maisha ya kikristoyao mpya - shiriki masomo kutoka kwenye uwanafunzi 1na wakristo wengine kuwasaidia...

33
0 Mambo Ya Kimsingi Kwa MAISHA YA KIKRISTO Uwanafunzi 1 Huduma Ya Uwanafunzi "Kuufikia Ulimwengu mtu mmoja kwa wakati"

Upload: others

Post on 15-Feb-2020

54 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: MAISHA YA KIKRISTOyao mpya - Shiriki masomo kutoka kwenye Uwanafunzi 1na wakristo wengine kuwasaidia wa kue katika imani yao. - Fundisha na kuwahimiza wale unao jifunza nao washiriki

0

Mambo Ya Kimsingi Kwa

MAISHA YA KIKRISTO

Uwanafunzi 1

Huduma Ya Uwanafunzi "Kuufikia Ulimwengu mtu mmoja kwa wakati"

Page 2: MAISHA YA KIKRISTOyao mpya - Shiriki masomo kutoka kwenye Uwanafunzi 1na wakristo wengine kuwasaidia wa kue katika imani yao. - Fundisha na kuwahimiza wale unao jifunza nao washiriki

1

UWANAFUNZI 1

Huduma ya uwanafunzi

Kristo, kuwavua, Kujenga na kuwatuma watu kwa ajili ya Kristo! Huduma ya uwanafunzi ipo kuitimiza tume kuu ya Yesu Kristo mwana wa Mungu ku "Wafanya Mataifa yote kuwa wanafunzi"Kwa kuwavika Kuwafanya wengine kuwa wanafunzi.

The Discipleship Ministry

PO Box 880277 Pukalani, Hawai`i 96788

U.S.A. e-mail: [email protected]

Website: www.discipleshipministry.com

Mshirikishi -Kenson Kuba

Kenson Kuba ni mhitimu wa Multnomah School of the Bible. Ali hudumu kwenye kamati ya Campus Crusade for Christ kwa Miaka 12 ikiwemo Miaka sita akihudumu kule Papua New Guinea mahali aliishi na mkewe Gail, na watoto wao watatu. kwa sasa anafanya kazi kama

mtaalamu wa uchunguzi wa ubora wa maji kwenye Kisiwa cha Maui Hawaii, akiwa na jamii yake, na Mbwa wanne.

* Uwanafunzi 1. Nakiliwa mnamo 1999. Na Huduma ya Uwanafunzi Maandiko yote yamechukuliwa kutoka kwa Biblia Takatifu ya NIV,isipokua inapo elezwa. Iliyo chapishwa Mnamo mwaka wa 1973,1978,1984 Shirika la Biblia kimataifa ilitumiwa kwa ruhusa ya uchapishaji la Biblia la Zondervan. “ Iliyo Chapishwa mnamo Mwaka 1973, 1978, 1984 Jumuhia ya Biblia Kimataifa".

Page 3: MAISHA YA KIKRISTOyao mpya - Shiriki masomo kutoka kwenye Uwanafunzi 1na wakristo wengine kuwasaidia wa kue katika imani yao. - Fundisha na kuwahimiza wale unao jifunza nao washiriki

2

Yaliyomo

JINSI ya kutumi uwanafunzi 3

1. Hakikisho la Mungu 4

2. Msamaha wa Mungu 7

3. Nguvu za Mungu 11

4. Ushirika 15

5. Neno 1

6. Maombi 21

7. Kushuhudia 25

8. Uzidishaji wa kiroho 29

Agano la Uwanafunzi 32

Page 4: MAISHA YA KIKRISTOyao mpya - Shiriki masomo kutoka kwenye Uwanafunzi 1na wakristo wengine kuwasaidia wa kue katika imani yao. - Fundisha na kuwahimiza wale unao jifunza nao washiriki

3

Jinsi ya kutumia uwanafunzi 1 Makusudi Uwanafunzi 1 kimetengezwa kuwasaidia wakristo kumtukuza Yesu na kuwavika kuwafanya wengine kuwa wanafunzi!Kinaweza kutumiwa kwa masomo ya kibinafsi,ufuatilizi wa kikristo,uwanafunzi wa mmoja kwa mmoja, uwanafunzi wa kikundi au Seminaa ya mafundisho Kukitumia kitabu

Ufuatilizi & Uwanafunzi - Wakristo wapya wanahitajika kufundishwa masomo haya mara hiyo ili kuwapa msingi katika imani

yao mpya - Shiriki masomo kutoka kwenye Uwanafunzi 1na wakristo wengine kuwasaidia wa kue katika imani

yao. - Fundisha na kuwahimiza wale unao jifunza nao washiriki kitabu hiki cha uwanafunzi 1 na watu

wengine. Kila mara unapo yashiriki masomo haya na mtu mwengine hautawasadia wao tu katika maisha yao ya kikristo,lakini wewe pia utaendelea kukua unapo pata ufahamu mkuu wa neno la Mungu!

Muundo Sehemu kuu kwenye kila ukurasa inahusisha somo hali jedwali upande wa kulia limebeba,maswali,taarifa yenye manufaa,vifungu vinavyo husiana, na maagizo ya kukariri. Mkakati Masomo yaweza kufanywa bila maandalizi ya awali au yaweza kupeanwa na kurejelewa kwenye vipindi vya kujifunza SEHEMU KUU ~ Somo Soma kwenye masomo yote ukuzingatia nukuu za maandiko yote Maagizo yanayo ashiriwa na taswira * yakiwemo maagizo kupiga mstari kuweka mviringo au kuisoma sehemu fulani ya maandiko. Mwanafunzi kuzigundua kweli muhimu kwenye kila somo la Biblia. A Kufahamishwa Jedwali la kulia. Kwa kila somo - Umbo linalo akilisha somo,Kwenye jedwali kumsaidia mwanafu azingatie ufahamu wa kina - Swali la wazo linalo ashiriwa na kishale - kwenye jedwali humsaidia mwanafunzi - Inapeana maandiko ya ziada kutazama Hii inapaswa kuangaliwa kuupata ufahamu bora wa yale maandiko mengine yanafundisha kulihusu somo A Mwongozo wa kukariri unao ashiriwa na kishale, inaelzea andiko muhimu la kutafakari.

Page 5: MAISHA YA KIKRISTOyao mpya - Shiriki masomo kutoka kwenye Uwanafunzi 1na wakristo wengine kuwasaidia wa kue katika imani yao. - Fundisha na kuwahimiza wale unao jifunza nao washiriki

4

1. Hakikisho la Mungu Utangulizi Iwapo ungekufa leo unao uhakika gani ya kwamba unao uzima wa milele? Tia alama kwenye mraba unao angazia jawabu lako. Sina uhakika, pengine, Hakika kabisa. Kuna watu wengi ambao wame uthuria kanisa kwa miaka mingi,ambao bado hawana hakika kabi sa Kuwa na uhakika kuwa unao uzima wa milele inahusisha. Kweli nne zifuatazo fafanua uamuzi huu wa muhimu Kweli nne 1. Mungu muumba wetu ana tupenda

"Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda Ulimwengu hata akamtoa mwanae pekee, ili

kila amwamiye asipotee bali awe na uzima wa milele" Yohana 3:16

* Weka mviringo kwa neno linalo ieleza nia ya Mungu kutuelekea sisi (Yohana 3:16) * Piga mstari kwenye fungu linaloeleza jinsi Mungu alivyo uonyesha upendo upendo wake. * Piga mstari kwenye kile tunapaswa kufanya ili kuupata uzima wa milele. * Weka mviringo kwa wale uzima wa milele umetolewa.

“I Mwivi huja ili kuiba na kuua na kuangamiza mimi(Yesu) nimekuja ili wawe na

uzima kisha wawe nao tele” Yohana 10:10

* Piga mstari sababu Yesu anayoisema ameijia 10:10. * Weka mviringo kwa aina ya uzima anao taka tuwe nao. 2. Dhambi zetu zimetutenga na Mungu!

“ Kwa sababu wote wamefanya dhambi,na kupungukiwa na utukufu wa Mungu,”

Warumi 3:23

“Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti;bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Yesu kristo Bwana wetu.”

Warumi 6:23 * Weka mviringo ni watu wangapi wamefanya dhambi kulingana na Warumi 3:23. * Piga mstari matokeo ya dhambi kulngana na Warumi 3:23 & 6:23.

Upendo wa Mungu Upendo limetafsiri kutokana na neno la Kiyunani Agape linaloelezea upendo wa kiroho zaidi ya kihisia. upendo wa kihisia mara nyingi ni wa kujitakia,upendo wa Agape hupenda kile kinacho pendwa pasipo kujali gharama kwa yule anaye kipenda. Mauti ya kiroho Adhabu kwa dhambi zetu ni mauti. Mauti hii ni zaidi ya miili yetu kufa; separation from God Ni utenganao wa kiroho na Mungu. Wakati wa mauti yetu ya kimwili utengano huu unakuwa wa milele. Huu utengano kati ya mtu mwenye dhambi na Mungu ni mpana sana kiasi kwamba haijali tunaweza kuwa"wema" kiasi gani,hatuna uwezo wa kuliziba pengo, Kufanya hivyo ingekuwa kama kuogelea kutoka Hawaii mpaka Los Angeles umbali wa maili 2000 juu ya bahari iliyo wazi. Haijalishi mtu ni muogeleaji mzuri kivipi,hata aliye bora atashindwa. Warumi 3:10-20

Page 6: MAISHA YA KIKRISTOyao mpya - Shiriki masomo kutoka kwenye Uwanafunzi 1na wakristo wengine kuwasaidia wa kue katika imani yao. - Fundisha na kuwahimiza wale unao jifunza nao washiriki

5

3. Yesu Kristo,Mwana wa Mungu,alikufa msalabani kwa ajili ya dhambi zetu!

“Yesu akamjibu, "Mimi ndimi njia, na kweli na uzima.Mtu haji kwa Baba,ila kwa njia ya mimi” Yohana 14:6

* Weka mviringo kwa vitu vitatu ambavyo Yesu anajitajia katika Yohana 14:6. * Weka mviringo ninani awezaye kumjia Mungu pasipo Kristo.

“Bali Mungu aonyesha pendo lake yeye mwenyewe kwetu sisi,kwa kuwa Kristo alikufa kwa ajili yetu tulipo ku wa tungali wenye dhambi:" Warumi 5:8

* Piga mstari jinsi Mungu ame udhihirisha upendo wake kwetu, katika Warumi 5:8. * Weka mviringo tulikuwa katika hali gani Mungu alipo tupenda.

“Kwa maana naliwatolea ninyi hapo mwanzo yale niliyo yapokea mimi mwenyewe,yakuwa Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu,kama ya nenavyo

maandiko,nayakuwa alizikwa, nayakuwa alifufuka siku ya tatu,kama yanenavyo maandiko;Na yakuwa alimtokea Kefa tena na wale thenashara. Baadaye aliwatokea ndugu zaidi ya mia tano pamoja,katika hawa wengi wanaishi mpaka sasa,ila baadhi

yao wamelala.Baadaye akamtokea Yakobo; tena na mitume wote,na mwisho wa watu wote alinitokea mimi kama ni mtu aliyezaliwa si kwa wakati wake.”

1Wakorintho 15:3-6 * Piga mstari vitu vinne Kristo alivinya kwa mujibu wa 1Wakorintho 15:3-6. * Weka mviringo kwa watu Kristo alio tokea akiwa hai baada ya kufufuka toka kwa wafu. 4. Lazima tumpokee Yesu Kristo kama Mwokozi na Bwana!

“Bali wote waliompokea,aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu” Yohana 1:12

* Weka mviringo vitu viwili tunavyo hitajika kufanya kufanyika wana wa Mungu (Yohana 1:12)

“Kwa maana mmeokolewa kwa neema,kwa nia ya imani;ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu; wala si kwa matendo mtu awaye yote asije

akajisifu.” Waefeso 2:8-9 * Weka mviringo jinsi tunavyo okolewa kwa mujibu wa Waefeso Ephesians 2:8-9. * Piga mstari kwa nini Mungu alichagua kutuokoa kwa njia ya Imani badala ya matendo Waefeso 2:8-9. Kumpokea Kristo Je, wewe kibinafsi umempokea Yesu Kristo kama mwokozi wako na kumtumainia kukusamehe dhambi zako? Kama sivyo,ungependa,je haungependa? omba sala ifuatayo ili kuufanya uamuzi huu wamuhimu sasa hivi!

