uchumi wa viwanda: namna serikali itakavyoimarisha usalama ... · usalama na afya mahali pa kazi...

16
Uchumi wa viwanda: Namna serikali itakavyoimarisha usalama na afya kazini Uchumi wa viwanda: Namna serikali itakavyoimarisha usalama na afya kazini Uchumi wa viwanda: Namna serikali itakavyoimarisha usalama na afya kazini TOLEO La 4 | Aprili, 2017

Upload: others

Post on 12-Aug-2020

38 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: Uchumi wa viwanda: Namna serikali itakavyoimarisha usalama ... · Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Dkt. Akwilina Kayumba, aliweka bayana mipango ya taasisi hiyo yenye dhamana

erikali imejipanga kuimarisha hali ya usalama na afya za wafanyakazi wanapokuwa kazini

katika kipindi ambacho nchi inaelekea katika kujenga uchumi wa viwanda.

Miongoni mwa vipaumbele vya serikali ya awamu ya tano ni kujenga uchumi wa viwanda kwa kufufua viwanda vya zamani, kuanzisha vipya na pia kuwahamasisha wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kuwekeza zaidi katika sekta ya viwanda.

Ni dhahiri kwamba shughuli za viwanda zinahusishwa na vihatarishi (hazards) mbali mbali vinavyoweza kuhatarisha usalama na afya za wafanyakazi kama hakutakuwa na mikakati madhubuti ya kuwakinga wafanyakazi na vihatarishi husika.

Wakati akiwahutubia waajiri na wafanyakazi waliohudhuria sherehe za maadhimisho ya siku ya afya na usalama mahali pa kazi Duniani yaliyofanyika Dodoma, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mh. Jenista Mhagama, alibainisha mikakati iliyowekwa na serikali ili kuboresha hali ya usalama na afya za watanzania wanapokuwa kazini.

Mh. Mhagama alisema serikali ya awamu ya tano imedhamiria kufufua upya uchumi wa viwanda ambapo kutakuwepo na uwekezaji mkubwa katika viwanda na wengi wataairiwa kufanya shughuli mbali mbali katika viwanda hivyo.

“Pia katika mnyororo mzima wa thamani ya ufufuaji wa viwanda hivyo, zitakuwepo shughuli mbali mbali kama vile usafirishaji, ongezeko la kilimo cha mazao ghafi, ukuaji wa sekta ya utoaji huduma,” alisema nakuongeza:

“Katika kipindi cha takribani miaka kumi iliyopita kumekuwa na ongezeko kubwa la uwekezaji katika migodi ya madini mbalimbali kama vile dhahabu, uraniamu, madini ya vito. Nchi yetu pia imegundua gesi asilia, uchimbaji wa gesi hiyo umeanza na utafiti zaidi unaendelea. Pia inawezekana tukagundua mafuta ya petroli kwa kuwa dalili zipo kubwa.”

Aidha waziri huyo mwenye dhamana na masuala ya kazi alieleza kuwa katika uwekezaji huo mkubwa kutakuwa na ongezeko kubwa la vihatarishi ambapo wafanyakazi watakao jihusisha na shughuli zote hizo watakabiliwa na vihatarishi vya afya na usalama vya aina

mbalimbali kulingana na shughuli watakazokuwa wanazifanya.

Kwa mujibu wa kiongozi huyo, serikali tayari imeshaliona hilo na imeweka mikakati mahususi ya kukabiliana na changamoto ya usalama na afya za wafanyakazi katika sekta ya viwanda na shughuli nyingine za kiuchumi.

“Sisi kama serikali tutatoa miongozo mbalimbali ya namna ya kukabiliana na vihatarishi hivyo na tutawaomba wadau wafuate miongozo hiyo.

Kwahiyo, napenda kutoa wito kwa wadau wote watuunge mkono ili tuweze kupambana na vihatairishi hivyo,” alisema Mh. Mhagama.

Aidha aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Dkt. Akwilina Kayumba, aliweka bayana mipango ya taasisi hiyo yenye dhamana ya kusimamia usalama na afya katika sehemu za kazi katika kuendana na kasi ya ukuaji wa uchumi wa viwanda. (Interview with CE)

Uchumi wa viwanda: Namna serikali itakavyoimarisha usalama na afya kazini

Uchumi wa viwanda: Namna serikali itakavyoimarisha usalama na afya kazini

Uchumi wa viwanda: Namna serikali itakavyoimarisha usalama na afya kazini

TOLEO La 4 | Aprili, 2017

Page 2: Uchumi wa viwanda: Namna serikali itakavyoimarisha usalama ... · Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Dkt. Akwilina Kayumba, aliweka bayana mipango ya taasisi hiyo yenye dhamana

erikali imejipanga kuimarisha hali ya usalama na afya za wafanyakazi wanapokuwa kazini

katika kipindi ambacho nchi inaelekea katika kujenga uchumi wa viwanda.

Miongoni mwa vipaumbele vya serikali ya awamu ya tano ni kujenga uchumi wa viwanda kwa kufufua viwanda vya zamani, kuanzisha vipya na pia kuwahamasisha wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kuwekeza zaidi katika sekta ya viwanda.

Ni dhahiri kwamba shughuli za viwanda zinahusishwa na vihatarishi (hazards) mbali mbali vinavyoweza kuhatarisha usalama na afya za wafanyakazi kama hakutakuwa na mikakati madhubuti ya kuwakinga wafanyakazi na vihatarishi husika.

Wakati akiwahutubia waajiri na wafanyakazi waliohudhuria sherehe za maadhimisho ya siku ya afya na usalama mahali pa kazi Duniani yaliyofanyika Dodoma, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mh. Jenista Mhagama, alibainisha mikakati iliyowekwa na serikali ili kuboresha hali ya usalama na afya za watanzania wanapokuwa kazini.

Mh. Mhagama alisema serikali ya awamu ya tano imedhamiria kufufua upya uchumi wa viwanda ambapo kutakuwepo na uwekezaji mkubwa katika viwanda na wengi wataairiwa kufanya shughuli mbali mbali katika viwanda hivyo.

“Pia katika mnyororo mzima wa thamani ya ufufuaji wa viwanda hivyo, zitakuwepo shughuli mbali mbali kama vile usafirishaji, ongezeko la kilimo cha mazao ghafi, ukuaji wa sekta ya utoaji huduma,” alisema nakuongeza:

“Katika kipindi cha takribani miaka kumi iliyopita kumekuwa na ongezeko kubwa la uwekezaji katika migodi ya madini mbalimbali kama vile dhahabu, uraniamu, madini ya vito. Nchi yetu pia imegundua gesi asilia, uchimbaji wa gesi hiyo umeanza na utafiti zaidi unaendelea. Pia inawezekana tukagundua mafuta ya petroli kwa kuwa dalili zipo kubwa.”

Aidha waziri huyo mwenye dhamana na masuala ya kazi alieleza kuwa katika uwekezaji huo mkubwa kutakuwa na ongezeko kubwa la vihatarishi ambapo wafanyakazi watakao jihusisha na shughuli zote hizo watakabiliwa na vihatarishi vya afya na usalama vya aina

mbalimbali kulingana na shughuli watakazokuwa wanazifanya.

Kwa mujibu wa kiongozi huyo, serikali tayari imeshaliona hilo na imeweka mikakati mahususi ya kukabiliana na changamoto ya usalama na afya za wafanyakazi katika sekta ya viwanda na shughuli nyingine za kiuchumi.

“Sisi kama serikali tutatoa miongozo mbalimbali ya namna ya kukabiliana na vihatarishi hivyo na tutawaomba wadau wafuate miongozo hiyo.

Kwahiyo, napenda kutoa wito kwa wadau wote watuunge mkono ili tuweze kupambana na vihatairishi hivyo,” alisema Mh. Mhagama.

Aidha aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Dkt. Akwilina Kayumba, aliweka bayana mipango ya taasisi hiyo yenye dhamana ya kusimamia usalama na afya katika sehemu za kazi katika kuendana na kasi ya ukuaji wa uchumi wa viwanda. (Interview with CE)

MwenyekitiKhadija H. Mwenda

Mhariri MkuuPaul Gyuna

MhaririEleuter C. Mbilinyi

WajumbeRehema Msekwa

Fanuel E. KalimundaDr. Abdulssalaam Omary

Suzan ReubenBilali Kileo

Limetolewa na Wakala wa Usalama na Afya Mahali

pa Kazi (OSHA)S.L.P. 519, Dar es Salaam

Simu Na: +255 22 2760548+255 22 2760552

Nukushi Na: +255 22 2760552Barua Pepe: [email protected]

Tovuti: www.osha.go.tz

Limechapishwa na

Email: [email protected]: www.imagingsmart.com

Bodi yaWAHARIRI

02Usalama na Afya Mahali pa Kazi (Osha) | Jarida • Aprili 2017

Neno kutoka kwa Mtendaji Mkuu 03

Neno kutoka kwa Mhariri 03

Uchumi wa viwanda: Namna serikaliitakavyoimarisha usalama na afya kazini 04

Vikao vya wadau: Mbinu inayotumiwa na OSHAkuhamasiha utekelezaji wa Sheria ya Usalama na Afya 05

Kampeni ya kusajili maeneo yakazi kuendelea mikoa ya kusini 06

Waajiri wamuonesha Rais Magufuli namnawanavyowakinga wafanyakazi 07

OSHA yatumia maonesho kutoa elimu kwa umma 08

Umuhimu wa kuimarisha mfumo wausalama katika eneo la kazi ili kuzuia ajali 09

Mafunzo ya Usalama na Afya kwawajasiriamali wadogo yapongezwa 10

Wafanyakazi wahimizwa kushiriki mazoezi yaviungo ili kujenga afya zao 11

UWANJA WA WANAFUNZI 12

OSHA yaibuka kidedea mashindano ya kuvuta kamba katika bonanza 13

OSHA yaazimisha miaka 15 kwa kufanya usafi nchi nzima 13

Uelewa mdogo wakwamisha utoaji elimu yausalama na afya kazini 15

Habari Katika Picha 16

Y A L I Y O M O

Page 3: Uchumi wa viwanda: Namna serikali itakavyoimarisha usalama ... · Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Dkt. Akwilina Kayumba, aliweka bayana mipango ya taasisi hiyo yenye dhamana

erikali imejipanga kuimarisha hali ya usalama na afya za wafanyakazi wanapokuwa kazini

katika kipindi ambacho nchi inaelekea katika kujenga uchumi wa viwanda.

Miongoni mwa vipaumbele vya serikali ya awamu ya tano ni kujenga uchumi wa viwanda kwa kufufua viwanda vya zamani, kuanzisha vipya na pia kuwahamasisha wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kuwekeza zaidi katika sekta ya viwanda.

Ni dhahiri kwamba shughuli za viwanda zinahusishwa na vihatarishi (hazards) mbali mbali vinavyoweza kuhatarisha usalama na afya za wafanyakazi kama hakutakuwa na mikakati madhubuti ya kuwakinga wafanyakazi na vihatarishi husika.

Wakati akiwahutubia waajiri na wafanyakazi waliohudhuria sherehe za maadhimisho ya siku ya afya na usalama mahali pa kazi Duniani yaliyofanyika Dodoma, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mh. Jenista Mhagama, alibainisha mikakati iliyowekwa na serikali ili kuboresha hali ya usalama na afya za watanzania wanapokuwa kazini.

Mh. Mhagama alisema serikali ya awamu ya tano imedhamiria kufufua upya uchumi wa viwanda ambapo kutakuwepo na uwekezaji mkubwa katika viwanda na wengi wataairiwa kufanya shughuli mbali mbali katika viwanda hivyo.

“Pia katika mnyororo mzima wa thamani ya ufufuaji wa viwanda hivyo, zitakuwepo shughuli mbali mbali kama vile usafirishaji, ongezeko la kilimo cha mazao ghafi, ukuaji wa sekta ya utoaji huduma,” alisema nakuongeza:

“Katika kipindi cha takribani miaka kumi iliyopita kumekuwa na ongezeko kubwa la uwekezaji katika migodi ya madini mbalimbali kama vile dhahabu, uraniamu, madini ya vito. Nchi yetu pia imegundua gesi asilia, uchimbaji wa gesi hiyo umeanza na utafiti zaidi unaendelea. Pia inawezekana tukagundua mafuta ya petroli kwa kuwa dalili zipo kubwa.”

Aidha waziri huyo mwenye dhamana na masuala ya kazi alieleza kuwa katika uwekezaji huo mkubwa kutakuwa na ongezeko kubwa la vihatarishi ambapo wafanyakazi watakao jihusisha na shughuli zote hizo watakabiliwa na vihatarishi vya afya na usalama vya aina

mbalimbali kulingana na shughuli watakazokuwa wanazifanya.

Kwa mujibu wa kiongozi huyo, serikali tayari imeshaliona hilo na imeweka mikakati mahususi ya kukabiliana na changamoto ya usalama na afya za wafanyakazi katika sekta ya viwanda na shughuli nyingine za kiuchumi.

“Sisi kama serikali tutatoa miongozo mbalimbali ya namna ya kukabiliana na vihatarishi hivyo na tutawaomba wadau wafuate miongozo hiyo.

Kwahiyo, napenda kutoa wito kwa wadau wote watuunge mkono ili tuweze kupambana na vihatairishi hivyo,” alisema Mh. Mhagama.

