bei sh. 1,000/= la dar es salaam jamhuri … yahusuyo mali za watu waliofariki, kuvunja mikataba ya...
TRANSCRIPT
GAZETIBEI SH. 1,000/= LA DAR ES SALAAM
MWAKA WA 99 23 Februari, 2018
TOLEO NA. 8
YALIYOMO
Limepigwa Chapa na Mpigachapa Mkuu wa Serikali, Dar es Salaam --- Tanzania
Matangazo yahusuyo mali za watu waliofariki, kuvunja mikataba ya ushirikiano na mengineyo, yakiwa ya manufaakwa umma yaweza kuchapishwa katika Gazeti. Yapelekwe kwa Mhariri, Ofisi ya Rais --- Menejimenti ya Utumishi wa
Umma, S.L.P. 2483, Dar es Salaam, Simu za Ofisi 2118531/4. Kabla ya Jumamosi ya kila Juma.
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAO
Taarifa ya Kawaida Uk.
Linatolewa kwa Idhini ya Serikali na Kuandikishwa Posta kama
Gazeti
ISSN 0856 - 0323
Kuajiriwa na Kukabidhiwa Madaraka ........ Na. 201 49Notice re Supplement ................................ Na. 202 50Kupotea kwa Hati za Kumiliki Ardhi ........ Na. 203-7 50/1Kupotea/Kuungua kwa Leseni ya Makazi ... Na. 208 51Kupotea kwa Barua ya Toleo ya Kumiliki Ardhi ..................................................... Na. 209-11 51/2Uteuzi wa Wenyeviti wa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya ............................. Na. 212-8 52/4Appointment of Authorized Officer ....... Na. 219-20 54Makampuni Zilizobadilisha Majina katika Daftari la Makampuni .............. Na. 221-33 54/6
Taarifa ya Kawaida Uk.Makampuni Zinazotarajiwa Kufufwa katika Daftari la Makampuni ................. Na. 234-6 56Makampuni Zilizofutwa katika Daftari la Makampuni ............................... Na. 237-40 57Resolutions .............................................. Na. 241-2 57/8Voluntary winding up............................... Na. 243-4 58Maombi ya Vibali vya Kutumia Maji ..... Na. 245 58/62Police Report ........................................... Na. 246 62/3Uthibitisho na Usimamizi wa Mirathi ..... Na. 247 63Deed Poll on Change of Name ................ Na. 248 63Inventory of Unclaimed Property ......... Na. 249-51 64/9
KUAJIRIWA NA KUKABIDHIWA MADARAKA
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 201
OFISI YA RAIS-TAWALA ZA MIKOANA SERIKALI ZA MITAA
OFISI YA MKUU WA MKOA ARUSHA
Kuwa Mtekinolojia Maabara II kuanzia tarehe 01/12/2017
BW. ERNEST JOHN KAZUNGU
BW. MANILABONA HERMANA NONKO
Kuwa Mwandishi Mwendeshaji Ofisi II kuanzia tarehe01/11/2017SANGA OMARY KAWAMBWA
Kuwa Katibu Mahsusi II kuanzia tarehe 14/11/2017ROSE CHEDIEL SEBONDE
GAZETI LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA 23 Februari, 201850
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 202
Notice is hereby given that Regulations andNotices as set out below, have been issued and are pub-lished in Subsidiary Legislation Supplement No. 7 dated23rd February, 2018 to this number of the Gazette:-
Regulations under the Electronic and PostalCommunications (Central Equipment IdentificationRegisters) (Government Notice No. 55 of 2018).
Regulations under the Centre for AgriculturalMechanization and Rural Technology (AgriculturalMachinery and Rural Technology) (GovernmentNotice No. 56 of 2018).
Regulations under the Electronic and PostalCommunications (Licensing) (Government NoticeNo. 57 of 2018).
Regulations under the Electronic and PostalCommunications (Postal) (Government Notice No.58 of 2018).
Regulations under the Electronic and PostalCommunications (Access, Co-Location andInfrastructure Sharing) (Government Notice No. 59of 2018).
Regulations under the Electronic and PostalCommunications (Computer Emergency ResponseTeam) (Government Notice No. 60 of 2018).
Regulations under the Electronic and PostalCommunications (Consumer Protection)(Government Notice No. 61 of 2018).
Regulations under the Electronic and PostalCommunications (Electronic CommunicationNumbering and Addressing) (Government Notice No.62 of 2018).
Notice under the Standards (Declaration of StandardMarks (Government Notice No. 63 of 2018).
Notice under the Notification for the Grant of PlantBreeders’ Rights for Rice Variety TEJ VANG(Government Notice No. 64 of 2018).
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 203
KUPOTEA KWA HATI YA KUMILIKI ARDHISheria ya Uandikishaji wa Ardhi
(Sura 334)
Hati Nambari: 186253/44.Mmiliki aliyeandikishwa: AMINA ALI KILO.Ardhi: Kiwanja Na. 285, Kitalu “46” Kijitonyama, Dar
es Salaam City.Muombaji: AKIBA COMMERCIAL BANK PLC.
TAARIFA IMETOLEWA kwamba Hati ya kumiliki ardhiiliyotajwa hapo juu imepotea na ninakusudia kutoa Hatimpya badala yake iwapo hakuna kipingamizi kwa muda wamwezi mmoja tokea tarehe ya taarifa hii itakapotangazwakatika Gazeti la Serikali.
HATI YA ASILI ikionekana, irudishwe kwa Msajili waHati, S. L. P. 1191, Dar es Salaam.
Dar es Salaam, MPOKI MWALUFUNDA, 14 Februari, 2018 Msajili wa Hati Msaidizi
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 204
KUPOTEA KWA HATI YA KUMILIKI ARDHISheria ya Uandikishaji wa Ardhi
(Sura 334)
Hati Nambari: 46975.Mmiliki aliyeandikishwa: SADICK MRISHO WATUTA.Ardhi: Kiwanja Na. 55, Industrial Area Kibaha
Township.Muombaji: UBWA SADICK WATUTA.
TAARIFA IMETOLEWA kwamba Hati ya kumiliki ardhiiliyotajwa hapo juu imepotea na ninakusudia kutoa Hatimpya badala yake iwapo hakuna kipingamizi kwa muda wamwezi mmoja tokea tarehe ya taarifa hii itakapotangazwakatika Gazeti la Serikali.
HATI YA ASILI ikionekana irudishwe kwa Msajili wa Hati,S. L. P. 1191, Dar es Salaam.
Dar es Salaam, MPOKI MWALUFUNDA, 15 Februari, 2018 Msajili wa Hati Msaidizi
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 205
KUPOTEA KWA HATI YA KUMILIKI ARDHISheria ya Uandikishaji wa Ardhi
(Sura 334)
Hati Nambari: 104942.Mmiliki: MAJOR HENRY NYENYEMBE, S. L. P. 76243 DAR
ES SALAAM.Ardhi: Kiwanja Nambari 26 Kitalu ‘8’ Kibada Manispaa
ya Temeke.Aliyeleta: MAJOR HENRY NYENYEMBE OF S. L. P. 76243,
DAR ES SALAAM.
TAARIFA IMETOLEWA kwamba Hati ya kumiliki ardhiiliyotajwa hapo juu imepotea na ninakusudia kutoa Hatimpya badala yake iwapo hakuna kipingamizi kwa muda wamwezi mmoja tokea tarehe ya taarifa hii itakapotangazwakatika Gazeti la Serikali.
GAZETI LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA23 Februari, 2018 51
HATI YA ASILI ikionekana irudishwe kwa Msajili wa Hati,S. L. P. 1191, Dar es Salaam.
Dar es Salaam, BRENDA KURINGE, 14 Februari, 2018 Msajili wa Hati Msaidizi
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 206
KUPOTEA KWA HATI YA KUMILIKI ARDHISheria ya Usajili wa Ardhi
(Sura 334)
Hati Nambari: 26784 LR Mwanza.Mmiliki aliyeandikishwa: MECHTILDA NSHANGE OF
S. L. P. 10303 MWANZA.Ardhi: L. O. Na. 401900, Kiwanja Na. 541, Kitalu ‘5’
Nyamhongolo - Jijini Mwanza.Muombaji aliyeandikishwa: MECHTILDA NSHANGE OF
S. L. P. 10303, MWANZA.Eneo: Mita za mraba 478.
TAARIFA IMETOLEWA kwamba Hati ya kumiliki ardhiiliyotajwa hapo juu imepotea na ninakusudia kutoa Hatimpya badala yake iwapo hakuna kipingamizi chochote kwamuda wa mwezi mmoja tokea tarehe ya taarifa hii.
HATI YA ASILI ikionekana irudishwe kwa Ofisi ya Msajiliwa Hati, S. L. P. 1101, Mwanza.
