undani wa mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao...

72
Undani Wa Mtoto Kujiunganisha na watoto waliopitia huzuni na kufiwa Na Judy Rankin pamoja na Mch Renate Cochrane na Khulakahle Child Counseling and Training Forum

Upload: others

Post on 30-Jan-2020

7 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

Undani Wa Mtoto

Kujiunganisha na watoto waliopitia huzuni na kufiwa

Na Judy Rankin pamoja na Mch Renate Cochrane na Khulakahle

Child Counseling and Training Forum

Page 2: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano
Page 3: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

Undani Wa Mtoto

Kujiunganisha na watoto

Na Judy Rankin pamoja na Mch Renate Cochrane na Khulakahle Child Counselling and Training Forum

Page 4: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano
User
Typewritten Text
/ ISBN 978-1-905746-51-4 (E-book)
User
Typewritten Text
User
Typewritten Text
User
Typewritten Text
User
Typewritten Text
User
Typewritten Text
User
Typewritten Text
User
Typewritten Text
Page 5: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

Undani Wa Mtoto

Kujiunganisha na watoto

YaliyomoUtangulizi na Vifupisho ............................................................................................................................................. 4

Dibaji: Kuhusu machapisho ya Tumeitwa Kuhudumia ............................................................................. 5

Washirika wa Tumeitwa Kuhudumia .................................................................................................................. 6

Neno la Utangulizi kutoka Khulakhale na Masangane ..................................................................................... 7

Utangulizi ....................................................................................................................................................................... 11

Kipengele cha A: Utambulisho, matarajio na mawazo mapya ................................................................... 15

Kipengele cha B: Hadithi nyingi za maisha yetu .............................................................................................. 25

Kipengele cha C: Utoto - wakati maalumu wenye mahitaji maalumu ..................................................... 31

Kipengele cha D: Kujiunganisha na watoto ....................................................................................................... 39

Kipengele cha E: Nidhamu........................................................................................................................................ 47

Kiambatanisho: Vivunja ukimya, viburudisho na mapumziko .................................................................... 62

Nyenzo za ziada............................................................................................................................................................. 66

Marejeo............................................................................................................................................................................. 67

Machapisho ya Tumeitwa Kuhudumia............................................................................................................. 68

.. 53

Page 6: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

4 www.stratshope.org

UNDANI WA MTOTO

Shukrani

VifupishoUKIMWIVVU

Page 7: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

www.stratshope.org 5

Katika nchi nyingi duniani kote, makanisa na Wakristo binafsi wanaitikia wito wa Kristo kwamba “mpende jirani yako kama nafsi yako” kwa kufanya shughuliza kijamii katika kukabiliana na changamoto nyingi za VVU na UKIMWI.

Katika nchi za Africa chini ya Jangwa la Sahara, makanisa mara nyingi yamekuwa mstari wa mbele katika jitihada za kupunguza athari za VVU na UKIMWI. Wanaonyesha kwa vitendo kwa njia nyingi kwamba wanajisikia “kuitwa kuhudumia” kwa wale ambao wameathirika au wameathiriwa na janga la VVU. Kwa mfano, wamefanikiwa kubuni njia za kufanya upatikanaji wa huduma muhimu za afya kwa watu wanaoishi na VVU, na kuwapa elimu, misaada ya kijamii na huduma za afya kwa watoto yatima waliotokana na UKIMWI.

Hata hivyo, Makanisa yamekuwa hayafanyi vizuri sana katika kushughulikia matatizo kama kujikinga na VVU, unyanyapaa unaotokana na VVU, aibu na ubaguzi, tamaduni na mambo ya kijinsia yanayohusu tabia hatarishi za kujamiiana. Kukataa ukweli wa VVU na UKIMWI ndani ya jamii za kanisa kupo kwa kiasi kikubwa. Pamoja na kuwa kujamiiana ndio njia kuu ya kuenea kwa VVU miongoni mwa nchi nyingi, ni mara chache sana inazungumziwa ndani ya kanisa kwa uwazi na katika hali isiyo ya kuhukumu.

Bado makanisa na taasisi nyingine za kiimani wana uwezo mkubwa wa kuwaimarisha watu binafsi na jamii kuhusu ufahamu, mtazamo, ujuzi na mikakati wanayohitaji katika kushughulikia masuala yanayohusu kujamiiana, jinsia na UKIMWI. Zaidi ya hayo, viongozi wengi wa makanisa wametambua uhitaji wa juhudi za kukabiliana na mambo yanayosababishwa na janga la UKIMWI kwa nguvu na kwa uwazi katika upana wake.

Ili kusaidia juhudi hizi, Wadhamini wa Mikakati ya Kuleta Matumaini wanatayarisha machapisho ya Tumeitwa Kuhudumia. Hii inajumuisha vijitabu vya miongozo inayoelekeza kutenda mambo yanayohusiana na VVU na UKIMWI kwa viongozi wa kanisa (waliobarikiwa na wasiobarikiwa) hasa walioko Africa chini ya Jangwa la Sahara. Machapisho ya Tumeitwa Kuhudumia yametayarishwa ili kuwawezesha wachungaji, mapadre na watawa wa kike na wa kiume, walei viongozi wa kanisa na waumini wao na jamii ili waweze:

Kutafakari na kuelewa kiroho, kitheolojia,

kimaadili, kiafya, kijamii, na kimatendo madhara ya janga la VVU na wito wa Kikristo wa kuitikia kwa huruma.

Kuushinda unyanyapaa, ukimya, ubaguzi,

kukataa, woga na kukataa kubadilika hali ambazo zinazuia kanisa na jamii katika kukabiliana na mambo yanayohusu UKIMWI kwa ukamilifu zaidi.

Kuwaongoza waumini wao na jamii katika mchakato wa kujifunza na kubadilika, kupelekea kwenye matendo na mienendo ya kikanisa kwa kuwasaidia watu binafsi, familia na jamii ili kupunguza kuenea kwa VVU na kupunguza athari za janga la UKIMWI.

Machapisho ya Tumeitwa Kuhudumia ni mkusanyiko wa vitabu vya kutumiwa na makundi ya kanisa na jamii katika ngazi tofauti tofauti za uelewa na uzoefu juu ya janga la VVU. Kitabu hiki. Na. 6 kimeandaliwa kuchochea jinsi ya kuwarudishia hali zao za mwanzo, yatima na watoto wengine ambao wameishi katika

wao kujirudisha nyuma wao wenyewe na kujaribu

yatatayarishwa katika kipindi cha mwaka 2008 hadi 2010. Vitabu hivi vitakuwa na mada kama vile kujikinga na maambukizi ya VVU, kuishi kwa matumaini na VVU na UKIMWI, VVU na vijana, masuala ya kijinsia, lishe na usalama wa chakula na lishe kwa watu wanaoishi na VVU.

Mradi wa Tumeitwa Kuhudumia unatekelezwa kupitia mchakato wa kimataifa, uwakilishi wa shirikisho la muungano wa makanisa, taasisi nyingine za kidini, jumuia za kanisa za kimataifa na mitandao, wachapaji, wasambazaji na washika dau wengine.

Tunakukaribisha ushiriki katika Tumeitwa Kuhudumia sio tu kwa kutumia yaliyomo kwenye kitabu hiki kwa waumini wako au jamii yako, bali pia kwa kutuandikia kuhusu uzoefu wako, ambao tungependa kuuweka kwenye tovuti ya Mikakati ya Kuleta Matumaini: www.stratshope.org.

Wenu katika imani na mshikamano,

Glen Williams MhaririWadhamini wa Mikakati ya Kuleta Matumaini

DibajiKuhusu machapisho ya TUMEITWA KUHUDUMIA

DIBAJI

‘Machapisho’ mengine ya Tumeitwa Kuhudumia

Page 8: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

6 www.stratshope.org

UNDANI WA MTOTO

Washirika wa TUMEITWA KUHUDUMIAMachapisho ya Tumeitwa Kuhudumia yanachapishwa na kusambazwa kwa kushirikiana na

mashirika yafuatayo ya kimataifa, kitaifa na ya kijamii:

Africa Christian Textbooks

African Network of Religious Leaders living with or personally affected by HIV and AIDS (ANERELA+)

Anglican Diocese of Southern Malawi

CAFOD

Catholic AIDS Action

Christadelphian Meal-a-Day Fund

Christian Aid

Christian AIDS Bureau for Southern Africa

Christian Connections for International Health

Christian Literature Fund

Council of Anglican Provinces of Africa

Ecumenical HIV/AIDS Initiative in Africa, World Council of Churches

Family Health International

International Christian Medical and Dental Association

International Network of Religious Leaders living with or personally affected by HIV and AIDS (INERELA+)

Interchurch Organisation for Development Cooperation (ICCO)/Kerk in Actie

Kachere Press

Khulakahle Child Counselling and Training Forum

Lutheran World Federation

Masangane

Maurice and Hilda Laing Charitable Trust

Mercy Ships

Micah Initiative

Misereor

Organisation of African Instituted Churches

Rede Cristao contra HIV/SIDA

Tabernacle Sifa

United Society for the Propagation of the Gospel

Tearfund

World Vision International

Zentrum Oekumene.

~

Page 9: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

www.stratshope.org 7

Page 10: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

8 www.stratshope.org

UNDANI WA MTOTO

Page 11: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

www.stratshope.org 9

MALAIKA- sala ya kuchochea kazi yetu

Page 12: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

10 www.stratshope.org

UNDANI WA MTOTO

Page 13: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

www.stratshope.org 11

Kwa ajili ya nani?

Kwa nini?

UtanguliziNANI

KWA NINI NINI

WAPI LINIKITUMIKEJE

Page 14: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

12 www.stratshope.org

UNDANI WA MTOTO

ndugu wengine au walezi au katika kaya

zinazoongozwa na watoto; wengine huishi

katika vituo vya kulelea watoto yatima au hata

katika taasisi nyingine. Waangalizi wao zaidi ni

wanafamilia, ndugu au wanajamii katika eneo

husika, wengi wao wakiwa pia ni wale ambao

wameathiriwa na janga la UKIMWI na hali duni

ya kiuchumi.