Aidha aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Dkt. Akwilina Kayumba, aliweka bayana mipango ya taasisi hiyo yenye dhamana ya kusimamia usalama na afya katika sehemu za kazi katika kuendana na kasi ya ukuaji wa uchumi wa viwanda. (Interview with CE)

Ndugu Wasomaji,Natumia nafasi hii kuwakaribisha kusoma Toleo Na. 04 la Jarida letu la OSHA lenye mkusanyiko wa habari na matukio mbali mbali yaliyojiri katika taasisi yetu kwa kipindi cha miezi sita iliyopita. Katika toleo lililopita tulikueleza mengi yalitokea katika kipindi husika husasani maono ya taasisi kuhusu uboreshaji wa huduma zake kwa wateja.Chapisho hili ambalo ni la kwanza katika mwaka huu wa fedha (2016/2017), pamoja na mambo mengine ambayo ni endelevu, litakupa ufahamu kuhusu mipango ya baadae ya taasisi yetu.Tofauti na kazi kuu ya kufanya kaguzi katika sehemu za kazi, kuna mambo mengi sana ambayo taasisi imeyatekeleza katika kipindi kilichopita (Aprili-Disemba). Mambo hayo ni pamoja na maadhimisho ya siku ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi Duniani ambayo

Ndugu Wasomaji

Ninawakaribisha katika toleo jipya la Jarida la OSHA ambalo limesheheni habari moto moto zinazohusu matukio na shughuli mbali mbali zilizotekelezwa na Wakala katika kipindi cha Aprili hadi Disemba, 2016 ikiwemo mipango yetu ya baadae.

Makala nyingi katika toleo hili zinahusu shughuli mbali mbali tulizozitekeleza kama sehemu ya maadhimisho ya siku ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi Duniani ambazo ni pamoja na uhamasishaji usajili wa sehemu za kazi, vikao vya wadau, bonanza la michezo, mafunzo ya usalama na afya kazini kwa wajasiriamali wadogo pamoja na maonesho ya umahiri katika kuwakinga wafanyakazi na vihatarishi vilivyopo katika sehemu zao za kazi.

Aidha mambo mengine tofauti na maadhimisho ya siku ya usalama na afya mahali pa kazi Duniani kama vile ushiriki wa taasisi katika maonesho mbali mbali kwaajili ya kujitangaza na

Neno

kut

oka

kwa

Mte

ndaj

i Mku

u

Neno

kut

oka

kwa

Mha

riri

huadhimishwa kila ifikapo Aprili 28, uhamasishaji usajili wa sehemu za kazi na mafunzo ya usalama na afya mahali pa kazi kwa wajasiriamali wadogo. Mengine ni bonanza la michezo, maonesho ya umahiri wa kuwakinga wafanyakazi na vihatarishi wanapokuwa kazini na mikutano mbali mbali ya wadau ukiwemo mkutano baina ya menejimenti ya Wakala na viongozi wa vyama vya wafanyakazi kote nchini.Aidha Wakala ulishiriki katika maonesho mbali mbali yakiwemo maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam maarufu kwa jina la Saba Saba pamoja na maonesho ya Wiki ya Vijana Kitaifa yaliyofanyika sambamba na maadhi-misho ya kumbukumbu ya kifo cha Baba wa Taifa Hayati Mwl. Julius K. Nyerere pamoja na uhitimishaji wa mbio za Mwenge wa Uhuru. Maonesho hayo yalifanyika kwa muda wa wiki nzima huko Bariadi katika mkoa wa Simiyu.Kwa undani wa mambo haya na mengine mengi, ninakukaribisha kusoma Makala na taarifa mbali mbali zilizoandaliwa kitaalam na kuchapishwa humu ndani sambamba na kutazama picha zake zenye kuvutia. Bila shaka utaelimika na kuburudishwa sana na Toleo letu la sasa.Asante na karibu

Khadija H. MwendaKaimu Mtendaji Mkuu, Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA)

03Usalama na Afya Mahali pa Kazi (Osha) | Jarida • Aprili 2017

kutoa elimu kwa umma na maadhimisho ya siku ya kuanzishwa kwa OSHA pia yametazamwa katika toleo hili.

Katika kipindi kilichopita kuna mafanikio mengi ambayo yamefikiwa, taarifa zaidi kuhusu mafanikio hayo utazipata katika Makala mbali mbali zilizochapishwa katika Jarida hili na kubwa zaidi ni kuweza kutoa mafunzo ya usalama na afya kazini kwa wajasiriamali wadogo zaidi ya 1800 katika kanda zote za OSHA.

Pia vikao 10 vya wadau viliweza kufanyika katika mikoa mbali mbali kote nchini ambapo zaidi ya wadau 500 walihudhuria mikutano hiyo iliyolenga kujadili masuala mbali mbali yanayohusu utekelezaji wa Sheria ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi ya mwaka 2003.

Sambamba na vikao vya wadau, zaidi ya vipindi nane vya redio na luninga vilivyolenga kutoa elimu kwa jamii kuhusu masuala ya usalama na afya mahali pa kazi vilifanyika na kurushwa kupitia vituo mbali mbali vya redio na luninga vilivyopo katika mikoa mbali mbali.

Jambo la msingi linalopaswa kuzingatiwa ni kwamba mambo yaliyotajwa hapa ni baadhi tu ya mafanikio mengi yaliyofikiwa katika kipindi kifupi kilichopita. Mengi utayapata utakapokuwa unasoma kwa undani Makala zilizochapishwa katika Jarida letu na ni matumaini yangu kwamba utaelimika na kuburudika.

Mwisho, napenda kuwashukuru watumishi wote wa OSHA na wadau wetu wote kwa ushirikiano mkubwa wanaouonesha katika kuhakikisha kwamba taasisi yetu inasonga mbele pamoja na changamoto zinazojitokeza.

Nakutakia usomaji mwema

Eleuter C. MbilinyiAfisa Uhusiano, Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA).

Page 4: Uchumi wa viwanda: Namna serikali itakavyoimarisha usalama ... · Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Dkt. Akwilina Kayumba, aliweka bayana mipango ya taasisi hiyo yenye dhamana

04Usalama na Afya Mahali pa Kazi (Osha) | Jarida • Aprili 2017

erikali imejipanga kuimarisha hali ya usalama na afya za wafanyakazi wanapokuwa kazini

katika kipindi ambacho nchi inaelekea katika kujenga uchumi wa viwanda.

Miongoni mwa vipaumbele vya serikali ya awamu ya tano ni kujenga uchumi wa viwanda kwa kufufua viwanda vya zamani, kuanzisha vipya na pia kuwahamasisha wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kuwekeza zaidi katika sekta ya viwanda.

Ni dhahiri kwamba shughuli za viwanda zinahusishwa na vihatarishi (hazards) mbali mbali vinavyoweza kuhatarisha usalama na afya za wafanyakazi kama hakutakuwa na mikakati madhubuti ya kuwakinga wafanyakazi na vihatarishi husika.

Wakati akiwahutubia waajiri na wafanyakazi waliohudhuria sherehe za maadhimisho ya siku ya afya na usalama mahali pa kazi Duniani yaliyofanyika Dodoma, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mh. Jenista Mhagama, alibainisha mikakati iliyowekwa na serikali ili kuboresha hali ya usalama na afya za watanzania wanapokuwa kazini.

Uchumi wa viwanda: Namna serikali itakavyoimarisha usalama na afya kazini

– Na Eleuter Mbilinyi

Mh. Mhagama alisema serikali ya awamu ya tano imedhamiria kufufua upya uchumi wa viwanda ambapo kutakuwepo na uwekezaji mkubwa katika viwanda na wengi wataairiwa kufanya shughuli mbali mbali katika viwanda hivyo.

“Pia katika mnyororo mzima wa thamani ya ufufuaji wa viwanda hivyo, zitakuwepo shughuli mbali mbali kama vile usafirishaji, ongezeko la kilimo cha mazao ghafi, ukuaji wa sekta ya utoaji huduma,” alisema nakuongeza:

“Katika kipindi cha takribani miaka kumi iliyopita kumekuwa na ongezeko kubwa la uwekezaji katika migodi ya madini mbalimbali kama vile dhahabu, uraniamu, madini ya vito. Nchi yetu pia imegundua gesi asilia, uchimbaji wa gesi hiyo umeanza na utafiti zaidi unaendelea. Pia inawezekana tukagundua mafuta ya petroli kwa kuwa dalili zipo kubwa.”

Aidha waziri huyo mwenye dhamana na masuala ya kazi alieleza kuwa katika uwekezaji huo mkubwa kutakuwa na ongezeko kubwa la vihatarishi ambapo wafanyakazi watakao jihusisha na shughuli zote hizo watakabiliwa na vihatarishi vya afya na usalama vya aina

mbalimbali kulingana na shughuli watakazokuwa wanazifanya.

Kwa mujibu wa kiongozi huyo, serikali tayari imeshaliona hilo na imeweka mikakati mahususi ya kukabiliana na changamoto ya usalama na afya za wafanyakazi katika sekta ya viwanda na shughuli nyingine za kiuchumi.

“Sisi kama serikali tutatoa miongozo mbalimbali ya namna ya kukabiliana na vihatarishi hivyo na tutawaomba wadau wafuate miongozo hiyo.

Kwahiyo, napenda kutoa wito kwa wadau wote watuunge mkono ili tuweze kupambana na vihatairishi hivyo,” alisema Mh. Mhagama.

Aidha aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Dkt. Akwilina Kayumba, aliweka bayana mipango ya taasisi hiyo yenye dhamana ya kusimamia usalama na afya katika sehemu za kazi katika kuendana na kasi ya ukuaji wa uchumi wa viwanda. (Interview with CE)

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu-Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mh. Jenista Mhagama (MB) akiwasilisha hotuba yake siku ya kilele cha maadhimisho ya siku ya Usalama na Afya mahali pa kazi Duniani yaliyofanyika mjini Dodoma.

Page 5: Uchumi wa viwanda: Namna serikali itakavyoimarisha usalama ... · Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Dkt. Akwilina Kayumba, aliweka bayana mipango ya taasisi hiyo yenye dhamana

fanisi katika utekelezaji wa sheria yoyote ile unahitaji uelewa wa pamoja kati ya wasimamizi

na walengwa wa sheria husika kinyume na hapo utekelezaji wake unaweza kuwa mgumu.

Kutokana na kuitambua vyema dhana ya uelewa wa pamoja, uongozi wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) uliamua kubuni mbinu ambayo inaweza kupanua uelewa wa sheria na taratibu mbali mbali kwa upande wa walengwa.

Vikao vya mara kwa mara kati ya uongozi wa juu wa Mamlaka na wadau wake mbali mbali ilionekana kuwa namna bora zaidi katika kuwaleta wadau karibu na taasisi yao ili kuwafanya kuwa watekelezaji wazuri wa sheria ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi ya mwaka 2003.

Vikao hivi huratibiwa na kitengo cha Habari na Mawasiliano na hufanyika katika kanda zote za OSHA kwa nyakati tofauti ambapo wadau kutoka katika taasisi mbali mbali za ummai na sekta binafsi hualikwa.

Kwa mwaka wa fedha 2015/2016 jumla ya mikutano 10 ya wadau ilifanyika katika mikoa ya Dar es Salaam, Mwanza, Kagera, Geita, Dodoma, Njombe, Tanga, Kilimanjaro, Morogoro na Mtwara ambapo zaidi ya wadau 500 waliweza kuhudhuria mikutano hiyo.

Vikao vya wadau: Mbinu inayotumiwa

na OSHA kuhamasiha

utekelezaji wa Sheria ya Usalama

na Afya– Na Eleuter Mbilinyi

Muundo wa vikao hivyo hugawanyika katika sehemu mbili. Sehemu ya kwanza huwa ni kwaajili ya OSHA kuelezea namna inavyotekeleza majukumu yake na sehemu ya pili kwaajili ya kusikia kutoka kwa wadau ambao huuliza maswali na kutoa ushauri, maoni au malalamiko kuhusu taasisi yao.

Miongoni mwa masuala yaliyoibuliwa na wadau katika vikao vilivyopita ni pamoja na kaguzi za OSHA kutotofautiana na zile zinazofanywa na mamlaka nyingine, kushindwa kupata huduma za upimaji afya kwa wakati kutoka kwa wataalam wa afya kutoka OSHA, mabadiliko ya mara kwa mara ya ratiba za mafunzo, gharama kubwa za kaguzi, ucheleweshwaji wa taarifa za kaguzi pamoja na kama makampuni binafsi yanaruhusiwa kutoa mafunzo ya Usalama na Afya katika sehemu za kazi.

Mahojiano na CE (swali: nini mchango wa vikao vya wadau katika kuboresha utendaji wa taasisi?)

05Usalama na Afya Mahali pa Kazi (Osha) | Jarida • Aprili 2017

erikali imejipanga kuimarisha hali ya usalama na afya za wafanyakazi wanapokuwa kazini

katika kipindi ambacho nchi inaelekea katika kujenga uchumi wa viwanda.

Miongoni mwa vipaumbele vya serikali ya awamu ya tano ni kujenga uchumi wa viwanda kwa kufufua viwanda vya zamani, kuanzisha vipya na pia kuwahamasisha wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kuwekeza zaidi katika sekta ya viwanda.

Ni dhahiri kwamba shughuli za viwanda zinahusishwa na vihatarishi (hazards) mbali mbali vinavyoweza kuhatarisha usalama na afya za wafanyakazi kama hakutakuwa na mikakati madhubuti ya kuwakinga wafanyakazi na vihatarishi husika.

Wakati akiwahutubia waajiri na wafanyakazi waliohudhuria sherehe za maadhimisho ya siku ya afya na usalama mahali pa kazi Duniani yaliyofanyika Dodoma, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mh. Jenista Mhagama, alibainisha mikakati iliyowekwa na serikali ili kuboresha hali ya usalama na afya za watanzania wanapokuwa kazini.

Mh. Mhagama alisema serikali ya awamu ya tano imedhamiria kufufua upya uchumi wa viwanda ambapo kutakuwepo na uwekezaji mkubwa katika viwanda na wengi wataairiwa kufanya shughuli mbali mbali katika viwanda hivyo.