Mwanza, IVAN AMURIKE, 18 Januari, 2018 Msajili wa Hati Msaidizi
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 207
KUPOTEA KWA HATI YA KUMILIKI ARDHISheria ya Uandikishaji wa Ardhi
(Sura 334)
Hati Nambari: 36906/18.Mmiliki aliyeandikishwa: YOAS GEORGE MALELA,
S. L. P. 1578, TABORA.Ardhi: Kiwanja Na. 143 Mtaa wa Makokola, Manispaa
ya Tabora.Muombaji: YOAS GEORGE MALELA.
TAARIFA IMETOLEWA kwamba Hati ya kumiliki ardhiiliyotajwa hapo juu imepotea na ninakusudia kutoa Hatimpya badala yake iwapo hakuna kipingamizi kwa muda wamwezi mmoja tokea tarehe ya taarifa hii.
HATI YA ASILI ikionekana, irudishwe kwa Msajili wa HatiMsaidizi, S. L. P. 1405, Tabora.
Tabora, APOLLO E. LAIZER, 28 Januari, 2018 Msajili wa Hati Msaidizi
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 208
KUPOTEA/KUUNGUA KWA LESENI YA MAKAZISheria ya Usajili wa Nyaraka
(Sura 117)
Leseni Nambari: TMK014020.Mmiliki aliyeandikishwa: URUKA KONDO KIZAHILO.Namba ya Eneo la Ardhi: TMK/CHB/NZSB40/28.Mwombaji: URUKA KONDO KIZAHILO.
TAARIFA IMETOLEWA kwamba leseni ya makazi tajwahapo juu imepotea na ninakusudia kutoa Nakala ya Leseniya Makazi iwapo hakuna kipingamizi kwa muda wa sikuishirini na nane (28) tokea tarehe ya taarifa hiiitakapotangazwa katika Gazeti la Serikali. Na isitumikekwa Dhamana ya aina yoyote ile.
LESENI YA MAKAZI YA ASILI ikionekana irudishwe kwaMsajili wa Nyaraka Msaidizi S. L. P. 46343 Temeke, Dares Salaam.
E. R. PALLANGYO,Msajili Msaidizi wa Nyaraka
Manispaa ya Temeke
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 209
KUPOTEA KWA BARUA YA TOLEO YA KUMILIKIARDHI
Sheria ya Ardhi Na. 4 ya Mwaka 1999
Barua ya Toleo yenye Kumb. No.: LD/135719/3/JKD.Mmiliki aliyeandikishwa: NICKSON M. TEMU P. O. BOX
61261 DAR ES SALAAM.Ardhi: Kiwanja Namba 1163, Kitalu ‘S’ Tabata,
Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam.Muombaji: NICKSON M. TEMU WA S. L. P. 61261, DAR
ES SALAAM.
TAARIFA INATOLEWA kwamba BARUA YA TOLEO YA
KUMILIKI ARDHI iliyotajwa hapo juu imepotea naninakusudia kutoa NAKALA HALISI YA BARUA YA TOLEO YA
KUMILIKI ARDHI iwapo hakuna pingamizi litakalotolewa kwamuda wa mwezi mmoja tangu tarehe ya taarifa hiiitakapotangazwa katika Gazeti la Serikali.
BARUA HALISI YA TOLEO ikipatikana, irudishwe kwaKamishna wa Ardhi, Wizara ya Ardhi Nyumba, naMaendeleo ya Makazi S. L. P. 9230, Dar es Salaam.
L. M. MSAFIRI,Kny: Kamishna wa Ardhi
GAZETI LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA 23 Februari, 201852
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 210
KUPOTEA KWA BARUA YA TOLEO YA KUMILIKIARDHI
Sheria ya Umilikishaji wa Ardhi ya Mwaka 1999
Barua ya Toleo yenye Kumb. Na.: LD/265547.Mmiliki aliyeandikishwa: NUSRAT SALIM KARAMA.Ardhi: Kiwanja Na. 39 Kitalu ‘20’ Kibada.Muombaji: SULEIMAN NASSOR HAMOUD.
TAARIFA INATOLEWA kwamba BARUA YA TOLEO YA
KUMILIKI ARDHI iliyotajwa hapo juu imepotea naninakusudia kutoa NAKALA HALISI YA BARUA YA TOLEO YA
KUMILIKI ARDHI iwapo hakuna pingamizi litakalotolewa kwamuda wa mwezi mmoja tangu tarehe ya taarifa hiiitakapotangazwa katika Gazeti la Serikali.
BARUA HALISI YA TOLEO ikipatikana, irudishwe kwaKamishna wa Ardhi, Wizara ya Ardhi Nyumba, naMaendeleo ya Makazi S. L. P. 9230, Dar es Salaam.
L. M. MSAFIRI,Kny: Kamishna wa Ardhi
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 211
KUPOTEA KWA BARUA YA TOLEO YA KUMILIKIARDHI
Sheria ya Ardhi Na. 4 ya Mwaka 1999
Barua ya Toleo yenye Kumb. Na.: LD/135718/3/JKD.Mmiliki aliyeandikishwa: TAABU SAID C/O CCM
TABATA DAR ES SALAAM
Ardhi: Kiwanja Namba 1162, Kitalu ‘S’ Tabata,Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam.
Muombaji: TAABU SAID WA S. L. P. 40839, DAR ES
SALAAM.
TAARIFA INATOLEWA kwamba BARUA YA TOLEO YA
KUMILIKI ARDHI iliyotajwa hapo juu imepotea naninakusudia kutoa NAKALA HALISI YA BARUA YA TOLEO YA
KUMILIKI ARDHI iwapo hakuna pingamizi litakalotolewa kwamuda wa mwezi mmoja tangu tarehe ya taarifa hiiitakapotangazwa katika Gazeti la Serikali.
BARUA HALISI YA TOLEO ikipatikana, irudishwe kwaKamishna wa Ardhi, Wizara ya Ardhi Nyumba, naMaendeleo ya Makazi S. L. P. 9230, Dar es Salaam.
L. M. MSAFIRI,Kny: Kamishna wa Ardhi
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 212
WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YAMAKAZI
Sheria ya Mahakama za Ardhi ya Mwaka 2002(SURA 216)
UTEUZI WA MWENYEKITI WA BARAZA LA ARDHINA NYUMBA LA WILAYA
TAARIFA (INSTRUMENT)Chini ya Kifungu cha 25(1)
Kwa mujibu wa Sheria ya Mahakama za Ardhi (Sura216) chini ya kifungu cha 25(1), ninakuteua kuwaMwenyekiti wa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya kwamuda wa miaka mitatu (3) kuanzia tarehe 26 Mei, 2017.
Mwenyekiti:1. DORIS WILSON MANGURE.2. JOSEPH TIMOTH KAARE.3. HEZRON ELLY MWIHAVA.4. CRISPIN HATSON MWASHAMBWA.
WILLIAM V. LUKUVI (MB.),Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 213
WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YAMAKAZI
Sheria ya Mahakama za Ardhi ya Mwaka 2002(SURA 216)
UTEUZI WA MWENYEKITI WA BARAZA LA ARDHINA NYUMBA LA WILAYA
TAARIFA (INSTRUMENT)Chini ya Kifungu cha 25(1)
Kwa mujibu wa Sheria ya Mahakama za Ardhi (Sura216) chini ya kifungu cha 25(1), ninakuteua kuwaMwenyekiti wa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya kwamuda wa miaka mitatu (3) kuanzia tarehe 04 Aprili, 2017.
Mwenyekiti:1. VICENT LING’WETU.2. MICHAEL RAPHAEL MAKOMBE.3. AMA MARIA KAPINGA.4. GLADNESS F. KAGARUKI.
WILLIAM V. LUKUVI (MB.),Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
GAZETI LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA23 Februari, 2018 53
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 214
WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YAMAKAZI
Sheria ya Mahakama za Ardhi ya Mwaka 2002(SURA 216)
UTEUZI WA MWENYEKITI WA BARAZA LA ARDHINA NYUMBA LA WILAYA
TAARIFA (INSTRUMENT)Chini ya Kifungu cha 25(1)
Kwa mujibu wa Sheria ya Mahakama za Ardhi (Sura216) chini ya kifungu cha 25(1), ninakuteua kuwaMwenyekiti wa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya kwamuda wa miaka mitatu (3) kuanzia tarehe 01 Septemba,2017.
Mwenyekiti:1. AMON RICHARD KIRUMBI.2. THADEUS WAGINE.
WILLIAM V. LUKUVI (MB.),Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 215
WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YAMAKAZI
Sheria ya Mahakama za Ardhi ya Mwaka 2002(SURA 216)
UTEUZI WA MWENYEKITI WA BARAZA LA ARDHINA NYUMBA LA WILAYA
TAARIFA (INSTRUMENT)Chini ya Kifungu cha 25(1)
Kwa mujibu wa Sheria ya Mahakama za Ardhi (Sura216) chini ya kifungu cha 25(1), ninakuteua kuwaMwenyekiti wa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya kwamuda wa miaka mitatu (3) kuanzia tarehe 01 Februari,2017.
