sheria ndogo - masasidc.go.tz€¦ · ushuru kwa mujibu wa sheria ndogo hizi. wajibu wa wakala 9....

219
Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi 1 TANGAZO LA SERIKALI NA. 391 la tarehe 29/09/2017 SHERIA YA FEDHA YA SERIKALI ZA MITAA (SURA YA 290) ________ SHERIA NDOGO ________ Zimetungwa chini ya kifungu cha 7(1) na 16(1) ________ SHERIA NDOGO (ADA NA USHURU) ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI ZA MWAKA 2017 SEHEMU YA KWANZA UTANGULIZI Jina na tarehe ya kuanza kutumika 1. Sheria Ndogo hizi zitajulikana kama Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi za Mwaka 2017 na zitaanza kutumika baada ya kutangazwa kwenye Gazeti la Serikali. Matumizi 2. Sheria Ndogo hizi zitatumika katika eneo lote lililo chini ya mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Tafsiri 3. Katika Sheria Ndogo hizi isipokuwa pale itakapoelezwa vinginevyo:- “Ada na Ushuru” maana yake ni malipo yanayolipwa kwa Halmashauri au wakala wake kwa ajili ya huduma, vibali, au leseni mbalimbali zitolewazo na Halmashauri; Afisa Mwidhiniwamaana yake ni Afisa yeyote wa Halmashauri aliyeteuliwa kusimamia utekelezaji wa Sheria Ndogo hizi; “Chombo cha Usafiri” maana yake ni chombo chochote kinachotumika kusafirisha mtu, watu au mizigo kutoka sehemu moja kwenda nyingine isipokuwa mkokoteni, au wanyama wanaotumika kama kusafirisha watu au mizigo;

Upload: others

Post on 25-Oct-2020

22 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

1

TANGAZO LA SERIKALI NA. 391 la tarehe 29/09/2017

SHERIA YA FEDHA YA SERIKALI ZA MITAA

(SURA YA 290)

________

SHERIA NDOGO ________

Zimetungwa chini ya kifungu cha 7(1) na 16(1)

________

SHERIA NDOGO (ADA NA USHURU) ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI ZA

MWAKA 2017

SEHEMU YA KWANZA

UTANGULIZI

Jina na

tarehe ya

kuanza

kutumika

1. Sheria Ndogo hizi zitajulikana kama Sheria Ndogo za (Ada

na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi za Mwaka 2017 na

zitaanza kutumika baada ya kutangazwa kwenye Gazeti la Serikali.

Matumizi 2. Sheria Ndogo hizi zitatumika katika eneo lote lililo chini ya

mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya ya Masasi.

Tafsiri 3. Katika Sheria Ndogo hizi isipokuwa pale itakapoelezwa

vinginevyo:-

“Ada na Ushuru” maana yake ni malipo yanayolipwa kwa

Halmashauri au wakala wake kwa ajili ya huduma, vibali,

au leseni mbalimbali zitolewazo na Halmashauri;

“Afisa Mwidhiniwa” maana yake ni Afisa yeyote wa Halmashauri

aliyeteuliwa kusimamia utekelezaji wa Sheria Ndogo hizi;

“Chombo cha Usafiri” maana yake ni chombo chochote

kinachotumika kusafirisha mtu, watu au mizigo kutoka

sehemu moja kwenda nyingine isipokuwa mkokoteni, au

wanyama wanaotumika kama kusafirisha watu au mizigo;

Page 2: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

2

“Halmashauri” maana yake ni Halmashauri ya Wilaya ya Masasi;

“Kibali” maana yake ni idhini au ruhusa ya maandishi inayotolewa

na Halmashauri;

““Machinjio” maana yake ni sehemu iliyotengwa na Halmashauri

kwa ajili ya kuchinjia wanyama na kuanika ngozi;

“Masoko” maana yake ni sehemu yoyote iliyotengwa na

Halmashauri kwa ajili ya kuuza na kununua bidhaa;

“Mnada” maana yake ni sehemu iliyotengwa na Halmashauri kwa

ajili ya kuendesha shughuli za kuuza na kununua bidhaa;

“Mkurugenzi” maana yake ni Mkurugenzi Mtendaji wa

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi pamoja na Afisa yeyote

wa umma atakayeteuliwa kutekeleza majukumu ya

Mkurugenzi;

“Usajili wa vyombo vya usafiri” maana yake ni utaratibu

utakaowekwa na Halmashauri wa kuorodhesha idadi ya

vyombo vya usafiri vinavyofanya biashara ndani ya

mamlaka ya Halmashauri;

vibao vya matangazo maana yake ni ubao, ukuta au mahali popote

au chombo chochote ambacho kimewekewa tangazo la

biashara;

“Wakala” maana yake ni Mtu, Taasisi, Kampuni, au asasi yeyote

iliyoteuliwa kisheria na Halmashauri kukusanya mapato

kwa niaba ya Halmashauri.

SEHEMU YA PILI

NAMNA YA KUKUSANYA ADA NA USHURU

Ada na

Ushuru 4. (1) Halmashauri itatoza Ada na Ushuru mbalimbali kwa ajili

ya vibali, leseni na huduma zitolewazo na Halmashauri kama

inavyoonyeshwa katika Jedwali la Kwanza la Sheria Ndogo hizi.

Page 3: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

3

(2) Ada na Ushuru utozwayo chini ya Sheria Ndogo hizi

utalipwa kabla ya huduma kutolewa.

(5) Huduma zitakazotozwa Ada na ushuru katika Sheria Ndogo

hizi ni;-

(a) Ushuru wa Mazao;

(b) Ushuru wa mifugo na machinjio;

(c) Ushuru wa soko;

(d) Ada ya kibali cha kufanya biashara zisizohitaji leseni;

(e) Ada ya kibali cha ujenzi;

(f) Ada ya Ukaguzi wa ramani;

(g) Ada ya kuchangia gharama za upimaji na usafishaji wa

viwanja;

(h) Ada ya Leseni mbalimbali;

(i) Ada ya Zabuni;

(j) Ada ya Uthamini wa ardhi;

(k) Ada ya kibali cha kusafirisha ngozi;

(l) Ada ya kukodi mali za Halmashauri;

(m) Faini ya adhabu kwa makosa mbalimbali;

(n) Ushuru wa Vibao vya Matangazo;

(o) Ushuru wa Kuchinja, kuwamba na kununua ngozi;

(p) Ushuru wa Mabango.

Taratibu za

kulipa Ada

na Ushuru

5. (1)Itakuwa ni Wajibu wa kila mtu anayetakiwa kulipa Ada

na Ushuru kuhakikisha kwamba analipa Ada na Ushuru kwa

viwango vilivyoainishwa kwenye jedwali la Sheria Ndogo hizi.

(2) Muda wa kukusanya Ada na Ushuru utakuwa ni kuanzia

Saa Kumi na mbili kamili (12:00) asubuhi mpaka saa kumi na mbili

(12:00) jioni.

(3) Bila kuathiri masharti ya kifungu kidogo (2), Afisa

Mwidhiniwa au Wakala anaweza kukusanya ushuru baada ya muda

uliotajwa hapo juu endapo atakuwa na kibali maalum kutoka kwa

Mkurugenzi.

(4) Malipo ya Ada na Ushuru yatafanyika kila siku au kwa

mwezi au kwa namna yoyote itakayokubalika kulingana na

makubaliano yatakayowekwa kati ya Halmashauri/ Wakala na

mlipa ada na ushuru.

Page 4: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

4

(5) Malipo ya Ada na Ushuru yanayotozwa kwa Mujibu wa

Sheria Ndogo hizi yatalipwa kwa Halmashauri au Wakala wake na

kutolewa stakabadhi ya Halmashauri kama kielelezo cha malipo

yaliyofanyika.

Bidhaa za

nyumbani 6. Bila kuathiri masharti ya Sheria Ndogo hizi bidhaa zozote zenye

uzani usiozidi kilo 50 zitakazoingizwa sokoni na mtu yeyote

kwa ajili ya matumzi ya nyumbani hazitatozwa Ushuru au Ada.

Ukusanyaji

wa madeni 7. Ikiwa mtu yeyote anayetakiwa kulipa Ada au Ushuru atakataa

au kushindwa kulipa Ada au Ushuru ndani ya muda

unaotakiwa, Halmashauri inaweza kukusanya Ushuru au Ada

unodaiwa kwa njia ya Mahakama.

Uteuzi wa

Wakala 8. Halmashauri itakuwa na mamlaka ya kuteua Kampuni au

Taasisi iliyosajiliwa kwa mujibu wa Sheria kukusanya Ada au

Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi.

Wajibu wa

Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na

wajibu wa-

(a) kukusanya na kupokea Ada na Ushuru au madeni katika

eneo alilopangiwa kwa kiwango kilichoainishwa chini ya

Sheria Ndogo hizi;

(b) kuwasilisha makusanyo yote kwa kuzingatia masharti ya

Mkataba wa Uwakala.

SEHEMU YA III

MAKOSA NA ADHABU

Makosa 10. (1) Itakuwa ni kosa kwa:-

A. Kwa Wakala;

(a) Atakusanya Ada na Ushuru au madeni bila kibali cha

maandishi au mkataba toka kwa Halmashauri;

(b) Atajaribu au atakusanya ada na ushuru au madeni kwa

kiwango tofauti na kilichotajwa na Sheria Ndogo hizi;

(c) Atashindwa kuwasilisha au atawasilisha pungufu ya

Page 5: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

5

kiwango cha Ada na Ushuru alichokubaliwa katika

mkataba;

(d) Atakusanya Ada na Ushuru au madeni kwa mbinu

tofauti na alizoelekezwa na Halmashauri.

B. Kwa yeyote:-

(a) Atashindwa, atadharau, au atakaidi/ Atakataa kulipa Ada

na Ushuru au kutekeleza agizo lolote alilopewa na

Halmashauri kuhusiana na ulipaji wa Ada na Ushuru

chini ya Sheria Ndogo hizi;

(b) Atamshawishi mtu au kundi la watu kukataa au kukwepa

kulipa Ada na Ushuru;

(c) Atatengeneza, atatayarisha, ataidhinisha utengenezaji, au

atatunza nyaraka za uongo kwa nia ya kujipatia

manufaa yatokanayo na ukusanyaji wa Ada na Ushuru

mbalimbali ndani ya Halmashauri;

(d) Kwa makusudi huku akijua ni kosa atatoa taarifa za

uongo kwa Halmashauri, au Atashindwa au kutoa

taarifa zitakazohitajika na Halmashauri;

(e) atashindwa kuweka Kumbukumbu, Vitabu, Hesabu, au

maelezo yoyote yatakayohitajika Halmashauri; Na

(f) Atamzuia Afisa Mwidhiniwa au Wakala kutekeleza

majukumu yake.

Adhabu 11. Mtu yeyote atakayekwenda kinyume na masharti ya Sheria

Ndogo hizi atakuwa ametenda kosa na akipatikana na hatia

atatozwa faini isiyopungua shilingi laki mbili (200,000/=) na

isiyozidi shilingi milioni moja (Tshs. 1,00,000/=) au kifungo

kisichopungua miezi kumi na mbili (12) na kisichozidi miezi

ishirini na nne (24) au adhabu zote mbili kwa pamoja yaani

faini na kifungo.

Kufifilisha kosa 12. Mkurugenzi atakuwa na uwezo wa kufifilisha kosa kwa

kumtoza faini mtu yeyote aliyetenda kosa kwa mujibu wa

Sheria hizi, kiasi kisichopungua shilingi laki mbili

(200,000/=) na kisichozidi shilingi laki tano (Tsh.500, 000/=)

iwapo mkosaji atakiri kosa kwa hiari na kuwa tayari kujaza

Page 6: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

6

fomu maalum iliyoambatishwa kwenye jedwali la pili la

Sheria Ndogo hizi, na atatakiwa kulipa Ada na Ushuru

anaodaiwa kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi.

________

JEDWALI LA KWANZA

________

(Chini ya kifungu cha 4(1))

1. Ushuru wa mazao ya kilimo.

❖ Ushuru wa mazao ya kilimo utatozwa asilimia

mbili (2%) ya bei ya kununulia.

2. Ushuru wa Madini ya Ujenzi

Madini ya Ujenzi

A. KOKOTO

Uzito wa gari Kiasi cha Ushuru

1. Madini ya ujenzi tani 1 hadi 6 5,000/= kwa kila safari

2. Madini ya ujenzi tani 7 hadi 10 10,000/= kwa kila safari

1,000/= kila tani

itakayoongezeka

B. MCHANGA

1. Madini ya ujenzi 1 hadi 6 3,000/= kwa kila safari

2. Madini ya ujenzi tani 7 hadi 10 5,000 kwa kila safari

1,000/= kwa kila tani

inayozidi.

Page 7: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

7

3. Garama za leseni kwa Mazao ya Misitu kwa kila mita moja ya ujazo (m3)(Forest

Produce Farm gate price)

Na. AINA YA MTI DARAJA LA

MTI

KIASI KWA MWAKA

1. Mti wa Mpingo Daraja la I A 264,960/=

2. Mninga, mkongo, mbambakofi,

mpangapanga

Daraja la I B 235,520/=

3. Mbalamwezi,Mtondoo, Daraja la II 176,640/=

4. Msufi Daraja la III 132,480/=

5. Mjale Daraja la IV 88,320/=

6. Aina nyingine ya miti 150,000/=

6. Miti yenye ukubwa wa cm5-cm10 1,500/= kwa nguzo moja

7. Mti wenye ukubwa wa cm10-cm20 2,200/=

8. Matami yenye ukubwa wa cm5-

cm30

3,680/= kwa tawi moja

9. Mkaa kwa kila kilo 10 240 kwa kila kilo moja

3. Ushuru wa Mifugo na machinjio ya Mifugo.

A. Ushuru wa Mifugo (Mnadani)

Na. Aina ya Mifugo Kiasi cha Ushuru kwa kila Mfugo (Tshs)

1. Ng’ombe…………………………………………………. 3,000/=

2. Mbuzi…………………………………………....................1,000/=

3. Kondoo…………………………………………………….1,000/=

4. Nguruwe………………………………………………...….1,500/=

B. Ushuru/ ada ya Machinjio na Ukaguzi wa Nyama.

(i) Ushuru Wa Huduma Za Ukaguzi Wa Nyama

(ii) Ng’ombe ………………………………………………………..………2,000/=

(iii) Mbuzi ………………………………………………………..………….1,500/=

(iv) Kondoo…………………………………………………..……………...1,500/=

(v) Nguruwe…………………………………………………….…………..2,000/=

Page 8: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

8

(ii) Ada Ya Machinjio

(i) Ngombe ………………………………………………..….1,500/=

(ii) Mbuzi na Kondoo …………………………………………1,000/=

(iii) Wanyama wengine ………………………………………..1,000/=

5. Ushuru wa Soko:

A. Ushuru wa Kushusha Mizigo katika Eneo au Soko lolote lililotengwa na Halmashauri

Na. Aina ya Mizigo na uzani Kiwango cha

Ushuru (Tshs)

1. Lori lililobeba Ndizi lenye uzani wa tani 1 5,000/=

2. Lori lililobeba Miwa, Machungwa, Parachichi nyanya au Nanasi

lenye uzani wa tani 1

6,000/=

3. Mkaa kwa gunia 1,000/=

4. Tenga au gunia la dagaa, Samaki 1,000/=

5. Gunia la Mahindi, Maharage, Kunde 2,000/=

6. Karanga za maganda na mpunga, 2,500/=

7. Mchele na karanga zilizomenywa 5,000 kwa gunia

8. Tenga la Machungwa, Parachichi, Nanasi, Papai au Nyanya 500/= kwa tenga

B. Ushuru wa bidhaa mbalimbali katika masoko, minada, magulio na maeneo mbalimbali

yaliyotengwa na Halmashauri :

Na Aina ya Biashara Ushuru/Kodi ya Pango Muda

1. Vibanda Tshs. 15,000/= kwa kibanda kwa mwezi

2. Meza Tshs. 300/= kwa meza Kwa siku

3. Wauza mitumba Tshs 1000/= Kwa siku

4. Nguo za madukani kutandaza Tshs.1,000/ Kwa siku

5. Ndizi kupika mkungu Tshs. 7,500/= Kwa mkungu

7. Ndizi mbivu mkungu Tshs. 750/= Kwa mkungu

8. Nanasi tenga Tshs. 1,500/= Kwa siku

9. Maparachici tenga Tshs. 1,000/= Kwa siku

10. Mboga-mboga tenga Tshs. 200/= Kwa siku

11. Nyanya/ nyanya mshumaa tenga Tshs. 300/= Kwa siku

12. Machungwa tenga Tshs. 1,500/= Kwa siku

13. Viatu vya mitumba Tshs.1,000/= Kwa siku

14. Mama au Baba lishe Tshs.500/= Kwa siku

15. Vyombo vya ndani Tshs.500/= Kwa siku

16. Nyama au nyama choma Tshs. 1,000/= Kwa siku

17. Urembo Tshs.500/= Kwa siku

18. Bidhaa mchanganyiko Tshs.500/= Kwa siku

19. Samani (furniture Tshs. 5,000/= Kwa mwezi

20. Wauza vyungu Tsh 500/= Kwa siku

21. Wauza miwa Tsh 500/= Kwa siku

22. Wauza bia na soda Tsh 1,000/= Kwa siku

23. Wauza Pombe za kienyeji Tsh 500/= Kwa siku

24. Wauza madawa ya asili Tsh 500/= Kwa siku

25. Bidhaa nyingine zozote ambazo

hazikutajwa

Tshs.500/= Kwa siku

Page 9: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

9

6. Ada ya Kibali cha Biashara mbalimbali zisizohitaji leseni.

Aina ya kibali Kiwango cha Ada ya maombi ya

kibali (Tshs)

1. Biashara ya mitumba nje ya maeneo

ya magulio, soko na minada

Tshs. 1000/= kwa mwezi

2. Fundi cherehani, baiskeli dobi, radio,

TV, Fundi simu

Tshs. 1000/= kwa mwezi

3. Fundi viatu, Tshs 500 kwa mwezi

4.

kinyozi, saluni za wanawake/

wanaume

Tshs. 5,000/= kwa mwezi

5. Mikokoteni, matoroli yenye magurudumu Tshs. 200/= kwa siku

6. Kibali cha biashara nyinginezo zisizohitaji leseni Tshs. 2, 000/=kwa mwaka

7. Gereji za pikipiki Tsh 2000 kwa siku

8. Fundi kuchomelea kwa siku Tsh 3000 kwa siku

7. Ada ya Kibali cha Ujenzi.

N

a

Aina ya kibali Kiwango cha Ada ya kibali

(Tshs)

1 Ujenzi wa Nyumba ya makazi 30, 000/=

2 Ujenzi wa Ghala, Karakana, gereji au

karakana za magari

50,000/=

3 Ujenzi wa Viwanda vidogo vidogo,

mashine za kukoboa au kusaga nafaka

(mchele, mahindi

30,000/=

4 Ujenzi wa Nyumba ya ghorofa moja 40,000/=

5 Ujenzi wa Kibanda chochote cha biashara 6,000/=

Ujenzi wa uzio wakati wa kujenga jengo lolote 50, 000/=

8. Ada ya ukaguzi wa Ramani, Kubadili matumizi ya Majengo na Ukaguzi wa

Majengo.

Aina ya kibali Kiwango cha Ada ya kibali

1 Kukagua ramani ya jengo la Nyumba ya

makazi

Tshs. 10, 000/=

2 Kukagua ramani ya Ujenzi wa Gorofa

kwa kila hatua ya ujenzi.

Tshs. 15,000/=

3 Kuendelea na hatua ya ujenzi

inayoendelea baada ya kibali cha awali

Tshs.5,000/=

4 Ramani za maghala Tshs, 15, 000/=

5 Ramani za Makanisa na misikiti Tshs. 15, 000/=

Page 10: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

10

1. Kibali cha idhini ya kubadilisha matumizi ya Ardhi/ viwanja kutoka:-

i. Makazi kwenda biashara………….....................Tshs 50,000/=

ii. Makazi kwenda kwenda viwanda…………….Tshs. 100,000/=

iii. Biashara Kwenda Makazi………………………Tshs. 40,000/=

iv. Biashara/ makazi/ viwanda Kwenda matumizi Mengine…Tshs

100,000/=

2. Kibali cha idhini ya kuhamisha miliki ya Ardhi …………..…Tsh 40,000/=

9. Ada ya Kuchangiaji gharama za Upimaji na Usafishaji wa Viwanja

Na. Aina ya Kiwanja Kiwango cha Ada

1. Kiwanja chenye Ujazo wa Msongamano Mkubwa (HD)…..Tshs. 40, 000/=

2. Kiwanja chenye Ujazo wa Msongamano wa Kati (MD)……Tshs. 50, 000/=

3. Kiwanja chenye Ujazo wa Msongamano Mdogo (LD)……..Tshs. 60, 000/=

4. Viwanja vya Taasisi za watu Binafsi/dini……………………Tshs100,000/=

5. Mashamba………………………Tshs. 100, 000/= kwa kila ekari moja.

6. Kurudia upimaji upya baada ya mipaka kufutika 50% ya ada ya upimaji wa

kiwanja au eneo husika.

7. Kurudia kuonyeshwa kiwanja baada ya ugao wa awali kufanyika…Tshs.10, 000/=

8. USHURU WA MAGARI YANAYOINGIA KATIKA MAGULIO, MASOKO NA

MINADA

(i) Garidogo la abiria………………………….……………… Shilingi 500/=

kwasiku

(ii) Garikubwa la abiria……………………...………………. Shilingi 2,000/=

kwasiku

(iii) Garidogo la mizigo……………………..………………. Shilingi 2,000/=

kwasiku

(iv) Garikubwa la mizigo……………….…….……………...Shilingi 2,500/=

kwasiku

9. Ada ya Leseni mbalimbali

Na. Aina ya Leseni au Kibali Kiwango cha Ada (Tshs)

1. Leseni ya pombe za kigeni Tshs 40,000 kwa miezi Sita

2. Leseni ya Pombe za Kienyeji Tshs 20,000.kwa miezi sita

3. Leseni ya Mazao ya Misitu 20% ya gharama/ ushuru wa leseni

10. Ada ya zabuni

Na. Aina ya Zabuni Kiwango cha Ada (Tshs)

1. Zabuni ya ujenzi wa majengo, barabara na miundo

mbinu mingine

100, 000/=

2. Zabuni za uwakala mbalimbali 50, 000/=

3. Zabuni za ugavi wa huduma mbalimbali 50, 000/=

Page 11: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

11

11. Ada ya Uthamini wa Ardhi na Viwanja vya taasisi binafsi na watu binafsi

Na. Aina ya Thamani Kiwango cha Ada (Tshs)

1. Kiwanja cha Ukubwa wowote 10 % ya kiwango cha thamani ya kiwanja

2. Shamba lenye ukubwa wowote 10% ya kiwango cha thamani ya shamba

12. Ada ya kibali cha kusafirisha ngozi

Na Aina ya Ngozi Kiwango cha Ada (Tshs)

1. Ngozi za ng’ombe Tshs. 1,000/=

2. Ngozi za mbuzi Tshs. 500/=

3. Ngozi za Kondoo Tshs. 500/=

13. Ada ya kukodi ukumbi wa Halmashauri.

(i) Matumizi ya ukumbi kwa semina za mashirika na miradi....... 200,000/=

kwasiku

(ii) Matumizi ya shughuli zinazofanywa na asasi za kiraia ……... 200,000/=

kwasiku

(iii) Matumizi binafsi …………………………………………….. 300,000/=

kwasiku

(iv) Kukodi viti (kila kiti) ………………………..……..………….. 300/= kwasiku

(v) Kukodi viti vinginevyo ……………………………………...….500/= kwa siku

14. Ada ya usajili wa vikundi.

Ada ya usajili wa vikundi itakuwa ni Tsh ……………………………………………….. 20,000/=

15. USHURU WA MABANGO YA BIASHARA

(i) Mabango ya biasharayasiyon’gara (kwa kila SqFT) …………..………… 15,000/=

(ii) Mabango ya biasharayanayong’ara (kwa kila SqFT) …………...…………13,000/=

(iii) Mabango ya biashara ya muda (yanayodumu kwa hadi siku 7) ….…….….10,000/=

(iv) Mabango ya biashara ya muda (yanayodumu kwa hadi siku 14) ……..…...25,000/=

(v) Mabango ya biashara ya muda (yanayodumu kwa hadi siku 30) …..….…..35,000/=

(vi) Matangazo ya biashara kwa kutumia vipaza sauti kwa siku…………….….15,000/=

(vii) Mabango ya matangazo yaliyobandikwa kwenye magari (kwa kila SqFT…13,000/=

16. USHURU WA KUCHINJA, KUWAMBA NA KUNUNUA NGOZI

Na. AINA YA

MNYAMA

USHURU WA

KUCHINJA

USHURU WA

KUWAMBA

USHURU WA

KUNUNUA NGOZI

1. Ng’ombe 3,000/= 1000/= 1,500/=

2. Mbuzi 1,000/= 500/= 1,000/=

3. Kondoo 1,000/= 500/= 1,000/=

4. Nguruwe 1,500/= 500/= 1,000/=

5. Mnyama mwingine 1,000/= 500/= 1,000/=

Page 12: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

12

17. USHURU WA STENDI

i. Ushuru wa gari ndogo ya abiria (Taxi)…….................….Shiringi 500/= kwa siku.

ii. Ushuru wa gari binafsi kwa ……………............….......... shilingi 500/= kwa siku

iii. Ushuru wa basi dogo la abiria (Hiace)...............…....... Shilingi 1,000/= kwa siku

iv. Ushuru wa basi kubwa la abiria (Cousta).....................Shilingi 1,500/= kwa siku

v. Ushuru wa basi kubwa la abiria……….....................…Shilingi 2,000/=kwa siku.

vi. Ushuru wa bajaji na Pikipiki…………..............…....….Shilingi 300/= kwa siku

vii. Ushuru wa vifaa vingine ambavyo havijatajwa…….......Shilingi 1,000/= kwa siku

18. ADA YA KUONDOA NYUKI KATIKA MAENEO MBALIMBALI;

(i) Majumbani ………………………………………………..….…………. 20,000/=

(ii) Mashirika naTaasisi ………………………………….………………..… 50,000/=

________

JEDWALI LA PILI

________

HATI YA KUKIRI NA KUFIFILISHA KOSA

(Chini ya kifungu cha 12)

Mimi …………………… nakiri mbele ya ………….ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa

Halmashuri ya Wilaya ya Masasi, kwamba mnamo tarehe …… ya Mwezi ……. Mwaka ……

nilitenda kosa la kukiuka masharti ya kifungu cha …… cha Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru)

za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi za Mwaka 2017.

Kwa Mamlaka aliyopewa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri, Niko tayari kulipa kiasi cha Ada/

Ushuru ninaodaiwa pamoja na faini.

NATHIBITISHA KWAMBA MAELEZO HAPO JUU NI YA KWELI NA NIMEYATOA KWA

HIARI YANGU KADRI YA UFAHAMU WANGU

Leo tarehe…………………..…. ya Mwezi…………….. Mwaka ………………….

Jina……………………………….. Saini…………………………………….

Mbele ya :

Jina: ……………………………………………

Cheo: ………………………………………….

Saini: …………………………………………..

Page 13: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

13

Mhuri wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi umewekwa katika Lakiri ya Sheria

Ndogo hizi kufuatia Mkutano wa Baraza la Madiwani ulioketi Halmashauri leo

tarehe 29 mwezi 10 mwaka 2014 mbele ya Wafuatao:-

CHANGWA M. MKWAZU,

Mkurugenzi Mtendaji

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

JUMA M. SATMAH,

Mwenyekiti

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

NAKUBALI

Dodoma, MHE. GEORGE B. SIMBACHAWENE (MB.),

13 Julai, 2017 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala

za Mikoa na Serikali za Mitaa

TANGAZO LA SERIKALI NA. 392 la tarehe 29/09/2017

SHERIA YA SERIKALI ZA MITAA (MAMLAKA ZA MIJI)

(SURA YA 287)

_________

SHERIA NDOGO

_________

Page 14: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

14

Zimetungwa chini ya kifungu cha 153

_________

SHERIA NDOGO ZA (AFYA NA USAFI WA MAZINGIRA) ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI,

2017

SEHEMU YA KWANZA

UTANGULIZI

Jina na mwanzo

wa kutumika 1. Sheria Ndogo hizi zitaitwa Sheria Ndogo za (Afya

na Usafi wa Mazingira) za Halmashauri ya Wilaya

ya Masasi za Mwaka 2017 na zitaanza kutumika

baada ya kutangazwa kwenye Gazeti la Serikali.

Matumizi 2. Sheria Ndogo hizi zitatumika katika eneo lote lililo

chini ya mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya ya

Masasi.

Tafsiri 3. Katika Sheria Ndogo hizi isipokuwa itakapoelezwa

vinginevyo:-

“Afisa Mwidhiniwa” maana yake ni Afisa yeyote wa

umma aliyeteuliwa na Halmashauri kusimamia

Page 15: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

15

utekelezaji wa Sheria Ndogo hizi;

“Afya” maana yake ni hali timilifu ya kimwili, kiakili

na kijamii;

“Chakula” maana yake ni kitu chochote

kinacholiwa na kunywewa na binadamu isipokuwa

madawa, hii ni pamoja na:-

(a) kitu chochote kinachotumika katika matengenezo ya chakula;

(b) kitu chochote kinachoongeza ladha ya chakula;

(c) kitu chochote kinachobadili rangi ya chakula (binzari n.k);

“Choo cha kuvuta” maana yake ni choo ambacho

kimejengwa na kuunganishwa na maji na kuwa na

tanki ya kusukuma maji kwa ajili ya kuondoa

uchafu hadi mahali palipoandaliwa;

“Choo bora” maana yake ni choo chochote cha

maji chenye sakafu, banda imara la kudumu,

limeezekwa, lina mlango imara, bomba la kutolea

hewa chafu na lenye mfuniko kwenye tundu la

choo na shimo salama na safi kwa ajili ya kutupa

kinyesi na mkojo wa binadamu, lililojengwa kwa

vifaa vya kudumu, lenye vipimo vya futi 4 x 3 na

kimo cha futi 12 na zaidi; au

Page 16: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

16

“Choo cha Umma” maana yake ni choo

kilichojengwa na Halmashauri au wakala wake kwa

matumizi ya umma;

“Eneo la wazi “maana yake ni eneo lililo chini ya

Halmashauri ambalo limekatazwa kufanyia

shughuli ambayo haihusiani na matumizi

yaliyokusudiwa;

“Halmashauri” maana yake ni Halmashauri ya

Wilaya ya Masasi;

“Hati ya usafi” maana yake ni hati itakayotolewa

na Afisa Muidhiniwa inayothibitisha kukaguliwa

kwa maeneo yote yaliyotajwa katika Sheria Ndogo

hizi kulingana na Kanuni za Afya;

“Jengo la biashara” maana yake ni jengo lolote

lililojengwa na kuidhinishwa na Halmashauri

kufanya biashara iliyokusudiwa;

“Kaya” maana yake ni familia ya watu akiwemo

baba, mama, mtoto au watoto na mtu mwingine

yeyote anayeishi na familia hiyo, au watu

wanaokaa katika nyumba moja na kuishi kama

familia au mtu yeyote anayeishi peke yake katika

Page 17: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

17

chumba au nyumba;

“Kero au chukizo” maana yake ni kitu chochote

ambacho kipo katika hali yoyote iwe kinatumika,

kimewekwa, kimejengwa, au ni kichafu kiasi cha

kusababisha:-

(a) hatari kwa viumbe na maisha ya binadamu;

(b) harufu mbaya na kuudhi; (c) kuzaliana kwa wadudu na wanyama hatari

kama vile nzi, mende, sisimizi, panya, nyoka, nyuki, kunguni au viumbe wengine hatari;

(d) magonjwa kwa binadamu,kuhifadhi mbu, nzi, panya na viumbe wenye madhara;

“Kituo cha taka” maana yake ni kizimba cha taka

kilichowekwa na Halmashauri kwa madhumuni ya

kuweka taka ngumu kabla ya kusafirishwa hadi

kwenye dampo la taka ngumu la Halmashauri;

“Maji taka” kama ilivyo katika Sheria ya Mazingira

Na. 20 ya mwaka 2004 ni pamoja na taka

zinazotokana na kinyesi, mkojo na jasho, uchafu

wa majimaji kutoka majumbani, taasisi, majengo

ya biashara na viwandani;

“Mazao au mimea marefu” maana yake ni mazao

au mimea inayozidi sentimita 15 kwenda juu kama

vile Mtama, Mihogo, Mahindi, Mbaazi, Uwele na

Page 18: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

18

mengine yote yale yanayofanana na hayo;

“Mkazi” maana yake ni mtu yeyote anayeishi

katika eneo la Halmashauri na ambaye ana kaya au

anaishi katika kaya au taasisi iliyopo katika eneo la

Halmashauri;

“Mmiliki” maana yake ni mtu yeyote ambaye ana

miliki ardhi, sehemu za starehe, nyumba za kulala

wageni, nyumba za kuuzia vyakula, kumbi za

starehe, mpangaji, wakala wa mpangishaji wa

nyumba au jengo na makazi yoyote katika mtaa,

endapo mazingira husika ni mtaa au barabara za

mtaa;

“Mkurugenzi” maana yake ni Mkurugenzi wa

Halmashauri pamoja na Afisa yeyote

atakayeteuliwa kutekeleza majukumu ya

Mkurugenzi;

“Mzalishaji wa taka ngumu” maana yake ni mtu

yeyote, kaya, taasisi, biashara, kiwanda ambaye

katika kutekeleza shughuli zake huzalisha taka;

“Pavement” maana yake ni sakafu imara ya mawe

au matofali ya saruji au udongo yaliyochomwa na

kujengewa kutoka katika nyumba hadi katika

mfereji au barabara, kwa waendao kwa miguu au

Page 19: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

19

watazamaji wa vitu madukani;

“Pipa la taka”maana yake ni chombo chochote

chenye mfuniko kinachoweza kuhifadhi taka

ngumu zinazozalishwa majumbani, sehemu za

biashara, maofisini ili zisisambae na kuchafua

mazingira kwa namna yoyote;

“Taka” kama ilivyo katika Sheria ya Usimamizi wa

Mazingira, 2004 maana yake ni kitu chochote

kimiminika, kigumu, gesi na mionzi, kinachotoa

harufu mbaya, au kilichohifadhiwa katika

mazingira ya hali ya ujazo, uozo au hali nyingine

yoyote inayosababisha uharibifu wa mazingira,

ambayo inajumuisha taka;

“Taka Ngumu” kama ilivyo katika Sheria ya

Usimamizi wa mazingira, 2004 ni taka ambazo

haziko katika umajimaji kutoka majumbani, katika

majengo ya biashara, viwandani na kutoka katika

shughuli za kilimo, pamoja na taka za vyakula,

karatasi, plastiki au taka laini zinazotokana na

ujenzi au ubomoaji majengo, utengenezaji bustani

na shughuli za uchimbaji madini, mizoga ya

wanyama na mabaki ya magari mabovu (scraps);

“Taka za Majumbani”maana yake itajumuisha

mabaki ya chakula, maganda ya matunda, majivu,

kinyesi cha mifugo, taka za bustani, marapurapu ya

nguo, karatasi za aina mbalimbali na vitu vingine

Page 20: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

20

ambavyo baada ya kuvitumia hutupwa;

“Taka za Viwandani” kama ilivyotafsiriwa katika

Sheria ya Usimamizi wa Mazingira ya mwaka 2004,

maana yake ni uchafu unaotokana na uzalishaji

viwandani au uchafu usiotokana na uzalishaji

viwandani ambao ni chanzo cha nishati, maji,

mimea iliyotiwa dawa, au mawasiliano, pamoja na

taka nyinginezo ngumu kama zilivyotafsiriwa katika

Sheria ya Usimamizi wa Mazingira, 2004 sehemu

ya IX;

“Uchafu Hatari” maana yake ni kama

ilivyotafsiriwa katika Sheria ya Mazingira Na 20 ya

mwaka 2004, maana yake ni kitu chochote kigumu,

chenye majimaji, gesi au taka zitokazo viwandani,

au mafuta machafu, ambayo yanaleta athari za

kikemia, kwa binadamu au mazingira;

“Uchunguzi wa Afya” maana yake ni hali ya mtu

kupima afya yake kwa kuchukuliwa vipimo vya

ndani na nje ya mwili ili kubaini kuwepo kwa

vijidudu vya magonjwa vinavyoweza kuleta

maambukizi;

“Ufugaji wa ndani” maana yake ni ufugaji wa

mifugo ndani ya eneo lililoruhusiwa tu;

Page 21: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

21

“Vyakula vya kupikwa au kukaangwa” maana yake

ni inajumuisha maandazi, vitumbua, 21chapati,

mikate, samaki, nyama, chipsi, kuku na vinginevyo;

“Wakala” maana yake ni mtu binafsi au kikundi cha

watu, kampuni, taasisi au shirika aliyeteuliwa

kusimamia utekelezaji wa Sheria Ndogo hizi.

SEHEMU YA PILI

USAFI WA MAZINGIRA

Wajibu wa

kufanya usafi wa

mazingira

4. (1) Itakuwa ni wajibu wa kila mkazi au mfanyabiashara

anayemiliki eneo la nyumba kuhakikisha kwamba

anafanya usafi wa mazingira yanayozunguka

makazi au eneo lake kwa kuhakikisha kwamba:-

(a) majani yanayozunguka nyumba yake yanakatwa au kupaliliwa katika eneo lote hadi mwanzo wa mipaka ya barabara ya mbele ya nyumba yake au eneo lake;

(b) taka taka zitakusanywa, kuhifadhiwa na kupelekwa katika eneo lililoruhusiwa na Halmashauri.

kushiriki

shughuli za usafi

wa mazingira

5. (1) Halmashauri imetenga kila siku ya Ijumaa ya wiki

ya mwisho ya kila mwezi kuwa ni siku za wananchi

kushiriki katika shughuli za usafi wa mazingira

Page 22: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

22

katika maeneo ya Halmashauri.