Yatima na watoto wengine ambao wamepitia

wana mahitaji mengi. kwa mfano: chakula,

mavazi, makazi, huduma ya afya, elimu na

malezi. Pia wanahitaji uponyaji wa kihisia na

kiroho ili waweza kurudia hali zao za mwanzo

kutoka kwenye athari walizopata kutokana na

kuugua kwa muda mrefu na vifo vya wazazi na

walezi wao, au kutokana na matukio mengine

ya maumivu ya mshituko kwenye maisha yao.

Mwisho, wanahitaji uponyaji wa kuwarudishia

hali zao za mwanzo - uwezekano wa kuishi

huzuni na kila tukio baya - na kwa mambo

hayo wanahitaji uhusiano chanya na watu

wazima wenye moyo wa kuwahudumia ambao

wanayaelewa mahitaji yao.

Katika nchi nyingi za ki-Afrika, Makanisa katika

nchi hizo na masihrika yanayojishughulisha

na mambo ya kiimani hutoa msaada wa

vitu muhimu (chakula, mavazi, mablanketi),

msaada wa kielimu (vitabu, penseli, sare za

shule), na vile vile msaada wa kihisia na kiroho

kwa yatima na watoto wengine walio katika

mazingira hatarishi. Jitihada hizi hutegemea

sana kazi ya kujitolea ya mamia kwa maelfu

ya watu wanaojitolea - wengi wao wakiwa

wamama wa makanisani - ambao mara kwa

mara wanawatembelea yatima na watoto

wengine walio katika mazingira hatarishi

kuangalia hali zao na kutoa msaada pale

panapowezekana. Wanachama wengine na

sehemu nyingine za jamii - kwa mfano walimu

wa mashule, viongozi wa dini na mashirika

ya kujitolea - pia hutoa mchango muhimu

kusaidia yatima na watoto wengine walio katika

mazingira hatarishi.

Kitu cha msingi katika kuwasaida watoto

kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo

kwa watu wazima wa kuwatunza ambao

wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto

moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa

mfano wa kuigwa na mtoto. Watu wazima hawa

wanaweza kuwa ni wazazi waliobaki, ndugu,

walezi, walimu, viongozi wa Kanisa, washiriki

wengine wa Kanisa au watu wa kujitolea katika

jamii. Mara chache, hata hivyo, watu wazima

hawa wamefundishwa ujuzi wanaouhitaji

ili kuwaunganisha na yatima na watoto

wengine walio katika mazingira hatarishi, na

kuwawezesha kuendeleza hali zao za mwanzo

ambazo wanazihitaji ili kujijengea mahusiano

mazuri wao wenyewe na wengine. Kwa hiyo

wanahitaji mafunzo katika ujuzi huu.

Zaidi ya yote, nchi za Afrika chini ya Jangwa la

Sahara, watu wazima ambao huwatunza yatima

na watoto wengine walio katika mazingira

hatarishi, kuna uwezekano mkubwa wao nao

yao. Wao pia wanaweza kuwa na hitaji la

uponyaji. Bado uzoefu wao, hata kama

unaumiza, unaweza kuwa wa thamani. Kwa

kuchunguza uzoefu wao wenyewe, na kwa

kuwashirikisha wengine, washiriki katika kozi

hizo za mafunzo wanaweza kugundua ndani

kukuza uelewa mzuri zaidi wa changamoto

zinazowakabili yatima na watoto wengine

Kuhusu nini?Shabaha muhimu ya kitabu hiki siyo katika

kuingiza habari mpya, lakini ni katika kuongeza

nguvu uwezo wa washiriki kuungana na

kuwasaidia watoto ambao wamepitia hali ya

waliopitia hali za huzuni na kufiwa

yao ‘undani wa mtoto’ . Hii itawawezesha pia

wamepitia hali hizo za kufiwa kwenye maisha

huzuni na kufiwa, na walio katika hatari ya

shida ya kufiwa na kuondokewa na wazazi

maisha yenye matumaini licha ya kufiwa,

Page 15: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

13

Kitumike wapi na lini?

Kitumikeje?

1. Kuabudu:

2. Marudio:

3. Shughuli:

4. Waanzilishi:

5. Kufunga:

Page 16: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

14 www.stratshope.org

UNDANI WA MTOTO

6. Kazi ya nyumbani:

Kuimba na kucheza kwa kawaida hufanyika bila maandalizi wakati wowote wa mafunzo.

Page 17: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

Shughuli ya 1A:

Kukaribisha, Ibada na utambulisho

Makusudi:

Maelezo:

Muda unaotakiwa:

Utaratibu:1.

2.

3.

4.

“Mtu akimpokea mtoto mmoja wa namna hii kwa jina langu, anipokea mimi; na mtu akinipokea mimi, humpokea, si mimi, bali yeye aliyenituma”.

5.

6.

Kipengele cha A

Utambulisho, matarajio na mawazo mapya.

“Mtu akimpokea

www.stratshope.org 15

Page 18: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

16 www.stratshope.org

UNDANI WA MTOTO

7.

Shughuli ya 2A:

Matumaini, matarajiona hofu

Makusudi:

Maelezo:

Muda unaotakiwa:

Utaratibu:1.

2.

3.

4.

5.

“Mtu akimpokea mtoto mmoja wa namna hii kwa jina langu, anipokea mimi; na mtu akinipokea mimi, humpokea, si mimi, bali yeye aliyenituma.”

Page 19: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

www.stratshope.org 17

Shughuli ya 3A:

Muundo wa kozi na kanuni za kikundi

Makusudi:

Maelezo:

Muda unaohitaji:

Utaratibu:1.

2.

3.

4.

5.

Shughuli ya 4A:

Yesu na watotoKusudi:

Maelezo:

Muda unaohitajika:

Utaratibu:1

“Basi wakamletea watoto wadogo ili awaguse; wanafunzi wake wakawakemea.Ila Yesu alipoona alichukizwa sana,

waje kwangu, msiwazuie; kwa maana watoto kama hawa ufalme wa Mungu ni wao. Amin, nawaambieni, Ye yote asiyeukubali ufalme wa Mungu kama mtoto mdogo hatauingia

yake juu yao, akawabarikia.”

Page 20: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

18 www.stratshope.org

UNDANI WA MTOTO

2. Fafanua kwamba kuna mara nyingine moja

tu (habari ya wakopeshaji katika hekalu),

Katika habari hii, hasira yake ilielekezwa

kwa wanafunzi wake mwenyewe. Kwa nini?

Baadhi ya washiriki wanaweza kutoa maoni

mazuri sana, k.m. kwamba Mungu anathamini

wepesi, uwazi na uaminifu wa watoto. Kama

watu wazima, tunakuwa tunaishi maisha yenye

kutatiza, kujaribu kutafuta njia za kukwepa

ukweli na kutokuwaamini wengine.

3. Dokeza kuwa jibu lingine linaweza

kutegemea mafundisho ya Yesu juu ya Ufalme

wa Mungu. Kulingana na hotuba ya mlimani

(Beatitudes), wanyenyekevu na wanyonge ndio

wanaonufaika zaidi na utawala wa Mungu.

“Heri ninyi mlio maskini, kwa sababu ufalme wa Mungu ni wenu. Heri ninyi mlio na njaa sasa, kwa sababu mtashiba. Heri ninyi mliao sasa, kwa sababu mtacheka.” ( Luka

6: 20-22) Watoto wanashiriki hali hiyo hiyo

ya umaskini, ya njaa na ya mateso, ambao

hali hatarishi kwa watoto ndiyo mambo hasa

yanayowaweka alama kama ni wale ambao watakaribishwa katika ufalme wa Mungu.

4. Pia sema kwamba, katika Agano Jipya,

watoto wanawekwa mbele kama mifano

ya kuigwa na watu wazima - kitu ambacho

hakikusikika wakati wa kuishi kwa Yesu. Yesu

anasema ( Marko 10:15):

“Yeyote asiyeukubali ufalme wa Mungu kama mtoto mdogo hatauingia kabisa.” Kwa

sentensi hii Yesu anageuza agano la sheria ya

Wayahudi kichwa chini. Kwa kadri ya Sheria ya

Wayahudi, ni wale watu wazima tu waliofuata

Sheria katika kila kitu ndio waliokubalika na

Mungu. Yesu anatufundisha kwamba Upendo

wa Mungu hauna masharti na kwamba Mungu

yuko upande wa maskini na wanyonge, kama

wanavyowakilishwa na watoto.

5. Hitimisha kwa kusisitiza kwamba huduma

na msaada kwa watoto ndio msingi wa ufuasi

wa Kikristo. Ni kama vile Yesu anatuambia sisi:

“Nifuateni mimi - wahudumieni watoto. Nahitaji

Kanisa kuwaangalia watoto na kuwa watetezi

wao.”

Shughuli ya 5A:Kuweza kujijua wenyewe na watoto wetu

Makusudi:

Kuchunguza kumbukumbu zetu kutoka utoto wetu ili kuweza kujijua sisi wenyewe vizuri zaidi, kwa vile jambo hili linaweza kuongeza ufahamu wetu na wepesi wa kuhisi hisia za watoto.

Kusaidia kujenga uaminifu na uundaji wa kikundi kupitia katika kushirikishana hadithi binafsi.

Kujikumbusha na kutambua maana kuu

ya umuhimu wa mtu mzima katika maisha

yetu wenyewe.

Maelezo:Mjadala wa kundi zima,

ikifuatiwa na mijadala ya vikundi vidogo-

vidogo na kutoa mrejesho kwa kundi

zima.

Muda unaohitajika: Dakika 30.

Utaratibu:1. Kabla ya yote, andika maswali yafuatayo katika bango kitita, na waombe wanakikundi kuyatafakari.

Je, unaweza kukumbuka sehemu maalumu, wakati ulipokuwa unakua,

eri ninyi mlio na njaahiba. Heri ninyi mliao heka.” ( Luka

anashiriki hali hiyo hiy

a na ya mateso amba

2

Page 21: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

19 www.stratshope.org

ambayo ina kumbukumbu

maalumu na ya maana

kwako? Mahali ulipojisikia

kuwa na furaha na kuwa

salama?