“Bwana Yesu mpendwa, ninakiri ya kuwa nimekutenda dhambi na ninahitaji msamaha wako. Ahsante kwa kufa msalabani kwa nafasi yangu msalabani.Nina kupokea maishani mwangu,na kukutumainia wewe tu kama Mwokozi na Mungu.

Kwa jina lako nimeomba Amina!"

Kariri! - Yesu ana maanisha nini anapodai kuwa "njia"? "kweli"? "uzima"? Matendo 4:12 1 Timotheo 2:5 1 Yohana 5:11 - N' nini cha muhimu kumuhusu Mungu kutupenda hata kabla tumjue na hata kujali habari zake? Yesu Kristo ~ Kipawa cha Mungu Mungu anamtoa Mwanae,Yesu Kristo, kama malipo ya dhambi zetu.Kristo alipo kufa msalabani, kifo chake Kililipa adhabu ya dhambi zetu.Hii ndio sababu uzima wa milele unapatikana tu kwa njia ya Kristo. 2 Wakorintho 5:15 & 21 Waefeso 1:7 1 Petro 3:18 Warumi 10:9-10 - Je, tuna juaje kuwa Kristo alifufuka toka kwa wafu? - Je, unafikiri watu hawa wote wangekosea? Kariri! Kumpokea Kristo Neno 'kumpokea Kristo linatumiwa kulieleza tendo la kumuamini Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi, na kuyatumainia yote ameyafanya msalabani kuununua msamaha wetu. Kariri! - Kwa nini unafikiri Mungu ameuweka uzima wamilele kwenye imani yetu badala ya matendo yetu? Muhimu Siyo maneno yaliyo muhumu bali imani yetu. Sharti tumtumainie Kristo kutusamehe dhambi zetu kwani aliahidi kufanya hivyo.

Page 7: MAISHA YA KIKRISTOyao mpya - Shiriki masomo kutoka kwenye Uwanafunzi 1na wakristo wengine kuwasaidia wa kue katika imani yao. - Fundisha na kuwahimiza wale unao jifunza nao washiriki

6

Huduma ya Uwanafunzi Hakikisho la Uzima wa milele - Yasome mafungu ya Biblia yafuatayo kisha uyajibu maswali yafuatayo jinsi ya kuwa na hakikika kuwa unao uzima wa milele katika Kristo Yesu.

“Na huu ndio ushuhuda: Mungu ametupatia uzima wa milele,na huu uzima uko katika

mwanaye Aliye na Mwana anao uzima; asiye na Mwana hana uzima. Nawaandikia mambo haya ili muamini katika jina la Mwana wa Mungu,ili mpate kujua yakuwa mnao uzima wa milele.”

1 Yohana 5:11-13 * Weka mviringo yale Mungu ametupatia, kulingana na 1 Yohana 5:11-13. * Piga mstari mahali Uzima wa milele unapatikana. * Weka mviringo kile mtu anapata iwapo anaye Yesu. * Weka mviringo kile mtu hana iwapo hajampata Yesu Kristo. Kulingana na fungu hili je, mtu anaweza kufahamu kwa hakika kwamba anao uzima wa milele?

� Ndiyo � La * Piga mstari jawabu la fungu hili kwa swali hili. * Weka mviringo ni akina nani wanaoweza 'kujua' kuwa wanao uzima wa milele. Je, unaye Kristo maishani mwako? � Ndiyo � La Ikiwa 'ndiyo' n' nini kingine ulipokea toka kwa Mungu,?

� Uso kamili na mwili wakuambatana. � Utajiri wa Kifetha � Uzima wa milele

Matumizi Tuta tamatisha na swali lilo hilo tulilo anza nalo “Iwapo unge kufa leo je, una uhakika ya kuwa unao Uzima wa milele?" “Ninalo hakikisho kuwa ninao Uzima wa milele,iwapo ninge kufa leo,najua ningekuwa Mbinguni na Mungu.”

Sahii Tarehe (Iwapo hauna uhakika kwamba unao Uzima wa milele soma tena 1Yohana 5:11-13 iliyo juu. Jadili swali lolote unalo weza kuwa nalo na Mchangaji au Muhuduma wako. Ni ya umuhimu kwamba uelewe somo hili maana ndilo msingi wa mengine yote!)

Kariri! Msingi wa hakikisho letu Uzima wa milele hautegemei jinsi tulivyo wema,au jinsi tuavyo hisi. Uko kwenye imani yetu katika Yesu Kristo.Tambua kwamba mafundisho katika 1 Yohana 5:11-13 yameandikiwa “Wale wanao mwamini mwana wa Mungu”! - Je, 1Yohana John 5:14-15 yahusiana vipi na yale yanafundishwa katika 1Yohan 5:11-13? Warumi 1:16-17 Hakikisho 1. Kristo alikufa msalabani kwa ajili yangu. 2. Mungu atanipokea mbinguni nikifa maana ali ahidi hivyo. 3. Ninao uzima wa milele kwa sababu ninaye Kristo! A Ombi Baba, ninakusifu maana umewaahidi uzima wa milele wote wanao mwami Mwanao Yesu Kristo. Na ahadi zako ni hakika kwani wewe husemi uongo, wala haubadilishi nia, na ninakushukuru kwa hakikisho nililo nalo katika Kristo!Amina

Page 8: MAISHA YA KIKRISTOyao mpya - Shiriki masomo kutoka kwenye Uwanafunzi 1na wakristo wengine kuwasaidia wa kue katika imani yao. - Fundisha na kuwahimiza wale unao jifunza nao washiriki

7

2. Msamaha wa Mungu UTANGULIZI Je, ungekamilishaje usemi ufuatao? Mtu anapo kuwa mkristo, ... � Ni dhambi anazo ziungama tu zina samehewa. � Dhambi zake zote.Za wakati ulio pita zina samehewa. lakini siza wakati ujao. � Anakamilika na hawezi kutenda dhambi tena. � Dhambi zetu zote za wakati ulio pita sasa, wakati ujao zina samehewa. Tatizo yote yanayo wa kabili wakristo ni dhambi. Katika masomo mawili yafuatayo,hatuta jifunza tu jawabu sahihi kwa neno lililo juu,lakini pia suluhisho la Mungu kuwasaidia wakristo kuzishinda dhami maishani mwao! Kukabiliana na dhambi Somo hili litayajibu maswali manne yatakayo tufundisha jinsi ya kukabiliana na dhambi maishani mwetu: 1. Dhambi n' nini? 2. Ni nani atendaye dhambi? 3. Jawabu la Mungu kwa dhambi n' nini? 4. Tufanye nini tutendapo dhambi? 1. Dhambi ni nini? Neno dhambi hulitafsiri neno la Kiyunani linalo maanisha “kuikosa alama”. Linaelezea mahali mshale unatua na shabaha iliyokusudiwa. Ona jinsi inavyo tumiwa katika fungu la Biblia lifuatalo.

“Kwa maana wote wametenda dhanbi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu,” Warumi 3:23

Warumi 3:23 Inaielezea dhambi kama “ kupungukiwa na utukufu wa Mungu”.Dhambi ni kushindwa kwa mwanadamu kuishi kwa mujibu wa kiwango kamili cha Mungu. Sote tumeivunja sheria kamili ya Mungu ya kimaadili, katika matendo au mawazo. Hata kushindwa kwetu kutenda kile tujuacho ni chema ni dhambi, Hivyo hakuna mmoja kati yetu mkamilfu au asiye na hatia! Matokeo ya dhambi

“ Nafsi itendayo dhambi ndiyo itakayo kufa.” Ezekieli 18:20

* Weka mviringo kwa neno linalo elezea matokeo ya dhambi. Je, unaamini watu wanaozihalifu sheria za kimaadili wanihitajika kuathibiwa? Hata Mungu pia! Dhambi huleta hukumu ya Mungu ya mauti juu ya wote wenye hatia ya kuzivunja sheria zake kamilifu za kimaadili.

Dhambi ‘hamartia (Kyn) - Kuikosa alama - Kukosea - Kutenda kosa Kariri! - Fikiri juu ya mtu mzuri sana unaye jua,je, unaweza kusema mtu huyo ni mkamilifu? Mbona ndiyo au la? Yakobo 2:10 Yakobo 4:17

Page 9: MAISHA YA KIKRISTOyao mpya - Shiriki masomo kutoka kwenye Uwanafunzi 1na wakristo wengine kuwasaidia wa kue katika imani yao. - Fundisha na kuwahimiza wale unao jifunza nao washiriki

8

2. Ni nani atendaye dhambi? * Weka mviringo neno katika Warumi 3:23 (Ukurasa ulio tangulia) linaloelezea Mungu humuhesabia mtu yupi kuwa mtenda dhambi.

“Tukisema kwamba hatuna dhambi, twajidanganya wenyewe wala kweli haimo mwetu, tukisema kuwa hatukutenda dhambi, twamfanya Yeye kuwa mwongo wala

neno lake halimo mwetu.” 1Yohana 1:8,10

* Piga mstari jinsi 1 Yohana 1:8,10 ina wataja wakristo wanao dai kuwa hawana dhambi au hawajatenda dhambi. 3. Suluhisho la Mungu juu ya dhambi n' nini? * Soma mafungu ya Biblia yanayo elezea suluhisho la Mungu kwa dhambi yaliyo orodhesha pale chini. “Na ninyi mlipokuwa mmekufa kwa sababu ya makosa yenu na kutokutahiriwa kwa

mwili wenu, aliwafanya hai pamoja naye akiisha kutusamehe makosa yote Akiisha kuifuta ile hati iliyo andikwa ya kutushtaki kwa hukumu zake iliyo kuwa na uadui

kwetu,akaiondoa isiwepo tena akaigongomea msalabani.” Wakolosai 2:13-14

“Basi Yesu akisha kuipokea ile siki, alisema imekwisha akainama kichwa,

akaisalimu roho yake.” Yohana 19:30

“Yeye "Yesu"asiyeijua dhambi alimfanya kuwa dhambi kwa ajili yetu, ili sisi tupate

kuwa haki ya Mungu katika yeye.” 2 Wakorintho 5:21

In Katika Wakolosai 2:13-14, Mtume Paulo anatumia mfano tokana na mchakato wa kisheria. Katika wakati wake, waalifu walio hukumiwa walipewa "hati ya mashtaka", iliyo orodhesha uhalifu wote waliofanya pamoja na hukumu iliyo hitajika kwa mujibu wa mahakama. Baada ya kukamilisha kifungo, mahakama ilichukuwa ile hati ya", mash taka",nakuweka muhuri wenye maneno haya ya kiyunani “tetelestai”, yanayo maanisha imelipiwa kikamilifu. Haya ni maneno haswa, Yesu alitumia katika Yohana 19:30 aliposema, “imekwisha”, kabla afe msalabani * Weka mviringo ni ngapi kati ya dhambi zako zili samehewa kwa mujibu wa Wakolosai 2:13-14. * Piga mstari juu kile Mungu alifanya na “hati ya mashtaka” iliyo beba orodha ya dhambi zetu na adhabu ya mauti. Kwa “Igongomea msalabani” na Mungu katika hali anamfanya mwanaye Yesu, kulipia dhambi zetu kwa kufa msalabani kwa na fasi yetu. Yesu asinge zilipia dhambi zetu sisi tunge hitajika kfanya hivyo. * Weka mviringo kwenye neno “imekwisha katika Yohana 19:30. andika imelipiwa kikamifu juu yake. * Piga mstari mbona Mungu alifanya hivi kulingana na 2 Wakorintho 5:21.

Mithali 20:9 Muhubiri 7:20 Isaya 53:6 Isaya 64:6 - Je, Mungu angeweza kutusamehe pasipo ya kumu dhabihu Mwanaye msalabani, Mbona ndiyo au la? Kifo cha Yesu Kristo msalabani kili timiza sifa mbili za Mungu. Kili timiza Utakatifu wake, unao hitaji dhambi kuadhibiwa, na kutimiza Upendo Wake ambao unatamani wokovu wa mwanadamu. Kuipitia dhabihu ya Yesu.Mungu anaweza kuuthihirisha upendo Wake kwa mwanadamu, huku akiudumisha utakatifu Kariri! Wanathiolojia hukielezea kifo cha Yesu msalabani upatanishi kwa niaba ya, maana Yeye ni mwenye kuichukua nafasi yetu akiichukua adhabu ya dhambi zetu Yeye mwenyewe!

