wizara ya maendeleo ya jamii jinsia na … wanawake wengi wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya...
TRANSCRIPT
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
___________________
WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA WATOTO
FUNGU 53
MPANGO WA MAENDELEO NA BAJETI YA MATUMIZI
YA KAWAIDA NA YA MIRADI YA MAENDELEO
KWA MWAKA 2012/13
Muhtasari kwa ajili ya Kikao cha Kamati ya Kudumu
ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii
Dar es Salaam
JUNI, 2012
i
YALIYOMO
SURA YA KWANZA ............................................................................................................................... 1
DIRA, DHIMA NA MAJUKUMU YA WIZARA .......................................................................................... 1
1.1 Dira........................................................................................................................................... 1
1.2 Dhima ....................................................................................................................................... 1
1.3 Majukumu ya Wizara ................................................................................................................ 1
SURA YA PILI .................................................................................................................... 2
UTEKELEZAJI WA MAAGIZO/USHAURI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA MAENDELEO YA
JAMII KWA MWAKA 2011/12 ............................................................................................................... 2
SURA YA TATU ................................................................................................................. 7
MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA MPANGO NA BAJETI YA MWAKA 2011/12 HADI KUFIKIA 30 APRILI,
2012........ .............................................................................................................................................. 7
3.1 Mapitio ya Maduhuli ................................................................................................................. 7
3.2 Mapitio ya Matumizi ................................................................................................................. 7
SURA YA NNE ................................................................................................................... 8
VIPAUMBELE, MAFANIKIO NA CHANGAMOTO WAKATI WA UTEKELEZAJI WA MPANGO NA BAJETI
KWA MWAKA 2011/12 .........................................................................................................................8
4.1 Vipaumbele .............................................................................................................................. 8
4.2 Mafanikio kwa mwaka 2011/12 ................................................................................................ 8
4.3 Changamoto ........................................................................................................................... 12
SURA YA TANO ............................................................................................................... 14
MPANGO WA MAENDELEO NA BAJETI KWA MWAKA 2012/13: ......................................................... 14
5.1 Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Wizara kwa mwaka 2012/13 ................................................. 14
5.2 Vipaumbele vya Wizara kwa mwaka 2012/13 ......................................................................... 14
5.3 Makadirio ya Maduhuli kwa mwaka 2012/13: ......................................................................... 15
SURA YA SITA ................................................................................................................. 16
MAELEZO YA MAKADIRIO YA BAJETI YA MATUMIZI YA KAWAIDA KWA MWAKA 2012/13 ................ 16
MAELEZO YA MAKADIRIO YA BAJETI YA MIRADI YA MAENDELEO KWA MWAKA 2012/13 ................ 61
SURA YA SABA ............................................................................................................... 63
MUHTASARI WA WA MAKADIRIO YA MATUMIZI YA KAWAIDA NA MIRADI YA MAENDELEO KWA
MWAKA 2012/13............................................................................................................................ 63
7.1 Muhtasari wa Matumizi ya Kawaida kwa mwaka 2012/13....................................................... 63
7.2 Muhtasari wa Matumizi ya Fedha za Miradi ya Maendeleo kwa mwaka 2012/13 .................... 83
MCHANGANUO WA MAKADIRIO YA MATUMIZI YA KAWAIDA NA MIRADI YA MAENDELEO KWA
MWAKA 2012/13............................................................................................................................. 91
HITIMISHO ..................................................................................................................... 93
1
SURA YA KWANZA
DIRA, DHIMA NA MAJUKUMU YA WIZARA
1.1 DIRA
Kuwa na jamii zinazostawi zenye kujaa ushiriki wa hiari wa watu katika masuala yote
yanayowahusu, usawa wa jinsia na uzingatiaji wa haki za mtoto.
1.2 DHIMA
Kuhamasisha maendeleo ya jamii, usawa wa jinsia, haki za mtoto na ustawi wa familia
kupitia uandaaji na usambazaji wa sera, mikakati, miongozo na kuratibu utekelezaji wake
kwa kushirikiana na wadau.
1.3 MAJUKUMU YA WIZARA
1.3.1 Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto inayo majukumu yafuatayo:
(i) Kuandaa Sera za Wizara, kuzisimamia, kuziratibu na kutathmini utekelezaji
Wake;
(ii) Kueneza na kuendeleza dhana ya Maendeleo ya Jamii kwa kuwashirikisha
wananchi wote;
(iii) Kutayarisha mikakati na mifumo ya utekelezaji ili kuchochea maendeleo ya jamii;
(iv) Kuwajengea uwezo wanawake na wanaume ili waweze kushiriki katika ngazi zote
za utekelezaji wa miradi na mipango mbalimbali ya maendeleo na kufaidika sawa
katika maendeleo hayo;
(v) Kuendeleza, kuhamasisha na kuwezesha jamii kuwapatia watoto haki ya kuishi,
kuendelezwa, kulindwa, kutobaguliwa na kushiriki katika maendeleo ya Taifa;
(vi) Kuratibu shughuli za mashirika yasiyokuwa ya kiserikali na kuyawezesha kufanya
kazi kwa uwazi na ufanisi zaidi;
(vii) Kusimamia utendaji kazi Wizarani kwa misingi ya uadilifu, haki na utawala bora; na
(viii) Kusimamia utoaji wa mafunzo ya taaluma ya Maendeleo ya Jamii katika Vyuo vya
Maendeleo ya Jamii na mafunzo ya maarifa, ujuzi na stadi katika Vyuo vya
Maendeleo ya Wananchi.
Katika kusimamia na kutekeleza majukumu hayo, Wizara inaongozwa na Dira ya Taifa ya
Maendeleo 2025, Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini (MKUKUTA II),
Malengo ya Milenia (MDGs), Mpango wa Taifa wa Maendeleo wa Miaka 5, Ilani ya
Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi ya 2010 pamoja na Sera za Wizara ambazo ni:
(i) Sera ya Maendeleo ya Jamii 1996;
(ii) Sera ya Maendeleo ya Mtoto 2008;
(iii) Sera ya Maendeleo ya Wanawake na Jinsia 2000; na
(iv) Sera ya Mashirika Yasiyo ya Kiserikali 2001.
2
SURA YA PILI
UTEKELEZAJI WA MAAGIZO/USHAURI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA MAENDELEO
YA JAMII KWA MWAKA 2011/12
2.1 Kamati ya Kuduma ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii ilitoa Maagizo na Ushauri kwa Wizara.
Maelezo ya Utekelezaji wake ni kama ifuatavyo:
NA MAAGIZO/USHAURI UTEKELEZAJI
2.1.1
Vyuo vya maendeleo ya jamii
na vyuo vya maendeleo ya
wananchi
(i) Kwa kuwa athari ya
kupungua kwa bajeti ya
Wizara ya Maendeleo ya
Jamii, Jinsia na Watoto ipo
katika vyuo vya maendeleo
ya wananchi. Hivyo kwa
kuwa mfuko wa elimu ya
juu umepata kodi ya
kuimarisha utoaji stadi
nchini (Skills Development
Levy) ya asilimia nne (4%)
ni vyema asilimia moja
(1%) ya kodi itengwe kwa
ajili ya kusaidia vyuo hivi.
Wizara imeandaa hoja ambayo inawasilishwa Hazina juu
ya umuhimu wa kupatiwa asilimia moja (1%) ya Kodi ya
Kuimarisha utoaji stadi nchini (Skills Development Levy).
Kiasi hiki kitasaidia kuimarisha vyuo vya maendeleo ya
wananchi ambavyo mpaka sasa vinafikia idadi ya 55 na
vipo katika mikoa yote ya Tanzania Bara.
Ili kuvipa uwezo wa kufanya kazi kwa ufanisi na
kuongeza tija, wizara imekamilisha Mpango wa kutoa
mafunzo ya VET kwa vyuo 25 vya maendeleo ya
wananchi yatakayoanza Januari 2013.
(ii) Serikali kuongeza ruzuku
inayopelekwa katika vyuo
hivi ili kuweza kufanya kazi
zake kwa ufanisi zaidi na
pia iboreshe mazingira na
miundombinu katika vyuo
vilivyo pembezoni ili
kuwavutia walimu
wanaopangwa kufundisha
katika vyuo hivi.
Wizara imewasilisha Hazina hoja inayoelezea umuhimu
wa kuimarisha vyuo vya maendeleo ya wananchi katika
kuwasaidia wanafunzi wanaomaliza darasa la saba,
vilevile wanafunzi wanaomaliza sekondari ambao
hawapati nafasi za kuendelea na masomo ya juu.
Pia, katika maandalizi ya bajeti ya mwaka wa fedha
2012/13, Wizara imeomba fedha zaidi ili kuweza
kuboresha mazingira ya vyuo vilivyoko pembezoni mwa
nchi.
2.1.2: Mikakati ya Kutayarisha Bajeti
kwa Kuzingatia Jinsia.
Kumekuwepo na tafsiri potofu
miongoni mwa jamii kuwa jinsia
ni masuala ya wanawake tu.
Tafsiri sahihi ambayo jamii
inapaswa kuielewa ni kuwa
jinsia ni mahusiano kati ya
wanaume na wanawake hasa
Tafsiri sahihi ya neno “Jinsia” hutumika kuelezea
mahusiano yaliyopo baina ya wanawake na wanaume
katika jamii ambayo hutokana na utekelezaji wa
majukumu yao ya kijamii. Neno jinsia husaidia kujua
namna ambavyo jamii imegawa majukumu kati ya
wanawake na wanaume. La msingi hapa ni kwamba
neno hili huashiria kuwa tofauti zilizopo kati ya
wanawake na wanaume katika jamii hazitokani na hali
ya maumbile peke yake bali pia hujengwa na
3
katika mgawanyo wa mali na
shughuli mbalimbali.
kuendelezwa na mila, desturi na hali ya kiuchumi.
Ili kulielewa vizuri suala la jinsia, katika jamii,
tumeligawanya kwenye sehemu kuu nne: Mgawanyo wa
majukumu baina ya wanawake na wanaume katika jamii
na uchambuzi wa sababu za mgawanyo huo; utumiaji na
umilikaji wa rasilimali na nyenzo zilizopo; mahitaji ya
wanawake na wanaume katika kumudu maisha yao na
kutekeleza majukumu yao; matumizi ya muda kama
rasilimali miongoni mwa wanawake na wanaume katika
jamii. Neno “jinsi” hutumika kuelezea maumbile ya mtu
kama ni mwanamke au mwanaume.
Hivyo upo umuhimu wa kuelimisha jamii kuhusu
masuala ya jinsia kati ya wanawake na wanaume. Aidha,
mafunzo yanayohusu masuala ya jinsia yamekuwa
yakitolewa kwa watendaji mbalimbali ikiwa ni pamoja na
Waheshimiwa Wabunge, Makatibu Wakuu,
Wakurugenzi wa Sera na Mipango na watendaji dawati
la jinsia katika wizara mbalimbali, watendaji mbalimbali
katika ngazi ya Halmashauri ambao ni; Maafisa Mipango
na watendaji wa dawati la jinsia ngazi ya Halmashauri.
Aidha, asasi mbalimbali za kijamii kama vile Mtandao wa
Jinsia Tanzania (TGNP), umekuwa ukiendesha
matamasha ya jinsia kwa lengo la kuelimisha jamii
kuhusu umuhimu wa uzingatiaji wa masuala ya jinsia
katika mipango yao ya Maendeleo.
Fedha za Mfuko wa Maendeleo
ya Wanawake zimekuwa
zikipelekwa katika halmashauri
ili zikopeshwe kwa vikundi
mbalimbali vya wanawake.
Changamoto kubwa ni kwa
namna gani wanawake waliopo
vijijini wataweza kunufaika na
Mfuko huu, vilevile
changamoto nyingine ni
urejeshaji wa mikopo hiyo kwa
wakati. Hivyo, Vikundi vya
wanawake vishauriwe
kurejesha mikopo hii kwa
wakati ili halmashauri ziweze
kutumia fedha hizo kutoa
mikopo kwa wanawake
Fedha za Mfuko wa Maendeleo ya Wanawake zimekuwa
zikipelekwa katika halmashauri ili zikopeshwe kwa
vikundi mbalimbali vya wanawake. Mfuko huu
unakabiliwa na changamoto mbalimbali, ambazo ni
pamoja na; namna gani wanawake waliopo vijijini
wataweza kunufaika na Mfuko huu, na urejeshaji
usioridhisha wa mikopo hiyo kwa wakati.
Kwa vile Tamko la kuzitaka Halmashauri kuchangia
asilimia tano (5%), kwenye Mfuko wa Maendeleo ya
Wanawake, (WDF), lilishatolewa na Waziri Mkuu mwaka
1995, baadhi ya halmashauri zimekuwa hazichangii
kikamilifu Mfuko huu. Aidha, Wizara yangu kwa nyakati
mbalimbali imekuwa ikizikumbusha halmashauri
kuchangia Mfuko huu. Hivyo, kwa kuwa Waheshimiwa
Wabunge, ni wajumbe wa Kamati za Mikopo, ngazi ya
halmashauri, Wizara inafanya jitihada ya kuendelea
4
wengine. Aidha, halmashauri
zichangie asilimia tano (5)
kwenye Mfuko wa Maendeleo
ya Wanawake, hii itasaidia
kuendelea kuwepo kwa
makusudi ya kuhimiza
ushirikiano kati ya maafisa
maendeleo ya jamii na
Wabunge wa maeneo husika.
Hatua hii itahamasisha
kuwakwamua wanawake hasa
walioko vijijini.
kuwahimiza kuzihamasisha halmashauri zao kuchangia
Mfuko huu.
Kuhusu marejesho halmashauri zimejiwekea taratibu
mbalimbali za kuhakikisha kuwa wakopaji wanarejesha
fedha hizo katika muda waliopangiwa kwa kuweka
mikataba kati ya wakopaji na Ofisi za Mtendaji wa Kijiji.
Aidha, baadhi ya halmashauri zimekuwa zikiwakopesha
wanawake kupitia Vyama vya Ushirika vya Kuweka na
Kukopa (SACCOS). Kwa kutumia utaratibu huu
wanawake wanarejesha mikopo yao kwa kuzingatia
taratibu za SACCOS. Hata hivyo, kwa muda mrefu Idara
za Maendeleo ya Jamii katika ngazi za halmashauri
zilikuwa hazitengewi bajeti hivyo kushindwa kufuatilia
marejesho.
Kuanzia mwaka wa fedha 2008/09 Serikali ilitenga kiasi
cha shilingi 3,600,000; mwaka wa fedha 2009/2010 kiasi
cha shilingi 7,200,000; mwaka wa fedha 2010/11 kiasi
cha shilingi 10,800,000 na katika mwaka wa fedha
2011/12 imetenga pia shilingi 10,800,000 kwa Idara za
Maendeleo ya Jamii na Wizara kupitia TAMISEMI
inaendelea kuzihimiza halmashauri kuwapatia Maafisa
Maendeleo ya Jamii vitendea kazi vikiwemo vyombo vya
usafiri ili waweze kuwafikia wananchi wengi zaidi na
hivyo kusimamia na kuhamasisha jamii kuhusu ushiriki
wao katika miradi ya maendeleo na ufuatiliaji wa
marejesho ya fedha za WDF.
Kwa vile Waheshimiwa Wabunge ni Wajumbe wa
Kamati za Mikopo ngazi ya halmashauri, wanashauriwa
kufuatilia utendaji wa Mfuko kwa kushirikiana na
Maafisa Maendeleo ya Jamii wa halmashauri husika
pamoja na kuzihimiza halmashauri kuchangia asilimia
tano (5%) ya mapato yao katika Mfuko huu.
Wizara itenge fungu la kusaidia
kuelimisha wanawake ili
waweze kuzijua sheria
mbalimbali zinazowahusu hasa
sheria ya Mirathi, Sheria ya
Ndoa na Sheria ya Mtoto,
kwani wanawake wengi
wamekuwa wakinyanyaswa
kwa sababu tu ya kutokuzijua
sheria hizi.
Wizara imezingatia ushauri wa Kamati wa kutenga fedha
kwa ajili ya kuelimisha wanawake wajue sheria
mbalimbali zinazowahusu hasa sheria ya Mirathi, Sheria
ya Ndoa na Sheria ya Mtoto, kwani wanawake wengi
wamekuwa wakinyanyaswa kwa sababu tu ya kutokujua
sheria hizi. Aidha, elimu hii inayohusu sheria
zinazowahusu wanawake na haki zao za kimsingi
zikitolewa na wadau mbalimbali hususan Asasi za kijamii
kama vile WILDAF, WILAC, TAMWA, TAWLA,
CHAMPION, HAKIELIMU, HAKIARDHI na kadhalika.
5
2.1.3 Tatizo la mimba shuleni
(i) Kuwepo na chakula cha
mchana katika shule na
hasa za kutwa, kutapunguza
tatizo la wanafunzi hawa
kulaghaiwa kwa kupewa
vitu kama chipsi, soda n.k.
Wizara inaendelea kuzihimiza halmashuri za
wilaya/manispaa/ mji kuendelea kutenga fedha kwa ajili
ya kugharimia utoaji wa chakula shuleni. Aidha, kupitia
Maafisa Maendeleoa ya Jamii wa wilaya na kata jamii
zinahamasishwa kujenga utamaduni wa kuchangia
chakula shuleni kwa ajili ya ustawi wa watoto wao.
(ii) Mashuleni kuwe na somo la
elimu rika ya afya
inayoendana na makuzi ili
wasichana wawe tayari
kukabiliana na changamoto
ya mabadiliko ya miili yao
kwa kupewa taarifa sahihi
kuhusu afya ya uzazi na
athari za mahusiano ya
kimapenzi katika umri
mdogo.
Wizara kwa kushirikiana na UNICEF imefanya jitihada ya
kuanzisha klabu za watoto mashuleni ambazo zitawapa
fursa ya kuelimishana na kujielimisha kupitia wataalmu
mbalimbali wa masuala ya afya ya uzazi kuhusu namna
bora ya kukabiliana na changamoto ya mabadiliko ya
miili yao na athari za uhusiano wa mapenzi katika umri
mdogo. Mfano, Halmashauri ya Manispaa ya Temeke
imeshaanzisha Kamati ya Ulinzi ya Watoto ambayo
pamoja na masuala mengine inajishughulisha na
uanzishaji wa klabu mashuleni. Aidha, kupitia mabaraza
ya kata na wilaya ya watoto, wameendelea kuelimishana
kuhusu madhara ya mimba za utotoni.
(iii) Mabaraza ya watoto
yapewe nguvu zaidi na
Serikali kwani yanasaidia
kutoa elimu rika kwa
wanafunzi wenzao.
Wizara kwa kushirikiana na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu
wa Serikali inaangalia namna nzuri ya kuhakikisha kuwa
Mabaraza ya Watoto yanatambulika na kupata nguvu ya
kisheria ili yaweze kutimiza wajibu wake kikamilifu.
Aidha, Wizara imeandaa mwongozo (Child Participation
Toolkit) utakaowezesha watoto kushiriki kikamilifu
katika ngazi mbalimbali za maamuzi.
2.1.4 Watoto wanaoishi katika
mazingira hatarishi
Lengo kuu la Sera ya
Maendeleo ya Mtoto ya mwaka
(2008) ni kuhakikisha kwamba
watoto wote wanastawi na
kuwa na maisha bora kutokana
na kupatikana kwa haki zao za
msingi ambazo ni kuishi,
kuendelezwa, kulindwa,
kutobaguliwa na kushiriki
katika mambo yanayowahusu
bila ubaguzi wa hali yeyote.
Kwa kuzingatia haya, Kamati
inashauri yafuatayo:-
(a) Halmashauri zote nchini
zifuate na kuzingatia sheria
ndogondogo zinazohusu
Wizara kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo
imeendesha semina na mafunzo kwa wadau ili waweze
kuifahamu vizuri Sheria ya Mtoto na vipengele vyake
kwa nia ya kuwapa uwezo wa kuwa watetezi wa watoto
kwa kutumia sheria hiyo. Aidha, Wizara imeendesha pia
mafunzo kwa wasimamizi wa sheria katika kanda tano ili
kujenga uelewa wa Sheria ya Mtoto na kuisimamia.
Vilevile, Wizara kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu na
Mafunzo ya Ufundi imeendesha mafunzo kwa Mameya
na Wenyeviti wa halmashauri za Wilaya za Mtwara
Vijijini, Temeke, Monduli, Hai, Siha, Magu, Kibaha na
Bagamoyo kuhusu utekelezaji wa Sheria ya Mtoto katika
Programu za Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya
Mtoto.
6
watoto ili kuwapatia haki
zao na kupunguza wimbi
kubwa la watoto wanaoishi
katika mazingira hatarishi.
(b) Serikali iweke utaratibu wa
uimarishaji wa mifumo ya
kijamii ya kutunza watoto
yatima na wanaoishi katika
mazingira hatarishi.
Wizara imeandaa Mkakati wa Jamii wa Kudhibiti Tatizo
la Watoto Wanaoishi/ Kufanya Kazi Mtaani ambao uko
katika ngazi ya maamuzi. Mkakati huo umeainisha
majukumu ya kila mdau na namna mfumo
utakavyoimarishwa katika kudhibiti tatizo hili katika
ngazi mbalimbali.
(c) Serikali iyachunguze na
kuyachukulia hatua baadhi
ya mashirika yasiyo ya
kiserikali yanayojinufaisha
kupitia migongo ya watoto
yatima na wanaoishi katika
mazingira hatarishi.
Suala la kuyachunguza na kuyabaini mashirika
yanayojinufaisha kupitia migongo ya yatima na watoto
wanaoishi katika mazingira hatarishi linahitaji mifumo
madhubuti ya ufuatiliaji wake katika ngazi mbalimbali.
Aidha, si mashirika yote yanayoendesha makao ya
watoto yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi ni
NGOs. Baadhi ya mashirika hayo yamesajiliwa chini ya
Sheria ya Vyama, Sura 337 Wizara ya Mambo ya Ndani
na chini ya Sheria ya Udhamini Sura 375 Wakala wa
Usajili, Ufilisi na Udhamini. Kimsingi suala hili linagusa
taasisi nyingi ikiwemo Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii
ambayo ndiyo yenye dhamana ya kusimamia makao ya
watoto hao.
Kwa kuwa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na
Watoto ndiyo yenye dhamana ya kuratibu NGOs,
tuliwateua Maafisa Maendeleo ya Jamii wa mkoa na
wilaya kuwa wasajili na waratibu wasaidizi ili kuwezesha
ufuatiliaji wa karibu wa mwenendo wa mashirika hayo
yakiwemo yanayotoa huduma kwa yatima na watoto
wanaoishi katika mazingira hatarishi katika ngazi husika.
Aidha, Baraza la Taifa liliandaa viashiria vya utekelezaji
wa Kanuni za NGOs kwa ajili ya kuliwezesha kufuatilia
kwa karibu mwenendo wa mashirika hayo ikiwemo
katika matumizi ya fedha. Pamoja na jitihada hizi, ufinyu
wa bajeti umekuwa ni moja ya changamoto kubwa
zinazoathiri ufuatiliaji wa shughuli za NGOs hapa nchini.
7
SURA YA TATU
MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA MPANGO NA BAJETI YA MWAKA 2011/12 HADI
KUFIKIA 30 APRILI, 2012
3.1 Mapitio ya Maduhuli
Katika mwaka wa fedha 2011/12 Wizara ilitarajia kukusanya shilingi 13,550,300.00
ikiwa ni maduhuli yanayotolewa na wanafunzi katika vyuo vya maendeleo ya jamii.
Wizara imekusanya kiasi cha shilingi 10,975,344.00 kutoka vyuo hivi hadi kufikia tarehe
30 Aprili, 2012.
3.2 Mapitio ya Matumizi
Matumizi ya Fedha za Kawaida na Fedha za Miradi ya Maendeleo hadi kufikia tarehe 30
Aprili, 2012:
Mwaka 2011/12 Wizara yangu iliidhinishiwa na Bunge matumizi ya jumla ya shilingi
16,256,015,000.00 kama ifuatavyo: Fedha za matumizi mengineyo zilikuwa shilingi
4,313,637,000.00, fedha za mishahara zilikuwa shilingi 7,089,058,000.00 na fedha za
miradi ya maendeleo zilikuwa shilingi 4,853,320,000.00 ambapo, shilingi
3,000,000,000.00 ni fedha za ndani na shilingi 1,853,320,000.00 ni fedha za nje .