Je, kulikuwa na mtu

mzima au mtu yeyote

wakati huo ulipokuwa

unakua ambaye kwa

hakika aliunganika na

wewe? Chukua muda

huyu anaweza kuwa

mwalimu wa shule,

mwanafamilia, jirani,

mwalimu wa Shule ya Jumapili, mzazi

yeyote.

Jinsi gani mtu huyu alijiunganisha na wewe na kukufanya wewe ujione kuwa wa

maana? Je, unaweza kukumbuka kipindi

chochote au jambo lolote kwa kirefu?

2. Tafuta mwenzako na mshirikishane hadithi zenu.

3. Baada ya dakika 15, warudi kwenye kundi

zima, ambapo washiriki wataweza kuzungumza

kuhusu baadhi ya watu na sehemu

walizokumbuka.

Shughuli ya 6A:

Hadithi za watoto walio katika mazingira hatarishi kwenye jamii yetu.

Makusudi: Kuwasaidia washiriki kuwatambua watoto walio katika mazingira hatarishi kwenye jamii zao wenyewe.

kina zaidi kuhusu watoto walio katika mazingira hatarishi kwa kuchunguza uzoefu wao wa wakati wa utoto.

Kuimarisha na kujenga hali ya utulivu

na uundaji wa kikundi kwa kufanya kazi

pamoja katika igizo la kisaikolojia.

Maelekezo: Igizo la kisaikolojia;

mjadala wa kundi zima.

Vitu maalum vinavyohitajika: Kadi zenye mitiririko mbalimbali ya

maigizo inayotoa picha ya matatizo

ambayo watoto hukutana nayo mara kwa

mara katika jamii zao, kwa mfano:

Kifo katika familia.

Kuwa na mgonjwa mahututi katika

familia.

Mtoto aliye katika familia ambayo

moja iliyopita.

Kushuhudia kupigana kwa wazazi

kuhusu fedha au pombe.

Mtoto anayeishi katika hali ya umaskini.

Mtoto ambaye ameathirika kwa kubakwa

au kupigwa.

A: UTAMBULISHO, MATARAJIO NA MAWAZO MAPYA

Kuwawezesha washiriki kufikiri kwa

imefiwa na mmoja wa wanafamilia wiki

wa rafiki yako, au mtu mzima mwingine

kufikiri kwa makini. Mtu

Page 22: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

20 www.stratshope.org

UNDANI WA MTOTO

Muda unaohitajika: Dakika 45.

TAARIFA KWA WAWEZESHAJI: Igizo la

kisaikojia ni mchezo wa dakika 5 hadi 10 kwa

kila tukio. Washiriki mbalimbali huchukua nafasi

za kuigiza onyesho. Humchagua mtu mmoja

kuongoza mchezo, na wengine kuigiza sehemu

za mchezo. Washiriki wanahitaji kutiwa moyo

kutumia uzoefu wa mambo walivyopitia kwenye

maisha yao kutengeneza mchezo.

Utaratibu:1. Wagawanyike katika vikundi vidogovidogo. Kila

kikundi kichague kadi, ambayo itaainisha aina

ya igizo la kisaikolojia.

2. Vikundi vitengeneze mchezo na wapeane

majukumu, k.m. mtoto, dada, kaka, wazazi, bibi,

babu, mwalimu, mchungaji, mfanyabiashara,

mwuza duka, dereva wa basi.

3. Baada ya dakika 10, vikundi vidogovidogo

vikutane tena katika kundi zima na kila kimoja

kiigize igizo lao la kisaikolojia.

4. Sasa ongoza mjadala kuhusu uzoefu wa

mambo ambayo watoto walio katika mazingira

hatarishi huweza kukutana nayo katika maisha

yao ya kila siku, pamoja na misongo mikubwa

ambayo wamepitia. Weka mkazo kwenye hisia

walizo nazo, na katika vitu vinavyowaunganisha

na hisia, mawazo na tabia zao.

Shughuli ya 7A:

Utangulizi wa uthabiti

Makusudi:

na uzoefu wetu binafsi.

kusaidia kukuza uthabiti kwa watoto

ambao wamepitia mambo magumu na

shida.

Maelekezo: Mjadala wa kundi zima.

Muda unaohitajika: Dakika 30.

TAARIFA KWA WAWEZESHAJI: ni neno linaloweza kutusaida kuelewa jinsi

watoto wanavyoweza kurudia hali zao za

mwanzo kutoka kwenye shida. Ni kuhusu

uwezo wa watoto kurudia hali zao za mwanzo

na kuendelea na maisha yenye matumaini licha

ya vikwazo walivyopitia. Tusisahau kwamba

kila mtoto atahitaji msaada, haidhuru hata kama

wanaonekana wako imara kiasi gani. Kila mtoto

ana kipimo fulani cha uthabiti, lakini jambo hili

huhitaji kukuzwa.

Utaratibu

wa watoto katika bango kitita. Soma kwa sauti

na uulize kama maana hii imeeleweka kwa kila

mmoja katika kundi zima.

2. Waulize washiriki ni vitu gani toka nje

vinavyoweza kusaidia kukuza uthabiti kwa

kwenye orodha inayojumuisha yafuatayo:

kama babayangu angekuwa

bado hai, angejivuniasana nilivyofaulu

hesabu

:

.

.

‘Uthabiti’1. Andika ufafanuzi (hapa kushoto) wa ‘uthabiti’

watoto. Endelea kufanya hivyo mpaka ufike

Kutambulisha fikra ya uthabiti, kutokana

Page 23: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

www.stratshope.org 21

uhusiano wa karibu na salama na mtoa

matunzo

uhusiano wa karibu na wanafamilia

wengine waliobaki

chakula cha kutosha, makazi, mavazi na

huduma za afya

elimu

uimara wa kifedha, na

muungano wa karibu na utamaduni wa

jamii yake.

3. Waombe washiriki wazungumzie uzoefu wao

juu ya uthabiti. Waulize: “Je, nani ana uzoefu wa

baadhi ya shida za utoto wao?”; “Je, nini au nani

aliyekusaidia kuwa jinsi ulivyo, ukiwa umekaa

hapa katika warsha hii leo?”; na “Je, ni vipengele

vipi hapo juu toka nje vilivyokuwa vya muhimu

kwako?” Andika baadhi ya majibu kwenye

bango kitita.

4. Elezea kwamba katika kozi hii ya mafunzo

tutakuwa tunalenga zaidi kwenye vitu vya

ndani ambavyo vinahamasisha uthabiti. Katika

kujifunza jinsi ya kujiunganisha na kuzungumza

na watoto, tutakuwa tunalenga kusaidia kukuza

uwezo wa ndani, ambao utamsaidia mtoto

kujenga mitazamo mizuri mitatu:

Nina: mahusiano ya kuaminiana; misimamo na kanuni za nyumbani; mifano ya kuigwa; hamasa; stadi mahiri za kijamii na zangu binafsi; dini na imani.

Mimi: ninapendwa; ninapenda; ninajiamini

mwenyewe; ninawajibika; ninamatumaini; na nastahili kuaminiwa.

Ninaweza : kuwasiliana; kudhibiti hisia

na mihemko; kutafuta mahusiano ya

kuaminiana.

Shughuli ya 8A:

ufahamu na uzoefu gani, unaouleta hapa leo?

Makusudi: Kutambua ujuzi wa pekee, ufahamu na uzoefu wa maisha ya mtu binafsi ambao kila mshiriki anauleta kwenye kozi ya mafunzo.

Kusisitiza kwamba watu wenye elimu rasmi ndogo wanaweza wakawa na

hekima na uzoefu mwingi wenye thamani.

Maelekezo: Shughuli ya kundi zima na mijadala ya watu wawili wawili.

Muda unaotakiwa: Dakika 45.

Vifaa maalumu vinavyohitajika:

Vipande vidogo vya karatasi vyenye rangi

tofauti tofauti vilivyokatwa kwa urefu. Kila

mtu apate vipande vitano vyenye rangi tofauti

tofauti.

Chombo/chungu cha kupikia au kikapu.

ufuatao) yaliyoandikwa kwenye bango kitita au

kipeperushi.

A:UTAMBULISHO, MATARAJIO NA MAWAZO MAPYA

Kuimarisha lugha ya uthabiti: ‘Nina’ ‘Mimi’ , ‘Ninaweza’ .

Mambo ya kufikiria (angalia ukurasa

Page 24: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

22

UNDANI WA MTOTO

Utaratibu:1.

JE, UNA UJUZI, UFAHAMU NA UZOEFU GANI, UNAOULETA HAPA LEO?

Nina:

Ninaweza:

Mimi:

www.stratshope.org

Page 25: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

www.stratshope.org 23

5. Kila mshiriki aende kwenye chungu cha

kupikia, mmoja baada ya mwingine, na kuweka

kipande cha karatasi ndani ya chungu, baada

ya kuwashirikisha kwa sauti kundi zima.

6. Endelea na utaratibu huu mpaka kila mmoja

ameweka vipande vyote vitano vya karatasi

ndani ya chungu cha kupikia.

7. Waulize washiriki jinsi zoezi hili linavyohusu

kutumiwa katika kufanya kazi na watoto. Je ni

aina gani za ujuzi, ufahamu na uzoefu ambao

watoto wanazo? Je ni ufahamu na hekima gani

tuliyonayo? Jadili jambo hili kwa dakika 5.

Shughuli ya 9A:

Kazi ya nyumbani

Makusudi:Kuchochea marudio ya kazi iliyofanyika

kwa siku.

Kuwasaidia wawezeshaji kuelewa jinsi

washiriki wanavyoendelea na warsha.

Kufuatilia mwenendo wa warsha

unavyoendelea.

Maelekezo: Michoro na marudio.

Muda unaotakiwa: Dakika 15.

Utaratibu:1. Eleza kwamba, mwisho wa kila siku, washiriki

wanaweza kupewa kazi ya kumalizia nyumbani.

Kazi hii itakuwa ya namna tofauti tofauti na

itafanywa na kila mshiriki, ambaye atatakiwa

kuandika jina lake katika kila kazi ambayo

ataiwasilisha.

