1. kazi ya mlinzi wako1 1. kazi ya mlinzi wako mtu gani huyo ? mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya...

38
1 1. Kazi ya mlinzi wako Mtu gani huyo ? Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya ulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie, ikiwa wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa na ikiwa wewe ni mgeni asiezindikizwa na mtu mzima mwingine. Unachukuliwa kama « wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa na mgeni asiezindikizwa na mtu mzima mwingine » au mineur étranger non accompagné katika lugna ya Kifaransa, MENA kwa ufupi, ikiwa bado hauna umri wa miaka 18, ikiwa hautoki kwenye nchi ya Shirika la Kiuchumi la Ulaya, na ikiwa hauko pamoja na wazazi wako au mtu mwingine anayekusimamia kisheria, na ikiwa nchini Ubeljiji hauna pahali pa kukaa wakati unapofika kwenye udongo wa Ubeljiji. Ikiwa unasiri ya kumvunjia mlinzi wako, usisite kumueleza. Hatamuambia mtu kitu kuhusu siri yako bila wewe kuulizwa kwanza. Mlinzi wako ana kanuni za kikazi ambazo hana budi kuheshimu. Mlinzi anakufanyia kazi gani ? Ni mtu mzima ambaye anakusimamia. Pamoja na wewe, anaweza kuchukua uamuzi kuhusu mambo yafuatayo : - Masomo yako (angalia hati nr 7 na 8) - Pahali pako pa kukaa (angalia hati nr 3) - Starehe - Kumchagua wakili (angalia hati nr 2) nk Mlinzi anakusaidia katika shughuli za utawalani. Anachunguza pia ikiwa unatibiwa ifaavyo (angalia hati nr 10). Anaweza vile vile kukusaidia katika mawasiliano na familia yako (angalia hati nr 11).

Upload: others

Post on 09-Feb-2020

60 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: 1. Kazi ya mlinzi wako1 1. Kazi ya mlinzi wako Mtu gani huyo ? Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya ulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie, ikiwa wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa

1

1. Kazi ya mlinziwako

Mtu gani huyo ?Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi yaulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie,ikiwa wewe ungali chini ya umri wakushitakiwa na ikiwa wewe ni mgeniasiezindikizwa na mtu mzimamwingine.Unachukuliwa kama « wewe ungalichini ya umri wa kushitakiwa na mgeniasiezindikizwa na mtu mzimamwingine » au mineur étranger nonaccompagné katika lugna yaKifaransa, MENA kwa ufupi, ikiwabado hauna umri wa miaka 18, ikiwahautoki kwenye nchi ya Shirika la Kiuchumi la Ulaya, na ikiwa haukopamoja na wazazi wako au mtu mwingine anayekusimamia kisheria,na ikiwa nchini Ubeljiji hauna pahali pa kukaa wakati unapofikakwenye udongo wa Ubeljiji.Ikiwa unasiri ya kumvunjia mlinzi wako, usisite kumueleza.Hatamuambia mtu kitu kuhusu siri yako bila wewe kuulizwa kwanza.Mlinzi wako ana kanuni za kikazi ambazo hana budi kuheshimu.

Mlinzi anakufanyia kazi gani ?Ni mtu mzima ambaye anakusimamia. Pamoja na wewe, anawezakuchukua uamuzi kuhusu mambo yafuatayo :- Masomo yako (angalia hati nr 7 na 8)- Pahali pako pa kukaa (angalia hati nr 3)- Starehe- Kumchagua wakili (angalia hati nr 2) nkMlinzi anakusaidia katika shughuli za utawalani. Anachunguza piaikiwa unatibiwa ifaavyo (angalia hati nr 10). Anaweza vile vilekukusaidia katika mawasiliano na familia yako (angalia hati nr 11).

Page 2: 1. Kazi ya mlinzi wako1 1. Kazi ya mlinzi wako Mtu gani huyo ? Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya ulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie, ikiwa wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa

2

Mlinzi anachunguza pamoja na wewe jinsi utaishi katika siku zausoni : huenda bora kubaki chini Ubeljiji, huenda bora kurudi katikanchi yako ikiwa wewe wakati fulani unatoa uamuzi huu (angalia hatinr 5, 6 na 12).Mlinzi wako ni mtu ambaye unaweza kueleza matatizo ambayounakumbana na yo nchini Ubeljiji. Ikiwa kwa mfano una matatizoshuleni, ikiwa pahali unapokaa pana kasoro, ikiwa inafaa uchaguewakili mwingine …

Wakati wa kupewa mlinzi umeisha … lakinininat aka kuendelea kumuona mlinzi wangu …Kazi ya mlinzi inaisha ikiwa wewe una umri wa miaka 18 (angaliahati nr 13). Lakini nyinyi wawili mnaweza kuamua kuendea kuonana.Umekubaliwa ukimbizi au umeruhusiwa kuishi nchine Ubeljiji kablaya kuwa na umri wa miaka 18 :Mlinzi wako anapashwa kufahamiana na hakimu wa usuluhishi iliulinzi wa kiraia uandaliwe.

Mlinzi wa nini ikiwa nina nchini Ubeljiji watukutoka ukoo wangu (kaka, dada,shangazi…) ?Hata katika hali hii ya mambo, sheria inaamuru kwamba unapashwakuwa na mlinzi. Huu ni msaada zaidi unaopewa familia yako. Hamnabudi kushirikiana. Ikiwa una matatizo pamoja na familia yako, lazimaumambie mlinzi wako.

Nifanye je ikiwa simuamini tena mlinziwangu ?Ambie jambo hili mtu mzima ambaye unamuamini. Unaweza vile vilekumbadili mlinzi, ukimualifu kwanza hakimu wa usuluhishi (angaliahati nr 14).

Page 3: 1. Kazi ya mlinzi wako1 1. Kazi ya mlinzi wako Mtu gani huyo ? Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya ulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie, ikiwa wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa

3

2. Kazi ya wakiliwako

Wakili wa nini ?Wewe ni mgeni, mwenye umri chini yaumri wa kushitakiwa, bila mtu mzimamwingine anayekusindikiza, au mineurétranger non accompagné katika lughaya Kifaransa, MENA kwa ufupi. Unakuwanchini Ubeljiji, lakini huenda hunavitambulisho rasmi (karatasi)vinavyokuruhusu kubaki nchini humu.Vivyo, itakubidi kufanya shughli kadhaa iliuzipate karatasi hizi, huenda ulindwe.Mara kwa mara nchi ya Ubeljiji inakuramlinzi (angalia hati nr 1). Mlinzi huyu anakusaidia katika shughulihizi. Tena anakusaidia rasmi. Lakini ni jambo muhimu sana kwakokuwa pia na wakili wa kukusaidia, kwa sababu ulinzi na uwakili si kitukimoja.

Wakili ni mtu gani ?Wakili ni mtaalam anayejua sheria, mambo ya mahakama na haki.Wakili anakushauru vizuri, anamshauru vile vile mlinzi wako. Ni kitumuhimu sana kuomba msaada wa wakili, kwa mfano ikiwa mifupayako itachunguzwa na mganga ili uamuzi utolewe kuhusu umri wako.Kuna mawakili ambao wana utaalam wa kuwatetea watato wa kigeniambao bado hawana umri wa kushitakiwa na ambao hawana mtumzima wa kuwasaidia (MENA). Mawakili hawa wanaweza kufanyakazi yao bila kulipwa. Unaweza kusoma anwani za aina hii yamawakili kwa mfano kwenye internet www.mena.be.Wakili wako atakusaidia, atakushauru, atatetea haki zakoanatazifanya ziheshimiwe.

Wakili wako at akufanyia kazi gain ?Ikiwa umeishapewa wakili, wewe na mlinzi wako mtakwendakumuona na kumfafanulia hali yako ya mambo (jinsi ulivyofika nchiniUbeljiji, wakati ulipofika na kwa nini ulikuja).

Page 4: 1. Kazi ya mlinzi wako1 1. Kazi ya mlinzi wako Mtu gani huyo ? Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya ulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie, ikiwa wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa

4

Ikiwa unaomba ukimbizi (angalia hati nr 5), itakubidi kuenda mbeleya watu wanaosimamia nchi ya Ubeljiji (OE, CGRA – tizama hati nr14) ili uwaelezee yaliyokufikia nchni mwako. Wakili wako atakuwapamoja na wewe wakati utakapo ulizwa.Ana uwezo wa kukutayarisha na kukuzoeza kuhusu maswaliutakayoulizwa, kukutuliza moyo wakati wa kuulizwa na kuchunguzakama mambo yanaendelea ifaavyo wakati wa kuulizwa. Baada yamajibu yako anaweza vile vile kusema kitu na kumfahamisha mtuanayekuuliza kwamba huezi kurudishwa kwenye nchi yako, kwasababu ungelikuwa hatarini.Nchi ya Ubeljiji ikikukatalia haki ya ukimbizi au kukulinda kwa namnanyingine yoyote ile (protection subsidiaire), wakili wako anawezakukata rufaa na kufahamisha kwamba wewe hukubali jibu ulilopewa.Ikiwa wewe huombi ukimbizi, kuna njia nyingine za kupitia ili ujalibukupata karatasi zikuruhusuzo kubaki nchini (angalia hati nr 6),kutokana na umri wako, nchi yako, mambo yaliyokufikia maishani,nyaraka unazokuwa na zo, nk.Wakili wako atakusaidia na kukufafanulia unaloweza kufanya iliuombe karatasi hizi. Ikiwa nchi ya Ubeljiji inakataa kukupa karatasi,vile vila wakili wako anaweza kukata rufaa na kuonyesha kwambahukubali jibu ulilopewa.Wakili wako anaweza pia kukusaidia katika shughli nyingine. Kwamfano :- Ikiwa ofisi ya huduma wilayani (CPAS) (angalia hati nr 9) inakataa

kukupa msaada wa kijamii ;- Ikiwa matatizo yalizuka kati ya wewe na mlinzi wako (angalia hati

nr 1);- Ikiwa una matatizo na polisi au mahakama nk.

TambihiUkiwa na siri fulani, usisite kumuamini na kumueleza wakili wako.Hatamuambia mtu kitu kuhusu siri yako bila wewe kuulizwa kwanza.Wakili wako ana kanuni za kikazi ambazo hana budi kuheshimu.Usisite kumuona wakili wako ikiwa unajiuliza maswali fulani au ikiwakuna vitu ambavyo huelewi.Usisahau kumualifu wakili wako kila mara unapata nyaraka muhimu.Ikiwa hufurahii kazi ya wakili wako, una uwezo wa :- Kumuambia kasoro katika usaidizi wake,- Kueleza jambo hili mlinzi wako au mtu mwingine unayeamini,- Kuuliza upewe wakili mwingine.

Page 5: 1. Kazi ya mlinzi wako1 1. Kazi ya mlinzi wako Mtu gani huyo ? Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya ulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie, ikiwa wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa

5

3. Nikae wapi ninapofikanchini Ubeljiji ?

Unapojionyesha mbele ya utawalafulani wa Ubeljiji (polisi, ofisi wa wageni–O.E, Ofisi ya walinzi, SAJ, CBJ, …(angalia hati nr 14)), unapewa kituo chakuishimo. Kituo hiki kinachunguzamahitaji yako na hukuonyesha njia.Ikiwa tayari unaishi katika familia fulani,(kwa mfano kwa mjomba, dadamkubwa …) au ikiwa kuna suruhishonyingine, huendi kituoni. Inawezekanapia uwekwe katika kituo kinachofungwaikiwa umesimamishwa kwenye mpakabila wewe kuwa na karatasi rasmi naikiwa watawala wanasita kuhusu umriwako. Ikiwa umri wako hujatimia miaka 18 ((angalia hati nr 4))Karibu na jiji la Brussels kuna vituo viwili vya aina hii : kituo kitumiacho lughaya Kifaransa kinachokuwa Neder-Over-Heembeek na kituo kitumiacho lughaya Kiholanzi kinachokuwa Steenokkerzeel.Kwa kawaida unakaa pale kwa usioziidi mwezi moja.Umuhimu wa kituo hiki ni :· Kukusaidia utulie kidogo pahali fulani, uelewe unapokuwa, uzoee mazingira

mapya, ufikiri juu ya mambo unayotaka kutekeleza …· Kukusaida kukusanya habari zikuhusuzo na ambazo ni muhimu kwa hali

yako· Kujaribu kukujua bora zaidi : watumishi wa kituo watajaribu kukujua bora

zaidi kutokana na mazungumzo kati ya wewe na wao, kazi unazozifanyana jinsi mnavyokutana kila siku.