“Pia katika mnyororo mzima wa thamani ya ufufuaji wa viwanda hivyo, zitakuwepo shughuli mbali mbali kama vile usafirishaji, ongezeko la kilimo cha mazao ghafi, ukuaji wa sekta ya utoaji huduma,” alisema nakuongeza:

“Katika kipindi cha takribani miaka kumi iliyopita kumekuwa na ongezeko kubwa la uwekezaji katika migodi ya madini mbalimbali kama vile dhahabu, uraniamu, madini ya vito. Nchi yetu pia imegundua gesi asilia, uchimbaji wa gesi hiyo umeanza na utafiti zaidi unaendelea. Pia inawezekana tukagundua mafuta ya petroli kwa kuwa dalili zipo kubwa.”

Aidha waziri huyo mwenye dhamana na masuala ya kazi alieleza kuwa katika uwekezaji huo mkubwa kutakuwa na ongezeko kubwa la vihatarishi ambapo wafanyakazi watakao jihusisha na shughuli zote hizo watakabiliwa na vihatarishi vya afya na usalama vya aina

mbalimbali kulingana na shughuli watakazokuwa wanazifanya.

Kwa mujibu wa kiongozi huyo, serikali tayari imeshaliona hilo na imeweka mikakati mahususi ya kukabiliana na changamoto ya usalama na afya za wafanyakazi katika sekta ya viwanda na shughuli nyingine za kiuchumi.

“Sisi kama serikali tutatoa miongozo mbalimbali ya namna ya kukabiliana na vihatarishi hivyo na tutawaomba wadau wafuate miongozo hiyo.

Kwahiyo, napenda kutoa wito kwa wadau wote watuunge mkono ili tuweze kupambana na vihatairishi hivyo,” alisema Mh. Mhagama.

Aidha aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Dkt. Akwilina Kayumba, aliweka bayana mipango ya taasisi hiyo yenye dhamana ya kusimamia usalama na afya katika sehemu za kazi katika kuendana na kasi ya ukuaji wa uchumi wa viwanda. (Interview with CE)

Mtangazaji wa kituo cha redio cha Metro FM cha jijini Mwanza, Alphonce Kapera (menye fulana nyeupe) akiendesha kipindi cha uhamasishaji wamiliki wa maeneo ya kazi kujisajili na OSHA kipindi ambapo Wakala uliendesha kampeni maalum ya usajili katika kanda ya Ziwa. Wengine ni Afisa Uhusiano wa OSHA, Bw. Eleuter Mbilinyi (wa pili kushoto), Kaimu Meneja wa Kanda, Mjawa Mohamed (wa tatu) na Ally Mwege.

Page 6: Uchumi wa viwanda: Namna serikali itakavyoimarisha usalama ... · Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Dkt. Akwilina Kayumba, aliweka bayana mipango ya taasisi hiyo yenye dhamana

06Usalama na Afya Mahali pa Kazi (Osha) | Jarida • Aprili 2017

erikali imejipanga kuimarisha hali ya usalama na afya za wafanyakazi wanapokuwa kazini

katika kipindi ambacho nchi inaelekea katika kujenga uchumi wa viwanda.

Miongoni mwa vipaumbele vya serikali ya awamu ya tano ni kujenga uchumi wa viwanda kwa kufufua viwanda vya zamani, kuanzisha vipya na pia kuwahamasisha wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kuwekeza zaidi katika sekta ya viwanda.

Ni dhahiri kwamba shughuli za viwanda zinahusishwa na vihatarishi (hazards) mbali mbali vinavyoweza kuhatarisha usalama na afya za wafanyakazi kama hakutakuwa na mikakati madhubuti ya kuwakinga wafanyakazi na vihatarishi husika.

Wakati akiwahutubia waajiri na wafanyakazi waliohudhuria sherehe za maadhimisho ya siku ya afya na usalama mahali pa kazi Duniani yaliyofanyika Dodoma, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mh. Jenista Mhagama, alibainisha mikakati iliyowekwa na serikali ili kuboresha hali ya usalama na afya za watanzania wanapokuwa kazini.

Mh. Mhagama alisema serikali ya awamu ya tano imedhamiria kufufua upya uchumi wa viwanda ambapo kutakuwepo na uwekezaji mkubwa katika viwanda na wengi wataairiwa kufanya shughuli mbali mbali katika viwanda hivyo.

“Pia katika mnyororo mzima wa thamani ya ufufuaji wa viwanda hivyo, zitakuwepo shughuli mbali mbali kama vile usafirishaji, ongezeko la kilimo cha mazao ghafi, ukuaji wa sekta ya utoaji huduma,” alisema nakuongeza:

“Katika kipindi cha takribani miaka kumi iliyopita kumekuwa na ongezeko kubwa la uwekezaji katika migodi ya madini mbalimbali kama vile dhahabu, uraniamu, madini ya vito. Nchi yetu pia imegundua gesi asilia, uchimbaji wa gesi hiyo umeanza na utafiti zaidi unaendelea. Pia inawezekana tukagundua mafuta ya petroli kwa kuwa dalili zipo kubwa.”

Aidha waziri huyo mwenye dhamana na masuala ya kazi alieleza kuwa katika uwekezaji huo mkubwa kutakuwa na ongezeko kubwa la vihatarishi ambapo wafanyakazi watakao jihusisha na shughuli zote hizo watakabiliwa na vihatarishi vya afya na usalama vya aina

akala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) unaendesha kampeni maalum ya

kusajili sehemu zote za kazi ambazo hazijasajiliwa na Mamlaka hiyo yenye dhamana ya kusimamia usalama na afya za wafanyakazi wanapokuwa katika maeneo yao ya kazi.

Kwa mujibu wa kifungu namba 16 (1) cha Sheria ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi ya mwaka 2003, kila mmiliki wa sehemu ya kazi anapaswa kusajili sehemu hiyo na Wakala ili iweze kutambulika na hivyo kupata huduma nyingine za Wakala zikiwemo kaguzi za Usalama na Afya.

Kampeni hiyo ambayo ni endelevu ni utekelezaji wa agizo za Mh. Jenista Mhagama, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, ambalo alilitoa mwezi disemba mwaka huu kupitia vyombo vya habari.

Katika agizo hilo, Mh. Waziri aliwataka wamiliki wa maeneo ya kazi kote nchini ambao maeneo hayajasajiliwa, kusajili mara moja kama ambavyo sheria za nchi zinawataka.

Akizungumza na Jarida la OSHA, aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala, Dkt. Akwilina Kayumba, alisema: “Pamoja na kwamba

Kampeni ya kusajili maeneo yakazi kuendelea mikoa ya kusini

– Na Eleuter Mbilinyi

kumekuwa na mwitikio mzuri wa watu kusajili sehemu zao za kazi baada ya tamko la Waziri, tumeona tuendelee kufuatilia utekelezaji wa agizo la Mh. Waziri kwani tunatambua kwamba kuna sehemu nyingi za kazi ambazo bado hatujazisajili kwa mujibu wa sheria.”

Aliongeza kwamba: “tulianza kwa kutoa tamko rasmi katika vyombo vya habari hapa Dar es Salaam lililowataka wamiliki wa sehemu za kazi kote nchini kuweza kusajili sehemu zao za kazi ambazo hawajazisajili na sisi na kisha tukaanza kampeni ya uhamasishaji katika mikoa mbali mbali kwenye kanda zetu.”

Kampeni hiyo ambayo hufanyika kwa kuyapitia maeneo ya kazi ambayo hayajasajiliwa na kuongea na wamiliki wake na pia kutoa elimu kupitia vyombo mbali mbali vya habari hususani redio za kijamii, tayari imeshafanyika katika mikoa ya kanda ya ziwa, kati na kaskazini.

Kwa mujibu wa taarifa ya kampeni hiyo katika kanda mbili ilikofanyika, zaidi ya sehemu za kazi 150 ambazo awali zilikuwa hazijasajiliwa ziliweza kufikiwa na kufanyiwa hatua za awali za usajili.

Aidha vipindi saba vya redio na kimoja cha luninga vilivyolenga kuwapa elimu na

Rais Dkt. John Magufuli akiwasalimu watumishi wa OSHA alipotembelea maonesho ya Usalama na Afya mahali pa kazi yaliyoandaliwa na Wakala huo katika viwanja vya barafu mjini Dodoma. Aliyeambatana nae ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu-Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mh. Jenista Mhagama (MB) na viongozi wengine wa serikali.

mbalimbali kulingana na shughuli watakazokuwa wanazifanya.

Kwa mujibu wa kiongozi huyo, serikali tayari imeshaliona hilo na imeweka mikakati mahususi ya kukabiliana na changamoto ya usalama na afya za wafanyakazi katika sekta ya viwanda na shughuli nyingine za kiuchumi.

“Sisi kama serikali tutatoa miongozo mbalimbali ya namna ya kukabiliana na vihatarishi hivyo na tutawaomba wadau wafuate miongozo hiyo.

Kwahiyo, napenda kutoa wito kwa wadau wote watuunge mkono ili tuweze kupambana na vihatairishi hivyo,” alisema Mh. Mhagama.

Aidha aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Dkt. Akwilina Kayumba, aliweka bayana mipango ya taasisi hiyo yenye dhamana ya kusimamia usalama na afya katika sehemu za kazi katika kuendana na kasi ya ukuaji wa uchumi wa viwanda. (Interview with CE)

kuwahamasisha wamiliki wa sehemu za kazi kuzisajili sehemu zao, vilifanyika katika vituo mbali mbali vya luninga na redio za kijamii.

Mtendaji Mkuu ambaye ndiye Mkaguzi Mkuu wa sehemu za kazi nchini alisema kampeni hii

inatarajiwa kukamilishwa katika kanda nne zilizobaki katika mwaka huu wa fedha. Kanda ambazo hazijafikiwa na kampeni ni Pwani, Nyanda za Juu Kusini, Kusini na Kati.

Page 7: Uchumi wa viwanda: Namna serikali itakavyoimarisha usalama ... · Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Dkt. Akwilina Kayumba, aliweka bayana mipango ya taasisi hiyo yenye dhamana

amiliki wa sehemu za kazi nchini wamepata fursa ya kumuonesha Rais John Pombe

Magufuli namna wanavyowakinga wafanyakazi wao na vihatarishi vilivyopo katika maeneo yao ya kazi.

Walipata fursa hiyo katika maonesho ya kuonyesha umahiri wa kuwakinga wafanyakazi yaliyoandaliwa na Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) ambayo yalifanyika katika viwanja vya Barafu mjini Dodoma.

Maonesho hayo yaliyofanyika kwa siku saba kuanzia Aprili 25 na kufungwa siku ya Mei Mosi na Mh. Rais Magufuli alipotembelea mabanda mbali mbali ili kujionea vifaa na teknolojia mbali mbali zinazotumika kuwakinga wafanyakazi na ajali na magonjwa yatokanayo na kazi katika maeneo yao ya kazi.

Viongozi wengine wa serikali waliotembelea maonesho ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mh. Jenista Mhagama na Naibu wake Dkt. Abdallah Possi pamoja na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Utumishi wa Umma, Mh. Angela Kairuki.

Waajiri wamuonesha Rais Magufuli namna wanavyowakinga wafanyakazi

– Na Eleuter Mbilinyi

Taasisi za serikali, mashirika ya umma na makampuni binafsi yalishiriki katika maonesho hayo.

Miongoni mwa taasisi hizo ni pamoja na Geita Gold Mine, Acacia Bulyanhulu Gold Mine, Acacia North Mara Gold Mine, Mwadui, Tanzania Ports Authority (TPA), WCF, SSRA, OSHA, Chuo cha Serikali za Mitaa-Hombolo, Wizara ya Afya na Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto. Katika maonesho hayo, waoneshaji bora walitambuliwa na kutunukiwa tuzo na vyeti.

Aidha wakazi wa Dodoma na mikoa ya jirani waliweza kutembelea mabanda ya waoneshaji na kujionea jinsi waajiri wanavyowakinga wafanyakazi wao na athari mbali mbali za kiafya wanapokuwa kazini.

Asha Bakari ni miongoni mwa wananchi waliotembelea maonesho na alipohojiwa na Jarida la OSHA alisema: “Kwakweli maonesho haya yamekuwa ni nafasi nzuri kwetu wananchi kuweza kupata maarifa ya kujikinga na madhara yatokanayo na kazi zetu za kila siku.”

07Usalama na Afya Mahali pa Kazi (Osha) | Jarida • Aprili 2017

erikali imejipanga kuimarisha hali ya usalama na afya za wafanyakazi wanapokuwa kazini

katika kipindi ambacho nchi inaelekea katika kujenga uchumi wa viwanda.

Miongoni mwa vipaumbele vya serikali ya awamu ya tano ni kujenga uchumi wa viwanda kwa kufufua viwanda vya zamani, kuanzisha vipya na pia kuwahamasisha wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kuwekeza zaidi katika sekta ya viwanda.

Ni dhahiri kwamba shughuli za viwanda zinahusishwa na vihatarishi (hazards) mbali mbali vinavyoweza kuhatarisha usalama na afya za wafanyakazi kama hakutakuwa na mikakati madhubuti ya kuwakinga wafanyakazi na vihatarishi husika.

Wakati akiwahutubia waajiri na wafanyakazi waliohudhuria sherehe za maadhimisho ya siku ya afya na usalama mahali pa kazi Duniani yaliyofanyika Dodoma, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mh. Jenista Mhagama, alibainisha mikakati iliyowekwa na serikali ili kuboresha hali ya usalama na afya za watanzania wanapokuwa kazini.

Mh. Mhagama alisema serikali ya awamu ya tano imedhamiria kufufua upya uchumi wa viwanda ambapo kutakuwepo na uwekezaji mkubwa katika viwanda na wengi wataairiwa kufanya shughuli mbali mbali katika viwanda hivyo.