(2) Itakuwa ni wajibu wa kila mwananchi kuhakikisha

kwamba anashiriki katika shughuli za usafi wa

mazingira katika siku maalum zilizopangwa na

Halmashauri na mwananchi atakayekataa kushiriki

katika shughuli za kufanya usafi atakuwa

ametenda kosa.

(3) Itakuwa ni wajibu wa kila mmiliki wa nyumba au

kiwanja au eneo lolote ambalo halijaendelezwa

kufanya usafi katika eneo hilo mara kwa mara.

Mimea mirefu 6. Itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kupanda au

kuotesha mazao au mimea marefu katika maeneo

ambayo Halmashauri itatangaza kuwa mimea

mirefu hairuhusiwi.

Usafi wa mifereji

ya maji ya mvua. 7. Itakuwa ni wajibu wa kila mmiliki wa nyumba

kuondoa uchafu kama vile mchanga, majani, nyasi

au vitu vingine vinavyofanana na hivyo kwenye

mfereji wa maji ya mvua unaozunguka au kupita

kando ya nyumba yake au eneo la biashara yake,

kiwanja chake na kuhakikisha mfereji huo

unakuwa msafi, na imara siku zote.

Kujenga sehemu

ya watembea 8. (1) Itakuwa ni wajibu wa kila mmiliki wa nyumba

kuweka sehemu ya waenda kwa miguu

Page 23: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

23

kwa miguu “pavement” mbele ya nyumba au biashara yake

kwa kadri atakavyoelekezwa na Halmashauri.

(2) Itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kuweka

biashara ya aina yoyote aidha kwa kuuza au kwa

maonyesho katika mfereji au katika pavement.

Uwekaji taa za

nje ya nyumba 9. Itakuwa ni wajibu wa kila mmiliki wa nyumba,

mpangaji au mfanyabiashara kuweka taa yenye

mwanga nje ya jengo analoishi au analolitumia

kwa shughuli yoyote na atatakiwa kuiwasha wakati

wa usiku.

Kupaka rangi

majengo 10. Itakuwa ni wajibu wa kila mmiliki wa nyumba au

mpangaji au mfanyabiashara kuhakikisha kwamba

anapaka rangi nyumba yake au duka lake ndani na

nje kila itakapochakaa kadri Halmashauri

itakavyokuwa ikielekeza.

Wajibu wa

kuondoa na

kudhibiti mazalia

ya mbu na

wadudu wengine

11. Itakuwa ni wajibu wa mmiliki wa nyumba

kuhakikisha kuwa hakuna mkusanyiko wa maji,

maji machafu, takataka au kitu chochote cha

majimaji au kigumu ambacho kinaweza kuruhusu

kuwepo kwa mazalia ya mbu au wadudu wengine

wenye madhara kwa afya ya binadamu.

Biashara ya

miwa na

matunda

12. (1) Itakuwa ni wajibu wa kila mfanyabiashara ya

matunda au miwa kuhakikisha kuwa ana chombo

maalum cha kuhifadhia maganda au mabaki ya

Page 24: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

24

matunda.

(2)

Ni marufuku mtu yeyote kufanya biashara ya

matunda au miwa pembeni mwa barabara au

katika maeneo yasiyoruhusiwa, na kula na kutupa

ovyo maganda ya miwa, ndizi au matunda

mengine.

Upulizaji dawa 13. Ni marufuku kwa mtu yeyote kuendesha biashara

ya upuliziaji dawa “Fumigation” au biashara ya

kuuwa wadudu au wanyama waharibifu katika

nyumba yoyote au mahali popote bila kuwa na

cheti cha taaluma kinachotambuliwa na Serikali na

awe na leseni hai kutoka Halmashauri.

Matengenezo ya

magari,pikipiki

na mitambo

14. (1) Matengenezo ya magari, pikipiki na mitambo

yatatakiwa kufanyika kwenye karakana, gereji au

maeneo yaliyoruhusiwa baada ya kupata kibali

rasmi kutoka Halmashauri.

(3) Ni marufuku kwa mtu yeyote kutengeneza gari,

pikipiki au mtambo wowote katika eneo la makazi,

eneo la wazi au eneo ambalo halikutengwa kwa

shughuli hiyo.

Page 25: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

25

SEHEMU YA III

UIMARISHAJI WA AFYA

Usalama wa maji

ya kunywa. 15. Itakuwa ni wajibu wa kila mkazi kuhakikisha

kwamba maji yote yanayotumika kwa kunywa ni

safi na salama kwa kuyachemsha bila kujali

yametoka kwenye chanzo gani cha maji.

Utengenezaji, na

uuzaji vyakula. 16. (1) Itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote

kutengeneza, kuchoma, kupima, kuchemsha au

kuuza chakula cha aina yoyote mahali popote,

uchochoroni, magengeni au kwenye nyumba

yoyote mpaka awe ametimiza masharti na kanuni

za afya na amepata kibali kutoka kwa Bwana Afya

wa Halmashauri.

Uuzaji vyakula

vilivyopikwa. (2) Itakuwa ni wajibu wa kila mtu anayeendesha

biashara ya vyakula vya kupikwa au kukaangwa

kuhakikisha kwamba vyakula hivyo vinahifadhiwa

kwenye sanduku lililotengenezwa kwa mbao safi

na kuwekwa kioo kuzuia nzi, vumbi na wadudu

waletao madhara kwa afya kwa binadamu.

Usalama wa

vyakula. (3)

Itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kuuza

vyakula vikiwa vimewekwa chini, vyakula vyote

vitatakiwa kuwekwa juu ya meza.

Ni marufuku kwa mtu yeyote anayejishughulisha

Page 26: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

26

(4)

(5)

na huduma ya chakula; kupembua, kupika,

kupakua na kugawa chakula na kuosha vyombo

vilivyotumika kufanyia shughuli hiyo bila kuvaa

nguo rasmi/sare zinazotambuliwa na ofisi ya afya.

mhudumu wa chakula au vinywaji atapimwa afya

yake angalau kila baada ya miezi sita, muda huo

unaweza kupungua endapo Afisa Muidhiniwa

ataona kuna sababu ya maalumu.

Uzuiaji wa

shughuli

mbalimbali

wakati wa

Magonjwa ya

mlipuko

17. (1) Afisa Muidhiniwa anaweza kutoa amri ya kuzuia

shughuli yoyote isifanyike kama vile utengenezaji

wa vyakula, pombe, mijumuiko, sherehe na

mikusanyiko yoyote kwa kutangaza kwa njia ya

kipaza sauti, maandishi, au kupitia vyombo vya

habari endapo atakuwa na sababu ya kuamini

kwamba shughuli hiyo inaweza kusababisha

kuenea kwa magonjwa ya mlipuko na kuleta athari

kwa maisha ya binadamu.

Ukamataji wa

vyombo

vilivyotumika

kuhifadhia

chakula.

(2) Vyakula, vyombo na vifaa vingine vyovyote

vitakavyokamatwa baada ya kutolewa amri ya

kuzuia kufanyika kwa shughuli hiyo ambavyo

vitakuwa vimetumika kutunzia, kubebea,

kuhifadhia na kusafirishia vitaharibiwa na

Halmashauri haitahusika na gharama zozote

zitakazotokea wakati wa utekelezaji wa amri hiyo.

(3) Mtu yeyote atakayekataa kutii amri iliyotolewa

Page 27: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

27

atakuwa ametenda kosa.

Machinjio na

maduka ya

nyama

18. (1) Itakuwa ni wajibu wa kila mmiliki wa duka la

kuuzia nyama (Butcher) kuhakikisha kwamba duka

lake:-

(a) jengo la kudumu lililosakafiwa kwa marumaru nyeupe hadi urefu wa futi 6 kutoka usawa wa sakafu;

(b) lina maji safi, magogo na misumeno ya kukatia nyama;

(c) lina kabati ya vioo na jokofu la kuhifadhia nyama; sehemu za mizani;

(d) kuna pipa la kuhifadhia taka taka;. (e) muuzaji ana vazi jeupe pamoja na Apron

nyeupe; (f) muuzaji anapima afya kila baada ya miezi

sita.

Kuchinja na

kuuza nyama

mahali

pasiporuhusiwa.

(2) Itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kuchinja, au

kuuza nyama ya aina yoyote katika maeneo

yasiyokuwa machinjio au maduka ya nyama au

katika maeneo yasiyoruhusiwa na Halmashauri.

Ufugaji 19. (1) Mfugaji yeyote wa mbwa atatakiwa kuhakikisha

kuwa mbwa wake amepata chanjo na amesajiliwa

kwa mujibu wa maelekezo ya Halmashauri.

(2) Itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kuacha

mifugo au kusababisha mifugo kuachwa kuzurura

ovyo, barabarani au kuchungwa kwenye eneo

Page 28: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

28

lolote lisiloruhusiwa.

Usafi wa zizi (3) Itakuwa ni wajibu wa kila mfugaji kuhakikisha

kwamba sehemu anayotumia kufugia:-

(a) inakuwa katika hali ya usafi wakati wote;

(b) anakusanya uchafu wowote utokanao na wanyama kama vile kinyesi, manyoya na nyasi au mabaki ya vyakula na kwenda kutupwa kwenye dampo au kupelekwa shambani kama mbolea.

(4) Mtu yeyote atakayetenda kosa kwa chini ya

kifungu hiki atatakiwa kulipa faini isiyozidi laki tatu

(300,000/=) au kifungo kisichozidi miezi kumi na

mbili jela au vyote viwili yaani kifungo na faini.

Uendeshaji wa

biashara ya

Hoteli na Hosteli.

20. (1) Itakuwa ni wajibu wa kila mmiliki wa nyumba za

kulala wageni na hosteli au nyumba za biashara

kuhakisha anapata kibali kutoka Halmashauri kabla

hajaanza biashara.

(2) Endapo mmiliki hajakidhi masharti ya kiafya

Halmashauri inaweza kuzuia kibali cha kuendesha

biashara ya hoteli au hosteli mpaka hapo mmiliki

atakapokuwa amekidhi masharti ya kiafya

yaliyotolewa na Halmashauri.

Mahitaji ya

nyumba ya (3) Kibali cha kuendesha biashara ya nyumba ya kulala

wageni, mgahawa, Hoteli na Hosteli kitatolewa

Page 29: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

29

wageni na

Hosteli baada ya Halmashauri kujiridhisha kuwa mahitaji

yafuatayo yamezingatiwa:-

(a) mwanga na hewa ya kutosha; (b) nafasi na vifaa (samani ) za kutosha; (c) uimara wa jengo; (d) mfumo wa uondoshaji wa maji taka,

miminika na taka ngumu; (e) usafi wa jumla wa jengo na vifaa vyake; (f) utoshelezaji wa vyoo na mabafu kwa jinsi

zote; (g) vifaa vya zima moto; (h) tanki la kuhifadhia maji safi; na (i) vyoo na bafu vimesakafiwa kwa vigae au

marumaru na kuta zake zimewekwa vigae kiasi cha futi sita toka usawa wa sakafu;

(j) Mashuka pea nne, taulo nyeupe na blanketi kila kitanda.

Upimaji wa afya 21. (1) Itakuwa ni wajibu wa kila mhudumu wa hoteli,

mgahawa, baa, bucha sehemu za kuokea mikate,

nyumba za kulala wageni, grosari au mtu yeyote

anayetengeneza chakula kwa ajili ya kuuza kupima

afya zao kila baada ya miezi mitatu (03) na

watalipa ada ya upimaji wa afya kiasi cha shilingi

elfu tatu (Tsh.3, 000/=).

(2) Mmiliki yeyote atakayeruhusu mhudumu yeyote

kufanya kazi bila kupimwa afya yake atawajibika

kulipa faini isiyozidi shilingi elfu hamsini.

Uwezo wa

kukagua. 22. (1) Afisa Muidhiniwa atakuwa na uwezo wa kuingia

katika jengo lolote wakati wowote wakati wa saa

Page 30: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

30

za kazi kukagua utekelezaji wa Sheria Ndogo hizi.

Kufungwa kwa

jengo la biashara

lisilokidhi

masharti ya afya.

(2) Afisa Muidhiniwa atakuwa na uwezo wa kuagiza

kufungwa kwa biashara yoyote au jengo ambalo

halijakaguliwa au lililokaguliwa na kukutwa

limekiuka kanuni na masharti ya afya.

Ada ya ukaguzi

wa afya. 23. (1) Halmashauri itatoza ada ya ukaguzi wa afya

ambayo italipwa kwa mwaka kabla ya mwombaji

kupewa leseni ya biashara.

Viwango vya

ada. (2) Viwango vya ada ya ukaguzi wa afya vitakuwa

kama vilivyoainishwa katika jedwali la pili la Sheria

Ndogo hizi.

Muda wa kulipa

ada. (3)

(4)

Ada ya ukaguzi wa afya italipwa kila mwanzo wa

mwaka wa fedha wa Halmashauri, yaani mwezi

Julai.

Mtu yeyote atakayeshindwa kulipa ada katika

kipindi cha miezi miwili baada ya mwaka wa fedha

kuanza atawajibika kulipa kiwango hicho pamoja

na adhabu ya asilimia hamsini ya kiwango

anachodaiwa.

Page 31: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

31

SEHEMU YA III

UTUPAJI TAKA

Wajibu wa

Halmashauri 24. (1) Halmashauri itatenga eneo maalum kwa ajili ya

kutupia taka (dampo) na kutoa huduma ya uzoaji

taka kwa malipo kutoka kwa wazalishaji hadi

kwenye dampo.

(2) Halmashauri itakuwa na jukumu la kuhamasisha

uundaji wa Vikundi Jamii (CBOs) na kuvitambua ili

kuviwezesha kufanya shughuli za udhibiti wa taka

ngumu pamoja na usafi wa mazingira katika mitaa

baada ya kuingia mkataba na Halmashauri.

Wajibu wa kuwa

na pipa la taka. 25. (1) Itakuwa ni wajibu wa kila mmiliki wa nyumba au

mpangaji au mfanyabiashara kuhakikisha kuwa

ana chombo imara chenye mfuniko kwa ajili

kuhifadhia taka ngumu kabla hazijachukuliwa na

Halmashauri kwa ajili ya kwenda kutupwa.

Kutupa taka

katika sehemu

maalum

(2) Itakuwa ni wajibu wa kila mkazi kuhakikisha

kwamba anatupa uchafu, taka, maganda ya

matunda, mabaki ya vocha za simu katika vyombo

maalum vilivyowekwa kwa ajili ya kutunzia taka

katika maeneo maalum yaliyotengwa.

Marufuku (3) Itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kutupa taka

au uchafu wowote au kuacha kuwepo takataka au

Page 32: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

32

kutupa taka ovyo uchafu kwenye nyumba, uchochoroni, kiwanja,

mfereji wa maji ya mvua, barabara na maeneo ya

nyumba au mahali popote pasipotengwa kwa

shughuli hiyo.

Uhifadhi maji

taka 26. (1) Kila mmiliki wa nyumba anatakiwa kuhakikisha

kuwa ana karo la kuhifadhi maji taka na

atawajibika kunyonya maji taka pale karo linapojaa

na itakapohitajika kunyonya.

Kutiririsha maji

taka (2) Ni marufuku kutitirisha au kuelekeza maji, kutoka

vyooni, bafuni, karoni, baada ya kufua au kuosha

vyombo kwenda barabarani, uchochoroni, mtoni,

kwenye vyanzo vya maji, meneo ya wazi, mfereji

wa maji ya mvua au sehemu yoyote isiyotengwa

kuhifadhi maji taka.

Taka za viwanda 27. (1) Itakuwa ni marufuku kwa kiwanda chochote kutoa

au kusababisha kutoa uchafu wa aina yoyote, maji

machafu au harufu mbaya na kusababisha kero

kwa wakazi wa eneo la Halmashauri.

(2) Ni wajibu wa kila mwenye kiwanda kuhakikisha

kuwa taka kama vile vumbi, maganda, moshi na

takataka nyingine zinazoweza kuleta kero au adha

kwa ujumla haziwafikii wala hazileti madhara kwa

binadamu na viumbe hai wengine .

Page 33: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

33

Uendeshaji wa

viwanda (3) Ni marufuku kuendesha shughuli za karakana,

mashine ya kusaga, kuranda mbao, kukamua maji

ya matunda, kuchomelea vyuma au kuendesha

shughuli yoyote inayozalisha uchafu ambao

unaleta athari kwa binadamu na viumbe wengine

katika maeneo ya makazi ya watu bila kuzingatia

taratibu za ujenzi.

Ada ya uzoaji

taka 28. Halmashauri itatoza ada ya uzoaji taka kutoka kwa

kila kaya au mwenye jengo la biashara kwa

viwango vilivyoainishwa katika jedwali la kwanza la

Sheria Ndogo hizi.

Uteuzi wa

wakala 29. Halmashauri inaweza kuteua kampuni, kikundi,

kikundi cha jamii au Mtu binafsi kutekeleza

majukumu yake chini ya Sheria Ndogo hizi.

SEHEMU YA IV

UJENZI NA MATUMIZI YA VYOO

Wajibu wa kuwa

na choo na

kukitumia

30. (1) Itakuwa ni wajibu wa kila mmiliki wa nyumba au

mpangaji kuhakikisha kwamba nyumba yake ina

choo safi, imara na madhubuti kwa matumizi ya

wakazi wa nyumba hiyo na kuhakikisha kinatumika

wakati wote.

Umbali wa (2) Choo kinatakiwa kijengwe umbali wa mita sitini

Page 34: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

34

kujenga choo (60) kutoka kisima au chanzo chochote cha maji

kinachotumika kwa matumizi ya Nyumbani.

Vyoo vya umma 31 (1) Halmashauri inaweza kumruhusu mtu binafsi,

vikundi vya watu au Taasisi kujenga vyoo vya

Umma (Public toilet) katika maeneo ambayo

Halmashauri itaona kuwa kuna haja ya kufanya

hivyo.

(2) Vyoo hivyo vitamilikiwa na Halmashauri au kwa

ubia na wajenzi na vitakuwa ni vya kulipia kama

itakavyokuwa imeelekezwa na Halmashauri katika

mkataba wake na mawakala watakaopewa

kusimamia vyoo hivyo.

Vyoo vya muda

katika

mikusanyiko

(3) Itakuwa ni wajibu wa mtu, kikundi, Taasisi yenye

lengo la kukutanisha watu kwa madhumuni ya

ujenzi, sherehe au sehemu yoyote ambayo

itakutanisha watu kwa muda maalum endapo

eneo hilo hakuna choo cha kudumu kujenga vyoo

kwa matumizi ya wakati huo kwa idhini na

usimamizi wa Halmashauri.

Vyoo katika

majengo ya

biashara

(4) Kila mmiliki wa jengo la biashara atatakiwa

kujenga vyoo viwili vyenye viwango

vinavyokubalika chini ya Sheria Ndogo hizi kwa ajili

ya matumizi ya jinsi za kike na kiume.

Page 35: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

35

Ilani ya kujenga

choo 32. (1) Endapo katika ukaguzi wa afya itagundulika kuwa

nyumba yoyote haina choo, choo kilichopo

kimejaa au hakifai kwa matumizi ya binadamu,

Afisa Mwidhiniwa atatoa ilani ya siku thelathini

(30) kwa mmiliki wa nyumba au mpangaji

akiainisha masharti ya kurekebisha hali hiyo.

Kufungwa kwa

jengo (2) Bila kuathiri masharti ya kifungu kidogo cha (1)

Halmashauri inaweza kuamuru nyumba au jengo

hilo lisitumike kwa shughuli za makazi au biashara

hadi hapo hali hiyo itakapokuwa imerekebishwa.

Ilani ya kuondoa

kero 33. (1) Endapo Afisa Mwidhiniwa atagundua kuwa eneo

alilokagua lina kero yoyote atatoa ilani ya siku saba

(7) kwa mmiliki wa nyumba, mpangaji, mtumiaji,

na, au mtu yeyote anayehusika akimtaka kuondoa

kero hiyo.

(2) Mtu yeyote atakayeshindwa kutekeleza masharti

ya ilani aliyopewa ndani ya muda ulioainishwa

kwenye ilani atakuwa ametenda kosa.

Mkurugenzi

kuteua mkaguzi 34. (1) Halmashauri inaweza kumteua mtu yeyote kuwa

mkaguzi kwa ajili ya kufanya ukaguzi wa usafi

katika eneo la Halmashauri.

Uwezo wa kutoa

adhabu ya papo (2) Mkaguzi atakuwa na uwezo wa kutoa adhabu ya

papo kwa papo kwa mtu yeyote atakayekutwa

Page 36: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

36

kwa papo amechafua mazingira kwa kutupa takataka mahali

popote pasiporuhusiwa.

(3) Faini itakayotozwa na mkaguzi haitazidi shilingi

elfu hamsini.

Makosa 35. Mtu yeyote atakuwa ametenda kosa endapo:-

(a) atamzuia au kujaribu kumzuia Afisa Muidhiniwa asitekeleze wajibu wake chini ya Sheria Ndogo hizi; au

(b) atamshawishi mtu au kundi la watu kumzuia Afisa Muidhiniwa asitekeleze wajibu wake chini ya Sheria Ndogo hizi;

(c) atamwaga takataka katika mtaa, mtaro wa maji ya mvua, uchochoroni, au mahali popote hadharani au katika eneo lolote la wazi bila idhini ya Halmashauri;

(d) ataendesha biashara ya pombe ndani ya nyumba ya makazi;

(e) atatiririsha maji machafu barabarani au katika eneo la nyumba ya jirani;

(f) ataosha magari, kufua,kunywesha mifugo na kukoroga dawa za mimea ndani ya mito, mabwawa,lambo au ndani ya chanzo au kisima kinachotumika kwa matumizi ya binadamu;

(g) atauza vyakula vilivyopikwa barabarani au nje ya majengo mengine;

(h) atafanya matengenezo ya magari, pikipiki na mitambo, kuendesha shughuli za viwanda katika maeneo ya wazi, makazi, barabarani, uchochoroni, au katika maeneo yasiyotengwa kwa shughuli hizo

Page 37: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

37

bila kuzingatia taratibu; (i) ataanzisha au kufungua karakana katika

majengo au majumba au maeneo ya makazi;

(j) ataenda haja ndogo au kubwa hovyo barabarani, uchochoroni, upenuni au mahali popote ambapo siyo chooni;

(k) Atachinja mfugo au kuuza chakula bila kufuata taratibu;

(l) atashindwa kuhifadhi chakula kwenye kabati safi lililofunikwa na lenye kioo.

Adhabu 36. Mtu yeyote atakayekwenda kinyume na masharti

ya Sheria Ndogo hizi atakuwa ametenda kosa na

akipatikana na hatia atatozwa faini isiyozidi shilingi

laki tatu (300,000) au kifungo kisichozidi miezi

kumi na miwili (12) au adhabu zote mbili kwa

pamoja yaani faini na kifungo.

_______

JEDWALI LA KWANZA

________

Chini ya kifungu cha 28

ADA YA UZOAJI TAKA

Page 38: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

38

Na. Eneo. Kiwango cha ada

kwa mwezi.

1. Nyumba za kuishi au makazi kwa kaya 1,000/=

2. Nyumba za kulala Wageni 2,000/=

3. Maduka 1,500/=

4. Mgahawa, Mama, baba Lishe 1,000/=

5. Hoteli, Baa, Grosari 2,000/=

6. Vibanda au meza za biashara 1,000/=

7. Wachoma chips, kuku, nyama 1,500/=

8. Saluni 1,000/=

9. Mafundi Seremala, samani na gereji 5,000/=

10. Wauza mbao au karakana za kuranda mbao 5,000/=

11. Ofisi au Taasisi 3,000/=

Page 39: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

39

_______

JEDWALI LA PILI

_______

Chini ya kifungu cha 23 (2)

ADA YA UKAGUZI WA AFYA

Na. Aina ya biashara Ada kwa mwaka

1. Baa na maduka ya vinywaji (Groceries) 5,000/=

2. Migahawa na Mama Lishe 2,500/=

3. Nyumba za wageni (Guest House) na Hoteli 10,000/=

4. Kumbi za starehe au mikutano 10,000/=

5. Majengo mengine ya biashara 5,000/=

_________

JEDWALI LA TATU

_________

Chini ya kifungu cha 32

Page 40: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

40

HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI

ILANI YA KUJENGA CHOO

Ilani hii imetolewa kwa mujibu wa kifungu cha 32 cha Sheria Ndogo za (Afya na Usafi wa

Mazingira) za Halmashauri ya Wilaya ya masasi, 2017.

SEHEMU ‘A’

Ndugu…………………...............wa Mtaa……………Kata ya…………………………...

Unaarifiwa kwamba katika ukaguzi uliofanyika Tarehe……mwezi………..mwaka…….

Katika nyumba yako ya Biashara/kuishi/kutolea Huduma*/ Namba………… iliyopo eneo

la ………………katika Kitongoji/Mtaa*……….……………Kata ya……………....

Imekuwa haina choo/ choo kimejaa/kimeharibika* hivyo unaamriwa kutekeleza mambo

yafuatayo;

(1) ………………………………………………………………………………… (2) ………………………………………………………………………………… (3) ………………………………………………………………………………… (4) …………………………………………………………………………………

SEHEMU ‘B’

Unapewa muda wa siku thelathini (30) tu tangu siku ya kupokea ilani hii kutekeleza

maelekezo yote yaliyoelezwa katika sehemu ‘A’ ya Ilani hii.

SEHEMU ‘C’

Page 41: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

41

Ukaguzi wa kuthibitisha utekelezaji wa maelekezo uliyopewa utafanyika

tarehe……………….endepo utashindwa kutekeleza maelekezo ndani ya muda uliopewa

Halmashauri itakuchukulia hatua kali za kisheria bila kukupa taarifa nyingine.

………………………………..

AFISA MUIDHINIWA

IMETOLEWA NA; IMEPOKELEWA NA;

Jina;………………………. Jina;………………………………….

Saini……………………… saini………………………………....

Wadhifa…………………... wadhifa……………………………..

Tarehe…………………….. Tarehe……………………………...

______

JEDWALI LA NNE

______

(Chini ya kifungu cha 33 )

HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI

Page 42: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

42

ILANI YA KUONDOA KERO

Ilani hii imetolewa kwa mujibu wa Sheria Ndogo za Afya na Usafi wa Mazingira za

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, 2017.

SEHEMU ‘A’

Ndugu…………………...............wa Mtaa……………Kata ya…………………

Unaarifiwa kwamba katika ukaguzi uliofanyika Tarehe……mwezi………..mwaka….

Katika nyumba yako ya Biashara/kuishi/kutolea Huduma/kiwanja* iliyopo eneo

la………………………………………………………………………………kumekutwa

machukizo/kero/uchafu*; kama ifuatavyo:-

1) ………………………………………………………………………………….. 2) ………………………………………………………………………………….. 3) ………………………………………………………………………………….. 4) …………………………………………………………………………………..

SEHEMU ‘B’

Kwa ilani hii unaamriwa kurekebisha/kuondoa/kusafisha* kwa:-

1. ………………………………………………………………………………….. 2. …………………………………………………………………………………. 3. ………………………………………………………………………………….. 4. …………………………………………………………………………………..

SEHEMU ‘C’

Page 43: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

43

Unapewa muda wa siku saba (7) tangu siku ya kupokea ilani hii, unatakiwa kutekeleza

yote yaliyoelezwa katika sehemu ‘B’ ya Ilani hii, kushindwa kwako kutekeleza ndani ya

muda uliopewa Halmashauri italazimika kukuchukulia hatua kali za kisheria bila

kulazimika kukupa taarifa nyingine.

…………………………………..

AFISA MUIDHINIWA

IMETOLEWA NA; IMEPOKELEWA NA;

Jina;………………………. Jina;………………………………….

Saini……………………… saini………………………………....

Wadhifa…………………... wadhifa……………………………..

Tarehe…………………….. Tarehe……………………………...

*Futa lisilohusika

Mhuri wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi umewekwa katika Lakiri ya Sheria

Ndogo hizi kufuatia Mkutano wa Baraza la Madiwani ulioketi Halmashauri leo

tarehe 29 mwezi 10 mwaka 2014 mbele ya Wafuatao:-

CHANGWA M. MKWAZU,

Mkurugenzi Mtendaji

Page 44: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

44

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

JUMA M. SATMAH,

Mwenyekiti

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

NAKUBALI

Dodoma, MHE. GEORGE B. SIMBACHAWENE (MB.),

13 Julai, 2017 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala

za Mikoa na Serikali za Mitaa

Tangazo la Serikali Na. 252 la tarehe 28/07/2017

SHERIA YA SERIKALI ZA MITAA (MAMLAKA

ZA WILAYA)

(SURA YA 287)

_______

Page 45: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

45

KANUNI ZA KUDUMU

_______

Zimetungwa chini ya kifungu cha 70(1)

_______

KANUNI ZA KUDUMU ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI

ZA MWAKA 2017

YALIYOMO

SEHEMU YA I

MASHARTI YA MWANZO

1. Jina na tarehe ya kuanza kutumika 2. Tafsiri ya maneno yaliyotumika

SEHEMU YA II

MIKUTANO YA HALMASHAURI

3. Mikutano ya Kawaida ya Halmashauri 4. Mkutano Maalum wa Halmashauri 5. Mkutano wa Bajeti 6. Mkutano wa mwaka 7. Taarifa za mikutano 8. Akidi katika mikutano ya Halmashauri.

Page 46: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

46

SEHEMU YA III

TARATIBU ZA MIKUTANO

9. Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri

10. Uongozi wa Mikutano ya Halmashauri 11. Kumbukumbu ya mahudhurio 12. Kuruhusu watu na Vyombo vya Habari

kwenye Mikutano ya Halmashauri

13. Utaratibu wa shughuli za Mikutano 14. Kuthibitisha muhtasari 15. Hoja za Mwenyekiti 16. Taratibu za Majadiliano 17. Fujo zinazosababishwa na Wajumbe. 18. Fujo zinazosababishwa na Umma 19. Hoja za Marekebisho ya Hoja 20. Hoja zinazoweza kutolewa bila taarifa. 21. Haki ya kujibu 22. Maswali 23. Maswali ya papo kwa papo 24. Taarifa za Kamati 25. Taarifa kutoka kwenye Kata 26. Uhuru wa Kutoa mawazo wakati wa

majadiliano 27. Kauli zenye kashfa 28. Maamuzi ya Mikutano ya Halmashauri 29. Mwaliko kwa wasiokuwa Wajumbe

kushiriki na kuzungumza kwenye vikao vya Halmashauri

30. Mihtasari ya Kata na Vijiji 31. Mihtasari kupelekwa kwa Mkuu wa Wilaya

na Mkuu wa Mkoa

Page 47: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

47

32. Hoja kuhusu matumizi 33. Kupokelewa kwa taarifa ya Kamati 34. Kuidhinishwa kwa taarifa ya Kamati 35. Uhalali wa majadiliano ya Halmashauri 36. Uwezo wa Halmashauri kujigeuza kuwa

Kamati ya Halmashauri nzima.

37. Hoja zinazohusu watumishi wa Halmashauri

38. Kushiriki kwa Umma 39. Uahirishaji wa Vikao

SEHEMU YA IV

KAMATI

40. Kamati za Kudumu 41. Mwenyekiti kuwa Mjumbe wa Kamati zote 42. Uwezo wa Kamati 43. Kamati za Pamoja 44. Kukasimu madaraka kwenye Kamati 45. Kamati Ndogo 46. Mikutano ya Kamati 47. Mwenyekiti wa Kamati 48. Mkutano Maalum wa Kamati 49. Ajenda za Kamati 50. Mahudhurio katika mikutano ya Kamati 51. Mtoa hoja kualikwa kwenye Mkutano wa

Kamati 52. Waalikwa wasiokuwa Wajumbe

kuhudhuria na kushiriki katika mikutano ya Kamati

53. Mahudhurio ya Umma na Vyombo vya Habari kwenye Mikutano ya Kamati na Kamati Ndogo

54. Athari za nafasi wazi kwenye Kamati

Page 48: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

48

55. Akidi kwenye Mikutano ya Kamati 56. Kanuni za Kudumu kutumika katika

mikutano ya Kamati 57. Upigaji kura kwenye mikutano ya Kamati 58. Muhtasari wa Kamati 59. Kufikiriwa upya maamuzi 60. Kutunza siri za majadiliano ya Kamati na

Kamati Ndogo 61. Kujiuzulu wadhifa wa Mwenyekiti wa

Kamati 62. Kujiuzulu ujumbe wa Kamati na kujazwa

kwa nafasi iliyoachwa wazi.

SEHEMU YA V

UNUNUZI WA VIFAA, UPATIKANAJI WA

HUDUMU NA UJENZI

63. Taratibu za uagizaji 64. Kumbukumbu za majadiliano yanayohusu

uagizaji 65. Uzuiaji wa rushwa 66. Usimamizi wa Mikataba 67. Uvunjaji wa Mikataba 68. Rejesta ya Mikataba 69. Diwani au Afisa kutokuwa na maslahi

kwenye Mikataba

SEHEMU YA VI

MASUALA MENGINE

70. Kiapo cha kukubali wadhifa 71. Majukumu ya Diwani

Page 49: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

49

72. Nafasi wazi 73. Kutokuwepo kwa Wajumbe 74. Taratibu za kutunga Sheria Ndogo 75. Ukaguzi wa nyaraka 76. Uanzishaji wa Bodi ya Huduma 77. Diwani kutembelea maeneo, shughuli

mbalimbali za ujenzi 78. Uhifadhi wa lakiri ya Halmashauri 79. Utiaji muhuri kwenye nyaraka 80. Uandikishaji wa anwani 81. Uteuzi wa Wajumbe kwenye Taasisi za nje 82. Kumwondoa Mwenyekiti madarakani

SEHEMU YA VII

POSHO KWA WAJUMBE

83. Aina za posho 84. Posho iwapo Mkutano umeahirishwa

SEHEMU YA VIII

MABADILIKO KWENYE KANUNI ZA KUDUMU

85. Kusitisha utumiaji wa Kanuni za Kudumu 86. Marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za

Kudumu 87. Kanuni za Kudumu kutolewa kwa

Wajumbe 88. Kutafsiri Kanuni za Kudumu 89. Ziara za Wajumbe 90. Dua/sala ya kuiombea Halmashauri

Page 50: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

50

Page 51: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

51

SEHEMU YA 1

MASHARTI YA MWANZO

KWA KUWA Kauli-mbiu ya Halmashauri ni kuendesha shughuli kwa

namna inayozingatia demokrasia, ufanisi, tija, ushirikishwaji, uwazi

na uwajibikaji:

NA KWA KUWA jukumu la Halmashauri ni kuimarisha demokrasia

katika ngazi zote na kutoa huduma kwa wananchi kwa kuzingatia

ufanisi, usawa, haki na kwa namna inayochochea maendeleo ya

maeneo yaliyo chini ya mamlaka ya Halmashauri kwa kuwashirikisha

wananchi:

NA KWA KUWA madhumuni ya Kanuni za Kudumu ni kuweka

utaratibu wa namna Halmashauri itakavyoendesha mikutano na

shughuli zake kwa kuzingatia misingi ya utawala bora:

SASA BASI, Kanuni za Kudumu hizi zinaelekeza ifuatavyo:

Jina na

tarehe ya

Kuanza

kutumika

1. Kanuni hizi zitaitwa Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi za mwaka 2017 na zitaanza kutumika mara baada ya kutangazwa kwenye Gazeti la Serikali.

Tafsiri 2. Katika Kanuni hizi isipokuwa kama itaelezwa vinginevyo:

“Afisa wa Serikali za Mitaa” maana yake ni mtu ambaye ameajiriwa

Page 52: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

52

au ambaye yumo katika utumishi wa Mamlaka ya Serikali za

Mitaa na ambaye anashika au anakaimu katika nafasi ya

menejimenti;

“Diwani” maana yake ni Mjumbe wa Halmashauri aliyetajwa kwa

mujibu wa kifungu 35 cha Sheria ya Serikali za Mitaa

(Mamlaka za Wilaya) Sura ya 287;

“Fujo” maana yake ni kitendo chochote kinachoweza kufanywa na

Mjumbe au Mshiriki wa Kikao cha Halmashauri au Kamati ya

Kudumu ambacho ni kinyume na taratibu za uendeshaji wa

vikao, kinachoweza kuvuruga kikao. Mfano kuongea bila

ruhusa ya Mwenyekiti, kutoa lugha isiyofaa, kutoa kauli yenye

maudhi, kuingia kwenye kikao akiwa umelewa, kuingia na

silaha au kutoa lugha ya kashfa, matusi, kejeli au kukaidi amri

ya Mwenyekiti, kukaidi kutoka nje pale anapoamriwa kutoka

kutokana na fujo alizosababisha;

“Halmashauri” maana yake ni Halmashauri ya Wilaya ya Masasi;

“Kamati”

(a) Inapotumika kuhusiana na Halmashauri ina maana ya Kamati iliyoanzishwa au iliyoteuliwa na Halmashauri chini ya Sheria;

(b) Inapotumika kuhusiana na Kamati ya Maendeleo ya Kata ina maana ya Kamati hiyo;

(c) Inapotumika kuhusiana na Kamati Ndogo maana yake ni Kamati Ndogo hiyo iliyoteuliwa na Kamati;

(d) Inapotumika kuhusiana na Kamati nyingine ina maana ya Kamati hiyo;

Page 53: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

53

“Mamlaka ya Mji mdogo” maana yake ni Mamlaka ya Mji Mdogo

ulioanzishwa chini ya kifungu 13 cha Sheria;

“Mkurugenzi” maana yake ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri

ya Wilaya ya Masasi au Afisa yeyote aliyeteuliwa kutekeleza

majukumu ya Mkurugenzi;

“Mjumbe” maana yake ni Mjumbe wa Halmashauri kama

ilivyoainishwa na kifungu cha 35 cha Sheria;

“Mwenyekiti”

(a) Kwa madhumuni ya Halmashauri maana yake ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, na inajumuisha Makamu Mwenyekiti wakati anapotekeleza majukumu ya Mwenyekiti kwa mujibu wa Kanuni hizi;

(b) Kwa madhumuni ya Kamati, Bodi au Kamati Ndogo maana yake ni Mwenyekiti wa Kamati, Bodi au Kamati Ndogo;

(c) Kwa maana ya Bodi ya Zabuni ni Mwenyekiti wa Bodi ya Zabuni;

“Sheria” maana yake ni Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za

Wilaya) Sura ya 287;

“Waziri” maana yake ni Waziri mwenye dhamana ya Serikali za

Mitaa.