Mwenyekiti:1. CHARLES T. MZAVA.
WILLIAM V. LUKUVI (MB.),Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 216
WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YAMAKAZI
Sheria ya Mahakama za Ardhi ya Mwaka 2002(SURA 216)
UTEUZI WA MWENYEKITI WA BARAZA LA ARDHINA NYUMBA LA WILAYA
TAARIFA (INSTRUMENT)Chini ya Kifungu cha 25(1)
Kwa mujibu wa Sheria ya Mahakama za Ardhi (Sura216) chini ya kifungu cha 25(1), ninakuteua kuwaMwenyekiti wa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya kwamuda wa miaka mitatu (3) kuanzia tarehe 23 Mei, 2017.
Mwenyekiti:1. EMMANUEL FRANCIS SULULU.
WILLIAM V. LUKUVI (MB.),Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 217
WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YAMAKAZI
Sheria ya Mahakama za Ardhi ya Mwaka 2002(SURA 216)
UTEUZI WA MWENYEKITI WA BARAZA LA ARDHINA NYUMBA LA WILAYA
TAARIFA (INSTRUMENT)Chini ya Kifungu cha 25(1)
Kwa mujibu wa Sheria ya Mahakama za Ardhi (Sura216) chini ya kifungu cha 25(1), ninakuteua kuwaMwenyekiti wa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya kwamuda wa miaka mitatu (3) kuanzia tarehe 27 Agosti, 2017.
Mwenyekiti:1. NORBERT NDIMBO.
WILLIAM V. LUKUVI (MB.),Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
GAZETI LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA54 23 Februari, 2018
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 218
WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YAMAKAZI
Sheria ya Mahakama za Ardhi ya Mwaka 2002(SURA 216)
UTEUZI WA MWENYEKITI WA BARAZA LA ARDHINA NYUMBA LA WILAYA
TAARIFA (INSTRUMENT)Chini ya Kifungu cha 25(1)
Kwa mujibu wa Sheria ya Mahakama za Ardhi (Sura216) chini ya kifungu cha 25(1), ninakuteua kuwaMwenyekiti wa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya kwamuda wa miaka mitatu (3) kuanzia tarehe 08 Aprili, 2017.
Mwenyekiti:1. MWENDWA MGULAMBWA.2. REUBEN S. S. MANDARI.3. REHEMA ADOLF MWAKIBUJA.4. MURIRYA NYARUKA.5. EMMANUEL MOGASA.
WILLIAM V. LUKUVI (MB.),Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 219
APPOINTMENT OF AUTHORIZED OFFICER(Under Section 11(5))
THE LAND ACT, 1999(NO. 4 OF 1999)
I, MARY GASPER MAKONDO, Commissoner for Landsin terms of Section 11 sub-section 5 of the Act HEREBY
AUTHORISE RAPHAEL GREGORY KILUMANGA of BuchosaDistrict Council to have jurisdiction as an AuthorizedOfficer to perform the functions as contained in the Land(Functions of Authorized Offecers) Regulations, 2001published in the Government Notice No. 76 of 4th May,2001.
TAKE NOTE: (i) This appointment is subject tothe instruction by the AssistantCommissioner for Lands inthe respective area assigningto your area of jurisdiction.
(ii) This appointment shall bewithdrawn by the Commissio-ner for Lands upon failureto perform satisfactorily thedelegated functions and/orupon performing unauthorizedfunctions.
(iii) The appointment previouslygranted is hereby withdrawn.
Dar es Salaam, MARY GASPER MAKONDO, 13th February, 2018 Commissioner for Lands
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 220
APPOINTMENT OF AUTHORIZED OFFICER(Under Section 11(5))
THE LAND ACT, 1999(NO. 4 OF 1999)
I, MARY GASPER MAKONDO, Commissoner for Landsin terms of Section 11 sub-section 5 of the Act HEREBY
AUTHORISE ATUPOKILE MWANDUMBYA ASTONY of BariadiTown Council to have jurisdiction as an AuthorizedOfficer to perform the functions as contained in the Land(Functions of Authorized Offecers) Regulations, 2001published in the Government Notice No. 76 of 4th May,2001.
TAKE NOTE: (i) This appointment is subject tothe instruction by the AssistantCommissioner for Lands inthe respective area assigningto your area of jurisdiction.
(ii) This appointment shall bewithdrawn by the Commissio-ner for Lands upon failure toperform satisfactorily thedelegated functions and/orupon performing unauthorizedfunctions.
(iii) The appointment previouslygranted is hereby withdrawn.
Dar es Salaam, MARY GASPER MAKONDO, 13th January, 2018 Commissioner for Lands
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 221
KAMPUNI ILIYOBADILISHA JINASheria ya Makampuni
(NA. 12 YA 2002)
Inatolewa ilani chini ya kifungu cha 31(3) cha Sheriaya Makampuni kwamba Kampuni iliyokuwa inaitwaMKUNDI PROMOTIONS COMPANY LIMITED imebadilisha jinamnamo tarehe 9 Februari, 2018 na kwamba sasa inaitwaZANA AFRICA LIMITED.
R. J. KITAMBI,Msajili Msaidizi Mwandamizi wa Makampuni
GAZETI LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA23 Februari, 2018 55
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 222
KAMPUNI ILIYOBADILISHA JINASheria ya Makampuni
(NA. 12 YA 2002)
Inatolewa ilani chini ya kifungu cha 31(3) cha Sheriaya Makampuni kwamba Kampuni iliyokuwa inaitwa AXIS
CORPORATE SERVICES TANZANIA LIMITED imebadilisha jinamnamo tarehe 9 Februari, 2018 na kwamba sasa inaitwaAPEX CORPORATE SERVICES TANZANIA LIMITED.
R. J. KITAMBI,Msajili Msaidizi Mwandamizi wa Makampuni
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 223
KAMPUNI ILIYOBADILISHA JINASheria ya Makampuni
(NA. 12 YA 2002)
Inatolewa ilani chini ya kifungu cha 31(3) cha Sheriaya Makampuni kwamba Kampuni iliyokuwa inaitwa GCSTANZANIA LIMITED imebadilisha jina mnamo tarehe 6Februari, 2018 na kwamba sasa inaitwa GREEN LIGHT
PLANET TANZANIA LIMITED.
S. KASERA,Msajili Msaidizi Mkuu wa Makampuni
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 224
KAMPUNI ILIYOBADILISHA JINASheria ya Makampuni
(NA. 12 YA 2002)
Inatolewa ilani chini ya kifungu cha 31(3) cha Sheriaya Makampuni kwamba Kampuni iliyokuwa inaitwa ALEB
INSURANCE SERVICES (T) LIMITED imebadilisha jina mnamotarehe 9 Februari, 2018 na kwamba sasa inaitwa ALEB
INSURANCE AGENCY LIMITED.
R. J. KITAMBI,Msajili Msaidizi Mwandamizi wa Makampuni
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 225
KAMPUNI ILIYOBADILISHA JINASheria ya Makampuni
(NA. 12 YA 2002)
Inatolewa ilani chini ya kifungu cha 31(3) cha Sheriaya Makampuni kwamba Kampuni iliyokuwa inaitwaCEMENT DISTRIBUTORS (E. A) LIMITED imebadilisha jinamnamo tarehe 7 Februari, 2018 na kwamba sasa inaitwaTANGA CEMENT SUPPLY SOLUTIONS LIMITED.
S. KASERA,Msajili Msaidizi Mkuu wa Makampuni
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 226
KAMPUNI ILIYOBADILISHA JINASheria ya Makampuni
(NA. 12 YA 2002)
Inatolewa ilani chini ya kifungu cha 31(3) cha Sheriaya Makampuni kwamba Kampuni iliyokuwa inaitwaMOUNT SINAI TEACHERS TRAINING COLLEGE COMPANY
LIMITED imebadilisha jina mnamo tarehe 5 Februari, 2018na kwamba sasa inaitwa MOUNT SINAI NURSERY AND
PRIMARY SCHOOL LIMITED.
S. KASERA,Msajili Msaidizi Mkuu wa Makampuni
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 227
KAMPUNI ILIYOBADILISHA JINASheria ya Makampuni
(NA. 12 YA 2002)
Inatolewa ilani chini ya kifungu cha 31(3) cha Sheriaya Makampuni kwamba Kampuni iliyokuwa inaitwa SAFARI
EXPATRIATE LIMITED imebadilisha jina mnamo tarehe 7Februari, 2018 na kwamba sasa inaitwa SAFARI NAVEL
LIMITED.
