pasaka na meza ya bwana sehemu ya 2 - one cup …...yoh. 19:31, “basi wayahudi kwa sababu ni...

28
Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 2 Na Ellis P. Forsman Pasaka Na Meza Ya Bwana - Sehemu Ya 2 (The Passover And The Lord's Supper - Part 2) 1

Upload: others

Post on 30-Mar-2020

24 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 2 - One Cup …...Yoh. 19:31, “Basi Wayahudi kwa sababu ni maandalio miili isikae juu ya misalaba siku ya Sabato, (maana sabato ile ilikuwa siku

Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu

Ya 2

Na

Ellis P. Forsman

Pasaka Na Meza Ya Bwana - Sehemu Ya 2 (The Passover And TheLord's Supper - Part 2) 1

Page 2: Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 2 - One Cup …...Yoh. 19:31, “Basi Wayahudi kwa sababu ni maandalio miili isikae juu ya misalaba siku ya Sabato, (maana sabato ile ilikuwa siku

Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu

Ya 2

Na

Ellis P. Forsman

Marchi 11, 2013

Pasaka Na Meza Ya Bwana - Sehemu Ya 2 (The Passover And TheLord's Supper - Part 2) 2

Page 3: Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 2 - One Cup …...Yoh. 19:31, “Basi Wayahudi kwa sababu ni maandalio miili isikae juu ya misalaba siku ya Sabato, (maana sabato ile ilikuwa siku

Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu

Ya 2

Luka 22:1-20

Makala hii ni muendelezo wa “Pasaka na meza ya Bwana”.

Tayari tumeshajifunza jinsi Wayahudi walivyo shiriki Pasaka wakatiwa Yesu; na tunafahamu kwamba Kristo alianzisha meza ya Bwanawakati alipokuwa akichunguza Pasaka na wanafunzi wake kablahajasulubiwa. Sasa tutajifunza zaidi kuhusu meza ya Bwana ambayotumeamuriwa kuichunguza.

Pasaka Na Meza Ya Bwana - Sehemu Ya 2 (The Passover And TheLord's Supper - Part 2) 3

Page 4: Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 2 - One Cup …...Yoh. 19:31, “Basi Wayahudi kwa sababu ni maandalio miili isikae juu ya misalaba siku ya Sabato, (maana sabato ile ilikuwa siku

Pasaka Ambayo Kristo Alichunguza

Wakati wa Pasaka ulipokuwa unakaribia, Yesu alitoa maelekezo kwaWanafunzi wake: Luka 22:8-9, “Akawatuma Petro na Yohana akisemanendeni mkatuandalie Pasaka tupate kuila. Wakamwambia watakatuandae wapi?”

Yesu hakuwa na nyumba, hivyo wanafunzi wake walikuwawanashangaa atafanyaje katika kuchunguza Pasaka. Mt. 8:20, “Yesuakawaambia mbweha wanapango, na ndege wa angani wana viota; lakini mwana wa adamu hana pa kulaza kichwa chache.”

Akajibu katika mistari ya 10-12, “Akawaambia tazama mtakapoingiamjini mtakutana na mwanamume akichukua mtungi wa maji; mfuatenimkaingie katika nyumba atakayoingia yeye. Na mtamwambia mwenyenyumba mwalimu akwambia, ki wapi chumba cha wageni, nipate kulaPasaka humo pamoja na wanafunzi wangu? Naye atawaonyesha chumba kikubwa orofani, kimekwisha andikwa; andaeni humo.”

Inaonekana kwamba Yesu alikuwa ameshaiona kwamba maandalizimengi ambayo yalikuwa yafanyike kabla ya Pasaka yalifanyika.Walienda kama jinsi alivyowaamuru, na angalia kufungu kifuatacho,“Wakaenda wakaona kama alivyowaambia, wakaiandaa pasaka.”

Usafishaji wa nyumba ingekuwa imeshafanyika na sahani namabakuli tayari zilikuwa zimeshaandaliwa. Mwanakondoo ambayeangetumika katika sherehe tayari alikuwa amesha chaguliwa.Kulingana na sheria ya Musa mwana kondoo anachaguliwa siku tanokuelekea katika sherehe za Pasaka. Wanafunzi wake walipaswakuchinja mwanakondoo na kumuoka jioni hiyo iyo walipaswa kumlakatika kuchunguza kwao Pasaka.

Pasaka ambayo Yesu na Wanafunzi wake walichunguza hakikahakika ilikuwa siku moja mapema tofauti na ile iliyoandaliwa naulimwengu wa Kiyahudi. Alisulubiwa siku iliyofuata. Mwili wakeulipaswa kuondolewa msalabani kwa sababu ilikuwa ni siku yamaandalizi ya Pasaka iliyopaswa kuanza muda wa jioni. Yoh. 19:31-37,“Basi Wayahudi kwa sababu ni maandalio, miili isikae juu ya misalabasiku ya sabato, (maana sabato ile ilikuwa siku kubwa), walimwombaPilato miguu yao ivunjwe wakaondolewe. Basi askari wakaenda,wakamvunja miguu wa kwanza na wa pili, aliyesulibiwa pamoja naye.Lakini walipomwijia Yesu na kuona ya kuwa amekwisha kufa,hawakumvunja miguu; lakini askari mmoja wapo alimchoma ubavu kwamkuki; na mara ikatoka damu na maji. Naye aliyeona ameshuhudia, naushuhuda wake ni kweli, naye anajua ya kuwa anasema kweli ili ninyinanyi mpate kusadiki. Kwa maana hayo yalitukia ili andiko litimie,

Pasaka Na Meza Ya Bwana - Sehemu Ya 2 (The Passover And TheLord's Supper - Part 2) 4

Page 5: Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 2 - One Cup …...Yoh. 19:31, “Basi Wayahudi kwa sababu ni maandalio miili isikae juu ya misalaba siku ya Sabato, (maana sabato ile ilikuwa siku

hapana mfupa wake utakaovunjwa. Na tena andiko lingine lanena,wakamtazama yeye waliyemchoma.”

Ukweli Kuhusu Sabato

Mt. 12:40, “kwani kama vile Yona alivyokuwa siku tatu mchana nausiku katika tumbo la nyangumi, hivyo ndivyo Mwana wa adamuatakavyokuwa siku tatu katika moyo wan chi.”

Luka 24:17-23, “Akawaambia ni maneno gani haya mnayosemezanahivi mnapotembea? Wakasimama wamekunja nyuso zao. Akajibu mmojawao jina lake Kleopa, akamwambia je wewe peke yako u mgeni katikaYerusalemu, hata huyajui yaliyotukia humo siku hizi? Akawauliza mambogani? Wakamwambia mambo ya Yesu wa Nazareti, aliyekuwa mtu nabii,mwenye uwezo katika kutenda na kunena mbele za Mungu na watu wote;tena jinsi wakuu wa makuhani na wakubwa wetu walivyomtia katikahukumu ya kufa wakamsulibisha. Nasi tulikuwa tukitumaini ya kuwayeye ndiye atakayewakomboa Israeli. Zaidi ya haya yote, leo ni siku yatatu tangu yalipotendeka mambo hayo; tena wanawake kadha wakadha wa kwetu walitushitusha, waliokwenda kaburini asubuhi namapema, wasiuone mwili wake; wakaja wakasema ya kwambawametokewa na malaika waliosema kwamba yu hai.”

Wengi wanaamini kwamba Yesu alikufa siku ya Ijumaa kabla ya kujaSabato; lakini hiyo haiendani na kuzikwa kwake siku 3 na usiku 3kulingana Mathayo.1 Kutoka Ijumaa jioni hadi Juma Pili asubuhihaiongezi siku 3 mchana na siku 3 usiku. Kuna jibu la kimantiki kwahili. Yohana anaonyesha sherehe hii ya Pasaka ni mlolongo.

Yoh. 19:12-15, “Na tangu hapo Pilato akatafuta kumfungua; lakiniWayahudi wakapiga kelele wakisema, ukimfungua huyu wewe si rafikiyake Kaisari; kila mtu ajifanyaye kuwa mfalme humfitini Kaisari. BasiPilato aliposikia maneno hayo, akamleta Yesu nje, akaketi juu ya kiti chahukumu kiitwacho Sakafu ya Mawe, au kwa Kiebrania, Gabatha. Nayoilikuwa maandalio ya Pasaka, yapata saa sita. Akawaambia Wayahudi tazama mfalme wenu! Basi wale wakapiga kelele mwondoshe!Mwondoshe! Msulubishe! Pilato akawaambia, je! Nimsulibishe mfalmewenu! Wakuu wa makuhani wakamjibu, sisi hatuna mfalme ila Kaisari.”

