wizara ya maendeleo ya jamii jinsia na … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya...

95
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA ___________________ WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA WATOTO FUNGU 53 MPANGO WA MAENDELEO NA BAJETI YA MATUMIZI YA KAWAIDA NA YA MIRADI YA MAENDELEO KWA MWAKA 2012/13 Muhtasari kwa ajili ya Kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii Dar es Salaam JUNI, 2012

Upload: hoangdiep

Post on 20-May-2019

272 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

___________________

WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA WATOTO

FUNGU 53

MPANGO WA MAENDELEO NA BAJETI YA MATUMIZI

YA KAWAIDA NA YA MIRADI YA MAENDELEO

KWA MWAKA 2012/13

Muhtasari kwa ajili ya Kikao cha Kamati ya Kudumu

ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii

Dar es Salaam

JUNI, 2012

Page 2: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

i

YALIYOMO

SURA YA KWANZA ............................................................................................................................... 1

DIRA, DHIMA NA MAJUKUMU YA WIZARA .......................................................................................... 1

1.1 Dira........................................................................................................................................... 1

1.2 Dhima ....................................................................................................................................... 1

1.3 Majukumu ya Wizara ................................................................................................................ 1

SURA YA PILI .................................................................................................................... 2

UTEKELEZAJI WA MAAGIZO/USHAURI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA MAENDELEO YA

JAMII KWA MWAKA 2011/12 ............................................................................................................... 2

SURA YA TATU ................................................................................................................. 7

MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA MPANGO NA BAJETI YA MWAKA 2011/12 HADI KUFIKIA 30 APRILI,

2012........ .............................................................................................................................................. 7

3.1 Mapitio ya Maduhuli ................................................................................................................. 7

3.2 Mapitio ya Matumizi ................................................................................................................. 7

SURA YA NNE ................................................................................................................... 8

VIPAUMBELE, MAFANIKIO NA CHANGAMOTO WAKATI WA UTEKELEZAJI WA MPANGO NA BAJETI

KWA MWAKA 2011/12 .........................................................................................................................8

4.1 Vipaumbele .............................................................................................................................. 8

4.2 Mafanikio kwa mwaka 2011/12 ................................................................................................ 8

4.3 Changamoto ........................................................................................................................... 12

SURA YA TANO ............................................................................................................... 14

MPANGO WA MAENDELEO NA BAJETI KWA MWAKA 2012/13: ......................................................... 14

5.1 Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Wizara kwa mwaka 2012/13 ................................................. 14

5.2 Vipaumbele vya Wizara kwa mwaka 2012/13 ......................................................................... 14

5.3 Makadirio ya Maduhuli kwa mwaka 2012/13: ......................................................................... 15

SURA YA SITA ................................................................................................................. 16

MAELEZO YA MAKADIRIO YA BAJETI YA MATUMIZI YA KAWAIDA KWA MWAKA 2012/13 ................ 16

MAELEZO YA MAKADIRIO YA BAJETI YA MIRADI YA MAENDELEO KWA MWAKA 2012/13 ................ 61

SURA YA SABA ............................................................................................................... 63

MUHTASARI WA WA MAKADIRIO YA MATUMIZI YA KAWAIDA NA MIRADI YA MAENDELEO KWA

MWAKA 2012/13............................................................................................................................ 63

7.1 Muhtasari wa Matumizi ya Kawaida kwa mwaka 2012/13....................................................... 63

7.2 Muhtasari wa Matumizi ya Fedha za Miradi ya Maendeleo kwa mwaka 2012/13 .................... 83

MCHANGANUO WA MAKADIRIO YA MATUMIZI YA KAWAIDA NA MIRADI YA MAENDELEO KWA

MWAKA 2012/13............................................................................................................................. 91

HITIMISHO ..................................................................................................................... 93

Page 3: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

1

SURA YA KWANZA

DIRA, DHIMA NA MAJUKUMU YA WIZARA

1.1 DIRA

Kuwa na jamii zinazostawi zenye kujaa ushiriki wa hiari wa watu katika masuala yote

yanayowahusu, usawa wa jinsia na uzingatiaji wa haki za mtoto.

1.2 DHIMA

Kuhamasisha maendeleo ya jamii, usawa wa jinsia, haki za mtoto na ustawi wa familia

kupitia uandaaji na usambazaji wa sera, mikakati, miongozo na kuratibu utekelezaji wake

kwa kushirikiana na wadau.

1.3 MAJUKUMU YA WIZARA

1.3.1 Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto inayo majukumu yafuatayo:

(i) Kuandaa Sera za Wizara, kuzisimamia, kuziratibu na kutathmini utekelezaji

Wake;

(ii) Kueneza na kuendeleza dhana ya Maendeleo ya Jamii kwa kuwashirikisha

wananchi wote;

(iii) Kutayarisha mikakati na mifumo ya utekelezaji ili kuchochea maendeleo ya jamii;

(iv) Kuwajengea uwezo wanawake na wanaume ili waweze kushiriki katika ngazi zote

za utekelezaji wa miradi na mipango mbalimbali ya maendeleo na kufaidika sawa

katika maendeleo hayo;

(v) Kuendeleza, kuhamasisha na kuwezesha jamii kuwapatia watoto haki ya kuishi,

kuendelezwa, kulindwa, kutobaguliwa na kushiriki katika maendeleo ya Taifa;

(vi) Kuratibu shughuli za mashirika yasiyokuwa ya kiserikali na kuyawezesha kufanya

kazi kwa uwazi na ufanisi zaidi;

(vii) Kusimamia utendaji kazi Wizarani kwa misingi ya uadilifu, haki na utawala bora; na

(viii) Kusimamia utoaji wa mafunzo ya taaluma ya Maendeleo ya Jamii katika Vyuo vya

Maendeleo ya Jamii na mafunzo ya maarifa, ujuzi na stadi katika Vyuo vya

Maendeleo ya Wananchi.

Katika kusimamia na kutekeleza majukumu hayo, Wizara inaongozwa na Dira ya Taifa ya

Maendeleo 2025, Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini (MKUKUTA II),

Malengo ya Milenia (MDGs), Mpango wa Taifa wa Maendeleo wa Miaka 5, Ilani ya

Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi ya 2010 pamoja na Sera za Wizara ambazo ni:

(i) Sera ya Maendeleo ya Jamii 1996;

(ii) Sera ya Maendeleo ya Mtoto 2008;

(iii) Sera ya Maendeleo ya Wanawake na Jinsia 2000; na

(iv) Sera ya Mashirika Yasiyo ya Kiserikali 2001.

Page 4: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

2

SURA YA PILI

UTEKELEZAJI WA MAAGIZO/USHAURI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA MAENDELEO

YA JAMII KWA MWAKA 2011/12

2.1 Kamati ya Kuduma ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii ilitoa Maagizo na Ushauri kwa Wizara.

Maelezo ya Utekelezaji wake ni kama ifuatavyo:

NA MAAGIZO/USHAURI UTEKELEZAJI

2.1.1

Vyuo vya maendeleo ya jamii

na vyuo vya maendeleo ya

wananchi

(i) Kwa kuwa athari ya

kupungua kwa bajeti ya

Wizara ya Maendeleo ya

Jamii, Jinsia na Watoto ipo

katika vyuo vya maendeleo

ya wananchi. Hivyo kwa

kuwa mfuko wa elimu ya

juu umepata kodi ya

kuimarisha utoaji stadi

nchini (Skills Development

Levy) ya asilimia nne (4%)

ni vyema asilimia moja

(1%) ya kodi itengwe kwa

ajili ya kusaidia vyuo hivi.

Wizara imeandaa hoja ambayo inawasilishwa Hazina juu

ya umuhimu wa kupatiwa asilimia moja (1%) ya Kodi ya

Kuimarisha utoaji stadi nchini (Skills Development Levy).

Kiasi hiki kitasaidia kuimarisha vyuo vya maendeleo ya

wananchi ambavyo mpaka sasa vinafikia idadi ya 55 na

vipo katika mikoa yote ya Tanzania Bara.

Ili kuvipa uwezo wa kufanya kazi kwa ufanisi na

kuongeza tija, wizara imekamilisha Mpango wa kutoa

mafunzo ya VET kwa vyuo 25 vya maendeleo ya

wananchi yatakayoanza Januari 2013.

(ii) Serikali kuongeza ruzuku

inayopelekwa katika vyuo

hivi ili kuweza kufanya kazi

zake kwa ufanisi zaidi na

pia iboreshe mazingira na

miundombinu katika vyuo

vilivyo pembezoni ili

kuwavutia walimu

wanaopangwa kufundisha

katika vyuo hivi.

Wizara imewasilisha Hazina hoja inayoelezea umuhimu

wa kuimarisha vyuo vya maendeleo ya wananchi katika

kuwasaidia wanafunzi wanaomaliza darasa la saba,

vilevile wanafunzi wanaomaliza sekondari ambao

hawapati nafasi za kuendelea na masomo ya juu.

Pia, katika maandalizi ya bajeti ya mwaka wa fedha

2012/13, Wizara imeomba fedha zaidi ili kuweza

kuboresha mazingira ya vyuo vilivyoko pembezoni mwa

nchi.

2.1.2: Mikakati ya Kutayarisha Bajeti

kwa Kuzingatia Jinsia.

Kumekuwepo na tafsiri potofu

miongoni mwa jamii kuwa jinsia

ni masuala ya wanawake tu.

Tafsiri sahihi ambayo jamii

inapaswa kuielewa ni kuwa

jinsia ni mahusiano kati ya

wanaume na wanawake hasa

Tafsiri sahihi ya neno “Jinsia” hutumika kuelezea

mahusiano yaliyopo baina ya wanawake na wanaume

katika jamii ambayo hutokana na utekelezaji wa

majukumu yao ya kijamii. Neno jinsia husaidia kujua

namna ambavyo jamii imegawa majukumu kati ya

wanawake na wanaume. La msingi hapa ni kwamba

neno hili huashiria kuwa tofauti zilizopo kati ya

wanawake na wanaume katika jamii hazitokani na hali

ya maumbile peke yake bali pia hujengwa na

Page 5: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

3

katika mgawanyo wa mali na

shughuli mbalimbali.

kuendelezwa na mila, desturi na hali ya kiuchumi.

Ili kulielewa vizuri suala la jinsia, katika jamii,

tumeligawanya kwenye sehemu kuu nne: Mgawanyo wa

majukumu baina ya wanawake na wanaume katika jamii

na uchambuzi wa sababu za mgawanyo huo; utumiaji na

umilikaji wa rasilimali na nyenzo zilizopo; mahitaji ya

wanawake na wanaume katika kumudu maisha yao na

kutekeleza majukumu yao; matumizi ya muda kama

rasilimali miongoni mwa wanawake na wanaume katika

jamii. Neno “jinsi” hutumika kuelezea maumbile ya mtu

kama ni mwanamke au mwanaume.

Hivyo upo umuhimu wa kuelimisha jamii kuhusu

masuala ya jinsia kati ya wanawake na wanaume. Aidha,

mafunzo yanayohusu masuala ya jinsia yamekuwa

yakitolewa kwa watendaji mbalimbali ikiwa ni pamoja na

Waheshimiwa Wabunge, Makatibu Wakuu,

Wakurugenzi wa Sera na Mipango na watendaji dawati

la jinsia katika wizara mbalimbali, watendaji mbalimbali

katika ngazi ya Halmashauri ambao ni; Maafisa Mipango

na watendaji wa dawati la jinsia ngazi ya Halmashauri.

Aidha, asasi mbalimbali za kijamii kama vile Mtandao wa

Jinsia Tanzania (TGNP), umekuwa ukiendesha

matamasha ya jinsia kwa lengo la kuelimisha jamii

kuhusu umuhimu wa uzingatiaji wa masuala ya jinsia

katika mipango yao ya Maendeleo.

Fedha za Mfuko wa Maendeleo

ya Wanawake zimekuwa

zikipelekwa katika halmashauri

ili zikopeshwe kwa vikundi

mbalimbali vya wanawake.

Changamoto kubwa ni kwa

namna gani wanawake waliopo

vijijini wataweza kunufaika na

Mfuko huu, vilevile

changamoto nyingine ni

urejeshaji wa mikopo hiyo kwa

wakati. Hivyo, Vikundi vya

wanawake vishauriwe

kurejesha mikopo hii kwa

wakati ili halmashauri ziweze

kutumia fedha hizo kutoa

mikopo kwa wanawake

Fedha za Mfuko wa Maendeleo ya Wanawake zimekuwa

zikipelekwa katika halmashauri ili zikopeshwe kwa

vikundi mbalimbali vya wanawake. Mfuko huu

unakabiliwa na changamoto mbalimbali, ambazo ni

pamoja na; namna gani wanawake waliopo vijijini

wataweza kunufaika na Mfuko huu, na urejeshaji

usioridhisha wa mikopo hiyo kwa wakati.

Kwa vile Tamko la kuzitaka Halmashauri kuchangia

asilimia tano (5%), kwenye Mfuko wa Maendeleo ya

Wanawake, (WDF), lilishatolewa na Waziri Mkuu mwaka

1995, baadhi ya halmashauri zimekuwa hazichangii

kikamilifu Mfuko huu. Aidha, Wizara yangu kwa nyakati

mbalimbali imekuwa ikizikumbusha halmashauri

kuchangia Mfuko huu. Hivyo, kwa kuwa Waheshimiwa

Wabunge, ni wajumbe wa Kamati za Mikopo, ngazi ya

halmashauri, Wizara inafanya jitihada ya kuendelea

Page 6: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

4

wengine. Aidha, halmashauri

zichangie asilimia tano (5)

kwenye Mfuko wa Maendeleo

ya Wanawake, hii itasaidia

kuendelea kuwepo kwa

makusudi ya kuhimiza

ushirikiano kati ya maafisa

maendeleo ya jamii na

Wabunge wa maeneo husika.

Hatua hii itahamasisha

kuwakwamua wanawake hasa

walioko vijijini.

kuwahimiza kuzihamasisha halmashauri zao kuchangia

Mfuko huu.

Kuhusu marejesho halmashauri zimejiwekea taratibu

mbalimbali za kuhakikisha kuwa wakopaji wanarejesha

fedha hizo katika muda waliopangiwa kwa kuweka

mikataba kati ya wakopaji na Ofisi za Mtendaji wa Kijiji.

Aidha, baadhi ya halmashauri zimekuwa zikiwakopesha

wanawake kupitia Vyama vya Ushirika vya Kuweka na

Kukopa (SACCOS). Kwa kutumia utaratibu huu

wanawake wanarejesha mikopo yao kwa kuzingatia

taratibu za SACCOS. Hata hivyo, kwa muda mrefu Idara

za Maendeleo ya Jamii katika ngazi za halmashauri

zilikuwa hazitengewi bajeti hivyo kushindwa kufuatilia

marejesho.

Kuanzia mwaka wa fedha 2008/09 Serikali ilitenga kiasi

cha shilingi 3,600,000; mwaka wa fedha 2009/2010 kiasi

cha shilingi 7,200,000; mwaka wa fedha 2010/11 kiasi

cha shilingi 10,800,000 na katika mwaka wa fedha

2011/12 imetenga pia shilingi 10,800,000 kwa Idara za

Maendeleo ya Jamii na Wizara kupitia TAMISEMI

inaendelea kuzihimiza halmashauri kuwapatia Maafisa

Maendeleo ya Jamii vitendea kazi vikiwemo vyombo vya

usafiri ili waweze kuwafikia wananchi wengi zaidi na

hivyo kusimamia na kuhamasisha jamii kuhusu ushiriki

wao katika miradi ya maendeleo na ufuatiliaji wa

marejesho ya fedha za WDF.

Kwa vile Waheshimiwa Wabunge ni Wajumbe wa

Kamati za Mikopo ngazi ya halmashauri, wanashauriwa

kufuatilia utendaji wa Mfuko kwa kushirikiana na

Maafisa Maendeleo ya Jamii wa halmashauri husika

pamoja na kuzihimiza halmashauri kuchangia asilimia

tano (5%) ya mapato yao katika Mfuko huu.

Wizara itenge fungu la kusaidia

kuelimisha wanawake ili

waweze kuzijua sheria

mbalimbali zinazowahusu hasa

sheria ya Mirathi, Sheria ya

Ndoa na Sheria ya Mtoto,

kwani wanawake wengi

wamekuwa wakinyanyaswa

kwa sababu tu ya kutokuzijua

sheria hizi.

Wizara imezingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha

kwa ajili ya kuelimisha wanawake wajue sheria

mbalimbali zinazowahusu hasa sheria ya Mirathi, Sheria

ya Ndoa na Sheria ya Mtoto, kwani wanawake wengi

wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokujua

sheria hizi. Aidha, elimu hii inayohusu sheria

zinazowahusu wanawake na haki zao za kimsingi

zikitolewa na wadau mbalimbali hususan Asasi za kijamii

kama vile WILDAF, WILAC, TAMWA, TAWLA,

CHAMPION, HAKIELIMU, HAKIARDHI na kadhalika.

Page 7: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

5

2.1.3 Tatizo la mimba shuleni

(i) Kuwepo na chakula cha

mchana katika shule na

hasa za kutwa, kutapunguza

tatizo la wanafunzi hawa

kulaghaiwa kwa kupewa

vitu kama chipsi, soda n.k.

Wizara inaendelea kuzihimiza halmashuri za

wilaya/manispaa/ mji kuendelea kutenga fedha kwa ajili

ya kugharimia utoaji wa chakula shuleni. Aidha, kupitia

Maafisa Maendeleoa ya Jamii wa wilaya na kata jamii

zinahamasishwa kujenga utamaduni wa kuchangia

chakula shuleni kwa ajili ya ustawi wa watoto wao.

(ii) Mashuleni kuwe na somo la

elimu rika ya afya

inayoendana na makuzi ili

wasichana wawe tayari

kukabiliana na changamoto

ya mabadiliko ya miili yao

kwa kupewa taarifa sahihi

kuhusu afya ya uzazi na

athari za mahusiano ya

kimapenzi katika umri

mdogo.

Wizara kwa kushirikiana na UNICEF imefanya jitihada ya

kuanzisha klabu za watoto mashuleni ambazo zitawapa

fursa ya kuelimishana na kujielimisha kupitia wataalmu

mbalimbali wa masuala ya afya ya uzazi kuhusu namna

bora ya kukabiliana na changamoto ya mabadiliko ya

miili yao na athari za uhusiano wa mapenzi katika umri

mdogo. Mfano, Halmashauri ya Manispaa ya Temeke

imeshaanzisha Kamati ya Ulinzi ya Watoto ambayo

pamoja na masuala mengine inajishughulisha na

uanzishaji wa klabu mashuleni. Aidha, kupitia mabaraza

ya kata na wilaya ya watoto, wameendelea kuelimishana

kuhusu madhara ya mimba za utotoni.

(iii) Mabaraza ya watoto

yapewe nguvu zaidi na

Serikali kwani yanasaidia

kutoa elimu rika kwa

wanafunzi wenzao.

Wizara kwa kushirikiana na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu

wa Serikali inaangalia namna nzuri ya kuhakikisha kuwa

Mabaraza ya Watoto yanatambulika na kupata nguvu ya

kisheria ili yaweze kutimiza wajibu wake kikamilifu.

Aidha, Wizara imeandaa mwongozo (Child Participation

Toolkit) utakaowezesha watoto kushiriki kikamilifu

katika ngazi mbalimbali za maamuzi.

2.1.4 Watoto wanaoishi katika

mazingira hatarishi

Lengo kuu la Sera ya

Maendeleo ya Mtoto ya mwaka

(2008) ni kuhakikisha kwamba

watoto wote wanastawi na

kuwa na maisha bora kutokana

na kupatikana kwa haki zao za

msingi ambazo ni kuishi,

kuendelezwa, kulindwa,

kutobaguliwa na kushiriki

katika mambo yanayowahusu

bila ubaguzi wa hali yeyote.

Kwa kuzingatia haya, Kamati

inashauri yafuatayo:-

(a) Halmashauri zote nchini

zifuate na kuzingatia sheria

ndogondogo zinazohusu

Wizara kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo

imeendesha semina na mafunzo kwa wadau ili waweze

kuifahamu vizuri Sheria ya Mtoto na vipengele vyake

kwa nia ya kuwapa uwezo wa kuwa watetezi wa watoto

kwa kutumia sheria hiyo. Aidha, Wizara imeendesha pia

mafunzo kwa wasimamizi wa sheria katika kanda tano ili

kujenga uelewa wa Sheria ya Mtoto na kuisimamia.

Vilevile, Wizara kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu na

Mafunzo ya Ufundi imeendesha mafunzo kwa Mameya

na Wenyeviti wa halmashauri za Wilaya za Mtwara

Vijijini, Temeke, Monduli, Hai, Siha, Magu, Kibaha na

Bagamoyo kuhusu utekelezaji wa Sheria ya Mtoto katika

Programu za Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya

Mtoto.

Page 8: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

6

watoto ili kuwapatia haki

zao na kupunguza wimbi

kubwa la watoto wanaoishi

katika mazingira hatarishi.

(b) Serikali iweke utaratibu wa

uimarishaji wa mifumo ya

kijamii ya kutunza watoto

yatima na wanaoishi katika

mazingira hatarishi.

Wizara imeandaa Mkakati wa Jamii wa Kudhibiti Tatizo

la Watoto Wanaoishi/ Kufanya Kazi Mtaani ambao uko

katika ngazi ya maamuzi. Mkakati huo umeainisha

majukumu ya kila mdau na namna mfumo

utakavyoimarishwa katika kudhibiti tatizo hili katika

ngazi mbalimbali.

(c) Serikali iyachunguze na

kuyachukulia hatua baadhi

ya mashirika yasiyo ya

kiserikali yanayojinufaisha

kupitia migongo ya watoto

yatima na wanaoishi katika

mazingira hatarishi.

Suala la kuyachunguza na kuyabaini mashirika

yanayojinufaisha kupitia migongo ya yatima na watoto

wanaoishi katika mazingira hatarishi linahitaji mifumo

madhubuti ya ufuatiliaji wake katika ngazi mbalimbali.

Aidha, si mashirika yote yanayoendesha makao ya

watoto yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi ni

NGOs. Baadhi ya mashirika hayo yamesajiliwa chini ya

Sheria ya Vyama, Sura 337 Wizara ya Mambo ya Ndani

na chini ya Sheria ya Udhamini Sura 375 Wakala wa

Usajili, Ufilisi na Udhamini. Kimsingi suala hili linagusa

taasisi nyingi ikiwemo Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii

ambayo ndiyo yenye dhamana ya kusimamia makao ya

watoto hao.

Kwa kuwa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na

Watoto ndiyo yenye dhamana ya kuratibu NGOs,

tuliwateua Maafisa Maendeleo ya Jamii wa mkoa na

wilaya kuwa wasajili na waratibu wasaidizi ili kuwezesha

ufuatiliaji wa karibu wa mwenendo wa mashirika hayo

yakiwemo yanayotoa huduma kwa yatima na watoto

wanaoishi katika mazingira hatarishi katika ngazi husika.

Aidha, Baraza la Taifa liliandaa viashiria vya utekelezaji

wa Kanuni za NGOs kwa ajili ya kuliwezesha kufuatilia

kwa karibu mwenendo wa mashirika hayo ikiwemo

katika matumizi ya fedha. Pamoja na jitihada hizi, ufinyu

wa bajeti umekuwa ni moja ya changamoto kubwa

zinazoathiri ufuatiliaji wa shughuli za NGOs hapa nchini.

Page 9: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

7

SURA YA TATU

MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA MPANGO NA BAJETI YA MWAKA 2011/12 HADI

KUFIKIA 30 APRILI, 2012

3.1 Mapitio ya Maduhuli

Katika mwaka wa fedha 2011/12 Wizara ilitarajia kukusanya shilingi 13,550,300.00

ikiwa ni maduhuli yanayotolewa na wanafunzi katika vyuo vya maendeleo ya jamii.

Wizara imekusanya kiasi cha shilingi 10,975,344.00 kutoka vyuo hivi hadi kufikia tarehe

30 Aprili, 2012.

3.2 Mapitio ya Matumizi

Matumizi ya Fedha za Kawaida na Fedha za Miradi ya Maendeleo hadi kufikia tarehe 30

Aprili, 2012:

Mwaka 2011/12 Wizara yangu iliidhinishiwa na Bunge matumizi ya jumla ya shilingi

16,256,015,000.00 kama ifuatavyo: Fedha za matumizi mengineyo zilikuwa shilingi

4,313,637,000.00, fedha za mishahara zilikuwa shilingi 7,089,058,000.00 na fedha za

miradi ya maendeleo zilikuwa shilingi 4,853,320,000.00 ambapo, shilingi

3,000,000,000.00 ni fedha za ndani na shilingi 1,853,320,000.00 ni fedha za nje .

