annuur 1041

12
ISSN 0856 - 3861 Na. 1041 Dhuul-Hijja 1434, IJUMAA OKTOBA 26-NOV. 1, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu Msiba mkubwa Hatauliwa Farid, Masheikh wa Uamsho pekee Tuandae masanduku, majeneza ya kutosha Waislamu wanadai haki Wasiofanya uadilifu ndio wachochezi Baraza la Idd Mtambani leo Zanzibar inarejea tena kwa Bamkwe Leo Sheikh Farid, kesho zamu ya Vuai, Jussa JUSSA Laju SHEIKH Ponda Issa Ponda (kushoto) na Sheikh Farid Hadd. Uk. 2 Hii akili gani? Kwani mmeahidiwa kulipwa nini mkimaliza kupandikiza kitisho cha Al Qaida na Boko Haram? Bendera ya Laailaha ila llah, nayo ina kosa gani mpaka muikanyage kanyage chini? Askofu Malasusa, kwa mtindo huu, mwenye pepo mbaya na kupagawa na shetani ni nani? Uk. 2

Upload: hassan-mussa-khamis

Post on 18-Apr-2015

4.434 views

Category:

Documents


2 download

TRANSCRIPT

Page 1: ANNUUR 1041

ISSN 0856 - 3861 Na. 1041 Dhuul-Hijja 1434, IJUMAA OKTOBA 26-NOV. 1, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

Sauti ya Waislamu

Msiba mkubwaHatauliwa Farid, Masheikh wa Uamsho pekeeTuandae masanduku, majeneza ya kutosha

Waislamu wanadai hakiWasiofanya uadilifu ndio wachochezi

Baraza la Idd Mtambani leo

Zanzibar inarejea tena kwa Bamkwe

Leo Sheikh Farid, kesho zamu ya Vuai, Jussa

JUSSA Laju

SHEIKH Ponda Issa Ponda (kushoto) na Sheikh Farid Hadd.

Uk. 2

Hii akili gani?Kwani mmeahidiwa kulipwa nini mkimaliza

kupandikiza kitisho cha Al Qaida na Boko Haram?

Bendera ya Laailaha ila llah, nayo ina kosa gani mpaka muikanyage kanyage chini?

Askofu Malasusa, kwa mtindo huu, mwenye pepo mbaya na kupagawa na shetani ni nani? Uk. 2

Page 2: ANNUUR 1041

2 AN-NUURDhuul-Hijja 1433, IJUMAA OKTOBA 26 - NOV. 1, 2012

AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

Cel: 0784 370 208, 0755 260 087 0713 110148, DSM. www.ipctz.org E-mail: [email protected]

Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

MAONI YETU

Tahariri/Habari

Waislamu wanadai haki

WAISLAMU wote Jijini Dar es Salaam na vitongoji vyake, leo wametakiwa kufika kwa wingi katika Msikiti wa Mtambani kuhudhuria Baraza la Idd.

Wito huo umetolewa na Baraza Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiilsamu (T), likiwataka Waislamu kushiriki katika Baraza hilo, muhimu kwa mustakabali wao , kuanz ia maj i ra ya saa nane mchana na kumalizika jioni, mshuko wa Magharibi.

K a t i b u M k u u w a Baraza hilo Ramadhani Sanze, amesema yapo mambo mengi yanapaswa kuzungumzwa na kutolewa ufafanuzi kwa umma wa Kiislamu kufuatia kadhia za kusikit isha zilizowakumba.

Alisema, matukio yote yataelezwa ili kuwaweka sawa Waislamu ambao alidai bila shaka wamekuwa na hamu ya kusikia nini kinachoendelea baada ya matukio hayo.

Alisema, wamekuwa wakipokea simu nyingi kutoka sehemu mbalimbali kutoka kwa Waislamu wakitaka kujua hatma ya matukio haya hususani kuendelea kushikiliwa kwa Sheikh Ponda na Waislamu wengine magerezani.

“Unajua tokea kuibuke matukio haya na kukamatwa kwa Sheikh Ponda na Waislamu wengine, bado Waislamu hawajapata kauli ya viongozi wao. Hii imetokana na kushughulikia kwa karibu maswali hayo kisheria, na ndio maana Ponda na wengine waliweza kupelekwa Mahakani haraka.” Alisema

A l i s e m a , p a m o j a na mambo ya kisheria wamekuwa wakitafakari kwa kina kupitia vikao mbalimbali matukio hayo kwa muda tokea yaibuke, wakilenga kukutana na Waislamu siku ya Baraza la Idd, na kuyatolea ufafanuzi wa kina.

Alisema, katika Baraza

hilo, utapangwa utaratibu maalumu kwa Waislamu namna ya kuwasaidia W a i s l a m u w e n z a o walioko mahabusu, au kuwatembelea.

“ Wa i s l a m u w e n g i hawajui Sheikh Ponda na wenzake wapo gereza g a n i , n a w a n a t a k a kwenda kuwatembelea na kuwapelekea mahitaji mbalimbali, sasa leo hayo yote yatatolewa ufafanuzi na kuwekewa utaratibu maalum.” Alisema.

Ndani ya mwezi huu ( O k t o b a ) Wa i s l a m u , wamekubwa na kadhia k a d h a w a k a d h a n a kupelekea miongoni mwao kukamatwa na Jeshi la Polisi, akiwemo Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda.

Awali, Oktota 10, 2012, E m m a n u e l J o s e p h a t , a l i k o j o l e a M s a h a f u , ambapo Oktoba 12, ilizuka ghasia kubwa maeneo ya Mbagala, baada ya Polisi kuwat imua Wais lamu

kwa mabomu ya machozi waliofika kituo cha Polisi, kutaka kuhakikisha haki ya kufikishwa Mahakani mtuhimiwa inatendeka.

Baada ya siku chache, Jeshi la Polisi lilimkamata Sheikh Ponda Issa Ponda, na kumshikilia katika Kituo Kukuu cha Polisi, kabla ya kuibuka tena kwa vurugu katika kituo hicho wakiwatawanya Waislamu waliofika kituoni hapo kutaka kujua hatma ya Sheikh wao, hatimaye alipelekwa Mahakama ya Kisutu, Alhamisi iliyopita.

Ijumaa ya wiki iliyopita, Jeshi la Polisi, JWTZ, Mgambo pamoja na FFU, walizua vurugu kubwa Kariakoo, baada ya kuanza kuwarushia Waislamu mabomu ya machozi ndani ya Msikiti wa Idrisa mara baada ya sala ya Ijumaa.

Kama haitoshi, katika tukio lingine, kijana Daud Kapaya , amer ipot iwa kudiriki tena kukojolea Qur an maeneo ya Majumba sita Ukonga.

Baraza la Idd Mtambani leo

IMEELEZWA kuwa w a s i o t e n d a h a k i wala kufanya uadilifu katika wale walioko serikalini na katika vyombo vya dola, ndio watakaochafua amani ya nchi.

Kwa upande mwingine, i k a s e m w a k u w a wanachofanya Waislamu ni kudai haki na kutaka uadilifu ufanyike katika k u e n d e s h a n c h i n a kuwatumikia wananchi.

Hayo yameelezwa na Ustadh Kondo Bungo wakat i ak iongea na wandishi wa habari juzi Jumatano katika Msikiti wa Mtambani Jijini Dar es Salaam, ambapo alisema kuwa tatizo lililopo ni dhulma wanazofanyiwa Wa i s l a m u n a k i l a

Na Bakari Mwakangwale wanapolalamika badala ya kusikilizwa na hoja zao kutizamwa, wanapuuzwa na kuitwa wachochezi.

Alisema, baadhi ya mambo wanayolalamikia Waislamu ni pamoja na kuhoji utendaji katika Baraza la Mit ihani , kuwepo kwa MoU, suala la Mahkama ya Kadhi na OIC.

Amesema, jingine ni jinsi serikali inavyoipa nguvu na kui l inda B a k w a t a a m b a y o imekuwa ikihujumu na kufisidi mali za Waislamu.

Alisema, huenda kesi zilizopo mahakamani kwa sasa, zikatoa fursa kutolewa ushahidi wa madai ya Waislamu ili jamii ijue nini madai yao.

Na Bakari Mwakangwale

Hii akili gani?M A R A b a a d a y a k u t o k e a k i l e k i l i c h o d a i w a shambulio la kigaidi la kimeta (anthrax terror attacks) kule Marekani mwaka 2001, haraka haraka serikali ya Marekani pamoja na taasisi zake za kikachero, i l i t a n g a z a k u w a waliohusika ni Al Qaeda na Saddam Hussein wa Iraq.

K i m e t a h i c h o kilichokuwa kikidaiwa kusambazwa kwa njia ya barua, kilileta hofu na kitisho kikubwa hasa ikizingatiwa kuwa ilikuwa ni muda mfupi tu baada ya Septemba 11.

Barua ya mwanzo iliyodaiwa kuwa na kimeta ilianza kutumwa kupitia posta ya Trenton, New Jersey. Zikafuatia barua nyingine tano zilizotumwa katika vyombo vya habari vikiwemo ABC News, CBS News, NBC News na New York Post, vyote vikiwa na makao yake New York City.

Nyingine zilitumwa pia kwa wabunge wawili (Maseneta) kupitia chama cha Democrat, Tom Daschle (South Dakota) na Patrick Leahy (Vermont).

Katika shambulio hilo la kimeta, walikufa watu 7 na wengine 22 kupata maambukizi lakini wakawahiwa kutibiwa wakapona.

Ngoma ikapigwa sana ikiwa ni pamoja na kusambazwa ujumbe uliotakiwa uthibitishe kuwa kwel i barua walizotumiwa baadhi ya Wabunge zimetoka kwa

Al Qaidah (Waislamu). Barua iliyotumwa New York Post na NBC News zikawekwa maneno yafuatayo:

THIS IS NEXTTAKE PENACILIN

NOWD E A T H T O

AMERICADEATH TO ISRAELALLAH IS GREATNa ile iliyotumwa

kwa Maseneta Daschle na Leahy ikawa na ujumbe unaosema:

“YOU CAN NOT STOP US.

WE HAVE THIS ANTHRAX.

YOU DIE NOW.A R E Y O U

AFRAID?D E A T H T O

AMERICA.D E A T H T O

ISRAEL.A L L A H I S

GREAT.”

Kama tulivyotangulia k u s e m a , h a r a k a haraka FBI, White House waliutangazia u l i m w e n g u k u w a wana ushahidi kuwa wahusika ni Al Qaida wakisaidiwa na Saddam Hussein. Kwa kutumia kisingizio hicho, serikali ya Marekani ikafanya m a m b o m a k u b w a mawi l i : Kup i t i sha sheria ya kupambana na magaidi, maarufu Patriot Act ikiwa ni kifupi cha maneno Uniting (and) Strengthening America (by) Providing Appropr i a t e Too l s Required (to) Intercept (and) Obstruct Terrorism Act of 2001.

Baada ya kupitishwa s h e r i a h i y o h u k o M a r e k a n i , n c h i

Inaendelea Uk. 4

Page 3: ANNUUR 1041

3 AN-NUURDhuul-Hijja 1433, IJUMAA OKTOBA 26 - NOV. 1, 2012Habari

Msiba mkubwaNa Mwandhishi Wetu

ILE hofu i l iyokuwepo toka mwanzo kuwa zogo l i l i l o i b u k a Z a n z i b a r, kwamba ama limepangwa toka awali au linaweza k u t u m i w a , k u l e t a agenda kubwa kul iko i n a v y o d h a n i w a , s a s a imethibiti.

Limekuwa uwanja wa matayarisho na mazoezi ya kupiga mbio ili kuwakuta walipofikia Kenya, Yemen na Pakistan.

Kinachosikitisha ni kuwa toka litokee lile tukio ambalo limekuwa kama kitendawili cha kutekwa Sheikh Farid na yaliyojiri jijini Dar es Salaam, inavyoonekana ni kuwa kazi imekuwa nyepesi maana Tanzania inakimbilia yenyewe kuingia katika boti inayozama wakati waliomo wakihangaika kutafuta namna ya kujinusuru.

Hali hiyo imedhihirishwa na jinsi baadhi ya wanasiasa, vyombo vya dola, baadhi ya viongozi wa Makanisa na vyombo vya habari , walivyolishabikia suala hili wakijenga na kukoleza hofu na kitisho cha kuwepo magaidi.

Baada ya kukoleza hofu hiyo na kupiga propaganda ya kutosha, sasa kilichokuwa kinatafutwa kimetamkwa hadharani.

Eti ‘Tanzania kuna magaidi wa Al’ Qaida na Al Qaida wenyewe ni Masheikh wa Uamsho wakibebwa na Sheikh Farid Hadi.’