“Pia katika mnyororo mzima wa thamani ya ufufuaji wa viwanda hivyo, zitakuwepo shughuli mbali mbali kama vile usafirishaji, ongezeko la kilimo cha mazao ghafi, ukuaji wa sekta ya utoaji huduma,” alisema nakuongeza:

“Katika kipindi cha takribani miaka kumi iliyopita kumekuwa na ongezeko kubwa la uwekezaji katika migodi ya madini mbalimbali kama vile dhahabu, uraniamu, madini ya vito. Nchi yetu pia imegundua gesi asilia, uchimbaji wa gesi hiyo umeanza na utafiti zaidi unaendelea. Pia inawezekana tukagundua mafuta ya petroli kwa kuwa dalili zipo kubwa.”

Aidha waziri huyo mwenye dhamana na masuala ya kazi alieleza kuwa katika uwekezaji huo mkubwa kutakuwa na ongezeko kubwa la vihatarishi ambapo wafanyakazi watakao jihusisha na shughuli zote hizo watakabiliwa na vihatarishi vya afya na usalama vya aina

akala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) unaendesha kampeni maalum ya

kusajili sehemu zote za kazi ambazo hazijasajiliwa na Mamlaka hiyo yenye dhamana ya kusimamia usalama na afya za wafanyakazi wanapokuwa katika maeneo yao ya kazi.

Kwa mujibu wa kifungu namba 16 (1) cha Sheria ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi ya mwaka 2003, kila mmiliki wa sehemu ya kazi anapaswa kusajili sehemu hiyo na Wakala ili iweze kutambulika na hivyo kupata huduma nyingine za Wakala zikiwemo kaguzi za Usalama na Afya.

Kampeni hiyo ambayo ni endelevu ni utekelezaji wa agizo za Mh. Jenista Mhagama, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, ambalo alilitoa mwezi disemba mwaka huu kupitia vyombo vya habari.

Katika agizo hilo, Mh. Waziri aliwataka wamiliki wa maeneo ya kazi kote nchini ambao maeneo hayajasajiliwa, kusajili mara moja kama ambavyo sheria za nchi zinawataka.

Akizungumza na Jarida la OSHA, aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala, Dkt. Akwilina Kayumba, alisema: “Pamoja na kwamba

kumekuwa na mwitikio mzuri wa watu kusajili sehemu zao za kazi baada ya tamko la Waziri, tumeona tuendelee kufuatilia utekelezaji wa agizo la Mh. Waziri kwani tunatambua kwamba kuna sehemu nyingi za kazi ambazo bado hatujazisajili kwa mujibu wa sheria.”

Aliongeza kwamba: “tulianza kwa kutoa tamko rasmi katika vyombo vya habari hapa Dar es Salaam lililowataka wamiliki wa sehemu za kazi kote nchini kuweza kusajili sehemu zao za kazi ambazo hawajazisajili na sisi na kisha tukaanza kampeni ya uhamasishaji katika mikoa mbali mbali kwenye kanda zetu.”

Kampeni hiyo ambayo hufanyika kwa kuyapitia maeneo ya kazi ambayo hayajasajiliwa na kuongea na wamiliki wake na pia kutoa elimu kupitia vyombo mbali mbali vya habari hususani redio za kijamii, tayari imeshafanyika katika mikoa ya kanda ya ziwa, kati na kaskazini.

Kwa mujibu wa taarifa ya kampeni hiyo katika kanda mbili ilikofanyika, zaidi ya sehemu za kazi 150 ambazo awali zilikuwa hazijasajiliwa ziliweza kufikiwa na kufanyiwa hatua za awali za usajili.

Aidha vipindi saba vya redio na kimoja cha luninga vilivyolenga kuwapa elimu na

Sehemu ya washiriki wa kikao cha wadau wakifuatilia mada iliyowasilishwa na Mtendaji Mkuu wa OSHA (hayupo pichani) katika kikao chao cha wadau kilichofanyika katika ofisi za OSHA Makao Makuu hivi karibuni.

mbalimbali kulingana na shughuli watakazokuwa wanazifanya.

Kwa mujibu wa kiongozi huyo, serikali tayari imeshaliona hilo na imeweka mikakati mahususi ya kukabiliana na changamoto ya usalama na afya za wafanyakazi katika sekta ya viwanda na shughuli nyingine za kiuchumi.

“Sisi kama serikali tutatoa miongozo mbalimbali ya namna ya kukabiliana na vihatarishi hivyo na tutawaomba wadau wafuate miongozo hiyo.

Kwahiyo, napenda kutoa wito kwa wadau wote watuunge mkono ili tuweze kupambana na vihatairishi hivyo,” alisema Mh. Mhagama.

Aidha aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Dkt. Akwilina Kayumba, aliweka bayana mipango ya taasisi hiyo yenye dhamana ya kusimamia usalama na afya katika sehemu za kazi katika kuendana na kasi ya ukuaji wa uchumi wa viwanda. (Interview with CE)

kuwahamasisha wamiliki wa sehemu za kazi kuzisajili sehemu zao, vilifanyika katika vituo mbali mbali vya luninga na redio za kijamii.

Mtendaji Mkuu ambaye ndiye Mkaguzi Mkuu wa sehemu za kazi nchini alisema kampeni hii

inatarajiwa kukamilishwa katika kanda nne zilizobaki katika mwaka huu wa fedha. Kanda ambazo hazijafikiwa na kampeni ni Pwani, Nyanda za Juu Kusini, Kusini na Kati.

Page 8: Uchumi wa viwanda: Namna serikali itakavyoimarisha usalama ... · Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Dkt. Akwilina Kayumba, aliweka bayana mipango ya taasisi hiyo yenye dhamana

i desturi ya watanzania waliowengi kupenda kutembelea maonesho mbali mbali

yanayofanyika katika maeneo ya karibu na makazi yao na wengine huweza hata kusafiri umbali mrefu kwenda kutembelea maonesho yanayofanyika mbali na makazi yao ilimradi tu maonesho hayo yawe yanajulikana sana.

Kwakawaida maonesho hutumika kama fursa nzuri kwa makampuni ya kibiashara na wafanya biashara binafsi kutangaza bidhaa na huduma zao zaidi. Hali kadhalika maonesho hutumiwa na taasisi za serikali kutangaza huduma zao au kutoa elimu kwa umma kuhusu huduma zao.

Kama ilivyo kwa taasisi nyingine za serikali na watu binafsi, OSHA pia hutumia maonesho mbali mbali yanayoandaliwa nchini kuweza kujitangaza na kutoa elimu kwa wananchi.

Katika mwaka huu wa fedha, Wakala ulishiriki katika Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam maarufu kwa jina la Saba Saba na maonesho ya Maadhimisho ya Wiki ya Vijana Kitaifa ambapo huduma mbali mbali ukiwemo upimaji wa afya na elimu kuhusu usalama na afya mahali pa kazi zilitolewa.

Huduma nyingine zilizotolewa ni usajili wa sehemu za kazi kupata taarifa kuhusu OSHA na majukumu yake, kuonesha vifaa kinga (PPEs) pamoja na kueleza namna sahihi ya kuvitumia, kuwasilisha malalamiko au maoni yao kuhusu taasisi pamoja na kujibu maswali yaliyoulizwa na wateja.

Katika maonesho yote banda la OSHA lilionekana kuwa kivutio kwa wageni waliotembelea maonesho ambao walifurika katika banda ili kuweza kupata huduma zilizokuwa zikitolewa.

Wageni waliowengi walivutiwa zaidi na huduma za upimaji afya ambazo zilikuwa zinatolewa bila malipo yoyote.

Aidha wageni wengine walivutiwa na kozi mbali mbali zitolewazo na OSHA hivyo waliweza kupata taarifa mbali mbali kuhusu mafunzo hayo ukiwemo umuhimu wa mafunzo husika, namna yanavyotolewa, wapi na kwa wakati gani pamoja na gharama zake.

Pia baadhi ya wageni waliofika katika mabanda ya OSHA waliotoa maoni yao mbali mbali kuhusu utendaji wa taasisi.

Bw. Hamidu Bumarwa, mkazi wa Bariadi aliyetembelea banda la OSHA, alipongeza jitihada kubwa za Wakala katika kutoa elimu kwa wananchi na kuutaka kuongeza juhudi zaidi katika kufanya kaguzi za Usalama na Afya katika sehemu za kazi nyingi iwezekanavyo.

“Nimeridhishwa na elimu niliyoipata lakini nawashauri OSHA kuweka utaratibu mzuri wa kuyakagua maduka yanayouza madawa ya kilimo na vifaa vya ujenzi ili waweze kushauri juu ya namna sahihi za kuwakinga wafanyakazi na wateja wa maduka hayo kwani siku hizi ukipita karibu tu na maduka hayo unakutana na harufu nzito sana ya madawa,” alisema Bw. Bumarwa.

Bw. Yoshua Masata, mkulima ambae pia alitembelea banda la OSHA alisema: “Sisi wakulima tunahitaji sana elimu ya usalama na afya kazini hivyo tunaiomba taasisi hii yenye dhamana na masuala haya itutazame.”

Mkazi mwingine wa Bariadi ambaye hakupenda jina lake liwekwe wazi aliiomba OSHA kufikisha huduma zake katika shule za serikali ili kuboresha hali ya usalama na afya kwa wafanyakazi wa taasisi hizo hususani walimu.

08Usalama na Afya Mahali pa Kazi (Osha) | Jarida • Aprili 2017

erikali imejipanga kuimarisha hali ya usalama na afya za wafanyakazi wanapokuwa kazini

katika kipindi ambacho nchi inaelekea katika kujenga uchumi wa viwanda.

Miongoni mwa vipaumbele vya serikali ya awamu ya tano ni kujenga uchumi wa viwanda kwa kufufua viwanda vya zamani, kuanzisha vipya na pia kuwahamasisha wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kuwekeza zaidi katika sekta ya viwanda.

Ni dhahiri kwamba shughuli za viwanda zinahusishwa na vihatarishi (hazards) mbali mbali vinavyoweza kuhatarisha usalama na afya za wafanyakazi kama hakutakuwa na mikakati madhubuti ya kuwakinga wafanyakazi na vihatarishi husika.

Wakati akiwahutubia waajiri na wafanyakazi waliohudhuria sherehe za maadhimisho ya siku ya afya na usalama mahali pa kazi Duniani yaliyofanyika Dodoma, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mh. Jenista Mhagama, alibainisha mikakati iliyowekwa na serikali ili kuboresha hali ya usalama na afya za watanzania wanapokuwa kazini.

Mh. Mhagama alisema serikali ya awamu ya tano imedhamiria kufufua upya uchumi wa viwanda ambapo kutakuwepo na uwekezaji mkubwa katika viwanda na wengi wataairiwa kufanya shughuli mbali mbali katika viwanda hivyo.

“Pia katika mnyororo mzima wa thamani ya ufufuaji wa viwanda hivyo, zitakuwepo shughuli mbali mbali kama vile usafirishaji, ongezeko la kilimo cha mazao ghafi, ukuaji wa sekta ya utoaji huduma,” alisema nakuongeza:

“Katika kipindi cha takribani miaka kumi iliyopita kumekuwa na ongezeko kubwa la uwekezaji katika migodi ya madini mbalimbali kama vile dhahabu, uraniamu, madini ya vito. Nchi yetu pia imegundua gesi asilia, uchimbaji wa gesi hiyo umeanza na utafiti zaidi unaendelea. Pia inawezekana tukagundua mafuta ya petroli kwa kuwa dalili zipo kubwa.”

Aidha waziri huyo mwenye dhamana na masuala ya kazi alieleza kuwa katika uwekezaji huo mkubwa kutakuwa na ongezeko kubwa la vihatarishi ambapo wafanyakazi watakao jihusisha na shughuli zote hizo watakabiliwa na vihatarishi vya afya na usalama vya aina

Watumishi wa OSHA wakitoa elimu kuhusu taasisi yao kwa wateja mbali mbali waliotembelea banda lao katika maonesho ya Saba Saba jijini Dar es Salaam.

mbalimbali kulingana na shughuli watakazokuwa wanazifanya.

Kwa mujibu wa kiongozi huyo, serikali tayari imeshaliona hilo na imeweka mikakati mahususi ya kukabiliana na changamoto ya usalama na afya za wafanyakazi katika sekta ya viwanda na shughuli nyingine za kiuchumi.

“Sisi kama serikali tutatoa miongozo mbalimbali ya namna ya kukabiliana na vihatarishi hivyo na tutawaomba wadau wafuate miongozo hiyo.

Kwahiyo, napenda kutoa wito kwa wadau wote watuunge mkono ili tuweze kupambana na vihatairishi hivyo,” alisema Mh. Mhagama.