· Kukuonyesha njia : watumishi wa kituo, wakisaidiana na mlinzi ikiwa tayariumepewa mlinzi huyu (angalia hati nr 1), watakusaidia kutafuta mahalipazuri kwako pa kuishi katika siku za usoni.

Bara ya wiki chache ukiishi kituoni, kuna pahali kadhaa pa kuishi, kufuatanana mahitaji yako, pia na uwezekano wa kupata pahali huru.

Nini baadaye ?Kutokana na pahali palipo huru, utaishi katika kituo kimoja kinachowapokeawatoto wa kigeni wenye umri chini ya umri wa kushitakiwa, bila mtu mzimamwingine anayewasindikiza (FEDASIL (angalia hati nr 14), MsarabaMwekundu, ILA – Initiative Locale d’Accueil- (Kukaribisha wageni mawilayani)

Page 6: 1. Kazi ya mlinzi wako1 1. Kazi ya mlinzi wako Mtu gani huyo ? Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya ulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie, ikiwa wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa

6

nk.). Kuna vituo vinavyotoa huduma vyenye kumilikiwa na utawala wa jumuiyaya kilugha : kuna Service d’Aide à la Jeunesse (SAJ) (Ofisi ya huduma kwavijana) katika jumuiya ya Kifaransa na Comité Bijzondere Jeugdzorg (CBJ)katika jumuiya ya Kiholanzi, ili kila mmoja apokewe ifaavyo.Ikiwa wewe umeingizwa katika biashara ya binadamu, kuna vituo maalumvinavyoweza kukupokea.Shabaha la vituo ni kukupokea na kukupa pahali pa kulala ambamo utakaasalama. Pia vituo vya kusindikiza katika shughli mbalimbali (shughli za rasminchini humu, kutafuta shule, kupewa msaada wa kijamii, nk.). Utasaidiwa piakimatibabu.Mlinzi wako atasaidiana na wafanyakazi wa kituo. Wote wanapaswa kutovunjasiri ya kikazi. Habari zinazokuhusu wewe wanazitoa baada ya kukubalianana wewe. Wanafanya kazi yao bila kupewa amri yoyote ile na viongoziwanaotoa karatasi zinazokukubalia kuishi rasmi nchini humu.Ikiwa una matatizo katika kituo chako, muambie mlinzi wako (angalia hatinr 1).

Unaweza kubadili kituoKufuatana na mahitaji yako, kuwepo kwa pahali huru, unaweza kubadili kituo.Mara kwa mara unaweza kupewa adhabu na kubadili kituo (ikiwa umetendatendo ambalo halikubaliwi kituoni).

Utaishi wapi baada ya kituo au p ahali pengineunapoishi sasa kwa niaba ya kituo ?Baada ya kujadiliana na mlinzi wako pamoja na watu wengine wanaokuleaunaweza kuishi peke yako. Mlinzi wako pamoja na watu wanaokuleawatakusaidia kujiandaa ili uishi peke yako. Mlinzi ni mtu wa kutegemea hadiuwe na umri wa miaka 18 (angalia hati nr 13).Mara kwa mara katika makazi yako mapya unaweza kusaidiwa na familiafulani, ofisi ya huduma kutoka nje nk. Hapa mambo mengi yawezekana.Utapewa msaada wa kifedha na ofisi ya kutoa huduma (CPAS) (angalia hatinr 9). Inawezekana pia upewe msaada huu na ofisi ya huduma kutoka utawalawa kijumuiya : Service d’Aide à la Jeunesse (SAJ) (Ofisi ya huduma kwavijana) katika jumuiya ya Kifaransa na Comité Bijzondere Jeugdzorg (CBJ)katika jumuiya ya Kiholanzi.Inawezekana pia upokewe na familia Fulani.

Unaweza kuishi nyumbani mwa watu kutokafamilia yako au kwa marafiki ?Ikiwa una watu kutoka kwenye familia yako au ukiwa na marafiki nchini Ubeljiji,una uwezo wa kuchunguza pamoja na mlinzi wako na watu hawa jinsi yakuishi nyumbani kwao.

Page 7: 1. Kazi ya mlinzi wako1 1. Kazi ya mlinzi wako Mtu gani huyo ? Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya ulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie, ikiwa wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa

7

4. Utafanya jeukikamatwa kwenyempaka wa Ubeliji bila

karatasi ?Mambo yatakuwa je ukifika nchiniUbeljiji kwa njia ya ndege au yameli bila kuwa na vitambulishovinavyokuruhusu kuishi nchinirasmi, na ikiwa umesimamishwampakani na polisi ?Unapotangaza kwamba « weweungali chini ya umri wa kushitakiwana mgeni asiesindikizwa na mtumzima mwingine » au mineurétranger non accompagné katikalugna ya Kifaransa, MENA kwaufupi, (yaani bado hujakuwa naumri wa miaka 18, hutoki kwenyenchi moja ya Shirika la Kiuchumila Nchi za Ulaya, husindikizwi nawazazi wako wala na mtumwingine anayekusimamiakisheria na huna vitambulisho rasmi vya kuishi nchini Ubeljiji wakati wakuingia nchini humu), ndani ya muda wa masaa 24 utawekwa kwenyekituo maalum cha kukupopea na kukushauri, yaani katika lugha yakifaransa centre d’observation et d’orientation (C.O.O. kwa ufupi).Kuna vituo viwili vya aina hii (C.O.O) karibu na jiji la Bruxelles : kimojaki Neder-over-Heembeek na kingine Steenokkerzeel.Anwani za vituo hivi ni :- Centre d’observation et d’orient ation de Neder-over-HeembeekHôpital militaire Reine Astrid

Page 8: 1. Kazi ya mlinzi wako1 1. Kazi ya mlinzi wako Mtu gani huyo ? Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya ulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie, ikiwa wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa

8

Bruynstraat, 11/201120 Neder-over-HeembeekSimu : 02/264.48.38- Centre d’observation et d’orient ation de S teenokkerzeelDe Mailletlaan, 21820 SteenokkerzeelSimu : 02/755 23 60C.O.O. ni kituo wazi ambacho ni maalum kwa kuwapopea watoto navijana ambao bado hawana umri wa kushitakiwa na ambaohawasindikizwi na mtu mzima. Utaishi ndani ya kituo hiki pamoja navijana wengine waliokuja bila kusindikizwa na mtu mzima.

Je ikiwa kuna mashaka kuhusu umri wako ?Ikiwa polisi ya mpakani ina mashaka kuhusu umri wako na ikidhanikwamba umri wako unaziidi miaka 18, baada ya kufika nchini utapokeandani ya « kituo kinachofungwa ». Omba ushauriwe na wakili (angaliahati nr 2).Ofisi ya walinzi (angalia hati nr 14) itakuandalia uchunguzi wa mganga,ambao utatoa uamuzi juu ya umri wako. Uchunguzi huu huna budikufanyika mnamo siku 3 baada wewe kuingia nchini Ubeljiji. Marachache muda huu wa siku tatu unaweza kuongezewa siku tatu nyingine.Kutoma na hali ya kimuhimu, katika siku hizi tatu unaweza kupewamlinzi wa muda (angalia hati nr 1) ili akusaidie tena akutetee.- Uchunguzi wa mganga ukisema kwamba umri wako u chini ya

miaka 18, kabla ya masaa 24 utakuwa tayari umekaribishwakatika kituo cha C.O.O.

- Uchunguzi wa mganga ukisema kwamba umri wako u juu yamiaka 18, utaendelea kuwa ndani ya kituo kinachofungwa, wakatiwa kungoja jibu kutoka Ofisi ya Wageni (Office des étrangers)(angalia hati nr 14), ofisi hii ikikukubalia kuingia nchini au la.Unaweza kuomba mlinzi wako wa muda au wakili wako (angaliahati nr 2) kukata rufaa na kutokubali uamuzi huo unaozemakwamba una umri juu ya miaka 18.

Mambo yat akuwa vipi baada ya kufika ndaniya kituo cha C.O.O ?Hata ikiwa tayari umekwenda nje ya kituo kinachofungwa nakukaribishwa ndani ya kituo cha C.O.O, bado hujakubaliwa kuishi nchiniUbeljiji rasmi.

Page 9: 1. Kazi ya mlinzi wako1 1. Kazi ya mlinzi wako Mtu gani huyo ? Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya ulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie, ikiwa wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa

9

Bado hujapewa vitambulisho rasmi.Ikiwa umeomba ukimbizi (angalia hati nr 5) tayari ukifika mpakani,umepewa waraka wenye jina la « annexe 25 » katika lugha ya Kifaransa.Kitambulisho hiki kinahakikisha kuwa umeomba haki ya ukimbizi. Ikiwahukuomba haki hii ya ukimbizi, umepewa waraka wenye jina la « an-nexe 11 » katika lugha ya Kifaransa. Waraka huu ni uamuzi wakukufukuza nje ya nchi.Tambihi : Ofisi ya Wageni (Office des étrangers) haiwezi kuchukua aukutekeleza uamuzi huu bila kwanza wewe kupewa mlinzi na bila wewekujadiliana na mlinzi huyu juu ya suluhisho bora kwako (kubaki nchiniUbeljiji au kurudi nchini mwako).Ofisi ya wageni haina budi kuchunguza hali yako mnamo siku 15 baadaya kufika ndani ya kituo cha C.O.O. Ofisi ya wageni ikiwa imeelezasababu maalum, inaweza kuongeza muda huu hadi siku 5 zaidi.Ofisi ya Wageni inaweza kutoa uamuzi wa aina ifuatayo :- Kukukubalia kuingia nchini. Wakati huu wewe hutakuwa na budi

kuomba ruhusa ya kuishi rasmi – angalia hati nr 6 – ikiwa badohujaomba haki ya ukimbizi ;

- Kukufukuza nje na kukurudisha nchini mwako.Ikiwa baada ya siku 15 au 20 bado Ofisi ya Wageni haijatoa uamuzi,umeruhusiwa kuingia rasmi nchini Ubeljiji.Ikiwa hukubali uamuzi wa Ofisi ya Wageni, lazima uongee moja kwamoja na wakili na mlinzi wako, ili pamoja muandae kukata rufaa.

Maisha ndani ya kituo cha C.O.O.

Ndani ya C.O.O. utapewa afisa wa kijamii ambaye atakusaidia nakukushauri. Afisa huyu atatoa ripoti juu ya hali yako. Ukifika, afisa huyuatakupa na kukufafanulia kanuni zinazofualitiwa kituoni. Kanunihukuambia namna ya kuwa na ziara, jinsi utakavyoweza kupiga simu,jinsi ya kuenda kwa mganga, ratiba na kanuni mbali mbali za kuheshimukituoni, kama vile jinsi ya kutembea nje, kazi mbalimbali nk.

Katika siku 7 baada wewe kufika kituoni, mawasiliano yako na watu wanje yatakuwa nadra. Muda huu unaweza kuongezeka. Walakini utawezakila mara kuwasiliana na mlinzi wako (angalia hati nr 1) au wakili wako(angalia hati nr 2). Ukitaka unaweza kuamua kutoka kituoni na kuishipahali pengine utakapo.

