafasi yeye na msafara wake wazungumze kwanza, na kisha maswali na majadilianoyatajumuishwa.MkuuwaWilayanamsafarawakewalizungumziaukame na njaa inayoikumba wilaya, matatizo ya ardhi na kugusia kidogo masuala ya afya.

Page 56: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-47-

5.1 Maswali na Majadiliano Katika Mkutano wa Nje na WananchiMaswali mengi yaliyojadiliwa katika mkutano yalihusu matatizo ya ardhi, na unyanyasaji unaofanywa na polisi na afya, kwani kipindi cha maswali kilijumuishamamboyaliyozungumzwanamsafarawaMkuuwaWilayanamrejesho wa timu ya uwajibikaji jamii.Mmoja wawananchi aliuliza swali:

Bili kitundu mkazi wa Shelui:Alihoji kuhusu fedha shilingi milioni2.6 zilizochangwa na wananchiili kuanza kuchimba msingi wa kujenga kituo cha afya, lakini hakuna msingi uliochimbwa na hakuna mwananchia na yejua wapi hizo fedha zilikwenda.Katika kutolea ufafanuzi wa swali hilo, Kaimu Mtendaji wa Kata alisema yeye amekaimu ofisinahajuichochotekuhusufedhazilikokwenda..

Diwani waShelui alieleza kuwa fedhahizo zilizochangwa na wananchikwa ajili ya kuchimba msingi wa kujenga kituo cha afya na zililipwa kwa mtaalamu wa ujenzi ili achimbe msingi, lakini kumbe mtu huyo alikuwa mgonjwa na hivyo kufariki dunia na hizo fedhakabla ya kuchimba msingi, na zilizobaki zilinunua vifaa vingine vya ujenzi kama tangi la maji.

Mkuu waWilaya alitoa agizo kupelekewa stakabadhiza matumizi ya hizofedhaza wananchikwa ajili ya kuchimba msingi wa ujenzi wa kituo cha afya na kisha kufunga mkutano saa 12.00 jioni na watukutawanyika.

Page 57: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-48-

6. SEHEMU YA TANO

CHANGAMOTO NA TULIYOJIFUNZAchangamoto katika kutekeleza kazi ya uwajibikaji jamii zilianza kujitokeza tangukipindi cha maandalizi hadikuendesha mkutano wa hadhara kwa wananchi,kama vile:

KukosaushirikianokatikaOfisiyaMkurugenzikwanihakutakakabisakazihiyo ifanyike wilayani na kusema wakuu wa idara wako chini yake hivyo hatawaruhusu kushiriki mikutano ya wadau wa afya.

Upatikanaji wa nyaraka ni mgumu kwani Mkurugenzi, wakuu wa idara walitakiwa wasitoe waraka wowotekwa taasisi isiyo ya Serikali.

Ukosefuwabarabaraboranaumbalikatikakufikiavituovyaafya.

timu ilijifunza yafuatayo kutokana na kazi ya uwajibikaji jamii:

Wananchiwengihawajuihakizaozamsingi, lakiniwakipewaelimuyakutosha wanaweza kuleta mabadiliko katika sekta ya afya.

Njia sahihi ya kuwezesha kazi ya uwajibikaji jamii kutekelezeka ni kumhusishaMkuuwaWilaya.

Vituo vyote vilivyotembelewa, havijui bajeti ya kituo na hivyo taarifa za mapato na matumizi hazitolewi kwa wananchi, taarifa za mapato na matumizi zikitolewa kwa wananchizitajenga uhusiano mzuri na kuaminiana kati ya watoa huduma, watendaji wa Serikali na wananchina hivyo kushirikiana katika shughuli za maendeleo

Asilimia 20 ya chf hairudi kwenye vituo vya afya na hivyo kuzorotesha huduma za afya vijijini.

Page 58: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-49-

7. SEHEMU YA SITA

HITIMISHO NA MAONI YA TIMU YA SAMtimu ya pSAM kwa pamoja ingependa kuona kuwa changamoto na matatizo yanayozikabili sehemu za kutolea huduma zinafanyiwa kazi haraka, ili kutoa huduma za afya katika maeneo husika.

pia timu inapendekeza kuwapo mkakati mahususi wa kukamilisha ujenzi wa vituo vya afya na zahanati zilizojengwa kwa nguvu za wananchi,ili kuwatia moyo na kusogeza huduma za afya karibu nao.

