hii ni nakala ya mtandao (online...

118
1 Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ________________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________________ MKUTANO WA KUMI NA TATU Kikao cha Kumi na Moja - Tarehe 9 Novemba, 2013 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge tukae. Waheshimiwa Wabunge, kama mtakavyoona kwenye Order Paper yetu leo tuna vitu ambavyo sio vya kawaida, ni siku maalum. (Makofi) Kwa hiyo, Katibu? KAULI ZA MAWAZIRI Utata Katika Upangaji wa Madaraja ya Ufaulu Katika Mitihani SPIKA: Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mheshimiwa Naibu Waziri? NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI: Mheshimiwa Spika, kwa mujibu wa Kanuni Namba 49 ya Kanuni za Kudumu za Bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Toleo la Mwaka 2007.

Upload: others

Post on 12-Feb-2020

1 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

1

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

BUNGE LA TANZANIA________________

MAJADILIANO YA BUNGE___________________

MKUTANO WA KUMI NA TATU

Kikao cha Kumi na Moja - Tarehe 9 Novemba, 2013

(Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi)

D U A

Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua

SPIKA: Waheshimiwa Wabunge tukae.

Waheshimiwa Wabunge, kama mtakavyoonakwenye Order Paper yetu leo tuna vitu ambavyo sio vyakawaida, ni siku maalum. (Makofi)

Kwa hiyo, Katibu?

KAULI ZA MAWAZIRI

Utata Katika Upangaji wa Madarajaya Ufaulu Katika Mitihani

SPIKA: Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi,Mheshimiwa Naibu Waziri?

NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI:Mheshimiwa Spika, kwa mujibu wa Kanuni Namba 49 yaKanuni za Kudumu za Bunge la jamhuri ya Muungano waTanzania, Toleo la Mwaka 2007.

Page 2: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

2

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Kwa niaba ya Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi,naomba kutoa Kauli ya Serikali, kuhusu utata uliokuwaumejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama namadaraja ya ufaulu katika mtihani wa Kidato cha IV na Kidatocha VI.

Mheshimiwa Spika, mnamo tarehe 30/10/2013 Wizaraya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, ilitoa Taarifa kwa ummakuhusiana na upangaji wa viwango vya alama, matumiziya alama endelevu ya mwanafunzi na ufaulu katika Mtihaniwa Taifa wa Kidato cha IV na Kidato cha VI. Taarifa hiyo,pamoja na masuala mengine, ilibainisha kuwa Daraja sifuri(yaani 0) litafutwa na badala yake litawekwa Daraja la V.Aidha, kufwatia swali la nyongeza la Mheshimiwa CatherineMagige, Mbunge wa Viti Maalum, siku ya Jumatatu tarehe4 Novemba, 2013 kuhusu mfumo mpya wa kupangamadaraja, nilitoa ufafanuzi kuhusu upangaji wa viwango vyaufaulu katika mitihani hiyo, ambapo Mheshimiwa Spika, ulitoaagizo kwa Serikali kuleta taarifa sahihi kupitia Kauli ya Mawazirindani ya Bunge lako Tukufu.

Mheshimiwa Spika, taarifa hizi zote ziliamsha hisia namjadala kutoka kwa Waheshimiwa Wabunge na Wadaumbalimbali ambao wanafwatilia maendeleo ya elimu nchini.Kutokana na kauli hizo zilizojitokeza siku ya Jumanne, tarehe5 Novemba, 2013 Mheshimiwa Halima Mdee, Mbunge waKawe, aliomba Mwongozo wa Kiti chako kuhusu suala hilihili,ambapo Mheshimiwa Naibu Spika alisisi tiza tena na kuiagizaSerikali Kauli Bungeni, ili kutoa ufafanuzi kuhusu utatauliojitokeza.

Mheshimiwa Spika, madaraja yanayotolewa naBaraza la Mitihani Tanzania huanzia daraja la I hadi darajala IV, ambayo ndio madaraja ya Watahiniwa wanaostahilikutunukiwa vyeti; Watahiniwa ambao hushindwa kupata katinya madaraja hayo huwekwa katika kundi la Watahiniwawalioshindwa (Failures), ambao kimsingi wamekuwahawatunukiwi vyeti. Hata hivyo, jamii imezowea kuita kundihili kuwa ni watahiniwa waliopata Daraja 0 (Zero). Daraja

[NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI]

Page 3: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

3

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

ambalo katika vitabu vya matokeo vya Baraza la Mitihanihuwa linaandikwa ni Watahiniwa walioshindwa, failures.

Mheshimiwa Spika, katika Taarifa ya Wizarailiyotolewa kwa umma na Katibu Mkuu, tarehe 30/10/2013alilitaja kundi hilo la Watahiniwa kama Daraja la V kwakuzingatia mpangilio wa namba ambao utakuwa na Darajala I mpaka la IV kwa Watahiniwa waliofaulu na Daraja la Vkwa Watahiniwa walioshindwa.

Mheshimiwa Spika, hata hivyo, kwa kuzingatia hisiatofauti zilizojitokeza miongoni mwa Wabunge na jamii kwaujumla na mazowea yaliyojengeka miongoni mwa jamiikuhusu matumizi ya Daraja 0 kwa Watahiniwa walioshindwamtihani, Serikali inatamka rasmi kuwa kundi la Watahiniwawalioshindwa mtihani na ambalo awali lilikuwa likiandikwakama failures litaendelea kujulikana kama Daraja 0 (Zero).

Mheshimiwa Spika, naomba kuwasilisha. (Makofi)

SPIKA: Nakuombeni, Kauli za Mawaziri hatuzungumzi.Nasema hivi kwamba, Kauli za Mawaziri hatuzijadili mpakazitolewe kwa utaratibu maalum.

Waheshimiwa Wabunge, Katibu?

HOJA ZA BUNGE

A Z I M I O

Azimio la Kupongeza Tamko la Rais wa Jamhuriya Muungano wa Tanzania

Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete

SPIKA: Azimio.

Mheshimiwa Mtoa Hoja? Mwenyekiti wa Kamatiya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Kamatiya Ulinzi na Usalama?

[NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI]

Page 4: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

4

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

MHE. EDWARD N. LOWASSA – MWENYEKITI WAKAMATI YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFANA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA: Mheshimiwa Spika, kwaniaba ya Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama na kwaniaba ya Kamati ya Mambo ya Nje, naomba kuwasilishambele ya Bunge lako Tukufu, Azimio la KumpongezaMheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzania, kuhusu msimamo wake kwenyeJumuiya ya Afrika Mashariki. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, licha ya juhudi za Serikali zakutekeleza Mkataba wa kuanzishwa kwa Jumuiya ya AfrikaMashariki. Bunge lako Tukufu kuthamini umuhimu wa Jumuiyahiyo, yamekuwepo maelezo mengi yanayotolewa kuhusumsimamo wa Tanzania juu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Mheshimiwa Spika, katika Hotuba ya Rais wa Jamhuriya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya MrishoKikwete, alipolihutubia Bunge lako Tukufu tarehe 7 Novembamwaka huu (2013), aliufafanua msimamo wa Tanzania katikaJumuiya ya Afrika Mashariki ambapo alieleza kwamba,Tanzania haitajitoa katika Jumuiya hiyo. Msimamo huuunapaswa kuungwa mkono na Bunge lako Tukufu. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, Kamati ya Kudumu ya Mamaboya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, kwa kuzingatia jukumulake kwa mujibu wa Nyongeza ya 8 ya Kanuni za Kudumu zaBunge na kwa kushirikiana na Kamati ya Bunge ya Ulinzi naUsalama zinaliomba Bunge lako Tukufu lipitishe Azimiolifuatalo:-

Kwa kuwa, tarehe 7 Novemba, 2013 Rais wa Jamhuriya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Jakaya MrishoKikwete alilihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano waTanzania. Na katika Hotuba hiyo, pamoja na mambomengine, Mheshimiwa Rais alilihutubia Bunge kuhusumsimamo wa Tanzania katika Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Na kwa kuwa, Tanzania imekuwa mwanachama waJumuiya ya Afrika Mashariki tangu mwaka 1999.

Page 5: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

5

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Na kwa kuwa, nchi za Kenya, Uganda na Rwandazimekuwa zikifanya vikao na majadiliano mbalimbali bilakuishirikisha Tanzania.

Na kwa kuwa, Tanzania haijawahi kufanya jambololote la kuashiria kutaka kujitoa wala kutamka kuwa inatakakujitoa kwenye Jumuiya hiyo.

Na kwa kuwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania katika Hotuba yake aliyoitoa tarehe 7 Novemba,2013 alisema kuwa Tanzania haina mpango wa kujitoakwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Kwa hiyo, basi Bunge linaazimia kwamba,linamuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete. Linaungamkono msimamo kwamba, Tanzania isijitoe kwenye Jumuiyaya Afrika Mashariki na linawataka watu wa Afrika Masharikikuilinda, kuitetea na kuijenga Jumuiya ya Afrika Mashariki.(Makofi)

Mheshimiwa Spika, naomba kuwasilisha. (Makofi)

SPIKA: Mheshimiwa Anna Abdallah!

MHE. ANNA M. ABDALLAH: Mheshimiwa Spika, asantekwa kunipa nafasi ya kwanza kuchangia Hoja hii muhimu.Na mimi naungana kabisa na Azimio hili kwamba, si Bungepeke yake, bali Watanzania wote tunaiunga mkono kauli yaMheshimiwa Rais wetu kwamba, sisi ni wanachamawaanzilishi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. tutaendeleakuwemo humo na hatutatoka kwa sababu, yeyote ile.(Makofi)

Mheshimiwa Spika, lakini naomba nieleze jambo mojakwamba, wakati tunaona boriti katika macho ya Viongoziwale watatu, sisi wenyewe humu ndani tuna vijibanzi kwenyemacho yetu. Vijibanzi hivi tusipoviondoa basi tunawapanafasi wasiotutakia mema kuendelea kutuona kama sisi ndiohatutaki Jumuiya.

[MHE. E. N. LOWASSA]

Page 6: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

6

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Mheshimiwa Spika, sisi wenzenu tumepata bahatikuunganika na Kamati ya Mambo ya Nje kuuliza ni yepi hayayanayolalamikiwa? Wanayofikiri kwamba, sisi tunafanyamambo polepole?

Mheshimiwa Spika, tulikubaliana kwamba, yalemambo madogomadogo, tatizo liko ndani ya utekelezajihasa kwamba, kila Wizara ya Serikali ina Sheria zake,inaamua mambo yake yenyewe. Hata kama jambolimekubaliwa Kitaifa kwamba, jambo hili tulisuluhishe hivi,utekelezaji unakuwa sifuri, kila Wizara inafanya mambo yake;mambo haya yako 8, madogomadogo, lakini tusipoyaondoahivi vibanzi ndivyo vinavyosababisha wengine kufikirikwamba, sisi hatutaki kuendeleza Jumuiya ya Afrika Mashariki.(Makofi)

Mheshimiwa Spika, naomba vijibanzi hivi, wenzetu wakamati labda nimwombe pia na Mwenyekiti wa Kamati,katika taarifa atakayoileta hebu watwambie ni mambo ganiyaliyokubaliwa, mambo gani Serikali imetekeleza na mambogani bado na sababu zake ni nini? Kwa sababu, mamboyenyewe ni madogo mno.

Mheshimiwa Spika, kwa mfano, sisi Afrika Mashariki,eneo letu lote linaonekana ni sehemu yenye ugonjwa wamanjano, lote kabisa. Kwa hiyo, sisi tunapotoka humu ndanikwenda nje ya Afrika Mashariki, tunapaswa kuwa na cheticha ile chanjo ya homa ya manjano, lakini tuna sababu ganisisi mtu anatoka Uganda, anatoka Kenya, anatoka Rwandaanaingia ... (Hapa sauti ilikatika)

Mheshimiwa Spika, imetokea na tumeambiwa kwamasikitiko kwamba, hata baadhi ya Wabunge wan chiwanachama walipofika KIA wakazuiwa, eti hawana cheticha kinga ya manjano; jamani, haya mambomadogomadogo ndio yanayotuletea haya maneno.

Kwa hiyo, mimi naomba, pamoja na kuunga sana-sana Azimio hili, hatutatoka tutaendelea kuwemo, lakini hebutuondoe yale mambo madogomadogo yanayotufanya hata

[MHE. A. M. ABDALLAH]

Page 7: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

7

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

heshima yetu inapungua mbele ya Afrika mashariki kwasababu, ni madogo mno, hayahitaji Sheria, kinachotakiwani utashi wa kisiasa wa utekelezaji.

Mheshimiwa Spika, ninaunga mkono. Ahsante sana.(Makofi)

MHE. JAMES F. MBATIA: Mheshimiwa Spika,ninashukuru sana. Ninaunga mkono Azimio kwa kuwa,Tanzania kwanza, mengine baadaye.

Mheshimiwa Spika, Tanzania imekuwa dira katikaukanda wetu huu wa Afrika zaidi ya miaka 50 iliyopita.Mheshimiwa Lowassa, nakumbuka tarehe 9 mwezi wa 4mwaka huu (2013) wakati Rais wa Kenya anaapishwa,ulipopigwa wimbo wa Bara la Afrika ilipigwa beti ya kwanzaya wimbo wetu wa taifa na wote walishangilia kwa nguvukubwa.

Mheshimiwa Samwel Sitta tulikuwa wote, ikaoneshakwamba, Tanzania tumeweza kutoa Wimbo wa Bara laAfrika na Ukanda huu ukaukubali; ni kati ya vielelezo tunukubwa Tanzania wanaonesha katika Bara letu hili la Afrika.(Makofi)

Mheshimiwa Spika, Kiswahili origin yake ni Tanzania.Tunaendelea kukienzi namna gani?

Mheshimiwa Spika, na kabla sijasahau, Kaulialiyoisema Mama Abdalla, nakubaliananae. MheshimiwaSamwel Sitta, tarehe 6 ya mwezi wa 4, tukiwa IntercontinentalHotel, tulilalamikiwa na Wabunge wetu KIA, wamefika palempaka Mheshimiwa Sitta ikabidi umpigie Waziri wa Afyabaada ya kukueleza hilo.

Mheshimiwa Spika, sasa yako mambomadogomadogo hata kwenye Idara za Uhamiaji ambayoni ukweli humu ndani hatutekelezi inavyohitajika na wenzetuwanatuona kana kwamba, kuna urasimu wa hali ya juu sanahapa na kwamba, hatuwezi tukaenda kwa speed ambayo

[MHE. A. M. ABDALLAH]

Page 8: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

8

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

wanakwenda. Lakini Watanzania siku zote tangu wakatiwa Mwalimu Nyerere, tumekuwa ni Kituo cha Ukombozi waKusini mwa Bara la Afrika; na sifa tuliyonayo Duniani, ukisemawewe umetoka Tanzania, wanasema Tanzania ya Nyerere?

Mheshimiwa Spika, sasa tujiulize, tangu mwaka 1999na mambo haya yote ya mchakato wote yanayoendelea, nikweli hata katika Ukanda huu wetu wa Afrika Mashariki,Tanzania tuna eneo kubwa kuliko wenzetu wote. Sisi tunazaidi ya kilometa 945,903 ukilinganisha na wenzetu wote,tunawazidi kwa zaidi ya kilometa za mraba 73,000; sasatunatumiaje nafasi hii kuendelea kuwa Kiongozi kwa Nyanjazote? Iwe ni rasilimali, iwe ni uelewa, iwe ni sekta zote nahasa kwenye sekta kama ya elimu; namna gani tunaangaliamiaka 50 ijayo, ili tuendelee kuongoza katika nchi zetu hiziza Afrika Mashariki.

Mheshimiwa Spika, Mheshimiwa Waziri Mkuu tarehe24 na 25 walipokutana kule Uganda, tulianza kuona hapapanatokea nini? Na tulizungumza, lakini niombe basikwamba, yale tunayoyazungumza tunayoyaona Serikaliifanye speed, ifanye kasi. Serikali ione kesho kuna nini, ilituendelee kuwa kiongozi hata kama ni masualayanayolalamikiwa.

Mheshimiwa Spika, kwa mfano, ile tarehe 28 ya Agostimwaka huu (2013), siku ya Jumatano, walipokutana paleMombasa wakazungumza, wakakubaliana mambo ya relihaya, mambo ya bandari haya, basi tuone ni changamotochanya kwetu sisi kwamba, wametuamsha. Badala ya sisikulalamika, tuone kwamba, ni nafasi pekee ya kufanya kazikwa kasi kubwa. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, lingine ni kauli za Wanasiasa.Unajua kuna mambo mengine madogomadogo sio vizurisana Wanasiasa linapotokea jambo kwamba, ni letu la Taifakutafakari yakinifu kabla ya kutoa kauli. Kutafakari yakinifikwa sababu, kauli hizi ndio zinaanza vita ya maneno-maneno, huyu kasema hiki, huyu anamrudishia yule. IliTanzania yetu humu ndani, hata kama tunabishana humu

[MHE. JAMES F. MBATIA]

Page 9: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

9

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

ndani, lakini linapotokea suala kwamba, ni Tanzaniainaguswa tunakuwa ni kitu kimoja kwa maslahi yaWatanzania wote. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, niombe kwamba, Bunge letu laAfrika Mashariki, kwa kiasi kikubwa ukiongea na Wabungehawa hata wakati mwingine walijitokeza kwenye vyombovya habari, inaonekana hawapati maelekezo sahihiwanaenda kufanya nini ndani ya Bunge letu la AfrikaMashariki. kwa hivyo, unakuta Wabunge wetu wa AfrikaMashariki kila mtu anatoka nyumbani kwake anaendakwenye Bunge na akitoka kwenye Bunge anarudi nyumbanikwake, hawafanyi mrejesho sahihi, hawapewi maelekezosahihi.

Mheshimiwa Spika, hebu niombe Mheshimiwa Sittana Wizara, hebu sasa changamoto hizi tuzione ni chanyasasa, tuamke, ili tuweze kuwa na kitengo maalum. Iwe niMuswada unapelekwa kule, iwe ni chochote kinachotakiwakufanyika kule, tunakuwa up to date na tunapata mrejeshohumu ndani. Na ndio maana unaweza ukaona hata Hotubaya Mheshimiwa Rais, juzi tarehe 07, Wabunge wetu wa AfrikaMashariki hawakuandaliwa wakawemo humu wakapataTanzania msimamo wake hasa ni upi.

Mheshimiwa Spika, kwa hiyo, nikubaliane kabisa naMama Abdalla kwamba, japo wenzetu naona ni boriti kwetuni vibanzi na tufikirie kwa makini je, ni vinginevyo au ni hivyo?Lakini kwa kuwa, Tanzania uwezo tunao, nia tunayo,Mheshimiwa Rais, Kauli aliyoitoa ni Kauli inayooneshaukomavu mkubwa wa Kiongozi wa kisiasa na ukomavumkubwa wa Kiongozi wa nchi yetu.

Mheshimiwa Spika, tumuunge mkono tuhakikishekwamba Tanzania yetu hii ambayo sote tunaipendaimekuwa ndiyo kituo cha Wakimbizi kwenye ukanda wotehuu ni Tanzania, ikitokea tatizo lolote ni Tanzania basi amanituliyonayo, uwezo tulionao, nguvu tulizonazo tuzitumie natuone haya yote yanayotokea wala yasituyumbishe sana.Tuone wametuamsha tuanze kuchapa kazi tuhakikishe

[MHE. JAMES F. MBATIA]

Page 10: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

10

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

kwamba lolote lile linalotokea jumuia hii haiwezi ikaondokaWatanzania tumo kwa gharama yoyote ile.

Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.

MHE. FREEMAN A. MBOWE – KIONGOZI WA KAMBI YAUPINZANI BUNGENI: Mheshimiwa Spika, nashukuru sanakunipa nafasi ya kuzungumza kuhusu jambo hili ambalonafikiri ni muhimu sana.

Nikiri mimi binafsi nilikuwa kama mgonjwa baadaya kuona mwenendo wa Serikali yetu na kauli za viongozi,kauli za Wabunge kubeza East Africa na nilikuwa najiulizamimi sijui nifanye nini katika nafasi yangu yoyote ile penginekusaidia jambo hili lakini kwa kauli ya Mheshimiwa Raisambayo ina msimamo wa Serikali yetu ambao aliutoa rasmihapa kwenye Bunge hili na kufuatiwa na azimio ambalolimewasilishwa hapa na Mwenyekiti wetu wa Kamati yaBunge ya Mambo ya Nje na Usalama kwa kweli nina kilasababu ya kumpongeza Rais, kuipongeza Kamati nakulipongeza Bunge lako Mheshimiwa Spika.

Mheshimiwa Spika, kujitoa Afrika Mashariki niunthinkable wala siyo jambo la kutafakari wala la kifikiri natumejenga Taifa lenye uwoga lazima tujiangalie wenyewetujitathmini. Tunawaogopa jirani zetu, tunakosa couragekama Taifa kwa hiyo tunakuwa tuna hofu ya wenzetu badalaya kuwafikia namna ya kuwa-engage wenzetu. Kwa hiyowazo lililoletwa hapa na Kamati ya Azimio lililoletwa hapana Kamati kama alivyosema Mheshimiwa Mbatia hebu iwewake up call yetu tusilalamike tu na sisi tukae ndani tutafakariwhere have we gone wrong. Kenya watache, Ugandawatuache, Rwanda watuache haiwezekani ikawa hatunatatizo la ndani tuna tatizo na tuwe na courage ya kuonatatizo letu na kulifikiria namna ya kuli-engage.

Mheshimiwa Spika, mimi niseme tu kwa mtazamowangu na my political analysis wenzetu katika Afrika Masharikiwana malengo ni nini malengo yetu katika Afrka Masharikikama Taifa na nini strategy yetu ya ku-achieve malengo yetu

[MHE. JAMES F. MBATIA]

Page 11: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

11

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

katika Jumuiya what do we want to achieve na tunastrategy gani. Wakenya wakija katika vikao vya JumuiyaWabunge wao wanakuwa wamepewa maelekezo vizurisana they exactly know what they want lakini Watanzaniawatu wanakwenda kivyao, Bunge letu la Afrika MasharikiWabunge wetu hawaripoti Bungeni, hawaleti feedbackhatujui wanafanya nini kule, wanakutana na nini, kwa ninihatuna early warning system matatizo yanaweza kutokeakwenye Bunge la EALA kumekuwa kuna mvutano kwenyeBunge la AR, Bunge hili halijapewa taarifa yoyote na sisiBunge hili ndiyo tunalochagua Wabunge wa EALA.

Mheshimiwa Spika, Wabunge wameanza kuziriana,Wabunge wameanza kugoma vikao hakuna ripoti imekujaBungeni, hakuna taarifa ambayo tumekuwa na courage yakui-discuss tunatatizo gani, early warning system zimeanzakuonekana kwenye Bunge, Wabunge wetu wanafanya kazikatika mazingira magumu mno na hakuna connectivity naBunge lako haya ndiyo matatizo yanayopelekea wenzetuwanatuona pengine tuko slow katika kufanya maamuzi nani kweli.

Mheshimiwa Spika, Mheshimiwa Rais alizungumzamambo manne hapa kwanza tulikuwa tuna entry pointambapo tulikuwa tunakwenda katika hatua ya pili yacommon market, entry point ilikuwa ni custom, ya pili nicommon market, ya tatu ni monetary union, ultimatelypolitical federation. Ni miaka 14 leo tangu tumeanza hiiprocess bado tuko namba two, bado tuko namba two nikweli tulitengeneza road map, tumetengeneza road miaka14 bado tuko namba two. Sasa ukiangalia tulichoki-achievekatiika jumuiya na muda wa miaka 14 unaona kuna tatizmosasa tatizo ni la Kenya peke yake ama tatizo ni la Tanzaniapeke yake ama la wenzetu wa Uganda na Burundi.

Mheshimiwa Spika, sasa niseme tu kwamba hii iweni wake up call, hii iwe ni wake up call na sisi tuwe na mikakatikwa sababu at the end of the day Tanzania tungekuwastrategic tungekuwa na fursa kuliko wengine wote kwasababu sisi kwa sababu nchi kama Burundi ina-boarder

[MHE. F. A. MBOWE]

Page 12: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

12

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Rwanda, ina-boarder Tanzania kwa upande wa hukukatika members wa East Africa lakini sisi members wotehawa tuna boarder nao tuna boarder na Kenya, tunaboarder na Uganda, tuna boarder na Burundi, tunaboarder na Rwanda yaani tuna advantage, tuna linkagena kila nchi katika Jumuiya ya Afrika Mashariki yaani ndiyotuko the most strategically position lakini hatutumii fursahalafu tunalalamika.

Mheshimiwa Spika, tukubaliane katika jumuiya yadiplomasia kauli ni jambo la msingi sana. Kauli wakitoa kinaMbowe utasema kina Mbowe hawa ni wapinzania lakini kaulizinapotoka kwa cabinet ministers, kauli zinapotoka kwaWabunge, tena Wabunge ambao wanachama tawalakuishiria ubabe katika masuala ya kidiplomasia hakunaubabe hapa katika diplomasia na tusiseme tu azimio hili naRais anasema tutakwenda kuji-engage katika kikaoambacho wanakutana tarehe nafikiri alisema tarehe 28 ausomething.

Mheshimiwa Spika, hili jambo ni delicate tunahitajikuliundia timu ya Kidiplomasia kuanza kutengeneza groundtukifika kwenye kikao siyo tukaelezane kwenye kikao hayamambo Serikali itumie fursa itengeneze timu ya kidiplomasiaikarekebishe mambo haya mkifika kwenye summit watumnachekeana, mnakunywa maji mnamaliza kazi.

Mheshimiwa Spika, kwa hiyo tusisubiri mpaka kwenyekikao ndiyo mkangojee kina Mzee Sitta mweleze ni kwa niniwenzenu wamefanya vikao vya siri, fanyeni mipango yalobbing mapema and that is political management,diplomatic management ya hii crisis ambayo tuko nayo sasahivi.

Lakini niombe sana kwa Watanzania wote includingthe media, media ime-hike sana hili tatizo nje na huu ugomviumekuwa deepen na media yetu. Media imeripoti vibayasana yaani media imesimama upande wa Serikali ikaanzakuona majirani zetu ni wabaya hatukuwa objective kama

[MHE. F. A. MBOWE]

Page 13: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

13

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Taifa hatutaki ku-admit mistake zetu, hatutaki ku-admitweaknesses zetu tunakuwa na pride, tunakuwa na utaifaambao unazidi mipaka ya kutafakari kwa kina where havewe gone wrong kwa hiyo media nayo ikaendelea ku-hikeukisoma mitandao ya social media nayo inaendelea ku-hikeimeendelea kuwatukana wenzetu, tunaendelea kuwabezana kuwadharau wenzetu tunataka kuwaona kwamba theyare nothing, no.

Mheshimiwa Spika, mimi nafikiri tukubaliane kamaTaifa jamani tunawahitaji sana sana wenzetu kama vile waowanavyotuhitaji at the end of the day ni kwa fursa naadvantage yetu. Tuna uhusiano wa Kimataifa wa kihistoriaukizungumza utalii 60% ya watalii wanaokuja northern circuitwana land Nairobi, ukileta mgogoro wowote wa kimaslahipale ama wa kidiplomasia kati ya nchi hizi mbili tunaua uta,liiwetu, utalii wa Zanzibar unategemea kwa kiasi kikubwa sanalinkage yake na Mombasa huwezi ukakataa hiyo facts.

Mheshimiwa Spika, ukiangalia biashara ya Mwanza,Mkoa wa Mara dhidi ya Kenya, Arusha, Manyara Kilimanjaro,Tanga ile zone yote ya North linkage yake na Kenya ni kubwamno investment za Kenya nchi hii na Kenya ni trading partnermkubwa kuliko wote kuzidi South Africa katika nchi yetu.Hatuwezi tukafika wakati tukapuuza hili jambo lisionekaneni jambo la maana.

Mheshimiwa Spika, lakini la mwisho kabisa ili pengineniache fursa na kwa wenzetu vile vile waweze kuchangia.Serikali itusaidie tunataka nini East Africa, tunataka nini katikajumuiya na niseme tu hili ugomvi wetu na wenzetu hauko tukwenye East Africa kuna hata ukweli kwamba katika SADCnako hatueleweki vizuri sasa tunalalamikiwa kwenye SADCBlock, tunalalamikiwa kwenye East Africa what is wrong withus. Sisi tuko katika partner na nchi na 13 za SADC sisi ni partnerlakini hebu tuangalie sisi direct link yetu na Namibia, link yetuna Madagascar, link yetu na Swaziland, Lesotho, Botswanatuna trade partnership gani pale hakuna basically.

[MHE. F. A. MBOWE]

Page 14: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

14

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Lakini sana sana tunayefanya naye katika SADC niKongo, Malawi, Zambia na Mozambique lakini nchi zinginezote za SADC hatuna boarder nao kabisa na wao interestyao focus yao ni South Africa.

Mheshimiwa Spika, hebu tuchague tunamtakapartner gani, tusiwe mke mmoja waume wengi tuko kotehalafu tunakosa kote why. Hebu tu-decide tunataka sisi tukaekwenye partnership gani. Tanzania tunajaribu kwenda kilamahali kum-please everybody halafu at the end of the dayhatuwezi ku-perform kokote na kote tunaonekana kwambawe are non starters.

Mheshimiwa Spika, naomba tujifunze nina hakikawenzetu kama wanajua haya mambo hawajatuambiakama mnajua mkakati wa Serikali yetu dhidi ya faida ganitunazipata katika jumuiya hazijafanywa public dunia haijuisina hakika kama business community inajua unajua watuwepesi mno kuona Wakenya ni watu wabaya, Waganda niwatu wabaya lakini tuko tayari kuwakumbatia Wachina, tukotayari kuwakumbatia Wahindi au mataifa mengine yoyoteya mbali lakini hawa waswahili waliotuzunguka hebutujiangalie wametuzidi nini, tujifunze nini kwao ni kwa ninitunaogopa kufungua labour market kwa nini tunawaogopaWakenya, Wakenya sasa hivi tupende, tusipendewamechukua managerial position kwenye makampunimengi sana katika nchi yetu, kwa sababu kwa mujibu waowaajiri wa nchi hii wanaamini Wakenya wana-provide abetter job market.

Mheshimiwa Spika, kwa hiyo tutafakari, tujipange tu-take advantage ya mambo yaliyopo tusilalamike tukaliatuwe bold and courageous tusonge mbele. Hongereni sanakwa kubaki kwenye community, ahsante sana. (Makofi)

SPIKA: Ahsante nilisema Mheshimiwa Eng. Mnyaakwanza ndiyo utaratibu. Kwa kawaida hotuba yaMheshimiwa Rais huwa tuna ipangia muda wa kujadili na hiihatuwezi kufanya kipindi hiki itabidi tufanye tutakaporudi palendiyo tunajadili kwa kirefu. Leo tuwe ni azimio tu-capture

[MHE. F. A. MBOWE]

Page 15: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

15

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

pale aliposema hatuondoki. Naomba mnaochangiamuende kwa mtindo huu.

Kwa hiyo, suala la kujadili hotuba hii lipo bado palemtaenda kwa kirefu zaidi. Sasa Mheshimiwa Mnyaaatafuatiwa na Mheshimiwa Makilagi.

MHE. ENG. MOHAMED HABIB JUMA MNYAA:Mheshimiwa Mwenyekiti, nashukuru na mimi kupata nafasihii.

Mheshimiwa Spika, kwanza mimi niipongeze kwanzakamamti ya Bunge ya Mambo ya Nje na Ushirikiano waKimataifa na Kamati ya Ulinzi na Usalama kwa hatua hii yakufikiria kuleta azimio hili ili tuitendee haki hotuba yaMheshimiwa Rais kwamba muda wa kuijadili pengine niBunge lijalo na leo kuna mpango wa kuhairisha Bungeisingekuwa ni busara tundoke hivi hivi bila ya kusemachochote. Kwa hiyo, kwanza nipongeze Kamati hizi mbili.