“ K i o n g o z i U a m s h o ana mafunzo ya Al Qaida. Yadaiwa ni mtu hatari sana kwa Watanzania.”

H i v y o n d i v y o tulivyoambiwa na baadhi ya magazeti juzi Jumatano yakinukuu walichokii ta vyombo vya usalama.

M e n g i n e y a k a s e m a , “Mazito yaibuka vurugu Zanzibar. Mmoja wa vigogo wa Uamsho si raia. Ahusishwa na mtandao wa Al Qaeda. Aliwahi kuwa askari wa Jeshi la Qatar.”

Katika maelezo magazeti hayo yakasema kuwa Sheikh Farid amepata kuhudhuria kozi mbalimbali za kigaidi zinazoendeshwa na Al Qaida katika nchi mbalimbali za Kiarabu ikiwemo Yemen.

“Kutokana na kuhudhuria mafunzo hayo, (eti) kiongozi huyo amekuwa na uwezo mkubwa katika kushawishi watu mbalimbali, hususani vijana kupitia dini…(Uislamu)

ili kutimiza mikakati yake ya kuvuruga amani nchini.” Limesema gazeti moja.

“Ni lazima serikali na vyombo vya ulinzi na usalama kuwa makini na huyu mtu na kundi la wafuasi wake, si raia wa Tanzania, hivyo anayotenda na kuwaumiza watu hayana madhara kwake wala familia yake. Hivyo a n a p a s w a k u d h i b i t i w a kikamilifi.”

“Amepewa mafunzo ya kigaidi, hata ukimuangalia ni mtu hatari anayeweza k u a n g a m i z a w a t u b i l a huruma.” Limeongeza gazeti hilo katika toleo lake namba 21330 la juzi Jumatano Oktoba 24, 2012..

Mchana kutwa juzi, vyombo vya habari mbalimbali jijini Dar es Salaam vilikuwa vikihaha kuwasiliana na watu wanaodhani kuwa wana taarifa zaidi za Sheikh Farid ili kukoleza taarifa walizopewa juu ya madai haya mapya kwa Sheikh huyo pamoja na Masheikh wenzake wa Uamsho kuwa ni magaidi.

Waliotajwa kutoa habari hizo wametajwa na magazeti yote kuwa ni “taarifa za kuaminika kutoka taasisi mbalimbali za kiusalama.

Mara lilipotokea tukio la Sheikh Farid kutoweka na jinsi vurugu lililoibuka lilivyojibiwa na vyombo vya dola ikiunganishwa na yale yaliyotokea Dar es Salaam, gazeti hili katika toleo lake la wiki iliyopita lilichapisha habari iliyotoa tahadhari kuwa huenda haya yote yanatokea ili kuwafungulia mlango kuingia

Tanzani “wapiganaji wa Crusade (Vita ya Msalaba)” i l iyotangazwa na Bush akijificha katika kichaka cha Vita dhidi ya ugaidi.

K a t i k a h a b a r i y e t u iliyoongoza tulisema katika hali ya kutoa tahadhari kwamba: “Vita ya Msalaba inakuja kwa nguvu.”

Tukasema kuwa huenda hali tete inayoendelea Dar es Salaam na Zanzibar ikatumika kuizamisha Tanzania katika tope ilikonasa Yemen, Kenya na Pakistan.

Ilipofikia Kenya ambako Tanzania inaonekana kuionea wivu, ni kupata kipigo cha maguruneti mara kwa mara na watu wasio na hatia kuuliwa ili kudumisha kitisho cha Al Shabab.

K a m a i l i v y o k w i s h a kudhihiri, maguruneti hayo hayachagui Polisi, Mkristo au Muislamu kama ambavyo m a k o m b o r a y a d r o n e hayachagui kule Yemen.

Tulichosema katika habari hiyo ni kuwa kumekuwa na mtindo wa kuchochea ghasia na kuwabambikizia watu ugaidi ili ipatikane sababu kwa mataifa ya kibeberu kuingia kikachero na kijeshi kuzitia nchi nyingine katika himaya yao inayodhibitiwa na utando wa kijeshi.

Tukasema kuwa, mara nyingi ugaidi, Al Qaida na majina kama hayo, ndiyo yamekuwa yakitumika kujenga hofu na hivyo kuhalalisha kuchukuliwa hatua kali za kijeshi.

Baada ya kujenga kitisho hicho na baada ya Maaskofu, viongozi wa serikali na maadh i ya ‘Mashe ikh ’ kutumika kukoleza hofu, sasa kilichokusudiwa kimesemwa hadharani.

Hata hivyo katika habari yetu ile ya wiki iliyopita t u l i o n y a t u k i w a s i h i Watanzan ia was ikuba l i kutumiwa kuitumbukiza nchi katika janga ambalo twaweza kuona mwanzo wake tu na ambalo litamdhukuru kila mmoja wetu.

“Mimi nawasihi viongozi wa serikali wawe makini w a s i j e w a k a w a k a m a Musharraf aliyeitumbukiza nchi yake yenye nguvu za nyukilia katika janga la serikali kutafuna raia wake akidai kupambana na magaidi.” An nuur liliandika likimnukuu mchambuzi mmoja.

Kile kilichokuwa kikihofiwa ndio kilichotangazwa juzi Jumatano. Kwamba Tanzania sasa inatakiwa kuwa uwanja wa kupambana na magaidi.

Haya yanajiri wakati nchi nyingine zilizotangulia katika vita hii bandia, zinajaribu kujinasua, lakini hazijui ijinasue vipi. Zishakabwa. Zishatiwa kitanzi.

Kwa mujibu wa taarifa rasmi za kiserikali na vyombo vya habari na vile vya kiutafiti, zaidi ya asilimia 90 ya watu wanaouliwa Pakistan na Yemen katika kupambana na wanaodaiwa kuwa magaidi, ni raiya wasio na hatia.

Hali hiyo imepelekea serikali ya Pakistan kuomba serikali ya Marekani kusitisha mashambulizi yake ya drones, lakini ndio kwanza yanazidi.

Kwa mujibu wa uchunguzi uliofanyika hivi karibuni na taarifa yake kutolewa na mwandishi David Rose alivyoripoti katika gazeti la “Daily Mail” la October 22, 2012, watu zaidi ya 3,300 wameuliwa kutokana na mashambulizi ya ndege za kijeshi za drone zikidaiwa kulenga shabaha za magaidi.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo, wengi wa watu hao waliouliwa ni wananchi wa kawaida wasio na hatia wakiwa wanafunzi, watoto na wanawake.

Yanachotokea Pakistan hivi leo yalianza kama haya tunayofanya hivi sasa.

Musharraf alipelekeshwa ikiwa ni pamoja na kunaswa k a t i k a m t e g o w a k i l e kinachoitwa “false terror attacks” akawatangazia ugaidi baadhi ya wananchi wake na kuwa mwenza katika Vita ya Msalaba ya Bush.

Ili kukoleza kitisho “false t e r ro r a t t acks” z ikawa zinaongezeka kila uchao kama zilivyokuwa zikirindima Iraq katika kuleta uhasama kati ya Mashia na Sunni.

Zikipigwa “false terror attacks” au makombora ya drone, hayachagui Mkristo au Muislamu, Polisi au raia, jambo ambalo nimepelekea kuuliwa kwa maelfu ya wananchi wasio na hatia.

Kama ngoma hii ya “Farid gaidi” itaendelea kupigwa hadi ikakolea na kufikia kiwango cha kile kitisho cha Al Shabab Kenya, basi Tanzania itakuwa imeingia katika ukurasa mpya wa kushuhudia mauwaji holela ya raia kwa kisingizio cha kupambana na magaidi.

Ukiacha mauwaj i ya raia wasio na hatia, mlango huo umekuwa ukitumika pia kuwafungulia milango mabeberu kuikalia nchi na kufanya uwanja wao wa kujidai ili kulinda masilahi yao.

Kama inavyotokea Pakistan hivi sasa na hata Kenya, mabeberu hao wanawea kuingia na kufanya lolote ikiwa ni pamoja na kukamata raia au kuingiza ndege zao za kijeshi bila kuomba kibali kutoka serikali za nchi hizo.

Pengine ambalo Watanzania wanatakiwa kujiuliza wakati wakipiga ngoma hii ya ‘ugaidi wa Masheikh’, je huko iliko Pakistan, Kenya na Yemen, ndiko wanakotaka kuipeleka nchi hii?

SHEIKH Farid (wa tatu kushoto) na viongozi wenzake.

Page 4: ANNUUR 1041

4 AN-NUURDhuul-Hijja 1433, IJUMAA OKTOBA 26 - NOV. 1, 2012MAONI

The Myths of Al Qaeda IN George Orwell’s classic “1984,” his world was held together by continuous and unending war: In the book his concept was defined by video clips of HATE, broadcast several times a day during which the population (in the novel) was required to watch and rave against the ENEMY. Those who rule this nation now, seek to use Al Qaeda as the 2005 version of the terror created in ‘1984’ by proclaiming the now infamous phrase “Links to Al Qaeda!”

Since the war began i n A f g h a n i s t a n , t h e administration has been using this completely damning and completely empty phrase at every opportunity. “Damning “ because the phrase carries all the unspoken horror, and all the unspecified terror that our Bandits want the world to feel - every time there is any activity that the USA disapproves of. “Empty” because nothing, despite Guantanamo and

Abu Ghraib, has ever been publicly found, no trials have been held that we know of, and no one has been convicted of being part of Al Qaeda - except the dead. So - What exactly is Al Qaeda?

Al Qaeda was created by the CIA, in their offices in Washington D.C. , According to Richard Clark in his most recent book. It was created for Saudi Arabia to bankroll Osama bin Laden, through the House of Saud, “in the Afghan war against the Soviet Union during the 1980’s and Riyadh and Washington together contributed an estimated $ 3 . 5 b i l l i o n t o t h e mujahideen.”

“In late 2003, U.S. News & World Report conducted an exhaustive study titled. ‘The Saudi Connection.’ Its findings included the following.”

“The evidence was indisputable: Saudi Arabia, America’s longtime ally and the world’s largest oil producer, had somehow

become, as a senior Treasury Department official put it, ‘the epicenter’ of terrorist financing’

Starting in the late 1980’s - after the dual shocks of the Iranian revolution and the Soviet war in Afghanistan - Saudi Arabia’s quasi-official charities became the primary source of the funds for the fast-growing jihad movement. In some twenty countries the money was used to run para-military training camps, purchase weapons, and recruit new members’

Saudi largess encouraged U.S. officials to look the other way, some veteran in te l l igence o ff i ce r s say. Billions of dollars in contracts, grants, and salaries have gone to a broad range of former U.S. officials who had dealt with the Saudis: ambassadors, CIA station chiefs, even cabinet secretaries’

Electronic intercepts implicated members of the royal family in backing not only al Qaeda but also

Hii akili gani?mbalimbali duniani, i k iwemo Tanzan ia , z i k a l a z i m i s h w a n a Washington kuweka sheria mithili ya Patriot Act.

Jambo la pili ililofanya Marekani ku tokana na ‘shambul io h i lo la kimeta’ ni kujenga hoja na kisingizio cha kuishambulia Iraq kwa madai kuwa ina silaha za maangamizi.

Hata hivyo, haukupita muda ukweli ukadhihiri. Ikafichuliwa kuwa kumbe kimeta kilitolewa kutoka maabara ya kijeshi (Bio Defense Labs) kule Fort Detrick, Frederick, Maryland mtuhumiwa namba moja ak iwa mwanasayansi Dr. Bruce Edwards Ivins.

Haukupita muda Dr. Bruce Edwards Ivins akafa katika mazingira ya kutatanisha muda mfup i tu baada ya ukweli huu kufichuka na FBI kutangaza kuanza uchunguzi.

Baada ya utangulizi huu, turudi kwenye mada. Lile gazeti ambalo liliwahi kutangaza habari za mtoto wa shule ya msingi aliyefanikiwa kupenya ngome ya ulinzi ya Ubalozi wa M a r e k a n i k u f a n y a shambulio la kigaidi, jana lilifahamisha kuwa Tanzania kumefunguliwa tawi la Boko Haram.

Likiarifu habari hizo gazeti hilo katika toleo lake namba 02135 la Alhamisi Oktoba 25, 2012 limesema kuwa wakati Sheikh Farid akidaiwa kuwa ni gaidi la Al Qaida, “ziko taarifa kwamba miongoni mwa (Masheikh wa Uamsho) wanaotuhumiwa…kuna mmoja ambaye anadaiwa kuwa mwakilishi wa kikundi cha Kiislamu cha Boko Haram cha Nigeria, akikiwakilisha katika Afrika Mashariki, ku tokea Mombasa , Kenya.”