Aidha, kutekeleza mapendekezo yaliyotelewa na timu ya SAM na ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa hesabu za Serikali, itachangia kwa kiasi kikubwa kuboresha huduma za afya katika maeneo husika. Ushirikishwaji wa jamii/wananchi ni muhimu ili kuwawezesha kutoa maoni yao katika maendeleo ya sektayaafyanaUKIMWI.

Wananchiwanahakiyakupatataarifazakiutendajiikiwanipamojanataarifaza mapato na matumizi, uwepo na kutokuwapo kwa dawa na vifaa tiba, ujenzi na upanuzi wa majengo na taarifa zote zilizo muhimu kwa wananchi kujua.

Uwepo wa mifumo thabiti ya utoaji malalamiko ni njia muhimu katika kuboresha huduma za afya, hivyo timu inapendekeza kuwapo masunduku ya maoni katika kila kituo na zahanati. pia uwepo wa mbao za matangazo na kubandika taarifa za mapato na matumizi na nyingine muhimu, upatikanaji wa taarifa kirahisi pamoja na uwazi katika masuala ya fedha kutajenga uhusiano mzuri na wananchi.

Vilevile kuna umuhimu wa nishati thabiti ya jua iwekwe kwenye maeneo yasiyo na umeme wa gridi ya taifa na pia ifanyiwe kazi pale inapoharibika, badala ya kukaa mwaka mzima bila kufanya kazi kwani inakwamisha utoaji wa huduma za afya kama mashine za cD4 na zingine nyingi.

TimuinapendekezakamatizaUKIMWIziundwekatikangazizote(kata,vijijina mitaa), ili kufikisha huduma hii muhimu kwa wananchi na kupunguzachangamotozinazotokananaUKIMWI.

Zaidi ya hayo, timu ya SAM inasisitiza umuhimu wakazi kama hili kufanyika mara kwa mara. hivyo, inashauri halmashauri kushirikiana na Sikika

Page 59: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-50-

kuwezesha timu iwe endelevu na iweze kufanya kazi ya SAM kwa idara zingine zote za halmashauri, kwa lengo la kufuatilia uwajibikaji kwa jamii, ili kufikiahakizabinadamunakukidhimahitajiyajamiikatikasektakamazaaffya na zinginezo.

Ili tuwe na maendeleo tunahitaji wananchi wenye afya bora na nguvu. Ni jukumu letu sote viongozi na wananchi kushirikiana kwa pamoja kuleta maendeleo ya wilaya yetu na nchi kwa pamoja na kuhakikisha fedha zilizotengwa kwa huduma za afya zinatumika ipasavyo na kuleta maendeleo yaliyokusudiwa.

Page 60: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-51-

Hotuba ya Mkuu wa Wilaya katika ufunguzi wa warsha ya kuhimiza Uwajibikaji wa Jamii

Wilayani Iramba

Ndugu wajumbe, katika mwaka wa fedha 2010/11 halmashauri ya Iramba ilikisia kutumia shilingi. bilioni 4 (4,024,791,558) kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya afya hapa wilayani. Fedha hizi zinatokana na michango ya wananchi kupitia Mfuko wa Afya ya Jamii,ruzuku kutoka Serikali kuu,na michango ya washirika wa maendeleo. Katika dhana nzima ya uwajibikaji kwa wananchi, inabidi tujiulize au wananchi wanapaswa kutuuliza yafuatayo:

1. Je, fedha hizi zilitumika kwa malengo yaliyokusudiwa?2. Je, utekelezaji wa miradi ulimalizika kwa muda uliokusudiwa?3. Je, huduma za afya na huduma zingine zimeboreshwa kutokana na

utekelezaji wa miradi hiyo?

Je, taarifa za upatikanaji wa rasilimali hizi pamoja na matumizi viko wazi kwa madiwani ambao ndio wawakilishi wa wananchi, na je ziko wazi kwa wananchi ambao kimsingi ndio walengwa wa rasilimali hizo?

Ushirikiano kwa Sikika tunatambua kuwa Sikika imeanza kufanya kazi katika wilaya yetu ya Iramba, hivyo basi, naomba tuwape ushirikiano wa kutosha ili waweze kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi na kuleta tija inayohitajika. Natoa rai kwa wakuu wa idara kushirikiana na Sikika pale wanapohitaji msaada.