Mheshimiwa Spika, kitendo cha Mheshimiwa Rais kujakulihutubia Bunge au kulihutubia Taifa kwa ujumla ni kitendoambacho kimetufungua macho kwa wale ambao walikuwahawajafahamu nini kinaendelea na kimentuweka sawa sisiambao tulikuwa tunafuatilia mambo yanavyokwenda na ziletaharuki tulizokuwa nazo. Kwa hiyo, tumpongezeMheshimiwa Rais kutuwekea sawa mambo haya na kwambaTanzania imetufanya kuwa united zaidi kuliko mwanzo.

Mheshimiwa Spika, tarehe 7 Mheshimiwa Raisalipolihutubia Taifa moja katika kauli alizozitamka kwambahatutajitoa katika Jumuiya ya Afrika mashariki ni kauli yakupongezwa. Hata ile jumuiya ya Afrika mashariki iliyovunjikamwaka 1977 Tanzania hatukuwa wa mwanzo kujitoawengine ndiyo waliosababisha na safari hii msimamo wetundiyo huo huo na tunaomba Mwenyezi Mungu ajalie nawenzetu awape moyo wajijue makosa yao na ili tudumishejumuiya hii ya Afrika Mashariki.

[SPIKA]

Page 16: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

16

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Mheshimiwa Spika, tumekuwa katika wimbo wetuwa Taifa huwa tunaizungumza Tanzania na bara zima laAfrika ndani ya wimbo wetu wa Taifa. AliyozungumzaMheshimiwa Rais ni kielelezo tosha kwamba misingi ile ile yawenzetu viongozi wa Afrika waliotangulia akina KwameNkhuruma na Mwalimu Nyerere na Mheshimiwa Dkt. Jakayaamefuata nyayo zile.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo Tanzaniatutaendelea kupigania umoja wa Afrka, Umoja wa AfrikaMashariki, Umoja wa SADC na kadhalika kwa maendeleo yanchi hii na hatutakuwa wa mwanzo na tunaungana nayemkono kwamba sisi mhatutakuwa wa mwanzo kujitoa.

Mheshimiwa Spika, labda niseme neno moja ambaloMheshimiwa Mbowe kidogo ameligusia. Yapo matatizomengine yanakuwa aggrivieted au yanachochewa nabaadhi ya vyombo vyetu vya habari kwamba baadhi labdakwa sababu ya uhuru wa magazeti na labda wapowaandishi wengine wa nje ambao wapo hapa nchinivitendo hivi vya kuchochea kukuza hata jambo dogokulikuza likaonekana kubwa hili ndiyo jambo moja ambalolinatuharibia.

Mheshimiwa Spika, kwa hiyo nadhani kwa hotubaaliyotoa Mheshimiwa Rais vyombo vyetu vya habari sasavitaona ule umuhimu wa ku-unit vizuri na kwamba Tanzaniambele.

Mheshimiwa Spika, kuna Profesa mmoja, ProfesaMazrui akizunguka katika university tele duniani huko Marekanina wapi huwa anazungumzia hali ya Afrika kutawaliwakulitokana na ukarimu wetu na ile access ya kwamba hatunashida ya mboga, ukizunguka nyumbani kila aina ya mti nimboga, wanyama, mito, maziwa, bahari ile Afrika wakatihuo kuna kila kitu kiasi ambacho hatuna shida ya kutafutamaisha yalikuwa mazuri wazee wetu waliotutangulia.

[MHE. ENG. M. H. J. MNYAA]

Page 17: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

17

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Mheshimiwa Spika, kitendo hicho cha kwamba tunaaccess ya kila kitu mpaka mineral resources, madini hiyozamani wanavyosema dhahabu watu walikuwawanachezea kete kwenye bao ndicho kitendokilichosababisha wageni kuja kututawala Afrika.

Sasa hivi imekuwa sasa ukiacha wageni kutokaUlaya kuivamia Afrika, Tanzania kuwa na access ya kilakitu na kuwa shida zetu siyo kubwa sana, shida zetu sanasana ni za kiutawala lakini tuna chakula cha kutosha, tunamaziwa ya kutosha, tuna samaki wa kutosha, tuna madiniya kutosha kitendo hiki na ule ukarimu wetu na upole wetundiyo unaosababisha majirani au mataifa mengine kutuonalabda sisi sijui tukoje au ndiyo kile kinachopelekea wenzetukutaka kutupandia juu ya vichwa vyetu.

Mheshimiwa Spika, kwa sababu hizo hotuba hii yaMheshimiwa Rais iwe ni funzo kwa Watanzania kwamba sasana sisi tuwe aggressive kibiashara. Hatuwezi kubakia hivi sasatulivyo tu kwamba sasa na sisi tujifunze Watanzania sijui nenozuri lipi hapa lakini tuwe aggressive sasa na sisi kibiasharatusionekane hii access ya kila kitu tulichonacho tukaachanafasi hizi waje wageni zaidi kuzitafuta kwa njia na hila sisiwenyewe tumekaa tu.

Mheshimiwa Spika, kwa hiyo hotuba hii yaMheshimiwa Rais aliyoitoa tarehe saba iwe ni kielelezo kwetuna Mungu akijalia Mheshimiwa Spika uje utapatie nafasi rasmikuijadili hotuba hii katika Bunge lako Tukufu hapo ndipotutakapokuja kupata nafasi nzuri ya kusema mengi zaidi.

Mheshimiwa Spika, kwa haya machache napongezahotuba ya Mheshimiwa Rais na Mungu Ibariki Tanzania, MunguIbariki Afrika asanteni sana.

[MHE. ENG. M. H. J. MNYAA]

Page 18: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

18

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

MHE. AMINA N. MAKILAGI: Mheshimiwa Spika,ahsante kwa kunipa nafasi na mimi niweze kuunga mkonoazimio hili la kuunga mkono hotuba ya Mheshimiwa Raisaliyoitoa katika Bunge letu la jamhuri ya Muungano waTanzania tarehe saba hotuba ambayo kwa kweli ilikonganyoyo za Watanzania na hasa wanawake.

Mheshimiwa Spika, mimi naomba na mimi nianzekuzungumza kwamba kwa kweli kile kilichokuwa kikiendeleakatika nchi yetu na hata kupitia vyombo vya habari kilianzakututia mashaka na hasa wanawake walianza kujawa hofuwakiamini kwamba pakitokea msukomsuko wa kutenganana hizi nchi ambazo zinatuzunguka inaweza ikaleta kuvunjikakwa amani kwa nchi yetu na kama amani ingevunjikawanawake ndiyo wangekuwa waathirika wa kwanza kwakweli hotuba ya Mheshimiwa Rais imekonga nyoyo zetu.

Mheshimiwa Spika, ninasema hivyo kwa sababu nchiyetu ya Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo kwa kwelizimebaki kuwa visiwa vya amani na utulivu. Kuna kiongozimmoja amezungumza hapa kwamba wapo watuwanaotunyemelea pengine sisi tunawakosea mimi natakaniseme hatuwakosei hata wazungu wanatamani kujaTanzania na nchi zote zinazozunguka na nchi zotezinazozunguka wanatamani kuwa Watanzania na Mnyaahapa amezungumza hata ule ukarimu wetu tulionao kila mtuanaitamani Tanzania kwa sababu Tanzania ni Tanzania yenyeamani na utulivu kwa hiyo ndiyo maana wakati wote hatawatu ambao hawatutakii mema wanaweza wakatumiafursa mbalimbali kubomoa amani tuliyonayo.

Mheshimiwa Spika, naomba nianzze kwa kusemakwamba ninaunga mkono hotuba ya Mwenyekiti kwasababu na naunga mkono kauli yake kwamba Tanzaniahaitajitoa katika Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa sababu sisiWatanzania ni miongoni mwa waanzilishi hata kabla Jumuiyahaijavunjia tumetoa mchango mkubwa sana wakati uleilipokuwa imeanza na hata iliporudia mara ya pili sisiWatanzania tumetoa mchango mkubwa sana.

Page 19: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

19

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Mheshimiwa Spika, kwa hiyo kitendo cha Raiskuendelea kuweka msimamo katika nchi yetu kwambaTanzania hatufikirii na hatutegemei kujitoa katika umoja huuambao tumeupata kwa tabu kwa kweli mimi naombaniunge mkono azimio hili kwa asilimia mia moja kwa miamoja.

Mheshimiwa Spika, mimi ambacho nataka nishaurini kwamba Tanzania hii na hata ndiyo maana unaonawenzetu wana harakisha nchi yetu ya Tanzania ndiyo imebakina ardhi yenye rutuba, nchi yetu ya Tanzania ndiyo imebakiwatu wanaweza kwenda popote wanaweza wakafanyachochote, wanaweza kusema chochote bila kuvunja sheriana wakaenda sawasawa. Tanzania hii ndiyo imebaki kuwakisiwa cha amani na utulivu ambacho mim nataka nishaurihapa kama ambavyo Kamati ya mzee wangu ilisemakwamba Jumuiya hii tusiharakishe katika mambo ya msingi.Na mimi naunga mkono hotuba ya Rais kwamba kuna Taifaambalo linafikiria tuvuke kipengele kwenda kwenyekipengele cha pili kwa kweli mimi napingana nacho nanaomba niunge mkono kabisa lile tamko kwamba twendehatua kwa lengo la kutufikisha pale tunapohitaji. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, baada ya maelezo hayo naungamkono hoja hii ahsante sana.

SPIKA: Fifty, fifty Mheshimiwa Jenista, naanza na fiftyhumu humu.

MHE. JENISTA J. MHAGAMA: Mheshimiwa Spika,nakushukuru sana kwa kuanza kuona umuhimu wa fifty, fiftykatika Bunge letu ahsante sana. (Makofi)

Mimi naomba niseme nasimama kwa nguvu mojakuunga mkono Azimio hili lililoletwa hapa mbele yetu kwaasil imia mia moja. Lakini mimi nampongeza sanaMheshimiwa Rais ametimiza majukumu yake ya kikatibakama Kiongozi Mkuu wa Nchi, masuala ya Kitaifa namasuala ya mahusiano ya kimataifa yanapotokea nakulikumbuka Taifa letu, mahali anapoweza kuja na

[MHE. A. N. MAKILAGI]

Page 20: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

20

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

kuzungumza maneno mazito kama aliyoyafanya juzi ni ndaniya Bunge ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. (Makofi)

Mheshimiwa Rais amefanya sawasawa ziara zakezimejizihirisha wazi katika suala hili zito na ametekeleza wajibuwake wa kikatiba.

Mheshimiwa Spika, mimi niseme kitu kimojaMheshimiwa Rais kitendo chake cha kuwaambia Watanzaniaatahakikisha hatuondoki katika Jumuiya hii ya Afrika Masharikiameonyesha ni kiongozi anayetambua maana ya umojakuliko Utengano. (Makofi)

Ingekuwa ni kitu cha ajabu sana katika hayayaliyotokea halafu Rais wetu ambaye amekuwa ni kielelezocha umoja katika umoja wa Mataifa akaingia hapa nakuanza kuteteleka katika umoja wa Afrika Mashariki kuleanakotoka ingekuwa ni kitu kingine kabisa.

Kwa hiyo ninawaomba Wabunge wenzangu kwanzatumpongeze Rais wetu kwa kitendo hicho na maamuzi hayoaliyoyafanya. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, hoja alizozizungumza MheshimiwaRais, wala siyo hoja za kuzipuuza. Mheshimiwa Raisanaposema umuhimu wa umoja, ana maanisha kitu kimojakikubwa hiki nitakachokizungumza.

Nchi za Afrika Mashariki si kwamba sisitunawategemea wao tu wa Kenya na wa Uganda nawengine hata wao wanatutegemea sisi ndiyo maana yaumoja. Tulipokuwa tunaunda jumuiya hii ya Afrika Masharikitulijijenga katika misingi ya umoja kwa maana ya kwambatutategemea na si kwamba Tanzania itawetegemea wao.(Makofi)

Sasa kama wote tulikubaliana tunategemeanaumuhimu wa wale wenzetu watatu kuona na sisi Watanzaniawanatutegemea hilo ni jambo ambalo walipaswa

[MHE. J. J. MHAGAMA]

Page 21: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

21

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

kulitambua kwa nguvu zote. Kwa hiyo, hoja zile ambazoMheshimiwa Rais alizizungumza hapa kwa mfano masualaya Ardhi, unamwona kabisa Rais wetu alivyo makini. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, na mimi niseme hoja si kuchelewatu kufikia makubaliano si lazima makubaliano hayo ya AfrikaMashariki yote tuyaingie tu kwa haraka bila kuyafanyiaupembuzi yakinifu, ni lazima tutafakari katika hayatunayokwenda kuyakubali ni mambo gani yana tija namaslahi kwa Taifa la Watanzania na mambo ganiyanatakiwa yafanyiwe kazi ya kutosha na mimi namuungamkono sana kwenye suala kama hili la Ardhi. Hivi kwelitunaweza kweli tukakurupuka tu sisi tumeshajipanga namnagani ndani ya nchi yetu. (Makofi)

Kwa hiyo, mimi nadhani iko haja kwa kweli kamaulivyosema kwanza ya kuhakikisha tunafanya kazi ya kutoshaya kuona ni namna gani masuala haya ya ardhi yanafanyiwakazi ya kutosha ndani ya nchi kabla hatujakubaliana naShirikisho letu hili la Afrika Mashariki kwa ujumla wake. Kwahiyo nampongeza sana Mheshimiwa Rais nampa moyo nakumtia nguvu yote afanye kila linalowezekana kuwasaidiana wenzetu watambue nini tunachokifikiri halafu twendepamoja katika umoja. Wakati nchi nyingine zinapambanakudumisha umoja sisi tusiubomoe umoja wetu. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, naunga mkono Azimio hil inamtakia Rais wetu kila la heri aendelee na busara hiyo yahali ya juu na Marais wengine waone busara ya Rais wetuJakaya Mrisho Kikwete na umoja huu uimarike badala yakuvunjika kama ilivyokuwa mwanzo. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, ninaunga mkono hoja kwaasilimia mia moja nampongeza Mheshimiwa Rais naninawapongeza wajumbe wa Kamati waliona umuhimukwa kutuletea Azimio hili ndani ya Bunge leo. Nakushukurusana. (Makofi)

[MHE. J. J. MHAGAMA]

Page 22: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

22

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

MICHANGO KWA MAANDISHI

MHE. JOHN J. MNYIKA: Mheshimiwa Spika, kwakurejea Ibara ya 63(1) na 63(2) ya Katiba ya Nchi pamoja nakuunga mkono msimamo wa Rais kuhusu Jumuiya ya AfrikaMashariki (EAC), ni muhimu Azimio liboreshwe ili kuwezeshaBunge kutimiza wajibu wake wa kuishauri na kuisimamiaSerikali. Hivyo, Maazimio yafuatayo yaongezwe pamoja napongezi kwa Rais:-

(I) Baada ya mazungumzo ya Mawaziri wa EACambayo Serikali imeeleza yatafanyika baada ya Mkutano huuwa Bunge, Serikali iwasilishe taarifa katika Mkutano ujao waBunge juu ya maendeleo ya mazungumzo hayo;

(II) Katika Mkutano ujao wa Bunge kuwasilishwetaarifa ya Wabunge wa Tanzania kwenye Jumuiya ya AfrikaMashariki (EAC) ili Bunge lichukue hatua zinazostahili kutokanana mapendekezo yao juu ya yaliyojiri katika Bunge la Jumuiyaya Afrika Mashariki (EAC); na

(III) Baada ya kupitia taarifa hizo zote mbili,Kamati za Bunge za Mambo ya Nje na Ulinzi na Usalamaziliwezeshe Bunge kupitisha Maazimio ya ufumbuzi endelevu.

Mheshimiwa Spika, pamoja na maelezo yaliyotolewana Mheshimiwa Rais juu ya alivyoviita ni vyanzo vyamigogoro, vipo vyanzo vya ziada ambavyo havisemwi.Mfano, mahojiano kati ya Waziri wa Mambo ya Nje,Mheshimiwa Bernard Membe, juu ya kuihusisha Rwanda nakuunga mkono M23 kwenye mgogoro wa DRC. Hivyo kunahaja ya Bunge kubaini vyanzo vya kina ili kuiepusha nchi

Page 23: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

23

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

kufanya maamuzi kwa taarifa za upande mmoja tu kutokaSerikalini.

Mheshimiwa Spika, aidha, Serikali iondoe udhaifukatika utekelezaji wa miradi ambayo inawezesha Tanzaniakutumia fursa za kiuchumi na kupata tija ya kijiografia. Katikamiradi hiyo ni pamoja na Mradi wa Reli ya Kati na kuiwezeshakufika nchi ya DRC, Rwanda na Burundi. Pia Tanzaniaiharakishe kushughulikia ucheleweshaji kwenye usafiri wabarabara na kwenye usafiri wa nchi kwa nchi (Transit Cargo).

Mheshimiwa Spika, katika kujiandaa na Mkutano waKumi na Nne wa Bunge utakaojadili suala hili, Wabungetupewe nakala ya ripoti za Amos Wako na ripoti ya Wangweili kuweka msingi wa kurejesha heshima ya Taifa katikadiplomasia na utangamano kupitia Jumuia ya AfrikaMashariki (EAC).

SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, nadhani wotetunaunga mkono, sasa nitawahoji wanaoafiki kumpongezaRais naomba ninazungumza. Wanaoafiki kumpongeza Raiskuhusu msimamo wake kwamba Tanzania haitajitenga naAfrika Mashariki waseme ndiyo.

Mmeogopa kuitwa wachawi anayepinga, ahsantenisana. Tunawapongeza Kamati ya Ulinzi na Kamati yaMambo ya Nje kwa kukaa kwa pamoja na kuweza kuletaAzimio hili. Kama nilivyosema, kama kawaida yetu, Raisakishatoa hotuba hutengeneza utaratibu Bunge lijalotunajadili. Sasa pale ndiyo mtajadili kwa kirefu zaidi. Kwahiyo, baada ya kusema hivyo, Katibu tuendelee.

(Hoja ilitolewa iamuliwe)(Hoja iliamuliwa na Kuafikiwa)

[MHE. J. J. MNYIKA]

Page 24: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

24

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

MISWADA YA SHERIA YA SERIKALI

Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko yaKatiba wa Mwaka 2013 (The Constitutional Review

(Amendment No.2) Bill. 2013)

(Majadiliano yanaendelea)

MICHANGO YA MAANDISHI

MHE. ESTER N. MATIKO: Mheshimiwa Spika, napendakutoa maoni yangu ya ziada juu ya Marekebisho ya Sheria yaMabadiliko ya Katiba.

Mheshimiwa Spika, kifungu cha 22 (a) yenye kuainishaaya (c) kifungu kidogo cha (i) kinachoainisha idadi yaWajumbe wa Kuteuliwa na Rais kuwa 201, napendekeza idadiya Wajumbe wa Kuteuliwa iwe walau mia nne. TukumbukeKatiba hii ni ya wananchi na hivyo hatuna budi kutoa wigompana kwa ushiriki wa Watanzania.

Mheshimiwa Spika, napenda kuongezwa kwamakundi mengine ambayo ni ya Wajumbe kutoka kundi laWanawake au Taasisi zinazojishughulisha na masuala yaWanawake. Ikumbukwe kuwa wanawake ni kundi ambalolipo vulnerable/victims kwenye aina mbalimbali za violence(ukatili). Pia wanawake inapaswa wapewe special group/category, hii itasaidia sana. Hivyo, napendekeza wajumbewasiopungua 30 kwenye kundi hili la wanawake, ambalolitajumlisha wajane.

Mheshimiwa Spika, vilevile, napendekeza kuwepo nakundi l ingine litakalokuwa linawakil ishwa na taasisizinazoshughulika na masuala ya watoto. Ikumbukwekwamba watoto wanapaswa kupewa wawakilishi ambaowatawasemea mambo gani yaingizwe kwenye Katiba nakundi hili laweza kuwa na idadi ya walau ya wajumbewasiopungua 20. Hili ni kundi maalum sana.

Page 25: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

25

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Mheshimiwa Spika, mwisho, kuhusiana na Wajumbe,napendekeza pia kuwepo na wajumbe kutoka kundi lawafanyabiashara. Hawa pia ni wadau wakubwa sana katikamustakabali wa nchi yetu na hasa kiuchumi. Hivyo, kadazote za wafanyabiashara, wadogo, wa kati na wakubwanao wawe Wajumbe.

Mheshimiwa Spika, kwa kumalizia, napenda piakuwepo na wajumbe kutoka katika kundi la wazee/taasisizinazoshughulika na masuala ya wazee. Hili ni kundi muhimusana na tunashuhudia wazee wanaachwa nyuma sana.

Mheshimiwa Spika, naomba kuwasilisha.

MHE. JITU V. SONI: Mheshimiwa Spika, nashukurukupata fursa ya kuchangia katika Muswada huu muhimu waMarekebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba wa Mwaka2013.

Mheshimiwa Spika, naipongeza Serikali kwa kuona nakuleta tena Mabadiliko ya Sheria ambayo tumepitisha 2013.Upungufu ambao Serikali imeuona na kuamua kuleta Bungenimabadiliko ambayo yatatuwezesha kuundwa na kuendeshaBunge Maalum la Katiba.

Mheshimiwa Spika, naipongeza Serikali kwa kuonaumuhimu wa kuongeza idadi ya wajumbe kutoka makundimbalimbali kutoka kila upande wa Jamhuri. Muhimu hapani kuzingatia namna hawa wajumbe watakavyopatikanakwa uwazi toka makundi hayo.

Mheshimiwa Spika, lingine muhimu ni kwamba elimuitolewe kwa wajumbe wote wa Bunge la Katiba namna yakufanya kazi katika Bunge la Katiba. Tueleweshwe na piatupatiwe elimu ya Kanuni ili pasiwe na mabishano wakatiwa Bunge la Katiba kwa sababu ya muda mfupitutakaokuwa nao.

Mheshimiwa Spika, nashauri pia kuwa Wajumbe waTume wapewe fursa ya kukutana na Wabunge wa Katiba

[MHE. ESTER N. MATIKO]

Page 26: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

26

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

kutoa elimu pana ili tuingie ndani ya Bunge la Katiba tukiwana maelewano juu ya kupata Katiba ya leo na siku nyingizijazo. Pia pawe na mafunzo maalum kwa Waandishi waHabari juuya Katiba/Rasimu ili na wao waweze kutoa habarijuu ya ni nini kilichojiri Bungeni na kutoa habari kwa ufanisi.

Mheshimiwa Spika, nampongeza Mheshimiwa JakayaMrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano kwa kuonaTaifa juu ya masuala ya kisiasa na kukutana na vyama vyotevya siasa vyenye Wabunge Bungeni na kupata maridhiano,ili nchi iwe na amani na umoja. Naipongeza pia Kamati yaKatiba na Sheria kwa kazi nzuri iliyoifanya na kutuelimishajuu ya marekebisho haya.

Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja na naaminitutapata Katiba mpya yenye manufaa kwa nchi yetu.

MHE. DIANA M. CHILOLO: Mheshimiwa Spika, napendakutumia nafasi hii kwa njia ya maandishi, kumpongezaMheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete – Rais wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzania, kwa busara zake alizotumia kwakuweka saini Muswada wa Mabadiliko ya Katiba baada yakuridhia robo tatu ya mapendekezo na kurekebisha robo tuya mapendekezo, kwa maslahi ya Watanzania.

Mheshimiwa Spika, marekebisho yaliyofanywa naMheshimiwa Rais wetu. Mabadiliko ya idadi ya Wajumbewatakaoteuliwa na Mheshimiwa Rais kutoka idadi ya 166 nakuongezeka kuwa 201, ambayo ni idadi iliyopendekezwa naKamati ya Bunge ya Katiba na Sheria. Niwaombe Watanzaniawaelewe kuwa Wabunge watakaoingia kwenye BungeMaalum la Katiba hawataingia na imani ya vyama vyao,kwani Katiba tutakayoiunda itatoa haki kwa Watanzaniawote. Tutambue kuwa haki, amani, uhuru na mshikamanokwa wote ndiyo msingi wa kila mjumbe atakayeingia kwenyeBunge hilo. Sitegemei Wajumbe kuingia na imani ya chamachochote.

Mheshimiwa Spika, hata hivyo, nchi yetu ina idadi yawatu zaidi ya 45,000,000. Ni matumaini yangu kuwa kundi

[MHE. J. V. SONI]

Page 27: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

27

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

kubwa la wajumbe siyo msingi wa kupata Katiba yenyekuwafaa Watanzania, bali wale wachache kutumia busarawakijua kwamba wakifanya makosa watakaoumia ni dadazetu, kaka zetu, wajomba zetu, shangazi zetu, mama zetu,baba zetu na kadhalika. Hivyo, lazima tuwe makini,tunapaswa kuondoa tabia za kuipotosha jamii.

Mheshimiwa Spika suala la ukumbi, idadi kubwa nakadhalika isitupotezee muda.

Mheshimiwa Spika, mwisho, napenda kumalizia kwakuunga mkono hoja hii na wote walioshiriki kufanyamarekebisho kwa kushirikiana na Mheshimiwa Jakaya MrishoKikwete – Rais wa nchi yetu ya Tanzania.

MHE. JOHN J. MNYIKA: Mheshimiwa Spika, nachukuafursa hii kumshukuru Rais na Serikali kwa ujumla kwa kukubaliMuswada huu kuwasilishwa Bungeni kwa ajili ya marekebisho.

Mheshimiwa Spika, hata hivyo, marekebishoyandefanyika vizuri zaidi iwapo Muswada ungerejeshwaBungeni bila kusainiwa na Rais kwa mujibu wa Ibara ya 97(2)ya Katiba ya Nchi. Aidha, kasoro zilizojitokeza wakati wakutungwa kwa Sheria Novemba, 2011 na wakati wakufanyiwa marekebisho mwaka 2012 mwezi Februari naSeptemba, 2013; inadhihirisha haja ya hoja ambayoniliwasilisha taarifa yake mwanzoni mwa mwaka 2011.

Mheshimiwa Spika, ikumbukwe kwamba marabaada ya Mheshimiwa Rais kukubali nchi kwanza, mchakatowa Katiba katika hotuba yake kwa Taifa tarehe 31 Disemba,2010; mwezi Januari, 2011 nilipinga uamuzi wa MheshimiwaRais kuunda Tume bila kwanza sheria kutungwa na Bunge.Nilieleza kwamba ni muhimu suala hilo lijadiliwe Bungeni,Serikali iwezeshe kuelewa mwelekeo wa muda mrefu waKatiba na hatimaye Bunge lipitishe Azimio la kutaka Muswadakuwasilishwa Bungeni.

Mheshimiwa Spika, katika muktadha huo, Serikaliingeandaa Muswada kwa kuzingatia maoni ya wadau wote

[MHE. D. M. CHILOLO]

Page 28: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

28

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

na nchi ingeepushwa kufanya makosa na marekebisho yamara kwa mara. Aidha, Serikali ingewezesha kuitishwa kwaMkutano wa laivu wa Katiba (Constitutional Convention)ambao ingewezesha nia ya kupata maoni ya wadau yamwelekeo mzima wa mchakato.

Mheshimiwa Spika, baada ya hatua hiyo, ndipoingetungwa sheria yenye kuongoza hatua zote tatu zaukusanyaji maoni (kupitia Tume ya Wadau) na kuandaliwakwa rasimu, kujadili na kupitisha rasimu ya Katiba (kupitiaBunge maalum), na kuridhia na kuidhinisha Katiba mpya(kupitia Kura ya Maoni). Hivyo, marekebishwa yatapaswakuendelea kujenga kuaminiana na muafaka wa Taifakuwezesha nchi kupata Katiba mpya bora.

Mheshimiwa Spika, kwa upande wa Muswada huuuliowasilishwa, napendekeza katika kifungu cha 2(a) kwakurekebisha kifungu cha 22 cha sheria mama kwa kuongezaidadi ya wajumbe kufikia 292, ambayo ni theluthi mbili (2/3)ya Wabunge na Wawakilishi ambao jumla yake ni 438, ilikuepusha Bunge kuhodhiwa na Wajumbe ambao niWanachama wa Vyama vya Siasa.

Mheshimiwa Spika, kifungu cha 2(b), idadi yamapendekezo yawe si chini ya manne (4) na si zaidi ya tisa(9) na majina yatoke kwenye Taasisi, Asasi na makundi yenyemalengo yanayofanana kwa mujibu wa Jedwali lamarekebisho nililowasilisha.

Mheshimiwa Spika, nakubaliana na mapendekezo yakifungu cha (3) na kifungu cha (4) cha Muswada.

MHE. AMINA N. MAKILAGI: Mheshimiwa Spika,naomba nianze na kuwapongeza Wabunge wa Bunge laJamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa kupitisha Muswadawa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 83 katika Bungelililopita.

[MHE. J. J. MNYIKA]

Page 29: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

29

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Pia nampongeza sana Mheshimiwa Rais, kwa kusainiMuswada huo na sasa ni Sheria iliyofanya marekebisho katikaSheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 83.

Nampongeza sana Mheshimiwa Rais, kwa kuitishaMkutano Ikulu wa Viongozi wa Vyama vya Siasa kwa lengola kusikiliza maoni yao juu ya Sheria iliyopitishwa na Bungena baadaye kufikia maamuzi kuwa Viongozi wa Vyama vyaSiasa kupitia Taasisi ya TCD wakutane na kutoa maoni yaojuu ya sheria hiyo na mchakato wa Katiba Mpya nakuyawasilisha kwa Serikali.

Mheshimiwa Spika, nawapongeza sana Viongozi waVyama vya Siasa kwa kukutana na kutoa maoni yao nakuyawasilisha Serikalini. Nawapongeza na waendeleekufanya hivyo katika masuala muhimu yanayoigusa nchi yetubadala ya kutoa lugha zenye uchochezi.

Naunga mkono marekebisho ya Kifungu cha 22 kwakufuta kifungu kidogo cha (1) na kukiandika upya kwambasasa idadi ya Wajumbe watakaoteuliwa wawe 201 badalaya 166. Hii inaongeza wigo wenye tija katika yale makundiya wenye mahitaji maalum kama vile wajane, yatima nawatu wenye ulemavu na makundi mengine yote ambayoyana malengo yanayofanana.

Mheshimiwa Spika, naunga mkono Kifungu cha 2Akinachompa mamlaka Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania kualika kundi litakalotajwa katika kifungu kidogocha (1)(c) kutoka kila pande ya Muungano.

Mheshimiwa Spika, nashauri makundi haya yaalikwekutoka katika mikoa yote 31 ya Tanzania Bara na Zanzibar ilikuepukana na uteuzi wa Wajumbe kutoka mkoa mmoja tuau maeneo ya mijini tu.

Mheshimiwa Spika, kuhusu ombi kwa Taasisi wakatiwa kuwasilisha majina kwa Mheshimiwa Rais, naomba sanaTaasisi zote zizingatie kupeleka orodha ya uwakilishi ulio sawakati ya wanaume na wanawake. Katika kuwapa nguvu hizi

[MHE. A.N. MAKILAGI]

Page 30: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

30

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Taasisi, nashauri pia namba itakayowasilishwa kwa Raiskutoka katika hizi Taasisi kuwa kati ya sita hadi 10. Ili kutoamwanya kwa baadhi ya Taasisi kupendekeza majina kwausawa 50/50 kati ya wanaume na wanawake.

Mheshimiwa Spika, mwisho, naomba MheshimiwaRais, wakati wa uteuzi wa Wajumbe wa Bunge la Katiba,azingatie uteuzi ulio sawa kati ya wanaume na wanawakekama ambavyo Sheria hii inatamka.

Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.

MHE. DEVOTHA M. LIKOKOLA: Mheshimiwa Spika,naunga mkono hoja.

Mheshimiwa Spika, naomba kifungu cha 22(c)kinachotaja idadi ya wajumbe, kipengele (iv) kirekebishwebadala ya kusomeka Wajumbe 20 kutoka Taasisi za Elimu yajuu kisomeke wajumbe 20 kutoka Taasisi za Elimu ili kutoanafasi kwa wajumbe toka Vyuo, Sekondari, Elimu ya Msingina kadhalika.

MHE. ANNA M. ABDALLAH: Mheshimiwa Spika,nakubaliana na kuunga mkono hoja, lakini napendekezaWajumbe wa EALA Watanzania wawe Wajumbe wa Bungela Katiba. Ahsante.