Pasaka Na Meza Ya Bwana - Sehemu Ya 2 (The Passover And TheLord's Supper - Part 2) 5

1 Arthur U. Michelson, Pasaka Ya Kiyahudi Na Meza Ya Bwana,uk. 8.

Page 6: Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 2 - One Cup …...Yoh. 19:31, “Basi Wayahudi kwa sababu ni maandalio miili isikae juu ya misalaba siku ya Sabato, (maana sabato ile ilikuwa siku

Yoh. 19:31, “Basi Wayahudi kwa sababu ni maandalio miili isikaejuu ya misalaba siku ya Sabato, (maana sabato ile ilikuwa siku kubwa),walimwomba Pilato miguu yao ivunjwe, wakaondolewe.”

Siku ya Sabato ilikuwa siku kubwa.2 Yesu alisulibiwa katikamaandalio ya Pasaka, ambayo pia ilichukuliwa na Wayahudi kama sikuya Sabato kuu. Luka alituambia wakati mwili wa Yesu ulipoandaliwakwa ajili ya mazishi bado ilikuwa wakati wa maandalizi ya Pasaka naakaiita Sabato.

Luka 23:53-54, “Akaushusha akauzinga sanda ya kitani, akauwekakatika kaburi lililochongwa mwambani ambalo hajalazwa mtu bado ndaniyake. Na siku ile ilikuwa siku ya maandalio, na sabato ikaanza kuingia.”

Kwa vile maandalizi ya Sikukuu ya Pasaka kila mara ilitokea katikatarehe 14 ya mwezi Nisan (kalenda ya Kiyahudi), Yesu alikufa msalabani saa 9 mchana tarehe 14 ya mwezi Nisan, saa 3-4 kabla ya Pasakakuanza jioni. Neno sabato kwa Wayahudi ilimaanisha pumziko.Walipaswa kupumzika katika siku ya Sherehe ya Pasaka, vile vile.Ilichukuliwa kama siku ya Sabato kuu kwa sababu walikuwahawaruhusiwi kufanya kazi yo yote katika siku hiyo.

Hesabu 28:16-18, “Tena mwezi wa kwanza siku ya kumi na nne yamwezi ni Pasaka ya BWANA. Siku ya kumi na tano ya mwezi huopatakuwa na sikukuu; mkate usiotiwa chachu utaliwa muda wa sikusaba. Siku ya kwanza patakuwa na kusanyiko takatifu; hamtafanya kaziyo yote ya utumishi.”

Siku yo yote maalum ya mapumziko ambayo Wayahudiwalichunguza na ambayo hawakufanya kazi iliitwa Siku ya Sabato,ikimanisha “siku ya mapumziko”. Neno “Sabato” kwa Wayahudi “ilimaanisha siku ya kupumzika”. Kwa vile siku ya Pasaka nayo ilikuwasiku ya mapumziko, Wayahudi wakaichukulia kama “Sabato Kuu”.

Hakika, Wayahudi walikuwa na siku saba za mapumzikowaliochukulia kama “Sabato Kuu”, wakitumia tafsiri ya Sabatokumaanisha “siku ya kupumzika” na siyo “siku ya saba ya juma”.3 Sikusaba hizo ni:

• Siku ya 1 ya Pasaka

• Siku ya 7 ya Pasaka

Pasaka Na Meza Ya Bwana - Sehemu Ya 2 (The Passover And TheLord's Supper - Part 2) 6

2 “Sabato Kuu”, Wikipedia – The Free Encyclopedia, Aug. 4, 2011.3 "Sabato Kuu”, loc. cit.

Page 7: Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 2 - One Cup …...Yoh. 19:31, “Basi Wayahudi kwa sababu ni maandalio miili isikae juu ya misalaba siku ya Sabato, (maana sabato ile ilikuwa siku

• Siku ya Pentekoste

• Rosh Hashanah

• Yom Kippur

• Siku ya 1 kwanza ya mavazi ya gunia

• Siku ya 8 ya mavazi ya magunia

Ulimwengu wa kidini kihistoria wanaonyesha kwamba Yesu alikufamsalabani 33 A.D kwa sababu katika mwaka huo tarehe 14 ya Nisanilitokea siku ya Ijumaa. Wanafanya makadirio ya uongo kwamba uchuziwa sabato ilikuwa siku ya 7 ya wiki. Lakini tarehe zaidi yenye mantiki yakusulibiwa kwake ilikuwa Ijumaa, Aprili 6 katika mwaka wa 30 A.D.(tazama chati ya siku za mwisho za Kristo juu ya swala hili katika ukrasa ufuatao.)

Uhakika mwingine wa sherehe ya Pasaka kuitwa Sabato: Mt. 28:1katika kifungu cha Kiyunani ni wazi kwamba Sabato ni wingi, hataivyotoleo liitwalo King James inaonyesha katika umoja.

Mt. 28:1, “Hata Sabato ilipokwisha ikapambazuka siku ya kwanza yajuma, Mariamu Magdalene, na Mariamu yule wa pili, walikwendakulitazama kaburi.”

Katika kifungu cha Kiyunani kwa ualisia inatafsiri kuwa, “katikamwisho wa Sabato…”, hivyo inaunganisha Sabato Kuu (sherehe yaPasaka) na Pasaka halisi (Juma Pili) kana kwamba zinaishia pamoja.

SHEREHE YA PASAKA

SIKU YA MAANDALIO

SHEREHE YA PASAKA

SIKU YA MAANDALIO

A.D. NISAN 14TAREH

NISAN 14A.D. NISAN 14

TAREH

NISAN 14

25 J-NNE 22-Machi 31 J-TATU 26-Machi

26 J-MOSI 20-Apri 32 J-PILI 13-Apri

27 ALPHA 10-Apri 33 IJUMAA 3-Apri

28 J-TATU 29-Machi 34 J-NNE 23-Machi

29 J-PILI 17-Apri 35 ALPHA 22-Apri

30 ALPHA 6-Apri 36 J-TATU 11-Apri

Pasaka Na Meza Ya Bwana - Sehemu Ya 2 (The Passover And TheLord's Supper - Part 2) 7

Page 8: Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 2 - One Cup …...Yoh. 19:31, “Basi Wayahudi kwa sababu ni maandalio miili isikae juu ya misalaba siku ya Sabato, (maana sabato ile ilikuwa siku

PASAKA

MUDA J-TANO ALPHA IJUM J-MOSI J-PILI

Saa ya 1

(6-7)

Pasaka

(Sabato

Kuu)

(Joh 19:31)

Sabato

Kamili

Yesu

Alifufuka

(Mk 16:1-2)

Saa ya 2

(7-8 asub)

Siku ya

kwanza

ya juma

Saa ya 3

(8-9)

Kukana

kwa Petro

(Mk

14:66-72)

Saa ya 4

(9-10)

Yesuana

waambia

wanafunzi

kuandaa

Pasak (Mk

14:12)

Mahojiano

(Mk 15:1)

Saa ya 5

(10-11)

Kusulubiwa

(Mk 15:25)

Saa ya 6

(11 asubu -

Mchana)

Giza

(Mk 15:33)

Saa ya 7

(Mchana-

1 jioni)

Saa ya 8

(1-2 jioni)

Pasaka Na Meza Ya Bwana - Sehemu Ya 2 (The Passover And TheLord's Supper - Part 2) 8

Page 9: Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 2 - One Cup …...Yoh. 19:31, “Basi Wayahudi kwa sababu ni maandalio miili isikae juu ya misalaba siku ya Sabato, (maana sabato ile ilikuwa siku

PASAKA

MUDA J-TANO ALPHA IJUM J-MOSI J-PILI

Saa ya 9

(2-3 mcha)

Kifo

(Mt.