2. Kwa kazi hii ya kwanza ya nyumbani,

wa kozi mpaka wakati huo. Kama ungeweza

kuwakilisha jibu lako mojawapo kwa kuchora,

mchoro utaonekanaje? Utakuwa na rangi

gani? Utakuwa mkubwa au ndogo kwa kiasi

gani? Utakuwa na umbo gani? Kwa kutumia

kalamu na karatasi tu, na kalamu za rangi kama

wanazo, kila mshirki achore mwitikio wake wa

kozi inavyoonekana.

Watakapokuwa wamemaliza kuchora, washirki

watafakari maswali yafuatayo na waandike

majibu kwenye mchoro wao :

Upe jina mchoro au jibu lako.

Je, jibu hili limewahi kutokea katika

wakati mwingine maishani mwako? Lini?

(Kwa mfano, wakati wa kozi zingine

ulizohudhuria?)

Mchoro huu au jibu hili hukufanya ujisikie

namna gani?

Ni kitu gani kinatia moyo kuhusu mchoro

huu au jibu hili?

Je, kuna jibu lingine ambalo ungeweza kuwa

nalo?

Kama ndivyo, ni jibu gani lingine? Ni kwa

namna gani jibu hii lingekufanya ujisikie

tofauti kuhusu kozi?

Kama sivyo, ni nini kinachohusu mchoro

wako au jibu lako ambacho hukufanya

ujisikie mwenye furaha kwa hilo kuwa kama

sehemu ya maisha yako?

A:UTAMBULISHO, MATARAJIO NA MAWAZO MAPYA

waombe washiriki wafikirie juu ya mwitikio wao

Page 26: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

24 www.stratshope.org

UNDANI WA MTOTO

Page 27: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

www.stratshope.org 25

Shughuli ya 1B:

Kujenga uthabiti kwa kuimarisha hali za ndani.

TAARIFA KWA WAWEZESHAJI:

Maelekezo:

Vitu maalumu:

Muda unaohitajika:

Kipengele cha B

Hadithi nyingi za maisha yetu

B: HADITHI NYINGI ZA MAISHA YETU

Page 28: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

26 www.stratshope.org

UNDANI WA MTOTO

Utaratibu:1.

2.

3.

4.

3

Page 29: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

www.stratshope.org 27

kukumbuka na kuunganisha

5.

6.

7.

8.

9.

CHUPA YAKO YA HISIA

10.

11.

12.

13.

14.

B: HADITHI NYINGI ZA MAISHA YETU

Page 30: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

28 www.stratshope.org

UNDANI WA MTOTO

Shughuli ya 2B:

Habari za wakati wa utoto, nyimbo na michezo

Makusudi:

Maelekezo:

Muda unaohitajika:

Utaratibu:1.

2.

3.

4.

Shughuli ya 3B:

Mti wa Maisha

Makusudi:

Page 31: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

www.stratshope.org 29

Maelekezo:

Muda unaohiyajika:

Vitu maalumu vinavyohitajika:

Utaratibu:1.

2

Mizizi:

Shina:

Matawi:

Majani:

Matunda:

Wadudu:

TAARIFA KWA WAWEZESHAJI:

Page 32: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

30 www.stratshope.org

UNDANI WA MTOTO

3. Halafu kundi ligawanyike katika watu wawili

wawili ili kushirikishana Mti wa Maisha na

mwenzake. Waulizane maswali ili kuendeleza

habari na maelezo.

4. Washiriki warudi kwenye kundi zima, ambapo

washiriki wachache watawashirikisha wengine

Mti wa Maisha yao.

5. Wagawanyike katika vikundi viwili na kujadili

jinsi gani zoezi hili linaweza kuhusiana na

watoto ambao washiriki wanawashughulikia.

Wajaribu kulenga ni kwa jinsi gani zoezi hili

linaweza kusaidia kujenga uthabiti wa watoto

kwa kujadili sio tu habari zenye kuhuzunisha

lakini pia zenye kufurahisha pamoja na

ufahamu wa historia zao.

Page 33: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

www.stratshope.org 31

Shughuli ya 1C:

Kusudi:

Maelezo:

Muda unaohitajika:

Utaratibu:1. “Basi yo yote myatakayo mtendewe na watu, nanyi watendeeni vivyo hivyo; maana hiyo ndiyo torati na manabii.”

2.

3.

katika mahusiano kati ya wakubwa na watoto, ina maana kujaribu kuzielewa na kuziheshimu hisia za mtoto.

Kipengele cha C

Utoto - Wakati maalumu wenye mahitaji maalumu

5

Page 34: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

32 www.stratshope.org

UNDANI WA MTOTO

Shughuli ya 2C:

Athari za mazingira kwa watoto

Malengo

Maelezo:

Muda unaohitajika

Utaratibu:1.

2.

3.

4.

5.

Page 35: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

www.stratshope.org 33

Nombulelo na watoto wake

Page 36: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

34 www.stratshope.org

UNDANI WA MTOTO

Shughuli ya 3C:

Hadithi binafsi za kuunganishwa na kupoteza wakati wa utoto.

Makusudi :

Maelezo :

Muda unaohitajika :

Utaratibu:1.

2.

Page 37: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

www.stratshope.org 35

Je, hadithi hii inaonyesha nini kuhusu uthabiti,

licha ya uchungu na kupotelewa kwa Thandi ?

3. Rudini kwenye kundi zima. Waombe washiriki kushirikishana yale waliyoyajadili katika vikundi vyao.

4. Waonyeshe washiriki, yaliyoko kwenye

bango kitita, uwezekano wa athari zifuatazo

mwingine wanayempenda.

6

Kujilaumu

Kutafuta kukubalika

Kujisikia hisia za kusalitiwa

Kuwa mlalamikaji sana

Kuchukua majukumu ya mtu mzima k.m.

majukumu ya kaka au dada zake

au kuzuia hisia zao

kuumwa tumbo, kichwa au maumivu ya kiungo chochote

Kurudia kuigiza mambo yenye machungu

picha zinazohusu kifo, huzuni, au ya maumivu yaliyosababishwa na wengine

Kuwa mgomvi na mharibifu

Kutaka kuambatana na kuwa tegemezi, kuwa mwoga wa kuachwa peke yake

Kuwa mwoga wa giza, wa mambo yajayo baadaye, n.k.

Kujirudisha nyuma kwa tabia za kujifanya kama vile wao ni wadogo zaidi ya jinsi

zaidi, katika jitihada za kujaribu kujirudisha nyuma kwenye hali ya mwanzo (na iliyo salama zaidi) ya hatua za kukua.

5. Waulize washiriki kuelezea ni athari zipi kati

ya hizo wamewahi kuziona au wao wenyewe

wamewahi kuzipitia na wana uzoefu nazo, na

hawajiulizi kujaribu kupata maelezo kwa nini

watoto wanakuwa na tabia kama hizo.

6. Mwisho wa zoezi hili, mpe kila mshiriki kitini

chenye orodha ya athari zilizoorodheshwa hapo

juu.

7. D okeza kwamba katika shughuli inayofuata

tutakuwa tunaangalia kuhusu hatua za ukuaji

wa watoto, na mambo yanayosaidia kuelezea

mambo ya hapo juu.

Shughuli ya 4C:

Mahitaji ya watoto

Makusudi: Kuchunguza ufahamu wa wenyeji wa

mahitaji na ukuaji wa watoto.

Kuelezea na kuzungumzia mawazo

kuhusu mahitaji ya watoto.

Kutambulisha mambo muhimu ya

ukuaji wa mtoto, mahitaji ya watoto,

na jinsi watoto wa umri tofauti tofauti

wanavyoyaelezea mahitaji yao.

Maelezo: Mjadala wa kundi zima.

Muda unaohitajika: Dakika 60.

Vifaa maalumu vinavyohitajika:Bango kitita mbili na kalamu za wino; kitini

Utaratibu :

1. Kutafakari kuhusu mahitaji ya watoto na

kuandika majibu katika bango kitita.

2. Kwenye bango kitita kingine, tambulisha

makundi ya aina ya mahitaji ya watoto, kama

C: UTOTO - WAKATI MAALUMU WENYE MAHITAJI MAALUMU

:

kwa watoto waliofiwa na mzazi, mlezi au mtu

kuwa ‘baba wa nyumba’ akijaribu kuchukua

‘Kujifanya’ mtundu ili kuvuta kusikilizwa

Kuficha kabisa hisia zao - kujifungia kabisa

‘Magonjwa’ ya kuhisi kisaikolojia tu, k.m.

ni kwa nini wanachukulia kufiwa kwa namna ya

yaliyopita: k.m. kuigiza ‘mazishi’ au kuchora

cha ‘Mahitaji ya Watoto’ .

Page 38: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

36 www.stratshope.org

UNDANI WA MTOTO

Mahitaji ya kimwili

Mahitaji ya kihisia

Mahitaji ya kijamii

Ujuzi na maarifa(Mahitaji ya kiufahamu)

Mahitaji ya kiroho

Mahitaji ya watoto7

Page 39: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

www.stratshope.org 37

3.

Shughuli ya 5C :

Hatua za ukuaji

Makusudi :Maelezo :

Muda unaohitajika :

Utaratibu : 1.

Page 40: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

38 www.stratshope.org

UNDANI WA MTOTO

Umri na hatua za ukuaji8

Page 41: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

www.stratshope.org 39

Kipengele cha D

Kujiunganisha na watoto

Shughuli ya 1D:

Kusikiliza, sio kusema

Kusudi: Kukuza stadi ya kuwauliza

watoto maswali na kuwasikiliza hadithi zao.

Maelezo: Hadithi, ikifuatiwa na kazi ya

mtu na mtu, na majadiliano ya kundi zima.

Muda unahitajika: Dakika 45.

Vifaa maalumu vinavyohitajika:Bango kitita na kalamu ya wino, kitini cha

orodha ya maswali.

TAARIFA KWA WAWEZESHAJI: Kusikiliza

na kuuliza maswali ni stadi muhimu katika

kuendeleza mazungumzo na katika

kujiunganisha na watoto. Kwa kuwauliza

maswali watoto na kusikiliza majibu yao,

tunakuwa na uwezo wa kuwatia moyo

kutueleza habari za maisha yao. Wakati

watoto walio katika mazingira hatarishi

wanapotueleza habari zao, wanajisikia

kueleweka na kupata hisia ya uponyaji.