SPIKA: Mheshimiwa mtoa hoja sijui mmejipangajeanaanza Naibu, Mheshimiwa mtoa hoja ameanza kujibu zilehoja.

WAZIRI WA SHERIA NA KATIBA: Mheshimiwa Spika,naomba kwanza kabisa nikushukuru sana kwa kunipa nafasihii ya kuja kuhitimisha hoja niliyoileta na imejadiliwa naWabunge wote.

Mheshimiwa Spika, nikushukuru sana kwa jinsiulivyoweza kuisimamia Bunge lako hili na kuisimamia hojahii na ikaendeshwa kwa jinsi ilivyoendeshwa.

[MHE. A.N. MAKILAGI]

Page 31: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

31

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Hoja imeendeshwa vizuri sana, niendelee kwanzakumshukuru Mheshimiwa Rais ambaye kwa kutukutanishaSerikali na vyama vya Serikali alitumia busara kubwa sana.Wakati alipofanya jambo lile kulikuwa na tension kidogokatika nchi na kama asingefanya alivyofanya sijui kamatungekuwa tuko leo hapa katika hali hii tuliyonayo. Kwa hiyo,namshukuru sana ameonyesha ukomavu mkubwa wa kisiasa,ameonyesha uongozi ambao kwa kweli unamstahili.

Mheshimiwa Spika, tatu, naomba nitoe shukranizangu kwa viongozi wote wa vyama vya siasa walioshirikikatika mchakato huu niwashukuru sana, nimshukuru sanaMheshimiwa James Mbatia ambaye ndiyo alikuwa kiongozikwa upande TCD, amekuja na wenzake na wamekuja namawazo mazuri mengi manzuri ambayo tulichukua mudawa kuyajadili.

Lakini nimpongeze zaidi kwa sababu pale tulipofikiatumeridhiana na amekubali hivyo. Nimpongeze MheshimiwaFreeman Mbowe, Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani, kwamara ya kwanza nimeona Muswada wa Serikali akiuungamkono kwa nguvu zake zote napenda nimpongeze sana.(Makofi)

Hakuupinga ameuunga mkono na pamoja na hajaya mambo mengine lakini ameelewa kwambatunapozungumza yako mambo mengine unapata mengineunakosa lakini huu ni mwanzo mzuri sana wa kujengamaridhiano baina ya vyama na nafikiri huko tunakokwendatutahitaji sana spirit hii kwa sababu tuko katika kujadilihatima ya nchi yetu. tunajadili hatima ya wajukuu zetu, lazimatukae tuelewane ili tutakapotoka tumalize vizuri tupate kitukizuri.

Nimshukuru sana Mheshimiwa Eng. Mnyaa vilevilenaye amepata uongozi huu si muda mrefu lakini ameonyeshakwamba ni kiongozi mzuri sana, na amekiongoza chamachake katika majadiliano haya na tumefikia mwafaka mzuri.(Makofi)

[WAZIRI WA SHERIA NA KATIBA]

Page 32: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

32

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Kwa upande wetu nimshukuru Mheshimiwa Lukuvi,ambaye naye alikuwa ndiye kiongozi katika timu yetu nayealikuwa mvumilivu, msikivu na mwisho wa siku tumefikambele ya Bunge lako Tukufu na Muswada ambaounawakilisha mawazo yetu wote. Ndiyo maana hakunakiongozi aliyesimama hapa akaupinga Muswada huu. Lakininyuma ya shughuli zote hizi tulikuwapo na viongozi wengineambao walikuwa wanashiriki kikamilifu katika kuongezachachu na kuongeza mawasil iano mazuri i l i tuwezekuelewana.

Nichukue nafasi hii kumshukuru Mheshimiwa AbubakarBakar, Waziri wa Sheria na Katiba Zanzibar ambaye mpakasasa yupo hapa nasi ameshiriki nasi vizuri, akiiwakilisha Serikaliya Zanzibar nimshukuru sana, tumeshirikiana vizuri mpakatulipofika hapa leo. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, baada ya shukrani hizo naombaniseme mjadala wa jana umejaa hekima, umejaa busaranyingi sana umeonyesha mshikamano mkubwa baina yaWabunge wa pande zote unanitia matumaini makubwasana kwamba mjadala ujao huko mbele nayo itakuwa mizurina itaishia vizuri katika kupata maelewano na muafakamzuri.

Mheshimiwa Spika, wapo wachangiaji ambaowametoa hoja mbalimbali na mimi nakusudia kuzizungumziachache tu. Kubwa sana katika majadiliano haya kutokahuko mwanzo ilikuwa ni suala zima la mamlaka ya uteuzikatika watu hao 201 je, wateuliwe na nani. Hili lilikuwalimezunguzwa sehemu nyingi na sehemu nyingi tumezitoleamaelezo. Tulisema kwa vile watu 201 hawa watakapokuwandani ya Bunge lile wanatakiwa wawe ni watu ambaowanaonyesha uasili wa nchi yaani wanaonyesha mgawanyona mtawanyiko wa jiografia, mgawanyo na mtawanyiko wakijinsia ujuzi na kadhalika. Maana nia ya watu hawa 201 siyosana sana kuwa wawakilishi.

Katika Bunge maalum la katiba wawakilishiwamejaa tupo Wabunge ambao ndiyo tunawakilisha

[WAZIRI WA SHERIA NA KATIBA]

Page 33: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

33

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

wananchi wote, wapo watu wa Baraza la wawakilishiambao wanawakilisha wananchi wote, tukasemawaongezwe watu wengine ambao wenye busara, watuambao wenye ujuzi na kwa kweli hatukumaanishawanawakilisha watu wengine hapana, ila wanawakilishamawazo ambayo pengine atakuja kutuchangia sisi humundani ili tuweze kutoa katiba nzuri katiba ambayo itakuwaimesheheni umahiri mkubwa.

Kwa hiyo, tukasema basi tutangaze watu hawatuwapate kutoka sehemu gani, tuwapate kwenye makanisa,kwenye misikiti, kwenye vyombo vya dini, kwenye NGOs,kwenye makundi ya wakulima, wavuvi, wafanyakazi nakadhalika, basi tukasema tutumie utaratibu kwambaitatangazwa katika magazeti na mara tu mkishapitisha sheriahii nafikiri ndiyo kazi kubwa itakayokuwepo kwa hiyo waleambao watataka kupata wawakilishi watapelekamapendekezo yao na Rais atateua watu kwa msingi huo.

Wazo lilikuwepo kwamba kila chombo ama NGOwapeleke wenyewe waseme sisi tumemteua Mheshimiwafulani basi awe ni huyo huyo. Hilo ni wazo zuri lakini utekelezajiwake ulikuwa hauwezi ku-guarantee ule mtawanyiko wakijiografia tunaouzungumzia ulikuwa hauwezi ku-guaranteejinsia, ulikuwa hauwezi ku-guarantee mambo hayo yotemaana ungesema NGO walete watu 20 italeta wotewanaume.

Basi hakuna mtu ambaye anaweza akafanya ilenatural mix akasema aah! Jamani wote wanaume halafuwote hawa wanatokea Nachingwea tu itakuwaje.

Kwa hiyo, lazima awepo mtu mahali aseme hebutujaribu ku-balance wanaotokea makanisani, misikitini,wanaotoka Nachingwea wanaotoka Musoma tukasemabasi Rais afanye kazi hii na ndiyo baada ya mazungumzomarefu likakubalika kwamba basi mteuzi awe ni Rais ni kazingumu, kazi ngumu sana, lakini Rais huyu aliomba kutawalanchi hii hiyo pia ni kazi ngumu zaidi haiwezi kushindwa na hiindogo.

[WAZIRI WA SHERIA NA KATIBA]

Page 34: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

34

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Kwa hiyo tumekubaliana mteuzi atakuwa mmoja,tukasema okay tupeleke majina wangapi kwake, ubishaniukawa kati ya matatu, baadaye ikawa sita mpaka tisa.Mwisho baada ya baada ya majadiliano tumekubaliana niwatu wanne mpaka tisa, NGO itapeleka huko mashirika yadini yatapeleka huko watu wanne mpaka tisa, basi Raisatakaa na vyombo vyake mwisho wa siku atatuteulia watukutoka mapendekezo hayo haitakuwa nje ya mapendekezohayo.

Kwa hiyo, suala hili la nani ateue tukawa tumelimalizaateue kutoka wapi, pia nalo tukawa tumelimaliza. Kubwajingine ambalo lilikuwepo ni hoja ya uhai wa tume ya katiba.Kukawa na mapendekezo kwamba tume hii iendelee mpakasiku ile tutakapotangaza katiba mpya. Mapendekezo hayoyalikuwepo na yalijadiliwa katika ngazi zote hizi. Lakinimwisho wa siku ikakubalika kwamba tume hii ina kazimaalum, na tume hii chini ya kifungu cha tisa cha sheriailipewa majukumu ambayo yako wazi kabisa, kwambaitafanya kazi ya kukusanya maoni itatoka mwisho na taarifana rasmu ya katiba ikishafanya hivyo itakuwa imemalizamuda wake na ndiyo maana ya tume hizi unapoteua tumeunaipa kazi maalum na ikamilisha kazi ile tume ile ina sincekuwepo. (Makofi)

Kwa hiyo, tukasema jamani lazima tufanye hivyo ifikemahali tume hii imefanya kazi, tume ya watu 32 ilizungukanchi nzima ikakusanya maoni ya watu, maoni yaleyakapelekwa kwa watu takribani 15,000 wakayajadili kwenyemabaraza yao ya katiba. Sasa maoni haya na wale watu15000 hawakuendelea kuwepo walishafanya kazi yaowamemaliza. Sasa maoni haya yakapelekwa 630 na ushee,hawa nao watayajadili, wakishayamaliza kuyajadili nawenyewe kazi yao itakuwa imekwisha sasa yatapelekwa kwawananchi wote ili wayapigie kura. Huu ni mchakato na kwahiyo kila chombo kinapokwenda halafu kazi yake ikiisha nachombo kile kinaisha tukasema kwamba Tume nayo iishewakati ikishamaliza tu kutoa taarifa na kutoa rasimu.

[WAZIRI WA SHERIA NA KATIBA]

Page 35: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

35

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Lakini pia kuna suala lingine wazungu wanaitaprinciple of bias, unapotakiwa uandike wewe document yakoumpelekee mtu ukipeleka kule kama hatakuuliza yule mtulazima wewe utakwenda kuitetea, unaiona hii ni ya kwakona principle bias inasema lazima utaenda uitetee. Tumeonahata haya katika mabaraza ya katiba wapo wajumbewengine wa tume, walikuwa wanakwenda kutetea badalaya kwenda kutetea, wakawa wanatetea sana hoja yao. kwahiyo ni kitu natural kwa binadamu, nimeandika hiki changuukiniuliza nitakwambia this is the best kwa hiyo, itaendeleakuwa hivyo.

Sasa tukifanya hivyo tunawapa nafasi gani wajumbewa Bunge, Wabunge la Bunge la Katiba kujadili kwa uhuruna kwa uwazi jambo hili. Nafikiri Tume, iishe pale itakapoishana ndiyo tulivyokubaliana na tumeleta katika mapendekezoya waraka wetu. (Makofi)

Nikumbushe tu makubaliano haya ni muafaka wamajadiliano ya muda mrefu, baina ya vyama na baina yaSerikali. Kwa hiyo, hapa yalipo ningewaomba WaheshimiwaWabunge wasilete mabadiliko makubwa makubwa sana,ila intake kuzingatia kwamba yako mabadiliko ambayo nimuhimu ambayo nadhani sisi tunaweza kuyakubaliimmediately. Kwa mfano, lipo pendekezo lilitolewa na nduguyangu mama Margreth Mkanga kwamba, tufute manenoperson’s with special need, badala yake tuweke maneno,people with disabilities.

Sasa hili mimi nalikubali moja kwa moja kwa sababuni matumizi tu ya terminology hizi. Persons with disabilities naperson’s with special needs. Maana hawa watu wenye specialneeds ni nani? Ni hawa hawa, watu ambao wana disabilities.Nitakachojaribu kusema na nitawataka waandishi wa Sheria,pale wanaposema people with special need, badala yakewaseme persons with disabilities, na ndiyo hasa inavyotumika,badala ya people with disability iwe person’s with disabilities.

Jingine ambalo nitalikubali moja kwa moja nalo nikatika kifungu cha 22(2)(c) iv, kinasomeka kwamba,

[WAZIRI WA SHERIA NA KATIBA]

Page 36: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

36

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

wajumbe kutoka taasisi za Elimu ya juu. Sasa kuna wajumbewanatoka kwenye Taasisi za Elimu, lakini pengine siyo Elimuya Juu. Watu kama wanaotoka VETA. Sasa walewataingiaje? Kwa hiyo, tuseme badala ya taasisi za Elimuza juu, tuseme taasisi za elimu. Tuziache hivyo na pendekezohili nitalikubali limeletwa na Mheshimiwa Lukokola, nalionalinafaa na ni zuri sana.

Nieleze tu kwamba, makundi haya yatakapoalikwayataalikwa kutoka nchi nzima, na msingi wa wale 201, nikwamba, nusu yake watakuwa wanawake na nusu yakewatakuwa wanaume. Sasa kwa vile ni watu 201, natakaniamini kwamba wanawake watakuwa101 na wanaumewatakuwa 101. (Makofi)

Tutawapa advantage akina mama. (Makofi/Vicheko/Vigelegele)

SPIKA: Hawa watakuwa na hatari kama watakuwana Bunge baadaye watakuwa wanapiga vigelegele.(Kicheko)

WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA: Mheshimiwa Spika, sasayapo mapendekezo ambayo yamependekezwa na rafikizangu wawili ambayo ni makubwa kidogo na miminimejaribu kuongea nao binafsi. Binafsi nimeongea naMheshimiwa John J. Mnyika, ambaye amependekeza nambaile ibadilike kutoka 201 iwe 292. Nimejaribu kuongea nayesana, kwa kweli ametengeneza kesi yake ameijenga naimezungumzwa katika hatua zote za mjadala huu. Kwabahati mbaya haikufanikiwa na mpaka juzi haikufanikiwahata katika Kamati ya Bunge.

Sasa ningemwomba kwa kuokoa muda, atailetatena, ataizungumza tena, lakini ningemuomba tu kwakuokoa muda na nilimuomba jana, nataka niamini kwambakwa sababu ni mtu ambaye tunaelewana sana, basi ataitoailiisiendelee.

[WAZIRI WA SHERIA NA KATIBA]

Page 37: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

37

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Kama vile ambavyo nilimwomba MheshimiwaChristopher Ole-Sendeka naye amejaribu kuleta hoja yamugawanyo wa nafasi za wajumbe wale 42 wa vyamavyenye usajili wa kudumu, akajaribu kuleta hoja ambayonilidhani kidogo inaweza ikaleta mjadala mrefu sana. Hatahivyo, ningependa kumkumbusha tu kwamba, hii iliyoletwahapa ndiyo makubaliano tuliyoyafanya huko ya vyama. Nimakubaliano ambayo tumeyafanya baada ya mazungumzoya muda mrefu na maridhiano ambayo tumeyafanya.

Kwa hiyo, ningemuomba na yeye pia, kamanilivyomuomba jana kwa kuwa hakunikatalia, basi tukifikawakati huo aondoe suala hili ili tuendelee tuzingatiemaelewano tuliyoyafanya kivyama.

Lipo moja limeletwa na Mheshimiwa Jenista J.Mhagama ambalo nafikiri lilikuwa ni tatizo la uandishi kwenyekifungu cha Muswada, kifungu cha tatu(a) lakini kwenyesheria ni kifungu cha 24, ambacho kinapaswa kusemakwamba, not withstanding the provisions of badala yakekimeandikwa kinamna namna hivi ambayo sasa hailetimaana. Nia ilikuwa kutoa madaraka kwa Makatibu wetuwa Bunge na Katibu wa Baraza la Wawakilishi ili wawezekufanya kazi zao katika kipindi hiki cha maandalizi ya kufikiahapo tutakapokuwa tunaanza Bunge Maalum. Yapomaandalaizi ya muhimu ya kufanyika, kwa mfano kamatutakuja kufanya kwenye ukumbi huu, itabidi ukumbi huuurekebeshwe na kuna maana ya contracting, kuna mtu ajekufanya hayo.Kama kuna haja ya kuandaa makaratasiyoyote, documentations na nini na vitu kama hivyo, inabidivifanyike mapema, lakini hawa wasingeweza kufanya bilakupewa madaraka hayo na sheria. Kwa hiyo, nakubalianana mapendekezo yale ya Mheshimiwa Jenista J. Mhagama.Kifungu hicho kitarekebishwa accordingly ili tuweze kuwapahaya madaraka hawa wenzetu viongozi wa Bunge ili wawezekufanya maandalizi ambayo tutayahitaji yafanywe kablaBunge Maalum la Katiba halijakaa.

Mheshimiwa Spika, kwa kweli naomba niseme tu,mjadala umekuwa mzuri, umeonyesha ukomavu, mjadala

[WAZIRI WA SHERIA NA KATIBA]

Page 38: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

38

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

umeonyesha hekima kubwa na watu wengi waliochangiawameunga mkono. Nisipende kuchukua muda mwingi sanaila tu nitoe rai kwa Waheshimiwa wabunge wote kwamba,tupitishe sheria hii ili tuanze kuifanyia kazi kwa harakaiwezekanavyo.

Mheshimiwa Spika, baada ya kusema maneno hayomachache na kwa vile Muswada wenyewe una vifunguvitano tu, nategemea hakutakuwa na mjadala mrefu sana.Kwa hiyo, baada ya kusema hayo machache, naomba kutoahoja. (Makofi)

(Hoja iliamuliwa na Kuafikiwa)(Muswada wa Sheria ya Serikali Ulisomwa Mara ya Pili)

KAMATI YA BUNGE ZIMA

Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko yaKatiba wa mwaka, 2013 [The Constitutional Review

(Amendment No.2) Bill, 2013]

Ibara ya 1

(Ibara iliyotajwa hapo juu imepitishwa naKamati ya Bunge Zima bila Marekebisho yoyote)

Ibara ya 2

JEDWALI LA MAREKEBISHO LITAKALOWASILISHWA NA MHE.MATHIAS CHIKAWE, WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA WAKATI WAKUSOMWA KWA MARA YA PILI MUSWADA UITWAO “SHERIA YAMABADILIKO YA KATIBA (MAREKEBISHO NA. 2) YA MWAKA 2013

________Imetengenezwa chini ya Kanuni ya 86(10)(b)

__________

Muswada wa Sheria uitwao Mabadiliko ya Katiba(Marekebisho Na. 2) ya mwaka 2013 unafanyiwa marekebishoya ujumla.

[WAZIRI WA SHERIA NA KATIBA]

Page 39: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

39

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

A: Katika Ibara ya 2(a) kwa: (a)kufuta neno “sita”linaloonekana kwenye kifungu kidogo cha (2A) nakulibadilisha kuwa “nne”;

(b)kufuta maneno “Chama kinachowakilisha”yanayoonekana katika aya ndogo ya (vii) na kuyabadili namaneno “vyama vinavyowakilisha”;

(c) Kufuta maneno “Chama kinachowakilisha”yanayoonekana katika aya ndogo ya (viii) na kuyabadili na(d) maneno “vyama vinavyowakilisha”.

Dodoma MC8 Novemba, 2013 WKS

SCHEDULE OF AMENDMENT TO BE MOVED BY HON. MATHIASCHIKAWE, THE MINISTER FOR CONSTITUTIONAL AND LEGALAFFAIRS AT THE SECOND READING OF A BILL TITLED “THECONSTITUTIONAL REVIEW (AMENDMENT NO. 2) ACT, 2013”

________Made Under Section 86(10)(b)

_____A Bill titled the Constitutional Review (Amendment

No. 2) Act, 2013 is generally amended as follows:

A: In clause 2 (a) by:

(a) deleting the word “an” appearing in item(vii) of paragraph (c) and adding a letter “s” at the end ofthe word “association”;

(b) adding a letter “s” at the end of the word“association” appearing in item (viii) of paragraph (c); and

(c)deleting the word “six” appearing insubsection (2A) and substituting for it the word “four”.

Dodoma MC 8th November, 2013 MCLA

Page 40: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

40

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

MWENYEKITI: Tuanze na Mheshimiwa Mkanga!

SCHEDULE OF AMENDMENT TO BE MOVED BY HON.MARGARETH AGNES MKANGA A MEMBER OF

PARLIAMENT SPECIAL SEATS AT THE SECOND READING OFA BILL ENTITLED “THE CONSTITUTIONAL REVIEW

(AMENDMENT NO.2) ACT, 2013_________

[Made Under S. 0. 86(9) & (11)]_________

A Bil l entitled “The Constitutional Review(Amendment No. 2) Act, 2013is amended as follows-

A. In clause 2(a) (v)

B. By deleting the words “special needs” andsubstituting for them the word “disabilities”

____________________________HON. MARGARETH AGNES MKANGA (MP)

SPECIAL SEATS7/11/2013

MHE. MARGARETH A. MKANGA: MheshimiwaMwenyekiti, nashukuru kwa kunipa nafasi ili na mimi niwezekuhitimisha suala langu. Kwa kweli bila kupoteza mudaniseme naishukuru Serikali kwamba iliweza kukubaliana nakuona uzito wa kurekebisha hiyo ibara ya 2(a) kifungu chatano (v) cha kirumi. Sasa badala ya yale maneno ya specialneeds, tuweke peupe kabisa disabilities, ninashukuru sana naninaomba Waheshimiwa wenzangu wote hili tuliunge mkonokwa sababu tutawapa nafasi waandaji wa Ukumbi na kilakitu kuweza pia kufikiria kuweka wazi yale ambayoyanawahusu hawa wajumbe watakaokuwa wenye ulemavu.

Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi kwa kweli nisipotezemuda, naendelea kushukuru na kuwaomba wenzangukwamba hili tukubaliane ndiyo hali halisi.

Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante sana. (Makofi)

Page 41: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

41

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA: MheshimiwaMwenyekiti, nilikwishasema kwamba hilo tumelikubali natutalirekebisha.(Makofi)

MWENYEKITI: Litakaaje sasa kwenye Sheria?

WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA: Maneno ni kwamba,persons with disabilities.

MWENYEKITI: Mheshimiwa sawa, kwa hiyo inaingiawapi? Roman five (v) naomba mtusomee kamaitakavyokuwa.

WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA: Roman five (v)tunasema, twenty members from groups of persons withdisabilities, badala ya inavyosomeka sasa, twenty membersfrom groups of people with special needs. Isomeke twentymembers from groups of persons with disiabilities.

MWENYEKITI: Ahsante, Mheshimiwa Ole-Sendeka.

MBUNGE FULANI: Hayupo.

MWENYEKITI: Badala yake, Mheshimiwa Lediana M.Mng’on’go!

MHE. LEDIANA M. MNG’ON’GO: Mheshimiwamwenyekiti, ahsante sana kwa kunipa nafasi, kwanzanaomba niipongeze Serikali, nampongeza Waziri kwakukubali kwamba kati ya Wajumbe 201…

MWENYEKITI: Fanya amendment!

MHE. LEDIANA M. MNG’ON’GO: MheshimiwaMwenyekiti, amendment yangu ni sehemu ya pili (a) kifungu2(b) kipengele (b). Ningependa tubadilishe neno paleinaposema, taking into consideration gender balance,napenda tuondoe neno balance tuweke neno parity.Ninasema hivyo kwa sababu, katika tafasiri ya Kiswahiliimeleeza vizuri kwamba, usawa wa kijinsia, lakini ukija

Page 42: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

42

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

kwenye Kingereza inasema gender balance. Genderbalance inategemea na mtu atakavyotafasiri. Kwa hiyo,ndiyo maana inategemea na mtu atakavyotafasiri, ndiyomaana nimeona tuweke parity badala ya balance.

Kwa kuzingatia yale yote ambayo tumeshaeleza hukonyuma ili nisirudie kueleza upya, kwamba wanawake hatahumu ndani Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano;tuko asilimia 36 na tukiwaongeza wale wa Serikali ya Barazala Wawakilishi bado pia ni wachache. Kwa hiyo, tukipataasilimia 50% ambayo, itakuwa imeongeza wale wanawakekwa hiyo, tutakuwa tumeongeza namba, tukizingatiakwamba wanawake ni asilimia 51, sauti yao inatakiwa isikikehumu ndani na tunajua kwamba tukifika kwenye kura zamaoni watakao toa nafasi wengi ni wanawake. Kwa hiyo,naomba ionekane wazi kwenye sheria hii.

Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante sana. (Makofi)

WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA: MheshimiwaMwenyekiti, kama nil ivyozungumza wakati nafanyamajumuisho, hili tulikubali na infact tutashindwa tu jinsi yakuandika yule mmoja anampataje maana atakuwa ni miamoja na moja, itazidi hata hiyo gender parity, lakini tunakubalikwamba sasa, kifungu kile (d) kisomeke take intoconsideration gender parity badala ya balance. (Makofi)

MWENYEKITI: Ahsante, Mheshimiwa Mnyika!

MHE. JOHN J. MNYIKA: Mheshimiwa Mwenyekiti,nakushukuru. Nina mapendekezo ya marekebisho kwenyekifungu hicho na marekebisho hayo ni ya kuongeza idadi yawajumbe, kutoka 201 mpaka 292. Idadi ya wajumbewanaotoka nje ya vyama vya siasa. Ningependamaelekezo yako, iwapo katika hatua ya sasa niwasilishekuhusu kipengele (a) cha jedwali langu na kipengele (b)ama niwakilishe kipengele (a) peke yake cha jedwalikinachohusu idadi.

[MHE. L. M. MNG’ON’GO]

Page 43: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

43

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

MWENYEKITI: Naomba uanze na kimoja tu, wafanyemaamuzi halafu tuendelee.

SCHEDULE OF AMENDMENTS TO BE MOVED BY HON JOHNJOHN MNYIKA MEMBER OF PARLIAMENT FOR UBUNGOCONSTITUENCY AT THE SECOND READING FOR THE BILL

ENTITLED THE CONSTITUTIONAL REVIEW(AMENDMENT NO. 2) ACT, 2013

Made Under Standing Order 86(11) and 88(2)

A bill entitled “THE CONSTITUTIONAL REVIEW (AMENDMENT NO.2) 2013” is amended as follows:

A: In Clause 2(a) amending newly introduced sub section“c” by deleting the words “two hundred and one” andsubstitute with the words “two hundred and ninety two.”

B: In clause 2(a) which introduces new subsection (c) i, ii, iv,v, vi, vii, viii, ix and x by:

(i)Deleting the word “twenty” replace with “thirtyone.”

(ii)Deleting the word “twenty” and replace with “thirtyone.”

(iv)Deleting the word “twenty” and replace with“thirty one.”

(v) Deleting the word “twenty” and replace with“thirty one.”

(vi) Deleting the word “nineteen” and replace with“thirty.”

(vii) Deleting the word “ten” and replace with“sixteen.”

Page 44: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

44

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

(viii) Deleting the word “ten” and replace with“sixteen.”

(ix) Deleting the word “twenty” and replace with “thirtyone.”

(x) Deleting the word “twenty” and replace with “thirtythree.

……………………….…..JOHN JOHN MNYIKA (MP)UBUNGO CONSTITUENCY

8. 11. 2013

MHE. JOHN J. MNYIKA: Mheshimiwa Mwenyekiti,nashukuru sana.

Mheshimiwa Mwenyekiti, pendekezo hapa nikuongeza idadi kutoka 201 mpaka 292. Jana nilitambua nanilishukuru Serikali kwa kuongeza idadi kutoka 166 mpaka201. Hata hivyo, nilieleza kwamba, pendekezo hili badohalijakizi mahitaji.

Wakati Waheshimiwa Mawaziri wanachangia hojajana, ilielezwa kwamba, hoja hii ya kuongeza idadi yawajumbe ni kwa sababu tu ya kutaka usawa na hadhi sawakatika Bunge la Katiba. Hii ni kati ya sababu moja tu.

Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini baada ya maelezo yajana, nimekwenda kufanya rejea ya waraka ambao wakuuwa vyama vya siasa walimwandikia Mheshimiwa Rais. Wakuuwa vyama vya siasa vyote kwa ujumla wake walimuelezaMheshimiwa Rais kuhusu namna ambavyo Bunge la Katibalitahodhiwa na wanasiasa na vyama vya siasa. Likatoa rai,kwa Mheshimiwa Rais, kwamba hali hii, rai ambayo sasanaomba nitoe kwa Waheshimiwa Wabunge wezangu.

Kwamba, rai hii isiporekebeshwa, itakuwa na maanaya kwamba, Katiba mpya itatokana na matakwa ya vyamavya siasa ambavyo idadi yao ya jumla ya wanchama wao

Page 45: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

45

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

haifiki milioni kumi kati ya Watanzania zaidi ya milioni 45 kwamujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012. Kwasababu hiyo, wadau karibu wote, iwe ni taasisi za dini , vyamavya wafanyakazi, vyama vya taasisi ya elimu ya juu, vyamavya walemavu. Wadau karibu wote waliokuja mbele yaKamati ya Katiba na sheria, walipendekeza idadi yawajumbe wasiokuwa Wabunge na wawakilishi, iongezwehadi kufikia theluthi mbili ya wajumbe wote wa Bungemaalum.

Kama haiongezwi basi wakatoa pendekezo wadaukwamba idadi ya Wabunge na wawakilishi ipunguze kufikiatheluthi moja ya Wajumbe wa Bunge Maalum. Sasa kwakuwa pendekezo la kupunguza Wabunge na Wajumbe waBaraza la Wawakilishi haliwekezani kutekelezeka, suluhishopekee, kwa maoni mbalimbali yaliyotolewa ni kuongezaidadi ya wajumbe wengine nje ya Bunge.

Mheshimiwa Mwenyekiti, ndiyo msingi wa pendekezowa 292. Hii nambari 292 ni mbili ya tatu ya jumla ya Wabungena wawakilishi ambayo jumla yake ni 438. Mbili ya tatu yahawa wote kwa ujumla wake ndiyo 292.

Mheshimiwa Mwenyekiti, jambo hili lina implicationkubwa sana kwenye upitishaji wa Katiba. Kwenye maamuzijuu ya Katiba tutakapokaa kama Bunge maalum la Katiba,wakati wote, tutakaa pande mbili za Muungano kwenyekuamua. Tutakapokaa upande wa Tanzania Bara na upandewa Zanzibar peke yao. Waheshimiwa Wabunge mnawezamukaanza kufikiri kuanzia sasa.

(Hapa Kengele ililia kuashiria kwishakwa muda wa mzungumzaji)

MWENYEKITI: Kengele hiyo, ni dakika tano umemaliza.

MHE. JOHN J. MNYIKA: Mheshimiwa Mwenyekiti,nashukuru, naomba Wabunge wenzangu waniunge mkonosauti hii ya makundi mbalimbali ya kijamii nchi nzima.

[MHE. J. J. MNYIKA]

Page 46: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

46

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

MHE. ESTER A. BULAYA: Mheshimiwa Mwenyekiti,nakushukuru. Nimesikil iza vizuri maelezo ya Mbungemwenzangu, kijana mwenzangu Mheshimiwa John Mnyikaambaye namuheshimu sana kwa uwezo wake. Hata hivyo,kama ambavyo tumesema, siyo kila kitu ambacho katikamakubaliano ya kwako yakapita yote.

Mheshimiwa Mwenyekiti, tunaamini kabisa naaminikama mimi pia, ningependa labda wajumbe wangebakiwale wale 161. Lakini kwa ajili ya kutengeneza muafaka waKitaifa, Serikali na yenyewe ikakubali kuongeza kufikiawajumbe 201.

Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini kusema kwamba sisivyama vya siasa wanachama wetu hawazidi milioni kumi,jambo hilo nalikubali. Lakini Wambunge humu ndani wotemitakubaliana na mimi hatukuchaguliwa na wanachamawetu peke yake. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, tumechaguliwa na watuwengi ambao wengi hao hawana vyama. Sasa sioni hofuya uwakilishi wa Wabunge sisi tuliokuwa humu ndani, kwaajili ya kuleta mawazo ya wananchi.