Hadi kufikia tarehe 30 Aprili, 2012, Wizara ilikuwa imepokea shilingi 9,711,796,323.00.

Kati ya kiasi hicho shilingi 6,435,584,885.00 ilikuwa ni fedha za mishahara, shilingi

2,500,410,288.00 ni za matumizi mengineyo na shilingi 775,801,150.00 ni za matumizi

ya maendeleo.

Hadi kufikia tarehe 30 Aprili, 2012, Wizara ilitumia jumla ya shilingi 9,115,614,946.00.

Kati ya hizo shilingi 6,183,640,943.00 zilikuwa ni kwa ajili ya mishahara, shilingi

2,255,727,403.00 kwa ajili ya matumizi mengineyo na shilingi 676,246,600.00 zilikuwa

ni kwa ajili ya matumizi ya miradi ya maendeleo. Kati ya fedha hizo za maendeleo kiasi

cha shilingi 515,295,400.00 zilikuwa ni fedha za ndani na kiasi cha shilingi

160,951,200.00 ni fedha za nje.

Page 10: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

8

SURA YA NNE

VIPAUMBELE, MAFANIKIO NA CHANGAMOTO WAKATI WA UTEKELEZAJI WA BAJETI

KWA MWAKA 2011/12

4.1 Vipaumbele

Katika mwaka 2011/12, vipaumbele vya Wizara vilikuwa kama ifuatavyo:

(i) Kusimamia na kuimarisha utoaji wa mafunzo ya taaluma ya maendeleo ya jamii katika

vyuo vya maendeleo ya jamii na mafunzo ya maarifa, ujuzi na stadi katika vyuo vya

maendeleo ya wananchi;

(ii) Kuwajengea uwezo wanawake na wanaume ili washiriki katika ngazi zote za

utekelezaji wa miradi na mipango mbalimbali ya maendeleo na kufaidika sawa katika

maendeleo hayo;

(iii) Kuratibu utekelezaji wa mikataba ya kitaifa, kikanda na kimataifa inayohusu ustawi,

haki na maendeleo ya wanawake na watoto;

(iv) Kuimarisha usajili, uratibu na ufuatiliaji wa shughuli za Mashirika Yasiyo ya Kiserikali

katika ngazi mbalimbali; na

(v) Kuwapatia wanawake mafunzo kwa lengo la kuwawezesha kuunda vikundi vya

kuweka na kukopa sambamba na ushirika wa kuweka na kukopa ili waweze

kukopesheka kwa urahisi na Benki na Asasi husika.

4.2 MAFANIKIO KWA MWAKA 2011/12

4.2.1 Utoaji wa mafunzo katika vyuo vya Maendeleo ya Jamii na vyuo vya Maendeleo ya

Wananchi:

(a) Vyuo vya maendeleo ya jamii.

Idadi ya wataalamu wa maendeleo ya jamii katika ngazi za Taifa, mkoa na halmashauri ni ya

kuridhisha. Hata hivyo, hali hairidhishi katika ngazi ya kata na kijiji ambako wataalamu hao

wanahitajika zaidi kuwafikia wananchi na kuwahamasisha, ili kujiletea maendeleo yao. Sera ya

Maendeleo ya Jamii imeelekeza kuwa awepo angalau mtaalamu mmoja wa maendeleo ya jamii

kwenye kila kata. Hivi sasa ni asilimia 40 tu ya kata zote 3,321 zina wataalamu wa maendeleo ya

jamii. Hii ina maana kuna upungufu wa wataalamu 1,992 sawa na asilimia 60 ya mahitaji.

Wizara kupitia vyuo hivyo ilidahili jumla ya wanachuo 3,074 wakiwemo wanaume 648 na

wanawake 2,406. Jumla ya wanachuo 173 walidahiliwa katika ngazi ya Shahada, 614 ngazi ya

Stashahada na 2,136 ngazi ya Astashahada.

Page 11: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

9

(b) Vyuo vya maendeleo ya wananchi

Kupitia vyuo 55 vya maendeleo ya wananchi Wizara iliwapatia mafunzo ya ujuzi na stadi

wananchi 32,133 wakiwemo wanawake 15,632 na wanaume 16,501. Wizara inaendelea

kuwashauri wahitimu kujiunga katika vikundi vya uzalishaji mali ili waweze kukopesheka kirahisi.

Kwa kutilia umuhimu kuimarisha sekta iliyo rasmi, Wizara imeamua kutenga vyuo 25 kati ya

vyuo 55 vya maendeleo ya wananchi, kuwa itaanzisha rasmi mafunzo ya ufundi stadi

yatakayofuata mfumo wa VETA. Jumla ya vijana 1,250 watadahiliwa katika vyuo hivyo kuanzia

mwezi Januari 2013 ili kupata mafunzo ya ufundi stadi kwa mfumo huo. Mfumo huo

utawawezesha wahitimu kujiendeleza katika mfumo rasmi wa elimu hadi chuo kikuu.

4.2.2 Ukarabati wa majengo na miundombinu vyuoni:

(a) Vyuo vya maendeleo ya jamii

Wizara iliyafanyia ukarabati majengo na miundombinu ya Chuo cha Maendeleo ya Jamii

Mabughai, Lushoto. Aidha, vyanzo vya maji vya Chuo cha Maendeleo ya Jamii Mlale – Songea

vijijini, mkoani Ruvuma vilijengewa uzio ili kuvihifadhi na kulinda mazingira yake.

(b) Vyuo vya maendeleo ya wananchi

Wizara ilifanya ukarabati na ujenzi wa choo katika chuo cha maendeleo ya wananchi Muhukuru.

4.2.3 Utoaji wa mafunzo na usambazaji wa teknolojia sahihi na rahisi

Wizara iliandaa programu ya kutoa mafunzo na kusambaza teknolojia sahihi kupitia vyuo vya

maendeleo ya wananchi kwa lengo la kuwapunguzia mzigo wa kazi wananchi na kuwaongezea

kipato hivyo, kukuza uchumi wao. Hadi mwezi Machi wakufunzi 52 kutoka vyuo 46 walipatiwa

mafunzo hayo ili waweze kuwafundisha wananchi kupitia vyuo vyao. Sambamba na mafunzo

hayo aina sita (6) za teknolojia rahisi zilinunuliwa na kusambazwa vyuoni. Teknolojia hizo ni

mashine za kufyatulia tofali, wanyama kazi, mikokoteni, mashine za kuangulia vifaranga, mashine

za kukaushia matunda na mboga za majani na meko sanifu.

4.2.4 Ufuatiliaji na tathmini ya mafunzo vyuoni

Wizara iliendelea kusimamia, kufuatilia na kutathmini utekelezaji wa miradi yote ya maendeleo

katika vyuo. Vyuo vilivyotembelewa ni pamoja na vyuo vya Maendeleo ya Jamii Tengeru, Buhare,

Mabughai, Missungwi, Mlale, Monduli, Ruaha, Rungemba na Uyole. Aidha, vyuo vya maendeleo

ya wananchi vilivyotembelewa ni Chisalu, Munguri, Mwanhala, Nzega, Msingi na Singida. Katika

ufuatiliaji na tathmini hiyo, Wizara ilibaini kwamba miradi mingi haitakamilika kutokana na

upatikanaji mdogo wa rasilimali fedha.

Page 12: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

10

4.2.5 Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Sekta ya Maendeleo Jamii:

Wizara iliendesha mkutano mkuu wa mwaka wa sekta ya maendeleo ya jamii. Mkutano huu

uliwapa fursa wataalamu wa sekta ya maendeleo ya jamii na wadau wake kutathmini mwenendo

wake na kuweka mikakati ya kukabiliana na changamoto zilizopo katika sekta hiyo hapa nchini.

Jumla ya washiriki 280 kutoka Wizarani, vyuoni, halmashauri zote nchini, sekretariati za mikoa na

sekta zingine walihudhuria.

4.2.6 Maendeleo ya Jinsia

Ili kuwakwamua wanawake kiuchumi, Wizara iliendelea kuratibu na kusimamia Mfuko wa

Maendeleo ya Wanawake kwa kushirikiana na halmashauri. Katika kipindi cha 2011/12, Wizara

kupitia mfuko huo ilitoa jumla ya shilingi 120,000,000/= kwa halmashauri 15 zilizokamilisha

marejesho ya mikopo kwa ajili ya kuwakopesha wanawake wajasiriamali

Wanawake hao hupewa mikopo yenye masharti nafuu ambayo wanapaswa kuirejesha ndani ya

mwaka mmoja ili wanawake wengine waweze kukopeshwa. Wizara kwa kushirikiana na Mfuko

wa Fursa Sawa kwa Wote, iliwezesha mafunzo ya biashara na ujasiriamali kwa wanawake 350.

Baada ya mafunzo hayo, wanawake hao walishiriki katika maonesho ya 36 yaliyofanyika mwezi

Julai, 2011. Mafunzo haya yalifanyika ili kuwaandaa wanawake wajasiriamali kikamilifu.

Aidha, Wizara iliratibu Mkutano wa Mawaziri wa maendeleo ya wanawake na jinsia kutoka nchi

wanachama wa Nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu uliofanyika Arusha tarehe 04 Novemba, 2011.

Lengo la mkutano huo lilikuwa ni kuandaa mapendekezo kutokomeza ukatili wa kijinsia katika

ukanda wa Maziwa Makuu. Mapendekezo hayo yaliwasilishwa na kupitishwa na Wakuu wa Nchi

Wanachama katika Mkutano maalumu uliohusu upigaji vita ukatili wa kijinsia uliofanyika tarehe

16 Desemba, 2011 mjini Kampala Uganda.

4.2.7 Maendeleo ya Watoto

Mwezi Agosti, 2011, Wizara ilizindua ripoti ya utafiti wa ukatili dhidi ya watoto nchini Tanzania.

Ripoti hiyo imetoa makadirio ya awali ya ukubwa na sura ya ukatili wa kijinsia, kimwili na kiakili

yanayowasibu wavulana na wasichana hapa nchini. Matokeo ya utafiti yamesaidia kuandaa

miongozo na kanuni za utekelezaji wa Sheria ya Mtoto Namba 21, ya mwaka 2009.

Wizara iliandaa zana za ushiriki wa watoto (Child Participation Toolkit) pamoja na Rasimu ya

Mkakati wa Taifa wa ushiriki wa watoto. Zana zote hizi zinalenga kuielimisha jamii kuhusu

umuhimu wa kumshirikisha mtoto katika masuala yanayomhusu kama ilivyobainishwa katika

mikataba ya kimataifa na kikanda kuhusu haki na ustawi wa mtoto.

Page 13: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

11

Mwezi Februari, 2012 Wizara kwa kushirikiana na wadau iliandaa mkutano wa kimataifa

uliohusisha wadau wa ndani na nje ya nchi wa masuala ya watoto. Mkutano huu ulizingatia

masuala makuu matatu (3) ambayo ni: kuandaa kiunzi (framework) kitakachoonesha namna nzuri

ya kutekeleza Sera Jumui ya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto; kuanzisha namna

bora ya ushirikiano wa kiutendaji; na kutoa fursa kwa wadau kubadilishana uzoefu na maarifa

katika masuala yanayohusu malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto. Mkutano uliazimia

kuwa wadau husika kuwekeza zaidi katika malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto ili

kuwa na Taifa bora la baadaye.

Kutokana na juhudi za uhamasishaji wa masuala ya watoto, jamii imehamasika na hivi sasa taarifa

nyingi za ukatili dhidi ya watoto zinatolewa katika mamlaka husika na vyombo vya habari.

Wizara iliratibu maadhimisho ya Siku ya Familia Duniani yaliyofanyika Kimkoa. Kaulimbiu ilikuwa

Uwajibikaji Sawa katika Majukumu; Msingi wa Familia Bora. Kaulimbiu hii ililenga kuhamasisha

na kushawishi wazazi, walezi na jamii kwa ujumla kuwajibika kwa pamoja katika malezi ya familia.

Aidha, Wizara kwa kushirikiana na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu ilifanya mkutano wa

maafisa maendeleo ya jamii kutoka katika halmashauri zote nchini ili kujadili masuala ya

ukeketaji na ukatili wa kijinsia dhidi ya watoto wa kike. Mkutano huu uliazimia kuwa, kuna

umuhimu wa kuendelea kuzihamasisha jamii zetu kuhusu madhara yanayowapata watoto wa

kike wanapokuwa wamefanyiwa tohara.

4.2.8 Uratibu wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali

Wizara imeendelea na shughuli za uratibu wa mashirika hayo hapa nchini ambapo jumla ya

mashirika 675 yalisajiliwa na kati ya hayo mashirika 646 yalipatiwa cheti cha usajili na mengine 29

yalipatiwa Cheti cha Ukubalifu. Aidha, Wizara yangu iliwateua maafisa maendeleo ya jamii wa

wilaya na mkoa kuwa wasajili wasaidizi wa NGOs katika ngazi husika. Uteuzi wa maafisa hao

unatarajiwa kuimarisha usajili, uratibu na ufuatiliaji wa NGOs katika ngazi za wilaya na mikoa

Wizara yangu kwa kushirikiana na mitandao ya mikoa ya NGOs na Shirika la ‘The Foundation for

Civil Society’ iliwezesha uchaguzi wa wajumbe wa Baraza la Taifa la NGOs la awamu ya pili kutoka

katika mikoa mbalimbali na baadhi ya mitandao ya NGOs. Aidha, Wizara iliendelea kuendesha na

kuhuisha Tovuti ya Taifa ya Uratibu wa NGOs (http//www.tnnc.go.tz) na Benki ya Takwimu na

Taarifa za NGOs hapa nchini. Vile vile, wadau 26,000 kutoka sekta binafsi, serikali, wabia wa

maendeleo, taasisi za utafiti na elimu ya juu na asasi za kiraia walipatiwa taarifa mbalimbali

zinazohusu mashirika hayo kupitia Ofisi ya Msajili wa NGOs na tovuti hiyo.

Page 14: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

12

Wizara ilikamilisha uandaaji wa Mpango Mkakati wa Miaka Mitano (5) (2011 – 2016) unaotoa

dira na mwongozo wa utumiaji wa rasilimali ili kuiwezesha Wizara kufanikisha malengo yake.

4.2.9 Kuimarisha Utawala na Utumishi

Wizara iliendelea kusimamia utendaji kazi kwa misingi ya haki, usawa, uadilifu, utawala bora na

uwazi na kuweka mkazo katika kudhibiti vitendo vya rushwa na uzembe kazini. Masuala haya ni

ya msingi katika kuiwezesha Wizara kufanikisha dira na dhima yake na ya Taifa kwa ujumla.

Wizara iliendelea kuwajengea uwezo watumishi wake kwa kupatia elimu na maarifa kupitia vyuo

vya elimu ya juu vya ndani na nje ya nchi. Jumla ya watumishi 60 waliwezeshwa kupata mafunzo

ya muda mfupi, kati na ya muda mrefu katika nyanja mbalimbali.

Wizara iliwapandisha cheo watumishi 94, iliwabadilisha kazi watumishi 7 na kuwathibitisha kazini

watumishi 127. Aidha, iliwaingiza kwenye masharti ya kudumu na malipo ya uzeeni watumishi

139 na kuwaingiza katika masharti ya kawaida watumishi 66. Katika kuboresha mazingira ya

utendaji kazi, Wizara yangu imekamilisha ukarabati wa Jengo la Makao Makuu ya Wizara. Pia,

iliwawezesha kupata viini lishe, madawa na chakula watumishi 11 waliojitokeza kuwa

wameathirika na Virusi Vya UKIMWI na UKIMWI.

4.3 CHANGAMOTO

Mheshimiwa Mwenyekiti, katika kutekeleza majukumuya kisekta, Wizara ilikabiliana na

changamoto zifuatazo:

(i) Hali ya majengo na miundombinu ya vyuo vya maendeleo ya jamii na wananchi ni

chakavu kutokana na ukosefu wa matengenezo ya mara kwa mara. Pia, kuna uhaba wa

vyombo vya usafiri, upungufu mkubwa wa watumishi wa kada mbalimbali, nyumba za

watumishi, madarasa, karakana, mabweni na vifaa vya kufundishia na kujifunzia;

(ii) Upungufu wa wataalam wa maendeleo ya jamii katika ngazi ya kata. Hivi sasa ni kata

1,329 kati ya kata 3,321 zenye wataalam hawa sawa na upungufu wa asilimia 60, hivyo

changamoto ni kuwa na watalaam wa maendeleo ya jamii wa kutosha kujaza nafasi zilizo

wazi katika Halmashauri;

(iii) Ongezeko la watoto wanaoishi/kufanya kazi mitaani. Tatizo la VVU na UKIMWI,

mmomonyoko wa maadili pamoja na umaskini uliokithiri miongoni mwa jamii ya

watanzania ni kati ya sababu kuu zinazochangia ongezeko la watoto wanaoishi/kufanya

kazi mitaani;

Page 15: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

13

(iv) Kuongezeka kwa vitendo vya ukatili kwa watoto vinavyotolewa taarifa katika vyombo vya

habari;

(v) Kuwepo kwa mila na desturi zinazoleta madhara kwa jamii; na

(vi) Ufinyu wa bajeti katika utekelezaji wa shughuli mbalimbali za Wizara.

Page 16: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

14

SURA YA TANO

MPANGO WA MAENDELEO NA BAJETI KWA MWAKA 2012/13:

5.1 Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Wizara kwa mwaka 2012/13

Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto imeandaa bajeti ya mwaka 2012/13 kwa

kuzingatia mwongozo uliotolewa na Wizara ya Fedha na Ofisi ya Rais - Tume ya Mipango

unaolekeza maeneo muhimu ya kuzingatia. Mwongozo huo umehimiza wizara kuandaa

bajeti inayolenga kuondoa umaskini na kufikia malengo mbalimbali kama yalivyoainishwa

katika MKUKUTA, “Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025 (National Development Vision

2025)”, Malengo ya Maendeleo ya Milenia, Mpango wa kwanza wa Maendeleo wa Miaka

Mitano, Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2010 -2015 na Maelekezo mengine ya Serikali.

Aidha, maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Wizara yamezingatia ushauri uliotolewa na

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii.

Ili kutekeleza Mpango na Bajeti ya Mwaka 2012/13, jumla ya shilingi 15,616,991,000

zinahitajika kwa mchanganuo ufuatao:

i. Matumizi ya Kawaida yatahitaji shilingi 12,155,650,000 ambazo kati ya fedha hizo

shilingi 8,770,125,000 ni kwa ajili ya mishahara (P.E) ya watumishi wa Wizara na

Chuo cha Maendeleo ya Jamii Tengeru na Shilingi 3,385,525,000 ni kwa ajili ya

matumizi mengineyo (O.C); na

ii. Miradi ya Maendeleo inaombewa shilingi 3,461,341,000. Kati ya fedha hizo,

shilingi 3,000,000,000 ni fedha za ndani na shilingi 461,341,000 ni fedha za nje.

Kiasi cha shilingi 1,100,000,000 ya fedha za ndani zitatumika kwa ajili ya

kuimarisha mtaji wa Benki ya Wanawake Tanzania na shilingi 1,900,000,000 kwa

ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo ya Wizara.

5.2 Vipaumbele vya Wizara kwa mwaka 2012/13

Kwa mwaka 2012/13 Wizara imejiwekea vipaumbele vifuatavyo:

(i) Kuimarisha utoaji wa mafunzo ya taaluma ya maendeleo ya jamii katika vyuo

vya maendeleo ya jamii na mafunzo ya maarifa, ujuzi na stadi katika vyuo vya

maendeleo ya wananchi, hususan kuongeza mafunzo ya ufundi stadi katika

vyuo 25 vya maendeleo ya wananchi;

Page 17: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

15

(ii) Kuwajengea uwezo wanawake na wanaume ili washiriki katika ngazi zote za

utekelezaji wa miradi na mipango mbalimbali ya maendeleo na kufaidika

sawa katika maendeleo kwa kuendelea kutambua fursa mpya na muafaka

zinazojitokeza katika maendeleo yao; na

(iii) Kusimamia sera na sheria na kuratibu utekelezaji wa mikataba ya kimataifa,

kikanda na kimataifa inayohusu ustawi, haki na maendeleo ya wanawake na

watoto kwa kutoa miongozo ya kukusanyia takwimu za watoto

wanaonyanyaswa na wanaoishi mitaani.

5.3 Makadirio ya Maduhuli kwa Mwaka 2012/13:

Katika mwaka 2012/13, Wizara inatarajia kukusanya fedha kutokana na ada za wanafunzi,

fidia, marejesho ya fedha za Serikali, kodi za nyumba za Serikali na mauzo ya vifaa

mbalimbali vya serikali na mapato mbalimbali. Makusanyo hayo yanakadiriwa kufikia

shilingi 1,582,020,300 kwa mwaka 2012/13.

Page 18: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

16

SURA YA SITA

MAELEZO YA MAKADIRIO YA BAJETI YA MATUMIZI YA KAWAIDA KWA

MWAKA 2012/13

KIFUNGU 1001: UTAWALA NA USIMAMIZI WA RASILIMALI WATU

210100: TOTAL BASIC SALARIES–PENSIONABLE POSTS -TSHS. 604,104,300/=

210101: Civil Servants Tshs. 604,104,300/=

Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 1,366,946,000/= zilitengwa. Katika Mwaka

2012/13, Idara inaomba jumla ya Tshs. 604,104,300/= kwa ajili ya kulipia

mishahara kwa watumishi wa idara na nyongeza za mishahara ya mwaka.

210300: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES–(NON–DISCRETIONARY) - TSHS. 60,952,700/=

210301: Leave Travel Tshs. 1,200,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kuwalipa watumishi wa Idara ya Utawala na

Utumishi likizo zao za mwaka. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 9,000,000/=

zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 1,200,000/=kinaombwa kwa

madhumuni hayo.

210303: Extra Duty Tshs. 23,515,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kuwalipa watumishi wa Idara ya Utawala na

Utumishi kwa kazi maalum ambazo zinahitaji kufanyika baada ya saa za kazi.

Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 37,270,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi

cha Tshs. 23,515,000 kinaombwa kwa ajili ya kutekeleza kazi zifuatazo baada ya

saa za kazi; maandalizi ya makadirio ya mishahara, maandalizi ya mikutano ya

Baraza pamoja na mikutano inayofanyika kila robo ya mwaka kati ya viongozi na

watumishi, pamoja na kazi za ziada zitakazojitokeza.

210308: Acting Allowance Tshs. 200,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia posho watumishi watakaokaimu nafasi

ya Katibu Mkuu au Mkurugenzi wa Idara watakapokuwa hawapo kazini kutokana

na sababu mbalimbali kama likizo, safari za kikazi n.k. Mwaka 2011/12 jumla ya

Tshs. 600,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 200,000/=

kinaombwa kwa ajili hiyo.

210314: Sitting Allowance Tshs. 7,300,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya vikao mbalimbali vya kisheria ambavyo ni; vikao

viwili vya Baraza la wafanyakazi ambapo kila kikao ni siku mbili, vikao vinne vya

Kamati ya Ajira na vikao viwili vya wafanyakazi (TUGHE). Mwaka 2011/12 jumla ya

Tshs. 31,000,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 7,300,000

kinaombwa kwa ajili hiyo.

Page 19: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

17

210315: Subsistance Allowance Tshs. 1,820,000

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama ya posho ya kujikimu kwa

watumishi wanne. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 3,640,000/= zilitengwa. Katika

mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.1,820,000 kinaombwa kwa ajili hiyo.

210319: Medical and Dental Refunds Tshs. 218,254/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kuwawezesha watumishi pale wanapokosa

dawa zilizoidhinishwa na Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa. Mwaka 2011/12 jumla

ya Tshs. 500,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 218,254/=

kinaombwa kwa ajili hiyo.

210329: Moving Expenses Tshs. 26,699,446/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za nauli na mizigo kwa

watumishi watatu walioajiriwa na wawili watakaostaafu. Mwaka 2011/12 jumla

ya Tshs. 9,600,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.

26,699,446/= kinaombwa kwa ajili hiyo.

210500: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES – IN-KIND - TSHS. 90,380, 000/=

210501: Electricity Tshs. 18,660,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipa gharama za umeme kwa Waziri, Naibu

Waziri, Katibu Mkuu, Naibu Katibu Mkuu, Mkuu wa Idara na Wakurugenzi

Wasaidizi wawili ikiwa ni stahili zao kwa mujibu wa uteuzi wa nyadhifa zao.

Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 15,840,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13,

kiasi cha Tshs. 18,660,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

210502: Housing Allowance Tshs. 33,600,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia pango la nyumba kwa ajili ya Naibu

Waziri, Naibu Katibu Mkuu, Mkuu wa Idara na Wakurugenzi Wasaidizi wawili kwa

kuwa hawajapata nyumba za Serikali ikiwa ni stahili zao kwa mujibu wa uteuzi wa

nyadhifa zao. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 31,200,000/= zilitengwa. Katika

mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 33,600,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

210503: Food and Refreshment Tshs. 14,400,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia viburudisho kwa ajili ya Waziri, Naibu

Waziri, Katibu Mkuu, Naibu Katibu Mkuu, Mkuu wa Idara na Wakurugenzi

wanapokutana na wageni mbalimbali kwa shughuli za kiofisi. Mwaka 2011/12

jumla ya Tshs. 16,800,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.

14,400,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

210504: Telephone Tshs. 22,800,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za simu kwa ajili ya Waziri,

Naibu Waziri, Katibu Mkuu, Naibu Katibu Mkuu, Mkuu wa Idara na Wakurugenzi

Wasaidizi wawili. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 17,940,000/= zilitengwa. Katika

mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 22,800,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

Page 20: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

18

210505: Water and Waste Disposal Tshs. 520,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama ya huduma katika vyoo.

Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 480,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi

cha Tshs. 520,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

210507: Furniture Tshs. 400,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ununuzi wa samani kwa Mkuu wa Idara na

Wakurugenzi Wasaidizi wa Idara kama stahili zao. Katika mwaka 2011/12, kifungu

hiki hakikutengewa fedha kutokana na kupunguzwa kwa bajeti ya wizara. Katika

mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 400,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

220100: TOTAL OFFICE AND GENERAL SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 90,190,000/=

220101: Office Consumables Tshs. 4,640,000/=

Kasma hii hutumika kugharamia ununuzi wa vitendea kazi vya ofisini. Vitendea

kazi hivyo ni kama karatasi, majalada, kalamu na bahasha. Mwaka 2011/12 jumla

ya Tshs. 12,330,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 6,080,000/=

kinaombwa kwa ajili ya matumizi hayo.

220102: Computers Supplies and Accessories Tshs. 5,400,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya kompyuta za Idara. Vifaa

hivyo ni kama wino kwa ajili printa na wino kwa ajili ya vinakilishi katika ofisi ya

Waziri, Naibu Waziri, Katibu Mkuu, Naibu Katibu Mkuu na Mkurugenzi. Vile vile,

ununuzi wa UPS na vitunza kumbukumbu. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.

6,750,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 5,400,000/=

kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220105: Books, Reference and Periodicals Tshs. 100,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununua kanuni na sheria mbalimbali

zitakazotumiwa na Maafisa Utumishi wanne na Maafisa Tawala wawili kwa ajili ya

utekelezaji wa kazi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 400,000/= zilitengwa lakini

hazikupatikana kutokana na kupunguzwa kwa bajeti ya wizara. Mwaka 2012/13,

kiasi cha Tshs. 100,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220108: Newspapers and Magazine Tshs. 6,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununua magazeti na majarida kwa ajili ya ofisi

za Waziri, Naibu Waziri, Katibu Mkuu, Naibu Katibu Mkuu na Mkuu wa Idara.

Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 8,070,000 zilitengwa. Mwaka 2012/13 kiasi cha

Tshs. 6,000,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220109: Printing and Photocopying Costs Tshs. 100,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia uchapaji na unakilishi kwa ajili ya

mikutano miwili ya Baraza la Wafanyakazi na gharama za mabango kwa ajili ya

Sherehe za Mei Mosi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 1,160,000/= zilitengwa.

Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 100,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

Page 21: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

19

220111: Software Licence Tshs. 1,950,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za programu za Anti Virus kwa

kompyuta za Idara. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 480,000/= zilitengwa. Mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs. 1,950,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220112: Outsourcing Costs Tshs. 72,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za usafi na ulinzi wa ofisi.

Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 102,000,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi

cha Tshs. 72,000,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220300: TOTAL FUEL, OILS AND LUBRICANTS - TSHS. 38,060,000/=

220302: Diesel Tshs. 38,060,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia mafuta ya dizeli kwa magari ya Idara kwa

matumizi ya ofisi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 111,200,000/= zilitengwa kwa

ajili magari saba. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 38,060,000/= kinaombwa kwa

madhumuni hayo.

220400: TOTAL MEDICAL SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 4,000,000/=

220403: Special Foods (diet food) Tshs. 4,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia vyakula maalum kwa watumishi sita

walioathirika na virusi vya UKIMWI na UKIMWI. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.

30,000,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 4,000,000/=

kinaombwa kwa ajili hiyo.

220700: TOTAL RENTAL EXPENSES - TSHS. 6,300,000/=

220702: Rent- Housing Tshs 6,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya malipo ya pango kwa nyumba nne zilizopo

Dodoma. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 10,800,000/= zilitengwa. Katika mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs. 6,000,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.

220709: Conference Facilities Tshs. 300,000

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia ukodishaji wa vyumba vya mikutano

kwa ajili ya mikutano miwili ya Baraza la Wafanyakazi ikiwa ni siku mbili kwa kila

mkutano. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 8,000,000/= zilitengwa. Katika mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs. 300,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.

220800: TOTAL TRAINING - DOMESTIC - TSHS. 3,500,000/=

220802: Tuition Fees Tshs. 2,600,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia ada za mafunzo kwa watumishi watakao

hudhuria mafunzo katika Chuo cha Uhazili-Tabora, Chuo cha Taifa cha Usafirishaji-

DSM, Utumishi wa Umma-DSM. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 3,000,000/=

zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 2,600,000/= kinaombwa kwa

ajili hiyo.

Page 22: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

20

220807: Training Allowances Tshs. 800,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za mafunzo kwa Maafisa

watakaokuwa kwenye mafunzo kwa ajili mitihani ya kada zao (Proffessional

Exams) pamoja na watumishi watakaokuwa katika mafunzo. Mwaka 2011/12

jumla ya Tshs. 3,240,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.

800,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.

220810: Ground transport (Bus, Train, Water) Tshs. 100,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipa nauli kwa watumishi watakaokwenda

kwenye mafunzo ya muda mfupi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 300,000/=

zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 100, 000/= kinaombwa kwa ajili

hiyo.

221000: TOTAL TRAVEL-IN-COUNTRY - TSHS. 43,725,000/=

221001: Air Travel Tickets Tshs 400,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia nauli kwa watumishi wa Idara

watakaosafiri kwa kutumia usafiri wa anga nchini kikazi. Mwaka 2011/12 jumla ya

Tshs. 1,350,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 400,000/=

kinaombwa kwa madhumuni hayo

221002: Ground Travel (bus, railway tax, etc) Tshs 700,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia nauli kwa watumishi wa Idara

watakaosafiri kwa ajili ya kuhudhuria Mikutano ya Bunge, Baraza la wafanyakazi

na safari za kukagua masuala ya Utumishi katika vyuo vya wizara. Mwaka 2011/12

jumla ya Tshs. 7,300,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.

700,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.

221005: Per Diem-Domestic Tshs. 42,625,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya posho ya safari kwa Waziri, Naibu Waziri, Katibu

Mkuu, Naibu Katibu Mkuu, Mkuu wa Idara, Wakurugenzi Wasaidizi wawili na

watumishi watakaosafiri kikazi katika mikoa na vyuo vya wizara. Kazi nyingine ni

Mikutano minne ya Bunge vikao viwili vya wafanyakazi (TUGHE) na mikutano

miwili ya Baraza la Wafanyakazi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 233,210,000/=

zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 42,625,000/= kinaombwa kwa

ajili hiyo.

221200: TOTAL COMMUNICATIONS AND INFORMATION - TSHS. 3,000,000/=

221202: Posts and Telegraphs Tshs. 3,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia huduma za Posta kwa Wizara. Mwaka

2011/12 jumla ya Tshs. 3,600,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha

Tshs.3, 000,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

Page 23: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

21

221400: TOTAL HOSPITALITY SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 32,930,000/=

221404: Food and Refreshments Tshs. 28,330,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia vyakula na viburudisho kwa ajili ya

vikao vinne vya maadili, vikao vinne vya Bunge na mikutano miwili ya Baraza la

wafanyakazi ambapo kila kikao siku mbili. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.

37,531,000 zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs 28,330,000/= kinaombwa

kwa ajili ya kazi hizo.

221405: Entertainment Tshs. 1,800,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya posho ya Takrima kwa Waziri na Naibu Waziri

wakati wa vikao vya Bunge kulingana na Barua ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya

Utumishi wa Umma ya tarehe 07/06/2007. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.

3,000,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 1,800,000/=

kinaombwa kwa kazi hiyo.

221406: Gifts and Prizes Tshs. 2,800,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kutoa tuzo kwa mtumishi bora wa Idara na

Wizara katika sherehe za Mei Mosi. Pia, fedha hizi zitatumika katika ununuzi wa

kadi za sherehe za Kristmas, Idd, Pasaka na ununuzi wa zawadi kwa watumishi

wawili watakaostaafu. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 13,000,000/= zilitengwa.

Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 2,800,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

229900: TOTAL OTHER OPERATING EXPENSES - TSHS. 1,360,000/=

229914: Sundry Expenses Tshs. 360,000/=

Kasma hii hutumika kulipia gharama ndogo ndogo za ofisi. Mwaka 2011/12 jumla

ya Tshs. 300,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 360,000/=

kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

229920: Burial Services Tshs. 1,000,000/=

Kasma hii hutumika kwa ajili ya kugharamia huduma za mazishi kwa mtumishi wa

Idara. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 2,020,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13,

kiasi cha Tshs. 1,000,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

230200: TOTAL ROUTINE MAINTENANCE AND REPAIR OF BUILDINGS - TSHS. 480,000/=

230208: Small Tools and Implements Tshs. 480,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili matumizi ya kununulia vifaa vidogo vidogo vya

majengo kama vitasa, taa, vitendea kazi na ukarabati mdogo. Mwaka 2011/12

jumla ya Tshs. 4,000,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.

480,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

Page 24: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

22

230400: TOTAL ROUTINE MAINTENANCE AND REPAIR OF VEHICLES AND

TRANSPORTATION EQUIPMENTS - TSHS. 26,000,000/=

230407: Direct Labour Tshs. 1,200,000

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za kulaza magari ya Idara nje ya

Wizara. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 2,640,000/= zilitengwa kwa magari

manane. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 1,200,000/= kinaombwa kwa ajili

ya kazi hiyo.

230408: Outsource Maintainace Contract Services Tshs. 24,800,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia matengenezo ya magari nane ya Idara.

mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 40,000,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13,

kiasi cha Tshs. 24,800,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

230700: TOTAL ROUTINE MAINTENANCE AND REPAIR OF OFFICE EQUIPMENTS AND

APPLIENCES - TSHS. 4,000,000/=

230701: Computers, Printers, Scanners Tshs. 1,500,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya matengenezo ya kompyuta za Idara. Mwaka

2011/12 jumla ya Tshs. 2,000,000/= zilitengwa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha

Tshs. 1,500,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

230702: Photocopiers Tshs. 300,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya matengenezo ya vinakilishi katika ofisi za Waziri,

Naibu Waziri, Katibu Mkuu, Naibu Katibu Mkuu na Mkuu wa Idara. Mwaka

2011/12 jumla ya Tshs. 1,200,000/= zilitengwa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha

Tshs. 300,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

230703: Fax machines & other small office equip Tshs. 100,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya matengenezo ya mashine ya fax. Mwaka

2011/12 jumla ya Tshs. 1,200,000/= zilitengwa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha

Tshs. 100,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

230704: Air conditioners Tshs. 2,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya matengenezo ya viyoyozi vya ofisi. Mwaka

2011/12 jumla ya Tshs. 2,000,000/= zilitengwa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha

Tshs. 2,000,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

230705: Telephones and office PABX systems Tshs. 100,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya matengenezo ya mtambo wa simu na simu za

ofisi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 1,000,000/= zilitengwa Kwa mwaka 2012/13,

kiasi cha Tshs. 100,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

Page 25: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

23

410500: TOTAL ACQUISITION OF HOUSEHOLD & INSTITUTIONAL EQUIPMENT -

TSHS. 200,000/=

410501: Kitchen Appliances Utencils & Crockery Tshs. 200,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia vyombo kwa ajili ya matumizi ya ofisi.

Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 500,000/= zilitengwa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi

cha Tshs. 200,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

JUMLA YA KIFUNGU: 1001 TSHS. 1,009,182,000/= KATI YA HIZO MISHAHARA NI

TSHS. 604,104,300/=NA MATUMIZI MENGINEYO NI TSHS. 405,077,700/=.

KIFUNGU 1002: FEDHA NA UHASIBU

210100: TOTAL BASIC SALARIES – PENSIONABLE POSTS -TSHS. 301,246,800/=

210101: Civil Servants Tshs. 301,246,800/=

Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 291,254,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13,

Idara inaomba jumla ya Tshs. 301,246,800/= kwa ajili ya kulipia mishahara kwa

watumishi wa kitengo na nyongeza za mishahara ya mwaka.

210300: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES–(NON–DISCRETIONARY) -TSHS. 14,774,000/=

210301: Leave Travel Tshs. 274,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za usafiri kwa watumishi

wanapokwenda na kurudi kutoka likizo pamoja na familia zao. Mwaka 2011/12

jumla ya Tshs. 2,400,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 274,000

kinaombwa kwa kazi hiyo.

210303: Extra Duty Tshs. 2,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipa posho kwa watumishi wa Kitengo cha

Uhasibu ambao watalazimika kufanya kazi baada ya saa za kazi ili wakamilishe kazi

hizo kama vile kuandaa hesabu za kufunga mwaka na majibu ya taarifa za ukaguzi.

Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 8,400,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha

Tshs. 2,000,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

210308: Acting Allowance Tshs. 200,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia posho watumishi watakaokaimu nafasi

ya Mhasibu Mkuu. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 400,000/= zilitengwa. Mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs. 200,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

210314: Sitting Allowance Tshs. 6,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia vikao vya kisheria vya Kamati ya

Ukaguzi ambavyo vinakaa kila robo ya mwaka. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.

22,000,000/= zilitengwa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 6,000,000/=

kinaombwa kwa kazi hiyo.

Page 26: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

24

210319: Medical and Dental Refunds Tshs. 300,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kuwawezesha watumishi pale wanapokosa

dawa zilizoidhinishwa na Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa. Katika mwaka 2012/13,

kiasi cha Tshs. 300,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.

210321: Special Allowance Tshs. 5,400,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya stahili ya Mkuu wa Kitengo. Mwaka 2011/12

jumla ya Tshs. 5,400,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.

5,400,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

210329: Moving Expenses Tshs. 600,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia posho za nauli na mizigo kwa

wafanyakazi watakaoajiriwa, watakaohamishwa na watakaostaafu. Mwaka

2011/12 jumla ya Tshs. 1,200,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha

Tshs. 600,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

210400: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES–(DISCRETIONARY)-OPTIONAL–

TSHS. 2,000,000/=

210401: Honoraria Tshs. 2,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kutoa honoraria kwa watumishi watakaokuwa

wamekamilisha kazi maalum na kwa umahiri. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.

4,000,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 2,000,000 kinaombwa

kwa kazi hiyo.

210500: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES-IN-KIND -TSHS. 7,200,000/=

210502: Housing Allowance Tshs. 7,200,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ununuzi wa samani za Mkuu wa Kitengo.

Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 4,800,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha

Tshs. 7,200,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

220100: TOTAL OFFICE AND GENERAL SUPPLIES AND SERVICES-TSHS. 7,300,000/=

220101: Office Consumables Tshs. 5,580,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia ununuzi wa vitendea kazi muhimu

vya ofisi. Vitendea kazi hivyo ni kama karatasi, wino wa printa, majalada, kalamu

na bahasha. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.13,620,000/= zilitengwa. Mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs 5,580,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

220102: Computers Supplies and Accessories Tshs. 120,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya kompyuta. Katika mwaka

2011/12, kiasi cha Tshs. 120,000/= zilitengwa. Mwaka huu wa fedha 2012/13, kiasi

cha Tshs. 120,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

Page 27: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

25

220108: Newspapers and Magazines Tshs. 600,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununua magazeti na majarida ya kitengo.

Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 600,000/= zilitengwa. Mwaka huu wa fedha

2012/13, kiasi cha Tshs. 600,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220109: Printing and Photocopying Costs Tshs. 1,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia uchapaji na unakilishi. Mwaka

2011/12 jumla ya Tshs. 5,000,000/= zilitengwa. Mwaka huu wa fedha 2012/13,

kiasi cha Tshs. 1,000,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220200: TOTAL UTILITIES SUPPLIES AND SERVICES -TSHS. 129,600,000/=

220201: Electricity Tshs. 96,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipa gharama za umeme kwa wizara. Mwaka

wa fedha 2011/2013 jumla ya Tshs. 30,000,000/= zilitengwa. Mwaka huu wa fedha

2012/13, kiasi cha Tshs. 96,000,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220202: Water Charges Tshs. 33,600,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za maji katika eneo la Makao

Makuu ya Wizara. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 12,400,000/= Katika mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs. 33,600,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220300: TOTAL FUEL, OILS AND LUBRICANTS -TSHS. 13,000,000/=

220302: Diesel Tshs. 13,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia mafuta ya dizeli kwa gari la Kitengo.

Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 4,000,000/= zilitengwa. Mwaka huu wa fedha

2012/13, kiasi cha Tshs. 13,000,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220800: TOTAL TRAINING - DOMESTIC - TSHS. 578,200/=

220808: Training MaterialsTshs. 578,200/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za mafunzo kwa mtumishi

mmoja atakayekuwa kwenye mafunzo ya muda mrefu na muda mfupi. Mwaka

2011/12, jumla ya Tshs. 2,400,000/= zilitengwa Katika mwaka 2012/13, kiasi cha

Tshs. 578,200/= kinaombwa kwa ajili hiyo.

221000: TOTAL TRAVEL-IN-COUNTRY - TSHS. 1,600,000/=

221005: Per Diem-Domestic Tshs. 1,600,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya posho kwa watumishi watakaosafiri kikazi ndani

ya nchi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 2,800,000/= zilitengwa. Katika mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs. 1,600,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.

221100: TOTAL TRAVEL OUT OF COUNTRY - TSHS. 2,500,000/=

221101: Air Travel Tickets Tshs. 2,500,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia nauli ya usafiri wa anga kwa watumishi

wa Idara watakaosafiri nje ya nchi kikazi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.

Page 28: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

26

3,500,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 2,500,000/=

kinaombwa kwa ajili hiyo.

221200: TOTAL COMMUNICATIONS AND INFORMATION - TSHS. 21,000,000/=

221202: Posts and Telegraphs Tshs. 600,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia huduma za Posta na Simu. Mwaka

2011/12 jumla ya Tshs. 600,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha

Tshs. 600,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

221211: Telephone Charges (Land lines) Tshs. 20,400,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia malipo ya simu kwa wizara. Mwaka

2011/12 jumla ya Tshs. 57,600,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha

Tshs. 20,400,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

221400: TOTAL HOSPITALITY SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 4,550,000/=

221404: Food and Refreshments Tshs. 4,250,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya viburudisho wakati wa vikao na mikutano ya

kikazi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 5,250,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13,

kiasi cha Tshs. 4,250,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

221406: Gifts and Prizes Tshs. 300,000

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kutoa tuzo kwa mtumishi bora wa kitengo ili

kuwapa motisha kwa ajili ya kuinua kiwango cha utendaji kazi. Mwaka 2011/12

jumla ya Tshs. 300,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 300,000/=

kinaombwa kwa kazi hiyo.

229900: TOTAL OTHER OPERATING EXPENSES - TSHS. 500,000/=

229920: Burial Services Tshs. 500,000/=

Kasma hii hutumika kwa ajili ya kugharamia huduma za mazishi kwa mtumishi wa

Kitengo endapo atafariki. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 500,000/= zilitengwa.

Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 500,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

230400: TOTAL ROUTINE MAINTENANCE AND REPAIR OF VEHICLES AND

TRANSPORTATION EQUIPMENTS - TSHS. 1,500,000/=

230409: Spare Parts Tshs. 1,500,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za matengenezo ya gari la

kitengo. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 1,500,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13,

kiasi cha Tshs. 1,500,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

Page 29: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

27

410600: TOTAL ACQUISITION OF OFFICE AND GENERAL EQUIPMENTS - TSHS. 1,500,000/=

410601: Computers and Photocopiers Tshs. 1,500,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia kompyuta na kinakilishi. Mwaka

2011/12 jumla ya Tshs. 2,000,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha

Tshs. 1,500,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

JUMLA YA KIFUNGU: 1002 NI TSHS.508,849,000/= KATI YA HIZO MISHAHARA NI

TSHS. 301,246,800/= NA MATUMIZI MENGINEYO NI TSHS. 207,602,200/=

KIFUNGU 1003: SERA NA MIPANGO

210100: TOTAL BASIC SALARIES – PENSIONABLE POSTS - TSHS. 191,112,600/=

210101: Civil Servants Tshs. 191,112,600/=

Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 147,249,000 zilitengwa. Katika mwaka 2012/13,

kiasi cha Tshs. 191,112,600/= zinaombwa kwa ajili ya kulipia mishahara kwa

watumishi wa Idara na nyongeza za mishahara ya mwaka.

210300: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES–(NON–DISCRETIONARY) - TSHS. 4,000,000/=

210314: Sitting Allowance Tshs.4,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia maafisa wa Idara na maafisa bajeti wa

Wizara kwenye vikao vya kuandaa SBAS, Bajeti, hotuba ya bajeti na vikao vya

mapato na matumizi ya wizara. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 121,400,000/=

zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 4,000,000/= kinaombwa kwa

ajili hiyo.

210500: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES-IN-KIND - TSHS. 47,280,000/=

210501: Electricity Tshs. 9,840,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipa gharama za umeme kwa Mkuu wa Idara

na Wakurugenzi Wasaidizi watatu ikiwa ni stahili zao. Mwaka 2011/12, jumla ya

Tshs. 9,840,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 9,840,000/=

kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

210502: Housing Allowance Tshs. 28,800,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipa gharama za pango kwa ajili ya Mkuu wa

Idara na wakurugenzi wasaidizi watatu kwa kuwa hawajapata nyumba za Serikali.

Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 28,000,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi

cha Tshs. 28,800,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

210504: Telephone Tshs. 8,640,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za simu kwa ajili ya Mkuu wa

Idara na Wakurugenzi Wasaidizi watatu. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs.

8,400,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 8,640,000/=

kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

Page 30: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

28

220100: TOTAL OFFICE AND GENERAL SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 6,080,000/=

220101: Office Consumables Tshs. 600,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia ununuzi wa vitendea kazi muhimu

vya ofisi. Vitendea kazi hivyo ni kama karatasi, wino wa printa, majalada, kalamu

na bahasha. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 7,700,000/= zilitengwa. Mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs. 600,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

220108: Newspapers and Magazines Tshs. 480,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununua magazeti na majarida kwa ajili ya

matumizi ya ofisi. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 2,520,000/= zilitengwa. Mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs. 480,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220109: Printing and Photocopying Costs Tshs. 5,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia uchapaji na unakilishi wa nyaraka za

Wizara. Nyaraka hizo ni kama, Nyaraka za kupeleka kwenye Baraza la Mawaziri,

Rasimu za Sera, Kutengeneza vitabu vya bajeti, kutengeneza vitabu 700 vya

hotuba ya bajeti, vitabu 500 vya Randama, vitabu 60 vya MTEF, vitabu 60 vya

maelezo ya Kamati na vitabu 400 vya hoja za Waheshimiwa Wabunge. Mwaka

2011/12, jumla ya Tshs. 14,600,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.

5,000,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220300: TOTAL FUEL, OILS AND LUBRICANTS - TSHS. 10,825,000/=

220302: Diesel Tshs. 10,825,000/=

Fedha hizi zinaombwa ili kulipia gharama za mafuta kwa ajili ya gari ambayo

yatawezesha katika kufanikisha shughuli za Idara na ufuatiliji wa miradi ya

maendeleo katika vyuo vya Maendeleo ya Wananchi na vyuo vya Maendeleo ya

Jamii. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 22,800,000/= zilitengwa. Katika mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs. 10,825,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

221000: TOTAL TRAVEL-IN-COUNTRY - TSHS. 1,800,000/=

221002: Ground Travel (bus, railway tax, etc) Tshs. 200,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia nauli kwa watumishi wa Idara

watakaosafiri ndani ya nchi kikazi na nauli kwa ajili ya Maafisa wa Bajeti wakati wa

kuandaa SBAS na bajeti ya Wizara. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 3,000,000/=

zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 200,000/= kinaombwa kwa kazi

hii.