Page 54: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

54

SEHEMU YA II

MIKUTANO YA HALMASHAURI

Mikutano

ya

Kawaida

ya Halma-

shauri

3.-(1) (a) Mikutano ya Kawaida ya Halmashauri itafanyika mara

moja kila baada ya miezi mitatu, na itafanyika mahali, tarehe na

katika muda kama utakavyokuwa umepangwa katika kalenda ya

mikutano ya Halmashauri;

(b) Mikutano ya kawaida ya Halmashauri itatanguliwa na vikao

vya Kamati za Kudumu za Halmashauri.

Mkutano

wa

kwanza

wa

Halma-

shauri

(2).-(a)Mkutano wa kwanza wa kawaida wa Halmashauri

utafanyika baada ya Tume ya Uchaguzi kutangaza matokeo ya

uchaguzi wa Madiwani wa Kata na uteuzi wa Madiwani wa Viti

Maalumu na utafanyika mahali, siku na katika muda utakaopangwa

na Mkurugenzi, ilimradi Mkurugenzi atapaswa kuitisha Mkutano

huo ndani ya siku thelathini kuanzia tarehe ya matokeo ya uchaguzi

wa Madiwani wa Kata na Uteuzi wa madiwani Viti Maalum

yanapotangazwa na Tume ya Uchaguzi ambapo moja ya ajenda za

Mkutano huo ni kumchagua Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti na

Wajumbe wa Kamati za Kudumu za Halmashauri;

(b) Katika Mkutano huo Mkurugenzi wa Halmashauri

atawasilisha Taarifa ya kumbukumbu ya maamuzi ya utekelezaji

wa shughuli za Halmashauri zilizofanyika katika kipindi ambacho

Baraza la madiwani lilivunjwa. Wajumbe wa Baraza watapokea

na kujadili bila kubatilisha maamuzi yaliyokwisha amuliwa ili

kudhihirisha uhalali wake.

Page 55: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

55

Utaratibu

wa

uchaguzi

(3) Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti utafanyika

kwa kupiga kura za siri na upigaji wa kura utafanyikia sehemu ya

faragha umbali usiopungua mita (5) kutoka kwa Msimamizi wa

Uchaguzi na mpigaji kura atachukua karatasi ya kupiga kura kutoka

kwa Msimamizi wa Uchaguzi.

Mkutano

Maalum

wa

Halma-

shauri

4.-(1) Mkutano Maalum wa Halmashauri unaweza kuitishwa na

Mwenyekiti ndani ya siku ishirini na moja baada ya kupokea

maombi ya maandishi yaliyosainiwa na si pungufu ya theluthi moja

ya Wajumbe wote kutaka Mkutano huo ufanyike na maombi hayo

yaeleze wazi madhumuni ya kuitishwa kwa Mkutano Maalum huo.

(2) Iwapo Mwenyekiti anakataa kuitisha Mkutano Maalum wa

Halmashauri baada ya kupokea maombi ya kutakiwa kufanya

hivyo,maombi yaliyosainiwa na Wajumbe wa Halmashauri

wasiopungua theluthi moja ya Wajumbe wote wakionyesha sababu

ya kuitisha Mkutano huo Maalum na kuwasilishwa kwake, au iwapo

bila kukataa, Mwenyekiti, ndani ya kipindi cha siku saba ataendelea

kutoitisha Mkutano huo Maalum baada ya kupokea ombi la kuitisha

Mkutano huo Maalum, basi theluthi mbili ya Wajumbe waliotia saini

na kuwasilisha kwa Mkurugenzi wanaweza kuitisha Mkutano huo

Maalum mara moja.

(3) Endapo ajenda ya Mkutano huo itahusu kumuondoa

madarakani Mwenyekiti, Mkutano huo utaitishwa na Mkurugenzi

Page 56: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

56

baada ya kupokea maombi yaliyosainiwa na Wajumbe wa

Halmashauri wasiopungua theluthi mbili ya Wajumbe wote.

(4) Baada ya Mkurugenzi kupata taarifa ya kutaka kufanyika kwa

Mkutano wa kujadili ajenda ya kumuondoa madarakani Mwenyekiti,

Mkurugenzi atamtaarifu Mwenyekiti tuhuma na sababu za kutaka

kuondolewa uenyekiti na kumtaka aandae majibu ya tuhuma ndani

ya siku Tano (5) baada ya kupokea tuhuma hizo.

(5) Mkurugenzi katika muda wa siku Tatu (3) baada ya kupokea

maelezo ya utetezi kutoka kwa Mwenyekiti, atawasilisha kwa Mkuu

wa Mkoa tuhuma pamoja na maelezo ya utetezi.

(6) Mkuu wa Mkoa katika muda wa siku tano (5) baada ya

kupokea taarifa ataunda Timu ya Uchunguzi ambayo itakua na

wajumbe wasiopungua watatu (3) na wasiozidi watano (5).

(7) Timu ya Uchunguzi itatakiwa kukamilisha Uchunguzi katika

muda wa siku kumi na nne (14) na kuwasilisha taarifa hiyo kwa

Mkuu wa Mkoa.

(8) Baada ya Mkuu wa Mkoa kupata taarifa ya Timu ya

Uchunguzi atairudisha Taarifa hiyo kwa Mkurugenzi wa Halmashauri

ambaye naye katika muda wa siku kumi na Nne (14) ataiwasilisha

kwenye Kikao cha Baraza kwa uamuzi wa tuhuma hizo.

Kifungu

cha 36(5)

Sura 287

(9) Endapo Mwenyekiti hataridhika na uamuzi wa Baraza, atakata

rufaa kwa Waziri kuhusu utaratibu uliotumika kumuondoa

madarakani na siyo vinginevyo.

Page 57: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

57

Utaratibu

wa

kuwasili-

sha rufaa

(10) Utaratibu utakaotumika kuwasilisha na kushughulikia rufaa

iliyowasilishwa na Mwenyekiti ni ule ulioelezwa kwenye Taratibu za

kumuondoa Madarakani Mwenyekiti wa Halmashauri wa Wilaya.

(11) Taarifa ya Mkutano Maalum itatolewa angalau saa ishirini

na nne kabla ya Mkutano.

(12) Hakuna shughuli nyingine yoyote itakayojadiliwa katika

Mkutano Maalum wa Halmashauri isipokuwa ile tu iliyoelezwa

kwenye taarifa ya kuitishwa kwa Mkutano huo.

Mkutano

wa Bajeti 5. Kutakuwepo na Mkutano wa Bajeti wa Halmashauri

utakaofanyika kwa muda wa siku mbili mfululizo na utafanyika

miezi miwili kabla ya mwaka wa fedha kumalizika na utajadili

mambo yafuatayo:-

(a) Utekelezaji wa Mipango na Bajeti ya mwaka uliopita;

(b) Mipango na Bajeti ya mwaka unaofuata.

Mkutano

wa

Mwaka

6.-(1) (a) Mkutano wa Mwaka wa Halmashauri utafanyika

tarehe, mahali na muda utakaopangwa na Halmashauri katika

kalenda ya Mikutano na utaitishwa na Mkurugenzi baada ya

kuwasiliana na Mwenyekiti wa Halmashauri.

(b) Mikutano yote ya Baraza itapangwa na Baraza la Madiwani

kwa kuzingatia ratiba ya Vikao vya Bunge ili kuwezesha Wabunge

kuhudhuria Mikutano ya Baraza la Madiwani;

Page 58: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

58

(c) Endapo italazimika kuitishwa kwa Mkutano wa Baraza

wakati wa Vikao vya Bunge, Mkurugenzi atamjulisha au atawajulisha

Wabunge husika kuhusu kikao hicho ili wahudhurie.

(2) Mkutano wa Kwanza wa Uchaguzi wa Mwenyekiti, Makamu

Mwenyekiti na Wajumbe wa Kamati utaongozwa na Katibu Tawala

wa Wilaya na Mkurugenzi wa Halmashauri atakuwa Katibu.

(3) Katika Mkutano wa kawaida wa mwaka, Halmashauri itajadili

mambo yafuatayo:-

(a) kumchagua Makamu wa Mwenyekiti;

(b) kuteua Wajumbe wa Kamati za Kudumu;

(c) kujadili taarifa ya utendaji na uwajibikaji wa Halmashauri kwa mwaka uliopita;

(d) kupitisha ratiba ya vikao vya Halmashauri na Kamati za Halmashauri.

Taarifa za

Mkutano 7.-(1) Mkurugenzi atatoa taarifa ya Mkutano kwa maandishi

kwa kila Mjumbe katika muda usiopungua siku saba akieleza mahali,

siku na saa ya Mkutano unaokusudiwa na mambo yatakayojadiliwa

katika Mkutano huo.

(2) Taarifa ya Mkutano itaambatana na nyaraka au

Page 59: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

59

kumbukumbu muhimu zitakazotumika katika Mkutano huo.

(3) Isipokuwa kwa idhini ya Mwenyekiti na/au ya idadi ya

Wajumbe isiyopungua robo tatu ya Wajumbe waliohudhuria

Mkutano, hakuna shughuli yoyote itakayofanywa katika Mkutano

wa Halmashauri mbali na shughuli zilizotajwa katika mwaliko wa

Mkutano huo.

Akidi

katika

mikutano

ya Halma-

shauri

8.-(1) Hakuna Mkutano wa kawaida wa Halmashauri

utakaofanyika isipokuwa kama kutakuwepo idadi ya Wajumbe

isiyopungua nusu ya Wajumbe wote waliohudhuria na kujiandikisha

kwenye daftari la mahudhurio.

(2) Akidi katika mikutano Maalum ya Halmashauri itakuwa ni

theluthi mbili ya Wajumbe wote wa Halmashauri na itahesabiwa

wakati wa ufunguzi wa Mkutano.

(3) Akidi katika Mkutano wa kawaida wa mwaka na Mkutano wa

kwanza wa Halmashauri itakuwa theluthi mbili ya Wajumbe wote

wa Halmashauri.

(4) Endapo Wajumbe waliohudhuria Mkutano hawatafikia akidi

ya Mkutano, Mkurugenzi atauahirisha Mkutano huo na kuuitisha

tena ndani ya siku saba (7) na endapo akidi haitatimia tena, idadi

yoyote ya Wajumbe waliohudhuria itatengeneza akidi ya Mkutano

na Mkurugenzi atamjulisha Waziri kuwepo kwa hali hiyo.

Page 60: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

60

SEHEMU YA III

TARATIBU ZA MIKUTANO

Uchaguzi

wa

Mwenye-

kiti na

Makamu

Mwenye-

kiti wa

Halma-

shauri

9.-(1) Mwenyekiti na Makamu wa Mwenyekiti watachaguliwa na

Wajumbe, kutokana na Wajumbe wa Halmashauri kwa kura ya siri

itakayopigwa na Mjumbe mmoja mmoja kwenye eneo la faragha

litakalotengwa umbali usiopungua mita 5 kutoka mahali alipoketi

Msimamizi wa Uchaguzi.

(2) Mjumbe kabla ya kwenda sehemu ya faragha kwa ajili ya

kupiga Kura, atapatiwa na Msimamizi wa Uchaguzi karatasi ya

kupigia Kura kutoka kwenye chombo Maalum kitakachowekwa

mbele ya Msimamizi wa Uchaguzi, na atakwenda moja kwa moja

kupiga kura yake kwenye sehemu ya faragha.

(3) Mtu atatangazwa kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti au Makamu

wa Mwenyekiti iwapo atapata zaidi ya nusu ya kura zilizopigwa.

(4) Iwapo wakati wa kumchagua Mwenyekiti au Makamu wa

Mwenyekiti jina moja tu limependekezwa, Wajumbe watapiga kura

za siri za “ndiyo” au “hapana” na endapo kura za “ndiyo” zitazidi

asilimia hamsini ya kura zote zilizopigwa basi mgombea

atatangazwa kuwa Mwenyekiti au Makamu wa Mwenyekiti.

Page 61: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

61

(5) Iwapo kura za “Hapana” zitazidi asilimia hamsini ya kura zote

zilizopigwa, jina la mgombea mwingine litapendekezwa kwa njia na

utaratibu uliotumika hapo awali.

(6) Iwapo kura zitafanana, uchaguzi utarudiwa kwa mara ya pili

na endapo hata baada ya kurudia uchaguzi, kura zitafanana, Baraza

litaamua kugawa muda wa kuwa madarakani kwa wagombea hao

ambao kura zao zimefanana.

(7) Kama itatokea nafasi wazi ya Mwenyekiti au Makamu wa

Mwenyekiti, Halmashauri itamchagua Mwenyekiti au Makamu

Mwenyekiti katika muda wa siku zisizozidi sitini tangu nafasi hiyo

ilipotokea kuwa wazi.

Uongozaji

wa

Mikutano

ya Halma-

shauri

10.-(1) Mkutano wa Halmashauri utaongozwa na:-

(a) Mwenyekiti; au

(b) kama Mwenyekiti hayupo, Makamu wa Mwenyekiti; au

(c) Kama Mwenyekiti na Makamu wa Mwenyekiti wote hawapo, au kama Mwenyekiti na Makamu wa Mwenyekiti wote hawawezi kuongoza Mkutano, Mjumbe yeyote atachaguliwa kutoka miongoni mwa Wajumbe waliohudhuria kwa ajili ya kuongoza Mkutano huo;

(d) Wajumbe walikuwa ndani ya ukumbi wa mikutano wa Halmashauri watavaa mavazi Maalum yaliyochaguliwa na kushonwa Maalum kwa ajili hiyo;

(e) Endapo vazi Maalum lililochaguliwa na Halmashauri ni joho

Page 62: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

62

basi litavaliwa juu ya vazi la Mjumbe, na endapo Halmashauri haina joho basi Mjumbe atavaa vazi la heshima;

(f) Sare za Chama, nguo za jeans, kofia zisizohusiana na Dini hazitaruhusiwa kuvaliwa wakati wa Mikutano ya Halmashauri na vikao vya Kamati za Kudumu za Halmashauri;

(g) Vazi rasmi la Mwenyekiti na Mkurugenzi na Makamu Mwenyekiti litakuwa lenye kuonyesha rangi za Bendera ya Taifa na mazao yanayolimwa kwa wingi katika eneo la Halmashauri kadri Halmashauri itakavyoona inafaa. Hata hivyo, Kanuni hii haitaathiri majoho ambayo yanatumika kabla ya Kanuni hii;

(h) Endapo katika Mkutano huo Halmashauri itajigeuza kuwa Kamati, Wajumbe watavua majoho;

(i) Endapo Baraza litajigeuza kuwa Kamati taratibu za kuendesha Vikao vya Kamati zitatumika na Kikao hicho kitakuwa cha siri.

(2) Madaraka au jukumu lolote la Mwenyekiti kuhusiana na

uendeshaji wa mikutano yanaweza kutekelezwa na mtu

anayeongoza Mkutano huo.

(3) Halmashauri itatenga siku mbili kila wiki kwa ajili ya

Mwenyekiti kufika ofisini na kutekeleza majukumu yafuatayo:-

Page 63: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

63

Kumbu-

kumbu ya

Mahu-

dhurio

(a) kusikiliza matatizo ya Wananchi;

(b) kupata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi kuhusu uendeshaji wa shughuli za Halmashauri ikiwa ni pamoja na masuala ya manunuzi;

(c) kusaini mikataba mbalimbali ya Halmashauri;

(d) kushughulikia jambo ambalo Mkurugenzi ataona linahitaji kushughulikiwa au kutekelezwa na Mwenyekiti.

11.-(1) Kila Mjumbe anayehudhuria Mkutano wa Halmashauri au

Kamati yoyote ya Halmashauri ambamo yeye ni Mjumbe

hatahudhuria Mkutano huo mpaka awe ameweka saini yake kwenye

Rejesta ya mahudhurio inayotunzwa na Mkurugenzi kwa ajili hiyo.

(2) Isipokuwa siku ya kufanyika kwa Mikutano ya Baraza au

Kamati ambayo Diwani ni Mjumbe au pale atakapoitwa kutekeleza

majukumu ya Serikali, si ruhusa kwa Diwani kuwa katika ofisi za

Halmashauri na kufanya shughuli ambazo hazihusiani na

Halmashauri au Serikali.

Kuruhusu

Watu na

Vyombo

vya

Habari

Kwenye

Mikutano

ya Halma-

shauri

12.-(1) Mikutano ya Halmashauri itakuwa wazi kwa watu wote

pamoja na vyombo vya habari.

(2) Halmashauri itapaswa kuutangazia umma kuhusu muda,

wakati na mahali pa Mkutano na italiweka tangazo hilo mahali

panapo onekana kwa urahisi katika eneo la Halmashauri siku

Page 64: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

64

zisizopungua tatu (3) kabla ya siku ya Mkutano.

(3) Endapo Mkutano utakaoitishwa ni wa dharura au

umeitishwa chini ya siku tatu (3) zilizotajwa katika Kanuni ya 12(2);

Halmashauri itatangazia umma kupitia matangazo katika mbao za

matangazo na kutumia vipasa sauti.

Utaratibu

wa

Shughuli

za

Mikutano

13.-(1) Isipokuwa kama Halmashauri, kutokana na sababu za

dharura, itaamua kubadili utaratibu wa shughuli za mikutano,

utaratibu wa shughuli katika kila Mkutano wa kawaida wa

Halmashauri utakuwa kama ifuatavyo:-

(a) Mwenyekiti akiongozwa na Katibu ataingia ukumbini baada

ya mratibu wa vikao kutoa ishara Maalum kuashiria

Mwenyekiti kuingia ukumbini na Wajumbe watasimama na

kukaa kimya mpaka pale Mwenyekiti atakaporuhusu

Wajumbe kukaa;

(b) mkutano utaanza kwa Sala au Dua itakayosomwa na

Mwenyekiti;

(c) baada ya Sala/Dua kusomwa Mkurugenzi na Mwenyekiti wa Halmashauri watajibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa Wajumbe wa Baraza la madiwani kwa utaratibu na mpangilio kama ilivyooneshwa kwenye Kanuni hizi;

(d) kupokea na kujadili taarifa za kwenye Kata kutoka kwa Madiwani wa Kata husika;

(e) kujadili jambo lolote linalotakiwa kwa mujibu wa Sheria kushughulikiwa kabla ya shughuli nyingine yoyote;

Page 65: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

65

(f) Kupokea taarifa yoyote inayopaswa kupokelewa kisheria kabla ya shughuli nyingine yoyote;

(g) kusoma au kuthibitisha muhtasari wa Mkutano wa kawaida wa Halmashauri uliopita na mikutano yoyote Maalum ya Halmashauri iliyofanyika baada ya Mkutano huo wa kawaida. Hata hivyo iwapo nakala za mihtasari zimesambazwa kwa kila Mjumbe kabla au wakati wa kupeleka taarifa ya kuhudhuria Mkutano, mihtasari hiyo itachukuliwa kuwa imesomwa;

(h) kupokea taarifa yoyote ambayo Mwenyekiti atapenda itolewe kwa Halmashauri;

(i) kujibu maswali kufuatana na Kanuni ya 21 ya Kanuni hizi;

(j) kumalizia shughuli yoyote iliyobaki katika Mkutano wa kawaida uliopita;

(k) kupokea na kufikiria taarifa za Kamati za Halmashauri, kutoka kwa Wenyeviti wa Kamati ambao watahusika kujibu maswali ya Wajumbe kuhusiana na kazi za Kamati husika;

(l) kupokea na kujadili taarifa kutoka kwa Mkurugenzi wa Halmashauri;

(m) kuidhinisha utiaji Lakiri katika Hati;

(n) kufikiria hoja binafsi kufuatana na jinsi zilivyopokelewa; na

Page 66: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

66

(o) kushughulikia mambo mengine yaliyoonyeshwa katika taarifa ya Mkutano.

(2) Halmashauri inaweza katika Mkutano wowote wa kawaida,

kubadili utaratibu wa hoja za mazungumzo ili kutoa kipaumbele kwa

shughuli yoyote ambayo kwa maoni ya Mwenyekiti ina uharaka wa

pekee, lakini mabadiliko hayo hayatabadilisha mpangilio wa

shughuli zilizotajwa katika aya (a) na (b) za Kanuni ya 13(1) ya

Kanuni hii.

Kuthibiti-

sha

Muhtasari

14.-(1) Katibu ataandika muhtasari wa mazungumzo ya kikao

unaozingatia majina ya Wajumbe waliohudhuria na wasiohudhuria,

jina la mtoa hoja, aliyeunga mkono hoja, mabadiliko ya hoja kwa

ufupi, ushauri uliotolewa na azimio lililofikiwa. Muhtasari huo

utasomwa, kurekebishwa, kuthibitishwa na kusainiwa na

Mwenyekiti wa Mkutano na kutunzwa katika Rejesta Maalum ya

mihtasari.

(2) Mara baada ya kusoma Muhtasari, au kama itachukuliwa

kama umesomwa Mwenyekiti atauliza swali “Je Muhtasari wa

Mkutano wa Halmashauri wa tarehe…………… ya mwezi………….

Mwaka……..utiwe saini kama kumbukumbu sahihi?”

(3) Hakuna hoja au majadiliano yatakayofanywa kuhusiana na

muhtasari isipokuwa kuhusiana na usahihi wa muhtasari, kama

hakuna swali lililoulizwa, basi mara baada ya kuthibitishwa

Mwenyekiti atatia saini katika muhtasari huo.

(4) Muhtasari ambao utakuwa umesainiwa vilivyo na kama

Page 67: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

67

hakuna ushahidi wa kuwepo kwa makosa utakuwa kumbukumbu

sahihi na Mkutano utahesabika kuwa umeitishwa na kufanyika

vilivyo na Wajumbe waliohudhuria watahesabika kuwa halali.

(5) Mihtasari ya Halmashauri itakuwa wazi kwa Ukaguzi na

Wajumbe na kwa Umma kwa wakati unaofaa na kwa utaratibu

utakaokubaliwa na Halmashauri na kwamba mtu yeyote anaweza

kupewa sehemu ya muhtasari huo kama akiomba na baada ya

kulipa ada kama itakavyoidhinishwa na Halmashauri.

Hoja za

Mwenye-

kiti

15. Hoja zinazowasilishwa na Mwenyekiti hazitazidi hoja tatu,

bila kuathiri haki yake, kama Mjumbe ya kuwasilisha hoja katika

taratibu za kawaida.

Taratibu

za

Majadili-

ano

16.-(1) Isipokuwa kwa idhini ya Halmashauri mtoa hoja

atahutubia Mkutano wa Halmashauri kwa dakika zisizozidi kumi.

Wajumbe wengine ikiwa ni pamoja na mtoa hoja watazungumza

kwa muda usiozidi dakika tano kila mmoja.

(2) Mjumbe anaruhusiwa kuzungumza mara moja katika hoja

yoyote ile isipokuwa hoja inayowasilishwa bila mjadala.

(3) Mtoa hoja atakuwa na haki ya kuzungumza kwa muda usiozidi

dakika tano katika kujibu majadiliano na muda huo utaanza

kuhesabika mara atakapoanza kuchangia au kujibu. Mratibu wa

vikao atatoa ishara Maalum kumjulisha mtoa hoja kuwa muda wake

umeisha na mjadala juu ya hoja hiyo utafungwa. Utaratibu huu wa

kuhesabu muda utatumika pia kwa Mjumbe yeyote atakayepewa

Page 68: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

68

muda wa kuchangia hoja na mara tu baada ya kujibu mjadala juu ya

hoja utafungwa.

(4) Mjumbe yeyote aliyekwishachangia kwenye hoja hawezi

kutoa au kuunga mkono marekebisho, ila marekebisho yakitolewa

na kuungwa mkono, Mjumbe aliyekwishazungumza katika hoja ya

awali anaweza kuzungumza kwenye hoja iliyorekebishwa kwa muda

usiozidi dakika tatu.

(5) Iwapo Wajumbe wawili au zaidi watasimama kwa wakati

mmoja kuzungumza, Mjumbe atakayetamkwa na Mwenyekiti ndiye

atakayepewa nafasi kwanza.

(6) Bila kuathiri masharti ya Kanuni Ndogo ya (5) ya Kanuni hii,

Mwenyekiti atahakikisha kuwa, nafasi ya kuchangia inatolewa kwa

uwiano unaofaa miongoni mwa aina zote za uwakilishi wa Madiwani

walioomba kuchangia hoja hiyo.

(7) Mjumbe anapozungumza ataelekeza mazungumzo yake kwa

Mwenyekiti tu na atapaswa kusimama.

(8) Mjumbe anapozungumza hatakatizwa, isipokuwa kwa suala la

utaratibu, lakini anaweza kutoa nafasi kwa Mjumbe anayetaka

kujieleza.

(9) Mjumbe anaposimama kutoa taarifa kuhusu utaratibu,

Mjumbe anayezungumza ataketi na atabaki ameketi hadi hoja ya

Page 69: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

69

utaratibu itakapokuwa imeamuliwa na Mwenyekiti, isipokuwa kama

anasimama kumweleza Mwenyekiti kuhusu suala la utaratibu.

(10) Mwenyekiti ndiye pekee mwenye uamuzi kuhusu utaratibu

katika mikutano ya Halmashauri, na anayo madaraka ya kuzuia fujo

na kuhakikisha kuwa maamuzi yake katika kusimamia usalama

yanatekelezwa mara moja. Wakati wa majadiliano Mwenyekiti

akisimama, Mjumbe anayezungumza au aliyesimama ataketi na

hakuna Mjumbe atakayesimama hadi Mwenyekiti atakapokuwa

ameketi.

(11) Hakuna Mjumbe atakayebaki amesimama wakati Mjumbe

mwingine anaelekeza mazungumzo yake kwa Mwenyekiti.

(12) Mkurugenzi wa Halmashauri atajibu swali lolote

atakaloulizwa na Mwenyekiti kutokana na shughuli zinazoendelea

kwenye Mkutano isipokuwa kama atadai haki ya kukataa kujibu

swali kwa msingi wa kwamba jibu linaweza kumweka hatiani au

kuvunja uaminifu wake au linamhusisha yeye kama mtetezi

mahakamani.

(13) Hakuna mtu kwa niaba yake mwenyewe, au kwa niaba ya

watu wengine walio kwenye ujumbe wa watu, atakayeruhusiwa

kuzungumza katika Mkutano wa Halmashauri isipokuwa kwa idhini

ya Halmashauri iliyotolewa kwa njia ya azimio. Idhini ya namna hiyo

haitatolewa isipokuwa kama mtu huyo au watu hao wanaotaka

kuihutubia Halmashauri watakuwa wamempatia Mkurugenzi au

Afisa aliyeruhusiwa naye, taarifa ya muda usiopungua siku tisa kabla

ya Mkutano wa Halmashauri ambamo wangetaka maombi yao

yafikiriwe kupewa idhini, maombi ya kimaandishi ikieleza jambo

Page 70: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

70

linalotarajiwa kujadiliwa, na mpaka taarifa ya kupokelewa kwa

maombi hayo itakapokuwa imebandikwa kwenye mbao za

matangazo za Halmashauri.

(14) Hakuna zaidi ya watu wawili watakaokuwa na haki ya

kuhutubia Halmashauri kwa niaba ya uwakilishi; na wala hakuna

ujumbe utakaozidi idadi ya watu watano watakaoruhusiwa.

(15) Kiwango cha juu cha muda wa kuzungumza na Halmashauri

ikiwa ni pomoja na muda wa kusoma risala hakitazidi dakika kumi.

Fujo

zinazosa-

babishwa

na

Wajumbe

17.-(1) Katika Mkutano wowote wa Halmashauri kama Mjumbe

wa Halmashauri ataonyesha kukosa heshima kwa madaraka

aliyonayo Mwenyekiti au kudharau Kanuni za Kudumu za

Halmashauri kwa kuzuia kwa makusudi shughuli za Halmashauri

zisiendelee au vinginevyo, Mwenyekiti ataelekeza Mkutano kuhusu

tukio hilo kwa kumtaja jina mtu anayehusika.

(2) Endapo baada ya kutajwa jina mjumbe ataendelea kudharau

madaraka ya Mwenyekiti basi Mwenyekiti ataliomba Baraza

kuahirisha shughuli za Mkutano na Mwenyekiti atatafakari jambo

hilo na anaweza kuagiza yafuatayo:-

(a) Mjumbe atolewe nje ya Mkutano; au

(b) Mjumbe kuzuiwa kuhudhuria vikao vitatu mfululizo pamoja na

haki za vikao husika.

Page 71: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

71

(c) Bila kuathiri masharti ya kanuni ya 17 (2) (a) na (b), Mjumbe

huyo ataendelea kupokea posho ya mwezi ya Udiwani.

(3) Iwapo kutatokea fujo kubwa katika Mkutano wowote wa

Halmashauri, Mwenyekiti anaweza kama ataona ni muhimu kufanya

hivyo, kuahirisha Mkutano bila majadiliano au swali au kusimamisha

Mkutano kwa muda atakaoona unafaa.

Fujo

zinazosa-

babishwa

na Umma

18.-(1) Iwapo mtu yeyote kati ya umma unaohudhuria Mkutano

wa Halmashauri atavuruga Mkutano wa Halmashauri, Mwenyekiti

atamuonya mtu huyo aache kufanya hivyo na endapo mtu huyo

ataendelea kuvuruga Mkutano, Mwenyekiti ataamuru mtu huyo

atolewe nje ya chumba cha Mkutano.

(2) Endapo kutakuwa na vurugu katika sehemu yoyote ya chumba

cha Mkutano kinachotumika na umma, Mwenyekiti ataamuru

kuondolewa kwa watu wote walio katika eneo hilo.

Hoja na

Marekebi-

sho ya

Hoja

19.-(1) Taarifa ya kila hoja, isipokuwa hoja iliyowasilishwa chini

ya Kanuni za Kudumu ya. 15, itawasilishwa kwa maandishi

yaliyowekwa saini na Diwani au Madiwani waliotoa taarifa, na

itapelekwa kwa Mkurugenzi angalau siku nne kabla ya Mkutano wa

Halmashauri unaofuata na akishaipokea Mkurugenzi atagonga

tarehe na kuipa namba na kuiingiza kwenye daftari kadri hoja

zilivyowasilishwa, na daftari hilo litakuwa wazi kukaguliwa na

Mjumbe yeyote wa Halmashauri.

Page 72: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

72

(2) Mkurugenzi ataonyesha katika taarifa ya kila Mkutano wa

Halmashauri hoja zilizowasilishwa na kwa kadri zilivyopokelewa

isipokuwa kama Diwani aliyetoa hoja hiyo ameeleza kwa maandishi

wakati alipoleta hoja hiyo, kwamba anataka kuitoa katika Mkutano

utakaofanyika baadaye, au baada ya kuwasilisha ameifuta hoja hiyo

kwa maandishi.

(3) Iwapo hoja ambayo imeonyeshwa katika taarifa ya Mkutano

haiwezi kutolewa na Mjumbe aliyewasilisha taarifa; au na Mjumbe

mwingine yeyote kwa niaba yake, basi hoja hiyo isipokuwa kama

imeahirishwa kwa idhini ya Halmashauri, itachukuliwa kama

imeondolewa na haitawasilishwa tena bila ya kutoa taarifa upya.

(4) Iwapo hoja itahusu jambo linalohusu Kamati au Kamati

mbalimbali baada ya kupendekezwa na kuungwa mkono, hoja hiyo

itapelekwa bila majadiliano kwenye Kamati ambayo Halmashauri

itaelekeza ili iweze kufikiriwa na kutayarishiwa taarifa.

(5) Ni lazima kila hoja ihusu jambo ambalo Halmashauri ina

uwezo na wajibu nalo, au iwe inahusu Halmashauri ya Wilaya

husika.

(6) Marekebisho ya hoja yaliyopendekezwa na kuungwa mkono

yanaweza kuondolewa tu kwa ridhaa ya Wajumbe wa Halmashauri

walio wengi waliopo katika Mkutano.

(7) Marekebisho ya hoja yanapokuwa yamethibitishwa, hoja ya

msingi kama ilivyorekebishwa itatolewa na Mwenyekiti kama ndiyo

Page 73: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

73

hoja ya msingi ambayo nayo inaweza kufanyiwa marekebisho na

kama marekebisho ya hoja hayakukubaliwa, marekebisho mengine

yanaweza kupendekezwa.

(8) Kwa idhini ya Mwenyekiti, zaidi ya rekebisho moja linaweza

kutolewa kwa wakati mmoja mbele ya Mkutano wa Halmashauri,

lakini kila rekebisho la namna hii litatolewa moja baada ya jingine

kufuatana na jinsi mapendekezo hayo yalivyotolewa.

(9) Rekebisho halitachukuliwa kuwa sahihi kama litakuwa sawa

na kuikataa hoja moja kwa moja au kama si rekebisho la hoja ya

msingi linalokusudiwa kurekebishwa.

(10) Rekebisho ambalo halikutolewa taarifa, halitapendekezwa

baada ya mjadala wa hoja inayozungumzwa kuendelea kwa nusu

saa, ila kwa mujibu wa sharti hili, taarifa ya idadi yoyote ya

marekebisho inaweza kutolewa.

(11) Hoja ya kufuta azimio itapitishwa na Wajumbe wasiopungua

theluthi mbili ya Wajumbe wote.

(12) Hoja ya kuzingatia taarifa ya Kamati au kuidhinisha

majadiliano au mapendekezo ya Kamati inaweza kutolewa na

Mwenyekiti wa Kamati husika, au na Mjumbe yeyote wa Kamati

husika kwa niaba yake.

Page 74: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

74

(13) Mjumbe yeyote ambaye hajachangia katika mjadala wa hoja,

au hajaitolea marekebisho, anaweza kupendekeza “kwamba

Halmashauri iendelee na shughuli inayofuata” na hoja ya aina hiyo

inaweza tu kuzingatiwa baada ya hoja kupendekezwa na kuungwa

mkono na endapo hoja inapotolewa itaamuliwa bila marekebisho au

mjadala na kama ikikubaliwa, shughuli iliyokatizwa na azimio hilo

haitaendelea kujadiliwa katika kikao hicho, hoja ya kupendekeza

kuendelea na shughuli inayofuata haitatolewa zaidi ya mara moja

katika mjadala wa jambo lolote.

(14) Baada ya mjadala kuhusu hoja kuendelea kwa muda

usiopungua nusu saa, Mjumbe ambaye hajachangia katika

majadiliano anaweza kuomba idhini ya kutoa hoja “kwamba suala

lililo mbele yetu sasa liamuliwe” na kama idhini hiyo itatolewa kwa

kukubaliwa na si chini ya Wajumbe watano, hoja “kwamba suala

lililo mbele yetu sasa liamuliwe” itawasilishwa mara moja, na kama

ikiafikiwa, mtoa hoja ya msingi anaweza kuzungumza kwa dakika

zisizozidi tano, na baada ya hapo swali au maswali yaliyo mbele ya

Halmashauri yatafanyiwa uamuzi.

(15) Hoja “kwamba suala lililo mbele yetu sasa liamuliwe”

haitatolewa zaidi ya mara moja katika mjadala unaoendelea kuhusu

jambo lolote mpaka hapo mjadala utakapokuwa umeendelea kwa

angalau nusu saa tangu kuwekwa mbele ya Mkutano hoja ya aina

hiyo ilipopendekezwa awali.

Hoja

zinazo-

weza

kutolewa

20. Hoja zifuatazo zinaweza kutolewa bila taarifa:-

Page 75: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

75

bila

Taarifa (a) kumchagua Mwenyekiti wa Mkutano ambamo hoja

imetolewa;

(b) hoja kuhusu usahihi wa muhtasari, kufunga Mkutano, kuahirisha Mkutano, utaratibu wa Mkutano au suala linalofuata;

(c) kuteua Kamati au Wajumbe wa Kamati, au Wawakilishi katika taasisi za nje, unaotokana na jambo lililotaarifiwa katika wito wa Mkutano;

(d) kukubali taarifa na mapendekezo ya Kamati na maazimio yote yanayotokana na taarifa au mapendekezo hayo;

(e) kwamba idhini itatolewa kuiondoa hoja; (f) kusahihisha hoja; (g) kuongeza muda wa hotuba; (h) kuwa, jambo lililotajwa katika taarifa ya kuitisha Mkutano

litangulie; (i) kusimamisha Kanuni za Kudumu; (j) kwamba Mjumbe asisikilizwe tena au aondoke katika

Mkutano; (k) kumwomba Mjumbe abakie Mkutanoni; na (l) kutoa idhini ya Halmashauri pale ambapo idhini inatakiwa

kwa mujibu wa Kanuni za Kudumu hizi.

Haki ya

kujibu 21.-(1) Mtoa hoja atakuwa na haki ya kujibu maswali wakati wa

kufunga mjadala juu ya hoja; kabla ya hoja kupigiwa kura au kabla

ya hoja kutolewa “kwamba kikao kiahirishwe.

(2) Mjumbe anayetumia haki yake ya kujibu hataanzisha hoja

nyingine mpya.

(3) Baada ya kutolewa kwa jibu ambalo linahusiana na Kanuni

hizi, uamuzi utafikiwa bila majadiliano zaidi.

Page 76: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

76

Maswali 22.-(1) Mjumbe anaweza kumuuliza Mwenyekiti wa Kamati

swali lolote kuhusu muhtasari wa Kamati uliofikishwa mbele ya

Halmashauri.

(2) Kila swali litaulizwa na kujibiwa bila majadiliano.

(3) Swali au maswali yatajibiwa na Mwenyekiti wa Kamati mara

moja na Mjumbe anayeuliza maswali hayo hatanyimwa haki yake ya

kujadili hoja ambayo maswali hayo yanarejewa au kutoa hoja ya

marekebisho.

(4) Pale ambapo swali la maandishi limeelekezwa kwa

Mwenyekiti wa Kamati, na taarifa inayotakiwa imo katika mojawapo

ya mihtasari ya Halmashauri, kuonyesha sehemu ya muhtasari

ambapo habari hiyo imeonyeshwa, kutachukuliwa ni jibu la kutosha.