Likifafanua gazeti hi lo l ikasema kuwa “nchini wafuasi wake

Inatoka Uk. 2

wanadaiwa kutumia jina la Hizb Tahrir na alipata kutambulishwa jijini katika viwanja vya Magomeni miaka takriban miwili iliyopita na wamekuwa na mkakati wa kuchoma makanisa n a b a a . ” ( Ta z a m a HABARILEO Alhamisi Oktoba 25, 2012).

H A B A R I L E O limesema hayo baada ya kuarifu kuwa Sheikh Farid anachunguzwa

kuhusu kuhusika kwake na mtandao wa kigaidi wa Al Qaida.

“Jeshi la Polisi kwa sasa linafuatilia kwa karibu sana nyendo zote za kiongozi wa Uamsho, Sheikh Farid ikiwamo kuhusika kwake na mtandao wa Al Qaida.”

HABARILEO lilisema likimnukuu Kamishna wa

Polisi Zanzibar, Mussa Ali Mussa ndio likaona likoleze habari hiyo na kitisho cha kuwepo Boko Haram.

Wakat i Kamishna Mussa akitoa taarifa ya kutuhumu viongozi wa Uamsho kuwa ni magaidi, ni Al Qaida, Polisi na vikosi vya SMZ, vimekuwa vikizunguka katika mitaa ya Unguja kushusha bendera za Uamsho.

K a t i k a b a a d h i y a m a e n e o a s k a r i h a o w a m e o n e k a n a wakizikanyagakanyaga na nyingine kuzichana bendera hizo zenye Kalima ya Shahada, Laailaha ila llah.

Habarileo likifafanua juu ya Boko Haram limesema kuwa ‘magaidi’ hawa wapo nchini kiasi

miaka miwili sasa na kwamba hawafanyi uharamia wao kama wale wauza bangi na madawa ya kulevya. Anasema Boko Haram hawa wa Tanzania walitangaza wazi hadharani kuwa agenda yao ni kuchoma makanisa na baa.

Pengine swali hapa lingekuwa kwa nini v y o m b o v y a d o l a havikuwakamata Boko Haram hawa mara tu

baada ya kujitangaza hadharani pale Magomeni miaka miwili iliyopita? Kwa nini madai haya yanakuja leo katika kesi hii ya Uamsho?

Lakini hilo tuliache m a a n a s i o a g e n d a yetu ya leo. Wakati Habarileo na Kamishna Mussa wakihangaika na Al Qaida na Boko

Haram, tungependa tuware je she ka t ika lile tukio la shambulio la kimeta Marekani l i l i louwa watu saba ikasingiziwa Al Qaida. Kama tulivyobainisha ni kuwa baada ya vumbi la propaganda kutulia, ukweli ulidhihiri kwamba waliodaiwa kuwa ni Al Qaida kumbe ni ‘Maabara za Kijeshi za Marekani na mtuhumiwa mkuu ni mwanasayansi wao Bruce Edwards Ivins.

Hata hivyo, bahati haikuwa upande wa wadhulumiwa, hasa wale raia wa Marekani waliouliwa na kimeta kile kwa sababu mtuhumiwa alikufa kabla ya kesi kuzungumzwa kwa hiyo ikawa mwisho wa kesi. Lau kesi hiyo ingefika mahakamani, hapana shaka ingekuwa pigo kubwa kwa White House na ingebidi wafiwa na wadhulumiwa wadai fidia kubwa. Lakini pia ingekuwa mwisho wa mchezo huu wa Washington kutumia Al-Qaeda kama CIA proxy.

Lakini kwa bahati mbaya kwa sababu haijatokea, ndio leo Habarileo na Kamanda M u s s a w a m e k u w a washirika wa mchezo huu mchafu wa ‘Al-Qaeda, a CIA proxy.”

Pierre-Henry Bunel, aliyewahi kuwa kachero katika jeshi la Ufaransa aliwahi kusema kuwa kinachoitwa Al Qaida ni mchezo uliobuniwa na unaotumiwa kama p r o p a g a n d a k a t i k a kufikia malengo fulani.

“In fact, al-Qaeda is not even a terrorist group, but is instead a propaganda campaign and carefully devised bogeyman.”

“The truth is, there is no Islamic army or terrorist group called Al Qaida. And any informed in te l l igence of f icer knows this. But there is a propaganda campaign to make the publ ic believe in the presence of an identified entity

Inaendelea Uk. 8

Cont. Pg. 8

Page 5: ANNUUR 1041

5 AN-NUURDhuul-Hijja 1433, IJUMAA OKTOBA 26 - NOV. 1, 2012Makala

PROPAGANDA ni hamasa inayotolewa kwa ajili ya kushawishi na kuhamasisha watu waamini au wawe na imani na matumaini juu ya jambo fulani. Wakati mwingine ni kwa sababu ya watu au kikundi cha watu kutaka kuungwa mkono na umma juu ya jambo fulani.

Mara nyingi propaganda imekuwa na malengo ya kuwanufaisha wale wanaoipiga kuliko wale wanaopigiwa. Na kwa bahati mbaya, wahandisi wa propaganda wanakuwa tayari wamekwishapanga malengo na maslahi yao, lakini wale wapokeaji (wananchi) wanakuwa tegemezi wakikaa kusubiri tu matokeo .

Kwa kifupi propaganda ni mchezo wa kutimiza mipango ya wachache kwa kutumia uungwaji mkono kutoka kwa walio wengi.

Propaganda inapole ta matokeo yaliyo kinyume na yale yaliyokusudiwa na umma, lakini wakati huo huo ikiwa imetimiza matarajio ya waliokuwa wakiipiga, hapo hubainika kuwa ilikuwa ni propaganda.

Kwamba i l i kusud iwa kuwafanya watu wasiweze kujua ukweli wa jambo fulani ambalo lilikuwa ni la kuwanufaisha wale waliokuwa w a k i i p i g a . P r o p a g a n d a cha fu k ims ing i n i kwa ajili ya kufunika ukweli ili kumnufaisha yule anayeipika propaganda hiyo.

Matukio ya hivi karibuni yameifanya jamii ya Waislamu nchini kusakamwa na maneno kadha wa kadha ya kudhalilisha. Wanaambiwa kuwa ni watu wa vurugu, wanahatarisha amani na utulivu wa nchi, walalamishi, wasiosoma, watu wanaobeba imani kali za kidini n.k.

Baadhi ya vyombo vya habari kama ilivyo kawaida, v i m e k u w a v i k i a n d i k a kishabiki na kizandiki juu ya matukio yaliyojiri. Wapo waliofananisha au kuhusisha kabisa tukio la Zanzibar na matukio yanayofanywa na makundi kama Al-Qaeda, Al shaabab, Boko Haram nk. ilimradi kila mwandishi anaandika kile anachokihisi yeye na kukimwaga kwa umma.

Kwa ujumla umma wa Watanzania kupitia viongozi wa serikali, baadhi ya vyombo vya habari umeaminishwa kuwa jamii ya Waislamu ndio waasisi wa vurugu za kidini hapa nchini.

Pamoja na upotoshaji huo wa makusudi, ambao umeegemea katika propaganda chafu zaidi ili kuficha ukweli wa kiini cha tatizo, jamii ya Waislamu bado imeendelea kusimama katika kuitupia lawama serikali

Haitawezekana kuzima hisia za imani kwa mabavu

Kama ni hofu ya mpasuko tayari upo Wa kulaumiwa ni serikali

Na Shaban Rajab

kwa kuwa kiini cha tatizo kwa kufumbia macho kwa makusudi malalamiko yao dhidi ya dhulma na uonevu unaofanywa dhidi yao.

Lakini kwa kuwa propaganda chafu zimeteka fikra za watu, huku zikificha ukweli juu ya shida za jamii ya Kiislamu nchini, basi wanaohandishi propaganda hizo wanaendelea kutimiza malengo yao kwa kutumia mwanya huo wa umma kushindwa kutambua ukweli juu ya jamii hii.

Katika Kampeni za uchaguzi mwaka 2005, kwenye kitabu cha Ilani ya Chama cha Mapinduzi – CCM, waliahidi kulipatia ufumbuzi suala la kuanzishwa mahakama ya Kadhi nchini. Hii ilikuwa faraja kwa Jamii ya Waislamu nchini.

Uchaguzi ulipita, miaka m i t a n o y a a w a m u y a kwanza ya Rais Kikwete ya kutekeleza ilani imepita, hakuna Mahakama ya Kadhi. Umefanyika uchaguzi Mkuu 2010, leo ni miaka 12 imepita tangu ahadi itolewe, hakuna Mahakama ya Kadhi.

Suala la Mahakama ya Kadhi lilifika hadi Bungeni kwa baadhi ya wabunge kutaka

kujua hatma yake. Majibu yalikuwa yale yale, mchakato unaendelea.

Waislamu walikuja juu kutaka kutatuliwa shida yao na kuitaka serikali iheshimu na itekeleze ahadi zake kwa Waislamu. Wazir i Mkuu Mizengo Pinda na Mufti Issa Shaaban Simba wa Bakwata wakaunda Kamati Maalum ya Wajumbe 25, kati ya Waislamu na serikali kufuatilia mchakato huo.

Hata h ivyo Maaskofu w a l i t u m b u k i z a n y o n g o katika suala hili. Hawakutaka kuwepo na mahakama hiyo tangu awali. Wakaikaripia serikali. Propaganda zikaanza kutengenezwa. Waislamu w a k a a m b i w a w a n a t a k a kuisilimisha nchi, kama ilivyo ada, wakaambiwa watakata watu mikono, watu watapigwa mawe. Vyombo vya habari kama kawaida vikachagiza zaidi na zaidi.

Pamoja na viongozi wa Waislamu kujitahidi kufafanua, haikufua dafu kwa propaganda hizo.

M c h a k a t o u k a z i d i kucheleshwa na mjadala unyambulishwa zaidi.

Baada ya kimya kirefu,

Waislamu walihoji tena, kawia kawia hii kulikoni, wakaambiwa mchakato upo karibu kukamilika japokuwa bado kuna vipengele vichache tu , ambavyo bado kuna mvutano.

Bi la shaka v ipenge le hivyo ni juu ya uendeshaji wa mahakama hiyo ambapo Waislamu wanataka iendeshwe kwa gharama za serikali kwa kuwa ni sehemu ya huduma za jamii ya watanzania, lakini serikali haikuwa tayari kwa hilo ikikumbuka karipio la maaskofu. Yenyewe iliendelea kusimamia hoja ya Maaskofu kuwa gharama hizo ni kodi za watanzania wote hivyo haiwezekani kuchukua kodi za watu wote kuendesha mahakama ya Waislamu.

Wakati serikali na Maaskofu wakishikilia hoja hiyo ya kuktaa kodi za umma kutumika kuendesha Mahakama za Kadhi, Waislamu wamehoji, mbona serikali hiyo hiyo kupitia mkataba wa maridhiano kati ya Kanisa na serikali wa mwaka 1992 –Memorandum of Understanding MoU) uliruhusu serikali kutoa fungu kutoka hazina kwa ajili ya kuendesha taasisi za Makanisa?

Fedha hizi zinatolewa hadi leo kwa kuwa tayari ni mkataba wa serikali na Wakristo. Lakini fedha hizo nazo ni zile zile zilizotokana na kodi za umma wa watu wote wakiwemo Waislamu lakini zinachotwa na kupewa Wakristo.

H i l i W a i s l a m u wamelilalamikia kwa muda mrefu lakini kama nilivyoeleza hapo awali, wanapuuzwa a u w a n a d h a r a u l i w a , hakuna anayeja l i h is ia zao japo malalamiko yao wanayasikia.

I t a k u m b u k w a k u w a katika Baraza la Eid el Fitr lililofanyika Dodoma mwaka jana, Rais Jakaya Kikwete ambaye al ikuwa mgeni rasmi aliwaambia Waislamu kuwa wenzao waliomba wamepewa na wao wakitaka wakaombe!.

Walipoomba Wakristo hakukuwa na hoja kwamba fedha wanazomba zinatokana na kodi za watu wote hivyo haiwezekani kutumiwa na Wakristo pekee. Bali ombi lao litekelezewa mara moja.

“Wenzenu wameomba wakapewa, na nyie kaombeni”. Haya ndio yalikuwa majibu ya Rais Kikwete.

M a j i b u y a n a m n a h i i y a l i w a c h a n g a n y a z a i d i W a i s l a m u . Yamewachanganya kwa kuwa tayari na wao walishaomba f e d h a z a k u e n d e s h e a Mahakama za Kadhi, lakini wanakatal iwa kwa ki le kinachodaiwa kuwa ni fedha za watu wote hawawezi k u p e w a k u e n d e s h e a Mahakama zao. Majibu haya ndio ndio msimamo wa Maaskofu kwa serikali.

