kushughulikia maamuzi mabaya inatupasa kumpenda mungu zaidi ya vitu vyote na kuutafuta kwanza ufalme...

9
Somo la 12 kwa ajili ya Decemb a 21, 2019 KUSHUGHULIKIA MAAMUZI MABAYA

Upload: others

Post on 19-May-2020

40 views

Category:

Documents


4 download

TRANSCRIPT

Page 1: KUSHUGHULIKIA MAAMUZI MABAYA Inatupasa kumpenda Mungu zaidi ya vitu vyote na kuutafuta kwanza ufalme wa Mungu (Marko 12:30; Mathayo 6:33). Ni lazima tumwombe Yeye kabala hatujafanya

Somo la 12 kwa ajili ya Decemba 21, 2019

KUSHUGHULIKIA MAAMUZI MABAYA

Page 2: KUSHUGHULIKIA MAAMUZI MABAYA Inatupasa kumpenda Mungu zaidi ya vitu vyote na kuutafuta kwanza ufalme wa Mungu (Marko 12:30; Mathayo 6:33). Ni lazima tumwombe Yeye kabala hatujafanya

Ezra:

Mwitikio. Ezra 9

Hatua. Ezra 10

Nehemia:

Mwitikio. Nehemia 13:23-25

Hatua. Nehemia 13:26-27

Tatizo leo

Baada ya kurudi Yerusalemu, wana wa masalia wakajitia doa wao wenyewe kwa kuoana na watu waabuduo miungu.

Wote Ezra and Nehemia walipambana kuzuia hali hii.

Hebu tujifunze namna walivyofanya, ili tujue namna ya kupambana na matatizo kama haya leo.

Page 3: KUSHUGHULIKIA MAAMUZI MABAYA Inatupasa kumpenda Mungu zaidi ya vitu vyote na kuutafuta kwanza ufalme wa Mungu (Marko 12:30; Mathayo 6:33). Ni lazima tumwombe Yeye kabala hatujafanya

Katikati ya wakati wa Zerubabeli na kuja kwa Ezra, wana wa Israeli walikuwa wakioana na Wakanaani.

Viongozi wakuu walitarifu juu ya hili. Hata makuhani na Walawi walihusishwa na mwingilianao huu wa ndoa jambo lililokuwa halikubaliki kisheria.

Ezra alifahamu kwamba hii ndiyo ilikuwa moja ya sababu kwanini ibada ya miungu na kushuka kwa maadili vilikuwa vimejaa kwa watu. Alisikitishwa sana.

Aliendelea kuwa katika hali ya mshangao hata wakati wa sadaka ya jioni. Badaye, aliomba na akatambua mbele za Mungu kuwa walikuwa wametenda dhambi kwa sababu hawakujitenga kutoka kati ya mataifa ya kipagani.

Page 4: KUSHUGHULIKIA MAAMUZI MABAYA Inatupasa kumpenda Mungu zaidi ya vitu vyote na kuutafuta kwanza ufalme wa Mungu (Marko 12:30; Mathayo 6:33). Ni lazima tumwombe Yeye kabala hatujafanya

HATUA ALIYOCHUKUA EZRA

Neno “jitengeni mbali” halitumiki kama taraka, lakini ubatilisho wa ndoa. Ndoa hizo hazikuwa halali kwasababu zilikuwa kinyume cha sheria.

Mungu anatutaka kusalimisha ubinadamu wetu kwake. Dhamira yetu kwa Mungu lazima iwe imara na thabiti, daima tukimweka Yeye wa kwanza.

Uchunguzi wa tatizo hili ulichukua miezi kadhaa, japokuwa baadhi tu ya familia zilihusishwa (kiasi cha ndoa 4 kati ya ndoa 1000)

Ni wanawake wapi wa kigeni ambao wataonekana kuwa ni “wapagani”? Ni nini walichokuwa wakiwafundisha watoto wao? Ni upi ulikuwa ushawishi katika familia zao? Wanawake waliofukuzwa hawakutenganishwa na watoto wao wala kutelekezwa.

Page 5: KUSHUGHULIKIA MAAMUZI MABAYA Inatupasa kumpenda Mungu zaidi ya vitu vyote na kuutafuta kwanza ufalme wa Mungu (Marko 12:30; Mathayo 6:33). Ni lazima tumwombe Yeye kabala hatujafanya

“Kwa uvumilivu na umahiri, na kwa kuangalia

kwa umakini haki na ustawi wa kila mmoja

anayehusika, Ezra na wasaidizi wake walitoa

uvumi wa kurudi kwa Mwenyezi Mungu wa

Israeli katika njia sahihi. Zaidi ya hayo yote,

Ezra alikuwa mwalimu wa sheria; na kama

alivyosimamia kila kipimo cha kila kesi,

alifikiri kuwavutia watu kwa utakatifu wa

sheria na mibaraka ipatikanayo kwa kuitii.”