Maswali

ya papo

kwa papo

23.-(1) Halmashauri itatenga muda wa angalau dakika thelathini

katika kila Mkutano wa Halmashauri wa kawaida ambapo

Mwenyekiti na Mkurugenzi wa Halmashauri watajibu maswali ya

papo kwa papo kutoka kwa Wajumbe kabla ya kuanza kwa shughuli

ya kawaida za Mkutano wa Halmashauri.

(2) Wajumbe ambao watataka kumwuliza Mkurugenzi na

Mwenyekiti maswali ya papo kwa papo watatakiwa kujiorodhesha

kwanza kwa Mwenyekiti angalau masaa ishirini na nne (24) kabla ya

Mkutano wa Halmashauri.

Page 77: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

77

(3) Mjumbe yeyote ambaye hatajiorodhesha kwa Mwenyekiti

ndani ya masaa ishirini na nne atahesabika kuwa amechelewa na

hataruhusiwa kumuuliza Mkurugenzi au Mwenyekiti swali la papo

kwa papo.

(4) Kabla ya kuanza kwa kipindi cha maswali ya papo kwa papo

Mwenyekiti atataja majina ya Wajumbe waliojiorodhesha kuuliza

maswali ya papo kwa papo na idadi ya maswali.

(5) Mwenyekiti ataweka utaratibu ambao ataona unafaa na

kuridhiwa na Wajumbe wa namna bora ya kuendesha kipindi cha

maswali ya papo kwa papo.

(6) Mjumbe hataruhusiwa kuuliza zaidi ya swali moja la papo

kwa papo.

(7) Maeneo ya umuhimu ambayo Wajumbe watatakiwa kuuliza

maswali ya papo kwa papo ni:-

(a) uendeshaji wa jumla wa Halmashauri;

(b) utekelezaji wa miradi ya Maendeleo;

(c) mipango ya kimkakati ya Halmashauri kuwaondolea

wananchi umaskini;

(d) mipango ya baadaye ya maendeleo ya Halmashauri;

(e) usimamizi na utekelezaji wa Mipango na Bajeti kwa mwaka

husika;

(f) mtoaji wa huduma za jamii kama vile elimu, afya, maji,

Page 78: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

78

barabara na madaraja;

(g) hifadhi ya mazingira na utunzaji wa vyanzo vya maji;

(h) usalama wa chakula, raia na mali zao;

(i) utawala bora na utatuzi wa kero za wananchi.

(8) Baada ya kujibiwa kwa swali, muuliza swali atapewa fursa ya

kuuliza swali moja tu la ufafanuzi na maswali yatajibiwa bila

mjadala.

(9) Mwenyekiti atakuwa na uwezo wa kuruhusu au kukataa swali

lolote la papo kwa papo ambalo litaonekana linahitaji takwimu au

utafiti zaidi au swali ambalo linalenga kumdhalilisha Mwenyekiti au

Mjumbe yeyote wa Baraza na uamuzi wake utakuwa wa mwisho.

(10) Mwenyekiti atakuwa na uwezo wa kutojibu swali la papo

kwa papo iwapo swali hilo litaonekana linahitaji takwimu au tafiti

zaidi au litaonekana ni swali la kumdhalilisha Mwenyekiti au

Mjumbe wa Baraza.

(11) Mara baada ya muda wa nusu saa kumalizika, kipindi cha

maswali ya papo kwa papo kitamalizika na kuruhusu shughuli

zingine za kikao kuendelea.

Taarifa za

Kamati 24.-(1) Kila Kamati au Kamati ya pamoja iliyoteuliwa chini ya

Kanuni hizi itatoa, taarifa katika vikao vya Halmashauri, au Kamati

iliyoteua Kamati Ndogo au Kamati ya pamoja taarifa ya majadiliano

yanayohusiana na utekelezaji majukumu iliyokasimiwa, kwa ujulisho

Page 79: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

79

wa Halmashauri.

(2) Muhtasari wa Kamati unaohitaji idhini ya Halmashauri, na

taarifa zozote zinazohusiana na muhtasari huo, na ambazo

zinaonekana kwa Kamati kuwa zinastahili, zitapelekwa kwa kila

Mjumbe wa Halmashauri angalau siku saba kabla ya Mkutano wa

Halmashauri ambao utafikiriwa.

(3) Mwenyekiti wa Kamati, au Mjumbe mwingine wa Kamati

kwa niaba yake, wakati wa kupendekeza kuidhinishwa kwa

muhtasari wa Kamati, anaweza kusema kuwa hakusudii kuwasilisha

kipengele au vipengele fulani vya muhtasari huo kwa lengo la

kupata idhini ya Halmashauri; katika hali hiyo Mjumbe yeyote

hataweza kukizungumzia kipengele au vipengele hivyo na muhtasari

utawasilishwa bila vipengele hivyo na kuondolewa kwa kipengele

cha aina hiyo kutatolewa taarifa kwenye Mkutano unaofuata.

(4) Taarifa ya Kamati inapokuwa imepokelewa na Halmashauri

itamaanisha kuwa hatua zilizochukuliwa na Kamati husika

zimekubaliwa na mapendekezo yaliyo kwenye taarifa hiyo

yatatekelezwa na kwamba Mkurugenzi atakuwa ameelekezwa

ipasavyo.

Taarifa za

kutoka

kwenye

Kata

25.-(1) Kila Kata itatakiwa kuwasilisha taarifa za utekelezaji

katika Mkutano wa Halmashauri ulioitishwa chini ya Kanuni ya 3(1)

ya Kanuni hizi.

Page 80: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

80

(2) Taarifa za utekelezaji kutoka katika Kata zitawasilishwa na

Diwani wa Kata husika, au kama Diwani hayupo taarifa hiyo

itawasilishwa na Diwani wa Viti Maalum anayeishi katika Kata hiyo

na kama Diwani Viti Maalum hayupo, Mwenyekiti atamtaarifu

mapema Diwani yeyote ili ajiandae kuwasilisha taarifa hiyo.

(3) Kutakuwa na aina tatu za taarifa zitakazowasilishwa:-

(a) Taarifa ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika Kata

ambayo itajumuisha ujenzi wa Madarasa, Nyumba za

Walimu, Matundu ya Vyoo, Maabara, Viwanja vya

Michezo, Vituo vya Afya, Zahanati, Madaraja, Barabara,

Mashamba darasa, Ofisi za Vijiji, Mitaa, Kata na Tarafa;

Idadi ya watu na vizazi.

(b) Taarifa zinazohusu hali ya Kata ambazo zitajumuisha:-

(i) Maendeleo ya Elimu katika Kata kuhusiana na

uandikishaji wa watoto wenye umri wa kwenda shule,

ufundishaji, utoro, hali ya mahudhurio, mimba

mashuleni, ukaguzi na uratibu wa shule;

(ii) Hali ya majanga ya kibinadamu kama vile mlipuko wa

magonjwa, mafuriko, njaa na hali ya uhalifu na vifo;

(iii) Maendeleo ya Kilimo, mifugo na uvuvi ambayo

itajumuisha upatikanaji wa wataalmu, zana za kisasa na

pembejeo za kilimo, mifugo na uvuvi;

(iv) Uimarishaji wa dhana ya uzalendo na utaifa kwa

kuhamasisha vijana kuanzisha na kujiunga katika

vikundi vya Vijana Wagani kazi na mafunzo ya Jeshi la

Mgambo, ulinzi shirikishi na Polisi jamii;

(c) Taarifa ya utekelezaji wa miradi ya Maendeleo na taarifa ya

hali ya Kata sharti ijumuishe pia taarifa za shughuli za

Page 81: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

81

kiuchumi, taarifa ya mavuno ya mazao ya chakula na biashara

pamoja na taarifa ya utunzaji wa mazingira na vyanzo vya

maji.

(4) Mkurugenzi wa Halmashauri atahakikisha taarifa kutoka

kwenye Kata, zinaandaliwa na kuwasilishwa na Diwani wa Kata hiyo

kwenye Baraza la Madiwani ili ipitiwe na kuchambuliwa kwa nia ya

kupata hoja zitakazowasilishwa katika vikao vya Kamati husika na

kutoa mrejesho.

(5) Mwasilishaji wa taarifa atatakiwa kuelezea mafanikio

yaliyopatikana, changamoto zilizo jitokeza na mbinu za kukabiliana

na changamoto hizo ambazo zitaonesha malengo na muda Maalum

wa kuzitatua.

(6) Taarifa za mapokeo ya fedha na matumizi yake zitakazokuwa

zimeandaliwa na Afisa Mtendaji wa Kata, zitawasilishwa sanjari na

miradi iliyotekelezwa na gharama zake.

(7) Baada ya taarifa kutoka kwenye Kata kupokelewa na

Halmashauri, itamaanisha kuwa taarifa hizo zimeidhinishwa na

mapendekezo yaliyomo kwenye taarifa yatatekelezwa na

Halmashauri na Kata kupewa taarifa ya utekelezaji wa majukumu

hayo.

Uhuru wa

kutoa

Mawazo

wakati

wa

Majadi-

26. Kutakuwepo na uhuru wa kutoa mawazo wakati wa

majadiliano katika Mikutano ya Halmashauri na uhuru huo

hautaweza kuhojiwa katika mahakama yoyote au mahali popote nje

ya Mkutano wa Halmashauri.

Page 82: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

82

liano

Kauli

zenye

Kashfa

27.-(1) Inapotokea, kulingana na maoni ya Mwenyekiti au mtu

yeyote anayeongoza Mkutano, kuwa kauli iliyotolewa na Mjumbe

inakashifu Mtu yeyote, Mwenyekiti atamtaka Mjumbe aliyetoa kauli

hiyo kufuta kauli yake na kumwomba msamaha mtu aliyekashifiwa

kwa maandishi ndani ya muda wa siku saba tangu kauli hiyo ya

kashfa ilipotamkwa.

(2) Endapo Mjumbe aliyetoa kauli za kashfa atakataa kufuta

kauli yake na kuomba msamaha kwa maandishi kama

inavyoelekezwa katika Kanuni Ndogo (1) ya Kanuni hii, Mwenyekiti

au mtu anayeongoza Mkutano, atamsimamisha Mjumbe huyo

kuhudhuria vikao vitatu mfululizo vya Halmashauri.

(3) Mjumbe aliyesimamishwa kwa mujibu wa Kanuni ndogo (2)

ya Kanuni hii atapoteza haki zake zote ikiwa ni pamoja na posho,

nauli, upendeleo na kinga kwa muda wote wa kusimamishwa

kwake.

Maamuzi

ya

Mikutano

ya Halma-

shauri

28.-(1) Masuala yote yaliyojadiliwa na kupendekeza katika

Mkutano wowote wa Halmashauri yataamuliwa kulingana na wingi

wa kura za Wajumbe waliohudhuria Mkutano huo na ikitokea kura

za Wajumbe zikalingana, basi Mwenyekiti au Mjumbe yeyote

mwingine anayeongoza Mkutano atapiga kura ya turufu mbali ya

kura ya kawaida.

Page 83: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

83

(2) Iwapo suala linalopigiwa kura linahusu kutokuwa na imani au

kumwondoa Mwenyekiti madarakani au jambo lolote lingine kama

itakavyoamuliwa na Halmashauri kura zitapigwa kwa siri.

Mwaliko

kwa

wasio-

kuwa

Wajumbe

kushiriki

na

kuzungu-

mza

kwenye

Vikao vya

Halma-

shauri

29.-(1) Mwenyekiti baada ya kushauriana na Wajumbe,

anaweza kumwalika mtu yeyote kuhudhuria na kuzungumzia jambo

lolote au kushiriki kwa njia yoyote katika Mkutano wowote wa

Halmashauri lakini mwalikwa huyo hatakuwa na haki ya kupiga kura

katika Mkutano huo.

(2) Wakuu wa Idara za Halmashauri wanapaswa kuhudhuria

mikutano yote ya Halmashauri lakini hawatakuwa na haki ya kupiga

kura katika Mikutano hiyo.

Mihtasari

ya kata na

vijiji

30. Mkurugenzi wa Halmashauri atahakikisha mihtasari yote ya

Kamati za Maendeleo za Kata, Halmashauri za Vijiji na Mikutano

Mikuu ya Vijiji inapitiwa na kuchambuliwa kwa nia ya kupata hoja

zitakazowasilishwa katika vikao vya Kamati husika na kutoa

mrejesho inavyopaswa.

Mihtasari

ya Halma-

shauri

kupele-

kwa kwa

Mkuu wa

Wilaya na

Mkuu wa

Mkoa

31.-(1) Mihtasari ya Halmashauri itatolewa na kupelekwa kwa

Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa ndani ya muda wa siku 7 baada

ya kuthibitishwa kwa mihutasari hiyo.

(2) Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa wanaweza kupewa

Page 84: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

84

wakiomba nakala ya mihtasari au sehemu ya mihtasari ya Kamati za

Kudumu na Kamati nyingine.

(3) Wakuu wa Wilaya na Wakuu wa Mikoa hawatabadilisha au

kubatilisha au kuagiza kubadilisha au kubatilisha uamuzi wa

Halmashauri.

Hoja

kuhusu

Matumizi

32. Hoja yoyote isiyotokana na mapendekezo au taarifa ya

Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango na ambayo, kama ikikubaliwa

itaongeza matumizi au kupunguza mapato yaliyo chini ya usimamizi

wa Kamati yoyote, au itasababisha matumizi ya Kamati ya Kudumu,

baada ya kupendekezwa au kuungwa mkono, itaahirishwa bila

majadiliano mpaka Mkutano wa kawaida wa Halmashauri unaofuata

na Kamati yoyote inayohusika na hoja hiyo itafikiria iwapo

ingependa kutoa taarifa kuhusu athari za kifedha za hoja hiyo.

Kupoke-

lewa kwa

taarifa za

Kamati

33.-(1) Taarifa ya Kamati inapowasilishwa kwenye Halmashauri,

hoja itakuwa “kwamba taarifa ipokelewe”na baada ya kukubaliwa

na Wajumbe taarifa itaanza kujadiliwa kipengele kimoja baada ya

kingine.

(2) Mapendekezo yoyote yaliyomo katika taarifa hiyo yatapigiwa

kura baada ya nyingine iwapo Mjumbe yeyote atapenda iwe hivyo

na baada ya hapo taarifa nzima itawasilishwa mbele ya Mkutano

kwa kupokelewa ikiwa na au bila marekebisho.

Kuidhini-

shwa kwa

taarifa ya

34. Taarifa ya Kamati inapokuwa imepokelewa na Halmashauri

itamaanisha kuwa hatua zilizochukuliwa na Kamati iliyowasilisha

Page 85: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

85

Kamati taarifa hiyo zimeidhinishwa na mapendekezo yaliyo kwenye taarifa

yatatekelezwa na kwamba Mkurugenzi wa Halmashauri atakuwa

ameelekezwa kama inavyotakiwa.

Uhalali wa

majadiliano

ya Halma-

shauri

35. Uhalali wa majadiliano kwenye Halmashauri hautaathiriwa

na nafasi yoyote wazi ya Mjumbe, dosari zozote zilizo katika

uchaguzi au uteuzi wa Wajumbe wa Kamati au zile za Maafisa wake.

Uwezo wa

Halma-

shauri

kujigeuza

kuwa

Kamati ya

Halma-

shauri

nzima

36. Halmashauri inaweza kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri

na mara baada ya kujigeuza taratibu za kuendesha vikao vya Kamati

za Kudumu zitatumika.

Hoja

zinazo-

husu

watumi-

shi wa

Halma-

shauri

37. Kama litajitokeza jambo lolote katika Mkutano wa

Halmashauri linalohusu uteuzi, kupandishwa cheo, kufukuzwa kazi,

mishahara au mazingira ya kazi au utendaji kazi kwa jumla wa

Mtumishi yeyote wa Halmashauri jambo hilo litajadiliwa katika

Kamati ya Halmashauri nzima.

Kushiriki

kwa

Umma

38.-(1) Mtu yeyote ambaye ni mkazi katika eneo la Halmashauri

anaweza kuhudhuria Mkutano wa Halmashauri kwa nia ya

kuwasilisha hoja mbele ya Halmashauri baada ya kutoa taarifa kwa

maandishi kwa Mkurugenzi na akakubaliwa kufanya hivyo.

(2) Mtu yeyote ambaye ni mkazi katika eneo la Halmashauri

Page 86: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

86

anaweza kualikwa kuhudhuria kikao cha Kamati au Kamati Ndogo

kabla uamuzi haujafanyika kuhusu masuala ambayo ana maoni

mahsusi.

Uahiri-

shaji wa

Vikao

39.-(1) Kwa kuzingatia masharti ya Kanuni Ndogo ya (2) ya

Kanuni 17 na Kanuni Ndogo ya 2 ya Kanuni hii, Halmashauri

haitaahirisha Mkutano wake hadi dondoo zote za agenda ya

Mkutano huo zitakapojadiliwa na kutolewa uamuzi.

(2) Pale ambapo katika Mkutano wowote wa Halmashauri akidi

haikutimia, Wajumbe waliopo wataahirisha Mkutano na utaratibu

wa kuitisha Mkutano mwingine utafanyika kwa kuzingatia

maelekezo ya Kanuni hizi.

Page 87: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

87

SEHEMU YA IV

KAMATI

Kamati za

Kudumu 40.-(1) Uteuzi wa wajumbe wa Kamati za Kudumu za

Halmashauri utakuwa kama ifuatavyo:-

(a) Halmashauri katika Mkutano wake wa mwaka itateua

Wajumbe wa Kamati za Kudumu zifuatazo ambazo zitakuwa na idadi

ya Wajumbe kama inavyooneshwa hapo chini na

itakavyorekebishwa na Halmashauri mara kwa mara;

Kamati Idadi ya

Wajumbe

Akidi

(a) Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango

13 7

(b) Kamati ya Elimu,Afya na Maji 11 6

(c) Kamati ya Masuala ya Uchumi,

Ujenzi na Mazingira

10 6

(c) Kamati ya Maadili ya Madiwani 5 3

(d) Kamati ya Kudhibiti Ukimwi 5 -

(b) Halmashauri inaweza kuunda Kamati ya Kudumu mpya zaidi

ya Kamati zilizotajwa kwenye Kanuni ya 40(1)(a) hapo juu, baada ya

kupata idhini ya maandishi kutoka kwa Waziri;

(c) Maombi ya Halmashauri ya kuanzisha Kamati mpya ya

Page 88: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

88

Kudumu lazima yakidhi na yawe na maelezo yafuatayo:-

(i) upekee wa majukumu yanayoombewa kuundwa kwa Kamati

ya Kudumu mpya na majukumu hayo yawe hayawezi

kutekelezwa na Kamati za Kudumu zilizopo na zilizotajwa

kwenye Kanuni ya 40(1) hapo juu;

(ii) gharama za uendeshaji wa Kamati hiyo kwa mwaka;

(iii) kuundwa kwa Kamati ya Kudumu hiyo mpya ni hitajio la

lazima na ni kipaumbele cha Halmashauri na jamii kwa

ujumla.

(2) Kila Mjumbe wa Halmashauri atakuwa mjumbe wa angalau

Kamati moja ya Kudumu. Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango

itakuwa na Wajumbe wafuatao:-

(a) mwenyekiti wa Halmashauri ambaye atakuwa Mwenyekiti;

(b) makamu Mwenyekiti;

(c) mbunge au Wabunge wanaowakilisha jimbo au majimbo ya

Uchaguzi katika eneo la Halmashauri;

(d) wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Halmashauri;

(e) wajumbe wengine wasiozidi wawili (2) watakaopendekezwa

na Mwenyekiti na kupigiwa kura na Baraza la Halmashauri

mmoja kati yao awe Mwanamke.

(3) Halmashauri yenye Madiwani wasiozidi ishirini (20), Idadi ya

wajumbe wa Kamati wa Fedha itakuwa kama ilivyoonyeshwa

Page 89: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

89

kwenye Kanuni ya 40(2).

(4) Bila kuathiri masharti ya Kanuni Ndogo ya (2) ya Kanuni hii,

Halmashauri yenye idadi ya Madiwani wanaozidi ishirini (20) na

wasiozidi thelathini na tano (35) Wajumbe wa Kamati ya Fedha

watakuwa kama ilivyoonyeshwa kwenye Kanuni ya 40(2) pamoja na

wajumbe wengine wawili (2) watakaotokana na orodha

itakayopendekezwa na Mwenyekiti na kupigiwa kura na Baraza la

Halmashauri mmoja kati yao awe mwanamke.

(5) Bila kuathiri masharti ya Kanuni Ndogo ya (2)(3) na (4) ya

Kanuni hii, Halmashauri yenye idadi ya Madiwani wanaozidi

thelathini na tano(35) na zaidi Wajumbe wa Kamati ya Fedha

watakuwa kama ilivyoonyeshwa kwenye Kanuni ya 40(2) pamoja na

wajumbe wengine wanne(4) watakaotokana na orodha

itakayopendekezwa na Mwenyekiti na kupigiwa kura na Baraza la

Halmashauri wawili kati yao wawe wanawake.

(6) Wajumbe wa Kamati za Kudumu watashika nyadhifa zao kwa

muda wa mwaka mmoja na wataendelea kushika nyadhifa hizo

mpaka mkutano wa mwaka wa Halmashauri unaofuata, isipokuwa

wajumbe waliochaguliwa kwenye mkutano wa kwanza baada ya

Uchaguzi Mkuu watashika nyadhifa zao kwa muda uliobaki kumaliza

Mwaka wa Fedha ambapo Uchaguzi utafanyika tena.

(7) Halmashauri inaweza wakati wowote kuvunja na kuunda

upya Kamati ya Kudumu iliyoteuliwa kwa mujibu wa Kanuni hii ya

Kudumu, endapo kufanya hivyo kutakuwa ni kwa manufaa ya

Halmashauri.

Page 90: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

90

Mwenye-

kiti wa

Halma-

shauri

kuwa

Mjumbe

wa

Kamati

zote

41. Mwenyekiti wa Halmashauri atakuwa Mjumbe wa Kamati

zote za Kudumu za Halmashauri.

Uwezo wa

Kamati

42. Kamati zote za Halmashauri zitawasilisha taarifa zao kwa

Halmashauri na hakuna hatua itakayochukuliwa kutekeleza uamuzi

wowote wa Kamati yoyote mpaka hapo taarifa ya Kamati husika

itakapokuwa imewasilishwa na kukubaliwa na Halmashauri,

isipokuwa pale ambapo idhini ya kuchukua hatua imekasimiwa kwa

Kamati.

Kamati za

Pamoja 43.-(1) Halmashauri inaweza kukubaliana na Halmashauri

nyingine kuteua Kamati ya pamoja kutokana na Wajumbe wao kwa

madhumuni yoyote yale ambayo wana maslahi ya pamoja na

Halmashauri hizo zinaweza kukasimu kwa Kamati hiyo ya pamoja,

kutegemea na masharti na mipaka zitakazoweka kama

watakavyoona inafaa, madaraka au kazi ya Halmashauri

zinazohusiana na madhumuni yaliyozifanya ziunde Kamati hiyo,

isipokuwa shughuli zile ambazo Halmashauri haziruhusiwi kukasimu.

(2) Muundo, muda wa kufanya kazi wa Wajumbe na mipaka ya

eneo ambamo Kamati hiyo ya pamoja itafanya kazi itapangwa na

Halmashauri zinazoiteua.

Page 91: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

91

(3) Kamati ya pamoja haitaingia katika gharama zozote zaidi ya

zile ambazo zimeidhishwa na mamlaka iliyoteua Kamati hiyo.

Kukasimu

Madaraka

kwenye

Kamati

44.-(1) Kufuatana na Kanuni Ndogo ya (2) ya Kanuni hii pamoja

na masharti mengine ambayo Halmashauri itaona inafaa,

Halmashauri inaweza kukasimu kwa Kamati uwezo wa kutekeleza

kazi yoyote kwa niaba yake.

(2) Halmashauri haitakasimu kwa Kamati yoyote uwezo wa:-

(a) kutunga Sheria Ndogo;

(b) kuweka na kutoza kodi;

(c) kuidhinisha makadirio ya mapato na matumizi ya Halmashauri;

(d) kutoza ada na ushuru;

(e) kuidhinisha mpango na bajeti ya Halmashauri;

(f) kuingia mikataba mbalimbali ikiwa ni pamoja na mikataba ya kukopa;

(g) kupitisha mpango wa utoaji huduma.

(3) Kazi za kila Kamati ya Kudumu ya Halmashauri ni kama

zilivyoonyeshwa katika jedwali la Kanuni za Kudumu hizi.

(4) Halmashauri inaweza kusitisha au kurekebisha uamuzi wa

kukasimu madaraka yoyote kwa Kamati, lakini usitishaji au

urekebishaji huo hautaathiri jambo lolote lililofanywa kutokana na

uamuzi wowote uliochukuliwa kihalali na Kamati.

Page 92: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

92

(5) Shughuli yoyote iliyotekelezwa na Kamati kutokana na

kukasimiwa kwa mujibu wa Kanuni hii itatambuliwa kuwa

imefanywa au kutekelezwa na Halmashauri.

Kamati

Ndogo 45.-(1) Kamati yoyote au Kamati ya pamoja inaweza kuteua

Kamati Ndogo kutokana na Wajumbe wake kadri itakavyoona inafaa

kwa ajili ya kuchunguza na kutoa taarifa kuhusu jambo lolote, lakini

Kamati haitakasimu madaraka yake ya kiutendaji kwa Kamati Ndogo

yoyote.

(2) Idadi ya Wajumbe wa Kamati Ndogo pamoja na muda

watakaotumikia vitaamuliwa na Kamati iliyoteua Kamati Ndogo

hiyo.

(3) Mwenyekiti wa Kamati atakuwa Mjumbe wa Kamati Ndogo

yoyote kwa mujibu wa wadhifa wake isipokuwa kama

atamfahamisha Mkurugenzi kwa maandishi kuwa hatakuwa

Mjumbe wa Kamati hiyo.

(4) Kila Kamati Ndogo inaweza kumteua mmoja wa Wajumbe

wake kuwa Mwenyekiti wa Kamati Ndogo husika.

Mikutano

ya Kamati 46.-(1) Mkutano wa kwanza wa Kamati utaitishwa na

Mkurugenzi ndani ya mwezi mmoja baada ya Kamati kuteuliwa na

baada ya hapo kulingana na ratiba ya mikutano kama

itakavyoidhinishwa na Halmashauri.

Page 93: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

93

(2) Taarifa ya angalau saa ishirini na nne yenye ajenda za kikao

itabidi kutolewa kwa Wajumbe kabla ya Mkutano wa Kamati.

(3) Idadi ya Kamati haitazidi idadi ambayo itawekwa na Waziri

kutokana na uwezo aliopewa chini ya kifungu cha 75(3) cha Sheria.

Mwenye-

kiti wa

Kamati

47.-(1) Katika kikao chake cha kwanza baada ya Mkutano wa

mwaka wa Halmashauri na kabla ya kuendelea na shughuli yoyote

nyingine, kila Kamati itamchagua Mwenyekiti wa Kamati kwa

mwaka unaohusika.

(2) Mwenyekiti wa Kamati, isipokuwa Kamati ya Fedha Utawala

na Mipango, atachaguliwa kwa kura ya siri ya Wajumbe walio wengi

kwa kupiga kura ya siri kwenye eneo la faragha litakalotengwa na

Mkurugenzi kwa ajili hiyo.

(3) Mwenyekiti wa Halmashauri atakuwa pia Mwenyekiti wa

Kamati ya Fedha na Utawala.

(4) Endapo nafasi ya Mwenyekiti wa Kamati itakuwa wazi katika

kipindi cha mwaka husika, Mkurugenzi atatoa taarifa kwa Wajumbe

wote wa Kamati kuwa katika kikao kijacho cha kawaida cha Kamati

husika dondoo ya kumchagua Mwenyekiti wa Kamati kwa kipindi

cha mwaka kilichosalia itakuwa ya kwanza katika agenda.

Mkutano 48.-(1) Mkutano Maalum wa Kamati utaitishwa baada ya

Page 94: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

94

Maalum

wa

Kamati

theluthi mbili ya Wajumbe wa Kamati kuomba kwa maandishi kuwa

Mkutano huo ufanyike na kueleza sababu.

(2) Taarifa ya Mkutano Maalum wa Kamati itaonyesha shughuli

itakayofanyika katika Mkutano Maalum huo na hakuna jambo

jingine lolote litakalojadiliwa katika Mkutano huo.

Ajenda za

Kamati 49. Mjumbe wa Kamati atakuwa na haki ya kuwasilisha hoja

zake na kuwekwa katika ajenda ya Kamati kama atatoa taarifa ya

angalau siku nne (4) kabla ya tarehe ya kikao.

Mahudhu-

rio katika

mikutano

ya Kamati

50.-(1) Mjumbe wa Kamati ya Kudumu au Kamati Ndogo,

ambaye ameshindwa kuhudhuria Mkutano wa Kamati Ndogo,

hataruhusiwa kutuma mtu mwingine kumwakilisha kwenye

Mkutano wa Kamati au Kamati Ndogo.

(2) Mjumbe wa Halmashauri hatakuwa na haki ya kuhudhuria

kikao chochote cha Kamati au Kamati Ndogo ambamo yeye si

Mjumbe, isipokuwa kama Kamati au Kamati Ndogo inayohusika

imemwalika kuhudhuria na hata hivyo hatakuwa na haki ya kupiga

kura au kudai posho kwa kuhudhuria Mkutano huo wa Kamati au

Kamati Ndogo.

Mtoa hoja

kualikwa

kwenye

51. Mjumbe wa Halmashauri anayewasilisha hoja ambayo

imepelekwa kwenye Kamati atapewa taarifa ya Mkutano wa Kamati

Page 95: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

95

Mkutano

wa

Kamati

ambamo hoja yake imepagwa kuzungumzwa na kama atahudhuria

atapewa nafasi ya kuizungumzia.

Waalikwa

wasio-

kuwa

Wajumbe

kuhu-

dhuria na

kushiriki

katika

Mikutano

ya Kamati

52. Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu au Kamati ya pamoja au

Kamati Ndogo baada ya kushauriana na Wajumbe wa Kamati ya

Kudumu, au Kamati ya pamoja au Kamati Ndogo, anaweza

kumwalika mtu yeyote kuhudhuria na kuzungumza kwenye

Mkutano kuhusu suala lolote au kushiriki kwa namna yoyote

kwenye kikao cha Kamati, lakini mtu huyo atakayealikwa hatakuwa

na haki ya kupiga kura kwenye Mkutano huo.

Mahu-

dhurio ya

umma na

Vyombo

vya

Habari

kwenye

Mikutano

ya Kamati

na Kamati

Ndogo

53. Majadiliano katika Kamati ya Kudumu au Kamati ya pamoja

au Kamati Ndogo hayatakuwa wazi kwa umma na vyombo vya

habari.

Athari za

nafasi

wazi

54.-(1) Kunapotokea nafasi wazi kwenye Kamati ya Kudumu au

Kamati ya pamoja au Kamati Ndogo, Kamati itaendelea kutekeleza

shughuli zake licha ya kuwepo kwa nafasi wazi hiyo au hizo au

Page 96: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

96

kwenye

Kamati mpaka nafasi hiyo au hizo zitakapojazwa, kwa njia ya uchaguzi au

uteuzi na Mjumbe atakayejaza nafasi hiyo atashika nafasi hiyo kwa

kipindi kilichosalia cha Mjumbe ambaye nafasi yake imekuwa wazi.

(2) Uhalali wa tendo lolote au maamuzi ya Mkutano wowote wa

Kamati hautaathiriwa kutokana na hitilafu katika uteuzi wa Mjumbe

aliyeshika nafasi hiyo kuachwa wazi na Mjumbe au Wajumbe au

Mjumbe au Wajumbe kuamua kutoka kwenye kikao kwa lengo la

kukwamisha jambo linalotaka kutolewa maamuzi na Kamati hiyo.

Akidi

kwenye

Mikutano

ya Kamati

55. Endapo Wajumbe waliohudhuria Mkutano hawatafikia akidi

ya Mkutano, Mkurugenzi atauahirisha Mkutano huo na kuuitisha

tena ndani ya siku saba (7) na endapo akidi haitatimia tena, idadi

yoyote ya Wajumbe waliohudhuria itatengeneza akidi ya Mkutano

ambapo Mkutano huo utaendelea na utakuwa halali na Mkurugenzi

atamjulisha Waziri kuwepo kwa hali hiyo.

Kanuni za

Kudumu

katika

Mikutano

ya Kamati

56.-(1) Kanuni ya 16 ya Kanuni hizi za Kudumu itatumika, baada

ya kufanya marekebisho yanayostahili, kwenye mikutano ya Kamati

za Halmashauri.

(2) Mjumbe anapozungumza katika Mkutano wa Kamati

atakuwa ameketi na anaweza kuzungumza zaidi ya mara mbili juu ya

jambo linalojadiliwa.

Upigaji

kura

kwenye

Mikutano

57. Masuala yote yanayoletwa mbele ya Kamati yataamuliwa kwa

wingi wa kura za Wajumbe waliohudhuria na endapo kunatokea

kura mlingano mtu anayeongoza kikao hicho atakuwa na kura ya

Page 97: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

97

ya Kamati turufu.

Mihtasari

ya Kamati 58.-(1) Muhtasari wa kila Kamati ya Kudumu au Kamati ya pamoja

au Kamati Ndogo, utajumuisha majina ya Wajumbe waliohudhuria

na wasiohudhuria, na utasainiwa kwenye Mkutano unaofuata na

mtu aliyeongoza Mkutano na muhtasari uliosainiwa utapokelewa

kama ushahidi bila uthibitisho zaidi endapo hautakuwa na makosa.

(2) Hakuna hoja au mjadala utakaoendeshwa kuhusiana na

muhtasari wa Kamati isipokuwa kuhusu usahihi wa suala lolote

linalohusu usahihi litatolewa kwa hoja.

Kufikir-

iwa Upya

Maamuzi

59. Pale ambapo suala lililowasilishwa limeamuliwa kwa mujibu

wa Kanuni ya 55, suala hilo halitaanza kujadiliwa upya katika

Mkutano huo wa Kamati isipokuwa kama hoja hiyo inaungwa

mkono na theluthi mbili ya Wajumbe waliohudhuria na kupiga kura.

Kutunza

siri za

majadili-

ano ya

Kamati na

Kamati

Ndogo

60. Mjumbe wa Kamati ya Kudumu au Kamati Ndogo hatatoa

nje jambo lolote lililoletwa au kuzungumzwa kwenye Kamati bila

ruhusa ya Kamati hiyo, au kuzungumza kwenye Kamati Ndogo

mpaka hapo Kamati hiyo au Kamati Ndogo hiyo itakapokuwa imetoa

taarifa kwenye Halmashauri au itakapokuwa imekamilisha

utekelezaji wa jambo hilo.

Kujiuzulu

wadhifa

wa

Mwenye-

kiti wa

61. Mwenyekiti wa Kamati anaweza kujiuzulu wadhifa wake kwa

kutoa taarifa ya maandishi aliyoisaini na kutuma kwa Mkurugenzi.

Page 98: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

98

Kamati

Kujiuzulu

ujumbe

wa

Kamati na

kujazwa

kwa nafasi

iliyowazi

62.-(1) Mjumbe yeyote wa Kamati anaweza kujiuzulu wadhifa

wake kwa kutoa taarifa ya maandishi aliyoisaini na kuituma kwa

Mkurugenzi.

(2) Nafasi inayotokana na kujiuzulu kwa Mjumbe itajazwa na

Halmashauri katika kikao chake cha kawaida baada ya tarehe ya

kujiuzulu kwa Mjumbe.

SEHEMU YA V

UNUNUZI WA VIFAA, UPATIKANAJI WA HUDUMA NA UJENZI

Taratibu

za uagizaji

Sura ya

290

63.-(1) Uagizaji wa mali, huduma na ujenzi katika Halmashauri

utazingatia Kanuni za Manunuzi zilizotungwa chini ya kifungu cha 68

cha Sheria za Fedha za Serikali za Mitaa, Sura ya 290 na Sheria ya

Manunuzi ya mwaka 2011 au kwa kadri ya Sheria hizo

zitakavyorekebishwa.

(2) Kutakuwepo na Bodi ya Zabuni ambayo imeanzishwa kwa

mujibu wa Kanuni za Bodi ya Zabuni (Uanzishwaji na Mwenendo) za

Serikali za Mitaa na ambayo itasimamia shughuli zote za uagizaji

katika Halmashauri.

(3) Muhtasari wa Bodi ya Zabuni utapaswa kuwasilishwa

kwenye kikao kifuatacho cha Halmashauri baada ya muhtasari huo

kujadiliwa na kupitishwa kwanza na Kamati ya Fedha, Utawala na

Page 99: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

99

Mipango.

Kumbu-

kumbu za

majadiliano

yanayo-

husu

uagizaji

64. Bodi ya zabuni ya Halmashauri itaweka kumbukumbu ya

majadiliano yanayohusu taratibu za ununuzi zikiwa na angalau

taarifa zifuatazo:-

(a) maelezo mafupi kuhusu vitu, ujenzi au huduma zinazotarajiwa kutolewa na haja iliyosababisha Bodi kuitisha zabuni;

(b) majina na anuani za Wazabuni waliowasilisha zabuni, maelezo kuhusu sifa au ukosefu wa sifa za Wazabuni waliowasilisha zabuni zao;

(c) bei au msingi wa upangaji wa bei na muhtasari wa masharti mengine muhimu ya kila zabuni na ya kila mkataba wa uagizaji wa mali, huduma na ujenzi;

(d) muhtasari wa tathmini na mlinganisho wa zabuni pamoja na upendeleo uliokuwepo katika tathmini hiyo;

(e) kama zabuni zilikataliwa tamko kuhusu uamuzi huo na sababu za uamuzi huo;

(f) kama utaratibu mwingine wa kupata vitu au huduma mbalimbali ya utaratibu wa zabuni ndio uliotumika, basi tamko kuhusu sababu zilizoifanya Bodi iamue kutumia utaratibu huo mwingine;

(g) kama zabuni ilikataliwa kwa kuwa mzabuni alitoa, alikubali kutoa moja kwa moja au kwa njia isiyo ya moja kwa moja, kwa Mtumishi wa sasa au wa zamani wa Halmashauri, bakshishi ya aina yoyote, ahadi ya kumwajiri au kitu chochote kinachohusiana na ajira au chenye thamani, kama hamasisho kwa utendaji au uamuzi au utaratibu wa kutumia, tamko kuhusu jambo hilo;

(h) katika upataji wa huduma, sababu na hali iliyoifanya Bodi kuchagua utaratibu wa kutumia katika upataji huo wa

Page 100: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

100

huduma;

(i) katika upataji wa vitu au huduma ambao Bodi imeamua kudhibiti ushiriki kwa misingi ya Taifa, Mkoa au Wilaya, tamko kuhusu sababu na hali iliyofanya Bodi kudhibiti ushiriki huo;

(j) katika upataji wa vifaa na huduma kwa kuwaomba watoaji kutoa mapendekezo yao moja kwa moja tamko la sababu na hali iliyofanya Bodi kuamua kutumia utaratibu huo; na

(k) muhtasari wa maombi yoyote ya ufafanuzi kuhusu mchujo wa zabuni au nyaraka za zabuni na majibu yaliyotolewa pamoja na muhtasari wa marekebisho yoyote yaliyofanywa katika nyaraka hizo.