221005: Per Diem-Domestic Tshs. 1,600,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ya posho ya safari kwa watumishi wa Idara

watakaosafiri kikazi ndani ya nchi na posho ya Maafisa wa Bajeti wa Wizara wakati

wa kuandaa SBAS na bajeti ya Wizara. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.

17,280,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 1,600,000/=

kinaombwa kwa ajili hiyo.

Page 31: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

29

221200: TOTAL COMMUNICATIONS AND INFORMATION - TSHS. 9,414,400/=

221205: Advertising and Publication Tshs. 9,414,400/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia matangazo ya hotuba ya bajeti ya

Wizara kwenye Luninga na katika magazeti. Pia, fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya

kutoa Taarifa ya Mafanikio ya Wizara katika gazeti. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.

70,000,000 zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 9,414,400/=

kinaombwa kwa kazi hii.

221400: TOTAL HOSPITALITY SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 6,900,000/=

221404: Food and Refreshments Tshs. 6,900,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia viburudisho wakati wa vikao vya

uandaaji wa Bajeti ya Wizara. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 26,920,000/=

zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 6,900,000/= kinaombwa kwa ajili ya

kazi hiyo.

230400: TOTAL ROUTINE MAINTENANCE AND REPAIR OF VEHICLES AND

TRANSPORTATION EQUIPMENT - TSHS. 1,000,000/=

230409: Spare Parts Tshs.1,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ununuzi wa vipuri vya gari, matengenezo ya gari

na gharama za kulaza gari nje ya ofisi. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs.

11,000,000/= zilitengwa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 1,000,000/=

kinaombwa kwa kazi hiyo.

JUMLA YA KIFUNGU: 1003 TSHS. 278,412,000/=KATI YA HIZO MISHAHARA NI

TSHS. 191,112,600/= NA MATUMIZI MENGINEYO NI TSHS. 87,299,400/=

KIFUNGU 1004: UKAGUZI WA NDANI

210100: TOTAL BASIC SALARIES – PENSIONABLE POSTS - TSHS. 40,552,800/=

210101: Civil Servants Tshs. 40,552,800/=

Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 41,910,000/= zilitengwa. Kwa mwaka 2012/13

kitengo kinaomba jumla ya Tshs. 40,552,800/= kwa ajili ya kulipia mishahara kwa

watumishi wa Idara na nyongeza za mishahara ya mwaka.

210300: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES–(NON–DISCRETIONARY) - TSHS. 500,000/=

210301: Leave Travel Tshs. 200,000/=

Kasma hii hutumika kulipia gharama za usafiri kwa watumishi wanapokwenda na

kurudi kutoka likizo pamoja na familia zao. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.

1,000,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 200,000/= kinaombwa

kwa kazi hiyo.

Page 32: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

30

210308: Acting Allowance Tshs. 100,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia posho kwa watumishi watakaokaimu

nafasi ya Mkuu wa Kitengo. Mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs. 1,651,540/=

zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 100,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

210319: Medical and Dental Refunds Tshs. 200,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kuwarudishia watumishi waliotibiwa kwa

kutumia fedha zao binafsi. Katika mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs. 500,000/=

zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 200,000/=kinaombwa kwa ajili hiyo.

210500: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES-IN-KIND - TSHS. 10,740,000/=

210501: Electricity Tshs. 2,460,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za umeme kwa Mkuu wa

Kitengo. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 2,460,000/= zilitengwa. Katika mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs. 2,460,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

210502: Housing Allowance Tshs. 6,120,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia pango la nyumba ya Mkuu wa Kitengo

kama stahili yake. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 6,120,000/= zilitengwa. Katika

mwaka huu wa fedha 2012/13, kiasi cha Tshs. 6,120,000/= kinaombwa kwa ajili ya

kazi hiyo.

210504: Telephone Tshs. 2,160,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za simu kwa ajili ya Mkuu wa

kitengo. Katika mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs. 2,160,000/=zilitengwa. Katika

mwaka huu wa fedha 2012/13, kiasi cha Tshs. 2,160,000/= kinaombwa kwa ajili ya

kazi hiyo.

220100: TOTAL OFFICE AND GENERAL SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 1,533,200/=

220101: Office Consumables Tshs. 853,200/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia ununuzi wa vitendea kazi muhimu

vya ofisi. Vitendea kazi hivyo ni kama karatasi, wino wa printa, majalada, kalamu

na bahasha. Mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs. 1,300,000/= zilitengwa. Katika

mwaka huu wa fedha 2012/13, kiasi cha Tshs. 853,200/= kinaombwa kwa ajili ya

kazi hiyo.

220108: Newspapers and Magazines Tshs. 480,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununua magazeti na majarida kwa ajili ya

kitengo. Mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs. 792,000/= zilitengwa. Katika mwaka huu

wa fedha 2012/13, kiasi cha Tshs. 480,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

220111: Software Licence Tshs. 200,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununua progamu za kompyuta. Mwaka

2011/12, kiasi cha Tshs. 480,000/= zilitengwa. Katika mwaka huu wa fedha

2012/13, kiasi cha Tshs. 200,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

Page 33: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

31

220300: TOTAL FUEL, OILS AND LUBRICANTS - TSHS. 2,200,000/=

220302: Diesel Tshs. 2,200,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia mafuta ya dizeli kwa gari la kitengo.

Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 12,996,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi

cha Tshs. 2,200,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220800: TOTAL TRAINING-DOMESTIC TSHS. 1,700,000/=

220802: Tuition Fees Tshs. 900,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia ada za mafunzo kwa watumishi

watakaokuwa wanahudhuria mafunzo ya muda mfupi ndani ya nchi. Mwaka

2011/12, kiasi cha Tshs. 7,500,000/= zilitengwa. Katika mwaka huu wa fedha

2012/13, kiasi cha Tshs. 900,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

220811: Research and Dissertation Tshs. 800,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za utafiti kwa watumishi

watakaokuwa wanahudhuria mafunzo ya muda mrefu ndani ya nchi. Mwaka

2011/12 jumla ya Tshs. 3,000,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.

800,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

221000: TOTAL TRAVEL-IN-COUNTRY - TSHS. 7,040,000/=

221002: Ground Travel (bus, railway tax, etc) Tshs. 1,380,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia nauli kwa watumishi watakaosafiri nchini

kikazi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 6,100,000/= zilitengwa. Katika mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs. 1,380,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

221005: Per Diem -Domestic Tshs. 5,660,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya posho kwa watumishi watakaosafiri kikazi ndani

ya nchi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 8,711,000/= zilitengwa. Katika mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs. 5,660,000/=kinaombwa kwa ajili hiyo.

221300: TOTAL EDUCATIONAL MATERIAL, SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 400,000/=

221301: Textbooks Tshs. 400,000/=

Fedha hizi ni kwa ajili ya gharama za manunuzi ya vitabu kwa watumishi

watakaokwenda katika mafunzo ya muda mrefu. Katika mwaka 2011/12, kiasi cha

Tshs. 1,000,000/= kilitengwa. Katika mwaka huu wa fedha 2012/13, kiasi cha Tshs.

400,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

221400: TOTAL HOSPITALITY SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 2,600,000/=

221404: Food and Refreshments Tshs. 2,600,000/=

Fedha hizi ni kwa ajili ya kugharamia chai na vinywaji baridi wakati wa vikao na

mikutano ya kikazi. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 4,800,000/= zilitengwa.

Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 2,600,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

Page 34: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

32

230400: TOTAL ROUTINE MAINTENANCE AND REPAIR OF VEHICLES AND

TRANSPORTATION EQUIPMENTS - TSHS. 800,000/=

230404: Panel and body shop repair materials Tshs. 400,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia vifaa vya gari. Mwaka 2011/12, jumla

ya Tshs. 1,000,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 400,000/=

kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

230407: Direct Labour Tshs. 400,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za matengenezo madogo

madogo ya gari. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 500,000/= Katika mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs. 400,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

230700: TOTAL ROUTINE MAINTENANCE AND REPAIR OF OFFICE EQUIPMENT AND

APPLIENCES - TSHS. 500,000/=

230701: Computers, Printers, Scanners Tshs. 500,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipa gharama za matengenezo ya kompyuta.

Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 500,000/= zilitengwa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi

cha Tshs. 500,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

410600: TOTAL ACQUISITION OF OFFICE AND GENERAL EQUIPMENTST - TSHS. 200,000/=

410602: Printers and Scanners Tshs. 200,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia wino wa printa kwa ajili ya matumizi

ya Kitengo. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 500,000/= zilitengwa. Kwa mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs. 200,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

JUMLA YA KIFUNGU 1004: TSHS. 68,766,000/= KATI YA HIZO MISHAHARA NI

TSHS. 40,552,800/= NA MATUMIZI MENGINEYO NI TSHS. 28,213,200/=

KIFUNGU 1005: MAWASILIANO YA SERIKALI

210100: TOTAL BASIC SALARIES–PENSIONABLE POSTS - TSHS. 25,896,700/=

210101: Civil Servants Tshs. 25,896,700/=

Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 22,183,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13,

Kitengo kinaomba jumla ya Tshs. 25,896,700/= kwa ajili ya kulipia mishahara ya

watumishi wa Idara na nyongeza za mishahara ya mwaka.

210300: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES–(NON–DISCRETIONARY) - TSHS. 1,800,000/=

210301: Leave Travel Tshs. 250,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kuwalipa watumishi wawili wa Kitengo kwa ajili

ya likizo zao za mwaka. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 2,400,000/= zilitengwa.

Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 250,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

Page 35: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

33

210303: Extra Duty Tshs. 1,550,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kuwalipa wafanyakazi wa Kitengo kwa kazi

maalum ambazo ni kuandaa na kuhariri vipindi vya redio na televisheni ambazo

zitafanyika baada ya saa za kazi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 3,630,000/=

zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 1,550,000/= kinaombwa kwa

madhumuni hayo.

210500: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES IN-KIND - TSHS 610,000/=

210503: Food and Refreshment Tshs 610,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ununuzi wa viburudisho kwa ajili ya kitengo.

Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 1,395,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13,

kiasi cha Tshs. 610,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.

220100: TOTAL OFFICE AND GENERAL SUPPLIES AND SERVICES - TSHS 6,874,046/=

220101: Office Consumables Tshs. 2,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia ununuzi wa vitendea kazi muhimu

vya ofisi ikiwa ni pamoja na karatasi, wino wa printa, majalada, kalamu na

bahasha. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 4,200,000/= zilitengwa. Katika mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs. 2,000,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.

220102: Computers Supplies and Accessories Tshs. 250,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya kompyuta. Mwaka

2011/12 jumla ya Tshs. 2,000,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.

250,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220105: Books, Reference and Periodicals Tshs. 10,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununua vitabu, vipeperushi na majarida ya

Kitengo. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 400,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13,

kiasi cha Tshs. 10,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220108: Newspapers and Magazines Tshs. 3,600,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununua magazeti na majarida ya Kitengo.

Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 1,440,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha

Tshs. 3,600,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220109: Printing and Photocopying Costs Tshs. 800,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia uchapaji na unakilishi wa nyaraka za

Wizara. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 8,094,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13,

kiasi cha Tshs. 800,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220110: Computer Software Tshs. 214,046/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ununuzi wa programu za kompyuta na

programu za kuzuia uharibifu wa kompyuta za Kitengo. Mwaka 2011/12 jumla ya

Tshs. 2,000,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 214,046/=

kinaombwa kwa madhumuni hayo.

Page 36: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

34

220300: TOTAL FUEL, OILS AND LUBRICANTS - TSHS. 3,200,000/=

220302: Diesel Tshs. 3,200,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia mafuta ya dizeli katika uratibu wa

shughuli za vipindi vya redio na televisheni, ushiriki wa Wizara kwenye

maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma na Nanenane. Mwaka 2011/12

jumla ya Tshs. 4,950,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.

3,200,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220800: TOTAL TRAINING - DOMESTIC - TSHS. 280,000/=

220802: Tuition Fees Tshs. 260,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia ada za mafunzo kwa mtumishi mmoja

atakayekuwa anahudhuria mafunzo ya muda mrefu ndani ya nchi. Mwaka

2011/12 jumla ya Tshs. 5,274,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha

Tshs. 260,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220805: Production & Printing Training Materials Tshs. 10,000/=

Fedha hizi zinaombwa ili kuwezesha ununuaji wa vifaa vya uchapishaji kwa ajili ya

mtumishi atakayehudhuria mafunzo ndani ya nchi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.

50,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 10,000/= kinaombwa

kwa madhumuni hayo.

220811: Research and Dissertation Tshs. 10,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kufanya utafiti kwa mtumishi wa Kitengo

anayehudhuria mafunzo ya shahada ya uzamili ya mawasiliano ya umma. Mwaka

2011/12 jumla ya Tshs. 2,005,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha

Tshs. 10,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

221000: TOTAL TRAVEL-IN-COUNTRY - TSHS. 4,010,000/=

221002: Ground Travel (bus, railway tax, etc) Tshs. 890,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia nauli kwa watumishi wa kitengo

watakaosafiri nchini kikazi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 2,280,000/= zilitengwa.

Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 890,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

221005: Per Diem-Domestic Tshs. 3,120,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya posho kwa watumishi watakaosafiri kikazi

nchini. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 11,590,000/= zilitengwa. Katika mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs. 3,120,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.

221200: TOTAL COMMUNICATIONS & INFORMATION - TSHS. 2,220,000/=

221205: Advertizing and Publication Tshs. 1,020,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia matangazo ya masuala mbalimbali

kuhusu sekta ya maendeleo ya Jamii katika radio, televisheni na magazeti. Mwaka

2011/12 jumla ya Tshs. 29,000,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha

Tshs. 1,020,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

Page 37: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

35

221210: Telephone Equipment (Mobile) Tshs. 1,200,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia malipo ya simu kwa ajili ya

watumishi wa kitengo. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 200,000/= zilitengwa.

Katika mwaka 2012/13 kiasi cha Tshs. 1,200,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi

hiyo.

221300: TOTAL EDUCATIONAL MATERIAL, SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 10,000/=

221301: Textbooks Tshs. 10,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za ununuzi wa vitabu kwa

mtumishi mmoja atakayekwenda kwenye mafunzo ya muda mrefu. Mwaka

2011/12 jumla ya Tshs. 300,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha

Tshs. 10,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

229900: TOTAL OTHER OPERATING EXPENSES - TSHS. 13,438,254/=

229922: Consultancy Fees Tshs. 13,438,254/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za mtaalamu wa nje kwa kazi ya

kuandaa Mkakati wa Mawasiliano wa Wizara. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.

1,000,000/= zilitengwa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 13,438,254/=

kinaombwa kwa kazi hiyo.

230700: TOTAL ROUTINE MAINTENANCE AND REPAIR OF OFFICE EQUIPMENTS AND

APPLIANCES - TSHS. 50,000/=

230701: Computers, and other computer related equipments Tshs. 50,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya matengenezo ya kompyuta na printa. Mwaka

2011/12 jumla ya Tshs. 4,000,000/= zilitengwa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha

Tshs. 50,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

JUMLA YA KIFUNGU 1005: TSHS. 58,389,000/= KATI YA HIZO MISHAHARA NI

TSHS. 25,896,700/= NA MATUMIZI MENGINEYO NI TSHS. 32,492,300/=

KIFUNGU 1006: MANUNUZI

210100: TOTAL BASIC SALARIES – PENSIONABLE POSTS - TSHS. 68,935,200/=

210101: Civil Servants Tshs. 68,935,200/=

Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 188,575,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13,

Kitengo kinaomba jumla ya Tshs. 68,935,200/=. Kwa ajili ya kulipia mishahara kwa

watumishi wa Idara na nyongeza za mishahara ya mwaka.

210300: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES–(NON-DISCRETIONARY) - TSHS. 5,650,000/=

210301: Leave Travel Tshs 900,000/=

Fedha hizi ni kwa ajili ya kuwalipa watumishi wa Kitengo kwa ajili ya likizo yao ya

mwaka. Mwaka 2012/2012 jumla ya Tshs. 4,000,000/= zilitengwa. Mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs. 900,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

Page 38: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

36

210308: Acting Allowance Tshs. 3,000,000/=

Fedha hizi ni kwa ajili ya kulipia posho ya kukaimu kwa watumishi watakao kaimu

nafasi ya Mkurugenzi wa Manunuzi. Mwaka 2011/12 hakuna fedha iliyotengwa

kwa kazi hii. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 3,000,000/= kinaombwa kwa ajili

hiyo.

210314: Sitting Allowance Tshs. 1,500,000/=

Fedha hizi ni kwa ajili ya kulipia wanaohudhuria vikao vya kisheria vya ufunguzi wa

Zabuni wa Wizara kwenye vikao vya kazi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.

20,800,000/= zilitengwa Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 1,500,000/= kinaombwa

kwa ajili hiyo.

210319: Medical and Dental Refunds Tshs. 250,000/=

Fedha hizi ni kwa ajili ya kuwarudishia watumishi waliotibiwa kwa kutumia fedha

zao baada ya kukosa dawa/huduma katika hospitali za Bima ya Afya. Mwaka

2011/12 jumla ya Tshs. 1,200,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13 kiasi cha

Tshs. 250,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

210500: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES -IN-KIND - TSHS. 13,396,000/=

210501: Electricity Tshs. 2,460,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipa gharama za umeme kwa Mkuu wa Idara

ikiwa ni stahili zake. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 2,460,000/=

kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

210502: Housing Allowance Tshs. 7,200,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipa gharama za pango kwa ajili ya Mkuu wa

Idara na wakurugenzi wasaidizi watatu kwa kuwa hawajapata nyumba za Serikali.

Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 9,095,000/= zilitengwa Mwaka 2012/13, kiasi cha

Tshs. 7,200,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo

210503: Food and Refreshment Tshs 1,576,000/=

Fedha hizi ni kwa ajili ya ununuzi wa viburudisho kwenye vikao vya kazi. Katika

mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 1,576,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.

210504: Telephone Tshs. 2,160,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za simu kwa ajili ya Mkuu wa

Kitengo. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 1,200,000/= zilitengwa. Katika mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs. 2,160,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

220100: TOTAL OFFICE AND GENERAL SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 1,880,800/=

220101: Office Consumables Tshs. 1,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia ununuzi wa vitendea kazi muhimu

vya ofisi. Vitendea kazi hivyo ni kama karatasi, wino wa printa, majalada, kalamu

na bahasha. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 2,580,000/= zilitengwa. Katika mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs. 1,000,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.

Page 39: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

37

220108: Newspapers and Magazine Tshs. 480,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ununuzi wa magazeti na majarida ya Kitengo.

Mwaka 2011/12umla ya Tshs. 1,200,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha

Tshs. 480,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220109: Printing and Photocopying Costs Tshs. 400,800/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia uchapaji na unakilishi wa nyaraka za

Serikali. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 7,127,500/= zilitengwa. Mwaka 2012/13,

kiasi cha Tshs.400,800/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220300: TOTAL FUEL, OILS AND LUBRICANTS - TSHS. 8,800,000/=

220302: Diesel Tshs. 8,800,000/=

Fedha hizi ni kwa ajili ya kulipia mafuta ya dizeli kwa gari la Kitengo. Mwaka

2011/12 jumla ya Tshs. 9,080,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.

8,800,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220800: TOTAL TRAINING - DOMESTIC - TSHS. 1,240,000/=

220802: Tuition Fees Tshs. 1,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia ada za mafunzo kwa mtumishi mmoja

atakayekuwa anahudhuria mafunzo ya muda mrefu ndani ya nchi. Katika mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs. 1,000,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220807: Training Allowances Tshs. 240,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za mafunzo kwa mtumishi

mmoja atakayekuwa kwenye mafunzo ya muda mrefu na muda mfupi. Katika

mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 240,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.

221000: TOTAL TRAVEL-IN-COUNTRY - TSHS. 9,600,000/=

221005: Per Diem-Domestic Tshs. 9,600,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya posho kwa watumishi watakaosafiri kikazi nchini

kuhudhuria mafunzo ya muda mfupi, mikutano ya NBMM, usimamizi wa mikataba

ya ukarabati wa vyuo na ufutaji wa vifaa chakavu. Katika mwaka 2011/2013, kiasi

cha Tshs.12,000,000/= kilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 9,600,000/=

kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

230400: TOTAL ROUTINE MAINTENANCE AND REPAIR OF VEHICLE AND

TRANSPORTATION EQUIPMENT - TSHS. 2,000,000/=

230409: Tyres and Batteries 2,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia matairi na betri ya gari la mkuu wa

kitengo. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.42,566,800/= kinaombwa kwa ajili

ya kazi hiyo.

JUMLA YA KIFUNGU: 1006 - TSHS. 111,502,000/= KATI YA HIZO MISHAHARA NI

TSHS. 68,935,200/= NA MATUMIZI MENGINEYO NI TSHS. 42,566,800/=.

Page 40: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

38

KIFUNGU 1007: TEKNOLOJIA YA HABARI NA MAWASILIANO

210300: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES–(NON-DISCRETIONARY) - TSHS. 1,960,000/=

210301: Leave Travel Tshs 800,000/=

Fedha hizi ni kwa ajili ya kuwalipa watumishi wa Kitengo kwa ajili ya likizo yao ya

mwaka. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 2,550,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13,

kiasi cha Tshs. 800,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

210303: Extra Duty Tshs. 800,000

Fedha hizi ni kwa ajili ya kuwalipa watumishi wa Kitengo kwa kazi maalum ambazo

zinahitaji kufanyika baada ya saa za kazi. Mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs.

14,400,000/= kilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 800,000/= kinaombwa

kwa madhumuni hayo.

210319: Medical and Dental Refunds Tshs. 360,000/=

Fedha hizi ni kwa ajili ya kuwarudishia watumishi waliotibiwa kwa kutumia fedha

zao baada ya kukosa dawa/huduma katika hospitali za Bima ya Afya. Katika mwaka

2011/12, kiasi cha Tshs. 150,000/= kilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.

360,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

210500: PERSONAL ALLOWANCES- (NON DISRETIONARY) - TSHS. 100,000/=

210503: Food and Refreshments Tshs. 100,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya viburudisho wakati wa vikao na mikutano ya

kikazi. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 100,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi

hiyo.

220100: TOTAL OFFICE AND GENERAL SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 1,123,000/=

220108: Newspapers and Magazines Tshs. 18,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununua magazeti na majarida ya Kitengo.

Mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs. 240,000/= kilitengwa. Mwaka 2012/13 kiasi cha

Tshs. 18,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220110: Computer Software Tshs. 500,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ununuzi wa programu za kompyuta za Kitengo.

Mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs. 7,000,000/= kilitengwa. Mwaka 2012/13 kiasi cha

Tshs. 500,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220111: Software Licence Tshs. 605,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununua leseni za progamu za kompyuta za

Kitengo. Mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs. 3,800,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13

kiasi cha Tshs. 605,000/=kinaombwa kwa madhumuni hayo.

Page 41: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

39

220800: TOTAL TRAINING - DOMESTIC - TSHS. 2,500,000/=

220802: Tuition Fees Tshs. 2,300,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia ada za mafunzo kwa mtumishi mmoja

atakayekuwa anahudhuria mafunzo ya muda mrefu ndani ya nchi. Katika mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs. 2,300,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220807: Training Allowances Tshs. 100,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za mafunzo kwa mtumishi

mmoja atakayekuwa kwenye mafunzo ya muda mrefu na muda mfupi. Katika

mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 100,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.

220808: Training Materials Tshs. 100,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia vitabu kwa mtumishi mmoja

atakayekuwa kwenye mafunzo ya muda mrefu na muda mfupi. Katika mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs. 100,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.

221200: TOTAL COMMUNICATIONS & INFORMATION - TSHS. 12,000,000/=

221201: Internet and Email Connections Tshs. 12,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia huduma za mtandao kwa wizara. Katika

mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs. 7,200,000/= kilitengwa. Mwaka 2012/13 kiasi cha

Tshs. 12,000,000 kinaombwa kwa kazi hii.

221300: TOTAL EDUCATIONAL MATERIAL,SUPPLIES AND SERVICES - TSHS .100,000/=

221304: Library Books Tshs. 100,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za vitabu kwa mtumishi aliyepo

masomoni. Mwaka 2012/13 kiasi cha Tshs. 100,000 /= kinaombwa kwa kazi hii.