S. KASERA,Msajili Msaidizi Mkuu wa Makampuni
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 228
KAMPUNI ILIYOBADILISHA JINASheria ya Makampuni
(NA. 12 YA 2002)
Inatolewa ilani chini ya kifungu cha 31(3) cha Sheriaya Makampuni kwamba Kampuni iliyokuwa inaitwa KADILI
MINING LIMITED imebadilisha jina mnamo tarehe 24Januari, 2018 na kwamba sasa inaitwa KADIDI MINING
LIMITED.
R. J. KITAMBI,Msajili Msaidizi Mwandamizi wa Makampuni
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 229
KAMPUNI ILIYOBADILISHA JINASheria ya Makampuni
(NA. 12 YA 2002)
Inatolewa ilani chini ya kifungu cha 31(3) cha Sheriaya Makampuni kwamba Kampuni iliyokuwa inaitwa ADTOURS COMPANY LIMITED imebadilisha jina mnamo tarehe9 Februari, 2018 na kwamba sasa inaitwa AD COMPANY
LIMITED.
S. KASERA,Msajili Msaidizi Mwandamizi wa Makampuni
GAZETI LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA 23 Februari, 201856
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 230
KAMPUNI ILIYOBADILISHA JINASheria ya Makampuni
(NA. 12 YA 2002)
Inatolewa ilani chini ya kifungu cha 31(3) cha Sheriaya Makampuni kwamba Kampuni iliyokuwa inaitwaPORTFOLIO FINANCES LIMITED imebadilisha jina mnamotarehe 6 Februari, 2018 na kwamba sasa inaitwa PORTFOLIO
ONE LIMITED.
S. KASERA,Msajili Msaidizi Mwandamizi wa Makampuni
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 231
KAMPUNI ILIYOBADILISHA JINASheria ya Makampuni
(NA. 12 YA 2002)
Inatolewa ilani chini ya kifungu cha 31(3) cha Sheriaya Makampuni kwamba Kampuni iliyokuwa inaitwaGOLDENSIA TRAVEL LIMITED imebadilisha jina mnamo tarehe8 Februari, 2018 na kwamba sasa inaitwa LAVANO TRAVEL
AND TOURS LIMITED.
E. KAKWEZI,Msajili Msaidizi Mwandamizi wa Makampuni
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 232
KAMPUNI ILIYOBADILISHA JINASheria ya Makampuni
(NA. 12 YA 2002)
Inatolewa ilani chini ya kifungu cha 31(3) cha Sheriaya Makampuni kwamba Kampuni iliyokuwa inaitwaHOWARD HUMPHREYS (TANZANIA) LIMITED imebadilishajina mnamo tarehe 12 Februari, 2018 na kwamba sasainaitwa ATKINS TANZANIA LIMITED.
S. KASERA,Msajili Msaidizi Mwandamizi wa Makampuni
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 233
KAMPUNI ILIYOBADILISHA JINASheria ya Makampuni
(NA. 12 YA 2002)
Inatolewa ilani chini ya kifungu cha 31(3) cha Sheriaya Makampuni kwamba Kampuni iliyokuwa inaitwa POWER
HITS STATION COMPANY LIMITED imebadilisha jina mnamotarehe 13 Februari, 2018 na kwamba sasa inaitwa MEGA
MEDIA GROUP COMPANY LIMITED.
S. KASERA,Msajili Msaidizi Mwandamizi wa Makampuni
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 234
KAMPUNI INAYOTARAJIWA KUFUTWA KATIKADAFTARI LA MAKAMPUNI
Sheria ya Makampuni(NA. 12 YA 2002)
Inatolewa ilani chini ya kifungu cha 400(3) cha Sheriaya Makampuni kwamba Kampuni ifuatayo itafutwa katikadaftari la Makampuni iwapo hakutatokea kipingamizichochote baada ya siku 90 kupita tokea tarehe ya ilanihii:-
TAMBEC LIMITED
R. J. KITAMBI,Msajili Msaidizi Mkuu wa Makampuni
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 235
KAMPUNI INAYOTARAJIWA KUFUTWA KATIKADAFTARI LA MAKAMPUNI
Sheria ya Makampuni(NA. 12 YA 2002)
Inatolewa ilani chini ya kifungu cha 400(3) cha Sheriaya Makampuni kwamba Kampuni ifuatayo itafutwa katikadaftari la Makampuni iwapo hakutatokea kipingamizichochote baada ya siku 90 kupita tokea tarehe ya ilanihii:-
PNEUMATICI LIMITED
S. KASERA,Msajili Msaidizi Mwandamizi wa Makampuni
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 236
KAMPUNI INAYOTARAJIWA KUFUTWA KATIKADAFTARI LA MAKAMPUNI
Sheria ya Makampuni(NA. 12 YA 2002)
Inatolewa ilani chini ya kifungu cha 400(3) cha Sheriaya Makampuni kwamba Kampuni ifuatayo itafutwa katikadaftari la Makampuni iwapo hakutatokea kipingamizichochote baada ya siku 90 kupita tokea tarehe ya ilanihii:-
SAUTI YA UZIMA RADIO COMPANY LIMITED
S. KASERA,Msajili Msaidizi Mwandamizi wa Makampuni
GAZETI LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 237
KAMPUNI ILIYOFUTWA KATIKA DAFTARI LAMAKAMPUNI
Sheria ya Makampuni(NA. 12 YA 2002)
Inatolewa ilani chini ya kifungu cha 400(5) cha Sheriaya Makampuni kwamba Kampuni ifuatayo imefutwa katikadaftari la Makampuni tokea tarehe ya ilani hii:-
A. G. B. INVESTMENTS LIMITED
S. KASERA,Msajili Msaidizi Mwandamizi wa Makampuni
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 238
KAMPUNI ILIYOFUTWA KATIKA DAFTARI LAMAKAMPUNI
Sheria ya Makampuni(NA. 12 YA 2002)
Inatolewa ilani chini ya kifungu cha 400(5) cha Sheriaya Makampuni kwamba Kampuni ifuatayo imefutwa katikadaftari la Makampuni tokea tarehe ya ilani hii:-
BERGER MANAGEMENTS SERVICES LIMITED
S. KASERA,Msajili Msaidizi Mwandamizi wa Makampuni
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 239
KAMPUNI ILIYOFUTWA KATIKA DAFTARI LAMAKAMPUNI
Sheria ya Makampuni(NA. 12 YA 2002)
Inatolewa ilani chini ya kifungu cha 400(5) cha Sheriaya Makampuni kwamba Kampuni ifuatayo imefutwa katikadaftari la Makampuni tokea tarehe ya ilani hii:-
KINONDONI SUITES LIMITED
S. KASERA,Msajili Msaidizi Mwandamizi wa Makampuni
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 240
KAMPUNI ILIYOFUTWA KATIKA DAFTARI LAMAKAMPUNI
Sheria ya Makampuni(NA. 12 YA 2002)
Inatolewa ilani chini ya kifungu cha 400(5) cha Sheriaya Makampuni kwamba Kampuni ifuatayo imefutwa katikadaftari la Makampuni tokea tarehe ya ilani hii:-
MARG HOLDINGS LIMITED
S. KASERA,Msajili Msaidizi Mwandamizi wa Makampuni
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 241
IN THE MATTER OF THE COMPANIES ACTCAP. 212 R. E. 2002
IN THE MATTER OF BRITE CHEMICALS(TANZANIA) LIMITED
RE: NOTICE OF EXTRAORDINARY RESOLUTION
It is hereby notified to general public that on the 10th
day of August, 2015 the shareholders of Brite Chemicals(Tanzania) Limited resolved by special resolution thatthe company be would up voluntarily on the ground that,the said company cannot, by reason of its liabilities,continue its business. MR. GABRIEL BARTHOLOMEW
MASINGA, Advocate of Vam Associates (Advocates), NICLife House Building, 4th Floor Wing “C” Sokoine Drive/Ohio Street, P. O. Box 32620, Dar es Salaam, wasappointed Liquidator for the purposes of winding up theaffairs and distributing the assets of the company.
Signed at Dar es Salaam this 13th November, 2015.
...............................................................GABRIEL BARTHOLOMEW MASINGA
(Advocate)
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 242
AJMAN CULTURAL ARTS AND EXPORT LIMITEDP. O. BOX 647, ARUSHA - TANZANIA
EXTRACT OF THE RESOLUTIONS OF AN EXTRA-ORDINARY
GENERAL MEETING OF THE MEMBERS OF AJMAN CULTURAL
ARTS AND EXPORT LIMITED HELD AT THE REGISTERED OFFICES
ON THE 1ST DAY OF NOVEMBER, 2017; THE FOLLOWING
RESOLUTIONS WERE DULY PASSED:
SPECIAL RESOLUTION
At an Extra-Ordinary General Meeting the Shareholdersof Ajman Cultural Arts and Export Limited, it wasresolved that:-
(1) That the Company be wound up voluntarilyeffective from 1st day of Novemeber, 2017.
(2) That MR. WILFRED MAWALLA OF MAWALLA
Advocates be appointed as the liquidator for thepurpose of winding up the affairs and distributingassets of the Company.