Hadi kufikia tarehe 30 Aprili, 2012, Wizara ilikuwa imepokea shilingi 9,711,796,323.00.
Kati ya kiasi hicho shilingi 6,435,584,885.00 ilikuwa ni fedha za mishahara, shilingi
2,500,410,288.00 ni za matumizi mengineyo na shilingi 775,801,150.00 ni za matumizi
ya maendeleo.
Hadi kufikia tarehe 30 Aprili, 2012, Wizara ilitumia jumla ya shilingi 9,115,614,946.00.
Kati ya hizo shilingi 6,183,640,943.00 zilikuwa ni kwa ajili ya mishahara, shilingi
2,255,727,403.00 kwa ajili ya matumizi mengineyo na shilingi 676,246,600.00 zilikuwa
ni kwa ajili ya matumizi ya miradi ya maendeleo. Kati ya fedha hizo za maendeleo kiasi
cha shilingi 515,295,400.00 zilikuwa ni fedha za ndani na kiasi cha shilingi
160,951,200.00 ni fedha za nje.
8
SURA YA NNE
VIPAUMBELE, MAFANIKIO NA CHANGAMOTO WAKATI WA UTEKELEZAJI WA BAJETI
KWA MWAKA 2011/12
4.1 Vipaumbele
Katika mwaka 2011/12, vipaumbele vya Wizara vilikuwa kama ifuatavyo:
(i) Kusimamia na kuimarisha utoaji wa mafunzo ya taaluma ya maendeleo ya jamii katika
vyuo vya maendeleo ya jamii na mafunzo ya maarifa, ujuzi na stadi katika vyuo vya
maendeleo ya wananchi;
(ii) Kuwajengea uwezo wanawake na wanaume ili washiriki katika ngazi zote za
utekelezaji wa miradi na mipango mbalimbali ya maendeleo na kufaidika sawa katika
maendeleo hayo;
(iii) Kuratibu utekelezaji wa mikataba ya kitaifa, kikanda na kimataifa inayohusu ustawi,
haki na maendeleo ya wanawake na watoto;
(iv) Kuimarisha usajili, uratibu na ufuatiliaji wa shughuli za Mashirika Yasiyo ya Kiserikali
katika ngazi mbalimbali; na
(v) Kuwapatia wanawake mafunzo kwa lengo la kuwawezesha kuunda vikundi vya
kuweka na kukopa sambamba na ushirika wa kuweka na kukopa ili waweze
kukopesheka kwa urahisi na Benki na Asasi husika.
4.2 MAFANIKIO KWA MWAKA 2011/12
4.2.1 Utoaji wa mafunzo katika vyuo vya Maendeleo ya Jamii na vyuo vya Maendeleo ya
Wananchi:
(a) Vyuo vya maendeleo ya jamii.
Idadi ya wataalamu wa maendeleo ya jamii katika ngazi za Taifa, mkoa na halmashauri ni ya
kuridhisha. Hata hivyo, hali hairidhishi katika ngazi ya kata na kijiji ambako wataalamu hao
wanahitajika zaidi kuwafikia wananchi na kuwahamasisha, ili kujiletea maendeleo yao. Sera ya
Maendeleo ya Jamii imeelekeza kuwa awepo angalau mtaalamu mmoja wa maendeleo ya jamii
kwenye kila kata. Hivi sasa ni asilimia 40 tu ya kata zote 3,321 zina wataalamu wa maendeleo ya
jamii. Hii ina maana kuna upungufu wa wataalamu 1,992 sawa na asilimia 60 ya mahitaji.
Wizara kupitia vyuo hivyo ilidahili jumla ya wanachuo 3,074 wakiwemo wanaume 648 na
wanawake 2,406. Jumla ya wanachuo 173 walidahiliwa katika ngazi ya Shahada, 614 ngazi ya
Stashahada na 2,136 ngazi ya Astashahada.
9
(b) Vyuo vya maendeleo ya wananchi
Kupitia vyuo 55 vya maendeleo ya wananchi Wizara iliwapatia mafunzo ya ujuzi na stadi
wananchi 32,133 wakiwemo wanawake 15,632 na wanaume 16,501. Wizara inaendelea
kuwashauri wahitimu kujiunga katika vikundi vya uzalishaji mali ili waweze kukopesheka kirahisi.
Kwa kutilia umuhimu kuimarisha sekta iliyo rasmi, Wizara imeamua kutenga vyuo 25 kati ya
vyuo 55 vya maendeleo ya wananchi, kuwa itaanzisha rasmi mafunzo ya ufundi stadi
yatakayofuata mfumo wa VETA. Jumla ya vijana 1,250 watadahiliwa katika vyuo hivyo kuanzia
mwezi Januari 2013 ili kupata mafunzo ya ufundi stadi kwa mfumo huo. Mfumo huo
utawawezesha wahitimu kujiendeleza katika mfumo rasmi wa elimu hadi chuo kikuu.
4.2.2 Ukarabati wa majengo na miundombinu vyuoni:
(a) Vyuo vya maendeleo ya jamii
Wizara iliyafanyia ukarabati majengo na miundombinu ya Chuo cha Maendeleo ya Jamii
Mabughai, Lushoto. Aidha, vyanzo vya maji vya Chuo cha Maendeleo ya Jamii Mlale – Songea
vijijini, mkoani Ruvuma vilijengewa uzio ili kuvihifadhi na kulinda mazingira yake.
(b) Vyuo vya maendeleo ya wananchi
Wizara ilifanya ukarabati na ujenzi wa choo katika chuo cha maendeleo ya wananchi Muhukuru.
4.2.3 Utoaji wa mafunzo na usambazaji wa teknolojia sahihi na rahisi
Wizara iliandaa programu ya kutoa mafunzo na kusambaza teknolojia sahihi kupitia vyuo vya
maendeleo ya wananchi kwa lengo la kuwapunguzia mzigo wa kazi wananchi na kuwaongezea
kipato hivyo, kukuza uchumi wao. Hadi mwezi Machi wakufunzi 52 kutoka vyuo 46 walipatiwa
mafunzo hayo ili waweze kuwafundisha wananchi kupitia vyuo vyao. Sambamba na mafunzo
hayo aina sita (6) za teknolojia rahisi zilinunuliwa na kusambazwa vyuoni. Teknolojia hizo ni
mashine za kufyatulia tofali, wanyama kazi, mikokoteni, mashine za kuangulia vifaranga, mashine
za kukaushia matunda na mboga za majani na meko sanifu.
4.2.4 Ufuatiliaji na tathmini ya mafunzo vyuoni
Wizara iliendelea kusimamia, kufuatilia na kutathmini utekelezaji wa miradi yote ya maendeleo
katika vyuo. Vyuo vilivyotembelewa ni pamoja na vyuo vya Maendeleo ya Jamii Tengeru, Buhare,
Mabughai, Missungwi, Mlale, Monduli, Ruaha, Rungemba na Uyole. Aidha, vyuo vya maendeleo
ya wananchi vilivyotembelewa ni Chisalu, Munguri, Mwanhala, Nzega, Msingi na Singida. Katika
ufuatiliaji na tathmini hiyo, Wizara ilibaini kwamba miradi mingi haitakamilika kutokana na
upatikanaji mdogo wa rasilimali fedha.
10
4.2.5 Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Sekta ya Maendeleo Jamii:
Wizara iliendesha mkutano mkuu wa mwaka wa sekta ya maendeleo ya jamii. Mkutano huu
uliwapa fursa wataalamu wa sekta ya maendeleo ya jamii na wadau wake kutathmini mwenendo
wake na kuweka mikakati ya kukabiliana na changamoto zilizopo katika sekta hiyo hapa nchini.
Jumla ya washiriki 280 kutoka Wizarani, vyuoni, halmashauri zote nchini, sekretariati za mikoa na
sekta zingine walihudhuria.
4.2.6 Maendeleo ya Jinsia
Ili kuwakwamua wanawake kiuchumi, Wizara iliendelea kuratibu na kusimamia Mfuko wa
Maendeleo ya Wanawake kwa kushirikiana na halmashauri. Katika kipindi cha 2011/12, Wizara
kupitia mfuko huo ilitoa jumla ya shilingi 120,000,000/= kwa halmashauri 15 zilizokamilisha
marejesho ya mikopo kwa ajili ya kuwakopesha wanawake wajasiriamali
Wanawake hao hupewa mikopo yenye masharti nafuu ambayo wanapaswa kuirejesha ndani ya
mwaka mmoja ili wanawake wengine waweze kukopeshwa. Wizara kwa kushirikiana na Mfuko
wa Fursa Sawa kwa Wote, iliwezesha mafunzo ya biashara na ujasiriamali kwa wanawake 350.
Baada ya mafunzo hayo, wanawake hao walishiriki katika maonesho ya 36 yaliyofanyika mwezi
Julai, 2011. Mafunzo haya yalifanyika ili kuwaandaa wanawake wajasiriamali kikamilifu.
Aidha, Wizara iliratibu Mkutano wa Mawaziri wa maendeleo ya wanawake na jinsia kutoka nchi
wanachama wa Nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu uliofanyika Arusha tarehe 04 Novemba, 2011.
Lengo la mkutano huo lilikuwa ni kuandaa mapendekezo kutokomeza ukatili wa kijinsia katika
ukanda wa Maziwa Makuu. Mapendekezo hayo yaliwasilishwa na kupitishwa na Wakuu wa Nchi
Wanachama katika Mkutano maalumu uliohusu upigaji vita ukatili wa kijinsia uliofanyika tarehe
16 Desemba, 2011 mjini Kampala Uganda.
4.2.7 Maendeleo ya Watoto
Mwezi Agosti, 2011, Wizara ilizindua ripoti ya utafiti wa ukatili dhidi ya watoto nchini Tanzania.
Ripoti hiyo imetoa makadirio ya awali ya ukubwa na sura ya ukatili wa kijinsia, kimwili na kiakili
yanayowasibu wavulana na wasichana hapa nchini. Matokeo ya utafiti yamesaidia kuandaa
miongozo na kanuni za utekelezaji wa Sheria ya Mtoto Namba 21, ya mwaka 2009.
Wizara iliandaa zana za ushiriki wa watoto (Child Participation Toolkit) pamoja na Rasimu ya
Mkakati wa Taifa wa ushiriki wa watoto. Zana zote hizi zinalenga kuielimisha jamii kuhusu
umuhimu wa kumshirikisha mtoto katika masuala yanayomhusu kama ilivyobainishwa katika
mikataba ya kimataifa na kikanda kuhusu haki na ustawi wa mtoto.
11
Mwezi Februari, 2012 Wizara kwa kushirikiana na wadau iliandaa mkutano wa kimataifa
uliohusisha wadau wa ndani na nje ya nchi wa masuala ya watoto. Mkutano huu ulizingatia
masuala makuu matatu (3) ambayo ni: kuandaa kiunzi (framework) kitakachoonesha namna nzuri
ya kutekeleza Sera Jumui ya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto; kuanzisha namna
bora ya ushirikiano wa kiutendaji; na kutoa fursa kwa wadau kubadilishana uzoefu na maarifa
katika masuala yanayohusu malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto. Mkutano uliazimia
kuwa wadau husika kuwekeza zaidi katika malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto ili
kuwa na Taifa bora la baadaye.
Kutokana na juhudi za uhamasishaji wa masuala ya watoto, jamii imehamasika na hivi sasa taarifa
nyingi za ukatili dhidi ya watoto zinatolewa katika mamlaka husika na vyombo vya habari.
Wizara iliratibu maadhimisho ya Siku ya Familia Duniani yaliyofanyika Kimkoa. Kaulimbiu ilikuwa
Uwajibikaji Sawa katika Majukumu; Msingi wa Familia Bora. Kaulimbiu hii ililenga kuhamasisha
na kushawishi wazazi, walezi na jamii kwa ujumla kuwajibika kwa pamoja katika malezi ya familia.
Aidha, Wizara kwa kushirikiana na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu ilifanya mkutano wa
maafisa maendeleo ya jamii kutoka katika halmashauri zote nchini ili kujadili masuala ya
ukeketaji na ukatili wa kijinsia dhidi ya watoto wa kike. Mkutano huu uliazimia kuwa, kuna
umuhimu wa kuendelea kuzihamasisha jamii zetu kuhusu madhara yanayowapata watoto wa
kike wanapokuwa wamefanyiwa tohara.
4.2.8 Uratibu wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali
Wizara imeendelea na shughuli za uratibu wa mashirika hayo hapa nchini ambapo jumla ya
mashirika 675 yalisajiliwa na kati ya hayo mashirika 646 yalipatiwa cheti cha usajili na mengine 29
yalipatiwa Cheti cha Ukubalifu. Aidha, Wizara yangu iliwateua maafisa maendeleo ya jamii wa
wilaya na mkoa kuwa wasajili wasaidizi wa NGOs katika ngazi husika. Uteuzi wa maafisa hao
unatarajiwa kuimarisha usajili, uratibu na ufuatiliaji wa NGOs katika ngazi za wilaya na mikoa
Wizara yangu kwa kushirikiana na mitandao ya mikoa ya NGOs na Shirika la ‘The Foundation for
Civil Society’ iliwezesha uchaguzi wa wajumbe wa Baraza la Taifa la NGOs la awamu ya pili kutoka
katika mikoa mbalimbali na baadhi ya mitandao ya NGOs. Aidha, Wizara iliendelea kuendesha na
kuhuisha Tovuti ya Taifa ya Uratibu wa NGOs (http//www.tnnc.go.tz) na Benki ya Takwimu na
Taarifa za NGOs hapa nchini. Vile vile, wadau 26,000 kutoka sekta binafsi, serikali, wabia wa
maendeleo, taasisi za utafiti na elimu ya juu na asasi za kiraia walipatiwa taarifa mbalimbali
zinazohusu mashirika hayo kupitia Ofisi ya Msajili wa NGOs na tovuti hiyo.
12
Wizara ilikamilisha uandaaji wa Mpango Mkakati wa Miaka Mitano (5) (2011 – 2016) unaotoa
dira na mwongozo wa utumiaji wa rasilimali ili kuiwezesha Wizara kufanikisha malengo yake.
4.2.9 Kuimarisha Utawala na Utumishi
Wizara iliendelea kusimamia utendaji kazi kwa misingi ya haki, usawa, uadilifu, utawala bora na
uwazi na kuweka mkazo katika kudhibiti vitendo vya rushwa na uzembe kazini. Masuala haya ni
ya msingi katika kuiwezesha Wizara kufanikisha dira na dhima yake na ya Taifa kwa ujumla.
Wizara iliendelea kuwajengea uwezo watumishi wake kwa kupatia elimu na maarifa kupitia vyuo
vya elimu ya juu vya ndani na nje ya nchi. Jumla ya watumishi 60 waliwezeshwa kupata mafunzo
ya muda mfupi, kati na ya muda mrefu katika nyanja mbalimbali.
Wizara iliwapandisha cheo watumishi 94, iliwabadilisha kazi watumishi 7 na kuwathibitisha kazini
watumishi 127. Aidha, iliwaingiza kwenye masharti ya kudumu na malipo ya uzeeni watumishi
139 na kuwaingiza katika masharti ya kawaida watumishi 66. Katika kuboresha mazingira ya
utendaji kazi, Wizara yangu imekamilisha ukarabati wa Jengo la Makao Makuu ya Wizara. Pia,
iliwawezesha kupata viini lishe, madawa na chakula watumishi 11 waliojitokeza kuwa
wameathirika na Virusi Vya UKIMWI na UKIMWI.
4.3 CHANGAMOTO
Mheshimiwa Mwenyekiti, katika kutekeleza majukumuya kisekta, Wizara ilikabiliana na
changamoto zifuatazo:
(i) Hali ya majengo na miundombinu ya vyuo vya maendeleo ya jamii na wananchi ni
chakavu kutokana na ukosefu wa matengenezo ya mara kwa mara. Pia, kuna uhaba wa
vyombo vya usafiri, upungufu mkubwa wa watumishi wa kada mbalimbali, nyumba za
watumishi, madarasa, karakana, mabweni na vifaa vya kufundishia na kujifunzia;
(ii) Upungufu wa wataalam wa maendeleo ya jamii katika ngazi ya kata. Hivi sasa ni kata
1,329 kati ya kata 3,321 zenye wataalam hawa sawa na upungufu wa asilimia 60, hivyo
changamoto ni kuwa na watalaam wa maendeleo ya jamii wa kutosha kujaza nafasi zilizo
wazi katika Halmashauri;
(iii) Ongezeko la watoto wanaoishi/kufanya kazi mitaani. Tatizo la VVU na UKIMWI,
mmomonyoko wa maadili pamoja na umaskini uliokithiri miongoni mwa jamii ya
watanzania ni kati ya sababu kuu zinazochangia ongezeko la watoto wanaoishi/kufanya
kazi mitaani;
13
(iv) Kuongezeka kwa vitendo vya ukatili kwa watoto vinavyotolewa taarifa katika vyombo vya
habari;
(v) Kuwepo kwa mila na desturi zinazoleta madhara kwa jamii; na
(vi) Ufinyu wa bajeti katika utekelezaji wa shughuli mbalimbali za Wizara.
14
SURA YA TANO
MPANGO WA MAENDELEO NA BAJETI KWA MWAKA 2012/13:
5.1 Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Wizara kwa mwaka 2012/13
Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto imeandaa bajeti ya mwaka 2012/13 kwa
kuzingatia mwongozo uliotolewa na Wizara ya Fedha na Ofisi ya Rais - Tume ya Mipango
unaolekeza maeneo muhimu ya kuzingatia. Mwongozo huo umehimiza wizara kuandaa
bajeti inayolenga kuondoa umaskini na kufikia malengo mbalimbali kama yalivyoainishwa
katika MKUKUTA, “Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025 (National Development Vision
2025)”, Malengo ya Maendeleo ya Milenia, Mpango wa kwanza wa Maendeleo wa Miaka
Mitano, Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2010 -2015 na Maelekezo mengine ya Serikali.
Aidha, maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Wizara yamezingatia ushauri uliotolewa na
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii.
Ili kutekeleza Mpango na Bajeti ya Mwaka 2012/13, jumla ya shilingi 15,616,991,000
zinahitajika kwa mchanganuo ufuatao:
i. Matumizi ya Kawaida yatahitaji shilingi 12,155,650,000 ambazo kati ya fedha hizo
shilingi 8,770,125,000 ni kwa ajili ya mishahara (P.E) ya watumishi wa Wizara na
Chuo cha Maendeleo ya Jamii Tengeru na Shilingi 3,385,525,000 ni kwa ajili ya
matumizi mengineyo (O.C); na
ii. Miradi ya Maendeleo inaombewa shilingi 3,461,341,000. Kati ya fedha hizo,
shilingi 3,000,000,000 ni fedha za ndani na shilingi 461,341,000 ni fedha za nje.
Kiasi cha shilingi 1,100,000,000 ya fedha za ndani zitatumika kwa ajili ya
kuimarisha mtaji wa Benki ya Wanawake Tanzania na shilingi 1,900,000,000 kwa
ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo ya Wizara.
5.2 Vipaumbele vya Wizara kwa mwaka 2012/13
Kwa mwaka 2012/13 Wizara imejiwekea vipaumbele vifuatavyo:
(i) Kuimarisha utoaji wa mafunzo ya taaluma ya maendeleo ya jamii katika vyuo
vya maendeleo ya jamii na mafunzo ya maarifa, ujuzi na stadi katika vyuo vya
maendeleo ya wananchi, hususan kuongeza mafunzo ya ufundi stadi katika
vyuo 25 vya maendeleo ya wananchi;
15
(ii) Kuwajengea uwezo wanawake na wanaume ili washiriki katika ngazi zote za
utekelezaji wa miradi na mipango mbalimbali ya maendeleo na kufaidika
sawa katika maendeleo kwa kuendelea kutambua fursa mpya na muafaka
zinazojitokeza katika maendeleo yao; na
(iii) Kusimamia sera na sheria na kuratibu utekelezaji wa mikataba ya kimataifa,
kikanda na kimataifa inayohusu ustawi, haki na maendeleo ya wanawake na
watoto kwa kutoa miongozo ya kukusanyia takwimu za watoto
wanaonyanyaswa na wanaoishi mitaani.
5.3 Makadirio ya Maduhuli kwa Mwaka 2012/13:
Katika mwaka 2012/13, Wizara inatarajia kukusanya fedha kutokana na ada za wanafunzi,
fidia, marejesho ya fedha za Serikali, kodi za nyumba za Serikali na mauzo ya vifaa
mbalimbali vya serikali na mapato mbalimbali. Makusanyo hayo yanakadiriwa kufikia
shilingi 1,582,020,300 kwa mwaka 2012/13.
16
SURA YA SITA
MAELEZO YA MAKADIRIO YA BAJETI YA MATUMIZI YA KAWAIDA KWA
MWAKA 2012/13
KIFUNGU 1001: UTAWALA NA USIMAMIZI WA RASILIMALI WATU
210100: TOTAL BASIC SALARIES–PENSIONABLE POSTS -TSHS. 604,104,300/=
210101: Civil Servants Tshs. 604,104,300/=
Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 1,366,946,000/= zilitengwa. Katika Mwaka
2012/13, Idara inaomba jumla ya Tshs. 604,104,300/= kwa ajili ya kulipia
mishahara kwa watumishi wa idara na nyongeza za mishahara ya mwaka.
210300: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES–(NON–DISCRETIONARY) - TSHS. 60,952,700/=
210301: Leave Travel Tshs. 1,200,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kuwalipa watumishi wa Idara ya Utawala na
Utumishi likizo zao za mwaka. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 9,000,000/=
zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 1,200,000/=kinaombwa kwa
madhumuni hayo.
210303: Extra Duty Tshs. 23,515,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kuwalipa watumishi wa Idara ya Utawala na
Utumishi kwa kazi maalum ambazo zinahitaji kufanyika baada ya saa za kazi.
Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 37,270,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi
cha Tshs. 23,515,000 kinaombwa kwa ajili ya kutekeleza kazi zifuatazo baada ya
saa za kazi; maandalizi ya makadirio ya mishahara, maandalizi ya mikutano ya
Baraza pamoja na mikutano inayofanyika kila robo ya mwaka kati ya viongozi na
watumishi, pamoja na kazi za ziada zitakazojitokeza.
210308: Acting Allowance Tshs. 200,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia posho watumishi watakaokaimu nafasi
ya Katibu Mkuu au Mkurugenzi wa Idara watakapokuwa hawapo kazini kutokana
na sababu mbalimbali kama likizo, safari za kikazi n.k. Mwaka 2011/12 jumla ya
Tshs. 600,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 200,000/=
kinaombwa kwa ajili hiyo.
210314: Sitting Allowance Tshs. 7,300,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya vikao mbalimbali vya kisheria ambavyo ni; vikao
viwili vya Baraza la wafanyakazi ambapo kila kikao ni siku mbili, vikao vinne vya
Kamati ya Ajira na vikao viwili vya wafanyakazi (TUGHE). Mwaka 2011/12 jumla ya
Tshs. 31,000,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 7,300,000
kinaombwa kwa ajili hiyo.
17
210315: Subsistance Allowance Tshs. 1,820,000
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama ya posho ya kujikimu kwa
watumishi wanne. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 3,640,000/= zilitengwa. Katika
mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.1,820,000 kinaombwa kwa ajili hiyo.
210319: Medical and Dental Refunds Tshs. 218,254/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kuwawezesha watumishi pale wanapokosa
dawa zilizoidhinishwa na Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa. Mwaka 2011/12 jumla
ya Tshs. 500,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 218,254/=
kinaombwa kwa ajili hiyo.
210329: Moving Expenses Tshs. 26,699,446/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za nauli na mizigo kwa
watumishi watatu walioajiriwa na wawili watakaostaafu. Mwaka 2011/12 jumla
ya Tshs. 9,600,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.
26,699,446/= kinaombwa kwa ajili hiyo.
210500: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES – IN-KIND - TSHS. 90,380, 000/=
210501: Electricity Tshs. 18,660,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipa gharama za umeme kwa Waziri, Naibu
Waziri, Katibu Mkuu, Naibu Katibu Mkuu, Mkuu wa Idara na Wakurugenzi
Wasaidizi wawili ikiwa ni stahili zao kwa mujibu wa uteuzi wa nyadhifa zao.
Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 15,840,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13,
kiasi cha Tshs. 18,660,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
210502: Housing Allowance Tshs. 33,600,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia pango la nyumba kwa ajili ya Naibu
Waziri, Naibu Katibu Mkuu, Mkuu wa Idara na Wakurugenzi Wasaidizi wawili kwa
kuwa hawajapata nyumba za Serikali ikiwa ni stahili zao kwa mujibu wa uteuzi wa
nyadhifa zao. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 31,200,000/= zilitengwa. Katika
mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 33,600,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
210503: Food and Refreshment Tshs. 14,400,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia viburudisho kwa ajili ya Waziri, Naibu
Waziri, Katibu Mkuu, Naibu Katibu Mkuu, Mkuu wa Idara na Wakurugenzi
wanapokutana na wageni mbalimbali kwa shughuli za kiofisi. Mwaka 2011/12
jumla ya Tshs. 16,800,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.
14,400,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
210504: Telephone Tshs. 22,800,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za simu kwa ajili ya Waziri,
Naibu Waziri, Katibu Mkuu, Naibu Katibu Mkuu, Mkuu wa Idara na Wakurugenzi
Wasaidizi wawili. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 17,940,000/= zilitengwa. Katika
mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 22,800,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
18
210505: Water and Waste Disposal Tshs. 520,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama ya huduma katika vyoo.
Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 480,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi
cha Tshs. 520,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
210507: Furniture Tshs. 400,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ununuzi wa samani kwa Mkuu wa Idara na
Wakurugenzi Wasaidizi wa Idara kama stahili zao. Katika mwaka 2011/12, kifungu
hiki hakikutengewa fedha kutokana na kupunguzwa kwa bajeti ya wizara. Katika
mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 400,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
220100: TOTAL OFFICE AND GENERAL SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 90,190,000/=
220101: Office Consumables Tshs. 4,640,000/=
Kasma hii hutumika kugharamia ununuzi wa vitendea kazi vya ofisini. Vitendea
kazi hivyo ni kama karatasi, majalada, kalamu na bahasha. Mwaka 2011/12 jumla
ya Tshs. 12,330,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 6,080,000/=
kinaombwa kwa ajili ya matumizi hayo.
220102: Computers Supplies and Accessories Tshs. 5,400,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya kompyuta za Idara. Vifaa
hivyo ni kama wino kwa ajili printa na wino kwa ajili ya vinakilishi katika ofisi ya
Waziri, Naibu Waziri, Katibu Mkuu, Naibu Katibu Mkuu na Mkurugenzi. Vile vile,
ununuzi wa UPS na vitunza kumbukumbu. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.
6,750,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 5,400,000/=
kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220105: Books, Reference and Periodicals Tshs. 100,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununua kanuni na sheria mbalimbali
zitakazotumiwa na Maafisa Utumishi wanne na Maafisa Tawala wawili kwa ajili ya
utekelezaji wa kazi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 400,000/= zilitengwa lakini
hazikupatikana kutokana na kupunguzwa kwa bajeti ya wizara. Mwaka 2012/13,
kiasi cha Tshs. 100,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220108: Newspapers and Magazine Tshs. 6,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununua magazeti na majarida kwa ajili ya ofisi
za Waziri, Naibu Waziri, Katibu Mkuu, Naibu Katibu Mkuu na Mkuu wa Idara.
Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 8,070,000 zilitengwa. Mwaka 2012/13 kiasi cha
Tshs. 6,000,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220109: Printing and Photocopying Costs Tshs. 100,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia uchapaji na unakilishi kwa ajili ya
mikutano miwili ya Baraza la Wafanyakazi na gharama za mabango kwa ajili ya
Sherehe za Mei Mosi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 1,160,000/= zilitengwa.
Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 100,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
19
220111: Software Licence Tshs. 1,950,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za programu za Anti Virus kwa
kompyuta za Idara. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 480,000/= zilitengwa. Mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs. 1,950,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220112: Outsourcing Costs Tshs. 72,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za usafi na ulinzi wa ofisi.
Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 102,000,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi
cha Tshs. 72,000,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220300: TOTAL FUEL, OILS AND LUBRICANTS - TSHS. 38,060,000/=
220302: Diesel Tshs. 38,060,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia mafuta ya dizeli kwa magari ya Idara kwa
matumizi ya ofisi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 111,200,000/= zilitengwa kwa
ajili magari saba. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 38,060,000/= kinaombwa kwa
madhumuni hayo.
220400: TOTAL MEDICAL SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 4,000,000/=
220403: Special Foods (diet food) Tshs. 4,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia vyakula maalum kwa watumishi sita
walioathirika na virusi vya UKIMWI na UKIMWI. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.
30,000,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 4,000,000/=
kinaombwa kwa ajili hiyo.
220700: TOTAL RENTAL EXPENSES - TSHS. 6,300,000/=
220702: Rent- Housing Tshs 6,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya malipo ya pango kwa nyumba nne zilizopo
Dodoma. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 10,800,000/= zilitengwa. Katika mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs. 6,000,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.
220709: Conference Facilities Tshs. 300,000
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia ukodishaji wa vyumba vya mikutano
kwa ajili ya mikutano miwili ya Baraza la Wafanyakazi ikiwa ni siku mbili kwa kila
mkutano. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 8,000,000/= zilitengwa. Katika mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs. 300,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.
220800: TOTAL TRAINING - DOMESTIC - TSHS. 3,500,000/=
220802: Tuition Fees Tshs. 2,600,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia ada za mafunzo kwa watumishi watakao
hudhuria mafunzo katika Chuo cha Uhazili-Tabora, Chuo cha Taifa cha Usafirishaji-
DSM, Utumishi wa Umma-DSM. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 3,000,000/=
zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 2,600,000/= kinaombwa kwa
ajili hiyo.
20
220807: Training Allowances Tshs. 800,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za mafunzo kwa Maafisa
watakaokuwa kwenye mafunzo kwa ajili mitihani ya kada zao (Proffessional
Exams) pamoja na watumishi watakaokuwa katika mafunzo. Mwaka 2011/12
jumla ya Tshs. 3,240,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.
800,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.
220810: Ground transport (Bus, Train, Water) Tshs. 100,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipa nauli kwa watumishi watakaokwenda
kwenye mafunzo ya muda mfupi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 300,000/=
zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 100, 000/= kinaombwa kwa ajili
hiyo.
221000: TOTAL TRAVEL-IN-COUNTRY - TSHS. 43,725,000/=
221001: Air Travel Tickets Tshs 400,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia nauli kwa watumishi wa Idara
watakaosafiri kwa kutumia usafiri wa anga nchini kikazi. Mwaka 2011/12 jumla ya
Tshs. 1,350,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 400,000/=
kinaombwa kwa madhumuni hayo
221002: Ground Travel (bus, railway tax, etc) Tshs 700,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia nauli kwa watumishi wa Idara
watakaosafiri kwa ajili ya kuhudhuria Mikutano ya Bunge, Baraza la wafanyakazi
na safari za kukagua masuala ya Utumishi katika vyuo vya wizara. Mwaka 2011/12
jumla ya Tshs. 7,300,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.
700,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.
221005: Per Diem-Domestic Tshs. 42,625,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya posho ya safari kwa Waziri, Naibu Waziri, Katibu
Mkuu, Naibu Katibu Mkuu, Mkuu wa Idara, Wakurugenzi Wasaidizi wawili na
watumishi watakaosafiri kikazi katika mikoa na vyuo vya wizara. Kazi nyingine ni
Mikutano minne ya Bunge vikao viwili vya wafanyakazi (TUGHE) na mikutano
miwili ya Baraza la Wafanyakazi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 233,210,000/=
zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 42,625,000/= kinaombwa kwa
ajili hiyo.
221200: TOTAL COMMUNICATIONS AND INFORMATION - TSHS. 3,000,000/=
221202: Posts and Telegraphs Tshs. 3,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia huduma za Posta kwa Wizara. Mwaka
2011/12 jumla ya Tshs. 3,600,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha
Tshs.3, 000,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
21
221400: TOTAL HOSPITALITY SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 32,930,000/=
221404: Food and Refreshments Tshs. 28,330,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia vyakula na viburudisho kwa ajili ya
vikao vinne vya maadili, vikao vinne vya Bunge na mikutano miwili ya Baraza la
wafanyakazi ambapo kila kikao siku mbili. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.
37,531,000 zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs 28,330,000/= kinaombwa
kwa ajili ya kazi hizo.
221405: Entertainment Tshs. 1,800,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya posho ya Takrima kwa Waziri na Naibu Waziri
wakati wa vikao vya Bunge kulingana na Barua ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya
Utumishi wa Umma ya tarehe 07/06/2007. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.
3,000,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 1,800,000/=
kinaombwa kwa kazi hiyo.
221406: Gifts and Prizes Tshs. 2,800,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kutoa tuzo kwa mtumishi bora wa Idara na
Wizara katika sherehe za Mei Mosi. Pia, fedha hizi zitatumika katika ununuzi wa
kadi za sherehe za Kristmas, Idd, Pasaka na ununuzi wa zawadi kwa watumishi
wawili watakaostaafu. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 13,000,000/= zilitengwa.
Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 2,800,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
229900: TOTAL OTHER OPERATING EXPENSES - TSHS. 1,360,000/=
229914: Sundry Expenses Tshs. 360,000/=
Kasma hii hutumika kulipia gharama ndogo ndogo za ofisi. Mwaka 2011/12 jumla
ya Tshs. 300,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 360,000/=
kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
229920: Burial Services Tshs. 1,000,000/=
Kasma hii hutumika kwa ajili ya kugharamia huduma za mazishi kwa mtumishi wa
Idara. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 2,020,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13,
kiasi cha Tshs. 1,000,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
230200: TOTAL ROUTINE MAINTENANCE AND REPAIR OF BUILDINGS - TSHS. 480,000/=
230208: Small Tools and Implements Tshs. 480,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili matumizi ya kununulia vifaa vidogo vidogo vya
majengo kama vitasa, taa, vitendea kazi na ukarabati mdogo. Mwaka 2011/12
jumla ya Tshs. 4,000,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.
480,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
22
230400: TOTAL ROUTINE MAINTENANCE AND REPAIR OF VEHICLES AND
TRANSPORTATION EQUIPMENTS - TSHS. 26,000,000/=
230407: Direct Labour Tshs. 1,200,000
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za kulaza magari ya Idara nje ya
Wizara. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 2,640,000/= zilitengwa kwa magari
manane. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 1,200,000/= kinaombwa kwa ajili
ya kazi hiyo.
230408: Outsource Maintainace Contract Services Tshs. 24,800,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia matengenezo ya magari nane ya Idara.
mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 40,000,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13,
kiasi cha Tshs. 24,800,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
230700: TOTAL ROUTINE MAINTENANCE AND REPAIR OF OFFICE EQUIPMENTS AND
APPLIENCES - TSHS. 4,000,000/=
230701: Computers, Printers, Scanners Tshs. 1,500,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya matengenezo ya kompyuta za Idara. Mwaka
2011/12 jumla ya Tshs. 2,000,000/= zilitengwa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha
Tshs. 1,500,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
230702: Photocopiers Tshs. 300,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya matengenezo ya vinakilishi katika ofisi za Waziri,
Naibu Waziri, Katibu Mkuu, Naibu Katibu Mkuu na Mkuu wa Idara. Mwaka
2011/12 jumla ya Tshs. 1,200,000/= zilitengwa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha
Tshs. 300,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
230703: Fax machines & other small office equip Tshs. 100,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya matengenezo ya mashine ya fax. Mwaka
2011/12 jumla ya Tshs. 1,200,000/= zilitengwa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha
Tshs. 100,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
230704: Air conditioners Tshs. 2,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya matengenezo ya viyoyozi vya ofisi. Mwaka
2011/12 jumla ya Tshs. 2,000,000/= zilitengwa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha
Tshs. 2,000,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
230705: Telephones and office PABX systems Tshs. 100,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya matengenezo ya mtambo wa simu na simu za
ofisi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 1,000,000/= zilitengwa Kwa mwaka 2012/13,
kiasi cha Tshs. 100,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
23
410500: TOTAL ACQUISITION OF HOUSEHOLD & INSTITUTIONAL EQUIPMENT -
TSHS. 200,000/=
410501: Kitchen Appliances Utencils & Crockery Tshs. 200,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia vyombo kwa ajili ya matumizi ya ofisi.
Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 500,000/= zilitengwa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi
cha Tshs. 200,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
JUMLA YA KIFUNGU: 1001 TSHS. 1,009,182,000/= KATI YA HIZO MISHAHARA NI
TSHS. 604,104,300/=NA MATUMIZI MENGINEYO NI TSHS. 405,077,700/=.
KIFUNGU 1002: FEDHA NA UHASIBU
210100: TOTAL BASIC SALARIES – PENSIONABLE POSTS -TSHS. 301,246,800/=
210101: Civil Servants Tshs. 301,246,800/=
Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 291,254,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13,
Idara inaomba jumla ya Tshs. 301,246,800/= kwa ajili ya kulipia mishahara kwa
watumishi wa kitengo na nyongeza za mishahara ya mwaka.
210300: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES–(NON–DISCRETIONARY) -TSHS. 14,774,000/=
210301: Leave Travel Tshs. 274,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za usafiri kwa watumishi
wanapokwenda na kurudi kutoka likizo pamoja na familia zao. Mwaka 2011/12
jumla ya Tshs. 2,400,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 274,000
kinaombwa kwa kazi hiyo.
210303: Extra Duty Tshs. 2,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipa posho kwa watumishi wa Kitengo cha
Uhasibu ambao watalazimika kufanya kazi baada ya saa za kazi ili wakamilishe kazi
hizo kama vile kuandaa hesabu za kufunga mwaka na majibu ya taarifa za ukaguzi.
Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 8,400,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha
Tshs. 2,000,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
210308: Acting Allowance Tshs. 200,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia posho watumishi watakaokaimu nafasi
ya Mhasibu Mkuu. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 400,000/= zilitengwa. Mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs. 200,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
210314: Sitting Allowance Tshs. 6,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia vikao vya kisheria vya Kamati ya
Ukaguzi ambavyo vinakaa kila robo ya mwaka. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.
22,000,000/= zilitengwa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 6,000,000/=
kinaombwa kwa kazi hiyo.
24
210319: Medical and Dental Refunds Tshs. 300,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kuwawezesha watumishi pale wanapokosa
dawa zilizoidhinishwa na Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa. Katika mwaka 2012/13,
kiasi cha Tshs. 300,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.
210321: Special Allowance Tshs. 5,400,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya stahili ya Mkuu wa Kitengo. Mwaka 2011/12
jumla ya Tshs. 5,400,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.
5,400,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
210329: Moving Expenses Tshs. 600,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia posho za nauli na mizigo kwa
wafanyakazi watakaoajiriwa, watakaohamishwa na watakaostaafu. Mwaka
2011/12 jumla ya Tshs. 1,200,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha
Tshs. 600,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
210400: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES–(DISCRETIONARY)-OPTIONAL–
TSHS. 2,000,000/=
210401: Honoraria Tshs. 2,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kutoa honoraria kwa watumishi watakaokuwa
wamekamilisha kazi maalum na kwa umahiri. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.
4,000,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 2,000,000 kinaombwa
kwa kazi hiyo.
210500: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES-IN-KIND -TSHS. 7,200,000/=
210502: Housing Allowance Tshs. 7,200,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ununuzi wa samani za Mkuu wa Kitengo.
Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 4,800,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha
Tshs. 7,200,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
220100: TOTAL OFFICE AND GENERAL SUPPLIES AND SERVICES-TSHS. 7,300,000/=
220101: Office Consumables Tshs. 5,580,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia ununuzi wa vitendea kazi muhimu
vya ofisi. Vitendea kazi hivyo ni kama karatasi, wino wa printa, majalada, kalamu
na bahasha. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.13,620,000/= zilitengwa. Mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs 5,580,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
220102: Computers Supplies and Accessories Tshs. 120,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya kompyuta. Katika mwaka
2011/12, kiasi cha Tshs. 120,000/= zilitengwa. Mwaka huu wa fedha 2012/13, kiasi
cha Tshs. 120,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
25
220108: Newspapers and Magazines Tshs. 600,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununua magazeti na majarida ya kitengo.
Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 600,000/= zilitengwa. Mwaka huu wa fedha
2012/13, kiasi cha Tshs. 600,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220109: Printing and Photocopying Costs Tshs. 1,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia uchapaji na unakilishi. Mwaka
2011/12 jumla ya Tshs. 5,000,000/= zilitengwa. Mwaka huu wa fedha 2012/13,
kiasi cha Tshs. 1,000,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220200: TOTAL UTILITIES SUPPLIES AND SERVICES -TSHS. 129,600,000/=
220201: Electricity Tshs. 96,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipa gharama za umeme kwa wizara. Mwaka
wa fedha 2011/2013 jumla ya Tshs. 30,000,000/= zilitengwa. Mwaka huu wa fedha
2012/13, kiasi cha Tshs. 96,000,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220202: Water Charges Tshs. 33,600,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za maji katika eneo la Makao
Makuu ya Wizara. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 12,400,000/= Katika mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs. 33,600,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220300: TOTAL FUEL, OILS AND LUBRICANTS -TSHS. 13,000,000/=
220302: Diesel Tshs. 13,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia mafuta ya dizeli kwa gari la Kitengo.
Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 4,000,000/= zilitengwa. Mwaka huu wa fedha
2012/13, kiasi cha Tshs. 13,000,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220800: TOTAL TRAINING - DOMESTIC - TSHS. 578,200/=
220808: Training MaterialsTshs. 578,200/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za mafunzo kwa mtumishi
mmoja atakayekuwa kwenye mafunzo ya muda mrefu na muda mfupi. Mwaka
2011/12, jumla ya Tshs. 2,400,000/= zilitengwa Katika mwaka 2012/13, kiasi cha
Tshs. 578,200/= kinaombwa kwa ajili hiyo.
221000: TOTAL TRAVEL-IN-COUNTRY - TSHS. 1,600,000/=
221005: Per Diem-Domestic Tshs. 1,600,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya posho kwa watumishi watakaosafiri kikazi ndani
ya nchi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 2,800,000/= zilitengwa. Katika mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs. 1,600,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.
221100: TOTAL TRAVEL OUT OF COUNTRY - TSHS. 2,500,000/=
221101: Air Travel Tickets Tshs. 2,500,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia nauli ya usafiri wa anga kwa watumishi
wa Idara watakaosafiri nje ya nchi kikazi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.
26
3,500,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 2,500,000/=
kinaombwa kwa ajili hiyo.
221200: TOTAL COMMUNICATIONS AND INFORMATION - TSHS. 21,000,000/=
221202: Posts and Telegraphs Tshs. 600,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia huduma za Posta na Simu. Mwaka
2011/12 jumla ya Tshs. 600,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha
Tshs. 600,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
221211: Telephone Charges (Land lines) Tshs. 20,400,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia malipo ya simu kwa wizara. Mwaka
2011/12 jumla ya Tshs. 57,600,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha
Tshs. 20,400,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
221400: TOTAL HOSPITALITY SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 4,550,000/=
221404: Food and Refreshments Tshs. 4,250,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya viburudisho wakati wa vikao na mikutano ya
kikazi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 5,250,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13,
kiasi cha Tshs. 4,250,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
221406: Gifts and Prizes Tshs. 300,000
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kutoa tuzo kwa mtumishi bora wa kitengo ili
kuwapa motisha kwa ajili ya kuinua kiwango cha utendaji kazi. Mwaka 2011/12
jumla ya Tshs. 300,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 300,000/=
kinaombwa kwa kazi hiyo.
229900: TOTAL OTHER OPERATING EXPENSES - TSHS. 500,000/=
229920: Burial Services Tshs. 500,000/=
Kasma hii hutumika kwa ajili ya kugharamia huduma za mazishi kwa mtumishi wa
Kitengo endapo atafariki. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 500,000/= zilitengwa.
Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 500,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
230400: TOTAL ROUTINE MAINTENANCE AND REPAIR OF VEHICLES AND
TRANSPORTATION EQUIPMENTS - TSHS. 1,500,000/=
230409: Spare Parts Tshs. 1,500,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za matengenezo ya gari la
kitengo. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 1,500,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13,
kiasi cha Tshs. 1,500,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
27
410600: TOTAL ACQUISITION OF OFFICE AND GENERAL EQUIPMENTS - TSHS. 1,500,000/=
410601: Computers and Photocopiers Tshs. 1,500,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia kompyuta na kinakilishi. Mwaka
2011/12 jumla ya Tshs. 2,000,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha
Tshs. 1,500,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
JUMLA YA KIFUNGU: 1002 NI TSHS.508,849,000/= KATI YA HIZO MISHAHARA NI
TSHS. 301,246,800/= NA MATUMIZI MENGINEYO NI TSHS. 207,602,200/=
KIFUNGU 1003: SERA NA MIPANGO
210100: TOTAL BASIC SALARIES – PENSIONABLE POSTS - TSHS. 191,112,600/=
210101: Civil Servants Tshs. 191,112,600/=
Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 147,249,000 zilitengwa. Katika mwaka 2012/13,
kiasi cha Tshs. 191,112,600/= zinaombwa kwa ajili ya kulipia mishahara kwa
watumishi wa Idara na nyongeza za mishahara ya mwaka.
210300: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES–(NON–DISCRETIONARY) - TSHS. 4,000,000/=
210314: Sitting Allowance Tshs.4,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia maafisa wa Idara na maafisa bajeti wa
Wizara kwenye vikao vya kuandaa SBAS, Bajeti, hotuba ya bajeti na vikao vya
mapato na matumizi ya wizara. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 121,400,000/=
zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 4,000,000/= kinaombwa kwa
ajili hiyo.
210500: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES-IN-KIND - TSHS. 47,280,000/=
210501: Electricity Tshs. 9,840,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipa gharama za umeme kwa Mkuu wa Idara
na Wakurugenzi Wasaidizi watatu ikiwa ni stahili zao. Mwaka 2011/12, jumla ya
Tshs. 9,840,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 9,840,000/=
kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
210502: Housing Allowance Tshs. 28,800,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipa gharama za pango kwa ajili ya Mkuu wa
Idara na wakurugenzi wasaidizi watatu kwa kuwa hawajapata nyumba za Serikali.
Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 28,000,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi
cha Tshs. 28,800,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
210504: Telephone Tshs. 8,640,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za simu kwa ajili ya Mkuu wa
Idara na Wakurugenzi Wasaidizi watatu. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs.
8,400,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 8,640,000/=
kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
28
220100: TOTAL OFFICE AND GENERAL SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 6,080,000/=
220101: Office Consumables Tshs. 600,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia ununuzi wa vitendea kazi muhimu
vya ofisi. Vitendea kazi hivyo ni kama karatasi, wino wa printa, majalada, kalamu
na bahasha. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 7,700,000/= zilitengwa. Mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs. 600,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
220108: Newspapers and Magazines Tshs. 480,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununua magazeti na majarida kwa ajili ya
matumizi ya ofisi. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 2,520,000/= zilitengwa. Mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs. 480,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220109: Printing and Photocopying Costs Tshs. 5,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia uchapaji na unakilishi wa nyaraka za
Wizara. Nyaraka hizo ni kama, Nyaraka za kupeleka kwenye Baraza la Mawaziri,
Rasimu za Sera, Kutengeneza vitabu vya bajeti, kutengeneza vitabu 700 vya
hotuba ya bajeti, vitabu 500 vya Randama, vitabu 60 vya MTEF, vitabu 60 vya
maelezo ya Kamati na vitabu 400 vya hoja za Waheshimiwa Wabunge. Mwaka
2011/12, jumla ya Tshs. 14,600,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.
5,000,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220300: TOTAL FUEL, OILS AND LUBRICANTS - TSHS. 10,825,000/=
220302: Diesel Tshs. 10,825,000/=
Fedha hizi zinaombwa ili kulipia gharama za mafuta kwa ajili ya gari ambayo
yatawezesha katika kufanikisha shughuli za Idara na ufuatiliji wa miradi ya
maendeleo katika vyuo vya Maendeleo ya Wananchi na vyuo vya Maendeleo ya
Jamii. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 22,800,000/= zilitengwa. Katika mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs. 10,825,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
221000: TOTAL TRAVEL-IN-COUNTRY - TSHS. 1,800,000/=
221002: Ground Travel (bus, railway tax, etc) Tshs. 200,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia nauli kwa watumishi wa Idara
watakaosafiri ndani ya nchi kikazi na nauli kwa ajili ya Maafisa wa Bajeti wakati wa
kuandaa SBAS na bajeti ya Wizara. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 3,000,000/=
zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 200,000/= kinaombwa kwa kazi
hii.