Page 10: 1. Kazi ya mlinzi wako1 1. Kazi ya mlinzi wako Mtu gani huyo ? Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya ulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie, ikiwa wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa

10

5. Ukimbizi nchini UbeljijiI. Nini uombaji wa ukimbizi ?Ikiwa unaogopa kuteswa ukirudi nchini mwako, unaweza kuomba nchi yaUbeljiji kukulinda. Ili ulindwe, unaweza kuomba ukimbizi.Ni muhimu kujadiliana na mlinzi (angalia hati nr 1) wako au wakili (angaliahati nr 2) juu ya uwezo wako wa kuomba ukimbizi. Huna budi kujadilianana watu hawa bila kuchelewa, nakuwafafanulia kinaganaga kwa niniuna woga. Pamoja na waomtachunguza ikiwa unawezakuomba ukimbizi. Sheria mpya yakuomba ukimbizi inayofafanuahapa imeanza kutumika tangutarehe 1 mwezi Juni 2007.- Unaweza kukubaliwa haki yaukimbizi ikiwa kwa mfano :· Ulikimbia nchi yako iki usikumlbane na mateso au ikiwa ukikuwa

unaogopa kuteswa ukirudi pa· Ikiwa mateso haya yanatokana na :- shughli za kisiasa (zako peke yako, za wazazi wako au za mtu

mwingine kutoka familia yako)- raia (yaani uanaraia wako, kabila lako jamii utokamo)- jumuia fulani unamwotoka (kwa mfano ikiwa unateswa au

unafanyiwa vitendo vibaya kutokana na kuwa wewe ni msichana :kuolewa bila hiari, uondoaji wa sehemu za uke, nk. au ikiwaumeteswa au umefanyia vitendo vibaya kwa wababu wewe ni motto: kufanya kazi kinguvu, kuingizwa jeshini ikiwa ungali motto nk.

- dini yako au kutokana na kuwa wewe ulikataa kufuata sheria fulaniza dini ya nchi yako.

- Unaweza pia kukubaliwa kuishi rasmi nchini bila kupewa haki ya ukimbizi(protection subsidiaire) ikiwa kwa mfano

· Unaogopa kuwa hatarini kutokana na ugomvi wa kijumla nchini mwako kwa sababu kuna vita pale.

II. Uombaji wa ukimbizi : Ofisi ya wageni(Office des étrangers (OE)Ukifika nchini Ubeljiji, huna budi kuomba ukimbizi bila kuchelewa. Unapaswakuenda peke yako kwe nye Ofisi ya wageni (angalia hati nr 14), ukisindikizwana mlinzi wako.

Page 11: 1. Kazi ya mlinzi wako1 1. Kazi ya mlinzi wako Mtu gani huyo ? Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya ulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie, ikiwa wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa

11

Ofisi ya wageni itaandika ombi lako na itakuuliza maswali kuhusu njiaulioyitumia ili ufike nchini. Unaweza kuomba utumie lugha uitakayo namkalimani atakuwepo wakati utakapoulizwa.- Ikiwa umekaa tayari au umeomba ukimbizi katika nchi nyingine ya Ulaya,Ofisi ya wageni itachunguza ikiwa huenda bora ombi lako lichunguzwe nanchi hiyo nyingine ya kiulaya. Wakati huu mlinzi wako atapewa amri yakukusindikiza katika nchi hii. Waraka wenye amri hii wajulikana kwa jina la« annexe 26 quater ». Ikiwa wewe hukubali uamuzi, pamoja na mlinzi auwakili wako utachunguza uwezo wa kukata rufaa kwenye mahakama yenyejina la Conseil du Contentieux des Etrangers. (angalia hati nr 14).- Ikiwa ni mara ya kwanza wewe kuomba ukimbizi nchini Ubeljiji na katikaUmoja wa Nchi za Ulaya, Ofisi ya wageni itachunguza ombi lako na itakupahati inayohakikisha kuwa tayari umeomba ukimbizi. Hati hii yajulikana kwajina la “annexe 26”. Ikiwa uliomba ukimbizi mpakani, unapewa hatiinaojulikana kwa jina la “annexe 25”.Ofisi ya wageni itakuomba pia kujibu maswali yahusuyo asili yako na mamboyanayokutisha, ukisaidiwa na mlinzi wako pamoja na mkalimani. Unawezapia kujibu maswali haya nyumbani na kutuma majibu mnamo siku 5 kwenyeTume kuu ya wakimbizi na watu wasiokuwa na uraia (Commissariat Généralaux Réfugiés et aux Apatrides – CGRA) (angalia hati nr 14)

III. Kuchunguza ombi la ukimbizi : T ume kuuya wakimbizi na watu wasiokuwa na uraia(Commissariat Général aux Réfugiés et auxApatrides – CGRA)Baadaye ombi lake latumwa kwenye Tume kuu ya wakimbizi na watuwasiokuwa na uraia. Wakati ombi lako la ukimbizi linapochunguzwa, wi-laya uishimo itakupa kitambulisho cha kuwa umeandikwa (kadi ya rangi yamanjano).Baada ya wiki chache Tume kuu ya wakimbizi na watu wasiokuwa na uraia(CGRA) itamuarifu mlinzi wako na kuandaa tarehe ya kuulizwa. Katikakuulizwa kwako zitachunguzwa sababu zilizokufanya ukimbie nchi yakoau sababu zinazofanya wewe uogope kurudi pale.Wakati wa kuulizwa, mlinzi wako (angalia hati nr 1) na wakili wako (angaliahati nr 2) watakuwepo. Ukitaka kutakuwepo pia mkalimani. Ni jambo muhimusana kuandaa kuulizwa huku ukisaidiana na mlinzi na wakili na kuwaelezamambo kiukweli na kinaganaga. Ni wakati vile vile wa kuonyesha ushahidiwote unaokuwa nao, ili uhakikishe kwamba unayoyasema ni ukweli(vitambulisho vyako, ushahidi mwingine, nyaraka rasmi ulizokuja nazokutoka nchini mwako nk).Baada ya kukuuliza, Tume kuu ya wakimbizi na watu wasiokuwa na uraia(CGRA), itatoa uamuzi kwamba nchi ya Ubeljiji itapaswa kukulinda au la.

Page 12: 1. Kazi ya mlinzi wako1 1. Kazi ya mlinzi wako Mtu gani huyo ? Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya ulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie, ikiwa wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa

12

IV UamuziTume kuu ya wakimbizi na watu wasiokuwa na uraia (CGRA) yaweza kutoauamuzi ifuatavyo :- Ikiwa kwa niaba ya CGRA ungelikuwa hatarini na kuteswa ungelirudi

nchini mwako, kutokana na uraia wako, dini yako, shughli zako zakisiasa au ukabila wako, CGRA hii itakupa haki ya ukimbizi. Hivyo,utaruhusiwa kuishi nchini Ubeljiji kwa muda usio na mipaka. Utapewakitambulisho kinachohakikisha kwamba tayari umeandikwa katikakitabu cha wageni (katika lugha ya kifaransa ni certificat d’inscrip-tion au registre des étrangers – CIRE- ).

- Ikiwa kwa niaba ya CGRA, ukirudi nchini mwako, ungelikuwa hatarinikutokana na vita, CGRA ingekulinda ikikupa kinachoitwa katika lughaya kifaransa protection subsidiaire, bila kukupa haki ya ukimbizi.Wakati huu utaruhusiwa kukaa nchini Ubeljiji kwa muda wa mwakammoja. Utapewa CIRE ya kimuda. Kila mwaka CGRA itachunguzakwamba baado hatari iko, na kukuongezea muda wa kubaki nchini.Baada ya miaka 5 utapewa CIRE isiyo na mipaka.

- Ikiwa kwa niaba ya CGRA hungelikuwa hatarini ukirudi nchini mwako,CGRA inaweza kukataa kukukubalia haki ya ukimbizi na haki yakukulinda.

V. Kukat a rufaaUsipokubaliana na CGRA katika uamuzi wake, unaweza kukata rufaa mbeleya mahakama yenye jina la Conseil du Contentieux des Etrangers (angaliahati nr 14). Ni wakili wako ambaye anakata rufaa (angalia hati nr 2) mnamosiku 15. Wakili anakata rufaa baada ya kujadiliana nawe pamoja na mlinziwako (angalia hati nr 1). Una uwezo wa kutokubali kukukatalia haki yaukimbizi, hata ikiwa umekubaliwa kulindwa.Mahakama hii itachunguza upya ombi lako na utaitwa ujiteteye hadharanikatina mahakama hii. Kila mara wakili pamoja na mlinzi wako watakuwepo.Mahakama ya Conseil du contentieux inaweza kubadili uamuzi wa CGRAna kukukubalia haki ya ukimbizi. Vile vile inaweza kuthibitisha uamuzi waCGRA na kukukatalia haki ya haki ya ukimbizi. Hapa utaweza kupewa hakiya kulindwa au la. Ikiwa Conseil du Contentieux inaona bora uchunguzimpya ufanyike juu ya mambo yakuhusuyo, faili yako itatumwa upya kwenyeCGRA ili uchunguzi mpya ufanyike.Wakati wewe hukubaliani na uamuzi wa Conseil du Contentieux, utawezakukata rufaa mbele ya Conseil d’Etat (angalia hati nr 14). Utachunguzaumuhimu wa kukata rufaa hii pamoja na mlinzi na wakili wako.

Page 13: 1. Kazi ya mlinzi wako1 1. Kazi ya mlinzi wako Mtu gani huyo ? Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya ulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie, ikiwa wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa

13

6. Unaweza je kukubaliwakuishi nchini Ubeljiji bila

kuomba ukimbizi ?Ikiwa wewe hukuomba ukimbizi (angalia hati nr 5) au ikiwa ombi lakohalikuitikiwa, kuna njia nyingine za kuomba uishi nchini Ubeljiji bilakuvunja sheria.

I. Ilani ya t arehe 15 Septemba 2005 juu yakukaa nchini kwa watotowa kigeni wenye umrichini ya umri wakushit akiwa,wasiosindikizwa na mtumzima mwingine

Unaweza kuomba kukubaliwa kubakinchini kutokana na ilani hii :1. Ikiwa hukuomba ukimbizi, ikiwa ulikataliwa haki ya ukimbizi au ikiwawewe peke yako ulisimamisha ombi lako ;2. Ikiwa kuhueleza ombi lingine (ulezi wa kisheria, kupagwa, ombi lakulindwa ikiwa wewe ni mwathiriwa wa biashara ya binadamu, kuombakuruhusiwa kubaki nchini kutokana na sharti ya 9 aya ya 3 (sheria yakijadi), sharti ya 9bis au 9 ter ya sheria ya tarehe 15 Disemba 1980).Lazima kila ombi liandikwe na mlinzi wako (angalia hati nr 1) na lipelekwekwenye idara ya Ofisi ya wageni (Office des Etrangers) yenyekushughlikia watoto wa kigeni wenye umri chini ya umri wa kushitakiwa,wasiosindikizwa na mtu mzima mwingine (MENA) (angalia hati nr 14).Hii ni anwani ya idara hii : O.E. Bureau MENA, Chaussée d’Anvers59B à 1000 Bruxelles, ( 02/205.55.22 (lugha ya kifaransa) ; ( 02/205.55.65 (lugha ya kiholanzi)Ombi hili li bora kutokana na hali yako ya mtoto wa kigeni mwenyeumri chini ya umri wa kushitakiwa, asiesindikizwa na mtu mzimamwingine (MENA).