Mheshimiwa Mwenyekiti, hofu ya kwamba Wabungewa CCM tuko wengi, katika suala la Katiba, mutakubalianana mimi Wabunge wenzangu misimamo tunatofautiana.Kwa hiyo, kuna mambo ambayo tutakubaliana tu kwamaslahi ya Taifa katika kutunga Katiba.

Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi naona kwamba, badoidadi ya 201 inatosha kwa sasa, tukubaliane tuvuke salamaili tuweze kutengeneza Katiba ambayo itakuwa bora kwaTaifa letu.(Makofi)

(Hapa kengele ililia kuashiria kwishakwa muda wa mzungumzaji)

MWENYEKITI: Kengele imengonga.

Page 47: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

47

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

MHE. MWIGULU L. N. MADELU: MheshimiwaMwenyekiti, nakushukuru sana kwa nafasi, mimi nasimamakutoa maoni kwamba mapendekezo yaliyoletwa na Serikaliyabakie vilevile kwa sababu kubwa tatu.

Sababu ya kwanza, sababu il iyotolewa naMheshimiwa Mbunge mwenzangu ya kwanza wanaongezaidadi ili mchakato usihodhiwe na wanasiasa na Vyama vyaSiasa, inapingana na msimamo ya kwanza. NiwakumbusheWabunge na Watanzania kwamba katika Muswada wakwanza ambao tulipokuwa tunajadili Upinzani ukatoka,moja ya hitaji lao ilikuwa ni kwamba wanasiasa wahusishwekwenye suala hili kwa sababu suala la Katiba ni suala lawanasiasa.(Makofi)

Ndipo Serikali ikafikiria kuwaweka wanasiasa,kulikuwepo na mambo mengi sana yaliyokuwa yanatakatuwaweke pembeni wanasiasa, lakini madai yao yakawawanasiasa wahusishwe. Niwaombe tu tuwe tunakumbukavitu tunavyodai ili kuepusha kudai vitu vilevile ambavyotulishavipigia kelele na hasa kutishia Usalama wa Taifa.

Jambo la pili, mimi niwahakikishie Watanzania,kwenye hili jambo la Katiba, kuna watu wana allergy na hilineno CCM, wanasema labda wana CCM humu ndani wakowengi. Hivi majuzi tulienda kwenye Mabalaza ya Katibampaka Vijijini, asilimia 90 ikawa CCM. (Makofi)

Kwa hiyo, popote utakapokwenda kuwavuaWatanzania utakutana tu na wana CCM. Hata leo hiitukamua Bunge la Katiba tutafanya Mikutano ya Hadharaya kila Wilaya, tukitafuta theluth Mbili asilimia kubwa itakuwani wana CCM, kwa sababu ndiyo hali halisi, hili halikwepeki.Tuzingatie hoja, msingi wa hoja ndiyo utakaofanya watanzaniwaegemee kwenye ile hoja ya msingi, tukiwa na vitu moyonimwetu ambayo inalengalenga mambo tuliyonayo kifichoniyanayohusu uanasiasasiasa hatutafika na hatutawezakupata Katiba iliyo nje, tuzingatie jambo la msingi la namnahiyo.

Page 48: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

48

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Kwa hiyo, naomba mapendekezo ya idadi ileiliyoletwa iendelee kuwa vilevile.

MWENYEKITI: Waheshimiwa mjue anayetoa hoja anadakika tano, ninyi mnaoungamkono ni tatu tatu. Kwa hiyo,mkijipanga mjipange kwa tatu maana naona argumentszinakuwa hazijamalizika dakika zimekwisha. Maana yakehamjipangi vizuri. Mheshimiwa ambaye hajazungumza sana,Mheshimiwa Pindi Chana.

MHE. PINDI H. CHANA: Mheshimiwa Mwenyekiti, miminakubaliana na kwamba tunapaswa kuwashirikishaWatanzania na ninaomba niseme kwamba ni jambo lamsingi, na Kamati i l i l iangalia hilo la kuwashirikishaWatanznaia, lakini siyo kwa mtazamo wa kutoka 201 kwenda292 kama maelekezo ya mtoa hoja anavyoweka. Kamatiililiona katika angle ifuatayo. Wanashirikishwa Watanzaniawote wenye umri wa zaidi ya miaka 18, wenye sifa ya kupigakura kutipitia Referendum. (Makofi)

Kwa hiyo, tukiwaongeza hawa wachache, badokutakuwa kuna maoni kutoka kona nyingine kwamba hatatunaotaka kuwaonggeza 35 bado ni wachache. Kwa hiyo,mimi naomba Bunge lako Tukufu likubaliane kwamba baadaya Bunge la Katiba, tunakwenda Referendum. Daftari laKudumu, linaboreshwa. Pale ambapo tuna Mtanzaniamwenye umri zaidi ya miaka 18, mwenye sifa za kupiga kuraatakuwa ana haki ya kutumia haki yake ya kupiga kura.

Kwa hiyo, suala la kuongeza wale watu haki yaoinabaki kwenye suala zima la Referendum. Idadi ya watu waBunge la Katiba inatosha kama ilivyoletwa na Serikali.(Makofi)

MHE. DAVID Z. KAFULILA: Mheshimiwa Mwenyekiti,nadhani tangu jana Bunge hili linakubaliana kwamba tufanyemaamuzi kwa kutazama nchi na tusifanye maamuzi kwakutazama vyama vyetu. Kuna kila hisia na wachangiajiwaliotangulia wameeleza kwamba inawezekana

[MHE. M. L. N. MADELU]

Page 49: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

49

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

wakiongezwa watu kutoka nje huenda wakawa ni watuambao hawaambatani na misimamo ya Chama fulani.

Hisia hizo amezungumza Mheshimiwa Ester Bulaya.Mimi naomba tukubaliane, kwamba mchakato wa Katibani zaidi ya Vyama, ni zaidi ya wanasiasa. (Makofi)

Tusijiaminishe kwamba sisi wanasiasa tuna uwezomzuri, au ni wazalendo sana kuliko walioko nje ya siasa.Hapa ndipo maeneo ambapo tunapaswa kuonyeshakwamba hii nchi sasa imekutana kufanya mwafaka waKitaifa na siyo mwafaka wa Vyama. (Makofi)

Bunge la Katiba likijaa Vyama, utakuwa ni mwafakawa Vyama katika nchi hii na siyo mwafaka wa Kitaifa.Naomba tujiulize hiyo nyongeza ambayo Mheshimiwa Mnyikaanasema ya kufikia 292 tukiipitisha, CCM inapoteza nini!(Makofi)

Tujiulize kwamba tunaunga mkono hoja hii nikwamba tunahisi kwamba hoja hii isipopitisha tutapotezawa tu muhimu watakaoingia kwenye Bunge la Katiba ambaowanatoka nje ya siasa na siyo kweli kwamba Referendumkule ndiyo wakashirikishwe wote kwamba inatosha, Bungela katiba litafanya kazi kubwa ambayo kimsingie kwenyeReferendum ni kupiga kura tu. (Makofi)

Kuna kila umuhimu wa kuhakikisha tunaongeza idadiya kutosha ili kusudi Bunge hili la Katiba lichukue sura ya nchina siyo sura ya Baraza la Wawakilishi na sura ya Bunge laMuungano. Hiyo ndiyo nasaa yangu kwao ambaowanapinga hoja hii.

Hoja ya Bajeti…........

MWENYEKITI: Waheshimiwa, kinacholeta ukakasindani ya vichwa hivi mnapozungumza habari ya Vyama,mimi napata shida kweli, kwa sababu hapa ni Katiba,tuzungumze mantiki, lakini ukinza kuingiza Vyamamtafanyaje? Nasema kwa wote, Mheshimiwa Wenje, sikiliza,

[MHE. D.Z. KAFULILA]

Page 50: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

50

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

nasema kwa sisi, sisemi kwa mtu, nasema sisi sote humutukizungumza habari ya vyama inakuwa inaleta ukakasikabisa. Impression mnayotoa hawi nzuri. Sisemei kwa mtuyeyote nasema sisi wote, tuzungumze mantiki ya kubadilishahistoria. Naombeni sana Waheshimiwa Wabunge, impressionmnayopeleka, kama mnakwenda kujadili kule mambo yavyama, honestly siyo siyo nawaombeni Wabunge wotewithout exception tafadhali. Alisimama nani hukunilimwona, Mheshimiwa Tundu Lissu, dakika tatu.

MHE. TUNDU A. M. LISSU: Mheshimiwa Mwenyekiti,nilisema jana nimesema mara nyingi sana kwamba tunahitajikujifunza siyo kutokana na historia yetu peke yake lakini vileviletutahitaji kujifunza kutokana na historia ya jirani zetu. Kenyailipitisha Katiba mpya mwaka 2010, Bunge la Katiba la Kenyalilikuwa na wajumbe 629, kati yao Wabunge walikuwa 222.Wajumbe 407 waliobaki walitoka nje ya Bunge na nje yavyama vya siasa. (Makofi)

Nafikiri pamoja na kwamba ina miaka mitatu tu,Katiba ya Kenya ni moja ya the best Constitutional documentsaround. Sasa watacheka lakini ndiyo hivyo. Hapa tunatakatupitishe Katiba mpya kwenye Bunge la Katiba ambaloasilimia zaidi ya 70 ya Wajumbe wake watatoka kwenyeVyama vya Siasa Bungeni. Watatoka kwenye vyama sitavya siasa, wengine wote watakuwa nje. Sasa.....…

MWENYEKITI: Haya, kengele tayari, hatuanzi mjadalaupya, tunataka…Mheshimiwa Mbowe unajibu kwa niaba yaMnyika? Maana yake kuna kujibu, mimi nataka kumwitaMheshimiwa Mnyika ajibu, kama unajibu mjibie.

MHE. FREEMAN A. MBOWE: Mheshimiwa Mwenyekiti,nilitaka niongee tu hoja ndogo sana hapo, kwa kuwaombaWaheshimiwa Wabunge wenzetu. Kwa ajili ya spirit ile ileambayo tulishajaribu kuijenga, naomba nizungumze jambomoja muhimu sana, Constitution ni matumaini yangukwamba Katiba yetu haitaangalia tu masuala ya kisiasana kiutawala, itaangalia masuala ya economic well beingya nchi yetu. Ukiangalia hata haya makundi yote

[MWENYEKITI]

Page 51: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

51

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

yaliyoainishwa hapa, ambayo yameshapewa alocation yaWajumbe, kuna very little consideration imefanyika kwaprivate sector. Wakati wote tunakubaliana kwamba kamakweli tunataka kuangalia nchi yetu economically nautilization na resources, hatuwezi tukaipuuza private sectorkatika Taifa letu.

Tutajazana wanasiasa, wanasiasa tutapiga kelele,lakini kama kweli tunataka kuweka focus kwenye economics,tunataka kuweka focus katika masuala ta integration,hatuwezi tukafika hatua tukaendelea kupuuza nafasi yaprivate sector katika Constitution making process.

Mheshimiwa Spika, ningeomba sana, hiyo idadiiongezwe, ili pamoja na mambo mengine yote, hilo kundi laprivate sector lipewe consideration, haya ni mambo muhimusana sana. Watu walioko kwenye mining, kwenye financialinstitutions, watu walioko kwenye masuala ya, hawa ma-CO Round Table. Kuna watu wengi sana katika private sectorambao hawako considered kabisa katika makundi yoyote,ningeomba sana hiyo idadi iongezwa ili tujumuishe kundi hilimuhimu mno, kwa faida ya economy ya nchi yetu, ahsantesana.

TAARIFA

WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, SERA,URATIBU NA BUNGE: Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba kutoataarifa ili kuweka rekodi sawa. Mheshimiwa Mnyika amerudiamaneno ya jana, kwamba hiyo nyaraka aliyoitumia yeye ninyaraka iliyotolewa na Wenyeviti kwa Rais, sawa nakubali,tuligawiwa wote Mheshimiwa Mbowe alitupa, lakini baadaya pale, nyaraka tuliyoifanyia kazi siyo ile, nyaraka tuliyoifanyakazi ni hii aliyoitoa Mheshimiwa Mbatia. I le i l ikuwaconsumption ya principals , hawa wakubwa zetuwamepeana wenyewe, lakini baada ya pale, akaagizwaMheshimiwa Mbatia atengeneze working document yatechnical committee. Kwa hiyo, nataka kuweka rekodisawa, sababu zilizotajwa ndani ya Bunge lako siyo sababuzile zilizotakiwa kufanyiwa kazi. Sababu zilizotajwa ndani ya

[MHE. F.A. MBOWE]

Page 52: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

52

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

working document tuliyoifanyia kazi na kutengenezamarekebisho haya, ni zile ambazo ziko kwenye waraka waMheshimiwa Mbatia na siyo walaka anaousemaMheshimiwa Mnyika, nilitaka kuweka rekodi sawa. (Makofi)

NAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI (MHE. GEORGE.B. SIMBACHAWENE): Mheshimiwa Mwenyekiti, napata shidakama kinachosemwa na Mheshimiwa Mnyika kina akisi fomulayoyote. Yaani unaweza ukasema, waliposema 166, zilielezwasababu. Waliposema iongezeke 35, zilielezwa sababu. Hiisababu ya Mnyika anayoificha kwenye sababu ambazo siyohalisi, ni ipi? Kama siyo siasa. (Makofi)

Sisi ni watu wazima, let us be serious. We have saidlet us go beyond our political parties, na Watanzaniawatuelewe, kwamba kama ukisema suala la uwiano, haomnaoseme 600, haiwezi kuakisi, idadi ya Watanzania milioni46. (Makofi)

Haiwezekani, kwa sababu hata mtu yeyote, mimininaweza nikasema basi tuwe 10,000 kutoka kwenye hiyoidadi ya Watanzania milioni 46, basi wawe 10,000, halafu nayenyewe hiyo itakuwa hoja hapa itatusumbua.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, hapa mtu yeyoteanaweza akaja na idadi yake kwa sababu zake, na wotetunazo sababu hapa tunaweza tukaja na hoja hizo. Kwahiyo, mimi ninasema hoja ya Mheshimiwa Mnyika, kwasababu imepita katika kila forum ya iliyojadili Muswada huuna ilikuwa inaanguka, na taarifa zimesemwa. MjumuishajiWaziri mwenye hoja amesema kila stage imepita na ilikuwainaanguka hiyo hoja.

Mheshimiwa Mwenyekiti, haina mashiko na hainasababu ya kulisumbua Bunge lako kwa sababu, kila stageiliyopita imekuwa ikianguka, na hiyo Bunge halifanyi kazihapa ndani. Bunge lina process yake, utungaji wa Sheria it isa process, lazima tuiheshimu hiyo process. Kama hojaimekuwa ikianguka katika kila stage, inakujaje hapaituchukulie muda, ichukue, waonekana Watanzania kama

[WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU (SERA, URATIBU NABUNGE)]

Page 53: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

53

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

vile kuna jambo kubwa wakati mambo makubwa yamaana yamekwisha amuliwa. (Makofi)

MHE. JOHN J. MNYIKA: Mheshimiwa Mwenyekiti,ninashukuru Waheshimiwa hoja inaweza ikapita mahalikwingi, ikakataliwa na wengi, kwa sababu tu wengiwameamua kuikataa hoja.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kuna mwana falsafa alikuwaanaitwa Socrates, alikuwa na hoja kwamba dunia iko kamaduara. Watu walikuwa wanaamini dunia iko kama meza.Waliikataa ile hoja na hatimaye wakamlisha sumu, lakinibaadaye ikaja kugundulika kwamba kumbe dunia iko kamaduara, na inazunguuka. (Makofi)

Kwa hiyo, Waheshimiwa Wabunge wenzangutuitazame hoja kama hoja, tusitazame mtoa hoja walaChama anachotoka Mtoa Hoja. Hoja yenyewenimeshaielezea, lakini kwa sababu kuna majibu yametolewakwenye michango ya Waheshimiwa Wabunge wenzangu yakwamba. Mosi, kwamba huko nyuma tulizungumzawanasiasa wawakilishwe. Tulizungumzia katika mchakatowa uundaji wa Tume ya Katiba na wazo lilitoka pande zotena hata upande wa CCM na hata upande wa MheshimiwaRais.

Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini kwa upande waWajumbe wa Bugne la Katiba, mkirudi kwenye kumbukumbuza Bunge mwaka 2011, siyo tu tulizungumza kuhusu nyongezaya idadi, bali tulitaka wachaguliwe moja kwa mojaWajumbe maalum watakaofanya kazi ya kutunga Katibapeke yake, wazo hili lilikataliwa. Wazo ambalo ni mbadalasasa wa wazo hilo, ni kuwa na mchanganyiko kati yaWabunge na Wajumbe wawakilishi na Makundi menginekatika jamii.

Mheshimiwa Mwenyekiti, nambari hii ya mbili ya tatuni nabari hii ya 292, haikutoka kutoka hewani. Katika spiritya give and take, hoja yetu sisi ilikuwa idadi ya Wabunge naWajumbe wawakilishi ambayo ni 438, tuongeze kutoka nje

[NAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI (MHE. GEORGE. B.SIMBACHAWENE)]

Page 54: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

54

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

ya Bunge watu 438. Serikali ikakataa, kwa spirit hiyo hiyoya give and take, tukasema basi ipunguzwe walau iwe mbiliya tatu ya Wajumbe wa 438, ndiyo hiyo 292, ndiyo asili yahiyo 292.

MJUMBE FULANI: Hajui.

MHE. JOHN J. MNYIKA: Hayo ni mahesabu rahisi sana.

MJUMBE FULANI: Waziri hajui.

MHE. JOHN J. MNYIKA: Mheshimiwa Mwenyekiti, kunahoja ambazo sisi kwa kweli tulikuwa na misimamo sana. Sisitulikuwa tuna msimamo ya kwamba Mamlaka ya uteuziisiweRais. Sisi tulikuwa na msimamo ya kwamba orodha yaTaasisi zitajwe. Tukakubali kuachia hoja zote hizo ambazo nihoja muhimu na hoja kubwa tu. Sasa hoja hii ambayo ni yamakundi ya nje yetu sisi ya kijamii huko. Siyo CHADEMA, siyoCCM, siyo nani, kuongeza tu watu 90 kutoka nje, kwa niniinakataliwa.

Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi ukiniuliza nitakuambianimesikia maelezo ya Mheshimiwa Ester Bulaya, akizungumzakwamba, malalamiko ni kuwa CCM wako wengi. Nimesikiamelezo ya Mheshimiwa Mwigulu Mchemba, kwa watu wanaallergy na CCM. Maelezo haya na mimi sikuzungumza kuhusuCCM hapa. Maelezo haya ya kuzungumza kuhusu CCM,yanajenga sasa imani ya watu ambao wanaamini kwambasiri ya CCM kukataa watu wengine kutoka nje ni kwa sababuKatiba inapitishwa na mbili ya tatu ya wapiga kura. (Makofi)

Kwa hiyo, maana yake wakikaa makundi ya Kijamii,changanya wawakilishi wa Asasi. Changanya na hivi vyamavyote vya upinzani vilivyopo, wakikaa kwenye Bunge laKatiba, CCM, ikiamua kupitisha kwa asilimia 66, wakikaaupande wa Bara peke yake CCM, inaweza.

Sasa kama mnaikataa hoja hii kwa sababu hiyo nivizuri mkasema wazi. Sisi tunataka hoja hii ipite kwa maanatu ya kuwakiisha makundi mbalimbali katika jamii kwa

[MHE. J. J. MNYIKA]

Page 55: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

55

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

upana wao. Iwe ni wakulima, iwe ni wafanyakazi, iwe niwalemavu, iwe ni wafanyabiashara, iwe ni asasi za kirai.Sisi Wabunge tunawakilisha hayo makundi kuotoka katikamaeneo yetu. Hayo makundi yanapaza sauti ya namna hiyo.

Mheshimiwa Mwenyekiti, naamini Wabunge, kwaniaba ya makundi yote yanayotoka katika maeneo yenu.Wakulima, wafugaji na makundi yote haya ili yawe nauwakilishi mpana, tutaweka pembeni misimamo ya vyamavyetu na tutafanya uamuzi huu wa kuongeza idadi yawajumbe kwa maslahi ya taifa letu.

Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba kuwasilisha.(Makofi)

MWENYEKITI: Ahsante, hatuendelei, huyu ndiyealiyekuwa mwenye hoja. Kwa sasa tutafanya uamuzi.

(Hoja ya Mheshimiwa Mnyikailiamuliwa na Kukataliwa)

MWENYEKITI: Uamuzi ni kwamba tunaendelea nailivyokuwa kwenye mchango wa Serikali, tunaendelea.Mheshimiwa Mushashu, utakumbuka kwamba, maelezo yakowewe unasema fifty, fifty. Mabadiliko tumesema genderparity. Kwa hiyo, badala ya kusema fifty, fifty, tumesemagender parity, tumeishasahihisha.

SCHEDULE OF AMENDMENTS TO BE MOVED BY HON.BERNADETA KASABAGO MUSHASHU, MEMBER OF

PARLIAMENT WOMEN SPECIAL SEATS THE SECOND READINGFOR THE BILL TITLED THE CONSTITUTIONAL REVIEW

(AMENDMENT NO. 2) ACT 2013

(Made under Standing Order 86 (11) and 88 (2)

The Bill titled the Constitutional Review Act, Cap 83is amended as follows:-

[MHE. J. J. MNYIKA]

Page 56: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

56

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

In clause 2

(a) By adding immediately after subsection 2(a) thefollowing new subsection.

2 (b) In appointing the members in section 2 (a) ThePresident shall ensure that fifty percent of each groundare women.

(b) By renumbering subsection 2 (b) as 2 (c) accordingly.

Hon. Bernadeta Kasabago Mushashu MEMBER OF PARLIAMENT WOMEN SPECIAL SEAT KAGERA

MHE. BENARDETHA K. MUSHASHU: MheshimiwaMwenyekiti, ahsante, nimeamua kuleta amendment katikasehemu hii kwa sababu nimegundua kwamba sehemu hiikifungu cha 2 kina sehemu kuu mbili. Ukiangalia sehemu ya2(b) inazungumzia l ist zitakazotoka kwenye makundimbalimbali kwenda kwa yule mteuzi ambaye ni Rais ambayoinasema sasa pale kwamba tutazingatia usawa wa kijinsiaambayo sasa hivi imekuja kuweka parity. Hapotunazungumzia zile list zitakazotoka kwa yale makundikwenda kwa mteuzi. Lakini ukiangalia 2(a) inazungumza sasakuteua wale wajumbe ambao watatoka kwenye makundimbalimbali.

Pamoja na mawazo mazuri aliyotueleza hapaMheshimiwa Waziri, kwamba tusishangae kati ya walewatakaoteuliwa, 201, 101 wakawa wanawake. Tunatakatuione sasa hapa kwenye sheria, ndiyo maana nikaleta ileamendment kwa ajili ya uteuzi sasa, kwamba atakayeteuanimeweka amendment kwamba tuongeze sehemu ya 2(b)kwamba in appointing the members in section 2(a) thePresident shall ensure that 50 per cent or each group arewomen, yaani kati ya yale makundi yote. Sawa ile yakwanza ilikuwa inazungumzia ile list itakayoletwa, sasa nahuyu anayeteua a-ensure kwamba anachagua 50 per cent.(Makofi)

Page 57: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

57

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Nimesema hiyo kwasababu l ist zinawezazikawasilishwa lakini wale wanawake wasionekane, lakinitunajua kwamba wanawake wenye uwezo wapo. Kwa hiyotuiweke kwenye sheria hii kusudi iwasaidie wale watakaokujakuteua waweze kuizingatia. (Makofi)

MWENYEKITI: Haya, tunaomba maelezo kutokakwenu.

WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA: MheshimiwaMwenyekiti, tulikuwa tunaendelea kuwasiliana hapa, kwenyeuteuzi tumeandika chini ya section ya sheria hii tuliyoipitishamwezi uliopita kifungu cha 4 (2) (b) kuna (b) sasa ndogoambayo inasema; in appointing members of the constituteassembly under sub section 1(c) the President shall have regardto qualifications and experience of persons nominated andbe gender balance, ambayo ndiyo tumesema gender parity.Hii ni kwenye appointing ambayo Rais atakuwa ana-appoint.Kwa hiyo nafikiri iko covered katika sheria tuliyoipitisha lasttime.

MWENYEKITI: Mseme kwa sauti tusitumie mudadouble.

NAIBU WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA: MheshimiwaSpika, ni kweli hoja ya Mheshimiwa Mushashu ina mantikikatika marekebisho aliyofanya Mheshimiwa Waziri ni katikalist zile zitakazowasilishwa kwa Mheshimiwa Rais, zile taasisizizingatie usawa wa kijinsia.

Ukiangalia katika kifungu namba 4 tulichopitishakatika Bunge la Mwezi Septemba, 2013 il ikuwa piainazungumzia Rais anapoteua azingatie usawa wa Kijinsia.Kwa hiyo, katika lugha ya Kiingeraza bado ilikuwa inasomekagender balance, tunaomba waandishi walizingatie hilo ilikote kuwili, katika uteuzi lakini pia katika orodhazitakazowasilishwa kwa Mheshimiwa Rais zizingatie usawawa kijinsia.

[MHE. B.K. MUSHASHU]

Page 58: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

58

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

MWENYEKITI: Sasa mnaeleza tu, tunatunga sheria,wapi mnabadili nini, siyo maelezo tu. MheshimiwaMwanasheria Mkuu.

MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI: MheshimiwaMwenyekiti, ninaomba kwenye Muswada, baada ya ibaraya 2(a), baada ya (x) tuweke masharti kwamba makundina hapa ndiyo ingawa haijafika nawahisha hoja pendekezoambalo ametoa Mheshimiwa Mnyika, kwamba wakatimakundi haya au taasisi hizi zinapofanya uteuzi zizingatie,na narudia, zizingatie usawa wa jinsia. Kwa Kiingereza, hili nineno langu nililisema juzi, sizungumzii gender balance,nazungumzia gender parity. Kwa hiyo, ni baada ya (x)tutakupa maneno (Makofi)

MWENYEKITI: Haya, kuna nani mwingine, MheshimiwaRitta Kabati.

MHE. RITTA E. KABATI: Mheshimiwa Mwenyekitinakushukuru na mimi nafikiri hoja ambayo wameijengawenzangu na mimi nilikuwa najaribu kuijenga hoja hiyo hiyokuhusu uwakilishi halisi wa wanawake. Kwa sababu hojayangu nafikiri imekuwa reflected na hoja ya mamaMng’ong’o na hoja ya mama Mushashu.

Kwanza kabisa nishukuru, lakini nilikuwa naomba tukutoa angalizo wakati wa uteuzi kwamba tuangalie nawanawake ambao wako vijijini.

MWENYEKITI: Mheshimiwa Kabati sasa angalizo wakatiwa uteuzi ni wakati gani, sisi tunatunga sheria, hapo siyo sisi,hebu sema amendment yako, naona inafanana sana na yaMushashu.

MHE. RITTA E. KABATI: Mheshimiwa Mwenyekiti, nandiyo maana nimesema kwamba imekuwa reflectedkwenye hoja hizo mbili.

MWENYEKITI: Haya, basi ahsante sana.

Page 59: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

59

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

MHE. RITTA E. KABATI: Ahsante sana.

(Ibara iliyotajwa hapo juu ilipitshwa naKamati ya Bunge zima Pamoja na Marekebisho yake)

Ibara ya 3

MWENYEKITI: Ibara ya 3 inaafikiwa? MheshimiwaChenge ndiyo, wataalamu muangalie ule mstari unamatatizo.

MHE. ANDREW J. CHENGE: Mheshimiwa Mwenyekiti,nakushukuru sana kwa kunipatia nafasi. NilivyomwelewaMheshimiwa Waziri wa Katiba na Sheria wakati anafanyamajumuisho ilikuwa ni kwamba katika kifungu cha 3 kifungukidogo cha 2, ili kuwezesha Katibu wa Bunge la Jamhuri yaMuungano wa Tanzania na Katibu wa Baraza la Wawakilishikuanza maandalizi kabla ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuriya Muungano wa Tanzania kuteua au kutangaza rasmi ujiowa Bunge Maalum la Katiba.

Kwamba ni vyema tukafanya marekebisho katikahicho kifungu kidogo cha pili ili tuyaondoe yale manenosubject to the provisions of sub section (1) and withoutprejudice to the provisions of this section. Alitumia manenoambayo nayakumbuka, ya Kiingereza, kwa kusemanotwithstanding the provisions of this section. Kama ni sahihinaiomba tu Serikali sasa iyaseme hayo ili sasa mtiririko wahiyo shabaha iliyokusudiwa ipatikane. Ahsante Mwenyekiti.Mheshimiwa Jenista alisema hivyo hivyo. (Makofi)

WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA: MheshimiwaMwenyekiti, ni kweli na kwa hiyo kifugu hiki tunakibadili natunasema kwamba notwithstanding the provisions of subsection (1) notwithstanding the provision of sub section (1)the Clerk of The National Assembly and The Clerk of the Houseof Representatives shall, before the proclamation of theConstitute Assembly make necessary preparations forbetter carrying out of the Constituent Assembly business.

Page 60: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

60

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

MWENYEKITI: Tunafuta nini hapo.

WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA: Tunafuta, subject tothe provision of subsection one and without prejudice to,tunaweka neno notwithstanding badala ya hayo yote.

(Ibara iliyotajwa hapo juu ilipitshwa na Kamatiya Bunge Zima Pamoja na Marekebisho yake)

Ibara ya 4

(Ibara iliyotajwa hapo juu ilipitshwa na Kamatiya Bunge Zima Bila Mabadiliko yoyote)

Ibara ya 5

SCHEDULE OF AMENDMENT TO BE MOVED BY HON. MATHIASCHIKAWE, THE MINISTER FOR CONSTITUTIONAL AND LEGAL

AFFAIRS AT THE SECOND READING OF A BILL TITLED “THECONSTITUTIONAL REVIEW (AMENDMENT NO. 2) ACT, 2013”

________Made Under Section 86(10)(b)

________

B: In clause 5 by deleting paragraph (a) andsubstituting for it the following:

(a) deleting the heading and substituting for it with thefollowing new heading:

“GENERAL PROVISIONS”

Dodoma MC8th November, 2013 MCLA

Page 61: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

61

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

JEDWALI LA MAREKEBISHO LITAKALOWASILISHWA NAMHE. MATHIAS CHIKAWE, WAZIRI WA KATIBA NA SHERIAWAKATI WA KUSOMWA KWA MARA YA PILI MUSWADA

UITWAO “SHERIA YA MABADILIKO YA KATIBA(MAREKEBISHO NA. 2)

YA MWAKA 2013________

Imetengenezwa chini ya Kanuni ya 86(10)(b)__________

B:Katika Ibara ya 5 kwa kufuta aya (a) na kuibadilishakama ifuatavyo:

(a)kufuta kichwa cha habari na kukiandika upyakama ifuatavyo:

“MASHARTI YA JUMLA”

Dodoma MC8 Novemba, 2013 WKS

SCHEDULE OF AMENDMENTS TO BE MOVED BY HON JOHNJOHN MNYIKA MEMBER OF PARLIAMENT FOR UBUNGOCONSTITUENCY AT THE SECOND READING FOR THE BILLENTITLED THE CONSTITUTIONAL REVIEW (AMENDMENT

NO. 2) ACT, 2013

Made Under Standing Order 86(11) and 88(2)

A bill entitled “THE CONSTITUTIONAL REVIEW(AMENDMENT NO. 2) 2013” is amended as follows:

D: In clause 5 in sub section “c” by deleting the renumberedsection 37 and substitute with the new section as;

Page 62: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

62

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

“31; - (1) Upon declaration of the results of thereferendum by the National Electoral Commission, thePresident shall, by order published in the Gazette, dissolvethe commission.

……………………….…..JOHN JOHN MNYIKA (MP)UBUNGO CONSTITUENCY

8.11.2013

MHE. JOHN J. MNYIKA: Mheshimiwa Spika,nakushukuru, naomba kupendekeza marekebisho kwenyekifungu cha 5 cha sheria hii.

