hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

116
HOTUBA YA WAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII MHE. DKT. SEIF SELEMAN RASHID (MB), KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2014/15

Upload: doancong

Post on 03-Feb-2017

471 views

Category:

Documents


54 download

TRANSCRIPT

HOTUBA YA WAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMIIMHE. DKT. SEIF SELEMAN RASHID (MB),

KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2014/15

YALIYOMO

UTANGULIZI.......................................................... 1

VIPAUMBELE.VYA.WIZARA.KATIKA.BAJETI.YA.MWAKA.2014/15................................................... 6

MAPITIO.YA.UTEKELEZAJI.WA.BAJETI.YA.MWAKA.2013/14,..NA.MWELEKEO.WA.KAZI.ZITAKAZOTEKELEZWA..KATIKA.MWAKA.2014/15................................................... 7

Mwenendo.wa.Mapato,.Matumizi.ya.Kawaida.na.Miradi.ya.Maendeleo.......................................... 7

RASILIMALI.WATU.KATIKA.SEKTA.YA.AFYA......... 9

URATIBU,.UFUATILIAJI.NA.UGHARAMIAJI.HUDUMA.ZA.AFYA.............................................. 13

HUDUMA.ZA.KINGA............................................ 22Udhibiti.wa.Magonjwa..................................... 22

Udhibiti.wa.Malaria......................................... 25

Udhibiti.wa.Homa.ya.Dengue........................... 27

Udhibiti.wa.Kifua.Kikuu.na.Ukoma................. 29

Udhibiti.wa.UKIMWI........................................ 31

Udhibiti.wa.Magonjwa.Yaliyokuwa.Hayapewi.Kipaumbele...................................................... 34

Huduma.ya.Afya.ya.Uzazi.na.Mtoto................. 35

Huduma.za.Chanjo.......................................... 41

Usafi.wa.Mazingira.......................................... 43

ii

Elimu.ya.Afya.kwa.Umma................................ 45

Huduma.za.Lishe............................................. 46

HUDUMA.ZA.TIBA............................................... 50Huduma.za.Tiba.katika.Hospitali.ya.Taifa,.Hospitali.ya.Kanda.na.Hospitali.Maalum......... 50

UKAGUZI.NA.UHAKIKI.WA.UBORA.WA.HUDUMA.ZA.AFYA.NA.USTAWI.WA.JAMII.......... 65

Uhakiki.na.Ukaguzi.wa.Ubora.wa.Huduma.za.Afya.............................................. 65

Udhibiti.wa.Ubora.wa.Taaluma.za.Afya..na.Vituo.vya.Kutolea.Huduma.za.Afya........................... 69

HUDUMA.ZA.USTAWI.WA.JAMII......................... 74Huduma.kwa.Wazee.na..Watu..Wenye.Ulemavu.......................................................... 74

Huduma.za.Ustawi.wa.Familia,.Watoto,.Malezi.na.Maendeleo.ya.Awali.ya.Watoto.Wadogo...... 76

Huduma.za.Haki.za.Mtoto.na.Marekebisho.ya.Tabia................................................................ 78

UDHIBITI.WA.KEMIKALI.NCHINI......................... 79

UDHIBITI.WA.UBORA.WA.CHAKULA.NA.DAWA.. 81

UTAFITI.WA.MAGONJWA.YA.BINADAMU............ 83

USHIRIKIANO.WA.NDANI.NA.NJE.YA.NCHI......... 85

SHUKRANI........................................................... 85

MAPATO.NA.MAOMBI.YA.FEDHA.KWA.KAZI.ZILIZOPANGWA.KUTEKELEZWA.KATIKA.MWAKA.WA.FEDHA.2014/15.................................................. 91

iii

Mapato............................................................. 91

Matumizi.ya.Kawaida....................................... 91

Miradi.ya.Maendeleo........................................ 92

Maombi.ya.Fedha.kwa.mwaka.2014/15.......... 92

VIREFU.VYA.VIFUPISHO.VILIVYOTUMIKANDANI.................................................................. 94

VIAMBATISHO..................................................... 99

.

iv

HOTUBA YA WAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMIIMHE. DKT. SEIF SELEMAN RASHID (MB),

KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2014/15

UTANGULIZI

1. Mheshimiwa Spika, kufuatia.taarifa. iliyowa-silishwa. leo.ndani.ya. Bunge. lako. Tukufu.na.Mwenyekiti. wa. Kamati.ya.Kudumu.ya.Bunge.ya. Huduma. za. Jamii. iliyochambua. Bajeti.ya.Wizara. ya. Afya. na. Ustawi. wa. Jamii,. naomba.kutoa.hoja.kwamba. sasa.Bunge.lako. likubali.kupokea. na.kujadili. Taarifa.ya.Utekelezaji.wa.Kazi.za.Wizara.ya.Afya.na.Ustawi.wa.Jamii.kwa.mwaka. 2013/14. na. Mipango. ya. Utekelezaji.katika. Bajeti. ya. mwaka. 2014/15.. Aidha,.naliomba.Bunge.lako.Tukufu.likubali.kupitisha.Makadirio.ya.Matumizi.ya.Kawaida.na.Mpango..wa.Maendeleo..ya.Wizara.ya.Afya.na.Ustawi.wa.Jamii.kwa.mwaka.2014/15.

2. Mheshimiwa Spika, awali.ya.yote, napenda.kuchukua. fursa. hii . kwa. unyenyekevu.mkubwa. kumshukuru. Rais. wa. Jamhuri.ya. Muungano. wa. Tanzania. Mheshimiwa.Dkt.. Jakaya. Mrisho. Kikwete. kwa. imani. yake.kwangu. kuniteua. kuwa. Waziri. wa. Afya. na.Ustawi.wa.Jamii..Ninaahidi. kufanya.kazi.kwa.uadilifu. na. kwa. uwezo. wangu. wote. kwa.kushirikiana.na.Viongozi.na.Watendaji.wa.ngazi.zote..Aidha, namshukuru.kwa.dhati,.kwa.

1

kuendelea.kutuongoza.na.kutoa.maelekezo.ya.kutuwezesha.kutoa.huduma.za.afya.na.ustawi.wa. jamii.. Mheshimiwa. Rais. ameendelea.kuiunganisha.Wizara. na.Taasisi. za. kitaifa. na.kimataifa. ambazo. zinachangia. katika. jitihada.za.Serikali. za. kuboresha.huduma.za. afya.na.ustawi.wa.jamii..

3. Mheshimiwa Spika, napenda.pia.kuchukua.fursa. hii. kumpongeza.kwa.dhati.Makamu.wa. Rais. Mheshimiwa. Dkt.. Mohamed. Gharib.Billal. kwa. uongozi. wake. na. maelekezo. yake.ambayo. yamesaidia. sana. kuongeza. ufanisi.katika.utendaji.na.kuimarisha.huduma.za.afya.na.ustawi.wa.jamii..Aidha,.naomba.nimpongeze.Mheshimiwa.Mizengo.Kayanza.Peter.Pinda.(Mb),.Waziri. Mkuu. wa. Jamhuri. ya. Muungano. wa.Tanzania. kwa. hotuba.yake.aliyoitoa. ambayo.ni. dira. ya. jinsi. Serikali. itakavyotekeleza.majukumu. yake. katika. mwaka. wa. fedha.2014/15.. Vilevile,. napenda. niwashukuru.Mheshimiwa. Celina. Ompeshi. Kombani. (Mb).Waziri. wa. Nchi. Ofisi. ya. Rais,. Menejimenti. ya.Utumishi. wa. Umma. na. Mheshimiwa. Hawa.Abdulrahman.Ghasia.(Mb).Waziri.wa.Nchi,.Ofisi.ya. Waziri. Mkuu,. Tawala. za. Mikoa. na. Serikali.za. Mitaa,. ambao. tunashirikiana. kwa. karibu.katika.kusimamia.utoaji.wa. huduma. za. afya.na. ustawi. wa. jamii.. Aidha,. nawashukuru.Mawaziri. wa. Wizara. nyingine. zote. ambazo.zinashirikiana..na.Wizara.yangu. katika.utoaji.wa.huduma.za.afya.na.ustawi.wa.jamii..

2

4. Mheshimiwa Spika, kipekee. napenda.kuishukuru. Kamati.ya. .Kudumu..ya. .Bunge..ya. .Huduma. . za. .Jamii,. chini. ya.Mwenyekiti.wake.Mheshimiwa.Margareth. Simwanza.Sitta.(Mb),.kwa. ushauri. na. maelekezo. waliyoyatoa.wakati. wa. maandalizi. ya. Bajeti. hii.. Aidha,.namshukuru.Waziri.Kivuli.wa.Afya.na.Ustawi.wa. Jamii. Dkt.. Anthony. Gervas. Mbassa. (Mb).kwa.kuendelea.kutupatia.ushirikiano..mkubwa.katika. kutekeleza. majukumu. ya. sekta. ya.afya.. Naahidi. kuzingatia. ushauri. wake. katika.kutekeleza. majukumu. ya. sekta. ya. afya.. Pia,.nawashukuru. Waheshimiwa. Wabunge.wote. kwa. kuchangia. hotuba. zilizotangulia..Michango. yao. imesaidia. kuboresha. hotuba.yangu.. Nawaahidi. kwamba,. Wizara. yangu.itazingatia. ushauri. wao. katika. kutekeleza.majukumu.na.kazi.zilizopangwa..

5. Mheshimiwa Spika, napenda. kutoa. pongezi.kwa. Wabunge. wapya,. Mheshimiwa. Yusuf.Salim. Hussein. ambaye. amechaguliwa.kuwa. Mbunge. wa. Chambani;. Mheshimiwa.Godfrey.William.Mgimwa.Mbunge.wa.jimbo.la.Kalenga.na.Mheshimiwa.Ridhiwani.Jakaya.Kikwete.wa.jimbo.la.Chalinze..Nawapongeza.sana.kwa.kuchaguliwa.kwao.na.sasa.kazi.iliyo.mbele.yao.ni.kuwatumikia.wananchi.kwa.ari.na.kasi.kubwa.ili.waweze.kujiletea.maendeleo.katika.Majimbo.yao..

6. Mheshimiwa Spika,.naomba.kutoa.salamu.za.pole.kwako,.Bunge.lako.Tukufu.na.kwa.familia.na.

3

wananchi.wa.jimbo.la.Kalenga.na.Chalinze.kwa.vifo.vya.Mheshimiwa.William.Mgimwa.aliyekuwa.Mbunge. wa. Jimbo. la. Kalenga. na. Waziri. wa.Fedha.pamoja.na.Mheshimiwa.Said.Bwanamdogo.aliyekuwa.Mbunge.wa.Chalinze..Aidha,.nachukua.nafasi.hii.kuwapa.pole.familia,.ndugu,.jamaa.na.marafiki.kwa.vifo.vingine.vilivyotokana.na.sababu.mbalimbali..Vilevile,.natoa.pole.kwa.waathirika.wa. mafuriko. yaliyotokea. sehemu. mbalimbali.nchini. ikiwemo. wilaya. ya. Rufiji. ambako. ndiko.waliko. wananchi. walioniamini. na. kunituma.hapa. bungeni. nikiwa. Mbunge. wao. pamoja. na.wagonjwa. na. majeruhi. wa. ajali. mbalimbali.waliopo. hospitalini. na. nyumbani.. Namuomba.Mwenyezi.Mungu.awaponye.haraka,. ili.waweze.kuendelea.na.ujenzi.wa.Taifa.

7. Mheshimiwa Spika,. kutokana. na. juhudi.kubwa.za.Serikali.kwa.kushirikiana.na.Wadau.wa.Maendeleo,.Sekta.Binafsi.pamoja.na.wadau.wengine,.Sekta.ya.Afya.imepata.mafanikio.mengi..Kati.ya.mafanikio.hayo.ni.pamoja.na.kupunguza.vifo. vya. watoto. wenye. umri. chini. ya. miaka.mitano. kutoka. vifo. 147. mwaka. 1999. hadi. 54.mwaka.2013.kwa.kila.vizazi.hai.1,000.na.hivyo.kufikia. lengo. la. Maendeleo. ya. Milenia. namba.nne. (MDG4). la.kupunguza.vifo.vya.watoto.kwa.theluthi. mbili. ifikapo. mwaka. 2015.. Pamoja. na.mafanikio. hayo,. Wizara. itaendelea. kutekeleza.mikakati. ya. kupunguza. vifo. vya. watoto. kwa.kasi. zaidi.. Katika. juhudi. za. kuongeza. kasi. ya.kupunguza. vifo. vitokanavyo. na. uzazi,. Wizara.

4

imeandaa. Mkakati. Maalum. uliozinduliwa. na.Mheshimiwa.Rais.wa.Jamhuri.ya.Muungano.wa.Tanzania. Dkt.. Jakaya. Mrisho. Kikwete. tarehe.15.Mei,.2014..Mkakati.huu.pamoja.na.mambo.mengine.umeainisha.afua.zitakazoleta.matokeo.ya.haraka.ya.kupunguza.vifo.hivyo..Aidha,.suala.la.uwajibikaji.katika.ngazi.zote.limesisitizwa,.ili.tuweze.kupima.mafanikio.ifikapo.mwishoni.mwa.mwaka.2015.

8. Mheshimiwa Spika,. mafanikio. mengine. ni..kumaliza. tiba. na. kupona. kwa. kiwango. cha.asilimia. 88. ya. wagonjwa. wote. wa. kifua. kikuu.wanaoanza. matibabu. kila. mwaka,. ambapo.lengo.la.Shirika.la.Afya.Duniani.ni.asilimia.85..Wizara.imefanikiwa.kuchunguza.na.kutibu.idadi.ya.wagonjwa.wa.Kifua.Kikuu.kutoka.wagonjwa.11,000. mwaka. 1980. hadi. kufikia. zaidi. ya.63,892.mwaka.2012..Vilevile,.katika.Hospitali.ya.Kibong’oto. matibabu. yalitolewa. kwa. wagonjwa.95. wa. Kifua. Kikuu. sugu. ikiwa. ni. ongezeko. la.wagonjwa.50.kutoka.45.kwa.mwaka.2012/13..Kati.ya..wagonjwa.waliomaliza.tiba,.asilimia.75.walipona,. kiwango. ambacho.ni. cha. juu.kabisa.kufikiwa.katika.ukanda.wa.Kusini.mwa.Jangwa.la.Sahara.kwenye.tiba.ya.kifua.kikuu.sugu..

9. Mheshimiwa Spika,. Wizara. pia. ilitekeleza.kwa.mafanikio.Mpango.Mkakati.wa.II.wa.Sekta.ya. Afya. wa. Kudhibiti. UKIMWI. (2008-2013). na.kufanikiwa.kupunguza.kiwango.cha.maambukizi.ya.VVU.kutoka.kwa.mama.wajawazito.kwenda.kwa.watoto.kutoka.asilimia.26.mwaka.2010.hadi.

5

asilimia.15.mwaka.2012..Pia,.kwa.kushirikiana.na.wadau,.Wizara.imefanikiwa.kupunguza.pengo.la.watumishi.wa.sekta. ya.afya.kutoka.asilimia.68.mwaka.1999.hadi.kufikia.asilimia.52.mwaka.2013.. Lengo. ni. kuhakikisha. kwamba. sekta. ya.afya. inakuwa. na. watumishi. wa. kutosha. na.wenye.ujuzi.

VIPAUMBELE VYA WIZARA KATIKA BAJETI YA MWAKA 2014/15

10. Mheshimiwa Spika, vipaumbele.vya.Wizara.ya.Afya.na.Ustawi.wa.Jamii..katika.bajeti.ya.mwaka.2014/15.ni.kama.ifuatavyo:

i). Kutekeleza. mipango. na. mikakati. ya. kisekta.yenye.lengo.la.kuboresha.utoaji.wa.huduma.ikiwemo.kupunguza.vifo.vitokanavyo.na.uzazi.

ii). Kuimarisha.huduma.za.kinga,.tiba,.mafunzo.na.kupambana.na.magonjwa.ya.kuambukiza,.yasiyo.ya.kuambukiza.na.yaliyokuwa.hayapewi.kipaumbele.

iii).Kuendeleza. ujenzi. na. ukarabati. wa.miundombinu.ya.kutoa.huduma.pamoja.na.kuimarisha.mfumo.wa.rufaa..

iv).Kuimarisha.vyuo.vya.mafunzo.kwa.wataalam.wa.sekta.ya.afya.na.ustawi.wa.jamii.

6

MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA BAJETI YA MWAKA 2013/14 NA MWELEKEO WA KAZI ZITAKAZOTEKELEZWA KATIKA MWAKA 2014/15

11. Mheshimiwa Spika, Wizara. katika. kutekeleza.majukumu.yake. inazingatia.Sera,.Mipango.na.Mikakati.mbalimbali.ya.kitaifa.na.kimataifa.ikiwa.ni.pamoja.na.Malengo.ya.Maendeleo.ya.Milenia,.Dira.ya.Taifa. ya. Maendeleo. (2025),.Mpango. wa.Taifa.wa.Maendeleo. wa.Miaka.Mitano. (2011/12.–. 2015/16),. Mkakati. wa. Kukuza. Uchumi. na.Kupunguza.Umaskini.II.(2010),.Sera.ya.Afya.(2007),.Mpango.Mkakati.wa.III.wa.Sekta.ya.Afya. (2009. –. 2015),. Mpango. Kazi. wa. Taifa.wa.Huduma.na.Matunzo.kwa.Watoto.walio.katika.Mazingira.Hatarishi.II.(2013.–.2017),.Mpango. wa. Maendeleo. ya. Afya. ya. Msingi.(2007–.2017),.Sera.ya.Taifa.ya.Wazee.(2003).na.Sera.ya.Taifa.ya.Huduma.na.Maendeleo.ya.Watu.Wenye.Ulemavu.(2004)..Aidha,.Wizara.imeendelea.kutekeleza.malengo. yaliyoainishwa.katika. Ilani.ya. Uchaguzi. ya. Chama. Cha. Mapinduzi. ya.mwaka.2010..

Mwenendo wa Mapato, Matumizi ya Kawaida na Miradi ya Maendeleo

12. Mheshimiwa Spika, Wizara.ya.Afya.na.Ustawi.wa.Jamii.hukusanya.mapato.yake.kutokana.na.malipo. ya. ununuzi. wa. vitabu. vya. maombi. ya.

7

zabuni,.mapato.kutoka.Bodi.mbalimbali.za.Wizara,.ada. za. uchangiaji. wa. gharama. za. mafunzo,.marejesho.ya.masurufu.pamoja.na.makusanyo.yatokanayo.na.utoaji.wa.huduma.katika.Taasisi.na.Mashirika.yaliyo.chini.ya.Wizara..Hadi.kufikia.mwezi.Mei,.2014.Wizara.imekusanya.jumla.ya.Sh. 64,140,816,438.00.ikilinganishwa.na.makadirio.ya.Sh..61,379,844,405.00.yaliyoidhinishwa.kwa.mwaka.2013/14..Katika.mwaka.2014/15,.Wizara.inatarajia. kukusanya. Sh.. 78,671,519,016.00 ambayo. ni. asilimia. 28.2. zaidi. ya. makadirio. ya.mwaka.2013/14..

13. Mheshimiwa Spika,. katika. mwaka. 2013/14,.jumla.ya.Sh..753,856,475,000.00 ziliidhinishwa.kwa.ajili.ya.utekelezaji.wa.majukumu.ya.Wizara..Kati. ya. fedha. hizo,. Sh.. 282,573,534,000.00.ni. kwa. ajili. ya. Matumizi. ya. Kawaida. na. Sh..471,282,941,000.00. kwa. ajili. ya. Miradi. ya.Maendeleo..Hadi.kufikia.mwezi.Mei.2014.jumla.ya.Sh..387,519,847,411.00. .zilipokelewa..Kati.ya.fedha.zilizopokelewa.Sh..248,801,389,869.00.ni. fedha. za. Matumizi. ya. Kawaida. na. Sh.138, 718,457,542.00.ni.fedha.za.Miradi.ya.Maendeleo...Aidha,. katika. kipindi. hicho. jumla. ya. Sh..364,790,682,101.00. zilitumika.. Kati. ya. hizo,.Sh..239,862,151,280.00.ni. fedha.za.Matumizi.ya.Kawaida.na.Sh. 124,928,530,821.00.ni.fedha.za.maendeleo..Vilevile,.dawa,.vifaa.na.vifaa.tiba.vyenye. thamani. ya. Sh.. 206,292,515,316.00.vilipokelewa. kutoka. Mfuko. wa. Dunia. kupitia.Mpango.Maalum.wa.Ununuzi.

8

RASILIMALI WATU KATIKA SEKTA YA AFYA

14. Mheshimiwa Spika, kwa. miaka. saba. (7).mfululizo Wizara.imeendelea.kutekeleza.Mpango.wa. Maendeleo. wa. Afya. ya. Msingi. (MMAM).kwa. kuongeza. idadi. ya. wanafunzi. watarajali.waliodahiliwa.katika.Vyuo.vya.Afya.na.Ustawi.wa.Jamii.kutoka.wanafunzi.7,956.mwaka.2012/13.hadi.8,582..mwaka.2013/14.(Kiambatisho Na. 1)..Tangu.kuanza.utekelezaji.wa.MMAM.mwaka.2007,. asilimia. 86. ya. lengo. ambalo. ni. kudahili.wastani. wa. wanafunzi. 10,000. kwa. mwaka.ifikapo. mwaka. 2017. limefikiwa.. Jitihada. hizi.zinaonekana. katika. ongezeko. kubwa. la. idadi.ya. wahitimu. kutoka. wahitimu. 3,404. mwaka.2007/08.hadi.6,513.mwaka.2013/14..

15. Mheshimiwa Spika,. ili. kuhakikisha. malengo.ya.MMAM.yanafikiwa,.Wizara. imefanya. jitihada.mbalimbali. ikiwa. ni. pamoja. na. kuanzisha.mafunzo.kwa.njia.ya.kielektroniki.(eLearning),.kwa.wanafunzi. wa. Uuguzi. wanaojiendeleza. kutoka.ngazi. ya. cheti. kwenda. ngazi. ya. Stashahada..Jumla. ya. wanafunzi. 154. wamedahiliwa. katika.mafunzo. hayo. ya. miaka. miwili. (2).. Vilevile,.Wizara. imekamilisha. mtaala. wa. mafunzo. ya.masafa. kwa. tabibu. wasaidizi. kuwa. tabibu. na.jumla. ya. watumishi. 60. wamejiunga. katika.mafunzo.hayo..Pia,.Wizara.imeendelea.kufadhili.wataalam. 372,. wanaochukua. mafunzo. ya.uzamili. katika. nyanja. mbalimbali. ndani. na.nje. ya. nchi. ambapo. wanafunzi. 327. wanasoma.ndani. ya. nchi. na. wanafunzi. 45. wanasoma. nje.

9

ya.nchi..Wizara.inakamilisha..ujenzi.na.upanuzi.wa.vyuo.vya.kutolea.mafunzo.vya.kada.za.afya.katika.mikoa.ya.Dar.es.Salaam.(Chuo.Kikuu.cha.Kumbukumbu.ya.Hurbert.Kairuki),.Pwani.(Chuo.cha.Uuguzi.Bagamoyo).na.Katavi.(Chuo.cha.St..Bakhita)..

16. Mheshimiwa Spika, katika.mwaka.2014/15,.Wizara.itafanya.ukarabati,.ununuzi.wa.vifaa.na.vitabu. vya. rejea. kwa. vyuo. 48,. na. kuimarisha.kanda.8.za.mafunzo.kwa.kuzinunulia.vitendea.kazi.. Aidha,. Wizara. itaboresha. vyuo. vya.kufundishia.Tabibu.Meno.vya.Tanga.na.Mbeya.kwa.kuvinunulia.mashine.za.x-ray.kwa.ajili.ya.mafunzo. kwa. vitendo.. Vilevile,. itaendelea. na.awamu.ya.pili.ya.ujenzi.na.upanuzi.wa.vyuo.vya.mafunzo.vya.kada.ya.afya.katika.mikoa.ya.Tanga.(Bombo),.Dodoma.(Chuo.cha.Uuguzi.Mirembe.na.Mvumi).na.Mtwara.(Mtwara.COTC)..

17. Mheshimiwa Spika, baada.ya.kuelezea.utekelezaji.na.mipango.ya.mafunzo.ya.kada.za.afya.naomba.sasa.nielezee.utekelezaji.na.mipango.ya.mafunzo.ya. kada. za. ustawi. wa. jamii. Katika. mwaka.2013/14,.Chuo.cha.Ustawi.wa.Jamii.Kisangara.kilidahili.wanafunzi.watarajali.83.na.katika.mwaka.2014/15. kitadahili. wanafunzi. 110.. Vilevile,.katika. mwaka. 2013/14,. Taasisi. ya. Ustawi. wa.Jamii.ilidahili.jumla.ya.wanafunzi.1,468..katika.ngazi.za.astashahada,.stashahada,.shahada.na.uzamili.na.wanafunzi.1,214.walihitimu..Taasisi.imeanzisha.mafunzo.ya.Masafa.ya.kuwahudumia.watoto,. familia. na. jamii. zilizoathirika. na. VVU.na. UKIMWI.. Aidha,. Taasisi. imepata. ithibati. ya.

10

kuendesha. mafunzo. ya. Shahada. ya. Uzamili.katika. fani. ya. ustawi. wa. jamii. na. ujenzi. wa.maktaba.umekamilika..Katika.mwaka.2014/15,.Taasisi.itaandaa.mitaala.katika.kozi.za.Shahada.ya.Ushauri.Elekezi,.Shahada.ya.Elimu.ya.Awali.na.Maendeleo.ya.Mtoto.na.Shahada.ya.Utawala.na.Uongozi.katika.Biashara.pamoja.na.kununua.samani.za.jengo.la.maktaba..

18. Mheshimiwa Spika, Wizara.ilikamilisha.Mpango.Mkakati. wa. Raslimali. Watu. utakaotekelezwa.mwaka.2014.hadi.2019..Aidha,.Wizara.iliandaa.na. kukamilisha. ikama. ya. watumishi. wa. Sekta.ambayo.itasaidia.katika.kuhakikisha.mgawanyo.sahihi. wa. watumishi. maeneo. yote. nchini.. Pia,.Wizara..imeweka.mfumo.wa.takwimu.za.rasilimali.watu. unaoonesha. hali. halisi. ya. watumishi. wa.Sekta. ya. Afya. nchi. nzima. ikijumuisha. Sekta.Binafsi.na.Umma. Vilevile,.mwongozo.wa.kisera.wa.watumishi.wa.sekta.ya.afya.umekamilika.

19. Mheshimiwa Spika, katika. mwaka. 2013/14, Wizara. ilipata. kibali. cha. kuwapangia. vituo.vya.kazi.waajiriwa.11,221..Kati. ya.hao.10,940.ni.wataalam.wa.kada. za.Afya,. 57.ni.wataalam.wa. Lishe. na. 224. ni. wataalam. wa. Ustawi. wa.Jamii..Hadi.mwezi.Mei,.2014.jumla.ya.wataalam.5,912. walikuwa. wamepangiwa. vituo. vya. kazi.katika.mamlaka.mbalimbali.za.ajira.ambazo.ni.Halmashauri,. Sekretarieti. za.Mikoa.na.Wizara..Wataalam.wa.kada.za.Lishe.na.Ustawi.wa.Jamii.wataajiriwa.katika.utaratibu.wa.ajira.Serikalini.chini.ya.Sekretarieti.ya.Ajira.katika.Utumishi.wa.Umma.(Kiambatisho Na.2).

11

20. Mheshimiwa Spika, katika. mwaka. 2014/15,.Wizara. chini. ya. Fungu. 52,. imepanga. kuajiri.wataalam. 203. wa. kada. mbalimbali. kulingana.na.ikama.na.kuwapandisha.vyeo.watumishi.720.watakaokuwa.wametimiza.sifa.za.kupanda.vyeo.kwa.mujibu.wa.miundo.ya.utumishi..Aidha,.kwa.kushirikiana. na. Ofisi. ya. Waziri. Mkuu,. Tawala.za.Mikoa.na.Serikali. za.Mitaa.na.Ofisi.ya.Rais.Menejimenti. ya. Utumishi. wa. Umma;. Wizara.itaendelea.kuwapangia.vituo.vya.kazi.wataalam.wa.kada.za.afya.watakaohitimu.mafunzo.katika.vyuo. vya. afya. ili. kuimarisha. huduma. katika.vituo.vya.kutoa.huduma.za.afya.nchini..