Page 14: 1. Kazi ya mlinzi wako1 1. Kazi ya mlinzi wako Mtu gani huyo ? Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya ulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie, ikiwa wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa

14

Kufuatana na sheria hiyi unaweza kupewa vitambulisho ganivinakuruhusisha kubaki nchini ?Ikiwa kwa niaba ya idara ya watoto wa kigeni wenye umri chini ya umriwa kushitakiwa, wasiosindikizwa na mtu mzima mwingine (MENA) wewehuwezi sasa kurudi nchini mwako, utapewa kitambulishokinachohakikisha kwamba wewe umefika nchini humu. Kitambulishohiki kinadumu kwa muda wa miezi mitatu. Muda huu unawezakuongezeka.Ikiwa vitu kadhaa vyatekelezwa, utapewa kitambulisho kinachohakikishakwamba tayari umeandikwa katika kitabu cha wageni (katika lugha yakifaransa ni certificat d’inscription au registre des étrangers – CIRE- ),ambasho ni kadi ya rangi nyeupe au yenye sumaku. Kadi hii yadumukwa muda wa mwaka. Inaweza kuongezewa muda mara tatu.Vitu vinavyopashwa kutekelezwa ni hivi vifuatavyo :- Kwa niaba ya idara ya watoto wa kigeni wenye umri chini ya umri

wa kushitakiwa, wasiosindikizwa na mtu mzima mwingine (MENA)hadi sasa humo katika hali ya kurudi nchini mwako. Ili idara hii itoeuamuzi huu, mlinzi wako anapashwa kupeleka habari zielezazokuwa huezi kuishi katika nchi yako, kuwa umeisha zoea maisha yaUbeljiji, hali yako ya masomo (angalia hati nr 7 au 8), junsiunavyosoma lugha ya kifaransa au ya kiholanzi nk.

- Kuonyesha pasipoti yako kutoka nchni mwako, isipokuwa mlinziwako anaonyesha kinaganaga kuwa wewe huna uwezo wa kupatapasipoto hii.

Baada ya miezi hii mitatu, utaweza kupewa kitambulishokinachohakikisha kwamba tayari umeandikwa katika kitabu cha wageni– CIRE- kisicho na mipaka ya kiwakati. Hivyo utaweza kubaki daimanchini Ubeljiji.Ikiwa kwa niaba ya idara ya watoto wa kigeni wenye umri chini ya umriwa kushitakiwa, wasiosindikizwa na mtu mzima mwingine (MENA)unaweza kurudi nchini mwako kwa usalama, amri ya kukurudishampakani itapewa mlinzi wako (Hati nr 38)

II. Sharti ya 9bis ya sheria ya t arehe 15Disemba 1980 juu ya kukubaliwa kuingianchini, kuishimo kisheria, kukaamo nakufukuzwa kwa wageniIkiwa wewe hutekelei yanayoombwa katika ilani ya tarehe 15 Septemba2005 (angalia hapa juu), unaweza kutoa ombi kufuatana na sharti ya 9

Page 15: 1. Kazi ya mlinzi wako1 1. Kazi ya mlinzi wako Mtu gani huyo ? Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya ulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie, ikiwa wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa

15

bis. Huna budi kuonyesha kwamba kuna hali ngumu ya mamboinayokufanya wewe usirudi katika nchi yako na kuwa una sababu zakukuruhusu uishi nchini Ubeljiji.Inafaa mambo haya mawili yaonekanekatika ombi lako. Vile vile unaposwa kutoa kitambulisho kinachoonyeshawewe ni nani.Ombi hili linapewa mkuu wa wilaya uishimo (bourgmestre) katika baruaunamwoeleza sababu zako. Sharti barua hii iwe imependekezwa. Polisiya mtaa wako itachunguza ikiwa kweli unakaa kwenye anwani ili ile.Ni Ofisi ya Wageni (Office des Etrangers) ambayo itachunguza ombilako (angalia hati nr 14). Uchunguzi huu unachukuwa muda mrefu,hata miaka mingi. Wakati wote wa uchunguzi, hutapewa vitambulishovinavyokuruhusu kuishi nchini kisheria. Ikiwa baada ya uchunguzi huumrefu ombi lako limeitikiwa, utapewa kitambulisho kinachohakikishakwamba tayari umeandikwa katika kitabu cha wageni – CIRE-. Ikiwaombi lako halikukubaliwa, wakili wako (angalia hati nr 2) anaweza kukatarufaa mbele ya mahakama ya Conseil du Contentieux des Etrangers(angalia hati nr 14).

III. Sharti ya 9 ter ya sheria ya t arehe 15Disemba 1980 juu ya kukubaliwa kuingianchini, kuishimo kisheria, kukaamo nakufukuzwa kwa wageniNjia inayofuatwa ni kama ili ya papa hapa juu, isipokuwa kwamba ombilako linatumwa moja kwa moja kwenye Ofisi ya Wageni (Office desEtrangers) kwa njia ya barua iliyopendekezwa. Unaweza kutoa ombihili iliwa wewe una ugonjwa mbaya. Wakati huu huna budi kuonyeshakwamba nchini mwako huezi kupewa madibabu mathubuti.

Njia nyingine za huruhusiwa kuishi nchini kisheria

- Ikiwa unadhani kuwa wewe umeathiriwa na biashara yabinadamu ;

- Ikiwa mtu kutoka familia yako anakaa kisheria nchini Ubeljiji(regroupement familial), nk

Omba shauri ya mlinzi wako (angalia hati nr 1) au wakili wako (angaliahati nr 2). Mtu huyu anajua la kufanya.

Page 16: 1. Kazi ya mlinzi wako1 1. Kazi ya mlinzi wako Mtu gani huyo ? Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya ulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie, ikiwa wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa

16

7. Masomo yako katikajumuia ya Ubeljiji itumiayo

lugha ya KifaransaWaweza kwenda shuleni ?Ndiyo, nchi ya Ubeljiji umekukubalia haki yakusoma. Mkurugenzi fulani wa shule hanamamlaka ya kukataa kukuandika kwa sababu tuya kuwa wewe huishi nchini kisheria.Kila yeyote mwenye umri wa chni ya miaka 18anaamrishwa kwenda shuleni. HakunaUnajiandikisha katika shule ya msingi au yasekondari bila kutozwa gharama. Walakinimasomo yenyewe yatakulazimisha gharamafulani.

Unaweza kujiandikisha katika shule gani ?Kwa kawaida katika shule yoyote ile. Walakini, ili masomo yako yadhinishwena upewe cheti baada ya masomo, kuna mambo ya kuheshimu. Ikiwaumejiandikisha katika shule ya msingi (kati ya miaka 6 na 12), darasautakamokaa litategemea hasa hasa umri wako.Ikiwa umejiandikisha katika shule ya sekondari, inafaa kwanza masomo yakoya awali nchini mwako yakubaliwe yana kiwango kimoja na masomo ya Ubeljiji,ili uamuzi utokewe kuhusu darasa ambamo unaweza kukaa nchini Ubeljiji. Iliupewe usawa huu wa kimasomo, huna budi kutoa ombi lako kwenye idara yaelimu ya sekondari (amwani ya posta : Rue A. Lavallée, 1 à 1080 Bruxelles.Ukienda pekee yako : Rue Courtois, 4. Simu ili upate miadi : 02/690.86.86 :Web site : http://www.equivalences.cfwb.be/accueil.asp).

Je ikiwa huezi kup ata usawa wa masomo auikiwa hukuenda shuleni nchini mwako ?Unaweza kufuata masomo ya watu ambayo bado hawajakawia nchini (primoarrivant). Ni masomo yaliyoandaliwa kwa ajili ya vijana wa kigeni. Ili ukubaliwekufuata masomo ya aina hii, lazima mambo yafuatayo yatekelezwe :- Kuwa na umri wa kati ya miaka 2 na nusu na miaka 18;- Kuwa hujamaliza mwaka mmoja nchini Ubeljiji ;- Kuwa umeomba haki ya ukimbizi au ya mtu asiye na uraia wowote ule, au

kutoka katika nchi inayojulikana kama maskini ;

Page 17: 1. Kazi ya mlinzi wako1 1. Kazi ya mlinzi wako Mtu gani huyo ? Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya ulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie, ikiwa wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa

17

Unaweza kujiandikisha katika darasa la daraja ili usome lugha ya Kifaransa auuongezewe kiwango cha ujuzi au upewe masomo ya kusoma na kuandika.Baada ya darasa la daraja, ikiwa umeomba haki ya ukimbizi au ikiwa tayariumekubaliwa haki hii, uneweza kuomba halimashauri ya shule ikupe chetikinachokuruhusu kuendelea na masomo ya sekondari (attestation d’admissibilité).Ukipewa cheti hiki, utajua katika darasa gain unaweza kujiandikisha.

Je ikiwa huwezi kuandikwa katika darasa ladaraja au ikiwa hupewi chetikinachokuruhusu kuendelea na masomo ?Ikiwa umri wako umeziidi miaka 12, unaweza kujiandikisha katika elimu yasekondari, darasa la 1 la kukaribisha. Ikiwa umri wako umeziidi miaka 16,unaweza kujiandikisha katika darasa la 3 la masomo ya ustadi wa kazi. Kablaya kuchagua kujiandikisha katika masomo ya ustadi wa kazi, masomo yakijumla, masomo ya ufundi au masomo yanayokwenda sambamba na kazi(siku mbili shuleni na siku mbili kazini), bora uulize kwanza njia gain masomohaya yanakufungulia. Muulize mlinzi wako (angalia hati nr 1) au mtu mwingineunayemuamini.Unaweza vile vile kufanya mitihani ya baraza la jumuia ya watumiaji lugha yaKifaransa nchini Ubeljiji. Ukifaulu mitihani hiyi, utapewa cheti cha kiwango chakwanza (mwaka wa 1 na wa 2 wa sekondari), cheti cha kiwango cha pili chasekondari (CES2D – Certificat d’enseignement secondaire du second degree,cheti cha mwaka wa 4 wa sekondari), au cheti kamili cha masomo ya sekondari(CESS – Certificat d’enseignement secondaire supérieur). Unaweza vile vilekupewa cheti cha masomo ya msingi (CEB, certificate d’études de base) kutokakwenye ukurugenzi wa elimu wilayani. Hivyo, ulize shule ya msingi mtaani mwako.Tambihi : Hutakuwa na mtu wa kukusaidia ukiandaa mitihani yako.Ukitaka kujua zaidi soma katika web site ifuatayo : http://www.jurys.cfwb.be/accueil.asp.Ikiwa mambo yote yanayohitajika ili uandikwe katika darasa kadhaahayatekelezwi, mwaka wako wa masomo hautakubaliwa na wewe hutapewacheti. Vile vile utakumbana na tatizo la aina hii usipohudhuria mara nyingimasomoni bila sababu.

Je mkurugenzi wa shule akikat aakukuandika ?Mkurugenzi fulani akikataa kukuandika, anapaswa kukupa warakaalimwoandika sababu za kukataliwa kuandikwa (mara nyingi ni ukosefu waviwanja shuleni). Katika waraka kuna pia anwani za maofisi yanayowezakukusaidia. Unaweza kuomba maofisi haya yakusaidie kupata shule.Ukijiandikisha baada ya tarehe 30 Septemba, lazima uombe kwanza hitilafuya waziri wa elimu, ili uweze kuandika ukichelewa. Usipofanya hivyo, mwakawako wa masomo hautakubaliwa.

Page 18: 1. Kazi ya mlinzi wako1 1. Kazi ya mlinzi wako Mtu gani huyo ? Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya ulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie, ikiwa wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa

18

8. Masomo yakokatika jumuia yaUbeljiji itumiayo

lugha ya KiholanziWaweza kwendashuleni ?Ndiyo, nchi ya Ubeljiji umekukubaliahaki ya kusoma. Mkurugenzi fulaniwa shule hana mamlaka ya kukataakukuandika kwa sababu tu ya kuwawewe huishi nchini kisheria.Kila yeyote mwenye umri wa chniya miaka 18 anaamrishwa kwendashuleni. HakunaUnajiandikisha katika shule yamsingi au ya sekondari bila kutozwagharama. Walakini masomoyenyewe yatakulazimisha gharamafulani.