229900: TOTAL OTHER OPERATING EXPENSES - TSHS. 500,000/=

229920: Burial Services Tshs. 500,000/=

Kasma hii hutumika kwa ajili ya kugharamia huduma za mazishi kwa mtumishi wa

Idara. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 500,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi

hiyo.

230700: TOTAL ROATINE MAINTANANCE AND REPAIR OF OFFICE EQUIPMENT AND

APPLIANCES - TSHS.100,000/=

230701: Computers, Printers, Scanners Tshs. 50,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya matengenezo ya kompyuta, printa, kinakilishi na

simu. Kwa mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs. 1,250,000/= kilitengwa. Mwaka

2012/13 kiasi cha Tshs. 50,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

230705: Telephones and office PABX systems Tshs. 50,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya matengenezo ya mitambo ya simu. Kwa mwaka

2011/12, kiasi cha Tshs. 750,000/= kilitengwa. Mwaka 2012/13 kiasi cha Tshs.

50,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

Page 42: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

40

410500: ACQUISITION OF HOUSEHOLDS & INSTITUTIONAL EQUIPMENTS - TSHS. 10,000/=

410503: Beds, Desks, Shelves, Tables & Chairs Tshs. 10,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia meza na vifaa vya kitengo. Kwa

mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs. 800,000/= kilitengwa. Mwaka 2012/13 kiasi cha

Tshs. 10,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

410600: AQUISITION OF OFFICE AND GENERAL EQUIPMENT - TSHS. 657,000/=

410601: Computers and Photocopiers Tshs. 652,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia Nakishi. Kwa mwaka 2011/12, kiasi

cha Tshs. 7,000,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo. Mwaka 2012/13 kiasi cha Tshs.

652,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

410608: Server Tshs. 5,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia server ya Wizara. Kwa mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs. 5,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

JUMLA YA KIFUNGU: 1007 - TSHS. 19,050,000/= KWA AJILI YA MATUMIZI

MENGINEYO

KIFUNGU 2001: VYUO VYA MAENDELEO YA WANANCHI

210100: BASIC SALARIES – PENSIONABLE POSTS - TSHS. 4,734,680,000/=

210101: Civil Servants Tshs. 4,734,680,000/=

Fedha hizi ni kwa ajili ya kulipia mishahara kwa wakufunzi na watumishi wa Vyuo

vya Maendeleo ya Wananchi na nyongeza za mishahara ya mwaka.

Mwaka 2011/12 jumla ya shs. 2,918,351,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13,

Idara inaomba jumla ya shs. 4,734,680,000/= kwa kazi hiyo.

210300: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES–(NON-DISCRETIONARY) - TSHS. 112,500,000/=

210301: Leave Travel shs. 12,800,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za usafiri kwa wakufunzi na

watumishi wa vyuo vya Maendeleo ya Wananchi wanapokwenda na kurudi kutoka

likizo pamoja na familia zao. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 30,400,000/=

zilitengwa. Mwaka 2012/13 kiasi cha shs. 12,800,000/= zinaombwa kwa kazi hiyo.

210308: Acting Allowance shs. 1,600,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia posho ya kukaimu kwa watumishi

watakaokaimu nafasi mbalimbali. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.

1,600,000/=zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha shs.1,600,000/=

kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

Page 43: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

41

210313: Outfit Allowance Tshs.2,400,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia posho ya mavazi kwa watumishi

wawili watakaosafiri nje ya nchi kikazi ili kukabiliana na hali ya mazingira ya nchi

wanayokwenda. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 2,400,000/= kinaombwa kwa

kazi hiyo.

210319: Medical and Dental Refunds Tshs. 5,700,000/=

Fedha hizi ni kwa ajili ya kuwarudishia watumishi na wakufunzi waliotibiwa kwa

kutumia fedha zao binafsi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 1,000,000/= zilitengwa.

Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha shilingi 5,700,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

210329: Moving Expenses Tshs. 90,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia posho za nauli na mizigo kwa watumishi

24 wa vyuo vya Maendeleo ya Wananchi watakaoajiriwa, watakaohamishwa na

watakaostaafu. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 120,000,000/= zilitengwa. Kwa

mwaka 2012/13, kiasi cha shilingi 90,000,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

220100: TOTAL OFFICE AND GENERAL SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 1,200,000/=

220101: Office Consumables Tshs. 1,200,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia ununuzi wa vitendea kazi muhimu

vya ofisi. Vitendea kazi hivyo ni kama karatasi, wino wa printa, majalada, kalamu

na bahasha. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 14,400,000/= zilitengwa. Katika

mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 1,200,000 kinaombwa kwa kazi hiyo.

220200: TOTAL UTILITIES SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 62,750,000/=

220201: Electricity Tshs. 29,400,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za umeme katika Vyuo vya

Maendeleo ya Wananchi 35 vyenye umeme wa gridi ya Taifa. Vyuo vinavyolipiwa

umeme ni kama inavyoonyesha katika Jedwali B. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.

55,799,978/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 29,400,000/=

kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220202: Water Charges Tshs. 33,350,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia bili za maji katika Vyuo vya Maendeleo

ya Wananchi. Vyuo vinavyolipiwa maji ni kama inavyoonyesha katika Jedwali B.

Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 25,199,965/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi

cha Tshs. 33,350,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220700: TOTAL RENTAL EXPENSES - TSHS. 2,500,000/=

220709: Conference Facilities Tshs. 2,500,000

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia ukodishaji wa vyumba vya mikutano

kwa ajili ya vikao viwili vya kudurusu mtaala wa Vyuo vya Maendeleo ya

Wananchi. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 2,500,000/= kinaombwa kwa

ajili hiyo.

Page 44: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

42

220800: TOTAL TRAINING-DOMESTIC - TSHS. 83,725,000/=

220802: Tuition Fees Tshs. 15,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia ada za mafunzo kwa watumishi sita

watakaokuwa wanahudhuria mafunzo ya muda mfupi na muda mrefu ndani ya

nchi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 30,000,000/= zilitengwa. Katika mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs. 15,000,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220805: Production & Printing Training Materials Tshs. 725,000/=

Fedha hizi zinaombwa ili kuwezesha ununuaji wa vifaa vya uchapishaji kwa ajili ya

mtumishi atakayehudhuria mafunzo ndani ya nchi. Katika mwaka 2012/13, kiasi

cha Tshs. 725,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220807: Training Allowances Tshs. 2,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za mafunzo kwa mtumishi

mmoja atakayekuwa kwenye mafunzo ya muda mrefu na muda mfupi. Katika

mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 2,000,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.

220808: Training Materials Tshs. 66,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia vifaa vya kujifunzia katika vyuo 55 vya

Maendeleo ya Wananchi (mfano: Majora ya vitambaa, mbao, “iron sheets for

welding”, vifaa vya umeme n.k). Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.

66,000,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.

221000: TOTAL TRAVEL-IN-COUNTRY - TSHS. 66,000,000/=

221002: Ground Travel (bus, railway tax, etc) Tshs. 23,600,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia nauli kwa watumishi wa vyuo vya

maendeleo ya wananchi watakaosafiri nchini kikazi. Mwaka 2011/12 jumla ya

Tshs. 15,040,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.

23,600,000/= kinaombwa kwa kazi hii.

221005: Per Diem-Domestic Tshs. 42,400,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya posho kwa watumishi wa vyuo vya Maendeleo

ya Wananchi watakaosafiri kikazi ndani ya nchi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.

30,000,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 42,400,000/=

kinaombwa kwa ajili hiyo.

221200: TOTAL COMMUNICATIONS & INFORMATION - TSHS. 18,950,000/=

221202: Posts and Telegrams 2,750,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kusafirishia vifurushi na barua katika vyuo vya

Maendeleo ya Wananchi. Katika mwaka 2012/13, jumla ya Tshs.2,750,000/=

zinaombwa kwa kazi hiyo.

221211: Telephone Charges (Land lines) Tshs. 16,200,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia malipo ya simu katika vyuo vya

Maendeleo ya Wananchi 28. Mwaka 2011/2012 jumla ya Tshs. 11,999,988/=

Page 45: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

43

zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, jumla ya Tshs. 16,200,000/= zinaombwa kwa

kazi hiyo.

221300: TOTAL EDUCATIONAL MATERIAL SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 42,200,000/=

221301: Textbooks Tshs. 16,500,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia vitabu katika vyuo vya Maendeleo ya

Wananchi. Mwaka 2012/13, jumla ya Tshs. 16,500,000/= zinaombwa kwa kazi

hiyo.

221303: Classroom Teaching Supplies Tshs. 13,200,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia vifaa vya kufundishia (mfano: chaki,

“musking tapes”, “tape measures”, gundi, brashi, “flip charts” n.k) katika vyuo 55

vya Maendeleo ya Wananchi. Mwaka 2012/13, jumla ya Tshs. 13,200,000/=

zinaombwa kwa kazi hiyo.

221306: Technical Materials Tshs. 12,500,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia vifaa vya kutolea mafunzo ya stadi

katika vyuo vya Maendeleo ya Wananchi (mfano: randa, misumeno, vyerehani,

“motor”, mikasi, “welding machines”). Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 54,600,000

zilitengwa. Mwaka 2012/13, jumla ya Tshs. 12,500,000/= zinaombwa kwa kazi

hiyo.

221400: TOTAL HOSPITALITY SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 19,342,800/=

221402: Catering Services Tshs. 19,342,800/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za chakula cha wanafunzi katika

vyuo vya Maendeleo ya Wananchi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 425,160,000/=

zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 19,342,800/= kinaombwa kwa ajili ya

kazi hiyo.

229900: TOTAL OTHER OPERATING EXPENSES - TSHS. 12,738,200/=

229914: Sundry Expenses Tshs. 238,200/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za shughuli ndogondogo za

dharura. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 17,069/= zilitengwa. Katika mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs. 238,200/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

229920: Burial Services Tshs. 12,500,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia huduma za mazishi kwa watumishi

na wakufunzi watakaofariki katika vyuo vya Maendeleo ya Wananchi katika

mwaka 2011/12 jumla ya Tsh. 2,000,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha

Tshs. 12,500,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

Page 46: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

44

410600: TOTAL ACQUISITION OF OFFICE AND GENERAL EQUIPMENTS - TSHS. 5,000,000/=

410601: Computers and Photocopiers Tshs. 5,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia laptop moja na kinakilishi kimoja.

Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 22,500,000/= zilitengwa. Kwa mwaka 2012/13,

kiasi cha Tshs. 5,000,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

JUMLA YA KIFUNGU: 2001 – Tshs 5,161,586,000/=KATI YA HIZO MISHAHARA NI

Tshs. 4,734,680,000/= NA MATUMIZI MENGINEYO NI Tshs. 426,906,000/=

KIFUNGU 2002: MAENDELEO YA JAMII

210100: TOTAL BASIC SALARIES – PENSIONABLE POSTS - TSHS. 1,215,180,700/=

210101: Civil Servants Tshs. 1,215,180,700/=

Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 848,984,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13,

Idara inaomba jumla ya Tshs. 1,215,180,700/=kwa ajili ya kulipia mishahara kwa

wakufunzi na watumishi wa idara pamoja na vyuo vya maendeleo ya jamii na

nyongeza za mishahara ya mwaka.

210300: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES–(NON-DISCRETIONARY) - TSHS. 63,600,000/=

210301: Leave Travel Tshs.2,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za usafiri kwa watumishi kumi

wanapokwenda na kurudi kutoka likizo pamoja na familia zao. Mwaka 2011/12

jumla ya Tshs. 8,000,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.

2,000,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

210303: Extra Duty Tshs. 200,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipa posho kwa wakufunzi ambao

watalazimika kufanya kazi baada ya saa za kawaida ili wakamilishe kazi za uandaaji

wa mitihani, ufuatiliaji wa mafunzo nje ya vyuo, kusahihisha mitihani na upitiaji

wa matokeo na kazi muhimu za dharura. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.

18,000,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 200,000/= kinaombwa

kwa kazi hiyo.

210308: Acting Allowance Tshs. 2,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia posho ya kukaimu madaraka kwa

watumishi watakaokaimu nafasi mbalimbali. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.

7,500,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 2,000,000/= kinaombwa

kwa kazi hiyo.

210313: Outfit Allowance Tshs 300,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya gharama za mavazi kwa watumishi

watakaosafiri nje ya nchi. Katika mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs. 300,000/=

kinaombwa kwa ajili ya watumishi hao.

Page 47: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

45

210314: Sitting Allowance Tshs. 13,500,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia vikao 16 vya Bodi katika vyuo nane

vya Maendeleo ya Jamii. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 30,000,000/= zilitengwa.

Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha shilingi 13,500,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

210319: Medical and Dental Refunds Tshs. 2,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kuwarudishia watumishi na wakufunzi

waliotibiwa kwa kutumia fedha zao binafsi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.

21,000,000/= zilitengwa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha shilingi 2,000,000/=

kinaombwa kwa kazi hiyo.

210321: Special Allowance Tshs. 16,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia stahili za Mkuu wa Idara na Wakurugenzi

Wasaidizi nne. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 20,000,000/= zilitengwa. Mwaka

2012/13, jumla ya Tshs. 16,000,000/= zinaombwa kwa kazi hiyo.

210322: Housing Allowance Tshs. 21,600,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za pango kwa ajili ya Mkuu wa

Idara na Wakurugenzi Wasaidizi wanne. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.

20,000,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha shilingi 21,600,000/=

kinaombwa kwa kazi hiyo.

210329: Moving Expenses Tshs. 6,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia posho za nauli na mizigo kwa wakufunzi

na watumishi watakaoajiriwa, watakaohamishwa na watakaostaafu. Mwaka

2011/12 jumla ya Tshs. 15,000,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.

6,000,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

220100: TOTAL OFFICE AND GENERAL SUPPLIES AND SERVICES - TSHS.128,100,000/=

220101: Office Consumables Tshs. 126,600,000

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia ununuzi wa vitendea kazi muhimu

vya ofisi. Vitendea kazi hivyo ni kama karatasi, wino wa printa, majalada, kalamu

na bahasha, uchapishaji vyeti vya vyoo, kuchapisha mitihani, kulipia “external

examiners” na kusafirisha mitihani ya mihula miwili na ile ya marudio. Mwaka

2011/12 jumla ya Tshs. 10,500,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.

126,600,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220102: Computers Supplies and Accessories Tshs. 1,500,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya kompyuta. Mwaka

2011/12 hakuna fedha iliyotengwa kwa matumizi hayo. Mwaka 2012/13, kiasi cha

Tshs. 1,500,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

Page 48: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

46

220300: TOTAL FUEL, OILS AND LUBRICANTS - TSHS. 7,000,000/=

220302: Diesel Tshs. 7,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia mafuta ya dizeli kwa gari la Idara na vyuo

nane vya Maendeleo ya Jamii. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 26,100,000/=

zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 7,000,000/= kinaombwa kwa

madhumuni hayo.

220700: TOTAL RENTAL EXPENSES - TSHS. 2,500,000/=

220709: Conference Facilities Tshs. 2,500,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia ukodishaji wa vyumba vya mikutano

kwa ajili ya mikutano miwili ya Baraza la Wafanyakazi ikiwa ni siku mbili kila

mkutano. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 2,500,000/= kinaombwa kwa ajili

hiyo.

220800: TOTAL TRAINING – DOMESTIC - TSHS. 23,270,500/=

220801: Accommodation Tshs. 7,400,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya malazi kwa watumishi na wakufunzi wa vyuo

watakaokuwa mafunzoni. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 7,400,000/=

kinaombwa kwa ajili hiyo.

220802: Tuition Fees Tshs. 7,650,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia ada za mafunzo kwa watumishi na

wakufunzi watakaokuwa wanahudhuria mafunzo ya muda mfupi na muda mrefu.

Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 7,650,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.

220805: Production & Printing Training Materials Tshs. 50,000/=

Fedha hizi zinaombwa ili kuwezesha ununuaji wa vifaa vya uchapishaji kwa ajili ya

mtumishi atakayehudhuria mafunzo ndani ya nchi. Katika mwaka 2012/13, kiasi

cha Tshs. 50,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220807: Training Allowance Tshs. 2,870,500/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za mafunzo kwa wakufunzi

wanaofundisha kwa muda mfupi mafunzo kwa vitendo katika vyuo nane (8) vya

maendeleo ya jamii. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 8,000,000/= zilitengwa. Katika

mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 2,870,500/= kinaombwa kwa ajili hiyo.

220808: Training Materials Tshs. 300,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia vitabu kwa mtumishi mmoja

atakayekuwa kwenye mafunzo ya muda mrefu na muda mfupi. Katika mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs. 300,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.

220811: Research and Dissertation Tshs. 5,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za mafunzo ya uzamili kwa

wanachuo waliopo vyuoni ikiwemo kufanya utafiti na posho za kujikimu wawapo

Page 49: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

47

katika mafunzo kwa vitendo. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 5,000,000/=

kinaombwa kwa madhumuni hayo.

221000: TOTAL TRAVEL-IN-COUNTRY - TSHS. 26,000,000/=

221002: Ground Travel (bus, railway tax, etc) Tshs.8,400,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia nauli kwa watumishi na wakufunzi wa

vyuo watakaosafiri nchini kikazi. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 59,760,000/=

zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 8,400,000/= kinaombwa kwa

ajili hiyo.

221005: Per Diem-Domestic Tshs. 17,600,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya posho kwa ajili watumishi na wakufunzi

watakaosafiri kikazi ndani ya nchi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 198,640,000/=

zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 17,600,000/= kinaombwa kwa

ajili hiyo.

221100: TOTAL TRAVEL OUT OF COUNTRY - TSHS. 3,336,531/=

221101: Air Travel Tickets Tshs. 2,076,531/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia nauli ya usafiri wa anga kwa watumishi

watakaosafiri nje ya nchi kikazi. Katika mwaka huu wa fedha 2012/13, kiasi cha

Tshs. 2,076,531/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

221105: Per Diem-Foreign Tshs. 1,200,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipa gharama za posho kwa watumishi

watakaokwenda nje ya Nchi kikazi. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.

1,200,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo

221106: Visa Application Tshs. 60,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia kuomba hati ya ya kusafiria kwa

watumishi watakaosafiri nje ya nchi kikazi. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.

60,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo

221200: TOTAL COMMUNICATIONS AND INFORMATION - TSHS. 12,240,000/=

221205: Advertizing and Publication Tshs. 12,240,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia matangazo kuhusu masuala ya vyuo

vya Maendeleo ya Jamii. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 9,000,000/= zilitengwa.

Katika mwaka 2012/13 kiasi cha Tshs. 12,240,000/= kinaombwa.

221400: TOTAL HOSPITALITY SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 19,250,000/=

221404: Food and Refreshments Tshs. 19,250,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia viburudisho kwenye vikao vya

kikazi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 12,000,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13,

kiasi cha Tshs. 19,250,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

Page 50: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

48

229900: TOTAL OTHER OPERATING EXPENSES - TSHS. 7,000,000/=

229920: Burial Services Tshs. 3,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia huduma za mazishi kwa watumishi

na wakufunzi. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 3,000,000/= kinaombwa kwa ajili

ya kazi hiyo.

229922: Consultancy Fees Tshs. 4,000,000

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya gharama za mtaalam mwelekezi. Mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs. 4,000,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

230200: TOTAL ROUTINE MAINTENANCE AND REPAIR OF BUILDINGS - TSHS. 8,000,000/=

230210: Outsource Maintainance Contract Services Tshs. 8,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia matengenezo madogo madogo ya

miundombinu vyuoni. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 9,000,000/= zilitengwa.

Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 8,000,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi

hiyo.

270300: CURRENT GRANT TO NON FINANCIAL PUBLIC UNITS - (ACADEMIC INSTITUTIONS)

- TSHS. 1,581,750,000/=

270384: Community Development Colleges Tshs. 1,581,750,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia maboresho ya vyuo vinane (8) vya

maendeleo ya jamii kutokana na mipango ya vyuo vyenyewe. Kazi hizo ni kama

vile ukarabati wa majengo, kusomesha wakufunzi, vikao vya bodi za uendeleshaji,

vitendea kazi kama vile vitabu, kompyuta, photocopiers, karatasi, kuhudhuria

vikao vya bodi ya mitihani na kusimamia wanafunzi wawapo kwenye mafunzo kwa

vitendo nje ya vyuo. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 1,581,750,000/=

kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

410500: TOTAL ACQUISITION OF HOUSEHOLD & INSTITUTIONAL EQUIPMENT

- TSHS. 6,169,769/=

410502: Furniture and Fittings Tshs. 6,169,769/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia samani kwa ajili ya watumishi tano

wa Idara wanaostahili. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 7,500,000/= zilitengwa.

Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 6,169,769/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

410600: TOTAL ACQUISITION OF OFFICE AND GENERAL EQUIPMENTS - TSHS. 5,000,000/=

410601: Computers and Photocopiers Tshs. 5,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia laptop moja na kinakilishi kimoja.

Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 5,000,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

JUMLA YA KIFUNGU 2002: TSHS. 3,108,397,500/= KATI YA HIZO MISHAHARA NI

TSHS.1,215,180,700/= NA MATUMIZI MENGINEYO NI TSHS. 1,893,216,800/=.

Page 51: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

49

KIFUNGU 2003: CDTI –TENGERU 210100: TOTAL BASIC SALARIES – PENSIONABLE POSTS - TSHS. 1,113,771,000/=

210101: Civil Servants Tshs. 1,113,771,000/=

Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 845,676,000 zilitengwa. Katika mwaka 2012/13,

chuo kinaomba jumla ya Tshs. 1,113,771,000/= /= kwa ajili ya kulipia mishahara

wakufunzi na watumishi na nyongeza za mishahara ya mwaka.

210300: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES–(NON-DISCRETIONARY) - TSHS. 5,660,000/=

210301: Leave Travel Tshs. 450,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za usafiri kwa watumishi

wanapokwenda na kurudi kutoka likizo pamoja na familia zao. Mwaka 2012/13,

kiasi cha Tshs. 450,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

210303: Extra Duty Tshs. 10,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipa posho kwa wakufunzi ambao

watalazimika kufanya kazi baada ya saa za kawaida ili wakamilishe kazi za uandaaji

wa mitihani, ufuatiliaji wa mafunzo nje ya vyuo, kusahihisha mitihani na upitiaji

wa matokeo na kazi muhimu za dharura. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.

10,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

210312: Responsibility Allowances Tshs. 200,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia posho wakufunzi na watumishi kwa kazi

maalum. Mwaka 2011/12 jumla ya Tsh. 2,400,000/= zilitengwa. Kwa mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs. 200,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

210314: Sitting Allowance Tshs 4,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia vikao vya Bodi ya chuo. Mwaka

2011/12 jumla ya Tshs. 5,200,000/= zilitengwa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha

Tshs. 4,000,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

210319: Medical and Dental Refunds Tshs. 1,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kuwarudishia watumishi na wakufunzi

waliotibiwa kwa kutumia fedha zao binafsi. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha shilingi

1,000,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

220100: TOTAL OFFICE AND GENERAL SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 270,000/=

220102: Computers Supplies and Accessories Tshs. 250,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya kompyuta. Mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs. 250,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220105: Books, References and periodicals Tshs. 20,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia vitabu na vifaa vya ofisi. Katika

mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 20,000 kinaombwa kwa kazi hiyo.

Page 52: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

50

220200: TOTAL UTILITIES SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 4,900,000/=

220201: Electricity Tshs. 4,800,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za umeme katika Chuo. Mwaka

2011/12 jumla ya Tshs. 6,000,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.

4,800,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220202: Water Charges Tshs. 100,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia bili za maji katika Chuo cha Maendeleo

ya Jamii Tengeru. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 100,000/= kinaombwa kwa

madhumuni hayo.

220800: TOTAL TRAINING - DOMESTIC - TSHS. 15,000,000/=

280801: Accommodation Tshs. 2,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya malazi kwa watumishi na wakufunzi wa vyuo

watakaokuwa mafunzoni. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 2,000,000/=

kinaombwa kwa ajili hiyo.

220802: Tuition Fees Tshs. 9,500,000

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia ada za mafunzo kwa watumishi na

wakufunzi watakaokuwa wanahudhuria mafunzo ya muda mfupi na muda mrefu

ndani ya nchi. Kwa mwaka 2011/12 Tshs. 30,600,000/= zilitengwa. Katika mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs. 9,500,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220808: Training Materials Tshs. 1,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia vitabu kwa mtumishi mmoja

atakayekuwa kwenye mafunzo ya muda mrefu na muda mfupi. Katika mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs. 1,000,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.