(2) Sehemu ya kumbukumbu zilizotajwa kwenye Kanuni Ndogo

ya (1) (a) na (b) ya Kanuni hii zitatolewa, kama zikiombwa, kwa mtu

yeyote baada ya zabuni kutangazwa, kufunguliwa na kukubaliwa au

baada ya kusimamishwa kwa taratibu za uagizaji bila ya kuingia

katika mkataba wa uagizaji.

(3) Sehemu ya kumbukumbu zilizoelekezwa katika Kanuni

Ndogo ya (1) (c) hadi (g) ya Kanuni hii kama itaombwa, itatolewa

kwa Wazabuni waliowasilisha zabuni baada ya zabuni kukubaliwa au

baada ya kusitishwa bila ya kuingia kwenye mkataba wa utoaji wa

vitu au huduma.

(4) Isipokuwa kama itaelekezwa hivyo na mahakama yenye

mamlaka na kutegemeana na masharti ya maelekezo hayo, Bodi

haitatoa habari:-

(a) ikiwa utoaji huo wa habari utakuwa kinyume cha Sheria, utazuia utekelezaji wa Sheria, hautakuwa na maslahi kwa

Page 101: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

101

umma, utahatarisha maslahi halali ya kibiashara ya wahusika au utazuia ushindani halali; na

(b) habari zinazohusu uchambuzi, tathmini na ulinganisho wa zabuni pamoja na bei mbali ya muhtasari ulioelezwa kwenye Kanuni Ndogo ya (1) (e) ya Kanuni hii.

(5) Mara baada ya zabuni kujadiliwa na Bodi, Katibu atamjulisha

Mzabuni aliyefanikiwa ili makubaliano ya nyaraka za mkataba

yaweze kufikiwa.

(6) Nakala za muhtasari zitapelekwa kwa siri kwa kila Mjumbe

wa Bodi, Mkurugenzi, Mweka Hazina, Mkaguzi wa Ndani na Mkuu

wa Idara husika kwa taarifa na kumbukumbu.

(7) Kila Mzabuni ambaye hakufanikiwa atajulishwa na akiomba

sababu za kutokubaliwa kwa zabuni yake atapaswa kupewa sababu.

(8) Bodi ya Zabuni kwa kuzingatia masharti ya Kanuni za uagizaji

itaandaa taarifa ya mwenendo na maamuzi ya zabuni zilizoitishwa

na kuwasilishwa kwenye Mkutano wa kawaida wa Halmashauri

kupitia Kamati ya Kudumu husika.

Uzuiaji wa

Rushwa 65. Katika mkataba wowote wa kimaandishi, yatawekwa

maneno ambayo yataonyesha kuwa Halmashauri itakuwa na haki

kusitisha mkataba na kumdai Mkandarasi malipo ya fidia kutokana

na kusimamishwa kwa mkataba huo endapo Mkandarasi atabainika

kuwa ameahidi kutoa au ametoa, au amekubali kutoa kwa mtu

yeyote zawadi yoyote au upendeleo wa aina yoyote kama

Page 102: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

102

kishawishi au zawadi kwa kufanya au kumpendelea au kutomkubali

mtu yeyote kuhusiana na mkataba na Halmashauri au kama vitendo

hivyo vitakuwa vimefanywa na Mtumishi yeyote aliyeajiriwa naye au

kwa niaba yake iwe Mkandarasi anafahamu au hafahamu atakuwa

ametenda kosa chini ya Sheria ya Kuzuia na Kudhibiti Rushwa ya

mwaka 2007.

Usima-

mizi wa

Mikataba

66.-(1) Mkurugenzi wa Halmashauri atawajibika katika

usimamiaji na ufuatiliaji mzuri wa Mikataba.

(2) Mkataba wa upataji vitu hautabadilishwa kwa namna yoyote

ile baada ya kutiwa saini na pande zinazohusika isipokuwa kama

mabadiliko hayo ni:-

(a) kwa faida ya Halmashauri na hayailetei hasara Halmashauri;

(b) yamethibitishwa na Bodi ya zabuni ya Halmashauri; na

(c) upande mwingine unaafiki.

(3) Malipo ya mwisho hayatafanywa mpaka mkataba mzima

utakapokuwa umekamilika kutokana na kuridhika kwa Halmashauri

na kulingana na vipengele vya mkataba unaohusika.

(4) Malipo ya fedha za salio hayatalipwa mpaka upite muda wa

miezi sita na kazi iwe haina kasoro.

Uvunjaji

wa 67. Pale ambapo mkataba uliotiwa lakiri/muhuri na Halmashauri

haukufuatwa na Mkandarasi, ikiwa ni pamoja na ucheleweshaji

Page 103: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

103

Mkataba usiokuwa wa kimsingi, Mkurugenzi atashauriana mapema

iwezekanavyo na Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango kwa

kuzingatia taratibu zilizowekwa kwenye mkataba, itaamua hatua

muafaka za kuchukua na kumfahamisha Mkandarasi juu ya uamuzi.

Rejesta ya

Mikataba 68.-(1) Mkurugenzi atatunza maelezo yote ya mikataba kwenye

rejesta ya mikataba na atafanya ulinganifu wa malipo halisi na yale

yaliyoidhinishwa.

(2) Taarifa ya matumizi yote ya ziada lazima yapelekwe kwenye

Bodi ya Zabuni yakiambatana na maelezo kutoka kwa Mkurugenzi.

Diwani/

au Afisa

kutokuwa

na

maslahi

katika

Mikataba

69.-(1) Endapo Diwani au Afisa wa Halmashauri ana maslahi ya

kifedha ya moja kwa moja au vinginevyo katika mkataba wowote,

mkataba unaopendekezwa au jambo lolote na yupo kwenye

Mkutano wa Halmashauri au Kamati ambapo mkataba huo au

mkataba unaopendekezwa au jambo lingine lolote linajadiliwa,

atatangaza jambo hilo mara Mkutano utakapokuwa umeanza na

hatashiriki wala kuwepo katika majadiliano au kupiga kura kuhusu

jambo linalohusu mkataba au mkataba unaopendekezwa au jambo

lingine lolote ambalo ana maslahi nalo.

(2) Kanuni hii haitatumika kuhusiana na maslahi katika mkataba

au suala lingine ambalo Mjumbe au Afisa wa Halmashauri ana

maslahi nalo kama mlipa kodi au mkazi katika eneo lililo katika

himaya ya Halmashauri.

(3) Diwani atahesabika kuwa na maslahi ya moja kwa moja katika

Page 104: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

104

mkataba au jambo jingine endapo:-

(a) yeye au Mtu aliyemchagua ni Mjumbe wa Kampuni au chombo kingine au anayo hati ya hisa katika Kampuni ambayo itaingia au imependekezwa iingie katika mkataba au anao uhusiano wa kifedha katika jambo linalojadiliwa; au

(b) yeye ni mbia au ameajiriwa na Mtu ambaye mkataba unafanywa naye au utakuwa chini yake au anao uhusiano wa kifedha wa moja kwa moja katika suala linalojadiliwa au kuzungumzwa.

(4) Katika Kanuni hii maslahi ya moja kwa moja na yasiyo ya

moja kwa moja ya mwanandoa au ndugu wa familia kama

inafahamika kwa Mjumbe wa Halmashauri itachukuliwa kuwa ni

maslahi ya moja kwa moja au yasiyo ya moja kwa moja.

(5) Taarifa ya jumla itakayotolewa kwa Mkurugenzi na Diwani au

Afisa wa Halmashauri kuhusiana na yeye, mkewe, mumewe au

ndugu yake kwamba ana maslahi ya moja kwa moja au yasiyo ya

moja kwa moja katika mkataba unaokusudiwa au jambo lingine na

akieleza aina ya maslahi itachukuliwa, isipokuwa pale atakapoondoa

taarifa hiyo, kuwa ametoa taarifa ya kutosha ya maslahi yake

kuhusiana na suala ambalo limo katika mjadala.

(6) Mkurugezi ataandika taarifa za watu wenye maslahi waliotoa

taarifa chini ya Kanuni Ndogo ya (1) na taarifa yoyote iliyomo katika

Kanuni Ndogo ya (5) itakuwa wazi kwa ukaguzi wakati wa saa za

kazi.

Page 105: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

105

(7) Halmashauri inaweza baada ya kupata kibali cha Waziri,

kuondoa kizuizi chini ya Kanuni hii kinachoifanya ishindwe wakati

wowote kufanya Mkutano pale ambapo idadi ya Wajumbe wenye

maslahi ni kubwa mno kiasi cha kukwamisha shughuli za

Halmashauri au itakuwa ni kwa maslahi ya wakazi wa Halmashauri

kuondoa kikwazo hicho.

(8) Katika Kanuni za Kudumu hizi, ndugu wa familia itachukuliwa

kuwa ni pamoja na baba, mama, mtoto, kaka, au dada na wanandoa

wao.

SEHEMU YA VI

MASUALA MENGINE

Kiapo na

kukubali

Wadhifa

70. Kila Diwani kabla ya kushika wadhifa wake kama Diwani na

kabla ya Mkutano wa kwanza wa Halmashauri:-

(a) atakula kiapo kama kilivyoonyeshwa kwenye nyongeza ya kwanza ya Kanuni hizi za Kudumu kitakachosimamiwa na Hakimu Mkazi, Hakimu wa Wilaya au Kamishna wa Viapo; na

(b) atatoa tamko la kimaandishi lililoandikwa kwa Mkurugenzi akiahidi kutekeleza jambo linalohusiana na tamko la maslahi katika shughuli za kibiashara, mali na kadhalika na kuzifuata Kanuni za Maadili ya Madiwani.

Page 106: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

106

Majukumu

ya Diwani 71.-(1) Diwani atakuwa na majukumu yafuatayo:-

(a) kuwa karibu na wapiga kura na kupata ushauri wa Wananchi katika mambo yanayotarajiwa kujadiliwa kwenye Halmashauri;

(b) kutoa maoni na mapendekezo ya wananchi kwa Halmashauri;

(c) kuhudhuria mikutano ya Halmashauri na ya Kamati au Kamati Ndogo ambamo yeye ni Mjumbe;

(d) kutenga angalau siku moja kila mwezi kukutana na wananchi katika eneo lake la uchaguzi;

(e) kutoa taarifa kwa wapiga kura kuhusu maamuzi ya jumla ya Halmashauri na hatua zilizochukuliwa na Halmashauri kuondoa matatizo yaliyowahi kuelezwa na wakazi wa eneo lake la uchaguzi;

(f) kuchangia ujuzi na uzoefu wake katika majadiliano yanayofanyika katika mikutano ya Halmashauri na Kamati za Halmashauri; na

(g) kushiriki katika shughuli za pamoja za maendeleo katika eneo lake la uchaguzi na katika eneo zima la Halmashauri.

Page 107: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

107

(2) Katika kutekeleza wajibu wake Diwani atazingatia:-

(a) Maslahi ya Taifa na maslahi ya Wananchi katika eneo la Halmashauri;

(b) Katiba, Sheria na Kanuni;

(c) Kanuni za Maadili ya Madiwani, Mwongozo juu ya mahusiano ya Madiwani na Watumishi na miiko mingine.

Nafasi

Wazi 72.-(1) Kiti cha Mjumbe wa Halmashauri kitakuwa wazi endapo

Mjumbe:-

(a) amefariki;

(b) anakubali ajira kama Mtumishi wa Halmashauri;

(c) kwa mujibu wa Sheria yoyote anatangazwa kuwa hana

akili timamu;

(d) yuko chini ya hukumu ya kifo au kifungo kinachozidi miezi

sita kilichotolewa kwake na mahakama;

(e) kwa mujibu wa Sheria yoyote anatamkwa kuwa anapoteza

sifa za kuendelea kuwa Mjumbe;

(f) atakoma kuwa mwanachama wa chama cha siasa

kilichompendekeza kuwa mgombea wa kiti cha udiwani;

(g) anapokuwa amepatikana na kosa kutokana na Kanuni za

Maadili ya Madiwani na adhabu ya kosa alilotenda ni

pamoja na kumwondoa Mjumbe madarakani; na

(h) anapoteza ujumbe kwa mujibu wa Kanuni ya 71 (2) ya

Kanuni hizi za Kudumu;

(i) anahukumiwa kwa kosa la kutotaja maslahi yake;

(j) amejiuzulu kutoka kiti chake;

(k) Halmashauri imevunjwa na kuathiri mipaka ya majimbo ya

uchaguzi;

(l) uchaguzi wa Mjumbe umetangazwa kuwa batili;au

Page 108: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

108

(m) bila sababu ya kuridhisha au bila idhini au kibali cha

maandishi cha Mwenyekiti, Mjumbe anakosa kuhudhuria

mikutano mitatu ya kawaida inayofuatana ya Halmashauri

au Kamati ambamo yeye ni Mjumbe.

(2) Waziri atatangaza kiti kuwa wazi pale atakapojulishwa na

Mwenyekiti wa Halmashauri kwa maandishi kwamba kiti kiko wazi

kwa kuzingatia masharti ya kifungu cha 42(1) cha Sheria ya Serikali

za Mitaa (Mamlaka za Wilaya) Sura ya 287.

Kutoku-

wepo kwa

Wajumbe

73.-(1) Halmashauri yaweza kutoa idhini ya kutokuwepo katika

mikutano yake kwa muda usiozidi miezi kumi kwa Mjumbe yeyote

anayetaka kwenda nje ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

(2) Pale ambapo Mjumbe kwa sababu yoyote ile amekuwa nje ya

nchi kwa muda unaozidi miezi kumi kiti chake cha udiwani

kitachukuliwa kuwa kipo wazi.

Taratibu

za

kutunga

Sheria

Ndogo

74.-(1) Pale ambapo Halmashauri inakusudia kutunga Sheria

Ndogo itatoa tangazo kwa wakazi wa eneo husika kuhusu kusudio

hilo katika namna ambayo itahakikisha kuwa watakaoathirika na

Sheria Ndogo inayokusudiwa kutungwa wanafahamu vilivyo na

kuwaomba wanaopenda kutoa pingamizi lolote au mapendekezo

yao kwa maandishi katika muda uliowekwa.

(2) Pale ambapo baada ya muda wa taarifa kumalizika hakuna

pingamizi au malalamiko yaliyowasilishwa, au hakuna mtu yeyote

aliyetoa pingamizi linalokubalika mbele ya Halmashauri,

Halmashauri itaendelea kutunga Sheria Ndogo ikizingatia

Page 109: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

109

malalamiko na pingamizi zilizotolewa.

(3) Sheria Ndogo zikishatungwa na Halmashauri zitapelekwa

kwa Mkuu wa Mkoa ambamo Halmashauri husika imo ili aweze

kuzitolea maoni yake na kisha kuziwasilisha kwa Waziri.

(4) Waziri anaweza kuidhinisha, kukubali au kukataa kuidhinisha

Sheria Ndogo au kutoa au kusimamisha kibali chake kwa kutoa

masharti atakayoyaeleza na anaweza baada ya kutoa idhini yake,

kupanga tarehe ya kuanza kutumika kwa Sheria Ndogo hizo.

(5) Waziri anaweza kabla ya kuidhinisha Sheria Ndogo zenye

athari kwenye maeneo yaliyotengwa au maeneo Maalum au kwa

Sheria nyingine yoyote, kushauriana na Waziri anayehusika na

Sheria husika au na jambo lililotungiwa Sheria Ndogo kadri

itakavyokuwa.

(6) Sheria Ndogo yoyote iliyotungwa na Halmashauri lazima

itangazwe katika Gazeti la Serikali kabla ya kuanza kutumika.

Ukaguzi

wa

Nyaraka

75.-(1) Mjumbe ataweza kwa madhumuni ya kutekeleza wajibu

wake kama Mjumbe na si vinginevyo, kukagua waraka wowote

ambao umejadiliwa na Kamati ya Halmashauri na kama nakala

zinapatikana, anaweza kupewa akiomba nakala kwa madhumuni

hayo hayo.

(2) Mjumbe hatakagua kwa makusudi au kutaka apewe nakala

ya waraka wowote unaohusu jambo ambalo yeye ana maslahi nalo

kwa mujibu wa Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya),

Page 110: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

110

Sura ya 287. Hata hivyo Kanuni hii haitamzuia Mkurugenzi kuzuia

kukaguliwa kwa waraka wowote ambao umezuiliwa kutolewa kwa

mujibu wa Sheria yoyote au Kanuni zilizotungwa chini ya Sheria

hizo.

Uanzishaji

wa Bodi

za

Huduma

76.-(1) Halmashauri inaweza kwa mujibu wa kifungu 88 cha

Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya), Sura ya 287 kwa

madhumuni ya kutekeleza kazi zake katika eneo lililo chini ya

mamlaka yake kuunda Bodi za Huduma kwa hati rasmi

iliyotangazwa kwenye Gazeti la Serikali kama itakavyoona inafaa

kufanya hivyo.

(2) Bodi ya Huduma iliyotajwa katika Kanuni Ndogo ya (1) ya

Kanuni hizi itawajibika moja kwa moja kwenye Halmashauri kupitia

Kamati ya Kudumu husika na itatekeleza kazi zake kama

ilivyofafanuliwa katika hati inayoianzisha.

Diwani

kutembelea

maeneo,

shughuli

mbalimbali

za ujenzi

n.k

77.-(1) Mjumbe wa Halmashauri anaweza kutembelea eneo,

jengo au shughuli za ujenzi zinazotekelezwa na au kwa niaba ya

Halmashauri na anaweza kutuma taarifa kwa Mkurugenzi akieleza

sababu za matembezi yake ili aweze kupangiwa Wataalam wa mradi

au shughuli husika kwa ajili ya kupata maelekezo ya kitaalam.

(2) Mjumbe wa Halmashauri anapotembelea shughuli au miradi

ya maendeleo inayotekelezwa na/au kwa niaba ya Halmashauri

hataruhusiwa kutoa maelekezo au maagizo ya kitaalam awapo

Page 111: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

111

kwenye eneo la mradi.

(3) Baada ya Diwani kutembelea maeneo au majengo kama

ilivyoainishwa kwenye Kanuni Ndogo ya (1) ya Kanuni hii anaona

kuna umuhimu wa kutoa maoni au mang’amuzi yake juu ya

matembezi hayo atafanya hivyo kwa kuwasilisha maoni au

mang’amuzi yake kwa Mkurugenzi ambaye atafanyia kazi au

kuyapeleka kwa Afisa anayesimamia kazi husika kwa utekelezaji.

(4) Endapo maoni au mang’amuzi ya Diwani hayawezi kufanyiwa

kazi na Mkurugenzi au Afisa mhusika, basi atamshauri Diwani

kupeleka maoni au mang’amuzi yake kwa Kamati inayohusika ili

yachunguzwe zaidi na kuamuliwa.

(5) Kamati za Kudumu za Halmashauri zinaweza kutembelea

miradi ya maendeleo au shughuli yoyote inayotekelezwa na/au kwa

niaba ya Halmashauri na ambayo inaihusu Kamati husika, na katika

kutembelea miradi hiyo Kamati itaongozana na Wataalam wa mradi

au shughuli husika ili kupata maelekezo ya kitaalam.

(6) Kamati ya Kudumu itatembelea miradi au shughuli za

maendeleo kabla ya kikao cha Kamati ambacho kitajadili mradi au

shughuli hiyo.

Uhifadhi

wa lakiri

ya Halma-

shauri

78. Lakiri ya Halmashauri itatunzwa kwa usalama na kufungiwa

katika kasiki kwenye Ofisi ya Mkurugenzi mwenyewe.

Page 112: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

112

Utiaji

muhuri

kwenye

Nyaraka

79.-(1) Lakiri ya Halmashauri haitabandikwa katika hati yoyote

mpaka ubandikaji huo umeidhinishwa na azimio la Halmashauri

likiidhinisha kukubaliwa kwa zabuni, ununuzi, uuzaji au upangishaji

au kuchukua mali yoyote, utoaji wa hati yoyote ya ukopeshaji fedha,

uwasilishaji wa madai yoyote, uwekaji wa viwango vya kodi, uingiaji

kwenye mkataba, kutunga Sheria Ndogo au hati yoyote iliyo rasmi

ambayo kwa mujibu wa Sheria au Kanuni yoyote inahitaji kuwekwa

Lakiri ya Halmashauri.

(2) Lakiri itashuhudiwa au kuthibitishwa na Mwenyekiti au

Makamu Mwenyekiti na Mkurugenzi na hati zilizowekwa lakiri

zitasainiwa na Mwenyekiti au Makamu Mwenyekiti kama hali

itakavyokuwa.

Uandiki-

shaji wa

anuani

80.-(1) Itakuwa wajibu wa kila Mjumbe katika kikao cha kwanza

cha Halmashauri baada ya uchaguzi kutoa taarifa ya maandishi kwa

Mkurugenzi juu ya anuani yake ya Kudumu ya kupokelea taarifa,

hivyo taarifa zilizopelekwa kwa kutumia anuani iliyoandikishwa

itachukuliwa kama ndiyo sahihi na inatosheleza kwa matumizi yote.

(2) Iwapo Mjumbe atatoa taarifa ya maandishi kwa Mkurugenzi

kuwa angependa taarifa ya mikutano ya Halmashauri iwe inatumwa

kwake kwa kutumia anuani atakayoitaja kwenye taarifa hiyo

ambayo ni tofauti na ile katika Kanuni Ndogo ya (1), taarifa yoyote

itakayoachwa au itakayotumwa kwa njia ya posta kwa kutumia

anwani hiyo itachukuliwa kuwa inatosha kwa ajili ya kutoa taarifa

inayotakiwa kwa mujibu wa Kanuni za Kudumu hizi.

Uteuzi wa

Wajumbe

kwenye

81.-(1) Katika Mkutano wake wa kwanza Halmashauri itateua

wawakilishi wake kwenye Bodi na Taasisi za nje ambazo

Page 113: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

113

Taasisi za

nje Halmashauri inastahili kuwakilishwa.

(2) Mjumbe au Wajumbe wanaoiwakilisha Halmashauri kwenye

Bodi na Taasisi za nje, watatakiwa kuwasilisha kwa Mkurugenzi

taarifa kuhusu shughuli za Bodi au Taasisi zinazogusa sera na

maslahi ya Halmashauri na wakazi wake kijumla na Mkurugenzi

atachukua hatua zifaazo.

Kumwo-

ndoa

Mwenye-

kiti

madara-

kani

82.-(1) Halmashauri inaweza kumwondoa Mwenyekiti

madarakani kwa azimio linaloungwa mkono na theluthi mbili ya

Wajumbe kutokana na sababu yoyote kati ya sababu zifuatazo:-

(a) kutumia nafasi yake vibaya; (b) kushiriki katika vitendo vya rushwa; (c) kushindwa kutekeleza majukumu yake; (d) mwenendo mbaya au ukosefu wa adabu; au (e) ulemavu wa kimwili au kiakili kwa kiasi cha kumfanya

kushindwa kutekeleza majukumu yake kama Mwenyekiti.

(2) Hoja au sababu zitakazotolewa lazima iwe imetimiza

masharti yafuatayo:-

(i) iwe na tuhuma mahsusi yenye ushahidi wa kutosha;

(ii) iwe imetolewa maelezo kamili na yenye kueleweka kuhusu

tuhuma zinazohusika.

(3) Kwa madhumuni ya kumwondoa Mwenyekiti madarakani,

kwa sababu zozote zilizotamkwa chini ya Kanuni Ndogo ya (1) ya

Kanuni hii, Halmashauri itatumia taratibu zilizotolewa katika

Page 114: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

114

Taratibu za Kumwondoa Mwenyekiti zilizotangazwa na Waziri

kwenye Gazeti la Serikali kwa mujibu wa Sheria.

SEHEMU YA VII

POSHO KWA WAJUMBE

Aina za

Posho 83.-(1) Wajumbe wa Halmashauri watalipwa posho mbalimbali

kama itakavyopendekezwa na Halmashauri na kuidhinishwa na

Waziri.

(2) Posho zitakazolipwa kwa Wajumbe wa Halmashauri zitakuwa

za aina zifuatazo:-

(a) posho ya usafiri;

(b) posho ya kuhudhuria kikao;

(c) posho ya madaraka;

(d) posho ya kujikimu;

(e) posho ya mwezi; na

(f) kiinua mgongo.

(3) Endapo Mjumbe wa Halmashauri ataugua au ataumia wakati

akifanya kazi aliyotumwa na Halmashauri, gharama za matibabu

yake zitalipwa na Halmashauri.

Page 115: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

115

Posho

endapo

Mkutano

umehairi-

shwa

84. Endapo Mkutano wa Halmashauri au Kamati utaahirishwa

kwa sababu ya kukosekana kwa akidi, Mjumbe au Wajumbe

waliofika kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano huo ulioahirishwa

watastahili malipo yaliyotajwa katika Kanuni ya 83(2) (a) na (d)

iwapo wamelazimika bila kukusudia, kulala njiani au kwenye makao

makuu ya Halmashauri, hakuna malipo ya posho ya kuhudhuria

kikao yatakayofanywa katika hali ya namna hiyo.

SEHEMU YA VIII

MABADILIKO KWENYE KANUNI ZA KUDUMU

Kusitisha

utumiaji

wa

Kanuni za

Kudumu

85.-(1) Kanuni yoyote inaweza kusitishwa kwa azimio lililoungwa

mkono na theluthi mbili za Wajumbe waliohudhuria Mkutano wa

Halmashauri kwa hoja iliyopendekezwa bila taarifa kwa madhumuni

ya kuwezesha shughuli yoyote iliyofafanuliwa ili ishughulikiwe na

Halmashauri kama jambo la dharura au lenye manufaa.

(2) Halmashauri haitasitisha matumizi ya Kanuni yoyote kama

kusitisha huko kutasababisha kufanya jambo ambalo limezuiliwa na

Sheria au kutofanya jambo linalotakiwa kufanywa kwa mujibu wa

Sheria yoyote.

Marekebi-

sho na

mabadi-

liko ya

Kanuni za

Kudumu

86. Halmashauri inaweza kubadilisha, kuongeza, kurekebisha au

kutengua Kanuni hizi za Kudumu kwa azimio lililoungwa mkono kwa

wingi usiopungua theluthi mbili ya kura na baada ya kupata idhini ya

Waziri.

Page 116: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

116

Kanuni za

Kudumu

kutolewa

kwa

Wajumbe

87. Mkurugenzi atatoa nakala iliyochapishwa ya Kanuni za

Kudumu hizi kwa kila Mjumbe.

Kutafsiri

Kanuni za

Kudumu

88. Uamuzi wa Mwenyekiti kuhusu maana ya matumizi ya

Kanuni hizi au mwenendo wa Mkutano wa Halmashauri

hautapingwa wakati wa Mkutano wowote wa Halmashauri.

SEHEMU YA IX

ZIARA ZA WAJUMBE

Ziara za

Wajumbe 89.-(1) Wajumbe wa Halmashauri wanaweza kwenda ziara

mbalimbali za mafunzo ili mradi ziara hizo ziwe zimeainishwa

kwenye mpango na bajeti ya Halmashauri, isipokuwa kwa ziara

ambazo gharama zake hazihusiani na bajeti ya Halmashauri,

Wajumbe watafanya ziara hizo kwa mujibu wa ratiba ya mpango

huo.

(2) Bila kuathiri masharti ya Kanuni Ndogo ya (1) ya Kanuni hizi

Halmashauri kabla ya kuruhusu kufanyika kwa ziara itahaikikisha

kwamba:-

(a) shughuli ya ziara hiyo inafanana na shughuli zinazofanywa

na Halmashauri;

(b) ziara hiyo itafanyika baada ya kupata kibali cha Mkuu wa

Mkoa;

(c) wajumbe wanakitu cha kwenda kuonyesha kule

wanakokwenda kujifunza;

Page 117: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

117

(d) ziara zinazofanyika nje ya Mkoa zihusishe wadau

mbalimbali wa Halmashauri kutegemeana na maudhui ya

ziara husika;

(e) ziara inatarajiwa kuwa na matokeo yanayoonekana;

(f) Wajumbe walioshiriki kwenye ziara warejeapo wanatakiwa

kuandaa na kuwasilisha taarifa ya maandishi kwa

Halmashauri kuhusu mambo mapya na ya msingi

waliyojifunza na kuweka utaratibu mzuri wa kuyatekeleza

kwenye Kata zao na kwenye Halmashauri;

(g) ziara zitafanywa kwa kuzingatia walengwa na mahitaji kama

itakavyokubalika na Halmashauri.

Wimbo/

Dua na

sala ya

kuiombea

Halma-

shauri

90. Kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Halmashauri utaimbwa

wimbo wa Taifa na kufuatiwa na Dua au Sala ya kuiombea

Halmashauri ifuatayo;

“Ewe MWENYEZI MUNGU Mtukufu, Muumba wa Mbingu

na Dunia umeweka katika Dunia Serikali za Wanadamu ili haki

yako itendeke. Twakuomba, uibariki Halmashauri yetu ya

Wilaya ya Masasi idumishe uhuru, umoja, haki na amani.

Uwajalie viongozi wetu wa Halmashauri hekima, afya njema na

maisha marefu ili pamoja na wanaowashauri wadumishe

utawala bora. Utuongezee hekima na busara sisi Madiwani wa

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi na utupe uwezo wa kujadili

kwa dhati, mambo yatakayoletwa mbele yetu leo, ili tufanye

maamuzi sahihi yenye manufaa kwa watu wote na ustawi wa

Halmashauri yetu. Mungu Ibariki Tanzania AMINA”

Tangazo

la Serikali

Namba .....

.............

91. Kanuni hizi zinafuta Kanuni za kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi za mwaka 2004.

Page 118: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

118

JEDWALI

Chini ya Kanuni ya 42(3)

HADIDU ZA REJEA ZA KAMATI ZA KUDUMU ZA HALMASHAURI ZA

WILAYA

Madhumuni ya jumla:

1. Kuishauri Halmashauri kutengeneza malengo yanayozingatia matakwa ya Wilaya na kuchukua hatua ambazo zitaonekana zinafaa ili kufikia malengo yaliyokusudiwa.

2. Kuishauri Halmashauri kufanya maamuzi juu ya sera muhimu. 3. Kuishauri Halmashauri kufanya maamuzi juu ya utoaji wa

huduma kulingana na rasilimali walizo nazo. 4. Kuiwezesha Halmashauri kutengeneza taratibu

zitakazoongoza utendaji wa Kamati, Kamati Ndogo, na ule wa watumishi ili watimize wajibu wao.

5. Kufanya mapitio yatakayowezesha Halmashauri kuamua juu ya kuongeza, kupunguza, kubinafsisha au kuwashirikisha wadau katika utoaji wa huduma.

6. Kuhakikisha kuwa miundo na taratibu za utendaji wa Halmashauri zinazingatia ufanisi, uthabiti na tija katika kufikia malengo ya Halmashauri.

7. Kuiwezesha Halmashauri kujenga mahusiano imara kati yake na Serikali kuu, Serikali zingine za Mitaa na Umma kwa ujumla.

A. Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango:

Majukumu ya jumla:

Kamati hii inawashirikisha wenyeviti wa Kamati zote za Kudumu

na inapaswa kukutana kila mwezi mara moja. Aidha, madaraka

ya Kamati hii ni kama ya Kamati zingine za Kudumu na hivyo

hairuhusiwi kisheria kufanya kazi/majukumu ya Kamati zingine za

Kudumu.

Kwa ujumla, majukumu yake ni pamoja na kusimamia na

kudhibiti ukusanyaji wa mapato na matumizi ya mali ya

Halmashauri kwa kupitia vikao vyake.

Page 119: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

119

Majukumu Maalum ya Kamati:

1. kuweka mikakati na kupendekeza uongezaji wa mapato.

2. kuwasilisha mapendekezo ya Bajeti na mpango wa

Maendeleo kwenye Halmashauri ili kuidhinishwa na

Halmashauri.

3. kusimamia utunzaji wa hesabu za fedha ikiwa ni pamoja na

uhakiki wa mali za Halmashauri, ukusanyaji wa mapato,

kufuta madeni, na kuomba vibali Maalum kwa matumizi

yanayohitaji kibali cha Waziri mwenye dhamana ya Serikali

za Mitaa.

4. kufikiria na, pale inapowezekana, kupendekeza kwenye

Halmashauri masuala yanayohusu Sheria Ndogo na

utendaji katika ngazi za chini za Halmashauri.

5. kupokea na kuzingatia mapendekezo ya kubadili matumizi

ya mafungu ya fedha (re-allocation) yaliyopo katika

makisio yaliyoidhinishwa na kuyapeleka kwa Halmashauri.

6. kuratibu mapendekezo kutoka kwenye Kamati zingine

kuhusu matumizi ya kawaida na miradi na kuyawasilisha

kwenye Halmashauri.

7. kufikiria na kupendekeza kwenye Halmashauri mikopo

yote ya Halmashauri.

8. kutoa mapendekezo ya vitega uchumi kwa madhumuni ya

kuongeza mapato kwa mujibu wa Sheria ya Fedha za

Serikali za Mitaa, Sura ya 290.

9. kupokea na kujadili taarifa za wakaguzi wa fedha na mali

ya Halmashauri na kupendekeza hatua za kuchukuliwa

kutokana na maelekezo na maoni ya wakaguzi kwa mujibu

wa Sheria za Serikali za Mitaa, Sura ya 290.

10. kusimamia na kudhibiti matumizi ya fedha za Halmashauri,

kwa kuzingatia taratibu zilizowekwa na Waziri na taratibu

nyingine zitakazowekwa na Halmashauri.

Page 120: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

120

11. kupitia marekebisho yote yaliyopendekezwa hususan

kuhusu taratibu za fedha, ikiwa ni pamoja na mapitio ya

mara kwa mara yanayohusu thamani ya fedha ambapo

Kanuni mbalimbali za manunuzi ya mali na vifaa hutumika.

12. kufikiria na kupendekeza mabadiliko ya viwango vya kodi,

ada na ushuru mbalimbali, vinavyotolewa na Halmashauri.

13. kufikiria mapendekezo ya Bajeti na Mipango ya

Maendeleo ya kila Kamati ya Kudumu na kuiwasilisha

kwenye Halmashauri ili kupata idhini.

14. kushughulikia tofauti ya mapato na matumizi katika bajeti

yote na kupendekeza hatua stahiki ya kuchukua kuondoa

mapungufu katika mapato au ziada matumizi.

15. kufikiria mapendekezo yote yanayohusu matumizi

makubwa ya fedha kabla hayajawasilishwa kwenye

Halmashauri ili kupata idhini.

16. kupokea mahesabu ya mwaka ya Halmashauri na

kuhakikisha taarifa ya mahesabu ya mwaka inawasilishwa

kwa wakati kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za

Serikali.

17. kupitia na kuidhinisha mpango wa manunuzi wa

Halmashauri kwa kuzingatia mpango wa Bajeti

uliopitishwa na Halmashauri.

18. kupitia taarifa ya kila robo mwaka kuhusu Manunuzi

iliyowasilishwa na Afisa Masuuli.

19. kusimamia utekelezaji wa mikataba ya Halmashauri kwa

kukagua miradi inayotekelezwa na vifaa vilivyopokelewa.

20. kumwelekeza Mkurugenzi kufanya manunuzi au ukaguzi

wa huduma au vifaa vilivyonunuliwa ili kupata thamani

halisi, itafanyika hivyo endapo itadhihirika kwamba,

maelezo yaliyotolewa kuhusu manunuzi ya vifaa au

huduma hayaridhishi.

Page 121: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

121

21. kuidhinisha majina ya wajumbe wa Bodi ya zabuni na wa

Bodi zingine kwa mujibu wa Sheria husika.

22. kushughulikia orodha ya wadaiwa wote

itakayokayowasilishwa kwenye Kamati na kutoa

mapendekezo ya hatua za kuchukua.

23. kupendekeza njia na taratibu za kuondosha vifaa chakavu.

Uondoshaji wa vifaa unaweza kufanyika kwa njia ya kuuza

au kuviharibu.

24. kujadili na kupitia taarifa za fedha za kila mwezi na kila

robo mwaka.

25. kupendekeza kwa Halmashauri hatua za kuchukua kuhusu

kufuta madeni ya Halmashauri.

26. kushughulikia Sera kuhusu kukopa na uwekezaji.

27. kujadili na kupendekeza mabadiliko ya viwango vya kodi,

ada na ushuru mbalimbali vinavyotozwa na Halmashauri.

28. kubuni na kupendekeza mpango wa kuanzisha na

kuendeleza uhusiano na Halmashauri nyingine.

29. kurekebisha na kusimamia makusanyo na matumizi ya

mapato ya vijiji na miji midogo kwa mujibu wa Sheria, Sura

ya 287.

30. kuteua wakaguzi wa fedha/mali za Serikali za Vijiji kwa

mujibu wa Sheria, Sura ya 290.

31. kujadili na kutoa mapendekezo ya hatua za kuchukuliwa

kuhusu mambo yote ya yanayohusu masuala ya ajira na

kinidhamu ya wafanyakazi na watumishi.

32. kujadili na kutoa mapendekezo kuhusu masuala

yanayohusu nyumba za Halmashauri.