Ubaguzi huo haukutosha, kwa mshangao mkubwa, Mufti wa Bakwata Issa Shaaban Simba, akiwa Dodoma ambako alikuwa na vikao na viongozi wa ngazi za juu wa serikali, alitangaza kuteua Makadhi, kuanzia Kadhi Mkuu hadi wa mikoani na kwamba, uteuzi wa makadhi wa ngazi za chini utaendelea!

Tangu hapo hakuna tena taarifa ya ile Kamati ya watu 25 iliyoundwa na Waziri Mkuu Pinda na Mufti Simba kwamba ilifikia wapi. Na suala la Mahakama ya Kadhi linatakiwa kuishia hapo maana makadhi washapatikana!

Kwa staili hii Waislamu wakiandamana, wakihoji na kulalamika kudai haki yao, kwa nini waitwe watu wa vurugu? Kwa nini wapambwe na propaganda za udini, kwa nini wabatizwe majina ya ajabu ajabu?

BAADHI ya wanafunzi wa shule ya Aljebra, wakiwa katika mahafali ya shule hiyo Jumapili ya wiki iliyopita katika viwanja vya shule hiyo, Kibada, Kigamboni Jijini Dar es Salaam.

Page 6: ANNUUR 1041

6 AN-NUURDhuul-Hijja 1433, IJUMAA OKTOBA 26 - NOV. 1, 2012Makala

W A T A F I T I w e n g i wamejaribu kumuelezea kwa kina Julius Kambarage Nyerere alikuwa binaadamu wa aina gani, lakini baadhi yao wanaamini kuwa alikuwa ni mtu ambaye ni vigumu kumuelezea kinagaubaga taswira yake na mwenendo wale mzima kwa ujumla. Katika insha hii tutajaribu kumchambua JKN angalau tupate ufunuo kuhusu hilo.

Katika zama zake kileleni Mwalimu, kama wafuasi wake wakipenda kumwita, msomi huyu mahiri wa Afrika, alinyenyekewa mno kwa heshima na Watanzania wengi huku wengi p ia wakimnanga kwa staili ya utawala wake ambao ulikuwa wa kibabe na wenye harufu za kidikteta. Wengine walimpa jina ‘dikteta mrahimu’.

Ukweli ni kuwa Watanzania mara kwa mara wamekuwa wak i sh indwa ku ta f s i r i yale ambayo Mwalimu aliyasimamia, misimamo yake ya sera zenye misingi ya utu wa binaadamu na azma zake za kifilosofia. Kuyajadili mafanikio yake na vilevile makosa yake. Tumeshindwa kumsoma bila ya ushabiki, sijui ni kwa sababu za uvivu au ni woga. Kwa hakika, kwa yeyote atakae kupanda ngazi ama ya kijamii au ya kisiasa, basi busara ya kawaida tu itamlazimu akwepe kutaja makosa ya Nyerere hata kama yanafahamika kwa wote. Hii imekuwa kama khulka ya Kitanzania.

Nyerere hayuko nasi leo na hii ni sababu nzuri ya kutaka kukumbuka kuwa hapo zamani alipata kuwepo mwanasiasa aliyeongoza harakati za kutafuta uhuru wa nchi hii; akabahatika kuaminiwa na watu wake; akajaribu kufanya yale aliyoamini kuwa ni ya manufaa kwa nchi yake; akalazimisha majaribio tata ya fikra na sera zake kwa wananchi wake aliowapumbaza, kwa muda wa miongo miwili na nusu na tofauti na madikteta wengine wa Kiafrika, hakustaafu kwa kupinduliwa. Lakini mwishowe, kwa msaada wa masharti magumu ya kiuchumi ya Benki ya Dunia (Bretton Wood institutions) aliachia ngazi mnamo mwaka 1985.

Hivi Nyerere alikuwa ni nani? Je, alikuwa ni mwana wa chifu mmoja asiyejulikana kutoka madongokuinama aliyeamua kuishi maisha ya

Nyerere – Kitendawili tusichokijua

mtu wa kawaida? Je, alikuwa Mkristo mzuri aliyevaa baraghashia ya Kiislamu kama vazi lake la kawaida tu? Au, ni Mwalimu msomi alieacha kufundisha ili ajiunge na siasa? Au, ‘Mkomunisti’ aendaye kanisani kila leo na kupata sakramenti? Ama kiongozi ambaye aliyejizatiti kuwafikiria wananchi wake na ukombozi wa Afrika tu? Yawezekana alikuwa muunganishaji aliyetuachia muungano wenye nyufa tele? Au alikuwa mmajumui wa Afrika aliyekataa katakata kuanzishwa kwa Serikali moja ya bara la Afrika. Haswa, huyu Nyerere alikuwa mtu wa aina gani?

Mwalimu alikuwa mtu mwenye familia njema na alijaaliwa watoto kadhaa. U k w e l i s o t e t u n a u j u a kuwa, familia yake iliishi maisha ya kawaida bila ya kuonyesha kiburi, fahari au kuwanyanyasa watu wa kawaida. Ukitambua namna Mwalimu akiogopwa, hata mara moja hakufikiria wala kujaribu kuendeleza ‘ufalme’ kwa kumtayarisha mwanae au nduguye amrithi. Pengine angetaka, asingekuwepo w a k u p i n g a ! L a k i n i alipinga mchezo huo wa

‘ndugunaizesheni’. Na kwa hilo anastahili heko.

Hata hivyo, Mwalimu aliweza kufanya mengi ambayo hakuna aliyediriki kumzuia. Alifuta mfumo wa uchifu, alifuta serikali za Mitaa, Ushirika, Vyama vya wafanyakazi na hata vyama vya siasa vya upinzani. Alitaifisha mali binafsi za watu, mashule, mahospitali na kila kilichomkalia sawa. Aliendesha uanzishwaji wa vijiji vya Ujamaa bila ya mpangilio wala ubinaadamu, alisweka ndani wapinzani wake, alitekeleza sheria kadhaa kandamizi na kupiga marufuku maandamano na migomo. Sote tunakumbuka zama zile mambo haya yalikuwa ya kawaida kabisa. Mwalimu alifanya atakavyo na hakuna aliyesema fyoko!

H a d h a r a n i , N y e r e r e alijitahidi kuwaunganisha Watanzania kwa dhati kabisa. Watanzania kwa wakati ule walikuwa wachache mno kulinganisha na ukubwa wa nchi. Msimamo wake huu wa umoja ulijidhihirisha zaidi kwenye namna alivyokuwa ak iu l inda na kuu te t ea Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Muungano ambao uliundwa chapchap, kwa

kufumba na kufumbua macho na ukawa, kufuatia mapinduzi yaliyoendeshwa na genge dogo la watu pasipo na silaha za moto wala mafunzo ya kijeshi kumpindua Sultan Jamshid. Miongo mitano imepita sasa na baada ya nyaraka za siri za Serikali ya Marekani kuwekwa bayana, wachambuzi wamekuwa wakihoji sababu za kweli ambazo zilipelekea Muungano huo kuundwa.

Pamoja na nia njema ya Nyerere, ukweli ni kuwa Muungano huo uliasisiwa na Serikali za Marekani na Uingereza kwa nia ya kuzuia uwezekano wowote wa ‘wakomunisti’ kuteka mapinduzi ya Zanzibar. Hili lingewezekana kwa sababu Serikali ya ASP ilikuwa dhaifu mno na Abdulrahman Babu, kiongozi wa Umma Party na mkomunisti aliyekubuhu, aliwanyima raha Wamarekani, Waingereza na Nyerere. Kwa hiyo, Nyerere akalazimishwa na Wamarekani na Waingereza kupeleka askari kanzu 300 wa Tanganyika kwenda Zanzibar i l i waml inde Karume na Serikali yake, hii ikasaidia muda mfupi baadae kumtisha Karume akubali haraka kutia sahihi mkataba wa muungano.

Lakini ni vyema pia kukumbuka kuwa Nyerere mwenyewe alikumbana na zahma adhimu kama miezi miwili kabla hapahapa Dar es Salaam kufuatia uasi wa kijeshi na yeye kuingia mafichoni kwa siku kadhaa. Akawaomba Waingereza wakale ta manowar i na majeshi na kufanikiwa kumrejesha madarakani. Kwa Mwalimu, tukio la yeye kuwaomba wakoloni msaada lilimuaibisha bila kifani. Kwa hiyo haikuwa vigumu ‘kumminya’ Nyerere ili afanye kazi yao ya ‘muungano’ baada ya yeye kufaidi fadhila za Waingereza. Waswahili wana msemo, ‘Fadhi la huzaa fadhila’. Hata hivyo, Mwalimu katika miaka yote hii, amekuwa akijitetea kuwa Muungano umesababishwa na sababu za udugu baina ya nchi hizi mbili na kuwa hii ni hatua ya mwanzo ya kufikia ‘Muungano wa Afrika’ nzima.

Watanzania wanakumbuka fika kuwa kabla na baada tu

ya Uhuru wa Tanganyika, taas is i ze tu kama vi le kampuni za Reli, Simu, Posta, Idara ya Ujenzi nk. nk. ziliweza kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi mkubwa. Mathalan, reli waliweza kuendesha ratiba ya kuaminika ya safari za treni bila ya hitilafu. Barabara ya Dar-es-Salaam sehemu za Magomeni, Ilala, Kinondoni na Temeke zilikuwa ni za lami. Wazee wetu wanafahamu, hizo ndio siku za kuzikumbuka kwa tabasamu.

Ilipofika mwaka 1975, miundombinu takriban yote ilikuwa nyang’anyang’a. Hali ilifikia pabaya. Nchi ilikuwa inaporomoka vibaya chini ya usimamizi wa Nyerere. Taratibu za kiutawala za Serikali Kuu zilidorora na n idhamu imeshuka vibaya. Miaka ya mwanzo ya themanini mashirika ya umma karibuni 400, karibuni yote mali ya watu binafsi iliyotaifishwa, yalikuwa yanaka r ib i a ku f i l i s i ka kutokana na ubadhirifu na wizi usiomithilika. Kwa Nyerere, ilikuwa dhahiri kuwa ‘majar ib io’ yake yalikuwa yamefeli ile mbaya. Huku akijaribu kutafuta njia ya kuchomokea, Nyerere alisononeshwa zaidi na kauli za wananchi wakati huo, ‘afadhali ya wakati wa mkoloni’ au ‘Mchonga nchi imekushinda, huambiliki!’. Akahamaki kweli.

Utaifishaji wa mali za watu binafsi uliofuatia Azimio la Arusha mwaka 1967 uliendeshwa kijinga mno kiasi cha kufikia hatua hata ya kutaifisha vijiduka vidogo vya rejareja vijijini kutoka kwa watu binafsi. Lakini Nyerere hakusita na zoezi liliendelea. Katika miaka ya kati ya sabini, Ujamaa ulikuwa unafaidi ruzuku na misaada mingi kutoka nchi za Scandinavia na China na ndio maana Mwalimu aliweza kuwapa wananchi wake elimu bure, huduma za afya bure na kila kinginecho. Watanzania wakalemaa. Mwalimu nae akawa shujaa kwa watu wake angalau kwa muda mfupi. Haikupita muda Shirikisho la Afrika Mashariki likavunjika mwaka 1977 na kuathiri uchumi wetu kwa kiasi kikubwa.

Punde si punde, Vita ya Kagera nayo ikaleta maafa makubwa kwa uchumi wa Taifa. Ugumu wa maisha

Inaendelea Uk. 7

MWALIMU Julius Kambarage Nyerere.

Page 7: ANNUUR 1041

7 AN-NUURDhuul-Hijja 1433, IJUMAA OKTOBA 26 - NOV. 1, 2012Makala

Nyerere – Kitendawili tusichokijuaInatoka Uk. 6ukakaba taifa. Wachunguzi hata hivyo wanahoji sasa hivi kwanini Mwalimu hakujaribu kutatua mgogoro u le kwa mazungunzo? Hivi kweli ilikuwa lazima tupigane vita wakati Umoja wa Afrika (OAU) ulikuwa ukijaribu kusuluhisha? Hivi inawezekana, Mwalimu angetangaza vita kumng’oa Id i Amin kama sahibu wake wa karibu Bw. Milton Obote asingekuwa anapanga kunyakuwa madaraka nchini Uganda? Obote aliweka kambi za kijeshi hapa nchini kwa miaka mingi.

H a t i m a y e O b o t e a l i f a n i k i w a k u r u d i madarakani angalau kwa muda mfupi na kupinduliwa tena kwa sababu ya ubadhirifu mkubwa wa mali za umma na ku rud i uhamishon i Zambia mpaka alivyokufa miaka michache iliyopita. Vyovyote utakavyoangalia, leo hii bado nchi hii inajaribu kujiponya kutokana na athari za kiuchumi ambazo vita ile ilitusababishia. Urafiki wa Nyerere na Obote uligeuka tatizo letu la kitaifa.