27:46-50)

Pasaka

(Sabato

Kuu)

(Joh 19:31)

Sabato

Kamili

Siku ya

kwanza

ya juma

Saa ya 10

(3-4

mchan)

Kutolewa

msalabani

(Joh 19:31)

Saa ya 11

(4-5 jioni)

Saa ya 12

(5-6 jioni)

Yesu

anazikwa

(Mk 15:42)

Mwanzo

wa Siku

(6 jioni)

Pasaka

(Sabato

Kuu)

(Joh 19:31)

Sabato

Kamili

Jioni 6 -

Usiku wa

manane

Pasaka na

Wanafunzi

(Mk

14:16-17)

Mlima wa

Mizeituni

Usiku wa

manane

Usaliti

(Mk

14:40-42)

Pasaka Na Meza Ya Bwana - Sehemu Ya 2 (The Passover And TheLord's Supper - Part 2) 9

Page 10: Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 2 - One Cup …...Yoh. 19:31, “Basi Wayahudi kwa sababu ni maandalio miili isikae juu ya misalaba siku ya Sabato, (maana sabato ile ilikuwa siku

Yesu Alisema Mwili Wake Ulikuwa NiPazia La Hekalu

Kusudi la pazia ilikuwa ni nini na iliundwaje? Madhabahu ilikuwa napazia mbili, au kitambaa kirefu toka juu hadi chini; mmoja ulikuwakatika mlango wa Hekalu unaokwenda hadi sehemu Patakatifu,nyingine (pana na nzito) ilitenganisha sehemu Patakatifu kutoka katikaPatakatifu Pa Patakatifu katika Madhabahu. Nyuma ya pazia la ndanikulikuwa na sanduku la ushuhuda na kiti cha rehema ikiwa juu yasanduku. Mbele ya madhabahu kulikuwa na meza ya wonyesho namenora au kifaa wanachotumia katika kuweka mshumaa. Ni kuhanimkuu pekee aliyeruhusiwa kupita nyuma ya pazia, na hiyo ilikuwa nisiku moja kwa mwaka – Siku ya Utakaso (Walawi. 16:2). Mtu ye yoteambaye hakuitii hili swala angeuawa (Hesabu 18:7). Pazia lilikuwa niishara ya kutokumfikia Mungu.

Ilikuwa inatengenezwaje? Kutoka 26:31-33, “Nawe fanya pazia lanyuzi za rangi ya samawi, na za rangi ya zambarau, na za ranginyekundu, na nguo za kitani nzuri zenye kusokotwa, zitafumwa na kutiwa makerubi, kazi ya fundi stadi; kisha litungike katika nguzo nne za mti wamshita zilizofunikwa dhahabu, vifungo vyake vitakuwa vya dhahabu,katika matako ya fedha manne. Nawe tungika lile pazia chini ya vilevifungo, nawe lete lile sanduku la ushuhuda na kulitia humo nyuma yapazia; na lile pazia litawagawanyia kati ya patakatifu, na mahalipatakatifu sana.”

Pazia lilitengenezwa kwa samawi, zambarau, nyekundu, na nguo zakitani nzuri zenye kusokotwa na kutiwa makerubi. Ilitungikwa katikanguzo nne ya miti ya mshita zilizofunikwa dhahabu na katika matako yafedha nne. Ilikuwa nene (takiriban sentimiita 10 hadi 15; urefu wamkono wa mwanamke”) kama jinsi ilivyokuwa ikisokotwa nyingine juuya nyingine. Urefu wake ulikuwa mita 9 (mzingo 20) na upana wakeulikuwa mita 18 (mzingo 40), kama jinsi ilivyoelezwa katika Mishna.“Pazia lilikuwa na unene sawa na urefu wa mkono na ilisokotwa sana[mwonekano una] misokoto arobaini na mbili, na juu ya kila msokotokulikuwa na nyuzi ishirini na nne. Urefu wake ulikuwa na mzingoarobaini na upana wake mzingo ishirini; ilitengenezwa na wasichanawadogo themanini na mbili,”4 isingewezekana kwa mtu yeyote katika

Pasaka Na Meza Ya Bwana - Sehemu Ya 2 (The Passover And TheLord's Supper - Part 2) 10

4 Herbert Danby, Mishna, uk. 161.

Page 11: Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 2 - One Cup …...Yoh. 19:31, “Basi Wayahudi kwa sababu ni maandalio miili isikae juu ya misalaba siku ya Sabato, (maana sabato ile ilikuwa siku

hekalu kwa bahati mbaya kuangalia sehemu patakatifu pa patakatifu.Kama ingetokea adhabu ilikuwa ni kifo.

Kwa nini ninataja pazia la hekalu? Yesu alisema Pazia lilikuwa mwiliwake. Ebr. 10:19-20, “Basi ndugu kwa kuwa tuna ujasiri wa kupaingiapatakatifu kwa damu ya Yesu, njia ile aliyotuanzia iliyo mpya, iliyo hai,ipitayo katika pazia, yaani mwili wake.” Aliifanya iwezekane kwa ajili yetu sisi ili tuweze kumkaribia Mungu moja kwa moja; kitu ambachoMakuhani pekee ndio wangefanya chini ya Sheria ya Musa. Ebr.9:11-12, “Lakini Kristo akiisha kuja aliyekuhani mkuu wa mambo memayatakayokuwapo, kwa hema iliyokubwa na kamilifu zaidi, isiyofanyikakwa mikono, maana yake, isiyo ya ulimwengu huu, wala si kwa damu yambuzi na ya ndama, bali kwa damu yake mwenyewe aliingia mara moja tu katika Patakatifu, akiisha kupata ukombozi wa milele.”

Ni nini kilichotokea katika pazia la hekalu wakati Yesu aliposulibiwa?

Mt. 27:50-51, “Na Yesu akiisha kupaza sauti tena kwa nguvu, akaitoaroho yake. Na tazama pazia la hekalu likapasuka vipande viwili toka juuhata chini; nchi ikatetemeka, miamba ikapasuka;”

Mk. 15:37-38, “Naye Yesu akatoa sauti kuu akakata roho. Pazia lahekalu likapasuka vipande viwili toka juu hata chini.”

Lk. 23:44-45, “Hapo ilikuwa yapata saa sita, kukawa giza juu ya nchiyote hata saa kenda, jua limepungua nuru yake; pazia la hekalulikapasuka katikati.”

Pazia hili lilipasuka vipi? Nilisoma mahali ambapo mtu alifikiriakwamba labda ilichanika wakati wa tetemeko la ardhi lilitokea wakatiYesu alipokufa. Nimewahi kuishi katika sehemu ya nchi ambayomatukio ya tetemeko la ardhi inatokea; tetemeko la ardhi linawezakutetemesha pazia, hata labda kuiangusha sakafuni, lakiniisingeipasua.

Sasa kazi hii ya kuchana pazia isingekuwa rahisi kwa mtu ye yotekufanya. Isingekuwa rahisi kwa kikosi cha mafarasi kuichana kwasababu ya unene wake. Hakika, nadhani isingewezekana kuchanwakulikuwa na mashua mawili zikiivuta katika mwelekeo tofauti.Ilichanwa na Mungu wakati Yesu alipokufa msalabani, ikiashiriamwisho wa Agano La Kale.

Efe. 2: 13-18 inaiweka wazi vizuri sana ni kwa nini pazia la hekalulilichanwa vipande viwili, “Lakini sasa katika Kristo Yesu, ninyi mliokuwambali hapo kwanza mmekuwa karibu kwa damu yake Kristo. Kwa maanayeye ndiye amani yetu, aliyetufanya sisi sote tuliokuwa wawili kuwammoja; akakibomoa kiambaza cha kati kilichotutenga. Naye akiishakuondoa ule uadui kwa mwili wake; ndiyo sheria ya amri zilizo katikamaagizo ili afanye hao wawili kuwa mtu mpya mmoja ndani ya nafsi yake;

Pasaka Na Meza Ya Bwana - Sehemu Ya 2 (The Passover And TheLord's Supper - Part 2) 11

Page 12: Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 2 - One Cup …...Yoh. 19:31, “Basi Wayahudi kwa sababu ni maandalio miili isikae juu ya misalaba siku ya Sabato, (maana sabato ile ilikuwa siku

akafanya amani. Akawapatanisha wote wawili na Mungu katika mwilimmoja, kwa njia ya msalaba, akiisha kuufisha ule uadui kwa huomsalaba. Akaja akahubiri amani kwenu ninyi mliokuwa mbali, na amanikwao wale waliokuwa karibu. Kwa maana kwa yeye sisi sote tumepatanjia ya kumkaribia Baba katika Roho mmoja.”

Mwili wa Kristo kuwa pazia la hekalu ilichanwa mara mbilikuhitimisha Agano la Kale na kufanya Jipya ambalo wotetunapatanishwa katika mwili mmoja.

Kumega Mkate

Mkate usiotiwa chachu tunaambiwa na Bwana kwamba ulikuwa nimwili Wake. Tunaambiwa kwamba pazia la hekalu lilikuwa mwili wake.Tunaambiwa kwamba pazia la hekalu lilichanwa vipande viwili kutokajuu hadi chini wakati wa kifo cha Yesu. Tunaambiwa kula mwili wakeuliovunjika. Ninadhani ni wazi sana kuhusu jinsi tunavyoweza kushiriki mwili wake katika ushirika wa meza ya Bwana.

Yesu ni mwana kondoo wetu asiye na doa iliyotolewa dhabihu nahakuna mfupa uliovunjika.