21. Mheshimiwa Spika, katika. kuhakikisha. tija.na.ufanisi.kazini,.Wizara.itaendelea.kutathmini.matokeo. ya. utendaji. wa. watumishi. wake. kwa.kutumia.mfumo.wa.wazi.wa.upimaji.wa.watumishi.(OPRAS).na.kutoa.mafunzo.ya.mfumo.huo.kwa.waajiriwa.wapya.232.na.kwa.watumishi.waliopo.kazini. ambao. hawakuwahi. kupatiwa. mafunzo.hayo.. Vilevile,. mafunzo. elekezi. yatatolewa.kwa.waajiriwa.wapya.kwa. lengo. la. kuimarisha.utendaji. wao.. Pia, Wizara. kwa. kushirikiana.na. Ofisi. ya. Rais,. Menejimenti. ya. Utumishi. wa.Umma,. itaimarisha.mfumo.wa.kielektroniki.wa.taarifa. za. rasilimali. watu. zikijumuisha. taarifa.za.Hospitali.Teule.za.Halmashauri.na.Hospitali.za. Mashirika. ya. Hiari. kwa. lengo. la. kuwa. na.taarifa. sahihi. na. mipango. bora. ya. rasilimali.watu..Mfumo.huu.wa.kieletroniki.utaboreshwa.ili.utusaidie.kuwatambua.watumishi.walioingia.

12

kazini. na. kutuwezesha. kuwapanga. watumishi.katika.kila.Kituo.cha.kutolea.huduma.kulingana.na.mahitaji.halisi.

22. Mheshimiwa Spika,. sambamba. na. ongezeko.la.watumishi.wa.afya,.katika.mwaka.2013/14,.Wizara. iliendelea. kutekeleza. ahadi. yake. ya.kuboresha. mazingira. ya. kazi. ili. kuhakikisha.wafanyakazi. wanabaki. katika. sekta. ya. afya.kwa.muda.mrefu..Katika.kutekeleza.azma.hiyo,.Wizara. imekamilisha. ujenzi. wa. nyumba. 85. za.watumishi. wa. afya. katika. mikoa. ya. Singida.(30),.Rukwa.(20).na.Ruvuma.(35)..Katika.mwaka.2014/15,.Wizara.itaendelea.na.ujenzi.wa.nyumba.80. za.watumishi.katika.mikoa. ya.Arusha. (20),.Manyara.(20),.Pwani.(20).na.Morogoro.(20).

URATIBU, UFUATILIAJI NA UGHARAMIAJI HUDUMA ZA AFYA

23. Mheshimiwa Spika,.Wizara.imeendelea.kuratibu.mahusiano.ya.kiutendaji,.ufuatiliaji.na.tathmini.kwa.kuzishirikisha.Ofisi.ya.Waziri.Mkuu.Tawala.za. Mikoa. na. Serikali. za. Mitaa. na. Wadau. wa.Maendeleo..Vikao.vya.pamoja.vya.wadau.wa.sekta.ya. afya. vimefanyika. ili. kupima. na. kuboresha.utendaji.wa.Sekta..Aidha,.katika.kutekeleza.Sera.ya. ugatuaji. madaraka,. Wizara. ilitoa. mafunzo.kwa. Wajumbe. 200. wa. Timu. za. Uendeshaji. wa.Huduma.za.Afya.za.Mikoa.yote.kuhusu.kuandaa.Mipango.Kabambe.ya.Afya.ya.Halmashauri.kwa.

13

kutumia.mfumo.wa.PlanRep3.ili.waweze.kuandaa.na.kusimamia.mipango.ya.afya.ya.Halmashauri.zilizo. chini. yao.. Kutokana. na. mafunzo. hayo,.Timu.za.Mikoa.zimeweza.kusimamia.vizuri.Timu.za.Halmashauri.na.hivyo.kuandaa.mipango.ya.Afya.ya.Halmashauri.ya.mwaka.2014/15 yenye.ubora.ikilinganishwa.na.ile.ya.mwaka.2013/14.

24. Mheshimiwa Spika,.ili.kuhakikisha.kunakuwa.na. uwajibikaji. wa. kutosha. katika. kutekeleza.vipaumbele. katika. sekta. ya. afya. na. utawala.bora,. Wizara. ilifanya. ziara. ya. ufuatiliaji. wa.utekelezaji.wa.majukumu.ya.Bodi.na.Kamati.za.Afya. katika. Halmashauri. za. Wilaya. za. Meatu,.Maswa,..Njombe,..Makete,..Arusha,..Karatu,.Bahi,.Kondoa,. Bukoba,. Muleba,. Sengerema,. Ilemela,.Muheza,.Gairo,.Geita,.Mumba,.Busokelo,.Mbogwe,.Nyang’wale,.Mkinga,.Bumbuli,.Ikungi,.Mkalama,.Chemba,. Ushetu. na. Msalala. na. Halmashauri.za. Manispaa. za. Ilala,. Kinondoni. na. Dodoma...Bodi. na. Kamati. hizi. zinatakiwa. kuhakikisha.uwajibikaji. unaimarika. kwa. watoa. huduma.pamoja.na.viongozi.wao.katika.vituo.vya.kutolea.huduma.za.afya..Katika.mwaka.2014/15,.Bodi.na.Kamati.za.Usimamizi.wa.Huduma.za.Afya.katika.Halmashauri.mpya.29.zitaanzishwa..Pia,.Wizara.itaanzisha. mfumo. wa. kupima. uwajibikaji. kwa.kutumia.kadi.maalum.yenye.vigezo.(community score card).katika.Halmashauri.20..

25. Mheshimiwa Spika, Sera. ya. Afya. ya. mwaka.2007. inaelekeza. kuwa. na. vyanzo. vya. fedha.vinavyoaminika.pamoja.na.kuhakikisha.sekta.ya.

14

afya.inapata.rasilimali.za.kutosha..Ili.kutekeleza.maelekezo.hayo.ya.Sera.ya.Afya,..Wizara.ilifanya.tafiti. kumi. na. moja. ambazo. ni. Muundo. wa.Mfumo.wa.Bima.ya.Afya;.Kitita.cha.Msingi.cha.Mafao.ya.Huduma;.Maboresho.ya.Mfuko.wa.Afya.ya. Jamii;.Ushirikishaji.wa.Wasio.na.Uwezo.na.Makundi.Maalum;.Ubia.kati.ya.Sekta.ya.Umma.na.Binafsi;.Vigezo.vya.Kugawa.Rasilimali.katika.Ugharamiaji. Huduma. za. Afya;. Malipo. kwa.Ufanisi;.Usimamizi.wa.Fedha.za.Umma;.Uhuru.wa.Watoa.Huduma.Kufanya.Maamuzi;.Tathmini.ya. Uwezo. wa. Kitaasisi. na. Tathmini. ya. Uwezo.wa. Kirasilimali. fedha. na. Ubunifu. wa. vyanzo.vya. fedha..Matokeo. ya. tafiti. hizo. yamewezesha.kuanza.maandalizi.ya.Mkakati.wa.Ugharamiaji.wa. Huduma. za. Afya. nchini.. Mkakati. huo.utaonesha.njia.madhubuti.za.kuhakikisha.kuwa.wananchi.wote.wanapata.huduma.bora.za.afya.bila.ya.kikwazo.cha.fedha.yaani.Universal Health Coverage..Aidha,.kuwepo.kwa.Mkakati.huo,.ni.utekelezaji.wa.Ilani.ya.Uchaguzi.ya.Chama.Tawala.ya.mwaka.2010,.Ibara.ya.86(f),.kuhusu.kuongeza.wigo.wa.wanufaika.wa.huduma.za.bima.ya.afya.nchini.kufikia.asilimia.30.ifikapo.mwaka.2015..Kwa. sasa. huduma. hiyo. imefikia. asilimia. 19.2.(Kiambatisho Na.3)..Kupitia.Bunge.hili,.napenda.kutoa.wito.kwa.kila.Mtanzania,.Mkuu.wa.Kaya,.Kiongozi.wa.Shirika,.Kampuni.na.Taasisi,.wote.kwa.ujumla.wao.kuona.umuhimu.wa.kujiunga.na.bima.ya.afya.sasa,. ili.kuhakikisha.kila.mtu.nchi.nzima.anapata.huduma.bora. za. afya.bila.ya.kulazimika.kuwa.na.pesa.wakati.wa.kuhitaji.

15

matibabu..

26. Mheshimiwa Spika,. kwa.kutumia.Mfumo.wa.Hesabu.za.Matumizi.ya.Taifa.katika.Afya.(National Health Accounts).inaonesha.kuwa.matumizi.kwa.mtu. mmoja. (per capita). katika. sekta. ya. afya.yaliongezeka.kutoka.Dola.za.Marekani.41.mwaka.2010/11. hadi. kufikia. Dola. za. Marekani. 49.mwaka.2011/12..Kiwango.hiki.bado.ni.cha.chini.ukilinganisha.na.kilichopendekezwa.na.Shirika.la.Afya.Duniani.cha.Dola..za.Marekani.60..Aidha,.Wizara. iliwianisha. mifumo. tofauti. inayotumika.kuandaa.taarifa.za.matumizi.ya.fedha.ya.Wizara,.Tume.ya.Taifa.ya.Kudhibiti.UKIMWI.na.programu.ya.Mama.na.Mtoto..Zoezi.hili.lilirahisisha.kupata.taarifa. za. matumizi. yote. katika. sekta. ya. afya.(Binafsi. na. Serikali).. Matokeo. ya. taarifa. hizi.yanatumika.katika.kupanga.na.kutekeleza.sera.ya.afya.na.mikakati.mbalimbali.ya.afya..Katika.mwaka. 2014/15, Wizara. itaendelea. kuboresha.na. kuainisha. mifumo. ya. uandaaji. taarifa. za.ufuatiliaji.wa.matumizi.katika.sekta.ya.afya. ili.kuwa.na.taarifa.hizi.muhimu.kwa.wakati.

27. Mheshimiwa Spika, vyanzo. mbadala. vya.mapato. vya. kugharamia. huduma. za. afya.ikiwemo.Bima.za.afya.vimekuwa.muhimu.sana.katika. vituo. vya. kutolea. huduma. za. afya. na.vimekuwa. vikipunguza. pengo. la. mahitaji. ya.raslimali.fedha.kwa.kiwango.kikubwa..Kutokana.na. Ripoti. ya. Mapitio. ya. Matumizi. ya. Fedha. za.Umma.(Public.Expenditure.Review.–.PER,.2012).inaonesha.kwamba.vyanzo.mbadala.vinachangia.

16

wastani. wa. asilimia. 5. ya. mapato. yote. ya.Halmashauri. kwa. sekta. ya. afya.. Hadi. kufikia.mwezi. Mei,. 2014,. Mfuko. wa. Taifa. wa. Bima. ya.Afya.uliwalipa.watoa.huduma.za.matibabu.kiasi.cha. Sh.. bilioni 77.7.. Aidha,. Mfuko. ulianza.kutekeleza.utaratibu.wa.kuwaunganisha.watoa.huduma.katika.mtandao.wa.kompyuta.ili.wawe.wanaandaa. na. kuwasilisha. madai. kwa. njia. ya.kielektroniki.. Hatua. hii. itapunguza. muda. wa.malipo.na. itaharakisha.utekelezaji.wa.Mkakati.wa.Kitaifa.wa.e-Health.ambao.Wizara.iliuzindua.mwezi. Oktoba,. 2013.. Vilevile,. utaratibu. huo.utapunguza.changamoto.za.madai.sahihi.kutoka.kwa.baadhi.ya.watoa.huduma.wasio.waaminifu..Katika. mwaka. 2014/15,. Mfuko. utasambaza.mfumo. wa. e-claims wa. kuwasilisha. madai. ya.watoa.huduma.za.matibabu.ili.kuweza.kuwalipa.kwa. muda. usiozidi. siku. sitini. zilizowekwa.kisheria.tangu.wanapowasilisha.madai.

28. Mheshimiwa Spika, tangu.mwaka.2007.Mfuko.umetoa. mikopo. ya. vifaa. tiba. na. ukarabati.wa. vituo. vya. matibabu. yenye. jumla. ya. Sh..bilioni 5.07. kwa. vituo. vya. kutolea. huduma.vyenye.mkataba.na.Mfuko..Hadi.sasa.jumla.ya.Sh.. bilioni 2.8. zimerejeshwa.. Katika. mwaka.2013/14,.Mfuko.ulifanya.utafiti.kuhusu.ufanisi.wa.mikopo.ya.vifaa. tiba.na.ukarabati.wa.vituo.vya. matibabu. ambapo. matokeo. yalionyesha.wadau.wengi.walihitaji. elimu. zaidi. na. kuomba.uwigo. wa. huduma. ujumuishe. pia. mikopo. kwa.ajili. ya. kununulia. dawa.. Kwa. sababu. hiyo,.

17

Mfuko.wa.Taifa.wa.Bima.ya.Afya.utaanza.kutoa.mikopo.hiyo.kwa.vituo.vya.matibabu.vilivyo.chini.ya.Mamlaka.za.Serikali.za.Mitaa..Aidha,.Mfuko.ulifanya.utafiti.wa.magonjwa.50.yanayoisumbua.jamii. ili. kuboresha. huduma. za. Mfuko. kwa.wanachama.wake..Vilevile,.ili.kupeleka.huduma.karibu.na.jamii,.Mfuko.umeanza.ujenzi.wa.ofisi.za.mikoa.ya.Tabora,.Mbeya.na.Dodoma.na.kiasi.cha.Sh..bilioni 15.kimetengwa.kwa.ajili.ya.kazi.hiyo..

29. Mheshimiwa Spika, katika. mwaka. 2014/15,.Mfuko. utatoa. vitambulisho. vipya. na. bora. kwa.wanachama. wake.. Zoezi. hili. litatanguliwa. na.kuweka. miundombinu. ya. kielektroniki. (data centre).yenye.uwezo.zaidi,.uhakiki.wa.taarifa.za.wanachama.na.kuwaandikisha.upya.wanachama.wote.. Vitambulisho. hivi. vitasaidia. udhibiti. wa.matumizi. ya. huduma. za. bima. kwa. wanufaika.stahiki.tu.kwani.vitaweza.kusomwa.katika.vituo.vya. kutoa. huduma. pamoja. na. kutoa. taarifa.moja. kwa. moja. katika. tange. ya. Mfuko.. Aidha,..Mfuko.utaunganisha.mfumo.huu.wa.taarifa.na.mfumo.wa.vitambulisho.wa.Taifa.unaoratibiwa.na.Mamlaka.ya.Taifa.ya.Vitambulisho..

30. Mheshimiwa Spika,.Mfuko.wa.Taifa.wa.Bima.ya.Afya..umeazimia.kuongeza..wanachama.wake.ambao. kwa. sasa. ni. asilimia. 7.4. ya. Wananchi.wote. kwa. kuvisajili. vikundi. mbalimbali. vya.wajasiriamali. na. ushirika. katika. huduma. za.Mfuko. kwa. kupitia. uchangiaji. wa. mtu. mmoja.mmoja.. Katika. utaratibu. huo,. uongozi. wa.

18

vikundi.ndiyo.utakuwa.wadhamini.na.pia.ndiyo.utakaokuwa.wakala.wa.Mfuko.katika.ukusanyaji.wa. michango. na. ufuatiliaji. wa. upatikanaji. wa.huduma.. Vilevile,. Mfuko. utafanya. tathmini. ya.nne. ya. Mfuko. ili. kuangalia. uhai. wa. Mfuko. na.huduma.zake.kwa.wanachama..

31. Mheshimiwa Spika, mwaka. 2001. Wizara.ilianzisha. utaratibu. wa. kugharimia. huduma.za. afya. kwa. kuchangia. Mfuko. wa. Afya. wa.Jamii. (CHF). kwa. ajili. ya. sekta. isiyo. rasmi. na.wananchi. waishio. vijijini.. Hadi. kufikia. mwezi.Mei,. 2014. Watanzania. 4,010,844. sawa. na.asilimia. 9.2. walikuwa. wamejiunga. . na. Mfuko.wa. Afya. ya. Jamii.. Ili. kuhakikisha. wananchi.wengi. wanajiunga. na. utaratibu. huo,. Mfuko.umeendelea. kuhamasisha. Halmashauri. ili.ziweze. kuandikisha. watu. wengi. zaidi. katika.Mfuko. huu.. Kutokana. na. jitihada. hizo,. Mfuko.wa.Afya.ya.Jamii.kwa.sehemu.za.mjini.umeanza.kutumika.katika.mkoa.wa.Dar. es.Salaam.kwa.kuhusisha.vikundi.vya.uzalishaji..Katika.mwaka.2014/15. utaratibu. huo. unaojulikana. kama.Tiba. kwa. Kadi. (TIKA). utaenezwa. katika. mikoa.ya. Mwanza,. Singida,. Ruvuma,. Pwani,. Tanga,.Lindi.na.Kilimanjaro..Naomba.nichukue.nafasi.hii. kuwashauri. Waheshimiwa. Wabunge. wote.kujiunga.na.Mfuko.huo.ili.kuwa.mfano.na.kutoa.elimu. ya. Mfuko. huo. katika. maeneo. yenu. ili.wananchi.wengi.waweze.kujiunga..Mimi.binafsi.nimejiunga.na.Mfuko.huu.na.nimeona.faida.zake.hivyo.nawaomba.wananchi.wote.nchini.wajiunge.

19

na.Mfuko.huo.(Kiambatisho Na.4).

32. Mheshimiwa Spika, mwezi.Oktoba.2013,.Wizara.ilikamilisha. na. kuzindua. Mpango. Mkakati. wa.Matumizi. ya. TEHAMA.katika. sekta. ya. afya.wa.mwaka.2013.-.2018..Huu.ni.utekelezaji.wa..Sera.ya.Afya.ya.mwaka.2007,.inayoelekeza.matumizi.ya.mfumo. endelevu.wa.habari. na.mawasiliano.katika.shughuli.za.sekta.ya.afya..Katika.hatua.za. awali. za. kutekeleza. mpango. huo,. Wizara.imeanzisha.mfumo.wa.kukusanya.taarifa.za.vituo.vya.kutolea.huduma.za.afya.na.kutoa.mafunzo.ya.kutumia.mfumo.huo.kwa.mikoa.yote..Aidha,.Wizara. imeboresha. huduma. za. tiba. kwa. njia.ya.mtandao. -. telemedicine..Hadi. sasa.huduma.hiyo. inajumuisha.Hospitali. ya.Rufaa.ya.Kanda.Mbeya,. Temeke,. Bagamoyo,. Mwananyamala,.Amana,.Tumbi.na.Hospitali.ya.Rufaa.ya.Taifa.ya.Muhimbili.. Mafunzo. juu. ya. kutumia. mtandao.huo.kwa.wataalam.wa.afya.katika.hospitali.hizi.yamekamilika.na.hospitali.hizo.tayari.zimeanza.kuwasiliana.ili.kuboresha.tiba.na.kutoa.mafunzo.kazini. kwa. njia. ya. mtandao.. Pia,. mafunzo. ya.kutumia. mfumo. wa. taarifa. za. magonjwa. ya.mlipuko.kwa.njia.ya.simu.yamefanyika.

33. Mheshimiwa Spika, katika.mwaka.2014/2015,.Wizara.itaunganisha.Hospitali.za.Rufaa.za.Kanda.(Bugando. na. KCMC),. na. Hospitali. maalumu.(Mirembe,. Ocean. Road. na. MOI). katika. mfumo.wa. telemedicine. ili. kuboresha. huduma. za.ushauri.na.tiba.katika.mtandao.na.kupunguza.rufaa.zisizo.za.lazima..Aidha,.Wizara.inategemea.

20

kutengeneza.ghala. la.Taifa. la.kuhifadhi. taarifa.za.sekta.ya.afya.katika.mfumo.wa.kielektroniki.ujulikanao. kama. National Data Warehouse..Mfumo. huu. utawezesha. Wizara. kupata. taarifa.zote.kutoka.kwenye.taasisi.zake,.miradi.misonge.na.vituo.vya.afya.binafsi.na.vya.serikali.kwa.njia.ya.kielekroniki..Vilevile,..itaandaa.mwongozo.wa.ufungaji.wa.mifumo.ya.kielekroniki.katika.vituo.vya.kutoa.huduma.za.afya.hapa.nchini..Kuwepo.kwa.mwongozo.huo.kutawezesha.mifumo.iliyopo.na.itakayofuata.kuweza.kuwasiliana.ili.kuongeza.ufanisi.

34. Mheshimiwa Spika,. kama. nilivyoahidi. katika.hotuba. yangu. ya. mwaka. 2013/14,. Wizara.ilikamilisha. kutoa. mafunzo. ya. programu. ya.kielektroniki.inayojulikana.kama.District Health Information Software.(DHIS2).kwa.wajumbe.609.wa.Timu.za.Uendeshaji.wa.Huduma.za.Afya.za.mikoa. na. Halmashauri. za. mikoa. 19. iliyobaki..Mikoa. hiyo. ni. Mwanza,. Kagera,. Mara,. Tabora,.Kigoma,.Arusha,.Manyara,.Singida,.Kilimanjaro,.Tanga,.Morogoro,.Iringa,.Mbeya,.Rukwa,.Ruvuma,.Geita,.Katavi,.Simiyu.na.Njombe..Lengo.kuu.ni.kuhakikisha.upatikanaji.wa.takwimu..sahihi.za.afya.na.kwa.wakati.pamoja.na.kuzijengea.uwezo.Timu.za.Uendeshaji.za.Afya.katika.uchambuzi.na.utumiaji.wa.takwimu.katika.kupanga.na.kutoa.maamuzi. sahihi.. Aidha,. Wizara. imekamilisha.utekelezaji.wa.majaribio.ya.mfumo.wa.matumizi.ya.simu.kwa.ajili.ya.kutolea.taarifa.mbalimbali.za.sekta.ya.afya.(m-Health).katika.Halmashauri.

21

za. Wilaya. za. Bunda,. Misungwi,. Muleba. na.Manispaa.ya.Temeke..Kutokana.na.mafanikio.ya.huduma.hiyo,.Wizara.ilipanua.huduma.hiyo.kwa.awamu.kwa.kuanzia.na.mkoa.wa.Kagera..Katika.mwaka.2014/15, Wizara.itaendelea.na.upanuzi.wa.huduma.hiyo.katika.mikoa.ya.Mwanza,.Mara.na.Kilimanjaro.

HUDUMA ZA KINGA

Udhibiti wa Magonjwa

35. Mheshimiwa Spika,. Wizara. imeendelea. na.jitihada.mbali.mbali. za.kudhibiti.magonjwa.. Ili.kutimiza.lengo.hilo,.Wizara.ilifuatilia.mwenendo.na.viashiria.vya.magonjwa.yanayotolewa.taarifa.kitaifa.na.kimataifa.ikiwa.ni.pamoja.na.magonjwa.ya. mlipuko.. Aidha,. Wizara. imeimarisha. utoaji.wa. taarifa. za.magonjwa.kwa.njia. ya. simu.kwa.kutumia. mfumo. maalumu. wa. kielektroniki..Teknolojia. hiyo. imesaidia. utoaji. wa. taarifa.mapema. na. hivyo. kuwezesha. udhibiti. wa.magonjwa.ya.milipuko.kwa.haraka.zaidi..Awamu.ya. majaribio. ya. utekelezaji. wa. mfumo. huo.imehusisha.mikoa.ya.Dar.es.Salaam. (Temeke),.Mwanza. (Misungwi). na. Mara. (Bunda). ambapo.mwitikio.wa.kutumia.mfumo.huo.kwa.Wataalam.wa.afya.na.Wadau.wengine.katika.maeneo.hayo.ya. majaribio. ni. mkubwa.. Hii. ni. ishara. kuwa.Mpango. huu. utafanikiwa. baada. ya. kuanza.kutekelezwa.katika.maeneo.mengine.nchini..

22

36. Mheshimiwa Spika, vilevile,. . Wizara.imeendelea. kufuatilia,. kuchukua. tahadhari. na.kudhibiti.magonjwa.katika.mipaka. ya.nchi. yetu.yanayoweza. kuingia. kutokana. na. wasafiri.wanaoingia. nchini. kwa. kuzingatia. kanuni. za.afya. za. kimataifa.. Ufuatiliaji. umefanyika. kwa.magonjwa. mapya. yanayojitokeza. (emerging infectious diseases). ikiwemo. ebola,. dengue. na.mafua.makali. yanayosababishwa.na. virusi. vya.influenza,.ambapo.hakuna.ugonjwa.uliothibitika.kuingia. nchini. isipokuwa. ugonjwa. wa. dengue.ambao. unaendelea. kudhibitiwa.. Pia,. Wizara.imeboresha. Maabara. Kuu. ya. Taifa. ambapo.baadhi.ya.magonjwa.kama.vile.homa.ya.bonde.la.ufa.(RVF),.dengue,.mafua.makali.ya.influenza.na.coronavirus.yanaweza.kudhibitiwa.hapa.nchini..

37. Mheshimiwa Spika,. katika. mwaka. 2014/15,.Wizara.itaendelea.kufuatilia.mwenendo.na.viashiria.vya. magonjwa. yanayotolewa. taarifa. kitaifa. na.kimataifa.ikiwa.ni.pamoja.na.magonjwa.ya.mlipuko..Aidha,.itatekeleza.kwa.awamu,.utoaji.wa.taarifa.za. magonjwa. kwa. njia. ya. simu. kwa. kutumia.mfumo.maalumu.wa.kielektroniki.na.kuendesha.mafunzo. kwa. wataalam. wa. afya. toka. ngazi. ya.vituo.vya.kutolea.huduma.za.afya.nchini.katika.mikoa.ya.Rukwa,.Mtwara,.Kilimanjaro,.Mara.na.Kagera.. Wizara. itaendelea. kufanya. ufuatiliaji.wa. magonjwa. pamoja. na. matukio. mbalimbali.ya. kiafya. kwa. kutekeleza. mpango. kazi. uliopo.wa.kanuni.za.afya.za.Kimataifa.za.mwaka.2005.ambapo.ufuatiliaji.huo.pia.utahusisha.vituo.vya.afya.bandarini.

23

38. Mheshimiwa Spika,. Wizara. kupitia. programu.ya. Field Epidemiology and Laboratory Training imeendelea. kutoa. mafunzo. ya. muda. mrefu.ya. ufuatiliaji. na. udhibiti. wa. magonjwa.yanayoambukiza. na. yasiyoambukiza. kwa.watumishi. wa. afya. kupitia. miongozo. ya. kitaifa.na.kanuni.za.afya.za.kimataifa..Aidha,.wataalam.45.wamehitimu.mafunzo.ya.muda.mrefu.katika.ngazi. ya. shahada. ya. uzamili. na. wataalam. 302.mafunzo.ya.muda.mfupi..Hii.ni.sawa.na.asilimia.23.ya.malengo.kwa.kozi.ya.shahada.ya.uzamili.na.asilimia.76.ya.malengo.kwa.kozi.ya.muda.mfupi..Ili.kufikia.malengo.ya.kufundisha.wataalam.200.kwa. miaka. mitano,. Wizara. kupitia. programu.hiyo. itaendelea.kutoa.mafunzo.ya.muda.mrefu.ambapo. katika. mwaka. 2014/15. itaongeza.wanafunzi.14..Pia,.itaendelea..kutoa.mafunzo.ya.muda.mfupi.ya.epidemiolojia.kwa.watumishi...

39. Mheshimiwa Spika,. katika. mwaka. 2013/14.Wizara. imetoa. chanjo. kwa. mahujaji. 3,820.kwa. ajili. ya. kuzuia. magonjwa. ya. homa. ya. uti.wa. mgongo. na. kutoa. elimu. kwa. mahujaji. hao.ya. namna. ya. kujikinga. na. maambukizi. ya.magonjwa. ya. mlipuko. ikiwemo. mafua. makali..Wizara.itaendelea.kufanya.ufuatiliaji.wa.magonjwa.ya.mafua.ikiwemo.mafua.makali.ya.ndege.katika.vituo.maalum.vinne.(4).vilivyopo.nchini.ambavyo.ni.Sekou.Toure.(Mwanza),.Hospitali.ya.Wilaya.ya.Kibondo. (Kigoma),.Hospitali. ya.Mwananyamala.(Dar.es.Salaam).na.Kliniki.ya.IST.(Dar.es.Salaam)..Juhudi.hizi..zinajumuisha..na.kuchukua.sampuli.

24

kutoka. kwa. wagonjwa. waliofikisha. vigezo. vya.utambuzi.ili.kuzifanyia.uchunguzi..

40. Mheshimiwa Spika, Wizara. kwa. kushirikiana.na. Wizara. ya. Maendeleo. ya. Mifugo. na. Uvuvi.iliendelea. kutekeleza. mradi. wa. majaribio. wa.kutokomeza. ugonjwa. wa. kichaa. cha. mbwa..Hadi. sasa,. mradi. umeshatoa. dozi. 26,333. za.chanjo. ya. kuzuia. ugonjwa. huo. katika. mikoa.ya. Morogoro,. Pwani,. Mtwara,. Lindi. na. Dar. es.Salaam..Wizara.pia,.imepanga.kufanya.ufuatiliaji.wa.ugonjwa.wa.kichaa.cha.mbwa.katika.mikoa.ya. Arusha,. Mwanza,. Singida. na. Kilimanjaro.ambayo.haikufikiwa.na.mradi.wa.majaribio.wa.kutokomeza.ugonjwa.huo.nchini..Nichukue.fursa.hii.kuwataka.watumishi.wote.ambao.kwa.namna.moja.au.nyingine.wanashiriki.katika.kuuza.dawa.za. kichaa. cha. mbwa. ambazo. hugharamiwa. na.Serikali,.kuacha.tabia.hiyo.mara.moja..Viongozi.wote. wa. ngazi. zote. katika. vituo. vya. kutolea.huduma.za.afya.nchini.wawachukulie.hatua.kali.watumishi. wote. wenye. tabia. hiyo,. kwa. mujibu.wa.sheria.