220811: Research and Disetation Tshs. 2,500,000/=

Fedha hizi zinaombwa ili kuwezesha ununuaji wa vifaa vya uchapishaji kwa ajili ya

mtumishi atakayehudhuria mafunzo ndani ya nchi. Katika mwaka 2012/13, kiasi

cha Tshs. 2,500,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

221000: TOTAL TRAVEL – IN – COUNTRY - TSHS. 1,600,000/=

221005: Per Diem-Domestic Tshs. 1,600,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya posho kwa watumishi na wakufunzi

watakaosafiri kikazi ndani ya nchi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 2,160,000/=

zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 1,600,000/= kinaombwa kwa

ajili hiyo.

221200: TOTAL COMMUNICATIONS AND INFORMATION - TSHS. 500,000/=

221215: Subscription Fees Tshs. 500,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia ada za Vyuo vya Elimu ya Juu katika

Baraza la NACTE. Katika mwaka 2012/20123 kiasi cha Tshs. 500,000/= kinaombwa.

Page 53: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

51

221300: TOTAL EDUCATIONAL MATERIAL SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 17,422,914/=

221303: Classroom Teaching Supplies Tshs. 500,000/=

Fedha hizi ni kwa ajili ya kununulia vifaa vya kujifunzia na kufundishia katika Chuo

cha Maendeleo ya jamii Tengeru. Katika mwaka 2012/13 kiasi cha Tshs. 500,000/=

kinaombwa.

221304: Library Books Tshs. 45,000/=

Fedha hizi ni kwa ajili ya kununulia vifaa vitabu katika Chuo cha Maendeleo ya

Jamii Tengeru. Katika mwaka 2012/13 kiasi cha Tshs. 45,000/= kinaombwa.

221311: Examination Expenses Tshs. 16,877,914/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia mitihani chuoni. Mwaka 2011/12

jumla ya Tshs. 89,600,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.

16,877,914/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

221400: TOTAL HOSPITALITY SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 150,000/=

221404: Food and Refreshments Tshs. 150,000/=

Fedha hizi ni kwa ajili ya kugharamia chai na vinywaji baridi wakati wa vikao na

mikutano ya kikazi. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 150,000/= kinaombwa kwa

ajili ya kazi hiyo.

229900: TOTAL OTHER OPERATING EXPENSES - TSHS. 1,000,000/=

229920: Burial Services Tshs. 1,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia huduma za mazishi kwa watumishi

na wakufunzi. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 1,000,000/= kinaombwa kwa ajili

ya kazi hiyo.

410600: TOTAL ACQUISITION OF OFFICE AND GENERAL EQUIPMENTS - TSHS. 2,820,086/=

410601: Computers and Photocopiers Tshs. 1,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia laptop moja na kinakilishi kimoja.

Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 1,000,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

410602: Printer and Scanner Tshs. 500,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia printa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha

Tshs. 500,000/= kinaombwakwa kazi hiyo.

410608: Server Tshs. 1,320,086/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia Server moja kwa ajili ya matumizi ya

kompyuta. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 1,320,086/= kinaombwa kwa kazi

hiyo.

Page 54: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

52

410700: TOTAL FEASIBILITY STUDIES, PROJECT PREPARATION AND DESIGN -

TSHS. 260,000/=

410705: Reports, documents, etc Tshs. 260,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kutengeneza na kukamilisha taarifa za miradi ya

chuo na usambazaji wake. Kwa mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs. 1,040,000/=

kilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 260,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi

hiyo.

JUMLA YA KIFUNGU 2003: CDTI-TENGERU – TSHS. 1,163,354,000/=KATI YA HIZO

MISHAHARA NI TSHS. 1,113,771,000/,= NA MATUMIZI MENGINEYO NI TSHS.

49,583,000/=.

KIFUNGU 3001: MAENDELEO YA JINSIA

210100: TOTAL BASIC SALARIES – PENSIONABLE POSTS - TSHS. 208,790,200/=

210101: Civil Servants Tshs. 208,790,200/=

Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.162,439,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, Idara

inaomba jumla ya Tshs. 208,790,200/= kwa ajili ya kulipia mishahara kwa

watumishi 14 wa idara pamoja na nyongeza za mishahara ya mwaka.

210300: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES–(NON-DISCRETIONARY) - TSHS. 1,200,000/=

210301: Leave Travel Tshs. 1,200,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za usafiri kwa watumishi 7

wanapokwenda na kurudi kutoka likizo pamoja na familia zao. Mwaka 2011/12,

jumla ya Tshs. 7,200,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.

1,200,000/= kinaombwa kwa ajili kazi hiyo.

210500: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES-IN-KIND - TSHS.35,730,000/=

210501: Electricity Tshs. 7,650,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za umeme kwa Mkuu wa Idara

na Wakurugenzi Wasaidizi wawili. Katika mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs.

7,200,000/= kilitengwa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 7,650,000/=

kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

210502: Housing Allowance Tshs. 21,600,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia pango la nyumba kwa Mkuu wa Idara na

Wakurugenzi Wasaidizi wawili wanaostahili. Katika mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs.

21,600,000/=. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 21,600,000/= kinaombwa kwa

ajili ya kazi hiyo.

210504: Telephone Tshs. 6,480,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za simu kwa ajili ya Mkuu wa

Idara na Wakurugenzi Wasaidizi wawili. Katika mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs.

Page 55: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

53

4,560,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs. 6,480,000/=

kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

220100: TOTAL OFFICE AND GENERAL SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 7,258,800/=

220101: Office Consumables Tshs.2,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia ununuzi wa vitendea kazi muhimu

vya ofisi. Vitendea kazi hivyo ni kama karatasi, wino wa printa, majalada, kalamu

na bahasha. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 4,913,000/= zilitengwa. Mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs. 2,000,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220102: Computer Supplies and Accessories Tshs. 2,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ununuzi wa Kompyuta na vifaa vya kompyuta.

Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 2,000,000/= kinaombwa kwa madhumuni

hayo.

220108: Newspapers and Magazines Tshs. 600,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununua magazeti na majarida ya Idara. Mwaka

2011/12, kiasi cha Tshs. 960,000/= kilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.

600,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220109: Printing and Photocopying Costs Tshs. 2,658,800/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia uchapaji na unakilishi. Mwaka

2011/12 jumla ya Tshs. 150,000/= zilitengwa. Mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs.

2,658,800/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220300: TOTAL FUEL, OILS AND LUBRICANTS - TSHS. 9,750,000/=

220302: Diesel Tshs. 9,750,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia mafuta ya dizeli kwa magari mawili ya

idara. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 8,800,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13,

kiasi cha Tshs. 9,750,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

221000: TOTAL TRAVEL-IN-COUNTRY - TSHS. 2,660,000/=

221002: Ground Travel (bus, railway tax, etc) Tshs. 100,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia nauli kwa watumishi watakaosafiri nchini

kikazi. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 3,160,000/= zilitengwa. Katika mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs. 100,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.

221005: Per Diem-Domestic Tshs. 2,560,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia posho za watumishi watakaosafiri kikazi

ndani ya nchi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 17,120,000/= zilitengwa. Katika

mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 2,560,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

Page 56: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

54

221400: TOTAL HOSPITALITY SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 2,900,000/=

221404: Food and Refreshments Tshs. 2,900,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia viburudisho wakati wa vikao na

mikutano ya kikazi. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 9,760,000/= zilitengwa.

Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 2,900,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

230400: TOTAL ROUTINE MAINTENANCE AND REPAIR OF VEHICLES AND

TRANSPORTATION EQUIPMENTS - TSHS. 2,400,000/=

230408: Outsource Maintainance Contract Services Tshs. 2,400,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia matengenezo ya gari ya Idara. Mwaka

2011/12, jumla ya Tshs. 6,000,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha

Tshs. 2,400,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

230700: TOTAL ROUTINE MAINTENANCE AND REPAIR OF OFFICE EQUIPMENTS AND

APPLIANCES -TSHS. 500,000/=

230706: Outsource Maintainace Contract Services Tshs. 500,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia matengenezo ya gari ya Idara. Katika

mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 500,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

JUMLA YA KIFUNGU 3001 : TSHS.271,189,000/=KATI YA HIZO MISHAHARA NI

TSHS. 208,790,200/= NA MATUMIZI MENGINEYO NI TSHS. 62,398,800/=.

KIFUNGU 3002: MAENDELEO YA WATOTO

210100: TOTAL BASIC SALARIES – PENSIONABLE POSTS - TSHS. 144,168,000/=

210101: Civil Servants Tshs. 144,168,000/=

Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 140,374,000 /=zilitengwa. Katika mwaka wa

2011/12, Idara inaomba jumla ya Tshs. 144,168,000/= kwa ajili ya kulipia

mishahara kwa watumishi wa Idara na nyongeza za mishahara ya mwaka.

210300: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES – (NON –DISCRETIONARY) - TSHS. 2,400,000/=

210301: Leave Travel Tshs. 500,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia malipo ya likizo kwa watumishi wa

idara. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 2,000,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13,

kiasi cha Tshs. 500,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

210308: Acting Allowance Tshs. 600,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia posho ya kukaimu kwa watumishi

watakaokaimu nafasi mbalimbali. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 1,800,000/=

zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 600,000/= kinaombwa kwa

madhumuni hayo.

Page 57: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

55

210314: Sitting Allowance Tshs. 500,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kuwalipa posho watumishi wawili wa idara

watakaoshiriki maonesho. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 3,000,000/= zilitengwa.

Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 500,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.

210315: Subsistance Allowance Tshs. 400,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipa posho za kujikimu kwa watumishi wapya

wa Idara. Katika mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs. 600,000/= kilitengwa. Katika

mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 400,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.

210319: Medical and Dental Refunds Tshs. 400,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kuwawezesha watumishi pale wanapokosa

dawa zilizoidhinishwa na Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa. Mwaka 2011/12 jumla

ya Tshs. 600,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 400,000/=

kinaombwa kwa ajili hiyo.

210500: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES-IN-KIND - TSHS. 38,160,000/=

210501: Electricity Tshs. 8,400,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipa gharama za umeme kwa Mkuu wa Idara

na Wakurugenzi Wasaidizi wawili ambao wanaostahili. Mwaka 2011/12, kiasi cha

Tshs. 7,380,000/= kilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 8,400,000/=

kinaombwa kwa ajili hiyo.

210502: Housing Allowance Tshs. 21,600,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia pango la nyumba kwa Mkuu wa Idara na

Wakurugenzi Wasaidizi wawili ambao wanaostahili. Mwaka 2011/12 jumla ya

Tshs. 21,600,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.

21,600,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

210503: Food and Refreshment Tshs. 960,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za viburudisho kwenye vikao

vya kazi. Katika mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs. 7,800,000/= kilitengwa. Katika

mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 960,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

210504: Telephone Tshs. 7,200,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za simu kwa ajili ya stahili za

Mkuu wa Idara na Wakurugenzi Wasaidizi wawili ambao wanaostahili. Katika

mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs. 6,480,000/=kilitengwa. Katika mwaka 2012/13,

kiasi cha Tshs. 7,200,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

220100: TOTAL OFFICE AND GENERAL SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 950,000/=

220101: Office Consumables Tshs. 350,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia ununuzi wa vitendea kazi muhimu

vya ofisi. Vitendea kazi vilivyoainishwa ni kama karatasi, wino wa printa, majalada,

Page 58: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

56

kalamu na bahasha. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 2,500,000/= zilitengwa.

Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 350,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220108: Newspapers and Magazine Tshs. 600,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununua magazeti na majarida kwa ajili ya ofisi.

Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 1,440,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha

Tshs. 600,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220300: TOTAL FUEL, OILS AND LUBRICANTS - TSHS. 8,000,000/=

220302: Diesel Tshs. 8,000,000/=

Fedha hizi ni kwa ajili ya kulipia mafuta ya dizeli kwa ajili ya gari la Idara. Mwaka

2011/12 jumla ya Tshs. 10,600,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.

8,000,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

221000: TOTAL TRAVEL-IN-COUNTRY - TSHS. 4,000,000/=

221002: Ground Travel (bus, railway tax, etc) Tshs 800,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia nauli kwa watumishi wa Idara

watakaosafiri nchini kikazi. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 4,850,000/=

zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 800,000/= kinaombwa kwa

madhumuni hayo.

221005: Per Diem-Domestic Tshs. 3,200,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya posho kwa watumishi watakaosafiri kikazi ndani

ya nchi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 11,280,000/= zilitengwa. Katika mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs. 3,200,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.

221400: TOTAL HOSPITALITY SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 900,000/=

221405: Entertainment Tshs. 600,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kuwakirimu wageni wanaotoka nje na ndani ya

nchi na kutembelea wakuu wa Idara kwa ajili ya shughuli mbalimbali za kiofisi.

Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 3,400,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13,

kiasi cha Tshs. 600,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

221406: Gifts and Prizes Tshs. 300,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kutoa tuzo kwa watumishi bora wa idara kwa

mwaka ikiwa ni motisha kwa ajili ya kuinua kiwango cha utendaji kazi. Mwaka

2011/12 jumla ya Tshs. 600,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha

Tshs. 300,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

229900: TOTAL OTHER OPERATING EXPENSES - TSHS. 1,331,000/=

229920: Burial Services Tshs. 1,331,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia huduma za mazishi kwa watumishi

wa Idara. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 1,094,000/= zilitengwa. Mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs. 1,331,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

Page 59: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

57

230400: TOTAL ROUTINE MAINTENANCE AND REPAIR OF VEHICLES AND

TRANSPORTATION EQUIPMENTS - TSHS. 2,080,000/=

230401: Motor vehicles and water craft Tshs. 500,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za matengenezo ya gari la

Idara. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 1,000,000/= zilitengwa. Katika mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs. 500,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

230403: Tyres and Batteries Tshs. 1,200,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ununuzi wa matairi ya gari la Idara. Kwa mwaka

2011/12, kiasi cha Tshs. 600,000/= kilitengwa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.

1,200,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

230405: Oil and Grease Tshs. 180,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ununuzi wa mafuta ya gari la Idara. Kwa mwaka

2011/12, kiasi cha Tshs. 216,000/= kilitengwa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.

180,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

230409: Spare Parts Tshs. 200,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ununuzi wa vipuri vya gari la Idara. Mwaka

2011/12 jumla ya Tshs. 1,400,000/= zilitengwa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha

Tshs. 200,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

JUMLA YA KIFUNGU 3002: TSHS. 201,989,000/= KATI YA HIZO MISHAHARA NI

TSHS. 144,168,000/= NA MATUMIZI MENGINEYO NI TSHS. 57,821,000/=.

KIFUNGU 4001: URATIBU WA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI

210100: TOTAL BASIC SALARIES – PENSIONABLE POSTS - TSHS. 121,686,700/=

210101: Civil Servants Tshs. 121,686,700/=

Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 115,117,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13,

Idara inaomba jumla ya Tshs. 121,686,700/= kwa ajili ya kulipia mishahara kwa

watumishi wa Idara na nyongeza za mishahara ya mwaka.

210300: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES–(NON–DISCRETIONARY)-TSHS. 22,500,000/=

210301: Leave Travel Tshs 900,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia malipo ya likizo kwa watumishi

wawili wa Idara. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 2,000,000/= zilitengwa. Mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs. 900,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

210322: Housing Allowance Tshs. 21,600,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia nyumba kwa Mkuu wa Idara na

wakurugenzi wasaidizi wawili. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 21,600,000/=

Page 60: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

58

zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 21,600,000/= kinaombwa kwa

ajili hiyo.

210500: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES-IN-KIND - TSHS. 10,800,000/=

210501: Electricity Tshs.5,400,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipa gharama za umeme kwa Mkuu wa Idara

na wakurugenzi wasaidizi wawili. Katika mwaka 2011/12, jumla ya Tshs.

7,380,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 5,400,000/=

kinaombwa kwa ajili hiyo.

210504: Telephone Tshs. 5,400,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za simu kwa ajili ya Mkuu wa

Idara na wakurugenzi wasaidizi wawili. Katika mwaka 2011/12, jumla ya Tshs.

6,480,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 5,400,000/=

kinaombwa kwa ajili hiyo.

220100: TOTAL OFFICE AND GENERAL SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 8,620,000/=

220101: Office Consumables Tshs. 7,620,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ununuzi wa vitendea kazi muhimu vya ofisi.

Vitendea kazi hivyo ni kama karatasi, wino wa printa, majalada, kalamu na

bahasha. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 15,020,000/= zilitengwa. Mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs. 7,620,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220108: Newspapers and Magazines Tshs. 600,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununua magazeti na majarida ya Idara. Mwaka

2011/12, jumla ya Tshs. 5,400,000 /= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.

600,000 kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220111: Software Licence Tshs. 400,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipa gharama za programu za kompyuta. Kwa

mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 280,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha

Tshs. 400,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220300: TOTAL FUEL, OILS AND LUBRICANTS - TSHS. 8,750,000/=

220302: Diesel Tshs. 8,750,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia mafuta ya dizeli kwa gari la Idara.

Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 8,640,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi

cha Tshs. 8,750,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

220700: TOTAL RENTAL EXPENSES - TSHS. 1,200,000/=

220709: Conference Facilities Tshs. 1,200,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia ukodishaji wa vyumba vya mikutano

kwa ajili ya mikutano ya Bodi na mikutano ya kikazi. Mwaka 2011/12, jumla ya

Tshs. 4,000,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 1,200,000/=

kinaombwa kwa madhumuni hayo.

Page 61: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

59

221000: TOTAL TRAVEL-IN-COUNTRY - TSHS. 9,440,000/=

221002: Ground Travel (bus, railway tax, etc) Tshs. 1,440,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia nauli kwa wajumbe wa Bodi

watakaohudhuria vikao vya Bodi na watumishi wa Idara watakaosafiri nchini kikazi

na kufanya ufuatiliaji wa kazi za Mashirika yasiyo ya Kiserikali. Mwaka 2011/12,

jumla ya Tshs. 27,000,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.

1,440,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

221005: Per Diem-Domestic Tshs. 8,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya posho kwa watumishi watakaosafiri kikazi ndani

ya nchi na wajumbe watakaohudhuria vikao vya Bodi. Mwaka 2011/12, jumla ya

Tshs. 41,600,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 8,000,000/=

kinaombwa kwa ajili hiyo.

221400: TOTAL HOSPITALITY SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 5,400,000/=

221404: Food and Refreshments Tshs. 5,400,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia viburudisho wakati wa vikao vya

Bodi na mikutano ya kikazi. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 15,300,000/=

zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 5,400,000/= kinaombwa kwa ajili ya

kazi hiyo.

221600: TOTAL PRINTING, ADVERTISING AND INFORMATION SUPPLIES AND SERVICES-

TSHS. 1,037,800/=

221601: Printing materials Tshs. 1,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za kutoa vinakishi vya vyeti kwa

ajili ya Mashirika Yasiyo ya Kiserikali. Kwa mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs.

800,000/= kilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.1,000,000/=kinaombwa

kwa ajili ya kazi hiyo.

221602: Printing Equipment Tshs. 37,800/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za vifaa vya vinakishi. Kwa

mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 37,800/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.

230400: TOTAL ROUTINE MAINTENANCE AND REPAIR OF VEHICLES AND

TRANSPORTATION EQUIPMENTS - TSHS. 4,800,000/=

230401: Motor vehicles and water craft Tshs. 4,800,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za matengenezo ya gari la

Idara. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 6,000,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13,

kiasi cha Tshs. 4,800,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.

Page 62: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

60

230700: TOTAL ROUTINE MAINTENANCE AND REPAIR OF OFFICE EQUIPMENTS AND

APPLIANCES - TSHS. 750,000/=

230701: Computers, Printers, Scanners Tshs. 750,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya matengenezo ya kompyuta na mashine za

uchapishaji. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 5,401,010/= zilitengwa. Kwa mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs.750,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

JUMLA YA KIFUNGU 4001: Tshs. 194,984,500/=KATI YA HIZO MISHAHARA NI

Tshs. 121,686,700/= NA MATUMIZI MENGINEYO NI TSHS. 73,292,800/=.

FUNGU 53: JUMLA YA FEDHA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA NI

Tshs.12,155,650,000/= KATI YA HIZO Tshs. 3,385,525,000/= NI MATUMIZI

MENGINEYO (OC) NA Tshs. 8,770,125,000/= NI MISHAHARA (PE).

Page 63: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

61

MAELEZO YA MAKADIRIO YA BAJETI YA MIRADI YA MAENDELEO KWA

MWAKA 2012/13

KIFUNGU 1001: UTAWALA NA USIMAMIZI WA RASILIMALI WATU PT 6327: CONSTRUCTION AND REHABILITATION OF BUILDINGS - TSHS. 942,637,842/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa ofisi za makao makuu ya

Wizara. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 40,000,000/= zilitengwa. Kwa mwaka

2012/13, kiasi cha Tshs. 942,637,842/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

JUMLA YA KIFUNGU: 1001 - TSHS. 942,637,842/=

KIFUNGU 1003: SERA NA MIPANGO PT 6290: PROGRAMMING AND DATA PROCESSING PROJECT - TSHS. 76,433,553/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kusimamia na kufuatilia shughuli za Wizara

katika vyuo vya maendeleo ya wananchi na vyuo vya maendeleo ya jamii. Mwaka

2011/12 jumla ya Tshs. 70,500,000/= zilitengwa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha

Tshs. 76,433,553/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

JUMLA YA KIFUNGU: 1003 - TSHS. 76,433,553/=

KIFUNGU 2001: VYUO VYA MAENDELEO YA WANANCHI PT 6329: REHABILITATION OF FOLK DEVELOPMENT COLLEGES (FDCS) - TSHS.

598,038,605/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ukarabati wa majengo na miundombinu katika

vyuo vya maendeleo ya wananchi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 393,167,000/=

zilitengwa kwa ajili ya ukarabati wa vyuo vya maendeleo ya wananchi. Katika

mwaka 2012/ 13, kiasi cha shilingi 598,038,605/= kimetengwa ili kufanya ukarabati

katika Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Sofi.

JUMLA YA KIFUNGU: 2001 - TSHS. 598,038,605/=

KIFUNGU 2002: MAENDELEO YA JAMII PT 6330: REHABILITATION OF COMMUNITY DEVELOPMENT TRAINING INSTITUTIONS -

TSHS. 282,890,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ujenzi na ukarabati wa majengo na

miundombinu katika vyuo vya maendeleo ya jamii. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.

50,000,000/= zilitengwa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 282,890,000/=

kinaombwa kwa kazi hiyo.

JUMLA YA KIFUNGU: 2002 - TSHS. 282,890,000/=

Page 64: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

62

KIFUNGU 3001: MAENDELEO YA JINSIA PT 4943: WOMEN'S ECONOMIC EMPOWERMENT PROJECT - TSHS. 1,100,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kuimarisha huduma za Benki ya Wanawake

Tanzania. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 2,000,000,000/= zilitengwa. Kwa

mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 1,100,000,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.

PG 6550: UNDP SUPPORT PROJECT-TSHS. 300,000,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kutokomeza Ukatili wa Kijinsia na kujenga

uwezo wa utekelezaji wa masuala ya kijinsia. Mradi huu utawezesha utekelezaji

wa masuala ya kijinsia. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 801,188,500/= zilitengwa

kupitia kifungu 1003: Sera na Mipango. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.

300,000,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo zikiwa ni fedha za nje.

JUMLA YA KIFUNGU: 3001 - TSHS. 1,400,000,000/=

KIFUNGU 3002: MAENDELEO YA WATOTO PG 5414: YOUNG CHILD SURVIVAL AND DEVELOPMENT PROGRAMME - TSHS.

61,391,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kuandaa sera ya malezi, makuzi na maendeleo

ya awali ya mtoto pamoja na kuandaa mkakati wa kuitekeleza sera hiyo. Mwaka

2011/12, jumla ya Tshs. 29,985,000/= zilitengwa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha

Tshs. 61,391,000/= kinaombwa kwa ajili ya utekelezaji wa kazi hiyo zikiwa ni fedha

za nje.

PG 5415: CHILD PROTECTION AND PARTICIPATION PROGRAMME - TSHS. 99,950,000/=

Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kuandaa na kutekeleza mpango kazi wa Sheria

ya Mtoto ya Mwaka 2009 ambapo masuala kuhusu ulinzi na ushirikishwaji wa

mtoto yatatekelezwa. Kwa mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs. 7,496,250/= kilitengwa.

Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs 99,950,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo zikiwa

ni fedha za nje.