Yoh. 1:29, “Siku ya pili yake amwona Yesu anakuja kwake, akasematazama Mwana-kondoo wa Mungu, aichukuaye dhambi ya ulimwengu!”

Yoh. 19:31-36, “Basi Wayahudi kwa sababu ya maandalio, miili isikaejuu ya misalaba siku ya sabato, (maana sabato ile ilikuwa siku kubwa),walimwomba Pilato miguu yao ivunjwe, wakaondolewe. Basi askariwakaenda, wakamvunja miguu wa kanza, na wa pili aliyesulibiwapamoja naye. Lakini walipomjia Yesu na kuona ya kuwa amekwisha kufa, hawakumvunja miguu; lakini askari mmoja wapo alimchoma ubavu kwamkuki, na mara ikatoka damu na maji. Naye aliyeona ameshuhudia, naushuhuda wake ni kweli; naye anajua ya kuwa anasema kweli ili ninyinanyi mpate kusadiki. Kwa maana hayo yalitukia ili andiko litimie,hapana mfupa wake utakaovunjwa.”

Mifupa ya Kristo haikuvunjwa, lakini mwili wake ulivunjwa. Zekaria12:10, “…Nao watamtazama yeye ambaye walimchoma; naowatamwomboleza kama vile mtu amwombolezavyo mwanawe wa pekee;nao wataona uchungu kwa ajili yake, kama vile mtu aonavyo uchungukwa ajili ya mzaliwa wake wa kwanza.” Yoh. 19:34, “Lakini askari mmojawapo alimchoma ubavu kwa mkuki, na mara ikatoka damu na maji.”

Baadhi ya makanisa ya Kristo yanayopote yanadai kwambahatupaswi kumega makate kwa sababu mifupa ya Kristo haikuvunjwa.Ifuatayo ilitolewa na Ndg. J.D. Logan, aliye na ujuzi wa mwanzo wamgawanyiko huu ndani ya kanisa.

Pasaka Na Meza Ya Bwana - Sehemu Ya 2 (The Passover And TheLord's Supper - Part 2) 12

Page 13: Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 2 - One Cup …...Yoh. 19:31, “Basi Wayahudi kwa sababu ni maandalio miili isikae juu ya misalaba siku ya Sabato, (maana sabato ile ilikuwa siku

Taarifa kuhusu mgawanyiko juu ya swalila kuvunja mkate Binafsi

Kwanza, taarifa ya nyuma iliyolinganisha na mimi na J SBedingfield.

Tendo hili (kumega mkate binafsi) haikuwahi kutokea hadi1928, lakini ilipendekezwa kupitia gazeti liitwalo UKWELI,lililohaririwa na E H Harper wa Sneads, Florida. (ninaaminijibaji ni sahihi, yawezekana siyo sahihi kwa kitu kimoja)imewahi kuchukuli na wachache toka 1928 kupitia jarida.Lilikuwa ni jaribio la kushinikiza ubishi na wahubiri wavikombe katika mudahalo juu ya somo hili, ililiyokuwalikiendelea kwa wakati huo.

Mwaka wa 1928 Harper na J N Cowan (wahubiri wa vikombe maarufu) waliongoza mdahalo katika swali juu ya kikombe.Mdahalo huu uliendeshwa huko Graham Texas. Katikamahudhurio kulikuwa na Homer King, Homer Gay, J D (Doug)Phillips, J S Bedingfield, pamoja na Dorothy Sage, mwenyemiaka 16 (mwalimu wa shule katika New Mexico kwa wakatihuo), Lurana McCluskey na webgine. Wote walikuwa wanakakatika nyumba ya Ndg. Franklin huko Seymour, TX.

Ilikuwa ni kwa sababu ya swala hili la pendekezo ndiyoCowan akasema yafuatayo: Biblia inatuambia kwamba Yesu pia alitwaa kikombe…kama tunaweza kugawanya (kuvunja)mkate, pia tunaweza kugawa kikombe” alafu akasema, “jambolingine tunalolijua, ninyi vijana mtakuwa mnaangalia kwambahatupaswi kuvunja mkate.”

Harper alichukua uamzi na kujibu, “Nitathibitisha kwambani kinyume na Biblia kugawanya mkate”. Swala hili lilichukuamabishano ya usiku – mzima na Ndg Bedingfield kwa upandemwingine, na wengine wakiwa dhidi yake. Huu ulikuwa nimwanzo wa mpasuko wa jumuhiya katika makanisa juu yasomo hili.

Akifuatilia mdahalo, Homer King alirudi Lebanon, Missourina kuanza kupendekeza ukengeufu huu katika makanisa yahuko na pia (kwa uelewa wangu) katika New Mexico alikokuwaanajulikana. Phillips alikwenda magharibi na kufanya kazikibinafsi miongoni mwa washirika wa makusanyiko mengiwalioanzisha tendo hili. Alipotosha makusanyiko katika ElCentro, Montebello, Los Angeles Mashariki, (Mt. Siskiyou) namengine. (Hili lilikuwa ni kusanyiko ambalo familia ya Nicholwalikuwa wanakusanyika; Paulo, Ray, Nelson, pamoja na

Pasaka Na Meza Ya Bwana - Sehemu Ya 2 (The Passover And TheLord's Supper - Part 2) 13

Page 14: Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 2 - One Cup …...Yoh. 19:31, “Basi Wayahudi kwa sababu ni maandalio miili isikae juu ya misalaba siku ya Sabato, (maana sabato ile ilikuwa siku

wazazi wao). Ndg Jim Taylor (Babu yake na Bill), pamoja naElmer Hunts walikataa hili swala na kuanza kukutana sehemuiitwayo North Long Beach, na mwisho Bellflower).

Swala la kuvutia: Miaka mingi baadaye, mama mkwe wakena shemeji yangu, Ed Atchley alikwenda kuabudu katikakanisa kule Austin, Texas, ambapo Phillips alikuwa akihubirihadi wakati wa kifo chake miaka michache baadaye.Kutembelea Modesto tulipokuwa tunaishi kwa wakati huo,alimweleza baba yangu kwamba Phillip haridhiki na tendo hiliakijiondoa; angeweza kukubali matendo yote. Ninashangaajinsi alivyo jisikia kuhusu matatizo aliyosaidia katikakuanzishwa katika makanisa.

Kwa kiwango hiki ninauhakika kutoka kwa marafiki zanguna J S Bedingfield, J D Stark, Dorothy Sage, na wengine.Wakati ilipokuwa inarekodiwa katika (CD) na Dorothy Sage,alikuwa ni mtu wa mwisho aliyehudhuria katika mudahaloambapo haya yote yalianzia.

J D Logan

Nimewahi kukutana na dada wote hawa Dada Lorena McCluskey naDada Dorothy Sage (wakati huu wote wanaumwa) waliokuwepo katikamkutano huo wa Graham, TX, sehemu ambapo tendo hili lilianzia. Wotehawa walisema kwamba tendo hili la kutokupitisha mkate uliovunjwahaukuwepo katika kanisa la Kristo kabla ya mkutano ulioonyeshwahapo juu katika mwaka wa 1928. Dada Lorena McCluskey ni bibi yakena mkwerima wangu, Ndg. Eric Harper.

Baada ya kusulibiwa kwake Kristo baadhi ya wanawake waliokuwawafuasi wake walikwenda kaburini kwake na wakambiwa na malaikakwamba mwili wake haukua pale; kwamba alikuwa hai. Walipokuwawakielekea kurudi kijijini mwanamume mmoja alijiunga nao na alikuwaakiongea nao. Hawakumtambua, lakini alikuwa ni Yesu. Kulingana namuda ulivyokuwa una yoyoma walimkaribisha na kukaa nao hadi usikukucha. Kumbuka kilichotokea walipokuwa wakila:

Luka 24:30-35, “Ikawa alipokuwa ameketi nao chakulani, alitwaamkate akaubariki, akaumega akawapa. Yakafumbuliwa macho yao,wakamtambua kisha akatoweka mbele yao. Wakaambiana, Je! Mioyoyetu haikuwaka ndani yetu hapo alipokuwa akisema nasi njiani, nakutufunulia maandiko? Wakaondoka saa ile ile, wakarejea Yerusalemu,wakawakuta wale kumi na mmoja wamekutanika, wao na walewaliokuwa pamoja nao, wakisema, Bwana amefufuka kweli kweli naye

Pasaka Na Meza Ya Bwana - Sehemu Ya 2 (The Passover And TheLord's Supper - Part 2) 14

Page 15: Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 2 - One Cup …...Yoh. 19:31, “Basi Wayahudi kwa sababu ni maandalio miili isikae juu ya misalaba siku ya Sabato, (maana sabato ile ilikuwa siku

amtokea Simoni. Nao waliwapa habari ya mambo yale ya njiani, na jinsialivyotambulikana nao katika kuumega mkate.”