Page 10: MAISHA YA KIKRISTOyao mpya - Shiriki masomo kutoka kwenye Uwanafunzi 1na wakristo wengine kuwasaidia wa kue katika imani yao. - Fundisha na kuwahimiza wale unao jifunza nao washiriki

9

4. Tunapaswa kufanya nini tufanyapo dhambi?

“Tukiziungama dhambi zetu (Mungu)ni mwaminifu na mwenye haki kututakasa na udhalimu wote."

1Yohana John 1:9 1Yohana John 1:9 Imeitwa "Sabuni ya kipande ya wakristo" Maana imeubeba ufunguu wa kuzishughulikia dhambi maishani mwetu. Kifungu hiki kinaelezea hatua tunayo hitajika kuchukua tufanyapo dhambi. * Weka mviringo kwenye neno linaloelezea tendo hili. Neno kuungama linatokana na neno la Kiyuna linalo maanisha kukubali Kukubaliana na Mungu yakuwa tumetenda dhambi! Fahamu pia ya kuwa kifungu hicho pale juu ni neno lenye masharti. Tukiziungama dhambi zetu, Mungu atayafanya mambo mawili kwetu. * Weka mviringo mambo hayo mawili. Matumizi 1. Omba na kumuuliza Mungu akufunulie dhambi yoyote ambayo hauja ungama kwake. 2. Ungama kwa Mungu kwa kukubali ya kwamba umetenda dhambi.Usitoe vijisababu kwa dhambi zako 3. Geuka uziache dhambi zako na umuombe Mungu akusaidie kutozitenda tena. 4. Dai zile ahadi mbili ambazo Mungu anawapa wale waziungamao dhambi zao kwa mujibu wa 1 Yohana John 1:9. 5. Mshukuru Mungu kwa msamaha wake kama kielelezo cha imani yako! 6. Kariri 1 Yohana 1:9. Habari njema zaidi!

“Kisha anaongeza : "Dhambi zao na uasi wao sitaukumbuka tena kabisa." Waebrania 10:17

“Kama mashariki ilivyo mbali na magharibi,ndivyo alivyoweka dhambi zetu mbali

nasi .” Zaburi 103:12

“Haya,njoni, tusemezane,asema Bwana dhambi zenu zijapo kuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji;zijapo kuwa nyekundu kama bendera zita kuwa kama

sufu.” Isaya 1:18

Tafakari! Zaburi 32:5 Kukiri A homologeo (Kyn) homo = fanana logeo = kusema ‘Kusema yanayo fanana’ au kukubali - Mbona Mungu ana dai sisi tuziungame dhambi zetu ili tusamehewe? - Kwa nini ni ya muhimu ku “geuka mbali ” na dhambi zetu na sio tu kuziungama? Mafungu matatu ya Biblia kushoto yanauelezea msamaha wetu katika njia tatu tofauti. - Tambua Mungu anayajua mambo yote,unafikiri inamaanisha nini, wala hata zikumbuka dhambi? (Waebrania 10:17) - Mashariki iko umbali gani na magharibi? (Zaburi 103:12) - Je, Theluji ni nyeupe kiasi gani? (Isaya 1:18) - Tokana na vifungu hivi,msamaha wetu umekamilika kiasi gani katika Kristo? - Kariri moja wapo ya vifungu hivi.

Page 11: MAISHA YA KIKRISTOyao mpya - Shiriki masomo kutoka kwenye Uwanafunzi 1na wakristo wengine kuwasaidia wa kue katika imani yao. - Fundisha na kuwahimiza wale unao jifunza nao washiriki

10

Maswali na majibu S: Je, dhambi zangu zote zimesamehewa au zile za kale tu? J: Kristo alizifia dhambi zetu zote: wakati ulio pita,sasa na wakati ujao. S: Ikiwa Mungu amenisamehe dhambi zangu zote,Kwa nini basi nahitajika kuziungama kwake. J: Kukiri, kunaturuhusu kuupata msamaha ambao tayari ni wetu katika Kristo Dhambi huuvunja ushirika wetu na Mungu,sio uhusianiano wetu naye.Uhusiano wetu na Mungu kama watoto wake ni kwa mujibu wa upendo wake kwetu usio na masharti, Lakini ushirika wetu Naye unatutegemea sisi kuudumisha utembezi wa ukaribu naye.Wakati dhambi huuvunja huu ukaribu,kuungama huurejesha! S: Na je,iwapo bado nina hisi hatia hata baada ya kuungama? J: Hatia yoyote inayo salia baada ungamo halisi haitokani na Mungu. Shetani, mshitaki wetu hufurahia kutuweka kwenye safari ya hatia ili kutuzuia kumtumikia Mungu! S: Je, ni kwanini nina paswa kuziungama dhambi zangu? J: Kuziungama dhambi mara kwa mara huuweka ushirika wetu na na Mungu wazi na mpya.Ina uweka moyo kuwa mgumu mbele za Mungu S: Na je habari kulipia gharama? J: Ikiwa dhambi yako imemuuza mtu fulani,unahitaji kuomba msamaha,kugharimia hasara iwapo inahitajika S: Je, ninahitatiji kuziungama dhambi zangu mara ngapi? J: kama jinsi nilivyo taja pale juu, 1 Yohana 1:9 ni Sabuni ya kipande ya mkristo”. Unajiosha kwa Sabuni ya kawaida mara kadha inavyo hitajika, hivyo unahitaji kuungama mara nyingi iwezekanavyo Ungama dhambi zako mara Mungu anavyo kushawishi kuusiana nazo, Hali yoyote ya kuchelewa inampa Shetani nafasi maishani mwetu.

Waebrania 10:8-18 Ayubu 1:1-11 Zakaria 3:1 Ufunuo 12:9-10 Zaburi 66:18 Mathayo 5:23-24 Waefeso 4:26-27

Page 12: MAISHA YA KIKRISTOyao mpya - Shiriki masomo kutoka kwenye Uwanafunzi 1na wakristo wengine kuwasaidia wa kue katika imani yao. - Fundisha na kuwahimiza wale unao jifunza nao washiriki

11

3. Nguvu za Mungu Utangulizi Je, ungelikalishaje neno hili? Kikolezo muhimu kuishi maisha ya kikristo niku ... � Kuujaza Moyo na maandiko. � Kuomba jinsi uwezavyo. � Kuhuthuria mikutano ya motisha ya kikristo. � Kujihusisha katika huduma. � Kuchagua kutenda yaliyo mema kwa njia ya Mungu. � Hakuna mojawapo kwa hayo. Kila mojawapo ya chaguo zilizo juu ni ya muhimu kwa kuyaishi maisha ya ki kristo, lakini hakuna inayo hitimu kama iliyo muhimu sana” maana zote haziwezi kushughulikia kizuizi cha kimsingi ambacho wakristo wanapaswa kukishinda, Kizuizi hiki hakiyafanyi maisha ya kikristo kuwa magumu kuishi, bali kuwa isiyo wezekana kuishi! Kwenye somo hili, tutajifunza juu ya upeanaji wa Mungu kulishinda tatizo hili! Kwanini hatuwezi kuishi maisha ya kikristo Kizuizi cha kimsingi kinacho wazuia wakristo ni asili ya dhambi. Kinyume na imani ya kuwa zote huzaliwa bila hatia, Maandiko yanafundisha kuwa hatufanyiki watenda dhambi, bali tunazaliwa watenda dhambi. Chukulia yafuatayo, yaliandikwa na Mfalme Daudi, ambaye Mungu anamuelezea kama “Mtu anaye utafuta moyo wangu”. Zaburi 51:5 Tangia wakati tulichukuliwa mimba, tulikuwa tayari tumeharibiwa na dosari la kufisha...hali ya kurithi ambayo inafanya kutenda dhambi sehemu ya asili yetu! * Soma jinsi maandiko yafuatayo yanalielezea tatizo hili. “Hakuna mwenye haki hata mmoja, hakuna anaye fahamu, hakuna amtafutaye Mungu hakuna amtafutaye Mungu. Kila mtu ameigeukia njia yake, wote wamepotoka, hakuna atendaye mema, hakuna hata mmoja.” Warumi 3:10-12" “(Yesu alisema) Maana kutoka ndani ya mioyo ya watu, hutoka mawazo mabaya, zinaa, wizi, mauaji, uzinzi, tamaa mbaya, ubaya, uongo, ukaidi, wivu, matukano, majivuno upotovu. Haya yote hutoka ndani ya moyo nakumfanya mtu kuwa najisi'." Marko 7:21-23 “Moyo wenye dhambi unamchukia Mungu. Wala haujitiishi chini ya sheria ya Mungu, wala haiwezi kufanya hivyo. Wanao tawaliwa na asili ya dhambi hauwezi kumpendeza Mungu.” Warumi 8:7-8

- Iwapo sisi ni watenda dhambi wakati wakuzaliwa basi unafikiri dhambi yatoka wapi? Zaburi 58:3 Ayubu 15:14 Warumi 5:12 - Iwapo hakuna amtafutaye Mungu, je, basi mwishoe twampata vipi? Yohana 6:65 Mathayo 11:27 Mathayo 16:17

Page 13: MAISHA YA KIKRISTOyao mpya - Shiriki masomo kutoka kwenye Uwanafunzi 1na wakristo wengine kuwasaidia wa kue katika imani yao. - Fundisha na kuwahimiza wale unao jifunza nao washiriki

12

Kwa sababu ya asili yetu ya dhambi, haijalishi twayafahamu maandiko mangapi, haijalishi tunaomba mara ngapi, haijalishi tutahuthuria mikutano ya motisha mingapi, haijalishi tunajihusisha katika huduma kivipi,au haijalishi tuna taka kiasi gani kutenda vema, juhudi zetu bora zitashindwa kwa sababu hazishugulikii tatizo kuu! ikifanywa kwa nguvu zetu wenyewe When,kazi hizi haswa huleta kiburi cha kiroho Lakini Mungu amepeana suluhisho kwetu Suluhisho la Mungu Suluhisho la Mungu kwa asili yetu ya dhambi ni , kutupatia Asili mpya! alifanya kwa kumuweka Roho wake Mtakatifu ndani yetu wakati tunampokea Yesu Kristo! * Yasome maandiko yafuatayo yanayo uelezea muujiza huu.

“Yesu akamjibu, ‘amini nakuambia, mtu hawezi kuuingia ufalme wa Mungu asipo zaliwa kwa maji na Roho.Kilicho zaliwa kwa mwili ni mwili na kicho zaliwa kwa Roho ni Roho.Usistaajabu kwa kuwa nilikuambia hamna budi kuzaliwa mara ya

pili.’” Yohana 3:5-7

“Hata imekuwa mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya, ya kale yamepita, tazama! yamekuwa mapya” 2 Wakorintho 5:17

“Na mfanywe upya katika roho za nia zenu; Mkavae utu mpya, ulioumbwa kwa

namna ya Mungu, katika haki na utakatifu wa kweli. Basi uvueni uongo mkaseme kwa kila mtu na jirani yake kwa maana tu viungo kila mmoja kiungo na mwenzake.

Waefeso 4:23-24 * Weka mviringo maneno yaliyo kwenye mafungu yaliyo juu yanayo itaja asili yetu mpya. Roho wa Mungu hupachika Asili mpya na nguvu ndani yetu!

“Nami nitawapa moyo mpya, nami nitatia roho mpya ndani yenu, nami nita toa moyo wa jiwe ulio ndani ya mwili wenu.Nami nitatia Roho yangu ndani yenu, na

kuwaendesha katika sharia zangu, nanyi mtazishika hukumu zangu na kuzitenda.” Ezekieli 36:26-27

“Lakini mtapokea nguvu akisha kuwajilia Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa

mashahidi wangu katika Yerusalemu, na katika katika Uyahudi wote na Samaria na hata miisho ya Nchi.” Matendo 1:8

* Weka mviringo vitu vitatu ambavyo Mungu hutupatia katika Ezekieli 36:26-27. * Piga mstari vitu viwili ambavyo hutokea Mungu anapo muweka Roho wake ndani mwetu. * Weka mviringo kile tunapokea akisha tujilia Roho Mtakatifu katika in Matendo 1:8. (Neno “nguvu” hapa la maanisha uwezo wa kuikamilisha kazi) Roho wa Mungu hutupatia shauku (Ezekieli 36:26-27) na nguvu ( Matendo 1:8) ya kuyatenda mapenzi yake! * Soma Wafilipi 2:13 chini hapa kutoka kwa tafsiri ya The Living Bible.