Ilipofika hapo, uchumi ukiyumba na sera yake ya Ujamaa ikiwa inayoyoma, Nyerere sasa akawa amefikia ukomo wa safari yake. Amekwama! Manyang’au wa Benki ya Dunia na mafisi wa IMF wakafurahia kutokana na uhaba mkubwa w a c h a k u l a n c h i n i . Wakasema, sasa umefikia wakati wa kumkomesha Nyerere kisawasawa. Naam, wakafanya ilivyotarajiwa, wakamwekea Mwalimu masharti magumu ya mikopo ya kunusuru uchumi wa nchi yake.

K a m a m b i n u y a kuwaliwaza wananchi wake M w a l i m u a k a m r u h u s u Waziri Mkuu wake Edward Sokoine (sasa marehemu) awashughulikie ‘wahujumu uchumi’. Akataifisha mali na kuwafunga matajiri . Akaanz isha mahakama uchwara zisizo na uhalali w ow ote kuw ahukumu . Mfano, mtu mmoja alifungwa miaka kadhaa kwa kuwa na televisheni. Na mwingine alienda jela kwa kuwa na kopo la dawa za tetracycline. Chini ya usimamizi wa Mwalimu, maafa makubwa yaliwapata wananchi wa kawaida na wakati mwingine yalisababisha vifo.

Kampeni hii ya uhujumu uchumi ya mwaka 1983

ilifananishwa na ujio mpya wa Azimio la Arusha la mwaka 1967. Utaifishaji huu holela uliojaa dhuluma ulithibitisha kuwa sera za Mwalimu zimeshindwa katika kuitawala nchi kwa ufanisi. Ukweli huu ulijidhihirisha zaidi katika siku zake za mwisho kabla ya kung’atuka. Ili kunusuru uchumi na kwa aibu kubwa ilibidi akubali kushusha thamani ya sarafu ya nchi kutokana na masharti ya IMF. Kung’atuka kwa Mwalimu ikawa ni suala la muda tu.

Ilipofika mwaka 1985, aling’atuka huku akiiacha nchi kwenye uchumi mbaya ku l iko waka t i wowote katika historia ya nchi hii. Hata hivyo, harakati kubwa zikafanywa na propaganda za kisiasa zikatekelezwa ili kumpa kisingizio cha muonekano kuwa, Mwalimu aliamua kustaafu urais kwa hiari yake.

Katika historia, ni vyema tukakumbuka, moja ya nyakati ambazo Nyerere alijikwaa na kuvurunda ilikuwa pale alipounga mkono kujitenga kwa jimbo la Biafra kule nchini Naijeria (Nigeria). Hiyo ikiwa kinyume kabisa na maazimio ya Umoja wa Afrika ambayo Nyerere aliiasisi. Aliivalia njuga kampeni hii hadi kukusanya michango na misaada isiyo ya hiari nchi nzima, na kuipeleka Biafra. Ilishangaza wengi duniani kuwa Nyerere alikuwa anashad id ia kuvunj ika

kwa Taifa huru la Naijeria (Nigeria).

Siri ilikuja kufichuka baadae ilipothibitika kuwa kumbe mpango mzima ulikuwa ni hila tu za Kanisa Katoliki zikisimamiwa na Nyerere, Houphouet Boigny wa Ivory Coast na Rais Eyadema wa Togo. Hatimaye, heshima na uadilifu wa Nyerere miongoni mwa Waafrika uliporomoka kwa kiasi kikubwa mno huku vita isiyo ya lazima ya Biafra ikisababisha vifo, visivyo na lazima, takriban milioni moja na maafa makubwa. Kwa bahati, Naijeria kama nchi ikasalimika.

Pamoja na mikenge yote hiyo, Mwalimu alisifika kwa msimamo wake hususan katika mambo ambayo aliyaamini. Alikuwa hatetereki asilani. Alipiga vita ukabila kwa kuwastaafisha machifu wote nchi nzima baada tu ya Uhuru. Alifanya juhudi za makusudi kuiimarisha na kuirasmisha lugha ya Kiswahili. Aligundua baadae umuhimi wa lugha hii kama nyenzo ya kuimarisha utawala wake. Alipiga vita rushwa na ufisadi bila ya kuchoka. Alitetea wanyonge mpaka mauti yalipomkuta na hakusita kuwabamiza wale wote walionadi sera za kibaguzi. Na baada ya kustaafu, aligeuka mkosoaji mkubwa wa Serikali hadi kuchukiwa kwa uchokonozi wake dhidi ya matumizi mabaya ya madaraka.

Kiukweli kabisa, Mwalimu alikuwa na umahiri mkubwa

kama mzungumzaj i na ufasaha wake wa lugha ulimbeba. Angeweza kusema chochote wakati wowote. Na wasikilizaji wakasikiliza na kumwelewa. Ni kipaji tu. Alipokuwa akizungumza wasiompenda walikuwa wanaungulika kwa ghadhabu, na alipoamua kujibu mapigo ya mahasimu wake ilikuwa ni balaa, watu waliingia mitini. Cha kushangaza zaidi ni kuwa Kiswahili na Kiingereza ni lugha mbili alizozimudu kwa kina lakini zote hizo hazikuwa lugha mama kwake. Alijifunzia ukubwani kwa kujizatiti sana.

L a k i n i M w a l i m u al i tambulika kwa tabia yake ya uropozi. Alikuwa hamkopeshi mtu na kwa hiyo tabia yake ilikuwa ni neno kwa neno. Kuna wakati mmoja alikorofishana na Margaret Thatcher, Waziri Mkuu wa Uingereza aliyepita na kumbwatukia ‘Bi Thacher anafanya uhuni na heshima ya Taifa lake’ au pale alipomnanga Idi Amin na kumuelezea kuwa ‘… Amin ana kichaa kilichosababishwa na kaswende’. Ni kutokana na khulka hii basi haikushangaza kumsikia Ian Smith, Waziri Mkuu dhalimu wa Rhodesia akimwita Mwalimu ‘ibilisi mbunifu’

Mwalimu, katika uhai wake ameandika vitabu vingi na tenzi na mashairi pia. Hata hivyo aligoma kabisa kuandika kitabu kuhusu maisha yake yeye mwenyewe. Watu kadhaa wa karibu kwake walimsihi sana lakini wapi. Ni ngumu kuelewa kwanini basi, Mwalimu ambae alisikiliza sana dhamira yake katika kila jambo alilotenda lakini kinyume chake aliishi maisha yake yote huku akiwaza namna historia itakavyomkaanga hapo baadae.

K i s i a s a , M w a l i m u ametuachia CCM iliyojaa w a f u a s i m a a m u m a n a wengine mbumbumbu…watu wenye uchu wa madaraka wanaopenda kujilimbikizia mali. Wazoefu wa kuimba nyimbo za kusifiana kwa v i g e l e g e l e n a m a k o f i mengi. Chaguzi za Chama cha Mapinduzi zimegeuka gulio la kuuza na kununua kura mchana kweupe. Na hao wanaojinasibu kuwa ni wafuasi wa Nyerere hutumia nukuu zake na wosia

wake pale tu wanapokuwa na maslahi binafsi. Hawa hawakujifunza kitu kutoka kwa Mwalimu.

Hivi sasa kuna fukuto la mvutano wa kidini nchini. Wa i s l amu wana l a l ama k u w a k w a m a k u s u d i Mwalimu alitumia uraisi wake kunufaisha Ukristo na Wakristo katika teuzi za uongozi, nafasi za masomo na ugawaji wa keki ya Taifa. Mwalimu katuachia tatizo hili na sasa linatishia utaifa wetu.

Na hivi tunavyoadhimisha miaka 13 ya kifo chake, mtu huyu ambae alionekana kama vile anapiga vita udini, Kanisa Katoliki liko mbioni kumtakasa na kumtawaza kuwa ni ‘mtakatifu’. Hatua hii imezaa utata na maswali mengi. Watu wanauliza je, Kanisa lina ajenda gani?

Tumalize kwa kuangalia utawala wa takriban robo karne Mwalimu akiwa kiongozi wa nchi hii. Mwishoni, Mwalimu alistushwa sana na namna mambo yal ivyokwenda segemnege, hakutarajia kuwa Watanzania wale ambao al idhani wamemuelewa k u m b e w a l i m p u u z a . W a l i m s i k i a l a k i n i hawakumsikiliza. Aliangalia nyuma na kutazama uharibifu aliouacha na mambo yote y a l i v y o p a r a g a n y i k a . Alisononeka mno.

Mwisho wa siku Mwalimu hakuwa na marafiki wa kweli. Familia yake iliathirika kutokana na kukosa malezi yake, umasikini nchini bado umetamalaki, ujinga nao umejikita, huduma za afya zimedorora na hazitoshelezi, Muungano unayumba na rushwa na ufisadi vimeshamiri kila sekta. Kama vile madhila hayo haya to sh i , CCM ilitupilia mbali zile tunu mbili za Nyerere, yaani siasa ya Ujamaa na Azimio la Arusha. Kwa Nyerere huo ulikuwa mithili ya uhaini, aliiona CCM ikimsaliti angali hai.

Kwa vile kila alichosimamia Nyerere hakikusimama badala yake kiliporomoka, Mwalimu alikufa akiwa na usongo mkubwa moyoni. Mwal imu a l iaga dunia huku akisononeka kutokana na kuangushwa na watu waliomzunguka.

N y e r e r e a l i k u w e p o na daima hakutokuwa na Nyerere mwingine.

Ni dhahiri, Nyerere alikuwa ni kitendawili !!!

SARWED DAWALO [email protected]

7th October 2012, Dar es Salaam (Kwa mara ya kwanza makala hii ilitolewa na gazeti la Raia Mwema)

RAIS wa kwanza wa Zanzibar, Abeid Amani

Page 8: ANNUUR 1041

8 AN-NUURDhuul-Hijja 1433, IJUMAA OKTOBA 26 - NOV. 1, 2012Habari/Tangazo

Hii akili gani?representing the ‘devil’ only in order to drive the ‘TV watcher’ to accept a unified international leadership for a war against terrorism. The country behind this propaganda is the US and the lobbyists for the US war on terrorism are only interested in making money.”

Alieleza Pierre-Henry Bunel mwaka 2005.

Marekani ilitumia Al Qaida kama “bogeyman “ n a p r o p a g a n d a

kuhalalisha uharamia i l i o k u w a i m e s u d i a kufanya. Na kat ika kufanya hilo kufa watu saba ilionekana kama gharama ambayo sio kubwa sana.

Hawa waliodandia bogi hili la kutumia Al Qaida na Boko Haram kama dubwana na zimwi (bogeyman) kuleta hofu na kitisho, wapo tayari

kulipa gharama ya kiasi gani? Kwa maana kuwa wapo tayari kuona watu wangapi wasio na hatia wakiuliwa ili kuleta kitisho cha kweli (lakini cha kupanga)?

Na pengine tuulize tena, wanayafanya haya kwa lengo gani?

Wakisha fan ik i sha kutangaza kuwepo Boko Haram na Al Qaida

nchini, wao watapata nini na nani atawalipa?

Wamenukuliwa baadhi ya Maaskofu akiwemo A s k o f u M a l a s u s a wakisema kuwa wapo Waislamu walio na pepo mbaya na waliokumbwa n a s h e t a n i . L a b d a tuulize, nani wenye p e p o m b a y a z a i d i kuliko hawa wasioona vibaya wala aibu kuuwa

watu wasio na hatia ili wapate kuwasingizia Waislamu?

“Al-Qaeda is a CIA proxy” hilo ni maarufu. Linajulika. Na tunajua maangamizi yanayotokea katika nchi yoyote ile vita hii ikishaingia.

Hivi ni nani walio na pepo mbaya na waliokumbwa na shetani mbaya zaidi kuliko wale wanaoshabikia vita hii na kuipepea katika nchi yetu nzuri Tanzania?

The Myths of Al Qaeda From Pg. 4

other terrorist groups.” “ In Oc tober 2003 ,

Vanity Fair magazine disclosed information that had not previously been made public, in an in-depth report entitled ‘Saving the Saudis.’ The story that emerged about the relationship between the Bush family, the House of Saud, and the bin Laden family” (outlined) relationships that went back at least to the time of the Saudi Arabian Money-laundering Affair which began in 1974, and to George H.W. Bush’s terms as U.S. Ambassador to the United Nations (1971-1973) and then as head of the CIA (1976-1977).

“Vanity Fair concluded: The Bush family and the House of Saud, the two most powerful dynasties in the world, have had closed personal business, and political ties for more than 20 years’.