Kulikuwa na kitu ambacho hakikuwa cha kawaida kutokana na jinsiKristo alivyo mega mkate. Ndio maana walitambua kwamba mtu huyoalikuwa Yesu. Nakuhakikishia kwamba alivunja mkate sawa na jinsiambavyo pazia la hekalu lilivyopasuka na ndivyo pia alivyo vunja maktewakati wa mkutano wao wa Pasaka.

Tunapaswa kushiriki mkate uliovunjwa kwa ajili yetu. 1 Kor. 11:24,“Na baada ya kushukuru, akaumega, na kusema twaeni mle: huu ndiomwili wangu ulio kwa ajili yenu fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu.”

Yesu hakutoa kipande katika ule mwili ili aule; alivunja mkate kwaajili yao.

Neno la Kiyunani hapa inayo manisha kuvunja ilikuwa ni “klao”.Hebu tuangalie Yesu alipovunja mikate mitano na samaki wawili katikaMarko 6:41-44, “Akaitwaa ile mikate mitano na ile samaki wawili,akatazama mbinguni akashukuru akaimega ile mikate akawapawanafunzi wake wawaandikie; na wale samaki wawili akawagawia wote. Wakala wote wakashiba. Wakaokota vipande vilivyomegwa vya kuwezakujaza vikapu kumi na viwili; na vipande vya samaki pia. Na walioila ilemikate wapata elefu tano wanaume.”

Katika kitabu cha Marko, wakati Yesu alipovunja mikate mitano kwaajili ya watu elfu tano alitumia neno la Kiyunani “kataklao”, ikimaanisha “vunja vipande vipande”. Luka pia anatumia neno ya Kiyunani“kataklao”.

Katika kila swala la kuvunja mkate katika meza ya Bwana neno laKiyunani lililotumika ilikuwa ni “klao”. Kama Yesu alipaswa kumega tukipande mkate usiotiwa chachu kwa ajili yake mwenyewe ili kuwezakula neno la Kiyunani ambalo lingetumika ni “ek-klao”, ikimanisha“vunja kutoka kwa”, utafikiri alikuwa anamega kipande kwa ajili yakula.

Mfano wa “ek-klao” kuvunja inaweza kupatikana katika Rum.11:16-21, “Tena malimbuko yakiwa matakatifu, kadhalika na donge lote;na shina likiwa takatifu, matawi nayo kadhalika. Lakini iwapo matawimengine yamekatwa [ek-klao], na wewe mzeituni mwitu ulipandikizwakati yao ukawa mshiriki wa shina la mzeituni na unono wake, usijisifu juuya matawi yale; au ikiwa wajisifu, si wewe ulichukuaye shina, bali nishina likuchukualo wewe. Basi utasema matawi yale yalikatwa [ek-klao]kusudi ili nipandikizwe mimi. Vema. Kwa kutokuamini kwao, na wewewasimama kwa imani yako. Usjivune, bali uogope. Kwa maana ikiwaMungu hakuyaachia matawi ya asili, wala hatakuachia wewe.” Yesu

Pasaka Na Meza Ya Bwana - Sehemu Ya 2 (The Passover And TheLord's Supper - Part 2) 15

Page 16: Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 2 - One Cup …...Yoh. 19:31, “Basi Wayahudi kwa sababu ni maandalio miili isikae juu ya misalaba siku ya Sabato, (maana sabato ile ilikuwa siku

hakutumia “ek-klao” (vunja kipande kutoka kwa) alipoanzisha Meza yaBwana, kana kwamba alipaswa kuvu kipande kwa ajili ya kula.

Kumbuka pia kuwa mfumo uliotolewa kama mwili wa Kristo kuwapazia la hekalu iliyovunjika kwanzia juu hadi chini.

KIKOMBE

Luka 22:14-20, “Hata saa ilipofika aliketi chakulani, yeye na walemitume pamoja naye. Akawaambia nimetamani sana kuila pasaka hiipamoja nanyi kabla ya kuteswa kwangu; kwa maana nawambieni yakwamba siili tena hata itakapotimizwa katika ufalme wa Mungu.Akapokea kikombe akashukuru, akasema twaeni nyote hiki mgawanyeninyi kwa ninyi. Maana nawaambia ya kwamba tangu sasa siinywimazao ya mizabibu hata ufalme wa Mungu utakapokuja. Akatwaa mkate,akashukuru, akaumega akawapa akisema, [huu ndio mwili wanguunaotolewa kwa ajili yenu, fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu. Kikombenacho vivyo hivyo baada ya kula akisema kikombe hiki ni again jipyakatika damu yangu, inayomwagika kwa ajili yenu.]

Vikombe viwili vinaonyeshwa katika kifungu hiki. Kikombe chakwanza ambacho Luka anaonyesha ilikuwa sehemu ya chakula chaPasaka (hatuambiwi ni kikombe kipi kati ya vitatu ilikuwa ni kipi;wengine wanamini kilikuwa ni cha kwanza; wengine wanamini kilikuwani cha tatu). Nami ninaamini kwamba kilikuwa ni kikombe cha tatu kwasababu zifuatazo: Kikombe cha kwanza kilitumika kabla ya kuliwamboga chungu baada ya kuchovya katika mchuzi (ilikuwa ni wakati huu Yuda Iskariote alitoka); kikombe cha pili kilitumika baada ya kulamboga chungu na kabla ya chakula cha Pasaka. Kikombe cha nne kilitumika mwishoni mwa chakula. Mkate usiotiwa chachu ulioitwa“Masihi” mara nyingi ulikuwa unabarikiwa na unamegwa baada yakikombe cha tatu kunywewa. Kwa vile Luka anaonyesha baada ya hilikwamba Yesu alitwaa kikombe “baada ya kula” tunafahamu kwambakikombe hicho kilikuwa “Kikombe cha Baraka” iliyokuwa imetunzwakwa ajili ya masihi kati ya vikombe ilikuwa kabla au wakati wa chakula.Hii ilifanyika baada ya kumega mkate na kusema “Twaeni mle huu ndiomwili wangu uliyo kwa ajili yenu” (1 Kor. 11:24). Yesu alisema kwambakikombe (cha nne) ilikuwa ni damu yake. Inahisiwa kwamba kikombecha nne ambacho Luka anakizungumzia ilikuwa ni kitu cho chote kuliko kikombe cha tatu kilichonywewa mwishoni mwa chakula.

Mkate usiotiwa chachu ambao Yesu alitwaa ulikuwa umefichwa(ulitunzwa kwa ajili ya Masihi), alafu akakibariki, akaumega, akawapawanafunzi wake akisema ndiyo mwili wake ulio kwa ajili yao.

Pasaka Na Meza Ya Bwana - Sehemu Ya 2 (The Passover And TheLord's Supper - Part 2) 16

Page 17: Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 2 - One Cup …...Yoh. 19:31, “Basi Wayahudi kwa sababu ni maandalio miili isikae juu ya misalaba siku ya Sabato, (maana sabato ile ilikuwa siku

Kikombe cha baraka ambayo alichukua ulikuwa umetunzwa kwa ajili ya Masihi na Luka anasema alifanya “vile vile”, ikimanisha alishukuruna akawapa wanafunzi wake wanywe.

Yesu hakula mkate wala kukinywea kikombe iliyokuwa imetunzwakwa ajili ya Masihi kwa sababu hivi vyote vilikuwa ni baada ya chakulacha Pasaka wakati aliposema kwamba hatakula wala kunywa hadiwakati ambapo ufalme wa Mungu utakapoanzishwa, ambayo ilikuwa nibaada ya siku ya Pentekoste kanisa lilipoanzishwa.

Paulo alitoa maagizo zaidi kuhusu Meza ya Bwana: Siyo chakula chakawaida. Wakati wa Pasaka Wayahudi walizoea kula chakula, hivyowakamua kuchukua mfumo huu hata katika Meza ya Bwana. 1 Kor.11:20-22, “Basi mkutanikapo pamoja haiwezekani kula chakula chaBwana; kwa maana kila mmoja hutangulia kutwaa chakula chake katikakule kula; hata huyu ana njaa na huyu amelewa. Je! Hamna nyumba zakulia na kunywea? Au mnalidharau kanisa la Mungu, nakuwatahayarisha hao wasio na kitu? Niwaambieni? Niwasifu? La!Siwasifu kwa ajili ya hayo.”