221005: Per Diem-Domestic Tshs. 1,600,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ya posho ya safari kwa watumishi wa Idara
watakaosafiri kikazi ndani ya nchi na posho ya Maafisa wa Bajeti wa Wizara wakati
wa kuandaa SBAS na bajeti ya Wizara. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.
17,280,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 1,600,000/=
kinaombwa kwa ajili hiyo.
29
221200: TOTAL COMMUNICATIONS AND INFORMATION - TSHS. 9,414,400/=
221205: Advertising and Publication Tshs. 9,414,400/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia matangazo ya hotuba ya bajeti ya
Wizara kwenye Luninga na katika magazeti. Pia, fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya
kutoa Taarifa ya Mafanikio ya Wizara katika gazeti. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.
70,000,000 zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 9,414,400/=
kinaombwa kwa kazi hii.
221400: TOTAL HOSPITALITY SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 6,900,000/=
221404: Food and Refreshments Tshs. 6,900,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia viburudisho wakati wa vikao vya
uandaaji wa Bajeti ya Wizara. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 26,920,000/=
zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 6,900,000/= kinaombwa kwa ajili ya
kazi hiyo.
230400: TOTAL ROUTINE MAINTENANCE AND REPAIR OF VEHICLES AND
TRANSPORTATION EQUIPMENT - TSHS. 1,000,000/=
230409: Spare Parts Tshs.1,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ununuzi wa vipuri vya gari, matengenezo ya gari
na gharama za kulaza gari nje ya ofisi. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs.
11,000,000/= zilitengwa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 1,000,000/=
kinaombwa kwa kazi hiyo.
JUMLA YA KIFUNGU: 1003 TSHS. 278,412,000/=KATI YA HIZO MISHAHARA NI
TSHS. 191,112,600/= NA MATUMIZI MENGINEYO NI TSHS. 87,299,400/=
KIFUNGU 1004: UKAGUZI WA NDANI
210100: TOTAL BASIC SALARIES – PENSIONABLE POSTS - TSHS. 40,552,800/=
210101: Civil Servants Tshs. 40,552,800/=
Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 41,910,000/= zilitengwa. Kwa mwaka 2012/13
kitengo kinaomba jumla ya Tshs. 40,552,800/= kwa ajili ya kulipia mishahara kwa
watumishi wa Idara na nyongeza za mishahara ya mwaka.
210300: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES–(NON–DISCRETIONARY) - TSHS. 500,000/=
210301: Leave Travel Tshs. 200,000/=
Kasma hii hutumika kulipia gharama za usafiri kwa watumishi wanapokwenda na
kurudi kutoka likizo pamoja na familia zao. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.
1,000,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 200,000/= kinaombwa
kwa kazi hiyo.
30
210308: Acting Allowance Tshs. 100,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia posho kwa watumishi watakaokaimu
nafasi ya Mkuu wa Kitengo. Mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs. 1,651,540/=
zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 100,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
210319: Medical and Dental Refunds Tshs. 200,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kuwarudishia watumishi waliotibiwa kwa
kutumia fedha zao binafsi. Katika mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs. 500,000/=
zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 200,000/=kinaombwa kwa ajili hiyo.
210500: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES-IN-KIND - TSHS. 10,740,000/=
210501: Electricity Tshs. 2,460,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za umeme kwa Mkuu wa
Kitengo. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 2,460,000/= zilitengwa. Katika mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs. 2,460,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
210502: Housing Allowance Tshs. 6,120,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia pango la nyumba ya Mkuu wa Kitengo
kama stahili yake. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 6,120,000/= zilitengwa. Katika
mwaka huu wa fedha 2012/13, kiasi cha Tshs. 6,120,000/= kinaombwa kwa ajili ya
kazi hiyo.
210504: Telephone Tshs. 2,160,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za simu kwa ajili ya Mkuu wa
kitengo. Katika mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs. 2,160,000/=zilitengwa. Katika
mwaka huu wa fedha 2012/13, kiasi cha Tshs. 2,160,000/= kinaombwa kwa ajili ya
kazi hiyo.
220100: TOTAL OFFICE AND GENERAL SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 1,533,200/=
220101: Office Consumables Tshs. 853,200/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia ununuzi wa vitendea kazi muhimu
vya ofisi. Vitendea kazi hivyo ni kama karatasi, wino wa printa, majalada, kalamu
na bahasha. Mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs. 1,300,000/= zilitengwa. Katika
mwaka huu wa fedha 2012/13, kiasi cha Tshs. 853,200/= kinaombwa kwa ajili ya
kazi hiyo.
220108: Newspapers and Magazines Tshs. 480,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununua magazeti na majarida kwa ajili ya
kitengo. Mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs. 792,000/= zilitengwa. Katika mwaka huu
wa fedha 2012/13, kiasi cha Tshs. 480,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
220111: Software Licence Tshs. 200,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununua progamu za kompyuta. Mwaka
2011/12, kiasi cha Tshs. 480,000/= zilitengwa. Katika mwaka huu wa fedha
2012/13, kiasi cha Tshs. 200,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
31
220300: TOTAL FUEL, OILS AND LUBRICANTS - TSHS. 2,200,000/=
220302: Diesel Tshs. 2,200,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia mafuta ya dizeli kwa gari la kitengo.
Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 12,996,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi
cha Tshs. 2,200,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220800: TOTAL TRAINING-DOMESTIC TSHS. 1,700,000/=
220802: Tuition Fees Tshs. 900,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia ada za mafunzo kwa watumishi
watakaokuwa wanahudhuria mafunzo ya muda mfupi ndani ya nchi. Mwaka
2011/12, kiasi cha Tshs. 7,500,000/= zilitengwa. Katika mwaka huu wa fedha
2012/13, kiasi cha Tshs. 900,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
220811: Research and Dissertation Tshs. 800,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za utafiti kwa watumishi
watakaokuwa wanahudhuria mafunzo ya muda mrefu ndani ya nchi. Mwaka
2011/12 jumla ya Tshs. 3,000,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.
800,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
221000: TOTAL TRAVEL-IN-COUNTRY - TSHS. 7,040,000/=
221002: Ground Travel (bus, railway tax, etc) Tshs. 1,380,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia nauli kwa watumishi watakaosafiri nchini
kikazi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 6,100,000/= zilitengwa. Katika mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs. 1,380,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
221005: Per Diem -Domestic Tshs. 5,660,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya posho kwa watumishi watakaosafiri kikazi ndani
ya nchi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 8,711,000/= zilitengwa. Katika mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs. 5,660,000/=kinaombwa kwa ajili hiyo.
221300: TOTAL EDUCATIONAL MATERIAL, SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 400,000/=
221301: Textbooks Tshs. 400,000/=
Fedha hizi ni kwa ajili ya gharama za manunuzi ya vitabu kwa watumishi
watakaokwenda katika mafunzo ya muda mrefu. Katika mwaka 2011/12, kiasi cha
Tshs. 1,000,000/= kilitengwa. Katika mwaka huu wa fedha 2012/13, kiasi cha Tshs.
400,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
221400: TOTAL HOSPITALITY SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 2,600,000/=
221404: Food and Refreshments Tshs. 2,600,000/=
Fedha hizi ni kwa ajili ya kugharamia chai na vinywaji baridi wakati wa vikao na
mikutano ya kikazi. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 4,800,000/= zilitengwa.
Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 2,600,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
32
230400: TOTAL ROUTINE MAINTENANCE AND REPAIR OF VEHICLES AND
TRANSPORTATION EQUIPMENTS - TSHS. 800,000/=
230404: Panel and body shop repair materials Tshs. 400,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia vifaa vya gari. Mwaka 2011/12, jumla
ya Tshs. 1,000,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 400,000/=
kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
230407: Direct Labour Tshs. 400,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za matengenezo madogo
madogo ya gari. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 500,000/= Katika mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs. 400,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
230700: TOTAL ROUTINE MAINTENANCE AND REPAIR OF OFFICE EQUIPMENT AND
APPLIENCES - TSHS. 500,000/=
230701: Computers, Printers, Scanners Tshs. 500,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipa gharama za matengenezo ya kompyuta.
Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 500,000/= zilitengwa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi
cha Tshs. 500,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
410600: TOTAL ACQUISITION OF OFFICE AND GENERAL EQUIPMENTST - TSHS. 200,000/=
410602: Printers and Scanners Tshs. 200,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia wino wa printa kwa ajili ya matumizi
ya Kitengo. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 500,000/= zilitengwa. Kwa mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs. 200,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
JUMLA YA KIFUNGU 1004: TSHS. 68,766,000/= KATI YA HIZO MISHAHARA NI
TSHS. 40,552,800/= NA MATUMIZI MENGINEYO NI TSHS. 28,213,200/=
KIFUNGU 1005: MAWASILIANO YA SERIKALI
210100: TOTAL BASIC SALARIES–PENSIONABLE POSTS - TSHS. 25,896,700/=
210101: Civil Servants Tshs. 25,896,700/=
Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 22,183,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13,
Kitengo kinaomba jumla ya Tshs. 25,896,700/= kwa ajili ya kulipia mishahara ya
watumishi wa Idara na nyongeza za mishahara ya mwaka.
210300: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES–(NON–DISCRETIONARY) - TSHS. 1,800,000/=
210301: Leave Travel Tshs. 250,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kuwalipa watumishi wawili wa Kitengo kwa ajili
ya likizo zao za mwaka. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 2,400,000/= zilitengwa.
Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 250,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
33
210303: Extra Duty Tshs. 1,550,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kuwalipa wafanyakazi wa Kitengo kwa kazi
maalum ambazo ni kuandaa na kuhariri vipindi vya redio na televisheni ambazo
zitafanyika baada ya saa za kazi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 3,630,000/=
zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 1,550,000/= kinaombwa kwa
madhumuni hayo.
210500: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES IN-KIND - TSHS 610,000/=
210503: Food and Refreshment Tshs 610,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ununuzi wa viburudisho kwa ajili ya kitengo.
Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 1,395,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13,
kiasi cha Tshs. 610,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.
220100: TOTAL OFFICE AND GENERAL SUPPLIES AND SERVICES - TSHS 6,874,046/=
220101: Office Consumables Tshs. 2,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia ununuzi wa vitendea kazi muhimu
vya ofisi ikiwa ni pamoja na karatasi, wino wa printa, majalada, kalamu na
bahasha. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 4,200,000/= zilitengwa. Katika mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs. 2,000,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.
220102: Computers Supplies and Accessories Tshs. 250,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya kompyuta. Mwaka
2011/12 jumla ya Tshs. 2,000,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.
250,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220105: Books, Reference and Periodicals Tshs. 10,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununua vitabu, vipeperushi na majarida ya
Kitengo. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 400,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13,
kiasi cha Tshs. 10,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220108: Newspapers and Magazines Tshs. 3,600,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununua magazeti na majarida ya Kitengo.
Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 1,440,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha
Tshs. 3,600,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220109: Printing and Photocopying Costs Tshs. 800,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia uchapaji na unakilishi wa nyaraka za
Wizara. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 8,094,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13,
kiasi cha Tshs. 800,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220110: Computer Software Tshs. 214,046/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ununuzi wa programu za kompyuta na
programu za kuzuia uharibifu wa kompyuta za Kitengo. Mwaka 2011/12 jumla ya
Tshs. 2,000,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 214,046/=
kinaombwa kwa madhumuni hayo.
34
220300: TOTAL FUEL, OILS AND LUBRICANTS - TSHS. 3,200,000/=
220302: Diesel Tshs. 3,200,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia mafuta ya dizeli katika uratibu wa
shughuli za vipindi vya redio na televisheni, ushiriki wa Wizara kwenye
maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma na Nanenane. Mwaka 2011/12
jumla ya Tshs. 4,950,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.
3,200,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220800: TOTAL TRAINING - DOMESTIC - TSHS. 280,000/=
220802: Tuition Fees Tshs. 260,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia ada za mafunzo kwa mtumishi mmoja
atakayekuwa anahudhuria mafunzo ya muda mrefu ndani ya nchi. Mwaka
2011/12 jumla ya Tshs. 5,274,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha
Tshs. 260,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220805: Production & Printing Training Materials Tshs. 10,000/=
Fedha hizi zinaombwa ili kuwezesha ununuaji wa vifaa vya uchapishaji kwa ajili ya
mtumishi atakayehudhuria mafunzo ndani ya nchi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.
50,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 10,000/= kinaombwa
kwa madhumuni hayo.
220811: Research and Dissertation Tshs. 10,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kufanya utafiti kwa mtumishi wa Kitengo
anayehudhuria mafunzo ya shahada ya uzamili ya mawasiliano ya umma. Mwaka
2011/12 jumla ya Tshs. 2,005,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha
Tshs. 10,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
221000: TOTAL TRAVEL-IN-COUNTRY - TSHS. 4,010,000/=
221002: Ground Travel (bus, railway tax, etc) Tshs. 890,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia nauli kwa watumishi wa kitengo
watakaosafiri nchini kikazi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 2,280,000/= zilitengwa.
Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 890,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
221005: Per Diem-Domestic Tshs. 3,120,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya posho kwa watumishi watakaosafiri kikazi
nchini. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 11,590,000/= zilitengwa. Katika mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs. 3,120,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.
221200: TOTAL COMMUNICATIONS & INFORMATION - TSHS. 2,220,000/=
221205: Advertizing and Publication Tshs. 1,020,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia matangazo ya masuala mbalimbali
kuhusu sekta ya maendeleo ya Jamii katika radio, televisheni na magazeti. Mwaka
2011/12 jumla ya Tshs. 29,000,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha
Tshs. 1,020,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
35
221210: Telephone Equipment (Mobile) Tshs. 1,200,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia malipo ya simu kwa ajili ya
watumishi wa kitengo. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 200,000/= zilitengwa.
Katika mwaka 2012/13 kiasi cha Tshs. 1,200,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi
hiyo.
221300: TOTAL EDUCATIONAL MATERIAL, SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 10,000/=
221301: Textbooks Tshs. 10,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za ununuzi wa vitabu kwa
mtumishi mmoja atakayekwenda kwenye mafunzo ya muda mrefu. Mwaka
2011/12 jumla ya Tshs. 300,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha
Tshs. 10,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
229900: TOTAL OTHER OPERATING EXPENSES - TSHS. 13,438,254/=
229922: Consultancy Fees Tshs. 13,438,254/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za mtaalamu wa nje kwa kazi ya
kuandaa Mkakati wa Mawasiliano wa Wizara. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.
1,000,000/= zilitengwa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 13,438,254/=
kinaombwa kwa kazi hiyo.
230700: TOTAL ROUTINE MAINTENANCE AND REPAIR OF OFFICE EQUIPMENTS AND
APPLIANCES - TSHS. 50,000/=
230701: Computers, and other computer related equipments Tshs. 50,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya matengenezo ya kompyuta na printa. Mwaka
2011/12 jumla ya Tshs. 4,000,000/= zilitengwa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha
Tshs. 50,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
JUMLA YA KIFUNGU 1005: TSHS. 58,389,000/= KATI YA HIZO MISHAHARA NI
TSHS. 25,896,700/= NA MATUMIZI MENGINEYO NI TSHS. 32,492,300/=
KIFUNGU 1006: MANUNUZI
210100: TOTAL BASIC SALARIES – PENSIONABLE POSTS - TSHS. 68,935,200/=
210101: Civil Servants Tshs. 68,935,200/=
Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 188,575,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13,
Kitengo kinaomba jumla ya Tshs. 68,935,200/=. Kwa ajili ya kulipia mishahara kwa
watumishi wa Idara na nyongeza za mishahara ya mwaka.
210300: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES–(NON-DISCRETIONARY) - TSHS. 5,650,000/=
210301: Leave Travel Tshs 900,000/=
Fedha hizi ni kwa ajili ya kuwalipa watumishi wa Kitengo kwa ajili ya likizo yao ya
mwaka. Mwaka 2012/2012 jumla ya Tshs. 4,000,000/= zilitengwa. Mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs. 900,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
36
210308: Acting Allowance Tshs. 3,000,000/=
Fedha hizi ni kwa ajili ya kulipia posho ya kukaimu kwa watumishi watakao kaimu
nafasi ya Mkurugenzi wa Manunuzi. Mwaka 2011/12 hakuna fedha iliyotengwa
kwa kazi hii. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 3,000,000/= kinaombwa kwa ajili
hiyo.
210314: Sitting Allowance Tshs. 1,500,000/=
Fedha hizi ni kwa ajili ya kulipia wanaohudhuria vikao vya kisheria vya ufunguzi wa
Zabuni wa Wizara kwenye vikao vya kazi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.
20,800,000/= zilitengwa Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 1,500,000/= kinaombwa
kwa ajili hiyo.
210319: Medical and Dental Refunds Tshs. 250,000/=
Fedha hizi ni kwa ajili ya kuwarudishia watumishi waliotibiwa kwa kutumia fedha
zao baada ya kukosa dawa/huduma katika hospitali za Bima ya Afya. Mwaka
2011/12 jumla ya Tshs. 1,200,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13 kiasi cha
Tshs. 250,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
210500: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES -IN-KIND - TSHS. 13,396,000/=
210501: Electricity Tshs. 2,460,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipa gharama za umeme kwa Mkuu wa Idara
ikiwa ni stahili zake. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 2,460,000/=
kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
210502: Housing Allowance Tshs. 7,200,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipa gharama za pango kwa ajili ya Mkuu wa
Idara na wakurugenzi wasaidizi watatu kwa kuwa hawajapata nyumba za Serikali.
Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 9,095,000/= zilitengwa Mwaka 2012/13, kiasi cha
Tshs. 7,200,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo
210503: Food and Refreshment Tshs 1,576,000/=
Fedha hizi ni kwa ajili ya ununuzi wa viburudisho kwenye vikao vya kazi. Katika
mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 1,576,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.
210504: Telephone Tshs. 2,160,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za simu kwa ajili ya Mkuu wa
Kitengo. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 1,200,000/= zilitengwa. Katika mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs. 2,160,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
220100: TOTAL OFFICE AND GENERAL SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 1,880,800/=
220101: Office Consumables Tshs. 1,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia ununuzi wa vitendea kazi muhimu
vya ofisi. Vitendea kazi hivyo ni kama karatasi, wino wa printa, majalada, kalamu
na bahasha. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 2,580,000/= zilitengwa. Katika mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs. 1,000,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.
37
220108: Newspapers and Magazine Tshs. 480,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ununuzi wa magazeti na majarida ya Kitengo.
Mwaka 2011/12umla ya Tshs. 1,200,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha
Tshs. 480,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220109: Printing and Photocopying Costs Tshs. 400,800/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia uchapaji na unakilishi wa nyaraka za
Serikali. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 7,127,500/= zilitengwa. Mwaka 2012/13,
kiasi cha Tshs.400,800/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220300: TOTAL FUEL, OILS AND LUBRICANTS - TSHS. 8,800,000/=
220302: Diesel Tshs. 8,800,000/=
Fedha hizi ni kwa ajili ya kulipia mafuta ya dizeli kwa gari la Kitengo. Mwaka
2011/12 jumla ya Tshs. 9,080,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.
8,800,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220800: TOTAL TRAINING - DOMESTIC - TSHS. 1,240,000/=
220802: Tuition Fees Tshs. 1,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia ada za mafunzo kwa mtumishi mmoja
atakayekuwa anahudhuria mafunzo ya muda mrefu ndani ya nchi. Katika mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs. 1,000,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220807: Training Allowances Tshs. 240,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za mafunzo kwa mtumishi
mmoja atakayekuwa kwenye mafunzo ya muda mrefu na muda mfupi. Katika
mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 240,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.
221000: TOTAL TRAVEL-IN-COUNTRY - TSHS. 9,600,000/=
221005: Per Diem-Domestic Tshs. 9,600,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya posho kwa watumishi watakaosafiri kikazi nchini
kuhudhuria mafunzo ya muda mfupi, mikutano ya NBMM, usimamizi wa mikataba
ya ukarabati wa vyuo na ufutaji wa vifaa chakavu. Katika mwaka 2011/2013, kiasi
cha Tshs.12,000,000/= kilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 9,600,000/=
kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
230400: TOTAL ROUTINE MAINTENANCE AND REPAIR OF VEHICLE AND
TRANSPORTATION EQUIPMENT - TSHS. 2,000,000/=
230409: Tyres and Batteries 2,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia matairi na betri ya gari la mkuu wa
kitengo. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.42,566,800/= kinaombwa kwa ajili
ya kazi hiyo.
JUMLA YA KIFUNGU: 1006 - TSHS. 111,502,000/= KATI YA HIZO MISHAHARA NI
TSHS. 68,935,200/= NA MATUMIZI MENGINEYO NI TSHS. 42,566,800/=.
38
KIFUNGU 1007: TEKNOLOJIA YA HABARI NA MAWASILIANO
210300: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES–(NON-DISCRETIONARY) - TSHS. 1,960,000/=
210301: Leave Travel Tshs 800,000/=
Fedha hizi ni kwa ajili ya kuwalipa watumishi wa Kitengo kwa ajili ya likizo yao ya
mwaka. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 2,550,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13,
kiasi cha Tshs. 800,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
210303: Extra Duty Tshs. 800,000
Fedha hizi ni kwa ajili ya kuwalipa watumishi wa Kitengo kwa kazi maalum ambazo
zinahitaji kufanyika baada ya saa za kazi. Mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs.
14,400,000/= kilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 800,000/= kinaombwa
kwa madhumuni hayo.
210319: Medical and Dental Refunds Tshs. 360,000/=
Fedha hizi ni kwa ajili ya kuwarudishia watumishi waliotibiwa kwa kutumia fedha
zao baada ya kukosa dawa/huduma katika hospitali za Bima ya Afya. Katika mwaka
2011/12, kiasi cha Tshs. 150,000/= kilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.
360,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
210500: PERSONAL ALLOWANCES- (NON DISRETIONARY) - TSHS. 100,000/=
210503: Food and Refreshments Tshs. 100,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya viburudisho wakati wa vikao na mikutano ya
kikazi. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 100,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi
hiyo.
220100: TOTAL OFFICE AND GENERAL SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 1,123,000/=
220108: Newspapers and Magazines Tshs. 18,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununua magazeti na majarida ya Kitengo.
Mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs. 240,000/= kilitengwa. Mwaka 2012/13 kiasi cha
Tshs. 18,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220110: Computer Software Tshs. 500,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ununuzi wa programu za kompyuta za Kitengo.
Mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs. 7,000,000/= kilitengwa. Mwaka 2012/13 kiasi cha
Tshs. 500,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220111: Software Licence Tshs. 605,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununua leseni za progamu za kompyuta za
Kitengo. Mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs. 3,800,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13
kiasi cha Tshs. 605,000/=kinaombwa kwa madhumuni hayo.
39
220800: TOTAL TRAINING - DOMESTIC - TSHS. 2,500,000/=
220802: Tuition Fees Tshs. 2,300,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia ada za mafunzo kwa mtumishi mmoja
atakayekuwa anahudhuria mafunzo ya muda mrefu ndani ya nchi. Katika mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs. 2,300,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220807: Training Allowances Tshs. 100,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za mafunzo kwa mtumishi
mmoja atakayekuwa kwenye mafunzo ya muda mrefu na muda mfupi. Katika
mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 100,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.
220808: Training Materials Tshs. 100,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia vitabu kwa mtumishi mmoja
atakayekuwa kwenye mafunzo ya muda mrefu na muda mfupi. Katika mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs. 100,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.
221200: TOTAL COMMUNICATIONS & INFORMATION - TSHS. 12,000,000/=
221201: Internet and Email Connections Tshs. 12,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia huduma za mtandao kwa wizara. Katika
mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs. 7,200,000/= kilitengwa. Mwaka 2012/13 kiasi cha
Tshs. 12,000,000 kinaombwa kwa kazi hii.
221300: TOTAL EDUCATIONAL MATERIAL,SUPPLIES AND SERVICES - TSHS .100,000/=
221304: Library Books Tshs. 100,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za vitabu kwa mtumishi aliyepo
masomoni. Mwaka 2012/13 kiasi cha Tshs. 100,000 /= kinaombwa kwa kazi hii.
229900: TOTAL OTHER OPERATING EXPENSES - TSHS. 500,000/=
229920: Burial Services Tshs. 500,000/=
Kasma hii hutumika kwa ajili ya kugharamia huduma za mazishi kwa mtumishi wa
Idara. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 500,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi
hiyo.