JUMLA YA KIFUNGU: 3002 - TSHS. 99,950,000/=

JUMLA YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO TSHS. 3,461,341,000/= KATI YA HIZO

TSHS.3,000,000,000/= NI FEDHA ZA NDANI, NA TSHS. 461,341,000/= NI FEDHA ZA NJE.

JUMLA YA FUNGU 53: NI 15,616,991,000/= KATI YA HIZO MATUMIZI MENGINEYO

(OC) NI TSHS. 3,385,525,000/=, MISHAHARA (PE) NI TSHS. 8,770,125,000/= NA

FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO NI TSHS. 3,461,341,000/= KATI YA HIZO

TSHS.3,000,000,000/= NI FEDHA ZA NDANI NA TSHS. 461,341,000/= NI FEDHA ZA

NJE.

Page 65: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

63

SURA YA SABA

MUHTASARI WA MAKADIRIO YA MATUMIZI YA KAWAIDA NA MIRADI YA MAENDELEO KWA MWAKA 2012-13

7.1 MUHTASARI WA MATUMIZI YA KAWAIDA

KIFUNGU 1001: UTAWALA NA USIMAMIZI WA RASILIMALI WATU

I: FEDHA ZA MISHAHARA

MADHUMUNI YA MIAKA

MITATU NA LENGO

AINA YA LENGO

MKUKUTA/SIO

MKUKUTA

SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA MWAKA

WA FEDHA 2012/2013 GHARAMA

Kuwezesha watumishi

kuendelea kufanya kazi

zao kulingana na

mikataba yao

- Watumishi 93 kulipwa mishahara

yao ifikapo Juni, 2016

MKUKUTA Kulipa mishahara ya watumishi 88 604,104,300

JUMLA YA FEDHA ZA MSHAHARA 604,104,300

II: MATUMIZI MENGINEYO

Kuboresha huduma na

kupunguza Maambukizi

ya Virusi vya UKIMWI na

UKIMWI.

A01S Mpango wa Kuthibiti Maambukizi

ya Ukimwi mahala pa kazi

kutekelezwa ifikapo Juni, 2016

MKUKUTA Kuwapa viini lishe na misaada mingine

watumishi 10 walioathirika na Virusi vya

UKIMWI/UKIMWI

4,400,000

Kuimarisha utekelezaji wa

Mkakati wa Kitaifa wa

mapambano dhidi ya

rushwa na kupunguza

matukio ya rushwa.

BO1S Kikao cha kuzungumzia masuala

ya rushwa na maadili

kuwezeshwa kila robo ya mwaka

ifikapo Juni, 2016

MKUKUTA Kuwezesha vikao vya kuzungumzia

masuala ya rushwa na maadili kila robo

ya mwaka

1,020,000

Page 66: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

64

Kuboresha usimamizi wa

rasilimali na uwajibikaji

C01S Maafisa wa Wizara kuwezeshwa

kushiriki kwenye vikao vya Bunge,

mikutano ya kitaifa ifikapo Juni,

2016

MKUKUTA Kushiriki katika Vikao vya Bunge 49,565,000

MKUKUTA Kuratibu utekelezaji wa Sera za Wizara,

Miongozo na maelekezo ya wizara

katika mikoa mitano na vyuo kumi

3,620,000

MKUKUTA Kuwezesha kufanyika kwa vikao vya

Menejimenti 48

600,000

MKUKUTA Kuwezesha kufanyika kwa vikao vya

TUGHE, mikutano ya wafanyakazi na

Viongozi, pamoja na sherehe za Mei

Mosi

1,400,000

MKUKUTA Kushiriki katika Mikutano ya Ushirikiano

kati ya Wizara na Wizara ya Ustawi wa

Jamii, Maendeleo ya Vijana, Wanawake

na Watoto - Zanzibar

0

MKUKUTA Kuwezesha kufanyika kwa mikutano

miwili ya Baraza la Wafanyakazi la

Wizara

2,100,000

C02C Utoaji wa Huduma kwa Umma

kwa kushirikisha Sekta Binafsi

kuwezeshwa kufikia Juni, 2016

MKUKUTA Kuwezesha upatikanaji wa huduma ya

Ulinzi, Makao Makuu ya Wizara, Chuo

cha Maendeleo ya Wananchi Arnautoglu

na nyumba za Dodoma, pamoja na

kuwezesha Kampuni ya usafi wa ofisi na

mazingira kutoa huduma katika ofisi za

Makao Makuu na Dodoma

72,000,000

Page 67: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

65

C03S Utendaji kazi na utoaji wa

huduma kuboreshwa ifikapo Juni,

2016

SIO MKUKUTA Kuwezesha utoaji wa huduma kwa

watumishi

14,400,000

SIO MKUKUTA Kukidhi matumizi ya ofisi na

matengenezo ya jumla

98,278,254

SIO MKUKUTA Kutoa motisha na stahili kwa watumishi

wa Idara

131,390,000

SIO MKUKUTA Kufanya matengenezo ya vifaa vya

kompyuta, Fax, Viyoyozi mashine za

'Photocopy' pamoja na ununuzi wa

shajala

11,350,000

C04C Mfumo sahihi wa mishahara ya

watumishi na kukagua na

kuboreshwa Juni, 2016

SIO MKUKUTA Kuandaa bajeti ya mishahara ya

Watumishi wa Wizara na kukagua

malipo ya mishahara

5,000,000

C05S

Watumishi sita walioajiriwa

kuwezeshwa. Vikao vinne kwa

ajili ya Kuthibitisha, kupandisha

cheo watumishi katika nafasi zao

za kazi kuwezeshwa ifikapo Juni,

2016

MKUKUTA Kulipia gharama za kuajiri na

kugharamia watumishi wapya 5 kwenda

kwenye vituo vyao vya kazi.

3,989,446

MKUKUTA Kugharamia vikao vinne vya Kamati ya

Ajirakwa ajili ya upandishwaji vyeo.

2,465,000

C06C Mpango wa kuboresha Rasilimali

Watu kutekelezwa ifikapo Juni,

2016

MKUKUTA Watumishi 6 kuwezeshwa kufanya

mitihani ya Maafisa Tawala na Maafisa

Rasilimali Watu

1,000,000

Page 68: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

66

Mpango wa kuboresha Rasilimali

Watu kutekelezwa ifikapo Juni,

2016

MKUKUTA Kutekeleza Mpango wa mafunzo kwa

watumishi wawili wa Idara

2,500,000

JUMLA YA MATUMIZI MENGINEYO 405,077,700

JUMLA YA MATUMIZI YA KAWAIDA KWA KIFUNGU 1001 1,009,182,000

KIFUNGU 1002: UHASIBU NA FEDHA

I: FEDHA ZA MISHAHARA

MADHUMUNI YA

MIAKA MITATU NA LENGO

AINA YA LENGO

MKUKUTA/SIO

MKUKUTA

SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA MWAKA

WA FEDHA 2012/2013 GHARAMA

Kuwezesha watumishi

kuendelea kufanya kazi

zao kulingana na

mikataba yao

- Watumishi 93 kulipwa mishahara

yao ifikapo Juni, 2016

SIO MKUKUTA Kulipa mishahara ya watumishi 39 wa

idara

301,246,800

JUMLA YA FEDHA ZA MSHAHARA 301,246,800

II: MATUMIZI MENGINEYO

MADHUMUNI YA MIAKA

MITATU NA LENGO

AINA YA LENGO

MKUKUTA/SIO

MKUKUTA

SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA MWAKA

WA FEDHA 2012/2013 GHARAMA

Kuimarisha ubora wa

huduma

C01S Kuwezesha watumishi wa idara

kutekeleza majukumu yao ifikapo

Juni, 2016

MKUKUTA Kushughulikia mishahara, malimbikizo

ya mishahara na mafao ya watumishi

1,900,000

Page 69: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

67

Kulipa huduma za maji, simu na umeme 150,000,000

Kulipia stahili za mtumishi mmoja 12,600,000

Kutoa huduma za kiutawala kwa

watumishi wa Kitengo

19,854,000

Kushiriki kwenye kamati za mbalimbali

za umma

3,250,000

Kuendesha mikutano ya Kamati ya

Ukaguzi

8,800,000

Kufunga Hesabu za mwaka 6,500,000

CO3S Mfumo wa kifedha wa kompyuta

kufanya kazi ifikapo Juni 2016

MKUKUTA Kukiwezesha kitengo kuwa na vitendea

kazi vya TEHAMA

1,620,000

C04C

Viongozi na maafisa wa kitengo

kuhudhuria vikao vya bunge,

kitaifa, kikanda na kimataifa

ifikapo Juni 2016

MKUKUTA kumuwezesha mtumishi mmoja

kuhudhuria mkutano wa ESAAG

3,078,200

JUMLA YA FEDHA ZA MATUMIZI MENGINEYO 207,602,200

JUMLA YA KIFUNGU 508,849,000

Page 70: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

68

KIFUNGU 1003: SERA NA MIPANGO

I: FEDHA ZA MISHAHARA

MADHUMUNI YA MIAKA

MITATU NA LENGO

AINA YA LENGO

MKUKUTA/SIO

MKUKUTA

SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA MWAKA

WA FEDHA 2012/2013 GHARAMA

Kuwezesha watumishi

kuendelea kufanya kazi

zao kulingana na

mikataba yao

- Watumishi wa idara kulipwa

mishahara yao ifikapo Juni, 2016

SIO MKUKUTA Kulipa mishahara ya watumishi 18 wa

idara

191,112,600

JUMLA YA FEDHA ZA MSHAHARA 191,112,600

II: MATUMIZI MENGINEYO

MADHUMUNI YA MIAKA

MITATU

NA LENGO AINA YA LENGO

MKUKUTA/SIO

MKUKUTA

SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA MWAKA

WA FEDHA 2012/2013 GHARAMA

Kuimarisha ubora wa

huduma

C01S Kuwezesha watumishi wa idara

kutekeleza majukumu yao ifikapo

Juni, 2016

SIO MKUKUTA Gharama za kuendesha ofisi 62,985,000

C02S Kuwezesha kuandaa Sera,

Mipango na Bajeti ifikapo Juni

2016

SIO MKUKUTA Kuratibu uaandaji wa SBAS, MTEF,

Memorandamu na Hotuba ya Bajeti

24,314,400

JUMLA YA FEDHA ZA MATUMIZI YA KITENGO 87,299,400

JUMLA YA KIFUNGU 278,412,000

Page 71: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

69

KIFUNGU 1004: UKAGUZI WA NDANI

I: FEDHA ZA MISHAHARA

MADHUMUNI YA MIAKA

MITATU

NA LENGO AINA YA LENGO

MKUKUTA/SIO

MKUKUTA

SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA

GHARAMA

Kuwezesha watumishi

kuendelea kufanya kazi

zao kulingana na

mikataba yao

- Watumishi watano kulipwa

mishahara yao ifikapo Juni, 2016

SIO MKUKUTA Kulipa mishahara ya watumishi wanne

wa idara

40,552,800

JUMLA YA FEDHA ZA MSHAHARA 40,552,800

II: MATUMIZI MENGINEYO

MADHUMUNI YA MIAKA

MITATU

NA LENGO AINA YA LENGO

MKUKUTA/SIO

MKUKUTA

SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA

GHARAMA

Kuboresha usimamizi wa

rasilimali na uwajibikaji

C01S Tathmini ya Mfumo wa Uthibiti

wa Ndani kupitiwa ifikapo Juni,

2016

MKUKUTA Kukagua vitabu vya mahesabu na vifaa

Makao Makuu ya Wizara, na Vyuo vya

Maendeleo ya Jamii tisa.

8,300,000

CO2S Masuala ya Utawala Bora ndani ya

Wizara kukaguliwa ifikapo Juni,

2016

MKUKUTA Kufanya ukaguzi wa ufanisi kwenye

utekelezaji wa Programu

zinazotekelezwa na Idara ya

Maendeleo ya Watoto, Maendeleo ya

Jinsia, Maendeleo ya Jamii na Mashirika

yasiyo ya Kiserikali.

540,000

MKUKUTA Kukagua Bodi za Ushauri za Vyuo vya

Maendeleo ya Wananchi na Maendeleo

ya Jamii na kutathmini ufanisi wake

800,000

Page 72: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

70

CO3S Viongozi na watumishi

kuwezeshwa Kuhudhuria vikao

vya Bunge na Makongamano ya

Wakaguzi wa Ndani ya kitaifa na

kimataifa ifikapo Juni, 2016

MKUKUTA Kuwezesha Mkaguzi wa Ndani mmoja

kuhudhuria mafunzo ya muda mfupi ya

Bodi ya Taifa, Uhasibu na Ukaguzi na

mafunzo ya muda mrefu kwa

watumishi wawili.

2,100,000

CO4C Wakaguzi watano wa Ndani

kuwezeshwa Kufanya Kazi za

Ukaguzi wa Ndani ifikapo Juni,

2016

MKUKUTA Kugharamia utoaji wa huduma kwa

watumishi wa Kitengo

16,473,200

JUMLA ZA MATUMIZI MENGINEYO 28,213,200

JUMLA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA KWA KIFUNGU 1004 68,766,000

KIFUNGU 1005: MAWASILIANO SERIKALINI

I: FEDHA ZA MISHAHARA

MADHUMUNI YA MIAKA

MITATU NA LENGO

AINA YA LENGO

MKUKUTA/SIO

MKUKUTA

SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA MWAKA

WA FEDHA 2012/2013 GHARAMA

Kuwezesha watumishi

kuendelea kufanya kazi

zao kulingana na

mikataba yao

- Kulipa watumishi 3 mishahara yao

kufikia Juni, 2016

SIO MKUKUTA Kulipa mishahara ya watumishi 3 25,896,700

JUMLA YA FEDHA ZA MISHAHARA 25,896,700

Page 73: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

71

II: MATUMIZI MENGINEYO

MADHUMUNI YA MIAKA

MITATU NA LENGO

AINA YA LENGO

MKUKUTA/SIO

MKUKUTA

SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA MWAKA

WA FEDHA 2012/2013 GHARAMA

Quality of service delivery

improved

C01C

Kuwezesha na kutoa huduma ya

kiutawala kwa watumishi wa

kitengo ifikapo Juni, 2016

SIO MKUKUTA

Kuwezesha kulipia gharama za

watumishi wapya na stahili za

watumishi wa kitengo

1,260,000

Kuwawezesha Watumishi wawili wa

Kitengo kushiriki matamasha ya

michezo ya Wizara na Taasisi za Serikali

240,000

Kuwezesha kulipia gharama za

matumizi ya kila siku ya kitengo

10,214,046

Kuwawezesha Watumishi wanne wa

Kitengo cha Habari Kuhudhuria

Mikutano ya Habari

1,750,000

Kuwezesha mafunzo ya muda mrefu ya

shahada ya pili kwa mtumishi mmoja

Mawasiliano ya Umma

170,000

Kuwezesha manunuzi ya Kamera ya

mnato moja, printa moja, fotokopi

moja na skana moja

300,000

C02S Kutekeleza, kuendeleza na

kusimamia programu za elimu kwa

umma za Wizara ifikapo Juni, 2016

MKUKUTA Kuratibu ushiriki wa Wizara katika

maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa

Umma na Nanenane.

2,000,000

Kuandaa vipindi vinne (4) vya elimu

kwa umma kwa umma vya Televisheni

na maonesho ya sinema

1,320,000

Page 74: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

72

C02C Kuendeleza na kutekeleza mkakati

wa mawasiliano wa Wizara ifikapo

Juni, 2016

MKUKUTA Kuendeleza mkakati wa mawasiliano 14,938,254

Kuandaa kalenda ya mwaka 300,000

JUMLA YA FEDHA ZA MATUMIZI YA KITENGO 32,492,300

JUMLA YA KIFUNGU 1005 58,389,000

KIFUNGU 1006: UNUNUZI

I: FEDHA ZA MISHAHARA

MADHUMUNI YA MIAKA

MITATU NA LENGO

AINA YA LENGO

MKUKUTA/SIO

MKUKUTA

SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA MWAKA

WA FEDHA 2012/2013 GHARAMA

Kuwaezesha watumishi

kuendelea kufanya kazi

zao kulingana na

mikataba yao.

- Kulipa watumishi 8 mishahara yao

kufikia Juni, 2016

SIO MKUKUTA Kulipa mishahara ya watumishi 8 wa

idara

68,935,200

JUMLA YA FEDHA ZA MISHAHARA 68,935,200

II: MATUMIZI MENGINEYO

Kuimarisha ubora wa

huduma

CO1S Kutekeleza na kuimarisha mpango

wa manunuzi na usimamizi wa

vifaa vya thamani ifikapo Juni

2016

SIO MKUKUTA Kuwezesha kuandaa mpango wa

manunuzi na nyaraka za zabuni

3,901,000

CO2C Kuwezesha wafanyakazi kutoa

huduma za kiutawala ifikapo Juni

2016

SIO MKUKUTA Kuwezesha wafanyakazi kupata stahili

zao, haki zao kwa ajili ya kufanya kazi

kwa ufanisi

34,225,800

Page 75: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

73

Kuwezesha wafanyakazi kuhudhuria

mafunzo ya muda mfupi ya PPRA na

kikao cha mwaka katika bodi ya ugavi

(PSTB)

4,440,000

JUMLA YA FEDHA ZA MATUMIZI YA IDARA 42,566,800

JUMLA YA KIFUNGU 111,502,000

KIFUNGU 1007: TEKNOLOJIA YA HABARI NA MAWASILIANO

II : MATUMIZI MENGINEYO

MADHUMUNI YA MIAKA

MITATU NA LENGO

AINA YA LENGO

MKUKUTA/SIO

MKUKUTA

SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA MWAKA

WA FEDHA 2012/2013 GHARAMA

Kuboresha Kitengo kwa

kukipatia vitendea kazi na

kuwajengea uwezo

wafanyakazi

C01S Kukiwezesha Kitengo kufanya

kazi kwa ufanisi ifikapo Juni,

2016

SIO MKUKUTA Kununua vifaa na kulipia ada ya

programu mbalimbali za kompyuta

1,252,000

Kununua magazeti na majarida

mbalimbali

18,000

Kuboresha mazingira na mahitaji ya

watumishi

2,460,000

Kulipia gharama za mtandao 12,000,000

Usimamizi wa tovuti ili

kusambaza habari na

taarifa mbalimbali kwa

wananchi

C03S Kuboresha tovuti ya Wizara

ifikapo Juni, 2016

SIO MKUKUTA Kulipia programu za tovuti 500,000

Kuwajengea uwezo watumishi wa

Kitengo katika usimamizi wa tovuti ya

Wizarani.

50,000

Page 76: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

74

Kuimarishwa kwa

programu za mawasiliano

ya simu na intaneti

C04S Kuboresha miundombinu ya

mitambo makao makuu na

kwenye baadhi ya vyuo ifikapo

Juni, 2016

SIO MKUKUTA Kununua programu za PABX Systems 100,000

Kununua vifaa na ada ya programu za

kompyuta

20,000

Mafunzo kwa watumishi

wa Kitengo kuhusu

usalama wa Teknolojia ya

Habari na Mawasiliano

C06S Kuwajengea uwezo watumishi

katika eneo la usalama ifikapo

Juni, 2016

SIO MKUKUTA Kutoa mafunzo 50,000

Mafunzo ya muda mfupi

na mrefu kwa watumishi

wa Kitengo

C06S Kuwajengea uwezo watumishi

wa kitengo kwa kuwapeleka

katika mafunzo mbalimbali

ifikapo Juni, 2016

SIO MKUKUTA Kulipia ada ya mafunzo, vitabu na vifaa

mbalimbali

2,600,000

JUMLA YA MATUMIZI MENGINEYO 19,050,000

JUMLA YA MATUMIZI YA KAWAIDA KWA KIFUNGU 1007 19,050,000

KIFUNGU 2001: VYUO VYA MAENDELEO YA WANANCHI

I: FEDHA ZA MISHAHARA

MADHUMUNI YA MIAKA

MITATU NA LENGO

AINA YA

LENGO

MKUKUTA/

SIO

MKUKUTA

SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA GHARAMA

Kuwezesha watumishi

kuendelea kufanya kazi

zao kulingana na

mikataba yao

- Watumishi 915 wanalipwa

mishahara yao ifikapo Juni, 2016

SIO MKUKUTA Kulipa mishahara watumishi 915 wa

idara

4,734,680,000

JUMLA YA FEDHA ZA MISHAHARA 4,734,680,000

Page 77: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

75

II: MATUMIZI MENGINEYO

MADHUMUNI YA MIAKA

MITATU NA LENGO

AINA YA LENGO

MKUKUTA/SIO

MKUKUTA

SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA GHARAMA

Kuboresha usimamizi wa

rasilimali na uwajibikaji

C01S Mfumo wa kusimamia utendaji

kazi kuanza kuanza kazi na

kusimamiwa ifikapo Juni, 2016

MKUKUTA Kuwezesha vikao viwili vya Bodi

kufanyika kwa kila chuo katika vyuo 55

vya Maendeleo ya Wananchi

3,600,000

MKUKUTA Kufanya ukaguzi na ufuatiliaji wa utoaji

wa mafunzo ya stadi mbalimbali katika

vyuo 55

3,600,000

Kuboresha uwezo wa

kujitegemea kwa ujuzi

ajira na kipato katika

jamii

D01C Vyuo 55 vya Maendeleo ya

Wananchi kuwezeshwa kutoa

stadi zitakazowawezesha

wanajamii kujipatia kipato

ifikapo Juni, 2016

MKUKUTA Utoaji wa mafunzo kwa watu 35,820

kutoka maeneo yanayovizunguka vyuo

23,742,800

MKUKUTA Kutoa huduma za umeme, maji na simu

katika vyuo 55 vya Maendeleo ya

Wananchi

81,700,000

Kuboresha mazingira ya

kufundishia na kujifunzia

katika taasisi zinazotoa

mafunzo kwa jamii

D03C Vifaa na nyenzo za kufundishia

kununuliwa katika Vyuo 55

ifikapo Juni, 2016

MKUKUTA Kununua vifaa vya mafunzo ya ufundi

kwa ajili ya Vyuo vya Maendeleo ya

Wananchi

12,500,000

MKUKUTA Kununua kompyuta kwa ajili ya Vyuo

vya Maendeleo ya Jamii

5,000,000

MKUKUTA Kugharamia ununuzi wa vifaa na

nyenzo za mafunzo kwa ajili ya vyuo

vikiwemo vyerehani, majora ya

vitambaa, nyuzi, mikasi, mbao na vifaa

vya uashi.

95,700,000

Page 78: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

76

D04C Mpango wa rasilimali watu wa

Vyuo vya Maendeleo ya

Wananchi kuandaliwa na

kutekelezwa ifikapo Juni, 2016

MKUKUTA Kutoa mafunzo ya kuwajengea uwezo

watumishi 1,180 wa Vyuo vya

Maendeleo ya Wananchi

15,000,000

MKUKUTA Kutoa motisha na stahili mbalimbali za

watumishi ili watekeleze majukumu

yao

162,600,000

D05C Kuandaliwa na kutekelezwa kwa

Mpango wa kuanzisha vituo vya

Maendeleo vya Jamii ifikapo

Juni, 2016

MKUKUTA Kudurusu Mitaala ya Vyuo vya

Maendeleo ya Jamii ili kukidhi mahitaji

ya jamii

10,250,000

MKUKUTA Kusambaza Mtaala wa VETA katika

Vyuo 55 vya Maendeleo ya wananchi

13,213,200

JUMLA YA MATUMIZI MENGINEYO 426,906,000

JUMLA YA MATUMIZI YA KAWAIDA KWA KIFUNGU 2001 5,161,586,000

KIFUNGU 2002: MAENDELEO YA JAMII

I: FEDHA ZA MISHAHARA

MADHUMUNI YA MIAKA

MITANO NA LENGO

AINA YA LENGO

MKUKUTA/SIO

MKUKUTA

SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA GHARAMA

Kuwezesha watumishi

kuendelea kufanya kazi

zao kulingana na

mikataba yao

- Watumishi 204 kulipwa

mishahara yao ifikapo Juni, 2016

SIO MKUKUTA Kulipa mishahara ya watumishi 187 1,215,180,700

JUMLA YA FEDHA ZA MISHAHARA 1,215,180,700

Page 79: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

77

II: MATUMIZI MENGINEYO

MADHUMUNI YA MIAKA

MITATU NA LENGO

AINA YA LENGO

MKUKUTA/SIO

MKUKUTA

SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA MWAKA

WA FEDHA 2012/2013 GHARAMA

Kuboresha usimamizi wa

rasilimali na uwajibikaji

C01S Huduma za kikazi za watumishi

wa Idara makao makuu na wa

Vyuoni kutolewa ifikapo Juni,

2016

MKUKUTA Kutoa stahili na posho kwa waajiriwa

makao makuu ya Wizara na Vyuoni.