Yesu alimwambia Paulo kile ambacho tunatakiwa kufanya na jinsiambavyo tunatakiwa kukifanya. 1 Kor. 11:23-30, “Kwa maana miminalipokea kwa Bwana niliyowapa nanyi, yakuwa Bwana Yesu usiku ulealiotolewa alitwaa mkate, naye akiisha kushukuru akaumega, akasemahuu ndio mwili wangu ulio kwa ajili yenu, fanyeni hivi kwa ukumbushowangu. Na vivi hivi baada ya kula akakitwaa kikombe, akisema kikombeni agano jipya katika damu yangu; fanyeni hivi kila mnywapo kwaukumbusho wangu. Maana kila mwulapo mkate huo na kukinyweakikombe hiki, mwaitangaza mauti ya Bwana hata ajapo. Basi kila aulayemkate huo na kukinywea kikombe hicho cha Bwana isivyostahili, atakuwa amejipatia hatia ya mwili na damu ya Bwana. Lakini mtu ajihodi, na hivyoaule mkate na kukinywea kikombe. Maana alaye na kunywa, hula nakunywa hukumu ya nafsi yake kwa kutokuupambanua ule mwili. Kwasababu hiyo wako wengi kwenu walio hawawezi na dhaifu, na watukadhaa wakadhaa wamelala.”

Mfumo wa vikombe vingi kama inavyotumika katika makanisa mengiya Kristo leo ilianza mwaka wa 1894 na John G. Thomas (hati miliki yaMarekani namba 516,065) huko Lima Ohio.5 John G. Thomas alijiitamwenyewe kuwa ni mhubiri wa makusanyiko.

Pasaka Na Meza Ya Bwana - Sehemu Ya 2 (The Passover And TheLord's Supper - Part 2) 17

5 Nambari ya umiliki 516065, Ofisi ya Umiliki Marekani, Lima,Ohio, Machi 6, 1894.

Page 18: Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 2 - One Cup …...Yoh. 19:31, “Basi Wayahudi kwa sababu ni maandalio miili isikae juu ya misalaba siku ya Sabato, (maana sabato ile ilikuwa siku

Tendo hili mara ya kwanza ilitumika katika Kanisa la Kristo na mtuaitwae G.C. Brewer katika mwaka wa 1912.6 Kwa maneno yakemwenyewe kama ilivyonukuliwa katika kitabu chake “Miaka Arobainikatika msitari wa Moto”: “Nafikiri mimi nilikuwa mhubiri wa kwanzakusimamia matumizi ya vikombe vingi katika ushirika na kanisa lakwanza katika mji wa Tennessee uliochukua mfano huu lilikuwa nikanisa ambalo mimi nilikuwa mhubiri, central Kanisa la Kristo hukoChattanooga, Tennessee.” Alisema katika maandishi ya kitabu hikikwamba alidhani kuwa yeye ndiye aliyekuwa wa kwanza katikaTennessee kutumia vikombe vingi katika kanisa; hataivyo katikautangulizi wa kitabu hiki alidai kuwa yeye ni mtu wa kwanzakuyaanzisha katika kanisa la Kristo. Tendo hili lilipigwa vita vibaya namakanisa ya Kristo na magazeti ya Wakristo kutoka katika pembe zoteza dunia. Mara tendo hili likazoeleka, na watu wachache leo wanajuakuwa kulikuwa na mkanganyiko juu ya swala hili.

Kaka yake babu yangu, George Scott, alikwenda Rhodesia (Zambia,leo) mwaka wa 1925 na kuanzisha misheni na wakazi wa mkoa waCinde. Alikuwa anasaidiwa na idadi kubwa ya makusanyiko kuleMarekani. Wakati alipotoka kule Marekani, makusanyiko haya yoteyashiriki katika ushirika wa kikombe kimoja. Baada ya kukaa miaka 20huko Rhodesia, akarudi Marekani kuyatembelea makusanyiko hayayote. Alisononeshwa sana kwa kile alichokiona; makusanyiko haya yoteyalichukua mtazamo mwingine ambao haukuwepo wakati anatoka kujaRhodesia; kilichotiliwa maanani ni uanzishaji wa vikombe vingi katikaushirika. Akawaambia kile alichofikiri kuhusu swala hili, na akajaAfrika, na kukaa hadi alipofariki mwaka wa 1955.

Sababu iliyosababisha vikombe vingi katika ushirika viletwe katikakanisa ilikuwa ni uoga wa maambukizi ya vijidudu na magonjwa. Jetunaweza kudai kuwa Bwana hakujua kile alichokuwa akifanyaalipotuambia tukinywee (kikombe)?

Mt. 26:27, “Akakitwaa kikombe, akashukuru akawapa akisema,Nyweni nyote katika hiki; kikombe kipi alichokinywea? Kilikuwa nikikombe cha baraka iliyokuwa ametunziwa. Kilikuwani kimoja; kilikuwa ni kikombe kimoja.

Tujifunze katika kile ambacho Mungu alimwambia Petro: Mdo.10:10-15, “Akaumwa na njaa sana akataka kula lakini walipokuwa

Pasaka Na Meza Ya Bwana - Sehemu Ya 2 (The Passover And TheLord's Supper - Part 2) 18

6 G. C. Brewer, Miaka Arobaini Katika Msitari wa Moto, Old Paths Book Club, 1984, Utangulizi.

Page 19: Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 2 - One Cup …...Yoh. 19:31, “Basi Wayahudi kwa sababu ni maandalio miili isikae juu ya misalaba siku ya Sabato, (maana sabato ile ilikuwa siku

wakiandaa, roho yake ikazimia, akaona mbingu zimefunuka, na chombokikishuka kama nguo kubwa, inatelemshwa kwa pembe zake nne hatanchi; ambayo ndani yake walikuwemo aina zote za wanyama wenyemiguu mine, na hao watambaao na ndege wa angani. Kisha sauti ikamjiakusema, Ondoka Petro uchinje ule. Lakini Petro akasema hasha, Bwanakwa maana sijakula kamwe kitu kilicho kichafu au najisi. Sauti ikamjiamara ya pili, ikimwambia vilivyotakaswa na Mungu, usiviite wewe najisi.”Alichokitakasa Mungu usikiite kichafu au najisi.

Kumbuka adithi ya Naamani (2 Fal, sura ya 5)? Alikuwa na ukoma,na aliposikia kuhusu nabii Elisha katika Samaria kwamba angewezakumponya, alimwendea ili aweze kuponywa ukoma wake. Elishaalimwambia kujichovywa mwenye katika mtu Yordani mara saba naukoma wake utamtoka. Naamani alichukia agizo hili. Akasema katikamustari wa 12, “Je! Abana na Farpari, mito ya Dameski, si bora kulikomaji yote ya Israeli? Je! Siwezi kujiosha ndani yake na kuwa safi?akageuka, akaondoka kwa hasira.” Alichopendekezewa kufanyakilikuwa kichafu kwake kukifanya! Kadiri jinsi alivyokataa kutii maagizo ya Mungu, aliendelea kubaki na ukoma wake. Hadi alipojizamisha mara7 katika Mto Yordani hapo ndipo ukoma wake ukamtoka. Vipi kamaangejizamisha mara 6 katika Mto Yordani? Au mara nane? Asingekuwaamefanya kile alichoambiwa kufanya, na angeendelea kuishi na ukomawake.

Inamanisha nini tunapoomba baraka zake juu ya mkate na kikombe? Inamanisha tunamwomba “aitakase”. Hiyo ndiyo maana ya “baraka”.Sawa, inamanisha nini “kutakasa” kitu? Inamanisha tunamwombaMungu kufanya kitu kiwe “kikamilifu”, kubadilisha kitu katika mfumoambao unakuwa katika hali ya kuitumia kwa njia tofauti.

Chukua mfano wa mikate na samaki ambayo Bwana alibariki: Mt.14:14-21, “Yesu akatoka akaona mkutano mkuu akawahurumiaakawaponya magonjwa wao. Hatakulipokuwa jioni, wanafunzi wakewalimwendea wakasema mahali hapa ni nyika tupu, na saa imekwishapita; uwaage makutano waendezao vijijini, wakajinunulie vyakula. Yesuakawaambia hawana haja kwenda zao wapeni ninyi vyakula.Wakamwambia, hamna kitu hapa ila mikate mitano na samaki wawili.Akasema nileteeni hapa. Akawaagiza makutano waketi kwenye majani;akaitwaa ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juumbinguni akabariki akaimega ile mikate, akawapa wanafunzi, wanafunziwakawapa makutano. Wakala wote wakashiba; wakayaokota masazo yavipande vya mikate, vikapu kumi na viwili, vimejaa. Nao waliokulawalikuwa wanaume wapata elfu tano, bila wanawake na watoto.”