230700: TOTAL ROATINE MAINTANANCE AND REPAIR OF OFFICE EQUIPMENT AND
APPLIANCES - TSHS.100,000/=
230701: Computers, Printers, Scanners Tshs. 50,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya matengenezo ya kompyuta, printa, kinakilishi na
simu. Kwa mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs. 1,250,000/= kilitengwa. Mwaka
2012/13 kiasi cha Tshs. 50,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
230705: Telephones and office PABX systems Tshs. 50,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya matengenezo ya mitambo ya simu. Kwa mwaka
2011/12, kiasi cha Tshs. 750,000/= kilitengwa. Mwaka 2012/13 kiasi cha Tshs.
50,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
40
410500: ACQUISITION OF HOUSEHOLDS & INSTITUTIONAL EQUIPMENTS - TSHS. 10,000/=
410503: Beds, Desks, Shelves, Tables & Chairs Tshs. 10,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia meza na vifaa vya kitengo. Kwa
mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs. 800,000/= kilitengwa. Mwaka 2012/13 kiasi cha
Tshs. 10,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
410600: AQUISITION OF OFFICE AND GENERAL EQUIPMENT - TSHS. 657,000/=
410601: Computers and Photocopiers Tshs. 652,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia Nakishi. Kwa mwaka 2011/12, kiasi
cha Tshs. 7,000,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo. Mwaka 2012/13 kiasi cha Tshs.
652,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
410608: Server Tshs. 5,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia server ya Wizara. Kwa mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs. 5,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
JUMLA YA KIFUNGU: 1007 - TSHS. 19,050,000/= KWA AJILI YA MATUMIZI
MENGINEYO
KIFUNGU 2001: VYUO VYA MAENDELEO YA WANANCHI
210100: BASIC SALARIES – PENSIONABLE POSTS - TSHS. 4,734,680,000/=
210101: Civil Servants Tshs. 4,734,680,000/=
Fedha hizi ni kwa ajili ya kulipia mishahara kwa wakufunzi na watumishi wa Vyuo
vya Maendeleo ya Wananchi na nyongeza za mishahara ya mwaka.
Mwaka 2011/12 jumla ya shs. 2,918,351,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13,
Idara inaomba jumla ya shs. 4,734,680,000/= kwa kazi hiyo.
210300: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES–(NON-DISCRETIONARY) - TSHS. 112,500,000/=
210301: Leave Travel shs. 12,800,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za usafiri kwa wakufunzi na
watumishi wa vyuo vya Maendeleo ya Wananchi wanapokwenda na kurudi kutoka
likizo pamoja na familia zao. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 30,400,000/=
zilitengwa. Mwaka 2012/13 kiasi cha shs. 12,800,000/= zinaombwa kwa kazi hiyo.
210308: Acting Allowance shs. 1,600,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia posho ya kukaimu kwa watumishi
watakaokaimu nafasi mbalimbali. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.
1,600,000/=zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha shs.1,600,000/=
kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
41
210313: Outfit Allowance Tshs.2,400,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia posho ya mavazi kwa watumishi
wawili watakaosafiri nje ya nchi kikazi ili kukabiliana na hali ya mazingira ya nchi
wanayokwenda. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 2,400,000/= kinaombwa kwa
kazi hiyo.
210319: Medical and Dental Refunds Tshs. 5,700,000/=
Fedha hizi ni kwa ajili ya kuwarudishia watumishi na wakufunzi waliotibiwa kwa
kutumia fedha zao binafsi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 1,000,000/= zilitengwa.
Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha shilingi 5,700,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
210329: Moving Expenses Tshs. 90,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia posho za nauli na mizigo kwa watumishi
24 wa vyuo vya Maendeleo ya Wananchi watakaoajiriwa, watakaohamishwa na
watakaostaafu. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 120,000,000/= zilitengwa. Kwa
mwaka 2012/13, kiasi cha shilingi 90,000,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
220100: TOTAL OFFICE AND GENERAL SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 1,200,000/=
220101: Office Consumables Tshs. 1,200,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia ununuzi wa vitendea kazi muhimu
vya ofisi. Vitendea kazi hivyo ni kama karatasi, wino wa printa, majalada, kalamu
na bahasha. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 14,400,000/= zilitengwa. Katika
mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 1,200,000 kinaombwa kwa kazi hiyo.
220200: TOTAL UTILITIES SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 62,750,000/=
220201: Electricity Tshs. 29,400,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za umeme katika Vyuo vya
Maendeleo ya Wananchi 35 vyenye umeme wa gridi ya Taifa. Vyuo vinavyolipiwa
umeme ni kama inavyoonyesha katika Jedwali B. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.
55,799,978/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 29,400,000/=
kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220202: Water Charges Tshs. 33,350,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia bili za maji katika Vyuo vya Maendeleo
ya Wananchi. Vyuo vinavyolipiwa maji ni kama inavyoonyesha katika Jedwali B.
Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 25,199,965/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi
cha Tshs. 33,350,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220700: TOTAL RENTAL EXPENSES - TSHS. 2,500,000/=
220709: Conference Facilities Tshs. 2,500,000
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia ukodishaji wa vyumba vya mikutano
kwa ajili ya vikao viwili vya kudurusu mtaala wa Vyuo vya Maendeleo ya
Wananchi. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 2,500,000/= kinaombwa kwa
ajili hiyo.
42
220800: TOTAL TRAINING-DOMESTIC - TSHS. 83,725,000/=
220802: Tuition Fees Tshs. 15,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia ada za mafunzo kwa watumishi sita
watakaokuwa wanahudhuria mafunzo ya muda mfupi na muda mrefu ndani ya
nchi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 30,000,000/= zilitengwa. Katika mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs. 15,000,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220805: Production & Printing Training Materials Tshs. 725,000/=
Fedha hizi zinaombwa ili kuwezesha ununuaji wa vifaa vya uchapishaji kwa ajili ya
mtumishi atakayehudhuria mafunzo ndani ya nchi. Katika mwaka 2012/13, kiasi
cha Tshs. 725,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220807: Training Allowances Tshs. 2,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za mafunzo kwa mtumishi
mmoja atakayekuwa kwenye mafunzo ya muda mrefu na muda mfupi. Katika
mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 2,000,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.
220808: Training Materials Tshs. 66,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia vifaa vya kujifunzia katika vyuo 55 vya
Maendeleo ya Wananchi (mfano: Majora ya vitambaa, mbao, “iron sheets for
welding”, vifaa vya umeme n.k). Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.
66,000,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.
221000: TOTAL TRAVEL-IN-COUNTRY - TSHS. 66,000,000/=
221002: Ground Travel (bus, railway tax, etc) Tshs. 23,600,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia nauli kwa watumishi wa vyuo vya
maendeleo ya wananchi watakaosafiri nchini kikazi. Mwaka 2011/12 jumla ya
Tshs. 15,040,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.
23,600,000/= kinaombwa kwa kazi hii.
221005: Per Diem-Domestic Tshs. 42,400,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya posho kwa watumishi wa vyuo vya Maendeleo
ya Wananchi watakaosafiri kikazi ndani ya nchi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.
30,000,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 42,400,000/=
kinaombwa kwa ajili hiyo.
221200: TOTAL COMMUNICATIONS & INFORMATION - TSHS. 18,950,000/=
221202: Posts and Telegrams 2,750,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kusafirishia vifurushi na barua katika vyuo vya
Maendeleo ya Wananchi. Katika mwaka 2012/13, jumla ya Tshs.2,750,000/=
zinaombwa kwa kazi hiyo.
221211: Telephone Charges (Land lines) Tshs. 16,200,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia malipo ya simu katika vyuo vya
Maendeleo ya Wananchi 28. Mwaka 2011/2012 jumla ya Tshs. 11,999,988/=
43
zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, jumla ya Tshs. 16,200,000/= zinaombwa kwa
kazi hiyo.
221300: TOTAL EDUCATIONAL MATERIAL SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 42,200,000/=
221301: Textbooks Tshs. 16,500,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia vitabu katika vyuo vya Maendeleo ya
Wananchi. Mwaka 2012/13, jumla ya Tshs. 16,500,000/= zinaombwa kwa kazi
hiyo.
221303: Classroom Teaching Supplies Tshs. 13,200,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia vifaa vya kufundishia (mfano: chaki,
“musking tapes”, “tape measures”, gundi, brashi, “flip charts” n.k) katika vyuo 55
vya Maendeleo ya Wananchi. Mwaka 2012/13, jumla ya Tshs. 13,200,000/=
zinaombwa kwa kazi hiyo.
221306: Technical Materials Tshs. 12,500,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia vifaa vya kutolea mafunzo ya stadi
katika vyuo vya Maendeleo ya Wananchi (mfano: randa, misumeno, vyerehani,
“motor”, mikasi, “welding machines”). Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 54,600,000
zilitengwa. Mwaka 2012/13, jumla ya Tshs. 12,500,000/= zinaombwa kwa kazi
hiyo.
221400: TOTAL HOSPITALITY SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 19,342,800/=
221402: Catering Services Tshs. 19,342,800/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za chakula cha wanafunzi katika
vyuo vya Maendeleo ya Wananchi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 425,160,000/=
zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 19,342,800/= kinaombwa kwa ajili ya
kazi hiyo.
229900: TOTAL OTHER OPERATING EXPENSES - TSHS. 12,738,200/=
229914: Sundry Expenses Tshs. 238,200/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za shughuli ndogondogo za
dharura. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 17,069/= zilitengwa. Katika mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs. 238,200/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
229920: Burial Services Tshs. 12,500,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia huduma za mazishi kwa watumishi
na wakufunzi watakaofariki katika vyuo vya Maendeleo ya Wananchi katika
mwaka 2011/12 jumla ya Tsh. 2,000,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha
Tshs. 12,500,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
44
410600: TOTAL ACQUISITION OF OFFICE AND GENERAL EQUIPMENTS - TSHS. 5,000,000/=
410601: Computers and Photocopiers Tshs. 5,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia laptop moja na kinakilishi kimoja.
Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 22,500,000/= zilitengwa. Kwa mwaka 2012/13,
kiasi cha Tshs. 5,000,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
JUMLA YA KIFUNGU: 2001 – Tshs 5,161,586,000/=KATI YA HIZO MISHAHARA NI
Tshs. 4,734,680,000/= NA MATUMIZI MENGINEYO NI Tshs. 426,906,000/=
KIFUNGU 2002: MAENDELEO YA JAMII
210100: TOTAL BASIC SALARIES – PENSIONABLE POSTS - TSHS. 1,215,180,700/=
210101: Civil Servants Tshs. 1,215,180,700/=
Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 848,984,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13,
Idara inaomba jumla ya Tshs. 1,215,180,700/=kwa ajili ya kulipia mishahara kwa
wakufunzi na watumishi wa idara pamoja na vyuo vya maendeleo ya jamii na
nyongeza za mishahara ya mwaka.
210300: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES–(NON-DISCRETIONARY) - TSHS. 63,600,000/=
210301: Leave Travel Tshs.2,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za usafiri kwa watumishi kumi
wanapokwenda na kurudi kutoka likizo pamoja na familia zao. Mwaka 2011/12
jumla ya Tshs. 8,000,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.
2,000,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
210303: Extra Duty Tshs. 200,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipa posho kwa wakufunzi ambao
watalazimika kufanya kazi baada ya saa za kawaida ili wakamilishe kazi za uandaaji
wa mitihani, ufuatiliaji wa mafunzo nje ya vyuo, kusahihisha mitihani na upitiaji
wa matokeo na kazi muhimu za dharura. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.
18,000,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 200,000/= kinaombwa
kwa kazi hiyo.
210308: Acting Allowance Tshs. 2,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia posho ya kukaimu madaraka kwa
watumishi watakaokaimu nafasi mbalimbali. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.
7,500,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 2,000,000/= kinaombwa
kwa kazi hiyo.
210313: Outfit Allowance Tshs 300,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya gharama za mavazi kwa watumishi
watakaosafiri nje ya nchi. Katika mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs. 300,000/=
kinaombwa kwa ajili ya watumishi hao.
45
210314: Sitting Allowance Tshs. 13,500,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia vikao 16 vya Bodi katika vyuo nane
vya Maendeleo ya Jamii. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 30,000,000/= zilitengwa.
Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha shilingi 13,500,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
210319: Medical and Dental Refunds Tshs. 2,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kuwarudishia watumishi na wakufunzi
waliotibiwa kwa kutumia fedha zao binafsi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.
21,000,000/= zilitengwa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha shilingi 2,000,000/=
kinaombwa kwa kazi hiyo.
210321: Special Allowance Tshs. 16,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia stahili za Mkuu wa Idara na Wakurugenzi
Wasaidizi nne. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 20,000,000/= zilitengwa. Mwaka
2012/13, jumla ya Tshs. 16,000,000/= zinaombwa kwa kazi hiyo.
210322: Housing Allowance Tshs. 21,600,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za pango kwa ajili ya Mkuu wa
Idara na Wakurugenzi Wasaidizi wanne. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.
20,000,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha shilingi 21,600,000/=
kinaombwa kwa kazi hiyo.
210329: Moving Expenses Tshs. 6,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia posho za nauli na mizigo kwa wakufunzi
na watumishi watakaoajiriwa, watakaohamishwa na watakaostaafu. Mwaka
2011/12 jumla ya Tshs. 15,000,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.
6,000,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
220100: TOTAL OFFICE AND GENERAL SUPPLIES AND SERVICES - TSHS.128,100,000/=
220101: Office Consumables Tshs. 126,600,000
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia ununuzi wa vitendea kazi muhimu
vya ofisi. Vitendea kazi hivyo ni kama karatasi, wino wa printa, majalada, kalamu
na bahasha, uchapishaji vyeti vya vyoo, kuchapisha mitihani, kulipia “external
examiners” na kusafirisha mitihani ya mihula miwili na ile ya marudio. Mwaka
2011/12 jumla ya Tshs. 10,500,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.
126,600,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220102: Computers Supplies and Accessories Tshs. 1,500,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya kompyuta. Mwaka
2011/12 hakuna fedha iliyotengwa kwa matumizi hayo. Mwaka 2012/13, kiasi cha
Tshs. 1,500,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
46
220300: TOTAL FUEL, OILS AND LUBRICANTS - TSHS. 7,000,000/=
220302: Diesel Tshs. 7,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia mafuta ya dizeli kwa gari la Idara na vyuo
nane vya Maendeleo ya Jamii. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 26,100,000/=
zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 7,000,000/= kinaombwa kwa
madhumuni hayo.
220700: TOTAL RENTAL EXPENSES - TSHS. 2,500,000/=
220709: Conference Facilities Tshs. 2,500,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia ukodishaji wa vyumba vya mikutano
kwa ajili ya mikutano miwili ya Baraza la Wafanyakazi ikiwa ni siku mbili kila
mkutano. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 2,500,000/= kinaombwa kwa ajili
hiyo.
220800: TOTAL TRAINING – DOMESTIC - TSHS. 23,270,500/=
220801: Accommodation Tshs. 7,400,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya malazi kwa watumishi na wakufunzi wa vyuo
watakaokuwa mafunzoni. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 7,400,000/=
kinaombwa kwa ajili hiyo.
220802: Tuition Fees Tshs. 7,650,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia ada za mafunzo kwa watumishi na
wakufunzi watakaokuwa wanahudhuria mafunzo ya muda mfupi na muda mrefu.
Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 7,650,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.
220805: Production & Printing Training Materials Tshs. 50,000/=
Fedha hizi zinaombwa ili kuwezesha ununuaji wa vifaa vya uchapishaji kwa ajili ya
mtumishi atakayehudhuria mafunzo ndani ya nchi. Katika mwaka 2012/13, kiasi
cha Tshs. 50,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220807: Training Allowance Tshs. 2,870,500/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za mafunzo kwa wakufunzi
wanaofundisha kwa muda mfupi mafunzo kwa vitendo katika vyuo nane (8) vya
maendeleo ya jamii. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 8,000,000/= zilitengwa. Katika
mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 2,870,500/= kinaombwa kwa ajili hiyo.
220808: Training Materials Tshs. 300,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia vitabu kwa mtumishi mmoja
atakayekuwa kwenye mafunzo ya muda mrefu na muda mfupi. Katika mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs. 300,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.
220811: Research and Dissertation Tshs. 5,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za mafunzo ya uzamili kwa
wanachuo waliopo vyuoni ikiwemo kufanya utafiti na posho za kujikimu wawapo
47
katika mafunzo kwa vitendo. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 5,000,000/=
kinaombwa kwa madhumuni hayo.
221000: TOTAL TRAVEL-IN-COUNTRY - TSHS. 26,000,000/=
221002: Ground Travel (bus, railway tax, etc) Tshs.8,400,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia nauli kwa watumishi na wakufunzi wa
vyuo watakaosafiri nchini kikazi. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 59,760,000/=
zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 8,400,000/= kinaombwa kwa
ajili hiyo.
221005: Per Diem-Domestic Tshs. 17,600,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya posho kwa ajili watumishi na wakufunzi
watakaosafiri kikazi ndani ya nchi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 198,640,000/=
zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 17,600,000/= kinaombwa kwa
ajili hiyo.
221100: TOTAL TRAVEL OUT OF COUNTRY - TSHS. 3,336,531/=
221101: Air Travel Tickets Tshs. 2,076,531/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia nauli ya usafiri wa anga kwa watumishi
watakaosafiri nje ya nchi kikazi. Katika mwaka huu wa fedha 2012/13, kiasi cha
Tshs. 2,076,531/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
221105: Per Diem-Foreign Tshs. 1,200,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipa gharama za posho kwa watumishi
watakaokwenda nje ya Nchi kikazi. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.
1,200,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo
221106: Visa Application Tshs. 60,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia kuomba hati ya ya kusafiria kwa
watumishi watakaosafiri nje ya nchi kikazi. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.
60,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo
221200: TOTAL COMMUNICATIONS AND INFORMATION - TSHS. 12,240,000/=
221205: Advertizing and Publication Tshs. 12,240,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia matangazo kuhusu masuala ya vyuo
vya Maendeleo ya Jamii. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 9,000,000/= zilitengwa.
Katika mwaka 2012/13 kiasi cha Tshs. 12,240,000/= kinaombwa.
221400: TOTAL HOSPITALITY SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 19,250,000/=
221404: Food and Refreshments Tshs. 19,250,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia viburudisho kwenye vikao vya
kikazi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 12,000,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13,
kiasi cha Tshs. 19,250,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
48
229900: TOTAL OTHER OPERATING EXPENSES - TSHS. 7,000,000/=
229920: Burial Services Tshs. 3,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia huduma za mazishi kwa watumishi
na wakufunzi. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 3,000,000/= kinaombwa kwa ajili
ya kazi hiyo.
229922: Consultancy Fees Tshs. 4,000,000
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya gharama za mtaalam mwelekezi. Mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs. 4,000,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
230200: TOTAL ROUTINE MAINTENANCE AND REPAIR OF BUILDINGS - TSHS. 8,000,000/=
230210: Outsource Maintainance Contract Services Tshs. 8,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia matengenezo madogo madogo ya
miundombinu vyuoni. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 9,000,000/= zilitengwa.
Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 8,000,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi
hiyo.
270300: CURRENT GRANT TO NON FINANCIAL PUBLIC UNITS - (ACADEMIC INSTITUTIONS)
- TSHS. 1,581,750,000/=
270384: Community Development Colleges Tshs. 1,581,750,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia maboresho ya vyuo vinane (8) vya
maendeleo ya jamii kutokana na mipango ya vyuo vyenyewe. Kazi hizo ni kama
vile ukarabati wa majengo, kusomesha wakufunzi, vikao vya bodi za uendeleshaji,
vitendea kazi kama vile vitabu, kompyuta, photocopiers, karatasi, kuhudhuria
vikao vya bodi ya mitihani na kusimamia wanafunzi wawapo kwenye mafunzo kwa
vitendo nje ya vyuo. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 1,581,750,000/=
kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
410500: TOTAL ACQUISITION OF HOUSEHOLD & INSTITUTIONAL EQUIPMENT
- TSHS. 6,169,769/=
410502: Furniture and Fittings Tshs. 6,169,769/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia samani kwa ajili ya watumishi tano
wa Idara wanaostahili. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 7,500,000/= zilitengwa.
Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 6,169,769/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
410600: TOTAL ACQUISITION OF OFFICE AND GENERAL EQUIPMENTS - TSHS. 5,000,000/=
410601: Computers and Photocopiers Tshs. 5,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia laptop moja na kinakilishi kimoja.
Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 5,000,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
JUMLA YA KIFUNGU 2002: TSHS. 3,108,397,500/= KATI YA HIZO MISHAHARA NI
TSHS.1,215,180,700/= NA MATUMIZI MENGINEYO NI TSHS. 1,893,216,800/=.
49
KIFUNGU 2003: CDTI –TENGERU 210100: TOTAL BASIC SALARIES – PENSIONABLE POSTS - TSHS. 1,113,771,000/=
210101: Civil Servants Tshs. 1,113,771,000/=
Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 845,676,000 zilitengwa. Katika mwaka 2012/13,
chuo kinaomba jumla ya Tshs. 1,113,771,000/= /= kwa ajili ya kulipia mishahara
wakufunzi na watumishi na nyongeza za mishahara ya mwaka.
210300: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES–(NON-DISCRETIONARY) - TSHS. 5,660,000/=
210301: Leave Travel Tshs. 450,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za usafiri kwa watumishi
wanapokwenda na kurudi kutoka likizo pamoja na familia zao. Mwaka 2012/13,
kiasi cha Tshs. 450,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
210303: Extra Duty Tshs. 10,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipa posho kwa wakufunzi ambao
watalazimika kufanya kazi baada ya saa za kawaida ili wakamilishe kazi za uandaaji
wa mitihani, ufuatiliaji wa mafunzo nje ya vyuo, kusahihisha mitihani na upitiaji
wa matokeo na kazi muhimu za dharura. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.
10,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
210312: Responsibility Allowances Tshs. 200,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia posho wakufunzi na watumishi kwa kazi
maalum. Mwaka 2011/12 jumla ya Tsh. 2,400,000/= zilitengwa. Kwa mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs. 200,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
210314: Sitting Allowance Tshs 4,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia vikao vya Bodi ya chuo. Mwaka
2011/12 jumla ya Tshs. 5,200,000/= zilitengwa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha
Tshs. 4,000,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
210319: Medical and Dental Refunds Tshs. 1,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kuwarudishia watumishi na wakufunzi
waliotibiwa kwa kutumia fedha zao binafsi. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha shilingi
1,000,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
220100: TOTAL OFFICE AND GENERAL SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 270,000/=
220102: Computers Supplies and Accessories Tshs. 250,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya kompyuta. Mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs. 250,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220105: Books, References and periodicals Tshs. 20,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia vitabu na vifaa vya ofisi. Katika
mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 20,000 kinaombwa kwa kazi hiyo.
50
220200: TOTAL UTILITIES SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 4,900,000/=
220201: Electricity Tshs. 4,800,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za umeme katika Chuo. Mwaka
2011/12 jumla ya Tshs. 6,000,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.
4,800,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220202: Water Charges Tshs. 100,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia bili za maji katika Chuo cha Maendeleo
ya Jamii Tengeru. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 100,000/= kinaombwa kwa
madhumuni hayo.
220800: TOTAL TRAINING - DOMESTIC - TSHS. 15,000,000/=
280801: Accommodation Tshs. 2,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya malazi kwa watumishi na wakufunzi wa vyuo
watakaokuwa mafunzoni. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 2,000,000/=
kinaombwa kwa ajili hiyo.
220802: Tuition Fees Tshs. 9,500,000
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia ada za mafunzo kwa watumishi na
wakufunzi watakaokuwa wanahudhuria mafunzo ya muda mfupi na muda mrefu
ndani ya nchi. Kwa mwaka 2011/12 Tshs. 30,600,000/= zilitengwa. Katika mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs. 9,500,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220808: Training Materials Tshs. 1,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia vitabu kwa mtumishi mmoja
atakayekuwa kwenye mafunzo ya muda mrefu na muda mfupi. Katika mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs. 1,000,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.