We, the undersigned authorized representatives of theshareholders of the company; hereby certify the foregoing
23 Februari, 2018 57
GAZETI LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
to be a true and bona fide resolution passed by theCompany on the 1st day of November, 2017.
Name: SAIFUDIN MOHAMEDALI KHANBHAI,Signature: ...................................,Designation: DIRECTOR,Date: 1ST NOVEMBER, 2017.
Name: HUSSEIN FAKHRUDIN AMIJEE,Signature: ....................................,Designation: COMPANY SECRETARY,Date: 1ST NOVEMBER, 2017.
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 243
AJMAN CULTURAL ARTS AND EXPORT LIMITED(UNDER VOLUNTARY LIQUIDATION)
NOTICE IS HEREBY GIVEN to all Creditors and Debtorsof Ajman Cultural Arts and Export Limited and theGeneral Public that Ajman Cultural Arts and ExportLimited is undergoing Voluntary Liquidation under theappointed liquidator WILFRED MAWALLA (ADVOCATE).
All debtors of the company and all persons holding intheir possession any asset/properties of the company topay their debts to the liquidator at the address below notlater than 12:00 noon 12th day of March, 2018 and tosurrender the assets and the said properties to theliquidator at the address below not later that 12:00 noon12th day of March, 2018. All creditors of the companyare hereby given notice that they should submit their claimswith supporting documents to the liquidator at the addressbelow not later than 12:00 noon 12th day of March, 2018without fail.
.........................................................WILFRED MAWALLA (ADVOCATE)
The Liquidator
Mawalla Road Mawalla Heritage Park,Mawalla Law Offices Plot No. 175/20,Arusha Tanzania P. O. Box 6101,Telephone/Facsimile: +255 732 972 468,Cellular: +255 787 050006,Electronic mail [email protected]
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 244
IN THE MATTER OF VOLUNTARY WINDING UP OFAJMAN CULTURAL ARTS & EXPORT LIMITED
(COMPANY)
IN THE MATTER OF THE COMPANIES ACTNO. 12 OF 2002
AND
IN THE MATTER OF THE COMPANIES(INSOLVENCY RULES)
(Made under rule 335(2) Companies (Insolvency) Rules)
CERTIFICATE OF APPOINTMENT OF LIQUIDATOR
That is to certify that the meeting of the members ofthe Company held at Arusha-Tanzania the 31st day ofOctober, 2017, WILFRED MAWALLA, of Mawalla Advocateslocated at Mawalla Road, Mawalla Heritage Park, MawallaCorporate Centre, Plot No. 175/12, P. O. Box 6101, Arusha -Tanzania, provided a written statement, that he is qualifiedto act as an insolvency practitioner in relation to theCompany under the provisions of the Companies Act No.12 of 2002 and that he consented so to act and wasappointed liquidator of the Company.
Dated at Arusha this 31st day of October, 2017.
.............................................................Name: SAIFUDIN MOHAMEDALI KHANBHAI,Position: Chairman
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 245
WIZARA YA MAJI NA UMWAGILIAJI
YAH: MAOMBI YA VIBALI VYA KUTUMIA MAJI
Tunaomba kutangazwa kwenye Gazeti la Serikalimaombi yafuatayo ya vibali vya kutumia maji. Kama kunawatu ambao wanafikiri wanaweza kuathirika kwa maombihaya, ambao wangependa kutoa pingamizi na maelezo yao,wanapaswa kufanya hivyo kufuatana na vifungu vya Sheriaya Usimamizi wa Rasilimali za Maji Namba 11 ya mwaka2009.
Pingamizi na maelezo yoyote ya namna hiyo pamojana sababu zake kamili, lazima zimfikie Afisa wa Maji,Bonde la Wami/Ruvu ndani ya siku arobaini (40) tangutarehe ya kutangazwa taarifa hii katika Gazeti la Serikali.
23 Februari, 201858
GAZETI LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
ORODHA YA MAJINA YA MAOMBI YA VIBALIVYA MATIMZI YA MAJI
1. Ombi Na: 21100405Mwombaji : KatibuMmiliki : KUJIKOMBOAWilaya : Halmashauri ya Wilaya ya
MorogoroChanzo cha maji: Mto NgerengereMahali kilipo : Mtaa wa Konga (Simu Na:
0718 662316)Habari kamili : Kuchukua kwa pampu kiasi
cha lita 5,000 kwa siku kwamatumizi ya Umwagiliaji.
2. Ombi Na: 21100406Mwombaji : Evelini Mlegue DimossoMmiliki : Evelini Mlegue DimossoWilaya : Halmashauri ya Wilaya ya
MvomeroChanzo cha maji: Mto LukurungeMahali kilipo : Tangeni (Simu Na: 0718
144833)Habari kamili : Kuchukua kwa pampu kiasi
cha lita 1,000 kwa siku kwamatumizi ya Ufugaji Samaki.
3. Ombi Na: 21100407Mwombaji : MkurugenziMmiliki : Tiffany Diamond HotelWilaya : Halmashauri ya Manispaa ya
IlalaChanzo cha maji: KisimaMahali kilipo : Kisutu (Simu Na: +255 22 21
21201/2/4, +255 752 052014)
Habari kamili : Kuchukua kwa pampu kiasicha lita 20,000 kwa siku kwamatumizi ya Hotelini.
4. Ombi Na: 21100408Mwombaji : MkurugenziMmiliki : Easy Network LTDWilaya : Halmashauri ya Manispaa ya
TemekeChanzo cha maji: Kisima Na. 1Mahali kilipo : Maganga Block J (Simu Na:
0714 628505)Habari kamili : Kuchukua kwa pampu kiasi
cha lita 2,000 kwa siku kwamatumizi ya Nyumbani.
5. Ombi Na: 21100409Mwombaji : MkurugenziMmiliki : Easy Network LTDWilaya : Halmashauri ya Manispaa ya
23 Februari, 2018 59
TemekeChanzo cha maji: Kisima Na. 2Mahali kilipo : Maganga Block G (Simu Na:
0714 628505)Habari kamili : Kuchukua kwa pampu kiasi
cha lita 2,000 kwa siku kwamatumizi ya Nyumbani.
6. Ombi Na: 21100410Mwombaji : MkurugenziMmiliki : Easy Network LTDWilaya : Halmashauri ya Manispaa ya
TemekeChanzo cha maji: Kisima Na. 3Mahali kilipo : Maganga Block E (Simu Na:
0714 628505)Habari kamili : Kuchukua kwa pampu kiasi
cha lita 2,000 kwa siku kwamatumizi ya Nyumbani.
7. Ombi Na: 21100411Mwombaji : Nicholas Benedict ShayoMmiliki : Nicholas Benedict ShayoWilaya : Halmashauri ya Manispaa ya
MorogoroChanzo cha maji: KisimaMahali kilipo : Mtaa wa Kihonda-Godes
(Simu Na: +255 754 314053)Habari kamili : Kuchukua kwa pampu kiasi
cha lita 5,000 kwa siku kwamatumizi ya Nyumbani.
8. Ombi Na: 21100412Mwombaji : Mzinga CorporationMmiliki : Mzinga CorporationWilaya : Halmashauri ya Manispaa ya
MorogoroChanzo cha maji: KisimaMahali kilipo : Mtaa wa Kilala (Simu Na:
+255 232604371)Habari kamili : Kuchukua kwa pampu kiasi
cha lita 240,000 kwa siku kwamatumizi ya Umwagiliaji.
9. Ombi Na: 21100413Mwombaji : Mzinga CorporationMmiliki : Mzinga CorporationWilaya : Halmashauri ya Manispaa ya
MorogoroChanzo cha maji: KisimaMahali kilipo : Mtaa wa Kilala (Simu Na:
+255 232604371)Habari kamili : Kuchukua kwa pampu kiasi
cha lita 290,000 kwa siku kwamatumizi ya Umwagiliaji.
10. Ombi Na: 21100414Mwombaji : Kikundi cha Umwagiliaji
Ilonga
GAZETI LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA 23 Februari, 201860
Mmiliki : Kikundi cha UmwagiliajiIlonga
Wilaya : Halmashauri ya Wilaya yaKilosa
Chanzo cha maji: Mto IlongaMahali kilipo : Ilonga/Chanzuru (Simu Na:
0789 055750)Habari kamili : Kuchukua kwa pampu kiasi
cha lita 1,008,000 kwa sikukwa matumizi ya Umwagiliaji.
11. Ombi Na: 21100415Mwombaji : Zonal Director ARI-IlongaMmiliki : Zonal Director ARI-IlongaWilaya : Halmashauri ya Wilaya ya
KilosaChanzo cha maji: Mto IlongaMahali kilipo : Ilonga (Simu Na: +255 232
623201)Habari kamili : Kuchukua kwa pampu kiasi
cha lita 400,000 kwa siku kwamatumizi ya Umwagiliaji.