Pasaka Na Meza Ya Bwana - Sehemu Ya 2 (The Passover And TheLord's Supper - Part 2) 19

Page 20: Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 2 - One Cup …...Yoh. 19:31, “Basi Wayahudi kwa sababu ni maandalio miili isikae juu ya misalaba siku ya Sabato, (maana sabato ile ilikuwa siku

Katika swala hili Bwana “alipobariki” mikate na samaki aliifanyakuwa kamilifu katika hali ya kimwili ili iweze kuwalisha wanaume 5000,ukiacha wanawake na watoto; na tunaambiwa wote “walishiba”.

Tunapoomba baraka za Mungu kwa ajili ya mkate na kikombe, ni nini kinachotokea? Tunamwomba avitakase, au kuzifanya ziwe kamili kwasababu tofauti – kuziwezesha ili kwamba tuweze kushiba kiroho.Hatuwezi kushiba kimwili, kwa sababu tunakula sehemu kidogo tu.Hiki ni chakula cha kiroho, siyo cha miili yetu. Tusije tukamwambiaBwana wetu kwamba hatuamini mfumo wake wa kutupatia chakula cha kiroho?

Tunaingia katika matatizo tunapofikiria kufanya kitu tofauti na kilealichosema Mungu. Maranyingi watu hujibu, “ni kitu kidogo; siomuhimu.” Kuwahi kuwa na madhara ya hatari yaliyoonyeshwa katikaBiblia kwa sababu ya kukisia.

Kumbuka hadithi ya wana wa Israeli walipokuwa wakizungukanyikani na wakawa na kiu kwa kukosa maji? Hes. 20:8-12, “Twaeni ilefimbo ukawakusanye mkutano wewe na Haruni ndugu yako, ukauambiemwamba mbele ya macho yao utoe maji yake nawe utawatokezea majikatika mwamba na hivyo utawanywesha maji mkutano na wanyama wao. Musa akaitwaa hiyo fimbo mbele za BWANA kama alivyomwamuru. Musana Huruni wakawakusanya kusanyiko mbele ya mwamba akawaambiasikieni sasa, enyi waasi je! Tuwatokezee maji katika mwamba huu? Musaakainua mkono wake akaupiga ule mwamba kwa fimbo yake mara mbili;maji yakatoka mengi mkutano wakanywa na wanyama wao pia. BWANAakamwambia Musa na Haruni; kwa kuwa hamkuniamini mimi, ilikunistahi mbele ya macho ya wana wa Israeli, basi kwa sababu hiyohamtaingiza kusanyiko hili katika ile nchi niliyowapa.” Mungualimwambia Musa anene na mwamba, na badala yake aliupiga mwamba kwa fimbo yake. Kwa sababu ya kosa hili Musa hakuruhusiwa katikanchi ya ahadi, bali Mungu alimruhusu kuiangalia kwa mbali.

Zingatia 1 Nya. 13:1-14 kwa kulinganisha na Kut. 25:10-22. Mungualiagiza kuhusu jinsi ambavyo sanduku la agano lingetengenezwa;ilipaswa iwe na vishikizo pembezoni ambapo fimbo ndefu zingewezakupitishwa. Mungu alikusudia sanduku la agano libebwe na watu kwakuliinua katika pembezoni bila kuigusa; hakuna ye yote aligusesanduku. Mtu fulani akapata wazo zuri, “Tuweke sanduku la aganokatika mkokoteni uvutwe na wanyama ili usogee.” Wakati mafahaliwalipovuta mkokoteni wakipita katika sehemu yenye utelezi (ambayoilikuwa haiku sawa) wanyama hawa walijikwaa na Uza aliogopa kwamba sanduku linaweza kuanguka na kuvunjika; hivyo akanyoosha mkonowake ili kuuzuia. Hakuwa na dhamira mbaya katika moyo wake;alidhani kuwa anafanya kitu chema, lakini bado hakumtii Mungu. Kile

Pasaka Na Meza Ya Bwana - Sehemu Ya 2 (The Passover And TheLord's Supper - Part 2) 20

Page 21: Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 2 - One Cup …...Yoh. 19:31, “Basi Wayahudi kwa sababu ni maandalio miili isikae juu ya misalaba siku ya Sabato, (maana sabato ile ilikuwa siku

alichofanya watu leo wangesema”. Kitu kidogo au hapana, Mungualiwapa maelekezo ya jinsi walivyopaswa kulisafirisha (na usalama),lakini mwanadamu akawa na wazo bora.

“Mtafuteni BWANA, maadamu anapatikana, mwiteni maadamu yukaribu; mtu mbaya na aache njia yake, na mtu asiye haki na aachemawazo yake; na amrudie BWANA, naye atamrehemu; na arejee kwaMungu wetu, naye atamsamehe kabisa. Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu asema BWANA. Kwa maana kama vilembingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sanakuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.” (Isa. 55:6-9).

Uza alipoteza uhai wake kwa sababu alifikiria bora kuliko Mungu.Tunapofanya kitu kwa sababu “tunadhani” ni sahihi tunaweza kupoteza uhai wetu pia, lakini kupotea huko ni wa umilele.

Zingatia mfano mwingine. Katika sura ya 6 ya Mambo ya WalawiMungu alitoa agizo kuhusu Sadaka ya Kuteketezwa; maagizo alizowapazilikuwa ni Sheria Zake. Aliwagiza kuhusu madhabahu ya kuchomeasadaka ilivyotakiwa iandaliwe. Akawaambia wauache moto huu uwakeusiku kucha; wasiruhusu moto utoke nje. Nini ambacho kingetokeakama wangeruhusu moto utoke nje? Mwingine leo anaweza kusema,“Sawa, mara tunaacha moto unaendelea tena, hakuna udhuru”.Makusudi! Vipi kama mtu akitumia moto uliotoka katika vyanzo tofautiau kifaa kingine tofauti na Mungu alichoagiza. Sawa, kulikuwa na tukiolililoandikwa mahali ambapo kitu kama hicho kilipotokea.

“Na Adabu na Abihu wana wa Haruni wakatwaa kila mtu chetezochake, wakatia moto ndani yake, wakatia na uvumba, nao wakatoa motowa kigeni mbele ya BWANA ambao yeye hakuwaagiza. Kisha motoukatoka hapo mbele ya BWANA nao ukawala, nao wakafa mbele zaBWANA.” (Law. 10:1-2).

Walifanya kitu tofauti na kile ambacho Mungu aliwaamuru kufanya.Tunaweza kudhani, “ni kitu kidogo; sio muhimu?” Fikra za Mungu siyoyetu. Nadabu na Abihu walipoteza uhai wao kwa sababu walifikiria waowenyewe na siyo na Mungu.

Mtunzi wa Zaburi Daudi alisema, “Umzuie mtumishi wako asitendemambo ya kiburi, yasinitawale mimi. Ndipo nitakapokuwa kamili, naminitakuwa safi, sina kosa lililo kubwa.” (Zab. 19:13). Kumbuka anaita“mambo ya kiburi” “kosa lililo kubwa”. Sio, “kitu kidogo; sio muhimu”.

Petro (kupitia Roho Mtakatifu) anatoa onyo kwamba wakati utakujawakati ambapo kutakuwa na waalimu wa uongo wakija miongoni mwetu wakifundisha maagizo ya uongo (2 Pet. 2:1-10). Alisema katika mistariya 9-10, “Basi Bwana ajua kuwaokowa watauwa na majaribu, nakuwaweka wasio haki katika hali ya adhabu hata siku ya hukumu; na

Pasaka Na Meza Ya Bwana - Sehemu Ya 2 (The Passover And TheLord's Supper - Part 2) 21

Page 22: Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 2 - One Cup …...Yoh. 19:31, “Basi Wayahudi kwa sababu ni maandalio miili isikae juu ya misalaba siku ya Sabato, (maana sabato ile ilikuwa siku

hasa wale waufuatao mwili katika tamaa ya mambo machafu. Nakudharau mamlaka.”

Mapenzi binafsi - “kujipendeza mwenyewe; inaonyesha, mtualiyejitoa katika mvuto binafsi, na asijali wengine, kwa kiburi akiingizamatakwa yake binafsi.

(Kamusi ya Vine Expository ya maneno ya Agano Jipya).

Yuko Pamoja Nasi

Yesu ni Mwanakondoo wetu wa dhabihu. Hatuli tu mwili wake balipia damu yake wakati wa Meza ya Bwana. Hii haifanyiki mara moja kwamwaka, bali ni kila siku ya kwanza ya juma.

1 Kor. 16:2, “Siku ya kwanza ya juma kila mtu kwenu na aweke akibakwake kwa kadiri ya kufanikiwa kwake; ili kwamba michango isifanyikehapo nitakapo kuja.”