Udhibiti wa Malaria

41. Mheshimiwa Spika, katika. hotuba. yangu. ya.bajeti. ya. mwaka. 2013/14. niliahidi. kuendeleza.mikakati. na. afua. mbalimbali. za. kudhibiti.ugonjwa. wa. malaria. ili. kuhakikisha. mafanikio.yaliyopatikana. katika. kudhibiti. malaria.

25

yanakuwa. endelevu. Ili. kutimiza. ahadi. hiyo, jumla.ya.vyandarua.1,691,339.vyenye.viuatilifu.vya. muda. mrefu. (LLINs). vilisambazwa. kupitia.Mpango. wa. Hati. Punguzo. kwa. wajawazito. na.watoto. wachanga.. Aidha,. vyandarua. 510,000.viligawiwa. bila. malipo. katika. kaya. kupitia.wanafunzi. wa. shule. zote. 2,302. za. msingi.na. sekondari. zilizopo. katika. Mikoa. ya. Lindi,.Mtwara.na.Ruvuma..Lengo.ni.kuwepo.mkakati.endelevu. wa. kusambaza. vyandarua. kwa. jamii,.ili. kuhakikisha. kuwa. viwango. vilivyofikiwa.vya. umiliki. wa. vyandarua. kwa. asilimia. 95. na.matumizi. ya. vyandarua. hivyo. kwa. asilimia. 75.havishuki..

42. Mheshimiwa Spika, vilevile,. Wizara. ilipulizia.dawa. -. ukoko. katika. kuta. ndani. ya. . nyumba.kwenye.kaya.838,000.katika.Mikoa.ya.Kagera,.Mwanza.na.Mara..Jumla.ya.wananchi.4,505,752.katika. maeneo. hayo. wamekingwa. dhidi. ya.maambukizi. ya. ugonjwa. wa. malaria,. ikiwa. ni.sawa.na.asilimia.95.ya.walengwa..Wizara.ilipitia.na. kuboresha. mwongozo. mpya. wa. uchunguzi.na.matibabu.ya.Malaria,.(National Guidelines for Malaria Diagnosis and Treatment).kwa.kuzingatia.matumizi. ya. kipimo. cha. malaria. kinachotoa.majibu.kwa.haraka.malaria rapid diagnostic test (mRDT).na.matumizi.ya.sindano.(Inj. Artesunate).kama.chaguo.la.kwanza.kwa.tiba.ya.malaria.kali..Jumla. ya. watoa. huduma. 11,765. wamepatiwa.mafunzo.ya.uchunguzi.kwa.kutumia.vipimo.vya.mRDT.nchi.nzima..

26

43. Mheshimiwa Spika, katika. mwaka. 2014/15,.Wizara. itaanza. kutekeleza. Mpango. Mkakati.wa. Kudhibiti. Malaria. 2014-2020,. kwa. kugawa.vyandarua. 7,150,000. vyenye. viuatilifu. vya.muda. mrefu. kwa. makundi. mbalimbali. ikiwa..ni. pamoja. na. wanafunzi. shuleni. katika. mikoa.ya. Lindi,. Mtwara. na. Ruvuma.. Aidha,. Wizara.itaendelea. kunyunyizia. dawa. ukoko. katika.kuta. ndani. ya. nyumba. katika. mikoa. yenye.maambukizi. makubwa. ikiwemo. mikoa. ya.Mwanza,.Mara.na.Geita..Vilevile,.utekelezaji.wa.mradi.wa.kuangamiza.viluwiluwi.vya.mbu.katika.mazalia. (aquatic stage). kwa.kutumia. viuadudu.vya. kibailojia. (Biolarvicides). katika. Mikoa. 5. ya.Kagera,. Mwanza,. Mara,. Shinyanga. na. Geita.utaendelea..

Udhibiti wa Homa ya Dengue

44. Mheshimiwa Spika,. nchi. yetu. kwa. mara.nyingine. imekumbwa. na. mlipuko. wa. homa. ya.dengue..Homa.ya.dengue.ilijitokeza.Dar.es.Salaam.kwa.mara.ya.kwanza.2010.na.ya.pili.mwaka.2012.na. kudhibitiwa.. Januari. mwaka. huu,. ugonjwa.huo.ulilipuka.tena.katika.jiji.la.Dar.es.Salaam...Katika.mlipuko.ulioanza.mwezi.Januari.hadi.Mei,.2014. jumla.ya.wagonjwa.1,039.walithibitishwa.kuwa.na.virusi.vinavyosababisha.ugonjwa.huo..Idadi.hiyo.inahusisha.wagonjwa.1,029.wa.Mkoa.wa.Dar.es.Salaam..Mikoa.mingine. iliyoripotiwa.kuathirika.na.ugonjwa.huo.ni.Mbeya.(2),.Kigoma.(3),.Mwanza. (2),.Kilimanjaro. (1),.Njombe. (1).na.

27

Dodoma.(1)..Hadi.sasa.jumla.ya.wagonjwa.wanne.wameripotiwa. kufariki. kutokana. na. ugonjwa.huo.

45. Mheshimiwa Spika,. hatua. mbalimbali.zimechukuliwa. ili.kupambana.na.ugonjwa.huo.ikiwa.ni.pamoja.na.kuimarisha.uwezo.wa.maabara.kupima.ugonjwa,.kujenga.uwezo.wa.watumishi.wa. afya. kuhudumia. wagonjwa,. kuelimisha.jamii. na. kudhibiti. mbu. wanaoambukiza.dengue.. Mkazo. umewekwa. katika. zoezi. la.kupambana.na.mbu.kama.muhimili.mkuu.wa.kuzuia. kuenea. kwa. maambukizi. ya. ugonjwa.huo..Zoezi. la. . kuangamiza.mbu.kwa.kupulizia.dawa.limefanyika.na.linaendelea.katika.maeneo.mbalimbali. ya. jiji. la. Dar. es. Salaam. na. pia,..mabasi. zaidi. ya. 600. yaendayo. nje. ya. mkoa.wa. Dar. es. Salaam. yamepuliziwa. dawa.. Aidha,.Wizara.imenunua.vipimo.(test kits).5,700.nchini.na. mafunzo. yametolewa. kwa. watoa. huduma.ili. kuwapa. uwezo. wa. kuwabaini. wagonjwa. wa.dengue.wanaohudhuria.vituoni..Utafiti.kuhusu.ukubwa. wa. maambukizi. ya. virusi. vya. dengue.kwa.binadamu.na.mbu.umeanza.katika.wilaya.zote. za. mkoa. wa. Dar. es. Salaam.. Utafiti. huu.unafanywa. na. Taasisi. ya. Taifa. ya. Utafiti. wa.Magonjwa.ya.Binadamu.(NIMR)...

46. Mheshimiwa Spika,. hadi. sasa. hakuna. dawa.maalum.au.chanjo.ya.ugonjwa.huo.bali.mgonjwa.anatibiwa.kutokana.na.dalili.zitakazoambatana.na.ugonjwa.huo.kama.vile.homa,.kupungukiwa.

28

maji. au. damu.. Ili. kujikinga. na. ugonjwa. huo.naomba. nitoe. rai. kwa. wananchi. wote. kwamba.wafukie.madimbwi.ya.maji.yaliyotuama.kwenye.maeneo. wanapoishi,. waondoe. vitu. vyote.vinavyoweza. kuweka. mazalio. ya. mbu. kama.vifuu.vya.nazi,.makopo,.magurudumu.ya.magari.yaliyotupwa.hovyo,.vichaka.vifyekwe,.mashimo.ya.majitaka.yafunikwe.kwa.mifuniko.imara.na.gata.za.mapaa.ya.nyumba.zisafishwe.ili.kutoruhusu.maji.kutuama..Vilevile,.ili.kujikinga.na.kuumwa.na. mbu. tutumie. viuatilifu. vya. kufukuza. mbu,.vyandarua. vilivyosindikwa. viuatilifu. na. tuweke.nyavu.kwenye.madirisha.na.milango.ya.nyumba.tunazoishi.. Hata. hivyo,. tunashauri. wananchi.kwenda. vituo. vya. afya. haraka. pindi. waonapo.dalili. za. ugonjwa. huo.. Pia,. sote. tuzingatie.utunzaji. wa. mazingira. yetu. nayo. yatatutunza.na.kutuepusha.na.maradhi.yanayoambatana.na.mazingira.machafu.

Udhibiti wa Kifua Kikuu na Ukoma

47. Mheshimiwa Spika,.Wizara.iliandaa.Miongozo.ya. mafunzo. kwa. ajili. ya. watumishi. wa. afya.kuhusu.uchunguzi.na.matibabu.ya.maambukizi.ya. pamoja. ya. kifua. kikuu. na. UKIMWI. kwa.watoto. na. kuanzisha. kituo. cha. mfano. katika.hospitali. ya. Mwananyamala. kama. sehemu. ya.kupata.uzoefu..Aidha,..mafunzo.yalitolewa.kwa.watumishi. wa. afya. 1,490. kuhusu. matibabu.ya. maambukizi. ya. pamoja. ya. kifua. kikuu. na.

29

UKIMWI. kwa. watoto. katika. mikoa. ya. Dar. es.Salaam,. Iringa,. Morogoro,. Tanga,. Tabora,.Singida,. Mtwara,. Lindi,. Shinyanga,. Mwanza,.Kilimanjaro,.Arusha,.Pwani.na.Mbeya..Vilevile,..huduma. za. uchunguzi. wa. vimelea. vya. kifua.kikuu.na.usugu.wa.vimelea.kwa.dawa.za.kifua.kikuu. ziliboreshwa. kwa. kusambaza. mashine.za.Gene-Xpert.katika.mikoa.ya.Dar.es.Salaam,.Rukwa,. Iringa,. Mbeya,. Kilimanjaro,. Mtwara,.Geita,.Ruvuma,.Tanga.na.Mwanza..Kwa.mara.ya.kwanza.utafiti.wa.kutathmini.ukubwa.wa.tatizo.la.kifua.kikuu.nchini.ulifanyika. (TB Prevalence Survey -.2013)...Utafiti.huo.ulibaini.kwamba..bado.kifua.kikuu.ni.tatizo.kubwa.ambapo.matokeo.ya.awali.yanaonesha.kuwa.tatizo.la.kifua.kikuu.ni.wagonjwa. 295. kati. ya. watu. 100,000.. Vilevile,.ugonjwa. wa. kifua. kikuu. upo. zaidi. kwa. watu.wenye.umri.zaidi.ya.miaka.45.kuliko.miongoni.mwa.vijana.

48. Mheshimiwa Spika, katika. mwaka. 2014/15, Wizara.itaendelea.kugatua.huduma.za.matibabu.ya. kifua. kikuu. sugu. nchini. kutoka. Hospitali.ya. Kibong’oto. kwenda. kwenye. ngazi. ya. wilaya..Aidha,. huduma. za. kifua. kikuu. zitaanzishwa.katika.maeneo.ya.migodi.na.machimbo..Vilevile,..maabara. za. kifua. kikuu. nchini. zitaboreshwa.ili.kuongeza.ugunduzi.wa.kifua.kikuu. ikiwemo.kifua. kikuu. sugu. kwa. kuendelea. kusambaza.mashine.za.Gene-Xpert.nchini..

49. Mheshimiwa Spika,. katika. mwaka. 2013/14.kampeni.za.kuhamasisha.jamii.kutambua.dalili.

30

za. awali. za. ukoma. zilifanyika. katika. wilaya.za. Mvomero,. Chato. na. Mkinga.. Aidha,. zoezi.la. utambuzi. wa. wagonjwa. wapya. wa. ukoma.lilifanyika.katika.wilaya.ya.Mkinga,.ambapo.kati.ya. watu. 393. waliochunguzwa. 12. walikuwa. na.ugonjwa.wa.ukoma..Vilevile,.jumla.ya..jozi.3,800.za.viatu.kwa.watu.walioathirika.na.ukoma.sawa.na. asilimia. 95. ya. lengo. lililo. kusudiwa. la. jozi.4,000.zilitolewa...Katika.mwaka.2014/15,.Wizara.itaongeza.vituo.vya.kutoa.huduma.shirikishi.za.kifua.kikuu.na.UKIMWI.na. itaendelea.kufanya.kampeni. maalum. ya. kuelimisha. jamii. kuhusu.ugonjwa.wa.ukoma.na.utambuzi.wa.wagonjwa.wa.ukoma.katika.wilaya.zenye.viwango.vya.juu.vya. maambukizi. zikiwemo. wilaya. za. Liwale,.Nkasi,.Nanyumbu.na.Mkinga..Vilevile,..Mpango.Mkakati.wa.Tano.wa.Kudhibiti.Kifua.Kikuu.na.Ukoma.(2015.–.2019).utaandaliwa.

Udhibiti wa UKIMWI

50. Mheshimiwa Spika,. katika. Mpango. Mkakati.wa.Tatu.wa.Sekta.ya.Afya. (2009-2015),.Wizara.iliweka. kipaumbele. katika. kudhibiti. magonjwa.ikiwemo. UKIMWI.. Kutokana. na. jitihada. hizo,.maambukizi. ya. UKIMWI. Tanzania. Bara.yamepungua. kutoka. asilimia. 5.8. mwaka. 2008.hadi.kufikia.asilimia.5.3.mwaka.2012..Mafanikio.haya. yamewezekana. kutokana. na. kutekeleza.afua.mbali.mbali.zikiwemo.kutoa.na.kusimamia.huduma.za.ushauri.nasaha.na.upimaji.wa.VVU..

31

Hadi.kufikia.mwezi.Desemba,.2013.idadi.ya.watu.waliopima. imeongezeka. kutoka. watu. 11,640.mwaka. 2009. hadi. 20,469,241.. Hii. ni. sawa. na.wastani.wa.ongezeko.la.watu.zaidi.ya.2,000,000.kwa.kila.mwaka..Ongezeko.hilo.ni.kielelezo.kuwa.jamii.imehamasika.kupima.na.kufahamu.hali.za.afya.zao.

51. Mheshimiwa Spika,. kwa. mwaka. 2013. watu.186,428,. wameanzishiwa. dawa. za. kupunguza.makali. ya. VVU.. Wizara. pia,. imeendelea. kutoa.huduma. za. udhibiti. wa. VVU. na. UKIMWI. kwa.watoto.ambapo.kwa.kipindi.hiki..watoto.15,463.wameanzishiwa.dawa.za.ARVs...Aidha,.ili.kuleta.mwendelezo. wa. huduma. kutoka. kwenye. vituo.vya. kutolea. huduma. za. afya. hadi. nyumbani,.huduma. imetolewa. kwa. wagonjwa. nyumbani.ambao. wanaishi. na. virusi. vya. UKIMWI.. Hadi.kufikia.Desemba.2013,. jumla.ya.watu.304,298.wamepatiwa.huduma.hii..Wizara.pia,.ilinunua.na.kusambaza.mashine.32.za.aina.ya.Facs Counts.ambazo. zina. uwezo. mkubwa. wa. kupima. CD4.na. kuzisambaza. kwenye. hospitali. za. Mikoa. na.Wilaya.(Kiambatisho Na. 5)..Vilevile,..uchunguzi.wa. kifua. kikuu. ulifanyika. kwa. watu. 457,901.wanaoishi.na.VVU.ambao.wanahudhuria.kliniki.za.huduma.ya.tiba.na.matunzo..Kati.yao,.wagonjwa.5,413.sawa.na.asilimia.1.2.waligundulika.kuwa.na.maambukizo.ya.kifua.kikuu.na.walianzishiwa.dawa.za.kifua.kikuu..

52. Mheshimiwa Spika,.katika.mwaka.2014/2015,.Wizara. itaendelea. kutekeleza. Mpango. Mkakati.

32

wa.Tatu.wa.Sekta.ya.Afya.wa.Kudhibiti.UKIMWI.(2013-2017),. kwa. kutoa. huduma. za. tiba. na.matunzo..kwa.wanaoishi.na.VVU.na.kuwaanzishia.dawa. za. kupunguza. makali. ya. VVU. wagonjwa.wapya. 202,000. ifikapo. Juni. 2015,. kuwezesha.vituo. 600. vinavyotoa. ARVs. kwa. mama. (B+).viweze. pia. kutoa. huduma. za. tiba. na. matunzo.kwa.watoto.na.watu.wazima.wanaoishi.na.VVU,.kupanua.huduma.za.wagonjwa.nyumbani.hadi.kufikia. watu. 424,298,. kununua. vifaa. tiba. vya.maabara. na. vitendanishi,. mashine. ndogo. 105.za.kupima.CD4.na.kusambaza.kwenye.vituo.vya.afya.na.zahanati.

53. Mheshimiwa Spika,. Wizara. ilifanya. utafiti. na.kujua.hali.ya.maambukizi.ya.VVU.kwa.wanawake.wanaofanya. biashara. ya. ngono. katika. Mikoa.saba.ya.Dar.es.Salaam,.Iringa,.Mbeya,.Mwanza,.Shinyanga,.Tabora.na.Mara..Matokeo.ya.utafiti.huo. yanaonesha. kuwa. maambukizi. ni. kati.ya. asilimia. 14.0. hadi. 37.5. ambayo. ni. zaidi. ya.wastani.wa.maambukizi.kwa.wanawake.kitaifa.ya.asilimia.6.2..Wizara.imeandaa.miongozo.kwa.watoa.huduma.za.afya.na.kuboresha.miongozo.mbalimbali.ya.UKIMWI.ili.kuweza.kutoa.huduma.za.afya.kwa.makundi.hayo.maalumu..Aidha,.kwa.kutambua. mchango. wa. tohara. kwa. wanaume.katika.kukinga.maambukizi.ya.UKIMWI.na.kwa.kuzingatia. kuwa. tafiti. zinaonesha. tohara. kwa.wanaume.inapunguza.maambukizi.ya.VVU.kwa.asilimia.60.kipaumbele.kimewekwa..katika.afua.hii. kwa. mikoa. kumi. na. mbili. yenye. asilimia.

33

kubwa. ya. maambukizi. ya. VVU. na. kiwango.kidogo.cha.tohara.kwa.wanaume..Mikoa.hiyo.ni.Mbeya,. Iringa,.Rukwa,.Njombe,.Katavi,.Tabora,.Shinyaga,. Kagera,. Simiyu,. Geita,. Mwanza. na.Mara.. Hadi. kufikia. Desemba. 2013,. jumla. ya.wanaume.672,225.walipata.huduma.ya. tohara.sawa.na.asilimia.32.ya.lengo.la.kufanya.tohara.kwa.wanaume.2,102,252. ifikapo.mwaka.2017..Katika.mwaka.2014/15,.Wizara.itatoa.huduma.ya. tohara. kwa. wanaume. wapatao. 462,495. wa.mikoa.hiyo.kumi.na.mbili.

Udhibiti wa Magonjwa Yaliyokuwa Hayapewi Kipaumbele

54. Mheshimiwa Spika, Wizara. imeendelea. na.utekelezaji.wa.Mpango.wa.Kudhibiti.Magonjwa.Yaliyokuwa. Hayapewi. Kipaumbele. 2012-2017.kwa.kugawa.dawa.za.kinga-tiba.za.magonjwa.ya.matende.na.mabusha,. vikope,.usubi,.kichocho.na.minyoo.ya.tumbo..katika.wilaya.108.ndani.ya.mikoa.17.hapa.nchini..Jumla.ya.wananchi.milioni.17.walifikiwa.katika.umezaji.dawa.hizi,.na.dozi.milioni. 42. za. dawa. za.kinga-tiba. ya.magonjwa.haya. zilitumika.. Aidha,. katika. mkoa. wa. Dar.es. Salaam. ambapo. dawa. hizi. zilitolewa. kwa.mara.ya.kwanza,.jumla.ya.wananchi.2,694,986.walimeza.dawa.hizo.ambazo.ni.sawa.na.asilimia.58.ya.wakazi.wote...Vilevile,.wanafunzi.401,686.sawa.na.asilimia.82.ya.wanafunzi.wote.jijini.Dar.es. Salaam. walipata. kinga-tiba. ya. kichocho. na.

34

minyoo.. .Katika.mkoa.wa.Mwanza.ambapo.pia.ni.mara.ya.kwanza.wananchi.kumeza.dawa.hizi,.jumla. ya. wanafunzi. 554,379. sawa. na. asilimia.79.1.ya.wanafunzi.wote.mkoani.Mwanza.walipata.kinga-tiba.ya.kichocho...

55. Mheshimiwa Spika, katika. mwaka. 2014/15,.Wizara. itaendelea. na. utekelezaji. wa. Mpango.wa. Kudhibiti. Magonjwa. Yaliyokuwa. Hayapewi.Kipaumbele. kwa. kugawa. dawa. za. kinga-tiba.za. magonjwa. ya. matende. na. mabusha,. usubi,.vikope,. kichocho. na. minyoo. katika. wilaya. 108.zilizomo. ndani. ya. mikoa. 17. ambayo. Mpango.unatekelezwa..Aidha,.huduma.hiyo.itapanuliwa.katika.mikoa.minne.ya.Geita,.Simiyu,.Mara.na.Kigoma,.ambapo.jumla.ya.wilaya.38.zitahusishwa...

Huduma ya Afya ya Uzazi na Mtoto

56. Mheshimiwa Spika,. katika. kuhakikisha. vifo.vya. akina. mama. vinavyotokana. na. uzazi. na.vifo.vya.watoto.vinapungua,.Wizara.imeendelea.kutekeleza. Ilani.ya.Uchaguzi. Ibara.ya.86. (j).na.Mpango.Mkakati.wa.Kuongeza.Kasi.ya.Kupunguza.Vifo.Vitokanavyo.na.Matatizo.ya.Uzazi.na.Vifo.vya.Watoto.(2008-2015)...Watoa.Huduma.za.Afya.ya.Uzazi.na.Mtoto.2,439..wamejengewa.uwezo.kwa.kuwapatia.stadi.za.kuokoa.maisha.katika.ngazi.ya.vituo.vya.kutolea.huduma.za.afya..Aidha,.Watoa.Huduma. 622. katika. jamii. walipata. mafunzo.ya. kuelimisha. jamii. umuhimu. wa. kujifungulia.

35

katika.vituo.vya.kutolea.huduma.za.afya,.huduma.bora.kwa.mjamzito.hadi.siku.arobaini.baada.ya.kujifungua,.pamoja.na.huduma.ya.mtoto.kuanzia.ngazi. ya. kaya.. Vilevile,. Watoa. Huduma. 189.walipatiwa.mafunzo.ya.huduma.ya.mama.baada.ya.kujifungua.mtoto.hadi.siku.arobaini.baada.ya.kujifungua..Watoa.huduma.hao.walitoka.mikoa.ya.Mwanza,.Shinyanga,.Simiyu,.Tabora,.Dodoma,.Singida,. Morogoro,. Iringa,. Mbeya,. Mtwara. na.Lindi..Vilevile,..vifaa.tiba.vinavyotumika.wakati.wa.dharura.ya.huduma.za.uzazi.vimesambazwa.katika.hospitali.na.vituo.vilivyopandishwa.hadhi.kuviwezesha.kufanya.upasuaji.mkubwa..

57. Mheshimiwa Spika, katika.mwaka.2014/2015,.Wizara. itaendelea. kuwajengea. uwezo. Watoa.Huduma. za. Afya. ya. Uzazi. na. Mtoto. katika.vituo.vya.kutolea.huduma.za.afya..Aidha,Wizara.itahamasisha. na. kushirikisha. jamii. katika.masuala. yanayohusu. afya. ya. uzazi. kwa. kutoa.mafunzo. katika. nyanja. mbalimbali. na. kufanya.ufuatiliaji. na. usimamizi. shirikishi.. Vilevile,.Wizara. itakamilisha. na. kuanza. kutekeleza.mpango.mahsusi.wa.ufuatiliaji.vifo.vya.wanawake.vitokanavyo.na.uzazi.na.vifo.vya.watoto.wachanga.katika.ngazi.zote.

58. Mheshimiwa Spika, Wizara. imekuwa.ikitekeleza.Mradi.wa.Kupunguza.Vifo.vya.Uzazi.wa.Mama.na.Mtoto.(Support to Maternal Mortality Reduction Project). kwa. kushirikiana. na. Benki.ya.Maendeleo.ya.Afrika.(AfDB).katika.mikoa.ya.Mtwara,.Mara.na.Tabora..Mikoa.hiyo. ilibainika.

36

kuwa.na.viwango.vikubwa.vya.vifo.vitokanavyo.na. uzazi. na. hivyo. ujenzi. na. ukarabati. ulianza.katika. baadhi. ya. Vituo. vya. Afya. na. Hospitali.zilizomo. katika. Wilaya. za. Mikoa. hiyo.. Kupitia.Mradi.huo,.majengo.ya.upasuaji.katika.Hosipitali.ya.Rufaa.ya.Mkoa.wa.Mara.na.Vituo.vya.Afya.10.na.Zahanati.53.yamekamilika.na.vifaa.na.vifaa.tiba.vimefungwa..Aidha,.nyumba.za.watumishi.19.na.Chuo.cha.Madaktari.Wasaidizi.cha.Kanda.ya.Kusini.–.Mtwara.zimekamilika.na.zinatumika..

59. Mheshimiwa Spika,. katika. mwaka. 2014/15,.Wizara. itakamilisha. ujenzi. wa. miradi. ambayo.haikukamilika. katika. mwaka. 2013/14. katika.mikoa. ya. Tabora. na. Mara.. Miradi. hiyo. ni.ukamilishaji.wa.ujenzi.wa.majengo.ya.upasuaji.na.ufungaji.wa.vifaa.na.vifaa.tiba.katika.Hopitali.ya.Rufaa.ya.Kitete,.Hospitali.za.Wilaya.ya.Igunga.na.Nzega.na.Vituo.vya.Afya.sita.(6)..Aidha,.ujenzi.wa.Chuo.cha.Madaktari.Wasaidizi.–.Tabora.na.Wodi.nne.(4).katika.Hopitali.ya.Rufaa.ya.Kitete.zitakamilishwa.. Vilevile,. nyumba. za. watumishi.nne.(4).na.Kliniki.za.Afya.Mtoto.na.Uzazi.(RCH).nane. (8),. majengo. ya. wagonjwa. wa. nje. (OPD).manne.(4).yatakamilishwa.katika.mkoa.wa.Tabora..Katika. mkoa. wa. Mara,. majengo. ya. upasuaji.katika.Vituo.vya.Afya.10.yatakamilishwa.

60. Mheshimiwa Spika,.katika.kutekeleza.Mpango.wa.Kitaifa.wa.Uzazi.wa.Mpango.Uliothaminiwa.(2010-2015),. Wizara. ilinunua. na. kusambaza.dawa. za. uzazi. wa. mpango. nchini. kote.. . Kiasi.cha. Sh.. bilioni 6. zilitumika. kwa. ajili. ya.

37

ununuzi.na.usambazaji.wa.vidonge..vya.kumeza.2,891,520,. sindano.904,976,.vipandikizi.331,824.na. kondomu. 15,004,800.. Aidha,. watoa. huduma.1,673.walipatiwa.mafunzo.ya.stadi.za.uzazi.wa.mpango..Vilevile,.miongozo,.mitaala.na.vijarida.vya.uzazi.wa.mpango.vilifanyiwa.maboresho.na.kusambazwa.kwa.watumiaji..Wizara.pia,.ilifanya.uraghibishi.kwa.viongozi.72.kuhusu.umuhimu.wa. kutenga. fedha. kwa. ajili. ya. kutekeleza.shughuli. za.uzazi.wa.mpango.katika.mikoa. ya.Dar. es. Salaam,. Shinyanga. na. Dodoma.. Pia,.ilizindua.upya.Nyota. ya.kijani. ili. kuhamasisha.ongezeko. la. kutumia. huduma. za. uzazi. wa.mpango. nchini.. Katika. mwaka. 2014/2015,.Wizara. itaendelea. kutekeleza. mpango. wa.kitaifa.wa.uzazi.wa.mpango.uliothaminiwa.kwa.kununua. na. kusambaza. vidonge. vya. kumeza,.sindano,. vipandikizi,. vitanzi. na. kondomu. ili.ziweze.kuwafikia.wananchi.wanaozihitaji.nchini..

61. Mheshimiwa Spika,. Wizara. imetelekeza. Ilani.ya. Uchaguzi. Ibara. ya. 85. (i). ya. kudhibiti. vifo.vya. watoto. na. kupata. mafanikio. makubwa. ya.kupunguza. vifo. vya. watoto. wenye. umri. chini.ya. miaka. mitano. hadi. kufikia. watoto. 54. kwa.kila.vizazi.hai.1,000.. Ili.kuhakikisha.vifo.hivyo.vinaendelea.kushuka,.Wizara.ilitoa.mafunzo.ya.matibabu. ya. magonjwa. ya. watoto. kwa. uwiano.yaani. Integrated Management of Childhood Illness-IMCI. kwa. Watoa. Huduma. 1,412. kutoka.Wilaya. 24. za. Mikoa. 11. nchini.. Vilevile,. Watoa.Huduma.7,361.walipata.mafunzo.ya.namna.ya.