12. Ombi Na: 21100416Mwombaji : Zonal Director ARI-IlongaMmiliki : Zonal Director ARI-IlongaWilaya : Halmashauri ya Wilaya ya
KilosaChanzo cha maji: Mto IlongaMahali kilipo : Ilonga (Simu Na: +255 232
623201)Habari kamili : Kuchukua kwa pampu kiasi
cha lita 10,000 kwa siku kwamatumizi ya Nyumbani.
13. Ombi Na: 21100417Mwombaji : MkulimaMmiliki : Samwel Leonard MalekelaWilaya : Halmashauri ya Wilaya ya
MorogoroChanzo cha maji: Mto BigwaMahali kilipo : Bigwa Kisiwani (Simu Na:
+255 753 057 424)Habari kamili : Kuchukua kwa pampu kiasi
cha lita 10,000 kwa siku kwamatumizi ya Umwagiliaji.
14. Ombi Na: 21100418Mwombaji : Charles Wilson MunisMmiliki : Charles Wilson MunisWilaya : Halmashauri ya Manispaa ya
MorogoroChanzo cha maji: KisimaMahali kilipo : Area Five-Nanenane (Simu Na:
+255 715 404836)Habari kamili : Kuchukua kwa pampu kiasi
cha lita 2,000 kwa siku kwamatumizi ya Nyumbani.
15. Ombi Na: 21100419Mwombaji : Shafii O. MwendaMmiliki : Shafii O. MwendaWilaya : Halmashauri ya Manispaa ya
MorogoroChanzo cha maji: Kisima
Mahali kilipo : Area five-Nanenane (Simu Na.+255 715 011246)
Habari kamili : Kuchukua kwa pampu kiasicha lita 5,000 kwa siku kwamatumizi ya Nyumbani.
16. Ombi Na: 21100420Mwombaji : Andrew Frank MsumenoMmiliki : Andrew Frank MsumenoWilaya : Halmashauri ya Manispaa ya
MorogoroChanzo cha maji: KisimaMahali kilipo : Mindu (Simu Na: +255 713
536306)Habari kamili : Kuchukua kwa pampu kiasi
cha lita 5,000 kwa siku kwamatumizi ya Nyumbani.
17. Ombi Na: 21100421Mwombaji : MkurugenziMmiliki : Malmo Development
Company LimitedWilaya : Halmashauri ya Manispaa ya
TemekeChanzo cha maji: KisimaMahali kilipo : Tuangoma (Simu Na: +255
22 2110847, +255 765 030540)
Habari kamili : Kuchukua kwa pampu kiasicha lita 5,000 kwa siku kwamatumizi ya Kiwandani.
18. Ombi Na: 21100422Mwombaji : MkurugenziMmiliki : Imperial Packaging LimitedWilaya : Halmashauri ya Manispaa ya
TemekeChanzo cha maji: KisimaMahali kilipo : Keko Mwanga (Simu Na:
+255 787 228284)Habari kamili : Kuchukua kwa pampu kiasi
cha lita 1,000 kwa siku kwamatumizi ya Nyumbani.
19. Ombi Na: 21100423Mwombaji : MkurugenziMmiliki : Valley View HostelWilaya : Halmashauri ya Manispaa ya
IlalaChanzo cha maji: Kisima
GAZETI LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA23 Februari, 2018 61
Mahali kilipo : Mtaa wa Kongo/Matumbi B(Simu Na: +255 716 678041)
Habari kamili : Kuchukua kwa pampu kiasicha lita 10,000 kwa siku kwamatumizi ya Hosteli.
20. Ombi Na: 21100424Mwombaji : MkurugenziMmiliki : Al-Muntazir Girls Primary
SchoolWilaya : Halmashauri ya Manispaa ya
IlalaChanzo cha maji: KisimaMahali kilipo : Barabara ya UN/Mtaa wa
Charambe (Simu Na: +25522 2150161, +255 713 193473)
Habari kamili : Kuchukua kwa pampu kiasicha lita 3,000 kwa siku kwamatumizi ya Huduma za Jamii.
21. Ombi Na: 21100425Mwombaji : MkurugenziMmiliki : Al-Muntazir Union Nursery
SchoolWilaya : Halmashauri ya Manispaa ya
IlalaChanzo cha maji: KisimaMahali kilipo : Mtaa wa Kipalapala (Simu Na:
+255 22 2150161, +255 713193473)
Habari kamili : Kuchukua kwa pampu kiasicha lita 3,000 kwa siku kwamatumizi ya Huduma za Jamii.
22. Ombi Na: 21100426Mwombaji : MkurugenziMmiliki : Al-Muntazir Boys Primary
SchoolWilaya : Halmashauri ya Manispaa ya
IlalaChanzo cha maji: KisimaMahali kilipo : Barabara ya Barack Obama/
Sea View (Simu Na: +255 222150161, +255 713193473)
Habari kamili : Kuchukua kwa pampu kiasicha lita 3,000 kwa siku kwamatumizi ya Huduma za Jamii.
23. Ombi Na: 21100427Mwombaji : Romuli Frederick MtuiMmiliki : Romuli Frederick MtuiWilaya : Halmashauri ya Manispaa ya
IlalaChanzo cha maji: KisimaMahali kilipo : Kibeberu-Kitunga Mzinga
(Simu Na: +255 767 862509,
+255 713 862509)Habari kamili : Kuchukua kwa pampu kiasi
cha lita 8,000 kwa siku kwamatumizi ya Biashara.
24. Ombi Na: 21100428Mwombaji : Rashid Selemani S. SinganoMmiliki : Rashid Selemani S. SinganoWilaya : Halmashauri ya Manispaa ya
IlalaChanzo cha maji: KisimaMahali kilipo : Mtaa wa Aggrey Simu Na:
(Simu Na: +255 784 932612,+255 715 379178)
Habari kamili : Kuchukua kwa pampu kiasicha lita 10,000 kwa siku kwamatumizi ya Biashara.
25. Ombi Na: 21100429Mwombaji : MkurugenziMmiliki : Kitia Guest HouseWilaya : Halmashauri ya Manispaa ya
UbungoChanzo cha maji: KisimaMahali kilipo : Ubungo NHC (Simu Na: +255
754 544917)Habari kamili : Kuchukua kwa pampu kiasi
cha lita 2,000 kwa siku kwamatumizi ya Hotelini.
26. Ombi Na: 21100430Mwombaji : Mkurugenzi MkuuMmiliki : Kagame HotelWilaya : Halmashauri ya Manispaa ya
UbungoChanzo cha maji: KisimaMahali kilipo : Ubungo NHC (Simu Na: +255
654 251009, +255 784 716625)
Habari kamili : Kuchukua kwa pampu kiasicha lita 5,000 kwa siku kwamatumizi ya Hotelini.
27. Ombi Na: 21100431Mwombaji : Simon Nicolao OrindaMmiliki : Simon Nicolao OrindaWilaya : Halmashauri ya Manispaa ya
UbungoChanzo cha maji: KisimaMahali kilipo : Ubungo RUBADA (Simu Na:
+255 754 291723)Habari kamili : Kuchukua kwa pampu kiasi
cha lita 2,000 kwa siku kwamatumizi ya Hotelini.
28. Ombi Na: 21100432Mwombaji : MkurugenziMmiliki : Kibadamo Hotel
GAZETI LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA 23 Februari, 201862
Wilaya : Halmashauri ya Manispaa yaUbungo
Chanzo cha maji: KisimaMahali kilipo : Ubungo NHC (Simu Na: +255
754 384853)Habari kamili : Kuchukua kwa pampu kiasi
cha lita 2,000 kwa siku kwamatumizi ya Hotelini.
29. Ombi Na: 21100433Mwombaji : Thobias Leon MoshiMmiliki : Thobias Leon MoshiWilaya : Halmashauri ya Manispaa ya
UbungoChanzo cha maji: KisimaMahali kilipo : Ubungo NHC (Simu Na: +255
715 264890, +255 767 264890)
Habari kamili : Kuchukua kwa pampu kiasicha lita 3,000 kwa siku kwamatumizi ya Hotelini.
30. Ombi Na: 21100434Mwombaji : MkurugenziMmiliki : Ras Kutan Beach Resort LTDWilaya : Halmashauri ya Manispaa ya
KigamboniChanzo cha maji: KisimaMahali kilipo : Amani Gomvu (Simu Na:
+255 787 164266)Habari kamili : Kuchukua kwa pampu kiasi
cha lita 3,000 kwa siku kwamatumizi ya Hotelini.
31. Ombi Na: 21100435Mwombaji : MkurugenziMmiliki : Tanzania International
Petroleum Reserve LTD(TIPER)
Wilaya : Halmashauri ya Manispaa yaKigamboni
Chanzo cha maji: Mto UvumbaMahali kilipo : Vijibweni Industrial Area
(Simu Na: +255 752 266691,+255 714 112609)
Habari kamili : Kuchukua kwa pampu kiasicha lita 5,000 kwa siku kwamatumizi ya Kiwandani.
