kasoro gani katika picha hii? ya familia kuna kasoro gani katika picha hii? soma luka 17:11-19. ni...

1
MAZUNGUMZO YA FAMILIA Kuna Kasoro Gani Katika Picha Hii? Soma Luka 17:11-19. Ni mambo gani matatu katika picha hii ambayo si sahihi? Andika majibu yako kwenye mistari iliyo hapa chini, na ukamilishe picha hii kwa kuipaka rangi. 1 ˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝ 2 ˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝ 3 ˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝˝ ZUNGUMZENI PAMOJA: Mkoma mmoja alifanya nini ambacho wale we- ngine hawakufanya? DOKEZO: Soma Luka 17:15, 16. Unaweza kuigaje mfa- no wake? DOKEZO: Soma Wakolosai 3:15; 1 Wathesalonike 5:18. Unapaswa kukumbuka kumshukuru nani kila siku? DOKEZO: Soma Zaburi 107:8; Yakobo 1:17. UTENDAJI WA FAMILIA: Mwombe kila mmoja katika familia aandike angalau sababu moja inayomfanya amshukuru Yehova Mungu, sababu moja inayofanya awe na shukrani kwa mshiriki fulani wa familia, na sababu moja inayofanya awe na shukrani kwa rafiki wa karibu ambaye si mtu wa fa- milia. Kisha andikeni orodha ya mambo ambayo mnaweza kufanya ili kuwaonyesha watu hao kwamba mna- wathamini. Ili uchapishe nakala zaidi za “Mazungumzo ya Familia,” nenda kwenye www.jw.org /sw www.jw.org © 2012 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania 1. Kunapaswa kuwa na wakoma 10, si 11. 2. Wakoma katika simulizi hilo walikuwa wanaume tu. 3. Mwanamume aliyerudi ‘alianguka kifudifudi miguuni pa Yesu, akamshukuru.’

Upload: trinhnga

Post on 09-Apr-2019

262 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: Kasoro Gani Katika Picha Hii? YA FAMILIA Kuna Kasoro Gani Katika Picha Hii? Soma Luka 17:11-19. Ni mambo gani matatu katika picha hii ambayo si sahihi? Andika majibu yako kwenye mistari

MAZUNGUMZO YA FAMILIA

Kuna Kasoro Gani KatikaPicha Hii?Soma Luka 17:11-19. Ni mambo gani matatu katika pichahii ambayo si sahihi? Andika majibu yako kwenye mistariiliyo hapa chini, na ukamilishe picha hii kwa kuipaka rangi.

1 ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝

2 ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝

3 ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝ ˝

ZUNGUMZENI PAMOJA: Mkomammoja alifanya nini ambacho wale we-ngine hawakufanya? DOKEZO: SomaLuka 17:15, 16. Unaweza kuigaje mfa-no wake? DOKEZO: Soma Wakolosai3:15; 1 Wathesalonike 5:18. Unapaswakukumbuka kumshukuru nani kilasiku? DOKEZO: Soma Zaburi 107:8;Yakobo 1:17.

UTENDAJI WA FAMILIA: Mwombekila mmoja katika familia aandikeangalau sababu moja inayomfanyaamshukuru Yehova Mungu, sababumoja inayofanya awe na shukrani kwamshiriki fulani wa familia, na sababumoja inayofanya awe na shukrani kwarafiki wa karibu ambaye si mtu wa fa-milia. Kisha andikeni orodha yamambo ambayo mnaweza kufanya ilikuwaonyesha watu hao kwamba mna-wathamini.

Ili uchapishe nakala zaidi za“Mazungumzo ya Familia,”nenda kwenye www.jw.org /sw

www.jw.org © 2012 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania 1.Kunapaswakuwanawakoma10,si11.2.Wakomakatikasimulizihilowalikuwawanaumetu.3.Mwanamumealiyerudi‘aliangukakifudifudimiguunipaYesu,akamshukuru.’