Aidha aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Dkt. Akwilina Kayumba, aliweka bayana mipango ya taasisi hiyo yenye dhamana ya kusimamia usalama na afya katika sehemu za kazi katika kuendana na kasi ya ukuaji wa uchumi wa viwanda. (Interview with CE)

OSHA yatumia maonesho kutoa elimu kwa umma – Na Eleuter Mbilinyi

Page 9: Uchumi wa viwanda: Namna serikali itakavyoimarisha usalama ... · Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Dkt. Akwilina Kayumba, aliweka bayana mipango ya taasisi hiyo yenye dhamana

jali zitokanazo na kazi zinaweza kufafanuliwa kwa mtazamo wa matukio yasiyotarajiwa wala kutegemewa

ikiwemo vurugu mahala pa kazi ambayo yanatokea au yanahusiana na shughuli zinazofanyika katika eneo la kazi ambapo matokeo yake yaweza kuwa majeruhi, uharibifu wa mali au vifo. Tafiti mbalimbali hasa zile za Shirika la Kazi Duniani (ILO) za hivi karibuni zinaonyesha kuwa takribani ajali milioni 317 hutokea kila mwaka katika sehemu za kazi. Idadi hiyo kwa mwaka ni sawa na ajali 868,493 kwa siku au ajali 153 kila baada ya dakika 15. Ajali hizo pamoja na magonjwa mbali mbali yatokanayo na kazi husababisha vifo zaidi ya milioni 2.3 kwa mwaka kwa mujibu wa takwimu za ILO za hivi karibuni. Ajali nyingi mahala pa kazi zinazuilika kwa sababu vyanzo vyake mara nyingi ni usimamizi usiofaa wa vizuia ajali. Mathalani, uwepo wa ajali nyingi unachangiwa na uhafifu katika kusimamia mifumo ya usalama mahala pa kazi.Mara nyingi, kabla ya ajali kutokea, huwa kunatangulia matukio yasiyofaa na yanayoweza kuzuilika yenye viashiria vya ajali. Matukio hayo yasipozuiwa huishia kusababisha ajali. Usimamizi duni wa mifumo ya usalama mahala pa kazi mara nyingi husababishwa na mtazamo hasi wa watoa maamuzi katika eneo la kazi kuhusu masuala ya usalama na afya za wafanyakazi wao.Kwa kawaida ufanisi wa mifumo ya usalama mahala pa kazi huchangiwa kwa kiasi kikubwa na ushiriki chanya wa watoa maamuzi au uongozi wa juu katika eneo la kazi. Mathalani, uongozi wa juu ndio wenye uwezo wa kuwashawaishi wamiliki wa sehemu ya kazi kufanya uwekezaji katika mifumo bora ya usalama kwaajili ya kuwakinga wafanyakazi na ajali na magonjwa yatokanayo na kazi. Hata hivyo, ni jambo la kawaida kwa watoa maamuzi kupuuza au kutoshiriki kikamilifu katika uimarishaji wa mifumo ya usalama mahala pa kazi kutokana na wao kutoona umuhimu wake ama kukwepa gharama za kuwekeza katika mifumo husika. Uwepo wa mtazamo hasi kwa watoa maamuzi huongeza kwa kiasi kikubwa uwezekano wa wao kuvuruga miundombinu ya usalama mahala pa kazi iliyowekwa kwa ajili ya kuvidhibiti vihatarishi. Matokeo ya uvurugaji wa miundombinu ya uzuiaji wa vihatarishi mahala pa kazi ni ajali ambazo mara nyingi husababisha madhara makubwa kiuchumi, kijamii na kimazingira kama ilivyotokea katika ajali ya jengo kubwa lililokuwa na maduka lijulikanalo kwa jina la Rana. Jengo la Rana lilikuwa mtaa wa Savar katika jiji la Dhaka nchini Bangladeshi ambako zaidi ya watu 1000 walipoteza maisha.Tukio la Savar lilisababishwa na mapungufu mchanganyiko ya usalama mahala pa kazi ikiwemo uduni wa usimamizi wa mifumo ya usalama mahala pa kazi na makosa ya kibinadamu. Jengo tajwa liliporomoka mnamo Aprili 24, 2013. Zaidi ya watu 2000 walijeruhiwa katika tukio hilo linalodhaniwa kuwa baya kabisa kuwahi kutokea katika kiwanda cha nguo duniani. Wachunguzi wa ajali ya Rana wanabainisha kwamba mwenye kiwanda aliamua kubadili muundo wa awali wa jengo kuwa kiwanda ambapo aliongeza mashine pamoja na ghorofa nne zaidi bila kufuata taratibu za kihandisi.

Ilirepotiwa kwamba siku moja kabla ya jengo kuporomoka, mhandisi msimamizi wake aliushauri uongozi kusitisha shughuli zote mpaka tathmini ya usalama wa jengo itakapofanyika. Hata hivyo uongozi wa kiwanda ulishindwa kufuata ushauri huo kwa hofu ya kupoteza mapato na matokeo yake wafanyakazi waliagizwa kuendelea na kazi.Inakadiriwa kwamba, wakati jengo linadondoka ndani yake mlikuwa na watu wasiopungua 4,000 waliokuwa wakifanya kazi katika kiwanda, benki, maduka pamoja na nyumba za upangishaji. Inaelezwa kuwa awali jengo hilo lilipangwa kutumika kama ofisi na maduka lakini mmiliki wake akaamua kuligeuza kinyemela kuwa kiwanda. Ajali hiyo ingeweza kuzuilika endapo mifumo sahihi ya usimamizi wa usalama mahala pa kazi ingefuatwa kuanzia mwanzo wa uwekezaji huo. Zaidi ya yote, mwenye jengo angefuata kanuni na taratibu zilizowekwa na mamlaka husika pasingetokea ukengeukaji katika usimamizi wa usalama mahala pa kazi pia huenda makosa ya kibinadamu yasingetokea.Kimsingi, uimarishaji wa mifumo ya afya na usalama mahala pa kazi inahusisha mambo anuai ikiwamo uhandisi mzuri, sera za uwajibikaji unaotambua utalaam wa mamlaka za umma ikiwemo taasisi kama Wakala wa Afya na Usalama Mahala pa Kazi (OSHA).Wamiliki wa maeneo ya kazi, wahandisi na wasanifu wa majengo kwaajili ya kutumika kama sehemu za kazi wanapaswa kuitumia OSHA katika kuboresha usalama mahala pa kazi kwani OSHA inao utalaam mkubwa kuhusu masuala hayo. Masuala hayo ya usalama hutazamwa pia na mamlaka nyingine kama Jeshi la Zimamoto na Uokozi, Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) na Bodi ya Wakandarasi (CRB). Mtu yeyote kabla ya kuanza ujenzi wa kiwanda au eneo la kazi anatakiwa kupeleka michoro ya jengo linalotarajiwa kujengwa OSHA kwa ajili ya tathmini ya hali ya usalama. Uwasilishaji wa michoro ni hatua ya kisheria yenye lengo ya kuhakikisha mifumo ya usalama katika jengo inatathminiwa katika hatua za awali. Baadhi ya mambo ambayo hutazamwa katika michoro inayowasilishwa OSHA kabla ya ujenzi kuanza ni pamoja na muonekano wa eneo la ujenzi, mpangilio wa jengo tarajiwa, mapaa na mifumo ya uondoaji hewa hatarishi, vumbi, moshi au taka nyinginezo.

Umuhimu wa kuimarisha mfumo wausalama katika eneo la kazi ili kuzuia ajali

– Na Mhandisi Robert Mashinji (Mkaguzi wa Majengo na Majenzi)

09Usalama na Afya Mahali pa Kazi (Osha) | Jarida • Aprili 2017

Pia, OSHA inaelekeza wanaotaka kujenga kiwanda au eneo la kazi kuwasilisha ramani za mifumo ya kupambana na moto, mpangilio wa mashine, mifumo ya kutoroka wakati wa dharura, sehemu za kukutana wakati wa dharura, ramani ya mitandao ya umeme, ramani za ngazi kama zipo na namna maji ya mvua yatakavyoondolewa eneo la kazi. Pia ramani zinazoonyesha vyoo, sehemu ya kuegesha magari, utunzaji wa bidhaa pamoja na sehemu za kubadilishia nguo.Kwa kawaida baada ya kupitia michoro husika, OSHA hutoa mwongozo kuhusu namna sahihi ya kujenga jengo tarajiwa kwa kuzingatia vipengele muhimu vinavyohusu usalama wa wafanyakazi na watumiaji wengine wa jengo husika ambapo muendelezaji hatakiwi kufanya mabadiliko yoyote bila idhini ya OSHA. Wakala pia hulazimika kufanya kaguzi za maendeleo ya ujenzi kuanzia hatua ya kwanza hadi jengo linapokamilika. Ili kufanya ufuatialiji endelevu, mwekezaji anatakiwa kuitaarifu OSHA kwa wakati kila hatua anayofikia ili taratibu za kufanya ukaguzi zifanyike. Isitoshe, OSHA imepewa mamlaka ya kufanya ukaguzi kila mwaka baada ya jengo kukamilika ili kutathmini namna mwendelezaji anavyofuata maelekezo ya usalama mahala pa kazi. Mifumo ya usalama mahala pa kazi hupelekea kuwepo kwa utamaduni wa usalama mahala pa kazi na kushindwa kuisimamia mifumo husika kunaweza kupelekea kutokea kwa tukio la ajali kama lile la Rana la Aprili 24, 2013.Ajali za kimfumo kama ile ya Rana zinaweza kuzuiliwa kwa kuimarisha mifumo ya kuzuia vihatarishi. Kwa

kawaida vihatarishi vya kimfumo vinaweza kuhusishwa na nishati inayotokana na mionzi, mwanga, uvujaji, kuporomoka, milipuko, kelele au tukio lolote lenye matokeo mabaya kwa binadamu na mazingira.

Vihatarishi vya kimfumo vinatakiwa kuzuiwa wakati wote wa uhai wa eneo la kazi. Uzuiaji wa vihatarishi unatakiwa ufuate utaratibu shirikishi unaounganisha vizuia vihatarishi vilivyowekwa kimoja kimoja ili kuhakikisha nishati husika haitoki au kusambaa kiholela. Kinyume na hapo, tishio la vitaharishi kusambaa kiholela na kutengeneza hatari inayowezapelekea kushindwa kwa mifumo ya usalama na hatimaye ajali kutokea ni kubwa.

Kuna wakati mifumo ya kuzuia vihatarishi hushidhwa kwa sababu ya makosa ya kibinadamu, kuharibika kwa mifumo ya usimamizi wa usalama mahala pa kazi au kuvurugika kwa sehemu ya mifumo ya uzuiaji wa vihatarishi.

Kwa mfano, kubadilishwa kwa matumizi ya jengo la Rana kutoka kuwa ofisi na maduka tu hadi kujumuisha kiwanda ni makosa ya kibinadamu ambayo pamoja na kuharibika kwa mifumo ya usalama mahala pa kazi yalisababisha ajali kutokea. Makosa mawili ya kimfumo na kibinadamu yalisababisha kusambaa holela kwa nishati iliyopelekea kuanguka kwa jengo.

Kwakuhitimisha, ajali na magonjwa yatokanayo na kazi vinaweza kuzuilika endapo wamiliki na waendeshaji wa sehemu za kazi watashirikiana na OSHA ambayo imepewa mamlaka kisheria ya kusimamia masuala ya Usalama na Afya za wafanyakazi wawapo kazini. Wakala una utaalam na teknolojia zote zinazohitajika ili kuzuia ajali na magonjwa yatokanayo na kazi.

Page 10: Uchumi wa viwanda: Namna serikali itakavyoimarisha usalama ... · Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Dkt. Akwilina Kayumba, aliweka bayana mipango ya taasisi hiyo yenye dhamana

jali zitokanazo na kazi zinaweza kufafanuliwa kwa mtazamo wa matukio yasiyotarajiwa wala kutegemewa

ikiwemo vurugu mahala pa kazi ambayo yanatokea au yanahusiana na shughuli zinazofanyika katika eneo la kazi ambapo matokeo yake yaweza kuwa majeruhi, uharibifu wa mali au vifo. Tafiti mbalimbali hasa zile za Shirika la Kazi Duniani (ILO) za hivi karibuni zinaonyesha kuwa takribani ajali milioni 317 hutokea kila mwaka katika sehemu za kazi. Idadi hiyo kwa mwaka ni sawa na ajali 868,493 kwa siku au ajali 153 kila baada ya dakika 15. Ajali hizo pamoja na magonjwa mbali mbali yatokanayo na kazi husababisha vifo zaidi ya milioni 2.3 kwa mwaka kwa mujibu wa takwimu za ILO za hivi karibuni. Ajali nyingi mahala pa kazi zinazuilika kwa sababu vyanzo vyake mara nyingi ni usimamizi usiofaa wa vizuia ajali. Mathalani, uwepo wa ajali nyingi unachangiwa na uhafifu katika kusimamia mifumo ya usalama mahala pa kazi.Mara nyingi, kabla ya ajali kutokea, huwa kunatangulia matukio yasiyofaa na yanayoweza kuzuilika yenye viashiria vya ajali. Matukio hayo yasipozuiwa huishia kusababisha ajali. Usimamizi duni wa mifumo ya usalama mahala pa kazi mara nyingi husababishwa na mtazamo hasi wa watoa maamuzi katika eneo la kazi kuhusu masuala ya usalama na afya za wafanyakazi wao.Kwa kawaida ufanisi wa mifumo ya usalama mahala pa kazi huchangiwa kwa kiasi kikubwa na ushiriki chanya wa watoa maamuzi au uongozi wa juu katika eneo la kazi. Mathalani, uongozi wa juu ndio wenye uwezo wa kuwashawaishi wamiliki wa sehemu ya kazi kufanya uwekezaji katika mifumo bora ya usalama kwaajili ya kuwakinga wafanyakazi na ajali na magonjwa yatokanayo na kazi. Hata hivyo, ni jambo la kawaida kwa watoa maamuzi kupuuza au kutoshiriki kikamilifu katika uimarishaji wa mifumo ya usalama mahala pa kazi kutokana na wao kutoona umuhimu wake ama kukwepa gharama za kuwekeza katika mifumo husika. Uwepo wa mtazamo hasi kwa watoa maamuzi huongeza kwa kiasi kikubwa uwezekano wa wao kuvuruga miundombinu ya usalama mahala pa kazi iliyowekwa kwa ajili ya kuvidhibiti vihatarishi. Matokeo ya uvurugaji wa miundombinu ya uzuiaji wa vihatarishi mahala pa kazi ni ajali ambazo mara nyingi husababisha madhara makubwa kiuchumi, kijamii na kimazingira kama ilivyotokea katika ajali ya jengo kubwa lililokuwa na maduka lijulikanalo kwa jina la Rana. Jengo la Rana lilikuwa mtaa wa Savar katika jiji la Dhaka nchini Bangladeshi ambako zaidi ya watu 1000 walipoteza maisha.Tukio la Savar lilisababishwa na mapungufu mchanganyiko ya usalama mahala pa kazi ikiwemo uduni wa usimamizi wa mifumo ya usalama mahala pa kazi na makosa ya kibinadamu. Jengo tajwa liliporomoka mnamo Aprili 24, 2013. Zaidi ya watu 2000 walijeruhiwa katika tukio hilo linalodhaniwa kuwa baya kabisa kuwahi kutokea katika kiwanda cha nguo duniani. Wachunguzi wa ajali ya Rana wanabainisha kwamba mwenye kiwanda aliamua kubadili muundo wa awali wa jengo kuwa kiwanda ambapo aliongeza mashine pamoja na ghorofa nne zaidi bila kufuata taratibu za kihandisi.