32. Ombi Na: 21100436Mwombaji : Abdulrahman Salmin MushiMmiliki : Abdulrahman Salmin MushiWilaya : Halmashauri ya Manispaa ya
KigamboniChanzo cha maji: KisimaMahali kilipo : Vikindu Kamegere (Simu Na:
+255 682 189601, +255 655876967)
Habari kamili : Kuchukua kwa pampu kiasicha lita 8,000 kwa siku kwamatumizi ya Biashara.
33. Ombi Na: 21100437Mwombaji : Mkurugenzi MtendajiMmiliki : Kiluwa Steel Group Co. LTDWilaya : Halmashauri ya Wilaya KibahaChanzo cha maji: KisimaMahali kilipo : Kisunyala-Mlandizi (Simu Na:
+255 622 667788, +255 715087045)
Habari kamili : Kuchukua kwa pampu kiasicha lita 20,000 kwa siku kwamatumizi ya Kiwandani.
34. Ombi Na: 21100438Mwombaji : MenejaMmiliki : Elizabeth E. MassaweWilaya : Halmashauri ya Manispaa ya
UbungoChanzo cha maji: KisimaMahali kilipo : Sinza D kwa Mrema (Simu Na:
+255 754 312428)Habari kamili : Kuchukua kwa pampu kiasi
cha lita 5,000 kwa siku kwamatumizi ya Hotelini.
35. Ombi Na: 21100439Mwombaji : Hamidu Mahamudu SaidiMmiliki : Hamidu Mahamudu SaidiWilaya : Halmashauri ya Manispaa ya
UbungoChanzo cha maji: KisimaMahali kilipo : Marobo-Goba (Simu Na:
+255 715 516761)Habari kamili : Kuchukua kwa pampu kiasi
cha lita 5,000 kwa siku kwamatumizi ya Biashara.
Nashukuru kwa ushirikiano
AHMED M. KAMBONA,Kny: Afisa wa Maji
Bonde la Wami/Ruvu
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 246
MINISTRY OF HOME AFFAIRSTANZANIA POLICE FORCE
POLICE REPORT/INITIAL/FINAL
Ref: No. KAH/RB/ISA/RB/30/018
TO WHOM IT MAY CONCERN
This is certify that MR. MADATA M. MGEJA, reported
GAZETI LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA23 Februari, 2018 63
to this Police Station that on 18th day of January, 2018 atabout 18:30 hrs along Isaka in Kahama District the un-der mentioned items were.
Lost/Stolen: Amepoteza Cheti cha Kidato cha NneKilichotolewa na Baraza la Mitihani la Tanzania mwaka2004 chenye No. SO305-0050. Buluba Sec. School.
(1) No arrest or recovery has been made
ERV No. 19541121/018
........................................................................................Officer incharge-Kahama Police Station
Shinyanga
NB: 1. The Police not in any ways verify to correctnessof this report burden which solely with theSupporter.
2. The Police Station in any way be boldresponsible for any loss damage what so overwhich may occur us a result of this report.
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 247
USIMAMIZI WA MIRATHI FORM 11(S. M. M 1984 NYONGEZA YA 5 KANUNI 2)
Katika Mahakama ya Mwanzo Sinza/Manzese
USIMAMIZI WA MIRATHI NA. 27/2018
Ombi la Agatha S. Msangameno kuteuliwa msimamiziwa mirathi ya marehemu Samson J. Njogoro.
Kwa yeyote anayehusika: ...........................................
Watu wote wanaodaiwa kuwa na uhusiano wowote namirathi ya marehemu huyo wanaalikwa kuja kuhudhuriakesi wakitaka mnamo tarehe 20/03/2018 kabla huyomwombaji hajateuliwa kuwa msimamizi wa mirathi hiyo.
Wosia wa Marehemu upo Mahakamani wawezakukaguliwa.
Tarehe: 12 Februari, 2018.
....................................Sahihi ya Hakimu
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 248
STATUTORY DECLARATION
I, ASHOK BAWA DIVECHA adult, Hindu and resident ofDar es Salaam do solemnly AFFIRM and sincerely declareas follows:-
1. That I am also known by other variations of myname being:(i) ASHOKLAL BAWA KARA;(ii) ASHOK BAWA KARA DIVECHA;(iii) ASHOK BAWA;(iv) ASHOK BAWA DIVECHA;(v) ASHOK LAL BAWA; AND
(vi) ASHOK B. DIVECHA.
2. That the variations in the spelling of my namesare due to the different styles of pronouncingthe names in my Indian native language, Kiswahililanguage and the English language.
3. That I have been using all the above namedvariations of my name in different formal andinformal settings.
4. That all the variations of my name as shown inparagraph I above mean and refer to one and thesame person.
AND I make this solemn declaration conscientiouslybelieving the same to be true and by virtue of Oaths(Judicial Proceedings and Statutory Declarations) Act,1966.
DECLARED at Dar es Salaam this 29th day of January,2018.
...............................DECLARANT
VERIFICATION:I, ASHOK BAWA DIVECHA being the declarant herein do
hereby verify that what is said in paragraphs 1, 2, 3, and 4is all true to the best of my own knowledge.
Verified at Dar es Salaam this 29th day of January, 2018.
....................................DECLARANT
THIS DECLARATION is madeand subscribed by the saidASHOK BAWA DIVECHA whois known to me personallythis 29th day of January,2018 in my presence this29th day of January, 2018.
BEFORE ME:
Name: ABDALLAH GONZI,Signature: .......................,Postal Address: P. O. BOX 35093, DAR ES SALAAM,Qualification: ADVOCATE NOTARY PUBLIC AND
COMMISSIONER FOR OATHS.
}} ..............................
DECLARANT
GAZETI LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA 23 Februari, 201864
Estimatevalue
L & FNo.
BGA/IR/102/2017
Date
25/09/2017
Remarks asto
Condition
Mali Chakavu
Tshs.
100,000
50,000
30,000
30,000
100,000
50,000
100,000
100,000
50,000
100,000
100,000
Cts
00
00
00
00
00
00
00
00
00
00
00
Description
Pikipiki 019 Ainambalimbali ambazo ni:MC 640 AKG Chas. No.LBRSPJB5X89029169Sanlg Nyekundu
T 801 CEL Chas. No.LBRSPJB55C9017455Sanlg Nyekundu
T 374 AWC Chas. No.LBRSPJB5389006493Sanlg Nyeusi
T 703 BKM Chas. No.LBRSPJB906390400Sanlg Nyekundu
Pikipiki T 770 CTH Chas.No. LDAPAJOB4DGB22304 Fekon Nyekundu
MC 355 AWG Chas. No.LBRSPJB52F9023282Sanlg
T 890 BVV Chas. No.LBRSPJB5XB9011567Shneray Nyekundu
T 605 CDV Chas. No.LBRSPJB55C9014958Sanlg Nyeusi
T 398 CCP Chas. No.LBRSPJB58C9009656Sanlg Nyekundu
Pikipiki MC 631 AABChas. No. LBRSPJB57E9030694 Sanlg Nyekundu
T 476 BKB Chas. No.LXYJKCKL04A0313443Shnoray Nyeupe
Finder’s nameand Adress
N. Mwita ASPOCS -
Bugarama
Magistrate’Orders
Ziuzwe
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 249 TANZANIA POLICE FORCE
INVENTORY OF UNCLAIMED PROPERTY
FROM: POLISI BUGARAMA TO: HAKIMU MKAZI MAHAKAMA -LUNGUZA
Police Form No. 12
District: Msalala/Kahama
GAZETI LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA23 Februari, 2018 65
Estimatevalue
L & FNo.
BGA/IR/102/2017
BUG/RB/366/2017
Date
25/09/2017
Remarks asto
Condition
Mali Chakavu
Tshs.
50,000
50,000
100,000
30,000
50,000
50,000
50,000
10,000
10,000
10,000
10,000
10,000
10,000
10,000
10,000
10,000
Cts
00
00
00
00
00
00
00
00
00
00
00
00
00
00
00
00
Description
T 772 BUC Chas. No.LBRSPJB59139007378Sanlg Nyekundu
T 562 AXC Chas. No.LBRSPJB5589006494Sanlg Nyeusi
T 759 CJL Chas. No.LK1PCJLG3C1121736Sanya Blue.
