vipi virusi vya corona? · virusi vya corona ni vidudu. ni ndogo sana kwamba tunaweza kuwaona....

1
Traduit avec autorisation par Vipi kuusu iyi Virusi vya corona ni vidudu. Ni ndogo sana kwamba tunaweza kuwaona. Kupunguza virusi na kuizuwiya kufanya wagonjwa wengi, shule nyingi sasa zimefungwa na watu wanaombwa wakae nyumbani iwezekanavyo. Tunapopunguza virusi, tunawapa wanasayansi na mahopitali muda Zaidi wa kupata tiba na kutunza watu wagonjwa. Hata wakati hatuhisi kuwa mgonjwa, tunaweza kusaidia kupunguza virusi kwa kuosha mikono yetu mara kwa mara, kukohowa mikononi mwetu na kuhepuka umati wa watu. Ikiwa kila mutu atafanya bidii, tunaweza kulinda kila mmoja na kuokoa maisha mengi! « Kikohozi! » Watu ambao ni wagonjwa wanaombwa kukaa nyumbani peke yao ili kuzuwia virusi kuenea kwa watu wapya. Watoto wanapopata hivi virusi, kwa mara nyingi siyo mpango mkubwa. Lakini watu wazima na wazee wanaweza kupata magonjwa. VIRUSI VYA CORONA? VIRUSI VYA CORONA? Virusi vya corona husafiri kutoka kwa mtu kwenda kwa mwengine ikiwa watagusana au watakaa kwa karibu pamoja. Inaweza kuenea, kusambaha kwa watu wengi araka sana. MWAH HA HA! mimi sionekani Hapa kuna nyumba mpya kwako, mtoto wangu Ni vizuri, Babu. Tutazungumuza kwenye simu badala yake! Ni vigumu kutokuwa pamoja lakini inafanya kuwa ngumu Zaidi kwa virusi kuenea kwa watu wapya. Oh, Risasi Sawa, sawa, naipata. Naondoka

Upload: others

Post on 18-Jul-2020

15 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: Vipi VIRUSI VYA CORONA? · Virusi vya corona ni vidudu. Ni ndogo sana kwamba tunaweza kuwaona. Kupunguza virusi na kuizuwiya kufanya wagonjwa wengi, shule nyingi sasa zimefungwa na

Traduit avec autorisation par

SWAHILI

Vipi kuusu iyi

Virusi vya corona ni vidudu. Ni ndogo sana

kwamba tunaweza kuwaona.

Kupunguza virusi na kuizuwiya kufanya wagonjwa wengi,

shule nyingi sasa zimefungwa na watu wanaombwa wakae nyumbani iwezekanavyo.

Tunapopunguza virusi, tunawapa wanasayansi na mahopitali muda Zaidi wa

kupata tiba na kutunza watu wagonjwa.

Hata wakati hatuhisi kuwa mgonjwa, tunaweza kusaidia kupunguza virusi kwa kuosha mikono yetu mara kwa mara, kukohowa mikononi mwetu na

kuhepuka umati wa watu.

Ikiwa kila mutu atafanya bidii, tunaweza kulinda kila mmoja

na kuokoa maisha mengi!

« Kikohozi! »

Watu ambao ni wagonjwa wanaombwa kukaa nyumbani peke yao ili kuzuwia virusi kuenea kwa watu wapya.

Ni vigumu kutokuwa pamoja lakini

inafanya kuwa ngumu Zaidi kwa virusi kuenea kwa watu

wapya.

Watoto wanapopata hivi virusi, kwa mara nyingi siyo

mpango mkubwa. Lakini watu wazima na wazee

wanaweza kupata magonjwa.

VIRUSI VYA CORONA?VIRUSI VYA CORONA?Virusi vya corona husafiri

kutoka kwa mtu kwenda kwa mwengine ikiwa watagusana au watakaa kwa karibu pamoja. Inaweza kuenea, kusambaha kwa watu wengi araka sana.

MWAH HA HA! mimi sionekani Hapa kuna nyumba mpya

kwako, mtoto wangu

Ni vizuri, Babu. Tutazungumuza kwenye

simu badala yake!

Ni vigumu kutokuwa pamoja lakini inafanya kuwa ngumu Zaidi kwa

virusi kuenea kwa watu wapya.

Oh, Risasi

Sawa, sawa, naipata.

Naondoka