Neno la Kiyunani “kata mien sabatoon” kiuhalisi ikimanisha “kilasiku ya kwanza ya juma”.

Tunapomega mkate na kikombe, Yesu yu pamoja nasi akishiriki.Luka 22:17-18, “Akapokea kikombe akashukuru akasema, twaeni hikimgawanye ninyi kwa ninyi; maana nawaambia ya kwamba tangu sasasinywi mazao ya mzabibu hata ufalme wa Mungu utakapokuja.”

Yesu alitoa kauli hii wakati wa chakula cha Pasaka kablahajaanzisha Meza ya Bwana. Haya aliyasema kabla ya moja ya vikombekati ya vitatu. Asingeweza kukinywea kikombe cha 4 (aliyotumia kwakuanzisha meza ya Bwana) kwa sababu alisema hata kunywa uzao wamzabibu hadi utakapokuja ufalme wa Mungu. Ufalme wa Munguulianzia siku ya Pentekoste.

Anatuambia kwamba yu pamoja nasi tunapokutanika pamoja katikaMt. 18:20, “Kwa kuwa walipo wawili watatu wamekusanyika kwa jinalangu, nami nipo papo hapo katikati yao.” Anashiriki Meza pamoja nasikatika meza ya ushirika kwa sababu alisema atafanya hivyo.

Zaidi, kama Yesu yuko katika mkutano huu tutakuwa pale pia. Yoh.12:26, “…nami nilipo, ndipo na mtumishi wangu atakapokuwapo. Tenamtu akinitumikia, Baba atamheshimu.”

Mwili wa Yesu ulipovunjika msalabani ulihitimisha Agano la Kaleambalo Mungu alikuwa nalo na Wayahudi, baada ya kuchana pazia lahekalu akiifanya kuwa vipande viwili.

Pasaka Na Meza Ya Bwana - Sehemu Ya 2 (The Passover And TheLord's Supper - Part 2) 22

Page 23: Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 2 - One Cup …...Yoh. 19:31, “Basi Wayahudi kwa sababu ni maandalio miili isikae juu ya misalaba siku ya Sabato, (maana sabato ile ilikuwa siku

Agano Jipya

Damu ya Yesu ilipomwagika msalabani ilianzisha Agano la Kale. Mt.26:27-28, “Akakitwaa kikombe akashukuru akawapa akisema nyweninyote katika hiki; kwa maana hii ndiyo damu yangu ya agano,imwagikayo kwa ajili ya wengi kwa ondoleo la dhambi.” 1 Kor. 11:25, “Navivi hivi baada ya kula akakitwaa kikombe, akisema kikombe hiki niagano jipya katika damu yangu fanyeni hivi kila mnywapo, kwaukumbusho wangu.”

“Kikombe hiki”; umoja. Kilikuwa ni “kikombe cha baraka”. Kamamkate uliovunjwa ulikuwa pazia uliochanika ambao ulihitimisha Aganola Kale, kikombe ni Agano Jipya, uliyorihirishwa na damu ya Kristo.Mwili wa Kristo uliovunjika (pazia iliyochanika) ulihitimisha Agano laKale; kikombe ni Agano Jipya ulioanzishwa, au dhihirishwa, fanywaiwezekane kwa damu ya Kristo.

Mt. 26:39, “Akaendelea mbele kidogo akaanguka kifulifuli, akaombaakisema, Baba yangu ikiwezekana kikombe hiki kiniepuke; walakini sikama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.”

Najua huu ni mfano, lakini kwa nini Yesu alisema, “…kamaikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke”? Kwa nini alisema “kikombe”?Hakukua na kikombe katika mkono wake.

Mtu fulani aliniambia kwamba kilikuwa ni kikombe cha uzuniambayo Kristo alipaswa kukumbana nacho; hii ilikuwa haizungumziikikombe cha ushirika. Lakini kwa nini Yesu aliita mateso haya“kikombe”?

Nawahakikishieni kwamba Yesu alikuwa akimaanisha kikombe chaAgano la Jipya, hataivyo hakuwa na kikombe katika mkono wake. Kamadamu ya Yesu haikumwagika msalabani, kusinge kuwa na Agano Jipya.Kama kisingekuwa na mateso, vile vile kusingekuwa na kikombe.Unafikiri Yesu alifahamu hilo! Mwili wake uliteseka juu ya swala hiliukikumbuka msalaba. Akamwuliza Mungu kama kungekuwa na njia yoyote; “ikiwezekana…”, Akasema “kikombe hiki kiniepuke”. Alafuakasema, “Sio kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.”

Yesu alifahamu mapema kwamba tunapaswa kuinywa damu yakekatika ushirika; nawahakikishieni, kwamba hii ndio maana alisema“kikombe”. Kusingekuwa na Agano Jipya pasipo damu hii ya huruma;bila kikombe hiki ya damu iliyomwagika.

Tunaposhiriki damu katika ushirika tunashiriki damu iliyomwagika.Mt. 26:28, “Maana hii ni damu yangu ya agano jipya imwagikayo kwaajili ya wengi kwa ondoleo la dhambi.

Pasaka Na Meza Ya Bwana - Sehemu Ya 2 (The Passover And TheLord's Supper - Part 2) 23

Page 24: Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 2 - One Cup …...Yoh. 19:31, “Basi Wayahudi kwa sababu ni maandalio miili isikae juu ya misalaba siku ya Sabato, (maana sabato ile ilikuwa siku

Hakusema, “hii inawakilisha damu yangu”, bali alisema “hii ni damuyangu”. Hii ilikuwa sawa na mkate, hakusema, “huu unawakilisha mwili wangu”; bali alisema “huu ndiyo mwili wangu uliyo kwa ajili yenu”.Ulibadilishwa kiroho ili iwe chakula cha nafsi.

Yesu anatuamuru katika umuhimu wa kula mwili wake na kunywadamu yake. Yoh. 6:53, “Basi Yesu akawaambia, Amin, amin,nawaambieni, Msipoula mwili wake Mwana wa Adamu na kuinywa damuyake, hamna uzima ndani yenu.”

Kama Myahudi alishindwa kushiriki Pasaka uhai wake uliondolewa.Tukishindwa kushiriki Meza ya Bwana tumekufa (hakuna uzima ndaniyetu), ama katika maisha haya au yanayokuja.

Sote tunapaswa kuwa na shukrani ya aina gani kwa kilealichotufanyia. Hebu na tumkumbuke kwa heshima ya hali ya juu.

Natumaini hii imekupa mwanga kuhusu Pasaka ya Wayahudi naKristo kuanzisha Meza ya Bwana.

Pasaka Na Meza Ya Bwana - Sehemu Ya 2 (The Passover And TheLord's Supper - Part 2) 24

Page 25: Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 2 - One Cup …...Yoh. 19:31, “Basi Wayahudi kwa sababu ni maandalio miili isikae juu ya misalaba siku ya Sabato, (maana sabato ile ilikuwa siku

Bibliografia

• Mwandishi hajulikani, “Sabato Kuu”, Wikipedia – The FreeEncyclopedia, August 4, 2011.

• Brewer, G.C., Miaka Arobaini Ya Msitari Wa Moto, Old PathsBooks Club, 1984.

• Danby, Herbert, Mishna, Oxford University Press, New York, NY,1933.

• Michelson, Arthur U., Pasaka Ya Wayahudi Na Meza Ya Bwana,Jengo la Taraja La Wayahudi, Los Angeles, CA, 1936.

• Nambari ya Hataza 516,065, United States Patent Office, LimaOhio, Machi 6, 1894.

Pasaka Na Meza Ya Bwana - Sehemu Ya 2 (The Passover And TheLord's Supper - Part 2) 25

Page 26: Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 2 - One Cup …...Yoh. 19:31, “Basi Wayahudi kwa sababu ni maandalio miili isikae juu ya misalaba siku ya Sabato, (maana sabato ile ilikuwa siku

Pasaka Na Meza Ya Bwana - Sehemu Ya 2 (The Passover And TheLord's Supper - Part 2) 26

Page 27: Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 2 - One Cup …...Yoh. 19:31, “Basi Wayahudi kwa sababu ni maandalio miili isikae juu ya misalaba siku ya Sabato, (maana sabato ile ilikuwa siku

Pasaka Na Meza Ya Bwana - Sehemu Ya 2 (The Passover And TheLord's Supper - Part 2) 27

Page 28: Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 2 - One Cup …...Yoh. 19:31, “Basi Wayahudi kwa sababu ni maandalio miili isikae juu ya misalaba siku ya Sabato, (maana sabato ile ilikuwa siku

Pasaka Na Meza Ya Bwana - Sehemu Ya 2 (The Passover And TheLord's Supper - Part 2) 28