33. kupokea na kutoa uamuzi juu ya mapendekezo ya

watumishi wanaokwenda masomoni.

34. kujadili na kupendekeza masuala yote yanayohusu maslahi

ya jumla ya watumishi, ikiwa ni pamoja na mikopo,

nyumba, usafiri, matibabu, rambirambi na motisha

nyinginezo.

Page 122: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

122

35. kupitisha mapendekezo ya kuthibitisha watumishi kazini

baada ya kumaliza kipindi cha majaribio kulingana na

miundo husika ya utumishi.

36. kupendekeza Sheria Ndogo zinazohusu Kamati hii.

B: Kamati ya Elimu, Afya na Maji:

Majukumu ya Jumla.

Kushughulikia mambo yote yanayohusu afya ya jamii, elimu

na huduma za maji. Kamati hii pia itashughulikia mambo

yanayohusiana na jitihada za wanannchi vijijini kujiletea

maendeleo yao kwa kutumia mbinu mbalimbali ikiwa ni

pamoja na kushauri, kushawishi, kuzindua, kuelimisha na

kushirikisha wananchi hao hasa katika kutayarisha,

kutekeleza, kusimamia na kutathmini mipango yao ya

maendeleo.

Majukumu Maalum ya Kamati:

1. kuandaa mipango madhubuti ya maendeleo ya upanuzi na

ujenzi wa hospitali, vituo vya afya na zahanati.

2. kuandaa mipago ya maendeleo ya upanuzi na ujenzi wa

shule za awali na msingi na elimu ya watu wazima kwa

Page 123: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

123

mujibu wa Sheria ya Elimu ya 1978 kama ilivyorekebishwa

mwaka 1995.

3. kupendekeza mipango ya ujenzi au upanuzi wa

vituo,viwanja, majengo na mazingira ya burudani,

starehe, mapumziko na michezo.

4. kuamua juu ya mambo yanayohusu uhifadhi wa mambo ya

kale na mandhari mbalimbali zenye sura nzuri.

5. kuandaa na kuratibu njia bora juu ya uhifadhi wa nyaraka

muhimu kwa ajili ya kumbukumbu hizo zitahifadhiwa kwa

mujibu wa Sheria ya Serikali za Mitaa Sura ya 287.

6. kupendekeza njia bora juu ya uhifadhi wa sanaa

mbalimbali za ufundi na za maonyesho kwa mujibu wa

Sheria ya Serikali za Mitaa Sura ya 287.

7. kupendekeza matumizi mazuri ya lugha ya taifa.

8. kupendekeza namna ya malezi ya vijana ili waweze kuwa

wazalishaji katika Taifa.

9. kupendekeza namna ya malezi ya vijana ili waweze kuwa

wazalishaji katika Taifa.

10. kusimamia uanzishaji wa uendelezaji wa vikundi vya jamii

na vya hiari vya wananchi katika Halmashauri kwa mujibu

wa sera wa maendelo ya jamii.

11. kusimamia na kuhakiki maeneo ya misitu, mapori, na

mbuga zilizotengwa kama hifadhi ya mamlaka ya Serikali

za Mitaa.

12. kupendekeza na kufanya tathmini ya uendelezaji wa

mabonde, mito na mabwawa.

13. kubuni na kupendekeza namna ya kidhibiti moto.

14. kubuni na kupendekeza mikakati ya utumiaji wa nishati

mbadala, kuzuia ukataji miti ovyo, na kuhimiza upandaji

miti kwa wingi.

15. kuhakikisha kwamba ukaguzi wa majengo unafanyika mara

kwa mara.

Page 124: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

124

16. kupendekeza mipango madhubuti ya ujenzi wa barabara

vijijini na wilayani kwa ujumla.

17. kupendekeza Sheria Ndogo zinazohusu Kamati hizi.

C: Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira:

Majukumu ya jumla

Kamati hii itashughulikia masuala ya uzalishaji mali ikiwemo

kilimo, mifugo, viwanda, madini, Biashara n.k. Aidha

itashughulikia pia miundombinu na suala zima la mendeleo ya

Ardhi na hifadhi ya mazingira.

Majukumu Maalum ya Kamati;

1. kupendekeza kwa Halmashauri mipango ya kupanua

biashara na jinsi ya kukusanya mapato yatokanayo na

upanuzi huo.

2. kupendekeza mipango ya matumizi ya ardhi katika eneo la

Halmashauri.

3. kusimamia matumizi ya Sheria ya nguvu kazi.

4. kuandaa mipango madhubuti ya maendeleo ya upanuzi wa

kilimo katika Halmashauri

5. kusimamia na kuhakiki miradi ya ujenzi wa masoko,

minada,majosho na vituo vya mifugo.

6. kushughulikia uanzishaji na uendelezaji wa vyama vya

ushirika kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Ushirika,

D: Kamati ya Kudumu ya Kudhibiti Ukimwi

Page 125: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

125

Majukumu ya Kamati:

1. kushirikisha wadau tofauti katika maeneo husika ili

kuongeza uchangiaji wa mawazo na/au nyenzo,

usimamizi, uratibu na utekelezaji wa kazi za Tume za

kudhibiti UKIMWI;

2. kusimamia uundaji wa Kamati zote za kudhibiti UKIMWI;

3. kupendekeza na kuchambua hali ya UKIMWI/Mipango na

utekelezaji wake na kufikisha katika ngazi husuka kwa

hatua zaidi;

4. kutathmini hali ya UKIMWI katika eneo lake kuhusu;

(a) idadi ya waathirika: wagonjwa, yatima, wajane,

(b) kasi ya maambukizo

(c) mazingira Maalum yanayochangia maambukizo;

(d) uelewa wa wananchi juu ya janga hili.

5. Serikali haitatoa fedha kwa Halmashauri isiyokuwa na

mipango madhubuti ya kudhibiti UKIMWI.

6. kuweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha kila mtoto

aliyefikia umri wa kwenda shule anafanya hivyo,

7. kuweka mikakati ya makusudi juu ya njia bora za

kuchangia baadhi ya huduma za Elimu na Afya.

8. kubuni na kupendekeza njia bora za kuzuia na kudhibiti

magonjwa ya milipuko.

9. kupendekeza Sheria Ndogo za Kamati hii.

Page 126: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

126

Page 127: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

127

FAHARASA – HALMASHAURI YA WILAYA

Kanuni Na. Kifungu cha Sheria

A

Ajenda za Kamati

Akidi katika mikutano ya Halmashauri

Akidi kwenye mikutano ya Kamati

Athari za nafasi wazi kwenye Kamati

B

C

D

Diwani au Afisa kutokuwa na maslahi

katika mikataba

Diwani kutembelea maeneo, shughuli

mbalimbali za ujenzi.

Dua ya kuiombea Halmashauri

E.

F

Fujo zinazosababishwa na umma

49

8

55

54

69

77

90

Sura ya 287 kif.64

Sura ya 287 kif.84(2) na (3)

Sura ya 287 kif.84(1);84(3)

Sura ya 287 kif.71

Page 128: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

128

Fujo zinazosababishwa na Wajumbe

18

17

G

H

Haki ya kujibu

Hoja kuhusu matumizi

Hoja na marekebisho ya hoja

Hoja za Mwenyekiti

Hoja zinazohusu watumishi wa

Halmashauri

Hoja zinazoweza kutolewa bila taarifa

I

J

K

Kamati Ndogo

Kamati za Kudumu

Kamati za pamoja

Kanuni za Kudumu kutumika katika

21

32

19

15

37

20

45

40

43

Page 129: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

129

mikutano ya Kamati

Kanuni za Kudumu kutolewa kwa

Wajumbe

Kauli zenye kashfa

Kiapo na kukubali wadhifa

Kuidhinishwa kwa Taarifa ya Kamati

Kufikiriwa upya maamuzi

Kufutwa kwa Kanuni zilizopo

Kujiuzulu ujumbe wa Kamati na kujazwa

kwa nafasi iliyoachwa wazi.

Kujiuzulu wadhifa wa Mwenyekiti wa

Kamati

Kukasimu madaraka kwenye Kamati

Kumbukumbu ya mahudhurio.

Kumwondoa Mwenyekiti madarakani

Kupokelewa kwa taarifa za Kamati

Kuruhusu watu na vyombo vya Habari

kwenye mikutano ya Halmashauri

56

87

27

70

34

59

91

62

61

44

11

82

33

Sura ya 287 kif.79

Sura ya

287 kif.36(5); GN 263/95

Sura ya 287 kif.67(1)

Page 130: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

130

12

Kushiriki kwa Umma

Kusitisha utumiaji wa Kanuni za Kudumu.

Kutafsiri Kanuni za Kudumu

Kuthibitisha muhtasari

Kutokuwepo kwa Wajumbe

Kutunza siri za Majadiliano ya Kamati na

Kamati Ndogo.

L

M

Maamuzi ya mikutano ya Halmashauri

Mahudhurio katika mikutano ya Kamati

Mahudhurio ya Umma na vyombo vya

habari kwenye mikutano ya Kamati/Kamati

Ndogo

Majukumu ya Diwani

Marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za

Kudumu

Maswali

Maswali ya papo kwa papo

38

85

88

14

73

60

28

50

53

Sura ya 287 kif.114(1)(b)

Sura ya 287 kif.41(2)na (3)

Sura ya 287 kif.86 na 67(2)

Sura ya 287 kif.66

Sura ya 287 vif.86; 67 (2)

Page 131: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

131

Mihtasari ya za Kata na vijiji.

Mihtasari ya Halmashauri kupelekwa kwa

Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa.

Muhtasari wa Kamati

Mikutano ya kawaida ya Halmashauri

Mikutano ya Kamati

Mtoa hoja kualikwa kwenye Mkutano wa

Kamati.

Mkutano wa Bajeti

Mkutano wa Mwaka

Mkutano Maalum wa Halmashauri

Mkutano Maalum wa Kamati

Mwaliko wa wasiokuwa Wajumbe

Mwenyekiti kuwa Mjumbe wa Kamati zote

N

Nafasi wazi

71

86

22

23

30

31

58

3

46

51

5

6

4

48

29

41

Sura ya 287 kif. 70(1)

Taz.pia Sura ya 290 kif.47

Sura ya 287 kif.83(2)

Sura ya 287 kif.63(1)

Sura ya 287 kif.63(3)

Sura ya 287 kif.74(1)

Sura ya 287 kif.42(1) (a) 172

Page 132: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

132

72 (1);41 (4);Tangazo la Serikali

Na.139/82 aya ya 23 na40 na

Sheria Na.4/79 kif.40(1)(b);40 (1)

(b) na SheriaNa 4/79kif.40(i) (b)

(i); na Sheria Na.4/79

kif.40;tangazo la Serikali Na.

280/2000 kif.35;41(3)41(3) na

kif.71(8).

P

Aina za Posho

Posho iwapo Mkutano umeahirishwa

Q

83

84

R

Rejesta ya mikataba

S

T

Taarifa za Kamati

Taarifa kutoka kwenye kata

Taarifa za mikutano

Tafsiri

Taratibu za kutunga Sheria Ndogo

Taratibu za Majadiliano

Taratibu za Uagizaji

68

24

25

7

2

74

16

63

Sura ya 287 kif.85

Sura ya 287 kif.155

Na.21/2004

Sura ya 290 kif.68

Page 133: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

133

U

Uahirishaji wa vikao

Uandikishaji wa Anwani

Uanzishaji wa Bodi za Huduma

Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu wa

Mwenyekiti wa Halmashauri

Uhalali wa majadiliano ya Halmashauri

Uhifadhi wa lakiri ya Halmashauri

Uhuru wa kutoa mawazo wakati wa

majadiliano

Ukaguzi wa nyaraka

Uongozi wa mikutano ya Halmashauri

Upigaji kura kwenye mikutano ya Kamati

Usimamiaji wa mikataba

Utaratibu wa shughuli za mikutano

Uteuzi wa Wajumbe kwenye Taasisi za nje

Utiaji mhuri kwenye Nyaraka

Uvunjaji wa mkataba

Uwezo wa Halmashauri kujigeuza kuwa

Kamati ya Halmashauri nzima.

Uwezo wa Kamati

Uzuiaji wa Rushwa

39

80

76

9

35

78

26

75

10

57

66

13

81

79

67

Sura ya 287 kif.88

Sura ya 287 kif.36(2)

Sura ya 287 kif.72

Sura ya 287 kif.65

Page 134: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

134

36

42

65

V

W

Waalikwa wasiokuwa Wajumbe

kuhudhuria na kushiriki katika mikutano ya

Kamati.

X

Y

Z

Ziara za Wajumbe

52

89

Sura ya 287 kif.75(4)

Page 135: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

135

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

KIAPO CHA DIWANI

Mimi …………………………............................................……

naapa/natamka kwa dhati kwamba

nitaitumikia Halmashauri ya………………….. kwa wadhifa wangu wa

Udiwani na kwamba nitahifadhi, nitalinda na kutetea, Katiba ya

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Sheria za Tanzania, Maadili ya

Madiwani na Kanuni za Kudumu za Halmashauri kama zilivyowekwa

kwa mujibu wa Sheria na kwamba nitaitumikia Halmashauri ya

Wilaya ya Masasi kwa uaminifu kwa uwezo na moyo wangu wote.

(Ewe Mwenyezi Mungu nisaidie)

Kiapo/Tamko hili limetolewa hapa:……………………....…………………

Na……………………………………………………………………………..

Leo tarehe…………………… Mwezi wa………………….........20..……….

Mbele ya:………………………………………..

Jina:………………………………………………

Cheo:………………………………………..…….

Saini:……………………………………….………

Anuani…………………………………..………….

Page 136: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

136

……………………………………….……………..

HAKIMU

Page 137: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

137

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU

RASILIMALI NA MADENI

(Kwa mujibu wa kifungu cha 9 na cha 11 cha Sheria ya Maadili ya

Viongozi wa Umma)

Mimi……………………………………………………………………………….…………………

Anuani:……………………baada ya kuchaguliwa/kuteuliwa na kuapishwa

katika wadhifa wa…….……...tarehe……………………….mwaka

20….Ninatamka rasmi na kwa moyo mnyofu kwamba hadi sasa nina

rasilimali na madeni

yafuatayo:-

(1) Fedha taslimu, Amana katika benki au taasisi ya fedha; taja

namba ya akaunti, benki au taasisi ya fedha na kiasi:

…………………………………………………………………………………………………………

…………………………………………...................................................................

.....………………

2) Hawala za Hazina (Treasury Bills) na dhamana nyingine Maalum:-

…………………………………………………………………………………………………………

…………………………………………...................................................................

....………………

3) Faida ya akiba, mafungu ya mgawanyo wa faida zinazotokana na

hisa n.k.

Page 138: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

138

…………………………………………………………………………………………………………

……………………………………….....................................................................

...…………………

4) Nyumba au majengo ya kupangisha, taja mahali yalipo na ukubwa

au eneo:

…………………………………………………………………………………………………………

……………………………………........................................................................

.…………………

* Rasilimali zinazotakiwa ni pamoja na zifuatazo, ambazo ni zako

binafsi, za mume/mke au watoto wadogo wasiooa au kuolewa wa

kiongozi wa umma.

(a) fedha taslimu na amana katika benki au taasisi nyingine ya fedha.

(b) hawala za Hazina Treasury Bills) na nyinginezo za dhamana

Maalum zinazotolewa au kudhaminiwa na Serikali au vyombo vya

Serikali.

(c) faida itolanayo na fedha iliyowekwa akiba benki, chana cha Ujenzi

au taasisi nyingine ya fedha.

(d) mgao wa fedha kutokana na fungu la rasilimali ya kampuni

(stocks) au hisa za kiongozi wa umma katika kampuni au shirika

lolote.

(e) maslahi katika chombo cha biashara kisichokuwa na mkataba na

Serikali, na kisichokuwa na au kisichotawala amana zinazouzwa

bayana na vyombo vya umma.

(f) mashamba ya kibiashara.

Page 139: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

139

(g) mali halisi zisizohamishika ambazo si rasilimali zisizotakiwa

kutajwa; na

(h) rasilimali zinazoleta faida, ambazo si rasilimali zisizotakiwa

kutajwa na ambazo zinamilikiwa kwa mbali.

(5) Mashamba ya kibiashara, mifugo, madini n.k.

…………………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………………

……………………………................................................................................

....................…………

(6) Magari na aina nyingine za usafiri wa kibiashara;

…………………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………………

…………...................................................................................................

..............................………

(7) Mashine za kusaga nafaka, viwanda na shughuli nyingine za

kibiashara au

mitambo:…………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………………

………………..............................................................................................

..................................…………

(8) Rasilimali nyinginezo au maslahi ambayo kiongozi wa umma

anapenda

kutaja:………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………..........................................

......................

(9)Madeni:………………………..………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………………

Page 140: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

140

……………………………………………………………................................................

............................

Tamko hili linatolewa na kusainiwa mbele yangu

………………………………..............................................................................

.................................

na (mtoa

tamko) ..................................................................................................

..……………………

ninayemfahamu binafsi, au aliyetambulishwa kwangu na

…………………………………………………........................................................…

………………ambaye ninamfahamu leo tarehe …………………………......….

Mtoa tamko

Mwezi wa …………………………………………………..…….

saini………………………………………………………..……...

Wadhifa:…………………………………………………....……..

Anuani:……………………………………………….....………...

……………………………………………………….....………….

(Tamko hili lazima litolewe mbele ya Kamishna wa Viapo)

KWA: KAMISHINA WA MAADILI, SEKRETARIETI YA MAADILI,

S.L.P 13341,

DAR ES SALAAM.

Page 141: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

141

Muhuru wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

umewekwa katika Lakiri ya Sheria Ndogo hizi kufuati

Mkutano wa Baraza la Madiwani ulioketi Halmashauri

leo tarehe 29 mwezi 10 mwaka 2014 mbele ya

wafuatao:-

……………………………………………..

CHANGWA M. MKWAZU,

Mkurugenzi Mtendaji

Halmashauri ya Wilaya Masasi

……………………………………………….

JUMA M. SATMAH,

Mwenyekiti

Halmashauri ya Wilaya Masasi

NAKUBALI,

……………………………

……………………….

Dodoma GEORGE B.

SIMBACHAWENE (MB.),

23 Mei, 2017 Waziri wa

Nchi – OR TAMISEMI

Page 142: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

142

Page 143: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

143

TANGAZO LA SERIKALI NA. 396 la tarehe 29/09/2017

SHERIA YA SERIKALI ZA MITAA (MAMLAKA ZA WILAYA)

(SURA YA 287)

________

SHERIA NDOGO ________

Zimetungwa chini ya kifungu cha 153(1)

________

SHERIA NDOGO ZA (UHIFADHI WA MALIASILI NA VYANZO VYA MAJI) ZA HALMASHAURI YA

WILAYA YA MASASI, 2017

Page 144: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

144

Jina na mwanzo wa

kuanza kutumika 1. Sheria ndogo hizi zitaitwa Sheria Ndogo za

(Uhifadhi wa Maliasili na Vyanzo vya Maji) za

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi za mwaka 2017,

na zitaanza kutumika baada ya kutangazwa kwenye

Gazeti la Serikali.

matumizi 2. Sheria Ndogo hizi zitatumika kwenye eneo lote

lililopo chini ya Halmashauri ya Wilaya ya Masasi.

Tafsiri 3. Katika Sheria hizi isipokuwa pale itakapoelekezwa

vinginevyo:-

“Afisa Muidhiniwa” maana yake ni Afisa yeyote

atakayeteuliwa na Halmashauri kusimamia

utekelezaji wa Sheria Ndogo hizi;

“Halmashauri” maana yake ni Halmashauri ya

Wilaya ya Masasi;

“Mkazi” maana yake ni mtu yeyote anayeishi na

kupata huduma za kijamii katika Wilaya ya

Masasi;

“Mkurugenzi” maana yake ni Mkurugenzi wa

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi au Afisa

yeyote wa umma atakayeteuliwa kutekeleza

majukumu ya Mkurugenzi;

“Msitu” maana yake ni eneo la ardhi lilotengwa na

kuwekwa mipaka lenye uoto wa asili au

lilopandwa miti kwa ajili ya matumizi

Page 145: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

145

maalum;

“Miti” maana yake ni pamoja na vichaka, mianzi,

miche na uoto wa aina yoyote wa asili au wa

kupandwa;

“Viumbe hai” maana yake ni pamoja na wadudu,

ndege na wanyama wanaohifadhiwa na

mazingira ya asili;

“Mifugo” maana yake ni wanyama wowote

wanaomilikiwa na binadamu kwa matumizi

maalum wakiwemo ng’ombe, mbuzi, kondoo

na nguruwe;

“Kibali” maana yake ni idhini ya maandishi

inayotolewa na Halmashauri kwa ajili ya

kuruhusu shughuli yoyote inayohusu Sheria

Ndogo hizi;

“Miti ya kupandwa” maana yake ni miti yote

iliyopandwa au kuoteshwa katika sehemu

yoyote ya Halmashauri kwa ajili ya manufaa

ya mauzo au kuboresha mandhari na

mazingira;

“Madini” maana yake ni rasilimali inayochimbwa na

kuhamishwa kutoka sehemu moja kwenda

sehemu nyingine kwa matumizi

yaliyokusudiwa ikiwa ni pamoja na udongo,

mchanga, kokoto, mawe na vito mbalimbali;

“Chanzo cha maji” maana yake ni kijito, chemchem,

mto, mifereji ya asili, eneo tepetepe, lenye

uwezo wa kuzalisha maji kwa matumizi ya

mimea na viumbe wengine na maeneo

yanayozunguka yaliyotajwa kisheria kama

chanzo cha maji;

Page 146: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

146

“Eneo la wazi” maana yake ni eneo lililotengwa kwa

ajili ya matumizi ya jamii na lisiloruhusiwa

kujengwa vikiwemo viwanja vya michezo,

bustani na maeneo mengine yaliyotengwa

kwa matumizi ya aina hiyo;

“Msitu wa hifadhi” maana yake ni eneo lililotengwa

lenye uoto wa asili au miti ya kupandwa kwa

ajili ya manufaa au matumizi maalum kwa

mujibu wa Sheria Ndogo hizi;

“Makazi” ni sehemu iliyopimwa au isiyopimwa

ambayo imejengwa nyumba kwa ajili ya kuishi

au kwa ajili ya upatikanaji wa huduma za

jamii.

0754589056Wajibu

wa mkazi 4. (1) Kila mkazi wa eneo la Halmashauri ambaye

anamiliki ardhi au kiwanja Kisheria au kimila

atawajibika kupanda miti isiyopungua mitano katika

ardhi hiyo.

(2) Mti au Miti iliyopandwa karibu na nguzo za

mtandao wa umeme uwe ni mita tano (5).

(3) Mtu yeyote atakayemiliki ardhi katika eneo la

Halmashauri ambalo limeota, kupandwa miti au

uzio wa miti atawajibika kutunza, kupunguza na

kuweka uzio katika hali ya usafi nyakati zote.

Kukata miti ovyo 5. (1) Haitaruhusiwa kwa mtu yeyote kukata au

kung’oa mti wowote uliopandwa au ulioota sehemu

yoyote bila kuwa na idhini ya maandishi kutoka

Page 147: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

147

Halmashauri.

(2) Idhini ya kukata au kung’oa mti au miti

itaambatana na ulipaji wa ada ya Shilingi elfu kumi

(10,000/=) kwa Halmashauri kwa kila mti

utakaokatwa au kung’olewa.

(3) Halmashauri itakuwa na mamlaka ya kutoa amri

halali kwa Mkazi au jamii katika sehemu yoyote

ndani ya Halmashauri ili kuongeza kiwango cha

kupanda miti kadiri itakavyoona inafaa.

(4) Afisa Mwidhiniwa atakuwa na mamlaka wakati

wowote kuingia katika eneo la makazi akiwa na

kitambulisho na kukagua sehemu yoyote ndani ya

eneo la Halmashauri ili kuhakikisha kuwa Sheria

Ndogo hizi zinazingatiwa.

Shughuli

zilizokatazwa kwenye

eneo lililopandwa

miti

6. (1) Haitaruhusiwa kwa mtu yeyote kufanya

shughuli za kibinadamu katika msitu, shamba la miti

au eneo lililopandwa miti bila kuwa na idhini ya

maandishi kutoka Halmashauri.

(2) Bila kuathiri masharti yaliyowekwa katika

kifungu kidogo cha (1) hapo juu, mtu yeyote

hataruhusiwa:-

Page 148: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

148

(a) kukata miti kwa ajili ya kuchoma mkaa, kuni,

mijengo au fito;

(b) kupasua mbao;

(c) kuchoma moto misitu au miti;

(d) kuwinda wanyama, ndege au wadudu;

(e) kujenga nyumba, kulima au kulisha mifugo;

(f) kuvuna asali;

(g) kuchimba madini, mchanga, kokoto, mawe

na udongo;

(h) kuosha magari, kunawa, kuoga au kufua

nguo;

(i) kufanya matambiko au utafiti wa aina

yoyote ile;

(j) kutupa au kumwaga taka.

Wajibu wa kuhifadhi

vyanzo vya maji 7. (1) Kila mkazi wa Halmashauri atakuwa na

wajibu wa kutambua, kuainisha na kutunza vyanzo

vyote vya maji vilivyopo kwenye maeneo ya makazi

ili kuepusha uchafuzi na kuwa endelevu.

(2) Kila mkazi anatakiwa kuzingatia maelekezo

ya kitaalam kuhusu usimamizi na uendeshaji wa

miradi ya maji iliyopo katika vyanzo hivyo kwa

mujibu wa miongozo ya Halmashauri na Sera ya

Page 149: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

149

maji ya Taifa.

Ukataji miti ovyo

kwenye vyanzo vya

maji

8. (1) Mtu yeyote hataruhusiwa kukata, kung’oa

au kuharibu mti au miti iliyoota au kupandwa ndani

ya ukanda wa mita 30 wa kingo mbili za mto au

nusu kipenyo cha mita 20 kutoka katikati ya kisima,

chemchem au bwawa bila kuwa na kibali kutoka

Halmashauri.

(2) Bila kuathiri kifungu kidogo cha (1) hapo

juu, mtu yeyote haruhusiwi kufanya shughuli za

ujenzi, kilimo kulisha mifugo, kuosha gari, kufua

nguo, kunawa, kuoga au kuchimba madini au dawa

kwenye vyanzo vya maji.

Shughuli

zilizokatazwa kwenye

vyanzo vya maji

9. (1) Mtu yeyote hataruhusiwa kufanya

shughuli za kibinadamu katika maeneo ya vyanzo

vya maji bila kuwa na idhini ya maandishi kutoka

Halmashauri.

(2) Bila kuathiri masharti yaliyowekwa katika

kifungu kidogo cha (1) hapo juu, Mtu yeyote

hataruhusiwa:-

(a) kukata miti kwa ajili ya kuchoma mkaa,

kuni, mijengo au miti ya dawa na fito;

(b) kupasua mbao;

(c) kuchoma moto miti au misitu;

Page 150: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

150

(d) kujenga nyumba, kulima ua kulisha mifugo;

(e) kuchimba madini, mchanga kokoto, mawe

au udongo;

(f) kuosha gari, kunawa, kuoga au kufua nguo.

Wajibu wa kutunza

bustani 10. (1) Kila mkazi wa Halmashauri atakuwa na

wajibu wa kushiriki katika utunzaji wa Bustani na

maeneo ya wazi ili kuyaboresha na kuyaendeleza.

(2) Mtu yeyote hataruhusiwa kufanya

shughuli yoyote kwenye maeneo ya wazi au bustani

bila kuwa na idhini ya maandishi kutoka

Halmashauri.

(3) Usimamizi na utunzaji wa maeneo ya wazi

au bustani utazingatia ushauri wa wataalam wa

Halmashauri na wadau mbalimbali watakaojitokeza

kushirikiana na Halmashauri katika kuendeleza

maeneo hayo.

Shughuli

zilizokatazwa kwenye

maeneo ya wazi na

bustani

11.

(1) Mtu yeyote hataruhusiwa kufanya

shughuli za kibinadamu kwenye bustani au maeneo

ya wazi bila kuwa na idhini kutoka Halmashauri.

(2) Bila kuathiri masharti yaliyowekwa katika

kifungu kidogo cha (1) hapo juu, mtu yeyote

hataruhusiwa:-

Page 151: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

151

(a) kutengeneza gari, pikipiki au baiskeli;

(b) kufanya biashara ya aina yoyote;

(c) kwenda haja kubwa au ndogo;

(d) kuharibu uzio au mipaka iliyowekwa;

(e) kuharibu au kuhamisha mimea au mali

yoyote iliyopo kwenye eneo;

(f) kufanya mikutano, mihadhara, mafunzo au

semina;

(g) kupiga picha za kamera au video.

Wajibu wa

kuwaendeleza nyuki 12. (1) Kila mkazi wa Halmashauri atakuwa na

wajibu wa kuwatunza nyuki kwa manufaa ya jamii

kwa kuzingatia Kanuni za kitaalam.

(2) Kila mkazi wa Halmashauri anawajibika

kuzingatia ushauri wa kitaalam katika ufugaji,

uvunaji wa asali na utunzaji wa asali katika vyombo

vyenye ubora unaostahili.

(3) Nyuki wasumbufu wanaovamia maeneo

yasiyostahili wataondolewa na wataalamu wa

Halmashauri kwa kulipia gharama kwa viwango

vilivyoainishwa na Halmashauri.

Uuzaji wa asali 13. Mfanyabiashara yeyote wa asali anatakiwa

kutumia vyombo rasmi kwa ajili ya kutunzia na

Page 152: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

152

kuuzia asali. Ni marufuku kutumia chupa za kioo

zilizokwishatumika kuhifadhi bidhaa nyingine kwa

ajili ya kuhifadhi au kuuzia asali.

Biashara ya Nyara za

Serikali 14. (1) Kila mfanyabiashara hatatakiwa kufanya

biashara ya Nyara za Serikali bila kuwa na leseni.

(2) Wafanyabiashara wote watakaoomba

leseni za biashara ya Nyara za Serikali watalipa ada

ya maombi kwa kiwango cha Tsh. 5,000/= kwa kila

fomu.

(3) Wafanyabiashara wote wanaosafirisha

Nyara nje ya nchi watawajibika kuilipa Halmashauri

asilimia (20%) ya malipo ya Serikali Kuu kwa ajili ya

biashara hiyo.

Makosa na Adhabu 15. Mtu yeyote atakayekwenda kinyume na

masharti ya Sheria Ndogo hizi atakuwa ametenda

kosa na akipatikana na hatia atatozwa faini isiyozidi

Shilingi Laki Tatu (300,000/=) au kifungo cha miezi

kumi na miwili jela au adhabu zote mbili kwa

pamoja yaani faini na kifungo.

Uwezo wa kufifirisha

kosa 16.

Mkurugenzi anaweza kumtoza faini isiyozidi

Shilingi Laki Mbili (200,000/=) mtu yeyote endapo

mkosaji kwa hiari yake mwenyewe atakiri kosa kwa

maandishi na kukubali kulipa faini anayodaiwa.

Page 153: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

153

_______

JEDWALI

______

(Limetungwa chini ya kifungu cha 16)

Mimi …………………… nakiri mbele ya ………….ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa

Halmashuri ya Wilaya ya Masasi, kwamba mnamo tarehe …… ya Mwezi ……. Mwaka ……

nilitenda kosa la kukiuka masharti ya kifungu cha …… cha Sheria Ndogo za (Uhifadhi wa

maliasili na Vyanzo vya Maji) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi za Mwaka 2017.

Kwa Mamlaka aliyopewa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri, Niko tayari kulipa kiasi

cha Ada/ Ushuru ninaodaiwa pamoja na faini.

NATHIBITISHA KWAMBA MAELEZO HAPO JUU NI YA KWELI NA NIMEYATOA KWA

HIARI YANGU KADRI YA UFAHAMU WANGU

Leo tarehe…………. ya Mwezi………… Mwaka ………………….

Jina……………………………….. Saini…………………………………….

Mbele ya :

Page 154: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

154

Jina: ……………………………………………

Cheo: ………………………………………….

Saini: …………………………………………..

Mhuri wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi umewekwa katika Lakiri ya Sheria

Ndogo hizi kufuatia Mkutano wa Baraza la Madiwani ulioketi Halmashauri leo

tarehe 29 mwezi 10 mwaka 2014 mbele ya Wafuatao:-

CHANGWA M. MKWAZU,

Mkurugenzi Mtendaji

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

JUMA M. SATMAH,

Mwenyekiti

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

NAKUBALI

Dodoma, MHE. GEORGE B. SIMBACHAWENE (MB.),

13 Julai, 2017 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala

Page 155: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

155

za Mikoa na Serikali za Mitaa

TANGAZO LA SERIKALI NA. 395 la tarehe 29/09/2017

SHERIA YA SERIKALI ZA MITAA (MAMLAKA ZA WILAYA)

(SURA YA 287)

________

SHERIA NDOGO

________

Zimetungwa chini ya kifungu cha 153(1)

________

SHERIA NDOGO YA (UANZISHAJI WA MFUKO WA AFYA YA JAMII) ZA

HALMASHAURI YA WILAYA ZA MASASI 2017

Jina na Tarehe ya

kuanza kutumika 1. Sheria Ndogo hizi zitajulikana kama Sheria Ndogo za

(Uanzishaji wa Mfuko wa Afya ya Jamii) za

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi za Mwaka 2017, na

zitaanza kutumika baada ya kutangazwa kwenye Gazeti

la Serikali.

Matumizi 2. Sheria Ndogo hizi zitatumika katika eneo lote la

mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya ya Masasi.

Tafsiri 3. Katika Sheria Ndogo hizi isipokuwa kama itaelezwa

vinginevyo:-

“Ada ya mtumiaji” maana yake ni ada anayolipa

mtumiaji wa huduma kwa Hospitali, Kituo cha afya

au Zahanati, kwa ajili ya Huduma ya Afya

iliyotolewa kwa mtumiaji;

Sura ya 287 ”Bodi” maana yake ni chombo kinachosimamia Huduma

za Afya ya Halmashauri iliyoundwa kwa mujibu

Page 156: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

156

wa kifungu Na. 88 cha Sheria ya Serikali za Mitaa

(Mamlaka za Wilaya) Sura Na. 287;

“Halmashauri” maana yake ni Halmashauri ya Wilaya ya

Masasi;

“Huduma za Afya” maana yake ni huduma zote za Afya

zinazotolewa na Hospitali, Vituo cha Afya,

Zahanati na Kliniki maalum zinazomilikiwa na

Serikali, Mashirika ya Dini, Mashirika yasiyo ya

Serikali au Watu binafsi;

“Kadi” maana yake ni kadi itakayotolewa kwa

Mwanachama wa Mfuko wa Afya ya Jamii;

“Kaya” maana yake ni:-

(a) Baba, Mama na Watoto wenye umri chini

ya miaka kumi na nane; na

(b) Mwanachama yeyote aliyefikia umri wa

miaka kumi na nane au zaidi na awe na

Mtoto au bila Mtoto mwenye umri chini ya

miaka kumi na nane; au

(c) Taasisi yoyote;

“Kituo cha Huduma kilichoteuliwa” maana yake ni kituo

kinachotoa Huduma za Afya na ni pamoja na kituo

chochote kilichoanzishwa au kinachoendeshwa

kwa malengo ya kutoa Huduma za Afya

kinachomilikiwa na Halmashauri, Serikali, Asasi

za Kidini, Mtu au Watu binafsi ambacho

kinahusika na Mfuko wa Afya ya Jamii;

“Malipo ya huduma” maana yake ni malipo ya papo kwa

papo yanayolipwa katika Kituo cha kutolea

Huduma za Afya na Mtu au Watu ambao si

Wanachama wa Mfuko wa Afya ya Jamii;

“Mchango” maana yake ni mchango wa fedha wa hiari,

utakaotolewa na Wanachama wa Mfuko wa Afya

ya Jamii;

Page 157: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

157

“Mganga Mkuu wa Wilaya” maana yake ni Daktari

ambaye ni Msimamizi Mkuu wa shughuli zote za

Huduma za Afya katika Wilaya;

“Mwanachama” ni Mtu yeyote ambaye anachangia

mfuko wa Afya ya Jamii;

“Mkurugenzi” maana yake ni Mkurugenzi wa

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi au Afisa yeyote

atakayeteuliwa kutekeleza majukumu ya

Mkurugenzi;

“Taasisi” maana yake ni pamoja na Shule au Chuo

kilichosajiliwa kwa mujibu wa Sheria au Taasisi

yoyote itakayokuwa imekubaliwa na kuidhinishwa

na bodi kuwa Mwanachama;

“Wizara” maana yake ni Wizara yenye dhamana ya

masuala ya Afya.

Mfuko wa Afya ya

Jamii 4. - (1) Kutakuwa na mfuko wa Afya ya Jamii ambao ni

mpango wa hiari wenye lengo la kutoa msaada kifedha

katika kugharamia matibabu, ambapo kaya zitakuwa

zikilipia Huduma za Afya, na Serikali itatoa mchango

wake wa fedha kama jazilio kwa mchango kutoka

kwenye Kaya Mwanachama.

(2) Matumizi ya fedha yatafanywa na kusimamiwa na

Bodi kwa Mujibu wa Sheria Ndogo hizi.

Page 158: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

158

Madhumuni ya

Mfuko 5. Madhumuni ya Mfuko yatakuwa ni-

(a) Kuboresha huduma za afya katika Jamii kwa

kugawanya madaraka na kuzipa nguvu Jamii

katika kufanya maamuzi na kuchangia katika

masuala yanayohusu afya zao;

(b) Kutoa huduma bora za afya zinazopatikana na kwa

kutumia mipango endelevu; na

(c) Kutafuta vyanzo vya mapato kutoka katika Jamii

kwa ajili ya kutoa huduma bora za afya kwa

Wanachama.

Usimamizi wa

Mfuko wa Afya ya

Jamii.

6. (1) Usimamizi na uendeshaji wa Mfuko utakuwa chini

ya:-

(a) Halmashauri ya Wilaya kupitia Bodi ya

Huduma za Afya ya Halmashauri ya

Wilaya; na

(b) Kamati ya Maendeleo ya Kata kupitia

Kamati ya Afya ya Kata, katika ngazi ya

Kata.