Ilirepotiwa kwamba siku moja kabla ya jengo kuporomoka, mhandisi msimamizi wake aliushauri uongozi kusitisha shughuli zote mpaka tathmini ya usalama wa jengo itakapofanyika. Hata hivyo uongozi wa kiwanda ulishindwa kufuata ushauri huo kwa hofu ya kupoteza mapato na matokeo yake wafanyakazi waliagizwa kuendelea na kazi.Inakadiriwa kwamba, wakati jengo linadondoka ndani yake mlikuwa na watu wasiopungua 4,000 waliokuwa wakifanya kazi katika kiwanda, benki, maduka pamoja na nyumba za upangishaji. Inaelezwa kuwa awali jengo hilo lilipangwa kutumika kama ofisi na maduka lakini mmiliki wake akaamua kuligeuza kinyemela kuwa kiwanda. Ajali hiyo ingeweza kuzuilika endapo mifumo sahihi ya usimamizi wa usalama mahala pa kazi ingefuatwa kuanzia mwanzo wa uwekezaji huo. Zaidi ya yote, mwenye jengo angefuata kanuni na taratibu zilizowekwa na mamlaka husika pasingetokea ukengeukaji katika usimamizi wa usalama mahala pa kazi pia huenda makosa ya kibinadamu yasingetokea.Kimsingi, uimarishaji wa mifumo ya afya na usalama mahala pa kazi inahusisha mambo anuai ikiwamo uhandisi mzuri, sera za uwajibikaji unaotambua utalaam wa mamlaka za umma ikiwemo taasisi kama Wakala wa Afya na Usalama Mahala pa Kazi (OSHA).Wamiliki wa maeneo ya kazi, wahandisi na wasanifu wa majengo kwaajili ya kutumika kama sehemu za kazi wanapaswa kuitumia OSHA katika kuboresha usalama mahala pa kazi kwani OSHA inao utalaam mkubwa kuhusu masuala hayo. Masuala hayo ya usalama hutazamwa pia na mamlaka nyingine kama Jeshi la Zimamoto na Uokozi, Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) na Bodi ya Wakandarasi (CRB). Mtu yeyote kabla ya kuanza ujenzi wa kiwanda au eneo la kazi anatakiwa kupeleka michoro ya jengo linalotarajiwa kujengwa OSHA kwa ajili ya tathmini ya hali ya usalama. Uwasilishaji wa michoro ni hatua ya kisheria yenye lengo ya kuhakikisha mifumo ya usalama katika jengo inatathminiwa katika hatua za awali. Baadhi ya mambo ambayo hutazamwa katika michoro inayowasilishwa OSHA kabla ya ujenzi kuanza ni pamoja na muonekano wa eneo la ujenzi, mpangilio wa jengo tarajiwa, mapaa na mifumo ya uondoaji hewa hatarishi, vumbi, moshi au taka nyinginezo.

10Usalama na Afya Mahali pa Kazi (Osha) | Jarida • Aprili 2017

ambayo yapo katika sekta isiyo rasmi kwani makundi hayo yamekuwa na mchango mkubwa sana katika kukuza uchumi wa Taifa letu,” alisema Mh. Mhagama.

Kwa upande wake aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa OSHA, Dkt. Akwilina Kayumba, alimhakikishia Mh. Waziri kwamba mafunzo hayo kwa wajasiriamali wadogo yatakuwa endelevu na yatakuwa yakifanyika kwa makundi mbalimbali.

“Tutaendelea kutoa mafunzo ya usalama na afya kwa wajasiriamali wadogo kwa nguvu zetu zote ili kujenga jamii ya watu wenye afya watakaoliwezesha Taifa lao kusonga mbele kiuchumi kupitia uzalishaji mali wanaoufanya,” alieleza Mtendaji Mkuu wa Wakala.

Pia, OSHA inaelekeza wanaotaka kujenga kiwanda au eneo la kazi kuwasilisha ramani za mifumo ya kupambana na moto, mpangilio wa mashine, mifumo ya kutoroka wakati wa dharura, sehemu za kukutana wakati wa dharura, ramani ya mitandao ya umeme, ramani za ngazi kama zipo na namna maji ya mvua yatakavyoondolewa eneo la kazi. Pia ramani zinazoonyesha vyoo, sehemu ya kuegesha magari, utunzaji wa bidhaa pamoja na sehemu za kubadilishia nguo.Kwa kawaida baada ya kupitia michoro husika, OSHA hutoa mwongozo kuhusu namna sahihi ya kujenga jengo tarajiwa kwa kuzingatia vipengele muhimu vinavyohusu usalama wa wafanyakazi na watumiaji wengine wa jengo husika ambapo muendelezaji hatakiwi kufanya mabadiliko yoyote bila idhini ya OSHA. Wakala pia hulazimika kufanya kaguzi za maendeleo ya ujenzi kuanzia hatua ya kwanza hadi jengo linapokamilika. Ili kufanya ufuatialiji endelevu, mwekezaji anatakiwa kuitaarifu OSHA kwa wakati kila hatua anayofikia ili taratibu za kufanya ukaguzi zifanyike. Isitoshe, OSHA imepewa mamlaka ya kufanya ukaguzi kila mwaka baada ya jengo kukamilika ili kutathmini namna mwendelezaji anavyofuata maelekezo ya usalama mahala pa kazi. Mifumo ya usalama mahala pa kazi hupelekea kuwepo kwa utamaduni wa usalama mahala pa kazi na kushindwa kuisimamia mifumo husika kunaweza kupelekea kutokea kwa tukio la ajali kama lile la Rana la Aprili 24, 2013.Ajali za kimfumo kama ile ya Rana zinaweza kuzuiliwa kwa kuimarisha mifumo ya kuzuia vihatarishi. Kwa

kawaida vihatarishi vya kimfumo vinaweza kuhusishwa na nishati inayotokana na mionzi, mwanga, uvujaji, kuporomoka, milipuko, kelele au tukio lolote lenye matokeo mabaya kwa binadamu na mazingira.

Vihatarishi vya kimfumo vinatakiwa kuzuiwa wakati wote wa uhai wa eneo la kazi. Uzuiaji wa vihatarishi unatakiwa ufuate utaratibu shirikishi unaounganisha vizuia vihatarishi vilivyowekwa kimoja kimoja ili kuhakikisha nishati husika haitoki au kusambaa kiholela. Kinyume na hapo, tishio la vitaharishi kusambaa kiholela na kutengeneza hatari inayowezapelekea kushindwa kwa mifumo ya usalama na hatimaye ajali kutokea ni kubwa.

Kuna wakati mifumo ya kuzuia vihatarishi hushidhwa kwa sababu ya makosa ya kibinadamu, kuharibika kwa mifumo ya usimamizi wa usalama mahala pa kazi au kuvurugika kwa sehemu ya mifumo ya uzuiaji wa vihatarishi.

Kwa mfano, kubadilishwa kwa matumizi ya jengo la Rana kutoka kuwa ofisi na maduka tu hadi kujumuisha kiwanda ni makosa ya kibinadamu ambayo pamoja na kuharibika kwa mifumo ya usalama mahala pa kazi yalisababisha ajali kutokea. Makosa mawili ya kimfumo na kibinadamu yalisababisha kusambaa holela kwa nishati iliyopelekea kuanguka kwa jengo.

Kwakuhitimisha, ajali na magonjwa yatokanayo na kazi vinaweza kuzuilika endapo wamiliki na waendeshaji wa sehemu za kazi watashirikiana na OSHA ambayo imepewa mamlaka kisheria ya kusimamia masuala ya Usalama na Afya za wafanyakazi wawapo kazini. Wakala una utaalam na teknolojia zote zinazohitajika ili kuzuia ajali na magonjwa yatokanayo na kazi.

hayo. Pia, walitoa wito kufanya mafunzo kwa wajasiriamali wadogo kuwa endelevu na kueleza kwamba elimu hiyo muhimu itaokoa maisha ya watanzania wengi ambao walikuwa wanahatarisha afya zao bila kujua.

Aidha katika kuhitimisha mafunzo hayo Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye ulemavu, Mh. Jenista Mhagama (MB), aliwapongeza OSHA kwakuamua kuendesha mafunzo hayo na kuwataka kuyafanya kuwa endelevu.

“Kwa muda mrefu sasa tumekuwa tukitoa elimu ya Usalama na Afya katika makampuni na taasisi mbali mbali zilizopo katika sekta rasmi nadhani ni wakati muafaka sasa kuyageukia makundi

Mafunzo ya Usalama na Afya kwa

wajasiriamali wadogo yapongezwa

– Na Paul Gyuna

atika jitihada za kufikisha elimu ya Usalama na Afya kwa makundi mbalimbali ya

wajasiriamali wadogo, Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) umeendesha mafunzo maalum kwa wafanyakazi walio kwenye sekta zisizo rasmi nchi nzima.

Wafanyakazi katika sekta sizizo rasmi walionufaika na mafunzo hayo ni pamoja na wale wanaofanya kazi katika maeneo ya magereji, mama lishe, wafanya usafi barabarani, wakina mama wanaojishughulisha na kupepeta mpunga na kukoboa karanga pamoja na wakulima wadogo.

Mafunzo hayo ambayo yalifanyika ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya Usalama na

Mkufunzi wa Huduma ya Kwanza, Bi. Hatua Maalim, akiwafundisha washiriki wa mafunzo ya Usalama na Afya kazini namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa wenzao wanapoumia kazini. Mafunzo hayo yalifanyika mjini Moshi

Afya Mahali pa kazi Duniani, ambayo hufanyika Aprili 28 kila mwaka, yalifanyika katika mikoa ya Dar es Salaam, Mwanza, Arusha, Dodoma, Morogoro, Tanga, Kilimanjaro, Mbeya na Mtwara, ambapo wajasiriamali wapatao 1830 wameweza kunufaika na elimu hiyo.

Wakiongea kwa nyakati tofauti wakati wa mafunzo hayo, wajasiriamali hao walieleza kufurahishwa kwao na elimu hio na kusema kwa muda mrefu sasa wamekuwa wakifanya kazi katika mazingira ambayo sio salama kutokana na kutokuwa na uelewa wa kutosha wa njia za kujikinga na vihatarishi vilivyopo katika sehemu zao za kazi.

“Wengi wetu tumekuwa tukiumia na kupata magonjwa mbali mbali yanayotokana na kazi tunazozifanya kwasababu ya ukosefu wa elimu sahihi ya kujikinga tunapofanya kazi zetu za kila siku,” alisema Aisha Abdallah ambaye ni mkulima wa mboga mboga katika manispaa ya Mtwara.

Aidha wajasiriamali hao wameushukuru uongozi wa OSHA kwa kuona umuhimu wa kutoa mafunzo

Page 11: Uchumi wa viwanda: Namna serikali itakavyoimarisha usalama ... · Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Dkt. Akwilina Kayumba, aliweka bayana mipango ya taasisi hiyo yenye dhamana

11Usalama na Afya Mahali pa Kazi (Osha) | Jarida • Aprili 2017

ambayo yapo katika sekta isiyo rasmi kwani makundi hayo yamekuwa na mchango mkubwa sana katika kukuza uchumi wa Taifa letu,” alisema Mh. Mhagama.

Kwa upande wake aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa OSHA, Dkt. Akwilina Kayumba, alimhakikishia Mh. Waziri kwamba mafunzo hayo kwa wajasiriamali wadogo yatakuwa endelevu na yatakuwa yakifanyika kwa makundi mbalimbali.

“Tutaendelea kutoa mafunzo ya usalama na afya kwa wajasiriamali wadogo kwa nguvu zetu zote ili kujenga jamii ya watu wenye afya watakaoliwezesha Taifa lao kusonga mbele kiuchumi kupitia uzalishaji mali wanaoufanya,” alieleza Mtendaji Mkuu wa Wakala.

akala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) umeanzisha programu maalum wa

mazoezi ya viungo kwa wafanyakazi wake kila siku baada ya masaa ya kazi.

Programu hiyo ni utekelezaji wa agizo la serikali lililowataka wakuu wa taasisi mbali mbali za serikali kuanzishwa utaratibu kama huo ili kuimarisha afya za watumishi wake pamoja na kuwakinga magonjwa yasioambukiza.

Katika nyakati tofauti aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa OSHA, Dkt. Akwilina Kayumba, amekuwa akiwasisitiza wafanyakazi wa Wakala kushiriki katika mazoezi hayo ambayo ni kwaajili ya manufaa ya afya zao.

‘’Nawahimiza wafanyakazi wote kushiriki kwenye mazoezi kwaajili ya kujenga afya zao na pia kujiepusha na magonjwa yasiyoambukiza,’’ Alisema Mkaguzi Mkuu alipoongea na watumishi wake katika moja ya vipindi vya mazoezi ambayo yeye pia hushiriki.

Aidha Mtendaji Mkuu ameahidi kuhakikisha kwamba ofisi zote za OSHA nchini zinakuwa na utaratibu wa mazoezi kwa wafanyakazi wake.

Kwa upande wao watumishi wanaoshiriki mazoezi katika ofisi za Makao Makuu walisema mazoezi hayo yana umuhimu mkubwa sana kwao kwani huvifanya viungo vya miili yao kuwa timamu wakati wote.