Unaweza kujiandikisha katika shule gani ?Kwa kawaida katika shule yoyote ile. Walakini, ili masomo yakoyadhinishwe na upewe cheti baada ya masomo, kuna mambo yakuheshimu. Hivyo, huna budi kuomba usawa nchni humu wa masomouliyapata nchni mwako, ili nchini Ubeljiji pajulikane darasa lakukuandikamo. Kwa kawaida, shule lakusaidia kuomba usawa huu.Ndiyo maana unapaswa kuleta bila kuchelewa vyeti vyako vya awalina kuvipa mkuu wa shule lako. Unaweza pia kuandika waraka ambamounahakikisha masomo uliyoyafuata na kutia sahihi.

Page 19: 1. Kazi ya mlinzi wako1 1. Kazi ya mlinzi wako Mtu gani huyo ? Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya ulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie, ikiwa wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa

19

Je ikiwa hujui lugha ya kiholanzi au ikiwanchini mwako hukuenda shuleni auulikwenda kidogo sana ?Unaweza kujiandikisha katika darasa la daraja. Darasa la aina hiilajulikana kwa jina la “onthaalklassen”. Masomo unayopewayaliandaliwa kwa ajili ya vijana wa kigeni. Ili ufuate masomo haya inafaamambo yafuatayo yatekelezwe :- Kuhusu masomo ya msingi, unafaa uwe na umri wa miaka 5 au

zaidi na kutojua lugha ya Kiholanzi ;- Kuhusu masomo ya sekondari, inafaa uwe na umri wa miaka kati

ya 12 na 18, kuwa umekaa nchni Ubeljiji kwa muda chini yamwaka, kutojua lugha ya Kiholanzi na kuwa kuhuandikwa katikashule itumiayo lugha ya Kiholanzi kwa muda unaozidi miezi 9(ikiwa kuna jambo fulani lisilotekelezwa, unaweza kuomba hitilafu)

Darasa la daraja ni daraja linalokukaribisha na kukufundisha lugha yaKiholanzi, kabla ya kukuwezesha kuendelea na masomo menginekufuatana na kiwango chako.

Je ikiwa huwezi kup ata usawa wa masomo auikiwa nchni mwako hukusoma ?Unaweza kufanya mitihani inayoandaliwa na baraza la mitihani. Barazala mitihani litatoa uamuzi kuhusu darasa ambamo unaweza kuandikwa.Au ikiwa kwenye tarehe ya 31 Disemba ya mwaka wa masomo aukabla yake unatimiza umri wa miaka 12, unaweza kujiandikisha katikamwaka wa 1 wa masomo ya kiustadi wa kazi. Vile vile, ikiwa una umriwa miaka 14, unaweza kuandikwa katika mwaka wa 2 wa masomo yakiustadi wa kazi. Ukiwa na umri wa miaka 16, unaweza kuandikwakatika mwaka wa 3 wa masomo ya kiustadi wa kazi, bila kulazimishwausawa wa masomo.

Je mkurugenzi wa shule akikat aakukuandika ?Ikiwa shule haliwezi kukuandika kutokana na ukosefu wa viwanja, shulehili linapaswa kuijulisha halimashauri ya pahali hapo. Halimashauri hiiitakusaidia kupata shule ingine.Soma pia kwenye web site : www.ond.vlaanderen.be

Page 20: 1. Kazi ya mlinzi wako1 1. Kazi ya mlinzi wako Mtu gani huyo ? Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya ulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie, ikiwa wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa

20

9. Kazi ya ofisi yakutoa huduma :

CPASNini CPAS ?CPAS ni ufupisho wa Centre Publicd’Action Sociale, yaani kituo chaserikali chenye kutoa huduma zakijamii. Kila wilaya ya Ubeljiji ina kituocha namna hii. Kwa ujumla kina mtuana haki ya msaada wa huduma zakijamii. Msaada unaopewa unategemea hali na mahitaji yako.

Unapaswa kwenda kwenye kituo gani chaCPAS ?Kanuni ni kuenda kwenye CPAS ya mahali unapoishi. Walakini siyokila mara. Mara kwa mara unapewa CPAS fulani (huitwa code –kanuni-207). Ikiwa unaeleza ombi lako kwenye kituo cha CPAS kisicho namamlaka ya kukusaidia, kituo hiki kinapaswa kutuma ombi hili kwenyekituo chenye mamlaka, mnamo siku 5.Ikiwa unakaa katika kituo cha kuwapokea wageni (angalia hati nr 3), nikituo hiki ambacho kwa kawaida kinakupa msaada wa vifaa unavyohitaji(makazi, chakula, nguo).

Njia gani ya kuomba msaada ?Unaweza kueleza ombi lako ukienda pekee yako ofisini au ukitumabarua. Ukitumia njia ya barua, muombe akusaidie mlinzi wako (angaliahati nr 1) au wakili wako (angalia hati nr 2), au wote wawili.Itakubidi kumuona mfanyakazi wa kijamii wa kituo cha CPAS.Utafafanua hali yako na aina ya msaada unaouhitaji. Mlinzi wakoanaweza kukusaidia.Usisahau mumuomba mfanyakazi wa kijamii akupe karatasi (accuséde réception) ambapo kumeandikwa tarehe ya ombi na aina ya msaadaunaohitaji. Karatasi hii isipotee.

Page 21: 1. Kazi ya mlinzi wako1 1. Kazi ya mlinzi wako Mtu gani huyo ? Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya ulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie, ikiwa wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa

21

Nini kazi ya mfanyakazi wa kijamii ?Ni mfanyakazi wa kijamii ambaye ataandika ombi lako na ambaye atatoamapendekezo ili upewe msaada bora.Si mfanyakazi huyu anayetoa uamuzi. Uamuzi unatolewa naHalimashauri ya msaada wa kijamii (Bureau de l’Action Sociale).Halimashauri hii inatoa uamuzi katika muda wa siku 30.

Kituo cha CP AS kinaweza kukusaidia kwanamna gani ?Kituo cha CPAS kinaweza kukupa msaada wa aina nyingi : msaadawa kimatibabu, msaada wa kisheria, msaada wa kifedha, msaada wakimakazi nk.Kwa mfani kituo cha CPAS kinaweza :- Kukupa faranga kila mwezi :- Kukulipia hati Fulani:- Kukulipia mwezi wa kwanza wa kwanza ikiwa umepanga nyumba :- Kukulipia dhamana ya kodi ya chumba unachopanga :- Kukulipia gharama za matibabu :- Kukulipia nauli za shule :- Kukupa hera kidogo unapoanza kujipangia pekee yako :- Kukualifu yote kuhusu hali yako.

Utalipa msaada huu ?Hapana, isipokuwa ulidanganya au ikiwa una haki ya vipato vya ainanyingine ambavyo utalipiwa baadaye. Ikiwa kituo cha CPAS kinatakawewe ulipe msaada uliopewa, kinapaswa kuonyesha kwamba weweune faranga za kutosha ili ulipe (kwa mfano kuhusu dhamana ya kodi).

Je ikiwa hukubali yalioamuliwa kuhusu ombilako ?Ukipata barua iliyopendekezwa ambamo kuna uamuzi, ikiwa hukubaliuamuzi huu unaweza kushtaki mahakamani mnamo muda usioziidimiezi mitatu. Bora wakili wako akusaidie (angalia hati nr 2) au ushauriwena huduma ya kijamii. Hakuna gharama ya kulipa. Mahakama itaamuwaikiwa una haki ya msaada au la.

Page 22: 1. Kazi ya mlinzi wako1 1. Kazi ya mlinzi wako Mtu gani huyo ? Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya ulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie, ikiwa wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa

22

10. Ukiwa na ugonjwa, naniatamlip a mganga au

madawa ?Ukienda kwa mganga huna budikulipa. Kwa kawaida kituo uishimokinakulipia faranga hizo (angalia hatinr 3). Pengine, vitu fulani vikiwavimetekelewa, unaweza kuandikwana kusaidiwa na bima ya ugonjwa.Bima ya huduma ni hudumainayokulipia sehemu ya farangaulizomlipa mganga. Ukiwa na bimaya aina hii unalipa bei rahisi, kwamfano ukinunua madawa. Ili uwe nabima ya ugonjwa inafaa kuna vitu vya kutimiza. Vile vile inafaa kwanzaujiandikishe. Kuna pia mchango kidogo wa kutoa. Utapewa kadi iitwao “carteSIS” pamoja na nakshi ambazo ni vijikaratasi vya rangi ambazo vinakusaidiakwa mfano inafaa damu yako ipimwe.Hapa chini kuna mifano ya faranga anayelipwa mganga, kutokana na karatasiza kuishi nchini unazo na mahali unapoishi.

I. Ikiwa bado wewe hujapewa haki ya ukimbizina unaishi katika kituoUtalipiwa mahitaji yote ya matibabu ikiwa unaishi ndani ya kituo. Kituo kinakulipiakila kitu.

II. Ikiwa wewe bado hujapewa haki ya ukimbizina unaishi peke yakoTangu tarehe 1 januari 2008 utakuwa na uwezo wa kujiandikisha na kupatabima ya ugonjwa yako, ikiwa kwa muda wa miezi mitatu ulikwenda mfululizokatika shule moja yenye kuruhusiwa kufundisha na utawala wa Ubeljiji na ikiwaumri wako unaziidi miaka 6. Ikiwa bado hujatimiza umri wa miaka 6, huna budikuandikwa na ofisi ya taifa ya watoto, yaani Office de la Naissance et de l’Enfance(ONE) au Kind en Gezin.Ikiwa hutimizi mambo haya, bei ya matibabu italipwa na kituo ulishopewakufuatana na sheria, yaani code –kanuni- 207, hata kama huishi ndani ya kituo

Page 23: 1. Kazi ya mlinzi wako1 1. Kazi ya mlinzi wako Mtu gani huyo ? Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya ulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie, ikiwa wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa

23

hiki. Ili ulipiwe, lazima uwasiliane na ofisi kuu ya fedha za matibabu, yaani Ofisiya Centralisation des frais médicaux ya FEDASIL (angalia hati nr 14).

FEDASIL – Cellule Centralisation des frais médicauxRue des Chartreux, 21 – 1000 BruxellesTél. : 02/213.43.25 (katika lugha ya Kifaransa) – 02/213.43.00 (katika lugha yaKiholanzi)E-mail : [email protected]

Ukiwa na code –kanuni- 207 – CPAS, kituo cha CPAS (angalia hati nr 9) hakinabudi kukuandikisha kwenye kampuni ya bima ya ugonjwa unayojichagulia nakukulipia fedha za mchango wako, ikiwa wewe huna fedha hizo.

III. Ikiwa wewe bado hujapewa haki ya ukimbizina unaishi ndani ya familia fulaniKama mwenye familia uishimo ana bima ya ugonjwa na ikiwa weweunamtegemea, utaandikwa na bima ya ugonjwa kama mtu anayemtegemeamwenye kuwa na bima. Mkuu wa familia uishimo hana budi kuhakikisha kwambaanapaswa kukulea na wewe unapaswa kuhakikisha kwamba makazi yakomakuu yanakuwa nchini Ubeljiji.Ikiwa wewe au mkuu wa familia uishimo hamtelezi mambo haya, fedha yamatibabu huenda italipwa na kituo ulichopewa kufuatana na code –kanuni- 207.Bei italipwa kupitia ofisi ya Centralisation des frais médicaux ya FEDASIL.Ukiwa na code –kanuni- 207 – CPAS, kituo cha CPAS hakina budi kukuandikishakwenye kampuni ya bima ya ugonjwa unayojichagulia na kukulipia fedha zamchango wako, ikiwa wewe huna fedha hizo.