In the private sector, the Saudi’s supported Harken Energy, a struggling oil company in which George W. Bush was an investor. Most recently former president George H.W. Bush and his longtime ally, former Secretary of State James A. Baker III, have appeared before Saudis at fundraisers for the Carlyle Group , a rguab ly the biggest private equity firm in the world. Today former president Bush continues to serve as senior advisor to the firm, whose investors

allegedly include a Saudi accused of ties to terrorist support groups’

Just days after 9/11, wealthy Saudi Arabians, including members of the bin Laden family, were whisked out of the U.S. on private jets. No one will admit to clearing the flights, and the passengers weren’t questioned. Did the Bush family’s long relationship with the Saudis help make it happen?”

Wi th the above as background, consider that Bush junior has sworn to go after all those who shelter terrorists, as well as all those who have been responsible for funding terrorist activities. Why hasn’t ‘Poppy’ been arrested? Moreover - why has the public not picked up on the fact that right up until September 11, 2001, Al Qaeda was ours; we created it, we trained the terrorists and we used them! Why can we not find them now, and why has bin Laden not been captured or killed? In this light “Links to Al Qaeda!” takes on an entirely new meaning. This is not just idle conjecture - there is a real problem here. Bush and his henchmen are in this up to their eyes, and have been, since long before this current episode became public.

American forces are, at this moment, fighting people and organizations that we created, the groups

we armed, and whom we continue to protect, from implications in the actions that occurred on 911. So who at the top is “friend” and who is “foe”? When that ‘secrecy-protected phrase’ “Links to Al Qaeda!” is uttered: Why is there never any proof of anything, and why has it continued now for three years without any challenge to the legitimacy of these empty claims? It appears that the American public has been had - and will continue to be taken down the primrose path (lined with the bodies of the hundreds of thousands that we’ve killed) - all because we’d really prefer not to look too closely at what our tax dollars are paying for.

This administration needs to answer these questions on the record, the world wants to hear their response, because the facts simply don’t add up - they never have.

It’s one thing to keep the coffins of the dead a secret from the media, but it is another matter all together, to hide this Bush complicity, with the very people who he says - started this war. Bush begged the people of Iraq to rise up and fight us, when he said: “Bring it on!” That has been done, and the stats to date continue to soar with every day that passes, despite the unofficial news blackouts on the war in Iraq. Bush vowed to bring “all those responsible to justice” - what happened to that empty promise when

it came down to his own family and that closed but very special circle of his friends, who all came together to create Al Qaeda and to feed all that hate that keeps the resistance going strong?

The global economic world is about to be consumed by fire, and this charade will melt in the flames of the coming disaster: but these “Myths” are what underlie it all!

Given the crash above, these dirty-little-secrets will all be coming out anyway - there just might not be time to prosecute the dynasties and all their friends unless the public

gets involved. Whatever happens, the

government needs to open the books on Al Qaeda now, and prosecute all those who had a hand in this charade - especially the entire Bush family. The public also needs to begin to demand answers about that obscene little phrase: “Links to Al Qaeda!” We deserve to have those “links” spelled out in specific detail, or have the mention of them dropped from any and all future reports emanating from this mythical bogeyman that has proved to be such a boon to thieves who inhabit Washington D.C. today.

( B y K i r w a n ([email protected])

Naitwa ALLY HASSAN MTAWANGO Nimepata nafasi ya kusoma Chuo MUSLIM UNIVERSITY OF MOROGOR (B.A. EDUCATION) Reg. No 2012-02-00421, lakini sina Uwezo wa kumudu gharama za masomo ikiwemo ada ya Tsh. Milioni moja na laki mbili (1.200,000/=) Hivyo basi naomba msaada wako wa hali na mali, ili niweze kuendelea na masomo kupitia akaunti ya Chuo “Muslim University of Morogoro” A/C No. 01j1013380601 CRDB BANK.

Au Tigo Pesa 0715 -”600608 M-PESA 0769 - 600608, Airtel Money 0785 - 600608 Ezy Pesa 0774 - 600608.

WABILLAH TAWFIIQ

NISAIDIENI NDUGU ZANGU NIWEZE KUSOMA

Page 9: ANNUUR 1041

9 AN-NUURDhuul-Hijja 1433, IJUMAA OKTOBA 26 - NOV. 1, 2012Makala/Tangazo

Zanzibar inarejea tena kwa BamkweKOVU za majeraha yaliyowapata na adhari za bakora zilizoachwa k a t i k a m i i l i y a Wazanzibari, bado zipo baada ya miaka arobaini na nane ya mapinduzi. Kovu za majaraha hayo yaliyoachwa na Field Marsha l Oke l lo na kundi lake kwa upande mmoja na athari za bakora za akina Rashid Abdulla Mamba kwa upande mwengine, bado zinatukumbusha wapi tumetoka.

Ilikuwa ni zama za ujahilia nguvu ana amri z i l i t awa la na sha r i a pamoja na utawala wake vikapewa kisogo. Kipindi hiki ni kipindi kilichoacha kiza katika historia ya Zanzibar.

K u n a w a l e a m b a o wamepotea ndani ya mikono ya serikali na mpaka leo hii serikali imeshindwa kutoa kauli kuhusu wapi wapo watu hao, akina Abdu Nadhif, Abdulla Kassim Hanga, Othman Shariff, Jaha Ubwa na wengineo wengi.

Wa z a n z i b a r i h a w a hawakuwahi kuhukumiwa kifo na Mahkama wala hata hawakuwahi kufikishwa Mahkamani na kuambiwa kosa ambalo washitakiwa nalo.

Kinya hiki cha kutojua khatima ya watu hawa n a w e n g i w e n g i n e , kinaashiria kwamba watu hawa wameuwawa nje ya mahkama (Extra judicial killings), kwani kama watu hawa wako hai, basi miaka aroubaini na nane sasa hawajaletwa mbele ya Mahkama kufunguliwa kesi au angalau kujulikana wapi wapo na kama wapo basi waarifi we watu wao kuwa wako hai.

W a t u w a n a s e m a t u s i k u m b u s h e k i l i o matangani, lakini kama h u j a k u m b u s h a k i l i o matangani utakikumbushia wapi?

Sio kila anaelia matangani anamlilia marehemu au maiti anayesubiri kuzikwa au aliezikwa. Basi wapo wengi wanaokumbuka ndugu na jamaa zao ambao walishatngulia na msiba huo au tanga hilo huwa linawakumbusha msiba wao pia.

Jengine Waswahili tuna

Na Abufatah Makame

MHE. Jussa Laju

msemo wetu wa Kiswahili kama ilivyo katika lugha zote, tunasema, “Ilopita si ndwele tugange ijayo”. N d i o h i l i t u n a t a k a kulizungumza. Matokeo ya utekaji nyara watu na kufi chwa kwa kutuhumiwa kuwa wamekiuka sharia. Mambo haya ya utekwaji nyara watu na watu wa usalama yalikithiri na kushamiri katika Awamu ya Kwanza na kuendelea hata katika Awamu ya Pili ya rais Aboud Jumbe, ambapo Jumbe aliweza kidogo kidogo kukomesha hilo.

Tunakumbuka vema utekaji nyara uliokuwa ukifanywa na usalama na kuwafanya Wazanzibari kutokuwa na raha wala furaha na kuwatia khofu watu katika majumba yao hata kufi kia hadi kusema c h u m v i i m e a d i m i k a unaogopa kusema kwa kuhofi ka na wewe kutiwa n d a n i , K w a n i w a p o wal iot iwa ndani kwa kusema bidhaa fulani imeadimika. Hiyo nyara inayotekwa mtu haiishi kituo cha polisi, bali moja kwa moja “kwa Bamkwe” na huku ndio utakiona k i l i c h o m t o a k a n g a manyoya. Mateso ya kwa Bamkwe hayasimuliki kwani baada ya mateso huwa kuna kiapo kwa kutakiwa kuwa hayo mambo na mateso ya kwa Bamkwe usiyasimulie uyawache hapo hapo.

Lakini binadamu hawezi kujizuiya na hasira na kila akijitizama bakora

za Bamkwe zi l izoota mgongoni kama alama za punda milia, anakumbuka mateso ya Bamkwe.

Mwisho humtoka yale ya kule kwa Bamkwe. Naam ilifika hata watu kususia gar i ya Taxi ya mmoja kati ya hao walokuwa wakitesa watu. Wapo wengi hao Bamkwe wengine wamefi kia kuwa na nafasi kubwa serikalini na wanajulikana.

Leo hii tunazungumzia kutekwa nyara kwa Ustadh Faridi. Kesho atatekwa mtu mwengine au kiongozi mwengine , h i l i s i la kulinyamazia.

Dola inayofata utawala wa Sheria na kuzingatia uhuru binafsi na haki za kibinadamu haiwezi kukaa kinya na kuacha hali hii ikaendelea.

L e o U s t a d h F a r i d kesho mwengine, hawa wanoteka nyara watazoea, Ni lazima wawajibishwe kama kweli tunataka kweli kusimamisha Utawal wa Sheria na kulinda Haki za Binadamu. La vyenginevyo tutakuwa tukiimba wimbo wa Komandoo Salmin Bin Amour: SHERIA, SHERIA, SHERIA. Vyenginevye itakuwa ni jina tu la Mzee Sharia Uzia.

Komandoo, Salmin alijilabu sana na wimbo w a k e w a S H E R I A , S H E R I A , S H E R I A , lakini kwa kweli ni katika kipindi chake utawala wa sharia na kulindwa haki za binadamu havikuwepo. Tutamkumbuka Salmini na maskani zake ambazo

alikuwa akizifadhili. Huku zikitukana na kuvunjia heshma watu pamoja na kujiingiza katika vitendo vya uvunjivu wa haki za binadamu. Si hao tu bali hata wale vijana wa “JANJAWID” ambao walikuwa wanatumiliwa k u i n g i a m a j u m b a n i na wengine kupelekwa Pemba kuadhibu watu na kuwaibia. Tutamkumbuka p i a K o m a n d o o k w a kupandikiza mbegu ya fi tna ya Upemba na Uunguja na mengi mengineyo .

Wazanzibari tusikubali kurejeshwa tena nyuma kule kwa “BAMKWE’ na kina FUMU pamoja na JANJAWID. Tusiruhusu uhalifu huu unaotaka kurudi tena. Tudumishe ustaarabu wetu pamoja na ustaarabu wa kuimarisha UTAWALA WA SHERIA na Kusimamia HAKI za Binadamu.

U t a r a t i b u w a kufunguliwa kesi upo, sasa ya nini haya ya kuteka njara?

Kama mtu anashukiwa kuvunja sharia za nchi basi utaratibu wa sharia utumike katika kumshughulikia na sio kufanya vitendo vya uharamia vya utekaji nyara watu. Hili lisipite lilaaniwe kwa nguvu zote na serikali lazima ifanye uchunguzi.

Baraza la Wawakilishi lazima liitake serikali k u f a n y a u c h u g u z i . Tusikubali kurejeshwa tena kwa BAMKWE. Utekaji nyara umefanyika Mrima haukuchunguzwa hiyo umepita bila kulaaniwa sasa umevuka bahari nakuja tena visiwani, Wazanzibari tulikuwa tumeshasahau watu kusombwa usiku na kutiwa ndani ya vigari vya usalama kwa kupelekwa kwa BAMKWE sasa haya yana rud i t ena . Tukiyanyamazia na kusema aa ni huyo Ustadh Farid wa Mwamsho, basi tutakuwa tumekosea kwani huu ni mwanzo. Leo Farid kesho mwengine Vuai au Jussa.

Vitendo viovu haifai kupewa fursa kujichomoza na kumea katika jamii hasa vile tunaamini na kukubali Utawala Bora pamoja na kulinda Haki za Binaadamu.

Maandiko ya Kusimamia Utawala Bora na Hifadhi ya Haki za Binaadamu Katika Katiba yatakuwa hayana maana ikiwa yatabaki katika kurasa za Katiba bila ya kusimamiwa na kutekelezwa.

IQRA MODERN TRAINING COLLEGE (FOR TRAINING AND GUIDANCE)

P.O.BOX 33663, SINZA (PALESTINA) DAR ES SALAAM - TANZANIA. 0713 779234 0785 779234 & 0713 323550.

TANGAZO

CHUO KINAWATANGAZIA NAFASI ZA MASOMO KWA MWAKA 2013 KATIKA KOZI ZA:-

(i) UALIMU WA SHULE ZA CHEKECHEA (NURSERY) MWAKA 1

(ii) UHADHILI (SECRETARIAL COURSE) MWAKA 1

(iii) NABE I & II SIFA: MWOMBAJI AWE AMEMALIZA DARASA LA SABA,KIDATO

CHA NNE KWA UALIMU WA CHEKECHEA NA KIDATO CHA

NNE AU SITA KWA KOZI ZA NABE NA UHADHILI.