103,806,800

Kuimarisha ushiriki wa

jamii katika shughuli za

maendeleo

G01C Programu ya kuwajengea uwezo

wataalamu wa maendeleo ya

jamii kutekeleza majukumu yao

kutolewa na kutekelezwa ifikapo

Juni, 2016

MKUKUTA Kuwezesha vyuo 8 vya maendeleo ya

jamii kufanya mitihani ya mihula miwili.

175,000,000

MKUKUTA Kutoa mafunzo ya muda mfupi na

mrefu kwa Maafisa maendeleo ya jamii

100

3,070,000

MKUKUTA Kudurusu mitaala ya vyuo vya

maendeleo ya jamii na kutoa miongozo

ya kufundishia

29,590,000

MKUKUTA Kuwezesha utoaji mafunzo katika vyuo

8 Vya Maendeleo ya Jamii

1,581,750,000

JUMLA YA MATUMIZI MENGINEYO 1,893,216,800

JUMLA YA MATUMIZI YA KAWAIDA KWA KIFUNGU 2002 3,108,397,500

Page 80: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

78

KIFUNGU 2003: CHUO CHA MAENDELEO YA JAMII TENGERU

I: FEDHA ZA MISHAHARA

MADHUMUNI YA MIAKA

MITATU

NA LENGO AINA YA LENGO

MKUKUTA/SIO

MKUKUTA

SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA MWAKA

WA FEDHA 2012/2013 GHARAMA

Kuwezesha watumishi

kuendelea kufanya kazi

zao kulingana na

mikataba yao

- Watumishi 55 kulipwa

mishahara yao ifikapo Juni, 2016

SIO MKUKUTA

Kulipa mishahara ya watumishi 55 1,113,771,000

JUMLA YA FEDHA ZA MISHAHARA 1,113,771,000

II: MATUMIZI MENGINEYO

MADHUMUNI YA MIAKA

MITATU NA LENGO

AINA YA LENGO

MKUKUTA/SIO

MKUKUTA

SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA MWAKA

WA FEDHA 2012/2013 GHARAMA

Kuimarisha ushiriki wa

jamii katika shughuli za

maendeleo

G01C Programu ya kuwajengea uwezo

wataalamu wa maendeleo ya

jamii kutekeleza majukumu yao

kutolewa na kutekelezwa ifikapo

Juni, 2016.

SIO MKUKUTA Kutoa mafunzo ya shahada ya kwanza

kwa wanachuo 810

16,878,000

Kuwajengea uwezo watumishi wa Chuo

cha Maendeleo ya Jamii Tengeru kwa

kuwapatia mafunzo ya muda mrefu na

mda mfupi

15,000,000

GO2S Kuviwezesha vyuo 9 vya

maendeleo ya jamii kutekeleza

majukumu yake ifikapo Juni,

2016

MKUKUTA Kutoa na kuweka mifumo ya serikali

mtandao chuoni.

3,570,000

MKUKUTA Kutoa stahili na posho kwa watumishi

60 wa chuo

7,710,000

Page 81: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

79

MKUKUTA Kutoa vifaa vya kufundishia na

kujifunzia chuoni

825,000

SIO MKUKUTA Kuwezesha vikao vinne vya Bodi

chuoni

5,600,000

JUMLA YA MATUMIZI MENGINEYO 49,583,000

JUMLA YA MATUMIZI YA KAWAIDA KWA KIFUNGU 2003 1,163,354,000

KIFUNGU 3001: MAENDELEO YA JINSIA

I: FEDHA ZA MISHAHARA

MADHUMUNI YA MIAKA

MITATU NA LENGO

AINA YA LENGO

MKUKUTA/SIO

MKUKUTA

SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA MWAKA

WA FEDHA 2012/2013 GHARAMA

Kuwezesha watumishi

kuendelea kufanya kazi

zao kulingana na

mikataba yao

Watumishi kulipwa mishahara

yao ifikapo Juni, 2016

Kulipa mishahara ya watumishi 16 208,790,200

JUMLA YA FEDHA ZA MSHAHARA 208,790,200

II: MATUMIZI MENGINEYO

Kuboresha usimamizi wa

rasilimali na uwajibikaji

C01S Watumishi 14 wa Idara

kuwezeshwa kutekeleza

majukumu yaobipasavyo ifikapo

Juni 2016

MKUKUTA Kutoa huduma za kiutawala na

kuboresha mazingira ya utendaji kazi

kwa watumishi wa idara

58,080,000

Kuwezesha watumishi 6 kuhudhuria

kikao cha Bunge cha Bajeti Mkoani

Dodoma

4,318,800

JUMLA YA FEDHA YA MATUMIZI MENGINEYO 62,398,800

JUMLA YA MATUMIZI YA KAWAIDA KWA KIFUNGU 3001 271,189,000

Page 82: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

80

KIFUNGU 3002: MAENDELEO YA MTOTO

1: FEDHA ZA MISHAHARA

MADHUMUNI YA MIAKA

MITATU

NA LENGO AINA YA LENGO

MKUKUTA/SIO

MKUKUTA

SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA MWAKA

WA FEDHA 2012/2013 GHARAMA

Kuwezesha watumishi

kuendelea kufanya kazi

zao kulingana na

mikataba yao

Watumishi 12 kulipwa

mishahara yao ifikapo Juni, 2016

SIO MKUKUTA Kulipa mishahara ya watumishi 11 144,168,000

JUMLA YA FEDHA ZA MSHAHARA 144,168,000

II: MATUMIZI MENGINEYO

MADHUMUNI YA MIAKA

MITATU NA LENGO

AINA YA LENGO

MKUKUTA/SIO

MKUKUTA

SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA MWAKA

WA FEDHA 2012/2013 GHARAMA

Kuboresha usimamizi wa

rasilimali na uwajibikaji

C01S Huduma za kiutawala na

vitendea kazi kwa watumishi 12

kuboreshwa ifikapo Juni, 2016

MKUKUTA Kutoa motisha na kuboresha mazingira

mazuri ya utendaji kazi kwa watumishi.

50,391,000

Kuwezesha watumishi 6 kuhudhuria

vikao vya Bunge Dodoma

3,850,000

Page 83: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

81

Kutengeneza gari moja la Idara. 2,080,000

kuwezesha watumishi wawili wa Idara

kuhudhuria maonesho ya Kitaifa ndani

na nje ya Dar Es Salaam

1,500,000

JUMLA YA MATUMIZI MENGINEYO 57,821,000

JUMLA YA MATUMIZI YA KAWAIDA KWA KIFUNGU 3002 201,989,000

KIFUNGU 4001: URATIBU WA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI

I: FEDHA ZA MISHAHARA

MADHUMUNI YA MIAKA

MITATU NA LENGO

AINA YA LENGO

MKUKUTA/SIO

MKUKUTA

SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA MWAKA

WA FEDHA 2012/2013 GHARAMA

Kuwezesha watumishi

kuendelea kufanya kazi

kulingana na mikataba

yao

Watumishi 10 kulipwa

mishahara yao ifikapo Juni, 2016

SIO MKUKUTA Kulipa mishahara ya watumishi 10 121,686,700

JUMLA YA FEDHA ZA MISHAHARA 121,686,700

Page 84: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

82

II: MATUMIZI MENGINEYO

MADHUMUNI YA MIAKA

MITATU NA LENGO

AINA YA LENGO

MKUKUTA/SIO

MKUKUTA

SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA MWAKA

WA FEDHA 2012/2013 GHARAMA

Kuboresha huduma kwa

wateja

C01S Kuiwezesha Idara ya Mashirika

Yasiyo ya Kiserikali kutekeleza

majukumu yake ifikapo Juni,

2016

SIO MKUKUTA Kununua vifaa, kuvifanyia matengenezo

na kugharamia mafuta na

matengenezo ya gari la Idara ya Uratibu

wa NGOs

21,997,800

Kutoa haki na stahili za watumishi wa

Idara ya Uratibu wa NGOs

39,300,000

Kuongeza ushiriki wa

jamii katika maendeleo

G01S Kuidurusu, kufuatilia utekelezaji

wa Sera ya Taifa ya NGOs na

kuitolea taarifa ifikapo Juni,

2016

MKUKUTA Kusajili NGOs za ngazi ya wilaya, mkoa,

taifa na kimataifa

1,360,000

Kuiwezesha Bodi ya Taifa ya

Uratibu wa NGOs na Baraza la

Taifa la NGOs kutoa huduma

kwa sekta ya NGOs ili kuongeza

ushiriki wa Mashirika hayo

katika maendeleo ya kijamii na

kiuchumi ifikapo Juni, 2016

MKUKUTA Kuiwezesha Bodi ya Taifa ya NGOs

kufanya vikao vinne vya kisheria

10,640,000

JUMLA YA MATUMIZI MENGINEYO 73,297,800

JUMLA YA MATUMIZI YA KAWAIDA KWA KIFUNGU 194,984,500

JUMLA YA MATUMIZI YA KAWAIDA KWA FUNGU 53 12,155,650,000

Page 85: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

83

7.2 MUHTASARI WA MATUMIZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO KWA MWAKA 2012/13

KIFUNGU 1001: UTAWALA NA USIMAMIZI WA RASILIMALI WATU

MADHUMUNI YA MIAKA

MITANO

NAMBA

YA LENGO LENGO

AINA YA

LENGO

MKUKUTA/

SIO

MKUKUTA

SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA FEDHA ZA

NDANI FEDHA ZA NJE

MRADI NA:6327 CONSTRUCTION AND REHABILITATION OF BUILDINGS.

Kuboresha na kuleta

ufanisi wa utoaji wa

huduma za utumishi wa

umma

C09D Kuboresha Jengo la Makao

Makuu ya Wizara na

Miundombinu ifikapo Juni,

2016

MKUKUTA Kukamilisha ujenzi wa ofisi ya

Makao Makuu ya Wizara

662,637,842 0

Kutengeneza mazingira ya ofisi

pamoja na maegesho ya magari,

Makao Makuu ya Wizara

280,000,000 0

JUMLA YA FEDHA ZA MRADI 942,637,842 0

JUMLA YA KIFUNGU 1001 942,637,842 0

Page 86: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

84

KIFUNGU 1001: SERA NA MIPANGO

MADHUMUNI YA MIAKA

MITANO

NAMBA

YA LENGO LENGO

AINA YA LENGO

MKUKUTA/SIO

MKUKUTA

SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA FEDHA ZA

NDANI FEDHA ZA NJE

MRADI NA: 6290 PROGRAMMING AND DATA PROCESSING PROJECT

Kuboresha utoaji wa

huduma

C02S Bajeti na mipango ya

wizara itakuwa

imeandaliwa na

kutekelezwa kufikia

Juni, 2016

MKUKUTA Kufanya ufuatiliaji na kutathmini

utekelezaji wa miradi ya

maendeleo katika vyuo vya FDCs

na CDTIs

76,433,553 0

JUMLA YA FEDHA ZA MRADI 76,433,553 0

JUMLA YA KIFUNGU 1003 76,433,553 0

KIFUNGU2001:VYUO VYA MAENDELEO YA WANANCHI

MADHUMUNI YA MIAKA

MITANO

NAMBA

YA LENGO LENGO

AINA YA

LENGO

MKUKUTA/SI

O MKUKUTA

SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA FEDHA ZA

NDANI FEDHA ZA NJE

MRADI NA: 6327 CONSTRUCTION AND REHABILITATION OF BUILDINGS.

Kuboresha uwezo wa

kujitegemea kwa ujuzi

ajira na kipato katika

jamii

D02D Majengo na

miundombinu ya vyuo

55 vya maendeleo ya

wananchi kufanyiwa

ukarabati ifikapo Juni,

2016

MKUKUTA Kufanya ukarabati mkubwa katika

chuo cha FDC sofi

598,038,605 0

JUMLA YA FEDHA ZA MRADI 598,038,605 0

JUMLA YA KIFUNGU 2001 598,038,605 0

Page 87: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

85

KIFUNGU 2002: MAENDELEO YA JAMII

MRADI PT 6330 : REHABILITATION OF COMMUNITY DEVELOPMENT TRAINING INSTITUTIONS

MADHUMUNI YA MIAKA

MITANO

NAMBA YA

LENGO LENGO

AINA YA

LENGO

MKUKUTA/SIO

MKUKUTA

SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA FEDHA ZA NDANI FEDHA ZA NJE

Kuboresha utoaji wa

huduma

C02D Majengo na

miundombinu katika

vyuo Nane vya

Maendeleo ya Jamii

kuboreshwa ifikapo

Juni, 2016

MKUKUTA Kujenga na kukarabati maktaba,

majengo ya utawala, mabweni,

madarasa na miundombinu katika

vyuo 8 vya Mendeleo ya Jamii

282,890,000 0

JUMLA YA FEDHA ZA MRADI 282,890,000 0

JUMLA YA FEDHA ZA MIRADI YA KIFUNGU 2002 282,890,000 0

KIFUNGU 3001: MAENDELEO YA JINSIA

MRADI PT 4943 : WOMEN'S ECONOMIC EMPOWERMENT PROJECT

MADHUMUNI YA MIAKA

MITANO

NAMBA

YA

LENGO

LENGO

AINA YA

LENGO

MKUKUTA/SI

O MKUKUTA

SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA FEDHA ZA NDANI FEDHA ZA NJE

Kuboresha uwezo wa

kujitegemea kwa ujuzi

ajira na kipato katika

jamii

D01S Vikundi 275 vya wanawake

wajasiriamali kuwezeshwa

kupata mikopo kupitia

mfuko wa Maendeleo wa

Wanawake ifikapo Juni,

2016

MKUKUTA Kuimarisha huduma za Benki ya

Wanawake Tanzania

1,100,000,000 0

JUMLA YA FEDHA ZA MRADI 1,100,000,000 0

Page 88: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

86

MRADI PG 6550 : UNDP SUPPORT PROJECT

Kuwezesha usawa wa

Jinsia na haki za

wanawake katika jamii

E01S

Mikataba ya Kimataifa

na Kikanda inayohusu

masuala ya usawa na

uwiano wa kijinsia

kutekelezwa ifikapo

Juni, 2016

MKUKUTA

Kuandaa mdaharo kuhusu matokeo

ya tathmini ya WMJJW na uchambuzi

wa masuala ya jinsia nchini ili kuibua

njia mbalimbali za kutekeleza

masuala ya kijinsia

0 4,000,000

Kukamilisha kazi ya kudurusu Sera ya

Maendeleo ya Wanawake na Jinsia

(2000)

0 4,000,000

Kuendesha vikao vya robo mwaka vya

Kikundi cha Ushauri wa Uingizwaji wa

Masuala ya Jinsia katika Sera za

Kitaifa

0 4,000,000

Kuratibu maadhimisho ya Siku ya

Wanawake Duniani (8 Machi, 2013)

0 18,000,000

Kujenga uwezo wa Kikundi cha

Ushauri wa Uingizwaji wa Masuala ya

Jinsia katika Sera za Kitaifa ili

kuongeza ujuzi na maarifa juu ya

ufuatiliaji wa utekelezaji wa masuala

ya jinsia

0 5,000,000

Kukusanya na kuchambua takwimu

zilizoainishwa kijinsia kwa ajili ya

uandaaji wa taarifa ya 7 na 8 ya nchi,

kuhusu utekelezaji wa CEDAW

0 7,000,000

Kupitia na kuthibitisha takwimu

zilizokusanywa kwa ajili ya uaandaaji

wa taarifa ya 7 na 8 ya nchi kuhusu

utekelezaji wa CEDAW

0 8,000,000

Page 89: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

87

Kutoa mafunzo kwa Watendaji wa

Dawati la Jinsia kutoka Wizara,

Halmashauri na Watumishi wa

WMJJW juu ya mfumo wa ufuatiliaji

na tathmini ya masuala ya kijinsia

0 10,000,000

Kuunda kamati za kuzuia na

kutokomeza ukatili wa kijinsia ngazi

ya Halmashauri katika Mikoa 10

0 2,000,000

Kutoa Mafunzo kwa Kamati za Kuzuia

na kutokomeza ukatili katika ngazi ya

Taifa na Halmashauri katika Mikoa 10

0 2,000,000

Kuendesha vikao vya robo mwaka vya

Kamati ya Taifa ya kuzuia ukatili dhidi

ya Wanawake, Watoto na Albino

0 7,000,000

Kuandaa vitini kwa ajili ya uelimishaji

na uhamasishaji wa jamii kuhusu

Ukatili wa Kijinsia kwa kiwango

kinachokubalika

0 60,000,000

Kuhamasisha jamii kuhusu kuzuia na

kutokomeza ukatili wa kijinsia kupitia

vyombo vya habari

0 50,000,000

Kujenga uwezo kwa kamati za kuzuia

na kutokomeza ukatili wa kijinsia

kuhusu matumizi ya mwongozo wa

hatua za kuzuia na kuthibiti ukatili wa

kijinsia

0 5,000,000

Page 90: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

88

Kujenga uwezo kwa Wabunge wa

Kamati ya Bunge ya Maendeleo ya

Jamii kuhusu ukatili wa kijinsia

0 17,000,000

Kujenga uwezo kwa wasimamizi wa

sheria kuhusu ukatili wa kijinsia

katika mikoa 10

0 20,000,000

E03C Utaratibu wa kuandaa

bajeti yenye kuzingatia

jinsia katika MDAs,

Mikoa, Sekretarieti,

utakuwa umeandaliwa

kufikia Juni, 2016

Kuandaa mafunzo kwa MDAs,

sekretarieti za mikoa, TAMISEMI juu

ya mipango na bajeti inayozingatia

jinsia

0 77,000,000

JUMLA YA FEDHA ZA MRADI 1,100,000,000 300,000,000

JUMLA YA FEDHA YA MRADI KWA KIFUNGU 3001 1,400,000,000

KIFUNGU 3002: MAENDELEO YA MTOTO

MRADI PG 5414: YOUNG CHILD SURVIVAL AND DEVELOPMENT PROGRAMME

MADHUMUNI YA MIAKA

MITANO

NAMBA

YA LENGO LENGO

AINA YA

LENGO

MKUKUTA/SI

O MKUKUTA

SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA FEDHA ZA

NDANI FEDHA ZA NJE

Kulinda Usawa, Haki na

Ustawi wa Mtoto

F01S Mikakati ya utekelezaji

wa Sera ya Malezi,

Makuzi na Maendeleo

ya Awali ya Mtoto

kuboreshwa ifikapo

Juni, 2016

MKUKUTA Kuandaa Sera Jumui ya malezi,

makuzi na Maendeleo ya Awali ya

Mtoto na Mpango mkakati wa

utekelezaji ukionesha gharama na

usambazaji

0 61,391,000

JUMLA YA FEDHA ZA MRADI

0 61,391,000

Page 91: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

89

MRADI PG 5415: CHILD PROTECTION AND PARTICIPATION PROGRAMME

MADHUMUNI YA MIAKA

MITANO

NAMB

A YA

LENGO

LENGO

AINA YA

LENGO

MKUKUTA/SI

O MKUKUTA

SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA FEDHA ZA

NDANI FEDHA ZA NJE

Kulinda Usawa, haki na

Ustawi wa Mtoto.

F02S Sheria ya mtoto kuratibiwa na

kufuatiliwa ifikapo, Juni, 2016

MKUKUTA Kuandaa, kutekeleza na

kufanya ufuatilia wa mpango

kuhusu Sheria ya Mtoto wa

mwaka, 2009, kuisambaza na

kuhamasisha jamii.

0 6,350,000

F03S Masuala ya Ustawi na Haki za

Mtoto kutekelezwa na kuratibiwa

ifikapo Juni, 2016

Kushiriki katika mikutano ya

kimaifa kuhusu ustawi na Haki

za Mtoto.

0 9,600,000

Kuratibu shughuli za kamati

Jumuishi zinazohusika na

masuala ya Watoto.

0 8,000,000

Kuandaa bajeti kwa ajili ya

shughuli ya ulinzi wa Mtoto

0 30,000,000

F04S Mfumo wa Ulinzi kwa Mtoto

kufuatiliwa na kuratibiwa ifikapo

Juni, 2016

Kuanzisha mtandao wa

mawasiliano kwa ajili ya

kusaidia watoto nchini (Child

Helpline)

0 23,000,000

Page 92: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

90

F05S Mkakati wa kupunguza watoto

wanaoishi Mitaani,

kuandaliwa,kufanyiwa ufuatiliaji

na Kutolewa taarifa ifikapo Juni,

2016

Kufanya ufuatiliaji na

kusambaza taarifa ya uhakiki

kufuatana na hali halisi ya

watoto wanaoishi mitaani.

0 23,000,000

JUMLA YA FEDHA ZA MRADI 0 99,950,000

JUMLA YA FEDHA ZA MIRADI YA KIFUNGU 3002 0 161,341,000

JUMLA YA FEDHA ZA MAENDELEO KATIKA FUNGU 53 3,000,000,000 461,341,000

Page 93: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

91

MCHANGANUO WA BAJETI YA MATUMIZI YA KAWAIDA NA MAENDELEO KWA MWAKA 2012/2013

KIFUNGU IDARA / KITENGO

MATUMIZI YA KAWAIDA JUMLA YA BAJETI

YA MATUMIZI YA

KAWAIDA

MIRADI YA MAENDELEO

MISHAHARA

(PE)

MATUMIZI

MENGINEYO (OC)

FEDHA ZA

NDANI FEDHA ZA NJE

1001 UTAWALA NA USIMAMIZI WA RASILIMALI WATU 604,104,300 405,077,700 1,009,182,000 942,637,842 0

1002 FEDHA NA UHASIBU 301,246,800 207,602,200 508,849,000 0 0

1003 SERA NA MIPANGO 191,112,600 87,299,400 278,412,000 76,433,553 0

1004 UKAGUZI WA NDANI 40,552,800 28,213,200 68,766,000 0 0

1005 MAWASILIANO SERIKALINI 25,896,700 32,492,300 58,389,000 0 0

1006 MANUNUZI 68,935,200 42,566,800 111,502,000 0 0

1007 TEKNOLOJIA YA HABARI NA MAWASILIANO - 19,050,000 19,050,000 0 0

2001 VYUO VYA MAENDELEO YA WANANCHI 4,734,680,000 426,906,000 5,161,586,000 598,038,605 0

2002 MAENDELEO YA JAMII 1,215,180,700 1,893,216,800 3,108,397,500 282,890,000 0

2003 CDTI - TENGERU 1,113,771,000 49,583,000 1,163,354,000 0 0

3001 MAENDELEO YA JINSIA 208,790,200 62,398,800 271,189,000 1,100,000,000 300,000,000

3002 MAENDELEO YA WATOTO 144,168,000 57,821,000 201,989,000 0 161,341,000

4001 URATIBU WA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI 121,686,700 73,297,800 194,984,500 0 0

JUMLA KUU 8,770,125,000 3,385,525,000 12,155,650,000 3,000,000,000 461,341,000

Page 94: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

92

MUHTASARI WA BAJETI YA WIZARA KWA MWAKA 2012/2013

A: MATUMIZI YA KAWAIDA KIASI (SH.)

MATUMIZI MENGINEYO (OC) 3,385,525,000

MISHAHARA (PE) 8,770,125,000

JUMLA YA BAJETI YA MATUMIZI YA KAWAIDA 12,155,650,000

B: MIRADI YA MAENDELEO

FEDHA ZA NDANI 3,000,000,000

FEDHA ZA NJE 461,341,000

JUMLA YA BAJETI YA MAENDELEO 3,461,341,000

JUMLA KUU YA MATUMIZI YA KAWAIDA NA MAENDELEO 15,616,991,000

Page 95: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokuzijua sheria hizi. Wizara ime zingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha kwa

93

HITIMISHO

Jumla ya fedha zinazoombwa kuidhinishwa na Kamati kwa mwaka 2012/13, kwa

matumizi ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto ni shilingi

15,616,991,000 kwa mchanganuo ufuatao:

• Shilingi 12,155,650,000 ni kwa ajili ya matumizi ya kawaida. Kati ya fedha

hizo, shilingi 8,770,125,000 ni kwa ajili ya mishahara (P.E) watumishi ya

watumishi wa Wizara na Chuo cha Maendeleo ya Jamii Tengeru na Shilingi

3,385,525,000 ni kwa ajili ya matumizi mengineyo (O.C); na

• Shilingi 3,461,341,000 ni kwa ajili ya miradi ya maendeleo. Kati ya fedha

hizo, shilingi 3,000,000,000 ni fedha za ndani na shilingi 461,341,000 ni

fedha za nje.