38

kumsaidia. mtoto. mchanga. kupumua. kutoka.mikoa. ya. Arusha,. Dar. es. Salaam,. Morogoro,.Lindi,. Ruvuma,. Iringa,. Njombe,. Manyara. na.Mbeya..Wizara.pia,.ilinunua.na.kusambaza.Ambu bag/masks.7,153.na.Penguin suckers.9,550.kwa.ajili. ya. kuwahudumia. watoto. wanaoshindwa.kupumua.mara.baada.ya.kuzaliwa.na.madoli.ya.kufundishia.3,267..

62. Mheshimiwa Spika, katika.mwaka.2014/2015,.Wizara. itaendelea. kuwapatia. watoa. huduma.mafunzo.ya.namna.ya.kumsaidia.mtoto.mchanga.kupumua.sambamba.na.kusambaza.vifaa.husika.ili. kukamilisha. lengo. la. kufikia. . nchi. nzima..Aidha,.Watoa.Huduma.watapatiwa.mafunzo.ya.matibabu. ya. magonjwa. ya. watoto. kwa. uwiano.katika. mikoa. 14. ya. Mwanza,. Mara,. Kagera,.Kigoma,.Rukwa,.Arusha,.Dodoma,.Kilimanjaro,.Tanga,.Ruvuma,.Lindi,.Mtwara,.Geita.na.Pwani..

63. Mheshimiwa Spika,. tatizo. la. saratani.limekuwa. likiongezeka. mwaka. hadi. mwaka.. Ili.kukabiliana. na. tatizo. hilo,. . jumla. ya. vituo. 54.vya. kufanya. uchunguzi. wa. saratani. ya. shingo.ya. kizazi. vimeanzishwa. na. kupatiwa. vifaa. vya.kutibu. mabadiliko. ya. awali. katika. mikoa. ya.Mbeya.(5),.Ruvuma.(2),.Arusha.(4),.Manyara.(4),.Kilimanjaro.(5),.Tabora.(5),.Rukwa.(2).na.Katavi.(2).. Vituo. vingine. ni. pamoja. na. Hospitali. ya.Taifa.Muhimbili,.na.vituo.vya.Marie Stopes.(11).na.vituo.vinavyofadhiliwa.na.Population Service International - PSI.(13)..Huduma.hizo.zinachangia.kupunguza. tatizo. la. saratani. kwa. kufanya.

39

utambuzi. wa. awali.. Aidha,. watoa. Huduma. za.Afya.185.walifundishwa.jinsi.ya.kutoa.huduma.ya.uchunguzi.wa.dalili. za. awali. za. saratani. ya.shingo. ya. kizazi.. Katika. mwaka. 2014/2015,.Wizara.itafungua.vituo.vipya.20.vya.uchunguzi.wa.dalili.za.awali.za.saratani.ya.shingo.ya.kizazi.katika. mikoa. ya. Lindi. (3),. Mtwara. (5),. Tanga.(5),.Singida.(4).na.Simiyu.(3).na.kununua.vifaa.vinavyohitajika.kwa.kila.kituo. ikiwa.ni.pamoja.na.kuwafundisha.Watoa.Huduma.za.Afya..90...

64. Mheshimiwa Spika,.Wizara.inatekeleza.Mpango.Mkakati.wa.Kutokomeza.Maambukizi.Mapya.ya.VVU.toka.kwa.Mama.kwenda.kwa.Mtoto.(2012-2015).kwa.kuanzisha.mpango.wa.kutoa.dawa.za.kupunguza.makali. ya.UKIMWI.kwa.wajawazito.wanaoishi. na. virusi. vya. UKIMWI. kwa. maisha.yao.yote.kwa.mikoa.yote..Jumla.ya.wajawazito.79,110. wamefikiwa. na. mpango. huo.. Aidha,.wakufunzi.45.ngazi.ya.taifa..na.wakufunzi.258.wa.mikoa.na.wilaya.wamepatiwa.elimu.na.ujuzi.wa.kuwaelimisha.Watoa.Huduma..Hadi.kufikia.Januari.2014.watoa.huduma.1,712.wamepatiwa.mafunzo. hayo. na. vituo. 966. vimeanza. kutoa.huduma. hizo.. Miongozo. mbalimbali,. vitendea.kazi,. dawa. na. vifaa. vinaendelea. kusambazwa.kwa.kufuata.utaratibu.uliopangwa. Katika.mwaka.2014/2015,.Wizara.itaendelea.kutekeleza.mpango.wa. kutokomeza. maambukizi. ya. VVU. toka. kwa.mama. kwenda. kwa. mtoto. kwa. kutoa. mafunzo.kwa. watoa. huduma. ili. kupanua. huduma. hizo.kufikia.vituo.vyote.vinavyotoa.huduma.za.afya.ya.

40

uzazi.na.mtoto.nchini..Aidha,.Wizara.itaendelea.kuhamasisha.wananchi.pamoja.na..kuhakikisha..upatikanaji. wa. huduma. hizo. katika. vituo. vya.kutolea.huduma.nchini.kote..

65. Mheshimiwa Spika,.kuhusu.masuala.ya.jinsia.ambayo.ni.mtambuka,..Wizara.imetoa.mafunzo.kwa.Watoa.Huduma.za.Afya.400.ili.kuwawezesha.kuhudumia. waliofanyiwa. ukatili. wa. kijinsia.katika.mikoa.ya.Dar.es.Salaam,.Iringa,.Njombe,.Mbeya,. Mara. na. Shinyanga.. Aidha,. mwongozo.wa. kutoa. huduma. toshelezi. (One Stop Centre).ulikamilika. na. kituo. cha. kutoa. huduma.toshelezi. kwa. waliofanyiwa. ukatili. wa. kijinsia.na. ukatili. dhidi. ya. watoto. kilianzishwa. katika.Hospitali. ya. Amana.. Katika. mwaka. 2014/15,.Wizara.itaendelea.kupanua.wigo.wa.upatikanaji.wa.huduma.za.afya.kwa.waliofanyiwa.ukatili.wa.kijinsia.na.ukatili.dhidi.ya.watoto.kwa.kuendelea.kutoa.mafunzo.kwa.watoa.huduma. za.afya.na.kuongeza.vituo.vya.kutoa.huduma.toshelezi.kwa.waliofanyiwa..ukatili.wa.kijinsia.na.ukatili.dhidi.ya.watoto.

Huduma za Chanjo

66. Mheshimiwa Spika, tumepata mafanikio.makubwa..katika.eneo.hili.la.chanjo.na.mafanikio.hayo.yamechangia.sana.katika.kupunguza.vifo.vya.watoto. Kwa.mujibu.wa.Mwongozo.wa.Shirika.la.Afya.Ulimwenguni,.Wizara.ilianzisha.dozi.ya.pili.

41

ya.chanjo.ya.surua.kwa.watoto.wenye.umri.wa.miezi.18.ili.kuongeza.kinga.dhidi.ya.ugonjwa.wa.surua.nchini..Aidha,.katika.kutekeleza.mkakati.wa.kuzuia.saratani.ya.shingo.ya.kizazi,.Wizara.ilianzisha.chanjo.ya.Human Papiloma Virus.kwa.wasichana.waliofikia.umri.wa.miaka.tisa.katika.Halmashauri. za. mkoa. wa. Kilimanjaro.. Katika.mwaka. 2014/15,. Wizara. itaanzisha. chanjo.mpya.yenye.muungano.wa.chanjo.mbili.za.surua.na. rubela,. kwa.watoto.wenye.umri.wa.miezi. 9.na. 18. ili. kuwakinga. dhidi. ya. magonjwa. hayo..Aidha,. kampeni. ya. chanjo. ya. surua. na. rubela.utafanyika.kwa.watoto.wenye.umri.kati.ya.miezi.9.na.miaka.15. ili.kutekeleza. lengo.na.mkakati.wa.kutokomeza.magonjwa.hayo.hapa.nchini..

67. Mheshimiwa Spika, katika. kuhakikisha.huduma. za. chanjo. zinatolewa. kwa. ubora.unaotakiwa,. Wizara. ilinunua. chanjo. vichupa.9,379,740. vyenye. jumla. ya. dozi. 25,948,130.na. majokofu. 405. na. kusambazwa. katika.Halmashauri. zote. nchini.. Aidha,. Halmashauri.zilijengewa.uwezo.katika.mafunzo.ya.kusimamia.huduma. za. chanjo. kwa. washiriki. 49. kutoka.Halmashauri. za. Mufindi,. Mbarali,. Makete,.Njombe,. Ngara,. Karagwe,. Muleba,. Urambo,.Igunga,. Ileje,. Hanang,. Kishapu,. Songea,.Manispaa. za. Iringa,. Tabora. na. Jiji. la. Mbeya..Katika. mwaka. 2014/15,. Wizara. itaendelea.kununua.na.kusambaza.dawa.za.chanjo.na.vifaa.vya.kutolea.chanjo.katika.Halmashauri.zote.hapa.nchini,.kuimarisha.huduma.za.mnyororo.baridi.

42

katika.Bohari.Kuu.ya.Dawa.ili.kuhimili.ongezeko.la.chanjo.na.kuzijengea.uwezo.Halmashauri.zote.ili. ziweze. kutoa. huduma. za. chanjo. kwa. ubora.unaotakiwa.

Usafi wa Mazingira

68. Mheshimiwa Spika, Wizara.iliratibu.utekelezaji.wa. Kampeni. ya. Kitaifa. ya. Usafi. wa. Mazingira.katika.Mikoa.25.na.Halmashauri.168.nchini..Hadi.kufikia.mwezi.Mei.2014,.jumla.ya.kaya.183,528.ziliboresha.vyoo.na.kaya.121,902.ziliweka.vifaa.kwa. ajili. ya. kunawia. mikono. baada. ya. kutoka.chooni..Jumla.ya.vitongoji.6,466.vilisaini.matamko.ya. kuboresha. vyoo. na. usafi. wa. mazingira. kwa.ujumla.. Aidha,. Wizara. iliratibu. Mashindano. ya.Usafi. wa. Mazingira. katika. Halmashauri. zote.nchini,.ambapo.washindi.walikuwa.Jiji.la.Mwanza.(katika.ngazi.ya.Majiji);.Manispaa.ya.Moshi.(ngazi.ya. Manispaa);. Halmashauri. ya. Mji. wa. Mpanda.(ngazi. ya. Miji). na. Halmashauri. ya. Wilaya. ya.Njombe. (ngazi. ya. Wilaya).. Vilevile,. mashindano.haya. yalijumuisha. vitongoji. vinavyotekeleza.kampeni.ya.kitaifa.ya.usafi.wa.mazingira,.ambapo.Kitongoji.cha.Mserakati. (Kondoa),.Kitongoji.cha.Ndemanilwa. (Mlele). na. Kitongoji. cha. Kasanda.(Kibondo).vilipewa.zawadi.kwa.kutekeleza.vizuri.Kampeni. hii. (Kiambatisho Na.6).. Pia,. Wizara.imekamilisha. maandalizi. ya. Mpango. kazi. wa.Taifa.wa..Huduma.za.Maji.Salama.katika.Ngazi.ya.Kaya.(2014-2019)..

43

69. Mheshimiwa Spika,. katika. kuimarisha. mfumo.wa. kukusanya,. kusafirisha,. kuhifadhi. na.uteketezaji.salama.wa.taka.zitokanazo.na.huduma.za.afya,.Hospitali.20.za.Mikoa.na.Hospitali.120.za.Wilaya. zilikaguliwa.. Aidha,. . huduma. za. afya.ziliimarishwa. kwenye. vituo. vya. afya. bandari,.viwanja.vya.ndege.na.mipaka.ya.nchi.kavu.kwa.madhumuni.ya.kudhibiti.kuingia.na.kuenea.kwa.magonjwa.. Jumla. ya.wasafiri. 1,200.walipatiwa.chanjo.ya.homa.ya.manjano.na.jumla.ya.wasafiri.400. kutoka. nchi. zenye. ugonjwa. wa. homa. ya.manjano.walikaguliwa.na.kupatiwa.chanjo.hiyo..

70. Mheshimiwa Spika,. katika. mwaka. 2014/15,.Wizara. itafanya.kampeni.ya.kitaifa.ya.usafi.wa.Mazingira.na.kuandaa.awamu.ya.pili.ya.kampeni.ya.udhibiti.wa.taka.ngumu.na.maji.taka,.usafi.wa. mifereji. ya. maji. ya. mvua. na. usalama. wa.maji.ya.kunywa..katika.kaya..Aidha,.Makatibu.Tawala.wa.Mikoa.25;.Wakurugenzi.wa.Majiji.4.na.Wakurugenzi.wa.Manispaa.18.watahamasishwa.kuhusu. udhibiti. wa. uchafuzi. wa. mazingira.unaotokana. na. taka. ngumu.. Vilevile,. mafunzo.yatatolewa. kwa. Maafisa. Afya. wa. Majiji. (4). na.Manispaa.(18)..kuhusu.kanuni.za.Sheria.ya.Afya.ya.Jamii.ya.mwaka.2009..Pia,..Mkakati.wa.Pili.wa.Kuzuia.Maambukizi.ya.VVU,.UKIMWI,.Kifua.Kikuu. na. Homa. ya. Ini. utasambazwa. katika.sehemu.za.kazi.katika.Halmashauri.zote.nchini..Wizara.itakamilisha.Mfumo.wa.kielektroniki.wa.taarifa.za.afya.mazingira,.ambao. .utajumuisha.taarifa.za.usafi.wa.mazingira,.usalama.wa.maji,.

44

chakula.salama,.usafi.binafsi.hususan.kunawa.mikono.kwa.maji.na.sabuni.katika.nyakati.zote.muhimu,.udhibiti.wa.taka.ngumu.na.udhibiti.wa.taka.zitokanazo.na.huduma.za.afya..

Elimu ya Afya kwa Umma

71. Mheshimiwa Spika,. Wizara. inatambua.umuhimu.wa.elimu.ya.afya.kwa.umma.ili.jamii.iweze.kujikinga.na.magonjwa.badala.ya.kusubiri.kuugua. na. kupata. tiba. ambayo. ni. gharama.kubwa.zaidi..Kwa.sababu.hiyo,.Wizara.iliandaa.mada. 68. za. kuelimisha. na. kuhamasisha. jamii.kuhusu. umuhimu. wa. kutunza. afya,. kubadili.tabia.hatarishi.kwa.afya,.kujikinga.na.maradhi,.na.kutumia.huduma. za.afya.kwenye. vituo. vya.kutolea.huduma..Mada.hizo.zilitolewa.kwa.njia.ya.radio,. televisheni,.machapisho,.mitandao.ya.simu,. tovuti. na. njia. za. asili. kama. vile. ngoma,.nyimbo,. ngonjera. ili. kuwafikia. watu. wengi.zaidi.. Aidha,. Wizara. ilikamilisha. Mkakati. wa.Kuelimisha.na.Kuboresha.afya.(2014.–.2020).na.Mwongozo.wa.Kisera.wa.Huduma.za.Afya.Ngazi.ya. Jamii. (2014).. Vilevile,. mafunzo. yalitolewa.kwa.wahudumu.wa.afya.ngazi.ya.Jamii.15,711.katika.mikoa.yote.nchini.ili.kuboresha.utoaji.wa.huduma.za.afya.katika.ngazi.ya.jamii..

72. Mheshimiwa Spika, katika. mwaka. 2014/15,.Wizara. itatoa. mafunzo. elekezi. kwa. timu. za.uelimishaji.wa.huduma.za.afya.za.Halmashauri.na.Mikoa.jinsi.ya.kupanga,.kuratibu,.kutekeleza,.kufuatilia. na. kutathmini. huduma. za. elimu. ya.

45

afya.katika.maeneo.yao..Awamu.ya.kwanza.ya.mafunzo.haya.itahusisha.mikoa.ya.Iringa,.Mbeya.na. Njombe.. Wizara. pia,. itaendelea. kuboresha.huduma.za.afya.ngazi.ya.jamii.kwa.kutayarisha.mtaala.wa.mafunzo.ya.wahudumu.wa.afya.ngazi.ya. jamii. Vilevile, itatayarisha. mafunzo. kwa.wataalamu.wa.afya. .katika.kutambua. tatizo. la.usonji. (Autism Spectrum Disorder),.na.kuandaa.utaratibu.wa.kuwatambua.na.kuwapa.mafunzo.wazazi.na.watoto.walio.na.matatizo.hayo.

Huduma za Lishe

73. Mheshimiwa Spika, katika.kugatua.majukumu.ya. Taasisi. ya. Chakula. na. Lishe. kwenda. ngazi.ya. Halmashauri,. Wizara. ilitoa. mafunzo. kwa.Maofisa.Mipango.na.Maofisa.Lishe.318,.kutoka.katika. ngazi. ya. Halmashauri. 159. na. Maofisa.Lishe. 50. ngazi. ya. mikoa. ili. waweze. kuingiza.mipango.ya.lishe.katika.bajeti.za.Halmashauri...Aidha,.Wizara.kupitia.Taasisi.iliratibu.na.kutoa.mafunzo. ya. kumhudumia. na. kumtibu. mtoto.mwenye. utapiamlo. mkali. kwa. watoa. huduma.katika.hospitali.ya.Taifa.ya.Muhimbili;.hospitali.za.Rufaa.za.Kanda.za.Mbeya,.KCMC,.Bugando,.Lugalo.na.hospitali.za.Rufaa.za.Mikoa.ya.Mtwara,.Lindi,.Arusha,.Iringa,.Morogoro,.Njombe,.Pwani.(Tumbi).pamoja.na.hospitali.ya.Amana.pamoja.na.hospitali.za.Halmashauri.ya.Korogwe,..Rungwe,.Mbozi,. Mufindi,. Ludewa,. Makete,. Mbarali. na.hospitali. teule. za. Halmashauri. ya. Wilaya. ya.

46

Iringa.na.Mbeya..Hospitali.nyingine.ni.Lugarawa,.Ikonda.na.hospitali.ya.shirika. la.dini.ya.Mbozi.nazo. zilipata. mafunzo. hayo.. Vilevile,. watoa.huduma. za. afya. 277. kutoka. vituo. vya. kutolea.huduma.za.afya.katika.mikoa.ya.Arusha,.Mbeya,.Iringa,. Njombe,. Ruvuma,. Tabora,. Rukwa. na.Katavi. walipata. mafunzo. kuhusu. matibabu.ya. utapiamlo. kwa. kutumia. chakula. dawa. kwa.watoto.na.watu.wenye.VVU..Pia,.watoa.huduma.2,530.kutoka.Halmashauri.za.Wilaya.za.Mpwapwa,.Kongwa,.Chamwino,.Monduli,.Ngorongoro,.Karatu,.Meru,. Arusha. na. Longido. walielekezwa. jinsi. ya.kutambua.na.kuainisha.utapiamlo.na.uboreshaji.wa.lishe.kwa.watu.wenye.utapiamlo.

74. Mheshimiwa Spika,. Wizara. kupitia. Taasisi.ilikamilisha. Mwongozo. wa. Kitaifa,. Kitita. cha.Mafunzo. ya. Kulisha. Watoto. Wachanga. na.Wadogo. katika. ngazi. ya. . jamii. na. Mkakati. wa.Kitaifa.wa.Mawasiliano.ya.Lishe..Aidha,.Taasisi.ilitoa.mafunzo.ya.ulishaji.wa.watoto.wachanga.na. wadogo. kwa. watoa. huduma. za. afya. 262.ngazi.ya.wilaya.na.vijiji.katika.Halmashauri.za.Wilaya. za. Makete,. Mbeya,. Ruangwa,. Singida,.Ikungi,.Chamwino.na.Bahi..Vilevile,.usimamizi.shirikishi.ulifanyika.katika.viwanda.6..vya.21st Century Food & Parkaging LTD, Pembe Flour Mills LTD, SS Bhakhresa & Co. LTD, Monaban Trading & Farming Co. LTD.na.Coast Mill.vinavyoongeza.virutubishi.vya.madini.ya.chuma.na.zinki,.folic acid,.niacin. na. vitamini.B12. .kwenye.unga.wa.ngano.na.viwanda.vitatu.vya.East Coast Oils and

47

Fats LTD, BIDCO Oils & Soap LTD. na. Murzah Oil Mills LTD. vinavyoongeza. vitamini. A. kwenye.mafuta.ya.kula..

75. Mheshimiwa Spika,. hadi. Mei. 2014,. jumla. ya.kilo.215,700.za.virutubishi.ziliongezwa.kwenye.unga.wa.ngano.na.kilo.3,000.za.vitamini.A.kwenye.mafuta. ya. kula. kwa. viwango. vilivyokusudiwa.kukidhi. mahitaji. ya. mwili. na. zaidi. ya. watu.milioni.14.wamefikiwa.na.vyakula.vilivyoongezwa.virutubishi.vya.madini.na.vitamini..Aidha,.Wizara.ilipanua.wigo.wa.kuongeza.virutubishi.maeneo.ya.vijijini.kwa.kuhamasisha.na.kutoa.mafunzo.ya.namna.ya.kuchanganya.virutubishi.na.unga.wa.mahindi.kwa.watu.683.wenye.vinu.vya.kusaga.unga.wa.mahindi.katika.Halmashauri.za.Wilaya.za. Iringa. (318),. Kilolo. (216). na. Mji. wa. Njombe.(149).. Vilevile,. Wizara. ilianzisha. programu. ya.kutumia. virutubishi. nyongeza. katika. vyakula.vya.watoto.walio.kwenye.umri.wa.miezi.sita.hadi.chini.ya.miaka.mitano.katika.Mikoa.ya.Manyara,.Dodoma.na.Morogoro..Pia,.Wizara.ilinunua.jumla.ya.paketi.3,480,000.za.virutubishi.nyongeza.kwa.watoto.milioni.1.8.wa.umri.wa.miezi.sita.hadi.23.kwa.ajili.ya.mikoa.ya.Iringa,.Arusha.na.Njombe..

76. Mheshimiwa Spika, kwa. mwaka. 2014/15,.Wizara. kupitia. Taasisi. itapanua. wigo. wa.upatikanaji.wa.virutubishi.nyongeza.kwa.watoto.chini.ya.miaka.mitano.hususan.kwenye.zile.kaya.zenye.umaskini.uliokithiri.ili.kuwanusuru.watoto.kutokana.na.utapiamlo.mkali..Vilevile,.itapanua.wigo.wa.kuongeza.virutubishi.kwenye.unga.wa.

48

mahindi.hususan.ngazi.ya.vijijini.ambako.ndiko.waliko.waathirika.wengi.wa.utapiamlo.

77. Mheshimiwa Spika,. Wizara. kupitia. Taasisi.ilitoa.mafunzo.ya.kuongeza.virutubishi.kwenye.chakula.kwa.wahudumu.wa.afya.ngazi.ya.jamii.1,086.katika.Halmashauri.za.Wilaya.za.Njombe,.Kilolo,.Iringa,.Karatu,.Monduli.na.Meru..Taasisi.kwa. kushirikiana. na. Mfuko. wa. Taifa. wa. Bima.ya. Afya. ilielimisha. jamii. kuhusu. magonjwa.yanayoweza. kuepukwa. kwa. kuzingatia. lishe.bora.. Katika. mwaka. 2014/15,. usimamizi.shirikishi.na.uhamasishaji.kuhusu.uwekaji.wa.madini. joto. kwenye. chumvi. na. matumizi. yake.utafanyika. kwa. viongozi. katika. Halmashauri.29.zenye.kaya.chini.ya.asilimia.50.zinazotumia.chumvi. yenye. madini. joto. hapa. nchini.. Aidha,.Taasisi. itakamilisha. Mkakati. wa. Kitaifa. wa..Ulishaji. wa. Watoto. Wachanga. na. Wadogo. na.Mpango. wa. Utekelezaji. wa. mwaka. 2014/15-.2018/19..Vilevile,.Wizara.itapanua.wigo.wa.mradi.wa.kuongeza.virutubishi.kwenye.vyakula.ngazi.ya. Taifa. kwa. kuongeza. viwanda. vinavyoongeza.virutubishi.kwenye.vyakula.kutoka.tisa.vya.sasa.hadi.kufikia.15.

49

HUDUMA ZA TIBA

Huduma za Tiba katika Hospitali ya Taifa, Hospitali za Kanda na Hospitali Maalum

78. Mheshimiwa Spika,. katika. kutekeleza. Ilani.ya.Uchaguzi.ya.CCM.ya.mwaka.2010,.Ibara.ya.86. (a). (ii). Wizara. iliendelea. na. utekelezaji. wa.MMAM.. Tangu. mwaka. 2007. hadi. 2013,. vituo.vipya. 1,153. vilijengwa. ili. kukidhi. mahitaji. ya.huduma.za.afya.kwa.wananchi..Kuanzia.mwaka.2012.hadi.2013.vituo.vipya.vilivyojengwa.ni.319.(Kiambatisho Na.7). Aidha,. Wizara. ilipanua.huduma. za. kibingwa. kwa. kuendeleza. ujenzi.wa. miundo. mbinu. katika. hospitali. za. Rufaa.za. Kanda. za. Mbeya,. Bugando. na. Hospitali. za.ngazi. ya. Taifa. za. Kibong’oto,. Mirembe,. Taasisi.ya. Mifupa. Muhimbili. na. Taasisi. ya. Saratani.Ocean.Road..Miundo.mbinu.hiyo.ni.pamoja.na.awamu.ya.tatu.ya.ujenzi.wa.jengo.la.Taasisi.ya.Mifupa.Muhimbili,. jengo. la.wodi.katika.Taasisi.ya. Saratani. Ocean. Road,. jengo. la. huduma. za.dharura.hospitali.ya.Taifa.Muhimbili,.ujenzi.wa.vyumba. vinne. vya. upasuaji. na. ukarabati. wa.wodi.ya.wagonjwa.wa.akili.Bugando.

79. Mheshimiwa Spika,. katika. mwaka. 2014/15,.miradi.ya.ujenzi.na.ununuzi.wa.vifaa.itaendelea.kukamilishwa.kwa.kufanya.ukarabati.wa.jengo.la. kutunzia. kumbukumbu. katika. Hospitali. ya.Taifa.Muhimbili.na.ujenzi.wa. jengo. la.huduma.za. dharura. KCMC.. Aidha,. katika. hospitali. ya.Kanda. Bugando,. Wizara. itakamilisha. ujenzi.

50

wa. jengo. la.saratani.awamu.ya.mwisho,.ujenzi.wa. jengo. la. kliniki. ya. Bima. ya. Afya,. itanunua.mtambo.mkubwa.wa.oksijeni,.kufunga.incinerator kubwa. kwa. ajili. ya. kuchoma. taka. hatarishi. na.kuweka. kamera. za. usalama.. Katika. hospitali.ya. Rufaa. ya. KCMC. . kitaanzishwa. kitengo. cha.huduma. za. uangalizi. wa. karibu. kwa. watoto.wachanga.chenye.uwezo.wa.kulaza.watoto.100.na.kununua.vifaa.vya.kisasa.kwa.ajili.ya.upasuaji.kwa.kupitia.tundu.dogo..Katika.hospitali.ya.Afya.ya.Akili.Mirembe,.Wizara.itakamilisha.ujenzi.wa.jengo.la.huduma.ya.utengamao.kwa.waathirika.wa.dawa.za.kulevya.na.kuweka.samani,.pamoja.na.kukarabati.nyumba.za.watumishi.na.wodi.za.wagonjwa..

80. Mheshimiwa Spika, pia,. maabara. itajengwa..katika. hospitali. ya. Kibong’oto. yenye. uwezo. wa.kutambua.vimelea.vya.kifua.kikuu.sugu.na.vya.magonjwa.ya.mlipuko.na.kuambukiza..Maabara.hiyo.itatumika.kupokea.vipimo.vya.rufaa.kutoka.nje. ya. mkoa. na. kutoa. mafunzo. kwa. wataalam.kwa. kushirikiana. na. vyuo. vikuu. vya. afya. na.tiba.nchini..Pia,.ujenzi.wa.kukamilisha.jengo.la.huduma.za.radiolojia.katika.Hospitali.ya.Rufaa.ya.Kanda.Mbeya.utaendelea.

81. Mheshimiwa Spika, ili. kuboresha. huduma.zitolewazo. katika. Hospitali. ya. Taifa. Muhimbili, Wizara. ilinunua. na. kusimika. vifaa. na. vifaa.tiba.kwa.ajili. ya.kituo.cha.upasuaji.na. tiba.ya.magonjwa.ya.moyo.pamoja.na.mafunzo.. .Vifaa.vilivyonunuliwa. vimewezesha. huduma. za. tiba.

