somo la 1 kwa ajili ya octoba 5, 2019 - fustero · 2019. 10. 3. · (ezra 1:1) mungu alikuwa...

9
Somo la 1 kwa ajili ya Octoba 5, 2019

Upload: others

Post on 05-Mar-2021

0 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: Somo la 1 kwa ajili ya Octoba 5, 2019 - Fustero · 2019. 10. 3. · (Ezra 1:1) Mungu alikuwa amelitoa tangazo la Koreshi ambalo Ezra alilitaja, miaka 150 kabla halijawa rasmi. Mungu

Somo la 1 kwa ajili ya Octoba 5, 2019

Page 2: Somo la 1 kwa ajili ya Octoba 5, 2019 - Fustero · 2019. 10. 3. · (Ezra 1:1) Mungu alikuwa amelitoa tangazo la Koreshi ambalo Ezra alilitaja, miaka 150 kabla halijawa rasmi. Mungu

Vitabu vya Ezra na Nehemia vinaongelea matukiokutoka wakati ule mfalme Koreshi alipowaruhusuwana wa Israeli kurudi Yerusalem kutoka Babeli, hadikuimarika kwa Israel kama taifa huru na imara (chiniya mamlaka ya kisiasa ya himaya ya Umedi naUajemi).

Ni muhimu kumjua aliyechukua sehemu muhimu ya matukio ya Kihistoria katikawakati huo ili kuweza kuelewa vizuri ujumbe wa vitabu hivi viwili.

Page 3: Somo la 1 kwa ajili ya Octoba 5, 2019 - Fustero · 2019. 10. 3. · (Ezra 1:1) Mungu alikuwa amelitoa tangazo la Koreshi ambalo Ezra alilitaja, miaka 150 kabla halijawa rasmi. Mungu

Isaya alitabirikwambaKoreshiangewaruhusuwatumwakurudi kwao(Isaya 44:28)

Yeremiaalitangazamiaka 70 yautumwa katikaBabeli(Yeremiah25:11)

Yerusalemilihusuriwa. Danieli nawenginewakachukuliwa hadiBabeli(Daniel 1:1)

Miaka 70 baada yaYerusalemkuhusuriwa, Koreshialiwaruhusuwana waIsraeli kurudi(Ezra 1:1)

Mungu alikuwa amelitoa tangazo la Koreshi ambaloEzra alilitaja, miaka 150 kabla halijawa rasmi. Mungudaima huiongoza historia.

Daniel akaomba mbele za Mungu kwa ajili ya Israel (Daniel 9:1-19) na akamwambia Koreshi kuhusu unabiiwa Isaya na Yeremia. Hii ndiyo ilikuwa hatua hadiKoreshi akawaruhusu warudi kutoka uhamishoni.

Page 4: Somo la 1 kwa ajili ya Octoba 5, 2019 - Fustero · 2019. 10. 3. · (Ezra 1:1) Mungu alikuwa amelitoa tangazo la Koreshi ambalo Ezra alilitaja, miaka 150 kabla halijawa rasmi. Mungu

Koreshi alikuwa katika mji wa Akmetha Septemba 537 K.K. Hapo ndipo alipoipitisha amri iliyopo katika Ezra 6:2-5. Amri hii ilijumuisha mambo yafuatayo:

Watu wapatao 50,000 walisafiri kwendaYerusalem. Walifika kama mwaka wa 536 K.K.

Kulingana na Ezra 2:1, waliongozwa naZerubabel (mjukuu wa mfalme Yekonia) naKuhani Mkuu Yoshua.

Iliwapasa kulijenga Hekalu katika Yerusalem

Kila myahudi aweze kwenda (haikuwa lazima)

Wangeweza kusaidiwa kwa fedha, dhahabu, ng’ombe…

Page 5: Somo la 1 kwa ajili ya Octoba 5, 2019 - Fustero · 2019. 10. 3. · (Ezra 1:1) Mungu alikuwa amelitoa tangazo la Koreshi ambalo Ezra alilitaja, miaka 150 kabla halijawa rasmi. Mungu

Koreshi Mkuu II 559-530 KK

536 KK Kundi la kwanza lilirejeshwa na Zerubabeli

Ujenzi wa Hekalu ulianza

Cambyses II 530-522 KK

Gaumata (false Smerdis) 522 KK

Dario I522-486 KK

Machi 515 KK Hekalulilikamilika na likawekwa

wakfu

Xerxes I (Ahasuero)486-465 KK

Esta akawa malkiaUjenzi wa Yerusalem

ukasitishwa

Artashasta I465-425 BC

457 KK Ezra arudiYerusalem akiwa na kundi

la pili

Majuma 70 ya Daniel 9 yaanza

444 KK Nehemia arudiakiwa na kundi la tatu

Ukuta wa Yerusalem ukajengwa tena

“Nao wazee wa Wayahudi wakajenga, wakafanikiwa, kwa msaada wa kuhubiri kwao

Hagai nabii, na Zekaria mwana wa Ido. Wakajenga, wakaimaliza kazi yao, kwa maagizoya Mungu wa Israeli, na kwa amri ya Koreshi, na Dario, na Artashasta mfalme wa Uajemi.”