“Maana Mungu anatenda kazi ndani yenu, akiwasaidieni kutaka kumtii yeye na pia kuwasaidieni kuyanya yale anayo taka.” Wafilipi 2:13 (TLB)

Dini dhidi ya Ukristo Dini nyingi hufundisha kwamba tunahitaji kufungamana na kiwango fulani cha masharti ya kiroho au sheria ili kuufikilia ukamilifu. Ukristo hufundisha kwamba mwanadamu hana uwezo wa kujibadilisha mwenyewe. Kinachohitajika haswa ni maisha mapya - Ni maneno yapi katika kila mojawapo ya mafungu ya Biblia, kushoto, yanalielezea wazo hili ? Wakolosai 3:10 - Je, nini muhimu kwa neno Moyo wa jiwe”na “ Moyo wa nyama”? Roho wa Mungu ndani mwetu Shauku ndani mwako ya kumpendeza Mungu ni kazi ya Roho mtakatifu moyoni mwako. Ni ushahidi wa Asili mpya uliyoirithi ulipozaliwa mara ya pili kwa Roho wa Mungu. Kariri!

Page 14: MAISHA YA KIKRISTOyao mpya - Shiriki masomo kutoka kwenye Uwanafunzi 1na wakristo wengine kuwasaidia wa kue katika imani yao. - Fundisha na kuwahimiza wale unao jifunza nao washiriki

13

Matumizi Kuzaliwa kimwili à Kuzaliwa kiroho à Kifo cha kimwili à Umilele Asili ya dhambi à Asili mpya Mchoro ulio juu unaonyesha hali yetu kama wakristo. Tunazaliwa Duniani humu tukiwa na Asili ya dhambi. Lakini mara tunapo mtumainia Yesu Kristo kuupata msamaha Tunazaliwa “born again mara ya pili” na Asili mpya ambayo sio mimi mpya tu, bali mimi halisi, Asili ya dhambi, au mimi wa kale kamwe haiwezi kumpendeza Mungu na hata haiki, lakini Asili yetu mpya haitamani tu, bali inaweza kumpendeza Mungu kwa nguvu za Roho Mtakatifu. Tambua ya kuwa Asili ya dhambi ya mkristo itakoma wakati wa mauti, hali Asili yetu mpya itaendelea milele! Changamoto tunazo pata katika maisha haya ni vita kati ya hizi Asili mbili kuyatawala katika mawazo yetu, mioyo yetu na miili yetu. Vipo vitani ndani mwetu. Habari njema ni kwamba mng'ang'ano huu ni wa muda tu (eneo lilo pakwa)! Mara tuko huru tokana na Asili ya dhambi, Asili yetu mpya haitazuiliwa kamwe kuyafanya mapenzi ya Mungu! Ni muhimu kuelewa ya kuwa ufunguo kwa ushindi ni Roho wa Mungu aliye ndani yetu. Ni kwa kumruhusu Roho wake tu, kuishi kutupitia sisi ndipo tuta yaona mapenzi ya Mungu na nguvu zake! (Tazama Wafilipi 2:13 Kwenye ukurasa wa 12 tena) * Jifunze waefeso 5:18 pale chini. Mkajazwe na Roho

“Tena msilewe kwa mvinyo ambamo mna ufisadi, bali mkajazwe na Roho.” Waefeso 5:18

Waefeso 5:18 inatufundisha kuutumia upeanaji wa Mungu ili kuishinda dhambi. * Weka mviringo kile tunahitaji kufanya na Roho. Mkajazwe” la maanisha kujazwa kikamilifu means to be filled to the full! Mtu aliye A jazwa na Roho” haachi nafasi ya Asili ya dhambi kuyatawala maisha yake! Vifaa vifuatavyo vya kitenzi “Mkajazwe” inatusaidia kuielewa na kuitumia.

Warumi 7:22 Wafilipi 2:13 Wagalatia 5:16-17 - Je, waweza kukumbuka tukio katika maisha yako, wakati Asili yako mpya na Asili ya dhambi zilipigana ndani mwako? Kariri! - Je, kulewa, kunahusishwa vipi na kujazwa na Roho?

Page 15: MAISHA YA KIKRISTOyao mpya - Shiriki masomo kutoka kwenye Uwanafunzi 1na wakristo wengine kuwasaidia wa kue katika imani yao. - Fundisha na kuwahimiza wale unao jifunza nao washiriki

14

Amri: Kitenzi hiki chafundisha kwamba tuna “jazwa na Roho kwa tendo la hiari yetu”! Mungu hatuulizi kujazwa na Roho wake iwapo tuna jihisi kufanya hivyo Mungu anatuamuru kujazwa. Haijalishi tuna hisi vipi... haijalishi hali zetu ziko vipi, twaweza kuchagua kujazwa na kumruhusu Mungu kutawala juu ya maisha yetu! Kazi ya Mungu: Kitenzi hiki pia kina ashiria ya kuwa ni Mungu ndiye anaye tujaza. Sisi tunajipeana tu kwake! Tunapo yatoa maisha yetu kwa Mungu, Roho wake hututia nguvu na shauku zake na uwezo! Wakati wa sasa: Mwishoe, kifungu hiki kinatuamuru kuendelea kumruhusu Roho wa Mungu kutujaza ~ Wakati kwa wakati, saa kwa saa, Siku kwa siku, day by day. Hapana ruhusa na hakuna nafasi kwa Asili ya dhambi kutawala! Tunawezaje kuwa na hakika ya kuwa Mungu atatujaza na Roho wake? Kwa maana ali ahidi atatujaza, na Mungu hadanganyi! * Isome ahadi yake katika 1 Yohana 5:14-15. “Huu ndio ujasiri tulio nao kwa Mungu: Yakuwa tukiomba kitu chochote kulingana

na mapenzi yake, Yeye hutu sikia. Na iwapo twajua kwamba atusikia ~ chochote tuombacho ~ Twajua yakuwa tumepokea kile tumuombacho” 1Yohana 5:14-15

* Weka mviringo nia tunayo hitaji kuwa nayo tunapo mukaribia Mungu. * Piga mstari hoja ambazo Mungu husikia. * Piga mstari matokeo wakati Mungu anayasikia maombi yetu. 1. Je, ni mapenzi ya Mungu kwetu sisi kujazwa na Roho wake? � ndiyo � la 2. Tuki muomba Mungu atujaze na Roho, je, atatusikia? � ndiyo � la 3. Iwapo tunajua Mungu atatusikia, je, twaweza kuwa na hakika tumejazwa? � ndiyo � la Matumizi Hatua zifuatazo zaweza kutusaidia kuwa na nguvu za Mungu mfululizo: 1. Kiri ~ Kuto jazwa na Roho wa Mungu kikamilifu ni dhambi Ungama hili kwa Mungu na udai msamaha wake. (1 Yohana 1:9). 2. Ukajazwe na Roho mtakatifu ~ Muulize Mungu akujaze na Roho wake! Mruhusu atawale akilini mwako, moyo na mwili! Omba “Mungu mpendwa, nisamehe kwa kuiruhusu dhambi kutawala maishani mwangu. Sasa nautoa moyo wangu, akili zangu na mwili wangu kwako na kukuomba unijaze na Roho wako. Nakutaka wewe utawale maishani mwangu! ahsante Mungu kwa kuyasikia na kuyajibu maombi yangu! Kwa jina la Yesu. Amina”

Tito 1:2 Tafakari! Kuomba kwa ajili ya mapenzi ya Mungu 1 Yohana John 5:14-15 inaweza kutumiwa wakati tuombapo chochote kwa mapenzi ya Mungu. Twaweza kuwa na ujasiri yakuwa Mungu atayajibu maombi hayo kwa sababu ali ahidi hivyo.

Page 16: MAISHA YA KIKRISTOyao mpya - Shiriki masomo kutoka kwenye Uwanafunzi 1na wakristo wengine kuwasaidia wa kue katika imani yao. - Fundisha na kuwahimiza wale unao jifunza nao washiriki

15

4. Ushirika Utangulizi Mtoto amezaliwa. Miaka kumi baadaye, bado yuko katika kimo na kiwango kama vile alivyo zaliwa! Mwiitikio wako wa mara � “Wau. Bado mtoto huyu apendeza kweli” � “Sawa ... Nakisia watoto wengine hukua polepole kuwaliko wenzao” � “Mpeleke mtoto huyu kwa Daktari ...Wau!” Haimuhitaji Daktari kwenye hadidhi yetu kutambua yakuwa mtoto ana kasoro. Watoto wa kawaida hukua na kukomaa, ni kasoro kutofanya hivyo! Wakati Mungu alimuweka Roho Mtakatifu wake ndani mwako, ulipo muamini Kristo kwa ajili ya msamaha,"ulizaliwa mara ya pili" Kiroho. Mara ukafanyika sehemu ya jamii ya Mungu ya milele,"kiumbe kipya" katika Kristo, umeumbwa kukua kufikia ukomavu, wenye hatima ya kumtukuza Kristo kupitia maisha yako. * Soma 2 Petro 3:18 :

“Lakini kueni katika neema na kumjua Bwana wenu na Mwokozi Yesu Kristo. Utukufu una yeye sasa na hata milele! Amina.” 2 Petro 3:18

Masomo manne yafuatayo yata kufundisha kanuni zitakazo kusaidia kuwa na maisha yatakayo endeleza ukuaji wa kiroho katika maisha yako ya kikristo. Kama ilivyo katika ulimwengu wa kawaida, Ukuaji huchukua muda, na kuupata ukomavu wa kiroho unahitaji subira. Lakini uki ya nithamishamisha maisha yako na kuzitumia kanuni hizi, ukuaji wa kiroho yatakuwa ni matokeo yasiyo epukika!

“Nguvu katika Hesabu!” Kanuni ya kwanza kuhakikisha ukuwaji wa kiroho ni kuimarisha uhusiano thabiti na wakristo wengine wanao kuwa. Kuwa na moto kwa ajili ya Yesu! Kama vile makaa huwaka kirefu yakirundikwa pamoja, vivyo hivyo wakristo wanaojiunga na ushirika wa kiroho, watawasha imani ya wenzao katika Mungu, na kuuwasha upendo wa mmoja na mwingine kwake! Hapa kunazo sababu chache kwa nini tujiunge na ushirika wa kikristo.

1 Petro 1:23 Yohana 1:12 2 Wakorintho 5:17 2 Wakorintho 6:18 1 Petro 2:2

Page 17: MAISHA YA KIKRISTOyao mpya - Shiriki masomo kutoka kwenye Uwanafunzi 1na wakristo wengine kuwasaidia wa kue katika imani yao. - Fundisha na kuwahimiza wale unao jifunza nao washiriki

16

Himizo

“Tusiache kujumuika pamoja kama vile wafanyavyo wengine, lakini tuhimizane na hata zaidi kama muonavyo siku inakaribia.”