IV. Ikiwa wewe umekubaliwa haki ya ukimbiziUkiwa na kitambulisho cha haki ya ukimbizi na kitambulisho kinachohakikishakwamba tayari umeandikwa katika kitabu cha wageni (katika lugha ya Kifaransani certificat d’inscription au registre des étrangers – CIRE-) una uwezo wa :- Kujiandikisha kwenye bima ya ugonjwa kama mtu amayemtegemea mtu

mwingine, ikiwa wewe unaishi pamoja na mtu ambaye tayari ana bima yaugonjwa na ambaye wewe unamtegemea ;

- Kujipatia bima peke yako. Usipokuwa na uwezo, kituo cha CPASkitakulipia fedha za mchango.

V. Ikiwa wewe hukuomba haki ya ukimbizi auikiwa umekat aliwa haki hiiUkiwa na kitambulisho kinachohakikisha kwamba ulipofika nchini ulijiandikisha,ukiwa na kitambulisho kinachohakikisha kwamba tayari umeandikwa katika

Page 24: 1. Kazi ya mlinzi wako1 1. Kazi ya mlinzi wako Mtu gani huyo ? Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya ulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie, ikiwa wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa

24

kitabu cha wageni (katika lugha ya Kifaransa ni certificat d’inscription au regis-tre des étrangers – CIRE-), ukiwa na amri ya kufukuzwa nchini au usipokuwana kitambulisho chochote kinachokuruhusu kuishi nchini kisheria una uwezowa :- Kujiandikisha kwenye bima ya ugonjwa kama mtu amayemtegemea mtu

mwingine, ikiwa wewe unaishi pamoja na mtu ambaye tayari ana bima yaugonjwa na ambaye wewe unamtegemea. Mkuu wa familia uishimo hanabudi kuhakikisha kwamba anapaswa kukulea na wewe unapaswa kuhakikishakwamba makazi yako makuu yanakuwa nchini Ubeljiji.

- Tangu tarehe 1 januari 2008 utakuwa na uwezo wa kujiandikisha na kupatabima ya ugonjwa yako, ikiwa unaishi peke yako au kituoni, ikiwa kwa mudawa miezi mitatu unakwenda mfululizo katika shule moja yenye kuruhusiwakufundisha na utawala wa Ubeljiji na ikiwa umri wako unaziidi miaka 6. Ikiwabado hujatimiza umri wa miaka 6, huna budi kuandikwa na ofisi ya taifa yawatoto, yaani Office de la Naissance et de l’Enfance (ONE) au Kind en Gezin.Usipokuwa na uwezo, kituo cha CPAS kinapaswa kukulipia fedha za mchangowa bima ya huduma.

VI. Utafanya je ikiwa hakuna mtu wa kukulipiafedha za matibabu ?Ikiwa wewe hutekelezi vitu muhimu ili upate bima ya ugonjwa, unaweza kupatabima ya kibinafsi na ya kimuda, lakini kwa kawaida bima ya aina hii i ghali. Ikiwahuna uwezo, unaweza kuwasiliana na CPAS (angalia hati nr 9) ya wilaya uishimona kuomba msaada wa haraka wa kutibiwa.

V. Anwani muhimu

Kuna huduma maalum ambazo zinakusaidia bure au kwa bei rahisi

MSF - Programme Accès aux soins(Madaktari wasio na mip aka, ofisi ya msaada wa kimatibabu)BruxellesRue Artois, 46 – 1000 BruxellesSimu : 02/513.25.79AnversJacob Van Maerlantstraat, 56 – 2060 AnversSimu : 03/231.36.41 – Fax : 03/777.22.60

MSF – Projet Elisa (dépist age VIH anonyme et gratuit)Madakt ari wasio na mip aka – Mradi wa Elisa (kupima virusi vra Ukimwibila kulipwa kitu na bila jina la mwenye kupimwa kujulikana)

Page 25: 1. Kazi ya mlinzi wako1 1. Kazi ya mlinzi wako Mtu gani huyo ? Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya ulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie, ikiwa wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa

25

BruxellesHôpital Saint-Pierre /centre ElisaRue Haute, 290 – 1000 BruxellesSimu : 02/535.30.03AnversHelpcenter – ElisaVan Schoonbekenstraat, 136 – 2018 AntwerpenTél : 03/216.02.88

Dentistes Sans Frontières(Madakt ari wa meno wasio na mip aka) Place du jeu de Balles, 74 – 1000 BruxellesSimu : 02/512.43.13

ASBL Aquarelle (en relation avec l’hôpit al St Pierre) : suivi médical gratuitet soins(Shirika la Aquarelle (linaloshirikiana na hospit ali ya Saint Pierre)Kuchunguzwa na mganga bure na kump a matibabu akina mama wenyemimba au ambao wamejifungua)Rue Haute, 322 – 1000 BruxellesSimu : 02/535.31.11 Simu ya mikononi : 0476.46.49.69

Centre de santé ment ale ExilKituo kinachoshughlikia marathi ya kisaikolojiaAvenue Brugman, 43 – 1060 BruxellesSimu : 02/534.53.30 – Simu ya mikononi 02/534.90.16E-mail : [email protected]

Solentra : aide p sycho-socialeSolentra : msaada wa kisaikolojia na kijamiiAvenue de Laarbeek, 101 – 1090 BruxellesKwenye simu :Juma nne kabla ya saa sita : 02/477.57.15Ijumaa kabla ya saa sita : 02/477.57.08Simu ya mikononi : 0473/65.65.68 Fax : 02/477.57.20

La clinique de l’Exil : aide p sychologiqueHospit ali ya shirika la Exil : msaada wa kisaikolojiaRue du Château des Balances, 3 sanduku nr 24 – 5000 NamurSimu : 081/73.67.22 Simu ya mikononi : ya mkurugenzi Paul Jacques : 0497/91.85.92Fax : 081/87.71.23Exil : [email protected]

Ulysse : aide p sycho-sociale(Ulysse : msaada wa kisaikolojia na kijamii)Rue de l’Ermitage, 52 – 1050 BruxellesSimu : 02/533.06.70 – Fax : 02/533.06.74E-mail : [email protected]

Page 26: 1. Kazi ya mlinzi wako1 1. Kazi ya mlinzi wako Mtu gani huyo ? Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya ulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie, ikiwa wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa

26

11. Unawezaje kuwasilianana familia yako ?

Ikiwa una haja ya habari kutoka kwenye familia yako, usijali kuwasilianatena na familia yenyewe. Si yo kila mara jambo rahisi, walakini kunawatu na ofisi za huduma zinazoweza kukusaidia.Kwa mfano : Shirika la Msalaba Mwekundu, Shirika la kimataifa lahuduma za kijamii (service social inter-national), UNICEF nk. Mashirika hayayanaweza kukutafulia nchini mwakoshirika linaloweza kukusaidia.Shirika la Msalaba Mwekundu lina tawilenye wajibu maalum wa kutafutawanafamilia. Tawi hili lajulikana kwa jinala Tracing.Tambihi : Sharti uwe na uangalifu katikashughli hizi

Msaada kutoka hudumaza TracingUjumbe kupitia Msalaba MwekunduIkiwa huna uwezo wa kuwasiliana na watu ukitumia posta au simu,ujumbe kupitia Shirika la Msalaba Mwekundu ni njia rahisi. Kuna fomuya kujaza, unapoandika anwani yako anwani ya familia yako na ujumbemwenyewe. Ukitaka uneweza kuweka vile vile picha yako. Unawezapia kuandika katika lugha unayojichagulia. Huduma ya tracing inatumiaujumbe wako wafanyakazi wa Msalaba Mwekundu nchini mwako.Wafanyakazi hawa watajalibu kufikisha ujumbe huu kwenye familiayako. Familia yako itakuwa na uwezo wa kukujibu ikitumia njia hii.

UtafitiIkiwa ujumbe wako haufiki kwenye watu unaowatafuta, Shirika laMsalaba Mwekundu laweza kufanya utafiti. Hivyo huna budi kuendakwenye Shirila la Msalaba Mwekundu na kujaza fomu ya kuomba utafitihuu ufanyike. Huduma ya Tracing itatumia fomu hii wafanyakazi wakenchini mwako, na wafanyakazi hawa watafanya utafiti.Kuhusu nchi kadhaa, Shirika la Msalaba Mwekundu hutangaza habarihizi kwenye internet (web site www.familylinks.icrc.org). Walakini inafaaujuwe kwamba kila mtu anaweza mambo haya.

Page 27: 1. Kazi ya mlinzi wako1 1. Kazi ya mlinzi wako Mtu gani huyo ? Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya ulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie, ikiwa wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa

27

La muhimu kujuaShirika la Msalaba Mwekundu halialifu kitu Ofisi ya Wageni (Office desEtrangers), Tume kuu ya wakimbizi na watu wasiokuwa na uraia(CGRA), Halmashauri ya mashtaki na wageni (Conseil du contentieuxdes étrangers) nk. (angalia hati nr 14). Hakuna la kulipa.

Anwani muhimuSERVICE TRACING(Huduma ya Tracing)Croix Rouge de Belgique(Shirika la Msalaba Mwekundu la Ubeljiji)Communauté française(Jumuia la watumiao lugha ya Kifaransa)Rue de Salle, 961180 BruxellesSimu : 02/371.31.58E-mail : [email protected]/Page.aspx?PageID=51

UNICEF BelgiqueRoute de Lennik, 451, sanduku 41070 BruxellesSimu : 02/230.59.70Fax : 02/230.34.62E-mail : [email protected]

SireasSasb asbl – SSI (Service Sociale International – Shirika la kimataifa lahuduma za kijamii)SASB ASBLRue de la Croix, 221050 BruxellesSimu : 02/649.99.58Fax : 02/646.43.241E-mail : [email protected]

Page 28: 1. Kazi ya mlinzi wako1 1. Kazi ya mlinzi wako Mtu gani huyo ? Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya ulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie, ikiwa wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa

28

12. Je la kufanya ukiwana hamu ya kurudi

nchini mwako ?Inawezekana wakati mmoja usiwe na hamu ya kubaki nchini Ubeljiji,huenda kwa sababu hujihisi vizuri nchini humu, una hamu kubwa yakuiona tena familia yako, au kwa sababu ofisi ya wageni (Office desEtrangers) haikuruhusu kuishi tena hapa.Ukitaka kurudi makwako, Shirikala OIM (Organisations Internatio-nales des Migrations – Shirika laKimataifa la Uhamaji) lawezakukuandalia kurudi huku. Shirikala OIM linashirikiana na mashirikamengine ambayo yanaweza piakukusaidia unapowasiliana namashirika haya. Kuna : FEDASIL(www.fedasil.be) (angalia hati nr14), Vluchtelingenwerk, (www.vluchtelingenwerk;be), CURE(www.cire.be), Caritas international (www.caritas.be), l’Aide aux per-sonnes déplacées (msaada kwa wakimbizi(www.aidesauxpersonnesdeplacees.be), Esperando, Pag-Asa, Payote,Aïcha. Mashirika yote haya hayafanyi kitu bila wewe kuruhusu. Mlinziwako (angalia hati nr 1) anapaswa vile vile kwanza kuruhusu. Huwezikurudishwa kwako isipokuwa tendo hili li bora kwako kulipo matendomengine.Bila kufanya chochote kile, inafaa kwanza ualifiwe kinaganaga kuhusukurudi nchini kwako : Utapokewa na nani ? Utapokewa viki ?Utasindikizwa na nani ? Ngoja kwanza upewe habari kuhusu mambohaya kabla ya kukubali kitu. Wakati kurudi kwako kukiandaliwa, unawezakubadili nia na kukataa kurudi au kuchaguwa tarehe ya baadaye yakurudi.