Watoto huwasiliana kwa njia tofauti kufuatana

Habari za mtoto sio lazima ziwe za ukweli

katka kila hali lakini zinawakilisha uelewa wa

mtoto kuhusu dunia, kama anavyoielewa kwa

wakati huo.

Utaratibu:1. Soma hadithi ya Joyce na Tebongo ( ukurasa

wa 40) kama mfano wa stadi iliyotumika katika

kujiunganisha na mtoto.

2. Hadithi hii inaweza kuonekana rahisi lakini

Kujibu swali hili, kwanza tutaangalia ni jinsi gani

sisi wenyewe tunawasikiliza watu wengine na

jinsi tunavyosikilizwa nao.

Kujibu maswali na kusiliza ni stadi muhimu sana katika kujiunganisha na watoto.

D: KUJIUNGANISHA NA WATOTO

inaibua swali: ‘Je, tunazungumzaje na watot?’

Page 42: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

40 www.stratshope.org

UNDANI WA MTOTO

Hadithi ya Joyce na Tebogo

Page 43: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

www.stratshope.org 41

3.

4.

Shughuli ya 2D:

Kusikiliza na kutokusikiliza

Makusudi:

Maelezo:

Muda unaohitajika:

Utaratibu:1.

2.

Mwulizaji wa maswali namba A:

Mwulizaji wa maswali namba B:

Page 44: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

42 www.stratshope.org

UNDANI WA MTOTO

3.

4.

5.

6.

Shughuli ya 3D:

Kusikiliza kwa kuuliza maswali ya kudadisi

Makusudi

Maelezo:

Muda unaohitajika:

Utaratibu:1.

2.

3.

4.

5.

Page 45: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

www.stratshope.org 43

Shughuli ya 4D:

Maswali yaliyowazi na yaliyofungwa

Kusudi Kuwawezesha watu kugundua kwa

kupitia vichekesho, tofauti kati ya maswali

yaliyowazi na yaliyofungwa.

Maelezo: Mchezo wa ndio au hapana

(kundi zima).

Muda unaohitajika: Dakika 30.

Utaratibu:1. Kwenye kundi zima, waite watu kuja mbele

kuulizwa maswali katika mada wanayochagua

wenyewe. Watu wa kundi lingine sasa

wawaulize maswali. Hata hivyo hawaruhusiwi

kujibu “ndio” au “hapana” kama wakijibu “ndio”

au “hapana” mara tatu watoke.

2. Baada ya kufanya hivi mara kadhaa, waullize

wana kikundi kuangalia aina ya maswali

ambayo mtu hujibu “ndio” au “hapana”. Eleza

huweza kujibu “ndio” au “hapana” hayasaidii

kuendeleza habari.

3. Waulize wana kikundi mifano ya maswali

“yaliyofungwa” na “yaliyowazi” na andika haya

katika bango kitita.

4. Kwa kutumia bango kitita, elezea kuwa, kwa

kupitia stadi ya kuuliza na kusikiliza, tunaweza:

Kuchunguza kwa umakini maelezo ya mtoto.

Kuendeleza na kupanua maelezo ya mtoto.

zake kuhusu maisha yake.

Kuwasiliana na mtoto kwamba tunawaelewa

na tunapenda sana kusikia anavyosema.

Kumsaidia mtoto kueleza hisia zake na

kujisikia hajatengwa sana.

5. Katika kundi zima jadili vidokezo hivyo hapo

juu.

TAARIFA KWA WAWEZESHAJI:

Maswali yaliyofungwa ni yale ambayo majibu ya “ndio” au

“hapana” ndiyo yanaweza kuwa ya pekee ya swali husika. Kwa

mfano: “Je, una huzuni?”, “Je, unampenda mwalimu wako?”,”Je,

yanapunguza kiasi cha habari tunazopokea.

Maswali yaliyo wazi ni yale yanayomwezesha anayejibukueleza habari zake. Kwa mfano: “Je, kwa jambo hilo unajiskiaje?”,“Je, unaweza kuniambia zaidi...?”, “Je, ungependa kuzungumzia...?”,“Je, ungependa kuanzia wapi?”, “Je, unajisikiaje kuhusu...?”,“Je, unaweza kunieleza hiyo ina maana gani kwako?”,“Je, ungependa mambo yaweje?”, “Je, umefikiria nini kuhusu hilo?”,“Je, ungependa kufanya nini juu ya...?”

D: KUJIUNGANISHA NA WATOTO

kuwa ‘maswali yaliyofungwa’ , ambayo watu

Je,

Page 46: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

44 www.stratshope.org

UNDANI WA MTOTO

Shughuli ya 5D:

Kuwasiliana na watoto kupitia kuchora na kupaka rangi

Makusudi:

Vifaa maalumu vinavyohitajika:

TAARIFA KWA WAWEZESHAJI:

Maelezo:

Muda unaohitajika:

Page 47: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

www.stratshope.org 45

Utaratibu:1. Eleza kwamba, kama watu wazima,

tunaweza kuona kuwa inasaidia kushirikisha

habari zetu za huzuni au furaha kwa kuongea

au pia ndugu wa karibu. Watoto wako tofauti.

Wao hutuonyesha kupitia tabia zao kama

wanafuraha au kama wanateseka kutokana

na matatizo katika maisha yao. Mtoto anaye-

nyanyaswa nyumbani anaweza kujitenga au

kuwa mgomvi; tabia hii hutueleza habari kuhusu

mtoto.

2. Eleza kuwa watoto huchora kile

wanachokiamini kuwa dunia ndivyo ilivyo. Hata

kama wakieleza mambo ya ajabu, k.m. kwamba

mama yao yupo hai wakati ukweli ni kwamba

amekwisha kufa, hii inatupatia sisi njia ya

kuelewa kwamba mtoto hajakubaliana kabisa

na ukweli wa mambo. Basi mchoro hutoa fursa

ya kuanza kufanya mazungumzo na mtoto

kuhusu mama yake.

3. Taja kwamba wanasaikolojia mara kwa

mara hutumia kuchora na kupaka rangi

kuwachunguza na kuwaelewa watoto. Hata

hivyo, hakuna haja ya kumfundisha mtu awe

mwanasaikolojia kuweza kutumia mbinu hii

ili kuwasiliana vizuri zaidi na watoto kuhusu

mambo yanayoonekana kuwa magumu kujadili.

4. Wagawe washiriki katika makundi mawili,

kuchora mchoro wa baadhi ya watu katika

kuchora kitu wanachokihisi kuhusu maisha yao

kwa wakati huo: michoro yao ihusishe baadhi

ya watu, lakini wasiwe miongoni mwa familia

zao.

5. Waunganishe washiriki wawili wawili mmoja

wazi kwa mfano:

Je, kila mtu katika mchoro ni nani?

Je, kila mtu katika mchoro anafanya nini?

Je, ni nani mwema sana katika familia hii?

Je, nani katika familia hii hupiga kelele zaidi?

Je, nani katika familia hii anayechekesha

zaidi?

Je, nani katika familia hii ni msikilizaji mzuri?

Je, nani wa famila hii anakosekana katika mchoro?

6. Sasa wabadilishane ili kwamba washiriki wa

kama vile:

Je, picha yako ina hadithi gani?

Je, nini historia ya nyuma ya watu walioko

katika picha?

Je, unatumaini nini kitawatokea hao watu

kwenye picha?

Je, unahofu nini kinaweza kuwatokea watu

hawa katika picha?

Je, nani anakosekana katika picha hii?

Je, ungependa picha hii ibadilikeje?

7. Warudishe wote pamoja katika kundi zima

na waulize washiriki nini walichojifunza kutoka

kwenye zoezi hili.

D: KUJIUNGANISHA NA WATOTO

kuhusu uzoefu huo na marafiki zetu wa karibu

‘A’ na ‘B” . Waombe kila mshiriki wa kundi ’A’

familia yao. Waombe washiriki wa kundi ‘B’

kundi ‘A’ wawaulize maswali washirikishi wa kundi‘B’ waelezee michoro yao kwa kuuliza maswali

kutoka kikundi ‘A’ na mwingine kutoka kundi‘B’ . Watu waliotoka kikundi ‘B’ wawaulize watuwaliotoka kikundi ‘A’ mfululizo wa maswali yaliyo

Page 48: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

46 www.stratshope.org

UNDANI WA MTOTO

Shughuli ya 6D:

Makusudi: Kurudia shughuli zote tulizoshirikishana

ambazo ni muhimu katika kufanya kazi na

watoto.

Kusisitiza wazo kuu kwamba ni kwa njia

ya vitendo watoto huweza kujieleza.

Maelezo: Mjadala wa kundi zima.

Muda unaohitajika: Dakika 30.

Utaratibu:1. Tafakari na kundi zima kuhusu shughuli

ambazo tumefanya kipindi chote cha mafunzo

mpaka sasa. Uliza ni zipi ambazo tunaweza

kuzitumia na watoto ili kuwasaidia kutueleza

habari za maisha yao. Tunatumaini washiriki

watakumbuka shughuli kama zile za:

utoto

2. Shirikisha baadhi ya mawazo kuhusu vipindi,

na kisha ruhusu mjadala na kushirikishana. Hii

inaweza kudhihirisha hisia kali wakati washiriki

wanapoongea kuhusu maisha yao. Ni muhimu

kuwapa muda wa kushirikishana habari hizi

miongoni mwao, kama wanapenda kufanya

hivyo. Kwa njia hii wewe, mwezeshaji, utakuwa

unaonyesha mfano wa namna ya kusikiliza

na kuuliza maswali mambo ambayo unajaribu

kuyaelekeza kupitia mafunzo.

3. Watie moyo washiriki kwenda na michoro yao

nyumbani na kuionyesha kwa mtu muhimu wa

4. Kama kazi ya nyumbani, kila mshiriki

anapaswa kumwomba mtoto kuchora mchoro

wa kitu fulani chenye uhusiano wa familia yao.

Baada ya mtoto kumaliza kuchora, mshiriki

amwulize mtoto maswali ili kuendeleza habari

zake.

5. Eleza kuwa katika vipengele viwili vijavyo

tutafanya shughuli zaidi, ikiwa ni pamoja na

nidhamiu ya mtoto.

.