51

na. upasuaji. wa. moyo. kuanza. rasmi. katika.kituo. hicho.. Kituo. hicho. kimezinduliwa. na.Mheshimiwa.Rais.wa.Jamhuri.ya.Muungano.wa.Tanzania,. Dkt.. Jakaya. Mrisho. Kikwete,. tarehe.27.Aprili,.2014..Aidha,.Mheshimiwa.Rais.aliagiza.kwamba.katika.mwaka.2014/15,.Sekta.ya.Afya.itaingia. katika. Mpango. wa. Matokeo. Makubwa.Sasa. (BRN).. Tunamshukuru. Mheshimiwa. Rais.kwa. maamuzi. hayo. nasi. kwa. kushirikiana. na.wadau. tutahakikisha. utekelezaji. wa. Mpango.huo.unafanikiwa.....

82. Mheshimiwa Spika, katika.kutekeleza.Mpango.Mkakati.wa.Tatu.wa.Sekta. ya.Afya.wa.mwaka.2009-2015. na. Sera. ya. Afya. kuhusu. huduma.za.rufaa.kwa.wananchi.wote,.Taasisi.ya.Mifupa.ya. Muhimbili. ilitoa. huduma. za. kibingwa. za.mkoba. kwa. wagonjwa. 513.. Kati. yao. wagonjwa.116. walifanyiwa. upasuaji. katika. Hospitali. za.Rufaa.ngazi.ya.Kanda.za.Bugando.na.Mbeya.na.katika.Hospitali.ya.Rufaa.ya.Mkoa.wa.Morogoro..Katika.mwaka.2014/15, Wizara.itaongeza.utoaji.wa.huduma.za.rufaa.ngazi.ya.Taifa.kwa kupitia.huduma.za.mkoba.katika.Hospitali.za.Mikoa.na.za. Kanda. ili. kuwapunguzia. wananchi. adha. ya.kusafiri.umbali.mrefu.kufuata.huduma.za.rufaa.ngazi.ya.Taifa.

83. Mheshimiwa Spika,.katika.utekelezaji.wa.Ilani.ya.Uchaguzi.ya.CCM.Ibara.ya.86:.(g).na.kufikia.Malengo. ya. Maendeleo. ya. Milenia. na. Malengo.ya. Mkakati. wa. Tatu. wa. Sekta. ya. Afya. (2009-.2015),. Wizara. iliendelea. kuanzisha. huduma.

52

za. tiba. za. kibingwa. katika. hospitali. za. kanda,.maalum.na.hospitali.ya.Taifa.ili.kupunguza.idadi.ya. wagonjwa. wanaopelekwa. nje. ya. nchi. kwa.uchunguzi. na. matibabu.. Huduma. za. upasuaji.mkubwa. wa. moyo. zimeendelea. kutolewa.ambapo.hadi.sasa.jumla.wagonjwa.671.walipata.huduma.hiyo.kwa.mafanikio.katika.hospitali.za.Muhimbili,.Bugando.na.KCMC..Aidha,.jumla.ya.wagonjwa. 211. walifanyiwa. upasuaji. maalum.katika.Taasisi.ya.Mifupa.Muhimbili.ambapo.29.walifanyiwa.upasuaji.wa.ubongo,..107.upasuaji.uti. wa. mgongo,. 56. waliwekewa. viungo. bandia.vya.nyonga.na.19.viungo.bandia.vya.goti..Katika.mwaka. 2014/15,. Taasisi. ya. Mifupa. Muhimbili.inatarajia. kuwahudumia. wagonjwa. wapatao.6,900.. Aidha,. itafanya. upasuaji. wa. kuweka.viungo. bandia. vya. nyonga. kwa. wagonjwa.wapatao. 400,. kuweka. viungo. bandia. vya. goti.kwa. wagonjwa. 150,. upasuaji. wa. ubongo. kwa.wagonjwa. 240,. upasuaji. wa. uti. wa. mgongo.na. mishipa. ya. fahamu. kwa. wagonjwa. 400. na.upasuaji.wa.watoto.wenye.vichwa.vikubwa.600..

84. Mheshimiwa Spika,. huduma. nyingine. za.kibingwa.zilizotolewa.zilikuwa.ni.kusafisha.damu.kwa.wagonjwa.wenye.matatizo.ya.figo..Wagonjwa.245. walifanyiwa. mizunguko. 2,615. katika.Hospitali. ya. Taifa. ya. Muhimbili. na. wagonjwa.35.walihudumiwa.katika.Kituo.cha.Chuo.Kikuu.cha. Dodoma.. Aidha,. Wizara. ilinunua. mashine.mpya.5.za.kusafisha.damu.katika.Hospitali.ya.Taifa. Muhimbili. na. kufanya. jumla. ya. mashine.

53

kumi. na. sita.. Vilevile,. Hospitali. ya. Mirembe.ilihudumia.wagonjwa.wa.akili.1,783.waliolazwa.na. wengine. 7,124. walihudumiwa. na. kurudi.nyumbani.. Wagonjwa. wa. akili. wahalifu. wapya.243.walihudumiwa.na.Taasisi.ya.Isanga..Katika.mwaka. 2014/15,. Wizara. itaendelea. kuboresha.huduma.za.rufaa.za.kibingwa.katika.Hospitali.za.rufaa.ngazi.ya.kanda.na.Taifa...Aidha,.itaimarisha.huduma.za.afya.kwa.wagonjwa.wa.nje.na.ndani.hasa.katika.vitengo.vya.magonjwa.ya.saratani,.mishipa.ya.fahamu,.mapafu.na.figo..

85. Mheshimiwa Spika,.Serikali.imeendelea.kudhibiti.matumizi. ya. dawa. za. kulevya.. Kwa. upande. wa.sekta.ya.afya,.mafunzo.maalum.kwa.madaktari.yalitolewa.hapa.nchini.kuhusu.matumizi.ya.dawa.aina. ya. methadone. kwa. waathirika. wa. dawa.za.kulevya.. .Aidha,.Wizara.kupitia.Hospitali.ya.Taifa. Muhimbili. imeendelea. kupanua. huduma.kwa.waathirika.wa.kujidunga.dawa.za.kulevya.zinazotolewa. katika. Hospitali. za. Rufaa. za.Mkoa.za.Mwanayamala.na.Temeke..Waathirika.1,369. walihudumiwa;. 790. katika. Hospitali. ya.Taifa. Muhimbili,. Temeke. 19. na. hospitali. ya.Mwananyamala. 560.. Vilevile,. Wizara. iliandaa.mwongozo.wa.kusambaza.huduma.ya.methadone.nchi.nzima..

86. Mheshimiwa Spika,. katika. mwaka. 2014/15,.Wizara. itaendelea. kuzijengea. uwezo. Hospitali.za.Rufaa.za.Kanda.na.Hospitali.za.Rufaa.ngazi.ya.Mikoa.katika.kuratibu.huduma.za.magonjwa.yasiyo. ya. kuambukiza. ili. kuelimisha. na.

54

kuhamasisha.jamii.juu.ya.kujikinga.na.kupata.matibabu. mapema. dhidi. ya. magonjwa. hayo..Aidha,.hospitali.ya.Taifa.Muhimbili.itahudumia.wanaojidunga. sindano. za. dawa. za. kulevya.2,000,. Mwananyamala. 3,000,. Temeke. 5,000.na. itaanzisha. huduma. hizo. katika. Hospitali.ya. Rufaa. ya. Mkoa. ya. Amana. Vilevile,. Wizara.itaendelea. kusisitiza. na. kuhakikisha. kuwa.huduma.ya.methadone.inasambazwa.nchi.nzima.katika. kipindi. cha. miaka. mitano. ijayo.. Pia,.hospitali.ya.Afya.ya.Akili.ya.Mirembe.itaongeza.wigo. wa. kutoa. huduma. za. tiba. na. mafunzo.kwa. wagonjwa. waathirika. wa. dawa. za. kulevya.wanaofika.hospitalini.na.kurudi.nyumbani.hasa.baada. ya. kukamilika. jengo. la. huduma. hizo.linalojengwa.Itega....

87. Mheshimiwa Spika,.hadi.Mei.2014,.Taasisi.ya.Saratani.Ocean.Road.ilipokea.na.kuwahudumia.wagonjwa. wapya. 4,712.. Hili. ni. ongezeko. la.wagonjwa. 976. ukilinganisha. na. kipindi. cha.Julai-Mei. 2012/13.. Ongezeko. hili. linatokana.na. uhamasishaji. wa. jamii. kupitia. kampeni.mbalimbali.. Aidha,. jumla. ya. wanawake. 5,504.walifanyiwa. uchunguzi. wa. saratani. ya. shingo.ya. kizazi. na. matiti.. Katika. uchunguzi. huo.jumla. ya. wanawake. 232. waligunduliwa. na.dalili. za. awali. za. saratani. ya. shingo. ya. kizazi.na.82.walikutwa.na.dalili.za.saratani.ya.matiti...Vilevile,.wanawake.4,300.walifanyiwa.uchunguzi.wa.saratani.ya.shingo.ya.kizazi.katika.Hospitali.ya.Rufaa.ya.Kanda,.Mbeya..Kati..yao,.wanawake.500.walifanyiwa.uchunguzi.wa.kina.na.kupewa.

55

matibabu. ya. awali. pamoja. na. rufaa.. Pia,.huduma. ya. matibabu. ya. saratani. yalitolewa.katika.Hospitali.ya.Kanda.ya.Rufaa.ya.Bugando.kwa. wagonjwa. 8,299. kuanzia. Januari. hadi.Desemba.2013..Katika.mwaka.2014/15,.Wizara.itaendelea.kutoa.huduma.za.kinga,.uchunguzi,.matibabu. ya. saratani. na. tiba. shufaa.. Vilevile,.Wizara. itakamilisha. usimikaji. wa. Mitambo.katika.Hospitali.ya.Bugando.kwa.ajili.ya.Tiba.ya.magonjwa.ya.saratani.

88. Mheshimiwa Spika,..Hospitali.ya.Kibong’oto.ni. Hospitali. ya. Rufaa. ya. ugonjwa. wa. kifua.kikuu.. Kwa. kuwa. tatizo. la. VVU. na. kifua.kikuu.limekuwa.likienda..sambamba,.huduma.za. magonjwa. haya. kwa. sasa. zinafanyika. kwa.pamoja.. Kwa. mwaka. 2013/14,. Hospitali.iliwahudumia. wagonjwa. wanaoishi. na. VVU.9,288;. kifua. kikuu,. kifua. kikuu. pamoja. na.UKIMWI. 672. na. wagonjwa. 11,604. wenye.magonjwa.mengine..Aidha,.uchunguzi.wa.vimelea.vya.kifua.kikuu.kwa.kutumia.vinasaba.ulianza,.na. vipimo. 138. vimeshafanyika. na. kugundua.wagonjwa. 11. wenye. usugu. wa. dawa. za. kifua.kikuu.. Vilevile,. huduma. za. kifua. kikuu. sugu.zilianzishwa.katika.zahanati.ya.Gereza.la.Ukonga.(Ilala),.Sinza.Palestina.(Kinondoni),.Tambukareli.(Temeke),.Kituo.cha.Afya.Saba.Saba.(Morogoro).na. Hospitali. ya. Rufaa. ya. Mkoa. Sekou. Toure.(Mwanza)..Mafunzo.ya.kutoa.tiba.kwa.wagonjwa.wa.kifua.kikuu.sugu.yalifanyika.kwa.watumishi.126.kutoka.katika.wilaya.39.nchini.

56

89. Mheshimiwa Spika,. katika. mwaka. 2014/15,.Hospitali. ya. Kibong’oto. itahudumia. wastani.wa. wagonjwa. wa. UKIMWI. 9,000,. kifua. kikuu.na. UKIMWI. 800,. kifua. kikuu. sugu. 120. na.wagonjwa. 20,000. wenye. magonjwa. mengine..Hospitali.itaongeza.vituo.20.vya.kutoa.huduma.za.kifua.kikuu.sugu.katika.hospitali.10.za.rufaa.za. Mikoa. ya. Mwanza,. Tanga,. Mbeya,. Mara,.Iringa,. Njombe,. Dodoma,. Ilala,. Kinondoni. na.Temeke.. Aidha,. itaendelea. kutoa. mafunzo. kwa.watoa.huduma.za.afya.200.kutoka.katika.wilaya.mbalimbali. za. nchi,. kutoa. utaalam. wa. juu. wa.huduma. za. kifua. kikuu. sugu. na. kuvijengea.uwezo. vituo. 20. vitakavyoanzishwa. nchini..Vilevile,. Hospitali. kwa. kushirikiana. na. Taasisi.ya.Utafiti.na.wadau.mbalimbali. itafanya.utafiti.wa. kuboresha. ugunduzi. na. matibabu. ya. kifua.kikuu,.kifua.kikuu.sugu.na.mifumo.mizima.ya.utoaji.wa.huduma.za.afya..

90. Mheshimiwa Spika,. . Sera. ya. Afya. ya. mwaka.2007. imeelekeza.kuimarisha.mfumo.wa.kitaifa.ambao. unasimamia. ukusanyaji,. upimaji,.utunzaji,. usambazaji. na. matumizi. ya. damu.salama.nchini...Ili.kutimiza.azma.hiyo,.hadi.kufikia.Mei.2014,.Wizara.ilikusanya.chupa.128,311.za.damu. salama. ambayo. ni. sawa. na. asilimia. 75.ya.lengo..Aidha,.katika.juhudi.za.kuhamasisha.jamii. kuchangia. damu. kwa. hiari,. vipeperushi.64,000.vilisambazwa.na.jumla.ya.vikundi.12.vya.wachangia.damu.kwa.hiari.vilianzishwa..Vilevile,.matumizi. ya. mfumo. mpya. wa. kielektroniki.

57

(e-health).ikiwa.ni..pamoja.na.matumizi.ya.simu.za. mkononi. (m-health),. yaliwezesha. kutuma.ujumbe.mfupi.kwa.wachangia.damu.90,000.na.kupata.taarifa.na.takwimu.mbalimbali.kuanzia.kwa. mchangiaji. damu. hadi. kwa. mgonjwa.anayepewa. damu.. Napenda. nitumie. fursa. hii kuwashukuru. wote. waliochangia. damu. na.kuhamasisha. jamii. kuchangia.damu.kwa.hiari.kwa.manufaa.yetu.sote..Katika.mwaka.2014/15,.Wizara. itaendelea. kuhakikisha. upatikanaji. wa.damu. salama. na. itahamasisha. upatikanaji. wa.wachangia.damu.wa.kudumu.kutoka.asilimia.25.hadi.40...

91. Mheshimiwa Spika, Wizara.iliendelea.kuratibu.na. kusimamia. huduma. za. uchunguzi. wa.magonjwa. ya. binadamu. kama. ilivyoainishwa.katika. Mpango. Mkakati. wa. Tatu. wa. Sekta. ya.Afya.. Maabara. ya. Taifa. ya. Uhakiki. wa. Ubora.na. Mafunzo,. Hospitali. ya. Taifa. Muhimbili,.Hospitali. za.Rufaa.Mbeya,.KCMC,.Bugando.na.Mnazi. Mmoja. (Zanzibar). zipo. kwenye. mpango.wa. urasimishaji. kwa. viwango. vya. kimataifa.vya. ubora. wa. huduma. za. maabara.. Napenda.kutumia.nafasi.hii.kulijulisha.Bunge.lako.tukufu.kuwa. . mwezi. Februari. 2014. Maabara. ya. Taifa.ya.Uhakiki.wa.Ubora.na.Mafunzo.ilipewa.rasmi.ithibati.ya.viwango.vya.kimataifa.vya.ubora.wa.huduma. za. maabara.. Katika. mwaka. 2014/15,.Wizara. itaendelea. kuchukua. hatua. thabiti. ya.kuhakikisha.vipimo.vya.uchunguzi.wa.magonjwa.vinatoa. matokeo. sahihi. ikiwa. ni. pamoja. na.

58

uhakiki. wa. ubora. wa. vipimo. vya. maabara. na.kufanya.matengenezo.kinga.ya.vifaa.mara.kwa.mara. ili. kuwezesha. matibabu. kutolewa. kwa.ufanisi...

92. Mheshimiwa Spika,. katika. kutekeleza. Sera.ya. Ushirikiano. baina. ya. Serikali. na. Sekta.Binafsi. (Public. Private. Partnership). ya. mwaka.2009,.jumla.ya.mikoa.15.ya.Arusha,.Morogoro,.Kigoma,. Tabora,. Kilimanjaro,. Dodoma,. Lindi,.Mbeya,. Iringa,. Ruvuma,. Mwanza,. Shinyanga,.Simiyu,.Tanga.na.Pwani.ilihamasishwa.ili.iweze.kusimamia.na.kuratibu.ushirikishwaji.wa.sekta.binafsi.katika.utoaji.wa.huduma.za.afya..Aidha,.Halmashauri. 61. kati. ya. 133. zilizohamasishwa.zimesaini.mkataba.wa.makubaliano.na.wamiliki.wa. vituo. binafsi. vya. kutolea. huduma. za. afya.katika.maeneo.ambayo.hayana.vituo.vya.umma.ili. vituo. hivyo. vitoe. huduma. kwa. niaba. ya.Halmashauri.husika..

93. Mheshimiwa Spika,.Hospitali.tatu.za.Rufaa.za.Kanda. za. Mashirika. ya. kujitolea. za. Bugando,.KCMC.na.CCBRT.zimeendelea.kupatiwa.ruzuku.kwa. ajili. ya. kulipia. mishahara. na. kununulia.vifaa,.vifaa.tiba.na.vitendanishi. ili.kuziwezesha.kutoa. huduma. za. rufaa. ngazi. ya. kanda.. Pia,.hospitali. kumi. zilizopandishwa. hadhi. kuwa.Hospitali. za. Rufaa. ngazi. ya. Mkoa. zimeendelea.kupatiwa. fedha. za. uendeshaji.. Hospitali. hizo.ni. St.. Francis. (Morogoro),. Ilembula. (Njombe),.Nyangao.(Lindi),.St..Gaspar.(Singida),.Peramiho.(Ruvuma),. Nkinga. (Tabora),. Arusha. Lutheran.

59

Medical. Centre. (Arusha),. Hydom. (Manyara),.Ndanda.(Mtwara),.Kabanga.(Kigoma).na.Hospitali.Teule. za. Halmashauri. 35.. Katika. mwaka.2014/15,. Wizara. itaendelea. kushirikiana. na.Hospitali.za.Mashirika.ya.Kujitolea.na.za.Binafsi.kwa.kuzipatia.dawa.na.vifaa.tiba.kwa.mujibu.wa.makubaliano..

94. Mheshimiwa Spika,.katika.juhudi.za.kupanua.wigo.wa.utoaji.wa.huduma.za.kibingwa,.Taasisi.ya. Mifupa. Muhimbili. iliandaa. na. kukamilisha.mitaala.ya. shahada.ya.uzamili. ya.upasuaji.wa.ubongo,.uti.wa.mgongo.na.mishipa.ya.fahamu..Mitaala. hiyo. imewasilishwa. Chuo. Kikuu. cha.Afya. na. Sayansi. Shirikishi. Muhimbili. kwa. ajili.ya.kuidhinishwa..Aidha,.Taasisi.ya.Saratani.ya.Ocean. Road. ilitoa. mafunzo. ya. uchunguzi. wa.saratani. ya. shingo. ya. kizazi. katika. hospitali.zilizopo.katika.mikoa.ya.Mwanza,.Mara,.Mtwara,.Dodoma,.na.Arusha.na.jumla.ya.washiriki.384.walihudhuria.. Mafunzo. hayo. pia. yalijumuisha.washiriki. kutoka. Zanzibar.. Katika. mwaka.2014/15,. Taasisi. ya. Saratani. itaendelea. kutoa.mafunzo. ya. Shahada. ya. Tiba. ya. Saratani. kwa.Mionzi. na. Shahada. ya. Uzamili. katika. Tiba. ya.Sayansi.ya.Saratani.kwa.kushirikiana.na.Chuo.Kikuu.cha.Afya.na.Sayansi.Shirikishi.Muhimbili.

95. Mheshimiwa Spika,. katika. mwaka. 2013/14,.jumla. ya. Sh.. 52,383,332,700.00. zimetumika.kununua,.kutunza.na.kusambaza.dawa,. vifaa,.vifaa. tiba. na. vitendanishi. katika. vituo. vya.kutolea.huduma.za.afya.vya.umma..Kati.ya.fedha.

60

hizo,. Serikali. ilitoa. Sh.. 28,883,332,700.00.na. Wadau. wa. Maendeleo. kupitia. Mfuko. wa.Pamoja. walichangia. Sh.. 23,500,000,000.00..Aidha,. Mfuko. wa. Dunia. wa. kupambana. na.UKIMWI,. Malaria. na. Kifua. Kikuu. ulitoa. Sh..206,292,515,316.00. kwa.ajili. ya. kununua.na.kusambaza. dawa. zinazogharamiwa. na. Mfuko.huo.

96. Mheshimiwa Spika,. katika. mwaka. 2014/15.Sh.. 239,351,303,506.00. zimetengwa. kwa. ajili.ya. kununua,. kutunza. na. kusambaza. dawa,.vifaa,.vifaa.tiba.na.vitendanishi.katika.vituo.vya.kutolea.huduma.za.afya.vya.umma..Kati.ya.fedha.hizo,.Serikali.itatoa.Sh..58,808,637,185.00.na.Wadau.wa.Maendeleo.kupitia.Mfuko.wa.Pamoja.watachangia. Sh.. 10,500,000,000.00.. Aidha,.Mfuko. wa. Dunia. wa. kupambana. na. UKIMWI,.Malaria. na. Kifua. Kikuu. utatoa. Sh.. 170, 042, 666, 321.00 kwa.ajili.ya.kununua.na.kusambaza.dawa.zinazogharamiwa.na.Mfuko.huo.

97. Mheshimiwa Spika, Taasisi.ya.Taifa.ya.Utafiti.wa. Magonjwa. ya. Binadamu. ilifanya. zoezi. la.makadirio.ya.kitaifa.ya.dawa,.vifaa.na.vifaa.tiba.kwa.lengo.la.kupata.matumizi.halisi.ya.dawa.na.kutoa. mwelekeo. wa. mahitaji. kitaifa.. Kutokana.na. makadirio. hayo,. mahitaji. kitaifa. ya. dawa,.vifaa. tiba.na.vitendanishi.kwa.mwaka.2013/14.yalifikia. kiasi. cha. Sh.. 549,524,883,800.00.na. Sh.. 577,001,127,990.00. kwa. mwaka.2014/15.. Makadirio. hayo. hayakuhusisha. dawa.zinazogharamiwa. na. Mfuko. wa. Dunia. wa.

61

Kupambana.na.UKIMWI,.Kifua.Kikuu.na.Malaria.

98. Mheshimiwa Spika,.Wizara.kupitia.Bohari. ya.Dawa. imeendelea. kuboresha. upatikanaji. wa.dawa,.vifaa.na.vifaa.tiba.katika.vituo.vya.kutolea.huduma.za.afya.kulingana.na.uwezo.wa.bajeti.hadi. kufikia. asilimia. 77.kati. ya. asilimia. 95. ya.lengo.. Sambamba. na. hilo,. Bohari. ya. Dawa.imekamilisha. awamu. ya. pili. ya. kuboresha.mfumo. wa. usambazaji. wa. dawa. na. vifaa. tiba.hadi.vituo.vya.kutolea.huduma.za.afya.kutoka.mikoa.kumi.mwaka.2012/13.hadi.Mikoa.yote.25.ya.Tanzania.Bara..Usambazaji.huo.umefanyika.katika. zahanati. 4,500,. vituo. vya. afya. 507,.hospitali. ngazi. ya. Halmashauri. 115,. hospitali.ngazi.za.mikoa.36,.hospitali.za.rufaa.za.kanda.4,. hospitali. maalum. 4,. hospitali. ya. Taifa. 1,.hospitali.za.jeshi.la.wananchi.2.na.hospitali.ya.jeshi.la.polisi.1..Aidha,.Bohari.ya.Dawa.imeweka.alama.maalum.GOT.katika.dawa.52.za.Serikali.ili. kuongeza.udhibiti.wa.dawa.kupotea..Katika.mwaka.2014/15.idadi.ya.dawa.zitakazowekewa.alama.maalum.zitakuwa.132.

99. Mheshimiwa Spika,. katika. kuimarisha.upatikanaji.wa.dawa.za.malaria,.Wizara.ilinunua.na.kusambaza.katika.vituo.vya.kutolea.huduma,.jumla. ya. dozi. 22,029,870. za. dawa. mseto. na.kipimo. cha. malaria. kinachotoa. majibu. haraka.(mRDT). 24,696,750.. Katika. mwaka. 2014/15,.Wizara.itanunua.na.kusambaza.dawa.mseto.za.malaria.dozi,.28,159,986.na.mRDT.16,996,683.katika.Sekta.ya.Umma.na.Sekta.Binafsi.

62

100. Mheshimiwa Spika, Wizara. ilisambaza. viti.maalum. kwa. ajili. ya. kutolea. huduma. za. afya.ya.kinywa.katika.kliniki.20.za.meno.ambazo.ni.Katoro,.Karumwa.na.Nzera. (Geita),.Kingolwira,.Kidodi. na. Gairo. (Morogoro),. Mjesani. na. Mnazi.(Tanga),. Pugu,. Rangi. Tatu. na. Tandale. (Dar.es. Salaam),. Nkwenda. na. Kayanga. (Kagera),.Kasaunga.na.Kiagata.(Mara).na.katika.hospitali.za. Ileje,. Mbozi. na. Mbarali. (Mbeya),. Mtakatifu.Raphael.(Tanga).na.Rubya.(Kagera).

101. Mheshimiwa Spika,.katika.kuboresha.mfumo.wa. upatikanaji. wa. dawa,. Bohari. ya. Dawa.imeshirikiana. na. Sekta. Binafsi. ili. kuhakikisha.kuwa.dawa.na.vifaa.tiba.vinapokosekana.katika.bohari.zake,.Mshitiri.wa.Sekta.Binafsi.anakuwa.tayari.kuwezesha.upatikanaji.wa.dawa.hizo.kwa.ajili.ya.vituo.vya.kutolea.huduma.za.afya.nchini..Katika.hatua.hiyo,.jumla.ya.Washitiri.binafsi.15.wamehusishwa.ndani.ya.mfumo.huo.kupitia.njia.ya.ushindani.kwa.kutumia.Sheria.ya.Manunuzi.ya.Umma.ya.mwaka.2011..Pia,.ndani.ya.Wizara.kimeanzishwa.Kitengo.maalum.cha.kusimamia.shehena.na.taarifa.za.dawa.na.kuweka.mfumo.ambao. utawezesha. kupatikana. kwa. taarifa.za. dawa. kwa. njia. ya. kielektroniki.. Wizara.imetoa. mafunzo. kwa. Watoa. Huduma. za. Afya.katika. Halmashauri. 117. nchini. ili. kuwajengea.uwezo.wa.kutumia.mfumo.huo.wa.kielekroniki.(Kiambatisho Na.8)..Halmashauri.88.zinaagiza.dawa.kwa.kutumia.mfumo.huo.wa.kielekroniki.

63

102. Mheshimiwa Spika,.katika.kuboresha.utunzaji.wa. dawa,. Wizara. kupitia. Bohari. ya. Dawa.inaendelea.na.ujenzi.wa.maghala. ya.kisasa. ya.kuhifadhi. dawa.. Hatua. za. ujenzi. ziliendelea.sanjari. na. kurejesha. zaidi. ya. mita. za. mraba.11,000. zilizokuwa. zimekodishwa. kwa. gharama.ya. zaidi. ya. Sh.. bilioni 1. kwa. mwaka. Katika.mwaka.2014/15,.Bohari. ya.Dawa. itakamilisha.ujenzi.wa.maghala.ya.kisasa.ya.kuhifadhia.dawa.kwa.zaidi.ya.mita.za.mraba.8,000.katika.mikoa.ya.Tanga,.Tabora,.Mtwara.na.Dar.es.Salaam.

103. Mheshimiwa Spika,.Wizara.iliandaa.mwongozo.wa. uteketezaji. wa. dawa,. vifaa. na. vifaa. tiba.vilivyoisha. muda. wa. matumizi. na. imeendelea.kusimamia.uteketezaji.wa.bidhaa.hizo.na.kutoa.mafunzo. kwa. wakufunzi. 30. kutoka. katika.Ofisi.ya.Mhakiki.Mali.wa.Serikali.na.wataalam.kutoka. Ofisi. za. Waganga. Wakuu. wa. Mikoa. na.Wilaya.. Wakufunzi. hao. wametoa. mafunzo. kwa.Halmashauri. zote. katika. mikoa. ya. Manyara,.Arusha,.Kilimanjaro.na.Tanga..Wizara.inaendelea.kuimarisha.mfumo.wa.kielektroniki.ili.kudhibiti.matumizi.ya.dawa.na.kupunguza.idadi.ya.dawa.zinazoweza. kuisha. muda. wake. zikiwa. katika.bohari.au.ghala.za.hospitali.mbalimbali.nchini..Vilevile,. Wizara. imechapisha. na. inaendelea.kusambaza.mwongozo.mpya.wa.matibabu.nchini.na.orodha.ya.dawa.muhimu..