220811: Research and Disetation Tshs. 2,500,000/=
Fedha hizi zinaombwa ili kuwezesha ununuaji wa vifaa vya uchapishaji kwa ajili ya
mtumishi atakayehudhuria mafunzo ndani ya nchi. Katika mwaka 2012/13, kiasi
cha Tshs. 2,500,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
221000: TOTAL TRAVEL – IN – COUNTRY - TSHS. 1,600,000/=
221005: Per Diem-Domestic Tshs. 1,600,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya posho kwa watumishi na wakufunzi
watakaosafiri kikazi ndani ya nchi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 2,160,000/=
zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 1,600,000/= kinaombwa kwa
ajili hiyo.
221200: TOTAL COMMUNICATIONS AND INFORMATION - TSHS. 500,000/=
221215: Subscription Fees Tshs. 500,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia ada za Vyuo vya Elimu ya Juu katika
Baraza la NACTE. Katika mwaka 2012/20123 kiasi cha Tshs. 500,000/= kinaombwa.
51
221300: TOTAL EDUCATIONAL MATERIAL SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 17,422,914/=
221303: Classroom Teaching Supplies Tshs. 500,000/=
Fedha hizi ni kwa ajili ya kununulia vifaa vya kujifunzia na kufundishia katika Chuo
cha Maendeleo ya jamii Tengeru. Katika mwaka 2012/13 kiasi cha Tshs. 500,000/=
kinaombwa.
221304: Library Books Tshs. 45,000/=
Fedha hizi ni kwa ajili ya kununulia vifaa vitabu katika Chuo cha Maendeleo ya
Jamii Tengeru. Katika mwaka 2012/13 kiasi cha Tshs. 45,000/= kinaombwa.
221311: Examination Expenses Tshs. 16,877,914/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia mitihani chuoni. Mwaka 2011/12
jumla ya Tshs. 89,600,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.
16,877,914/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
221400: TOTAL HOSPITALITY SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 150,000/=
221404: Food and Refreshments Tshs. 150,000/=
Fedha hizi ni kwa ajili ya kugharamia chai na vinywaji baridi wakati wa vikao na
mikutano ya kikazi. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 150,000/= kinaombwa kwa
ajili ya kazi hiyo.
229900: TOTAL OTHER OPERATING EXPENSES - TSHS. 1,000,000/=
229920: Burial Services Tshs. 1,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia huduma za mazishi kwa watumishi
na wakufunzi. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 1,000,000/= kinaombwa kwa ajili
ya kazi hiyo.
410600: TOTAL ACQUISITION OF OFFICE AND GENERAL EQUIPMENTS - TSHS. 2,820,086/=
410601: Computers and Photocopiers Tshs. 1,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia laptop moja na kinakilishi kimoja.
Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 1,000,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
410602: Printer and Scanner Tshs. 500,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia printa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha
Tshs. 500,000/= kinaombwakwa kazi hiyo.
410608: Server Tshs. 1,320,086/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununulia Server moja kwa ajili ya matumizi ya
kompyuta. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 1,320,086/= kinaombwa kwa kazi
hiyo.
52
410700: TOTAL FEASIBILITY STUDIES, PROJECT PREPARATION AND DESIGN -
TSHS. 260,000/=
410705: Reports, documents, etc Tshs. 260,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kutengeneza na kukamilisha taarifa za miradi ya
chuo na usambazaji wake. Kwa mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs. 1,040,000/=
kilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 260,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi
hiyo.
JUMLA YA KIFUNGU 2003: CDTI-TENGERU – TSHS. 1,163,354,000/=KATI YA HIZO
MISHAHARA NI TSHS. 1,113,771,000/,= NA MATUMIZI MENGINEYO NI TSHS.
49,583,000/=.
KIFUNGU 3001: MAENDELEO YA JINSIA
210100: TOTAL BASIC SALARIES – PENSIONABLE POSTS - TSHS. 208,790,200/=
210101: Civil Servants Tshs. 208,790,200/=
Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.162,439,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, Idara
inaomba jumla ya Tshs. 208,790,200/= kwa ajili ya kulipia mishahara kwa
watumishi 14 wa idara pamoja na nyongeza za mishahara ya mwaka.
210300: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES–(NON-DISCRETIONARY) - TSHS. 1,200,000/=
210301: Leave Travel Tshs. 1,200,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za usafiri kwa watumishi 7
wanapokwenda na kurudi kutoka likizo pamoja na familia zao. Mwaka 2011/12,
jumla ya Tshs. 7,200,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.
1,200,000/= kinaombwa kwa ajili kazi hiyo.
210500: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES-IN-KIND - TSHS.35,730,000/=
210501: Electricity Tshs. 7,650,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za umeme kwa Mkuu wa Idara
na Wakurugenzi Wasaidizi wawili. Katika mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs.
7,200,000/= kilitengwa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 7,650,000/=
kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
210502: Housing Allowance Tshs. 21,600,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia pango la nyumba kwa Mkuu wa Idara na
Wakurugenzi Wasaidizi wawili wanaostahili. Katika mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs.
21,600,000/=. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 21,600,000/= kinaombwa kwa
ajili ya kazi hiyo.
210504: Telephone Tshs. 6,480,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za simu kwa ajili ya Mkuu wa
Idara na Wakurugenzi Wasaidizi wawili. Katika mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs.
53
4,560,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs. 6,480,000/=
kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
220100: TOTAL OFFICE AND GENERAL SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 7,258,800/=
220101: Office Consumables Tshs.2,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia ununuzi wa vitendea kazi muhimu
vya ofisi. Vitendea kazi hivyo ni kama karatasi, wino wa printa, majalada, kalamu
na bahasha. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 4,913,000/= zilitengwa. Mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs. 2,000,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220102: Computer Supplies and Accessories Tshs. 2,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ununuzi wa Kompyuta na vifaa vya kompyuta.
Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 2,000,000/= kinaombwa kwa madhumuni
hayo.
220108: Newspapers and Magazines Tshs. 600,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununua magazeti na majarida ya Idara. Mwaka
2011/12, kiasi cha Tshs. 960,000/= kilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.
600,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220109: Printing and Photocopying Costs Tshs. 2,658,800/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia uchapaji na unakilishi. Mwaka
2011/12 jumla ya Tshs. 150,000/= zilitengwa. Mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs.
2,658,800/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220300: TOTAL FUEL, OILS AND LUBRICANTS - TSHS. 9,750,000/=
220302: Diesel Tshs. 9,750,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia mafuta ya dizeli kwa magari mawili ya
idara. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 8,800,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13,
kiasi cha Tshs. 9,750,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
221000: TOTAL TRAVEL-IN-COUNTRY - TSHS. 2,660,000/=
221002: Ground Travel (bus, railway tax, etc) Tshs. 100,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia nauli kwa watumishi watakaosafiri nchini
kikazi. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 3,160,000/= zilitengwa. Katika mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs. 100,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.
221005: Per Diem-Domestic Tshs. 2,560,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia posho za watumishi watakaosafiri kikazi
ndani ya nchi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 17,120,000/= zilitengwa. Katika
mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 2,560,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
54
221400: TOTAL HOSPITALITY SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 2,900,000/=
221404: Food and Refreshments Tshs. 2,900,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia viburudisho wakati wa vikao na
mikutano ya kikazi. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 9,760,000/= zilitengwa.
Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 2,900,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
230400: TOTAL ROUTINE MAINTENANCE AND REPAIR OF VEHICLES AND
TRANSPORTATION EQUIPMENTS - TSHS. 2,400,000/=
230408: Outsource Maintainance Contract Services Tshs. 2,400,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia matengenezo ya gari ya Idara. Mwaka
2011/12, jumla ya Tshs. 6,000,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha
Tshs. 2,400,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
230700: TOTAL ROUTINE MAINTENANCE AND REPAIR OF OFFICE EQUIPMENTS AND
APPLIANCES -TSHS. 500,000/=
230706: Outsource Maintainace Contract Services Tshs. 500,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia matengenezo ya gari ya Idara. Katika
mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 500,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
JUMLA YA KIFUNGU 3001 : TSHS.271,189,000/=KATI YA HIZO MISHAHARA NI
TSHS. 208,790,200/= NA MATUMIZI MENGINEYO NI TSHS. 62,398,800/=.
KIFUNGU 3002: MAENDELEO YA WATOTO
210100: TOTAL BASIC SALARIES – PENSIONABLE POSTS - TSHS. 144,168,000/=
210101: Civil Servants Tshs. 144,168,000/=
Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 140,374,000 /=zilitengwa. Katika mwaka wa
2011/12, Idara inaomba jumla ya Tshs. 144,168,000/= kwa ajili ya kulipia
mishahara kwa watumishi wa Idara na nyongeza za mishahara ya mwaka.
210300: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES – (NON –DISCRETIONARY) - TSHS. 2,400,000/=
210301: Leave Travel Tshs. 500,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia malipo ya likizo kwa watumishi wa
idara. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 2,000,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13,
kiasi cha Tshs. 500,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
210308: Acting Allowance Tshs. 600,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia posho ya kukaimu kwa watumishi
watakaokaimu nafasi mbalimbali. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 1,800,000/=
zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 600,000/= kinaombwa kwa
madhumuni hayo.
55
210314: Sitting Allowance Tshs. 500,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kuwalipa posho watumishi wawili wa idara
watakaoshiriki maonesho. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 3,000,000/= zilitengwa.
Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 500,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.
210315: Subsistance Allowance Tshs. 400,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipa posho za kujikimu kwa watumishi wapya
wa Idara. Katika mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs. 600,000/= kilitengwa. Katika
mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 400,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.
210319: Medical and Dental Refunds Tshs. 400,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kuwawezesha watumishi pale wanapokosa
dawa zilizoidhinishwa na Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa. Mwaka 2011/12 jumla
ya Tshs. 600,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 400,000/=
kinaombwa kwa ajili hiyo.
210500: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES-IN-KIND - TSHS. 38,160,000/=
210501: Electricity Tshs. 8,400,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipa gharama za umeme kwa Mkuu wa Idara
na Wakurugenzi Wasaidizi wawili ambao wanaostahili. Mwaka 2011/12, kiasi cha
Tshs. 7,380,000/= kilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 8,400,000/=
kinaombwa kwa ajili hiyo.
210502: Housing Allowance Tshs. 21,600,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia pango la nyumba kwa Mkuu wa Idara na
Wakurugenzi Wasaidizi wawili ambao wanaostahili. Mwaka 2011/12 jumla ya
Tshs. 21,600,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.
21,600,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
210503: Food and Refreshment Tshs. 960,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za viburudisho kwenye vikao
vya kazi. Katika mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs. 7,800,000/= kilitengwa. Katika
mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 960,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
210504: Telephone Tshs. 7,200,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za simu kwa ajili ya stahili za
Mkuu wa Idara na Wakurugenzi Wasaidizi wawili ambao wanaostahili. Katika
mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs. 6,480,000/=kilitengwa. Katika mwaka 2012/13,
kiasi cha Tshs. 7,200,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
220100: TOTAL OFFICE AND GENERAL SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 950,000/=
220101: Office Consumables Tshs. 350,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia ununuzi wa vitendea kazi muhimu
vya ofisi. Vitendea kazi vilivyoainishwa ni kama karatasi, wino wa printa, majalada,
56
kalamu na bahasha. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 2,500,000/= zilitengwa.
Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 350,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220108: Newspapers and Magazine Tshs. 600,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununua magazeti na majarida kwa ajili ya ofisi.
Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 1,440,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha
Tshs. 600,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220300: TOTAL FUEL, OILS AND LUBRICANTS - TSHS. 8,000,000/=
220302: Diesel Tshs. 8,000,000/=
Fedha hizi ni kwa ajili ya kulipia mafuta ya dizeli kwa ajili ya gari la Idara. Mwaka
2011/12 jumla ya Tshs. 10,600,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.
8,000,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
221000: TOTAL TRAVEL-IN-COUNTRY - TSHS. 4,000,000/=
221002: Ground Travel (bus, railway tax, etc) Tshs 800,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia nauli kwa watumishi wa Idara
watakaosafiri nchini kikazi. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 4,850,000/=
zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 800,000/= kinaombwa kwa
madhumuni hayo.
221005: Per Diem-Domestic Tshs. 3,200,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya posho kwa watumishi watakaosafiri kikazi ndani
ya nchi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 11,280,000/= zilitengwa. Katika mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs. 3,200,000/= kinaombwa kwa ajili hiyo.
221400: TOTAL HOSPITALITY SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 900,000/=
221405: Entertainment Tshs. 600,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kuwakirimu wageni wanaotoka nje na ndani ya
nchi na kutembelea wakuu wa Idara kwa ajili ya shughuli mbalimbali za kiofisi.
Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 3,400,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13,
kiasi cha Tshs. 600,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
221406: Gifts and Prizes Tshs. 300,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kutoa tuzo kwa watumishi bora wa idara kwa
mwaka ikiwa ni motisha kwa ajili ya kuinua kiwango cha utendaji kazi. Mwaka
2011/12 jumla ya Tshs. 600,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha
Tshs. 300,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
229900: TOTAL OTHER OPERATING EXPENSES - TSHS. 1,331,000/=
229920: Burial Services Tshs. 1,331,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia huduma za mazishi kwa watumishi
wa Idara. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 1,094,000/= zilitengwa. Mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs. 1,331,000/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
57
230400: TOTAL ROUTINE MAINTENANCE AND REPAIR OF VEHICLES AND
TRANSPORTATION EQUIPMENTS - TSHS. 2,080,000/=
230401: Motor vehicles and water craft Tshs. 500,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za matengenezo ya gari la
Idara. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 1,000,000/= zilitengwa. Katika mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs. 500,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
230403: Tyres and Batteries Tshs. 1,200,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ununuzi wa matairi ya gari la Idara. Kwa mwaka
2011/12, kiasi cha Tshs. 600,000/= kilitengwa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.
1,200,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
230405: Oil and Grease Tshs. 180,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ununuzi wa mafuta ya gari la Idara. Kwa mwaka
2011/12, kiasi cha Tshs. 216,000/= kilitengwa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.
180,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
230409: Spare Parts Tshs. 200,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ununuzi wa vipuri vya gari la Idara. Mwaka
2011/12 jumla ya Tshs. 1,400,000/= zilitengwa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha
Tshs. 200,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
JUMLA YA KIFUNGU 3002: TSHS. 201,989,000/= KATI YA HIZO MISHAHARA NI
TSHS. 144,168,000/= NA MATUMIZI MENGINEYO NI TSHS. 57,821,000/=.
KIFUNGU 4001: URATIBU WA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI
210100: TOTAL BASIC SALARIES – PENSIONABLE POSTS - TSHS. 121,686,700/=
210101: Civil Servants Tshs. 121,686,700/=
Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 115,117,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13,
Idara inaomba jumla ya Tshs. 121,686,700/= kwa ajili ya kulipia mishahara kwa
watumishi wa Idara na nyongeza za mishahara ya mwaka.
210300: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES–(NON–DISCRETIONARY)-TSHS. 22,500,000/=
210301: Leave Travel Tshs 900,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia malipo ya likizo kwa watumishi
wawili wa Idara. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 2,000,000/= zilitengwa. Mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs. 900,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
210322: Housing Allowance Tshs. 21,600,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia nyumba kwa Mkuu wa Idara na
wakurugenzi wasaidizi wawili. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 21,600,000/=
58
zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 21,600,000/= kinaombwa kwa
ajili hiyo.
210500: TOTAL PERSONNEL ALLOWANCES-IN-KIND - TSHS. 10,800,000/=
210501: Electricity Tshs.5,400,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipa gharama za umeme kwa Mkuu wa Idara
na wakurugenzi wasaidizi wawili. Katika mwaka 2011/12, jumla ya Tshs.
7,380,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 5,400,000/=
kinaombwa kwa ajili hiyo.
210504: Telephone Tshs. 5,400,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za simu kwa ajili ya Mkuu wa
Idara na wakurugenzi wasaidizi wawili. Katika mwaka 2011/12, jumla ya Tshs.
6,480,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 5,400,000/=
kinaombwa kwa ajili hiyo.
220100: TOTAL OFFICE AND GENERAL SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 8,620,000/=
220101: Office Consumables Tshs. 7,620,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ununuzi wa vitendea kazi muhimu vya ofisi.
Vitendea kazi hivyo ni kama karatasi, wino wa printa, majalada, kalamu na
bahasha. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 15,020,000/= zilitengwa. Mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs. 7,620,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220108: Newspapers and Magazines Tshs. 600,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kununua magazeti na majarida ya Idara. Mwaka
2011/12, jumla ya Tshs. 5,400,000 /= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.
600,000 kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220111: Software Licence Tshs. 400,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipa gharama za programu za kompyuta. Kwa
mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 280,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha
Tshs. 400,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220300: TOTAL FUEL, OILS AND LUBRICANTS - TSHS. 8,750,000/=
220302: Diesel Tshs. 8,750,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia mafuta ya dizeli kwa gari la Idara.
Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 8,640,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi
cha Tshs. 8,750,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
220700: TOTAL RENTAL EXPENSES - TSHS. 1,200,000/=
220709: Conference Facilities Tshs. 1,200,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia ukodishaji wa vyumba vya mikutano
kwa ajili ya mikutano ya Bodi na mikutano ya kikazi. Mwaka 2011/12, jumla ya
Tshs. 4,000,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 1,200,000/=
kinaombwa kwa madhumuni hayo.
59
221000: TOTAL TRAVEL-IN-COUNTRY - TSHS. 9,440,000/=
221002: Ground Travel (bus, railway tax, etc) Tshs. 1,440,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia nauli kwa wajumbe wa Bodi
watakaohudhuria vikao vya Bodi na watumishi wa Idara watakaosafiri nchini kikazi
na kufanya ufuatiliaji wa kazi za Mashirika yasiyo ya Kiserikali. Mwaka 2011/12,
jumla ya Tshs. 27,000,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.
1,440,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
221005: Per Diem-Domestic Tshs. 8,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya posho kwa watumishi watakaosafiri kikazi ndani
ya nchi na wajumbe watakaohudhuria vikao vya Bodi. Mwaka 2011/12, jumla ya
Tshs. 41,600,000/= zilitengwa. Katika mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 8,000,000/=
kinaombwa kwa ajili hiyo.
221400: TOTAL HOSPITALITY SUPPLIES AND SERVICES - TSHS. 5,400,000/=
221404: Food and Refreshments Tshs. 5,400,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kugharamia viburudisho wakati wa vikao vya
Bodi na mikutano ya kikazi. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 15,300,000/=
zilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 5,400,000/= kinaombwa kwa ajili ya
kazi hiyo.
221600: TOTAL PRINTING, ADVERTISING AND INFORMATION SUPPLIES AND SERVICES-
TSHS. 1,037,800/=
221601: Printing materials Tshs. 1,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za kutoa vinakishi vya vyeti kwa
ajili ya Mashirika Yasiyo ya Kiserikali. Kwa mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs.
800,000/= kilitengwa. Mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.1,000,000/=kinaombwa
kwa ajili ya kazi hiyo.
221602: Printing Equipment Tshs. 37,800/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za vifaa vya vinakishi. Kwa
mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 37,800/= kinaombwa kwa ajili ya kazi hiyo.
230400: TOTAL ROUTINE MAINTENANCE AND REPAIR OF VEHICLES AND
TRANSPORTATION EQUIPMENTS - TSHS. 4,800,000/=
230401: Motor vehicles and water craft Tshs. 4,800,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kulipia gharama za matengenezo ya gari la
Idara. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 6,000,000/= zilitengwa. Mwaka 2012/13,
kiasi cha Tshs. 4,800,000/= kinaombwa kwa madhumuni hayo.
60
230700: TOTAL ROUTINE MAINTENANCE AND REPAIR OF OFFICE EQUIPMENTS AND
APPLIANCES - TSHS. 750,000/=
230701: Computers, Printers, Scanners Tshs. 750,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya matengenezo ya kompyuta na mashine za
uchapishaji. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 5,401,010/= zilitengwa. Kwa mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs.750,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
JUMLA YA KIFUNGU 4001: Tshs. 194,984,500/=KATI YA HIZO MISHAHARA NI
Tshs. 121,686,700/= NA MATUMIZI MENGINEYO NI TSHS. 73,292,800/=.
FUNGU 53: JUMLA YA FEDHA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA NI
Tshs.12,155,650,000/= KATI YA HIZO Tshs. 3,385,525,000/= NI MATUMIZI
MENGINEYO (OC) NA Tshs. 8,770,125,000/= NI MISHAHARA (PE).
61
MAELEZO YA MAKADIRIO YA BAJETI YA MIRADI YA MAENDELEO KWA
MWAKA 2012/13
KIFUNGU 1001: UTAWALA NA USIMAMIZI WA RASILIMALI WATU PT 6327: CONSTRUCTION AND REHABILITATION OF BUILDINGS - TSHS. 942,637,842/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa ofisi za makao makuu ya
Wizara. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 40,000,000/= zilitengwa. Kwa mwaka
2012/13, kiasi cha Tshs. 942,637,842/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
JUMLA YA KIFUNGU: 1001 - TSHS. 942,637,842/=
KIFUNGU 1003: SERA NA MIPANGO PT 6290: PROGRAMMING AND DATA PROCESSING PROJECT - TSHS. 76,433,553/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kusimamia na kufuatilia shughuli za Wizara
katika vyuo vya maendeleo ya wananchi na vyuo vya maendeleo ya jamii. Mwaka
2011/12 jumla ya Tshs. 70,500,000/= zilitengwa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha
Tshs. 76,433,553/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
JUMLA YA KIFUNGU: 1003 - TSHS. 76,433,553/=
KIFUNGU 2001: VYUO VYA MAENDELEO YA WANANCHI PT 6329: REHABILITATION OF FOLK DEVELOPMENT COLLEGES (FDCS) - TSHS.
598,038,605/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ukarabati wa majengo na miundombinu katika
vyuo vya maendeleo ya wananchi. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs. 393,167,000/=
zilitengwa kwa ajili ya ukarabati wa vyuo vya maendeleo ya wananchi. Katika
mwaka 2012/ 13, kiasi cha shilingi 598,038,605/= kimetengwa ili kufanya ukarabati
katika Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Sofi.
JUMLA YA KIFUNGU: 2001 - TSHS. 598,038,605/=
KIFUNGU 2002: MAENDELEO YA JAMII PT 6330: REHABILITATION OF COMMUNITY DEVELOPMENT TRAINING INSTITUTIONS -
TSHS. 282,890,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya ujenzi na ukarabati wa majengo na
miundombinu katika vyuo vya maendeleo ya jamii. Mwaka 2011/12 jumla ya Tshs.
50,000,000/= zilitengwa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 282,890,000/=
kinaombwa kwa kazi hiyo.
JUMLA YA KIFUNGU: 2002 - TSHS. 282,890,000/=
62
KIFUNGU 3001: MAENDELEO YA JINSIA PT 4943: WOMEN'S ECONOMIC EMPOWERMENT PROJECT - TSHS. 1,100,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kuimarisha huduma za Benki ya Wanawake
Tanzania. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 2,000,000,000/= zilitengwa. Kwa
mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs. 1,100,000,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo.
PG 6550: UNDP SUPPORT PROJECT-TSHS. 300,000,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kutokomeza Ukatili wa Kijinsia na kujenga
uwezo wa utekelezaji wa masuala ya kijinsia. Mradi huu utawezesha utekelezaji
wa masuala ya kijinsia. Mwaka 2011/12, jumla ya Tshs. 801,188,500/= zilitengwa
kupitia kifungu 1003: Sera na Mipango. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs.
300,000,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo zikiwa ni fedha za nje.
JUMLA YA KIFUNGU: 3001 - TSHS. 1,400,000,000/=
KIFUNGU 3002: MAENDELEO YA WATOTO PG 5414: YOUNG CHILD SURVIVAL AND DEVELOPMENT PROGRAMME - TSHS.
61,391,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kuandaa sera ya malezi, makuzi na maendeleo
ya awali ya mtoto pamoja na kuandaa mkakati wa kuitekeleza sera hiyo. Mwaka
2011/12, jumla ya Tshs. 29,985,000/= zilitengwa. Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha
Tshs. 61,391,000/= kinaombwa kwa ajili ya utekelezaji wa kazi hiyo zikiwa ni fedha
za nje.
PG 5415: CHILD PROTECTION AND PARTICIPATION PROGRAMME - TSHS. 99,950,000/=
Fedha hizi zinaombwa kwa ajili ya kuandaa na kutekeleza mpango kazi wa Sheria
ya Mtoto ya Mwaka 2009 ambapo masuala kuhusu ulinzi na ushirikishwaji wa
mtoto yatatekelezwa. Kwa mwaka 2011/12, kiasi cha Tshs. 7,496,250/= kilitengwa.