Utapewa msaada gani ?Msaada huu unategemea vitu ambavyo vi muhimu kwako ukirudi nchinimwako. Hutapewa pesa mkononi bali utasaidiwa na utasaidiwa kutafuta

Page 29: 1. Kazi ya mlinzi wako1 1. Kazi ya mlinzi wako Mtu gani huyo ? Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya ulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie, ikiwa wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa

29

familia yako (angalia hati nr 11) na huduma ya Msalaba Mwekundu naukiwa tayari umefika nchini mwako utaweza kupewa msaada msaadawa aina ifuatayo :- kulazwa katika kituo fulani wakati bado hujakwenda kuishi pamoja

na familia yako- kutibia pamoja na msaada wa kisaikolojia- kuandikwa shuleni au mahali pa kufundishwa mambo ya kiufundiInawezekana upewe fedha kidogo na Shirika la OIM unapofikakwenye uwanja wa ndege wa Zaventem. Fedha hii itakusaidiakununua vitu vidogo vidogo baada ya kufika nchini mwako.

Unahit aji vit ambisho gani ili urudi nchinimwako ?Bila pasipoti halali, safari ya kurudi nchini mwako haiwezi kuandaliwa.Kama wewe huna pasipoti, lazima kuenda kwenye ubalozi wa nchiyako ukisindikizwa na mlinzi wako (angalia hati nr 1) na kuomba kibali.Ofisi nyingi za ubalozi zinakuomba uzipe kwanza kitambulisho chakocha kuzaliwa kabla ya kukupa kibali. Ukiwa na matatizo kwa kupewakibali kinachokuwezesha kusafiri, Shirika la kimataifa la uhamiaji (OIM)linaweza kukusaidia katika shughli zako ubalozini.Pengine wazazi wako (au mtu mwingine kutoka kwenye familia yako)watapaswa kutoa nyaraka mbali mbali, kukiwemo ruhusa ya kusafiripamoja na nakala ya vitambulisho vyao.

Nani at akusaidia katika shughli hizi ?Mlinzi wako atakusindikiza katika shughli zote hizi; Tena, kwa kawaida,atakusindikiza hadi kwenye uwanja wa ndege.Wakati wa kusafiri, yaani kwenye uwanja wa ndege wa Zaventem,maafisa wa OIM watakupokea na kukusaidia wakati wa kuandikishamizigo yako. Tena watakusindikiza mpaka kwenye mlango wa mwishokabla ya ndege.Kwenye uwanja wa ndege wa kupita, shirika la OIM linaweza piakukusaidia ili upate ndege ya kuendelea nayo. Kama una umri chini yamiaka 15, utasindikizwa na mtu mzima hadi mwishoni mwa safari. Marakwa mara unaweza kusindikizwa hata ikiwa umri wako umezidi miaka15.Wakati wa kufika, ofisi ya OIM nchini mwako itakusaidia katika shughlizako mpaka ukutane na familia yako. Vile vile katika kipindi cha mwaka,OIM litafanya kila kitu ili maisha yako yaanze upya ifaavyo nchini mule.

Page 30: 1. Kazi ya mlinzi wako1 1. Kazi ya mlinzi wako Mtu gani huyo ? Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya ulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie, ikiwa wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa

30

13. Uliikuja ukiwa mdogobila kusindikizwa na

umetimiza umri wa miaka18. Mambo yat akuwa je

kwako ?Mlinzi wako :Ulipofika nchini Ubeljiji, ulipewa mlinzi(angalia hati nr 1) kwa sababu umri wakoulikuwa nchini ya miaka 18 na hukukuwapamoja na wazazi wako. Umeishatimizamiaka 18 na sheria ya Ubeljiji haikuchuluitena kama mtu mwewe umri chini yaumri wa kushitakiwa na mgeniasiezindikizwa na mtu mzima mwingine, au mineur étranger non ac-compagné katika lugna ya Kifaransa, MENA kwa ufupi. Siku ya kutimizaumri wa miaka 18 ulinzi unaishia papo hapo. Hivyo, ni jambo muhimusana wewe na mlinzi wako, pamoja na wakili wako (angalia hati nr 2)muandae maisha yatakuwa je baada ya umri wa miaka 18.

Msaada kutoka huduma kwa vijana za majumuia(angalia hati nr 14)Msaada unaopewa kutoka kwenye huduma za Service de l’Aide à laJeunesse za jumuia ya watumiao lugha ya Kifaransa au kutoka kwenyehuduma za Comité Bijzondere Jeugdzorg au Sociale Dienst bij dejeugdrechtbank za jumuia ya watumiao lugha ya Kiholanzi,husimamishwa unapotimiza umri wa miaka 18. Jumuia ya watumiao lughaya Kifaransa inaweza kukuongezea muda bali bila kuziidi umri wa miaka20. Kwa upande wake, jumuia ya watumiao lugha ya Kiholanzi inawezakukuongezea muda huu bali bila kuzidi umri wa miaka 21, ikiwa unaonakwamba bado u hatarini.Tambihi : ukitaka muda huu uongezeke, lazima otoe ombi lako kabla yakuwa na umri wa miaka 18.

Page 31: 1. Kazi ya mlinzi wako1 1. Kazi ya mlinzi wako Mtu gani huyo ? Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya ulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie, ikiwa wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa

31

Baada ya kutimiza umri wa kushitakiwa unaweza kuhisi hali ya upweke.Huna ofisi nyingine nyingi za huduma zinazoweza kukusaidia. Kabla yaulinzi kumalizika, usisite kumuona mlinzi wako ili akualifu la kufanya,akupe mashauri au huenda akusindikize kwenye maofisi ya kijamii ilibaadaye usibaki bila kujua pa kuelekea.

Wakili wako :Wakili wako (angalia hati nr 2) anaendelea kuwa wakili wako hatabaada ya wewe kuwa na umri wa miaka 18. Ukiwa na maswali juu yakukaa nchini humu kisheria au ukiwa na habari fulani kuhusu ombilako la ukimbizi, usisite kumuuliza. Huna budi kumualifuyanayokuhusu, ili aweze kukusaidia.

Makazi :Aina ya ombi lako au kiwango ombi lako huathiri jinsi utakavyopewapahali pa kuishi baada ya kuwa na umri wa miaka 18.Kituo unamoishi (angalia hati nr 3) lazima kishughlikie pahali utakapoishibaada ya kuwa na umri wa miaka 18. Lazima kituo kikusaidie katikakipindi hiki cha mpito.Kwa kawaida mtu ambaye ni MENA anaacha kupewa makazi akiwa naumri wa miaka 18. Lakini mara kwa mara unaweza kuendelea kupewakupokea hadi mwishoni mwa mwaka wako wa kimasomo. Inawezekanapia mara kwa mara ukewe pahali pa kukaa peke yako. Unaweza piakupewa kituo cha watu wazima.Ikiwa wakati wa kutimiza umri wa miaka 18 majibu yote uliyopewayamekukatalia haki ya ukimbizi, unaweza kufungwa na kufukuzwa nchini.

Kukubaliwa kukaa nchini kisheriaWakati ulikuwa bado hujatimiza umri wa kushtakiwa, ulijadiliana na mlinziwako au na wakili na kuchagua njia bora ya kukaa nchini kisheria (angaliahati nr 5 na 6).Mara nyingi, baada ya kuwa na umri wa miaka 18, njia zote ulizoanzazinaendelea. Siyo lazima tena usindikizwe na mlinzi wako. Lakiniunaweza kusindikizwa na mtu mwingine unayemuamini au na wakiliwako.Ikiwa hukuomba ukimbizi na hukuruhusiwa kuishi nchini kisheria kablaya kuwa na umri wa miaka 18, yaani hukupewa kitambulishokinachohakikisha kwamba tayari umeandikwa katika kitabu cha wageni(katika lugha ya kifaransa ni certificat d’inscription au registre des étran-

Page 32: 1. Kazi ya mlinzi wako1 1. Kazi ya mlinzi wako Mtu gani huyo ? Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya ulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie, ikiwa wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa

32

gers – CIRE- ), unakuwa hatarini ya kufukuzwa nje ya nchi. Unakuwahatarini ya kufungwa na kufukuzwa. Hivyo huna budi kujadiliana na mlinziwako na wakili wako ili uwe tayari ukiwa na umri wa miaka 18.

Msaada wa CPAS (angalia hati nr 9)Kwa kawaida msaada uliokuwa unapewa kabla ya kuwa na umri wamiaka 18 wadumu. (msaada wa kifedha, msaada wa vifaa katika kituo).Lakini ikiwa hujaruhusiwa kuishi nchini kisheria ukiwa na umri wa miaka18, msaada wa kifedha utasimama. Utabaki tu na msaada wa kimatibabuwa haraka.

Masomo (angalia hati 7 na 8)Baada ya kuwa na umri wa miaka 18 hulazimishi tena kuenda shulenilakini badou na haki ya kujiandikisha shuleni.Tambihi : katika jumuia ya watumiao lugha ya Kifaransa, huna budikujiandikisha kila mwaka, hata ikiwa hubadili shule.Ikiwa huishi nchini kisheria nchini Ubeljiji, hakuna kanuni ya kisheriainayokukataza kujiandikisha katika shule ya sekondari au chuo kikuukamili. Walakini itakuwa vigumu kutafuta shule itakayokubali kukuandika.Omba watu wakupe msaada katika shughli hizi.Ikiwa kabla ya kuwa na umri wa miaka 18 ulikuwa na masomo ambayosi mfululizo katika vituo vyenye masomo ya namna hii (centre d’éduca-tion et de formation en alternance – CEFA) au ikiwa unajifunza ufundi,una uwezo kumaliza masomo uliyonza, baada ya kuwa na umri wa miaka18, hata ikiwa hauishi nchini Ubeljiji kisheria.

Ulinzi wako (angalia hati nr 10)Baada ya kuwa na umri wa miaka 18, ikiwa unakaa peke yako na ikiwauliruhusiwa kukaa nchini kisheria, usisahau kuwasiliana na bima yakoya uginjwa ili upewe haki binafsi ya kutibiwa. Ikiwa hukuruhusiwa kuishinchini kisheria, huna haki ya kimatibabu, isikopuwa matibabu ya harakaunayopewa na CPAS (angalia hati nr 9) au msaada wa kimatibabuunaopewa na kituo ikiwa unaishi ndani ya kituo.

Benki :Ukiwa na umri wa miaka 18, kama bado huna akaunti benkini, unawezakujifungulia akaunti ya kawaida (akaunti yenye kadi ya benki). Unawezakwa mfano kufungua akaunti ya kimwanzo. Hivyo huna budi kuonyeshakitambulisho chako na kuhakikisha kuwa unaishi nchini Ubeljiji.

Page 33: 1. Kazi ya mlinzi wako1 1. Kazi ya mlinzi wako Mtu gani huyo ? Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya ulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie, ikiwa wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa

33

14. Nini OE, FEDASIL,CGRA, nk. ?

Wakati wa maisha yako nchini Ubeljiji, hutakuwa nabudi kuwasiliana na viongozi mbalimbali. Hapa kunaorodha ya baadhi ya viongozi hawa ambao utakutananao mara nyingi. Kuna vile vile maelezo kuhusuviongozi hawa.

Ofisi ya UlinziOfisi ya ulinzi ni huduma inayotegemea wizara ya hakiya kitaifa. Baadhi ya kazi ya ofisi ya ulinzi ni kuamuakwamba wewe ungali mtu mwewe umri chini ya umriwa kushitakiwa na mgeni asiezindikizwa na mtu mzimamwingine, au mineur étranger non accompagné katikalugna ya Kifaransa, MENA kwa ufupi (kwa mfano ofisi hiyi inachunguzaumri wako ikitumia karatasi ambazo unazo, au ikiwa inahitajika, kwa kutumiauchunguzi wa mganga). Ofisi hiyi inakuchagulia pia mlinzi (angalia hati nr1). Kila uongozi au mtu binafsi anayekutana na kijana ambaye ni MENAanaweza kuwasiliana na Ofisi hiyi. Ofisi hiyi inachukuwa hatua za haraka,kama vile kukutafutia makazi. Ofisi hiyi inaweza kupatikana wakati wowoteule, mchana au usiku, kwenye nambari haraka ya simu 078/15.43.24. Tangujuma tatu hadi alhamisi unaweza pia kutumia nambari ya simu : 02/542.79.51 (ukitumia lugha ya Kifaransa) na 02/542.79.61 (ukitumia lughaya Kiholanzi).