FOMU: ZINAPATIKANA CHUONI SINZA-PALESTINA KATIKA

MAJENGO YA SHULE YA SEKONDARI LUQMAN KWA ADA YA

SHILINGI ELFU KUMI

(SHS 10,000/=).

WATAKAOSOMEA UALIMU NA NABE WATAFUNDISHWA

COMPUTER NA UJASILIAMALI BURE.

WABILLAH TAWFIIQ

Page 10: ANNUUR 1041

10 AN-NUURDhuul-Hijja 1433, IJUMAA OKTOBA 26 - NOV. 1, 2012Makala

KATIKA utangulizi wa makala haya tuliona uhusiano uliopo baina ya Serikali na viongozi wa Kanisa pamoja na ripoti maalum iliyotolewa na Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam Kadinali Polycarp Pengo kwa Maaskofu wa Afrika. Endelea.

Ripoti hiyo ya Kadinali Pengo, ilitokana na mkutano wa Maaskofu wa Roman Catholic wa Afrika yote uliofanyika Nairobi, Kenya mwaka 1988, wenye lengo la kujadili na kupanga mpango maalum wa kuangamiza Uislamu Barani Afrika.

Mkutano huo wa Maaskofu wa Afrika ulifikia maazimio mengi na namna ya utekelezaji wa maazimio hayo kuhusu kuuangamiza Uislamu Barani humo. Maazimio hayo yamo katika kitabu maalum cha Sinod ya Afrika (Sinod of Africa) Ukurasa wa 14 kifungu namba 32-40. Maazimio hayo ya Sinodi ya mwaka 1988, yaliyofikiwa katika mkutano huo wa Jijini Nairobi yalikuwa haya:

K w a m b a , K i l a A s k o f u aeleze ni katika kiwango gani cha ushirikiano wa Madhehebu mbalimbali ya Kikristo utaweza kupambana na nguvu za Uislamu katika nchi yake.

Askofu aeleze, je, Uislamu una nguvu kiasi gani ndani ya nchi yake ukilinganisha na (a) Ukatoliki, (b) na Ukristo kwa ujumla katika nchi husika?

Kila Askofu aeleze je, kuna dalili za kuaminika za uhusiano wa nguvu za taasisi mbalimbali za Kiislamu ukilinganisha na wafuasi wake kwa ujumla?

Baada ya Askofu kutekeleza hayo yote atatakiwa kutoa taarifa kwa Papa huko Vatican, sanjar i na hatua hiyo pia atatakiwa atoe mapendekezo ya nini kifanyike ili kuhakikisha Uislamu haukwamishi mipango ya Wakristo katika nchi husika.

Mathalan kwa hapa kwetu kero kubwa kwa Wakristo ni Mihadhara ya Kiislamu ambayo inaaminika kulimaliza Kanisa kwa watu wengi kubadili dini na kurejea katika Uislamu. Rejea ripoti ya Kadinali Pengo katika utangulizi wa makala haya.

Lakini pia hali na mikakati hiyo inadhihirisha jinsi Maaskofu walivyo kikwazo katika kila jambo la Waislamu humu nchini mfano Tanzania kujiunga na OIC, Mahakama ya Kadhi, sakata la Sensa na dodoso la kipengele cha Dini n.k.

Tu m e o n a p a l e k a t i k a maazimio yaliyofikiwa na mkutano maalum wa Maaskofu wa Afrika kule Nairobi, mwisho ulimtaka kila Askofu baada ya kufanya utafiti kama maelekezo yanavyoelekeza, atoe taarifa kwa Papa huko Vatican kadhalika atoe mapendekezo ya nini kifanyike ili kuudhibiti Uislamu.

Ni kwa nini basi Maaskofu walitakiwa kupeleka taarifa

Dola inavyosaidia Kanisa kuuangamiza Uislamu - 2Na Bakari Mwakangwale kule Vatican na kisha watoe

mapendekezo kuhusu nini cha kufanya ili kuzima cheche za Waislamu katika nchi husika?

Katika sehemu ya kwanza ya makala haya tulieleza kuwa Wamissionari wa Kikatoliki hawakuja Afrika Mashariki kuunda Makanisa mapya, bali walikuja kutafuta majimbo mapya ya Kanisa Kuu la Roma lililopo Vatican (Bergen Uk. 98).

Ukweli ni kwamba majimbo haya hayakutafutwa Afrika Mashariki tu, yalitafutwa Afrika nzima, kwa maana hiyo Vatican ina mawasiliano ya moja kwa moja na Serikali za nchi za Afrika na nyingine pia nje ya Afrika.

Kulingana na mapendekezo yaliyokuwa yametolewa na M a a s k o f u , b a s i Va t i c a n huyaelekeza kwa Serikali za nchi husika, hapa sasa utumiaji wa nguvu za dola ndipo huchukua nafasi. Serikali nyingi zenye mafungamano na Vatican hazina uwezo wa kupinga au kukataa maagizo ya Papa ambayo huwa yametokana na mapendekezo ya Maaskofu wa nchi husika.

Ni kwa nini basi Wakristo, viongozi wao na taasisi zao ukiwemo ule muhimili mkuu wa Kanisa Katoliki, Vatican wahangaike sana kuubana na kuudhibiti Uislamu tena kwa kushirikiana ama kutegemea nguvu za Serikali?

K a t i k a i l e r i p o t i y a Kadinali Pengo ameeleza hivi: “Tunashindwa kujibu hoja za Waislamu sababu zina ukweli ndani yake”.

Hilo moja , lakini p i l i , kiongozi anayesifika kuwa na hulka ya kuukubali ukweli pale anapotambua kwamba huo ni ukweli, hayati Mwalimu Nyerere aliwahi kukiri siku moja kuwa Ukristo umeshindwa!

“Ujamaa umeshindwa kama vile Ukristo ulivyoshindwa, Ukristo ulianza yapata miaka 2000 iliyopita, na kila Jumapili niendapo Kanisani nakuta watu wanahubiri, na kwa kweli sina hakika kama kuna nchi hata moja tunayoweza kuita Taifa la Kikristo hapa Duniani”, alisema Mwalimu Nyerere akinukuliwa na gazeti la Kikristo la MSEMA KWELI toleo namba 13, la Juni 7-13, 1998.

Na kwa sababu hizi mbili tu ndizo zinazowafanya Maaskofu na viongozi waandamizi wa Kanisa na Serikali kuhaha kufanya hi la hizi na zi le yakiwemo mauaji ili kunusuru Ukristo.

K w a k u w a Wa i s l a m u wanaonekana kuwa na hoja za kwe l i na nz i to kama alivyothibitisha Kadinali Pengo, kwa upande wa kwanza, na vile alivyothibitisha Mwalimu Nyerere kwa upande mwingine kuwa Ukristo umeshindwa kama ulivyoshindwa ujamaa, basi kwa kutumia tafiti na mapendekezo ya Maaskofu na wataalamu wa dini ya Kikristo, mikakati mbalimbali ikawekwa ili mradi

kulinda Ukristo.Mikakati hiyo imeendelea

kutekelezwa na Kanisa na kwa upande mwingine inatekelezwa na Serikali ikiwemo hii ya kwetu. Kumekuwa na matukio ya kukamatwa, ku teswa, kupigwa na hata kutozwa faini Waislamu eti kwa makosa ya kuwabughudhi Wakristo kupitia mihadhara nakadhalika.

Ifahamike kuwa matukio yote hayo mpaka zile kesi, mtendaji na mlalamikaji katika kesi walizofunguliwa Waislamu kutokana na makosa niliyoyataja ilikuwa ni Serikali ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania!

Mathalan Julai 17, 1996 Waislamu watatu walikamatwa na polisi wakaswekwa ndani huko Lushoto mkoani Tanga baada ya kukutwa wakisikiliza kanda ya radio yenye maneno ‘Yesu si

Mungu, na Muhammad (S.a.w) ni Mtume wa Ulimwengu’.

Waliokamatwa na kutupwa lupango walikuwa ni kina Ustaadh Sadik Daffa, Ramadhan Hoza na Ustaadh Waziri.

Lakini pia yupo Muislamu kutoka huko Tanga, aliwahi kutiwa hatiani na Jeshi la Polisi kwa kosa la kuandika katika Baiskeli yake ‘Yesu si Mungu’, lakini ni Serikali hii hii ya Jamhuri wa Muungano, hakuna kesi ya Mkristo aliyewahi kufikishwa Mahakanai kwa kosa la kuandika ‘Yesu ni Mungu’, ‘Yesu ni Mwana wa Mungu’ ilihali maneno hayo yapo katika sehemu mbalimbali kama ambavyo Waislamu wamekuwa wakiyatumia.

K a t i k a m f u l u l i z o w a kama takama ta h iyo , p i a wahadhiri kutoka asasi za Almalid na Muzdalifa Islamic

Academy zote za Jijini Dar es Salaam nao walitiwa mbaroni na Polisi huko Lushoto kwa kosa la kutangaza hadharani kuwa Yesu si Mungu wala Mwana wa Mungu.

Wahadhiri waliokumbwa n a d h a h a m a h i y o k a m a kumbukumbu zangu zitakuwa sahihi walikuwa ni kina Ustaadh Athumani Mlakache, Mahawia Kalenga, Mamar Germas, Rajab Ally, Yusuf Omar pamoja na Ustaadh Muhammad Ibrahim.

Wengine ni Ustaadh Hussein Omar, Mustafa Beleko. Ilihali kimbembe hicho kiliendelea tena Oktoba 7, 1999 huko huko Tanga, ambapo Polisi iliwakamata tena Waislamu watatu kwa kosa lilelie la kusikiliza kanda za Mihadhara zenye maneno ‘Yesu si Mungu’.

[email protected]

Kufuatia kuahirishwa Tamasha la Idd lililokuwa lifanyike leo tarehe 26/10/2012 (Ijumaa) badala yake Baraza la Idd litakuwa leo tarehe 26/10/2012 (Ijumaa) badala ya kesho kama ilivyotangazwa awali. Hivyo Waislamu wote mnaarifiwa kutakuwa na Baraza la Idd siku ya Ijumaa (leo) tarehe 26/10/2012.Wapi: Msikiti wa MtambaniMuda: Kuanzia saa 8 mchanaMada mbalimbali zitazungumzwaEwe Muislamu usikose kuhudhuria Baraza hili muhimu kwa Mustakabali wa Uislamu na Waislamu nchini.

WABILLAH TAWFIIQ

NAIBU AMIR

JUMUIYA NA TAASISI ZA KIISLAMU

BARAZA LA IDD MTAMBANI LEO

JESHI la polisi nchini wakiwa katika mitaa ya Kariakoo kudhibiti Waislamu Ijumaa iliyopita.

Page 11: ANNUUR 1041

11 AN-NUURDhuul-Hijja 1433, IJUMAA OKTOBA 26 - NOV. 1, 2012Makala

KIJANA Emmanuel ( B w a n a a w e n a s i ) k a k o j o l e a M a s -h a f u . W a i s l a m u wamekas ir i shwa na kitendo hicho cha dharau kwa neno la Al lah . Pamoja na kukasirishwa s a n a , W a i s l a m u walionyesha uvumilivu na uungwana wa hali ya juu sana. Walipeleka shauri hilo Polisi ili hatua ya kisheria ichukuliwe. Kama ilivyokawaida y a s i k u n y i n g i , malalamiko ya Waislamu hudharauliwa. Hivyo Polisi hawakuchukua hatua inayostahili ya upelelezi halafu labda kumshtaki yule kijana aliyenajisi Kur’an.

Waislamu walikasirika kutokana, ama na uzembe wa Polisi au dharau tu. Kwa kifupi huo ndio unaweza kukubaliwa kuwa ndio sababu ya kadhia iliyotokea hadi kufika makanisa kuchomwa moto. Hasira hiyo ingeweza kuepukika kama Polisi wangetekeleza wajibu wao na wakaacha ule ushabiki wao wa udini. Kama ilivyo kawaida na inavyojulikana, idara zote za Serekali zimehodhiwa na wasiokuwa Waislamu ambao pia wamepikwa vizuri sana na mapadri na wachungaji kuchukia Uislamu na Waislamu.

Imekuwa ni bahat i mbaya sana kwamba inawezekana ni makusudi kwamba zile hatua za mwanzo walizozifuata Waislamu kutafuta haki zimebezwa na kila mtu, hata baadhi ya Masheikh pia walikuwa na hamu kubwa ya kuwafurahisha viongozi wa yale makanisa yaliyowaka moto. Kwa sababu hiyo, Waislamu wameonekana kama ni

Askofu Malasusa anamtisha nani?Wanaohitaji kukombolewa ni WaislamuKuwe na mjadala kati ya Waislamu, Wakristo

Na Khalid S Mtwangi

wapenda shari tu. Zile hatua za mwanzo za kuepuka shari na kutegemea dola ifuate sheria zake zilisahauliwa kabisa.