E.G.W. (Manabii na Wafalme, sura. 51, p. 622)

Page 6: KUSHUGHULIKIA MAAMUZI MABAYA Inatupasa kumpenda Mungu zaidi ya vitu vyote na kuutafuta kwanza ufalme wa Mungu (Marko 12:30; Mathayo 6:33). Ni lazima tumwombe Yeye kabala hatujafanya

“Na watoto wao wakanena nusu kwa lugha ya Ashdodi, wala hawakuweza kunena kwa Kiyahudi, bali kwa lugha

ya watu hao mojawapo.” (Nehemia 13:24)

Watu walidhamiria kuacha kuoa wanawake wageni (Nehemia 10:30). Hata hivyo, hawakufanya hivyo pale Nehemia alipoondoka.

Yawezekana waliwaoa wanawake wale kama wake wa pili. Hii ndiyo maana nusu ya watoto wao waliongea lugha moja, na nusu wakaongea lugha nyingine.

Neno la Mungu liliandikwa kwa Kiebrania (lugha ya Yuda), hivyo wale wasioongea Kiebrania walifukuzwa kujitenga na imani.

Nehemia alionesha hasira yake kwa kutumia nguvu ya mamlaka yake kuwaadhibu baadhi ya watu.

Page 7: KUSHUGHULIKIA MAAMUZI MABAYA Inatupasa kumpenda Mungu zaidi ya vitu vyote na kuutafuta kwanza ufalme wa Mungu (Marko 12:30; Mathayo 6:33). Ni lazima tumwombe Yeye kabala hatujafanya

“Je, Sulemani, mwana wa Daudi hakufanya dhambi kwa kutenda hayo? Lakini katika mataifa mengine hapakuwa na mfalme mwingine mfano wake. Tena alipendwa na Mungu wake, naye Mungu akamfanya mfalme juu ya Israeli; walakini wanawake wageni walimkosesha hata yeye.” (Nehemia 13:26)

Nehemia alieleza kwanini hawapaswi kuwaoa wanawake wageni.

Baadhi ya Waisraeli walikuwa wamekwisha oa wanawake wageni kabla, pasipo kulioana hilo kama dhambi.

Musa alimuoa Ziporah,

Mmidiani

SalmonialimwoaRahab,

Mkaanani

Boazi alimuoa

Ruth, Mmoabi

Shida haikuwa utaifa, lakini shida ilikuwa dini. Tatizo au dhambi ilikuwa ni kuoa mtu mwenye imani tofauti au asiyeamini katika Mungu.

Kama tumedhamiria kuwa kwa Mungu, ni lazima tutafute mwenzi anayetushauri kuwa na ibada kamili kwa Mungu.

Page 8: KUSHUGHULIKIA MAAMUZI MABAYA Inatupasa kumpenda Mungu zaidi ya vitu vyote na kuutafuta kwanza ufalme wa Mungu (Marko 12:30; Mathayo 6:33). Ni lazima tumwombe Yeye kabala hatujafanya

“Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza?. Tena pana ulinganifu gani kati ya Kristo na Beliari? Au yeye aaminiye ana sehemu gani pamoja na yeye asiyeamini?” (2 Wakorintho 6:14-15)

Inatupasa kumpenda Mungu zaidi ya vitu vyote na kuutafuta kwanza ufalme wa Mungu(Marko 12:30; Mathayo 6:33). Ni lazima tumwombe Yeye kabala hatujafanya maamuzi ya muhimu kama ya ndoa

Ushauri wake ulikuwa wazi: mwenzi asiyeamini hawezi kutusaidia kukua kiroho lakini atatufanya tutoke katika imani yetu.

Hata hivyo, Paulo alitushauri kubaki kuwa waaminifu kwa wenzi wetu wasio waumini, na kutovunja ndoa zetu (1 Wakorintho 7:12-16).

Tunaweza kuwa na uhakika kwamba neema za Mungu daima zinapatikana kwa kila mmoja, bila kujali ni maamuzi gani mabaya tumefanya.

Page 9: KUSHUGHULIKIA MAAMUZI MABAYA Inatupasa kumpenda Mungu zaidi ya vitu vyote na kuutafuta kwanza ufalme wa Mungu (Marko 12:30; Mathayo 6:33). Ni lazima tumwombe Yeye kabala hatujafanya

“Hakuna hata mmoja anaye mcha Mungu ambaye hatakuwa

hatarini kwa kujiungamanisha mwenyewe na asiye mcha

Mungu. ‘Je, watu wawili waweza kutembea pamoja ,

wasipokuwa wamepatana?’ Amos 3:3. Furaha na mafanikio

ya uhusiano wa ndoa unategemea umoja wa pande zote;

lakini kati ya muumini na asiyeamini kuna tofauti kubwa

ya radha, upendeleo na malengo. Wanatumikia mabwana

wawili, ambao hawawezi kupatana. Hata hivyo vyovyote

mtu anavyoweza kuwa mkweli na mwenye kanuni sahihi,

ushawishi wa asiyeamini utakuwa ukikuongoza mbali na

Mungu.”

E.G.W. (Wazee na Manabii, p. 174)