Kwa mwaka 2012/13, kiasi cha Tshs 99,950,000/= kinaombwa kwa kazi hiyo zikiwa
ni fedha za nje.
JUMLA YA KIFUNGU: 3002 - TSHS. 99,950,000/=
JUMLA YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO TSHS. 3,461,341,000/= KATI YA HIZO
TSHS.3,000,000,000/= NI FEDHA ZA NDANI, NA TSHS. 461,341,000/= NI FEDHA ZA NJE.
JUMLA YA FUNGU 53: NI 15,616,991,000/= KATI YA HIZO MATUMIZI MENGINEYO
(OC) NI TSHS. 3,385,525,000/=, MISHAHARA (PE) NI TSHS. 8,770,125,000/= NA
FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO NI TSHS. 3,461,341,000/= KATI YA HIZO
TSHS.3,000,000,000/= NI FEDHA ZA NDANI NA TSHS. 461,341,000/= NI FEDHA ZA
NJE.
63
SURA YA SABA
MUHTASARI WA MAKADIRIO YA MATUMIZI YA KAWAIDA NA MIRADI YA MAENDELEO KWA MWAKA 2012-13
7.1 MUHTASARI WA MATUMIZI YA KAWAIDA
KIFUNGU 1001: UTAWALA NA USIMAMIZI WA RASILIMALI WATU
I: FEDHA ZA MISHAHARA
MADHUMUNI YA MIAKA
MITATU NA LENGO
AINA YA LENGO
MKUKUTA/SIO
MKUKUTA
SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA MWAKA
WA FEDHA 2012/2013 GHARAMA
Kuwezesha watumishi
kuendelea kufanya kazi
zao kulingana na
mikataba yao
- Watumishi 93 kulipwa mishahara
yao ifikapo Juni, 2016
MKUKUTA Kulipa mishahara ya watumishi 88 604,104,300
JUMLA YA FEDHA ZA MSHAHARA 604,104,300
II: MATUMIZI MENGINEYO
Kuboresha huduma na
kupunguza Maambukizi
ya Virusi vya UKIMWI na
UKIMWI.
A01S Mpango wa Kuthibiti Maambukizi
ya Ukimwi mahala pa kazi
kutekelezwa ifikapo Juni, 2016
MKUKUTA Kuwapa viini lishe na misaada mingine
watumishi 10 walioathirika na Virusi vya
UKIMWI/UKIMWI
4,400,000
Kuimarisha utekelezaji wa
Mkakati wa Kitaifa wa
mapambano dhidi ya
rushwa na kupunguza
matukio ya rushwa.
BO1S Kikao cha kuzungumzia masuala
ya rushwa na maadili
kuwezeshwa kila robo ya mwaka
ifikapo Juni, 2016
MKUKUTA Kuwezesha vikao vya kuzungumzia
masuala ya rushwa na maadili kila robo
ya mwaka
1,020,000
64
Kuboresha usimamizi wa
rasilimali na uwajibikaji
C01S Maafisa wa Wizara kuwezeshwa
kushiriki kwenye vikao vya Bunge,
mikutano ya kitaifa ifikapo Juni,
2016
MKUKUTA Kushiriki katika Vikao vya Bunge 49,565,000
MKUKUTA Kuratibu utekelezaji wa Sera za Wizara,
Miongozo na maelekezo ya wizara
katika mikoa mitano na vyuo kumi
3,620,000
MKUKUTA Kuwezesha kufanyika kwa vikao vya
Menejimenti 48
600,000
MKUKUTA Kuwezesha kufanyika kwa vikao vya
TUGHE, mikutano ya wafanyakazi na
Viongozi, pamoja na sherehe za Mei
Mosi
1,400,000
MKUKUTA Kushiriki katika Mikutano ya Ushirikiano
kati ya Wizara na Wizara ya Ustawi wa
Jamii, Maendeleo ya Vijana, Wanawake
na Watoto - Zanzibar
0
MKUKUTA Kuwezesha kufanyika kwa mikutano
miwili ya Baraza la Wafanyakazi la
Wizara
2,100,000
C02C Utoaji wa Huduma kwa Umma
kwa kushirikisha Sekta Binafsi
kuwezeshwa kufikia Juni, 2016
MKUKUTA Kuwezesha upatikanaji wa huduma ya
Ulinzi, Makao Makuu ya Wizara, Chuo
cha Maendeleo ya Wananchi Arnautoglu
na nyumba za Dodoma, pamoja na
kuwezesha Kampuni ya usafi wa ofisi na
mazingira kutoa huduma katika ofisi za
Makao Makuu na Dodoma
72,000,000
65
C03S Utendaji kazi na utoaji wa
huduma kuboreshwa ifikapo Juni,
2016
SIO MKUKUTA Kuwezesha utoaji wa huduma kwa
watumishi
14,400,000
SIO MKUKUTA Kukidhi matumizi ya ofisi na
matengenezo ya jumla
98,278,254
SIO MKUKUTA Kutoa motisha na stahili kwa watumishi
wa Idara
131,390,000
SIO MKUKUTA Kufanya matengenezo ya vifaa vya
kompyuta, Fax, Viyoyozi mashine za
'Photocopy' pamoja na ununuzi wa
shajala
11,350,000
C04C Mfumo sahihi wa mishahara ya
watumishi na kukagua na
kuboreshwa Juni, 2016
SIO MKUKUTA Kuandaa bajeti ya mishahara ya
Watumishi wa Wizara na kukagua
malipo ya mishahara
5,000,000
C05S
Watumishi sita walioajiriwa
kuwezeshwa. Vikao vinne kwa
ajili ya Kuthibitisha, kupandisha
cheo watumishi katika nafasi zao
za kazi kuwezeshwa ifikapo Juni,
2016
MKUKUTA Kulipia gharama za kuajiri na
kugharamia watumishi wapya 5 kwenda
kwenye vituo vyao vya kazi.
3,989,446
MKUKUTA Kugharamia vikao vinne vya Kamati ya
Ajirakwa ajili ya upandishwaji vyeo.
2,465,000
C06C Mpango wa kuboresha Rasilimali
Watu kutekelezwa ifikapo Juni,
2016
MKUKUTA Watumishi 6 kuwezeshwa kufanya
mitihani ya Maafisa Tawala na Maafisa
Rasilimali Watu
1,000,000
66
Mpango wa kuboresha Rasilimali
Watu kutekelezwa ifikapo Juni,
2016
MKUKUTA Kutekeleza Mpango wa mafunzo kwa
watumishi wawili wa Idara
2,500,000
JUMLA YA MATUMIZI MENGINEYO 405,077,700
JUMLA YA MATUMIZI YA KAWAIDA KWA KIFUNGU 1001 1,009,182,000
KIFUNGU 1002: UHASIBU NA FEDHA
I: FEDHA ZA MISHAHARA
MADHUMUNI YA
MIAKA MITATU NA LENGO
AINA YA LENGO
MKUKUTA/SIO
MKUKUTA
SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA MWAKA
WA FEDHA 2012/2013 GHARAMA
Kuwezesha watumishi
kuendelea kufanya kazi
zao kulingana na
mikataba yao
- Watumishi 93 kulipwa mishahara
yao ifikapo Juni, 2016
SIO MKUKUTA Kulipa mishahara ya watumishi 39 wa
idara
301,246,800
JUMLA YA FEDHA ZA MSHAHARA 301,246,800
II: MATUMIZI MENGINEYO
MADHUMUNI YA MIAKA
MITATU NA LENGO
AINA YA LENGO
MKUKUTA/SIO
MKUKUTA
SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA MWAKA
WA FEDHA 2012/2013 GHARAMA
Kuimarisha ubora wa
huduma
C01S Kuwezesha watumishi wa idara
kutekeleza majukumu yao ifikapo
Juni, 2016
MKUKUTA Kushughulikia mishahara, malimbikizo
ya mishahara na mafao ya watumishi
1,900,000
67
Kulipa huduma za maji, simu na umeme 150,000,000
Kulipia stahili za mtumishi mmoja 12,600,000
Kutoa huduma za kiutawala kwa
watumishi wa Kitengo
19,854,000
Kushiriki kwenye kamati za mbalimbali
za umma
3,250,000
Kuendesha mikutano ya Kamati ya
Ukaguzi
8,800,000
Kufunga Hesabu za mwaka 6,500,000
CO3S Mfumo wa kifedha wa kompyuta
kufanya kazi ifikapo Juni 2016
MKUKUTA Kukiwezesha kitengo kuwa na vitendea
kazi vya TEHAMA
1,620,000
C04C
Viongozi na maafisa wa kitengo
kuhudhuria vikao vya bunge,
kitaifa, kikanda na kimataifa
ifikapo Juni 2016
MKUKUTA kumuwezesha mtumishi mmoja
kuhudhuria mkutano wa ESAAG
3,078,200
JUMLA YA FEDHA ZA MATUMIZI MENGINEYO 207,602,200
JUMLA YA KIFUNGU 508,849,000
68
KIFUNGU 1003: SERA NA MIPANGO
I: FEDHA ZA MISHAHARA
MADHUMUNI YA MIAKA
MITATU NA LENGO
AINA YA LENGO
MKUKUTA/SIO
MKUKUTA
SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA MWAKA
WA FEDHA 2012/2013 GHARAMA
Kuwezesha watumishi
kuendelea kufanya kazi
zao kulingana na
mikataba yao
- Watumishi wa idara kulipwa
mishahara yao ifikapo Juni, 2016
SIO MKUKUTA Kulipa mishahara ya watumishi 18 wa
idara
191,112,600
JUMLA YA FEDHA ZA MSHAHARA 191,112,600
II: MATUMIZI MENGINEYO
MADHUMUNI YA MIAKA
MITATU
NA LENGO AINA YA LENGO
MKUKUTA/SIO
MKUKUTA
SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA MWAKA
WA FEDHA 2012/2013 GHARAMA
Kuimarisha ubora wa
huduma
C01S Kuwezesha watumishi wa idara
kutekeleza majukumu yao ifikapo
Juni, 2016
SIO MKUKUTA Gharama za kuendesha ofisi 62,985,000
C02S Kuwezesha kuandaa Sera,
Mipango na Bajeti ifikapo Juni
2016
SIO MKUKUTA Kuratibu uaandaji wa SBAS, MTEF,
Memorandamu na Hotuba ya Bajeti
24,314,400
JUMLA YA FEDHA ZA MATUMIZI YA KITENGO 87,299,400
JUMLA YA KIFUNGU 278,412,000
69
KIFUNGU 1004: UKAGUZI WA NDANI
I: FEDHA ZA MISHAHARA
MADHUMUNI YA MIAKA
MITATU
NA LENGO AINA YA LENGO
MKUKUTA/SIO
MKUKUTA
SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA
GHARAMA
Kuwezesha watumishi
kuendelea kufanya kazi
zao kulingana na
mikataba yao
- Watumishi watano kulipwa
mishahara yao ifikapo Juni, 2016
SIO MKUKUTA Kulipa mishahara ya watumishi wanne
wa idara
40,552,800
JUMLA YA FEDHA ZA MSHAHARA 40,552,800
II: MATUMIZI MENGINEYO
MADHUMUNI YA MIAKA
MITATU
NA LENGO AINA YA LENGO
MKUKUTA/SIO
MKUKUTA
SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA
GHARAMA
Kuboresha usimamizi wa
rasilimali na uwajibikaji
C01S Tathmini ya Mfumo wa Uthibiti
wa Ndani kupitiwa ifikapo Juni,
2016
MKUKUTA Kukagua vitabu vya mahesabu na vifaa
Makao Makuu ya Wizara, na Vyuo vya
Maendeleo ya Jamii tisa.
8,300,000
CO2S Masuala ya Utawala Bora ndani ya
Wizara kukaguliwa ifikapo Juni,
2016
MKUKUTA Kufanya ukaguzi wa ufanisi kwenye
utekelezaji wa Programu
zinazotekelezwa na Idara ya
Maendeleo ya Watoto, Maendeleo ya
Jinsia, Maendeleo ya Jamii na Mashirika
yasiyo ya Kiserikali.
540,000
MKUKUTA Kukagua Bodi za Ushauri za Vyuo vya
Maendeleo ya Wananchi na Maendeleo
ya Jamii na kutathmini ufanisi wake
800,000
70
CO3S Viongozi na watumishi
kuwezeshwa Kuhudhuria vikao
vya Bunge na Makongamano ya
Wakaguzi wa Ndani ya kitaifa na
kimataifa ifikapo Juni, 2016
MKUKUTA Kuwezesha Mkaguzi wa Ndani mmoja
kuhudhuria mafunzo ya muda mfupi ya
Bodi ya Taifa, Uhasibu na Ukaguzi na
mafunzo ya muda mrefu kwa
watumishi wawili.
2,100,000
CO4C Wakaguzi watano wa Ndani
kuwezeshwa Kufanya Kazi za
Ukaguzi wa Ndani ifikapo Juni,
2016
MKUKUTA Kugharamia utoaji wa huduma kwa
watumishi wa Kitengo
16,473,200
JUMLA ZA MATUMIZI MENGINEYO 28,213,200
JUMLA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA KWA KIFUNGU 1004 68,766,000
KIFUNGU 1005: MAWASILIANO SERIKALINI
I: FEDHA ZA MISHAHARA
MADHUMUNI YA MIAKA
MITATU NA LENGO
AINA YA LENGO
MKUKUTA/SIO
MKUKUTA
SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA MWAKA
WA FEDHA 2012/2013 GHARAMA
Kuwezesha watumishi
kuendelea kufanya kazi
zao kulingana na
mikataba yao
- Kulipa watumishi 3 mishahara yao
kufikia Juni, 2016
SIO MKUKUTA Kulipa mishahara ya watumishi 3 25,896,700
JUMLA YA FEDHA ZA MISHAHARA 25,896,700
71
II: MATUMIZI MENGINEYO
MADHUMUNI YA MIAKA
MITATU NA LENGO
AINA YA LENGO
MKUKUTA/SIO
MKUKUTA
SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA MWAKA
WA FEDHA 2012/2013 GHARAMA
Quality of service delivery
improved
C01C
Kuwezesha na kutoa huduma ya
kiutawala kwa watumishi wa
kitengo ifikapo Juni, 2016
SIO MKUKUTA
Kuwezesha kulipia gharama za
watumishi wapya na stahili za
watumishi wa kitengo
1,260,000
Kuwawezesha Watumishi wawili wa
Kitengo kushiriki matamasha ya
michezo ya Wizara na Taasisi za Serikali
240,000
Kuwezesha kulipia gharama za
matumizi ya kila siku ya kitengo
10,214,046
Kuwawezesha Watumishi wanne wa
Kitengo cha Habari Kuhudhuria
Mikutano ya Habari
1,750,000
Kuwezesha mafunzo ya muda mrefu ya
shahada ya pili kwa mtumishi mmoja
Mawasiliano ya Umma
170,000
Kuwezesha manunuzi ya Kamera ya
mnato moja, printa moja, fotokopi
moja na skana moja
300,000
C02S Kutekeleza, kuendeleza na
kusimamia programu za elimu kwa
umma za Wizara ifikapo Juni, 2016
MKUKUTA Kuratibu ushiriki wa Wizara katika
maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa
Umma na Nanenane.
2,000,000
Kuandaa vipindi vinne (4) vya elimu
kwa umma kwa umma vya Televisheni
na maonesho ya sinema
1,320,000
72
C02C Kuendeleza na kutekeleza mkakati
wa mawasiliano wa Wizara ifikapo
Juni, 2016
MKUKUTA Kuendeleza mkakati wa mawasiliano 14,938,254
Kuandaa kalenda ya mwaka 300,000
JUMLA YA FEDHA ZA MATUMIZI YA KITENGO 32,492,300
JUMLA YA KIFUNGU 1005 58,389,000
KIFUNGU 1006: UNUNUZI
I: FEDHA ZA MISHAHARA
MADHUMUNI YA MIAKA
MITATU NA LENGO
AINA YA LENGO
MKUKUTA/SIO
MKUKUTA
SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA MWAKA
WA FEDHA 2012/2013 GHARAMA
Kuwaezesha watumishi
kuendelea kufanya kazi
zao kulingana na
mikataba yao.
- Kulipa watumishi 8 mishahara yao
kufikia Juni, 2016
SIO MKUKUTA Kulipa mishahara ya watumishi 8 wa
idara
68,935,200
JUMLA YA FEDHA ZA MISHAHARA 68,935,200
II: MATUMIZI MENGINEYO
Kuimarisha ubora wa
huduma
CO1S Kutekeleza na kuimarisha mpango
wa manunuzi na usimamizi wa
vifaa vya thamani ifikapo Juni
2016
SIO MKUKUTA Kuwezesha kuandaa mpango wa
manunuzi na nyaraka za zabuni
3,901,000
CO2C Kuwezesha wafanyakazi kutoa
huduma za kiutawala ifikapo Juni
2016
SIO MKUKUTA Kuwezesha wafanyakazi kupata stahili
zao, haki zao kwa ajili ya kufanya kazi
kwa ufanisi
34,225,800
73
Kuwezesha wafanyakazi kuhudhuria
mafunzo ya muda mfupi ya PPRA na
kikao cha mwaka katika bodi ya ugavi
(PSTB)
4,440,000
JUMLA YA FEDHA ZA MATUMIZI YA IDARA 42,566,800
JUMLA YA KIFUNGU 111,502,000
KIFUNGU 1007: TEKNOLOJIA YA HABARI NA MAWASILIANO
II : MATUMIZI MENGINEYO
MADHUMUNI YA MIAKA
MITATU NA LENGO
AINA YA LENGO
MKUKUTA/SIO
MKUKUTA
SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA MWAKA
WA FEDHA 2012/2013 GHARAMA
Kuboresha Kitengo kwa
kukipatia vitendea kazi na
kuwajengea uwezo
wafanyakazi
C01S Kukiwezesha Kitengo kufanya
kazi kwa ufanisi ifikapo Juni,
2016
SIO MKUKUTA Kununua vifaa na kulipia ada ya
programu mbalimbali za kompyuta
1,252,000
Kununua magazeti na majarida
mbalimbali
18,000
Kuboresha mazingira na mahitaji ya
watumishi
2,460,000
Kulipia gharama za mtandao 12,000,000
Usimamizi wa tovuti ili
kusambaza habari na
taarifa mbalimbali kwa
wananchi
C03S Kuboresha tovuti ya Wizara
ifikapo Juni, 2016
SIO MKUKUTA Kulipia programu za tovuti 500,000
Kuwajengea uwezo watumishi wa
Kitengo katika usimamizi wa tovuti ya
Wizarani.
50,000
74
Kuimarishwa kwa
programu za mawasiliano
ya simu na intaneti
C04S Kuboresha miundombinu ya
mitambo makao makuu na
kwenye baadhi ya vyuo ifikapo
Juni, 2016
SIO MKUKUTA Kununua programu za PABX Systems 100,000
Kununua vifaa na ada ya programu za
kompyuta
20,000
Mafunzo kwa watumishi
wa Kitengo kuhusu
usalama wa Teknolojia ya
Habari na Mawasiliano
C06S Kuwajengea uwezo watumishi
katika eneo la usalama ifikapo
Juni, 2016
SIO MKUKUTA Kutoa mafunzo 50,000
Mafunzo ya muda mfupi
na mrefu kwa watumishi
wa Kitengo
C06S Kuwajengea uwezo watumishi
wa kitengo kwa kuwapeleka
katika mafunzo mbalimbali
ifikapo Juni, 2016
SIO MKUKUTA Kulipia ada ya mafunzo, vitabu na vifaa
mbalimbali
2,600,000
JUMLA YA MATUMIZI MENGINEYO 19,050,000
JUMLA YA MATUMIZI YA KAWAIDA KWA KIFUNGU 1007 19,050,000
KIFUNGU 2001: VYUO VYA MAENDELEO YA WANANCHI
I: FEDHA ZA MISHAHARA
MADHUMUNI YA MIAKA
MITATU NA LENGO
AINA YA
LENGO
MKUKUTA/
SIO
MKUKUTA
SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA GHARAMA
Kuwezesha watumishi
kuendelea kufanya kazi
zao kulingana na
mikataba yao
- Watumishi 915 wanalipwa
mishahara yao ifikapo Juni, 2016
SIO MKUKUTA Kulipa mishahara watumishi 915 wa
idara
4,734,680,000
JUMLA YA FEDHA ZA MISHAHARA 4,734,680,000
75
II: MATUMIZI MENGINEYO
MADHUMUNI YA MIAKA
MITATU NA LENGO
AINA YA LENGO
MKUKUTA/SIO
MKUKUTA
SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA GHARAMA
Kuboresha usimamizi wa
rasilimali na uwajibikaji
C01S Mfumo wa kusimamia utendaji
kazi kuanza kuanza kazi na
kusimamiwa ifikapo Juni, 2016
MKUKUTA Kuwezesha vikao viwili vya Bodi
kufanyika kwa kila chuo katika vyuo 55
vya Maendeleo ya Wananchi
3,600,000
MKUKUTA Kufanya ukaguzi na ufuatiliaji wa utoaji
wa mafunzo ya stadi mbalimbali katika
vyuo 55
3,600,000
Kuboresha uwezo wa
kujitegemea kwa ujuzi
ajira na kipato katika
jamii
D01C Vyuo 55 vya Maendeleo ya
Wananchi kuwezeshwa kutoa
stadi zitakazowawezesha
wanajamii kujipatia kipato
ifikapo Juni, 2016
MKUKUTA Utoaji wa mafunzo kwa watu 35,820
kutoka maeneo yanayovizunguka vyuo
23,742,800
MKUKUTA Kutoa huduma za umeme, maji na simu
katika vyuo 55 vya Maendeleo ya
Wananchi
81,700,000
Kuboresha mazingira ya
kufundishia na kujifunzia
katika taasisi zinazotoa
mafunzo kwa jamii
D03C Vifaa na nyenzo za kufundishia
kununuliwa katika Vyuo 55
ifikapo Juni, 2016
MKUKUTA Kununua vifaa vya mafunzo ya ufundi
kwa ajili ya Vyuo vya Maendeleo ya
Wananchi
12,500,000
MKUKUTA Kununua kompyuta kwa ajili ya Vyuo
vya Maendeleo ya Jamii
5,000,000
MKUKUTA Kugharamia ununuzi wa vifaa na
nyenzo za mafunzo kwa ajili ya vyuo
vikiwemo vyerehani, majora ya
vitambaa, nyuzi, mikasi, mbao na vifaa
vya uashi.
95,700,000
76
D04C Mpango wa rasilimali watu wa
Vyuo vya Maendeleo ya
Wananchi kuandaliwa na
kutekelezwa ifikapo Juni, 2016
MKUKUTA Kutoa mafunzo ya kuwajengea uwezo
watumishi 1,180 wa Vyuo vya
Maendeleo ya Wananchi
15,000,000
MKUKUTA Kutoa motisha na stahili mbalimbali za
watumishi ili watekeleze majukumu
yao
162,600,000
D05C Kuandaliwa na kutekelezwa kwa
Mpango wa kuanzisha vituo vya
Maendeleo vya Jamii ifikapo
Juni, 2016
MKUKUTA Kudurusu Mitaala ya Vyuo vya
Maendeleo ya Jamii ili kukidhi mahitaji
ya jamii
10,250,000
MKUKUTA Kusambaza Mtaala wa VETA katika
Vyuo 55 vya Maendeleo ya wananchi
13,213,200
JUMLA YA MATUMIZI MENGINEYO 426,906,000
JUMLA YA MATUMIZI YA KAWAIDA KWA KIFUNGU 2001 5,161,586,000
KIFUNGU 2002: MAENDELEO YA JAMII
I: FEDHA ZA MISHAHARA
MADHUMUNI YA MIAKA
MITANO NA LENGO
AINA YA LENGO
MKUKUTA/SIO
MKUKUTA
SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA GHARAMA
Kuwezesha watumishi
kuendelea kufanya kazi
zao kulingana na
mikataba yao
- Watumishi 204 kulipwa
mishahara yao ifikapo Juni, 2016
SIO MKUKUTA Kulipa mishahara ya watumishi 187 1,215,180,700
JUMLA YA FEDHA ZA MISHAHARA 1,215,180,700
77
II: MATUMIZI MENGINEYO
MADHUMUNI YA MIAKA
MITATU NA LENGO
AINA YA LENGO
MKUKUTA/SIO
MKUKUTA
SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA MWAKA
WA FEDHA 2012/2013 GHARAMA
Kuboresha usimamizi wa
rasilimali na uwajibikaji
C01S Huduma za kikazi za watumishi
wa Idara makao makuu na wa
Vyuoni kutolewa ifikapo Juni,
2016
MKUKUTA Kutoa stahili na posho kwa waajiriwa
makao makuu ya Wizara na Vyuoni.