Waebrania 10:25

* Piga mstari kile hatupashwi kufanya kulingana na Waebrania 10:25. * Weka mviringo maneno “kuacha”. Maneno yana maanisha “Kuacha kabisa” au “Kusahau kabisa”. Wakristo wanakatazwa kuacha kukutana pamoja, Kuacha si chaguo! * Piga mstari kitendo tunacho hitajika kufanya. * Weka mviringo neno “himiza”. Neno hili ni tafsiri ya Kiyunani linalo maanisha Kuita kando kando” Nakuleta taswira nzuri ya mtu akimtia mwenzake moyo, wakiwa wanatembea kando na mwenzake pamoja. Mara nyingi huwa ni rahisi kukosoa, au kuabisha au kumuhuku mwengine asiye fikilia kiwango chetu, lakini Mungu anatuuliza, kuhimiza, kusimama kando kando ya wale wanao yumbayumba. Motisha

“Msidanganyike ushirika m baya huaribu tabia njema.’” 1 Wakorintho 15:33

* Weka mviringo neno linalo elezea kile hatupaswi kufanya (1 Wakorintho 15:33). Neno "kudanganywa" lina maanisha kuelekzwa mbali na ukweli, tuna patata onyo kote katika Biblia, pengine kwa sababu tunayo mazoea ya kufikiri tunaijua njia, hata baada ya Mungu kutuambia njia sahihi! * Weka mviringo kwenye neno linalo elezea madhara ya “ushirika m baya” on kwa “tabia njema”. Neno “kuharibu” lina maanisha kunajisi au kuangamiza. Je, ushawai kutana na watu ambao, wakifikiri wange wasaidia watu wengine walio zama katika dhambi, badala yake wamevutwa kwenye dhambi? maisha yamejaa wakristo walio chagu kubaki na ushirika mbaya badaye waipata imani yao imeharibiwa. “Msidanganganyike”! Tutakuwa kama ushirika tunao baki nao, iwapo lengo letu ni kukuwa kiroho na kuwa wakristo walio komaa kiroho, basi lazima tuchukue wakati na wakristo wanao kuwa kiroho hata ukomavu!

Kariri! “Usi kate tamaa!” Bwana, Winston Churchill Muda mfupi baada ya mwisho wa vita vya pili vya Dunia II, Bwana Winston Churchill, ambaye alikuwa ameiongoza Uwingereza kama waziri mkuu, kwenye wakati wake mzuri sana katika vita, alialikwa kuunenea mkutano wenye hari kuu kuyasikia maneno yake ya hekima. Akiwa nasifa za umahiri wake na usemi, umati ulikuwa tayari kwa karamu ya maneno, Waliketi kwa umakini mkuu wakati msemaji boora alipo enda kwenye jukwaa na, kama mpigo wa ngoma, akarudia tena na tena alipo uhimiza umati, "usi wahi kata tamaa"usi wahi kata tamaa, usi wahi kata tamaa, kwa dakika kadhaa, baada ya dakika na rudio la mwisho, aka geuka na kuketi mbele ya umati ulio jaa mshangao. Kariri! Mathayo 24:4 Mithali 13:20 Petro 2:17-22 - Katika njia gani haswa ndio ushirika mbaya huaribu tabia njema? - Ni kwa njia gani ushirika mzuri hukuza tabia njema?

Page 18: MAISHA YA KIKRISTOyao mpya - Shiriki masomo kutoka kwenye Uwanafunzi 1na wakristo wengine kuwasaidia wa kue katika imani yao. - Fundisha na kuwahimiza wale unao jifunza nao washiriki

17

Urejesho

“Ndugu zangu, mtu akighafilika katika kosa lolote, ninyi mlio wa Roho, mrejezeni upya mtu kama huyo kwa roho ya upole.” Wagalatia 6:1a

* Weka mviringo kile chaweza kumpata mkristo asiye macho. (Wagalatia 6:1) Neno kughafilika ni kutegwa, kwa mshangao. Je, ushawahi kujipata kwenye matatizo na kuhitaji msaada, wala usimpate mtu wa kuita? hakuna kitu cha kutamausha na hatari! kama kunyakwa kwenye wimbi zito baharini, wakristo wanaweza kujipata wamesombwa, na majaribu ya dhambi. Anaheri mkristo aliye na marafi wakiroho, ambao hawata sita kuruka na kumuopoa tokana na hatari! * Piga mstari kile wakristo "wakiroho" wale wamejazwa na Roho mtakatifu wanapaswa kufanya na wakristo wenzao wanao ghafilika katika dhambi. (Wagalatia 6:1) * Weka mviringo neno linaloelezea jinsi wanapaswa kuwarejeza wakristo wenzi wanao ghafilika katika dhambi. ~ Mara nyingi twaweza kuwa wakali na wenye kuhukumu kwa wakristo wenzetu wanao patikana katika dhambi, lakini hapa tuna himizwa kuwa wapole. Upole: Neno “upole” ni tafsiri ambapo neno unyenyekevu linatoka. Mtu mnyenyekevu ni yule aliye mpole machoni pa Mungu. Huu unyenyekevu hutokana na kufahamu ya kuwa Mungu ndiye muumba na sisi ni viumbe wake tu. Hii itatuondolea kiburi ambacho hutuzuia kuwasaidia wakristo wengine wanao anguka katika dhambi! Matumizi • Kutanika mara kwa mara na wakristo wengine wanao tamani kukuwa

katika imani yao. (Matendo 2:44-47)

• Jiunge na Kanisa linalo muheshimu Mungu na kulifundisha neno lake, na uhudhurie kwa uaminifu. (Waebrania 10:25)

• Jihusishe na huduma ya Kanisa lako. (Waefeso 4:11-12) • Fathili Kanisa lako kifetha kwa njia ya kutoa mara kwa mara. (Wagalatia

6:6; 1Timotheo 5:17; 2 Wakorintho 9:7)

Shetani mshitaki wetu 2 Wakorintho 2:11 Luka 22:31 Waefeso 6:11-12 1 Petro 5:8 Unapokuwa mkristo Shetani anakuwa adui wako, Ana endelea kupanga hila za kukunasa katika dhambi. - Fikiri tena kuhusu dhambi ambazo wewe huzitenda mara kwa mara. Je, waweza kuona jinsi huenda Shetani alikunasa kuzitenda? - Una paswa kufanya nini kuepukana na dhambi za mazoea?? Matendo 1:14 Matendo 2:42 1 Timotheo 5:17-18 1 Wathesalonike 5:12 1 Wakorintho 16:1-2

Page 19: MAISHA YA KIKRISTOyao mpya - Shiriki masomo kutoka kwenye Uwanafunzi 1na wakristo wengine kuwasaidia wa kue katika imani yao. - Fundisha na kuwahimiza wale unao jifunza nao washiriki

18

5. Neno Utangulizi Je, unafikiri tunaweza kuishi muda gani pasipo kula? � 1 siku � 3 siku � 10 siku � siku 20 � 40 siku � 60 siku � 100 siku Ikiwa ulichagua ‘1 siku’, Nawezakuona hujawai kukosa mlo maishani La sio hata siku 10 au 20. Tunaweza ishi siku 440 bila chakula, lakini baada ya hapo miili yetu inakosa lishe na kifo hakiko mbali vile. Kama vile miili yetu ya kawaida yahitaji chakula ili kukua, vivyo hivyo roho zahitaji kulishwa pia. Tambua jinsi mfano wa "maziwa" na "chakula kigumu"zinavyotumiwa katika maandiko

“Kwa maana iwapasapo kuwa waalimu (maana wakati mwingi umepita) mnahitaji kufundishwa na mtu mafundisho ya kwanza ya maneno ya Mungu, nanyi mmekuwa

mnahitaji maziwa wala si chakula kigumu!” Waebrania 5:12

“Kama watoto wachanga walio zaliwa sasa, yatamanini maziwa ya akili yasiyoghoshiwa, ili kwa hayo mpate kuukulia wokovu,” 1 Petro 2:2

* Piga mstari kile Waebrania 5:12 ina maanisha, kwa mfano wa maziwa. * Circle how we are to “crave pure spiritual milk” in Weka mviringo jinsi tunapaswa "kuyatama maziwa ya kiroho yasiyo ghoshiwa katika 1 Petro 2:2. Katika somo hili, utajifunza: • Chanzo cha neno • Maksudi ya neon • Nguvu ya neon • Matumizi ya neno Chanzo cha neno

“Kila andiko lenye pumzi ya Mungu la faa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu

makosa yao, na kwa kuwaongoza na kwa kuwaadibisha katika haki, 2 Timotheo 3:16-17

* Weka mviringo chanzo cha maandiko kulingana na 2 Timotheo 3:16-17. Neno la Kiyunani yenye pumzi ya Mungu halijatumiwa mahali popote katika Agano jipya. Ingawa neno hali halituelezei jinsi maandiko yalipeanwa kwetu, inaashiria yakimiujiza na chanzo cha kiungu! * Weka mviringo, ni maandiko mangapi yametokana na Mungu. Kifungu hiki kinatufundisha kuwa kila andiko kwenye Biblia yatokana na Mungu!

Kariri! - Je, yenye pumzi ya Mungu, inakuaje maelezo mazuri kwa chanzo cha kiungu cha maandiko? 2 Petro 1:20-21 1 Petro 1:10-11

Page 20: MAISHA YA KIKRISTOyao mpya - Shiriki masomo kutoka kwenye Uwanafunzi 1na wakristo wengine kuwasaidia wa kue katika imani yao. - Fundisha na kuwahimiza wale unao jifunza nao washiriki

19

Maksudi ya neno • Soma 2 Timotheo 3:16-17 kwenye sura 18 kisha uandike njia nne jinsi maandiko yalivyo na manufaa kwetu kwenye mapengo yaliyo pale chini ___________________ à Kutu onya katika kweli ya Mungu ___________________ à Kutushawishi kuhusu kweli ya Mungu ___________________ à Kuturejesha katika kweli ya Mungu ___________________ à Kutufundisha jinsi ya kuuishi ukweli wa Mungu * Piga mstari matokeo ya kazi hizi nne katika maisha yetu. * Weka mviringo tuta vikwa kwa ajili ya kazi njema ngapi. Nguvu za neno

“Chukueni chepeo cha wokovu na upanga wa roho, ambayo ni neno la Mungu.” Waefeso 6:17

* Piga mstari jinsi “neno la Mungu” linavyoelezwa katika Waefeso 6:17. “Neno la Mungu” ndio silaha ya ushambulizi pekee iliyo orodheshwa katika Waefeso 6:10-17 inayo zieleza silaha ya Mungu. Yule mkristo anayejifunza na kujizoesha jinsi ya kuzitumia anaweza kuwashinda adui zake wakiroho. Kwa bahati mbaya, wakristo wengi, hawalijui neno la Mungu, lenye hali wakati mwingine, kama kisu cha mufukoni kuliko Upanga! Matumizi ya Neno

Ukariri

“Moyoni mwangu nimeliweka neno lako, nisije nikakutenda dhambi.” Zaburi 119:11

Zaburi 119 ndio wimbo mkuu, wa sifa tunaoweza kumuimbia Mungu, wenye himizo kwa kila mkristo alisome neno la Mungu! Kila mkristo lazima asome! * Piga mstati kile tunapaswa kufanya na neno la Mungu. Neno “kuficha” lina maanisha “kuficha au kuweka hazina”. Neno la Mungu linapaswa kufichika mioyoni mwetu maana ni kitu cha dhamana! Neno "moyo", lina ashiria,"nia zetu, nafsi, dhamira, hisia, shauku, tamanio la nia". Kwa maneno mengine, kulikariri neno la Mungu sio tu zoezi la kiakili, bali linalo muhusisha, mtu kwa hali zake kamili! Ukariri ni rahisi ukifanywa kwenye hatua. • Kisome kifungu mara 3. • Kiandike kifungu mara 3. • Kariri kifungu toka kwenye kumbukumbu mara 3. • Rejelea kila siku mara kwa mara kwa siku 10 zijazo.

- Je, ni mfumo upi unao weza kuuona katika matumizi manne ya maandiko? Zaburi 119:105 - Mbona unafikiri neno la Mungu linatajwa kama upanga wa roho? Waebrania 4:12 Mathayo 4:1-11 Kariri! - Je, kulificha neno la Mungu mioyono mwetu kwa tuzuiaje kutenda dhambi?

Page 21: MAISHA YA KIKRISTOyao mpya - Shiriki masomo kutoka kwenye Uwanafunzi 1na wakristo wengine kuwasaidia wa kue katika imani yao. - Fundisha na kuwahimiza wale unao jifunza nao washiriki

20

Kariri

“Heri mtu asiye kwenda katika shauri la wasio haki; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha. Bali sheria ya Bwana ndio impendezayo, na sheria yake hutafakari

mchana na usiku, naye atakua kama mti uliopandwa kando ya vijito vya maji, uzaao matunda yake kwa majira yake; Wala jani lake halinyauki, na kila atendalo

litafanikiwa.” Zaburi 1:1-3

* Weka mviringo neno moja katika Zaburi 1 linalo muelezea mtu anayejitunza mwenyewe. Tokana na wakosaji, watenda dhambi na wenye mizaha * Piga mstari mahali mtu huyu hupata "furaha" yake.? * Piga mstari kile yeye hufanya na neno la Mungu. * Piga mstari mtu huyu anafananishwa na nini * Weka matokeo ya mtindo wa maisha ya mtu huyu Kulitafakari neno la Mungu kunahusisha kimaksudi kuliwazia juu ya fungu mara kwa mara tena, ukipokea lishe yote ya kiroho iliyomo! Njia moja ni ku: � Kukikariri kifungu tena na tena kwenye mawazo yako. kisha ... � Sizitiza neno tofauti kila wakati kupokea mchango wa maana yaneno kwa maana ya kifungu kikamilifu. Matumizi

"Msilisikize neno tu, nakujidanganya, fanyeni kile linasema.”