***

*

Page 49: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

www.stratshope.org 47

Shughuli ya 1E :

Je nidhamu ipi ni nzuri kwa watoto?

Kusudi: Kuwatia moyo washiriki

kushirikishana ufahamu wao wa sasa juu

ya nidhamu ya watoto.

Maelezo: Mjadala wa kundi zima.

Muda unaohitajika: Dakika 15.

Utaratibu:1. Waulize wanakikundi maswali yafuatayo na

andika majibu yao katika bango kitita lakini

usitie maoni yoyote:

Je, nidhamu ni nini?

Je, ni kwa nini tunahitaji nidhamu?

Je, kuna njia gani nzuri za nidhamu kwa watoto na vijana?

Je, nini tofauti kati ya ‘nidhamu’ na ‘adhabu’?

2. Sasa mwombe mtu mmoja asome nukuu

ifuatayo kutoka katika orodha ya mahitaji ya

watoto iliyoandikwa kwenye bango kitita :

“Watu ni viumbe vya kijamii. Wanapaswa kuishi miongoni mwa wengine. Tunahitaji kujisikia kwamba, sisi ni sehemu ya kundi la utamaduni na taifa. Tunahitaji kufahamu sheria za kuishi na hivyo kujisikia kwamba tunahusika. Watoto wanahitaji kujifunza kipi kizuri na kipi kibaya kadri wanavyokua. Sehemu kubwa ya tabia zetu tunajifunza

kutokana na hali ya kijamii pamoja na

wahudumu.”

Waulize wana kikundi kama hili linawiana na

3. Hitimisha kwa kueleza kuwa, katika shughuli

inayofuata, tutafanya zoezi muhimu ambalo

linaunganisha nukuu hii na nidhamu na watoto.

Kipengele cha E

Nidhamu

E: NIDHAMU

9

yale wanayoyafikiria.

Page 50: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

48 www.stratshope.org

UNDANI WA MTOTO

Shughuli ya 2E:

Chumba cha masimulizi:Tunashughulikiaje matatizo ya kitabia ya watoto?

Malengo:

Maelezo:

Muda unaohitajika:

Utaratibu:1.

2.

3.

4. W

10

.

.

.

‘mbaya’ au ngumu ambayo wewe, kama mzazi

Page 51: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

www.stratshope.org 49

5. Waombe kikundi cha kwanza kuonyesha

igizo lao. Wakimaliza muulize kila mhusika

aliyeshiriki kuigiza alikuwa anajisikiaje.

6. Waombe wana kikundi kuonyesha tena

igizo lao. Hata hivyo, wakati huu, watazamaji

wanaruhusiwa kuingilia kati kuonyesha jinsi

wangefanya. Wakati wowote mtu yeyote kutoka

kwa wasikilizaji anaweza kusema “Subiri”

na kujiunga na mchezo kwa kuchukua nafasi

ya mzazi au mlezi na kisha kushughulikia

tatizo hilo kwa njia tofauti na wa kwanza. Tena

mtu mwingine yeyote kutoka kwa wasikilizaji

anaweza kusema “Simama” na kumwingiza mtu

mwingine kwenye mchezo kutoa wazo jipya.

7. Baada ya kikundi cha kwanza kuonyesha

igizo lao kwa jinsi hii, waombe kikundi cha

pili na cha tatu kuonyesha vilevile kama cha

kwanza.

8. Hitimisha kwa kuwauliza washiriki nini

walichojifunza kupitia zoezi hili.

Shughuli E3:

Biblia na nidhamu kwa watoto

Makusudi: Kuingiza mawazo mapya kuhusu

nidhamu ya watoto kama nyongeza ya mawazo tuliyo nayo.

Kubisha kwa kukosoa (lakini kwa heshima) matumizi ya adhabu ya viboko kwa watoto.

Kuwasaidia washiriki kuelewa tofauti kati

Maelezo: Kujifunza Biblia na kundi zima.

Muda unaohitajika: Dakika 30.

Utaratibu:1. Soma mithali 13:24: “Yeye asiyetumia

ampendaye humrudi mapema”. Elezea

kwamba, kwa kawaida, mstari huu wa Agano

la Kale umeeleweka kumaanisha kwamba

wazazi inawabidi kuwaadhibu watoto wao kwa

kuwapiga. Lakini neno la Kiebrania “shebet”,

kondoo na kuwalinda dhidi ya maadui. Haikuwa

Hivi karibuni tafsiri ya mstari huu inasisitiza

umuhimu wa nidhamu badala ya adhabu.

2. Soma Mathayo 5:7: “ Heri wenye rehema; maana hao wapata rehema.”Waulize washiriki jinsi mstari huu wa Biblia

unavyoweza kutumika katika tabia ya watoto.

Jaribu kushawishi aina ya majibu kama

yafuatayo: watoto sio watu wazima bado

kwa hiyo watafanya makosa yanayotuudhi

sisi, kama watu wazima. Hii haina maana

kwamba tunatakiwa kuwaadhibu kwa kutumia

nguvu. Badala yake tunapaswa kuwaonyesha

E: NIDHAMU

wanavyofikiri wazazi au wahudumu wengine

wanyama - fimbo ndefu iliyotumika kuwaongoza

na maana ya fimbo ya kuwapigia watoto.

ya ‘adhabu’ na ‘nidhamu’ .

kawaida limetafsiriwa kama ‘fimbo’ kiuhalisiani neno kwa ajili ya fimbo ya mchungaji wa

Page 52: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

50 www.stratshope.org

UNDANI WA MTOTO

rehema kwa kuwatendea wema na kuwaelewa.

Tungejitahidi kuwaongoza, kuwafundisha na

kuwalinda kuliko kuwakemea na kuwapiga kwa

3. Waombe washiriki waeleze tofauti kati ya

kwanza ya Kitabu cha Mithali inatafsiri aina

hii ya nidhamu (au kujifunza) kama “kupokea

maelekezo kwa kushughulika na mambo ya

busara, haki na usawa”. Hii ni tofauti kabisa

na kuwapiga watoto ili kuwalazimisha kuwa

na tabia fulani. Mwisho wa yote, njia pekee

inayofaa ya nidhamu ni nidhamu-binafsi,

ambayo watoto huweza kujifunza vizuri zaidi

kupitia mifano inayowekwa na wazazi wao,

wazima wanatakiwa kuwa mfano mzuri kwa

tabia, kuliko kuwapa watoto maelekezo tu ya

namna yakuenenda.

4. Soma Waefeso 6:1- 4: “Enyi watoto watiini wazazi wenu katika Bwana, maana hii ndiyo haki. Waheshimu baba na mama yako, amri hii ndiyo amri ya kwanza yenye ahadi. Upate heri ukae siku nyingi katika dunia, nanyi akina baba msiwachokoze watoto wenu, bali waleeni katika adabu na maonyo ya Bwana.”

Uliza kifungu hiki cha Maandiko kinasema nini kuhusu maisha yetu na maisha ya watoto chini ya uangalizi wetu.

5. Waombe washiriki watoe maoni tena juu ya

za kila kimoja katika ukuaji wa mtoto.

Shughuli E4:

Jinsi tulivyoadibishwa

Makusudi :

mawazo hayo mapya juu ya nidhamu na watoto.

unaolenga mjadala, kwa kusikiliza kwa

makini.

Maelezo: Mjadala wa kundi zima

kwenye mkao wa (bakuli la samaki) upinde

wa ndoano.

Muda unaohitajika: Dakika 45.

Utaratibu:1. Waombe watu sita wakae katikati ya chumba

katika mduara pamoja na mwezeshaji. Washiriki

wengine wakae katika mduara kuzunguka

mduara wa ndani.

2. Eleza kuwa kikundi kilichoko katikati

kuhusiana na maigizo yaliyofanywa, na mawazo

mengine kuhusu nidhamu na watoto ambayo

yamewasilishwa. Kikundi cha nje kinatakiwa

kusikiliza na sio kuingilia kati.

.

.

tofauti kati ya ‘adhabu’ na ‘nidhamu’ , na athari

‘adhabu’ na ‘nidhamu’ . Andika majibu kwenyebango kitita. Eleza kwamba ‘nidhamu’ inatokana na neno la kilatini ‘discipulus’ likamaanisha

‘mwanafunzi’ au ‘mfuasi’ . Katika sura ya

walezi na watu ‘wazima muhimu’ wengine. Watu

Page 53: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

www.stratshope.org 51

3.

4.

5.

6.

Majadiliano yakikundi mkao wabakuli la samaki.

Page 54: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

52 www.stratshope.org

UNDANI WA MTOTO

Page 55: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

www.stratshope.org 53

Shughuli ya 1F:

Makusudi:

na kuomboleza kupitia kwenye uzoefu wetu wenyewe.

Kusikiliza uzoefu wa watu wengine binafsi

TAARIFA KWA WAWEZESHAJI: Ikiwa sisi, kama watu wazima, tunataka kujiunganisha

maisha ya watoto, tunatakiwa kuwa na

uwezo wa kusikiliza habari zao. Mara

nyingine inakuwa vigumu sana kwetu sisi

kufanya hivyo kwa sababu inatukumbusha

hili linafafanua hivyo na pengine hata ugumu ulivyo - na jinsi ya tunavyoweza kushughulikia changamoto hii.

Maelezo: Kipindi cha maswali na

majibu kwa watu wawili wawili.

Muda unaohitajika: Dakika 30.

Utaratibu:1. Waombe washiriki wakae katika vikundi

vya watu wawili wawili, na kutawanyika kwa

kadri inavyowezekana ndani ya chumba.

cha nyuma cha maisha yao wakati wao

Je, kilimhusu nani?

Je, mitazamo ya watu waliokuzunguka

ilikuwaje?

Je, ulikubalianaje na hali hiyo, na ni nani

(kama yupo) aliyekusaidia?

Je, ulijuaje kuhusu kifo hicho?

Je, kuna jambo lolote ambalo ungependa

kuwa lingekuwa tofauti kwa namna ulivyojua kuhusu kifo hicho?

Kipengele cha F

Kushughulika na huzunina kufiwa

F: KUSHUGHULIKA NA HUZUNI NA KUFIWA

Uzoefu binafsi wa kufiwa

Je, ulijiskiaje kipindi kile cha kufiwa?