Bw. Paul Zuberi ambaye ni Afisa Utumishi Mwandamizi, amesema mazoezi hayo ya viungo yanawasadia katika vita dhidi ya magonjwa yasiyoambukiza kama vile shinikizo la damu na uzito uliopitiliza ambayo ni tishio kwa afya za watu wengi kwasasa.

Wameahidi kuendelea kuwahamisha wafanyakazi wenzao kushiriki kwa wingi katika mazoezi hayo ili kutekeleza azma ya serikali ya kuimarisha afya za watumishi wake.

Programu hii imeshafanyika kwa zaidi ya meizi sita sasa tangu ilipoanzishwa mapema mwaka huu.

hayo. Pia, walitoa wito kufanya mafunzo kwa wajasiriamali wadogo kuwa endelevu na kueleza kwamba elimu hiyo muhimu itaokoa maisha ya watanzania wengi ambao walikuwa wanahatarisha afya zao bila kujua.

Aidha katika kuhitimisha mafunzo hayo Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye ulemavu, Mh. Jenista Mhagama (MB), aliwapongeza OSHA kwakuamua kuendesha mafunzo hayo na kuwataka kuyafanya kuwa endelevu.

“Kwa muda mrefu sasa tumekuwa tukitoa elimu ya Usalama na Afya katika makampuni na taasisi mbali mbali zilizopo katika sekta rasmi nadhani ni wakati muafaka sasa kuyageukia makundi

Wafanyakazi wahimizwa kushiriki mazoezi ya viungo ili kujenga afya zao

– Na Paul Gyuna

Watumishi wa OSHA na wenzao kutoka taasisi nyingine za serikali zilizopo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu wakishiriki katika mazoezi ya viungo katika bonanza la michezo lililofanyika katika Viwanja vya Leaders jijini Dar es Salaam

atika jitihada za kufikisha elimu ya Usalama na Afya kwa makundi mbalimbali ya

wajasiriamali wadogo, Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) umeendesha mafunzo maalum kwa wafanyakazi walio kwenye sekta zisizo rasmi nchi nzima.

Wafanyakazi katika sekta sizizo rasmi walionufaika na mafunzo hayo ni pamoja na wale wanaofanya kazi katika maeneo ya magereji, mama lishe, wafanya usafi barabarani, wakina mama wanaojishughulisha na kupepeta mpunga na kukoboa karanga pamoja na wakulima wadogo.

Mafunzo hayo ambayo yalifanyika ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya Usalama na

Afya Mahali pa kazi Duniani, ambayo hufanyika Aprili 28 kila mwaka, yalifanyika katika mikoa ya Dar es Salaam, Mwanza, Arusha, Dodoma, Morogoro, Tanga, Kilimanjaro, Mbeya na Mtwara, ambapo wajasiriamali wapatao 1830 wameweza kunufaika na elimu hiyo.

Wakiongea kwa nyakati tofauti wakati wa mafunzo hayo, wajasiriamali hao walieleza kufurahishwa kwao na elimu hio na kusema kwa muda mrefu sasa wamekuwa wakifanya kazi katika mazingira ambayo sio salama kutokana na kutokuwa na uelewa wa kutosha wa njia za kujikinga na vihatarishi vilivyopo katika sehemu zao za kazi.

“Wengi wetu tumekuwa tukiumia na kupata magonjwa mbali mbali yanayotokana na kazi tunazozifanya kwasababu ya ukosefu wa elimu sahihi ya kujikinga tunapofanya kazi zetu za kila siku,” alisema Aisha Abdallah ambaye ni mkulima wa mboga mboga katika manispaa ya Mtwara.

Aidha wajasiriamali hao wameushukuru uongozi wa OSHA kwa kuona umuhimu wa kutoa mafunzo

Page 12: Uchumi wa viwanda: Namna serikali itakavyoimarisha usalama ... · Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Dkt. Akwilina Kayumba, aliweka bayana mipango ya taasisi hiyo yenye dhamana

Moja kati ya huduma zitolewazo na OSHA ni mafunzo ya usalama na afya mahali pa kazi ambapo kozi mbali mbali hutolewa kama vile huduma ya kwanza, kamati za afya na usalama, usalama na afya kwa wahudumu wa afya, usalama na afya katika sekta ya ujenzi, usalama na afya katika sekta ya mafuta na gesi, matumizi salama ya kemikali katika sehemu za kazi pamoja na kuthamini vihatarishi vya kiusalama na kiafya kama tukiziorodhesha japo kwa uchache. Jarida la OSHA lilikusanya maoni ya wanafunzi kuhusu huduma hii ya mafunzo kwa baadhi ya wanafunzi wa darasa la mafunzo ya huduma ya kwanza la hivi karibuni. Maoni yao yalikuwa kama ifuatavyo.

1. BINU BHARATHAN LEELAMMA (FROM MFI DOCUMENT SOLUTIONS LTD)

Naamini kwamba maarifa ni utajiri ingawaje wakati mwingine huwa hutavipi kipaumbele baadhi vitu vya msingi katika maisha. Miongoni mwa vitu hivyo ni pamoja na suala la huduma ya kwanza. Mafunzo haya ya leo yamenipa maarifa yakutosha kuhusu suala la huduma ya kwanza. Wakufunzi walikuwa wazuri na wenye

ushirikiano na hivyo kufanya mtiririko wa maarifa kuwa mzuri pia. Nashauri viongozi wote wa juu katika makampuni yote kutilia mkazo mafunzo haya na kuhakikisha kwamba wafanyakazi wengi zaidi wanapata mafunzo haya.

Aidha nawatakia mafanikio mema watumishi wote na viongozi wa OSHA katika jukumu lao la msingi la kusambaza elimu ya kuokoa maisha ya watu. Napendekeza wakufunzi wawe wanatumia zaidi lugha ya kiingereza ili kutoa nafasi kwa watu wengi zaidi wakiwemo wasio watanzania kuhudhuria mafunzo haya.

2. ATHUMANI SAID ALI

Walimu wa mafunzo wote ni wazuri, changamoto iliyopo ni kwa walimu wa vitendo wanapata tabu kutokana na eneo linalobakia pale mbele ya darasa kwa ajili ya mafunzo kwa vitendo kuwa dogo. Hali hiyo inawafanya wanafunzi wengi kushindwa kuwafutilia wakufunzi vizuri. Naishauri menejementi ya OSHA iangalie namna

itakavyoweza kupunguza idadi ya viti ndani ya darasa ili kuacha nafasi ya kutosha kwaajili ya mafunzo kwa vitendo. Nashauri pia muda wa kozi uongezwe hadi kufikia walau siku tano ili kutoa nafasi ya kujifunza zaidi. Shukrani ziwaendee waandaaji wa hii programu na walimu kwa uwezo wao mkubwa waliotuonesha darasani.

3. STEPHEN PETER

Mafunzo haya ni mazuri na yana umuhimu mkubwa, walimu wapo vizuri wametufundisha mambo mengi sana na mazuri. Tutajitahidi kuwashirikisha pia wenzetu tuliowaacha maofisini ujuzi tulio upata na tunaomba mafunzo haya yawe endelevu. Naushauri uongozi wa OSHA kufanya maboresho zaidi ya miundo mbinu ya kufundishia

na kujifunzia. Mfano kuwa na madarasa yenye nafasi zaidi na pia mafunzo kwa vitendo yaongezwe kwani ndiyo yanayohitajika zaidi katika sehemu zetu za kazi.

4. NASSORO SAIDI MDONDE

Walimu wanafundisha vizuri sana ila changamoto iliyopo ni kwamba muda wa kozi hautoshi kutokana na umuhimu wa somo la huduma ya kwanza. Napendekeza mafunzo kama haya yangefanyika walau kwa wiki moja kutokana na uelewa tofauti wa wanafunzi ambao mara nyingi huwa na kiwango tofauti cha elimu. Pia

naushauri uongozi kuboresha miundombinu ya kufundishia.

5. TULIA RAJABU SANGA

Nilifurahishwa na mapokezi tuliyoyapata siku ya kwanza ya mafunzo na kwakweli mafunzo ni mazuri na walimu ni wazuri sana ingawaje kuna baadhi ya mambo naushauri uongozi wa OSHA kuyarekebisha.

Maboresho hayo ni pamoja na kuangalia utaratibu wa kufanyia

mafunzo hayo katika darasa kubwa zaidi litakalokuwa na nafasi ya kutosha ili kuwawezesha wanafunzi kufuatilia vizuri mafunzo hasa yale yanayotolewa kwa vitendo. Uangaliwe utaratibu wa kutoa chakula walau cha mchana tu na pia idadi ya siku za mafunzo ingefaa ziongezwe.

6. THERESIA RWIHULA

Mafunzo ya huduma ya kwanza tuliyoyapata ni mazuri ila ombi langu kwa uongozi wa OSHA ni kuhusu uboreshaji wa miundombinu ya kufundishia ikiwemo kuangalia uwezekano wa kuwa na madarasa yenye nafasi pamoja na vyoo vya kutosha kulingana na idadi kubwa ya wanafunzi wanaohudhuria mafunzo

haya. Aidha tunaomba muda wa mafunzo uongezwe kutoka siku tatu hadi walau wiki moja kwasababu mambo tunayofundishwa ni mengi hivyo ni vigumu kuyashika katika siku hizo tatu za mafunzo.

7. TUMAINI MAHENGE

Mafunzo ya huduma ya kwanza ni muhimu sana na yanatusaidia sana katika maisha yetu ya kila siku na pia walimu wa OSHA ni wazuri sana. Yapo mapungufu kadhaa ambayo tungependa kuona yanarekebishwa miongoni mwa hayo ni pamoja na wanafunzi kuwa wengi kuliko uwezo wa darasa linalotumika. Vifaa vya

kujifunzia pia havitoshelezi mahitaji. Naushauri uongozi uboreshe miundombinu ya kufundishia vikiwemo vyoo ambavyo ni vichache ukilinganisha na idadi ya wanafunzi. Aidha napendekeza vinywaji laini viwe vinatolewa kwa wanafunzi wakati wa mafunzo.

12Usalama na Afya Mahali pa Kazi (Osha) | Jarida • Aprili 2017

UWANJA WA WANAFUNZI

Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya Huduma ya Kwanza wakiwa katika picha ya pamoja katika ofisi za OSHA Makao Makuu jijini Dar es Salaam

Page 13: Uchumi wa viwanda: Namna serikali itakavyoimarisha usalama ... · Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Dkt. Akwilina Kayumba, aliweka bayana mipango ya taasisi hiyo yenye dhamana

gosti 31, 2001 ndipo Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) ulipoanzishwa

rasmi. Kwa mantiki hiyo, taasisi hii huadhimisha siku yake ya kuanzishwa kila ifikapo Agosti 31 ya kila mwaka.

Kwa mwaka 2016, maadhimisho hayo yalikuwa ya kipekee kidogo kwani taasisi ilitimiza miaka 15 ya kuanzishwa kwake.

Ili kuendana na falsafa ya serikali ya awamu ya tano ya kubana matumizi, menejimenti ya OSHA iliamua

OSHA yaibuka kidedea

mashindano yakuvuta kamba

katika bonanza

– Na Paul Gyuna

13Usalama na Afya Mahali pa Kazi (Osha) | Jarida • Aprili 2017

imu ya michezo ya OSHA imeibuka kidedea katika shindano la kuvuta kamba katika Bonanza la michezo lililofanyika katika wiki ya

kuelekea kilele cha maadhimisho ya siku ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi Duniania.

Katika michezo hiyo, OSHA iliweze kushinda Tuzo katika shindano la kuvuta kamba baada ya kuizidi nguvu timu ya Jeshi la Zima Moto na Uokozi ambayo iliingia nayo fainali baada ya kuzishinda timu nyingine zilizoshiriki katika hatua za awali.

Shindano hilo lilikuwa miongoni mwa michezo mbali mbali iliyoshindaniwa katika bonanza hilo ambalo lilifanyika kama sehemu ya maadhimisho hayo muhimu. Michezo mingine iliyoshindaniwa ni pamoja na mpira wa miguu, mpira wa pete, mazoezi ya viungo (aerobics), kukimbia katika magunia pamoja na kukamata kuku.

Mashindano hayo yaliyofanyika Aprili 23 katika viwanja vya ‘Leaders Club’ yalihusisha taasisi mbali mbali za serikali zikiwemo NSSF, SSRA, Jeshi la Zima Moto na Uokozi, TaESA, ATE, CMA pamoja na Wizara ya Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu.

Katika mchezo wa mpira wa miguu, timu ya Jeshi la Zimamoto na Uokozi ndiyo iliyoshinda taji hilo baada ya kuifunga mabao 3-1 timu ya NSSF ambayo iliingia nayo katika hatua ya fainali.

Kwa upande wa mpira wa pete timu ya NSSF iliichapa timu ya OSHA kwa jumla ya mabao 32 kwa 25.

Akizungumza wakati wa kufunga Bonanza hilo lililohusisha pia zoezi la uchangiaji damu, Naibu wa Waziri wa Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mh. Antony Mavunde (MB), aliwataka wafanyakazi kujituma katika kufanya mazoezi na kushiriki michezo mbali mbali kwaajili ya kuimarisha afya zao na kuepukana na magonjwa nyemelezi.

Kwa upande wao washiriki wa bonanza hilo waliishukuru Mamlaka kwa kuwaalika kushiriki katika tukio hilo na pia kwa maandalizi mazuri.

“Tumefurahi sana kualikwa katika bonanza hili ambalo limefana kuliko tulivyotarajia, limetupa nafasi ya kuchangamsha miili yetu lakini pia limetuwezesha kujenga udugu na wenzetu kutoka katika taasisi mbali mbali zilizoalikwa,” alisema Devotha kutoka NSSF.

Baadhi ya watumishi wa OSHA wakisafisha mazingira katika hospitali ya Mwananyamala. Zoezi lilikuwa miongoni mwa kazi mbali mbali zilizotekelezwa na Wakala katika kuadhimisha jubilee yake ya miaka 15.