Pikipiki Yamaha Chas. No.AE6301843 Rangi Nyeusi
Pikipiki Sanya Chas. No.LK1PCJLG1AX0506807Nyekundu
Pikipiki Sanlg Chas. No.LBRSYJ10989000698Kijani
Pikipiki Sanlg Chas. No.LBRSPJB57A9011458Nyeusi
Baiskeli Fly Peogen S/No.0000
Baiskeli Sport MtumbaNyeusi S/No. 13067394
Baiskeli Sport MtumbaS/No. F8511407
Baiskeli: SportMtumba S/No. SJE 10586
Baiskeli Sport MtumbaS/No. CIC 13010
Baiskeli Avon S/No. hainaNyeusi
Avoni 01, S/No. haina
Baiskeli Herojet S/No.18123 Herojet A 0016561Sport Mtumba S/No. F081202544
Baiskeli Sport MtumbaS/No. H5A37537.
Baiskeli Neelax S/No.SK. 73407
Finder’s nameand Adress
N. Mwita ASPOCS -
Bugarama
Magistrate’Orders
Ziuzwe
GAZETI LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA 23 Februari, 201866
Estimatevalue
L & FNo.
BUG/RB/366/2017
BUG/RB/338/2016
BUG/RB/242/2017
BUG/RB/366/2017
Date
25/09/2017
25/09/2017
25/09/2017
25/09/2017
Remarks asto
Condition
Mali Chakavu
Mali Chakavu
Tshs.
10,000
10,000
100,000
100,000
Cts
00
00
00
00
Description
Baiskeli Sky Mark S/No.haina.
Baiskeli Avon S/No.BZ 79529
Feni 01, TV 01, Taa 02 zaKichina, Betri za Gari 02,Brief case 02, Speaker 01,Nguo mbalimbali, Radio01, Mkoba 01, Printer yaComputer 01, Pampu yaBaiskeli 01, Senyenge Rola01, Gurudumu kubwa la gari01, Mabamba 07 ya chuma,Madawa mbalimbali yadawa za kienyeji, Ups 01,Keyboard 01.
Magurudumu 02 ya garikubwa, Waya Meshi02 kubwa
Nguo mbalimbali, Viatupear 03, seti ya Computer01, Mabegi 04, Vyombombalimbali vya matumizi yanyumbani, Computer 01aina ya Compaq, deck 02aina ya zeebx, Panasonic naFeni 01 mbovu aina ya ShapeCrown, monitor ya Computer01 pamoja na keyboardyake, compaq, Sabufa 01aina ya Kodlegy, Nguombalimbali kwenye boksi,Kapeti 01, Mikanda 06 yamashine,Laptop ya mezani, keyboardna ups
Finder’s nameand Adress
N. Mwita ASPOCS -
Bugarama
N. Mwita ASPOCS -
Bugarama
Magistrate’Orders
Ziuzwe
Ziuzwe
.........................................................Mkuu wa Kituo cha Polisi
Bugarama Msalala
GAZETI LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA23 Februari, 2018 67
Estimatevalue
L & FNo.
09/2017
14/2017
15/201701
15/201702
15/201703
15/201704
15/201705
16/9/201701
16/201702
16/20174
17/201702
Date
07/06/2017
02/08/2017
05/08/2017
05/08/2017
05/08/2017
05/08/2017
05/08/2017
14/9/2017
14/9/2017
14/09/2017
15/10/2017
Remarks asto
Condition
Mbovu
Mbovu
Scraper
Mbovu
Mbovu
Mbovu
Mbovu
Mbovu
Mbovu
Mbovu
Mbovu
Tshs.
100,000
50,000
50,000
100,000
90,000
80,000
100,000
80,000
100,000
50,000
50,000
Cts
00
00
00
00
00
00
00
00
00
00
00
Description
Pikipiki Reg. T 486 AYXT Better Engine No.BT156 FM281021853Chasis No. LFKPCJL0581109833
Pikipiki Reg. No. T 846BZA Chasis No. BRSPJ35089036552
Pikipiki T 324 AEQSanlg Chasis LBRSPJB5099004170
Pikipiki Reg. T 684 AUGT Better, Chasis LFKPCJL0171121082
Pikipiki Reg. T 656 AYPSanlg Chasis LBRSPJB5289027089
Pikipiki Sanlg haina Reg.No. Chasis-LBRSPJB59E9049747
Pikipiki Reg. T 751 BEST Better Chasis No.LZEPCJLF584801833
Pikipiki MC 520 BAMHaojue Chasis - LCEPCJK27G0017037
Pikipiki MC 660 ADESanlg Chasis - LBRSPJB56D9027798
Pikipiki Reg. MC 490AAG Sanlg Chasis- LBRSPJB53E9024035
Sanlg haina Reg. No.Chasis - LBRSPJB58B9016217
Finder’s nameand Adress
A/INSPJ. Zuberi
E. 9408 CRIFelician
E. 9408 CRIFelician
A/INSPJ. Zuberi
E. 9408 CRIFelician
E. 9408 CRIFelician
A/INSPJ. Zuberi
E. 9408 CRIFelician
E. 9408 CRIFelician
A/INSPJ. Zuberi
A/INSPJ. Zuberi
Magistrate’Orders
Ziuzwe kwaMnada waHadhara
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 250 TANZANIA POLICE FORCE
INVENTORY OF UNCLAIMED PROPERTY
FROM: TRAFFIC POLICE MOROGORO TO: RESIDENTAL MAGISTRATE
Police Form No. 12
District: Morogoro
S/No.
1.
2.
3.
4.
5.
6.
7.
8.
9.
10.
11.
GAZETI LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA 23 Februari, 201868
Estimatevalue
L & FNo.
17/201703
18/201704
20/2017
Date
15/10/2017
15/10/2017
30/10/2017
Remarks asto
Condition
Mbovu
Mbovu
Mbovu
Tshs.
100,000
100,000
100,000
Cts
00
00
00
Description
Sanlg haina Reg. No.Chasis - LBRSPJB519902384
Pikipiki Reg. No. MC338 AFL Fekon ChasisLDAPAJ0B7EGB17339
Pikipiki MC 286 BJKSanlg Chasis - LBRSPJB54G9025665
Finder’s nameand Adress
A/INSPJ. Zuberi
E. 9408 CRIFelician
G. 1688 PCRadius
Magistrate’Orders
Ziuzwe kwaMnada waHadhara
S/No.
12.
13.
14.
Mkuu wa Kituo cha PolisiUsalama Barabarani
Morogoro
Estimatevalue
Remarks asto
Condition
Zipo katikahali nzuri
napendekezaziuzwe
Tshs.
50,000
50,000
60,000
60,000
40,000
40,000
60,000
Cts
00
00
00
00
00
00
00
Description
T. 954 CTQ YamahaMEIFE 43F9E2029626
MC. 238 AG2 KapoorLP 3PCJ6J6 D1642509
T. 425 CLM BoxerMD 2A21 BZ1 DWE 24254
MC. 336 ACQ BoxerMD 2PF PFZZUWJ2656
T 118 BHZSANLG LBRSPJB03A9005807
MC 146 AUN SanlgLBRSP 50E9042332
T.113 CVL BoxerMD 2A21BZ8 DWE 28639
Finder’s nameand Adress
INSPMayamba
INSPMayamba
INSPMayamba
INSPMayamba
Magistrate’Orders
Ziuzwe kwaMnada wa
Hadhara pesaikatiwe
stakabadhi
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 251 TANZANIA POLICE FORCE
INVENTORY OF UNCLAIMED PROPERTY
FROM: ILALA POLICE STATION TO: MAHAKAMA YA MWANZO ILALA
Police Form No. 12
District: IlalaInventory No. 01/2018
S/No.
1.
2.
3.
4.
5.
6.
7.
GAZETI LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA23 Februari, 2018 69
Estimatevalue
Remarks asto
Condition
Zipo katikahali nzuri
napendekezaziuzwe
Tshs.
60,000
30,000
60,000
30,000
20,000
20,000
50,000
60,000
50,000
60,000
Cts
00
00
00
00
00
00
00
00
00
00
Description
MC 491 AUE BoxerMD 2A21BZ9FWB70313
T. 554 CMY KapoorLD 3PCJ617D1637958
MC 145 AKQ BoxerMD 2A21BZ8E WA 68760
T. 935 BKM SKY 60LP6 PCJ9B1A0611558
T. 870 BWQ FekonLDAPA KOB2GB 06914
T. 897 CLZ FekonLDA PA JOB8DGB 05361
MC 997 AGB FekonLDA PA JOB1E GB 13044
MC 460 AUM BoxerMD 2A21B2XFWB 71700
T. 702 CSK FekonLAAPA JOB 2DGB21166
T. 276 CTJ BoxerMD 2A21 BZ4DWG 772288
Finder’s nameand Adress
INSPMayamba
INSPMayamba
INSPMayamba
INSPMayamba
INSPMayamba
INSPMayamba
INSPMayamba
Magistrate’Orders
Ziuzwe kwaMnada wa
Hadhara pesaikatiwe
stakabadhi
Mkuu wa Kituo cha PolisiJangwani Polisi - Ilala
Dar es Salaam
S/No.
8.
9.
10.
11.
12.
13.
14.
15.
16.
17.