Yakobo 1:22 * Piga mstari kile watu wanao lisikiza neno tu, hujifanyia nafsi zao. * Piga mstari kile tunahitajika kufanya na neno badala yake. Chini hapa, kunayo matumizi matano toka kwa neno la Mungu yameelezewa kwa neno BUNI, NAFASI, DANSM Unapo soma tafakari, au kariri neno la Mungu, ona iwapo kuna...,

D Dhambi za kuungama A Ahadi za kudai N Nia zakujiepusha S Sheria za kutii M Mifano ya kufuata

Tunalianza somo hili tukifikiri tulihitaji kula mara ngapi, ili kuishi. Kama vile tulihitaji lishe ya kila siku ilikuwa na mwili wenye afya, vivyo hivyo, Kuliingiza neno la Mungu, kuhakikisha afya nzuri kiroho. Wakristo wengi hulisikia neno la Mungu Mara moja tu kwa juma, Jumapili. Fanya mazoea, kusoma, kukariri, na kulitumia kila siku!

- Mbona mti unakuwa ni mfano mzuri wa mtu anaye lifurahia neno la Mungu? - Ikiwezekana litafakari fungu hili na ulifiche moyoni mwako. Kariri! - Je, tunajidanyaje iwapo tuna lisikia neno tu? - Je, kifungu hiki chatuambia tuwe tukifanya nini, mara tunapojifunza yale Biblia ya tufundisha? - Pasipo kutazma kwenye ukurasa huu, zikariri zile kanuni 5 tokana na acronimu DANSM. Mathayo 12:50 Luka 6:46 Yakobo 1:22-25

Page 22: MAISHA YA KIKRISTOyao mpya - Shiriki masomo kutoka kwenye Uwanafunzi 1na wakristo wengine kuwasaidia wa kue katika imani yao. - Fundisha na kuwahimiza wale unao jifunza nao washiriki

21

6. Maombi Utangulizi Hebu tufanye majaribio. Vuta pumzi tatu nzito, shikilia ya mwisho. Basi unawe kuenda muda upi bila kupumua? Siku chache? Haswa hapana, hata sio kwa masaa chache! Muda murefu mwanadu aweza kuchukua bila hewa ni dakika chache kwa ubora. Maombi yako hivyo. Maombi yako kwa maisha yetu ya kiroho kama vile hewa ilivyo kwa maisha yetu ya mwili. Ndio kile hutia nguvu Asili yetu Mpya nakuiburudisha nafsi yetu. Pasipo hayo, maisha yetu kikristo yana kwama. Kwa nini? kwa sababu.... “Maombi ni mojawapo ya kazi ambayo inatuwezesha kukutana

na Mungu aliye Hai.” Vipengee vinne vya maombi

• Himidi • Ungamo • Shukrani • Dua

Himidi Neno himidi la maanisha kuabudu au kusifu. Sifa

“Ninani awezaye kutamka matendo makuu ya Bwana? Ninani aweza kuzionyesha sifa zake zote?” Zaburi 106:2

Mzaburi katika Zaburi 106:2 anakitumia kifaa halisi kinachopendelewa kwa kuliele wazo lilo hilo kwa njia mbili tofauti. * Piga mstari wazo linalo fanana na “kuzionyesha sifa zake zote”.

Kumsifu Mungu basi ni kuyatangaza “matendo yake makuu”. Orodhesha baathi ya “Matendo makuu” ambayo Mungu ameyafanya maishani mwako. 1. 2. 3.

Waweza ukajihusisha katika kila kazi ya kikristo bila kutiwa nguvu na Roho Mtakatifu, isipokuwa maombi. Muhubi wa Kongamano, Kasisi, Ron Dunn, anashiriki, ya kuwa ni maombi tu, yanakuhitaji uwe sawa mbele za Mungu, maana ni swala la"kutaniko la Mtu na Mungu Kuabudu Neno la Kiebrania lililo tafsiriwa ibada katika Zaburi 29:2 la maanisha kusujudu au kujilaza kifudifudi. Linaielezea nia ya kuabudu Katika Zaburi 100:2, neno kuabudu ni tafsi ya neno lingine la Kiebrania. Hapa lina maanisha kutumika au kufanya kazi. Kifungu hiki chaelezea Tendo la kuabudu. Yesu anazileta nia na tendo pamoja katika Luka 4:8!

Page 23: MAISHA YA KIKRISTOyao mpya - Shiriki masomo kutoka kwenye Uwanafunzi 1na wakristo wengine kuwasaidia wa kue katika imani yao. - Fundisha na kuwahimiza wale unao jifunza nao washiriki

22

* Lisome ombi la Daudi la sifa linalopatikana katika 1 Mambo ya Nyakati 29:11-13 Hapa chini.

“Ee Bwana, ukuu ni wako na uweza, na utukufu na kushinda na enzi; Maana vitu vyote vilivyo Mbinguni na Duniani ni vyako; Ufalme ni wako Ee Bwana, nawe

umetukuzwa u mkuu juu ya vitu vyote. Utajiri na heshima hutoka kwako wewe nawe wa tawala juu ya vyote; na mkononi mwako, mna uweza na nguvu, tena mkononi

mwako mna kuwatukuza na kuwawezesha wote. Basi sasa Mungu wetu, twakushukuru na kulisifu jina lako tukufu.”

1 Mambo ya Nyakati 29:11-13 * Weka mviringo kila tabia ambayo Daudi ana mtajia Mungu. * Piga mstari muitikio wa Daudi kwa Mungu. Matumizi Msifu Mungu kwa kila kitu kwenye orodha YAKO, ya matendo makuu ya Mungu. Mpe shukurani na ulisifu jina lake tukufu! Ungamo Hali nyingine ya muhimu ya maombi ni kuziungama dhambi zetu. Yasome maandiko ya fuatayo kuhusu ungamo.

“kama ningaliwaza maovu moyoni mwangu, Bwana asingenisikia;” Zaburi 66:18

“Nalikujulisha dhambi zangu wala sikuuficha upotovu wangu, nalisema nitayakiri maaasi yangu kwa Bwana, nawe utanisamehe upotovu wa dhambi yangu.”

Zaburi 32:5 * Piga mstari kile hufanyika tukiwaza dhambi moyoni Zaburi 66:18. Kifungu hiki cha fundisha kuwa kunao uhusiano kati ya dhambi na maombi. Dhambi huaribu ushirika wetu na Mungu na kumzuia asiyasikie maombi yetu. (tazama 1 Yohana 5:14-15) * Piga mstari kile mzaburi ana tambua katika in Zaburi 32:5? * Piga mstari muitikio wa Mungu. * Soma ungamo la Daudi baada ya kuzini na Bethsheba. Inayo patikana katika Zaburi 51 hapa chini.

“Ee Mungu unirehemu sawasawa na fathili zako, kiasi cha wingi wa rehema zako, uyafute makosa yangu. Unioshe kabisa na uovu wangu, unitakase dhambi zangu. Ee Mungu uniumbie moyo safi, uifanye upya roho iliyotulia ndani mwangu. Unirudishie

furaha ya wokovu wako, unirejeshe kwa roho ya wepesi". Zaburi 51:2-5,10 & 12

* Piga mstari mambo manne, Daudi anamuomba Mungu amfanyie mwishoni pa fungu.

Ibada hupanuliwa tunapo zijua sifa za Mungu na tabia zake. Vitabu hivi vitayafungua macho yako kwa Mungu mkuu tunaye mwabudu! Maarifa ya Mtakatifu na A.W Tozer Sifa za Mungu na Arthur Pink Danieli 2:19-23 Warumi 11:33-36 Kariri! - Je, Mungu aweza kusamehe dhambi ambazo hazijaungamwa, kwanini ndiyo au la? - Kwa nini unafikiri Mungu anatuhitaji kuziungama dhambi zetu, ili tusamehewe? Kuungama kwa kwali huleta shauku yakutaka kumtii Mungu.Tambua yakuwa baada ya kuzikiri dhambi zake, Daudi anamuomba Mungu ampe moyo wa kutii.

Page 24: MAISHA YA KIKRISTOyao mpya - Shiriki masomo kutoka kwenye Uwanafunzi 1na wakristo wengine kuwasaidia wa kue katika imani yao. - Fundisha na kuwahimiza wale unao jifunza nao washiriki

23

Shukurani Hali ya tatu kwa maombi ni shukurani.

“Shukuruni kwa kila jambo, maana hayo ni mapenzi ya Mungu, kwenu katika Kristo”

1 Wathesalonike 5:18 * Weka mviringo ni katika hali gani tunahijika kumpa Mungu shukrani (1 Wathesalonike 5:18) * Piga mstari kwa nini tushukuru. Kitenzi ‘kushukuru’ ni amri. Mungu anataka hilo, kama tendo la nia yetu. Warumi 8:28 Elezea kwanini twaweza fanya haya.

“Nasi twajua ya kuwa katika mambo yote, Mungu hufanya kazi pamoja na wale wampendao katika kuwapatia mema yaani wale walioitwa kwa kusudi lake.”

Warumi 8:28 * Piga mstari kwa nini twaweza kushukuru katika hali zote. (Warumi 8:28) * Weka mviringo ni mambo mangapi ambayo Mungu aweza kutenda kwa wema wetu. Kifungu hiki cha fundisha kwamba, haijalishi nini hufanyika maishani mwetu, Mungu aweza kuyatumia mambo yote, mema au mabaya, kwa wema wetu! Baada ya kufahamu haya, je twaweza kwa uaminifu kushukuru kwa mambo yote? � Ndyio � La Matumizi Chukua wakati katika maombi hivi sasa umshukuru Mungu kwa mambo yote anayo ruhusu maishani mwako, jema au baya, ukijua yakuwa yeye aweza kutumia kila kitu kwa faida yako. Kumshukuru Mungu huionyesha imani yetu. DUA Dua ni kuyaleta mahitaji yetu kwa Mungu, mara nyingi huwa tunaona shaka na kumsahau mtu mmoja awezaye kutusaidia. Soma Wafilipi 4:6 pale chini.

“Msijisumbue kwa jambo neno lolote, bali katika kila neon kwa kusali na kuomba pamoja na na kushukuru, haja zenu na zijulikane kwa Mungu.Na amani ya Mungu

ipitayo akili zote itawahifathi mioyo yenu na nia zenu katika Kristo Yesu.” Wafilipi 4:6

* Piga mstari kile Wafilipi 4:6 inafundisha kuhusu kujisumbua. * Weka mviringo neno linaloeleza vitu gani twaweza kumuomba Mungu. * Piga mstari matokeo ya kuzileta hoja zetu kwa Mungu.

Kariri! - Ni nini baathi ya faida za kuwa mtu wa shukrani? Kariri! - Je, ni vipi Mungu huzitumia hali "mbaya" kwa faida yetu? Ukuu wa Mungu “Ukuu wa Mungu unaweza kuelezwa kama utekelezaji wa ukuu wake, ukiinuliwa juu kwa njia isiyopimika, kiumbe mkuu sana, Yeye ni aliye juu, Bwana wa mbingu na Nchi. Asiye tiishwa chini ya yeyote, asiye shawishiwa na yeyote anaye jitengea yeye tu; Mungu hutenda atakayo, jinsi atakavyo tu. Kila mara atavyo, jinsi atakavyo tu. Hakuna awezaye kumuzuilia, hakuna awezaye kumpinga.” Sifa za Mungu na Arthur Pink. Isaia 46:10 Danieli 4:35 Waefeso 1:11 Kariri! - Je, ni hisia mbili gani, za kinyume zinazo tajwa katika Wafilipi 4:6? - Je, maombi yana husiana vipi na kila moja wapo?