Service des T utelles(Ofisi ya Ulinzi)Boulevard de Waterloo, 1151000 Bruxelles

MlinziKatika hati nr 1 (Kazi ya mlinzi wako) utasoma kazi ya mlinzi.

Ofisi ya W ageni (Office des Etrangers)Ofisi ya wageni inayotegemea wizara ya kitaifa ya mambo ya ndani.Inachunguza kwa kiwango cha kwanza mamombi ya kukubaliwa kuishinchini Ubeljiji kisheria. Ofisi hii inashirikiana mno na Ofisi za ubalozi pamoja

Page 34: 1. Kazi ya mlinzi wako1 1. Kazi ya mlinzi wako Mtu gani huyo ? Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya ulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie, ikiwa wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa

34

na utawala wa mawilaya, polisi, ofisi ya uchunguzi wa kijamii, Ofisi yamwendesha mashtaka, Shirika la OIM (Organisations Internationales desMigrations – Shirika la Kimataifa la Uhamaji), au Shirika la Childfocus.Ofisi ina matawi mengi kukiwemo tawi la MENA pamoja na tawi la vijanawasio na umri wa kushtakiwa la ukurugenzi la uombaji ukimbizi.Ofisi ya MENA huchunguza uombaji ukimbizi kufuatana na ilani ya tarehe15 Septemba 2005. Soma hati nr 6 : Unaweza je kukubaliwa kuishi nchiniUbeljiji bila kuomba ukimbizi ?Tawi la vijana wasio na umri wa kushtakiwa la ukurugenzi la uombaji ukimbizihuandika maombi ya ukimbizi ya vijana hawa. Ili ujue kinaganaga njia hiyiya uombaji ukimbizi, soma hati nr 4 : Ukimbizi nchini Ubeljiji.Ofisi ya Wageni ina pia mamlaka juu ya vizuizi vya mpakani. Ili ujue zaidijuu ya jambo hili, soma hati nr 4 : Utafanya je ukikamatwa kwenye mpakawa Ubeliji bila karatasi ?Office des étrangers(Ofisi ya Wageni)Helpdesk : 02/206.15.99 au [email protected]ée d’Anvers 59B1000 BruxellesOfisi ya vijana wasio na umri wa kushtakiwa, ukurugenzi wa uombajiukimbizi : 02/205.54.62Ofisi ya MENA : 02/205.55.22 (lugha ya Kifaransa) ; 02/205.55.65 (Lughaya Kiholanzi)

Tume kuu ya wakimbizi na watu wasiokuwana uraia (CGRA)Tume kuu ya wakimbizi na watu wasiokuwa na uraia (CGRA) ina wajibukuu wa aina mbili :- Kuchunguza ombi la ukimbizi (angalia hati nr 5). Unapoomba

ukimbizi, utaalikwa na CGRA ili ufasiri. CGRA ina tawi maalumlinalochunguza maombi ya akinaMENA.

- Kuwapa vitambulisho mbalimbali vihuzuvyo hali ya kiuraia watuambao tayari wana haki ya ukimbizi.

CGRANorth Gate IBoulevard Roi Albert II, 61000 BruxellesMkuu wa Ofisi ya akinaMENA : Hedwige De Biourge : 02/205.51.37www.belgium.be/cgra

Page 35: 1. Kazi ya mlinzi wako1 1. Kazi ya mlinzi wako Mtu gani huyo ? Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya ulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie, ikiwa wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa

35

ahakama ya Conseil du contentieux (CCE)Mahakama ya Conseil du contentieux (CCE) ilichukuwa nafasi ya TumeKuu ya Ukataji Rufaa ya Wakimbizi (Commission Permanente de Recoursdes Réfugiés –CPRR-). CCE ni mahakama ya kiutawala. Unaweza kukatarufaa mbele ya mahakama hiyi, ikiwa hukubali uamuzi wa CGRA wakukutalia haki ya ukimbizi. CCE ina vile vile mamlaka kuhusu ukataji rufaajuu ya uamuzi wa aina nyingine, kama vile uamuzi wa kukataa kupanakitambulisho cha kukaa kisheria kufuatana na kanuni ya 9 aya ya 3 (sheriaya kijadi), kanuni ya 9 bis au 9 ter ya sheria ya tarehe 15 Disemba 1980(angalia hati nr 6).CCELe LaurentideRue Gaucheret, 921000 Bruxelles02/791.60.00http://vbvcprr.fgov.be/index.asp

Mahakama ya Conseil d’Et atMahakama ya Conseil d’Etat inaweza kibatilisha uamuzi wa CCE, ikiwauamuzi huu unavunja sheria.

Conseil d’Et atRue de la Science, 331040 Bruxelles02/234.94.96.11

FEDASILMiongoni mwa mamlaka ya wakala wa kitaifa wa upokeaji wa waombajiukimbizi (FEDASIL) kuna kazi ya kuwafuatilia akinaMENA manaokaavituoni. Angalia hati nr 3 : Nikae wapi ninapofika nchini Ubeljiji ?Ukitaka kujua anwani ya vituo hivi soma kwenye : www.fedasil.be

FedasilRue des Chartreux, 211000 BruxellesMkuu wa tawi la MENA : Anne Kestemont : 02/213.44.48www.fedasil.be

Kituo cha huduma cha CP ASUkiwa na matatizo ya kiuchumi, kivifaa au kijamii, vituo vya huduma vyaCPAS ndivyo vinavyokupa msaada wa kijamii. Ili ujue bora, soma hati nr9 : Kazi ya ofisi ya kutoa huduma: CPAS ?

Page 36: 1. Kazi ya mlinzi wako1 1. Kazi ya mlinzi wako Mtu gani huyo ? Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya ulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie, ikiwa wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa

36

Ukitaka kujua anwani ya CPAS, unaweza kusoma kwenye web site :www.uvcw.be (hati za CPAS).

Shirika la OIM (Organisations Internationalesdes Migrations – Shirika la Kimat aifa laUhamaji) :Shirika la Kimataifa la Uhamaji unakuandalia kurudi nchini mwako kwahiari. Juu ya jambo hili, soma hati nr 12 : Je la kufanya ukiwa na hamu yakurudi nchini mwako ?

Ofisi za Huduma kwa vijana ambazo niService d’Aide à la Jeunesse (SAJ) kwenyejumuia ya watumiao lugha ya Kifaransa naCBJ kwenye jumuia ya watumiao lugha yakiholanziService d’Aide à la Jeunesse (SAJ) na Comité Bijzondere Jeugszorg (CBJ)huwapa msaada vijana wanaokuwa matatizoni au hatarini, na kuzisaidiapia familia zao. Ukiwa na umri juu ya miaka 14 huduma hizi hazifanyi kitukinachokuhusu bila kupewa ruhusa na wewe pamoja na mlinzi wako.Huduma hizi zitajadiliana nawe ili upewe msaada unaofaa. Vile vile zitaamuaofisi itakayokushauri kila mara. Katika kila eneo la kimahakama lina ofisiya aina hii. Unaweza kusoma anwani za ofisi kwenye web site :www.cfwb.be/aide-jeunesse/ct_saj.htm. Kuhusu anwani za CBJ, somakwenye web site : www.jongerenwelzijn.be

Hakimu wa vijanaUkiwa hatarini na ikiwa SAJ au CBJ hazijaamua kukupa msaada au ikiwaumefanya jinai mkurugenzi mwendesha mashtaka atakushtaki mbele yahakimu wa vijana wa eneo uishimo. Jaji wa vijana atatoa amri (kwa mfanoamri ya usuluhishi, amri ya kusindikizwa kielimu, amri ya kuishi katika kituomaalum, nk.).

Hakimu wa amaniNi hakimu wa amani wa mahali uishimo anayeamua juu ya ugomvi katiyaw ewe na mlinzi wako. Unaweza kumualifu ukifikiri kwamba mlinzi hafanyikazi yake ifaavyo au ikiwa humuamini tena. Mlinzi wako hana budi kumparipoti mara mbili kila mwaka.

Page 37: 1. Kazi ya mlinzi wako1 1. Kazi ya mlinzi wako Mtu gani huyo ? Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya ulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie, ikiwa wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa

37

Ukihit aji msaadaMara kwa mara mambo hayaendi kama tunavyoyaeleza. Una kwaujumla la kufanya. Omba msaada. Unaweza kuwasiliana na mlinziwako, wakili wako, afisa wa kijamii wa kituo uishimo. Ofisi nyinginezinaweza vile vile kukushauri.Miongoni mwa ofisi hizi, unaweza kuwasiliana na huduma za Servi-ces Droit des Jeunes kwenye anwani zifuatazoBruxelles : rue du Marché aux Poulets 30 ( 02/209.61.61

Namur : rue Godefroid 26 ( 081/22.89.11

Liège : boulevard de la Sauvenière 30 ( 04/222.91.20

Mons : rue Terre du Prince 4 ( 065/35.50.33Charleroi : rue Willy Ernst 35 ( 071/30.50.41

Arlon : rue de la Caserne 40/4 ( 063/23.40.56

Verviers : rue des Sottais 1 ( 0485/52.50.25

Vielsam : rue de la Chapelle 8 ( 080/54.94.24

Kuna pia :De Acht , vzw, Vluchtelingenteam, ( 03/270.33.29(voor telefonisch advies)Kwenye web site www.mena.be utazisoma hati zote zifuatazo :

Page 38: 1. Kazi ya mlinzi wako1 1. Kazi ya mlinzi wako Mtu gani huyo ? Mlinzi ni mtu anaeteuliwa na ofisi ya ulinzi (angalia hati nr 14) ili akusaidie, ikiwa wewe ungali chini ya umri wa kushitakiwa

38

Orodha ya hati1. Kazi ya mlinzi wako2. Kazi ya wakili wako3. Nikae wapi ninapofika nchini Ubeljiji ?4. Utafanya je ukikamatwa kwenye mpaka wa Ubeliji bila karatasi ?5. Ukimbizi nchini Ubeljiji6. Unaweza je kukubaliwa kuishi nchini Ubeljiji bila kuomba

ukimbizi ?7. Masomo yako katika jumuia ya Ubeljiji itumiayo lugha ya

Kifaransa8. Masomo yako katika jumuia ya Ubeljiji itumiayo lugha ya

Kiholanzi9. Kazi ya ofisi ya kutoa huduma : CPAS10. Ukiwa na ugonjwa, nani atamlipa mganga au madawa ?11. Unawezaje kuwasiliana na familia yako ?12. Je la kufanya ukiwa na hamu ya kurudi nchini mwako ?13. Ulikuja ukiwa mdogo bila kusindikizwa na umetimiza umri wa

miaka 18. Mambo yatakuwa je kwako ?14. Nini OE, FEDASIL, CGRA, nk. ?

Na msaada kutoka kwenye Fonds d’Impulsion pour la Politique des Immigrés(F.I.P.I), Fondation Reine Paola et Fondation Roi Baudouin .Mhariri mwenye kuwajibika / Benoît Van Keirsbilck, rue du Marché au Pou-lets, 30 à 1000 BruxellesUsanii wa maandishi : Jeunesse et droit asbl, rue Charles Steenebruggen, 12 à4020 LiègeVielelezo : Jacques Van Russelt