104. Mheshimiwa Spika,. katika. mwaka. 2014/15,.Wizara. itaendelea. kushirikisha. Sekta. Binafsi.katika. kuwezesha. upatikanaji. wa. dawa. pale.

64

zinapokosekana. Bohari. ya. Dawa.. Hatua. hiyo.itaenda. sanjari. na. mkakati. wa. kuhusisha.Sekta. Binafsi. katika. kuanzisha. uzalishaji. wa.dawa. na. vifaa. tiba. na. kufanya. mabadiliko.katika. Sheria. iliyoianzisha. Bohari. ya. Dawa.kwa.ajili. ya.kufungua.milango. zaidi.kwa.sekta.binafsi..Utaratibu.wa.kimfumo.utaanzishwa.na.kuimarishwa. ili. kuhakikisha. sehemu. ya. fedha.zinazokusanywa. katika. vituo. vya. huduma.zinapelekwa.moja.kwa.moja.Bohari.ya.Dawa.ili.vituo.husika.vipatiwe.dawa.vifaa,.na.vifaa.tiba..Vilevile,. Wizara. itatoa. mafunzo. ya. kutumia.Mfumo.wa.taarifa.za.kielektroniki.za.dawa.kwa.Halmashauri.93.zilizobaki..Pia,.Waganga.Wakuu.wa. mikoa,. wilaya. na. wajumbe. wa. kamati. za.afya.watapata.mafunzo.ya.utumiaji.wa.takwimu.zitakazokusanywa..

UKAGUZI NA UHAKIKI WA UBORA WA HUDUMA ZA AFYA NA USTAWI WA JAMII

Uhakiki na Ukaguzi wa Ubora wa Huduma za Afya

105. Mheshimiwa Spika,. katika. mwaka. 2013/14,.Wizara.ilitoa.mafunzo.kwa.wajumbe.262.wa.Timu.za.Uendeshaji.Huduma.ya.Afya.za.Halmashauri.kutoka. Mikoa. sita. ya. Dar. es. Salaam,. Kigoma,.Rukwa,.Shinyanga,.Singida.na.Tabora.kuhusu.kukinga. na. kudhibiti. maambukizi.. Lengo.lilikuwa. kuzijengea. uwezo. timu. hizi. ili. ziweze.kusimamia. viwango. vya. kukinga. na. kudhibiti.

65

maambukizi. wakati. wa. kutoa. huduma. za. afya.katika.Halmashauri.zao..Katika.mwaka.2014/15,.mafunzo.hayo.yatatolewa.kwa.wajumbe.500.wa.Timu.za.Uendeshaji.Huduma.ya.Afya.za.Mikoa.na.Halmashauri,.Timu.za.Menejimenti.za.Hospitali.za.Rufaa.za.Mikoa.na.Timu.za.Uimarishaji.Ubora.za. hospitali. za. Mikoa. kutoka. mikoa. minne. ya.Geita,.Katavi,.Njombe.na.Simiyu..Aidha,.Wizara.itafanya. usimamizi. shirikishi. katika. hospitali.50. zilizopata.mafunzo.ya.kukinga.na.kudhibiti.maambukizi.

106. Mheshimiwa Spika,.Wizara.imeanza.kutekeleza.utaratibu.wa.kutoa.ithibati.kwa.vituo.vya.kutolea.huduma.za.afya.nchini.ambapo.vituo.vinapewa.vyeti.kulingana.na.hatua.ya.utekelezaji.iliyofikiwa.kuhusu.ubora.wa.huduma..Hadi.sasa.vituo.151.vimefanyiwa.tathmini.ya.awali.na.wataalam.wa.afya.58.wamepata.mafunzo.ya.kuwa.wawezeshaji.na.10.kati.yao.wamefikia.hatua.ya.wathamini..Aidha,.Wizara.imechapisha.na.kusambaza.nakala.1,200.za.Mpango.Mkakati.wa.Uimarishaji.wa.Ubora.wa.Huduma.za.Afya.na.Ustawi.wa.Jamii.Nchini.(2013.–.2018)..Vilevile,.mafunzo.yametolewa.kwa.watoa. huduma. 200. kuhusu. utoaji. salama. wa.damu,.yenye.lengo.la.kuimarisha.utoaji.salama.wa. damu. na. kuhakikisha. kuwa. sampuli. za.damu.zinakidhi.viwango.vya.kitaifa.na.kimataifa..Watoa. huduma. hao. walitoka. katika. hospitali.10. za. Bugando,. Mbeya. Rufaa,. KCMC,. Taasisi.ya. Mifupa. Muhimbili. na. Hospitali. za. Rufaa. za.Mikoa.ya.Lindi,.Tanga,.Tabora,.Singida,.Amana.

66

na.Iringa..Katika.mwaka.2014/15,.Wizara.itatoa.mafunzo.kwa.wataalam.500.kutoka.hospitali.hizo..Aidha,.Wizara. itaendelea.kupanua. shughuli. za.utoaji.cheti.wa.hatua.kwa.hatua.katika.hospitali.zilizopo. katika. mikoa. ya. Ruvuma,. Njombe. na.Iringa..

107. Mheshimiwa Spika,. Wizara. ilitoa. . mafunzo.ya. uongozi. kwa. wauguzi. viongozi. 47. kutoka.Hospitali.ya.Taifa.Muhimbili,.Hospitali.ya.Rufaa.Mbeya,.Mtwara,.KCMC,.Aga.Khan,.Kibaha,.Vyuo.vya. Mafunzo. ya. Uuguzi,. Baraza. la. Wauguzi.na. Chama. cha. Wauguzi.. Katika. mwaka.2014/15,.Wizara. itaendelea.kufuatilia.huduma.zinazotolewa. na. Wauguzi. pamoja. na. Wakunga.ili.kutathmini.ubora.wa.huduma.hizo.kulingana.na. miongozo. ya. utoaji. huduma. katika. mikoa.minane.ya.Dodoma,.Njombe,.Katavi,.Shinyanga,.Mwanza,.Mara,.Kagera.na.Dar.es.Salaam..

108. Mheshimiwa Spika,.Wizara.ilitathmini.utayari.wa. kukabiliana. na. dharura. na. maafa. katika.mikoa. ya. Pwani,. Arusha,. Kilimanjaro,. Mtwara.na. Mara. na. kuangalia. utayari. wa. hospitali.30. katika. kutoa. huduma. za. dharura.. Aidha,.Wizara. imeandaa. mwongozo. wa. sekta. ya. afya.wa. utoaji. huduma. za. dharura. kwa. majeruhi.wengi.na.kutoa.mafunzo.kuhusu.huduma.hiyo..kwa. wataalam. wa. afya. 52. kutoka. mikoa. ya.Mwanza,. Shinyanga,. Mara. na. Kagera.. Katika.mwaka.2014/15,.Wizara.itatathmini.utayari.wa.kukabiliana.na..dharura.katika.mikoa.ya.Mbeya,.Dodoma,. Mwanza,. Kagera. na. Shinyanga.. Pia,.

67

Wizara.itachapisha.na.kusambaza.miongozo.ya.Sekta.ya.Afya.ya.utoaji.wa.huduma.za.dharura.nchini..na.kutoa.mafunzo.kwa.timu.za.dharura.za.mikoa..

109. Mheshimiwa Spika,. Wizara. ilikagua. vituo.95. vya. kutolea. huduma. za. Radiolojia. katika.mkoa.wa.Dar.es.Salaam..Matokeo.yameonesha.kuwa.vituo.vyote.vina.mashine.na.vitendea.kazi.na. wataalam. ambao. hawatoshelezi. mahitaji.hususan. madaktari. bingwa-radiolojia.. Aidha,.Wizara. ilifanya.ukaguzi.katika.hospitali.binafsi.na. za. umma. katika. Mikoa. ya. Lindi,. Mtwara,.Manyara,.Kagera,.Katavi,.Njombe,.Iringa,.Pwani,.Singida,. Arusha,. Mwanza. na. Kigoma.. Vilevile,.Wizara. ilifanya.ukaguzi.wa.hospitali. ya.Nkinga.katika. mkoa. wa. Tabora. na. kuipandisha. hadhi.kuwa. hospitali. ya. mafunzo. kwa. vitendo. kwa.Madaktari. hivyo. kufanya. idadi. ya. vituo. vya.mafunzo.kwa.vitendo.kufikia.20..

110. Mheshimiwa Spika,.Wizara..ilikagua..maabara.binafsi. za. afya. 71. na. maduka. ya. kuuza. vifaa.vya. maabara. (25). katika. mikoa. ya. Shinyanga.(maabara. 5,. duka. 1),. Ruvuma. (maabara. 22),.Iringa.(maabara.16,..duka.1),..Singida.(maabara..4),.Tanga.(maabara.19),.Mwanza.(maabara.5,.duka.1).na.Ilala.(.maduka.22)..Aidha,.Wizara.ilikagua..vifaa.vya.maabara.za.afya.vinavyoingizwa.nchini.katika. Viwanja. vya. ndege,. Bandari. na. mipaka.ya.nchi.katika.mikoa.ya.Dar.es.Salaam,.Mtwara,.Lindi,.Kigoma,.Mwanza,.Ruvuma,.Mbeya,.Mara,.Arusha,. Kilimanjaro. na. Tanga.. Ukaguzi. huo.

68

ulibainisha. kuwa. baadhi. ya. maabara. hazina.wataalam. wenye. sifa,. hazijasajiliwa,. zinatoa.huduma.ya.kupima.vipimo.vilivyozidi.uwezo.wa.maabara.zao.na.nyingine.vyumba.vya.maabara.havikidhi. viwango.. Sababu. hizo. zilisababisha.maabara.12.kufungiwa.kutoa.huduma..Maabara.hizo.ni.kutoka.mikoa.ya.Shinyanga.(1),.Ruvuma.(5),.Iringa.(3).na.Tanga.(3).

Udhibiti wa Ubora wa Taaluma za Afya na Vituo vya Kutolea Huduma za Afya

111. Mheshimiwa Spika,. Wizara. kwa. kupitia.Mabaraza. ya. Taaluma. ilisimamia. maadili. na.kusajili.wataalam.waliokidhi.viwango.vya.kutoa.huduma.za.afya.nchini..Hadi.kufikia.mwezi.Mei,.2014,. jumla. ya. wataalam. 5,927 walisajiliwa.kupitia.mabaraza.yao.ya.kitaaluma.(Kiambatisho Na.9)..Mabaraza.hayo.ni.pamoja.na.madaktari.na. madaktari. wa. meno,. wauguzi. na. wakunga,.wafamasia,.maabara,.upeo.wa.macho.kuona.na.afya.ya.mazingira...

112. Mheshimiwa Spika,.Wizara.ilisajili.vituo.binafsi.vya.kutolea.huduma.za.afya.184,.vituo.vya.tiba.asili.na.tiba.mbadala.22,.maabara.binafsi.za.afya.85,.makampuni.20.yanayoagiza.na.kuuza.vifaa.na.vitendanishi.vya.maabara.za.afya..Aidha,.Wizara.imeanza. kusajili. Taasisi. zinazotoa. huduma. za.Afya.Mazingira.katika.Halmashauri.zote.nchini.kwa.lengo.la.kuinua.kiwango.cha.usafi.kwa.jamii.

69

katika.miji,.manispaa.na.majiji..Vilevile,.Wizara.kupitia.Baraza.la.Famasi,.ilisajili.maduka.mapya.ya.dawa.muhimu.5,757.baada.ya.kukidhi.vigezo...Aidha,. Baraza. . lilitoa. mafunzo. ya. watoa. dawa.15,800. ili. kuwajengea. uwezo. wa. kutekeleza.majukumu.yao.kwa.kuzingatia.sheria..

113. Mheshimiwa Spika,.maombi..2,273..ya.kusajili.chakula,. 1,496. dawa,. 764. vipodozi,. 198. vifaa.tiba. na. 18. majaribio. ya. dawa. yalipokelewa. na.kutathminiwa. na. Mamlaka. ya. Udhibiti. wa.Chakula.na.Dawa.Nchini.(TFDA)...Kati.ya.maombi.hayo,. maombi. 2,928. yaliidhinishwa. na. hivyo.bidhaa.husika.kuruhusiwa.kuuzwa.nchini..

114. Mheshimiwa Spika, Wizara. iliteua. wakaguzi.120.ili.kukagua.maduka.ya.dawa.na.kuhakikisha.kuwa.maduka.hayo.yanaendeshwa.kwa.kufuata.sheria. na. miongozo. iliyowekwa. na. kutoa.huduma. iliyo. bora. kwa. wananchi.. Aidha,.Wizara.imetoa.mafunzo.yakinifu.ya.ukaguzi.wa.dawa. kwa. wakaguzi. 80. wa. mikoa. ya. Dodoma,.Singida,. Tabora,. Iringa,. Pwani,. Morogoro. na.Dar. es. Salaam.. Vilevile,. Wizara. imeandaa. na.kutengeneza. kanuni,. miongozo,. taratibu. na.maandiko.mbalimbali.na.kuunda.mitaala. (NTA level 4-6). kwa. ajili. ya. mafunzo. ya. taaluma. ya.Famasi.ili.kuhakikisha.kuwa.wanafunzi.husika.wanapata. ujuzi. na. uwezo. unaohitajika.. Pia,.Wizara.imekagua.na.kupitisha.vyuo.vitatu.kwa.ajili.ya.kutoa.shahada.ya.Famasi,.vinne.kwa.ajili.ya.stashahada,.sita.vya.cheti.katika.Famasi.na.sita.cheti.katika.taaluma.ya.ugawaji.wa.dawa..

70

115. Mheshimiwa Spika,. katika. mwaka. 2014/15,.Wizara. itapitia. Sheria. ya. Uongozi. wa. Hospitali.za. Watu. Binafsi. ya. mwaka. 1977. na. Sheria. ya.Uratibu.wa.Maabara.Binafsi.za.Afya.ya.mwaka.1997..Baraza.la.Madaktari.litaandaa.mwongozo.wa. mafunzo. kwa. vitendo. pamoja. na. kupitia.upya.mwongozo.wa.mwenendo.wa.maadili.kwa.madaktari..Aidha,.Baraza. la.Tiba.Asili. na.Tiba.Mbadala.litatoa.mafunzo.kwa..waganga..wa.Tiba.Asili.na.Tiba.Mbadala.kuhusu.lishe.bora,.usafi.na. kuzuia. maambukizi. ya. magonjwa.. Katika.mwaka. 2014/15,. Baraza. litatoa. mafunzo. kwa..waratibu. . wa. tiba. asili. na. tiba. mbadala. katika.mikoa. na. Halmashauri. mpya. kuhusu. miiko,.maadili.na.mienendo.ya.waganga.wa.tiba.asili.na.tiba.mbadala.na.taratibu..za..usajili.

116. Mheshimiwa Spika,.naomba.nichukue.nafasi.hii.kuwasihi.wataalam.wa.tiba.asili.na.tiba.mbadala.kuacha.mara.moja.kujitangaza.kuwa.na.uwezo.wa.kutoa.tiba.dhidi.ya.ugonjwa.wowote.ule.ambao.uwezo. huo. haujathibitishwa. kitaalam.. Hilo. ni.kosa.kwa.mujibu.wa.sheria.iliyoanzisha.tiba.asili.na. tiba.mbadala..Yapo.matangazo.yanayohusu.kuwa. na. uwezo. wa. kutibu. UKIMWI,. kisukari.na. shinikizo. la. damu.. Kwa. mujibu. wa. sheria.ya.Tiba.Asili.na.Tiba.Mbadala.matangazo.hayo.yaondolewe.mara.moja..Wizara.itatoa.mwongozo.na.taratibu.zinazopaswa.kufuatwa.ili.dawa.husika.zithibitishwe.kitaalam.Napenda.kuchukua.fursa.hii.kuagiza.vyombo.husika.vya.serikali.vifuatilie.kwa.karibu.na.kuchukua.hatua.kwa.mujibu.wa.

71

sheria.kwa.wale.wote.watakaoenda.kinyume.na.sheria..

117. Mheshimiwa Spika,..katika.kutekeleza.Mpango.Mkakati. wa. Tatu. wa. Sekta. ya. Afya. wa. mwaka.2009.–.2015,.wajumbe.85.kutoka.vyama.16.vya.Tiba.Asili.walipata.elimu.kuhusu.sheria,.kanuni,.miongozo.na.namna.bora.ya.kutoa.huduma.ya.tiba. asili.. Pia,. elimu. ilitolewa. kwa. wananchi.kupitia. vyombo. vya. habari. juu. ya. kuzingatia.sheria,.kanuni.na.miongozo.ya.tiba.asili.na.tiba.mbadala..

118. Mheshimiwa Spika,. kutokana. na. ongezeko.la. huduma. za. tiba. asili. na. tiba. mbadala.hasa. katika. maeneo. ya. mijini,. katika. mwaka.2014/15,. Wizara. itafanya. ukaguzi. elekezi. juu.ya. matangazo. yanayofaa. na. yasiyofaa. ya. tiba.asili.na.tiba.mbadala.katika.majiji.ya.Mwanza,.Arusha,.Tanga,.Mbeya.na.Dar.es.Salaam..Aidha,.itaendelea.kukamilisha.Mpango.mkakati.pamoja.na.kuelimisha. jamii.kuhusu.sheria,.kanuni.na.miongozo.mbalimbali.ya.tiba.asili.na.mbadala..

119. Mheshimiwa Spika,. Wizara. imeandaa.mapendekezo. ya. marekebisho. ya. . Sheria.mbalimbali.na.kuwasilisha.Ofisi.ya.Mwanasheria.Mkuu.wa.Serikali.kwa.ushauri..Sheria.hizo.ni:

i.. Sheria.ya.Chakula,.Dawa.na.Vipodozi,.Na..1.ya..2003;

ii.. Sheria.ya.Idara.ya.Bohari.ya.Dawa.Na..13.ya.mwaka.1993;

iii.. Sheria.ya..Mfuko.wa.Taifa.wa.Bima.ya.Afya.

72

Na..8.ya.mwaka.1999;

iv.. Sheria. ya. Hospitali. . ya. Taifa. ya. Muhimbili..Namba.5.ya.Mwaka.2000;

v.. Sheria. ya. Maabara. Binafsi,. . Namba. . 10. ya.Mwaka.1997;.na.

vi.. Sheria.ya.Chuo.cha.Ustawi.wa.Jamii.Namba.26.ya.Mwaka.1973.

Pamoja. na. marekebisho. ya. sheria. hizo,. Wizara.kwa.kushirikiana.na.Ofisi.ya.Mwanasheria.Mkuu.wa. Serikali. pia. itakamilisha. Kanuni. ya. Afya.Akili,.2013;.Kanuni.ya.Kusimamia.na.Kudhibiti.Maambukizi. ya. UKIMWI,. 2013;. na. Kanuni. ya.Kudhibiti.Matumizi.ya.Bidhaa.za.Tumbaku,.2013.

120. Mheshimiwa Spika, Wizara. iliandaa. kanuni.za.Sheria. ya.Mtoto.Na.. 21. ya.mwaka.2009.na.kutangazwa. katika. gazeti. la. Serikali. Na.. 151.hadi.155.la.tarehe.04.Mei,.2012.na.195.hadi.197.la.tarehe.03.Mei,.2012..Kanuni.hizo.ni.Kanuni.ya.Makao.ya.Watoto,.Ufundi.Stadi,.Kuasili,.Malezi.ya.Kambo.na.Mahabusi.za.Watoto..Aidha,.Kanuni.ya.Shule.ya.Maadilisho,.Vituo.vya.Kulelea.Watoto.Wadogo. Mchana. na. Wachanga. na. Kanuni. ya.Ulinzi. na. Usalama. wa. Mtoto. zimekamilika. na.kuwasilishwa. kwenye. mamlaka. husika.. Katika.mwaka.2014/15,.Wizara.itakamilisha.kanuni.za.kamati.ya.ustawi.wa.jamii.kwenye.mahabusi.za.watoto..

73

HUDUMA ZA USTAWI WA JAMII

121. Mheshimiwa Spika, Wizara.iliendelea.kuratibu,.kutoa.na.kusimamia.huduma.za.ustawi.wa.jamii.kwa.makundi.maalum.ambayo.ni.wazee,.watu.wenye. ulemavu,. watoto. walio. katika. mazingira.hatarishi,. watoto. walio. katika. mkinzano. na.sheria,.familia.zenye.migogoro.ya.ndoa.na.familia.zenye.dhiki...Aidha,.ilianza.kutekeleza.mkakati.wa. kuboresha. rasilimali. watu. ya. wataalam. wa.ustawi. wa. jamii. kwa. kuanzisha. kitengo. cha.mafunzo.na.maendeleo.ya.watumishi.

Huduma kwa Wazee na Watu Wenye Ulemavu

122. Mheshimiwa Spika, Serikali.imeendelea.kutoa.huduma. kwa. watu. wenye. ulemavu. kwa. lengo.la. kuwawezesha. kujiajiri. na. kuajiriwa.. Hivyo,.Wizara. ilihakikisha. kwamba. vyuo. vya. watu.wenye.ulemavu.vya.Yombo..na.Singida.vinatoa.mafunzo.ya.stadi.za.kazi.kwa.wanafunzi.wenye.ulemavu.wa.aina.mbalimbali..Jumla.ya.wanafunzi.190.wakiwemo.wanawake.80.na.wanaume.110.wamepata. mafunzo. hayo.. Aidha,. Chuo. cha.Luanzari. Mkoa. wa. Tabora. kimekarabatiwa. na.kinatarajiwa. kuanza. kutoa. huduma. katika.mwaka. wa. fedha. 2014/15.. Vilevile,. katika.mwaka.2014/15,.vyuo.hivyo.vitadahili.jumla.ya.wanafunzi.watarajali.240..

123. Mheshimiwa Spika,. Serikali. pia,. iliendelea.kutoa. huduma. za. msingi. za. chakula,. malazi,.mavazi.na.matibabu.kwa.wazee.na.watu.wenye.

74

ulemavu.wasiojiweza.1,235.wakiwemo.wanaume.628. na. wanawake. 607,. wanaotunzwa. na.kulelewa. katika. makazi. 17. ya. Serikali.. Aidha,.Wizara. iliratibu. huduma. za. matunzo. katika.makazi.24.yanayoendeshwa.na.mashirika.yasiyo.ya.kiserikali...

124. Mheshimiwa Spika, napenda.kuchukua.fursa.hii.kuwakumbusha.wananchi.pamoja.na.Waheshimiwa.Wabunge. kwamba. kwa. mujibu. wa. Sera. ya. Taifa.ya.Wazee.(2003).na.Sera.ya.Taifa.ya.Huduma.na.Maendeleo. kwa. Watu. Wenye. Ulemavu. (2004),.matunzo. ya. wazee. na. watu. wenye. ulemavu.wasiojiweza. ni. jukumu. la. familia. na. jamii...Matunzo.katika.taasisi.zilizo.rasmi.ni.hatua.ya.mwisho.pale.ambapo.itathibitika.kuwa.mhusika.hana. kabisa. ndugu. wa. kumtunza. katika. jamii.yake..

125. Mheshimiwa Spika,. katika. kutekeleza. Sheria.Na..9.ya.mwaka.2010.ya.Watu.Wenye.Ulemavu,.Wizara. imeunda. Baraza. na. Mfuko. wa. Taifa.wa.Huduma.kwa.Watu.wenye.Ulemavu.. Lengo.ni. kuwajengea. uwezo. na. kuongeza. ushiriki.kwa. watu. wenye. ulemavu. katika. kuzifikia.fursa. na. haki. za. maendeleo. na. kuimarisha.utawala.bora.. .Katika.mwaka.2014/15,.Wizara.itaendelea.kuziongezea.uwezo.Halmashauri.kwa.kuhakikisha. kuwa. majukumu. ya. ustawi. wa.jamii.yanajumuishwa.katika.Mipango.Kabambe.ya.Afya.ya.Halmashauri.na.kuboresha.huduma.kwa.makundi.ya.watu.wenye.ulemavu.na.wazee.wasiojiweza..

75

Huduma za Ustawi wa Familia, Watoto, Malezi na Maendeleo ya Awali ya Watoto Wadogo

126. Mheshimiwa Spika, Wizara...imesambaza..Mpango.Kazi. wa. Taifa. wa. Huduma. za. Malezi,. Matunzo.na. Ulinzi. kwa. Watoto. walio. katika. Mazingira.Hatarishi. (2013-2017). na. kutoa. mafunzo. kwa.Asasi.104.na.Halmashauri.zote.za.Mikoa.ya.Dar.es. Salaam,. Morogoro. na. Pwani.. Aidha, Wizara.imefanya. utambuzi. wa. watoto. walio. katika.mazingira.hatarishi.katika.Halmashauri.za.Rufiji,.Kilosa,. Ulanga,. Mvomero. na. Tunduru. ambapo.watoto.13,628.walitambuliwa.na.kufanya.jumla.ya.watoto.waliotambuliwa.na.kupatiwa.huduma.za. msingi. kuwa. 894,519. katika. Halmashauri.111.zilizofanyiwa.utambuzi..Katika.kuhakikisha.kwamba.mfumo.wa.ulinzi.na.usalama.wa.mtoto.unaimarishwa,. Wizara. imeendelea. kufanya.ufuatiliaji. katika. Halmashauri. za. Wilaya. ya.Hai,. Magu,. Bukoba,. Kasulu,. Musoma,. Ilemela.na. Manispaa. za. Ilala,. Temeke,. Nyamagana. na.Kinondoni.zinazotekeleza.mfumo.huo.. .Vilevile,.mfumo. huo. umeanzishwa. katika. Halmashauri.za.Wilaya.ya.Mufindi,.Mbeya,.Makete,.Mkuranga.na.Mbarali..Pia,.mafunzo.ya.ulinzi.na.usalama.wa. mtoto. yametolewa. kwa. Maafisa. Ustawi. wa.Jamii.75.na.timu.tisa.za.ulinzi.na.usalama.ngazi.ya.Halmashauri.katika.Halmashauri.zote.zenye.mifumo.ya.ulinzi.na.usalama.wa.mtoto.

127. Mheshimiwa Spika, Wizara. imetoa. msaada.wa. Rais. kwa. wanawake. 27. waliojifungua.watoto. zaidi. ya. wawili. kwa. wakati. mmoja..

76

Aidha,. ilipokea.maombi. 85. ya.kutoa.malezi. ya.kambo. na. kuasili.. Kati. ya. hayo,. maombi. 20.yalikubaliwa.baada.ya.kukidhi.vigezo.na.maombi.65.yanaendelea.kufanyiwa.kazi..Vilevile,.Baraza.la.Usuluhishi.wa.Ndoa.la.Kamishna.wa.Ustawi.wa. Jamii. . lilipokea. jumla. ya. mashauri. 160. ya.ndoa.zenye.mifarakano.na.migogoro,.mashauri.55.yalisuluhishwa,.40.yalipelekwa.mahakamani.kwa.hatua.zaidi.za.kisheria.na.65.yanaendelea.kusikilizwa..Pia, mafunzo.ya.kuwajengea.uwezo.walezi. 720. wanaotoa. huduma. katika. makao.ya. watoto. na. vituo. vya. kulelea. watoto. wadogo.mchana.yalitolewa..

128. Mheshimiwa Spika,. katika. mwaka. 2014/15, Wizara. itaanzisha. na. kuimarisha. . mifumo. ya.ulinzi.na.usalama.katika.Halmashauri.za.Wilaya.10.za.Muleba,.Karatu,.Monduli,.Same,.Bagamoyo,.Shinyanga,. Kibaha,. Kisarawe,. Kahama. na. Jiji.la.Arusha.na.kuendesha.mafunzo.kwa.timu.za.ulinzi.na.usalama.wa.mtoto.na.maafisa.ustawi.wa.jamii..Vilevile,.itasambaza.na.kutoa.mafunzo.kwa. watendaji. wakuu. katika. Halmashauri.40. kuhusu.Mpango.Kazi.wa.Kitaifa.wa.Pili.wa.Huduma. kwa. Watoto. walio. katika. Mazingira.Hatarishi.-.2013-2017,.Sheria.ya.Mtoto.Na..21.ya.2009.na.kanuni.zake..Pia,.ukaguzi.utafanyika.katika.makao.30.ya.kulelea.watoto.walio.katika.mazingira.hatarishi.

77

Huduma za Haki za Mtoto na Marekebisho ya Tabia

129. Mheshimiwa Spika, Wizara. ilitoa. hifadhi,.matunzo. na. marekebisho. ya. tabia. kwa. watoto.617.waliokinzana.na.sheria.katika.mahabusi.za..Mbeya,.Tanga,.Dar.es.Salaam,.Moshi,.Arusha.na.Shule.ya.Maadilisho.Irambo..Katika.kukabiliana.na tatizo. la. watoto. wanaoishi. na. kufanya. kazi.mitaani,.Wizara.iliwaondoa.watoto.222.katika.jiji.la.Dar.es.Salaam.na.kuwaunganisha.na.familia.zao. sehemu. mbalimbali. nchini.. Wizara. pia,.iliratibu. utekelezaji. wa. mradi. wa. majaribio. wa.marekebisho. ya. tabia. kwa. awamu. ya. pili. kwa.watoto.111.walio.katika.mkinzano.na.sheria.na.walio.hatarini.kuingia.katika.mkinzano.na.sheria,.katika.Manispaa.ya.Temeke...Lengo.la.mradi.ni.kuwachepua.watoto.hao.wasiingie.katika.mfumo.rasmi.wa.sheria...