Naelewa kwamba mapendekezo ya Serikali yalikuwani kwa ajili ya kubadi nambari kama zilivyo baada yamarekebisho yaliyofanyika pamoja na ku-repeal vifunguambavyo vitakwenda kuingizwa kwenye kura ya maonivinavyohusu masuala ya kura ya maoni. Kwa sababumapendekezo haya ya Serikali yamegusa kifungu cha 37ambacho ni kifungu kinachohusika na masuala ya Tume,ambacho ni kifungu katika marekebisho yaliyopita kilifanyiwamarekebisho ya kuifuta Tume ya Katiba na kuhitimisha ukomowa tume ya Katiba mapandekezo ninayopendekeza ni yakurejesha kifungu kilivyokuwa awali.

Mheshimiwa Mwenyekiti, Kifungu kilivyo kuwa awalikinasomeka hivi, 37(1), upon declaration of the result of thereferendum by the National Electoral Commission, ThePresident shall by order publish in the Gazette dissolve theCommission. Kwa maneno mengine, Serikali ilipoitunga hiisheria mwaka 2011 iliamua kwamba Tume ya Mabadiliko yaKatiba itavunjwa baada ya matokeo ya Kura ya Maonikutangazwa. Huu ndio ulikuwa uamuzi wa Serikali ulipotungasheria November 2011.

Mheshimiwa Mwenyekiti, uamuzi huu unaelekeabado kuungwa mkonoo na Serikali, kwa maana ya mtizamowa Serikali. Kwa sababu Mheshimiwa Rais katika hotuba

Page 63: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

63

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

yake kwa Taifa tarehe 4 Oktoba, 2013, hotuba kwa taifa,tarehe 4 Oktoba, 2013 alisema yafuatayo juu ya mamboyanayohusiana na Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

‘Katika orodha ya madai ya ndugu zetu wa upinzanilipo suala la uhai wa Tume ya Katiba. Wanataka usiishiewanapokabidhi rasimu ya pili kwa Bunge Maalum baliwaenendee mpaka mwisho wa mchakato.

Nimeuliza ilikuwaje, nimeelezwa kuwa jambo hilihalitokani na mapandekezo ya Serikali, wala ya Kamati yabunge ya Katiba ya Sheria na Utawala, limetokana namapendekezo ya Mbunge katika Bunge wakati wa kupitiavifungu na kuungwa mkono na Wabunge wengi, kwa hiyo,kuilaumu Serikali si haki, Serikali inaweza kuwa mshirika katikahoja hii. Nami naiona hoja ya wajumbe wa Tume kuwa nawajibu wakati wa Bunge Maalum hasa wa kusaidiakufafanua mapendekezo ya Tume.

Je Ushiriki wao uwe upi? Uwe vipi? Je ni wajumbewote, au baadhi ya wajumbe; jambo hili linaweza kujadiliwa.

Mheshimiwa Mwenyeki, kwa hiyo, nimewasilishajedwali hili la marekebisho kwenye jambo hili ili jambo hililiweze kujadiliwa tuweze kutimiza hii dhamira ambayoMheshimiwa Rais aliizungumza kwenye hotuba yake kwataifa tarehe 4 Oktoba, 2013.

Mheshimiwa Mwenyekiti, naamini, naamini, kwasababu Mheshimiwa Rais alisema kwa Taifa, tarehe 4 Oktoba,2013, kwamba Serikali ni Mshirika wa hoja hii naamini Serikaliitakuwa mshirika katika hoja hii kwa kukubali kuunga mkonomarekebisho ili kurejesha kazi ya Tume kuendelea na ukomowa Tume uwe baada ya kutolewa matoleo kwenyereferendum kama ambavyo mapendekezo yametolewa.

Mheshimiwa Mwenyekiti, zimetolewa hoja mbili janana leo kupinga hoja hii. Hoja ya kwanza ni kwamba kunaprinciples of bias, kwamba, kwa kuwa wao wameiandaa

[MHE. J. J. MNYIKA]

Page 64: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

64

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

ripoti basi watafanya kazi ya kuitetea ripoti. Kwa kuwa waowameandaa rasimu, watafanya kazi ya kuitetea rasimu.Hiyo ni hoja ya kwanza inayotolewa kuipinga hoja hii.

Hoja ya pili inayotolewa ni kwamba kifungu cha 9cha sheria kama ilivyo sasa, kinasema majukumu ya Tume,na katika kifungu hicho hakujatajwa majukumu ya Tumeyanayohusiana na kazi za mbele isipokuwa kazi ya ukusanyajimaoni.

Mheshimiwa Mwenyekiti, hoja hizi si hoja sahihi kamaambavyo iwapo hoja hizi zitaendelea kutumika katikakuhalalisha kuikomesha Tume uhai wake. Nitatoa ufafanuzikwenye majumuisho, au wajumbe wenzanguwatakaochangia wataeleza ni kwa vipi hizi hoja za bias nahoja majukumu ya kifungu cha 9 hazipaswi kuwa msingi wakukiuka hii azma nzuri ya Mheshimiwa Rais ya kutaka Tumeiendelee na wajibu. Mheshimiwa Mwenyekiti naombakuwasilisha.

MHE. ENG. STELLA M. MANYANYA: MheshimwiaMwenyekiti, ahsante sana. Kwanza nianzie kusema kwambanampongeza sana Mheshimiwa Mnyika kwa jitihada. Lakinipia naomba nisisitize kwamba, kimsingi, lazima turudi katikaspirit, si tu ya kutaka lazima kila hoja ipite, kwa sababutungeenda hivyo, hata sisi wana CCM labda tungesema basiMuswada usiletwe kabisa. Lakini tuko pamoja kwa ajili yakuona tunachokifanya ni sahihi kwa mustakabali waWatanzania.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa uzoefu wangu Tumehuwa inapewa kazi maalum; na hapa katika sheria mamaukurasa wa 11 kifungu cha 9 kinatamka wazi majukumu yaTume. Kufikia Tume kukabidhi taarifa yake ya Rasimu yaMwisho kwenye Bunge itakuwa imemaliza majukumu yake.Kwa misingi hiyo, kubaki na hiki kitu kinachoitwa Tumeitakuwa hakina mantiki na ikizingatiwa kwamba hata katikasheria inayofuata kazi ya kutoa elimu haiko tena katikaTume badala yake inahamia katika sheria zile zinazohusiana

[MHE. J. J. MNYIKA]

Page 65: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

65

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

na tume za uchaguzi. Kwa hiyo, kutunza hii ni kama vilelabda mtu unaamua tu kuwa na kitu ambacho kiko palelakini hakina mantiki.

Kwa kutambua kwamba tunapofanya shughuli hii yakutengeneza Katiba yetu Mpya tutahitaji utaalam ndiyomaana tumeweka provision ya kuweza kumpata mwenyekitiau katibu, au mjumbe yeyote, au mtaalam yeyote ambayeataweza kutusaidia wakati tunatunga Tume. Kwa maanahiyo, kama watu hawajawekwa pembeni, ila kama Tumendiyo tunasema hatuwezi kuendelea kuwa na Tume kwasababu kuwa na Tume ina masharti yake ya kuitunza Tumena kuilea Tume. Kwa hiyo, mimi nadhani hili suala halinalogic, halina logic kabisa na wakati huo wa kuwaitawataalam siyo lazima wawe kutoka kwenye Tume tu, nchihii ina wasomi wengi na tunahitaji kila ngazi tupate jitihadazinazotoka katika maeneo mbalimbali.

Ukifuatilia hapa, mimi kwanza najaribu kuona , kamamtakumbuka wakati tunatunga hii sheria mwanzo kabisatulikataa interference ya kila stage na ndiyo maana hatawenzetu Tume wakati wanakusanya maoni hata wakuu waMikoa, wakuu wa Wilaya, Vyombo, tulisema msiingilie, acheniTume ifanye kazi yake vizuri. Tunashukuru nakuipongezaitakuwa imefanya.

Baada ya hapo Bunge tunataka liwe huru, lifanye kaziyake vizuri, hawa wamemaliza siyo ifikie sasa kuja hapa mtuanaona labda pengine kile alichokiletea amekuwa offendedanahangaika kutokukitetea, hapana, tutamhitaji nje kamaambavyo tunatumia watendaji wetu makatibu wakuu naviongozi wengine ambao wanatupa ushauri wakati wakutunga sheria. Ahsante sana Mheshimiwa Mwenyekiti.

MHE. ANDREW J. CHENGE: Mheshimiwa Mwenyekiti,nikushukuru sana tena kwa kunipatia nafasi hii, nimshukurusana Mheshimiwa injinia Eng. Manyanya kwa maelezo yake.

Mheshimiwa Mwenyekiti tunatunga Sheria, sheriamama ipo, na mtiririko wa Sheria hii kila sehemu ya Sheria hii

[MHE. ENG. S.M. MANYANYA]

Page 66: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

66

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

ina maana yake. Unaanza na Tume yenyewe,establishment of the Commission ina sehemu zake namajukumu yametajwa, unamaliza hiyo unakuja kwenye eneola convening, kuitishwa kwa Bunge Maalum la Katiba,unakuja kwenye sehemu ya 5 validation yaani kuhalalishautaratibu mzima, yaani kupitia sasa umetoka kwenye Bungemaalum kwenda kwa Wananchi.

Mheshimiwa Mwenyekiti, niishukuru Serikali kwakuliona hili. Kulikuwa na mkanganyiko katika kufungu cha33 kifungu kidogo cha 2 ambapo neno Commission, nenoCommission kwenye sheria mama limepewa tafsiri katikaukurasa wa 6 na inasema, ‘Commission means theCommission established for the purposes of coordination andcollection of public opinions and on constitutional review.Tume ya uchaguzi haikupewa tafsiri ila kila mahali ambakoimepewa jukumu hilo inatajwa katika urefu wake katikasheria mama.

Katika kifungu cha 33 kifungu kidogo cha 2, ambapoinasema, ‘for the purposes of sensitization of and publicawareness on the referendum for the proposed Constitutionthe Commision sasa hapa ndiyo ilikuwa mkanganyiko.

The Commission, ilikuwa Tume yenyewe, shall. Lakinihapa tulipaswa tuseme, Tume ya Uchaguzi ya Jamhuri na ileya Zanzibar, kama inavyoendelea kusema, tukisha sahihishahaya kama Serikali ilivyofanya hakuna mkanganyiko,tumeishamaliza imeshawasilisha ripoti yake, wataitwaMwenyekiti na Wajumbe kama watahitajika kwa shughulihiyo. Lakini nnashukuru sana Serikali kwa kuliona hilo. (Makofi)

MHE. EZEKIA D. WENJE: Mheshimiwa Mwenyekiti,ninatambua kwamba nchi hii kama wanavyosemaWabunge wenzangu kuna watalaam wengi. Lakini Tume hiiya Katiba, ndiyo waliokwenda field, wakakusanya maoni yaWatanzania, wana ile experience na ile test ya kule kwenyefield. Sasa hata Rais wa hii nchi, hili suala aliona, naakajaribu kushauri kwamba kama Tume. Kwa sababu Tumekuja humu, siyo kwamba wanakuja kupiga kura,

[MHE. A.J. CHENGE]

Page 67: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

67

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

tutakapokuwa tunapitisha vifungu. Ila watakuwa kamaConsultancy, katika yale maeneo ambayo ni contentiouswatakuja kutoa ushauri. Sasa kuruhusu Tume kuja hapakama alivyosema Mheshimiwa David Kafulila, kwani Bungelitakuwa limepungukiwa na nini, watachukua nini.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo ninaomba.

MWENYEKITI: Unamanisha Mheshimiwa John Mnyika,siyo Mheshimiwa David Kafulila.

MHE. EZEKIA D. WENJE: Mheshimiwa Mwenyekiti,ninasema Mheshimiwa David Kafulila wakati anachangiahapa alisema.

MWENYEKITI: Aaha. Okay.

MHE. EZEKIA D. WENJE: Ninajaribu tu kutoa reference.Alitushauri kwamba tunaogopa nini. Tume kwa mfano wakijahumu ndani katika yale mambo ambayo ni contentiouswakati ushauri na experience waliokuwa nao kwenye fieldna kwa nini kwa mfano hili limependekezwa. Kwa sababuwao ndiyo wanayo actually experience kwenye field. Ni kwelikwamba kuna Wasomi wengi lakini hawakwenda hukokwenye field. Kwani wakiingia humu tatatupotezea nini?

Ni kwamba kama issue ni gharama wanavyosemawengine, Mheshimiwa Manyanya anasema kuwa-maintain.Tunaelewa kwamba Constitution Making Processes lazimaiwe na gharama na tumeshauri kila siku bora tutumiegharama kubwa leo. Kuliko kuja kutumia gharama nyingihuko baadaye kuwa na Katiba mbovu. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, ninaunga mkono hoja yaMheshimiwa John Mnyika tuiangalie kwa mamkini. (Makofi)

MHE. SELEMANI S. JAFO: Mheshimiwa Mwenyekiti,ahsante sana.

[MHE. E.D. WENJE]

Page 68: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

68

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Kwanza ninaomba niwe clear kabisa. Kuna watuhumu, wanazungumza jambo ili mradi nje wapate kusifiwa.Kama kiongozi sahihi, unatakiwa usimame katika hoja sahihi.(Makofi)

MWENYEKITI: Mawazo yake.

MHE. SELEMANI S. JAFO: Mheshimiwa Mwenyekiti,mimi ninaunga mkono. Kwa sababu ndiye niliyetoa hojatoka mwanzo ya kusema kwamba hii Tume iishe muda wakekwa sababu ikishakamilisha kazi yake hatutaki Consultantaje katika Bunge hili la Katiba. Kuna segregation of duties.Hata Wahasibu wanajua, akisha saini cheki kuna sehemunyingine watu wanakwenda wana-approve na kila kitu.(Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, ni kwamba Tume ikishakamilisha kazi yake, ina maana Bunge la Katiba linatakiwaliwe na uhuru wa kutosha kutoa mawazo yake. Haiwezikanimtu amekusanya maoni halafu aje ku-influence kwamba sisihatukutaka hiki haiwezikani litakuwa siyo Bunge la Katiba.(Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi ninaamini, hawaWazee wetu, kwa kweli wana nafasi kubwa baada ya hiyokuendelea kutoa mchango wao katika fani mbalimbali.Lakini kwa mujibu wa sheria, kwamba hii Tume kamatulivyokubaliana mwanzo. Mheshimiwa Rais, siyo kwambaana maana ya kushauri kwamba, alikuwa anasema hivi,mjadala wenye ni huu tuna sema kwamba Tume, kamatulivyokubaliana kwamba Tume muda wake umefika na kaziyake imekamilika.

Mheshimiwa Mwnyekiti, ahsante sana. (Makofi)

MHE. ANNA MARGARETH ABDALLAH: MheshimiwaMwenyekiti, ahsante sana kwa kunipa nafasi hii ili na miminiweze kuchangia katika hoja hii.

[MHE. S.S. JAFO]

Page 69: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

69

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Kwanza ninaomba hivi, hili suala la Hotuba ya Rais,alisema, alisema. Mimi ninafurahi kwamba watu kumbewanajua kwamba alisema kitu cha maana. Lakini wakatimwingine akisema jambo hao hao watu wanapinga.Wanampinga kweli kweli. Ila linapowafaa wao, ndipolinaonekana zuri. (Makofi)

Mimi nataka niseme hivi, hili tumuondoe kabisa, yeyealisema jambo hili linazungumzika, ndiyo hivi tunazungumzasasa. Kwa hiyo, hajasema kwamba lazima lirudi Bunge. Hayaaliyo tuomba tuyarudishe Bungeni yalikwisha rudi na siyo hili.(Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi ninashauri hivi, hebutuache Tume imemaliza kazi yake ya kukusanya maoni. Sisituzungumze. Hilo Bunge la Katiba lizungumze na kama Bungelitataka ufafanuzi, litafute lenyewe, siyo wao wakae mlendani. Hicho ndicho mimi ninafiikiri, tunachozungumza ninini. Lakini ninasema tumuondoe kabisa Rais katika hili.Hajatulazimisha, yeye alitoa maoni yake na alisema tukwamba linazungumzika, ndiyo tunazungumza.

Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi nilikuwa ninashauri,kwa mantiki tunavyoendelea hapa, mimi ninaona watuwote tunakubaliana kabisa waache Tume wamalize kaziyake kwa muda ule uliowekwa kisheria. Ahsante sana.(Makofi)

MHE. TUNDU A. M. LISSU: Mheshimiwa Mwenyekiti,ahsante sana. Kunako mwezi Juni, wakati tunapitisha Bajetiya Wizara ya Katiba na Sheria, kulikuwa kuna mgogoromkubwa sana juu ya uwepo wa Tume. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi mwenyewe nilitoa hojakwamba, kwa nini tunatenga mabilioni. Shilingi bilioni 4.6,kwa ajili ya Tume wakati ikishawasilisha taarifa yake inakuwafunguts-official, nilitumia maneno hayo. Upande wa pili huuwalizomea walipiga makofi wakasema Tume ni muhimu. Leowanasema Tume ife. Kitu gani kilichobadilisha msimamo

[MHE. A.M. ABDALLAH]

Page 70: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

70

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

ni Rasimu ya Katiba. Rasimu ya Katiba, imetoka kwa namnaambayo hawakutegemea. Sasa Tume inauwawa kwasababu imefanya kazi ambayo hawakuitazamia, ni hichotu.

Wanam-disown Waziri Mkuu, Jaji Warioba, kwasababu ameleta rasimu ambayo hawakuitaka ya Serikali tatu.Mheshimwia Salim Ahmed Salim, mnam-disown leo kwasababu amefanya kazi ambayo CCM hawakuitaka ndiyohicho tu. (Makofi)

Mheshimiwa Rais, amesema, sisi tumependekezaTume iwe sehemu ya Sektretarieti ya Bunge Maalum la Katiba,Mheshimiwa Rais akasema hapana, mkafanya utaratibuWajumbe wa Tume wawe sehemu ya Bunge la Katiba. CCMimem-disown hata Rais wake. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, mnam-disown hataMwenyekiti wenu, kwa sababu tu, Tume ya Jaji Wairobaimependekeza kile ambacho si maslahi ya CCM. (Makofi)

MWENYEKITI: Waheshimiwa Wabunge, ngoja tuwerecord sahihi. Ninaomba tuweke record sahihi. WaheshimiwaWabunge ninaomba niweke record sahihi.

Waheshimiwa Wabunge, suala ambalo MheshimiwaTundu Lissu, alikuwa analizungumza wakati wa Bajeti nanimefurahi amelisema. Alikuwa anasema tupunguzegharama za Tume. Hivyo ndivyo ilivyokuwa kwa wakati ule.

Ndivyo ilivyokuwa. Siyo haya mnayozungumza.(Makofi)

WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU (SERAURATIBU NA BUNGE): Mheshimiwa Mwenyekiti, sikutaka kutoasiri hii. Sasa ninaitoa. (Kicheko/Makofi)

WABUNGE FULANI: Toa.

[MHE. T.A.M. LISSU]

Page 71: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

71

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU (SERAURATIBU NA BUNGE): Tulipokuwa tunazungumzia natunafanya harakati hizi za maridhiano. Kuanzia hatua yakwanza, ya pili na ya tatu. Tulikubaliana twende kwa hatua.Mara ya kwanza tulishughulikia Tume. Mara ya pili tukajakuzungumzia masuala ya Bunge la Katiba.

Mara ya pili, tulipokutana kwa Rais tulikubalianasasa vyama vilete mapendekezo yao kwangu. Halafu miminikutane kwenye technical committee tujadili mawazo yavyama na tulifanya. Mimi nikiwa Mwenyekiti na wakati huotulikutana na Chama kimoja kimoja.

Mheshimiwa John Mnyika alikuwepo, na Julius Itatirokwa upande wa CUF. Ninataka kusema hapa ambalosikutaka kulisema. Waliopendekeza Tume hii iondoke marambili kwa maandishi niliyo nayo kwa signature ya NaibuKatibu Mkuu wa CUF. Ni CUF. Chama cha CUF, ni miongonimwa washirika muhimu katika harakati hizi. Katika maoniyao mara mbili walitoa mapendekezo kwamba Tume hiiikimaliza kazi yake iondoke na inaongeza gharama. Sisikama mnavyotujua viongozi wa Serikali ya Chama chaMapinduzi tulivyo wasikivu, tulifikiri maoni yao ni mazuri.(Makofi)

Hii sikutaka kuitoa hii siri, maana mnarukia tu kwaRais. Lakini tuliokuwa pamoja, juu ya yaliyotokea. Viongoziwa CUF, kama sehemu ya mapendekezo na kama washirikawakuu, ndiyo waliopendekeza.

Tulivyofika, ninazo document. Ushahdi ninao, kamaanakataa aseme. Hata kwa Mheshimiwa Rais palemlivyokuwepo, Mheshimiwa Mnyikka na Tundu Lissu, niliisoma.Niliisoma ndiyo.

Mheshimwia Mwenyekiti, nilitaka kusema kwambaingawa hapa anatajwa Rais, sawa kwenye hotuba. Lakiniwalioanza kupendekeza kwamba jambo hii liondoke, niwashirika wakuu katika harakati hizi ambao tulipewa kaziya kufanya. Lakini ndani ya Bunge sasa likaja likaungwa

[WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU (SERA, URATIBU NABUNGE)]

Page 72: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

72

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

mkono na Wabunge wote, baada ya hoja ya MheshimiwaSelemani Jafo kutokeza. (Makofi)

Kwa hiyo, hili ni la Wabunge wote, na limepitiaprocess zote. Wala hakuna sababu ya kwamba eti kwasababu Mheshimiwa Warioba ametoa ripoti gani. Lilianzahata kabla ya Mheshimiwa Jaji Warioba hajatoa hata ileRasimu ya Kwanza. (Makofi)

MWENYEKITI: Nadhani tufike mwisho.

MHE. ENG. RAMO M. MAKANI: MheshimiwaMwenyekiti, mimi baada ya kufuatilia, mjadala wa hojamuhimu kabisa mbele yetu. Nilikuwa ninamsikiliza vizuri sanaMwanasheria Mkuu wa Serikali Mstaafu, Mheshimiwa AndrewJ. Chenge.

Ili kudhibitisha kwamba nimeelewa alichosemanimemsogelea pale dakika kama moja iliyopita, kwendakuhakikisha kwamba nil imwelewa alichosema, naakanikubalia kwamba hivyo ndivyo alivyokuwa amesemana ndivyo anavyomaanisha.

Kwamba Sheria Mama, ambayo ndiyotunapendekeza Amendment yake hapa. AmendmentNumber Two. Yenyewe imeisha-provide maelekezoyanayoonyesha kwamba Tume tunayoizungumzia, inakuwahaina kazi tena baada ya kukamilisha kazi ambayo imeishasubmit. Sheria iliyopo. (Makofi)

Sheria mama il iyopo, tayari ina vipengelevinavyoonyesha kwamba Tume hiyo itakuwa imefikia ukomobaada ya kukamilisha kazi ambayo imeisha kabidhi. Sasakama hivyo ndivyo. Ukweli ni kwamba hata hii sehemu yaTano (5) tunayo ijadili sasa hivi inaweza hata ikaondokakwenye mapendekezo kwa sababu haina umuhimu. (Makofi)

[WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU (SERA, URATIBU NABUNGE)]

Page 73: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

73

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Kwa sababu Sheria ile Sheria mama imeshaelezatayari Tume inafika ukomo. Hata ku-propose tenaAmendment kwamba Tume ifike ukomo ni kama viletunarudia sasa kufanya marekebisho ambayoyameishakuwa provided for kwenye sheria mama. Ahsantesana. (Makofi)

WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA: MheshimiwaMwenyekiti, jambo hili nimelizungumza wakati ninafanyaWnding-up, na nikaeleza msingi wake. Nikaeleza haya nimakubaliano yaliyokwishafanywa na Ndugu yangu Mnyikaaliyeleta hoja hii, anafahamu kabisa, kwamba jambo hilililikwisha isha.

Lakini bado amelileta na ataendelea kulileta nafikirihata huko nje ya Bunge, lakini na majibu ni yale yale tu. Tumeina kipindi chake cha kufanya kazi. Tume imekwisha kufanyakazi yake, inakwisha. Hatumchukii mtu, wala hatuzungukmziiTume kama Watu fulani, ila tu tunaweza kujiuliza haya. Bungehalikuwahitaji mmewaweka wa nini. Maana si lazimatukawahitaji hata kidogo. Tunaweza Bunge tukakaa,tukaendelea na shughuli zetu, hatuwahitaji hata siku mojaushauri wao, lakini bado tumewaweka wa niini?

Sheria sasa ilivyo ina-provide kwamba tunawezakuwaita. Mimi ninafikiri ni fare. Bunge liendelee, likiwahitajilitawaita na hivyo ndivyo sheria inavyosema. Lakinituwaweke tu wawepo, ili iweje. Tume hii imefanya kaziimemaliza, tunaishukuru sana. Tutaishukuru sana tena vizurisana. Kazi waliyofanya ni nzuri. Mapendekezo yake ni mazuri,si ndiyo mapendekezo ya wananchi?

Sasa tuache na Bunge nalo lifanye kazi. Nilisema palewatu 32 wamezunguuka nchi nzima kukusanya maoni. Watu15,000 wamechangia maoni hayo mapendekezo yao. Watuwatu 600 na kitu sisi tutakwenda kutoa mengine ya kwetu.Lakini maamuzi bado huu ni mchakato tu. Maamuzi ni kulemwisho. Tume imemaliza kazi yake tuiache ipumzike.

Page 74: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

74

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi ninafikiri sheria ibakiekama ilivyo kwa sababu inatoa uwezekano wa kuwaitaWajumbe wa Tume kuja kushiriki katika Bunge hil iwatakapohitajika. (Makofi)

MHE. JOHN J. MNYIKA: Mheshimiwa Mwenyekiti,ninakushukuru, nimalizie kwa nukta ambayo Mheshimiwaameizungumzia ya kwamba Sheria kwa sasa inatoa fursa yakuwaita.

Mheshimiwa Spika, Sheria kwa sasa Kifungu Cha 3,kama ilivyo sainiwa na Rais, inasema; “The Clerk of theConstitution Assembly, may appoint consultation with theChairman of Constitution Assembly, invite the Chairman, ViceChairman, of ordinary Member of the dissolved Commissionto give clarification which may be during the debate of theConstitution Assembly.

Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini hiki Kifungu kitazuautata sana katika utekelezaji. Tume umeishaivunja, halafuunamwita Mwenyekiti wa Tume. Makamu Mwenyekiti waTume, na anakuja kama Mwenyekiti wa Tume na MakamuMwenyekiti, wa Tume, wala maneno hayatumiki aliyekuwa,na anapokuja mtu ambaye tena si tena Mwenyekiti wa Tume,wala siyo Mjumbe wa Tume kuja kutoa ufafanuzi, anatoaufafanuzi kama nani? Kwa hiyo, katika mazingira kamahaya tunatengeneza sheria ambayo ita creat confusion.

Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa mimi nitaombaWaheshimiwa Wabunge wenzangu, tuna maamuzitunafanya. Lakini tuna maamuzi ambayo tunayarekebishakwa maslahi ya Taifa. Nisema kwamba, ninakubaliana naWaziri wa Katiba na Sheria, kwamba hili jambo tulilijadili sana.Lakini hili jambo tulilijadili, tukakubaliana kutokubalina. Kwahiyo, kama tumekubaliana kutokubaliana, na tulipigampaka kura. Kura zikawa tatu kwa tatu, katika kuramaana yake ni kwamba hili jambo linajadilika na ndiyomaana ninaomba Wabunge wenzangu tulitafakari tulijadli.(Makofi)

Page 75: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

75

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Ukweli ni kwamba na hapa ninaomba nitofautianekabisa na Mheshimiwa Andrew J. Chenge. Sheria hiiilipotungwa, ilitoa majukumu ya Tume katika Kifungu cha 9.Lakini ikaendelea kutoa majukumu mengine ya Tumekwenye Vifungu mbali mbali vya Kisheria. Ndiyo maanaSheria ilipotungwa, Kifungu Cha 37 cha Sheria hii, mbelehuko, kina tamka yafuatayo.

Sheria ilipotungwa pale awali kabla ya kurekebishwakwenye mkutano uliopita wa Bunge. “Upon declaration ofthe result of the referendum by the National ElectoralCommission. The Present shall by the order published in theGazette dissolve the Commission.”

Sasa kama hii, Commission, kazi yake ilikuwa inaishia,inapo-submit report yake, ni kwa nini spirit ya Sheria ilikuwaTume inavunjwa baada ya matokeo ya Kura ya Maonikutangazwa?

Kwa hiyo, hil i jambo liko wazi. Lakini Kifunguulichokitumia Mheshimiwa Andrew J. Chenge, na hapatunafanya uamuzi mzito sana sasa hivi. Hiki Kifungu cha 5,kinakwenda ku-repeal vifungu vya 31 mpaka 36, sina tatizosana na repeal inayofanyika.

Lakini implication yake ni nini hii repeal tunayoifanyasasa hivi. Vifungu vyote hivi tukishapitisha hapa kwambavimefutwa, tunakwenda kuvijadili wakati sheria ya kura yamaoni. Sisi wengine tuna msimamo tofauti kuhusu sheria yaKura ya Maoni, hilo tutalijadili litakapokuja.

Tuna mtizamo kwamba, Tume hii ya sasa ya Uchaguzi,siyo huru na haki kwenye kusimamia kura ya Maoni na kamasiyo huru na haki, kwenye kusimamia kura ya maoni haiwezihaiwezi kuwa huru na haki kwenye kutoa elimu ya Katiba yaKura ya Maoni. Katika mazingira kama hayo tunarudikwenye spirit ya sheria ilivyokuwa zamani. (Makofi)

Sheria ilivyokuwa zamani, na hapa tusipotoshe tafsiriya hii sheria. Sheria ivyokuwa zamani Kifungu cha 33(2),

[MHE. J. J. MNYIKA]

Page 76: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

76

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

inatamka bayana na ninanukuu sheria ilivyokuwa: “For thepurpose of exercization and public awareness on thereferendum for the proposed Constitution, the Commissionshall, and Political and Civil Socieity, may provide CivicEducation and advocacy on the propose Constitution tobe conduct, what ever, maelezo yanaendelea.” Lakinikifungu kilikuwa kinasema nini. Tume ndiyo iliyokuwa inatoaelimu ya Katiba.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwenye mazungumza naSerikali. Nimeiuliza sana Serikali, Tume hii, i l iyokuwaimeandikwa hapa ni Tume gani? Serikali ilisema kwambaTume hii, ilikuwa ni Tume ya Katiba, ila ilifikiriwa kimakosawakati huo, kutoa Elimu ya Katiba, sasa Serikali inatakakurudisha jukumu la kutoa Elimu ya Katiba kwa Tume yaUchaguzi, na ndiyo sababuya repeal inayofanyika hivi sasa.

Kwa hiyo kusema kwamba hapa ni tatizo la tafsiri yaneno Commission ni beyond tafsiri ya neno Commission.Hapa kuna kuna shift of purpose kutoka kwenye Tume yaKatiba kwenda kwenye Tume ya Uchaguzi jambo ambaloBunge lilitafakari.

Mheshimiwa Mwenyeki, ninaomba hoja hii, iamuliwe.Tuirejeshe Tume, kwa lengo zuri. Tume iwepo kwenye Bungela Katika, wao wamekusanya maoni ya wananchi,hatuwatarajii watoe misimamo yao, ndiyo maana tunatakawawe Ex-Officio, tunaratajia tukiwauliza haya maoni yawananchi mliyoyakusanya tupeni ufafafanuzi tupate watuwa kutupa ufafanuzi. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, nimalizie. Nchi hii,imeandika Katiba, mwaka 1977 tulipoandika Katiba, hojakwenye Bunge la Katiba ilitolewa na Serikali. Serikali ilitoaufafanuzi, Serikali ilihitimisha hoja upande wa Serikali.

Sasa tunaandika Katiba mpya, tuwe na timu hiyoiliyokusanya maoni iwasilishe ripoti Wabunge tujadili kwauhuru wetu, tukihitaji ufafanuzi kutoka kwao tupate ufafanuzi

[MHE. J. J. MNYIKA]

Page 77: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

77

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

kutoka kwa wahusika waliohusika kukusanya maoni kwaniaba ya wananchi.

Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba kuwasilisha.(Makofi)

MWENYEKITI: Ahsante, sasa tunafanya uamuzi.

(Hoja ilitolewa iamuliwe)(Hoja ya Mheshimiwa Mnyika iliamuliwa na Kukataliwa)

(Ibara iliyotajwa hapo juu ilipitishwa na Kamati ya BungeZima Bila Mabadiliko yoyote)

MWENYEKITI: Bado kidogo. Wakati tunajadilimapendekezo aliyoleta Mheshimiwa Benardetha Mushashu,tulisema tutaingiza maneno baada ya kifungu cha 2(b),Mwanasheria unakumbuka?

MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI: MheshimiwaMwenyekiti, katika marekebisho tuliyofanya katika Bungelililopita kwenye kifungu hicho, tulimpa Mheshimiwa Rais,mamlaka na tukasema kwenye kifungu kile cha 2(b) chaSheria tuliyobadilisha, kinasema ‘In appointing members ofthe Constituency Assembly under sub section 1(c) the Presidentshall have regard to:

(a) Qualifications and experience of persons nominated;and

(b) Gender balance.

Sasa nilivyomwelewa Mheshimiwa BenardethaMushashu anachotaka kufanya ni kubadilisha ile (b) ambayohaiko kwenye Muswada lakini iko kwenye Muswada kwaupande ule wa makundi yale yanapoleta majina kwaMheshimiwa Rais, kifungu kilivyo sasa kinajitoshelezakwamba wazingatie hiyo gender parity.

Kwa hiyo, nilikuwa nafikiri kwamba tubadilishe,tutaleta maneno kile kifungu cha 2 (b) yale maneno

Page 78: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

78

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

yanayosema gender balance na yenyewe yawe ni genderparity il i kusudi hata Rais anapokuwa anateua nayeazingatie hiyo gender parity. Ndiyo hayo tu.

Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa nilikuwa nafikiria kwambamaneno halisi tutakayoweka tuna- delete the word‘balance’ appearing in sub section 2 (b) and substitutingfor it the word ‘parity’.

(Hoja ilitolewa iamuliwe)(Hoja iliamuliwa na kuafikiwa)

(Ibara iliyotajwa hapo juu ilipitishwa na Kamati ya Bungezima pamoja na mabadiliko yake)

(Bunge lilirudia)

Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko yaKatiba wa Mwaka 2013 [The Constitutional Review

(Amendment No. 2) Bill, 2013]

(Kusomwa kwa Mara ya Tatu)

WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA: Mheshimiwa Spika,kwa mujibu wa Kanuni ya 89 (1) ya Kanuni za Kudumu zaBunge, Toleo la 2013, naomba kutoa taarifa kuwa Kamati yaBunge Zima imeupitia Muswada wa Sheria ya Marekebishoya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba Na. 2 wa Mwaka 2013 [TheConstitutional Review (Amendment No. 2) Act, 2013] Ibarakwa Ibara na imeukubali pamoja na marekebishoyaliyofanyika.

Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwambaMuswada wa Marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba,Na. 2 wa Mwaka 2013 [The Constitutional Review (AmendmentNo. 2) Act, 2013] kama ulivyorekebishwa katika Kamati yaBunge Zima sasa ukubaliwe.

Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja.

[MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI]

Page 79: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

79

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

WAZIRI WA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI:Mheshimiwa Spika, naafiki.

(Hoja ilitolewa iamuliwe)(Hoja iliamuliwa na Kuafikiwa)

(Muswada wa Sheria ya Serikali ulisomwakwa Mara ya Tatu na Kupitishwa)

SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, kama tulivyoonammefanya kazi na mimi ninachopenda ni hiki kwamba,mnajadiliana na mnabishana kwa urefu na uzuri.Ninategemea tufanye hivyo siku zijazo na siyo vinginevyo.Tukiondoka hapa basi kila mmoja amejieleza vizuri nanadhani kikubwa ni kule kusikiliza mwingine anasema ninina kupima yale maneno.

Nadhani tukijenga spirit ya namna hii tutakwendavizuri. Kwa hiyo, niwashukuru wote hivyo vyama vilivyohusika,Wabunge waliohusika, Kamati zilizokesha, wote mlikeshausiku kucha. Tuwafanye Watanzania waelewe kwamba,tunaenda pamoja, lengo letu ni kufika kule tunakostahilikufika kwa amani, utulivu na upendo unaostahil i.Nawashukuru sana na ninawapongeza wote mliofanya kazikwa muda mrefu sana. (Makofi)

TAARIFA YA SPIKA

Kuundwa kwa Kamati Teule Kushughulikia Migogoro yaArdhi, Kilimo, Mifugo, Maji na Uwekezaji

Waheshimiwa Wabunge, kufuatia uamuzi wa Bungewa kuundwa kwa Kamati Teule, chini ya masharti ya Kanuniya 120 (2) ya Kanuni za Kudumu za Bunge, Toleo la Aprili, 2013uliofanywa na Bunge tarehe 1 Novemba, 2013 na kwamujibu wa Masharti ya Kanuni ya 120 (4) ya Kanuni zaKudumu za Bunge Toleo la Aprili, 2013 naunda na kuwateuaWajumbe wa Kamati hii ambayo itaitwa Kamati Teule yaKuchunguza na Kuchambua Sera Mbalimbali zinazohusuMasuala ya Ardhi, Kilimo, Mifugo, Maji na Uwekezaji ili

Page 80: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

80

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

kubaini kasoro zilizomo katika matumizi ya Ardhi na hatimayekuleta mapendekezo Bungeni ambayo yakitekelezwa naSerikali yatapunguza na kuondoa migogoro ya muda mrefuinayoendelea kati ya Wafugaji na Wakulima, Wawekezajina Watumiaji wengine wa Ardhi.

Waheshimiwa Wabunge, hadidu za rejea za Kamatiteule zitakuwa zifuatazo:-

Kwanza, kuchambua sera mbalimbali zinazohusianana matumizi ya ardhi ili kubainisha kasoro zilizomo nakuchunguza mikakati ya utekelezaji wa sera hizo iliyowekwana Serikali;

Pili, kufanya mapitio ya taarifa nyingine za kamati natume zilizoundwa huko nyuma kushughulikia migogoro yawakulima na wafugaji;

Tatu, kuchambua mikakati yote ya Serikali yakusuluhisha migogoro ya wakulima na wafugaji;

Nne, kuchambua mikakati ya kulinda vyanzo vya majipamoja na uharibifu wa mazingira;

Tano, kutoa mapendekezo yatakayoondoamigogoro il iyopo na kudumisha uhusiano mzuri nautengamano kati ya wafugaji na wakulima;

Sita, kutoa mapendekezo ya hatua za kuchukua zakiuwajibikaji pale ambapo kasoro za utekelezaji wa kiserazimetokana na udhaifu wa kiuongozi na utendaji; na

Saba, mambo mengine yoyote ambayo Kamatiitayaona yanafaa.

Waheshimiwa Wabunge, kama mlivyoona hadiduza rejea na ukubwa wa tatizo lenyewe la migogoro ya ardhikati ya wafugaji, wakulima, hifadhi, wawekezaji nawatumiaji wengine wa ardhi. Kama nilivyosema wakatiwa kuhitimisha mjadala wa hoja iliyowasilishwa kwambaKamati Teule itakwenda kuangalia kwa ukubwa wake suala

[SPIKA]

Page 81: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

81

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

zima la migogoro kati ya wakulima, wafugaji na mamboyanayohusu maeneo ya hifadhi na vitu kama hivyo.

Ni dhahiri kazi itakuwa kubwa na inayohitaji umakiniwa hali ya juu na muda wa kutosha katika kufikiamapendekezo yatakayowasilishwa Bungeni. Hata hivyo,kutokana na uharaka wa jambo lenyewe itabidi Kamati hiiifanye kazi hii kwa kuzingatia kwamba kuchelewa kutoataarifa yake kunaweza kukuza tatizo.

Waheshimiwa Wabunge, pamoja na kazi kuwakubwa Kanuni ya 121(1) ya Kanuni za Kudumu za Bunge Toleola Aprili, 2013 imeweka masharti kwamba Wajumbe waKamati Teule wasizidi Watano (5). Hivyo nimewateuawafuatao ili wakaifanye kazi hiyo. Katika uteuzi nilioufanyanimezingatia mambo ya muhimu yafuatayo; uwakilishi wavyama vilivyopo Bungeni, uelewa wa tatizo na migogoroiliyopo na inayoikabili nchi yetu, uzoefu katika masuala yakilimo na ufugaji na jinsia.

Hivyo wafuatao nimewateua kuwa Wajumbe waKamati Teule.

1. Mheshimiwa Prof. Peter Mahamudu Msolla;

2. Mheshimiwa Jenista Joakim Mhagama;

3. Mheshimiwa Magdalena Hamis Sakaya;

4. Mheshimiwa Joseph Roman Selasini; na

5. Mheshimiwa Christopher Olonyokie Ole-Sendeka.

Waheshimiwa Wabunge, mtakumbuka wakatitulipojadili hoja hii ya kuahirisha shughuli ili kujadili mambomuhimu ya dharura, inayohusu maelezo ya Serikali kuhusumgogoro kati ya wafugaji na wakulima, hifadhi nauwekezaji, niliipa Kamati yetu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili

[SPIKA]

Page 82: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

82

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

na Mazingira, jukumu la kutathmini na kuangalia jinsimpango ule wa kupambana na majangili ulivyopangwa,kasoro zilizojitokeza pamoja na mambo mengine, kutathiminiiwapo kulikuwa na uzembe katika kuendesha opereshenihii ambao ulisababisha watu wasio na hatia kupotezamaisha na mali zao.

Ili kuondoa mgongano kati ya Kamati Teule na Kamatiya Kisekta, masuala yote yatakayohusiana na migogoro yaardhi inayohusu wakulima, wafugaji na wawekezaji kwenyemaeneo ya hifadhi, narudia tena. Ili kuondoa mgonganokati ya Kamati Teule na Kamati ya Kisekta, masuala yoteyatakayohusiana na migogoro ya ardhi inayohusu wakulima,wafugaji na wawekezaji kwenye maeneo ya hifadhiyaachiwe Kamati ya Ardhi, Maliasili na Mazingira ambapoitaayangalia kwa upana wake na kutoa taarifa yakeBungeni.

Sasa baada ya kusema hayo Kamati Teule hiininayoiunda itafanya kazi yake na itatuletea taarifa yakekatika Mkutano wa Kumi na Nne wa Bunge. Huo ndiyomwisho wa taarifa yangu. Katibu tuendelee.

KATIBU WA BUNGE: Mheshimiwa Spika, napendakutoa taarifa kuwa shughuli zilizopangwa katika Mkutanowa Kumi na Tatu zimekamilika.

KUAHIRISHA BUNGE

WAZIRI MKUU: Mheshimiwa Spika, leo tunahitimishashughuli za Mkutano wa Kumi na Tatu wa Bunge lako Tukufu.Ni jambo la kumshukuru Mwenyezi Mungu mwenye wingi waRehema kwa kutufikisha salama siku ya leo.

Mheshimiwa Spika, Mkutano huu ulijumuisha kazikubwa zifuatazo:-

(i) Kujadili Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleowa Taifa kwa Mwaka 2014/2015;

[SPIKA]

Page 83: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

83

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

(ii) Kujadili Muswada wa Sheria ya Marekebisho yaSheria mbalimbali wa Mwaka 2013, [The Written Laws(Miscellaneous Amendments (No. 3) Bill 2013];

(iii) Kujadili Muswada wa Sheria ya Mfuko wa Akibawa GEPF wa Mafao ya Wastaafu wa Mwaka 2013 [TheGEPF Retirement Benefit Bill, 2013]; na

(iv) Kujadili Muswada wa Marekebisho ya Sheria yaMabadiliko ya Katiba (The Constitutional Review Act) Sura ya83.

Mheshimiwa Spika, naomba nitumie nafasi hiikuwapongeza Waheshimiwa Wabunge wote kwa kushirikikatika Kamati ya Mipango hapa Bungeni kwa kujadili kwakina mapendekezo yaliyowasilishwa na Serikali kuhusuMpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2014/2015.

Napenda kuwahakikishia kuwa, maoni na ushaurikama yalivyotolewa na Waheshimiwa Wabungeyatazingatiwa na Serikali kila moja kwa uzito wake wakatiwa maandalizi ya Bajeti ya 2014/2015. Vilevile, niwashukurukwa kujadili na kupitisha Muswada wa Sheria ya Mfuko waAkiba wa GEPF wa Mafao ya Wastaafu.

Mheshimiwa Spika, pamoja na kukamilisha kazi hizomuhimu, pia katika Mkutano huu, jumla ya maswali 120 yamsingi na 305 ya nyongeza ya Waheshimiwa Wabungeyalijibiwa na Serikali. Aidha, Maswali 6 ya msingi na 6 yanyongeza yalijibiwa kwa utaratibu wa Maswali ya Papo kwaPapo kwa Waziri Mkuu.

Mheshimiwa Spika, Kauli za Mawaziri/Maazimio.Mkutano huu pamoja na kazi za msingi zilizopangwa,Waheshimiwa Wabunge walipata fursa ya kupata Kauli zaMawaziri ikiwemo Kauli ya Waziri wa Eliumu na Mafunzo yaUfundi kuhusu Upangaji wa Madaraja katika Matokeo yaMitihani katika Shule za Sekondari, na Azimio la KumpongezaMheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri

[WAZIRI MKUU]

Page 84: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

84

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

ya Muungano wa Tanzania kuhusu msimamo wake katikaJumuiya ya Afrika Mashariki.

Mheshimiwa Spika, Hotuba ya Mheshimiwa Rais.Katika Mkutano huu pia, Waheshimiwa Wabunge walipatafursa ya kumsikiliza Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akizungumzana Wananchi kupitia Bunge lako Tukufu. Mtakubaliana namikwamba hotuba ya Mheshimiwa Rais ilikuwa nzito na yenyekuonesha umakini, umahiri na busara ambazo ni sifamojawapo za Rais wetu kati ya nyingi nzuri alizonazo. (Makofi)

Tunachotakiwa ni kutumia maelekezo ya MheshimiwaRais kwa kuyafikisha kwa Wananchi katika maeneo yetu ilinao waweze kuelewa hali halisi ya yanayotokea katikaJumuiya yetu. Aidha, Hotuba ya Rais imegusa maeneomengine ambayo sisi Wabunge tunatakiwa kushirikiana naWananchi katika kujipanga vizuri namna ya kukabiliana namatatizo yaliyojitokeza.

Mheshimiwa Spika, Utekelezaji wa Mpango wa Bajetiya Mwaka 2013/2014. Mwenendo wa Mapato na Matumiziya Serikali katika Robo ya Kwanza ya Mwaka 2013/2014.Hotuba yangu kwa leo imejikita zaidi kuelezea utekelezajiwa Mpango wa Bajeti ya Mwaka 2013/2014 na maeneomachache katika Sekta ya Kilimo na Nishati. Lakini kabla yakuelezea mwenendo wa Mapato na Matumizi ya Serikalikatika Robo ya Kwanza ya mwaka 2013/2014, naombakueleza kwa muhtasari kuhusu mwenendo wa baadhi yaviashiria muhimu vya uchumi hususan Ukuaji wa Uchumi naMfumuko wa Bei.

Taarifa za awali zilizotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimuzinaonesha kwamba Ukuaji wa Pato la Halisi la Taifa katikakipindi cha nusu ya kwanza ya mwaka 2013, ulikuwa asilimia7% ikilinganishwa na ukuaji wa asilimia 6.9 katika kipindi kamahicho mwaka 2012. Sekta zilizoonesha kuwa na viwangovikubwa vya ukuaji ni pamoja na Sekta ya Mawasiliano naUsafirishaji ambayo imekua kwa asilimia 18.4, Sekta ya FedhaAsilimia 14.6 na Sekta ya Ujenzi asilimia 8.7.

[WAZIRI MKUU]

Page 85: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

85

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Mheshimiwa Spika, kwa upande wa mfumuko wabei, takwimu zinaonesha kuwa kasi ya upandaji beiimepungua kutoka wastani wa asil imia 13.5 mweziSeptemba, 2012 hadi asilimia 6.1 mwezi Septemba, 2013.Kushuka kwa mfumuko wa bei kumechangiwa zaidi naupatikanaji wa chakula cha kutosha ndani ya Nchi.Mwenendo huu mzuri wa viashiria vya uchumi jumla unatupamatumaini makubwa kwamba jitihada za Serikali zakuimarisha usimamizi wa uchumi na kuleta maendeleoendelevu ya wananchi wetu zinaanza kuzaa matunda.

Mheshimiwa Spika, katika robo ya kwanza ya mwaka2013/2014 kuanzia mwezi Julai hadi Septemba 2013, mapatoyote yaliyokusanywa na Hazina yalifikia Shilingi Trilioni 3.08;sawa na asilimia 85.7 ya makadirio ya Shilingi Trilioni 3.59.

Pamoja na mwenendo huo wa ukusanyaji mapato,changamoto kubwa zinazokabili eneo la Mapato ya Serikalini kuchelewa kuanza kwa wakati kwa ukusanyaji wa mapatokatika baadhi ya vyanzo vya mapato. Changamoto nyingineni miundombinu isiyokidhi mahitaji ya usafirishaji endelevuhasa reli ya kati, bandari, usafiri wa anga na barabara.

Miundombinu bora ni muhimu katika kuchocheaukuaji wa uchumi na kukuza ajira; na hivyo kuiwezesha Serikalikukusanya mapato zaidi kutokana na kuongezeka kwashughuli za kiuchumi. Serikali inafanyia kazi changamoto hizoili kuzipatia ufumbuzi mapema.

Mheshimiwa Spika, kwa upande wa matumizi, hadikufikia mwezi Septemba 2013; matumizi yalifikia Shilingi Bilioni3,806.5, sawa na asilimia 98.5 ya lengo la kutumia ShilingiBilioni 3,854.2. Kati ya matumizi hayo, Shilingi Bilioni 3,058 nimatumizi ya kawaida na Shilingi Bilioni 747.9 ni matumizi yamaendeleo.

Katika kipindi hiki, sehemu kubwa ya matumizi yaSerikali ya kawaida na maendeleo imeelekezwa katikamaeneo yenye kuleta ufanisi na tija kubwa kama vilekuboresha miundombinu ya barabara, ambayo mgao wake

[WAZIRI MKUU]

Page 86: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

86

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

ulikuwa Shilingi Bilioni 182.5 za matumizi ya kawaida namaendeleo, sekta ya elimu Shilingi Bilioni 229.2; Sekta yanishati, Shilingi Bilioni 159.9; sekta ya kilimo Shilingi Bilioni 119.6na sekta ya maji Shilingi Bilioni 51.3.

Vilevile, Serikali imelipa mishahara ya watumishi waUmma kwa wakati. Changamoto kubwa iliyopo kwenyematumizi ya Serikali ni kuwepo kwa mahitaji makubwa yamatumizi yasiyowiana na mapato; jambo ambalo linailazimuSerikali kukopa kutoka Mabenki ya Ndani.

Serikali itaendelea kuoanisha Matumizi na ukusanyajiwa mapato, hasa yale ya ndani pamoja na kuzingatiaviwango vya Matumizi vilivyoidhinishwa na Bunge. Aidha,Serikali itaendelea kuweka msisitizo wa kuelekeza matumizikwenye vipaumbele vilivyoainishwa katika bajeti ya Serikaliambavyo ni vyanzo muhimu vya kuongeza mapato, kukuzauchumi na kupunguza umaskini.

Mheshimiwa Spika, utekelezaji wa mfumo mpya watekeleza kwa matokeo makubwa sasa yaani big results now(BRN). Muundo wa Mfumo. Waheshimiwa Wabungewatakumbuka kuwa Serikali ilianzisha mfumo mpya wa“Tekeleza kwa Matokeo Makubwa Sasa au Big Results Now(BRN) ili kuongeza ufanisi katika usimamizi, ufuatiliaji natathmini ya utekelezaji wa mipango yetu ya maendeleo,hususan, mpango wa maendeleo wa miaka mitano (2011/2012 - 2015/2016).

Hatua hii ilichukuliwa baada ya kuona namna Mfumokama huo ulivyoziwezesha Nchi kadhaa, na hasa Nchi yaMalaysia, kupiga hatua kubwa za kimaendeleo kiuchumi nakijamii katika kipindi kifupi. Kwa ukumbusho tu, mfumo huounatekelezwa katika maeneo Sita ya matokeo muhimukitaifa national key results areas katika awamu yake yakwanza, ambayo ni nishati ya umeme, uchukuzi, kilimo,elimum, Maji na ukusanyaji wa mapato.

Mheshimiwa Spika, katika hotuba yangu yakuahirisha Mkutano wa Kumi na Mbili wa Bunge, tarehe 6Septemba, 2013, nilitoa taarifa ya awali kuhusu utekelezaji

[WAZIRI MKUU]

Page 87: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

87

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

wa mfumo huu Mpya kwa kipindi cha kuanzia mwezi Julaihadi Septemba, 2013. Katika taarifa hiyo, nilieleza kuwatumepiga hatua za kuridhisha katika uundaji wa mfumo wakuleta matokeo ya haraka, ikiwa ni pamoja na kuanzishana kuteua uongozi wa juu wa Taasisi Maalum yaaniPresident’s Delivery Bureau (PDB) inayomsaidia MheshimiwaRais kusimamia ipasavyo utekelezaji wa miradi na programuzilizoainishwa.

Hivi sasa zoezi la kuajiri watumishi wa taasisi yapresident’s delivery bureau na vitengo vya Wizara vyaufuatil iaji yaani ministerial delivery units (MDUs)watakaochukua nafasi za watumishi walioazimwa kutokakwenye Wizara na Taasisi mbalimbali za Serikali, sekta binafsi,na Asasi zisizo za Kiserikali ambao walikuwepo katika hatuazake za maandalizi limeanza. Ninapenda kutumia fursa hiikuwashukuru wote waliotumika katika chombo hiki tangukilipoundwa kwa uzalendo na weledi waliouonesha katikakipindi hiki cha mwanzo na cha mpito.

Mheshimiwa Spika, napenda kuliarifu Bunge lakoTukufu kwamba hadi sasa vitengo vya ufuatiliaji katikaWizara zote sita (6) zinazosimamia utekelezaji chini ya mfumohuu mpya vimeanzishwa na vinaandaa taarifa zautekelezaji za kila wiki na kila mwezi, na kuziwasilisha kwenyechombo cha President’s Delivery Bureau. Aidha, KamatiMaalum za kusimamia utekelezaji zinazoongozwa naMawaziri husika zinakutana kila mwezi kujadili mwenendowa utekelezaji na kushughulikia changamoto mbalimbalizinazojitokeza katika utekelezaji. Baraza la KusimamiaMageuzi na Utekelezaji yaani Transformation and DeliveryCouncil (TDC) limeundwa na lilikutana tarehe 11 Oktoba,2013.

Katika Kikao hicho, Baraza lilipokea na kujadilimuhtasari wa taarifa ya utekelezaji wa Mfumo mpya waKusimamia, Kufuatilia na Kutathmini Miradi ya Kipaumbelekatika maeneo sita ya matokeo ya kitaifa. Baraza liliridhikana hatua za awali za utekelezaji na lilitoa mwongozo stahikiwa hatua za kuchukuliwa pale il ipohitajika. Baraza

[WAZIRI MKUU]

Page 88: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

88

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

litaendelea kukutana mara kwa mara ili kutathmini na kutoamwelekeo wa utekelezaji wa mikakati iliyowekwa ya mfumohuu mpya.

Mheshimiwa Spika, utekelezaji wa Mikakati katikamaeneo makuu Sita ya matokeo kitaifa.Utekelezaji wamikakati katika maeneo makuu sita ya matokeo kitaifaulianza mara baada ya uchambuzi wa maabara kukamilika.Mafanikio ya kuridhisha yamepatikana katika kila moja yamaeneo yale sita, hasa ikizingatiwa kwamba mfumo huu nimageuzi makubwa sana katika utendaji Serikalini. Katikakipindi cha miezi mitatu ya mwanzo ya mwaka huu wafedha, kuanzia mwezi Julai hadi Septemba, 2013; kwa mfano,baadhi ya matokeo yaliyopatikana ni pamoja nayafuatayo:-

Kwanza, katika sekta ya kilimo, Serikali inatekelezamiradi 26 ya umwagiliaji kwa Wakulima wadogo na piaimekarabati maghala 26 ya mpunga kati ya 39yanayotumiwa na wakulima katika maeneo yaliyopewakipaumbele hususan katika eneo la SAGCOT.

Pili, katika sekta ya nishati ya umeme, jumla yaWateja wapya 27,494 wameunganishwa na kupatiwaumeme, ikiwa ni asilimia 18.3 ya lengo la kuunganisha watejawapya 150,000 hadi mwisho wa mwaka 2013/2014. Aidha,vipande vya bomba la gesi 20,491 vinavyotosheleza ujenziwa kilomita 243.8 za bomba la gesi tayari vimewasili Nchini,na uchomeleaji wa Bomba la Gesi Asilia kutoka Mtwarahadi Dar es Salaam umekamilika kwa kilomita 124.3. Vilevile,kilomita 447 za njia ya bomba la gesi zimesafishwa.

Tatu, katika sekta ya elimu, shule za msingi 5,916zilipatiwa mitihani ya marejeo na mazoezi, sawa na asilimia100 ya lengo la mwaka. Aidha, mafunzo kazini kuhusuufundishaji yametolewa kwa walimu katika Shule 1,325 sawana asilimia 65 ya lengo la shule 2,048 kwa mwaka huu wafedha.

[WAZIRI MKUU]

Page 89: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

89

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Nne, kwa upande wa huduma za maji, wananchiwapatao 752,000 waishio vijijini wamepatiwa huduma yamaji.

Mafanikio haya yanafanya idadi ya wananchiwaishio vijijini ambao wanapata majisafi na salama kufikiatakribani Milioni 15.9. Kasi hii ya upanuzi wa huduma za majiVijijini imewezekana baada ya Wizara ya Maji kugatuamadaraka ya usimamizi wa miradi husika kwa sekretarietiza Mikoa na halmashauri za Wilaya, jambo ambalolimewafanya watendaji kuwajibika na kuharakisha utendajiwao wa kazi. Aidha, hatua zilizochukuliwa zimeiwezeshaWizara ya Maji kuongeza ufanisi katika masuala ya ununuziwa huduma, ikiwemo ujenzi na vifaa vyake, kutoka wastaniwa siku 265 za hapo awali hadi siku 90 za sasa.

Mheshimiwa Spika, mafanikio haya na menginemengi ambayo sikuyataja hapa yameonyesha kuwatukidhamiria, tunaweza kubadilisha kabisa matokeo yajuhudi zetu na kuifikia dhamira yetu ya kuwa ni Taifa la Kipatocha Kati ifikapo mwaka 2025.

Mheshimiwa Spika, kufuatia mafunzo yaliyotolewamapema mwezi Juni, 2013 kwa Watendaji wa Wizara husika,Wakuu wa Mikoa wote, Makatibu Tawala wa Mikoa naWakuu wa Wilaya zote Nchini, mnamo mwezi Septemba 2013nilikutana na Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala waMikoa yote Tanzania Bara ili kujadili kwa kina taarifa zautekelezaji wa miradi ya kipaumbele chini ya mfumo huu.Aidha, katika Vikao hivyo, nimezielekeza Wizara, Mikoa naHalmashauri zote Nchini kufanya yafuatayo:-

Kwanza, kuchambua miradi i l iyopangwakutekelezwa katika mwaka huu wa fedha ambayo ipo njeya Mfumo wa Tekeleza kwa Matokeo Makubwa Sasa kwakutambua manufaa yanayotarajiwa baada ya kukamilikana mahitaji halisi;

[WAZIRI MKUU]

Page 90: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

90

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Pili, kuipanga miradi hiyo kwa kipaumbele ili kuwekamkazo katika miradi itakayokamilika haraka na kuwa namanufaa makubwa kwa Wananchi; na,

Tatu, kuweka utaratibu wa Kimfumo na Kitaasisi wakufuatilia utekelezaji wa miradi ya kipaumbele.

Mheshimiwa Spika, niinafurahi kutoa taarifa kuwaWizara na Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali zaMitaa, zimeupokea mfumo wa Tekeleza kwa MatokeoMakubwa Sasa kwa hamasa kubwa. Ili kuhakikisha azmayao ya kutekeleza majukumu yao katika mfumo huukikamilifu, iliamuliwa kuwa viundwe vitengo vya kusimamiautekelezaji katika ngazi ya mkoa yaani Regional DeliveryUnits (RDUs), sambamba na vile vitengo vya ufuatiliaji vyaWizara ili utekelezaji katika maeneo makuu ya matokeokitaifa ufanyike kwa ufanisi na umakini stahiki.

Hatua hii inazingatia umuhimu wa kuhakikisha kuwamaeneo kama Elimu na Maji ambayo Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa zina mchango mkubwa katika utekelezajiyanapata msukumo wa kutosha. Kazi hii imeshaanza, nataarifa zilizowasilishwa ni za kutia moyo sana.

Mheshimiwa Spika, kwa kuzingatia mafanikio yaawali yaliyopatikana, Serikali imetoa maelekezo kwa Wizara,Idara na Taasisi ambazo bado hazijaingia katika mfumo watekeleza kwa matokeo makubwa sasa, zisisubiri hadizitakapoingia rasmi bali zianze kujipanga na kutekelezamipango, miradi na program zao kwa kutumia mbinuambazo zinatumika katika mfumo huo pamoja na rasilimalifedha na wataalam waliopo.

Msisitizo ni kwamba Wizara zote na Mikoa ijipangeupya na kuongeza ubunifu na kufanya vizuri zaidi katikakuimarisha usimamizi wa miradi ya maendeleo ili kuhakikishakwamba Taifa letu linafikia malengo ya maendeleotuliyojiwekea katika Dira ya maendeleo ya Taifa 2025.Aidha, napenda kutumia fursa hii kutoa wito kwa Wizara,Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kuimarisha usimamizi

[WAZIRI MKUU]

Page 91: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

91

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

wa Watendaji wao kwa kuzingatia taratibu za uwajibikajizilizowekwa chini ya mfumo huu mpya ili kuleta ufanisi natija ya utendaji Serikalini pamoja na kupata matokeomakubwa tarajiwa ya kukuza uchumi na kuondoa umaskini.

Mheshimiwa Spika, mapendekezo ya mpango wamaendeleo ya taifa wa mwaka 2014/2015. Mwanzoni mwaMkutano huu wa Bunge Serikali iliwasilisha Mapendekezo yaMpango wa Maendeleo 2014/2015. Napenda kutumia fursahii tena kuwapongeza Waheshimiwa Wabunge kwa maonina michango yao mizuri ambayo itatuwezesha kuboreshaMpango na Bajeti ya Mwaka ujao wa Fedha 2014/2015.Aidha, namshukuru Mheshimiwa Stephen Wasira pamojana Waheshimiwa Mawaziri wa Kisekta waliotoa maelezofasaha ya ufafanuzi wa Hoja zilizojitokeza wakati waMjadala wa Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo.Kwa kuzingatia michango mizuri na yenye tija iliyotolewa naWaheshimiwa Wabunge na Waheshimiwa Mawaziri wakatiwa kujadili Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo ya Taifawa mwaka 2014/2015, nami naomba uniruhusu kusisitizamambo machache kama ifuatavyo.

Mheshimiwa Spika, kama Waheshimiwa Wabungewatakavyokumbuka katika majadiliano yaliyokuwayanaendelea, moja ya jambo ambalo WaheshimiwaWabunge wamelizungumzia kwa kina, ni juu ya wingi wavipaumbele vya Taifa. Aidha, imeonekana pia kuwa miradiya maendeleo ni mingi sana kiasi kinachosababisha miradihiyo kutotekelezeka kutokana na ufinyu wa rasilimali fedha.