Ndugu wakuu wa idara, ni matumaini yangu kuwa kaziiitakayofanya na Sikika kwa kushirikiana na baadhi yetu hapa, italeta mafanikio makubwa kwetu kwa sasa na hata siku za usoni. hivyo basi naelekeza wapewe taarifa watakazohitaji ambazo ziko ndani ya uwezo wa halmashauri. taarifa hizi ni pamoja na zifuatazo:

1. Mpango Mkakati wa halmashauri ili kujipima ni kwa kiwango gani tumeutekeleza

2. Bajeti ya halmashauri kwa mwaka wa fedha 2010/20113. Mpango Mkakati waAfya wa Wilaya (CCHP) na taarifa zake za

utekelezaji za mihula na mwaka mzima wa 2010/2011

Page 61: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-52-

4. taarifa za Mkaguzi wa Mahesabu (ndani na nje) taarifa za vikao vya Baraza la Madiwani, Kamati ya Maadili, Bodi ya Afya na taarifa zingine watakazohitaji kwenye mchakato wa mafunzo na uchambuzi

Rai kwa wadauNatoa pia rai kwa watendaji wote wakata na vijiji na kamati za usimamizi wa vituo vya huduma za afya, kutoa ushirikiano kwa timu itakayoundwa. Vile vile nitoe rai kwa viongozi wa dini kuhamasisha uwajibikaji katika nyanja zote na nipende kuwahimiza wananchi kutumia haki ya msingi ya kudai uwajibikaji, ikiwa ni pamoja na kutimiza wajibu wao pia wa kushiriki kikamilifu katika vikao ngazi ya jamii ili washiriki kwenye kuibua vipaumbele. Nitoe pia rai kwa Sikika kutekeleza shughuli zao kwa uadilifu ili mafunzo yatakayotolewa yawe na tija kwa wananchi wa Iramba.

HitimishoMwisho ni matumaini yangu kuwa sote kwa pamoja tutaendelea kutoa ushirikiano wa kutosha kwa wenzetu na timu yetu ya wilaya ya Iramba itakayoundwa na wadau wote hapa leo, ili kutekeleza majukumu tutakayowakabidhi.

Nakutakieni mafunzo yenye mafanikio. Ahsanteni kwa kunisikiliza.

Page 62: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-53-

VIAMBATANISHO:

TIMU YA SAM WILAYA YA IRAMBA

1) ALBERTS.MAKWALLA-Mwenyekiti

2) CHRESENSIACOSMASMWIMBWA-Katibu

3) DAUDI M. NJIKU

4) JOhN BENJAMEN MASEKI

5) EMMANUELPHILLEMONMWAMBU

6) APPOLOWILFREDNKANA

7) RODGERS hEMMERY KILLINGA

8) SAYUNIEDWARDMGABA

9) ELINEEMA SIMION MNGANZIA

10) DORcUS pEtER NAthAN

11) MONICASAULOSARWAT

12) fRANK pAtRIcE YEREMIA KItUNDU

13) JONAS N.MLUI

14) JENIEVA A. ShOMBE

15) ELIpENDO L.MKOMA

16) JUMA MOhAMED IKhALAh

17) MAGREth JOSEph MpUNO

18) NASOLWAERNESTAMOSSI

Page 63: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

-54-

Page 64: Ripoti ya Ufuatiliaji na Uwajibikaji kwa Jamii (SAM)sikika.or.tz/images/content/mp3/Iramba Report FINAL .pdf · (CMT), Kamati ya Usimamizi ya Afya ya Wilaya(CHMT),Kamati ya Madiwani

Sikika inafanya kazi kuhakikisha usawa katika

upatikanaji wa huduma bora za afya, kwa kutathimini

mifumo ya uwajibikaji katika ngazi zote za serikali.

Nyumba Na.69Ada Estate, KinondoniBarabara ya TunisiaMtaa wa WaverleyS.L.P 12183Dar es Salaam, Tanzania.

Nyumba Na. 340Mtaa wa KilimaniS.L.P 1970Dodoma, Tanzania.Simu: 0262321307Faksi: 0262321316

Simu: +255 22 26 663 55/57 Ujumbe mfupi: 0688 493 882Faksi: +255 22 26 680 15Barua pepe: [email protected]: www.sikika.or.tzBlog: www.sikika-tz.blogspot.comTwitter: @sikika1Facebook: Sikika Tanzania