103,806,800
Kuimarisha ushiriki wa
jamii katika shughuli za
maendeleo
G01C Programu ya kuwajengea uwezo
wataalamu wa maendeleo ya
jamii kutekeleza majukumu yao
kutolewa na kutekelezwa ifikapo
Juni, 2016
MKUKUTA Kuwezesha vyuo 8 vya maendeleo ya
jamii kufanya mitihani ya mihula miwili.
175,000,000
MKUKUTA Kutoa mafunzo ya muda mfupi na
mrefu kwa Maafisa maendeleo ya jamii
100
3,070,000
MKUKUTA Kudurusu mitaala ya vyuo vya
maendeleo ya jamii na kutoa miongozo
ya kufundishia
29,590,000
MKUKUTA Kuwezesha utoaji mafunzo katika vyuo
8 Vya Maendeleo ya Jamii
1,581,750,000
JUMLA YA MATUMIZI MENGINEYO 1,893,216,800
JUMLA YA MATUMIZI YA KAWAIDA KWA KIFUNGU 2002 3,108,397,500
78
KIFUNGU 2003: CHUO CHA MAENDELEO YA JAMII TENGERU
I: FEDHA ZA MISHAHARA
MADHUMUNI YA MIAKA
MITATU
NA LENGO AINA YA LENGO
MKUKUTA/SIO
MKUKUTA
SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA MWAKA
WA FEDHA 2012/2013 GHARAMA
Kuwezesha watumishi
kuendelea kufanya kazi
zao kulingana na
mikataba yao
- Watumishi 55 kulipwa
mishahara yao ifikapo Juni, 2016
SIO MKUKUTA
Kulipa mishahara ya watumishi 55 1,113,771,000
JUMLA YA FEDHA ZA MISHAHARA 1,113,771,000
II: MATUMIZI MENGINEYO
MADHUMUNI YA MIAKA
MITATU NA LENGO
AINA YA LENGO
MKUKUTA/SIO
MKUKUTA
SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA MWAKA
WA FEDHA 2012/2013 GHARAMA
Kuimarisha ushiriki wa
jamii katika shughuli za
maendeleo
G01C Programu ya kuwajengea uwezo
wataalamu wa maendeleo ya
jamii kutekeleza majukumu yao
kutolewa na kutekelezwa ifikapo
Juni, 2016.
SIO MKUKUTA Kutoa mafunzo ya shahada ya kwanza
kwa wanachuo 810
16,878,000
Kuwajengea uwezo watumishi wa Chuo
cha Maendeleo ya Jamii Tengeru kwa
kuwapatia mafunzo ya muda mrefu na
mda mfupi
15,000,000
GO2S Kuviwezesha vyuo 9 vya
maendeleo ya jamii kutekeleza
majukumu yake ifikapo Juni,
2016
MKUKUTA Kutoa na kuweka mifumo ya serikali
mtandao chuoni.
3,570,000
MKUKUTA Kutoa stahili na posho kwa watumishi
60 wa chuo
7,710,000
79
MKUKUTA Kutoa vifaa vya kufundishia na
kujifunzia chuoni
825,000
SIO MKUKUTA Kuwezesha vikao vinne vya Bodi
chuoni
5,600,000
JUMLA YA MATUMIZI MENGINEYO 49,583,000
JUMLA YA MATUMIZI YA KAWAIDA KWA KIFUNGU 2003 1,163,354,000
KIFUNGU 3001: MAENDELEO YA JINSIA
I: FEDHA ZA MISHAHARA
MADHUMUNI YA MIAKA
MITATU NA LENGO
AINA YA LENGO
MKUKUTA/SIO
MKUKUTA
SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA MWAKA
WA FEDHA 2012/2013 GHARAMA
Kuwezesha watumishi
kuendelea kufanya kazi
zao kulingana na
mikataba yao
Watumishi kulipwa mishahara
yao ifikapo Juni, 2016
Kulipa mishahara ya watumishi 16 208,790,200
JUMLA YA FEDHA ZA MSHAHARA 208,790,200
II: MATUMIZI MENGINEYO
Kuboresha usimamizi wa
rasilimali na uwajibikaji
C01S Watumishi 14 wa Idara
kuwezeshwa kutekeleza
majukumu yaobipasavyo ifikapo
Juni 2016
MKUKUTA Kutoa huduma za kiutawala na
kuboresha mazingira ya utendaji kazi
kwa watumishi wa idara
58,080,000
Kuwezesha watumishi 6 kuhudhuria
kikao cha Bunge cha Bajeti Mkoani
Dodoma
4,318,800
JUMLA YA FEDHA YA MATUMIZI MENGINEYO 62,398,800
JUMLA YA MATUMIZI YA KAWAIDA KWA KIFUNGU 3001 271,189,000
80
KIFUNGU 3002: MAENDELEO YA MTOTO
1: FEDHA ZA MISHAHARA
MADHUMUNI YA MIAKA
MITATU
NA LENGO AINA YA LENGO
MKUKUTA/SIO
MKUKUTA
SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA MWAKA
WA FEDHA 2012/2013 GHARAMA
Kuwezesha watumishi
kuendelea kufanya kazi
zao kulingana na
mikataba yao
Watumishi 12 kulipwa
mishahara yao ifikapo Juni, 2016
SIO MKUKUTA Kulipa mishahara ya watumishi 11 144,168,000
JUMLA YA FEDHA ZA MSHAHARA 144,168,000
II: MATUMIZI MENGINEYO
MADHUMUNI YA MIAKA
MITATU NA LENGO
AINA YA LENGO
MKUKUTA/SIO
MKUKUTA
SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA MWAKA
WA FEDHA 2012/2013 GHARAMA
Kuboresha usimamizi wa
rasilimali na uwajibikaji
C01S Huduma za kiutawala na
vitendea kazi kwa watumishi 12
kuboreshwa ifikapo Juni, 2016
MKUKUTA Kutoa motisha na kuboresha mazingira
mazuri ya utendaji kazi kwa watumishi.
50,391,000
Kuwezesha watumishi 6 kuhudhuria
vikao vya Bunge Dodoma
3,850,000
81
Kutengeneza gari moja la Idara. 2,080,000
kuwezesha watumishi wawili wa Idara
kuhudhuria maonesho ya Kitaifa ndani
na nje ya Dar Es Salaam
1,500,000
JUMLA YA MATUMIZI MENGINEYO 57,821,000
JUMLA YA MATUMIZI YA KAWAIDA KWA KIFUNGU 3002 201,989,000
KIFUNGU 4001: URATIBU WA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI
I: FEDHA ZA MISHAHARA
MADHUMUNI YA MIAKA
MITATU NA LENGO
AINA YA LENGO
MKUKUTA/SIO
MKUKUTA
SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA MWAKA
WA FEDHA 2012/2013 GHARAMA
Kuwezesha watumishi
kuendelea kufanya kazi
kulingana na mikataba
yao
Watumishi 10 kulipwa
mishahara yao ifikapo Juni, 2016
SIO MKUKUTA Kulipa mishahara ya watumishi 10 121,686,700
JUMLA YA FEDHA ZA MISHAHARA 121,686,700
82
II: MATUMIZI MENGINEYO
MADHUMUNI YA MIAKA
MITATU NA LENGO
AINA YA LENGO
MKUKUTA/SIO
MKUKUTA
SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA MWAKA
WA FEDHA 2012/2013 GHARAMA
Kuboresha huduma kwa
wateja
C01S Kuiwezesha Idara ya Mashirika
Yasiyo ya Kiserikali kutekeleza
majukumu yake ifikapo Juni,
2016
SIO MKUKUTA Kununua vifaa, kuvifanyia matengenezo
na kugharamia mafuta na
matengenezo ya gari la Idara ya Uratibu
wa NGOs
21,997,800
Kutoa haki na stahili za watumishi wa
Idara ya Uratibu wa NGOs
39,300,000
Kuongeza ushiriki wa
jamii katika maendeleo
G01S Kuidurusu, kufuatilia utekelezaji
wa Sera ya Taifa ya NGOs na
kuitolea taarifa ifikapo Juni,
2016
MKUKUTA Kusajili NGOs za ngazi ya wilaya, mkoa,
taifa na kimataifa
1,360,000
Kuiwezesha Bodi ya Taifa ya
Uratibu wa NGOs na Baraza la
Taifa la NGOs kutoa huduma
kwa sekta ya NGOs ili kuongeza
ushiriki wa Mashirika hayo
katika maendeleo ya kijamii na
kiuchumi ifikapo Juni, 2016
MKUKUTA Kuiwezesha Bodi ya Taifa ya NGOs
kufanya vikao vinne vya kisheria
10,640,000
JUMLA YA MATUMIZI MENGINEYO 73,297,800
JUMLA YA MATUMIZI YA KAWAIDA KWA KIFUNGU 194,984,500
JUMLA YA MATUMIZI YA KAWAIDA KWA FUNGU 53 12,155,650,000
83
7.2 MUHTASARI WA MATUMIZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO KWA MWAKA 2012/13
KIFUNGU 1001: UTAWALA NA USIMAMIZI WA RASILIMALI WATU
MADHUMUNI YA MIAKA
MITANO
NAMBA
YA LENGO LENGO
AINA YA
LENGO
MKUKUTA/
SIO
MKUKUTA
SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA FEDHA ZA
NDANI FEDHA ZA NJE
MRADI NA:6327 CONSTRUCTION AND REHABILITATION OF BUILDINGS.
Kuboresha na kuleta
ufanisi wa utoaji wa
huduma za utumishi wa
umma
C09D Kuboresha Jengo la Makao
Makuu ya Wizara na
Miundombinu ifikapo Juni,
2016
MKUKUTA Kukamilisha ujenzi wa ofisi ya
Makao Makuu ya Wizara
662,637,842 0
Kutengeneza mazingira ya ofisi
pamoja na maegesho ya magari,
Makao Makuu ya Wizara
280,000,000 0
JUMLA YA FEDHA ZA MRADI 942,637,842 0
JUMLA YA KIFUNGU 1001 942,637,842 0
84
KIFUNGU 1001: SERA NA MIPANGO
MADHUMUNI YA MIAKA
MITANO
NAMBA
YA LENGO LENGO
AINA YA LENGO
MKUKUTA/SIO
MKUKUTA
SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA FEDHA ZA
NDANI FEDHA ZA NJE
MRADI NA: 6290 PROGRAMMING AND DATA PROCESSING PROJECT
Kuboresha utoaji wa
huduma
C02S Bajeti na mipango ya
wizara itakuwa
imeandaliwa na
kutekelezwa kufikia
Juni, 2016
MKUKUTA Kufanya ufuatiliaji na kutathmini
utekelezaji wa miradi ya
maendeleo katika vyuo vya FDCs
na CDTIs
76,433,553 0
JUMLA YA FEDHA ZA MRADI 76,433,553 0
JUMLA YA KIFUNGU 1003 76,433,553 0
KIFUNGU2001:VYUO VYA MAENDELEO YA WANANCHI
MADHUMUNI YA MIAKA
MITANO
NAMBA
YA LENGO LENGO
AINA YA
LENGO
MKUKUTA/SI
O MKUKUTA
SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA FEDHA ZA
NDANI FEDHA ZA NJE
MRADI NA: 6327 CONSTRUCTION AND REHABILITATION OF BUILDINGS.
Kuboresha uwezo wa
kujitegemea kwa ujuzi
ajira na kipato katika
jamii
D02D Majengo na
miundombinu ya vyuo
55 vya maendeleo ya
wananchi kufanyiwa
ukarabati ifikapo Juni,
2016
MKUKUTA Kufanya ukarabati mkubwa katika
chuo cha FDC sofi
598,038,605 0
JUMLA YA FEDHA ZA MRADI 598,038,605 0
JUMLA YA KIFUNGU 2001 598,038,605 0
85
KIFUNGU 2002: MAENDELEO YA JAMII
MRADI PT 6330 : REHABILITATION OF COMMUNITY DEVELOPMENT TRAINING INSTITUTIONS
MADHUMUNI YA MIAKA
MITANO
NAMBA YA
LENGO LENGO
AINA YA
LENGO
MKUKUTA/SIO
MKUKUTA
SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA FEDHA ZA NDANI FEDHA ZA NJE
Kuboresha utoaji wa
huduma
C02D Majengo na
miundombinu katika
vyuo Nane vya
Maendeleo ya Jamii
kuboreshwa ifikapo
Juni, 2016
MKUKUTA Kujenga na kukarabati maktaba,
majengo ya utawala, mabweni,
madarasa na miundombinu katika
vyuo 8 vya Mendeleo ya Jamii
282,890,000 0
JUMLA YA FEDHA ZA MRADI 282,890,000 0
JUMLA YA FEDHA ZA MIRADI YA KIFUNGU 2002 282,890,000 0
KIFUNGU 3001: MAENDELEO YA JINSIA
MRADI PT 4943 : WOMEN'S ECONOMIC EMPOWERMENT PROJECT
MADHUMUNI YA MIAKA
MITANO
NAMBA
YA
LENGO
LENGO
AINA YA
LENGO
MKUKUTA/SI
O MKUKUTA
SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA FEDHA ZA NDANI FEDHA ZA NJE
Kuboresha uwezo wa
kujitegemea kwa ujuzi
ajira na kipato katika
jamii
D01S Vikundi 275 vya wanawake
wajasiriamali kuwezeshwa
kupata mikopo kupitia
mfuko wa Maendeleo wa
Wanawake ifikapo Juni,
2016
MKUKUTA Kuimarisha huduma za Benki ya
Wanawake Tanzania
1,100,000,000 0
JUMLA YA FEDHA ZA MRADI 1,100,000,000 0
86
MRADI PG 6550 : UNDP SUPPORT PROJECT
Kuwezesha usawa wa
Jinsia na haki za
wanawake katika jamii
E01S
Mikataba ya Kimataifa
na Kikanda inayohusu
masuala ya usawa na
uwiano wa kijinsia
kutekelezwa ifikapo
Juni, 2016
MKUKUTA
Kuandaa mdaharo kuhusu matokeo
ya tathmini ya WMJJW na uchambuzi
wa masuala ya jinsia nchini ili kuibua
njia mbalimbali za kutekeleza
masuala ya kijinsia
0 4,000,000
Kukamilisha kazi ya kudurusu Sera ya
Maendeleo ya Wanawake na Jinsia
(2000)
0 4,000,000
Kuendesha vikao vya robo mwaka vya
Kikundi cha Ushauri wa Uingizwaji wa
Masuala ya Jinsia katika Sera za
Kitaifa
0 4,000,000
Kuratibu maadhimisho ya Siku ya
Wanawake Duniani (8 Machi, 2013)
0 18,000,000
Kujenga uwezo wa Kikundi cha
Ushauri wa Uingizwaji wa Masuala ya
Jinsia katika Sera za Kitaifa ili
kuongeza ujuzi na maarifa juu ya
ufuatiliaji wa utekelezaji wa masuala
ya jinsia
0 5,000,000
Kukusanya na kuchambua takwimu
zilizoainishwa kijinsia kwa ajili ya
uandaaji wa taarifa ya 7 na 8 ya nchi,
kuhusu utekelezaji wa CEDAW
0 7,000,000
Kupitia na kuthibitisha takwimu
zilizokusanywa kwa ajili ya uaandaaji
wa taarifa ya 7 na 8 ya nchi kuhusu
utekelezaji wa CEDAW
0 8,000,000
87
Kutoa mafunzo kwa Watendaji wa
Dawati la Jinsia kutoka Wizara,
Halmashauri na Watumishi wa
WMJJW juu ya mfumo wa ufuatiliaji
na tathmini ya masuala ya kijinsia
0 10,000,000
Kuunda kamati za kuzuia na
kutokomeza ukatili wa kijinsia ngazi
ya Halmashauri katika Mikoa 10
0 2,000,000
Kutoa Mafunzo kwa Kamati za Kuzuia
na kutokomeza ukatili katika ngazi ya
Taifa na Halmashauri katika Mikoa 10
0 2,000,000
Kuendesha vikao vya robo mwaka vya
Kamati ya Taifa ya kuzuia ukatili dhidi
ya Wanawake, Watoto na Albino
0 7,000,000
Kuandaa vitini kwa ajili ya uelimishaji
na uhamasishaji wa jamii kuhusu
Ukatili wa Kijinsia kwa kiwango
kinachokubalika
0 60,000,000
Kuhamasisha jamii kuhusu kuzuia na
kutokomeza ukatili wa kijinsia kupitia
vyombo vya habari
0 50,000,000
Kujenga uwezo kwa kamati za kuzuia
na kutokomeza ukatili wa kijinsia
kuhusu matumizi ya mwongozo wa
hatua za kuzuia na kuthibiti ukatili wa
kijinsia
0 5,000,000
88
Kujenga uwezo kwa Wabunge wa
Kamati ya Bunge ya Maendeleo ya
Jamii kuhusu ukatili wa kijinsia
0 17,000,000
Kujenga uwezo kwa wasimamizi wa
sheria kuhusu ukatili wa kijinsia
katika mikoa 10
0 20,000,000
E03C Utaratibu wa kuandaa
bajeti yenye kuzingatia
jinsia katika MDAs,
Mikoa, Sekretarieti,
utakuwa umeandaliwa
kufikia Juni, 2016
Kuandaa mafunzo kwa MDAs,
sekretarieti za mikoa, TAMISEMI juu
ya mipango na bajeti inayozingatia
jinsia
0 77,000,000
JUMLA YA FEDHA ZA MRADI 1,100,000,000 300,000,000
JUMLA YA FEDHA YA MRADI KWA KIFUNGU 3001 1,400,000,000
KIFUNGU 3002: MAENDELEO YA MTOTO
MRADI PG 5414: YOUNG CHILD SURVIVAL AND DEVELOPMENT PROGRAMME
MADHUMUNI YA MIAKA
MITANO
NAMBA
YA LENGO LENGO
AINA YA
LENGO
MKUKUTA/SI
O MKUKUTA
SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA FEDHA ZA
NDANI FEDHA ZA NJE
Kulinda Usawa, Haki na
Ustawi wa Mtoto
F01S Mikakati ya utekelezaji
wa Sera ya Malezi,
Makuzi na Maendeleo
ya Awali ya Mtoto
kuboreshwa ifikapo
Juni, 2016
MKUKUTA Kuandaa Sera Jumui ya malezi,
makuzi na Maendeleo ya Awali ya
Mtoto na Mpango mkakati wa
utekelezaji ukionesha gharama na
usambazaji
0 61,391,000
JUMLA YA FEDHA ZA MRADI
0 61,391,000
89
MRADI PG 5415: CHILD PROTECTION AND PARTICIPATION PROGRAMME
MADHUMUNI YA MIAKA
MITANO
NAMB
A YA
LENGO
LENGO
AINA YA
LENGO
MKUKUTA/SI
O MKUKUTA
SHUGHULI ZITAKAZOFANYIKA FEDHA ZA
NDANI FEDHA ZA NJE
Kulinda Usawa, haki na
Ustawi wa Mtoto.
F02S Sheria ya mtoto kuratibiwa na
kufuatiliwa ifikapo, Juni, 2016
MKUKUTA Kuandaa, kutekeleza na
kufanya ufuatilia wa mpango
kuhusu Sheria ya Mtoto wa
mwaka, 2009, kuisambaza na
kuhamasisha jamii.
0 6,350,000
F03S Masuala ya Ustawi na Haki za
Mtoto kutekelezwa na kuratibiwa
ifikapo Juni, 2016
Kushiriki katika mikutano ya
kimaifa kuhusu ustawi na Haki
za Mtoto.
0 9,600,000
Kuratibu shughuli za kamati
Jumuishi zinazohusika na
masuala ya Watoto.
0 8,000,000
Kuandaa bajeti kwa ajili ya
shughuli ya ulinzi wa Mtoto
0 30,000,000
F04S Mfumo wa Ulinzi kwa Mtoto
kufuatiliwa na kuratibiwa ifikapo
Juni, 2016
Kuanzisha mtandao wa
mawasiliano kwa ajili ya
kusaidia watoto nchini (Child
Helpline)
0 23,000,000
90
F05S Mkakati wa kupunguza watoto
wanaoishi Mitaani,
kuandaliwa,kufanyiwa ufuatiliaji
na Kutolewa taarifa ifikapo Juni,
2016
Kufanya ufuatiliaji na
kusambaza taarifa ya uhakiki
kufuatana na hali halisi ya
watoto wanaoishi mitaani.
0 23,000,000
JUMLA YA FEDHA ZA MRADI 0 99,950,000
JUMLA YA FEDHA ZA MIRADI YA KIFUNGU 3002 0 161,341,000
JUMLA YA FEDHA ZA MAENDELEO KATIKA FUNGU 53 3,000,000,000 461,341,000
91
MCHANGANUO WA BAJETI YA MATUMIZI YA KAWAIDA NA MAENDELEO KWA MWAKA 2012/2013
KIFUNGU IDARA / KITENGO
MATUMIZI YA KAWAIDA JUMLA YA BAJETI
YA MATUMIZI YA
KAWAIDA
MIRADI YA MAENDELEO
MISHAHARA
(PE)
MATUMIZI
MENGINEYO (OC)
FEDHA ZA
NDANI FEDHA ZA NJE
1001 UTAWALA NA USIMAMIZI WA RASILIMALI WATU 604,104,300 405,077,700 1,009,182,000 942,637,842 0
1002 FEDHA NA UHASIBU 301,246,800 207,602,200 508,849,000 0 0
1003 SERA NA MIPANGO 191,112,600 87,299,400 278,412,000 76,433,553 0
1004 UKAGUZI WA NDANI 40,552,800 28,213,200 68,766,000 0 0
1005 MAWASILIANO SERIKALINI 25,896,700 32,492,300 58,389,000 0 0
1006 MANUNUZI 68,935,200 42,566,800 111,502,000 0 0
1007 TEKNOLOJIA YA HABARI NA MAWASILIANO - 19,050,000 19,050,000 0 0
2001 VYUO VYA MAENDELEO YA WANANCHI 4,734,680,000 426,906,000 5,161,586,000 598,038,605 0
2002 MAENDELEO YA JAMII 1,215,180,700 1,893,216,800 3,108,397,500 282,890,000 0
2003 CDTI - TENGERU 1,113,771,000 49,583,000 1,163,354,000 0 0
3001 MAENDELEO YA JINSIA 208,790,200 62,398,800 271,189,000 1,100,000,000 300,000,000
3002 MAENDELEO YA WATOTO 144,168,000 57,821,000 201,989,000 0 161,341,000
4001 URATIBU WA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI 121,686,700 73,297,800 194,984,500 0 0
JUMLA KUU 8,770,125,000 3,385,525,000 12,155,650,000 3,000,000,000 461,341,000
92
MUHTASARI WA BAJETI YA WIZARA KWA MWAKA 2012/2013
A: MATUMIZI YA KAWAIDA KIASI (SH.)
MATUMIZI MENGINEYO (OC) 3,385,525,000
MISHAHARA (PE) 8,770,125,000
JUMLA YA BAJETI YA MATUMIZI YA KAWAIDA 12,155,650,000
B: MIRADI YA MAENDELEO
FEDHA ZA NDANI 3,000,000,000
FEDHA ZA NJE 461,341,000
JUMLA YA BAJETI YA MAENDELEO 3,461,341,000
JUMLA KUU YA MATUMIZI YA KAWAIDA NA MAENDELEO 15,616,991,000
93
HITIMISHO
Jumla ya fedha zinazoombwa kuidhinishwa na Kamati kwa mwaka 2012/13, kwa
matumizi ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto ni shilingi
15,616,991,000 kwa mchanganuo ufuatao:
• Shilingi 12,155,650,000 ni kwa ajili ya matumizi ya kawaida. Kati ya fedha
hizo, shilingi 8,770,125,000 ni kwa ajili ya mishahara (P.E) watumishi ya
watumishi wa Wizara na Chuo cha Maendeleo ya Jamii Tengeru na Shilingi
3,385,525,000 ni kwa ajili ya matumizi mengineyo (O.C); na
• Shilingi 3,461,341,000 ni kwa ajili ya miradi ya maendeleo. Kati ya fedha
hizo, shilingi 3,000,000,000 ni fedha za ndani na shilingi 461,341,000 ni
fedha za nje.