Napenda kulifahamisha Bunge lako Tukufu kuwavipaumbele vilivyopendekezwa na Serikali vinategemeanana vinalenga kutanzua vikwazo vikuu vya kiuchumi Nchini ilikufungua fursa za ukuaji wa uchumi wa Taifa na kuharakishamaendeleo na ustawi wa Wananchi wa Tanzania.Pendekezo la Serikali ni kuwa njia bora si kupunguzavipaumbele hivi sasa, bali ni kupanga vizuri mtiririko wautekelezaji wa miradi ndani ya kila kipengele, kuongeza

[WAZIRI MKUU]

Page 92: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

92

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

jitihada za kuongeza Mapato, na kusimamia nidhamu yamatumizi.

Mheshimiwa Spika, kwa kuwa Mpango huu waMaendeleo wa Miaka Mitano (2011/2012 - 2015/2016) ni wakwanza unaojenga msingi wa mipango mingine yamaendeleo ya miaka mitano itakayoandaliwa, ni dhahirikuwa kasi ya utekelezaji wake itarahisisha utengenezaji wamipango mingine na kupunguza vipaumbele vya msingikatika mipango ijayo. Hivyo, ninawaomba WaheshimiwaWabunge washirikiane kwa karibu na Serikali kuhakikishakuwa miradi iliyopangwa katika ngazi zote inatekelezwakwa ufanisi ili mpango huu wa mwanzo utekelezeke kamailivyokusudiwa.

Mheshimiwa Spika, mjadala na hoja nyinginezilijielekeza katika changamoto za upatikanaji wa Ajira kwaVijana Nchini. Kulingana na Sensa ya Watu na Makazi yamwaka 2012, asilimia 34.7 ya nguvu kazi ya Tanzania ni Vijanawa umri wa kati ya miaka 15 - 35. Kundi hili la Vijana ndilolenye kiwango kikubwa cha ukosefu wa ajira cha asilimia13.4 hapa Nchini. Pamoja na kuwa vijana hawa wamekuwawakipata kazi hususan katika sekta za ujenzi, kilimo na hoteli,ajira zao nyingi zimekuwa za muda.

Katika kukabiliana na changamoto hii, Serikaliimeandaa Programu ya Ajira kwa Vijana, itakayotekelezwakwa kipindi cha miaka mitatu. Malengo ni kupatikana fursaza ajira 840,000 kwa kuwezesha jumla ya miradi 10,000 yawahitimu wa elimu ya juu wapatao 30,000 kutoka vyuombalimbali ambao watatoa ajira za moja kwa moja kwawahitimu wengine 270,000 na ajira zisizo za moja kwa moja540,000. Programu hii itajengea vijana uwezo katika stadi zakazi; ujasiriamali; na kuwapatia Vijana mitaji, nyenzo na vifaavya kufanyia kazi; na kuwapatia vijana maeneo ya uzalishajina biashara. Serikali inatarajia kuelekeza fedha zaidi katikakipindi husika ili kuwezesha utekelezaji wa programu hiyo.Aidha, naipongeza sekta binafsi kwa mchango waomkubwa katika kukuza uchumi wa Nchi na kuongeza ajirakwa vijana.

[WAZIRI MKUU]

Page 93: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

93

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Mheshimiwa Spika, kilimo ni moja ya maeneo yakipaumbele katika mpango wa mwaka 2014/2015. Hili ndiloeneo kubwa kwa maana ya kuongeza fursa za ajira nakipato kwa wananchi wanaoishi vijijini, kuongeza kasi yaukuaji wa uchumi kwa namna ambayo ni shirikishi il ikupunguza umaskini.

Hivyo, ili kujibu matatizo ya msingi ya umasikini wakipato Mpango wa Maendeleo 2014/2015 utatoakipaumbele katika mambo muhimu yafuatayo:-

Moja, utafiti wa kilimo cha mazao, hasa katikauzalishaji wa mbegu bora, mifugo na uvuvi.

Pili, kuimarisha huduma za ugani kwa kilimo, mifugona uvuvi na kuimarisha upatikanaji na matumizi ya mboleakwa ajili ya kilimo.

Tatu, kuimarisha Ushirika wa Wakulima na Wafugaji.

Nne, kuongeza fursa za mikopo kwa wakulima,wafugaji na wavuvi ikiwa ni pamoja na kukamilishauanzishwaji wa Benki ya Kilimo mwezi Januari 2014;

Tano, kuwezesha upatikanaji wa masoko ya mazaoya kilimo, na mifugo;

Sita, kujenga na kukarabati skimu za umwagiliaji;

Saba, upatikanaji wa ardhi kwa kilimo na mifugo kwakuongeza kasi ya upimaji wa ardhi; na

Nane, kuendeleza shughuli za kuongeza thamani yamazao ya kilimo, mifugo na uvuvi.

Mheshimiwa Spika, Mpango wa Maendeleohuandaliwa katika ngazi zote Tano za Utawala kulinganana majukumu ya Serikali ambazo ni Vijiji na Mitaa, Kata,Mamlaka za Serikali za Mitaa, yaani Halmashauri, Mikoana Tano, Wizara, Idara zinazojitegemea, Taasisi na Wakala

[WAZIRI MKUU]

Page 94: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

94

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

wa Serikali. Mamlaka husika katika ngazi zote zinatakiwakuandaa Mipango yao kwa kuzingatia maeneo yavipaumbele kama yalivyoainishwa katika Mapendekezo yaMpango wa Maendeleo wa Taifa 2014/2015. Mipangolazima ilenge katika maeneo yenye kuleta matokeomakubwa na ya haraka hasa katika kuchocheamaendeleo ya maeneo mengine na Programu nyinginekatika ukuaji wa uchumi na kupunguza umaskini.

Katika kila ngazi, wadau wengine kama vile sektabinafsi, asasi zisizo za kiserikali, mashirika ya dini na washirikawa maendeleo washirikishwe kikamilifu. Wizara, Idarazinazojitegemea, Taasisi na Wakala wa Serikali ziandaeMpango na kuuwasilisha Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango Wikiya Nne ya mwezi Januari mwaka 2014.

Katika ngazi za Mikoa na Wilaya, uandaaji uanzekatika ngazi ya Kijiji na Mtaa, Kata, Halmashauri na hatimayekwenye Mkoa. Mpango uliopitishwa na Mkoa uwasilishweOfisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa naWizara ya Fedha, wiki ya nne ya mwezi Januari, 2014. Mpangowa Maendeleo wa Taifa utajadiliwa na Bunge kuanzia mweziAprili hadi Juni, 2014 na utekelezaji wake utaanza mwezi Julai2014 hadi Juni, 2015.

Mheshimiwa Spika, Mapendekezo ya Mpango waMaendeleo wa Mwaka 2014/2015 ndiyo yatatumika katikautayarishaji wa mipango ya maendeleo ya Wizara, Idara zaSerikali zinazojitegemea, Taasisi na Wakala wa Serikali, Mikoana Mamlaka za Serikali za Mitaa ya mwaka ujao wa fedha2014/2015. Hivyo, nawaomba Waheshimiwa Wabunge,kutumia taarifa zilizotolewa hapa Bungeni kutoa ufafanuzikwenye Vikao vya Baraza la Madiwani katika Halmashaurizao wakati wa kujadili Mipango yao.

Aidha, napenda kutumia fursa hii kuzihimiza Mamlakaza Serikali za Mitaa, kuainisha vipaumbele vinavyolengakatika maeneo yenye kuleta matokeo makubwa na yaharaka ya kiuchumi na kijamii; na pia yenye kuchocheamaendeleo ya maeneo mengine. Vilevile, vipaumbele vya

[WAZIRI MKUU]

Page 95: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

95

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Halmashauri vilenge kufungulia fursa za ajira, kuongezamapato ya ndani na kuvutia uwekezaji wa Sekta Binafsi katikamaeneo yao.

Mheshimiwa Spika, Sekta ya kilimo na hali ya chakulaNchini. Kwa ujumla hali ya upatikanaji wa chakula nchinihadi kufikia mwezi Oktoba 2013 ni ya kuridhisha kufuatiamavuno mazuri ya msimu wa kilimo wa 2012/2013 ambapomazao yake yanaendelea kuingia sokoni kutoka maeneombalimbali hapa nchini.

Tathmini ya awali iliyofanyika mwezi Julai/Agosti, 2013inaonesha kuwa uzalishaji wa mazao ya chakula katikamsimu wa kilimo wa 2012/2013 utafikia tani 14,383,845 zachakula zikiwemo tani 7,613,221 za mazao ya nafaka na tani6,770,624 za mazao yasiyo ya nafaka. Kiasi hicho cha chakulakilichozalishwa ni ongezeko la tani 2,234,726 za chakula,ikilinganishwa na mahitaji ya chakula kwa mwaka 2013/2014ya tani 12,149,120.

Kiwango hicho kinajumuisha tani 354,015 za mahindina tani 466,821 za mchele. Hivyo napenda kuwahakikishiaWaheshimiwa Wabunge na Wananchi kwa ujumla kuwatutakuwa na chakula cha kutosha nchini kwa asilimia 118.(Makofi)

Mheshimiwa Spika, vilevile, tathmini hiyo inaoneshakuwa, pamoja na kuwepo kwa chakula cha kutosha na chaziada, Halmashauri 61 katika Mikoa ya Manyara, Shinyanga,Simiyu, Arusha, Dodoma, Lindi, Tanga, Singida, Mara,Morogoro, Kilimanjaro, Mwanza, Pwani, Mtwara, Kigoma naTabora zinatarajiwa kuwa na uhaba wa chakula. Natoa witokwa Halmashauri zinazohusika katika Mikoa hiyo kufuatiliakwa karibu utaratibu wa kupata chakula kinachotolewakutoka maeneo yenye ziada na kuhakikisha kuwa kinafikamapema kwenye maeneo yao kabla Wananchi wamaeneo hayo hawajaanza kulalamika.

[WAZIRI MKUU]

Page 96: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

96

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Mheshimiwa Spika, mwenendo wa bei za vyakulanchini. Kutokana na hali ya upatikanaji wa chakula kuwanzuri, bei za wastani za vyakula hasa mahindi na mchelekatika soko nchini zimeendelea kushuka. Kwa mfano, bei yamahindi ilishuka kutoka shilingi 774.30 kwa kilo mwezi Februari,2013 hadi shilingi 535.40 kwa kilo mwezi Septemba 2013.

Kwa upande wa mchele, bei kwa kilo moja imeshukakutoka shilingi 1,825.45 mwezi Februari, 2013 hadi kufikia shilingi1,206.70 mwezi Septemba 2013, na bei ya mchele imeshukazaidi hadi kufikia shilingi 1,146.70 katika mwezi Oktoba, 2013.

Mheshimiwa Spika, Hali ya Ununuzi na Akiba yaChakula ya Taifa. Serikali kupitia Wakala wa Taifa wa Hifadhiya Chakula imepanga kununua Tani 250,000 za nafaka katikamsimu wa 2013/2014. Hadi kufikia tarehe 23 Oktoba, 2013,Wakala alikuwa umekwishanunua kiasi cha tani 218,412 zanafaka sawa na asilimia 87.37 ya lengo lililowekwa ambapotani 217,919 kati ya hizo ni za mahindi na tani 493 ni zamtama. Aidha, hadi kufikia tarehe 23 Oktoba 2013, maghalaya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula yalikuwa na jumlaya tani 232, 921 za nafaka, kati ya hizo tani 232,419 ni zamahindi na tani 493,103 ni za mtama. Kiasi hiki cha nafakakinajumuisha albaki ya tani 25,452 za mahindi kutoka msimuuliopita wa 2012/2013.

Mheshimiwa Spika, Serikali inaendelea na tathminiya kina ya hali ya chakula na lishe katika Halmashauri 61zilizoainishwa kuwa na hali tete ya chakula kwa lengo lakubainisha idadi ya watu wenye uhaba wa chakula ilikutafuta ufumbuzi wa kudumu wa tatizo hili. Nitumie fursahii kwa mara nyingine tena kuwaagiza Wakuu wa Mikoa naWilaya kuwahimiza wakulima hasa walioko katika maeneoyenye chakula cha ziada kuhifadhi chakula cha kutosha kwamahitaji ya kaya zao. Aidha, Wakala wa Taifa na Hifadhiya chakula wajipange vizuri kuhamisha chakula kutokamaeneo yenye ziada na kupeleka kwenye maeneoyaliyoainishwa kuwa na hali tete mara taarifa ya upungufuitakapotolewa.

[WAZIRI MKUU]

Page 97: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

97

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Mheshimiwa Spika, pamoja na juhudi za Serikali zakuhakikisha kwamba kuna chakula cha kutosha, natambuachangamoto zilizopo katika ununuzi wa chakula kupitiaWakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula. Natambuakuwepo kwa madeni yanayotukabili kwenye ununuzi wanafaka kwa ajili ya wakala yaani NRFA. Hata hivyo, mikoayote ambayo imehusika na uuzaji wa mahindi kupitiachombo hiki ambayo ni Arusha, Dodoma, Njombe,Shinyanga, Ruvuma, Rukwa na Tanga madeni yote ambayowakulima wanadai yatalipwa ndani ya mwaka huu wafedha na jambo hili linashughulikiwa hivi sasa. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, Mpango wa Pembejeo zaRuzuku. Kama nilivyoeleza katika Mkutano wa Kumi na Mbiliwa Bunge, katika msimu wa 2013/2014 Serikali imetengajumla ya shilingi bilioni 112.564 kwa ajili ya ruzuku ya mbolea,na pembejeo. Aidha, nilielezea kuhusu utaratibu mpyawa kutoa ruzuku utakaohusisha uwiano wa asilimia 80 kwavocha na asilimia 20 mikopo. Ili kuhakikisha mfumo huumpya unatekelezwa kikamilifu na kuleta matokeoyaliyotarajiwa, Serikali imetoa mafunzo ya utoaji pembejeokwa njia ya mikopo kwa Washauri wa Kilimo wa Mikoa,Maafisa Ushirika wa Mikoa na Wilaya na Maafisa Kilimo waWilaya kwa awamu mbili: awamu ya kwanza ikihusishaMikoa ya Shinyanga, Geita na Manyara; na awamu ya piliinahusu mikoa ya Ruvuma, Njombe, Mbeya na Iringa.

Uchambuzi wa takwimu za Vyama vya Ushirika naVikundi vya Wakulima watakaokopeshwa pembejeo zakilimo mwaka 2013/2014 umefanyika katika Mikoa ya Iringa,Ruvuma, Shinyanga, Njombe, Mbeya, Geita na Manyara.Takwimu zinaonesha kuna SACCOS 214, AMCOS 163 naVikundi vingine 51 vyenye wakulima 88,290 watakopeshwapembejeo za kilimo. Naomba kutoa wito kwa Wizara yaKilimo, Chakula na Ushirika kuendeleza mafunzo haya kwaMikoa iliyobaki.

Mheshimiwa Spika, Hali ya Usambazaji wa Vochaza Pembejeo. Kuhusu hali ya usambazaji wa vocha zapembejeo katika msimu wa 2013/2014 napenda kuliarifu

[WAZIRI MKUU]

Page 98: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

98

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Bunge lako Tukufu kwamba, jumla ya vocha 2,796,300 kwaajili ya kaya 932,100 zikiwemo vocha 932,100 za mbolea yakupandia, 932,100 za mbolea ya kukuzia, vocha 441,100 zambegu za mahindi chotara, vocha 432,000 za mahindi yaOPV na vocha 60,000 za mbegu za mpunga zilisambazwakatika mikoa yote hapa Nchini. Nitoe wito kwa viongoziwa Mikoa na Wilaya kwa kushirikiana na WaheshimiwaMadiwani na Viongozi wengine kuhakikisha kuwa Wananchiwanapata na wanatumia vocha hizi kupata pembejeokama ilivyokusudiwa. Aidha, tushirikiane kuhakikisha kuwawale watakaokwenda kinyume na utaratibu huu wausambazaji wa vocha hizo wanashughulikiwa kwa mujibuwa sheria.

Mheshimiwa Spika, changamoto za mbolea yaMinjingu. Juhudi za Serikali katika kuhakikisha upatikanaji wapembejeo za ruzuku ziko dhahiri. Hata hivyo, imebainikakwamba katika mahitaji ya mbolea, kilio kikubwa chawakulima ni kupatiwa mbolea kwa wakati. Aidha, wapowananchi wanaolalamikia mbolea ya Minjingu Mazaoambayo ni kweli hapo awali ilikuwa na matatizo. Lakini sasa,mbolea hii imeboreshwa kwa kiwango kikubwa kwakuongezewa virutubisho.

Mheshimiwa Spika, mbolea ya Minjingu ya awaliilikuwa na virutubisho vya udongo viwili tu vya Kalisiumu naFosfeti. Mbolea ya Minjingu Mazao imeboreshwa kwakuongezwa virutubisho vinne zaidi na kufanya virutubishohivyo kuwa sita yaani Kalisiumu, Fosfeti, Naitrojeni, Salfa, Boronina Zinki. Kwa msingi huo, Mbolea ya Minjingu mazaoinaweza kutumika katika aina mbalimbali za udongo tofautina ilivyokuwa awali. Aidha, Mbolea ya Minjingu Mazao ni yachengachenga yaani granulated tofauti na ya awali ambayoilikuwa katika mfumo wa unga yaani dust ambapo penginematumizi yake hayakuwa rafiki kwa mkulima. Baada yakuboreshwa, kwa sasa mbolea hii ya Minjingu inatumikakwa mazao mengi hasa mahindi, mpunga na alizeti katikasehemu mbalimbali hapa nchini.

[WAZIRI MKUU]

Page 99: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

99

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Mheshimiwa Spika, mkulima anahitaji kutumia mifukomiwili ya mbolea ya Minjingu Mazao ya kilo 50 kila mmojakwa wakati mmoja ikilinganishwa na mfuko mmoja wa kilo50 wa mbolea ya DAP.

Hata hivyo, ukilinganisha na mbolea ya DAP, mkulimaanayetumia Minjingu Mazao anawezesha shamba lakekupata virutubisho zaidi. Kwa hiyo, Mbolea ya Minjingu Mazaoni nafuu ikilinganishwa na Mbolea ya DAP. Bei ya mbolea yaMinjingu Mazao kwa mfuko mmoja ni shilingi 32,500/= nakwa hiyo kwa mifuko miwili ni shilingi 65,000/= katika Wilayazote Nchini ikilinganishwa na bei ya wastani ya shilingi 75,000/= ya mfuko mmoja wa DAP.

Aidha, kwa aina zote mbili za mbolea zinapotumikakupandia, lazima mkulima aweke mbolea nyingine yakukuzia ambayo ina virutubisho vingi vya Naitrogeni kamaCAN au UREA.Majaribio ya kutumia Mbolea ya Minjinguyalianza mwaka 1977 na kuendelea hadi mwaka 2006 ikiwakatika hali ya unga. Mwaka 2007 Mbolea hiyo iliboreshwakwa kuiweka katika hali ya chenga chenga (granulation)ingawa virutubisho havikuboreshwa. Mbolea hiyo iliendeleakutumika katika hali hiyo hadi mwaka 2009. Hivyo, mwaka2010 mbolea hiyo iliboreshwa kwa kuongezea virutubishonilivyovitaja na kuwekwa sasa katika soko.

Kwa sasa, Mbolea ya Minjingu Mazao inatumikakatika Mikoa ya Iringa, Ruvuma, Rukwa, Mbeya, Njombe,Katavi, Kigoma na Morogoro. Aidha, kuna mikoa mingineambako mbolea hii imepelekwa pamoja na mboleanyingine kwa ajili ya Wakulima wenyewe kufanya maamuziya kuchagua.

Mheshimiwa Spika, matumizi ya Mbolea ya MinjinguMazao katika mwaka 2012/2013 yamewezesha kuongezekakwa uzalishaji wa mahindi, mpunga na alizeti kwa ekari hasakatika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini. Changamoto kubwani elimu juu ya matumizi sahihi ya mbolea hiyo kwenye baadhiya maeneo.

[WAZIRI MKUU]

Page 100: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

100

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Katika kutatua changamoto hii, Wizara inashirikianana mmiliki wa Kiwanda cha Mbolea cha Minjingukuendesha mashamba darasa katika Wilaya mbalimbaliNchini. Vilevile, Wizara ya Kilimo kwa kushirikiana na ChuoKikuu cha Sokoine cha Kilimo, inaendelea kufanya utafitikatika maeneno mbalimbali ya nchi ili kuzidi kuboreshamatumizi sahihi ya mbolea hiyo katika aina mbalimbali zaudongo.

Changamoto zinazohusiana na mbolea ya Minjingukatika wilaya ya Mbozi hizi zitaangaliwa kwa namna yake.Hata hivyo, katika uchunguzi tulioufanya ilibainika kwamba,mmoja wa wakala katika wilaya ya Mbozi alitumia mifukoya mbolea nyingine akaweka mbolea ya Minjingu, na kwamaana hiyo mkulima aliyenunua mfuko mmoja akidhaniamenunua mbolea hiyo nyingine kumbe amenunua Minjinguni dhahiri kiasi hicho kisingeweza kutosheleza kuwezakuimarisha shamba la mkulima katika ekari yake mojaambayo inahitaji mifuko mwili. Hata hivyo, wakala huyoamekamatwa na amefikishwa kwenye vyombo vya sheria.(Makofi)

Mheshimiwa Spika, tatizo kama hili limejitokeza piamkoani Morogoro ambapo wakala mwingine naye hakuwamwaminifu, alitumia ujanja huo huo aka- pack mbolea hiiya Minjingu katika mifuko ya mbolea ya aina nyingine nakuiuza kwa bei kubwa ili aweze kufaidika zaidi, lakini kwagharama ya mkulima. Naye huyu amekamatwa na hatuaza kisheria zinaendelea. (Makofi)

Nataka niwasihi sana wakala wote na Wakuu waMikoa na Wilaya, wasimamie vizuri zoezi hili na watumiewataalam tulionao kuhakiki mbolea yote inapopelekwakwenye maeneo yao isije ikachakachuliwa na hivyo kuletamalalamiko makubwa.

Mheshimiwa Spika, kwa kuzingatia changamotozilizojitokeza katika matumizi ya mbolea ya Minjingu katikamaeneo mbalimbali nchini Serikali itaendelea kutoa elimukwa wakulima kuhusu namna bora ya kutumia mbolea hiyo.

[WAZIRI MKUU]

Page 101: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

101

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Pili, Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea imeagizwakufuatilia na kufanya uchunguzi wa madai ya wakulimakuhusu changamoto mbalimbali zinazojitokeza katika zamatumizi ya mbolea ya Minjingu pamoja na mbolea nyinginembalimbali.

Tatu, naomba kuiagiza Wizara ya Kilimo, Chakulana Ushirika kuendelea kushirikiana na wadau kufanya utafitikatika maeneo mbalimbali nchini ili kuhakikisha kwambambolea itakayotumika katika maeneo hayo inawiana nahali ya udongo unaohusika katika maeneo hayo.

Mheshimiwa Spika, Uzalishaji na Ununuzi wa Mazaoya Biashara. Katika miaka ya hivi karibuni kumekuwa nachangamoto mbalimbali za uzalishaji na ununuzi wa baadhiya mazao ya biashara hapa nchini ikiwemo kilimo cha zaola Pamba, Korosho, Tumbaku na Kahawa. Kwa kuzingatiaufinyu wa muda, leo naomba uniruhusu nizungumzie kidogokuhusu kilimo cha mazao mawili; Pamba na Korosho.

Mheshimiwa Spika, uzalishaji na ununuzi wa zao laPamba. Serikali inaendelea na jitihada za kuhakikisha kuwawakulima wa Pamba wanazalisha kwa tija kwa kutumiateknolojia mbalimbali zikiwemo matumizi ya mbegu bora,utumiaji wa pembejeo, kutoa huduma za ugani kwa kupitiaMaafisa wa Kilimo katika Halmashauri za Wilaya mbalimbalikatika maeneo yanayolima Pamba kwa kushirikiana kwakaribu na wadau mbalimbali ikiwemo sekta binafsi. (Makofi)

Katika kil imo hiki cha pamba, zana za kil imozinazotumika kwa sasa ni majembe ya kukokotwa nawanyama pamoja na majembe ya mkono kwa ajili yakulima. Hii ni dhahiri haiwezi kusaidia kuongeza tija katikakilimo hiki cha zao la Pamba. Kwa hiyo, Serikali itaendeleana juhudi zake za kutafuta njia mbalimbali kuhakikishakwamba kilimo hiki kinatumia zana za kisasa. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, mkakati wa Wizara kupatamasoko ya uhakika ya pamba. Serikali pia inaendeleakuhakikisha kwamba pamba inaongezwa thamani hapa

[WAZIRI MKUU]

Page 102: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

102

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

nchini kwa kuhamasisha uwekezaji katika ujenzi wa viwandavya nyuzi na nguo. Uwekezaji mpya unafanyika kwa kujengakiwanda cha nyuzi na nguo cha Dahong Mkoani Shinyangana pia mradi mkubwa wa kuzalisha pamba, kuchambua,kutengeneza nyuzi, kutengeneza vitambaa na nguounaotarajiwa kutekelezwa na kampuni ya Kijapani (NITORI)katika wilaya ya Handeni. Kwa sasa mradi huo uko katikahatua ya umilikishwaji wa ardhi. (Makofi)

Vilevile, Serikali imeanzisha mafunzo ya uhandisi naubunifu katika viwanda vya nyuzi na nguo. Pia tumeanzishakozi ya ubunifu wa mitindo katika mitaala ya VETA namafunzo ya shahada ya uzamili katika textile katika ChuoKikuu cha Dar es Salaam. Lengo ni kuhakikisha kuwa kunawatalaamu wa kutosha katika mchakato wa kuongezathamani ya pamba. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, tofauti za ubora wa mbegu zapamba manyoya na De – linted. Sina shaka watanzaniawameshasikia kuwa kwa sasa tunayo aina moja kuu yambegu ya Pamba ambayo inazalishwa katika kituo chetucha utafiti cha Ukiriguru. Pamba hii kwa sasa imekuwaikitumika zaidi kwa ajili ya kupanda katika mashamba yawakulima ikiwa katika mfumo wa manyoya. Hivi karibunitumepata kiwanda ambacho sasa kinaondoa manyoya nakupanga viwango vya mbegu hiyo yaani (De-linted). Hivyo,wakulima sasa wana uhuru wa kutumia Pamba yenyemanyoya na pamba ambayo haina manyonya.(Makofi)

Aina hizi mbili zinatofautiana sana kwa ubora na bei.Mbegu ya manyoa ina uotaji wa chini ya asilimia 50 wakatiile ambayo haina manyoya ni zaidi ya asilimia 90. Mbegu yamanyoya hutumika nyingi kwa eneo yaani kilo 25 kwa ekarimoja wakati ile iliyoondolewa manyoya inakuwa ni kilo 6hadi 7 katika ekari moja.

Mbegu ya manyoya ina tija ndogo sana (inazalishakati ya kilo 250 na 300 kwa ekari) ikilinganishwa ya mbeguisiyokuwa na manyoya inayozalisha kilo 450 – 1200 kwa ekari.

[WAZIRI MKUU]

Page 103: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

103

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Isitoshe mbegu ya manyoya ina uwiano mdogo wa pambanyuzi (asilimia 33) ikil inganishwa na mbegu ambayoimetolewa manyoya ambayo uwiano wake ni asilimia 36.

Mheshimiwa Spika, jitihada za Wizara kupunguza beiya mbegu bora. Ili kuwawezesha wakulima kutumia mbegubora (de-linted) Serikali imetoa ruzuku ya shilingi billioni 4.8 ilikufanya mbegu hiyo ipatikane kwa shilingi 600 kwa kilo kwamkulima badala ya shilingi 1,200 kwa kilo iliyotumika mwaka2012/2013. Serikali pia inaendelea kuchukua hatuambalimbali za kutoa elimu kwa wakulima wa pamba kuhusumbegu bora. (Makofi)

Kwa mfano, viongozi wa maeneo yanayolimapamba (Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya na baadhiya Madiwani) wamepelekwa katika kiwanda chakuchakata mbegu bora za Pamba cha Kampuni ya Qutonili kupata maelezo na kujionea hali ya utendaji wa mbegubora katika kilimo. Kupitia programu ya kuendeleza zao lapamba wakulima wawezeshaji yaani lead farmers 3000 wavikundi vya Kilimo cha Mkataba wanaendelea kupewamafunzo ya kilimo bora na matumizi ya mbegu bora iliwatumike kupeleka elimu hii kwa wakulima wenzao.

Mheshimiwa Spika, katika msimu huu wa kilimo wa2013/14, Serikali imejipanga kusimamia utekelezaji wa Kilimocha Mkataba kwa lengo la kuleta ufanisi katika kilimo chapamba nchini. Hatua hii inahusisha pia kutoa elimu yakutosha na kushirikisha kwa karibu wadau katika kuzipatiaufumbuzi changamoto zilizopo kwenye utaratibu mzima wakilimo hicho ambacho kina manufaa makubwa iwapokitaeleweka na kutekelezwa vyema kwa misingi ya hakimiongoni wa wadau. Baadhi ya manufaa hayo ni:-

Moja, nihakika wa upatikanaji wa pembejeo kwamkulima kwa mkopo, kuongeza tija kutokana na kupatapembejeo na huduma za ugani, kuongeza ubora wa pambakutokana na matumizi makubwa ya pembejeo na hudumaza ugani pamoja na vikundi kutumika kama mawakala wakununua Pamba ya wanachama wake hivyo kusimamia

[WAZIRI MKUU]

Page 104: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

104

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

ubora, uhakika wa soko la pamba ya mkulima, kupunguzawizi kupitia mizani ya mawakala, wakulima kupata teknolojiakupitia uwekezaji na kujenga na kuimarisha mfumo waushirika kupitia vikundi vya wakulima.

Mheshimiwa Spika, elimu ya kilimo cha mkataba kwawakulima. Kupitia programu ya kuendeleza zao la pamba,wakulima wawezeshaji zaidi ya 3,000 wamekwisha pokeamafunzo ya kilimo cha mkataba wanao tumika kupelekaelimu hii kwa vikundi vya wakulima. Wagani wa Halmashauriwapatao 560 wameshapata mafunzo haya. Chini yampango huu kila mgani anaweza kuhudumia vikundi hadi20.

Mheshimiwa Spika, napenda kuwaagiza viongozi nawataalamu wa kilimo waendelee kutoa elimu ya matumizina faida ya mbegu ambazo hazina manyoya (De-linted) kwakwa wakulima wa pamba nchini. Aidha, mashamba darasayatumike ipasavyo kuonesha tija inayotokana na aina hiyoya mbegu za pamba inapolinganishwa na mbegu ambayoina manyoya.

Vilevile, viongozi na wataalamu wa kilimo waendeleekuwakumbusha wakulima wa pamba wa Tanzania kuwautaratibu mpya wa kilimo cha mkataba una manufaa mengina makubwa. Tuendelee kuwashawishi wakulima kujiungana kilimo cha mkataba bila kuwashurutisha, isipokuwatukazanie zaidi kuwapa elimu na hasa kwa kutumiamashamba darasa. Wale watakaoshawishika kuingia katikautaratibu huu wasaidiwe kwa kila hali ili wanufaike na kilimohicho huku wakisaidia kutoa elimu kwa Wakulima wengineili wajiunge na aina hii ya kilimo. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, ni matumaini yangu kwambahatua zote hizi zikifanyika kwa nia njema, wakulima wapamba ndani ya muda mfupi watapata elimu inayotakiwana watanufaika na matumizi ya teknolojia hizo. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, kuhusu zao la korosho, azma yaSerikali ni kuimarisha viwanda vya korosho na kufufua vilevilivyopobinafsishwa ili viweze kusaidia kukuza soko kwa

[WAZIRI MKUU]

Page 105: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

105

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

wakulima wa korosho. Ili kutekeleza azma hiyo, Serikaliimefanya tathmini na kubaini kuwa wawekezaji wengi katikaviwanda vya korosho vilivyobinafsishwa wameshindwakutekeleza mikataba ya ubinafsishaji wa viwanda hivyokutokana na sababu mbalimbali zikiwemo ukosefu wafedha za uendeshaji, ukosefu wa nishati ya uhakika naviwanda kutumia teknolojia zil izopitwa na wakati. I l ikukabiliana na hali hiyo, Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirikakwa kushirikiana na Shirika Hodhi la Mali za Mashirika yaUmma (CHC) pamoja na Wadau wengine, inaandaamapendekezo ya hatua za kuchukua dhidi ya wawekezajiwalioshindwa kuendeleza viwanda hivyo.