(2) Mfuko kwa ujumla utakuwa chini ya usimamizi wa

Bodi ambayo itakuwa na majukumu ya:-

(a) kuratibu shughuli zinazohusu mfuko;

(b) kusimamia, kudhibiti na kuelekeza

usimamizi katika vyanzo vya mfuko;

(c) kuhakikisha kuwa mfuko unatumika na

kusimamiwa kikamilifu na kwa ufanisi; na

(d) Serikali ya kijiji kupitia Kamati za Huduma

za Jamii katika ngazi ya kijiji.

(2) Majukumu ya Mratibu wa Mfuko wa Afya ya

Jamii yatakuwa kama ifuatavyo:-

(a) Kufuatilia, kusimamia na kuratibu uendeshaji

wa Mfuko wa Afya ya Jamii kwenye vituo vya

Page 159: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

159

kutolea Huduma za Afya;

(b) Kuwa kiungo kati ya Halmashauri, Jamii na

Wadau mbalimbali kwa ushirikiano na

Mhasibu wa Mfuko; na

(c) Kuandaa taarifa za Mfuko wa Afya ya Jamii za

robo na za Mwaka pamoja na majukumu

mengine atakayopangiwa na Mkurugenzi;

(d) Kuhudhuria vikao vyote vya Bodi na kutoa

taarifa za utekelezaji wa shughuli za Mfuko wa

Afya ya Jamii;

Bodi 7. Kutakuwa na Bodi ya Mfuko wa Afya ya Jamii

itakayoundwa kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi ambayo

itakuwa ni chombo kinachosimamia huduma za afya

katika Halmashauri.

Muundo wa Bodi 8. (1) Bodi itakuwa na wajumbe wafuatao:-

(a) Wawakilishi wanne wa Watumiaji wa

Huduma za Afya, kati yao wawili lazima wawe

ni Wanawake;

(b) Mwakilishi mmoja kutoka kwa Watoa huduma

za afya binafsi bila faida;

(c) Mwakilishi mmoja kutoka kwa Watoa

Huduma za Afya binafsi waliochaguliwa na

Halmashauri kutoka katika Vituo ambavyo

vina mkataba na Bodi wa kutoa Huduma za

Afya ;

(d) Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Afya,

Elimu na Maji;

(e) Wajumbe Wataalamu ambao ni:-

(i) Afisa Mipango wa Halmashauri;

(ii) Mganga Mkuu wa Halmashauri ambaye

atakuwa Katibu wa Bodi;

(iii) Mwakilishi mmoja kutoka Hospitali ya

Halmashauri;

Page 160: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

160

(iv) Mwakilishi mmoja kutoka Timu ya

uendeshaji wa Huduma za Afya ya Mkoa.

(2) Wajumbe wa Bodi waliotajwa katika kifungu

cha 8(1) (e) (i) – (v) hawataruhusiwa kupiga kura.

(3) Mwenyekiti wa Bodi atachaguliwa kutoka

miongoni mwa Wajumbe waliotajwa katika kifungu (1)

(a) – (c) hapo juu.

Sifa za Wajumbe wa

Bodi 9. Mjumbe wa Bodi atakuwa na sifa zifuatazo:-

(a) Awe raia wa Tanzania, isipokuwa kwa

Wajumbe kutoka Mashirika yasiyo ya

Kiserikali;

(b) Awe na umri usiopungua miaka ishirini na

tano (25);

(c) Awe amehitimu Elimu ya Sekondari na

kuendelea;

(d) Awe na uzoefu na amewahi kuonyesha uwezo

wake wa kuongoza katika shughuli za huduma

ya jamii;

(e) Awe na akili timamu;

(f) Asiwe amewahi kutiwa hatiani kwa kosa lolote

la jinai;

(g) Asiwe na wadhifa wowote katika chama

chochote cha siasa;

(h) Awe Mwanachama hai wa Mfuko wa Afya ya

Jamii; na

(i) Mjumbe wa kuchaguliwa awe ni mkazi wa

Halmashauri.

Kazi za Bodi 10. (1) Bodi itakuwa na kazi zifuatazo:-

(a) Itasimamia masuala na shughuli zote

zinazohusu Mfuko wa Afya ya Jamii ;

(b) Kusimamia Huduma za Afya katika

Halmashauri;

(c) Kushauriana na Timu ya uendeshaji ya

Page 161: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

161

Huduma za Afya ya Halmashauri na

kuhakikisha kuwa Huduma za Afya

zinazotolewa ni bora na za Kitaalamu;

(d) Kukusanya na kusimamia mapato ya Mfuko

wa Afya ya Jamii;

(e) kupendekeza kwa Halmashauri Watu

wanaostahili kusamehewa kutoa mchango

kwenye Mfuko;

(f) kubuni malengo ya Mfuko;

(g) kupitia taarifa kutoka Kamati ya Afya ya Kata

au chanzo kingine chochote;

(h) kuratibu ukusanyaji wa michango na kudhibiti

matumizi; na

(i) Kupanga mipango ya afya ya Mwaka kwa ajili

ya kuthibitishwa na Halmashauri.

(2) Bodi katika kutekeleza majukumu yake, itapokea na

kutekeleza maagizo ya Halmashauri kwa mujibu wa

Sheria, Kanuni, na Taratibu.

Muda wa kukaa

Madarakani 11. (1) Mjumbe wa Bodi atakuwa madarakani kwa kipindi

cha miaka mitatu kuanzia tarehe ya uzinduzi wa Bodi na

anaweza kuchaguliwa tena kwa kipindi kingine cha

miaka mitatu (3) tu.

(2) Endapo nafasi yoyote ya Mjumbe wa Bodi itaachwa

wazi kwa sababu ya kifo, kujiuzulu au kwa sababu

nyingine yoyote ile, Mjumbe mwingine atachaguliwa

kujaza nafasi hiyo iliyoachwa wazi kwa kipindi

kilichobaki.

(3) Bila kuathiri masharti ya kifungu kidogo cha (2)

hapo juu, haitaruhusiwa kuchagua mjumbe mwingine

iwapo kipindi kilichobaki ni chini ya miezi sita.

Akaunti ya Mfuko 12. (1) Kutakuwapo na Akaunti Maalum itakayotumika na

Halmashauri ambayo fedha zote zitakazokusanywa

Page 162: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

162

kwa ajili ya Mfuko zitahifadhiwa na kutolewa.

(2) Wawekaji saini wa Akaunti ya Mfuko

watachaguliwa na Bodi na watakuwa ni wa kutoka

Kundi “A” na Kundi “B”, kama ifuatavyo:-

Kundi A Kundi B

1. Mwenyekiti wa

Bodi

2. Mjumbe Mmoja

wa Bodi

1. Katibu wa Bodi

2. Mweka Hazina wa

Halmashauri

(3) Fedha hazitatolewa kwenye akaunti ya mfuko bila

saini ya mmojawapo kutoka kila Kundi.

(4) Akaunti ya Mfuko itakaguliwa kwa mujibu wa

Kanuni za Fedha za Serikali.

Taarifa ya Fedha 13. Bodi itaandaa na kuwasilisha kwa Halmashauri, taarifa

ya mapato na matumizi ya fedha ya kila baada ya miezi

mitatu (3).

Matumizi ya Fedha

za Mfuko 14. Fedha zitakazokusanywa na mfuko zitatumika kwa

madhumuni yafuatayo:-

(a) Masuala yanayohusiana na afya yaliyotajwa katika

mpango kabambe wa afya wa Halmashauri na

kuidhinishwa na Halmashauri; na

(b) Suala au shughuli yoyote muhimu ya afya

itakayoonekana inafaa na kama itaidhinishwa na

Bodi.

Vyanzo vya mapato 15. Vyanzo vya mapato ya mfuko vitatokana na:-

(a) Fedha zote zitakazopokelewa kutokana na

michango ya Wanachama;

Page 163: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

163

(b) Ruzuku kutoka Halmashauri, na Serikali Kuu,

Wahisani mbalimbali toka ndani na nje ya

Halmashauri;

(c) Michango ya watu binafsi wanaoishi ndani na nje

ya Halmashauri;

(d) Ushuru utakaotozwa na Halmashauri kutoka

vyanzo mbalimbali na kutengwa kwa ajili ya

mfuko;

(e) Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya; na

(f) Fedha zozote halali ambazo Mfuko unaweza

kupata toka mahali pengine popote.

Mipango 16. (1) Bodi itaandaa mipango ya Bajeti ya Mwaka kwa

kuzingatia ratiba za vikao vya Bajeti vya

Halmashauri.

(2) Bodi itapokea, itajadili, itachambua na kuidhinisha

mpango wa afya na kuwasilisha kwa Halmashauri

kwa ajili ya kuidhinishwa kwa kupitia Kamati za

Halmashauri.

(3) Bodi itatoa maoni ya bajeti ya nyongeza kama

kutakuwa na haja ya kufanya hivyo na kama

mazingira yataruhusu.

(4) Mipango ya bajeti ya Mfuko itaandaliwa kulingana

na utaratibu kama ulivyoainishwa katika kifungu

kidogo cha (1) hapo juu, ambayo ni lazima

iwasilishwe Halmashauri kwa ajili ya kuidhi-

nishwa.

Kamati ya Afya na

Kata (SURA 409) 17. Kutakuwa na kamati ya Afya ya Kata kama ilivyotajwa

kwenye Sheria ya Mfuko wa Afya ya Jamii.

Wajumbe wa kamati

ya Afya ya Kata

(SURA 409)

18. (1) Kamati ya Afya ya Kata itakuwa na Wajumbe

wafuatao:-

(a) Diwani anayewakilisha Kata husika;

(b) Afisa Mtendaji wa Kata;

(c) Mwalimu Mkuu mmoja kutoka kwenye

Shule ya msingi ambayo ipo kwenye Kata

Page 164: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

164

husika;

(d) Wajumbe wawili watakaowakilisha jamii

husika ambapo mmoja wao ni lazima awe

Mwanamke;

(e) Tabibu Mfawidhi au Tabibu Mfawidhi

Msaidizi; wa kituo cha Afya au Zahanati,

ambaye atakuwa katibu wa Kamati;

(f) Mjumbe mmoja atakayeteuliwa na kamati ya

maendeleo ya kata kutokana na watu

waliopendekezwa na Kamati za Kata

zilichomo ndani ya eneo la Kata; na

(g) Mjumbe mmoja atakayeteuliwa na Kamati

ya maendeleo ya Kata kutoka kwenye vyama

vya kijamii kutoka kwenye Kata.

(2) Mwenyekiti wa Kamati ya Afya ya Kata

atachaguliwa kutoka miongoni mwa wajumbe

lakini asiwe Diwani, Mtendaji wa Kata au

Mtendaji wa Mtaa.

(3) Endapo Kamati ya Afya ya Kata itashindwa

kutekeleza kazi zake, Bodi itatoa onyo au

kuivunja na Halmashauri itafanya utaratibu wa

uchaguzi wa wajumbe wengine katika muda

usiozidi miezi mitatu (3) tangu tarehe ya

kuvunjwa kwa Kamati hiyo.

Kazi na majukumu

ya Kamati ya Afya

ya Kata.

19. (1) Kamati ya Afya ya Kata itakuwa na majukumu

yafuatayo:-

(a) Kuhamasisha na kuandaa Jamii kujiunga na

Mfuko wa Afya ya Jamii;

(b) Kuandaa na kuthibitisha orodha na kuratibu

idadi ya Wanachama wa Mfuko wa Afya wa

Jamii;

(c) Kusimamia ukusanyaji wa michango ya

Mfuko;

(d) Kuratibu viwango vya uchangiaji kwenye

Page 165: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

165

Huduma za Afya;

(e) Kupitia utendaji wa Mfuko wa Afya ya Jamii

na kutoa mapendekezo na ufumbuzi kwa

Halmashauri kupitia Bodi ya Afya;

(f) Kuanzisha na kuratibu Mipango ya Afya na

Jamii na;

(g) Kuendesha mikutano ya Wanachama wa

Mfuko wa Afya ya Jamii ndani ya Kata.

(2) Kamati ya Afya ya Kata, itakaa kila baada ya miezi

mitatu (3) na Katibu atatoa taarifa ya maandishi

siku saba (7) kabla ya siku ya kikao.

Utoaji wa Huduma

za Afya. 20. Kila Mwanachama:-

(a) Atakuwa na haki ya kisheria kupata Huduma ya

Afya aliyolipia kabla ya kuugua ndani ya eneo la

Halmashauri au eneo lingine lolote kadri itakavyo-

kubaliwa;

(b) Atakuwa na haki ya kutoa mapendekezo kuhusu

Huduma za Afya kupitia kamati husika ambayo

yatafanyiwa kazi na Bodi; na

(c) Atashirikishwa kikamilifu katika uandaaji na

utekelezaji wa mpango wa upatikanaji wa Huduma

za Afya katika eneo la Halmashauri.

Mchango wa

Mwanachama 21. (a) Mtu yeyote atakayetaka kuwa Mwanachama wa

Mfuko wa Afya ya Jamii atapaswa kulipa kila

mwaka mchango kiasi cha Shilingi elfu kumi tu

(10,000/=);

(b) Viwango hivi vinaweza kufanyiwa marekebisho na

Halmashauri wakati wowote iwapo itaonekana

kuna umuhimu wa kufanya marekebisho hayo.

Muda wa

Uanachama 22. (a) Mtu yeyote atabaki kuwa Mwanachama wa Mfuko

wa Afya ya Jamii kila atakapolipa mchango wake

wa Uanachama; na

Page 166: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

166

(b) Kila Mwaka utakapoisha Uanachama wa mtu

utafikia mwisho hadi pale atakapotimiza masharti

ya kifungu (a) hapo juu.

Malipo ya Papo kwa

papo 23. (1) Mtu yeyote ambaye hatakuwa Mwanachama wa

mfuko huu atalipa malipo ya papo kwa papo kila

atakapoenda kupata matibabu katika kituo cha

kutolea Huduma za Afya.

(2) Malipo ya papo kwa papo yatalipwa kwa ajili ya

kusajiliwa, kumwona Daktari, na kupewa dawa kwa

mujibu wa viwango vifuatavyo;-

(a) Hospitali shilingi elfu kumi (10,000/=);

(b) Vituo ya Afya shilingi elfu tano ( 5,000/=);

(c) Zahanati elfu tatu (3,000/=).

Utaratibu wa

Misamaha 24. Misamaha kwa wasioweza kulipia gharama za matibabu

utatolewa na kulipiwa na Halmashauri baada ya

kuzingatia utaratibu ufuatao:-

(a) Serikali ya Mtaa katika vikao vyake itawatambua,

kuwajadili na kuwasilisha mapendekezo ya Orodha

ya majina ya watu wanaostahili kupewa Msamaha

kwenye Kamati ya Maendeleo ya Kata;

(b) Kamati ya Maendeleo ya Kata itawajadili wale

wasioweza kulipia gharama na kuthibitisha orodha

yao na kuiwasilisha kwenye Bodi; na

(c) Bodi ya Afya itapokea na kujadili mapendekezo

husika na kuyawasilisha pamoja na gharama zake

kwa Halmashauri kwa ajili ya kulipiwa.

Utoaji wa Kadi kwa

Mwanachama 25. (1) Kila Kaya Mwanachama wa Mfuko atapewa kadi

baada ya kulipa mchango wake wa Mwaka wa

Shilingi elfu kumi (10,000/=) au kiwango kitaka-

chopendekezwa na Bodi na kuidhinishwa na

Halmashauri.

Page 167: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

167

(2) Kila mtu atakaye samehewa kulipa mchango

atapewa kadi ya Uanachama na Halmashauri

italipa gharama ya kadi hiyo.

(3) Viwango vya kulipia uanachama vitapendekezwa

na Kamati ya Maendeleo ya Kata na kujadiliwa na

Bodi kisha kuidhinishwa na Halmashauri.

Makosa na Adhabu 26. Mtu yeyote ambaye:-

(a) Atakwenda kinyume na masharti yoyote ya Sheria

Ndogo hizi;

(b) Atafanya kitendo chochote ambacho kitazuia Bodi

kufanya kazi zake kwa ufanisi;

(c) Atatumia vibaya mali na rasilimali za Mfuko;

(d) Atafanya udanganyifu ili aweze kunufaika na

Huduma za Afya zitolewazo kwa utaratibu wa

Mfuko wa Afya ya Jamii; au

(e) Atazuia utekelezaji wa Sheria Ndogo hizi.

Atakuwa ametenda kosa na akipatikana na hatia

atatozwa faini isiyozidi Shilingi Laki Tatu (300,000/=),

au kifungo kisichozidi miezi kumi na miwili (12) au

adhabu zote mbili kwa pamoja yaani faini na kifungo.

Mhuri wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi umewekwa katika Lakiri ya Sheria

Ndogo hizi kufuatia Mkutano wa Baraza la Madiwani ulioketi Halmashauri leo

tarehe 29 mwezi 10 mwaka 2014 mbele ya Wafuatao:-

CHANGWA M. MKWAZU,

Mkurugenzi Mtendaji

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

JUMA M. SATMAH,

Mwenyekiti

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

NAKUBALI

Page 168: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

168

Dodoma, MHE. GEORGE B. SIMBACHAWENE (MB.),

13 Julai, 2017 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala

za Mikoa na Serikali za Mitaa

TANGAZO LA SERIKALI NA. 394 la tarehe 29/09/2017

SHERIA YA SERIKALI ZA MITAA (MAMLAKA ZA WILAYA)

(SURA YA 287)

________

SHERIA NDOGO ________

Zimetungwa chini ya kifungu cha 153(1)

________

SHERIA NDOGO ZA (ULINZI WA UMMA) ZA HALMASHAURI YA

WILAYA YA MASASI ZA MWAKA 2017

Jina na mwanzo wa

kuanza kutumika 1. Sheria Ndogo hizi zitajulikana kama Sheria Ndogo za

(Ulinzi wa Umma) za Halmashauri ya wilaya ya

Masasi za mwaka 2017, na zitaanza kutumika baada

ya kutangazwa kwenye Gazeti la Serikali.

Matumizi 2. Sheria Ndogo hizi zitatumika katika eneo lote lililipo

chini ya mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya ya

Masasi.

Page 169: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

169

Tafsiri 3. Katika Sheria Ndogo hizi isipokuwa pale

itakapoelekezwa vinginevyo:-

“Afisa Muidhiniwa” maana yake ni Afisa yeyote

atakayeteuliwa na Halmashauri kusimamia

utekelezaji wa Sheria Ndogo hizi;

“Halmashauri” maana yake ni Halmashauri ya Wilaya

ya Masasi;

“Mkazi” maana yake ni mtu yeyote ambaye anaishi

ndani ya Halmashauri;

“Kaya” maana yake ni mtu yeyote anayeishi kwa

kujitegemea kundi la watu/jamii wanaoishi

kwa kumtegema mmoja wao kama Mkuu wa

Kaya;

“Eneo” maana yake ni eneo lote la kijiji, Kata na

Tarafa;

“Ulinzi wa Umma” maana yake ni ulinzi na uangalizi

wa mali zote za wananchi katika kijiji, Kata na

Tarafa;

“Kiongozi wa kikundi cha Ulinzi” maana yake ni mtu

ambaye anasifa ya Uongozi wa ulinzi ambaye

amechaguliwa na wakazi wa kijiji, Kata na

Tarafa.

Wajibu wa kila mkazi 4. (1) Kila Mkazi anawajibika kushiriki katika ulinzi wa

Umma kama utakavyoratibiwa na Uongozi wa

Serikali ya Kijiji, Kata na Tarafa.

Page 170: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

170

(2) Mkazi atahesabika kuwa ametekeleza Kifungu

kidogo cha (1) hapo juu iwapo atafanya

yafuatayo:-

(a) atashiriki ulinzi yeye mwenyewe kwa muda

usiopungua saa nane katika muda wa saa

ishirini na nne mfululizo;

(b) Kaya yake:-

(i) itachangia kiasi cha fedha

kilichoidhinishwa na Serikali ya kijiji,

Kamati ya maendeleo ya Kata au

Halmashauri kutegemeana na hali

halisi ya eneo husika kwa ajili ya

kugharimia shughuli za ulinzi wa

umma;

(ii) itakodisha ama kuchangia malipo ya

kampuni ya ulinzi ya binafsi;

(iii) itanunua vifaa vya ulinzi kama tochi,

betri, mishale, pinde, filimbi, sare au

vifaa vinginevyo vyovyote muhimu kwa

ajili ya ulinzi.

Kikundi cha ulinzi

5. Kutaanzishwa Kikundi cha Ulinzi katika kila Kijiji, Kata

na Tarafa katika Halmashauri kwa lengo la

kuimarisha ulinzi katika eneo husika.

Page 171: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

171

Kiongozi wa kikundi

cha ulinzi

6. Kila kikundi cha ulinzi kitakuwa na Kiongozi

atakayetambuliwa kama Kamanda wa kikundi

ambaye atateuliwa kutoka miongoni mwa watu

wanaounda kikundi cha ulinzi cha kijiji, Kata na

Tarafa.

Kuandaa orodha ya

wakazi

7. Kila Kamanda wa kikundi atatakiwa kuwa na orodha

ya wakazi wote wanaostahili kushiriki ulinzi katika

eneo husika na orodha hiyo itahifadhiwa katika

daftari maalum kwa ajili hiyo na kutunzwa katika

Ofisi za Maafisa Kijiji, Kata na Tarafa.

Kuwasilisha taarifa

8. Kamanda wa kikundi cha ulinzi akisaidiwa na

Makamanda Wasaidizi watawajibika kusimamia kila

kikundi kitakachokuwa zamu kwa siku inayohusika

na watakuwa na wajibu wa kuwasilisha orodha ya

walinzi waliopo zamu na taarifa ya utekelezaji ya kila

siku katika Ofisi ambamo kikundi cha ulinzi kimo.

Taarifa ya hali ya

ulinzi na usalama

9. Kamanda wa kikundi cha ulinzi na usalama

atawasilisha katika vikao vya mikutano ya mwaka

hali ya ulinzi na usalama katika sehemu yake na

kujadiliwa na wajumbe na kutoa tamko la kikao

kuhusu hali hiyo na mtazamo wa wananchi juu ya

kazi hiyo.

Makosa 10. Mtu yeyote atakuwa ametenda kosa iwapo:-

(a) hatashiriki shughuli za ulinzi katika eneo

husika;

Page 172: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

172

(b) atamshawishi mtu yeyote asishiriki ama

kumsaidia mtu yeyote kukwepa kushiriki

katika ulinzi ndani ya eneo lake au eneo

jingine lolote katika Halmashauri.

Adhabu 11. Mtu yeyote atakayekwenda kinyume na kifungu

chochote cha Sheria Ndogo hizi atakuwa ametenda

kosa na akipatikana na hatia atatozwa faini isiyozidi

Shilingi Laki Tatu (300,000/=) au kifungo kisichozidi

miezi kumi na miwili jela au adhabu zote mbili kwa

pamoja yaani faini na kifungo.

Mhuri wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi umewekwa katika Lakiri ya Sheria

Ndogo hizi kufuatia Mkutano wa Baraza la Madiwani ulioketi Halmashauri leo

tarehe 29 mwezi 10 mwaka 2014 mbele ya Wafuatao:-

CHANGWA M. MKWAZU,

Mkurugenzi Mtendaji

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

JUMA M. SATMAH,

Mwenyekiti

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Page 173: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

173

NAKUBALI

Dodoma, MHE. GEORGE B. SIMBACHAWENE (MB.),

13 Julai, 2017 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala

za Mikoa na Serikali za Mitaa

TANGAZO LA SERIKALI NA. 397 la tarehe 29/09/2017

SHERIA YA FEDHA ZA SERIKALI ZA MITAA

(SURA 290)

________

SHERIA NDOGO _________

Zimetungwa chini ya Vifungu vya 7(1) na 16(1)

_________

SHERIA NDOGO ZA (USHURU WA HUDUMA) ZA HALMASHAURI YA

WILAYA YA MASASI, 2017

Page 174: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

174

Jina na mwanzo wa

kuanza kutumika

1. Sheria Ndogo hizi zitajulikana kama Sheria Ndogo za

(Ushuru na Huduma) za Halmashauri ya Wilaya ya

Masasi za mwaka 2017, na zitaanza kutumika baada

ya kutangazwa katika Gazeti la Serikali.

Matumizi

2. Sheria Ndogo hizi zitatumika katika eneo la mamlaka

ya Halmashauri ya Wilaya ya Masasi.

Tafsiri

Sura 212

Sheria Na.7 ya

mwaka 2011

3. Katika Sheria Ndogo hizi isipokuwa pale

itakapoelezwa vinginevyo:-

“Afisa Mwidhiniwa” maana yake ni ya Afisa yeyote

wa umma au mtu mwingine atakayeteuliwa na

Halmashauri kusimamia utekelezaji wa Sheria

Ndogo hizi;

“Halmashauri” maana yake ni Halmashauri ya Wilaya

ya Masasi;

“Hesabu” maana yake ni jumla ya mauzo ya bidhaa,

kazi au Huduma katika mwaka wa fedha;

“Kampuni” maana yake ni kampuni iliyosajiliwa kwa

mujibu wa Sheria ya Makampuni;

“Kazi” maana yake ni kama ilivyotafsiliwa kwenye

Sheria ya Manunuzi ya Umma;

“Kipindi Maalum cha Hesabu” maana yake ni muda

ambao mfanyabiashara anatakiwa kuwasilisha

hesabu za biashara kwa Halmashauri;

“Mkurugenzi” maana yake ni Mkurugenzi wa

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi au Afisa

yeyote atakayeteuliwa kutekeleza majukumu ya

Mkurugenzi;

“Taasisi ya biashara” maana yake ni taasisi

iliyosajiliwa inayofanya biashara, kazi au kutoa

huduma kwa lengo la kupata faida;

“Tawi la Kampuni” maana yake ni tawi la kampuni

iliyosajiriwa kwa mujibu wa Sheria ya

Makampuni;

Page 175: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

175

“Ushuru wa Huduma” maana yake ni ushuru

unaotozwa au kukusanywa na Halmashauri

kutoka kwa Kampuni, Tawi la kampuni, Taasisi

ya biashara, au mfanyabiashara kwa huduma

anazopata kutokana na kutumia miundombinu ya

Umma inayomuwezesha kufanya biashara katika

eneo la Halmashauri;

“Ukokotoaji” maana yake ni namna ya kuandaa kiasi

cha Ushuru wa Huduma kitakacholipwa kwa

mujibu wa kifungu cha 7 cha sheria Ndogo hizi.

Utozaji wa Ushuru

wa Huduma 4. Halmashauri itatoza na kukusanya Ushuru wa

Huduma kwa kampuni, taasisi ya biashara au tawi la

kampuni au Mfanyabiashara mkubwa mwenye

kampuni ya biashara kwa kiwango kisichozidi asilimia

sifuri nukta tatu (0.3%) kutokana na uzalishaji wa

bidhaa, kazi na huduma zinazofanyika ndani ya eneo

la Halmashauri baada ya kutoa kodi ya ongezeko la

thamani (VAT) na kodi ya mlaji.

Wajibu wa kulipa

Ushuru wa Huduma 5. (1) Itakuwa ni wajibu wa kila mfanyabiashara,

kampuni, taasisi ya biashara au tawi la kampuni kulipa

Ushuru wa Huduma utokanao na utoaji wa huduma,

kazi, mauzo ya bidhaa katika eneo la Halmashauri.

(2) Mfanyabiashara atawasilisha kwa Halmashauri

taarifa za hesabu za mauzo kwa kila mwezi husika na

atalipa Ushuru wa Huduma kwa mujibu wa viwango

vitakavyotokana na hesabu hizo au viwango

vilivyotajwa na Sheria Ndogo hizi kwa

mfanyabiashara asiye na vitabu vya biashara.

(3) Endapo mfanyabiashara, kampuni, taasisi ya

biashara au tawi la kampuni itashindwa kuwasilisha

taarifa sahihi za mauzo kwa wakati, Mkurugenzi kwa

maandishi anaweza kumtaka Mfanyabiashara yeyote

kuwasilisha taarifa hizo ndani ya siku thelathini (30)

zinazohusu kipindi maalum cha hesabu zikionyesha

kiasi na thamani ya fedha za mauzo ya bidhaa

zilizoingizwa, kusambazwa au kuuzwa na kazi au

huduma zitolewa.

Page 176: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

176

(4) Mkurugenzi au Afisa Mwidhiniwa anaweza

kumtaka kwa maandishi mtu yeyote mwenye taarifa

kuhusu taasisi yoyote ya mfanyabiashara yeyote

anayepaswa kulipa ushuru kwa mujibu wa Sheria

Ndogo hizi, kuwasilisha kwake taarifa na ambazo

zitatumiwa kama taarifa sahihi.

Ukokotoaji Ushuru

wa Huduma 7. Halmashauri kwa kuzingatia taarifa zilizowasilishwa

kwa mujibu wa kifungu cha 6 cha Sheria Ndogo hizi

itakokotoa na kutoza Ushuru wa Huduma.

Makosa 8. Itakuwa ni kosa kwa kampuni au tawi la kampuni,

taasisi ya biashara, mfanyabiashara:-

(1) kushindwa kuwasilisha taarifa sahihi ndani ya

muda ulioainishwa kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi.

(2) kuwasilisha taarifa zisizo sahihi.

(3) kutolipa Ushuru wa Huduma.

(4) kutolipa kwa wakati Ushuru wa Huduma ndani ya

muda uliowekwa na Sheria Ndogo hizi.

(5) atashawishi kampuni, tawi la kampuni, taasisi ya

biashara au mfanyabiashara kukataa au kukwepa

kulipa Ushuru wa Huduma.

(6) atamzuia mtumishi wa Halmashauri kutekeleza

majukumu aliyopewa kwa mujibu wa Sheria

Ndogo hizi.

Adhabu 9. Mtu yeyote atakayekwenda kinyume na masharti ya

Sheria Ndogo hizi atakuwa ametenda kosa, na

akipatikana na hatia atatozwa faini isiyopungua

shilingi laki mbili (200,000/=) na isiyozidi shilingi

milioni moja (1,000,000/=) au kifungo kisichopungua

miezi kumi na mbili na kisichozidi miezi ishirini na

nne au vyote kwa pamoja.

Kufifilisha kosa 10. Mkurugenzi anaweza kumtoza mtu yeyote faini

isiyopungua shilingi laki mbili (200,000/=) na

isiyozidi Shilingi laki tano (500,000/=), iwapo mkosaji

kwa hiari yake mwenyewe atakiri kosa kwa maandishi

Page 177: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

177

na kukubali kulipa faini anayodaiwa.

_______

JEDWALI

_______

KUFIFILISHA KOSA

Limetungwa Chini ya kifungu cha 10

Mimi ………………………………………………wa S.L.P……………….……….. nakiri

KWA HIYARI YANGU MWENYEWE mbele

ya……………………………………..ambaye ni mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi kwamba mnamo tarehe……ya

Mwezi….Mwaka………nilitenda kosa la kukiuka masharti ya kifungu cha …………..cha

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi za mwaka 2017.

Kwa mamlaka aliyopewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri.Niko tayari kulipa kiasi

cha Ada na Ushuru ninaodaiwa pamoja na faini.

NATHIBITISHA KWAMBA MAELEZO HAPO JUU NI YA KWELI NA NIMEYATOA

KWA HIYARI YANGU KWA KADIRI YA UFAHAMU WANGU

Leo tarehe……………..ya mwezi……………mwaka……………………

Jina……………………………..…………………………...Saini……………………........

Mbele ya:

Jina……………………………..……………….

Saini…………………………………….…........

Wadhifa………………………………………

Mhuri wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi umewekwa katika Lakiri ya Sheria

Ndogo hizi kufuatia Mkutano wa Baraza la Madiwani ulioketi Halmashauri leo

tarehe 29 mwezi 10 mwaka 2014 mbele ya Wafuatao:-

CHANGWA M. MKWAZU,

Page 178: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

178

Mkurugenzi Mtendaji

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

JUMA M. SATMAH,

Mwenyekiti

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

NAKUBALI

Dodoma, MHE. GEORGE B. SIMBACHAWENE (MB.),

13 Julai, 2017 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala

za Mikoa na Serikali za Mitaa

TANGAZO LA SERIKALI NA. 390 la tarehe 29/09/2017

SHERIA YA FEDHA YA SERIKALI ZA MITAA

(SURA YA 290)

________

SHERIA NDOGO

_______

(Zimetungwa chini ya kifungu cha 7(1) na 16(1))

________

Page 179: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

179

SHERIA NDOGO ZA (USHURU WA MASOKO) ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI ZA MWAKA

2017

Jina na tarehe ya

kuanza kutumika 1. Sheria Ndogo hizi zitajulikana kama Sheria Ndogo

za (Ushuru wa Masoko) za Halmashauri ya Wilaya

ya Masasi, 2017 na zitaanza kutumika mara baada

ya kutangazwa kwenye Gazeti la Serikali.

Matumizi 2.

Sheria Ndogo hizi zitatumika katika eneo lote lililo

chini ya mamlaka ya Halmashauri ya wilaya ya

Masasi..

Tafsiri

3.

Katika Sheria Ndogo hizi isipokuwa itakapoelezwa

vinginevyo:-

“Afisa Mwidhiniwa” maana yake ni Afisa yeyote

aliyeteuliwa kusimamia utekelezaji wa Sheria

Ndogo hizi;

“Dalali” maana yake ni mtu yeyote anayeuza bidhaa

za sokoni kwa njia ya mnada kwa niaba ya mwenye

bidhaa kwa mujibu wa Sheria na taratibu za soko;

“Halmashauri” maana yake ni Halmashauri ya

wilaya ya Masasi;

Page 180: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

180

”Kibali” maana yake ni idhini ya maandishi

inayotolewa na Mkuu wa Masoko kwa mujibu wa

Sheria Ndogo hizi;

“Masoko” maana yake ni masoko yanayomilikiwa

na Halmashauri;

“Mkurugenzi” maana yake ni Mkurugenzi wa

Halmashauri pamoja na Afisa yeyote

atakayeteuliwa kutekeleza majukumu ya

Mkurugenzi;

“Mfanyabiashara” maana yake ni mtu yeyote

anayeuza bidhaa sokoni kwa jumla au rejareja

kwenye eneo ambalo limeruhusiwa kwa mujibu wa

Sheria Ndogo hizi;

Mkuu wa Masoko” maana yake ni mtu yeyote

aliyeteuliwa na Halmashauri kusimamia shughuli

zote katika soko/masoko;

“Wakala” maana yake ni mtu yeyote, taasisi au

kikundi cha watu aliyeteuliwa na Halmashauri

kusimamia Sheria Ndogo hizi;

Page 181: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

181

“Wadau wa Soko” maana yake ni wafanyabiashara

binafsi, vikundi au vyama vya ushirika vinavyofanya

shughuli za biashara katika soko;

Usimamizi wa

Masoko

4.(1)

(2)

Masoko yote yaliyoko katika eneo la Halmashauri

yatakuwa chini ya usimamizi Halmashauri.

Halmashauri itakuwa na wajibu wa:-

(a) kuendeleza masoko; (b) kusimamia usafi na ulinzi na usalama wa

masoko; (c) kusimamia ufikishaji wa huduma za

umeme, maji na huduma nyingine za kijamii katika masoko.

Mkuu wa Masoko

5.

Kutakuwa na Mkuu wa masoko atakayeteuliwa na

Halmashauri kusimamia shughuli za uendeshaji wa

soko pamoja na:-

(a) kukusanya ada na ushuru mbalimbali kama zilivyoainishwa kwenye jedwali la pili la Sheria Ndogo hizi;

(b) kuimarisha huduma za ulinzi, maji na umeme katika soko;

(c) kusimamia na kupitia usajili wa wadau wa soko kwa kushirikiana na Kamati ya soko;

(d) kusimamia usafi na uondoshaji wa taka katika soko;

(e) kuhakikisha kuwa biashara hazifanywi

Page 182: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

182

kwenye eneo ambalo haliruhusiwi kwa shughuli hiyo;

(f) kutekeleza majukumu mengine yoyote atakayoagizwa na Halmashauri.

Uteuzi wa Wakala 6. (1) Halmashauri inaweza kumteua wakala ambaye

atawajibika katika uendeshaji wa soko kwa niaba ya

Halmashauri.

(2)

Wakala atakayeteuliwa kwa mujibu wa Sheria

Ndogo hizi atasimamia shughuli za uendeshaji wa

soko kwa kipindi alichopangiwa kuanzia tarehe ya

uteuzi wake.

Kamati ya Wadau

wa soko 7. (1) Kutakuwa na Kamati ya Wadau wa soko ambayo

itaundwa na Wadau kwa mujibu wa Sheria Ndogo

hizi.

(2) Wajumbe wa Kamati ya Wadau wa soko watakuwa

ni Mwenyekiti na Katibu kutoka kwenye kila kikundi

cha Ushirika ndani ya soko.

Page 183: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

183

Usajili wa Wadau (3) Wadau wote watasajiliwa na Mkuu wa soko

akishirikiana na kamati ya soko.

Vikao vya Kamati ya

wadau wa soko

8. (1)

(2)

Kutakuwa na kikao cha Kamati ya wadau wa soko

kitakachofanyika mara moja kila mwezi.

Mkuu wa Soko atakuwa Katibu katika vikao vyote

vya Kamati ya wadau wa Soko.

Kazi za Kamati ya

Wadau wa soko

9.

Kazi za Kamati ya Wadau wa soko zitakuwa ni;-

(a) kuhakiki biashara na utendaji wa soko; (b) kuboresha ustawi wa wanachama wa

vyama vya ushirika; (c) kuhakikisha kuwepo nidhamu katika

shughuli za soko; (d) kukuza na kuendeleza mfumo wa biashara; (e) kutekeleza kazi zingine watakazoelekezwa

na Mkuu wa soko.

Kuundwa Kamati

ndogo

10.

Kamati ya Wadau wa soko itaunda Kamati ndogo

zenye wajumbe watatu (3) kutoka miongoni mwa

wajumbe wa Kamati ya wadau wa soko ambazo ni:-

(a) Kamati ndogo ya miundo mbinu na usafi; (b) Kamati ndogo ya biashara na utawala; (c) Kamati ndogo ya Ulinzi na Usalama.

