ushuhuda wa asbaht kwenye elimu kuhusu lishe …

12
USHUHUDA WA ASBAHT KWENYE ELIMU KUHUSU LISHE KAMA NJIA MOJAWAPO YA KUZUIA KUZALIWA KWA WATOTO WENYE ULEMAVU UKIWEMO WA KICHWA KIKUBWA NA MGONGO WAZI. DODOMA – 19 MACHI 2019

Upload: others

Post on 23-Oct-2021

15 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: USHUHUDA WA ASBAHT KWENYE ELIMU KUHUSU LISHE …

USHUHUDA WA ASBAHT KWENYE ELIMU KUHUSU LISHE KAMA NJIA MOJAWAPO YA KUZUIA KUZALIWA KWA WATOTO WENYE

ULEMAVU UKIWEMO WA KICHWA KIKUBWA NA MGONGO WAZI.

DODOMA – 19 MACHI 2019

Page 2: USHUHUDA WA ASBAHT KWENYE ELIMU KUHUSU LISHE …

MGONGO WAZI

KICHWA KIKUBWA

Page 3: USHUHUDA WA ASBAHT KWENYE ELIMU KUHUSU LISHE …

MASWALI ANAYOJIULIZA MZAZI BAADA YA KUPATA MTOTO MWENYE TATIZO

Page 4: USHUHUDA WA ASBAHT KWENYE ELIMU KUHUSU LISHE …

Chanzo cha tatizo/ sababu

• Kukosekana kwa virutubishi na madini mbalimbali kwa mama kabla, na kipindi cha ujauzito haswa ukosefu wa folic acid.

Page 5: USHUHUDA WA ASBAHT KWENYE ELIMU KUHUSU LISHE …

SABABU ZA UPUNGUFU WA LISHE NA MADHARA YANAYOJITOKEZA

Page 6: USHUHUDA WA ASBAHT KWENYE ELIMU KUHUSU LISHE …

UMUHIMU WA UTOAJI WA ELIMU KWA JAMII

Page 7: USHUHUDA WA ASBAHT KWENYE ELIMU KUHUSU LISHE …

MATIBABU NA MATOKEO YAKE

Page 8: USHUHUDA WA ASBAHT KWENYE ELIMU KUHUSU LISHE …

ILI KUZUIA ULEMAVU WA KUZALIWA TUMIA VYAKULA VYENYE FOLIC

ACID NA VILIVYO ONGEZEWA VIRUTUBISHI MFANO i

Page 9: USHUHUDA WA ASBAHT KWENYE ELIMU KUHUSU LISHE …

AU TUMIA BIDHAA ZENYE NEMBO HII

Page 10: USHUHUDA WA ASBAHT KWENYE ELIMU KUHUSU LISHE …

MUHIMU KWA WAKINA MAMA WOTE WALIO KATIKA UMRI WA KUZAA KUTUMIA VIDONGE VYA FOLIC ACID MIEZI 3 KABLA YA UJAUZITO

Page 11: USHUHUDA WA ASBAHT KWENYE ELIMU KUHUSU LISHE …

Nini kifanyike

1. Elimu kwa jamii

- Chanzo cha tatizo

- kinga

- Tiba

2. Upatikanaji wa huduma kwa watoto

(i)mtoto anapozaliwa Vipimo, vifaa tiba na matibabu

(ii)Ukuaji wa mtoto – elimu ya kumtunza na kuishi na ulemavu wa kichwa kikubwa na mgongo wazi (mazoezi,mafunzo ya kutoa haja kubwa na ndogo na lishe)

(iii)Uapatikanaji wa huduma ya matibabu kwa gharama nafuu hasa vipimo na pia bima kwa watoto

(iv) Kuongeza idaidi ya watoa huduma na maeneo ya kutolea huduma (6 hospitals, Vs idadi ya watoto katika kila mkoa

Page 12: USHUHUDA WA ASBAHT KWENYE ELIMU KUHUSU LISHE …

ASANTENI SANA