.

Kuelewa uzoefu wa mtu binafsi wa kufiwa

wa kufiwa.

na habari za kufiwa na kuomboleza katika

maumivu ya kufiwa kwetu wenyewe. Zoezi

wenyewe binafsi walipitia uzoefu wa kufiwa.

2. Waombe washiriki kufikiria kipindi

Page 56: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

54 www.stratshope.org

UNDANI WA MTOTO

Je, ni nini kingefanya maumivu

yasiwe makali sana au usipatwe

na mshituko?

Je, ni nani alikuwa wa msaada

zaidi kwako kipindi hicho?

Je, ni hisia gani ulizo nazo sasa

kuhusu wakati ule?

Kati ya swali moja na lingine, mpe

kila mwanafunzi nafasi ya dakika

mbili kumjibu (kwa sauti ya chini)

mwenzake. Zoezi hili huweza

kuibua hisia kali miongoni mwa kundi zima.3. Waombe wote kurudi katika kundi zima,

na kisha waalike wale ambao wangependa

kushirikisha uzoefu wao wafanye hivyo.

Shughuli ya 2F:

Makusudi:

watoto wanaelewa kifo katika hali tofauti,

kutokana na hatua za ukuaji wao.

wamegundua hili au tofauti nyingine

kuhusu jinsi watoto wanavyojisikia

katika vidokezo vilivyopendekezwa kwa

kuwasaidia watoto wa kila rika.

Maelezo: Kazi ya vikundi vidogo;

kipindi cha kundi zima.

Vifaa muhimu vinavyohitajika: Taarifa ya makundi ya rika (angalia

jedwali kulia) ikiwa imenakiliwa

kwenye kadi tofauti kwa kila umri.

kikundi.

Muda unaohitajika: Dakika 90.

Utaratibu :

1. Mapema kabisa kabla ya kipindi hiki, andaa

kadi tano, moja kwa kila kundi kuu la makundi

matano ya watoto, kutokana na umri na hatua

za ukuaji wao.

Watoto wachaga ......................miaka 0 – 2

Watoto wa shule za awali ......miaka 3 – 5

Watoto wadogo ........................miaka 6 – 8

Watoto kabla ya ujana ............miaka 9 – 12

Vijana ............................................miaka 13 – 18

2. Waeleze kundi zima kwamba sasa

tunakwenda kujadili jinsi watoto wanavyoelewa

na kuitikia kuhusu kifo, kutegemea na umri wao.

3. Waonyeshe kundi zima orodha ya makundi

makuu matano ya watoto yaliyoandikwa

kwenye bango kitita, kutokana na umri na

kuhusu kundi la ki-umri ambalo wana uzoefu

sana nalo kulingana na uzoefu wao

walioupitia. Hii inaweza ikawa, kwa mfano, mtu

wanayemfahamu ambaye amefariki na kuacha

watoto wa umri fulani, au inaweza kuwa umri

wa watoto wao wenyewe. Sasa wajiunge na

kikundi hicho. (Angalizo: jaribu kuwa na idadi

Watoto na kufiwa

.

.

.

.

.

Page 57: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

www.stratshope.org 55

sawa ya washiriki kwa kila kundi la umri wa

watoto.)

4. Sasa kila kikundi kisome na kujadili kile

kilichoandikwa kwenye kadi yao. Baada ya

mjadala, wanapaswa kunakili katika bango kitita

tabia yeyote inayoendana na uelewa na uzoefu

wao.

5. Mwombe kila mmoja kurudi katika kundi

zima. Kila kikundi kidogo sasa kiwasilishe katika

kundi zima orodha ya waliyoyafanya. Mtie moyo

kila mmoja kujadili na kushirikishana habari

zinazowahusu watoto wanaowafahamu katika

umri fulani.

Shughuli ya 3F:

Kuwasaidia watoto kukubaliana na hali ya

desturi nzuri na mbaya

Makusudi:

kwa sasa hufanywa na watu katika jamii.

makini kuhusu baadhi ya mazoea hayo.

yatawasaidia watoto kukubaliana vizuri

Maelezo: Mijadala katika vikundi vidogo-

vidogo na kiisha kwenye kundi zima.

Vifaa muhimu vinavyohitajika: Bango kitita pamoja na maswali

yaliyoandikwa mapema, karatasi za

bango kitita na kalamu za wino kwa ajili ya vikundi.

Muda unaohitajika: Dakika 45.

Utaratibu:

1. Wagawanye washiriki katika vikundi vya watu

wanne au watano. Wape kila kikundi karatasi

2. Waombe vikundi kujibu maswali yafuatayo

(yaliyoandikwa mapema kwenye bango

kitita yanayoonekana kwa kundi zima) na

kuorodhesha yale wanayoyachukulia kuwa ni

Je, uliwahi kuhudhuria mazishi kama

mtoto? Je, ni mambo gani mazuri au mabaya

unayoyakumbuka? Tafadhali yaorodheshe hayo

Je, umewahi kuona au kusikia watu

wakiwaeleza watoto habari kuhusu vifo vya

F: KUSHUGHULIKA NA HUZUNI NA KUFIWA

kufiwa na mpendwa wao:

.

.

.

k k k r kw

.

Page 58: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

56 www.stratshope.org

UNDANI WA MTOTO

msaada? Tafadhali orodhesha hizi kama desturi

Je, umewahi kuona au kusikia watu

wakiwaeleza watoto habari kuhusu vifo vya

hazisaidii kwa watoto walioachwa? Tafadhali

Je, ni mambo gani uliyopata kusikia au

wao? Tafadhali orodhesha haya kama desturi

Je, kuna taratibu gani za ibada za ki-mila

ni nzuri kwa watoto walioachwa? Tafadhali

Je, kuna taratibu gani za ibada za ki-mila

nzuri? Tafadhali ziorodhesha hizi kama desturi

3. Rudini katika kundi zima na alika vikundi

kuwasilisha mawazo yao, ambayo baadaye

yanajadiliwa.

Desturi nzuri na mbaya za kuwasaidia watoto kukubaliana na kifo cha mzazi wake.

ziorodheshe hizi kama desturi ‘nzuri’.

Page 59: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

www.stratshope.org 57

Wape nafasi na wawezeshe watoto kusema kwaheri: Ni vizuri kama mtoto atasema

kwaheri kwa mzazi ama mpendwa yeyote kabla

hajafariki. Kama hili haliwezekani, ishara ya

kuashiria kwaheri itengenezwe, kwa mfano

kuandika barua ya kuagana, au kuweka

maneno ya kuongea kwenye simu, kutumia

midoli au kutuma kadi au michoro ya picha

yenye ujumbe wa kuagana.

Taratibu za kimila na sherehe za kumaliza msiba: Kufanya taratibu za kimila huwapatia

waombolezaji nafasi ya kumkumbuka aliyefariki

na kumheshimu. Inawapa waombolezaji

kujisikia kutiwa moyo na kufarijiwa, wanapoona

ya kuwa hawako peke yao katika huzuni.

Watoto pia wanahitaji kushiriki katika hali ya

katika sherehe za kifamilia. Hata hivyo, kama

mtoto hataki na haelewi ni nini kinafanyika,

taratibu za kimila zingine zinaweza kuwa za

kuhuzunisha kama kifo chenyewe, zitaongeza

hofu na hali ya kuchanganyikiwa kwa mtoto. Ni

vema awepo mtu mzima atakayemfariji mtoto

katika kipindi cha taratibu za kimila.

Msaidie

mtoto kutunza kumbukumbu ya mtu aliyefariki:

kwa mfano, kupitia kitabu cha kumbukumbu au

sanduku la kumbukumbu (angalia Nyenzo za

Ziada kwenye ukurasa wa 66)

Mpe mtoto nafasi

kuongea kuhusu muda maalumu aliokuwa

nao wakati akiwa na mpendwa wake ambaye

anakaribia kufariki au amekwisha kufariki.

Ukiwepo muda wa kufurahisha, au mambo mtu

aliyofanya, na yale ya kutia moyo, kumbukumbu

za furaha na hata za kuumiza.

Mawazo hayo hapo juu yanapaswa kujadiliwa

kwa busara kwa kuzingatia tamaduni, kwa vile

zinaweza zikawa siyo za kufaa kwa makundi

yote ya umri wa watoto kwenye tamaduni zote.

TAARI A WA WAWEZESHAJI: zilizotambuliwa na vikundi, hapa chini ni baadhi ya mawazo ya kuzingatia kwa ajili yenu.

akumbukumbu za mzazi aliyefariki.

F: KUSHUGHULIKA NA HUZUNI NA KUFIWA

Desturi nzuri:11

Page 60: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

58 www.stratshope.org

UNDANI WA MTOTO

Shughuli ya 4F:

Mpango wa Kazi

Kusudi: Kuwasaidia washiriki kutumia

mpango wa kazi ili kufanya vizuri mambo

yale waliyojifunza katika kozi hii. Kila

mshiriki anatakiwa kutayarisha mpango

ambao ni halisi na unaotekelezeka na

kufanyiwa kazi kikamilifu na watu waliopo

na rasilimali za nje.

Maelezo: Tafakari ya mtu binafsi,

vipindi vya vikundi vidogo na kundi zima.

Muda unaohitajika: Dakika 45.

Utaratibu:1. Kutafakari njia kuu ambazo washiriki

wanaweza kufanya katika kuwasaidia watoto

walio katika mazingira hatarishi ndani ya jamii

zao, na kuyaandika haya kwenye bango kitita.

Kama ikiwa ni lazima, shirikisha mawazo

kutoka kwenye boksi upande wa kulia na jadili

jinsi yanavyoweza kutumika katika jamii za

makanisa yao.

2. Mpe kila mtu kipande cha karatasi na kalamu

kufanya kazi peke yake kwa dakika kumi hivi

mambo matatu wanayopenda kufanya katika

kipindi cha majuma sita yajayo ili kuweka

katika matendo yale waliyojifunza katika kozi

hii

msaada watakao uhitaji ili kufanikisha yale

wanayotaka kufanya

mipango hii ni halisi kwa kiasi gani.

3. Waweke washiriki wawili wawili pamoja ili

kushirikishana mipango yao.