130. Mheshimiwa Spika, katika. mwaka. 2014/15,.Wizara. itasimamia. na. kuratibu. huduma.zitolewazo. kwa. watoto. walio. katika. mkinzano.na. sheria. kwa. kuzingatia. viwango. vya. ubora.vilivyoainishwa.. Wizara. itatoa. mafunzo. kwa.watumishi.165.kutoka.Halmashauri.ya.Manispaa.ya.Temeke,.Ilala.na.Kinondoni.na.mahabusi.za.watoto.za.Mbeya,.Tanga,.Dar.es.Salaam,.Arusha,.Moshi.na.Shule.ya.maadilisho.Irambo.ili.watoe.huduma.bora.na.kwa.ufanisi.kwa.watoto.walio.katika.mkinzano.na.sheria..

78

UDHIBITI WA KEMIKALI NCHINI

131. Mheshimiwa Spika,. Wakala. wa. Maabara. ya.Mkemia. Mkuu. wa. Serikali. ilipokea. sampuli.3,438.za.vyakula,.dawa,.kemikali,.maji.na.maji.taka,.bidhaa.za.viwandani.na.mazingira..Kati.ya.hizo,.sampuli.2,190.zilichunguzwa.na.kutolewa.matokeo.ambayo.ni.sawa.na.asilimia.63.7..Aidha,.Wakala. ulipokea. sampuli. 7,798. zinazohusiana.na.makosa.ya.jinai.na.matatizo.ya.kijamii..Kati.ya.hizo,.sampuli.6,166.zilichunguzwa.na.kutolewa.matokeo.ambayo.ni.sawa.na.asilimia.79..Katika.mwaka.2014/15,..utaimarisha.utoaji.huduma.za.uchunguzi. wa. sampuli. na. vielelezo. mbalimbali.na.kutoa.matokeo.kwa.wakati. ili.kulinda.afya,.mazingira.na.utoaji.haki.kwa.kuzipatia.maabara.zilizo.katika.kanda.mashine.za.kisasa,.vifaa.na.vitendanishi.vya.kutosha...

132. Mheshimiwa Spika,. Wakala. wa. Maabara. ya.Mkemia. Mkuu. wa. Serikali. iliendesha. semina.kwa.washiriki.130.ambao.walikuwa.ni.waandishi.wa.habari.na.wawakilishi.kutoka.Ofisi.ya.Rais,.Asasi. zisizo. za. Serikali,. waendesha. mashtaka,.maofisa. upelelezi. na. polisi. kuhusu. Sheria. ya.Usimamizi.wa.Vinasaba.vya.Binadamu.Sura.ya.73.. Lengo. lilikuwa. ni. kuwaelimisha. kuzingatia.taratibu. za. uchukuaji,. ufungaji,. uhifadhi. na.usafirishaji.wa.sampuli.au.vielelezo.vinavyohitaji.uchunguzi. wa. vinasaba. vya. binadamu.. Pia,.kuhusu. Sheria. ya. Udhibiti. wa. Kemikali. Na..3. ya. mwaka. 2003. ilitolewa. kwa. washiriki. 386.wakiwemo. Waheshimiwa. Wabunge,. waandishi.

79

wa.habari,.Asasi.zisizo.za.Kiserikali,.wanafunzi.wa.shule.za.msingi.na.wanafunzi.wa.Chuo.Kikuu.cha.Dar.es.Salaam.

133. Mheshimiwa Spika,. Wakala. wa. Maabara. ya.Mkemia.Mkuu.wa.Serikali.pia.ilikagua.maabara.za.taasisi.58.katika.mikoa.ya.Mwanza,.Arusha,.Kilimanjaro,. Tanga,. Morogoro,. Dodoma. na.Mbeya.ili.kubaini.iwapo.zinatumia.teknolojia.ya.vinasaba. vya. binadamu. katika. kazi. zake.. Nia.ya.ukaguzi.huu.ni.kuzitambua.na.kuzisajili.na.baadaye.kuweza.kufuatilia.utekelezaji.wa.Sheria.ya.vinasaba.katika.maabara.hizo.(Kiambatisho Na. 10).. Aidha,. vituo. 20. vya. mipakani. vina-vyotumika. kuingizia. na. kutolea. mizigo. ya.kemikali. nchini. vilikaguliwa.. Vituo. hivyo.vinajumuisha. Horohoro,. Kasumulu,. Tunduma,.Kasanga,. Kasyesya,. . Sirari,. Namanga,. Holili,.Tarakea,.Mtukula,.Lusumo,.Kabanga,.Kasanga,..Mosi,.kituo..cha.bandari.ya.Dar.es.Salaam,.Tanga.na.bandari.kavu.ya.Isaka.na.viwanja.vya.ndege.vya.Julius.Nyerere,.Kilimanjaro.na.Songwe.

134. Mheshimiwa Spika,.ili.kubainisha.aina.za.sumu.zinazotumika.kwenye.matukio.ya.uhalifu,.Wakala.ulianzisha. kituo. cha. kudhibiti. na. kuhifadhi.takwimu.za.aina.za.sumu.zipatikanazo.maeneo.mbalimbali. nchini. kilichopo. Dar. es. Salaam. Katika. mwaka. 2014/15,. Wakala. utasimamia.mradi. wa. kitaifa. wa. kuzuia. na. kudhibiti. ajali.zinazohusisha. kemikali. ili. kuepusha. madhara..kwa. binadamu. na. uharibifu. wa. mazingira. na.mali..

80

UDHIBITI WA UBORA WA CHAKULA NA DAWA

135. Mheshimiwa Spika, Wizara.kupitia.Mamlaka.ya.Chakula.na.Dawa.iliendelea.kudhibiti..usalama..na. . ubora. . wa. . bidhaa. . . za. chakula,. . dawa,..vipodozi..na..vifaa..tiba..kwa..kukagua.maeneo..5,321.yanayojihusisha.na.uzalishaji.na.uuzaji.wa.bidhaa.hizo..Maeneo.yaliyokaguliwa.ni.pamoja.na;.maeneo.ya.kusindika.na.kuuzia.chakula.3,066,.maduka. ya. dawa. 1,701,. maduka. ya. vipodozi.516.na.maduka.ya.vifaa.tiba.38..Kati.ya.maeneo.5,321. yaliyokaguliwa,. maeneo. 4,450. yalikidhi.vigezo. sawa. na. asilimia. 84.. Maeneo. ambayo.hayakukidhi. matakwa. ya. sheria. yalielekezwa.kufanya. marekibisho. husika. ndani. ya. muda.maalum.. Aidha,. katika. ukaguzi. huo,. Mamlaka.ilibaini. na. kuteketeza. bidhaa. ambazo. hazifai.kwa.matumizi.ya.binadamu;.tani.132.za.chakula.zenye.thamani.ya.Sh..117,138,075.00,.tani.137.za.dawa.zenye.thamani.ya.Sh..239,503,007.00.na. tani.4.83. za. vipodozi. zenye. thamani. ya.Sh..52,740,456.00.. .Vilevile,.Mamlaka.ilichunguza.sampuli. 1,848. ambapo. 1,071. zilikuwa. za.dawa,.723.za.chakula.na.54.za.vifaa.tiba..Kati.ya. sampuli. zilizochunguzwa,. sampuli. 1,781.zilikidhi.viwango.sawa.na.asilimia.96.4..Bidhaa.zilizoshindwa.kukidhi.vigezo.ziliondolewa.sokoni.na.baadhi.zilikataliwa.au.kufutiwa.usajili.

136. Mheshimiwa Spika, Mamlaka. pia. ilitoa. vibali.mbalimbali.vya.kuingiza.nchini;.chakula.(3,672),.dawa.(1,611),.vipodozi.(5,776).na..vifaa.tiba.(740)..Mamlaka. ilipokea. na. kutathmini. taarifa. 477.za. madhara. yanayohusishwa. na. matumizi. ya.

81

kawaida.ya.dawa.na.201.kutokana.na.majaribio.ya.dawa.ambapo.ilibainika.kwamba.hapakuwa.na.mahusiano.ya.moja.kwa.moja.ya.madhara.hayo.na.dawa.zilizotumiwa.. .Aidha,.Mamlaka.katika.kuelimisha. jamii. kuhusu. matumizi. sahihi. na.udhibiti.wa.masuala.ya..chakula,.dawa,.vipodozi.na.vifaa.tiba..iliandaa.na.kurusha.vipindi.18.vya.radio.na.11.vya.TV,.taarifa.kwa.umma.12...na..ilifanya. mikutano. 5. na. waandishi. wa. habari..Vilevile,. jumla. ya. watumishi. 40. walihudhuria.mafunzo. ndani. na. nje. ya. nchi. ili. kuwajengea.uwezo.wa.kukabiliana.na.changamoto.za.udhibiti.wa.chakula,.dawa,.vipodozi.na.vifaa.tiba...

137. Mheshimiwa Spika,. katika. mwaka. 2014/15,.Mamlaka. itaendelea. kushirikiana. na. Ofisi.ya. Waziri. Mkuu. -. TAMISEMI. katika. kudhibiti.usalama.na.ubora.wa.bidhaa..za.chakula,.dawa,.vipodozi. na. vifaa. tiba. kwa. kukagua. maeneo.yanayojihusisha. na. uzalishaji. na. uuzaji. wa.bidhaa..hizo..Aidha,.Mamlaka.itasajili,.itadhibiti.uingizaji. nchini. na. kufanya. uchunguzi. wa.kimaabara. kujiridhisha. na. usalama. na. ubora.wa.bidhaa.hizo.ili.kulinda.afya.za.walaji..Vilevile,.itatoa. . elimu. . kwa. jamii. kuhusu. . ubora. . na..usalama..wa.bidhaa.za.chakula,.dawa,.vipodozi.na. vifaa. tiba. na. kufuatilia. taarifa. za. athari.zinazotokana.na.matumizi.ya.bidhaa.hizo..Pia,.itaanza. ujenzi. wa. maabara. na. Ofisi. ya. Kanda.ya.Ziwa.katika. jiji. la.Mwanza..Kukamilika.kwa.ujenzi. huo.kutaimarisha.utoaji.wa.huduma. za.udhibiti.wa.ubora,.usalama.na.ufanisi.wa.bidhaa.za.chakula,.dawa,.vipodozi.na.vifaa.tiba.nchini.

82

UTAFITI WA MAGONJWA YA BINADAMU

138. Mheshimiwa Spika, Taasisi. ya. Utafiti. wa.Magonjwa. ya. Binadamu. ilifanya. ufuatiliaji.kuhusu. njia. bora. ya. kutibu. maji. katika.Wilaya. za. Geita. na. Kisarawe.. Taasisi. ilibaini.mabadiliko. makubwa. katika. tabia. ya. usafi. na.usalama. wa. maji. ya. kunywa. katika. kaya.. Hivi.sasa,.kaya.ambazo.zinatumia.maji.yaliyotibiwa.zimeongezeka.kutoka.asilimia.20.hadi.95..Kaya.zenye.mfumo.salama.wa.kutunza.maji.ya.kunywa.zimeongezeka. kutoka. asilimia. 0. hadi. 79;. na.kaya.zinazotumia.chombo.kimoja.cha.kunawia,.kuchotea.na.kunywea.maji.zimepungua.kutoka.asilimia.100.hadi.0..Matokeo.haya.yanaiwezesha.Wizara. kuandaa. mpango. wa. uhamasishaji.usalama.wa.maji.ngazi.ya.kaya.kitaifa.ikiwa.ni.moja. ya. kinga. muhimu. dhidi. ya. magonjwa. ya.kuhara..

139. Mheshimiwa Spika, Taasisi.pia.ilifanya.utafiti.wa.uwepo.wa.ugonjwa.wa.vikope.katika.Halmashauri.za. Wilaya. 10. za. Kibaha,. Siha,. Misungwi,.Karagwe,.Mbarali,.Namtumbo,.Tunduru,.Magu,.Kilosa,.Kilindi.na.Songea..Matokeo.ya.utafiti.huo.yameonesha.kuwa.Wilaya.ya.Kilindi.pekee.ndiyo.bado.ina.maambukizi.ya.ugonjwa.huo.kwa.zaidi.ya.asilimia.10.na.hivyo.italazimika.kuendelea.na.zoezi.la.umezaji.wa.dawa..

140. Mheshimiwa Spika,. katika. mwaka. 2014/15,.Taasisi. itafanya. tafiti. zifuatazo:. majaribio. ya.dawa. za. kudhibiti. VVU. ili. kutathmini. ubora.

83

wa. dawa. mpya. ijulikanayo. kama. FOZIVUDINE.iliyo.katika.mseto.wa.dawa.zitakazotumika.kwa.wagonjwa.wanaoanza.dawa.na.wale.wanaojenga.usugu.wa.dawa. za.kundi. la.kwanza;. tathimini.ya.ufanisi.wa.vipimo.vipya.vya.kifua.kikuu.kwa.kuhusisha.hospitali.za.rufaa.za.mikoa.ya.Mara,.Kilimanjaro,. Arusha,. Pwani. na. Shinyanga. na.Mkoa.wa.Mjini.Magharibi. –.Zanzibar.na.utafiti.wa.magonjwa.ya.matende.na.mabusha,.minyoo.ya. tumbo. na. kichocho. katika. Halmashauri. za.Wilaya. za. Newala,. Tandahimba,. Mkuranga,.Chamwino,.Kondoa,.Singida,. Iramba,.Manyoni,.Nkasi,. Sumbawanga,. Mpanda,. Mlele,. Nsimbo,.Muheza.na.Lushoto,.Mji.wa.Mpanda.na.Manispaa.za. Dodoma. na. Sumbawanga. ilifanyika.. Aidha,.Taasisi. itafanya. majaribio. ya. mbinu. mpya. ya.kutumia. vitambaa. vilivyosindikwa. viuatilifu.vitakavyowekwa. ukutani. ndani. ya. nyumba.katika. vijiji. 20. katika. Wilaya. ya. Muheza.ili. kupambana. na. mbu. waenezao. malaria..Vilevile,. Taasisi. itafanya. tathmini. ya. hali. ya.uwepo. wa. maambukizi. ya. ugonjwa. wa. vikope.baada. ya. kumeza. dawa. kwenye. Wilaya. 7. za.Bahi,. Chamwino,. Mpwapwa,. Dodoma,. Igunga,.Mkuranga,.na.Rufiji..Wizara.itafanya.tathmini.ya.aina.nne.za.vyandarua.vilivyosindikwa.viuatilifu.(Icon.Maxx®,.MiraNet®,.PandaNet®.na.LifeNet®).ili.kutathmini.ubora.wake.katika.kupambana.na.mbu.hasa.wale.wanaoeneza.vijidudu.vya.ugonjwa.wa.malaria..Pia, Wizara.kupitia.Taasisi.itasimika.mitambo. ya. kutengeneza. dawa. za. asili. katika.majengo.ya.kiwanda.kilichojengwa.Mabibo,.Dar.es.Salaam..

84

USHIRIKIANO WA NDANI NA NJE YA NCHI

141. Mheshimiwa Spika, katika.mwaka.2013/14,.Wizara. iliendelea. kushirikiana. na. nchi. rafiki.katika. kuimarisha. sekta. ya. afya. nchini..Aidha,.iliratibu.na.kushiriki.kwenye.mikutano.ya.Jumuiya.za.Kikanda.za.SADC,.EAC,.ECSA-.Health. Community. na. Mashirika. mengine.ya. Kitaifa. na. katika. kutekeleza. maamuzi. ya.pamoja.yenye.manufaa.kwa.Taifa..Katika.mwaka.2014/15,. Wizara. itaimarisha. ushirikiano.na. nchi. rafiki. na. Mashirika. ya. Kimataifa.yanayosaidia. sekta.ya.afya.na.ustawi.wa.jamii..Aidha,.itaimarisha.ushirikiano.na.sekta.nyingine.ambazo. zinachangia. katika. kutoa. huduma. za.afya.na.ustawi.wa.jamii.nchini..Vilevile, Wizara.kwa.kushirikiana.na.mikoa.na.wadau.wa.sekta.itaendelea. kuadhimisha. siku. mbalimbali. za.Afya.za.Kitaifa.na.Kimataifa..Baadhi.ya.siku.hizo.ni. za. Afya,. Malaria.Afrika,.UKIMWI,.Kifua.Kikuu,.Ukoma,.Wazee,.Watu.wenye.Ualbino,.Watu.Wenye.Ulemavu,.Kutotumia..Tumbaku,..Tiba..Asili.ya.Mwafrika,. Wachangia. Damu,. Utepe. . Mweupe,.Siku.ya.Wauguzi.na.Fimbo.Nyeupe.

SHUKRANI

142. Mheshimiwa Spika, napenda. . kuchukua..nafasi. . hii. . ya. kipekee. kuzishukuru. nchi. za.Denmark,.Uswisi,.na.Ireland..na..Mashirika. ya..Maendeleo...ya..Kimataifa.yakiwemo..Benki..ya..Dunia,.CIDA.(Canada),...UNICEF.na.UNFPA.kwa.kutoa.

85

misaada..katika.Mfuko.wa.Pamoja.wa.Sekta.ya.Afya.na.Ustawi.wa.Jamii.ambao..umesaidia.kwa.kiasi.kikubwa.kuboresha..huduma.. za.afya.na.ustawi. wa. jamii.. Pia,. napenda. kuzishukuru.nchi.nyingine.za.Canada,.China,.Cuba,.Hispania,.India,. Ireland,. Italia,. Japan,. Korea. Kusini,.Marekani,.Misri,.Sweden,.Uingereza,.Ujerumani.na.Ufaransa.na.ambazo. zimeendelea..kuisaidia.sekta. ya. afya. na. ustawi. wa. jamii. kwa. njia.mbalimbali.

143. Mheshimiwa Spika, vilevile. nashukuru.mashirika.mengine.ya.Kimataifa.kwa.ushirikiano.wao. mzuri. na. Wizara.. Mashirika. haya.yanajumuisha.Benki.ya.Maendeleo.ya.Afrika.(AfDB), Benki.ya.Nchi.za.Kiarabu.kwa.ajili.ya.Maendeleo..ya.Uchumi.ya.Nchi.za.Afrika.(BADEA), Jumuiya.ya.Nchi.za.Ulaya.(EU), GAVI, Shirika.la.Kimataifa.la.Nguvu..za.Atomiki.(IAEA), Shirika.la.Umoja.wa.Mataifa.la.Kudhibiti. UKIMWI. (UNAIDS), Shirika. la. Umoja. wa.Kimataifa. la. Maendeleo. (UNDP), Shirika. la. Afya.Duniani..(WHO) na.Benki.ya.Dunia.(WB). Wengine.ni.Abbott Fund, BASIC NEED (UK), Baylor College of Medicine ya.Marekani,.Canadian.Bar.Association,.CDC, CORDAID (Netherlands),CUAMM, DANIDA, DFID, Engender Health (USA), EED, Elizabeth Glaser Paediatric Aids Foundation (EGPAF), Family Health International (FHI), FINIDA, GIZ, Good Samaritan Foundation (GSF), German TB and Leprosy Relief Association (GLRA), HelpAge International, ILO, Jane Adams School of Social Work ya.Chuo.Kikuu..cha.Illinois Marekani,.John Snow Incorporation (JSI), JICA,

86

KOICA, KfW, Madaktari.Afrika.na.Madaktari.Wasio.na. Mipaka. (Medicins Sans Frontieres – MSF), MSERIOR, ORIO,...P4H, SAREC, SDC, SIDA (Sweden),..Shirika.la.Upasuaji.la.Spain, SIGN la.Marekani,.na.Shirika.la.Human Resource Capacity Project, Touch Foundation, USAID na.UN-Women.

144. Mheshimiwa Spika, tunawashukuru. pia.Wadau. wa. Maendeleo. . ambao. ni. African.Programme. for. Orchorcerciasis. Control,. Africare, Axios International, Aids Relief Consortium, AIHA, ASCP, ASM, APHL, Balm and Gillead Foundation, Bill and Melinda Gates Foundation, Clinton Health Access Initiative, CLSI, CMB, Christoffel Blinden Mission (CBM), Christian Relief Services (CRS), Citi Bank, Department of Defence ya Marekani, Community of Saint Egidio (DREAM), Duke University, ECSA, Futures Group, Glaxo Smith Kline (GSK), Global Fund, General Electric (GE – USA), Havard University na University of Maryland, Helen Keller International, Henry Jackson Foundation, IMA, ICAP, International Trachoma Initiative, Intrahealth, International Eye Foundation, I-TECH, Jhpiego, Johns Hopkins University, Labiofarm Industry, London School of Hygiene and Tropical Medicine, Management Science for Health (MSH), MEDA, Merck & Company, Malaria No More, Military Advancement for Medical Research, NOVARTIS, Pathfinder, PATH, President’s Emergency Plan for AIDS Relief (PEPFAR), Pharm Access International, PactWorld, Plan International, Pfizer, Qiagen, Research Triangle Institute (RTI), Regional

87

Psychosocial Support Initiatives (REPSSI), Saint Thomas Hospital- London, Save the Children, Sight Savers International, Supply Chain Management Systems (SCMS) na University of Columbia, URC, USA-Presidential Malaria Initiative (PMI), World Vision, FXB, Walter REED Army Institute of Research (WRAIR) na World Education Inc.

145. Mheshimiwa Spika, niwashukuru. watu..binafsi,. vyama. vya. hiari. na. mashirika. yasiyo.ya.kiserikali.ya.ndani.ya.nchi.kwa.kuwa.mstari.wa. mbele. . katika. kuchangia. uimarishaji. wa.huduma..za.afya.na.ustawi.wa.jamii...Mashirika.hayo.ni.pamoja.na.AGOTA, Aga Khan Foundation, APHFTA, AMREF, AGPAHI, APT, BAKWATA, Benjamin William Mkapa HIV/AIDS Foundation, CCBRT, CSSC, CCT, Counsenuth, ELCT, Ifakara Health Institute, Lions Club, MAT,. AFRICARE,. Msalaba.Mwekundu,. MEHATA,. MEWATA,. MUKIKUTE,. MDH, MeLSAT, PASADA, PAT, PSI, PRINMAT,. Rotary Club International,..SIKIKA,.Shree Hindu Mandal,.TANNA, TPHA, TPRI,.Tanzania Surgical Assosciation (TSA), Tanzania Diabetic Association, TANESA, THPS, TUNAJALI, Tanzania Midwife Association, TDA, TAYOA, TISS, TEC, UMATI, USADEFU, White Ribbon Alliance, Mabaraza.yote.ya.Kitaaluma,.Mashirika,.hospitali.na.vituo.vya.kutolea..huduma..za.afya.na. ustawi. wa. jamii. nchini. pamoja. na. vyama.vyote.vya.kitaaluma.vya.sekta.ya.afya.na.ustawi.wa.jamii.

88

146. Mheshimiwa Spika, navishukuru. . Vyuo.Vikuu..vya.Dar.es.Salaam,.Muhimbili,.Sokoine,.Ardhi,.Mzumbe,.Dodoma,.Chuo..Kikuu..Huria,.Kumbukumbu. . ya. . Hurbert. . Kairuki,. IMTU,.Tumaini,.St..Agustino,.CUHAS,.Sebastian..Kolowa,.St..John,.Aga.Khan, Morogoro..Muslim,.Arusha.pamoja.na.Vyuo.vyote.vya.Sekta.ya.Afya.na.Ustawi.wa. Jamii. kwa. kuwa. mstari. wa. mbele. . katika.kuchangia. uimarishaji. wa. huduma. za. afya..Aidha,.nawashukuru..wadau..wengine.waliotoa.huduma..ya.elimu.kwa.njia.za.redio,.televisheni,.magazeti..na.mitandao..ya.kijamii.katika.masuala.ya.afya.na.ustawi.wa.jamii.

147. Mheshimiwa Spika, katika. kipindi. hiki. cha.utendaji.wangu.wa.kazi.kama.Waziri,.nimepata.ushirikiano. mkubwa. toka. kwa. viongozi. na.wafanyakazi. wa. Wizara.ya. Afya. na.Ustawi. . wa..Jamii..Napenda.kumshukuru.Mheshimiwa.Dkt..Kebwe. Stephen. Kebwe. (Mb.),. Naibu. Waziri. wa.Afya.na.Ustawi.wa.Jamii..Aidha,.nachukua.fursa.hii. kumshukuru. Katibu. Mkuu. Bwana. Charles.Amos. Pallangyo. kwa. kunipa. ushirikiano. katika.utekelezaji.wa.majukumu. yangu.katika.kipindi.hiki..Vilevile,.nawashukuru..Dkt..Donan.William.Mmbando,. Mganga. . Mkuu. wa. Serikali,. Bwana.Dunford. Daniel. Makala,. Kamishna. wa. Ustawi.wa.Jamii.na.Wakurugenzi.wa.Idara.zote.katika.Wizara.ya.Afya.na.Ustawi.wa.Jamii..Nawashukuru.pia,. Mkurugenzi. wa. Hospitali. ya. Taifa,. na.Wakurugenzi.wa.Hospitali.Maalum.na.za.Kanda.na.Taasisi.zilizo.chini.ya.Wizara,.Waganga.Wakuu..

89

wa..Mikoa.na..Wilaya,.Waganga..Wafawidhi..wa.Hospitali,.Vituo.vya.Afya.na.Zahanati,.Wakuu.wa.Vyuo.vya.Mafunzo.ya.Afya.na.Ustawi.wa.Jamii.na.wafanyakazi. wote. wa. Sekta. ya.Afya.na. Ustawi.wa.Jamii.na.Mashirika.ya.Dini,. ya.Kujitolea.na.Binafsi.. Natoa. shukurani. kwa. sekta. nyingine.ambazo. . tunashirikiana. . nazo. . katika. . kutoa..huduma...za.afya.na.ustawi.wa.jamii.pamoja..na.wananchi..wote.kwa.ushirikiano.wao..Nawaomba.waendelee. kuzingatia. misingi. ya. afya. bora. ili.hatimaye.waweze.kufanya. kazi. kwa. bidii. kwa.manufaa.ya.taifa.letu.

148. Mheshimiwa Spika, nichukue. fursa.hii. pia.kuishukuru.familia.yangu..Kipekee.namshukuru.mke. wangu. mpenzi. Mariam. . S.. Abdulaziz. na.watoto.wetu.Tariq,.Meyye,.Shekhan.na.Amour.kwa.uvumilivu. na. kunitia. moyo. katika. kutekeleza..majukumu..yangu..ya.Kitaifa..Kwa.wananchi..wa.Jimbo. la.Rufiji.nawashukuru.kwa.ushirikiano.mnaoendelea. kunipatia. katika. kuendeleza.Jimbo. na. naahidi. nitaendelea. kuwaenzi. na.kuwatumikia. kwa. nguvu. zangu. zote. ili. kuleta.mabadiliko. . ya. haraka. ya. kimaendeleo. katika.Jimbo.letu.la.Rufiji.

90

MAPATO NA MAOMBI YA FEDHA KWA KAZI ZILIZOPANGWA KUTEKELEZWA KATIKA MWAKA WA FEDHA 2014/15

Mapato

149. ..Mheshimiwa Spika,.katika.mwaka.2014/15,.

Wizara. imekadiria. kukusanya. mapato. ya. kiasi.

cha.Sh..78,671,519,016.00..Kati.ya.fedha.hizo,.

Sh.. 72,507,162,016.00. zitakusanywa. katika.

Mashirika. na. Taasisi. zilizo. chini. ya. Wizara. na.

kiasi. cha. Sh. 6,164,357,000.00. ni. kutoka.

katika. vyanzo. vya. Makao. Makuu.. Vyanzo.

hivyo. vinatokana. na. makusanyo. ya. uchangiaji.

wa. huduma. za. afya,. tozo. na. ada. mbali. mbali,.

usajili.wa.vituo.vya.binafsi.vya.kutolea.huduma,.

maabara.binafsi.na.Mabaraza.ya.Kitaaluma.

Matumizi ya Kawaida

150. Mheshimiwa Spika, katika. mwaka.

2014/15,. Wizara. inakadiria. kutumia. kiasi.

cha. Sh.. 317,223,431,000.00 kwa. ajili. ya.

Matumizi. ya. Kawaida.. Kati. ya. fedha. hizo,. Sh..

112,723,859,000.00 kitatumika. kwa. ajili. ya.

Matumizi.Mengineyo.na.Sh..204,499,572,000.00.

kitatumika.kwa.ajili.ya.Mishahara.ya.Watumishi..

Kati.ya.fedha.zilizotengwa.kwa.ajili.ya.mishahara,.

91

kiasi. cha. Sh.. 39,728,561,634.00 ni. kwa.

ajili. ya. watumishi. wa. Makao. Makuu. na. Sh..

164,771,010,366.00..ni.kwa.ajili.ya.watumishi.

wa.Taasisi,.Mashirika.na.Wakala.zilizo.chini.ya.