(Ezra 6:14)

Tutaielewa vizuri hadithi iliyoelezwa kwenyevitabu vya Ezra na Nehemia ikiwa tutauelewauhusiano wao na wafalme wa Uajemiwaliowatawala wana wa Israeli.

Koreshi Dario Artashasta

Page 6: Somo la 1 kwa ajili ya Octoba 5, 2019 - Fustero · 2019. 10. 3. · (Ezra 1:1) Mungu alikuwa amelitoa tangazo la Koreshi ambalo Ezra alilitaja, miaka 150 kabla halijawa rasmi. Mungu

“Na wewe, Ezra, kwa kadri ya hekima ya Mungu wako iliyo mkononimwako, waweke waamuzi na makadhi, watakaowahukumu watu wotewalio ng’ambo ya Mto, yaani, wote wenye kuzijua amri za Munguwako; ukamfundishe yeye asiyezijua.” (Ezra 7:25)

Amri ya Artashasta katika mwaka 457 KK (Ezra 7:12-26) inajumuisha mambo makuu mawili:

1. Hekalu Makuhani na Walawi wametajwa.

Walisamehewa katika kutozwa kodi (fg. 13, 24) Sadaka maalumu ilihitajiwa kwa ajili ya

urejeshwaji. Zoezi la kila mwaka la kafaralikaanzishwa (aya. 15-23)

2. Uhuru wa Yuda Ezra aliruhusiwa kuteua waamuzi na makadhi.

Wakaruhusiwa kupitisha sheria zao wenyewe(aya. 25-26)

Mara hii ya pili walirudi watu wapatao 1,500 viongozi wa kifamilia kutoka koo 12 (Ezra 8).

Page 7: Somo la 1 kwa ajili ya Octoba 5, 2019 - Fustero · 2019. 10. 3. · (Ezra 1:1) Mungu alikuwa amelitoa tangazo la Koreshi ambalo Ezra alilitaja, miaka 150 kabla halijawa rasmi. Mungu

Alifanya kazi na mfalme Artashasta na alikuwa naushawishi chanya kwake.

Aliandika vitabu vya Biblia vya Esta, Ezra na Mambo ya Nyakati wa 1 na 2. Pia ndiye aliyezikusanyaZaburi na alikuwa na uelewa mpana sana wamaandiko na sheria ya Musa.

Tamaduni za Kiyahudi zinasema kuwa ndiyealiyeanzisha mikusanyiko kwenye masinagogi namaendeleo mengine ya ibada za kiebrania namifumo ya uandishi.

Ezra ni mfano wa kile Mungu awezacho kufanyapale tunapomruhusu afanye kazi ndani yetu nakuziendeleza karama alizotupatia.

Ezra alikuwa msomi mwenye mamlaka kwenye mahakama ya Uajemi.

Page 8: Somo la 1 kwa ajili ya Octoba 5, 2019 - Fustero · 2019. 10. 3. · (Ezra 1:1) Mungu alikuwa amelitoa tangazo la Koreshi ambalo Ezra alilitaja, miaka 150 kabla halijawa rasmi. Mungu

“Mungu alimchagua Ezra kuwa chombo chema kwa

Israeli, ili kwamba aweke heshima katika ukuhani,

utukufu ambao ulikuwa umeanguka mno wakati wa

utumwa. Ezra akaendelea kuwa mjuzi ajabu na

akawa “mwandishi mwepesi katika sheria ya Musa.”

(Ezra 7:6). Sifa hizi zikamfanya kuwa mtu maarufu

sana katika ufalme wa Umedi na Uajemi.

Ezra akawa kinywa cha Mungu, kuwaelimisha wale

walio wake katika kanuni zinazoongoza mbingu.

Wakati wa miaka yake iliyosalia, akiwa karibu na

mahakama ya mfalme wa Umedi na Uajemi au akiwa

Yerusalemu, kanuni yake ya kazi ilikuwa ni ya kuwa

mwalimu. Alivyokuwa akiongea na wengine ukweli

aliojifunza, uwezo wake wa utumishi uliongezeka.

Akawa mcha Mungu na mwenye bidii sana. Alikuwa

shahidi wa Bwana wa nguvu ya ukweli wa Biblia

kwa ulimwengu kuwezesha maisha ya kila siku.”E.G.W. (Manabii na Wafalme, sura. 50, p. 609)

Page 9: Somo la 1 kwa ajili ya Octoba 5, 2019 - Fustero · 2019. 10. 3. · (Ezra 1:1) Mungu alikuwa amelitoa tangazo la Koreshi ambalo Ezra alilitaja, miaka 150 kabla halijawa rasmi. Mungu

“Wote tumepewa kazi ya

kufanya, na hii inaweza

kukamilishwa kwa kutoa

jitihada zetu kikamilifu. Je,

tutauacha mfano wa Ezra

utuelekeze mmoja mmoja, na

kutufundisha kutumia ufahamu

wetu wa maandiko?”

E.G.W. (Christ Triumphant, June 27)