I n g e k u w a v i g u m u k u t e g e m e a v y o m b o vya habari vitoe ukweli ulivyokuwa kwa sababu ni tabia yao kuficha ukweli, pale ukweli huo unaweza kuwapa haki Waislamu. Wasomaji watakumbuka kuwa hakuna hata gazeti ama chombo chochote cha habari kilichotoa maelezo ya kweli kuhusu zile hatua walizozichukua Waislamu za mwanzoni kulipeleka shauri hilo Polisi. Inafaa sasa Polisi nao wajieleza kwani wanahusika sana tu kusababisha kutokea kwa fujo ile.

Wale waliohusika na kadhia hii wamelaaniwa sana. Baada ya kupata maelezo ya baadhi ya viongozi wa BAKWATA wa sehemu i le kama vile Sheikh Kingo, mtu anaweza kujiuliza kama kweli Sheikh wa Mkoa wa BAKWATA alijaribu kuzungumza na hawa maofisa wake waliokuwa na taarifa za mwanzo wa tukio hilo. Kweli angeweza kuwalaani Waislamu kiasi kile kama angezungumza na Sheikh Kingo kabla ya kujitokeza mbele ta te levis ion akifuatana na viongozi wa dola? H a i y u m k i n k u w a hawa viongozi wa dola hawakutoa ukweli wote wa tukio lile. Hilo ni jambo la kusikitisha hasa kwa yule Kiongozi wa Polisi kwa sababu bila shaka yeye alipewa maelezo kamili na maofisa wake wa sehemu ya tukio. Kama hakupata maelezo kamili kama yanavyojulikana, sasa basi inafaa awapeleke hao maofisa wake “maktaba.”

Viongozi wa Makanisa wamekuwa wakali sana. Archbishop Alex Malasusa ambaye ni kiongozi wa juu kabisa wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri

T a n z a n i a ( K K K T ) ameonekana kukasirika kwa kiasi kisicho na mfano. Amenukuliwa akisema kuwa kutokana na “majivu haya Tanzania mpya itazaliwa na ukombozi kami l i u tapa t ikana” . Hak ika wanaos tah i l i kukombolewa ni Waislamu wa nchi hii. Hata hivyo hili ni fumbo ambalo ni yeye tu anaweza kulifumbua na watu wakaelewa maana yake halisi. Lakini kwa kulisoma tu fumbo hilo maana yake inaweza kuwa ni mbaya sana kwa uhusiano miongoni mwa wananchi, hasa kati ya Wakristo (wa-Kilutheri) na Waislamu.

M w a n d i s h i h u y u a n a d h a n i n i “ v e r y irresponsible declaration” kutoka kwa msomi na kiongozi wa watu wengi nchini humu Tanzania. H a s a i k i k u m b u k w a kwamba hakuna kiongozi waWaislamu aliyewatuma w a u m i n i k u c h o m a m a k a n i s a a m a h a t a kufanya fujo. Hakika kwa wale wachunguzi wasio upendelea upande wowote wanaweza kusema kuwa mara nyingi panapotokea fujo kama zile, ni polisi ndio huwa wakianza ama kuanzisha fujo hizo.Tazama video yeyote ya kadhia kama hizo na msomaji anaweza kukubaliana na maoni haya.

Ni jambo la kustaajabisha na kusikitisha sana kuwa zile laana kutoka kwa masheikh wa Kiislamu hazikuweza kuwaonyesha viongozi wa Kikristo kuwa Waislamu hawakuwatuma watu wachome makanisa. Nao pia wamesikitishwa na kadhia hiyo. Baba Askofu Alieza Sendoro mara nyingi amenukuliwa akisema kuwa pasipo kuwa na haki hapawezi kuwa na amani. Mzee huyu bahati mbaya keshastaafu labda angekuwemo bado kazini nchi ingefaidika sana na busara zake.

ASKOFU Mkuu wa KKKT Dkt. Alex Malasusa.

Bado unahitajika Mghosi A r c h b i s h o p E l i e z a Sendoro! Tutakusikiliza.

Haya basi Archbishop Malasusa katoa dukuduku lake; hakika sio duku duku tu, bali ni tishio ambalo matokeo yake pengine hayawezi kuwa mazuri kwa Tanzania. Ni kwa sababu hii baadhi ya Waislamu wanapendekeza kuwepo mazungumzo kati ya viongozi wa Kikristo na wale wa Kiislamu. Hili hakuna mtu anayeweza kusema ni wazo hafifu ama baya.

Ingawa yuko mhadhiri mmoja anayefundisha huko Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambaye, kufuatana na baadhi ya magazeti katoa maoni kuponda kwa nguvu wazo hilo. Kupinga maoni kama hayo ni jambo lisilostaajabisha sana kwa vile wengi wa wasomi wa Kikristo hawaishi kuonyesha dharau kwa Waislamu.

Lakini kweli msomi ambaye ameweza hata kupata shahada ya tatu ambayo inahitaji kabisa uchambuzi wa kina wa t ak r i ban k i l a j ambo anaweza kuwa na maoni kama hayo?

H a j a p a t i k a n a mnyamnyagula (sangoma, jujuman, mtaalam katika kamati ya ufundi, nk) ambaye anaweza kutibu maradhi CHUKI.

Suala bado liko pale pale. Kweli kuwe na mjadala kati ya viongozi wa dini hizi mbili za Waislamu na Wakristo kujaribu kutafuta maelewano na muafaka wa muda mrefu?

Makanisa mengi hasa yale yanayofadhil iwa sana na walokole wa Marekani (PENTECOSTE) hayakubali kabisa kama Uislamu ni dini inayostahili kuwepo dun ian i ; hasa i k ikumbukwa kwamba wao hawawakubali hata Wakristo wenzao Wakatoliki. Wanasema Papa Mtakatifu anaeneza ushir ikina tu (purveyor of superstition).

Ni maoni ya mwandishi huyu kuwa panatakikana kuwa na nia njema (goodwill) ya hali ya juu sana na ‘genuine commitment’ kutafuta suluhu ili kupata mafanikio kutokana na mjadala huo.

HAYO YAPO MIONGONI MWA VIONGOZI WA KIKRISTO?

Page 12: ANNUUR 1041

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.

AN-NUUR12 Dhuul-Hijja 1433, IJUMAA OKTOBA 26 - NOV. 1, 2012

Usikose nakala yako ya AN-NUUR kila Ijumaa na

Jumanne

A l i w a t a n a b a h i s h a wahitimu hao kuwa hakuna adui mkubwa kama yule ambaye hukatisha tamaa katika mipango na mikakati yao.

A l i s e m a , k a m a walivyolelewa kwa malezi bora wakiwa shuleni hapo, lakini huo ni mwanzo tu na hakuna adui mkubwa kama yule anayejaribu kumkatisha mtu tamaa, kwamba huwezi, ikiwa kama mtu anaamini anaweza, si sawa kurudi nyuma kikubwa ni kujiamini utaweza.

“Namuomba Mwenyezi Mungu Azza wa jal la , awajalie vijana hawa na wengine wafikie kilele cha ustawi katika elimu zao pamoja na uchamungu ili wapate kutumikia jamii kwa wema na uadilifu na kwa malezi haya na jitihada za shule hii, pia tuweze kupata nusra katika jamii yetu”. Alisema Prof. Njozi.

A k i s o m a r i s a l a y a Shule yake , Mwal imu Hashim Saiboko, alisema wamewafundisha wahitimu hao kwamba, maendeleo ni mapambano yanayohitaji nidhamu kujituma na subira, pamoja na kudumu katika kujiamini na kujitetea kwa hoja bila kuwa na woga.

A l i s e m a , w a h i t i m u wa Aljebra, wanawasifu maalum uliotokana na malezi ambayo wamewapa baada ya kulelewa Shuleni hapo kwa muda wote wa masomo yao, kupitia kaulimbiu ya shule hiyo ambayo ni elimu na malezi bora.

Akiainisha wasifu wa wanafunzi hao alisema, sifa kubwa ni kujitambulisha kwa Uislamu wao, ikiwa na maana kwamba kila watakapoonekana wajulikane wao ni Waislamu bila ya kutambulishwa.

A i d h a a l i s e m a , wamewafundisha kujua kwamba, wao ni viongozi wa kusimamia haki na kudumisha uadilifu, kwamba mwanafunzi wa Aljebra, p o p o t e a t a k a p o k u w a asimamie haki na uadilifu, kinyume na hivyo, huyo atahesabiwa kuwa ameasi.

“Muda wote waliokaa hapa tumewafundisha kuwa wajibu wao ni kusoma ili

Aljebra yafanya mahafali ya kwanzaProf. Njozi awataka wahitimu kuondoa dhulma

Na Bakari Mwakangwale

kusimamisha haki na kuwa waadilifu.” Alisema.

A l i s e m a , wamewafundisha wawe wapole sana lakini wasiwe wanyonge, wasimuonee mtu lakini pia wasikubali k u o n e w a n a k w a m b a wakati wote wa maisha yao wasimdhulumu mtu, nao wakatae kudhulumiwa lakini zaidi wamefundisha kuwa haki inapiganiwa haiombwi na hupewi.

“ B a a d a y a k u m a l i z a mitihani yao, tunategemea watakuwa mitaani, kwa kipindi maalum na tunategemea kuwa watajipamba kwa tabia hizi, mbuzi hanenepi siku ya mnada, tumeshawafundisha wahitumu wetu mambo mengi ya kitaaluma na malezi.” Alisema Mwalimu Saiaboko.

Awali Mwalimu Saiboko, alimueleza Mgeni rasmi, wazazi na wageni waalikwa kwamba, Shule inatoa kipaumbele katika malezo bora kwa lengo la kuwaandaa viongozi waadilifu katika jamii.

Alisema, jamii inaposikia neno ufisadi ni kwamba hakuna shule inayofundisha ufisadi lakini inafahamika kuwa kuna viongozi wa siasa na wataalamu mbalimbali katika Serikali na mashirika binafsi ambao sasa wanaitwa kwa jina moja tu, mafisadi.

Alisema, mafisadi hawa ambao ni Mainjinia, madaktari, ni watu ambao wamesoma na kupata shahada za juu hadi vyuo vikuu.

Kwamba, kinachopungua kwa hawa mafisadi ni utu wao kwa kuwa utu wao ni mdogo na ubinafsi unakuwa mbele zaidi na kusababisha matatizo katika jamii kuliko matwakwa ya jamii.

Kwa hiyo alisema, kupitia kwa wanafunzi wao hawa kwa kutumia kauli mbiu ya elimu na malezi kwamba wanawalea ili kuwajengea utu wao na pia wanawapa elimu ili wakija kutoa wahandisi wa Tanrods, wasijenge barabara chini ya viwango halafu pesa nyingine wakaenda kufanyia mambo yao binafsi.

Mahafali hayo ni ya kwanza kwa shule hiyo ya Kiislamu ya Aljebra, toka kuanzishwa kwake mwaka 2009, ambapo ilianza ikiwa na wanafunzi 19 wa kidato cha kwanza ambapo mpaka sasa shule kwa ujumla ina wanafunzi wapatao 513.

WANAFUNZI wa Kiislamu wa waliohitimu elimu ya Sekondari mapema wiki hii, wametakiwa kuwa tayari kwa mapambano ya kiakili, kifrika pamoja na kimwili.

Wito huo umetolewa na Makamu Mkuu wa Chuo Cha

Waislamu Morogoro, Profesa Hamza Njozi, akiongea katika mahafali ya Shule ya Aljebra, Jumapili ya wiki iliyopita katika viwanja vya shule hiyo, Kibada, Kigamboni Jijini Dar es Salaam.

Prof. Njozi , al ikuwa akiunga mkono risala ya Mkuu wa Shule hiyo na kutoa nasaha zake kwa wahitimu hao, aliyesema wahitimu wa

shule hiyo wamefundishwa kutokuonea wala kukubali kuonewa katika maisha yao.

“ N a p e n d a n i o n g e z e kitu kimoja kutoka katika hotuba ya Mkuu wa Shule, sio tu kwamba wasikubali kudhulumiwa na kuonelewa, lakini vile vile wawe tayari kwa mapambano ya kimwili na kifikra”. Alisema Prof. Njozi.

Profesa Hamza Njozi, akiongea katika mahafali ya Shule ya Aljebra, Jumapili ya wiki iliyopita katika viwanja vya shule hiyo, Kibada, Kigamboni Jijini Dar es Salaam.. Kulia ni Mkuu wa Shule hiyo, Hashim Saiboko. PICHA chini ni baadhi ya wahitimu wa Kidato cha Nne baada vyeti vya kuhitimu masomo yao.