OSHA yaazimisha miaka 15 kwa kufanya usafi nchi nzima– Na Paul Gyuna

kuadhimisha siku hiyo muhimu kwa kutekeleza shughuli mbali mbali za kijamii katika kanda zake zote.

Siku hii iliadhimishwa kwa kufanya usafi katika maeneo mbali mbali ya umma pamoja na kutoa misaada kwa wahitaji.

Wafanyakazi wa Makao Makuu na kanda ya Pwani wakiongozwa na Mtendaji Mkuu, walishiriki katika zoezi la usafi wa mazingira katika hospitali ya Mwananyamala ambako pia misaada mbali mbali ilitolewa.

Vifaa mbali mbali vilivyotolewa kuisaidia hospitali vilikabidhiwa na Mtendaji Mkuu kwa Mgeni Rasmi, Bi. Gift Msuya, ambaye alimwakilisha Mkuu wa Wilaya hiyo. Msaada huo ulijumuisha mashuka ya wagonjwa na viatu maalum vyenye uwezo wa kumkinga binadamu na viini vya magonjwa kwaaajli ya wafanyakazi wa hospital hiyo.

Katika shukrani zake, Mgeni Rasmi aliushukuru uogozi wa OSHA kwa kuona umuhimu wa kuisaidia hospitali hiyo.

“Naamini vifaa hivi vilivyotolewa na OSHA vitaisaidia sana hospitali hii ya rufaa katika katika kukabiliana na upungufu mkubwa wa vifaa uliopo kwasasa ambao umesababishwa na ongezeko la wagonjwa wanaofika kutibiwa hapa,” alieleza Mgeni Rasmi.

Kwa upande wake aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa OSHA, Dkt. Kayumba, alimueleza Mgeni Rasmi huyo kwamba kwa kutambua mchango mkubwa wa

hospitali hiyo katika kuwahudumia watu mbali mbali wakiwemo wale wanaoumia au kupata magonjwa yatokanayo na kazi, taasisi yake imeona kuna haja ya kuisaidia hospitali hiyo.

“Tunajua kwamba mahitaji ya huduma za afya katika hospitali hii na nyingine nyingi ni makubwa hivyo tumeona ni vyema tukatumia kiasi kidogo cha fedha ambazo zingeweza kutumika katika hafla ya kuazimisha miaka 15 ya kuzaliwa kwa OSHA kununua vifaa hivi ambavyo vinahitajika ili kuokoa maisha ya wagonjwa wanaofika hospitalini hapa,” alisema Mtendaji Mkuu.

Naye Kaimu Mganga Mkuu wa hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala, Dkt. Daniel Nkungu, aliushukuru uongozi wa OSHA kwa msaada huo na kuahidi kwamba atahakikisha kwamba unatumika kwa malengo yaliyokusudiwa.

Kwa upande wa Dodoma, maadhimisho hayo yalifanyika kwa wafanyakazi wa Kanda ya kati kufanya usafi katika stendi kuu ya mkoa wa Dodoma kwa kushirikiana na wafanya usafi wa manispaa ya Dodoma.

Hata hivyo wafanya usafi walioshirikiana na watumishi wa OSHA waliweza kuelimishwa juu ya namna bora ya kujikinga na vihatarishi wanapofanya usafi na pia walipewa vifaa kinga mbali mbali.

Vifaa mbali mbali vilivyonunuliwa na Wakala kwaajili ya kufanikisha zoezi la usafi katika siku hiyo vilikabidhiwa kwa uongozi wa manispaa mara baada ya zoezi kukamilika.

Page 14: Uchumi wa viwanda: Namna serikali itakavyoimarisha usalama ... · Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Dkt. Akwilina Kayumba, aliweka bayana mipango ya taasisi hiyo yenye dhamana

gosti 31, 2001 ndipo Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) ulipoanzishwa

rasmi. Kwa mantiki hiyo, taasisi hii huadhimisha siku yake ya kuanzishwa kila ifikapo Agosti 31 ya kila mwaka.

Kwa mwaka 2016, maadhimisho hayo yalikuwa ya kipekee kidogo kwani taasisi ilitimiza miaka 15 ya kuanzishwa kwake.

Ili kuendana na falsafa ya serikali ya awamu ya tano ya kubana matumizi, menejimenti ya OSHA iliamua

14Usalama na Afya Mahali pa Kazi (Osha) | Jarida • Aprili 2017

Kaimu Meneja wa Kanda ya Ziwa, Mjawa Mohamed, akizungumza na Mwandishi wa Jarida la OSHA kuhusu changamoto zilizojitokeza katika utoaji wa mafunzo ya Usalama na Afya kwa wajasiriamali wadogo katika kanda yake.

kuadhimisha siku hiyo muhimu kwa kutekeleza shughuli mbali mbali za kijamii katika kanda zake zote.

Siku hii iliadhimishwa kwa kufanya usafi katika maeneo mbali mbali ya umma pamoja na kutoa misaada kwa wahitaji.

Wafanyakazi wa Makao Makuu na kanda ya Pwani wakiongozwa na Mtendaji Mkuu, walishiriki katika zoezi la usafi wa mazingira katika hospitali ya Mwananyamala ambako pia misaada mbali mbali ilitolewa.

Vifaa mbali mbali vilivyotolewa kuisaidia hospitali vilikabidhiwa na Mtendaji Mkuu kwa Mgeni Rasmi, Bi. Gift Msuya, ambaye alimwakilisha Mkuu wa Wilaya hiyo. Msaada huo ulijumuisha mashuka ya wagonjwa na viatu maalum vyenye uwezo wa kumkinga binadamu na viini vya magonjwa kwaaajli ya wafanyakazi wa hospital hiyo.

Katika shukrani zake, Mgeni Rasmi aliushukuru uogozi wa OSHA kwa kuona umuhimu wa kuisaidia hospitali hiyo.

“Naamini vifaa hivi vilivyotolewa na OSHA vitaisaidia sana hospitali hii ya rufaa katika katika kukabiliana na upungufu mkubwa wa vifaa uliopo kwasasa ambao umesababishwa na ongezeko la wagonjwa wanaofika kutibiwa hapa,” alieleza Mgeni Rasmi.

Kwa upande wake aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa OSHA, Dkt. Kayumba, alimueleza Mgeni Rasmi huyo kwamba kwa kutambua mchango mkubwa wa

hospitali hiyo katika kuwahudumia watu mbali mbali wakiwemo wale wanaoumia au kupata magonjwa yatokanayo na kazi, taasisi yake imeona kuna haja ya kuisaidia hospitali hiyo.

“Tunajua kwamba mahitaji ya huduma za afya katika hospitali hii na nyingine nyingi ni makubwa hivyo tumeona ni vyema tukatumia kiasi kidogo cha fedha ambazo zingeweza kutumika katika hafla ya kuazimisha miaka 15 ya kuzaliwa kwa OSHA kununua vifaa hivi ambavyo vinahitajika ili kuokoa maisha ya wagonjwa wanaofika hospitalini hapa,” alisema Mtendaji Mkuu.

Naye Kaimu Mganga Mkuu wa hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala, Dkt. Daniel Nkungu, aliushukuru uongozi wa OSHA kwa msaada huo na kuahidi kwamba atahakikisha kwamba unatumika kwa malengo yaliyokusudiwa.

Kwa upande wa Dodoma, maadhimisho hayo yalifanyika kwa wafanyakazi wa Kanda ya kati kufanya usafi katika stendi kuu ya mkoa wa Dodoma kwa kushirikiana na wafanya usafi wa manispaa ya Dodoma.

Hata hivyo wafanya usafi walioshirikiana na watumishi wa OSHA waliweza kuelimishwa juu ya namna bora ya kujikinga na vihatarishi wanapofanya usafi na pia walipewa vifaa kinga mbali mbali.

Vifaa mbali mbali vilivyonunuliwa na Wakala kwaajili ya kufanikisha zoezi la usafi katika siku hiyo vilikabidhiwa kwa uongozi wa manispaa mara baada ya zoezi kukamilika.

Page 15: Uchumi wa viwanda: Namna serikali itakavyoimarisha usalama ... · Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Dkt. Akwilina Kayumba, aliweka bayana mipango ya taasisi hiyo yenye dhamana

Uelewa mdogo wakwamisha utoaji elimu ya usalama na afya kazini– Na Mwandishi Wetu

15Usalama na Afya Mahali pa Kazi (Osha) | Jarida • Aprili 2017

elewa mdogo wa wadau juu ya umuhimu wa mafunzo ya usalama na afya mahali pa kazi

umeelezwa kuwa changamoto katika jitihada zinazofanywa na Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kuwafikishia elimu hiyo muhimu kwao. Hayo yameelzwa na Kaimu Meneja wa OSHA Kanda ya Ziwa, Bw. Mjawa Mohamed, alipozungumza na Jarida hili wakati wa mafunzo ya usalama na afya mahali pa kazi kwa wajasiriamali wadogo yaliyoandaliwa na Mamlaka hiyo kwa wajasiriamali wa kanda ya Ziwa.Mafunzo hayo yalifanyika kama sehemu ya maadhimisho ya siku ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi Duniani ambayo huadhimishwa siku ya Aprili 28 kwa kila mwaka.Mjawa alieleza kwamba mafunzo hayo yalikuwa miongoni mwa kazi ambazo kanda yake ilipangiwa kuzifanya kwa kipindi chote cha mwezi Aprili ikiwa ni sehemu ya maadhimisho.“Tulipangiwa kutekeleza kazi mbali mbali zikiwemo kuwahamasisha wamiliki wa maeneo ya kazi ambayo hayajasajiliwa kusajili na Wakala na

pia kutoa mafunzo ya usalama na afya kazini kwa makundi mbali mbali ya wajasiriamali wadogo.”Aliongeza: “Hatukuweza kufikia lengo la kutoa elimu kwa wajasiriamali wadogo wasiopungua 300 kama tulivyoagizwa na ofisi yetu ya Makao Makuu. Tuliwafikia wajasiriamali wadogo 249 tu na kwa tathmini tuliyoifanya tulibaini kwamba idadi hii ndogo ya waliojitokeza ilitokana na wengi wao kutofahamu umuhimu wa mafunzo haya. Licha ya kupata mwaliko wa kushiriki katika mafunzo hayo ambayo yalitolewa bila malipo yoyote, baadhi ya waalikwa hawakuweza kuhudhuria kutokana na kudhani kwamba wangeshiriki wangepoteza muda wa kujiingizia kipato chao cha kila siku.”Meneja huyo aliyataja makundi yaliyokuwa yamelengwa na mafunzo hayo kwa wakati huo kuwa ni mafundi katika karakana mbali mbali zikiwemo gereji, watengenezaji wa matofali na wasindikaji wa vyakula mbali mbali. Kwa mujibu wa Meneja huyo wa kanda mafunzo kwa makundi yote matatu yalifanyika katika ukumbi uliopo katika ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Mwanza.Mada zilizofundishwa katika mafunzo tajwa ni pamoja na; Ufahamu kuhusu Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) na majukumu yake, Kuvitambua viashiria vya hatari katika sehemu za kazi na athari zake, Maana ya huduma ya kwanza katika sehemu za kazi, pamoja na mafunzo kwa vitendo ya kutoa huduma ya kwanza kwa mtu aliyevunjika kiungo cha mwili na aliyepoteza fahamu. Hata hivyo, Mjawa alipendekeza mafunzo kama hayo yawe yanatolewa mara kwa mara ili kuwapa ufahamu mzuri wa masuala ya usalama na afya mahala pa kazi wajasiriamali wadogo ambao wengi wao hawajafikiwa na elimu hiyo.

Timu ya OSHA ikivaana na wapinzani wao katika shindano la kuvuta kamba katika bonanza la michezo lililoandaliwa na Wakala kama sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Usalama na Afya kazini katika Viwanja vya Leaders

Kaimu Mkurugenzi wa OSHA, Khadija Mwenda akipokea kombe baada ya timu yake kushinda shindano la kuvuta kamba katika bonanza la michezo.

Page 16: Uchumi wa viwanda: Namna serikali itakavyoimarisha usalama ... · Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Dkt. Akwilina Kayumba, aliweka bayana mipango ya taasisi hiyo yenye dhamana

16Usalama na Afya Mahali pa Kazi (Osha) | Jarida • Aprili 2017

Habari Katika Picha

Washiriki wa mafunzo ya Usalama na Afya kwa wajasiriamali wadogo wakiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi wa Usalama na Afya wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Alex Ngata (wa kwanza mstari wa pili), karibu yake ni Kaimu Meneja wa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, George Chali.

Wakazi wa Bariadi wakipatiwa maelezo kuhusu Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi walipotembelea banda la Wakala huo katika maonesho ya wiki ya vijana yaliyofanyika Bariadi mkoani Simiyu.

Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mh. Antony Mavunde (MB), akiongea na wachezaji wa mpira wa pete muda mfupi kabla ya mashindano baina ya timu za taasisi mbali mbali zilizopo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu kuanza kutimua vumbi. Pamoja nae ni aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa OSHA, Dkt. Akwilina Kayumba.

Mkurugenzi wa Mafunzo, Utafiti na Takwimu wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Joshua Matiko, akiwafundisha washiriki wa mafunzo ya Usalama na Afya kazini kwa wajasiriamali wadogo jijini Mwanza.

Kepteni wa timu ya mpira wa miguu ya Jeshi la Zima Moto na Uokoaji ambaye jina lake halikuweza kupatikana akipokea kombe baada ya timu yao kuishinda timu ya NSSF katika fainali za mashindano katika bonanza la michezo lililofanyika katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu-Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mh. Jenista Mhagama (MB) akiongea na waandishi wa habari kuhusu maadhimisho ya siku ya Usalama na Afya mahali pa kazi Duniani mjini Dodoma.