Dhamira ya Serikali ni kwamba mwekezaji ambayeameshindwa kuendeleza kiwanda alichonunua kwakuzingatia makubaliano ya ununuzi na Serikali, mali hiyoirudishwe Serikalini na ifanyiwe tathmini na itangazwe upyaili kupata wawekezaji mahiri na wenye nia thabiti yakuendeleza viwanda husika. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, sambamba na hatua hiyo, Bodiya Korosho Tanzania imeandaa mpango wa ubanguaji wamiaka mitatu kuanzia mwaka 2012/2013 ambao umelengakuwasaidia wabanguaji wadogo na wa kati kuendeshashughuli za ubanguaji kwa ufanisi kwa kuwapatia mafunzo,vifaa vya kubangulia, na kuwatafutia masoko ya ndani,masoko ya kanda na masoko ya nje.

Hatua iliyofikiwa kwa sasa ni kwamba, Mfuko waWakfu wa Kuendeleza Zao la Korosho kwa kushirikiana naBodi ya Korosho Tanzania, umetenga fedha kwa ajili yakujenga viwanda vitatu katika Mikoa ya Ruvuma, Mtwara,na Pwani kwa ajili ya kuwawezesha wabanguaji wadogona wa kati kumalizia baadhi ya hatua za ubanguaji katikaviwanda hivyo kwa ajili ya kukidhi matakwa ya masokomakubwa ya korosho duniani.

Mheshimiwa Spika, ili kuboresha kilimo cha korosho,katika mwaka 2013/2014, Serikali itaendelea kutoa ruzukuya dawa, kutoa huduma za ugani na kuhamasisha

[WAZIRI MKUU]

Page 106: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

106

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

wakulima wahudumie mikorosho na kupuliza dawamapema.

Mheshimiwa Spika, kuhusu ununuzi wa korosho,katika msimu huu wa 2013/2014 ununuzi wa Koroshoutaendelea kwa kutumia mfumo wa stakabadhi za mazaoghalani. Ukusanyaji wa korosho kutoka kwa wakulimaumeanza katika maeneo mbalimbali nchini. Kwa mfano,katika mkoa wa Mtwara, mnada wa kwanza wa koroshoulianza tarehe 25 Oktoba, 2013 ambapo ulihusisha vyamavya msingi vya mkoa wa Mtwara. Korosho zote zilizokuwazimekusanywa na kutangazwa katika kila mnadazilinunuliwa. Bei ya korosho katika mnada wa kwanza ilikuwakati ya shilingi 1,402/= na 1,520/= kwa kilo ikilinganishwa nabei dira ya shilingi 1,000/= kwa kilo. Mnada uliofuatia beiziliongezeka na kuwa kati ya shilingi 1,481/= na 1,570/= kwakilo.

Mheshimiwa Spika, kwa upande wa mkoa wa Lindi,vyama vya msingi vilivyobaki chini ya ILULU vilifanya mnadawa kwanza tarehe 2 Novemba, 2013 ambapo jumla ya Tani783.593 ziliuzwa. Vyama vingine 51 vya kutoka wilaya zaRuangwa, Nachingwea na Liwale ambavyo vilijiondoakutoka usimamizi wa Chama Kikuu cha ILULU vitafanyamnada baada ya taratibu za kupata kamatiitakayowasimamia zitakapokamilika. Vyama hivyovimeomba kufanyiwa minada yake katika wilaya yaNachingwea ambako ndiko walikoweka ofisi yao. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, kwa upande wa wilaya yaTunduru, bado haijapata mkopo mpaka sasa na juhudi zakufuatilia zinaendelea. Taarifa kutoka benki ya NMBinaonyesha kuwa kuna uwezekano mkubwa wa vyama vyamsingi vya TAMCU kupata mkopo msimu huu kwani deniambalo TAMCU walikuwa wanadaiwa na benki hiyo ya NMBlimelipwa na Serikali.

Mheshimiwa Spika, kwa upande wa mkoa waPwani, uwezekano wa vyama vilivyo chini ya chama kikuucha Coastal Regional Cooperative Union (CORECU)

[WAZIRI MKUU]

Page 107: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

107

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

kupata mkopo ni mdogo kutokana na kudaiwa fedha nyingizaidi ya shilingi bilioni 7 za msimu wa mwaka 2010/2011.Serikali imefanya ukaguzi maalum katika vyama hivyo nakubaini kwamba madeni hayo kwa kiwango kikubwayamesababishwa na ubadhirifu wa viongozi na watendajiwa vyama hivyo. Hivyo, kupitia ofisi ya Mrajisi wa Vyama vyaUshirika, hatua za kisheria zimechukuliwa ikiwa ni pamojana kuwataka wahusika wa ubadhirifu huo kufidia hasara hiyo.

Kwa upande mwingine, wahusika wamekata rufaa,lakini mamlaka yenye dhamana imezitupilia mbali rufaa hizozote 434, na kuwataka wahusika walipe kiasi cha fedhakinachodaiwa na vyama vyao. Kutokana na hali hiyo,wakulima wa mkoa wa Pwani wanashauriwa kupelekamavuno ya korosho katika maghala yaliyoteuliwa. Minadaya Korosho itafanyika katika maghala hayo na wakulimawatalipwa mara moja baada ya minada kufanyika.

Mheshimiwa Spika, kutokana na jitihada za Serikalizinazoendelea natoa wito kwa Bodi ya Korosho na Wakuuwa Mikoa husika kuendelea kusimamia kikamilifu taratibuwa ununuzi wa korosho ili kuhakikisha kwamba Wakulimawanauza korosho zao walizovuna na kulipwa malipo yaohalali kwa wakati.

Mheshimiwa Spika, hali ya mwenendo wa mvua zavuli mwaka 2013 na athari kwa mazao ya vuli. Taarifa yautabiri wa mwelekeo wa hali ya hewa hususan mvua katikakipindi cha Oktoba hadi Disemba, 2013 iliyotolewa naMamlaka ya Hali ya Hewa Nchini inaonesha kuwa mvua zavuli zinatarajiwa kuwa chini ya wastani katika mikoa ya Dares Salaam, Pwani, Tanga, Kaskazini mwa Morogoro,Kilimanjaro, Arusha, Manyara na baadhi ya maeneo katikamikoa ya Mwanza, Simiyu, Shinyanga, Kagera, Geita na Mara.Pamoja na kwamba mvua za msimu wa vuli zimechelewakuanza katika maeneo mengi ambayo yalitarajiwa kupatamvua za vuli, mvua hizi hazitarajiwi kuwa na mtawanyikowa kuridhisha.

[WAZIRI MKUU]

Page 108: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

108

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Mheshimiwa Spika, athari za mvua za vulizinazonyesha chini ya wastani. Kutokana na utabiri huo wahali ya hewa, tathmini ya awali iliyofanyika katika maeneoyaliyotarajiwa kupata mvua za vuli inaonesha kuwa:-

Kwanza, hali ya mazao hasa katika Nyanda za juuKaskazini na ukanda wa Pwani Kaskazini si ya kuridhisha;

Pili, mategemeo ya mavuno ya vuli ni kidogoisipokuwa katika baadhi ya maeneo ya ukanda wa ZiwaViktoria hususan katika Mikoa ya Kagera na Geita ambayoyamepata mvua za wastani hadi chini ya wastani;

Tatu, mchango wa mavuno ya vuli ambao ni katiya asilimia 28-30 ya chakula kinachozalishwa katika maeneoyanayopata mvua hizo au asilimia 18 kitaifa hauwezi kufikiwakatika hali hii ya mvua; na

Nne, hali hii inaashiria kuwa kutakuwepo na upungufuwa Chakula katika maeneo hayo niliyotaja hapo juu.

Mheshimiwa Spika, kutokana na hali hii, natoa witokwa Wakulima katika maeneo haya kuzingatia ushauri wakupanda mazao yanayostahimili ukame na yanayokomaakwa muda mfupi. Wakuu wa Mikoa na Wilaya katikahalmashauri husika wasimamie suala hili kwa ukamilifu; ilikuepusha upungufu wa chakula unaotarajiwa. (Makofi)

Mheshimiwa Spika, kuongezeka kwa upatikanaji wanishati vijijni yaani miradi ya REA na hali iliyofikiwa. Wakatiwa kuhitimisha Mkutano wa Kumina Mbili wa Bunge nilielezamikakati ya Serikali katika kueneza umeme vijijini na matarajioya baadaye. Napenda kulieleza Bunge lako Tukufu kwambatumeweza kupiga hatua katika baadhi ya maeneo katikakuelekea kwenye malengo tuliyojiwekea.

Tayari Wakala wa Nishati Vijijini yaani REA ulitangazazabuni mwezi Desemba 2012 kwa ajil i ya kuwapataWakandarasi wa kupeleka umeme Vijijini na kujenga vituovya kupoozea umeme. Baada ya tathmini kufanyika, zabuni

[WAZIRI MKUU]

Page 109: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

109

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

15 za kupeleka umeme vijijini zilipata Wakandarasi. Mikoaambayo ilipata Wakandarasi katika awamu hiyo nipamoja na Arusha, Dodoma, Iringa, Katavi, Kilimanjaro,Mara, Mtwara, Mwanza, Njombe, Ruvuma, Shinyannga,Simiyu, Singida na Tabora. Aidha, Wakandarasi kwa ajiliya ujenzi wa vituo vya kupozea umeme vya msongo waKilovoti 11 na 33 vya Ngara, Kibondo, Kasulu, Kigoma,Tunduru na Mbinga walipatikana.

Kwa sasa wakala unaendelea na kulipa malipo yaawali yaani advance payments na Wakandarasiwanaendelea na ukamilishaji wa taratibu za kuanza kazi.Miradi hii yenye thamani ya shilingi bilioni 430.82 inatarajiwakukamilika mwezi Juni, 2015.

Mheshimiwa Spika, Mwezi Mei, 2013 zabuni nyingine10 ya miradi yenye thamani ya shilingi bilioni 450 zilitangazwakwa ajili yakuwapata Wakandarasi wa kupeleka umemevijijini katika Mikoa ya Geita, Kagera, Kigoma, Lindi,Manyara, Mbeya, Morogoro, Pwani, Rukwa na Tanga. Kwasasa tathmini ya zabuni hizo inaendelea. Inatarajiwa kwambawakandarasi kutokana na tathmini hiyo watajulikana ifikapotarehe 15 Novemba, 2013.

Mheshimiwa Spika, suala la fidia, sera; na miongozoya usambazaji umeme vijijini. Ili kuharakisha maendeleo yaupatikanaji wa nishati vijijini, suala la wananchi kuchangianguvu kazi na kutoa njia na maeneo ya kupitisha nyaya zaumeme bila fidia pale inapowezekana limekuwa likisititizwana Serikali kutokana na ufinyu wa bajeti. Upo ukweli kwamba,miradi mingi imechelewa kutekelezwa kutokana nawananchi kudai fidia ya miti na mazao ya msimuyanayokutwa kwenye njia ya umeme. Kwa mfano miradi yaawamu ya kwanza katika mkoa wa Pwani imechelewakuanza na kukamilishwa kutokana na wananchi kudai fidiailipwe kwanza ndio ujenzi uendelee. Pia, kwa sasa ujenziumesimama katika maeneo ya Bungu-Nyamisati na kisiwacha Mafia kutokana na wananchi kudai fidiwa kwanza.

[WAZIRI MKUU]

Page 110: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

110

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Mheshimiwa Spika, ni kweli kwamba kulingana nasheria zilizopo kama katika njia ya kupitisha umeme yapomazao yanayostahili kulipwa fidia. Hata hivyo kutokana nabajeti finyu Wakala wa Nishati Vijijni unashindwa kutoa fidiainayohitajika na kuona ni bora wale wanaojitolea maeneoyao wapelekewe umeme haraka kuliko kusubiri bajeti kwaajili ya fidia. (Makofi)

Serikali inatoa rai kwa Viongozi na Wananchi kuonaumuhimu wa kujitolea maeneo yao ili waweze kupatahuduma hii muhimu mapema. Nawaomba WaheshimiwaWabunge tushirikiane katika kuwahamasisha wananchikatika maeneo yetu kuhusu umuhimu wa kupata umememapema kwa maendeleo ya maeneo yetu.

Mheshimiwa Spika, taarifa ya utekelezaji wa ujenziwa bomba la gesi asilia kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam.Shughuli za ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara hadiDar es Salaam zinaendelea vizuri. Mpaka sasa usafishaji wanjia ya kulaza bomba unaendelea na tayari kilometa 484.17kati ya kilometa 517 zimekamilika. Aidha, jumla yamabomba 20,491 yanayotosheleza kulazwa umbali waKilometa 243.8 yamekwishawasili nchini. Kazi ya kuchimbamtaro, kuyapanga mabomba katika mstari mmoja kwenyemkuza na kuyaunganisha pamoja kwa kuchomeleainaendelea na hadi sasa kilometa 124.3 zimeshaunganishwa.Kazi zinazoendelea ni ujenzi wa kambi, nyumba zawafanyakazi katika maeneo ya Songo Songo na Madimba,pamoja na maandalizi ya ujenzi wa mitambo ya kusafirishiagesi asilia.

Tutaendelea kutoa taarifa ya hatua iliyofikiwa yautekelezaji wa Mradi huu muhimu kwa Taifa letu mara kwamara. Aidha, katika kuhakikisha kwamba miradi hiiinatekelezwa na kuleta manufaa katika nchi yetu, ninayofuraha kulijulisha Bunge lako Tukufu kuwa, Serikali ilipitishasera ya gesi asilia tangu tarehe 10 Oktoba 2013. Utaratibuwa kuichapisha sera hiyo katika lugha ya Kiswahili naKiingereza unaendelea. Vilevile, Serikali kupitia Wizara yaNishati na Madini imeandaa Mpango Mkakati wa Miaka

[WAZIRI MKUU]

Page 111: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

111

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Mitano wa Utekelezaji wa Sera ya Gesi na imeanzakutayarisha Rasimu ya Sheria ya Gesi. Ni matumaini yangukwamba vitu vyote hivi vikikamilika sekta ya gesi asiliaitaimarika.

Mheshimiwa Spika, mifugo. Operesheni OndoaMifugo Katika Maeneo Mbalimbali Nchini. Kwa muda mrefusasa maeneo mbalimbali hapa nchini yamekuwayakikumbwa na migogoro inayotokana na matumizi ya ardhihasa kwa wafugaji wanaohama kutoka maeneoyaliyokatazwa kisheria kwenda maeneo mengine pasipona maandalizi ya kutosha ya kuwapokea. Utafiti unaoneshakuwa, migogoro ya ardhi hapa nchini ina sura nne.

Moja, migogoro kati ya wakulima na wafugaji, Pili,migogoro kati ya wananchi na wawekezaji, Tatu, migogorokati ya wananchi na Serikali, na Nne, migogoro kati yamamlaka moja na mamlaka nyingine ndani ya Serikaliinayotokana na migongano ya kimaslahi.

Mheshimiwa Spika, kuna ukweli kwamba,kuongezeka kwa idadi ya watu na kuongezeka kwa matumiziya ardhi kutaendelea kuongeza kasi na vipaumbele katikakugawa maeneo yaliyoko wazi. Hali hii imeanza kuonekanakatika maeneo ya wafugaji ambayo yameendelea kupunguasiku hadi siku. Aidha, shughuli za kilimo, maendeleo yamakazi, na matumizi mengine ikiwa ni pamoja nakuongezeka kwa Vijiji kunakotokana na ongezeko la idadiya watu kumeendelea kupunguza eneo la malisho.

Mheshimiwa Spika, kuna ukweli pia kwamba,mabadiliko ya tabianchi na kuongezeka kwa mifugo katikamaeneo ya nchi kwa ajili ya kutafuta malisho na majikumeendelea kuchangia migogoro mingi kati ya wafugajina watumiaji wengine wa ardhi. Kati ya mwaka 2005 na sasa,tumeshuhudia uhamiaji wa mifugo kutoka mikoa ya Kaskazinina Kanda ya Ziwa kwenda katika Mikoa ya Kusini naMashariki mwa nchi. Uhamiaji huo licha ya kusababishamigogoro kati ya watumiaji wengine pia imesababishauharibifu mkubwa wa mazingira kwenye maeneo ya vyanzo

[WAZIRI MKUU]

Page 112: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

112

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

vya maji na hifadhi za Taifa. Baadhi ya maeneo hayo nipamoja na hifadhi za Wanyama pori za Burigi, Maswa naMeatu, Bonde la Usangu na Bonde la Kilombero.

Mheshimiwa Spika, ni matumaini yangu kwambamaadamu sasa jambo hili limefikia mahapi pazuri, Bungenalo limepewa jukumu la kuangalia namna gani tunawezakushirikiana na Serikali katika kulipatia ufumbuzi wa mudamrefu, basi tuwasihi Watanzania wote popote pale watoeushirikiano wa kutosha kwa Waheshimiwa Wabungewatakaokuwa katika jukumu hilo kubwa ili waweze kusaidiakupata taarifa za kutosha zitakazotuwezesha kuwezakufanya kazi yetu kuwa nyepesi zaidi.

Mheshimiwa Spika, hali ya ulinzi na usalama nchini.Kwa ujumla hali ya ulinzi na usalama nchini imeendelea kuwashwari, isipokuwa katika maeneo machache ambakokulijitokeza vitendo vinavyoashiria kuwepo kwa vikundi vyauhalifu na ujambazi. Serikali kupitia jeshi la Polisi imeendeleakujipanga kukabiliana na matishio mbalimbali ya kiusalamaikiwemo ugaidi.

Tukio lililotokea nchini Kenya hivi karibuni na matukioya kukamatwa kwa vijana 12 kule Mtwara na lile lililotokeawilaya ya Kilindi, mkoani Tanga hivi karibuni ambapo zaidiya watuhumiwa 46 wamefikishwa mahakamani kwa makosambalimbali, yanaashiria kwamba ugaidi hauna mipakaunaweza kutokea katika nchi yoyote.

Mheshimiwa Spika, Katika kuhakikisha kuwa amanina utulivu vinaendelea kudumu Nchini, Serikali imejipangakatika maeneo hayo kama ifuatavyo:-

(i) Kuhakikisha Vikao vya Kamati za Ulinzi naUsalama vya Mitaa, Vijiji na Vitongoji vinafanyika mara kwamara kwa mujibu wa Sheria na Kanuni za Serikali za Mitaakatika kila Kata/Shehia kwa kuwashirikisha madiwani ilikujadili na kubaini kero mbalimbali na kuzitafutia ufumbuzi.

[WAZIRI MKUU]

Page 113: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

113

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

(ii) Kufufua mpango wa Daftari la Wakazi naWageni katika kila Mtaa/Kitongoji kwa Tanzania Bara naZanzibar ili kila Kiongozi wa Mtaa, Kijiji na Kitongoji ajue Watuwanaoishi katika himaya yake. Zoezi hili litasaidia kuepukatatizo la wageni wasiojulikana au wahamiaji haramu. Aidhakamati za Ulinzi na Usalama za Serikali za Mitaa na Vijijizinahimizwa kutekeleza mkakati wa Halmashauri wa kuzuiauhalifu kwa kuimarisha vikundi vya ulinzi shirikishi/ulinzi jirani,kwa kuzingatia Sheria ya Serikali za Mitaa na Sheria Ndogozilizotungwa ili kuimarisha usalama katika Halmashaurihusika.

(iii) Kuhimiza wafanyabiashara wasaidiane navikundi vya ulinzi shirikishi/ulinzi jirani vilivyo kwenye maeneojirani na biashara zao kama sehemu ya kuimarisha usalamawa maeneo yao ya biashara. Pia, kwa wafanyabisharawenye biashara kubwa zenye mikusanyiko ya Watu wengiwanaagizwa kufunga “CCTV Camera” na kuziunganishakimtandao na “Control Room” ya Polisi ili kutoa msaada wakuzuia na kutanzua mapema uhalifu wowote utakaojitokeza.

(iv) Kuendelea kuunda Zonal Task Force za Jeshila Polisi katika kila Tarafa/Jimbo ili kukusanya taarifa zauhalifu na kufanya operesheni za kuzuia uhalifu katika kilaKata au Shehia zilizo ndani ya Tarafa au Jimbo husikasambamba na kutoa elimu na kusimamia uundwaji waKamati za Ulinzi na Usalama maeneo ya Ibada katika KataauShehia na hatimae kufikisha huduma ya usalama katikangazi ya familia.

(v) Kuendelea kutoa elimu kwa jamii kuhusumbinu mbalimbali za kuzuia na kupambana na uhalifu kwakutumia vyombo mbalimbali vya habari, mihadhara,mikutano, maonesho na usambazaji wa machapisho navipeperushi.

Mheshimiwa Spika, jukumu la kuhakikisha Ulinzi naUsalama katika Nchi yetu ni letu sote. Kila Mwananchipopote alipo anawajibika kushiriki kwa vitendo kwa kubainivitendo vyovyote vya uhalifu katika sehemu za kazi,

[WAZIRI MKUU]

Page 114: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

114

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

biashara na maeneo tunamoishi. Wito wangu kwaWaheshimiwa Wabunge wote, ni kuwaomba tuwahimizeWananchi kushiriki kikamilifu katika kuhakikisha Nchi yetuinadumu katika hali ya Amani na Utulivu.

‘Mheshimiwa Spika, kwa kuhitimisha, naomba nitumienafasi hii ya mwisho kuwashukuru wote waliosaidiakufanikisha Mkutano huu. Kipekee nikushukuru weweMheshimiwa Spika, pamoja na Naibu Spika kwa kutuongozavizuri. Niwashukuru Wenyeviti wa Bunge kwa kazi nzuri yakuongoza vikao vya Bunge lako Tukufu. Aidha, niwashukurutena Waheshimiwa Wabunge kwa kazi nzuri na kwamichango mbalimbali wakati wa Mkutano huu. NamshukuruKatibu wa Bunge na Wasaidizi wake wote pamoja naWataalam wote wa Serikali na Taasisi zake ikijumuishaTaasisi za Sekta Binafsi, kwa misaada ya Kitaalam nahuduma mbalimbali za kufanikisha Mkutano huu.Niwashukuru pia Waandishi wa Habari kwa kazi nzuriwalizofanya kuhakikisha kuwa taarifa za majadiliano namaamuzi mbalimbali ya hapa Bungeni zinawafikiaWananchi.

Niwashukuru madereva kwa kazi nzuri waliyofanyaya kuwasafirisha kwa usalama Waheshimiwa Wabunge,Wataalam na Wasaidizi wote walioshiriki katika Mkutanohuu.

Mheshimiwa Spika, Nimalizie kwa kuwatakia wotesafari njema mnaporejea kwenye maeneo yenu ya kazi nakatika majimbo yenu. Baada ya kusema hayo, naomba sasakutoa hoja kwamba, Bunge lako Tukufu liahirishwe hadi tarehe3 Disemba, 2013 saa 3.00 Asubuhi litakapokutana katikaMkutano wa 14 kwenye Ukumbi huu hapa Dodoma.

Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja.

WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA: Mheshimiwa Spika,naafiki.(Makofi)

[WAZIRI MKUU]

Page 115: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

115

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

SPIKA: Kwanza kabisa naomba tumshukuru WaziriMkuu kwa maelezo ya kina kuhusu hali halisi katika nchinadhani mnaondoka mkifahamu kwamba hali ya nchi ikokama hivi.

Waheshimiwa Wabunge mtaona kwambatumesogeza mapema sana Kikao cha Bunge lijalo kutokanana kwamba tunaweza kukuta tunaingia kwenye Mkutanowa Katiba itakapofika mapema Januari. Kwa hiyo ilikuwamapema Januari ndiyo kikao chetu hiki cha 14 kilipaswakuwepo, lakini tutakuwa na Bunge la Katiba.

Kwa hiyo tumesogeza vikao vyetu vya Bungemapema ili kusudi wakati huo tuache nafasi kwa shughuliza Katiba ndiyo sababu tumebadilisha tarehe hizi ili tuwezekufanya hivyo. Tunaamini kwamba mambo yataendeleavizuri ya Katiba basi tutakapoendelea kikao kingine tutakuwatunaingia labda kipindi cha bajeti. Kwa hiyo mabadiliko hayamaana yake ni kwmaba mtakwenda kukaa kwa muda mfupisana nyumbani pengine wiki moja tu kwa sababu mlolongomzima wa shughuli za Bunge zitafanyika kama kawaida.

Waheshimiwa Wabunge kama tulivyoeleza kikaokijacho kitakuwa zaidi kwa ajili ya kupokea taarifa za Kamatimbalimbali ndiyo hasa kazi kubwa, kwa hiyo ninaaminikabisaWenyeviti wa Kamati mbalimbali mtaziandaa Taarifa zenuziweze kuwa rafhisi kujadiliwa. Kwa hiyo hiyo ndiyo kazi mojaitakayofanyika.

Waheshimiwa Wabunge tunayo matangazomachache kwa ajili ya wageni waliopo hapa. Tunaye Waziriwa Sheria na Katiba wa Serikali ya Mapinduzi ZanzibarMheshimiwa Abubakar Khamis Bakar, tunaye pia Msajili waVyama vya Siasa Mheshimiwa Jaji Francis Mutungi, tunayepia Mama Tunu Pindi kwa ajili ya kutusaidia kumaliza kazihii.(Makofi/Vigelegele)

Msinishawishi tutunge Kanuni namna ya kupigavigelegele maana vinakuja kwa namna namna tu(Kicheko)

[SPIKA]

Page 116: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

116

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Waheshimiwa Wabunge tunao pia wageni wengineambao wamekuja kwa mafunzo ingawa ni siku ya mwisho,wapo wanafunzi 65 na walimu 7 kutoka shule ya Sekondariya Msalato hawa ni majirani zetu wasimame mahali walipo.Ahsante, ninyi ndiyo hazina ya akina mama kwa hiyo msomekwa bidii tunawategemea, ukombozi wa mwanamkeutakuja kwa elimu zaidi.(Makofi)

Tunao wanafunzi wengine 70 kutoka shule ya SilesianSeminary Dodoma wako wapi, ahsante sanatunawatakieni masomo mema na msome kwa bidii, duniani ya mashindani kwa hiyo mjitahidi kusoma vizuri.

Waheshimiwa Wabunge, pamoja na kwambatunaahirisha Bunge lakini naomna Wenyeviti wa Kamatimbalimbali wanaomba Kamati zao zifanye kazi. Mwenyekitiwa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na MazingiraMheshimiwa James Lembeli anaomba niwatangazieWajumbe wa Kamati yake kwamba mara baada yakuahirisha kikao hiki kutakuwa na kikao chao chumba Na.227. (Makofi)

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria naUtawala Mheshimiwa Pindi Chana anaomba niwatangazieWajumbe wa Kamati yake baada ya kuahirisha kikao hikikuwepo kwa kikao katika Ukumbi Na. 231 alisema saa sabana sasa ni sasa saba.

Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali zaMitaa Mheshimiwa Rajab Mbarouk anaomba niwatangazieWajumbe wa PAC na LAAC kwamba wanaombwakuhudhuria mafunzo kuhusu ukaguzi wa hesabu za Serikaliyatakayofanyika Bagamoyo katika Hotel ya Oceanic Baykuanzia kesho tarehe 10 Novemba, kwa hiyo inabidi mfanyekazi ya kusafiri.

Waheshimiwa Wabunge, jana tulitangaza kwambajioni kutakuwa na tafrija saa kumi na mbili na nusu katikaviwanja vya Bunge, kwa hiyo Wabunge wotemnakaribishwa.

[SPIKA]

Page 117: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

117

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Waheshimiwa Wabunge nil isahau kutangazawageni wa Mheshimiwa Esther Matiko, nilisahau kwasababu ya vikaratasi ungeandika vizuri, hawa wageniwanatoka Nyamongo na wengine Nyabasi, wageni wetukutoka Nyamongo na Nyabasi wako wapi? Wale pale,wanaongozwa na Ndugu Maswi Marwa Nchama. Karibunisana jana hatukuwaona nadhani mlikosa nafasi. Ahsantenisana Wazee wetu.(Makofi)

Waheshimiwa Wabunge kwa mujibu wa Kanuni ya29(1), baada ya kumaliza kuwahoji tutasimama tutaimbawimbo wa Taifa halafu mimi nitasema tunahaihirisha Bungempaka tarehe fulani, maana yake najua siku hizi wasomi niwengi kwa hiyo inabidi tuambizane, ili kusudi tusiwe namaneno mengine ya kuweza kusema.

Waheshimiwa Wabunge kwa moyo wa dhatininawashukuru sana kwa kazi nzuri mliyoifanya katika kipindihiki. Mmefanya kazi nzuri sana, najua kuna wenginewamefanya kazi kwa muda zaidi kuliko wengine na ndiyoinavyokuwa. Katika kundi kubwa hil i kuna wenginewatachangamka zaidi, kuna wengine watakuwawanawasikiliza wale lakini wapo waliofanyakazi kwa dhatina kwa nguvu sana na kwa kutumia muda mrefu sana.

Kamati ya Katiba na Sheria safari hii i l ikuwaimebanwa sana, nadhani wamekesha sana lakinitunashukuru imekwenda vizuri. Wapo akina MheshimiwaMnyika wamefanyakazi sana, lazima mmpongeze Mnyikamaana yake ni vijana ambao tunawashukuru sana kwakufanyakazi vinginevyo Bunge letu lingekuwa linazubaa.Kwa hiyo mimi nawashukuru sana wote mliofanyakazi kwabidii sana. (Makofi)

Waheshimiwa Wabunge mfahamu kwambatunafanya hapa kazi kwa kweli kwa niaba ya wananchi,na ninaomba kila tunapokwenda tukiwepo humu ndanitunafanyakazi kwa niaba ya wananchi tusifanye vinginevyo,tubishane mimi hata sina matatizo na kubishana, hatakwenye Kamati zenu mbishane mkishindwa mnaendelea na

[SPIKA]

Page 118: Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1462371514-HS-13-11-2013.pdf · umejitokeza katika upangaji wa viwango vya alama na madaraja ya

118

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

kesho yake huko huko mkirudi mnakuwa kitu kimoja kamanilivyosema, ndiyo Mabunge ya namna hii ya Kidemokrasia.Mnabishana kabisa lakini hubishani na mtu kama mtuunatumia mawazo yake kubishana kwa umuhimu wa hoja.

Kwa hiyo naomba tabia hii tuendelee kuijenga kwasababu wanaotuona na kutuangalia, bahati nzuriwanatuona, wanajua tunafanya kazi kwa niaba yao.

Kwa hiyo, ninawashukuru sana kwa kazi nzuri sanamliyoifanya na ninawatakia safari njema hukomnakokwenda, mkafanye wajibu wenu kama inavyostahili,bahati mbaya hamtakaa sana huko nyumbani inabidi mruditena kwa ajili ya kazi zinazofuata. Kwa hiyo ninashukuru sana.

Waheshimiwa Wabunge, baada ya kusema hayonaomba niwahoji kuhusu kuahirisha Bunge. Kama alivyosemaWaziri Mkuu ametoa hoja kwamba tuahirishe Bunge mpakatarehe 3 mwezi wa Disemba, 2013 Siku ya Jumanne katikaUkumbi huu wa Bunge.

(Hoja ilitolewa iamuliwe)(Hoja iliamuliwa na Kuafikiwa)

SPIKA: Waheshimiwa Wabunge mnaweza kuendeleampaka tarehe tatu hapa hapa, lakini waliosema Ndiyowameshinda. Naomba tusimame kwa ajili ya Wimbo waTaifa. (Kicheko)

WIMBO WA TAIFA

(Hapa Wabunge Waliimba Wimbo wa Taifa)

(Saa 6.52 mchana Bunge liliahirishwa hadi Siku yaJumanne, Tarehe 3 Disemba, 2013 Saa Tatu Asubuhi)

[SPIKA]