4. Warudishe wote tena katika kundi moja na

waalike washiriki kushirikishana mipango yao.

Jadilini jinsi wahusika mbalimbali wa kundi

zima wanavyoweza kufanya kazi kwa pamoja

kutekeleza mipango yao.

TAARIFA KWA WAWEZESHAJI: Uwezekano

wa majukumu ya washiriki baada ya kozi hii

yanaweza kuhusisha yafuatayo:

Kusaidia shughuli za msaada unaoendelea

na mafunzo ya stadi za maisha kwa watoto.

Hii inaweza kuhusisha kuanzisha vikundi vya

watoto katika kanisa.

Kuwa tayari kujitolea kwa ajili ya watoto walio

katika mazingira hatarishi katika familia ambazo

Kuungana na wengine katika jamii nzima

ya kanisa kwa kuwa mtetezi wa watoto walio

katika mazingira hatarishi. (Kwa mfano, kuibua

masuala kama vile tofauti kati ya adhabu na

adabu katika maisha ya watoto wote.)

Kuwajulisha watu katika jamii yako, mahali

pako pa kazi, au jimboni kwako juu ya mahitaji

ya watoto walio katika mazingira hatarishi, na

jinsi mahitaji hayo yanavyobadilika kulingana na

umri na hatua ya kukua kwao.

Kutafuta mafunzo zaidi ili kuwa kama

mkufunzi wa vikundi kama vile wahudumu wa watoto, walimu wa mashuleni na walimu wa Shule za Jumapili.

Tafakari ya mtu binafsi.

Page 61: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

www.stratshope.org 59

Shughuli ya 5F:

Kumbukumbu za kikundi

Kusudi:

Maelezo:

Muda unaohitajika:

Utaratibu:

1.

2.

3.

4.

6.

7.

Shughuli ya 6F:

Sherehe ya kufunga na kutoa vyeti

Kusudi:

Maelezo

Muda unaohitajika:

Vifaa vinavyohitajika:

Utaratibu:1.

2.

Page 62: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

60 www.stratshope.org

UNDANI WA MTOTO

Bilblia. (kwa mfano Marko 10:13-16). Kisha

kiongozi huyo wa kanisa atoe hotuba fupi, kwa

kuwapongeza washiriki kwa mafanikio yao ya

kuhitimu kozi.

3. Kiongozi huyo wa kanisa akabidhi vyeti

kwa washiriki. Kila mshiriki atoe maelezo yake

kwa ufupi sana, akieleza jinsi atakavyotumia

ujuzi alioupata kwenye kozi hiyo. Uwezekano

mwingine ni kumchagua mshiriki mmoja wa

kutoa hotuba fupi kwa niaba ya wote.

4. Kama inawezekana vitafunwa na vinywaji

vifuate kutolewa.

5. Kiongozi wa kanisa ahitimishe sherehe

hizo kwa kutoa baraka kwa washiriki wote na

waandaaji wa kozi hiyo.

Page 63: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

www.stratshope.org 61

Page 64: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

62 www.stratshope.org

UNDANI WA MTOTO

1. Moto! Moto!

Taarifa: Mwezeshaji afanye zoezi hili kwa

nguvu na mbwembwe zote za kimchezo.

Simama katikati ya mduara na uongee

kwa sauti ya kimaigizo kuwa moto unawaka

kwenye sakafu na washiriki warukeruke,

wakirusharusha miguu yao moja hadi mwingine

kwa kukimbiakimbia ndani ya chumba

kuonyesha wanakwepa moto. Endelea kupiga

kelele “Moto! Moto!” kwa kadri washiriki

wanavyorukaruka humo chumbani.

Baada ya sekunde 20, taja namba. Washiriki

wamkamate mtu au watu karibu naye kadri ya

namba iliyotajwa na mwezeshaji na kuunda

kikundi kidogo. Kwenye kikundi kidogo sakafu ni

ya baridi na wanaweza kupumzika.

Mwezeshaji aulize swali au kutoa maelezo

(ya kawaida au yanayoendana na kozi) ambalo

watu katika kikundi kidogo watajadili wakiwa

wamesima karibu karibu. Ruhusa muda wa

kutosha (dakika mbili au tatu) kwa kila mmoja

kusema jambo kisha piga kelele tena “Moto!

Moto!”. Kikundi kivunjike na kila mtu arukeruke

tena kuzunguka chumba mpaka namba

nyingine inapotajwa, kuonyesha ukubwa wa

kikundi.

Endelea na maswali mengine matatu au

manne.

KiambatanishoWavunja ukimya, Wachangamshaji na vipindi vya

mapunziko ya kutulizaMwanzo wa kila siku kivunja ukimya hutumika kusaidia watu kujisikia vizuri. Wakati kipindi

kikiendelea, inawezekana ikafaa pia kuwatumia wachangamshaji ili kuchochea nguvu na kupata

unafuu na wepesi wa hisia, hasa mara baada ya washiriki kushirikishana habari za huzuni.

Mara chache, pia inawezekana kutumia mapumziko ya kutuliza kusaidia watu kutulia, kusahau

yaliyopita, au kujiweka sawa wenyewe baada ya zoezi la kusisimua sana. Ifuatayo ni baadhi ya

mifano ambayo huweza kutumika.

Page 65: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

www.stratshope.org 63

2. Mchezo wa Jina

Taarifa :

3. Muziki, kuimba na kucheza

4. Kuigiza sauti za wanyama au ndege

2.

3.

Page 66: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

64 www.stratshope.org

UNDANI WA MTOTO

5. Mchezo wa mpira

Taarifa:

6. Mafundo

Taarifa:

1.

2.

3.

Page 67: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

www.stratshope.org 65

7. Je mwenzangu, ni nini tofauti?

Taarifa:

1.

2.

8. Kutulia na kusaidia tafakari ya kimya

Taarifa:

Tafakari ya kimya:

Mduara wa ukimya:

Mduara wa ukimya

Page 68: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

66 www.stratshope.org

UNDANI WA MTOTO

Nyenzo za ziadaNever too Small to Remember. Memory Work and Resilience in Times of AIDS, imehaririwa

na Philippe Denis. Kimepigwa chapa na Cluster Publication Cluster@ futurenet. Co. za , P.O. Box

2400, Pietermaritzburg, Africa ya Kusini, 2005 ISBN 1-875053 - 54 -9 (kurasa 101)

Kitabu hiki kinachopendekezwa zaidi kinahusisha sura sita, zinazokaribia kwa kina Kazi ya

Kumbukumbu na Uthabiti, hasa baada ya kipindi cha ubaguzi wa rangi Afrika ya Kusini, na

mahususi utamanduni wa Wazulu. Pia kimesheheni taarifa sahihi za undani na maelekezo kwa

kurahisisha Programu ya Kisanduku cha Mafunzo ya siku nne. Watunzi wa kitabu ni wafanyakazi

maendeleo ya jamii cha Shule za Kidini na Thiolojia, Chuo Kikuu cha Kwazulu- Natal.

A Training Programme to Sensitise Community Workers to the Psychosocial Needs of Vulnerable Children,kitabu cha pili na Beverley Killian, Rose Schoeman na Angela Hough, Shule

ya Saikolojia, Chuo Kikuu cha Natal, Pietermaritzburg, Afrika ya Kusini, 2002.

Hiki ni kitabu kilichopendekezwa zaidi kwa ajili ya programu ya mafunzo, kwa heshima ya wote

wanaojituma chini ya mazingira magumu zaidi kuwahudumia watoto wanaoishi na VVU na

UKIMWI. Kilianzishwa kwa msaada wa Sinosizo Home Based Care, the Oral History Project ya

Shule ya Thiolojia, Chuo Kikuu cha Natal, KwaZulu Natal Programme for Survivors of Ciolence, na

Shule ya Saikolojia, Chuo Kikuu cha Natal.

Building Resilience in Children Affected by HIV/AIDS, na Sr. Silke-Andrea Mallmann CPS,

Maskew Miller Longman na Catholic AIDS Action, Windhoek, Namibia 2003.

Kitabu kingine kinachopendekezwa zaidi, kilichotayarishwa kuwawezesha watu wanaoishi na

na kupendekeza michezo mbalimbali kwa ajili ya makusudi maalumu k.m. kujenga uaminifu,

kujithamini, kujiamini na ushirikiano.

kufanya kazi na watoto walioathiriwa na VVU na UKIMWI. Kinabeba mada kama vile ‘Uthabitikwa watoto yatima na walio katika mazingira hatarishi, ‘Kupoteza mzazi’ , na ‘haki za watoto’

Page 69: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano

www.stratshope.org 67

Marejeo1 [email protected].

2

J. Bunge (ed.), The Child in Christian Thought (Cambridge, U.K.: William B. Eerdmans, 2001), 36 -

48.

3 See also: Sr Silke-Andrea Mallmann CPS, Building Resilience in Children Affected by HIV/AIDS

(Windhoek: Catholic AIDS Action, 2003).

4

The International Journal of Narrative Therapy and

Community Work (No. 1, Dulwich Centre, Adelaide, Australia, 2006).

5 Susan Lawrence, Meditations on Scripture, www.parentinginjesusfootsteps.org/jesus-teachings.

html.

6 Adapted from: Beverley Killian, Rose Schoeman and Angela Hough, A training Programme to

Sensitise Community Workers to the Psychosocial Needs of Vulnerable Children, 2nd edition

(Pietermaritzburg: University of Kwazulu Natal, 2002).

7 Phillippe Denis (ed.), Never too small to remember, Memory Work and Resilience in times of

AIDS (Pietermaritzburg: Cluster Publications, 2005), 72-73.

8 Sharon Lewis, A

South Africa ( Cape Town: David Phillip, 1999), 149-53.

9 Phillipe Denis (ed.), op.cit.

10 TheInternational Journal of Mental Health, Psychosocial Work and Counselling in Areas of Armed

2 (6) 193-209.

11 Adapted from: Beverley Killian et al., op.cit.

MAREJEO

Sliep, Y (2004), ‘Narrative Theatre for Social Action: A skill for psychosocial workers’.

Page 70: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano
Page 71: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano
Page 72: Undani Wa Mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa mfano
User
Typewritten Text
ISBN 978-1-905746-51-4 (E-book)