Page 25: MAISHA YA KIKRISTOyao mpya - Shiriki masomo kutoka kwenye Uwanafunzi 1na wakristo wengine kuwasaidia wa kue katika imani yao. - Fundisha na kuwahimiza wale unao jifunza nao washiriki

24

Je, usha wahi kushangaa kwa nini baadhi ya hoja zetu za maombi hazijibiwi? Maandiko hapa chini yaelezea kwa nini.

“Hata mwombapo wala hampati kwa sababu mnaomba vibaya, ili mvitumie kwa tamaa zenu.”

Yakobo 4:3

“Na huu ndio ujasiri tulio nao kwake, ya kwamba tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yake atusikia. Na kama tukijua kwamba atusikia, tuombacho chote, twajua

kwamba tunazo zile haja tulizomuomba” 1 Yohana 5:14-15

“Ninyi mkikaa ndani yangu na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni mtakalo

nanyi mtatendewa.” Yohana 15:7

“Mkiamini, Mtapokea chochote muombacho kwa kusali."

Mathayo 21:22 * Piga mstari kwa nini hatupokei yale tuombayo katika Yakobo James 4:3. * Weka mviringo kile Yakobo anamaanisha na "nia mbaya". * Piga mstari mashsrti kwa maombi yanayojibiwa katika 1Yohana 5:14-15. * Piga mstari kwa masharti kwa maombi yanayo jibiwa katika Yohana 15:7. * Piga mstari kwa maombi yalinayojibiwa katika Mathayo 21:22. Tunapaswa kuwaombea nani?

“Basi kabla ya mambo yote nataka dua, sala na maombezi na shukrani zifanyike kwa ajili ya watu wote”

1 Timotheo 2:1

“Ungameni dhambi zenu ninyi kwa ninyi, na kuombeana. Mpate kuponywa Kuomba kwake mwenye haki kwa faa sana kukiwa kwa haki.”

Yakobo 5:16

“Kwa sala zote na maombi mkisali kila wakati kwa Roho, mkikesha kwa jambo hilo mkidumu katika kuwaombea watakatifu wote.”

Waefeso 6:18 * Weka mviringo watu tunao waombea katika vifungu vilivyo juu. Matumizi Chukua dakika chache kuwaombea wote ambao Bwana atakukumbusha.

Kariri! Kariri! Kariri! - Kwa nini Mungu ameweka masharti kwa maombi yanayo jibiwa? - Je, ungesema ni nini ndio sharti kuu kwa maombi yanayojibiwa? - Wakati mtume Paulo aliandika 1Timotheo 2:1, mamlaka yanayo tawala, alikuwa ni Kaisari. Je, unaweza kuyaombea mamlaka ya kiserikali usiyo kubaliana nayo? - Je, nini faida ya kuungama dhambi zetu mmoja kwa mwingine?

Page 26: MAISHA YA KIKRISTOyao mpya - Shiriki masomo kutoka kwenye Uwanafunzi 1na wakristo wengine kuwasaidia wa kue katika imani yao. - Fundisha na kuwahimiza wale unao jifunza nao washiriki

25

7. Kushuhudia

Utangulizi Je, ni kitu gani ungesema ni tisho kubwa sana kwa ukristo? � Watu wasio mcha Mungu. � Mila zetu. � Serikali zenye kutaabisha. Mtu fulani kimtazamo amehoji kwamba ...

“Tishio kubwa kwa ukristo ni wakristo wanaotaka kuingia mbinguni kwa haraka bila kuishiriki imani yao kabisa.”

Moja wapo ya tunuku tulio nayo kama watoto wa Mungu ni tunuku ya kuwaalika wengine waweze kupatanishwa na Mungu. Hakuna uamuzi mkuu ambao watu waweza kufanya, Kama kumuamini Yesu Kristo kama mwokozi wao na Bwana! Katika somo hili tutajifunza njia tano za kuishiriki imani yetu katika Kristo na wengine. Kuishiriki imani yetu, ama kushuhudia, ni mojawapo ya hali muhimu ya kukuwa kama mkristo anaye kuwa. Inaiweka imani yetu mpya na ya kusisimua tunapo watazama wengine, wakibadilishwa na muujiza kutoka kwa Mungu! Lakini tunahitaji kukumbuka yafuatayo, ili kuwa mashahidi bora wa kristo. 1. Upatikane: Yatoe maisha yako kwa Mungu.Mungu huwatumia watumishi wanao patikana. 2. Uwe mwenye kuomba: Umuombe Mungu akuelekeze kwa watu wa kushiriki nao. Omba ya kuwa Mungu atawanya wafunguke kwa neno lake! 3. Ukajazwe na Roho Mtakatifu: Ni Mungu tu anayeweza kuwaleta wengine kwake. Sehemu yetu ni kujazwa tu na Roho wake Mtakatifu, na kumuruhusu aushiriki upendo wake kwa wengine kutupitia sisi!

Kumshiriki Kristo kwa ushuhuda wako Huwenda tusiyajue mengi kwa Biblia au Thiolojia, lakini sisi sote ni wataalamu katika maisha yetu. Ingawa watu wasitake kusikia kuhusu yale tume mfanyia Mungu, wanataka kusikia yale Mungu ametufanyia sisi! Ushuhuda wetu ni hadidhi ya yale Kristo ameyafanya maishani mwetu! Tumia muongozo ufuatao kuuandaa ushuhuda wako.

- Ni jinsi gani wakristo wasio ishiriki imani yao wanaweza kuwa tisho kubwa kwa ukristo? - Kwa nini unafikiri, wakristo wengi hawaishiriki imani yao? Warumi 10:13-14 Yohana 6:44 Matendo 26:1-29

Page 27: MAISHA YA KIKRISTOyao mpya - Shiriki masomo kutoka kwenye Uwanafunzi 1na wakristo wengine kuwasaidia wa kue katika imani yao. - Fundisha na kuwahimiza wale unao jifunza nao washiriki

26

Kuuandaa ushuhuda wako 1. Maisha yako kabla ya Kristo: Shiriki kuhusu eneo mahususi ya maisha yako ambayo Kristo alikubadilisha. Epukana na majaribu ya kutaka kudumu sana kwa jinsi ulivyo kuwa mbaya. 2. Jinsi ulivyo pata kumjua Kristo: Eleza vizuri jinsi ulivyo sikia habari za Kristo na jinsi ulivyo fanya uamuzi wa kumtumainia yeye ili kuupata msamaha. Hii itamsaidia mtu unayeshiriki naye, ausikie usimulizi wazi wa jinsi ya kumjua Kristo, katika ushuhuda wako! 3. Maisha yako baada ya kumpokea Kristo: Shiriki jinsi Kristo alivyokubadilisha katika eneo la maisha yako yaliyo tajwa pale juu. Kuishiriki imani yetu na picha 1 2 3 Mungu Mungu Mungu Dhambi

Injili yaweza kuchorwa kwa urahisi na haraka kutumia picha za vijiti. Baada ya kumaliza picha, tumia ya mwisho jinsi ya kuonyesha Jinsi lazima tuchague kumjia Mungu, kwa njia ya imani katika Kristo Yesu, ambaye ni daraja. Hii ni njia bora sana ya kumshiriki Kristo na watoto! Kuishiriki imani yetu baada ya onyesho Baada ya kusoma, kuona au kusikia upeanaji wa Injili, kupitia kijitabu, Video, uigizaji, Sanaha, Kanda nkt., Yatumie maswali yafuatayo kuijulisha Injili. 1. Ulifikiri nini juu ya (kijitabu, video, sanaa, nkt.etc.)? 2. Je, ilileta maana kwako? 3. Je, ushawahi kumtumainia Kristo akusameha dhambi zako, kama jinsi imeonyeshwa na (kijitabu, video, uigizaji, sanaa nkt.)? 4 Ungependa sivyo?

- Omba kabla huja kuza ushuhuda wako, na umuombe Mungu akupe hadidhi yake ya kusimulia. - Andika ushuhuda wako, tafuta udhuhi litakalo uunganisha pamoja. - Kuza ushuda wako yakuwa udhuhi litafuatilia muongozo ulio upande wa kushoto. - Chora picha moja tu na uongezee kwayo jinsi unavyoendelea kushiriki. (Sio lazima uchore picha tatu tofauti.) - Yakariri maandiko yanyo andamana na zile kweli nne kwenye Ukurasa wa 4 & 5 na uyatumie unapo shiriki na kuzichora hizi picha. - Yakariri maswali haya manne bila kuya tazama. Warumi 1:16

Mungu muumba wetu anatupenda na ameweka mbele yetu uzima wa milele.

Dhambi zetu zimetutenga na Mungu na Uzima Wake. Mwanadamu hawezi kuliziba pengo hili kwa uwezo wake mwenyewe.

Yesu Kristo alikufa msalabani kwa ajili ya dhambi zetu. Kwa njia Yake Yeye tu, twaweza kuupata Upendo wa Mungu Na Uzima.

Page 28: MAISHA YA KIKRISTOyao mpya - Shiriki masomo kutoka kwenye Uwanafunzi 1na wakristo wengine kuwasaidia wa kue katika imani yao. - Fundisha na kuwahimiza wale unao jifunza nao washiriki

27

Kuishiriki imani yetu kwa kukitumia kijitabu Kunayo sampuli nyingi ya vijitabu, lakini kila moja wapo inao ujumbe ule ule ~ Jinsi ya kuupata uzima wamilele katika Kristo. Iliyo onyeshwa pale chini ni mkakati ulio kuzwa na (Campus Crusade for Christ). Faida 1. Rahisi: Vijitabu vinafanya kushuhudia kuwa rahisi kwa kuhusisha kweli za kimsingi za Injili, pia na sala ya kumpokea Yesu Kristo 2. Wazi: Vijitabu vinaipeana Injili, kwa njia inayo eleweka kawaida kwa maneno manne yanayo ungwa mkono na maandiko. 3. Vidogo: Vijitabu ni rahisi kubeba popote tuendapo. 4. Vinalenga ndipo: Vijitabu mara nyingi huchukuwa kawaida dakika 10 - 15 kusoma. 5. Vinaweza peanwa: Vijitabu vyaweza achiwa wale tunao shiriki nao, ili waweze kuvisoma baadaye. Watu wengi wamemjia Kristo kwa njia hii. 6. Vinaweza hamishwa: Vijitabu vyaweza peanwa toka mtu mmoja hadi mwengine mara kadhaa. Kuvijulisha vijitabu Kizuizi kikubwa cha kushinda ni kulijulisha somo la. Kristo kwa wengine. Kila mara ni bora kuihusisha Injili kwa hitaji kwenye maisha ya mtu huyo. Hapa kunazo njia za kukijulisha kijitabu ili kuweza kukishikinaye. 1. “Ujumbe kwenye kitabu hiki umenisaidia kuliko kingine chochote. Je, naweza kushiki nawe?” 2. " Je, mtu asha wahi kushiki nawe jinsi unavyoweza kumjua Mungu kwa njia ya kibinafsi? Kijitabu hiki kinaelezea vipi Je, naweza kushiriki nawe?” 3. “I wapo ungekufa sasa hivi, Je ungekuwa hakika ya kwamba utakuwa mbinguni? Kijitabu hiki kinashiki jinsi yakuwa hakika. Naweza kushiriki nawe? Kukisimulia kijitabu 1. Kishikilie kijitabu vyema kati yenu. Hakikisha yule mtu unaye shiriki naye aweza kuziona kurasa kwa urahisi. 2. Dumisha mtazamo wa mtu huyo kwa kuonyesha maneno yanayo ambatana au mifano unapo endelea kusoma. Wakati mwengine inasaidia kuzikunja kurasa kuhakikisha nyote mko kwenye ukurasa mmoja. 3. Soma tu kijitabu! Kataa majaribu ya kuongezea habari kwenye kijitabu. Hii mara nyingi humchanganya mtu unaye shiriki naye, na yaweza kuurefusha muda unao hitajika zaidi.