Wizara.

Miradi ya Maendeleo

151. Mheshimiwa Spika,. katika. mwaka. 2014/15,.

Wizara. inakadiria. kutumia. jumla. ya. Sh..

305,729,492,000.00. . kwa. ajili. ya. utekelezaji.

wa. Miradi. ya. Maendeleo.. Kati. ya. fedha. hizo,.

fedha.za.Ndani.ni.Sh..54,000,000,000.00 .na.

fedha. za.Nje.ni.Sh..251,729,492,000.00..Kati.

ya. fedha. hizo. za. Nje,. Sh.. 18,526,675,000.00..

zitatolewa.na.Wahisani.wanaochangia.Mfuko.wa.

Pamoja.na.Sh..233,202,817,000.00..zitatolewa.

na.Wahisani.walio.nje.ya.Mfuko.

Maombi ya Fedha kwa Mwaka 2014/15

152. . Mheshimiwa Spika,. ili. kuwezesha. Wizara.

ya. Afya. na. Ustawi. wa. Jamii. kutekeleza. kazi.

zilizopangwa.katika.mwaka.2014/15,.naliomba.

Bunge.lako.tukufu.likubali.kuidhinisha.Makadirio.

ya. Matumizi. ya. Wizara. ya. Afya. na. Ustawi. wa.

92

Jamii.pamoja.na.Taasisi.zake.yenye.jumla.ya.Sh..

622,952,923,000.00.. Kati. ya. fedha. hizo,. Sh..

317,223,431,000.00. ni. kwa. ajili. ya. Matumizi.

ya.Kawaida.na.Sh..305,729,492,000.00.ni.kwa.

ajili.ya.utekelezaji.wa.Miradi.ya.Maendeleo.

153. Mheshimiwa Spika,.Hotuba.hii.inapatikana.pia.katika. tovuti. ya. Wizara. ya. Afya. na. Ustawi. wa.Jamii;.www.moh.go.tz.

154. Mheshimiwa Spika, naomba. kutoa.hoja.

93

VIREFU NA VIFUPISHO

AfDB. -. African.Development.Bank

ADDO.. -. Accredited.Drug.Dispensing.Outlet

AGOTA.. -. Association.of.Gynaecologists.and.Obstetricians.

. . of.Tanzania

AMREF. -. African.Medical.and.Research.Foundation

ALu.. -. Artemether./Lumefantrine

APHFTA.. -. Association.of.Private.Health.Facilities.in.

. . Tanzania

AIDS.. -. Acquired.Immuno-Deficiency.Syndrome

ARV.. -. Anti-Retro.Viral

BADEA.. -. Banque.Arabe.pour.Development.Economique.

. . en.Afrique

BAKWATA.. -. Baraza.Kuu.la.Waislamu.Tanzania

CBM. -. Christoffel.Brinden.Mission

CCBRT.. -. Comprehensive.Community.Based.

. . Rehabilitation.in..Tanzania

CCM.. -. Chama.Cha.Mapinduzi

CCT.. -. Christian.Council.of.Tanzania

CDC. -. Centres.for.Disease.Control.and..Prevention,.

. . Atlanta.Georgia.–.USA

CEDHA.. -. Centre.for.Education.and.Development.in.

. . Health.Arusha

CHF. -. Community.Health.Fund

CIDA.. -. Canadian.International.Development.Agency

COTC. -. Clinical.Officers.Training.College

CRS. -. Christian.Relief.Services

CSD. -. Central.Sterilizing.Department

CSSC. -. Christian.Social.Services.Commission

CUAMM.. -. International.College.for.Health.Cooperation.in.

. . Developing..Countries

94

DANIDA. -. Danish.International.Development.Agency

DDH.. -. District.Designated.Hospital

DFID... -. UK.Department.for.International.

. . Development

DHIS.. -. District.Health.Information.Software

Dkt. -. Daktari

DNA.. -. Deoxyribo.NucleicAcid

DPT-HB. -. Diptheria,.Pertussis.Tetanus,.Hepatitis..

EAC.. -. East.African.Community

EED.. -. Electro.Encephalogram

ECSA. -. East,.Central.and.Southern.Africa.

ECSAHC. -. East,.Central.and.Southern.Africa.Health..

. . Community

EGPAF. -. Elizabeth.Glaser.Paediatric.AIDS..Foundation

ELCT.. -. Evangelical.Lutheran.Church.of..Tanzania

EU.. -. European.Union

FHI.. -. Family.Health.International

FINIDA. -. Finish.International.Development.Agency.

GAVI.. -. Global.Alliance.for.Vaccine.and.Immunisation.

GE-USA.. -. General.Electric-.United.States.of.America

GLRA.. -.. German.TB.and.Leprosy.Relief.Association

GSF.. -. Good.Samaritan.Foundation

GSK... -. Glascow.Smith.Kline

GIZ.. -. German.Society.for.International.

. . Cooperation.(Deutsche.Gesellschaft.für.. .

. . Internationale..Zusammenarbeit).

GoT. -. Government.of.Tanzania

HIB. -. Haemophilus.Influenza.Type.B

HIV. -. Human.Immuno..Deficiency.Virus.

HPV. -. Human.Papiloma.Virus

IAEA. -. International.Atomic.Energy.Agency

ILS. -. Integrated.Logistic.System

95

ILO. -. .International.Labour.Organisation

IMA. -. .International.Missionary.Association

IMTU. -. .International.Medical.and.Technology.

. . University

ISO. -. .International..Standard.Organization

JICA.. -. .Japan.International.Cooperation.Agency

JSI. .-. John.Snow.Incorporation.

KCMC. -. Kilimanjaro.Christian.Medical.Centre

KfW.. -. Kredit.feur.Wiederaufbau

KOICA.. -. Korea.International.Cooperation.Agency

LLINS. -. Long-Lasting.Insecticide-treated.Nets.

MAT.. -. Medical.Association.of.Tanzania

Mb... -. Mbunge

MDH. -. Management.and.Development.for.Health

MDG. -. .Millennium.Development.Goals

MDP. -. Mectizan.Donation.Programme

MDR-TB. -. .Multi.Drug.Resistance.-.Tuberculosis

MEDA. -. Menonnites..Economic.Development.Associates

MEHATA.. -. Mental..Health..Association.of.Tanzania.

MEWATA. -. Medical.Women.Association.of.Tanzania.

MUKIKUTE. -. Mapambano.ya.UKIMWI.na.Kifua.Kikuu.

. . –.Temeke.

MMAM.. -. Mpango.wa.Maendeleo.ya.Afya.ya.Msingi

MNH.. -. Muhimbili.National.Hospital

MOI. -. .Muhimbili.Orthopaedic.Institute

mRDT. -. Malaria.Rapid.Diagnostic.Test

MSD.. -. Medical.Stores.Department

MSH.. -. .Management.Science.for.Health

MSF.. -. .Medicine.Sans.Frontiers

MTUHA.. -. Mfumo.wa.Taarifa.za.Uendeshaji..Huduma.za..

. . Afya

MVA.. -. Manual.Vacuum.Aspiration

96

NACTE.. -. .National..Accreditation.Council.for.Technical..

. . Education

NHIF.. -. National.Health.Insurance.Fund

NIMR.. -. National.Institute.of.Medical.Research.

NORAD.. -. Norwegian.Agency.for.Development.

NSSF.. -. .National.Social.Security.Fund

OPEC. -. Organisation.of.Petroleum-Producing.Countries

OPRAS. -. Open.Performance.Review.and.Appraisal.System

ORCI... -. Ocean.Road.Cancer.Institute.

ORET.. -. Overseas.Related.Export.Trade.

P.4.P.. -. Pay.for.Performance

P.4.H.. -. Providing.for.Health

PASADA. -. .Pastoral.Activities.and.Services.for.People.with.

. . AIDS.

PAT.. -. Paediatric..Association.of.Tanzania

PEPFAR. -. .President’s.Emergency.Plan..for.AIDS..Relief.

PER. -. Public.Expenditure.Review

PHC/PHCI. -. Primary.Health.Care/Primary.Health..Care.

. . Institute.

PMI. -. Presidential.Malaria.Initiative

PSI.. -. Population..Service.International

PRINMAT.. -. Private.Nurse.and.Midwives.Association.of.. .

. . Tanzania

REPSSI.. -. Regional.Psychosocial..Support..Initiatives.

RTI.. -. Research.Triangle.Institute

RVF. -. Rift.Valley.Fever

SADC.. -. Southern.Africa.Development.Cooperation

SADCAS. -. Taasisi.ya.Idhibati.ya.Nchi.za.SADC

SAREC.. -. Swedish.Agency.for.Research..Cooperation.in..

. . Development.Countries

SCMS. -. Supply.Chain.Management.System

SDC.. -. Swiss.Agency.for.Development.and.Cooperation.

97

98

SIDA.. -. Swedish.International.Development.Authority.

TANESA.. -. Tanzania.Netherlands.Support.to.AIDS.Control.

TAYOA. -. Tanzania.Youth.Allow.

TEC. -. Tanzania.Episcopal.Conference.Centre

TB. -. Tuberculosis

TDHS... -. Tanzania.Demographic.and.Health.Survey.

TEC.. -. Tanzania.Episcopal.Conference.

TEHAMA. -. Teknolojia.ya.Habari.na.Mawasiliano.

TFDA. -. Tanzania.Food.and.Drugs.Authority

TFNC.. -. Tanzania.Food.and.Nutrition.Centre

TIKA. -. Tiba.kwa.Kadi

TISS.. -. Tanzania.Interbank.Settlement.Systems

TPHA.. -. .Tanzania.Public.Health.Association

TSA. -. Tanzania.Surgical.Assosciation

UMATI. -. Chama.cha.Uzazi.na.Malezi.Bora.Tanzania

UN.. -. United.Nations

UNAIDS. -. United.Nations.Programme..on.AIDS

UNDP.. -. United.Nations.Development.Programme.

UNFPA.. -. United.Nations.Fund.for.Population..Activities

UNHCR.. -. United.Nations.High.Commission.for.Refugees.

UNICEF. -. United.Nations.Children’s.Fund

USA.. -. United.States.of.America

USADEFU.. -. Usambara.Development.Fund

USAID. -. United.States.Agency.for.International.. .

. . Development

UKIMWI. -. Upungufu.wa.Kinga.Mwilini

VVU. -. Virusi.Vya.UKIMWI

WAVIU. -. Watu.Wanaoishi.na.Virusi.vya.UKIMWI

WB. -. Word.Bank

WHO.. -. World.Health.Organisation

WRAIR.. -. Walter.REED.Army.Institute.of.Research

Kiambatisho Na. 1

Mwenendo.wa.udahili.wa.Wanafunzi.katika.Vyuo.vya.Mafunzo.kwa.mwaka.2009/10.-.2013/14

99

100

Kia

mbat

ish

o N

a. 2

KADA

ARUSHA

DODOMA

DSM

GEITA

IRINGA

KAGERA

KATAVI

KIGOMA

KILIMANJARO

LINDI

MANYARA

MARA

MBEYA

MOROGORO

MTWARA

MWANZA

NJOMBE

PWANI

RUKWA

RUVUMA

SHINYANGA

SIMIYU

SINGIDA

TABORA

TANGA

WIZARA

JUMLA  KIMKOA

AFISA

 AFYA  M

AZINGIRA  DARAJA  LA  II

25

31

11

23

23

34

30AFISA

 AFYA  M

AZINGIRA  M

SAIDIZI  D

ARAJA  LA  II

19

1610

116

31

187

32

926

319

419

623

31

314

522

2AFISA

 MTEKNOLO

JIA  M

AABARA  DARAJA  LA  II

22

14

21

23

724

AFISA

 MTEKNOLO

JIA  M

IONZI  DARAJA  LA  II

22

4AFISA

 MUUGUZI  DARAJA  LA  II

12

31

21

23

722

AFISA

 MUUGUZI  M

SAIDIZI  D

ARAJA  LA  II

3924

5531

633

624

4424

3816

4248

2852

2520

831

4232

1619

6918

790

DAKTARI  B

INGWA  DARAJA  LA  II

22

22

21

11DAKTARI  D

ARAJA  LA  II

61

272

23

36

42

15

32

103

61

23

24

47

1612

5DAKTARI  M

SAIDIZI  D

ARAJA  LA  II

11

13

11

11

212

DAKTARI  W

A  M

ENO  DARAJA  LA  II

11

21

11

11

9FIZIOTH

ERAPIA  DARAJA  LA  II

410

58

42

44

26

49FU

NDI  SANIFU  VIFAA  TIBA  DARAJA  LA  II

11

KATIBU  W

A  AFYA  DARAJA  LA  II

31

11

23

21

31

22

21

21

62

36MFAMASIA  DARAJA  LA  II

24

12

31

12

21

31

21

22

14

616

57MHUDUMU  W

A  AFYA

4451

289

5149

131

1624

105

9125

2317

4855

4887

3533

1927

2783

6MKEM

IA  DARAJA  LA  II

1010

MSA

IDIZI  W

A  AFYA

11

21

5MSA

IDIZI  W

A  KUMBUKU

MBU  DARAJA  LA  II

32

33

213

MTEKNELOJIA  M

AABARA  DARAJA  LA  II

12

11

11

7MTEKNOLO

JIA  DAWA  DARAJA  LA  II

42

143

17

22

51

19

59

13

22

51

24

85MTEKNOLO

JIA  M

AABARA  DARAJA  LA  II

32

81

24

15

11

43

15

31

13

16

56MTEKNOLO

JIA  M

ACHO  DARAJA  LA  II

111

21

116

MTEKNOLO

JIA  M

ENO  DARAJA  LA  II

11

MTEKNOLO

JIA  M

IONZI  DARAJA  LA  II

31

11

22

21

12

21

19MTEKNOLO

JIA  M

SAIDIZI  D

AWA

41

23

43

11

12

22MTEKNOLO

JIA  M

SAIDIZI  M

AABARA

61

63

33

31

45

22

26

14

31

32

71

69MTEKNOLO

JIA  M

SAIDIZI  M

AABARA  DARAJA  LA  II

13

11

14

41

11

32

22

128

MTEKNOLO

JIA  VIUNGO  BANDIA  DARAJA  LA  II

22

4MTO

A  TIBA  KWA  VITEN

DO  DARAJA  LA  II

22

MUHUDUMU  W

A  AFYA

11

MUUGUZI  DARAJA  LA  II

107

143

113

8312

210

460

6497

4665

128

156

149

5414

012

688

167

158

114

7481

8917

254

2754

TABIBU  DARAJA  LA  II

368

2911

57

22

217

136

1936

325

535

45

125

34

316

340

TABIBU  M

ENO  DARAJA  LA  II

42

21

22

11

11

32

123

TABIBU  M

SAIDIZI

26

99

610

617

27

428

235

1911

1112

92

411

1622

9Jumla  Kuu

272

249

341

176

226

232

9911

424

812

615

918

438

333

112

330

823

825

724

632

025

617

012

016

937

419

159

12

Oro

dh

a.ya

.Mga

wan

yo.w

a.A

jira

.Mpya

.kw

a.K

ada.

za.A

fya.

kw

a.M

ikoa

.kw

a.m

wak

a.2013/14

Kiambatisho Na. 3

Mifuko.mbalimbali..ya.Bima.za.Afya.nchini

Eneo NHIF CHF NSSF-SHIBBima

BinafsiCBHI

Idadi.ya.wanufaika

3.12.milioni 3.5.milioni 102,890 450,000440,000

Kaya.571,611

Kaya.586,943

Kaya.31,000

Kaya.150,000

Asilimia.ya.wigo

7.40 9.20 0.12 1.40 1.3

WahusikaWafanyakazi.wa.Serikali.na.Binafsi

Sekta.isiyo.rasmi.na.kipato.kidogo

Sekta.rasmi.na.Isiyo.rasmi

BinafsiSekta.isiyo.rasmi.na.kipato.kidogo

Uandikishaji Lazima Hiari Hiari Hiari Hiari

Kiwango.cha.Mchango

Asilimia.6.ya.mshahara

Sh..5,000/=.hadi.15,000/=.(Tele.kwa.Tele)

Sehemu.ya.asilimia.20.Mchango.wa.Pensheni

Sh..300,000/=.hadi.950,000/=

Sh..30,000/=.hadi.40,000/=

MalipoMalipo.kwa.huduma

Malipo.kwa.kichwa

Malipo.kwa.kichwa

Malipo.kwa.kichwa

Malipo.kwa.kichwa

Wasimamizi SSRA SSRA TIRAHakuna.usimamizi.rasmi.kisheria

101

Kiambatisho Na. 4

Wanufaika.wa.Mifuko.ya.Bima.ya.Afya.hadi.Mei.2014

Mfuko Wachangiaji/Kaya Wanufaika Asilimia ya Wanufaika

NHIF 586,369 3,236,757 7.42

CHF/TIKA 668,474 4,010,844 9.20

Jumla 1,254,843 7,249,601 1662.00%

Kiambatisho Na. 5

Usambazaji.wa.Facs Count Machine.katika.Hospitali.za.Mikoa.na.Wilaya.

Na Mkoa Wilaya Kituo Cha Huduma Idadi

1 Dar.es.Salaam Ilala Kituo.Cha.Afya.Buguruni 1

2 Dar.es.Salaam Kinondoni Hospitali.ya.Emelio.Mzena. 1

3 Singida Singida Hospitali.ya.Mkoa.Singida 1

4 Dar.es.Salaam Ilala Hospitali.ya.Ocean.Road. 1

5 Kigoma Kigoma.(M) Hospitali.ya.Mkoa.Maweni. 1

6 Kilimanjaro Same Hospitali.ya.Wilaya.Same 1

7 Kilimanjaro Mwanga Hospitali.ya.Wilaya.Usangi 1

8 Kilimanjaro Moshi.(M) Hospitali.ya.Kilema. 1

9 Kilimanjaro Moshi.(M) Hospitali..Teule.ya.Kibosho. 1

10 Lindi NachingweaHospitali.ya.Wilaya.Nachingwea. 1

11 Manyara Babati.U Hospitali.ya.Wilaya.Babati. 1

12 Mwanza MwanzaHospitali.ya.Mkoa.Sekoutoure. 1

13 Tabora Tabora Hospitali.ya.Mkoa.Kitete. 1

102

14 Kagera MulebaHospitali.ya.Kagondo.Mission. 1

15 Iringa Makete Hospitali.ya.Wilaya.Makete. 1

16 Iringa LudewaHospitali.ya.Lugarawa.Lutheran. 1

17 Iringa MaketeHospitali.ya.Bulongwa.Mission 1

18 Iringa NjombeHospitali.Teule.ya.Tosamaganga. 1

19 Kagera BiharamuloBiharamulo.Hospitali.ya.Wilaya 1

20 Kagera KaragweNyakahanga.Hospitali.ya.Wilaya 1

21 Kagera NgaraMurgwanza.Hospitali.ya.Wilaya 1

22 Kilimanjaro Moshi.RuralHospitali.ya.Kifua.Kikuu.Kibongoto. 1

23 KilimanjaroMoshi.Urban Hospitali.ya.Mkoa.Mawenzi. 1

24 Manyara HydomeHospitali.ya.Haydom.Lutheran. 1

25 Kilimanjaro Siha Hospitali.ya.Wilaya.Siha. 1

26 Pwani BagamoyoHospitali.ya.Wilaya.Bagamoyo. 1

27 Pwani MkurangaHospitali.ya.Wilaya.Mkuranga. 1

28 Tabora Nzega Hospitali.ya.Wilaya.Nzega. 1

29 Tabora Urambo Hospitali.ya.Wilaya.Urambo. 1

30 Tabora Sikonge Hospitali.ya.Wilaya.Sikonge. 1

31 Tabora Nkinga Hospitali.ya.Wilaya.Nkinga. 1

103

32 Zanzibar Zanzibar Hospitali.ya.Jeshi.Bububu. 1

Jumla Kuu 32

Kiambatisho Na. 6

Matokeo.ya.mashindano.ya.usafi.2010.-.2013

Ngazi Mwaka

2010

Mwaka

2011

Mwaka

2012

Mwaka

2013

Jiji 1.Mwanza 1..Mwanza 1..Mwanza 1.Mwanza

2..Mbeya 2..Mbeya 2..Tanga

3..Tanga. 3..Tanga 3..Mbeya

Manispaa 1..Moshi 1.Moshi 1.Moshi 1.Moshi

2.Iringa 2..Arusha 2.Arusha 2.Iringa

3.Arusha 3..Iringa 3.Bukoba 3.Morogoro

Miji 1.Njombe 1..Mpanda 1.Mpanda 1.Mpanda

2..Njombe 2.Njombe 2.Njombe

3..Babati 3.Babati 3.Makambako

Wilaya 1.Njombe 1..Njombe 1.Meru 1.Njombe

2.Kasulu 2..Meru 2.Njombe 2.Rungwe

3.Meru 3..Rungwe 3.Rungwe 3.Meru

Kiambatisho Na. 7

Ongezeko.la.Vituo.vya.Kutolea.Huduma.za.Afya.kati.ya.mwaka.2012.-.2013

Aina ya kituo

2012 2013 Ongeze-ko

Mmiliki

Binafsi Serikali Jumla Binafsi Serikali Jumla

Zahanati 1,358 4,322 5,680 1,444 4,469 5,913 233

Vituo.vya.Afya 140 498 638 222 489 711 73

104

Hospitali 129 112 241 140 114 254 13

Jumla 1,627 4,932 6,559 1,806 5,072 6,878 319

Kiambatisho Na. 8

Orodha. ya. Halmashauri. ambazo. Wataalam. wake.walipata.Mafunzo.kuhusu.Kuagiza.dawa.kwa.kutumia.Mfumo.wa.Kielektroniki.kwa.mwaka.2013/14...

Na Jina la Halmashauri

Na Jina la Halmashauri

Na Jina la Halmashauri

1 Babati..DC 40 Kisarawe...DC 79 Mvomero.DC

2 Babati.TC 41 Kishapu.DC 80 Mwanga.DC

3 Bagamoyo.DC 42 Kiteto.DC 81 Nachingwea.DC

4 Bahi.DC 43 Kondoa..DC 82 Namtumbo.DC.

5 Bariadi.DC 44 Kongwa.DC 83 Nanyumbu.DC

6 Bariadi.TC 45 Kwimba.DC 84 Newala.DC.

7 Biharamulo.DC 46 Lindi.DC. 85 Njombe.DC

8 Bukoba.DC. 47 Lindi.MC. 86 Njombe.TC

9 Bukoba.MC. 48 Liwale.DC. 87 Nkasi.DC

10 Bukombe.DC 49 Ludewa.DC 88 Nsimbo.DC

11 Busega.DC 50 Lushoto.DC 89 Nyamagana.MC

12 Butiama.DC 51 Mafia.DC. 90 Nyang’Wale.DC.

13 Chamwino.DC 52 Magu.DC 91 Nzega.DC

14 Chato.DC 53 Makete.DC 92 Rombo.DC

15 Chato.DC 54 Manyoni.DC 93 Rorya.DC

16 Geita.DC. 55 Masasi.DC 94 Ruangwa.DC

17 Hai.DC 56 Masasi.TC 95 Same.DC

18 Hanang..DC 57 Mbeya.CC. 96 Serengeti.DC

19 Handen.DC 58 Mbeya.DC. 97 Shinyanga.DC

20 Igunga.DC 59 Mbinga.DC. 98 Shinyanga.MC

21 Ilala.MC 60 Mbozi.DC. 99 Siha.DC

22 Ilemela.MC 61 Mbulu..DC 100 Sikonge.DC

105

Na Jina la Halmashauri

Na Jina la Halmashauri

Na Jina la Halmashauri

23 Iringa.MC 62 Missenyi.DC. 101 Simanjiro..DC

24 Itilima.DC 63 Misungwi.Dc. 102 Singida.DC

25 Kahama.TC 64 Mkuranga..DC 103 Singida.MC

27 Kalambo.DC 65 Mlele.DC 104 Songea.DC.

27 Karagwe.DC. 66 Momba.DC. 105 Sumbawanga.DC

28 Kasulu.DC 67 Morogoro.MC. 106 Sumbawanga.TC

29 Kibaha.DC 68 Moshi.DC 107 Tabora.DC.

30 Kibaha.TC 69 Moshi.MC 108 Tabora.MC.

31 Kibondo.DC 70 Mpanda.DC 109 Tandahimba

32 Kigoma.DC. 71 Mpanda.TC 110 Tarime.DC

33 Ujiji.DC 72 Msalala.DC 111 Tarime.TC

34 Kilindi.DC 73 Mtwara.DC. 112 Temeke..MC

35 Kilolo.DC 74 Mtwara.MC. 113 Tunduru.DC

106

Na Jina la Halmashauri

Na Jina la Halmashauri

Na Jina la Halmashauri

36 Kilombero.DC 75 Mufindi.DC 114 Ukerewe.DC

37 Kilosa.DC 76 Muleba.DC. 115 Ulanga.DC

38 Kilwa.DC 77 Musoma.DC 116 Urambo.DC

39 Kinondoni.DC 78 Musoma.TC 117 Ushetu.DC

Kiambatisho Na. 9

Idadi.ya.Wanataaluma.wa.Afya.waliosajiliwa.

Na Wataalam Wataalam waliosajiliwa kuanzia Julai mwaka 2013 hadi Mei 2014

Jumla ya Wataalam

waliosajiliwa hadi Mei

2014

1 Madaktari.(pamoja.na.Madaktari.Wasaidizi.-.AMO

1,285 12,029

2 Wauguzi 3,100 33,000

3 Wafamasia 259 2,506

4 Wataalam.wa.Maabara

170 3,175

107

5 Wataalam.wa.Radiolojia

123 480

6 Wataalam.wa.Optometria

167 440

7 Wataalam.wa.Afya.Mazingira

823 2,642

Jumla 5,927 54,272

Kiambatisho Na. 10

Maabara. na. Taasisi. zilizokaguliwa. na. Maabara. ya.Mkemia.Mkuu.wa.Serikali

No. Mkoa Taasisi/Maabara Idadi

1. Morogoro a). NIMR

b). IHI

c). SUA.

d). Morogoro.Hospital.

e). Central.Police.(Forensic.Bureau.Department/Lab).

5

2. Dodoma a). University.Of.Dodoma

b). Dodoma.General.Hospital.

c). Dodoma.Central.Police

d). St.Johns.University

e). Mvumi.Hospital

5

3. Tanga a). NIMR-.Amani.Muheza

b). Bombo.Hospital.

c). Teule.Hospital.–.Muheza

d). Central.Police.(Forensic.Bureau.Department).

e). NIMR.–.Tanga.Mjini

f). Mlingano.Research.Centre

6

108

No. Mkoa Taasisi/Maabara Idadi

4. Kilimanjaro a). KCMC.Hospital

b). Tumaini.University.

c). Moshi.Technical.College

d). Mawenzi.Hospital.

e). Kibong’oto.Hospital

f). Moshi.Central.Police

8

5. Arusha a). Arusha.Central.Police

b). Mount.Meru.Hospital

c). TAWERI.-.Arusha

d). GCLA.-.Arusha

e). Nelson.Mandela.University

f). Seliani.Hospital

6

6. Mbeya a) Ofisi.ya.Mganga.Mkuu.wa.Mkoa.

b) Hospitali.ya.Mkoa..

c) Hospitali.ya.Rufaa.ya.Mbeya

d) Hospitali.Teule.ya.Mbalizi.

e) Hospitali.ya.Wilaya.Vwawa.

f) “Baylor.College.of.Medicine”

g) Hospitali.ya.Wilaya.ya.Tukuyu.

h) National.Institute.for.Medical.Research-.(NIMR)

i) Makao.Makuu.ya.Polisi.

j) Kituo.cha.Polisi.Tukuyu

10

109

No. Mkoa Taasisi/Maabara Idadi

7 Mwanza a) National.Institute.for.Medical.Research.(NIMR)-Mwanza.

b) Makao.Makuu.ya.Jeshi.la.Polisi.Mkoa.wa.Mwanza

c) Ofisi.ya.Mganga.Mkuu.Mkoa.wa.Mwanza

d) Hospitali.ya.Mkoa.wa.Mwanza.Sekou-Toure..

e) Hospitali.ya.Rufaa.Bugando

f) Hospitali.ya.Wilaya.Misungwi

g) Hospitali.ya.Wilaya.Kwimba

h) Kituo.cha.Utafiti.Ukiriguru.

8

8 Dar. es.Salaam

a) Polisi.Makao.Makuu.Dar.es.Salaam.(Forensic.Bureau.Laboratory).

b) National..Health.Laboratory.Quality.Assurance.and.Training..Centre..(Nhl-Qatc)

c) Muhimbili.National.Hospital.(MNH)

d) Chuo.Kikuu.cha.Tiba.Muhimbili.(MUHAS).

e) Aga.Khan.Hospital

f) Chuo.Kikuu.cha.Dar.Es.Salaam

g) Chuo.cha.Kikuu.cha.Ardhi

h) Dar.es.Salaam.Institute.of.Technology.(D.I.T).

i) International.Medical.and.Technology.University.(IMTU).

j) Hubert.Kairuki

10

Jumla 58

110