Usajili wa

Wafanyabiashara wote wa soko watatakiwa

Page 184: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

184

Wafanyabiashara 11. (1) kusajiliwa na Mkuu wa soko kwa kushirikiana na

Kamati ya wadau wa soko.

(2)

Itakuwa ni marufuku kwa mfanyabiashara

asiyesajiliwa kufanyabiashara ndani ya soko bila

kuwa na idhini ya maandishi kutoka kwa Mkuu wa

Soko.

Usajili wa Wadau Kutakuwa na Usajili wa Wadau wa Soko kwa lengo

la kuwatambua na kuorodhesha Wadau kwenye

rejista maalum.

Kibali cha

watumiaji wengine.

12. (1)

Mfanyabiashara yeyote ambaye anataka kufanya

biashara ambayo awali haikuwapo au haikuwa na

eneo ndani ya soko ataomba kibali kwa Mkuu wa

soko.

(2)

Kibali hicho kitatolewa kwa mwombaji baada ya

kulipa ada na kitadumu kwa muda wa mwaka

mmoja toka siku ya kupewa. Endapo

mfanyabiashara atataka kuendelea

kufanyabiashara katika soko atatakiwa kuomba

tena kibali kingine kwa Mkuu wa soko.

Kufuta kibali 13 Mkuu wa soko kwa kuagizwa na kamati anaweza

kufuta kibali kilichotolewa chini ya Sheria Ndogo

hizi endapo mwenye kibali hicho:-

Page 185: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

185

(a) atakuwa na malimbikizo ya madeni ya kodi au ushuru;

(b) atakuwa amesimamisha shughuli zake kwa muda wa zaidi ya miezi mitatu bila ya taarifa;

(c) atakuwa amekiuka masharti ya Sheria Ndogo hizi hata baada ya kuonywa;

(d) atawashawishi wafanyabiashara wengine kutofuata Sheria Ndogo hizi na kusababisha uvunjifu wa amani.

Saa za kazi 14. (1) Soko litakuwa wazi siku zote kuanzia saa kumi na

mbili kamili asubuhi hadi saa kumi na mbili kamili

jioni.

(2)

Mkuu wa soko kwa kushirikiana na Kamati ya

wadau wanaweza kufunga soko kwa ajili ya

matengenezo na sababu nyingine yoyote ya

dharura pale itakapoonekana inafaa ili mradi watoe

taarifa ya maandishi kwa Mkurugenzi na kupata

idhini.

Udhibiti wa

nidhamu sokoni

15. Itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote:-

(a) kubandika Tangazo au kubandua tangazo lolote bila ya idhini ya Mkuu wa Soko;

(b) kuweka bendera za Vyama vya Siasa ndani ya eneo la soko;

(c) kufanya shughuli za kisiasa ndani ya Soko. (d) kuharibu miundombinu ya soko;

Page 186: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

186

(e) kutumia lugha ya matusi ndani ya soko; (f) kufanya shughuli yoyote kwenye eneo

ambalo haliruhusiwi au halijajengwa kwa shughuli hiyo;

(g) kupangisha kizimba au eneo la biashara kwa mfanyabiashara mwingine;

(h) kufanya biashara nje ya eneo la soko; (i) kutupa taka ovyo na kutiririsha maji

machafu.

Usafi wa soko

16. (1)

(2)

(3)

(4)

Kila mfanyabiashara anayefanya shughuli za

biashara katika soko atawajibika kuweka eneo lake

katika hali ya usafi wakati wote au kugharamia

shughuli hiyo kwa njia yoyote ile.

Mkuu wa Soko kwa kushirikiana na Kamati ya

Wadau wa soko watapanga siku na muda wa

kufunga soko mara moja kwa juma kwa ajili ya

kufanya usafi wa jumla katika eneo lote la soko.

Kila mfanyabiashara katika soko atatakiwa kushiriki

katika usafi wa jumla wa soko bila kukosa.

Kila mfanyabiashara sokoni atatakiwa kufuata

Kanuni za afya.

Page 187: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

187

Uingizaji wa bidhaa

sokoni 17. (1)

(2)

Bidhaa zote zinazoingizwa katika soko zitatakiwa

kuhifadhiwa kwenye makasha maalum ya

kusafirisha bidhaa.

Itakuwa ni marufuku kwa mkulima, mfanya-

biashara, Dalali au mtu mwingine yeyote kuingiza

bidhaa sokoni zilizofungwa na majani.

(3) Mtu yeyote atakaye ingiza bidhaa sokoni zilizo-

fungwa kwa majani atakuwa ametenda kosa.

Ukusanyaji wa Kodi,

Ada na ushuru.

18. (1)

(2)

Mkuu wa soko atakuwa ndiye msimamizi Mkuu wa

ukusanyaji wa mapato yote ya soko.

Mfanyabiashara yeyote sokoni atatakiwa kulipa

kodi, Ada na ushuru kwa Halmashauri au wakala

wake kama ilivyoonyeshwa kwenye jedwali la pili la

Sheria Ndogo hizi.

Ada ya kupangisha

eneo 19. (1) Halmashauri itatoza ada ya kupanga eneo la

biashara ambayo italipwa na Mfanyabiashara

yeyote aliyesajiliwa kufanya biashara katika eneo la

soko.

(2)

Ada hiyo italipwa kwa Halmashauri au wakala kama

Page 188: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

188

inavyoonekana kwenye jedwali la pili la Sheria

Ndogo hizi.

Ushuru wa jokofu

20.

Mtu yeyote atakayetumia chumba cha baridi au

jokofu kwa kuhifadhia bidhaa ndani ya eneo la soko

atalipa ushuru kwa Halmashauri au wakala kwa ajili

ya kutumia sehemu hiyo kwa viwango

vitakavyoamuliwa na Halmashauri.

Malipo ya Ada/

Ushuru kwa wakati. 21. Mtu yeyote atakayeshindwa kulipa ada au ushuru

katika muda uliopangwa atalipa ada hiyo au ushuru

huo pamoja na tozo la asilimia ishirini na tano

(25%) ya kiasi anachodaiwa.

Huduma ya usafi,

ulinzi, maji na

umeme

22.

Kila mfanyabiashara katika soko atawajibika

kugharamia huduma ya ulinzi, usafi, maji na

umeme kulingana na mahitaji yake kila mwezi

kufuatana na utaratibu utakaowekwa na Kamati ya

Wadau wa Soko.

Ushuru wa kupakua

na kupakia mizigo

23.(1)

Kutakuwa na ushuru utakaotozwa kwa kila gari

litakaloingia ndani ya eneo la soko au barabara za

soko kwa ajili ya kupakuwa au kupakia bidhaa kama

ilivyoainishwa kwenye Jedwali la piIi la Sheria

Ndogo hizi.

Magari yataruhusiwa kuingia katika eneo la soko

kwa lengo la kushusha au kupakia bidhaa kuanzia

Page 189: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

189

(2) saa 12.00 asubuhi hadi saa 12.00 jioni.

Adhabu 24. Mtu yeyote atakayekwenda kinyume na masharti

ya Sheria Ndogo hizi atakuwa ametenda kosa na

akipatikana na hatia atatozwa faini isiyopungua

shilingi laki mbili (200,000/=) na isiyozidi shillingi

milioni moja (Tsh. 1,000,000) au kifungo

kisichopungua miezi kumi na mbili na kisichozidi

miezi ishirini na nne au vyote kwa pamoja.

Uwezo wa

kufifilisha kosa 25.

Mkurugenzi anaweza kumtoza faini isiyopungua

shillingi laki mbili (Tsh. 200,000) na isiyozidi shilingi

laki tano (500,000) mtu yeyote aliyetenda kosa na

kukiri kwa maandishi na kukubali kulipa faini na

kiasi cha ada au ushuru anaodaiwa kwa kujaza

fomu iliyoambatanishwa kwenye jedwali la tatu la

Sheria Ndogo hizi.

______

JEDWALI LA KWANZA

______

KIBALI CHA KUTUMIA SOKO

1. Jina la mwombaji ...................... ……………………………………………

2. Anuani ya mwombaji......................................................................................

Page 190: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

190

3. Kibali cha …………………………………………………………………….

4. Eneo ambalo kibali hicho kitatumika………………………………………….

5. Muda wa kibali ni kuanzia tarehe……………………hadi tarehe……………..

6. Masharti ya kutumia kibali hicho;

(a) …………………………………….

(b) …………………………………….

(c) ……………………………………..

(d) ……………………………………..

(e) ………………………………………

6. Tarehe ya kikao iliyoidhinisha kibali …………………………………………….

Muhtasari No. …………

7. Imesainiwa na:

Jina …………………………….. Jina ……………………………..

Saini …………………………… Saini …………………………

Page 191: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

191

Mkuu wa Soko

Mwombaji

Tarehe ………………………. Tarehe …………………………..

Mhuri;

______

JEDWALI LA PILI

______

(limeundwa chini ya kifungu cha 18(2))

Na. Aina ya chanzo cha mapato Kiwango kwa

siku cha ushuru

Ada kwa mwezi

1. Mkungu wa ndizi 50.00

2.

Vibanda

100.00

5,000/=

3.

Bucha

200.00

50,000/=

4.

Vizimba

100.00

5,000/=

Page 192: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

192

5. Wapanga chini 100.00

6.

Vizimba vya kuku

200.00

5,000/=

7.

Kukwangua makongoro/Vichwa

100.00

7,000/=

9.

Kizimba cha nazi

100.00

7,000/=

10.

Gunia, Tenga au Kiroba

100.00

11.

Maduka

200.00

50,000/=

12.

Nafaka

200.00

30,000/=

13.

Simu

200.00

5,000/=

12.

Jengo la lishe

5,000.00

50,000.00

13.

Eneo la matenga

10,000.00

50,000.00

14.

Banda la vichwa na miguu ya ng’ombe

10,000.00

100,000.00

15.

Machinjio ya kuku

50,000.00

150,000.00

Page 193: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

193

16. Hifadhi ya mizigo 50,000.00 150,000.00

17.

Ofisi ndani ya soko

10,000.00

50,000.00

19. Kupakuwa na kupakia mizigo

1. Tani “0 hadi 3” 2. Tani “3 hadi 6” 3. Tani “6 hadi 10” 4. Tani “10 na kuendelea

______

JEDWALI LA TATU

______

(Limetungwa chini ya kifungu 25)

Mimi …………………… nakiri mbele ya ………….ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa

Halmashuri ya Wilaya ya Masasi, kwamba mnamo tarehe …… ya Mwezi ……. Mwaka ……

nilitenda kosa la kukiuka masharti ya kifungu cha …… cha Sheria Ndogo za (Ushuru wa

masoko) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi za Mwaka 2017.

Kwa Mamlaka aliyopewa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri, Niko tayari kulipa kiasi

cha Ada/ Ushuru ninaodaiwa pamoja na faini.

Page 194: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

194

NATHIBITISHA KWAMBA MAELEZO HAPO JUU NI YA KWELI NA NIMEYATOA KWA

HIARI YANGU KADRI YA UFAHAMU WANGU

Leo tarehe…………. ya Mwezi………… Mwaka ………………….

Jina……………………………….. Saini…………………………………….

Mbele ya :

Jina: ……………………………………………

Cheo: ………………………………………….

Saini: …………………………………………..

Mhuri wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi umewekwa katika Lakiri ya Sheria

Ndogo hizi kufuatia Mkutano wa Baraza la Madiwani ulioketi Halmashauri leo

tarehe 29 mwezi 10 mwaka 2014 mbele ya Wafuatao:-

CHANGWA M. MKWAZU,

Mkurugenzi Mtendaji

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

JUMA M. SATMAH,

Mwenyekiti

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Page 195: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

195

NAKUBALI

Dodoma, MHE. GEORGE B. SIMBACHAWENE (MB.),

13 Julai, 2017 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala

za Mikoa na Serikali za Mitaa

TANGAZO LA SERIKALI NA. 390 la tarehe 29/09/2017

SHERIA YA FEDHA YA SERIKALI ZA MITAA

(SURA YA 290)

________

SHERIA NDOGO

_______

(Zimetungwa chini ya kifungu cha 7(1) na 16(1))

________

Page 196: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

196

SHERIA NDOGO ZA (USHURU WA MASOKO) ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI ZA MWAKA

2017

Jina na tarehe ya

kuanza kutumika 1. Sheria Ndogo hizi zitajulikana kama Sheria Ndogo

za (Ushuru wa Masoko) za Halmashauri ya Wilaya

ya Masasi, 2017 na zitaanza kutumika mara baada

ya kutangazwa kwenye Gazeti la Serikali.

Matumizi 2.

Sheria Ndogo hizi zitatumika katika eneo lote lililo

chini ya mamlaka ya Halmashauri ya wilaya ya

Masasi..

Tafsiri

3.

Katika Sheria Ndogo hizi isipokuwa itakapoelezwa

vinginevyo:-

“Afisa Mwidhiniwa” maana yake ni Afisa yeyote

aliyeteuliwa kusimamia utekelezaji wa Sheria

Ndogo hizi;

“Dalali” maana yake ni mtu yeyote anayeuza bidhaa

za sokoni kwa njia ya mnada kwa niaba ya mwenye

bidhaa kwa mujibu wa Sheria na taratibu za soko;

“Halmashauri” maana yake ni Halmashauri ya

wilaya ya Masasi;

Page 197: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

197

”Kibali” maana yake ni idhini ya maandishi

inayotolewa na Mkuu wa Masoko kwa mujibu wa

Sheria Ndogo hizi;

“Masoko” maana yake ni masoko yanayomilikiwa

na Halmashauri;

“Mkurugenzi” maana yake ni Mkurugenzi wa

Halmashauri pamoja na Afisa yeyote

atakayeteuliwa kutekeleza majukumu ya

Mkurugenzi;

“Mfanyabiashara” maana yake ni mtu yeyote

anayeuza bidhaa sokoni kwa jumla au rejareja

kwenye eneo ambalo limeruhusiwa kwa mujibu wa

Sheria Ndogo hizi;

Mkuu wa Masoko” maana yake ni mtu yeyote

aliyeteuliwa na Halmashauri kusimamia shughuli

zote katika soko/masoko;

“Wakala” maana yake ni mtu yeyote, taasisi au

kikundi cha watu aliyeteuliwa na Halmashauri

kusimamia Sheria Ndogo hizi;

Page 198: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

198

“Wadau wa Soko” maana yake ni wafanyabiashara

binafsi, vikundi au vyama vya ushirika vinavyofanya

shughuli za biashara katika soko;

Usimamizi wa

Masoko

4.(1)

(2)

Masoko yote yaliyoko katika eneo la Halmashauri

yatakuwa chini ya usimamizi Halmashauri.

Halmashauri itakuwa na wajibu wa:-

(d) kuendeleza masoko; (e) kusimamia usafi na ulinzi na usalama wa

masoko; (f) kusimamia ufikishaji wa huduma za

umeme, maji na huduma nyingine za kijamii katika masoko.

Mkuu wa Masoko

5.

Kutakuwa na Mkuu wa masoko atakayeteuliwa na

Halmashauri kusimamia shughuli za uendeshaji wa

soko pamoja na:-

(g) kukusanya ada na ushuru mbalimbali kama zilivyoainishwa kwenye jedwali la pili la Sheria Ndogo hizi;

(h) kuimarisha huduma za ulinzi, maji na umeme katika soko;

(i) kusimamia na kupitia usajili wa wadau wa soko kwa kushirikiana na Kamati ya soko;

(j) kusimamia usafi na uondoshaji wa taka katika soko;

(k) kuhakikisha kuwa biashara hazifanywi

Page 199: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

199

kwenye eneo ambalo haliruhusiwi kwa shughuli hiyo;

(l) kutekeleza majukumu mengine yoyote atakayoagizwa na Halmashauri.

Uteuzi wa Wakala 6. (1) Halmashauri inaweza kumteua wakala ambaye

atawajibika katika uendeshaji wa soko kwa niaba ya

Halmashauri.

(2)

Wakala atakayeteuliwa kwa mujibu wa Sheria

Ndogo hizi atasimamia shughuli za uendeshaji wa

soko kwa kipindi alichopangiwa kuanzia tarehe ya

uteuzi wake.

Kamati ya Wadau

wa soko 7. (1) Kutakuwa na Kamati ya Wadau wa soko ambayo

itaundwa na Wadau kwa mujibu wa Sheria Ndogo

hizi.

(2) Wajumbe wa Kamati ya Wadau wa soko watakuwa

ni Mwenyekiti na Katibu kutoka kwenye kila kikundi

cha Ushirika ndani ya soko.

Page 200: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

200

Usajili wa Wadau (3) Wadau wote watasajiliwa na Mkuu wa soko

akishirikiana na kamati ya soko.

Vikao vya Kamati ya

wadau wa soko

8. (1)

(2)

Kutakuwa na kikao cha Kamati ya wadau wa soko

kitakachofanyika mara moja kila mwezi.

Mkuu wa Soko atakuwa Katibu katika vikao vyote

vya Kamati ya wadau wa Soko.

Kazi za Kamati ya

Wadau wa soko

9.

Kazi za Kamati ya Wadau wa soko zitakuwa ni;-

(f) kuhakiki biashara na utendaji wa soko; (g) kuboresha ustawi wa wanachama wa

vyama vya ushirika; (h) kuhakikisha kuwepo nidhamu katika

shughuli za soko; (i) kukuza na kuendeleza mfumo wa biashara; (j) kutekeleza kazi zingine watakazoelekezwa

na Mkuu wa soko.

Kuundwa Kamati

ndogo

10.

Kamati ya Wadau wa soko itaunda Kamati ndogo

zenye wajumbe watatu (3) kutoka miongoni mwa

wajumbe wa Kamati ya wadau wa soko ambazo ni:-

(d) Kamati ndogo ya miundo mbinu na usafi; (e) Kamati ndogo ya biashara na utawala; (f) Kamati ndogo ya Ulinzi na Usalama.

Usajili wa

Wafanyabiashara wote wa soko watatakiwa

Page 201: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

201

Wafanyabiashara 11. (1) kusajiliwa na Mkuu wa soko kwa kushirikiana na

Kamati ya wadau wa soko.

(2)

Itakuwa ni marufuku kwa mfanyabiashara

asiyesajiliwa kufanyabiashara ndani ya soko bila

kuwa na idhini ya maandishi kutoka kwa Mkuu wa

Soko.

Usajili wa Wadau Kutakuwa na Usajili wa Wadau wa Soko kwa lengo

la kuwatambua na kuorodhesha Wadau kwenye

rejista maalum.

Kibali cha

watumiaji wengine.

12. (1)

Mfanyabiashara yeyote ambaye anataka kufanya

biashara ambayo awali haikuwapo au haikuwa na

eneo ndani ya soko ataomba kibali kwa Mkuu wa

soko.

(2)

Kibali hicho kitatolewa kwa mwombaji baada ya

kulipa ada na kitadumu kwa muda wa mwaka

mmoja toka siku ya kupewa. Endapo

mfanyabiashara atataka kuendelea

kufanyabiashara katika soko atatakiwa kuomba

tena kibali kingine kwa Mkuu wa soko.

Kufuta kibali 13 Mkuu wa soko kwa kuagizwa na kamati anaweza

kufuta kibali kilichotolewa chini ya Sheria Ndogo

hizi endapo mwenye kibali hicho:-

Page 202: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

202

(e) atakuwa na malimbikizo ya madeni ya kodi au ushuru;

(f) atakuwa amesimamisha shughuli zake kwa muda wa zaidi ya miezi mitatu bila ya taarifa;

(g) atakuwa amekiuka masharti ya Sheria Ndogo hizi hata baada ya kuonywa;

(h) atawashawishi wafanyabiashara wengine kutofuata Sheria Ndogo hizi na kusababisha uvunjifu wa amani.

Saa za kazi 14. (1) Soko litakuwa wazi siku zote kuanzia saa kumi na

mbili kamili asubuhi hadi saa kumi na mbili kamili

jioni.

(2)

Mkuu wa soko kwa kushirikiana na Kamati ya

wadau wanaweza kufunga soko kwa ajili ya

matengenezo na sababu nyingine yoyote ya

dharura pale itakapoonekana inafaa ili mradi watoe

taarifa ya maandishi kwa Mkurugenzi na kupata

idhini.

Udhibiti wa

nidhamu sokoni

15. Itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote:-

(j) kubandika Tangazo au kubandua tangazo lolote bila ya idhini ya Mkuu wa Soko;

(k) kuweka bendera za Vyama vya Siasa ndani ya eneo la soko;

(l) kufanya shughuli za kisiasa ndani ya Soko. (m) kuharibu miundombinu ya soko;

Page 203: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

203

(n) kutumia lugha ya matusi ndani ya soko; (o) kufanya shughuli yoyote kwenye eneo

ambalo haliruhusiwi au halijajengwa kwa shughuli hiyo;

(p) kupangisha kizimba au eneo la biashara kwa mfanyabiashara mwingine;

(q) kufanya biashara nje ya eneo la soko; (r) kutupa taka ovyo na kutiririsha maji

machafu.

Usafi wa soko

16. (1)

(2)

(3)

(4)

Kila mfanyabiashara anayefanya shughuli za

biashara katika soko atawajibika kuweka eneo lake

katika hali ya usafi wakati wote au kugharamia

shughuli hiyo kwa njia yoyote ile.

Mkuu wa Soko kwa kushirikiana na Kamati ya

Wadau wa soko watapanga siku na muda wa

kufunga soko mara moja kwa juma kwa ajili ya

kufanya usafi wa jumla katika eneo lote la soko.

Kila mfanyabiashara katika soko atatakiwa kushiriki

katika usafi wa jumla wa soko bila kukosa.

Kila mfanyabiashara sokoni atatakiwa kufuata

Kanuni za afya.

Page 204: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

204

Uingizaji wa bidhaa

sokoni 17. (1)

(2)

Bidhaa zote zinazoingizwa katika soko zitatakiwa

kuhifadhiwa kwenye makasha maalum ya

kusafirisha bidhaa.

Itakuwa ni marufuku kwa mkulima, mfanya-

biashara, Dalali au mtu mwingine yeyote kuingiza

bidhaa sokoni zilizofungwa na majani.

(3) Mtu yeyote atakaye ingiza bidhaa sokoni zilizo-

fungwa kwa majani atakuwa ametenda kosa.

Ukusanyaji wa Kodi,

Ada na ushuru.

18. (1)

(2)

Mkuu wa soko atakuwa ndiye msimamizi Mkuu wa

ukusanyaji wa mapato yote ya soko.

Mfanyabiashara yeyote sokoni atatakiwa kulipa

kodi, Ada na ushuru kwa Halmashauri au wakala

wake kama ilivyoonyeshwa kwenye jedwali la pili la

Sheria Ndogo hizi.

Ada ya kupangisha

eneo 19. (1) Halmashauri itatoza ada ya kupanga eneo la

biashara ambayo italipwa na Mfanyabiashara

yeyote aliyesajiliwa kufanya biashara katika eneo la

soko.

(2)

Ada hiyo italipwa kwa Halmashauri au wakala kama

Page 205: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

205

inavyoonekana kwenye jedwali la pili la Sheria

Ndogo hizi.

Ushuru wa jokofu

20.

Mtu yeyote atakayetumia chumba cha baridi au

jokofu kwa kuhifadhia bidhaa ndani ya eneo la soko

atalipa ushuru kwa Halmashauri au wakala kwa ajili

ya kutumia sehemu hiyo kwa viwango

vitakavyoamuliwa na Halmashauri.

Malipo ya Ada/

Ushuru kwa wakati. 21. Mtu yeyote atakayeshindwa kulipa ada au ushuru

katika muda uliopangwa atalipa ada hiyo au ushuru

huo pamoja na tozo la asilimia ishirini na tano

(25%) ya kiasi anachodaiwa.

Huduma ya usafi,

ulinzi, maji na

umeme

22.

Kila mfanyabiashara katika soko atawajibika

kugharamia huduma ya ulinzi, usafi, maji na

umeme kulingana na mahitaji yake kila mwezi

kufuatana na utaratibu utakaowekwa na Kamati ya

Wadau wa Soko.

Ushuru wa kupakua

na kupakia mizigo

23.(1)

Kutakuwa na ushuru utakaotozwa kwa kila gari

litakaloingia ndani ya eneo la soko au barabara za

soko kwa ajili ya kupakuwa au kupakia bidhaa kama

ilivyoainishwa kwenye Jedwali la piIi la Sheria

Ndogo hizi.

Magari yataruhusiwa kuingia katika eneo la soko

kwa lengo la kushusha au kupakia bidhaa kuanzia

Page 206: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

206

(2) saa 12.00 asubuhi hadi saa 12.00 jioni.

Adhabu 24. Mtu yeyote atakayekwenda kinyume na masharti

ya Sheria Ndogo hizi atakuwa ametenda kosa na

akipatikana na hatia atatozwa faini isiyopungua

shilingi laki mbili (200,000/=) na isiyozidi shillingi

milioni moja (Tsh. 1,000,000) au kifungo

kisichopungua miezi kumi na mbili na kisichozidi

miezi ishirini na nne au vyote kwa pamoja.

Uwezo wa

kufifilisha kosa 25.

Mkurugenzi anaweza kumtoza faini isiyopungua

shillingi laki mbili (Tsh. 200,000) na isiyozidi shilingi

laki tano (500,000) mtu yeyote aliyetenda kosa na

kukiri kwa maandishi na kukubali kulipa faini na

kiasi cha ada au ushuru anaodaiwa kwa kujaza

fomu iliyoambatanishwa kwenye jedwali la tatu la

Sheria Ndogo hizi.

______

JEDWALI LA KWANZA

______

KIBALI CHA KUTUMIA SOKO

1. Jina la mwombaji ...................... ……………………………………………

2. Anuani ya mwombaji......................................................................................

Page 207: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

207

3. Kibali cha …………………………………………………………………….

4. Eneo ambalo kibali hicho kitatumika………………………………………….

5. Muda wa kibali ni kuanzia tarehe……………………hadi tarehe……………..

6. Masharti ya kutumia kibali hicho;

(f) …………………………………….

(g) …………………………………….

(h) ……………………………………..

(i) ……………………………………..

(j) ………………………………………

6. Tarehe ya kikao iliyoidhinisha kibali …………………………………………….

Muhtasari No. …………

7. Imesainiwa na:

Jina …………………………….. Jina ……………………………..

Saini …………………………… Saini …………………………

Page 208: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

208

Mkuu wa Soko

Mwombaji

Tarehe ………………………. Tarehe …………………………..

Mhuri;

______

JEDWALI LA PILI

______

(limeundwa chini ya kifungu cha 18(2))

Na. Aina ya chanzo cha mapato Kiwango kwa

siku cha ushuru

Ada kwa mwezi

1. Mkungu wa ndizi 50.00

2.

Vibanda

100.00

5,000/=

3.

Bucha

200.00

50,000/=

4.

Vizimba

100.00

5,000/=

Page 209: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

209

5. Wapanga chini 100.00

6.

Vizimba vya kuku

200.00

5,000/=

7.

Kukwangua makongoro/Vichwa

100.00

7,000/=

9.

Kizimba cha nazi

100.00

7,000/=

10.

Gunia, Tenga au Kiroba

100.00

11.

Maduka

200.00

50,000/=

12.

Nafaka

200.00

30,000/=

13.

Simu

200.00

5,000/=

12.

Jengo la lishe

5,000.00

50,000.00

13.

Eneo la matenga

10,000.00

50,000.00

14.

Banda la vichwa na miguu ya ng’ombe

10,000.00

100,000.00

15.

Machinjio ya kuku

50,000.00

150,000.00

Page 210: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

210

16. Hifadhi ya mizigo 50,000.00 150,000.00

17.

Ofisi ndani ya soko

10,000.00

50,000.00

19. Kupakuwa na kupakia mizigo

5. Tani “0 hadi 3” 6. Tani “3 hadi 6” 7. Tani “6 hadi 10” 8. Tani “10 na kuendelea

______

JEDWALI LA TATU

______

(Limetungwa chini ya kifungu 25)

Mimi …………………… nakiri mbele ya ………….ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa

Halmashuri ya Wilaya ya Masasi, kwamba mnamo tarehe …… ya Mwezi ……. Mwaka ……

nilitenda kosa la kukiuka masharti ya kifungu cha …… cha Sheria Ndogo za (Ushuru wa

masoko) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi za Mwaka 2017.

Kwa Mamlaka aliyopewa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri, Niko tayari kulipa kiasi

cha Ada/ Ushuru ninaodaiwa pamoja na faini.

Page 211: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

211

NATHIBITISHA KWAMBA MAELEZO HAPO JUU NI YA KWELI NA NIMEYATOA KWA

HIARI YANGU KADRI YA UFAHAMU WANGU

Leo tarehe…………. ya Mwezi………… Mwaka ………………….

Jina……………………………….. Saini…………………………………….

Mbele ya :

Jina: ……………………………………………

Cheo: ………………………………………….

Saini: …………………………………………..

Mhuri wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi umewekwa katika Lakiri ya Sheria

Ndogo hizi kufuatia Mkutano wa Baraza la Madiwani ulioketi Halmashauri leo

tarehe 29 mwezi 10 mwaka 2014 mbele ya Wafuatao:-

CHANGWA M. MKWAZU,

Mkurugenzi Mtendaji

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

JUMA M. SATMAH,

Mwenyekiti

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Page 212: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

212

NAKUBALI

Dodoma, MHE. GEORGE B. SIMBACHAWENE (MB.),

13 Julai, 2017 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala

za Mikoa na Serikali za Mitaa

TANGAZO LA SERIKALI NA. 393 la tarehe 29/09/2017

SHERIA YA SERIKALI ZA MITAA (MAMLAKA ZA WILAYA)

(SURA YA 287)

________

SHERIA NDOGO ________

Zimetungwa chini ya kifungu cha 153(1)

________

SHERIA NDOGO ZA (UTUNZAJI WA BARABARA) ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI ZA

MWAKA, 2017

Jina na

mwanzo wa

kuanza

kutumika

1. Sheria Ndogo hizi zitajulikana kama Sheria Ndogo za

(Utunzaji wa Barabara) za Halmashauri ya Wilaya ya

Masasi za Mwaka 2017 na zitaanza kutumika baada ya

kutangazwa kwenye Gazeti la Serikali.

Page 213: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

213

Matumizi 2. Sheria Ndogo hizi zitatumika katika eneo lote lililipo

chini ya mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya ya Masasi.

Tafsiri

3. Katika Sheria Ndogo hizi isipokuwa pale

itakapoelekezwa vinginevyo:-

“Afisa Muidhiniwa” maana yake ni Afisa yeyote

atakayeteuliwa na Halmashauri kusimamia

utekelezaji wa Sheria Ndogo hizi;

“Barabara” Maana yake ni Barabara zote zinazopitika

kwa Watu na magari katika eneo lote la

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi;

“Eneo la Barabara” maana yake ni sawa na iliyotajwa

kwenye kifungu cha 6 cha Sheria Ndogo hizi;

“Halmashauri” maana yake ni Halmashauri ya Wilaya

ya Masasi;

“Kijiji” maana yake ni Kijiji kilichoanzishwa na

kusajiliwa kwa mujibu wa kifungu cha 22 cha

Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya)

Sura ya 287;

“Mifugo” maana yake itajumuisha Ng’ombe, Punda,

Kondoo, Mbuzi, mbwa na wanyama wengine

wafugwao na Binadamu;

“Mkurugenzi” maana yake ni Mkurugenzi wa

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi au Afisa yeyote

wa umma atakayeteuliwa kutekeleza majukumu

ya Mkurugenzi.

Wajibu wa 4. Halmashauri itakuwa na wajibu wa kuanzisha,

Page 214: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

214

kuanzisha Barabara. kupandisha hadhi, au kukarabati Barabara katika

maeneo yaliyopo katika mamlaka yake ili kuwezesha

kufikika kwa urahisi kutoka eneo moja na jingine kwa

dhumuni la kurahisisha utoaji wa huduma kwa

Wananchi na kukuza uchumi.

Wajibu wa

kutunza

Barabara

5. (1) Itakuwa ni wa Halmashauri kuhakikisha kuwa

Barabara zote zilizo kwenye eneo lake zinatunzwa na

kuweza kupitika majira yote ya mwaka.

(2) Halmashauri itaweka taratibu za kufuatwa katika

utumiaji wa Barabara ikiwa ni pamoja na matakwa ya

kuzingatia alama za Barabarani, alama za uthibiti wa

uzito, kutumia maeneo maalumu ya kuvusha mifugo,

na kutekeleza maelekezo mengine yatakayotolewa na

Halmashauri.

Maeneo ya

hifadhi ya

Barabara

6. (1) Maeneo ya Hifadhi ya Barabara yatakuwa:-

(a) eneo la umbali wa mita kumi na mbili (12) kila upande kutoka katikati ya Barabara za Vijiji;

(b) eneo la umbali wa mita ishirini (20) kila upande kutoka katikati ya Barabara za Halmashauri;

(c) eneo la umbali wa mita thelathini (30) kila upande kutoka katikati ya Barabara za Mkoa.

(2) vipimo vya eneo la hifadhi ya Barabara vinaweza

kubadilika kutokana na kupanda hadhi kwa

Barabara husika au wakati wowote

itakapoelekezwa na Halmashauri.

Page 215: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

215

Utunzaji wa

madaraja 7. Halmashauri itaweka alama za uwepo wa daraja na

alama za uzito unaoruhusiwa kuvushwa katika daraja

kwa madhumuni ya kuepusha uwezekano wa kutokea

ajali na kutunza madaraja.

Mabango na

matangazo 8. Halmashauri itatoa idhini wa kuweka mabango au

kutangaza tangazo katika maeneo maalum ambapo

mabango au matangazo hayo hayatazuia muonekano

wa alama za barabarani, hayatawekwa kwenye

makutano ya barabara, kona, au mzunguko wa

barabara ambapo yatazuia muonekano mzuri wa

Barabara.

Uthibiti wa

Mifugo 9. Halmashauri itadhibiti matumizi ya barabara kwa

kutenga njia maalum za mifugo zitakazotumika

kwenda na kurudi kutoka malishoni au mnadani.

Makosa 10. Itakuwa ni kosa kwa mtu yeyote:-

(a) kujenga au kulima kwenye maeneo ya hifadhi ya Barabara;

(b) kupitisha kwenye barabara au daraja chombo chochote cha usafiri kilichozidi uzito unaotakiwa au ulioelekezwa kwenye vibao maalumu vya matumizi ya barabara au daraja;

(c) kupitisha mifugo ndani na kando ya Barabara; (d) kufanya biashara ndani ya eneo la Barabara; (e) kuburuza nondo au vitu vizito Barabarani;

(f) kutupa takataka Barabarani;

(g) kuendesha au kukokota chombo cha usafiri ambacho kinaweza kusababisha uharibifu wa

Page 216: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

216

namna yoyote wa barabara;

(h) kubeba mizigo ambayo itaning’inia, kumwagika au kuburuzwa barabarani na

(i) kufanya jambo lolote linaloweza kufanya uharibifu wa Barabara.

Notisi 11. (1) Halmashauri itampa notisi ya siku kumi na nne (14)

mtu yeyote aliyejenga, kulima au kufanya shughuli

yoyote ya kibinadamu kwenye maeneo ya hifadhi

ikimtaka Mtu huyo kubomoa jengo lake au kung’oa

mazao au kusitisha shughuli hiyo.

(2) Endapo Mhusika atashindwa kutekeleza masharti

ya kifungu kidogo cha (1) hapo juu; Halmashauri

itakuwa na uwezo wa kubomoa jengo hilo au kusitisha

shughuli au kung’oa mazao yaliyopandwa baada ya

kupata kibali cha Mahakama na kumtaka Mhusika

kulipa gharama ambazo Halmashauri imeingia.

Adhabu 12. Mtu yeyote atakakwenda kinyume na masharti ya

Sheria Ndogo hizi atakuwa ametenda kosa na

akipatikana na hatia atatozwa faini isiyozidi shilingi laki

tatu (300,000/=) au kifungo kisichozidi miezi kumi na

mbili (12) au adhabu zote mbili kwa pamoja yaani

faini na kifungo.

Kufifilisha kosa 13. Mkurugenzi anaweza kumtoza faini ya Shilingi Laki

Mbili (200,000/=) mtu yeyote endapo mkosaji kwa

hiari yake mwenyewe atakiri kosa kwa maandishi na

kukubali kulipa faini anayodaiwa.

Page 217: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

217

______

JEDWALI

______

HATI YA KUKIRI KOSA

(Chini ya kifungu cha 13)

Mimi………………………………………………………………………….….. kwa hiari yangu

mwenyewe nakiri mbele ya …………………………….……. Mkurugenzi wa Halmashauri

ya Wilaya ya Masasi kwamba mnamo tarehe……… ya mwezi

wa………………….mwaka……… . nilitenda kosa kwa kukiuka masharti ya kifungu

cha ……………….. cha Sheria Ndogo za (Utunzaji wa Barabara) Halmashauri ya

Wilaya ya Masasi za Mwaka 2017,

Nipo tayari kulipa kiasi cha faini ya Shilingi ……………….. ninachodaiwa ikiwa

Mkurugenzi ataamua kutekeleza mamlaka aliyopewa chini ya Sheria Ndogo hizi

kifungu cha 13.

Nathibitisha kwamba maelezo ya hapo juu ni ya kweli na nimeyatoa kwa hiari

yangu kadri ya ufahamu wangu.

Page 218: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

218

Tarehe…………………………….. Sahihi…………………………

Mhuri wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi umewekwa katika Lakiri ya Sheria

Ndogo hizi kufuatia Mkutano wa Baraza la Madiwani ulioketi Halmashauri leo

tarehe 29 mwezi 10 mwaka 2014 mbele ya Wafuatao:-

CHANGWA M. MKWAZU,

Mkurugenzi Mtendaji

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

JUMA M. SATMAH,

Mwenyekiti

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

NAKUBALI

Dodoma, MHE. GEORGE B. SIMBACHAWENE (MB.),

13 Julai, 2017 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala

za Mikoa na Serikali za Mitaa

Page 219: SHERIA NDOGO - masasidc.go.tz€¦ · Ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi. Wajibu wa Wakala 9. Wakala aliyeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hizi atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya

Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Tangazo la Serikali Na. 391 (linaendelea…)

219