- Je, waweza fikiria njia zingine za kuijulisha Injili kwa wengine. Yohana 4:7-14 Matendo 8:26-35

Page 29: MAISHA YA KIKRISTOyao mpya - Shiriki masomo kutoka kwenye Uwanafunzi 1na wakristo wengine kuwasaidia wa kue katika imani yao. - Fundisha na kuwahimiza wale unao jifunza nao washiriki

28

Kuishiki imani yetu na maombi A Ingawa watu wengi husita kuongea habari za Mungu, Watu wengi hufurahia wewe kuomba nao. Hii hufungua fursa kubwa ya wewe kumshiriki Kristo na wengine. Jitolee kuyaombea mahitaji ya marafiki, wafanyakazi wenzako, wale unaofahamiana nao, majirani, nkt. Omba kwamba Mungu awavute kwake nawe tafuta fursa ya kumshriki Kristo nao jinsi Mungu atapeana. Matumizi

1. Rudia kila mojawapo ya njia zilizo juu za kushiri Imani yako na uifanyie mazoezi.

2. Muombe Mungu akuonyeshe watu wanaohitaji kusikia habari za msamaha katika Yesu Kristo, kisha weka orodha ya majina ambayo Mungu anakukumbusha.

3. Muombee kila siku yakuwa Mungu amvute karibu naye.

4. Tumia vizuri kila fursa ambayo Mungu anakupa na umshiriki Kristo kwa nguvu za Roho Mtakatifu

5. Upatikane kushiriki na watu unao kutana nao mchana wote. haujui ni lini

Mungu ameandaa kutaniko la Kiungu kwako kushiriki na mtu fulani!

6. Kila mara kumbuka kwamba ni Mungu hujiletea watu kwake ~ Sio utaalamu wetu au uweledi wetu. Kila mara ujazwe na Roho wa Mungu na umtarajie Mungu kukutumia!

- Uwe na kitabu chakunakili hoja za maombi na majibu. Nakili tarehe hoja zilipokelewa na kujibiwa. - Omba kwa bidii kwa kila hoja ukimtarajia Mungu kufanya kazi katika maisha ya watu! - Tafuta kujua iwapo Mungu anayajibu maombi yako na utafute fursa ya kuuhudumu, Uwanafunzi na kushiriki upendo wa Mungu! Wakolosai 4:5

Page 30: MAISHA YA KIKRISTOyao mpya - Shiriki masomo kutoka kwenye Uwanafunzi 1na wakristo wengine kuwasaidia wa kue katika imani yao. - Fundisha na kuwahimiza wale unao jifunza nao washiriki

29

8. Uzidishaji wa Kiroho

Ungejibu kivipi yafuatayo? Mbona niko hapa Badala ya bMbinguni? � Kwa sababu makao yangu Mbinguni hayaja kamika bado. � Kwa sababu sija kuwa mwema wa kutosha bado. � Kwa sababu Mungu anayo mawazo ya pili kunihusu. � Hakuna moja wapo pale juu. Sababu ya kuwepo kwetu hapa badala ya Mbinguni ni kuitimiza Amri ya Yesu kwa wakristo wote. * Isome amri ya mwisho ya Yasu hapa chini. “Yesu akaja kwao akasema nao, Nimepewa mamlaka yote Mbinguni na Duniani

Basi enendeni mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza, kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu, na kuwafundisha kuyashika yote niliyo waamuru ninyi; na tazama mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata

mwisho wa dahari. Mathayo 28:18-20

Tume kuu Maagizo ya Kristo ya mwisho kwa wanafunzi wake katika Mathayo 28:18-20 pale juu huwa inaitwa Tume Kuu kwa sababu katika hiyo, Yesu aliwatuma kuipeleka Injili Ulimwenguni. Kitenzi kikuu kwenye amri hii ni "kufanya wanafunzi" Vitenzi vitatu vingine vinavyo unganika na kitenzi kikuu vina eleza jinsi haya yange tekelezwa. Ona iwapo waweza kuvipata. * Weka mviringo kila moja. Enda ~ Huwezi kuwafikia watu kwa ajili ya Kristo usipowaendea. Kitenzi hiki kina ashiria kwamba Mungu ana tarajia kuwa tutaenda. * Weka mviringo mahali tunahitajika kwenda kulingana na Tume ya Kristo. Kubatiza ~ Neno ‘batiza’ inaashiria kusafisha na utambulishi mpya ambao wakristo wanao katika Kristo, wanapo iweka imani yao kwake. * Piga mstari katika utambulishi upi mpya wakristo hubatizwa. Kufundisha ~ Kuwafanya wanafunzi huhusisha kufundisha. * Piga mstari kile tunapaswa kuwafundisha wanafunzi wapya.

Yohana 4:34 Yohana 17:4 Matendo 20:24 Kariri! - Kwa nini Yesu anaanza Tume Kuu na tangazo Nimepewa mamlaka yote Mbinguni na Duniani? Yohana 17:2

Page 31: MAISHA YA KIKRISTOyao mpya - Shiriki masomo kutoka kwenye Uwanafunzi 1na wakristo wengine kuwasaidia wa kue katika imani yao. - Fundisha na kuwahimiza wale unao jifunza nao washiriki

30

Mpango Unaanzia wapi unapojaribu “kuwafanya mataifa yote kuwa wanafunzi”? Matendo 1:8 Yatupatia mpango wa kufuata.

“Nanyi mtapokea nguvu akisha wajilieni Roho Mtakatifu; Nanyi mtakuwa mashahidi wangu, Yerusalemu, na Uyahudi yote na Samaria na miisho ya dunia.”

Matendo 1:8 * Piga mstari maeneo matatu ya kijografia mahali tunapaswa kuwa mashahidi wa Kristo. Yerusalemu ~ Mji wa Yerusalemu unaakilisha nyumbani kwa mwanafunzi. (yn. jamaa yao, Marafiki, mji wa nyumbani.) Uyahudi & Samaria ~ Mikoa hii miwili inaakilisha maeneo yanayo zunguka. (yn Jimbo, Mkoa, au Nchi.) Miisho ya Dunia ~ Hii inahusisha kila mtu yeyote anayestahili kufikiwa na Injili. ~ Hata miisho ya mbali ya Dunia. (Mataifa yote) Sote tunaweza kuwashuhudia watu kwenye Yerusalemu yetu, na pia kufanya kazi na wakristo wengine kumufikia kila mtu katika Uyahudi yetu na Samaria. Lakini kuifikia miisho ya dunia, inahitaji wakristo kwenda kuishi kati ya watu wa mataifa mengine. Kila mkristo anahitaji kutaka kwenda, lakini hata tusipo, tunahitajika sote kuwafathili wale wanao enda kwa maombi yetu, na Pesa! Mkakati ~ Uwanafunzi Sasa yakuwa tunajua yakua tume yetu, nikuwafanya Mataifa yote kuwa wanafunzi, swali ni "kivipi"? mchakato wa Uwanafunzi ulibuniwa na, "Campus Crusade for christ," Umesimuliwa katika Mathayo 28:18-20 na kuchorwa pale chini.

TUMA Watu kwa ajili ya Kristo “Kuyatii mafundisho yote, nime waamuru” Mchakato wa Uwanafunzi huleta matokeo ya hesabu kubwa ya wakristo wakijihusisha katika uwanafunzi wanapo jengwa na kutumwa kwa ajili ya Kristo, na Matokeo ya hili huwa ni "Uzidishaji wa kiroho".

KARIRI! Matendo 2:14-42 Matendo 8:1 Matendo 22:17-21 - Je, Yerusalemu yako iko wapi - Uyahudi yako & Samaria? - Unapanga vipi kuifikia Dunia yote? - Je, ni jinsi gani, kuwafundisha wanafunzi kutii yote ambayo Kristo ametuamuru, inawawezesha kuwavua na kuwajenga wengine kwa ajili ya Kristo?

MIISHO YA DUNIA

Samaria & Uyahudi

Yerusalemu

WAVUE watu kwa Kristo “enenda” &

“batiza”

WAJENGE Watu katika Kristo “Fundisha”

TUMA Watu kwa ajili ya Kristo

“Kuyatii mafundisho yote,

Page 32: MAISHA YA KIKRISTOyao mpya - Shiriki masomo kutoka kwenye Uwanafunzi 1na wakristo wengine kuwasaidia wa kue katika imani yao. - Fundisha na kuwahimiza wale unao jifunza nao washiriki

31

Uzidishaji wa kiroho “Na yale umeyasikia niki fundisha, yakabithi watu waaminifu ambao pia wataweza

kuwafundisha wengine.” 2 Timotheo 2:2

Uzidishaji wa kiroho unalapatikana katika 2 Timotheo 2:2. * Piga mstari kile tunahitaji kufanya na mambo ambayo tumefundishwa. * Piga mstari kile watu waaminifu wanapaswa kufanya na kile wamejifunza. Mchoro wa uzidishaji wa kiroho upande wa kulia. Wajukumishe

Linganisha matokeo yakihesabu, kati ya jumulisho la kiroho na uzidishaji wa kiroho. Ujumulishaji wa kiroho Mwaka Uzidishaji wa kiroho (Wafikie watu 100 kwa ajili ya Kristo kila siku.) (vua, jenga & na umtume mtu mmoja kila miezi sita.)

Mtu mmoja aweza leta tofauti! Mungu ana kutaka wewe uwe mtu huyo!

Kariri! A Unge mutaja vipi mtu wa "kutegemewa"? 1 Wakorintho 4:2 Luka 6:40, Luka 14:26 Tambua ya kuwa kila kizazi kinacho fuata, hukuwa kulingana na vile wale wamejifunza sasa kuwafundisha wengine, hii ndio miujiza ya uzidishaji wa kiroho Ujumulishaji wa kiroho Kuwavua watu kwa kristo bila kuwajenga, au kuwatuma nje wawajenge na kuwatuma wengine Uzidishaji wa kiroho Kuendelea kuvua, Kujenga na kuwa tuma wengine, kuvua na bado kuwavua na kujenga wengine. Ikiwa tutaifikia Dunia, lazima tuondoke kwa jumulisho la kiroho hadi kwa uzidishaji wa kiroho. Mchoro una akilisha ni watu wangapi wanafikiwa kwa ajili ya Kristo kwa mwaka, Tambua ya kwamba kwa kuendelea kumfanya mtu 1 kuwa mwanafunzi kwa kila miezi sita, ambaye pia ataendelea kuwafanya wengine kuwa wanafunzi, inawezekana kuufikia Ulimwengu wote kwa miaka 16 tu! Kupitia uzidishaji wa kiroho, mtu mmoja anaweza kuifikia Dunia nzima. - Maisha yenye umuhimu Ikiwa usha wahi taka kufanya kitu muhimu na maisha yako, Hautapata kazi muhumu kuliko hii ya kuwavua, Kujenga na kuwa tuma watu kwa ajili ya Kristo. Matokeo ya juhudi zako haitakuwa tu uzima tele, bali maisha ya milele Jipeane mwenyewe kuwa sehemu ya vuguvugu la Mungu kuufikia Ulimwengu kwa ajili ya Kristo, Kwa kuikamilish Agano ya Uwanafunzi Kwenye ukurasa ufuatao.

(Elfu) 36,000 72,000 108,000 144,000 180,000 216,000 252,000 288,000 324,000 360,000

396,000 432,000 468,000 504,000 540,000 576,000

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16

4 16 64 256 1,024 (Elfu) 4,096 16,384 65,536 262,144 1,048,576 (millioni) 16,777,216 67,108,864 268,435,456 1,0736,741,824 (billioni) 4,294,967,296 17,179,867,184

Wafunis Wengine

he

Page 33: MAISHA YA KIKRISTOyao mpya - Shiriki masomo kutoka kwenye Uwanafunzi 1na wakristo wengine kuwasaidia wa kue katika imani yao. - Fundisha na kuwahimiza wale unao jifunza nao washiriki

32

Agano La Uwanafunzi

“Ni Maisha ya mtu mmoja tu, upesi yatapita,

Ni yale yanayo fanyiwa Kristo yatadumu!”

Kwa kuitii tume kuu ya Bwana wangu na Mwokozi Yesu Kristo,

Nina, __________________________ ,

Najitoa mwenyewe, Kusaidia

Kuwavua Watu Kwa Kristo,

Kuwajenga watu katika Kristo, Na Kuwa tuma Watu kwa ajili ya Kristo,

Ili Dunia yote ipate kujua kwamba

Yesu Kristo Ni Bwana!

Naifanya Agano hii Kwenye ____ Siku ya ________ , _________ !

Mungu ni shahidi wangu!